text
stringlengths 7
259
| labels
stringclasses 26
values |
---|---|
Umekosea kitu kimoja anawezaje mwambia kwenye gar afu walikutana cku ile ile | [4] |
Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ? Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi. | [5] |
Tukishinda ile kesi inahusu J.f ntafurahi sana! | [1] |
Sasa kama ni haki ya mtu, kuna haja gani ya kulizungumzia,,, mnatafuta kiki tu.. | [4] |
Ndani ya miezi michache ijayo - na muda kidogo kabla ya uchaguzi ujao - watalazimika kumaliza maswali haya au kuona mwangaza wa msimu | [1] |
Uzinzi ni kwa walio ndani ya ndoa na Uasherati ni kwa wale amabao hawaii kwenye ndoa, umalaya ni kuwa na mahusiano mengi | [0] |
Umezungumzia hofu na mauti. Mjadala unaoendelea unahusu hofu na mauti. | [6] |
Si ameshasema hakuna gari kama hilo | [5] |
Basi wakipokea posho wanataka waendelee kukandamiza wenzao | [4] |
Huyu naye punga vile vile | [2] |
"ni nini ulimwenguni kimemtokea askofu? Mbona watu ni wengi?" | [5] |
Aisee kuna majaribu na mapito magumu sana watu wanapitia, eeh Mungu utusamehe sisi tunaolalamika tukipitia changamoto kidogo | [3] |
Ni kweli ? Muda gani umekuwa ukicheza piano ? | [5] |
Nina jambo langu siku za baadae! Hivyo nataka nichukue kadi ya chama mapema. | [0] |
Pumbavu ya wananchi wanabehave kama wanyama | [2] |
Sisi Watanzania bado sana. Sijui kwa nini tuna akili hizi? | [3] |
Kwenye suala la kejeli hata rolimodo mkuu wa nchi anaongoza | [2] |
Weee...ila yule dada hana nuru usoni? | [5] |
Wewe mshumaa pori tulia huko kwenye baridi, waachie mchezo watoka jasho, wewe huwezi tena ligi kuu, tulia tuli | [4] |
samahani, pole, umekosea hii namba siyo . | [3] |
Hii nchi inatawaliwa na viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri kiasi cha kushangaza wameingiaje madarakani!? | [4] |
Hii habari imeniuma sana | [3] |
ninajitahidi kwa bidii kubwa sana kupata ujuzi wa kiufundi lakini napata motisha nilipoona watoto wakifanya maonyesho kwa moyo wote licha ya uchovu | [3] |
binafsi sina huruma na madingi wa hivi.....hawa watu wanajisahau sana man!! | [4] |
Dada mange kasemaje kwani | [5] |
Uhakika , kwa nini ? | [5] |
Roho yangu inadunda dunda, sijui majibu yatakuwaje | [6] |
Acha uongo, mwina kaduguda ni rafiki wa salama?? | [4] |
Kama Unataka mambo makubwa, lazima uwe shujaa, ondoa woga, jiamini, uwe na msimamo na mtu wa maamuzi. | [6] |
Ana huzuni. | [3] |
Nilijihisi mnyonge kabisa juu yake. | [3] |
Tumbua tu. | [2] |
Kwa hivyo majengo yote marefu duniani yana haya matatizo au ni hili jengo tu? | [5] |
mama una akil sana | [1] |
Lakini umakini, nimefurahi sana. | [1] |
Wote Mr Souness na Jim Smith, meneja wa Portsmouth, walisisitiza jinsi walifurahi. | [1] |
Lazima kama mazungumzo mengi . Watu ni kusema , wewe ni super mazungumzo . | [1] |
Hoja yako ni ya kijinga ko unadhani ruzuku ya vifo ina dhamani sawa na uhai wa watu. | [2, 4] |
Oh , kweli ? nimefurahi kukutana na wewe . Mimi walidhani wataniacha mwenyewe hapa! Muda gani umekuwa na hii kampuni ? | [5] |
Na ww tafuta mbona marehem wapo wengi | [4] |
Nyuso hazina furaha wala matumaini | [3] |
Kamanda siasa nyingi, mwenyekiti eti nategemea idara ndo nini | [4] |
Mimi nina kweli uchovu wa kazi yangu katika benki . Mimi nina kufikiri juu ya mabadiliko hayo . | [4] |
Unatuchosha akili bhana!!!!,nenda kalime | [2, 4] |
mzaha gani tena!!! | [5] |
mbona matusi mkuu? kuna mahali nimekutusi? | [4] |
Hivi vifo vya wakulu mbona ghafla tu!!?? | [3, 5] |
Kwel huyu mama mchungaji....anachunga kondoo wake bungeni na kuwahubiria | [0] |
Kuamua n kuchagua | [0] |
Nimevunja vyombo pendwa vya mama, sijui nitamwambia nini | [6] |
Umeshikiwa mtutu wa bunduki uisome kwani?? Kama hujaipenda acha | [2] |
