swahili_emo / emo_test.csv
liaochuweidavid's picture
Upload emo_test.csv
e5d7a68
text,labels
"Sasa walipokuja, walikuja kama nani? wapiga chapa au wajenzi wa miundo mbinu?",[5]
Waziri wa kilimo na naibu wake wapo vizuri sana na kuna mapinduzi makubwa yanaendelea ndani ya hiyo sekta.,[1]
"Akajielekeza, hisia zake za uchungu zikimujaa. ",[3]
"Yakobo alijawa na huzuni kwa yule mwanamke ambaye alikuwa akimpenda, licha ya kila kitu alichomtendea lakini alimwacha na kwenda kwa mwanaume mwingine. ",[3]
nimepata maumivu ya kichwa na kikohozi .,[3]
nimekukubali sana kwa kusimulia uko vizur sana agiza soda apo nalipa,[1]
"Baadaye alihudhuria kliniki ya ushauri wa maumbile, na alikuwa na wasiwasi sana juu ya hali hiyo. ",[6]
"Ripoti za vifo hasa vya watu maarufu imekuwa kubwa, ila hazitajwi sababu za vifo vyao, hii lazima itie shaka! Dunia inatuona....!",[4]
Mtangazji ovyo inafaa ufungiwe wewe,[2]
Jmn bongo bwana Watu wanasema Hawana Pesa lkn eh!! Kwa shughuri pambe,[5]
"Hii imekuwa siku mbaya zaidi na siku bora ya maisha yangu. Wamekuweka hospitali, na ...",[3]
hii sio fani yako ya habari tafuta kazi yakufanya wew ni mwiz sana hauwezi kazi,[4]
Kwani yeye ana ujanja gani?!!!,[5]
"Licha ya familia na wote kukata tamaa, yeye alijitahidi na majonzi kuwafariji na kuwapa tumaini",[3]
" Mbona mnatangaza vifo vya mataifa mengine vitokanavo na corona,hapa nchini mmekaa kinywa umahili wenu katika habari ni upi???",[5]
Hivi wewe unafikiri ni kati ya watanzania wenye akili sana kuliko wengine?,"[2, 4]"
Tuliwambia pesa mlokula zitawatokea puani lakini hamkusikia. Haya sasa mmeanza kukwama na maigizo yenu ya danganya toto,[2]
Lakini mimi hapa hadi leo hii sijui kusudi la maisha yangu ni lipi.,[3]
Tangia lini kisasi kilishamuacha mtu salama?,[5]
"Macho yake yalidhoofika, na alihisi uchungu kwa kutukanwa kiasi kile",[4]
Huyo baba ni muongo jamani. ,[4]
"Nadhani yuko vitani sasa, Mungu amwokoe arudi salama",[3]
"Inaleta huruma, ningewahi mapema ili nikae na wafiwa",[3]
Kuniita mpuuzi tayari inatosha kuonesha dharau kwangu. Ndugu yangu wapi nimeanadika tuhuma za Makonda zisiibuliwe?,[4]
Walilalamika juu ya vitendo hivo,[4]
Ngoma inogile,[0]
Askari Mungu atawalipa kwa dhulma mnazofanya kwa wananchi lakini ipo siku wananchi tutawachoka,[4]
"Hatimae yametimia, RIP",[3]
Family ni tasisi sio kitu kizuri kupost mitandaoni mahusiano yenu huo ni ushamba,[4]
duh baba Mimi nimekukubali ,[1]
"bado nina upendo na mwanangu na ninamuwazia mema kwa ajili yake siwezi tena kuvumilia athari zinazokuja juu ya maisha yetu na imemfanya kuwa na uchungu na hasira, hana upenfo na watu wa karibu yake",[3]
kiboo!!,[5]
Nimefurahia hizi betri kuwa katika punguzo la bei,[1]
Wasiwasi wa wengi wetu uko hapo!,[6]
unamjibu nani hivo??,"[2, 4, 5]"
Na wewe unalipwa shilingi ngapi kwa kuandika utumbo huu???,"[2, 4]"
"Nasikia ana PHD, hivi ni kweli?",[5]
ninahisi kusita kwenda shule kesho hata ingawa ni jumatatu na ratiba ni nzuri,[6]
OSAMA ALIKUFA KITAMBO SO TULIDANGANYWA,[2]
"kusema kweli, mimi nimehuzunika kidogo. Nimetoka kwenye mkutano na mambo hayakwenda vizuri sana .",[3]
"Daaah, RIP Jemedari wetu",[3]
Hiyo vita ya uchumi tunapigana na nchi ipi?!,[5]
Wewe ni muongo na mpotoshaji mkubwa hakuna chanjo hata moja inayo pelekwa shuleni.,[4]
Safi sana wameshindwa kumpa huduma amekufa Leo wanaandaa vyakula na kunywa pumbavu wasilambe kabisa,[4]
"Rizika na chako ulichonacho, uctamani vya watu, cz hujui asili yake.",[4]
Wakenya Ardhi kidogo ni changamoto huku kwetu ukijenga ghorofa kubwa kama hilo kupata wakazi ni issue sana wabongo tunataka nyumba nje kuna bustani sasa unakaa angani mimi nasema ODEE MBEE,[0]
migogoro ndani ya vyama vyetu inatuumiza sana wafuasi na wapiga kura.,[4]
hakuna mtangazaji kama George Ambagire nyie mliobakia ni vilaza uozo mtupu,[4]
Usisahau kutuletea mrejesho ,[0]
"Rangi yake imempendeza sana, anavutia ",[1]
KUMRUDISHA LEMA NI KUKIUKA HAKI ZA BINADAMU,[2]
"Nimepoteza mkoba wangu, pesa iliyokuwa ndani ya mfuko ulikuwa wa wazazi wangu.",[6]
Kufutwa ? Kwamba tu hawezi kutokea !,[5]
"Boda boda mmetisha, safi sanaa ????????",[1]
Daah askari gani huyo jamani,"[3, 4]"
wewe si uko ughaibuni mbona hautujuzi idadi ya vifo vya Korona huko?,[5]
"Hii risala mimi inanishangaza sana, wanasema JK ameifanya nchi iwe na utulivu na amani?",[5]
Kweli uchawi upo.,[6]
Wewe gonga malimao yako gonga tangawizi zako,[0]
Kuuuuuuuumbe ndiyo maana nchi haiendelei. Maana hiyo package yake ya mwezi tu yaweza kujenga kilomita mbili za barabara mjini Moshi!,[4]
KAMA UMEMCHOKA BINT WA WATU MWAMBIE TU MIMI NA WEWE NI BASI ,[4]
Huyu mtangazaji nae vipi mbona kama si mzima. Maanaaah duh hivyo!!!,[4]
"Mwishowe msichana mdogo sana alitoka katika moja ya nyumba zilizoonekana kuwa mbaya, akamwangalia kwa aibu, akaanza kulia kwa uchungu.",[3]
Samahani ! Sina muda wa kupoteza . Nimekuwa hapa karibu saa moja kamili !,[2]
Nadhani amekasirika kwa sababu riwaya yao haijawaingizia pesa kama walivyopanga,[2]
walituahidi mtazamo wa bahari .,[1]
wakongoman mtamaliza mapigano mjenge nchi yenu? Hao bakata ni wahaini washughulikiwe.,[4]
Pole mzee baba manaraaa uliongea sanaaaa mzeee,[3]
Sisi kama watanzania tuna majonzi makubwa kwa taifa letu Mungu tuangalie kwa huruma zako sisi ni wanao twahitaji baraka zako. ,[3]
Huo mshepu uko wapi?,[5]
"Alexandra alifurahi sana, alifurahi sana kwa maoni mazuri ya Janet. ",[1]
"Na wewe mwerevu?, Uwerevu wako uko wapi?",[5]
"Ndiyo , na fanya haraka hatusubiri mtu dakika nyingi sisi !",[2]
"Hivi, matusi kama haya humsaidia nani??","[4, 5]"
Ni nani amempangia malipo hayo yote?,[0]
Nimekumbuka enzi nikiwa mbunge na waziri chuoni. Yaani siasa za vyuoni hazina tofauti kabisa na siasa za nchi,[1]
hahaha oh mtu tafadhali kuja pomona mimi ingekuwa na upendo na kuona wewe kila siku badala ya mara moja kwa mwaka kama kwamba,[1]
"Kuna wajinga wanasema ni siasa. Mwingine amesema wanataka waonekane wazuri machon pa watu. Sasa mimi nauliza, je, angebomolewa wangesemaje?",[4]
Media zinaripoti juu ya vifo vya watu mara kwa mara.,"[3, 6]"
"Oh, hapana! Ni nini kilichotokea kwani?",[3]
Aache kiherehere ikibidi aende mwenye kwenye uchunguzi asije kusababisha watoto wa watu wakaondoka na maambukizi bure,"[2, 4]"
Huyu mama anajua anachofanya. Safi sana,[1]
"Daaaah, Hakika ni masikitiko mazito sana,haya,",[3]
Natamani nisingekuja!,[6]
Huyu bibi anapendwa sana na watoto wa mtaa huu,[1]
"Lakini mijusi iliendelea kukimbia juu na chini ya mti ulioangika na mmoja akamwambia mwenzake, leo ni lazima tushinde ",[1]
CDC wameahidi kuendelea kusaidia nchi kuongeza idadi ya watu watakaopata chanjo,[0]
In a single day mtu anapoteza ndugu na marafiki watatu! Halafu mtu anasema eti ni vifo vya kawaida! ???????? ,"[2, 3, 4]"
Nani shetani bwashee?,[2]
Tafrija ilivamiwa na watu wasiojulikana na gahafla tukasikia milio ya risasi angani,[6]
Jibu ni zero ! Aibu gani hii jamani !,[5]
Mnafiki we mzeeee,[4]
Uhaba wa walimu hautatuliwi kwa kumrundikia mzigo mwalimu mmoja bali kuajiri walimu wengine.,[4]
"Mnatuchosha kila mara ni nyie tuu tuwasuluhishe, hebu mfike mahali mkue sasa. Ama la muachane.",[2]
"Ndo waliopita bila kupingwa hao, uwiiii",[5]
Makosa yake mengi alifanya kwa maslahi yake binafsi acha ajue maumivu ni nini acheni kumtetea sheria utaamua,"[2, 4]"
Unateseka ukiwa wapi baba?,[5]
"ni hatari, siwezi kuthubutu kwenda .",[6]
Hizi ndio kazi za uandishi wa habari.sio Baadhi ya vyombo vya habari zimejikita katika kuchangia uchochezi tu,"[1, 4]"
wakipe mara ngapi wakati unao jinsi vijana wanavyofanya kazi.. mpango wake aliuanza muda na sasa unaonyesha matumaini ..Kaondoka CR7 wala haonyeshi kuyumba,[5]
Eti wangeleta TIBA badala ya chanjo msipende kudiscus mambo ya kitaalam ki siasa zaidi VIRUS vinakufa kwa dawa gani.?,[5]
Kulikuwa na haja gani ya maigizo? Chanjo siyo lazima kwanini kujiingiza kwenye matatizo ya kujitakia?,[5]
Sijui ni nini kilichotokea !,[5]
msichana mubayaa wewe mwezako atumikia jelaa bila makosaa sasa akitoka utafikiri utakuwa salama,[4]
mwendawazimu kweli wewe,"[2, 4]"
Wewe unaongea habari za Jeshi letu kama nani?,[2]
Wacha kutetea madhaifu wewe,[4]
"Safi, Utalii wa ndani muhimu. Mmeongeza pato la Taifa.",[1]
mnaumia nini wakati hamuambiwi nyie bali wanaambiwa watu wa Mungu?,[5]
asante braza ni kweli yajayo yanafurahisha,[1]
Mkubwa hivo unaogopa sindano?!,[5]
Sasa lulu ndie FREEMASON?,[5]
"Ronni aliingia, akihisi dhihaka ya kukaribisha. ",[2]
"bwana ,unazungumza kuhusu nini? wasichana pekee ndo hufanya hivyo .",[5]
Aya mambo ni arusha na kilimanjaro tu why wawe juu ya sheria????,[4]
Sasa tusubiri leseni ya waziba pancha na kuongeza upepo. Wanasababisha ajali za barabarani. ,[2]
Kwa nini unaniambia mimi? Mimi na yeye hatuna chochote baina yetu !,[5]
"Hii mbona jinai, ikipelekwa kisutu hatoki!",[5]
" Usisimame hapo, unaonekana mjinga sana. ",[4]
ni nini kilichotokea? Kwa nini si yeye kashinda ?,[5]
Huyo Askofu hata maombi ameyadharau ?,[4]
"Walicheza katika kipindi cha pili katika hali ya kupendeza, wakiruhusu Blackburn kuchukua jukumu la kuamuru na Gordon Cowans wakisababisha kutoka uwanja wa kati na Speedie wakiwa mbele kwa mbele. ",[1]
wacha maneno ya kitoto hapa.,[4]
"Alionekana kuwa mnyonge na mwenye mafadhaiko sana, akizunguka pande zote nyumba kama zombie. ",[3]
utamaduni???????????????? Mtachekewa kesho membe anaenda kuchukua fomu,[5]
"Washamba nyinyi mnaopapatikia wenye pesa, kama wale dada poa?",[4]
Wananchi wa nzega ndio wajinga? Hivi unatuchukuliaje aisee? Sector ya utalii tu imekushinda.,"[2, 4]"
Amefanyaje??,[5]
Kwa sababu zipi kwanza??,[5]
"Kwa hali yoyote, mhudumu ambaye hajaridhika anaweza kuwa mshiriki wa dharau! ",[4]
alishtuka sana.,[6]
Kwa nini usijaribu uone kama inakutosha? Kuna chumba cha kujaribia.,[1]
"Bert, mtu mzima, mchangamfu, na mwenye vituko kemkem ukikaa nae hutanunaa. ",[1]
Ila sisi vijana wa upinzani tuna shida mahali. Unaweza kukuta ni mtu mwenye influence kubwa sana mitandaoni lakini jinsi ya uwasilishaji wa mada au hoja ni tatizo ,[4]
Huyo mzee amesema yeyemac anaishi dar sasa ana uhakika gani kwamba huyo kijana alikua anapata huduma??? Acha usnich mzee simama kwenye ukweli hao boda boda wote hawawezi kuongopa.,[4]
Nini!! Ebu rudiaa tena??,[5]
MATUSI ya nini?,[5]
Hii ni mbinu chafu kabisa ya kujisafisha na Ufisadi,[4]
Ati nini? Msomi asiyejua umuhimu wa kusoma?,[5]
Uyu ni mwanamama wa ajabu hana muda kuvaa urembo urembo,"[1, 5]"
Shoga hiyo foundation too much hujapendeza ,[4]
Basi tusilazimishane kununua. Binafsi yangu hata wangetoa bure nisingetumia,[4]
" ""Mbingu nzuri! Sikiliza sauti ya mtoto asiye na hatia,"" baba alisema, na mmoja akamnong'oneza mwenzake kile mtoto alikuwa amesema.",[1]
Niliwahi kusema Nasema tena hii habari ya Mwanasiasa tena Mtu mzima kusimama hadharani kutuhubilia eti Siasa ni mbaya wakati yeye yupo anakula raha iwe Mwisho.Mmetufanya WATANZANIA Wajinga wakati Watoto wenu mnawapa nafasi yaani utafikiri nchi ni ya ukoo wenu,"[2, 4]"
Hyo mtangazaj wa kike umenikwaza,[4]
cha kushangaza amekanusha kwenye vyombo vya habari kuwa ka post barua hii kwenye net,[5]
Manesi nawapa onyo Sasa mpige kaz hy mama sio was mchezo,[0]
huyo dada mbona kama simuelewi,[0]
Hivi kuna watu hamtupendi namna hii.. mbona ziko nyingi kuliko matarajio ????,[5]
Kweli kisasi aachiwe Mungu,[0]
"oh , nguo hapa ni ghali ! Hakuna ajabu kuna watu wachache .",[5]
Fukuza wooooote hao mzee.,[2]
Safi sana bro nakukubali kwa kutoa vitu vyenye uhakika sio kama wapuuzi,[1]
Nani kaja hapa baada ya mzigo wake kuvuja?,[5]
" Kisha akafungua mlango wa ile nyumba ndogo, na alipoufungua, walisimama farasi kumi na wawili, farasi kama hao, wenye kung'aa na kung'aa, hivi kwamba moyo wake ulifurahi kuwaona.",[1]
baadhi ya wanaume amuendi mbinguni wallah nawachukia sana.,[4]
kulikuwa na tukio gani? ulishinda bahati nasibu ?,[5]
"Haha, natamani saaaana",[1]
Mkuu unataka boksi 200 zote zipangwe hapo ofisini ili zipigwe picha?,[5]
"Mwanamke mmoja, ambaye tayari alikuwa na kazi na ana shughuli nyingi, alishangaa kuona jinsi alivyokuwa na huzuni wakati watoto wake waliondoka nyumbani. ",[3]
Dikteta nyang?????�??au kilaza na muuaji na vikaragosi vyako acheni uongo wenu kuhusu barakoa.,"[2, 4]"
Aisee imeniumaa mno,[3]
"Kwa sauti ya chini, ya kukasirika, Cullam alisema, ""nilikuwa mgonjwa. ",[2]
Wao lazima watakuwa maarufu tena msimu huu .,[1]
"Alikata tamaa sana kwa muda kabla ya kujihakikishia upya, akaanza kutumia uwezo wake mkubwa na kuanza kupendana na mkewe tena. ",[3]
Wahenga walisema ????�?mficha maradhi kifo humuumbua????�?. Juhudi za Serikali kuficha ukweli kuhusu ugonjwa wa Virusi vya Korona licha ya mamia ya vifo vinavyoendelea nchini,[4]
Jamani hizi skuna za masanja haki nimecheka,[1]
Inasikitisjha kuona mzazi hamjali mwanae kwa chochote kile ,[3]
@mallan_carol Siasa mbaya mimi sitaki kabisaa,[6]
Mbona wanaume wengi mbona uyo dada ana mganda mmoja,[5]
Kwahiyo utafiti haujaanza mwaka 2020 wala majaribio hayajaanza 2020 tu bali miaka mingi nyuma.,[0]
Wazazi wake walijali kwa sababu ya kuumwa sana kwa mtoto wao alipokuwa nyumbani. ,[6]
"Ahsante nashukuru, nami naenda kuchukua chakula changu!",[1]
Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.,[4]
Aisee kweli wanaume tumeumbwa matesooooo matesooo kuhangaika,[3]
Bado huo ni upuuzi tu.,[2]
Wale walio fiwa hawa watoto si wapo ? Kwani hawawezi kupatikana,[5]
Kwahiyo ndio wameona itumike nguvu?,[5]
Ni wewe ?,[5]
Tunaomba mjikaze jamani ili kuwapa nguvu familia ya wafiwa,[3]
tumehuzunishwa kwa kitendo kile,[3]
"Inaonekana ajabu kuwa hapa, nilidhani ni jirani yao kafariki lakini siyo ni ndugu yao .",[3]
wananchi mnamlea huyo mngempa kichapo angenyooka.,[2]
Kauli zao hakuna thamani wameamrishwa Kuficha maambukizi na vifo!!,"[4, 6]"
"naweza kuangalia simu yako? Kwa bahati mbaya, hii ya simu haiwezi kutumika hapa Tanzania, bado hatujawa na mtandao wa 5G. Pole.",[3]
kwa hakika mungu amjaalie pepo.Alikuwa ni mtu mwenye msimamo na alikuwa hamuogopi mtu yeyote mkubwa wala nchi yeyote kubwa.,[3]
wote tuliwapenda mungu amewapenda zaidi awasamehe awape pumziko la milele,[3]
Ni jambo la kusikitisha kidogo kuona watu wamekuwa na bei siku hizi kama wauza ngono wa mitaani nyaka,[4]
Natumaini tunaweza kufanya maendeleo makubwa katika muhula huu mpya,[1]
Simba wajiandae kisaikolojia watapokutana tena na Yanga.,[0]
Tumbo langu linanguruma tena !,[2]
Yote hii ilikuwa mpya na ya kufurahisha. Na ilikuwa ni kwa mara ya kwanza lakini baadaye mambo yalibadilika kabisa,[4]
Kisha amani ikaingia moyoni mwake na akachangamka,[1]
"Mungu mkubwa, kuona tu shirika la kazi linafanya kazi kwa ajili ya siku yetu ya ufunguzi.... ",[1]
Nywele za farasi zilivutwa kwa nguvu pande zote za mguu wake- kwa kukazwa kana kwamba yule wa mwisho angekatwa; alikuwa na maumivu makali,[6]
It is really sad kuona watu kwanapigwa changa la macho hivihivi,"[3, 4]"
Acheni falsafa ya kumvua mtoto nguo akae uchi ili awesawa na mwenzake ambae hana nguo...Upuuuzi m2pu.,"[2, 4]"
naona sasa haya madharau yamezidi ufisadi wenyewe....,[4]
Huyo mdada afungwe,[2]
"We apana heri nionee hapa hapa mtandaoni, sikanyagi hata kwa bureee, Amazon forest",[6]
"Maisha si kitu asee... nimeumia sana, daah!",[3]
" ""Unasema kweli,"" alisema Kaizari, na akaanza kulia kama mtoto mdogo.",[3]
"huyu mwamba, nilijua umuhimu wake tangu akiwa ujenzi",[1]
"Mtangazaji amkia, heshima yako mzee ndo nini?",[4]
Sikukuu njema ya maadhimisho ya Christmas,[1]
"pasport ya libya ulikuwa unaingia kokote dunian kwani unapewa heshima kubwa.kuliko ata passport za ulaya, watajuta milele",[4]
Angalia ile sanamu,[5]
"nani alioanza hizo bangi, ukileta bangi kavu mie nakuletea mbichi",[2]
Dah!! Kuna binadamu wanasikitisha sana...,[3]
Yani tangazo la dakika moja.WAJINGA NYIE,[2]
Yani wa Tz tunajuana wenyewe ukija mgeni utapata tabu,[1]
"Naapa, nitakuua katika hili .","[2, 4]"
Ningependa ukutane na familia yangu. Unaweza kuja kwa chakula cha jioni wiki ijayo kwa wazazi wangu?,[1]
Kwani mama ni mtoto mdogo anashauriwa vibaya akubali kila kitu msimdharau hivyo. Please!,[4]
Mimi hakuwa na kufanya timu ya soka ya .,[3]
"Nimefurahi san kwa kuhudhuria kwako Bw . Liu, tafadhali usisimame utaletewa kila kitu mezani kwako?",[1]
Baada ya vita hiyo serikali ilisemekana kuwa na wasiwasi. ,[6]
Tafadhali usiruhusu usumbufu wao kuchorea uamuzi wako katika vipimo vya barabara zijazo. ,[6]
Huyo mwanaume mbona hajatajwa jina lake?,[0]
"Kushindwa kwa Marekani katika kueneza itikadi ndani ya Tanzania kulichangiwa na uongozi wa Mwalimu Nyerere ambao uliegemea zaidi katika siasa za ujamaa, zenye mfanano na siasa za kikomunisti",[1]
Asanten bodaboda kwa hili nawapongeza,[1]
"Usikose furaha, tumia ushindi wa man utd week hii nzima ?",[1]
"Oh , ni ajabu na kushangaza dunia!",[5]
Acheni kushobokea wazungu wote tunategemeana tulicho nacho sisi wao hawana na ili wakipate lazima waje kwetu,[4]
Mkuu nakukumbusha tu kuna ajira za jeshi la Polisi na Magereza tayari zimetangazwa.,[0]
"Nimefanikiwa kumaliza rasimu ya kwanza , lakini profesa alisema imeandikwa vibaya, hivyo napaswa kuandika upya.",[3]
Ukweli haufanyagi kazii kwa wizara zetu..,[4]
"Maskini huyu mama amenitia huruma kweli, serikali imchukulie hatua huyo ibilisi",[3]
Kwa hiyo shida si chanjo bali umasikini wetu siyo?,[5]
wa sikuhiz hawapat watu wengi kwasabu tumeshtuka tayr,[0]
Anaonekana kukasirika wakati mimi namwambia yeye ni mtu wa watu ,[2]
interview zake zote hajui kujieleza na anaonesha ni mtu wa majivuno na jeuri.,[4]
Kuna vipindi ambavyo tunajihisi hatuna maana kabisa kwa watu wanaotuzunguka ,[3]
Ajali zimeendelea kuchukua maisha ya watu na kuwaacha wengine walemavu. ,[3]
Kile sikuelewa ni kwa nini sikuhisi kuwa na furaha. ,[1]
Natamani hata wazazi wangu wangekwepo na sisi leo,[3]
Kumbe alikua mshirikina,[0]
Kitendo cha mama mmilikinwa gari kuanza kwenda hospitali kuangalia majeruhi ambao ni ma tingo na kuwalipia gharama za matibabu kabla ya kwenda kwenye eneo ambapo gari limezama ni ushujaa na utu wa hali ya juu,[1]
"Upinzani dhaifu sana, halafu matumizi ya vyombo vya dola yanakuwa makubwa hivi! Je usingekuwa dhaifu si yangetokea mauji ya kimbari?",[3]
