input
stringlengths
5
25.1k
label
stringclasses
6 values
instructions-text
stringlengths
279
25.4k
Mratibu wa mbio hizo, Hidaya Kamanga alisema jana kuwa, Makonda atazindua mbio hizo katika hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam kabla magari yatakayoshiriki kwenda Bagamoyo kwa mtifuano mkali.Alisema kuwa madereva kutoka ndani na nje ya nchi tayari wameshawasili kwa ajili ya mbio hizo za kilometa tofauti tofauti. Kamanga alisema kuwa kila kitu kimekamilika kwa ajili ya mbio hizo ambazo zinaandaliwa na Mzizima Motorsports Club (MMSC) ya jijini Dar es Salaam.Madereva mbalimbali wanatarajia kuchuana katika mbio hizo za magari zinazotarajia kuwa na ushindani wa hali ya juu.Naye mdhamini wa klabu hiyo, Athumani Hamisi alisema jana kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha usalama unakuwa mkubwa kwa madereva, wana vijiji na hata mifugo.Alisema mbio hizo pia zitasaidia kukuza utalii wa ndani, kwani zitaanzia katika magofu ya Kaole Bagamoyo.Katibu wa klabu hiyo, Ajabu Maalim alisema kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha mbio hizo zinakuwa na mafanikio makubwa mwanzo mwisho, ambapo aliwataka wananchi wa Bagamoyo kujitokeza kwa wingi kuzishuhudia.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mratibu wa mbio hizo, Hidaya Kamanga alisema jana kuwa, Makonda atazindua mbio hizo katika hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam kabla magari yatakayoshiriki kwenda Bagamoyo kwa mtifuano mkali.Alisema kuwa madereva kutoka ndani na nje ya nchi tayari wameshawasili kwa ajili ya mbio hizo za kilometa tofauti tofauti. Kamanga alisema kuwa kila kitu kimekamilika kwa ajili ya mbio hizo ambazo zinaandaliwa na Mzizima Motorsports Club (MMSC) ya jijini Dar es Salaam.Madereva mbalimbali wanatarajia kuchuana katika mbio hizo za magari zinazotarajia kuwa na ushindani wa hali ya juu.Naye mdhamini wa klabu hiyo, Athumani Hamisi alisema jana kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha usalama unakuwa mkubwa kwa madereva, wana vijiji na hata mifugo.Alisema mbio hizo pia zitasaidia kukuza utalii wa ndani, kwani zitaanzia katika magofu ya Kaole Bagamoyo.Katibu wa klabu hiyo, Ajabu Maalim alisema kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha mbio hizo zinakuwa na mafanikio makubwa mwanzo mwisho, ambapo aliwataka wananchi wa Bagamoyo kujitokeza kwa wingi kuzishuhudia. ### Response: MICHEZO ### End
Watoto mapacha wasichana waliozaliwa wakiwa vichwa vyao vimeshikanana na kutenganishwa mwaka jana katika hospitali moja huko London wamerejea nyumbani nchini Pakistan. Safa na Marwa Bibi walifanyia upasuaji mkubwa mara tatu, na uliochukua zaidi ya saa 50 katika chumba cha upasuaji. Mama yao, Zainab Bibi, ameiambia BBC ni furaha yake kwamba umefika wakati wa kuwapeleka watoto hao nyumbani kuendelea na maisha yao kama kawaida.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Watoto mapacha wasichana waliozaliwa wakiwa vichwa vyao vimeshikanana na kutenganishwa mwaka jana katika hospitali moja huko London wamerejea nyumbani nchini Pakistan. Safa na Marwa Bibi walifanyia upasuaji mkubwa mara tatu, na uliochukua zaidi ya saa 50 katika chumba cha upasuaji. Mama yao, Zainab Bibi, ameiambia BBC ni furaha yake kwamba umefika wakati wa kuwapeleka watoto hao nyumbani kuendelea na maisha yao kama kawaida. ### Response: AFYA ### End
KINSHASA, CONGO MWILI wa mwimbaji nguli wa muziki wa dansi nchini DR Congo, Papa Wemba, umewasili jana nchini humo ukitokea jijini Abidjan nchini Ivory Coast alipofariki mwishoni mwa wiki iliyopita. Msanii huyo alipoteza fahamu akiwa jukwaani alipokuwa akitumbuiza baada ya kuanguka na kukimbizwa hospitali. Mwili wa msanii huyo tayari umewasili nchini kwao na kupokelewa na idadi kubwa ya watu katika uwanja wa ndege wa Kinshasa. Wengi wao walionekana wakiwa wamevaa nguo zenye picha yake huku zikiwa zimeandikwa ‘Kwaheri Papa Wemba’. Mwili wake unatarajiwa kupumzishwa katika makazi yake ya milele Jumanne ya wiki ijayo mara baada ya kuagwa siku ya Jumatatu.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KINSHASA, CONGO MWILI wa mwimbaji nguli wa muziki wa dansi nchini DR Congo, Papa Wemba, umewasili jana nchini humo ukitokea jijini Abidjan nchini Ivory Coast alipofariki mwishoni mwa wiki iliyopita. Msanii huyo alipoteza fahamu akiwa jukwaani alipokuwa akitumbuiza baada ya kuanguka na kukimbizwa hospitali. Mwili wa msanii huyo tayari umewasili nchini kwao na kupokelewa na idadi kubwa ya watu katika uwanja wa ndege wa Kinshasa. Wengi wao walionekana wakiwa wamevaa nguo zenye picha yake huku zikiwa zimeandikwa ‘Kwaheri Papa Wemba’. Mwili wake unatarajiwa kupumzishwa katika makazi yake ya milele Jumanne ya wiki ijayo mara baada ya kuagwa siku ya Jumatatu. ### Response: BURUDANI ### End
Na MWANDISHI  MAALUM -HAVANA WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba hapa nchini, Lucas Polledo, ambapo amewakaribisha wafanyabiashara wa nchi hiyo kuja kuwekeza nchini katika viwanda vya dawa. Alisema kwa sasa Serikali ya Tanzania inaagiza dawa kutoka nje ya nchi jambo ambalo linasababisha kutumia fedha nyingi, hivyo uwepo wa kiwanda utasaidia kupunguza gharama. Pia wawekezaji watakuwa na uhakika wa soko la bidhaa zao. Waziri Mkuu aliyasema hayo jana wakati akizungumza na Balozi Polledo mjini Havana. Majaliwa yuko Cuba kwa ajili ya ziara ya kikazi yenye lengo la kudumisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Alisema Serikali imedhamiria kuendeleza sekta ya viwanda nchini kama mkakati wa kukuza uchumi na kufikia uchumi wa kati, hivyo wafanyabiashara kutoka nchini Cuba wanakaribishwa kuja kuwekeza nchini, hususani katika viwanda vya dawa na sukari. Waziri Mkuu alisema licha ya Tanzania kuwa ni nchi ya amani na yenye utulivu wa kisiasa, pia imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji, jambo ambalo litawawezesha watakaokuja kuwekeza nchini. Pia alitumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya Cuba kwa ushirikiano mzuri na Serikali ya Tanzania kwa sababu Cuba ni mojawapo kati ya nchi zenye ushirikano wa muda mrefu na Tanzania. “Tanzania na Cuba zina historia ya kutosha. Tunatambua mahusiano mazuri yaliyopo kati nchi zote mbili, ambayo yalikuwepo kuanzia Serikali ya awamu ya kwanza chini ya uongozi wa Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere,” alisema Majaliwa. Kwa upande wake, Balozi Polledo alisema Serikali ya Cuba itahakikisha uhusiano wake na Serikali ya Tanzania unaendelea kuimarishwa. Pia alipongeza jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuboresha maendeleo pamoja na kukuza uchumi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI  MAALUM -HAVANA WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba hapa nchini, Lucas Polledo, ambapo amewakaribisha wafanyabiashara wa nchi hiyo kuja kuwekeza nchini katika viwanda vya dawa. Alisema kwa sasa Serikali ya Tanzania inaagiza dawa kutoka nje ya nchi jambo ambalo linasababisha kutumia fedha nyingi, hivyo uwepo wa kiwanda utasaidia kupunguza gharama. Pia wawekezaji watakuwa na uhakika wa soko la bidhaa zao. Waziri Mkuu aliyasema hayo jana wakati akizungumza na Balozi Polledo mjini Havana. Majaliwa yuko Cuba kwa ajili ya ziara ya kikazi yenye lengo la kudumisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Alisema Serikali imedhamiria kuendeleza sekta ya viwanda nchini kama mkakati wa kukuza uchumi na kufikia uchumi wa kati, hivyo wafanyabiashara kutoka nchini Cuba wanakaribishwa kuja kuwekeza nchini, hususani katika viwanda vya dawa na sukari. Waziri Mkuu alisema licha ya Tanzania kuwa ni nchi ya amani na yenye utulivu wa kisiasa, pia imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji, jambo ambalo litawawezesha watakaokuja kuwekeza nchini. Pia alitumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya Cuba kwa ushirikiano mzuri na Serikali ya Tanzania kwa sababu Cuba ni mojawapo kati ya nchi zenye ushirikano wa muda mrefu na Tanzania. “Tanzania na Cuba zina historia ya kutosha. Tunatambua mahusiano mazuri yaliyopo kati nchi zote mbili, ambayo yalikuwepo kuanzia Serikali ya awamu ya kwanza chini ya uongozi wa Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere,” alisema Majaliwa. Kwa upande wake, Balozi Polledo alisema Serikali ya Cuba itahakikisha uhusiano wake na Serikali ya Tanzania unaendelea kuimarishwa. Pia alipongeza jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuboresha maendeleo pamoja na kukuza uchumi. ### Response: KITAIFA ### End
MCHEZAJI mkongwe wa TP Mazembe, Tresor Mputu amesema timu yao itakuwa ya kwanza kuifunga Simba nyumbani kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.Simba ina sifa ya kutopoteza mechi za nyumbani kwenye michuano hiyo tangu hatua ya awali. Mazembe iliwasili nchini juzi kwa ajili ya kuikabili Simba kwenye mechi ya robo fainali ya michuano hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mputu aliyasema hayo baada ya kuwasili nchini ambapo alisema anajua kuwa Simba ni timu inayocheza mchezo wa nguvu na inayofanya vizuri kwenye uwanja wake hivyo wamejiandaa kupambana na kuwashangaza.“Tunajua Simba wanafanya vizuri nyumbani tumekuja kucheza nao, tutafanya nguvu tushinde na kuwa timu ya kwanza kuwafunga nyumbani kwao,” alisema. Aliongeza kuwa, “tumekuja kucheza kabumbu, mechi itakuwa nzuri sana, tunajua Simba ni timu ya nguvu sana na sisi tutafanya nguvu tushinde mechi.” Wekundu wa Msimbazi waliokuwa Morogoro kwa ajili ya mechi ya ligi iliyokuwa ichezwe juzi dhidi ya JKT Tanzania ilitarajiwa kuwasili jana Dar es Salaam kujiandaa na mchezo huo.Hata hivyo, Simba haikucheza mchezo huo wa ligi na kuahirishwa baada ya kunyesha mvua kubwa. Awali, Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori alisema atahakikisha timu hiyo inaweka historia nyingine kwa kufanya vizuri hatua hiyo ya mtoano kushinda nyumbani na kujipanga zaidi kwa ugenini. Alisema malengo yao ni kufika fainali na kwamba watajipanga kutimiza kile walichokusudia. Mara ya mwisho wekundu hao kufika fainali za michuano ya kimataifa ilikuwa mwaka 1993 na tangu hapo hakuna timu yoyote ya Tanzania iliyofikia mafanikio hayo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MCHEZAJI mkongwe wa TP Mazembe, Tresor Mputu amesema timu yao itakuwa ya kwanza kuifunga Simba nyumbani kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.Simba ina sifa ya kutopoteza mechi za nyumbani kwenye michuano hiyo tangu hatua ya awali. Mazembe iliwasili nchini juzi kwa ajili ya kuikabili Simba kwenye mechi ya robo fainali ya michuano hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mputu aliyasema hayo baada ya kuwasili nchini ambapo alisema anajua kuwa Simba ni timu inayocheza mchezo wa nguvu na inayofanya vizuri kwenye uwanja wake hivyo wamejiandaa kupambana na kuwashangaza.“Tunajua Simba wanafanya vizuri nyumbani tumekuja kucheza nao, tutafanya nguvu tushinde na kuwa timu ya kwanza kuwafunga nyumbani kwao,” alisema. Aliongeza kuwa, “tumekuja kucheza kabumbu, mechi itakuwa nzuri sana, tunajua Simba ni timu ya nguvu sana na sisi tutafanya nguvu tushinde mechi.” Wekundu wa Msimbazi waliokuwa Morogoro kwa ajili ya mechi ya ligi iliyokuwa ichezwe juzi dhidi ya JKT Tanzania ilitarajiwa kuwasili jana Dar es Salaam kujiandaa na mchezo huo.Hata hivyo, Simba haikucheza mchezo huo wa ligi na kuahirishwa baada ya kunyesha mvua kubwa. Awali, Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori alisema atahakikisha timu hiyo inaweka historia nyingine kwa kufanya vizuri hatua hiyo ya mtoano kushinda nyumbani na kujipanga zaidi kwa ugenini. Alisema malengo yao ni kufika fainali na kwamba watajipanga kutimiza kile walichokusudia. Mara ya mwisho wekundu hao kufika fainali za michuano ya kimataifa ilikuwa mwaka 1993 na tangu hapo hakuna timu yoyote ya Tanzania iliyofikia mafanikio hayo. ### Response: MICHEZO ### End
UGUMU wa maisha, msongo wa mawazo, mkanganyiko wa kifamilia na mahusiano ya kimapenzi ni kati ya sababu nyingi zinazosababisha mtu kuchukua uamuzi mgumu wa kujiua.Hayo yamesemwa na wanasaikolojia waliohojiwa na gazeti hili kutokana na Jeshi la Polisi mapema wiki hii kutoa takwimu za miaka minne kuwa watu 229 walijiua kwa kujichoma kisu, 367 walijinyonga, huku 75 wakinywa sumu. Mwanasaikolojia Sadaka Ghandi maarufu ‘Ant Sadaka’ alisema mpaka mtu anaamua kujiua ni kwamba kaangalia katika maisha akaona hakuna tena pa kutokea, maana yake ameshakata tamaa, na kila mtu ana namna yake ya kubeba msongo wa mawazo.Kwa upande wa mwanasaikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Novelt Deogratius alizitaja baadhi ya dalili za kumgundua mtu anayetaka kujiua ni kwanza kabisa hujitenga sana na watu, hupenda kukaa peke yake japo kwenye hili sio wote wanaopenda kujitenga wana hatari ya kufikia maamuzi hayo magumu. Kiashiria kingine ni mtu kulizungumzia sana suala la kujiua, mfano mtu hutumia maneno kama ‘natamani kujiua, au mkiskia nimekufa msishangae.’ Dalili nyingine aliyoitaja Deogratius ni mtu kuandaa mazingira rahisi ya kujiua, akisema mtu kama huyo hupenda kujiwekea mazingira yake vizuri kama vile kununua sumu, kamba na kuandika waraka wa mwisho atakaouacha baada ya kujiua, japo maandalizi hayo hufanya kwa siri kiasi cha kwamba ni vigumu kumtambua.Alisema wanaume ndiyo wanaoongoza kwa kujiua kutokana na kutopenda kuweka wazi sana matatizo na changamoto zao huku wanawake wakiwa wanaongoza kufanya majaribio mengi ya kujiua ambayo hayafanikiwi. Mwanasaikolojia huyo ametoa ushauri kwa jamii kujihusisha sana na kumcha Mungu na kuwaona wataal amu wa kisaikolojia inapobidi. Mwanasaikolojia katika Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), John Ambrose alisema yapo makundi matatu; kuna kundi la wale wanaoshindwa kudhibiti hisia zao anapata hofu anaona njia bora ni kujiua“Kundi la pili ni wale wanaokabiliwa na sonona ambao wengi wao huona hawana thamani, huhisi jamii haimthamini, wakati kundi la tatu ni kundi rika ambapo ni mabadiliko ya kutoka umri wa utoto kwenda kwenye ujana ambao wengi ufanya mazoezi na anakuwa na hisia kali hususani kwenye suala la mahusiano na wengi wanakufa vifo vya kujipiga risasi,” alisema. Ambrose alisema jamii inapaswa kuelimishwa namna ya kuwasaidia watu wenye changamoto ya sonona. Mwanasakolojia Jiwa Hassan alisema watu wengi wanajiua sio kwa sababu ya kupenda ila wanakuwa na matatizo yanayo wakabili kutokana na kukosa furaha. Hassan alisema kampeni za afya ya akili na malezi ni suala la msingi kwa jamii na watu wapeane ushauri kuhusu maisha ikiwamo kutafuta wataalamu wanaoweza kusaidia.Kijana na mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, George Shagilu alisema vijana wengi wanafikia hatua hiyo ni kutokana na changamoto mbalimbali za kimaisha wanazokutana nazo, kupata msongo wa mawazo kwa kushindwa kutatua matatizo hayo inapelekea, kukata tamaa na kujiua.Zabina Hassan alisema ukiachana na ugumu wa maisha matatizo ya familia, mabinti wengi wamekuwa wakijiua kwa visa vya kimapenzi. Shehe Ally wa Msikiti wa Manzese alisema mtu yeyote atakayechukua hatua ya kujiua mwenyewe atakuwa amefanya kitendo haramu kwa dini na kwa Mungu. Mchungaji Jonas Mniga alisema kujiua ni dhambi kubwa kwa Mungu sawa na kufanya mauaji. Shirika la Afya Dunia (WHO) lilisema watu 800,000 wanakufa kwa kujiua kila mwaka. Imeandikwa na Vicky Kimaro na Carlos Mheluka, Tudarco
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- UGUMU wa maisha, msongo wa mawazo, mkanganyiko wa kifamilia na mahusiano ya kimapenzi ni kati ya sababu nyingi zinazosababisha mtu kuchukua uamuzi mgumu wa kujiua.Hayo yamesemwa na wanasaikolojia waliohojiwa na gazeti hili kutokana na Jeshi la Polisi mapema wiki hii kutoa takwimu za miaka minne kuwa watu 229 walijiua kwa kujichoma kisu, 367 walijinyonga, huku 75 wakinywa sumu. Mwanasaikolojia Sadaka Ghandi maarufu ‘Ant Sadaka’ alisema mpaka mtu anaamua kujiua ni kwamba kaangalia katika maisha akaona hakuna tena pa kutokea, maana yake ameshakata tamaa, na kila mtu ana namna yake ya kubeba msongo wa mawazo.Kwa upande wa mwanasaikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Novelt Deogratius alizitaja baadhi ya dalili za kumgundua mtu anayetaka kujiua ni kwanza kabisa hujitenga sana na watu, hupenda kukaa peke yake japo kwenye hili sio wote wanaopenda kujitenga wana hatari ya kufikia maamuzi hayo magumu. Kiashiria kingine ni mtu kulizungumzia sana suala la kujiua, mfano mtu hutumia maneno kama ‘natamani kujiua, au mkiskia nimekufa msishangae.’ Dalili nyingine aliyoitaja Deogratius ni mtu kuandaa mazingira rahisi ya kujiua, akisema mtu kama huyo hupenda kujiwekea mazingira yake vizuri kama vile kununua sumu, kamba na kuandika waraka wa mwisho atakaouacha baada ya kujiua, japo maandalizi hayo hufanya kwa siri kiasi cha kwamba ni vigumu kumtambua.Alisema wanaume ndiyo wanaoongoza kwa kujiua kutokana na kutopenda kuweka wazi sana matatizo na changamoto zao huku wanawake wakiwa wanaongoza kufanya majaribio mengi ya kujiua ambayo hayafanikiwi. Mwanasaikolojia huyo ametoa ushauri kwa jamii kujihusisha sana na kumcha Mungu na kuwaona wataal amu wa kisaikolojia inapobidi. Mwanasaikolojia katika Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), John Ambrose alisema yapo makundi matatu; kuna kundi la wale wanaoshindwa kudhibiti hisia zao anapata hofu anaona njia bora ni kujiua“Kundi la pili ni wale wanaokabiliwa na sonona ambao wengi wao huona hawana thamani, huhisi jamii haimthamini, wakati kundi la tatu ni kundi rika ambapo ni mabadiliko ya kutoka umri wa utoto kwenda kwenye ujana ambao wengi ufanya mazoezi na anakuwa na hisia kali hususani kwenye suala la mahusiano na wengi wanakufa vifo vya kujipiga risasi,” alisema. Ambrose alisema jamii inapaswa kuelimishwa namna ya kuwasaidia watu wenye changamoto ya sonona. Mwanasakolojia Jiwa Hassan alisema watu wengi wanajiua sio kwa sababu ya kupenda ila wanakuwa na matatizo yanayo wakabili kutokana na kukosa furaha. Hassan alisema kampeni za afya ya akili na malezi ni suala la msingi kwa jamii na watu wapeane ushauri kuhusu maisha ikiwamo kutafuta wataalamu wanaoweza kusaidia.Kijana na mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, George Shagilu alisema vijana wengi wanafikia hatua hiyo ni kutokana na changamoto mbalimbali za kimaisha wanazokutana nazo, kupata msongo wa mawazo kwa kushindwa kutatua matatizo hayo inapelekea, kukata tamaa na kujiua.Zabina Hassan alisema ukiachana na ugumu wa maisha matatizo ya familia, mabinti wengi wamekuwa wakijiua kwa visa vya kimapenzi. Shehe Ally wa Msikiti wa Manzese alisema mtu yeyote atakayechukua hatua ya kujiua mwenyewe atakuwa amefanya kitendo haramu kwa dini na kwa Mungu. Mchungaji Jonas Mniga alisema kujiua ni dhambi kubwa kwa Mungu sawa na kufanya mauaji. Shirika la Afya Dunia (WHO) lilisema watu 800,000 wanakufa kwa kujiua kila mwaka. Imeandikwa na Vicky Kimaro na Carlos Mheluka, Tudarco ### Response: KITAIFA ### End
Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kamati aliyounda kuchunguza ajali ya lori la mafuta iliyotokea Agosti 10, mwaka huu mkoani Morogoro, imekamilisha majukumu yake. Akizungumza wakati akitoa hoja ya kuahirisha bunge, bungeni jijini Dodoma leo Ijumaa Septemba 13, amesema baada ya tukio hilo la kusikitisha, Agosti 12 aliunda Kamati Maalumu kwa lengo la kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali hiyo iliyosababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali. “Lengo lilikuwa kufahamu chanzo cha ajali, mazingira baada ya ajali na hatua gani zichukuliwe kuzuia matukio kama haya sambamba na kuwawajibisha wale wote ambao hawakutekeleza wajibu wao ipasavyo kabla na baada ya ajali kutokea. “Tayari kamati hiyo imekamilisha majukumu yake na mamlaka husika zimeelekezwa kuchukua hatua za kinidhamu kwa wale wote ambao hawakutekeleza majukumu yao ipasavyo,” amesema. Ajali hiyo ilitokea eneo la Msamvu mkoani Morogoro baada ya lori la mafuta kupinduka na kulipuka na kusababisha vifo vya watu 104 na watu zaidi ya 70 kujeruhiwa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kamati aliyounda kuchunguza ajali ya lori la mafuta iliyotokea Agosti 10, mwaka huu mkoani Morogoro, imekamilisha majukumu yake. Akizungumza wakati akitoa hoja ya kuahirisha bunge, bungeni jijini Dodoma leo Ijumaa Septemba 13, amesema baada ya tukio hilo la kusikitisha, Agosti 12 aliunda Kamati Maalumu kwa lengo la kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali hiyo iliyosababisha vifo, majeruhi na uharibifu wa mali. “Lengo lilikuwa kufahamu chanzo cha ajali, mazingira baada ya ajali na hatua gani zichukuliwe kuzuia matukio kama haya sambamba na kuwawajibisha wale wote ambao hawakutekeleza wajibu wao ipasavyo kabla na baada ya ajali kutokea. “Tayari kamati hiyo imekamilisha majukumu yake na mamlaka husika zimeelekezwa kuchukua hatua za kinidhamu kwa wale wote ambao hawakutekeleza majukumu yao ipasavyo,” amesema. Ajali hiyo ilitokea eneo la Msamvu mkoani Morogoro baada ya lori la mafuta kupinduka na kulipuka na kusababisha vifo vya watu 104 na watu zaidi ya 70 kujeruhiwa. ### Response: KITAIFA ### End
Jumla ya wafungwa na mahabusu 300 kutoka kwenye magereza ya Butimba, Bariadi, Mugumu, Tarime, Bunda na Kahama wameachiwa huru.Hii ni kufuatia kutekelezwa kwa agizo lililotolewa na Rais John Magufuli hivi karibuni kwa Wizara ya Sheria na Katiba na ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kupita kwenye magereza nchini na kupitia upya kesi za wafungwa na mahabusu ili walifungwa kimakosa waachiwe huru.Haya yamesemwa leo, Alhamis na Rais Magufuli katika ziara yake wilayani Kongwa alipokuwa akizungumza na wananchi.“Siwezi kutawala nchi na machozi, yataniumiza, na niwaombe polisi wasiwabambikizie kesi wananchi wanyonge, sio suala zuri,” aliongeza. Rais Magufuli ameeleza kuwa zoezi hilo la kupitia kesi hizo, litaendelea nchi zima, lengo ikiwa ni kuhakikisha haki inatengendeka ipasavyo kwa mujibu wa sheria.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Jumla ya wafungwa na mahabusu 300 kutoka kwenye magereza ya Butimba, Bariadi, Mugumu, Tarime, Bunda na Kahama wameachiwa huru.Hii ni kufuatia kutekelezwa kwa agizo lililotolewa na Rais John Magufuli hivi karibuni kwa Wizara ya Sheria na Katiba na ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kupita kwenye magereza nchini na kupitia upya kesi za wafungwa na mahabusu ili walifungwa kimakosa waachiwe huru.Haya yamesemwa leo, Alhamis na Rais Magufuli katika ziara yake wilayani Kongwa alipokuwa akizungumza na wananchi.“Siwezi kutawala nchi na machozi, yataniumiza, na niwaombe polisi wasiwabambikizie kesi wananchi wanyonge, sio suala zuri,” aliongeza. Rais Magufuli ameeleza kuwa zoezi hilo la kupitia kesi hizo, litaendelea nchi zima, lengo ikiwa ni kuhakikisha haki inatengendeka ipasavyo kwa mujibu wa sheria. ### Response: KITAIFA ### End
WANAFUNZI wanaopata mimba katika shule za msingi na sekondari Singida imepungua kwa asilimia 66.66 kutoka mimba 54 mwaka jana hadi mimba 18, Novemba 30 mwaka huu.Ofisa Elimu Sekretarieti ya Mkoa wa Singida (REO), Nelasi Mulungu alieleza kuwa kati ya idadi hiyo, wasichana wa shule za sekondari ni 15, watatu waliobaki ni kutoka shule za msingi.Akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Singida (RCC) mjini hapa juzi, Mulungu alisema wanafunzi waliopata mimba wamepungua kufuatia ushirikiano mzuri baina ya wazazi, jamii, walimu na wanafunzi.“Natoa mwito kwa jamii kuendelea kushirikiana na serikali ili kutokomeza tatizo hilo. Naomba wasichana wanaosoma kujitambua na kujiona wana thamani kubwa kuchangia maarifa kwa maendeleo ya familia zao na taifa,” alisema.Alitaka kila halmashauri ya wilaya kujenga hosteli za wasichana za kutosha ili kukabiliana na tatizo hilo na kuongeza kasi ya ujenzi wa madarasa, maabara na nyumba za walimu ili kuboresha mazingira ya utoaji wa elimu bora.Kuhusu upungufu wa walimu, Mulungu alisema mahitaji bado makubwa na serikali itakabili changamoto kadri fedha zinavyopatikana ili kuhakikisha elimu nchini inakuwa bora zaidi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WANAFUNZI wanaopata mimba katika shule za msingi na sekondari Singida imepungua kwa asilimia 66.66 kutoka mimba 54 mwaka jana hadi mimba 18, Novemba 30 mwaka huu.Ofisa Elimu Sekretarieti ya Mkoa wa Singida (REO), Nelasi Mulungu alieleza kuwa kati ya idadi hiyo, wasichana wa shule za sekondari ni 15, watatu waliobaki ni kutoka shule za msingi.Akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Singida (RCC) mjini hapa juzi, Mulungu alisema wanafunzi waliopata mimba wamepungua kufuatia ushirikiano mzuri baina ya wazazi, jamii, walimu na wanafunzi.“Natoa mwito kwa jamii kuendelea kushirikiana na serikali ili kutokomeza tatizo hilo. Naomba wasichana wanaosoma kujitambua na kujiona wana thamani kubwa kuchangia maarifa kwa maendeleo ya familia zao na taifa,” alisema.Alitaka kila halmashauri ya wilaya kujenga hosteli za wasichana za kutosha ili kukabiliana na tatizo hilo na kuongeza kasi ya ujenzi wa madarasa, maabara na nyumba za walimu ili kuboresha mazingira ya utoaji wa elimu bora.Kuhusu upungufu wa walimu, Mulungu alisema mahitaji bado makubwa na serikali itakabili changamoto kadri fedha zinavyopatikana ili kuhakikisha elimu nchini inakuwa bora zaidi. ### Response: KITAIFA ### End
Na BALINAGWE MWAMBUNGU BARA la Afrika inaelekea kurejea katika mfumo wa chama kimoja, kwani viongozi wengi wa sasa wanafanya ukandamizaji wa sauti huru na za vyama vya upinzani. Hii inatokana na ukweli kwamba nchi zinajinasibu kwa maneno tu kwamba zinaendesha utawala wa kidemokrasia, huku ziking’ang’ania na kuzidi kujichimbia katika mfumo wa zamani wa utawala wa chama kimoja. Baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema kwamba nchi hizo, ingawaje zinaendesha uchaguzi ambao viongozi wanasema ni za kidemokrasia, lakini ukweli ni kwamba uchaguzi huo ni za ujanja ujanja na sehemu nyingine ni za mabavu, huendesha uchaguzi zilizojaa vitisho. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo zina chama tawala chenye nguvu (dominant). Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni mfano halisi na dalili zote zinaonesha kwamba kinafanya kila kiwezavyo, kujiimarisha na kufanya mbinu chafu za kudhoofisha upinzani. Bado CCM ni chama dola na kinataka kiendelee kutawala bila kubughudhiwa au kunyooshewa kidole. CCM kinajiita ni Chama Cha Mapinduzi, lakini uhalisia kinafuata mfumo wa utawala wa kinguvu kutoka juu. Chama ambacho kiko tayari kufanya jambo lolote ili kiendelee kukamata hatamu za utawala, ni chama hatari kwa ustawi wa demokrasia na utengamano wa nchi. Hivi karibuni kutakuwa na uchaguzi wa madiwani katika baadhi ya mikoa, kinataka  kishike hatamu kuanzia Serikali za Mitaa, vitongoni, miji na majiji nchi nzima! Katika Afrika kuna vyama tawala vyenye nguvu na vingine ni vyama rafiki wa CCM—FRELIMO  cha Mozambiki, ZANU-PF cha Zimbabwe, ANC cha Afrika Kusini, MPLA cha Angola, SWAPO cha Namibia. Lakini kuna vyama vingine kama Botswana Democratic Party, Gabon Democratic Party, Democratic Party cha Equatorial Guines, Patriotic Salvation Movement cha Chad. Vyama vingine vyenye nguvu ni Congolese Party of Labour (Congo Brazaville), Cameroon People’s Democratic Party, National Congress (Sudan), Justice and Development Party (Morocco) na National Liberation Front (Algeria). Vyama vingine ni Rwanda Patriotic Front, National Resistance Movement (Uganda), Sudanese People’s Liberation Army (Sudan Kusini). Rally for Guinea People, Party for the Independence of Guinea and Cape Verde (PAIGC), Union for the Republic (Togo), People’s Front for Democracy and Justice (Eritrea), Ethiopia People’s Revolutionary Democratic Front na Gabonese Democratic Party. Kuna chama kinaitwa Alliance of the Presidential Majority cha DR Congo. Vyama vingi kati ya hivi, vina kila dalili ya udikteta uliovishwa joho la Mapinduzi (vingine viliingia madarakani kwa nguvu ya mtutu wa bunduki) lakini vimejivika gwanda la demokrasia huku. Ukiangalia historia ya baadhi ya vyama hivyo, vilipigania uhuru au viliziondoa kwa nguvu tawala zilizokuwapo, vikajipambanua kwamba vinalenga kujenga demokrasia na kusimamia haki, lakini sasa vinafufua mfumo mfu wa chama kimoja. Vyama hivyo vimekuwa vinafanya mbinu chafu zenye lengo la kuunyamazisha umma, kuiminya demokrasia na kukandamiza haki za msingi za binadamu. Sehemu nyingine viongozi wapinzani kutupwa gerezani kwa visingizio mbalimbali. Kuna ushahidi kuwa katika nchi nyingine, mahakama haifanyi kazi kwa misingi ya kisheria, mabunge ni butu na vyombo vya habari vimenyamazishwa isipokuwa vile vinaimba ‘wimbo ni upendao.’ Baadhi ya viongozi wa vyombo vya habari au waandishi wa habari wanaochokonoa yaliyoko chini ya zulia, ama wako kifungoni au wanaishi uhamishoni. Ni kawaida katika nchi zinazoongozwa na vyama vya Mapinduzi na kidemokrasia, huwa vinafanya chaguzi za kuzuga (window dressing) na kuingilia utendaji wa tume za uchaguzi. Nigeria, Ghana, Zambia, Malawi angalau zimeonesha mfano kwamba inawezekana kubadili uongozi wa nchi kwa njia ya sanduku la kura. Gambia inaongozwa na Muungano wa vyama vya siasa baada ya kukivunja nguvu chama tawala cha Yahya Jameh, Alliance for Patriotic Reorientaion and Construction ambacho kilikuwa madarakani kwa miaka 22. Lakini pia kuna vilivyopigania uhuru ambavyo vimepoteza nguvu, Kenya African National Union (KANU), viongozi wake wamejiunga katika mkusanyiko wa vyama maslahi uitwao Jubilee. United National Independence Party (UNIP) cha Dk. Kanneth Kaunda wa Zambia, Chama cha Malawi Congress Party, cha Dk. Kamuzu Banda na Uganda  People’s Congress (UPC) cha Dk. Milton Obote, ni kama vimepotea katika ramani za siasa, vimepoteza mvuto kwa wananchi. Kwa hiyo, vyama vya upinzani katika Afrika na hasa hapa Tanzania, vinapaswa kutambua kwamba Umoja ni Nguvu na ili viweze kuleta mabadiliko ya kweli, vinapaswa kuunda umoja, bila hivyo, havitaweza kutwaa madaraka. Ujuzi umeonesha kwamba vyama tawala hushinda uchaguzi kwa kubebwa ama na Katiba mbaya, vyombo vya dola na mahakama. Lakini wengine wanasema Katiba nzuri pekee haitoshi kama wanaopewa madaraka na kuapa kuilinda Katiba, wakishapata madaraka, wanakengeuka wanaiweka Katiba pembeni. Kenya ambayo ilitoa mfano bora wa Katiba na heshima ya mahakama, imerudi nyuma baada ya wabunge wa Jubilee kwa kuangalia maslahi yao, wametumia wingi wao katika Bunge na kupitisha sheria mbaya inayohusiana na uchaguzi. Hadi hapo itakapojengeka mifumo mizuri ya Utawala Bora, ikiwa ni pamoja na kuheshimu nguzo kuu tatu za utawala, Afrika haitaweza kuwa na Serikali zinazojali maslahi ya wananchi, kuheshimu haki zao na kuimarisha utawala wa sheria. Nchi zenye vyama vya siasa vya kidemokrasia kwa majina, viko mbali sana na misingi ya demokrasia. Vingine vinajiita kuwa ni vyama vya Kimapinduzi, lakini kiitikadi ni vyama vya kihafidhina. Viongozi wa vyama tawala wanasimama majukwaani na kusema wapinzani wana uchu wa madaraka, lakini ni wao ambao wamekuwa ving’ang’anizi wa madaraka. Katiba zimeweka vipindi vya kukaa madarakani, ikiwa ni pamoja na kutaja ukomo wa umri wa mtu kugombea urais, lakini wenye uchu wa madaraka, hubadili Katiba na kutaka kuwa Rais wa maisha. Hii inatokana na uoga kwamba uongozi wa chama kingine utawaadhibu viongozi waliofanya madudu, wezi na wabadhirifu wa rasilimali na mali ya umma. Waafrika inaonekana kuwa ni waoga, wanaogopa kutoa madaraka kwa vyama ambavyo havijawahi kuongoza nchi. Wanasiasa wengi wanaamini katika usemi wa ‘jini likujualo halikuli likakwisha.’ Afrika itatokaje kwenye mduara huu wa vyama vyenye nguvu kuwadanganya wananchi kwamba ndivyo vyenye mamlaka ya kuwaweka viongozi madarakani. Watu wengi wanaamini kwamba vyombo vya habari ndivyo vyenye dhima ya kuwajuza nani anafanya nini na wapi. Nani ni mkweli na nani ana maslahi mapana ya nchi. Lakini nafasi ya vyombo vya habari kama ‘mbwa mlinzi’ si tu kwamba mbwa huyo amefungwa mnyororo, pia amezibwa mdomo asiweze kubweka. Serikali za Kiafrika hazipendi kuanikwa, wanahabari wanaoandika habari za uchunguzi, wanakutana na vikwazo vingi, hutishwa na mara nyingine kuuawa. Ni jukumu la vyombo vya habari kuchunguza tuhuma za rushwa au makosa ya kiutendaji na udhaifu katika kufanya uamuzi. Lakini S Serikali za Kiafrika hazipendi kuanikwa. Viongozi wanaamini kwamba kuandikwa mabaya na udhaifu mara kwa mara, sawa na kuichimba Serikali na inaweza kuleta madhara kwa nchi. Ipo dhana kwamba baada ya uchaguzi, vyama pinzani viache malumbano ya kisiasa na kuungana katika kuzisaidia Serikali kutekeleza majukumu yake. Lakini wenye kupenyeza dhana hii wanasahau kwamba vyama pinzani ni kama timu shindani za mpira. Timu moja ikikosea, inapoteza ushindi. Vikiacha kuikosoa Serikali, itasinzia. Dhima ya upinzani ni kuwafanya viongozi wa Serikali kutobweteka, kuwa makini katika uamuzi wao na utendaji. Kiongozi akikosea, anaelezwa kosa lake mara moja na ikibidi anawajibishwa. Bila kuwapo upinzani makini, Serikali inakuwa goigoi, inafanya vile inavyotaka hata kama inakiuka misingi ya uwepo wake na wajibu wake kwa wananchi. Hii ndio maana ya siasa za ushindani. Serikali za Kiafrika zingependa sana upinzani uliodorora, unaosinzia, ili wananchi wasiambiwe upungufu wake. Mara nyingine viongozi wa upinzani, kwa mfano Uganda na Zimbabwe, wamekuwa wanasumbuliwa sana ili wasiwe na muda wa kutulia na kupanga mikakati na mbinu za kuikosoa Serikali. Mambo kama haya yanaonesha udhaifu wa watawala katika kujibu hoja za wapinzani, badala yake wanatumia nguvu. Kiongozi mzuri ni msikivu, anasikiliza na kuzifanyia kazi taarifa na hoja za wapinzani.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na BALINAGWE MWAMBUNGU BARA la Afrika inaelekea kurejea katika mfumo wa chama kimoja, kwani viongozi wengi wa sasa wanafanya ukandamizaji wa sauti huru na za vyama vya upinzani. Hii inatokana na ukweli kwamba nchi zinajinasibu kwa maneno tu kwamba zinaendesha utawala wa kidemokrasia, huku ziking’ang’ania na kuzidi kujichimbia katika mfumo wa zamani wa utawala wa chama kimoja. Baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema kwamba nchi hizo, ingawaje zinaendesha uchaguzi ambao viongozi wanasema ni za kidemokrasia, lakini ukweli ni kwamba uchaguzi huo ni za ujanja ujanja na sehemu nyingine ni za mabavu, huendesha uchaguzi zilizojaa vitisho. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo zina chama tawala chenye nguvu (dominant). Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni mfano halisi na dalili zote zinaonesha kwamba kinafanya kila kiwezavyo, kujiimarisha na kufanya mbinu chafu za kudhoofisha upinzani. Bado CCM ni chama dola na kinataka kiendelee kutawala bila kubughudhiwa au kunyooshewa kidole. CCM kinajiita ni Chama Cha Mapinduzi, lakini uhalisia kinafuata mfumo wa utawala wa kinguvu kutoka juu. Chama ambacho kiko tayari kufanya jambo lolote ili kiendelee kukamata hatamu za utawala, ni chama hatari kwa ustawi wa demokrasia na utengamano wa nchi. Hivi karibuni kutakuwa na uchaguzi wa madiwani katika baadhi ya mikoa, kinataka  kishike hatamu kuanzia Serikali za Mitaa, vitongoni, miji na majiji nchi nzima! Katika Afrika kuna vyama tawala vyenye nguvu na vingine ni vyama rafiki wa CCM—FRELIMO  cha Mozambiki, ZANU-PF cha Zimbabwe, ANC cha Afrika Kusini, MPLA cha Angola, SWAPO cha Namibia. Lakini kuna vyama vingine kama Botswana Democratic Party, Gabon Democratic Party, Democratic Party cha Equatorial Guines, Patriotic Salvation Movement cha Chad. Vyama vingine vyenye nguvu ni Congolese Party of Labour (Congo Brazaville), Cameroon People’s Democratic Party, National Congress (Sudan), Justice and Development Party (Morocco) na National Liberation Front (Algeria). Vyama vingine ni Rwanda Patriotic Front, National Resistance Movement (Uganda), Sudanese People’s Liberation Army (Sudan Kusini). Rally for Guinea People, Party for the Independence of Guinea and Cape Verde (PAIGC), Union for the Republic (Togo), People’s Front for Democracy and Justice (Eritrea), Ethiopia People’s Revolutionary Democratic Front na Gabonese Democratic Party. Kuna chama kinaitwa Alliance of the Presidential Majority cha DR Congo. Vyama vingi kati ya hivi, vina kila dalili ya udikteta uliovishwa joho la Mapinduzi (vingine viliingia madarakani kwa nguvu ya mtutu wa bunduki) lakini vimejivika gwanda la demokrasia huku. Ukiangalia historia ya baadhi ya vyama hivyo, vilipigania uhuru au viliziondoa kwa nguvu tawala zilizokuwapo, vikajipambanua kwamba vinalenga kujenga demokrasia na kusimamia haki, lakini sasa vinafufua mfumo mfu wa chama kimoja. Vyama hivyo vimekuwa vinafanya mbinu chafu zenye lengo la kuunyamazisha umma, kuiminya demokrasia na kukandamiza haki za msingi za binadamu. Sehemu nyingine viongozi wapinzani kutupwa gerezani kwa visingizio mbalimbali. Kuna ushahidi kuwa katika nchi nyingine, mahakama haifanyi kazi kwa misingi ya kisheria, mabunge ni butu na vyombo vya habari vimenyamazishwa isipokuwa vile vinaimba ‘wimbo ni upendao.’ Baadhi ya viongozi wa vyombo vya habari au waandishi wa habari wanaochokonoa yaliyoko chini ya zulia, ama wako kifungoni au wanaishi uhamishoni. Ni kawaida katika nchi zinazoongozwa na vyama vya Mapinduzi na kidemokrasia, huwa vinafanya chaguzi za kuzuga (window dressing) na kuingilia utendaji wa tume za uchaguzi. Nigeria, Ghana, Zambia, Malawi angalau zimeonesha mfano kwamba inawezekana kubadili uongozi wa nchi kwa njia ya sanduku la kura. Gambia inaongozwa na Muungano wa vyama vya siasa baada ya kukivunja nguvu chama tawala cha Yahya Jameh, Alliance for Patriotic Reorientaion and Construction ambacho kilikuwa madarakani kwa miaka 22. Lakini pia kuna vilivyopigania uhuru ambavyo vimepoteza nguvu, Kenya African National Union (KANU), viongozi wake wamejiunga katika mkusanyiko wa vyama maslahi uitwao Jubilee. United National Independence Party (UNIP) cha Dk. Kanneth Kaunda wa Zambia, Chama cha Malawi Congress Party, cha Dk. Kamuzu Banda na Uganda  People’s Congress (UPC) cha Dk. Milton Obote, ni kama vimepotea katika ramani za siasa, vimepoteza mvuto kwa wananchi. Kwa hiyo, vyama vya upinzani katika Afrika na hasa hapa Tanzania, vinapaswa kutambua kwamba Umoja ni Nguvu na ili viweze kuleta mabadiliko ya kweli, vinapaswa kuunda umoja, bila hivyo, havitaweza kutwaa madaraka. Ujuzi umeonesha kwamba vyama tawala hushinda uchaguzi kwa kubebwa ama na Katiba mbaya, vyombo vya dola na mahakama. Lakini wengine wanasema Katiba nzuri pekee haitoshi kama wanaopewa madaraka na kuapa kuilinda Katiba, wakishapata madaraka, wanakengeuka wanaiweka Katiba pembeni. Kenya ambayo ilitoa mfano bora wa Katiba na heshima ya mahakama, imerudi nyuma baada ya wabunge wa Jubilee kwa kuangalia maslahi yao, wametumia wingi wao katika Bunge na kupitisha sheria mbaya inayohusiana na uchaguzi. Hadi hapo itakapojengeka mifumo mizuri ya Utawala Bora, ikiwa ni pamoja na kuheshimu nguzo kuu tatu za utawala, Afrika haitaweza kuwa na Serikali zinazojali maslahi ya wananchi, kuheshimu haki zao na kuimarisha utawala wa sheria. Nchi zenye vyama vya siasa vya kidemokrasia kwa majina, viko mbali sana na misingi ya demokrasia. Vingine vinajiita kuwa ni vyama vya Kimapinduzi, lakini kiitikadi ni vyama vya kihafidhina. Viongozi wa vyama tawala wanasimama majukwaani na kusema wapinzani wana uchu wa madaraka, lakini ni wao ambao wamekuwa ving’ang’anizi wa madaraka. Katiba zimeweka vipindi vya kukaa madarakani, ikiwa ni pamoja na kutaja ukomo wa umri wa mtu kugombea urais, lakini wenye uchu wa madaraka, hubadili Katiba na kutaka kuwa Rais wa maisha. Hii inatokana na uoga kwamba uongozi wa chama kingine utawaadhibu viongozi waliofanya madudu, wezi na wabadhirifu wa rasilimali na mali ya umma. Waafrika inaonekana kuwa ni waoga, wanaogopa kutoa madaraka kwa vyama ambavyo havijawahi kuongoza nchi. Wanasiasa wengi wanaamini katika usemi wa ‘jini likujualo halikuli likakwisha.’ Afrika itatokaje kwenye mduara huu wa vyama vyenye nguvu kuwadanganya wananchi kwamba ndivyo vyenye mamlaka ya kuwaweka viongozi madarakani. Watu wengi wanaamini kwamba vyombo vya habari ndivyo vyenye dhima ya kuwajuza nani anafanya nini na wapi. Nani ni mkweli na nani ana maslahi mapana ya nchi. Lakini nafasi ya vyombo vya habari kama ‘mbwa mlinzi’ si tu kwamba mbwa huyo amefungwa mnyororo, pia amezibwa mdomo asiweze kubweka. Serikali za Kiafrika hazipendi kuanikwa, wanahabari wanaoandika habari za uchunguzi, wanakutana na vikwazo vingi, hutishwa na mara nyingine kuuawa. Ni jukumu la vyombo vya habari kuchunguza tuhuma za rushwa au makosa ya kiutendaji na udhaifu katika kufanya uamuzi. Lakini S Serikali za Kiafrika hazipendi kuanikwa. Viongozi wanaamini kwamba kuandikwa mabaya na udhaifu mara kwa mara, sawa na kuichimba Serikali na inaweza kuleta madhara kwa nchi. Ipo dhana kwamba baada ya uchaguzi, vyama pinzani viache malumbano ya kisiasa na kuungana katika kuzisaidia Serikali kutekeleza majukumu yake. Lakini wenye kupenyeza dhana hii wanasahau kwamba vyama pinzani ni kama timu shindani za mpira. Timu moja ikikosea, inapoteza ushindi. Vikiacha kuikosoa Serikali, itasinzia. Dhima ya upinzani ni kuwafanya viongozi wa Serikali kutobweteka, kuwa makini katika uamuzi wao na utendaji. Kiongozi akikosea, anaelezwa kosa lake mara moja na ikibidi anawajibishwa. Bila kuwapo upinzani makini, Serikali inakuwa goigoi, inafanya vile inavyotaka hata kama inakiuka misingi ya uwepo wake na wajibu wake kwa wananchi. Hii ndio maana ya siasa za ushindani. Serikali za Kiafrika zingependa sana upinzani uliodorora, unaosinzia, ili wananchi wasiambiwe upungufu wake. Mara nyingine viongozi wa upinzani, kwa mfano Uganda na Zimbabwe, wamekuwa wanasumbuliwa sana ili wasiwe na muda wa kutulia na kupanga mikakati na mbinu za kuikosoa Serikali. Mambo kama haya yanaonesha udhaifu wa watawala katika kujibu hoja za wapinzani, badala yake wanatumia nguvu. Kiongozi mzuri ni msikivu, anasikiliza na kuzifanyia kazi taarifa na hoja za wapinzani. ### Response: KIMATAIFA ### End
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM WASANII wanne wa sanaa mbalimbali nchini juzi wametunukiwa tuzo maalumu katika usiku wa tuzo za wasanii zilizofanyika katika ukumbi wa Nyumba ya Sanaa, Posta Dar es Salaam. Tuzo hizo zilitolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Elisante Gabriel, huku ikihudhuriwa na wasanii mbalimbali. Tuzo ya kwanza ya heshima ya sanaa za maonyesho ilikwenda kwa mwigizaji mkongwe nchini ambaye michezo yake ilikuwa ikisikika kwenye redio Tanzania enzi hizo, Bakari Mbelembe ‘Mzee Jangala’. Tuzo ya sanaa ya ufundi ilikwenda kwa Robert Yakobo ‘Sangwani’ huku tuzo ya heshima katika filamu akitunukiwa Thecla Mjata na Tuzo ya heshima katika muziki ilikwenda kwa mwimbaji mkongwe wa muziki wa mwambao, Shakira Said ‘Bi Shakira’. Akizungumza kabla ya kukabidhi tuzo hizo, Katibu huyo alisema ufike wakati wasanii watambue thamani yao na sio kujirahisisha kitendo kinachowafanya kuonekana ni rahisi. “Nyie mna thamani kubwa sana, msijirahisishe kwa kufanya kazi za bei rahisi ambazo haziendani na thamani yenu mtakuwa hamjitendei haki na kuzidi kushusha thamani ya sanaa nchini. “Serikali imetambua mchango na umuhimu wenu na ndiyo maana kuna mabadiliko makubwa yaliyofanywa kwenye wizara hii kwa kuwekwa wasanii kitu ambacho hakikuwepo, sasa tunataka kuona nanyi mnalitendea haki Taifa, nidhamu ni jambo la msingi na linapaswa kufuatwa lakini pia masuala yenu muyamalize wenyewe sio kitu kidogo mnakimbilia vyombo vya habari, mnajiharibia sifa,” alisema Gabriel. Usiku huo ulipambwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa kundi la ngoma za asili na sarakasi la Dar Creative, Msanii wa kuigiza sauti za wasanii mbalimbali na watu maarufu, Mlugaluga pamoja na bendi ya K-Mondo Sound.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM WASANII wanne wa sanaa mbalimbali nchini juzi wametunukiwa tuzo maalumu katika usiku wa tuzo za wasanii zilizofanyika katika ukumbi wa Nyumba ya Sanaa, Posta Dar es Salaam. Tuzo hizo zilitolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Elisante Gabriel, huku ikihudhuriwa na wasanii mbalimbali. Tuzo ya kwanza ya heshima ya sanaa za maonyesho ilikwenda kwa mwigizaji mkongwe nchini ambaye michezo yake ilikuwa ikisikika kwenye redio Tanzania enzi hizo, Bakari Mbelembe ‘Mzee Jangala’. Tuzo ya sanaa ya ufundi ilikwenda kwa Robert Yakobo ‘Sangwani’ huku tuzo ya heshima katika filamu akitunukiwa Thecla Mjata na Tuzo ya heshima katika muziki ilikwenda kwa mwimbaji mkongwe wa muziki wa mwambao, Shakira Said ‘Bi Shakira’. Akizungumza kabla ya kukabidhi tuzo hizo, Katibu huyo alisema ufike wakati wasanii watambue thamani yao na sio kujirahisisha kitendo kinachowafanya kuonekana ni rahisi. “Nyie mna thamani kubwa sana, msijirahisishe kwa kufanya kazi za bei rahisi ambazo haziendani na thamani yenu mtakuwa hamjitendei haki na kuzidi kushusha thamani ya sanaa nchini. “Serikali imetambua mchango na umuhimu wenu na ndiyo maana kuna mabadiliko makubwa yaliyofanywa kwenye wizara hii kwa kuwekwa wasanii kitu ambacho hakikuwepo, sasa tunataka kuona nanyi mnalitendea haki Taifa, nidhamu ni jambo la msingi na linapaswa kufuatwa lakini pia masuala yenu muyamalize wenyewe sio kitu kidogo mnakimbilia vyombo vya habari, mnajiharibia sifa,” alisema Gabriel. Usiku huo ulipambwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa kundi la ngoma za asili na sarakasi la Dar Creative, Msanii wa kuigiza sauti za wasanii mbalimbali na watu maarufu, Mlugaluga pamoja na bendi ya K-Mondo Sound. ### Response: BURUDANI ### End
Na Amina Omari, Handeni INAKADIRIWA kuwa wanawake wanawake na wasichana zaidi ya milioni 100 duniani wamefanyiwa vitendo vya ukeketaji ikiwa ni sehemu ya kutekeleza mila na desturi za jamii fulani. Barani Afrika, inakadiriwa kuwa wanawake milioni 92 wamefanyiwa vitendo vya ukeketaji wakiwa wadogo au ukubwani. Hapa nchini, mikoa inayoongoza kwa kuwapo kwa vitendo hivyo vya ukeketaji ni Tanga, Mara, Morogoro, Manyara, Dodoma na Arusha. Licha ya juhudi kubwa inayofanywa na serikali kuhakikisha elimu juu ya madhara ya ukeketaji inawafikia walengwa, bado tatizo hili limeendelea kuwapo, jambo ambalo kwa namna moja au nyingine linakwamisha ustawi wa mtoto wa kike, ikiwamo kukosa elimu. Inasemekana kuwa baadhi ya watoto hukimbia makwao kwa kukwepa kukeketwa na hivyo kushindwa kuhitimu masomo yao. Hivyo, Shirika la Afya na Tiba Barani Afrika (AMREF) limeamua kushirikiana na serikali katika kumaliza kabisa tatizo hili hapa nchini kwa baadhi ya maeneo. Kupitia mradi wa Kijana wa leo ambao unatekelezwa kwa muda wa miakamitatu wilayani Handeni, mkoani Tanga, AMREF imeamua kuelimisha umma juu ya madhara ya ukeketaji na afya ya jinsia. Kaimu  Mkurugenzi  wa AMREF Tanzania, Dk. Pius Chaya anabainisha nia ya shirika hilo kujikita katika kupunguza  na kutokomeza mila hatarishi za ukeketaji hususani katika jamii za pembezoni. Anasema kuwa elimu ya afya na ujinsia wanayotoa inawasaidia vijana waweze kujitambua na kuelewa madhara ya ukeketaji ili iwe rahisi kwao kuweza kujitetea na kujiepusha na vitendo hivyo vinavyosababisha madhara makubwa kwa wasichana. Dk. Aisha Byanaku ni Meneja wa mradi huo, ambaye anasema kuwa haukuja kwa lengo la kuharibu tamaduni pamoja na mila nzuri zilizopo kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, bali kutokomeza mila potofu zinazohatarisha afya za watoto. Anasema mradi huo umejikita kuhakikisha hakuna mtoto wa kike au mwanamke anayekeketwa. Anasema kwa miaka yote mradi umelenga kuwakomboa wasichana 500 kutokana na vitendo hivyo ambavyo  vinadhalilisha utu wa mwanamke. Hivi karibuni, mradi uliweza kufikisha mwaka mmoja na kuweza kufanikiwa kuwakomboa zaidi ya wasichana 160 wa jamii ya Kimasai, kufanyiwa ukeketaji na badala yake wamefanyiwa tohara mbadala. Wasichana hao waishio katika kata ya Kang’ata iliyoko wilayani humo, wameweza kunusurika kufanyiwa mila hiyo kufuatia elimu waliyoipata kupitia  mradi wa kijana wa leo. Dk. Byanaku anasema kufuatia elimu kuhusu madhara ya ukeketaji waliyotoa kwa jamii kwenye eneo hilo pamoja na kata za jirani, wamefanikiwa kuwakomboa wasichana hao. “Lengo la mradi ni kuhakikisha tunawakomboa wasichana wa jamii ya wafugaji na wanaoishi pembezoni kuachana na mila potofu ambazo zina madhara kwa wasichana,” anasema Dk. Byanaku. Kwa upande wao wasichana walionusurika kukeketwa, wamewaomba wazazi wao waachane na mila hiyo iliyopitwa na wakati, badala yake wawekeze nguvu kubwa katika elimu kwani ndio mkombozi wao mkubwa. Mmoja wa wasichana hao, Flora Matema (18), anasema inapofikia kwenye ngazi ya maamuzi tegemeo lao kubwa lipo kwa wazazi wao, hivyo wanaowatarajia kwa kiasi kubwa kuamua kile ambacho hakitawaletea madhara hapo baadae. “Tunaomba wazazi mtusike kwamba si kwamba mila zetu ni mbaya, bali mila ya ukeketaji ina madhara makubwa kwetu sisi wasichana kwa kuwa inatusababishia ulemavu wa kudumu,” anasema Flora. Anasema kitendo hicho kinachangia kwa kiasi kikubwa kumuharibu mtoto wa kike, hivyo anawashauri wasichana wengine wasikubali kukeketwa hovyo hovyo. Ngariba Maria Longani, anasema kuwa sheria kali iliyowekwa na serikali dhidi ya watu wanaofanya vitendo hivyo, imewafanya mangariba kukeketa watoto kwa siri. Anasema kuwa wamekuwa wakiendesha vitendo hivyo mara nyingi wakati wa likizo za masomo Juni na Desemba, ambapo watoto wa kike wakiwa likizo ili shule zinapofunguliwa waweze kuendelea na masomo yao kama kawaida. “Ninao uwezo wa kukeketa watoto hata 20 hadi 30 kwa siku inategemea na hali ya hewa kwa wakati huo. Ujira wangu ni kati ya Sh 20,000 hadi 30,000 kwa mtoto mmoja… wakati mwingine huwa nalipwa ng’ombe au mbuzi,”anabainisha Longani. Hata hivyo, anasema kipindi cha nyuma wakati anaendesha zoezi hilo hakuwa na mtoto aliyewahi kupata madhara licha ya kutokwa na damu nyingi, lakini kipindi cha hivi karibuni mambo yamekuwa tofauti, huwa wanakumbana na matatizo mengi. “Licha ya kuwa ngariba, pia nina utaalamu wa ukunga wa jadi hivyo kutokana na vitendo hivyo kwa mwaka jana wajawazito wawili waliokuwa wakijifungua walinusurika kifo baada ya kutoka kutokwa na damu nyingi kulikosababishwa na kovu la ukeketaji,” anasema. Anasema mradi wa Kijana wa leo umesaidia kuwaelimisha mangariba, wazazi na watoto juu ya madhara yatokanayo na ukeketaji, hivyo anaamini kuwa kupitia kwao wataweza kuelimisha na jamii nyingine ambazo hazikupata elimu hiyo. Naye Morani Christopher Justin anasema jamii hiyo kila rika hupitia mila mbalimbali kadiri ya ukuaji wake, lakini wamebaini kuwa mila ya ukeketaji ni kikwazo kikubwa kwa wanawake na watoto wa kike. Anasema kuwa elimu juu ya madhara ya ukeketaji imechelewa kuwafikia, lakini wanaahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyoelekezwa. “Jamii ya wafugaji ina kiongozi zaidi ya mmoja, hivyo ni lazima wote wakubaliane jambo ndipo unaweza kufanya uamuzi na jambo kuweza kutekelezeka kwa ufanisi tofauti na jamii nyingine,” anasema Justin. Jambo ambalo linaungwa mkono na mzee maarufu katika eneo hilo, Ibrahim Ntalagwa anasema wazee wa jamii ya Kimasai ndio pekee wenye uwezo wa kudhibiti mila hiyo isiweze kuendelea kutekelezwa. Anasema AMREF wameweza kuwafundisha namna bora ya kuweza kuishi licha ya kutekeleza mila nyingine, kumbe wanaweza wasimfanyie mila ya ukeketaji mwanamke na asipate madhara yoyote. “Maisha yetu ni porini, hatuna huduma yoyote inayoweza kutufikia hata taarifa juu ya madhara ya mila hiyo… lakini tunashukuru kwa mradi huu kutufikia umeweza kutufundisha mambo mengi mazuri,” anabainisha Ntalagwa. Kwa upande wake Diwani wa kata hiyo, Abraham Molel anasema jamii hiyo imekuwa nyuma kimaendeleo kwa kukosa msingi wa elimu, jambo linalowafanya waendelee kuwa nyuma kila wakati. Anasema kama wangeweza kuwekeza kwenye elimu basi jamii hiyo ingeweza kupitia mabadiliko makubwa. “Licha ya umuhimu wa elimu uliopo, lakini watoto wengi hawapelekwi shule huku jamii ikiendelea kung’ang’ania mila ambazo zimepitwa na wakati na zinazochangia kubana mabadiliko,” anasema diwani huyo. Anaiomba ofisi ya mkurungenzi kuhakikisha wanaweka mikakati ya kufuatilia kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule ndani ya kata hiyo anaanza masomo mwakani. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Noel Abel anasema mimba za utotoni pamoja na ukosefu wa taarifa sahihi za elimu ya jinsia kwa vijana ni sehemu ya changamoto  kubwa zinazowakabili vijana wilayani humo. Anasema changamoto hizo zinachangia kwa kiasi kikubwa kusababisha vijana wengi kushindwa kufikia malengo ya kimaendeleo waliyojiwekea kwa wakati na wengine huishia kukatiza ndoto hizo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Amina Omari, Handeni INAKADIRIWA kuwa wanawake wanawake na wasichana zaidi ya milioni 100 duniani wamefanyiwa vitendo vya ukeketaji ikiwa ni sehemu ya kutekeleza mila na desturi za jamii fulani. Barani Afrika, inakadiriwa kuwa wanawake milioni 92 wamefanyiwa vitendo vya ukeketaji wakiwa wadogo au ukubwani. Hapa nchini, mikoa inayoongoza kwa kuwapo kwa vitendo hivyo vya ukeketaji ni Tanga, Mara, Morogoro, Manyara, Dodoma na Arusha. Licha ya juhudi kubwa inayofanywa na serikali kuhakikisha elimu juu ya madhara ya ukeketaji inawafikia walengwa, bado tatizo hili limeendelea kuwapo, jambo ambalo kwa namna moja au nyingine linakwamisha ustawi wa mtoto wa kike, ikiwamo kukosa elimu. Inasemekana kuwa baadhi ya watoto hukimbia makwao kwa kukwepa kukeketwa na hivyo kushindwa kuhitimu masomo yao. Hivyo, Shirika la Afya na Tiba Barani Afrika (AMREF) limeamua kushirikiana na serikali katika kumaliza kabisa tatizo hili hapa nchini kwa baadhi ya maeneo. Kupitia mradi wa Kijana wa leo ambao unatekelezwa kwa muda wa miakamitatu wilayani Handeni, mkoani Tanga, AMREF imeamua kuelimisha umma juu ya madhara ya ukeketaji na afya ya jinsia. Kaimu  Mkurugenzi  wa AMREF Tanzania, Dk. Pius Chaya anabainisha nia ya shirika hilo kujikita katika kupunguza  na kutokomeza mila hatarishi za ukeketaji hususani katika jamii za pembezoni. Anasema kuwa elimu ya afya na ujinsia wanayotoa inawasaidia vijana waweze kujitambua na kuelewa madhara ya ukeketaji ili iwe rahisi kwao kuweza kujitetea na kujiepusha na vitendo hivyo vinavyosababisha madhara makubwa kwa wasichana. Dk. Aisha Byanaku ni Meneja wa mradi huo, ambaye anasema kuwa haukuja kwa lengo la kuharibu tamaduni pamoja na mila nzuri zilizopo kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai, bali kutokomeza mila potofu zinazohatarisha afya za watoto. Anasema mradi huo umejikita kuhakikisha hakuna mtoto wa kike au mwanamke anayekeketwa. Anasema kwa miaka yote mradi umelenga kuwakomboa wasichana 500 kutokana na vitendo hivyo ambavyo  vinadhalilisha utu wa mwanamke. Hivi karibuni, mradi uliweza kufikisha mwaka mmoja na kuweza kufanikiwa kuwakomboa zaidi ya wasichana 160 wa jamii ya Kimasai, kufanyiwa ukeketaji na badala yake wamefanyiwa tohara mbadala. Wasichana hao waishio katika kata ya Kang’ata iliyoko wilayani humo, wameweza kunusurika kufanyiwa mila hiyo kufuatia elimu waliyoipata kupitia  mradi wa kijana wa leo. Dk. Byanaku anasema kufuatia elimu kuhusu madhara ya ukeketaji waliyotoa kwa jamii kwenye eneo hilo pamoja na kata za jirani, wamefanikiwa kuwakomboa wasichana hao. “Lengo la mradi ni kuhakikisha tunawakomboa wasichana wa jamii ya wafugaji na wanaoishi pembezoni kuachana na mila potofu ambazo zina madhara kwa wasichana,” anasema Dk. Byanaku. Kwa upande wao wasichana walionusurika kukeketwa, wamewaomba wazazi wao waachane na mila hiyo iliyopitwa na wakati, badala yake wawekeze nguvu kubwa katika elimu kwani ndio mkombozi wao mkubwa. Mmoja wa wasichana hao, Flora Matema (18), anasema inapofikia kwenye ngazi ya maamuzi tegemeo lao kubwa lipo kwa wazazi wao, hivyo wanaowatarajia kwa kiasi kubwa kuamua kile ambacho hakitawaletea madhara hapo baadae. “Tunaomba wazazi mtusike kwamba si kwamba mila zetu ni mbaya, bali mila ya ukeketaji ina madhara makubwa kwetu sisi wasichana kwa kuwa inatusababishia ulemavu wa kudumu,” anasema Flora. Anasema kitendo hicho kinachangia kwa kiasi kikubwa kumuharibu mtoto wa kike, hivyo anawashauri wasichana wengine wasikubali kukeketwa hovyo hovyo. Ngariba Maria Longani, anasema kuwa sheria kali iliyowekwa na serikali dhidi ya watu wanaofanya vitendo hivyo, imewafanya mangariba kukeketa watoto kwa siri. Anasema kuwa wamekuwa wakiendesha vitendo hivyo mara nyingi wakati wa likizo za masomo Juni na Desemba, ambapo watoto wa kike wakiwa likizo ili shule zinapofunguliwa waweze kuendelea na masomo yao kama kawaida. “Ninao uwezo wa kukeketa watoto hata 20 hadi 30 kwa siku inategemea na hali ya hewa kwa wakati huo. Ujira wangu ni kati ya Sh 20,000 hadi 30,000 kwa mtoto mmoja… wakati mwingine huwa nalipwa ng’ombe au mbuzi,”anabainisha Longani. Hata hivyo, anasema kipindi cha nyuma wakati anaendesha zoezi hilo hakuwa na mtoto aliyewahi kupata madhara licha ya kutokwa na damu nyingi, lakini kipindi cha hivi karibuni mambo yamekuwa tofauti, huwa wanakumbana na matatizo mengi. “Licha ya kuwa ngariba, pia nina utaalamu wa ukunga wa jadi hivyo kutokana na vitendo hivyo kwa mwaka jana wajawazito wawili waliokuwa wakijifungua walinusurika kifo baada ya kutoka kutokwa na damu nyingi kulikosababishwa na kovu la ukeketaji,” anasema. Anasema mradi wa Kijana wa leo umesaidia kuwaelimisha mangariba, wazazi na watoto juu ya madhara yatokanayo na ukeketaji, hivyo anaamini kuwa kupitia kwao wataweza kuelimisha na jamii nyingine ambazo hazikupata elimu hiyo. Naye Morani Christopher Justin anasema jamii hiyo kila rika hupitia mila mbalimbali kadiri ya ukuaji wake, lakini wamebaini kuwa mila ya ukeketaji ni kikwazo kikubwa kwa wanawake na watoto wa kike. Anasema kuwa elimu juu ya madhara ya ukeketaji imechelewa kuwafikia, lakini wanaahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyoelekezwa. “Jamii ya wafugaji ina kiongozi zaidi ya mmoja, hivyo ni lazima wote wakubaliane jambo ndipo unaweza kufanya uamuzi na jambo kuweza kutekelezeka kwa ufanisi tofauti na jamii nyingine,” anasema Justin. Jambo ambalo linaungwa mkono na mzee maarufu katika eneo hilo, Ibrahim Ntalagwa anasema wazee wa jamii ya Kimasai ndio pekee wenye uwezo wa kudhibiti mila hiyo isiweze kuendelea kutekelezwa. Anasema AMREF wameweza kuwafundisha namna bora ya kuweza kuishi licha ya kutekeleza mila nyingine, kumbe wanaweza wasimfanyie mila ya ukeketaji mwanamke na asipate madhara yoyote. “Maisha yetu ni porini, hatuna huduma yoyote inayoweza kutufikia hata taarifa juu ya madhara ya mila hiyo… lakini tunashukuru kwa mradi huu kutufikia umeweza kutufundisha mambo mengi mazuri,” anabainisha Ntalagwa. Kwa upande wake Diwani wa kata hiyo, Abraham Molel anasema jamii hiyo imekuwa nyuma kimaendeleo kwa kukosa msingi wa elimu, jambo linalowafanya waendelee kuwa nyuma kila wakati. Anasema kama wangeweza kuwekeza kwenye elimu basi jamii hiyo ingeweza kupitia mabadiliko makubwa. “Licha ya umuhimu wa elimu uliopo, lakini watoto wengi hawapelekwi shule huku jamii ikiendelea kung’ang’ania mila ambazo zimepitwa na wakati na zinazochangia kubana mabadiliko,” anasema diwani huyo. Anaiomba ofisi ya mkurungenzi kuhakikisha wanaweka mikakati ya kufuatilia kila mtoto aliyefikia umri wa kwenda shule ndani ya kata hiyo anaanza masomo mwakani. Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Noel Abel anasema mimba za utotoni pamoja na ukosefu wa taarifa sahihi za elimu ya jinsia kwa vijana ni sehemu ya changamoto  kubwa zinazowakabili vijana wilayani humo. Anasema changamoto hizo zinachangia kwa kiasi kikubwa kusababisha vijana wengi kushindwa kufikia malengo ya kimaendeleo waliyojiwekea kwa wakati na wengine huishia kukatiza ndoto hizo. ### Response: KITAIFA ### End
