text
stringlengths
18
277
label
int64
0
1
Hili tatizo kubwa sana kwetumtu akijaribu kutusanua aah huyu naye anajifanya mjuajisometimes nafikiri
0
Boresheni miundombinu acheni kutoa mapovu wakati hali halisi mnaiona
0
Old man hii bank haina bench la wazee yani tuna panga foleni Kweli mmetuchoka Customer experience manager hamna bench kwa
0
Meko unaficha ficha vitu kwa kuwa ni mwizi Kumbe ndani ya miaka mitatu unakopa WB halafu unakataza document zisiwe release
0
Mzee baba huku hali si shwari hali tete sana hamna cha democrasia ni mwendo wa nyu
0
Huu ni uhuni wala mama hakuagiza hayambona hizi oparesheni zinaweza kufanyika kiustaarabu tusio kila kitu cha kutumia nguvu
0
UHURU MICHEZOCollum HudsonOdoi anataka kutimkia klabu ya Bayern Munich kwenye uhamisho wake mwezi huu wa Januari baada ya maongezi ya mkataba na Klabu yake ya Chelsea kushindikana
0
Tabia ya baadhi ya watu kuzaa watoto kisha
0
Mwaka 2016 nilipoteza kazi niliyokuwa nimeajiriwa kwa makosa ambayo sikuhusika lakini upepelezi ulipokuja kufanyika nili
0
siwaelewinatuma normal text haziendi napigasimu huduma kwa wateja ampokei sio sawa mahusiano yangu yakivunjika
0
News Transifoma lalipuka na kuwaka moto maeneo ya Mgololo mkoani Iringachanzo cha kulipuka hakijajulikana na
0
Kaya 67 zilizopo kata ya Mbesa wilayani Tunduru mkoani Ruvuma zimekosa mahali pa kuishi baada ya nyumba zao zikiwemo nyumba za shule na madarasa kuezuliwa na upepo
0
Mbona hivi vidonge vimeadimika hv kwann Maana wagojwa wa Ulcers wanapata tabu
0
Ukisikia mtanzania kakamatwa na madawa China huna hata chembe ya kuwaza labda sio mtanzania kweli Ila ukisikia mtanzania k
0
Elimu Yetu Sandakalawe Hawaithamini hata wanaotugawia
0
RC AAGIZA WANAFUNZI WALIOOANA WAKIWEMO WAZAZI WAO WAKAMATWE Mkuu wa Mkoa wa Simiyu jana ameliagiza jeshi la polisi kwa kushirikiana na mkuu wa wilaya na vyombo vingine vya usalama
0
Baraza jipya likapata wkt mgumu ktk kufanya maamuzi hasa kwenye kutekeleza majukumu yake kimamlaka kwa sababu ya migomo ya
0
Mapovu ya Shilole kuhusu kutopata mtoto na Uchebe
0
Kuwakamata na kuwafunga wanafunzi wajawazito ni kinyume cha sheria na pia kunakiuka haki za binadamu ikiwemo haki ya usawa
0
Show nyingi za kibongo Show ikiisha Shabiki unachoka viungo vya mwili Kuliko Hata msanii aliyepiga show
0
Guys plz natumia dawa gani Im tired nimezunguka Sana kumtibu mwanangu nisaidieni yanatoka Kama mapele Fulani hivi
0
Marteen Huduma hiyo Kwa sasa haipo tafadhali endelea kufuatilia ukurasa wetu zoezi likikamilika tutatoa muongozo
0
Unapotaka kushika mimbaachaau punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe sigara au dawa za kulevya Uvutaji sigara hupung
0
Wanaofanya mauaji kwa tofauti ya kimtizamo wanakua na fikra za kigadi ccm is a terror group
0
Una msaaada au ni msumbufu au ujui kusambaza data au ni mchoyo au ni muoga All in all formation
0
Mama unajua kuwa Rais hataki kabisa kusikia mtoto aliyapata ujauzito kuendelea masomo katika mf
0
Baada ya kumaliza elimu ya msingi sikubahatika kuendelea na elimu ya sekondari kutokana na hali ya uchumi nyumbani Nili
