text
stringlengths
18
277
label
int64
0
1
Matokeo Chanya LIVERAIS MAGUFULI KATIKA UZINDUZI WA JENGO LA TAT
1
Kuna haja ya kutoa elimu kwa jamii pamoja na kuongeza uhamasishaji juu ya umuhimu na hatima ya kielimu kwa watoto wa k
1
bKabla watu awajakufollow lazima wangalie profile yako weks profile ambayo inaeeza kuvutis watu kukufollow cBio Tengeneza bio ambayo inaonyesha watu wanaweza kujifunza kitu kupitia wewe Mfano wa bio isiokuwa na mvito Nna miaka 18 nakaa mbagala nasomea ufundi
1
Wanamwita Sugu SUGU SUGU SUGU My brother Jongwa Hatari I re
1
Leo kwenye leo tunaongelea ulinzi na uangalizi kwa mtoto je wewe unaelewa nini kuhusu hilo ungana na Idrisa Salum Mwanakwetu Chomboni pamoja na marafiki wa Elimu Ayubu Bwanamadi
1
Habari Juma Usijali tutakufahamisha mshindi huyo wa mil 26 aliweza kupata kiasi hicho cha bonus kwa sababu aliweka mikeka mingi ya Jackpot hivyo alipatia mechi nyingi katika kila mkeka aliokuwa ameuweka Cheza sasa kupitia na wewe uweze kushi
1
Karibu katika kipindi cha usikilize mikasa ya maisha na mapenzi na umtakie usiku mwema umpendae kwa
1
Habari Ahsante wa kuwasiliana nasi Tuapenda kukufahamisha kwamba hata hicho kifurushi cha shilingi 500 kipo bonyeza 14901 kisha chagua nunua bando kisha chagua intaneti na jiunge kifurushi kulingana na matumizi yako Ahsante kwa kucha
1
Karibu sana Chief Ukimaliza kusoma jisikie huru kutoa mawazo ya ziada au mawazo kinzani
1
Nyama Choma Festival jumamosi hii pande za Leaders Club kwa kiingilio cha Sh 10000 ukinunua tiketi mapema au Sh
1
Ishi na watu vizuri watendee wema MUNGU ndiye ataamua kukulipa kwa njia inayoonekana au kwa njia isiyoonekana
1
tunaomba namba yako na eneo unaloishi
1
NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI ATEMBELEA BANDA LA MAONYESHO LA VITAMBULISHO VYA TAIFA NIDA NANENANE
1
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan aipongeza sekta ya Utalii nchini kwa mahusiano mazuri Duniani kutokana na maendeleo ya teknolojia na upatikanaji taarifaSoma Zaidi gtgt
1
Nchi ya Tanzania na Afrika Kusini ni washirika wakubwa wa uchumi na maendeleo
1
Lugha ni Kiswahili tutena kwa kipindi hiki muhimu wakati hatujui kingereza au kiswahilini bora
1
Mjumbe wa Kamati ya Hamasa na Uchangiaji ya Said Mrisho alipofafanua kuhusu tiketi za kuingilia kwenye tukio kub
1
Serikali kupitia Sekta ya Ujenzi imeanzisha utaratibu wa kufuatilia utendaji kazi wa mizani kwa saa 24 kwa kutumia mfumo w
1
Habari Ahsante kwa kuwasiliana nasi Pole sana kwa changamoto uliyoipata Tunapenda kukufahamisha kuwa wateja wote walipewa MB 300 kama pole
1
Kocha wa Wolves Nuno Espirito Santo amethibitisha kuwa Wawili hao wako Fiti kuelekea Mchezo wao wa Leo dhidi ya Leiceste
1
Mapato yanatokana na gawio na michango ya kampuni taasisi na mashirika yameongezeka kutoka TZS 16104 bilioni mwaka 2014
1
VIDEOKlabu ya Barcelona wamesha tua katika Jiji la Manchester United kucheza mchezo wao wa Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Manchester United Mchezo utakao chezwa kesho Jumatano
1