NA ASKOFU METHOD KILAINI “UTUKUFU kwa Mungu juu na amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema”. Huu ndio ujumbe unaotangaza kuzaliwa kwa mkombozi wetu Yesu Kristu. Leo Watanzania tunaungana na Wakristo duniani kote kuadhimisha miaka 2016 ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo, Mungu na mwokozi wetu. Salamu salaamu ndiyo maneno yale  yaliyosikika mara ya kwanza siku ile alipozaliwa mwokozi wetu Yesu Kristo. Maneno haya yaliyoletwa na Malaika kutoka mbinguni kwa Mwenyezi Mungu, yakafika masikioni mwa mwanadamu yakasikika kama ifuatavyo: “Mimi nawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote; maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana”(Lk. 2:14) SHUKRANI KWA MUNGU Kristo Mwana wa Mungu nafsi ya pili ya Utatu Mtakatifu, Mungu alikuwa mwanadamu ili sisi tukombolewe. Yeye ni mwanga alikuja kuleta mwanga penye giza, kuleta amani penye mafarakano, vita na mauaji, kufundisha upendo penye chuki, maadili penye ufuska, heshima penye uduni, maonevu na udhalilishaji, utu penye unyama. Kristo alizaliwa ili sisi tupone. Kwa maandiko ya Injili ya Mt. Yohana bwana anatuambia: “Hapo Mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu … Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.” (Yn. 1:1,14) Krismasi ni sherehe kubwa kabisa tunapokumbuka tendo hilo la fumbo la ajabu, la upendo usio na kifani, upendo usio na mipaka wa Mwenyezi Mungu kwetu, upendo wa Mungu ulio zawadi ya pekee kwetu binadamu wote. Upendo huo ni lile tendo lake Mungu la kuja kuwa sawa nasi na hata kuja kukutana nasi, kuja kuonana nasi, kuja kukaa nasi. Tangu siku ile ya Noeli ya kwanza Mungu wetu si Mungu aliye mbali kabisa nasi, bali ni Mungu kati yetu, ni Mungu pamoja nasi, ni Emmanueli, yaani Mungu nasi. Ni kutokana na upendo huo wa ajabu ndipo ujamaa wa binadamu umejenga wazo na utamaduni wa kupendana, kutoka, kusalimiana na kutakiana heri ya Noeli kwa kupeana zawadi. Kama Mungu Mwenyezi alitupenda hata akajishusha kiasi hicho kwa sababu ya kutupenda, basi na sisi tufanye hivyo. Kwamba sote tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametulinda katika mwaka huu wote wa 2016 na tunatumaini kuingia mwaka wa 2017 na nguvu mpya. Ni wakati wa kuwashukuru wote waliotupa nguvu hata tukafikia siku hii ya Krismasi KRISMASI NI SIKU YA FAMILIA Bwana wetu Yesu Kristu alizaliwa katika familia takatifu, fukara lakini yenye upendo. Hii ilikuwa kutuonyesha kwamba familia ndiyo kitovu cha ukombozi wa binadamu, ndilo kanisa la nyumbani, ndiyo maskani ya utakatifu. Mama Maria na Joseph walishiriki pamoja katika shida na vile vile katika furaha za kuzaliwa kwake Mwokozi. Kristo alitaka aje na alelewe katika familia. Sikukuu ya Noeli, sikukuu ya Krismasi ni siku ya familia, baba, mama na watoto. Siku ya kujenga na kuimarisha familia katika shida na raha, katika shibe na upungufu, katika afya na magonjwa, katika ujana, utu mzima na uzeeni, katikati ya watu na wakiwa au wapweke. Krismasi ni siku ya kusameheana, kurudiana kwa wale waliotengana, kuwajali watoto. Ndiyo sababu siku ya Krismasi huwa siku ya matashi mema, kadi, zawadi na furaha. Watoto hupata zawadi hata kama ni kidogo lakini huwa ishara ya upendo. Pia wakubwa nao katika familia hupeana zawadi. Familia imara hujengwa na watu wenye msimamo imara, yenye heshima kati yao, watu wenye maadili thabiti na watu wenye utawa, wacha Mungu na watu wa sala. Maadili mazuri ndio msingi wa familia. Hakuna familia imara iliyojengwa kwa misingi ya wezi, wasema uongo, wapiga ramli, wazinzi au walagai. Hivyo hatuna budi ya kumwomba Kristo aliyezaliwa adumishe familia zetu. Inasikitisha na kutia huzuni mkubwa sana kukuta familia inasambaratika, haina heshima, ikifanya vitu ambavyo hata mitaani havifanywi, kupigana, uhasama nakadhalika. Hii ni jehenamu ambayo watu wawili na akili zao hujiingiza na hawataki kutoka au mmoja wao hataki kuona na kugeuka. Anakuwa kama mwendawazimu au mvuta bangi. Inatisha kuona watoto wadogo ndani ya familia wanateseka katika chuki na uhasama wa wazazi wao. Hilo ndilo ombi letu kubwa katika sikukuu ya kuzaliwa mwokozi, sikukuu ya Noeli, sikukuu ya Krismasi kwamba familia ziishi kwa upendo, kuheshimiana na kushikamana. Inafurahisha sana kuwa na familia yenye uelewano kwa sababu pamoja hushinda changamoto nyingi. Familia hiyo hujua kwamba Kristo alizaliwa na kuwaletea heshima, akafa kuwakomboa na sasa ni wana huru wa Mungu. Kristo alishinda mauti ya dhambi ambayo ndiyo adui mkubwa wa binadamu. Maovu na majanga mengi ya binadamu hutoka katika dhambi. Dhambi inaanza hapo mtu anapojipenda mwenyewe na kusahau mwenzake, anaona furaha yake mwenyewe tu. Siku ya Krismasi ni siku ambayo familia husherehekea pamoja, hula pamoja na kushikamana kwa upendo. KRISMASI NI SIKU YA MATUMAINI Mwaka huu kitaifa sikukuu ya Krismasi itaadhimishwa wilayani Bukoba. Hii ni ishara kubwa na nzuri kwa sababu Septemba 10, mwaka huu Bukoba na Kagera kwa ujumla ilipata janga la tetemeko la ardhi. Watu walifariki dunia, wengine walijeruhiwa huku nyumba kadhaa kuporomoka, nyingine zikapata nyufa kubwa na kuhatarisha maisha ya watu. Hadi sasa bado kuna watu wanaishi katika mahema na kwenye mabaki ya nyumba hatarishi. Krismasi kuadhimishwa Bukoba ni faraja kubwa na ishara ya kuleta tumaini kwa watu. Kujua kwamba katika Kristo tunashinda na tusikate tamaa hata kidogo. Tetemeko na majanga mengine si kaburi la kutufukia bali ni kengele ya kutuamsha ili twende mbele kwa nguvu na ari kubwa zaidi. Tunawashukuru wote waliotusaidia katika janga hili. Serikali, mashirika na taasisi mbalimbali na watu binafsi. Kristo anayezaliwa katika siku ya Krismasi awazawadie. Tukiwa na mshikamano na upendo hakuna kisichowezekana. Kwa pamoja tutashinda. Faraja na tumaini si tu kwa ajili ya watu wa Bukoba bali kwa wote wenye changamoto katika maisha. Bwana wetu Yesu Kristo alete matumaini kwa wale ambao hawawezi, hasa wale wenye magonjwa sugu kama saratani na Ukimwi wajue kwamba katika Bwana wanakombolewa. Krismasi ni wakati wa kuwafariji, kuwajulia hali na kuwasaidia.  Kuwa na moyo mkuu Bwana yuko pamoja nawe akuokoe. TULIOMBEE TAIFA LETU Sasa tumemaliza mwaka mmoja wa Serikali ya Awamu ya Tano. Huu ulikuwa mwaka wenye changamoto nyingi, kusafisha mambo mengi na kupigana na rushwa, watumishi hewa, ulaghai, uzembe na kutowajibika. Hii ni kazi nzito na ngumu kuifanya na inahitaji moyo na dhamira safi. Tumwombe Kristo aliyezaliwa ili sisi tupate wokovu atuepushe maovu haya, uovu wa rushwa, ulaghai na ufisadi ambavyo ni tunda la dhambi. Hakuna nchi ambayo inaweza kuendelea kama kwanza haishindi vita dhidi ya rushwa.  Rushwa huzuia haki na kuleta uonevu, huvunja ari ya kazi na kukatisha tamaa. Rushwa ni mama wa kuvunjika amani. Mtu hawezi kujiita Mkristo na akapenda rushwa ambayo ni adui wa ubinadamu ambao Kristo anatufundisha. Kama kuna rushwa majambazi yatashamiri kwa sababu yatalindwa; watu watakufa kwa sababu wasionacho hawatapata huduma, maendeleo yatakwama kwa sababu vyeo vitapatikana kwa rushwa si kwa uwezo. Viongozi wala rushwa bosi wao ni fedha hawajui mwingine. Ee.. Kristo tuokoe na rushwa. Katika kipindi hiki cha mwaka mmoja, msemo ulikuwa ‘Hapa Kazi Tu’. Hili linatukumbusha maneno ya Mtakatifu Paulo kwa Wakorinto aliowaambia kwamba “Asiyefanya kazi na asile”. (2 Thes.3:6-15). Watanzania tunasifika kwa mambo mengi sana ukiwemo utulivu, amani, mshikamano, undugu na kupendana. Lakini bahati mbaya hatusifiki kwa kutenda kazi. Mara nyingine mtu akiwa na kazi muhimu anamwajiri mtu kutoka nje ya nchi mwenye elimu ndogo kuliko ya Mtanzania kwa kigezo cha kuwa mchapakazi. Kweli sote tuitikie Hapa Kazi Tu! Kazi itatupa heshima, staha, amani na maendeleo. Tunashukuru kwamba viongozi wetu wanatupa ujumbe unaoshabihiana na ujumbe wa Kristo aliyezaliwa kwa ajili ya wengine. Picha hiyo juu ya Mungu wetu wa Noeli, itupatie sote changamoto hasa kwa viongozi wetu. Tunafurahi na tunatamani sana Serikali yetu iwe ni Serikali inayoshughulikia watu na kuhangaikia watu, iwe katika sera zake, sheria zake, mipango yake ya maendeleo na miradi yake. Hata katika hali yetu ya umasikini tutasonga mbele kama tutatumia kile kidogo tukipatacho kwa ajili ya shida za watu, hasa raia wale wasio na ajira ya pekee na wale wa vijijini ambako ndiko maendeleo ya kweli yanaweza kupimwa. Taifa ambalo wale wadogo wasionacho, wanaohangaika siku kwa siku wanathaminiwa na kusaidiwa wainuke na kuishi maisha ya heshima. Tunashukuru na kuwapongeza sana wote wanaounga mkono sera ya kufanya kazi na kuwajibika. Hakuna riziki ya bure bila kufanya kazi. Tunawapongeza wafanyabiashara, wasomi mbalimbali na walioajiriwa ambao wanajitahidi kufanya mipango ya kuwaendeleza Watanzania wengine katika nyanja mbalimbali. Roho hiyo iendelee katika misingi ya uzalendo inayotuunganisha. Kwa roho ya ubinadamu, tunaweza tukalijenga taifa letu kwa kuchangiana katika upendo na ushirikiano. Tuchangiane vipaji tulivyopewa na Mungu na tutaweza kutekeleza makubwa. Tuchangiane mali tuliyo nayo kwa lengo la kuleta maendeleo zaidi na si kwa anasa bali iwe kwa kusaidia familia zetu na vijana wetu. Tumwombee Rais wetu, Dk. John Magufuli pamoja na viongozi wetu wote Mungu awape busara, ujasiri na nguvu za kutimiza mapenzi yake na kuwaletea wananchi maendeleo ya kudumu, upendo, uelewano na amani. Tuliombee Taifa letu la Tanzania, Mungu atuneemeshe, atuepushe na majanga mbalimbali ili tuwe taifa lenye uzalendo na mshikamano. Tuwaombee vijana wapate ari ya kazi na kujituma, wajue kwamba maisha mazuri hutokana na jasho lao, kuishi kwa maadili mema na kushirikiana na wengine. Tumwombe Mama Maria, Mama mwenye huruma, mama wa Mungu. Aliyemzaa mwokozi wetu Bwana wetu Yesu Kristo, alisema kwa dhati ‘mimi mjakazi wa Bwana’ awe mama yetu na atulee kama alivyomlea mwanawe Yesu Kristo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA ASKOFU METHOD KILAINI “UTUKUFU kwa Mungu juu na amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema”. Huu ndio ujumbe unaotangaza kuzaliwa kwa mkombozi wetu Yesu Kristu. Leo Watanzania tunaungana na Wakristo duniani kote kuadhimisha miaka 2016 ya kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo, Mungu na mwokozi wetu. Salamu salaamu ndiyo maneno yale  yaliyosikika mara ya kwanza siku ile alipozaliwa mwokozi wetu Yesu Kristo. Maneno haya yaliyoletwa na Malaika kutoka mbinguni kwa Mwenyezi Mungu, yakafika masikioni mwa mwanadamu yakasikika kama ifuatavyo: “Mimi nawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote; maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana”(Lk. 2:14) SHUKRANI KWA MUNGU Kristo Mwana wa Mungu nafsi ya pili ya Utatu Mtakatifu, Mungu alikuwa mwanadamu ili sisi tukombolewe. Yeye ni mwanga alikuja kuleta mwanga penye giza, kuleta amani penye mafarakano, vita na mauaji, kufundisha upendo penye chuki, maadili penye ufuska, heshima penye uduni, maonevu na udhalilishaji, utu penye unyama. Kristo alizaliwa ili sisi tupone. Kwa maandiko ya Injili ya Mt. Yohana bwana anatuambia: “Hapo Mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu … Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.” (Yn. 1:1,14) Krismasi ni sherehe kubwa kabisa tunapokumbuka tendo hilo la fumbo la ajabu, la upendo usio na kifani, upendo usio na mipaka wa Mwenyezi Mungu kwetu, upendo wa Mungu ulio zawadi ya pekee kwetu binadamu wote. Upendo huo ni lile tendo lake Mungu la kuja kuwa sawa nasi na hata kuja kukutana nasi, kuja kuonana nasi, kuja kukaa nasi. Tangu siku ile ya Noeli ya kwanza Mungu wetu si Mungu aliye mbali kabisa nasi, bali ni Mungu kati yetu, ni Mungu pamoja nasi, ni Emmanueli, yaani Mungu nasi. Ni kutokana na upendo huo wa ajabu ndipo ujamaa wa binadamu umejenga wazo na utamaduni wa kupendana, kutoka, kusalimiana na kutakiana heri ya Noeli kwa kupeana zawadi. Kama Mungu Mwenyezi alitupenda hata akajishusha kiasi hicho kwa sababu ya kutupenda, basi na sisi tufanye hivyo. Kwamba sote tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametulinda katika mwaka huu wote wa 2016 na tunatumaini kuingia mwaka wa 2017 na nguvu mpya. Ni wakati wa kuwashukuru wote waliotupa nguvu hata tukafikia siku hii ya Krismasi KRISMASI NI SIKU YA FAMILIA Bwana wetu Yesu Kristu alizaliwa katika familia takatifu, fukara lakini yenye upendo. Hii ilikuwa kutuonyesha kwamba familia ndiyo kitovu cha ukombozi wa binadamu, ndilo kanisa la nyumbani, ndiyo maskani ya utakatifu. Mama Maria na Joseph walishiriki pamoja katika shida na vile vile katika furaha za kuzaliwa kwake Mwokozi. Kristo alitaka aje na alelewe katika familia. Sikukuu ya Noeli, sikukuu ya Krismasi ni siku ya familia, baba, mama na watoto. Siku ya kujenga na kuimarisha familia katika shida na raha, katika shibe na upungufu, katika afya na magonjwa, katika ujana, utu mzima na uzeeni, katikati ya watu na wakiwa au wapweke. Krismasi ni siku ya kusameheana, kurudiana kwa wale waliotengana, kuwajali watoto. Ndiyo sababu siku ya Krismasi huwa siku ya matashi mema, kadi, zawadi na furaha. Watoto hupata zawadi hata kama ni kidogo lakini huwa ishara ya upendo. Pia wakubwa nao katika familia hupeana zawadi. Familia imara hujengwa na watu wenye msimamo imara, yenye heshima kati yao, watu wenye maadili thabiti na watu wenye utawa, wacha Mungu na watu wa sala. Maadili mazuri ndio msingi wa familia. Hakuna familia imara iliyojengwa kwa misingi ya wezi, wasema uongo, wapiga ramli, wazinzi au walagai. Hivyo hatuna budi ya kumwomba Kristo aliyezaliwa adumishe familia zetu. Inasikitisha na kutia huzuni mkubwa sana kukuta familia inasambaratika, haina heshima, ikifanya vitu ambavyo hata mitaani havifanywi, kupigana, uhasama nakadhalika. Hii ni jehenamu ambayo watu wawili na akili zao hujiingiza na hawataki kutoka au mmoja wao hataki kuona na kugeuka. Anakuwa kama mwendawazimu au mvuta bangi. Inatisha kuona watoto wadogo ndani ya familia wanateseka katika chuki na uhasama wa wazazi wao. Hilo ndilo ombi letu kubwa katika sikukuu ya kuzaliwa mwokozi, sikukuu ya Noeli, sikukuu ya Krismasi kwamba familia ziishi kwa upendo, kuheshimiana na kushikamana. Inafurahisha sana kuwa na familia yenye uelewano kwa sababu pamoja hushinda changamoto nyingi. Familia hiyo hujua kwamba Kristo alizaliwa na kuwaletea heshima, akafa kuwakomboa na sasa ni wana huru wa Mungu. Kristo alishinda mauti ya dhambi ambayo ndiyo adui mkubwa wa binadamu. Maovu na majanga mengi ya binadamu hutoka katika dhambi. Dhambi inaanza hapo mtu anapojipenda mwenyewe na kusahau mwenzake, anaona furaha yake mwenyewe tu. Siku ya Krismasi ni siku ambayo familia husherehekea pamoja, hula pamoja na kushikamana kwa upendo. KRISMASI NI SIKU YA MATUMAINI Mwaka huu kitaifa sikukuu ya Krismasi itaadhimishwa wilayani Bukoba. Hii ni ishara kubwa na nzuri kwa sababu Septemba 10, mwaka huu Bukoba na Kagera kwa ujumla ilipata janga la tetemeko la ardhi. Watu walifariki dunia, wengine walijeruhiwa huku nyumba kadhaa kuporomoka, nyingine zikapata nyufa kubwa na kuhatarisha maisha ya watu. Hadi sasa bado kuna watu wanaishi katika mahema na kwenye mabaki ya nyumba hatarishi. Krismasi kuadhimishwa Bukoba ni faraja kubwa na ishara ya kuleta tumaini kwa watu. Kujua kwamba katika Kristo tunashinda na tusikate tamaa hata kidogo. Tetemeko na majanga mengine si kaburi la kutufukia bali ni kengele ya kutuamsha ili twende mbele kwa nguvu na ari kubwa zaidi. Tunawashukuru wote waliotusaidia katika janga hili. Serikali, mashirika na taasisi mbalimbali na watu binafsi. Kristo anayezaliwa katika siku ya Krismasi awazawadie. Tukiwa na mshikamano na upendo hakuna kisichowezekana. Kwa pamoja tutashinda. Faraja na tumaini si tu kwa ajili ya watu wa Bukoba bali kwa wote wenye changamoto katika maisha. Bwana wetu Yesu Kristo alete matumaini kwa wale ambao hawawezi, hasa wale wenye magonjwa sugu kama saratani na Ukimwi wajue kwamba katika Bwana wanakombolewa. Krismasi ni wakati wa kuwafariji, kuwajulia hali na kuwasaidia.  Kuwa na moyo mkuu Bwana yuko pamoja nawe akuokoe. TULIOMBEE TAIFA LETU Sasa tumemaliza mwaka mmoja wa Serikali ya Awamu ya Tano. Huu ulikuwa mwaka wenye changamoto nyingi, kusafisha mambo mengi na kupigana na rushwa, watumishi hewa, ulaghai, uzembe na kutowajibika. Hii ni kazi nzito na ngumu kuifanya na inahitaji moyo na dhamira safi. Tumwombe Kristo aliyezaliwa ili sisi tupate wokovu atuepushe maovu haya, uovu wa rushwa, ulaghai na ufisadi ambavyo ni tunda la dhambi. Hakuna nchi ambayo inaweza kuendelea kama kwanza haishindi vita dhidi ya rushwa.  Rushwa huzuia haki na kuleta uonevu, huvunja ari ya kazi na kukatisha tamaa. Rushwa ni mama wa kuvunjika amani. Mtu hawezi kujiita Mkristo na akapenda rushwa ambayo ni adui wa ubinadamu ambao Kristo anatufundisha. Kama kuna rushwa majambazi yatashamiri kwa sababu yatalindwa; watu watakufa kwa sababu wasionacho hawatapata huduma, maendeleo yatakwama kwa sababu vyeo vitapatikana kwa rushwa si kwa uwezo. Viongozi wala rushwa bosi wao ni fedha hawajui mwingine. Ee.. Kristo tuokoe na rushwa. Katika kipindi hiki cha mwaka mmoja, msemo ulikuwa ‘Hapa Kazi Tu’. Hili linatukumbusha maneno ya Mtakatifu Paulo kwa Wakorinto aliowaambia kwamba “Asiyefanya kazi na asile”. (2 Thes.3:6-15). Watanzania tunasifika kwa mambo mengi sana ukiwemo utulivu, amani, mshikamano, undugu na kupendana. Lakini bahati mbaya hatusifiki kwa kutenda kazi. Mara nyingine mtu akiwa na kazi muhimu anamwajiri mtu kutoka nje ya nchi mwenye elimu ndogo kuliko ya Mtanzania kwa kigezo cha kuwa mchapakazi. Kweli sote tuitikie Hapa Kazi Tu! Kazi itatupa heshima, staha, amani na maendeleo. Tunashukuru kwamba viongozi wetu wanatupa ujumbe unaoshabihiana na ujumbe wa Kristo aliyezaliwa kwa ajili ya wengine. Picha hiyo juu ya Mungu wetu wa Noeli, itupatie sote changamoto hasa kwa viongozi wetu. Tunafurahi na tunatamani sana Serikali yetu iwe ni Serikali inayoshughulikia watu na kuhangaikia watu, iwe katika sera zake, sheria zake, mipango yake ya maendeleo na miradi yake. Hata katika hali yetu ya umasikini tutasonga mbele kama tutatumia kile kidogo tukipatacho kwa ajili ya shida za watu, hasa raia wale wasio na ajira ya pekee na wale wa vijijini ambako ndiko maendeleo ya kweli yanaweza kupimwa. Taifa ambalo wale wadogo wasionacho, wanaohangaika siku kwa siku wanathaminiwa na kusaidiwa wainuke na kuishi maisha ya heshima. Tunashukuru na kuwapongeza sana wote wanaounga mkono sera ya kufanya kazi na kuwajibika. Hakuna riziki ya bure bila kufanya kazi. Tunawapongeza wafanyabiashara, wasomi mbalimbali na walioajiriwa ambao wanajitahidi kufanya mipango ya kuwaendeleza Watanzania wengine katika nyanja mbalimbali. Roho hiyo iendelee katika misingi ya uzalendo inayotuunganisha. Kwa roho ya ubinadamu, tunaweza tukalijenga taifa letu kwa kuchangiana katika upendo na ushirikiano. Tuchangiane vipaji tulivyopewa na Mungu na tutaweza kutekeleza makubwa. Tuchangiane mali tuliyo nayo kwa lengo la kuleta maendeleo zaidi na si kwa anasa bali iwe kwa kusaidia familia zetu na vijana wetu. Tumwombee Rais wetu, Dk. John Magufuli pamoja na viongozi wetu wote Mungu awape busara, ujasiri na nguvu za kutimiza mapenzi yake na kuwaletea wananchi maendeleo ya kudumu, upendo, uelewano na amani. Tuliombee Taifa letu la Tanzania, Mungu atuneemeshe, atuepushe na majanga mbalimbali ili tuwe taifa lenye uzalendo na mshikamano. Tuwaombee vijana wapate ari ya kazi na kujituma, wajue kwamba maisha mazuri hutokana na jasho lao, kuishi kwa maadili mema na kushirikiana na wengine. Tumwombe Mama Maria, Mama mwenye huruma, mama wa Mungu. Aliyemzaa mwokozi wetu Bwana wetu Yesu Kristo, alisema kwa dhati ‘mimi mjakazi wa Bwana’ awe mama yetu na atulee kama alivyomlea mwanawe Yesu Kristo. ### Response: KITAIFA ### End
Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz, ameanguka jukwaani leo Jumapili Desemba 9,  wakati akitumbuiza jukwaani katika Uwanja wa Nelson Mandela uliopo Sumbawanga mkoani Rukwa katika Tamasha la Wasafi (Wasafi Festival). Kipande cha video kilichosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kinamuonesha Diamond akitumbuiza sambamba na msanii mwenzie kutoka Wasafi, Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny, wakiimba na kucheza wimbo wa Zilipendwa ndipo jukwaa lilishindwa kuhimili mikiki ya wasanii waliokuwa wakiruka ruka na kuvunjika na kisha kuangukia ndani ya jukwaa hilo la kutengenezwa. Katika ukurasa wake wa Instagram leo, Diamond ameandika ameumia mkono katika tukio hilo na tayari amepaka dawa ya ‘spirit’. Tamasha hilo ambalo lilipangwa kufanyika mkoani humo jana usiku lakini lilihairishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kupangwa kufanyika leo mchana. Hili ni tukio kubwa la pili katika mfululizo wa tamasha hilo ambalo msanii huyo hakutegemea limtokee ambapo akiwa mkoani Mtwara aliibiwa mkufu wenye thamani ya Sh milioni 40.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz, ameanguka jukwaani leo Jumapili Desemba 9,  wakati akitumbuiza jukwaani katika Uwanja wa Nelson Mandela uliopo Sumbawanga mkoani Rukwa katika Tamasha la Wasafi (Wasafi Festival). Kipande cha video kilichosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kinamuonesha Diamond akitumbuiza sambamba na msanii mwenzie kutoka Wasafi, Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny, wakiimba na kucheza wimbo wa Zilipendwa ndipo jukwaa lilishindwa kuhimili mikiki ya wasanii waliokuwa wakiruka ruka na kuvunjika na kisha kuangukia ndani ya jukwaa hilo la kutengenezwa. Katika ukurasa wake wa Instagram leo, Diamond ameandika ameumia mkono katika tukio hilo na tayari amepaka dawa ya ‘spirit’. Tamasha hilo ambalo lilipangwa kufanyika mkoani humo jana usiku lakini lilihairishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kupangwa kufanyika leo mchana. Hili ni tukio kubwa la pili katika mfululizo wa tamasha hilo ambalo msanii huyo hakutegemea limtokee ambapo akiwa mkoani Mtwara aliibiwa mkufu wenye thamani ya Sh milioni 40. ### Response: BURUDANI ### End
Winfrida Mtoi- Dar Es Salaam BENCHI la Ufundi la Simba linatarajia kukutana na wachezaji wao wakati wowote kuanzia sasa, ili kuwapangia program maalum za kufanya kipindi hiki cha mapumziko. Uongozi wa Simba ulitoa siku saba kwa wachezaji wao kuendelea na mazoezi binafsi wakiwa wajumbani na kupanga kukutana wiki hii lakini ilishindikana. Simba kama zilivyo klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara iliwapa mapumziko wa wachezaji wake, baada ya Serikali kupiga marufuku kwa siku 30 shughuli zinazosababisha mikusanyiko, ikiwa ni tahadhari ya kuepuka kusambaa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona, ambavyo vimesababisha vifo vya maelfu ya watu duniani. Baada ya tamko hilo baadhi ya makocha wanaofundisha timu mbalimbali katika ligi hiyo walitoa program maalum za mazoezi  kwa wachezaji wao na kutakiwa kuzifanya lakini uongozi wa Simba ilipanga kukutana baada ya siku saba ili kupanga nini cha kufanya katika kipondi hiki cha mapumziko. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kocha Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola  alisema hawakuweza kukutana kama walivyopanga kutokana na  msiba wa Ofisa Habari wa zamani wa klabu yao, Asha Muhaji ambaye alifariki Jumatano wiki hii. Matola alisema, wanatarajia kukutana wakati wowote kuanzia sasa na uongozi wa klabu hiyo ili kupata maelekezo ya kile wanachopaswa kufanya wakati huu ambao michezo imepigwa marufuku. “Hatujakutana kama ilivyopangwa kwa sababu siku tuliyotarajia kufanya hivyo tulipatwa na msiba, sijajua ni lini tutakutana, hilo ni jukumu la uongozi,” alisema. Kuhusu kuwafuatilia wachezaji wao kama  wanaenendelea na mazoezi huko waliko, alisema ni ngumu kile wanachokifanya huko majumbani kwao.  “Kila mchezaji yupo nyumbani kwake, huwezi kumfuatilia, ni yeye mwenyewe anapaswa kujitambua, ajue nini anatakiwa kufanya ili kutunza kiwango chake,”alisema Matola. Simba ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa imejikusanyika pointi 71, baada ya kushuka dimbani mara 29, ikishinda michezo 24, sare mbili na kuchapwa mara tatu.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Winfrida Mtoi- Dar Es Salaam BENCHI la Ufundi la Simba linatarajia kukutana na wachezaji wao wakati wowote kuanzia sasa, ili kuwapangia program maalum za kufanya kipindi hiki cha mapumziko. Uongozi wa Simba ulitoa siku saba kwa wachezaji wao kuendelea na mazoezi binafsi wakiwa wajumbani na kupanga kukutana wiki hii lakini ilishindikana. Simba kama zilivyo klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara iliwapa mapumziko wa wachezaji wake, baada ya Serikali kupiga marufuku kwa siku 30 shughuli zinazosababisha mikusanyiko, ikiwa ni tahadhari ya kuepuka kusambaa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona, ambavyo vimesababisha vifo vya maelfu ya watu duniani. Baada ya tamko hilo baadhi ya makocha wanaofundisha timu mbalimbali katika ligi hiyo walitoa program maalum za mazoezi  kwa wachezaji wao na kutakiwa kuzifanya lakini uongozi wa Simba ilipanga kukutana baada ya siku saba ili kupanga nini cha kufanya katika kipondi hiki cha mapumziko. Akizungumza na MTANZANIA jana, Kocha Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola  alisema hawakuweza kukutana kama walivyopanga kutokana na  msiba wa Ofisa Habari wa zamani wa klabu yao, Asha Muhaji ambaye alifariki Jumatano wiki hii. Matola alisema, wanatarajia kukutana wakati wowote kuanzia sasa na uongozi wa klabu hiyo ili kupata maelekezo ya kile wanachopaswa kufanya wakati huu ambao michezo imepigwa marufuku. “Hatujakutana kama ilivyopangwa kwa sababu siku tuliyotarajia kufanya hivyo tulipatwa na msiba, sijajua ni lini tutakutana, hilo ni jukumu la uongozi,” alisema. Kuhusu kuwafuatilia wachezaji wao kama  wanaenendelea na mazoezi huko waliko, alisema ni ngumu kile wanachokifanya huko majumbani kwao.  “Kila mchezaji yupo nyumbani kwake, huwezi kumfuatilia, ni yeye mwenyewe anapaswa kujitambua, ajue nini anatakiwa kufanya ili kutunza kiwango chake,”alisema Matola. Simba ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa imejikusanyika pointi 71, baada ya kushuka dimbani mara 29, ikishinda michezo 24, sare mbili na kuchapwa mara tatu. ### Response: BURUDANI ### End
JAPAN imeonesha medali zitakazotolewa kwa washindi wa Michezo ya 32 ya Olimpiki itakayofanyika Tokyo 2020, ambazo zimetengenezwa kwa kutumia vifaa mbalimbali vya simu za mkononi.Kwa mujibu wa waandaaji hao, medali hizo ambazo zitatolewa katika Michezo ya Tokyo 2020 na ile ya Paralimpiki, ziko 5,000, ambazo ni za dhahabu, fedha na shaba. Taarifa hiyo ilisema kuwa waliwaomba watu mbalimbali wenye simu mbovu au zile za zamani kuwasilisha kwao ili kutoa vifaa vidogo vidogo ndani ya simu hizo ili kutengeneza medali hizo.Februari mwaka 2017, Tokyo 2020 ilitangaza kwa mara ya kwanza kuwa itatengeneza medali zake kutokana na vifaa mbalimbali kutoka katika simu mbovu za mkononi, ambapo iliwaomba watu kukusanya simu zisizotumika au zile za zamani ili wazitumie kutengenezea medali. “Ni matarajio yetu kutumia vifaa vidogo vidogo katika simu na kutengeneza medali ni mchango wetu wa kutunza mazingira na hiyo pia itakuwa alama ya Michezo ya Tokyo 2020,” ilisema taarifa hiyo ya waandaaji.Ubunifu wa medali hizo pia unawakilisha utamaduni wa Wajapani, pamoja na mambo mengine, ambapo rangi ya Tokyo 2020 imeongezwa katika utepe au kamba ya medali hizo.Katika jitihada za waandaaji wa michezo hiyo ya Olimpiki na ile ya Paralimpiki, wasanii wa Japan pia wametengeneza bendera za nchi zote ambazo zitashiriki michezo hiyo, ingawa mradi huo haukuwa na uhusiano rasmi na michezo hiyo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JAPAN imeonesha medali zitakazotolewa kwa washindi wa Michezo ya 32 ya Olimpiki itakayofanyika Tokyo 2020, ambazo zimetengenezwa kwa kutumia vifaa mbalimbali vya simu za mkononi.Kwa mujibu wa waandaaji hao, medali hizo ambazo zitatolewa katika Michezo ya Tokyo 2020 na ile ya Paralimpiki, ziko 5,000, ambazo ni za dhahabu, fedha na shaba. Taarifa hiyo ilisema kuwa waliwaomba watu mbalimbali wenye simu mbovu au zile za zamani kuwasilisha kwao ili kutoa vifaa vidogo vidogo ndani ya simu hizo ili kutengeneza medali hizo.Februari mwaka 2017, Tokyo 2020 ilitangaza kwa mara ya kwanza kuwa itatengeneza medali zake kutokana na vifaa mbalimbali kutoka katika simu mbovu za mkononi, ambapo iliwaomba watu kukusanya simu zisizotumika au zile za zamani ili wazitumie kutengenezea medali. “Ni matarajio yetu kutumia vifaa vidogo vidogo katika simu na kutengeneza medali ni mchango wetu wa kutunza mazingira na hiyo pia itakuwa alama ya Michezo ya Tokyo 2020,” ilisema taarifa hiyo ya waandaaji.Ubunifu wa medali hizo pia unawakilisha utamaduni wa Wajapani, pamoja na mambo mengine, ambapo rangi ya Tokyo 2020 imeongezwa katika utepe au kamba ya medali hizo.Katika jitihada za waandaaji wa michezo hiyo ya Olimpiki na ile ya Paralimpiki, wasanii wa Japan pia wametengeneza bendera za nchi zote ambazo zitashiriki michezo hiyo, ingawa mradi huo haukuwa na uhusiano rasmi na michezo hiyo. ### Response: MICHEZO ### End
Hatua hiyo itafanya shirika hilo la ndege kutoa huduma ipasavyo katika sekta ya anga na kukamata soko kwenye nchi za Afrika Mashariki, ambalo kwa sasa imeshikiliwa na nchi za Ethiopia, Kenya na Rwanda.Makamu wa Rais wa Mauzo katika Kampuni ya Ndege ya Latin Amerika, Afrika na Visiwa vya Caribbean, Van Rex Gallard alithitisha kuwa Tanzania imetoa oda ya ndege moja ya 787-8 Dreamliner, yenye thamani ya dola za Marekani milioni 224.6 na itaendeshwa na ATCL.Hivi karibuni, Ofisa Mtendaji Mkuu wa ATCL, Ladislaus Matindi alisema wanatarajia kuanza Safari za Ulaya, Asia na Marekani katika kipindi kifupi na ndege hizo ni imara kufikia lengo hilo.Alisema Tanzania ilitia saini makubaliano na kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft ya kununua ndege mbili aina ya Bombardier Q400 Julai mwaka 2016 na miezi mitano baadaye walisaini kununua Boeing 787-8 Dreamliner. Matindi alisema Bombardier C300s, zitatumia kufungua safari za usafiri wa anga katika kanda sita za Kusini na Magharibi mwa Afrika, kwa lengo la kupata masoko hayo.“Tuna lengo la kukamata masoko ya Afrika Kusini, Zambia na Zimbabwe na baadaye kufika nchi za Afrika Magharibi za Ghana na Nigeria pamoja na kutumia ndege ya Dreamliner katika safari za kimataifa za China na India na baadaye kufuatiwa na kwenda bara za Ulaya katika awamu ya pili,” alisema.ATCL inatarajia kupata cheti kutoka taasisi ya kimataifa ya ukaguzi wa usalama na viwango kwa mashirika ya ndege duniani IOSA, kabla ya Juni mwaka huu, hali itakayowezesha kushirikiana kibiashara na watoa huduma wengine ili kuongeza mapato kupitia makubaliano ya hisa.Miaka miwili iliyopita, Tanzania ilianza mkakati wa kufufua shirika hilo la ndege la serikali kwa kuweka mikakati mbalimbali.Katika programu hiyo waliweka mikakati ya kununua ndege mpya sita kati ya mwaka 2016 hadi 2018, kulipa madeni na kuongeza mtaji na kukuza na kuendesha biashara kwa njia za kisasa.Kwa sasa, licha ya kuanza kusaka ofisi katika nchi mbalimbali, ATCL imetangaza ajira mpya 88 zikiwemo za wahudumu katika ndege.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Hatua hiyo itafanya shirika hilo la ndege kutoa huduma ipasavyo katika sekta ya anga na kukamata soko kwenye nchi za Afrika Mashariki, ambalo kwa sasa imeshikiliwa na nchi za Ethiopia, Kenya na Rwanda.Makamu wa Rais wa Mauzo katika Kampuni ya Ndege ya Latin Amerika, Afrika na Visiwa vya Caribbean, Van Rex Gallard alithitisha kuwa Tanzania imetoa oda ya ndege moja ya 787-8 Dreamliner, yenye thamani ya dola za Marekani milioni 224.6 na itaendeshwa na ATCL.Hivi karibuni, Ofisa Mtendaji Mkuu wa ATCL, Ladislaus Matindi alisema wanatarajia kuanza Safari za Ulaya, Asia na Marekani katika kipindi kifupi na ndege hizo ni imara kufikia lengo hilo.Alisema Tanzania ilitia saini makubaliano na kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft ya kununua ndege mbili aina ya Bombardier Q400 Julai mwaka 2016 na miezi mitano baadaye walisaini kununua Boeing 787-8 Dreamliner. Matindi alisema Bombardier C300s, zitatumia kufungua safari za usafiri wa anga katika kanda sita za Kusini na Magharibi mwa Afrika, kwa lengo la kupata masoko hayo.“Tuna lengo la kukamata masoko ya Afrika Kusini, Zambia na Zimbabwe na baadaye kufika nchi za Afrika Magharibi za Ghana na Nigeria pamoja na kutumia ndege ya Dreamliner katika safari za kimataifa za China na India na baadaye kufuatiwa na kwenda bara za Ulaya katika awamu ya pili,” alisema.ATCL inatarajia kupata cheti kutoka taasisi ya kimataifa ya ukaguzi wa usalama na viwango kwa mashirika ya ndege duniani IOSA, kabla ya Juni mwaka huu, hali itakayowezesha kushirikiana kibiashara na watoa huduma wengine ili kuongeza mapato kupitia makubaliano ya hisa.Miaka miwili iliyopita, Tanzania ilianza mkakati wa kufufua shirika hilo la ndege la serikali kwa kuweka mikakati mbalimbali.Katika programu hiyo waliweka mikakati ya kununua ndege mpya sita kati ya mwaka 2016 hadi 2018, kulipa madeni na kuongeza mtaji na kukuza na kuendesha biashara kwa njia za kisasa.Kwa sasa, licha ya kuanza kusaka ofisi katika nchi mbalimbali, ATCL imetangaza ajira mpya 88 zikiwemo za wahudumu katika ndege. ### Response: UCHUMI ### End
NEW YORK, MAREKANI   RAPA Belcalis Almánzar maarufu kwa jina la Cardi B, ameshtakiwa kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha wahudumu wawili wa ‘Night Club’ ambayo inajulikana kwa jina la Angels Strip Club, kuumizwa. Polisi katika eneo la Queens, walimshikilia mwanadada huyo na kumfungulia mashtaka. Hata hivyo, kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, mrembo huyo alianzisha vurugu kwa madai kwamba mmoja kati ya wahudumu aliwahi kuwa kwenye uhusiano na baba wa mtoto wake Offset. Siku za hivi karibuni, mrembo huyo amekuwa kwenye mgogoro mzito na mkali wa muziki huo wa hip hop, Nicki Minaj na sasa jina lake linazidi kuwa kubwa kutokana na bifu hilo. Matukio hayo yote anayafanya huku ikiwa ni miezi miwili tangu afanikiwe kupata mtoto wa kwanza, Kulture Kiari Cephus.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NEW YORK, MAREKANI   RAPA Belcalis Almánzar maarufu kwa jina la Cardi B, ameshtakiwa kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha wahudumu wawili wa ‘Night Club’ ambayo inajulikana kwa jina la Angels Strip Club, kuumizwa. Polisi katika eneo la Queens, walimshikilia mwanadada huyo na kumfungulia mashtaka. Hata hivyo, kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, mrembo huyo alianzisha vurugu kwa madai kwamba mmoja kati ya wahudumu aliwahi kuwa kwenye uhusiano na baba wa mtoto wake Offset. Siku za hivi karibuni, mrembo huyo amekuwa kwenye mgogoro mzito na mkali wa muziki huo wa hip hop, Nicki Minaj na sasa jina lake linazidi kuwa kubwa kutokana na bifu hilo. Matukio hayo yote anayafanya huku ikiwa ni miezi miwili tangu afanikiwe kupata mtoto wa kwanza, Kulture Kiari Cephus. ### Response: BURUDANI ### End
Chanzo cha picha, Getty Images Wasanii maarufu wa Nigeria Burna Boy na Wizkid wameshinda tuzo za Grammy za mwaka huu wa 2021. Burna Boy ameshinda tuzo ya kipengele cha kuwa na Albamu bora ya muziki wakati Wizkid ameshinda katika kuwa na video bora zaidi kwa wimbo wake aliomshirikisha Beyoncé unaoitwa Brown Skin Girl, kutoka Lion King: Albamu ya The Gift. Binti yake Beyoncé Blue Ivy alikuwa mshindi katika wimbo huo huo. Katika kipengele cha video bora, tuzo inatolewa kwa msanii, muongozaji wa video na muandaaji wa video pia. Burna Boy, ambaye jina lake halisi ni Damini Ogulu, ambaye ameshiriki kwa mwaka wa pili ameshinda katika albamu yake ya Twice As Tall . Tuzo ya Grammy ya 63 imefanyika mjini Los Angeles. Kwa kawaida huwa sherehe kubwa ya muziki huwa inafanyika kila mwaka lakini mwaka huu hali imekuwa tofauti kutokana na janga la corona. Hakuna watazamaji, na watumbuizaji walikuwa wametengwa katika majukwaa matano, na wakiwa kwa umbali. Burna Boy, mwenye miaka 29, amewashinda wengine wanne ikiwemo bendi ya Malian, Tinariwen. Chanzo cha picha, Getty Images Tuzo za Grammy zimeielezea albamu ya Twice As Tall kuwa muziki uliotengenezwa kwa kiwango cha juu cha kimataifa, ni fundisho kuwa pia kwa wegine na ndio maana imemfanya Burna Boy kuingia katika kiwango hicho cha kimataifa". "Aliendelea kusema kuwa kuwa albam hiyo imechanganya miondoko mbalimbali kama midundo ya pop, Afrobeat, dancehall, reggae na miondoko mingine mingi," walieleza. Albumu yake ilishirikisha wanamuziki wengi duniani wakiwemo Stormzy, Youssou Ndour, Naughty By Nature, na Chris Martin wa Coldplay, na vilevile Sean Combs akiwa muandaaji mkuu. Video ambayo imemfanya Wizkid kushinda imeelezewa kuwa imezingatia mitindo na kusheherekea urembo wa mwanamke mweusi mahali popote duniani ". Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa YouTube ujumbe, 1 Haipatikani tena Burna Boy amechaguliwa katika kipengele kilekile cha mwaka 2019 - kinachojulikana kama 'Best World Music Album' - lakini Angelique Kidjo aishinda katika tuzo za mwaka 2020. Ingawa Kidjo aliamua kutoa ushindi wake kwa Burna Boy, alisema: "Burna Boy ni miongoni mwa wasanii wachanga ambao wanatoka Afrika ambao wanabadili mtazamo wa muziki wa Afrika." Mwanamuziki huyu aliyezaliwa Nigeria, Burna Boy alizindua albamu yake ya kwanza ya LIFE, mwaka 2013. Na baadae alizindua albamu ya Redemption mwaka 2015 na Outside mwaka 2018 ambayo ilijumuisha ngoma iliyovuma kimataifa ya , Ye. Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa YouTube ujumbe, 2 Haipatikani tena Lakini ilikuwa katika albamu yake ya mwaka 2019 ya African Giant ambapo Burna Boy alijulikana zaidi kimataifa na kupata tuzo yake ya kwanza ya Grammys. Akiwa analinganishwa na mwanamuziki wa Nigeria Fela Ransome-Kuti na kupata umaarufu barani Afrika. Wakati wa mgogoro wa ubaguzi Afrika Kusini mwaka 2019, alitishia kutoenda katika taifa hilo kama serikali ya nchi hiyo haitachukua hatua dhidi ya xenophobic. Pia alijumuishwa katika maamndamano ya #EndSARS ya kupinga unyanyasaji wa polisi, alitoa wimbo wa wahanga ambao waliuawa katika maandamano hayo Oktoba 20,2020 katika geti la Lekki Toll Gate mjini Lagos. Vilevile ameandika katika kurasa yake ya tweeter kuunga mkono waandamanaji wa Senegal ambao walijitokeza barabarani baada ya kiongozi wa upinzani Ousmane Sonkokukamatwa. Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa Twitter ujumbe, 1 Haipatikani tena
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Getty Images Wasanii maarufu wa Nigeria Burna Boy na Wizkid wameshinda tuzo za Grammy za mwaka huu wa 2021. Burna Boy ameshinda tuzo ya kipengele cha kuwa na Albamu bora ya muziki wakati Wizkid ameshinda katika kuwa na video bora zaidi kwa wimbo wake aliomshirikisha Beyoncé unaoitwa Brown Skin Girl, kutoka Lion King: Albamu ya The Gift. Binti yake Beyoncé Blue Ivy alikuwa mshindi katika wimbo huo huo. Katika kipengele cha video bora, tuzo inatolewa kwa msanii, muongozaji wa video na muandaaji wa video pia. Burna Boy, ambaye jina lake halisi ni Damini Ogulu, ambaye ameshiriki kwa mwaka wa pili ameshinda katika albamu yake ya Twice As Tall . Tuzo ya Grammy ya 63 imefanyika mjini Los Angeles. Kwa kawaida huwa sherehe kubwa ya muziki huwa inafanyika kila mwaka lakini mwaka huu hali imekuwa tofauti kutokana na janga la corona. Hakuna watazamaji, na watumbuizaji walikuwa wametengwa katika majukwaa matano, na wakiwa kwa umbali. Burna Boy, mwenye miaka 29, amewashinda wengine wanne ikiwemo bendi ya Malian, Tinariwen. Chanzo cha picha, Getty Images Tuzo za Grammy zimeielezea albamu ya Twice As Tall kuwa muziki uliotengenezwa kwa kiwango cha juu cha kimataifa, ni fundisho kuwa pia kwa wegine na ndio maana imemfanya Burna Boy kuingia katika kiwango hicho cha kimataifa". "Aliendelea kusema kuwa kuwa albam hiyo imechanganya miondoko mbalimbali kama midundo ya pop, Afrobeat, dancehall, reggae na miondoko mingine mingi," walieleza. Albumu yake ilishirikisha wanamuziki wengi duniani wakiwemo Stormzy, Youssou Ndour, Naughty By Nature, na Chris Martin wa Coldplay, na vilevile Sean Combs akiwa muandaaji mkuu. Video ambayo imemfanya Wizkid kushinda imeelezewa kuwa imezingatia mitindo na kusheherekea urembo wa mwanamke mweusi mahali popote duniani ". Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa YouTube ujumbe, 1 Haipatikani tena Burna Boy amechaguliwa katika kipengele kilekile cha mwaka 2019 - kinachojulikana kama 'Best World Music Album' - lakini Angelique Kidjo aishinda katika tuzo za mwaka 2020. Ingawa Kidjo aliamua kutoa ushindi wake kwa Burna Boy, alisema: "Burna Boy ni miongoni mwa wasanii wachanga ambao wanatoka Afrika ambao wanabadili mtazamo wa muziki wa Afrika." Mwanamuziki huyu aliyezaliwa Nigeria, Burna Boy alizindua albamu yake ya kwanza ya LIFE, mwaka 2013. Na baadae alizindua albamu ya Redemption mwaka 2015 na Outside mwaka 2018 ambayo ilijumuisha ngoma iliyovuma kimataifa ya , Ye. Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa YouTube ujumbe, 2 Haipatikani tena Lakini ilikuwa katika albamu yake ya mwaka 2019 ya African Giant ambapo Burna Boy alijulikana zaidi kimataifa na kupata tuzo yake ya kwanza ya Grammys. Akiwa analinganishwa na mwanamuziki wa Nigeria Fela Ransome-Kuti na kupata umaarufu barani Afrika. Wakati wa mgogoro wa ubaguzi Afrika Kusini mwaka 2019, alitishia kutoenda katika taifa hilo kama serikali ya nchi hiyo haitachukua hatua dhidi ya xenophobic. Pia alijumuishwa katika maamndamano ya #EndSARS ya kupinga unyanyasaji wa polisi, alitoa wimbo wa wahanga ambao waliuawa katika maandamano hayo Oktoba 20,2020 katika geti la Lekki Toll Gate mjini Lagos. Vilevile ameandika katika kurasa yake ya tweeter kuunga mkono waandamanaji wa Senegal ambao walijitokeza barabarani baada ya kiongozi wa upinzani Ousmane Sonkokukamatwa. Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue Mwisho wa Twitter ujumbe, 1 Haipatikani tena ### Response: BURUDANI ### End
Kulwa Mzee – Dar es Salaam MWANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Lumola Kahumbi (30), amedai askari wa Kituo cha Polisi Oysterbay alichukua hela zake Sh 12,500, mwingine akamwambia ajiongeze naye akatoweka akiwa njiani kuelekea chooni alikokuwa anapelekwa. Shahidi huyo wa utetezi amedai alikuwa chini ya ulinzi kituoni hapo, akaomba kwenda chooni, akiwa huko askari mmoja akamwambia jiongeze huku mwingine akizamisha mkono mfukoni kwake na kutoka na kiasi hicho cha fedha akabakiwa na Sh 200. Shahidi huyo wa 13 wa upande wa utetezi alidai hao jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba Alidai alikamatwa na askari eneo la Kinondoni Studio na kupelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay Februari 16 mwaka 2018, mfukoni alikuwa na Sh 12,700. “Tuliambiwa kama kuna mtu anataka kujisaidia aseme, mimi nikataka kwenda, nilisindikizwa na polisi wawili,  kabla hatujafika chooni chini ya mwembe askari mmoja akaniambia  jiongeze, mwingine akanisachi na kuchukula Sh 12,500 kisha akaniambia niondoke na nisigeuke nyuma.  “Februari 16,2018 nilitoka chuo na kupanda daladala la Kariakoo/ Makumbusho kwenda Kinondoni Studio kumuona shangazi yangu saa moja na nusu usiku, niliposhuka studio nilielekea nyumba ya nne kwa shangazi,”alidai. Alidai akiwa kwenye daladala aliona magari ya polisi na yalipofika usawa wa kituo cha daladala cha studio, waliruka kutoka kwenye gari zao wakati huo katika barabara hiyo ya Kawawa wananchi walikuwa wakiendelea na shughuli zao na kwamba ule msafara wa gari za polisi ulileta taharuki. Shahidi huyo wa utetezi alibainisha kuwa katika kituo cha daladala cha studio wakati wa tukio hilo kulikuwepo na gari za daladala tatu zikipakia abiria na kondakta wa gari moja wapo alikamatwa. Alidai askari walipoanza kukimbiza watu na kuwakamata alikimbia kuelekea Magomeni lakini alipofika eneo la wauza vitanda askari walimkamata. Wengine walikamatwa wauza viwanda na wateja wao na walikimbia baada ya polisi kuonesha kama kuna kitu wanafanya wananchi wakataharuki na kuanza kukimbia. Alidai kwamba walikamatwa watu wengi na gari nyingi za polisi zilijaza watu ambapo walipofika katika Kituo cha Polisi Osterbay wote waliwekwa eneo la nje ya geti chini ya mwembe na wengine waliwekwa ndani ya geti. Alidai geti lilipofunguliwa walipata wasaa wa kuonana kwa muda wa nusu saa na wakiwa hapo askari waliwapiga kwa kutumia mikanda. Shahidi alidai mmoja kati ya askari hao alitoka ndani ya kituo hicho cha polisi akiwa na ngoma akampa mmoja wao aipige na kuwalazimisha waimbe wimbo wenye maneno ‘dola si lelemama’. Kahumbi alidai ndani ya dakika 20 kuna askari aliwaambia wanaotaka kakwenda chooni wajitokeze na yeye alikuwa miongoni kwa waliojitokeza kutaka kwenda chooni. Wakati akielekea chooni walipofika eneo la chini ya mwembe askari ndipo akanyang’anywa hela aliyokuwa nayo akabaki na Sh 200. Alidai kwa kuwa Sh 200 nilikuwa haitoshi nauli, aliondoka kwa miguu kutoka kituo cha polisi Osterbay hadi DIT. Baada ya ushahidi huyo kueleza hayo, Wakili wa Serikali Salim Msemo, alimuuliza awali kuwa ni kweli mwanachama wa chama cha siasa na asiye mwanachama wanatofautishwa kwa kadi na hizo kadi zina namba na akajibu ni sahihi. Alidai  hakuna uthibitisho wowote ambao ameutoa mahakamani kuthibitisha ni mwanachama wa CCM kama anavyodai katika ushahidi wake. Shahidi wa 14 Shabani Othman anaendelea kutoa ushahidi ambapo alidai alikuwa wakala wa Chadema katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni na baada ya kuapa hakupewa kiapo  hadi Februari 17 asubuhi siku ya uchaguzi. Mbowe na wenzake nane wanashtakiwa kwa mashtaka 13 yakiwemo ya uchochezi na kufanya maandamano haramu Februari 16 mwaka huu.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kulwa Mzee – Dar es Salaam MWANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Lumola Kahumbi (30), amedai askari wa Kituo cha Polisi Oysterbay alichukua hela zake Sh 12,500, mwingine akamwambia ajiongeze naye akatoweka akiwa njiani kuelekea chooni alikokuwa anapelekwa. Shahidi huyo wa utetezi amedai alikuwa chini ya ulinzi kituoni hapo, akaomba kwenda chooni, akiwa huko askari mmoja akamwambia jiongeze huku mwingine akizamisha mkono mfukoni kwake na kutoka na kiasi hicho cha fedha akabakiwa na Sh 200. Shahidi huyo wa 13 wa upande wa utetezi alidai hao jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba Alidai alikamatwa na askari eneo la Kinondoni Studio na kupelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay Februari 16 mwaka 2018, mfukoni alikuwa na Sh 12,700. “Tuliambiwa kama kuna mtu anataka kujisaidia aseme, mimi nikataka kwenda, nilisindikizwa na polisi wawili,  kabla hatujafika chooni chini ya mwembe askari mmoja akaniambia  jiongeze, mwingine akanisachi na kuchukula Sh 12,500 kisha akaniambia niondoke na nisigeuke nyuma.  “Februari 16,2018 nilitoka chuo na kupanda daladala la Kariakoo/ Makumbusho kwenda Kinondoni Studio kumuona shangazi yangu saa moja na nusu usiku, niliposhuka studio nilielekea nyumba ya nne kwa shangazi,”alidai. Alidai akiwa kwenye daladala aliona magari ya polisi na yalipofika usawa wa kituo cha daladala cha studio, waliruka kutoka kwenye gari zao wakati huo katika barabara hiyo ya Kawawa wananchi walikuwa wakiendelea na shughuli zao na kwamba ule msafara wa gari za polisi ulileta taharuki. Shahidi huyo wa utetezi alibainisha kuwa katika kituo cha daladala cha studio wakati wa tukio hilo kulikuwepo na gari za daladala tatu zikipakia abiria na kondakta wa gari moja wapo alikamatwa. Alidai askari walipoanza kukimbiza watu na kuwakamata alikimbia kuelekea Magomeni lakini alipofika eneo la wauza vitanda askari walimkamata. Wengine walikamatwa wauza viwanda na wateja wao na walikimbia baada ya polisi kuonesha kama kuna kitu wanafanya wananchi wakataharuki na kuanza kukimbia. Alidai kwamba walikamatwa watu wengi na gari nyingi za polisi zilijaza watu ambapo walipofika katika Kituo cha Polisi Osterbay wote waliwekwa eneo la nje ya geti chini ya mwembe na wengine waliwekwa ndani ya geti. Alidai geti lilipofunguliwa walipata wasaa wa kuonana kwa muda wa nusu saa na wakiwa hapo askari waliwapiga kwa kutumia mikanda. Shahidi alidai mmoja kati ya askari hao alitoka ndani ya kituo hicho cha polisi akiwa na ngoma akampa mmoja wao aipige na kuwalazimisha waimbe wimbo wenye maneno ‘dola si lelemama’. Kahumbi alidai ndani ya dakika 20 kuna askari aliwaambia wanaotaka kakwenda chooni wajitokeze na yeye alikuwa miongoni kwa waliojitokeza kutaka kwenda chooni. Wakati akielekea chooni walipofika eneo la chini ya mwembe askari ndipo akanyang’anywa hela aliyokuwa nayo akabaki na Sh 200. Alidai kwa kuwa Sh 200 nilikuwa haitoshi nauli, aliondoka kwa miguu kutoka kituo cha polisi Osterbay hadi DIT. Baada ya ushahidi huyo kueleza hayo, Wakili wa Serikali Salim Msemo, alimuuliza awali kuwa ni kweli mwanachama wa chama cha siasa na asiye mwanachama wanatofautishwa kwa kadi na hizo kadi zina namba na akajibu ni sahihi. Alidai  hakuna uthibitisho wowote ambao ameutoa mahakamani kuthibitisha ni mwanachama wa CCM kama anavyodai katika ushahidi wake. Shahidi wa 14 Shabani Othman anaendelea kutoa ushahidi ambapo alidai alikuwa wakala wa Chadema katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni na baada ya kuapa hakupewa kiapo  hadi Februari 17 asubuhi siku ya uchaguzi. Mbowe na wenzake nane wanashtakiwa kwa mashtaka 13 yakiwemo ya uchochezi na kufanya maandamano haramu Februari 16 mwaka huu. ### Response: KITAIFA ### End
Busungu ambaye aling’ara hivi karibuni katika mchezo wa kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Friends Rangers, alionekana kufanya vizuri baada ya kuifungia Yanga mabao mawili kati ya matatu yaliyofungwa siku hiyo.Akizungumza na gazeti hili, Busungu alisema anatarajia kuonesha uwezo na kujituma katika michuano ya kimataifa na ligi, ikiwezekana kuwa mfungaji bora.“Mashabiki wa Yanga wategemee mambo mengi mazuri kutoka kwangu, watafurahi kwa kuwa nimejipanga kupigana sio tu katika tu kujionesha bali kuisaidia timu,” alisema mshambuliaji huyo.Mchezaji huyo aliyejiunga na Yanga baada ya mkataba wake kumalizika katika timu yake ya Mgambo Shooting, alisema kitu kitakachomwezesha kufanya makubwa ni kuendelea kuonesha nidhamu ndani ya uwanja na nje.Alisema bila kuonesha nidhamu na kujituma itakuwa ni ngumu kupata nafasi kwenye kikosi cha kwanza kutokana na kila mtu kupambana ili kubaki katika kikosi hicho.“Mimi kazi yangu ni kuonesha uwezo wangu uwanjani, kuhusu kama nitapangwa kikosi cha kwanza anayejua ni kocha, lakini naahidi kufanya vizuri katika michezo ijayo,” alisema.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Busungu ambaye aling’ara hivi karibuni katika mchezo wa kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Friends Rangers, alionekana kufanya vizuri baada ya kuifungia Yanga mabao mawili kati ya matatu yaliyofungwa siku hiyo.Akizungumza na gazeti hili, Busungu alisema anatarajia kuonesha uwezo na kujituma katika michuano ya kimataifa na ligi, ikiwezekana kuwa mfungaji bora.“Mashabiki wa Yanga wategemee mambo mengi mazuri kutoka kwangu, watafurahi kwa kuwa nimejipanga kupigana sio tu katika tu kujionesha bali kuisaidia timu,” alisema mshambuliaji huyo.Mchezaji huyo aliyejiunga na Yanga baada ya mkataba wake kumalizika katika timu yake ya Mgambo Shooting, alisema kitu kitakachomwezesha kufanya makubwa ni kuendelea kuonesha nidhamu ndani ya uwanja na nje.Alisema bila kuonesha nidhamu na kujituma itakuwa ni ngumu kupata nafasi kwenye kikosi cha kwanza kutokana na kila mtu kupambana ili kubaki katika kikosi hicho.“Mimi kazi yangu ni kuonesha uwezo wangu uwanjani, kuhusu kama nitapangwa kikosi cha kwanza anayejua ni kocha, lakini naahidi kufanya vizuri katika michezo ijayo,” alisema. ### Response: MICHEZO ### End
LONDON, ENGLAND BINGWA namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenisi duniani raia wa nchini Uswis, Roger Federer, amefanikiwa kuingia hatua ya nne katika fainali za ATP baada ya kumchapa mpinzani wake Novak Djokovic baada ya kutumia dakika 72. Djokovic raia wa nchini Serbia, amekubali kichapo hicho kwa seti 6-4, 6-3, hivyo kushindwa kuingia hatua inayofuata, hivyo Federer anapewa nafasi kubwa ya ya kutwaa taji hilo la Wimbledon wakati huu wa kiangazi. Baada ya ushindi huo Federer mwenye umri wa miaka 38, Agosti 8 alikuwa anasherehekea kutimiza miaka hiyo, hivyo amedai furaha yake inaendelea kutokana na hatua aliyoingia. “Nilicheza kwenye kiwango cha hali ya juu, nilijua lazima nifanya hivyo ili niweze kuingia hatua inayofuata, ushindani ulikuwa wa hali ya juu, mipango yangu ilikuwa hivyo. “Tofauti ni kwamba nimeweza kupambana na nyota wa mchezo huu, kila mmoja alikuwa kwenye ubora wake na alionesha ushindani, ninafuraha kubwa, lakini ninampongeza mpinzani wangu kwa kuonesha ushindani mkubwa,” alisema mshindi huyo. Kwa upande mwingine, Djokovic alisisitiza kukutana na ushindani mkubwa kutoka kwa mpinzani wake, lakini anaamini atayafanyia kazi makosa yake ili kuja kufanya vizuri kwenye michuano mingine. “Nimekuwa nikijifunza mambo mengi kutoka kwake, ushindani wake ni wa hali ya juu hasa pale ninapokutana naye, kile anachokionesha uwanjani kinaonesha maana halisi ya upinzani kwenye mchezo. “Kwa hatua aliyoingia bado ninaamini ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri japokuwa kila hatua ina ushindani wake, ila ana nafasi kubwa ya kuwa mshindi, ninamtakia kila la heri katika hatua yake inayofuata,” alisema Djokovic. Katika mchezo wa nusu fainali Federer anatarajia kukutana na Dominic Thiem, wakati huo Rafael Nadal akipambana jana na Stefanos Tsistsipas.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LONDON, ENGLAND BINGWA namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenisi duniani raia wa nchini Uswis, Roger Federer, amefanikiwa kuingia hatua ya nne katika fainali za ATP baada ya kumchapa mpinzani wake Novak Djokovic baada ya kutumia dakika 72. Djokovic raia wa nchini Serbia, amekubali kichapo hicho kwa seti 6-4, 6-3, hivyo kushindwa kuingia hatua inayofuata, hivyo Federer anapewa nafasi kubwa ya ya kutwaa taji hilo la Wimbledon wakati huu wa kiangazi. Baada ya ushindi huo Federer mwenye umri wa miaka 38, Agosti 8 alikuwa anasherehekea kutimiza miaka hiyo, hivyo amedai furaha yake inaendelea kutokana na hatua aliyoingia. “Nilicheza kwenye kiwango cha hali ya juu, nilijua lazima nifanya hivyo ili niweze kuingia hatua inayofuata, ushindani ulikuwa wa hali ya juu, mipango yangu ilikuwa hivyo. “Tofauti ni kwamba nimeweza kupambana na nyota wa mchezo huu, kila mmoja alikuwa kwenye ubora wake na alionesha ushindani, ninafuraha kubwa, lakini ninampongeza mpinzani wangu kwa kuonesha ushindani mkubwa,” alisema mshindi huyo. Kwa upande mwingine, Djokovic alisisitiza kukutana na ushindani mkubwa kutoka kwa mpinzani wake, lakini anaamini atayafanyia kazi makosa yake ili kuja kufanya vizuri kwenye michuano mingine. “Nimekuwa nikijifunza mambo mengi kutoka kwake, ushindani wake ni wa hali ya juu hasa pale ninapokutana naye, kile anachokionesha uwanjani kinaonesha maana halisi ya upinzani kwenye mchezo. “Kwa hatua aliyoingia bado ninaamini ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri japokuwa kila hatua ina ushindani wake, ila ana nafasi kubwa ya kuwa mshindi, ninamtakia kila la heri katika hatua yake inayofuata,” alisema Djokovic. Katika mchezo wa nusu fainali Federer anatarajia kukutana na Dominic Thiem, wakati huo Rafael Nadal akipambana jana na Stefanos Tsistsipas. ### Response: MICHEZO ### End
Na Waandishi Wetu-Dar/Zanzibar WAKATI Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, ikiendelea na vikao vyake Dar es Salaam, wafuasi zaidi ya 100 wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad wamekuwa wakikesha kulinda ofisi za Makao Makuu Zanzibar. Hatua hiyo imekuja baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita, Profesa Lipumba kutangaza uteuzi wa wakurugenzi wa upande wa Zanzibar na kuahidi kwenda kuwakabidhi ofisi wiki hii Visiwani humo. Kutokana na hali hiyo, MTANZANIA imeshuhudia kundi la wanachama hao wa CUF Zanzibar wanaomuunga mkono Maalim Seif wakilinda ofisi za chama hicho zilizopo Mtendeni na Vuga kwa lengo la kuwazuia wakurugenzi hao. Hatua hiyo imekuja baada ya Maalim Seif kuwataka wafuasi wake juzi mjini Unguja kwamba wawe tayari kulinda ofisi za chama hicho na kupinga uteuzi wa wakurugenzi hao, huku wakiwaita ni feki. Alisema hila zinazofanywa na Profesa Lipumba ni za makusudi, huku akisema jambo la muhimu ni kuhakikisha wanachama na viongozi wote wasiokubaliana naye wanaungana ili kuhakikisha kuwa hakuna uovu ama ukiukwaji wa sheria utakaofanywa ndani ya chama hicho. “Ni lazima tulinde chama pamoja na viongozi wake na si vinginevyo, CCM wamekuwa wakifanya kila aina ya majaribu dhidi ya CUF kwa lengo la kumpotezea muda Maalim Seif, ila sisi kama wanachama katu hatukubali. “Tutasimama imara kulinda kila aina ya mali na hata viongozi, lakini si kuwaruhusu hao wanaoitwa wakurugenzi wa Bwana Yule (Lipumba) kuingia hapa. Ninarudia tena, kama wakithubutu kuingiza hata pua habari yao wataipata,” alisema Masoud Salim Faki ambaye ni mwanachama wa CUF. MTANZANIA ilimtafuta Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara, Magdalena Sakaya, ambaye alisema kuwa kauli ya Katibu Mkuu wake Maalim Seif ni ya kujihami na yenye hofu dhidi ya jambo fulani. “CUF ni taasisi na ina ofisi mbili, moja ipo Zanzibar Mtendeni na Dar es Salaam Buguruni na Katiba inaeleza kuwa kiongozi yeyote wa chama ana haki ya kufanya kazi katika eneo lolote. “Tunazo taarifa kuwa amechukua vijana kutoka shamba kama 100 ambao tangu jana (juzi) wamekuwa wakilinda ofisi ya Vuga na Mtendeni jambo ambalo anawapotezea muda tu hawa vijana,” alisema Sakaya. Kutokana na hali hiyo, alisema wao wameendelea na vikao vya kawaida vya kuimarisha chama kuanzia juzi na jana ambapo wakurugenzi wote wanaotambulika kwa mujibu wa Katiba wamehudhuria. Alisema ofisi za chama haziwezi kuwa kama mali au kampuni ya mtu binafsi kwani siku zote wenye mali zote huwa ni wanachama na si vinginevyo. “Wakurugenzi walioteuliwa wataendelea na majukumu yao kwa upande wa Zanzibar na hata Bara maana hufanya kazi siku zote kwa pamoja na eneo lolote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyoelekezwa kwa mujibu wa Katiba ya CUF,” alisema Sakaya. Wiki iliyopita, Profesa Lipumba alitangaza uteuzi wa wakurugenzi wapya na manaibu wao ambao ni Nassor Seif (Mipango na Uchaguzi), Mbunge wa zamani wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Kurugenzi ya Mambo ya Nje), Haroub Mohamedi Shamis (Naibu Fedha na Uchumi), Masoud Ali Said (Naibu Habari na Uenezi) na Thiney Juma Muhamed  akiteuliwa kuwa Kamanda wa Blue Guard Tanzania.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Waandishi Wetu-Dar/Zanzibar WAKATI Kamati ya Utendaji ya Taifa ya Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, ikiendelea na vikao vyake Dar es Salaam, wafuasi zaidi ya 100 wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad wamekuwa wakikesha kulinda ofisi za Makao Makuu Zanzibar. Hatua hiyo imekuja baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita, Profesa Lipumba kutangaza uteuzi wa wakurugenzi wa upande wa Zanzibar na kuahidi kwenda kuwakabidhi ofisi wiki hii Visiwani humo. Kutokana na hali hiyo, MTANZANIA imeshuhudia kundi la wanachama hao wa CUF Zanzibar wanaomuunga mkono Maalim Seif wakilinda ofisi za chama hicho zilizopo Mtendeni na Vuga kwa lengo la kuwazuia wakurugenzi hao. Hatua hiyo imekuja baada ya Maalim Seif kuwataka wafuasi wake juzi mjini Unguja kwamba wawe tayari kulinda ofisi za chama hicho na kupinga uteuzi wa wakurugenzi hao, huku wakiwaita ni feki. Alisema hila zinazofanywa na Profesa Lipumba ni za makusudi, huku akisema jambo la muhimu ni kuhakikisha wanachama na viongozi wote wasiokubaliana naye wanaungana ili kuhakikisha kuwa hakuna uovu ama ukiukwaji wa sheria utakaofanywa ndani ya chama hicho. “Ni lazima tulinde chama pamoja na viongozi wake na si vinginevyo, CCM wamekuwa wakifanya kila aina ya majaribu dhidi ya CUF kwa lengo la kumpotezea muda Maalim Seif, ila sisi kama wanachama katu hatukubali. “Tutasimama imara kulinda kila aina ya mali na hata viongozi, lakini si kuwaruhusu hao wanaoitwa wakurugenzi wa Bwana Yule (Lipumba) kuingia hapa. Ninarudia tena, kama wakithubutu kuingiza hata pua habari yao wataipata,” alisema Masoud Salim Faki ambaye ni mwanachama wa CUF. MTANZANIA ilimtafuta Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara, Magdalena Sakaya, ambaye alisema kuwa kauli ya Katibu Mkuu wake Maalim Seif ni ya kujihami na yenye hofu dhidi ya jambo fulani. “CUF ni taasisi na ina ofisi mbili, moja ipo Zanzibar Mtendeni na Dar es Salaam Buguruni na Katiba inaeleza kuwa kiongozi yeyote wa chama ana haki ya kufanya kazi katika eneo lolote. “Tunazo taarifa kuwa amechukua vijana kutoka shamba kama 100 ambao tangu jana (juzi) wamekuwa wakilinda ofisi ya Vuga na Mtendeni jambo ambalo anawapotezea muda tu hawa vijana,” alisema Sakaya. Kutokana na hali hiyo, alisema wao wameendelea na vikao vya kawaida vya kuimarisha chama kuanzia juzi na jana ambapo wakurugenzi wote wanaotambulika kwa mujibu wa Katiba wamehudhuria. Alisema ofisi za chama haziwezi kuwa kama mali au kampuni ya mtu binafsi kwani siku zote wenye mali zote huwa ni wanachama na si vinginevyo. “Wakurugenzi walioteuliwa wataendelea na majukumu yao kwa upande wa Zanzibar na hata Bara maana hufanya kazi siku zote kwa pamoja na eneo lolote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyoelekezwa kwa mujibu wa Katiba ya CUF,” alisema Sakaya. Wiki iliyopita, Profesa Lipumba alitangaza uteuzi wa wakurugenzi wapya na manaibu wao ambao ni Nassor Seif (Mipango na Uchaguzi), Mbunge wa zamani wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Kurugenzi ya Mambo ya Nje), Haroub Mohamedi Shamis (Naibu Fedha na Uchumi), Masoud Ali Said (Naibu Habari na Uenezi) na Thiney Juma Muhamed  akiteuliwa kuwa Kamanda wa Blue Guard Tanzania. ### Response: KITAIFA ### End
NEW YORK, MAREKANI RAPA Jeffrey Atkins maarufu kwa jina la Ja Rule, amemshangaa 50 Cent kwa kitendo chake cha kununua tiketi za watu 200 wa siti za mbele ili ziwe wazi katika shoo yake mapema mwezi huu. Ja Rule anatarajia kufanya shoo yake Novemba 9 mwaka huu, hivyo 50 Cent ameamua kununua siti 200 zote za mbele ili ziwe wazi kwa ajili ya kumuharibia msanii huyo. Wawili hao wamekuwa kwenye mgogoro kwa kipindi cha miaka 20 sasa, hivyo kitendo hicho kinaonesha hakuna dalili za kumaliza tofauti zao. Kupitia ukurasa wa Instagram Ja Rule aliandika na kudai kitendo alichokifanya 50 kinamshangaza lakini amekipenda. “Nimependa kitendo ulichokifanya, siku zote nipo juu yako na ninachokiangalia ni jinsi gani nitapata fedha,” aliandika Ja Rule.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NEW YORK, MAREKANI RAPA Jeffrey Atkins maarufu kwa jina la Ja Rule, amemshangaa 50 Cent kwa kitendo chake cha kununua tiketi za watu 200 wa siti za mbele ili ziwe wazi katika shoo yake mapema mwezi huu. Ja Rule anatarajia kufanya shoo yake Novemba 9 mwaka huu, hivyo 50 Cent ameamua kununua siti 200 zote za mbele ili ziwe wazi kwa ajili ya kumuharibia msanii huyo. Wawili hao wamekuwa kwenye mgogoro kwa kipindi cha miaka 20 sasa, hivyo kitendo hicho kinaonesha hakuna dalili za kumaliza tofauti zao. Kupitia ukurasa wa Instagram Ja Rule aliandika na kudai kitendo alichokifanya 50 kinamshangaza lakini amekipenda. “Nimependa kitendo ulichokifanya, siku zote nipo juu yako na ninachokiangalia ni jinsi gani nitapata fedha,” aliandika Ja Rule. ### Response: BURUDANI ### End
TAKRIBANI watu 35 wamekufa na wengine 48 kujeruhiwa, baada ya kukanyagana wakati wa maziko ya Kamanda wa Jeshi la Iran, Jenerali Qasem Soleimani (pichani) yaliyofanyika nyumbani kwake katika mji wa Kerman.Maelfu ya waombolezaji wakiwa katika mavazi meusi, walijitokeza kutoa heshima za mwisho kwa Soleimani, kabla ya maziko yaliyofanyika jana. Soleimani aliuawa Ijumaa katika mapambano ya anga na jeshi la Marekani nchini Iraki, kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kutokana na amri ya Rais wa Marekani, Donald Trump.Video zilizosambazwa mtandaoni, zilionesha watu waliokuwa wameanguka barabarani wakiwa wamepoteza maisha, wengine wakipiga kelele na baadhi wakijaribu kuwasaidia.Mkuu Kitengo cha Huduma ya Dharura, Pirhossein Koulivand, alithibitisha kupitia televisheni ya taifa kuhusu hali hiyo ya watu kukanyagana. “Bahati mbaya kutokana na kukanyagana, baadhi ya wenzetu walijeruhiwa na wengine kuuawa wakati wa maziko,” alisema. Juzi, kabla ya maziko ya jana, mamilioni ya watu walijitokeza katika mji wa Tehran kutoa heshima za mwisho.Kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei alionekana akilia wakati akiongoza swala ya mazishi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran. Televisheni ya taifa ilionesha umati wa waombolezaji, wakipita katika jeneza la Soleimani wakiinamisha vichwa na kuimba ‘kifo kwa Marekani’ huku Khamenei akilia. Mwili wa Soleimani ulipelekwa katika mji wa Kerman, Kusini Mashariki mwa Iran kwa ajili ya maziko.Maelfu ya waomboleza wakiwa wamevalia mavazi meusi, walijitokeza kwa wingi. Jumapili Iran ilitangaza kuwa haitafungamana na vizuizi vya aina yoyote, vilivyowekwa katika Mkataba wa Nyuklia wa mwaka 2015.Mkataba huo ulipunguza uwezo matumizi ya nyuklia, kwa makubaliano ya kuondoa vizuizi vya kiuchumi. Mataifa matatu ya Ulaya; Ujerumani, Ufaransa na Uingireza, yalikuwa sehemu ya mkataba huo na yametaka Iran kuzingatia makubaliano waliyokubaliana. Soleimani ambaye alikuwa na umri wa miaka 62, alikuwa kiongozi wa kundi la jeshi la Quds .Kazi yake kubwa ilikuwa ni kulinda usalama wa Iran na kuongeza ushawishi wa taifa hilo la Mashariki ya Kati. Alitambuliwa kama shujaa wa taifa na alifahamika kama mtu wa pili, ambaye ana nguvu zaidi katika taifa hilo, akimfuatia kiongozi wa Iran, Khamenei.Soleimani alitumia fedha nyingi kujenga uhusiano na majeshi mengine ya Lebanon, Yemen, Iraq na Syria, wakati ambao Marekani ilikuwa inaweka vikwazo vingi dhidi ya Wairan. Marekani ilimchukulia Soleimani kama gaidi na Rais Trump alisema alikuwa akifanya njama za kushambulia wanadiplomasia na majeshi ya Marekani.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TAKRIBANI watu 35 wamekufa na wengine 48 kujeruhiwa, baada ya kukanyagana wakati wa maziko ya Kamanda wa Jeshi la Iran, Jenerali Qasem Soleimani (pichani) yaliyofanyika nyumbani kwake katika mji wa Kerman.Maelfu ya waombolezaji wakiwa katika mavazi meusi, walijitokeza kutoa heshima za mwisho kwa Soleimani, kabla ya maziko yaliyofanyika jana. Soleimani aliuawa Ijumaa katika mapambano ya anga na jeshi la Marekani nchini Iraki, kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kutokana na amri ya Rais wa Marekani, Donald Trump.Video zilizosambazwa mtandaoni, zilionesha watu waliokuwa wameanguka barabarani wakiwa wamepoteza maisha, wengine wakipiga kelele na baadhi wakijaribu kuwasaidia.Mkuu Kitengo cha Huduma ya Dharura, Pirhossein Koulivand, alithibitisha kupitia televisheni ya taifa kuhusu hali hiyo ya watu kukanyagana. “Bahati mbaya kutokana na kukanyagana, baadhi ya wenzetu walijeruhiwa na wengine kuuawa wakati wa maziko,” alisema. Juzi, kabla ya maziko ya jana, mamilioni ya watu walijitokeza katika mji wa Tehran kutoa heshima za mwisho.Kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei alionekana akilia wakati akiongoza swala ya mazishi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran. Televisheni ya taifa ilionesha umati wa waombolezaji, wakipita katika jeneza la Soleimani wakiinamisha vichwa na kuimba ‘kifo kwa Marekani’ huku Khamenei akilia. Mwili wa Soleimani ulipelekwa katika mji wa Kerman, Kusini Mashariki mwa Iran kwa ajili ya maziko.Maelfu ya waomboleza wakiwa wamevalia mavazi meusi, walijitokeza kwa wingi. Jumapili Iran ilitangaza kuwa haitafungamana na vizuizi vya aina yoyote, vilivyowekwa katika Mkataba wa Nyuklia wa mwaka 2015.Mkataba huo ulipunguza uwezo matumizi ya nyuklia, kwa makubaliano ya kuondoa vizuizi vya kiuchumi. Mataifa matatu ya Ulaya; Ujerumani, Ufaransa na Uingireza, yalikuwa sehemu ya mkataba huo na yametaka Iran kuzingatia makubaliano waliyokubaliana. Soleimani ambaye alikuwa na umri wa miaka 62, alikuwa kiongozi wa kundi la jeshi la Quds .Kazi yake kubwa ilikuwa ni kulinda usalama wa Iran na kuongeza ushawishi wa taifa hilo la Mashariki ya Kati. Alitambuliwa kama shujaa wa taifa na alifahamika kama mtu wa pili, ambaye ana nguvu zaidi katika taifa hilo, akimfuatia kiongozi wa Iran, Khamenei.Soleimani alitumia fedha nyingi kujenga uhusiano na majeshi mengine ya Lebanon, Yemen, Iraq na Syria, wakati ambao Marekani ilikuwa inaweka vikwazo vingi dhidi ya Wairan. Marekani ilimchukulia Soleimani kama gaidi na Rais Trump alisema alikuwa akifanya njama za kushambulia wanadiplomasia na majeshi ya Marekani. ### Response: KITAIFA ### End
HASSAN DAUDI NA MITANDAO WATAFITI nchini China wamebaini kuwa mwanamume asiyepiga mswaki, walau mara mbili kwa siku, yuko hatarini kupoteza uwezo wake wa kufanya mapenzi. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Jinan nchini China, umebaini hilo. Kumbuka kuwa hii ni moja kati ya taasisi za elimu ya juu zenye heshima kubwa katika sekta ya elimu nchini humo. Ifahamike kuwa tafiti mbalimbali zimebaini kuwa tatizo hilo linawatesa wanaume takribani milioni 200 duniani kote na idadi hiyo imetabiriwa kufikia milioni 322 mwaka 2025. Kwa mujibu wa utafiti huo, uliowahusisha wanaume 213,076 kutopiga mswaki husababisha ugonjwa wa fizi, ambao unapunguza mara tatu ufanisi wa mwanaume katika kufanya tendo la ndoa. Katika utafiti huo, wale waliokuwa wakisumbuliwa na matatizo ya fizi, ikiwamo kuuma na kutoka damu, walikiri kushindwa kuwaridhisha wenza wao faragha. Ikifafanua majibu ya utafiti huo, ripoti hiyo inasema magonjwa ya fizi hupunguza kiwango cha vichocheo (hormone) za ngono. Kuiweka sawa ripoti hiyo, Mkuu wa timu ya watafiti wa Chuo Kikuu cha Jinan, Dk. Xincai Zhou, anasema: “Afya ya kinywa inapaswa kupewa umuhimu na madaktari wanapokuwa wakizungumza na wagonjwa wenye tatizo la uzazi.” Wakati huo huo, inaelezwa kuwa wavutaji sigara, walevi, wagonjwa wa shinikio la damu, wako hatarini kukumbwa na tatizo la kushindwa kufurahia ngono. Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limewahi kutoa ripoti yake, ikionesha asilimia 50 ya wanaosumbuliwa na changamoto hiyo ni wale wanaosumbuliwa na ugonjwa hatari wa kisukari. Aidha, tafiti zingine za kitabibu zimewahi kusema umri nao unaweza kuwa sababu. Taasisi inayojihusisha na Magonjwa ya Mkojo (AUA-American Urological Association) ilibaini kuwa watu wanne kati ya 10 wenye umri wa miaka 40 wanasumbuliwa na hali hiyo. Idadi hiyo ilipanda hadi kufikia watu sita kati ya 10 waliokuwa na umri wa miaka 65. Pia, utafiti wao ulionesha kuwa watu nane kati ya 10 wenye umri wa miaka 75 wanahangaikia tiba ya upungufu wa nguvu za kiume. Dk. Xincai Zhou anaongeza kuwa mmoja kati ya watu watano duniani anasumbuliwa na tatizo la fizi kutoa damu, kung’oa meno, au harufu mbaya ya kinywa. “Walau unatakiwa kuwa na utaratibu wa kupiga mswaki mara mbili kwa siku. Pia unatakiwa kujiwekea utaratibu wa kukutana na daktari wa meno mara kwa mara,” anasema msomi huyo. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume nchini Marekani ni kubwa, takribani watu milioni 30 wanahaha katika vituo vya afya kutafuta tiba. Ukiacha hilo la kupiga mswaki, Dk. Xincai Zhou anasema: “Kufanya mazoezi, mpangilio wa vyakula, kunaweza kusaidia kumaliza tatizo.”