0
Sheria ya Kimila ni kikwazo kwa wanawake kumiliki ardhi Mkurugenzi wa
0
1Ningepotea 2Sipajui bila google maps 3Simu haina charge 4Im driving kwenye new area 5Niko vyomb
0
Nikakimbia na mmkufika mbele naona kuna watu wengine wako busy kabisa hawana hbr Nkawauliza vp kulikoni wakanambia Dogo hapa ni kama Libya au Southmda wwte machafukoww kimbikimbia bila sababu tutakukuta kituoni
0
Mungu anaweka fursa nzuri katika maisha yako Punguza Tamaa ya kutaka Kwa pupa Wakati wako Upo na Utafika tu
0
Uwepo wa ndege nyingi za kampuni moja hakuna faida kama bei sio affordablefastjet alikuwa na bei nafuu wakamuua wakaleta ndege zao za bei ghalikuna faida gani
0
Nyie ni wapumbavu na malofa taifa hili lilishaokolewa acheni upuuzi alaaa
0
BondiaThomas Mashali ameuawa usiku wa kuamkia leo Kimara DsmViongozi wa Ngumi Anthony RutaPST na Chaurembo Palasa TPBC wamethibitisha
0
Biashara ni kitu kizuri kufanya lakini hakuna Biashara isiyolipa kama ya kuchunguza simu ya mpenzi wako Profit ni Stress na depression
0
Jeshi la Polisi likimkamata kwa nguvu Gavana wa Nairobi Mike Sonko mapema leo baada ya kuwa amekataa kuingia kwenye heli
0
DONALD TRUMP AJUTA KUTOIFUNGIA FACEBOOK NA TWITTER WAKATI WA UTAWALA WAKE Aliyekuwa Rais wa Marekani ameipongeza
0
Biashara haramu ya binadamu nchini human trafficking bado ni tatizo kubwa ambapo tafiti zinaonyesha kuwa waathirika wa biashara hiyo waliokati ya miaka 10 hadi kumi na saba wa jinsia ya kike Soma zaidi gtgt
0
Kama uamini kaamuulize Agger karacai msanii wa tamthilia ya the city yule mzee anapesa lkn kila siku vioja aviishi
0
HUSSEIN BASHE CCM acheni unafiki mimi nimeshakamatwa na watu wa usalama mnasema hawakamati kwa hili nipo tayari mni
0
ukienda kulala nyumbani kwa mwanamke ambaye kodi ulipi wewe unakuwa unaishi kwa wasiwasi kama mlinzi ambaye analinda vichaa milembe pia unaweza hata kufukuzwa usiku wa manane na huna cha kumfanya
0
Ofisa Usalama wa Shirika la Posta ahusishwa na Usafirishaji wa Madawa ya Kulevya
0
Kuwa na ulemavu si sababu ya kutengwa
0
Wabunge wa upinzani isipokuwa baadhi ya wa Chama Cha Wananchi CUF kambi ya Ibrahim Lipumba wamesusia zoezi la kuapishwa wabunge wanne wa Chama cha Mapinduzi CCM waliochaguliwa hivi karibuni
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mwl Mariano Mwanyigu amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo Desemba 1 akiwa jijini Dodoma kwenye kikao
0
Unakuta boss wake amesoma hii tweet na yuko humu na ni feminist na hajaona aibu
0
marathon zimekuwa nyingi kupita maelezo na waandaaji hawataki kusema kama kuna vita inakuja
0
Vitendo vifuatavyo vya kikatili ni visababishi tosha vya kufanya mazingira ya shule yasiwe salama Adhabu za vipigo
0
Ahsante kwa kuliwasilisha tatizo lako hapasamahani ndugu mteja mpaka leo unapatwa na changamoto ya mtandao wa intaneti kuwa chini sanaLM
0
RC Ole Sendeka atoa mwezi 1 baada ya kukasirishwa Watakiona
0
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa na Mbunge wa KaweBaadhi ya makosa anayokabiliwa nayo kuand
0
Mimi Sina maadui kwelilabda wao ndo wana uadui na mimiila me similiki adui
