text
stringlengths
18
277
label
int64
0
1
Kijijini Ilongelo lishe bora hunufaika familia nzima Mradi wa Boresha Lishe unaotekelezwa kwa ushirikia
1
Kwa dondoo za elimu afya michezo burudani utani na ucheshi ungana na kila jumamosi
1
Tulikuwa kama 23 lakini mpaka leo hii tumebakia watu wawili tu Elimu yangu ilinikomboa pale nilipoweza kuandika Propo
1
Great memories Hadija Jabiry
1
Mgombea Urais CCMDkt John Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa Iringa na vitongoji vyake kwenye mkutano Jana
1
816 Hatimaye tukafika katika mapango ya popo panaitwa Mwambisi ndani ya Msitu wa Pugu ulio chini ya hapa tulip
1
Napenda kuishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa kwa kuendelea kupokea na kuwahudumia kutok
1
KUMBUKIZI YA LEO kUtoka Kwa JIMBO LA MIKUMI JOSEPH HAULE CHADEMA Kura 32259 Jonas NKYA CCM Ku
1
Tulitolea taarifa kuna matengenezo katika mtambo wetu wa kufua umeme kwa gesi asilia cha Ubungo Tunatarajia yatakamilika Februari 13
1
Kuna account ya Bonus wanayo kiukweli sio promo naipenda sana maana fedha yako haina makatoni account nzuri kwa
1
Mkutano wa 18 Bunge la 11 Kikao cha Tatu unaendelea leo Januari 30 2020 Jijini Dodoma kikiongozwa na Spika wa B
1
ninashukuru Mungu wangu kwamba nimeishi haya maisha na naomba Allah anijaalie mwisho mwema na niache nyuma yangu kumbukumbu nzuri na furaha ambayo nitaondoka nayo Amiiiin HII NI HISTORIA FUPI YA MAISHA YANGU
1
HabariNiTaaluma Muswada wa Huduma za Habari unalenga kuigeuza sekta ya habari kuwa taaluma kamili na itakayoheshimika z
1
Namshukuru Mungu Mh rais ameniteua kwenye Wilaya yenye Wananchi na Viongozi wachapa kazi tumeweka msima
1
Paul tutawajulisha juu ya zawadi kwa maswali ya jayoEndelea kufuatilia ukurasa wetu hm
1
Tafadhali tunaomba utuandikie namba yako ya simu kwa msaada zaidiGift
1
Usawa wa kijinsia bado ni changamoto kubwa duniani ni jukumu la kila mtu kuhakikisha kwamba wanawake wanatumia fursa zilizop
1
Msanii wa Muziki wa Bongofleva nchini Nasibu Abdul Juma maarufu kama aipongeza Serikali ya awamu ya 5 in
1
Watu wengi wangependa kuelewa kwa upana zaidi kuhusiana na suala la kushikana mkono handshakes kwani kila mazingira
1
Nzuri Tunashukuru kwa maoni yako Tutayafikisha katika ngazi husika kwa majadiliano zaidi IR
1
Msemaji wa Serikali Dk Abbasi atunukiwa Cheti cha Uprofesa nchini China Mkurugenzi wa Idara ya HabariMAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan Abbasi ametunukiwa cheti cha
1
Mratibu wa Mr Ochola Wayoga leo amefungua warsha ya siku mbili mjini Dodoma warsha hio imewahusisha wenye viti mbal
1
Huo ndio mwelekeo wa Serikali kwa sasa Na utekelezaji wa azma hiyo unaanza na mradi wa SEQUIP utakaozinduliwa muda mfupi uja
1
Tunaomba namba yako DM kwa msaada zaidiKA
1
siku hizi amekuwa kama mzaramo hataki ugali wa dona ila anapenda pizza na kukamuliwa juisi ameu
1
Wachezaji wa Taifa Stars wanaondoka mji wa Cairo mkuelekea Alexandria kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Timu ya Taifa ya
1
Habari kwa sasa mteja unapokea ujumbe mfupi sms unapofanya miamala kwenye akaunti yako Kama hupokei tunaomba utuandikie DM akaunti yako ya benki majina yako na namba ya simu uliyotumia wakati unafungua akaunti ili tuweze kukuuunganisha Karibu
1
Mafunzo ni nyenzo muhimu katika kuleta ufanisi
1
Nasikiliza hii ngoma Nikusaidiaje ft Ferooz
1
Tunapatikana nchi nzima
1
Asante sana kwa ushauri tuanalifanyia kazi swala lakoBertha
1
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani Waziri ataungana na Wanawake na wakazi mkoani Mwanza kusherekea Siku hiyo katika viwanja vya Kisesa Bujora
1
TAFITIKukumbatiwa mara kwa mara hupunguza hatari ya kuugua ikilinganishwa na wasiokumbatiwa mara kwa mara Tiba Fasta
1
NW wa Ujenzi Elias Kwandikwa akagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi na Nyumba ya Makazi ya Mkuu wa Wilaya ya
1
AG Tutaikomboa ndege yetu Canada
1
