text
stringlengths 7
259
| labels
stringclasses 26
values |
---|---|
Waliomuuwa Gadafi mungu awalaani | [3] |
Asante sana clouds media | [1] |
Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao. | [5] |
samahani mama, nahofia kuwa umekosea namba, hatuna Mr Over hapa . | [3] |
yani watanzania tumefeli pakubwa duh bunge kila hoya sawa | [4] |
kwanini wanaume si wepesi kusema yaliyowasibu kweny mahusiano zaidi na usaliti kuliko wanawake. | [5] |
Una maananisha nini ? nimekununulia kompyuta hii miaka mitatu tu iliyopita ! | [5] |
Wazungu siwapendiiiiii Kwa kweli yaaani sio watu kabisaa | [2] |
Mimi kabisa nilikubaliana na wewe . Wao hawaeleweki. Nillikuwa napoteza muda , lakini mke wangu hakubaliani na mimi . | [4] |
Alikua na anapewa ulinzi wote huo kisa nini? | [5] |
Binafsi msiba umeniuma sana,,sanaaaa,najaribu kuwa okay lakini najiona sio muda nitaanza kulia | [3] |
Hili chokoraa huwa mnaliulizaga nini lisauti kama mnywa gongo | [2] |
Si haki . | [4] |
Msaada?!! Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo! | [5] |
Asante kwa ajili ya ununuzi wa godoro kwetu sisi . | [1] |
Tangazia Taifa hali halisi ya COVID-19, vifo vimezidi kupita nyakati zingine | [3, 6] |
Nimewapa kila kitu walichotaka mana walikuwa na mapanga na silaha zinginezingine | [6] |
Asante! kadiria ni kiasi gani cha gharama utashangaa ilivyo rahisi na uzuri huu. | [1, 5] |
Habari, mimi ni mwanafunzi hapa nafurahi kukutana na wewe. | [1] |
Wasichana wa mfalme walipomwona walizimia. | [5, 6] |
Mimi ni muoga sana kiasi kwamba mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi kwa siku 3 | [6] |
Mmh sijawah shuhudia mwanamke anakimbiza gari kwa kutaka sifa labda kama wapo me sijui | [5] |
Unatania. Hatutaweza kwa mara moja! Tupite kukiwa na mwanga. | [5] |
kiukweli najisikia vibaya mno kila nikiangalia kidole changu kilivyochafuliwa na wino roho inaniuma tena | [3] |
kwani kuna sehemu hapo nimeuliza kanisa lenu? | [5] |
Eti mpaka inazama ndo wanakuja mbio | [5] |
Natamani kuwa na gari kama lile, lakini mimi si tajiri wala baba yangu si tajiri pia | [3] |
Yaani yeye ndo kiongozi mkubwa lakini hakuna afanyacho zaidi ya kuangaika na wanawake tuu | [2] |
Jamani mwambieni uyo Dada namwitaji mtoto wake nimlelee jaman hata kisheria tuandikishiane | [1] |
hiki Chumba hakifai kwa binadamu . nataka chumba kingine , na mnirudishie hela ya usiku wa leo . | [2] |
Hello , shukrani kwa kutupigia 123, jinsi gani naweza kukusaidia ? | [1] |
Daaaaah Jumapili yangu imekua nzuri baada ya Kuingia kwenye Account yako | [1] |
aliwaza, hakuna msaada wa mtu unaoweza kunifaa | [3] |
Wanyooshe hao, wamepiga pesa za kutosha | [2] |
Kulikuwa na tatizo gani lililowaweka hivyoo | [5] |
ndoa yatatu unaachaa wewe huachwii??!! | [5] |
Huku wako mabwanashamba wanalipwa mishahara bure hawafanyi kazi kabisaa | [4] |
Yan ata lidondoke hapo walipo sasa hv najua kuna raia wakuja na madumu kuchota mafuta. | [2] |
Ulevi itawamaliza | [3, 4] |
Jamani kijana wa watu wamemkatisha masomo yake | [3] |
Kidogo tupate ajali sisi.. wapuuzi sana | [2, 4] |
Sikutegemea kama angekua na mamboo ya ajabu ivo | [4] |
Nimefurahi kama umefurahia pia. Kuna ngengele pembeni ya kitanda, ukihitaji chochote itumie na mhudumu atakuja kukusikiliza. | [1] |
Haya ni makosa ya watendaji na inabidi hatuwa za haraka zifanyike na wachukuliwe hatua za kisheria | [4] |
Ni kweli kwamba maendeleo ya ajabu ya watu wetu yamebadilisha jangwa kuwa nyumba ambayo wanaume na wanawake wanaweza kuishi kwa raha, kifahari | [1] |
Mama mzuri, akili nzuri masikini kaangukia mume mpumbavu.pole mama yangu | [3] |
Tuwatumie viongozi ile picha ya watoto wanaosoma ile shule ya mbavu za mbwa waweke kwenye maofisini mwao labda wanaweza kuona aibu kidogo kabla hawajachota mihela. | [3, 4] |
Dada mbona unaongea kwa jaziba wewe punguza mawenge | [4] |
Video hiyo ilitengenezwa na magaidi?? ili kuwachanganya umma na sio mara ya kwanza hii kutokea | [4] |
