input
stringlengths
5
25.1k
label
stringclasses
6 values
instructions-text
stringlengths
279
25.4k
TANZANIA imefanya maboresho makubwa na kutengeneza mazingira rahisi ya uwekezaji kwa ajili ya mtu yeyote kuwekeza nchini bila usumbufu. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameliambia Bunge jana kwamba miongoni mwa mazingira hayo ni pamoja kuweka mfumo wa kielektroniki, unaowezesha wawekezaji kuomba leseni, ardhi na ithibati ya uwekezaji kutoka popote walipo bila kulazimika kufika nchini.Alisema hayo wakati akijibu swali la papo kwa hapo la Mbunge wa Viti Maalumu, Jasmine Tiisekwa (CCM), aliyetaka kusikia kauli ya serikali kuhusu wawekezaji wanaosumbuliwa. “Serikali ya Awamu ya Tano imejielekeza katika uchumi wa viwanda na kuweka mazingira ya uwekezaji. Hata hivyo wawekezaji wengi wanasumbuliwa. Nini kauli ya serikali kuhusu suala hilo?” Alihoji Tiisekwa.Waziri Mkuu alisema ni kweli nchi imejikita katika kuboresha uchumi wake wa viwanda, ambavyo vinatoa fursa kwa Watanzania na mtu yeyote kutoka nje kuja kuwekeza. Akielezea maboresho yaliyofanyika, alisema awali serikali ilikuwa ikitumia Kituo cha Uwekezaji (TIC), lakini Rais ameanzisha wizara maalumu ya uwekezaji na kuteua waziri na katibu mkuu kusimamia uwekezaji kwa ukaribu zaidi, kuondoa usumbufu kwa wawekezaji.Januari mwaka huu Rais John Magufuli alimteua Angellah Kairuki kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji. Majaliwa alisema wamefikia hatua nzuri kwa kutengeneza andiko maalumu linaloonesha njia rahisi za uwekezaji nchini kuondoa usumbufu. Kituo cha Uwekezaji (TIC) kimeboreshwa kwa kukaribisha wizara zote zinazoguswa na uwekezaji kwa kuwa na mtu wao kuwezesha mwekezaji anapofika kupata huduma zote karibu. Alisema zipo takribani idara 11 za kuhudumia wawekezaji. Waziri mkuu alitaka wilaya na mikoa kutenga ardhi kwa ajili ya uwekezaji.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TANZANIA imefanya maboresho makubwa na kutengeneza mazingira rahisi ya uwekezaji kwa ajili ya mtu yeyote kuwekeza nchini bila usumbufu. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameliambia Bunge jana kwamba miongoni mwa mazingira hayo ni pamoja kuweka mfumo wa kielektroniki, unaowezesha wawekezaji kuomba leseni, ardhi na ithibati ya uwekezaji kutoka popote walipo bila kulazimika kufika nchini.Alisema hayo wakati akijibu swali la papo kwa hapo la Mbunge wa Viti Maalumu, Jasmine Tiisekwa (CCM), aliyetaka kusikia kauli ya serikali kuhusu wawekezaji wanaosumbuliwa. “Serikali ya Awamu ya Tano imejielekeza katika uchumi wa viwanda na kuweka mazingira ya uwekezaji. Hata hivyo wawekezaji wengi wanasumbuliwa. Nini kauli ya serikali kuhusu suala hilo?” Alihoji Tiisekwa.Waziri Mkuu alisema ni kweli nchi imejikita katika kuboresha uchumi wake wa viwanda, ambavyo vinatoa fursa kwa Watanzania na mtu yeyote kutoka nje kuja kuwekeza. Akielezea maboresho yaliyofanyika, alisema awali serikali ilikuwa ikitumia Kituo cha Uwekezaji (TIC), lakini Rais ameanzisha wizara maalumu ya uwekezaji na kuteua waziri na katibu mkuu kusimamia uwekezaji kwa ukaribu zaidi, kuondoa usumbufu kwa wawekezaji.Januari mwaka huu Rais John Magufuli alimteua Angellah Kairuki kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji. Majaliwa alisema wamefikia hatua nzuri kwa kutengeneza andiko maalumu linaloonesha njia rahisi za uwekezaji nchini kuondoa usumbufu. Kituo cha Uwekezaji (TIC) kimeboreshwa kwa kukaribisha wizara zote zinazoguswa na uwekezaji kwa kuwa na mtu wao kuwezesha mwekezaji anapofika kupata huduma zote karibu. Alisema zipo takribani idara 11 za kuhudumia wawekezaji. Waziri mkuu alitaka wilaya na mikoa kutenga ardhi kwa ajili ya uwekezaji. ### Response: KITAIFA ### End
NA AMON MTEGA-SONGEA JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Patrick Malindisa (29) mkazi wa Mtaa wa Namanyigu Manispaa ya Songea kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Athanasi Malindisa (70) kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani na kidevuni na kisha kutaka kuufukia kwenye shimo alilochimba ndani ya nyumba yao. Akizungumza na MTANZANIA jana mjini hapa mmoja wa wanafamilia ambaye ni mdogo wa marehemu Pius Malindisa, alisema walipata taarifa ya kifo cha ndugu yao Januari Mosi mwaka huu saa 1:30 jioni  kutoka kwa mtoto wa marehemu Patrick Malindisa. Alisema marehemu alikuwa akiishi na mtoto wake huyo ambapo baada ya kufanya mauji hayo alianza kuwaarifu ndugu kuwa amefariki kwa ugonjwa tumbo. Kutokana na taarifa hizo ndugu walikusanyika nyumbani kwa marehemu ambapo baada ya kuingia ndani walikuta akiwa amelala ndipo walipowaita viongozi wa mtaa na baada ya kufunua walibaini marehemu ameuawa kwa kupinga na kitu chenye ncha kali kichwani na kidevuni. “Baada ya kufanyika kwa uchunguzi wa awali tulitoa taarifa polisi ambapo walifika na kuuchukua mwili kwa uchunguzi zaidi. Na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma huku mtoto wake akishikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi. “Tulipofika hapa tulikuta shimo limechimbwa ndani ya nyumba na inaelekea lilimshinda na kuamua kuanza kutoa taarifa kwetu ambapo alidai alikuwa anaumwa ugonjwa wa tumbo,” alisema Pius MTANZANIA ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo kwa sasa wanamshikilia mtoto wa marehemu, Patrick Malindisa kwa uchunguzi zaidi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA AMON MTEGA-SONGEA JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Patrick Malindisa (29) mkazi wa Mtaa wa Namanyigu Manispaa ya Songea kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Athanasi Malindisa (70) kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani na kidevuni na kisha kutaka kuufukia kwenye shimo alilochimba ndani ya nyumba yao. Akizungumza na MTANZANIA jana mjini hapa mmoja wa wanafamilia ambaye ni mdogo wa marehemu Pius Malindisa, alisema walipata taarifa ya kifo cha ndugu yao Januari Mosi mwaka huu saa 1:30 jioni  kutoka kwa mtoto wa marehemu Patrick Malindisa. Alisema marehemu alikuwa akiishi na mtoto wake huyo ambapo baada ya kufanya mauji hayo alianza kuwaarifu ndugu kuwa amefariki kwa ugonjwa tumbo. Kutokana na taarifa hizo ndugu walikusanyika nyumbani kwa marehemu ambapo baada ya kuingia ndani walikuta akiwa amelala ndipo walipowaita viongozi wa mtaa na baada ya kufunua walibaini marehemu ameuawa kwa kupinga na kitu chenye ncha kali kichwani na kidevuni. “Baada ya kufanyika kwa uchunguzi wa awali tulitoa taarifa polisi ambapo walifika na kuuchukua mwili kwa uchunguzi zaidi. Na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma huku mtoto wake akishikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi. “Tulipofika hapa tulikuta shimo limechimbwa ndani ya nyumba na inaelekea lilimshinda na kuamua kuanza kutoa taarifa kwetu ambapo alidai alikuwa anaumwa ugonjwa wa tumbo,” alisema Pius MTANZANIA ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo kwa sasa wanamshikilia mtoto wa marehemu, Patrick Malindisa kwa uchunguzi zaidi. ### Response: KITAIFA ### End
JANETH MUSHI-ARUSHA KIGOGO anayefanya kazi katika Taasisi ya kusimamia na kudhibiti Viuatilifu Tanzania(TPRI),Aristerico Silayo, anayedaiwa kumbaka mtoto wake amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuamuru shauri lililokuwa likimkabili lianze upya. Mahakama hiyo jana ilipanga kutoa  hukumu katika rufaa ya  kesi ya mwanafunzi wa miaka 11 anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi (Silayo). Rufaa  hiyo iliwasilishwa na upande wa Jamhuri Mahakama Kuu ya Tanzania,Kanda ya Arusha mbele ya Jaji Yohane Masara, baada ya kutokuridhishwa na hukumu iliyotolewa na Mahakama hiyo ya Hakimu Mkazi. Rufaa hiyo iliyotokana na shauri namba 339,2017, ilisikilizwa katika mahakama hiyo ya chini katika kikao maalum baada ya mahakimu kupewa (extended jurisdiction),kusikiliza kesi za Rufaa zilizopangwa kusikilizwa na Mahakama Kuu, ili zitolewe uamuzi haraka. Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Aziza Temu jana Jamhuri iliwakilishwa na Wakili Mweteni Azael huku mtuhumiwa huyo akiwakilishwa na Wakili John Shirima. Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Aziza alisema Mahakama hiyo inatupilia mbali mwenendo wa shauri hilo lililosikilizwa awali na kuamuru lianze kusikilizwa upya kwa Hakimu mwingine ili haki ipatikane kwa pande zote mbili na kuwa shauri hilo linapaswa kusikilziwa kwa haraka kwani limekaa mahakamani muda mrefu. Alisema baada ya kupitia mwenendo wa shauri hilo, mahakama hiyo inajielekeza katika taratibu zilizotumika kuliendesha ambapo usikilizwaji wa awali ulikuwa kinyume na Sheria ya Ushahidi nchini iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2006. “Tukitazama mwenendo huo tunaona Hakimu alimuuliza mhanga maswali mengi ya kutaka kujiridhisha, nadhani alipaswa kuweka maswali machache na kumwongoza mtoto huyo kuahidi kusema ukweli. “Hakimu alipuuzia marekebisho ya sheria hiyo ambayo yanasema mtoto mdogo anaweza kutoa ushahidi bila kuchukuliwa kiapo,” “Kwa msingi wa sheria hiyo mahakama ya awali ilipaswa kumruhusu mhanga kusema ukweli mahakamani, hiyo ilisababisha kufifisha haki ya pande zote mbili,”alisema hakimu “Mahakama hii inaona nafuu pekee inayoweza kupatikana na haki ionekane bado nashawishika ili haki ionekane imetendeka kuna haja ya shauri hili kuanza kusikilizwa upya kwa hakimu mwingine, natupilia mbali mwenendo wa shauri hili na mrufani arudi mahakama ya awali kesi ianze kusikilizwa,”aliongeza. Awali kabla ya kusoma hukumu hiyo, hakimu huyo alisema baada ya kupitia hoja za pande zote mbili, Jamhuri walidai ushahidi wa mhanga, daktari aliyemfanyia uchunguzi pamoja na mwalimu aliyegundua mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo ulikuwa ukifanana na ulikuwa unatosheleza kumtia mjibu rufaa hatiani kwani ulikuwa wazi kuwa alikuwa akimwingilia binti yake. Alisema katika mawasilisho wakili wa utetezi alidai kesi hiyo ni ya kutunga na ilikuwa akitengenezwa huku akidai kulikuwa na mkanganyiko wa baadhi mashahidi wa jamhuri. Baada ya uamuzi huo mtuhumiwa huyo alikamatwa na jeshi la polisi na kupelekwa kituo cha kikuu cha polisi mkoani hapa ambapo katika rufaa hiyo jamhuri wanapinga hukumu iliyotolewa Desemba 14 mwaka jana katika shauri namba 339 la mwaka 2017 iliyotolewa na Hakimu Mkazi Gwantwa Mwankuga. Awali Juni 27, mwaka huu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Adelardus Kilangi, alisema ofisi yake inafuatilia sakata la mtoto huyo anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi, ambaye licha ya kubainika ana makosa aliachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JANETH MUSHI-ARUSHA KIGOGO anayefanya kazi katika Taasisi ya kusimamia na kudhibiti Viuatilifu Tanzania(TPRI),Aristerico Silayo, anayedaiwa kumbaka mtoto wake amekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuamuru shauri lililokuwa likimkabili lianze upya. Mahakama hiyo jana ilipanga kutoa  hukumu katika rufaa ya  kesi ya mwanafunzi wa miaka 11 anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi (Silayo). Rufaa  hiyo iliwasilishwa na upande wa Jamhuri Mahakama Kuu ya Tanzania,Kanda ya Arusha mbele ya Jaji Yohane Masara, baada ya kutokuridhishwa na hukumu iliyotolewa na Mahakama hiyo ya Hakimu Mkazi. Rufaa hiyo iliyotokana na shauri namba 339,2017, ilisikilizwa katika mahakama hiyo ya chini katika kikao maalum baada ya mahakimu kupewa (extended jurisdiction),kusikiliza kesi za Rufaa zilizopangwa kusikilizwa na Mahakama Kuu, ili zitolewe uamuzi haraka. Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Aziza Temu jana Jamhuri iliwakilishwa na Wakili Mweteni Azael huku mtuhumiwa huyo akiwakilishwa na Wakili John Shirima. Akisoma hukumu hiyo, Hakimu Aziza alisema Mahakama hiyo inatupilia mbali mwenendo wa shauri hilo lililosikilizwa awali na kuamuru lianze kusikilizwa upya kwa Hakimu mwingine ili haki ipatikane kwa pande zote mbili na kuwa shauri hilo linapaswa kusikilziwa kwa haraka kwani limekaa mahakamani muda mrefu. Alisema baada ya kupitia mwenendo wa shauri hilo, mahakama hiyo inajielekeza katika taratibu zilizotumika kuliendesha ambapo usikilizwaji wa awali ulikuwa kinyume na Sheria ya Ushahidi nchini iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2006. “Tukitazama mwenendo huo tunaona Hakimu alimuuliza mhanga maswali mengi ya kutaka kujiridhisha, nadhani alipaswa kuweka maswali machache na kumwongoza mtoto huyo kuahidi kusema ukweli. “Hakimu alipuuzia marekebisho ya sheria hiyo ambayo yanasema mtoto mdogo anaweza kutoa ushahidi bila kuchukuliwa kiapo,” “Kwa msingi wa sheria hiyo mahakama ya awali ilipaswa kumruhusu mhanga kusema ukweli mahakamani, hiyo ilisababisha kufifisha haki ya pande zote mbili,”alisema hakimu “Mahakama hii inaona nafuu pekee inayoweza kupatikana na haki ionekane bado nashawishika ili haki ionekane imetendeka kuna haja ya shauri hili kuanza kusikilizwa upya kwa hakimu mwingine, natupilia mbali mwenendo wa shauri hili na mrufani arudi mahakama ya awali kesi ianze kusikilizwa,”aliongeza. Awali kabla ya kusoma hukumu hiyo, hakimu huyo alisema baada ya kupitia hoja za pande zote mbili, Jamhuri walidai ushahidi wa mhanga, daktari aliyemfanyia uchunguzi pamoja na mwalimu aliyegundua mtoto huyo alikuwa akifanyiwa ukatili huo ulikuwa ukifanana na ulikuwa unatosheleza kumtia mjibu rufaa hatiani kwani ulikuwa wazi kuwa alikuwa akimwingilia binti yake. Alisema katika mawasilisho wakili wa utetezi alidai kesi hiyo ni ya kutunga na ilikuwa akitengenezwa huku akidai kulikuwa na mkanganyiko wa baadhi mashahidi wa jamhuri. Baada ya uamuzi huo mtuhumiwa huyo alikamatwa na jeshi la polisi na kupelekwa kituo cha kikuu cha polisi mkoani hapa ambapo katika rufaa hiyo jamhuri wanapinga hukumu iliyotolewa Desemba 14 mwaka jana katika shauri namba 339 la mwaka 2017 iliyotolewa na Hakimu Mkazi Gwantwa Mwankuga. Awali Juni 27, mwaka huu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Adelardus Kilangi, alisema ofisi yake inafuatilia sakata la mtoto huyo anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi, ambaye licha ya kubainika ana makosa aliachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. ### Response: KITAIFA ### End
DORTMUND, UJERUMANI SHABIKI wa klabu ya Borussia Dortmund, amefariki dunia juzi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mainz 05, kwenye Uwanja wa Signal Park. Katika mchezo huo, Dortmund ilifanikiwa kushinda mabao 2-0 ambayo yalifungwa na Marco Reus pamoja na mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Shinji Kagawa, lakini hakushangilia kutokana na kifo cha shabiki huyo. Shabiki huyo alipoteza maisha katika dakika ya 30 ya mchezo huo baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo. Taarifa ya kifo cha shabiki huyo zilienea ndani ya dakika 15 ambapo idadi kubwa ya mashabiki walipata taarifa hadi kufikia wakati wa mapumziko. Kipindi cha pili kilipoanza wachezaji wote pamoja na mashabiki walisimama kwa ajili ya kufanya maombi ya kifo hicho. Hata hivyo, shabiki mwingine alikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu baada ya kupoteza fahamu kutokana na mshtuko wa moyo, lakini hali yake inadaiwa kuendelea vizuri. Rais wa klabu ya Dortmund, Reinhard Rauball, kupitia mtandao wa klabu hiyo ametuma salamu za pole kwa familia ya marehemu na mashabiki wote kwa ujumla.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- DORTMUND, UJERUMANI SHABIKI wa klabu ya Borussia Dortmund, amefariki dunia juzi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mainz 05, kwenye Uwanja wa Signal Park. Katika mchezo huo, Dortmund ilifanikiwa kushinda mabao 2-0 ambayo yalifungwa na Marco Reus pamoja na mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Shinji Kagawa, lakini hakushangilia kutokana na kifo cha shabiki huyo. Shabiki huyo alipoteza maisha katika dakika ya 30 ya mchezo huo baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo. Taarifa ya kifo cha shabiki huyo zilienea ndani ya dakika 15 ambapo idadi kubwa ya mashabiki walipata taarifa hadi kufikia wakati wa mapumziko. Kipindi cha pili kilipoanza wachezaji wote pamoja na mashabiki walisimama kwa ajili ya kufanya maombi ya kifo hicho. Hata hivyo, shabiki mwingine alikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu baada ya kupoteza fahamu kutokana na mshtuko wa moyo, lakini hali yake inadaiwa kuendelea vizuri. Rais wa klabu ya Dortmund, Reinhard Rauball, kupitia mtandao wa klabu hiyo ametuma salamu za pole kwa familia ya marehemu na mashabiki wote kwa ujumla. ### Response: MICHEZO ### End
LONDON, ENGLAND   NYOTA wa zamani ambaye aliwika katika klabu ya Liverpool na Tottenham, Jamie Redknapp, amedai bao la mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud, bado halijafikia kuingia katika mabao 20 bora yaliyowahi kufungwa kwenye soka. Giroud amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii wiki hii baada ya kufunga bao mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Crystal Palace, huku Arsenal ikishinda mabao 2-0. Bao hilo ambalo lilipewa jina la ‘scorpion kick’, halina tofauti kubwa na lile ambalo lilifungwa na kiungo wa Man United, Henrikh Mkhitaryan, Desemba 26, mwaka jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Sunderland, tofauti ya bao hilo ni kwamba, Giroud la kwake lilianza kugonga mwamba huku Mkhitaryan likiingia moja kwa moja wavuni. Lakini kwa upande wa Redknapp, amedai kuwa bao la Giroud ni bora ila haliwezi kuingia katika orodha ya mabao 20 bora duniani ambayo yaliwahi kufungwa. “Bao la Giroud la ‘scorpion kick’ dhidi ya Crystal Palace ni bao bora ambalo sijaliona kwa hivi karibuni. Hakuna hata mmoja ambaye alidhani kama mchezaji huyo angeweza kufanya vile. “Sina tatizo lolote na Giroud, lakini ukweli ni kwamba bao hilo halinifanyi niliweke kwenye orodha ya mabao 20 bora katika michuano ya ligi kuu. Ukweli ni kwamba, Giroud alikuwa na bahati kwa kuwa hakudhani kama mpira atapigiwa kwa nyuma. “Hata kama ni bao bora lakini siwezi kulilinganisha na lile ambalo aliwahi kulifunga Thierry Henry katika mchezo dhidi ya Manchester United au bao ambalo alilifunga Wayne Rooney dhidi ya Manchester City pamoja na lile ambalo alilifunga Dele Alli mwaka jana dhidi ya Crystal Palacem pamoja na orodha kubwa ambayo ninaweza kuitaja,” alisema Redknapp. Hata hivyo, kwa upande wa Giroud mwenyewe alidai kuwa anaamini ilikuwa ni bahati kuweza kufunga bao la aina hiyo, ila anashukuru kuwa ameisaidia timu yake kujipatia alama tatu katika msimamo wa ligi kuu nchini England.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, ENGLAND   NYOTA wa zamani ambaye aliwika katika klabu ya Liverpool na Tottenham, Jamie Redknapp, amedai bao la mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud, bado halijafikia kuingia katika mabao 20 bora yaliyowahi kufungwa kwenye soka. Giroud amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii wiki hii baada ya kufunga bao mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Crystal Palace, huku Arsenal ikishinda mabao 2-0. Bao hilo ambalo lilipewa jina la ‘scorpion kick’, halina tofauti kubwa na lile ambalo lilifungwa na kiungo wa Man United, Henrikh Mkhitaryan, Desemba 26, mwaka jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Sunderland, tofauti ya bao hilo ni kwamba, Giroud la kwake lilianza kugonga mwamba huku Mkhitaryan likiingia moja kwa moja wavuni. Lakini kwa upande wa Redknapp, amedai kuwa bao la Giroud ni bora ila haliwezi kuingia katika orodha ya mabao 20 bora duniani ambayo yaliwahi kufungwa. “Bao la Giroud la ‘scorpion kick’ dhidi ya Crystal Palace ni bao bora ambalo sijaliona kwa hivi karibuni. Hakuna hata mmoja ambaye alidhani kama mchezaji huyo angeweza kufanya vile. “Sina tatizo lolote na Giroud, lakini ukweli ni kwamba bao hilo halinifanyi niliweke kwenye orodha ya mabao 20 bora katika michuano ya ligi kuu. Ukweli ni kwamba, Giroud alikuwa na bahati kwa kuwa hakudhani kama mpira atapigiwa kwa nyuma. “Hata kama ni bao bora lakini siwezi kulilinganisha na lile ambalo aliwahi kulifunga Thierry Henry katika mchezo dhidi ya Manchester United au bao ambalo alilifunga Wayne Rooney dhidi ya Manchester City pamoja na lile ambalo alilifunga Dele Alli mwaka jana dhidi ya Crystal Palacem pamoja na orodha kubwa ambayo ninaweza kuitaja,” alisema Redknapp. Hata hivyo, kwa upande wa Giroud mwenyewe alidai kuwa anaamini ilikuwa ni bahati kuweza kufunga bao la aina hiyo, ila anashukuru kuwa ameisaidia timu yake kujipatia alama tatu katika msimamo wa ligi kuu nchini England. ### Response: MICHEZO ### End
NA JESSCA NANGAWE WAKATI kipa wa Simba, Said Mohammed Nduda akitarajiwa kuondoka wiki ijayo kuelekea India kwa matibabu, beki wa timu hiyo, Shomary Kapombe, atarejea uwanjani kuanza mazoezi mepesi. Kapombe na Nduda ameendelea kukosa mechi za awali za Ligi Luu kutokana na kuwa majeruhi tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa Simba, Haji Manara, alisema Kapombe anatarajia kuanza mazoezi wiki ijayo, baada ya kumaliza matibabu yake kutokana na majeraha aliyopata wakati akitumikia timu ya Taifa (Taifa Stars). “Kapombe anaendelea vyema na matibabu na kwa mujibu wa daktari atakuwa fiti kuanzia Jumatatu, anaweza kuanza mazoezi mepesi ili kurudi kwenye kiwango chake kama kawaida,” alisema Manara. Alisema kwa upande wa Nduda, ataelekea nchini India mara baada ya taratibu za safari na hospitali atakapofikia kukamilika. Kipa huyo bora wa michuano ya COSAFA mwaka huu nchini Afrika Kusini alisajiliwa na Simba akitokea Mtibwa, aliumia katika kambi ya Zanzibar wakati wakijiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu wao, Yanga. Wachezaji hao tangu wasajiliwe na klabu hiyo hawajawahi kuitumikia timu hiyo katika michezo yake ya ligi, kutokana na kuwa majeruhi.  