UJERUMANI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUZALISHA UMEME VIJIJINI KWA MAENDELEO Y
1
Habari tunaomba namba yako DM kwa msaada zaidiKA
1
Nimerejea salama kutoka DodomaNamshukuru Mungu kwa ujasiri alionipa kwenda mbele ya Kamati ya maadili na nidhamu na
1
Rais mstaafu Benjamin Mkapa akimshukuru na kutambua mchango wa msanifu designer wa kitab
1
Wanafunzi wa shule za Sekondari Simiyu na Biashara wakipata elimu ya umuhimu wa matumizi wa taarifa za hali ya hewa Kwa
1
Wanawake viongozi wa Taasisi mbalimbali wamekutana kujadiliana mambo mbali mbali kuhusu wanawake viongozi na juhudi gani zin
1
Kwa ushahidi wa Quran kk Surah AlInsan inasomeka kuwa ulipita muda mrefu Mwanadamu hakuwepo na Mwenyezi Mungu alipom
1
Najisikia furaha kuona tunapata wiki ya Ubunifu Dodoma wale ndugu zangu wa Kuna maonesho na semin
1
amekuwa akinilisha akiniogesha na kuniangalia kwa ukaribu zaidi na kwa kila hali Ameacha kazi zake zote na kubadilisha mfumo wa maisha yake kwa ajili ya kunilea na kuniangalia kwa ukaribu zaidi
1
Kwa miaka zaidi ya kumi sasa nimekuwa mtu wa kulala kitandani usiku na mchana lakini pamoja na yote haya hakuna hata siku moja ambayo niliwahi kujisikia mpweke na sababu kuu ni kwamba nimezungukwa na familia na rafiki wanaonionyesha upendo wa dhati
1
Karibu sana Nyumbani
1
PICHAWaziri Mwakyembe atembelea na kuona kasi ya ujenzi wa Ofisi za Wizara yake Ihumwa Jijini Dodoma Wizara ya Habari
1
Habari Ahsante kwa kuwasiliana nasi Ndugu mteja ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tumepitia upya gharama zetu za M pesa na kufanya marekebisho
1
Habari Kaka wa Taifa tunafanya hivyo ili kuupdate taarifa za mteja ikiwepo kuwa na picha yake halisi ya wakati husika gtBM
1
Hongereni Sana Wizara ya Afya Waziri Naibu Waziri Katibu Mkuu Dkt
1
Kila hatua dua Mdogo mdogo Wananchi wanaanza kuelewa umuhimu wa chanjo ya Uviko 19
1
Yaliyojiri Viwanja Yote Unayotakiwa Kujua Kuhusu Ligi Za Ulaya Wikiendi Iliyopita Soma zaidi
1
Ahsante kwa kuwasiliana nasi endelea kufurahia huduma zetunk
1
tukianza kuzalisha umeme mwingi wa gesi hatutakuwa na matumizi ya 1bl USDyr ya umeme wa mafuta
1
Bro leo nilikuwa Lecture room kidogo mtandao kwangu ukuwa poanilishidwa kuchangia but mejifunza mengi na huwa siachi kukushkuru kwa mchango wako unajua watu wanadhani uchache wa followrs basi huyu hana madini yyte bro Lkn ulikuw
1
Ahsante kwa kushiriki nasi Muslavic
1
Mnajitahidi sana kiukweliZoezi likikamilika mtawapunguzia kazi maafisa uhamiaji maana taarifa za mtu na
1
Jiunge na huduma za kibenki kupitia simu yako ya kiganjani ili upate ujumbe wa sms wa miamala ya akaunti yako na kuwa karibu na akaunti yako popote ulipo
1
14 Unayemkaribisha ambaye hajawahi kusajili namba yake SportPesa atume neno KUBALI kwa namba yake ikifuatia na namba yako Mfano KUBALI 07 kwenda 15888 Kwa online abonyeze SAJILI SASA kupitia website yetu kisha ajaze namba yako kwe
1
Hongera sana mwalimu Wewe ni mfano kwa wengi
1
Muonekano wa Barabara ya Sabasaba Kiseke Buswelu iliyojengwa na wakala wa barabara za Vijijini na Mijini TARURA Ilemela
1
Mambo ya kujua kabla ya kuwekeza kwenye kilimo 1 Uhakika wa mnunuzi wa mazao yako 2 Mahitaji ya bidhaa ya wanunuziwateja wako katika misimu 3 Njia rahisiza gharama nafuu za kuwafikishia wateja bidhaa 4 Jua gharama halisiActual Investment cost ya uzalishaji
1
HABARI NJEMA KWA MASHIBIKI ZANGU Kwa mujibu wa viwango vilivyotolewa na mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia
1
Tangu kuanza kwa kampeni ya mwaka 2012 idadi ya watu wanaogua ugonjwa wa kuhara imepungua toka milioni 14 mpak
1
Makabidhiano ya Ndege ya Pili ya iitwayo yamefanyika Jana huko Nchini Canada Janaambapo Ndege hii ya p
1
Wachezaji wa timu ya GIPCO FC wakipokea maelekezo kutoka kwa makocha wao katika mchezo
1
Huu ni ukomavu Serikali itaendelea kusimamia umakini katika tasnia ya habari
1
HABARI NJEMA KWA MASHIBIKI ZANGU Kwa mujibu wa viwango vilivyotolewa na mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia
