text
stringlengths
7
259
labels
stringclasses
26 values
Eti wangeleta TIBA badala ya chanjo msipende kudiscus mambo ya kitaalam ki siasa zaidi VIRUS vinakufa kwa dawa gani.?
[5]
Kulikuwa na haja gani ya maigizo? Chanjo siyo lazima kwanini kujiingiza kwenye matatizo ya kujitakia?
[5]
Sijui ni nini kilichotokea !
[5]
msichana mubayaa wewe mwezako atumikia jelaa bila makosaa sasa akitoka utafikiri utakuwa salama
[4]
mwendawazimu kweli wewe
[2, 4]
Wewe unaongea habari za Jeshi letu kama nani?
[2]
Wacha kutetea madhaifu wewe
[4]
Safi, Utalii wa ndani muhimu. Mmeongeza pato la Taifa.
[1]
mnaumia nini wakati hamuambiwi nyie bali wanaambiwa watu wa Mungu?
[5]
asante braza ni kweli yajayo yanafurahisha
[1]
Mkubwa hivo unaogopa sindano?!
[5]
Sasa lulu ndie FREEMASON?
[5]
Ronni aliingia, akihisi dhihaka ya kukaribisha.
[2]
bwana ,unazungumza kuhusu nini? wasichana pekee ndo hufanya hivyo .
[5]
Aya mambo ni arusha na kilimanjaro tu why wawe juu ya sheria????
[4]
Sasa tusubiri leseni ya waziba pancha na kuongeza upepo. Wanasababisha ajali za barabarani.
[2]
Kwa nini unaniambia mimi? Mimi na yeye hatuna chochote baina yetu !
[5]
Hii mbona jinai, ikipelekwa kisutu hatoki!
[5]
Usisimame hapo, unaonekana mjinga sana.
[4]
ni nini kilichotokea? Kwa nini si yeye kashinda ?
[5]
Huyo Askofu hata maombi ameyadharau ?
[4]
Walicheza katika kipindi cha pili katika hali ya kupendeza, wakiruhusu Blackburn kuchukua jukumu la kuamuru na Gordon Cowans wakisababisha kutoka uwanja wa kati na Speedie wakiwa mbele kwa mbele.
[1]
wacha maneno ya kitoto hapa.
[4]
Alionekana kuwa mnyonge na mwenye mafadhaiko sana, akizunguka pande zote nyumba kama zombie.
[3]
utamaduni???????????????? Mtachekewa kesho membe anaenda kuchukua fomu
[5]
Washamba nyinyi mnaopapatikia wenye pesa, kama wale dada poa?
[4]
Wananchi wa nzega ndio wajinga? Hivi unatuchukuliaje aisee? Sector ya utalii tu imekushinda.
[2, 4]
Amefanyaje??
[5]
Kwa sababu zipi kwanza??
[5]
Kwa hali yoyote, mhudumu ambaye hajaridhika anaweza kuwa mshiriki wa dharau!
[4]
alishtuka sana.
[6]
Kwa nini usijaribu uone kama inakutosha? Kuna chumba cha kujaribia.
[1]
Bert, mtu mzima, mchangamfu, na mwenye vituko kemkem ukikaa nae hutanunaa.
[1]
Ila sisi vijana wa upinzani tuna shida mahali. Unaweza kukuta ni mtu mwenye influence kubwa sana mitandaoni lakini jinsi ya uwasilishaji wa mada au hoja ni tatizo
[4]
Huyo mzee amesema yeyemac anaishi dar sasa ana uhakika gani kwamba huyo kijana alikua anapata huduma??? Acha usnich mzee simama kwenye ukweli hao boda boda wote hawawezi kuongopa.
[4]
Nini!! Ebu rudiaa tena??
[5]
MATUSI ya nini?
[5]
Hii ni mbinu chafu kabisa ya kujisafisha na Ufisadi
[4]
Ati nini? Msomi asiyejua umuhimu wa kusoma?
[5]
Uyu ni mwanamama wa ajabu hana muda kuvaa urembo urembo
[1, 5]
Shoga hiyo foundation too much hujapendeza
[4]
Basi tusilazimishane kununua. Binafsi yangu hata wangetoa bure nisingetumia
[4]
"Mbingu nzuri! Sikiliza sauti ya mtoto asiye na hatia," baba alisema, na mmoja akamnong'oneza mwenzake kile mtoto alikuwa amesema.
[1]
Niliwahi kusema Nasema tena hii habari ya Mwanasiasa tena Mtu mzima kusimama hadharani kutuhubilia eti Siasa ni mbaya wakati yeye yupo anakula raha iwe Mwisho.Mmetufanya WATANZANIA Wajinga wakati Watoto wenu mnawapa nafasi yaani utafikiri nchi ni ya ukoo wenu
[2, 4]
Hyo mtangazaj wa kike umenikwaza
[4]
cha kushangaza amekanusha kwenye vyombo vya habari kuwa ka post barua hii kwenye net
[5]
Manesi nawapa onyo Sasa mpige kaz hy mama sio was mchezo
[0]
huyo dada mbona kama simuelewi
[0]
Hivi kuna watu hamtupendi namna hii.. mbona ziko nyingi kuliko matarajio ????
[5]
Kweli kisasi aachiwe Mungu
[0]
oh , nguo hapa ni ghali ! Hakuna ajabu kuna watu wachache .