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- HASSAN DAUDI NA MITANDAO WATAFITI nchini China wamebaini kuwa mwanamume asiyepiga mswaki, walau mara mbili kwa siku, yuko hatarini kupoteza uwezo wake wa kufanya mapenzi. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Jinan nchini China, umebaini hilo. Kumbuka kuwa hii ni moja kati ya taasisi za elimu ya juu zenye heshima kubwa katika sekta ya elimu nchini humo. Ifahamike kuwa tafiti mbalimbali zimebaini kuwa tatizo hilo linawatesa wanaume takribani milioni 200 duniani kote na idadi hiyo imetabiriwa kufikia milioni 322 mwaka 2025. Kwa mujibu wa utafiti huo, uliowahusisha wanaume 213,076 kutopiga mswaki husababisha ugonjwa wa fizi, ambao unapunguza mara tatu ufanisi wa mwanaume katika kufanya tendo la ndoa. Katika utafiti huo, wale waliokuwa wakisumbuliwa na matatizo ya fizi, ikiwamo kuuma na kutoka damu, walikiri kushindwa kuwaridhisha wenza wao faragha. Ikifafanua majibu ya utafiti huo, ripoti hiyo inasema magonjwa ya fizi hupunguza kiwango cha vichocheo (hormone) za ngono. Kuiweka sawa ripoti hiyo, Mkuu wa timu ya watafiti wa Chuo Kikuu cha Jinan, Dk. Xincai Zhou, anasema: “Afya ya kinywa inapaswa kupewa umuhimu na madaktari wanapokuwa wakizungumza na wagonjwa wenye tatizo la uzazi.” Wakati huo huo, inaelezwa kuwa wavutaji sigara, walevi, wagonjwa wa shinikio la damu, wako hatarini kukumbwa na tatizo la kushindwa kufurahia ngono. Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limewahi kutoa ripoti yake, ikionesha asilimia 50 ya wanaosumbuliwa na changamoto hiyo ni wale wanaosumbuliwa na ugonjwa hatari wa kisukari. Aidha, tafiti zingine za kitabibu zimewahi kusema umri nao unaweza kuwa sababu. Taasisi inayojihusisha na Magonjwa ya Mkojo (AUA-American Urological Association) ilibaini kuwa watu wanne kati ya 10 wenye umri wa miaka 40 wanasumbuliwa na hali hiyo. Idadi hiyo ilipanda hadi kufikia watu sita kati ya 10 waliokuwa na umri wa miaka 65. Pia, utafiti wao ulionesha kuwa watu nane kati ya 10 wenye umri wa miaka 75 wanahangaikia tiba ya upungufu wa nguvu za kiume. Dk. Xincai Zhou anaongeza kuwa mmoja kati ya watu watano duniani anasumbuliwa na tatizo la fizi kutoa damu, kung’oa meno, au harufu mbaya ya kinywa. “Walau unatakiwa kuwa na utaratibu wa kupiga mswaki mara mbili kwa siku. Pia unatakiwa kujiwekea utaratibu wa kukutana na daktari wa meno mara kwa mara,” anasema msomi huyo. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume nchini Marekani ni kubwa, takribani watu milioni 30 wanahaha katika vituo vya afya kutafuta tiba. Ukiacha hilo la kupiga mswaki, Dk. Xincai Zhou anasema: “Kufanya mazoezi, mpangilio wa vyakula, kunaweza kusaidia kumaliza tatizo.” ### Response: AFYA ### End
SERIKALI ya Finland inatarajia kutoa Euro 9.5 sawa na Sh bilioni 24/- kwa ajili ya mradi wa awamu ya pili wa Panda Miti Kibiashara.Mradi huo utakaodumu kwa miaka minne ni kwa ajili ya wakulima wadogo wa miti wa mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu aliagiza Idara ya Misitu na Nyuki ambayo ndiyo msimamizi mkuu wa mradi huo kwa niaba ya Wizara, iweke utaratibu wa kusimamia na itoe taarifa za mara kwa mara kuhusu maendeleo yake kwa wizara.Aliwataka wataalamu wote watakaotekeleza mradi huo, wafanye kazi kwa weledi mkubwa, kwa kuzingatia thamani ya fedha hiyo .Ametoa kauli hiyo  Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa alipokuwa akizindua awamu ya pili ya mradi huo.Awali serikali hiyo ya Finland katika mradi wa awamu ya kwanza, kati ya mwaka 2014 hadi mwaka 2018, ilitoa Euro milioni 19.5 sawa na Sh billioni 40.Kupitia uwezeshaji huo, hekta 12,000 za miti bora zimepandwa na zinamilikiwa na wananchi wapatao 9,030.Katika awamu hiyo ya kwanza, fedha hizo zilitumika kuanzisha kituo cha mafunzo ya misitu na Kiwanda cha Misitu cha Mafinga.Kituo hicho mpaka sasa kimeshatoa mafunzo kwa wakulima wapatao 8,555. Akizungumzia lengo la matumizi ya fedha hizo za awamu ya pili ya mradi, Kanyasu alisema fedha hizo zitatumika kuwajengea uwezo wakulima wa miti na wajasiriamali wadogo na wa katiAlisema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya kupambana na matukio ya moto na kuongeza ubora wa mazao ya misitu yaliyo kwenye mnyororo wa thamani.Katika hatua nyingine, Naibu Waziri huyo aliishukuru Finland kwa kufadhili mradi mwingine wa kuongeza mnyororo wa thamani kwa mazao ya misitu uitwao FORVAC, unaotekelezwa na wizara katika wilaya kumi za mikoa ya Tanga, Dodoma, Lindi na Ruvuma.Alisema sekta ya misitu nchini isingefika hapa ilipo leo, kama hapangekuwepo msaada wa wananchi wa Finland. Balozi wa Finland nchini Tanzania, Riita Swan alisema nchi yake imeatoa fedha hizo kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wadogo wa miti ili wajikwamue na umasikini.Kwamba Finland inataka kuona wakulima wadogo wa miti, wanajengewa mazingira mazuri ya kushiriki katika shughuli za kuendeleza misitu kibiashara.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI ya Finland inatarajia kutoa Euro 9.5 sawa na Sh bilioni 24/- kwa ajili ya mradi wa awamu ya pili wa Panda Miti Kibiashara.Mradi huo utakaodumu kwa miaka minne ni kwa ajili ya wakulima wadogo wa miti wa mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu aliagiza Idara ya Misitu na Nyuki ambayo ndiyo msimamizi mkuu wa mradi huo kwa niaba ya Wizara, iweke utaratibu wa kusimamia na itoe taarifa za mara kwa mara kuhusu maendeleo yake kwa wizara.Aliwataka wataalamu wote watakaotekeleza mradi huo, wafanye kazi kwa weledi mkubwa, kwa kuzingatia thamani ya fedha hiyo .Ametoa kauli hiyo  Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa alipokuwa akizindua awamu ya pili ya mradi huo.Awali serikali hiyo ya Finland katika mradi wa awamu ya kwanza, kati ya mwaka 2014 hadi mwaka 2018, ilitoa Euro milioni 19.5 sawa na Sh billioni 40.Kupitia uwezeshaji huo, hekta 12,000 za miti bora zimepandwa na zinamilikiwa na wananchi wapatao 9,030.Katika awamu hiyo ya kwanza, fedha hizo zilitumika kuanzisha kituo cha mafunzo ya misitu na Kiwanda cha Misitu cha Mafinga.Kituo hicho mpaka sasa kimeshatoa mafunzo kwa wakulima wapatao 8,555. Akizungumzia lengo la matumizi ya fedha hizo za awamu ya pili ya mradi, Kanyasu alisema fedha hizo zitatumika kuwajengea uwezo wakulima wa miti na wajasiriamali wadogo na wa katiAlisema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya kupambana na matukio ya moto na kuongeza ubora wa mazao ya misitu yaliyo kwenye mnyororo wa thamani.Katika hatua nyingine, Naibu Waziri huyo aliishukuru Finland kwa kufadhili mradi mwingine wa kuongeza mnyororo wa thamani kwa mazao ya misitu uitwao FORVAC, unaotekelezwa na wizara katika wilaya kumi za mikoa ya Tanga, Dodoma, Lindi na Ruvuma.Alisema sekta ya misitu nchini isingefika hapa ilipo leo, kama hapangekuwepo msaada wa wananchi wa Finland. Balozi wa Finland nchini Tanzania, Riita Swan alisema nchi yake imeatoa fedha hizo kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wadogo wa miti ili wajikwamue na umasikini.Kwamba Finland inataka kuona wakulima wadogo wa miti, wanajengewa mazingira mazuri ya kushiriki katika shughuli za kuendeleza misitu kibiashara. ### Response: UCHUMI ### End
NAHODHA wa timu ya rugby ya Harlequins nchini England, James Horwill, juzi alivunjika kidole katika mchezo wa fainali dhidi ya Leicester Tigers, kwenye uwanja wa Welford Road. Mchezaji huyo alivunjika kidole cha mkono wa kushoto, huku zikiwa zimebakia dakika 10 mchezo huo kumalizika, huku timu yake ikiwa nyuma kwa mabao 25-6. Nahodha huyo alionekana kutoa mchango mkubwa kwa timu yake, lakini mchango wake ulikuwa hautoshi hadi anapata tatizo la kuvunjika kidole na nafasi yake ilichukuliwa na Charlie Mulchrone katika dakika ya 70. Kupitia akaunti yake ya Instagram, nyota huyo mwenye umri wa miaka 31, aliwashukuru mashabiki wa timu hiyo kwa kuonesha ushirikiano, japokuwa timu yao ilikuwa nyuma kwa matokeo. “Nawashukuru wote kwa mchango wao ambao waliuonesha tangu tunaanza hadi mwisho, nasikitika kwamba nimevunjika kidole huku nikiwa napambana kwa ajili ya timu, lakini ninaamini nitarudi tena uwanjani baada ya kidole changu kuwa sawa,” aliandika Horwill.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NAHODHA wa timu ya rugby ya Harlequins nchini England, James Horwill, juzi alivunjika kidole katika mchezo wa fainali dhidi ya Leicester Tigers, kwenye uwanja wa Welford Road. Mchezaji huyo alivunjika kidole cha mkono wa kushoto, huku zikiwa zimebakia dakika 10 mchezo huo kumalizika, huku timu yake ikiwa nyuma kwa mabao 25-6. Nahodha huyo alionekana kutoa mchango mkubwa kwa timu yake, lakini mchango wake ulikuwa hautoshi hadi anapata tatizo la kuvunjika kidole na nafasi yake ilichukuliwa na Charlie Mulchrone katika dakika ya 70. Kupitia akaunti yake ya Instagram, nyota huyo mwenye umri wa miaka 31, aliwashukuru mashabiki wa timu hiyo kwa kuonesha ushirikiano, japokuwa timu yao ilikuwa nyuma kwa matokeo. “Nawashukuru wote kwa mchango wao ambao waliuonesha tangu tunaanza hadi mwisho, nasikitika kwamba nimevunjika kidole huku nikiwa napambana kwa ajili ya timu, lakini ninaamini nitarudi tena uwanjani baada ya kidole changu kuwa sawa,” aliandika Horwill. ### Response: MICHEZO ### End
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam (DART), umeanza maandalizi ya utekelezaji wa awamu ya tatu ya mradi huo ambao mabasi yake yatakwenda hadi Gongo la Mboto kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).Akiwasilisha mapitio bungeni jana, makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/20, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, alisema utekelezaji huo utahusisha barabara ya Azikiwe na Maktaba. Tamisemi imeliomba Bunge kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/20 ya Sh trilioni 6.21.Jafo alisema mabasi hayo yatapita katika barabara ya Bibi Titi na Nyerere kupitia JNIA hadi Gongo la Mboto, Kituo Kikuu cha mabasi Kariakoo Gerezani kupitia Mtaa wa Lindi, Shaurimoyo na Uhuru kupitia Buguruni hadi Tazara zenye urefu wa kilometa 23.6. Alisema pia eneo la kujenga kituo mlisho cha Banana karibu na eneo zilizopo ofisi za Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) na wananchi wapatao 78 wanaoguswa na mradi mali zao zimethaminiwa kwa ajili ya kulipwa fidia.Aidha, Jafo alisema kwa mwaka 2019/20 itafanyika tathmini ya gharama za kuhamisha miundombinu ya kijamii na fidia kwa wananchi watakaopisha utekelezaji wa mradi huo awamu ya nne. “Awamu ya nne itahusisha barabara za Bagamoyo hadi Tegeta, Bibi Titi, Ali Hassan Mwinyi na Sam Nujoma zenye urefu wa kilometa 25.9 na awamu ya tano itahusisha ujenzi wa barabara za Mandela kuanzia eneo la Ubungo kupitia Tazara, Uhasibu kuungana na barabara ya Kigamboni na barabara ya kuanzia Tabata Relini hadi Segerea,” alisema.Akizungumzia awamu ya pili, Jafo alisema Wakala huo umekamilisha maandalizi ya utekelezaji wa awamu ya pili ya ujenzi wa miundombinu itakayohusisha barabara za Kilwa, Kawawa, Sokoine, Gerezani, Bandari na Chang’ombe yenye urefu wa kilometa 20.3.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka jijini Dar es Salaam (DART), umeanza maandalizi ya utekelezaji wa awamu ya tatu ya mradi huo ambao mabasi yake yatakwenda hadi Gongo la Mboto kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).Akiwasilisha mapitio bungeni jana, makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/20, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, alisema utekelezaji huo utahusisha barabara ya Azikiwe na Maktaba. Tamisemi imeliomba Bunge kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2019/20 ya Sh trilioni 6.21.Jafo alisema mabasi hayo yatapita katika barabara ya Bibi Titi na Nyerere kupitia JNIA hadi Gongo la Mboto, Kituo Kikuu cha mabasi Kariakoo Gerezani kupitia Mtaa wa Lindi, Shaurimoyo na Uhuru kupitia Buguruni hadi Tazara zenye urefu wa kilometa 23.6. Alisema pia eneo la kujenga kituo mlisho cha Banana karibu na eneo zilizopo ofisi za Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) na wananchi wapatao 78 wanaoguswa na mradi mali zao zimethaminiwa kwa ajili ya kulipwa fidia.Aidha, Jafo alisema kwa mwaka 2019/20 itafanyika tathmini ya gharama za kuhamisha miundombinu ya kijamii na fidia kwa wananchi watakaopisha utekelezaji wa mradi huo awamu ya nne. “Awamu ya nne itahusisha barabara za Bagamoyo hadi Tegeta, Bibi Titi, Ali Hassan Mwinyi na Sam Nujoma zenye urefu wa kilometa 25.9 na awamu ya tano itahusisha ujenzi wa barabara za Mandela kuanzia eneo la Ubungo kupitia Tazara, Uhasibu kuungana na barabara ya Kigamboni na barabara ya kuanzia Tabata Relini hadi Segerea,” alisema.Akizungumzia awamu ya pili, Jafo alisema Wakala huo umekamilisha maandalizi ya utekelezaji wa awamu ya pili ya ujenzi wa miundombinu itakayohusisha barabara za Kilwa, Kawawa, Sokoine, Gerezani, Bandari na Chang’ombe yenye urefu wa kilometa 20.3. ### Response: KITAIFA ### End
    NA VERONICA ROMWALD – DAR ES SALAAM ULAJI wa nyama choma na chipsi umetajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazochochea watu wengi hasa vijana kupata shinikizo la juu la damu. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Pedro Pallangyo, alipozungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Jumapili. Dk. Pallangyo alisema vyakula hivyo huchochea hali hiyo kutokana na matumizi makubwa ya mafuta yanayotumika kuviandaa na chumvi nyingi inayotumika wakati wa kula. “Jinsi vyakula hivyo vinavyoandaliwa mafuta mengi hutumika na wakati wa kula watu hupendelea kuweka chumvi nyingi, jambo ambalo ni kosa. Ulaji huu si mzuri kiafya,” alisema. Dk. Pallangyo ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Utafiti na Mafunzo wa JKCI alisema katika miaka ya nyuma idadi kubwa ya watu katika nchi zilizoendelea ndiyo walikuwa wakipata tatizo hilo lakini sasa idadi kubwa inagundulika katika nchi zinazoendelea. Alisema mbaya zaidi watu wanaokutwa na tatizo katika nchi zinazoendelea ni wale walio katika umri wa uzalishaji. “Katika nchi zilizoendelea wastani wa umri wa watu wanaokutwa shinikizo la damu ni wale walio juu ya umri wa miaka juu ya 50 na kuendelea. “Lakini kwa upande wa nchi zinazoendelea, hasa zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, Tanzania ikiwamo,  picha ni tofauti. Huku wanaokutwa na tatizo ni wenye umri wa miaka 35 hadi 45, yaani kwa wenzetu ugonjwa huu unajulikana kwamba ni wa watu wazima huku kwetu ni ugonjwa wa vijana,” alisema. Pia alisema tafiti zinaonesha magonjwa ya moyo yanachangia theluthi moja ya vifo vyote vinavyotokea duniani na zaidi ya asilimia 50 ya vifo hivyo vinatokana na shinikizo la juu la damu. “Utafiti mmoja uliowahi kufanywa katika nchi 23 Barani Afrika, Tanzania ikiwamo ulionesha shinikizo la damu ni sababu ya moyo kushindwa kufanya kazi na kusababisha vifo vya ghafla,” alisema. Dk. Pallangyo alisema katika nchi hizo ilionekana asilimia 86 ya magonjwa yote ya moyo yanatoka na shinikizo la damu. “Hapa JKCI kwa miaka mitatu iliyopita tumeweza kufanya utafiti mbalimbali, utafiti huo ulihusisha watu waliopo kwenye jamii na wagonjwa waliolazwa wodini, kwenye jamii asilimia kati ya 42 hadi 56 ya wagonjwa wote tuliowapima walikutwa na shinikizo la juu la damu. “Asilimia 35 hadi 47 ya wagonjwa waliokuwa wodini wengi mioyo yao ilikuwa imeshindwa kufanya kazi na kusababisha shinikizo la damu,” alisema.  
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --     NA VERONICA ROMWALD – DAR ES SALAAM ULAJI wa nyama choma na chipsi umetajwa kuwa ni miongoni mwa sababu zinazochochea watu wengi hasa vijana kupata shinikizo la juu la damu. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Pedro Pallangyo, alipozungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Jumapili. Dk. Pallangyo alisema vyakula hivyo huchochea hali hiyo kutokana na matumizi makubwa ya mafuta yanayotumika kuviandaa na chumvi nyingi inayotumika wakati wa kula. “Jinsi vyakula hivyo vinavyoandaliwa mafuta mengi hutumika na wakati wa kula watu hupendelea kuweka chumvi nyingi, jambo ambalo ni kosa. Ulaji huu si mzuri kiafya,” alisema. Dk. Pallangyo ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Utafiti na Mafunzo wa JKCI alisema katika miaka ya nyuma idadi kubwa ya watu katika nchi zilizoendelea ndiyo walikuwa wakipata tatizo hilo lakini sasa idadi kubwa inagundulika katika nchi zinazoendelea. Alisema mbaya zaidi watu wanaokutwa na tatizo katika nchi zinazoendelea ni wale walio katika umri wa uzalishaji. “Katika nchi zilizoendelea wastani wa umri wa watu wanaokutwa shinikizo la damu ni wale walio juu ya umri wa miaka juu ya 50 na kuendelea. “Lakini kwa upande wa nchi zinazoendelea, hasa zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, Tanzania ikiwamo,  picha ni tofauti. Huku wanaokutwa na tatizo ni wenye umri wa miaka 35 hadi 45, yaani kwa wenzetu ugonjwa huu unajulikana kwamba ni wa watu wazima huku kwetu ni ugonjwa wa vijana,” alisema. Pia alisema tafiti zinaonesha magonjwa ya moyo yanachangia theluthi moja ya vifo vyote vinavyotokea duniani na zaidi ya asilimia 50 ya vifo hivyo vinatokana na shinikizo la juu la damu. “Utafiti mmoja uliowahi kufanywa katika nchi 23 Barani Afrika, Tanzania ikiwamo ulionesha shinikizo la damu ni sababu ya moyo kushindwa kufanya kazi na kusababisha vifo vya ghafla,” alisema. Dk. Pallangyo alisema katika nchi hizo ilionekana asilimia 86 ya magonjwa yote ya moyo yanatoka na shinikizo la damu. “Hapa JKCI kwa miaka mitatu iliyopita tumeweza kufanya utafiti mbalimbali, utafiti huo ulihusisha watu waliopo kwenye jamii na wagonjwa waliolazwa wodini, kwenye jamii asilimia kati ya 42 hadi 56 ya wagonjwa wote tuliowapima walikutwa na shinikizo la juu la damu. “Asilimia 35 hadi 47 ya wagonjwa waliokuwa wodini wengi mioyo yao ilikuwa imeshindwa kufanya kazi na kusababisha shinikizo la damu,” alisema.   ### Response: KITAIFA ### End
Andrew Msechu –Dar es Salaam VIONGOZI wa nchi za Afrika Mashariki wameungana na maelfu ya Wakenya, kuaga mwili wa rais wa pili wa nchi hiyo, Daniel arap Moi, ambaye anatarajiwa kuzikwa leo.  Katika salamu za rambirambi walizozitoa wakati wa ibada maalumu ya misa ya wafu iliyofanyika Uwanja wa Nyayo, Nairobi nchini Kenya jana, viongozi hao walieleza namna walivyomfahamu Moi na kushirikiana naye. MUSEVENI Akitoa salamu zake, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alisema kifo kwa binadamu ni lazima, lakini tofauti iliyopo ni kwamba umefariki baada ya kufanya nini. “Kama ulifanya mambo hovyo basi tunakusahau, au tunakukumbuka kwa mabaya uliyoyafanya. “Kwenye Biblia tunamkumbuka Pontio Pilato kwa kumnyonga Yesu. Kwa hiyo unaweza kukumbukwa kwa mabaya au kwa mazuri. “Lakini hapa, hasa Afrika viongozi ni kama daktari. Kama daktari hawezi kugundua ugonjwa wa nchi, hawezi kutibu ugonjwa huo na nchi itakuwa kwenye matatizo. “Kenya imekuwa na amani tangu uhuru, haijawahi kupata vita. Imewahi kupata misukosuko kidogo, lakini hiyo ilikuwa mchezo. Sisi tuliopata shida ndio tunajua shida ni nini. “Kwa hiyo hii inamaanisha kwamba waganga wenu hapa, viongozi wenu waliweza kugundua ugonjwa wa nchi yenu na kuwapa dawa inayofaa, na mimi nimeshuhudia miaka yote mchango wa viongozi wa Kenya. “Mzee Moi na Kenyatta walikuwa na dawa inayoweza kutibu shida za Kenya na za Afrika Mahariki,” alisema Museveni. Alisema dawa ya kwanza ni uzalendo ndani ya Kenya na anakumbuka kwa waliokuwapo, kulikuwa na vyama vya Kadu na Kanu, ambavyo vilikuwa vyama vyenye misingi yake. “Lakini 1964 Moi na waliokuwepo kwenye Kadu walijiunga na Kanu na kufanya chama kimoja, ikimaanisha walishagundua umuhimu wa umoja. “Sifa ya pili Moi alikuwa na roho ya Afrika Mashariki na muda mwingi alikuwa anataka Shirikisho la Afrika Mashariki na hiyo si kisiasa tu, alikuwa anipenda Afrika Mashariki hadi kwenye hisia zake,” alisema Museveni.  KIKWETE Kwa upande wake, Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alisema alipokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Moi ambaye alimfahamu tangu alipokuwa shule, akisoma habari za Kenya kuhusu kudai uhuru wa nchi hiyo. “Hata nilipokuwa Waziri wa Nishati na Madini, niliwahi kutumwa na Rais wangu Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi) kuhusu mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Songosongo hadi Kenya na wazo lake ilikuwa ni tushirikiane katika kuhakikisha bomba lile linatusaidia kuwa na uhakika wa umeme na hatimaye hata kusafirisha gesi. “Nilipokuwa Waziri wa Mambo ya Nje pia nilishirikiana sana na wenzangu wa Kenya akiwemo marehemu Nicolas Biwott katika kurejesha Jumuiya ya Afrika Mashariki. “Rais Moi alikuwa kiongozi shupavu na aliwaongoza vizuri mawaziri na kushirikiana na marais wenzake, yaani Mwinyi na Museveni,” alisema Kikwete. Alisema alijifunza mengi kuhusu namna ya kushirikiana na kuheshimu watu, hivyo katika kipindi hiki ambacho Wakenya wanapitia pagumu, anawaombea kwa Mwenyezi Mungu ili wawe na subira na kuvuka salama katika kipindi hiki kigumu. MKAPA Katika salamu zake, Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, alisema Rais Dk. John Magufuli amewatuma marais wawili wastaafu, yaani yeye na Kikwete kwa makusudi kuthibitisha udugu na ushirikiano wa karibu uliopo baina ya nchi hizi mbili. “Katika miaka 10 ya uongozi wangu, miaka saba nilifanya kazi na Rais Moi na alikuwa ‘mentor’ wangu katika utawala na uongozi,” alisema Mkapa. Alisoma ujumbe wa Rais Magufuli ambao ulisema amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Moi na kwa niaba ya Serikali na watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatuma salamu zake za rambirambi kwa Serikali, familia na watu wa Kenya. Alisema Moi alikuwa ni mzalendo na mwanamajumui wa Afrika (Africanist) na atakumbukwa kwa juhudi zake za kufufua EAC, kusimamia usalama wa kikanda na kusimamia masilahi ya Bara la Afrika katika uwanja wa kimataifa. SALVA KIIR Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir alisema Moi alikuwa shujaa wa uhuru wa nchi hiyo na wanamkumbuka kuwa mtu muhimu wa amani na usalama katika kanda hii. “Mwaka 2005 nilipowakilisha watu wa Sudan katika vikao vya amani ya Sudan kupitia SPLM, nilimsikia akisema anamtaka aliyekuwa rais wa Sudan kuwaacha watu wa Sudan Kusini wawe huru na hatimaye mwaka 2011 tulipata uhuru wetu. “Sudan Kusini ya leo ni matokeo ya kazi yake nzuri na ataendelea kukumbukwa daima kwa juhudi zake za kupatikana kwa taifa hili,” alisema Kiir. KAGAME Rais wa Rwanda, Paul Kagame alisema wanaungana na watu wa Kenya, Rais Kenyatta na familia ya Moi kuomboleza msiba huu wa kitaifa. Alisema anashukuru kwa kupewa nafasi hiyo kutoa rambirambi zake na kueleza machache muhimu kuwa wakati watu wa Kenya wakiomboleza, inakwenda mbali zaidi kwa watu wa Rwanda ambao pia wanaomboleza. “Tunamshukuru Rais Kenyatta na tutaendelea kuwa pamoja wakati tukiendelea kumkumbuka kiongozi huyu mahiri wa Kenya, ambaye amesaidia Wakenya kuendelea,” alisema Kagame.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Andrew Msechu –Dar es Salaam VIONGOZI wa nchi za Afrika Mashariki wameungana na maelfu ya Wakenya, kuaga mwili wa rais wa pili wa nchi hiyo, Daniel arap Moi, ambaye anatarajiwa kuzikwa leo.  Katika salamu za rambirambi walizozitoa wakati wa ibada maalumu ya misa ya wafu iliyofanyika Uwanja wa Nyayo, Nairobi nchini Kenya jana, viongozi hao walieleza namna walivyomfahamu Moi na kushirikiana naye. MUSEVENI Akitoa salamu zake, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alisema kifo kwa binadamu ni lazima, lakini tofauti iliyopo ni kwamba umefariki baada ya kufanya nini. “Kama ulifanya mambo hovyo basi tunakusahau, au tunakukumbuka kwa mabaya uliyoyafanya. “Kwenye Biblia tunamkumbuka Pontio Pilato kwa kumnyonga Yesu. Kwa hiyo unaweza kukumbukwa kwa mabaya au kwa mazuri. “Lakini hapa, hasa Afrika viongozi ni kama daktari. Kama daktari hawezi kugundua ugonjwa wa nchi, hawezi kutibu ugonjwa huo na nchi itakuwa kwenye matatizo. “Kenya imekuwa na amani tangu uhuru, haijawahi kupata vita. Imewahi kupata misukosuko kidogo, lakini hiyo ilikuwa mchezo. Sisi tuliopata shida ndio tunajua shida ni nini. “Kwa hiyo hii inamaanisha kwamba waganga wenu hapa, viongozi wenu waliweza kugundua ugonjwa wa nchi yenu na kuwapa dawa inayofaa, na mimi nimeshuhudia miaka yote mchango wa viongozi wa Kenya. “Mzee Moi na Kenyatta walikuwa na dawa inayoweza kutibu shida za Kenya na za Afrika Mahariki,” alisema Museveni. Alisema dawa ya kwanza ni uzalendo ndani ya Kenya na anakumbuka kwa waliokuwapo, kulikuwa na vyama vya Kadu na Kanu, ambavyo vilikuwa vyama vyenye misingi yake. “Lakini 1964 Moi na waliokuwepo kwenye Kadu walijiunga na Kanu na kufanya chama kimoja, ikimaanisha walishagundua umuhimu wa umoja. “Sifa ya pili Moi alikuwa na roho ya Afrika Mashariki na muda mwingi alikuwa anataka Shirikisho la Afrika Mashariki na hiyo si kisiasa tu, alikuwa anipenda Afrika Mashariki hadi kwenye hisia zake,” alisema Museveni.  KIKWETE Kwa upande wake, Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alisema alipokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Moi ambaye alimfahamu tangu alipokuwa shule, akisoma habari za Kenya kuhusu kudai uhuru wa nchi hiyo. “Hata nilipokuwa Waziri wa Nishati na Madini, niliwahi kutumwa na Rais wangu Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi) kuhusu mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Songosongo hadi Kenya na wazo lake ilikuwa ni tushirikiane katika kuhakikisha bomba lile linatusaidia kuwa na uhakika wa umeme na hatimaye hata kusafirisha gesi. “Nilipokuwa Waziri wa Mambo ya Nje pia nilishirikiana sana na wenzangu wa Kenya akiwemo marehemu Nicolas Biwott katika kurejesha Jumuiya ya Afrika Mashariki. “Rais Moi alikuwa kiongozi shupavu na aliwaongoza vizuri mawaziri na kushirikiana na marais wenzake, yaani Mwinyi na Museveni,” alisema Kikwete. Alisema alijifunza mengi kuhusu namna ya kushirikiana na kuheshimu watu, hivyo katika kipindi hiki ambacho Wakenya wanapitia pagumu, anawaombea kwa Mwenyezi Mungu ili wawe na subira na kuvuka salama katika kipindi hiki kigumu. MKAPA Katika salamu zake, Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, alisema Rais Dk. John Magufuli amewatuma marais wawili wastaafu, yaani yeye na Kikwete kwa makusudi kuthibitisha udugu na ushirikiano wa karibu uliopo baina ya nchi hizi mbili. “Katika miaka 10 ya uongozi wangu, miaka saba nilifanya kazi na Rais Moi na alikuwa ‘mentor’ wangu katika utawala na uongozi,” alisema Mkapa. Alisoma ujumbe wa Rais Magufuli ambao ulisema amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Moi na kwa niaba ya Serikali na watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatuma salamu zake za rambirambi kwa Serikali, familia na watu wa Kenya. Alisema Moi alikuwa ni mzalendo na mwanamajumui wa Afrika (Africanist) na atakumbukwa kwa juhudi zake za kufufua EAC, kusimamia usalama wa kikanda na kusimamia masilahi ya Bara la Afrika katika uwanja wa kimataifa. SALVA KIIR Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir alisema Moi alikuwa shujaa wa uhuru wa nchi hiyo na wanamkumbuka kuwa mtu muhimu wa amani na usalama katika kanda hii. “Mwaka 2005 nilipowakilisha watu wa Sudan katika vikao vya amani ya Sudan kupitia SPLM, nilimsikia akisema anamtaka aliyekuwa rais wa Sudan kuwaacha watu wa Sudan Kusini wawe huru na hatimaye mwaka 2011 tulipata uhuru wetu. “Sudan Kusini ya leo ni matokeo ya kazi yake nzuri na ataendelea kukumbukwa daima kwa juhudi zake za kupatikana kwa taifa hili,” alisema Kiir. KAGAME Rais wa Rwanda, Paul Kagame alisema wanaungana na watu wa Kenya, Rais Kenyatta na familia ya Moi kuomboleza msiba huu wa kitaifa. Alisema anashukuru kwa kupewa nafasi hiyo kutoa rambirambi zake na kueleza machache muhimu kuwa wakati watu wa Kenya wakiomboleza, inakwenda mbali zaidi kwa watu wa Rwanda ambao pia wanaomboleza. “Tunamshukuru Rais Kenyatta na tutaendelea kuwa pamoja wakati tukiendelea kumkumbuka kiongozi huyu mahiri wa Kenya, ambaye amesaidia Wakenya kuendelea,” alisema Kagame. ### Response: KITAIFA ### End
REIMS, UFARANSA  TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake ya Marekani, imeanza kuonesha dalili ya kutetea taji la Kombe la Dunia baada ya juzi kuwachapa wapinzani wao Thailand mabao 13-0. Marekani wanataka kuendelea kuweka historia kwenye michuano hiyo ikiwa wanashika nafasi ya kwanza kwa kutwaa taji hilo mara nyingi kuliko taifa lolote, wamechukua jumla mara tatu. Michuano hiyo inaendelea huko nchini Ufaransa, huku timu 24 kutoka Mataifa mbalimbali zikioneshana nguvu, lakini juzi Marekani walionekana kuwa wanataka kutetea taji hilo kutokana na kiwango walichokionesha. Katika ushindi huo, mshambuliaji wa Marekani ambaye pia ni nahodha Alex Morgan, alikuwa kwenye kiwango cha hali ya juu huku akipachika mabao matano peke yake, wakati huo Rose Lavele akipachika mabao mawili na mabao mengine yakifungwa na Lindsey Horan, Sam Mewis, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd. Alex amedai wamekwenda kwenye mashindano hayo kwa ajili ya lengo la kutetea ubingwa na kuandika historia mpya. “Tumekuja kufanya kweli kwenye michuano hii mikubwa duniani, kila bao linaonesha jinsi gani tulivyo jiandaa, tunajua ushindani utakuwa mkubwa, lakini tuna kila sababu za kutetea ubingwa,” alisema nahodha huyo. Michezo mingine ambayo ilipigwa juzi ni pamoja na Uholanzi ambayo ilishinda bao 1-0 dhidi ya New Zealand na Chile wakipigwa 2-0 dhidi ya Sweden.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- REIMS, UFARANSA  TIMU ya taifa ya soka ya Wanawake ya Marekani, imeanza kuonesha dalili ya kutetea taji la Kombe la Dunia baada ya juzi kuwachapa wapinzani wao Thailand mabao 13-0. Marekani wanataka kuendelea kuweka historia kwenye michuano hiyo ikiwa wanashika nafasi ya kwanza kwa kutwaa taji hilo mara nyingi kuliko taifa lolote, wamechukua jumla mara tatu. Michuano hiyo inaendelea huko nchini Ufaransa, huku timu 24 kutoka Mataifa mbalimbali zikioneshana nguvu, lakini juzi Marekani walionekana kuwa wanataka kutetea taji hilo kutokana na kiwango walichokionesha. Katika ushindi huo, mshambuliaji wa Marekani ambaye pia ni nahodha Alex Morgan, alikuwa kwenye kiwango cha hali ya juu huku akipachika mabao matano peke yake, wakati huo Rose Lavele akipachika mabao mawili na mabao mengine yakifungwa na Lindsey Horan, Sam Mewis, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd. Alex amedai wamekwenda kwenye mashindano hayo kwa ajili ya lengo la kutetea ubingwa na kuandika historia mpya. “Tumekuja kufanya kweli kwenye michuano hii mikubwa duniani, kila bao linaonesha jinsi gani tulivyo jiandaa, tunajua ushindani utakuwa mkubwa, lakini tuna kila sababu za kutetea ubingwa,” alisema nahodha huyo. Michezo mingine ambayo ilipigwa juzi ni pamoja na Uholanzi ambayo ilishinda bao 1-0 dhidi ya New Zealand na Chile wakipigwa 2-0 dhidi ya Sweden. ### Response: MICHEZO ### End
Akizungumza Dar es Salaam jana, Rais wa kamati hiyo, Gwakisa Mwakabeta alisema mafunzo hayo yatahusisha washiriki 120 wakiwemo wazazi, madaktari, makocha na viongozi kuhusu michezo ya walemavu.Alisema Jumapili watafanya bonanza la michezo litakaloshirikisha watoto na vijana katika michezo tofauti kama soka, kikapu, tenisi na mikono na kuhimiza wadau kujitokeza kwa wingi kwa kuwa itakuwa ni michezo ya wazi.“Kupitia uongozi huu mpya tuliochaguliwa mwaka jana, tunaandaa mafunzo haya kwa wadau wa michezo, lengo likiwa ni kuhamasisha michezo kwa walemavu na kuondoa dhana potofu kwa jamii kwamba hawawezi kitu,” alisema.Naye Makamu wa Rais wa TPCUhusiano wa Umma, Tuma Dandai alisema wamedhamiria kuinua michezo kwa walemavu ambao wamesahaulika kwa muda mrefu.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Akizungumza Dar es Salaam jana, Rais wa kamati hiyo, Gwakisa Mwakabeta alisema mafunzo hayo yatahusisha washiriki 120 wakiwemo wazazi, madaktari, makocha na viongozi kuhusu michezo ya walemavu.Alisema Jumapili watafanya bonanza la michezo litakaloshirikisha watoto na vijana katika michezo tofauti kama soka, kikapu, tenisi na mikono na kuhimiza wadau kujitokeza kwa wingi kwa kuwa itakuwa ni michezo ya wazi.“Kupitia uongozi huu mpya tuliochaguliwa mwaka jana, tunaandaa mafunzo haya kwa wadau wa michezo, lengo likiwa ni kuhamasisha michezo kwa walemavu na kuondoa dhana potofu kwa jamii kwamba hawawezi kitu,” alisema.Naye Makamu wa Rais wa TPCUhusiano wa Umma, Tuma Dandai alisema wamedhamiria kuinua michezo kwa walemavu ambao wamesahaulika kwa muda mrefu. ### Response: MICHEZO ### End
Na Kulwa Karedia, “HII ndiyo Hifadhi ya Taifa yenye vivutio pekee vya ajabu, kama vile simba wanaopanda miti na chemuchemu ya maji moto” “Lakini pia kuna kivutio kingine ambacho nadhani hakipatikani maeneo mengine ambacho ni daraja lililotengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu linapita juu ya miti ndani ya hifadhi hii.” Hayo ni maneno mazuri ya utangulizi ya Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Ziwa Manyara, Noelia Myonga, wakati wa mahojiano maalumu na MTANZANIA yaliyofanyika wiki iliyopita ofisini kwake katika Mji mdogo wa Mto wa Mbu mkoani Arusha. Anasema hifadhi hiyo ambayo ni ya pili kuanzishwa mwaka 1960, wakati inaanzishwa Desemba 16, 1960, ilikuwa na ukubwa wa kilomita za mraba 330 kwa eneo lote kuonekana lina mvuto wa aina yake. Anasema ni ya pili kuanzishwa baada  ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ilikuwa na mahitaji makubwa ya wanyama aina ya tembo ambao walikuwa na mapito katika maeneo hayo. “Ilionekana wanyama wengi wakati walikuwa kusini mwa hifadhi, ukafanyika utaratibu wa kuongeza maeneo kwa ajili ya mgawanyiko na shoroba kuungana na tembo waliopo maeneo ya Ngorongoro, hapo katikati kuna mapori kuelekea milima mitatu, Simanjiro mpaka Makuyuni hadi maeneo  ya Selela. Anasema wanyama wanatambua kuwa na vizazi endelevu, kama ilivyo kwa binadamu ambao hawaoleani, nao wanyama wanahitaji kuchanganya vizazi, ikaonekana hatua za haraka zinahitajika. “Kuanzia wakati huo, uongozi uliokuwapo ulianza mchakato wa kupata eneo zaidi na kulikuwa na msitu wa Marang’ ambao ulikuwa msitu wa hifadhi chini ya Idara ya Misitu na Nyuki, walifanya mawasiliano mbalimbali ili tembo wasiharibiwe maeneo yao. Anasema kutokana na hali hiyo, uongozi wa wakati huo ulianza kufanya mawasiliano ya kupata shamba la maji moto namba moja, namba mbili na namba tatu yanafuatana. “Mashamba haya yalikuwa ya wawekezaji wenye hatimiliki (wawekezaji wakubwa), taratibu mbalimbali zilifanyika hiyo ilikuwa mwaka 1974, aliyekuwa mkurugenzi wa hifadhi za Taifa, aliwasilisha mada katika kikao kilichofanyika Hanang’ na wakamwelewa vizuri na umuhimu wa hifadhi ukaonekana Tanapa wakapewa shamba namba moja kwa sababu mwekezaji aliondoka miaka mingi ya 50 huko na shamba likarudishwa serikalini. Anasema baadaye Serikali kupitia Wilaya ya Hanang’, walikubaliana eneo hilo ni muhimu kwa uhifadhi eneo endeleo hasa kwa ajili ya tembo. Anasema ilipofika 1990, mashamba hayo yalinunuliwa na Tanapa na umiliki ukahamishiwa kwenye mamlaka hiyo rasmi, baadaye zilifuata taratibu za kujumuishwa kwenye maeneo hayo, ambapo taratibu zilifuatwa kuanzia ngazi ya kijiji, kamati ya ushauri ya wilaya, mikoa na ngazi zote hadi bungeni na hatimaye Bunge likapitisha azimio maeneo hayo yawe ndani ya hifadhi mwaka 2008. “Mwaka 2009 lilitoka tangazo jingine  la Serikali la kujumuisha maeneo hayo ndani ya Hifadhi ya Taifa Ziwa Manyara na sehemu ya Ziwa Manyara kuelekea usawa wa kusini. Kwa ujumla hifadhi ikapata kilomita za mraba 648,” anasema Myonga. Anasema wanafanya kazi kwa mgawanyiko ili kusimamia vizuri utajiri ambao Mungu ametupatia, kila miaka mitano tuna kitabu kinachotuongoza kusimamia mpango wa uhifadhi. “Haya mapito ya wanyama yanaunganisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro, imekuwa na vivutio vingi ambavyo kwa kweli ni hazina kubwa kwa Watanzania na wageni wanaotoka nje ya nchi. Asema lengo la kuanzishwa hifadhi lilikuwa ni kuhakikisha Ziwa Manyara ambalo limezunguka maeneo kadhaa mpaka ya wilaya za jirani, linaendelea kutunzwa kwa manufaa ya vizazi vijavyo kutokana na kuwapo hatari ya kutoweka kwa sababu ya shughuli za kibinadamu. Anasema ndani ya hifadhi hiyo, kuna vivutio vingi ambavyo wakati inaanzishwa ilikuwa na wanyama wakubwa watano (big five) kama tembo, simba, faru, nyati na chui. “Utaona aina hii ya wanyama hawa ambao ni kivutio kikubwa kwa watalii tangu miaka hiyo wapo hapa, jambo ambalo limesaidia mno kupata watalii wa ndani na nje ya nchi. “Hii ndiyo hifadhi pekee ambayo unaweza kuja na kuona simba wanapanda miti…hili ni jambo  ambalo linaonekana kuwa la ajabu, lakini ndiyo aina ya vivutio kwa wageni. Ninaamini hii ni kutokana na kuwapo na misitu minene ambayo wanyama wa aina hii huipendelea mno. Anasema mwaka 1982, eneo hilo liliongezwa kwenye uhidhafi wa kimataifa (Biosphere Reserves) ambako kwa Tanzania  kuna maeneo matatu tu. VIVUTIO Anasema wamefanikiwa kubuni vivutio vingi ndani ya hifadhi hiyo, ikiwa ni pamoja na utengenezaji wa daraja la kisasa ambalo kwa Afrika Mashariki linapatikana Tanzania pekee. “Daraja hili limejengwa juu ya miti ndani ya hifadhi, lina urefu wa mita 18 juu mpaka chini na kwa wakati mmoja, lina uwezo wa kubeba watu wanne na urefu wake miaka 400. “Ukiwa juu ya daraja hili, una uwezo mzuri wa kuangalia wanyama, mandhari nzuri ya hifadhi…hiki ni moja ya kivutio ambacho kwa kushirikiana na mwekezaji tumefanikiwa kuwa nacho…tena jambo la kuvutia eneo hili ni kwamba mwaka mzima ni kwenye msitu wa kijani tupu kama vile mtu anamwagilia…watalii wengi wanavutiwa, kuna maji yanapita eneo hili,” anasema Noelia. Anasema hata kama nchi kama Rwanda au Kenya watakuwa na daraja za aina hiyo, zitakuwa ni ndogo mno kwa utafiti wao walioufanya. MAJI MOTO Anasema miaka miwili au mitatu iliyopita, waliweza kuongeza  kivutio kingine cha kipekee ndani ya hifadhi hiyo kwa kujenga daraja kubwa na lenye kuvutia zaidi watalii. Anasema wageni wanavutia kuona maji moto ndani ya hifadhi, hata ukiwa yai linaiva ndani ya dakika sita. “Eneo hili tumejenga daraja la kisasa, watalii wanapita moja kwa moja hadi ndani ya ziwa. Pia kuna ndege wengi  aina ya flamingo ambao wanapita eneo hili kwa sababu ya kuwapo na chakula cha kutosha…ni uoto wao wa asili ambao wanaupenda… watalii wengi wanapenda mno kufika eneo hili kujionea. “Bado tupo kwenye mpango wa kuongeza vivutio zaidi vya aina fulani za masaji ili watalii wakifika hapa wanaburudika kwa kupata joto la maji, kwa sababu wanasema yana tiba. “Tunategemea kujenga kitu kama bwawa hivi, mtalii akifika hapa amechoka anaweza kufanyiwa ‘massage’, tunaamini ni kivutio kizuri zaidi,” anasema. NDEGE Anasema kuna aina nyingine ya kivutio cha ndege  wanaohama kutoka Bara la Afrika kwenda Ulaya. “Tumebahatika kuwa na ndege wanaohama, wanatoka Afrika wanakwenda Ulaya na mabara mengine…hawa huwa na vitu fulani kwenye vichwa vyao (homing). “Mara nyingi wanakuwa hapo Machi, hadi Juni, ukija Julai unaweza usiwakute…hawa wanaitwa Korongo Domo njano (yellow billed stoke), ni kivutio kikubwa, watalii wengi wanapenda kuja msimu kama huu kuwaona… kamwe hawana athari yoyote kwa binadamu. “Wanapenda kurudi Ziwa Manyara, kwa sababu wanafuata chakula cha kutosha ambacho ni samaki kutoka Ziwa Manyara, viluwiluwi na vyura ambao wanapatikana kwa wingi…chakula kikiwa kingi na kukuta mazingira mazuri wanakaa muda mrefu. “Wanatumia muda wao mwingi kula na kushiba ili kutaga mayai, wakishaangua huwalisha kwa bidii vifaranga ili kuanza safari kurudi Ulaya. Kwa Afrika wanapenda kutua nchini Madagascar kisha kuendelea na safari. “Hawa ndege wengine huwa wanafungwa vifuatiliaji, iliwahi kutokea wageni walikuja hapa mpaka wakalia, wakisema waliwahi kuwaona nyumbani kwao (Ulaya)… inawezekana waliwapiga picha huko huko kwao…ni jambo la kufurahisha katika hili,” anasema. SHUGHULI ZA KIBINADAMU Anasema kadiri siku zinavyodi kwenda, kumekuwapo na shughuli nyingi za kibinadamu ambazo kwa namna moja au nyingine, zinahatarisha uhai wa Ziwa Manyara. “Kumekuwapo na shughuli za kinabadamu ambazo si rafiki katika masuala ya uhifadhi, zinakwenda kwa kuathiri Ziwa Manyara hasa kilimo, ziwa hili lipo bondeni… kilimo kinachofanyika maeneo ya miinuko si rafiki, udongo mwingi unasombwa na kuja kujaza kwenye ziwa… kina chake kinazidi kupungua. “Kwa takwimu za miaka ya nyuma ziwa lilikuwa na kina cha mita nne na nusu, lakini hivi sasa kimepungua hadi maeneo mengi ni mita moja na nusu… ni changamoto wadau mbalimbali, maofisa ugani kupitia ofisi husika na wakurugenzi wa halmashauri kufanya uamuzi wa kutoa elimu kwa vitendo na kuelekeza wananchi namna ya kulima ili udongo usije kwa kasi kubwa ziwani. “Kama tukipoteza ziwa ina maana uwezekano wa kupoteza wanyama au ndege hawa hawataweza kurudi hapa, watahamia maeneo mengine, hata wale flamingo watakosa chakula,” anasema Noelia. Anasema Ziwa hilo ambalo limezungukwa na wilaya za Monduli, Babati, Karatu na Mbuli, linapaswa kulindwa kama mboni ya jicho. “Kama hali hii haitadhibitiwa, ikolojia inayotengenezwa na samaki na ndege hawa yote itapotea kabisa…hii ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi kwelikweli,” anasema Noelia. Anasema kupungua kwa kina cha ziwa, kumesababisha utalii wa mitumbwi kukosekana katika miaka ya karibuni. “Sisi kama shirika tunaendelea kutoa elimu, lakini tunaamini kabisa maofisa ugani wanayo nafasi ya kushughulikia jambo hili…tumefanya vikao vingi na wadau wanaozunguka ziwa hili ili kunusuru janga hili,” anasema Noelia. UTALII WA USIKU Anasema utalii wa usiku ambao unapendwa kutumiwa na watalii wengi, kwa sababu ndiyo muda wao mzuri wa kuwaona wanyama ambao wanapenda kutembea usiku tu. “Wengi wao wanafurahi kuona kuna wanyama wanaopenda kuwinda usiku, wanyama wengi usiku huwa hawaoni vizuri…pia kuna wanyama wa kuwindwa wanaotembea usiku, kama vile kiboko,” anasema. WATANZANIA Kuhusu mwitikio wa Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa, Noelia anasema umekuwa si wa kuridhisha kwa kuwa kasi ni ndogo. “Watanzania wanatutembelea, tunawashawishi waje kwa wingi tumejitahidi kutangaza, mwitikio bado. “Si kwamba hawana uwezo, utamaduni au mwamko wa kuwekeza fedha kwa ajili ya kutembelea kama wageni wa nje…bado hawaoni thamani ya kufanya hivi, tukiamua tunaweza. “Huwa nafanya matembeezi kwenye minada naona Watanzania wanaagiza nyama mguu mzima wa mbuzi, ni kuamua na kuwa na mpangilio… ukija hapa unalipa Sh 11,800 za kiingilio pamoja na VAT), gharama za usafiri ni kidogo kwa Mtanzania…tunawakaribisha kwa wingi,” anasema. Anasema hata wakati wa maadhimisho wa Siku ya Mazingira Duniani, Serikali ilitoa ofa kwa Watanzania kuingia katika hifadhi zote ambapo kwake watu 1,582 walikwenda kutembela hifadhi. “Si kila mwaka tunatoa ofa kama hii, maana idadi ilipanda mno…tukifanya tunaweza kushindwa kujiendesha…lazima Watanzania si wote, wajenge utamaduni wa kulipa hata kidogo,” anasema. UJAMBAZI Anasema moja ya jambo ambalo liliwahi kumnyima usingizi, ni matukio ya ujangili ambao kwa kweli yalisababisha wanyama kama vile tembo kuuawa kwa wingi. Anasema kazi ya kupambana na ujangili ni ngumu, lakini wao kama shirika wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno ndiyo maana mpaka sasa hali imetulia. “Jambo hili huwa linatukosesha usingizi timu nzima, wale watu wanakuwa na mbinu nyingi kila kukicha, nasi tumejizitati kwelikweli, tumeimarisha doria zetu, tunashirikiana na wananchi ambao wanazunguka hifadhi hii na vyombo vingine vya dola kupambana na tatizo hili. “Kwa kweli wizara yetu imefanya kazi kubwa, hatulali tunafanya kazi usiku na mchana kupambana na tatizo hili…nakumbuka ilifikia hatua majangili yalianza kutumia sumu kuua wanyama kwa wanyama ambao wanakula maboga kama tembo, wengi walikufa,” anasema. MIGOGORO Anasema hifadhi hiyo inazungukwa na vijiji 46, jambo ambalo wakati mwingine husababisha migogoro hasa ya mipaka. “Sheria zetu zinasema wananchi wanapaswa kuishi umbali wa mita 500 kutoka eneo la mbuga, lakini cha ajabu wapo wanaingia ndani na mwisho wa siku hujikuta wanashambuliwa na wanyama wanaokwenda kuvamia mashamba. “Lakini pia wananchi hawa huingiza mifugo mingi ndani ya hifadhi, jambo ambalo husababisha magonjwa na uharibifu mkubwa wa ardhi. Na mwananchi wa kawaida akiona mnyama amevamia shamba anasema ni kazi yetu kumtoa, ukweli jambo hili lipo chini ya ofisa wa idara ya wanyamapori ambao anakuwa chini ya ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri husika,” anasema. Itaendelea wiki ijayo kwa kuangalia masuala ya ujirani mwema
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Kulwa Karedia, “HII ndiyo Hifadhi ya Taifa yenye vivutio pekee vya ajabu, kama vile simba wanaopanda miti na chemuchemu ya maji moto” “Lakini pia kuna kivutio kingine ambacho nadhani hakipatikani maeneo mengine ambacho ni daraja lililotengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu linapita juu ya miti ndani ya hifadhi hii.” Hayo ni maneno mazuri ya utangulizi ya Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Ziwa Manyara, Noelia Myonga, wakati wa mahojiano maalumu na MTANZANIA yaliyofanyika wiki iliyopita ofisini kwake katika Mji mdogo wa Mto wa Mbu mkoani Arusha. Anasema hifadhi hiyo ambayo ni ya pili kuanzishwa mwaka 1960, wakati inaanzishwa Desemba 16, 1960, ilikuwa na ukubwa wa kilomita za mraba 330 kwa eneo lote kuonekana lina mvuto wa aina yake. Anasema ni ya pili kuanzishwa baada  ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ilikuwa na mahitaji makubwa ya wanyama aina ya tembo ambao walikuwa na mapito katika maeneo hayo. “Ilionekana wanyama wengi wakati walikuwa kusini mwa hifadhi, ukafanyika utaratibu wa kuongeza maeneo kwa ajili ya mgawanyiko na shoroba kuungana na tembo waliopo maeneo ya Ngorongoro, hapo katikati kuna mapori kuelekea milima mitatu, Simanjiro mpaka Makuyuni hadi maeneo  ya Selela. Anasema wanyama wanatambua kuwa na vizazi endelevu, kama ilivyo kwa binadamu ambao hawaoleani, nao wanyama wanahitaji kuchanganya vizazi, ikaonekana hatua za haraka zinahitajika. “Kuanzia wakati huo, uongozi uliokuwapo ulianza mchakato wa kupata eneo zaidi na kulikuwa na msitu wa Marang’ ambao ulikuwa msitu wa hifadhi chini ya Idara ya Misitu na Nyuki, walifanya mawasiliano mbalimbali ili tembo wasiharibiwe maeneo yao. Anasema kutokana na hali hiyo, uongozi wa wakati huo ulianza kufanya mawasiliano ya kupata shamba la maji moto namba moja, namba mbili na namba tatu yanafuatana. “Mashamba haya yalikuwa ya wawekezaji wenye hatimiliki (wawekezaji wakubwa), taratibu mbalimbali zilifanyika hiyo ilikuwa mwaka 1974, aliyekuwa mkurugenzi wa hifadhi za Taifa, aliwasilisha mada katika kikao kilichofanyika Hanang’ na wakamwelewa vizuri na umuhimu wa hifadhi ukaonekana Tanapa wakapewa shamba namba moja kwa sababu mwekezaji aliondoka miaka mingi ya 50 huko na shamba likarudishwa serikalini. Anasema baadaye Serikali kupitia Wilaya ya Hanang’, walikubaliana eneo hilo ni muhimu kwa uhifadhi eneo endeleo hasa kwa ajili ya tembo. Anasema ilipofika 1990, mashamba hayo yalinunuliwa na Tanapa na umiliki ukahamishiwa kwenye mamlaka hiyo rasmi, baadaye zilifuata taratibu za kujumuishwa kwenye maeneo hayo, ambapo taratibu zilifuatwa kuanzia ngazi ya kijiji, kamati ya ushauri ya wilaya, mikoa na ngazi zote hadi bungeni na hatimaye Bunge likapitisha azimio maeneo hayo yawe ndani ya hifadhi mwaka 2008. “Mwaka 2009 lilitoka tangazo jingine  la Serikali la kujumuisha maeneo hayo ndani ya Hifadhi ya Taifa Ziwa Manyara na sehemu ya Ziwa Manyara kuelekea usawa wa kusini. Kwa ujumla hifadhi ikapata kilomita za mraba 648,” anasema Myonga. Anasema wanafanya kazi kwa mgawanyiko ili kusimamia vizuri utajiri ambao Mungu ametupatia, kila miaka mitano tuna kitabu kinachotuongoza kusimamia mpango wa uhifadhi. “Haya mapito ya wanyama yanaunganisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro, imekuwa na vivutio vingi ambavyo kwa kweli ni hazina kubwa kwa Watanzania na wageni wanaotoka nje ya nchi. Asema lengo la kuanzishwa hifadhi lilikuwa ni kuhakikisha Ziwa Manyara ambalo limezunguka maeneo kadhaa mpaka ya wilaya za jirani, linaendelea kutunzwa kwa manufaa ya vizazi vijavyo kutokana na kuwapo hatari ya kutoweka kwa sababu ya shughuli za kibinadamu. Anasema ndani ya hifadhi hiyo, kuna vivutio vingi ambavyo wakati inaanzishwa ilikuwa na wanyama wakubwa watano (big five) kama tembo, simba, faru, nyati na chui. “Utaona aina hii ya wanyama hawa ambao ni kivutio kikubwa kwa watalii tangu miaka hiyo wapo hapa, jambo ambalo limesaidia mno kupata watalii wa ndani na nje ya nchi. “Hii ndiyo hifadhi pekee ambayo unaweza kuja na kuona simba wanapanda miti…hili ni jambo  ambalo linaonekana kuwa la ajabu, lakini ndiyo aina ya vivutio kwa wageni. Ninaamini hii ni kutokana na kuwapo na misitu minene ambayo wanyama wa aina hii huipendelea mno. Anasema mwaka 1982, eneo hilo liliongezwa kwenye uhidhafi wa kimataifa (Biosphere Reserves) ambako kwa Tanzania  kuna maeneo matatu tu. VIVUTIO Anasema wamefanikiwa kubuni vivutio vingi ndani ya hifadhi hiyo, ikiwa ni pamoja na utengenezaji wa daraja la kisasa ambalo kwa Afrika Mashariki linapatikana Tanzania pekee. “Daraja hili limejengwa juu ya miti ndani ya hifadhi, lina urefu wa mita 18 juu mpaka chini na kwa wakati mmoja, lina uwezo wa kubeba watu wanne na urefu wake miaka 400. “Ukiwa juu ya daraja hili, una uwezo mzuri wa kuangalia wanyama, mandhari nzuri ya hifadhi…hiki ni moja ya kivutio ambacho kwa kushirikiana na mwekezaji tumefanikiwa kuwa nacho…tena jambo la kuvutia eneo hili ni kwamba mwaka mzima ni kwenye msitu wa kijani tupu kama vile mtu anamwagilia…watalii wengi wanavutiwa, kuna maji yanapita eneo hili,” anasema Noelia. Anasema hata kama nchi kama Rwanda au Kenya watakuwa na daraja za aina hiyo, zitakuwa ni ndogo mno kwa utafiti wao walioufanya. MAJI MOTO Anasema miaka miwili au mitatu iliyopita, waliweza kuongeza  kivutio kingine cha kipekee ndani ya hifadhi hiyo kwa kujenga daraja kubwa na lenye kuvutia zaidi watalii. Anasema wageni wanavutia kuona maji moto ndani ya hifadhi, hata ukiwa yai linaiva ndani ya dakika sita. “Eneo hili tumejenga daraja la kisasa, watalii wanapita moja kwa moja hadi ndani ya ziwa. Pia kuna ndege wengi  aina ya flamingo ambao wanapita eneo hili kwa sababu ya kuwapo na chakula cha kutosha…ni uoto wao wa asili ambao wanaupenda… watalii wengi wanapenda mno kufika eneo hili kujionea. “Bado tupo kwenye mpango wa kuongeza vivutio zaidi vya aina fulani za masaji ili watalii wakifika hapa wanaburudika kwa kupata joto la maji, kwa sababu wanasema yana tiba. “Tunategemea kujenga kitu kama bwawa hivi, mtalii akifika hapa amechoka anaweza kufanyiwa ‘massage’, tunaamini ni kivutio kizuri zaidi,” anasema. NDEGE Anasema kuna aina nyingine ya kivutio cha ndege  wanaohama kutoka Bara la Afrika kwenda Ulaya. “Tumebahatika kuwa na ndege wanaohama, wanatoka Afrika wanakwenda Ulaya na mabara mengine…hawa huwa na vitu fulani kwenye vichwa vyao (homing). “Mara nyingi wanakuwa hapo Machi, hadi Juni, ukija Julai unaweza usiwakute…hawa wanaitwa Korongo Domo njano (yellow billed stoke), ni kivutio kikubwa, watalii wengi wanapenda kuja msimu kama huu kuwaona… kamwe hawana athari yoyote kwa binadamu. “Wanapenda kurudi Ziwa Manyara, kwa sababu wanafuata chakula cha kutosha ambacho ni samaki kutoka Ziwa Manyara, viluwiluwi na vyura ambao wanapatikana kwa wingi…chakula kikiwa kingi na kukuta mazingira mazuri wanakaa muda mrefu. “Wanatumia muda wao mwingi kula na kushiba ili kutaga mayai, wakishaangua huwalisha kwa bidii vifaranga ili kuanza safari kurudi Ulaya. Kwa Afrika wanapenda kutua nchini Madagascar kisha kuendelea na safari. “Hawa ndege wengine huwa wanafungwa vifuatiliaji, iliwahi kutokea wageni walikuja hapa mpaka wakalia, wakisema waliwahi kuwaona nyumbani kwao (Ulaya)… inawezekana waliwapiga picha huko huko kwao…ni jambo la kufurahisha katika hili,” anasema. SHUGHULI ZA KIBINADAMU Anasema kadiri siku zinavyodi kwenda, kumekuwapo na shughuli nyingi za kibinadamu ambazo kwa namna moja au nyingine, zinahatarisha uhai wa Ziwa Manyara. “Kumekuwapo na shughuli za kinabadamu ambazo si rafiki katika masuala ya uhifadhi, zinakwenda kwa kuathiri Ziwa Manyara hasa kilimo, ziwa hili lipo bondeni… kilimo kinachofanyika maeneo ya miinuko si rafiki, udongo mwingi unasombwa na kuja kujaza kwenye ziwa… kina chake kinazidi kupungua. “Kwa takwimu za miaka ya nyuma ziwa lilikuwa na kina cha mita nne na nusu, lakini hivi sasa kimepungua hadi maeneo mengi ni mita moja na nusu… ni changamoto wadau mbalimbali, maofisa ugani kupitia ofisi husika na wakurugenzi wa halmashauri kufanya uamuzi wa kutoa elimu kwa vitendo na kuelekeza wananchi namna ya kulima ili udongo usije kwa kasi kubwa ziwani. “Kama tukipoteza ziwa ina maana uwezekano wa kupoteza wanyama au ndege hawa hawataweza kurudi hapa, watahamia maeneo mengine, hata wale flamingo watakosa chakula,” anasema Noelia. Anasema Ziwa hilo ambalo limezungukwa na wilaya za Monduli, Babati, Karatu na Mbuli, linapaswa kulindwa kama mboni ya jicho. “Kama hali hii haitadhibitiwa, ikolojia inayotengenezwa na samaki na ndege hawa yote itapotea kabisa…hii ni changamoto kubwa inayopaswa kufanyiwa kazi kwelikweli,” anasema Noelia. Anasema kupungua kwa kina cha ziwa, kumesababisha utalii wa mitumbwi kukosekana katika miaka ya karibuni. “Sisi kama shirika tunaendelea kutoa elimu, lakini tunaamini kabisa maofisa ugani wanayo nafasi ya kushughulikia jambo hili…tumefanya vikao vingi na wadau wanaozunguka ziwa hili ili kunusuru janga hili,” anasema Noelia. UTALII WA USIKU Anasema utalii wa usiku ambao unapendwa kutumiwa na watalii wengi, kwa sababu ndiyo muda wao mzuri wa kuwaona wanyama ambao wanapenda kutembea usiku tu. “Wengi wao wanafurahi kuona kuna wanyama wanaopenda kuwinda usiku, wanyama wengi usiku huwa hawaoni vizuri…pia kuna wanyama wa kuwindwa wanaotembea usiku, kama vile kiboko,” anasema. WATANZANIA Kuhusu mwitikio wa Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa, Noelia anasema umekuwa si wa kuridhisha kwa kuwa kasi ni ndogo. “Watanzania wanatutembelea, tunawashawishi waje kwa wingi tumejitahidi kutangaza, mwitikio bado. “Si kwamba hawana uwezo, utamaduni au mwamko wa kuwekeza fedha kwa ajili ya kutembelea kama wageni wa nje…bado hawaoni thamani ya kufanya hivi, tukiamua tunaweza. “Huwa nafanya matembeezi kwenye minada naona Watanzania wanaagiza nyama mguu mzima wa mbuzi, ni kuamua na kuwa na mpangilio… ukija hapa unalipa Sh 11,800 za kiingilio pamoja na VAT), gharama za usafiri ni kidogo kwa Mtanzania…tunawakaribisha kwa wingi,” anasema. Anasema hata wakati wa maadhimisho wa Siku ya Mazingira Duniani, Serikali ilitoa ofa kwa Watanzania kuingia katika hifadhi zote ambapo kwake watu 1,582 walikwenda kutembela hifadhi. “Si kila mwaka tunatoa ofa kama hii, maana idadi ilipanda mno…tukifanya tunaweza kushindwa kujiendesha…lazima Watanzania si wote, wajenge utamaduni wa kulipa hata kidogo,” anasema. UJAMBAZI Anasema moja ya jambo ambalo liliwahi kumnyima usingizi, ni matukio ya ujangili ambao kwa kweli yalisababisha wanyama kama vile tembo kuuawa kwa wingi. Anasema kazi ya kupambana na ujangili ni ngumu, lakini wao kama shirika wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno ndiyo maana mpaka sasa hali imetulia. “Jambo hili huwa linatukosesha usingizi timu nzima, wale watu wanakuwa na mbinu nyingi kila kukicha, nasi tumejizitati kwelikweli, tumeimarisha doria zetu, tunashirikiana na wananchi ambao wanazunguka hifadhi hii na vyombo vingine vya dola kupambana na tatizo hili. “Kwa kweli wizara yetu imefanya kazi kubwa, hatulali tunafanya kazi usiku na mchana kupambana na tatizo hili…nakumbuka ilifikia hatua majangili yalianza kutumia sumu kuua wanyama kwa wanyama ambao wanakula maboga kama tembo, wengi walikufa,” anasema. MIGOGORO Anasema hifadhi hiyo inazungukwa na vijiji 46, jambo ambalo wakati mwingine husababisha migogoro hasa ya mipaka. “Sheria zetu zinasema wananchi wanapaswa kuishi umbali wa mita 500 kutoka eneo la mbuga, lakini cha ajabu wapo wanaingia ndani na mwisho wa siku hujikuta wanashambuliwa na wanyama wanaokwenda kuvamia mashamba. “Lakini pia wananchi hawa huingiza mifugo mingi ndani ya hifadhi, jambo ambalo husababisha magonjwa na uharibifu mkubwa wa ardhi. Na mwananchi wa kawaida akiona mnyama amevamia shamba anasema ni kazi yetu kumtoa, ukweli jambo hili lipo chini ya ofisa wa idara ya wanyamapori ambao anakuwa chini ya ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri husika,” anasema. Itaendelea wiki ijayo kwa kuangalia masuala ya ujirani mwema ### Response: KITAIFA ### End
WACHEZAJI wa Mbao FC, Metacha Mnata na Vincent Philipo walioitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars kinachotarajiwa kushiriki fainali za Afrika ‘Afcon’ Misri wameahidi kutoliangusha benchi la ufundi na watanzania kwa ujumla.Wachezaji hao ni miongoni mwa walioitwa kwenye kikosi cha Stars na kocha Mkuu wa timu hiyo Emmanuel Amunike kwa ajili ya fainali hizo ziliozpangwa kufanyika Misri mwezi ujao. Akizungumza na gazeti hili jana, golikipa Mnata alisema anashukuru kuitwa kwenye timu hiyo kwa mara ya pili na hiyo ni hatua kubwa kwake na kwamba atapambana kuisaidia timu ifanye vizuri kwenye michuano hiyo.Mnata ambae alichaguliwa golikipa bora katika mashindano ya sportpesa yaliomalizika mwanzoni mwa Januari mwaka huu alisema ataendelea kushirikiana vyema na wachezaji wenzake ili kuhakikisha anatimiza lengo lake la kucheza soka nje ya nchi. Kwa upande wake beki Philipo amemshukuru kocha Amunike na kuahidi kutoa ushirikiano kwa wenzake.Stars inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 40. Katika michuano ya mwaka huu, Stars ipo kundi C pamoja na timu za Senegal, Algeria na Kenya. Itarusha kete yake ya kwanza Juni 23 dhidi ya Senegal.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WACHEZAJI wa Mbao FC, Metacha Mnata na Vincent Philipo walioitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars kinachotarajiwa kushiriki fainali za Afrika ‘Afcon’ Misri wameahidi kutoliangusha benchi la ufundi na watanzania kwa ujumla.Wachezaji hao ni miongoni mwa walioitwa kwenye kikosi cha Stars na kocha Mkuu wa timu hiyo Emmanuel Amunike kwa ajili ya fainali hizo ziliozpangwa kufanyika Misri mwezi ujao. Akizungumza na gazeti hili jana, golikipa Mnata alisema anashukuru kuitwa kwenye timu hiyo kwa mara ya pili na hiyo ni hatua kubwa kwake na kwamba atapambana kuisaidia timu ifanye vizuri kwenye michuano hiyo.Mnata ambae alichaguliwa golikipa bora katika mashindano ya sportpesa yaliomalizika mwanzoni mwa Januari mwaka huu alisema ataendelea kushirikiana vyema na wachezaji wenzake ili kuhakikisha anatimiza lengo lake la kucheza soka nje ya nchi. Kwa upande wake beki Philipo amemshukuru kocha Amunike na kuahidi kutoa ushirikiano kwa wenzake.Stars inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 40. Katika michuano ya mwaka huu, Stars ipo kundi C pamoja na timu za Senegal, Algeria na Kenya. Itarusha kete yake ya kwanza Juni 23 dhidi ya Senegal. ### Response: KITAIFA ### End
Na MWANDISHI WETU UTAFITI wa Kimataifa umebaini kuwa watoto katika mataifa yanayoendelea mara nyingi huwa na shauku ya kufikia malengo ya juu kuliko wavulana katika mataifa ya Uingereza. Wakati wavulana nchini Uingereza wakiwa na malengo ya kuwa wachezaji wa mpira wa miguu au watu maarufu katika mtandao wa YouTube, wenzao nchini Uganda na Zambia wanataka kuwa madaktari na walimu. Matokeo ya utafiti huu yaliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa kibiashara duniani mjini Davos. Watafiti waliwaambia watoto wa shule ya msingi wenye umri kati ya miaka 11 katika mataifa 20 kuchora picha za kazi wanazotaka kufanya watakapokuwa watu wazima. Baada ya zoezi hilo, walibaini kwamba kasumba ya kijinsia kwa kiwango kikubwa huanza kujikita tangu utotoni. Nchini Uingereza, wasichana wachache walipendelea kuwa wahandisi au wanasayansi, lakini kazi kama uuguzi, uchezaji ngoma na ususi zilikuwa ni miongoni mwa kazi 10 zilizochaguliwa na wasichana. Wavulana nao walichagua zaidi urubani na umakenika. Wasichana walijikita zaidi katika mafanikio ya kitaaluma, ambayo yangeambatana na kazi kama ualimu, matibabu ya mifugo na udaktari. Kwa mfano, wavulana walionekana kuvutiwa zaidi na tamaduni maarufu zikishabihiana na kazi kama uanamichezo, kazi katika mitandao ya kijamii au upolisi. Watafiti walibaini na kuelekeza kwamba ni vyema kutambulisha kazi na mifumo mbalimbali ya majukumu kwa watoto wakiwa katika umri mdogo. Wasichana katika shule ambazo zinaonekana kuwa na hali duni, wengi wao walitaka kuwa wauza duka au wataalamu wa urembo huku wavulana katika shule bora wakitaka kuwa mameneja na wanasheria. Nje ya Uingereza, michoro ilionyesha kiu na shauku ya hali ya juu licha ya mazingira magumu katika mataifa hayo. Uganda na Ufilipino wasichana wengi walitaka kuwa walimu, wakati nchini Pakistan, Bangladesh, Colombia na Indonesia walitaka kuwa madaktari. Nchini China, kazi maarufu kwa wavulana ni uanasayansi. Lakini Uingereza na kwingineko kimataifa kulikuwa na tofauti kubwa kati ya mahitaji ya soko la ajira na shauku walizo kuwa nazo vijana. Watafiti hawa wanasema kutokuwa na mpangilio bado kumeendelea kuwa kikwazo kwa wanafunzi hawa na kutoendelea kujua ni maarifa yapi wanatakiwa kuwa nayo kwa ajili ya kazi wanazozipenda. Msimamizi wa utafiti wa kielimu, Andreas Schleicher anasema shauku ya watoto hawa inachochewa na watu wanaowajua au kuwafahamu. Anne Lyons, Rais wa Chama cha Taifa cha walimu wakuu nchini Uingereza, anasema utafiti huu unaonyesha ilivyo ngumu kwa watoto hawa kuivunja mitazamo waliyojengewa na familia zao. Nchini Uingereza kazi maarufu kwa wasichana ni pamoja na ualimu, maafisa wa matibabu ya mifugo, uanamichezo, udaktari, usanii, uanamuziki, ususi, uanasayansi, unenguaji na uuguzi. Kwa upande wa wavulana, kazi wanazopendelea ni uanamichezo, utaalamu mitandaoni, polisi, uanajeshi, uanasayansi, uhandisi, udaktari, ualimu, maafisa wa matibabu ya mifugo na umakenika.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na MWANDISHI WETU UTAFITI wa Kimataifa umebaini kuwa watoto katika mataifa yanayoendelea mara nyingi huwa na shauku ya kufikia malengo ya juu kuliko wavulana katika mataifa ya Uingereza. Wakati wavulana nchini Uingereza wakiwa na malengo ya kuwa wachezaji wa mpira wa miguu au watu maarufu katika mtandao wa YouTube, wenzao nchini Uganda na Zambia wanataka kuwa madaktari na walimu. Matokeo ya utafiti huu yaliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa kibiashara duniani mjini Davos. Watafiti waliwaambia watoto wa shule ya msingi wenye umri kati ya miaka 11 katika mataifa 20 kuchora picha za kazi wanazotaka kufanya watakapokuwa watu wazima. Baada ya zoezi hilo, walibaini kwamba kasumba ya kijinsia kwa kiwango kikubwa huanza kujikita tangu utotoni. Nchini Uingereza, wasichana wachache walipendelea kuwa wahandisi au wanasayansi, lakini kazi kama uuguzi, uchezaji ngoma na ususi zilikuwa ni miongoni mwa kazi 10 zilizochaguliwa na wasichana. Wavulana nao walichagua zaidi urubani na umakenika. Wasichana walijikita zaidi katika mafanikio ya kitaaluma, ambayo yangeambatana na kazi kama ualimu, matibabu ya mifugo na udaktari. Kwa mfano, wavulana walionekana kuvutiwa zaidi na tamaduni maarufu zikishabihiana na kazi kama uanamichezo, kazi katika mitandao ya kijamii au upolisi. Watafiti walibaini na kuelekeza kwamba ni vyema kutambulisha kazi na mifumo mbalimbali ya majukumu kwa watoto wakiwa katika umri mdogo. Wasichana katika shule ambazo zinaonekana kuwa na hali duni, wengi wao walitaka kuwa wauza duka au wataalamu wa urembo huku wavulana katika shule bora wakitaka kuwa mameneja na wanasheria. Nje ya Uingereza, michoro ilionyesha kiu na shauku ya hali ya juu licha ya mazingira magumu katika mataifa hayo. Uganda na Ufilipino wasichana wengi walitaka kuwa walimu, wakati nchini Pakistan, Bangladesh, Colombia na Indonesia walitaka kuwa madaktari. Nchini China, kazi maarufu kwa wavulana ni uanasayansi. Lakini Uingereza na kwingineko kimataifa kulikuwa na tofauti kubwa kati ya mahitaji ya soko la ajira na shauku walizo kuwa nazo vijana. Watafiti hawa wanasema kutokuwa na mpangilio bado kumeendelea kuwa kikwazo kwa wanafunzi hawa na kutoendelea kujua ni maarifa yapi wanatakiwa kuwa nayo kwa ajili ya kazi wanazozipenda. Msimamizi wa utafiti wa kielimu, Andreas Schleicher anasema shauku ya watoto hawa inachochewa na watu wanaowajua au kuwafahamu. Anne Lyons, Rais wa Chama cha Taifa cha walimu wakuu nchini Uingereza, anasema utafiti huu unaonyesha ilivyo ngumu kwa watoto hawa kuivunja mitazamo waliyojengewa na familia zao. Nchini Uingereza kazi maarufu kwa wasichana ni pamoja na ualimu, maafisa wa matibabu ya mifugo, uanamichezo, udaktari, usanii, uanamuziki, ususi, uanasayansi, unenguaji na uuguzi. Kwa upande wa wavulana, kazi wanazopendelea ni uanamichezo, utaalamu mitandaoni, polisi, uanajeshi, uanasayansi, uhandisi, udaktari, ualimu, maafisa wa matibabu ya mifugo na umakenika. ### Response: AFYA ### End