Kwa habari za kizalendo na zenye ukweli mtupu bila kuongeza hata nukta ya uzushi TBC!,[0]
" Alijisikia mnyonge sana, kwa sababu mtoto wake aliyempenda sana hakuonyesha kufurahishwa na uwepo wake yeye ambaye alikuwa amesafiri kuja kumwona.",[3]
Kweli? Hiyo ni ya kushangaza!!!,[5]
Aiseee vifo in vingi hadi siamini ????,"[3, 6]"
"yule mjane aliachwa na huzuni na masikitiko, walimwonea huruma sana kwa ukiwa aloupata",[3]
lakini chanzo cha machozi kilibaki na kujaa tena moyoni mwake.,[3]
Ukiona mtu anaibeza hiyo lugha jua kuwa inampiga chenga tu,[4]
Kwani adhabu za BASATA hakuna kukata rufaa? Anyway kiuchumi kuna mapungufu kwenye adhabu,[4]
sikuhisi sana kwamba nimepatwa na aibu,[3]
"Ili kuelezea huzuni yao, watu wa Dublin walipeleka maelfu ya ushuru wa maua huko Liverpool asubuhi ya leo na Kikosi cha Hewa cha Ireland. ",[3]
Hahaha. I can feel that ndugu Yangu.,[0]
" jogoo alikuwa na masikitiko sana hivi kwamba alilia kwa sauti kubwa, na kila mnyama alikuja kumlilia kuku mdogo",[3]
" Kisha akaona kwamba ukombozi wake ulikuwa karibu, na moyo wake ukaruka kwa furaha.",[1]
mzee miaka 80 anaambiwa alete barua ya uzee hii Ni aibu Sana kwa kweli.,[5]
Kweli? Kwa sababu ipi? anaonekana vizuri sana tu .,[5]
hicho ndo nnachokupendea. Hebu jaribu baadhi baada ya chakula cha jioni.,[1]
Hakutawai tokea Raisi kama Magu hapa ulimwenguni,[1]
Nilizidi kushuka moyo. ,[3]
Chuki binafsi!,[4]
"Nimesikia juu ya wanawake waliofadhaika hivi kwamba hutumia miaka 40 ya kuzaliwa kwao, wakiwa na shida ya neva katika kitanda. ",[3]
"ANC, wakati ikielezea kufurahishwa, lakini iliendelea kutoa wito wa kufutwa kwa bunge la kitatu, ambalo kwa kweli liliona kuwa ni ubaguzi wa rangi. ",[1]
Mrembo anayedaiwa kuwa kwenye mahusiano na Diamond awajibu?? wakiomtukana ,[0]
Kumbe alihutubia? Huku wanasema ati alikuwa busy na kupiga picha na mange,[5]
Alikuwa habanduki karibu ya mama yake akihofia atamwacha ,[6]
"Tafuta sehemu nyingine, mimi kwangu sikutaki kabisa",[2]
Sijazidi Upumbavu wa katika Koo zako.,[2]
Mbona hao bodaboda hawajampa hiko chakula wakati yuko hai,[5]
Magu oyeeeee,[1]
Uvumilie kidogo kutakuwa na maumivu sindano inapoingia ,[6]
"""Jane, mpenzi wangu, sio kwa sababu yeye ni wazimu. ",[2]
KUANZIA MSAJILI NA MSAJILIWA WOTE NI UTOPOLO TU,[4]
tuache mawazo ya kimaskini,[4]
"Nilijiuliza mara kadhaa kabla ya kuchukua hatua, maana gharama yake haikuwa ndogo kabisa",[6]
Kwahiyo na we unajiita ni mwanaume,[2]
itabidi Muhimbili waombwe radhi kwa kudhalilishwa bila sababu.,[4]
"niko busy mwaka hadi mwaka, lakini sasa sijaona kuwa nimefanya kitu .",[3]
"Mwenyezi MUNGU akupeni wepesi tunaingia katika wakati mgumu watanzania, pumzikeni kwa amani marais wetu mliotuachia taifa nakutangulia katika umauti",[3]
"Watoto wana baki yatima, umasikini unaongezeka",[3]
"Ongozaga tu babaangu,nimekupenda sana",[1]
Nakukubal sanaaa mtangazaji unajuwa Sanaa bonge la pindi,[1]
Alipoona haya alikasirika zaidi na kuanza kuelekea mwonaji na shoka. ,[2]
inatishaje hiyo!,[6]
Wangapi tumeona 0:41 ????????????,[0]
Sifurahii wala Sisikitiki.,[0]
au wanapima kwa kutumia macho na hadithi za mtaani???,"[2, 4, 5]"
umefuata nini hapa kwanza unajua leo ni siku gani ,[2]
"Hamnett alikasirika na, akidai kukiuka kwa mkataba na uharibifu wa picha yake, akatishia kumshtaki kwa 500,000. ",[2]
"Kwa watu walio na huzuni zaidi na wapweke ambao wana mawasiliano yoyote ya nje, ushauri nasaha unaweza kuonekana kuongeza hisia ambazo zinatafuta kupunguza, haswa katika hatua za mwanzo. ",[3]
Nilikuwa kwenye bustani jioni moja na nikaona nyoka akija kwangu. ',[6]
"Binti ya mfalme, katika mwaka wake wa kumi na tano, atajeruhiwa.na kuanguka chini kufa",[2]
"Hawa jamaa wanastahili mashtaka, kule haki za binadamu.",[0]
Kupitia kwa machozi ya machozi Ruti alijiangalia sana kwenye kifungu hicho na alihisi kukata tamaa kiasi kwamba aliogopa kwamba atamuacha mtoto. ,[3]
Hizo sura pekeake ni zawadangaji,[4]
Mama kashatangaza,[0]
"Je, napataje modem za mtandao wa TTCL, na nazipata kwa bei ya shingapi?",[0]
"Nataka kwenda kumsalimia bibi, nina hamu saaaana ya kwenda",[1]
Kuku akiamka tu anawaza kula tu akishiba kidogo ataanza kutafuta mbususu ataichapa then ataendelea kutafuta chakula,[0]
"Saiamini kutokea kwa hili jambo, kwa hivyo tunapaata wamiliki wapya? haitoathiri kazi zetu?",[5]
Wanaume ambao walifanya uchunguzi wa polisi walichukizwa sana na afisa mwandamizi akatishia kujiuzulu. ,[4]
"Pumbavu wewe mi nakubishia, hujui lolote",[2]
Guinea yarekodi vifo vya kwanza vinavyotokana na Ebola tangu mwaka 2016,[3]
Uwiiiiiiii jamanii,"[3, 5, 6]"
alinifuata hadi nilipofika nyumbani !,[6]
Uso wake ulichanika na kuvuja damu. ,[3]
Samahani kwa usumbufu lakini sidhani hii samaki ni fresh. Ladha yake tuu si nzuri.,[4]
Sijawahi kuona kitu kama hiyo .,[5]
Hujapata hadi leo?,[5]
"una akili wewe ? Je, rafiki yangu atafikiria nini kama akiniona mimi katika gari ya mwajiri wangu ?",[5]
"Hali ya hewa ya leo ni joto kiasi, naifurahia sana.",[1]
Lakini ni kwanini Rosa kila wakati anaonekana mwenye mawazo mengi na kutokuwa na utulivu ,[3]
"Chama kimekushinda,waachie wenye hofu ya Mungu, huna jipya tena kaka.",[2]
Mnajifanya wazungu na uzungu hamuuwezi.,[4]
"Kuwa mwangalifuhuko uendako, tutakukumbuka sana.",[3]
Hiyo mvua ya siku moja duh,[5]
Oyaaa sio kitoto konde juuuuu,[1]
Kuna wengine hapo watakuwa hawajui Kiswahili si wamezaliwa America,[4]
Yeye mbona alikimbia ualimu akaingia kwenye siasa!,[5]
"Kwa upande mwingine, alishuku kwamba Fowler-Thrown angefurahiya. ",[1]
Jamani huyu waziri saruti aisee nimekupenda buureee uko vizuri sana mungu akulinde mama,[1]
Usiwe na aibu bwana. Pakua chakula cha kutosha ufurahie,[1]
Mtu yoyote anayezuia watu wake wasijue international language namuona ni zuzu,[4]
Ni tajiri kiasi gani hadi atukoseshe usingizi!!,[5]
"Ama kweli, ulishapata wewe. Huoni shida tunazopata walimu, unachoona ni kuwa hakuna kazi tunazofanya.",[4]
"Poleni sana, itengenezeni dar! Jaman",[3]
"Mwanzoni Anne alihisi kukasirika, lakini alipoifikiria zaidi, aligundua maana nzuri ya onyo lake. ",[2]
"amu amu amu amuuu, vuli nini ya ngayi na mawa eeh",[0]
Trump bhana. ...anaakili za kuku wa toangoma kule,[4]
Ni lottery labda inaweza kukutoa.,[0]
" Wote walijumuika katika kwaya ya sifa, kubwa na ndogo, wakaimba na kushangiliwa kwa nderemo nyingi sana",[1]
Watu hawatak tena kunyanyaswa na watu wenye majina,[4]
" Ukawapa wadada wa watu matumaini dah!!, wewe kweli nomaa",[5]
munaingiza pesa nyingi sana hapo kwa siku kwani mnashindwa kuajili kikosi cha wazamiaji ama waokoaji ambacho kinakuwa tayari muda wote muda wote hapo kivukoni....,[4]
Familia yangu ina mpango wa kwenda kwa shangazi kwa ajili ya likizo,[1]
WACHA UONGO BWANA UNASEMA HAKUNA KUOGOPA MBONA UMEOGOPA UKATIMKIA NJE?,[4]
Leo anajisikia kucheza miziki tuu,[1]
Kwa kweli Ed alipewa dhamana juu ya jinsi watendaji walivyoshughulikia biashara yote hadi kufanikiwa. ,[1]
"Kisha mkuu akashuka na kutazama mguu wake; na akaona, kwa damu iliyotiririka kutoka humo, ni ujanja gani alikuwa amemchezea.",[5]
Hivi unadhani hicho kilimo chako cha jembe la mkono ndio kitatukomboa na kutufanya tuendelee??,[5]
Lakini ulevi yake ni ya ukweli ,[0]
Mtu hawezi kuwa sawa mda wote na hawezi kuwa sahihi mda wote,[0]
kwa nini unikatalie na mimi kuchanjwa kama wewe hutaki? Iwe hiyari.,"[4, 5]"
nikapatwa na mshtuko ghafra kisha nikajitupa Chini .........,[6]
Kweli ? Nakumbuka alisema kama yeye asingekuwa na mahusiano. Ni mtu tajiri sana ?,[5]
"Mama wwe ni Jasiri ,,,,san Allah akufanyie wepesi inshallah",[1]
Nakutana na changamoto nyingi katika majaribio yangu. ni vigumu hata kwendelea mbele .,[3]
"Nashukuru, lakini nadhani nina ujuzi wa kupika zaidi yako. Wewe waangalie watoto",[1]
"""Kuhusu nini, wapenzi? ""aliuliza kwa sauti ya mshangao.",[5]
kuna mda unaniudhi hadi nataka kukuua,"[2, 4]"
"`Nina hasira sana. """,[2]
Jitahidi saana kazi zako/ shughuli zako zisi affect mahusiano yako na wapendwa wako.. Especially Wazazi. ,[0]
"Huu ni ni ujinga, stop killing people in the name of supernatural believes that doesn't exist,",[4]
Virus vinakufa kwa dawa ya minyooo,[0]
Wanawake wa jadi huonyesha huzuni yao kuliko wanaume. ,[3]
"Nilikuwa nimeendesha gari kwa kasi sana, na niliogopa wakati niliposimamishwa, kuhojiwa na kisha kuarifiwa kwenda. Hali hiyo iliisha kwa furaha kwani hakukuwa na adhabu yoyote.",[6]
ubora wa hewa katika mji huu ni ya kutisha ! Uchafuzi umezidi hadi tumenyimwa kutembea hata kama ukivaa mask !,[2]
Baba levo toka lini akajaza uwanja jmn utooo,[5]
kamwe hatujawahi kufikia hitimisho la swala hili,[4]
Nimeipenda sana hiyo ... Hongera,[1]
Aliona sura ya mshangao kwenye uso wa Hencke na kumpeleka kuelekea viti viwili vizuri ambavyo vilisimama pande zote za meza ya kawaida. ,[5]
Ndo maana niliambiwa ukipenda elimu sana basi soma kwa afya tu angalau hadi shahada ya pili...,[0]
Aya bana,[0]
"nimependa mtangazaji anavyotangaza, sauti inavutia na mengineyo yote ",[1]
mwenye nguvu mpishe.,[0]
Uwiiiii had mwili umesisimka,[6]
Aliweza kuona huzuni machoni mwa giza ambayo iling'aa kana kwamba kulikuwa na mishumaa iliyokuwa inawaka nyuma yao. ,[3]
Chato imewakosea nini tena jamani,[5]
"Nilikuwa nikifanya kazi kwa zaidi ya saa moja na mikono yangu inauma kutoka kwa kung'ang'ania kuendelea, lakini nilijawa na furaha kubwa baada ya kumaliza. ",[1]
Pesa haina mahusiano na elimu siku hizi,[0]
Wazungu ni mashetani hawapendi waafrika tuishi kwa amani na mali yetu aliyotujalia Mungu. Halafu kuna watu wanawasujudu sana,"[2, 4]"
"Kitabu hiki pia kinasonga karibu na uchambuzi muhimu sana wa sayansi na bado hakijapingana na sayansi, inapinga kisayansi tu: raha ya mwenyewe ya Jones inachangia kwa nguvu ukosoaji wake. ",[1]
Kati ya mimi na wewe nani punguani hapo? Kati ya ninyi mnaoshangilia wapinzani wetu wa kisiasa kupigwa risasi na tunaosema wapinzani waachwe tupambane kwenye majukwaa ya kisiasa nani punguani?,[4]
uko serious ?,[5]
paka akimwona mbwa huwa anabadili njia,[6]
Duuuh cjui hata niandike nini ila kila alioko jela kwa kusingiziwa basi Mungu wetu yupo na hajatutupa mkono,[3]
?Unayesema ni mwizi kamuiba mama yako!!!!!!!!!!!!!!!,[4]
"Mashabiki wa Diehard wanaweza kutapeliwa, lakini ni ngumu kubishana dhidi ya wimbo wowote uliojumuishwa.",[2]
Vifo kila kona ya dunia,[3]
"Alikuwa na njaa na kiu, lakini hakuna mtu aliyempa chochote",[3]
"Leonora amelala kwa mikono yake, hasira. ",[2]
Ulitaka acheze kwa staha kwani kanisani pale alikuwa,[5]
hatimaye umefika hapa ! Nini ilichukua muda mrefu kiasi hicho tumesubiri sana hadi wengine wameondoka?,[4]
anaweza kufanyiziwa akabaki anasononeka mpaka siku yake ya mwisho ulimwenguni.,"[2, 4]"
nimenunua printer mpya ya combo leo sababu ilikuwa nafuu zaidi kuliko ya zamani.,[1]
"Hivi unajua gharama ya kuvimbiana na wakubwa? Ufungue kesi dhidi ya boss wako, upo tayari kwa yajayo?",[5]
"Wapenzi wangu, ni ya ngapi mlisema mana nshachoka kusubiria !",[5]
"Ana wasiwasi kuwa anajaribu kuwa mzuri zaidi na hata mkamilifu. """,[6]
"Sijawahi elewa maadili ya mtanzania. Upumbavu mtupu, wangebana kote kote kama kweli wapo serious.",[2]
Unatengeneza tatizo halafu unalitatua...then unapongezwa....siasa bana ni mchezo mchafu,[4]
Umeniogopesha sana nusu nijikwae,[6]
Kwa kweli alikuwa na wazimu juu ya kile alikutana nacho tu kwenye freezer yake. ,[2]
Una chuki na wivu wa hali ya juu sana.,[4]
watajua wenyewe,[4]
"Akasema, basi nitaanza kutiririka, na kuanza kutiririka kwa nguvu.",[5]
mama yangu eee!!!,[6]
"Nimeshachoshwa na story zao kula siku hazibadiliki, mpaka naanza kufikiria nitamuiga sasa",[4]
"Siulizi juu ya mambo yako ya kibinafsi!!, sasa vipi unanipandishia sauti.",[2]
"Hapana ! Yeye ndiye aliyeanza uchokozi kwa kunipiga, sasa na mimi nikae tuu ",[2]
Polisi wa Bonde la Thames wanajulikana kuwa na hasira juu ya kesi hiyo. ,[2]
Kwenye Corona wameweka pesa nyingi sana tofauti na chanjo nyingine,[4]
Waambie sasa hao wazungu -- sijui hata hao wazungu unaowazungumzia ni wazungu wa wapi,[5]
"Nilijisikia vibaya sana, nimefika pale anauliza maswali ya kinafki badala ya kunisaidia",[2]
"Unajua, nimeipenda hii nyumba kwa mara ya kwanza tu nilipoiona.",[1]
"Wewe mwanamke, unanikoshaga moyo wangu.",[1]
Anasema kwamba alikuwa wazimu sana hivi kwamba akapata kisu ili awaogopeshe. ,[4]
Kila mmoja afunge vizuri ikaze kabisa ili wakati wa kuvuta kamba isifunguke.,[6]
nilipoenda kuonana nae nilishangaa nimezungukwa na jamaa wengine na hapo niliingizwa katika gari?,"[5, 6]"
Kweli ? Sina hakika kama nitapenda kufuatiliwa. Kumekuwa na matukio mbalimbali ya paparazzi kuingilia maisha binafsi hivi karibuni .,[5]
Mwacheni dada wa watu msimchoshe bwana!,[4]
Masiki inatia huruma pole sana mwanangu,[3]
"samahani, kuna kitu hakipo sawa kwenye taxi yangu.",[3]
"Vilio kila kona, sala za janaza misikitini zimeongezeka, watu makaburi kila kukicha, wachimba makaburi walemewa, lakini utaambiwa hatutaki kuwatia watu ktk taharuki.","[2, 4]"
"Ndiyo , tafadhali . Siwezi kuendelea kuangalia channel yoyote zaidi .",[2]
Jana ulituambia anaendelea vizuri!!?what went wrong madam!!?,[5]
Hakuna ! Wewe unanitania bana,[5]
Nimefurahishwa sana na hii posti kwa sababu ya moyo wa wa uungwana?uliopo,[1]
Ni wakati mwingine huonyesha kukata tamaa fulani - ukweli ambao ni badala ya kuhusika. ,[3]
Kukumbatiana ni njia nzuri sana ya kumaliza migogoro katika mahusiano ,"[1, 0]"
"Kapteni alikuwa kichekesho cha muziki wa aficionado, na hakufurahi wakati Bi Kidude alipozungumzia vibaya style hiyo. ",[4]
"aliogopa kwamba mama wa kambo angeweza kutowatendea vyema, na hata kuwaumiza",[6]
Ni grinder ya kahawa si ya kukandia unga!!?,[5]
"Ninafurahia Utanzania wangu, sasa najua ninapoelekea. Sisi Vijana tunahitaji kujua mengi kuhusu nchi yetu.",[1]
"Waraka mmefuta, korona na vifo vinavyo sababishwa na korona mnafuta lini?????",[5]
Ila jmn Kuna wanaume vigego Nyie Mwanaume unamvumilia Alafu anakuletea masifigisi jmn usiombe yakukute.,"[3, 4]"
Ujinga mtupu mwanamke anasimamia wanaume na wanamsikiliza bila aibu,[2]
Aliyefanya kazi na asile,[0]
umepatia ile ladha ninayoipenda. kweli wewe ni mpishi mzuri .,[1]
"Kuna sauti ya minong'ono inatokea chumbani, mimi siwezi kuingia ",[6]
"Hivi najiuliza tuu kwa sauti, kwani hawa watu wa Buza wana tatizo gani?? Ebu nisaidieni wajameni",[5]
nimeshachoka kufanya kazi kwenyekampuni ambayo naona hainipeleki popote ,[2]
UZEMBE HUO AISEHH NDANI YA DAKIKA 20 AISE NA HAKUNA ALIYEFIKA KUWAOKOA??,[4]
Hongera kwa mafanikio yako katika ushindani . Ni jambo zuri.,[1]
najisikia hii ni ya mashaka,[6]
"Baada ya mtazamo mmoja kutetemeka kwa uso wake apoplectic, Bwana Loveitt alisema vizuri: `Nadhani tunapaswa kurudi kwenye ukweli. ",[6]
Hahahaaaa anakupa raha gani hizooo hatujaelewa,[1]
"Em , ni tamu sana !",[1]
Kwanini kazi ni nyingi hivi na hata hawaoni au dharau,[2]
Nilifurahiya. ,[1]
Wakenya hongereni..lakini hii haitamaliza umasikini wenu Pale Nairobi.,[1]
"Nyie watu, mnanicharge vipi $ 10 kwa ajili ya movie ambayo kamwe sijaiona .",[2]
"Sonny aligeuka na mshangao na Johnny, kisha akaongezeka baada ya kaka yake. ",[5]
"""Kutoka kwa yote unayosema ya Papa,"" alitangaza Dk Neil kwa bahati mbaya, `nashangaa. ",[5]
Eti hiyo 50000 bora ninunue kijora haitosh kujenga??!!!,[5]
Sahizi hakuna mambo ya madodo,[0]
sasa ukiwa dar utaishije?,[5]
nahisi kama sisi tunashinikizwa kuwa vijana wembamba na kulingana na hali ya kuwa wasichana wengi wanajiongezea mwili na madawa,[6]
"Daaaah aiseee, mwili wangu wote umekuwa na ganzi",[6]
Mara moja hofu kubwa ilimpata.,[6]
"Imeniumiza mno mimi kama ndugu yake, kwanini ndugu yangu apitie hayo yote jamani",[3]
Sijui nikuunge nini hapa.. maana..,[5]
"Huwa nasikia kitu kinaitwa Osha, sijui ni hivyo.. kazi yake huwa nin?",[0]
Aiseee hapa kuna kamari inachezwa na si nzuri kwetu wananchi,[4]
Angalia ! Allen ana mic !,[5]
alijifunika uso wake na mto na kupiga kelele,[6]
"Kwa kweli, sasa unakuja kutaja, nina shida kidogo. ",[2]
Enzi hizo ana ndoto za kuolewa na kina Justin Bieber?,[5]
oyoooooo!!!!!!!!!! Endeleeni tu bila mimi,[1]
"Looh, kaka wa watu mmemfunga bila kosa ",[3]
Wewe Mtangazaji hujui kuuliza maswali!!,[4]
"Ndio walinzi wetu hao usiombe wakukamate wewe wanakupiga Kama mbwa kumbe na wao ni wadau wa hivyo vitu, hatarii Sana hii funga kabisa shenzi type",[4]
Jua lilikuwa likiangaza asubuhi iliyofuata lakini mwangaza wa siku hiyo haukufanya chochote kumaliza hisia za Eline za kukata tamaa. ,[3]
oa takwimu nchini kwako uone Kama hatujaongoza dunia kwa kufa na kuwa na maambukizi kama yote....,[2]
"Ilikuwa pia kwa sababu ya kufurahisha, na labda hii ilikuwa sababu yenye nguvu zaidi ya matumizi yake. ",[1]
Ina maana anaona sifa kuwa na wanaume wengi,"[4, 5]"
"Sauti yake ilitetemeka, uso wake ulikuwa mwekundu na ulojaa uchungu. ",[3]
"HUYU MAMA NI MUONGO, ANATAKA KUTUAMBIA UCHAGUZI ULIOPITA ULIKUWA HURU NA WA HAKI??",[4]
Pole. Sikuwa na nia hiyo.,[3]
Kwa urefu hamu yake ilitoshelezwa.,[1]
Kichwa chako kinahitaji brain scan,[4]
"Nasikitika kusikia hivyo. Nafahamu ni jinsi gani unajisikia, jitahidi ujikaze ",[3]
Sawa kabisa bunge lipo vizuri,[1]
Somerset ni hasira. ,[2]
wewe ni mnafiki wala we we sio Mtanzani au Mzanzibari mnafik mkubwa mbona unashindwa kuweka jinalako halisi kibaraka wewe hapa Tanzania sio kwenu kaakimya.,[2]
unaoneekana una hofu sna,[6]
Wale wasichana kwa yaliyowakuta lazima wawe na hofu kutika akili zao! ,[6]
Yule mama anacheza na afya za mamilioni mzaha wake ni majuto na vilio kwetu sote,"[2, 3]"
"Wow, umeamka mapema leo ! Kitafunwa gani kwa ajili ya kifungua kinywa ?",[1]
"maombolezo makubwa kuondokewa na Mwanageuzi mwenye kuthamini Utu, haki na Demokrasia, Hakika umetuachia maumivu makubwa sana! ",[3]
Hivi vifo vimekuwa vingi. Mungu atusaidie na tuchukue tahadhali zote.,[6]
"Nchii yetu inaliwa na watu wengi mno, laiti haya mapesa yote tungeyaweka kwenye miradi ya uzalishaji, sasa vijana wetu wengi wangelikuwa na ajira badala ya kuendelea kuwa malofa kwenye nchi yao.","[3, 4]"
Ni tone tu katika ndoo. Katika gari kuna zaidi mikwaruzo siwezi hata kuhesabu .,[3]
"kama unavyojua nilikua Thailand mwezi uliopita , nilihudhuria darasa la mapishi! Nimekuandalia chakula ninichokipenda",[1]
unyama sana,"[3, 4]"
