text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
SISU | Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai Kuhusu SISU Maombi ya Kujiandikisha Taaluma za Elimu Utafiti Wetu Maisha ya Chuo Mawasiliano ya Kimataifa Nyenzo za Umma CAAS LAFANYIKA SISU MAWASILIANO YA KITAALUMA JIFUNZA KICHINA HAPA TEKELEZA UCHAGUZI WAKO SISU chaanza Kiswahili & Taasisi ya Taaluma za Afrika ya Mashariki Kongamano la Maadhimisho ya miaka 70 ya SISU lilifanyika Songjiang Jumba la Makumbusho ya Lugha la SISU linaasisiwa! Wenzetu wa SISU @ CIIE | Wanaojitolea katika CIIE kwa lugha 15 Kumpokea na Kumsindikiza Mgeni Kampusi ya Hongkou, SISU Njia za Utafiti wa Historia ya Utafsiri wa Mafundisho Kampasi ya Songjiang, SISU Kustawi na kuonesha upya wa China – Semina ya Kimataifa ya Kiraia ya ASEAN Kampasi ya Hongkou, SISU Harakati Nyingine Kalenda Miradi na Vipindi Mwitiko wa Ajira Hiba za Jamii Ushirikiano na SISU Tembea SISU Chuo Kikuu cha Taaluma za Kimataifa cha Shanghai (SISU) kiliasisiwa katika mwaka wa 1949, wakati wote kinazingatia kukuza utu, ubunifu, mawazo ya kimataifa, uwezo wa kutatua matatizo pamoja na wengine na elimu ya lugha za kigeni kwa wanafunzi. Madhumuni yetu ni kuwaelimisha wanafunzi ili kuwawezesha kuishi kama raia wanaowajibika. Hiba za Jamii Huduma ya IT University Press - SFLEP Maktaba
"2020-05-30T08:21:48"
http://sw.shisu.edu.cn/
[ -1 ]
Respondent: SHANGWE COUNSELING CENTRE Time Submitted: November 24, 2011 at 10:12 AM EAT SHANGWE COUNSELING CENTRE Kuimarisha Utawala bora kwa wanawake Vijijini. FCS/MG/2/10/099 Dates: 1Sept, 2011- 31Nov, 2011 Quarter(s): 3 Samuel Philimon Ngwipa ( Meneja Mradi). Mradi huu unakidhi malengo muhimu ya eneo tulilochagua kwa sababu unalenga utoaji elimu wa haki za wanawake ambao ndio walengwa hasa wa mradi ikiwemo kuwashirikisha katika mipango mbalimbali ya maendeleo Mbeya Rungwe Mpuguso,Kyimo,Bujela,Bulyaga,Kisondela na Lufingo Simike,Kalalo,Itete,Iponjola, Lugombo, Kagwina, Bulyaga kati,Bugoba,Mtindo,Lutete, Kisuba,Ndubi,Mpombo,Katabe, Mibula,Bujela,Isaji,Ipumbuli,Isongola. 60 Kufanyika kwa mkutano wa utetezi na uhamasishaji kwa wanawake 45 na wanaume 15 katika kata za Lufingo,Kyimo,Bujela,Kisondela,Mpuguso na Bulyaga 1.Mkutano wa uhamasishaji na utetezi juu ya haki za wanawake kwa wanawake na wanaume katika kata sita za Rungwe. Mkutano wa utetezi na uhamasishaji juu ya haki za wanawake umeweza kufanyika tarehe 3Sept,2011.Jumla ya walengwa 60 wanawake 45 na wanaume 15 walishiriki katika mkutano huo. Masuala ya mila na desturi zinazowakandamiza wanawake yaliweza kushughulikiwa kwa kina mfano mgawanyo wa mali kwa mama Suzana wa Bulyaga ambaye kwa muda mrefu alikuwa akifuatilia sehemu yake ya urithi na hakuweza kupata uvumbuzi, katika mkutano huu alitoa hoja yake , kwakuwa Mkuu wa mila na desturi alihudhulia mkutano huu aliahidi kulishughulikia suala hili na kulipatia majibu Hakuna Tofauti Yoyote. Mkutano wa uhamasishaji juu ya haki za wanawake- 3,548,500/ Kiwango cha jamii kutambua haki za wanawake na kuheshimu mawazo ya mwanamke kuongezeka mfano katika kata ya Lufingo wanawake walipendekeza kuanzisha mradi wa ng,ombe wa maziwa kwa kusaidiwa na ofisi ya mifugo wilaya na mradi wa uanzishwaji wa mashamba ya chai, mawazo yao yalikubaliwa na viongozi wa vijiji na wilaya , na yanashughulikiwa ili kuanzisha miradi hiyo. Vikundi vya maendeleo ya wanawake vimeweza kuanzishwa mfano kata ya Kisondela wanawake wameanzisha vikundi vya maendeleo (vicoba) kwa ajili ya kukabiliana na hali ngumu ya uchumi na kusaidiana wakati wa matatizo. Wanawake wengi wamejitokeza katka kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali na maendeleo ili kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha. Shughuli za utetezi na uhamasishaji ni shughuli muhimu sana katika kutatua matatizo ya wanawake vijijini kwani bila kufanyiwa utetezi sauti zao hazisikilizwi na viongozi wa ngazi mbalimbali pamoja na watunga sera mfano katika shughuli za utetezi tuliyoifanya kulikuwepo na watu maarufu ambao ni rahisi kusikilizwa katika jamii, hivyo watu hao waliweza kuona umuhimu wa mwanamke na kuhamasisha jamii kuheshimu utu wa mwanamke, hivyo wanawake kupata nafuu mbalimbali za kimaisha. Kuhamahama kwa viongozi wa serikali za vijiji wanaoujua mradi na ambao walishiriki kikamilifu katika mafunzo ya haki za wanawake na kuja wapya ambao inabidi tuanzenao mwanzo kuwaelekeza yale tunayoyafanya na pale tulipofikia Kuwapatia muhtsari na ripoti mbalimbali inayohusu mradi unaoendelea ili waufahamu vema na kuendelea kutoa ushirikiano Vituo vya sheria za haki za wanawake na watoto Kutoa rufaa ya walengwa wanaohitaji msaada wa kisheria Idara ya ustawi wa jamii Kutoa rufaa kwa ajili ya wanawake wanaohitaji misaada ya kijamii katika ngazi ya familia. Kufanya tathmini na warsha itakayojumuisha wadau mbalimbali katika kutathmini mradi uliofanyika X X X Female 3 (No Response) Total 4 (No Response) Female 2 (No Response) Male 2 (No Response) Female 40 11 Hawa ni wawakilishi wa wanawake na wanaume waliohudhulia mkutano wa utetezi na uhamasishaji Usimamizi wa ruzuku October ,2011 Namna ya kubadilishana uzoefu wa masuala ya Usimamizi wa fedha. Mkutano wa pamoja na kamati tendaji pamoja na watendaji ili kutoa mrejesho wa maagizo na mafunzo yaliyotolewa. HALI_YA_MAFANIKIO_BUJELA.doc
"2017-12-17T11:57:38"
http://envaya.org/fcs/page/fcs-narrative-report/response/82723
[ -1 ]
Audio: Nehemia Kindole - Wema na Fadhili - Gospo Media 12 1k 2 Kutoka mjini Bagamoyo leo kwa mara ya kwanza nimekuletea wimbo uitwao Wema na Fadhili kutoka kwa muimbaji mpya katika kiwanda cha muziki wa Injili Tanzania anayefahamika kwa jina la Nehemia Kindole. Muziki huu umetayaarishwa ndani ya studio za Canaan chini ya mikono ya prodyuza Joshua Ndaki. Akizungumzia ujumbe ulio katika wimbo huu muimbaji Nehemia Kindole amesema:- ”Ninaitwa Nehemia Kindole ni muimbaji mpya kabisa katika uimbaji wa muziki wa Injili hapa Tanzania namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kukamilisha wimbo huu ambao nina imani kuwa utakwenda kuwagusa watu wa Mungu kupitia kazi hii. Wimbo huu unaitwa Wema na Fadhili, ukielezea wema wa Mungu wetu ambao unatufuata kila iitwapo leo. Ujumbe wa wimbo huu umetoka kwenye kitabu cha zaburi 23 ”1 Mwenyezi-Mungu ni mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.” – Nehemia Kindole Kwa moyo mkunjufu nakukaribisha kusikiliza na kupakua wimbo huu nina imani utabarikiwa sana! https://gospomedia.com/wp-content/uploads/2018/01/Nehemia-Kindole-Wema-na-Fadhili.mp3 Kwa mawasiliano zaidi na mialiko ya huduma wasiliana na muimbaji Nehemia Kindole kupitia: Simu/WhatsApp: +255 763 117 943 Facebook: Nehemia Kindole Email: kindolenehemia@gmail.com Tags:AudiosNehemia KindoleTanzaniaWema na Fadhili Audio: Judith Mbilinyi - Jina la Yesu
"2018-03-17T14:31:48"
https://gospomedia.com/nehemia-kindole-wema-na-fadhili/
[ -1 ]
TRA wanavunja rekodi ya mapato: Serikali haina pesa hapo vipi? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers TRA wanavunja rekodi ya mapato: Serikali haina pesa hapo vipi? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Vijijini Lawama, Apr 14, 2012. Wadau naomba kujua ni vipi serikali inakosa pesa za kuendeshea shughuli zake za kiofisi na kufanya miradi ya maendeleo kama alivosema Pinda wakati TRA inavunja rekodi yake ya ukusanyaji wa mapato? Je Vile viwanja vya ndege, mito ya maziwa na mabomba ya maziwa na asali, ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege za kisasa, bajaji za wagonjwa kila kijiji, barabara za angani, meli za kisasa katika maziwa yetu na laptops kwa kila mwanafunzi, vitanda kwa wajawazito kwa kila nyumba yenye mwanamke n.k tutafanyaje? Nisaidien mimi nabwabwaja sina pa kusihka tena simple question simple answer kuna 'mchwa' unakula hayo mapato basi. Itabidi tuwaulize wataalam wetu Wala hainiingii akilini, kuikubali lazima uwe na matatizo ya kifikra. Kwamba pesa iko tena wanavunja rekodi ila wale ambao kodi hukusanywa na kupekwa kwao HAWANA PESA? We are lacking strategists in this country!!!!!! Nchi ya walalamikaji nilimsikia mkubwa wa TRA akisema wangekusanya zaidi kama isingekuwa vimemo wanavyolazimishwa watoe misamaha ya kodi unajuwa wamesame kwa kiasi gani kwa ripoti ya CAG ( 18%) Sasa ndugu yangu embu tafiti uone nani wamesamehewa makampuni yote ambayo vigogo na watoto wao wana ubia na makampuni hayo ,kazi ipo kweli kweli simple qn and the simple answ is:Baada ya kuona vyanzo vya kodi vimepungua kutokana na kupungua kwa uzalishaji,TRA wanajiwekea achievable targets kwa kujipunguzia malengo (projections).Na hicho kidogo anakula JK na misafara yake. Swali lako linastahili jibu alilowahi kutoa Jk alipoulizwa kwa nini Tanzania ni masikini ingawa ina rasilimali nyingi sana. Hapo ni sawa, lengo bila kuangalia mfumuko wa maisha ni hovyo Mifuko ya serikali imetobolew na magamba, hela zinavuja ovyo! malengo/target kiduchu, halafu wanalinganisha viwango bila kuangalia ushukaji wa thamani ya tsh Sera mbovu za chama cha magamba. Kazi nikulindana tu hawana jipya. Hazipo za maendeleo kwa wananchi ila za kuiba zipo bwerere! Nchi ya walalamikaji nilimsikia mkubwa wa TRA akisema wangekusanya zaidi kama isingekuwa vimemo wanavyolazimishwa watoe misamaha ya kodi unajuwa wamesame kwa kiasi gani kwa ripoti ya CAG ( 18%) Sasa ndugu yangu embu tafiti uone nani wamesamehewa makampuni yote ambayo vigogo na watoto wao wana ubia na makampuni hayo ,kazi ipo kweli kweliClick to expand... Jana kamishina wa KRA (KENYA) alikuwa anaagwa na raisi baada ya muda wa utumishi kwisha,yeye alisema chini yake walitafuta vyanzo vipya vya kodi ni kuifanya bajeti ya serekali yao kuwa inajitegemea sisi hivyo vyanzo vichache bado tunavisamehe kwa vimemo. Tunayo safari ndefu mbele yetu! Ni mambo yako waz jamani,Arumeru kwa harakaharaka walitapanya kias gani cha pesa??je zilitoka wapi??? Suala la kutuambia serikali haina pesa ni kiini macho tu!!!! pesa zipo na kwa manufaaa ya wachache!!! Leo hii ukiamrishwa uchaguzi wowote wa mbunge,utaona kwa jinsi vigogo na makada wa magamba watakavyotapakaa mtaani na pesa za kurubuni wananchi!!! je hizo zinatoka wapi??? ole wao,siku inakuja,watalia na kusaga meno!!! Msamaha wa kodi nao ni chanzo cha upotevu wa mapato! kweli mkuu hilo unalosema lina ukweli na hawa jamaa wanatuchezea akili bt iko siku haya yote yatafahamika. pakacha hata likijaa halihifadhi Jana kamishina wa KRA (KENYA) alikuwa anaagwa na raisi baada ya muda wa utumishi kwisha,yeye alisema chini yake walitafuta vyanzo vipya vya kodi ni kuifanya bajeti ya serekali yao kuwa inajitegemea sisi hivyo vyanzo vichache bado tunavisamehe kwa vimemo. Tunayo safari ndefu mbele yetu!Click to expand... Wakenya ni wabunifu sana, na hawana lelema katika mambo ya kazi-wanafanya kazi as if there is no to-morrow! Mkulo ni bingwa wa KANYABOYA, hapo alikuwa anapoza wale waliolalamikia TRA kuwa haifanyi kazi nzuri, fuatilia kama hiyo record collection ipo kweli?! Kumbuka hata EPA tuliambiwa kuna fedha ilirudishwa but hadi leo hakuna anayejua ziko wapi. Who set the K.P.I for TRA?
"2017-07-20T13:17:07"
https://www.jamiiforums.com/threads/tra-wanavunja-rekodi-ya-mapato-serikali-haina-pesa-hapo-vipi.250531/
[ -1 ]
MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND Kinda wa miaka 20 wa Manchester United, Anthony Martial akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 54 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA princezub@hotmail.com Bin Zubeiry Sports - Online at 07:14 Sunday, April 03, 2016 Item Reviewed: MARTIAL AWALAZA UNONO MAN UNITED, APIGA LA USHINDI WAKIUA 1-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
"2018-02-23T22:29:39"
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/04/martial-awalaza-unono-man-united-apiga.html
[ -1 ]
F MICHUANO YA COPA -UMISSETA YAZINDULIWA KWA KISHINDO DODOMA | RobertOkanda Posted By Robert Okanda On 6:15:00 AM Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Selemani Jaffo akisalimiana na baadhi ya wachezaji wa timu zilizoshiriki uzinduzi wa michezo ya shule za sekondari nchini (Copa-UMISSETA) katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma jana, mara baara ya uzinduzi rasmi wa michuano hiyo itakayoendeshwa nchini kote kwa udhamini wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola. Hafla ya uzinduzi ilihudhuriwa na wanafunzizaidi ya elfu 20 kutoka shule mbalimbali za sekondari mkoani Dodoma. (Picha na Mpiga Picha Wetu, Dodoma). Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Selemani Jaffo akipiga penati kuashiria uzinduzi wa michezo ya shule za sekondari nchini (Copa-UMISSETA) katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma jana, mara baara ya uzinduzi rasmi wa michuano hiyo itakayoendeshwa nchini kote kwa udhamini wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola. Hafla ya uzinduzi ilihudhuriwa na wanafunzizaidi ya elfu 20 kutoka shule mbalimbali za sekondari mkoani Dodoma. (Picha na Mpiga Picha Wetu, Dodoma). Alimalizia kwa kuwahakikishia wadau wa michezo nchini ya kwamba kwa mwaka huu kampuni ya Coca-Cola imejipanga kwa dhati, kudhihirisha ya kwamba michezo ni zaidi ya ushindani, kwa kuweza kuambatanisha mashindano haya na kujenga mshikamano wa timu shindani, urafiki na hata nidhamu kwa wachezaji na timu zinazoshiriki.
"2018-03-22T21:08:35"
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/michuano-ya-copa-umisseta-yazinduliwa.html
[ -1 ]
MASWAYETU BLOG: Tume ya Pamoja Kufuatilia Ziara ya Rais Magufuli Nchini Rwanda MASWAYETU BLOG Tume ya Pamoja Kufuatilia Ziara ya Rais Magufuli Nchini Rwanda Paun Jotia
"2017-02-20T08:31:59"
http://www.maswayetublog.com/2016/05/tume-ya-pamoja-kufuatilia-ziara-ya-rais.html
[ -1 ]
SOMA KATIKA Afrikaans Kialbania Kiamharike Kiarabu Kiarmenia Kibulgaria Kicheki Kichichewa Kichinois mandarin (simplifié) Kichinois mandarin (traditionnel) Kichitonga Kidanishi Kiebrania Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kigiriki Kihiligaynon Kihispania Kiholanzi Kihungaria Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiiselandi Kiitaliano Kijapani Kijeorjia Kijerumani Kikaonde Kikirigizi Kikorasia Kikorea Kilitwania Kimalagasi Kimasedonia Kimyama Kinorwe Kinyarwanda Kipangasinan Kipolandi Kireno Kiromania Kirundi Kirusi Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (Kiroma) Kisetswana Kisilozi Kisinghale Kislovakia Kislovenia Kiswahili Kiswahili (Congo) Kiswedi Kitagalog Kitai Kitigrinya Kitirke Kitsonga Kitwi Kiukraini Kivietinamu Kiwaray-Waray Kixhosa Kizulu Lingala Sesotho (Lesotho)
"2018-02-23T16:54:58"
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/g201412/habari-fulani-za-ulimwengu/
[ -1 ]
RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MGENI WAKE RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA WAHUDHURIA KATIKA JUKWAA LA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM | BUKOBA WADAU RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MGENI WAKE RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA WAHUDHURIA KATIKA JUKWAA LA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafanyabiashara mbalimbali wa nchini pamoja na Afrika ya Kusini wakati aliposhiriki pamoja na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara jijini Dar es Salaam. Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma akisoma hotuba yake katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini lililofanyika jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma mara baada ya kutoka kwenye Jukwaa hilo la Wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini lililofanyika jijini Dar es Salaam. Sehemu ya Wafanyabiashara mbalimbali wa Tanzania na Afrika Kusini waliohudhuria katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara jijini Dar es Salaam. Posted by Bukobawadau at 7:41 PM
"2018-06-25T02:21:01"
http://www.bukoba-wadau.com/2017/05/rais-dkt-magufuli-pamoja-na-mgeni-wake.html
[ -1 ]
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: NI YUPI GAIADI...????? MSEMA KWELI NA KUTAKA WANANCHI WAWE NA MAISHA MAZURI AU WANAO IBAA MAMILLIONI KWA MAMILLION NA KUJIRUNDIKIA HUKU WAKIWAWACHA WANANCHI KATIKA HALI MBAYA YA KIMAISHA
"2017-12-11T21:03:32"
http://free-zanzibar.blogspot.com/2014/12/ni-yupi-gaiadi-msema-kweli-na-kutaka.html
[ -1 ]
Taarifa kwa umma:dawa bandia ya malaria iitwayo eloquine | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Taarifa kwa umma:dawa bandia ya malaria iitwayo eloquine Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Jackbauer, Feb 24, 2012. wakuu tuwe waangalifu na tutoe taarifa kwa mamlaka husika.... Hata hivyo, TFDA imebaini kuwa kiwanda cha Elys Chemical Industries Ltd hakitengenezi dawa yenye jina la biashara la ‘ELOQUINE’. Kiwanda hicho kimesajili Tanzania Quinine Sulphate 300mg B.P isiyo na jina la kibiashara. Aidha, kiwanda cha Elys Chemical Industries Ltd kimebainisha tofauti mbalimbali zilizopo katika lebo ya dawa bandia ikilinganishwa na dawa halisi inayotengenezwa na kiwanda hicho iliyosajiliwa na TFDA na hivyo kuthibitisha kuwa kiwanda hicho hakitengenezi dawa hiyo. Maelezo ya kina yanayotofautisha dawa halisi iliyosajiliwa na dawa bandia ni kama yalivyoainishwa katika jedwali hapa chini. Dawa halisi iliyosajiliwa Maelezo ya dawa bandia Jina la dawa: Quinine Sulphate 300mg B.P Jina la biashara: Haina jina la biashara Mtengenezaji: Elys Chemical Industries Ltd, Road B, Off Enterprise Road, P.O Box 40411, 00100 Nairobi, Kenya Rangi ya Lebo: Nyeupe na kahawia (Brown) Namba ya toleo: Huanzia na namba na siyo herufi. Kwa mfano: 2167E Muda wa matumizi (Shelf life): Miaka 4 Jina la dawa: Quinine Sulphate 300mg U.S.P Jina la biashara: ELOQUINE Mtengenezaji: Elys Chemical Industries Ltd, Road B, Off Enterpises Road, P.O Box 4011 00100 Nairobi, Kenya Rangi la Lebo: Njano na Nyekundu Namba ya toleo: GE410 Tarehe ya kutengenezwa: 04/2009 Tarehe ya mwisho wa matumizi: 4/2014 (Miaka 5) TFDA inapenda pia kuwakumbusha wafanyabiashara wa dawa, wasafirishaji wa vifurushi na wananchi kutoa taarifa haraka iwezekanavyo pale wanapohisi kuuziwa dawa duni, bandia au zilizoisha muda wa matumizi. Taarifa zitolewe ofisi za TFDA makao makuu zilizopo Barabara ya Mandela, EPI Mabibo External, Dar es Salaam na Ofisi za Kanda zilizopo mtaa wa Nkurumah, Mwanza, Mtaa wa Sakina – Arusha, Hosptali ya mkoa ya Dodoma na Jengo la Ofisi ya Mifugo Mkoa wa Mbeya. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na:- Barua pepe: info@tfda.Click to expand... Asante kwa taarifa lakini nadhani imefika wakati sasa tasisi husika ziwe serious kwenye kushughulika na masuala haya. Suala la sawa bandia halijaanza leo, lakini sijawahi kusikia hata mtu mmoja akiewa adhabu kali kutokana na kuchezea maisha ya watu kwa kutengeneza au kuuza dawa bandia. Kwangu mimi, mtu anapokamatwa na dawa hizo bandia, sidhani kama unahitajika ushahidi mwingine tena kumfanya mtu huyo awe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo. lakini kisl siku wanakamatwa na wala sijui wanaishia wapi! sijui kama muhindi hatahusika hapa.india ni baba wa counterfeit drugs TFDA wanafanya nini? kazi yao ni nini mpaka vitu vya aina hii viingie sokoni? au wamekaa tuu kama wenzao TBS, aagrrrrrrrrr hivi mamlaka zishanichosha, wamejaa uzembe sana. Blandina Nyoni @work TFDA wanafanya nini? kazi yao ni nini mpaka vitu vya aina hii viingie sokoni? au wamekaa tuu kama wenzao TBS, aagrrrrrrrrr hivi mamlaka zishanichosha, wamejaa uzembe sana.Click to expand... mkuu umeisoma hii taarifa au unalaumu tu?! Blandina Nyoni @workClick to expand... kivipi?Click to expand... pamoja na tatizo la mgomo si unajua kilichomgoa pale? hivi vitu alikuwa akileta yeye hivi vitu alikuwa akileta yeyeClick to expand... mhh!!ngoja amalize msiba kwanza ndio tujadili. Sijaona mamlaka yeyote iliyoundwa nchi hii ambayo ipo serious, chunguza SUMATRA, TCRA, FAIR COMPETITION, TBS, TRA, nk Lakini wanaotutia hasara zaidi ni TFDA kwani watu tunaugua malaria zisizopona kila siku hazisikii dawa...ipo siku daktari mmoja pale hospitali ya Mnazi-1 aliniambia hapa TZ 40% - 60% ya dawa zote zinazoingizwa TZ ni feki...Tafakari vifo!!! Mkuu wanatudhihirishia wapo pale kwaajili ya kula kilaini laini kodi zetu walala hoi Huyu B. Blandina mwacheni kwanza hamzike mama yake, tutamlejea baadaye Suala hilo lithibitiwe haraka lisije kuleta madhara na wahusika wachukuliwa hatua za kisheria. C hizo ti zpo nyngne nyingi tuu feki! hv hao TFDA n washenzi pamoja na bi nyoni na mponda inakuwaje mpk hii kitu inaingia kwnye mzunguko kwel serikal yet n ya kisee.. Na hakuna action zaid ya kutuambia turudishe shamba la bibi limekuwa rotten.
