text
stringlengths 7
259
| labels
stringclasses 26
values |
---|---|
Mama alimtazama kwa huruma kabisa na kumtia moyo. | [3] |
Unataka kuniambia umefika hadi pale na hujaona chochote kile?? | [5] |
nani alokutuma kama siyo njaa zako tu ndo zilizokupeleka, huna adabu na akili kabsa | [2] |
Ha ha ha haa! Nimejikuta nacheka bila kutarajia. | [1] |
Daaaaah kweliii chadema kuna kichwaa | [1] |
Niliwahi kuwa kwenye hiyo kipindi sikuwa napata usingizi kabisa jioni yake baada ya siku 3 nadrive nilipata ajali mbaya sana! | [3] |
Duh!!! Ulichukua maamuzi magumu sana!!!!! | [3] |
Ni sawa hiyo? Ni kweli kuwa imeishinda ile ya zamani ? | [5] |
Kilichomponza yule mwanaume ni Pombe, wajameni msinywe kupita kiasi halafu muwatafutie watu lawama. | [4] |
Hata sielewi | [5] |
Barikiwa sana Millardayo kwa kutusogezea habari pendwa kama hii. | [1] |
Naona huu mkakati wa kujisafisha ni wa kiwango cha chini kupita maelezo. | [4] |
tatizo hapa siyo kujenga stand nzuri , swali la kujiuliza tunaweza kuzitunza zikaendelea kuonekana hivyo hivyo hata kwa miaka 5 tu ijayo ?. Na hapa ndyo utakapoelewa kwanini Tz inaitwa kichwa cha mwenda wazimu | [3] |
Kukata kwake tamaa kumesababisha kurudi nyuma kwa mambo mengi mno | [3] |
Ukianza kutoa takwimu za vifo unatia watu hofu na vifo vitaongezeka. Sasa ukisema UK wanatoa takwimu inasaidia nini kama vifo vinaongezeka? | [4] |
Kwanini wanikwaze mimi ninayetaka kuwa na laini moja ya voda? | [4, 5] |
Hii ni kubwa ! Ni kama kunywa maji ya chumvi ! Ni kama drowning katika bahari ! | [4] |
Dada hachanganyi English na kiswali na amekaa London sasa ukutane na mwakipesile hapa dar. Hutaamini | [5] |
Mungu ampumzishe kwa amani dooh kweli Dunia tunapita | [3] |
Poleni wafiwa, pumzika kwa amani? | [3] |
sipendi michezo ya kompyuta . | [4] |
usiniambie wewe ni bikira! moyo wake ukajifunga kama mnyama aliyejeruhiwa. | [3] |
kaka embu tuache tupo kwenye majonzi | [3] |
Aseee mama una moyo wewe , ila huyu mumeo ni roho mbaya inayomsumbua kumbe | [3] |
Nilidhani mmemkamata muhusika. | [5] |
Binadamu bwana ni kazi kwa kweli wanapenda Raha tu hamna kitu. | [2, 4] |
Wayne atakuwa wazi wakati anasikia. | [2] |
`Nina huzuni kubwa lakini ninafurahi kwamba mtu atachukua na kuleta kazi hizi katika eneo hilo. | [3] |
Ilikuwa uhakika. Sikuweza kula tonge lingine. | [3] |
Hawakuweza kuelewa kwa nini watu huko Uingereza walikuwa na wasiwasi sana. | [6] |
"Mbinguni ni pa zuri!" akasema huku akitazama juu mawinguni kwa tabasamu | [1] |
Muacheni aendelee kubweka na kutuchafulia nchi yetu..makelele ya chura hayazuii ng'ombe kunywa maji. | [4] |
Hutaamini nilichoshinda kazini leo! - Tiketi ya fainali NBA usiku huu. | [1] |
Bana. Hiyo story huwa nakumbuka nashangaa sana | [5] |
Duuu. Napita tu | [0] |
Analindwa kuliko rais! Upotevu wa pesa za walipa kodi | [4] |
Wanaogopa aibu, hata mimi Chelsea nilianza kuangalia kwa kujificha | [6] |
Oh! Nini haswa ndo tatizo maana siku mbili tatu hizi siwaelewi | [5] |
Na maneno yake yalisababisha ghasia za ajabu ndani yake. | [4] |
Nashangaa watu wana hofu na korona wakati jamaa kapona kwenye ajali, kufa kupo tu ila mpaka Mungu apende | [5, 6] |
Jamni, kwani kuna mtu anateseka??? | [5] |
Mmegombana tena?mtakuja hata kuuana ninyi hebu jaribuni kusuluhisha mambo yenu yaishe | [4] |
Bora mbunge mmoja angewakilisha majimbo hata 30. Ili fedha itumike kuwapa ajira walimu wengine. | [4] |
Heri ukose mali kuliko kukosa akili kama wewe | [4] |
Utafikiri kuna la maana linaaloenda kufanyika huko, ni hela tu wanataka hamna lolote la maana | [4] |
Sauti yake ilikuwa kali, lakini haikutushtua. | [6] |
Kwa nini usirudi kweu kijijini?? Pole sana | [3] |
Sasa dada nae akaanza kumlilia kaka yake maskini aliyerogwa | [3] |
Hasira iliyokuwa katika sauti yake ilimshtua. | [2] |