Da kwakweli maigizo haya sijui yataisha lini,[4]
Atutaki wabunge vilaza mnalala tuu,[2]
KIPINDI KIBAKI NA JINALILELILE NYIE WAONEVU HAPO ITAKUA PANA UCHOCHEZI,[4]
halafu waulizeni Simba namuachia nani ?,[5]
"nilitamani sana, lakini nina appointment nyingine . Samahani sana .",[3]
Farasi nao hukasirika ikitokea wamefungwa kamba alafu zikashikilia miguu yao. ,[1]
"Bunge lipi? Wachaga walimpeleka Felix Mrema na kusema ""Hatumtaki mwenye makelele"", yaani Makongoro eti ana kelele kama marehemu Babaake! Kumbe @cw_pedro hujanasa siasa za wachagga! Ohooo, samahani kama na wewe ni Mchagga!",[5]
"hamna chochote hapo, ni promo tuu likini hajui kitu",[4]
Yani nilivyomuoga eti bado tu nipo hapo subutuuuuu nasubiri nini,[6]
nakukubali sana uko sawa uko vizur keep it up,[1]
Umesahau kuwa hii serikali ni ya mizuka na matamko?,[4]
Taarifa za vifo zimekuwa nyingi sana kuliko Habari njema. Lakini tuko vizuri. We have controlled it.,"[1, 3]"
habari za asubuhi watu !! Mida hii Tanzania ni baridii,[1]
"Rosemary Sandford wa Jumuiya ya Darlington juu ya Ulemavu, alisema walihuzunika na wamekatishwa tamaa. ",[3]
Huyu kiumbe jeuri muda mrefu daah hakuwa na kauli safi,[4]
Bibi yangu amefariki.,[3]
"Walakini, hakuna mwandishi, hata hivyo anajitosheleza, anaandika bila mawazo ya watazamaji, na Tolkien alifurahi. ",[1]
Hii kali eti ajali zenye vifo ndio hutangazwa yule alipopata ajali alikufa?,[5]
Je hawapati mishahara?,[5]
Waliomuuwa Gadafi mungu awalaani,[3]
Asante sana clouds media,[1]
Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao.,[5]
"samahani mama, nahofia kuwa umekosea namba, hatuna Mr Over hapa .",[3]
yani watanzania tumefeli pakubwa duh bunge kila hoya sawa,[4]
kwanini wanaume si wepesi kusema yaliyowasibu kweny mahusiano zaidi na usaliti kuliko wanawake.,[5]
Una maananisha nini ? nimekununulia kompyuta hii miaka mitatu tu iliyopita !,[5]
Wazungu siwapendiiiiii Kwa kweli yaaani sio watu kabisaa,[2]
"Mimi kabisa nilikubaliana na wewe . Wao hawaeleweki. Nillikuwa napoteza muda , lakini mke wangu hakubaliani na mimi .",[4]
Alikua na anapewa ulinzi wote huo kisa nini?,[5]
"Binafsi msiba umeniuma sana,,sanaaaa,najaribu kuwa okay lakini najiona sio muda nitaanza kulia",[3]
Hili chokoraa huwa mnaliulizaga nini lisauti kama mnywa gongo,[2]
Si haki .,[4]
Msaada?!! Msaada gani wakati mkwanja umetumika hapo!,[5]
Asante kwa ajili ya ununuzi wa godoro kwetu sisi .,[1]
" Tangazia Taifa hali halisi ya COVID-19, vifo vimezidi kupita nyakati zingine","[3, 6]"
Nimewapa kila kitu walichotaka mana walikuwa na mapanga na silaha zinginezingine,[6]
Asante! kadiria ni kiasi gani cha gharama utashangaa ilivyo rahisi na uzuri huu.,"[1, 5]"
"Habari, mimi ni mwanafunzi hapa nafurahi kukutana na wewe.",[1]
Wasichana wa mfalme walipomwona walizimia.,"[5, 6]"
Mimi ni muoga sana kiasi kwamba mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi kwa siku 3,[6]
Mmh sijawah shuhudia mwanamke anakimbiza gari kwa kutaka sifa labda kama wapo me sijui,[5]
Unatania. Hatutaweza kwa mara moja! Tupite kukiwa na mwanga.,[5]
kiukweli najisikia vibaya mno kila nikiangalia kidole changu kilivyochafuliwa na wino roho inaniuma tena,[3]
kwani kuna sehemu hapo nimeuliza kanisa lenu?,[5]
Eti mpaka inazama ndo wanakuja mbio,[5]
"Natamani kuwa na gari kama lile, lakini mimi si tajiri wala baba yangu si tajiri pia",[3]
Yaani yeye ndo kiongozi mkubwa lakini hakuna afanyacho zaidi ya kuangaika na wanawake tuu,[2]
Jamani mwambieni uyo Dada namwitaji mtoto wake nimlelee jaman hata kisheria tuandikishiane,[1]
"hiki Chumba hakifai kwa binadamu . nataka chumba kingine , na mnirudishie hela ya usiku wa leo .",[2]
"Hello , shukrani kwa kutupigia 123, jinsi gani naweza kukusaidia ?",[1]
Daaaaah Jumapili yangu imekua nzuri baada ya Kuingia kwenye Account yako,[1]
"aliwaza, hakuna msaada wa mtu unaoweza kunifaa",[3]
"Wanyooshe hao, wamepiga pesa za kutosha",[2]
Kulikuwa na tatizo gani lililowaweka hivyoo,[5]
ndoa yatatu unaachaa wewe huachwii??!!,[5]
Huku wako mabwanashamba wanalipwa mishahara bure hawafanyi kazi kabisaa,[4]
Yan ata lidondoke hapo walipo sasa hv najua kuna raia wakuja na madumu kuchota mafuta. ,[2]
Ulevi itawamaliza ,"[3, 4]"
Jamani kijana wa watu wamemkatisha masomo yake,[3]
Kidogo tupate ajali sisi.. wapuuzi sana,"[2, 4]"
Sikutegemea kama angekua na mamboo ya ajabu ivo,[4]
"Nimefurahi kama umefurahia pia. Kuna ngengele pembeni ya kitanda, ukihitaji chochote itumie na mhudumu atakuja kukusikiliza.",[1]
Haya ni makosa ya watendaji na inabidi hatuwa za haraka zifanyike na wachukuliwe hatua za kisheria,[4]
"Ni kweli kwamba maendeleo ya ajabu ya watu wetu yamebadilisha jangwa kuwa nyumba ambayo wanaume na wanawake wanaweza kuishi kwa raha, kifahari",[1]
"Mama mzuri, akili nzuri masikini kaangukia mume mpumbavu.pole mama yangu",[3]
Tuwatumie viongozi ile picha ya watoto wanaosoma ile shule ya mbavu za mbwa waweke kwenye maofisini mwao labda wanaweza kuona aibu kidogo kabla hawajachota mihela.,"[3, 4]"
Dada mbona unaongea kwa jaziba wewe punguza mawenge,[4]
Video hiyo ilitengenezwa na magaidi?? ili kuwachanganya umma na sio mara ya kwanza hii kutokea,[4]
"Ooohh kaka alitamani kuokoa ila ilishindikana, kazi ya Mungu haina makosa",[3]
Halafu mti ulielezea hadithi yote aliweza kukumbuka kila neno moja ,[1]
"hiki kizazi cha sasa kina mambo mengi sana, kinatia huruma, hofu na masikitiko","[3, 6]"
"Nimechoka kazi yangu, mimi daima nakuwa na kazi usiku , na kampuni inaendelea kutaka mimi kufanya kazi katika ofisi .",[4]
"Nimekuwa mchovu hivi karibuni . Nimekuwa nikijaribu , lakini sidhani kama ntaweza hii kazi",[3]
"Nilikuwa wazimu, mwendawazimu yeyote aliyemuua. ",[2]
"Wanafungasha mahindi ya kuchemshwa,mtindi,mayai ya kuchemshwa na jusi-kola!",[0]
"nyumba inatisha, upo tuu unaishi huoni shida !",[2]
kila kitu bei juu mnajiita watetezi wa wanyonge pumbafu zenu,[4]
Alipoulizwa swali hilo alianza kulia na hata kushindwa kuongea chochote,[3]
Dada zangu punguzeni visirani hakuna mwanaume anapenda mahusiano kama kituo cha polisi!! Ulikua wapi? yule nani?,"[2, 4]"
Kampuni ilikuwana wasiwasi sana juu ya hii na ikadai kujua biashara zao kiundani. ,[6]
Lily nani ?,[5]
"Basi, akiwa na huzuni, alikunywa pipi nane usiku mmoja na kikosi kingine, alisema mwendesha mashtaka Graham Boal. ",[3]
"Mnapenda mteremko na ukomeeee, kumbe mke wa mtu tena loooh ",[2]
ladha nzuri sana ! Zabuni na crisp !,[1]
Eleza ujinsia wako kwanza Acha porojo hizo,[4]
Hizi ndio makala za kupost sio mambo ya wambeya tu,[1]
unafikiri nini kuhusu hili duka ? Lina matawi katika miji mikubwa na umaarufu wa kunitajirishaa.,[1]
ebu tupe takwimu za watu wanaokufa kwa uoga kila mwaka.,[6]
Bunge pekee duniani ambapo wabunge wote ni vitimaalum,[4]
Wacha kuwa negative minded. Wivu haitokusaidia na lolote.,[4]
"Wengine wote walisimama katika hali ya wasiwasi mkubwa, kujaribu kuhakikisha kwamba hawakuwa wamerekodi kwa usahihi tu lakini pia walielewa kile Woolton alisema. ",[5]
Ni orientation acha wasiwasi,[6]
Kisasi gani tena ?,[5]
"Yeah , nimekuwa nikisubiria kwa mda mrefu sasa.",[1]
Yaani nitoe bei gani kwa ajili ya sofa set tuu..haha hapana,[5]
"Poleni wafiwa,Mungu awape nguvu mda wowote??????????????????????.",[3]
ukisikiaga watu wana sifa za kijinga wapo kilimanjaro. wilaya za mkoa wa kilimanjaro zina maendeleo gani?,[4]
Mtaani hamna vijana jamani !!mnaniudhi kweli kweli Hakuna vijana hata kumi tuu hapo,[4]
"Hapo kuna madai ya umbea, uchawi na kuwachukulia wanaume. ",[0]
"Alikuwa mnyonge sana, na alihisi hatia juu ya unyogovu wake. ",[3]
Ilikuwa iripotiwe ili iweje?. Unadhani ajali zote zinaripotiwa??.,[5]
Wote walishambuliwa. ,[3]
"Naam , ilikuwa nzuri sana kukutana na wewe .",[1]
"Alipotazama pande zote alijisikia vibaya sana, kwamba katika gari ambalo asilimia 70 walikuwa wanaume kuna wanawake watano walazimishwa kusimama katika uwanja. ",[3]
Mkuu bongo hii ukisikia mtu ni Dr au Prof usimuweke kundi la waelewa hadi umejiridhisha kwanza.,[0]
Nawapata vizur hapo mjengon pamoja sana,[1]
Kila kitu kimeeenda vibaya .,[3]
Wewe ulisikia wapi?,[5]
Wajumbe wa tawi walikasirika. ,[2]
Acheni matusi,[4]
Wapi wewe umejifunza huo wimbo ?,[5]
"we nae huchoki tu, toka kampen upo na kusifu ni yeye ni yeye hapo ulipo hata sera na ilan yako huijui umekalia kelele tu",[2]
Una matatizo gani mbona unaonekana dhoofu sana,[3]
Kwann mambo personal anamwaga hadharani,[5]
rushwa imetamalaki kila kona ya taifa??inazorota sana uchumi wa taifa letu na maendelea ya haraka,"[3, 4]"
Asa hao wamama wana watoto mgongoni wanataka nhao wato wapogwe mawe kwan sheria si zipo au ni ushamba unawasumbua,[4]
"HAKUNA CHA FAIDA HAPO ZIDI YA WIZI,TENA WIZI AMBAO BUNGE LA SASA ALIWEZI KUOJI","[2, 4]"
Wewe huna lolote tunakujuwa unatumwa kuichafuwa serikali .lakin hutaweza ,[4]
Watu wanaishi kifalme wakati watu wanagombania oksijeni kama wajinga ,"[2, 3, 4]"
" Alimchukua msichana mdogo mikononi mwake, na wote wawili waliruka juu kwa mwangaza na furaha mbali juu ya dunia, ambapo hakukuwa na baridi wala njaa wala maumivu, kwa maana walikuwa pamoja na Mungu.",[1]
"""Sina aibu juu yake,"" alijibu, kwa hasira. ",[2]
"Lakini, licha ya kukasirika kwake, alikataa kufanyia kazi hatua hiyo baadaye. ",[2]
Tatizo lipo kwa viongozi wetu pale wanapo tunga sheri wanakua na mihemko binafsi,[4]
Kutoka kwa kukata tamaa katika macho ya parson daktari aliona kwamba dawa hii tayari imejaribiwa bila kupatikana. ,[3]
Sijasema tukimbilie chanjo.,[4]
Bahati yake sikuwepo hapo,"[2, 4]"
Hongera. utafanya nini sasa?,[5]
"Ndiyo , bila shaka . Mimi itabidi kuchukua hiyo .",[1]
Muziki ni haramu hata kaswida ni haramu basi????????,[2]
"SIjui. Sijisikii kabisa kutokatoka, nadhani labda ninaumwa .",[3]
"SIku nyingine dada hatutaki maongezi yako kama mhusika yupo, tunapendaga uhalisia na ndio maana tuanatia bando ili tusiadithiwe ","[2, 4]"
mlikuwa wapi 2015-hadi 2020 mbona mlikuwa hamuonyeshi live au sahivi hamtumii Kodi za wananchi?,[5]
HAWA NDIO MAFISADI HALISI WANAOITAFUNA KAMPUNI YA TANROADS WAKISHIRIKIANA NA KATIBU WA MIUNDO MBINU?,[4]
Nyie TTCL kama kampuni mama ya mawasiliano nchini mnataka kufanya biashara au huduma? Nauliza kwa sababu hamuonekani katika biashara na katika huduma pia hampo.,[5]
Huna lolote nataka utueleze kwa nn ukiwa waziri wa utalii twiga walikuwa wanatoroshwa mchana kweupe?,[2]
"Nampenda sana huyu mama kwanza mwonekano tu anajionesha yeye ni mama mchakalikaji, hata ukiwa president mm sina hofu na wewe.",[1]
Nyie nyumbu mna matatizo Sana.,[2]
"Wale wapenda kuchukua vitu vya watu na wasirudishe, sioni vitana vyangu hapa mrudishe",[4]
"Wengine, hata hivyo, walikwenda kwa mvuvi huyo wa zamani, na wote walifurahi kuwa wamepata kuonana tena",[1]
Mbwa koko wewe ,[2]
" Eliya alitetemeka sana; aliogopa kabisa, kwani ndege huyo alikuwa mkubwa, mkubwa zaidi kuliko yeye, - alikuwa na urefu wa inchi moja tu.",[6]
Ukweli utabaki kuwa ukweli mbele za Mungu aliye hai Mungu asiyelala wala kusinzia amina,[1]
Kwani wapi nimesema kila mtu Afrika ni masikini?,[5]
Apo kwenye basata umenigusa sana ya maana mimi mwenyewe nina kawimbo ,[1]
"Alilia, lakini hakuna mtu aliyejua wala kujali; hivyo angeweza kulia mpaka alipochoka, na kisha kulala",[3]
Usitembee kwa nguvu utamwamsha anaonekana ni simba mwenye njaa kali inabidi tunyate taratibuu,[6]
Sasa kama mimi ni mpuuzi hebu nijibu.?,"[2, 4]"
Niliona farasi wenye hofu kwenye makali ya kushuka kwa mwinuko. ,[6]
"Usiku ulikuwa ukinyesha mvua kubwa, na kila mtu alionekana kujikunyata kwenye shuka lake ",[6]
"Ananipa tabasamu kila siku, Mungu akupe maishha marefu mama yangu",[1]
Na unavoongea nkama umechanganyikiwa kwanza na c alifanya ndoa ya kiiclamu ama ilikuwa kiki ,[4]
"Sasa unaona katika siku zetu na kizazi, hatuitaji kukumbushwa juu ya umuhimu wa vitu vidogo. tunapojifunza zaidi juu ya chembe, ndivyo tunavyoshangaa.",[5]
"Eee, makubwa. samahani. Lakini sidhani kama karate inafanyika kama hivyo .",[5]
chukua tahathari mwenyewe wengi bado wanafanya mzaha,[6]
SIAMINI KWAMBA NDANI YA SAA CHACHE NINAANDIKA JUMBE MBILI ZA RAMBIRAMBI.,[3]
Kuna Muda Nipo Single Kuna Muda Nipo Kwenye Mahusiano ???????? Inategemea Na Nani Anaeniulizaa????????,[0]
Wee mzee kweendaaa wenzie washasema walikua wanamsaidia,[4]
"Pole sana kaka, tunajua hukuiba ulitumia Maarifa na juhudi ukaweza kutengeneza kitega uchumi",[3]
"Hatukutegemea kama mvua ingenyesha, imeharibu sherehe nzima",[3]
"Nimekusudia kuwa mtetezi wa JPM katika maisha yangu yote kwa sababu yeye hana ulimi huo tena, hawezi kujitetea kwa lolote.?",[3]
Wakosa kazi za kufanya...!,[2]
"Lakini siwezi kupinga wazo la chakula cha jioni, itakuwa utovu wa nidhamu",[4]
"ilikuwa mara ya kwanza kufanya live perfomance, kwa hiyo nilikuwa na hofu sana.",[6]
"Ingawa nina msaada sana, ninahisi huzuni juu ya mustakabali wa Henri. ",[3]
Waache wavune walichopanda. Huwezi kupanda mahatage ukavuna kunde,[0]
"Alipomimina kahawa kwa Jenny na Paul, alijisikia huzuni. ",[3]
Watanzania ni wapumbavu sana. Unakubaliaje kudharauliwa na kutukanwa na mtumishi wa umma ???,[2]
Watu humu wamenogewa na amani wanaongea pumba tu.,[4]
"We babu huna hekima, Hao Boda Boda ni machizi? Hata mazingira siyo mazuri. Mnafikiri ninyi mtailinda hii Dunia? Mnaacha kumsaidia mgonjwa mnaonyesha ufahari msibani",[4]
"Uongozi wenye kuacha alama, tunawapongeza sana",[1]
"Shangaa na wewe ndugu yangu, kuna alokukataza kwani??",[5]
Anaumia moyoni. ,[3]
"Lakini jana, wewe alisema utapangisha .",[5]
Kwa hiyo unataka kusema ni sawa na Mmasai kuwa mtoto wa mjini?,[5]
Haki za Binadamu Wahusike huyo Mama aonywe!!,[4]
Jaman mama wa taifa adi nimekupenda,[1]
"Acha kutuonesha upumbavu wako mkuu, angalia alikuwa mazingira gani?","[2, 4]"
Mengi yatabadilika na nchi itakaa mahali pake...,[0]
Mambo yanatakiwa kuwa ya uwazi na ukweli..hamna kumuonea mtu aibu wakati anaua taifa lako..,"[2, 4]"
Kweli wewe ni jamaa mbishi!!,[4]
"Nayafikiria hayo daima, nayo roho yangu imejaa simanzi",[3]
Kwani chanjo si kwa ajili ya wenye miaka 18 na kuendelea au?,[5]
" Umeeleweka,ni kweli mchezo,mzaha hupelekea umauti",[4]
Aliondoka haraka sana na yeye kutazama kwa mshangao kwenye mlango aliokuwa amejifunga nyuma yake. ,[5]
"Uhakika, hebu tuangalie. Sweetie, hii ni kali . Mawazo yako ni ya halisi kabisa.",[1]
"Genge la wahusika wa eneo hilo walikuwa wakipita na, walipoona kile kinachotokea, wakakasirika. ",[2]
" Siku moja walienda kutembea msituni, ili wawe peke yao",[6]
"Wow , gari lina mvuto hakika!upambaji wa gari hii kweli umenikosha moyo kwangu .",[1]
Kuna siku nilimuona pale manzese yani kachoka balaa...anatia huruma sana yule mzee!!,[3]
hiyo yote ni kazi ya viongozi kutowa kafara watoto wawatu lakini wakae wakijua kua wao pia watakufa,[4]
Ni ajali tena ?????????,[5]
Sijui ni kujikomba kwa polisi au ujinga umewazidi?!?,[5]
Wle watoto wanatia huruma sanna maskini ya Mungu,[3]
Wewe umependa hiyo hadithi? Wanasema eti ndo nzuri kuliko zote siamini,[5]
Jamani yasikieni tu msiyaone,[3]
"acha dharau ,,unamwitaje Mandela kaka, wakati huyo babu yako kabisa!",[4]
Majambazi yasionewe huruma maana wanaturudisha nyuma kimaendeleo,[4]
Mbona kama uzishaji wa ndani hali tete??,[5]
Lakini sifikirii milele kuja kuipenda hesabu,[4]
anacho kiongea ni kweli kabisa.,[1]
"Lazima awe mnyonge, hata kama ni wewe ukikumbana na masaibu ya aina hii. """,[3]
ulevi ni mbaya! ,"[3, 4]"
Hivi vifo vimekuwa vingi. Mungu atusaidie na tuchukue tahadhali zote.,[3]
Kwa nini unapenda private settings? Kwa nini unafanya mambo kwa ufichouficho mwingi??,[5]
nimependa sana hii nyumba.,[1]
Hizi frame zinavutia hata kwa mtazamo tuu,[1]
wewe ni kiongozi bora. Mungu akulinde. Akupe nguvu. Akupe moyo wa kulisaidia taifa hili.,[1]
nina sema uwongo jamani?,[0]
"Alikuwa mtu mwembamba, kahawia na kitambaa cha shaba shingoni mwa shati lake lililokuwa na mitaro na sauti ya kusikitisha kana kwamba alikuwa karibu na machozi. ",[3]
Napenda lakini siko jijini! Tulio mikoani unatusaidiaje kaka!,[0]
Keki hii ni bora . Wapi umeinunua ?,[1]
Inaonekana ina ladha nzuri sana. unaweza kuniambia jinsi ya kuifurahia ? Ni mara yangu ya kwanza kula .,[1]
We mzee ni muongo mbona hata mazingira yanaonesha hamkumjali,[4]
Huna lolote Malaya tu umeachika unabwabwaja utauza uji mpaka basi,[2]
Zitto msimuamini hata kidogo. Anatumika mkija kushtuka ni late.,[4]
Najikuta nalia tu ,[3]
Poleni sana Wakenya kwa Msba huo mzito kwenu kuondokewa na Mwanasiasa Mkongwe?,[3]
Alishika na manyoya yake lakini mnyama yule hakupendelea hivyo alimbwekea kwa sauti kuubwa,[2]
uonevu unyanyasaji uovu mateso yenu kwa wapinzani ndiyo vitisho vya kunyamazisha watu kwa njia haramu za kishetani,[4]
??Kwa hivyo unataka nikusaidie vipi? Si ujenge hata kibanda cha kushikilia????,[5]
"Leo nimegundua idadi kubwa ya wana ndoa wanaishi kwa mateso sana ndani ya nafsi zao,furaha ya kweli ndani ya mioyo yao hakuna.",[3]
Tumbuwa tu wakae nyumbani kama kazi hawawezi,"[2, 4]"
"Alimgeukia Fran, hasira kali ikivuka usoni mwake. ",[2]
"Mkufu wako mzuri aisee! Sijawahi kamwe kuona kitu kama hiyo, umetoa wapi aisee .",[5]
Huwezi kusababisha machafuko kwa imani yako na kupelekea wamama na watoto wasio kuwa na hatia kupata shida.,"[3, 4]"
Kwa hivyo tumefurahi. ,[1]
Wewe mzungu wa simba utajakufa na presha jamani kombe linaondoka mbele ya macho yako hivi hivi,[1]
Inaumaa kwa kweli,[3]
Hawa watanzania masikini janga likiwa kubwa hata hzo Kodi zikusanyavyo kimabavu mutakosa...,[4]
"""Una kila haki ya kuwa wazimu, Mike. ",[2]
Kwani mkuu wa chama ni Mungu yeye kutosemwa?,[5]
usirudi tena mami,[6]
Tunachangiaje kutokomeza ugonjwa ambao hawajakiri uwepo wake na hata takwimu za maambukizi na vifo hazionekani?!,"[2, 4, 5]"
Jaribu kufupisha maneno unamaliza muda wetu mtangazaji,[4]
sasa unapambana na nani wakati upo unatunza ndoa huko mbali achaga wehu saa nyingine wewe,[4]
uuwiiiiii,[6]
Ni ajabu na inashangaza ! Wako kwenye ndoa kwa mwezi mmoja tu.sasa nani mwenye kosa?,[5]
Naona jumbe za misukule ya ccm umu ndani sababu inaandika utopolo tu,"[2, 4]"
Jamani Makonda yupo wapi asaidie wanyonge,[3]
Mbona mnatoa vichwa vya habari vya uongo huo ndiyo Uhuru wa habari? Acheni hizo mnatuboa sana,[4]
Navompenda joti jamn mniacheeee,[1]