LIVERPOOL, ENGLAND ALIYEKUWA kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez, ameibukia katika Uwanja wa Anfield kwa ajili ya kuangalia mchezo wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool dhidi ya Arsenal. Katika mchezo huo ambao ulivuta hisia za mashabiki wengi duniani, lakini ulimalizaka timu hizo zikitoka sare ya 3-3. Kwa mara ya kwanza kocha huyo ameonekana uwanjani tangu afukuzwe na uongozi wa Madrid wiki iliyopita, hata hivyo kocha huyo aliwahi kuifundisha klabu ya Liverpool kuanzia mwaka 2004 hadi 2010. Katika kipindi anaifundisha klabu hiyo alifanikiwa kuchukua taji la Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Lakini kwa sasa anaamua kupumzika kwa muda mara baada ya kuachwa na Madrid. Klabu ya Madrid ikiwa chini ya kocha mpya, Zinedine Zidane, imeanza vizuri kwa kupata ushindi wa kwanza wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Deportivo.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- LIVERPOOL, ENGLAND ALIYEKUWA kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez, ameibukia katika Uwanja wa Anfield kwa ajili ya kuangalia mchezo wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool dhidi ya Arsenal. Katika mchezo huo ambao ulivuta hisia za mashabiki wengi duniani, lakini ulimalizaka timu hizo zikitoka sare ya 3-3. Kwa mara ya kwanza kocha huyo ameonekana uwanjani tangu afukuzwe na uongozi wa Madrid wiki iliyopita, hata hivyo kocha huyo aliwahi kuifundisha klabu ya Liverpool kuanzia mwaka 2004 hadi 2010. Katika kipindi anaifundisha klabu hiyo alifanikiwa kuchukua taji la Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Lakini kwa sasa anaamua kupumzika kwa muda mara baada ya kuachwa na Madrid. Klabu ya Madrid ikiwa chini ya kocha mpya, Zinedine Zidane, imeanza vizuri kwa kupata ushindi wa kwanza wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Deportivo. ### Response: MICHEZO ### End
Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Ltd. Mfanyabiashara Rostam Aziz, amemshukuru Rais John Magufuli kwa kuweka usawa wa kibiashara katika miaka minne ya uongozi wake. Aidha, mfanyabiashara huo ameahidi kuwekeza katika miradi mingine zaidi nchini itakayogharimu zaidi ya Sh bilioni 500 katika miaka mitatu ijayo. Rostam amesema hayo leo Jumanne Juni 25, Kigamboni jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa ghala na mitambo ya gesi ya taifa (Taifa Gas) ambayo ni gesi ya majumbani iliyozinduliwa rasmi na Rais Magufuli. Anesema mafanikio ambayo wao kama Taifa Gas na makampuni mengine kutoka nje wanayaona yanatokana na kazi kubwa aliyoifanya tangu aingie madarakani mwaka 2015. “Uimarishwaji wa sekta binafsi utatekelezwa kwa uwanja ulio sawa kama kujenga miundombinu itakayowasaida Watanzania kujikwamua kutoka katika umaskini wa kihistoria na Mheshimiwa Rais historia itakukumbuka katika hili,” amesema Rostam. “Kuna watu walisema kuwa wewe si rafiki wa sekta binafsi nataka niwaambie kuwa uongozi wako ndiyo umefanya nianze kurudisha mitaji ya uwekezaji ambayo niliwekeza nje, na Taifa Gas ni mwanzo tu ila kuna miradi mingine itakayogharimu Sh bilioni 500 katika miaka mitatu ijayo,” amesema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Bethsheba Wambura, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Ltd. Mfanyabiashara Rostam Aziz, amemshukuru Rais John Magufuli kwa kuweka usawa wa kibiashara katika miaka minne ya uongozi wake. Aidha, mfanyabiashara huo ameahidi kuwekeza katika miradi mingine zaidi nchini itakayogharimu zaidi ya Sh bilioni 500 katika miaka mitatu ijayo. Rostam amesema hayo leo Jumanne Juni 25, Kigamboni jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa ghala na mitambo ya gesi ya taifa (Taifa Gas) ambayo ni gesi ya majumbani iliyozinduliwa rasmi na Rais Magufuli. Anesema mafanikio ambayo wao kama Taifa Gas na makampuni mengine kutoka nje wanayaona yanatokana na kazi kubwa aliyoifanya tangu aingie madarakani mwaka 2015. “Uimarishwaji wa sekta binafsi utatekelezwa kwa uwanja ulio sawa kama kujenga miundombinu itakayowasaida Watanzania kujikwamua kutoka katika umaskini wa kihistoria na Mheshimiwa Rais historia itakukumbuka katika hili,” amesema Rostam. “Kuna watu walisema kuwa wewe si rafiki wa sekta binafsi nataka niwaambie kuwa uongozi wako ndiyo umefanya nianze kurudisha mitaji ya uwekezaji ambayo niliwekeza nje, na Taifa Gas ni mwanzo tu ila kuna miradi mingine itakayogharimu Sh bilioni 500 katika miaka mitatu ijayo,” amesema. ### Response: KITAIFA ### End
Rais John Magufuli amesema kwamba serikali anayoingoza haina dini lakini itaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini katika kuiletea nchi maendeleo.Rais ametoa kauli hiyo katika kilele cha maadhimisho ya miaka 150 ya Kanisa Katoliki katika Uinjilishaji na utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo elimu na afya.“Kama walionitangulia walivyokuwa wakifanya, nami nitaendelea kushirikiana na madhehebu yote hapa nchini kama Lutheran, Anglikana na kadhalika,” alisema Rais Magufuli.Amesema kuwa hadi sasa Kanisa hilo kongwe hapa nchini limejenga shule za chekechea 224, msingi 162, sekondari 262, vyuo vya ufundi 110 na vyuo vikuu vine.Amesisitiza amelipongeza kanisa kwa kuendelea kuhubiri upendo na amani na kutaka kuendelea kufanya hivyo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Rais John Magufuli amesema kwamba serikali anayoingoza haina dini lakini itaendelea kushirikiana na madhehebu yote nchini katika kuiletea nchi maendeleo.Rais ametoa kauli hiyo katika kilele cha maadhimisho ya miaka 150 ya Kanisa Katoliki katika Uinjilishaji na utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo elimu na afya.“Kama walionitangulia walivyokuwa wakifanya, nami nitaendelea kushirikiana na madhehebu yote hapa nchini kama Lutheran, Anglikana na kadhalika,” alisema Rais Magufuli.Amesema kuwa hadi sasa Kanisa hilo kongwe hapa nchini limejenga shule za chekechea 224, msingi 162, sekondari 262, vyuo vya ufundi 110 na vyuo vikuu vine.Amesisitiza amelipongeza kanisa kwa kuendelea kuhubiri upendo na amani na kutaka kuendelea kufanya hivyo. ### Response: KITAIFA ### End
NYEMO MALECELA -KAGERA JESHI la Polisi Mkoani Kagera linamshikiria Leonard Kishenya (36) kwa tuhuma za kumuua mtoto wa mke wake wa miaka mitatu kwa kumcharanga mapanga na kumtenganisha viungo vyake. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi amesema tukio hilo lilitokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya saa 6.40 usiku katika Kijiji cha Katorerwa Tarafa ya Kiziba wilayani Misenyi Mkoani Kagera. Kwa mujibu wa Kamanda Malimi, Leonard alimcharanga mapanga Careen Crispine (3) baada ya kutokea ugomvi kati yake na  mkewe huyo Domina Andrew (30). Malimi alisema mauaji hayo yalitokea baada ya wanandoa hao kutoka katika matembezi ya mkesha wa mwaka mpya ambako walikuwa wameenda kuywa pombe. Alisema baada ya kurudi nyumbani walianza kugombana na kusababisha mama mzazi wa mtoto huyo kukimbilia kwa jirani kwa lengo la kunusuru maisha yake na kumuacha mwanae nyumbani pamoja na mume wake. “Wakati Domina anakimbia nyumbani alimuacha mwanae akiwa amelala usingizi na aliporudi nyumbani saa moja asubuhi alimkuta mwanae Careen akiwa ameuliwa kwa kucharangwa mapanga kwa kujeruhiwa kichwani na kukatwa mkono wa kushoto ambao ulikuwa umetenganishwa na mwili na mwanaume akiwa tayari ametoweka nyumbani,” alisema. Malimi alisema Jeshi la Polisi limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo jana (juzi) akiwa amejificha na uchunguzi wa mauaji hayo unaendelea, ukikamilika atafikishwa mahakamani kwa ajili ya kuchukuliwa na hatua ya kisheria. “Hadi sasa haijulikani chanzo cha mtuhumiwa kumuua mtoto huyo ambaye ni malaika japokuwa kwa mtazamo wa kawaida wivu wa mapenzi ndio chanzo cha ugomvi huo,” alisema. Katika taarifa aliyoitoa mwishoni mwa mwaka jana, Malimi alisema makosa ya mauaji na ubakaji yaliongezeka ukilinganisha na mwaka juzi. Alisema chanzo kikuu cha makosa ya mengi ya mauaji ni migogoro ya mashamba, mali za urithi, wivu wa mapenzi, kulipa kisasi, ugomvi unaotokana na ulevi kwa kiasi kidogo imani za kishirikina.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NYEMO MALECELA -KAGERA JESHI la Polisi Mkoani Kagera linamshikiria Leonard Kishenya (36) kwa tuhuma za kumuua mtoto wa mke wake wa miaka mitatu kwa kumcharanga mapanga na kumtenganisha viungo vyake. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi amesema tukio hilo lilitokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya saa 6.40 usiku katika Kijiji cha Katorerwa Tarafa ya Kiziba wilayani Misenyi Mkoani Kagera. Kwa mujibu wa Kamanda Malimi, Leonard alimcharanga mapanga Careen Crispine (3) baada ya kutokea ugomvi kati yake na  mkewe huyo Domina Andrew (30). Malimi alisema mauaji hayo yalitokea baada ya wanandoa hao kutoka katika matembezi ya mkesha wa mwaka mpya ambako walikuwa wameenda kuywa pombe. Alisema baada ya kurudi nyumbani walianza kugombana na kusababisha mama mzazi wa mtoto huyo kukimbilia kwa jirani kwa lengo la kunusuru maisha yake na kumuacha mwanae nyumbani pamoja na mume wake. “Wakati Domina anakimbia nyumbani alimuacha mwanae akiwa amelala usingizi na aliporudi nyumbani saa moja asubuhi alimkuta mwanae Careen akiwa ameuliwa kwa kucharangwa mapanga kwa kujeruhiwa kichwani na kukatwa mkono wa kushoto ambao ulikuwa umetenganishwa na mwili na mwanaume akiwa tayari ametoweka nyumbani,” alisema. Malimi alisema Jeshi la Polisi limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo jana (juzi) akiwa amejificha na uchunguzi wa mauaji hayo unaendelea, ukikamilika atafikishwa mahakamani kwa ajili ya kuchukuliwa na hatua ya kisheria. “Hadi sasa haijulikani chanzo cha mtuhumiwa kumuua mtoto huyo ambaye ni malaika japokuwa kwa mtazamo wa kawaida wivu wa mapenzi ndio chanzo cha ugomvi huo,” alisema. Katika taarifa aliyoitoa mwishoni mwa mwaka jana, Malimi alisema makosa ya mauaji na ubakaji yaliongezeka ukilinganisha na mwaka juzi. Alisema chanzo kikuu cha makosa ya mengi ya mauaji ni migogoro ya mashamba, mali za urithi, wivu wa mapenzi, kulipa kisasi, ugomvi unaotokana na ulevi kwa kiasi kidogo imani za kishirikina. ### Response: KITAIFA ### End
NA SALMA MPELI WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amewataka wasanii wa filamu, muziki na kazi nyingine za sanaa kujiunga na Kampuni ya Barazani Entertainment kwa ajili ya uhakika wa kuuza kazi zao. Akizungumza hivi karibuni wakati akizindua kampuni hiyo, Mwakyembe, alisema kwa muda mrefu wasanii wamekuwa wakilalamika kwa kukosa masilahi katika kazi zao kutokana na kuingiliwa na watu ambao wanajali masilahi yao binafsi. Alisema kutokana na ujio wa kampuni hiyo ambayo imejikita kwenye kutoa masilahi halisi kwa wasanii, anaamini wakati umefika sasa wa wasanii kuanza kupata masilahi kutokana na jasho lao katika kazi. Wakati huo huo, Meneja wa uzalishaji na masoko wa Kampuni hiyo, Jacob Steven ‘JB’, alisema Barazani Entertainment itakuwa ni suluhisho kwa wasanii mbalimbali kwani sasa kazi zao hazitauzwa kwenye maduka wala kwa wauzaji wa mitaani, lakini kupitia kampuni hiyo kazi zao zitauzwa kupitia kwenye mihamala ya simu.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA SALMA MPELI WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amewataka wasanii wa filamu, muziki na kazi nyingine za sanaa kujiunga na Kampuni ya Barazani Entertainment kwa ajili ya uhakika wa kuuza kazi zao. Akizungumza hivi karibuni wakati akizindua kampuni hiyo, Mwakyembe, alisema kwa muda mrefu wasanii wamekuwa wakilalamika kwa kukosa masilahi katika kazi zao kutokana na kuingiliwa na watu ambao wanajali masilahi yao binafsi. Alisema kutokana na ujio wa kampuni hiyo ambayo imejikita kwenye kutoa masilahi halisi kwa wasanii, anaamini wakati umefika sasa wa wasanii kuanza kupata masilahi kutokana na jasho lao katika kazi. Wakati huo huo, Meneja wa uzalishaji na masoko wa Kampuni hiyo, Jacob Steven ‘JB’, alisema Barazani Entertainment itakuwa ni suluhisho kwa wasanii mbalimbali kwani sasa kazi zao hazitauzwa kwenye maduka wala kwa wauzaji wa mitaani, lakini kupitia kampuni hiyo kazi zao zitauzwa kupitia kwenye mihamala ya simu. ### Response: BURUDANI ### End
Chanzo cha picha, Torico Eriko Kobayashi alisimulia mkasa wake ,"Alilazwa hospitalini kwa kujaribu kujiua,," Kobayashi ameiambia BBC. "Alinipa pete kama zawadi ili kunihamasisha kutoa ujumbe wangu, na tukakumbatiana." Kobayashi ni mtunzi wa kitabu hicho cha kumbukumbu cha "Diary of My Daily Failures", kilichozinduliwa mwaka 2017. BBC ilizungumza na mtunzi wa kitabu hicho na namna kazi yake inavyoweza kusaidia wengine. Chanzo cha picha, Torico Matatizo ya afya ya akili na changamoto za kifedha zilimsababisha Kobayashi kufanya majaribio ya kujiua tangu akiwa na miaka 21. Kobayashi anaamini kuwa matatizo yake yalianza akiwa mtoto - alisema alihangaika na unyanyasaji na matusi wakati akikua. Chanzo cha picha, Torico "Mambo yalifikia mahali ambapo sikuweza kulala tena na nilikuwa na ndoto mbaya kila mara, "anakumbuka. "Wazazi wangu walinipeleka kwa mfululizo wa madaktari, lakini hakuna kitu kilichoonekana kusaidia." Kobayashi pia alikabiliwa na uonevu mkali shuleni. "Baba yangu hakuleta pesa nyingi nyumbani, kwa hivyo nilikuwa sina uwezo wa kununua nguo za shule," anasema. "Katika msimu wa baridi, ilinibidi kuvaa nguo zile zile mara kwa mara na hiyo ilinifanya niwe lengo rahisi kwa watoto wengine." Chanzo cha picha, Eriko Kobayashi Kobayashi alimaliza masomo yake ya chuo kikuu katikati ya miaka ya 1990, wakati ambapo fursa kwa vijana huko Japani zilikuwa chache - iliitwa "Umri wa Barafu ya Ajira". Mwishowe alipata kazi katika kampuni ya uchapishaji ya Tokyo, baada ya miezi mingi kulingana na malipo ya ustawi, aliingia kwa utaratibu wa kufanya kazi masaa marefu na mshahara mdogo. Fedha zake zilikuwa ndogo na hata aliiba chakula kutoka kwa maduka makubwa ili kujikimu. Hapo ndipo Kobayashi alijaribu kuchukua maisha yake kwa mara ya kwanza. Chanzo cha picha, TORICO Kwa bahati nzuri, alipatikana amepoteza fahamu katika nyumbani kwake na rafiki yake na kupelekwa hospitalini kwa wakati, ingawa aliamka siku tatu tu baadaye. Kujiua husababisha vifo 800,000 kila mwaka Kujiua ni suala la ulimwengu na Shirika la Afya Duniani (WHO) linakadiria kuwa karibu watu 800,000 hujiua kila mwaka. Japani ina moja ya viwango vya juu zaidi kati ya mataifa yaliyoendelea. Chanzo cha picha, Getty Images Ingawa idadi ya kila mwaka ya vifo nchini imekuwa ikipungua, idadi ya vijana inaongezeka. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa kujiua sasa ndio sababu kuu ya vifo kwa watoto wenye umri wa miaka 10-14 huko Japani. Mnamo mwaka wa 2019, kifo cha kujiua kwa watu chini ya miaka 20 kilifikia kiwango cha juu kabisa tangu mamlaka ya Japani ilianza kutunza kumbukumbu katika miaka ya 1970. Hali hii kati ya vijana ilimhimiza Kobayashi kutangaza mapambano yake kwa njia ya manga. "Uzoefu wangu ni wa kibinafsi sana, lakini nahisi ni muhimu kwa watu kujua kuhusu wao." Chanzo cha picha, TORICO Watu nchini Japani na ulimwenguni kote wanapitia hali hii ya shida ya kuishi na nadhani maandishi yangu yanaweza kuwaonyesha kuwa hawako peke yao kwa kujisikia hivi, "anasema. Kobayashi ni mfano wa ugumu unaojumuisha maswala ya afya ya akili na kujiua. Jaribio la hapo awali ni sababu moja muhimu zaidi ya kujiua kwa idadi ya watu, kulingana na WHO, na zaidi ya miaka 20 baada ya kipindi chake cha kwanza, Kobayashi bado anapambana na mawazo ya kujiua. Na zinaweza kuwa kubwa. Chanzo cha picha, TORICO Wakati ninahisi upweke au mambo hayaendi vizuri kazini, bado ninahisi kama nataka kufa, "anasema. Kobayashi anaendelea kupokea msaada wa akili, na ameunda utaratibu wa kukabiliana na mawazo hayo. "Wanapokuja, ninajaribu kulala vizuri, kula pipi na kunusa harufu nzuri ili kujisikia vizuri." "Pia, najaribu kutokuwa peke yangu kwa muda mrefu sana." Hii ndio sababu kukutana na mashabiki kunamaanisha sana kwake kibinafsi. Chanzo cha picha, TORICO "Nimepata uzoefu wa kujiua na najua juu ya maumivu na kukata tamaa, "mwandishi anasema. "Wakati watu ambao pia walijaribu kujiua wanakuja na kuzungumza nami, ninahisi kuwa kuishi sio bure." Pamoja uzoefu huo wa pamoja, anaamini, inaweza kuwa njia nyingine muhimu ya kushughulika na watu wanaofikiria kujiua, badala ya matumizi tu ya hatua za kitamaduni kama ushauri nasaha na dawa. "Japani ina idadi kubwa ya vitanda vya magonjwa ya akili na inaagiza madawa kwa kiwango kikubwa," Kobayashi anabainisha. "Lakini mtu anayejaribu kuchukua maisha yake mwenyewe anahisi kuwa hawezi kuwaambia wengine anachofikiria, kwa sababu anafikiria hakuna mtu atakayeelewa." "Kuna shida nyingi na zilizoshikana kama uhusiano mbaya wa kifamilia, fedha, kutengwa. Haya mambo si rahisi kuyatatua," anaongeza. Kupuuza nia ya mtu anayejiua sio jibu. Ni muhimu kuheshimu kile anachohisi na kumsaidia kwa hatua, "anaelezea. "Nimegundua kuwa ni muhimu kwangu kwenda nje, kuwaona wenzangu na kuzungumza na marafiki zangu" "Tamaa yako ya kufa hupungua kwa kuongea na kucheka na mtu." Walakini kazi yake yenyewe imekuwa chanzo cha mzozo kwa Kobayashi. Kabla ya kitabu cha manga, alikuwa ameandika vitabu juu ya maswala yake. Uamuzi wa kwenda hadharani haukukubalika na baba yake. "Baba yangu alikuwa ananipinga kuzungumza juu ya mapambano yangu hadharani. Hatuelewani vizuri na sijamuona kwa zaidi ya miaka 10," anaelezea. Hiyo inamaanisha Kobayashi hakupokea maoni yoyote kutoka kwake kuhusu kitabu chake cha kumbukumbu ya Kushindwa Kwangu Kila Siku. Alikuwa chini ya udadisi juu ya kile angefikiria kulingana na yaliyomo kuliko juu ya uchaguzi wa fomati. Chanzo cha picha, Courtesy of Eriko Kobayashi "Nilikuwa na ndoto ya kwenda shule ya sanaa nilipokuwa mdogo, lakini baba yangu alipinga. "Alisema kuwa ingekuwa kupoteza muda na 'hakunifanyia kitu chochote kizuri'," anakumbuka. "Kwa upande mwingine, mama yangu amekuwa akifurahi sana kila ninapotokea hadharani, au anasoma kitu nilichoandika." Kitabu cha vichekesho kimetafsiriwa katika lugha kadhaa, pamoja na Kiingereza. Masomo kutoka kwa janga Mamlaka ya Japani ilitangaza mapema mwaka huu kwamba nchi hiyo ilisajili kushuka kwa mauaji kwa Aprili ikilinganishwa na mwezi huo huo mwaka jana. Ilionekana kukinzana na hofu kwamba kuanguka kwa kisaikolojia na kifedha kwa kuenea kwa virusi, na vile vile kutengwa kwa jamii kunakosababishwa na hatua za kufungwa, kungeweza kusababisha kuongezeka kwa idadi ya vifo. Chanzo cha picha, Getty Images Mashirika ya afya ya akili yanaonyesha kuwa kupungua kunapaswa kuonekana kama matokeo ya muda ya hatua kama vile kufungwa kwa shule na kupunguzwa kwa masaa ya kazi kukabiliana na janga hilo. "Wakati maisha ya kawaida yanarudi, viwango vya kujiua vinaweza kuongezeka tena," Kobayashi anaogopa. "Kwa kweli hii itatokea ikiwa watu watajaribu kuishi maisha sawa na hapo awali." Mwandishi anaamini kuwa janga hilo lilifundisha watu somo juu ya jinsi ya kutunza afya yao ya akili. "Kile tumeona ni kwamba watu wanaweza kupata amani yao kwa kutojaribu sana shuleni au kazini." "Mambo yanaweza kuwa bora ikiwa sote tutaacha kulenga kilele na kuishi kwa njia ya maisha ambayo ni nzuri kwa mwili na akili," anaongeza
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Torico Eriko Kobayashi alisimulia mkasa wake ,"Alilazwa hospitalini kwa kujaribu kujiua,," Kobayashi ameiambia BBC. "Alinipa pete kama zawadi ili kunihamasisha kutoa ujumbe wangu, na tukakumbatiana." Kobayashi ni mtunzi wa kitabu hicho cha kumbukumbu cha "Diary of My Daily Failures", kilichozinduliwa mwaka 2017. BBC ilizungumza na mtunzi wa kitabu hicho na namna kazi yake inavyoweza kusaidia wengine. Chanzo cha picha, Torico Matatizo ya afya ya akili na changamoto za kifedha zilimsababisha Kobayashi kufanya majaribio ya kujiua tangu akiwa na miaka 21. Kobayashi anaamini kuwa matatizo yake yalianza akiwa mtoto - alisema alihangaika na unyanyasaji na matusi wakati akikua. Chanzo cha picha, Torico "Mambo yalifikia mahali ambapo sikuweza kulala tena na nilikuwa na ndoto mbaya kila mara, "anakumbuka. "Wazazi wangu walinipeleka kwa mfululizo wa madaktari, lakini hakuna kitu kilichoonekana kusaidia." Kobayashi pia alikabiliwa na uonevu mkali shuleni. "Baba yangu hakuleta pesa nyingi nyumbani, kwa hivyo nilikuwa sina uwezo wa kununua nguo za shule," anasema. "Katika msimu wa baridi, ilinibidi kuvaa nguo zile zile mara kwa mara na hiyo ilinifanya niwe lengo rahisi kwa watoto wengine." Chanzo cha picha, Eriko Kobayashi Kobayashi alimaliza masomo yake ya chuo kikuu katikati ya miaka ya 1990, wakati ambapo fursa kwa vijana huko Japani zilikuwa chache - iliitwa "Umri wa Barafu ya Ajira". Mwishowe alipata kazi katika kampuni ya uchapishaji ya Tokyo, baada ya miezi mingi kulingana na malipo ya ustawi, aliingia kwa utaratibu wa kufanya kazi masaa marefu na mshahara mdogo. Fedha zake zilikuwa ndogo na hata aliiba chakula kutoka kwa maduka makubwa ili kujikimu. Hapo ndipo Kobayashi alijaribu kuchukua maisha yake kwa mara ya kwanza. Chanzo cha picha, TORICO Kwa bahati nzuri, alipatikana amepoteza fahamu katika nyumbani kwake na rafiki yake na kupelekwa hospitalini kwa wakati, ingawa aliamka siku tatu tu baadaye. Kujiua husababisha vifo 800,000 kila mwaka Kujiua ni suala la ulimwengu na Shirika la Afya Duniani (WHO) linakadiria kuwa karibu watu 800,000 hujiua kila mwaka. Japani ina moja ya viwango vya juu zaidi kati ya mataifa yaliyoendelea. Chanzo cha picha, Getty Images Ingawa idadi ya kila mwaka ya vifo nchini imekuwa ikipungua, idadi ya vijana inaongezeka. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa kujiua sasa ndio sababu kuu ya vifo kwa watoto wenye umri wa miaka 10-14 huko Japani. Mnamo mwaka wa 2019, kifo cha kujiua kwa watu chini ya miaka 20 kilifikia kiwango cha juu kabisa tangu mamlaka ya Japani ilianza kutunza kumbukumbu katika miaka ya 1970. Hali hii kati ya vijana ilimhimiza Kobayashi kutangaza mapambano yake kwa njia ya manga. "Uzoefu wangu ni wa kibinafsi sana, lakini nahisi ni muhimu kwa watu kujua kuhusu wao." Chanzo cha picha, TORICO Watu nchini Japani na ulimwenguni kote wanapitia hali hii ya shida ya kuishi na nadhani maandishi yangu yanaweza kuwaonyesha kuwa hawako peke yao kwa kujisikia hivi, "anasema. Kobayashi ni mfano wa ugumu unaojumuisha maswala ya afya ya akili na kujiua. Jaribio la hapo awali ni sababu moja muhimu zaidi ya kujiua kwa idadi ya watu, kulingana na WHO, na zaidi ya miaka 20 baada ya kipindi chake cha kwanza, Kobayashi bado anapambana na mawazo ya kujiua. Na zinaweza kuwa kubwa. Chanzo cha picha, TORICO Wakati ninahisi upweke au mambo hayaendi vizuri kazini, bado ninahisi kama nataka kufa, "anasema. Kobayashi anaendelea kupokea msaada wa akili, na ameunda utaratibu wa kukabiliana na mawazo hayo. "Wanapokuja, ninajaribu kulala vizuri, kula pipi na kunusa harufu nzuri ili kujisikia vizuri." "Pia, najaribu kutokuwa peke yangu kwa muda mrefu sana." Hii ndio sababu kukutana na mashabiki kunamaanisha sana kwake kibinafsi. Chanzo cha picha, TORICO "Nimepata uzoefu wa kujiua na najua juu ya maumivu na kukata tamaa, "mwandishi anasema. "Wakati watu ambao pia walijaribu kujiua wanakuja na kuzungumza nami, ninahisi kuwa kuishi sio bure." Pamoja uzoefu huo wa pamoja, anaamini, inaweza kuwa njia nyingine muhimu ya kushughulika na watu wanaofikiria kujiua, badala ya matumizi tu ya hatua za kitamaduni kama ushauri nasaha na dawa. "Japani ina idadi kubwa ya vitanda vya magonjwa ya akili na inaagiza madawa kwa kiwango kikubwa," Kobayashi anabainisha. "Lakini mtu anayejaribu kuchukua maisha yake mwenyewe anahisi kuwa hawezi kuwaambia wengine anachofikiria, kwa sababu anafikiria hakuna mtu atakayeelewa." "Kuna shida nyingi na zilizoshikana kama uhusiano mbaya wa kifamilia, fedha, kutengwa. Haya mambo si rahisi kuyatatua," anaongeza. Kupuuza nia ya mtu anayejiua sio jibu. Ni muhimu kuheshimu kile anachohisi na kumsaidia kwa hatua, "anaelezea. "Nimegundua kuwa ni muhimu kwangu kwenda nje, kuwaona wenzangu na kuzungumza na marafiki zangu" "Tamaa yako ya kufa hupungua kwa kuongea na kucheka na mtu." Walakini kazi yake yenyewe imekuwa chanzo cha mzozo kwa Kobayashi. Kabla ya kitabu cha manga, alikuwa ameandika vitabu juu ya maswala yake. Uamuzi wa kwenda hadharani haukukubalika na baba yake. "Baba yangu alikuwa ananipinga kuzungumza juu ya mapambano yangu hadharani. Hatuelewani vizuri na sijamuona kwa zaidi ya miaka 10," anaelezea. Hiyo inamaanisha Kobayashi hakupokea maoni yoyote kutoka kwake kuhusu kitabu chake cha kumbukumbu ya Kushindwa Kwangu Kila Siku. Alikuwa chini ya udadisi juu ya kile angefikiria kulingana na yaliyomo kuliko juu ya uchaguzi wa fomati. Chanzo cha picha, Courtesy of Eriko Kobayashi "Nilikuwa na ndoto ya kwenda shule ya sanaa nilipokuwa mdogo, lakini baba yangu alipinga. "Alisema kuwa ingekuwa kupoteza muda na 'hakunifanyia kitu chochote kizuri'," anakumbuka. "Kwa upande mwingine, mama yangu amekuwa akifurahi sana kila ninapotokea hadharani, au anasoma kitu nilichoandika." Kitabu cha vichekesho kimetafsiriwa katika lugha kadhaa, pamoja na Kiingereza. Masomo kutoka kwa janga Mamlaka ya Japani ilitangaza mapema mwaka huu kwamba nchi hiyo ilisajili kushuka kwa mauaji kwa Aprili ikilinganishwa na mwezi huo huo mwaka jana. Ilionekana kukinzana na hofu kwamba kuanguka kwa kisaikolojia na kifedha kwa kuenea kwa virusi, na vile vile kutengwa kwa jamii kunakosababishwa na hatua za kufungwa, kungeweza kusababisha kuongezeka kwa idadi ya vifo. Chanzo cha picha, Getty Images Mashirika ya afya ya akili yanaonyesha kuwa kupungua kunapaswa kuonekana kama matokeo ya muda ya hatua kama vile kufungwa kwa shule na kupunguzwa kwa masaa ya kazi kukabiliana na janga hilo. "Wakati maisha ya kawaida yanarudi, viwango vya kujiua vinaweza kuongezeka tena," Kobayashi anaogopa. "Kwa kweli hii itatokea ikiwa watu watajaribu kuishi maisha sawa na hapo awali." Mwandishi anaamini kuwa janga hilo lilifundisha watu somo juu ya jinsi ya kutunza afya yao ya akili. "Kile tumeona ni kwamba watu wanaweza kupata amani yao kwa kutojaribu sana shuleni au kazini." "Mambo yanaweza kuwa bora ikiwa sote tutaacha kulenga kilele na kuishi kwa njia ya maisha ambayo ni nzuri kwa mwili na akili," anaongeza ### Response: AFYA ### End
Kutokana na hali hiyo, wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma nchini (CHC), pamoja na wadau inaandaa mapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya wawekezaji hao.Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima aliyasema hayo jana bungeni wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mtambile, Masoud Abdallah Salim (CUF).Salim alitaka kujua Serikali ina mpango gani kutatua tatizo la viwanda vya korosho vya mikoa ya Lindi na Mtwara vilivyobinafsishwa na kupewa mwekezaji ambaye ameshindwa kuviendeleza.Malima alisema, “hatua za kupata ufumbuzi wa suala hili ni hatua inayoshirikisha idara mbalimbali za serikali, pia ikumbukwe maeneo mengi yaliyobinafsishwa kuna matatizo yanayofanana, hivyo maamuzi ya masuala haya ni mapana na yana athari kwa wawekezaji wengine ambao hawajakidhi makubaliano ya awali ya uwekezaji.”Alisema tathmini iliyofanywa na wizara yake imebaini kuwa wawekezaji wengi wa viwanda vya korosho wameshindwa kutekeleza mikataba ya mauzo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo fedha za uendeshaji.Alitaja sababu nyingine kuwa ni ukosefu wa umeme wa uhakika na viwanda kutumia teknolojia ya zamani na kwamba kutokana na tathmini hiyo serikali, CHC na wadau wengine inaandaa mapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya wawekezaji hao.Malima alisema mapendekezo ya awali ya wizara hiyo ni kama mwekezaji ameshindwa kuendeleza rasilimali aliyokabidhiwa na Serikali kinyume na makubaliano ya mkataba, mali hiyo irudishwe, ifanyiwe tathmini upya, itangazwe ili kupata mwekezaji mwingine mwenye uwezo.Alisema pamoja na Bodi ya Korosho kuandaa Mkakati wa Ubanguaji korosho unaolenga ujenzi wa viwanda vidogo na vikubwa katika maeneo ya Lindi, Tunduru na Mtwara, ni azma ya serikali kuhakikisha viwanda hivyo vinazalisha kwa ufanisi ili kuisukuma mbele sekta ya kilimo.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kutokana na hali hiyo, wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma nchini (CHC), pamoja na wadau inaandaa mapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya wawekezaji hao.Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima aliyasema hayo jana bungeni wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mtambile, Masoud Abdallah Salim (CUF).Salim alitaka kujua Serikali ina mpango gani kutatua tatizo la viwanda vya korosho vya mikoa ya Lindi na Mtwara vilivyobinafsishwa na kupewa mwekezaji ambaye ameshindwa kuviendeleza.Malima alisema, “hatua za kupata ufumbuzi wa suala hili ni hatua inayoshirikisha idara mbalimbali za serikali, pia ikumbukwe maeneo mengi yaliyobinafsishwa kuna matatizo yanayofanana, hivyo maamuzi ya masuala haya ni mapana na yana athari kwa wawekezaji wengine ambao hawajakidhi makubaliano ya awali ya uwekezaji.”Alisema tathmini iliyofanywa na wizara yake imebaini kuwa wawekezaji wengi wa viwanda vya korosho wameshindwa kutekeleza mikataba ya mauzo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo fedha za uendeshaji.Alitaja sababu nyingine kuwa ni ukosefu wa umeme wa uhakika na viwanda kutumia teknolojia ya zamani na kwamba kutokana na tathmini hiyo serikali, CHC na wadau wengine inaandaa mapendekezo ya hatua za kuchukua dhidi ya wawekezaji hao.Malima alisema mapendekezo ya awali ya wizara hiyo ni kama mwekezaji ameshindwa kuendeleza rasilimali aliyokabidhiwa na Serikali kinyume na makubaliano ya mkataba, mali hiyo irudishwe, ifanyiwe tathmini upya, itangazwe ili kupata mwekezaji mwingine mwenye uwezo.Alisema pamoja na Bodi ya Korosho kuandaa Mkakati wa Ubanguaji korosho unaolenga ujenzi wa viwanda vidogo na vikubwa katika maeneo ya Lindi, Tunduru na Mtwara, ni azma ya serikali kuhakikisha viwanda hivyo vinazalisha kwa ufanisi ili kuisukuma mbele sekta ya kilimo. ### Response: UCHUMI ### End
CHRISTINA GAULUHANGA na TUNU NASSOR – DAR ES SALAAM JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema  uchunguzi  wa tuhuma za kuwekewa sumu kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula bado haujakamilika. Akijibu swali kutoka kwa mmoja wa waandishi alipokuwa akizungumza nao jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema tukio hilo bado linafanyiwa uchunguzi ili kuwea kubaini undani wake. “Bado tunaendelea na uchunguzi wa tukio la kulishwa sumu kwa Mangula na msitarajie kuwa kuna siku tutaeleza uchunguzi huo mbele yenu,” alisema Mambosasa. Awali ilidaiwa kuwa Februari 28, mwaka huu, Mangula alidondoka ghafla katika ofisi ndogo za CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokuwa kikijadili masuala mbalimbali ambapo ilitoa adhabu kwa wanachama watatu waliokuwa na tuhuma za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho. Katika kikao hicho, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili kwa mujibu wa katiba ya chama hicho na kanuni ya maadili na uongozi. Machi 9, mwaka huu alipozungumza na waandishi, Mambosasa, alisema kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, walibaini ndani ya mwili wa Mangula kulipatikana sumu. Alisema kuwa jeshi hilo litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakayebainika kupanga, kuratibu au kusimamia utekelezaji wa uhalifu huo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- CHRISTINA GAULUHANGA na TUNU NASSOR – DAR ES SALAAM JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema  uchunguzi  wa tuhuma za kuwekewa sumu kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula bado haujakamilika. Akijibu swali kutoka kwa mmoja wa waandishi alipokuwa akizungumza nao jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, alisema tukio hilo bado linafanyiwa uchunguzi ili kuwea kubaini undani wake. “Bado tunaendelea na uchunguzi wa tukio la kulishwa sumu kwa Mangula na msitarajie kuwa kuna siku tutaeleza uchunguzi huo mbele yenu,” alisema Mambosasa. Awali ilidaiwa kuwa Februari 28, mwaka huu, Mangula alidondoka ghafla katika ofisi ndogo za CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokuwa kikijadili masuala mbalimbali ambapo ilitoa adhabu kwa wanachama watatu waliokuwa na tuhuma za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho. Katika kikao hicho, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili kwa mujibu wa katiba ya chama hicho na kanuni ya maadili na uongozi. Machi 9, mwaka huu alipozungumza na waandishi, Mambosasa, alisema kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, walibaini ndani ya mwili wa Mangula kulipatikana sumu. Alisema kuwa jeshi hilo litachukua hatua kali kwa mtu yeyote atakayebainika kupanga, kuratibu au kusimamia utekelezaji wa uhalifu huo. ### Response: KITAIFA ### End
Na AZIZA MASOUD-DAR ES SALAAM SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kujenga maduka ya kisasa zaidi ya 200 katika eneo lililobomolewa jengo la Billicanas lililokuwa likimilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe. Jengo la Billicanas lilibomolewa na shirika hilo mwishoni mwa wiki baada Mbowe kuondolewa mwanzoni mwa Septemba mwaka jana kutokana na kushindwa kulipa deni la Sh bilioni 1.3 ambazo zilikuwa pango ya miaka 20. Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema ujenzi wa maduka hayo madogo madogo ya kisasa yatakayokuwa katika ghorofa tano, unatarajia kuanza mwakani baada ya kukamilika kwa taratibu za kutafuta mzabuni. “Tunajenga mall (maduka ya kisasa) ndogo ndogo, maduka yatakuwa 232 yatakayoanzia ghorofa moja mpaka tano,” alisema Mchechu. Alisema kabla ya kufanyika kwa ujenzi huo, wataalamu wa shirika hilo watapitia michoro iliyoandaliwa na baadae kutangaza tenda ili kupata mzabuni. Mchechu alisema kuwa mbali ya jengo la Billicanas, kuna majengo mengine manne yanayomilikiwa na shirika hilo yatabomolewa ili kukamilisha ujenzi huo. “Kuna majengo yanayozunguka eneo la maegesho ya magari ya jiji, tunategemea kuyabomoa kati ya majengo matatu au manne ndani ya mwezi huu, hilo litakuwa eneo la maegesho,” alisema Mchechu. Alisisitiza kuwa ubomoaji wa majengo hayo utafanyika ndani ya mwezi huu ili kuweza kuharakisha ujenzi huo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na AZIZA MASOUD-DAR ES SALAAM SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kujenga maduka ya kisasa zaidi ya 200 katika eneo lililobomolewa jengo la Billicanas lililokuwa likimilikiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe. Jengo la Billicanas lilibomolewa na shirika hilo mwishoni mwa wiki baada Mbowe kuondolewa mwanzoni mwa Septemba mwaka jana kutokana na kushindwa kulipa deni la Sh bilioni 1.3 ambazo zilikuwa pango ya miaka 20. Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema ujenzi wa maduka hayo madogo madogo ya kisasa yatakayokuwa katika ghorofa tano, unatarajia kuanza mwakani baada ya kukamilika kwa taratibu za kutafuta mzabuni. “Tunajenga mall (maduka ya kisasa) ndogo ndogo, maduka yatakuwa 232 yatakayoanzia ghorofa moja mpaka tano,” alisema Mchechu. Alisema kabla ya kufanyika kwa ujenzi huo, wataalamu wa shirika hilo watapitia michoro iliyoandaliwa na baadae kutangaza tenda ili kupata mzabuni. Mchechu alisema kuwa mbali ya jengo la Billicanas, kuna majengo mengine manne yanayomilikiwa na shirika hilo yatabomolewa ili kukamilisha ujenzi huo. “Kuna majengo yanayozunguka eneo la maegesho ya magari ya jiji, tunategemea kuyabomoa kati ya majengo matatu au manne ndani ya mwezi huu, hilo litakuwa eneo la maegesho,” alisema Mchechu. Alisisitiza kuwa ubomoaji wa majengo hayo utafanyika ndani ya mwezi huu ili kuweza kuharakisha ujenzi huo. ### Response: KITAIFA ### End
“PAMOJA na kuwapo kwa sera inayotoa mwongozo sekta ya uziduaji, sheria kuhusu mapato, kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji miongoni mwa wadau, kunasababisha misuguano katika sekta ya uziduaji gesi.”“Ili kukwepa misuguano hiyo katika sekta ambayo ikianza humalizika kama gesi na mafuta, elimu kwa wananchi inapaswa kutolewa ili kuwawezesha kutambua haki na wajibu wao na pia kujipanga wakati rasilimali hiyo imeisha.” Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Mkoa wa Lindi (Lango-Lindi), Sharif Maloya wakati wa mahojiano kuhusu uzinduzi wa jukwaa la wadau wa sekta ya gesi katika Kisiwa cha Songosongo.Jukwaa hilo lililopo katika hatua tatu ngazi ya kijiji/ kata, wilaya na mkoa, limelenga kuwezesha majadiliano na hivyo kuondoa misuguano kati ya wananchi, wenye mitambo na serikali za mitaa ambazo kwa mujibu wa sheria za kodi, nazo zinastahili kuwa na kipato. Uanzishaji wa jukwaa hilo, umefanyika baada ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu rasilimali waliyo nayo na sheria zinavyozungumza kuhusu haki za wenye mitambo (waziduaji), haki ya serikali kuu, serikali za mitaa na wananchi.Katika mafunzo yaliyoanza mwaka 2015 kwa kufadhiliwa na Oxfam, Lango liliwezesha wananchi na watendaji katika ngazi mbalimbali kuitambua Sera ya Gesi Asilia ya Mwaka 2013, Sera ya Ushiriki wa Jamii 2013, Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya 2015, Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji ya Mwaka 2015 na Sheria ya Mafuta/Petroli ya Mwaka 2015. Sera na sheria hizi zinapoeleweka vyema kwa wananchi, huondoa misuguano ya kijamii kwa kuwa kila mtu hutambua haki na wajibu wake.“Sera na sheria zinapojulikana, wananchi wanakuwa katika nafasi ya kudodosa na kuona haki na wajibu kwa pande zote zinatekelezwa,” anasema Maloya. Anaongeza kuwa, anajivunia mwamko wa wananchi katika kuangalia rasilimali hiyo na kuhoji faida yake kwao. Anasema wananchi wanapokuwa ndio walinzi wa vyanzo vya gesi na pia katika mtandao wa usafirishaji, ni vyema wakatambua sera na sheria zinazodai haki na wajibu ukiwamo uwazi katika mapato wanayostahili kupewa na njia zinazotumika katika kukokotoa.Katika uzinduzi wa jukwaa katika Kata ya Songosongo kwa ufadhili wa Shirika la Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA- Tanzania) na kuendeshwa na Lango Lindi, wananchi walitoa maazimio mbalimbali. Miongoni mwa hayo, ni azimio la kutaka malipo ya fedha zao halali. Kwao wao wanaidai Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa jumla ya Sh milioni 600 kutokana na Sh bilioni tatu walizopatiwa na kampuni zinazochakata gesi kisiwani Songosongo kama tozo ya huduma.Mragibishi, Hamis Kassim aliyewezeshwa na Lango kujua sheria na namna ya kudodosa, anasema katika Jukwaa la Sekta ya Uziduaji wa Gesi Asilia na Mafuta ngazi ya kata, lililofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Songosongo kuwa, fedha zinazodaiwa ni kuanzia mwaka 2012 zilipoanza kulipwa.“Kama mragibishi niliyefunzwa namna ya kutafuta ukweli wa takwimu na tafsiri yake kwa ustawi wa jamii, nilibaini kwamba halmashauri yetu inayolipwa asilimia 00.3 ya tozo ya huduma, wao wanatakiwa kupeleka Songosongo asilimia 20, na hadi sasa wamepokea Sh bilioni 3, hivyo katika hesabu za kawaida wanatakiwa wawe wametulipa milioni 600,” anasema Kassim. Anasema kukiri kwa halmashauri yao kwamba Kisiwa cha Songosongo kinawadai Sh milioni 143, ni sehemu ya juhudi kubwa ya udadavuzi iliyofanywa na waragibishi kutoka Songosongo.“Bado yapo mengi, iweje tuwe tumelipwa chini ya Sh milioni 600 na kwanini, hili lazima tulijadili katika jukwaa la wilaya ambapo viongozi wetu watakuwepo,” anasema Jafari. Anaongeza: “Pamoja na hayo, basi watulipe hizo fedha ambazo wameandika barua ya kukiri kwamba tunawadai kufikia mwaka jana, lakini wanaingia hapa na kutokea pale…” Analishukuru Lango mkoani Lindi kwa kuwafungua macho wakazi wa Songosongo kutambua haki na wajibu wao na hivyo, kuwawezesha kudai haki wanayostahili kupata.Kama kila mtu atatambua kazi na wajibu wake, Taifa litaepusha migongano na pia, fedha zitatumika vyema katika maendeleo ya wananchi kwa kuzingatia ukweli kuwa Sera imeweka kila kitu bayana huku ikitambua kwamba sekta ya uziduaji haidumu. Jukwaa hilo, ambalo limeamsha ari ya kutaka kujua mambo mengi zaidi, pia lilizungumzia haja ya fedha za tozo kutumika kuwaandaa wananchi wa kisiwa hicho, kujipanga gesi itakapokwisha.Mmoja wa walimu wa Shule ya Sekondari ya Songosongo, Adam Bao, anasema ipo haja ya wananchi wa visiwa kama Songosongo kuwezeshwa miradi itakayowasaidia siku za baadae kama elimu ya uvuvi na uchakataji samaki. Diwani wa Kata hiyo, Said Mgeni anasema katika ufunguzi wa jukwaa kuwa, amefurahishwa na mradi wa Lango wa kuimarisha ushiriki wa wananchi, uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa mapato ya tozo ya huduma katika sekta ya uziduaji wa gesi asilia na mafuta kwani imewasaidia kutambua haki zao.Mgeni anasema kutokana na mafunzo hayo, sasa wanaweza kudai chao kwa ajili ya maendeleo yao na pia, kuona faida ya wao kuwa na gesi na kuhifadhi miundombinu yake kwa manufaa ya sasa na kizazi kijacho. Anasema katika mahojiano kwamba, ipo haja ya halmashauri kuelewana katika ukweli na uwazi wa tozo ili wananchi wa Songosongo wajiandae kwa mabadiliko yoyote yatakayotokea iwapo gesi itaisha. Maloya anasema katika uwezeshaji kabla ya kuundwa kwa jukwaa katika ngazi ya kata, wadau mbalimbali kwa uwakilishi wameshiriki katika elimu ya awali.Elimu ilijazwa kwa waragibishi, viongozi na watendaji wa serikali ngazi ya mkoa, Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Kata/Kijiji cha Songosongo, madiwani, waandishi wa habari, asasi za kijamii, viongozi wa dini, wanataaluma, vijana na wanawake na watu wenye ulemavu. Kutokana na elimu hiyo iliyoanza kutolewa mwaka 2015 kuanza kueleweka, sasa taarifa sahihi zaidi zimeanza kupatikana na wananchi wameanza kuhoji mapato ya tozo ya huduma yanayokusanywa na jinsi yanavyotumika katika kuwaletea maendeleo.Naye Rachel, maarufu kama Mama Mchungaji, anasema Lango wamesaidia kuwezesha wakazi wa Songosongo kujitambua na hivyo, kufuatilia haki zao kutokana na ukweli kuwa rasilimali inayovunwa inakwisha. Anasema kutokana na changamoto walizo nazo za usafiri, umeme na hata huduma za afya, kutambua haki na wajibu wao kunawawezesha kupaza sauti pamoja ya kutaka kuwezeshwa kupitia mapato yao ili kuondokana na dhiki walizo nazo.“Nini kitabaki kama ukumbusho baada ya kumalizika kwa gesi?” anahoji Rachel anayesema shida ya umeme, kukosekana kwa kituo cha afya na maji ni adha wanazoamini fedha za tozo zingesaidia kuondoa. Naye Chiku Kombo anasema tangu Lango liwape elimu hiyo, wamekuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kutafuta haki zao hasa wakati huu ambapo wao ndio walinzi wa kwanza wa rasilimali gesi na viwanda vya kuchakata. Kwa mujibu wa katibu Kata, Shamte Bungara, ni matarajio kuwa kutakuwa na kuimarishwa kwa ushiriki na ushirikishwaji wa wananchi katika michakato ya utoaji wa maamuzi kuhusu matumizi ya mapato ya tozo ya huduma kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Songosongo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- “PAMOJA na kuwapo kwa sera inayotoa mwongozo sekta ya uziduaji, sheria kuhusu mapato, kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji miongoni mwa wadau, kunasababisha misuguano katika sekta ya uziduaji gesi.”“Ili kukwepa misuguano hiyo katika sekta ambayo ikianza humalizika kama gesi na mafuta, elimu kwa wananchi inapaswa kutolewa ili kuwawezesha kutambua haki na wajibu wao na pia kujipanga wakati rasilimali hiyo imeisha.” Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Mkoa wa Lindi (Lango-Lindi), Sharif Maloya wakati wa mahojiano kuhusu uzinduzi wa jukwaa la wadau wa sekta ya gesi katika Kisiwa cha Songosongo.Jukwaa hilo lililopo katika hatua tatu ngazi ya kijiji/ kata, wilaya na mkoa, limelenga kuwezesha majadiliano na hivyo kuondoa misuguano kati ya wananchi, wenye mitambo na serikali za mitaa ambazo kwa mujibu wa sheria za kodi, nazo zinastahili kuwa na kipato. Uanzishaji wa jukwaa hilo, umefanyika baada ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu rasilimali waliyo nayo na sheria zinavyozungumza kuhusu haki za wenye mitambo (waziduaji), haki ya serikali kuu, serikali za mitaa na wananchi.Katika mafunzo yaliyoanza mwaka 2015 kwa kufadhiliwa na Oxfam, Lango liliwezesha wananchi na watendaji katika ngazi mbalimbali kuitambua Sera ya Gesi Asilia ya Mwaka 2013, Sera ya Ushiriki wa Jamii 2013, Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya 2015, Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji ya Mwaka 2015 na Sheria ya Mafuta/Petroli ya Mwaka 2015. Sera na sheria hizi zinapoeleweka vyema kwa wananchi, huondoa misuguano ya kijamii kwa kuwa kila mtu hutambua haki na wajibu wake.“Sera na sheria zinapojulikana, wananchi wanakuwa katika nafasi ya kudodosa na kuona haki na wajibu kwa pande zote zinatekelezwa,” anasema Maloya. Anaongeza kuwa, anajivunia mwamko wa wananchi katika kuangalia rasilimali hiyo na kuhoji faida yake kwao. Anasema wananchi wanapokuwa ndio walinzi wa vyanzo vya gesi na pia katika mtandao wa usafirishaji, ni vyema wakatambua sera na sheria zinazodai haki na wajibu ukiwamo uwazi katika mapato wanayostahili kupewa na njia zinazotumika katika kukokotoa.Katika uzinduzi wa jukwaa katika Kata ya Songosongo kwa ufadhili wa Shirika la Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA- Tanzania) na kuendeshwa na Lango Lindi, wananchi walitoa maazimio mbalimbali. Miongoni mwa hayo, ni azimio la kutaka malipo ya fedha zao halali. Kwao wao wanaidai Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa jumla ya Sh milioni 600 kutokana na Sh bilioni tatu walizopatiwa na kampuni zinazochakata gesi kisiwani Songosongo kama tozo ya huduma.Mragibishi, Hamis Kassim aliyewezeshwa na Lango kujua sheria na namna ya kudodosa, anasema katika Jukwaa la Sekta ya Uziduaji wa Gesi Asilia na Mafuta ngazi ya kata, lililofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Songosongo kuwa, fedha zinazodaiwa ni kuanzia mwaka 2012 zilipoanza kulipwa.“Kama mragibishi niliyefunzwa namna ya kutafuta ukweli wa takwimu na tafsiri yake kwa ustawi wa jamii, nilibaini kwamba halmashauri yetu inayolipwa asilimia 00.3 ya tozo ya huduma, wao wanatakiwa kupeleka Songosongo asilimia 20, na hadi sasa wamepokea Sh bilioni 3, hivyo katika hesabu za kawaida wanatakiwa wawe wametulipa milioni 600,” anasema Kassim. Anasema kukiri kwa halmashauri yao kwamba Kisiwa cha Songosongo kinawadai Sh milioni 143, ni sehemu ya juhudi kubwa ya udadavuzi iliyofanywa na waragibishi kutoka Songosongo.“Bado yapo mengi, iweje tuwe tumelipwa chini ya Sh milioni 600 na kwanini, hili lazima tulijadili katika jukwaa la wilaya ambapo viongozi wetu watakuwepo,” anasema Jafari. Anaongeza: “Pamoja na hayo, basi watulipe hizo fedha ambazo wameandika barua ya kukiri kwamba tunawadai kufikia mwaka jana, lakini wanaingia hapa na kutokea pale…” Analishukuru Lango mkoani Lindi kwa kuwafungua macho wakazi wa Songosongo kutambua haki na wajibu wao na hivyo, kuwawezesha kudai haki wanayostahili kupata.Kama kila mtu atatambua kazi na wajibu wake, Taifa litaepusha migongano na pia, fedha zitatumika vyema katika maendeleo ya wananchi kwa kuzingatia ukweli kuwa Sera imeweka kila kitu bayana huku ikitambua kwamba sekta ya uziduaji haidumu. Jukwaa hilo, ambalo limeamsha ari ya kutaka kujua mambo mengi zaidi, pia lilizungumzia haja ya fedha za tozo kutumika kuwaandaa wananchi wa kisiwa hicho, kujipanga gesi itakapokwisha.Mmoja wa walimu wa Shule ya Sekondari ya Songosongo, Adam Bao, anasema ipo haja ya wananchi wa visiwa kama Songosongo kuwezeshwa miradi itakayowasaidia siku za baadae kama elimu ya uvuvi na uchakataji samaki. Diwani wa Kata hiyo, Said Mgeni anasema katika ufunguzi wa jukwaa kuwa, amefurahishwa na mradi wa Lango wa kuimarisha ushiriki wa wananchi, uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa mapato ya tozo ya huduma katika sekta ya uziduaji wa gesi asilia na mafuta kwani imewasaidia kutambua haki zao.Mgeni anasema kutokana na mafunzo hayo, sasa wanaweza kudai chao kwa ajili ya maendeleo yao na pia, kuona faida ya wao kuwa na gesi na kuhifadhi miundombinu yake kwa manufaa ya sasa na kizazi kijacho. Anasema katika mahojiano kwamba, ipo haja ya halmashauri kuelewana katika ukweli na uwazi wa tozo ili wananchi wa Songosongo wajiandae kwa mabadiliko yoyote yatakayotokea iwapo gesi itaisha. Maloya anasema katika uwezeshaji kabla ya kuundwa kwa jukwaa katika ngazi ya kata, wadau mbalimbali kwa uwakilishi wameshiriki katika elimu ya awali.Elimu ilijazwa kwa waragibishi, viongozi na watendaji wa serikali ngazi ya mkoa, Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Kata/Kijiji cha Songosongo, madiwani, waandishi wa habari, asasi za kijamii, viongozi wa dini, wanataaluma, vijana na wanawake na watu wenye ulemavu. Kutokana na elimu hiyo iliyoanza kutolewa mwaka 2015 kuanza kueleweka, sasa taarifa sahihi zaidi zimeanza kupatikana na wananchi wameanza kuhoji mapato ya tozo ya huduma yanayokusanywa na jinsi yanavyotumika katika kuwaletea maendeleo.Naye Rachel, maarufu kama Mama Mchungaji, anasema Lango wamesaidia kuwezesha wakazi wa Songosongo kujitambua na hivyo, kufuatilia haki zao kutokana na ukweli kuwa rasilimali inayovunwa inakwisha. Anasema kutokana na changamoto walizo nazo za usafiri, umeme na hata huduma za afya, kutambua haki na wajibu wao kunawawezesha kupaza sauti pamoja ya kutaka kuwezeshwa kupitia mapato yao ili kuondokana na dhiki walizo nazo.“Nini kitabaki kama ukumbusho baada ya kumalizika kwa gesi?” anahoji Rachel anayesema shida ya umeme, kukosekana kwa kituo cha afya na maji ni adha wanazoamini fedha za tozo zingesaidia kuondoa. Naye Chiku Kombo anasema tangu Lango liwape elimu hiyo, wamekuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kutafuta haki zao hasa wakati huu ambapo wao ndio walinzi wa kwanza wa rasilimali gesi na viwanda vya kuchakata. Kwa mujibu wa katibu Kata, Shamte Bungara, ni matarajio kuwa kutakuwa na kuimarishwa kwa ushiriki na ushirikishwaji wa wananchi katika michakato ya utoaji wa maamuzi kuhusu matumizi ya mapato ya tozo ya huduma kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Songosongo. ### Response: KITAIFA ### End
MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM BENKI ya I&M Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, lakini inang’ara kwa kutoa bidhaa na huduma za kipekee ambazo zinakidhi mahitaji yote ya mteja katika soko. I&M Tanzania ilitambulisha akaunti mpya ya wanawake ya Tunaweza inayotoa suluhisho kwa wanawake wa ngazi zote kuanzia mmoja mmoja, wajasiriamali hadi kikundi au taasisi. Akaunti hiyo inajitofautisha kwa kutoa huduma bila malipo yoyote, haina makato ya kila mwezi na viwango vyake vya riba vinavutia kwenye akiba. Akizungumza leo jijini Dar es Salaa, katika maonyesho hayo, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya I&M, Anitha Pallangyo, alisema kuwa bidhaa hiyo mpya imeunganishwa kwenye mtandao wa benki wa kidijitali ili kuwapa wateja huduma bora na endelevu wakati wowote wanapohitaji. Alisema I&M Tanzania ni sehemu ya I&M Holdings Kenya iliyoanzishwa mwaka 1974 kama kampuni ya huduma za kifedha kabla baadaye kubadilishwa kuwa benki ya biashara. “Mwaka huu inasherehekea miaka kumi ya huduma zetu katika soko la Tanzania. Tunafurahi kuendelea kuhudumia wateja wetu na wateja wapya, pia tunashukuru wateja wetu na washikadau wote walioshiriki katikakuiletea benki mafanikio makubwa kwa kipindi chote cha miaka kumi kwenye soko.” “Tunatoa huduma kadhaa za kifedha ikiwa ni pamoja na akaunti ya akiba, current akaunti kwa madhumuni ya biashara, mikopo ya biashara, huduma za kubadili fedha, uhamishaji fedha kitaifa na kimataifa, huduma za kidijitali ambazo hutoa fursa kwa mteja kupata huduma za benki kupitia simu za mkononi kwa kupiga namba *150*32# au kupitia iClick- huduma ya benki kwa njia ya mtandao inayopatikana bila kikomo kwa saa 24,” alisema Anitha Meneja Masoko na Mawasiliano huyo wa benki hiyo, alisema kuwa pia benki yao wanatoa unafuu na urahisi wa kupata mikopo na huduma nyingine kadhaa ambazo ziliwafanya watu waliotembelea banda lake kwenye maonyesho ya Sabasaba lililopo ukumbi wa Karume, upande wa kulia wa lango la kuingilia kuhamasika na kutaka kujua zaidi kuhusu benki hiyo. “I&M inafungua milango kwa Watanzania wote kwenda kujiunga na benki inayojali mahitaji yao, iliyo tayari kuwapa huduma za kipekee za kifedha kupitia wafanyakazi wake wenye uzoefu zaidi katika kutoa huduma bora kwa wateja. “Mbali na kushiriki katika maonyesho ya Sabasaba, benki hiyo inatoa huduma zake bora kupitia mtandao wa matawi yake yaliyoko maeneo ya Maktaba, Indira Gandhi, Nyerere, Kariakoo, Oysterbay pamoja na mikoani ikiwa ni pamoja na Moshi, Arusha na Mwanza,” alisema Timu ya wafanyakazi wa mauzo na idara ya masoko wa benki hiyo kutoka matawi yake ya Dar es Salaam inayoongozwa na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya I&M, Anitha Pallangyo na Ofisa Masoko na Mawasiliano, Debora Mwakyoma wapo kwenye maonyesho hayo ili kuwapa wageni na wale ambao wanataka kuwekeza katika benki inayoaminika na salama ikiwa na huduma za ATM zinazopatikana kwa saa 24.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM BENKI ya I&M Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza Maonyesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, lakini inang’ara kwa kutoa bidhaa na huduma za kipekee ambazo zinakidhi mahitaji yote ya mteja katika soko. I&M Tanzania ilitambulisha akaunti mpya ya wanawake ya Tunaweza inayotoa suluhisho kwa wanawake wa ngazi zote kuanzia mmoja mmoja, wajasiriamali hadi kikundi au taasisi. Akaunti hiyo inajitofautisha kwa kutoa huduma bila malipo yoyote, haina makato ya kila mwezi na viwango vyake vya riba vinavutia kwenye akiba. Akizungumza leo jijini Dar es Salaa, katika maonyesho hayo, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya I&M, Anitha Pallangyo, alisema kuwa bidhaa hiyo mpya imeunganishwa kwenye mtandao wa benki wa kidijitali ili kuwapa wateja huduma bora na endelevu wakati wowote wanapohitaji. Alisema I&M Tanzania ni sehemu ya I&M Holdings Kenya iliyoanzishwa mwaka 1974 kama kampuni ya huduma za kifedha kabla baadaye kubadilishwa kuwa benki ya biashara. “Mwaka huu inasherehekea miaka kumi ya huduma zetu katika soko la Tanzania. Tunafurahi kuendelea kuhudumia wateja wetu na wateja wapya, pia tunashukuru wateja wetu na washikadau wote walioshiriki katikakuiletea benki mafanikio makubwa kwa kipindi chote cha miaka kumi kwenye soko.” “Tunatoa huduma kadhaa za kifedha ikiwa ni pamoja na akaunti ya akiba, current akaunti kwa madhumuni ya biashara, mikopo ya biashara, huduma za kubadili fedha, uhamishaji fedha kitaifa na kimataifa, huduma za kidijitali ambazo hutoa fursa kwa mteja kupata huduma za benki kupitia simu za mkononi kwa kupiga namba *150*32# au kupitia iClick- huduma ya benki kwa njia ya mtandao inayopatikana bila kikomo kwa saa 24,” alisema Anitha Meneja Masoko na Mawasiliano huyo wa benki hiyo, alisema kuwa pia benki yao wanatoa unafuu na urahisi wa kupata mikopo na huduma nyingine kadhaa ambazo ziliwafanya watu waliotembelea banda lake kwenye maonyesho ya Sabasaba lililopo ukumbi wa Karume, upande wa kulia wa lango la kuingilia kuhamasika na kutaka kujua zaidi kuhusu benki hiyo. “I&M inafungua milango kwa Watanzania wote kwenda kujiunga na benki inayojali mahitaji yao, iliyo tayari kuwapa huduma za kipekee za kifedha kupitia wafanyakazi wake wenye uzoefu zaidi katika kutoa huduma bora kwa wateja. “Mbali na kushiriki katika maonyesho ya Sabasaba, benki hiyo inatoa huduma zake bora kupitia mtandao wa matawi yake yaliyoko maeneo ya Maktaba, Indira Gandhi, Nyerere, Kariakoo, Oysterbay pamoja na mikoani ikiwa ni pamoja na Moshi, Arusha na Mwanza,” alisema Timu ya wafanyakazi wa mauzo na idara ya masoko wa benki hiyo kutoka matawi yake ya Dar es Salaam inayoongozwa na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya I&M, Anitha Pallangyo na Ofisa Masoko na Mawasiliano, Debora Mwakyoma wapo kwenye maonyesho hayo ili kuwapa wageni na wale ambao wanataka kuwekeza katika benki inayoaminika na salama ikiwa na huduma za ATM zinazopatikana kwa saa 24. ### Response: UCHUMI ### End
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Stella Manyanya amehimiza uwekezaji wenye tija kwa wazawa. Aliwataka wawekezaji kutoka Kituo cha Biashara cha Slovakia, Afrika na Uarabuni (SAAOK) kufanya uwekezaji wenye manufaa kwa wazalishaji wa bidhaa za viwanda nchini.Akizungumza na watendaji wa kituo hicho juzi jijini Dar es Salaam katika kikao kilicholenga kuelezea fursa za uwekezaji zinazopatika hapa nchini, Manyanya alisema Tanzania inahitaji wawekezaji kwenye sekta ya mifugo ili kuboresha bidhaa za ngozi.“Tanzania ina ng’ombe milioni 50. Ni idadi kubwa lakini ufugaji wake sio wa kuzingatia ubora wa malighafi zinazohitajika kuzalisha bidhaa za ngozi zenye kiwango cha kimataifa. Kwa hiyo uwekezaji kwenye sekta ya mifugo utahakikisha upatikanaji wa malighafi zenye ubora wa kimataifa kwa ajili ya viwanda vya bidhaa za ngozi,” alisema Waziri Manyanya.Aliwataka pia kuwekeza kwenye viwanda vya kutengeneza mashine zikazowasaidia wakulima kuongeza uzalishaji na kusaidia uchakataji malighafi ili kuziongezea thamani. Mtendaji Mkuu wa SAAOK, Zine Laroussi alisema kituo hicho kinafanya miradi mbalimbali kwenye nchi zinazoendelea ikiwa ni pamoja na uzalishaji nishati, maji, chakula, elimu,usafirishaji na kutoa misaada ya kibinadamu ili kuboresha hali za maisha ya watu.Laroussi alisema mataifa ya Afrika ikiwemo Algeria wamekuwa wakishirikiana na jamii kubaini changamoto na kuziwezesha kifedha na kitaalam kukabiliana na changamoto hizo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Stella Manyanya amehimiza uwekezaji wenye tija kwa wazawa. Aliwataka wawekezaji kutoka Kituo cha Biashara cha Slovakia, Afrika na Uarabuni (SAAOK) kufanya uwekezaji wenye manufaa kwa wazalishaji wa bidhaa za viwanda nchini.Akizungumza na watendaji wa kituo hicho juzi jijini Dar es Salaam katika kikao kilicholenga kuelezea fursa za uwekezaji zinazopatika hapa nchini, Manyanya alisema Tanzania inahitaji wawekezaji kwenye sekta ya mifugo ili kuboresha bidhaa za ngozi.“Tanzania ina ng’ombe milioni 50. Ni idadi kubwa lakini ufugaji wake sio wa kuzingatia ubora wa malighafi zinazohitajika kuzalisha bidhaa za ngozi zenye kiwango cha kimataifa. Kwa hiyo uwekezaji kwenye sekta ya mifugo utahakikisha upatikanaji wa malighafi zenye ubora wa kimataifa kwa ajili ya viwanda vya bidhaa za ngozi,” alisema Waziri Manyanya.Aliwataka pia kuwekeza kwenye viwanda vya kutengeneza mashine zikazowasaidia wakulima kuongeza uzalishaji na kusaidia uchakataji malighafi ili kuziongezea thamani. Mtendaji Mkuu wa SAAOK, Zine Laroussi alisema kituo hicho kinafanya miradi mbalimbali kwenye nchi zinazoendelea ikiwa ni pamoja na uzalishaji nishati, maji, chakula, elimu,usafirishaji na kutoa misaada ya kibinadamu ili kuboresha hali za maisha ya watu.Laroussi alisema mataifa ya Afrika ikiwemo Algeria wamekuwa wakishirikiana na jamii kubaini changamoto na kuziwezesha kifedha na kitaalam kukabiliana na changamoto hizo. ### Response: KITAIFA ### End
MAONESHO ya kimataifa ya uagizaji bidhaa yamefungwa Novemba 10, mwaaka huu mjini Shanghai hapa China, baada ya kufanyika kwa muda wa siku sita.Nchi na sehemu 181 duniani ambazo kupitia makampuni zaidi ya 3,800 waliweza kuonesha bidhaa na huduma kwenye maonesho hayo, na wafanyabiashara 500,000 walitazama maonesho hayo.Maonesho haya yaliyoanzishwa mwaka jana yanafanyika katika kipindi ambacho mazingira ya biashara duniani yanaendelea kukumbwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa vitendo vya kujilinda kibiashara, na nchi ambazo zamani zilizoelekea kuwa vinara wa biashara huria duniani, sasa zinaonesha kuanza kufunga milango yao na kuweka vizuizi vya kikodi na visivyo kwa kodi.Hali hii si kama tu imekuwa ni changamoto kwa uchumi wa dunia kwa sasa, bali pia inaleta hatari kwa maendeleo ya siku za baadaye ya uchumi na biashara duniani. Ukubwa wa maonesho hayo na ushiriki wa makampuni mengi ya kimataifa, vinaonesha kuwa China inaendelea kuwa na mvuto mkubwa kwa makampuni yanayotaka kutafuta faida kutokana na maendeleo ya China.Lakini pia yanaonesha moyo wa dhati wa China wa kutaka maendeleo yake ya kiuchumi kunufaisha nchi nyingine duniani. Hii ni ahadi ambayo imekuwa ikitolewa mara kwa mara na China, na maonesho haya ni sehemu ya utekelezaji wake.Kwani umaalum wa maonesho hayo ni kuagiza bidhaa na huduma kutoka nje. Mbali na hayo, kupitia maonesho hayo China imetoa jukwaa kwa nchi na makampuni mengine kufanya biashara kati yao.Kwa mujibu wa takwimu, mwaka huu makubaliano ya uagizaji wa bidhaa yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 71.13 yalisainiwa, kiasi ambacho ni ongezeko la asilimia 23 kuliko mwaka jana. Hali hii inaonesha kuwa umuhimu wa maonesho haya miongoni mwa watu kwenye sekta za viwanda na biashara unazidi kuongezeka.Lakini pia maonesho haya yameonesha matokeo ya juhudi za China katika kubadilisha muundo wake kutokana na changamoto za uchumi wa dunia kwa hivi sasa. Tangu mazingira ya biashara duniani yaanze kubadilika, kama vile kudorora kwa uchumi wa dunia, kuongezeka kwa vitendo vya kujilinda kibiashara na makampuni ya China kulengwa na baadhi ya nchi za Magharibi ili kuepusha ushindani, China ilianza kuimarisha matumizi ya ndani na kutumia ipasavyo soko lake kubwa lenye watu bilioni 1.4 kama injini mpya ya kuhimiza ongezeko la uchumi wake, na si kutegemea uuzaji wa bidhaa nje peke yake kama ilivyokuwa mwanzoni. Kutokana na kupanuka kwa tabaka la kati la China, uwezo wa manunuzi wa wachina wa kawaida umeongozeka.Hali hii si tu inafanya China iwe kivutio kikubwa kwa makampuni yanayotaka kuwekeza vitega uchumi hapa China, bali pia kwa makampuni na nchi zinazotaka kuuza bidhaa zake kwenye soko la China.Kwa nchi zetu za Afrika kuongezeka kwa uwezo wa manununzi wa wachina wa kawaida, imekuwa ni faraja kubwa kutokana na kuwa hali hii imepanua mahitaji ya bidhaa za kilimo kutoka kwenye nchi zetu. Kwenye maonesho hayo Tanzania iliweza kutangaza bidhaa zake za kilimo ikiwa ni pamoja na korosho, kahawa, mkonge, chai ufuta na kazi mbalimbali za mikono. Bidhaa ambazo hata Rais Xi Jinping alipotembelea banda la Tanzania kwenye maonesho hayo, alisema kuwa China ingependa kuagiza bidhaa zaidi kama hizo kutoka kwenye nchi za Afrika.Hamu ya kununua bidhaa za kilimo kutoka kwa nchi za Afrika miongoni mwa wachina inaendelea kuongezeka, hasa kutokana na wachina kuitambua kuwa Afrika ni eneo ambalo bado lina mazingira safi na hali ya hewa nzuri ya kitropiki inayofanya bidhaa zake za kilimo kuwa bora. Hata hivyo changamoto imeonekana kwenye upande wa kuzalisha bidhaa za kilimo na kuzifanya zifikie vigezo vya karantini vya Idara ya Forodha ya China. Imefahamika kuwa asali ya Zambia na maparachini ya Kenya zimeanza kuuzwa kwenye soko la China baada ya kufuata utaratibu huo.Pamoja na kuwa kwa sasa soko la China linaonekana kuwa endelevu na China imeruhusu bidhaa nyingi za kilimo kutoka nchi za Afrika kuingia kwenye soko lake bila kutozwa ushuru, ruhusa hiyo kwanza inategemea makubaliano kuhusu vigezo vya karantini kati ya serikali ya China na serikali za nchi za Afrika. Jambo la muhimu linalotakiwa kufanywa na wazalishaji na wafanyabiashara wa nchi za Afrika, ni kujua ni bidhaa gani kutoka nchi zao zimekidhi vigezo vya karantini, na ni mchakato gani unatakiwa kufuatwa ili kuweza kuleta bidhaa za kilimo katika soko la China.Pia inatakiwa kukumbukwa kuwa China ni soko kubwa, na wafanyabiashara wa rejareja wanakuwa na mahitaji makubwa sana. Kwa hiyo kabla ya kufikiria kutumia soko la China, suala la uwezo wa kukidhi kiasi cha mahitaji pia linatakiwa kufikiriwa. Hata hivyo maonesho hayo yameanza kuleta sura mpya ya China duniani. Zamani China ilifahamika kama karakana ya dunia, kwa kuwa vitu vingi vinavyouzwa madukani karibu katika nchi zote duniani vinatoka China. Lakini kupanuka kwa tabaka la kati nchini na utekelezaji madhubuti wa sera ya kufungua milango, kumeifanya China iwe ni soko kubwa duniani kwa bidhaa na huduma.Kwenye maonesho hayo ya Shanghai, karibu kila nchi duniani ilikaribishwa kushiriki kutokana na uwezo wake, na bidhaa inazoweza kuonesha iwe ni za teknolojia za hali ya juu, malighafi hata mazao ya kilimo. Hali hii inaanza kuipa China sifa ya kuwa soko la dunia na kuchangia maendeleo ya nchi nyingine. Maonesho haya pia yanaonesha sura ya China kuwa mkombozi kwa makampuni mengi ambayo kwa sasa yanasumbuliwa na changamoto za uchumi wa dunia.Marekani kwa mfano ambayo imeonekana kuendesha kampeni hasi kuhusu China na kuiwekea vizuizi vingi kibiashara, inaonekana kuwa ni moja ya nchi ambazo makampuni yake yanashiriki kwa hamasa kubwa kwenye maonesho hayo. Wizara ya Biashara ya China imetangaza kuwa mwaka huu makampuni 192 ya Marekani yalishiriki kwenye maonesho hayo, yakiwa yameongezeka kutoka makampuni 174 ya mwaka jana.Kinachotia moyo zaidi ni kuwa maonesho haya sasa yanakuwa ni fursa endelevu kwa nchi mbalimbali zenye mtazamo wazi kuhusu biashara. Kwa nchi za Afrika ambazo uwezo wa kiviwanda bado uko chini, na ambazo zinakabiliwa na vizuizi mbalimbali katika kuuza bidhaa zao za kilimo kwenye mabara mengine duniani, sasa zitakuwa na uhakika wa kuwa na jukwaa kubwa na endelevu kwa ajili ya biashara ya bidhaa za kilimo. Hii ni kutokana na kuwa China imetangaza maonesho hayo yatafanyika kila mwaka kuanzia Novemba 5 hadi Novemba 10.Kabla ya kumalizika kwa maonesho ya mwaka huu, makampuni 115 ya nchi mbalimbali yalisaini makubaliano ya kushiriki kwenye maonesho hayo ya mwaka kesho. Kama Rais Xi Jinping alivyosema kwenye hotuba ya kuyafungua maonesho hayo, “Soko la China ni kubwa mno, na watu wa nchi zote wanakaribishwa.”
