text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
Wewe bila shaka utakuwa ni nyumbu. Kwa hakika nyumbu hawaambukizwi haya mafua.
[4]
Mbona unajitoa ufahamu! Sijakwambia huko Kwa wakulima hakuna matatizo; kama wasaidizi wake wanaweza kuyatatua hakuna ulazima wa yeye kwenda.
[4]
Poleni sana wanafamilia mliompoteza mtoto wenu.Mungu ni mkubwa atafanya njia pasipokuwa na njia..Inauma sana
[3]
Kuinua macho yake, akatazama hisia za kutisha katika mlango wa ufunguzi.
[6]
punje ilikuwa kubwa sana hivi kwamba hakuweza kuimeza, na ilibaki kushika koo lake, aliogopa isije ikamnyonga.
[6]
Nilihisi hasira.
[2]
Kweli ? Unavyo vingapi ?
[5]
Natasha alicheka kwa sauti iliyojawa na wasiwasi.
[6]
Wachaaa wataaabike sasa hivi mbwa walee alikuwa mtu mwema kuliko rais wowote duniani mungu ampunguzie azabu ya kabri
[2, 3, 4]
Alifsriki kwaa mshtuko wa moyo na presha
[3]
Luteni alihisi kizunguzungu na kuegemea dirishani akisikilizia maumivu
[3]
kazi inaenda vizuri lakini tra rushwa kibao sekta hiyo kurekebishwa tunanyanyaswa sana mitaani wakati kodi umeishakadiliwa
[4]
anatia huruma, itabidi nifanye uchunguzi ili kugundua ni kwa nini wanamwonea sana huyu mama
[3]
vya bure huondoa akili jamanii, au nadanganya??
[5]
Kwa hivyo alikuwa amelazimika kuficha ujinga wake, ambao mgonjwa alikua mshairi wa kihemko, wakati kesi hiyo iliibuka kwa jamii iliyoogofya.
[6]
Jinsi gani unaweza kuwa na moyo wa kuua jamani? Tulikuwa nae mmoja tuu !
[5]
Waache kuripoti ili iweje, hv kuna watu akili sijui zipo wapi obviously sio ktk ubongo !!
[5]
Unafaaa kuwa mshauri au mnasihi wa mahusiano
[0]
Mtapukutika km kuku wenye mdondo
[2, 3]
Akili zao wanazijua wenyewe hawa viumbe!
[4]
Mungu wangu, tafadhali, usirudie tena hicho ndo ukichofanya wiki iliyopita
[4]
Umeropoka bila kufikiri boss.
[4]
nakumbuka kupitia kipindi kigumu na shida kwa siku chache
[6]
Nampongeza Raisi kwa hotuba bomba na ya kistaarab yenye matumaini mema na mazuri kwa kila Mtanzania CHAGUA CCM
[1]
'Wakati mmoja wa familia analalamika juu ya chakula ambacho hupewa, hunikata tamaa.'
[4]
Shukrani kwa nyumba nzuri. Sasa nihangaike kupata kazi .
[1]
Alimtazama uso wake kwa namna iliyoashiria kushangazwa sana.
[5]
Pasuka, au nenda kagonge kichwa chako ukutani tuelewe moja.
[2, 4]
Hongera ! Ni mvulana au msichana ?
[1]
Kiazi kweli kweli, hawa ndugu zetu aaliomaliza vyuo vip?
[4]
Nje ?una maana gani unaposema nje?
[5]
Wazo kabisa ni la kupendeza na nilifurahiya.
[1]
hauna uhakika ? Wewe walikuwa kwenda katika 90 maili kwa saa ! Hiyo ni 25 mph zaidi ya kikomo kasi halali! Umekunywa pombe?
[5]
nakupenda Sana usijaliii
[3]
pumzika kwa amani jemedari wetu, tuliotambua mapambano yako tunaomboleza kwa ajili yako.
[3]
Shetani anaingiaje hapo!
[5]
Kama kweli mnajua kitu flani Ni kibaya kwanini msitoe tamko kabisa
[5]
Susan ! Kwa nini hukuniambia kwamba utachukua akaunti ya Kampuni ?
[2]
daaah sasa nitafenyeje? ngoja nikalitupe mtoni
[0]
Siku hii "Birthday" imetia Nia ya Kuleta Furaha kwenye Maisha ya watu hawa wape japo salamu BASI, wasikie raha kwenye maisha yao ya UPAMBANAJI
[1]
Huyu raisi hovyo sana
[4]
Hakuna shida, sisi Washamba tumemsikia.
[0]
Doris , mimi nina furaha wewe upo nyumbani . Mimi nina hofu . Mimi si kujua nini cha kufanya !
[6]
Hiyo ni nzuri . Asante .
[1]
We ni mganga mkuu umethibitisha hivyo vifo?
[2]
Bila ya shaka . Naweza kufanya nini kwa ajili yenu ?
[1]
Alitapa huku na kule asijue ataeleza nini akiulizwa
[6]
Kusikiliza , Christine , huwezi kumudu siku nyingine ya mapumziko . Umeshachukua mara tano tayari kwa wiki tatu zilizopita .
[2]
Lakini sielewi kupiga gumzo na kujisifu; badala yake, ninaidharau. "
[4]
Labda yeye ndio alifanya aanze kulewa,anaelewa venye atakomesha ulevi
[0]
Umemkosea sana mwenzio
[3]
jamani pole mwaya na ulivyo nzuri!... bora upewe talaka yako
[3]
Alijua vizuri kuwa alikuwa na hela ya kutosha ndani yake kununua vitu vingine vya kuchezea, na hii ilimpa maoni mazuri juu ya thamani yake mwenyewe.