0
Watu 69 mbaroni kwa wizi wa maji na kuhujumu miundombinu
0
Utandawaz unasababisha watu wanakula modern na westernized diet ambavyo vinawe
0
Wanafunzi watano wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kihinga wilayani Ngara mkoani Kagera wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa baada ya kulipukiwa na kitu kinachoaminika kuwa bomu
0
Moyo wa kujitolea umefifia mno Mwalimu J K Nyerere
0
Watu wawili ambao ni wakazi wa Kijiji cha Ibondo BTarafa na kata ya Buseresere Wilaya ya Chato Mkoani Geita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kukutwa na kichwa cha mtu ndani ya Nyumba ambayo wanaishi
0
Mustafa Malimi 25 ambaye ni mmoja wa wafungwa waliosamehewa na Rais Magufuli December 09 2019 anashikiliwa na Polisi Cha
0
Tunapenda kukufahamisha zitasitishiwa huduma kwa sababu zitakuwa hazijakamlisha usajili kwa alama za vidole LM
0
Watuhumiwa 3 wa mauaji ya watoto mkoani Njombe wafikishwa Mahakamani Waliofikishwa mahakamani ni Joel Joseph Nziku Nassan Alfred Kaduma na Alphonces Edward Danda
0
Wayahudi sio watu wazuri Unawakarbisha afu wanakufukuza mwenye nyumba kwa kipigo kikali
0
Lazima waongezeke km mkuu wa shule anawapa mimba wanafu
0
Tatizo kubwa lilipo ni hatuna mifumo endelevu and thats hurt Wakati mwingine utaratibukustaarabika kunaweza kuchangia ku
0
Baadhi ya wakulima mkoani Rukwa wameamua kuacha kulima mazao ya chakula hususani mahindi kutokana na kutokupata tija katika kilimo hicho Wakulima hao walisema uamuzi huo unatokana na kukosa bei ya mazao hayo na hivyo kujikuta wakikabiliwa na ugumu wa maisha kwa kukosa fedha
0
Takwimu zinaonesha kuwa duniani kote inakadiriwa watu milioni 850 wanasumbuliwa na magonjwa ya figo na kila mwaka watu milioni 24 hufariki kutokana na magonjwa haya
0
TanzaniaDaima Jumapili Februari 9 2020 Kinana Makamba wangoka CCM
0
Amejikuta ameropoka mambo ya chumbaniUkiongelea uovu gizani basi mchana kweupeeeeeeeeeeeee
0
Standards zote zipo kisheria bahati mbaya Askari wanapozwa labda nadhani rungu liende kwa wenye shule kwa sababu ndi
0
Mtu mmoja anayeshukiwa kuwa na virusi vya amewekwa chini ya uangalizi katika Hospitali ya Taifa ya Kenyatta baada
0
Unashangaa mbona kwenu hakuna mwenye sura nzuri kumbe babaako alikuwa anachagua wenye makalio makubwa
0
Mwanamuziki Rashidi Abdala aka anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kukutwa na dawa
0
UTAPELI MPYA WA MTANDAO Wakuu ninaomba kushare nanyi suala hili Ilikuwa siku ya Jumamosi ya tarehe 23052020 nilipokea t
0
Aliyekuwa nyota wa mpira wa kikapu duniani Kobe Bryant amefariki dunia katika ajali ya helkopta huko California Marekani
0
JINSI YA KUBAKI KUWA MASIKINI 1 Kamwe usiamke mapema endelea kulala na kujinyosha mpaka pale njaa itakapokuuma 2 Kamw
0
Mtu mmoja aliwahi kumuuliza baba yake baba nitawezaje kupata mwanamke sahihi baba yake alijibu sahau kupata mwanamke sahi
0
Mimi social media kwangu ni sehemu ya kufurahia na kupeana faraja lakini kwa hali ya sasa imekuwa sio sehemu salama tenasio sehemu yakutolea stress bali kupeana stress na ndo maana ni vyema ukajitafutia mtaa wako wenye amani yako humukuna w