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA JESSCA NANGAWE WAKATI kipa wa Simba, Said Mohammed Nduda akitarajiwa kuondoka wiki ijayo kuelekea India kwa matibabu, beki wa timu hiyo, Shomary Kapombe, atarejea uwanjani kuanza mazoezi mepesi. Kapombe na Nduda ameendelea kukosa mechi za awali za Ligi Luu kutokana na kuwa majeruhi tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa Simba, Haji Manara, alisema Kapombe anatarajia kuanza mazoezi wiki ijayo, baada ya kumaliza matibabu yake kutokana na majeraha aliyopata wakati akitumikia timu ya Taifa (Taifa Stars). “Kapombe anaendelea vyema na matibabu na kwa mujibu wa daktari atakuwa fiti kuanzia Jumatatu, anaweza kuanza mazoezi mepesi ili kurudi kwenye kiwango chake kama kawaida,” alisema Manara. Alisema kwa upande wa Nduda, ataelekea nchini India mara baada ya taratibu za safari na hospitali atakapofikia kukamilika. Kipa huyo bora wa michuano ya COSAFA mwaka huu nchini Afrika Kusini alisajiliwa na Simba akitokea Mtibwa, aliumia katika kambi ya Zanzibar wakati wakijiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu wao, Yanga. Wachezaji hao tangu wasajiliwe na klabu hiyo hawajawahi kuitumikia timu hiyo katika michezo yake ya ligi, kutokana na kuwa majeruhi.   ### Response: MICHEZO ### End
Na IBRAHIM YASSIN-NKASI MATUMAINI ya kupata mavuno mengi ya mahindi katika Wilaya ya Nkasi, mkoani Rukwa, yameanza kupotea baada ya wadudu waharibifu wa mazao aina ya viwavi jeshi kuvamia mashamba ya wakulima na kuyaharibu vibaya. Wadudu hao wamekuwa wakiharibu zaidi mazao ya mahindi kwa kula majani, kitoto cha mahindi na mbelewele kiasi cha mahindi hayo kushindwa kuzaa. Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Ofisa Kilimo Umwagiliaji na Ushirika wa Wilaya, Permin Matumizi, alisema wadudu hao wameingia wilayani Nkasi bila wakulima kugundua, wakifikiri kuwa ni wadudu aina ya zongoli na walishitushwa baada ya kuona wadudu hao hawafi kwa dawa za kawaida walizozoea kuwaulia wadudu hao. Alisema baada ya kupata taarifa hizo kwa wakulima, wataalamu walibaini kuwa, wadudu hao ni viwavi jeshi ambao umbo lao ni kama la zongoli na kwa kitaalamu wanaitwa ‘maize stalkborer-heliothisspp’ na kuwa eneo lililoathirika zaidi ni katika vijiji vya Itekesya na Ntemba, vilivyoko katika Kata ya Kate. Alifafanua kuwa, wadudu hao ni hatari sana na zinahitajika juhudi za makusudi za kuhakikisha wanadhibitiwa mapema ili kuweza kuyanusuru mazao katika msimu huu wa kilimo wa 2017-18, ili baa la njaa lisije kutokea wilayani humo. Alisema mpaka sasa jitihada za Serikali zimefanyika kuhakikisha dawa za kuulia wadudu hao zinapatikana kwa wingi katika maduka yote ya pembejeo za kilimo na dawa sambamba na wakulima kushauriwa kuwatumia wataalamu wa kilimo katika kukabiliana na wadudu hao. Matumizi amewataka wakulima kushirikiana na wataalamu wa kilimo kufanya ukaguzi wa kina wa mashamba yote ili kuweza kubaini uwepo wa wadudu hao ili waweze kushirikiana katika kumaliza tatizo hilo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na IBRAHIM YASSIN-NKASI MATUMAINI ya kupata mavuno mengi ya mahindi katika Wilaya ya Nkasi, mkoani Rukwa, yameanza kupotea baada ya wadudu waharibifu wa mazao aina ya viwavi jeshi kuvamia mashamba ya wakulima na kuyaharibu vibaya. Wadudu hao wamekuwa wakiharibu zaidi mazao ya mahindi kwa kula majani, kitoto cha mahindi na mbelewele kiasi cha mahindi hayo kushindwa kuzaa. Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kaimu Ofisa Kilimo Umwagiliaji na Ushirika wa Wilaya, Permin Matumizi, alisema wadudu hao wameingia wilayani Nkasi bila wakulima kugundua, wakifikiri kuwa ni wadudu aina ya zongoli na walishitushwa baada ya kuona wadudu hao hawafi kwa dawa za kawaida walizozoea kuwaulia wadudu hao. Alisema baada ya kupata taarifa hizo kwa wakulima, wataalamu walibaini kuwa, wadudu hao ni viwavi jeshi ambao umbo lao ni kama la zongoli na kwa kitaalamu wanaitwa ‘maize stalkborer-heliothisspp’ na kuwa eneo lililoathirika zaidi ni katika vijiji vya Itekesya na Ntemba, vilivyoko katika Kata ya Kate. Alifafanua kuwa, wadudu hao ni hatari sana na zinahitajika juhudi za makusudi za kuhakikisha wanadhibitiwa mapema ili kuweza kuyanusuru mazao katika msimu huu wa kilimo wa 2017-18, ili baa la njaa lisije kutokea wilayani humo. Alisema mpaka sasa jitihada za Serikali zimefanyika kuhakikisha dawa za kuulia wadudu hao zinapatikana kwa wingi katika maduka yote ya pembejeo za kilimo na dawa sambamba na wakulima kushauriwa kuwatumia wataalamu wa kilimo katika kukabiliana na wadudu hao. Matumizi amewataka wakulima kushirikiana na wataalamu wa kilimo kufanya ukaguzi wa kina wa mashamba yote ili kuweza kubaini uwepo wa wadudu hao ili waweze kushirikiana katika kumaliza tatizo hilo. ### Response: KITAIFA ### End
Timu ya JKT Tanzania imefanikiwa kuwazuia Mabingwa watetezi wa Simba kuendelea kutamba baada ya kuipachika goli moja kwa bila. Dakika ya 27 ya Mchezo huo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara JKT walifanikiwa kupata goli baada ya Adam Adam kufunga goli la Kichwa. Bao la Adam Adam akiifungua milango ya Simba dakika ya 25. 55' | Simba SC 0-1 JKT Tanzania. LIVE #AzamSports2 . . #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SSC #JKTTanzania #SimbaJKT @simbasctanzania @hajismanara @baraka_mpenja A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Feb 7, 2020 at 6:18am PST Hata hivyo unaweza kusema waamzi waliongeza umakini zaidi katika mipira ya kuotea upande wa Simba jambo ambalo wengine wanasema kuna wakati ilionewa. Kwa matokeo hayo Simba ambayo leo ilicheza katika kiwango kizuri inaendelea kuwa kileleleni na alama zake 50 katika michezo 20. Je kipigo cha Simba kinahusiana na hatua ya TFF kuwaadhibu baadhi ya waamuzi kwa kuchezasha vibaya.? Tuandikie maoni yako hapo chini.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Timu ya JKT Tanzania imefanikiwa kuwazuia Mabingwa watetezi wa Simba kuendelea kutamba baada ya kuipachika goli moja kwa bila. Dakika ya 27 ya Mchezo huo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara JKT walifanikiwa kupata goli baada ya Adam Adam kufunga goli la Kichwa. Bao la Adam Adam akiifungua milango ya Simba dakika ya 25. 55' | Simba SC 0-1 JKT Tanzania. LIVE #AzamSports2 . . #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SSC #JKTTanzania #SimbaJKT @simbasctanzania @hajismanara @baraka_mpenja A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Feb 7, 2020 at 6:18am PST Hata hivyo unaweza kusema waamzi waliongeza umakini zaidi katika mipira ya kuotea upande wa Simba jambo ambalo wengine wanasema kuna wakati ilionewa. Kwa matokeo hayo Simba ambayo leo ilicheza katika kiwango kizuri inaendelea kuwa kileleleni na alama zake 50 katika michezo 20. Je kipigo cha Simba kinahusiana na hatua ya TFF kuwaadhibu baadhi ya waamuzi kwa kuchezasha vibaya.? Tuandikie maoni yako hapo chini. ### Response: MICHEZO ### End
KATIBU Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) Godfrey Mngereza ame- sema Tamasha la Utama- duni la Afrika Mashariki (JAMEFEST) limetoa elimu na kuwanufaisha watu wengi kiuchumi na kisiasa. Akizungumza na gazeti hili Mngereza alisema mbali na wajasiriamali waliotumia fursa kuuza bidhaa zao pia, kuna hoteli na watu wa usafiri na utalii lakini pia Mama Ntilie walionufaika kupitia wageni mbalimbali kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki.“Wengi wamenufaika tumeona bidhaa mbalimbali, watu wameuza kupitia tamasha, kuna watu wa tax, bodaboda ambao wamepata wateja, kuna vikundi vya wasanii navyo vimetumikia jukwaa kujitangaza pia, “alisema. Mngereza alisema alichokifurahia zaidi ni kuona makundi tofauti yameshirikishwa waki- wemo watu wenye ulemavu, ambao wameonesha uwezo mkubwa katika ubunifu wa sanaa za mikono hali iliyovu- tia kununua bidhaa zao. Alisema kwa kile alichokiona anahimiza umuhimu wa jamii ku- towafungia watoto wenye ulemavu ndani badala yake wafundishwe sanaa za mikono ziwasaidie kujik- wamua kiuchumi. “Naamini kabisa wenye ulemavu kutokana na uwezo wao wakifundishwa sanaa za mikono wanaweza kufanya mambo makubwa, jambo la muhimu wasiwa- fungie watoto ndani kwa kuona aibu, wawatoe na kuwaelimisha watafanikiwa kiuchumi, “alisema. Katibu huyo alisema ku- pitia tamasha watu wameb- adilishana uzoefu, wame- jenga mtandao, wamejifunza tamaduni za kila nchi hivyo, ushirikiano huo wa Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki utaendelea kudumu na kuimarisha uchumi wa nchi hizo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KATIBU Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) Godfrey Mngereza ame- sema Tamasha la Utama- duni la Afrika Mashariki (JAMEFEST) limetoa elimu na kuwanufaisha watu wengi kiuchumi na kisiasa. Akizungumza na gazeti hili Mngereza alisema mbali na wajasiriamali waliotumia fursa kuuza bidhaa zao pia, kuna hoteli na watu wa usafiri na utalii lakini pia Mama Ntilie walionufaika kupitia wageni mbalimbali kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki.“Wengi wamenufaika tumeona bidhaa mbalimbali, watu wameuza kupitia tamasha, kuna watu wa tax, bodaboda ambao wamepata wateja, kuna vikundi vya wasanii navyo vimetumikia jukwaa kujitangaza pia, “alisema. Mngereza alisema alichokifurahia zaidi ni kuona makundi tofauti yameshirikishwa waki- wemo watu wenye ulemavu, ambao wameonesha uwezo mkubwa katika ubunifu wa sanaa za mikono hali iliyovu- tia kununua bidhaa zao. Alisema kwa kile alichokiona anahimiza umuhimu wa jamii ku- towafungia watoto wenye ulemavu ndani badala yake wafundishwe sanaa za mikono ziwasaidie kujik- wamua kiuchumi. “Naamini kabisa wenye ulemavu kutokana na uwezo wao wakifundishwa sanaa za mikono wanaweza kufanya mambo makubwa, jambo la muhimu wasiwa- fungie watoto ndani kwa kuona aibu, wawatoe na kuwaelimisha watafanikiwa kiuchumi, “alisema. Katibu huyo alisema ku- pitia tamasha watu wameb- adilishana uzoefu, wame- jenga mtandao, wamejifunza tamaduni za kila nchi hivyo, ushirikiano huo wa Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki utaendelea kudumu na kuimarisha uchumi wa nchi hizo. ### Response: MICHEZO ### End
Mkali huyo aliyetua JKT Ruvu msimu huu akitokea Azam FC, alisema ana imani kubwa na kocha mpya Abdalaah Kibadeni kutokana na uwezo wa ufundishaji aliokuwa nao, hivyo kutua kwake kutabadili mwenendo wao mbovu walioanza nao msimu huu.“Namfahamu Kibadeni ni kocha mwenye uwezo mkubwa wa kufundisha, naamini anaweza kutusaidia na kupata matokeo mazuri kwenye mechi zote ila kikubwa sisi wachezaji tumpe ushirikiano ili tuweze kumrahisishia kazi yake,” alisema Mwaikimba.Mshambuliaji huyo alisema kufanya vibaya kwa timu hiyo hakutokani na ubovu wa kocha aliyeondolewa Fredy Minziro , bali ni hali ya kawaida ambayo inaweza kuitokea timu yoyote zikiwemo kubwa za Simba, Yanga na Azam.Alisema Minziro alikosa bahati licha ya kuijenga timu hiyo kwa kufanya usajili mzuri wa wachezaji wengi wenye umri mdogo, lakini alikosa bahati kutokana na kufanya vibaya mechi nne za mwanzo na kuamua kuachia ngazi.Mwaikimba aliwataka wachezaji wenzake kuhakikisha wanajituma na kumpa ushirikiano wa kutosha kocha wao mpya Kibadeni ili kuzinduka katika usingizi mzito na kuanza kufanya vizuri kwenye mechi za Ligi Kuu zinazoendelea nchini.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mkali huyo aliyetua JKT Ruvu msimu huu akitokea Azam FC, alisema ana imani kubwa na kocha mpya Abdalaah Kibadeni kutokana na uwezo wa ufundishaji aliokuwa nao, hivyo kutua kwake kutabadili mwenendo wao mbovu walioanza nao msimu huu.“Namfahamu Kibadeni ni kocha mwenye uwezo mkubwa wa kufundisha, naamini anaweza kutusaidia na kupata matokeo mazuri kwenye mechi zote ila kikubwa sisi wachezaji tumpe ushirikiano ili tuweze kumrahisishia kazi yake,” alisema Mwaikimba.Mshambuliaji huyo alisema kufanya vibaya kwa timu hiyo hakutokani na ubovu wa kocha aliyeondolewa Fredy Minziro , bali ni hali ya kawaida ambayo inaweza kuitokea timu yoyote zikiwemo kubwa za Simba, Yanga na Azam.Alisema Minziro alikosa bahati licha ya kuijenga timu hiyo kwa kufanya usajili mzuri wa wachezaji wengi wenye umri mdogo, lakini alikosa bahati kutokana na kufanya vibaya mechi nne za mwanzo na kuamua kuachia ngazi.Mwaikimba aliwataka wachezaji wenzake kuhakikisha wanajituma na kumpa ushirikiano wa kutosha kocha wao mpya Kibadeni ili kuzinduka katika usingizi mzito na kuanza kufanya vizuri kwenye mechi za Ligi Kuu zinazoendelea nchini. ### Response: MICHEZO ### End
Promosheni hiyo itakayojulikana kama ‘Pata Patia na NMB’ itadumu kwa miezi sita, ina lengo la kuhamasisha wateja kujiwekea akiba katika akaunti zao na kuweza kujishindia fedha.Kaimu Mkuu Kitengo cha wateja binafsi, Boma Raballa alisema “NMB imeanzisha promosheni hii kwa lengo maalumu la kuhamasisha wateja wake kujiwekea akiba katika akaunti zao”.Alisema pia wateja wapya kujiunga na NMB kwa kufungua akaunti na kuweka akiba huku wakiwa na nafasi kubwa ya kujishindia fedha.Raballa alisema mteja anatakiwa kuweka kiasi kisichopungua Sh 50,000 na kuweza kujishindia kuanzia Sh 100,000 hadi Sh milioni tatu papo hapo.“Tunatarajia kuwafikia washindi 144 kwa miezi sita na tukimpata mshindi atapigiwa simu na ataelekezwa namna ya kushiriki promosheni hiyo,” alisema.Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa NMB, Rahma Mwapachu alisema “Tayari tumepata kibali kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha na tuna imani shindano hili litawanufaisha wengi na kufikia malengo yao waliyojiwekea”.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Promosheni hiyo itakayojulikana kama ‘Pata Patia na NMB’ itadumu kwa miezi sita, ina lengo la kuhamasisha wateja kujiwekea akiba katika akaunti zao na kuweza kujishindia fedha.Kaimu Mkuu Kitengo cha wateja binafsi, Boma Raballa alisema “NMB imeanzisha promosheni hii kwa lengo maalumu la kuhamasisha wateja wake kujiwekea akiba katika akaunti zao”.Alisema pia wateja wapya kujiunga na NMB kwa kufungua akaunti na kuweka akiba huku wakiwa na nafasi kubwa ya kujishindia fedha.Raballa alisema mteja anatakiwa kuweka kiasi kisichopungua Sh 50,000 na kuweza kujishindia kuanzia Sh 100,000 hadi Sh milioni tatu papo hapo.“Tunatarajia kuwafikia washindi 144 kwa miezi sita na tukimpata mshindi atapigiwa simu na ataelekezwa namna ya kushiriki promosheni hiyo,” alisema.Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa NMB, Rahma Mwapachu alisema “Tayari tumepata kibali kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha na tuna imani shindano hili litawanufaisha wengi na kufikia malengo yao waliyojiwekea”. ### Response: UCHUMI ### End
WATENDAJI wa mifuko ya hifadhi ya jamii wametakiwa kuhakikisha wanatii na kutekeleza kwa ufanisi maagizo ya Rais John Magufuli aliyotoa kuhusu wastaafu.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa agizo hilo wakati alipotembelea ofisi za Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mjini hapa.Waziri Jenista alitaja maagizo hayo kuwa ni pamoja na kuendelea kutumia vikokotoo vya zamani vya mafao kwa kila mfuko na kuhakiki kikamilifu wastaafu wote ili kujiridhisha kuwa hakuna wastaafu hewa.Akiwa katika siku yake ya kwanza kutembelea mikoa yote nchini kuona iwapo maagizo hayo ya Rais Magufuli yanatekelezwa ipasavyo, Mhagama pia ameagiza watendaji wa mifuko hiyo kuhakikisha wanaachana na miradi isiyo na tija na kuzingatia kubana matumizi yasiyo ya lazima.Alisema kuwa jukumu kuu la Wizara hiyo ni kuratibu na kusimamia masuala mbalimbali ili kufikia matarajio na malengo ya Rais Magufuli huku akitoa ujumbe kwa watumishi wote wasiotaka kuendana na kasi hiyo kuondoka kwa hiyari."Tunahitaji watumishi waadilifu na walio na weledi, hivyo watumishi wanaoenda kinyume na matakwa yetu ni vizuri wakajiondoa wenyewe mapema badala ya kusubiri kuondolewa kwa aibu," alionya .Aliupongeza uongozi wa PSSSF kwa kuendesha uhakiki kwa kiwango cha hali ya juu jambo ambalo pia liliungwa mkono na wateja mbali mbali aliowakuta ofisini hapo ambao hawakuficha furaha yao kwa kitendo cha Rais Magufuli kurejesha kikokotoo cha zamani.Hata hivyo, waziri hakuridhishwa na utendaji kazi wa NSSF katika kushughulikia wateja wao, hasa kwenye suala la fao la kujitoa, ambapo mmoja wa wateja alilalamika mbele yake uwa inamchukua muda mrefu kupata malipo yake.Awali, Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Oscar Kalimilwa alimwambia waziri kuwa mteja wao huchukua siku 14 kupata hundi yake baada ya kutimiza masharti yote yaliyowekwa na mfuko huo.Kwa mujibu wa taarifa aliyopewa waziri, PSSSF mkoa wa Singida una wateja 122,000 wakati NSSF ina zaidi ya wateja 18,000 .
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WATENDAJI wa mifuko ya hifadhi ya jamii wametakiwa kuhakikisha wanatii na kutekeleza kwa ufanisi maagizo ya Rais John Magufuli aliyotoa kuhusu wastaafu.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa agizo hilo wakati alipotembelea ofisi za Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) mjini hapa.Waziri Jenista alitaja maagizo hayo kuwa ni pamoja na kuendelea kutumia vikokotoo vya zamani vya mafao kwa kila mfuko na kuhakiki kikamilifu wastaafu wote ili kujiridhisha kuwa hakuna wastaafu hewa.Akiwa katika siku yake ya kwanza kutembelea mikoa yote nchini kuona iwapo maagizo hayo ya Rais Magufuli yanatekelezwa ipasavyo, Mhagama pia ameagiza watendaji wa mifuko hiyo kuhakikisha wanaachana na miradi isiyo na tija na kuzingatia kubana matumizi yasiyo ya lazima.Alisema kuwa jukumu kuu la Wizara hiyo ni kuratibu na kusimamia masuala mbalimbali ili kufikia matarajio na malengo ya Rais Magufuli huku akitoa ujumbe kwa watumishi wote wasiotaka kuendana na kasi hiyo kuondoka kwa hiyari."Tunahitaji watumishi waadilifu na walio na weledi, hivyo watumishi wanaoenda kinyume na matakwa yetu ni vizuri wakajiondoa wenyewe mapema badala ya kusubiri kuondolewa kwa aibu," alionya .Aliupongeza uongozi wa PSSSF kwa kuendesha uhakiki kwa kiwango cha hali ya juu jambo ambalo pia liliungwa mkono na wateja mbali mbali aliowakuta ofisini hapo ambao hawakuficha furaha yao kwa kitendo cha Rais Magufuli kurejesha kikokotoo cha zamani.Hata hivyo, waziri hakuridhishwa na utendaji kazi wa NSSF katika kushughulikia wateja wao, hasa kwenye suala la fao la kujitoa, ambapo mmoja wa wateja alilalamika mbele yake uwa inamchukua muda mrefu kupata malipo yake.Awali, Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Oscar Kalimilwa alimwambia waziri kuwa mteja wao huchukua siku 14 kupata hundi yake baada ya kutimiza masharti yote yaliyowekwa na mfuko huo.Kwa mujibu wa taarifa aliyopewa waziri, PSSSF mkoa wa Singida una wateja 122,000 wakati NSSF ina zaidi ya wateja 18,000 . ### Response: KITAIFA ### End
  NA KULWA MZEE -DAR ES SALAAM MFANYABIASHARA Yusufali Manji (41), anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, amekataa mbele ya mahakama kutetewa na Wakili Peter Kibatala, kutokana na kile alichosema ni sababu za kisiasa. Manji alitoa kauli hiyo jana mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu, Isaya Arufani, kabla hajatoa uamuzi wa kutupilia mbali ombi la dhamana la mfanyabiashara huyo ambaye sasa inabidi akaitafute dhamana Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. “Mheshimiwa Jaji, nilipowasilisha maombi ya dhamana nilimpa maelekezo Wakili Joseph Thadayo aniwakilishe, lakini nilishangaa kesi ilipokuja kusikilizwa Wakili Kibatala alikuja kuniwakilisha. “Sitaki kuwakilishwa na Kibatala kwa sababu za kisiasa, nitakuwa nawakilishwa na Wakili Alex Mgongolwa, Hudson Ndusyepo na Seni Malimi,” alidai Manji. Hata hivyo, Kibatala na Thadayo wanatoka katika kampuni moja ya uwakili. Pia Manji ni Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu kupitia CCM, huku Kibatala akiwa ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jaji Isaya akitoa uamuzi, alisema mleta maombi hatawakilishwa tena na Wakili Kibatala kwa sababu za kisiasa.   OMBI LA DHAMANA Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi, alidai upande wa Jamhuri wamewasilisha hati kinzani na nia ya kuwasilisha pingamizi la kisheria kuhusu maombi hayo ya dhamana. Kadushi aliomba kabla ya kuanza kusikiliza maombi ya dhamana, mahakama ianze kusikiliza mapingamizi yao. Kwa upande wake, Wakili Mgongolwa anayemtetea Manji, alikiri kuwa maombi ya dhamana yaliyowasilishwa na mteja wake, yana dosari hivyo wanakubaliana na mapingamizi yaliyowasilishwa na Jamhuri kwamba yana msingi. Wakili Kadushi aliomba mahakama kutokana na hoja za upande wa utetezi, maombi ya dhamana yatupwe. Jaji Isaya akitoa uamuzi alisema: “Mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza maombi ya dhamana, hivyo maombi yaliyowasilishwa yanatupwa.”   SABABU ZA KUTUPA MAOMBI Jamhuri walikuwa na sababu tatu za kutaka maombi hayo yatupwe, ikiwa ni pamoja na kuwa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kusikiliza maombi hayo kwa sababu yanapaswa kusikilizwa Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. Pia walidai vifungu vya sheria vilivyotumika kuwasilisha maombi si sahihi na hoja ya mwisho ni kwamba hati ya kiapo iliyoambatanishwa kuunga mkono maombi ina dosari ambazo haziwezi kurekebishika. Katika maombi yaliyotupwa, Manji aliomba mahakama imwachie kwa dhamana kwa sababu ana matatizo ya kiafya, anasumbuliwa na maradhi ya moyo. Mawakili waliwasilisha vyeti vya daktari kuthibitisha mteja wao ni mgonjwa. Manji anashtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa uhujumu uchumi, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi. Upelelezi haujakamilika. Katika kesi hiyo, Manji na wenzake wanakabiliwa na mashtaka saba chini ya sheria ya uhujumu uchumi na usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeneza sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 na mihuri. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Deogratius Kisinda (28), Abdallah Sangey (46) na Thobias Fwere (43). Kesi itatajwa Agosti 4, mwaka huu. Hati ya mashtaka inayowakabili washtakiwa hao inadai Juni 30, 2017 katika eneo la Chang’ombe ‘A’, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kwa pamoja walikutwa na askari polisi wakiwa na bunda 35 za vitambaa vinavyotumika kutengenezea sare za Jeshi la Wananchi Tanzania zenye thamani ya Sh milioni 192.5 ambayo ni mali iliyopatikana kinyume cha sheria. Katika shtaka la pili, inadaiwa Julai mosi, 2017 Chang’ombe ‘A’, washtakiwa hao walikutwa na polisi wakiwa na mabunda manane ya vitambaa vinavyotumika kutengenezea sare za Jeshi la Wananchi Tanzania yenye thamani ya Sh milioni 44 mali ambayo yalipatikana isivyo halali. Katika shtaka la tatu, washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Juni 30, 2017 Chang’ombe ‘A’, walikutwa na muhuri wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wenye maandishi ‘Mkuu 121 Kikosi cha JWTZ’ bila ya kuwa na uhalali, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Shtaka la nne, anadai kuwa Juni 30, 2017 kwenye eneo hilo la Chang’ombe ‘A’, Manji na wenzake hao watatu walikutwa wakiwa na mhuri wenye maandishi ‘Kamanda Kikosi 834 KJ Makutupora Dodoma’  bila ya kuwa na uhalali, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Manji na wenzake katika shtaka la tano wanadaiwa kuwa Juni 30, 2017 huko Chang’ombe ‘A’, walikutwa na mhuri wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania wenye maandishi ‘Commanding Officer 835 KJ Mgambo P.0. Box 224 Korogwe’, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Katika shtaka la sita, washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Julai Mosi, 2017 katika eneo hilo la Chang’ombe ‘A’, walikutwa na askari polisi wakiwa na namba ya usajili wa gari SU 383 ambayo ilipatikana kwa njia isiyo halali. Katika shtaka la saba, washtakiwa wote wanadaiwa kuwa Julai Mosi, 2017 eneo la Chang’ombe ‘A’, walikutwa na askari polisi wakiwa na namba za usajili wa gari SM 8573 ambayo ilipatikana kwa njia isiyo halali.