Ujumbe mfupi sms wa kwanza kwenye simu ulitumwa Disemba 3 1992 ambapo Mhandisi Neil Papworth wa Canada aliandika Mer
1
Lengo hasa la kitabu hichi ni kuongeza hamasa kwa mabinti kuwa inawezekana pia kuwajengea Uthubutu ndani ya PB ya
1
Abubakar tafadhali tuambie ni tatizo gani haswa hutokezea unapotumia wifi kwa laini yako ya zantel ili tuweze kukusaidia
1
Shukrani Musoma Shukrani Mhe Mkuu wa Mkoa Brother Adam Malima Tuseme nini tenaNyumbani kumenoga
1
Muonekano wa barabara ya Bwanga Biharamulo km 68 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika barabara hiyo inau
1
So kwa mwalimu wangu wa tuition primary aliitwa Bryson huyu ndo alinipa msingi na kunifanya niipende hesabusijui yuko wapi ila mara ya mwisho nikikutana nae kwenye kitimoto sinai tukanywa na bia bila kumsahau NdimboPure Math advanceMungu azidi kuwabariki
1
Miaka 20 iliyobadilisha maisha ya tuliowengi shukurani sana
1
huwezi kuamini wajukuu wako na ni wapenzi na wanataka kuoana
1
rahisi kupata simu hiyo Ahsante LM
1
Suala la tume huru linapaswa kuwa ni movement ya wananchiWanasiasa watatukuta mbele ya safari tukiwa tumeanza kutifuana na
1
Habari Aklei Asnate sana kwa ushauri wako Tutaufanyia kaziJ
1
Tunaposema tunazungumzia kazi kubwa ya kuhamasisha wanawake kuwa viongozi kuanzia mwanamke mwenye miaka 12
1
FURAHA INAKUJA PALE UNAPOACHA KULALAMIKA KUHUSU MATATIZO ULIYONAYO NA KUMSHUKURU ALLAH KWA MATATIZO USIYOKUWA NAYO MWISHO TUMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO
1
Tunajivunia kwa mwaka wa tatu kuwa na partnership kupitia tuzo za na imetufungulia milango m
1
Rais akivuta utepe pamoja na Balozi wa China hapa nchini Wang Ke kuashiria ufunguzi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2100 kwa wakati mmoja Wengine pichani ni Viongozi waastaafu mbalimbali kutoka nchini Tanzania
1
Je wajua kuwa watu huzishika nyuso zao aghalabu mara 23 kwa lisaa limoja basi ni vyema tujali afya zetu kwa kunawa mikono yetu mara kwa mara na Maji Safi yanayotiririka kwa sabuni au vitakasa
1
Kamati ya ya Miundombinu imesema bajeti ya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano kwa mwaka wa fedha 201819 imeshuka kwa Asilimia saba kutoka Tsh Trilioni 45 mwaka 201718 hadi Tsh Trilioni 42 mwaka ujao wa fedha
1
Kesho Januari 10 2020 Rais anaanza ziara ya kikazi Visiwani Zanzibar ambapo ataweka jiwe la msingi la
1
Mkuu wa wilaya akisalimiana na wasanii mbalimbali waliojumuika katika Ziara ya Makamu wa Rais
1
Shukrani sana kwa kuwa balozi mzuri
1
pia fahamu ya kuwa tunafanya maboresho kwenye menyu zetu za vifurushi ili kuwapatia vifurushi bomba kabisa wateja wetu Tafadhali piga 14700 au 14800 chagua saizi siku wikimwezi au Halichachi kupata vifurushi vyetu vilivyobo
1
Na ndio maana kujenga barabara hii ni muhimu Ili yake magari yatakayokuja kudhughulika hapa mitambo wawekezaji watakaokuja hapa usafirishaji wa madini haya Barabara isije ikawa kikwazo RaisJPmRuangwa
1
TAARIFA KWA WAKULIMA NA UMMA KWA UJUMLA JUU YA MUELEKEO WA MVUA NCHINI KUTOKA TMA Link
1
Hongera Mh Hongera mama Samia Suluhu Hongera wabunge na madiwani wateule wote Tukajenge nchi sasa