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAONESHO ya kimataifa ya uagizaji bidhaa yamefungwa Novemba 10, mwaaka huu mjini Shanghai hapa China, baada ya kufanyika kwa muda wa siku sita.Nchi na sehemu 181 duniani ambazo kupitia makampuni zaidi ya 3,800 waliweza kuonesha bidhaa na huduma kwenye maonesho hayo, na wafanyabiashara 500,000 walitazama maonesho hayo.Maonesho haya yaliyoanzishwa mwaka jana yanafanyika katika kipindi ambacho mazingira ya biashara duniani yanaendelea kukumbwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa vitendo vya kujilinda kibiashara, na nchi ambazo zamani zilizoelekea kuwa vinara wa biashara huria duniani, sasa zinaonesha kuanza kufunga milango yao na kuweka vizuizi vya kikodi na visivyo kwa kodi.Hali hii si kama tu imekuwa ni changamoto kwa uchumi wa dunia kwa sasa, bali pia inaleta hatari kwa maendeleo ya siku za baadaye ya uchumi na biashara duniani. Ukubwa wa maonesho hayo na ushiriki wa makampuni mengi ya kimataifa, vinaonesha kuwa China inaendelea kuwa na mvuto mkubwa kwa makampuni yanayotaka kutafuta faida kutokana na maendeleo ya China.Lakini pia yanaonesha moyo wa dhati wa China wa kutaka maendeleo yake ya kiuchumi kunufaisha nchi nyingine duniani. Hii ni ahadi ambayo imekuwa ikitolewa mara kwa mara na China, na maonesho haya ni sehemu ya utekelezaji wake.Kwani umaalum wa maonesho hayo ni kuagiza bidhaa na huduma kutoka nje. Mbali na hayo, kupitia maonesho hayo China imetoa jukwaa kwa nchi na makampuni mengine kufanya biashara kati yao.Kwa mujibu wa takwimu, mwaka huu makubaliano ya uagizaji wa bidhaa yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 71.13 yalisainiwa, kiasi ambacho ni ongezeko la asilimia 23 kuliko mwaka jana. Hali hii inaonesha kuwa umuhimu wa maonesho haya miongoni mwa watu kwenye sekta za viwanda na biashara unazidi kuongezeka.Lakini pia maonesho haya yameonesha matokeo ya juhudi za China katika kubadilisha muundo wake kutokana na changamoto za uchumi wa dunia kwa hivi sasa. Tangu mazingira ya biashara duniani yaanze kubadilika, kama vile kudorora kwa uchumi wa dunia, kuongezeka kwa vitendo vya kujilinda kibiashara na makampuni ya China kulengwa na baadhi ya nchi za Magharibi ili kuepusha ushindani, China ilianza kuimarisha matumizi ya ndani na kutumia ipasavyo soko lake kubwa lenye watu bilioni 1.4 kama injini mpya ya kuhimiza ongezeko la uchumi wake, na si kutegemea uuzaji wa bidhaa nje peke yake kama ilivyokuwa mwanzoni. Kutokana na kupanuka kwa tabaka la kati la China, uwezo wa manunuzi wa wachina wa kawaida umeongozeka.Hali hii si tu inafanya China iwe kivutio kikubwa kwa makampuni yanayotaka kuwekeza vitega uchumi hapa China, bali pia kwa makampuni na nchi zinazotaka kuuza bidhaa zake kwenye soko la China.Kwa nchi zetu za Afrika kuongezeka kwa uwezo wa manununzi wa wachina wa kawaida, imekuwa ni faraja kubwa kutokana na kuwa hali hii imepanua mahitaji ya bidhaa za kilimo kutoka kwenye nchi zetu. Kwenye maonesho hayo Tanzania iliweza kutangaza bidhaa zake za kilimo ikiwa ni pamoja na korosho, kahawa, mkonge, chai ufuta na kazi mbalimbali za mikono. Bidhaa ambazo hata Rais Xi Jinping alipotembelea banda la Tanzania kwenye maonesho hayo, alisema kuwa China ingependa kuagiza bidhaa zaidi kama hizo kutoka kwenye nchi za Afrika.Hamu ya kununua bidhaa za kilimo kutoka kwa nchi za Afrika miongoni mwa wachina inaendelea kuongezeka, hasa kutokana na wachina kuitambua kuwa Afrika ni eneo ambalo bado lina mazingira safi na hali ya hewa nzuri ya kitropiki inayofanya bidhaa zake za kilimo kuwa bora. Hata hivyo changamoto imeonekana kwenye upande wa kuzalisha bidhaa za kilimo na kuzifanya zifikie vigezo vya karantini vya Idara ya Forodha ya China. Imefahamika kuwa asali ya Zambia na maparachini ya Kenya zimeanza kuuzwa kwenye soko la China baada ya kufuata utaratibu huo.Pamoja na kuwa kwa sasa soko la China linaonekana kuwa endelevu na China imeruhusu bidhaa nyingi za kilimo kutoka nchi za Afrika kuingia kwenye soko lake bila kutozwa ushuru, ruhusa hiyo kwanza inategemea makubaliano kuhusu vigezo vya karantini kati ya serikali ya China na serikali za nchi za Afrika. Jambo la muhimu linalotakiwa kufanywa na wazalishaji na wafanyabiashara wa nchi za Afrika, ni kujua ni bidhaa gani kutoka nchi zao zimekidhi vigezo vya karantini, na ni mchakato gani unatakiwa kufuatwa ili kuweza kuleta bidhaa za kilimo katika soko la China.Pia inatakiwa kukumbukwa kuwa China ni soko kubwa, na wafanyabiashara wa rejareja wanakuwa na mahitaji makubwa sana. Kwa hiyo kabla ya kufikiria kutumia soko la China, suala la uwezo wa kukidhi kiasi cha mahitaji pia linatakiwa kufikiriwa. Hata hivyo maonesho hayo yameanza kuleta sura mpya ya China duniani. Zamani China ilifahamika kama karakana ya dunia, kwa kuwa vitu vingi vinavyouzwa madukani karibu katika nchi zote duniani vinatoka China. Lakini kupanuka kwa tabaka la kati nchini na utekelezaji madhubuti wa sera ya kufungua milango, kumeifanya China iwe ni soko kubwa duniani kwa bidhaa na huduma.Kwenye maonesho hayo ya Shanghai, karibu kila nchi duniani ilikaribishwa kushiriki kutokana na uwezo wake, na bidhaa inazoweza kuonesha iwe ni za teknolojia za hali ya juu, malighafi hata mazao ya kilimo. Hali hii inaanza kuipa China sifa ya kuwa soko la dunia na kuchangia maendeleo ya nchi nyingine. Maonesho haya pia yanaonesha sura ya China kuwa mkombozi kwa makampuni mengi ambayo kwa sasa yanasumbuliwa na changamoto za uchumi wa dunia.Marekani kwa mfano ambayo imeonekana kuendesha kampeni hasi kuhusu China na kuiwekea vizuizi vingi kibiashara, inaonekana kuwa ni moja ya nchi ambazo makampuni yake yanashiriki kwa hamasa kubwa kwenye maonesho hayo. Wizara ya Biashara ya China imetangaza kuwa mwaka huu makampuni 192 ya Marekani yalishiriki kwenye maonesho hayo, yakiwa yameongezeka kutoka makampuni 174 ya mwaka jana.Kinachotia moyo zaidi ni kuwa maonesho haya sasa yanakuwa ni fursa endelevu kwa nchi mbalimbali zenye mtazamo wazi kuhusu biashara. Kwa nchi za Afrika ambazo uwezo wa kiviwanda bado uko chini, na ambazo zinakabiliwa na vizuizi mbalimbali katika kuuza bidhaa zao za kilimo kwenye mabara mengine duniani, sasa zitakuwa na uhakika wa kuwa na jukwaa kubwa na endelevu kwa ajili ya biashara ya bidhaa za kilimo. Hii ni kutokana na kuwa China imetangaza maonesho hayo yatafanyika kila mwaka kuanzia Novemba 5 hadi Novemba 10.Kabla ya kumalizika kwa maonesho ya mwaka huu, makampuni 115 ya nchi mbalimbali yalisaini makubaliano ya kushiriki kwenye maonesho hayo ya mwaka kesho. Kama Rais Xi Jinping alivyosema kwenye hotuba ya kuyafungua maonesho hayo, “Soko la China ni kubwa mno, na watu wa nchi zote wanakaribishwa.” ### Response: KITAIFA ### End
Yanga imeangukia kwenye michuano ya Caf, baada ya kutolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na timu ya Township Rollers ya Botswana kwa jumla ya mabao 2-1.Akizungumza na gazeti hili Lwandamina, alisema kurejea kwa wachezaji hao kumeongeza matumaini ya kufanya vizuri kwenye mchezo huo ambao amepania kupata ushindi mnono katika mchezo wao wa kwana utakaopigwa hapa nyumbani Tanzania.“Unajua katika mchezo huo tutawakosa wachezaji watatu muhimu, Papy Kabamba, Said Makapu na Obrey Chirwa ambao ni wachezaji muhimu lakini furaha pekee ni kurejea kwa wachezaji hao waliokuwa majeruhi kwa muda mrefu naamini watakuwa na mchango mkubwa kuelekea hatua ya makundi,” alisema Lwandamina.Kocha huyo alisema baada ya kupona na kuanza mazoezi amepanga kutumia muda uliobaki kuwapa mazoezi ili kuimarisha viwango vyao na kuweza kuisaidia timu katika mchezo huo ambao ushindi kwao ni muhimu.Kwa mujibu wa Caf, Yanga itaanzia nyumbani kati ya Aprili 6 au 7 na mchezo wa marudiano utapigwa Ethiopia baada ya siku 10, hivyo wawakilishi hao wa Tanzania wanakazi kubwa kuhakikisha wanaitumia vizuri nafasi ya kuanzia nyumbani.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Yanga imeangukia kwenye michuano ya Caf, baada ya kutolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na timu ya Township Rollers ya Botswana kwa jumla ya mabao 2-1.Akizungumza na gazeti hili Lwandamina, alisema kurejea kwa wachezaji hao kumeongeza matumaini ya kufanya vizuri kwenye mchezo huo ambao amepania kupata ushindi mnono katika mchezo wao wa kwana utakaopigwa hapa nyumbani Tanzania.“Unajua katika mchezo huo tutawakosa wachezaji watatu muhimu, Papy Kabamba, Said Makapu na Obrey Chirwa ambao ni wachezaji muhimu lakini furaha pekee ni kurejea kwa wachezaji hao waliokuwa majeruhi kwa muda mrefu naamini watakuwa na mchango mkubwa kuelekea hatua ya makundi,” alisema Lwandamina.Kocha huyo alisema baada ya kupona na kuanza mazoezi amepanga kutumia muda uliobaki kuwapa mazoezi ili kuimarisha viwango vyao na kuweza kuisaidia timu katika mchezo huo ambao ushindi kwao ni muhimu.Kwa mujibu wa Caf, Yanga itaanzia nyumbani kati ya Aprili 6 au 7 na mchezo wa marudiano utapigwa Ethiopia baada ya siku 10, hivyo wawakilishi hao wa Tanzania wanakazi kubwa kuhakikisha wanaitumia vizuri nafasi ya kuanzia nyumbani. ### Response: MICHEZO ### End
MKOA wa Dodoma umetoa mafunzo ya uzalishaji bora wa alizeti kwa wakulima 12,156 na wataalamu wa ugani 38, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa zao hilo mkoani hapo.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkakati wa kuendeleza zao la alizeti mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge alisema mafunzo hayo yalifanyika mwaka 2017/2018 kabla ya kuanza kampeni ya kuhamasisha uzalishaji zao hilo.Dk Mahenge alisema pia mafunzo hayo yalisaidia kuunganisha wakulima 764 na mawakala wakubwa kutopata mbegu bora kwa gharama na nafuu, lakini pia mafunzo hayo yalitolewa kwa wakulimia 21, 315 wanaozalisha alizeti kwa mbinu za asili ili kuweza kufikia masoko ya China na India.Alisema mafunzo hayo yalikuja kabla ya kuzindua mkakati wa mkoa wa kuendeleza zao hilo, lengo likiwa kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo, ambapo kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2012, mkoa huo una wananchi asilimia 66.3 waliojiajiri katika kilimo.Alisema mkakati wa kuendeleza zao la alizeti, ulioandaliwa na ofisi ya Katibu Tawala Msaidizi inayosimamiwa na Aziza Mumba, ambaye ni msimamizi wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji mkoani, alisema mkakati huo unalenga kuinua kilimo cha alizeti kutokana na mkoa huo kuwa wa pili ukiongozwa na Singida.Mkakati wa kuinua zao hilo si wa mkoa pekee, bali ni wa kitaifa, lengo ni kupunguza gharama ambazo serikali inatumia kununulia mafuta nje ya nchi wakati uhamasishaji, ukifanyika nchi inaweza kujitosheleza kwa mafuta.Dk Mahenge alisema zao la alizeti likiwa miongoni mwa mazao mengine ya sekta ya kilimo, likisimamiwa vizuri linaweza kuchangia upatikanaji kwa wingi mafuta nchini, lakini pia kwa pamoja sekta ya kilimo na sekta ya mifugo na uvuvi zinaongeza asilimia 29 katika Pato la Taifa (DGP) na hivyo yakisimamiwa vizuri yanaweza kuongeza zaidi.Kwa kutambua hilo, mkoa huo uliamua kuweka mkakati wa kuendeleza zao la alizeti ni kulifanya miongoni mwa mazao ya kipaumbele na kimkakati ili kuunga mkono juhudi za serikali ambazo zao hilo limeingiwa katika orodha ya mazao sita ya kimkakati ya korosho, pamba, kahawa, chai, tumbaku na sasa mazao ya mafuta ikiwemo michikichi na alizeti.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MKOA wa Dodoma umetoa mafunzo ya uzalishaji bora wa alizeti kwa wakulima 12,156 na wataalamu wa ugani 38, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa zao hilo mkoani hapo.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mkakati wa kuendeleza zao la alizeti mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge alisema mafunzo hayo yalifanyika mwaka 2017/2018 kabla ya kuanza kampeni ya kuhamasisha uzalishaji zao hilo.Dk Mahenge alisema pia mafunzo hayo yalisaidia kuunganisha wakulima 764 na mawakala wakubwa kutopata mbegu bora kwa gharama na nafuu, lakini pia mafunzo hayo yalitolewa kwa wakulimia 21, 315 wanaozalisha alizeti kwa mbinu za asili ili kuweza kufikia masoko ya China na India.Alisema mafunzo hayo yalikuja kabla ya kuzindua mkakati wa mkoa wa kuendeleza zao hilo, lengo likiwa kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo, ambapo kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya 2012, mkoa huo una wananchi asilimia 66.3 waliojiajiri katika kilimo.Alisema mkakati wa kuendeleza zao la alizeti, ulioandaliwa na ofisi ya Katibu Tawala Msaidizi inayosimamiwa na Aziza Mumba, ambaye ni msimamizi wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji mkoani, alisema mkakati huo unalenga kuinua kilimo cha alizeti kutokana na mkoa huo kuwa wa pili ukiongozwa na Singida.Mkakati wa kuinua zao hilo si wa mkoa pekee, bali ni wa kitaifa, lengo ni kupunguza gharama ambazo serikali inatumia kununulia mafuta nje ya nchi wakati uhamasishaji, ukifanyika nchi inaweza kujitosheleza kwa mafuta.Dk Mahenge alisema zao la alizeti likiwa miongoni mwa mazao mengine ya sekta ya kilimo, likisimamiwa vizuri linaweza kuchangia upatikanaji kwa wingi mafuta nchini, lakini pia kwa pamoja sekta ya kilimo na sekta ya mifugo na uvuvi zinaongeza asilimia 29 katika Pato la Taifa (DGP) na hivyo yakisimamiwa vizuri yanaweza kuongeza zaidi.Kwa kutambua hilo, mkoa huo uliamua kuweka mkakati wa kuendeleza zao la alizeti ni kulifanya miongoni mwa mazao ya kipaumbele na kimkakati ili kuunga mkono juhudi za serikali ambazo zao hilo limeingiwa katika orodha ya mazao sita ya kimkakati ya korosho, pamba, kahawa, chai, tumbaku na sasa mazao ya mafuta ikiwemo michikichi na alizeti. ### Response: KITAIFA ### End
Anna Potinus Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), inatarajia kushiriki kwenye maonesho ya 43 ya biashara ya kimataifa yatakayoanza Juni 23 hadi Julai 13 katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Mkuu wa kitengo cha mawasiliano TAEC, Peter Ngamilo, amesema kupitia maenesho hayo wataweza kuonesha shuguli mbalimbali zinazofanyika katika tume ikiwemo utoaji wa elimu kwa wananchi na wadau mbalimbali juu ya udhibiti na matumizi salama ya mionzi. “Elimu kwa wananchi juu ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia kwenye sekta ya afya, kilimo, viwanda, mifugo, maji, lishe pamoja na ujenzi inatolewa,” amesema Ngamilo. Aidha amesema kuwa wanafunzi na wananchi wote wanakaribishwa kwenye banda la TAEC kujipatia elimu bure kupitia maelezo, video fupi, vipeperushi na majarida ili waweze kujiongezea ujuzi juu ya majukumu yanayotekelezwa kisheria na TAEC katika nyanja za udhibiti wa mionzi na uhamasishaji wa matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Anna Potinus Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), inatarajia kushiriki kwenye maonesho ya 43 ya biashara ya kimataifa yatakayoanza Juni 23 hadi Julai 13 katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Mkuu wa kitengo cha mawasiliano TAEC, Peter Ngamilo, amesema kupitia maenesho hayo wataweza kuonesha shuguli mbalimbali zinazofanyika katika tume ikiwemo utoaji wa elimu kwa wananchi na wadau mbalimbali juu ya udhibiti na matumizi salama ya mionzi. “Elimu kwa wananchi juu ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia kwenye sekta ya afya, kilimo, viwanda, mifugo, maji, lishe pamoja na ujenzi inatolewa,” amesema Ngamilo. Aidha amesema kuwa wanafunzi na wananchi wote wanakaribishwa kwenye banda la TAEC kujipatia elimu bure kupitia maelezo, video fupi, vipeperushi na majarida ili waweze kujiongezea ujuzi juu ya majukumu yanayotekelezwa kisheria na TAEC katika nyanja za udhibiti wa mionzi na uhamasishaji wa matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia. ### Response: KITAIFA ### End
NEW YORK, MAREKANI RAPA Offset na mke wake Cardi B, wameonesha jeuri ya fedha kwa kutumia dola 100,000 kumnunuria mtoto wao Kulture cheni ya shingoni. Wawili hao waliamua kununua cheni hiyo kwa ajili ya kumfanya asherehekee siku yake ya kuzaliwa, ambapo anatimiza mwaka mmoja tangu azaliwe. Dola 100,000 za Kimarekani ni zaidi ya milioni 229 za Kitanzania, hivyo nyota hao wa muziki wa hip hop wameamua kuziteketeza fedha hizo kwa mtoto wao. “Najivunia kuwa mzazi, acha nimpende mwanangu, huu ni mwaka wake wa kwanza kufanyiwa sherehe ya kuzaliwa kwake ikiwa anatimiza mwaka mmoja,” aliandika Cardi B. Hata hivyo kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wawili hao wametenga bajeti ya dola 400,000 kwa ajili ya sherehe hiyo, ambazo ni zaidi ya milioni 917.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NEW YORK, MAREKANI RAPA Offset na mke wake Cardi B, wameonesha jeuri ya fedha kwa kutumia dola 100,000 kumnunuria mtoto wao Kulture cheni ya shingoni. Wawili hao waliamua kununua cheni hiyo kwa ajili ya kumfanya asherehekee siku yake ya kuzaliwa, ambapo anatimiza mwaka mmoja tangu azaliwe. Dola 100,000 za Kimarekani ni zaidi ya milioni 229 za Kitanzania, hivyo nyota hao wa muziki wa hip hop wameamua kuziteketeza fedha hizo kwa mtoto wao. “Najivunia kuwa mzazi, acha nimpende mwanangu, huu ni mwaka wake wa kwanza kufanyiwa sherehe ya kuzaliwa kwake ikiwa anatimiza mwaka mmoja,” aliandika Cardi B. Hata hivyo kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, wawili hao wametenga bajeti ya dola 400,000 kwa ajili ya sherehe hiyo, ambazo ni zaidi ya milioni 917. ### Response: BURUDANI ### End
Na Mwandishi Wetu MOHAMMED Morsi ni Rais wa kwanza wa Misri, aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasiakwa kupata asilimia 51 ya kura zote, akimpiku Ahmed Shafik, aliyekuwa waziri mkuu wakati wa utawala wa Hosni Mubarak. Morsi alidumu madarakani kwa muda wa mwaka mmoja ambapo aliingia Juni, 2012 na baadaye kuondolewa na jeshi la nchi hiyo Julai 3, mwaka 2013. CHANZO KUONDOLEWA MADARAKANI Akiwa madarakani, Morsi alikabiliwa na kashfa mbambali, kubwa zaidi ikiwa ni kuhusishwa kushirikana na vikundi vya kigaidi na ufisadi na hivyo kusababisha kuyumba kwa uchumi wa Misri. Hali hiyo ilisababisha mamilioni ya wananchi kuingia mitaani kuandamana kwa siku kadhaa kupinga utawala wake na wiki chache baadaye jeshi lilitangaza kumng’oa madarakani na kuipa nafasi serikali ya mpito. Kiongozi huyo pia alituhumiwa kupuuza amri ya mwisho ya jeshi hilo lililomtaka asulihishe mzozo wa kisiasa nchini humo tangu Hosni Mubarak alipong’olewa madarakani mwaka 2011. Majeshi yalitoa onyo kwa Morsi kwamba yataingilia kati mzozo unaokumba utawala wake iwapo atashindwa kufikia masharti ya raia katika kipindi cha saa 48. Ilipofika jioni ya Julai 3, majeshi yaliifuta Katiba na kutangaza kuundwa kwa serikali ya mpito, kabla ya kufanyika upya uchaguzi wa rais. Morsi alipinga hatua hiyo na kusema kuwa ni sawa na ‘mapinduzi.’ Kiongozi huyo alikamatwa kufuatia amri iliyotolewa na mkuu wa majeshi – ambaye ni rais wa sasa, Abdul Fattah al-Sisi, na kupelekwa sehemu isiyojulikana bila ya mtu yeyote kujua hali yake. Wafuasi wake waliandamana katika barabara za mji wa Cairo, kushinikiza kuachiliwa kwake na kurudishwa madarakani mara moja. Jeshi lilitumia nguvu kuvunja mandamano hayo Agosti, 14, na kuwakamata viongozi wa wakuu wa vugu vugu la Muslim Brotherhood. Watu takribani 1,000 waliuawa katika oparesheni hiyo, ambayo utawala wa mpito ulidai kuwa ni juhudi za kukabiliana na ‘ugaidi.’ ASHTAKIWA KUCHOCHEA MAUAJI Baada ya kuzuiliwa kwa takribani miezi miwili katika sehemu isiyojulikana, waendesha mashtaka wa serikali walitangaza kwamba Septemba, mwaka 2013, Morsi atashtakiwa kwa kosa la kuwachochea wafuasi wake kumuua mwanahabari na wafuasi wawili wa upinzani na kuamrisha wengine kuteswa na kuzuiliwa kinyume cha sheria. Mashataka dhidi yake yalihusisha makabiliano kati ya waandamanaji wa upinzani na wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood nje ya makazi ya Rais ya Ittihadiya mjini Cairo, Desemba mwaka 2012. Kiongozi huyo alishitakiwa pamoja na viongozi wengine 14 wa ngazi ya juu wa Muslim Brotherhood Novemba, mwaka 2013. APIGA YOWE KIZIMBANI Wakati kesi yake inasikilizwa kwa mara ya kwanza, Morsi alipiga mayowe kutoka kizimbani akisema yeye ni mhanga wa ‘mapinduzi ya kijeshi’ huku akikataa mamlaka ya mahakama kumfungulia mashtaka. “Mimi ni Rais wa Jamhuri kwa mujibu wa Katiba ya nchi na nimezuiliwa kwa nguvu,” alisema. WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA Aprili, mwaka 2015, Morsi na wenzake walihukumiwa kifungo cha miaka 20 jela baada ya kuondolewa mashtaka ya uchochezi na kupatikana na makosa ya kuamrisha kuzuiliwa na kuteswa kwa waandamanaji. Pia alifunguliwa mashtaka mengine ikiwamo kushirikiana na wanamgambo wa kigeni kuwaachia huru wafungwa wakati wa maandamano ya mwaka 2011, kufichua siri za serikali, ubadhirifu pamoja na kutusi mahakama. GHASIA ZAONGEZEKA Miaka iliyofuata baada ya Morsi kuondolewa madarakani, Misri ilishuhudia ongezeko la ghasia na mashambulizi kutoka kwa wanamgambo wa Kiislam. Msako mkali dhidi ya vugu vugu la Muslim Brotherhood ulifanyika huku kundi hilo likitangazwa rasmi kuwa la kigaidi. Morsi alitoweka machoni mwa umma na kuishia kuonekana kotini alipofunguliwa mashtaka. Baadaye mtangulizi wake, Hosni Mubarak, aliachiliwa huru kutoka jela baada ya kuonekana kuwa nchi hiyo haikuwa imeendelea mbele kisiasa, licha ya uchaguzi uliomweka Morsi madarakani kwa muda. HISTORIA YAKE KISIASA Morsi alizaliwa mwaka 1951 katika Kijiji cha El-Adwah kilichopo Mkoa wa Nile Delta, eneo la Sharqiya. Alisomea Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Cairo miaka ya 1970 kabla ya kuhamia nchini Marekani ambako alitunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Uhandisi. Aliporejea Misri, aliteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Zagazig. Alishikilia nyadhifa kadhaa katika kundi la Muslim Brotherhood, hatimaye kujiunga na kitengo chake cha kisiasa ambapo aliwania kiti cha ubunge akiwa mgombea binafsi. Alishika wadhifa huo kuanzia mwaka 2000 hadi 2005. Morsi alipoteza kiti chake cha ubunge nyumbani katika awamu ya pili ya uchaguzi aliyodai ilikuwa na udanganyifu. Akiwa mbunge, alisifiwa kwa uweledi wake wa lugha na kazi. Aliteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia Muslim Brotherhood, Aprili 2012 baada ya naibu kiongozi wake, mfanyibiashara Khairat al-Shater, alipolazimishwa kujiondoa katika kinyang’anyiro hicho. Japo Morsi hakuonekana kuwa na hulka ya kuwa msemaji mzuri, alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Freedom and Justice Party (FJP). Katika kampeni yake ya uchaguzi, alijinadi kwamba atakuwa mtu atakayeleta mwamko mpya akilinganishwa na viongozi wa zamani kama Hosni Mubarak. KIFO CHAKE Morsi alifariki dunia juzi baada ya kuanguka ghafla akiwa mahakamani. Morsi alifika Cairo Jumatatu ya wiki hii kwa ajili ya kuhudhuria kesi inayomkabili, akidaiwa kushirikiana na kikundi cha kigaidi cha nchini Palestina kinachofahamika kwa jina la Hamas. Akiwa mahakamani na wenzake, alitakiwa kuzungumza kupitia chumba kilichokuwa na dirisha la wavu, ingawa sauti ilikuwa ikipenya kuwafikia waliokuwa wakiifuatilia kesi hiyo. Wakati wa mapumziko, alianguka na kuzimia. “Alikimbizwa hospitali, ambako ilithibitika kuwa ameshafariki,” anasema mwendesha mashitaka mkuu wa Serikali ya Misri. Akizungumza na Shirika la Habari la Ufaransa (AFP), mwanasheria wake alisema Morsi alizikwa jana asubuhi Mashariki mwa Jiji la Cairo. Morsi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 68, ambapo alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani huku akiwa ameshikiliwa na mamlaka za Misri tangu alipong’olewa madarakani mwaka 2013. Taarifa ya maofisa wa Serikali ya Misri chini ya Rais Abdel Fattah el-Sisi, zinasema chanzo cha kifo cha kiongozi huyo ni mshtuko wa moyo. TUHUMA ZA KUUAWA Kifo cha mwanasiasa huyo kimezifanya mamlaka za Misri zinyooshewe kidole na vikundi vya utetezi wa haki za binadamu, ambao wamepaza sauti kutaka uchunguzi wa kina ufanyike. Licha ya Serikali ya Misri kusema taarifa hizo kuwa ni za uzushi, vikundi hivyo vinaamini kifo cha Morsi kilisababishwa na mateso aliyopitia kwa kipindi chote cha miaka sita akiwa chini ya ulinzi mkali. Mbaya zaidi, mtoto wake wa kiume, Abdullah Mohamed Morsi, juzi aliliambia Shirika la Habari la Reuters kuwa mamlaka za Misri zimekataa ombi la familia ya kiongozi huyo, kutaka mazishi yake yawe ni ya kitaifa ili kila mwananchi ahudhurie. Shutuma dhidi ya mamlaka ni kwamba, kwa kipindi kirefu ziliweka sharti la kutokutana na wanasheria wala familia yake, iliyokuwa ikiomba apatiwe matibabu baada ya afya yake kudhoofu. UKIUKWAJI HAKI ZA BINADAMU Tangu Morsi na wenzake washikiliwe na vyombo vya dola kwa tuhuma mbalimbali, vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu vimekuwa vikiripotiwa mara kadhaa. Hata alipohukumiwa kifo mwaka 2015, wengi waliikosoa hatua hiyo, wakisema inaakisi kuuawa kwa demokrasia nchini Misri. “Leo hii, demokrasia imekufa na Mohammed Morsi, mtu aliyekuwa na imani ya kuipagania nchi yake. Kwa sasa, watu wa demokrasia wamekaa kimya juu ya utemi wa jeshi, kuonewa kwa Morsi, watu kutupwa gerezani na hata kuuawa,” anasema Tallha Abdulrazaq, mwandishi aliyejikita katika masuala ya usalama mataifa ya Mashariki ya Kati. Kwa upande wake Sarah Leah Whitson, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch kwa Ukanda wa Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika, aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii: “Ni mbaya sana lakini ilitarajiwa kuwa hivyo. Kifo cha Rais wa zamani, Morsi, kinakuja baada ya mateso kutoka kwa serikali, kuwekwa peke yake kwa muda mrefu. “Uangalizi mdogo wa afya yake, familia kuzuiwa kumtembelea, huku ikiwekewa ugumu kupata msaada wa kisheria, haya yote yamechangia kifo chake.” Tangu awe mikononi mwa mamlaka ya nchi hiyo kwa kipindi chote cha miaka sita, amekutana na familia yake mara tatu tu. Katika hilo, Shirika hilo limeuomba Umoja wa Mataifa (UN) kuanza mara moja uchunguzi, likisema kuwa kifo cha Morsi ni mwendelezo wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Misri na magereza kuwa na huduma za afya zisizoridhisha. LAWAMA KWA MAMLAKA Shirika la Amnesty International nalo limejitokeza kulaani kifo cha Morsi, likisema suala la uchunguzi halitakiwi kuchukua muda mrefu. Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amejitokeza na madai ya aina hiyo, akizitupia lawama mamlaka za Misri, akisisitiza wanapaswa kubebeshwa mzigo wa lawama kwa kifo cha swahiba wake huyo. Ni kama ilivyokuwa kwa kiongozi wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, Mbunge wa Uingereza, Crispin Blunt, ambaye alikuwa sehemu ya jopo la wanasiasa walioonya mwaka jana kuwa kitendo cha Morsi kuwekwa mafichoni kinahitaji uchunguzi wa kimataifa.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Mwandishi Wetu MOHAMMED Morsi ni Rais wa kwanza wa Misri, aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasiakwa kupata asilimia 51 ya kura zote, akimpiku Ahmed Shafik, aliyekuwa waziri mkuu wakati wa utawala wa Hosni Mubarak. Morsi alidumu madarakani kwa muda wa mwaka mmoja ambapo aliingia Juni, 2012 na baadaye kuondolewa na jeshi la nchi hiyo Julai 3, mwaka 2013. CHANZO KUONDOLEWA MADARAKANI Akiwa madarakani, Morsi alikabiliwa na kashfa mbambali, kubwa zaidi ikiwa ni kuhusishwa kushirikana na vikundi vya kigaidi na ufisadi na hivyo kusababisha kuyumba kwa uchumi wa Misri. Hali hiyo ilisababisha mamilioni ya wananchi kuingia mitaani kuandamana kwa siku kadhaa kupinga utawala wake na wiki chache baadaye jeshi lilitangaza kumng’oa madarakani na kuipa nafasi serikali ya mpito. Kiongozi huyo pia alituhumiwa kupuuza amri ya mwisho ya jeshi hilo lililomtaka asulihishe mzozo wa kisiasa nchini humo tangu Hosni Mubarak alipong’olewa madarakani mwaka 2011. Majeshi yalitoa onyo kwa Morsi kwamba yataingilia kati mzozo unaokumba utawala wake iwapo atashindwa kufikia masharti ya raia katika kipindi cha saa 48. Ilipofika jioni ya Julai 3, majeshi yaliifuta Katiba na kutangaza kuundwa kwa serikali ya mpito, kabla ya kufanyika upya uchaguzi wa rais. Morsi alipinga hatua hiyo na kusema kuwa ni sawa na ‘mapinduzi.’ Kiongozi huyo alikamatwa kufuatia amri iliyotolewa na mkuu wa majeshi – ambaye ni rais wa sasa, Abdul Fattah al-Sisi, na kupelekwa sehemu isiyojulikana bila ya mtu yeyote kujua hali yake. Wafuasi wake waliandamana katika barabara za mji wa Cairo, kushinikiza kuachiliwa kwake na kurudishwa madarakani mara moja. Jeshi lilitumia nguvu kuvunja mandamano hayo Agosti, 14, na kuwakamata viongozi wa wakuu wa vugu vugu la Muslim Brotherhood. Watu takribani 1,000 waliuawa katika oparesheni hiyo, ambayo utawala wa mpito ulidai kuwa ni juhudi za kukabiliana na ‘ugaidi.’ ASHTAKIWA KUCHOCHEA MAUAJI Baada ya kuzuiliwa kwa takribani miezi miwili katika sehemu isiyojulikana, waendesha mashtaka wa serikali walitangaza kwamba Septemba, mwaka 2013, Morsi atashtakiwa kwa kosa la kuwachochea wafuasi wake kumuua mwanahabari na wafuasi wawili wa upinzani na kuamrisha wengine kuteswa na kuzuiliwa kinyume cha sheria. Mashataka dhidi yake yalihusisha makabiliano kati ya waandamanaji wa upinzani na wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood nje ya makazi ya Rais ya Ittihadiya mjini Cairo, Desemba mwaka 2012. Kiongozi huyo alishitakiwa pamoja na viongozi wengine 14 wa ngazi ya juu wa Muslim Brotherhood Novemba, mwaka 2013. APIGA YOWE KIZIMBANI Wakati kesi yake inasikilizwa kwa mara ya kwanza, Morsi alipiga mayowe kutoka kizimbani akisema yeye ni mhanga wa ‘mapinduzi ya kijeshi’ huku akikataa mamlaka ya mahakama kumfungulia mashtaka. “Mimi ni Rais wa Jamhuri kwa mujibu wa Katiba ya nchi na nimezuiliwa kwa nguvu,” alisema. WAHUKUMIWA MIAKA 20 JELA Aprili, mwaka 2015, Morsi na wenzake walihukumiwa kifungo cha miaka 20 jela baada ya kuondolewa mashtaka ya uchochezi na kupatikana na makosa ya kuamrisha kuzuiliwa na kuteswa kwa waandamanaji. Pia alifunguliwa mashtaka mengine ikiwamo kushirikiana na wanamgambo wa kigeni kuwaachia huru wafungwa wakati wa maandamano ya mwaka 2011, kufichua siri za serikali, ubadhirifu pamoja na kutusi mahakama. GHASIA ZAONGEZEKA Miaka iliyofuata baada ya Morsi kuondolewa madarakani, Misri ilishuhudia ongezeko la ghasia na mashambulizi kutoka kwa wanamgambo wa Kiislam. Msako mkali dhidi ya vugu vugu la Muslim Brotherhood ulifanyika huku kundi hilo likitangazwa rasmi kuwa la kigaidi. Morsi alitoweka machoni mwa umma na kuishia kuonekana kotini alipofunguliwa mashtaka. Baadaye mtangulizi wake, Hosni Mubarak, aliachiliwa huru kutoka jela baada ya kuonekana kuwa nchi hiyo haikuwa imeendelea mbele kisiasa, licha ya uchaguzi uliomweka Morsi madarakani kwa muda. HISTORIA YAKE KISIASA Morsi alizaliwa mwaka 1951 katika Kijiji cha El-Adwah kilichopo Mkoa wa Nile Delta, eneo la Sharqiya. Alisomea Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Cairo miaka ya 1970 kabla ya kuhamia nchini Marekani ambako alitunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Uhandisi. Aliporejea Misri, aliteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Zagazig. Alishikilia nyadhifa kadhaa katika kundi la Muslim Brotherhood, hatimaye kujiunga na kitengo chake cha kisiasa ambapo aliwania kiti cha ubunge akiwa mgombea binafsi. Alishika wadhifa huo kuanzia mwaka 2000 hadi 2005. Morsi alipoteza kiti chake cha ubunge nyumbani katika awamu ya pili ya uchaguzi aliyodai ilikuwa na udanganyifu. Akiwa mbunge, alisifiwa kwa uweledi wake wa lugha na kazi. Aliteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia Muslim Brotherhood, Aprili 2012 baada ya naibu kiongozi wake, mfanyibiashara Khairat al-Shater, alipolazimishwa kujiondoa katika kinyang’anyiro hicho. Japo Morsi hakuonekana kuwa na hulka ya kuwa msemaji mzuri, alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Freedom and Justice Party (FJP). Katika kampeni yake ya uchaguzi, alijinadi kwamba atakuwa mtu atakayeleta mwamko mpya akilinganishwa na viongozi wa zamani kama Hosni Mubarak. KIFO CHAKE Morsi alifariki dunia juzi baada ya kuanguka ghafla akiwa mahakamani. Morsi alifika Cairo Jumatatu ya wiki hii kwa ajili ya kuhudhuria kesi inayomkabili, akidaiwa kushirikiana na kikundi cha kigaidi cha nchini Palestina kinachofahamika kwa jina la Hamas. Akiwa mahakamani na wenzake, alitakiwa kuzungumza kupitia chumba kilichokuwa na dirisha la wavu, ingawa sauti ilikuwa ikipenya kuwafikia waliokuwa wakiifuatilia kesi hiyo. Wakati wa mapumziko, alianguka na kuzimia. “Alikimbizwa hospitali, ambako ilithibitika kuwa ameshafariki,” anasema mwendesha mashitaka mkuu wa Serikali ya Misri. Akizungumza na Shirika la Habari la Ufaransa (AFP), mwanasheria wake alisema Morsi alizikwa jana asubuhi Mashariki mwa Jiji la Cairo. Morsi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 68, ambapo alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani huku akiwa ameshikiliwa na mamlaka za Misri tangu alipong’olewa madarakani mwaka 2013. Taarifa ya maofisa wa Serikali ya Misri chini ya Rais Abdel Fattah el-Sisi, zinasema chanzo cha kifo cha kiongozi huyo ni mshtuko wa moyo. TUHUMA ZA KUUAWA Kifo cha mwanasiasa huyo kimezifanya mamlaka za Misri zinyooshewe kidole na vikundi vya utetezi wa haki za binadamu, ambao wamepaza sauti kutaka uchunguzi wa kina ufanyike. Licha ya Serikali ya Misri kusema taarifa hizo kuwa ni za uzushi, vikundi hivyo vinaamini kifo cha Morsi kilisababishwa na mateso aliyopitia kwa kipindi chote cha miaka sita akiwa chini ya ulinzi mkali. Mbaya zaidi, mtoto wake wa kiume, Abdullah Mohamed Morsi, juzi aliliambia Shirika la Habari la Reuters kuwa mamlaka za Misri zimekataa ombi la familia ya kiongozi huyo, kutaka mazishi yake yawe ni ya kitaifa ili kila mwananchi ahudhurie. Shutuma dhidi ya mamlaka ni kwamba, kwa kipindi kirefu ziliweka sharti la kutokutana na wanasheria wala familia yake, iliyokuwa ikiomba apatiwe matibabu baada ya afya yake kudhoofu. UKIUKWAJI HAKI ZA BINADAMU Tangu Morsi na wenzake washikiliwe na vyombo vya dola kwa tuhuma mbalimbali, vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu vimekuwa vikiripotiwa mara kadhaa. Hata alipohukumiwa kifo mwaka 2015, wengi waliikosoa hatua hiyo, wakisema inaakisi kuuawa kwa demokrasia nchini Misri. “Leo hii, demokrasia imekufa na Mohammed Morsi, mtu aliyekuwa na imani ya kuipagania nchi yake. Kwa sasa, watu wa demokrasia wamekaa kimya juu ya utemi wa jeshi, kuonewa kwa Morsi, watu kutupwa gerezani na hata kuuawa,” anasema Tallha Abdulrazaq, mwandishi aliyejikita katika masuala ya usalama mataifa ya Mashariki ya Kati. Kwa upande wake Sarah Leah Whitson, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch kwa Ukanda wa Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika, aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii: “Ni mbaya sana lakini ilitarajiwa kuwa hivyo. Kifo cha Rais wa zamani, Morsi, kinakuja baada ya mateso kutoka kwa serikali, kuwekwa peke yake kwa muda mrefu. “Uangalizi mdogo wa afya yake, familia kuzuiwa kumtembelea, huku ikiwekewa ugumu kupata msaada wa kisheria, haya yote yamechangia kifo chake.” Tangu awe mikononi mwa mamlaka ya nchi hiyo kwa kipindi chote cha miaka sita, amekutana na familia yake mara tatu tu. Katika hilo, Shirika hilo limeuomba Umoja wa Mataifa (UN) kuanza mara moja uchunguzi, likisema kuwa kifo cha Morsi ni mwendelezo wa vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Misri na magereza kuwa na huduma za afya zisizoridhisha. LAWAMA KWA MAMLAKA Shirika la Amnesty International nalo limejitokeza kulaani kifo cha Morsi, likisema suala la uchunguzi halitakiwi kuchukua muda mrefu. Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amejitokeza na madai ya aina hiyo, akizitupia lawama mamlaka za Misri, akisisitiza wanapaswa kubebeshwa mzigo wa lawama kwa kifo cha swahiba wake huyo. Ni kama ilivyokuwa kwa kiongozi wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, Mbunge wa Uingereza, Crispin Blunt, ambaye alikuwa sehemu ya jopo la wanasiasa walioonya mwaka jana kuwa kitendo cha Morsi kuwekwa mafichoni kinahitaji uchunguzi wa kimataifa. ### Response: KIMATAIFA ### End
 AMINA OMARI MKUU wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela amesema atamshauri Rais Dk. John Magufuli kuona namna kuwapokonywa kiwanda cha chai Mponde, Mfuko wa Hifadhi ya PSSF kutokana na kushindwa kukiendeleza. Hayo aliyasemwa wakati wa kikao cha baraza la madiwani la kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa 2018/19 kwa Halimashauri ya Wilaya ya Bumbuli kilichofanyika mwishoni mwa wiki wilaya humo. Alisema Serikali ilitoa uwekezaji wa kiwanda hicho, lakini kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, hakuna jitihada zozote zilizochukuliwa na mfuko huo. “Tulitegemea baada ya kiwanda kupata mwekezaji mpya, kitaanza uzalishaji, tayari wananchi na halimashauri walikuwa na matumaini makubwa ya kukufuka kiwanda hiki,”alisema. Alisema kutokana na ukimya wa mfuko huo, ipo haja ya kumshauri rais kuvunja mkataba na kutafuta mwekezaji ambaye ataweza kuleta matumaini ya wananchi wa Bumbuli. “Asilimia 80 ya mapato ya halimashauri yanategemea kiwanda hiki, kusimama kwa uzalishaji kumechangia kushuka mapato,”alisema. Katika hatua nyingine, aliwataka watendaji kuhakikisha wanaimarisha makusanyo yamapato katika halimashauri hiyo ili iweze kujiendesha kwa kutekeleza miradi ya maendeleo, badala ya kuwa tegemezi. Mkuu wa Wilaya ya Lushoto, January Lugangika aliwataka wataalamu kuzingatia kanuni bora za usimamizi ili kupunguza idadi ya hoja za ukaguzi. “Kama watendaji watasimamia kwa ukaribu ukusanyaji wamapato, kiwango cha makusanyo kitaongeza na hakutakuwa na mianya ya ukwepaji wa ushuru,”alisema. Madiwani waligomea kikao kujadili hoja za CAG kwa saa moja kutokana na kudai malimbikizo ya posho za vikao.Hatua hiyo, ilifikiwa baada ya ufunguzi wa baraza hilo chini ya mwenyekiti wake, Shehiza aliomba baraza lijigeuze kama kamati ili kupata muafa wa hoja yao ya madai ya posho.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --  AMINA OMARI MKUU wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela amesema atamshauri Rais Dk. John Magufuli kuona namna kuwapokonywa kiwanda cha chai Mponde, Mfuko wa Hifadhi ya PSSF kutokana na kushindwa kukiendeleza. Hayo aliyasemwa wakati wa kikao cha baraza la madiwani la kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa 2018/19 kwa Halimashauri ya Wilaya ya Bumbuli kilichofanyika mwishoni mwa wiki wilaya humo. Alisema Serikali ilitoa uwekezaji wa kiwanda hicho, lakini kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, hakuna jitihada zozote zilizochukuliwa na mfuko huo. “Tulitegemea baada ya kiwanda kupata mwekezaji mpya, kitaanza uzalishaji, tayari wananchi na halimashauri walikuwa na matumaini makubwa ya kukufuka kiwanda hiki,”alisema. Alisema kutokana na ukimya wa mfuko huo, ipo haja ya kumshauri rais kuvunja mkataba na kutafuta mwekezaji ambaye ataweza kuleta matumaini ya wananchi wa Bumbuli. “Asilimia 80 ya mapato ya halimashauri yanategemea kiwanda hiki, kusimama kwa uzalishaji kumechangia kushuka mapato,”alisema. Katika hatua nyingine, aliwataka watendaji kuhakikisha wanaimarisha makusanyo yamapato katika halimashauri hiyo ili iweze kujiendesha kwa kutekeleza miradi ya maendeleo, badala ya kuwa tegemezi. Mkuu wa Wilaya ya Lushoto, January Lugangika aliwataka wataalamu kuzingatia kanuni bora za usimamizi ili kupunguza idadi ya hoja za ukaguzi. “Kama watendaji watasimamia kwa ukaribu ukusanyaji wamapato, kiwango cha makusanyo kitaongeza na hakutakuwa na mianya ya ukwepaji wa ushuru,”alisema. Madiwani waligomea kikao kujadili hoja za CAG kwa saa moja kutokana na kudai malimbikizo ya posho za vikao.Hatua hiyo, ilifikiwa baada ya ufunguzi wa baraza hilo chini ya mwenyekiti wake, Shehiza aliomba baraza lijigeuze kama kamati ili kupata muafa wa hoja yao ya madai ya posho. ### Response: KITAIFA ### End
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana usiku wamewachagua wajumbe 7 wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania huku wagombea wawili wa CHADEMA wakitupwa nje baada ya kupigiwa kura za 'HAPANA', utaratibu uliopitishwa na Spika Job ndugai baada ya mvutano wa takribani saa moja juu ya jinsi ya kuwapigia kura wagombea hao wawili wa CHADEMA ambao ni Lawrence Masha na Ezekiel Wenje. Kabla yakupiga kura palitokea mabishano ya kikanuni juu ya wagombea hao wa CHADEMA yaliyosababishwa na chama hicho kuweka wagombea wawili pekee huku nafasi kwa ajili ya chama hicho zikiwa mbili pia. Suala hilo lingewalazimu wapiga kura kupiga kura za kuwakubali wagombea hao hata kama hawawataki. Hata hivyo, Spika Job Ndugai aliamua kura zipigwe, lakini kwa kundi la wagombea wa CHADEMA akaelekeza kuwa wapiga kura wana uhuru wa kuweka alama ya 'tick' kama wanamkubali mgombea au alama ya 'X' kama hawamkubali. Awali wagombea wote walitumia utaratibu wa kujieleza mbele ya wabunge kabla ya zoezi la upigaji kura. MATOKEO: Kwa upande wa CCM, walioshinda ni  1. Fancy Nkuhi 2. Happiness Legiko  3. Maryam Ussi Yahya  4. Dkt Abdullah Makame  5. Dkt Ngwaru Maghembe  6. Alhaj Adam Kimbisa Kwa upande wa CUF aliyeshinda ni Mohamed Habib Mnyaa akiwashinda Twaha Taslima na Sonia Magogo. CUF ilikuwa na nafasi ya mjumbe mmoja tu. Baada ya matokeo hayo, Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe alizungumza kuwa hawakubaliani na matokeo na wataenda Mahakamani kupinga matokeo hayo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana usiku wamewachagua wajumbe 7 wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania huku wagombea wawili wa CHADEMA wakitupwa nje baada ya kupigiwa kura za 'HAPANA', utaratibu uliopitishwa na Spika Job ndugai baada ya mvutano wa takribani saa moja juu ya jinsi ya kuwapigia kura wagombea hao wawili wa CHADEMA ambao ni Lawrence Masha na Ezekiel Wenje. Kabla yakupiga kura palitokea mabishano ya kikanuni juu ya wagombea hao wa CHADEMA yaliyosababishwa na chama hicho kuweka wagombea wawili pekee huku nafasi kwa ajili ya chama hicho zikiwa mbili pia. Suala hilo lingewalazimu wapiga kura kupiga kura za kuwakubali wagombea hao hata kama hawawataki. Hata hivyo, Spika Job Ndugai aliamua kura zipigwe, lakini kwa kundi la wagombea wa CHADEMA akaelekeza kuwa wapiga kura wana uhuru wa kuweka alama ya 'tick' kama wanamkubali mgombea au alama ya 'X' kama hawamkubali. Awali wagombea wote walitumia utaratibu wa kujieleza mbele ya wabunge kabla ya zoezi la upigaji kura. MATOKEO: Kwa upande wa CCM, walioshinda ni  1. Fancy Nkuhi 2. Happiness Legiko  3. Maryam Ussi Yahya  4. Dkt Abdullah Makame  5. Dkt Ngwaru Maghembe  6. Alhaj Adam Kimbisa Kwa upande wa CUF aliyeshinda ni Mohamed Habib Mnyaa akiwashinda Twaha Taslima na Sonia Magogo. CUF ilikuwa na nafasi ya mjumbe mmoja tu. Baada ya matokeo hayo, Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe alizungumza kuwa hawakubaliani na matokeo na wataenda Mahakamani kupinga matokeo hayo. ### Response: KITAIFA ### End
Mwandishi Wetu – Lindi WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kutoka mwaka 2002 hadi sasa hivi kumekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani kutoka 2,500 hadi 6,500 kutokana na mitindo tofauti ya maisha na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, akiwa katika ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma za afya na uhamasishaji kwa wakulima kujiunga na bima ya afya.  “Kama Serikali, tumeshtushwa na ongezeko la wagonjwa wa saratani na magonjwa mengine yasiyo ya kuambukiza, mwaka 2002 wagonjwa wa saratani nchini walikuwa 1,500 hadi 2,000, lakini kwa takwimu za mwaka jana, wagonjwa wa saratani wameongezeka kutoka 2,500 hadi 6,500,” alisema Ummy. Pia alisema Serikali imeona upo ulazima wa kuchukua hatua za makusudi katika kupambana na saratani ya mlango wa kizazi na magonjwa mengine yasiyo ya kuambukiza yakiwamo shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na ugonjwa wa kisukari. Alisema katika kila wagonjwa 100 wa saratani, 34 ni wa saratani ya mlango wa kizazi na 12 saratani ya matiti. “Kibaya zaidi katika kila wagonjwa 100 wa saratani, 80 wanafika wakiwa wamechelewa na wengine ugonjwa ukiwa katika hatua ya tatu au ya nne, hivyo kupona kwao kunakuwa ni kugumu,” alisema. Awali akisoma taarifa ya mkoa, Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Rehema Madenge, alisema wameanzisha utoaji wa chanjo ya kukinga saratani ya mlango wa kizazi (HPV) kwa wasichana wa umri wa miaka tisa hadi 14. Alisema katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 jumla ya mahudhurio 164,259 yalirekodiwa vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya Serikali, binafsi na vile vya dini huku Hospitali ya Mkoa Sokoine ikirekodi mahudhurio 39,324 na kulipwa Sh 1,654,964,965 katika kipindi hicho.  Rehema alisema mkoa umeendelea kuhudumia wanufaika wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) kwa ufanisi mkubwa katika mwaka wa fedha wa 2017/2018. Pia alisema ili kuwafikia wananchi wengi kupitia makundi mbalimbali, NHIF imekuja na mpango uitwao ushirika afya ambao wakulima wanaungana katika vyama vyao vya mazao na kuweka mkakati wa kujiunga na bima ya afya kwa utaratibu wa ushirika wao.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mwandishi Wetu – Lindi WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kutoka mwaka 2002 hadi sasa hivi kumekuwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani kutoka 2,500 hadi 6,500 kutokana na mitindo tofauti ya maisha na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, akiwa katika ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma za afya na uhamasishaji kwa wakulima kujiunga na bima ya afya.  “Kama Serikali, tumeshtushwa na ongezeko la wagonjwa wa saratani na magonjwa mengine yasiyo ya kuambukiza, mwaka 2002 wagonjwa wa saratani nchini walikuwa 1,500 hadi 2,000, lakini kwa takwimu za mwaka jana, wagonjwa wa saratani wameongezeka kutoka 2,500 hadi 6,500,” alisema Ummy. Pia alisema Serikali imeona upo ulazima wa kuchukua hatua za makusudi katika kupambana na saratani ya mlango wa kizazi na magonjwa mengine yasiyo ya kuambukiza yakiwamo shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na ugonjwa wa kisukari. Alisema katika kila wagonjwa 100 wa saratani, 34 ni wa saratani ya mlango wa kizazi na 12 saratani ya matiti. “Kibaya zaidi katika kila wagonjwa 100 wa saratani, 80 wanafika wakiwa wamechelewa na wengine ugonjwa ukiwa katika hatua ya tatu au ya nne, hivyo kupona kwao kunakuwa ni kugumu,” alisema. Awali akisoma taarifa ya mkoa, Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Rehema Madenge, alisema wameanzisha utoaji wa chanjo ya kukinga saratani ya mlango wa kizazi (HPV) kwa wasichana wa umri wa miaka tisa hadi 14. Alisema katika mwaka wa fedha wa 2017/2018 jumla ya mahudhurio 164,259 yalirekodiwa vituo vyote vya kutolea huduma za afya vya Serikali, binafsi na vile vya dini huku Hospitali ya Mkoa Sokoine ikirekodi mahudhurio 39,324 na kulipwa Sh 1,654,964,965 katika kipindi hicho.  Rehema alisema mkoa umeendelea kuhudumia wanufaika wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) kwa ufanisi mkubwa katika mwaka wa fedha wa 2017/2018. Pia alisema ili kuwafikia wananchi wengi kupitia makundi mbalimbali, NHIF imekuja na mpango uitwao ushirika afya ambao wakulima wanaungana katika vyama vyao vya mazao na kuweka mkakati wa kujiunga na bima ya afya kwa utaratibu wa ushirika wao. ### Response: AFYA ### End
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Emmanuel Amunike amesema Cape Verde ni timu nzuri kwa sababu ina wachezaji wengi wanaocheza Ureno ndio maana wameanza maandalizi mapema ya mchezo wao. Kocha huyo alisema, pamoja na uzuri wao, lakini wanakwenda kushinda. Stars inatarajiwa kucheza na Cape Verde mjini Praia, Oktoba 12 mwaka huu, ikiwa ni mechi ya kufuzu fainali za Afrika mwakani zinazotarajiwa kufanyika Cameroon.Akizungumza jana Dar es Salaam saa chache kabla ya mazoezi ya kikosi chake kwenye uwanja wa JMK Park, Amunike alisema ushindi ni muhimu ili kujiweka katika nafasi nzuri kufuzu. “Maandalizi ni mazuri wachezaji wa ndani wapo wote kambini na tunaenda Cape Verde kwenda kushinda japo najua tutakutana na upinzani,” alisema Amunike. Pia alisema wachezaji waliopo kwenye kikosi wanatakiwa kujituma kwa sababu kuitwa timu ya taifa ni fahari na kunasaidia kujenga wasifu wake.Naye mshambuliaji Thomas Ulimwengu anayecheza Al Hilal ya Sudan alisema wanaamini maandalizi waliyopata yatasaidia kwenda kufanya vizuri na kuwaomba Watanzania kuwasapoti. “Naamini tutafanya vizuri na kila mtu hapa anatamani kushinda ili tuandike historia nyingine baada ya kipindi kirefu ambacho Tanzania imekosa nafasi ya kushiki mashindano hayo makubwa barani Afrika,” alisema Ulimwengu. Ulimwengu amekuwa mchezaji wa kwanza anayecheza nje kuwasili katika kambi ya Taifa Stars na juzi alianza mazoezi na wenzake aliowakuta wanaocheza ndani.Katika mazoezi hayo Kocha Amunike alifanya pamoja na wachezaji kuanzia mwanzo hadi mwisho huku akionesha ufundi mkubwa katika kusakata kabumbu na kufunga mabao kwa kutumia mguu wake wa kushoto. Baada ya mchezo wa kwanza utkaochezwa Oktoba 12, Stars itarudiana na Cape Verde siku nne baadae kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tutashinda
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Emmanuel Amunike amesema Cape Verde ni timu nzuri kwa sababu ina wachezaji wengi wanaocheza Ureno ndio maana wameanza maandalizi mapema ya mchezo wao. Kocha huyo alisema, pamoja na uzuri wao, lakini wanakwenda kushinda. Stars inatarajiwa kucheza na Cape Verde mjini Praia, Oktoba 12 mwaka huu, ikiwa ni mechi ya kufuzu fainali za Afrika mwakani zinazotarajiwa kufanyika Cameroon.Akizungumza jana Dar es Salaam saa chache kabla ya mazoezi ya kikosi chake kwenye uwanja wa JMK Park, Amunike alisema ushindi ni muhimu ili kujiweka katika nafasi nzuri kufuzu. “Maandalizi ni mazuri wachezaji wa ndani wapo wote kambini na tunaenda Cape Verde kwenda kushinda japo najua tutakutana na upinzani,” alisema Amunike. Pia alisema wachezaji waliopo kwenye kikosi wanatakiwa kujituma kwa sababu kuitwa timu ya taifa ni fahari na kunasaidia kujenga wasifu wake.Naye mshambuliaji Thomas Ulimwengu anayecheza Al Hilal ya Sudan alisema wanaamini maandalizi waliyopata yatasaidia kwenda kufanya vizuri na kuwaomba Watanzania kuwasapoti. “Naamini tutafanya vizuri na kila mtu hapa anatamani kushinda ili tuandike historia nyingine baada ya kipindi kirefu ambacho Tanzania imekosa nafasi ya kushiki mashindano hayo makubwa barani Afrika,” alisema Ulimwengu. Ulimwengu amekuwa mchezaji wa kwanza anayecheza nje kuwasili katika kambi ya Taifa Stars na juzi alianza mazoezi na wenzake aliowakuta wanaocheza ndani.Katika mazoezi hayo Kocha Amunike alifanya pamoja na wachezaji kuanzia mwanzo hadi mwisho huku akionesha ufundi mkubwa katika kusakata kabumbu na kufunga mabao kwa kutumia mguu wake wa kushoto. Baada ya mchezo wa kwanza utkaochezwa Oktoba 12, Stars itarudiana na Cape Verde siku nne baadae kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tutashinda ### Response: MICHEZO ### End
TIMU ya Azam FC juzi ilijikuta ikipokea kipigo cha mabao 4-2 kutoka kwa KCCA katika mchezo wa kirafi ki uliochezwa kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda.Kocha wa Azam FC, Hans Pluijm amesema walianza mchezo huo kwa kujipatia mabao mawili ya haraka yaliyofungwa na nahodha, Agrey Moris, kwa mkwaju wa penalti na Danny Lyanga.“Penalti ilitokana na mshambuliaji Danny Lyanga, kuangushwa ndani ya eneo la 18 na nahodha wa KCCA, Timothy Awany na bao la pili Lyanga alifunga kwa shuti akiunganisha pasi ya beki Bruce Kangwa,” alisema Pluijm.Alisema KCCA ilisawazisha mabao yote kupitia kwa Muzamiru Mutyaba dakika ya 16 na Awany dakika ya 45 na kufanya mchezo kwenda mapumziko kwa sare ya 2-2.Pluijm alisema kipindi cha pili walicheza mchezo wa kasi, lakini umakini wa washambuliaji uliwakosesha mabao ya wazi huku wa wapinzani wao wakitumia udhaifu huo kuongeza mabao mengine mawili katika kipindi cha pili na kuhitimisha ushindi wa 4-2 ambayo yalifungwa na Allan Kyambadde na Patrick Kaddu.Huo ulikuwa mchezo wa pili baada ya kucheza na URA na kumalizika kwa suluhu na leo itashuka tena dimbani kucheza na mabingwa wa zamani wa Uganda, Express FC.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- TIMU ya Azam FC juzi ilijikuta ikipokea kipigo cha mabao 4-2 kutoka kwa KCCA katika mchezo wa kirafi ki uliochezwa kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda.Kocha wa Azam FC, Hans Pluijm amesema walianza mchezo huo kwa kujipatia mabao mawili ya haraka yaliyofungwa na nahodha, Agrey Moris, kwa mkwaju wa penalti na Danny Lyanga.“Penalti ilitokana na mshambuliaji Danny Lyanga, kuangushwa ndani ya eneo la 18 na nahodha wa KCCA, Timothy Awany na bao la pili Lyanga alifunga kwa shuti akiunganisha pasi ya beki Bruce Kangwa,” alisema Pluijm.Alisema KCCA ilisawazisha mabao yote kupitia kwa Muzamiru Mutyaba dakika ya 16 na Awany dakika ya 45 na kufanya mchezo kwenda mapumziko kwa sare ya 2-2.Pluijm alisema kipindi cha pili walicheza mchezo wa kasi, lakini umakini wa washambuliaji uliwakosesha mabao ya wazi huku wa wapinzani wao wakitumia udhaifu huo kuongeza mabao mengine mawili katika kipindi cha pili na kuhitimisha ushindi wa 4-2 ambayo yalifungwa na Allan Kyambadde na Patrick Kaddu.Huo ulikuwa mchezo wa pili baada ya kucheza na URA na kumalizika kwa suluhu na leo itashuka tena dimbani kucheza na mabingwa wa zamani wa Uganda, Express FC. ### Response: MICHEZO ### End
