text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
Alimchukua msichana mdogo mikononi mwake, na wote wawili waliruka juu kwa mwangaza na furaha mbali juu ya dunia, ambapo hakukuwa na baridi wala njaa wala maumivu, kwa maana walikuwa pamoja na Mungu.
[1]
"Sina aibu juu yake," alijibu, kwa hasira.
[2]
Lakini, licha ya kukasirika kwake, alikataa kufanyia kazi hatua hiyo baadaye.
[2]
Tatizo lipo kwa viongozi wetu pale wanapo tunga sheri wanakua na mihemko binafsi
[4]
Kutoka kwa kukata tamaa katika macho ya parson daktari aliona kwamba dawa hii tayari imejaribiwa bila kupatikana.
[3]
Sijasema tukimbilie chanjo.
[4]
Bahati yake sikuwepo hapo
[2, 4]
Hongera. utafanya nini sasa?
[5]
Ndiyo , bila shaka . Mimi itabidi kuchukua hiyo .
[1]
Muziki ni haramu hata kaswida ni haramu basi????????
[2]
SIjui. Sijisikii kabisa kutokatoka, nadhani labda ninaumwa .
[3]
SIku nyingine dada hatutaki maongezi yako kama mhusika yupo, tunapendaga uhalisia na ndio maana tuanatia bando ili tusiadithiwe
[2, 4]
mlikuwa wapi 2015-hadi 2020 mbona mlikuwa hamuonyeshi live au sahivi hamtumii Kodi za wananchi?
[5]
HAWA NDIO MAFISADI HALISI WANAOITAFUNA KAMPUNI YA TANROADS WAKISHIRIKIANA NA KATIBU WA MIUNDO MBINU?
[4]
Nyie TTCL kama kampuni mama ya mawasiliano nchini mnataka kufanya biashara au huduma? Nauliza kwa sababu hamuonekani katika biashara na katika huduma pia hampo.
[5]
Huna lolote nataka utueleze kwa nn ukiwa waziri wa utalii twiga walikuwa wanatoroshwa mchana kweupe?
[2]
Nampenda sana huyu mama kwanza mwonekano tu anajionesha yeye ni mama mchakalikaji, hata ukiwa president mm sina hofu na wewe.
[1]
Nyie nyumbu mna matatizo Sana.
[2]
Wale wapenda kuchukua vitu vya watu na wasirudishe, sioni vitana vyangu hapa mrudishe
[4]
Wengine, hata hivyo, walikwenda kwa mvuvi huyo wa zamani, na wote walifurahi kuwa wamepata kuonana tena
[1]
Mbwa koko wewe
[2]
Eliya alitetemeka sana; aliogopa kabisa, kwani ndege huyo alikuwa mkubwa, mkubwa zaidi kuliko yeye, - alikuwa na urefu wa inchi moja tu.
[6]
Ukweli utabaki kuwa ukweli mbele za Mungu aliye hai Mungu asiyelala wala kusinzia amina
[1]
Kwani wapi nimesema kila mtu Afrika ni masikini?
[5]
Apo kwenye basata umenigusa sana ya maana mimi mwenyewe nina kawimbo
[1]
Alilia, lakini hakuna mtu aliyejua wala kujali; hivyo angeweza kulia mpaka alipochoka, na kisha kulala
[3]
Usitembee kwa nguvu utamwamsha anaonekana ni simba mwenye njaa kali inabidi tunyate taratibuu
[6]
Sasa kama mimi ni mpuuzi hebu nijibu.?
[2, 4]
Niliona farasi wenye hofu kwenye makali ya kushuka kwa mwinuko.
[6]
Usiku ulikuwa ukinyesha mvua kubwa, na kila mtu alionekana kujikunyata kwenye shuka lake
[6]
Ananipa tabasamu kila siku, Mungu akupe maishha marefu mama yangu
[1]
Na unavoongea nkama umechanganyikiwa kwanza na c alifanya ndoa ya kiiclamu ama ilikuwa kiki
[4]
Sasa unaona katika siku zetu na kizazi, hatuitaji kukumbushwa juu ya umuhimu wa vitu vidogo. tunapojifunza zaidi juu ya chembe, ndivyo tunavyoshangaa.
[5]
Eee, makubwa. samahani. Lakini sidhani kama karate inafanyika kama hivyo .
[5]
chukua tahathari mwenyewe wengi bado wanafanya mzaha
[6]
SIAMINI KWAMBA NDANI YA SAA CHACHE NINAANDIKA JUMBE MBILI ZA RAMBIRAMBI.
[3]
Kuna Muda Nipo Single Kuna Muda Nipo Kwenye Mahusiano ???????? Inategemea Na Nani Anaeniulizaa????????
[0]
Wee mzee kweendaaa wenzie washasema walikua wanamsaidia
[4]
Pole sana kaka, tunajua hukuiba ulitumia Maarifa na juhudi ukaweza kutengeneza kitega uchumi
[3]
Hatukutegemea kama mvua ingenyesha, imeharibu sherehe nzima
[3]
Nimekusudia kuwa mtetezi wa JPM katika maisha yangu yote kwa sababu yeye hana ulimi huo tena, hawezi kujitetea kwa lolote.?
[3]
Wakosa kazi za kufanya...!
[2]
Lakini siwezi kupinga wazo la chakula cha jioni, itakuwa utovu wa nidhamu
[4]
ilikuwa mara ya kwanza kufanya live perfomance, kwa hiyo nilikuwa na hofu sana.
