text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
Mimi sijui wa sumu au asie na sumu kaa nao mbali wote hawa ni hatari
[6]
hii kazi aliyotumwa haiwezi na anawatia aibu waliomtuma!
[4]
Unastahili kuwa hapo mkuu!! Nimejifunza mengi kutoka kwako!! Hongera sana!!
[1]
"Tumefurahi," akasema bwana Watson.
[1]
Alifunga mlango kwa kuubamiza kwa nguvu
[2, 4]
Ndio ugonjwa gani tena huu? Unasababishwa na mdudu gani
[5]
Alionekana kushtuka kana kwamba waombaji, mara moja waliingiza katika ofisi za muziki, mara chache walirudishwa.
[5]
Ilikuja kuwa bustani nzuri ya maua kwa kijana mgonjwa, na ndio hazina yake ndogo anayoipenda
[1]
Bi Khadija anafurahisha sana kajiachia hadi raha. Nikki such a gentleman.
[1]
Binti huyo alitafuta mbegu, lakini hakupata yoyote, alikwenda nyumbani kwa hasira.
[2, 4]
Sasa alikuwa tajiri, alikuwa na nguo nzuri, na marafiki wengi, ambao wote walitangaza alikuwa mtu mzuri na muungwana halisi, na yote haya yalimfurahisha sana.
[1]
Je! Inakuwaje mtu aweze kuamka na kuanza kutukana wattu bila kufanywa chochote kitu
[5]
Ambapo katika Uhalifu na Adhabu na katika riwaya zinazofuata anaweza, ingawa umashuhuri mwembamba haifai kwa sanaa yake na yale ya "nia bora" na `ukweli wa kina 'unakusudia.
[1]
Huwezi kufurahia sana wakati mwenzako anapoleta nyumbani hizi pipi ni kwa ajili ya mafua
[4]
Daa umenitoa ushamba aisee
[1]
angalia ! Pasi bado inawaka hamjaizima .
[5]
huwa nikiona picha ya nyok a tu au simba mapigo ya moyo yanaongezeka
[6]
Kwani kuna mliotoka kuja serikalini?
[5]
Wakati nimegombana na mume wangu , hakuthubutu hata kuniliwaza .
[2]
Alikuwa akipata hisia nyingi za huzuni juu ya mumeo na alikuwa akilia wakati mwingine.
[3]
Je hao waliokuwepo kweli walishindwa kumsaidia?
[4, 5]
Mimi niko katika mbingu ndogo huku!
[1]
Ndoa za kiislamu ni uchafu wa dunia. Niongeze sautiiii.
[4]
mwalimu nawe ni muoga sana kila seemu unawekea vikwazo uwezi fika
[6]
Madudu ni mengi, watu wanateseka aisee.
[4]
Huyo mshenzi mkubwa kuna baadhi ya polic wanakula nae sahani moja
[2]
Hichi kilio sio cha kumlaum mtu hata akisema haisaidii kitu kwa sababu hata mataifa yanayo ripoti bado Kuna vifo hili ni agizo la mungu lazima litimie
[4]
Lomponda wa Botende, Mkuu wa Wafanyikazi wa zamani, alionyesha mshangao wake, na Wizara ya Ulinzi ilikana kwamba jaribio lolote la mapinduzi lilifanywa.
[5]
utafika mbali sana mdogo wangu, nakupenda
[1]
Hakuna kulala leo hapa ni shangwe na kujirusha tuu
[1]
Unaogopa.
[6]
Tuweni makini tukiwa barabarani ili kuepukana na hizi ajali.
[3]
Ndogo Lakini inatosha kwa ajili ya mahitaji yetu
[1]
Tusibeze miti shamba inatibu ni watu wengi zinawasaidia.
[0]
Acheni upumbavu, Iko wapi hiyo video ya WalioUawa na Walivyouawa
[2, 4]
Mahusiano yenye tija hayaangalii shape wala akili ya mwanamke ni moyo tu.
[0]
Hongera ! Kwa hiyo umeshaanza mipango kwa ajili ya kusonga mbele?
[1]
Mzaha gani huu sasa..
[5]
ukimaanisha kitu gani?!
[5]
Kama Huyo jamaa anajitolea na hana kitu,,je serikali ambayo ina kila kitu??
[2, 5]
nilidhani unajua kama vilikuwa bandia katika ulimwengu wa sayansi ya uongo, pole
[3]
Tumeumbwa ili tuje tumuabudu alietuumba
[0]
Lakini mimi daima hujisikia kukata tamaa. Nina matatizo mengi kuhusu kujifunza kiingereza.
[3]
Kuna tatizo lolote?mbona umeshtuka hivo
[5]
Kiongozi mzalendo alikuwa Nyerere tu nchi hii. Wengine wote ni wezi na walevi wa madaraka.
[2]
hofu ni kubwa kwa wananchi wale
[6]
Sasa wangekuwa wanalipwa wangekimbia?
[5]
Mbona hao sokwe hawakondi na ukimwi na wao hawatumii dawa yoyote!!!!!
[2, 4, 5]
Akili zake anazijua yeye.
[4]
Ushindi wa Biden ni Furaha zaidi Wamarekani weusi kwani sasa watakua wamepata Muwakilishi mwingine ndani ya Ikulu ya Marekani
[1]
Wazo zuri hlo! Mimi napenda chakula cha kichina.
