text
stringlengths 7
259
| labels
stringclasses 26
values |
---|---|
Mimi sijui wa sumu au asie na sumu kaa nao mbali wote hawa ni hatari | [6] |
hii kazi aliyotumwa haiwezi na anawatia aibu waliomtuma! | [4] |
Unastahili kuwa hapo mkuu!! Nimejifunza mengi kutoka kwako!! Hongera sana!! | [1] |
"Tumefurahi," akasema bwana Watson. | [1] |
Alifunga mlango kwa kuubamiza kwa nguvu | [2, 4] |
Ndio ugonjwa gani tena huu? Unasababishwa na mdudu gani | [5] |
Alionekana kushtuka kana kwamba waombaji, mara moja waliingiza katika ofisi za muziki, mara chache walirudishwa. | [5] |
Ilikuja kuwa bustani nzuri ya maua kwa kijana mgonjwa, na ndio hazina yake ndogo anayoipenda | [1] |
Bi Khadija anafurahisha sana kajiachia hadi raha. Nikki such a gentleman. | [1] |
Binti huyo alitafuta mbegu, lakini hakupata yoyote, alikwenda nyumbani kwa hasira. | [2, 4] |
Sasa alikuwa tajiri, alikuwa na nguo nzuri, na marafiki wengi, ambao wote walitangaza alikuwa mtu mzuri na muungwana halisi, na yote haya yalimfurahisha sana. | [1] |
Je! Inakuwaje mtu aweze kuamka na kuanza kutukana wattu bila kufanywa chochote kitu | [5] |
Ambapo katika Uhalifu na Adhabu na katika riwaya zinazofuata anaweza, ingawa umashuhuri mwembamba haifai kwa sanaa yake na yale ya "nia bora" na `ukweli wa kina 'unakusudia. | [1] |
Huwezi kufurahia sana wakati mwenzako anapoleta nyumbani hizi pipi ni kwa ajili ya mafua | [4] |
Daa umenitoa ushamba aisee | [1] |
angalia ! Pasi bado inawaka hamjaizima . | [5] |
huwa nikiona picha ya nyok a tu au simba mapigo ya moyo yanaongezeka | [6] |
Kwani kuna mliotoka kuja serikalini? | [5] |
Wakati nimegombana na mume wangu , hakuthubutu hata kuniliwaza . | [2] |
Alikuwa akipata hisia nyingi za huzuni juu ya mumeo na alikuwa akilia wakati mwingine. | [3] |
Je hao waliokuwepo kweli walishindwa kumsaidia? | [4, 5] |
Mimi niko katika mbingu ndogo huku! | [1] |
Ndoa za kiislamu ni uchafu wa dunia. Niongeze sautiiii. | [4] |
mwalimu nawe ni muoga sana kila seemu unawekea vikwazo uwezi fika | [6] |
Madudu ni mengi, watu wanateseka aisee. | [4] |
Huyo mshenzi mkubwa kuna baadhi ya polic wanakula nae sahani moja | [2] |
Hichi kilio sio cha kumlaum mtu hata akisema haisaidii kitu kwa sababu hata mataifa yanayo ripoti bado Kuna vifo hili ni agizo la mungu lazima litimie | [4] |
Lomponda wa Botende, Mkuu wa Wafanyikazi wa zamani, alionyesha mshangao wake, na Wizara ya Ulinzi ilikana kwamba jaribio lolote la mapinduzi lilifanywa. | [5] |
utafika mbali sana mdogo wangu, nakupenda | [1] |
Hakuna kulala leo hapa ni shangwe na kujirusha tuu | [1] |
Unaogopa. | [6] |
Tuweni makini tukiwa barabarani ili kuepukana na hizi ajali. | [3] |
Ndogo Lakini inatosha kwa ajili ya mahitaji yetu | [1] |
Tusibeze miti shamba inatibu ni watu wengi zinawasaidia. | [0] |
Acheni upumbavu, Iko wapi hiyo video ya WalioUawa na Walivyouawa | [2, 4] |
Mahusiano yenye tija hayaangalii shape wala akili ya mwanamke ni moyo tu. | [0] |
Hongera ! Kwa hiyo umeshaanza mipango kwa ajili ya kusonga mbele? | [1] |
Mzaha gani huu sasa.. | [5] |
ukimaanisha kitu gani?! | [5] |
Kama Huyo jamaa anajitolea na hana kitu,,je serikali ambayo ina kila kitu?? | [2, 5] |
nilidhani unajua kama vilikuwa bandia katika ulimwengu wa sayansi ya uongo, pole | [3] |
Tumeumbwa ili tuje tumuabudu alietuumba | [0] |
Lakini mimi daima hujisikia kukata tamaa. Nina matatizo mengi kuhusu kujifunza kiingereza. | [3] |
Kuna tatizo lolote?mbona umeshtuka hivo | [5] |
Kiongozi mzalendo alikuwa Nyerere tu nchi hii. Wengine wote ni wezi na walevi wa madaraka. | [2] |
hofu ni kubwa kwa wananchi wale | [6] |
Sasa wangekuwa wanalipwa wangekimbia? | [5] |
Mbona hao sokwe hawakondi na ukimwi na wao hawatumii dawa yoyote!!!!! | [2, 4, 5] |
Akili zake anazijua yeye. | [4] |
Ushindi wa Biden ni Furaha zaidi Wamarekani weusi kwani sasa watakua wamepata Muwakilishi mwingine ndani ya Ikulu ya Marekani | [1] |
Wazo zuri hlo! Mimi napenda chakula cha kichina. | [1] |