0
Kwa masikitiko makubwa nimepokea habari ya kifo cha Mzee Iddi Simba Aliwahi kuwa Mbunge Waziri Mjumbe wa Kamati Kuu ya H
0
Waonevu saname niliwahi muwasha mwenzao kofi kino pale magetonialinipiga la mgongo nikageuka nikamuwasha la uso
0
Wafanyakazi watatu wa Umoja wa Mataifa wamepoteza maisha kwenye shambulizi hilo nchini Libya
0
Ajali za barabarani zaua 3600 kwa siku duniani gt
0
Kashfa dhidi ya Kanisa Katoliki duniani Papa amfuta kazi Padri kutoka nchini Chile Soma zaidi gtgt
0
Larry Tesler mhandisi wa mifumo ya kompyuta na mbunifu wa Cut Copy amp Paste amefariki dunia Alizaliwa April 24 1
0
Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la mama Robert mkazi wa mtaa wa Msalala road amezua sintofahamu baada ya kumfungia ndani mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 6 kwa madai ya kumfundisha adabu
0
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanum
0
2018 ulikuwa mwaka mbaya sana kwenye maisha yangunilipitia kwenye misukosukoktk utafutaji sio mapenzi iliyoniachia alama za milele kwenye moyo wangubaada ya hapo nilibaki na funzo kubwa na Mungu akawa upande wangu Namshukuru Mungu bado napumua
0
Nimetokea kwenye familia maskini sana na kibaya zaidi ilidharaulika sana tena kwa pande zote mbili yaani upande wa baba
0
Tusiweke vitu tusivyo na uhakika navyo kwenye mitandao Publication of false information is a crime
0
Mlipuko na milio ya risasi yasikika katika eneo la 14 Riverside Nairobi Kenya Milipukomiwili mikubwa ya risasi ilisikika na baadaye ufyatuaji wa risasi Maafisa wa Polisi wamefika eneo la tukio katika jumba hilo ambalo lina hoteli yakifahari na ofisi za kampuni mbalimbali
0
Uko na maushauri ya violence tu
0
Ile video ya Rosa Ree kajidhalilisha kwakwelihata kama haoni madhara yake sasa
0
Hayo yanaitwa mauaji ya Sharubela
0
Asante sana watu wa Sirari jimbo la Tarime vijijini Huu ni Upendo usio na Mashaka kwa Mbunge wenu John Heche na Chadem
1
Ee Mwenyezi Mungu Msamehe na Umrehemu na Umuafu na Msamehe na Mtukuze kushuka kwake kaburini na Upanue kuingia kwake na Muoshe na maji na kwa theluji na barafu na Mtakase na makosa kama Unavyoitakasa nguo nyeupe kutokana na uchafu na Mbadilishie nyumba bora kuliko
1
Kama wewe ni mfanyabiashara au mfanyakazi unaweza ukatumia data kwa jinsi ambayo italeta matokeo chanya katika kazi na biash
1
Watoto hawa yatima wa kituo cha Huruma Geita wamejitokeza kushiriki nami Kilimanjaro Challenge Against HIVAIDS leo
1
Kwani unawaza mzigo wako utaupata lini ulionunua China dubai Turkey nk TRA inakupa urahisi wakupata mizigo
1
hongera sana champ niakujituma na dua ndio kila kitu
1
Viwango vyetu vya kubadilishia fedha za kigeni leo tarehe 18 August 2018
1
HabariTafadhali tutumie ujumbe kwenye inbox DM ukiambatanisha na maelezo yote yanayounga mkono tatizo lako ili tuweze kufanya uchunguzi kwa ajili yakoUnaweza kututumia ujumbe hapa Ahsante PA
1
Wanawake ndio chimbuko LA mazazi ya viumbe wengine upendo huruma na furaha hapa duniani Nyoyo zao nzur
1