text
stringlengths
18
277
label
int64
0
1
Kwa vijana mitandao ya kijamii imekuwa ni chanzo cha haraka cha kupata habari
1
Ahsante kwa uvumilivu wako pole sana kwa changamoto uliyoipata Huduma ya internet sasa imerejea Tunaendelea kuomba radhi kwa usumbufu uliopata SM
1
Baadhi ya Wapwa Wamepata Mchongo Leo Little Ride na Smile Yes Kila mtu Anaeza Kuwa Influencer Ni Simple Dowload App ya
1
Thank you Pipimoyo and shemela karibuni tena Nawapenda
1
Asante kwa ushauri wako tumepokea na tunawasilisha idara husika EC
1
Hatuwezi kusemea benki zingine lakini benki yetu inafanya vizuri na tumeendelea kuandika faida kwenye vitabu vyetu vya fedha Kuna jambo lingine tunaweza kukusadia
1
Habari tunaomba namba yenye shida DM kwa msaada zaidi
1
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku wa leo tarehe 09092018
1
Ahsante kwa kuwasiliana na pole kwa kuchelewa kukujibukulikuwa na tatizo la kiufundi ila kwa sasa limeshapata ufumbuzisamahani tufahamishe kama tatizo bado linaendeleaLM
1
Mkurugenzi Mkuu wa Uwanja huo wa Kimataifa Paul Griffiths amesema wanatarajia kupokea abiria zaidi ya milioni 90 kwa mwaka huu 2018 2018
1
Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Ally Mtanda amesema kuwa passport hizi mpya zinamwezesha mmiliki kupakua Application kwenye simu yake ambayo itamsaidia kupata passport nyingine endapo atapoteza aliyo nayo
1
Bondia Hassan Mwakinyo amepewa zawadi ya jumla ya Tsh milioni 72 baada ya kuchangiwa kiasi cha Tsh 20000 na kila Mbunge alipotembelea Bunge jijini Dodoma leo kufuatia ushindi alioupata hivi karibuni baada ya kumtwanga Bondia wa Uingereza Sam Eggington kwa TKO
1
Sijawahi kutoa kauli popote ya kwamba sitagombea tena Ubunge hizo ni kauli zinaitwa wishfull thinking ndio CCM wanas
1
Nasema ukweli my Tena kinagaubaga
1
Vunja ukimya rushwa ya ngono inadhalilisha na inaua
1
Rais ametoa Bil 15 Ujenzi wa Hosptali ya Kanda Kusini Pia hapa isemwe Rais anadaiwa Bil 6 za Wakulima wa Korosho
1
Habari kim97 Tafadhali tunaomba kufahamu changamotomaoni au maswali kuusiana na mtandao wa Tigo kwasasa
1
Furaha ya kua mshindi haielezeki Unaposhinda mkeka unajiskiaje tuelezee kidogo
1
KAZI YA BANDARI SIO KUHIFADHI MIZIGO ASEMA MCHALAGANYA Mkurugenzi Msaidizi wa Bandari ya Dar es Salaam Ahmed Mchalaganya amesema miongoni mwa majukumu ya bandari kuhifadhi mizigo si sehemu ya majukumu
1
Nasi tunakupenda pia with us
1
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Faraji Kasidi Mnyepe wamekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani Bi Inmi Patterson
1
NI MARUFUKU WANANCHI KULIPIA NGUZO WAZIRI KALEMANI
1
Napenda nichukue Fursa kumshukuru Mungu na kukushukuru Brother kwa kuweza Kupata Nafasi ya Kupromote kitabu Uzinduzi Ulikuwa Mzuri wa Kitabu katika CHUO KIKUU CHA WAISLAM MOROGORO Naomba tuwasiliane kwa nam
1
Vijana wanaanza kuelewa somo Biashara ndogo ndogo zimeanza
1
Piga kazi au upigwe kazi Ni wewe tuuu
1
Wanaomtusi Rais hukamatwana kufikishwa mahakamani sasa ni lini Magufuli kama Rais au raia alifungu
1
Tufanye haya ili kuhakikisha sekta ya mawasiliano ya simu inaendelea kukua na kustawi
1
Wadau wanasema WanaSiasa Wana Nafasi kubwa ya Kuhamasisha Community ParticipationUshiriki wa Jamii ktk Kuchangia
1
Hahaha hili zuri zaidi prosafe
1
Nashukuru sana kwa kutuelezea umuhimu wa kupima
1
Uvumilivu Ukizidi Ni Unyonge
1
Upendo wangu kwako ni kama safari unaanzia milele na kamwe hautokwisha
1
HakiElimu yasikitishwa na bajeti ya elimu kushuka badala ya kupanda
1
Usicheke watu wanapitia mazito
1
Bora Kuogopwa maana wakikupenda ipo siku Watakuchukia
1
Waziri Mwijage akizindua mashine ya kusaga nafaka iliyotengenezwa kijijini
1
Ukiweka kinyongo ni wewe utaumia
1
Asanteni Asanteni kwa kuungana na mimi sasa tuendelee kuelimika kutoka kwa wengine
1