Huo utalii utanuafasha vp wanafunzi wa SAUT-MWANZA. Hizi mambo za viongozi kujipa priority nilianzia huko baadae ni muendelezo,[4]
binadamu sisi hatutakian mema,[3]
"Nikuone tena hapa kwangu, utanieleza unataka nini??",[4]
Nyuso zenye huzuni na masononeko zilitawala ukumbini pale ,[3]
Video inayoonyesha unyanyasaji dhidi ya mwanamke mjamzito ni propaganda za magaidi,[4]
Wacha mzaha while others are hustling hard,[4]
Mwambieni haijaanza leo. Alipopata ajali wapo waliosema bora punda angepona Mwigulu akadhurika.,[2]
Mi nimona video na bado sijona huo utupu. Hapa jamaa wanafanya mbuzi wa kafara tu.,[4]
anaonewaa,"[3, 4]"
Yeye hufanya mimi nijisikie mgonjwa kwa timbwili zake.,[4]
"Wakati Joe na Biddy walipozidi kusisimka, tukijadili mipango yangu ya siku zijazo, nilizidi kuwa na hasira kwa mada zake za kitoto. ",[2]
"Kwasasa atatulia maana kapata mtoto, atakuwa busy kulea.",[0]
"Siwezi kumnyamazia mtu mjinga asiyejielewa, ni ujinga !",[2]
Woooh. Hiyo gari nimeielewa sana safi sana.,[1]
Kwanza napenda kuipa JF pongezi kwamba sasa ina Msemaji bnafsi wa JK hapa ambate ni ndugu?yetu,[1]
Sio kawaida yake kuchelewa nyumbani hadi saa hizi ,[6]
Kafa kimsimamo zaidi,[0]
"Ukisikia wanawake ni viumbe hatari ndo uelewe, yaani ni hatari",[4]
"Nilichogundua mama ana roho ya ubinadaamu sana, tajiri mwingine hapo angekuwa analilia mali zake",[1]
"Mwanangu kweli kaamua kuniuza, mimi ananihusisha na ufisadi mimi kweli.",[2]
"`` Kwa sababu yeye bado alikuwa amekasirika, na nilidhani unaweza kujaribu kunibadilisha. ",[2]
Siasa za Afrika ni takataka kabisa. Kaka endelea kupambana Mungu atakusimamia tu.,[4]
"Ni wewe! Ni kitambo kimepita, Unafanya nini siku hizi?",[5]
unasema kwamba atapewa wadhifa wa meneja mkuu ?,[5]
Sasa hapo unategemea zitatoa wapi pesa kama siyo kukamua mpaka maiti ?,[4]
duuh uchumi!! Pole ila nimefurahi saana kupata nafasi nyingine LA! LOL,[1]
Kwani huo mkopo si analipa? Au mikopo wanalipa waliojiriwa serikalini tu?,[5]
"Mimi siamini hilo kabisa, inawezekana vipi kwanza? .",[5]
Hiyo ndo chuga bhana nmewakubali kwa umoja huo,[1]
"Alitazama mbali, hasira kali ilionekana machoni pake. ",[2]
Matangazo mpaka yanakera daah,[4]
Body ya mkopo ndio matapeli wakubwa nchi hii,[4]
So hii inajustify nini hapa?,[5]
@Cathe Pongezi sana kwenu makamanda ila afadhali ni Mambo ya siasa ingekuwa ni kikundi cha kwaya hata mie ningewakataa kwa sauti hizo????????????,[1]
Chizi kweli wewe ni Askofu kweli? Mwee!,[5]
Wekeni mifumo imara iendelee kudhibiti baada yake. Hilo hamtaki.,[4]
Vipato vi taaabani......,[3]
Nimeomba msamaha . Hii haipaswi kuwa kwa namna hii .,[3]
Ajabu ! watu wanakwendaje kwa njia hiyo ?,[5]
Pumbafu sana huyu mzee analazimisha kuunganisha matukio,"[2, 4]"
Watu wa kigoma kua wapambe wanaweza kinomanoma,[4]
Pumbavu zenu,[2]
unaendeshwa na muhimili kama mwengine kama vile robot pumbavu mkubwa wewe.,[2]
??Unasemaje??? Nikamuuliza nikiwa nimemkunjia uso.,"[2, 4]"
Acheni taarifa zisizokuwa na tija wkt huu wa majonzi jamani! Mizaha siyo poa,"[2, 4]"
mshike mkono atapotea ,[6]
Mkali wa kuzidisha macho ulipunguza uso wake wakati anatikisa kichwa chake giza kwa mshangao. ,[5]
Furuseth alikasirika. ,[2]
" Alikuwa mzee mwenye furaha, kila wakati alikuwa akizunguka zunguka.",[1]
tufike sehemu tujue umhimu was huyu rais tuacheni ushabiki wa mabeberu,[4]
Mtawekwa hatiani na mjue mmehusika kwenye vifo ambayo tungeweza epukana nayo!! Changamkeni hata kwa majina ya proxy!!,"[2, 4]"
"Mwanangu wa pekee, niliyependana naye sana, hatimaye leo hatunaye tena",[3]
Ni kweli siamini kama ni kweli umepata nyumba nzuri hivi katika matangazo tu.,[5]
Akili mgando hizo ndugu yangu ndo maana wengi wenu huwa hamtaki kuuskia ukweli,[4]
Ubaya hautakusaidia kwa chochote ,[3]
Weka mambo sawa. Sio kumkomoa mtu. Watu wapo na wanaona,[4]
"Na Bwana Msuya alicheka na kukohoa, na kufunga macho yake kwa sababu ya moshi wa kuni",[1]
Inaonekana kama wazo ni zuri . Napendelea kucheza kwenye gym iliyopo msituni.,[1]
Kutafuta udhuru ni wazi chini ya kilimo cha wako . Na kujaribu kuepuka kuhudumia watoto ndo ambacho uko vizuri .,[2]
Kama wewe ni fala we ni fala????????????????ulevi si ujanja,[2]
" Lakini wakati huo kuna mtu alibisha hodi mlangoni, yeye akaruka ndani ya pipa la unga kwa hofu.",[6]
Nenda baba ukawe kiongozi wa malaika,[0]
Alionekana kukasirika lakini nilidhani wazo lake la busara lilibadilishana urefu wa bomba la risasi kwa truncheon ya mpira. ,[2]
Siyo kila linalofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu anafanya yeye au lazima alione,[0]
Labda uliolewa na kibenten Mana unaonekana gube gube na mashoga zako c ajabu umeachwa we,[5]
"Mood ya wakati huu inaweza kuwa ya masononeko zaidi, kwani wanaanza kutazama si shida zao wenyewe tu isipokuwa na zile za wenzi wao. ",[3]
"Acha utani, ulisoma hisabati chuoni kwa miaka minne, na sasa unafanya kazi za mikono!!",[5]
Alikuwa anafurahi.,[1]
Kope za leyla mbona Kama zinatufokea hivi?? Au macho yangu?,[5]
Joel ? Mimi sijui ni kwa nini .,[5]
Mjinga mkubwa wewe,"[2, 4]"
Nani kalewa? Umeninywesha wewe?,[2]
"Katika Tanzania huyu ndo mbunge wangu ingawa hayupo kwenye jimbo langu! Mzee ana akili nyingi sanaaaa! Mama Mtazame sana huyu dingi apewe uwaziri wa elimu, ndalichako awe naibu waziri wake! Yaani yuko na maakili mingi sanaaaaaaa",[1]
"Nilikuwa bado na jicho langu la zamani, ambalo lilikatika, naamini nilipaswa kulia; lakini hapana, nisingefanya hivyo, sio kulialia. """,[3]
"Wakati huu, na hasira nzito barabarani juu ya ukombozi wa bei, walanguzi hawakuacha nafasi yao. ",[2]
Pumbavu,[2]
Vifo Vya Kushtukiza Vimezidi Leo Anakufa Huyu Kesho Yule. Ee Mungu Utulinde Katika Kipindi Hiki Kigumu. Vaa Barakoa Kwa Afya Yako,[3]
"ana miaka 15, anaonyesha kufadhaika kwake",[3]
"Asante, uje katika chumba cha dining, ntakata keki hivi mda si mrefu. uwepo tafadhali .",[1]
"Maskini weeh, ametoka sasahivi mmepishana kidogo tuu ",[3]
kutojua sheria sio kinga ya mashtaka na sio kinga dhidi ya adhabu. ,[4]
Una roho ya ibilisi wewe,[4]
Anafafana na ngurue,[4]
"Leo ni siku yako ya kuzaliwa . Awali ya yote , tunakupongeza kwa kumbukizi ya siku yako hii ya kuzaliwa",[1]
Uzembe kabisa,"[2, 4]"
"\""Wazazi wangu wana mtazamo wa kila mmoja wakati anapaswa kupatanishwa, licha ya baba yangu wa muda mrefu kuwa baba yake. '",[4]
Kutangazwa tu haitoshi. Wavuliwe uanachama kabisa.,[2]
hujawahi? Kama hujawahi kujaribu naweza kukuonyesha namna.,[5]
umenunua handset nyingine??,[5]
Unawekaje miguu kwenye meza ya kuwekea chakula? Akili yako iko vizuri,"[2, 4]"
wanjiroo?? hiyo maana yake ndo nini ?,[5]
"Nimefika ila moyo wangu umejaa huzuni kubwa, nimemaliza kumzika babu kafariki mama yangu mdogo yaani ukifikiri sana utaishia kumkosea Mola. ",[3]
kwani hati imesainiwa na naniii????,[5]
Hivi? Hivi vifo tunavisikia sisi tu wengine hawavioni au? ,[5]
"Iko wazi kabisa, hakupendi na hakuhitaji nyumbani kwake",[2]
habari ya kifo inaogopesha ,[6]
Sawa. Navunja uhusiano na Cathy..,[3]
Kuongoza wajinga wengi raha sana jamani,[1]
Kibaki ameiba na wala hakuna spin nyingine hapa.,[4]
Hutakiwi kutumia flash kupiga picha maana....,[6]
Relationship sio mzaha. ,[4]
Tiffah alivyozungumza kwa furaha baada ya kuonana na baba yeke,[1]
yeye hapendi yamafuta hahahahahaaaaaa,[1]
Hakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke,[1]
Nimeviona vichwa vya Tanzania sasa ,[1]
kabla ya kujiaminisha kwa suala zito kama dhuluma ya kabila moja dhidi ya wananchi wenzao ni vizuri mhusika akafanya utafiti wa kina.,[4]
Udhalilishaji upo wapi hapo?,[5]
Guinness inafurahishwa haswa. ,[1]
Nimejusikia fahari sana wewe kuja kuniuliza.,[1]
Wanawake wajifunze kwa hadithi hii ya uyu mzee..! Waache roho ya ukatili kwa baba na watoto wao,"[3, 4]"
Akitoka utamsaidiaje? Make umeshamharibia maisha,[4]
Amenichosha. Hasemi tatizo ni nini analia tuu toka asubuhi,"[2, 4]"
Watumbuwe tukikaa kimya hatujengi mazoea wanaiba,[4]
" ""Wewe ni nani, na unataka nini?"" aliuliza yule mtu kwa sauti ya kunung'unika.",[4]
"Miaka yote mafuriko ,wavunje nyumba ambazo ziko kwenye mkondo wa maji",[4]
hujapenda umetamani hapa mtakubaliana na mimi kwa definition ya mapenzi upofu.,[0]
huna haya kweli mtu mzima hovyooo,[4]
Changamoto ilikubaliwa na huku kukiwa na shangwe kutoka kwa kikundi cha waume wakimzomea,[2]
Inashangaza sana barabara zilivyo. Mashule ya msingi yanasikitisha! Siasa siasa kila kukicha!!!.,[4]
Nilipata maoni kwamba alikuwa na mshtuko mkubwa juu ya msimamo wake na aliazimia kuondoa hatari yoyote kwa mabadiliko makubwa ya Serikali. ,[6]
Hivyo ??sa siku nzuri ya kuona dunia mbili darasa timu uso kila mmoja na kupigana kwa ajili ya haki yao ya kuitwa mabingwa .,[1]
"Usinipigie kelele, Shika adabu yako. ",[2]
"ina ladha nzuri, tamu sana.",[1]
"Kwa nini , hii ni filamu ya kuvutia sana!",[5]
"Si kwa mdundo huo wa mkorogo, kweli nyie ni kiboko",[1]
Nakaribia kulipuka ! Wewe umeliharibu kabisa jambo hili .,[2]
mama yetu Washindwe wasiokupenda tumbua tumbua usiogope Mungu yupo,[1]
Ilikuwa baada ya saa sita mchana ndipo tuliposikia mtu akigonga na kuzani ni jirani kumbe ni mwizi,[3]
Halafu wanasema hali ngumu kazi iyo,[5]
?badala ya kutujazia mikelele yao ya nyaraka wafunge tu makanisa yao tumechoka minyaraka kutwa,[4]
Sifa kwake Uhuru Kenyatta,[1]
Ulipata kuinywa?,[5]
Kutafuta hela muhimu lakini usalama wake amezingatia? ,[0]
Aliruka ruka huku na huko akishangilia,[1]
Ila mada zingine bana. Sasa hii itakusaidia nini. Dili na mambo yenye tija,[5]
nililala katika chapel na katikati ya usiku niligundua kuwa kulikuwa na mtu mwingine katika kanisa. Sijawahi kugundua nani ilikuwa na kwa nini alikuwa huko.,[6]
"Huyu alomtoza pesa mgonywa, azilipe na fukuze kazi",[1]
"mtoto nzuri muda woote anamshukuru Mungu, Mungu akuhifadhi na woote wanaokusaidia awajaze kheri",[1]
"Tania alichochea ugomvi kwa kuongezea maneno ya uongo, mamayake alimfata na kumtandika kwa kuonyesha tabia hiyo mbaya",[4]
huyo mtangazaji wa kike wallah haelewi kitu kabisaa,[4]
Sikutegemea..maana ni saa chache tu zimepita,[0]
hawa mashetani wawili wanachukulia mzaha kwenye maisha ya watanzania....nawashauri wapumzike maana ARV zimewaadhiri .,"[2, 4]"
Watu ni wengi mno walioathirika na mabomu hayo na wengi wakiwemo ni watoto na nguvukazi ya vijana,[3]
Nahisi kila kitu karibu nami kiko kinyume na mimi,[3]
Mnyama aliyekasirika alimkimbiza hadi kumwangusha chini. ,[2]
binafsi kiukweli nimefurahishwa . ,[1]
Merrill aliumia kwa kukataliwa kwake. ,[3]
Unaona wale vibata kule mtoni..,[1]
"De Gaulle alikasirishwa, akaamuru kukumbukwa kwa Massu kwenda Paris, na, dhidi ya ushauri wa washauri kadhaa wakubwa, alisisitiza Massu asiruhusiwe kurudi kwa amri yake. ",[2]
Hatusemi serikali inauwezo wa kutokomeza corona bali tunataka ipunguze mzaha katika kupambana na corona kwa kuhamasisha watu kufuata ushauri wa kitaalam,[3]
"Pole sana mzee, mwamini mungu atasaidia",[3]
Kweli ? Hiyo ni nzuri .,[5]
Ajali ya helikopta iliyopelekea vifo vya watu 8 akiwemo Kobe,[3]
Eee mungu sina cha kukulipa kwaajili ya raisi wetu naomba tu umpe ulinzi wa juu ya mbingu na chini ya ardhi,[1]
Shirika la Afya Duniani (WHO) linashauri kuwa matumizi ya barakoa kwa watoto wa umri wowote ,[0]
KAMA UMEMCHOKA BINT WA WATU MWAMBIE TU KULIKO KUMFANYIA UKATILI KIASI ICHI,[4]
siwwezi kuvumilia kuwa na wwe tena. Nimechoshwa na ulevi wako .,[2]
"Wewe ndio huna akili unabishana na ukweli, unaichukia hio lugha kwa sababu huiwezi na huna uwezo wa kupeleka watoto wajifunze",[4]
Mko wapi! Msiniache tafadhali,[6]
"Tunashuhudia michezo, ya kudanganya umma!",[4]
Matangazo mengi adi unakeraaa,[4]
Pia na nyie viongozi msilee upuuzi wa marefa muwe mnalalamika bwana! ,"[2, 4]"
mama leo amekasirika??msizidi kufanaya vitu vitavosababisha mchapwe,[2]
Asikuwe amechukua pesa ya mkopo anafanyia sherehe,[3]
ninahisi kutishwa na wanawake katika familia yangu ,[6]
Ndege tayari imeshachukuliwa nafasi kwa ajili ya sherehe ya siku ya kuzaliwa,[1]
Una hekima binti,[1]
Sawa kwa mbali ninaweza kuamini habari hii ya hawa watu wa gazeti la raia mwema,[0]
Alidondosha machozi ya furaha??aliposikia jina lake likitajwa katika hafla ile,[1]
"Kweli ? Je, ina maana kwamba wewe unaondoka?",[5]
Wakulima wengi wa nyama ya ng'ombe katika mkoa wangu wana hofu sana juu ya athari za mapendekezo yaliyotolewa. ,[6]
"Nzuri, tuchukue tu! Tumekuwa hapa kwenye ununuzi wa samani kwa saa tano sasa! Mimi nimeshachoka!",[1]
Usiombe yakukute,[3]
unadhani anaekasirishwa na matukio ya wanawake kuwa watupu ni mwanaume?!?,[5]
"Msafiri Kassele nenda peke yako tuu ndugu ,sio kwa anaconda wale wa kutisha",[6]
Ni yeye ? Nilidhani yeye alikuwa mtaalamu wa hisabati .,[5]
kwani ukimwi kitu gani!!?,[5]
Nipo mkoa wakagera lakini nimegundua mengi sana ,[0]
"Jamani nyie vijana mna laana duuu majibu mnayotoa ni shida, dunia kweli imeeisha",[4]
"Mimi ninahang na marafiki club, wewe tangulia nyumbani ntakuja badae!!!",[1]
Kazi yako inaonekana,[1]
"Lissa alichukia uchochezi wa sauti yake, na alikuwa na hasira kwa kujali sana. ",[2]
Hili ni jembe pia anafaa kuwa Rais,[1]
wale wapenda ice cream kazi kwenu ni kuchagua,[1]
Mna uhakika gani kama ni mwalimu kweli,[4]
Mbona haeleweki huyu?,[5]
Nakupenda buree baada ya raisi wetu Magu,[1]
"Mbona umeniona ndio unakificha, kwa nini?",[5]
" Ndio, nitafika Misri, kwani ninajisikia furaha sana!",[1]
Mazoezi je? ????????Usingizi wa kutosha unachangia? ,[5]
we ndie rais shujaa hakika uko vizur mungu apige hatua naww rais wetu,[1]
lakini kushindwa kwenyu furaha kwetu?,[1]
"Jessica alihisi zaidi ya kufadhaika, alijisikia majonzi. ",[3]
hadi mimi nashangaa sana,[5]
Umeongea vzur sana,[1]
Hivi fedha zinatolewa na Rais?,[5]
Vifo vimekua vingi hadi hatuogopi tena kuhusu kifo,[6]
" Hakuna raha katika kusafiri, tena na hizi gari zetu za huku kujijini? ""kusema ukweli, inachosha sana",[4]
"Kila mtu atumize wajibu wake,tusikwamishe jitihada za viongozi wakuu",[0]
SERENA HOTEL MNENDA FANYA NN NA COLRONA HII,[5]
"Tunaomba msamaha wako boss wetu, tutaanza kulifanyia kazi sasahivi",[3]
We unadhani babaangu ataishi milele?,[5]
Nimechoshwa na maneno yake kila siku kama ananihubiria,[4]
walimdharau na kudharau hata alichokisema pale mkutanoni,"[3, 4]"
Zuchu hiyo miwan au magome et anavimba????????????,[5]
Mtoto alishangaa sana kushuhudia vita vya paka na mbwa,[5]
Nina huzuni hasa. ,[3]
Hakuna mwenye matumaini na wewe,[2]
Ni afadhali kupeana nafasi mambo yakishindikana.,[0]
"Msaada! Wakasema wale wanawake lakini hakukuwa na hatari, kwani walizima moto haraka.",[6]
MBUNGE AANGUA KILIO BUNGENI KISA VIFO VYA WATU KWA KUSHINDWA KUPUMUA ,[3]
"Mimi nina wasiwasi sana , daktari . Mimi nina hofu kwamba mimi ni mgonjwa sana .",[3]
Kama kweli una kiburi cha kuwa mTanzania mbona umeikimbia na hauishi hapa? si uwongo huo usitudanganye.,[4]
WATU ZAIDI YA 60 WAFARIKI DUNIA AJALI YA BOTI MTO CONGO ,[3]
?iko kigeregere nimekipenda kinachangamsha shughuli,[1]
" ""Je! Utakuja kunisaidia kuishikilia?""",[6]
chadema hawana mvuto,[4]
Sijawahi kuzaa lakin nahis kuumia tumbo linaniunguruma uwiii,[3]
Ni mtu-alifanya ajabu . Nimeona mara nyingi katika vitabu vya kiada na ni sehemu ya ndoto yangu kwa ziara yake .,[1]
Pumzika kwa amani baba. MAGUFULI BABA LAO,[3]
sasa wachukuliwe hatua kwa kosa gani? na hizo mali wanarudishwa kwa amri ya chombo gani?,[5]
Aliangalia machoni mwake na kuona maumivu makali na huzuni isiyowezekana. ,[3]
"uyu nae akili yake kama ya polepole, hayajui hata maambukizi ya corona yanasambaa vipi na kansa vipi.",[4]
Ogea vizuri talaka sio taraka,[4]
"Bwana Patten, hata hivyo, anajihusisha na zaidi ya kupunguza uchungu wake mwenyewe. ",[2]
Kwanini tutangulize restitution before convictions?,"[4, 5]"
Hongera sana kamanda wa kigogo,[1]
Huyo SHANGAZI si mwanamke? Kwa nini asihangaike na nyumba ya mumewe?,[5]
"Katika Commons, Wabunge wa Kazi waliondoa hasira zao kwa kuahidi kurudisha Serikali. ",[2]
Nadhani kuna haja ya kurudi nyuma kuangalia ni wapi tunakosea.,[0]
Unaweza kuamini kuwa yeye ana zaidi ya miaka arobaini ?,[1]
Kweli ? Umefanya amefanya kazi nzuri .,"[1, 5]"
"Njiani kurudi kutoka Denmark na rafiki kwenye yatch ndogo, kulikuwa na dhoruba na rafiki yangu alipulizwa kwa kasi; Niliogopa sana hadi nilipofanikiwa kumrudisha.",[6]
"Sijawahi kuwasikia madaktari wakifanya mgomo kulalamikia mazingira ya kufanyia kazi, ni mishahara tu",[4]
"Allah atuletee Raisi atakaesimama Kama wewe baba. Huku Zanzibar kumeoza hakufai. Viongozi wengi wanafanya kazi kwa maslahi binafsi, na sio kwa maslahi ya Umma.",[4]
Kuanguka jukwaani ndo avunjike mikono yote! Atakuwa na mifupa ya udongo labda.,[5]
"Siku yangu ya kuzaliwa ni leo?! nilishaisahau, Asante kwa kunikumbusha..",[5]
"mara paaapuu, unaitwa sehemu ambayo ni ndoto ya maisha yako lakini hukuwa na uwezo au namna ya kufika hapo inakuwaje hiyo hisia yake??",[1]
Mimi nakufahamu wewe. Wewe ni mzuri tu wakati unataka kitu kwa mtu.,[4]
Mansell alikuwa wazi na alikiri alikimbia kutoka eneo la ajali ili kuepukana na shida kubwa. ,[6]
Inatia watu wengi moyo,[1]
"Vyura wenye shobo huko kwenye msitu wa amazon ""ahhahahahha",[1]
"Lakini walifurahishwa nayo, na wakashangaa kama shomoro wote wadogo wanaweza kuwa maangamizi.",[1]
rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!,[6]
"Pole sana mzee wangu, lakin pia inabidi kujiuliza, Je vifo hivi ni 'vya kawaida' ama inabidi kubadili 'mtazamo' wetu mahali fulani?.",[3]
Kwann huksema mhusika waendaa kupandikizia mtu uongoo afungwee buree yani wewe ninyoka kweli ,[4]
"alipomwona mwanamke mrembo mlangoni, alimshika mkono lakini alitetemeka kwa woga alipogundua ni wa Mfalme ",[6]
"kwa kweli, ni maneno gani ya kufariji wangeweza kusema, wakati wao wenyewe walikuwa wamejaa masikitiko?",[3]
"Mwamba,,, Mama wa Taifa,,, Endelea kusimama imara, Watu wako tunakuhitaji,,, Ubarikiwe !",[1]
Ghafla kulikuwa na milio ya kutisha. Aly alijificha ndabni ya banda la nguruwe,[6]
Haya maeneo yetu haya yana ukatili sana wa kifamilia!,"[3, 4]"
Umeniliza sana habari ya Anton!ila Mungu atafanya njia,[3]
"Kufanya kazi kwenye nyumba za watu ni changamoto sana, manyanyaso ni mengi na wakati mwingine pesa ni kidogo","[3, 4]"
Gizaaa jamani giza limetawala chuma kimeondoka,[3]