1
Ali Khamis mteja wetu wa thamani endelea kuongeza salio zaid na zaid ili uweze kushinda na JERO YAKO promosheni asante sana kwa kuzid kuweka vocha tafadhali wajulishe na wengine wengi
1
Leo kwenye hotuba yangu nilipoalikwa kwenye mkutano wa mbunge wa Mbozi nimewaambia wananchiTutanaka tume huru
1
condom huzuia mimba zisizotarajiwa na haliyakuwa mnajamiana tuachane na hilo condom pia inakukinga na maambukizi ya magojwa hatarishi ya zinaa km syphilis gornorrhea virusi vya ukimwi etc
1
Ukipata Pesa Au Cheo Hakikisha Unawanyanyua Walio Chini Utapata Baraka Usitumie Pesa Zako Au Cheo Chako Kuwanyanyasa W
1
Habari Ahsante kwa kuwasiliana nasi pole sana kwa changamoto uliyoipata tulikuwa na tatizo la mtandao ila kwa sasa huduma ya internet imerejea naomba kufahamu kwa sasa bado unashindwa kutumia Internet Ahsante WN
1
Coco amp Denge nimependa namna wametoa elimu ya kufanya biashara mtandaoni Wengi hatujui kutumia kukuza biashara
1
Watani zangu Kagera wao ni maneno na kujidai tu Kagera inachangia 25 tu ya Pato la Taifa GDP na vile vile 31 ya Wakaz
1
Tokea mabibo kwa masai play ya maalum kwa wanaoisikiliza kwa haya masa
1
Dkt Tizeba asisitiza ushirikishwaji wa TMA kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ya Kilimo Kwa taarifa zaidi tembelea
1
Ewe kijana mwenye uwezo sasahivi wa kufanya anasa za kila aina Nakushauri pesa hizo kajenge weka akiba kwaajili ya watoto
1
MADAKTARI BINGWA WA WATOTO WA TAASISI YA MOYO JKCI NA PROF PAN XIANG BIN WAFANYA UPASUAJI WA BILA KUFUNGUA KIFUA KUPITIA MSHIPA WA DAMU WA KWENYE PAJA
1
Je mavazi haya yanafaa kuwa maalum kwa ajili ya Yametengenezwa na mbunifu mdogo aitwaye
1
Upo eneo gani mteja tunaomba details vizuri ili tuweze kufuatilia
1
Ushiriki wa vijana kwenye kilimo ni mkubwa sana nchini Rwanda tunawajibika kuwasaidia vijana ili waweze kufanya kilimo cha kibiashara kwa lengo la kuinua kipato chao wenyewe na kuwajengea mazingira ya kukitegemea na si kutengenea ajira pekee Waziri MkuuRwanda
1
Episode 4 imekaa kidegree sana ina mafunzo mengi ndani yake hususani sisi raia wa kidigitali tunaotumia mitanda
1
Nampelekea boks la chaki km zawadi
1
Mshauri kujiamini na kua na furaha ni silaha zaidi hata ya nuclear
1
thamani ya mauzo ya madini nje ya nchi iliongezeka kutoka USD198msawa na Tzs 3168bl 2011 hadi kufikia USD 23blsawa na tzs3684bl2012
1
Habari pole sana kwa changamoto Kama unapata shida ya mtandao tunaomba namba yako inbox kwa msaadaKA
1
Wadau walioshiriki kutoa maoni kuboresha Muswada ni WananchiTLSMOATMISATANMCTLHRCTEFNOLA na WabungeMheNAPE
1
endelea kujifunza na kupata taarifa sahihi zaidi kuhusu gesi asilia na ugunduzi wake
1
Happy Birthday Mh Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt kwa kutimiza miaka 71Mwenyezi Mungu Akujalie Umri Mrefu na Af
1
Kumbe tunaifukuzia China kwa wingitushafika bilioni toka milion 60mpk 1000 milioni tofauti hapo ni 940M Tumepiga hatua kubwa
1
habari unahitajika kutembelea tawi lililo karibu nawe na kujaza fomu
1