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --   NA KULWA MZEE -DAR ES SALAAM MFANYABIASHARA Yusufali Manji (41), anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, amekataa mbele ya mahakama kutetewa na Wakili Peter Kibatala, kutokana na kile alichosema ni sababu za kisiasa. Manji alitoa kauli hiyo jana mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu, Isaya Arufani, kabla hajatoa uamuzi wa kutupilia mbali ombi la dhamana la mfanyabiashara huyo ambaye sasa inabidi akaitafute dhamana Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. “Mheshimiwa Jaji, nilipowasilisha maombi ya dhamana nilimpa maelekezo Wakili Joseph Thadayo aniwakilishe, lakini nilishangaa kesi ilipokuja kusikilizwa Wakili Kibatala alikuja kuniwakilisha. “Sitaki kuwakilishwa na Kibatala kwa sababu za kisiasa, nitakuwa nawakilishwa na Wakili Alex Mgongolwa, Hudson Ndusyepo na Seni Malimi,” alidai Manji. Hata hivyo, Kibatala na Thadayo wanatoka katika kampuni moja ya uwakili. Pia Manji ni Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu kupitia CCM, huku Kibatala akiwa ni Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jaji Isaya akitoa uamuzi, alisema mleta maombi hatawakilishwa tena na Wakili Kibatala kwa sababu za kisiasa.   OMBI LA DHAMANA Wakili wa Serikali Mkuu, Paul Kadushi, alidai upande wa Jamhuri wamewasilisha hati kinzani na nia ya kuwasilisha pingamizi la kisheria kuhusu maombi hayo ya dhamana. Kadushi aliomba kabla ya kuanza kusikiliza maombi ya dhamana, mahakama ianze kusikiliza mapingamizi yao. Kwa upande wake, Wakili Mgongolwa anayemtetea Manji, alikiri kuwa maombi ya dhamana yaliyowasilishwa na mteja wake, yana dosari hivyo wanakubaliana na mapingamizi yaliyowasilishwa na Jamhuri kwamba yana msingi. Wakili Kadushi aliomba mahakama kutokana na hoja za upande wa utetezi, maombi ya dhamana yatupwe. Jaji Isaya akitoa uamuzi alisema: “Mahakama hii haina mamlaka ya kusikiliza maombi ya dhamana, hivyo maombi yaliyowasilishwa yanatupwa.”   SABABU ZA KUTUPA MAOMBI Jamhuri walikuwa na sababu tatu za kutaka maombi hayo yatupwe, ikiwa ni pamoja na kuwa Mahakama Kuu haina mamlaka ya kusikiliza maombi hayo kwa sababu yanapaswa kusikilizwa Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi. Pia walidai vifungu vya sheria vilivyotumika kuwasilisha maombi si sahihi na hoja ya mwisho ni kwamba hati ya kiapo iliyoambatanishwa kuunga mkono maombi ina dosari ambazo haziwezi kurekebishika. Katika maombi yaliyotupwa, Manji aliomba mahakama imwachie kwa dhamana kwa sababu ana matatizo ya kiafya, anasumbuliwa na maradhi ya moyo. Mawakili waliwasilisha vyeti vya daktari kuthibitisha mteja wao ni mgonjwa. Manji anashtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa uhujumu uchumi, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi. Upelelezi haujakamilika. Katika kesi hiyo, Manji na wenzake wanakabiliwa na mashtaka saba chini ya sheria ya uhujumu uchumi na usalama wa taifa kwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeneza sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 200 na mihuri. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Deogratius Kisinda (28), Abdallah Sangey (46) na Thobias Fwere (43). Kesi itatajwa Agosti 4, mwaka huu. Hati ya mashtaka inayowakabili washtakiwa hao inadai Juni 30, 2017 katika eneo la Chang’ombe ‘A’, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kwa pamoja walikutwa na askari polisi wakiwa na bunda 35 za vitambaa vinavyotumika kutengenezea sare za Jeshi la Wananchi Tanzania zenye thamani ya Sh milioni 192.5 ambayo ni mali iliyopatikana kinyume cha sheria. Katika shtaka la pili, inadaiwa Julai mosi, 2017 Chang’ombe ‘A’, washtakiwa hao walikutwa na polisi wakiwa na mabunda manane ya vitambaa vinavyotumika kutengenezea sare za Jeshi la Wananchi Tanzania yenye thamani ya Sh milioni 44 mali ambayo yalipatikana isivyo halali. Katika shtaka la tatu, washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Juni 30, 2017 Chang’ombe ‘A’, walikutwa na muhuri wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wenye maandishi ‘Mkuu 121 Kikosi cha JWTZ’ bila ya kuwa na uhalali, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Shtaka la nne, anadai kuwa Juni 30, 2017 kwenye eneo hilo la Chang’ombe ‘A’, Manji na wenzake hao watatu walikutwa wakiwa na mhuri wenye maandishi ‘Kamanda Kikosi 834 KJ Makutupora Dodoma’  bila ya kuwa na uhalali, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Manji na wenzake katika shtaka la tano wanadaiwa kuwa Juni 30, 2017 huko Chang’ombe ‘A’, walikutwa na mhuri wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania wenye maandishi ‘Commanding Officer 835 KJ Mgambo P.0. Box 224 Korogwe’, kitendo ambacho kingehatarisha usalama wa nchi. Katika shtaka la sita, washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Julai Mosi, 2017 katika eneo hilo la Chang’ombe ‘A’, walikutwa na askari polisi wakiwa na namba ya usajili wa gari SU 383 ambayo ilipatikana kwa njia isiyo halali. Katika shtaka la saba, washtakiwa wote wanadaiwa kuwa Julai Mosi, 2017 eneo la Chang’ombe ‘A’, walikutwa na askari polisi wakiwa na namba za usajili wa gari SM 8573 ambayo ilipatikana kwa njia isiyo halali. ### Response: KITAIFA ### End
Simba na Yanga zinatarajiwa kumenyana Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu Bara.Ninja, ambaye katika mechi za hivi karibuni amekuwa akicheza kwa kiwango kikubwa, aliliambia gazeti hili jana kuwa kukutana na Simba kwake si mara ya kwanza hivyo anaifahamu presha ya kucheza na timu hiyo lakini zaidi hawahofii washambuliaji tishio kwa sasa wa wapinzani wao hao na akaapa kuwadhibiti kikamilifu.“Nilishawahi kukutana na Simba mara mbili nikiwa Taifa Jang’ombe katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa hiyo si mara yangu ya kwanza kucheza na timu hiyo, nawajua vizuri lakini pia mimi siwahofii nawaona kama ni wachezaji wa timu nyingine tu.“Kweli wanaongoza kwa kufunga msimu huu, lakini mimi nimejipanga vya kutosha ukichanganya na mbinu ninazopewa na makocha wangu katika mechi hiyo naamini hawatakuwa na madhara, tusubiri tu siku ya mechi,” alisema Ninja.Upande wa Simba, Bocco mwenye mabao 14 na Okwi mwenye 19 wakiwa vinara wa kufumania nyavu mpaka sasa wanaonekana tishio kwa ukuta wa Yanga kutokana na spidi yao, lakini Simba pia watakuwa na shughuli pevu ya kuwazuia Obrey Chirwa na kinda Yusuf Mhilu anayeonekana kufanya vizuri zaidi kila anapopata nafasi katika mechi za hivi karibuni.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Simba na Yanga zinatarajiwa kumenyana Jumapili hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi Kuu Bara.Ninja, ambaye katika mechi za hivi karibuni amekuwa akicheza kwa kiwango kikubwa, aliliambia gazeti hili jana kuwa kukutana na Simba kwake si mara ya kwanza hivyo anaifahamu presha ya kucheza na timu hiyo lakini zaidi hawahofii washambuliaji tishio kwa sasa wa wapinzani wao hao na akaapa kuwadhibiti kikamilifu.“Nilishawahi kukutana na Simba mara mbili nikiwa Taifa Jang’ombe katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa hiyo si mara yangu ya kwanza kucheza na timu hiyo, nawajua vizuri lakini pia mimi siwahofii nawaona kama ni wachezaji wa timu nyingine tu.“Kweli wanaongoza kwa kufunga msimu huu, lakini mimi nimejipanga vya kutosha ukichanganya na mbinu ninazopewa na makocha wangu katika mechi hiyo naamini hawatakuwa na madhara, tusubiri tu siku ya mechi,” alisema Ninja.Upande wa Simba, Bocco mwenye mabao 14 na Okwi mwenye 19 wakiwa vinara wa kufumania nyavu mpaka sasa wanaonekana tishio kwa ukuta wa Yanga kutokana na spidi yao, lakini Simba pia watakuwa na shughuli pevu ya kuwazuia Obrey Chirwa na kinda Yusuf Mhilu anayeonekana kufanya vizuri zaidi kila anapopata nafasi katika mechi za hivi karibuni. ### Response: MICHEZO ### End
BUNGE limepitisha azimio la kumfungia Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge baada ya kukutwa na kosa la kutoa kauli aliyoithibitisha kuwa Bunge ni dhaifu.Kutokana na uamuzi huo, Lema hatashiriki Mkutano wa 15 ambao ni Mkutano wa Bajeti unaoendelea sasa, Mkutano wa 16 utakaofanyika Septemba na Mkutano wa 17 wa Novemba mwaka huu. Wakati wa kuchangia hoja ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu shauri la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), Lema alisema: “Roho ya mwenendo wa nchi inategemea uimara wa Bunge, sasa amesema Bunge ni dhaifu, ni kweli, na mimi kama mbunge wa vipindi vitatu nathibitisha hilo,” alisema. Kutokana na kauli hiyo, Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson aliyekuwa anaongoza mjadala huo, alimtaka Lema kufika mbele ya kamati hiyo.Akisoma taarifa, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Emmanuel Mwakasaka alisema kamati ilikataa ombi la Lema la kutaka awepo wakili wake wakati wa kuhojiwa kwa kuwa kamati iliona hakuwa amepanga kuwa na wakili huyo. Kwa kuthibitisha hilo, Mwakasaka akasema: “Kamati ilipata mashaka juu ya uaminifu wa shahidi (Lema) kwani tarehe 9 Machi 2016 aliiomba kamati impe muda wa kutafuta wakili kuhusiana na tuhuma dhidi yake kwa kufanya vurugu bungeni siku ya tarehe 27 Januari 2016 siku hiyo kamati ilikubali ombi lake.“Ilimtaka afike Machi 11, 2016 kitu cha ajabu Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Lema hakurejea katika kamati na wala hakutoa sababu ya kutokufika kwa hiyo kamati ilikosa imani naye na kuyakataa maombi yake,” alisema. Alisema wakati wa mahojiano, Lema alieleza kamati kwamba anaunga mkono maoni yaliyotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad pamoja na Halima Mdee ambao kamati iliwakuta na hatia ya kulidhalilisha Bunge.“Kwa hali hiyo, kamati iliona kwamba naye ametenda kosa hilo kwa mujibu wa kifungu cha 26 e cha Sheria ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge sura ya 2096 pamoja na 74 fasihi 1 A na B ya kanuni,” alisema. Mwakasaka alisema katika uchunguzi wake, kamati ilirejea Katiba, kanuni, sheria na taratibu na maamuzi mbalimbali na video iliyomrekodi Lema akizungumza na hivyo Kamati ilijiridhisha kwamba, Lema alitamka kwa makusudi maneno kuwa bunge ni dhaifu akilenga kulidhalilisha bunge. “Kamati ilitilia maanani na kufuatilia kwa kina na ushahidi wa Mheshimiwa Lema mbele ya Kamati ikiwemo kwa kukiri.Hivyo kamati iliona kwamba Lema alitenda kosa la kudharau na kudhalilisha Bunge. Kitendo alichofanya Mheshimiwa Lema ni cha kupingwa vita ili kulinda heshima ya bunge ambacho ni chombo cha kuwakilisha wananchi ambao tunawaongoza,” alieleza Mwakasaka. Akisoma mapendekezo ya Kamati, Mwakasaka alisema kwa kuwa hii ni mara ya pili kwa Lema kuitwa mbele ya kamati na kutiwa hatiani ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vyote vya Mkutano wa Tatu wa Bunge kwa kuanzia 30 Machi 2019 siku ambayo azimio lilitolewa.“Na kwa kuwa akiwa mbele ya Kamati Mheshimiwa Lema hakujutia kosa lake wala kuomba radhi kitendo chake cha kudharau Bunge, bali aliendelea kusisitiza kuwa bunge hili ni dhaifu jambo ambalo linadhihirisha alidhamiria kutenda kosa hilo. “Na kwa kuwa Lema ni mbunge mkongwe kwa vipindi viwili ana uelewa mkubwa wa kuzijua kanuni za namna ya Bunge linavyoendeshwa hivyo kwa kitendo alichofanya ni ukosefu wa heshima kwa mamlaka ya Bunge na kutokuwa na uwajibikaji wa pamoja. “Hivyo basi Mheshimiwa Spika, Bunge linaazimia kwamba Mheshimiwa Lema asimamishwe kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge kuanzia tarehe ya azimio hili,” alisema.Baada ya azimio hilo, Spika Ndugai alitoa fursa kwa wabunge kuchangia azimio hilo ambako Mbunge wa Kibamba, John Mnyika (Chadema), alitaka Bunge lisiunge mkono pendekezo hilo akidai limekiuka Kanuni za Bunge. Alisema kauli aliyoitoa Lema aliitoa akiwa bungeni na kwamba mbunge huyo analindwa kwa misingi ya kanuni, hivyo akichukuliwa hatua itakuwa ukiukwaji wa kanuni na kuminya uhuru wa mbunge. Hata hivyo, dakika chache baada ya Mnyika kuchangia taarifa ya kamati, wabunge wa chama hicho walisimama na kutoka nje.Kufuatia hatua hiyo, Spika Ndugai alisema: “Wanaotoka nje wasifanyiwe mahojaino na waandishi huko nje na mbunge anayetaka kuzungumza basi azungumze ndani ya bunge”. Akifafanua uamuzi wake wa kuwataka baadhi ya wabunge (waliotoka bungeni kutohojiwa na waandishi wa habari kwa siku ya jana, Spika Ndugai alisema: “ Huu ni mwaka wanne wa Bunge, na tunachukulia kila mbunge anajua sheria, kanuni na taratibu. Ingawa mbunge ana uhuru wa kutoka na kuingia ndani ya bunge ni matarajio kwamba watautumia uhuru huo vizuri. “Unatumwa na wananchi kuja hapa, lakini unakuwa na tabia ya kutoka nje ya bunge na hasa baada ya kuongea wewe, na tabia hii imekuwapo kwa muda mrefu, tumechoka!
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BUNGE limepitisha azimio la kumfungia Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge baada ya kukutwa na kosa la kutoa kauli aliyoithibitisha kuwa Bunge ni dhaifu.Kutokana na uamuzi huo, Lema hatashiriki Mkutano wa 15 ambao ni Mkutano wa Bajeti unaoendelea sasa, Mkutano wa 16 utakaofanyika Septemba na Mkutano wa 17 wa Novemba mwaka huu. Wakati wa kuchangia hoja ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu shauri la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), Lema alisema: “Roho ya mwenendo wa nchi inategemea uimara wa Bunge, sasa amesema Bunge ni dhaifu, ni kweli, na mimi kama mbunge wa vipindi vitatu nathibitisha hilo,” alisema. Kutokana na kauli hiyo, Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson aliyekuwa anaongoza mjadala huo, alimtaka Lema kufika mbele ya kamati hiyo.Akisoma taarifa, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Emmanuel Mwakasaka alisema kamati ilikataa ombi la Lema la kutaka awepo wakili wake wakati wa kuhojiwa kwa kuwa kamati iliona hakuwa amepanga kuwa na wakili huyo. Kwa kuthibitisha hilo, Mwakasaka akasema: “Kamati ilipata mashaka juu ya uaminifu wa shahidi (Lema) kwani tarehe 9 Machi 2016 aliiomba kamati impe muda wa kutafuta wakili kuhusiana na tuhuma dhidi yake kwa kufanya vurugu bungeni siku ya tarehe 27 Januari 2016 siku hiyo kamati ilikubali ombi lake.“Ilimtaka afike Machi 11, 2016 kitu cha ajabu Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Lema hakurejea katika kamati na wala hakutoa sababu ya kutokufika kwa hiyo kamati ilikosa imani naye na kuyakataa maombi yake,” alisema. Alisema wakati wa mahojiano, Lema alieleza kamati kwamba anaunga mkono maoni yaliyotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad pamoja na Halima Mdee ambao kamati iliwakuta na hatia ya kulidhalilisha Bunge.“Kwa hali hiyo, kamati iliona kwamba naye ametenda kosa hilo kwa mujibu wa kifungu cha 26 e cha Sheria ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge sura ya 2096 pamoja na 74 fasihi 1 A na B ya kanuni,” alisema. Mwakasaka alisema katika uchunguzi wake, kamati ilirejea Katiba, kanuni, sheria na taratibu na maamuzi mbalimbali na video iliyomrekodi Lema akizungumza na hivyo Kamati ilijiridhisha kwamba, Lema alitamka kwa makusudi maneno kuwa bunge ni dhaifu akilenga kulidhalilisha bunge. “Kamati ilitilia maanani na kufuatilia kwa kina na ushahidi wa Mheshimiwa Lema mbele ya Kamati ikiwemo kwa kukiri.Hivyo kamati iliona kwamba Lema alitenda kosa la kudharau na kudhalilisha Bunge. Kitendo alichofanya Mheshimiwa Lema ni cha kupingwa vita ili kulinda heshima ya bunge ambacho ni chombo cha kuwakilisha wananchi ambao tunawaongoza,” alieleza Mwakasaka. Akisoma mapendekezo ya Kamati, Mwakasaka alisema kwa kuwa hii ni mara ya pili kwa Lema kuitwa mbele ya kamati na kutiwa hatiani ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vyote vya Mkutano wa Tatu wa Bunge kwa kuanzia 30 Machi 2019 siku ambayo azimio lilitolewa.“Na kwa kuwa akiwa mbele ya Kamati Mheshimiwa Lema hakujutia kosa lake wala kuomba radhi kitendo chake cha kudharau Bunge, bali aliendelea kusisitiza kuwa bunge hili ni dhaifu jambo ambalo linadhihirisha alidhamiria kutenda kosa hilo. “Na kwa kuwa Lema ni mbunge mkongwe kwa vipindi viwili ana uelewa mkubwa wa kuzijua kanuni za namna ya Bunge linavyoendeshwa hivyo kwa kitendo alichofanya ni ukosefu wa heshima kwa mamlaka ya Bunge na kutokuwa na uwajibikaji wa pamoja. “Hivyo basi Mheshimiwa Spika, Bunge linaazimia kwamba Mheshimiwa Lema asimamishwe kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge kuanzia tarehe ya azimio hili,” alisema.Baada ya azimio hilo, Spika Ndugai alitoa fursa kwa wabunge kuchangia azimio hilo ambako Mbunge wa Kibamba, John Mnyika (Chadema), alitaka Bunge lisiunge mkono pendekezo hilo akidai limekiuka Kanuni za Bunge. Alisema kauli aliyoitoa Lema aliitoa akiwa bungeni na kwamba mbunge huyo analindwa kwa misingi ya kanuni, hivyo akichukuliwa hatua itakuwa ukiukwaji wa kanuni na kuminya uhuru wa mbunge. Hata hivyo, dakika chache baada ya Mnyika kuchangia taarifa ya kamati, wabunge wa chama hicho walisimama na kutoka nje.Kufuatia hatua hiyo, Spika Ndugai alisema: “Wanaotoka nje wasifanyiwe mahojaino na waandishi huko nje na mbunge anayetaka kuzungumza basi azungumze ndani ya bunge”. Akifafanua uamuzi wake wa kuwataka baadhi ya wabunge (waliotoka bungeni kutohojiwa na waandishi wa habari kwa siku ya jana, Spika Ndugai alisema: “ Huu ni mwaka wanne wa Bunge, na tunachukulia kila mbunge anajua sheria, kanuni na taratibu. Ingawa mbunge ana uhuru wa kutoka na kuingia ndani ya bunge ni matarajio kwamba watautumia uhuru huo vizuri. “Unatumwa na wananchi kuja hapa, lakini unakuwa na tabia ya kutoka nje ya bunge na hasa baada ya kuongea wewe, na tabia hii imekuwapo kwa muda mrefu, tumechoka! ### Response: KITAIFA ### End
RAIS John Magufuli amesema serikali itaendelea kumuenzi mgunduzi wa madini ya tanzanite, Jumanne Ngoma pamoja na kazi zake nzuri na amesisitiza kuwa Mzee Ngoma ni shujaa wa taifa.Ahadi hiyo ilitolewa wakati wa maziko ya mzee huyo, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, nyumbani kwake katika kijiji cha Makanya wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.Katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Madini, Dotto Biteko, Rais Magufuli aliwataka Watanzania kujenga tabia ya kuenzi ugunduzi unaofanywa na Watanzania ili kuepuka kazi nzuri hizo kuchukuliwa na watu wa nje.“Serikali inatambua na kuheshimu ugunduzi wa tanzanite uliofanya na Mzee Ngoma, ugunduzi ambao umeijengea Tanzania heshima kubwa duniani kote na kuboresha maisha ya watu wengi ndani na nje ya nchi”, alisema.Aliongeza, “Inasikitisha kuona kuna baadhi ya wenzetu ambao wana tabia ya kuenzi ugunduzi uliofanya na watu wa nje na kupuuza ule unaofanywa na Watanzania, si ajabu kusikia ya kuwa kuna Watanzania wenzetu ambao pia walipinga ugunduzi uliofanywa na Mzee Ngoma, jambo ambalo halipendezi.“Tutaendelea kumuenzi Mzee Ngoma na ugunduzi wake alioufanya na wakati huo huo kukabiliana na wale wote ambao wanalenga kudhoofisha na kuhujumu kazi nzuri aliyoifanya shujaa huyu wa Taifa letu”.Magufuli alisema kuwa serikali na wananchi wa Tanzania wamepokea habari za kifo cha Mzee Ngoma kwa masikitiko makubwa. Rais alitoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na wale wote walioguswa na msiba huo, aliosema ni wa Taifa kwa ujumla.Katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Senyamule, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira alisema kuwa kwa kupigania haki yake ya kutambuliwa kama mgunduzi wa tanzanite, Mzee Ngoma amewaachia Watanzania elimu kubwa.“Mzee Ngoma aliipigania haki yake ya kutambuliwa kama mgunduzi wa tanzanite hadi alipotangazwa na Rais Magufuli wakati akizindua ukuta wa Mirerani Aprili mwaka jana, hivyo na sisi hatuna budi kuhakikisha tunapigania kazi nzuri tunazofanya ikiwemo ugunduzi mbalimbali ili tusije kuporwa kazi zetu na watu wa nje,” alisema.Ukuta wa Mirerani umejengwa kuzunguka eneo hilo, ambako madini hayo yanapatikana.Alisema wilaya ya Same inaungana na wale wote ambao wamependekeza njia mbalimbali za kumuenzi Mzee Ngoma, ikiwemo wazo la jina lake litumike kwenye moja ya barabara za wilaya ya Same, kwa heshima ya shujaa huyo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RAIS John Magufuli amesema serikali itaendelea kumuenzi mgunduzi wa madini ya tanzanite, Jumanne Ngoma pamoja na kazi zake nzuri na amesisitiza kuwa Mzee Ngoma ni shujaa wa taifa.Ahadi hiyo ilitolewa wakati wa maziko ya mzee huyo, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, nyumbani kwake katika kijiji cha Makanya wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.Katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Madini, Dotto Biteko, Rais Magufuli aliwataka Watanzania kujenga tabia ya kuenzi ugunduzi unaofanywa na Watanzania ili kuepuka kazi nzuri hizo kuchukuliwa na watu wa nje.“Serikali inatambua na kuheshimu ugunduzi wa tanzanite uliofanya na Mzee Ngoma, ugunduzi ambao umeijengea Tanzania heshima kubwa duniani kote na kuboresha maisha ya watu wengi ndani na nje ya nchi”, alisema.Aliongeza, “Inasikitisha kuona kuna baadhi ya wenzetu ambao wana tabia ya kuenzi ugunduzi uliofanya na watu wa nje na kupuuza ule unaofanywa na Watanzania, si ajabu kusikia ya kuwa kuna Watanzania wenzetu ambao pia walipinga ugunduzi uliofanywa na Mzee Ngoma, jambo ambalo halipendezi.“Tutaendelea kumuenzi Mzee Ngoma na ugunduzi wake alioufanya na wakati huo huo kukabiliana na wale wote ambao wanalenga kudhoofisha na kuhujumu kazi nzuri aliyoifanya shujaa huyu wa Taifa letu”.Magufuli alisema kuwa serikali na wananchi wa Tanzania wamepokea habari za kifo cha Mzee Ngoma kwa masikitiko makubwa. Rais alitoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na wale wote walioguswa na msiba huo, aliosema ni wa Taifa kwa ujumla.Katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Senyamule, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira alisema kuwa kwa kupigania haki yake ya kutambuliwa kama mgunduzi wa tanzanite, Mzee Ngoma amewaachia Watanzania elimu kubwa.“Mzee Ngoma aliipigania haki yake ya kutambuliwa kama mgunduzi wa tanzanite hadi alipotangazwa na Rais Magufuli wakati akizindua ukuta wa Mirerani Aprili mwaka jana, hivyo na sisi hatuna budi kuhakikisha tunapigania kazi nzuri tunazofanya ikiwemo ugunduzi mbalimbali ili tusije kuporwa kazi zetu na watu wa nje,” alisema.Ukuta wa Mirerani umejengwa kuzunguka eneo hilo, ambako madini hayo yanapatikana.Alisema wilaya ya Same inaungana na wale wote ambao wamependekeza njia mbalimbali za kumuenzi Mzee Ngoma, ikiwemo wazo la jina lake litumike kwenye moja ya barabara za wilaya ya Same, kwa heshima ya shujaa huyo. ### Response: KITAIFA ### End