Na GUSTAPHU HAULE, KIBAHA WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, amesema sekta ya utalii nchini inapaswa kupewa kipaumbele zaidi kwa kuwa inaingiza mapato ya Sh bilioni mbili kwa mwaka. Amesema kiwango hicho kinachopatikana ni kidogo kwa kuwa Tanzania haijaweza kutumia kwa ukamilifu fursa zote  katika sekta hiyo. Profesa Maghembe alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza na wanafunzi, wahitimu na wazazi katika mahafali ya sita ya Chuo cha Hoteli na Utalii Njuweni  mjini Kibaha. “Sekta ya utalii   nchini ni muhimu kwa kuwa inagusa jamii kwa kupitia fursa za ajira. Hivyo basi, Serikali bado inaendelea kuweka mipango mizuri zaidi ya kuhakikisha sekta hiyo inaendelea kuheshimiwa nje na ndani ya nchi. “Pia, kuna haja kwa Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio vya utalii hivyo waweze kujifunza mambo muhimu yaliyopo katika utalii. “Sekta hii ya utalii ni muhimu kwetu sote kwa kuwa imekuwa sehemu ya kutoa ajira kwa Watanzania kupitia hoteli na hata vivutio mbalimbali,” alisema. Waziri   alisifu jitihada za Hoteli ya Njuwen kwa kuwa ni taasisi inayofanya kazi kwa kushirikiana na Serikali katika kukuza utalii. Aliwataka walimu kutumia mitaala mizuri ya kufundishia   kuipa heshima sekta ya utalii nchini. Mkuu wa Chuo hicho, Nditi Rashid, alisema pamoja na mafanikio yaliyopo  bado chuo hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa vifaa vya teknolojia ya habari na mawasiliano. “Kwa hiyo, tunakuomba mheshimiwa waziri utusaidie kupata vifaa hivyo  tuweze kwenda sawa na teknolojia iliyopo duniani kwa kuhakikisha wanafunzi wanapata mafunzo kwa njia ya mtandao. “Ninasema hivyo kwa sababu mpango wa chuo chetu ni kujenga chuo cha kisasa kitakachogharimu Sh bilioni sita na chenye uwezo wa kudahili wanafunzi 3000 kwa wakati mmoja,” alisema Rashid.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na GUSTAPHU HAULE, KIBAHA WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, amesema sekta ya utalii nchini inapaswa kupewa kipaumbele zaidi kwa kuwa inaingiza mapato ya Sh bilioni mbili kwa mwaka. Amesema kiwango hicho kinachopatikana ni kidogo kwa kuwa Tanzania haijaweza kutumia kwa ukamilifu fursa zote  katika sekta hiyo. Profesa Maghembe alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza na wanafunzi, wahitimu na wazazi katika mahafali ya sita ya Chuo cha Hoteli na Utalii Njuweni  mjini Kibaha. “Sekta ya utalii   nchini ni muhimu kwa kuwa inagusa jamii kwa kupitia fursa za ajira. Hivyo basi, Serikali bado inaendelea kuweka mipango mizuri zaidi ya kuhakikisha sekta hiyo inaendelea kuheshimiwa nje na ndani ya nchi. “Pia, kuna haja kwa Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio vya utalii hivyo waweze kujifunza mambo muhimu yaliyopo katika utalii. “Sekta hii ya utalii ni muhimu kwetu sote kwa kuwa imekuwa sehemu ya kutoa ajira kwa Watanzania kupitia hoteli na hata vivutio mbalimbali,” alisema. Waziri   alisifu jitihada za Hoteli ya Njuwen kwa kuwa ni taasisi inayofanya kazi kwa kushirikiana na Serikali katika kukuza utalii. Aliwataka walimu kutumia mitaala mizuri ya kufundishia   kuipa heshima sekta ya utalii nchini. Mkuu wa Chuo hicho, Nditi Rashid, alisema pamoja na mafanikio yaliyopo  bado chuo hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa vifaa vya teknolojia ya habari na mawasiliano. “Kwa hiyo, tunakuomba mheshimiwa waziri utusaidie kupata vifaa hivyo  tuweze kwenda sawa na teknolojia iliyopo duniani kwa kuhakikisha wanafunzi wanapata mafunzo kwa njia ya mtandao. “Ninasema hivyo kwa sababu mpango wa chuo chetu ni kujenga chuo cha kisasa kitakachogharimu Sh bilioni sita na chenye uwezo wa kudahili wanafunzi 3000 kwa wakati mmoja,” alisema Rashid. ### Response: KITAIFA ### End
NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Mbwana Samatta (pichani) amewatoa hofu watanzania na kuwahakikishia kupata matokeo mazuri kwenye mechi dhidi ya Equatorial Guinea keshokutwa. Stars inatarajiwa kucheza na Equatorial Guinea katika mechi ya kundi J kuwania kufuzu fainali za kombe la mataiaf Afrika 2021 Cameroon, kundi hilo pia lina timu za Libya na Tunisia.Akizungumza juzi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Samatta anayecheza KR Genk ya Ubelgiji alisema licha ya kutowafahamu vizuri wapinzani wao, lakini ana uhakika wa kupata matokeo mazuri. Akizungumza na gazeti katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, mshambuliaji huyo wa KRC Genk, alisema licha ya kwamba hawafahamu wapinzani wake, lakini kitu kilicho bora kwake ni kupambana na kuhakikisha wanapata matokeo yakuridhisha.“Mimi simjui mchezaji yoyote kutoka kwa wapinzani wetu, nnachojua tuko tayari kwa mchezo nadhani timu yetu itakuwa imeandaliwa vizuri ili kupata ushindi na kutengeneza mazingira mazuri,”alisema Samatta.Alisema wachezaji wengine wanapaswa kufahamu uzito wa mchezo huo kuhakikisha wanajituma kwa pamoja ili kutumia vizuri Uwanja wa nyumbani na kuwapa watanzania matumaini ya kufuzu michuano hiyo.Baada ya mechi hiyo, Stars itasafiri kwenda Tunisia kucheza na Libya siku nne baadae. Wachezaji wengine wanaocheza nje ya nchi na ambao tayari wameshawasili kwa ajili ya mechi hiyo ni Simon Msuva kutoka Difaa El Jadid ya Morroco, Farid Mussa wa Tenerif ya Hispania, Eliuter Mpepo wa Buildcom ya Zambia na David Kisu wa Gor Mahia.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Mbwana Samatta (pichani) amewatoa hofu watanzania na kuwahakikishia kupata matokeo mazuri kwenye mechi dhidi ya Equatorial Guinea keshokutwa. Stars inatarajiwa kucheza na Equatorial Guinea katika mechi ya kundi J kuwania kufuzu fainali za kombe la mataiaf Afrika 2021 Cameroon, kundi hilo pia lina timu za Libya na Tunisia.Akizungumza juzi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere, Samatta anayecheza KR Genk ya Ubelgiji alisema licha ya kutowafahamu vizuri wapinzani wao, lakini ana uhakika wa kupata matokeo mazuri. Akizungumza na gazeti katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, mshambuliaji huyo wa KRC Genk, alisema licha ya kwamba hawafahamu wapinzani wake, lakini kitu kilicho bora kwake ni kupambana na kuhakikisha wanapata matokeo yakuridhisha.“Mimi simjui mchezaji yoyote kutoka kwa wapinzani wetu, nnachojua tuko tayari kwa mchezo nadhani timu yetu itakuwa imeandaliwa vizuri ili kupata ushindi na kutengeneza mazingira mazuri,”alisema Samatta.Alisema wachezaji wengine wanapaswa kufahamu uzito wa mchezo huo kuhakikisha wanajituma kwa pamoja ili kutumia vizuri Uwanja wa nyumbani na kuwapa watanzania matumaini ya kufuzu michuano hiyo.Baada ya mechi hiyo, Stars itasafiri kwenda Tunisia kucheza na Libya siku nne baadae. Wachezaji wengine wanaocheza nje ya nchi na ambao tayari wameshawasili kwa ajili ya mechi hiyo ni Simon Msuva kutoka Difaa El Jadid ya Morroco, Farid Mussa wa Tenerif ya Hispania, Eliuter Mpepo wa Buildcom ya Zambia na David Kisu wa Gor Mahia. ### Response: MICHEZO ### End
Geneva, Uswisi Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya VVU na UKIMWI (UNAIDS), Michel Sidibe, ametangaza kujiuzulu nafasihiyo ifikapo Juni, mwakani ambapo ni miezi sita kabla ya muhula wake kumalizika. Sidibe, amefikia uamuzi huo baada ya jopo huru kusema uongozi wake una kasoro na umevumilia utamaduni wa manyanyaso ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya ngono na matumizi mabaya ya madaraka. Jopo la watu wanne waliwasilisha ripoti yenye kurasa 70 Ijumaa, iliyopita wakisema kwamba utamaduni wakupendelea wanaume katika eneo la kazi hali ambayo imeruhusu watu kutohofia kushtakiwa na kulipiza kisasi. Taarifa ya idara hiyo ilieleza Sidibe, alitangaza uamuzi huo jana Alhamisi, mwishoni mwa mkutano wa siku tatu wa bodi ya UNAIDS ambayo ilikuwa inapitia ripoti yajopo hilo. Sidibe, niraia wa Mali, amekuwa mkurugenzi mtendaji tangu mwaka 2009 katika idara hiyoyenye makao yake makuu mjini Geneva, Uswisi, ambayo ina wafanyakazi 670 Duniani kote.  Lakini pia ameijulisha bodi yaUNAIDS katika mkutano huo kwamba kikao cha June, 2019 kitakuwa kikao chake cha  mwisho.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Geneva, Uswisi Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya VVU na UKIMWI (UNAIDS), Michel Sidibe, ametangaza kujiuzulu nafasihiyo ifikapo Juni, mwakani ambapo ni miezi sita kabla ya muhula wake kumalizika. Sidibe, amefikia uamuzi huo baada ya jopo huru kusema uongozi wake una kasoro na umevumilia utamaduni wa manyanyaso ikiwa ni pamoja na manyanyaso ya ngono na matumizi mabaya ya madaraka. Jopo la watu wanne waliwasilisha ripoti yenye kurasa 70 Ijumaa, iliyopita wakisema kwamba utamaduni wakupendelea wanaume katika eneo la kazi hali ambayo imeruhusu watu kutohofia kushtakiwa na kulipiza kisasi. Taarifa ya idara hiyo ilieleza Sidibe, alitangaza uamuzi huo jana Alhamisi, mwishoni mwa mkutano wa siku tatu wa bodi ya UNAIDS ambayo ilikuwa inapitia ripoti yajopo hilo. Sidibe, niraia wa Mali, amekuwa mkurugenzi mtendaji tangu mwaka 2009 katika idara hiyoyenye makao yake makuu mjini Geneva, Uswisi, ambayo ina wafanyakazi 670 Duniani kote.  Lakini pia ameijulisha bodi yaUNAIDS katika mkutano huo kwamba kikao cha June, 2019 kitakuwa kikao chake cha  mwisho. ### Response: KIMATAIFA ### End
Na WAANDISHI WETU – DAR ES SALAAM  MKURUGENZI Mtendaji na mmoja wa waasisi wa Mtandao wa Jamii Forums (JF), Maxence Melo, amekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kwa kosa la kuzuia upelelezi wa makosa ya mtandao. Akizungumza jana kwa simu kuthibisha kukamatwa kwake, Mhariri na mwanaharakati wa kutetea uhuru wa mawasiliano, Simon Mkina, alisema Melo alifika polisi saa 6:17 mchana, baadaye saa 7 mchana aliamuriwa kuingia selo, huku waliomsindikiza wakielezwa kuondoka eneo la polisi. Alisema Melo anakabiliwa na mashtaka ya kuzuia upelelezi wa makosa ya mtandao kwa kushindwa kutoa taarifa binafsi za watumiaji wa mtandao wa JamiiForums ambazo polisi walizihitaji. “Maxence (Melo) alifika kituoni hapo kuitikia wito wa polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lakini alipofika Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi, alizuiliwa na polisi, amenyimwa dhamana ya polisi kwa madai ya kuwapo amri kutoka kwa wakubwa,” alisema Mkina akimkariri mmoja wa maofisa wa polisi aliyewajibu. Mkina alisema hata baada ya kuwasiliana na mwanasheria wa Melo, Nakazael Tenga na kushughulikia dhamana yake, ilishindikana kwa maelezo kuwa alipaswa kulala kituoni hapo hadi kesho. “Hata Mwanasheria Tenga alishangazwa na hatua hiyo ya Jeshi la Polisi kumnyima dhamana mtuhumiwa na kueleza kuwa alikuwa na haki ya dhamana,” alisema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na WAANDISHI WETU – DAR ES SALAAM  MKURUGENZI Mtendaji na mmoja wa waasisi wa Mtandao wa Jamii Forums (JF), Maxence Melo, amekamatwa na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam kwa kosa la kuzuia upelelezi wa makosa ya mtandao. Akizungumza jana kwa simu kuthibisha kukamatwa kwake, Mhariri na mwanaharakati wa kutetea uhuru wa mawasiliano, Simon Mkina, alisema Melo alifika polisi saa 6:17 mchana, baadaye saa 7 mchana aliamuriwa kuingia selo, huku waliomsindikiza wakielezwa kuondoka eneo la polisi. Alisema Melo anakabiliwa na mashtaka ya kuzuia upelelezi wa makosa ya mtandao kwa kushindwa kutoa taarifa binafsi za watumiaji wa mtandao wa JamiiForums ambazo polisi walizihitaji. “Maxence (Melo) alifika kituoni hapo kuitikia wito wa polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lakini alipofika Kituo Kikuu cha Kati cha Polisi, alizuiliwa na polisi, amenyimwa dhamana ya polisi kwa madai ya kuwapo amri kutoka kwa wakubwa,” alisema Mkina akimkariri mmoja wa maofisa wa polisi aliyewajibu. Mkina alisema hata baada ya kuwasiliana na mwanasheria wa Melo, Nakazael Tenga na kushughulikia dhamana yake, ilishindikana kwa maelezo kuwa alipaswa kulala kituoni hapo hadi kesho. “Hata Mwanasheria Tenga alishangazwa na hatua hiyo ya Jeshi la Polisi kumnyima dhamana mtuhumiwa na kueleza kuwa alikuwa na haki ya dhamana,” alisema. ### Response: KITAIFA ### End
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, anatarajia kuanza kutambulisha nyimbo mpya katika ziara yake nchini Marekani, Februari 13 hadi 15, mwaka huu. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema ziara hiyo itakuwa ya kwanza tangu mwaka huu ulipoanza. “Natarajia kuanza ziara yangu ya kwanza tangu mwaka huu umeanza, nilikwenda Kenya na kufanya kazi moja na Avirl kisha nikarudi nyumbani,” alisema Ommy Dimpoz. Alisema mbali na kufanya ziara hiyo ya siku tatu, atarejea nchini na kuondoka tena, kwani ratiba yake inaonyesha Februari 21 atakuwa na shoo maalumu jijini New York.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, anatarajia kuanza kutambulisha nyimbo mpya katika ziara yake nchini Marekani, Februari 13 hadi 15, mwaka huu. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema ziara hiyo itakuwa ya kwanza tangu mwaka huu ulipoanza. “Natarajia kuanza ziara yangu ya kwanza tangu mwaka huu umeanza, nilikwenda Kenya na kufanya kazi moja na Avirl kisha nikarudi nyumbani,” alisema Ommy Dimpoz. Alisema mbali na kufanya ziara hiyo ya siku tatu, atarejea nchini na kuondoka tena, kwani ratiba yake inaonyesha Februari 21 atakuwa na shoo maalumu jijini New York. ### Response: BURUDANI ### End
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kufungua Mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Maofisa Tawala Mikoa wapatao 52 kwa lengo la kuwapiga msasa juu ya namna ya kuongoza na kukusanya mapato.Mafunzo hayo ya uongozi ya aina yake ambayo hayajawahi kufanyika kabla, yatakuwa ya siku tano tangu leo hadi Desemba saba mwaka huu jijini hapa.Akizungumza na Habarileo, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Uongozi, Profesa Joseph Sembojo alisema mafunzo hayo yameandaliwa na taasisi yake kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais-Tamisemi.Alisema ni mafunzo ya mara ya kwanza kushirikisha viongozi wa kada hiyo na hivyo yatachangia kiwango kikubwa katika kuhikisha viongozi hao wanajengewa uwezo wa kuongoza maeneo yao.Profesa Sembojo alisema mafunzo hayo yanataka kuongeza utendaji na kufanya uchaguzi na uamuzi wa mikakati, kuongoza watu na kutunza rasilimali za umma na kuwa viongozi bora katika uongozi wao.Alisema wakuu wa mikoa na maofisa tawala hao ni watu muhimu katika kuhakikisha nchini inakua kiuchumi na kimaendeleo.Alisema kutokana na programu hiyo ya nchi utawajengea uwezo wakuu hao katika kuongoza maeneo hayo lakini ni mwendelezo wa mafunzo yanayotolewa kwa ushirikiano wa Tamisemi na taasisi hiyo.Alisema mafunzo mengine kama hayo yametolewa kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi mara tano miezi ya Mei 2017 na Oktoba mwaka huu.Mafunzo hayo ya siku tano pamoja na mambo mengine masuala ya uongozi wa mtu binafsi, uhuru na mipaka ya mambo ya kisiasa, mikakati ya mawasiliano, protokali na masuala ya ulinzi na usalama, utunzaji raslimali za umma na masuala ya manunuzi na udhibiti wa dawa za kulevya katika maeneo yao.Akizungumzia mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge alisema yenye kama mwenyeji amejianda vyema kuhakikisha kwamba mkutano huo unafanikiwa.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kufungua Mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Maofisa Tawala Mikoa wapatao 52 kwa lengo la kuwapiga msasa juu ya namna ya kuongoza na kukusanya mapato.Mafunzo hayo ya uongozi ya aina yake ambayo hayajawahi kufanyika kabla, yatakuwa ya siku tano tangu leo hadi Desemba saba mwaka huu jijini hapa.Akizungumza na Habarileo, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Uongozi, Profesa Joseph Sembojo alisema mafunzo hayo yameandaliwa na taasisi yake kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais-Tamisemi.Alisema ni mafunzo ya mara ya kwanza kushirikisha viongozi wa kada hiyo na hivyo yatachangia kiwango kikubwa katika kuhikisha viongozi hao wanajengewa uwezo wa kuongoza maeneo yao.Profesa Sembojo alisema mafunzo hayo yanataka kuongeza utendaji na kufanya uchaguzi na uamuzi wa mikakati, kuongoza watu na kutunza rasilimali za umma na kuwa viongozi bora katika uongozi wao.Alisema wakuu wa mikoa na maofisa tawala hao ni watu muhimu katika kuhakikisha nchini inakua kiuchumi na kimaendeleo.Alisema kutokana na programu hiyo ya nchi utawajengea uwezo wakuu hao katika kuongoza maeneo hayo lakini ni mwendelezo wa mafunzo yanayotolewa kwa ushirikiano wa Tamisemi na taasisi hiyo.Alisema mafunzo mengine kama hayo yametolewa kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi mara tano miezi ya Mei 2017 na Oktoba mwaka huu.Mafunzo hayo ya siku tano pamoja na mambo mengine masuala ya uongozi wa mtu binafsi, uhuru na mipaka ya mambo ya kisiasa, mikakati ya mawasiliano, protokali na masuala ya ulinzi na usalama, utunzaji raslimali za umma na masuala ya manunuzi na udhibiti wa dawa za kulevya katika maeneo yao.Akizungumzia mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Binilith Mahenge alisema yenye kama mwenyeji amejianda vyema kuhakikisha kwamba mkutano huo unafanikiwa. ### Response: KITAIFA ### End
SERIKALI ya Japan imetoa ruzuku ya dola za Marekani 277,445 kwa ajili ya miradi mitatu ya kijamii, miwili ikiwa kisiwani Zanzibar.Miradi hiyo ya Zanzibar ni ujenzi wa bweni la wavulana katika Shule ya Sekondari ya Mohamed Juma Pindua iliyopo Pemba na mradi wa usambazaji wa maji Unguja. Kwa Tanzania Bara, fedha zitatumika kununua mashine itakayotumika kwenye upasuaji wa mbalimbali mkoani Rukwa. Mradi huo unatekelezwa na Taasisi ya Benjamin Mkapa mkoani Rukwa.Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kusaini hati ya makabidhiano na watekelezaji wa miradi hiyo, Balozi wa Japan nchini, Shinichi Goto alisema mradi wa ujenzi wa bweni Pemba, una thamani ya dola za Marekani 130,179. Mradi wa maji una thamani ya dola za Marekani 84,684, huku mradi wa Benjamin Mkapa wa mkoani Rukwa ukiwa na thamani ya dola za Marekani 62,852.Aliongeza kuwa mradi wa ujenzi wa bweni, unatekelezwa na Halmashauri ya Mkoani Mji ya Pemba, na mradi wa maji unatekelezwa na shirika lisilokuwa la serikali la Harakati za Maendeleo ya Kukabiliana na Umaskini huku Taasisi ya Benjamin Mkapa ikitekeleza mradi huo wa afya Rukwa.Alisema serikali ya Japan itaendelea kuisaidia Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii na kiuchumi, huku akipongeza namna ambavyo miradi hiyo imekuwa ikisimamiwa. Alibainisha kuwa miradi hiyo mitatu ya jana ina thamani ya dola za Marekani 277,445. Aliwataka watakaonufaika wa miradi hiyo kuitunza ili iwasaidie watu wengi zaidi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI ya Japan imetoa ruzuku ya dola za Marekani 277,445 kwa ajili ya miradi mitatu ya kijamii, miwili ikiwa kisiwani Zanzibar.Miradi hiyo ya Zanzibar ni ujenzi wa bweni la wavulana katika Shule ya Sekondari ya Mohamed Juma Pindua iliyopo Pemba na mradi wa usambazaji wa maji Unguja. Kwa Tanzania Bara, fedha zitatumika kununua mashine itakayotumika kwenye upasuaji wa mbalimbali mkoani Rukwa. Mradi huo unatekelezwa na Taasisi ya Benjamin Mkapa mkoani Rukwa.Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kusaini hati ya makabidhiano na watekelezaji wa miradi hiyo, Balozi wa Japan nchini, Shinichi Goto alisema mradi wa ujenzi wa bweni Pemba, una thamani ya dola za Marekani 130,179. Mradi wa maji una thamani ya dola za Marekani 84,684, huku mradi wa Benjamin Mkapa wa mkoani Rukwa ukiwa na thamani ya dola za Marekani 62,852.Aliongeza kuwa mradi wa ujenzi wa bweni, unatekelezwa na Halmashauri ya Mkoani Mji ya Pemba, na mradi wa maji unatekelezwa na shirika lisilokuwa la serikali la Harakati za Maendeleo ya Kukabiliana na Umaskini huku Taasisi ya Benjamin Mkapa ikitekeleza mradi huo wa afya Rukwa.Alisema serikali ya Japan itaendelea kuisaidia Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii na kiuchumi, huku akipongeza namna ambavyo miradi hiyo imekuwa ikisimamiwa. Alibainisha kuwa miradi hiyo mitatu ya jana ina thamani ya dola za Marekani 277,445. Aliwataka watakaonufaika wa miradi hiyo kuitunza ili iwasaidie watu wengi zaidi. ### Response: KITAIFA ### End
ASILIMIA 33 ya wanaume 672 mkoani Dar es Salaam wamebainika kuwa na upungufu wa nguvu za kiume. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wanaume 672 ambapo kila wanaume watatu mmoja aligundulika kukosa nguvu za kiume ambapo pia idadi kubwa walibainika kuwa na magonjwa ya shinikizo la damu na kisukari. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya moyo, Dk. Pedro Pallangyo alisema utafiti huo ni kati ya tafiti 16 zilizompa ushindi wa tuzo ya watafiti vijana wa Afrika kwa mwaka 2016/17 (Young African Researchers Awards 2017) ambapo alifanya katika kipindi cha mwaka mmoja. “Hali hii inaashiria kuwa magonjwa ya kisukari na shinikizo la damu yamekuwa yakiongezeka mara kwa mara jambo ambalo linasababisha athari ya nguvu za kiume kuwa kubwa,” alisema Dk. Pallangyo. Pamoja na mambo mengine alisema changamoto hiyo inaweza kutatuliwa iwapo jamii itakuwa na utaratibu wa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kugundua tatizo mapema na kupata matibabu. “Kama mgonjwa akiwahi matibabu mapema kabla mishipa ya damu haijaathirika zaidi anaweza kudhibiti sukari na shinikizo la damu na kurudi katika hali yake ya kawaida,” alisema Dk Pallangyo.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- ASILIMIA 33 ya wanaume 672 mkoani Dar es Salaam wamebainika kuwa na upungufu wa nguvu za kiume. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa wanaume 672 ambapo kila wanaume watatu mmoja aligundulika kukosa nguvu za kiume ambapo pia idadi kubwa walibainika kuwa na magonjwa ya shinikizo la damu na kisukari. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya moyo, Dk. Pedro Pallangyo alisema utafiti huo ni kati ya tafiti 16 zilizompa ushindi wa tuzo ya watafiti vijana wa Afrika kwa mwaka 2016/17 (Young African Researchers Awards 2017) ambapo alifanya katika kipindi cha mwaka mmoja. “Hali hii inaashiria kuwa magonjwa ya kisukari na shinikizo la damu yamekuwa yakiongezeka mara kwa mara jambo ambalo linasababisha athari ya nguvu za kiume kuwa kubwa,” alisema Dk. Pallangyo. Pamoja na mambo mengine alisema changamoto hiyo inaweza kutatuliwa iwapo jamii itakuwa na utaratibu wa kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kugundua tatizo mapema na kupata matibabu. “Kama mgonjwa akiwahi matibabu mapema kabla mishipa ya damu haijaathirika zaidi anaweza kudhibiti sukari na shinikizo la damu na kurudi katika hali yake ya kawaida,” alisema Dk Pallangyo. ### Response: AFYA ### End
MWENYEKITI wa timu ya AFC ya Arusha na meneja wa zamani wa uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini hapa, Mashaka Ngwabi amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya rufaa ya Mount Meru.Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Ngwabi, maziko yalitarajiwa kufanyika jana katika makaburi ya H almashauri ya Jiji la Arusha yaliyoko kata ya Engudoto nje kidogo ya jiji hilo.Meneja wa AFC , Denis Shemtoi na ndugu wa karibu wa marehemu, alisema kuwa kifo cha Ngwabi kimesababishwa na ugonjwa wa tumbo uliokuwa ukimsumbua kabla ya kulazwa katika hospitali hiyo. Shemtoi alisema Ngwabi ameacha pengo kubwa katika tasnia ya wapenzi wa soka Arusha kwani alikuwa kiungo mzuri kwa wachezaji, viongozi na wadau wa soka mkoani.‘ ’Tumempoteza mmoja ya wapambanaji wa soka mkoani Arusha kamwe pengo lake halitazibika Mungu amlaze mahala pema peponi,’’ alisema Shemtoi. Naye Katibu Mwenezi wa C C M Arusha, Shabani Mdoe alisema kuwa Ngwabi alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa chama mkoa na kwamba wamesikitishwa na kifo hicho na kutoa pole kwa familia. Mdoe alisema C C M itashiriki kikamilifu katika shughuli zote za mazishi yaNgwabi. ‘ ’Ngwabi alikuwa mfanyakazi wa C C M Mkoa wa Arusha akiwa Meneja wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid unaomilikiwa na chama kabla ya kuachishwa hivyo hatuna budi kushiriki mazishi hayo,’’ alisema Mdoe.Katibu wa AFC , Fredrick Lyimo alisema viongozi wa timu hiyo wamepata taarifa hiyo kwa mshituko mkubwa kwani mawazo yake bado yalikuwa yakihitajika. ‘ ’Tunaipa pole familia ya Ngwabi katika kipindi hiki kigumu kwani hayo ni mapenzi yake Mola na hayazuiliki kamwe,’’ alisema Lyimo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MWENYEKITI wa timu ya AFC ya Arusha na meneja wa zamani wa uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini hapa, Mashaka Ngwabi amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya rufaa ya Mount Meru.Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa Ngwabi, maziko yalitarajiwa kufanyika jana katika makaburi ya H almashauri ya Jiji la Arusha yaliyoko kata ya Engudoto nje kidogo ya jiji hilo.Meneja wa AFC , Denis Shemtoi na ndugu wa karibu wa marehemu, alisema kuwa kifo cha Ngwabi kimesababishwa na ugonjwa wa tumbo uliokuwa ukimsumbua kabla ya kulazwa katika hospitali hiyo. Shemtoi alisema Ngwabi ameacha pengo kubwa katika tasnia ya wapenzi wa soka Arusha kwani alikuwa kiungo mzuri kwa wachezaji, viongozi na wadau wa soka mkoani.‘ ’Tumempoteza mmoja ya wapambanaji wa soka mkoani Arusha kamwe pengo lake halitazibika Mungu amlaze mahala pema peponi,’’ alisema Shemtoi. Naye Katibu Mwenezi wa C C M Arusha, Shabani Mdoe alisema kuwa Ngwabi alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa chama mkoa na kwamba wamesikitishwa na kifo hicho na kutoa pole kwa familia. Mdoe alisema C C M itashiriki kikamilifu katika shughuli zote za mazishi yaNgwabi. ‘ ’Ngwabi alikuwa mfanyakazi wa C C M Mkoa wa Arusha akiwa Meneja wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid unaomilikiwa na chama kabla ya kuachishwa hivyo hatuna budi kushiriki mazishi hayo,’’ alisema Mdoe.Katibu wa AFC , Fredrick Lyimo alisema viongozi wa timu hiyo wamepata taarifa hiyo kwa mshituko mkubwa kwani mawazo yake bado yalikuwa yakihitajika. ‘ ’Tunaipa pole familia ya Ngwabi katika kipindi hiki kigumu kwani hayo ni mapenzi yake Mola na hayazuiliki kamwe,’’ alisema Lyimo. ### Response: KITAIFA ### End
BENKI ya Biashara ya DCB imejipanga kuhakikisha inapanua huduma zake mikoani huku ikijivunia kupata faida ya Sh bilioni 1.4 katika kipindi hiki cha robo tatu ya mwaka, ikilinganishwa na hasara ya Sh bilioni 1.6 iliyokuwa imeipata kipindi kama hicho mwaka jana.Hayo yamebainishwa Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Fedha wa benki hiyo, Zacharia Kapama alipokuwa akitoa taarifa ya fedha ya benki hiyo katika kipindi cha robo tatu ya mwaka 2018 mbele ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali.Amesema, katika kipindi kama hicho mwaka jana, benki hiyo ilipata hasara ya Sh bilioni 1.6 kabla ya benki hiyo kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha kutoka katika hasara iliyopata hadi ilipofanikiwa kupata faida hiyo sawa na ongezeko la asilimia 187.Alizitaja baadhi ya hatua zilizochukuliwa na benki hiyo kuwa ni pamoja na kuanzisha mfumo mpya wa dijitali lakini pia kushusha gharama za uendeshaji na biashara, jambo lililochangia wateja wengi kujitokeza na kufungua akaunti katika benki hiyo.Alisema ukuaji huu wa faida umechagizwa na mikopo ghafi ya wateja kutoka Sh bilioni 89.3 Septemba, mwaka jana, hadi kufikia Sh bilioni 91.3 Septemba mwaka huu.Aliongeza kwamba katika kuhakikisha benki hiyo inapanua huduma zake, wameendelea na mikakati ya kufungua matawi katika mikoa mbalimbali wakianza na Dodoma, hatua aliyosema kuwa mbali na faida zingine itachangia ongezeko la wateja wake.Meneja wa Biashara wa Benki hiyo James Ngaluo alisema hadi sasa tayari kiasi cha Sh bilioni 50 zimetolewa kupitia mikopo mbalimbali kwa wateja wake ambao idadi yao pia imeongezeka kutoka wateja 144,445 mwaka jana, na kufikia wateja 157,366 Septemba mwaka huu.Pia alisema mapato halisi ya benki hiyo yatokanayo na riba na yameimarika katika kipindi hicho ikilinganishwa na mwaka uliopita hali iliyochagizwa na mkazo wa benki hiyo katika kuongeza amana za gharama nafuu kupitia bidhaa za amana za kidijiti, usimamizi wa mizania wenye ufanisi na gharama za uendeshaji wa benki.Alisema pamoja na ongezeko la mikopo ghafi, DCB pia imefanikiwa kupunguza kiwango cha mikopo chechefu kutoka asilimia 18.9 Desemba mwaka jana, kufikia asilimia 17.8 Septemba mwaka huu, hatua iliyochangiwa na ongezeko la ufanisi katika ukusanyaji madeni, utoaji mikopo kwa riba nafuu na kuboreshwa huduma kwa wateja.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BENKI ya Biashara ya DCB imejipanga kuhakikisha inapanua huduma zake mikoani huku ikijivunia kupata faida ya Sh bilioni 1.4 katika kipindi hiki cha robo tatu ya mwaka, ikilinganishwa na hasara ya Sh bilioni 1.6 iliyokuwa imeipata kipindi kama hicho mwaka jana.Hayo yamebainishwa Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Fedha wa benki hiyo, Zacharia Kapama alipokuwa akitoa taarifa ya fedha ya benki hiyo katika kipindi cha robo tatu ya mwaka 2018 mbele ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali.Amesema, katika kipindi kama hicho mwaka jana, benki hiyo ilipata hasara ya Sh bilioni 1.6 kabla ya benki hiyo kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha kutoka katika hasara iliyopata hadi ilipofanikiwa kupata faida hiyo sawa na ongezeko la asilimia 187.Alizitaja baadhi ya hatua zilizochukuliwa na benki hiyo kuwa ni pamoja na kuanzisha mfumo mpya wa dijitali lakini pia kushusha gharama za uendeshaji na biashara, jambo lililochangia wateja wengi kujitokeza na kufungua akaunti katika benki hiyo.Alisema ukuaji huu wa faida umechagizwa na mikopo ghafi ya wateja kutoka Sh bilioni 89.3 Septemba, mwaka jana, hadi kufikia Sh bilioni 91.3 Septemba mwaka huu.Aliongeza kwamba katika kuhakikisha benki hiyo inapanua huduma zake, wameendelea na mikakati ya kufungua matawi katika mikoa mbalimbali wakianza na Dodoma, hatua aliyosema kuwa mbali na faida zingine itachangia ongezeko la wateja wake.Meneja wa Biashara wa Benki hiyo James Ngaluo alisema hadi sasa tayari kiasi cha Sh bilioni 50 zimetolewa kupitia mikopo mbalimbali kwa wateja wake ambao idadi yao pia imeongezeka kutoka wateja 144,445 mwaka jana, na kufikia wateja 157,366 Septemba mwaka huu.Pia alisema mapato halisi ya benki hiyo yatokanayo na riba na yameimarika katika kipindi hicho ikilinganishwa na mwaka uliopita hali iliyochagizwa na mkazo wa benki hiyo katika kuongeza amana za gharama nafuu kupitia bidhaa za amana za kidijiti, usimamizi wa mizania wenye ufanisi na gharama za uendeshaji wa benki.Alisema pamoja na ongezeko la mikopo ghafi, DCB pia imefanikiwa kupunguza kiwango cha mikopo chechefu kutoka asilimia 18.9 Desemba mwaka jana, kufikia asilimia 17.8 Septemba mwaka huu, hatua iliyochangiwa na ongezeko la ufanisi katika ukusanyaji madeni, utoaji mikopo kwa riba nafuu na kuboreshwa huduma kwa wateja. ### Response: UCHUMI ### End
Na KULWA MZEE-DODOMA MBUNGE wa Mbozi, Pascal Haonga (Chadema), amemwomba Rais Dk. John Magufuli kujaza nafasi za aliyekuwa Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Dk. Abdallah Possi na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ili wabunge wa CCM watulie. Nafasi ya Dk. Possi iko wazi tangu Januari mwaka huu alipoteuliwa kuwa balozi, huku ya Profesa Muhongo ikiwa wazi tangu Mei 24, uteuzi wake ulipotenguliwa na Rais Magufuli kutokana na uchunguzi wa ripoti ya kwanza ya makinikia. “Namuomba Rais ajaze nafasi ya Profesa Muhongo na Possi, kwa sababu nimeona kuna baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanashindana kutafuta nafasi hizo kwa kushambulia upande huu. Kwa hiyo naomba niseme tu kwamba, afanye uteuzi huo haraka,” alisema Haonga alipopewa nafasi ya kuchangia Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa fedha 2017/18 bungeni jana. Kabla ya kumaliza, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, aliyekuwa akiendesha kikao cha asubuhi, alimkatisha kwa kusema “wewe changia bajeti, acha haya mambo”. Baada ya maelezo hayo, Haonga alisema: “Mheshimiwa mwenyekiti, baada ya ushauri huo naomba sasa niendelee kuchangia bajeti iliyo mbele yetu.” PAULINE GEKUL Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul (Chadema), akichangia bajeti, alisema Serikali inatakiwa kuwa wazi ili wabunge waishauri kwani kwa kuleta vitu vya mafungu hawatapata nafasi ya kuishauri. “Kwa sasa Serikali imekusanya asilimia 70, leo mnaleta trilioni 31/- wakati makusanyo ni asilimia 70. Mgetuambia ukweli wapi mmekwama kuliko kuleta makadirio makubwa. “Serikali imepanga kuzimisha kabisa Serikali za Mitaa, vyanzo vyote mmeshindwa mnakuja kuchukua katika vyanzo vyetu huku. “Bajeti hii ya kuua Serikali za Mitaa kwa asilimia 100, kwani hadi sasa Serikali haijakusanya kodi ya majengo, ni bora mngetuachia sisi halmashauri tukakusanya. “Sasa hivi mmetuachia makusanyo ya kodi katika masoko na stendi, wakati kuna watu wanahitaji mishahara na vyanzo hakuna. “Fedha mnazokusanya mnadai mtarejesha, ni uongo hazirejeshwi, leo mnataka tuwatoze faini ya Sh 100,000, 200,000 hadi Sh 1,000 mtu akitupa taka, hata katika rambo, ilikuwa Sh 50,000 mmepandisha. “Mmepandisha faini kutoka Sh 50,000 hadi milioni, hicho ndiyo chanzo mlichotuachia, kwanza hiki chanzo hakiwahusu, ni sheria ndogo za halmashauri,” alisema. Alisema Serikali Kuu imeamua kunyonga halmashauri zote. WILLIAM NGELEJA Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), alisema anaungana na wote wanaounga mkono bajeti hiyo asilimia 100. Alisema Sengerema kuna mradi mkubwa wa maji ambao tayari umekamilika, kuna miradi kadhaa imebuniwa na kwamba bajeti hiyo imezingatia vizuri jimboni kwake. “Hatuwezi kuzungumzia viwanda bila kuwa na umeme wa uhakika, viwanda na reli inayojengwa vyote vinahitaji umeme mwingi sana. “Kuna haja ya kushirikisha sekta binafsi kushirikiana na Serikali kuwekeza katika vyanzo vya umeme,” alisema. JANET MBENE Mbunge wa Ileje, Janet Mbene (CCM), alisema tozo ya mazao ifanyiwe kazi kwa kuweka tozo moja kwa mazao yote ya biashara na chakula. Alisema pamoja na kuorodhesha kodi, TRA ianze kutoa elimu ya kulipa kodi, wafahamishwe walipakodi wanalipaje ili kupunguza usumbufu. Alisema miradi ya kimkakati imekuwa ya siku nyingi, hivyo imalizwe mikataba ya uwekezaji, ulipaji wa fidia ili miradi ya mkakati ifanye kazi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na KULWA MZEE-DODOMA MBUNGE wa Mbozi, Pascal Haonga (Chadema), amemwomba Rais Dk. John Magufuli kujaza nafasi za aliyekuwa Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu), Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Dk. Abdallah Possi na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ili wabunge wa CCM watulie. Nafasi ya Dk. Possi iko wazi tangu Januari mwaka huu alipoteuliwa kuwa balozi, huku ya Profesa Muhongo ikiwa wazi tangu Mei 24, uteuzi wake ulipotenguliwa na Rais Magufuli kutokana na uchunguzi wa ripoti ya kwanza ya makinikia. “Namuomba Rais ajaze nafasi ya Profesa Muhongo na Possi, kwa sababu nimeona kuna baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanashindana kutafuta nafasi hizo kwa kushambulia upande huu. Kwa hiyo naomba niseme tu kwamba, afanye uteuzi huo haraka,” alisema Haonga alipopewa nafasi ya kuchangia Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka wa fedha 2017/18 bungeni jana. Kabla ya kumaliza, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, aliyekuwa akiendesha kikao cha asubuhi, alimkatisha kwa kusema “wewe changia bajeti, acha haya mambo”. Baada ya maelezo hayo, Haonga alisema: “Mheshimiwa mwenyekiti, baada ya ushauri huo naomba sasa niendelee kuchangia bajeti iliyo mbele yetu.” PAULINE GEKUL Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul (Chadema), akichangia bajeti, alisema Serikali inatakiwa kuwa wazi ili wabunge waishauri kwani kwa kuleta vitu vya mafungu hawatapata nafasi ya kuishauri. “Kwa sasa Serikali imekusanya asilimia 70, leo mnaleta trilioni 31/- wakati makusanyo ni asilimia 70. Mgetuambia ukweli wapi mmekwama kuliko kuleta makadirio makubwa. “Serikali imepanga kuzimisha kabisa Serikali za Mitaa, vyanzo vyote mmeshindwa mnakuja kuchukua katika vyanzo vyetu huku. “Bajeti hii ya kuua Serikali za Mitaa kwa asilimia 100, kwani hadi sasa Serikali haijakusanya kodi ya majengo, ni bora mngetuachia sisi halmashauri tukakusanya. “Sasa hivi mmetuachia makusanyo ya kodi katika masoko na stendi, wakati kuna watu wanahitaji mishahara na vyanzo hakuna. “Fedha mnazokusanya mnadai mtarejesha, ni uongo hazirejeshwi, leo mnataka tuwatoze faini ya Sh 100,000, 200,000 hadi Sh 1,000 mtu akitupa taka, hata katika rambo, ilikuwa Sh 50,000 mmepandisha. “Mmepandisha faini kutoka Sh 50,000 hadi milioni, hicho ndiyo chanzo mlichotuachia, kwanza hiki chanzo hakiwahusu, ni sheria ndogo za halmashauri,” alisema. Alisema Serikali Kuu imeamua kunyonga halmashauri zote. WILLIAM NGELEJA Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), alisema anaungana na wote wanaounga mkono bajeti hiyo asilimia 100. Alisema Sengerema kuna mradi mkubwa wa maji ambao tayari umekamilika, kuna miradi kadhaa imebuniwa na kwamba bajeti hiyo imezingatia vizuri jimboni kwake. “Hatuwezi kuzungumzia viwanda bila kuwa na umeme wa uhakika, viwanda na reli inayojengwa vyote vinahitaji umeme mwingi sana. “Kuna haja ya kushirikisha sekta binafsi kushirikiana na Serikali kuwekeza katika vyanzo vya umeme,” alisema. JANET MBENE Mbunge wa Ileje, Janet Mbene (CCM), alisema tozo ya mazao ifanyiwe kazi kwa kuweka tozo moja kwa mazao yote ya biashara na chakula. Alisema pamoja na kuorodhesha kodi, TRA ianze kutoa elimu ya kulipa kodi, wafahamishwe walipakodi wanalipaje ili kupunguza usumbufu. Alisema miradi ya kimkakati imekuwa ya siku nyingi, hivyo imalizwe mikataba ya uwekezaji, ulipaji wa fidia ili miradi ya mkakati ifanye kazi. ### Response: KITAIFA ### End
MANCHESTER UNITED, ENGLAND KOCHA wa timu ya Manchester United, Jose Mourinho, amesema huenda akamuondoa nahodha wa timu hiyo katika kikosi cha kwanza lakini si kumuuza kwa klabu nyingine. Rooney ambaye leo anatimiza miaka 31, hakuanza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo kilichoibuka na ushindi wa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi ya Europa dhidi ya Fenerbahce. Hata hivyo, nyota huyo ameondolewa kucheza kikosi cha kwanza katika michezo mitatu iliyopita ya Ligi Kuu England. Hali hiyo inadaiwa inatokana na kuporomoka  kwa kiwango cha nyota huyo ambaye anadaiwa kutakiwa na timu ya  Shanghai SIPG inayoshiriki Ligi Kuu ya China ‘Super League’. Mourinho alisema kamwe hatathubutu kufanya uamuzi wa kumuuza nyota huyo  aliyejiunga na timu hiyo tangu mwaka 2004 akitokea timu ya Everton. “Hapana, kamwe sitofanya uamuzi huo kwa aina ya mchezaji kama Rooney, kwani ni  mchezaji  mwenye historia kubwa katika klabu hii, binafsi sitofanya kosa kama ambavyo makocha wengine wangefanya kwake. “Nilimweka benchi katika michezo mitatu kutokana na kiwango chake kushuka, ingawa ilikuwa vigumu kufanya hivyo kwake na kwangu,  kutokana na historia yake. “Ni vigumu kumweka mchezaji mkongwe benchi ukizingatia idadi ya michezo aliyocheza katika timu ya taifa na klabu yake,” alisema Mourinho. Mourinho alisema soka ni shughuli ambayo wengine wanaiongoza katika uamuzi sahihi na ambao si sahihi, lakini mtazamo wake kwa nyota huyo ni sahihi. Kocha huyo anaamini kwamba baada ya nyota huyo kubadilishwa nafasi yake  uwanjani  na  kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal na timu ya taifa ya England, Roy Hodgson,  kumechangia kuporomoka kwa  kiwango chake. “Nafikiri suala hili linazua maswali mengi sana kuhusu nafasi yake uwanjani na maisha yake ya baadaye, pia kwa wachezaji ambao hawajawa na uwezo wa kujiamini uwanjani wanaotakiwa kulielewa vizuri jambo hili. “Haiwezekani  kumchezesha  namba sita hadi  nane  au  tisa, kumi hadi namba sita, Rooney kwangu mimi ni mchezaji mshambuliaji,” alisema Mourinho. Mourinho alisema kwa kipindi chake atakachoifundisha timu hiyo, nyota huyo hataweza kucheza namba sita au kiungo uwanjani, bali atacheza kama mshambuliaji wa pili uwanjani.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MANCHESTER UNITED, ENGLAND KOCHA wa timu ya Manchester United, Jose Mourinho, amesema huenda akamuondoa nahodha wa timu hiyo katika kikosi cha kwanza lakini si kumuuza kwa klabu nyingine. Rooney ambaye leo anatimiza miaka 31, hakuanza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo kilichoibuka na ushindi wa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi ya Europa dhidi ya Fenerbahce. Hata hivyo, nyota huyo ameondolewa kucheza kikosi cha kwanza katika michezo mitatu iliyopita ya Ligi Kuu England. Hali hiyo inadaiwa inatokana na kuporomoka  kwa kiwango cha nyota huyo ambaye anadaiwa kutakiwa na timu ya  Shanghai SIPG inayoshiriki Ligi Kuu ya China ‘Super League’. Mourinho alisema kamwe hatathubutu kufanya uamuzi wa kumuuza nyota huyo  aliyejiunga na timu hiyo tangu mwaka 2004 akitokea timu ya Everton. “Hapana, kamwe sitofanya uamuzi huo kwa aina ya mchezaji kama Rooney, kwani ni  mchezaji  mwenye historia kubwa katika klabu hii, binafsi sitofanya kosa kama ambavyo makocha wengine wangefanya kwake. “Nilimweka benchi katika michezo mitatu kutokana na kiwango chake kushuka, ingawa ilikuwa vigumu kufanya hivyo kwake na kwangu,  kutokana na historia yake. “Ni vigumu kumweka mchezaji mkongwe benchi ukizingatia idadi ya michezo aliyocheza katika timu ya taifa na klabu yake,” alisema Mourinho. Mourinho alisema soka ni shughuli ambayo wengine wanaiongoza katika uamuzi sahihi na ambao si sahihi, lakini mtazamo wake kwa nyota huyo ni sahihi. Kocha huyo anaamini kwamba baada ya nyota huyo kubadilishwa nafasi yake  uwanjani  na  kocha wa zamani wa timu hiyo, Louis van Gaal na timu ya taifa ya England, Roy Hodgson,  kumechangia kuporomoka kwa  kiwango chake. “Nafikiri suala hili linazua maswali mengi sana kuhusu nafasi yake uwanjani na maisha yake ya baadaye, pia kwa wachezaji ambao hawajawa na uwezo wa kujiamini uwanjani wanaotakiwa kulielewa vizuri jambo hili. “Haiwezekani  kumchezesha  namba sita hadi  nane  au  tisa, kumi hadi namba sita, Rooney kwangu mimi ni mchezaji mshambuliaji,” alisema Mourinho. Mourinho alisema kwa kipindi chake atakachoifundisha timu hiyo, nyota huyo hataweza kucheza namba sita au kiungo uwanjani, bali atacheza kama mshambuliaji wa pili uwanjani. ### Response: MICHEZO ### End
SERIKALI imewahakikishia ushirikiano wachuuzi wa vyuma chakavu, ambavyo kitaalamu huitwa taka hatarishi na imewapunguzia tozo katika biashara hiyo.Akihutubia mkutano wa mashauriano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam jana kuhusu usimamizi na udhibiti wa taka hatarishi, ulioandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), George Simbachawene alisema serikali inatambua nafasi yao katika safari ya kuijenga Tanzania yenye uchumi wa kati na viwanda.Simbachawene amesema inatambua pia kuwa wafanyabiashara hao wamekuwa wazalishaji wakubwa wa ajira, watunzaji wa mazingira kwa kukusanya taka hatarishi na kundi muhimu linaloliingizia taifa pesa za kigeni.Alisema biashara ya vyuma chakavu ni moja ya biashara kubwa duniani, lakini lazima ifanywe kwa kufuata mikataba ya kimataifa inayosimamia biashara hiyo na ambayo Tanzania imeiridhia na kuisaini.“Biashara hii ni kubwa na wafanyabiashara wamewekeza pesa nyingi lakini ukubwa huo usitufumbe macho kwa kiwango ambacho tutavunja taratibu tulizoziridhia kimataifa.“Hivyo nitumie nafasi hii kuwaasa wafanyabiashara wa vyuma chakavu kufanya biashara hii kwa mujibu wa kanuni na sheria zinazosimamiwa na NEMC. NEMC ndicho chombo pekee cha kusimamia mazingira,” alisema.Alieleza kuwa vibali vyote vimefutwa na kuagiza mchakato kuanza mara moja na kuitaka NEMC kuunda timu ya wataalamu ndani ya saa 12 ambapo itafanya kazi ya kuratibu mpango wa upatikanaji upya wa vibali.Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk Samuel Gwamaka aliwataka wafanyabiashara hao kupata ushauri kutoka ofisi za NEMC ili wasivunje sheria na kanuni zinazoongoza ufanyaji wa biashara hiyo.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI imewahakikishia ushirikiano wachuuzi wa vyuma chakavu, ambavyo kitaalamu huitwa taka hatarishi na imewapunguzia tozo katika biashara hiyo.Akihutubia mkutano wa mashauriano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam jana kuhusu usimamizi na udhibiti wa taka hatarishi, ulioandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), George Simbachawene alisema serikali inatambua nafasi yao katika safari ya kuijenga Tanzania yenye uchumi wa kati na viwanda.Simbachawene amesema inatambua pia kuwa wafanyabiashara hao wamekuwa wazalishaji wakubwa wa ajira, watunzaji wa mazingira kwa kukusanya taka hatarishi na kundi muhimu linaloliingizia taifa pesa za kigeni.Alisema biashara ya vyuma chakavu ni moja ya biashara kubwa duniani, lakini lazima ifanywe kwa kufuata mikataba ya kimataifa inayosimamia biashara hiyo na ambayo Tanzania imeiridhia na kuisaini.“Biashara hii ni kubwa na wafanyabiashara wamewekeza pesa nyingi lakini ukubwa huo usitufumbe macho kwa kiwango ambacho tutavunja taratibu tulizoziridhia kimataifa.“Hivyo nitumie nafasi hii kuwaasa wafanyabiashara wa vyuma chakavu kufanya biashara hii kwa mujibu wa kanuni na sheria zinazosimamiwa na NEMC. NEMC ndicho chombo pekee cha kusimamia mazingira,” alisema.Alieleza kuwa vibali vyote vimefutwa na kuagiza mchakato kuanza mara moja na kuitaka NEMC kuunda timu ya wataalamu ndani ya saa 12 ambapo itafanya kazi ya kuratibu mpango wa upatikanaji upya wa vibali.Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk Samuel Gwamaka aliwataka wafanyabiashara hao kupata ushauri kutoka ofisi za NEMC ili wasivunje sheria na kanuni zinazoongoza ufanyaji wa biashara hiyo. ### Response: UCHUMI ### End
Na GLORY MLAY MSANII wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema ana uwezo wa kumsaidia msanii 20 Percent ili arudi tena kimuziki na kuwa tishio kama mwaka 2011, lakini hadi atake kusaidiwa. Diamond alisema wapo wasanii wanaohitaji msaada katika kazi zao na wanaonyesha utayari wa kusaidiwa, lakini wapo pia wanaohitaji msaada lakini hawaonyeshi utayari wa kusaidiwa. “Kuna wasanii wanakufuata, anakwambia nimeshindwa hapa, nimekwama nisaidie unamsaidia lakini wapo wanaohitaji msaada lakini hawaonyeshi kusaidiwa kama 20 Percent, siwezi kumfuata na kumwambia nataka nimsaidie kimuziki lakini kama anataka kusaidiwa, nitamsaidia akionyesha kutaka kusaidiwa,” alisema. Diamond aliongeza kwamba yupo tayari kumsaidia msanii yeyote aliyekwama kwenye kazi zake na anayeonyesha nia ya kutaka msaada.
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na GLORY MLAY MSANII wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema ana uwezo wa kumsaidia msanii 20 Percent ili arudi tena kimuziki na kuwa tishio kama mwaka 2011, lakini hadi atake kusaidiwa. Diamond alisema wapo wasanii wanaohitaji msaada katika kazi zao na wanaonyesha utayari wa kusaidiwa, lakini wapo pia wanaohitaji msaada lakini hawaonyeshi utayari wa kusaidiwa. “Kuna wasanii wanakufuata, anakwambia nimeshindwa hapa, nimekwama nisaidie unamsaidia lakini wapo wanaohitaji msaada lakini hawaonyeshi kusaidiwa kama 20 Percent, siwezi kumfuata na kumwambia nataka nimsaidie kimuziki lakini kama anataka kusaidiwa, nitamsaidia akionyesha kutaka kusaidiwa,” alisema. Diamond aliongeza kwamba yupo tayari kumsaidia msanii yeyote aliyekwama kwenye kazi zake na anayeonyesha nia ya kutaka msaada. ### Response: BURUDANI ### End
Chanzo cha picha, ISTOCK/BBC THREE Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama 'kipimo cha kuishi' katika dharura kama hiyo lakini watu wengi katika maeneo mbali mbali duniani wanaamini kwamba kunywa mkojo wako kuna manufaa kwa maisha 'ya kiafya'. Lakini Je, kuamka asubuhi na mapema na kunywa mkojo wako mwenyewe kunatibu magonjwa? Je, kupaka mkojo kwenye mwili na uso huifanya ngozi kuwa na laini na yenye afya kama inavyoaminiwa? Madaktari wanasema nini kuhusu hili? Kelly Oakley, mwalimu wa yoga mwenye umri wa miaka 33 anayeishi Uingereza, hivi majuzi alifichua kwamba kunywa mkojo wake mwenyewe kumemsaidia kukabiliana na matatizo ya muda mrefu. Alisema kuwa dawa hii imempa nafuu ya tezi dume na maumivu ya muda mrefu. Kelly alilieleza hivi karibuni shirika la habari la Associated Press kwamba amekuwa akikunywa mkojo wake kwa miaka miwili iliyopita. Chanzo cha picha, Twitter "Nilisikia kwamba kunywa mkojo kunaboresha mfumo wako wa kinga, husaidia kudumisha afya njema, na ni nzuri kwa ngozi yako," Kelly alisema. Kwa hivyo nilianza kujaribu jaribio langu la kunywa mkojo. Si kunywa tu mkojo wake kila siku, lakini pia huupaka kwenye ngozi yake. Alisema kuwa dawa hii iliifanya ngozi yake kung'aa zaidi. Watu wengi huita dawa hii 'tiba ya mkojo'. Dawa hii pia inajulikana kama 'Urophagia'. Lakufurahisha ni kwamba, Kelly sio mtu pekee anayedai kufaidika kwa kunywa mkojo wake mwenyewe. Hivi karibuni kumekuwa na mifano mingi kama hiyo. "Kunywa mkojo wangu mwenyewe kumenisaidia kupunguza nusu ya uzito wangu," Sampson, 46, wa Albert, Canada, aliliambia jarida la Sun. Hapo awali alisema kuwa uzito wake ulipungua hadi kilo 120, jambo ambalo lilikuwa likimsumbua, lakini sasa tangu ameanza kunywa mkojo wake mwenyewe, uzito wake umerudi kawaida. “Rafiki yangu alinitumia video akielezea tiba ya mkojo. Baada ya kutazama video hiyo, nilikwenda bafuni, nikajaza kikombe na mkojo wangu na kunywa. Ndani ya siku chache, nilianza kuona tofauti ndani yangu.”, alieleza. Chanzo cha picha, Twitter Sasa wanakunywa mkojo kila siku na pia kutumia mkojo wao kusukutua vinywa vyao wakati wa kupiga mswaki asubuhi. Pia huweka matone yake machoni pao. Mwanamke mwingine, Faith Canter mwenye umri wa miaka 39 kutoka Ureno, hivi karibuni alisema kwamba anakunywa mkojo wake ili kupunguza maumivu ya kuumwa na mbu. Alisema, “Nilihisi ajabu kidogo mwanzoni, lakini taratibu nilizoea. Ninakunywa mkojo kila asubuhi. Sasa naumwa na mbu kidogo kuliko zamani. Na hata ikiumwa wakati mwingine, hakuna uvimbe, kuwasha wala maumivu.” Kujua maoni mengi mazuri kuhusu 'tiba ya mkojo', ni kawaida kwamba maswali huibuka akilini kuhusu faida zake. . Kulingana na ripoti katika jarida la Guardian , Waziri Mkuu wa zamani wa India Morarji Desai pia alijaribu 'tiba ya mkojo' kwa muda mrefu. Mnamo 1978, alishiriki habari hii na mwandishi wa habari wa Amerika Don Badala. Pia alisema kuwa hii inaweza kuwa suluhisho zuri sana kwa mamilioni ya watu nchini India ambao hawawezi kumudu gharama za hospitali. Kulingana na wanachama wa Chama cha Tiba ya Mkojo cha China, takriban watu laki moja China Bara hutumia 'tiba ya mkojo'. Chanzo cha picha, Getty Images Mwezi Juni mwaka huu, video ya mwanamke akinywa mkojo wa mbwa wake ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii. Katika video hiyo mwanamke huyo anaonekana akipeleka mbwa wake kwenye bustani. Wakati huohuo, katika tukio moja, anaonekana akichukua mkojo wa mbwa wake kwenye kikombe na kuunywa. Hata hivyo, madaktari wanasema kwamba kunywa mkojo kwa njia hii sio vizuri kwa afya. Mkojo ni uchafu wa mwili. Pamoja na maji, una vitu ambavyo havitakikani mwilini. Dkt. Zubair Ahmad aliiambia BBC, “Watu wengi wanaamini kwamba ikiwa huna matatizo yoyote ya figo, mkojo wako ni safi. Ni sawa maadamu uko ndani ya mwili lakini ukitoka nje unaweza kuambukizwa na bakteria. Kunywa mkojo katika hali kama hiyo kunaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya.” Hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba kunywa mkojo kuna manufaa. Anasema, “Kupitia mkojo tunaondoa uchafu mwilini. Kwa hiyo hakuna msingi wa kisayansi wa kunywa mkojo taka kuwa na manufaa.” Chanzo cha picha, Getty Images Kulingana na Dkt. Andrew Thonber, unywaji wa mkojo unamaanisha kuwa unaweka taka ambayo mwili wako umeondoa ndani ya mwili wako. Kufanya hivyo kunaweza kudhuru afya yako. "Figo husafisha damu na kuondoa uchafu na chumvi," aliambia BBC. Mkojo wa mtu mwenye afya njema ni asilimia 95 ya maji, na asilimia tano iliyobaki una kemikali kama vile potasiamu na nitrojeni, ambazo mwili unataka kutoa. Hivyo kunywa mkojo kunaweza kusababisha matatizo ya tumbo, na pia kuwa hatari kwa figo.” Kulingana na yeye, "Watu wengi wanaamini kuwa kunywa mkojo kunaweza kutoa mwilini vitamini muhimu haraka, hakuna haja ya kufuata njia hizo hatari."