"2017-01-24T15:42:10"
https://www.jamiiforums.com/threads/taarifa-kwa-umma-dawa-bandia-ya-malaria-iitwayo-eloquine.227138/
[ -1 ]
Pole sana kaka John! John,copy na kisha paste mistari michache ya huo ujumbe kwenye google.com, basi utaona majibu ya watu wengi ambao wameripoti kuumizwa na virusi aliyepo kwenye tarakilishi yako ambaye ndiye amebadili mafaili yako na kuweka ujumbe huo unaouona kila unapotaka kuyafungua. Nimeweka tu anwani pepe ya huyo anayesema mwandikie (Zlovel_4evr@yahoo.com) kwenye google.com, na majibu ni mengi sana, ikiwapo mojawapo lipo JamiiForums kwa Watanzania na inaelekea aliyepoteza nyaraka zake alifanikiwa kuzipata baada ya kufauta maelekezo, linki yake hi nii:http://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/31279-virus-huyu-amenitia-hasara-nifanyeje.html Pole jirani! yasinta asante kwa pole ya maumivu.subi asante kwa msaada wa kiufundi. ntazingatia na jibu ntalitoa hapa hapa. Pole sana kaka.Wakati nasoma post yako wazo langu likuwa kwenye maoni nikwambia umkonzalti Waziri wa Mambo ya Mtandaoni Mhe. Subi.Kuja humu kumbe kishachukua nafasi.Ahsante sana da Subi kwa kutujali daima. Wacha nami nichukue kauzoefu maana hawa hiv wa kompyuta hawana adabu kabisa Huyo mdudu ana label ya naked woman. Ni balaa. Nimegundua ukitumia kompyuta ya ´maknitoshi´unayakuta mafaili yako kama kawa. Anaonea ´makrosofti´ lakini inaelekea kwa ´maknitoshi´hana jeuri.Jaribu kutafuta kompyuta hiyo unacheka mwenyewe.
"2017-07-22T04:42:03"
http://mwaipopo.blogspot.com/2010/04/ndio-ishakula-kwangu-au-nimejaribu.html
[ -1 ]
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAABARA YA TAASISI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI TANZANIA – The Geological Survey of Tanzania (GST) TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAABARA YA TAASISI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI TANZANIA Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) inapenda kuwajulisha wadau wake na Umma kwa ujumla kuwa maabara ya GST imepata ITHIBATI (ACCREDITATION) kutoka Shirika la Kimataifa linaloshughulika na utoaji wa Ithibati katika Maabara zilizopo katika Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi zilizopo Kusini mwa Afrika (SADCAS). Ithibati hii imetolewa kwenye eneo la uchunguzi wa kemia katika sampuli za madini. (Scope: Chemical analysis to ISO/IEC 17025:2017-Minerals) na kupewa namba ya usajili ya kipekee TEST-5 0043. Maabara ya GST imekuwa ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kwa kupata Ithibati ya toleo jipya la Mwaka 2017 ambalo linatakiwa kufuatwa na maabara zote za uchunguzi (Testing laboratories). Aidha, upatikanaji wake ulitokana na tathimini iliyofanywa na wakaguzi kutoka SADCAS na kuidhinishwa na kikao cha Kamati Maalum ya Ithibati kilichofanyika tarehe 15 Octoba, 2019 jijini Gaborone, Botswana baada ya kukidhi vigezo vyote vya kitaalamu vinavyozingatiwa na shirika hilo la kimataifa. Kupatikana kwa Ithibati hii ni sehemu ya mikakati ya Wizara ya Madini kupitia GST ya kuendelea kuboresha huduma za uchunguzi wa sampuli za miamba na madini. Maboresho haya yanalenga kuendelea kutoa majibu sahihi na ya uhakika kupitia wataalam wenye uzoefu mkubwa na mashine zenye viwango vya kimataifa. Majibu ya uchunguzi wa maabara kutoka GST yanatambulika kimataifa, hivyo GST inawakaribisha wachimbaji wadogo, wa kati na wakubwa kuendelea kufanya uchunguzi wa sampuli za miamba na madini kupitia Maabara ya GST kwa ajili ya kuongeza tija kwa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Imetolewa tarehe 17 Oktoba, 2019 na: Visitors Counter – 62,398
"2020-08-12T20:49:31"
https://www.gst.go.tz/taarifa-kwa-umma/
[ -1 ]
Zlatan Muacheni ajifananishe na mvinyo - Tanzania Sports 14th November 2019 Last update at 10:40 am Kama nitapewa nafasi ya kutaja wanadamu wanaojiamini sana katika hii dunia kamwe sitaacha kumtaja mshambuliaji wa zamani wa Sweden na Man United anayekipiga katika klabu ya LA Galaxy kwa sasa inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Zlatan Ibrahimovic sijui kujiamini kwake kunatokana na nini hasa? Uwezo wake uwanjani ndio unamfanya ajiamini ndani na nje ya uwanja? Bado nakosa jibu la moja kwa moja la kuweza kufahamu kujiamini sana kwa Zlatan Ibrahimovic kunatokana na nini, inawezekana maisha yake ya utukutu na utundu aliyokulia kwao Malmo Sweden akiwa katika maisha duni ndio yanayomfanya kujiamini wakati wote au kucheza kwake Taekwondo, sina jibu la moja kwa moja bado zaidi ya kukisia tu. Zlatan bado anaendelea kuidhihirishia dunia kuwa uwezo wake wa kutoa kauli za kishujaa na kujisifia haujaishia mdomoni tu bali anathibitisha uwanjani, Zlatan aliwahi kunukuliwa akisema yeye ni kama ‘Red Wine’ kadri inavyozidi kukaa ndio inavyozidi kuwa kali zaidi, hivyo yeye kadri umri wake unavyozidi kuongezeka ndio anavyozidi kuwa bora zaidi uwanjani. Unapata wapi ujasiri wa kumkosoa Zlatan kwa kauli hiyo wakati anafunga kila leo, tukiwa bado tunaamini anahitaji kuizoea Ligi Kuu Marekani akiwa na LA Galaxy msimu wa kwanza, anafunga hat-trick yake ya kwanza katika mchezo muhimu dhidi ya Orlando City July 29 2018 uliyomalizika kwa LA Galaxy kupata ushindi wa magoli 4-3, tukiwa bado tunaamini anahitaji kuizoea Ligi, hat-trick yake hiyo aliyoifunga dhidi ya Orlando City inamfanya afikishe jumla ya magoli 15 MLS akiwa amecheza game 17 pekee tofauti ya magoli 9 na mfungaji bora wa msimu ulioisha wa MLS David Villa wa New York City akiwa kaibuka mfungaji bora kwa kufunga magoli 24 katika mechi 33. Zlatan anatudhihirishia kuwa yeye ni bora na kauli yake ya kujifananisha na mvinyo hajakosea ni baada ya kuweza kufunga magoli 15 katika Ligi ngeni kwake, akiwa katika kipindi kigumu katika maisha yake ya soka kwa mchezaji mwenye umri wa miaka 35 wakati huo, kupata jeraha la goti na kukaa nje kwa miezi takribani saba na bado akarudi uwanjani katika Ligi ngeni akiwa na umri wa miaka 36 na kufunga magoli 15. Wengi tuliamini Zlatan baada ya kupata jeraha la goti (knee Ligament injury) April 20 2017 katika mchezo wa robo fainali ya Europa League wa Man United dhidi ya Anderletch ya Ubelgji katika dimba la Old Trafford na kushindwa kumaliza mchezo na kutolewaa nje dakika ya 92 na nafasi yake kuchukuliwa na Anthony Martial mchezo ukienda dakika 30 za nyongeza, Zlatan baada ya siku kadhaa alifanyiwa upasuaji wa goti lake la kulia na wengi kuamini inawezekana jeraha hilo likamaliza maisha yake ya soka kama ilivyokuwa kwa mshambuliaji wa Chelsea (1998-2000) Pierluigi Casiraghi aliyestafishwa na jeraha la goti (Knee ligament injury) mwaka 1998 akiwa na umri wa miaka 28 akiwa kaichezea Chelsea game 10 pekee, japokuwa alitangaza rasmi kustaafu 2002 lakini game yake ya mwisho alicheza akiwa na miaka 28 baada ya hapo alikuwa akifanyiwa upasuaji wa mara kwa mara. Sitashangaa ikitokea Zlatan akawa mfungaji bora MLS mwaka 2018 kwa kasi anayokwenda nayo, sishangai kwa sasa kumuona namba mbili kwa wanaoongoza kwa ufungaji wa magoli MLS akiwa na magoli 15 nyuma ya Josef Martínez wa Atalanta FC anayeongoza kwa kuwa na magoli 24 akiwa kacheza mechi 23 hadi sasa, Zlatan ni mshindi kwa sababu amefanikiwa kupambana na vita ya jeraha la goti ambalo ingeweza kukatisha maisha yake ya soka kama ilivyokuwa kwa Casiraghi, hivyo tumuache Zlatan aendeleze tambo zake za kujiita majina tofauti tofauti kama Simba, Mungu wa Manchester, Mungu wa LA na ‘Red Wine’. Tags: Los Angeles Galaxy, man utd, Zlatan
"2019-11-20T19:00:17"
https://www.tanzaniasports.com/2018/08/04/zlatan-muacheni-ajifananishe-na-mvinyo/
[ -1 ]
Njia … (8) | Kanisa la Mwenyezi Mungu Wakati ambapo Mungu anakuja duniani kuchanganyika na wanadamu, kuishi nao, sio tu kwa siku moja au mbili. Labda kwa wakati huu wote watu wamemjua Mungu kwa kiwango fulani, na labda wamepata utambuzi muhimu wa kumhudumia Mungu, na wamepata uzoefu sana katika imani yao katika Mungu. Hata iweje, watu wanaelewa vizuri sana tabia ya Mungu, na maonyesho ya kila aina ya tabia za binadamu yanatofautiana kwa kweli. Jinsi Nionavyo, maonyesho tofautitofauti ya watu yanatosha kwa Mungu kuyatumia kama sampuli, na shughuli zao za fikira zinatosha kwa Yeye kurejelea. Labda hii ni hali moja ambayo kwayo wanadamu hushirikiana na Mungu, ni ushirikiano usiokusudiwa wa mwanadamu na Mungu, ili utekelezaji huu unaoelekezwa na Mungu uwe wa kupendeza na wenye uhai, dhahiri sana. Ninasema mambo haya kwa ndugu zangu kama mwelekezaji mkuu wa mchezo huu wa kuigiza—kila mmoja wetu anaweza kunena na fikira na hisia zake baada ya kuliigiza hili, na kuzungumza kuhusu vile kila mmoja wetu anayapitia maisha yake ndani ya mchezo huu wa kuigiza. Huenda ikawa vyema kwa sisi kuwa na aina mpya kabisa ya kongamano ili kuifungua mioyo yetu na kuzungumza kuhusu sanaa yetu ya maonyesho, tuone vile Mungu atamwongoza kila mtu ili katika utambaji unaofuata tuweze kuonyesha kiwango cha juu zaidi cha sanaa yetu na kila mtu aweze kuigiza sehemu yake mwenyewe kwa kiasi kikuu zaidi iwezekanavyo, bila kutomridhisha Mungu. Natumai kwamba ndugu Zangu wataweza kulitilia hili maanani—hakuna anayeweza kulipuuza kwa sababu kuigiza sehemu fulani vizuri si jambo linaloweza kutimizwa katika siku moja au mbili. Linahitaji tuyapitie maisha na kuingia ndani kabisa katika maisha yetu halisi kwa kipindi kirefu, na kuwa na uzoefu wa utendaji wa aina mbalimbali za maisha. Ni wakati huo tu ndipo tunaweza kwenda juu ya jukwaa. Nimejawa tumaini kwa ajili ya ndugu Zangu, na Naamini kwamba hamjavunjika moyo wala kukata tamaa, na haijalishi kile ambacho Mungu anafanya, ninyi ni kama chungu chenye moto—huwa hamna uvuguvugu kamwe na mnaweza kushikilia mpaka mwisho, mpaka kazi ya Mungu ifichuliwe kwa ukamilifu, na mpaka mchezo wa kuigiza ambao Mungu anaelekeza ufike katika hitimisho la mwisho wake. Sina matakwa mengine kwenu. Kila Ninachotumai ni kwamba muweze kuendelea kushikilia, kwamba musiwe na wasiwasi kwa ajili ya matokeo, kwamba mshirikiane na Mimi ili kazi Ninayopaswa kufanya ifanyike vizuri, na kwamba hakuna atakayesababisha pingamizi au usumbufu. Sehemu hii ya kazi ikishatimizwa, Mungu atawafichulia ninyi kila kitu. Baada ya kazi Yangu kutimizwa, Nitawasilisha sifa njema yenu mbele ya Mungu kutoa maelezo Kwake. Je, hilo si bora? Tunaweza kusaidiana kutimiza malengo yetu wenyewe. Je, hili si suluhisho kamili kwa kila mtu? Huu ni wakati mgumu unaowahitaji mlipe gharama. Kwa sababu Mimi ndiye mwelekezi sasa, Natumai kwamba hakuna mmoja wenu aliyekerwa. Hii ndiyo kazi ambayo Ninafanya. Labda kutakuweko na siku moja ambapo Nitahamia kwa “kitengo cha kazi” cha kufaa na Nisifanye tena mambo yawe magumu kwenu. Nitawaonyesha ninyi chochote mnachopenda kuona, na pia Nitawakamilisha ninyi katika chochote mnachopenda kusikia. Lakini sio sasa—hii ni kazi ya leo na siwezi kuwapa uhuru kwa hulka zenu na kuwaruhusu kufanya chochote mnachotaka kufanya. Hivyo, kazi Yangu haingekuwa rahisi kufanya. Kusema kweli, hilo halingezaa matunda yoyote na halingekuwa la manufaa kwenu. Kwa hiyo sasa mnahitaji “kupitia magumu,” na siku ifikapo ambapo hatua hii ya kazi Yangu itakuwa imetimizwa Nitakuwa huru. Sitaubeba mzigo mzito kama huu, na Nitakubali chochote mtakachoomba kutoka Kwangu; maadamu tu ni cha manufaa kwa maisha yenu Nitatimiza maombi yenu. Nimechukua sasa jukumu zito. Siwezi kwenda kinyume cha amri za Mungu Baba, na Siwezi kuvuruga mipango ya kazi Yangu. Siwezi kusimamia mambo Yangu binafsi kupitia kwa mambo ya biashara Yangu. Natumai nyote mnaweza kunielewa na kunisamehe Mimi kwa sababu kila kitu Nifanyacho kinalingana na kusudi la Mungu Baba. Nafanya chochote Atakacho Nifanye haijalishi Anachotaka, na Siko radhi kuchochea hasira Yake au ghadhabu Yake. Mimi hufanya tu Ninachopaswa kufanya. Kwa hiyo kwa niaba ya Mungu Baba, Ninawashauri ninyi mvumilie tu kwa muda mrefu kidogo. Mtu yeyote asiwe na wasiwasi. Baada ya Mimi kutimiza Ninachotaka kufanya, mnaweza kufanya chochote mtakacho na kuona chochote mpendacho, lakini lazima Nitimize kazi Ninayohitaji kutimiza. Katika hatua hii ya kazi sisi tunatakiwa kuwa na imani kuu na upendo mkuu. Huenda tukajikwaa kutokana na uzembe kidogo kabisa kwa sababu hatua hii ya kazi ni tofauti na zile zote za awali. Kile ambacho Mungu anakamilisha ni imani ya wanadamu—mtu hawezi kuiona au kuigusa. Kile ambacho Mungu anafanya ni kuyageuza maneno kuwa imani, kuwa upendo, na kuwa uzima. Watu lazima wafikie kiwango ambacho wamestahimili mamia ya kusafisha na wawe na imani iliyo kuu zaidi kuliko ya Ayubu. Wanatakiwa kustahimili taabu ya ajabu sana na aina zote za mateso bila kuondoka kwa Mungu wakati wowote. Wanapokuwa watiifu hadi kufa, na wawe na imani kuu katika Mungu, basi hatua hii ya kazi ya Mungu imetimizwa. Ni kazi hii ndiyo Nimekubali kuifanya, kwa hiyo Natumai kwamba ndugu Zangu wanaweza kuelewa matatizo Yangu na hawana matakwa yoyote zaidi Kwangu. Haya ni matakwa ya Mungu Baba Kwangu na Siwezi kuepuka uhalisi huu. Lazima Nifanye kazi Ninayopaswa kufanya. Yote Ninayotumai ni kwamba msiwe bila busara, kwamba mpate utambuzi zaidi na msiyatazame masuala kwa urahisi sana. Fikira zenu ni za kitoto sana, za kijinga sana. Kazi ya Mungu sio rahisi kama mnavyoweza kufikiri, kwamba Anafanya tu chochote Atakacho kufanya. Ingekuwa hali ni hiyo mpango Wake ungeangamizwa. Hamngesema hivyo? Ninafanya kazi ya Mungu. Siwafanyii tu watu kazi zisizo za kawaida, kufanya chochote Ninachohisi kufanya na kupanga binafsi iwapo Nitafanya kitu au la. Sio rahisi vile sasa hivi. Nimetumwa na Baba kutenda kama mwelekezi—mnafikiri kwamba Nilipanga na kuchagua hili Mwenyewe? Fikira za watu kila mara hukatiza kazi ya Mungu. Kwa hiyo, baada ya Mimi kufanya kazi kwa kipindi cha muda fulani, kuna maombi mengi kutoka kwa watu ambayo Sijaweza kutimiza na watu wote wamebadilisha mawazo yao kunihusu Mimi. Nyote mnapaswa kuelewa mawazo haya mliyonayo—Sina haja ya kuyataja moja kwa moja. Siwezi kufanya chochote ila kufafanua kazi Niifanyayo; hisia Zangu haziumizwi na hili katu. Mara tu mkishaelewa hilo, mnaweza kulichukulia vyovyote mtakavyo. Sitatoa pingamizi zozote kwa sababu hivi ndivyo Mungu hufanya kazi. Sishurutishwi kueleza yote. Nimekuja tu kutimiza kazi ya maneno, kufanya kazi na kutenda kwa mwelekeo wa maneno. Sihitaji kusema mengi kuhusu mengine, na Siwezi kufanya jambo lingine lolote. Nimeeleza kila kitu Ninachotakiwa kusema. Chochote mnachofikiria kukihusu ni sawa, na haijalishi Kwangu. Lakini bado Ningependa kuwakumbusha ninyi kwamba kazi ya Mungu si rahisi kama mnavyoifikiria kuwa. Kadri isivyolingana na fikira za watu ndivyo umuhimu wake ulivyo wa kina, na kadri inavyolingana na fikira za watu, ndivyo isivyokuwa na thamani, na bila umuhimu halisi. Fikirieni maneno haya kwa makini—Nasema tu kitu hiki kimoja kuhusu hilo, na ninyi wenyewe mnaweza kuchambua mengine. Sitafanya ufafanuzi wowote. Watu hufikiri kwamba Mungu hufanya mambo kwa njia fulani, lakini kwa mwaka huu uliopita au zaidi, je, kile ambacho tumeona na kupitia kuhusu kazi ya Mungu kimelingana kweli na fikira za binadamu? Tangu uumbaji wa ulimwengu mpaka sasa, hakuna hata mtu mmoja ambaye ameweza kugundua hatua au sheria za kazi ya Mungu. Ikiwa wangeweza, ni kwa nini wale viongozi wa kidini hawatambui kwamba Mungu wakati wa sasa anafanya kazi kwa njia hii? Ni kwa nini watu wachache sana wanaelewa uhalisi wa leo? Kutokana na hili tunaweza kuona kwamba hakuna anayeielewa kazi ya Mungu—watu wanaweza tu kufanya mambo kulingana na uongozi wa Roho Wake, lakini hawawezi tu kutumia sheria kwa imara kwa kazi Yake. Ukichukua mfano na kazi ya Yesu na kuilinganisha na kazi ya Mungu ya sasa, ni kama vile watu wa Kiyahudi walivyomlinganisha Yesu na wazo la[a] Yehova. Je, huku sio kupata hasara? Hata Yesu hakujua kazi ya Mungu katika siku za mwisho ingekuwa ipi; yote Aliyojua ni kwamba kile Alichohitaji kutimiza kilikuwa ni kazi ya kusulubiwa, kwa hiyo wengine wangejuaje? Wangejuaje ni kazi gani ambayo Mungu angeifanya katika siku za usoni? Mungu angefichuaje mipango Yake kwa wanadamu, ambao wamemilikiwa na Shetani? Je, huo si upumbavu? Kile ambacho Mungu anakuruhusu kujua na kuelewa ni mapenzi Yake. Hakuruhusu wewe ufikirie juu ya kazi Yake ya siku za usoni. Yote tunayohitaji kufanya ni kumwamini Mungu na kufanya mambo kulingana na uongozi Wake, kushughulikia matatizo halisi kwa utendaji, kutofanya mambo kuwa magumu kwa Mungu au kumletea Yeye matatizo. Tunapaswa tu kwenda kufanya tunachopaswa kufanya—maadamu tunaweza kuwa katika kazi ya Mungu ya wakati uliopo hiyo inatosha! Hii ni njia Ninayowaongoza nyinyi kwayo. Tunapaswa kuendelea mbele, na Mungu hatamtesa yeyote kati yetu. Katika mwaka huu uliopita wa uzoefu wenu wa ajabu mmepata mambo mengi sana; Naamini kwamba hamtafadhaishwa sana. Njia Ninayowaelekeza kwayo ni kazi Yangu, wajibu Wangu, na iliamriwa na Mungu kitambo sana ili tuweze kuamuliwa kabla kufika umbali huu, hadi leo—kwamba tumeweza kufanya hili ni baraka yetu kubwa, na ingawa haijakuwa njia rahisi, urafiki wetu ni wa milele, na utapitishwa moja kwa moja katika enzi. Kama zilikuwa nderemo na kicheko au huzuni na machozi, yote yanajumlisha kumbukumbu zetu nzuri! Labda mnapaswa kujua kwamba Sina siku nyingi kwa ajili ya kazi Yangu. Nina miradi mingi sana ya kazi, na Siwezi kuandamana nanyi mara kwa mara. Natumai mnaweza kunielewa Mimi—kwa sababu urafiki wetu wa asili bado uko vilevile. Labda siku moja Nitaonekana kwa mara nyingine mbele yenu, na Natumai kwamba hamtafanya mambo yawe magumu Kwangu. Hata hivyo, Mimi ni tofauti nanyi. Nasafiri kwenda kote kwa ajili ya kazi Yangu, na Siishi maisha Yangu kwa kupumzika tu kivivu katika hoteli nyingi. Bila kujali vile mlivyo, Mimi