RABAT, MOROCCO UFALME wa Morocco umelaani vikali vitendo vya Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Nkosazana Dlamini-Zuma, unayeamini anahujumu maombi ya taifa hilo kurejea katika umoja huo. Mfalme Mohammed VI alitangaza rasmi nia ya Morocco kujiunga tena Umoja wa Afrika (AU) wakati akitoa hotuba nchini Rwanda Julai 17 mwaka huu. Nchi hiyo ilijitoa kutoka AU miaka 32 iliyopita kupinga kitendo cha chombo hicho kutambua harakati za uhuru wa Sahara Magharibi zinazopiganiwa na vuguvugu la Polisario. Morocco inasisitiza eneo hilo ni sehemu ya himaya yake. Ni miezi zaidi ya minne sasa tangu hotuba ya mfalme nchini Rwanda, na ijapokuwa mapema mwezi uliopita Dlamini-Zuma alimuahidi Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco, Salaheddine Mezouar kuwasilisha ombi hilo kwa nchi nyingine za AU, hakuna maendeleo yaliyopigwa hadi sasa. Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa ilitoa taarifa kwamba, “baada ya ucheleweshaji usio na msingi kwa kutosambaza ombi la Morocco kwa wanachama wa AU, Nkosazana Dlamini-Zuma anaendelea kutuhujumu kwa kuweka masharti mapya kinyume na yale yanayofahamika ili ombi letu lisipate baraka kutoka wanachama wa AU.” “Mwenyekiti wa Tume ya AU anashangaza kwa kushindwa kufanya kazi bila kuegemea upande na kufuata sheria na kanuni za AU na matakwa ya nchi wanachama,” wizara hiyo iliongeza. “Takriban nchi 36 kati ya 54 wanachama wa AU haziitambui Sahara Magharibi kama eneo huru na ni wakati wa kufuta uamuzi huo,” ilisema taarifa hiyo.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- RABAT, MOROCCO UFALME wa Morocco umelaani vikali vitendo vya Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Nkosazana Dlamini-Zuma, unayeamini anahujumu maombi ya taifa hilo kurejea katika umoja huo. Mfalme Mohammed VI alitangaza rasmi nia ya Morocco kujiunga tena Umoja wa Afrika (AU) wakati akitoa hotuba nchini Rwanda Julai 17 mwaka huu. Nchi hiyo ilijitoa kutoka AU miaka 32 iliyopita kupinga kitendo cha chombo hicho kutambua harakati za uhuru wa Sahara Magharibi zinazopiganiwa na vuguvugu la Polisario. Morocco inasisitiza eneo hilo ni sehemu ya himaya yake. Ni miezi zaidi ya minne sasa tangu hotuba ya mfalme nchini Rwanda, na ijapokuwa mapema mwezi uliopita Dlamini-Zuma alimuahidi Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco, Salaheddine Mezouar kuwasilisha ombi hilo kwa nchi nyingine za AU, hakuna maendeleo yaliyopigwa hadi sasa. Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa ilitoa taarifa kwamba, “baada ya ucheleweshaji usio na msingi kwa kutosambaza ombi la Morocco kwa wanachama wa AU, Nkosazana Dlamini-Zuma anaendelea kutuhujumu kwa kuweka masharti mapya kinyume na yale yanayofahamika ili ombi letu lisipate baraka kutoka wanachama wa AU.” “Mwenyekiti wa Tume ya AU anashangaza kwa kushindwa kufanya kazi bila kuegemea upande na kufuata sheria na kanuni za AU na matakwa ya nchi wanachama,” wizara hiyo iliongeza. “Takriban nchi 36 kati ya 54 wanachama wa AU haziitambui Sahara Magharibi kama eneo huru na ni wakati wa kufuta uamuzi huo,” ilisema taarifa hiyo. ### Response: KIMATAIFA ### End
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba ameiomba Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi itoe msamaha kwa watu wenye bangi waisalimishe Polisi iuzwe huko Serikali ipate mapato.Amesema Wizara hiyo inaweza kutoa msamaha kwa miezi sita kwa bangi iliyopo kama inavyofanywa kwenye silaha ili bangi hiyo iuzwe kwa usimamizi wa Jeshi la Polisi na mapato yaingie Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wananchi wapate fedha."Ni vizuri wakati wote Mheshimiwa Spika dunia inapobadilika lazima twende haraka sana. Uganda Mheshimiwa Spika wamepewa na EU (Umoja wa Ulaya) zaidi ya Dola milioni 500 kwa ajili ya kilimo cha bangi wanatoa udongo kutoka Malasia lakini sisi bahati nzuri wakulima wetu wana utaalamu wa kulima bangi muda mrefu"amesema Kishimba bungeni jijini Dodoma.Mbunge huyo pia ameitaka Wizara kilimo itoe ufafanuzi kwamba watu wanaotaka kulima wamuone nani kwa kuwa ipo sheria iliyotungwa na Bunge inayoruhusu kilimo cha bangi kwa ajili ya kutengeneza dawa."Mheshimiwa Spika bei ya bangi duniani imepanda maradufu na nchi zote zinazotuzunguka zimekwisharuhusu" amesema.Kwa mujibu wa mwakilishi huyo wa wananchi wazungu walipiga marufuku kilimo cha bangi kwenye miaka ya 1940's lakini baadaye waligundua ndani ya zao hilo kuna dawa.Amesema Tanzania ni nchi ya tatu Afrika kwa kulima bangi ya magendo hivyo kama Serikali kama itaruhusu kilimo cha zao hilo inaweza kusaidia kuongeza mapato na kuondoa magendo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba ameiomba Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi itoe msamaha kwa watu wenye bangi waisalimishe Polisi iuzwe huko Serikali ipate mapato.Amesema Wizara hiyo inaweza kutoa msamaha kwa miezi sita kwa bangi iliyopo kama inavyofanywa kwenye silaha ili bangi hiyo iuzwe kwa usimamizi wa Jeshi la Polisi na mapato yaingie Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wananchi wapate fedha."Ni vizuri wakati wote Mheshimiwa Spika dunia inapobadilika lazima twende haraka sana. Uganda Mheshimiwa Spika wamepewa na EU (Umoja wa Ulaya) zaidi ya Dola milioni 500 kwa ajili ya kilimo cha bangi wanatoa udongo kutoka Malasia lakini sisi bahati nzuri wakulima wetu wana utaalamu wa kulima bangi muda mrefu"amesema Kishimba bungeni jijini Dodoma.Mbunge huyo pia ameitaka Wizara kilimo itoe ufafanuzi kwamba watu wanaotaka kulima wamuone nani kwa kuwa ipo sheria iliyotungwa na Bunge inayoruhusu kilimo cha bangi kwa ajili ya kutengeneza dawa."Mheshimiwa Spika bei ya bangi duniani imepanda maradufu na nchi zote zinazotuzunguka zimekwisharuhusu" amesema.Kwa mujibu wa mwakilishi huyo wa wananchi wazungu walipiga marufuku kilimo cha bangi kwenye miaka ya 1940's lakini baadaye waligundua ndani ya zao hilo kuna dawa.Amesema Tanzania ni nchi ya tatu Afrika kwa kulima bangi ya magendo hivyo kama Serikali kama itaruhusu kilimo cha zao hilo inaweza kusaidia kuongeza mapato na kuondoa magendo. ### Response: KITAIFA ### End
MWANAMITINDO mwenye jina kubwa nchini Kenya, Annabel Onyango na meneja wa kundi la muziki la Sauti Sol, Marek Fuchs, wanataraji kufunga ndoa ya kihistoria nchini hapo. Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyamoja, wachumba hao wa muda mrefu watafunga ndoa hiyo Septemba 19 na sherehe itafanyika katika hoteli ya Great Rift Valley tofauti na inavyofikiriwa kufanyika mjini ama kijijini kwao. Wakati wote wa maandalizi ya harusi yao hiyo wapenzi hao wameweka kila kitu chao kitakachotokea kwa kila siku hadi siku ya ndoa yao kupitia mtandao wao.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MWANAMITINDO mwenye jina kubwa nchini Kenya, Annabel Onyango na meneja wa kundi la muziki la Sauti Sol, Marek Fuchs, wanataraji kufunga ndoa ya kihistoria nchini hapo. Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyamoja, wachumba hao wa muda mrefu watafunga ndoa hiyo Septemba 19 na sherehe itafanyika katika hoteli ya Great Rift Valley tofauti na inavyofikiriwa kufanyika mjini ama kijijini kwao. Wakati wote wa maandalizi ya harusi yao hiyo wapenzi hao wameweka kila kitu chao kitakachotokea kwa kila siku hadi siku ya ndoa yao kupitia mtandao wao. ### Response: BURUDANI ### End
Msanii wa Bongofleva hapa nchini, Gigy Money, ametoa dongo kwa baadhi ya watu ambao walikuwa wanamdharau na kumchukulia poa wakati anaanza kazi ya muziki. Gigy Money ameieleza EATV na EA Radio Digital, kuwa ilifika hatua watu wanamsema na kumshambulia mitandaoni pia walijaribu kumchonganisha na Serikali ili mradi wamshushe chini. “Kwa watu walioni-follow, sio kila shabiki anakupenda kuna wanaokuchukia lakini wanakushabikia vilevile, kuna watu ambao walikuwa wanasema kwamba siwezi kuimba, sina lolote na  nilee mtoto tu, kwahiyo hili dongo linaenda kwa watu wote mnaochukulia vitu virahisi rahisi, walikuwa wanapenda tu mimi kukaa vile” amesema Gigy Money. Aidha Gigy Money ameongeza kuwa, “Ilikuwa ndoto zangu kuwa maarufu, nilitaka kuwa hapa nilipo sasa hivi, watu waliniambia  kwamba nitakufa, nitaishia kuwa malaya pia walikuwa wananiua sana, walijaribu kunichonganisha mimi na Serikali ili mradi iniingilie kati inishushe chini na inifungie vitu vyangu”  ameongeza.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Msanii wa Bongofleva hapa nchini, Gigy Money, ametoa dongo kwa baadhi ya watu ambao walikuwa wanamdharau na kumchukulia poa wakati anaanza kazi ya muziki. Gigy Money ameieleza EATV na EA Radio Digital, kuwa ilifika hatua watu wanamsema na kumshambulia mitandaoni pia walijaribu kumchonganisha na Serikali ili mradi wamshushe chini. “Kwa watu walioni-follow, sio kila shabiki anakupenda kuna wanaokuchukia lakini wanakushabikia vilevile, kuna watu ambao walikuwa wanasema kwamba siwezi kuimba, sina lolote na  nilee mtoto tu, kwahiyo hili dongo linaenda kwa watu wote mnaochukulia vitu virahisi rahisi, walikuwa wanapenda tu mimi kukaa vile” amesema Gigy Money. Aidha Gigy Money ameongeza kuwa, “Ilikuwa ndoto zangu kuwa maarufu, nilitaka kuwa hapa nilipo sasa hivi, watu waliniambia  kwamba nitakufa, nitaishia kuwa malaya pia walikuwa wananiua sana, walijaribu kunichonganisha mimi na Serikali ili mradi iniingilie kati inishushe chini na inifungie vitu vyangu”  ameongeza. ### Response: BURUDANI ### End
Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Khamis Ali Mzee katika hafla ya ufunguzi wa makocha wa leseni C ya wiki mbili inayofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja.Mzee alisema kukamilika kwa mfumo huo kutapelekea kuonesha hali ya michezo yote ya Zanzibar inavyoendelea.Alisema suala la kuandaa mfumo huo limekuwa likipigiwa kelele na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein, kutokana na kutokuwa na takwimu sahihi za michezo yote ya Zanzibar.“Tulikuwa tukipigiwa kelele sana na rais kwamba kwa kweli hakuna takwimu katika michezo, hivyo tunafanya hivyo ili kuwa na takwimu ya kuweza kujua idadi kamili,” alisema Mzee.Sambamba na hilo, aliwataka makocha kuyaona mafunzo hayo kuwa ni muhimu kwao kwani mafunzo hayo huwajengea kujiamini na ujasiri wa kile watakachokitoa kwa wachezaji.“Kusoma ni kujiongezea ujuzi na ujasiri kwani hata aya ya Kurani inasema kuwa hawawi sawa aliosoma na asiosoma,” alisema katibu huyo. Hivyo aliwataka kuwa makini na wafuatiliaji wazuri katika mafunzo hayo ili waondoke wakiwa na ujasiri na kujiamini katika ufundishaji wao.Mafunzo hayo ya wiki mbili yameandaliwa na Chama cha Makocha wa Soka Zanzibar kwa kushirikiana na ZFA Taifa na yanaendeshwa na Mkufunzi kutoka CAF, Sunday Kayuni.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Khamis Ali Mzee katika hafla ya ufunguzi wa makocha wa leseni C ya wiki mbili inayofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja.Mzee alisema kukamilika kwa mfumo huo kutapelekea kuonesha hali ya michezo yote ya Zanzibar inavyoendelea.Alisema suala la kuandaa mfumo huo limekuwa likipigiwa kelele na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein, kutokana na kutokuwa na takwimu sahihi za michezo yote ya Zanzibar.“Tulikuwa tukipigiwa kelele sana na rais kwamba kwa kweli hakuna takwimu katika michezo, hivyo tunafanya hivyo ili kuwa na takwimu ya kuweza kujua idadi kamili,” alisema Mzee.Sambamba na hilo, aliwataka makocha kuyaona mafunzo hayo kuwa ni muhimu kwao kwani mafunzo hayo huwajengea kujiamini na ujasiri wa kile watakachokitoa kwa wachezaji.“Kusoma ni kujiongezea ujuzi na ujasiri kwani hata aya ya Kurani inasema kuwa hawawi sawa aliosoma na asiosoma,” alisema katibu huyo. Hivyo aliwataka kuwa makini na wafuatiliaji wazuri katika mafunzo hayo ili waondoke wakiwa na ujasiri na kujiamini katika ufundishaji wao.Mafunzo hayo ya wiki mbili yameandaliwa na Chama cha Makocha wa Soka Zanzibar kwa kushirikiana na ZFA Taifa na yanaendeshwa na Mkufunzi kutoka CAF, Sunday Kayuni. ### Response: MICHEZO ### End
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania bara Simba wameendelea kutembeza kichapo kwa kile anayekatiza mbele yao na kuzidi kujihakikishia nafasi ya kutwaa tena ubingwa. Katika uwanja wa Taifa leo ulipigwa mchezo kati ya mabingwa hao na anayewafuata katika msimano mwaka huu Azam Fc. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:43am PST Katika mechi hiyo iliyopigwa katika hali ya hewa ya mvua mvua mchezo ulimalizika kwa jumla ya magoli 5 huku simba ikiibuka na pointi tatu. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:49am PST Magoli matatu kati ya hayo yalifungwa kipindi cha kwanza ambapo Azam ilitangulia kupata goli dakika ya 5 kupitia kwa Never Tigere lakini Erasto Nyoni wa Simba alisawazisha dakika 4 baadaye (Dakika ya 9) na dakika ya 16 Deo Kanda wa Simba akaongeza goli lingine. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 9:36am PST A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:57am PST Mwanzoni mwa kipindi cha pili Azam walifanikiwa kupata goli la pili la kusawazisha kupitia kwa Idi Selemani lakink Meddie Kagere aliwainua Wanamsimbazi dakika ya 71 na matokeo hayo ya goli 3-2 yalidumu mpaka mwisho wa mchezo. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 10:13am PST
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania bara Simba wameendelea kutembeza kichapo kwa kile anayekatiza mbele yao na kuzidi kujihakikishia nafasi ya kutwaa tena ubingwa. Katika uwanja wa Taifa leo ulipigwa mchezo kati ya mabingwa hao na anayewafuata katika msimano mwaka huu Azam Fc. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:43am PST Katika mechi hiyo iliyopigwa katika hali ya hewa ya mvua mvua mchezo ulimalizika kwa jumla ya magoli 5 huku simba ikiibuka na pointi tatu. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:49am PST Magoli matatu kati ya hayo yalifungwa kipindi cha kwanza ambapo Azam ilitangulia kupata goli dakika ya 5 kupitia kwa Never Tigere lakini Erasto Nyoni wa Simba alisawazisha dakika 4 baadaye (Dakika ya 9) na dakika ya 16 Deo Kanda wa Simba akaongeza goli lingine. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 9:36am PST A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 8:57am PST Mwanzoni mwa kipindi cha pili Azam walifanikiwa kupata goli la pili la kusawazisha kupitia kwa Idi Selemani lakink Meddie Kagere aliwainua Wanamsimbazi dakika ya 71 na matokeo hayo ya goli 3-2 yalidumu mpaka mwisho wa mchezo. A post shared by Azam Sports (@azamsports2) on Mar 4, 2020 at 10:13am PST ### Response: MICHEZO ### End
Na Kulwa Mzee-Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru mke wa bilionea Msuya, Miriam Msuya na mwenzake, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka   (DPP) kugoma kuifanyia mabadiliko hati ya mashtaka ingawa alipewa siku tatu   kufanya hivyo. Uamuzi huo   ulitolewa jana mbele ya Hakimu Mkazi Godfrey Mwambapa baada ya Jamhuri kudai   kwamba hauwezi kuibadilisha hati hiyo kwa sababu  iko sahihi. Hakimu Mwambapa aliamua kuwaachia huru Miriam na Revocatus Muyela wanaoshtakiwa kumuua kwa kukusudia dada wa bilionea huyo, Aneth Msuya, Mei mwaka jana maeneo ya Kibada Kigamboni, Dar es Salaam, kwa kuwa hakuna hati inayowafanya washikiliwe kwa sababu iliyopo imebainika kuwa ni mbovu. Wakili wa Serikali, Hellen Moshi, alidai   kesi hiyo ilikuwa inatajwa lakini mahakama ilitoa amri ya kubadilishwa   hati ya mashtaka. “Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka  (DPP), imeona hati iko sahihi kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), kwa maana hiyo hatuwezi kuifanyia mabadiliko,” alisema Hellen. Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala akishirikiana na Wakili Faraja Mangula, alidai DPP ameonyesha jeuri na nguvu aliyonayo  lakini asingeweza kupinga amri ya mahakama. Kibatala alidai mahakama ilishatoa amri na kuwapa muda wa siku tatu upande wa Jamhuri kufanya mabadiliko ya hati ya mashtaka na kama wasingefanya hivyo hatua nyingine ingefuata. “Mheshimiwa hakimu DPP ameshindwa kueleza sababu ya kutotii amri ya mahakama. “Hivyo tunaomba washtakiwa waachiwe huru kwa sababu hakuna hati inayowashtaki. DPP ameshindwa kukata rufaa au kuomba marejeo, hivyo amepuuza amri ya mahakama,” aliomba Kibatala. Akitoa uamuzi, Hakimu Mwambapa alisema Januari 9, mwaka huu, mahakama   iliagiza hati ya mashtaka ibadilishwe kwa kuwa ni mbovu. Alisema mahakama hiyo ilitoa muda wa siku tatu kuanzia Februari 20, mwaka huu,  kwa upande wa Jamhuri kuifanyia mabadiliko hati hiyo ya mashtaka. “Pamoja na amri hiyo mpaka leo (jana) Jamhuri haijabadilisha hati ya mashtaka hivyo Mahakama inaona hakuna hati ya mashtaka halali inayowashikilia washtakiwa, hivyo inawaachia huru,” alisema Hakimu Mwambapa. Baada yaa kuachiwa huru saa 3.55 asubuhi,  nje ya mahakama kulikuwa na askari waliokuwa wamevalia nguo za raia ambao waliwachukua na kushuka nao hadi mlango wa kuingilia mahabusu ya mahakama ambako kulikuwa na gari la polisi. Miriam na wenzake walipakiwa katika gari la polisi lililokuwa na askari   na kupelekwa kituoni. Mke wa bilionea huyo, Miriam na mfanyabiashara Revocatus Muyela, wakazi wa Arusha, wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya dada wa bilionea Msuya, Aneth Msuya. Washitakiwa wanadaiwa Mei 25, mwaka jana, maeneo ya Kibada, Kigamboni, Dar es Salaam, kwa pamoja walimuua Aneth.   Dada wa bilionea Msuya aliuawa kwa kuchinjwa nyumbani kwake. Miriam na mwenzake walipofikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka hawakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo. Baada ya kusomewa  mashitaka, Wakili wao Kibatala, aliwasilisha maombi   akiiomba itupiliwe mbali hati ya mashitaka kwa kuwa ilikuwa na upungufu katika sheria. Kibatala alidai hati hiyo ya mashitaka ilikuwa haijitoshelezi kiasi cha kuwawezesha washitakiwa kuelewa kile walichoshitakiwa. Hivyo aliomba itupiliwe mbali na washitakiwa kuachiwa huru.   Akiwasilisha majibu ya upande wa Jamhuri, Wakili wa Serikali, Diana Lukondo, alidai hati ya mashitaka iilikuwa inajitosheleza kumwezesha mshitakiwa kuelewa kile alichoshtakiwa nacho. Mahakama hiyo   ilikubaliana na hoja za wakili wa utetezi na kuamuru upande wa Jamhuri kufanyia mabadiliko hati hiyo. Hata hivyo, upande huo tangu ilipotolewa amri hiyo kwa mara ya kwanza haikufanya mabadiliko hayo na kutaka kuongezewa muda, hali iliyoufanya upande wa utetezi kusisitiza washitakiwa wachiwe huru. 
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Kulwa Mzee-Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru mke wa bilionea Msuya, Miriam Msuya na mwenzake, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka   (DPP) kugoma kuifanyia mabadiliko hati ya mashtaka ingawa alipewa siku tatu   kufanya hivyo. Uamuzi huo   ulitolewa jana mbele ya Hakimu Mkazi Godfrey Mwambapa baada ya Jamhuri kudai   kwamba hauwezi kuibadilisha hati hiyo kwa sababu  iko sahihi. Hakimu Mwambapa aliamua kuwaachia huru Miriam na Revocatus Muyela wanaoshtakiwa kumuua kwa kukusudia dada wa bilionea huyo, Aneth Msuya, Mei mwaka jana maeneo ya Kibada Kigamboni, Dar es Salaam, kwa kuwa hakuna hati inayowafanya washikiliwe kwa sababu iliyopo imebainika kuwa ni mbovu. Wakili wa Serikali, Hellen Moshi, alidai   kesi hiyo ilikuwa inatajwa lakini mahakama ilitoa amri ya kubadilishwa   hati ya mashtaka. “Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka  (DPP), imeona hati iko sahihi kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), kwa maana hiyo hatuwezi kuifanyia mabadiliko,” alisema Hellen. Wakili wa Utetezi, Peter Kibatala akishirikiana na Wakili Faraja Mangula, alidai DPP ameonyesha jeuri na nguvu aliyonayo  lakini asingeweza kupinga amri ya mahakama. Kibatala alidai mahakama ilishatoa amri na kuwapa muda wa siku tatu upande wa Jamhuri kufanya mabadiliko ya hati ya mashtaka na kama wasingefanya hivyo hatua nyingine ingefuata. “Mheshimiwa hakimu DPP ameshindwa kueleza sababu ya kutotii amri ya mahakama. “Hivyo tunaomba washtakiwa waachiwe huru kwa sababu hakuna hati inayowashtaki. DPP ameshindwa kukata rufaa au kuomba marejeo, hivyo amepuuza amri ya mahakama,” aliomba Kibatala. Akitoa uamuzi, Hakimu Mwambapa alisema Januari 9, mwaka huu, mahakama   iliagiza hati ya mashtaka ibadilishwe kwa kuwa ni mbovu. Alisema mahakama hiyo ilitoa muda wa siku tatu kuanzia Februari 20, mwaka huu,  kwa upande wa Jamhuri kuifanyia mabadiliko hati hiyo ya mashtaka. “Pamoja na amri hiyo mpaka leo (jana) Jamhuri haijabadilisha hati ya mashtaka hivyo Mahakama inaona hakuna hati ya mashtaka halali inayowashikilia washtakiwa, hivyo inawaachia huru,” alisema Hakimu Mwambapa. Baada yaa kuachiwa huru saa 3.55 asubuhi,  nje ya mahakama kulikuwa na askari waliokuwa wamevalia nguo za raia ambao waliwachukua na kushuka nao hadi mlango wa kuingilia mahabusu ya mahakama ambako kulikuwa na gari la polisi. Miriam na wenzake walipakiwa katika gari la polisi lililokuwa na askari   na kupelekwa kituoni. Mke wa bilionea huyo, Miriam na mfanyabiashara Revocatus Muyela, wakazi wa Arusha, wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya dada wa bilionea Msuya, Aneth Msuya. Washitakiwa wanadaiwa Mei 25, mwaka jana, maeneo ya Kibada, Kigamboni, Dar es Salaam, kwa pamoja walimuua Aneth.   Dada wa bilionea Msuya aliuawa kwa kuchinjwa nyumbani kwake. Miriam na mwenzake walipofikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka hawakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo. Baada ya kusomewa  mashitaka, Wakili wao Kibatala, aliwasilisha maombi   akiiomba itupiliwe mbali hati ya mashitaka kwa kuwa ilikuwa na upungufu katika sheria. Kibatala alidai hati hiyo ya mashitaka ilikuwa haijitoshelezi kiasi cha kuwawezesha washitakiwa kuelewa kile walichoshitakiwa. Hivyo aliomba itupiliwe mbali na washitakiwa kuachiwa huru.   Akiwasilisha majibu ya upande wa Jamhuri, Wakili wa Serikali, Diana Lukondo, alidai hati ya mashitaka iilikuwa inajitosheleza kumwezesha mshitakiwa kuelewa kile alichoshtakiwa nacho. Mahakama hiyo   ilikubaliana na hoja za wakili wa utetezi na kuamuru upande wa Jamhuri kufanyia mabadiliko hati hiyo. Hata hivyo, upande huo tangu ilipotolewa amri hiyo kwa mara ya kwanza haikufanya mabadiliko hayo na kutaka kuongezewa muda, hali iliyoufanya upande wa utetezi kusisitiza washitakiwa wachiwe huru.  ### Response: KITAIFA ### End
MOSCOW, URUSI   MAANDALIZI yameanza kwa mkutano utakaowakutanisha wawakilishi kutoka Urusi na Mshauri Mkuu wa Masuala ya Usalama wa Marekani, John Bolton, ambao unatarajiwa kufanyika wiki ijayo mjini Geneva nchini Uswisi. Taarifa hiyo imetolewa jana mjini hapa na msemaji wa Ikulu, Dmitry Peskov. Alisema kila kitu kinaonekana kitakwenda vizuri kama walivyopanga. Taarifa hiyo imekuja baada ya juzi, Waziri wa Habari wa Ikulu ya Marekani, White House, Sarah Sanders,  kusema kuwa Bolton atakutana pia na wawakilishi kutoka Israel na Ukraine katika mkutano huo wa Geneva. “Maandalizi tayari yameshaanza na tuna matumaini kila kitu kitakwenda kama tulivyopanga. “Utakuwa ni mkutano ambao utajadili masuala mbalimbali, hususan ya kiusalama baina ya mataifa haya mawili,” alisema msemaji huyo. Kabla ya kutolewa taarifa hiyo, awali Ofisi ya Baraza la Usalama ya Urusi ilitangaza kuwapo kwa mkutano huo baina ya Nikolai Patrushev na Bolton, lakini  haikueleza ni wapi na tarehe gani utafanyika. Hata hivyo, hii si mara ya kwanza kwa viongozi wa ngazi ya juu katika masuala ya usalma kukutana, baada ya Julai 27, mwaka huu, Naibu Waziri wa Usalama, Yuri Averyanov kufanya mazungumzo na Bolton mjini hapa na katika kikao hicho kilichoongelewa zaidi ni ushirikiano baina ya mataifa haya mawili.  
