text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
karibu, nini tatizo ?
[3]
msitaje hata jina lake, najisikia vibaya
[2]
Oh kweli nini?? kinachotokea ?
[5]
Dangote ni mfanyabiashara mkubwa
[0]
Alitaka kutupa viatu vyekundu mbali; lakini alipokumbuka alivyo mkali alihifadhi kwanza
[6]
nini tena
[0]
Sio nidhamu,amefanikiwa kuleta woga
[4]
Uhakika, nini kinaendelea?
[5]
Alikaa tena, na akatazama kwa huzuni kwenye wavu.
[3]
Julius hajawahi katika maisha yake mafupi kuishi na kufurahia maisha, hakuweza kupumzika na kulala kwa amani
[3]
Ni kweli watu wanateseka sana sana watu wanapingwa kupita kiasi kila siku
[4]
Mama yake alitetemeka na kutoa rufaa kwa umma kwa kurudisha pete, aliyopewa na mumewe miaka 18 iliyopita.
[6]
Kwani si sisi udungwa chanjo za polio, Cholera na magonjwa mengine.
[2, 5]
Mimi nina uchovu wa kazi hii .
[4]
Unatania labda, yuko nyuma ya wakati..hiyo style si mwisho ilikuwa mwaka jana
[5]
Maiti yake ipate ajali, hio gari iiungue moto kabisa, sanduku liwe kuni, na mvua kubwa ya mawe inyeshe na majivu ya mzoga wake yasombwe na maji hadi baharini
[2]
Nilicho nacho Hauna na ulicho nacho SIKIHITAJI
[0]
Waacheni wainjoi nchi yao!
[0]
Madagascar wana dawa lakini wagonjwa wanaongezeka tumia akili
[4]
Daaah huyu mzee nimemuelewa sana yani mpka nahisi kusisimka aiseee
[1]
Nchi wananachi hawana furaha wapo wapo tu wanashangaa ubungo interchange!!!
[4]
Mambo mengi tupo nyuma sana sana
[4]
Mahusiano gani Tena jamani
[5]
Yeah, wakati wa kahawa huu, tufurahie kwa pamoja!
[1]
Viatu vina miaka hadi kuna shimo katikati lakini hakuna pesa za kumnunulia vingine
[3]
Mwanamke huyo mchanga alibaki nyuma kama sungura aliyeogopa.
[6]
Mimi napendelea chakula cha Kichina .
[1]
Mwondoe! Akae mbali na familia yangu
[2, 6]
kwenda kule peleka gazeti lako huko
[2]
msichana huyo mdogo akatoka nje, akilia: "Ah, nimeogopa sana!
[6]
Sayansi gani hapo? Huo ni uchawi bwana usitudanganye sisi watu wazima
[5]
Wajinga kweli anashindwa hata udumia baba ake mzaz kaz kulea baba kibenten
[4]
Sikupewa sababu za kuwepo pale mpaka kesho yake asubuhi, ndipo alikuja mtu kwa ajili ya kufanya mahojiano na mimi
[6]
Nimefurahi wewe kuja nje na sisi, nakupenda sana .
[1]
Mimi mwenzenu ni muoga haswa wa waduduwadudu
[6]
Kiukweli mengi katekeleza na tumeshuhudia kwa macho ila imebakia moja tu? Ajira.
[1]
Mi Ndo Maana naonaga aibu kukaa uswazi basi tuu
[4]
Mh mwanamke mwenyewe mchafu nguo ile ile tangu siku ile hajabadili ingine
[4]
Kisha Mfalme alikasirika, akaamuru mkewe afungwe gerezani, na ndani yake alifungwa kwa miaka mingi.
[2]
aliogopa sana alipoona kwamba mifugo wake walikuwa wameumia.
[6]
@macby Mimi hapa, kwetu hatukuwa na TV ?????� michezo yetu ni tiali bado, kuogelea ndani ya mito na mabwawa, mpira pamoja na mchezo wa ngumi kwishaaa
[3]
walivuka daraja kwa kushikana mikono na hatimaye wote walivuka upande wa pili
[1]
ninapatwa na hofu kwamba hatorudi tena .
[6]
Niko wazi kabisa.
[5]
Jee Baba yako anaingia kwenye chumba cha dada yako??? Wacha kutukanisha wazazi.?
[4]
nani kasema wahaya wenye tabia nzuri na wanaokubalika hawapo??
[5]
Ukweli ni kwamba hilo ndo kosa kubwa limewahi kufanyika ambapo watu wameweka matumaini na Imani kwa watawala hawa wa kidini mimi siwaiti Viongozi nawaita watawala hawana sifa zilizopo kwenye Biblia
[4]
ajali kitandan.???
[5]
najisikia kukata tamaa kutokana na kitendo tulichomfanyia mwenzetu cha wizi
[3]
Ni wazi Morrissey alipewa.
[2]
Amemjuaje,?
[5]
Hizo dharau zako kuna siku utajutia na muda hautakuwa rafiki, utatamani uwatafute wote uliowadharau uwaombe samahani lakin sijui utawaonea wapi
[3]
Maua ni urembo mzuri sana katika mazingira ya nyumbani kwako
[1]
Alihisi mchanganyiko wa mshangao na kuwasha kuwa utaratibu wake wa kila siku mgumu ulikuwa utavunjika baada ya miaka arobaini isiyo na utulivu.