[5]
Fukuza wooooote hao mzee.
[2]
Safi sana bro nakukubali kwa kutoa vitu vyenye uhakika sio kama wapuuzi
[1]
Nani kaja hapa baada ya mzigo wake kuvuja?
[5]
Kisha akafungua mlango wa ile nyumba ndogo, na alipoufungua, walisimama farasi kumi na wawili, farasi kama hao, wenye kung'aa na kung'aa, hivi kwamba moyo wake ulifurahi kuwaona.
[1]
baadhi ya wanaume amuendi mbinguni wallah nawachukia sana.
[4]
kulikuwa na tukio gani? ulishinda bahati nasibu ?
[5]
Haha, natamani saaaana
[1]
Mkuu unataka boksi 200 zote zipangwe hapo ofisini ili zipigwe picha?
[5]
Mwanamke mmoja, ambaye tayari alikuwa na kazi na ana shughuli nyingi, alishangaa kuona jinsi alivyokuwa na huzuni wakati watoto wake waliondoka nyumbani.
[3]
Dikteta nyang?????�??au kilaza na muuaji na vikaragosi vyako acheni uongo wenu kuhusu barakoa.
[2, 4]
Aisee imeniumaa mno
[3]
Kwa sauti ya chini, ya kukasirika, Cullam alisema, "nilikuwa mgonjwa.
[2]
Wao lazima watakuwa maarufu tena msimu huu .
[1]
Alikata tamaa sana kwa muda kabla ya kujihakikishia upya, akaanza kutumia uwezo wake mkubwa na kuanza kupendana na mkewe tena.
[3]
Wahenga walisema ????�?mficha maradhi kifo humuumbua????�?. Juhudi za Serikali kuficha ukweli kuhusu ugonjwa wa Virusi vya Korona licha ya mamia ya vifo vinavyoendelea nchini
[4]
Jamani hizi skuna za masanja haki nimecheka
[1]
Inasikitisjha kuona mzazi hamjali mwanae kwa chochote kile
[3]
@mallan_carol Siasa mbaya mimi sitaki kabisaa
[6]
Mbona wanaume wengi mbona uyo dada ana mganda mmoja
[5]
Kwahiyo utafiti haujaanza mwaka 2020 wala majaribio hayajaanza 2020 tu bali miaka mingi nyuma.
[0]
Wazazi wake walijali kwa sababu ya kuumwa sana kwa mtoto wao alipokuwa nyumbani.
[6]
Ahsante nashukuru, nami naenda kuchukua chakula changu!
[1]
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.
[4]
Aisee kweli wanaume tumeumbwa matesooooo matesooo kuhangaika
[3]
Bado huo ni upuuzi tu.
[2]
Wale walio fiwa hawa watoto si wapo ? Kwani hawawezi kupatikana
[5]
Kwahiyo ndio wameona itumike nguvu?
[5]
Ni wewe ?
[5]
Tunaomba mjikaze jamani ili kuwapa nguvu familia ya wafiwa
[3]
tumehuzunishwa kwa kitendo kile
[3]
Inaonekana ajabu kuwa hapa, nilidhani ni jirani yao kafariki lakini siyo ni ndugu yao .
[3]
wananchi mnamlea huyo mngempa kichapo angenyooka.
[2]
Kauli zao hakuna thamani wameamrishwa Kuficha maambukizi na vifo!!
[4, 6]
naweza kuangalia simu yako? Kwa bahati mbaya, hii ya simu haiwezi kutumika hapa Tanzania, bado hatujawa na mtandao wa 5G. Pole.
[3]
kwa hakika mungu amjaalie pepo.Alikuwa ni mtu mwenye msimamo na alikuwa hamuogopi mtu yeyote mkubwa wala nchi yeyote kubwa.
[3]
wote tuliwapenda mungu amewapenda zaidi awasamehe awape pumziko la milele
[3]
Ni jambo la kusikitisha kidogo kuona watu wamekuwa na bei siku hizi kama wauza ngono wa mitaani nyaka
[4]
Natumaini tunaweza kufanya maendeleo makubwa katika muhula huu mpya
[1]
Simba wajiandae kisaikolojia watapokutana tena na Yanga.
[0]
Tumbo langu linanguruma tena !
[2]
Yote hii ilikuwa mpya na ya kufurahisha. Na ilikuwa ni kwa mara ya kwanza lakini baadaye mambo yalibadilika kabisa
[4]
Kisha amani ikaingia moyoni mwake na akachangamka
[1]
Mungu mkubwa, kuona tu shirika la kazi linafanya kazi kwa ajili ya siku yetu ya ufunguzi....
[1]
Nywele za farasi zilivutwa kwa nguvu pande zote za mguu wake- kwa kukazwa kana kwamba yule wa mwisho angekatwa; alikuwa na maumivu makali
[6]
It is really sad kuona watu kwanapigwa changa la macho hivihivi
[3, 4]
Acheni falsafa ya kumvua mtoto nguo akae uchi ili awesawa na mwenzake ambae hana nguo...Upuuuzi m2pu.
[2, 4]
naona sasa haya madharau yamezidi ufisadi wenyewe....
[4]
Huyo mdada afungwe
[2]
We apana heri nionee hapa hapa mtandaoni, sikanyagi hata kwa bureee, Amazon forest
[6]