text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
??Kwa hivyo unataka nikusaidie vipi? Si ujenge hata kibanda cha kushikilia????
[5]
Leo nimegundua idadi kubwa ya wana ndoa wanaishi kwa mateso sana ndani ya nafsi zao,furaha ya kweli ndani ya mioyo yao hakuna.
[3]
Tumbuwa tu wakae nyumbani kama kazi hawawezi
[2, 4]
Alimgeukia Fran, hasira kali ikivuka usoni mwake.
[2]
Mkufu wako mzuri aisee! Sijawahi kamwe kuona kitu kama hiyo, umetoa wapi aisee .
[5]
Huwezi kusababisha machafuko kwa imani yako na kupelekea wamama na watoto wasio kuwa na hatia kupata shida.
[3, 4]
Kwa hivyo tumefurahi.
[1]
Wewe mzungu wa simba utajakufa na presha jamani kombe linaondoka mbele ya macho yako hivi hivi
[1]
Inaumaa kwa kweli
[3]
Hawa watanzania masikini janga likiwa kubwa hata hzo Kodi zikusanyavyo kimabavu mutakosa...
[4]
"Una kila haki ya kuwa wazimu, Mike.
[2]
Kwani mkuu wa chama ni Mungu yeye kutosemwa?
[5]
usirudi tena mami
[6]
Tunachangiaje kutokomeza ugonjwa ambao hawajakiri uwepo wake na hata takwimu za maambukizi na vifo hazionekani?!
[2, 4, 5]
Jaribu kufupisha maneno unamaliza muda wetu mtangazaji
[4]
sasa unapambana na nani wakati upo unatunza ndoa huko mbali achaga wehu saa nyingine wewe
[4]
uuwiiiiii
[6]
Ni ajabu na inashangaza ! Wako kwenye ndoa kwa mwezi mmoja tu.sasa nani mwenye kosa?
[5]
Naona jumbe za misukule ya ccm umu ndani sababu inaandika utopolo tu
[2, 4]
Jamani Makonda yupo wapi asaidie wanyonge
[3]
Mbona mnatoa vichwa vya habari vya uongo huo ndiyo Uhuru wa habari? Acheni hizo mnatuboa sana
[4]
Navompenda joti jamn mniacheeee
[1]
Huo utalii utanuafasha vp wanafunzi wa SAUT-MWANZA. Hizi mambo za viongozi kujipa priority nilianzia huko baadae ni muendelezo
[4]
binadamu sisi hatutakian mema
[3]
Nikuone tena hapa kwangu, utanieleza unataka nini??
[4]
Nyuso zenye huzuni na masononeko zilitawala ukumbini pale
[3]
Video inayoonyesha unyanyasaji dhidi ya mwanamke mjamzito ni propaganda za magaidi
[4]
Wacha mzaha while others are hustling hard
[4]
Mwambieni haijaanza leo. Alipopata ajali wapo waliosema bora punda angepona Mwigulu akadhurika.
[2]
Mi nimona video na bado sijona huo utupu. Hapa jamaa wanafanya mbuzi wa kafara tu.
[4]
anaonewaa
[3, 4]
Yeye hufanya mimi nijisikie mgonjwa kwa timbwili zake.
[4]
Wakati Joe na Biddy walipozidi kusisimka, tukijadili mipango yangu ya siku zijazo, nilizidi kuwa na hasira kwa mada zake za kitoto.
[2]
Kwasasa atatulia maana kapata mtoto, atakuwa busy kulea.
[0]
Siwezi kumnyamazia mtu mjinga asiyejielewa, ni ujinga !
[2]
Woooh. Hiyo gari nimeielewa sana safi sana.
[1]
Kwanza napenda kuipa JF pongezi kwamba sasa ina Msemaji bnafsi wa JK hapa ambate ni ndugu?yetu
[1]
Sio kawaida yake kuchelewa nyumbani hadi saa hizi
[6]
Kafa kimsimamo zaidi
[0]
Ukisikia wanawake ni viumbe hatari ndo uelewe, yaani ni hatari
[4]
Nilichogundua mama ana roho ya ubinadaamu sana, tajiri mwingine hapo angekuwa analilia mali zake
[1]
Mwanangu kweli kaamua kuniuza, mimi ananihusisha na ufisadi mimi kweli.
[2]
`` Kwa sababu yeye bado alikuwa amekasirika, na nilidhani unaweza kujaribu kunibadilisha.
[2]
Siasa za Afrika ni takataka kabisa. Kaka endelea kupambana Mungu atakusimamia tu.
[4]
Ni wewe! Ni kitambo kimepita, Unafanya nini siku hizi?
[5]
unasema kwamba atapewa wadhifa wa meneja mkuu ?
[5]
Sasa hapo unategemea zitatoa wapi pesa kama siyo kukamua mpaka maiti ?
[4]
duuh uchumi!! Pole ila nimefurahi saana kupata nafasi nyingine LA! LOL
[1]
Kwani huo mkopo si analipa? Au mikopo wanalipa waliojiriwa serikalini tu?
[5]
Mimi siamini hilo kabisa, inawezekana vipi kwanza? .