[5]
Yote ilianza mapema asubuhi ya leo, wakati mama aliye na wasiwasi akiingia ofisini.
[6]
mp4 player ? kwa nini usinunue simu mpya ya mkononi ? Unaweza kupata mp4 ndani ya toleo jipya la simu za mkononi .
[5]
Hawa mafisadi wanatakiwa wafikishwe kwa Pilato na tusikie wako Segerea kwa wizi wa mali za umma.
[4]
Acha ujinga na ubinafsi wewe, pigania nchi yako acha kupigania tumbo lako. Watu kama nyie mnatupa taabu sana kwenye hii nchi
[4]
Kutokea kwa Covid-19 kuanzia mwaka 2020 mwanzoni kuliifanya taarifa za utafiti wa virus hivyo kuanza kutumika.
[0]
Alizungumza kwa hisia sana, akisema kwamba tabia zao mbaya hazitaangamizwa, wala moto hautazimwa, na hawapaswi kupata raha kamwe.
[4]
nina final 2 wiki hii na oral moja na sijajiandaa kwa hata mojawapo !
[6]
Mungu akuponye kijana wetu mzuri jmn
[3]
Namwamini na nina sababu kwa kuwa niliuona uaminifu wake wakati nilizungumza nae usiku huo.
[1]
hali ya uchumi???�? ni mbaya na itazidi kuwa mbaya
[3]
Huyu kweli ni mpumbavu mtupu.
[2, 4]
Hapa pia panahitaji shule kujua huu mchezo? Wake Up Africa!!!!
[3]
Wachaga sio watu
[4]
Mimi nina hofu bila shaka hii ni kwa ajili ya watu wanne .
[3]
Serikali imekalia kimya vifo hivi kwa Nini??? Tulificha maradhi vifo vinatuuumbua sasa
[3, 4]
.kutangaza vifo vya Covid 19 siyo kuelimisha...ni kuogopesha watu wenye umri mkubwa tuuu..
[4]
Karibu kwenye channel pendwa ya vichekesho, tupo kwa ajili ya kuvunja mbavu zako na kukuacha mwenye furaha nyakati zote.
[1]
Kwa hiyo utafanya nini sasa??
[3]
Hivi tuna serikali na vyombo vya dola nchi hii kweli? sisi ni nchi huru?
[5]
Umejitahidi sana kujizuia kulia, wewe ni mwanamke shujaa ipo siku yako
[3]
Wacha kulinganisha Salama na vitu vya kijinga
[4]
mmenikumbusha dada mmoja hivi alikuwa mgonjwa amepalalaizi majirani ndio walikuwa wanatoa msaada alipofariki walikuja ndugu zake aisee ni matajiri na wakawa wanalia bila aibuuuu binadamu Wana mengi
[3]
Alishangaa sana, akampigia simu mkewe na kumwambia, "Niambie, ni nini kimetokea?
[5]
Ana tabia chafu sana huyo, hajiheshimu wala hana adabu
[2, 4]
Alianza kunyata huku akirudi nyuma taratibuu
[6]
Majuzi tuu ilijitokeza tena, na wakatoroka pamoja, wakiimba
[1]
Wamezoea kuiba, filisi wote wajitambue
[2]
Kwa mshangao wake mwenyewe alinung'unika, "nitajaribu. "
[5]
Yule mama hata akilalamika milele ni haki yake kabisa.?
[0]
Hiyo inaweza kuwa tatizo lakini bado haizuii sisi kuja na kutaka kufahamu yanayoendelea
[2]
Yaani Hadi watoto wa mzee wanamjua mzee wao vizuri maana wamekaa nae kwa miaka..
[0]
Lazima uwe umeumia moyoni,,,pole sana ndo maisha hayo
[3]
Mikononi mwa mama ndio sehemu salama kwa mtoto.
[6]
Niliichana na kuisoma; Nililia na kucheka wakati huo huo, na nilikuwa na furaha sana!
[1]
Nini? Lakini ni favorite nguo yangu nnayoivaa kila mara kwa nini leo?? .
[5]
Alihisi wasiwasi kidogo na kuanza kumhoji.
[6]
Mnalalamika nini wakati ndicho mlichokichagua?
[5]
Huyu ni adui wa amani ya Tanzania tumuogope Kama ugonjwa corona
[4]
Anawadanganya na nyie mnakubali kiurahisi Zama zimebadirika
[4]
Walionekana kukasirika wakati waliona sura zetu zikiangalia na kutengeneza ishara za kutufanya tufunge mapazia tena.
[2]
Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani.
[0]
Kuongea mbele ya kundi kubwa la watu.
[6]
pole sana mdogo wangu yote mambo ya mungu
[3]
nilikuwa na mwanzo mbaya wa siku . nilikwama katika jam mbaya njiani na nikakosa mkutano asubuhi.
[3]
Wewe huna tofauti na mbwa kwa maneno yako hayo.
[4]
Msichana huyo aliogopa alipoona mtu alikuja ambaye alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani mwake.
[6]