Nilikufuata inbox kwa lengo la kushauriana namna ya kufanya promotion ya utalii kwa njia nyingine haukujibu bro dharau au,[2]
"""Hautajuta,"" kardinali alimwambia. ",[1]
"Kwani spika anaikataa barua kwa kuwa imekuja hapa, ama anaikataa kwa kuwa ni mbabe na anaweza kukataa tu ?",[5]
"sio kama zile zilizotrend full mashimo, hotels ,kujitangaza zaidi thro watu wenye kujulikana duniani sio kina hawa bongo movies nani anawajua?",[4]
`Nilihisi kuwa na hofu kidogo katika mchezo wa kucheza dhidi ya Faldo kuliko nilivyo hapa. ,[6]
"Kwa kuwa wazazi wengi walikuwa watu duni na itakuwa shida kwa wengine kulipa pesa kwa shida zao, mwishowe waliamua kuwa nao nyumbani tena. ",[3]
" Ungekuwa muungwa ungekataa tu,maana huyu jamaa amekuweka kwenye mtego. Mark my words, atakuja kugawa hadi vivutio vilivyo MAKUMBUSHO ZA TAIFA.",[4]
Kungekuwa na maambukizi madogo ambayo yako manageable but our government chose a wrong path,[4]
"\""Wiki chache nyuma binti yangu alikuwa na homa kali na niliogopa kwamba inaweza kusababisha uharibifu wa ubongo au mshtuko. '",[6]
Uswizi --- IOC imepigwa marufuku.,[2]
Imagine maambukizi yatakayosambazwa Zanzibar leo kwenye mazishi ya Maalim.. Nipo nachek Tv hapa.. Inahuzunisha!,[3]
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji,[0]
"sisi tunafurahia uwepo wako leo, unahitaji tuanze kukuonyesha nyumba?",[1]
Hahahaaaaa msukuma bhanaaa viboko tenaaa !!!!!!,[5]
"Mbinguni ni kama London?, umeenda lini wewe??!!",[5]
"nini, usiwe na huzuni? Kuwa na furaha. Umetimiza miaka 21",[1]
Bosi anampenda sana. Yeye anasema Jimy ni mchezaji mzuri katika timu,[1]
wewe mtangazaji umetumwa na ccm ili uchafue sisi hatuchafuki mjinga mmoja wewe,[2]
Bichwa maji kweli!,[2]
"Wazo la unafuu ambao Wadani walikuwa na ""kutuacha sote bila kuumiza mbali kwenye tukio la Maastricht"" lilibadilishwa mara moja na kukata tamaa. ",[3]
Hiyo ni nzuri ya hali ya juu.,[1]
" Mara tu walipomwona, waliona alikuwa mrembo sana, na iliwafanya wasijutie uamuzi wa kumchagua",[3]
" ""Una shida gani na wewe?"" Aliuliza mama yake.",[5]
Na nyepesi pia . Ni itabidi kucheza kwa masaa 20 juu ya betri mbili!,[1]
"karibu, nini tatizo ?",[3]
"msitaje hata jina lake, najisikia vibaya",[2]
Oh kweli nini?? kinachotokea ?,[5]
Dangote ni mfanyabiashara mkubwa,[0]
Alitaka kutupa viatu vyekundu mbali; lakini alipokumbuka alivyo mkali alihifadhi kwanza,[6]
nini tena,[0]
"Sio nidhamu,amefanikiwa kuleta woga",[4]
"Uhakika, nini kinaendelea?",[5]
" Alikaa tena, na akatazama kwa huzuni kwenye wavu.",[3]
"Julius hajawahi katika maisha yake mafupi kuishi na kufurahia maisha, hakuweza kupumzika na kulala kwa amani",[3]
Ni kweli watu wanateseka sana sana watu wanapingwa kupita kiasi kila siku,[4]
"Mama yake alitetemeka na kutoa rufaa kwa umma kwa kurudisha pete, aliyopewa na mumewe miaka 18 iliyopita. ",[6]
"Kwani si sisi udungwa chanjo za polio, Cholera na magonjwa mengine.","[2, 5]"
Mimi nina uchovu wa kazi hii .,[4]
"Unatania labda, yuko nyuma ya wakati..hiyo style si mwisho ilikuwa mwaka jana",[5]
" Maiti yake ipate ajali, hio gari iiungue moto kabisa, sanduku liwe kuni, na mvua kubwa ya mawe inyeshe na majivu ya mzoga wake yasombwe na maji hadi baharini",[2]
Nilicho nacho Hauna na ulicho nacho SIKIHITAJI ,[0]
Waacheni wainjoi nchi yao!,[0]
Madagascar wana dawa lakini wagonjwa wanaongezeka tumia akili,[4]
Daaah huyu mzee nimemuelewa sana yani mpka nahisi kusisimka aiseee,[1]
Nchi wananachi hawana furaha wapo wapo tu wanashangaa ubungo interchange!!!,[4]
Mambo mengi tupo nyuma sana sana,[4]
Mahusiano gani Tena jamani,[5]
"Yeah, wakati wa kahawa huu, tufurahie kwa pamoja!",[1]
Viatu vina miaka hadi kuna shimo katikati lakini hakuna pesa za kumnunulia vingine,[3]
Mwanamke huyo mchanga alibaki nyuma kama sungura aliyeogopa. ,[6]
Mimi napendelea chakula cha Kichina .,[1]
Mwondoe! Akae mbali na familia yangu,"[2, 6]"
kwenda kule peleka gazeti lako huko,[2]
"msichana huyo mdogo akatoka nje, akilia: ""Ah, nimeogopa sana!",[6]
Sayansi gani hapo? Huo ni uchawi bwana usitudanganye sisi watu wazima,[5]
Wajinga kweli anashindwa hata udumia baba ake mzaz kaz kulea baba kibenten,[4]
"Sikupewa sababu za kuwepo pale mpaka kesho yake asubuhi, ndipo alikuja mtu kwa ajili ya kufanya mahojiano na mimi",[6]
"Nimefurahi wewe kuja nje na sisi, nakupenda sana .",[1]
Mimi mwenzenu ni muoga haswa wa waduduwadudu,[6]
Kiukweli mengi katekeleza na tumeshuhudia kwa macho ila imebakia moja tu? Ajira.,[1]
Mi Ndo Maana naonaga aibu kukaa uswazi basi tuu,[4]
Mh mwanamke mwenyewe mchafu nguo ile ile tangu siku ile hajabadili ingine,[4]
"Kisha Mfalme alikasirika, akaamuru mkewe afungwe gerezani, na ndani yake alifungwa kwa miaka mingi.",[2]
aliogopa sana alipoona kwamba mifugo wake walikuwa wameumia.,[6]
" @macby Mimi hapa, kwetu hatukuwa na TV ?????� michezo yetu ni tiali bado, kuogelea ndani ya mito na mabwawa, mpira pamoja na mchezo wa ngumi kwishaaa",[3]
walivuka daraja kwa kushikana mikono na hatimaye wote walivuka upande wa pili,[1]
ninapatwa na hofu kwamba hatorudi tena .,[6]
Niko wazi kabisa. ,[5]
Jee Baba yako anaingia kwenye chumba cha dada yako??? Wacha kutukanisha wazazi.?,[4]
nani kasema wahaya wenye tabia nzuri na wanaokubalika hawapo??,[5]
Ukweli ni kwamba hilo ndo kosa kubwa limewahi kufanyika ambapo watu wameweka matumaini na Imani kwa watawala hawa wa kidini mimi siwaiti Viongozi nawaita watawala hawana sifa zilizopo kwenye Biblia,[4]
ajali kitandan.???,[5]
najisikia kukata tamaa kutokana na kitendo tulichomfanyia mwenzetu cha wizi,[3]
Ni wazi Morrissey alipewa. ,[2]
"Amemjuaje,?",[5]
"Hizo dharau zako kuna siku utajutia na muda hautakuwa rafiki, utatamani uwatafute wote uliowadharau uwaombe samahani lakin sijui utawaonea wapi",[3]
Maua ni urembo mzuri sana katika mazingira ya nyumbani kwako,[1]
Alihisi mchanganyiko wa mshangao na kuwasha kuwa utaratibu wake wa kila siku mgumu ulikuwa utavunjika baada ya miaka arobaini isiyo na utulivu. ,[5]
"Yote ilianza mapema asubuhi ya leo, wakati mama aliye na wasiwasi akiingia ofisini. ",[6]
mp4 player ? kwa nini usinunue simu mpya ya mkononi ? Unaweza kupata mp4 ndani ya toleo jipya la simu za mkononi .,[5]
Hawa mafisadi wanatakiwa wafikishwe kwa Pilato na tusikie wako Segerea kwa wizi wa mali za umma.,[4]
"Acha ujinga na ubinafsi wewe, pigania nchi yako acha kupigania tumbo lako. Watu kama nyie mnatupa taabu sana kwenye hii nchi",[4]
Kutokea kwa Covid-19 kuanzia mwaka 2020 mwanzoni kuliifanya taarifa za utafiti wa virus hivyo kuanza kutumika.,[0]
" Alizungumza kwa hisia sana, akisema kwamba tabia zao mbaya hazitaangamizwa, wala moto hautazimwa, na hawapaswi kupata raha kamwe.",[4]
nina final 2 wiki hii na oral moja na sijajiandaa kwa hata mojawapo !,[6]
Mungu akuponye kijana wetu mzuri jmn,[3]
Namwamini na nina sababu kwa kuwa niliuona uaminifu wake wakati nilizungumza nae usiku huo. ,[1]
hali ya uchumi???�? ni mbaya na itazidi kuwa mbaya,[3]
Huyu kweli ni mpumbavu mtupu.,"[2, 4]"
Hapa pia panahitaji shule kujua huu mchezo? Wake Up Africa!!!!,[3]
Wachaga sio watu,[4]
Mimi nina hofu bila shaka hii ni kwa ajili ya watu wanne .,[3]
Serikali imekalia kimya vifo hivi kwa Nini??? Tulificha maradhi vifo vinatuuumbua sasa,"[3, 4]"
.kutangaza vifo vya Covid 19 siyo kuelimisha...ni kuogopesha watu wenye umri mkubwa tuuu..,[4]
"Karibu kwenye channel pendwa ya vichekesho, tupo kwa ajili ya kuvunja mbavu zako na kukuacha mwenye furaha nyakati zote.",[1]
Kwa hiyo utafanya nini sasa??,[3]
Hivi tuna serikali na vyombo vya dola nchi hii kweli? sisi ni nchi huru?,[5]
"Umejitahidi sana kujizuia kulia, wewe ni mwanamke shujaa ipo siku yako",[3]
Wacha kulinganisha Salama na vitu vya kijinga,[4]
mmenikumbusha dada mmoja hivi alikuwa mgonjwa amepalalaizi majirani ndio walikuwa wanatoa msaada alipofariki walikuja ndugu zake aisee ni matajiri na wakawa wanalia bila aibuuuu binadamu Wana mengi,[3]
" Alishangaa sana, akampigia simu mkewe na kumwambia, ""Niambie, ni nini kimetokea?",[5]
"Ana tabia chafu sana huyo, hajiheshimu wala hana adabu","[2, 4]"
Alianza kunyata huku akirudi nyuma taratibuu,[6]
"Majuzi tuu ilijitokeza tena, na wakatoroka pamoja, wakiimba",[1]
"Wamezoea kuiba, filisi wote wajitambue",[2]
"Kwa mshangao wake mwenyewe alinung'unika, ""nitajaribu. """,[5]
Yule mama hata akilalamika milele ni haki yake kabisa.?,[0]
Hiyo inaweza kuwa tatizo lakini bado haizuii sisi kuja na kutaka kufahamu yanayoendelea,[2]
Yaani Hadi watoto wa mzee wanamjua mzee wao vizuri maana wamekaa nae kwa miaka.. ,[0]
"Lazima uwe umeumia moyoni,,,pole sana ndo maisha hayo",[3]
Mikononi mwa mama ndio sehemu salama kwa mtoto.,[6]
"Niliichana na kuisoma; Nililia na kucheka wakati huo huo, na nilikuwa na furaha sana!",[1]
Nini? Lakini ni favorite nguo yangu nnayoivaa kila mara kwa nini leo?? .,[5]
Alihisi wasiwasi kidogo na kuanza kumhoji. ,[6]
Mnalalamika nini wakati ndicho mlichokichagua?,[5]
Huyu ni adui wa amani ya Tanzania tumuogope Kama ugonjwa corona,[4]
Anawadanganya na nyie mnakubali kiurahisi Zama zimebadirika ,[4]
Walionekana kukasirika wakati waliona sura zetu zikiangalia na kutengeneza ishara za kutufanya tufunge mapazia tena. ,[2]
"Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani.",[0]
Kuongea mbele ya kundi kubwa la watu.,[6]
pole sana mdogo wangu yote mambo ya mungu,[3]
nilikuwa na mwanzo mbaya wa siku . nilikwama katika jam mbaya njiani na nikakosa mkutano asubuhi.,[3]
Wewe huna tofauti na mbwa kwa maneno yako hayo.,[4]
Msichana huyo aliogopa alipoona mtu alikuja ambaye alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani mwake.,[6]
Mama alimtazama kwa huruma kabisa na kumtia moyo.,[3]
Unataka kuniambia umefika hadi pale na hujaona chochote kile??,[5]
"nani alokutuma kama siyo njaa zako tu ndo zilizokupeleka, huna adabu na akili kabsa",[2]
Ha ha ha haa! Nimejikuta nacheka bila kutarajia.,[1]
Daaaaah kweliii chadema kuna kichwaa,[1]
Niliwahi kuwa kwenye hiyo kipindi sikuwa napata usingizi kabisa jioni yake baada ya siku 3 nadrive nilipata ajali mbaya sana!,[3]
Duh!!! Ulichukua maamuzi magumu sana!!!!!,[3]
Ni sawa hiyo? Ni kweli kuwa imeishinda ile ya zamani ?,[5]
"Kilichomponza yule mwanaume ni Pombe, wajameni msinywe kupita kiasi halafu muwatafutie watu lawama.",[4]
Hata sielewi,[5]
Barikiwa sana Millardayo kwa kutusogezea habari pendwa kama hii.,[1]
Naona huu mkakati wa kujisafisha ni wa kiwango cha chini kupita maelezo.,[4]
"tatizo hapa siyo kujenga stand nzuri , swali la kujiuliza tunaweza kuzitunza zikaendelea kuonekana hivyo hivyo hata kwa miaka 5 tu ijayo ?. Na hapa ndyo utakapoelewa kwanini Tz inaitwa kichwa cha mwenda wazimu",[3]
Kukata kwake tamaa kumesababisha kurudi nyuma kwa mambo mengi mno,[3]
Ukianza kutoa takwimu za vifo unatia watu hofu na vifo vitaongezeka. Sasa ukisema UK wanatoa takwimu inasaidia nini kama vifo vinaongezeka?,[4]
Kwanini wanikwaze mimi ninayetaka kuwa na laini moja ya voda?,"[4, 5]"
Hii ni kubwa ! Ni kama kunywa maji ya chumvi ! Ni kama drowning katika bahari !,[4]
Dada hachanganyi English na kiswali na amekaa London sasa ukutane na mwakipesile hapa dar. Hutaamini,[5]
Mungu ampumzishe kwa amani dooh kweli Dunia tunapita,[3]
"Poleni wafiwa, pumzika kwa amani?",[3]
sipendi michezo ya kompyuta .,[4]
usiniambie wewe ni bikira! moyo wake ukajifunga kama mnyama aliyejeruhiwa.,[3]
kaka embu tuache tupo kwenye majonzi,[3]
"Aseee mama una moyo wewe , ila huyu mumeo ni roho mbaya inayomsumbua kumbe",[3]
Nilidhani mmemkamata muhusika. ,[5]
Binadamu bwana ni kazi kwa kweli wanapenda Raha tu hamna kitu.,"[2, 4]"
Wayne atakuwa wazi wakati anasikia. ,[2]
`Nina huzuni kubwa lakini ninafurahi kwamba mtu atachukua na kuleta kazi hizi katika eneo hilo. ,[3]
Ilikuwa uhakika. Sikuweza kula tonge lingine.,[3]
Hawakuweza kuelewa kwa nini watu huko Uingereza walikuwa na wasiwasi sana. ,[6]
" ""Mbinguni ni pa zuri!"" akasema huku akitazama juu mawinguni kwa tabasamu ",[1]
Muacheni aendelee kubweka na kutuchafulia nchi yetu..makelele ya chura hayazuii ng'ombe kunywa maji.,[4]
Hutaamini nilichoshinda kazini leo! - Tiketi ya fainali NBA usiku huu.,[1]
Bana. Hiyo story huwa nakumbuka nashangaa sana,[5]
Duuu. Napita tu,[0]
Analindwa kuliko rais! Upotevu wa pesa za walipa kodi,[4]
"Wanaogopa aibu, hata mimi Chelsea nilianza kuangalia kwa kujificha ",[6]
Oh! Nini haswa ndo tatizo maana siku mbili tatu hizi siwaelewi,[5]
Na maneno yake yalisababisha ghasia za ajabu ndani yake. ,[4]
"Nashangaa watu wana hofu na korona wakati jamaa kapona kwenye ajali, kufa kupo tu ila mpaka Mungu apende ","[5, 6]"
"Jamni, kwani kuna mtu anateseka???",[5]
Mmegombana tena?mtakuja hata kuuana ninyi hebu jaribuni kusuluhisha mambo yenu yaishe,[4]
Bora mbunge mmoja angewakilisha majimbo hata 30. Ili fedha itumike kuwapa ajira walimu wengine.,[4]
Heri ukose mali kuliko kukosa akili kama wewe,[4]
"Utafikiri kuna la maana linaaloenda kufanyika huko, ni hela tu wanataka hamna lolote la maana",[4]
"Sauti yake ilikuwa kali, lakini haikutushtua. ",[6]
Kwa nini usirudi kweu kijijini?? Pole sana,[3]
Sasa dada nae akaanza kumlilia kaka yake maskini aliyerogwa,[3]
Hasira iliyokuwa katika sauti yake ilimshtua. ,[2]
Hakuna mwamba wa kifo duniani isipokuwa Yesu kristo pekee ndiye MWAMBA,[0]
Alielezea mara moja huzuni yake. ,[3]
Ni aibu! Sikuweza hata kusubiri kushuhudia huo ujinga kwakweli,[4]
saleh acha usimba na uyanga kwani shaff hapo kakosea wapi????,[5]
"Hukujua kuwa ni ya kwangu, kwa hiyo ukagawa. Hivi, una akili nzuri ",[2]
Mpuuzi arudi yanga tu au kama vipi arudie kazi yake ya utapeli kwenye habari.,"[2, 4]"
Dah mbona mleta maada kaleta nusunusu. Sema tatizo la viongozi wengi ni unafiki.,[4]
"Nafahamu, Bw . Douglas . Lakini mimi kwa kweli naumwa sana .",[3]
Akainamisha kichwa chake na moyo wake ukavunjika kwa uhitaji na hamu.,[3]
" My brother, pesa sio shida, ujinga na ulevi ndio sipendi","[2, 4]"
nina hofu mimi nimepata baridi kali. Nifanye nini ?,[3]
Ndio mahakamazetu hizo jee uzalilishaji utaisha ?,[4]
Hata mimi nimeshangaa????????. Kirusi ni kikubwa kupenya ktk seli za mtoto? ,[5]
jamaa ni muoga sana,[6]
Mama anaonekana ana busara zaidi kuliko baba mwenyewe anyway kikubwa uhai,[1]
Mumewe ametulia kaburini.,[3]
Mjinga hapatwi na ajali!!,[6]
Lakini maelewano ya Richard yalikuwa mafupi kwa sababu figo zake zilianza kutofaulu. ,[1]
Wew umeingia bungeni kufanyaje humo si ungebaki nyumbani kwako au ufungue kanisa uhubiri.,[5]
Ajali magari 100 vifo 9 imagine ingekuwa kwetu,"[3, 5]"
" Alilia, ""Hapana, hapana siwezi kuvumilia,"" akafungua dirisha lingine, kwa sababu matone ya jasho yalikuwa yakimtiririka kwenye paji la uso wake.","[3, 6]"
" Kama karani alifikiria mambo haya yote, na akagundua mabadiliko makubwa katika hisia zake mwenyewe, akatabasamu ndotoni",[1]
"Sitaki kuwa na mtu wa aina hiyo, siwezi kumwamini na kumshirikisha mambo yangu",[4]
Duuh mama mpole hadi raha,[1]
@byjr1 Anajua anachokifanya! Hafanyi siasa anafanya biashara pia,[1]
"??Siwezi kamwe kukuacha udandie kwangu nikihangaika mtaani. Nendeni kuishi katika mtaa, sibanduki huku",[4]
"`Mbingu nzuri, hapana, mwanamke"" jibu la kukasirisha lilikuja. ",[2]
Ni kweli anachotuambia?,[5]
Umekutana na simba na ukasimama hakukufanya chochote??!!,[5]
hawajatenda haki kabisa kukutangaza wewe kama mshindi,[2]
najickia uchungu mkali sana watu wako jela kwa kusingiziwa.,[3]
Kwa hiyo anaharibu anahamishwa!!!,[5]
umponye huyu kijana na wote wenye matatizo,[3]
"Kwa kweli ni huzuni sana ...Mungu atushike mkono kuna mpasuko mkubwa hatujui nini kilichopo,nini kinakuja,kwanini imetokea hivi?.",[3]
Uyu mama anaakili sana anajuwa kujielezea vizuri sana,[1]
"Oh, mambo vipi. Unaonekana nadhifu leo.",[1]
anamtanguliza Mungu hadi raha,[1]
"sio kila aliyepo jela amekosea hii iwe funzo kwa mahakimu, hii ni dhambi ya hali ya juu.",[3]
Hii uongo wa mchana kweupeeee,[4]
aisee!!,[5]
Yaan hii habari imenisikitisha jamani ukiangalia na sisi tuna watoto hii familia itakua ina ugomvi wa chini chini,[3]
Ndugu yangu alianza kuwekeza fedha akikuwa na umri wa miaka 16 .,[1]
Tumuombe Muumba atujaalie afya njena na awape pumziko jema wapendwa wetu waliotutoka.,[3]
Jinsi gani imetokea? Yeye ni hivyo vipaji ! Nilidhani yeye alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda medali ya dhahabu !,[5]
"Hpana baba, hatupunguzi zaidi ya hapo mana hiyo ni bei ya pungozu tayari.",[3]
Hahaaa jamani nimekuelewa mama,[1]
atabaki kuwa kunguni tu na hii ni sinema makhsusi ili kumsafisha kunguni huyu aweze kuishi na sisi huku tukimuamini ...?,[4]
pole Sana baba. Roho yake ipumzike kwa amani,[3]
"Kwamba ni kubwa. Je, ni zawadi?",[5]
Yani Kati ya askari kumi mmoja tu ndo sio muhatifu ndo desturi yao,[4]
Kendall-Hume alirudi nyuma kuonana na wenzi hao waliofadhaika. ,[6]
Umekosea kitu kimoja anawezaje mwambia kwenye gar afu walikutana cku ile ile,[4]
Halafu ukafunga safari kwenda naye kuuliza tatizo ni nini ? Huyo ni mtoto au kopo pa rubisi.,[5]
Tukishinda ile kesi inahusu J.f ntafurahi sana!,[1]
"Sasa kama ni haki ya mtu, kuna haja gani ya kulizungumzia,,, mnatafuta kiki tu..",[4]
Ndani ya miezi michache ijayo - na muda kidogo kabla ya uchaguzi ujao - watalazimika kumaliza maswali haya au kuona mwangaza wa msimu ,[1]
"Uzinzi ni kwa walio ndani ya ndoa na Uasherati ni kwa wale amabao hawaii kwenye ndoa, umalaya ni kuwa na mahusiano mengi",[0]
Umezungumzia hofu na mauti. Mjadala unaoendelea unahusu hofu na mauti. ,[6]
Si ameshasema hakuna gari kama hilo,[5]
Basi wakipokea posho wanataka waendelee kukandamiza wenzao,[4]
Huyu naye punga vile vile,[2]
"""ni nini ulimwenguni kimemtokea askofu? Mbona watu ni wengi?""",[5]
"Aisee kuna majaribu na mapito magumu sana watu wanapitia, eeh Mungu utusamehe sisi tunaolalamika tukipitia changamoto kidogo",[3]
Ni kweli ? Muda gani umekuwa ukicheza piano ?,[5]
Nina jambo langu siku za baadae! Hivyo nataka nichukue kadi ya chama mapema.,[0]
Pumbavu ya wananchi wanabehave kama wanyama,[2]
Sisi Watanzania bado sana. Sijui kwa nini tuna akili hizi?,[3]
Kwenye suala la kejeli hata rolimodo mkuu wa nchi anaongoza,[2]
Weee...ila yule dada hana nuru usoni?,[5]
"Wewe mshumaa pori tulia huko kwenye baridi, waachie mchezo watoka jasho, wewe huwezi tena ligi kuu, tulia tuli",[4]