[1]
Mama hana uwezo kabisa
[4]
Daaah.haya mambo wanachukua mzaha
[2, 4]
Dogo anatia huruma balaa kama vipi wamhurumie tu huenda alipatwa na kichaa akiwa ndani ya gari ndio kikapelekea ajali
[3]
Alikuwa na usiku usioridhisha.
[4]
Hongera wazirir...tunaomba pia muangalie historical sites kama muleba tuna makaburi ya wafalme (mukikale kwa mkama ntare) idd Amin alipopiga kanisa na etc ni vivutio sana
[1]
Hata haiwezekani! Sema tu hukwenda. Nakwambieni uvivu unaturudisha nyuma sisi.
[4]
kijana huyo alipiga magoti karibu na kaburi la rafiki yake na kuanza kulia
[3]
Hapana, hicho ndo kinachonishangaza??
[5]
Nampenda sana huyu mwigizaji huwa ananipa munkari wa kutazama filamu nyingi zaidi
[1]
hapana, ni dhahiri kabisa kuwa leo mmi ndiye ntakayekulipia wewe ... wewe ushalipa mara ya mwisho !
[1]
Tusamehe kwa ajili ya hiyo. Tutaboresha huduma zetu haswa vyombo tunavyotumia wakati ujao .
[3]
Alimwangalia usoni na akaona ishara ya huzuni usoni mwake.
[3]
wanawake amkeni na msiyakimbie masomo ya sayansi
[6]
kutangaza vifo vya Covid 19 siyo kuelimisha...ni kuogopesha watu wenye umri mkubwa tuuu..
[6]
Mama !nitavaa kofia na ntakuwa makini barabarani.
[6]
songi la "bia tamuu" limeshika chati wiki hii
[0]
UNAJISKIAJE KUCHAT NA MTU MAARUFU KAMA MIMI HEBU ELEZEA FURAHA YAKO KWA KIFUPI..
[1]
Mbona hata hamjaimalizia
[4]
Kwahiyo leseni itazuia ajali za umeme au cjaelewa
[5]
Alipokuwa akitoka katika nafasi aliyopewa, kwa mshangao wake alimuona Alexandra akiingia kwenye saloon yake.
[5]
waliochota pesa na wanaozifuatilia zirudi,wote si wajinga! wanajua kinachoendelea.
[2]
Ningependa niwapeleke kwa makosa haya, Lakini siwezi.
[3, 6]
Taifa lilizizima kwa maombolezo ya vhuma cha africa
[3]
Watumie kodi zetu kuajiri walimu, sio kununua midege inayoleta hasara tu.
[4]
Msitake kutufanya Watanzania wapumbavu huo mchezo mnaoucheza chezeni wenyewe tumewashtukia
[4]
mvaaa butiiii
[0]
Vifo vifo vifo vinazidi kuongezeka kila uchao. Viongozi wetu wenye dhamana wapo busy kujifukiza.
[3]
Walizoeazoea ujinga enzi zilee, Sasa wizara hii itanyooka temu hii.
[4]
ulifanya kazi nzuri sana.
[1]
Usibishe kama hujui kwa undani, kuna games ukicheza unaweza kujikuta unapiga punyeto, au wewe ndio wakala wa giza mwenyewe nini?
[4]
Insider mmoja alisema wiki iliyopita: `hasira ya watu imemshangaza kila mtu.
[2]
nani mara nying anafanya kazi sasa hivi? oh yeah, ni mimi.
[1]
Amepaza sauti mpaka watu wasiojulikana wakamsikia, mda wote alikua wapi?
[4, 5]
Editing zimezidi, hamwezi mara moja moja hata kufanya kwa ubunifu jamani
[4]
Lakini masomo ya muhula huu yana ugumu kidogo.
[3]
Kweli kabisa Kamanda hali sio nzuri inatakiwa tujihadhali sana vifo vimekuwa vingi sana
[3]
Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!
[5]
`Je! Kweli inaweza kufanya kazi? "aliuliza mwenzake anayeshangaa.
[5]
hatacheka na wabadhilifu, wala rushwa, watakatishaji fedha na wale wa madawa, Lazima awanyooshe kima nyie
[2]
Anakoroma sana usiku siwezi kulala nae, alale mwenyewe
[4]
Nitakuwa nimechanganya na vitu vingine, nikirudi nitaangalia
[3]
Lineker alikasirika wakati Taylor alienda hadharani, bila kuhoji tu ikiwa Lineker anapaswa kubaki kama nahodha, lakini ikiwa fomu yake ilihalalisha mahali pembeni
[2]
Endesha Kwa Umakini Barabarani Ukizingatia Sheria Za Barabarani Ajali Zinaua
[0]
Kutoka na pumzi, na hasira, alijitahidi kujiweka huru, kisha akamwangalia.
[2]
aliketi kwanza na kupumzika alikuwa ameishiwa na pumzi na kutetemeka kwa hofu, na hakuwa na wazo hata kidogo ni njia gani ya kuelekea
[6]
Ivi kwa nn hii mijitu aielewi mwelekeo wa kiongozi wa nchi???
[5]
Kwa hiyo wewe mwizi? Manake kwa laki saba na vitu ulivyo viandika havi lingani.
[5]
Huyu mtangazaji choko kweli sasa chama kacheza wap
[2]
Tuache wivu wa maendeleo ya watu jamani
[4]