1
Unaweza kubadili namna ya kutafikia malengo lakini kamwe usibadili malengo
1
Aisee kumbe wamewarahisishia wasanii wa TZ na Africa streams zao kuwekwa kwenye charts zote za Billboard na
1
Weekend ndo siku zakujiachia piga menu nzuri nini alafu pembeni ukiwa na Washwa na G amini utaenjoy msosi wako kwa furaha k
1
Habari fika Kilombero madukani kuna duka letuKA
1
Alhamdulillah Nimefarijika sana kwa heshma hii Asanteni sana kwa ishara hii ya kunishukuru
1
Habari Tafadhali fahamu kuwa akaunti yako imewezeshwa kifurushi cha DStv Bomba Tshs 19000 tafadhali acha kisimbuzi
1
Mwanaume unajua kupika chapati ya duarakufuakuosha vyombokufanya usafi na kukuna nazi Unawahi nn katika ndoa
1
UCHAMBUZI Mwalimu akithaminiwa elimu yetu itapanda chati
1
KUNA LA KUJIFUNZA KWA MTOTO MALCOLM MASOUD KIPANYA Jina langu ni Malcolm Ali Masoud ni mtoto wa kwanza wa Ali Masoud Kip
1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein ametunuku Nishani ya Mapinduzi Nishani ya Utumishi uliotukuka pamoja na Nishani ya Ushujaa kwa Viongozi Watumishi wa Umma Maafisa na Wapiganaji wa Idara za SMZ na wananchi mbalimbali wenye sifa maalum
1
Huyu kauli zake naziamini sana Hana maneno mengi na kase
1
PICHA Waziri akutana na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika Nachingwea ili kuwahamasisha juu ya kujiunga na mfuko wa bima ya Afya WizaraYaAfya twitter
1
Ukifafanua vyema maoni yako yatatusaidia katika kujeng
1
E bwana MC shupavu huu ujumbe wa humu ni zaidi ya inspiration tulimiss sana ngoma za namna hii You nailed
1
Pamoja sana Endelea kufurahia huduma zetu na tunakutakia Siku njema
1
Ahsante kwa mrejesho huu mdau
1
Barakoa hainikingi mimi pekee bali huikinga familia marafiki na jamii inayonizunguka Abby Hata kama umechanja
1
uliowasilishwa na Afisa Mkuu wetu wa Wateja Binafsi Biashara Ndogo na za Kati Filbert Mponzi kwa Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mbele ya Wakulima wakiongozwa na Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge Mkoani Tanga Greyson Nyari
1
Tunaendelea kukupa uhuru wa kuongea PIGA 14915 Kupata uhuru wa kuchagua bando unalohitaji toka Zantel
1
chanel yetu ya MMB DStv 160 na hivi karibuni vipindi vingine vipya vitaanza kurushwa katika chaneli hiyoGift
1
Mshambuliaji wa Klabu ya Azam Donald Ngoma ametia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja na Klabu hiyo utakaomweka klabuni hapo hadi mwaka 2020 baada ya Benchi la Ufundi chini
1
Vijana wametakiwa kujitambua na kujenga utaratibu wa kupima na kulinda afya zao ili kuwa na taifa lenye nguvukazi ya vijana watakaokuza uchumi wa nchi hususan kutokana na kubainika changamoto ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa kundi hilo
1
Bonus saving is good Nimefungua hii akaunti personally
1
Waziri wa Sera Bunge Kazi Vijana na Ajira Jenista Mhagama leo Februari 172020 amezindua mfumo wa kisasa wa ma
1
Tar 12082018 Niliongozana na Bw Mussa Gama Mkurugenzi Halmashauri ya Kisarawe kufanya kikao muhimu cha Mashirikiano kati
1
Mdogowangu Dengelesi anapendwa sana na Cocosiku atutie aibu sijui tutaficha wapi sura zetu wasukuma wa Mwanza
1
TAARIFA Dkt Hassan Abbasi ataendelea kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali hadi pale atakapopatikana Msemaji Mkuu Mwingine
1
Kesho si ndio siku yetu ya kujifunza huku tukifurahia umoja wetu waswahili Basi kujua mbinu za kupata kazi kirahisi ndugu
1
Matunda yenye rangi ya njano kama machungwa na maembe yana kiasi kikubwa cha vitamini C Mahususi katika kuongeza na kuimaris
1
Ulaji wa Apple la kijina na ndizi usaidia kupunguza uzito
1
Repost from using repostregramapp Multichoice imekuja na THE PUNGUZO Miezi miwili
1
Umoja wa Mataifa chini ya uongozi wa umejiwekea lengo la kufikia usawa wa jinsia kwa kuwapatia wanawake 50 ya ajira ndani ya chombo hicho katika ngazi zote na hadi sasa umefikia lengo hilo la 5050 katika uongozi wa ngazi y
1