[1]
Binafsi sijaona tatizo. Naona nesi kabla ya kuchoma aidha aliitwa au kuna kitu alifuata
[0]
Katika chumba kimoja, mtu mmoja aliyeogopa aliondoa mgongo wake ambao ulikuwa mwingi wa makovu na michubuko.
[6]
Kama haguswi na hao wanaokufa hapo hospitali basi yeye anaguswa na nini?
[5]
Una hakika kua ni hizo tuu??Au unajiongelea
[5]
Wapuuzi tu wote
[2]
Sawa tutajitahadhari mkuu. Asante kwa kutujali.
[1]
Ilikuwa ni jambo la faraja na heshima kukutana na wewe
[1]
Na wewe unaleta uwongo. Watu wengi wamepoteza maisha kutokama na chanjo!!
[3]
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi!
[0]
Ni wivu tu, wameona tunafaidi papa kubwa!
[4]
Serikali yetu ipo makini kwa faida ya wananchi wa Tanzania, hizi ni porojo za wapinzani ambao hawana sera
[4]
serikali jipangeni kujibu hoja ya data zetu tulizoibiwa kipindi chote cha kampeini.
[2]
Hapana, mimi ninaogopa sana paka .
[6]
Noma sana
[0]
Kwa kweli ilikuwa ni siku ya kuvutia zaidi ya siku zote nilizowahi kutembelea pale.
[1]
Umekuwepo hapa siku ya furaha zaidi ya maisha yangu, sitosahau kamwe!"
[1]
Sijui ni nini kilichotokea kwangu. Nahisi nimepoteza
[3]
watu wa Libya watamkumbuka daima raisi wao waliemuuza kwa watu wabaya wasiopenda maendeleo ya walibya
[3]
Ndiyo , kwamba inaonekana kubwa ! Ni juu yetu Open House orodha ?
[1]
"Ah, sasa sina farasi kabisa", alisema Claus huku akilia.
[3]
Kiukweli tuna shida, mke wangu hadi alilazmishwa kuleta vyeti vya babu na bibi yake
[4]
kumbe wanawake wenye hekima kama subira bado wapo
[5]
Ninapoona kiongozi anasimama katika nafasi yake,bila kupendelea upande wowote,najisikia furaha sana
[1]
kuna marufuku yoyote kuingia chumba cha dada?
[5]
Peter hakuonekana kufurahia, aliendelea kusikia kelele nyingi masikioni mwake.
[6]
Wazungu au hao mabeberu wanakujaje hapo sasa! Kuwa mkweli wacha fitna mzee. We ukifa pia umebeberushwa si ndio!?
[5]
tusipende sana bure bure...kwanini upewe lift au uombe ombe lift...bora wakuteke ijulikane moja umetekwa kuliko kujipeleka mwenyewe kifala kwa kupenda maisha ya kijamaa ya kusaidiwasaidiwa.
[4]
Naona ni uzembe zaidi kwa Uongozi wa Hospitali!
[4]
Wasiwasi na hofu yenu ya kutoka inalichelewesha taifa hili kuliko upinzani!
[6]
Makucha ya watu yatafufuka
[4]
Wazazi wangu huwa wanasema, bado sijawa vizuri ya kutosha .
[3]
Mwanamke hana uwezo wa kuchagua nani awe nae kwenye mahusiano ila wanaume ana uwezo wa kuchagua nani awe nae...
[3]
Siyombaya mhhhh wakati inaonekana jamani tuwache ubinafsi
[4]
Hawa jamaa wanadharau Sana aisee, Zama zimebadilika. Sheria ifuate mkondo wake
[2]
kumbe mko hivi?? Dah
[5]
wote waliogopa, Mfalme akachukua ndege, wavuvi na watoto watatu akarudi nao kwenye kasri, akaamuru gereza lifunguliwe na kumleta nje mkewe.
[6]
tunaambiwa wameanza kurudisha pesa, akina nani hao? kiasi gani? Lini? Wamerudisha wapi? Mbona taarifa yenyewe imepwaya hivyo?
[2, 4, 5]
nategemea kwenda Marekani .
[1]
Kuhisi aibu isiyo ya kawaida na ukiwa, amezingirwa na media zinazohitaji kumhoji, Luce alifurahiya kurudi kwenye hoteli na kupata wasaa wa kutafakari na kupumzika
[1, 3]
Katherine alihisi uchungu wake, na kwa mara ya pili siku hiyo machozi yalitiririka mashavuni mwake.
[3]
Omba MUNGU usiwe na shida ya kukutaka uende pale, NSSF basi tu, wameweka vibinti havina uelewa vinachati tu na nyodo kibao
[4]
Wakati Onyango anaenda kupiga penati Manara aliogopa kuangalia, Akainama chini. Ni maushindi tuu leo
[1]
hata mimi niliwahi kusingiziwa nilichovya asali kumbe hapana nikiwa darasa la 3 nikapigwa fimbo sana.
[3]
nina hofu siwezi kukamilisha maelezo yangu kwa wakati .
[3]
Simu yangu?imefanya nini?
[5]
umeonaee
[0]
Mkuu wa shule James Jackson alikumbuka raha yake.
[1]