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MOSCOW, URUSI   MAANDALIZI yameanza kwa mkutano utakaowakutanisha wawakilishi kutoka Urusi na Mshauri Mkuu wa Masuala ya Usalama wa Marekani, John Bolton, ambao unatarajiwa kufanyika wiki ijayo mjini Geneva nchini Uswisi. Taarifa hiyo imetolewa jana mjini hapa na msemaji wa Ikulu, Dmitry Peskov. Alisema kila kitu kinaonekana kitakwenda vizuri kama walivyopanga. Taarifa hiyo imekuja baada ya juzi, Waziri wa Habari wa Ikulu ya Marekani, White House, Sarah Sanders,  kusema kuwa Bolton atakutana pia na wawakilishi kutoka Israel na Ukraine katika mkutano huo wa Geneva. “Maandalizi tayari yameshaanza na tuna matumaini kila kitu kitakwenda kama tulivyopanga. “Utakuwa ni mkutano ambao utajadili masuala mbalimbali, hususan ya kiusalama baina ya mataifa haya mawili,” alisema msemaji huyo. Kabla ya kutolewa taarifa hiyo, awali Ofisi ya Baraza la Usalama ya Urusi ilitangaza kuwapo kwa mkutano huo baina ya Nikolai Patrushev na Bolton, lakini  haikueleza ni wapi na tarehe gani utafanyika. Hata hivyo, hii si mara ya kwanza kwa viongozi wa ngazi ya juu katika masuala ya usalma kukutana, baada ya Julai 27, mwaka huu, Naibu Waziri wa Usalama, Yuri Averyanov kufanya mazungumzo na Bolton mjini hapa na katika kikao hicho kilichoongelewa zaidi ni ushirikiano baina ya mataifa haya mawili.   ### Response: KIMATAIFA ### End
JOTO la wabunge wa upinzani kuvihama vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kuongezeka baada ya Mbunge wa Jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA,) Marwa Chacha kutangaza kukihama chake na kujiunga na chama tawala.Hatua ya Chacha inafikisha idadi ya watano wakiwemo watatu kutoka Chadema waliovihama vyama vyao siku za hivi karibuni na kujiunga na CCM kwa kauli za kutaka kuunga mkono juhudi mbalimbali za kimaendeleo zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli. Wabunge hao walioihama Chadema mbali na Chacha ni Julius Kalanga (Monduli), G odwin Mollel (Siha) pamoja na Mwita Waitara (Ukonga) wakati kwa upande wa CUF, Maulid Mtulia (Kinondoni) na Zuberi Kuchauka (Liwale).Juzi akizungumza wakati wa kufungua Daraja la Juu la Mfugale eneo jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema milango ya CCM iko wazi kupokea viongozi wowote wale ambao wako tayari kutua mizigo, akirejea baadhi ya maandiko ambayo yanasema, “njooni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.”Akizungumzia uamuzi wake huo jana kwa simu, Chacha alisema kuhamia CCM kumekuja baada ya kuridhishwa na maendeleo yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli, hatua iliyomfanya kutoona sababu za kuendelea kumpinga kwa kubaki ndani ya Chadema. Alisema aliopoomba kuwa mwakilishi wa jimbo hilo la Serengeti, azma yake ilikuwa kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo hilo, kama ambavyo Rais Magufuli anavyofanya kwa Watanzania, huku akiahidi kuendelea na mkakati huo endapo atapewa nafasi nyingine ya ubunge katika kuwatumia wananchi hao.“Nimeomba CCM wanipokee hilo ndilo jambo la msingi kwa sasa, sijui kama watanikubalia au la! Lakini endapo ikitokea wakanikubali na ikawapendeza nigombee tena kwa nafasi nyingine ya kuwawakilisha wananchi wa Serengeti nitashukuru zaidi,” alisema Chacha aliyekuwa mmoja wa wabunge machachari alipokuwa Chadema.Akizungumzia hatua ya mbunge huyo kuhamia CCM, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema chama hicho hakijashitushwa na uamuzi wa Chacha pamoja na kuwa walipata taarifa za mbunge huyo kuhama kupitia mitandaoni. “Na sisi tumezisikia taarifa za Chacha kuhama kupitia mitandao, hajatutaarifu kwa njia yoyote, lakini hata tulipofanya juhudi za kumtafuta kwa njia ya simu ili kujua undani wa taarifa hizo, hatukuweza kumpata,” alisema Mrema.Alisema hatua ya wanachama wake mbalimbali kukihama chama hicho wakiwemo wabunge na madiwani, ni kitendo cha kawaida katika siasa, na siyo habari mpya kwao kiasi cha kuwafanya washangazwe na jambo hilo. CCM kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, ilimpongeza mbunge huyo kwa kutumia uhuru wake wa Katiba wa kujiunga na chama ambacho kimesimama kwa dhati kusukuma gurudumu la maendeleo.Polepole alisema Watanzania ni watu wanaopenda mshikamano na umoja hasa katika masuala ya ujenzi wa Taifa na kwamba kazi kubwa anayoendelea kuifanya Rais Magufuli inaonekana wazi wazi nchini kiasi cha kushuhudiwa na waungwana na wanaotambua thamani ya maendeleo ya nchi. Alisema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya CCM imefanya na inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali mikubwa ya kimaendeleo ikiwemo ya ujenzi wa miundombinu, hatua inayowafanya watu wengi kuiunga mkono CCM.Alisema CCM inawakaribisha wanachama wengine kutoka vyama mbalimbali nchini wanaotaka kujiunga na harakati za kuletea Taifa maendeleo zinazofanywa na CCM chini ya Rais Magufuli. Hivi karibuni katika ziara ya Rais Magufuli wilayani Serengeti Mkoa wa Mara, mbunge huyo alipata nafasi ya kuzungumza na kutoa kero za jimbo lake, lakini baadhi ya watu walianza kumzomea na ndipo alipowanyamazisha kwa kuwaambia wanyamaze kwani kama shida ni upinzani naye anaweza kuwa CCM vilevile. Serikali yabana NGOs
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JOTO la wabunge wa upinzani kuvihama vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kuongezeka baada ya Mbunge wa Jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA,) Marwa Chacha kutangaza kukihama chake na kujiunga na chama tawala.Hatua ya Chacha inafikisha idadi ya watano wakiwemo watatu kutoka Chadema waliovihama vyama vyao siku za hivi karibuni na kujiunga na CCM kwa kauli za kutaka kuunga mkono juhudi mbalimbali za kimaendeleo zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli. Wabunge hao walioihama Chadema mbali na Chacha ni Julius Kalanga (Monduli), G odwin Mollel (Siha) pamoja na Mwita Waitara (Ukonga) wakati kwa upande wa CUF, Maulid Mtulia (Kinondoni) na Zuberi Kuchauka (Liwale).Juzi akizungumza wakati wa kufungua Daraja la Juu la Mfugale eneo jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema milango ya CCM iko wazi kupokea viongozi wowote wale ambao wako tayari kutua mizigo, akirejea baadhi ya maandiko ambayo yanasema, “njooni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.”Akizungumzia uamuzi wake huo jana kwa simu, Chacha alisema kuhamia CCM kumekuja baada ya kuridhishwa na maendeleo yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli, hatua iliyomfanya kutoona sababu za kuendelea kumpinga kwa kubaki ndani ya Chadema. Alisema aliopoomba kuwa mwakilishi wa jimbo hilo la Serengeti, azma yake ilikuwa kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo hilo, kama ambavyo Rais Magufuli anavyofanya kwa Watanzania, huku akiahidi kuendelea na mkakati huo endapo atapewa nafasi nyingine ya ubunge katika kuwatumia wananchi hao.“Nimeomba CCM wanipokee hilo ndilo jambo la msingi kwa sasa, sijui kama watanikubalia au la! Lakini endapo ikitokea wakanikubali na ikawapendeza nigombee tena kwa nafasi nyingine ya kuwawakilisha wananchi wa Serengeti nitashukuru zaidi,” alisema Chacha aliyekuwa mmoja wa wabunge machachari alipokuwa Chadema.Akizungumzia hatua ya mbunge huyo kuhamia CCM, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema chama hicho hakijashitushwa na uamuzi wa Chacha pamoja na kuwa walipata taarifa za mbunge huyo kuhama kupitia mitandaoni. “Na sisi tumezisikia taarifa za Chacha kuhama kupitia mitandao, hajatutaarifu kwa njia yoyote, lakini hata tulipofanya juhudi za kumtafuta kwa njia ya simu ili kujua undani wa taarifa hizo, hatukuweza kumpata,” alisema Mrema.Alisema hatua ya wanachama wake mbalimbali kukihama chama hicho wakiwemo wabunge na madiwani, ni kitendo cha kawaida katika siasa, na siyo habari mpya kwao kiasi cha kuwafanya washangazwe na jambo hilo. CCM kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, ilimpongeza mbunge huyo kwa kutumia uhuru wake wa Katiba wa kujiunga na chama ambacho kimesimama kwa dhati kusukuma gurudumu la maendeleo.Polepole alisema Watanzania ni watu wanaopenda mshikamano na umoja hasa katika masuala ya ujenzi wa Taifa na kwamba kazi kubwa anayoendelea kuifanya Rais Magufuli inaonekana wazi wazi nchini kiasi cha kushuhudiwa na waungwana na wanaotambua thamani ya maendeleo ya nchi. Alisema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya CCM imefanya na inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali mikubwa ya kimaendeleo ikiwemo ya ujenzi wa miundombinu, hatua inayowafanya watu wengi kuiunga mkono CCM.Alisema CCM inawakaribisha wanachama wengine kutoka vyama mbalimbali nchini wanaotaka kujiunga na harakati za kuletea Taifa maendeleo zinazofanywa na CCM chini ya Rais Magufuli. Hivi karibuni katika ziara ya Rais Magufuli wilayani Serengeti Mkoa wa Mara, mbunge huyo alipata nafasi ya kuzungumza na kutoa kero za jimbo lake, lakini baadhi ya watu walianza kumzomea na ndipo alipowanyamazisha kwa kuwaambia wanyamaze kwani kama shida ni upinzani naye anaweza kuwa CCM vilevile. Serikali yabana NGOs ### Response: KITAIFA ### End
“HUDUMA tunazotoa ni nzuri na zina hadhi ya kimataifa. Abiria hachukui zaidi ya dakika saba kukaguliwa na abiria anayewasili anachukua dakika tatu kupata huduma za uhamiaji hadi anatoka nje ya jengo.”“Kwa Watanzania wenye pasipoti za kielektroniki, wanatumia sio zaidi ya sekunde 15 kwa sababu wanajihudumia wenyewe kupitia mageti ya kielektroniki (e-gate).” Ndivyo anavyosema Kaimu Meneja wa Jengo la Tatu la Abiria (Terminal III) la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA), Barton Komba.“Huduma ya mawasiliano ya simu ndani ya jengo ni nzuri na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ambao wamepewa kandarasi ya kuimarisha mawasiliano ndani ya jengo wanaendelea na kazi hiyo, ulinzi na usalama uko vizuri, huduma ya chakula ni nzuri na inatolewa na Mtanzania, kuna duka la vito nalo ni la Mtanzania, huduma ya kubadilisha fedha za kigeni nayo ipo.”Kwa kuwa huduma nzuri kwa mteja ndiyo msingi wa mafanikio ya kibiashara, Komba anasema asilimia 30 ya jengo hilo imetengwa kwa ajili ya maeneo ya biashara, hivyo watoa huduma mbalimbali wanakaribishwa kutoa huduma katika jengo hilo na wanatarajia idadi ya watoa huduma kuongezeka kadri muda unavyokwenda. Mafanikio mengine ambayo Tanzania imeanza kuyapata ni uwezo wa kupokea na kuhudumia ndege kubwa aina ya Boeing 777 yenye uwezo wa kubeba abiria kati ya 350 hadi 370.Kaimu Meneja huyo wa Terminal lll anasema kuwa, kwa sasa JNIA kinaweza kupokea kwa dharura ndege nyingine kubwa kabisa aina ya Airbus 380 yenye ghorofa moja. Anasema ingawa kwa sasa hakuna miundombinu yote inayotakiwa kuihudumia ndege kama hiyo, kama ikitokea dharura, ndege kama hiyo inaweza kutua na kuhudumiwa vizuri. Anasema abiria ambao wako kwenye sakafu ya pili ya ndege hiyo wanaweza kushuka kwenye ndege kwa kupitia sakafu ya kwanza na kisha kuingia ndani ya jengo la abiria la tatu la kiwanja hicho.Mbali na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa ya aina hiyo, kiwanja hicho pia kina uwezo wa kupokea na kuhudumia kwa ufanisi ndege nyingine zote ukubwa ikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner, Airbus A220-300 na nyingine zenye ukubwa huo au chini yake. Haya yote yanafanyika kutokana na jengo hili kuwa na mifumo ya kisasa kabisa barani Afrika.Ubora na uwezo wa jengo hilo la abiria pia umechangia kuongezeka kwa idadi ya ndege za kimataifa zinazohudumia kiwanjani hapo. Komba anabainisha kuwa , jengo la abiria namba 3 la JNIA linahudumia ndege za kimataifa kati ya 13 hadi 15 kila siku tangu lifunguliwe miezi miwili iliyopita, huku uendeshaji wake ukiwa umefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 80 ikiwemo muda mfupi zaidi unaotumika kumkagua abiria kabla hajaingia kwenye ndege.Anaongeza kuwa, JNIA inahudumia ndege 21 zinazoruka kimataifa za mashirika mbalimbali na ndege 19 kati ya hizo zimehamishiwa katika jengo hilo la tatu la abiria kutoka jengo namba mbili. Baada ya ndege 19 za kimataifa kuhudumiwa katika jengo hili, anasema kiwango cha abiria wanaowasili na kuondoka wanaohudumiwa katika jengo hilo kwa wakati mmoja wa msongamano ni abiria 1,500. Terminal lll ni kwa ajili ya kuhudumia ndege zinazofanya safari za kimataifa pekee.Anazitaja baadhi ya ndege hizo kuwa ni pamoja na zile za Shirika la Ndege la Emirates, Ethiopia, Afrika Kusini, Zimbabwe, Msumbiji, Kenya, Oman, Mauritius, Uganda, Misri na Uswisi. Komba anafafanua kuwa, ndege za Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na za Shirika la Ndege la Precission hazijahamishiwa katika jengo jipya kwa sababu ndege hizi zinafanya safari za ndani na za kimataifa, hivyo zinaendelea kutoa huduma katika jengo la pili la abiria. Katika hili, anasema gharama ya kuhudumia ndege hizo ni kubwa kutokana na kuchanganya safari za ndani na za kimataifa kwa sababu zinahitaji kusogezwa kutoka jengo moja kwenda lingine, jambo linaloyafanya mashirika hayo kushindwa kumudu gharama za uendeshaji.“Tumekuwa tukipokea mrejesho kutoka kwa wadau wa kiwanja hiki na kutueleza kuridhika na kusifu huduma wanazopewa ambazo wanasema kuwa zina hadhi ya kimataifa. Mpaka sasa tumefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 80 katika uendeshaji wa Jengo hili tangu lifunguliwe na Rais John Magufuli Agosti Mosi mwaka huu,” anaeleza Komba.Ili kuhakikisha jengo hili linavutia mashirika mengi ya kimataifa ya ndege, Komba anasema kwa sasa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) iko katika maandalizi ya kukitangaza kiwanja hicho kupitia jengo lake jipya ili kuongeza idadi ya ndege za kimataifa, kuongeza abiria na kuvutia wafanyabiashara wengi zaidi.Anasema kwa sasa JNIA inashika nafasi ya tano barani Afrika kwa idadi ya abiria inaowahudumia, kwa kuhudumia abiria milioni 2.5 kwa mwaka kikitanguliwa na viwanja vingine vikiwemo vya Johannesburg na Oliver Tambo vya Afrika Kusini. Kwa mujibu wa Komba, kwa kuwa Terminal lll imejengwa kwa lengo la kuhudumia abiria milioni sita kwa mwaka, matangazo hayo yatasaidia kuongeza idadi ya abiria.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- “HUDUMA tunazotoa ni nzuri na zina hadhi ya kimataifa. Abiria hachukui zaidi ya dakika saba kukaguliwa na abiria anayewasili anachukua dakika tatu kupata huduma za uhamiaji hadi anatoka nje ya jengo.”“Kwa Watanzania wenye pasipoti za kielektroniki, wanatumia sio zaidi ya sekunde 15 kwa sababu wanajihudumia wenyewe kupitia mageti ya kielektroniki (e-gate).” Ndivyo anavyosema Kaimu Meneja wa Jengo la Tatu la Abiria (Terminal III) la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA), Barton Komba.“Huduma ya mawasiliano ya simu ndani ya jengo ni nzuri na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ambao wamepewa kandarasi ya kuimarisha mawasiliano ndani ya jengo wanaendelea na kazi hiyo, ulinzi na usalama uko vizuri, huduma ya chakula ni nzuri na inatolewa na Mtanzania, kuna duka la vito nalo ni la Mtanzania, huduma ya kubadilisha fedha za kigeni nayo ipo.”Kwa kuwa huduma nzuri kwa mteja ndiyo msingi wa mafanikio ya kibiashara, Komba anasema asilimia 30 ya jengo hilo imetengwa kwa ajili ya maeneo ya biashara, hivyo watoa huduma mbalimbali wanakaribishwa kutoa huduma katika jengo hilo na wanatarajia idadi ya watoa huduma kuongezeka kadri muda unavyokwenda. Mafanikio mengine ambayo Tanzania imeanza kuyapata ni uwezo wa kupokea na kuhudumia ndege kubwa aina ya Boeing 777 yenye uwezo wa kubeba abiria kati ya 350 hadi 370.Kaimu Meneja huyo wa Terminal lll anasema kuwa, kwa sasa JNIA kinaweza kupokea kwa dharura ndege nyingine kubwa kabisa aina ya Airbus 380 yenye ghorofa moja. Anasema ingawa kwa sasa hakuna miundombinu yote inayotakiwa kuihudumia ndege kama hiyo, kama ikitokea dharura, ndege kama hiyo inaweza kutua na kuhudumiwa vizuri. Anasema abiria ambao wako kwenye sakafu ya pili ya ndege hiyo wanaweza kushuka kwenye ndege kwa kupitia sakafu ya kwanza na kisha kuingia ndani ya jengo la abiria la tatu la kiwanja hicho.Mbali na uwezo wa kuhudumia ndege kubwa ya aina hiyo, kiwanja hicho pia kina uwezo wa kupokea na kuhudumia kwa ufanisi ndege nyingine zote ukubwa ikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner, Airbus A220-300 na nyingine zenye ukubwa huo au chini yake. Haya yote yanafanyika kutokana na jengo hili kuwa na mifumo ya kisasa kabisa barani Afrika.Ubora na uwezo wa jengo hilo la abiria pia umechangia kuongezeka kwa idadi ya ndege za kimataifa zinazohudumia kiwanjani hapo. Komba anabainisha kuwa , jengo la abiria namba 3 la JNIA linahudumia ndege za kimataifa kati ya 13 hadi 15 kila siku tangu lifunguliwe miezi miwili iliyopita, huku uendeshaji wake ukiwa umefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 80 ikiwemo muda mfupi zaidi unaotumika kumkagua abiria kabla hajaingia kwenye ndege.Anaongeza kuwa, JNIA inahudumia ndege 21 zinazoruka kimataifa za mashirika mbalimbali na ndege 19 kati ya hizo zimehamishiwa katika jengo hilo la tatu la abiria kutoka jengo namba mbili. Baada ya ndege 19 za kimataifa kuhudumiwa katika jengo hili, anasema kiwango cha abiria wanaowasili na kuondoka wanaohudumiwa katika jengo hilo kwa wakati mmoja wa msongamano ni abiria 1,500. Terminal lll ni kwa ajili ya kuhudumia ndege zinazofanya safari za kimataifa pekee.Anazitaja baadhi ya ndege hizo kuwa ni pamoja na zile za Shirika la Ndege la Emirates, Ethiopia, Afrika Kusini, Zimbabwe, Msumbiji, Kenya, Oman, Mauritius, Uganda, Misri na Uswisi. Komba anafafanua kuwa, ndege za Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na za Shirika la Ndege la Precission hazijahamishiwa katika jengo jipya kwa sababu ndege hizi zinafanya safari za ndani na za kimataifa, hivyo zinaendelea kutoa huduma katika jengo la pili la abiria. Katika hili, anasema gharama ya kuhudumia ndege hizo ni kubwa kutokana na kuchanganya safari za ndani na za kimataifa kwa sababu zinahitaji kusogezwa kutoka jengo moja kwenda lingine, jambo linaloyafanya mashirika hayo kushindwa kumudu gharama za uendeshaji.“Tumekuwa tukipokea mrejesho kutoka kwa wadau wa kiwanja hiki na kutueleza kuridhika na kusifu huduma wanazopewa ambazo wanasema kuwa zina hadhi ya kimataifa. Mpaka sasa tumefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 80 katika uendeshaji wa Jengo hili tangu lifunguliwe na Rais John Magufuli Agosti Mosi mwaka huu,” anaeleza Komba.Ili kuhakikisha jengo hili linavutia mashirika mengi ya kimataifa ya ndege, Komba anasema kwa sasa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) iko katika maandalizi ya kukitangaza kiwanja hicho kupitia jengo lake jipya ili kuongeza idadi ya ndege za kimataifa, kuongeza abiria na kuvutia wafanyabiashara wengi zaidi.Anasema kwa sasa JNIA inashika nafasi ya tano barani Afrika kwa idadi ya abiria inaowahudumia, kwa kuhudumia abiria milioni 2.5 kwa mwaka kikitanguliwa na viwanja vingine vikiwemo vya Johannesburg na Oliver Tambo vya Afrika Kusini. Kwa mujibu wa Komba, kwa kuwa Terminal lll imejengwa kwa lengo la kuhudumia abiria milioni sita kwa mwaka, matangazo hayo yatasaidia kuongeza idadi ya abiria. ### Response: KITAIFA ### End
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amesema haijakatazwa mtu kumiliki zaidi ya kadi moja za simu ilimradi ziwe za mitandao tofauti.“Tunatamani kila Mtanzania awe na ‘line’ moja ya simu kwa mtandao mmoja, akitaka nyingine atoe taarifa,” amesema.Nditiye ameyasema hayo bungeni wakati wa kipindi cha Maswali na Majibu kwenye kikao cha Bunge la 11 kinaoendelea jijini Dodoma.Ameongeza kuwa lengo kuu ni kupunguza wingi wa kadi hizo ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia vitendo vya uhalifu wa simu ikiwa ni pamoja na wizi akitolea mfano mbinu ya “ile pesa nitumie kwa namba hii.”
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amesema haijakatazwa mtu kumiliki zaidi ya kadi moja za simu ilimradi ziwe za mitandao tofauti.“Tunatamani kila Mtanzania awe na ‘line’ moja ya simu kwa mtandao mmoja, akitaka nyingine atoe taarifa,” amesema.Nditiye ameyasema hayo bungeni wakati wa kipindi cha Maswali na Majibu kwenye kikao cha Bunge la 11 kinaoendelea jijini Dodoma.Ameongeza kuwa lengo kuu ni kupunguza wingi wa kadi hizo ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia vitendo vya uhalifu wa simu ikiwa ni pamoja na wizi akitolea mfano mbinu ya “ile pesa nitumie kwa namba hii.” ### Response: KITAIFA ### End
Na JENNIFER ULLEMBO RIADHA ni moja ya michezo inayopendwa duniani kwa asilimia kubwa, kwani mbali na kuwapa watu fedha kwa kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali, pia umekuwa ukisaidia kuimarisha na kutunza afya. Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) lilianzisha mpango wa kuandaa mashindano katika baadhi ya mikoa kwa kuzingatia kanda mbalimbali, ili kuleta sura ya nchi nzima katika mashindano ya Taifa. Mpango huo ulifanikiwa na ikaweza kupatikana timu ya taifa iliyoweza kuliwakilisha taifa katika Mbio za Nyika zilizofanyika Kampala, Uganda Machi 26, mwaka huu. Licha ya Tanzania kutofanya vizuri katika mashindano hayo, bado wanariadha na viongozi wa RT waliendelea kujipa moyo wa kuhakikisha mchezo huo unasonga mbele na kurudisha hadhi yake ya miaka ya nyuma. Lakini hivi sasa upepo umeonesha kubadilika kwa chama hicho kuandamwa na madeni na kujikuta kikishindwa kufanikisha baadhi ya mipango ya kuendeleza timu ya taifa. Michezo kama riadha na mingineyo midogo midogo  inashindwa kupewa uzito mkubwa kama ilivyo kwa soka, jambo ambalo kwa upande mmoja au mwingine vyama vya michezo vinajikuta vikishindwa kupiga hatua. Inaonyesha wazi nguvu za ziada zinahitajika kuiwezesha RT kufanikisha malengo iliyojiwekea kwa mwaka huu na miaka ijayo. Umoja na nguvu baina ya viongozi wa chama hicho pekee, haiwezi kuwa njia ya kuusaidia mchezo wa riadha Tanzania kuinuka. Bado wadau na wapenzi wa michezo nchini wameendelea kuweka uzito kusaidia mchezo huu kusonga mbele. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na vipaji vya wanariadha vijana, lakini kama watakosa misingi na msimamo imara wa kuendeleza kile walichonacho, daima tutaendelea kuwa wasindikizaji katika mashindano kwa shuhudia mataifa ya wenzetu yakibeba medali na kuweka rekodi bora zaidi. Hivi sasa tunajivunia mwanariadha Felix Simbu, ila ukweli tunatakiwa kutengeneza wanariadha wengine wengi watakaoweza kupokea kijiti cha Simbu, ambaye kwa siku za karibuni ameonekana kuliwakilisha vema taifa ndani na nje ya nchi. Wadau wa michezo ungeni mkono jitihada hizi za RT kwa ajili ya kuitangaza nchi kupita mchezo huu, ambao miaka ya nyuma ulifanya vema kimataifa kupitia wanariadha Filbert Bayi na Selemani Nyambui.  