hufanya tu Ninachopaswa kufanya. Natumai kwamba mambo tuliyoshirikiana hapa awali yatakuwa kipeo cha uzuri wa urafiki wetu. Inaweza kusemwa kwamba hii njia ilifunguliwa na Mimi, na kama ni chungu au tamu, Nimeiongoza njia. Kuweza kwetu kuendelea mpaka wakati wa sasa yote imekuwa ni kwa sababu ya neema ya Mungu. Huenda kukawa na wengine wanaonishukuru Mimi, na huenda kukawa na wengine wanaolalamika dhidi Yangu, lakini hakuna lililo muhimu kati ya hayo. Yote Nitakayo kuona ni kwamba kinachopaswa kutimizwa katika kundi hili la watu kimetimizwa. Hili linapaswa kusherehekewa. Kwa hiyo, sina kisasi dhidi ya wale wanaolalamika dhidi Yangu; yote Nitakayo ni kutimiza kazi Yangu haraka iwezekanavyo ili moyo wa Mungu uweze kuwa na raha hivi punde. Wakati huo Sitaubeba mzigo wowote mzito, na hakutakuwa na wasiwasi ndani ya moyo wa Mungu. Je, mko radhi kushirikiana kwa njia iliyo bora? Je, kufanya kazi ya Mungu vizuri sio lengo bora kwa ajili ya mapambano yetu? Inaweza kusemwa kweli kwamba tumepitia taabu nyingi na kupitia furaha na huzuni yote katika kipindi hiki cha wakati, na kwa jumla, utendaji wa kila mtu umekuwa takriban wa wastani. Labda katika siku za baadaye kutakuwa na kazi ya kupendeza zaidi mtakayotakiwa kufanya, lakini msikawie katika kuwaza juu Yangu; fanyeni tu mnachopaswa. Ninachohitaji kufanya kinakaribia kufika mwisho, na Natumai kwamba mtakuwa waaminifu wakati wote na kwamba hamtakuwa wenye hamu ya mambo yaliyozoewa kuhusu kazi Yangu. Mnapaswa kujua kwamba Nimekuja tu kutimiza hatua moja ya kazi, bila shaka sio kufanya kazi yote ya Mungu. Hili ni jambo mnalotakiwa kuelewa. Msiwe na maoni mengine kulihusu. Kazi ya Mungu inahitaji njia nyingi zaidi ili iweze kukamilika; hamwezi kunitegemea Mimi kila mara. Labda mliona zamani sana kwamba Ninachofanya ni sehemu moja tu ya kazi hiyo; haimwakilishi Yehova au Yesu. Kazi ya Mungu imegawanywa katika hatua nyingi, kwa hivyo msiwe wagumu sana. Wakati Ninapofanya kazi lazima mnisikilize Mimi. Kazi ya Mungu imekuwa tofauti katika kila enzi moja; haibaki vilevile, na sio tu wimbo ule ule wa zamani unaoimbwa. Kuna kazi Yake ambayo ni ya kufaa kwa kila hatua na hubadilika pamoja na hatua hizo. Kwa vile umezaliwa katika enzi hii, lazima ule na kunywa maneno ya Mungu na kuyasoma maneno Yake. Huenda ikaja siku ambapo kazi Yangu itabadilika na lazima mwendelee mbele kulingana na kile mnachopaswa kufanya. Hakuwezi kuwa na makosa katika kazi ya Mungu. Haijalishi vile ulimwengu wa nje unavyobadilika, Mungu hawezi kuwa mwenye makosa na kazi Yake haiwezi kuwa yenye makosa. Ni kwamba tu wakati mwingine kazi ya Mungu ya zamani hupita na kazi Yake mpya huanza; hata hivyo, haiwezi kusemwa kwamba kwa vile kazi mpya imekuja kazi ya zamani ni yenye makosa. Hiyo ni hoja ya uwongo! Kazi ya Mungu haiwezi kusemekana kuwa ni sahihi au yenye kosa, inaweza tu kusemekana kuwa ya mwanzoni au ya baadaye. Huu ni mwongozo wa imani ya watu katika Mungu na hauwezi bila shaka kupuuzwa. a. Maandishi ya asili hayana maneno “wazo la.” Iliyotangulia:Njia …(7) Inayofuata:Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini Mungu huzungumza maneno Yake na kufanya kazi Yake kulingana na enzi tofauti, na katika enzi tofauti, Anazungumza maneno tofauti. Mungu hafuati sheri…
"2020-07-04T14:07:41"
https://sw.godfootsteps.org/the-path-8.html
[ -1 ]
Rais Atangaza Hali Ya Hatari. - SeeTheAfricanLink Home / Kimataifa / Rais Atangaza Hali Ya Hatari. Rais Atangaza Hali Ya Hatari. Hali ya hatari, ambayo itaanza kutekelezwa mara tu baada ya kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali , itamruhusu Rais na Baraza kufanya kazi za bunge kupitisha sheria mpya na kuweka mipaka au kusimamisha kwa muda baadhi ya haki na uhuru wa raia inapolazimika kufanya hivyo. Hata hivyo mamia ya shule na taasisi za kielimu zimefungwa.waalimu na wana taaluma ni sehemu ya maelfu ya wanajeshi, wafanya kazi wa umma na wengine wanaoshukiwa kuiangusha serikali, mpango unaodaiwa kuongozwa na Kiongozi wa Kidini aishie uhamishoni nchini Marekani, Fethullah Gulen.
"2018-06-23T23:46:27"
http://www.seetheafrica.com/2016/07/rais-atangaza-hali-ya-hatari.html
[ -1 ]
LIVE AIRPORT: Rais wa Zambia anapokelewa kwa ajili ya SADC – Millardayo.com LIVE AIRPORT: Rais wa Zambia anapokelewa kwa ajili ya SADC Rais wa Zambia, Edgar Lungu awasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, mchana huu, Kiongozi huyo ataungana na wengine katika mkutano wa 39 wa SADC, tazama LIVE muda huu. RAMAPHOSA “ENEO HILI NI LA KWETU TUMEWAHAZIMA TANZANIA” ← Previous Story Spika Ndugai aziita kamati za Bunge Dodoma Next Story → “Rais Magufuli amenituma niwaeleze kwamba hataongeza hata dakika tano”-Polepole
"2020-07-14T23:27:55"
https://millardayo.com/airsdc/
[ -1 ]
Kumbukumbu za Sayansi na Teknolojia Ukurasa 8 ya 8 | Suenee Ulimwengu 2 6867x Slovakia: mvuto mbaya katika Lačnova 1 11572x Ushahidi kwamba fahamu ni ukweli: kuwakaribisha kwa tumbo 3 10242x 8 7068x Mitambo ya mitambo ina asili ya patent 14 8128x Sayansi: Kamera imechukua mwanga wa kuruka Makosa ya miungu ndogo ya sayansi 2 8473x 2 6219x Sura ya Cassini imetuma picha mpya kutoka Titan
"2020-01-20T00:05:30"
https://sw.suenee.cz/category/novinky/veda-a-technika/page/8/
[ -1 ]
Haki za binadamu zisimkwaze Magufuli | Gazeti la Jamhuri Jamhuri May 5, 2016 Haki za binadamu zisimkwaze Magufuli2016-05-05T05:57:00+00:00 Makala Zimeanza kujitokeza lawama kwamba Rais John Pombe Magufuli anakwenda nje ya haki za binadamu katika utendaji wake wa kazi, kwa mtindo wake maarufu wa ‘kutumbua majipu’. Baadhi ya watu wanadai kwamba mtindo huo alioubuni Magufuli wa kutumbua majipu unaonekana kuzikiuka haki za binadamu! Haijaeleweka ni haki gani wanazozidai watu hao kwamba Magufuli anazikiuka. Ila ningetaka kuwakumbusha kwamba ugonjwa wowote unakiuka haki za maumbile ya binadamu, haijawahi kutokea ugonjwa ukazijali haki za binadamu. Maana ugonjwa huleta maumivu, kitu ambacho tunaweza kusema kwamba ni ukiukaji wa haki za binadamu. Kwa hiyo, kwa vile ugonjwa unakiuka haki za binadamu, kuutibu ugonjwa hakuwezi kuzingatia haki za binadamu kwa sababu unasababisha maumivu katika mwili wa binadamu. Na kwa mantiki hiyo, ni lazima kuutibu ugonjwa kulete maumivu pia, lakini ni maumivu ya muda yenye matumaini ya muda mrefu. Kwa hiyo, anayesumbuliwa na ugonjwa ni lazima avumilie maumivu ya muda mfupi akiwa na matumaini ya kupata nafuu au kupona kabisa. Ndiyo maana Waswahili wakasema kwamba dawa hulii kunoga. Na dawa chungu ndiyo mara nyingi inayotibu haraka na kwa usahihi zaidi. Baada ya maelezo hayo, tunaweza kuona kwamba anachokifanya Rais Magufuli ni kitu chenye lengo jema, kuwaondolea wananchi usumbufu wa muda mrefu kwa kuwaondoa watu wanaosababisha usumbufu huo, tena kuwaondoa kwa muda mfupi bila mjadala. Haiwezekani baadhi ya watu, tena walio wachache, wakiwa ni watumishi wa umma wakose ubinadamu kwa kutowatendea haki wananchi walio wengi lakini wao watake kutendewa kinachoitwa ‘haki za binadamu’ wakati wa kuwajibishwa. Hilo ni jambo linaloelekea kwenye uchizi, watu kukosa kutenda haki za binadamu kwa umma wanaoutumikia lakini wao watake kutendewa haki za binadamu wakati wa kuwajibishwa. Mfano, mtu kaajiriwa mahali fulani kuwatumikia wananchi, mtu huyo anaamua kuiba mali za umma kimakusudi, kwa maana ya kwamba ni mwizi, ila mtu huyo asiwajibishwe kwa madai ya kwamba kwa kufanyiwa hivyo anakuwa hajatendewa haki za binadamu! Ieleweke kwamba mtu wa aina hiyo tayari anakuwa ameuvua ubinadamu. Hiyo maana yake ni kwamba hata haki za binadamu zinazotajwa anakuwa amezivua vilevile, kwa nini aendelee kuhusishwa nazo? Rais Magufuli anatumbua majipu yaliyo katika mamlaka yake, katika hilo siwaelewi wanaosema kwamba anakwenda nje ya haki za binadamu wanamaanisha nini. Maana angekuwa anatumbua wale wasiomhusu, kama vile viongozi wa dini na taasisi nyingine zisizohusiana na mamlaka yake basi ningeweza kuiona mantiki ya madai yao. Lakini madai ya kwamba anawatangaza au kuwatumbulia hadharani wanaotenda maovu kwenye utumishi wao sioni kama yana mashiko. Sababu urais na utumishi wa umma ni kitu cha uwazi, kwa nini maovu yanayotokea kwenye utumishi huo yawe masuala ya siri? Watumishi wa umma ni kwamba mwajiri wao ni umma, sasa iweje wawajibishwe kwa maovu yao bila umma, mwajiri kuelewa kilichowasibu? Mbona Rais anapomteua mtu kwenye nafasi yoyote inatangazwa wazi bila kificho na hakuna anayelalamika kuwa kavunjiwa haki za binadamu kwa jina lake kutangazwa kuwa kateuliwa mtu kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa, wilaya, balozi nchi za nje na kadhalika? Kwa nini mtu huyo anaposhindwa kuyatekeleza majukumu yake kadiri inavyopaswa asitangazwe hadharani? Ikumbukwe kwamba mambo ya aina hiyo, kuyaficha maovu yanayofanywa na watumishi wa umma, na badala yake kuwawajibisha kisirisiri au kutowawajibisha kabisa, au mtu kukosea sehemu moja na kuhamishiwa sehemu nyingine ili nako akaendeleze uovu wake uleule ndiyo yaliyoifanya nchi yetu kujaa majipu haya ambayo Magufuli kajipa jukumu la kuyatumbua. Kwa maana hiyo tunapaswa kuelewa kwamba huu ni wakati mwingine kabisa. Ni wakati wa kuitibu nchi yetu na kuiponya kabisa na ugonjwa huo wa kujitakia. Lakini tukianza kuleta madai kama hayo ya kwamba utabibu unaofanyika hauzingatii haki za binadamu ambazo vilevile hazizingatiwi na maradhi husika, basi tutakuwa tumejigeuzia kwenye ule usemi wa ‘mficha maradhi kwa kusudi au kwa kuogopa lawama kifo ndicho kitakacho kuja kuweka kila kitu wazi.’ Kwa nini tusubiri mambo yawe hivyo? Utumbuaji wa majipu kwa mtindo wa Magufuli ni mzuri sana, ni mtindo wa kutibu na kuweka kinga sawia. Maana mtu anayetumbuliwa hadharani anawafanya wengine ambao hawajawa majipu kujiepusha na mambo ambayo yanaweza kuwafanya nao kuota majipu. Hiyo ni kinga ambayo inamrahisishia Rais kuendelea na kazi ya kutumbua majipu kila wakati. Inamfanya atibu akiwa ameweka chanjo kama kinga ya majipu ya baadaye. Kama alivyosema yeye Rais Magufuli, ni kwamba wale wanaodai kwamba namna yake ya utumbuaji wa majipu inakosa uhalali wa haki za binadamu nao ni majipu ambayo bado hayajamulikwa. Kwa maana hiyo, wakati wao ukifika nao ni lazima watumbuliwe pia. Pengine kwa kulielewa hilo ndiyo maana wanaanza kulalama, wanajua kwamba majipu ni ugonjwa mbaya ambao kutibiwa kwake ni lazima mwenye ugonjwa huo apate maumivu. Swali ambalo ni rahisi kwa kila mmoja wetu kujiuliza ni la kwa nini anayeelewa maumivu ya kutumbuliwa majipu aendelee kuyafuga majipu? Sababu kwa kadiri inavyoonekana, watu wanayatetea majipu, ni lazima majipu hayo ni ya kufugwa. Isingekuwa hivyo watu wakahangaika kuyatetea wakiyajengea hoza za kuyalinda kiasi cha kusema kwamba utumbuliwaji wa majipu hayo haufuati haki za binadamu. Nataka nimshauri Rais Magufuli kwamba asiwasikilize wenye madai hayo ovu, yeye aendelee kutumbua majipu tena akiwa amefumba macho kusudi asiweze kuwaangalia usoni hao wenye majipu na baadaye akawaonea huruma. Ila atakayeona anazo dalili za majipu ni bora akawahi kujitumbua mwenyewe kwa njia anazozielewa hazitamletea maumivu makali. Kwa namna hiyo, mbali na kwamba atakuwa amejisaidia mwenyewe kwa kuyakwepa maumivu ya mtumbuaji mkuu, pia atakuwa amempunguzia na kumrahisishia kazi Rais wetu. Nimalizie kwa kusema, Magufuli tumbua majipu bila kuyasikiliza maneno ya watu wenye dalili za majipu. “Mtu dawa halii kunoga, analia kupona tu basi”. 1239 Total Views 3 Views Today « Ushirikiano wa TANU na ASP kabla ya 1964 (2) Obama aungama ‘makosa’ aliyofanya Libya »
"2019-11-19T18:59:44"
http://www.jamhurimedia.co.tz/haki-za-binadamu-zisimkwaze-magufuli/
[ -1 ]
Ndege za jeshi la muungano zashambulia hospitali ya MSF Yemen | Masuala ya Jamii | DW | 28.10.2015 Ndege za jeshi la muungano zashambulia hospitali ya MSF Yemen Hakukuwa na mtu ndani ya jengo wakati lilipotokea shambulio la pili lililolilenga jengo moja la karibu na mahala hapo. Dakika 10 baadae wakalazimika kuwahamisha wahudumu na wagonjwa wapatao 10. Mashambulizi ya ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaongozwa na Saudi Arabia yakiwalenga waasi nchini Yemen, yameiharibu hospitali inayoongozwa na Shirika la Madakatari wasio na Mipaka-MSF katika wilaya ya kaskazini ya Saada. Taarifa imesema hakukuwa na vifo lakini mtu mmoja alijeruhiwa. Kiongozi wa ofisi ya Shirika hilo nchini Yemen Hassan Boucenine aliliambia Shirika la habari la Associated Press-AP kutokea mji wa bandari kusini mwa nchi hiyo wa Aden kwamba, shambulizi la kwanza lilifanyika Jumatatu asubuhi na kuliharibu jengo lenye ofisi za utawala za MSF. Hakukuwa na mtu ndani ya jengo wakati lilipotokea shambulio la pili lililolilenga jengo moja la karibu na mahala hapo. Dakika 10 baadae wakalazimika kuwahamisha wahudumu na wagonjwa wapatao 10. Afisa huyo alisema mashambulizi ya mabomu limekuwa jambo la kawaida na kwamba shambulizi hilo dhidi ya jengo la Shirika la Madaktari wasio na Mipaka linaashiria kuwa wahusika hawajali kabisa usalama wa raia, akiongeza kwamba kushambuliwa raia ni hospitali ni ukiukaji wa sheria ya kimataifa inayohusika na binaadamu. Shirika hilo linatoa huduma za matibabu katika wilaya nane, katika wakati ambapo mashirika mengi ya misaada ya kigeni na wafanyakazi wa Umoja wa mataifa wamehamishwa kutoka Yemen . Katika taarifa yake Shirika la MSF limesema hospitali ilioharibiwa ilikuwa ikiwapatia matibabu wagonjwa 3,400 tangu lilipoanza shughuli zake mwezi Mei. Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ukiungwa mkono na Marekani, umekuwa ukifanya mashambulizi dhidi ya waasi wa Kishia wanaojulikana pia kwa jina la Huthi pamoja na washirika wao tangu Mach, wakati wilaya ya Saada ambayo ni ngome kuu ya waasi hao iikihujumiwa vikali kwa mabomu. Umoja wa Mataifa unasema eneo lililoshambuliwa hivi karibuni ni kituo cha 39 cha matibabu kuharibiwa tokea vita vilipopamba moto miezi saba iliopita na kuongeza kumekuweko na uhaba mkubwa wa mafuta, madawa, umeme na maji hali inayotoa kitisho cha kwamba huenda vituo zaidi vikafungwa. Shirika la Kimataifa la Haki za Binaadamu-Amnesty International, limeyaita mashambulizi hayo yanayoongozwa na Saudi Arabia kuwa uhalifu wa kivita na kutoa wito pafanyike uchunguzi huru. Mwandishi: Mohammed Abdul-Rahman ,ap, dpa Tarehe 28.10.2015 Maneno muhimu msf, yemen, saudi arabia Kiungo https://p.dw.com/p/1GvJh
"2019-03-23T03:26:13"
https://www.dw.com/sw/ndege-za-jeshi-la-muungano-zashambulia-hospitali-ya-msf-yemen/a-18809913
[ -1 ]
Kilimanjaro Official Blog: Mbunge wa Njombe akabidhi milioni mbili kusaidia maendeleo ya shule katika jimbo lake Mbunge wa Njombe akabidhi milioni mbili kusaidia maendeleo ya shule katika jimbo lake Naibu waziri wa ujenzi Mhandisi Gerison Lwenge, ambae pia ni mbunge wa jimbo la Njombe Magharibi amekabidhi kiasi cha shilingi milioni mbili kwa ajili ya kuendesha shule pamoja na vitabu arobaini na tisa (49) vya masomo mbalimbali vikiwemo vya sayansi katika shule ya sekondari ya luduga iliyoko wilayani wanging’ombe . Akiwa katika ziara ya siku kumi na nne wilayani wanging’ombe mhandisi Lwenge alisema kwa kutambua changamoto zinazoikabili sekta ya elimu hapa nchini imemlazimu kupeleka vitabu hivyo katika shule zote za sekondari zilizopo katika jimbo lake ili wanafunzi waweze kujisomea na kuleta ufaulu mkubwa katika masomo ya sayansi. Aidha mhandisi Lwenge alisema katika mchakato wa rasimu ya katiba serikali imepitisha kipengere cha elimu ya msingi kweda hadi kidato cha nne ambapo itakuwa na mitaala ya masomo mbalimbali yakiwamo ya ufundi stadi na kilimo yanayowapa wanafunzi fursa ya kujitegemea wanapohitimu elimu hiyo. Katika hatua nyingine mhandisi Lwenge aliwahakikishia wananchi wa vijiji vya kata ya Luduge na vijiji vya Korinto, Kilonge na Mwambegu kupelekewa miundo mbinu ukiwemo umeme mwaka huu ambapo vijiji vingine vitapatiwa kwa awamu nyingine itakayofuata, nakuwataka wananchi watakao wekewa umeme kwa awamu hii kuweka maandalizi kwa ajili ya umeme huo. Akisoma taarifa fupi ya shule hiyo mkuu wa shule ya Luduga alisema shule hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa maji, upungufu wa nyumba za waalimu, mabweni, bwalo la chakula pamoja na maabara za kisasa. Posted by King Jofa at 9:12 AM
"2017-12-15T21:47:53"
http://kingjofa.blogspot.com/2014/10/mbunge-wa-njombe-akabidhi-milioni-mbili.html
[ -1 ]
Simba SC vs Mbao FC, mtoto hatumwi dukani FA, leo | EYOPAH Kuelekea fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) mchezo utakaopigwa katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma unao wakutanisha klabu ya Simba SC dhidi ya Mbao FC ya Mwanza. Simba inahitaji ushindi katika mchezo huu baada ya kupoteza kuchukua kombe la Ligi kuu, huku ikiwa na historia ya kutoshiriki michuano ya Afrika kwa mara ya mwisho mwaka 2013, na kutolewa na Recreativo de Lobolo ya Angola kwa vipigo vya nyumbani na ugenini, ikifungwa 1-0 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na 4-0 ugenini. Toka wakati huo klabu ya Simba imekuwa ikishuhudia jirani zake Yanga pamoja na Azam FC zikikwea pipa kwenda kushiriki michuano ya Afrika. Kucheza mchezo huu wa leo, kwa klabu ya Simba SC ni muhimu lakini umuhimu wake zaidi ni pale klabu hii itakapo shinda taji hili na kupata fursa ya kushiriki michuano ya kimataifa baada ya miaka minne sasa kupita. Klabu ya Mbao FC, ni miongoni mwa klabu ambazo zimefanya vizuri katika ligi kuu msimu huu, imeweza kumfunga Yanga katika michezo miwili timu hizi zilipokutana. Ushindi wa 1-0 kwenye mechi ya mwisho ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza na kufanya timu hii kusalia katika ligi, kwa ushindi huo unaipa kiburi– Mbao FC leo itakapo kutana na mnyama, Simba SC.