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, ISTOCK/BBC THREE Inawezekana ukafikiria kuwa ni jambo la ajabu kunywa mkojo wako kama 'kipimo cha kuishi' katika dharura kama hiyo lakini watu wengi katika maeneo mbali mbali duniani wanaamini kwamba kunywa mkojo wako kuna manufaa kwa maisha 'ya kiafya'. Lakini Je, kuamka asubuhi na mapema na kunywa mkojo wako mwenyewe kunatibu magonjwa? Je, kupaka mkojo kwenye mwili na uso huifanya ngozi kuwa na laini na yenye afya kama inavyoaminiwa? Madaktari wanasema nini kuhusu hili? Kelly Oakley, mwalimu wa yoga mwenye umri wa miaka 33 anayeishi Uingereza, hivi majuzi alifichua kwamba kunywa mkojo wake mwenyewe kumemsaidia kukabiliana na matatizo ya muda mrefu. Alisema kuwa dawa hii imempa nafuu ya tezi dume na maumivu ya muda mrefu. Kelly alilieleza hivi karibuni shirika la habari la Associated Press kwamba amekuwa akikunywa mkojo wake kwa miaka miwili iliyopita. Chanzo cha picha, Twitter "Nilisikia kwamba kunywa mkojo kunaboresha mfumo wako wa kinga, husaidia kudumisha afya njema, na ni nzuri kwa ngozi yako," Kelly alisema. Kwa hivyo nilianza kujaribu jaribio langu la kunywa mkojo. Si kunywa tu mkojo wake kila siku, lakini pia huupaka kwenye ngozi yake. Alisema kuwa dawa hii iliifanya ngozi yake kung'aa zaidi. Watu wengi huita dawa hii 'tiba ya mkojo'. Dawa hii pia inajulikana kama 'Urophagia'. Lakufurahisha ni kwamba, Kelly sio mtu pekee anayedai kufaidika kwa kunywa mkojo wake mwenyewe. Hivi karibuni kumekuwa na mifano mingi kama hiyo. "Kunywa mkojo wangu mwenyewe kumenisaidia kupunguza nusu ya uzito wangu," Sampson, 46, wa Albert, Canada, aliliambia jarida la Sun. Hapo awali alisema kuwa uzito wake ulipungua hadi kilo 120, jambo ambalo lilikuwa likimsumbua, lakini sasa tangu ameanza kunywa mkojo wake mwenyewe, uzito wake umerudi kawaida. “Rafiki yangu alinitumia video akielezea tiba ya mkojo. Baada ya kutazama video hiyo, nilikwenda bafuni, nikajaza kikombe na mkojo wangu na kunywa. Ndani ya siku chache, nilianza kuona tofauti ndani yangu.”, alieleza. Chanzo cha picha, Twitter Sasa wanakunywa mkojo kila siku na pia kutumia mkojo wao kusukutua vinywa vyao wakati wa kupiga mswaki asubuhi. Pia huweka matone yake machoni pao. Mwanamke mwingine, Faith Canter mwenye umri wa miaka 39 kutoka Ureno, hivi karibuni alisema kwamba anakunywa mkojo wake ili kupunguza maumivu ya kuumwa na mbu. Alisema, “Nilihisi ajabu kidogo mwanzoni, lakini taratibu nilizoea. Ninakunywa mkojo kila asubuhi. Sasa naumwa na mbu kidogo kuliko zamani. Na hata ikiumwa wakati mwingine, hakuna uvimbe, kuwasha wala maumivu.” Kujua maoni mengi mazuri kuhusu 'tiba ya mkojo', ni kawaida kwamba maswali huibuka akilini kuhusu faida zake. . Kulingana na ripoti katika jarida la Guardian , Waziri Mkuu wa zamani wa India Morarji Desai pia alijaribu 'tiba ya mkojo' kwa muda mrefu. Mnamo 1978, alishiriki habari hii na mwandishi wa habari wa Amerika Don Badala. Pia alisema kuwa hii inaweza kuwa suluhisho zuri sana kwa mamilioni ya watu nchini India ambao hawawezi kumudu gharama za hospitali. Kulingana na wanachama wa Chama cha Tiba ya Mkojo cha China, takriban watu laki moja China Bara hutumia 'tiba ya mkojo'. Chanzo cha picha, Getty Images Mwezi Juni mwaka huu, video ya mwanamke akinywa mkojo wa mbwa wake ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii. Katika video hiyo mwanamke huyo anaonekana akipeleka mbwa wake kwenye bustani. Wakati huohuo, katika tukio moja, anaonekana akichukua mkojo wa mbwa wake kwenye kikombe na kuunywa. Hata hivyo, madaktari wanasema kwamba kunywa mkojo kwa njia hii sio vizuri kwa afya. Mkojo ni uchafu wa mwili. Pamoja na maji, una vitu ambavyo havitakikani mwilini. Dkt. Zubair Ahmad aliiambia BBC, “Watu wengi wanaamini kwamba ikiwa huna matatizo yoyote ya figo, mkojo wako ni safi. Ni sawa maadamu uko ndani ya mwili lakini ukitoka nje unaweza kuambukizwa na bakteria. Kunywa mkojo katika hali kama hiyo kunaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya.” Hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba kunywa mkojo kuna manufaa. Anasema, “Kupitia mkojo tunaondoa uchafu mwilini. Kwa hiyo hakuna msingi wa kisayansi wa kunywa mkojo taka kuwa na manufaa.” Chanzo cha picha, Getty Images Kulingana na Dkt. Andrew Thonber, unywaji wa mkojo unamaanisha kuwa unaweka taka ambayo mwili wako umeondoa ndani ya mwili wako. Kufanya hivyo kunaweza kudhuru afya yako. "Figo husafisha damu na kuondoa uchafu na chumvi," aliambia BBC. Mkojo wa mtu mwenye afya njema ni asilimia 95 ya maji, na asilimia tano iliyobaki una kemikali kama vile potasiamu na nitrojeni, ambazo mwili unataka kutoa. Hivyo kunywa mkojo kunaweza kusababisha matatizo ya tumbo, na pia kuwa hatari kwa figo.” Kulingana na yeye, "Watu wengi wanaamini kuwa kunywa mkojo kunaweza kutoa mwilini vitamini muhimu haraka, hakuna haja ya kufuata njia hizo hatari." ### Response: AFYA ### End
['Japo wenyewe hawasemi, ama yawezekana hawataki kunukuliwa wakisema, miaka 30 ya kushindwa kuchukua taji la Ligi ya Primia kwa Liverpool hatimaye inaelekea kufika kikomo. ', 'Hawawezi kusema hadharani, ama kuonesha furaha yao kwa sasa, kwa kuwa katika miaka hiyo 30 kumekuwa na vipindi ambavyo walikaribia kunyakua kombe lakini likawaponyoka.', 'Lakini yaonekana mwaka huu hadithi ni tofauti, ubora wa kikosi ni wa hali ya juu, yawezekana ikawa sahihi kusema kikosi hiki cha sasa ndiyo bora zaidi kuliko vyote katika miongo mitatu iliyopita. ', "Nuru ya ushindi iling'ara zaidi kwa vijana hao wanaonolewa na Mjerumani Jurgen Klopp baada ya kuichapa Leicester City inayoshika nafasi ya pili kwa goli 4-0 siku ya Boxing Day. ", 'Ushindi wa Liverpool uliambatana na kiwango safi cha umiliki wa kandanda, Leicester ambayo watu walikuwa wakiipigia chapuo la kuizuia Liverpool na kufanya maajabu ya kuchukua ubingwa kama mwaka 2016 walikuwa zaidi ya wanyonge katika mchezo huo uliopigwa dimbani kwao. ', 'Kwa matokeo hayo, Liverpool ikafikisha alama 52, na kuifanya ikae kwenye usukani wa ligi kwa tofauti ya alama 13 dhidi ya Leicester yenye alama 39. ', 'Ijumaa Disemba 27, ikawa siku njema pia kwa Liverpool japo hawakushuka dimbani, mabingwa watetezi Manchester City ambao wapo nafasi ya tatu wakapoteza mchezo wao dhidi ya Wolves kwa goli 3-2.', 'Kwa matokeo hayo, pengo baina ya Livepool na Man City yenye alama 38 ni pointi 14. ', 'Ikumbukwe pia kuwa Livepool ana mchezo mmoja mkononi hivyo endapo ataushinda mchezo huo atakuwa na alama 55. ', 'Baada ya mchezo dhidi ya Wolves, kocha wa Man City Pep Guardiola alikiri kuwa safari ya ubingwa kwao imefikia tamati.', '"Pengo ni kubwa sana...ni kitu kisicho na uhalisia kwa sisi kuanza kuwafikiria Liverpool. Kwa sasa tunawapigia hesabu Leicester, tunaamini tunaweza kurudi katika nafasi ya pili," amesema Guardiola. ', 'Kwa upande wa kocha wa Leicester, Brendan Rodgers pia itakuwa ni vigumu sana kuwazuia Liverpool. ', '"(Liverpool) Ni timu nzuri sana. Kiwango chao cha kujiamini kipo juu. Wamekuwa ni wazoefu wa kushinda na hawajapoteza michezo mingi katika miezi 18 iliyopita. Sasa wana wachezaji wa kutosha, uzoefu na ubora wa kuwafanya wamalize kazi mapema." ', 'Kocha wa Liverpool kwa upande wake anaonekana kukagua kila neno analoliongea kuhusu mustakabali wa ubingwa. ', 'Naam, uhalisia ni kuwa bado kuna mechi 20 zinawasubiri kabla ya kumaliza msimu huu. ', 'Nusu yao ya ligi, sawa na michezo 19 itakuwa kesho dhidi ya Wolves. Mpaka sasa Liverpool wameshinda mechi 17 na kutoka sare mchezo mmoja tu dhidi ya mahasimu wao Man United. ', ' "Bado hakuna chochote kilichoamuliwa, sisikii maamuzi yeyote kwenye masikio yangu. Sisi tunajitahidi kufanya kila tuliwezalo kujiandaa na mechi zetu zinazofuata," anadai Klopp. ', 'Licha ya kauli hiyo ya Klopp, uhalisia ni kuwapengo baina yao na timu zinazowafukuza katika msimamo wa ligi ni kubwa.', 'Si jambo linaloyumkinika kuona Liverpool ambayo haijafungwa michezo ya ligi 34 iliyopita kudondosha alama 14 mpaka msimu utakapokamilika mwakani. ', 'Toka mwaka 2019 uanze Livepool imefungwa mchezo mmoja tu wa ligi. ', 'Ili ubingwa uwaponyoke msimu huu, basi watalazimika kufungwa michezo mitano kati ya 20 ijayo, huku wapinzani wao wa karibu, Man City na Leicester washinde michezo yao yote. Hakika hizo zitakuwa hesabu ngumu kutimia.', 'Mpaka sasa Man City washapoteza mechi tano kati ya 19 (mzunguko wa kwanza wa ligi). Msimu uliopita walipoteza mechi nne katika mechi zote 38. ', "Uongozi huu wa ligi wa Liverpool, kwa alam nyingi kama hizo kufikia siku ya 'Boxing Day' mara ya mwisho ulishikiliwa na Manchester United miaka 26 iliyopita msimu wa 1993-1994, ambapo United walinyakua ubingwa. ", 'Kwa namna yeyote ile, Liverpool ni bingwa mteule wa ligi ya Primia msimu wa 2019/2020. ', 'Mara yao ya mwisho kuchua taji hilo ilikuwa ni miaka 30 kamili iliyopita, msimu wa 1989/1990. ']
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- ['Japo wenyewe hawasemi, ama yawezekana hawataki kunukuliwa wakisema, miaka 30 ya kushindwa kuchukua taji la Ligi ya Primia kwa Liverpool hatimaye inaelekea kufika kikomo. ', 'Hawawezi kusema hadharani, ama kuonesha furaha yao kwa sasa, kwa kuwa katika miaka hiyo 30 kumekuwa na vipindi ambavyo walikaribia kunyakua kombe lakini likawaponyoka.', 'Lakini yaonekana mwaka huu hadithi ni tofauti, ubora wa kikosi ni wa hali ya juu, yawezekana ikawa sahihi kusema kikosi hiki cha sasa ndiyo bora zaidi kuliko vyote katika miongo mitatu iliyopita. ', "Nuru ya ushindi iling'ara zaidi kwa vijana hao wanaonolewa na Mjerumani Jurgen Klopp baada ya kuichapa Leicester City inayoshika nafasi ya pili kwa goli 4-0 siku ya Boxing Day. ", 'Ushindi wa Liverpool uliambatana na kiwango safi cha umiliki wa kandanda, Leicester ambayo watu walikuwa wakiipigia chapuo la kuizuia Liverpool na kufanya maajabu ya kuchukua ubingwa kama mwaka 2016 walikuwa zaidi ya wanyonge katika mchezo huo uliopigwa dimbani kwao. ', 'Kwa matokeo hayo, Liverpool ikafikisha alama 52, na kuifanya ikae kwenye usukani wa ligi kwa tofauti ya alama 13 dhidi ya Leicester yenye alama 39. ', 'Ijumaa Disemba 27, ikawa siku njema pia kwa Liverpool japo hawakushuka dimbani, mabingwa watetezi Manchester City ambao wapo nafasi ya tatu wakapoteza mchezo wao dhidi ya Wolves kwa goli 3-2.', 'Kwa matokeo hayo, pengo baina ya Livepool na Man City yenye alama 38 ni pointi 14. ', 'Ikumbukwe pia kuwa Livepool ana mchezo mmoja mkononi hivyo endapo ataushinda mchezo huo atakuwa na alama 55. ', 'Baada ya mchezo dhidi ya Wolves, kocha wa Man City Pep Guardiola alikiri kuwa safari ya ubingwa kwao imefikia tamati.', '"Pengo ni kubwa sana...ni kitu kisicho na uhalisia kwa sisi kuanza kuwafikiria Liverpool. Kwa sasa tunawapigia hesabu Leicester, tunaamini tunaweza kurudi katika nafasi ya pili," amesema Guardiola. ', 'Kwa upande wa kocha wa Leicester, Brendan Rodgers pia itakuwa ni vigumu sana kuwazuia Liverpool. ', '"(Liverpool) Ni timu nzuri sana. Kiwango chao cha kujiamini kipo juu. Wamekuwa ni wazoefu wa kushinda na hawajapoteza michezo mingi katika miezi 18 iliyopita. Sasa wana wachezaji wa kutosha, uzoefu na ubora wa kuwafanya wamalize kazi mapema." ', 'Kocha wa Liverpool kwa upande wake anaonekana kukagua kila neno analoliongea kuhusu mustakabali wa ubingwa. ', 'Naam, uhalisia ni kuwa bado kuna mechi 20 zinawasubiri kabla ya kumaliza msimu huu. ', 'Nusu yao ya ligi, sawa na michezo 19 itakuwa kesho dhidi ya Wolves. Mpaka sasa Liverpool wameshinda mechi 17 na kutoka sare mchezo mmoja tu dhidi ya mahasimu wao Man United. ', ' "Bado hakuna chochote kilichoamuliwa, sisikii maamuzi yeyote kwenye masikio yangu. Sisi tunajitahidi kufanya kila tuliwezalo kujiandaa na mechi zetu zinazofuata," anadai Klopp. ', 'Licha ya kauli hiyo ya Klopp, uhalisia ni kuwapengo baina yao na timu zinazowafukuza katika msimamo wa ligi ni kubwa.', 'Si jambo linaloyumkinika kuona Liverpool ambayo haijafungwa michezo ya ligi 34 iliyopita kudondosha alama 14 mpaka msimu utakapokamilika mwakani. ', 'Toka mwaka 2019 uanze Livepool imefungwa mchezo mmoja tu wa ligi. ', 'Ili ubingwa uwaponyoke msimu huu, basi watalazimika kufungwa michezo mitano kati ya 20 ijayo, huku wapinzani wao wa karibu, Man City na Leicester washinde michezo yao yote. Hakika hizo zitakuwa hesabu ngumu kutimia.', 'Mpaka sasa Man City washapoteza mechi tano kati ya 19 (mzunguko wa kwanza wa ligi). Msimu uliopita walipoteza mechi nne katika mechi zote 38. ', "Uongozi huu wa ligi wa Liverpool, kwa alam nyingi kama hizo kufikia siku ya 'Boxing Day' mara ya mwisho ulishikiliwa na Manchester United miaka 26 iliyopita msimu wa 1993-1994, ambapo United walinyakua ubingwa. ", 'Kwa namna yeyote ile, Liverpool ni bingwa mteule wa ligi ya Primia msimu wa 2019/2020. ', 'Mara yao ya mwisho kuchua taji hilo ilikuwa ni miaka 30 kamili iliyopita, msimu wa 1989/1990. '] ### Response: MICHEZO ### End
Chanzo cha picha, Reuters Rais mteule wa Marekani amesema atawaomba raia wa Marekani kuvaa barakoa siku 100 za mwanzo za utawala wake ili kupunguza maambukizi ya virusi vya corona. Amezungumza hayo katika kituo cha habari cha CNN, anasema anaamini kuwa itasaidia maambukizi ya corona kupungua kama kila Mmarekani atavaa barakoa. Bwana Biden alisema pia kuwa atatoa amri katika majengo yote ya serikali watu wavae barakoa. Marekani ina rekodi ya maambukizi ya corona milioni 14 na vifo vinavyotokana na ugonjwa ni 275,000. Biden amesema nini kuhusu barakoa? Katika mahojiano aliyoyafanya na Jake Tapper wa CNN, bwana Biden alisema: "Siku ya kwanza nitakayoapishwa nitawaomba wananchi kuvaa barakoa kwa siku 100 na sio milele. "Na nadhani itaweza kusaidi kupunguza maambukizi kwa kiasi kikubwa sana, kama chanjo na barakoa zitaweza kupunguza maambukizi." Wataalam wa katiba wanasema rais wa Marekani hana mamlaka ya kutoa amri kwa watu kuvaa barakoa lakini bwana Biden alisema wakati wa mahojiano hayo kuwa makamu wake wa rais Kamala Harris ataweka mfano wa namna ya kufunika uso. Mamlaka ya rais yanahusisha kulinda mali za serikali ya Marekani, na bwana Biden aliiambia CNN kuwa ana lengo la kutumia mamlaka hayo. "Ninaenda kutoa agizo katika serikali ya shirikisho kuwa wanapashwa kuvaa barakoa," alisema. Aliongeza: "Katika upande wa usafirishaji,kila mtu anapaswa kuvaa barakoa kwenye ndege na mabasi na usafiri wowote." Ndege za Marekani , uwanja wa ndege na maeneo mengi ya umma tayari yanawataka abiria na wafanyakazi wake kuvaa barakoa. White House ya Trump imekataa kufuata agizo hilo kutoka kwa wataalamu wa afya . Alizungumza huku Gavana wa California Gavin Newsom akitoa amri ya kukaa nyumbani kwa sehemu kubwa ya wakazi wa jimbo lake , akisema ana weka ''mapumziko ya dharura " huku wagonjwa wa virusi wakitishia kupita uwezo wa hospitali . Jumatano, Meya wa Los Angeles Eric Garcetti alitoa amri ya kuzuia umma kusafiri kwa miguu au kwa magari, akiongeza kuwa "ni muda wa kuahirisha kila kitu." Awali Alhamisi, katika mahojiano na BBC, Dkt Fauci aliomba msamaha kwa maneno ya ukosoaji aliyoyotoa kuhusu mchakato wa Uingereza wa kuidhinisha chanjo ya corona. "Sikumaaninisha kuoneshaudhaifu wowote wa chanjo hata kama matamshi yangu yalisikika hivyo ," alisema. Awali Dkt Fauci aliziambia televisheni za Marekani kwamba waangalizi wa viwango wa uingereza ''waliharakisha'' kuidhinisha chanjo. Biden alisema nini kuhusu chanjo? Rais mteule kutoka Democrat alisema kuwa "anefurahia" kutumia chanjo hiyo mbele ya umma ili kuondoa hofu yoyote kuhusu usalama wake. Marais watatu wa zamani wa Marekani - Barack Obama, George W Bush na Bill Clinton - wamesema kuwa pia wananajiandaa kuchanjwa mbele ya umma ili kuonesha kuwa chanjo hiyo ni salama. " Watu wamepoteza imani na uwezo wa ufanisi wa chanjo,"Bw Biden alisema , na kuongeza kuwa "Ni muhimu kwa kile atakachofanya rais na makamu rais ." Makamu wa rais mteule wa Biden Kamala Harris,ambaye aliungana naye katika mahojiano na CNN, alikosolewa na Warepublican mwezi Septemba baada ya kusema kuwa hataiamini chanjo yoyote iliyoidhinishwa na maafisa wa huduma za afya wakati wa utawala wa Trump. Kituo cha utafiti cha Pew kinasema ni 60% tu ya Wamarekani ambao kwa sasa wanajiandaa kupokea chanjo ya virusi vya corona, hadi 51% walitoa matamshi sawa na ya Bi Kamala mwezi wa Septemba. Bw Biden anajiandaa kuchukua mamlaka ya urasi huku makampuni makubwa ya dawa yakiwa yamesitisha mpango wa kusafirisha mamilioni ya dozi za chanjo ya corona kwa umma wa Wamarekani. Pfizer, ambayo inasema chanjo yake ina ufanisi wa kiwango cha 95% katika majaribio ya kliniki , na Moderna,inayosema dozi yake ina ufanisi wa 94% , zote zimetuma maombi kwa taasisi ya udhibiti wa viwango vya Chakula na Dawa nchini Marekani zikiomba kusambaza chanjo hizo nchini Marekan.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Chanzo cha picha, Reuters Rais mteule wa Marekani amesema atawaomba raia wa Marekani kuvaa barakoa siku 100 za mwanzo za utawala wake ili kupunguza maambukizi ya virusi vya corona. Amezungumza hayo katika kituo cha habari cha CNN, anasema anaamini kuwa itasaidia maambukizi ya corona kupungua kama kila Mmarekani atavaa barakoa. Bwana Biden alisema pia kuwa atatoa amri katika majengo yote ya serikali watu wavae barakoa. Marekani ina rekodi ya maambukizi ya corona milioni 14 na vifo vinavyotokana na ugonjwa ni 275,000. Biden amesema nini kuhusu barakoa? Katika mahojiano aliyoyafanya na Jake Tapper wa CNN, bwana Biden alisema: "Siku ya kwanza nitakayoapishwa nitawaomba wananchi kuvaa barakoa kwa siku 100 na sio milele. "Na nadhani itaweza kusaidi kupunguza maambukizi kwa kiasi kikubwa sana, kama chanjo na barakoa zitaweza kupunguza maambukizi." Wataalam wa katiba wanasema rais wa Marekani hana mamlaka ya kutoa amri kwa watu kuvaa barakoa lakini bwana Biden alisema wakati wa mahojiano hayo kuwa makamu wake wa rais Kamala Harris ataweka mfano wa namna ya kufunika uso. Mamlaka ya rais yanahusisha kulinda mali za serikali ya Marekani, na bwana Biden aliiambia CNN kuwa ana lengo la kutumia mamlaka hayo. "Ninaenda kutoa agizo katika serikali ya shirikisho kuwa wanapashwa kuvaa barakoa," alisema. Aliongeza: "Katika upande wa usafirishaji,kila mtu anapaswa kuvaa barakoa kwenye ndege na mabasi na usafiri wowote." Ndege za Marekani , uwanja wa ndege na maeneo mengi ya umma tayari yanawataka abiria na wafanyakazi wake kuvaa barakoa. White House ya Trump imekataa kufuata agizo hilo kutoka kwa wataalamu wa afya . Alizungumza huku Gavana wa California Gavin Newsom akitoa amri ya kukaa nyumbani kwa sehemu kubwa ya wakazi wa jimbo lake , akisema ana weka ''mapumziko ya dharura " huku wagonjwa wa virusi wakitishia kupita uwezo wa hospitali . Jumatano, Meya wa Los Angeles Eric Garcetti alitoa amri ya kuzuia umma kusafiri kwa miguu au kwa magari, akiongeza kuwa "ni muda wa kuahirisha kila kitu." Awali Alhamisi, katika mahojiano na BBC, Dkt Fauci aliomba msamaha kwa maneno ya ukosoaji aliyoyotoa kuhusu mchakato wa Uingereza wa kuidhinisha chanjo ya corona. "Sikumaaninisha kuoneshaudhaifu wowote wa chanjo hata kama matamshi yangu yalisikika hivyo ," alisema. Awali Dkt Fauci aliziambia televisheni za Marekani kwamba waangalizi wa viwango wa uingereza ''waliharakisha'' kuidhinisha chanjo. Biden alisema nini kuhusu chanjo? Rais mteule kutoka Democrat alisema kuwa "anefurahia" kutumia chanjo hiyo mbele ya umma ili kuondoa hofu yoyote kuhusu usalama wake. Marais watatu wa zamani wa Marekani - Barack Obama, George W Bush na Bill Clinton - wamesema kuwa pia wananajiandaa kuchanjwa mbele ya umma ili kuonesha kuwa chanjo hiyo ni salama. " Watu wamepoteza imani na uwezo wa ufanisi wa chanjo,"Bw Biden alisema , na kuongeza kuwa "Ni muhimu kwa kile atakachofanya rais na makamu rais ." Makamu wa rais mteule wa Biden Kamala Harris,ambaye aliungana naye katika mahojiano na CNN, alikosolewa na Warepublican mwezi Septemba baada ya kusema kuwa hataiamini chanjo yoyote iliyoidhinishwa na maafisa wa huduma za afya wakati wa utawala wa Trump. Kituo cha utafiti cha Pew kinasema ni 60% tu ya Wamarekani ambao kwa sasa wanajiandaa kupokea chanjo ya virusi vya corona, hadi 51% walitoa matamshi sawa na ya Bi Kamala mwezi wa Septemba. Bw Biden anajiandaa kuchukua mamlaka ya urasi huku makampuni makubwa ya dawa yakiwa yamesitisha mpango wa kusafirisha mamilioni ya dozi za chanjo ya corona kwa umma wa Wamarekani. Pfizer, ambayo inasema chanjo yake ina ufanisi wa kiwango cha 95% katika majaribio ya kliniki , na Moderna,inayosema dozi yake ina ufanisi wa 94% , zote zimetuma maombi kwa taasisi ya udhibiti wa viwango vya Chakula na Dawa nchini Marekani zikiomba kusambaza chanjo hizo nchini Marekan. ### Response: AFYA ### End
Na Samwel Mwanga, Simiyu NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso ameagiza wakandarasi waliolipwa fedha na Serikali kujenga miundombinu ya maji wakashindwa kuikamilisha kwa wakati wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Aweso ambaye ni mmoja wa mawaziri walioteuliwa hivi karibuni, alitoa maagizo hayo jana alipotembelea mradi wa ujenzi wa chujio la maji katika Bwawa la New Sola uliopo Kijiji cha Zanzui mkoani Simiyu. Akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya PET Cooperation na Jossam & Company Ltd zinazojenga mradi huo,  alisema anasikitishwa na mradi huo kutokukamilika kwa wakati licha ya Serikali kuwalipa fedha zote. Naibu huyo aliagiza hadi kufikia Desemba 30 mwaka huu mradi huo wa maji uwe umekamilika. “Kitendo cha kampuni hizo kulipwa fedha na Serikali na kushindwa kukamilisha kazi hiyo kwa wakati hakivumiliki na nitachukua hatua kali dhidi ya kampuni zote nchini zitakazoendelea kufanya kazi kwa mazoea. “Haiwezekani mkandarasi amelipwa kiasi chote cha fedha za kutekeleza mradi halafu wanashindwa kukamilisha kazi kwa wakati hata kama una mapembe marefu mimi kwa umri wangu huu mdogo nitakufuata huko huko ulipo na kuyakata mapembe hayo,”alisema Aweso. Akizungumzia kukauka kwa Bwawa la New Sola ambalo ndicho chanzo kikuu cha maji katika Mji wa Maswa na vijiji vingine 11, Aweso alisema mbali na  mabadiliko ya tabianchi shughuli za binadamu ndani ya bwawa hilo zimechangia kwa kiasi kikubwa kukauka na kusababisha kuwepo na shida kubwa ya maji katika mji huo. “Hili bwawa limekauka kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi lakini kwa asilimia kubwa limesababishwa na shughuli za kibinadamu kama vile kilimo, ujenzi kuchungia mifugo zinazofanywa ndani ya eneo hili,” alisema. Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa (Mauwasa) Mhandisi Merchedes Anaclet alisema mamlaka hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uchakavu wa mitambo ya kusukuma maji.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na Samwel Mwanga, Simiyu NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso ameagiza wakandarasi waliolipwa fedha na Serikali kujenga miundombinu ya maji wakashindwa kuikamilisha kwa wakati wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. Aweso ambaye ni mmoja wa mawaziri walioteuliwa hivi karibuni, alitoa maagizo hayo jana alipotembelea mradi wa ujenzi wa chujio la maji katika Bwawa la New Sola uliopo Kijiji cha Zanzui mkoani Simiyu. Akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya PET Cooperation na Jossam & Company Ltd zinazojenga mradi huo,  alisema anasikitishwa na mradi huo kutokukamilika kwa wakati licha ya Serikali kuwalipa fedha zote. Naibu huyo aliagiza hadi kufikia Desemba 30 mwaka huu mradi huo wa maji uwe umekamilika. “Kitendo cha kampuni hizo kulipwa fedha na Serikali na kushindwa kukamilisha kazi hiyo kwa wakati hakivumiliki na nitachukua hatua kali dhidi ya kampuni zote nchini zitakazoendelea kufanya kazi kwa mazoea. “Haiwezekani mkandarasi amelipwa kiasi chote cha fedha za kutekeleza mradi halafu wanashindwa kukamilisha kazi kwa wakati hata kama una mapembe marefu mimi kwa umri wangu huu mdogo nitakufuata huko huko ulipo na kuyakata mapembe hayo,”alisema Aweso. Akizungumzia kukauka kwa Bwawa la New Sola ambalo ndicho chanzo kikuu cha maji katika Mji wa Maswa na vijiji vingine 11, Aweso alisema mbali na  mabadiliko ya tabianchi shughuli za binadamu ndani ya bwawa hilo zimechangia kwa kiasi kikubwa kukauka na kusababisha kuwepo na shida kubwa ya maji katika mji huo. “Hili bwawa limekauka kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi lakini kwa asilimia kubwa limesababishwa na shughuli za kibinadamu kama vile kilimo, ujenzi kuchungia mifugo zinazofanywa ndani ya eneo hili,” alisema. Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa (Mauwasa) Mhandisi Merchedes Anaclet alisema mamlaka hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uchakavu wa mitambo ya kusukuma maji. ### Response: AFYA ### End
MOSCOW, URUSI SERIKALI ya Urusi imelaani vikali shambulizi la Ijumaa iliyopita katika msikiti uliopo eneo la Sinai mjini hapa na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 235, na kwamba iko tayari kushirikiana na Misri kuwasaka magaidi waliofanya unyama huo. “Tunalaani kwa nguvu zote shambulizi hilo la kigaidi lililotokea katika eneo la Sinai, Misri. Urusi mara zote imekuwa ikipinga vikali mashambulizi yoyote ya kigaidi  bila kujali nia na uwezo wa  wataalamu au itikadi zao za uhalifu,” ilieleza taarifa hiyo  ya Wizara ya Mambo ya Nje. “Wakati tukisikitika kwa unyama huu na kutoa pole kwa serikali ya Misri na watu wake, tuko tayari kujitolea kushirikiana nanyi kuwasaka wahalifu hawa,” taarifa hiyo iliendelea kueleza. Katika mshambulizi hilo ambalo lilitokea mwishoni mwa wiki watu wapatao 235 walipoteza maisha na wengine 130 kujeruhiwa wakati walipokuwa wanatoka msikitini. Eneo la Sinai hukumbwa na mashambulio ya mara kwa mara yanayofanywa na wanamgambo wanaoipinga Serikali ya Misri, na msikiti uliolengwa ni maarufu kwa waumini wa madhehebu ya Sufi na watu wa kabila la -Sawarka wanaosemekana kuunga mkono kikamilifu Serikali ya Rais rais Abdel-Fattah al-Sisi .
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MOSCOW, URUSI SERIKALI ya Urusi imelaani vikali shambulizi la Ijumaa iliyopita katika msikiti uliopo eneo la Sinai mjini hapa na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 235, na kwamba iko tayari kushirikiana na Misri kuwasaka magaidi waliofanya unyama huo. “Tunalaani kwa nguvu zote shambulizi hilo la kigaidi lililotokea katika eneo la Sinai, Misri. Urusi mara zote imekuwa ikipinga vikali mashambulizi yoyote ya kigaidi  bila kujali nia na uwezo wa  wataalamu au itikadi zao za uhalifu,” ilieleza taarifa hiyo  ya Wizara ya Mambo ya Nje. “Wakati tukisikitika kwa unyama huu na kutoa pole kwa serikali ya Misri na watu wake, tuko tayari kujitolea kushirikiana nanyi kuwasaka wahalifu hawa,” taarifa hiyo iliendelea kueleza. Katika mshambulizi hilo ambalo lilitokea mwishoni mwa wiki watu wapatao 235 walipoteza maisha na wengine 130 kujeruhiwa wakati walipokuwa wanatoka msikitini. Eneo la Sinai hukumbwa na mashambulio ya mara kwa mara yanayofanywa na wanamgambo wanaoipinga Serikali ya Misri, na msikiti uliolengwa ni maarufu kwa waumini wa madhehebu ya Sufi na watu wa kabila la -Sawarka wanaosemekana kuunga mkono kikamilifu Serikali ya Rais rais Abdel-Fattah al-Sisi . ### Response: KIMATAIFA ### End
Kwa mujibu wa Momgela, ongezeko la wafanyabiashara katika Jiji la Arusha limetokana na kulegea kwa usimamizi wa sheria za jiji hilo katika kuzuia biashara zinazofanyika katika maeneo yasiyo halali jambo ambalo limekuwa likiwavuta wafanyabiashara mbalimbali toka mikoa yote nchini.“Nasema kama mfanyabiashara amekuja kutoka mikoa mingine huko kama Kilimanjaro, Mwanza, Mbeya na mingine ili kufanya biashara na wanasema huko wanakotoka haiwezekani, na sisi pia tunasema hapa haiwezekani… wabebe mafurushi yao ya magunia ya viazi na mitumba warudi walikotoka,” alisema Mongela.Alisema biashara ni kazi halali na inatambulika na nchi lakini inapaswa kufanywa katika misingi ya sheria, kanuni na taratibu zake ikiwemo kufanyika katika maeneo halali yaliyoidhinishwa na uongozi wa Jiji.Mongela alisema kabla ya kuwaondoa kwa nguvu wafanyabiashara hao na kuvunja vibanda vyao, kulitolewa matangazo ya kuwataarifu wafanyabiashara hao kuondoa bishara hizo lakini wengi walikaidi agizo hilo halali la Halmashauri ya jiji hilo.“Tulitoa matangazo hayo ya amri halali ya Mkuu wa Wilaya wiki mbili nyuma, lakini wachache walitii tangazo hilo lakini wengi walionekana kukaidi agizo hilo… sasa tunachokifanya ni kuwasaidia kuondoa biashara hizo na kuwavunjia vibanda vyao,” alisema Mongela.Alionya juu ya tabia iliyojengeka nchini ya kila jambo linalofanyika la kisheria wananchi kukimbilia kudai kupewa elimu juu ya jambo hilo na kusema kuwa katika zoezi hilo hakuna muda wa elimu yoyote itakayotolewa kwakuwa hakuna asiyefahamu kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa ni uvunjifu wa sheria na kanuni.Aidha alisema tayari katika operesheni hiyo Jeshi la Polisi linamshikilia mmiliki mmoja wa kiwanja mwenye asili ya Kiasia ambaye hakumtaja kwa kuruhusu kiwanja chake kufanyika kwa biashara kinyume na taratibu wakati aliomba kibali cha kuvunja jengo lililokuwepo kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ghorofa kinyume chake amekuwa akifanya biashara hiyo.Naye Kaimu Ofisa Biashara wa Jiji la Arusha ,Privanus Katinhla alisema sheria za jiji hilo zinawaelekeza kila mfanyabiashara anapaswa kufanya biashara yake kwa kufuata kanuni na sheria ikiwemo kupata leseni ya biashara husika.Alisema wengi wa wafanyabiashara hao hawana leseni zinazowaruhusu kufanya biashara zao katika maeneo hayo jambo ambalo linawaingiza katika uvunjifu wa sheria na kanuni za biashara hizo.Aliongeza kuwa Jiji la Arusha linapaswa kuwa katika hadhi yake kwa kuzingatia usafi wake ikiwemo kutofanyika kwa biashara sehemu zisizo halali kama kupanga nyanya na bidhaa zingine barabarani.Nanye mmoja kati ya wafanyabiashara waliobomolewa vibanda vyao , Lameck Samson alisema wao waliomba kibali cha kufanya biashara katika maeneo hayo pasipo kufunga njia za waenda kwa miguu jambo ambalo walikubaliwa lakini alishangazwa kuona zoezi hilo likiwakumba hata wao.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kwa mujibu wa Momgela, ongezeko la wafanyabiashara katika Jiji la Arusha limetokana na kulegea kwa usimamizi wa sheria za jiji hilo katika kuzuia biashara zinazofanyika katika maeneo yasiyo halali jambo ambalo limekuwa likiwavuta wafanyabiashara mbalimbali toka mikoa yote nchini.“Nasema kama mfanyabiashara amekuja kutoka mikoa mingine huko kama Kilimanjaro, Mwanza, Mbeya na mingine ili kufanya biashara na wanasema huko wanakotoka haiwezekani, na sisi pia tunasema hapa haiwezekani… wabebe mafurushi yao ya magunia ya viazi na mitumba warudi walikotoka,” alisema Mongela.Alisema biashara ni kazi halali na inatambulika na nchi lakini inapaswa kufanywa katika misingi ya sheria, kanuni na taratibu zake ikiwemo kufanyika katika maeneo halali yaliyoidhinishwa na uongozi wa Jiji.Mongela alisema kabla ya kuwaondoa kwa nguvu wafanyabiashara hao na kuvunja vibanda vyao, kulitolewa matangazo ya kuwataarifu wafanyabiashara hao kuondoa bishara hizo lakini wengi walikaidi agizo hilo halali la Halmashauri ya jiji hilo.“Tulitoa matangazo hayo ya amri halali ya Mkuu wa Wilaya wiki mbili nyuma, lakini wachache walitii tangazo hilo lakini wengi walionekana kukaidi agizo hilo… sasa tunachokifanya ni kuwasaidia kuondoa biashara hizo na kuwavunjia vibanda vyao,” alisema Mongela.Alionya juu ya tabia iliyojengeka nchini ya kila jambo linalofanyika la kisheria wananchi kukimbilia kudai kupewa elimu juu ya jambo hilo na kusema kuwa katika zoezi hilo hakuna muda wa elimu yoyote itakayotolewa kwakuwa hakuna asiyefahamu kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa ni uvunjifu wa sheria na kanuni.Aidha alisema tayari katika operesheni hiyo Jeshi la Polisi linamshikilia mmiliki mmoja wa kiwanja mwenye asili ya Kiasia ambaye hakumtaja kwa kuruhusu kiwanja chake kufanyika kwa biashara kinyume na taratibu wakati aliomba kibali cha kuvunja jengo lililokuwepo kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ghorofa kinyume chake amekuwa akifanya biashara hiyo.Naye Kaimu Ofisa Biashara wa Jiji la Arusha ,Privanus Katinhla alisema sheria za jiji hilo zinawaelekeza kila mfanyabiashara anapaswa kufanya biashara yake kwa kufuata kanuni na sheria ikiwemo kupata leseni ya biashara husika.Alisema wengi wa wafanyabiashara hao hawana leseni zinazowaruhusu kufanya biashara zao katika maeneo hayo jambo ambalo linawaingiza katika uvunjifu wa sheria na kanuni za biashara hizo.Aliongeza kuwa Jiji la Arusha linapaswa kuwa katika hadhi yake kwa kuzingatia usafi wake ikiwemo kutofanyika kwa biashara sehemu zisizo halali kama kupanga nyanya na bidhaa zingine barabarani.Nanye mmoja kati ya wafanyabiashara waliobomolewa vibanda vyao , Lameck Samson alisema wao waliomba kibali cha kufanya biashara katika maeneo hayo pasipo kufunga njia za waenda kwa miguu jambo ambalo walikubaliwa lakini alishangazwa kuona zoezi hilo likiwakumba hata wao. ### Response: UCHUMI ### End
Mafunzo hayo yaliyodumu kwa takribani siku 12 yaliandaliwa na Olimpiki Solidarity kupitia Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kwa kushirikiana na vyama vya mchezo huo vya Tanzania na Zanzibar (Taha na Zaha).Mafunzo hayo yaliendeshwa na mtaalamu wa ufundi kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mchezo huo (IHF), Martin Tuma ambaye aliwataka washiriki hao kwenda kuueneza mchezo huo huko wanakotoka ili kupata wachezaji wenye viwango.Akizungumza wakati wa ufungaji huo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Ofisa Tawala wa Kibaha Anthony Mhangoa aliitaka Taha kufufua vyama vya mchezo huo mikoani kama vilikuwepo au kuvianzisha kama hazipo kabisa ili kuuendeleza mchezo huo katika maeneo yote.Pia alitaka mchezo huo kufudishwa katika shule za za msingi na sekondari, ambapo ndipo penye vipaji vingi na sio kusubiri tu wakati wa Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari ya Umishumta na Umisseta.Hayo ni mafunzo ya pili kufanyika hapa nchini kwa walimu, kwani mafunzo ya kwanza yalifanyika jijini Dar es Salaam mwaka 2007 na yote yakifadhiliwa na Olimpiki Solidariti kupitia Kamati ya Olimpiki Tanzania.Pia aliwataka walimu hao kuhakikisha mchezo huo unapiga hatua kufikia kiwango ambacho kitatupeleka kwenye michezo ya Kanda, Afrika na Kimataifa.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Mafunzo hayo yaliyodumu kwa takribani siku 12 yaliandaliwa na Olimpiki Solidarity kupitia Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kwa kushirikiana na vyama vya mchezo huo vya Tanzania na Zanzibar (Taha na Zaha).Mafunzo hayo yaliendeshwa na mtaalamu wa ufundi kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mchezo huo (IHF), Martin Tuma ambaye aliwataka washiriki hao kwenda kuueneza mchezo huo huko wanakotoka ili kupata wachezaji wenye viwango.Akizungumza wakati wa ufungaji huo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Ofisa Tawala wa Kibaha Anthony Mhangoa aliitaka Taha kufufua vyama vya mchezo huo mikoani kama vilikuwepo au kuvianzisha kama hazipo kabisa ili kuuendeleza mchezo huo katika maeneo yote.Pia alitaka mchezo huo kufudishwa katika shule za za msingi na sekondari, ambapo ndipo penye vipaji vingi na sio kusubiri tu wakati wa Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari ya Umishumta na Umisseta.Hayo ni mafunzo ya pili kufanyika hapa nchini kwa walimu, kwani mafunzo ya kwanza yalifanyika jijini Dar es Salaam mwaka 2007 na yote yakifadhiliwa na Olimpiki Solidariti kupitia Kamati ya Olimpiki Tanzania.Pia aliwataka walimu hao kuhakikisha mchezo huo unapiga hatua kufikia kiwango ambacho kitatupeleka kwenye michezo ya Kanda, Afrika na Kimataifa. ### Response: MICHEZO ### End
ANDREW MSECHU –dar es salaam MTOTO wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, amefariki dunia baada ya ndege aliyokuwa akirusha kupata ajali Uwanja wa Soronera jana asubuhi. Nelson Mabeyo ambaye alikuwa rubani wa ndege za Kampuni ya Euric Air, alifikwa na mauti baada ya ndege kupata itilafu na kuanguka muda mfupi baada ya kuruka kwenye uwanja huo ambao uko ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara. Kamishna Msaidizi wa Mawasiliano wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, alithibitisha kutokea ajali hiyo na kusema watu wawili walipoteza maisha. Shelutete alisema japokuwa sababu za kiufundi zilizosababisha ndege kupata ajali hazijajulikana, wanasubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi. Alisema ndege hiyo ilianguka baada ya kushindwa kushika kasi wakati ilipokuwa ikijaribu kuruka. “Ni kweli ndege ya Kampuni ya Auric Air imeanguka alfajiri ya leo (jana) na kusababisha vifo vya watu wawili, akiwemo Nelson ambaye ni mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo. “Ndege hii iliangukia baadhi ya majengo yaliyopo uwanjani, sasa mamlaka zinazohusika ndizo zinazosubiriwa kutoa taarifa kuhusu chanzo cha ajali, Tanapa tunahusika kutoa taarifa kuhusu ajali tu,” alisema Shelutete. Juhudi za kuupata uongozi wa Kampuni Auric Air ili  kuzungumzia ajali hiyo hazikuzaa matunda. Lakini taarifa zilizo kwenye mtandao wa kampuni hiyo, zina ujumbe unaolezea masikitiko ya ajali hiyo. Taarifa hiyo ilithibitisha ndege iliyopata ajali ni yenye namba 5H-AAM. “Hadi sasa tunachojua ndege hii iliondoka asubuhi  Uwanja wa Soronera kwenda Grumeti ikiwa na rubani mmoja na msaidizi wake, lakini ilipata ajali muda mfupi baada ya kuanza kupaa, hakuna aliyenusurika. “Mamlaka zote zinazohusika zimeshapewa taarifa na wanaohusika tayari wameshapelekwa eneo la tukio kwa ajili ya hatua zaidi, tutaendelea kutoa taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo baadaye kwa kadiri tutakavyopata mrejesho,” ilieleza taarifa hiyo. Ilieleza kuwa ndege hiyo ilikuwa ikielekea Hoteli ya Grumeti kuchukua watalii. Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo, ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini, alisema viongozi hawawezi kuzungumzia ajali hiyo kwa sasa hadi mamlaka zinazohusika zitakapokamilisha uchunguzi wake. Gazeti hili lilifika nyumbani kwa Jenerali Mabeyo karibu na Msasani Beach Club, Kawe na kukuta taratibu za mazishi zikiendelea. Mmoja wa maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyekuwapo nyumbani hapo ambaye hakupenda kutaja jina lake, alisema taratibu za msiba zinaendelea na wanafamilia wanaendelea kukusanyika kwa taratibu za mazishi. “Ni kweli kijana wetu Nelson amefariki, kama unavyoona, hapa ndiyo kwanza taarifa zimefika na maandalizi ndiyo yanaanza, kwa hiyo hata familia nzima bado iko kwenye mshtuko,” alisema. Alisema tararibu za maziko zitatangazwa baadaye.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- ANDREW MSECHU –dar es salaam MTOTO wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, amefariki dunia baada ya ndege aliyokuwa akirusha kupata ajali Uwanja wa Soronera jana asubuhi. Nelson Mabeyo ambaye alikuwa rubani wa ndege za Kampuni ya Euric Air, alifikwa na mauti baada ya ndege kupata itilafu na kuanguka muda mfupi baada ya kuruka kwenye uwanja huo ambao uko ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mkoani Mara. Kamishna Msaidizi wa Mawasiliano wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, alithibitisha kutokea ajali hiyo na kusema watu wawili walipoteza maisha. Shelutete alisema japokuwa sababu za kiufundi zilizosababisha ndege kupata ajali hazijajulikana, wanasubiri mamlaka husika kufanya uchunguzi. Alisema ndege hiyo ilianguka baada ya kushindwa kushika kasi wakati ilipokuwa ikijaribu kuruka. “Ni kweli ndege ya Kampuni ya Auric Air imeanguka alfajiri ya leo (jana) na kusababisha vifo vya watu wawili, akiwemo Nelson ambaye ni mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo. “Ndege hii iliangukia baadhi ya majengo yaliyopo uwanjani, sasa mamlaka zinazohusika ndizo zinazosubiriwa kutoa taarifa kuhusu chanzo cha ajali, Tanapa tunahusika kutoa taarifa kuhusu ajali tu,” alisema Shelutete. Juhudi za kuupata uongozi wa Kampuni Auric Air ili  kuzungumzia ajali hiyo hazikuzaa matunda. Lakini taarifa zilizo kwenye mtandao wa kampuni hiyo, zina ujumbe unaolezea masikitiko ya ajali hiyo. Taarifa hiyo ilithibitisha ndege iliyopata ajali ni yenye namba 5H-AAM. “Hadi sasa tunachojua ndege hii iliondoka asubuhi  Uwanja wa Soronera kwenda Grumeti ikiwa na rubani mmoja na msaidizi wake, lakini ilipata ajali muda mfupi baada ya kuanza kupaa, hakuna aliyenusurika. “Mamlaka zote zinazohusika zimeshapewa taarifa na wanaohusika tayari wameshapelekwa eneo la tukio kwa ajili ya hatua zaidi, tutaendelea kutoa taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo baadaye kwa kadiri tutakavyopata mrejesho,” ilieleza taarifa hiyo. Ilieleza kuwa ndege hiyo ilikuwa ikielekea Hoteli ya Grumeti kuchukua watalii. Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo, ambaye hakutaka jina lake litajwe gazetini, alisema viongozi hawawezi kuzungumzia ajali hiyo kwa sasa hadi mamlaka zinazohusika zitakapokamilisha uchunguzi wake. Gazeti hili lilifika nyumbani kwa Jenerali Mabeyo karibu na Msasani Beach Club, Kawe na kukuta taratibu za mazishi zikiendelea. Mmoja wa maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) aliyekuwapo nyumbani hapo ambaye hakupenda kutaja jina lake, alisema taratibu za msiba zinaendelea na wanafamilia wanaendelea kukusanyika kwa taratibu za mazishi. “Ni kweli kijana wetu Nelson amefariki, kama unavyoona, hapa ndiyo kwanza taarifa zimefika na maandalizi ndiyo yanaanza, kwa hiyo hata familia nzima bado iko kwenye mshtuko,” alisema. Alisema tararibu za maziko zitatangazwa baadaye. ### Response: KITAIFA ### End
BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2018, huku ufaulu ukiongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38 mwaka 2018.Aidha, mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Serikali ya Ilboru amekuwa mwanafunzi bora kitaifa na mwanafunzi pekee kutoka shule ya serikali katika kundi la wanafunzi 10 waliofanya vizuri kitaifa. Wengine tisa wametoka katika shule za St. Francis Girls na Marian Boys. Akitangaza matokeo hayo jijini hapa, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde alisema watahiniwa 332,965 sawa na asilimia 78.38 ya waliofanya mtihani wa Kidato cha nne wamefaulu, ambapo wasichana ni 163,920 sawa na asilimia 77.58 na wavulana ni 159,045 sawa na asilimia 79.23.Kwa mwaka 2017, watahiniwa waliofaulu walikuwa ni 287,713 sawa na asilimia 77.09, hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia kwa asilimia 1.29 ikilinganishwa na mwaka 2017. Alisema watahiniwa wa shule waliofaulu ni 284,126 sawa na asilimia 79.27 ya waliofanya mtihani, kati yao wasichana waliofaulu ni 142,888 sawa na asilimia 78.51 na wavulana 141,238 sawa na asilimia 80.05.Kwa mwaka 2017, watahiniwa 245,274 sawa na asilimia 77.57 ya watahiniwa wa shule, walifaulu, hivyo umeongezeka kwa asilimia 1.70 ikilinganishwa na mwaka 2017. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegemea, Dk Msonde alisema waliofaulu ni 38,839 sawa na asilimia 72,44 huku mwaka 2017 watahiniwa 42,439 sawa na asilimia 74.41 walifaulu mtihani huo.“Hivyo ufaulu wa watahiniwa wa kujitegemea umeshuka kwa asilimia 1.97 ikilinganishwa na mwaka 2017,” alisema. Dk Msonde alisema ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja waliopata, watahiniwa wa shule unaonesha kuwa jumla ya watahiniwa waliopata ufaulu mzuri wa madaraja ya I-II ni 113,825 sawa na asilimia 31.76 wakiwemo wasichana 47,779 sawa na asilimia 26.25 na wavulana 66,046 sawa na asilimia 37.43. Kwa mwaka 2017 idadi ya watahiniwa waliopata ufaulu wa madaraja I-III walikuwa 95,337 sawa na asilimia 30.15, hivyo ubora wa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 1.61.Dk. Msonde alieleza ufaulu wa watahiniwa wa shule katika masomo ya Historia, Kiswahili, Fizikia, Kemia, Hisabati na Biashara umepanda kati ya asilimia 0.83 na 8.76 ikilinganishwa na mwaka 2017. “ Ufaulu wa juu kabisa ni ule wa somo la Kiswahili ambapo asilimia 89.32 ya watahiniwa wote wa shule waliofanya somo hilo wamefaulu. Aidha, ufaulu wa chini kabisa ni ule wa somo la Hisabati ambapo asilimia 20.02 ya watahiniwa wote wa shule waliofanya somo hilo wamefaulu.”“ Pamoja na ufaulu kuendelea kuimarika, takwimu zinaonesha kuwa ufaulu wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Biashara na Book-Keeping upo chini ya asilimia 50, hivyo juhudi za makusudi zinahitajika kuendelea kufanyika ili kuinua kiwango cha ufaulu wa masomo hayo ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya watahiniwa kwenye madaraja ya juu ya ufaulu.”Dk Msonde alitaja shule zilizofanya vizuri zenye idadi ya watahiniwa zaidi ya 40 zimepangwa kwa ubora wa ufaulu kuwa ni St. Francis Girls (Mbeya), Kemebos (Kagera), Marian Boys na Ahmes (Pwani), Canossa (Dar es Salaam), Maua Seminary (Kilimanjaro), Precious Blood (Arusha), Marian Girls (Pwani), Bright Future Girls (Dar es Salaam) na Bethel Sabs Girls (Iringa).Alitaja shule 10 za mwisho kitaifa kuwa ni Pwani Mchangani (Kaskazini Unguja), Ukutini (Kusini Pemba), Kwediboma (Tanga), Rwemondo (Kagera), Namatula (lindi), Kijini (Kaskazini Unguja), Komkalakala (Tanga), Kwizu (Kilimanjaro), Seuta (Tanga) na Masjid Qubah Muslim (Dar es Salaam). Akizungumzia watahiniwa waliofanya vizuri 10 bora kitaifa kuwa ni Hope Mwaibanje (Ilboru), Avith Kibani (Marian Boys), Maria Manyama, Atughulile Mlimba, Flavia Nkongoki na Leticia Ulaya (St. Francis Girls), Gibson Katuma na Bryson Jandwa (Marian Boys), Idegalda Kiluba(St. Francis Girls) na Isack Julius (Marian Boys).Wasichana bora waliofanya vizuri ni Maria Manyama, Atughulile Mlimba, Flavia Nkongoki, Leticia Ulaya, Idegalda Kiluba, Subilaga Mwaisela, Joyce Sapali, Ivory Anangisye, Saraha Kasala (St. Francis Girls) na Theresia Karuga (Anwarite Girls). Wavulana 10 bora ni Hope Mwaibanje (Ilboru), Avith Kibani, Gibson Katuma, Bryson Jandwa na Isack Julius (Marian Boys), Justine Byarasobile (Katoke Seminary), Emmanuel Kandege (Uwata), Saitoti Opendo (Ilboru), Peter Kiama (Feza Boys) na David Sichone (Pandahili).Aidha, kwa upande wa matokeo ya Mtihani wa Maarifa (QT), Dk Msonde alisema kati ya watahiniwa 14,344 waliosajiliwa, watahiniwa 12,237 sawa na asilimia 85.31 walifanya mtihani na watahiniwa 2,107 sawa na asilimia 14.69 hawakufanya mtihani. Alisema waliofaulu mtihani huo ni 7,642 sawa na asilimia 62.46. Kwa maka 2017 watahiniwa wa QT 8,80 sawa na asilimia 60.11 walifaulu mtihani huo. “ Ufaulu umeongezekwa kwa asilimia 2.35 ikilinganishwa na ma 2017.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2018, huku ufaulu ukiongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38 mwaka 2018.Aidha, mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Serikali ya Ilboru amekuwa mwanafunzi bora kitaifa na mwanafunzi pekee kutoka shule ya serikali katika kundi la wanafunzi 10 waliofanya vizuri kitaifa. Wengine tisa wametoka katika shule za St. Francis Girls na Marian Boys. Akitangaza matokeo hayo jijini hapa, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde alisema watahiniwa 332,965 sawa na asilimia 78.38 ya waliofanya mtihani wa Kidato cha nne wamefaulu, ambapo wasichana ni 163,920 sawa na asilimia 77.58 na wavulana ni 159,045 sawa na asilimia 79.23.Kwa mwaka 2017, watahiniwa waliofaulu walikuwa ni 287,713 sawa na asilimia 77.09, hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia kwa asilimia 1.29 ikilinganishwa na mwaka 2017. Alisema watahiniwa wa shule waliofaulu ni 284,126 sawa na asilimia 79.27 ya waliofanya mtihani, kati yao wasichana waliofaulu ni 142,888 sawa na asilimia 78.51 na wavulana 141,238 sawa na asilimia 80.05.Kwa mwaka 2017, watahiniwa 245,274 sawa na asilimia 77.57 ya watahiniwa wa shule, walifaulu, hivyo umeongezeka kwa asilimia 1.70 ikilinganishwa na mwaka 2017. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegemea, Dk Msonde alisema waliofaulu ni 38,839 sawa na asilimia 72,44 huku mwaka 2017 watahiniwa 42,439 sawa na asilimia 74.41 walifaulu mtihani huo.“Hivyo ufaulu wa watahiniwa wa kujitegemea umeshuka kwa asilimia 1.97 ikilinganishwa na mwaka 2017,” alisema. Dk Msonde alisema ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja waliopata, watahiniwa wa shule unaonesha kuwa jumla ya watahiniwa waliopata ufaulu mzuri wa madaraja ya I-II ni 113,825 sawa na asilimia 31.76 wakiwemo wasichana 47,779 sawa na asilimia 26.25 na wavulana 66,046 sawa na asilimia 37.43. Kwa mwaka 2017 idadi ya watahiniwa waliopata ufaulu wa madaraja I-III walikuwa 95,337 sawa na asilimia 30.15, hivyo ubora wa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 1.61.Dk. Msonde alieleza ufaulu wa watahiniwa wa shule katika masomo ya Historia, Kiswahili, Fizikia, Kemia, Hisabati na Biashara umepanda kati ya asilimia 0.83 na 8.76 ikilinganishwa na mwaka 2017. “ Ufaulu wa juu kabisa ni ule wa somo la Kiswahili ambapo asilimia 89.32 ya watahiniwa wote wa shule waliofanya somo hilo wamefaulu. Aidha, ufaulu wa chini kabisa ni ule wa somo la Hisabati ambapo asilimia 20.02 ya watahiniwa wote wa shule waliofanya somo hilo wamefaulu.”“ Pamoja na ufaulu kuendelea kuimarika, takwimu zinaonesha kuwa ufaulu wa masomo ya Fizikia, Hisabati, Biashara na Book-Keeping upo chini ya asilimia 50, hivyo juhudi za makusudi zinahitajika kuendelea kufanyika ili kuinua kiwango cha ufaulu wa masomo hayo ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya watahiniwa kwenye madaraja ya juu ya ufaulu.”Dk Msonde alitaja shule zilizofanya vizuri zenye idadi ya watahiniwa zaidi ya 40 zimepangwa kwa ubora wa ufaulu kuwa ni St. Francis Girls (Mbeya), Kemebos (Kagera), Marian Boys na Ahmes (Pwani), Canossa (Dar es Salaam), Maua Seminary (Kilimanjaro), Precious Blood (Arusha), Marian Girls (Pwani), Bright Future Girls (Dar es Salaam) na Bethel Sabs Girls (Iringa).Alitaja shule 10 za mwisho kitaifa kuwa ni Pwani Mchangani (Kaskazini Unguja), Ukutini (Kusini Pemba), Kwediboma (Tanga), Rwemondo (Kagera), Namatula (lindi), Kijini (Kaskazini Unguja), Komkalakala (Tanga), Kwizu (Kilimanjaro), Seuta (Tanga) na Masjid Qubah Muslim (Dar es Salaam). Akizungumzia watahiniwa waliofanya vizuri 10 bora kitaifa kuwa ni Hope Mwaibanje (Ilboru), Avith Kibani (Marian Boys), Maria Manyama, Atughulile Mlimba, Flavia Nkongoki na Leticia Ulaya (St. Francis Girls), Gibson Katuma na Bryson Jandwa (Marian Boys), Idegalda Kiluba(St. Francis Girls) na Isack Julius (Marian Boys).Wasichana bora waliofanya vizuri ni Maria Manyama, Atughulile Mlimba, Flavia Nkongoki, Leticia Ulaya, Idegalda Kiluba, Subilaga Mwaisela, Joyce Sapali, Ivory Anangisye, Saraha Kasala (St. Francis Girls) na Theresia Karuga (Anwarite Girls). Wavulana 10 bora ni Hope Mwaibanje (Ilboru), Avith Kibani, Gibson Katuma, Bryson Jandwa na Isack Julius (Marian Boys), Justine Byarasobile (Katoke Seminary), Emmanuel Kandege (Uwata), Saitoti Opendo (Ilboru), Peter Kiama (Feza Boys) na David Sichone (Pandahili).Aidha, kwa upande wa matokeo ya Mtihani wa Maarifa (QT), Dk Msonde alisema kati ya watahiniwa 14,344 waliosajiliwa, watahiniwa 12,237 sawa na asilimia 85.31 walifanya mtihani na watahiniwa 2,107 sawa na asilimia 14.69 hawakufanya mtihani. Alisema waliofaulu mtihani huo ni 7,642 sawa na asilimia 62.46. Kwa maka 2017 watahiniwa wa QT 8,80 sawa na asilimia 60.11 walifaulu mtihani huo. “ Ufaulu umeongezekwa kwa asilimia 2.35 ikilinganishwa na ma 2017. ### Response: KITAIFA ### End
WAKATI watu wengi wakiwa na shauku ya kufahamu namna ambavyo mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, atakavyozikwa kutokana na wakati wa uhai wake kutokuwa mfuasi wa dini yoyote, imeelezwa kuwa taratibu zote za kidini zitafuatwa. Kingunge (85) ambaye alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa baada ya kushambuliwa na mbwa wake Desemba 22, mwaka jana, kutokana na kutokuwa mfuasi wa dini yoyote wakati wa uhai wake, alipokuwa akiteuliwa katika nyadhifa mbalimbali ambazo zinahitaji kiapo, alikuwa akitumia Katiba kuapa. Staili yake hiyo ilionekana kugusa hisia za watu na kila alipokuwa akiapa aligeuka gumzo. Kingunge mwenyewe aliwahi kukaririwa akisema kuwa hajawahi kuamini kwamba hakuna ……
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAKATI watu wengi wakiwa na shauku ya kufahamu namna ambavyo mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, atakavyozikwa kutokana na wakati wa uhai wake kutokuwa mfuasi wa dini yoyote, imeelezwa kuwa taratibu zote za kidini zitafuatwa. Kingunge (85) ambaye alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa baada ya kushambuliwa na mbwa wake Desemba 22, mwaka jana, kutokana na kutokuwa mfuasi wa dini yoyote wakati wa uhai wake, alipokuwa akiteuliwa katika nyadhifa mbalimbali ambazo zinahitaji kiapo, alikuwa akitumia Katiba kuapa. Staili yake hiyo ilionekana kugusa hisia za watu na kila alipokuwa akiapa aligeuka gumzo. Kingunge mwenyewe aliwahi kukaririwa akisema kuwa hajawahi kuamini kwamba hakuna …… ### Response: KITAIFA ### End
Francis Godwin-Iringa WANAUME wenye tabia ya kunyonya maziwa ya wanawake pindi wanapokuwa kwenye jukumu la kunyonyesha watoto wao, wametakiwa kuacha kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria. Imeelezwa kuwa kufanya hivyo ni ukatili wa kijinsia ambao hufanyiwa wanawake na watoto katika ngazi ya familia. Hayo yalisemwa jana mjini hapa na Ofisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa, alipokuwa akijibu maswali kwa waandishi wa habari katika warsha ya siku moja, ikiwa ni maandalizi ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani. Neema alisema wanaume wenye tabia za kunyonya maziwa ya wake zao wakati wakiwa wananyonyesha hawatendi haki kwa mtoto kwani yeye hutegemea maziwa kama chakula chake wakati wote. Alisema kwa mujibu wa utaratibu, mama anapojifungua hutakiwa kunyonyesha mtoto kwa muda wa miezi sita bila kumpa chakula chochote, lakini wakati mwingine wapo kina baba hunyonya maziwa ya mama huku mtoto akikosa lishe yake sawasawa. “Kimsingi mama anatakiwa kuanza kumnyonyesha mtoto wake mara baada ya kujifungua ndani ya saa moja ili kusaidia maziwa kutoka mapema.  “Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto ila kuna tabia ambayo inasemwa na bado haujafanyika utafiti wa kina, kwamba wapo baadhi ya wanaume wanapenda kunyonya maziwa wake zao wakijifungua, ambayo ni maalumu kwa ajili ya mtoto, huu ni ukatili mkubwa dhidi ya mtoto,” alisema Neema.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Francis Godwin-Iringa WANAUME wenye tabia ya kunyonya maziwa ya wanawake pindi wanapokuwa kwenye jukumu la kunyonyesha watoto wao, wametakiwa kuacha kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria. Imeelezwa kuwa kufanya hivyo ni ukatili wa kijinsia ambao hufanyiwa wanawake na watoto katika ngazi ya familia. Hayo yalisemwa jana mjini hapa na Ofisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa, alipokuwa akijibu maswali kwa waandishi wa habari katika warsha ya siku moja, ikiwa ni maandalizi ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani. Neema alisema wanaume wenye tabia za kunyonya maziwa ya wake zao wakati wakiwa wananyonyesha hawatendi haki kwa mtoto kwani yeye hutegemea maziwa kama chakula chake wakati wote. Alisema kwa mujibu wa utaratibu, mama anapojifungua hutakiwa kunyonyesha mtoto kwa muda wa miezi sita bila kumpa chakula chochote, lakini wakati mwingine wapo kina baba hunyonya maziwa ya mama huku mtoto akikosa lishe yake sawasawa. “Kimsingi mama anatakiwa kuanza kumnyonyesha mtoto wake mara baada ya kujifungua ndani ya saa moja ili kusaidia maziwa kutoka mapema.  “Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto ila kuna tabia ambayo inasemwa na bado haujafanyika utafiti wa kina, kwamba wapo baadhi ya wanaume wanapenda kunyonya maziwa wake zao wakijifungua, ambayo ni maalumu kwa ajili ya mtoto, huu ni ukatili mkubwa dhidi ya mtoto,” alisema Neema. ### Response: AFYA ### End
MAKOSA 5,027 kuhusiana na matumizi ya kofi a ngumu (helmet) kwa watumiaji wa usafi ri wa pikipiki (bodaboda) yameripotiwa katika vituo mbalimbali vya polisi mkoani Dar es Salaam kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu.Uvaaji wa helmet kwa watumiaji wa usafiri huo maarufu mijini na vijijini unapokewa kwa mitazamo tofauti kwani wapo wanaoona kuwa kuvaa kofia hizo ni kero huku wengine hawajui hata njia bora ya uvaaji wa kofia hizo, licha ya umuhimu wake katika kuzuia ukubwa wa majeraha wakati wa ajali.HabariLeo limezungumza na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum Dar es Salam, ZTO, Marisson Mwakyoma ili kufahamu hatua zilizochukuliwa katika kukabiliana na wasiotii kanuni ya uvaaji wa kofia hizo hasa zile zinazokidhi kiwango kilichowekwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS).Mwakyoma alisema, kwa kipindi kinachoanzia Januari hadi Juni mwaka huu kikosi cha usalama barabarani Dar es Salaam kimekamata idadi ya makosa hayo 5,027 wakati Mkoa wa kipolisi Kinondoni ukitajwa kuongoza kwa makosa hayo.Alisema kuwa sababu kubwa ni ukubwa wa mkoa huo wa kipolisi wenye miundombinu mingi ya barabara inayowawezesha watumiaji wa bodaboda kutumia kwa wingi huku wengine wakipuuzia matumizi ya kofia hizo.“Jeshi la Polisi limekuwa likiendelea mara kwa mara kuwaelimisha watumiaji wa huduma za usafiri wa bodaboda kuhusiana na umuhimu wa kuvaa kofia ngumu, lakini bado kumekuwa na changamoto kadhaa zinazopelekea watumiaji hao kukaidi…sababu kubwa ni kwamba baadhi ya watumiaji wana kiburi cha kudharau matumizi ya kofia hizo ngumu lakini waendesha bodaboda wengine hawana kofia hizo hivyo abiria wanakosa za kuvaa, pia kukosekana kwa hamasa kati ya wenyewe bodaboda kuhusiana na umuhimu wa kuvaa kofia ngumu,” alisema.Alisema kati ya makosa hayo wapo waliotozwa faini na kuachiwa huku wengine wakishikiliwa kwa muda vituoni ikiwa ni kama sehemu ya adhabu na wengine wamechukuliwa hatua nyingine kadhaa na kuongeza kuwa polisi Dar es Salaam wanaendelea kutoa elimu na kuwachukulia hatua kali watumiaji wa usafiri huo ambao wamekuwa wakikiuka taratibu na kanuni za matumizi ya kofia hizo ngumu.Mwendesha bodaboda wa Kawe, Juma Handunga alilieleza gazeti hili kuwa kuna hitajika abiria kuelimishwa zaidi kuhusiana na matumizi ya kofia ngumu hizo kwa kuwa wapo ambao wanakataa kuzivaa hata kama wakisisitizwa kufanya hivyo.Abiria mmoja aliyezungumza na gazeti hili alisema kuwa kuna haja ya kutolewa kwa elimu zaidi ya matumizi ya kofia hiyo kwa kuwa kuna wakati abiria wanazivaa kwa woga wa kukamatwa na askari na sio kutokana na umuhimu wake.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- MAKOSA 5,027 kuhusiana na matumizi ya kofi a ngumu (helmet) kwa watumiaji wa usafi ri wa pikipiki (bodaboda) yameripotiwa katika vituo mbalimbali vya polisi mkoani Dar es Salaam kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Juni mwaka huu.Uvaaji wa helmet kwa watumiaji wa usafiri huo maarufu mijini na vijijini unapokewa kwa mitazamo tofauti kwani wapo wanaoona kuwa kuvaa kofia hizo ni kero huku wengine hawajui hata njia bora ya uvaaji wa kofia hizo, licha ya umuhimu wake katika kuzuia ukubwa wa majeraha wakati wa ajali.HabariLeo limezungumza na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum Dar es Salam, ZTO, Marisson Mwakyoma ili kufahamu hatua zilizochukuliwa katika kukabiliana na wasiotii kanuni ya uvaaji wa kofia hizo hasa zile zinazokidhi kiwango kilichowekwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS).Mwakyoma alisema, kwa kipindi kinachoanzia Januari hadi Juni mwaka huu kikosi cha usalama barabarani Dar es Salaam kimekamata idadi ya makosa hayo 5,027 wakati Mkoa wa kipolisi Kinondoni ukitajwa kuongoza kwa makosa hayo.Alisema kuwa sababu kubwa ni ukubwa wa mkoa huo wa kipolisi wenye miundombinu mingi ya barabara inayowawezesha watumiaji wa bodaboda kutumia kwa wingi huku wengine wakipuuzia matumizi ya kofia hizo.“Jeshi la Polisi limekuwa likiendelea mara kwa mara kuwaelimisha watumiaji wa huduma za usafiri wa bodaboda kuhusiana na umuhimu wa kuvaa kofia ngumu, lakini bado kumekuwa na changamoto kadhaa zinazopelekea watumiaji hao kukaidi…sababu kubwa ni kwamba baadhi ya watumiaji wana kiburi cha kudharau matumizi ya kofia hizo ngumu lakini waendesha bodaboda wengine hawana kofia hizo hivyo abiria wanakosa za kuvaa, pia kukosekana kwa hamasa kati ya wenyewe bodaboda kuhusiana na umuhimu wa kuvaa kofia ngumu,” alisema.Alisema kati ya makosa hayo wapo waliotozwa faini na kuachiwa huku wengine wakishikiliwa kwa muda vituoni ikiwa ni kama sehemu ya adhabu na wengine wamechukuliwa hatua nyingine kadhaa na kuongeza kuwa polisi Dar es Salaam wanaendelea kutoa elimu na kuwachukulia hatua kali watumiaji wa usafiri huo ambao wamekuwa wakikiuka taratibu na kanuni za matumizi ya kofia hizo ngumu.Mwendesha bodaboda wa Kawe, Juma Handunga alilieleza gazeti hili kuwa kuna hitajika abiria kuelimishwa zaidi kuhusiana na matumizi ya kofia ngumu hizo kwa kuwa wapo ambao wanakataa kuzivaa hata kama wakisisitizwa kufanya hivyo.Abiria mmoja aliyezungumza na gazeti hili alisema kuwa kuna haja ya kutolewa kwa elimu zaidi ya matumizi ya kofia hiyo kwa kuwa kuna wakati abiria wanazivaa kwa woga wa kukamatwa na askari na sio kutokana na umuhimu wake. ### Response: KITAIFA ### End
Kagera Sugar hivi karibuni ilitangaza baadhi ya wachezaji iliowasajili akiwemo mkongwe Juma Nyoso, mlinda mlango wa JKT Ruvu Said Kipao, mshambuliaji wa African Lyon Omari Daga, Japhary Kibaya wa Mtibwa Sugar, Peter Mwalyanzi na Ludovic Venance wote wa African Lynon.Akizungumza na gazeti hili jana Katibu Mkuu wa Kagera Sugar, Hamis Madaki alisema usajili wao unaendelea na hadi katikati ya wiki ijayo, watakuwa na kikosi kilichokamilika. “Tunaendelea na usajili tutaweka wazi wiki ijayo majina yote tulioingia nao mkataba,” alisema.Katibu huyo alisema usajili huo unatokana na mapendekezo ya Kocha wao, Mecky Maxime katika kuhakikisha msimu ujao wanafanya vizuri zaidi. Alisema kuna mazungumzo yanafanyika dhidi ya wachezaji inaowahitaji na mambo yakiwa mazuri watamalizana nao.Timu hiyo msimu uliopita ilifanya vizuri na kushika nafasi ya tatu na sasa imedhamiria kuendelea kuwa katika kiwango bora msimu ujao wa Ligi Kuu Soka Tanzania bara. Tayari Kagera Sugar imempoteza mshambuliaji wake, Mbaraka Yusuf aliyeingia mkataba na Azam FC hivi karibuni. Mchezaji huyo aliisaidia Kagera Sugar kumaliza ya tatu msimu uliopita baada ya kuifungia mabao 12.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kagera Sugar hivi karibuni ilitangaza baadhi ya wachezaji iliowasajili akiwemo mkongwe Juma Nyoso, mlinda mlango wa JKT Ruvu Said Kipao, mshambuliaji wa African Lyon Omari Daga, Japhary Kibaya wa Mtibwa Sugar, Peter Mwalyanzi na Ludovic Venance wote wa African Lynon.Akizungumza na gazeti hili jana Katibu Mkuu wa Kagera Sugar, Hamis Madaki alisema usajili wao unaendelea na hadi katikati ya wiki ijayo, watakuwa na kikosi kilichokamilika. “Tunaendelea na usajili tutaweka wazi wiki ijayo majina yote tulioingia nao mkataba,” alisema.Katibu huyo alisema usajili huo unatokana na mapendekezo ya Kocha wao, Mecky Maxime katika kuhakikisha msimu ujao wanafanya vizuri zaidi. Alisema kuna mazungumzo yanafanyika dhidi ya wachezaji inaowahitaji na mambo yakiwa mazuri watamalizana nao.Timu hiyo msimu uliopita ilifanya vizuri na kushika nafasi ya tatu na sasa imedhamiria kuendelea kuwa katika kiwango bora msimu ujao wa Ligi Kuu Soka Tanzania bara. Tayari Kagera Sugar imempoteza mshambuliaji wake, Mbaraka Yusuf aliyeingia mkataba na Azam FC hivi karibuni. Mchezaji huyo aliisaidia Kagera Sugar kumaliza ya tatu msimu uliopita baada ya kuifungia mabao 12. ### Response: MICHEZO ### End
NA ELIUD NGONDO, SONGWE NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba, Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, ameziagiza halmashauri zote nchi kuacha mara moja kupima viwanja bila kuwashirikisha wananchi. Kauli hiyo aliitoa jana wilayani Mbozi mkoani Songwe wakati wa ziara yake ambapo Mabula alisema migogoro mingi ya ardhi inatokana na kutowafidia wananchi ambao ndio waliokuwa wakiyatumia tangu miaka ya nyuma. Alisema wananchi wanapaswa kuingizwa kwenye miradi ya viwanja na anatakiwa kupewa kipaumbele cha kwanza kupimiwa kiwanja chake cha kujenga kabla ya halmashauri kuchukua jukumu la kuviuza. “Mwananchi atapatiwa viwanja kwa matakwa yake na yeye ndiye atakayeamua kulipwa fidia au kupewa kiwanja kilicho pimwa ili kuweza kuondokana na migogoro hii isiyokuwa ya lazima,” alisema Mabula. Mabula alisema asilimia kubwa ya kero za  wananchi ni juu ya migogora ya ardhi ambayo imekuwa ikitokana na kuuzwa viwanja vyao na halmashauri bila kuwepo utaratibu na ushirikishwaji na wananchi kuendelea kuichukua Serikali yao. Hata hivyo baadhi ya wananchi waliozungumza na MTANZANIA walisema maagizo ya naibu waziri huyo yanatakiwa kusimamiwa na kutekelezwa kutokana na kuwepo tabia ya halmashauri kupuuza na kuanza kuuza viwanja hivyo. Amos Simwinga Mkazi wa Mbozi alisema wananchi wamekuwa wakichukuliwa viwanja vyao kwa madai ya kuwa watalipwa fidia na halmashauri hizo lakini hakuna lolote linalotekelezwa. Alisema kumekuwepo na uporaji wa haki za wananchi hali ambayo inasababisha Serikali kuanza kuchukiwa kutokana na halmashauri hizo kutumia vibaya mamlaka zilizonazo na kunyang’anya viwanja vya wanyonge kisha kuwauzia matajiri. Hakim Msongole alisema agizo hilo kama litasimamiwa kikamilifu wananchi watakuwa ndio wa kwanza kutoa maeneo yao kupimwa na kupewa fidia zao kuliko ilivyo kuwa awali walipokuwa wakichukuliwa maeneo hayo bila kuwepo fidia zao. “Lawama kubwa ni kwa hawa maofisa ardhi ambao unakuta anaingia kwenye viwanja vya watu na kuanza kupima baada ya siku chache unakuta mtu tajili anakuja kujenga wakati wewe mmiliki haujaambiwa chochote na fidia yako hujapewa,” alisema Msongole. Alisema hali hiyo ndiyo imekuwa chanzo cha migogoro mingi nchini kuhusu idara ya ardhi kwa kufanya mambo kinyume na taratibu zinavyotakiwa na wananchi waendelee kunufaika kwa kujenga nyumba au kuyauza maeneo hayo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NA ELIUD NGONDO, SONGWE NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba, Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, ameziagiza halmashauri zote nchi kuacha mara moja kupima viwanja bila kuwashirikisha wananchi. Kauli hiyo aliitoa jana wilayani Mbozi mkoani Songwe wakati wa ziara yake ambapo Mabula alisema migogoro mingi ya ardhi inatokana na kutowafidia wananchi ambao ndio waliokuwa wakiyatumia tangu miaka ya nyuma. Alisema wananchi wanapaswa kuingizwa kwenye miradi ya viwanja na anatakiwa kupewa kipaumbele cha kwanza kupimiwa kiwanja chake cha kujenga kabla ya halmashauri kuchukua jukumu la kuviuza. “Mwananchi atapatiwa viwanja kwa matakwa yake na yeye ndiye atakayeamua kulipwa fidia au kupewa kiwanja kilicho pimwa ili kuweza kuondokana na migogoro hii isiyokuwa ya lazima,” alisema Mabula. Mabula alisema asilimia kubwa ya kero za  wananchi ni juu ya migogora ya ardhi ambayo imekuwa ikitokana na kuuzwa viwanja vyao na halmashauri bila kuwepo utaratibu na ushirikishwaji na wananchi kuendelea kuichukua Serikali yao. Hata hivyo baadhi ya wananchi waliozungumza na MTANZANIA walisema maagizo ya naibu waziri huyo yanatakiwa kusimamiwa na kutekelezwa kutokana na kuwepo tabia ya halmashauri kupuuza na kuanza kuuza viwanja hivyo. Amos Simwinga Mkazi wa Mbozi alisema wananchi wamekuwa wakichukuliwa viwanja vyao kwa madai ya kuwa watalipwa fidia na halmashauri hizo lakini hakuna lolote linalotekelezwa. Alisema kumekuwepo na uporaji wa haki za wananchi hali ambayo inasababisha Serikali kuanza kuchukiwa kutokana na halmashauri hizo kutumia vibaya mamlaka zilizonazo na kunyang’anya viwanja vya wanyonge kisha kuwauzia matajiri. Hakim Msongole alisema agizo hilo kama litasimamiwa kikamilifu wananchi watakuwa ndio wa kwanza kutoa maeneo yao kupimwa na kupewa fidia zao kuliko ilivyo kuwa awali walipokuwa wakichukuliwa maeneo hayo bila kuwepo fidia zao. “Lawama kubwa ni kwa hawa maofisa ardhi ambao unakuta anaingia kwenye viwanja vya watu na kuanza kupima baada ya siku chache unakuta mtu tajili anakuja kujenga wakati wewe mmiliki haujaambiwa chochote na fidia yako hujapewa,” alisema Msongole. Alisema hali hiyo ndiyo imekuwa chanzo cha migogoro mingi nchini kuhusu idara ya ardhi kwa kufanya mambo kinyume na taratibu zinavyotakiwa na wananchi waendelee kunufaika kwa kujenga nyumba au kuyauza maeneo hayo. ### Response: KITAIFA ### End
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Serikali ya Awamu ya Tano, kuanzia sasa haitabomoa nyumba za wananchi waliojenga maeneo yasiyo rasmi, badala yake itarasimisha makazi holela.Lukuvi amesema Rais John Magufuli ametoa fursa kwa wananchi wote masikini waishio mijini, waliojenga bila ya kufuata mipango miji na hawana hatimiliki za ardhi, kufanyiwa urasimishaji wa makazi yao na wasibomolewe nyumba zao tena, kwa kuwa hayakuwa makosa yao, kujenga maeneo hayo.Lukuvi alisema hayo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara kwenye ziara yake ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi kwa wakazi wa mji huo.Alisema wananchi wote, wachangamkie fursa hiyo iliyotolewa na Rais Magufuli ya kuwapa fursa ya kumiliki hati katika maeneo ambayo si rasmi kwa kurasimishiwa.“Serikali ya Awamu ya Tano inajali sana wananchi wake kwa kuwa zamani wananchi ambao hawakujenga kwa kufuata mipango miji wangebomolewa nyumba zao, lakini kwa sasa Serikali ya Awamu ya Tano imeanzisha mpango kurasimisha makazi holela na kuwapatia hati wananchi wote waishio mijini ili waishi katika makazi rasmi,” alisema Lukuvi.Aidha, Lukuvi aliwataka wananchi wote waishio mijini kuwa wazalendo, kwa kurasimisha maeneo yao waweze kujipatia hati ili walipe kodi ya pango la ardhi, jambo ambalo litaiongezea serikali mapato.Lukuvi alipokuwa ziarani Simanjiro mwishoni mwa wiki, aligundua kuwa wakazi wa mji wa Simanjiro walio na hatimiliki za ardhi hawazidi 1,000 wakati nyumba zilizopo ni nyingi zaidi ya idadi hiyo.Hivyo, aliwataka wachangamkie fursa hiyo ya kujipatia hati ili kuzipa hadhi nyumba zao.“Nyumba isiyokuwa na hati haina thamani kwakuwa hata ukienda benki kukopa pesa hawatakuuliza umejenga nyumba ya uzuri gani, lakini watakachotaka ni hati yako ya kumiliki ardhi ambacho ndio kitu kilicho na thamani zaidi kwako kuwa nacho,” aliongeza Lukuvi.Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya ambaye alihamia CCM hivi karibuni akitokea Chadema, alimshukuru Waziri Lukuvi na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuwajali wananchi wake, kwa kuwaletea maendeleo makubwa na kusimamia suala la wananchi wa kawaida, kupata fursa ya kumiliki ardhi kutoka kwa wawekezaji wakubwa, ambao walikuwa hawayaendelezi mashamba yao kwa muda mrefu.Simanjiro ndio wilaya inayoongoza kwa wamiliki wa mashamba makubwa, walio na hati na hata wengine wasio na hati rasmi. Kwa sasa wamiliki wa mashamba walio na hati rasmi wanafika 158.Mashamba hayo yana hekari zaidi ya 120,000.Mashamba yasiyo na hati ni zaidi ya hayo. Lukuvi ameanza utaratibu wa kufuta mashamba makubwa 55 yanayomilikiwa, kwa kuwa wamiliki wake wamekiuka masharti ya umiliki.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Serikali ya Awamu ya Tano, kuanzia sasa haitabomoa nyumba za wananchi waliojenga maeneo yasiyo rasmi, badala yake itarasimisha makazi holela.Lukuvi amesema Rais John Magufuli ametoa fursa kwa wananchi wote masikini waishio mijini, waliojenga bila ya kufuata mipango miji na hawana hatimiliki za ardhi, kufanyiwa urasimishaji wa makazi yao na wasibomolewe nyumba zao tena, kwa kuwa hayakuwa makosa yao, kujenga maeneo hayo.Lukuvi alisema hayo wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara kwenye ziara yake ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi kwa wakazi wa mji huo.Alisema wananchi wote, wachangamkie fursa hiyo iliyotolewa na Rais Magufuli ya kuwapa fursa ya kumiliki hati katika maeneo ambayo si rasmi kwa kurasimishiwa.“Serikali ya Awamu ya Tano inajali sana wananchi wake kwa kuwa zamani wananchi ambao hawakujenga kwa kufuata mipango miji wangebomolewa nyumba zao, lakini kwa sasa Serikali ya Awamu ya Tano imeanzisha mpango kurasimisha makazi holela na kuwapatia hati wananchi wote waishio mijini ili waishi katika makazi rasmi,” alisema Lukuvi.Aidha, Lukuvi aliwataka wananchi wote waishio mijini kuwa wazalendo, kwa kurasimisha maeneo yao waweze kujipatia hati ili walipe kodi ya pango la ardhi, jambo ambalo litaiongezea serikali mapato.Lukuvi alipokuwa ziarani Simanjiro mwishoni mwa wiki, aligundua kuwa wakazi wa mji wa Simanjiro walio na hatimiliki za ardhi hawazidi 1,000 wakati nyumba zilizopo ni nyingi zaidi ya idadi hiyo.Hivyo, aliwataka wachangamkie fursa hiyo ya kujipatia hati ili kuzipa hadhi nyumba zao.“Nyumba isiyokuwa na hati haina thamani kwakuwa hata ukienda benki kukopa pesa hawatakuuliza umejenga nyumba ya uzuri gani, lakini watakachotaka ni hati yako ya kumiliki ardhi ambacho ndio kitu kilicho na thamani zaidi kwako kuwa nacho,” aliongeza Lukuvi.Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya ambaye alihamia CCM hivi karibuni akitokea Chadema, alimshukuru Waziri Lukuvi na Serikali ya Awamu ya Tano katika kuwajali wananchi wake, kwa kuwaletea maendeleo makubwa na kusimamia suala la wananchi wa kawaida, kupata fursa ya kumiliki ardhi kutoka kwa wawekezaji wakubwa, ambao walikuwa hawayaendelezi mashamba yao kwa muda mrefu.Simanjiro ndio wilaya inayoongoza kwa wamiliki wa mashamba makubwa, walio na hati na hata wengine wasio na hati rasmi. Kwa sasa wamiliki wa mashamba walio na hati rasmi wanafika 158.Mashamba hayo yana hekari zaidi ya 120,000.Mashamba yasiyo na hati ni zaidi ya hayo. Lukuvi ameanza utaratibu wa kufuta mashamba makubwa 55 yanayomilikiwa, kwa kuwa wamiliki wake wamekiuka masharti ya umiliki. ### Response: KITAIFA ### End
 CHRISTOPHER MSEKENA  UGOMVI wa msanii Gift Stanford ‘Gigy Money’ na mpenzi wake mwenye asili ya Nigeria, Hunchy Huncho, mbele ya waandishi wa habari usiku wa kuamkia jana unatajwa kuwa ni wivu wa mapenzi.  Ugomvi huo ulitokea wakati wa hafla ya tamasha la msanii mpya wa WCB, Zuchu Kopa lililojulikana kwa jina la IAM Zuchu (Asante Nashukuru) na kufanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City.  Gigy Money alikuwa miongoni mwa wasanii wa kwanza kutumbuiza, lakini ugomvi huo unadaiwa kutokana na Gigy Money kumtoroka mpenzi wake, hivyo mrembo huyo alimpiga mpenzi wake na kiatu huku jamaa huyo akitaka kuvua shati ili azichape vizuri jambo lililofanya mabausa waingilie kati ugomvi huo na kuwatenganisha.  Aidha, mastaa kibao walihudhulia onyesho hilo la kwanza la Zuchu, wakiongozwa na Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Hamisa Mobetto, Haji Manara, Juma Jux, Rayvanny, Mbosso, Lavalava, Millen Magese, Irene Uwoya, Lady Jay Dee, Flaviana Matata na wengine kibao huku mgeni rasmi akiwa ni Dk Hassan Abbaz, Katibu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo. 