Ooohh kaka alitamani kuokoa ila ilishindikana, kazi ya Mungu haina makosa | [3] |
Halafu mti ulielezea hadithi yote aliweza kukumbuka kila neno moja | [1] |
hiki kizazi cha sasa kina mambo mengi sana, kinatia huruma, hofu na masikitiko | [3, 6] |
Nimechoka kazi yangu, mimi daima nakuwa na kazi usiku , na kampuni inaendelea kutaka mimi kufanya kazi katika ofisi . | [4] |
Nimekuwa mchovu hivi karibuni . Nimekuwa nikijaribu , lakini sidhani kama ntaweza hii kazi | [3] |
Nilikuwa wazimu, mwendawazimu yeyote aliyemuua. | [2] |
Wanafungasha mahindi ya kuchemshwa,mtindi,mayai ya kuchemshwa na jusi-kola! | [0] |
nyumba inatisha, upo tuu unaishi huoni shida ! | [2] |
kila kitu bei juu mnajiita watetezi wa wanyonge pumbafu zenu | [4] |
Alipoulizwa swali hilo alianza kulia na hata kushindwa kuongea chochote | [3] |
Dada zangu punguzeni visirani hakuna mwanaume anapenda mahusiano kama kituo cha polisi!! Ulikua wapi? yule nani? | [2, 4] |
Kampuni ilikuwana wasiwasi sana juu ya hii na ikadai kujua biashara zao kiundani. | [6] |
Lily nani ? | [5] |
Basi, akiwa na huzuni, alikunywa pipi nane usiku mmoja na kikosi kingine, alisema mwendesha mashtaka Graham Boal. | [3] |
Mnapenda mteremko na ukomeeee, kumbe mke wa mtu tena loooh | [2] |
ladha nzuri sana ! Zabuni na crisp ! | [1] |
Eleza ujinsia wako kwanza Acha porojo hizo | [4] |
Hizi ndio makala za kupost sio mambo ya wambeya tu | [1] |
unafikiri nini kuhusu hili duka ? Lina matawi katika miji mikubwa na umaarufu wa kunitajirishaa. | [1] |
ebu tupe takwimu za watu wanaokufa kwa uoga kila mwaka. | [6] |
Bunge pekee duniani ambapo wabunge wote ni vitimaalum | [4] |
Wacha kuwa negative minded. Wivu haitokusaidia na lolote. | [4] |
Wengine wote walisimama katika hali ya wasiwasi mkubwa, kujaribu kuhakikisha kwamba hawakuwa wamerekodi kwa usahihi tu lakini pia walielewa kile Woolton alisema. | [5] |
Ni orientation acha wasiwasi | [6] |
Kisasi gani tena ? | [5] |
Yeah , nimekuwa nikisubiria kwa mda mrefu sasa. | [1] |
Yaani nitoe bei gani kwa ajili ya sofa set tuu..haha hapana | [5] |
Poleni wafiwa,Mungu awape nguvu mda wowote??????????????????????. | [3] |
ukisikiaga watu wana sifa za kijinga wapo kilimanjaro. wilaya za mkoa wa kilimanjaro zina maendeleo gani? | [4] |
Mtaani hamna vijana jamani !!mnaniudhi kweli kweli Hakuna vijana hata kumi tuu hapo | [4] |
Hapo kuna madai ya umbea, uchawi na kuwachukulia wanaume. | [0] |
Alikuwa mnyonge sana, na alihisi hatia juu ya unyogovu wake. | [3] |
Ilikuwa iripotiwe ili iweje?. Unadhani ajali zote zinaripotiwa??. | [5] |
Wote walishambuliwa. | [3] |
Naam , ilikuwa nzuri sana kukutana na wewe . | [1] |
Alipotazama pande zote alijisikia vibaya sana, kwamba katika gari ambalo asilimia 70 walikuwa wanaume kuna wanawake watano walazimishwa kusimama katika uwanja. | [3] |
Mkuu bongo hii ukisikia mtu ni Dr au Prof usimuweke kundi la waelewa hadi umejiridhisha kwanza. | [0] |
Nawapata vizur hapo mjengon pamoja sana | [1] |
Kila kitu kimeeenda vibaya . | [3] |
Wewe ulisikia wapi? | [5] |
Wajumbe wa tawi walikasirika. | [2] |
Acheni matusi | [4] |
Wapi wewe umejifunza huo wimbo ? | [5] |
we nae huchoki tu, toka kampen upo na kusifu ni yeye ni yeye hapo ulipo hata sera na ilan yako huijui umekalia kelele tu | [2] |
Una matatizo gani mbona unaonekana dhoofu sana | [3] |
Kwann mambo personal anamwaga hadharani | [5] |
rushwa imetamalaki kila kona ya taifa??inazorota sana uchumi wa taifa letu na maendelea ya haraka | [3, 4] |
Asa hao wamama wana watoto mgongoni wanataka nhao wato wapogwe mawe kwan sheria si zipo au ni ushamba unawasumbua | [4] |
HAKUNA CHA FAIDA HAPO ZIDI YA WIZI,TENA WIZI AMBAO BUNGE LA SASA ALIWEZI KUOJI | [2, 4] |
Wewe huna lolote tunakujuwa unatumwa kuichafuwa serikali .lakin hutaweza | [4] |
Watu wanaishi kifalme wakati watu wanagombania oksijeni kama wajinga | [2, 3, 4] |