"2019-02-23T02:56:45"
https://www.eyopah.com/2017/05/simba-sc-vs-mbao-fc-mtoto-hatumwi.html
[ -1 ]
Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu (English Edition) [Edición Kindle] PDF By author David Downie last download was at 2016-04-18 36:12:56. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu (English Edition) [Edición Kindle] book. Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu (Paperback) PDF By author David Downie last download was at 2016-02-08 00:46:09. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu (Paperback) book. Hadithi za mapokeo ya Wairaqw PDF By author 0 last download was at 2017-03-21 51:59:39. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za mapokeo ya Wairaqw book. HADITHI ZA MAPOKEO YA WAIRAQW = IRAQW FOLKTALES IN TANZANIA / ZIMEKUSANYWA NA KUANDIKWA NA SHOHEI WADA, SHIRIKIANA NA IZUDORI OWAMARA NA DANIEL AMSI TSILA. (A New, Unread Copy) PDF By author Wada, Shohei last download was at 2016-08-10 54:44:44. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online HADITHI ZA MAPOKEO YA WAIRAQW = IRAQW FOLKTALES IN TANZANIA / ZIMEKUSANYWA NA KUANDIKWA NA SHOHEI WADA, SHIRIKIANA NA IZUDORI OWAMARA NA DANIEL AMSI TSILA. (A New, Unread Copy) book. Hadithi Za Mwitu Motoo Aliyelelewa Na Mbwa Mwitu (Maugli Stories) (Mowgli Stories of a Child Raised By Wolves) PDF By author Mtoto Aliyelelewa Na (Rudyard Kipling) last download was at 2016-07-22 23:55:44. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi Za Mwitu Motoo Aliyelelewa Na Mbwa Mwitu (Maugli Stories) (Mowgli Stories of a Child Raised By Wolves) book. Hadithi za mzee kobe PDF By author 0 last download was at 2016-12-02 43:33:16. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za mzee kobe book. Hadithi za ndege PDF By author 0 last download was at 2017-05-12 54:52:09. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za ndege book. Hadithi za Wairaqw wa Tanzania PDF By author W. D. Kamera last download was at 2016-07-22 44:25:42. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za Wairaqw wa Tanzania book. Hadithi za wasukuma PDF By author S. Felician Shija last download was at 2016-11-09 42:45:00. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za wasukuma book. Hadithi za wayao PDF By author Rashidi Alli Akwilombe last download was at 2016-02-17 09:32:27. This book is good alternative for Hadithi Za Kutisha Nilizo Simuliwa Na Baba Yangu. Download now for free or you can read online Hadithi za wayao book.
"2018-05-24T19:40:04"
http://1wb.malediction.us/emu25/
[ -1 ]
KUIMARISHA ULINZI KWA MAHOTELI YANAYOPIGA MUZIKI RAMADHANI – ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION 08/06/2017 18/08/2018 Mwanaid juma Serikali ya wilaya ya kaskazini “a” imesema wataimarisha ulinzi kwa baadhi ya mahoteli yenye nia ya kutaka kupiga mziki mwezi huu wa ramadhani ili kuwaondoshea usumbufu wakaazi wa maeneo yanayo zungukwa na mahoteli hayo. Akizungumza ofisini kwake mkuu wa wilaya hiyo hassan ali kombo amesema vitendo visivyokuwa na maadili ya kiislamu vinapaswa kukomeshwa ili kuepuka mmomonyoko wa maadili kwa mwezi huu mtukufu. Mkuu huyo amesema serikali inajiandaa kukabiliana na wamiliki wa mahoteli wanaopinga agizo la serikali la kuzuia mkusanyiko wa watu wanaouza na kula kiholela kwa mwezi huu kwani inawezekana pia kukasababisha maradhi ya mripuko kutokea. Kauli hiyo imekuja baada ya malalamiko ya wakaazi wa nugwi ya kuilalamikia hoteli ya kendwa rocks kuwa inataka kupiga mziki maarufu kama full moon part katika mwezi huu wa ramadhani. Sheha wa shehia ya kilindi ali omar mussa amesema alipata malalamiko hayo kuwa hoteli hiyo inataka kupiga mziki mwezi huu na aliiandikia barua lakini hakupata majibu yoyote hivyo amewaomba wamiliki wa mahoteli yenye nia kama hiyo kuwacha mara moja kwani vitendo hivyo vinaweza kuleta usumbufu kwa wakaazi wa maeneo hayo. Kwa upande wake darector meneja wa kendwa rock ali kilupi amesema kutokana na mwezi huu wa ramadhani wamesitisha kufanya full moon part hivyo amewataka wanaotaka kuja kwenye fullmoon part kutofanya hivyo na badala yake wasubiri mpaka mwezi wa ramadhani kuisha. ← WANAUME WAWILI WALIOFANYA SHAMBULIO LONDON ARDHI NI MALI YA SERIKALI LAKINI IMEKUWA IKIUZWA NA WAGENI KWA BEI YA JUU → UKATAJI WA MITI OVYO UMESABABISHA ZIWA KUKAUKA MAJI 05/06/2017 Mwanaid juma Comments Off on UKATAJI WA MITI OVYO UMESABABISHA ZIWA KUKAUKA MAJI
"2018-09-26T11:25:19"
http://zbc.co.tz/kuimarisha-ulinzi-kwa-mahoteli-yanayopiga-muziki-ramadhani/
[ -1 ]
66542121121121212.1 Ethereum kwa NZD 66542121121121212.1 ETH kwa NZD 66542121121121212.1 ETH 19.809.120.009.196.929.024,000000 NZD ($) 1 ETH = 297,692945 NZD 1 NZD = 0,003359 ETH Ethereum Bila shaka kwa Dollar ya New Zealand = 297,69 119900 Ethereum kwa Japanese Yen 0.89445 Ethereum kwa EOS 0.00019345 Ethereum kwa South Korean Won 0.02903141 Ethereum kwa Norwegian Krone 0.00002551 Ethereum kwa Chinese Yuan 2700000000 Ethereum kwa Indonesian Rupiah 41.50 ETH kwa NZD7 minutes ago 54.50 ETH kwa NZD1 hour ago 832000 ETH kwa NZD2 hours ago 254000 ETH kwa NZD2 hours ago 39993 ETH kwa NZD6 hours ago 421800 ETH kwa NZD7 hours ago 0.0479 ETH kwa NZD7 hours ago 8436316 ETH kwa NZD15 hours ago 159650000 ETH kwa NZD17 hours ago 13275 ETH kwa NZD18 hours ago 1 ETH 297,69 NZD 10 ETH 2.976,93 NZD 100 ETH 29.769,29 NZD 1000 ETH 297.692,95 NZD 10000 ETH 2.976.929,45 NZD 1 Finney 0,29769295 NZD 10 Finney 2,9769 NZD 100 Finney 29,7693 NZD 1000 Finney 297,69 NZD 10000 Finney 2.976,93 NZD 1 Szabo 0,00297693 NZD 10 Szabo 0,02976929 NZD 100 Szabo 0,29769295 NZD 1000 Szabo 2,9769 NZD 10000 Szabo 29,7693 NZD 1 Gwei 0,00002977 NZD 10 Gwei 0,00029769 NZD 100 Gwei 0,00297693 NZD 1000 Gwei 0,02976929 NZD 10000 Gwei 0,29769295 NZD 1 NZD 0,00335917 ETH 10 NZD 0,03359166 ETH 100 NZD 0,33591659 ETH 1000 NZD 3,3592 ETH 10000 NZD 33,5917 ETH 1 NZD 3,3592 Finney 10 NZD 33,5917 Finney 100 NZD 335,92 Finney 1000 NZD 3.359,17 Finney 10000 NZD 33.591,66 Finney 1 NZD 335,92 Szabo 10 NZD 3.359,17 Szabo 100 NZD 33.591,66 Szabo 1000 NZD 335.916,59 Szabo 10000 NZD 3.359.165,93 Szabo 1 NZD 33.591,66 Gwei 10 NZD 335.916,59 Gwei 100 NZD 3.359.165,93 Gwei 1000 NZD 33.591.659,34 Gwei 10000 NZD 335.916.593,42 Gwei Hakuna asilimia maalum au thamani inayofafanua kiwango cha ubadilishaji mzuri. Watu wengine wanaweza kujisikia kuwa ni wakati mzuri wa kubadilishana fedha zao ikiwa thamani ya 297,692945 inaongezeka kwa 100 NZD wakati wengine wanaweza kusubiri thamani ya kuongeza kwa 5 ETH kwa AUDETH kwa BRLETH kwa CHFETH kwa CNYETH kwa EURETH kwa IDRETH kwa JPYETH kwa KRWETH kwa MXNETH kwa SGD
"2019-10-22T20:05:12"
https://www.curvert.com/sw/eth-nzd/66542121121121212.1
[ -1 ]
Haya hapa mambo ya muhimu unayohitaji kupokea pesa kutoa nje ya nchi. Machi 26, 2020, 7:42 um -1 Votes Kama wewe ni mmoja wa watu ambao wanatarajia kufanya biashara mtandaoni kwa namna moja ama nyingine ni muhimu kujua kuwa yapo mambo ya muhimu sana ya kufahamu kabla ya kuanza kupokea pesa kutoka nje ya nchi. Kupitia makala hii tutaenda kuangalia mambo kadhaa ambayo ni muhimu sana pale unapo hitaji kupokea pesa kutoka nje ya nchi. Kumbuka makala hii inalenga zaidi wale wanaoishi kwenye nchi za Afrika (Tanzania) na nchi nyingine na wanatarajia kupokea pesa kutoka kwenye kampuni za matangazo kama vile Google Adsense, Propeller Ads na kampuni nyingine za matangazo. Kama nilivyo kwambia hapo juu, kupitia makala hii tutalenga zaidi kupokea pesa kutoka kwenye makampuni ya matangazo ambayo mara nyingi yamekuwa yakitumia njia ambazo zinafanana hivyo kwa kusoma makala hii natumaini utaweza kupokea pesa zako kwa urahisi na haraka. Lakini kwa kuanza hebu tuangalie kwa ujumla mambo unayo hitaji ili kupokea pesa kutoka nje ya nchi. Namba ya Akaunti ya Benki Jina Kamili la Benki Yako Swift Code au Bic Code Majina yako kamili App ya Benki Unayo tumia Ni kweli kwamba unaweza kuona kama benki hazina umuhimu sana hasa kwenye kipindi hichi ambacho unaweza kufanya karibia kila kitu kwa kutumia simu yako ya mkononi, hii inaweza kuwa ni kweli lakini kama wewe ni mmoja wa watu wanao tarajia kupokea pesa mtandaoni au nje ya nchi basi hii ni sehemu ya muhimu sana na ya lazima. Kitu cha muhimu ambacho utaulizwa pale unapojaza fomu ya kupokea malipo kutoka nje ya nchi ni pamoja na jina kamili la benki yako. Naposema jina kamili la benki sina maana kwa mfano CRDB au NMB hapana, hapa nina maana jina ambalo linatambulisha benki yako kimataifa, kwa mfano kama unatumia benki ya CRDB basi jina kamili litakuwa “CRDB Bank PLC Tanzania” kama ni NMB basi itakuwa ni “NMB Bank PLC”. Kujua majina kamili ya benki yako ni muhimu kuuliza au unaweza kutafuta kupitia Google. Moja kati ya kitu ambacho kinaweza kufanya ufanikiwe au uweze kuchelewesha kupata pesa zako ni Swift Code au Bic Code. Hizi ni namba za utambulisho ambazo ni muhimu sana kuzifahamu pale unapotaka kupokea pesa kutoka nje ya nchi au kutoka kwenye kampuni kama Google Adsense na nyingine, kila benki inakuja na Swift Code au Bic Code za aina tofauti zipo benki nyingine zinakuja na namba hizo zikiwa tofauti kwa kila tawi la benki na nyingine huwa zinatumia namba moja tu ya utambulisho. Zifuatazo ni Swift Code au Bic Code za benki mbalimbali hapa nchini Tanzania. Unaweza kusoma list nzima kwa urahisi hapa. Hitaji la mwisho na la muhimu ni kuwa tayari kujaza majina yako matatu au majina kamili kama invyo onyesha kwenye kitambulishi chako cha taifa. Ni muhimu kujaza majina sahihi kwani kama kuna tatizo lolote la malipo, kampuni husika inaweza kuhitaji copy ya kitambulisho chako ambacho kina majina hayo kamili. Ni wazi kuwa hili ni moja kati ya jambo ambalo watu wengi sana wanasahau kufanya, Ni muhimu sana pale unapo fungua akaunti yako ya benki kuweza kuunganisha akaunti yako pamoja na barua pepe yako hii itasaidia kupata ujumbe pale pesa zako zinapo ingia kwenye akaunti yako kutoka nje ya nchi ikiwa pamoja na kupokea (bank statement) au taarifa za kibenki kuhusu akaunti yako. Moja kati ya vitu ambavyo binafsi yangu hufanya sana ni kutumia app za benki yangu kwa ajili ya kufanya miamala mbalimbali, hii inanisaidia sana kwani pia huwa natumia app hizo kufuatilia kama malipo yame ingia kwenye akaunti yangu pale napo tegemea kupokea pesa kutoka nje ya nchi. Hii inaweza isiwe muhimu kwako kama unaweza kuangalia barua pepe kila wakati. Kwa kukamilisha hayo yoye sasa utakuwa uko tayari kupokea pesa kutoka kampuni kama Google Adsense na kampuni nyingine ambazo zinatumia njia ya money transfer kuweza kufanya malipo kwa mtu au kampuni yoyote. Kama bado huja anza kutengeneza pesa mtandaoni basi unaweza kuanzia hapa, kwani unaweza kuipata tovuti ambayo ilinisaidia hapo awali kutengeneza zaidi ya milioni 20 mtandaoni. Kwa maujanja zaidi ya jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni basi hakikisha unatembelea channel yetu ya YouTube hapa, kwani mara kwa mara tunajifunza kwa vitendo njia mbalimbali za kutengeneza pesa mtandaoni. Makala iliyopita Kampuni ya Infinix Yazindua Simu Mpya ya Infinix Hot 9 Makala inayofuata Jinsi ya Kutengeneza App ya Android kwa Kutumia Smartphone Godfrey maziku says: Machi 28, 2020 at 12:20 um
"2020-06-01T23:17:31"
https://tanzaniatech.one/2020/03/kupokea-pesa-kutoka-nje-ya-nchi/
[ -1 ]
MAYWEATHER AWEKEWA ULINZI MKALI KUELEKEA PAMBANO NA MCGREGOR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAYWEATHER AWEKEWA ULINZI MKALI KUELEKEA PAMBANO NA MCGREGOR - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > NDONDI > MAYWEATHER AWEKEWA ULINZI MKALI KUELEKEA PAMBANO NA MCGREGOR MAYWEATHER AWEKEWA ULINZI MKALI KUELEKEA PAMBANO NA MCGREGOR Bondia Floyd Mayweather akiwa na Mtendaji Mkuu wa kampuni yake, Mayweather Promotions, Leonard Ellerby (kushoto) na mmoja wa walinzi wake, Greg La Rosa (kulia) kuelekea pambano lake na Conor McGregor kesho ukumbi wa MGM Grand Garden Arena mjini Las Vegas, Marekani Jumamosi usiku, ambayo kwa Afrika Mashariki itakuwa Alfajiri PICHA ZAIDI GONGA HAPA Item Reviewed: MAYWEATHER AWEKEWA ULINZI MKALI KUELEKEA PAMBANO NA MCGREGOR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
"2019-06-25T23:49:00"
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/08/mayweather-awekewa-ulinzi-mkali.html
[ -1 ]
Gareth Southgate kusaini mkataba mpya – Dar24 Gareth Southgate kusaini mkataba mpya 4 months ago Comments Off on Gareth Southgate kusaini mkataba mpya Kocha mkuu wa timu ya taifa ya England Gareth Southgate anatarajiwa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo, ambao utamuwezesha kuwa mkuu wa benchi la ufundi hadi mwaka 2022. Southgate mwenye umri wa miaka 48, anatarajiwa kukutana na uongozi wa chama cha soka nchini England (FA) leo Al-khamis, katika kikao cha mwisho, ambacho kitaambatana na taratibu za kusaini mkataba mpya. Mkataba wa sasa wa kocha huyo, unatarajiwa kufikia kikomo mwaka 2020, lakini hatua ya kuiongoza vyema England katika fainali za kombe la dunia na kufika nusu fainali kwa mara ya kwanza kwenye fainali za kombe la dunia baada ya miaka 28, imempa nafasi nyingine ya kuaminiwa na viongozi wa FA, sambamba na wadau wa soka. VAR kutumika 2019 AFC Asian Cup Taarifa kutoka ndani ya FA zinaeleza kuwa, kocha huyo tayari ameshakubali baadhi ya vipengele vilivyopo kwenye mkataba mpya, na atakua akilipwa mshahara wa Pauni milioni 3 kwa mwaka. Kuelekea mchezo ujao wa michuano ya ligi ya mataifa ya Ulaya (UEFA Nations League) dhidi ya Croatia Oktoba 12, Southgate atakua yupo ndani ya mkataba mpya wa kazi yake. Southgate alianza kukinoa kikosi cha England Septemba 2016, kama kocha wa muda, baada ya kujiuzulu kwa kocha Sam Allardyce, na mwezi Novemba mwaka huo alisaini mkataba rasmi, na kutambulika kama kocha mkuu. Daniel Cousin kocha mpya The Panthers Pape Cheikh Gueye asubiri wito wa Luis Enrique Beki huyo wa zamani wa klabu za Aston Villa na Middlesbrough aliiwezesha England kufuzu fainali za kombe la dunia, na kuifikisha hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo iliyochezw anchini Urusi, na kutolewa na Croatia kwa kufungwa mabao mawili kwa moja. Taifa Stars itakayoikabili Cape Verde yatajwa Maua Sama: Ngumu kusahau, zilikuwa siku ngumu katika maisha yangu Michezo 13 hours ago Comments Off on Tyson Fury apewa nafasi ya kuzichapa na Anthony Joshua
"2019-01-16T07:56:49"
http://dar24.com/gareth-southgate-kusaini-mkataba-mpya/
[ -1 ]
Maombi ya ualimu vyuo vya serikali yafunguliwa rasmi mwisho 28.06.2013 Topic: Maombi ya ualimu vyuo vya serikali yafunguliwa rasmi mwisho 28.06.2013 12th June 2013 16:49 Hii ni taarifa Kwa wale ndg zangu wooote waliokuwa wakisubiri fursa za kuomba nafasi za mafunzo ya Ualimu Kwa ngazi ya A-Stashahada (Certificate) na Shahada (Diploma) hususani katika vyuo vya Ualimu vya Serikali (34) kuwa rasmi katibu Mkuu Wizara ya Elimu anakaribisha waombaji woote waliomaliza Shule O/A Level kuanzia mwaka 2008 hadi 2013 kuomba mafunzo hayo. Zaidi fungua link hapo chini: MASSIVE BOOM likes this. " If you are coward, go to hell" Mabadiliko ni lazima. 12th June 2013 18:51 Re: Maombi ya ualimu vyuo vya serikali yafunguliwa rasmi mwisho 28.06.2013 Ahsante kwa taarifa maana ushindi wa vijana wetu siyo mzuri hivyo kimbilio ni UALIMU. Duniaze 12th June 2013 22:36 Join Date : 27th February 2013 Mbona tayari tangazo limeshapita?Deadline 18.5.2o13. 13th June 2013 04:32 Join Date : 26th May 2013 By tatanyengo mkuu nimeipenda hiyo bhana 13th June 2013 05:02 Mkuu marekebisho.,ni ualimu ngazi ya cheti (certificate) au Grd 'A' kama inavyozoeleka na ualimu ngazi stashahada (diploma) . Shahada ni ngazi ya degree ambayo hutolewa na vyuo vikuu na siyo vyuo vya ualimu. Brother James likes this. 13th June 2013 12:05 Zifa za kujiunga ni zipi? 13th June 2013 14:12 Posts : 9,619 Rep Power : By Erick tryphone Mkuu kwa olevel ni D mbili tu, na Alevel ni S moja tu. 13th June 2013 14:23 Location : Yombo Vituka mh hivi vigezo sijui d mbili kwa grade a na s moja kwa diploma? hapana kama tumefika huko mtoto wangu nitamfundisha mwenyewe nyumbani Usiogope kufa, ogopa kufa na dhambi 13th June 2013 14:28 Posts : 2,350 Rep Power : 85902514 Vigezo kwa ualimu wa shule za msingi mwisho ni div 4 ya pts 27 13th June 2013 18:59 Posts : 3,964 Rep Power : Naombenikuuliza na mimi kama amemaliza form 4 2007 anaweza kupata nafasi wakuu. 14th June 2013 00:39 Sifa za kujiunga na Stashahada(Diploma) ni matokeo ya kidato cha sita (Minimal) E moja na S moja ktk combination yako Sifa za kujiunga na Cheti (Certificate-Grade A) ni matokeo ya kidato cha nne (Minimal) point 27. Deadline ya application ni:28.06.2013 SIFA: uwe umemaliza kidato cha sita/nne kuanzia mwaka 2008 - 2013 tu Application fee: BURE HII NI FURSA KWENYE VYUO VYA UALIMU VYA SERIKALI TU NB: Usijedanganyika kuomba vyuo vya private wakisema cutt-points zao ni chini ya hizo nilizokueleza, watakuwa wanataka kukuibia tu and then wakuache solemba unalia mtaani. Vyuo vyote vya Ualimu Vya Serikali na Private cutt-points zao zinafanana isipokuwa Private college wanachukua waombaji hata walio maliza kidato cha sita kuanzia mwaka 2003. 15th June 2013 08:13 Join Date : 3rd May 2013 Kwa hiyo four ya 28 vyuo vp vinawapokea? 16th June 2013 08:10 Naenda kuwaambia wadogo wa-apply faster coz hii ni fursa yao coz wanasifa za kuombea Je kauli ya lowasa juu ya hali ya elimu inamaanisha nini kwa walimu na wanafunzi wa tanzania?