Mama hana uwezo kabisa | [4] |
Daaah.haya mambo wanachukua mzaha | [2, 4] |
Dogo anatia huruma balaa kama vipi wamhurumie tu huenda alipatwa na kichaa akiwa ndani ya gari ndio kikapelekea ajali | [3] |
Alikuwa na usiku usioridhisha. | [4] |
Hongera wazirir...tunaomba pia muangalie historical sites kama muleba tuna makaburi ya wafalme (mukikale kwa mkama ntare) idd Amin alipopiga kanisa na etc ni vivutio sana | [1] |
Hata haiwezekani! Sema tu hukwenda. Nakwambieni uvivu unaturudisha nyuma sisi. | [4] |
kijana huyo alipiga magoti karibu na kaburi la rafiki yake na kuanza kulia | [3] |
Hapana, hicho ndo kinachonishangaza?? | [5] |
Nampenda sana huyu mwigizaji huwa ananipa munkari wa kutazama filamu nyingi zaidi | [1] |
hapana, ni dhahiri kabisa kuwa leo mmi ndiye ntakayekulipia wewe ... wewe ushalipa mara ya mwisho ! | [1] |
Tusamehe kwa ajili ya hiyo. Tutaboresha huduma zetu haswa vyombo tunavyotumia wakati ujao . | [3] |
Alimwangalia usoni na akaona ishara ya huzuni usoni mwake. | [3] |
wanawake amkeni na msiyakimbie masomo ya sayansi | [6] |
kutangaza vifo vya Covid 19 siyo kuelimisha...ni kuogopesha watu wenye umri mkubwa tuuu.. | [6] |
Mama !nitavaa kofia na ntakuwa makini barabarani. | [6] |
songi la "bia tamuu" limeshika chati wiki hii | [0] |
UNAJISKIAJE KUCHAT NA MTU MAARUFU KAMA MIMI HEBU ELEZEA FURAHA YAKO KWA KIFUPI.. | [1] |
Mbona hata hamjaimalizia | [4] |
Kwahiyo leseni itazuia ajali za umeme au cjaelewa | [5] |
Alipokuwa akitoka katika nafasi aliyopewa, kwa mshangao wake alimuona Alexandra akiingia kwenye saloon yake. | [5] |
waliochota pesa na wanaozifuatilia zirudi,wote si wajinga! wanajua kinachoendelea. | [2] |
Ningependa niwapeleke kwa makosa haya, Lakini siwezi. | [3, 6] |
Taifa lilizizima kwa maombolezo ya vhuma cha africa | [3] |
Watumie kodi zetu kuajiri walimu, sio kununua midege inayoleta hasara tu. | [4] |
Msitake kutufanya Watanzania wapumbavu huo mchezo mnaoucheza chezeni wenyewe tumewashtukia | [4] |
mvaaa butiiii | [0] |
Vifo vifo vifo vinazidi kuongezeka kila uchao. Viongozi wetu wenye dhamana wapo busy kujifukiza. | [3] |
Walizoeazoea ujinga enzi zilee, Sasa wizara hii itanyooka temu hii. | [4] |
ulifanya kazi nzuri sana. | [1] |
Usibishe kama hujui kwa undani, kuna games ukicheza unaweza kujikuta unapiga punyeto, au wewe ndio wakala wa giza mwenyewe nini? | [4] |
Insider mmoja alisema wiki iliyopita: `hasira ya watu imemshangaza kila mtu. | [2] |
nani mara nying anafanya kazi sasa hivi? oh yeah, ni mimi. | [1] |
Amepaza sauti mpaka watu wasiojulikana wakamsikia, mda wote alikua wapi? | [4, 5] |
Editing zimezidi, hamwezi mara moja moja hata kufanya kwa ubunifu jamani | [4] |
Lakini masomo ya muhula huu yana ugumu kidogo. | [3] |
Kweli kabisa Kamanda hali sio nzuri inatakiwa tujihadhali sana vifo vimekuwa vingi sana | [3] |
Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!! | [5] |
`Je! Kweli inaweza kufanya kazi? "aliuliza mwenzake anayeshangaa. | [5] |
hatacheka na wabadhilifu, wala rushwa, watakatishaji fedha na wale wa madawa, Lazima awanyooshe kima nyie | [2] |
Anakoroma sana usiku siwezi kulala nae, alale mwenyewe | [4] |
Nitakuwa nimechanganya na vitu vingine, nikirudi nitaangalia | [3] |
Lineker alikasirika wakati Taylor alienda hadharani, bila kuhoji tu ikiwa Lineker anapaswa kubaki kama nahodha, lakini ikiwa fomu yake ilihalalisha mahali pembeni | [2] |
Endesha Kwa Umakini Barabarani Ukizingatia Sheria Za Barabarani Ajali Zinaua | [0] |
Kutoka na pumzi, na hasira, alijitahidi kujiweka huru, kisha akamwangalia. | [2] |
aliketi kwanza na kupumzika alikuwa ameishiwa na pumzi na kutetemeka kwa hofu, na hakuwa na wazo hata kidogo ni njia gani ya kuelekea | [6] |
Ivi kwa nn hii mijitu aielewi mwelekeo wa kiongozi wa nchi??? | [5] |
Kwa hiyo wewe mwizi? Manake kwa laki saba na vitu ulivyo viandika havi lingani. | [5] |
Huyu mtangazaji choko kweli sasa chama kacheza wap | [2] |
Tuache wivu wa maendeleo ya watu jamani | [4] |