"samahani, pole, umekosea hii namba siyo .",[3]
Hii nchi inatawaliwa na viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri kiasi cha kushangaza wameingiaje madarakani!?,[4]
Hii habari imeniuma sana,[3]
ninajitahidi kwa bidii kubwa sana kupata ujuzi wa kiufundi lakini napata motisha nilipoona watoto wakifanya maonyesho kwa moyo wote licha ya uchovu,[3]
binafsi sina huruma na madingi wa hivi.....hawa watu wanajisahau sana man!!,[4]
Dada mange kasemaje kwani,[5]
"Uhakika , kwa nini ?",[5]
"Roho yangu inadunda dunda, sijui majibu yatakuwaje",[6]
"Acha uongo, mwina kaduguda ni rafiki wa salama??",[4]
"Kama Unataka mambo makubwa, lazima uwe shujaa, ondoa woga, jiamini, uwe na msimamo na mtu wa maamuzi.",[6]
Ana huzuni. ,[3]
Nilijihisi mnyonge kabisa juu yake. ,[3]
Tumbua tu.,[2]
Kwa hivyo majengo yote marefu duniani yana haya matatizo au ni hili jengo tu?,[5]
mama una akil sana,[1]
"Lakini umakini, nimefurahi sana. ",[1]
"Wote Mr Souness na Jim Smith, meneja wa Portsmouth, walisisitiza jinsi walifurahi. ",[1]
"Lazima kama mazungumzo mengi . Watu ni kusema , wewe ni super mazungumzo .",[1]
Hoja yako ni ya kijinga ko unadhani ruzuku ya vifo ina dhamani sawa na uhai wa watu.,"[2, 4]"
"Oh , kweli ? nimefurahi kukutana na wewe . Mimi walidhani wataniacha mwenyewe hapa! Muda gani umekuwa na hii kampuni ?",[5]
Na ww tafuta mbona marehem wapo wengi,[4]
Nyuso hazina furaha wala matumaini,[3]
"Kamanda siasa nyingi, mwenyekiti eti nategemea idara ndo nini",[4]
Mimi nina kweli uchovu wa kazi yangu katika benki . Mimi nina kufikiri juu ya mabadiliko hayo .,[4]
"Unatuchosha akili bhana!!!!,nenda kalime","[2, 4]"
mzaha gani tena!!!,[5]
mbona matusi mkuu? kuna mahali nimekutusi?,[4]
Hivi vifo vya wakulu mbona ghafla tu!!??,"[3, 5]"
Kwel huyu mama mchungaji....anachunga kondoo wake bungeni na kuwahubiria,[0]
Kuamua n kuchagua,[0]
"Nimevunja vyombo pendwa vya mama, sijui nitamwambia nini",[6]
Umeshikiwa mtutu wa bunduki uisome kwani?? Kama hujaipenda acha,[2]
Bafu linaonekana nzuri . Umerekebisha mwenyewe au umetafuta mtu wa kufanya hivyo kwa ajili yenu ?,[1]
"Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity.?",[4]
Unatamaa dada hivi mume akikuacha utafanyaje,[4]
Si nimekuonya lakini,[3]
Hiyo ni ujinga .,[4]
"Inaskitisha, wachukuliwe hatua haraka maama wanaihujumu serikali katika mapambano ya corona",[4]
Daaa Sina cha kusema ni majonzi,[3]
"Dharau zako peleka huko, kwangu hapa nataka heshima",[2]
Mpumbavu kama wewe ukifiwa na baba yako mzazi na anazikwa siku moja na mpitaji bila shaka utaenda kumzika mpitaji. Huna akili kabisa wewe.,[2]
Hiyo ni dalili mbaya sana . Kwani huwa una Matatizo yoyote ya kiafya,[3]
Utabaki ivyo ivyo na mawazo yako mgando,[4]
kha umeniacha hoi,[1]
Tunazungumzia virus vya dunia nzima au vya corona mbona una kiherehere kama amber ,[4]
Hana lolote huyo anataka kurudi kashazoea kuhudumiwa huko anajionea mishida mkazie hivyo hivyo,"[2, 4]"
"naam , jana usiku nilikuwa na malumbano na Ann .",[3]
"Magufuli chukua 10 mingine, kazi yako ni nzuri, maendeleo tuna yaona",[1]
Nakumbuka nikifikiria kuwa nilipaswa kuwa nyumbani hivi karibuni au Mama angekasirika kwa kukosa chakula cha jioni. ,[2]
Naomba kuuliza hivi ....Hii taarifa kwa umma ina maana gani??,[5]
Hawa wavaa barakoa nyeusi waogope sana????,[6]
Namuhurumia! najua amekuwa na hamu nayo sana kwa miezi ya hapa karibuni,[3]
"Baadhi ya vitendo vyake, haswa kuwa mkorofi katika chama baada ya kushindwa uchaguzi kunaleta hofu kwa wanachama ",[6]
Lakini alikataliwa na mchumba wake mbele ya umati wa watu kwa kilichosadikiwa kuwa ni kisasi cha usaliti,[3]
"samahani , mimi sijui sheria kuhusu kupigana ngumi.",[3]
Tanzania tunaweza hapakaztu magufuli mungu akulinde,[1]
"Alisema pia, kwa kufurahisha kwa wale wasio na msimamo wa serikali ambao walisoma kumbukumbu zake, kwamba safari ya Watson ilifanikiwa zaidi kuliko ile ya Matthew. ",[1]
Mungu akubariki waziri nakupenda Sana,[1]
Inachukua sekunde chache ukagoogle utaona UK imepata kesi nyingi na vifo vya Corona kuliko Ufaransa and Spain.,[3]
Mze umeongea ujinga tuu hapo,[4]
"Ina ladha nzuri sana, wewe ndo umepika?",[1]
Njoo ndani haraka tufunge milango ,[6]
Lazima... Uwe na... Muziki mpya... mimi silali mpaka wewe kutupa Sura ya 1... Naweza kufa... Haraka!,[1]
Lini niliomba kunyonya maziwa yako? Unikome,"[2, 4]"
Dah! Nimeumia sana. Kipindi hiki ni kigumu naona tunavyolazimishwa Chanjo,[3]
Pigeni mawe mpaka afe huyo kama mmekosa msaada,[2]
Bwana Jones alilipuka kwa hasira. ,[2]
Vipi habari ya safari. Mbona umerudi na vitambaa vyote.,[5]
CEO alikasirishwa na wafanyakazi wake ,[2]
Hujasikia chochote kuhusu hilo ?,[5]
Duu taarifa za vifo mbona nyingi hivi,"[3, 5]"
Ni yeye kweli ? siamini !,[5]
Tunatoa salamu za pole na rambirambi kwa Wazanzibari wote na Watanzania kwa msiba huu mzito!,[3]
kazi ipo kwenye daftali la kudumu...,[0]
"najihisi sina nguvu, nina kiu ",[3]
" Kwa hivyo akamtoa yule mdoli, ambaye alionekana msalaba kabisa, na hakusema hata neno moja, kwani alikuwa na hasira ya kugeuzwa kitandani kwake.",[4]
Hawa takataka hawavaa hata barakoa saizi wamejichokea kama safura,[4]
Kwakweli inauma umefungwa kwa kosa lenye si la ukweli inaumiza sana ni vizuri kabla hawajafunga mtu uchunguzi ufanywe ,[3]
huyu mwanamke kuna mambo mawili makuu aliyoniudhi muheshimiwa,"[2, 4]"
" Ata kutamka neno corona Tanzania ni kosa la jinai, akifa mtu kwa korona unatakiwa kusema ugonjwa wa kukosa hewa au kupumua au huseme alipata ajali","[3, 4]"
Tumia muda wako kufanya mazuri kwani siku moja utapotea kama nukta moja ya mchanga baharini na kitakachobaki ni historia yako iwe ya mabaya au mazuri.,[3]
Nachukia saaaana abia za watu kuwanyonya masikini na kujirundikia mali wao wenyewe,[2]
"Barbarossa alituma agizo lililomhitaji Milan atoe madai yake, lakini Milanese aligonga waraka huo, na balozi huyo wa kifalme akakimbia umati wa watu waliokasirika. ",[2]
"Nchi haiwezi kujengwa kwa kodi za kukata kwenye vocha za simu. Mtu ananunua vocha ya sh 500 anakatwa kodi, ni upuuzi.",[4]
Nilitazama kwa masikitiko wakati wakigonga sakafu na kupigwa na vumbi ,"[3, 6]"
"Gasper aliondoka mara moja, wakati mkewe akiomboleza, na kijana alilia.",[3]
mnakaa mnaangalia mtu anapigwa??,[5]
"Furaha yangu haipo kwenye hao ""jamaa"" zangu kukosa Ubunge bali ipo kwenye kutambua kuwa Watanzania wametambua ukweli ya kwamba ma vyama haya ya Upinzani ni biashara na makampuni binafsi ya watu fulani. ",[1]
asilimia mbili ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi yapo miongoni mwa vijana wenye umri kati ya miaka 15 na miaka 24.,[3]
"Rafiki akasema: `Joan anafurahi. """,[1]
"Kuna watu kila ukikutana nao wanaongelea mambo ya Corona na Vifo tu, utadhani hawana story nyingine, tunauana kwa mawazo",[4]
Kwa kuungua kule na makaa ya moto alilia na kukimbia kama mwehu,[3]
Kulikuwa na ishara ya kusimama?,[5]
hivi hao wafalme huwa wanafanya nini kila jumapili asubuhi ?,[2]
wewe?!kwa nii uniibie ?lazima nikupeleke jela ukajifunze !,[2]
Furaha yetu si pesa...Madaktari tuhudumie watanzania..,[4]
Anakuwa mchawi na muuaji. Mtu mwenye ubinadamu hawezi kusapoti matendo ya kiccm,[4]
Nini yake ?,[5]
kweli kabisa ,[1]
Hovyo kabisa,[4]
Umekaa juu ya chereheni yangu na umevunja mashine yake sasa,[4]
Dah! Kwa hiyo hao wengine wamekaa gerezani miaka kumi hali ya kuwa hawana hatia!,[3]
"Tulifurahiya sana, tukarudi kwenye Althorp Street, tukishangaa jinsi tunaweza kuvunja habari hiyo kwa Bi Sugden. ",[1]
Msukuma huyu,[0]
bunge la mazimwi halina ata mvuto upuuzi tu kila mmoja analeta usanii,"[2, 4]"
Unajifanya una uchungu kuliko mama Janet na familia.Acha unafiki.Mungu anakuona.,[4]
Yule maza ni bonge la manipulator halafu ana mdomo,[4]
Bora mmwambie mwanaume mwenzenu..anatia aibu,[4]
Unamdanganya nani wewe?? Ukitaka mambo yaishe niambie ukweli tuu,[5]
Furaha Ya Wazazi Ni Watoto,[1]
Hadi anafia home kuna shida mahali,[0]
"Kujitoa ufahamu hakujawahi kuwa solution ya Tatizo, mwambie Jamaa yako aache kujificha arudi mjini",[4]
Ni vilio vitupu,[3]
Hii Inafanya Akuone Wewe Ndo Tatizo Wakati Tatizo Ni Yeye..,"[2, 4]"
"Nadhani kipindi hiki cha huzuni si vyema kumfollow Mh. Rais na kupost kashifa Watanzania tuna ustaarabu wetu nyakati za majonzi, muwe na aibu","[2, 3, 4]"
Hivi hawa maaskari wengine wanasomea wapi kujichukulia sheria mkononi,[4]
"Bwana Elia alisema jana: ""Ni ndoto mbaya tuu. ",[6]
Tuliyekua tunamtafuta tumempata,[0]
"Nakubali, lakini nimeambiwa niweke Laki Tatu mezani (siko pekee yangu)....",[0]
"Mungu muumba awajalie ustahimilivu na subira kutokana na majonzi mnayoyapitia.Pole Kwa familia, ndugu na marafiki.",[3]
Kwani mpaka aibu zenu za ndoa mziweke mtandaoni hapo umejidhalilisha mwenyewe mwanamke mwenzangu,[4]
Ivi kweli mtu anatembea na unform kwenye begi alafu anavua hazalani na anavaa nguo za kijeshi,"[4, 5]"
"Ikiwa nitaelezea mipango yetu tofauti ya kulala kwa marafiki, watashtushwa. ",[6]
Nina wasiwasi. ,[6]
Pole sana changamoto ktk maisha ni kawaida ila mlipie kaka yako deni ili apumzike kwa amani,[3]
Hongera Sana wazir wetu umejitahidi sana kuelezea vizur historia ambayo kwa vijana kujenga uzalendo.,[1]
Nimefurahi kuhusu hiyo. ,[1]
Alisikika akisikitishwa sana na David alijua alikuwa akikandamiza uchungu wake. ,[3]
Hivi wanawezaje kutoa dawa inayoweza kupinguza makali alafu washindwe kutoa ya kumaliza kabisaaa.,"[4, 5]"
"Wengi wa wanaopinga mambo anayofanya, ni watu primitive, washamba, wasiojua chochote kuusu uchumi wa kisasa.",[4]
hakuna la maana mnalofanya hapa zaidi ya kutetea matumbo yenu na ndio maana mnaleta upupu huu.,"[2, 4]"
jitaidini Sana kujifunza kuhusu haya tusitaman maisha yasiyo yetu kisa kupata pesa ,[4]
Nina uhakika . Ni nini ?,[5]
"uhakika, uko hapa tayari.",[1]
kama imeshuka bei inawezake kuongeza pato la serikari kutoka billion 170 Hadi bilioni 700 kwa mwaka?,[5]
"Hello, mimi ni mpangaji mpya tutakuwa pamoja naitwa Anna",[1]
Moyo wangu ulikuwa unadunda kwa hofu niliyokuwa nayo. ,[6]
Hata mimi imeniuma,[3]
Karibu kila mwezi inaonekana kana kwamba mzazi mmoja analalamikia upotezaji wa kijana wao aliyekufa kwa njia hii. ,[3]
" Alitabasamu mara nyingine tena, halafu watu wakasema amekufa.","[1, 5]"
"Je, ni sisi kwenda kufanya ? Siwezi kupata gari nje ya shimoni . Mimi nina kukwama !",[2]
"Mtu amepigiliwa msumari, mwingine mkono unaoza, halafu unaropoka",[4]
"hongera sana napenda maamuzi kama haya, huu ndio uongozi unaotakiwa",[1]
"aliwatuma wawindaji wake wote, akasema: Piteni msitu wote, na msikate tamaa mpaka mtakapopata tatu zote.",[6]
Kufuatia hii kulikuwa na kusikitishwa sana kati ya kamati hiyo kwani ilionekana kuwa na tumaini dogo kwa siku zijazo. ,[3]
"Mashavu yake yalikuwa tayari yametoka kwa mchanganyiko wa joto na kufurahi, na hii ilikuwa imemwongezea uzuri mwingine wa ujana. ",[1]
nina wasiwasi kuhusu huu mtihani wa mahojiano.,[6]
tena wapo na hotel moja????????????,[5]
"Kisha akachukua, akaenda kwenye kaburi la mama yake na akapanda pale; akalia sana hata ikamwagiliwa na machozi yake.",[3]
Wapige hata lip nyumba zao jamani ni aibuu,[5]
"Hiyo ni mbaya sana! Unapaswa kuwa nyumbani katika kitanda, ni muhimu kupumzika.",[5]
"Nina hofu kuwa kuan kosa umefanya, sikutoa maagizo hayo mimi",[4]
"Kama Ni Tuhuma Za Perormance Hazina Ukweli, Ila Kwa Hizo Za Rushwa Siwezi Kumtetea.",[4]
mpendwa ilikuwa furaha saaana!! Asante sana kwa ajili ya kufanya hivyo kutokea! Alikuwa na furaha na wanawake pia! Wakati ukaenda kwa haraka.,[1]
mimi ni mshindi wa tuzo ya kwanza katika mashindano ya mashairi .,[1]
"Kumbe na wewe ubongo wako ni mdogo kama wa mamba!?,kuona watu kwenye foleni ndo unadhani watu wamekubaliana na chanjo!?,fanya research ndogo",[4]
Kiukweli BBC haina mvuto tena ni kama TBC,[4]
"John , nilikueleza kuwa usivute dsigaa hapa,! Sitaki kukuona unavuta sigara katika ofisi yangu tena .",[2]
Hii ni sawa sawa na kusema kwenye msafara wa mamba hata mjusi yumo,[0]
"Oh, ni mnyonge jinsi gani! """,[3]
unatania au unasema ukweli,[5]
Kila mtu anamwoneea huruma lakini hamna namna yya kumsaidia,[3]
Embu toka apa alokwambia usisome nani,"[4, 5]"
Barafu iliyomeguka Himalaya yaendelea kusababisha vifo India ,[3]
tumewakosea nn sijui wanaona wao ndyo wenye haki na wengine sisi tupo ili mradi tu kwenye hii dunia....eeh mwenyezi mungu tuepushe na binadamu shetani,"[2, 4]"
Hawalambi kitu,[0]
Unanifananisha na huyo kiumbe asiye na akili hata kidogo,"[2, 4]"
Lakini tabia ya Ramadhani imeongeza tu uchungu kwa mama yake. ,[3]
Yaani lipo kama zoba zoba,[4]
Kwa nini unitukane ndugu yangu? Nenda kaangalie centre for disease control ya Marekani kwanza,[5]
Sasa wewe serikali hii hii imekutesa na ikakusaidia unashukuru nini,[4]
Mungu atuepushe haya majanga ya dunia mungu tupe mwisho mwema.. ,[3]
Mh! Makubwa!! Shangwe ya talaka?!!!!,[5]
"Kweli ? Mimi , pia . Nini ladha yako pendwa ?",[5]
Nimeumia sana nimeguswa poleni Rafiki zetu wakenya tatizo ni kufungua kioo kisha maji yakaingia kwa haraka gari likazama,[3]
"Asubuhi ya leo, ndio nimepata taarifa kuwa mmi ni mshindi wa simu.",[1]
maendeleo ya vitu sio watu,[4]
Baba anachuma fimbo mkimbie mbali akiwakuta mnalo,[6]
Wakati mnaandamana kudai boom halitoshi mlidhani mkopo ni zawadi?,[5]
Alinyooshea mkono kwenye gunia na kuanza kutabasamu huku akiwaita marafiki zake kwa shangwe,[1]
Unafanya uchaguzi mzuri. Honda imefanya maboresho mengi ya ubunifu katika Mkataba wao mpya .,[1]
sisi malinguistic expert tuliobobea tunakushangaa nakukudharau kuandika kingereza cha kusadikika.,[5]
Kwan hii shereh ya ngap maana hela zilizo mwangwa kwenye shereh zilizopita n nying,[5]
Alianza kutetemeka alipoambiwa mjomba ake anachuma fimbo ili aje kumchapa kwa kuchelewa nyumbani,[6]
Mimi ni mama jamani nimeumiaaa saaanaa kama mzazi poleni sana familia ,[3]
"Kwa wewe mtoto wa juzi huna hujualo, tena kaa kimyaa",[2]
Hakuna tatizo .,"[1, 6]"
Ni matumaini yetu kwamba mambo haya hayatajirudia siku zijazo.,[2]
inakuwaje siku inaenda polepole kama konokono leo ?,[2]
"Sitaki kuamini chama ambacho kimeshika dola zaidi ya miaka 50 leo, bado una matumaini nacho kukuletea mabadiliko na maendeleo ya kweli yenye usawa kwa wote!! Tanzania tunatatizo la kimfumo.",[4]
Mungu awatie moyo wa kuvumilia,[3]
wala sishangai tena nimekataa! Kwa hiyo ndio kusema kwamba mshahara hausaidii mtu kufanya kazi kwa uwajibikaji? au tusemeje?,[5]
Inaonekana nzuri sana na chakula kinaonekana ni kitamu.,[1]
Huo woga wenu wa kuogopa kukosa ubwabwa wa nazi kuna siku mtaletewa Joseph Msukuma ili awe rais wa Zanzibar,[4]
Kila mwalimu anampenda yeye .,[1]
Kwa kweli awamu hii wamelitia aibu Taifa. Aibu hii itachukua miaka na miaka kuisafisha!!,[4]
Mungu akujalie wewe ulie mshika mkono uyu kiumbe ubalikiwe sana,[1]
hilo baba ni taira tu mke mzuri na nyota pia anayo yaani nimpate nimwache kizembe hivyo,[2]
"Chukua hatua sasa, maambukizi na vifo vinaweza kuepukika tukichukua hatua sasa ! ",[6]
Sauti yake ilianza kubadilika baada ya kugundua makosa aliyokuwa amefichwa kwa mda wote,[2]
Usinivuruge,[2]
Sasa unaishukuru ccm ndio ilio kusaidia? Acha kujichanganya wewe,"[2, 5]"
Unapendelea maua?,[1]
Wajumbe wa Lancashire walikasirika waliposikia kwamba Gooch na wateule wengine wa England walikuwa wameachana na Red DeFreitas wa Red Rose aliyependa sana ,[2]
Kwani ni lazima kuja mapema kama unavyotaka wewe?!,[5]
Hivi hii siasa ya Covid-19 vaccine kwa nini imetamalaki hivi? Hii Video ina trending kubwa sababu inaonekana ina walakin katika matukio yake. Huyu Bwana mkubwa amechanjwa kweli hapo ?,[5]
Heri yake alikuwa amekaa kwenye foleni....angekuwa amesimama angekata roho kabisa....this africa,[4]
Huyo mtoto ana miaka miwili na nusu sasa picha ina maswali gani ndugu ? Hivi unafikiri tunajitungia mambo ili iweje?,[5]
Watanzania tutaenzi na kuyalinda yale yote ulopigania kuifanya Tz iinuke kiuchumi.Pumzika kwa Amani Baba yetu,[3]
Nimesoma ila sijaona point za maana za kum saidia mtu.....,[3]
ametishwa na vifo vingi kipindi kifupi. Waraka haupingani na Mwongozo wa Wizara ya Afya wa 27/5/2020 kwa nia ya kuthibiti vifo. ,[6]
Lakini Christine alihisi kusikitishwa na vitendo vya yule mkemia,[3]
"Nisikilizeni mimi tafadhali, sipendi dharau",[4]
"Hapana , haikuwa . Ni chafu sana .",[4]
"Mungu ni mkuu, asema mkurugenzi baada ya kuondolewa mashtaka ya wizi wa watoto ",[3]
Aaa! Kaanza Bi. Nane mambo yake. Alikuwa wapi?,"[2, 4]"
Maji ni muhimu sana kwa maisha ya Binadamu Apigwe faini Msimfunge.,[3]
Siwezi kumuamini mtu yoyote hapa Duniani,[6]
Alikuwa amekasirika alipoona mask yangu ilikuwa mvua. ,[2]
"kuna mtu amepost rafiki zake wawili ndani ya 24 hours, vifo vya hivi are not normal!",[3]
"Oh , asante sana .",[1]
Kulikuwa na utata na sintofahamu kuwa kamanda wa kikosi mbona hajaonekana,[6]
"Wakati waandamanaji walipopita reli ya juu ya jiji, treni mbili zilikuwa zimefungwa kwa mshikamano, kwa kufurahisha umati wa watu. ",[1]
" kamwe hakuja, na wala hakutoa taarifa.","[3, 4]"
"Baadaye, Bwana Booth alionyesha kufurahishwa kwake kwa kusambaza chokoleti kwa walinzi wa chumba cha mnada. ",[1]
Alichanja huyooo!!,[0]
Ila hii ni roho ngumu. Unawezaje hivi?,[3]
Huamini we ulijua atapaa kama yesu?,[5]
Hotuba ipo safii sana prof wangu,[1]
"Bila shaka mimi kukumbuka , kiukweli , nashangaa sana wewe kukumbukwa , nilidhani utakuwa umesahau .",[5]
"Baba yangu atakuwa na hasira ikiwa utaondoka mapema! """,[2]
"Kuamini kwamba hana ""haki"" ya kukasirika juu ya shida hii, Mathayo alirudi chumbani kwake, akachukua penknife na kumkata kwa mikono yake mwenyewe chungu. ",[2]
Alionekana kuwa na hofu mbaya.,[6]
"Clinton atakuwa tatizo, je, America wanataka mtu honest au",[0]
Wabongo mko radhi kupata dhambi. Lkn kusema uongo hamuogopi.,[4]
"Zaburi inasema tuurahi katika bwana tena siku zote tufurahi,?? maana hujihisha na maisha yetu na kutupa faraja ya kila siku",[1]
Bwana mkubwa . Tunashukuru kwa kuruhusu sisi kuwa na ghorofa katika eneo lako.,[1]
Uko vizuriiii kinyama ,[1]
Asante kwa simulizi ya kuvutia sana.nimependa,[1]
Tabia yako chaaafu kama nini lakini ndo tunavumiliana tuu,[4]
Nimechoka sana na majirani kama hawa. ,[4]