"2015-07-04T13:36:40"
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/467421-maombi-ya-ualimu-vyuo-vya-serikali-yafunguliwa-rasmi-mwisho-28-06-2013-a.html
[ -1 ]
WAWILI WASIMAMISHWA KAZI SHINYANGA BAADA YA MAMA MJAMZITO KUJIFUNGULIA KWENYE KORIDO. - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories WAWILI WASIMAMISHWA KAZI SHINYANGA BAADA YA MAMA MJAMZITO KUJIFUNGULIA KWENYE KORIDO. WAWILI WASIMAMISHWA KAZI SHINYANGA BAADA YA MAMA MJAMZITO KUJIFUNGULIA KWENYE KORIDO. Bundala William Monday, July 11, 2016 0 Comment Siku chache baada ya vyombo vya habari kuripoti mjamzito kujifungulia kwenye korido ya Kituo cha Afya Lyabukande, Shinyanga kwa kukosa huduma, uongozi wa Halmashauri ya Shinyanga umewasimamisha kazi watumishi wawili wa kituo hicho kwa tuhuma za uzembe. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Kiomoni Kibamba ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, jana aliwataja waliosimamishwa kuwa ni pamoja na muuguzi msaidizi wa kituo hicho, Zulfa Mussa na mhudumu katika maabara, Peter Mazengo. Kibamba alisema wamewasimamisha kazi na kufunguliwa mashtaka ya kukiuka maadili ya utumishi huku wakipewa siku 14 kujibu kwa utaratibu wa ajira ya utumishi. “Baada ya hapo tunasubiri baraza la madiwani ndilo litatoa uamuzi juu yao.” Alisema wakati tukio hilo linatokea, watumishi hao walikuwa zamu na kushindwa kumsaidia mjamzito huyo na kitendo hicho kilibainika kuwa cha makusudi na uzembe wa wazi. “Awamu hii ya tano ni awamu nyepesi kwa kufanya kazi sababu imenyooka na iko wazi. Mtu anayeona hawezi kwenda na kasi atupishe ili wabaki wanaoweza kutekeleza majukumu yao kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za nchi na nilishasema mara kwa mara suala hili,”alisema Kibamba. Kamati iliyoteuliwa kuchunguza jambo hilo, ikiongozwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Dk Athuman Pembe ilibaini kuwa baada ya mjamzito huyo kujifungua kwenye korido, watumishi ambao hawakuwapo bali walipata taarifa na kufika kumhudumia mtoto ambaye ana afya nzuri na baada ya muda aliruhusiwa kurudi nyumbani. Tukio la mjamzito huo, Margareth Charles (22), mkazi wa Kijiji cha Kizungungu lilitokea Julai 2 baada ya kuelezwa na mtaalamu wa maabara kuwa hakuna huduma waende sehemu nyingine, lakini mama huyo alishindwa kutokana na uchungu. Mtendaji wa Kata ya Lyabukande, Julius Lugende alisema wananchi wamekuwa wakikilalamikia kituo hicho kwa muda mrefu na ilifikia wakati waliandamana kuwakataa watumishi waliopo kutokana na wajawazito kunyanyasika na kujifungua bila usaidizi.
"2018-01-17T11:09:00"
http://www.kijukuu.com/2016/07/wawili-wasimamishwa-kazi-shinyanga.html
[ -1 ]
Maelezo ya mheshimiwa rostam aziz kwenye mkutano na waandishi wa habari, jumapili, 03 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Shy, May 5, 2009. Ndugu zangu waandishi wa habari, Naomba nianze kwa kuwashukuru nyote kwa kupokea mwaliko wangu wa kuwaita katika mkutano huu na pia kwa kuja kwenu hapa kunisikiliza. Nataka niwahakikishie kuwa nathamini sana heshima hiyo mliyonipa. Nimeitisha mkutano huu kufuatia tuhuma nzito, ingawa ni lazima niseme pia ni za kipuuzi, zilizotolewa na Mwenyekiti wa IPP, Reginald Abraham Mengi, dhidi yangu na wafanyabiashara wengine wanne akituhusisha na kile alichokiita “mafisadi papa“, alizozitoa wakati akilihutubia Taifa kupitia kituo chake binafsi cha televisheni cha ITV tarehe 23 Aprili, 2009. Mara baada ya kutoa matamshi yake, nilihojiwa na baadhi ya vyombo vya habari vilivyonitaka nitoe maoni yangu. Niliwaambia kuwa sitaki kujibizana na mzee mwenye umri mkubwa unaozidi hata wa baba yangu. Hata hivyo, baada ya kupata nafasi ya kuangalia mkanda mzima wa maelezo yake, na kuona athari mbaya ya uzushi, chuki na sumu iliyomo, nimeona kuna haja ya Watanzania kuufahamu ukweli hasa ulivyo. Naelewa kwamba tayari Serikali na vyombo vyake vimeshatoa kauli za kumuonya Mengi kuhusu kauli alizozitoa. Waziri wa Nchi anayeshughulikia Utawala Bora, Mheshimiwa Sofia Simba, amemtahadharisha Mengi kwamba kitendo chake cha kutumia vibaya vyombo vyake vya habari kuwachafua washindani wake wa kibiashara hakikubaliki. Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa George Mkuchika, amesema Wizara yake inafanya uchunguzi wa matamshi ya Mengi kwa kuupitia mkanda wenye maelezo yake na ikibainika amevunja sheria atachukuliwa hatua. Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, amemuonya dhidi ya kuwahukumu watu ambao kesi zao bado zinaendelea Mahakamani. Na Jeshi la Polisi nalo limeeleza kumshangaa kwake Mengi kutokana na siyo tu kutowasilisha ushahidi wa shutuma zake kwa vyombo vinavyohusika lakini pia kumueleza Mengi kuwa hana jipya alilosema zaidi ya kurejea mambo yaliyokwisha fanyiwa au yanayoendelea kufanyiwa kazi na vyombo vinavyohusika. Pamoja na kuheshimu na kuthamini maelezo hayo ambayo yamemuumbua Mengi lakini bado nahisi binafsi nina wajibu wa kutoa maelezo ya kina kuhusu kiherehere hiki cha Mengi. Kwanza, nataka niweke wazi kwamba tuhuma zote zilizotolewa na Mengi dhidi yangu ni za uongo na ni upuuzi mtupu. Tuhuma hizo ni mwendelezo wa wimbo ule ule ambao amekuwa akiuimba kwa muda mrefu sasa na tayari nilikwishazitolea kauli huko nyuma. Nilipofanya mkutano na waandishi wa habari kama huu mwaka jana, nilisema wazi kwamba sihusiki na tuhuma zote zinazoelekezwa kwangu na nikatoa changamoto kwamba iwapo wale wanaotoa na kusambaza uzushi huo wana ushahidi wa wale wanayoyasema, basi kwa sababu nchi yetu inafuata utawala wa sheria, walipaswa wapeleke ushahidi wao katika vyombo vinavyohusika ili sheria ichukue mkondo wake. Hakuna aliyefanya hivyo. Hata baada ya Mengi kurudia tuhuma hizo wiki iliopita, nilimpa taarifa kupitia vyombo vya habari niliyoitoa tarehe 29 Aprili, 2009, nikimtaka ndani ya siku mbili (2) awe amewasilisha kwenye vyombo vya sheria vinavyohusika ushahidi wa tuhuma zake dhidi yangu kwamba mimi ni fisadi na kwamba mimi ni muuaji ninayepanga mauaji dhidi yake na watu wengine aliowaita “watu waliojitolea kupambana na ufisadi”. Kama akishindwa kufanya hivyo, basi aniombe radhi hadharani. Na nilimwambia wazi kuwa asipofanya mojawapo kati ya hayo, nitakuwa na haki ya kumuanika ili Watanzania waelewe tabia na hulka ya mtu huyu. Hakufanya chochote kati ya hayo. Na hawezi kufanya hivyo kwa sababu anaelewa kuwa alichokisema ni uzushi alioutunga mwenyewe. Ni kutokana na kushindwa kwake kuwasilisha ushahidi huo ndiyo maana nimeona sasa nifanye mkutano huu ili kuweka kumbukumbu sahihi. Nimetafakari kwa kina athari zinazoweza kulifika Taifa letu ikiwa mwenendo wa watu kama Mengi kujipa haki ya kuchafua wale anaowaona ni washindani au wapinzani wake utaachiwa uendelee, na hasa kutokana na sumu mbaya iliyomo katika maelezo anayoyatoa na malengo aliyoyakusudia kwa kutoa maelezo hayo. Nimeona sitakuwa natenda haki kwangu, kwa familia yangu, kwa wapiga kura wangu wa Igunga, kwa Chama changu cha CCM, na kwa Watanzania wenzangu kwa ujumla iwapo nitakaa kimya. Kuendelea kwangu kukaa kimya kunaweza kukapelekea Watanzania wakaziamini propaganda chafu za Mengi zenye dhamira potofu na ovu kwa nchi yetu. Kwa hivyo, kama mzazi na kama mwanafamilia kwa upande mmoja, na pia kama Mbunge, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambazo zote ni nafasi za kuchaguliwa nilizopewa kutokana na kuaminiwa na wale walionichagua kwa kura nyingi, nina wajibu wa kukemea uchafu na uovu unaotaka kupandikizwa na Mengi ambaye watu wanajiuliza amepata wapi uhalali wa kujifanya msemaji wa Watanzania wakati hawajawahi kumchagua katika nafasi yoyote na hivyo hana ridhaa yao. Taifa letu limepita katika vipindi vingi vya majaribio makubwa lakini limebaki kuwa taifa imara na la kupigiwa mfano katika Bara la Afrika. Tanzania ni nchi ambayo bado wananchi wake wanapambana kuyaondoa matatizo makubwa ya umasikini, ujinga na maradhi lakini inasifika duniani kote kwa umoja na mshikamano wa watu wake, na amani na utulivu walioujenga. Haya yamefikiwa kutokana na misingi madhubuti iliyojengwa na waasisi wa Taifa hili. Leo hii anapokuja mtu kama Mengi ambaye kutokana na tamaa, uroho, wivu, chuki, fitina, ubaguzi na ubinafsi uliovuka mipaka alio nao na kujipa jukumu la kuivunja misingi hii, sidhani itakuwa ni haki kuendelea kukaa kimya na kumwacha afanikishe malengo yake hayo. Hatuwezi kukaa kimya maana kufanya hivyo kutakuja kuligharimu vibaya sana Taifa letu. Historia ya Mengi inamuonyesha kwamba ni mtu anayependa kuanzisha ugomvi katika mambo yanayohusu maslahi yake binafsi lakini unapopamba moto na kuona anazidiwa, hutafuta hifadhi kwa kulia lia na kutaka aonewe huruma na kutaka kuliingiza Taifa zima. Katika kufanikisha hayo, amekuwa akitumia vyombo vyake vya habari kuwapotosha wananchi ili waone anaonewa au eti anapigania maslahi yao. Ameanzisha ugomvi na watu wa kada mbali mbali kuanzia Maaskofu hadi kikundi cha wachekeshaji cha Ze Comedy. Huyo ndiye Reginald Abraham Mengi. Alianzisha ugomvi na wamiliki wa vituo vya televisheni vya DTV na CTN mwaka 1994 kwa hofu tu ya kwamba watakuwa washindani wa kituo chake cha ITV na akafika hatua ya kuwazushia kwamba wanataka kumuua, akaufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Alianzisha ugomvi na aliyekuwa Waziri wa Utawala Bora, Mheshimiwa Wilson Masilingi, baada ya kushindwa zabuni ya ubinafsishaji wa Hoteli ya Kilimanjaro, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Katika kudhihirisha jinsi alivyo mtu wa chuki na visasi, kutokana na kuikosa tu hoteli hiyo, amekuwa hakanyagi na hata hashiriki shughuli yoyote inayofanyika katika hoteli hiyo. Akaanzisha ugomvi na aliyekuwa Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda, Mheshimiwa Shamim Khan, kwa kutakiwa afute maelezo katika maji ya kunywa yanayozalishwa na kampuni yake kwamba yalikuwa ya chemchem wakati hayakuwa hivyo, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na aliyekuwa Waziri wa Mazingira, Mheshimiwa Edward Lowassa, aliyemkanya Mengi asitumie nafasi yake kama Mwenyekiti wa Baraza la Mazingira kuwakomoa washindani wake wa biashara kwa kuwazushia tuhuma za kuchafua mazingira na kuvifungia viwanda vyao, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Basil Mramba, baada ya kumnasa akikwepa kodi katika uendeshaji wa biashara yake ya bahati nasibu ya BINGO, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na kampuni ya Habari Corporation iliyokuwa inaongozwa na Jenerali Ulimwengu baada ya kufichua habari za jinsi alivyoifilisi benki ya NBC, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na mfanyabishara Yusuf Manji ambaye kwanza walikuwa wakigombea uendeshaji wa mchezo wa bahati nasibu, na baadaye akajenga chuki naye binafsi kwa sababu tu alifanikiwa kuusuluhisha mgogoro wa Yanga ambao Mengi ulimshinda, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na Mheshimiwa Adam Malima ambaye alihoji Bungeni jinsi Mengi anavyotumia vibaya vyombo vyake vya habari kwa kutangaza habari za kujitukuza binafsi zaidi ya hata vinavyotangaza habari zinazowahusu viongozi wa kitaifa, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na mfanyabiashara Tanil Somaiya baada ya kumuona kijana huyo aliyekuwa wakala wa kuuza bidhaa za viwanda vyake Mengi (kabla ya kuviua mwenyewe), ameweza kujiimarisha na kupata mafanikio makubwa ya kibiashara hata kumshinda yeye Mengi, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Akaanzisha ugomvi na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa Lawrence Masha, kwa kuja na madai ya kutaka kuhujumiwa, akataka kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Na orodha hii inaendelea na inaendelea. Sasa ameanzisha ugomvi na mimi, baada ya kuona kwamba mimi nimekuwa mshindani wake mkubwa katika umiliki wa vyombo vya habari hapa nchini, anataka pia kuufanya ni ugomvi wa nchi nzima. Huyu ndiye Reginald Abraham Mengi. Tena kwa jinsi alivyo mtu wa visasi na chuki, akishajiingiza katika ugomvi na watu, huhakikisha kuwa habari za watu hao hazitangazwi wala kuandikwa katika vyombo vyake vya habari. Kama ni kutangazwa au kuandikwa basi huwa ni kwa kuwashambulia binafsi na kuwachafulia majina tu. Hivi ni kwa nini tuendelee kumvumilia mtu kama huyu? Kwa nini anapokuwa na matatizo yake binafsi na wale anaowaona wabaya wake kibiashara au pengine hata kisiasa aiingize nchi nzima na wananchi wote? Nimeamua kuitisha mkutano huu ili kuwaeleza, na kupitia kwenu kuwaelewesha Watanzania, wamjue Reginald Abraham Mengi katika sura yake halisi na dhamira zake chafu na ovu, na kumtambua kwamba mtu huyu ni nyangumi wa ufisadi katika nchi hii. Nimeamua kuwaondolea Watanzania ngozi yake ya kondoo aliyojivika ili waweze kuiona sura yake halisi ya mbwa mwitu anayojaribu kuificha. Nafanya hivi ili kulinusuru Taifa lisije likatumbukia kule Mengi anakotaka kulipeleka. Wanasaikolojia wanasema mtu anapotuhumu wengine kuwa na tabia fulani, mara nyingi huwa yeye ndiye mwenye tabia hizo. Hiyo ndiyo hali halisi inayoonekana kwa Mengi kutokana na yale aliyoyasema katika mkutano wake na waandishi wa habari. Ukweli wa mambo unathibitisha kwamba ni yeye ndiye mwenye kuhusika na yote hayo aliyotutuhumu sisi kuwa nayo. Hapa nitatoa mifano michache tu ya ufisadi mkubwa sana wa mtu huyu. Reginald Abraham Mengi, nyangumi wa ufisadi, alianza kuifisidi nchi kwa kushiriki katika vitendo vya ufisadi vilivyochangia kuifilisi iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), ambayo ni mali ya Watanzania na hatimaye kupelekea kubinafsishwa kwake kwa bei poa. Akitumia kampuni yake ya Anche Mwedu Limited (AML), alichukua mkopo mwanzoni mwa miaka ya 80 wa mabilioni ya shilingi ambayo amegoma kuyalipa hadi leo na kulazimisha suala hilo kufikishwa Mahakamani. Mkopo wa kwanza ulikuwa kupitia Akaunti Nam. 6543000020 (uliotolewa kupitia Overdraft Agreements) ambao ulifikia jumla ya shilingi 3,255,429,100.75 ambao hadi Januari 1996 ulifikisha riba ya shilingi 1,737,862,471.75. Mkopo wa pili chini ya kampuni hiyo hiyo (kupitia Loan Agreements) ulikuwa ni kupitia Akaunti Nam. 10430000008 ambao ulihusu jumla ya shilingi 386,746,631.06 hadi kufikia Januari 1996. Mkopo wa tatu ulihusu Akaunti Nam. 654300584 (kupitia utaratibu wa Government Guarantee) ulikuwa wa jumla ya shilingi 1,803,137,210 hadi kufikia Januari 1996. Na wa mwisho kupitia utaratibu wa heading interest on jotter/suspense account ulikuwa wa jumla ya shilingi 417,689,254.10 hadi kufikia Januari 1996. Jumla ya fedha zote za NBC ambazo akidaiwa Mengi kupitia kampuni yake ya Anche Mwedu Limited (AML) hadi kufikia Januari 1996 zilikuwa ni 5,863,002,196.45. Fedha hizi hadi kufikia sasa 2009 pamoja na hesabu ya riba zinafikia takriban bilioni 28. Hivi ndivyo Mengi alivyochangia kuifilisi NBC, benki ya wananchi masikini wa Tanzania. Fedha hizi zilizochukuliwa na Mengi, shilingi bilioni 28, zinaweza kujenga shule za sekondari 100 ambazo zingeweza kuwanufaisha watoto wa kimasikini wa Tanzania. Ukiacha ya NBC, Mengi huyu anayetaka aonekane ni msafi kiasi cha kujipa uthubutu wa kuwatukana watu wengine kuwa ni mafisadi, alichukua fedha nyingi kupitia msaada wa nchi wafadhili wa “Commodity Import Support” ambazo hakuzilipa hadi leo. Hizi ni fedha zilizotolewa kwa njia ya mkopo ili kuwasaidia wafanyabishara kuweza kuagiza bidhaa na zinaporejeshwa ziwasaidie wananchi kwa kuendeleza miradi ya maendeleo hapa nchini kama vile ujenzi wa shule na zahanati. Wafanyabishara wengi tulikopa lakini tumelipa na tunaendelea kulipa. Mengi anayedai ana uchungu na Watanzania anawaongezea umasikini kwa kuchota fedha hizo na baadaye kuruka na kukataa kuzilipa hadi leo. Kati ya fedha hizo ambazo Mengi alichukua ni kama ifuatavyo: Norway CIS 1988/89 IPP – Anche Mwedu- NOK (M) 6.00- Norway CIS 1989/90 - IPP – Anche Mwedu - NOK (M) 4.00- EEC CIS 1988/89 - Bonite Bottlers - EEU (M) 0.5199 - Japan CIS 1991/92 - Bonite Bottlers -JY (M) 160.000-Japan CIS 1991/92 - Medicare - JY (M) 115.000-Canada CIS 1988/89 - Anche Mwedu - C$ (M) 0.5 - Italy CIS 1988/89 - Anche Mwedu - LIRA (M) 1,774.50- Japan CIS NPG–9-1997 - Anche Mwedu- JY (M) 20,000,000- Japan CIS NPG–5-1994 - Bonite Bottlers - JY (M) 160,000,000. Fedha hizi zilizo katika sarafu tofauti za kigeni zikibadilishwa kwa shilingi za Tanzania pamoja na riba kwa miaka yote tokea zilipochukuliwa zinafikia mabilioni ya shilingi. Na hizi ni sehemu tu ya fedha zote alizochukua ambazo kumbukumbu zake tumeweza kuzipata baada ya kumbukumbu nyengine kupotea katika mazingira ya utatanishi. Badala ya kurejesha fedha hizi alizozikwapua robo karne iliyopita, Mengi alizitumia kujitajirisha. Kuonyesha jinsi alivyobobea katika ufisadi, Mengi alikula njama na kushirikiana na afisa mmoja wa Hazina kutengeneza barua ya eti kuthibitisha kwamba alishalipa fedha hizo huku akijua kuwa hakulipa chochote. Pakifanyika ukaguzi huru hata leo hii itathibitika kwamba hakulipa fedha hizo na iwapo anakanusha haya, namtaka akubali kufanyika ukaguzi huo huru. Mtu yeyote wa kawaida angeshangaa Mengi amepata wapi utajiri alio nao katika kipindi kifupi namna hii lakini vielelezo hivi vinatoa majibu ya uhakika. Tukiacha ufisadi huo, Mengi kwa kutumia nafasi yake kama Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji yenye wajumbe watatu (3) tu ya kampuni ya NICO ambayo ni kampuni iliyoanzishwa kusaidia Watanzania kuwekeza katika biashara na viwanda, amefanya ufisadi mkubwa kwa kukiuka maadili ya kibishara pale alipoitumbukiza kampuni hiyo katika kununua hisa kwenye kiwanda cha Interchem Pharma Ltd kinachomilikiwa na familia ya Mengi, wakati akijua kwamba kiwanda hicho kilikuwa njiani kufilisika. Huku akijua hali mbaya ya kiwanda hicho alitumia nafasi yake kuziteketeza Shilingi bilioni 2.558 fedha za Watanzania masikini wasiopungua 22,000 wenye hisa katika NICO kwa kuifanya inunue asilimia 51 ya hisa (majority shareholding). Kiwanda hicho sasa kimewekwa kwenye orodha ya kufilisiwa baada ya kushindwa kujiendesha chini ya mwaka mmoja tokea Mengi kuizamisha NICO. Mfanyabishara wa kawaida tu anayeheshimu maadili hawezi kufanya utapeli kama huu kwa kampuni ya wananchi masikini aliyopewa dhamana ya kusimamia uwekezaji wake. Akiwa mhasibu na mfanyabiashara alijua kuwa kiwanda hicho kinakufa lakini alitumia hila na ujanja wa kusuka mipango yote ya kuiingiza NICO katika hasara ili kunusuru kampuni ya familia yake. Ukweli huu unabainishwa katika kitabu cha Prospectus cha NICO cha Oktoba 2007. Kama amebaki na chembe ya aibu, Mengi anapaswa arejeshe fedha hizi za wanahisa wa NICO. Ufisadi mwengine wa dhahiri uliofanywa na Mengi ni pale alipoingia ubia na Serikali katika umiliki na uendeshaji wa kiwanda cha TANPACK Industries Ltd. Bila ya kumjulisha mbia mwenzake yaani Serikali, Mengi kisiri siri alitumia dhamana ya TANPACK kwenda kukopa shilingi milioni 600 kutoka benki ya NBC na kuzitumia kwa njia anazozijua yeye. Benki hiyo ilipochachamaa kutaka ilipwe fedha zake, Mengi alitaka TANPACK ilipe lakini Serikali, ikiwa mbia, ilikataa kulitambua deni hilo ambalo haikulijua. Matokeo ya ufisadi huo wa Mengi, TANPACK ikafilisiwa na kufa. Huyo ndiyo Reginald Abraham Mengi, nyangumi wa ufisadi, katika sura yake halisi. Anawahujumu maskini huku akijidai kwamba anawaonea huruma. Mtu muadilifu hawezi kusema anawatakia wananchi masikini mema huku anafanya maovu kama haya yanayovuruga misingi ya kusaidia masikini hao hao. Lakini mbali na hayo, ngoja niwachekeshe kwa kuwaeleza jinsi mtu huyu alivyokubuhu katika kujenga chuki na fitina kwa kujifanya mtetezi wa wale anaowaita “wazawa“, huku akiwa na lengo la kujinufaisha binafsi kwa kutumia mgongo wa chuki na fitina hizo anazopandikiza. Mwaka 1994, alitoa kauli zake zenye sumu ya ubaguzi pale alipodai kwamba sehemu kubwa ya maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam inakaliwa na Watanzania wenye asili ya Kiasia na kwamba “wazawa“ hawapo katika maeneo hayo. Aliyekuwa Rais wakati huo, Mzee Ali Hassan Mwinyi, akamuagiza Waziri aliyekuwa akishughulikia masuala ya ardhi, Mheshimiwa Edward Lowassa, kumpatia Mengi eneo kubwa la ardhi katikati ya jiji karibu na ilipo International House. Lakini mara tu alipopewa eneo hilo akaliuza kwa Fida Hussein, mfanyabishara Mtanzania mwenye asili ya Kiasia. Huyo ndiye Reginald Abraham Mengi, nyangumi wa ufisadi. Biashara pia ina maadili yake na mwenendo wa mfanyabiashara na biashara zake unaweza kuonyesha ni kwa kiasi gani anafuata au hana maadili. Mambo kadhaa ninayoyafafanua hapa chini yanatoa mwongozo wa kumjua vyema Mengi: Inafahamika kwamba utajiri wote wa Mengi ameupata katika kipindi cha kama miaka minane, kuanzia 1984 hadi 1992. Watanzania wanapaswa wajiulize amewezaje kuwa tajiri ghafla katika kipindi hicho kifupi? Lakini hata baada ya kuupata utajiri huo, sasa biashara zake zinasuasua na zimeanguka. Amewezaje kuvurugikiwa kiasi hicho? Kwa mtu yeyote anayeelewa misingi ya biashara atafahamu kwamba Mengi hana uwezo wa kuendesha biashara. Utajiri wake ulitokana na kukwapua fedha kupitia mipango ya ujanja ujanja na kutolipa madeni. Haya yalifanyika huku kumbukumbu zake zikipotea katika mazingira ya ajabu ya majengo kuungua na nyaraka kupotea. Alijifaidisha kwa fedha hizo na sasa zimemalizika. Amebaki kulia wivu na kuonyesha chuki kwa njia ya kutaka kuwakomoa wale anaowaona wamefanikiwa katika uendeshaji wa biashara. Asichokielewa ni kwamba baadhi yetu hatukuamka tu na utajiri bali tumetokana na familia zenye rekodi ya kujishughulisha na bishara tokea mwaka 1852 huko Tabora. Dalili nyengine ya ufisadi wa Mengi ni rekodi yake ya kuua kampuni zake. Ni vyema ikaeleweka kuwa mfanyabiashara makini na anayezimudu biashara zake hawezi kuua kampuni. Mfanyabiashara huua kampuni kwa ama lengo la kukwepa kodi, au kukwepa kulipa madeni, au ameshindwa kibiashara na hivyo hawezi kuiendesha tena kampuni yake. Katika kipindi chake kifupi cha kujishughulisha na biashara, Mengi ameshaua kampuni nyingi. Baadhi tu ya kampuni alizoziua ni pamoja na Tanzania Kalamu Industries Ltd., Anche Mwedu Ltd., TANPACK Tissue Industries Ltd., Chemical Industries Ltd., Bodycare Ltd., na Medicare Ltd. Hebu tujiulize ni kwa nini Mengi anaua kampuni zake halafu anatafuta mchawi kwa wale waliofanikiwa? Bila shaka ameziua kampuni hizo kwa lengo la kukwepa kulipa kodi na kulipa madeni, mambo ambayo ni ufisadi mkubwa. Binafsi sina mchezo wa namna hiyo. Mfanyabiashara mzalendo pia hupimwa kwa utashi wake wa kulipa kodi na kutoa ajira za uhakika kwa wananchi wenzake. Kama unawatakia heri na ni mtetezi wa wananchi masikini kama Mengi anavyotaka aonekanwe basi utatoa ajira za kudumu na za uhakika, na utalipa kodi ambayo malengo yake ni kuiwezesha Serikali kuhudumia masikini hao kwa kuwapatia matibabu na madawa katika hospitali, watoto wao kupata elimu bora na yenye manufaa, kujengewa miundombinu na hata kupatiwa chakula ikibidi pale nchi inapokumbwa na ukame au njaa. Kama unawadhulumu wananchi masikini kwa kutowapa ajira za kudumu na badala yake kuwaajiri kama vibarua wa siku na kama hulipi kodi unawezaje kusema unawasaidia wananchi wanyonge? Mengi anafahamika kwa kutimua wafanyakazi kila mara na kutowalipa haki zao na pia kukwepa kodi huku akidai kwamba kampuni zake siku zote zinapata hasara. Huu ni udanganyifu kwa sababu kama kampuni hizo zinapata hasara haya mamilioni ya fedha anazodai kuzitoa kama michango anazipata wapi? Katika kuendeleza udanganyifu wake na kujaribu kuchezea akili za Watanzania, Mengi amekuwa anakwepa kodi ambazo zingeweza kutumiwa kusaidia kuwaondoshea matatizo wananchi walio wengi na badala yake amekuja na mtindo wa kualika walemavu wachache na kuwapa chakula na kisha kuvitumia vyombo vyake vya habari kwa staili ya Kim Jong Il, Kiongozi wa Korea Kaskazini, ya kusifiwa na kutukuzwa kwa kuandikiwa habari, kutolewa picha na kuchapishiwa makala maalum kila siku za kumpamba. Amekuwa akiwakaanga wananchi masikini wa Tanzania kwa mafuta yao wenyewe. Binafsi ninajivunia rekodi yangu kwamba kampuni zinazomilikiwa na familia yangu zimetoa ajira za uhakika kwa wafanyakazi takriban 6,000 na pia zinalipa kodi inayostahiki Serikalini. Ninaona fahari kusema kwamba kampuni zetu zinatambulika hata na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwamba zinaongoza katika ulipaji wa kodi hapa nchini. Hiki ndiyo kipimo cha uzalendo kwa nchi na siyo ule wa kutafuta kuonewa huruma kwa kuwazushia maovu watu kupitia vyombo vya habari ulivyovianzisha kukutukuza wewe na kuwachafua wengine. Mbali ya hayo, Reginald Mengi huyu huyu ambaye amenituhumu mimi na wengine kuwa tuna akaunti za fedha nje ya nchi ambako ndiko tunakoweka fedha zetu na akadai huo si uzalendo, yeye mwenyewe ana akaunti ya fedha za kigeni nje ya nchi. Nampa changamoto akanushe kwamba hana akaunti ya fedha za kigeni nje ya nchi. Mengi huyu huyu pia anatutuhumu sisi kutumia fedha zetu kuanzisha magazeti ya kumchafua yeye na eti “wale wanaomsaidia Rais Jakaya Kikwete kupambana na ufisadi“. Anayasema haya wakati yeye anaongoza kwa kuanzisha magazeti, tena mengine yakionekana wazi wazi kwamba yameanzishwa kupambana na watu fulani fulani ambao ni mahasimu wake kibiashara au kisiasa. Tayari ameanzisha magazeti ya The Guardian, This Day, Nipashe, Kulikoni, Sema Usikike, Taifa Letu, Alasiri, Lete Raha, Kasheshe, Acha Umbeya na mengine mengi anayoyafadhili kwa mlango wa nyuma. Hivi yeye amepata wapi fedha za kuanzisha magazeti haya yote? Kwa muda mrefu nilikuwa nikihisi kuwa Mengi ndiye aliye nyuma ya kampeni zote chafu za kutuchafua baadhi yetu. Siku zote amekuwa akikanusha hilo kwangu lakini sasa amejianika na kujidhihirisha wazi kuwa ndiye kinara wa mbinu hizo chafu. Wakati fulani mwaka jana, akiwa hewani umbali wa futi 35,000 kutoka usawa wa bahari, aliwaambia watu aliokuwa nao kwamba Jumatano inayofuata “tutammaliza Rostam katika MWANAHALISI”. Nilipopata habari hizo nilimpigia simu na yeye alikanusha vikali kuwa hakutamka maneno hayo. Nilimuamini lakini ilipofika Jumatano, kweli MWANAHALISI lilikuja na habari ya kunichafua kama alivyokuwa ameahidi Mengi. Katika kipindi cha takriban mwaka mmoja uliopita, nilipata taarifa kwamba ni Mengi ndiye aliyekuwa akiendesha na kusimamia kampeni ya kunisakama kwa kupika na kusambaza habari zote chafu zilizolenga kunichafua. Nilipoonana naye kumueleza juu ya taarifa hizo, siyo tu aliruka sana bali pia aliapa kwa jina la mama, mke na mtoto wake kwamba hahusiki kabisa na kampeni hizo na kwamba hata yeye anakerwa nazo. Kujitokeza kwake wiki iliopita na tuhuma chafu dhidi yangu zisizo na ushahidi wowote sasa kumeweka kila kitu hadharani kwamba yeye ndiye kinara wa uchafuzi huu wenye lengo la kuleta chuki na mifarakano katika nchi. Najua atakanusha haya kwa sababu yeye ni mwepesi wa kulalamika kuwa anaonewa huku akidhani amepewa haki na Mungu ya kuonea wengine. Kwa upande mwengine, tabia na mwenendo wake havishangazi sana. Anaonekana kuchanganyikiwa. Hatua ya mzee wa zaidi ya miaka 70 anapofikia kuwaita wengine wauaji pasipo kutoa ushahidi wowote na pia kurejea madai ya kutaka kuuliwa au kudhuriwa mara kwa mara ni dalili ya kuchanganyikiwa. He is a paranoid old man! Ni vyema Watanzania wakafahamu kwamba kila anapokabiliwa na matatizo au anapotenda maovu, kimbilio lake la haraka la kujifichia limekuwa ni kusaka huruma kwa wananchi kwa kutaka aonekane ni sehemu yao na kwamba anaonewa kwa kuwatetea wao. Ukweli ni kwamba amekuwa akifanya hivyo ili kutafuta hifadhi na kinga akijua ana madhambi mengi. Kwa ufupi, Reginald Abraham Mengi ndiye kinara wa fitina zilizoivuruga nchi na hata kujaribu kuvuruga mipango ya Serikali ya kuwatumikia wananchi na kutekeleza ahadi zake. Halafu mtu huyu anapata ujasiri wa kudai eti anamuunga mkono Rais Jakaya Kikwete. Ameingiza vurugu kila mahala alipotia pua yake. Nchi imekuwa haiendi. Kila kukicha, shughuli imekuwa ni porojo zake na malumbano tu yanayotumia muda mwingi ambao ungeweza kutumika kuendeleza nchi na wananchi wake. Niseme kwamba tofauti na yeye ambaye ameishia kutoa porojo zake bila ya kutoa ushahidi wowote na kufikisha hoja na ushahidi wake kwa vyombo vya sheria vinavyohusika, mimi nawagawia hapa baadhi tu ya ushahidi wa ufisadi wa Mengi ambao pia nakusudia kuuwasilisha pamoja na maelezo haya kwa vyombo hivyo ili wamchunguze Mengi na kuchukua hatua zipasazo. Kwa upande mwengine, nimewaagiza wanasheria wangu kuzifanyia kazi tuhuma za uzushi alizozitoa na kuchukua hatua za kisheria zinazofaa dhidi yake. Nimalizie kwa kusema Reginald Abaraham Mengi hana mamlaka wala nguvu ya kimaadili (moral authority) ya kuwanyooshea vidole wengine kwa kuwaita mafisadi wala ya kujifanya ni shujaa wa kupambana na ufisadi. Sote tunakubali kwamba kuendesha vita dhidi ya ufisadi ni lazima lakini wale wanaopambana ni lazima vile vile wawe watu safi. Ukweli wa maelezo haya unaonyesha wazi kuwa Mengi hana sifa hiyo bali ni nyangumi wa ufisadi anayejaribu kuficha ufisadi wake kwa kuchafua watu wengine. Watanzania si wajinga kama anavyodhani yeye. Wanaelewa mchele ni upi na pumba ni zipi. Nawashukuru kwa kunisikiliza. Ahsanteni sana.