[5]
Hiyo ndo chuga bhana nmewakubali kwa umoja huo
[1]
Alitazama mbali, hasira kali ilionekana machoni pake.
[2]
Matangazo mpaka yanakera daah
[4]
Body ya mkopo ndio matapeli wakubwa nchi hii
[4]
So hii inajustify nini hapa?
[5]
@Cathe Pongezi sana kwenu makamanda ila afadhali ni Mambo ya siasa ingekuwa ni kikundi cha kwaya hata mie ningewakataa kwa sauti hizo????????????
[1]
Chizi kweli wewe ni Askofu kweli? Mwee!
[5]
Wekeni mifumo imara iendelee kudhibiti baada yake. Hilo hamtaki.
[4]
Vipato vi taaabani......
[3]
Nimeomba msamaha . Hii haipaswi kuwa kwa namna hii .
[3]
Ajabu ! watu wanakwendaje kwa njia hiyo ?
[5]
Pumbafu sana huyu mzee analazimisha kuunganisha matukio
[2, 4]
Watu wa kigoma kua wapambe wanaweza kinomanoma
[4]
Pumbavu zenu
[2]
unaendeshwa na muhimili kama mwengine kama vile robot pumbavu mkubwa wewe.
[2]
??Unasemaje??? Nikamuuliza nikiwa nimemkunjia uso.
[2, 4]
Acheni taarifa zisizokuwa na tija wkt huu wa majonzi jamani! Mizaha siyo poa
[2, 4]
mshike mkono atapotea
[6]
Mkali wa kuzidisha macho ulipunguza uso wake wakati anatikisa kichwa chake giza kwa mshangao.
[5]
Furuseth alikasirika.
[2]
Alikuwa mzee mwenye furaha, kila wakati alikuwa akizunguka zunguka.
[1]
tufike sehemu tujue umhimu was huyu rais tuacheni ushabiki wa mabeberu
[4]
Mtawekwa hatiani na mjue mmehusika kwenye vifo ambayo tungeweza epukana nayo!! Changamkeni hata kwa majina ya proxy!!
[2, 4]
Mwanangu wa pekee, niliyependana naye sana, hatimaye leo hatunaye tena
[3]
Ni kweli siamini kama ni kweli umepata nyumba nzuri hivi katika matangazo tu.
[5]
Akili mgando hizo ndugu yangu ndo maana wengi wenu huwa hamtaki kuuskia ukweli
[4]
Ubaya hautakusaidia kwa chochote
[3]
Weka mambo sawa. Sio kumkomoa mtu. Watu wapo na wanaona
[4]
Na Bwana Msuya alicheka na kukohoa, na kufunga macho yake kwa sababu ya moshi wa kuni
[1]
Inaonekana kama wazo ni zuri . Napendelea kucheza kwenye gym iliyopo msituni.
[1]
Kutafuta udhuru ni wazi chini ya kilimo cha wako . Na kujaribu kuepuka kuhudumia watoto ndo ambacho uko vizuri .
[2]
Kama wewe ni fala we ni fala????????????????ulevi si ujanja
[2]
Lakini wakati huo kuna mtu alibisha hodi mlangoni, yeye akaruka ndani ya pipa la unga kwa hofu.
[6]
Nenda baba ukawe kiongozi wa malaika
[0]
Alionekana kukasirika lakini nilidhani wazo lake la busara lilibadilishana urefu wa bomba la risasi kwa truncheon ya mpira.
[2]
Siyo kila linalofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu anafanya yeye au lazima alione
[0]
Labda uliolewa na kibenten Mana unaonekana gube gube na mashoga zako c ajabu umeachwa we
[5]
Mood ya wakati huu inaweza kuwa ya masononeko zaidi, kwani wanaanza kutazama si shida zao wenyewe tu isipokuwa na zile za wenzi wao.
[3]
Acha utani, ulisoma hisabati chuoni kwa miaka minne, na sasa unafanya kazi za mikono!!
[5]
Alikuwa anafurahi.
[1]
Kope za leyla mbona Kama zinatufokea hivi?? Au macho yangu?
[5]
Joel ? Mimi sijui ni kwa nini .
[5]
Mjinga mkubwa wewe
[2, 4]
Nani kalewa? Umeninywesha wewe?
[2]
Katika Tanzania huyu ndo mbunge wangu ingawa hayupo kwenye jimbo langu! Mzee ana akili nyingi sanaaaa! Mama Mtazame sana huyu dingi apewe uwaziri wa elimu, ndalichako awe naibu waziri wake! Yaani yuko na maakili mingi sanaaaaaaa
[1]
Nilikuwa bado na jicho langu la zamani, ambalo lilikatika, naamini nilipaswa kulia; lakini hapana, nisingefanya hivyo, sio kulialia. "
[3]
Wakati huu, na hasira nzito barabarani juu ya ukombozi wa bei, walanguzi hawakuacha nafasi yao.
[2]
Pumbavu
[2]
Vifo Vya Kushtukiza Vimezidi Leo Anakufa Huyu Kesho Yule. Ee Mungu Utulinde Katika Kipindi Hiki Kigumu. Vaa Barakoa Kwa Afya Yako
[3]
ana miaka 15, anaonyesha kufadhaika kwake
[3]