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --  CHRISTOPHER MSEKENA  UGOMVI wa msanii Gift Stanford ‘Gigy Money’ na mpenzi wake mwenye asili ya Nigeria, Hunchy Huncho, mbele ya waandishi wa habari usiku wa kuamkia jana unatajwa kuwa ni wivu wa mapenzi.  Ugomvi huo ulitokea wakati wa hafla ya tamasha la msanii mpya wa WCB, Zuchu Kopa lililojulikana kwa jina la IAM Zuchu (Asante Nashukuru) na kufanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City.  Gigy Money alikuwa miongoni mwa wasanii wa kwanza kutumbuiza, lakini ugomvi huo unadaiwa kutokana na Gigy Money kumtoroka mpenzi wake, hivyo mrembo huyo alimpiga mpenzi wake na kiatu huku jamaa huyo akitaka kuvua shati ili azichape vizuri jambo lililofanya mabausa waingilie kati ugomvi huo na kuwatenganisha.  Aidha, mastaa kibao walihudhulia onyesho hilo la kwanza la Zuchu, wakiongozwa na Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Hamisa Mobetto, Haji Manara, Juma Jux, Rayvanny, Mbosso, Lavalava, Millen Magese, Irene Uwoya, Lady Jay Dee, Flaviana Matata na wengine kibao huku mgeni rasmi akiwa ni Dk Hassan Abbaz, Katibu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo.  ### Response: BURUDANI ### End
Kuna ‘challenge’ mpya ambayo imeingia katika maeneo mengi duniani kwa sasa. Kila mahali watu wanafanya huo mchezo wa kuibadili sura kuwa mithili ya mzee. Mchezo huo unapatikana kupitia FaceApp. Si muda mrefu sana umepita tangu mchezo mwingine ulioshika kasi ambao ulikuwa unahusisha kubadili jinsia kwa maana kubadili sura hususan ya mwanaume kuwa mithili ya mwanamke. Watu wengi maarufu walifanya hivyo hususan wasanii wa makundi mbalimbali Sasa FaceApp ambayo kwa sasa ndiyo imeshika kasi inaweza kubadili mwonekano wa sura ya mtu kuwa na tabasamu, kuwa kijana (kama mtu ni mzee), kuwa mzee (kama mtu ni kijana) na kadhalika. Mastaa mbalimbali wamevamia ‘kamchezo’ kanakotoana na App hiyo. Baadhi ya mastaa hao ni Nandy, Ben Pol, Majizzo, Mama Diamond, huko majuu kuna Stephen Curry, LeBron James, Meek Mill na wengine wengi. Goodnight 😂….. A post shared by Faustina Charles Mfinanga (@officialnandy) on Jul 16, 2019 at 9:09am PDT Araenbii Tumeitoa Mbali..! @stevernb 😃 A post shared by BEN POL (@iambenpol) on Jul 16, 2019 at 11:02pm PDT Miaka 30 baadae nikiendelea kuleta ubishi kwenye XXL 😂😂😂😂😂 A post shared by Hamisi Mandi (@bdozen) on Jul 17, 2019 at 12:32am PDT Damn you still on probation you like 60 meek? Yeah I might be about to get off tho god willing 🙏🏾 😤😂 A post shared by Meek Mill (@meekmill) on Jul 16, 2019 at 6:38pm PDT https://www.instagram.com/p/Bz_iJGuF18z/?utm_source=ig_web_copy_link https://www.instagram.com/p/B0AzX_yHrfd/?utm_source=ig_web_copy_link https://www.instagram.com/p/B0BqCdLBofK/?utm_source=ig_web_copy_link Strong ass old man face and upper body 😂😂😂😂 A post shared by Kevin Hart (@kevinhart4real) on Jul 16, 2019 at 8:16am PDT Man I don’t care what y’all say I’m taking a “Load Management” game off tonight! I’ve earned it, and my 🦴’s have too! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 A post shared by LeBron James (@kingjames) on Jul 16, 2019 at 5:07pm PDT Been #dubnation since day 1 😂 A post shared by Wardell Curry (@stephencurry30) on Jul 16, 2019 at 4:53pm PDT  
BURUDANI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Kuna ‘challenge’ mpya ambayo imeingia katika maeneo mengi duniani kwa sasa. Kila mahali watu wanafanya huo mchezo wa kuibadili sura kuwa mithili ya mzee. Mchezo huo unapatikana kupitia FaceApp. Si muda mrefu sana umepita tangu mchezo mwingine ulioshika kasi ambao ulikuwa unahusisha kubadili jinsia kwa maana kubadili sura hususan ya mwanaume kuwa mithili ya mwanamke. Watu wengi maarufu walifanya hivyo hususan wasanii wa makundi mbalimbali Sasa FaceApp ambayo kwa sasa ndiyo imeshika kasi inaweza kubadili mwonekano wa sura ya mtu kuwa na tabasamu, kuwa kijana (kama mtu ni mzee), kuwa mzee (kama mtu ni kijana) na kadhalika. Mastaa mbalimbali wamevamia ‘kamchezo’ kanakotoana na App hiyo. Baadhi ya mastaa hao ni Nandy, Ben Pol, Majizzo, Mama Diamond, huko majuu kuna Stephen Curry, LeBron James, Meek Mill na wengine wengi. Goodnight 😂….. A post shared by Faustina Charles Mfinanga (@officialnandy) on Jul 16, 2019 at 9:09am PDT Araenbii Tumeitoa Mbali..! @stevernb 😃 A post shared by BEN POL (@iambenpol) on Jul 16, 2019 at 11:02pm PDT Miaka 30 baadae nikiendelea kuleta ubishi kwenye XXL 😂😂😂😂😂 A post shared by Hamisi Mandi (@bdozen) on Jul 17, 2019 at 12:32am PDT Damn you still on probation you like 60 meek? Yeah I might be about to get off tho god willing 🙏🏾 😤😂 A post shared by Meek Mill (@meekmill) on Jul 16, 2019 at 6:38pm PDT https://www.instagram.com/p/Bz_iJGuF18z/?utm_source=ig_web_copy_link https://www.instagram.com/p/B0AzX_yHrfd/?utm_source=ig_web_copy_link https://www.instagram.com/p/B0BqCdLBofK/?utm_source=ig_web_copy_link Strong ass old man face and upper body 😂😂😂😂 A post shared by Kevin Hart (@kevinhart4real) on Jul 16, 2019 at 8:16am PDT Man I don’t care what y’all say I’m taking a “Load Management” game off tonight! I’ve earned it, and my 🦴’s have too! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 A post shared by LeBron James (@kingjames) on Jul 16, 2019 at 5:07pm PDT Been #dubnation since day 1 😂 A post shared by Wardell Curry (@stephencurry30) on Jul 16, 2019 at 4:53pm PDT   ### Response: BURUDANI ### End
 Na RAMADHAN HASSAN–DODOMA  ZAIDI ya abiria 150 wamenusurika kifo huku 32 wakijeruhiwa baada ya gari aina ya Isuzu kuigonga treni iliyokuwa ikitokea Kigoma kuelekea Jijini Dar es salaam katika eneo la Hazina jijini hapa.  Akizungumza na Waandishi wa Habari, jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, alisema treni hiyo  ilikuwa na mabehewa 14 ambapo mawili yalianguka na kusababisha ajali hiyo. Alisema ajali hiyo imehusisha gari lenye namba za usajili T 860 APW aina ya Isuzu huku akitaja chanzo cha ajali hiyo kuwa ni uzembe wa dereva wa gari kutochukua tahadhari alipokuwa akivuka makutano ya reli. Alisema mara baada ya gari hilo kuzima, dereva wake Hamisi Salum (49), Mkazi wa Nkuhungu jijini Dodoma, aliruka na kukimbilia na baadaye kujisalimisha polisi. Alisema treni hiyo ilikuwa ikitokea Kigoma  kupitia Mwanza na Mpanda kuelekea Dar es salaam ikiwa na behewa tisa za daraja la  tatu, mbili daraja la kwanza, mgahawa mmoja, behewa la vifurushi na behewa la breki.  “Majeruhi 10  wamelazwa katika hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wodi namba 1,16 na 17, wengine tumewaruhusu waendelee na safari,”alisema  Kamanda Muroto Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dk. Abul Pumzi, alisema majeruhi wa ajali hiyo wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali hiyo.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --  Na RAMADHAN HASSAN–DODOMA  ZAIDI ya abiria 150 wamenusurika kifo huku 32 wakijeruhiwa baada ya gari aina ya Isuzu kuigonga treni iliyokuwa ikitokea Kigoma kuelekea Jijini Dar es salaam katika eneo la Hazina jijini hapa.  Akizungumza na Waandishi wa Habari, jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, alisema treni hiyo  ilikuwa na mabehewa 14 ambapo mawili yalianguka na kusababisha ajali hiyo. Alisema ajali hiyo imehusisha gari lenye namba za usajili T 860 APW aina ya Isuzu huku akitaja chanzo cha ajali hiyo kuwa ni uzembe wa dereva wa gari kutochukua tahadhari alipokuwa akivuka makutano ya reli. Alisema mara baada ya gari hilo kuzima, dereva wake Hamisi Salum (49), Mkazi wa Nkuhungu jijini Dodoma, aliruka na kukimbilia na baadaye kujisalimisha polisi. Alisema treni hiyo ilikuwa ikitokea Kigoma  kupitia Mwanza na Mpanda kuelekea Dar es salaam ikiwa na behewa tisa za daraja la  tatu, mbili daraja la kwanza, mgahawa mmoja, behewa la vifurushi na behewa la breki.  “Majeruhi 10  wamelazwa katika hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wodi namba 1,16 na 17, wengine tumewaruhusu waendelee na safari,”alisema  Kamanda Muroto Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dk. Abul Pumzi, alisema majeruhi wa ajali hiyo wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali hiyo. ### Response: KITAIFA ### End
Na CHRISTINA GAULUHANGA-DAR ES SALAAM MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha mikoa mbalimbali nchini, zimeleta athari huku baadhi ya barabara zikifungwa kwa muda kuhofia usalama wa watu na mali zao. MTANZANIA lilitembelea baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kuona athari za mvua hizo zilizoanza jana saa 11 alfajiri na kushuhudia nyumba zaidi ya 30 katika eneo la Jangwani zilizopo pembezoni mwa Barabara ya Morogoro zikiwa zimezingirwa na maji. Wakazi wa nyumba hizo wamejikuta wakizikimbia na kuacha mali zao ikiwamo mifugo. Pia Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, walilazimika kuifunga barabara hiyo zaidi ya saa tano kutokana na mvua kupita juu ya barabaara na kusababisha magari kushindwa kupita kirahisi. Katika eneo hilo, kulikuwa na msururu wa magari na watembea kwa miguu, ambao wengine walilazimika kulipa fedha kwa vijana waliokuwa eneo hilo wavushe. Akizungumza na MTANZANIA, Said Nassor, alisema ni vyema Serikali ikafanya jitihada za kurekebisha kasoro zilizopo katika eneo la Jangwani ili kuondoa adha waipatayo wananchi mara kwa mara. Alisema eneo hilo awali lilikuwa na madaraja manne, lakini baada ya barabara hiyo kujengwa upya yamebaki matatu. “Eneo hili kinachosumbua ni uhaba wa madaraja na ukuta wa kituo cha mabasi yaendayo kasi ndio yamekuwa yakichangia maji kutopita kirahisi na kusababisha mafuriko,” alisema Nassor. Alisema wanachoshukuru mvua hiyo leo (jana) ilianza alfajiri hivyo watu wameweza kuhamisha baadhi ya mali zao ndani, lakini ingeanza usiku wa manane, ingesababisha vifo na uharibu wa mali nyingi. Pia mabasi yaendayo kasi (UDART), nayo yalilazimika kusitisha safari kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 6 mchana ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza. Mabasi mengine na magari madogo yalilazimika kutumia njia nyingine mbadala ili kuendelea na safari zao kama kawaida. MTANZANIA lilishuhudia pia daraja la Mongolandege, Kata ya Ukonga wilayani Ilala likiwa limefurika na kusababisha adha kwa wakazi zaidi ya 13,000 ambao walishindwa kwenda kwenye shughuli zao huku wanafunzi wakikwama kwenda shule. Mkazi wa eneo hilo, Martha John, alisema wamekuwa wakikabiliwa na adha ya ukosefu wa daraja katika eneo hilo zaidi ya miaka 13 jambo ambalo linasababisha vifo vya mara kwa mara pindi mvua zinaponyesha. “Tunaomba viongozi wetu wa jimbo ifike wakati sasa waone umuhimu wa kutujengea daraja hili kwani limekuwa na madhara, hasa nyakati za mvua na bidhaa nyingi zimepanda kwa sababu ya kutumia pikipiki kwa kila safari,” alisema Martha. Diwani wa Kata ya Ukonga, Jumaa Mwipopo (Chadema), alisema atatoa taarifa za hatua zilizochukuliwa hadi sasa za ujenzi wa daraja hilo. Alisema binafsi anakerwa na daraja hilo lililoharibika tangu mwaka 2003 baada ya kusombwa na mvua, lakini hadi leo ujenzi wake umekuwa ukisuasua. “Nasubiri niongee na mamlaka zinazohusika kuhusu adha hii kwani nimekwishatoa taarifa mara kwa mara na hata juzi tulipita pale na mbunge wetu Mwita Waitara, na alijionea hali halisi ilivyo,” alisema Mwipopo… Kwa habari zaidi jipatie nakala yako ya MTANZANIA
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Na CHRISTINA GAULUHANGA-DAR ES SALAAM MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha mikoa mbalimbali nchini, zimeleta athari huku baadhi ya barabara zikifungwa kwa muda kuhofia usalama wa watu na mali zao. MTANZANIA lilitembelea baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam kuona athari za mvua hizo zilizoanza jana saa 11 alfajiri na kushuhudia nyumba zaidi ya 30 katika eneo la Jangwani zilizopo pembezoni mwa Barabara ya Morogoro zikiwa zimezingirwa na maji. Wakazi wa nyumba hizo wamejikuta wakizikimbia na kuacha mali zao ikiwamo mifugo. Pia Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, walilazimika kuifunga barabara hiyo zaidi ya saa tano kutokana na mvua kupita juu ya barabaara na kusababisha magari kushindwa kupita kirahisi. Katika eneo hilo, kulikuwa na msururu wa magari na watembea kwa miguu, ambao wengine walilazimika kulipa fedha kwa vijana waliokuwa eneo hilo wavushe. Akizungumza na MTANZANIA, Said Nassor, alisema ni vyema Serikali ikafanya jitihada za kurekebisha kasoro zilizopo katika eneo la Jangwani ili kuondoa adha waipatayo wananchi mara kwa mara. Alisema eneo hilo awali lilikuwa na madaraja manne, lakini baada ya barabara hiyo kujengwa upya yamebaki matatu. “Eneo hili kinachosumbua ni uhaba wa madaraja na ukuta wa kituo cha mabasi yaendayo kasi ndio yamekuwa yakichangia maji kutopita kirahisi na kusababisha mafuriko,” alisema Nassor. Alisema wanachoshukuru mvua hiyo leo (jana) ilianza alfajiri hivyo watu wameweza kuhamisha baadhi ya mali zao ndani, lakini ingeanza usiku wa manane, ingesababisha vifo na uharibu wa mali nyingi. Pia mabasi yaendayo kasi (UDART), nayo yalilazimika kusitisha safari kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 6 mchana ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza. Mabasi mengine na magari madogo yalilazimika kutumia njia nyingine mbadala ili kuendelea na safari zao kama kawaida. MTANZANIA lilishuhudia pia daraja la Mongolandege, Kata ya Ukonga wilayani Ilala likiwa limefurika na kusababisha adha kwa wakazi zaidi ya 13,000 ambao walishindwa kwenda kwenye shughuli zao huku wanafunzi wakikwama kwenda shule. Mkazi wa eneo hilo, Martha John, alisema wamekuwa wakikabiliwa na adha ya ukosefu wa daraja katika eneo hilo zaidi ya miaka 13 jambo ambalo linasababisha vifo vya mara kwa mara pindi mvua zinaponyesha. “Tunaomba viongozi wetu wa jimbo ifike wakati sasa waone umuhimu wa kutujengea daraja hili kwani limekuwa na madhara, hasa nyakati za mvua na bidhaa nyingi zimepanda kwa sababu ya kutumia pikipiki kwa kila safari,” alisema Martha. Diwani wa Kata ya Ukonga, Jumaa Mwipopo (Chadema), alisema atatoa taarifa za hatua zilizochukuliwa hadi sasa za ujenzi wa daraja hilo. Alisema binafsi anakerwa na daraja hilo lililoharibika tangu mwaka 2003 baada ya kusombwa na mvua, lakini hadi leo ujenzi wake umekuwa ukisuasua. “Nasubiri niongee na mamlaka zinazohusika kuhusu adha hii kwani nimekwishatoa taarifa mara kwa mara na hata juzi tulipita pale na mbunge wetu Mwita Waitara, na alijionea hali halisi ilivyo,” alisema Mwipopo… Kwa habari zaidi jipatie nakala yako ya MTANZANIA ### Response: KITAIFA ### End
SERIKALI imetaifi sha jumla ya leseni 33,000 za madini, zilizokuwa zinamilikiwa na baadhi ya wafanyabiashara wa madini ambazo walikuwa hawaziendelezi, na imezikabidhi kwa wachimbaji wadogo wanaotambulika kisheria.Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini, Dotto Biteko (pichani) alipozungumza kwenye hafla maalumu ya uzinduzi wa soko la madini, jana. Hafla hiyo ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, wakuu wa wilaya, wenyeviti wa halmashauri, wakurugenzi wa halmashauri, wawakilishi wa vyama vya uchimbaji madini, taasisi za fedha na wachimbaji madini.Biteko alisema serikali ilichukua leseni hizo na kuwakabidhi wachimbaji wadogo hao ili kuwawezesha kumiliki uchumi wa nchi kupitia sekta ya madini na wakati huo huo kuboresha mapato ya serikali kupitia kodi. Alisema dhamira ya serikali ni kuona Watanzania wote wananufaika na rasilimali za madini zilizopo nchini hususani wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa madini.Alisisitiza kuwa itawatengenezea mazingira mazuri ya kufanya biashara kupitia masoko hayo ya madini. “Tutawekea mazingira mazuri ya kusafirisha madini yenu kwenda kwenye masoko, badala ya kufanya biashara ya utoroshaji wa madini, lakini hatutawavumilia wale wanaofanya biashara za uchochoroni,” alisema Biteko. Alisema baadhi ya watu ambao wamekuwa biashara za madini kwa njia za panya, wengi wao wamekamatwa kimya kimya na serikali na tayari wamefikishwa kwenye vyombo vya sheria.“Watu hao wamekamatwa kwa sababu tu ya kukwepa kulipa kodi ya serikali, lazima tubadilishe nchi yetu, watu wazungumze namna bora ya kufanya biashara hii ya madini, badala ya kukesha mitandaoni na kujadili mambo binafsi ya watu tukuze uchumi wa nchi yetu,” alisema.Alisema haingiii akili kuona mtu anakwepa kulipa kodi halali ya serikali ya Sh milioni tano ya madini na badala yake anatoa mlungula wa Sh milioni 100 kwa kupitia njia za panya. “Tusichezee mitaji yetu, mtu yeyote anayetaka kutorosha madini yetu, cha kwanza atafilisiwa na cha pili ataishia jela, furaha yetu kama serikali ni kuona mnanufaika na rasilimali madini na nchi inanufaika kwa kupata kodi yake kwa ajili ya maendeleo,” alisema.Alisema katika kipindi cha muda mfupi tangu kufunguliwa kwa masoko ya madini ya Geita na Chunya, kwa soko la Chunya serikali ilikuwa inakusanya gramu nne tu, lakini kiasi cha kilo 22 kimenunuliwa kwa siku nne tu. Alisema kwa sasa soko la madini la Geita, limenunua jumla ya kilo 198 za dhahabu katika kipindi cha mwezi mmoja zenye thamani ya mabilioni ya fedha.“Mtaona ni kiasi gani cha dhahabu ambacho tulikuwa hatupati na mapato ya serikali,” alisema na kuongeza kuwa mtu yeyote anaruhusiwa kuuza dhahabu yake kwenye masoko ya dhahabu yaliyoanzishwa nchini isipokuwa anatakiwa kulipa kodi zote stahiki za serikali. “Pelekeni madini yenu ya dhahabu kwenye masoko ya Geita, Chunya na hapa Mwanza, serikali haiwazuii kuuza madini yenu,” alisema.Aliongeza kuwa katika kuwajali wachimbaji wadogo wa madini, Rais John Magufuli amefuta takribani kodi nane za madini zilizokuwa kero kwa wachimbaji hao ili kuongeza mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa. Aliushukuru uongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa uzinduzi wa soko kubwa na zuri kuliko masoko yote 13, ambayo tayari yameishazinduliwa nchini, na matarajio ya serikali ni kuona taratibu za ununuzi wa dhahabu zinafuatwa.Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Msanjila alisema soko hilo la madini ni sehemu ya masoko mengine ya madini matatu yaliyofunguliwa jana ambayo ni Kagera, Iringa na mkoani Songwe.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella alisema soko hilo la madini, litakuwa ni kituo cha biashara ya madini kwa nchi za Afrika Mashariki. Mwakilishi wa wafanyabiashara wa madini, Makoni Kaniki aliishukuru serikali kwa kuanzisha soko hilo la madini jijini Mwanza, ambalo litawasaidia katika kuinua uchumi wao. “Soko hili ni la kiwango na hatuwezi kulilinganisha na masoko mengine yaliyoanzishwa hapa nchini,” alisema Kaniki.Akizungumza kwa niaba ya taasisi za fedha, Meneja wa Kanda ya Ziwa wa Benki ya NMB, Abraham Augustino aliishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuanzisha masoko hayo kwa wafanyabiashara wa madini, na NMB iko tayari kufanya kazi na wafanyabiashara hao kwa lengo la kuinua vipato vyao na uchumi wa nchi.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI imetaifi sha jumla ya leseni 33,000 za madini, zilizokuwa zinamilikiwa na baadhi ya wafanyabiashara wa madini ambazo walikuwa hawaziendelezi, na imezikabidhi kwa wachimbaji wadogo wanaotambulika kisheria.Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini, Dotto Biteko (pichani) alipozungumza kwenye hafla maalumu ya uzinduzi wa soko la madini, jana. Hafla hiyo ilihudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila, Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, wakuu wa wilaya, wenyeviti wa halmashauri, wakurugenzi wa halmashauri, wawakilishi wa vyama vya uchimbaji madini, taasisi za fedha na wachimbaji madini.Biteko alisema serikali ilichukua leseni hizo na kuwakabidhi wachimbaji wadogo hao ili kuwawezesha kumiliki uchumi wa nchi kupitia sekta ya madini na wakati huo huo kuboresha mapato ya serikali kupitia kodi. Alisema dhamira ya serikali ni kuona Watanzania wote wananufaika na rasilimali za madini zilizopo nchini hususani wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa madini.Alisisitiza kuwa itawatengenezea mazingira mazuri ya kufanya biashara kupitia masoko hayo ya madini. “Tutawekea mazingira mazuri ya kusafirisha madini yenu kwenda kwenye masoko, badala ya kufanya biashara ya utoroshaji wa madini, lakini hatutawavumilia wale wanaofanya biashara za uchochoroni,” alisema Biteko. Alisema baadhi ya watu ambao wamekuwa biashara za madini kwa njia za panya, wengi wao wamekamatwa kimya kimya na serikali na tayari wamefikishwa kwenye vyombo vya sheria.“Watu hao wamekamatwa kwa sababu tu ya kukwepa kulipa kodi ya serikali, lazima tubadilishe nchi yetu, watu wazungumze namna bora ya kufanya biashara hii ya madini, badala ya kukesha mitandaoni na kujadili mambo binafsi ya watu tukuze uchumi wa nchi yetu,” alisema.Alisema haingiii akili kuona mtu anakwepa kulipa kodi halali ya serikali ya Sh milioni tano ya madini na badala yake anatoa mlungula wa Sh milioni 100 kwa kupitia njia za panya. “Tusichezee mitaji yetu, mtu yeyote anayetaka kutorosha madini yetu, cha kwanza atafilisiwa na cha pili ataishia jela, furaha yetu kama serikali ni kuona mnanufaika na rasilimali madini na nchi inanufaika kwa kupata kodi yake kwa ajili ya maendeleo,” alisema.Alisema katika kipindi cha muda mfupi tangu kufunguliwa kwa masoko ya madini ya Geita na Chunya, kwa soko la Chunya serikali ilikuwa inakusanya gramu nne tu, lakini kiasi cha kilo 22 kimenunuliwa kwa siku nne tu. Alisema kwa sasa soko la madini la Geita, limenunua jumla ya kilo 198 za dhahabu katika kipindi cha mwezi mmoja zenye thamani ya mabilioni ya fedha.“Mtaona ni kiasi gani cha dhahabu ambacho tulikuwa hatupati na mapato ya serikali,” alisema na kuongeza kuwa mtu yeyote anaruhusiwa kuuza dhahabu yake kwenye masoko ya dhahabu yaliyoanzishwa nchini isipokuwa anatakiwa kulipa kodi zote stahiki za serikali. “Pelekeni madini yenu ya dhahabu kwenye masoko ya Geita, Chunya na hapa Mwanza, serikali haiwazuii kuuza madini yenu,” alisema.Aliongeza kuwa katika kuwajali wachimbaji wadogo wa madini, Rais John Magufuli amefuta takribani kodi nane za madini zilizokuwa kero kwa wachimbaji hao ili kuongeza mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa. Aliushukuru uongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa uzinduzi wa soko kubwa na zuri kuliko masoko yote 13, ambayo tayari yameishazinduliwa nchini, na matarajio ya serikali ni kuona taratibu za ununuzi wa dhahabu zinafuatwa.Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Msanjila alisema soko hilo la madini ni sehemu ya masoko mengine ya madini matatu yaliyofunguliwa jana ambayo ni Kagera, Iringa na mkoani Songwe.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella alisema soko hilo la madini, litakuwa ni kituo cha biashara ya madini kwa nchi za Afrika Mashariki. Mwakilishi wa wafanyabiashara wa madini, Makoni Kaniki aliishukuru serikali kwa kuanzisha soko hilo la madini jijini Mwanza, ambalo litawasaidia katika kuinua uchumi wao. “Soko hili ni la kiwango na hatuwezi kulilinganisha na masoko mengine yaliyoanzishwa hapa nchini,” alisema Kaniki.Akizungumza kwa niaba ya taasisi za fedha, Meneja wa Kanda ya Ziwa wa Benki ya NMB, Abraham Augustino aliishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuanzisha masoko hayo kwa wafanyabiashara wa madini, na NMB iko tayari kufanya kazi na wafanyabiashara hao kwa lengo la kuinua vipato vyao na uchumi wa nchi. ### Response: KITAIFA ### End
SERIKALI imeitaka Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), kuepuka kuchelewesha ndege au kuahirisha safari bila sababu za msingi kwa kuwa kufanya hivyo kunasababisha malalamiko kutoka kwa abiria. Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye alitoa agizo hilo jana wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM). Katika swali lake, Nape alisema: “Licha ya ATCL kuboresha huduma zao kumeanza kujitokeza tatizo la ucheleweshaji wa ndege.”Hivyo, Nape alitaka kujua nini chanzo na ni hatua gani zimechukuliwa kumaliza tatizo hilo. Akijibu maswali hayo, Nditiye alisema ni kweli siku za karibuni kumejitokeza tatizo la ucheleweshwaji wa ndege na kwamba hali hiyo ilitokana na tatizo la kiufundi lakini kwa sasa limerekebishwa. “Kwa sasa tumeanzisha utaratibu kwa shirika kwamba kama ndege imechelewa lazima tuletewe taarifa kwanini imechelewa.Pia ATCL iepuke kuchelewa bila sababu za msingi au kuahirisha safari licha ya kuwa changamoto hiyo tumepunguza kwa kiasi kikubwa,” alifafanua. Katika swali lake la msingi, Mbunge wa Shaurimoyo, Mattar Ali Salum(CCM) alisema: “Kampuni ya Azam Marine ambayo inafanya biashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia boti kupitia baharini, huuza tiketi kwa abiria kwa ajili ya safari lakini abiria anapochelewa safari, tiketi hiyo huwa haitumiki na hivyo kusababisha hasara kwa abiria pamoja na usumbufu.”Hivyo, Salum alitaka kujua kama serikali inalijua hilo na ina mkakati gani wa kutatua tatizo hilo. Akijibu swali hilo, Nditiye alisema serikali ina taarifa ya jambo hilo kwa kuwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara.Alisema kuwa baada ya ufuatiliaji uliofanywa na wizara yake kupitia TASAC umebaini kuwa kampuni iliyotajwa ina utaratibu wa namna abiria anavyoweza kuahirisha safari na namna nauli itakavyorejeshwa. Aidha, Nditiye alisema kampuni imekuwa ikiruhusu abiria kutoa taarifa na kubadili muda wa safari bila gharama ya ziada ikiwa msafiri atatoa taarifa kabla chombo kuondoka. “Utaratibu huo unatoa fursa kwa kampuni kuuza nafasi iliyoachwa wazi kwa wasafiri wengine ili kuepuka hasara,” alisema.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- SERIKALI imeitaka Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), kuepuka kuchelewesha ndege au kuahirisha safari bila sababu za msingi kwa kuwa kufanya hivyo kunasababisha malalamiko kutoka kwa abiria. Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye alitoa agizo hilo jana wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM). Katika swali lake, Nape alisema: “Licha ya ATCL kuboresha huduma zao kumeanza kujitokeza tatizo la ucheleweshaji wa ndege.”Hivyo, Nape alitaka kujua nini chanzo na ni hatua gani zimechukuliwa kumaliza tatizo hilo. Akijibu maswali hayo, Nditiye alisema ni kweli siku za karibuni kumejitokeza tatizo la ucheleweshwaji wa ndege na kwamba hali hiyo ilitokana na tatizo la kiufundi lakini kwa sasa limerekebishwa. “Kwa sasa tumeanzisha utaratibu kwa shirika kwamba kama ndege imechelewa lazima tuletewe taarifa kwanini imechelewa.Pia ATCL iepuke kuchelewa bila sababu za msingi au kuahirisha safari licha ya kuwa changamoto hiyo tumepunguza kwa kiasi kikubwa,” alifafanua. Katika swali lake la msingi, Mbunge wa Shaurimoyo, Mattar Ali Salum(CCM) alisema: “Kampuni ya Azam Marine ambayo inafanya biashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia boti kupitia baharini, huuza tiketi kwa abiria kwa ajili ya safari lakini abiria anapochelewa safari, tiketi hiyo huwa haitumiki na hivyo kusababisha hasara kwa abiria pamoja na usumbufu.”Hivyo, Salum alitaka kujua kama serikali inalijua hilo na ina mkakati gani wa kutatua tatizo hilo. Akijibu swali hilo, Nditiye alisema serikali ina taarifa ya jambo hilo kwa kuwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara.Alisema kuwa baada ya ufuatiliaji uliofanywa na wizara yake kupitia TASAC umebaini kuwa kampuni iliyotajwa ina utaratibu wa namna abiria anavyoweza kuahirisha safari na namna nauli itakavyorejeshwa. Aidha, Nditiye alisema kampuni imekuwa ikiruhusu abiria kutoa taarifa na kubadili muda wa safari bila gharama ya ziada ikiwa msafiri atatoa taarifa kabla chombo kuondoka. “Utaratibu huo unatoa fursa kwa kampuni kuuza nafasi iliyoachwa wazi kwa wasafiri wengine ili kuepuka hasara,” alisema. ### Response: KITAIFA ### End
KULWA MZEE -DAR ES SALAAM VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wanaokabiliwa na mashtaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78, wanaendelea kusota rumande wakisubiri majibu kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini. Washtakiwa hao ambao kwa mara ya kwanza walipandishwa kizimbani Machi 27 mwaka huu, jana walisomewa kesi yao kwa njia ya Mahakama Mtandao ambapo upande wa Jamhuri ulidai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kwamba upelelezi haujakamilika. Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon alidai upelelezi haujakamilika na akaomba tarehe nyingine ya kutajwa. Wakili wa utetezi, Benedict Ishabakaki akijibu alidai waliandika barua kwa ajili ya kufikia makubaliano ya kumaliza kesi kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) hivyo wanaendelea na mazungumzo na ofisi ya DPP. Hakimu Simba baada ya kusikiliza hoja hizo, alisema mazungumzo yakikamilika kabla ya tarehe ya kutajwa tena Julai 22 mwaka huu washtakiwa wataletwa kwa hati ya wito. Awali ilidaiwa kuwa washtakiwa hao  Aprili 21 mwaka huu waliandika barua kwa DPP kukiri makosa. Barua hiyo inadaiwa ilipokewa, majadiliano yalianza na yalikamilika kwa kiasi kikubwa, kinachosubiriwa ni hati ya kuipa mamlaka Mahakama ya Kisutu kuendelea na shauri hilo kutoka kwa DPP. Mbali na Nguyen washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40)  na Vu Tiep wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) ambaye ni Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni hiyo, Nguyen Cong na Kampuni ya Viattel. Awali waliposomewa mashtaka Machi 27 mwaka huu mbele  ya Hakimu Simba, washtakiwa hao walidaiwa  kati ya Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020 maeneo ya Mikocheni wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu ili kujipatia faida. Inadaiwa kati ya Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020  maeneo ya Mikocheni wilayani Kinondoni, Dar es Salaam na maeneo mengine ya nchi, kwa pamoja walitumia masafa ya redio bila kupata kibali kutoka TCRA. Pia inadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu maeneo hayo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Vietnam kwa pamoja walitengeneza mfumo ambao ulitumia huduma za mawasiliano zinazojulikana kama Virtual Private Network (VPN) kinyume na taratibu. Katika shtaka la nne, inadaiwa washtakiwa hao walikwepa kulipa kodi kwa TCRA kwa kutumia mitambo ya mawasiliano yaliyounganishwa Viettel Tanzania na Vietnam  kinyume na sheria. Inadaiwa Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020 maeneo hayo kwa kutumia masafa ya redio bila kupata kibali cha TCRA walisababishia mamlaka hiyo hasara ya Sh bilioni 75. Pia wanadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu kwa kutumia mitambo ya VPN waliisababishia TCRA hasara ya Sh bilioni 3.03. Katika shtaka la saba, washtakiwa wote wanadaiwa kutakatisha Sh bilioni 3.03 wakati wakijua fedha hizo ni zao la makosa ya kuongoza genge la uhalifu. Kampuni ya Viettel Tanzania inadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu ilitakatisha Sh bilioni 3.03 na shtaka la tisa na 10, washtakiwa wote wanadaiwa kutakatisha Sh bilioni 75 wakati wakijua fedha hizo ni zao la uhalifu.
UCHUMI
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- KULWA MZEE -DAR ES SALAAM VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wanaokabiliwa na mashtaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78, wanaendelea kusota rumande wakisubiri majibu kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini. Washtakiwa hao ambao kwa mara ya kwanza walipandishwa kizimbani Machi 27 mwaka huu, jana walisomewa kesi yao kwa njia ya Mahakama Mtandao ambapo upande wa Jamhuri ulidai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kwamba upelelezi haujakamilika. Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon alidai upelelezi haujakamilika na akaomba tarehe nyingine ya kutajwa. Wakili wa utetezi, Benedict Ishabakaki akijibu alidai waliandika barua kwa ajili ya kufikia makubaliano ya kumaliza kesi kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) hivyo wanaendelea na mazungumzo na ofisi ya DPP. Hakimu Simba baada ya kusikiliza hoja hizo, alisema mazungumzo yakikamilika kabla ya tarehe ya kutajwa tena Julai 22 mwaka huu washtakiwa wataletwa kwa hati ya wito. Awali ilidaiwa kuwa washtakiwa hao  Aprili 21 mwaka huu waliandika barua kwa DPP kukiri makosa. Barua hiyo inadaiwa ilipokewa, majadiliano yalianza na yalikamilika kwa kiasi kikubwa, kinachosubiriwa ni hati ya kuipa mamlaka Mahakama ya Kisutu kuendelea na shauri hilo kutoka kwa DPP. Mbali na Nguyen washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40)  na Vu Tiep wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) ambaye ni Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni hiyo, Nguyen Cong na Kampuni ya Viattel. Awali waliposomewa mashtaka Machi 27 mwaka huu mbele  ya Hakimu Simba, washtakiwa hao walidaiwa  kati ya Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020 maeneo ya Mikocheni wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, waliongoza genge la uhalifu ili kujipatia faida. Inadaiwa kati ya Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020  maeneo ya Mikocheni wilayani Kinondoni, Dar es Salaam na maeneo mengine ya nchi, kwa pamoja walitumia masafa ya redio bila kupata kibali kutoka TCRA. Pia inadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu maeneo hayo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Vietnam kwa pamoja walitengeneza mfumo ambao ulitumia huduma za mawasiliano zinazojulikana kama Virtual Private Network (VPN) kinyume na taratibu. Katika shtaka la nne, inadaiwa washtakiwa hao walikwepa kulipa kodi kwa TCRA kwa kutumia mitambo ya mawasiliano yaliyounganishwa Viettel Tanzania na Vietnam  kinyume na sheria. Inadaiwa Juni 8, 2017 na Machi 26, 2020 maeneo hayo kwa kutumia masafa ya redio bila kupata kibali cha TCRA walisababishia mamlaka hiyo hasara ya Sh bilioni 75. Pia wanadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu kwa kutumia mitambo ya VPN waliisababishia TCRA hasara ya Sh bilioni 3.03. Katika shtaka la saba, washtakiwa wote wanadaiwa kutakatisha Sh bilioni 3.03 wakati wakijua fedha hizo ni zao la makosa ya kuongoza genge la uhalifu. Kampuni ya Viettel Tanzania inadaiwa kati ya Julai 7, 2016 na Machi 26, mwaka huu ilitakatisha Sh bilioni 3.03 na shtaka la tisa na 10, washtakiwa wote wanadaiwa kutakatisha Sh bilioni 75 wakati wakijua fedha hizo ni zao la uhalifu. ### Response: UCHUMI ### End
BONDIA Hassan Mwakinyo amemtwanga bondia Sergio Eduardo Gonzalez kutoka Argentina kwa KO raundi ya tano katika pambano lililofanyika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) jijini Nairobi, Kenya.Mwakinyo kutoka Tanzania alimkalisha mpinzani wake kutoka Argentina katika pambano hilo la uzito wa Super Walter ambalo lilikuwa la raundi nane.Hili linakuwa pambano la tano mfululizo Mwakinyo kushinda tangu Machi 10, 2018 alipomshinda Ambokile Chusa kwa pointi Dar es Salaam, kabla ya kwenda kumpiga Muingereza Sam Eggington Septemba 8, 2018 mjini Birmingham, na kisha kuwadunda Said Yazidu Oktoba 20, 2018 na Joseph Sinkala Oktoba 28, 2018 mjini Tanga, yote kwa KO.Mwakinyo amepoteza mapambano mawili tu kati ya 17 aliyocheza akipigwa na Shaaban Kaoneka Mei 14, 2016, Dar es Salaam na Mrusi Lendrush Akopian, Moscow Desemba 2, 2017.Akizungumza baada ya pambano hilo Mwakinyo aliishukuru Kampuni ya bahati nasibu ya SportPesa na kusema ushindi wake ni zawadi kwa Watanzania wote. Baada ya ushindi huo, Mwakinyo ambaye ni bingwa wa taji la Kimataifa la Universal Boxing Organization (UBO).
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- BONDIA Hassan Mwakinyo amemtwanga bondia Sergio Eduardo Gonzalez kutoka Argentina kwa KO raundi ya tano katika pambano lililofanyika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) jijini Nairobi, Kenya.Mwakinyo kutoka Tanzania alimkalisha mpinzani wake kutoka Argentina katika pambano hilo la uzito wa Super Walter ambalo lilikuwa la raundi nane.Hili linakuwa pambano la tano mfululizo Mwakinyo kushinda tangu Machi 10, 2018 alipomshinda Ambokile Chusa kwa pointi Dar es Salaam, kabla ya kwenda kumpiga Muingereza Sam Eggington Septemba 8, 2018 mjini Birmingham, na kisha kuwadunda Said Yazidu Oktoba 20, 2018 na Joseph Sinkala Oktoba 28, 2018 mjini Tanga, yote kwa KO.Mwakinyo amepoteza mapambano mawili tu kati ya 17 aliyocheza akipigwa na Shaaban Kaoneka Mei 14, 2016, Dar es Salaam na Mrusi Lendrush Akopian, Moscow Desemba 2, 2017.Akizungumza baada ya pambano hilo Mwakinyo aliishukuru Kampuni ya bahati nasibu ya SportPesa na kusema ushindi wake ni zawadi kwa Watanzania wote. Baada ya ushindi huo, Mwakinyo ambaye ni bingwa wa taji la Kimataifa la Universal Boxing Organization (UBO). ### Response: MICHEZO ### End
Ashanti ilianza kupata mabao yake katika dakika ya 22, mfungaji akiwa Edward Ndunguru aliyefunga bao hilo kwa shuti kali kabla Iddi Selemani hajaongeza bao la pili katika dakika ya 40.Selemani tena aliwainua mashabiki wa timu hiyo yenye maskani yake Ilala kwa kuandika bao la tatu katika dakika ya 57. Bao hilo lilikuwa la mkwaju wa penalti iliyotolewa na mwamuzi baada ya beki Nelson Haule wa Polisi kunawa mpira eneo la hatari.Dakika chache baadaye Omary Dennis alifunga bao la nne baada ya kuichambua ngome ya Polisi. Matokeo hayo yanaifanya Ashanti izidi kujikita kileleni mwa msimamo wa kundi A ikiwa na pointi 18. Kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro Polisi ya huko imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kuchapwa bao 1-0 na Kurugenzi.
MICHEZO
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- Ashanti ilianza kupata mabao yake katika dakika ya 22, mfungaji akiwa Edward Ndunguru aliyefunga bao hilo kwa shuti kali kabla Iddi Selemani hajaongeza bao la pili katika dakika ya 40.Selemani tena aliwainua mashabiki wa timu hiyo yenye maskani yake Ilala kwa kuandika bao la tatu katika dakika ya 57. Bao hilo lilikuwa la mkwaju wa penalti iliyotolewa na mwamuzi baada ya beki Nelson Haule wa Polisi kunawa mpira eneo la hatari.Dakika chache baadaye Omary Dennis alifunga bao la nne baada ya kuichambua ngome ya Polisi. Matokeo hayo yanaifanya Ashanti izidi kujikita kileleni mwa msimamo wa kundi A ikiwa na pointi 18. Kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro Polisi ya huko imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kuchapwa bao 1-0 na Kurugenzi. ### Response: MICHEZO ### End
JOSEPH HIZA NA MASHIRIKA YA HABARI NYANYA ni kiungo cha chakula, si tu hutoa ladha nzuri katika mchuzi, kachumbari au mboga bali pia zina faida kubwa katika mwili wa binadamu. Miongoni mwa faida hizo ni uwapo wa vitamin C, A na K pamoja na madini mengine kama vile potassium, manganese, ufumwele na kadhalika. Virutubisho hivyo pamoja na mambo mengine hupunguza uwezekano wa uoni hafifu, kuzuia saratani ya kibofu, utumbo, mapafu, koo, mdomo na kizazi. Pia husaidia kusafisha ngozi na kupunguza kiwango cha sukari katika damu na ulaji mwingi kusaidia upatikanaji wa usingizi mzuri, uimara wa mifupa, nywele na kupunguza maumivu kwa kutaja chache. Mbali ya hilo, kilimo cha zao hilo kina faida za kiuchumi, kutokana na ukweli kuwa ni tunda linalonunulika kutokana na kuwa sehemu ya mlo wa kila siku. Wakati ikiwa hivyo, nchini Hispania kiungo hicho pia hutumika kwa matumizi mengine ya kujifurahisha, ambayo kamwe katikia mataifa yetu yanayoendelea yangehesabiwa uharibifu wa chakula. Ni kutokana na kutumika katika tamasha maarufu la kupigana na chakula liitwalo La Tomatina, ambalo hufanyika Jumatano ya mwisho ya mwezi Agosti. Hivyo, mwaka huu lilifanyika Agosti 30 katika mji wa Bunoi karibu na Valencia chini ya ulinzi mkali kutokana na uwapo wa hofu ya mashambulizi kutoka kwa wanamgambo wenye itikadi kali za kidini. Katika tamasha hilo, watu mbalimbali wageni na wenyeji wazee, wakubwa kwa watoto hukusanyika sehemu moja na hupigana kwa kurushiana nyanya limekuwa likifanyika tangu miaka ya 1940. Katika tamasha hilo mwaka huu, nyanya tani 160 zilitumika katika mapigano hayo ya kurushiana tunda hilo yaliyodumu takribani saa moja, huku kila mmoja akigeuka mwekundu. Aidha, limekuwa likifanyika katika nchi nyingine duniani kama vile Chile, Amerika ya Kusini, ambako lilitangazwa kuwa rasmi mwaka 2013 katika baadhi ya manispaa za mji ikiwamo mji mkuu wa Santiago baada ya watu fulani kipindi hicho kuanza kurushiana nyanya kwa lengo la kujifurahisha. Maelfu kwa maelfu ya watu kutoka sehemu mbalimbali duniani hujazana  kushiriki mapambano haya makubwa ya vyakula ambapo zaidi ya tani 100 za nyanya zilizoiva hutumika kama silaha ya mapigano mitaani. Sherehe hii inayodumu kwa muda usiopungua wiki moja, hujumuisha muziki, magwaride, uchezaji muziki na maonesho ya kucheza na moto ya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na ya kulipua baruti zenye kutoa mwanga wa rangi mbalimbali za kuvutia. Kila mwaka, watu wanaokadiriwa kuwa kati ya 40,000 hadi 50,000 hushiriki, na hivyo kuifanya idadi ya watu ya mji wa Bunol kuongeza marudufu kwa vile una wakazi 9,000 tu. Idadi ya washiriki wa mapambano haya imekuwa ikiongezeka kila mwaka na kutokana na hilo, ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunol, mwaka 2013 uliamua kuanzisha mtindo wa watu kuingia kwa kulipa tiketi, jambo ambalo miaka ya nyuma halikuwapo. Kutokana sherehe hiyo kubwa ya kitalii nchini Hispania, watu wanaokwenda kwa lengo la kuhudhuria huwa kubwa kuliko uwezo wa mji huo kuhudumia malazi ya watu. Hivyo, baadhi ya watu hufika mji wa jirani wa Valencia uliopo kilomita 38 kutoka Bunol ambapo huenda na kurudi baada ya sherehe hizo kwa mabasi ya abiria. Ni sherehe inayouacha mji huo ukiwa na kila aina ya uchafu ndani ya muda mfupi sana unaotokana na mabaki ya nyanya zinazotumika kwenye mapambano. Katika kujitayarisha kwa mrundikano huo mkubwa wa uchafu, wenye maduka hujitayarisha kwa kuziba maeneo ya mbele ya maduka yao na hata ya maofisi kwa makaratasi maalumu ili kuhakikisha sherehe hizi haziwakwazi watu wanaokwenda kwenye maduka yao kibiashara. Kwa kawaida tamasha huanza saa tano asubuhi, wakati malori mengi makubwa yanapowasili kwenye eneo la katikati ya mji na kuanza kushusha mizigo mikubwa na mingi ya nyanya zilizowiva. Eneo linalofahamika sana kwa shughuli hii ni la Plaza del Pueblo. Nyanya hizi hununuliwa kutoka mji mwingine, ambako zao hili hulimwa kwa wingi na hivyo kufanya bei yake kuwa ya chini. Ishara maalum ya kuanza kwa pambano hutolewa; ambayo ni kufyatuliwa kwa bunduki ya maji na hapo kelele hutawala ghafla na hapo kila mtu kumshambulia mwingine. Washiriki hushauriwa kuvaa miwani ya kulinda macho yao dhidi ya majimaji ya nyanya hizo, pamoja na mipira ya mikononi. Sheria nyingine ni kwamba washiriki wote hawaruhusiwi kuja na kitu chochote kinachoweza kumletea madhara mwingine, kama vile chupa, bilauri au kikombe cha udongo. Ingawa kuna sheria ya kuzuia mtu kuchana nguo ya mtu mwingine wakati wa mapambano haya, lakini mara nyingi washiriki hushindwa kuheshimu hili na imekuwa ni kawaida kuona watu wakichaniana nguo. Baada ya saa moja, mapambano hufika mwisho wakati bunduki za maji zinapofyatuliwa tena kuonesha ishara ya kumaliza mapambano. Inapotolewa ishara hiyo, hakuna nyanya zaidi zinazoruhusiwa kurushwa. Mtu anapoona hali ya mji huo muda mfupi kabla ya mapambano hayo ya nyanya kuanza na akaona muda mfupi baada ya kipenga cha kusitisha mapambano hayo, anaweza akashangaa kwa namna mji huo unavyobadilika kwa muda mfupi. Baada ya kumalizika kwa mpambano shughuli za kusafisha mji huanza.  Tamasha hili lilianzaje? Kumbukumbu zinaonesha huenda sherehe hizi zilianza mwaka 1944 au 1945, lakini zikapigwa marufuku wakati wa utawala wa Jenerali Fransisco Franco. Inaaminika zilianza wakati wa magwaride ya vijana ambapo watu waliotaka kushiriki walitakiwa kwanza kupambana kwenye eneo la Plaza del Pueblo. Kulikuwa na vibanda vya kuuza mbogamboga katika eneo jirani, makundi ya watu waliokuwa wakifanya mchezo huu wa kushambuliana, wakajikuta wakivamia mabanda na kuchukua nyanya na kuanza kurushiana. Polisi walilazimika kuingilia kati na kuwalazimisha wale waliohusika na uharibifu huu, kulipa fidia. Kumbukumbu zinaonyesha hii ni moja ya vile vinavyoweza kuonekana kama vyanzo ama chimbuko za kuanza kwa sherehe hizi za Tomatina. Inasemekana mwaka uliofuatia, mapambano hayo yalirudia siku ileile ya Jumatano ya  Agosti lakini safari hii walikuja na vikapu vyao vya nyanya kutoka majumbani kwao. Sherehe hizi zikapigwa marufuku na kuruhusiwa mara kwa mara baada ya shinikizo la wakazi waliozizoea. Baadaye manispaa za miji zilizikubali katika miaka ya 1980 na kuchukua rasmi matayarisho ya sherehe hii hadi leo hii ambayo imegeuka sehemu ya utalii wenye kuingiza fedha nyingi.
KIMATAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- JOSEPH HIZA NA MASHIRIKA YA HABARI NYANYA ni kiungo cha chakula, si tu hutoa ladha nzuri katika mchuzi, kachumbari au mboga bali pia zina faida kubwa katika mwili wa binadamu. Miongoni mwa faida hizo ni uwapo wa vitamin C, A na K pamoja na madini mengine kama vile potassium, manganese, ufumwele na kadhalika. Virutubisho hivyo pamoja na mambo mengine hupunguza uwezekano wa uoni hafifu, kuzuia saratani ya kibofu, utumbo, mapafu, koo, mdomo na kizazi. Pia husaidia kusafisha ngozi na kupunguza kiwango cha sukari katika damu na ulaji mwingi kusaidia upatikanaji wa usingizi mzuri, uimara wa mifupa, nywele na kupunguza maumivu kwa kutaja chache. Mbali ya hilo, kilimo cha zao hilo kina faida za kiuchumi, kutokana na ukweli kuwa ni tunda linalonunulika kutokana na kuwa sehemu ya mlo wa kila siku. Wakati ikiwa hivyo, nchini Hispania kiungo hicho pia hutumika kwa matumizi mengine ya kujifurahisha, ambayo kamwe katikia mataifa yetu yanayoendelea yangehesabiwa uharibifu wa chakula. Ni kutokana na kutumika katika tamasha maarufu la kupigana na chakula liitwalo La Tomatina, ambalo hufanyika Jumatano ya mwisho ya mwezi Agosti. Hivyo, mwaka huu lilifanyika Agosti 30 katika mji wa Bunoi karibu na Valencia chini ya ulinzi mkali kutokana na uwapo wa hofu ya mashambulizi kutoka kwa wanamgambo wenye itikadi kali za kidini. Katika tamasha hilo, watu mbalimbali wageni na wenyeji wazee, wakubwa kwa watoto hukusanyika sehemu moja na hupigana kwa kurushiana nyanya limekuwa likifanyika tangu miaka ya 1940. Katika tamasha hilo mwaka huu, nyanya tani 160 zilitumika katika mapigano hayo ya kurushiana tunda hilo yaliyodumu takribani saa moja, huku kila mmoja akigeuka mwekundu. Aidha, limekuwa likifanyika katika nchi nyingine duniani kama vile Chile, Amerika ya Kusini, ambako lilitangazwa kuwa rasmi mwaka 2013 katika baadhi ya manispaa za mji ikiwamo mji mkuu wa Santiago baada ya watu fulani kipindi hicho kuanza kurushiana nyanya kwa lengo la kujifurahisha. Maelfu kwa maelfu ya watu kutoka sehemu mbalimbali duniani hujazana  kushiriki mapambano haya makubwa ya vyakula ambapo zaidi ya tani 100 za nyanya zilizoiva hutumika kama silaha ya mapigano mitaani. Sherehe hii inayodumu kwa muda usiopungua wiki moja, hujumuisha muziki, magwaride, uchezaji muziki na maonesho ya kucheza na moto ya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na ya kulipua baruti zenye kutoa mwanga wa rangi mbalimbali za kuvutia. Kila mwaka, watu wanaokadiriwa kuwa kati ya 40,000 hadi 50,000 hushiriki, na hivyo kuifanya idadi ya watu ya mji wa Bunol kuongeza marudufu kwa vile una wakazi 9,000 tu. Idadi ya washiriki wa mapambano haya imekuwa ikiongezeka kila mwaka na kutokana na hilo, ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Bunol, mwaka 2013 uliamua kuanzisha mtindo wa watu kuingia kwa kulipa tiketi, jambo ambalo miaka ya nyuma halikuwapo. Kutokana sherehe hiyo kubwa ya kitalii nchini Hispania, watu wanaokwenda kwa lengo la kuhudhuria huwa kubwa kuliko uwezo wa mji huo kuhudumia malazi ya watu. Hivyo, baadhi ya watu hufika mji wa jirani wa Valencia uliopo kilomita 38 kutoka Bunol ambapo huenda na kurudi baada ya sherehe hizo kwa mabasi ya abiria. Ni sherehe inayouacha mji huo ukiwa na kila aina ya uchafu ndani ya muda mfupi sana unaotokana na mabaki ya nyanya zinazotumika kwenye mapambano. Katika kujitayarisha kwa mrundikano huo mkubwa wa uchafu, wenye maduka hujitayarisha kwa kuziba maeneo ya mbele ya maduka yao na hata ya maofisi kwa makaratasi maalumu ili kuhakikisha sherehe hizi haziwakwazi watu wanaokwenda kwenye maduka yao kibiashara. Kwa kawaida tamasha huanza saa tano asubuhi, wakati malori mengi makubwa yanapowasili kwenye eneo la katikati ya mji na kuanza kushusha mizigo mikubwa na mingi ya nyanya zilizowiva. Eneo linalofahamika sana kwa shughuli hii ni la Plaza del Pueblo. Nyanya hizi hununuliwa kutoka mji mwingine, ambako zao hili hulimwa kwa wingi na hivyo kufanya bei yake kuwa ya chini. Ishara maalum ya kuanza kwa pambano hutolewa; ambayo ni kufyatuliwa kwa bunduki ya maji na hapo kelele hutawala ghafla na hapo kila mtu kumshambulia mwingine. Washiriki hushauriwa kuvaa miwani ya kulinda macho yao dhidi ya majimaji ya nyanya hizo, pamoja na mipira ya mikononi. Sheria nyingine ni kwamba washiriki wote hawaruhusiwi kuja na kitu chochote kinachoweza kumletea madhara mwingine, kama vile chupa, bilauri au kikombe cha udongo. Ingawa kuna sheria ya kuzuia mtu kuchana nguo ya mtu mwingine wakati wa mapambano haya, lakini mara nyingi washiriki hushindwa kuheshimu hili na imekuwa ni kawaida kuona watu wakichaniana nguo. Baada ya saa moja, mapambano hufika mwisho wakati bunduki za maji zinapofyatuliwa tena kuonesha ishara ya kumaliza mapambano. Inapotolewa ishara hiyo, hakuna nyanya zaidi zinazoruhusiwa kurushwa. Mtu anapoona hali ya mji huo muda mfupi kabla ya mapambano hayo ya nyanya kuanza na akaona muda mfupi baada ya kipenga cha kusitisha mapambano hayo, anaweza akashangaa kwa namna mji huo unavyobadilika kwa muda mfupi. Baada ya kumalizika kwa mpambano shughuli za kusafisha mji huanza.  Tamasha hili lilianzaje? Kumbukumbu zinaonesha huenda sherehe hizi zilianza mwaka 1944 au 1945, lakini zikapigwa marufuku wakati wa utawala wa Jenerali Fransisco Franco. Inaaminika zilianza wakati wa magwaride ya vijana ambapo watu waliotaka kushiriki walitakiwa kwanza kupambana kwenye eneo la Plaza del Pueblo. Kulikuwa na vibanda vya kuuza mbogamboga katika eneo jirani, makundi ya watu waliokuwa wakifanya mchezo huu wa kushambuliana, wakajikuta wakivamia mabanda na kuchukua nyanya na kuanza kurushiana. Polisi walilazimika kuingilia kati na kuwalazimisha wale waliohusika na uharibifu huu, kulipa fidia. Kumbukumbu zinaonyesha hii ni moja ya vile vinavyoweza kuonekana kama vyanzo ama chimbuko za kuanza kwa sherehe hizi za Tomatina. Inasemekana mwaka uliofuatia, mapambano hayo yalirudia siku ileile ya Jumatano ya  Agosti lakini safari hii walikuja na vikapu vyao vya nyanya kutoka majumbani kwao. Sherehe hizi zikapigwa marufuku na kuruhusiwa mara kwa mara baada ya shinikizo la wakazi waliozizoea. Baadaye manispaa za miji zilizikubali katika miaka ya 1980 na kuchukua rasmi matayarisho ya sherehe hii hadi leo hii ambayo imegeuka sehemu ya utalii wenye kuingiza fedha nyingi. ### Response: KIMATAIFA ### End
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amekemea taarifa za kupotosha wananchi kuhusu mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Stiegler kuwa unaharibu Pori la Akiba la Selous.Amesema taarifa hizo si sahihi na amewaomba wananchi kutowaamini wanaotoa taarifa hizo potofu.Kanyasu alisema hayo mwishoni mwa wiki mkoani hapa baada ya kutembelea eneo linalotekelezwa mradi huo.Alisema kuwa bwawa hilo, litakuwa na faida nyingi kwa wahifadhi wa pori hilo na wanyama kupata maji wakiwa huko huko na hivyo kuacha kwenda katika maeneo ya wananchi kwa lengo la kutafuta maji.Alisema kuwa wanyama wamekuwa wakileta madhara kwa wananchi kutokana na kukosa maji, lakini ujenzi huo utapunguza usumbufu wa wanyama kuvamia makazi ya watu.Aliwataka wananchi kutoweka makazi karibu na hifadhi, ili kuepusha muingiliano baina yao na wanyama.Kanyasu alisema kuwa mradi huo, hautakuwa na athari zozote kwenye pori hilo la akiba, kama inavyodaiwa na baadhi ya watu wasioutakia mema mradi huo.Kwamba mradi huo baada ya kukamilika, utakuwa na faida kubwa kwa wananchi kupata umeme wa uhakika, lakini pia kuliingizia taifa fedha za kigeni.“Mradi huu ukikamilika utaliingizia taifa fedha nyingi na fedha hizo zitasaidia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanayamapori (Tawa) kuongeza ulinzi kwenye bwawa hilo na wanayamapori kwa nguvu kubwa,” alisema.Awali, akitoa maelezo ya mradi kwa Naibu Waziri, Meneja Miradi, Usafirishaji na Uzalishaji kutoka Tanesco Makao Makuu, Florence Gwang’ombe alisema kuwa Mradi wa Umeme Rufiji ni mradi wa kimkakati, ambao unafadhiliwa na serikali na unahusisha ujenzi wa ukuta wa zege kubwa, ambao utatumika kuzuia maji.Gwang’ombe alisema kuwa pia kutakuwa na ujenzi wa kuta ndogo, ambazo zitasaidia kuzuia maji yasitoroke, ujenzi wa nyuma ya kuzalisha umeme na kituo cha kusafirisha umeme na mabwawa madogo manne, yatakayozuia maji yasitoroke katika bwawa kubwa.Akizungumzia kuhusu jukumu la Wizara ya Maliasili na Utalii, alisema kuwa katika ulinzi na vibali, maandalizi yapo vizuri na kwamba mpaka sasa hawajakwama popote.Kwamba wapo katika mkakati wa kuandaa mpango kulingana na matakwa ya mkandarasi na kuikabidhi na kwamba huduma zote za maji na umeme zimekamilika.
KITAIFA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- -- NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amekemea taarifa za kupotosha wananchi kuhusu mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la Stiegler kuwa unaharibu Pori la Akiba la Selous.Amesema taarifa hizo si sahihi na amewaomba wananchi kutowaamini wanaotoa taarifa hizo potofu.Kanyasu alisema hayo mwishoni mwa wiki mkoani hapa baada ya kutembelea eneo linalotekelezwa mradi huo.Alisema kuwa bwawa hilo, litakuwa na faida nyingi kwa wahifadhi wa pori hilo na wanyama kupata maji wakiwa huko huko na hivyo kuacha kwenda katika maeneo ya wananchi kwa lengo la kutafuta maji.Alisema kuwa wanyama wamekuwa wakileta madhara kwa wananchi kutokana na kukosa maji, lakini ujenzi huo utapunguza usumbufu wa wanyama kuvamia makazi ya watu.Aliwataka wananchi kutoweka makazi karibu na hifadhi, ili kuepusha muingiliano baina yao na wanyama.Kanyasu alisema kuwa mradi huo, hautakuwa na athari zozote kwenye pori hilo la akiba, kama inavyodaiwa na baadhi ya watu wasioutakia mema mradi huo.Kwamba mradi huo baada ya kukamilika, utakuwa na faida kubwa kwa wananchi kupata umeme wa uhakika, lakini pia kuliingizia taifa fedha za kigeni.“Mradi huu ukikamilika utaliingizia taifa fedha nyingi na fedha hizo zitasaidia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanayamapori (Tawa) kuongeza ulinzi kwenye bwawa hilo na wanayamapori kwa nguvu kubwa,” alisema.Awali, akitoa maelezo ya mradi kwa Naibu Waziri, Meneja Miradi, Usafirishaji na Uzalishaji kutoka Tanesco Makao Makuu, Florence Gwang’ombe alisema kuwa Mradi wa Umeme Rufiji ni mradi wa kimkakati, ambao unafadhiliwa na serikali na unahusisha ujenzi wa ukuta wa zege kubwa, ambao utatumika kuzuia maji.Gwang’ombe alisema kuwa pia kutakuwa na ujenzi wa kuta ndogo, ambazo zitasaidia kuzuia maji yasitoroke, ujenzi wa nyuma ya kuzalisha umeme na kituo cha kusafirisha umeme na mabwawa madogo manne, yatakayozuia maji yasitoroke katika bwawa kubwa.Akizungumzia kuhusu jukumu la Wizara ya Maliasili na Utalii, alisema kuwa katika ulinzi na vibali, maandalizi yapo vizuri na kwamba mpaka sasa hawajakwama popote.Kwamba wapo katika mkakati wa kuandaa mpango kulingana na matakwa ya mkandarasi na kuikabidhi na kwamba huduma zote za maji na umeme zimekamilika. ### Response: KITAIFA ### End
    NA AZIZA MASOUD, WAZAZI wamekuwa na tabia za kuwasuka watoto wa kike ama kwa hiari au kwa kuwalazimisha, lengo ni  kuwapendezesha kimwonekano. Hakuna kipindi ambacho watoto wanaumia kama msimu ambao wazazi wanalazimisha mtoto asuke mtindo ambao unakuwa  mgumu, mara nyingi inakuwa mitindo inayosukwa sana na watu wazima. Pamoja na kupata maumivu, pia unamfanya mtoto atumie muda mrefu kukaa. Siyo vizuri kuiga kila tunaloona bila kufuatilia na kubaini athari zinazoweza kutokea, kabla ya kutumia kitu ni vizuri kufanya utafiti na uamuzi wa kukitumia au kukiacha kifanywe baada ya kupima faida na hasara zake. Si mbaya mtoto kupendeza, lakini unapaswa kuangalia aina ya urembo na mapambo unayomweka. Kusuka kwa watoto si tatizo kama atakuwa amefikisha umri fulani, lakini tatizo la wazazi unakuta anamsuka mtoto wa miaka miwili au mwaka mmoja bila kujali kama utosi ama ngozi ya kichwa haijakomaa. Unaweza kumsuka mtoto lakini si lazima umsuke nywele ambazo zitamletea maumivu. Ukienda kwenye saluni za watoto utakuta mzazi kakaa anamsimamia mtoto anasuka huku analia, lakini anamlazimisha mpaka amalize bila kujali kama anaumia. Si sawa kufanya hivyo, wazazi wanapaswa  kufahamu kuwa kusuka kunaenda sambamba na kuvuta ngozi ya kichwa na kusababisha maumivu endapo utakuwa na ngozi laini. Si kuumiza ngozi tu, kuna nywele nyingine unasuka hata mtu mzima unasikia mpaka mishipa ya kichwa inauma. Je, kwa watoto unadhani maumivu yake yanakuwaje? Maumivu yote unayoyahisi mtu mzima unadhani mtoto anaweza kuvumilia hali hiyo, kwani mtoto asiposuka atapungukiwa nini. Kama mmeshachunguza watoto wanaoanza kusukwa nywele mapema sura zao huwa zinaonekana kukomaa na baadhi yao mwonekano wanaokuwa nao hauendani na umri wao. Kwa kuzingatia hilo, mzazi unatakiwa kuanza kumsuka mtoto akiwa na angalau miaka mitano. Miaka mitano mtoto anakuwa ameshakomaa utosi na kama utaweza bora uwe na utaratibu wa kumkata nywele mpaka atakapokuwa mkubwa, muda ambao atakuwa anajiamulia mambo yake mwenyewe. Siamini kama urembo wa nywele kwa mtoto ni wa kuzingatia, kwakuwa kwanza katika kipindi hicho anakuwa bado hajajua maana ya urembo. Kuna watoto wengi tunawaona wanakata nywele na wanavalishwa vizuri bado wanapendeza na kuonekana warembo, wazazi wanapaswa kuwa makini katika vitu ambavyo si vya lazima.
AFYA
Below is an instruction that describes a task. Write a response that appropriately completes the request. ### Instruction: Categorize the news article into one of the 6 categories: UCHUMI KITAIFA MICHEZO KIMATAIFA BURUDANI AFYA Input: -- --     NA AZIZA MASOUD, WAZAZI wamekuwa na tabia za kuwasuka watoto wa kike ama kwa hiari au kwa kuwalazimisha, lengo ni  kuwapendezesha kimwonekano. Hakuna kipindi ambacho watoto wanaumia kama msimu ambao wazazi wanalazimisha mtoto asuke mtindo ambao unakuwa  mgumu, mara nyingi inakuwa mitindo inayosukwa sana na watu wazima. Pamoja na kupata maumivu, pia unamfanya mtoto atumie muda mrefu kukaa. Siyo vizuri kuiga kila tunaloona bila kufuatilia na kubaini athari zinazoweza kutokea, kabla ya kutumia kitu ni vizuri kufanya utafiti na uamuzi wa kukitumia au kukiacha kifanywe baada ya kupima faida na hasara zake. Si mbaya mtoto kupendeza, lakini unapaswa kuangalia aina ya urembo na mapambo unayomweka. Kusuka kwa watoto si tatizo kama atakuwa amefikisha umri fulani, lakini tatizo la wazazi unakuta anamsuka mtoto wa miaka miwili au mwaka mmoja bila kujali kama utosi ama ngozi ya kichwa haijakomaa. Unaweza kumsuka mtoto lakini si lazima umsuke nywele ambazo zitamletea maumivu. Ukienda kwenye saluni za watoto utakuta mzazi kakaa anamsimamia mtoto anasuka huku analia, lakini anamlazimisha mpaka amalize bila kujali kama anaumia. Si sawa kufanya hivyo, wazazi wanapaswa  kufahamu kuwa kusuka kunaenda sambamba na kuvuta ngozi ya kichwa na kusababisha maumivu endapo utakuwa na ngozi laini. Si kuumiza ngozi tu, kuna nywele nyingine unasuka hata mtu mzima unasikia mpaka mishipa ya kichwa inauma. Je, kwa watoto unadhani maumivu yake yanakuwaje? Maumivu yote unayoyahisi mtu mzima unadhani mtoto anaweza kuvumilia hali hiyo, kwani mtoto asiposuka atapungukiwa nini. Kama mmeshachunguza watoto wanaoanza kusukwa nywele mapema sura zao huwa zinaonekana kukomaa na baadhi yao mwonekano wanaokuwa nao hauendani na umri wao. Kwa kuzingatia hilo, mzazi unatakiwa kuanza kumsuka mtoto akiwa na angalau miaka mitano. Miaka mitano mtoto anakuwa ameshakomaa utosi na kama utaweza bora uwe na utaratibu wa kumkata nywele mpaka atakapokuwa mkubwa, muda ambao atakuwa anajiamulia mambo yake mwenyewe. Siamini kama urembo wa nywele kwa mtoto ni wa kuzingatia, kwakuwa kwanza katika kipindi hicho anakuwa bado hajajua maana ya urembo. Kuna watoto wengi tunawaona wanakata nywele na wanavalishwa vizuri bado wanapendeza na kuonekana warembo, wazazi wanapaswa kuwa makini katika vitu ambavyo si vya lazima. ### Response: AFYA ### End