"2016-10-27T11:21:49"
http://www.jamiiforums.com/threads/maelezo-ya-mheshimiwa-rostam-aziz-kwenye-mkutano-na-waandishi-wa-habari-jumapili-03.28376/
[ -1 ]
KATIKA nchi fulani, watoto hufurahia kuwatania wenzao kwa kuwatupia mbegu zinazonata kwenye nguo. Mbegu hizo hushikamana sana na nguo na haziwezi kutoka hata watoto hao watembee, wakimbie, wajitikise, au waruke. Zinaweza tu kuondolewa zinapong’olewa mojamoja. Watoto hufurahia mchezo huo. Bila shaka, si kila mtu anayefurahia mbegu hizo kwenye nguo zake, lakini kila mtu hushangazwa na uwezo wake wa kunata. Mtu aliye mshikamanifu ana sifa kama hiyo. Mtu mshikamanifu hudumisha uhusiano na wengine. Yeye hutimiza kwa uaminifu wajibu na matakwa ya uhusiano huo hata hali inapokuwa ngumu. Neno “ushikamanifu” hutukumbusha sifa kama vile, ukweli, utii, na ujitoaji. Hata hivyo, ingawa huenda unathamini watu walio washikamanifu, je, wewe hujitahidi kuwa mshikamanifu kwa wengine? Ikiwa ndivyo, unapaswa kuwa mshikamanifu kwa nani? Ushikamanifu Katika Ndoa Ni Uhitaji wa Msingi Ushikamanifu unapaswa kuonyeshwa katika ndoa, lakini inasikitisha kwamba mara nyingi hauonyeshwi. Mume na mke walio waaminifu kwa nadhiri zao za ndoa, yaani, wanaoishi pamoja huku kila mmoja akijitahidi kumfaidi mwenzake, wamechukua hatua muhimu ya kupata furaha na usalama. Kwa nini? Kwa sababu wanadamu waliumbwa wakiwa na uhitaji wa kuwa washikamanifu na kuonyeshwa ushikamanifu. Ndoa ya Adamu na Hawa ilipoanzishwa katika bustani ya Edeni, Mungu alisema hivi: “Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake.” Ilipaswa kuwa hivyo kwa mke pia; alipaswa kushikamana na mume wake. Mume na mke walipaswa kuwa waaminifu na kushirikiana.—Mwanzo 2:24; Mathayo 19:3-9. Bila shaka hilo lilitukia maelfu ya miaka iliyopita. Lakini je, hilo linamaanisha kwamba kuwa mshikamanifu katika ndoa ni jambo lililopitwa na wakati? Wengi watasema hapana. Watafiti fulani huko Ujerumani waligundua kwamba asilimia 80 ya watu waliona uaminifu katika ndoa kuwa sifa muhimu sana. Uchunguzi wa pili ulifanywa ili kutafuta sifa zenye kuvutia zaidi za wanaume na wanawake. Kikundi cha wanaume kiliombwa kiorodheshe sifa tano za wanawake ambazo ziliwavutia zaidi, na kikundi cha wanawake kikaorodhesha sifa tano za wanaume zilizowavutia zaidi. Vikundi vyote viwili vilivutiwa zaidi na sifa ya uaminifu. Naam, ushikamanifu ni sehemu ya msingi imara wa ndoa yenye mafanikio. Hata hivyo, kama tulivyoona katika makala iliyotangulia, ushikamanifu ni sifa inayothaminiwa sana lakini mara nyingi haionyeshwi. Kwa mfano, kuongezeka kwa talaka katika nchi nyingi kunaonyesha kwamba watu wengi si washikamanifu. Wenzi wa ndoa wanawezaje kushinda mwelekeo huo na kuendelea kuwa washikamanifu? Ushikamanifu Hudumisha Ndoa Ushikamanifu huonyeshwa wakati wenzi wa ndoa wanapotafuta nafasi ya kuonyeshana upendo. Kwa mfano, ni vizuri kusema “yetu” badala ya “yangu”—“rafiki zetu,” “watoto wetu,” “makao yetu,” “mambo ambayo yametupata maishani,” na kadhalika. Mume au mke anapaswa kufikiria hisia na maoni ya mwenzake anapofanya mipango na maamuzi kuhusu makao, kazi ya kuajiriwa, kulea mtoto, burudani, likizo, au utendaji wa kidini.—Methali 11:14; 15:22. Mtu huonyesha ushikamanifu anapomfanya mwenzi wake ahisi anahitajika na anapendwa. Mtu aliyefunga ndoa huwa na wasiwasi anapoona mwenzi wake akipendezwa kupita kiasi na mtu wa jinsia tofauti. Biblia inamshauri mume ashikamane na “mke wa ujana [wake].” Mwanamume hapaswi kuvutiwa na mwanamke mwingine ila mke wake. Anapaswa kuepuka kujihusisha katika mwenendo mchafu kingono na mwanamke mwingine. Biblia inaonya hivi: “Yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke amepungukiwa moyoni; yule anayefanya hivyo anaiangamiza nafsi yake mwenyewe.” Mke pia anatazamiwa kushika viwango hivyohivyo vya uaminifu.—Methali 5:18; 6:32. Je, kuna faida ya kujitahidi kuwa mwaminifu katika ndoa? Bila shaka. Kunafanya ndoa iwe imara na yenye kudumu, na wenzi wote wawili wanafaidika. Kwa mfano, mume anapokuwa mwaminifu kabisa kwa mahitaji ya mke wake, mke anajihisi salama na hivyo anaonyesha sifa zake nzuri. Ndivyo na mume pia. Azimio lake la kuwa mshikamanifu kwa mke wake humsaidia kushikamana na kanuni za uadilifu katika maisha yake yote. Ikiwa mume na mke watakabili hali ngumu maishani, ushikamanifu utawafanya wajihisi salama. Kwa upande mwingine, ikiwa mume na mke si washikamanifu, mara nyingi matatizo yanapotokea wao hutengana au kutalikiana. Badala ya kusuluhisha matatizo, hatua hiyo huongoza kwenye matatizo mengine. Katika miaka ya 1980, mshauri fulani mashuhuri wa mitindo alitengana na mke wake na familia yake. Je, alikuwa na furaha akiwa peke yake? Miaka 20 baadaye alikubali kwamba kutengana na familia yake kulimfanya ajihisi ‘mpweke na akose usingizi usiku akitamani kuzungumza na watoto wake kabla ya kulala.’ Ushikamanifu Kati ya Wazazi na Watoto Wazazi wanapoonyeshana ushikamanifu, kuna uwezekano mkubwa kwamba watoto wao wataiga sifa hiyo. Baadaye maishani, itakuwa rahisi kwa watoto ambao wamelelewa katika familia yenye ushikamanifu na upendo kuwajali wenzi wao wa ndoa na wazazi wao hasa wanapopata matatizo ya uzee.—1 Timotheo 5:4, 8. Ni kweli kwamba nyakati nyingine si wazazi wanaohitaji kutunzwa. Huenda mtoto akahitaji kutunzwa kwa uaminifu. Herbert na Gertrud, wamekuwa Mashahidi wa Yehova kwa zaidi ya miaka 40. Mwana wao, Dietmar, alikuwa na kasoro za misuli muda wote wa maisha yake. Kwa miaka saba kabla ya kifo chake mnamo Novemba 2002, Dietmar alihitaji kutunzwa usiku na mchana. Kwa upendo, wazazi wake walishughulikia mahitaji yake. Hata waliweka vyombo vya tiba katika nyumba yao na wakapata mafunzo ya tiba. Huo ni mfano bora wa familia yenye ushikamanifu! Ushikamanifu Ni Muhimu Kati ya Marafiki “Mtu anaweza kuwa na furaha akiwa mseja, lakini ni vigumu kuwa na furaha bila rafiki,” anasema Birgit. Huenda unakubaliana naye. Uwe umefunga ndoa au la, ushikamanifu wa rafiki mzuri utakuchangamsha moyo na kuboresha maisha yako. Ikiwa umefunga ndoa, mwenzi wako wa ndoa anapaswa kuwa rafiki yako wa karibu zaidi. Rafiki si mtu mnayefahamiana tu. Huenda tunawafahamu watu wengi, kama vile majirani, watu tunaofanya kazi nao, na watu tunaokutana nao mara kwa mara. Urafiki wa kweli unahitaji wakati, nguvu, na uhusiano wa karibu. Kuwa rafiki ya mtu fulani ni jambo lenye thamani. Urafiki una faida, lakini pia unatia ndani majukumu. Tunapaswa kuwa na mawasiliano mazuri na marafiki wetu. Huenda mawasiliano hayo yakategemea hali. Birgit anasema: “Mmoja wetu anapokuwa na tatizo, mimi na rafiki yangu hupigiana simu mara moja au mbili kwa juma. Inatia moyo kujua kwamba yuko tayari kunisikiliza.” Umbali haupaswi kuwa kizuizi cha urafiki. Gerda na Helga wametenganishwa kwa maelfu ya kilometa, lakini urafiki wao umedumu kwa zaidi ya miaka 35. Gerda anaeleza: “Tunaandikiana barua kwa ukawaida, tukisimulia mambo ambayo yametupata maishani, yawe mazuri au mabaya, na pia tunaeleza hisia zetu. Ninafurahi sana ninapopata barua kutoka kwa Helga. Ni wazi kwamba tunafikiri kwa njia ileile.” Ushikamanifu ni muhimu kati ya marafiki. Tendo moja la kutokuwa mshikamanifu linaweza kuharibu urafiki wa muda mrefu. Ni kawaida marafiki kushauriana hata kuhusu mambo yao ya siri. Marafiki huzungumza kutoka moyoni bila kuogopa kudharauliwa au siri zao kufichuliwa. Biblia inasema: “Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote, naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.”—Methali 17:17. Kwa kuwa marafiki wetu huchochea jinsi tunavyofikiri, tunavyohisi, na tunavyotenda, ni muhimu tufanye urafiki na watu ambao wanafuata njia ya maisha iliyo sawa na yetu. Kwa mfano, fanya urafiki na watu ambao wana imani kama yako, maoni kama yako kuhusu maadili, na viwango kama vyako kuhusu yaliyo sawa na yasiyo sawa. Marafiki kama hao watakusaidia kutimiza miradi yako. Isitoshe, kwa nini uwe na urafiki pamoja na mtu ambaye viwango na maadili yake hayapatani na yako? Biblia inaonyesha umuhimu wa kuchagua marafiki wazuri inaposema: “Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima, lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.”—Methali 13:20. Unaweza Kujifunza Kuwa Mshikamanifu Mtoto anapojua kwamba mbegu zinazonata zinaweza kushikamana na nguo ya mwingine, huenda akataka kucheza na mbegu hizo tena na tena. Ndivyo ilivyo na mtu mshikamanifu. Kwa nini? Kwa sababu tukizoea kuonyesha ushikamanifu inakuwa rahisi kuwa washikamanifu. Ikiwa tangu utotoni mtu anajifunza kuwa mshikamanifu katika familia, baadaye maishani itakuwa rahisi kwake kuwa na urafiki unaotegemea sifa hiyo. Hatimaye, urafiki huo imara na wenye kudumu unaweza kuchangia ushikamanifu katika ndoa. Hilo litamsaidia pia kuwa mshikamanifu katika urafiki ulio muhimu zaidi ya wote. Yesu alisema kwamba amri iliyo kuu zaidi ni kumpenda Yehova Mungu kwa moyo wetu wote, nafsi yetu yote, akili yetu yote, na kwa nguvu zetu zote. (Marko 12:30) Hilo linamaanisha tuna wajibu wa kuwa washikamanifu kabisa kwa Mungu. Kuwa mshikamanifu kwa Yehova Mungu huleta thawabu nyingi. Yehova hatatuvunja moyo kamwe kwani anasema hivi kujihusu: “Mimi ni mshikamanifu.” (Yeremia 3:12) Bila shaka, ushikamanifu au uaminifu kwa Mungu huleta thawabu za milele.—1 Yohana 2:17. Ushikamanifu wa rafiki mzuri utakuchangamsha moyo Familia yenye ushikamanifu hujali mahitaji ya mmoja na mwenzake
"2020-02-26T05:25:30"
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20050901/Kuna-Faida-za-Kuwa-Mshikamanifu/
[ -1 ]
Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China - 8 July 2019 - Shuhuda kwa Neema ya Mungu Home » 2019 » July » 8 » Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China Katika mwanzo wa Februari 1991, mtu fulani katika kanisa alionekana kupokea nuru ya Roho Mtakatifu, na akaanza kunena, akiwashuhudia jina la Mungu na ujio wa Mungu. Maneno haya yalitumwa kwa makanisa, na baada ya kuyasoma, kila mtu alipatwa na msisimko sana, wote walifurahi mno, na kuamini kwamba hii hakika ilikuwa kupata nuru na maneno ya Roho Mtakatifu. Kuanzia hapo kuendelea, Kristo alianza kuongea. Wakati mwingine Kristo alinena kifungu kimoja kwa siku, wakati mwingine kimoja kila baada ya siku mbili, na matamshi yakawa zaidi na zaidi na mara kwa mara zaidi. Kila mtu aliyapitisha kwa mwenzake na kuhisi msisimko zaidi, mikutano ilijaa furaha, na kila mtu alikuwa amezama katika furaha. Kristo alipoonyesha maneno zaidi na zaidi, watu wote walisikiza kwa makini na kufurahia maneno ya Mungu, na mioyo yao ilinatwa kabisa na maneno ya Mungu. Na hivyo, wakati wa mabaraza, walianza rasmi kufurahia maneno ya sasa ya Roho Mtakatifu. Wakati huo, watu walikuwa bado hawajatambua kwamba Mungu alikuwa mwili tayari na huku kulikuwa ni kuonekana kwa Kristo. Wao walichukulia tu maonyesho ya Kristo kama nuru ya Roho Mtakatifu iliyopokewa na mtu wa kawaida, kwa sababu katika maonyesho ya Kristo, Yeye hakuwa Amethibitisha rasmi kupata mwili kwa Mungu. Hakuna yeyote aliyeelewa kupata mwili kulikuwa ni nini hasa, na walijua tu kuwa maneno haya yalikuwa nuru ya Roho Mtakatifu. Kwa hiyo, walikuwa bado wanamchukulia Kristo kama mtu wa kawaida. Ni wakati tu maneno ya Kristo yalipofikia upeo ambapo Mungu alianza kuthibitisha kwa Mungu kupata mwili, akielezea tofauti kati ya kushuka kwa Roho Mtakatifu kwa mtu na kazi ya Roho Mtakatifu ndani ya mtu na kufichua fumbo la utambuzi wa Roho katika mwili. Ni baada ya hayo tu ndipo watu walijua kwamba huyu mtu wa kawaida Aliyeishi kati yao na kuonyesha maneno ya kuchunga na kukimu makanisa alikuwa Mungu kupata mwili, Kristo, na Mungu ambaye Alionekana. Baada ya kutambua haya, wote walichukia jinsi walivyokuwa vipofu, wajinga, na wasiojua, na wakasujudu wenyewe mbele ya Kristo, wakilia na kutubu, kama mioyo yao imevunjwa na huzuni kubwa, mayowe yao yalisikika kila mahali. Wakati huo, mioyo ya watu ilikuwa imejawa na shaka za huzuni na furaha, ambazo hazingeelezeka. Walipomwona Kristo, walijua tu kusujudu juu ya ardhi; kama hawakufanya hivyo, hawakuwa na raha ndani ya mioyo yao. Wakati wakisujudu mbele ya Kristo, walikuwa na furaha na walihisi kuwa walikuwa kweli wamerudi mbele ya Mungu na walikuwa ndio waliokuwa miliki ya Mungu. Baada ya Kristo kuonekana, Alionyesha maneno zaidi na zaidi, hatua kwa hatua Akiingia katika njia sahihi ya kazi ya Mungu na kuashiria hukumu ikianza na nyumba ya Mungu. Maneno ya Mungu yaliwashinda watu kabisa. Kwa njia ya Kristo kutoa taarifa ya maana ya jina la Mungu, jina la Mwenyezi Mungu likawa na uwepo. Hivyo watu waliomba moja kwa moja kwa jina la Mwenyezi Mungu, na wakati wa mabaraza wao walifurahia maneno ya Mwenyezi Mungu. Hii ni kwa sababu maneno haya (yaani, maneno yote katika Neno Lonekana katika Mwili) ni kazi ya Mungu ya sasa, maneno ya Mungu katika enzi mpya, na haja ya watu ya sasa. Kwa kuwa kulikuwa na kazi mpya ya Mungu na maneno, kwa kawaida Biblia ikawa imepitwa na wakati, na kwa kawaida hakuna mtu aliyetilia maanani umuhimu wowote kwa misemo mbalimbali na nadharia za Enzi ya Neema. Wote walishindwa na maneno ya sasa ya Mungu, kama kwamba walikuwa wameona mbingu ikiwa wazi. Hii ni kwa sababu Mungu alifichua aina zote za mafumbo, macho ya watu yalifunguliwa, na waliona kwamba mingi ya misemo ambayo watu hapo awali walikuwa wameshikilia wakati wa Enzi ya Neema ilikuwa dhana, na ilikuwa na michepuko na mambo yenye makosa. Kwa sababu ya kuonekana kwa Mungu, watu walipitia njia sahihi wakiamini katika Mungu. Ni baada tu ya watu kushindwa na maneno ya Mungu ndipo waligundua kuwa huyu mtu wa kawaida na wa siku zote ambaye aliyaonyesha maneno ya Mungu alikuwa Kristo, na mwili wa Mungu kuwa mwili. Kristo alizaliwa katika familia ya kawaida kaskazini mwa China. Kutoka utotoni, Alikuwa ameamini katika Mungu kwa moyo wake wote. Yeye alikua hatua kwa hatua kama mtu wa kawaida afanyavyo. Mwaka wa 1989, wakati ule ule Roho Mtakatifu alipokuwa akifanya kazi kwa kiasi kikubwa katika kanisa la nyumbani, Kristo aliacha masomo yake na akaingia rasmi katika kanisa la nyumbani. Wakati huo, Kristo alikuwa na ari katika moyo Wake na Alitamani kumtumikia Mungu na kufanya wajibu wake. Miaka miwili baadaye, Kristo alianza kuonyesha maneno, kuyaandika chini maneno katika moyo Wake na kuyatoa kwa makanisa. Baadaye, Kristo alipoonyesha ukweli zaidi na zaidi, watu walivutiwa na maneno ya Kristo, na wakawa na shauku ya kusoma yale Aliyokuwa Ameyaonyesha. Hasa, maneno Yake ambayo yalifichua na kuihukumu dutu ya asili ya wanadamu wapotovu, na tabia ya kishetani ya watu wapotovu, iliichoma mioyo ya watu kama upanga wenye makali kuwili. Hapo ndipo tu waliposhindwa kabisa na maneno ya Mungu, na wakapiga magoti mbele ya Mungu, hapo tu ndipo Kristo alipokubaliwa, kujulikana, na kutukuzwa na watu, na akawa Mungu wa vitendo Aliyeheshimiwa, kupendwa, na kuenziwa na watu wote. Kristo anamiliki mawili, ubinadamu wa kawaida na uungu kamili. Yeye anaweza kuonyesha ukweli wakati wowote na mahali popote, na kufichua dutu ya upotovu ya wanadamu. Maneno Yake na mtazamo vimejaa ukweli na hekima, kama tu Bwana Yesu. Kile Kristo huzungumzia na Alicho nacho hakifunzwi kutoka kwa vitabu, lakini kabisa hutoka kwa kiini cha Mungu anachomiliki. Kristo alizaliwa na Mungu. Katika maisha yake watu huona ubinadamu wake wa kawaida kabisa. Kutokana na kazi Yake na uvumilivu Wake na wanadamu, watu wanaweza kuona kiini Chake cha Mungu na tabia yake ambayo si vumilivu kwa kosa la mtu. Ingawa, kama Bwana Yesu, Kristo ana udhaifu wa binadamu, Yeye pia ana kiini cha kutii Roho wa Mungu. Yeye Amejawa na ukweli na hekima, Akivutia usadikisho kabisa katika watu kote katika mioyo na maneno yao. Kristo ni ukweli, njia, na uzima, kwa jina na katika hali halisi! Mungu amekuwa mwili kama mtu wa kimbaombao, na hufanya kazi kwa siri na kwa unyenyekevu kati ya wanadamu, Akiwashinda wanadamu na kuwashinda maadui kwa njia ya maonyesho ya ukweli. Ni muda mrefu tangu Aliposhinda kabisa, na kushuhudiwa na kutangazwa. Huu ni uenyezi, hekima, na utukufu wa Mungu. Kutokana na kuonekana kwa Kristo na kazi, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilikuja kuwa. Kisha ndugu wa kike na wa kiume katika Kanisa la Mwenyezi Mungu wakaanza kutoa ushahidi kwa kazi ya Mungu, na kuanza kazi ya kueneza injili ya ufalme wa Kristo. Huu ni utangulizi mfupi wa usuli wa Mungu kupata mwili na kuja kwake kisiri ili kufanya kazi. Kuyasema kwa ufupi, Kristo aliyepata mwili Amekuja katika nchi ambapo joka kubwa jekundu hukaa, na kuonyesha maneno ya hukumu na kuadibu, na kuwashinda na kuwaokoa wateule wa Mungu nchini China. Ambayo ni kusema, Mungu aliyepata mwili hupigana na Shetani katika pango la joka kubwa jekundu, na kutoa kila kitu ili kuwaamsha watu, na kusababisha watu kusikia na kutambua sauti ya Mungu, na hivyo kurudi mbele ya Mungu na kuokolewa na Mungu. Hiki ni kitu ambacho ni nadra sana, na cha maana ya kina isiyosadikika. Katika kuwa mwili huku Mungu hufanya kazi ili kumwokoa mwanadamu, ambayo ina maana kwamba Mungu amekuja kupanga kikomo cha safari ya wanadamu na kutamatisha enzi hii. Mungu amekuja Uchina Bara, nchi inayokaliwa na joka kubwa jekundu, na Amewasili kisiri kufanya kazi, Akiwashinda na kuwaokoa wanadamu wapotovu kwa kina na kulikamilisha kundi la watu kuwa washindi. Hili limeashiria hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi katika siku za mwisho, na limefungua njia ya kuonekana kwa Mungu kwa kila taifa na mahali pa dunia wakati wa hatua inayofuata. Views: 37 | Added by: flickrpinquorettfb | Tags: Roho Mtakatifu, maisha ya kanisa, hukumu ya siku za mwisho, Kanisa | Rating: 0.0/0
"2020-08-04T00:11:06"
https://praise-god.ucoz.net/news/siku_za_mwisho_china/2019-07-08-89
[ -1 ]
Bashe Awaponda Wabunge Walalamishi - Siasa Huru Home Bashe Awaponda Wabunge Walalamishi Mbunge wa Nzega mjini, Hussein Bashe, amewataka wabunge kutimiza wajibu wao na sio kulalamika wakati wanalipwa kwa fedha za walipa kodi. Mbunge huyo amezungumza hayo wakati akichangia muswada wa sheria ya upataji wa taarifa wa mwaka 2016. Bashe aliwataka wabunge wote kuungana kutimiza wajibu wa kisheria katika kutimiza majukumu yao ya kusimamia sheria na sio kulalamika mara kwa mara. “Nataka niseme pale ambapo sisi wabunge tunakuja bungeni, tunalipwa na nchi hii,kwa kodi za watu maskini, kuja kuisimamia serikali, na sisi tunalalamika kuwa serikali imevunja katiba, imevunja sheria, it is our duty, kuisimamia serikali tuunganeni tufanye kazi yetu, kuisimamia serikali ifanye wajibu wake,” alisema Bashe. “Sio fair kwa nyinyi kulalamika, je kwa wale waliotupigia kura?” alihoji. Nayasema haya kwasababu sisi sote ni waathirika wa kila jambo, pale ambapo tunataka kujivua responsibility na kutaka kuonyesha kwamba responsibility hii na madhambi haya ni ya wabunge wa CCM tu, it is your duty also kusimamia serikali hii,” alisisitiza. “Mimi nataka niseme kwamba tusisuse ni ya kwetu sote it’s our duty kuungana kutafuta haki kwa yale tunayoamini ni ya wananchi wetu.”
"2017-03-30T12:45:27"
http://www.siasahuru.com/2016/09/bashe-awaponda-wabunge-walalamishi.html
[ -1 ]
Kuzaliwa kwa simba wa Mwenyezi Mungu mwenye kushinda Imamu Ali bun Abu Twalib (a.s) 09 Machi 2020 7:30 Katika siku kama ya leo –mwezi kumi na tatu Rajabu miaka thelathini baada ya mwaka wa tembo- dunia ilinawirika kwa kuzaliwa bwana wa mawasii na kiongozi wa waumini Ali bun Abu Twalib (a.s). Alizaliwa ndani ya Alkaaba tukufu, haikuwahi kutokea kabla yake wala baada yake kuzaliwa mtu ndani ya nyumba hiyo tukufu ya Mwenyezi Mungu, hakika ilikua ni heshima kubwa kwake kuzaliwa ndani ya nyumba hiyo. Mama yake alimzaa ndani ya haram ya Mwenyezi Mungu na msikiti Akiwa mweupe mtakasifu msafi wa nguo mzawa mwema. Imepokewa kutoka kwa Imamu Swadiq (a.s) kuhusu kuzaliwa kwake, anasema: (Abbasi bun Abdulmutwalib na Yazidi bun Qaánab walikua wamekaa baina ya kundi la bani Hashim na kundi la Abdul-Iuza pembezoni mwa nyumba tukufu ya Mwenyezi Mungu, akaja Fatuma bint Asadi bun Hashim mama wa kiongozi wa waumini (a.s) akiwa na ujauzito (mimba) ya kiongozi wa waumini yenye miezi tisa, akasema: akasimama pembeni ya nyuma tukufu, akiwa na uchungu, akanyanyua mikono yake juu na akasema: Ewe Mola mimi nakuamini na ninaamini waliyo kuja nayo mitume kutoka kwako, naamini mitume wako wote na vitabu vyako vyote, ninasadikisha maneno ya babu yangu Ibrahim, na yeye ndiye aliyejenga nyumba hii, nakuomba kwa haki ya nyumba hii na aliye ijenga, na kwa haki ya kiumbe huyu aliye tumboni mwangu, ambaye hunizungumzisha na kuniliwaza, na mimi naamini kua yeye ni moja ya alama zako, nifanyie wepesi kujifungua kwangu. Abbasi bun Abdulmutwalib na Yazid bun Qaánab wakasema: Baada ya kuomba dua hiyo Fatuma bint Asadi, tuliona nyumba ikipasuka na fatuma akaingia na kutoweka machoni kwetu, kisha nyumba ikarudi kama ilivyo kua kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, tukataka kufungua mlango ili baadhi ya wanawake waingie wakamsaidie katika kujifungua lakini mlango haukufunguka, tukajua kua huo ni muujiza wa Mwenyezi Mungu mtukufu, Fatuma akabakia ndani ya nyumba hiyo kwa muda wa siku tatu, ilipofika siku ya tatu nyumba ikapasuka palepale ilipo pasuka mara ya kwanza na Fatuma akatoka akiwa na Ali (a.s) mikononi mwake, halafu akasema: Enyi watu, hakika Mwenyezi Mungu mtukufu ameniteua katika viumbe wake, na kanifanya kua bora kushinda alio wateua kabla yangu, Mwenyezi Mungu mtukufu alimteua Asia bint Muzahimu hakika yeye alimuabudu kwa siri sehemu ambayo mtu akimuabudu Mwenyezi Mungu anateswa, na Maryam bint Imrani Mwenyezi Mungu alimteua na akamfanya amzae Issa (a.s), akatikisha mti wa mtende zikadondoka tende zilizo wiva vizuri. Hakika Mwenyezi Mungu ameniteua mimi na kunifanya kua bora zaidi yao na juu ya wanawake wote waliotangulia kabla yao, kwa sababu mimi nimejifungua ndani ya nyumba yake, na nimekaa humo siku tatu nakula matunda ya peponi, nilipo taka kutoka nikiwa na mtoto wangu mikononi nilisikia sauti ikiniambia: Ewe Fatuma mpe jina la (Ali) mtoto huyo, hakika mimi ni Aliyyul-Aála, na mimi nimemuumba kwa uwezo wangu na utukufu wangu na uadilifu wangu na jina lake nimelitoa katika jina langu, nimemfundisha adabu zangu na nimempa amri yangu, na nimemfungulia elimu yangu, na amezaliwa ndani ya nyumba yangu, naye atakua mtu wa kwanza kuadhini katika nyumba yangu, na kuvunja masanamu na kuyatupa, ataniheshimu na kunitukuza, naye ni Imamu baada ya kipenzi wangu na Mtume wangu Muhammad (s.a.w.w), na niwasii wake, amefaulu atakae mpenda na kumnusuru, na ameangamia atakae muasi na kumdharau).