[6]
Ingawa nina msaada sana, ninahisi huzuni juu ya mustakabali wa Henri.
[3]
Waache wavune walichopanda. Huwezi kupanda mahatage ukavuna kunde
[0]
Alipomimina kahawa kwa Jenny na Paul, alijisikia huzuni.
[3]
Watanzania ni wapumbavu sana. Unakubaliaje kudharauliwa na kutukanwa na mtumishi wa umma ???
[2]
Watu humu wamenogewa na amani wanaongea pumba tu.
[4]
We babu huna hekima, Hao Boda Boda ni machizi? Hata mazingira siyo mazuri. Mnafikiri ninyi mtailinda hii Dunia? Mnaacha kumsaidia mgonjwa mnaonyesha ufahari msibani
[4]
Uongozi wenye kuacha alama, tunawapongeza sana
[1]
Shangaa na wewe ndugu yangu, kuna alokukataza kwani??
[5]
Anaumia moyoni.
[3]
Lakini jana, wewe alisema utapangisha .
[5]
Kwa hiyo unataka kusema ni sawa na Mmasai kuwa mtoto wa mjini?
[5]
Haki za Binadamu Wahusike huyo Mama aonywe!!
[4]
Jaman mama wa taifa adi nimekupenda
[1]
Acha kutuonesha upumbavu wako mkuu, angalia alikuwa mazingira gani?
[2, 4]
Mengi yatabadilika na nchi itakaa mahali pake...
[0]
Mambo yanatakiwa kuwa ya uwazi na ukweli..hamna kumuonea mtu aibu wakati anaua taifa lako..
[2, 4]
Kweli wewe ni jamaa mbishi!!
[4]
Nayafikiria hayo daima, nayo roho yangu imejaa simanzi
[3]
Kwani chanjo si kwa ajili ya wenye miaka 18 na kuendelea au?
[5]
Umeeleweka,ni kweli mchezo,mzaha hupelekea umauti
[4]
Aliondoka haraka sana na yeye kutazama kwa mshangao kwenye mlango aliokuwa amejifunga nyuma yake.
[5]
Uhakika, hebu tuangalie. Sweetie, hii ni kali . Mawazo yako ni ya halisi kabisa.
[1]
Genge la wahusika wa eneo hilo walikuwa wakipita na, walipoona kile kinachotokea, wakakasirika.
[2]
Siku moja walienda kutembea msituni, ili wawe peke yao
[6]
Wow , gari lina mvuto hakika!upambaji wa gari hii kweli umenikosha moyo kwangu .
[1]
Kuna siku nilimuona pale manzese yani kachoka balaa...anatia huruma sana yule mzee!!
[3]
hiyo yote ni kazi ya viongozi kutowa kafara watoto wawatu lakini wakae wakijua kua wao pia watakufa
[4]
Ni ajali tena ?????????
[5]
Sijui ni kujikomba kwa polisi au ujinga umewazidi?!?
[5]
Wle watoto wanatia huruma sanna maskini ya Mungu
[3]
Wewe umependa hiyo hadithi? Wanasema eti ndo nzuri kuliko zote siamini
[5]
Jamani yasikieni tu msiyaone
[3]
acha dharau ,,unamwitaje Mandela kaka, wakati huyo babu yako kabisa!
[4]
Majambazi yasionewe huruma maana wanaturudisha nyuma kimaendeleo
[4]
Mbona kama uzishaji wa ndani hali tete??
[5]
Lakini sifikirii milele kuja kuipenda hesabu
[4]
anacho kiongea ni kweli kabisa.
[1]
Lazima awe mnyonge, hata kama ni wewe ukikumbana na masaibu ya aina hii. "
[3]
ulevi ni mbaya!
[3, 4]
Hivi vifo vimekuwa vingi. Mungu atusaidie na tuchukue tahadhali zote.
[3]
Kwa nini unapenda private settings? Kwa nini unafanya mambo kwa ufichouficho mwingi??
[5]
nimependa sana hii nyumba.
[1]
Hizi frame zinavutia hata kwa mtazamo tuu
[1]
wewe ni kiongozi bora. Mungu akulinde. Akupe nguvu. Akupe moyo wa kulisaidia taifa hili.
[1]
nina sema uwongo jamani?
[0]
Alikuwa mtu mwembamba, kahawia na kitambaa cha shaba shingoni mwa shati lake lililokuwa na mitaro na sauti ya kusikitisha kana kwamba alikuwa karibu na machozi.
[3]
Napenda lakini siko jijini! Tulio mikoani unatusaidiaje kaka!
[0]
Keki hii ni bora . Wapi umeinunua ?
[1]
Inaonekana ina ladha nzuri sana. unaweza kuniambia jinsi ya kuifurahia ? Ni mara yangu ya kwanza kula .
[1]
We mzee ni muongo mbona hata mazingira yanaonesha hamkumjali
[4]
Huna lolote Malaya tu umeachika unabwabwaja utauza uji mpaka basi
[2]
Zitto msimuamini hata kidogo. Anatumika mkija kushtuka ni late.
[4]
Najikuta nalia tu
[3]
Poleni sana Wakenya kwa Msba huo mzito kwenu kuondokewa na Mwanasiasa Mkongwe?
[3]
Alishika na manyoya yake lakini mnyama yule hakupendelea hivyo alimbwekea kwa sauti kuubwa
[2]
uonevu unyanyasaji uovu mateso yenu kwa wapinzani ndiyo vitisho vya kunyamazisha watu kwa njia haramu za kishetani
[4]