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na JENNIFER ULLEMBO RIADHA ni moja ya michezo inayopendwa duniani kwa asilimia kubwa, kwani mbali na kuwapa watu fedha kwa kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali, pia umekuwa ukisaidia kuimarisha na kutunza afya. Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) lilianzisha mpango wa kuandaa mashindano katika baadhi ya mikoa kwa kuzingatia kanda mbalimbali, ili kuleta sura ya nchi nzima katika mashindano ya Taifa. Mpango huo ulifanikiwa na ikaweza kupatikana timu ya taifa iliyoweza kuliwakilisha taifa katika Mbio za Nyika zilizofanyika Kampala, Uganda Machi 26, mwaka huu. Licha ya Tanzania kutofanya vizuri katika mashindano hayo, bado wanariadha na viongozi wa RT waliendelea kujipa moyo wa kuhakikisha mchezo huo unasonga mbele na kurudisha hadhi yake ya miaka ya nyuma. Lakini hivi sasa upepo umeonesha kubadilika kwa chama hicho kuandamwa na madeni na kujikuta kikishindwa kufanikisha baadhi ya mipango ya kuendeleza timu ya taifa. Michezo kama riadha na mingineyo midogo midogo  inashindwa kupewa uzito mkubwa kama ilivyo kwa soka, jambo ambalo kwa upande mmoja au mwingine vyama vya michezo vinajikuta vikishindwa kupiga hatua. Inaonyesha wazi nguvu za ziada zinahitajika kuiwezesha RT kufanikisha malengo iliyojiwekea kwa mwaka huu na miaka ijayo. Umoja na nguvu baina ya viongozi wa chama hicho pekee, haiwezi kuwa njia ya kuusaidia mchezo wa riadha Tanzania kuinuka. Bado wadau na wapenzi wa michezo nchini wameendelea kuweka uzito kusaidia mchezo huu kusonga mbele. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na vipaji vya wanariadha vijana, lakini kama watakosa misingi na msimamo imara wa kuendeleza kile walichonacho, daima tutaendelea kuwa wasindikizaji katika mashindano kwa shuhudia mataifa ya wenzetu yakibeba medali na kuweka rekodi bora zaidi. Hivi sasa tunajivunia mwanariadha Felix Simbu, ila ukweli tunatakiwa kutengeneza wanariadha wengine wengi watakaoweza kupokea kijiti cha Simbu, ambaye kwa siku za karibuni ameonekana kuliwakilisha vema taifa ndani na nje ya nchi. Wadau wa michezo ungeni mkono jitihada hizi za RT kwa ajili ya kuitangaza nchi kupita mchezo huu, ambao miaka ya nyuma ulifanya vema kimataifa kupitia wanariadha Filbert Bayi na Selemani Nyambui.   ### Response: AFYA ### End
Na ANDREW MSECHU -DAR ES SALAAM IKIWA imebaki miezi michache kuelekea Uchaguzi Mkuu, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,  Dk Ali Mohamed Shein, ametoa onyo kwa watu wanaotaka kuvuruga amani na katu serikali  hatomvulia mtu yeyote  kwa kisingizio cha kudai haki. Kutokana na hali hiyo amesema kwa sasa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inaendelea kutekeleza wajibu wake wa maandalizi ya uchaguzi huo na kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha pale itakapotangazwa rasmi. Akizungumza katika maadhimisho ya sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanazibar, Dk Shein alisema tume hiyo inaendelea na maandalizi hayo ya uchaguzi mkuu katika tarehe itakayotangazwa hapo baadaye, hivyo alitumia nafasi hiyo kuwahimiza wananchi waende kujiandikisha ili siku itakapofika waweze kuchagua viongozi watakaowataka. Hata hivyo, Dk Shein ambaye hii ni mara yake ya mwisho kushiriki sherehe hizo za Mapinduzi akiwa kiongozi wa nchi, aliwaonya wale wote wanaotaka kuvuruga amani na usalama wa Zanzibar akiwaeleza kuwa Serikali inaendelea vyema na jukumu lake la ulinzi wa watu na mali zao. “Niwakumbushe tu kuwa tutaendelea kutimiza wajibu wetu wa kisheria na kikatiba, kwa kulinda amani na usalama wa watu na mali zao na hatutachelea kuchukua hatua kwa mtu yeyote atakayejaribu kuhatarisha amani ya nchi yetu,” alisema. Alisema ni wazi kuwa hakuna mbadala wa amani katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja jamii na taifa kwa ujumla, hivyo uvunjaji wa amani huanza kwa vitendo visivyozingatia sheria za nchi, kwa hiyo wananchi wajiepushe na vitendo hivyo. Alitoa wito kwa kila mwananchi kuzingatia suala la amani na usalama kuwa ni suala la lazima na la msingi. Dk Shein alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuendelea kutunza Muungano kwa dhamira ile ile ya waasisi wa Muungano huo, ambao ni hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume, pamoja na viongozi wa Serikali za awamu zilizotangulia ili nchi iendelee kupiga hatua kubwa zaidi na kuwa ya amani na utulivu. Dk Shein alisema miongoni mwa mambo ya kujivunia katika Serikali yake ni kupitishwa kwa mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma mwaka 2011 na marekebisho ya mishahara yaliyofanyika kuanzia mwaka 2011 hadi mwaka 2017 kwa ajili ya kuboresha maslahi ya watumishi wa umma. MISHAHARA Alisema ana matumaini makubwa kuwa kutokana na hali nzuri ya makusanyo ataweza hata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama sehemu ya jitihada ya kuimarisha masilahi ya watumishi wa umma. Alisema ongezeko la mishahara ambalo limefanyika tangu kupitishwa kwa mabadiliko hayo limeongeza matumizi ya Serikali kwa zaidi ya mara 5.1 kutokana na kuongezea mishahara na kuongezeka pia kwa pensheni kwa watumishi wa umma. Alisema kutokana na maboresho hayo ya maslahi matumizi ya mishahara yalitoka Sh bilioni 83.1 mwaka 2011 hadi kufikia Sh bilioni 417.9 mwaka 2019 sawa na ongezeko la mara 5.1, hata hivyo kasi ya ukuaji wa uchumi imewezesha kulipa maslahi yote kwa kipindi chote hicho. Alisema mafanikio yaliyopatikana katika sekta zote za maendeleo ndani ya miaka 56 ya mapinduzi ni kutokana na kuednelea kuwepo kwa sababu za msingi za kufanyika mapinduzi hayo ya kuondoa ubaguzi na dhuluma na kujenga amani na umoja. KAULI YA JUZI Juzi wakati akipokea matembezi ya ‘amsha amsha’ yaliyowashirikisha makanda na wapiganaji wa vikosi vya ulinzi na usalama katika Viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja, Dk. Shein,  alisema kila mwananchi ana jukumu la kudumisha amani iliopo nchini pamoja na kulinda na kuyaenzi kikamilifu Mapinduzi  ya Zanzibar ya mwaka 1964. Alisema hatua ya wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama ya kuanzisha  aina hiyo ya matembezi, inafaa kupongezwa kwani inafanikisha dhamira ya kuwajengea ari wapinaji pamoja na kuwajengea matumaini wananchi ya kuendelea kuiamini Serikali yao. Alisema dhana ya kudumisha usalama wa nchi inatokana na Sera ya chama cha Afro Shirazi Party (ASP) iliyowekwa baada ya Mapinduzi ya 1964, na kusema dhana hiyo ni endelevu na haitokuwa na mbadala. Dk. Shein alisema baada ya Mapinduzi ya 1964, Zanzibar ilianzisha Jeshi la Ukombozi (JLU) na baada ya Muungano wa Tanzania, Jeshi la wananchi wa Tanzania liliundwa, lengo kuu likiwa ni kudumisha ulinzi na usalama  ndani na nje ya mipaka yake. Rais Dk. Shein alikemea tabia ya baadhi ya watu ya kujifanya wababe na kuidharau Serikali  na kusema kila jambo lina mipaka yake, akibainisha usawa uliopo kwa kila mwananchi mbele ya sheria. Alisema Serikali zote mbili za SMT na SMZ zinaendeshwa kwa misingi ya sheria, chini ya usimamizi wa vyombo vilivyowekwa ambavyo hufanyakazi kwa misingi ya katiba na sheria. Aliwataka wale wote waliojiandaa kufanya vituko kwa kisingizo cha uchaguzi mkuu mwaka huu kuacha mara moja na kubainisha kuwa Zanzibar ni nchi ya Mapinduzi iliopinduliwa ili wananchi waweze kuishi kwa amani na usalama. Alisema siasa isiwe sababu ya watu kufanya fujo na kusema uchaguzi unaendeshwa kwa misingi ya sheria, akibainisha azma ya Serikali ya kuwashughulikiya wale wote watakaojihusisha na uvunjifu wa amani. Alieleza kuwa vyombo vya ulinzi viko makini na vinajuwa wajibu wao na kufafanua kuwa hakutakuwepo na mtu atakaeonewa katika ushughulikiaji wa jambo hilo. CHANGAMOTO Rais huyo wa Awamu ya Saba wa Zanzibar, alisema katika kipindi chake cha mika tisa madarakani, miongoni mwa changamoto katika sekta ya afya ni suala la hospitali nyingi kubaini kasi ya ongezeko la maradhi yasiyo ya kuambukiza kama moyo, saratani na kisukari na kwamba anaamaini wataalamu wa afya watafanya tafiti zao kwa bidii ili serikali iendelee kuchukua hatua za haraka na salama kupunguza kasi ya ongezeko la maradhi hayo. Hata hivyo, Dk Shein aliamua kukatisha kusoma hotuba yake yote kwa kuwahurumia watu waliokwua uwanjani kutokana na jua kali na kwaomba wananchi waridhie aeleze machache na kwa kuwa vitabu vimechapishwa kuhusu hotuba hiyo watasoma kwa wakati wao. “Saa zimekwenda, jua limekuwa kali sana ninafahamu mtihani wanaopata watoto na vijana wetu na watu wengine katika uwanja huu, ningetamani nisome hotuba yangu yote lakini lazima tuwahurumie wale wanaotaabika na jua, jua jingi lina madhara sana,” alisema kihs akuhitimisha hotuba yame muda mchache baadaye. Alisema katika miaka tisa ya Serikali ya Awamu ya Saba ya Zanzinbar katika miaka tisa cha iliyopita ya uongoziw ake, Dk Shein alisema imefanya juhudi za maendeleo katika maeneo mbalimbali. Alisema Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imeweza kuvutia wawekezaji kwenye miradi 304 mtaji wa dola bilioni 3.74 imetekelezwa na kuzalisha ajira 16,866 katika miaka tisa iliyopita. Alisema sekta ya elimu imeimarishwa na kutoa elimu bure bila ubaguzi kama uilivyitangazwa na Karume, serikali imeongeza skuli, taasisi za elimu na wanafunzi katika ngazi zote kuanza skuli za maandalizi hadi vyuo vikuu, kadhalika sekta ya afya, maji na huduma nyingine za jamii. VIONGOZI WALIOHUDHURIA Katika sherehe hizo, viongozi mbalimbali wakiwamo wastaafu walihudhuria sherehe hizo akiwamo, Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli wote walihudhuria sherehe hizo. Pamoja nao, alikuwepo pia Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume na waliokuwa viongozi katika Serikali yake, akiwemo Shamsi Vuai Nahodha, ambaye alikuwa Waziri Kiongozi. Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani kwa Serikali ya Rais Dk. Shein, mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Frederick Sumaye nao walihudhuria sherehe hizo. MAONYESSHO Katika sherehe hizo, maonyesho ya makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yalitia fora, kutokana na makomandoo hao kuonyesha ujuzi ambao haikuwahi kuonyeshwa awali. Makomandoo hao waliduwaza washiriki katika sherehe hizo kwa kuonyesha mbinu mbalimbali ikiwemo kuvunja vigae kifuani, kuvunja vigae chini ya mkono kwa kutumia nyumndo, kuvunja vigae mkononi kwa kutumia nyumdo na shoka, mateka kuvutwa na gari na kisha kuhitimisha onyesho hilo. Awali, makomandoo hao walifanya onyesho la kutoa heshima kwa kupita wakiwa wamebebba mabegi yenye uzito wa kilogramu 30 za vifaa vuinavyowasaidia wakiwa kazini, kutoka kwa kikundi maalumu cha JWTZ. Katika maonyesho ya vikundi mbalimbali katika kuenzi Mapinduzi ya Zanzibar, JWTZ pia ilionyesha namna ya kulinda viongozi wao na askari anavyoweza kumiliki silaha. Askari polisi waliingia na onyesho la askari wa zamani, askari tarabushi, kuonyesha kwata maalumu iliyochezwa kabla ya mapinduzi ya Zanzibara mwaka 1964. Kwata hiyo iliitwa tarabushi kutokana na na kofia waliyokuwa wakivaa, ambayo iliitwa ‘taabushi’ kwa kiarabu lakini wazanzibar wakazi walishindwa kuitamka hivyo na kuiita tarabushi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ANDREW MSECHU -DAR ES SALAAM IKIWA imebaki miezi michache kuelekea Uchaguzi Mkuu, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,  Dk Ali Mohamed Shein, ametoa onyo kwa watu wanaotaka kuvuruga amani na katu serikali  hatomvulia mtu yeyote  kwa kisingizio cha kudai haki. Kutokana na hali hiyo amesema kwa sasa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inaendelea kutekeleza wajibu wake wa maandalizi ya uchaguzi huo na kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha pale itakapotangazwa rasmi. Akizungumza katika maadhimisho ya sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanazibar, Dk Shein alisema tume hiyo inaendelea na maandalizi hayo ya uchaguzi mkuu katika tarehe itakayotangazwa hapo baadaye, hivyo alitumia nafasi hiyo kuwahimiza wananchi waende kujiandikisha ili siku itakapofika waweze kuchagua viongozi watakaowataka. Hata hivyo, Dk Shein ambaye hii ni mara yake ya mwisho kushiriki sherehe hizo za Mapinduzi akiwa kiongozi wa nchi, aliwaonya wale wote wanaotaka kuvuruga amani na usalama wa Zanzibar akiwaeleza kuwa Serikali inaendelea vyema na jukumu lake la ulinzi wa watu na mali zao. “Niwakumbushe tu kuwa tutaendelea kutimiza wajibu wetu wa kisheria na kikatiba, kwa kulinda amani na usalama wa watu na mali zao na hatutachelea kuchukua hatua kwa mtu yeyote atakayejaribu kuhatarisha amani ya nchi yetu,” alisema. Alisema ni wazi kuwa hakuna mbadala wa amani katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja jamii na taifa kwa ujumla, hivyo uvunjaji wa amani huanza kwa vitendo visivyozingatia sheria za nchi, kwa hiyo wananchi wajiepushe na vitendo hivyo. Alitoa wito kwa kila mwananchi kuzingatia suala la amani na usalama kuwa ni suala la lazima na la msingi. Dk Shein alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuendelea kutunza Muungano kwa dhamira ile ile ya waasisi wa Muungano huo, ambao ni hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume, pamoja na viongozi wa Serikali za awamu zilizotangulia ili nchi iendelee kupiga hatua kubwa zaidi na kuwa ya amani na utulivu. Dk Shein alisema miongoni mwa mambo ya kujivunia katika Serikali yake ni kupitishwa kwa mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma mwaka 2011 na marekebisho ya mishahara yaliyofanyika kuanzia mwaka 2011 hadi mwaka 2017 kwa ajili ya kuboresha maslahi ya watumishi wa umma. MISHAHARA Alisema ana matumaini makubwa kuwa kutokana na hali nzuri ya makusanyo ataweza hata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama sehemu ya jitihada ya kuimarisha masilahi ya watumishi wa umma. Alisema ongezeko la mishahara ambalo limefanyika tangu kupitishwa kwa mabadiliko hayo limeongeza matumizi ya Serikali kwa zaidi ya mara 5.1 kutokana na kuongezea mishahara na kuongezeka pia kwa pensheni kwa watumishi wa umma. Alisema kutokana na maboresho hayo ya maslahi matumizi ya mishahara yalitoka Sh bilioni 83.1 mwaka 2011 hadi kufikia Sh bilioni 417.9 mwaka 2019 sawa na ongezeko la mara 5.1, hata hivyo kasi ya ukuaji wa uchumi imewezesha kulipa maslahi yote kwa kipindi chote hicho. Alisema mafanikio yaliyopatikana katika sekta zote za maendeleo ndani ya miaka 56 ya mapinduzi ni kutokana na kuednelea kuwepo kwa sababu za msingi za kufanyika mapinduzi hayo ya kuondoa ubaguzi na dhuluma na kujenga amani na umoja. KAULI YA JUZI Juzi wakati akipokea matembezi ya ‘amsha amsha’ yaliyowashirikisha makanda na wapiganaji wa vikosi vya ulinzi na usalama katika Viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Unguja, Dk. Shein,  alisema kila mwananchi ana jukumu la kudumisha amani iliopo nchini pamoja na kulinda na kuyaenzi kikamilifu Mapinduzi  ya Zanzibar ya mwaka 1964. Alisema hatua ya wakuu wa vikosi vya ulinzi na usalama ya kuanzisha  aina hiyo ya matembezi, inafaa kupongezwa kwani inafanikisha dhamira ya kuwajengea ari wapinaji pamoja na kuwajengea matumaini wananchi ya kuendelea kuiamini Serikali yao. Alisema dhana ya kudumisha usalama wa nchi inatokana na Sera ya chama cha Afro Shirazi Party (ASP) iliyowekwa baada ya Mapinduzi ya 1964, na kusema dhana hiyo ni endelevu na haitokuwa na mbadala. Dk. Shein alisema baada ya Mapinduzi ya 1964, Zanzibar ilianzisha Jeshi la Ukombozi (JLU) na baada ya Muungano wa Tanzania, Jeshi la wananchi wa Tanzania liliundwa, lengo kuu likiwa ni kudumisha ulinzi na usalama  ndani na nje ya mipaka yake. Rais Dk. Shein alikemea tabia ya baadhi ya watu ya kujifanya wababe na kuidharau Serikali  na kusema kila jambo lina mipaka yake, akibainisha usawa uliopo kwa kila mwananchi mbele ya sheria. Alisema Serikali zote mbili za SMT na SMZ zinaendeshwa kwa misingi ya sheria, chini ya usimamizi wa vyombo vilivyowekwa ambavyo hufanyakazi kwa misingi ya katiba na sheria. Aliwataka wale wote waliojiandaa kufanya vituko kwa kisingizo cha uchaguzi mkuu mwaka huu kuacha mara moja na kubainisha kuwa Zanzibar ni nchi ya Mapinduzi iliopinduliwa ili wananchi waweze kuishi kwa amani na usalama. Alisema siasa isiwe sababu ya watu kufanya fujo na kusema uchaguzi unaendeshwa kwa misingi ya sheria, akibainisha azma ya Serikali ya kuwashughulikiya wale wote watakaojihusisha na uvunjifu wa amani. Alieleza kuwa vyombo vya ulinzi viko makini na vinajuwa wajibu wao na kufafanua kuwa hakutakuwepo na mtu atakaeonewa katika ushughulikiaji wa jambo hilo. CHANGAMOTO Rais huyo wa Awamu ya Saba wa Zanzibar, alisema katika kipindi chake cha mika tisa madarakani, miongoni mwa changamoto katika sekta ya afya ni suala la hospitali nyingi kubaini kasi ya ongezeko la maradhi yasiyo ya kuambukiza kama moyo, saratani na kisukari na kwamba anaamaini wataalamu wa afya watafanya tafiti zao kwa bidii ili serikali iendelee kuchukua hatua za haraka na salama kupunguza kasi ya ongezeko la maradhi hayo. Hata hivyo, Dk Shein aliamua kukatisha kusoma hotuba yake yote kwa kuwahurumia watu waliokwua uwanjani kutokana na jua kali na kwaomba wananchi waridhie aeleze machache na kwa kuwa vitabu vimechapishwa kuhusu hotuba hiyo watasoma kwa wakati wao. “Saa zimekwenda, jua limekuwa kali sana ninafahamu mtihani wanaopata watoto na vijana wetu na watu wengine katika uwanja huu, ningetamani nisome hotuba yangu yote lakini lazima tuwahurumie wale wanaotaabika na jua, jua jingi lina madhara sana,” alisema kihs akuhitimisha hotuba yame muda mchache baadaye. Alisema katika miaka tisa ya Serikali ya Awamu ya Saba ya Zanzinbar katika miaka tisa cha iliyopita ya uongoziw ake, Dk Shein alisema imefanya juhudi za maendeleo katika maeneo mbalimbali. Alisema Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imeweza kuvutia wawekezaji kwenye miradi 304 mtaji wa dola bilioni 3.74 imetekelezwa na kuzalisha ajira 16,866 katika miaka tisa iliyopita. Alisema sekta ya elimu imeimarishwa na kutoa elimu bure bila ubaguzi kama uilivyitangazwa na Karume, serikali imeongeza skuli, taasisi za elimu na wanafunzi katika ngazi zote kuanza skuli za maandalizi hadi vyuo vikuu, kadhalika sekta ya afya, maji na huduma nyingine za jamii. VIONGOZI WALIOHUDHURIA Katika sherehe hizo, viongozi mbalimbali wakiwamo wastaafu walihudhuria sherehe hizo akiwamo, Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli wote walihudhuria sherehe hizo. Pamoja nao, alikuwepo pia Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume na waliokuwa viongozi katika Serikali yake, akiwemo Shamsi Vuai Nahodha, ambaye alikuwa Waziri Kiongozi. Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani kwa Serikali ya Rais Dk. Shein, mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Frederick Sumaye nao walihudhuria sherehe hizo. MAONYESSHO Katika sherehe hizo, maonyesho ya makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yalitia fora, kutokana na makomandoo hao kuonyesha ujuzi ambao haikuwahi kuonyeshwa awali. Makomandoo hao waliduwaza washiriki katika sherehe hizo kwa kuonyesha mbinu mbalimbali ikiwemo kuvunja vigae kifuani, kuvunja vigae chini ya mkono kwa kutumia nyumndo, kuvunja vigae mkononi kwa kutumia nyumdo na shoka, mateka kuvutwa na gari na kisha kuhitimisha onyesho hilo. Awali, makomandoo hao walifanya onyesho la kutoa heshima kwa kupita wakiwa wamebebba mabegi yenye uzito wa kilogramu 30 za vifaa vuinavyowasaidia wakiwa kazini, kutoka kwa kikundi maalumu cha JWTZ. Katika maonyesho ya vikundi mbalimbali katika kuenzi Mapinduzi ya Zanzibar, JWTZ pia ilionyesha namna ya kulinda viongozi wao na askari anavyoweza kumiliki silaha. Askari polisi waliingia na onyesho la askari wa zamani, askari tarabushi, kuonyesha kwata maalumu iliyochezwa kabla ya mapinduzi ya Zanzibara mwaka 1964. Kwata hiyo iliitwa tarabushi kutokana na na kofia waliyokuwa wakivaa, ambayo iliitwa ‘taabushi’ kwa kiarabu lakini wazanzibar wakazi walishindwa kuitamka hivyo na kuiita tarabushi. ### Response: KITAIFA ### End
WAKUU wa Mikoa ya Tabora na Geita, wamesema Jukwaa la Fursa za Biashara lililofanywa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) katika mikoa yao, limesaidia kuwajengea wananchi na wawekezaji uelewa kuhusu fursa za biashara na uwekezaji katika mikoa hiyo.Katika Mkoa wa Geita, jukwaa hilo la fursa za biashara na uwekezaji lilifanyika mwezi Agosti 2018 wakati mkoani Tabora lilifanyika mwezi Novemba 2018.Wakizungumza na gazeti hili, wakuu wa mikoa ya Tabora, Aggrey Mwanr na wa Geita, Robert Gabriel, walisema kuwa moja ya matokeo makubwa ya jukwaa hilo ni kuongezeka kwa uelewa wa wananchi kuhusu fursa za biashara zilizomo kwenye mikoa yao pamoja na uelewa kwa wawekezaji kuhusu fursa hizo.Mwanri amesema kupitia jukwaa hilo la fursa za biashara na uwekezaji, kuna kampuni moja ya Kichina imeonesha nia ya kutaka kufanya uwekezaji wa pamoja na mwananchi mmoja mzawa wa mkoa huo kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti.Amesema kiwanda hicho, kinatarajiwa kuanza kufanya kazi mwezi Aprili 2020 na kinachoendelea kwa sasa ni taratibu za kupata hati miliki.Amesema kuwa asilimia 50 ya ardhi ambayo ilikuwa hailimwi, hivi sasa imeanza kutumika kwa kilimo cha mazao mbalimbali.Mkuu wa Mkoa huyo amesema baada ya jukwaa hilo, wananchi wameelewa vizuri kuhusu suala ya uwekezaji na ujasiriamali ; na ndiyo maana Tabora ilishika nafasi ya pili kitaifa katika ugawaji wa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo maarufu ‘machinga’.“Jukwaa limekuwa na manufaa makubwa kwa sababu limeongeza uelewa wa wananchi kuhusu fursa za biashara na uwekezaji zilizomo ndani ya mkoa huu, nitoe wito kwa wananchi wa Tabora warudi nyumbani kufungua biashara, viwanda na kujenga shule za kisasa, watambue kwamba fursa hazitolewi bali zinachukuliwa, hivyo waje wawekeze nyumbani,” alieleza Mwanri.Alisema kutokana na jukwaa hilo, wameamua kutenga maeneo kadhaa kwa ajili ya biashara au uwekezaji fulani.Alitaja baadhi ya maeneo hayo kuwa ni pamoja na wilaya ya Kaliua, ambako limetengwa eneo kwa ajili ya ranchi ya mifugo, viwanda vidogo vya mazao ya misitu na kiwanda cha mafuta ya karanga na alizeti.Kwa upande wa Wilaya ya Sikonge, amesema kuna eneo limetengwa kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha kuchakata asili na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), iko tayari kutoa mikopo kupitia kitengo chao cha uwajibikaji wa kijamii (corporate social responsibility) kwa wanaotaka kuwekeza kwenye sekta hiyo.Kwa mujibu wa Mwanri, kuna eneo limetengwa kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha nyama na machinjio ya kisasa Nzega, kwa kuwa mkoa huo una ng’ombe zaidi ya milioni mbili.Alisema kupitia kiwanda hicho, wataweza kuuza ndani na nje ya nchi nyama, ngozi, pembe na samadi.“Wilaya ya Urambo tumetenga eneo kwa ajili ya kiwanda cha kuchakata tumbaku, Uyui kiwanda cha chakula cha mifugo, Igunga na Nzega tumetenga maeneo kwa ajili ya kuanzisha ranchi ndogo kwa ajili ya kuboresha mifugo,”alisema Mwanri.Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel, amesema Jukwaa la Fursa za Biashara limesaidia kujenga sifa nzuri ya mkoa huo kwenye suala la biashara na uwekezaji, ambapo awali ulisifika kwa matukio mabaya ya mauaji na ushirikina.Gabriel alisema uelewa wa wananchi kuhusu biashara ya madini, umeongezeka na ndiyo maana mkoa umeamua kufungua masoko mengi ya madini likiwemo Soko Kuu la Dhahabu Geita Mjini, Nyarugusu, Nyakagwe na Katoro na masoko mengine matano yalipangwa