Hakuna mwamba wa kifo duniani isipokuwa Yesu kristo pekee ndiye MWAMBA | [0] |
Alielezea mara moja huzuni yake. | [3] |
Ni aibu! Sikuweza hata kusubiri kushuhudia huo ujinga kwakweli | [4] |
saleh acha usimba na uyanga kwani shaff hapo kakosea wapi???? | [5] |
Hukujua kuwa ni ya kwangu, kwa hiyo ukagawa. Hivi, una akili nzuri | [2] |
Mpuuzi arudi yanga tu au kama vipi arudie kazi yake ya utapeli kwenye habari. | [2, 4] |
Dah mbona mleta maada kaleta nusunusu. Sema tatizo la viongozi wengi ni unafiki. | [4] |
Nafahamu, Bw . Douglas . Lakini mimi kwa kweli naumwa sana . | [3] |
Akainamisha kichwa chake na moyo wake ukavunjika kwa uhitaji na hamu. | [3] |
My brother, pesa sio shida, ujinga na ulevi ndio sipendi | [2, 4] |
nina hofu mimi nimepata baridi kali. Nifanye nini ? | [3] |
Ndio mahakamazetu hizo jee uzalilishaji utaisha ? | [4] |
Hata mimi nimeshangaa????????. Kirusi ni kikubwa kupenya ktk seli za mtoto? | [5] |
jamaa ni muoga sana | [6] |
Mama anaonekana ana busara zaidi kuliko baba mwenyewe anyway kikubwa uhai | [1] |
Mumewe ametulia kaburini. | [3] |
Mjinga hapatwi na ajali!! | [6] |
Lakini maelewano ya Richard yalikuwa mafupi kwa sababu figo zake zilianza kutofaulu. | [1] |
Wew umeingia bungeni kufanyaje humo si ungebaki nyumbani kwako au ufungue kanisa uhubiri. | [5] |
Ajali magari 100 vifo 9 imagine ingekuwa kwetu | [3, 5] |
Alilia, "Hapana, hapana siwezi kuvumilia," akafungua dirisha lingine, kwa sababu matone ya jasho yalikuwa yakimtiririka kwenye paji la uso wake. | [3, 6] |
Kama karani alifikiria mambo haya yote, na akagundua mabadiliko makubwa katika hisia zake mwenyewe, akatabasamu ndotoni | [1] |
Sitaki kuwa na mtu wa aina hiyo, siwezi kumwamini na kumshirikisha mambo yangu | [4] |
Duuh mama mpole hadi raha | [1] |
@byjr1 Anajua anachokifanya! Hafanyi siasa anafanya biashara pia | [1] |
??Siwezi kamwe kukuacha udandie kwangu nikihangaika mtaani. Nendeni kuishi katika mtaa, sibanduki huku | [4] |
`Mbingu nzuri, hapana, mwanamke" jibu la kukasirisha lilikuja. | [2] |
Ni kweli anachotuambia? | [5] |
Umekutana na simba na ukasimama hakukufanya chochote??!! | [5] |
hawajatenda haki kabisa kukutangaza wewe kama mshindi | [2] |
najickia uchungu mkali sana watu wako jela kwa kusingiziwa. | [3] |
Kwa hiyo anaharibu anahamishwa!!! | [5] |
umponye huyu kijana na wote wenye matatizo | [3] |
Kwa kweli ni huzuni sana ...Mungu atushike mkono kuna mpasuko mkubwa hatujui nini kilichopo,nini kinakuja,kwanini imetokea hivi?. | [3] |
Uyu mama anaakili sana anajuwa kujielezea vizuri sana | [1] |
Oh, mambo vipi. Unaonekana nadhifu leo. | [1] |
anamtanguliza Mungu hadi raha | [1] |
sio kila aliyepo jela amekosea hii iwe funzo kwa mahakimu, hii ni dhambi ya hali ya juu. | [3] |
Hii uongo wa mchana kweupeeee | [4] |
aisee!! | [5] |
Yaan hii habari imenisikitisha jamani ukiangalia na sisi tuna watoto hii familia itakua ina ugomvi wa chini chini | [3] |
Ndugu yangu alianza kuwekeza fedha akikuwa na umri wa miaka 16 . | [1] |
Tumuombe Muumba atujaalie afya njena na awape pumziko jema wapendwa wetu waliotutoka. | [3] |
Jinsi gani imetokea? Yeye ni hivyo vipaji ! Nilidhani yeye alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda medali ya dhahabu ! | [5] |
Hpana baba, hatupunguzi zaidi ya hapo mana hiyo ni bei ya pungozu tayari. | [3] |
Hahaaa jamani nimekuelewa mama | [1] |
atabaki kuwa kunguni tu na hii ni sinema makhsusi ili kumsafisha kunguni huyu aweze kuishi na sisi huku tukimuamini ...? | [4] |
pole Sana baba. Roho yake ipumzike kwa amani | [3] |
Kwamba ni kubwa. Je, ni zawadi? | [5] |
Yani Kati ya askari kumi mmoja tu ndo sio muhatifu ndo desturi yao | [4] |
Kendall-Hume alirudi nyuma kuonana na wenzi hao waliofadhaika. | [6] |