Bafu linaonekana nzuri . Umerekebisha mwenyewe au umetafuta mtu wa kufanya hivyo kwa ajili yenu ? | [1] |
Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity.? | [4] |
Unatamaa dada hivi mume akikuacha utafanyaje | [4] |
Si nimekuonya lakini | [3] |
Hiyo ni ujinga . | [4] |
Inaskitisha, wachukuliwe hatua haraka maama wanaihujumu serikali katika mapambano ya corona | [4] |
Daaa Sina cha kusema ni majonzi | [3] |
Dharau zako peleka huko, kwangu hapa nataka heshima | [2] |
Mpumbavu kama wewe ukifiwa na baba yako mzazi na anazikwa siku moja na mpitaji bila shaka utaenda kumzika mpitaji. Huna akili kabisa wewe. | [2] |
Hiyo ni dalili mbaya sana . Kwani huwa una Matatizo yoyote ya kiafya | [3] |
Utabaki ivyo ivyo na mawazo yako mgando | [4] |
kha umeniacha hoi | [1] |
Tunazungumzia virus vya dunia nzima au vya corona mbona una kiherehere kama amber | [4] |
Hana lolote huyo anataka kurudi kashazoea kuhudumiwa huko anajionea mishida mkazie hivyo hivyo | [2, 4] |
naam , jana usiku nilikuwa na malumbano na Ann . | [3] |
Magufuli chukua 10 mingine, kazi yako ni nzuri, maendeleo tuna yaona | [1] |
Nakumbuka nikifikiria kuwa nilipaswa kuwa nyumbani hivi karibuni au Mama angekasirika kwa kukosa chakula cha jioni. | [2] |
Naomba kuuliza hivi ....Hii taarifa kwa umma ina maana gani?? | [5] |
Hawa wavaa barakoa nyeusi waogope sana???? | [6] |
Namuhurumia! najua amekuwa na hamu nayo sana kwa miezi ya hapa karibuni | [3] |
Baadhi ya vitendo vyake, haswa kuwa mkorofi katika chama baada ya kushindwa uchaguzi kunaleta hofu kwa wanachama | [6] |
Lakini alikataliwa na mchumba wake mbele ya umati wa watu kwa kilichosadikiwa kuwa ni kisasi cha usaliti | [3] |
samahani , mimi sijui sheria kuhusu kupigana ngumi. | [3] |
Tanzania tunaweza hapakaztu magufuli mungu akulinde | [1] |
Alisema pia, kwa kufurahisha kwa wale wasio na msimamo wa serikali ambao walisoma kumbukumbu zake, kwamba safari ya Watson ilifanikiwa zaidi kuliko ile ya Matthew. | [1] |
Mungu akubariki waziri nakupenda Sana | [1] |
Inachukua sekunde chache ukagoogle utaona UK imepata kesi nyingi na vifo vya Corona kuliko Ufaransa and Spain. | [3] |
Mze umeongea ujinga tuu hapo | [4] |
Ina ladha nzuri sana, wewe ndo umepika? | [1] |
Njoo ndani haraka tufunge milango | [6] |
Lazima... Uwe na... Muziki mpya... mimi silali mpaka wewe kutupa Sura ya 1... Naweza kufa... Haraka! | [1] |
Lini niliomba kunyonya maziwa yako? Unikome | [2, 4] |
Dah! Nimeumia sana. Kipindi hiki ni kigumu naona tunavyolazimishwa Chanjo | [3] |
Pigeni mawe mpaka afe huyo kama mmekosa msaada | [2] |
Bwana Jones alilipuka kwa hasira. | [2] |
Vipi habari ya safari. Mbona umerudi na vitambaa vyote. | [5] |
CEO alikasirishwa na wafanyakazi wake | [2] |
Hujasikia chochote kuhusu hilo ? | [5] |
Duu taarifa za vifo mbona nyingi hivi | [3, 5] |
Ni yeye kweli ? siamini ! | [5] |
Tunatoa salamu za pole na rambirambi kwa Wazanzibari wote na Watanzania kwa msiba huu mzito! | [3] |
kazi ipo kwenye daftali la kudumu... | [0] |
najihisi sina nguvu, nina kiu | [3] |
Kwa hivyo akamtoa yule mdoli, ambaye alionekana msalaba kabisa, na hakusema hata neno moja, kwani alikuwa na hasira ya kugeuzwa kitandani kwake. | [4] |
Hawa takataka hawavaa hata barakoa saizi wamejichokea kama safura | [4] |
Kwakweli inauma umefungwa kwa kosa lenye si la ukweli inaumiza sana ni vizuri kabla hawajafunga mtu uchunguzi ufanywe | [3] |
huyu mwanamke kuna mambo mawili makuu aliyoniudhi muheshimiwa | [2, 4] |
Ata kutamka neno corona Tanzania ni kosa la jinai, akifa mtu kwa korona unatakiwa kusema ugonjwa wa kukosa hewa au kupumua au huseme alipata ajali | [3, 4] |
Tumia muda wako kufanya mazuri kwani siku moja utapotea kama nukta moja ya mchanga baharini na kitakachobaki ni historia yako iwe ya mabaya au mazuri. | [3] |