Tunashukuru sana mh kwa kutembelea banda letu kujionea mkaa mbadala wa mianzi
1
harith rashid kujiunga na kifurushi piga namba 14700 au 14800 kisha chagua namba 1 saizi yako
1
tuhamasike kupinga RUSHWA YA NGONO Vyuoni na Mahala pa Kazi ili kuwa na kwa maendeleo
1
Baba wa Taifa Julius Kambarage
1
Huu ni zaidi ya upendo Tuendelee kushikana hakika tutashinda
1
Usikose kutazana droo ya mechi za mtoano za Mashindano ya CAF Confideration Cup DStv inakuletea LIVE kuona droo hizi hapo kesho saa 2 usiku kupitia SS9 kifurushi cha Bomba sh 19000 tu Lipia mapema kifurushi chako kujiunga na DStv piga 0659070707
1
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu amewaagiza wakuu wa Mikoa yote kutenga bajeti ili kuhakikisha inafany
1
Kuna nguvu ya ajabu sana when you start thinking positively Inapunguza hofu ya kupoteza au kufeli
1
Jana niliongea na Dk Bashiru alinipigia nafikiri alitaka kutest kwamba vipi salamu zake zimefika nimemwambia katika
1
Sisi tuko pamoja kwenda na Serikali hadi mwisho kuhakikisha suala hili linafanikiwaila ni vyema lifate miiko na utekelezaji w
1
Leo ni siku ya sauti duniani na kupitia tutakujuza ni kwa namna gani unaweza
1
Habari ahsante kwa kuwasiliana nasi tunashukuru kwa mrejesho wako Endelea kuwa supa na mtandao supa Tanzania Ahsante JM
1
Kwa jide imesound Good kabiasa yaani
1
Capital City Marathon itakuwa ikifanyika kila mwaka kuanzia sasa na lengo likiwa kukua na kuwa mbio za kimataifa zitakazoshirikisha wakimbia wengi Duniani
1
Hii ni Hatua Muhimu sana pongezi kwa kikao hicho binafsi ninaamini kuwa pamoja na miundombinu ndani ya Msitu wa Pugu kuan
1
Moja ya mambo muhimu ambayo sisi watu wazima tunaweza kufanya kwa watoto wadogo ni kuwajenga kwenye namna ambayo tungetaka wa
1
AMANI NA UTULIVU IWE KWA AFRIKA NZIMA
1
Waziri wa Afya amesema Tanzania imepata pongezi kutoka kituo cha kimataifa cha kufatilia kutathmini kutoa taarifa na kuchukua hatua CDC kwa kufanya vizruri katika utekelezaji huo hasa katika magonjwa ya mlipuko
1
Habari a man of people Tafadhali tunaomba utupe taarifa kamili kuhusiana na tatizo la network namba ya simu inbox Mahali husika na tatizo limeanza lini
1
Asanteni sana kwa kushare post yangu ya Jana hatimae nimepata oda ya kitanda dizaini kama ya kile nlichopost Jana Oda tu
1
wanakutana na dimbani Mara yat mwisho walipochuana Utd walishinda10 leo unadhani itakuaje Ingia kuweka bashiri yako ushinde
1
Sasa unaweza kulipia bili zako uwapo nyumbani kwakoNi rahisi piga 15022Jaribu leo
1
Episode 4 hii ni Tamthilia yenye kuburudisha na iliyojaa mafunzo mengi ndani yake hususani sisi raia wa ki
1
Klabu ya Aston Villa imetangaza kumsajili nyota wa soka Mbwana kwa mkataba wa miaka minne na nusu kuto
1
Karibu sana Mteja wetu
1
wizara imeweka kanuni kunufaisha Taifa1hakuna mgodi utakaotolewa leseni bila serikali kuwa na hisa 2 wachmbaj wazawa 1st
1
Habari yakotunashukuru kwa kushiriki nasi kwenye ukurasa wetu
1
Kipindi cha pili Kichuya anawanyanyua Wana msimbazi 10
1
MBOWE ASHINDA KWA KISHINDO UENYEKITI CHADEMA
1
Asante kwa kuwa nasiTumia Ezypesa na Ushinde
1