"Tujifunze kutowasema watu walio kwenye mahusiano na wenzi waliowazidi umri, Haijalishi wamezidiana miaka mingapi kama wenyewe wako poa na wana furaha sisi ni nani tupeleke hoja zetu? ",[4]
Jim bado aliweza kutuambia na uso wake wenye wasiwasi kuwa kuna kitu kibaya. ,[6]
mataifa makubwa duniani unganeni muutokomeze ugonjwa wa corona bado ni hatari,"[3, 6]"
"Wewe mtangazaji wakike unachosha!!! Mashwali yako hayana mantiki, ya kitoto sana yaani ningekuwa karibu ningekuchapa vibao huyo ni binadamu punguza maswali yanayozidi kuumiza moyo",[2]
Natamani mengi sana kwenye uchumi na mahusiano yangu.. Mungu anisaidie nisikufuru. SUBRA,[0]
"Nchi iko kwenye majonzi makubwa halafu unataka Yanga wacheze mpira, uko serious kabisaaa ",[5]
Duuu hongera unajua kusonga,[1]
Ni ubinafsi kwa kiongozi kutochukua tahadhali kwa ugonjwa kama ule,[4]
??Mbona umesimama kama uliyefadhaishwa na kitu??? ,[5]
Marehemu wapumzike kwa amani...pole kwa familia yak pia....,[3]
najua kuwa ni mropokaji lakini kwa nini hukutumia hata busara kidogo wewe ,[2]
hizo sare zenu zina mwonekano mzuri!,[1]
"Waziri wa utalii, Najib Balala amesema kwamba sekta ya utalii imepoteza shilingi bilioni 170 tangu taifa lianze kukabiliwa na janga la COVID-19.",[3]
" Alilia juu yake, akaibusu, na kuiombea kwani ni mama tu anayeweza kuomba katika saa ile ya uchungu wake.",[3]
WAZAZI WETU WAMEFILISIKA SANA KWAAJILI YA KUTUSOMESHA KITENDO CHA KUPOTEA KWA AJIRA NCHINI WAZAZI NA VIJANA WANAPOTEZA UZALENDO KWA TAIFA LAO,[3]
Nauliza ni jiko lipi la gesi ambalo kioo chake hakivunjiki na kuchoma gesi vizuri.,[0]
"nimeshinda nini? Gari aina gani umesema, woyowoyowoyo","[1, 5]"
Wachaga nyie mliwaendekeza wanawake zenu mwisho ndo wauwaji ,[4]
"Kwa kupendeza kwake walianza hata kujadili kazi yake, lakini ilikuwa ya kawaida",[1]
Namwambia nini mimi mzazi wangu baada ya kufukuzwa shule kwa ujinga wangu mwenyewe,[6]
"samahani , sikukusudia kusahau maadhimisho ya kumbukumbu yetu .",[3]
Ni vyema Serikali iwachukue hawa watu wapimwe akili zao wakikutwa salama wahojiwe nini haswa sababu yao kwenda tena kuchota mafuta,[4]
Mwana ana wasiwasi kinomanoma yani,[6]
Bosi wangu kanambia kuwa sina kibarua tena kuanzia kesho .,[3]
Hamna wasiwasi,[6]
wafungwe miaka 6 watu wote walio chukua mafuta ili iwe fundisho kwa wengine,[2]
Ukiwa Ulaya fungua account ya Barclays,[0]
Aisee kuna watumishi wana dharau sana?? Yaani hawa watendaji ni kuchukuliwa hatua ?? hakuna kuwafumbia macho hao...!,[4]
Acheni kujifanya mnatupenda na kutusemea kila kitu kwa ujinga wenu wa kufikiri mnayajua sana mahitaji yetu.,[4]
"je, si ni ajabu kutembea hapa ?",[5]
Daaa Hii hatari na nusu ,[0]
Acheni upotoshaji hitaji lenu ni kupata watazamaji ili mlipwe. Semeni ukweli wa kile mnachokipost na siyo kudanganya,[4]
Maisha yangu yapo hatarini,[6]
hawa wote wanahemewa kisogoni,[4]
Huzuni yake ilikuwa ya kina na ya dhati. ,[3]
Mungu aziweke roho za marehemu wote mahala pema peponi.,[3]
Nilijisikia vibaya kwakweli kwa kitendo cha aibu kilichotokea msibani ,[4]
Kweli? Ni wapi ulikwenda ?,[5]
Bwana: Ninaandika kusema nimefurahi sana! ,[1]
Oh ? Hicho ni kitu gani ?,[5]
Mimi sijui wa sumu au asie na sumu kaa nao mbali wote hawa ni hatari,[6]
hii kazi aliyotumwa haiwezi na anawatia aibu waliomtuma!,[4]
Unastahili kuwa hapo mkuu!! Nimejifunza mengi kutoka kwako!! Hongera sana!!,[1]
"""Tumefurahi,"" akasema bwana Watson. ",[1]
Alifunga mlango kwa kuubamiza kwa nguvu,"[2, 4]"
Ndio ugonjwa gani tena huu? Unasababishwa na mdudu gani,[5]
"Alionekana kushtuka kana kwamba waombaji, mara moja waliingiza katika ofisi za muziki, mara chache walirudishwa. ",[5]
"Ilikuja kuwa bustani nzuri ya maua kwa kijana mgonjwa, na ndio hazina yake ndogo anayoipenda",[1]
Bi Khadija anafurahisha sana kajiachia hadi raha. Nikki such a gentleman.,[1]
" Binti huyo alitafuta mbegu, lakini hakupata yoyote, alikwenda nyumbani kwa hasira.","[2, 4]"
" Sasa alikuwa tajiri, alikuwa na nguo nzuri, na marafiki wengi, ambao wote walitangaza alikuwa mtu mzuri na muungwana halisi, na yote haya yalimfurahisha sana.",[1]
Je! Inakuwaje mtu aweze kuamka na kuanza kutukana wattu bila kufanywa chochote kitu,[5]
"Ambapo katika Uhalifu na Adhabu na katika riwaya zinazofuata anaweza, ingawa umashuhuri mwembamba haifai kwa sanaa yake na yale ya ""nia bora"" na `ukweli wa kina 'unakusudia. ",[1]
Huwezi kufurahia sana wakati mwenzako anapoleta nyumbani hizi pipi ni kwa ajili ya mafua,[4]
Daa umenitoa ushamba aisee,[1]
angalia ! Pasi bado inawaka hamjaizima .,[5]
huwa nikiona picha ya nyok a tu au simba mapigo ya moyo yanaongezeka,[6]
Kwani kuna mliotoka kuja serikalini?,[5]
"Wakati nimegombana na mume wangu , hakuthubutu hata kuniliwaza .",[2]
Alikuwa akipata hisia nyingi za huzuni juu ya mumeo na alikuwa akilia wakati mwingine. ,[3]
Je hao waliokuwepo kweli walishindwa kumsaidia? ,"[4, 5]"
Mimi niko katika mbingu ndogo huku! ,[1]
Ndoa za kiislamu ni uchafu wa dunia. Niongeze sautiiii.,[4]
mwalimu nawe ni muoga sana kila seemu unawekea vikwazo uwezi fika,[6]
"Madudu ni mengi, watu wanateseka aisee.",[4]
Huyo mshenzi mkubwa kuna baadhi ya polic wanakula nae sahani moja,[2]
Hichi kilio sio cha kumlaum mtu hata akisema haisaidii kitu kwa sababu hata mataifa yanayo ripoti bado Kuna vifo hili ni agizo la mungu lazima litimie,[4]
"Lomponda wa Botende, Mkuu wa Wafanyikazi wa zamani, alionyesha mshangao wake, na Wizara ya Ulinzi ilikana kwamba jaribio lolote la mapinduzi lilifanywa. ",[5]
"utafika mbali sana mdogo wangu, nakupenda",[1]
Hakuna kulala leo hapa ni shangwe na kujirusha tuu,[1]
Unaogopa. ,[6]
Tuweni makini tukiwa barabarani ili kuepukana na hizi ajali. ,[3]
Ndogo Lakini inatosha kwa ajili ya mahitaji yetu,[1]
Tusibeze miti shamba inatibu ni watu wengi zinawasaidia.,[0]
"Acheni upumbavu, Iko wapi hiyo video ya WalioUawa na Walivyouawa","[2, 4]"
Mahusiano yenye tija hayaangalii shape wala akili ya mwanamke ni moyo tu.,[0]
Hongera ! Kwa hiyo umeshaanza mipango kwa ajili ya kusonga mbele?,[1]
Mzaha gani huu sasa..,[5]
ukimaanisha kitu gani?!,[5]
"Kama Huyo jamaa anajitolea na hana kitu,,je serikali ambayo ina kila kitu??","[2, 5]"
"nilidhani unajua kama vilikuwa bandia katika ulimwengu wa sayansi ya uongo, pole",[3]
Tumeumbwa ili tuje tumuabudu alietuumba,[0]
Lakini mimi daima hujisikia kukata tamaa. Nina matatizo mengi kuhusu kujifunza kiingereza.,[3]
Kuna tatizo lolote?mbona umeshtuka hivo,[5]
Kiongozi mzalendo alikuwa Nyerere tu nchi hii. Wengine wote ni wezi na walevi wa madaraka.,[2]
hofu ni kubwa kwa wananchi wale,[6]
Sasa wangekuwa wanalipwa wangekimbia?,[5]
Mbona hao sokwe hawakondi na ukimwi na wao hawatumii dawa yoyote!!!!!,"[2, 4, 5]"
Akili zake anazijua yeye.,[4]
Ushindi wa Biden ni Furaha zaidi Wamarekani weusi kwani sasa watakua wamepata Muwakilishi mwingine ndani ya Ikulu ya Marekani,[1]
Wazo zuri hlo! Mimi napenda chakula cha kichina.,[1]
Mama hana uwezo kabisa,[4]
Daaah.haya mambo wanachukua mzaha,"[2, 4]"
Dogo anatia huruma balaa kama vipi wamhurumie tu huenda alipatwa na kichaa akiwa ndani ya gari ndio kikapelekea ajali,[3]
Alikuwa na usiku usioridhisha.,[4]
Hongera wazirir...tunaomba pia muangalie historical sites kama muleba tuna makaburi ya wafalme (mukikale kwa mkama ntare) idd Amin alipopiga kanisa na etc ni vivutio sana,[1]
Hata haiwezekani! Sema tu hukwenda. Nakwambieni uvivu unaturudisha nyuma sisi.,[4]
kijana huyo alipiga magoti karibu na kaburi la rafiki yake na kuanza kulia ,[3]
"Hapana, hicho ndo kinachonishangaza??",[5]
Nampenda sana huyu mwigizaji huwa ananipa munkari wa kutazama filamu nyingi zaidi,[1]
"hapana, ni dhahiri kabisa kuwa leo mmi ndiye ntakayekulipia wewe ... wewe ushalipa mara ya mwisho !",[1]
Tusamehe kwa ajili ya hiyo. Tutaboresha huduma zetu haswa vyombo tunavyotumia wakati ujao .,[3]
Alimwangalia usoni na akaona ishara ya huzuni usoni mwake. ,[3]
wanawake amkeni na msiyakimbie masomo ya sayansi,[6]
kutangaza vifo vya Covid 19 siyo kuelimisha...ni kuogopesha watu wenye umri mkubwa tuuu..,[6]
Mama !nitavaa kofia na ntakuwa makini barabarani. ,[6]
"songi la ""bia tamuu"" limeshika chati wiki hii",[0]
UNAJISKIAJE KUCHAT NA MTU MAARUFU KAMA MIMI HEBU ELEZEA FURAHA YAKO KWA KIFUPI.. ,[1]
Mbona hata hamjaimalizia,[4]
Kwahiyo leseni itazuia ajali za umeme au cjaelewa,[5]
"Alipokuwa akitoka katika nafasi aliyopewa, kwa mshangao wake alimuona Alexandra akiingia kwenye saloon yake. ",[5]
"waliochota pesa na wanaozifuatilia zirudi,wote si wajinga! wanajua kinachoendelea.",[2]
"Ningependa niwapeleke kwa makosa haya, Lakini siwezi.","[3, 6]"
Taifa lilizizima kwa maombolezo ya vhuma cha africa,[3]
"Watumie kodi zetu kuajiri walimu, sio kununua midege inayoleta hasara tu.",[4]
Msitake kutufanya Watanzania wapumbavu huo mchezo mnaoucheza chezeni wenyewe tumewashtukia,[4]
mvaaa butiiii,[0]
Vifo vifo vifo vinazidi kuongezeka kila uchao. Viongozi wetu wenye dhamana wapo busy kujifukiza.,[3]
"Walizoeazoea ujinga enzi zilee, Sasa wizara hii itanyooka temu hii.",[4]
ulifanya kazi nzuri sana.,[1]
"Usibishe kama hujui kwa undani, kuna games ukicheza unaweza kujikuta unapiga punyeto, au wewe ndio wakala wa giza mwenyewe nini?",[4]
Insider mmoja alisema wiki iliyopita: `hasira ya watu imemshangaza kila mtu. ,[2]
"nani mara nying anafanya kazi sasa hivi? oh yeah, ni mimi.",[1]
"Amepaza sauti mpaka watu wasiojulikana wakamsikia, mda wote alikua wapi?","[4, 5]"
"Editing zimezidi, hamwezi mara moja moja hata kufanya kwa ubunifu jamani",[4]
Lakini masomo ya muhula huu yana ugumu kidogo.,[3]
Kweli kabisa Kamanda hali sio nzuri inatakiwa tujihadhali sana vifo vimekuwa vingi sana,[3]
Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!,[5]
"`Je! Kweli inaweza kufanya kazi? ""aliuliza mwenzake anayeshangaa.",[5]
"hatacheka na wabadhilifu, wala rushwa, watakatishaji fedha na wale wa madawa, Lazima awanyooshe kima nyie",[2]
"Anakoroma sana usiku siwezi kulala nae, alale mwenyewe",[4]
"Nitakuwa nimechanganya na vitu vingine, nikirudi nitaangalia",[3]
"Lineker alikasirika wakati Taylor alienda hadharani, bila kuhoji tu ikiwa Lineker anapaswa kubaki kama nahodha, lakini ikiwa fomu yake ilihalalisha mahali pembeni ",[2]
Endesha Kwa Umakini Barabarani Ukizingatia Sheria Za Barabarani Ajali Zinaua,[0]
"Kutoka na pumzi, na hasira, alijitahidi kujiweka huru, kisha akamwangalia. ",[2]
"aliketi kwanza na kupumzika alikuwa ameishiwa na pumzi na kutetemeka kwa hofu, na hakuwa na wazo hata kidogo ni njia gani ya kuelekea",[6]
Ivi kwa nn hii mijitu aielewi mwelekeo wa kiongozi wa nchi???,[5]
Kwa hiyo wewe mwizi? Manake kwa laki saba na vitu ulivyo viandika havi lingani.,[5]
Huyu mtangazaji choko kweli sasa chama kacheza wap,[2]
Tuache wivu wa maendeleo ya watu jamani,[4]
nisaidie tuu mana nahisi kufa !,[6]
Hebu acha kunipotezea Muda tafadhali.,[4]
"Lakini nilipofika kuwa ishirini na moja, nilishangaa sana. ",[5]
"asingemwelezea kama mwanamke mwenye furaha, lakini baadaye hakuweza kusema kuwa alionekana kuwa mzuri",[1]
Hakuonekana kukasirika sana kama ilivyotazamiwa hapo awali. ,[2]
"kwa hiyo unatakaje??mavi yako, mshenzi wewe",[2]
Kwa kweli hakukuwa na sababu kwa nini afike hadi hapa ndo mumtaarifu,[4]
uongozi hauitaji helim kubwa ndugu bali huongozi unaitaji msimamo wa kweli na ujue seheem ulipo kilichokuleta ni nini,[0]
Inasema tu tiba asilia huku vifo vikiongezeka,"[3, 6]"
Katika miezi ya hivi karibuni idadi ya waamuzi wa shirikisho na wanasheria wameelezea uchukizo wao. ,[2]
Kuna kitu kwa njia ya mwandishi wa habari ambacho kilizidisha uchungu wa Bless ,[3]
Tutakuwa na sherehe kubwa itakayojumuisha watu wa familia zote,[1]
Mama nenda polisi uyo mwanaume asikuchoshe.,[2]
Nilipopata habari nimekimbia kuweza kuwahi kwenye tukio. Tatizo haswa ni nini kwani??,"[3, 5]"
Umenusurika unatakia nini kuomba uraisi tetea uhai wako tulia,[4]
Hili kabila ni mtihani sana,[0]
Kazi tuliiwachia nyinyi ndio maana akakosa!,[0]
Hili swali nimejiuliza sana,[5]
Urafiki Na Mahusiano Ni vitu Vinavyopaswa Kukuinua Kimaisha Sio Kukusumbua Na Kukupotezea Nguvu.,[4]
"Mwanzoni Tony alionekana kuwa na furaha kuliko hapo awali, na akasema alikuwa amekata tamaa juu ya ukosefu wake wa maendeleo katika kupata kazi. ",[3]
Samaki wa leo ni wakavu sana.,[3]
Ni wewe ? Sijakona kwa muda mrefu!,[5]
"Hello , Jack ! Dhana ya mkutano wewe hapa !",[5]
Nimeelewa na Kuupenda Ushauri wako.,[1]
Kwani hayo mahusiano yenyewe ndio yapoje?,[5]
Kila nikimwona yule mama amekaa vile napata huzuni moyoni mwangu,[3]
Alifurahi kuwa mmoja mionmgoni mwao,[1]
"Lucien akapiga sauti ndogo, mikono yake ikitetemeka. ",[6]
Nitoke Arsenal nije Tottenham?? kuja Tottenham ni kama kuufuata UKIMWI ulipo https://t.co/sKFhX8nRRf,[5]
Waziri mmoja alitapeliwa jana.,[2]
"Alikuwa mtu wa watu, aliyesaidia na kupenda kuona kila mtu anafanikiwa, ila mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko sisi binadamu",[3]
"Furaha ya kuzaliwa Lillian, Nimekununulia zawadi kidogo kwa ajili yako .",[1]
Sina uhakika kama watajibu..,[0]
"Wizara ya Afya imetanganza kuwa watu wengine 810 wamesajiliwa kuambukizwa virusi vya Korona,na hivyo kuifanya idadi kuongezeka",[3]
Yeye badala yake alipenda kisiki cha mti kati ya mbweha mrefu.,[1]
Samahani lakini huwezi kubadili order yako maana ulishaagiza na imeshatengenezwa tayari itakuwa tayari ndani ya dakika tano hivi,[3]
Sehemu kubwa ya vyumba vya kifahari vya karne ya 19 katika vyumba vya Lord Byron viko wazi kwa kupendeza umma,[1]
Msemo wenye wasiwasi na kutokujiamini ulivuka uso mzuri wa Louise. ,[6]
Ninyi viongozi kwa nini mnampa shida Rais hivi kweli mnashindwa kutatua vimigogoro mpaka Rais afanye ,[4]
Kwa nini unafikiri kwamba wewe ni bora kuliko wengine ?,[4]
Yaani mzee anataka kutumia umaarufu wa mwanae kana kwamba ni lazima kijana amsaidie,[0]
"Ungeonyesha kuwa wewe si zwazwa kwa kujibu maswali niliyokuuliza badala yake umezidi kusakafia, mjinga wewe",[2]
nikaokota mkoba una hela nilikaa nao siku mbili,[0]
"Akitabasamu katika chumba hicho kwa urefu na mrembo wa Laura, akaongeza, ""Mbali na hilo, kila mtu katika ofisi yako alifurahiya. ",[1]
"We mzee usijifanye mlokole, fatenj haki halaf muone kama patakuwa na maandamano yoyote. Nyinyi hamtakiwi mzee",[2]
Huyu ni muhuni tu hana lolote..hana pesa ya kuchezea eti naenda mahakamani kuwashtaki,"[2, 5]"
Mafurko yameanza tena??,[5]
"toka mwaka juzi nakula ugali wangu kwa mlenda! nadhani hiki chakula hakitabadilika, wala siwazi kula tofauti!",[3]
"tumekusanya hadithi hii, ambayo wanasema sio kweli, ingawa imechapishwa.",[5]
"kuna usalama, msiogope kabisa",[6]
Yeah? Anahitaji nini kwani?,[5]
"tukubali Watanzania wengi hawana huruma na wanyonge, wizi uko kwenye damu","[2, 4]"
"pole wazazi, pole Arusha, Pole Tanzania",[3]
Nadhani tumeshachelewa inatubidi kusubiria gari litakalofuata,[3]
najua wapo watakaotoka povu kwakauli yangu hii,[0]
mjuaji muacheni mpaka yamfike ndio atajijuu,[4]
Alionyesha udhaifu wake wa uoga na rafiki yake alicheka. ,[6]
masaa 70? Ningeshakuwa mfu kama ningefanya kazi kwa bidii kiasi hicho .,[5]
Katika viumbe wa kuwa nao makini ni wanawake.,[0]
nyumba gani hii mbona inatisha !,[2]
Au umeshindwa kujadiki kwa hoja unaharisha uharo wa viroja tu hapa?,[4]
"ni suala la Uhalifu wa kawaida au ni suala la kisiasa?, kama ni la kisiasa ni kwa nini ifikie hapo?",[5]
Rebecque hakuweza kuficha mshangao wake. ,[5]
Sitamani kabisa kuishi hapo na Familia.,[6]
Mimama mizima haina haya,[4]
" Maiti ililala kwenye chumba cha kulala, karibu na kile ambacho tuliketi, na mzee huyo alikuwa katika shida kubwa na kulia kama mtoto.",[3]
Mauaji ya kuchomwa na vitu vikali yanaogopesha sana,[6]
"Kabla tu ya kwenda kwenye ngazi ya juu kupigwa picha, aliteleza kidogo na watu wote tuliogopa",[6]
Mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache sana. Ni funzo kubwa sana nimelipata hapa.,[3]
Hivi kweli unaipenda nchi yako kwa moyo wako wote????,[5]
wezi wameniibia kila kitu changu sina hata nauli ya kwenda kwangu ,[3]
"Siku hiyo nilikuwa peke yangu nyumbani baada ya kurudi nyumbani kutoka shuleni. Sikujua kila mtu alikuwa amekwenda wapi, niliendelea kungojea warudi na hakuna mtu aliyekuja. Ilikuwa inachelewa sana na niliogopa. '",[6]
"Na aliongea Shombo huyu jamaa, safi sana Yanga",[4]
Inaonyesha huyu dada anamengi ambayo anapitia kwenye ndoa yake ila hataki kufunguka,[3]
wakati alipokuja na mimi nikaendaa,[0]
Nimeona kuwa inawakatisha tamaa sana.,[4]
Mtizamo ni wangu wewe kama huoni basi sawa na nyani asiyeona kundule,[4]
Asiye na akili mume wako anayepumbazwa na wanawake.,[2]
Naweza kuona umefurahi ` ,[1]
Alilia hadi akapoteza fahamu na kuzinduka kesho yake,[3]
"Je, unamjua mtu mwingine ambaye pia atahitaji sehemu ya makazi?",[1]
"Kama hujaelewa, hauhusiki.",[0]
"Nahisi mama kuna nati haziko sawa kichwani, anayumba sana.",[4]
Mzee tafadhali wacha mzaha,[2]
"wazembe wengi, rushwa mbele, kama mtu hajaona upenyo wa kunufaisha mfuko basi wanafanya kila linalowezekana kukwamisha mradi.",[2]
Huyu si ndiyo alipokuwa waziri wa mali asili na utalii Twiga na Faru zilipandishwa kwenye ndege kwenda ugaibuni au siyo yeye? ,[2]
jaman hao wabunge wanapiga makofi kwa lipi hapo? huyo mama anamasikitiko kwa kuondokewa na JPM mijitu inapiga makofi duh wanaboa kama nn,[4]
Mjomba anasoma huku anatetemeka,[6]
Siwezi kuwa na raha zaidi ya hii niliyo nayo sasa.,[1]
Ulimjibuje eti?? Ulikuwa uanwaza nini hadi kuongea maneno hayo,"[4, 5]"
Wajinga sana hamjielewi ndio maana wazaramo amuendeli kazi zenu kubwa kupika mandazi na mihogo pesa yote kutunza maisha yenyewe hakuna,[4]
Hii ni serikali itakayoacha alama??big up,[1]
Kuna vitu nashughulikia huku ofisini labda naweza kurudi nyumbani kwa kuchelewa sana .,[3]
"mkikaa kila siku mlalamika maisha magumu,hivi yangekuwa magumu mngepata hata mda wa kufanya mambo kama hayo kwelii!!!!",[4]
"Naomba tuheshimiane, hilo si jina langu tafadhali",[2]
"Ghafla, kwa mshangao wa Mkusanyaji, Padre akamkamata kwa koo na akapiga kelele: ""Suala la maoni! ",[5]
"Poleni sana mliopo Bongo na wa kanda ya ziwa, sala zangu zinawakumbuka na nyie.",[3]
Huyu mchambuzi nayeye hana akili tuu,[4]
Hikikichwa ni hatari sana ,[1]
"Umeona wapi?, Na umetumia kifaa gani? Maaana wengine hatujui chochote.",[0]