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAKUU wa Mikoa ya Tabora na Geita, wamesema Jukwaa la Fursa za Biashara lililofanywa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) katika mikoa yao, limesaidia kuwajengea wananchi na wawekezaji uelewa kuhusu fursa za biashara na uwekezaji katika mikoa hiyo.Katika Mkoa wa Geita, jukwaa hilo la fursa za biashara na uwekezaji lilifanyika mwezi Agosti 2018 wakati mkoani Tabora lilifanyika mwezi Novemba 2018.Wakizungumza na gazeti hili, wakuu wa mikoa ya Tabora, Aggrey Mwanr na wa Geita, Robert Gabriel, walisema kuwa moja ya matokeo makubwa ya jukwaa hilo ni kuongezeka kwa uelewa wa wananchi kuhusu fursa za biashara zilizomo kwenye mikoa yao pamoja na uelewa kwa wawekezaji kuhusu fursa hizo.Mwanri amesema kupitia jukwaa hilo la fursa za biashara na uwekezaji, kuna kampuni moja ya Kichina imeonesha nia ya kutaka kufanya uwekezaji wa pamoja na mwananchi mmoja mzawa wa mkoa huo kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti.Amesema kiwanda hicho, kinatarajiwa kuanza kufanya kazi mwezi Aprili 2020 na kinachoendelea kwa sasa ni taratibu za kupata hati miliki.Amesema kuwa asilimia 50 ya ardhi ambayo ilikuwa hailimwi, hivi sasa imeanza kutumika kwa kilimo cha mazao mbalimbali.Mkuu wa Mkoa huyo amesema baada ya jukwaa hilo, wananchi wameelewa vizuri kuhusu suala ya uwekezaji na ujasiriamali ; na ndiyo maana Tabora ilishika nafasi ya pili kitaifa katika ugawaji wa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo maarufu ‘machinga’.“Jukwaa limekuwa na manufaa makubwa kwa sababu limeongeza uelewa wa wananchi kuhusu fursa za biashara na uwekezaji zilizomo ndani ya mkoa huu, nitoe wito kwa wananchi wa Tabora warudi nyumbani kufungua biashara, viwanda na kujenga shule za kisasa, watambue kwamba fursa hazitolewi bali zinachukuliwa, hivyo waje wawekeze nyumbani,” alieleza Mwanri.Alisema kutokana na jukwaa hilo, wameamua kutenga maeneo kadhaa kwa ajili ya biashara au uwekezaji fulani.Alitaja baadhi ya maeneo hayo kuwa ni pamoja na wilaya ya Kaliua, ambako limetengwa eneo kwa ajili ya ranchi ya mifugo, viwanda vidogo vya mazao ya misitu na kiwanda cha mafuta ya karanga na alizeti.Kwa upande wa Wilaya ya Sikonge, amesema kuna eneo limetengwa kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha kuchakata asili na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), iko tayari kutoa mikopo kupitia kitengo chao cha uwajibikaji wa kijamii (corporate social responsibility) kwa wanaotaka kuwekeza kwenye sekta hiyo.Kwa mujibu wa Mwanri, kuna eneo limetengwa kwa ajili ya uwekezaji wa kiwanda cha nyama na machinjio ya kisasa Nzega, kwa kuwa mkoa huo una ng’ombe zaidi ya milioni mbili.Alisema kupitia kiwanda hicho, wataweza kuuza ndani na nje ya nchi nyama, ngozi, pembe na samadi.“Wilaya ya Urambo tumetenga eneo kwa ajili ya kiwanda cha kuchakata tumbaku, Uyui kiwanda cha chakula cha mifugo, Igunga na Nzega tumetenga maeneo kwa ajili ya kuanzisha ranchi ndogo kwa ajili ya kuboresha mifugo,”alisema Mwanri.Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel, amesema Jukwaa la Fursa za Biashara limesaidia kujenga sifa nzuri ya mkoa huo kwenye suala la biashara na uwekezaji, ambapo awali ulisifika kwa matukio mabaya ya mauaji na ushirikina.Gabriel alisema uelewa wa wananchi kuhusu biashara ya madini, umeongezeka na ndiyo maana mkoa umeamua kufungua masoko mengi ya madini likiwemo Soko Kuu la Dhahabu Geita Mjini, Nyarugusu, Nyakagwe na Katoro na masoko mengine matano yalipangwa ### Response: UCHUMI ### End
Na ASHA  BANI-DAR ES SALAAM NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema kuanzishwa kwa mradi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), kutasaidia kukuza uchumi wa nchi. Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Mkuranga, amesema mradi huo ambao ulianzishwa na Kampuni ya Raddy Fibre Solution (LTD) unatarajiwa kutandaza mkongo wa Taifa katika wilaya 185 ikiwemo Mkuranga Akizungumza na ujumbe wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki wilayani Mkuranga, alisema kukamilika kwa mfumo huo kutaisadia wafanyabiashara wenye viwanda kujua hali ya masoko ya ndani na nje haraka. “Hivi sasa serikali ipo katika harakati za kukuza uchumi kupitia viwanda na kama mnavyofahamu Mkuranga ni eneo maalumu la kimkakati la viwanda ambalo linatakiwa kuwa na mawasiliano ya uhakika. “Ufungwaji wa mfumo huu Wilaya ya Mkuranga utaiunganisha wilaya yetu, wamiliki wa viwanda pamoja na wana Mkuranga,” alisema Ulega Hivi karibuni  Mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Mhandisi Mshamu Munde akiwa katika mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) alisema hatua za awali za mpango huo zitakuwa na manufaa kiuchumi. Alisema mfumo huo ambao unafahamika kama e-LGA unafanana na mfumo wa Serikali Mtandao (e-Gorvement) hivyo utasaidia kufanya kazi za mawasiliano kwa urahisi zaidi. “Imefika wakati sasa kwa wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kutumia mfumo huo kwa kuwa utakuwa na manufaa katika kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla hasa kwa ngazi za halmashauri. “Pia utakuwa na manufaa zaidi hasa kusaidia kurahisisha mpango wa malipo, kuingiza taarifa za afya za wilaya na hata shughuli za kiuchumi kama vile kilimo na mifugo na mifumo mingineyo “Utasaidia kuunganisha masoko kwa wafanyabiashara, wakulima wa nyanya Iringa kuweza kufanya biashara na wakulima wa mpunga Mbeya na Korosho Mkuranga kwa kuwasiliana kupitia mkongo wa mawasiliano.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na ASHA  BANI-DAR ES SALAAM NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema kuanzishwa kwa mradi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), kutasaidia kukuza uchumi wa nchi. Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Mkuranga, amesema mradi huo ambao ulianzishwa na Kampuni ya Raddy Fibre Solution (LTD) unatarajiwa kutandaza mkongo wa Taifa katika wilaya 185 ikiwemo Mkuranga Akizungumza na ujumbe wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki wilayani Mkuranga, alisema kukamilika kwa mfumo huo kutaisadia wafanyabiashara wenye viwanda kujua hali ya masoko ya ndani na nje haraka. “Hivi sasa serikali ipo katika harakati za kukuza uchumi kupitia viwanda na kama mnavyofahamu Mkuranga ni eneo maalumu la kimkakati la viwanda ambalo linatakiwa kuwa na mawasiliano ya uhakika. “Ufungwaji wa mfumo huu Wilaya ya Mkuranga utaiunganisha wilaya yetu, wamiliki wa viwanda pamoja na wana Mkuranga,” alisema Ulega Hivi karibuni  Mkurugenzi wa halmashauri hiyo,Mhandisi Mshamu Munde akiwa katika mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ALAT) alisema hatua za awali za mpango huo zitakuwa na manufaa kiuchumi. Alisema mfumo huo ambao unafahamika kama e-LGA unafanana na mfumo wa Serikali Mtandao (e-Gorvement) hivyo utasaidia kufanya kazi za mawasiliano kwa urahisi zaidi. “Imefika wakati sasa kwa wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kutumia mfumo huo kwa kuwa utakuwa na manufaa katika kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla hasa kwa ngazi za halmashauri. “Pia utakuwa na manufaa zaidi hasa kusaidia kurahisisha mpango wa malipo, kuingiza taarifa za afya za wilaya na hata shughuli za kiuchumi kama vile kilimo na mifugo na mifumo mingineyo “Utasaidia kuunganisha masoko kwa wafanyabiashara, wakulima wa nyanya Iringa kuweza kufanya biashara na wakulima wa mpunga Mbeya na Korosho Mkuranga kwa kuwasiliana kupitia mkongo wa mawasiliano. ### Response: KITAIFA ### End
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MBUNGE wa Ubungo, Saeed Kubenea (Chadema), amesema chama hicho hakitamvumilia kiongozi yeyote anayetaka kurudisha nyuma harakati za kuleta maendeleo  na kuwataka wananchi wa jimbo hilo kutoa taarifa za kiongozi anayekwenda kinyume cha taratibu ili aweze kuchukuliwa hatua. Akizungumza na wananchi wa Kimara Mavurunza, Kubenea alisema chama hicho kimejipanga kuleta maendeleo katika jimbo hilo, hivyo kuna haja ya kuwa na viongozi waadilifu ili kuweza kufikia malengo. “Ndani ya jimbo hatutaki watu wanaotukwamisha, hata akiwa chama gani tutamchukulia hatua, hapa Mavurunza kama kuna matatizo na viongozi wenu naomba mtoe taarifa tuitishe kikao ili tuwachukulie hatua zinazostahili,” alisema Kubenea. Alisema kushirikiana na viongozi wa manispaa wamejipanga kupambana na wizi pamoja na ubadhirifu atakaofanya kiongozi ama mtumishi wa manispaa hiyo. Alisema wananchi wanapaswa kufuatilia mchanganuo wa fedha, yakiwamo mapato na matumizi kupitia viongozi wao wa serikali za mitaa pamoja na kuwahoji panapokuwa na upungufu ama udanganyifu. “Sisi tumekuja kuwafanyia kazi, tunataka kuleta maendeleo ambayo hayajaletwa ndani ya miaka hamsini, hatutaki ghiliba, tutapambana na wezi hata kama ni wa chama chetu tutamwajibisha, hatutamvumilia mtu asiye na huruma na wananchi,” alisema Kubenea. Kwa upande wa Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, alisema kitendo cha Manispaa ya Ubungo kujitegemea kitasaidia kuleta maendeleo haraka, kwakuwa fedha zinazopatikana kupitia makusanyo ya kodi zitatumika kutengeneza miundombinu ya eneo hilo tofauti na ilivyokuwa awali. “Zamani tulikuwa tunakusanya kodi za huku  unaandikiwa kikaratasi unaambiwa upeleke fedha ukajenge barabara za Mbezi au Masaki kwa mabwanyenye na kuziacha barabara za huku zikiwa na makorongo, sasa hivi fedha zetu zitatumika kutengeneza miundombinu yetu yenyewe,” alisema Jacob. Alisema manispaa hiyo yenye kata 14, inakusanya Sh bilioni 106 kwa mwaka ambazo zikitumika vizuri zinatosha kuleta maenedeleo katika eneo hilo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MBUNGE wa Ubungo, Saeed Kubenea (Chadema), amesema chama hicho hakitamvumilia kiongozi yeyote anayetaka kurudisha nyuma harakati za kuleta maendeleo  na kuwataka wananchi wa jimbo hilo kutoa taarifa za kiongozi anayekwenda kinyume cha taratibu ili aweze kuchukuliwa hatua. Akizungumza na wananchi wa Kimara Mavurunza, Kubenea alisema chama hicho kimejipanga kuleta maendeleo katika jimbo hilo, hivyo kuna haja ya kuwa na viongozi waadilifu ili kuweza kufikia malengo. “Ndani ya jimbo hatutaki watu wanaotukwamisha, hata akiwa chama gani tutamchukulia hatua, hapa Mavurunza kama kuna matatizo na viongozi wenu naomba mtoe taarifa tuitishe kikao ili tuwachukulie hatua zinazostahili,” alisema Kubenea. Alisema kushirikiana na viongozi wa manispaa wamejipanga kupambana na wizi pamoja na ubadhirifu atakaofanya kiongozi ama mtumishi wa manispaa hiyo. Alisema wananchi wanapaswa kufuatilia mchanganuo wa fedha, yakiwamo mapato na matumizi kupitia viongozi wao wa serikali za mitaa pamoja na kuwahoji panapokuwa na upungufu ama udanganyifu. “Sisi tumekuja kuwafanyia kazi, tunataka kuleta maendeleo ambayo hayajaletwa ndani ya miaka hamsini, hatutaki ghiliba, tutapambana na wezi hata kama ni wa chama chetu tutamwajibisha, hatutamvumilia mtu asiye na huruma na wananchi,” alisema Kubenea. Kwa upande wa Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, alisema kitendo cha Manispaa ya Ubungo kujitegemea kitasaidia kuleta maendeleo haraka, kwakuwa fedha zinazopatikana kupitia makusanyo ya kodi zitatumika kutengeneza miundombinu ya eneo hilo tofauti na ilivyokuwa awali. “Zamani tulikuwa tunakusanya kodi za huku  unaandikiwa kikaratasi unaambiwa upeleke fedha ukajenge barabara za Mbezi au Masaki kwa mabwanyenye na kuziacha barabara za huku zikiwa na makorongo, sasa hivi fedha zetu zitatumika kutengeneza miundombinu yetu yenyewe,” alisema Jacob. Alisema manispaa hiyo yenye kata 14, inakusanya Sh bilioni 106 kwa mwaka ambazo zikitumika vizuri zinatosha kuleta maenedeleo katika eneo hilo. ### Response: KITAIFA ### End
Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema Nape amekubali kuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo ambalo litaanzia Geita Machi 26 na kumalizikia Kahama Machi 28.“Maandalizi kuelekea Tamasha la Pasaka yanaendelea vema na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa waziri Nape, hivyo wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wajiandae kupokea ujumbe wa neno la Mungu kupitia viongozi wa dini na waimbaji wa muziki wa Injili,” alisema Msama.Pia Msama alisema baadhi ya waimbaji waliothibitisha kushiriki tamasha hilo ni Rose Muhando, Bonny Mwaitege, Upendo Nkone, Jesca BM Honore, Christopher Mwahangila, Joshua Mlelwa, Sifael Mwabuka, Jenipher Mgendi, Kwaya ya AIC Makongoro ya Mwanza na Kwaya ya Wakorintho wa pili kutoka Njombe.Viingilio katika tamasha hilo ni Sh 5,000 kwa wakubwa na kwa watoto Sh 2,000. Msama alisema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vema.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema Nape amekubali kuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo ambalo litaanzia Geita Machi 26 na kumalizikia Kahama Machi 28.“Maandalizi kuelekea Tamasha la Pasaka yanaendelea vema na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa waziri Nape, hivyo wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wajiandae kupokea ujumbe wa neno la Mungu kupitia viongozi wa dini na waimbaji wa muziki wa Injili,” alisema Msama.Pia Msama alisema baadhi ya waimbaji waliothibitisha kushiriki tamasha hilo ni Rose Muhando, Bonny Mwaitege, Upendo Nkone, Jesca BM Honore, Christopher Mwahangila, Joshua Mlelwa, Sifael Mwabuka, Jenipher Mgendi, Kwaya ya AIC Makongoro ya Mwanza na Kwaya ya Wakorintho wa pili kutoka Njombe.Viingilio katika tamasha hilo ni Sh 5,000 kwa wakubwa na kwa watoto Sh 2,000. Msama alisema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vema. ### Response: MICHEZO ### End
BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) katika kujiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwakani, limewataka Waislamu nchini kama sehemu ya Watanzania, kujitokeza kwa wingi katika hatua zote za mchakato utakapoanza ikiwamo kushiriki kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura, kugombea na kuchagua.Aidha, Bakwata limewataka Waislamu kote nchini, kujitokeza kwa wingi kuomba uongozi katika baraza hilo pindi mchakato wa uchaguzi wake, utakapoanza Februari mwakani.Katibu Mkuu wa Bakwata, Nuhu Mruma alitoa mwito huo jana, alipokuwa akihutubia mamia ya Waislamu waliojitokeza katika dua ya maadhimisho ya Siku ya Bakwata ya kufikisha miaka 51 yaliofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.Mruma alisema, “Bakwata inapenda kutumia fursa hii kuwafahamisha Waislamu wote nchini kwamba kipindi cha kufanyika Uchaguzi Mkuu wa taasisi yetu umewadia. Uchaguzi unatarajiwa kuanza mapema Februari 2020 kuanzia ngazi za misikiti, kata na hatimaye ngazi zinazofuata.”Aliwataka Waislamu kote nchini mara mchakato wa Uchaguzi wa Bakwata utakapotangazwa kuanza, wajitokeze kuchukua fomu kwa nafasi watakazzona zinafaa kwao kugombea.“Aidha, baraza linawakumbusha Waislamu wote nchini kwamba, mwaka 2020 ni Uchaguzi Mkuu wa viongozi wetu wa kiserikali kuanzia madiwani, wabunge na Rais. Baraza linawahimiza Waislamu kama sehemu ya Watanzania wajitokeze kwa wiki katika hatua zote za mchakato,” alisema Mruma.Katika sherehe hizo pia, Bakwata ilifanya dua kwa ajili ya kuombea amani nchi na Rais John Magufuli. Aidha, walimuombea hekima, busara na afya njema kiongozi wa kiimani na kiroho katika dini ya Kiislamu nchini, Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir Bin Ally ili aendelee kuwatumikia vyema Waislamu nchini.Bakwata ilianzishwa mwaka 1968 kikiwa ni chombo cha kudumu cha kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania.Tangu kuanzishwa kwake imeongozwa na mamufti watatu, ambao ni Shehe Hemed Bin Jumaa Bin Hemed kuanzia mwaka 1977 hadi 2002 alipotangulia mbele za haki, Shehe Issa Bin Shaaban Bin Simba kuanzia mwaka 2002 hadi 2015 alipofariki dunia na Shehe Mkuu wa sasa aliyeshika nafasi hiyo kuanzia mwaka 2015
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) katika kujiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwakani, limewataka Waislamu nchini kama sehemu ya Watanzania, kujitokeza kwa wingi katika hatua zote za mchakato utakapoanza ikiwamo kushiriki kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura, kugombea na kuchagua.Aidha, Bakwata limewataka Waislamu kote nchini, kujitokeza kwa wingi kuomba uongozi katika baraza hilo pindi mchakato wa uchaguzi wake, utakapoanza Februari mwakani.Katibu Mkuu wa Bakwata, Nuhu Mruma alitoa mwito huo jana, alipokuwa akihutubia mamia ya Waislamu waliojitokeza katika dua ya maadhimisho ya Siku ya Bakwata ya kufikisha miaka 51 yaliofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.Mruma alisema, “Bakwata inapenda kutumia fursa hii kuwafahamisha Waislamu wote nchini kwamba kipindi cha kufanyika Uchaguzi Mkuu wa taasisi yetu umewadia. Uchaguzi unatarajiwa kuanza mapema Februari 2020 kuanzia ngazi za misikiti, kata na hatimaye ngazi zinazofuata.”Aliwataka Waislamu kote nchini mara mchakato wa Uchaguzi wa Bakwata utakapotangazwa kuanza, wajitokeze kuchukua fomu kwa nafasi watakazzona zinafaa kwao kugombea.“Aidha, baraza linawakumbusha Waislamu wote nchini kwamba, mwaka 2020 ni Uchaguzi Mkuu wa viongozi wetu wa kiserikali kuanzia madiwani, wabunge na Rais. Baraza linawahimiza Waislamu kama sehemu ya Watanzania wajitokeze kwa wiki katika hatua zote za mchakato,” alisema Mruma.Katika sherehe hizo pia, Bakwata ilifanya dua kwa ajili ya kuombea amani nchi na Rais John Magufuli. Aidha, walimuombea hekima, busara na afya njema kiongozi wa kiimani na kiroho katika dini ya Kiislamu nchini, Mufti na Shehe Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir Bin Ally ili aendelee kuwatumikia vyema Waislamu nchini.Bakwata ilianzishwa mwaka 1968 kikiwa ni chombo cha kudumu cha kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania.Tangu kuanzishwa kwake imeongozwa na mamufti watatu, ambao ni Shehe Hemed Bin Jumaa Bin Hemed kuanzia mwaka 1977 hadi 2002 alipotangulia mbele za haki, Shehe Issa Bin Shaaban Bin Simba kuanzia mwaka 2002 hadi 2015 alipofariki dunia na Shehe Mkuu wa sasa aliyeshika nafasi hiyo kuanzia mwaka 2015 ### Response: KITAIFA ### End
Hatua hiyo ya kutenga ekari 160 katika eneo la Jitegemee, upande wa barabara ya Mandela inayolenga kuongeza ufanisi wa bandari hiyo kubwa hapa nchini na kuifanya kuwa shindani.Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alitangaza hatua hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam katika mkutano wa kuhitimisha ziara ya ujumbe wa maofisa wa serikali na wafanyabiashara kutoka jimbo la Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Ujumbe huo uliokuwa na lengo la kuimarisha biashara kati ya nchi hizo uliongozwa na Naibu Gavana wa jimbo hilo, Guibert Tshibal na waziri wa Uchukuzi wa jimbo hilo, Laurent Kahozi Sumba.Waziri Mwakyembe aliwaambia waandishi wa habari kuwa sehemu ya ardhi hiyo itawekwa kwa ajili ya jumuiya ya wafanyabiashara wa Kongo DRC.“Tunafanya hivi kwa nia ya kuimarisha bandari yetu na pia biashara na majirani zetu,” alisema.Mizigo ya DRC imekuwa ikiongezeka kwa asilimia takribani 24 kwa mwaka tangu mwaka 2004 ikiongezeka kutoka tani 155,611 hadi tani 1,117,249 mwaka 2013. Nchi ya DRC ni ya pili kwa kupitisha mizigo mingi katika bandari ya Dar es Salaam.Kwa mujibu wa takwimu zilizopo, mizigo ya DRC inachukua asilimia 25 ya mizigo yote ya nchi jirani inayopita katika bandari hiyo. Pamoja na mambo mengine, ujumbe huo ukiwa nchini ulitembelea eneo hilo pamoja na bandari ya Dar es Salaam.Waziri Mwakyembe alisema kuwa kamati ya ufundi iliyoundwa na wajumbe wa nchi hizo imekubaliana kushughulikia kero zote zinazokwamisha biashara kati ya nchi hizo. Kwa upande wake, Kahozi Sumba alisifu juhudi za Tanzania kwa hatua inazochukua kuimarisha bandari ya Dar es Salaam.“Tutazidi maradufu kutumia bandari hii,” alisema. Alisema kuwa bandari hiyo ni njia kuu ya kupitishia mizigo kwa nchi yake hivyo kuimarishwa kwake kutaleta nafuu ya maisha katika jimbo hilo na nchi ya DRC kwa ujumla.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande alisema kamati hiyo ya ufundi imekubaliana pia kuwa na orodha ya kampuni za wakala wa kupakia na kupakua mizigo katika nchi zote ili kuepuka wizi na matatizo mengine.Pia ilikubaliwa ianzishwe bandari kavu katika eneo la mpaka wa DRC na Zambia la Kasumbalesa ili kupunguza na kuondokana na tatizo sugu la msongamano wa malori ya mizigo. Kwa upande wake, Tshibal alisifu juhudi zinazofanywa na Dk Mwakyembe na serikali nzima za kuimarisha sekta ya usafiri.“Dk Mwakyembe ni hazina kwa Tanzania...ni mtu wa vitendo,” alisema Naibu Gavana huyo. Ziara hiyo imekuja kufuatia ile iliyofanywa na wenzao wa Tanzania katika jimbo hilo mapema mwezi Mei mwaka huu ambapo TPA ilifungua ofisi yake ndogo ya mawasiliano katika mji wa Lubumbashi.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Hatua hiyo ya kutenga ekari 160 katika eneo la Jitegemee, upande wa barabara ya Mandela inayolenga kuongeza ufanisi wa bandari hiyo kubwa hapa nchini na kuifanya kuwa shindani.Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alitangaza hatua hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam katika mkutano wa kuhitimisha ziara ya ujumbe wa maofisa wa serikali na wafanyabiashara kutoka jimbo la Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Ujumbe huo uliokuwa na lengo la kuimarisha biashara kati ya nchi hizo uliongozwa na Naibu Gavana wa jimbo hilo, Guibert Tshibal na waziri wa Uchukuzi wa jimbo hilo, Laurent Kahozi Sumba.Waziri Mwakyembe aliwaambia waandishi wa habari kuwa sehemu ya ardhi hiyo itawekwa kwa ajili ya jumuiya ya wafanyabiashara wa Kongo DRC.“Tunafanya hivi kwa nia ya kuimarisha bandari yetu na pia biashara na majirani zetu,” alisema.Mizigo ya DRC imekuwa ikiongezeka kwa asilimia takribani 24 kwa mwaka tangu mwaka 2004 ikiongezeka kutoka tani 155,611 hadi tani 1,117,249 mwaka 2013. Nchi ya DRC ni ya pili kwa kupitisha mizigo mingi katika bandari ya Dar es Salaam.Kwa mujibu wa takwimu zilizopo, mizigo ya DRC inachukua asilimia 25 ya mizigo yote ya nchi jirani inayopita katika bandari hiyo. Pamoja na mambo mengine, ujumbe huo ukiwa nchini ulitembelea eneo hilo pamoja na bandari ya Dar es Salaam.Waziri Mwakyembe alisema kuwa kamati ya ufundi iliyoundwa na wajumbe wa nchi hizo imekubaliana kushughulikia kero zote zinazokwamisha biashara kati ya nchi hizo. Kwa upande wake, Kahozi Sumba alisifu juhudi za Tanzania kwa hatua inazochukua kuimarisha bandari ya Dar es Salaam.“Tutazidi maradufu kutumia bandari hii,” alisema. Alisema kuwa bandari hiyo ni njia kuu ya kupitishia mizigo kwa nchi yake hivyo kuimarishwa kwake kutaleta nafuu ya maisha katika jimbo hilo na nchi ya DRC kwa ujumla.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande alisema kamati hiyo ya ufundi imekubaliana pia kuwa na orodha ya kampuni za wakala wa kupakia na kupakua mizigo katika nchi zote ili kuepuka wizi na matatizo mengine.Pia ilikubaliwa ianzishwe bandari kavu katika eneo la mpaka wa DRC na Zambia la Kasumbalesa ili kupunguza na kuondokana na tatizo sugu la msongamano wa malori ya mizigo. Kwa upande wake, Tshibal alisifu juhudi zinazofanywa na Dk Mwakyembe na serikali nzima za kuimarisha sekta ya usafiri.“Dk Mwakyembe ni hazina kwa Tanzania...ni mtu wa vitendo,” alisema Naibu Gavana huyo. Ziara hiyo imekuja kufuatia ile iliyofanywa na wenzao wa Tanzania katika jimbo hilo mapema mwezi Mei mwaka huu ambapo TPA ilifungua ofisi yake ndogo ya mawasiliano katika mji wa Lubumbashi. ### Response: UCHUMI ### End
Rais wa Sudan, Omar Al- Bashir anadaiwa kuwa tayari kuandaa mazungumzo ya amani kati ya mahasimu wawili wakuu wa Sudan Kusini, Rais Salva kiir na Riek Machar. Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Sudan ilitangaza kwamba ilitangaza pendekezo la Rais Bashir liliwasilishwa kwa Rais Kiir na ujumbe wa Sudan uliotembelea Juba Jumanne wiki hii ikiwa ni siku chache baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuidhinisha azimio linalozipatia pande zinazogombana Sudan Kusini mwezi mmoja kufikia makubaliano ya amani au kukabiliwa na vikwazo vikali zaidi. ​Ujumbe wa Sudan uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan, Al- Dierdiry Al-dhikheri. Rais Salva Kiir anaripotiwa kuthibitisha serikali yake iko tayari kushiriki kwenye mazungumzo hayo ingawa siku bado haijatajwa.  