Wewe bila shaka utakuwa ni nyumbu. Kwa hakika nyumbu hawaambukizwi haya mafua.,[4]
Mbona unajitoa ufahamu! Sijakwambia huko Kwa wakulima hakuna matatizo; kama wasaidizi wake wanaweza kuyatatua hakuna ulazima wa yeye kwenda.,[4]
Poleni sana wanafamilia mliompoteza mtoto wenu.Mungu ni mkubwa atafanya njia pasipokuwa na njia..Inauma sana,[3]
"Kuinua macho yake, akatazama hisia za kutisha katika mlango wa ufunguzi. ",[6]
" punje ilikuwa kubwa sana hivi kwamba hakuweza kuimeza, na ilibaki kushika koo lake, aliogopa isije ikamnyonga.",[6]
Nilihisi hasira. ,[2]
Kweli ? Unavyo vingapi ?,[5]
Natasha alicheka kwa sauti iliyojawa na wasiwasi. ,[6]
Wachaaa wataaabike sasa hivi mbwa walee alikuwa mtu mwema kuliko rais wowote duniani mungu ampunguzie azabu ya kabri ,"[2, 3, 4]"
Alifsriki kwaa mshtuko wa moyo na presha,[3]
Luteni alihisi kizunguzungu na kuegemea dirishani akisikilizia maumivu,[3]
kazi inaenda vizuri lakini tra rushwa kibao sekta hiyo kurekebishwa tunanyanyaswa sana mitaani wakati kodi umeishakadiliwa,[4]
"anatia huruma, itabidi nifanye uchunguzi ili kugundua ni kwa nini wanamwonea sana huyu mama",[3]
"vya bure huondoa akili jamanii, au nadanganya??",[5]
"Kwa hivyo alikuwa amelazimika kuficha ujinga wake, ambao mgonjwa alikua mshairi wa kihemko, wakati kesi hiyo iliibuka kwa jamii iliyoogofya. ",[6]
Jinsi gani unaweza kuwa na moyo wa kuua jamani? Tulikuwa nae mmoja tuu !,[5]
"Waache kuripoti ili iweje, hv kuna watu akili sijui zipo wapi obviously sio ktk ubongo !!",[5]
Unafaaa kuwa mshauri au mnasihi wa mahusiano ,[0]
Mtapukutika km kuku wenye mdondo,"[2, 3]"
Akili zao wanazijua wenyewe hawa viumbe!,[4]
"Mungu wangu, tafadhali, usirudie tena hicho ndo ukichofanya wiki iliyopita ",[4]
Umeropoka bila kufikiri boss.,[4]
nakumbuka kupitia kipindi kigumu na shida kwa siku chache,[6]
Nampongeza Raisi kwa hotuba bomba na ya kistaarab yenye matumaini mema na mazuri kwa kila Mtanzania CHAGUA CCM ,[1]
"'Wakati mmoja wa familia analalamika juu ya chakula ambacho hupewa, hunikata tamaa.'",[4]
Shukrani kwa nyumba nzuri. Sasa nihangaike kupata kazi .,[1]
Alimtazama uso wake kwa namna iliyoashiria kushangazwa sana. ,[5]
"Pasuka, au nenda kagonge kichwa chako ukutani tuelewe moja.","[2, 4]"
Hongera ! Ni mvulana au msichana ?,[1]
"Kiazi kweli kweli, hawa ndugu zetu aaliomaliza vyuo vip?",[4]
Nje ?una maana gani unaposema nje?,[5]
Wazo kabisa ni la kupendeza na nilifurahiya. ,[1]
hauna uhakika ? Wewe walikuwa kwenda katika 90 maili kwa saa ! Hiyo ni 25 mph zaidi ya kikomo kasi halali! Umekunywa pombe?,[5]
nakupenda Sana usijaliii,[3]
"pumzika kwa amani jemedari wetu, tuliotambua mapambano yako tunaomboleza kwa ajili yako.",[3]
Shetani anaingiaje hapo!,[5]
Kama kweli mnajua kitu flani Ni kibaya kwanini msitoe tamko kabisa,[5]
Susan ! Kwa nini hukuniambia kwamba utachukua akaunti ya Kampuni ?,[2]
daaah sasa nitafenyeje? ngoja nikalitupe mtoni,[0]
"Siku hii ""Birthday"" imetia Nia ya Kuleta Furaha kwenye Maisha ya watu hawa wape japo salamu BASI, wasikie raha kwenye maisha yao ya UPAMBANAJI",[1]
Huyu raisi hovyo sana,[4]
"Hakuna shida, sisi Washamba tumemsikia.",[0]
"Doris , mimi nina furaha wewe upo nyumbani . Mimi nina hofu . Mimi si kujua nini cha kufanya !",[6]
Hiyo ni nzuri . Asante .,[1]
We ni mganga mkuu umethibitisha hivyo vifo?,[2]
Bila ya shaka . Naweza kufanya nini kwa ajili yenu ?,[1]
Alitapa huku na kule asijue ataeleza nini akiulizwa,[6]
"Kusikiliza , Christine , huwezi kumudu siku nyingine ya mapumziko . Umeshachukua mara tano tayari kwa wiki tatu zilizopita .",[2]
"Lakini sielewi kupiga gumzo na kujisifu; badala yake, ninaidharau. """,[4]
" Labda yeye ndio alifanya aanze kulewa,anaelewa venye atakomesha ulevi",[0]
Umemkosea sana mwenzio,[3]
jamani pole mwaya na ulivyo nzuri!... bora upewe talaka yako,[3]
" Alijua vizuri kuwa alikuwa na hela ya kutosha ndani yake kununua vitu vingine vya kuchezea, na hii ilimpa maoni mazuri juu ya thamani yake mwenyewe.",[1]
Binafsi sijaona tatizo. Naona nesi kabla ya kuchoma aidha aliitwa au kuna kitu alifuata,[0]
"Katika chumba kimoja, mtu mmoja aliyeogopa aliondoa mgongo wake ambao ulikuwa mwingi wa makovu na michubuko. ",[6]
Kama haguswi na hao wanaokufa hapo hospitali basi yeye anaguswa na nini?,[5]
Una hakika kua ni hizo tuu??Au unajiongelea,[5]
Wapuuzi tu wote,[2]
Sawa tutajitahadhari mkuu. Asante kwa kutujali.,[1]
Ilikuwa ni jambo la faraja na heshima kukutana na wewe,[1]
Na wewe unaleta uwongo. Watu wengi wamepoteza maisha kutokama na chanjo!!,[3]
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi!,[0]
"Ni wivu tu, wameona tunafaidi papa kubwa!",[4]
"Serikali yetu ipo makini kwa faida ya wananchi wa Tanzania, hizi ni porojo za wapinzani ambao hawana sera",[4]
serikali jipangeni kujibu hoja ya data zetu tulizoibiwa kipindi chote cha kampeini.,[2]
"Hapana, mimi ninaogopa sana paka .",[6]
Noma sana,[0]
Kwa kweli ilikuwa ni siku ya kuvutia zaidi ya siku zote nilizowahi kutembelea pale.,[1]
"Umekuwepo hapa siku ya furaha zaidi ya maisha yangu, sitosahau kamwe!""",[1]
Sijui ni nini kilichotokea kwangu. Nahisi nimepoteza,[3]
watu wa Libya watamkumbuka daima raisi wao waliemuuza kwa watu wabaya wasiopenda maendeleo ya walibya,[3]
"Ndiyo , kwamba inaonekana kubwa ! Ni juu yetu Open House orodha ?",[1]
" ""Ah, sasa sina farasi kabisa"", alisema Claus huku akilia.",[3]
"Kiukweli tuna shida, mke wangu hadi alilazmishwa kuleta vyeti vya babu na bibi yake",[4]
kumbe wanawake wenye hekima kama subira bado wapo ,[5]
"Ninapoona kiongozi anasimama katika nafasi yake,bila kupendelea upande wowote,najisikia furaha sana",[1]
kuna marufuku yoyote kuingia chumba cha dada?,[5]
" Peter hakuonekana kufurahia, aliendelea kusikia kelele nyingi masikioni mwake.",[6]
Wazungu au hao mabeberu wanakujaje hapo sasa! Kuwa mkweli wacha fitna mzee. We ukifa pia umebeberushwa si ndio!?,[5]
tusipende sana bure bure...kwanini upewe lift au uombe ombe lift...bora wakuteke ijulikane moja umetekwa kuliko kujipeleka mwenyewe kifala kwa kupenda maisha ya kijamaa ya kusaidiwasaidiwa.,[4]
Naona ni uzembe zaidi kwa Uongozi wa Hospitali!,[4]
Wasiwasi na hofu yenu ya kutoka inalichelewesha taifa hili kuliko upinzani!,[6]
Makucha ya watu yatafufuka,[4]
"Wazazi wangu huwa wanasema, bado sijawa vizuri ya kutosha .",[3]
Mwanamke hana uwezo wa kuchagua nani awe nae kwenye mahusiano ila wanaume ana uwezo wa kuchagua nani awe nae...,[3]
Siyombaya mhhhh wakati inaonekana jamani tuwache ubinafsi,[4]
"Hawa jamaa wanadharau Sana aisee, Zama zimebadilika. Sheria ifuate mkondo wake",[2]
kumbe mko hivi?? Dah,[5]
"wote waliogopa, Mfalme akachukua ndege, wavuvi na watoto watatu akarudi nao kwenye kasri, akaamuru gereza lifunguliwe na kumleta nje mkewe.",[6]
"tunaambiwa wameanza kurudisha pesa, akina nani hao? kiasi gani? Lini? Wamerudisha wapi? Mbona taarifa yenyewe imepwaya hivyo?","[2, 4, 5]"
nategemea kwenda Marekani .,[1]
"Kuhisi aibu isiyo ya kawaida na ukiwa, amezingirwa na media zinazohitaji kumhoji, Luce alifurahiya kurudi kwenye hoteli na kupata wasaa wa kutafakari na kupumzika","[1, 3]"
"Katherine alihisi uchungu wake, na kwa mara ya pili siku hiyo machozi yalitiririka mashavuni mwake. ",[3]
"Omba MUNGU usiwe na shida ya kukutaka uende pale, NSSF basi tu, wameweka vibinti havina uelewa vinachati tu na nyodo kibao",[4]
"Wakati Onyango anaenda kupiga penati Manara aliogopa kuangalia, Akainama chini. Ni maushindi tuu leo",[1]
hata mimi niliwahi kusingiziwa nilichovya asali kumbe hapana nikiwa darasa la 3 nikapigwa fimbo sana.,[3]
nina hofu siwezi kukamilisha maelezo yangu kwa wakati .,[3]
Simu yangu?imefanya nini?,[5]
umeonaee,[0]
Mkuu wa shule James Jackson alikumbuka raha yake. ,[1]
"Robert Stephenson, wakati John alikutana naye baada ya kuchelewesha kwa wiki, alidakwa. ",[1]
Leo tutaenda club kucheza na kusherekea kumaliza mumula wa masomo,[1]
ile safari yetu ya mapumziko si ipo pale pale?,[1]
"Muda mfupi kabla ya siku ya harusi yake, aligundua kwamba mchumba wake alipanga kumpa rafiki yake bangili iliyoandikwa majina yao ya utani ",[6]
Lazima tuandamani kwa kudai haki fala wewe huna jipya,[2]
Ukweli ni kwamba joe bodden baada ya kushinda hata mimi na watanzania wenzangu tumepata furaha...ama kweli bidden ni lissu mchangamfu,[1]
Zanzibar haina vyombo vya habari huru ukiachia vya serikali na vile vya bara,[4]
Yaani pamoja ni miwani bado alikuwa haamini anachokiona,[5]
"Lakini kuhusu hiyo familia ni wabwataji sana, so tegemea kusikia mengi.",[4]
nasikia maumivu ya kichwa na koo .,[3]
Hilo ni wazo kubwa na la ajabu.,[1]
Wasiwasi wangu ni kwa wale ambao wamekubali kuongozwa na WASHAMBA na MALIMBUKENI!,[4]
Hahaaah! Uwe na mwaka mpya mwema wa 2021,[0]
Alikuwa akija kwa kasi lakini alipomwona nyoka alipunguza speed,[6]
"Nimefurahi sana sasa. """,[1]
"hahaha yeah nimeona, lakini yeye hawezi kuretweet kwangu",[1]
"Nilihisi, ni nani ntakayekutana naye isipokuwa wewe cha utundu!",[5]
Tunalala Kama Taifa Tukiwa na Majonzi Mpumzike mahala panapowastahili nyoote mliotangulia Mbele ya Haki,[3]
"Bure kabisa,, sasa unaongea nini",[4]
Halafu wakalia kwa furaha!,[1]
Kufikia sasa kuhani alikuwa anachukizwa ambaye kwa upande wake alikuwa akizidi kuwa mkaidi kwa dakika hiyo. ,[2]
akasema kwa sauti ya kilio huku akichezea vidole vyake ,"[3, 6]"
Comments nyingi za chuki wengi maskini unataka maisha yashida watu wote wayaish,[5]
"Hii ni tume nyingine ya kisanii, subirini mtayaona.",[4]
Kila mtu atakuwa na huzuni. ,[3]
Umeanza,[4]
"wakati wengine wakihamasisha umoja na mshikamano, wengine wapo wanachochea vurugu n maandamano",[4]
Mama sisi madereva wa Malory umetusahau,[3]
Viazi haviuziki bei ni ya kukandamiza sana,[4]
"""Ni nini? ""aliuliza mwenye umri wa miaka nane, alifurahi.",[1]
"Watoto wengine wagonjwa huhisi hasira, huzuni, au wasiwasi juu ya hali yao kwamba wanakataa kula. ","[3, 6]"
nimechoshwa na hadithi zake zisizokuwa na mwisho.,[4]
kwani hapa tuko kwenye thread ya kufundishana kiingereza? Nonsense kabisa,"[2, 5]"
karudisheni na mashamba ya mboga ya mzee mbowe.. mbona yeye mlisema anaua chanzo cha maji mkamharibia mashamba yake???,[4]
Kwa nini ikuwashe ? Kwa hivyo mimi sijui nlichoweka!,[2]
WATU HAWATAKI KUSIKIA REALITY YA MAMBO,[4]
Nadhani tuache kutumia akili za kukaririshwa eti kila kitu ni mabeberu.,[4]
Hiyo ni bahati! kwa maana nadhani utaruhusiwa kuingia na kuonana na mwanao,[1]
Angalia idadi yake zilivo nyingi.,[1]
Yaani sijui sisi binadamu tumerogwa na nani ukiwanacho wanavyokuganda kama siafu kosa sasa mmmh wanakutelekeza wala hawakujali,[3]
"Alisimama, akijua mwangaza kutoka kwa mjomba wake na mshangao wa wazi kutoka kwa wakala wake. ",[5]
Ndiyo maana vitoto vya dar vinakua vishankupe mambo yenyewe haya.,[4]
Nina watu wangu wawili wa karibu wamezaliwa February 29,[0]
usinisumbue,[2]
Haogopwi mtu wala hapendwi mtu hapa!...,"[2, 4]"
"Mwandishi uliyemuhoji huyu mpuuzi haujatutendea haki,",[2]
Linatuaibisha sana wanaume aisee,[2]
muhimu ibada na kumuomba mungu kila wakati.,[3]
Kweli wewe ni mbishi mpaka akili,[4]
"Wanyakyusa kwa sifa utawaweza? Ni kama Wakenya tu, Natania.",[1]
nanyi hamjitambui mmeongea na wananch wangapi wawambie ukweli kuwa hao ni waongo wanasikia aibu ,[2]
hio sheria ni uozo mtupu,[2]
mnamlazimisha mtu kua kafanyiwa vibaya mlikuepo kwenye tukio kwani?? Acheni hizo,"[4, 5]"
huwa nachekacheka tuu ninapohisi kutishiwa,[6]
" Wakati waliposikia muziki, hawakuweza kukaa bila kucheza, na alipocheza kwa muda, jambo hilo lilimfurahisha kila mmoja na kujumuika nao",[1]
Weka taarifa kamili . Kafariki lini na kwa namna gani ?,[2]
Mashabiki wengi wa Leeds United walishiriki katika sherehe ya mtindo hapo jana wakati timu yao ilipoibuka kwenye kombe la Mashindano ya Ligi.,[1]
Eee! Haijakauka tangu asubuhi!,[5]
"Saa kadhaa zilipita alipoketi hapo, akijua kuwa Maud atasamehewa. ",[3]
"Katika vipindi mbali mbali maishani mwake, alijisikia mwenye furaha, kuridhika, hasira - hakika hasira, kujikweza, majuto na hatia","[1, 3]"
"kitendo chako Cha kuhamasisha Watu wasivae Barakoa, hakina tofauti Sana na kuchochea mauaji ya kimbari",[4]
Mimi mkenya but na enjoy hotuba ya Rais wa Tanzania how i wish n ingekua mtzed????????????,[1]
Malawi NI Malawi na Tanzania ni Tanzania.,[0]
" Hivi wee kijana, kwanini wewe usiwe raisi wa nchi hii tena muda huu?! Kwa jinsi ulivyo ukigombea hata wa upande wa vyama vingine watakupigia kura za kutosha tuu ",[5]
Bado unajiuliza maswali haya ya lishe ina uhusiano gani na mfumo wa kinga??? ,[5]
"Sehemu ya kulipia siyo hapa ni dirisha lile pale tafadhali, tumeweka na vibao vya maelekezo kabisa",[4]
kwani mkopo halipi?? Acheni watu jamani wajitaftie nao riziki,"[3, 4, 5]"
siyo sawa kabisa ni kinyume cha katiba na taratibu za kuongoza Nchi.,[4]
"Kumbuka kuwa hata mwalimu huwa yupo kimya pindi akiwa anasimamia mitihani, hivyo usiogope Mola yupo pamoja nawe",[6]
Hawa wanaotoa vibali wako kazini? Kwanini tusianze nao au ni vipofu hayo maji hawakuyaona ?,[2]
Utawala haujasema lolote ikiwa lipo ongezeko la vifo kwa changamoto ya kupumua au la,[0]
Mamaake majizzo hamtaki lulu,[4]
Huyo askari angeuliwa tu na yeye,[2]
Angalia ! Mtoto ameipata ile mic !,[1]
Siwezi kuishi na mtu kama wewe usiejielewa . Ni ajabu kwa kweli .,[2]
Alisema kwa kuugulia na machozi ,[3]
"""Nilikuwa nimempigia kelele mdogo wangu na alikuwa akiogopa kila wakati nilipiga kelele kwa sauti kubwa. '",[6]
" ""Kwa raha kubwa,"" alisema na akaanza kuimba kwa kupendeza zaidi.",[1]
sipendi namna unavotazama na hayo macho yako,[4]
"Asante, Bwana Jackson .",[1]
Huyu mtu alistahili kutumbuliwa. Yaani anawaagiza walimu watumie mtadao huku kompyuta hazipo?,"[4, 5]"
"Mi najua ndoa ikitangazwa kanisani basi imeiva, baada ya matangazo matatu kinachofata ni ndoa. Sijui tatizo ni nini..",[5]
Hivi nini Maana ya usomi ? Mana matuvuruga,[5]
Fuata maelekezo!,[2]
"Kumbe ni mkopo, tena anaulipa kwa interest, ingekuwa wanasoma bure hapo ningeelewa.",[5]
huko rate vifo ikoje?,[3]
kwani hakujua kama anapaswa ajiandalie maisha ya uzeeni..!!??.,[5]
hiyo itakuwa ya kupendeza. Shukrani !,[1]
Mkuu ujinga ni mzigo mkubwa sana kwa hili taifa.,[4]
Julie amevunjika moyo na anaenda kutafuta wazazi wake wa asili. ,[3]
"Alifurahishwa sana wakati alirudi na kumkuta akipigania vyema, hata alikuwa bado anatumia bawa moja kama kigongo kuunga mkono mguu wake uliopotoka. ",[1]
Kuwa dereva wa kiongozi ni kujitoa maana mda wwte unaweza kuitwa marehemu. ,[6]
" Hofu ilimjia kama vile baridi kali, uliokuwa umewekwa juu ya moyo wake, kufikia kwamba karibu kuzimia.",[6]
"Nimekubaliwa maombi yangu na chuo kikuu, na wamenipa nafasi kwenye timu ya mpira wa kikapu!",[1]
Nimeona mdudu mkubwa ameingia kwenye buti za mama,[6]
"mfalme na malkia walikuwa na pesa nyingi, na nguo nzuri za kuvaa, lakini ingawa walikuwa wameoa miaka mingi hawakuwa na watoto, na hii iliwahuzunisha sana.",[3]
KWANINI SIKU YA KWANZA HAIKUWA NZURI?,[5]
Nimefurai sana,[1]
"Hii siyo niliyohitaji, inanipa hofu .",[3]
Laazizi wa moyo wangu,[1]
"Tatizo la jamaa yetu huwa anajifanya anajua kila kitu, hapo alitaka tu aonekanae anajali sana wageni.",[4]
Wanaita wezao vijuso kumbe wenyew ndo vijuso,[4]
Kuna shida gani na vipimo vyetu? Mara ya kwanza ikasemekana hadi papai ina virusi vya corona. ,[5]
Si unaona ngoma ya Korona inavyowaangusha,[3]
"Annabel alisema kwa sauti iliyokasirika, `"" Ninahisi kama akili yangu inapunguka kwa nguvu, kama kimbunga. ",[6]
kwani kwenda msibani ni dhambi? mbona tunaenda misiba ya watu baki?,[5]
unadhani nini ?nimeshinda mashindano ya hotuba katika shule yangu .,[1]
Mungu wangu! Dunia inaangamia,[3]
Hiyo milango iliyo wazi iko wapi?,[5]
unaboesha kipindi sana,[4]
Nimejiuliza sana maswali mengi,[0]
Hawa ni mashetani tu ambao wamediriki kusimama mbele yangu,[6]
Afu alipokuwa anaugua hawakujali kumuuguza si kwa matibabu wala chakula.! Ukiyataajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.,[5]
Amefika mbali sana........hizi kauli zake zinamadhara sana kwa sector binafsi,[4]
"Mwonekano wa hapa ni mzuri na wa kuvutia, huchoki kuanglia vivutio mbalimbali na hewa nzuri",[1]
"Huyu nae aache kuhamisha Magoli, Mpaka sasa ameshakamata watuhumiwa wangapi?",[5]
natamani ningekuwa na uwezo ningeisaidia hii familia hata kuijengea kachumb kamoja,[3]
Nini ? Kwa nini ?,[5]
"Kulikuwa na wasiwasi juu ya uso wake, sasa. ",[6]
"`Nina shida kubwa sana,,naombeni msaada wenu """,[3]
"hiyo ni nzuri . Je, zawadi ni nini?",[5]
Tafadhali wazazi msiwaonyeshe watoto ni aibu kwakweli,[4]
"Eleanor Thorne nusu-akaketi kitandani kubwa, akashangaa. ",[5]
Nilibeba kwa uangalifu mkubwa nisije nikapasua na nisingeweza kulipa,[6]
"Gone too soon, lakini historia itakubeba... Rest in eternal peace, Jemedari!",[3]
Jambo jema kwa kulifanyia kazi,[1]
Embe ? si ubahili huu,[5]
unakuaga na mambo ya kiboya mbwa wewe,[4]
Hajielewi huyu ni kumuacha Kama alivyo,[4]
ni mpumbavu fulani anayenunulika kwa pipi ya kisiasa kupingana na sayansi.,"[2, 4]"
"Wakati Anna aliondoka Inspekta Aziz, alikuwa na furaha zaidi.",[1]
"Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendo",[4]
"Serikali yenu ni sikivu imesikia kilio chenu, naamini litafanyiwa kazi.",[1]
Wana siasa hawa si wa kuamini...utamwingiza mwanao shimoni!!,[4]
"Naionea huruma Tanzania kwa kweli, days of darkness ahead if we ain't gonna stand together...",[3]
Hivi mm ntakuja kupata mda kweli wa kufanya upumbavu km huu.,[4]
Nenda ukaandikishe ripoti polisi,"[3, 4]"
Wa Tanzania tuna tatizo la kuto kujiongeza unataka tamko kutoka serikalini na wakati roho ni ya kwako hizo nchi ambazo zinatoa takwimu kila siku kwao hakuna vifo? ,[5]
unanitania? Kwa nini wewe kusema hivyo ?,[5]
Ngozi yako inahitaji tango kutoa seli zilizokufa na makunyanzi.,[0]
"Kwamba hakuna virus vinavyokufa, na wew usilete nyege kwenye science",[5]
afisa wa polisi gani huyu!,[5]
" ""Ah ni ya kuchekesha!"" Alisema Hidaya, naye akacheka.",[1]
"Mama yao alikufa mwezi mmoja baadaye, aliumia. ",[3]
"Watu walianza kupukutika kwa kasi,, aibu na hasira na majonzi na kijikatia taama..","[3, 6]"
ni unamaanisha nini?nimenunuwa kompyuta hii miaka mitatu tu iliyopita !,[5]
amefanya makosa yake na kuiweka nchi gizani kwa hiyo ilikuwa ni lazima awajibike.,[4]