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Rais wa Sudan, Omar Al- Bashir anadaiwa kuwa tayari kuandaa mazungumzo ya amani kati ya mahasimu wawili wakuu wa Sudan Kusini, Rais Salva kiir na Riek Machar. Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Sudan ilitangaza kwamba ilitangaza pendekezo la Rais Bashir liliwasilishwa kwa Rais Kiir na ujumbe wa Sudan uliotembelea Juba Jumanne wiki hii ikiwa ni siku chache baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuidhinisha azimio linalozipatia pande zinazogombana Sudan Kusini mwezi mmoja kufikia makubaliano ya amani au kukabiliwa na vikwazo vikali zaidi. ​Ujumbe wa Sudan uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan, Al- Dierdiry Al-dhikheri. Rais Salva Kiir anaripotiwa kuthibitisha serikali yake iko tayari kushiriki kwenye mazungumzo hayo ingawa siku bado haijatajwa.   ### Response: KIMATAIFA ### End
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ukosefu wa uadilifu ni eneo ambalo lilitia doa utendaji wa sekta binafsi hususani pale ambapo ilishirikiana na Serikali.Ameyasema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa 18 wa mwaka wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa niaba ya Rais John Magufuli.Katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amesema, uadilifu ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi na Serikali na TPSF.Waziri Mkuu ameitaka TPSF ijifunze kwa wenzao walioendelea kwa kutokuwa na vitendo vya rushwa, kwa kutoa adhabu kwa wanaoenda kinyume na misingi ya uadilifu walijiwekea.Amesema kufanya hivyo watakuwa wamejiongezea nguvu yao kama taasisi lakini pia kupeleka ujumbe kwa wanachama wao kuwa wanathamini haki na kuchukia rushwa. Aliongeza kuwa shughuli za sekta binafsi zimeendelea kuongoza katika kuchangia pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.Amesema, kwa mujibu wa takwimu sekta ya utalii inachangia asilimia tisa, huduma asilimia 35, kilimo asilimia 26.6, madini asilimia 3.3 na sekta ya viwanda inachangia takribani asilimia 10.Waziri Mkuu alisema serikali kwa upande wake, itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuboresha miundombinu, kutoa vivutio kwenye kodi, kanuni na sheria ili kukuza sekta binafsi.Hivyo, Waziri Mkuu alisema sekta binafsi nchini nayo haina budi kutumia vema fursa hiyo ya uwepo wa mazingira wezeshi na rafiki kwa kuwekeza kwenye uchumi wa nchi.Mwenyekiti wa TPSF aliyemaliza muda wake, Reginald Mengi aliishukuru serikali ya awamu ya tano kwa hatua mbalimbali inayozichukua ikiwemo ya kupambana na rushwa na kuboresha mazingira mazuri ya kufanya biashara.Mengi amesema, takwimu za serikali na Benki ya Dunia zinaonesha uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2018 unatarajiwa kukua kwa kwa asilimia 6.9 na pato la mtu mmoja mmoja kuwa dola za kimarekani 1,000 kwa mwaka.Mbali ya kuishukuru serikali aliipongeza pia kwa maamuzi iliyochukua ya kutoa msamaha wa riba na adhabu za malimbikizo ya kodi kwa asilimia 100, alisema na kuongeza kuwa hiyo itahamasisha ulipaji kodi na pia kuondoa mizigo ya kodi na tozo kwa wafanyabiashara.Mwakalishi wa Wadau wa Maendeleo ambaye pia ni Mkurugenzi wa USAID hapa Tanzania, Andrew Karas alipongeza kuwepo kwa chombo kinachosimamia sekta binafsi kwani kinawawakilisha watu moja kwa moja.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ukosefu wa uadilifu ni eneo ambalo lilitia doa utendaji wa sekta binafsi hususani pale ambapo ilishirikiana na Serikali.Ameyasema hayo wakati anafungua Mkutano Mkuu wa 18 wa mwaka wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa niaba ya Rais John Magufuli.Katika mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amesema, uadilifu ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi na Serikali na TPSF.Waziri Mkuu ameitaka TPSF ijifunze kwa wenzao walioendelea kwa kutokuwa na vitendo vya rushwa, kwa kutoa adhabu kwa wanaoenda kinyume na misingi ya uadilifu walijiwekea.Amesema kufanya hivyo watakuwa wamejiongezea nguvu yao kama taasisi lakini pia kupeleka ujumbe kwa wanachama wao kuwa wanathamini haki na kuchukia rushwa. Aliongeza kuwa shughuli za sekta binafsi zimeendelea kuongoza katika kuchangia pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.Amesema, kwa mujibu wa takwimu sekta ya utalii inachangia asilimia tisa, huduma asilimia 35, kilimo asilimia 26.6, madini asilimia 3.3 na sekta ya viwanda inachangia takribani asilimia 10.Waziri Mkuu alisema serikali kwa upande wake, itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuboresha miundombinu, kutoa vivutio kwenye kodi, kanuni na sheria ili kukuza sekta binafsi.Hivyo, Waziri Mkuu alisema sekta binafsi nchini nayo haina budi kutumia vema fursa hiyo ya uwepo wa mazingira wezeshi na rafiki kwa kuwekeza kwenye uchumi wa nchi.Mwenyekiti wa TPSF aliyemaliza muda wake, Reginald Mengi aliishukuru serikali ya awamu ya tano kwa hatua mbalimbali inayozichukua ikiwemo ya kupambana na rushwa na kuboresha mazingira mazuri ya kufanya biashara.Mengi amesema, takwimu za serikali na Benki ya Dunia zinaonesha uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2018 unatarajiwa kukua kwa kwa asilimia 6.9 na pato la mtu mmoja mmoja kuwa dola za kimarekani 1,000 kwa mwaka.Mbali ya kuishukuru serikali aliipongeza pia kwa maamuzi iliyochukua ya kutoa msamaha wa riba na adhabu za malimbikizo ya kodi kwa asilimia 100, alisema na kuongeza kuwa hiyo itahamasisha ulipaji kodi na pia kuondoa mizigo ya kodi na tozo kwa wafanyabiashara.Mwakalishi wa Wadau wa Maendeleo ambaye pia ni Mkurugenzi wa USAID hapa Tanzania, Andrew Karas alipongeza kuwepo kwa chombo kinachosimamia sekta binafsi kwani kinawawakilisha watu moja kwa moja. ### Response: KITAIFA ### End
Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) linatekeleza mchakato wa marekebisho ya katiba na limetoa siku 30 kwa wadau na wanatasnia ya filamu nchini kutoa maoni yao kwa rasimu ili kuwa na katiba yenye tija kwa tasnia hiyo. Rasimu ya TAFF iliundwa na kupelekwa kwa wadau na baada ya kikao cha utendaji kazi kati ya Bodi ya Filamu Tanzania, Basata na TAFF, ikaazimiwa upatikanaji wa katiba. Rais wa TAFF, Simon Mwakifamba, alisema hayo jana Dar es Salaam na kuongeza kuwa, ukusanyaji maoni utajumuisha wadau mbalimbali na wanatasnia ili kuboresha sekta ya filamu nchini.“Nitoe mwezi mmoja tu tangu siku ya leo (jana). Rasimu itapatikana kupitia njia mbalimbali iki- wamo kwenye ukurasa maalum wa Facebook, kusambazwa kwa njia mbalimbali za mitandao,” alisema Mwakifamba. Alisema baada ya kupokea maoni, kupitia kikao cha bodi, TAFF itaitisha mkutano mkuu wa wanachama wake kwa ajili ya ajenda kuu moja kisha kuipitisha ama kuikataa rasimu ya katiba hiyo pendekezwa. Alisema TAFF inawaomba wote wenye nia njema wasisite kutoa mawazo yao ili kuujenga umoja huo wa wenye tasnia ya filamu Tanzania ili kuifanya kuwa yenye mchango katika sa- fari ya Tanzania kuwa na uchumi wa kati kufikia mwaka 2025. Mbali na wadau kutakiwa kutoa maoni ya rasimu ya katiba, alisema TAFF inajivunia kuipi- gania Sera ya Filamu Tanzania tangu mwaka 2014 kwa kiasi na serikali imeshatoa ahadi kwamba kabla mwaka huu haujaisha ita- kuwa tayari imeshapatikana. Alisema pia katika sekta ya sanaa bunifu, shirikisho hilo linaendelea kufanya utafiti kuhusu sera ya miliki bunifu (IP) ambayo inalenga kuwa na maboresho makubwa katika tasnia ya filamu. Alisema shirikisho hilo lilianzishwa na wadau wa tasnia ya filamu Tanzania, kisha kupewa baraka za utendaji kazi kwa usajili namba BST 4536 wa mwaka 2010 wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) linalofanya kazi chini ya sheria ya serikali ya uendeshaji wa Tasnia ya sanaa nchini namba 4 ya mwaka 1984.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) linatekeleza mchakato wa marekebisho ya katiba na limetoa siku 30 kwa wadau na wanatasnia ya filamu nchini kutoa maoni yao kwa rasimu ili kuwa na katiba yenye tija kwa tasnia hiyo. Rasimu ya TAFF iliundwa na kupelekwa kwa wadau na baada ya kikao cha utendaji kazi kati ya Bodi ya Filamu Tanzania, Basata na TAFF, ikaazimiwa upatikanaji wa katiba. Rais wa TAFF, Simon Mwakifamba, alisema hayo jana Dar es Salaam na kuongeza kuwa, ukusanyaji maoni utajumuisha wadau mbalimbali na wanatasnia ili kuboresha sekta ya filamu nchini.“Nitoe mwezi mmoja tu tangu siku ya leo (jana). Rasimu itapatikana kupitia njia mbalimbali iki- wamo kwenye ukurasa maalum wa Facebook, kusambazwa kwa njia mbalimbali za mitandao,” alisema Mwakifamba. Alisema baada ya kupokea maoni, kupitia kikao cha bodi, TAFF itaitisha mkutano mkuu wa wanachama wake kwa ajili ya ajenda kuu moja kisha kuipitisha ama kuikataa rasimu ya katiba hiyo pendekezwa. Alisema TAFF inawaomba wote wenye nia njema wasisite kutoa mawazo yao ili kuujenga umoja huo wa wenye tasnia ya filamu Tanzania ili kuifanya kuwa yenye mchango katika sa- fari ya Tanzania kuwa na uchumi wa kati kufikia mwaka 2025. Mbali na wadau kutakiwa kutoa maoni ya rasimu ya katiba, alisema TAFF inajivunia kuipi- gania Sera ya Filamu Tanzania tangu mwaka 2014 kwa kiasi na serikali imeshatoa ahadi kwamba kabla mwaka huu haujaisha ita- kuwa tayari imeshapatikana. Alisema pia katika sekta ya sanaa bunifu, shirikisho hilo linaendelea kufanya utafiti kuhusu sera ya miliki bunifu (IP) ambayo inalenga kuwa na maboresho makubwa katika tasnia ya filamu. Alisema shirikisho hilo lilianzishwa na wadau wa tasnia ya filamu Tanzania, kisha kupewa baraka za utendaji kazi kwa usajili namba BST 4536 wa mwaka 2010 wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) linalofanya kazi chini ya sheria ya serikali ya uendeshaji wa Tasnia ya sanaa nchini namba 4 ya mwaka 1984. ### Response: MICHEZO ### End
OFISA Usalama wa Shirika la Posta Tanzania, George Mwamgabe (44) na mwenzake, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa mashitaka mawili likiwamo la kusafi risha dawa za kulevya aina ya heroin.Mbali na Mwamgabe, mshitakiwa mwingine ni Abdulrahman Msimu (54) ambaye ni dereva na mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, waliofikishwa mahakamani jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Augustina Mmbando.Akisoma mashitaka hayo, Wakili wa Serikali Aldolf Lema alidai Agosti 25, mwaka jana eneo la Posta jijini Dar es Salaam, washitakiwa hao kwa pamoja walisafirisha dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa gramu 124.55.Katika mashitaka ya pili, Wakili Lema alidai Agosti 25, 2018 katika eneo la Posta washitakiwa wote kwa pamoja walisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa gramu 1.55.Baada ya kusomewa mashitaka hayo, washitakiwa wote walikana kutenda makosa yao na upande wa mashitaka ulidai upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.Hakimu Mmbando aliwataka kila mshitakiwa kuwa na wadhamini wawili mmoja kutoka ofisi za umma watakaosaini bondi ya Sh milioni tano kila mmoja.Hata hivyo, washitakiwa wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana Hakimu Mmbando aliahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 16, mwaka huu itakapokuja tena kwa ajili ya kutajwa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- OFISA Usalama wa Shirika la Posta Tanzania, George Mwamgabe (44) na mwenzake, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa mashitaka mawili likiwamo la kusafi risha dawa za kulevya aina ya heroin.Mbali na Mwamgabe, mshitakiwa mwingine ni Abdulrahman Msimu (54) ambaye ni dereva na mkazi wa Yombo jijini Dar es Salaam, waliofikishwa mahakamani jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Augustina Mmbando.Akisoma mashitaka hayo, Wakili wa Serikali Aldolf Lema alidai Agosti 25, mwaka jana eneo la Posta jijini Dar es Salaam, washitakiwa hao kwa pamoja walisafirisha dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa gramu 124.55.Katika mashitaka ya pili, Wakili Lema alidai Agosti 25, 2018 katika eneo la Posta washitakiwa wote kwa pamoja walisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa gramu 1.55.Baada ya kusomewa mashitaka hayo, washitakiwa wote walikana kutenda makosa yao na upande wa mashitaka ulidai upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.Hakimu Mmbando aliwataka kila mshitakiwa kuwa na wadhamini wawili mmoja kutoka ofisi za umma watakaosaini bondi ya Sh milioni tano kila mmoja.Hata hivyo, washitakiwa wamerudishwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana Hakimu Mmbando aliahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 16, mwaka huu itakapokuja tena kwa ajili ya kutajwa. ### Response: KITAIFA ### End
Na John Dande -Dar es Salaam  WAKAZI zaidi ya 500,000 wanatarajia kulipwa fidia kupisha mradi wa ujenzi wa Mto Msimbazi ili kuepusha madhara yanayotokea wakati wa mvua. Akizungumza mjini hapa jana wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua madhara yanayotokea kwa wanaoishi pembezoni mwa mto huo pindi mvua zinaponyesha, Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia (CCM), alisema endapo mradi huo utafanikiwa utakuwa ni suluhisho la kudumu kwa wakazi hao. “Wizara ya Tamisemi tayari wameshatafuta suluhisho la kudumu ikiwa ni kuomba mkopo wenye masharti nafuu kwa Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya kulipa fidia,” alisema Mtulia. Alisema tayari WB imekubali na kinachosubiriwa ni Wizara ya Fedha na Mipango kuidhinisha.  “Benki ya Dunia wamekubali kutoa fedha kiasi cha dola milioni 100 na kinachosubiriwa ni Wizara ya Fedha kuidhinisha,” alisema Mtulia. Pia alisema mradi huo wa kudumu ukifanikiwa katika bonde hilo kutakuwa ni sehemu nzuri ya kupumzikia. Naye mkazi wa Kigogo, Ramadhani Yahaya, alisema mvua zimekuwa zikileta madhara makubwa ikiwamo kukosa sehemu ya kuishi. “Mvua zimekuwa zikituathiri, mwaka 2011 wakati wa mvua nyumba saba ziliondoka na maji na kwa sasa zinaponyesha tunalazimika kuhama makazi,” alisema Yahaya.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na John Dande -Dar es Salaam  WAKAZI zaidi ya 500,000 wanatarajia kulipwa fidia kupisha mradi wa ujenzi wa Mto Msimbazi ili kuepusha madhara yanayotokea wakati wa mvua. Akizungumza mjini hapa jana wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua madhara yanayotokea kwa wanaoishi pembezoni mwa mto huo pindi mvua zinaponyesha, Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia (CCM), alisema endapo mradi huo utafanikiwa utakuwa ni suluhisho la kudumu kwa wakazi hao. “Wizara ya Tamisemi tayari wameshatafuta suluhisho la kudumu ikiwa ni kuomba mkopo wenye masharti nafuu kwa Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya kulipa fidia,” alisema Mtulia. Alisema tayari WB imekubali na kinachosubiriwa ni Wizara ya Fedha na Mipango kuidhinisha.  “Benki ya Dunia wamekubali kutoa fedha kiasi cha dola milioni 100 na kinachosubiriwa ni Wizara ya Fedha kuidhinisha,” alisema Mtulia. Pia alisema mradi huo wa kudumu ukifanikiwa katika bonde hilo kutakuwa ni sehemu nzuri ya kupumzikia. Naye mkazi wa Kigogo, Ramadhani Yahaya, alisema mvua zimekuwa zikileta madhara makubwa ikiwamo kukosa sehemu ya kuishi. “Mvua zimekuwa zikituathiri, mwaka 2011 wakati wa mvua nyumba saba ziliondoka na maji na kwa sasa zinaponyesha tunalazimika kuhama makazi,” alisema Yahaya. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo amewataka viongozi na wawakilishi vya vyama vya siasa, kuhakikisha wanatoa maoni yenye tija ili kutengeneza kanuni zilizo bora, zitakazosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.Aidha, Jafo amesema uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika muda wote kati ya Novemba au Desemba, mwaka huu. Jafo alisema hayo wakati wa kufungua mkutano wa siku mbili wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, unajadili rasimu ya uchaguzi huo wa serikali za mitaa.Alisema Tanzania inaongozwa kwa utaratibu wa demokrasia, hivyo serikali iliona ulazima wa kutengeneza jukwaa la kuwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo vyama vya siasa ili kuwa na kanuni bora zitakazoendesha uchaguzi kwa amani na utulivu. Alisema kutokana na umuhimu wa vyama vya siasa katika uundwaji wa kanuni za uchaguzi, ofisi yake ilipeleka rasimu hiyo mapema kwa wadau ili kuweza kupata muda wa kupitia na kuja na maoni yaliyo bora.Jafo alisema kanuni hizo zina maeneo matatu ambayo ni Rasimu ya Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa za Mwaka 2019. Alisema pia kuna Rasimu ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa, na wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka ya Miji za Mwaka 2019 na Rasimu ya Kanuni ya Uchaguzi wa Mwenyeikiti wa wa Kitongozi katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2019. Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, John Shibuda alisema watahakikisha wanatengeneza kanuni zitakazojenga taswira nzuri ya nchi kitaifa na kimataifa. Aliomba katika kikao hicho, Msajili wa Vyama vya Siasa atoe uwianishaji wa kanuni hizo na sheria mpya ya vyama vya siasa ili isijeleta msuguano wakati wa uchaguzi huo. Baadhi ya vyama vilivyotuma wawakilishi ni Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Union for Multiparty Democracy (UMD), ACTWazalendo, NCCR-Mageuzi, National League For Democracy (NLD), United Peoples’ Democratic Party(UPDP), National Reconstruction Alliance (NRA) na Tanzania Democratic Alliance (TADEA). Vyama vingine ni Tanzania Labour Party (TLP), United Democratic Party (UDP), Demokrasia Makini (MAKINI), Democratic Party (DP), Sauti ya Umma (SAU), Tanzania Farmers Party (AFP), Chama cha Kijamii (CCK), Alliance for Democratic Change (ADC) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA).
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Nchi, Ofi si ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo amewataka viongozi na wawakilishi vya vyama vya siasa, kuhakikisha wanatoa maoni yenye tija ili kutengeneza kanuni zilizo bora, zitakazosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.Aidha, Jafo amesema uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajia kufanyika muda wote kati ya Novemba au Desemba, mwaka huu. Jafo alisema hayo wakati wa kufungua mkutano wa siku mbili wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, unajadili rasimu ya uchaguzi huo wa serikali za mitaa.Alisema Tanzania inaongozwa kwa utaratibu wa demokrasia, hivyo serikali iliona ulazima wa kutengeneza jukwaa la kuwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo vyama vya siasa ili kuwa na kanuni bora zitakazoendesha uchaguzi kwa amani na utulivu. Alisema kutokana na umuhimu wa vyama vya siasa katika uundwaji wa kanuni za uchaguzi, ofisi yake ilipeleka rasimu hiyo mapema kwa wadau ili kuweza kupata muda wa kupitia na kuja na maoni yaliyo bora.Jafo alisema kanuni hizo zina maeneo matatu ambayo ni Rasimu ya Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa za Mwaka 2019. Alisema pia kuna Rasimu ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa, na wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka ya Miji za Mwaka 2019 na Rasimu ya Kanuni ya Uchaguzi wa Mwenyeikiti wa wa Kitongozi katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2019. Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, John Shibuda alisema watahakikisha wanatengeneza kanuni zitakazojenga taswira nzuri ya nchi kitaifa na kimataifa. Aliomba katika kikao hicho, Msajili wa Vyama vya Siasa atoe uwianishaji wa kanuni hizo na sheria mpya ya vyama vya siasa ili isijeleta msuguano wakati wa uchaguzi huo. Baadhi ya vyama vilivyotuma wawakilishi ni Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Union for Multiparty Democracy (UMD), ACTWazalendo, NCCR-Mageuzi, National League For Democracy (NLD), United Peoples’ Democratic Party(UPDP), National Reconstruction Alliance (NRA) na Tanzania Democratic Alliance (TADEA). Vyama vingine ni Tanzania Labour Party (TLP), United Democratic Party (UDP), Demokrasia Makini (MAKINI), Democratic Party (DP), Sauti ya Umma (SAU), Tanzania Farmers Party (AFP), Chama cha Kijamii (CCK), Alliance for Democratic Change (ADC) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA). ### Response: KITAIFA ### End
Na Eliza Hombo, Dodoma MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema   Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekuwa ikiwatesa na kuwasumbua wafanyabishara hasa katika miji mikubwa ya Dar es Salaam, Arusha na Mbeya. Lema alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akiuliza swali la papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. “Mheshimiwa Waziri Mkuu, tunafahamu jitihada za serikali ya awamu hii ya kupigania sera ya viwanda ambalo ni jambo jema. “Kila mwenye akili timamu analipongeza ili suala la viwanda liwe na ukweli ni lazima wawekezaji na wafanyabiashara wawe na mazingira bora. “TRA wamekuwa wakitesa na kusumbua wafanyabishara hasa katika miji mikubwa ya Dar es Salaam, Arusha na Mbeya hasa katika  mkoa ninakotoka, TRA wanatumia polisi, Takukuru na usalama wa taifa kuwatishia katika masuala ya kodi. “Ili waweze kufanya biashara zao kwa uhakika nini kauli ya serikali juu ya mfumo wa TRA?”alihoji Lema. Akijibu swali hilo, Majaliwa alisema ni kweli kipo chombo kinachowajibika kukusanya kodi kutoka kwa walipa kodi wakiwamo wafanyabishara. “Ni kweli wanatambau ulipaji kodi ni wadaiwa sugu, TRA kupitia chombo chake Task Force makao makuu, ilikuwa na mkakati wa kuwapitia wadaiwa sugu. polisi, Takukuru walienda kule kuona hakuna utoaji rushwa. “Na katika msafara huo kama Arusha, polisi walikuwa wanatumia silaha na utaratibu kama fedha zinaweza kulipwa papo kwa papo na nimshukuru RC wa Arusha kwa kuwaita wafanyabishara na kuwaeleza wale polisi walikuwapo kwa ajili ya kulinda tu na alirudisha amani. “TRA inao utaratibu, wale ambao wanadhani haiwatendei haki kusikiliza kero watumie madawati hayo kupeleka malalamiko hayo. “Serikali inawaheshimu wafanyabishara na inatambua umuhimu wao wa kulipa kodi na kila mmoja  atambue wajibu wetu na waendelee kutoa ushirikiano na haiwapelekei hofu,”alisema Majaliwa. Katika swali la nyongeza  Lema aliuliza: ”Kwa sababu TRA ina sheria zake na kwa kuwa hiyo task force inahusu wadaiwa sugu, kwa nini sheria hizo zisitekelezwe kuliko kutumia hiki chombo task force ambacho kinatumia Takukuru, usalama wa taifa… kwa nini hata kama ni task force wasihusu TRA na sheria zote?” Akijibu hilo, Majaliwa alisema: ”Kama ambavyo nimesema, task force ni kwa ajili ya watu ambao kwa makusudi hawataki kutekeleza kulipa kodi kwa kuwatembelea wachache si wote, malengo hapa kila mmoja ana wajibu wake, polisi kama kulipa hadi afuate ulinzi wa fedha. “Takukuru yupo pale kulinda rushwa kila mmoja ana wajibu wake mdaiwa sugu kama hataki anapelekwa polisi. “Hakuna vitendo vya vionevu na halilengi kumtisha mfanyabishara. Pamoja na haya yote yanayoendelea task force haina nia mbaya kabisa wawe na amani”. 
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Eliza Hombo, Dodoma MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema   Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekuwa ikiwatesa na kuwasumbua wafanyabishara hasa katika miji mikubwa ya Dar es Salaam, Arusha na Mbeya. Lema alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akiuliza swali la papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. “Mheshimiwa Waziri Mkuu, tunafahamu jitihada za serikali ya awamu hii ya kupigania sera ya viwanda ambalo ni jambo jema. “Kila mwenye akili timamu analipongeza ili suala la viwanda liwe na ukweli ni lazima wawekezaji na wafanyabiashara wawe na mazingira bora. “TRA wamekuwa wakitesa na kusumbua wafanyabishara hasa katika miji mikubwa ya Dar es Salaam, Arusha na Mbeya hasa katika  mkoa ninakotoka, TRA wanatumia polisi, Takukuru na usalama wa taifa kuwatishia katika masuala ya kodi. “Ili waweze kufanya biashara zao kwa uhakika nini kauli ya serikali juu ya mfumo wa TRA?”alihoji Lema. Akijibu swali hilo, Majaliwa alisema ni kweli kipo chombo kinachowajibika kukusanya kodi kutoka kwa walipa kodi wakiwamo wafanyabishara. “Ni kweli wanatambau ulipaji kodi ni wadaiwa sugu, TRA kupitia chombo chake Task Force makao makuu, ilikuwa na mkakati wa kuwapitia wadaiwa sugu. polisi, Takukuru walienda kule kuona hakuna utoaji rushwa. “Na katika msafara huo kama Arusha, polisi walikuwa wanatumia silaha na utaratibu kama fedha zinaweza kulipwa papo kwa papo na nimshukuru RC wa Arusha kwa kuwaita wafanyabishara na kuwaeleza wale polisi walikuwapo kwa ajili ya kulinda tu na alirudisha amani. “TRA inao utaratibu, wale ambao wanadhani haiwatendei haki kusikiliza kero watumie madawati hayo kupeleka malalamiko hayo. “Serikali inawaheshimu wafanyabishara na inatambua umuhimu wao wa kulipa kodi na kila mmoja  atambue wajibu wetu na waendelee kutoa ushirikiano na haiwapelekei hofu,”alisema Majaliwa. Katika swali la nyongeza  Lema aliuliza: ”Kwa sababu TRA ina sheria zake na kwa kuwa hiyo task force inahusu wadaiwa sugu, kwa nini sheria hizo zisitekelezwe kuliko kutumia hiki chombo task force ambacho kinatumia Takukuru, usalama wa taifa… kwa nini hata kama ni task force wasihusu TRA na sheria zote?” Akijibu hilo, Majaliwa alisema: ”Kama ambavyo nimesema, task force ni kwa ajili ya watu ambao kwa makusudi hawataki kutekeleza kulipa kodi kwa kuwatembelea wachache si wote, malengo hapa kila mmoja ana wajibu wake, polisi kama kulipa hadi afuate ulinzi wa fedha. “Takukuru yupo pale kulinda rushwa kila mmoja ana wajibu wake mdaiwa sugu kama hataki anapelekwa polisi. “Hakuna vitendo vya vionevu na halilengi kumtisha mfanyabishara. Pamoja na haya yote yanayoendelea task force haina nia mbaya kabisa wawe na amani”.  ### Response: KITAIFA ### End
README.md exists but content is empty. Use the Edit dataset card button to edit it.
Downloads last month
3
Edit dataset card