"2020-07-09T01:15:23"
https://alkafeel.net/news/index?id=10245&lang=sw
[ -1 ]
Matewu 28 | Bibele Eka Web Site Leyi | Vuhundzuluxeri Bya Misava Leyintshwa Matewu 28:1-20 28 Endzhaku ka savata, loko ri ya eku xeni, hi siku ro sungula ra vhiki, Mariya Magadala na Mariya loyi un’wana va ta ku ta languta sirha.+ 2 Kutani waswivo, ku ve ni ku tsekatseka lokukulu ka misava; ntsumi ya Yehovha yi xike etilweni yi fika yi khunguluxa ribye, naswona a yi tshame ehenhla ka rona.+ 3 A yi languteka ku fana ni rihati,+ naswona swiambalo swa yona a swi base ku fana ni gamboko.+ 4 Ina, vavanuna lava rindzeke va rhurhumela hi ku yi chava naswona va fana ni vanhu lava feke. 5 Kambe ntsumi+ yi angula vavasati yi ku: “Mi nga chavi, hikuva ndza swi tiva leswaku mi lava Yesu+ la beleriweke. 6 A nga kona laha, hikuva u pfuxiwile,+ hilaha a vuleke hakona. Tanani, mi ta vona ndhawu leyi a a etlele eka yona. 7 Kutani fambani hi ku hatlisa mi ya byela vadyondzisiwa vakwe leswaku u pfuxiwile+ eka lava feke, naswona maswivo, wa mi rhangela ku ya eGaleliya;+ mi ta n’wi vona kwale. Maswivo! Ndzi mi byerile.”+ 8 Kutani, hi ku hatlisa va suka eka sirha-bako ra xitsundzuxo, hi ku chava ni ku tsaka lokukulu, va tsutsuma va ya vikela vadyondzisiwa vakwe.+ 9 Kutani waswivo, Yesu a hlangana na vona ivi a ku: “Xewani!” Va n’wi tshinelela ivi va n’wi khoma milenge va n’wi nkhinsamela. 10 Kutani Yesu a ku eka vona: “Mi nga chavi! Fambani, mi ya vikela vamakwerhu,+ leswaku va ya eGaleliya; va ta ndzi vona kwale.” 11 Loko va ha ri endleleni, waswivo, varindzi+ van’wana va ya emutini va ya vikela vaprista lavakulu swilo hinkwaswo leswi endlekeke. 12 Kuteloko va hlengeletane ni vakulukumba naswona va bohe makungu, va nyika masocha+ ntsengo lowu ringaneke wa swiphemu swa silivhere 13 ivi va ku: “Vulani mi ku, ‘Vadyondzisiwa+ vakwe va te ni vusiku va ta n’wi yiva loko ha ha etlele.’ 14 Kutani loko leswi swi fika etindleveni ta ndhuna-nkulu, hi ta yi khorwisa naswona hi ta endla leswaku mi nga karhateki.” 15 Kutani va teka swiphemu swa silivhere va endla hilaha va lerisiweke hakona; naswona rito leri ri hangalasiwe hinkwako-nkwako exikarhi ka Vayuda ku fikela esikwini roroleri. 16 Hambiswiritano, vadyondzisiwa va 11 va ya entshaveni ya Galeliya+ laha Yesu a a hlele ku ya hlangana na vona kona, 17 loko va n’wi vona, va n’wi nkhinsamela, kambe van’wana va kanakana.+ 18 Kutani Yesu a tshinela ivi a vulavula na vona, a ku: “Ndzi nyikiwe vulawuri+ hinkwabyo etilweni ni le misaveni. 19 Hikokwalaho fambani mi ya endla vanhu va matiko+ hinkwawo va va vadyondzisiwa,+ mi va khuvula+ hi vito ra Tatana+ ni ra N’wana+ ni ra moya lowo kwetsima,+ 20 mi va dyondzisa+ ku hlayisa+ swilo hinkwaswo leswi ndzi mi leriseke swona.+ Kutani, maswivo, ndzi na n’wina+ masiku hinkwawo ku fikela emakumu ka mafambiselo ya swilo.”+ Matewu 28
"2017-10-18T17:27:07"
https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/matewu/28/
[ -1 ]
CAR tumieni ziara ya Papa Francis kujenga amani:UNHCR | Habari za UN Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limesihi pande kinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR kutumia ziara ya kiongozi wa kanisa katoliki duniani nchini humo, Papa Francis kama fursa ya kujenga amani na maridhiano na hatimaye kuruhusu mchakato wa kisiasa kukamilika. Papa Francis anatarajiwa nchini humo Jumapili ambapo UNHCR imesema hatua hiyo itakuwa ni muhimu kutokana na mapigano baina ya jamii tofauti zilizosababisha ongezeko kwa asilimia 18 la watu waliopoteza makazi. Ghasia hizo pia zimesababisha kuahirishwa kwa chaguzi za Rais na wabunge zilizokuwa zifanyike Oktoba 18 na sasa matarajio ni kuwa zitafanyika Disemba 27. Leo Dobbs ni msemaji wa UNHCR Geneva, Uswisi. “Ijapokuwa hali kwenye mji mkuu Bangui ni tulivu lakini tete, tuna wasiwasi na mlipuko wa ghasia nchini CAR ambao umekwamisha juhudi za kurejesha amani ya kudumu na halikadhalika kuweka hatarini chaguzi za mwezi Disemba. Africa|Culture and Education|Economic development|Habari za wiki|Law, crime|Peace and security|Women, children, population ICC Ajenda kuu, mkutano wa wakuu wa AU:Adis Ababa UNHCR inasikitishwa na hali ya wakimbizi, serikali yaanza kuwasafirisha kuelekea makambini:Kenya
"2018-06-20T21:01:24"
https://news.un.org/sw/story/2015/11/435272-car-tumieni-ziara-ya-papa-francis-kujenga-amaniunhcr
[ -1 ]
Umuhimu wa Kazi Katika Uislamu (8) | Kiislamu vyanzo Umuhimu wa Kazi Katika Uislamu (8) Imam Muhammad Baqir AS mmoja wa watu wa nyumba tukufu ya Bwana Mtume SAW anasema katika dua moja kwamba: “Ewe Mwenyezi Mungu! Ninakuomba madhali ni hai unijaalie maisha mazuri na ninataka unipatie maisha ambayo yatakuwa sababu ya kunipatia nguvu ya kukutii na kunifanya nipate radhi Zako za peponi.” Katika makala yetu iliyopita tulisema kuwa, sira ya Mitume AS na waja wema wa Mwenyezi Mungu inaonyesha jinsi watu hao wa Mwenyezi Mungu walivyolipa umuhimu suala la kazi na kufanya hima kwa ajili ya kujitafutia riziki. Historia inaonyesha kuwa, Mitume wengi walijishughulisha na kazi kama kilimo, kuchunga, biashara na useremala. Katika mantiki ya Uislamu kufanya kazi ni ibada na kama hatua hiyo itaambatana na raghba ya kupata riziki ya halali kwa ajili ya kuendeshea maisha basi ujira na thawabu zake ni sawa na kufanya Jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu. Bwana Mtume SAW aliwasisitizia watu kwa maneno na vitendo juu ya kufanya kazi na kuwataka wajiepushe na kukaa bila kazi. Maneno yafuatayo ya Bwana Mtume SAW yanayonyesha umuhimu mkubwa wa kufanya kazi kwa mujibu wa Uislamu. Mbora huyo wa viumbe amenukuliwa akisema: “Mtu anayefanya kazi na kujituma kwa ajili ya kudhamini mahitaji ya kimaisha ya familia yake, ni sawa na mtu anayepigana Jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu…” Aidha amesema, ninauhofia umma wangu mambo matatu kuliko mambo mengine nayo ni kuabudu tumbo, kulala sana na kukaa bila kazi…” Katika sehemu nyingine Bwana Mtume SAW anasema: “Mtu ambaye anaweka mzigo wa maisha yake katika mabega ya watu wengine yuko mbali na rehma za Mwenyezi Mungu.” Historia ya maisha ya Bwana Mtume SAW inaonyesha kwamba, mbora huyo wa viumbe alianza kufanya hima na kazi tangu akiwa kijana mdogo. Akiwa katika rika la uchipukizi na ujana alikuwa akifanya kazi ya kuchunga mifugo na katika kipindi cha ubarobaro wake alikuwa akifanya kazi ya biashara. Baada ya kubaathiwa na kupewa Utume pia, Muhammad SAW hakuacha kufanya kazi zake na katu hakuishi maisha kama ya Wafalme na mabwanyenye. Jukumu na masuuliya yake ya Utume yalikuwa na mazonge mengi lakini hayakumzuia kufanya kazi zake nyingine zinazohusu maisha yake. Akiwa mjini Madina, Mtume SAW aliitumia sehemu kubwa ya umri wake kwa ajili ya kufikisha risala ya Mwenyezi Mungu na kujihami dhidi ya maadui. Pamoja na hayo yote, hakuacha kutumia hata fursa ndogo aliyoipata kwa ajili ya kufanya kazi na hima kwa ajili ya maisha yake na familia yake. Mtume SAW alikuwa akisema, Mwenyezi Mungu anapenda kumuona mja wake amechoka akiwa katika jitihada za kutafuta riziki ya halali. Katika sehemu moja alipokwa akinong’ona na Mwenyezi Mungu Mtume huyo wa Uislamu anasema: ” Ewe Mola! Najikinga Kwako na uvivu na kukaa bila kufanya kazi.” Aidha amesema, mtu ambaye ana maji na ardhi lakini akakumbwa na ufukara na umasikini kutokana na kutojishughulisha, basi mtu huyo yuko mbali na rehema za Mwenyezi Mungu.” Imekuja katika historia ya maisha ya Bwana Mtume SAW kwamba, alikuwa pamoja tena bega kwa bega na Waislamu wakati wa ujenzi wa msikiti wa Quba na alikuwa akibeba mawe na matofali kama walivyokuwa wakifanya Waislamu wengine. Kila mara mmoja wa masahaba zake alipokuwa akija na kutaka kuifanya kazi iliyokuwa ikifanywa na Mtume huyo ili yeye apumzike, Mtume SAW alikuwa hakubali na alikuwa akisema kumwambia sahaba huyo: We nenda ukachukue jiwe jingine.” Hebu sasa na tukizingatie kisa kifuatacho ambacho kina ibra na mafunzo kuhusiana na umuhimu wa kazi. Siku moja Bwana Mtume SAW alimuona kijana shababi mwenye nguvu akiwa anajishughulisha na kazi asubuhi na mapema. Baadhi ya watu waliokuwa wamefuatana na Mtume SAW wakasema: Laiti kijana huyu angetumia nguvu zake za ujana katika njia ya Mwenyezi Mungu, angestahiki mno kusifiwa. Mtume baada ya kusikia maneno yao hayo akasema: Msiseme hivyo, kama kijana huyu anafanya kazi kwa ajili ya kudhamini mahitaji yake na asiwe mhitaji wa mtu mwingine, basi anafanya kazi katika njia ya Mwenyezi Mungu. Vile vile kama anafanya kazi hii kwa ajili ya baba na mama yake wasio na uwezo au kwa ajili ya kudhamini mahitaji ya mwanawe na kuwafanya wasiwe wahitaji wa watu wengine, bado atakuwa anafanya kazi katika njia ya Mwenyezi Mungu. Ushahidi wa historia unaonesha kuwa, Bwana Mtume SAW alikuwa akiamini kwamba, zawadi bora kabisa hupatiwa watu wanaojituma na kuhangaika kwa ajili ya kutafuta riziki. Anasema kuwa, “Kila mtu anayekula kutokana na kipato cha halali, milango ya pepo hufunguliwa kwa ajili yake ili aingie peponi kupitia mlango autakao.” Moja ya mambo ambayo yanaonekana kuzingitiwa katika maneno na sira ya Bwana Mtume SAW ni elimu na ufahamu wa kazi. Hapana shaka kuwa, mtu anayefanya kazi kwa umahiri na ufahamu mkubwa hupata natija nzuri zaidi ya kazi yake. Kuhusiana na jambo hili, Mtume SAW anamwambia Ibn Mas’oud: “Ewe Ibn Mas’oud, wakati unapojiandaa kwa ajili ya kufanya kazi fulani, ifanyeni kazi hiyo kielimu na kifikra na jiepushe na suala la kufanya kazi bila ya umakini na ufahamu.” Katika sira ya Bwana Mtume SAW suala la ustahiki katika kuwachagua watu kwa lengo la kuwakabidhi majukumu na masuuliya ni jambo lililokuwa likipewa umuhimu mkubwa mno. Kwa mtazamo wa Mtume ukubwa wa kidhahiri wa mtu hakikuwa kigezo cha mtu kukabidhiwa maasuuliya na jukumu. Bwana Mtume SAW mbali na imani na taqwa alikuwa akizingatia pia suala la mtu kuwa na ujuzi wa kazi husika anayotaka kumpatia. Kwa mfano wakati Bwana Mtume SAW anamchagua Utab bin Aseer kuwa Gavana wa Makka alimwambia: ” Kama ningekuwa namfahamu mtu mwingine aliyebora kuliko wewe, ningemteua.’ Kwa muktadha huo, tunafahamu kwamba, suala la kumchagua mtu anayestahiki kwa ajili ya kuchukua jukumu fulani ni jambo ambalo nalo lilikuwa likipewa umuhimu mno na Bwana Mtume SAW. Hii leo hali iko kinyume kabisa hasa katika tawala za kifalme ambapo tunaona mtu anapewa jukumu la uongozi fulani kwa kuwa anatoka katika familia ya mfalme au anateuliwa kushika wadhifa fulani kutokana na urafiki na ukuruba alionao na kiongozi fulani wa ngazi za juu.
"2018-01-18T05:28:24"
http://www.sw.islamic-sources.com/article/umuhimu-wa-kazi-katika-uislamu-8/
[ -1 ]
Bongo Voice: SNURA TUHUMA NZITO SNURA TUHUMA NZITO Stori: Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata STAA wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi ameingia kwenye majanga baada ya kudaiwa kukacha na deni la prodyuza Mohammed Kandoro wa Studio za Fire Music ambaye alimrekodia nyimbo kadhaa wakati akisaka kutoka. Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Snura ameingia mitini na kiasi cha Tsh. 400,000 za prodyuza huyo na kwamba sasa amehamia studio nyingine. Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Kandoro na kumwuliza kuhusu ukweli wa minong’ono hiyo, ambapo alikiri na kusema: “Ni kweli namdai laki nne. Nimefanya naye kazi kwa muda mrefu lakini sasa naona ameamua kuondoka na deni langu.” Snura alipopigiwa simu na kuelezwa kuhusu madai hayo, alifunguka: “Kama kuna deni basi meneja wangu HK (Hyper Man) ndiye anayehusika, maana kila kitu nilimkabidhi yeye na naamini alilipa, sasa kama hakulipa hayo ni mambo yanayomhusu yeye, si mimi tena.” Katika kutafuta mzani wa habari, gazeti hili liliwasiliana na meneja wa Snura, HK ambaye alisema hana deni lolote analodaiwa na Kandoro, ingawa alikiri kumhamisha Snura studio. “Kilichopo ni kwamba tumehama kwenye hiyo studio, sina ugomvi nao wala Snura hajawahi kutofautiana naye. Tumefanya hivi kwa lengo la kutafuta ladha tofauti... hayo mambo ya madeni, si kweli. Hivi kama leo hii tunaweza kulipa zaidi ya shilingi milioni moja na laki nne (1,400,000) tunashindwaje kulipa laki nne tu? Hayo ni maajabu,” alisema HK.
"2016-12-08T11:53:33"
https://bongovoice.blogspot.com/2014/01/snura-tuhuma-nzito.html
[ -1 ]
IDARA YA MAKUMBUSHO NA MAMBO YA KALE ZANZIBAR IMAWAGA WAFANYAKAZI WALIOMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI IDARA YA MAKUMBUSHO NA MAMBO YA KALE ZANZIBAR IMAWAGA WAFANYAKAZI WALIOMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI IDARA YA MAKUMBUSHO NA MAMBO YA KALE ZANZIBAR IMAWAGA WAFANYAKAZI WALIOMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI Mkurugenzi Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Zanzibar Salum Kitwana Sururu akitoa shukurani zake kwa Wafanyakazi hao (hawapo pichani) na kuwatakia kheri katika maisha yao. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar anaeshughulikia masuala ya Habari Dkt. Saleh Yussuf Mnemo akimkabidhi cheti maalum Bi. Jokha Ali Simba mmoja ya wafanyakazi waliostahafu Idara ya Makumbusho ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar. Wafanyakazi walioangwa baada ya kumaliza utimishi wao wa kazi katika Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Zanzibar.
"2019-05-24T14:13:29"
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/11/idara-ya-makumbusho-na-mambo-ya-kale.html
[ -1 ]
KARIBUNI NYASA: JAMES ZOTTO ALIPOZUNGUMZIA MGOGORO WA ZIWA NYASA, KABLA YA KUWASILISHA UTAFITI WAKE KWENYE UMOJA WA AFRIKA NCHINI ETHIOPIA JAMES ZOTTO ALIPOZUNGUMZIA MGOGORO WA ZIWA NYASA, KABLA YA KUWASILISHA UTAFITI WAKE KWENYE UMOJA WA AFRIKA NCHINI ETHIOPIA Mgogoro wa mpaka Malawi na Tanzania: siasa na ukweli Na James Zotto, University of Dar es Salaam Ndugu zangu watanzania, naamini mnafuatilia vizuri tatizo la mpaka wetu wa ziwa Nyasa na Malawi! Na pia mmefanikiwa kusikia au kusoma hotuba ya Waziri wa Mambo ya nje, Benard Membe. Nilishtushwa kidogo na hotuba hiyo. Niharakishe kusema, mimi napenda utaifa wangu na uzalendo wangu. Lakini napenda sana kutetea mambo yangu kwa kukubali ukweli, kujua hali halisi, kukubali hata zile zinazonipinga, ili nami nijipange kujenga joja. Niongeze tu kuwa, eneo hili nafanyia study yangu ya PhD. Sidhani kama nipo sahihi zaidi na lengo langu si kusema nani anamiliki nini! James Zotto akiwa pembezoni mwa ziwa Nyasa. Ukweli ninaofahamu, tatizo si kubwa sana kama tunavyolifikiri, na pengine tutachukua muda kupitia nyaraka zote muhimu. Kwanza, tunahitaji kwenda Idara ya Kumbukumbu ya Uingereza(Public Records Office). Pili tunapaswa kufuatilia Colonial Archives Potsdam, Ujerumani. Aidha, tufuatilie pia Malawi National Archives, Tanzania National Archives, Maktaba Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM) na Chancellor College Malawi. Ninaamini ubishi utaisha kwa kuwa nyaraka zote zipo. Naomba nianze kujadili kwa kuweka angalizo katika suala hili ili ikilazimika, Malawi wasalimu amri kwa njia yoyote tutakayoamua, nitasema hapo baadaye. Angalizo lenyewe: ziwa Nyasa liligawanywa na mabeberu wa Kiingereza, Kijerumani na Kireno. mkataba wa mwaka 1890 uitwao Anglo-German Agreement, unasema mpaka wa uliokuwa miliki ya Ujerumani au kwa kiingereza German East Africa (Tanzania Bara ya leo) na Nyasaland (Malawi ya leo) unapita kando kando ya ziwa Nyasa kutoka mto Ruvuma(mkoani Ruvuma) mpaka mto Songwe(mkoani Mbeya). Mkataba huo upo katika nyaraka nyingi sana. Mathalani katika Sheria za Kimataifa (International Law) wanafahamu jambo hilo na sina shaka ndugu zetu wanasheria wa kimataifa (International Lawyers) wanaelewa nini nazungumza! Sehemu nyingine ilikuwa ya mkataba ilikuwa mwaka 1891 kati ya Ujerumani na Ureno. Kulingana na mkataba huo, walikubaliana kuwa mipaka ilianzia mto Ruvuma kuelekea Portuguese East Africa (Msumbiji ya leo). Mkataba mwingine ulikuwa ni kati ya Ureno ambayo ikawekeana mipaka na British Nyasaland (Malawi), kwahiyo, kipindi cha Ujerumani, mipaka inasomeka 'it passes along the shore of the lake (Nyasa).” Hata hivyo kuliwahi kutokea mabadiliko ya mipaka hiyo. Mabadiliko ya mipaka yalianza kipindi cha ukoloni, kabla ya Ujerumani kuondoka. Kikwete na Banda Marekebisho ya mipaka yalifanyika kati ya Ujerumani na Ureno kwa kusogeza mipaka mbele na kutamka, “0.5 KM from the original tripartite point” na vijisiwa vya mto Ruvuma vikagawanywa. Mipaka hiyo ipo hivyo hadi leo. Na eneo lingine ni kati ya Uingereza na Ureno, ambapo, kisiwa kilichopo eneo la Malawi kinamilikiwa na Msumbiji mpaka leo na eneo la ardhi lililopo Msumbiji linakaliwa na Malawi. Huo ulikuwa mkataba wa marekebisho na ipo hivyo mpaka leo. Kwahiyo, tulivyorithi mipaka, tumerithi na mabadiliko haya na hivyo hatuwezi kugombana na Msumbiji wala Msumbiji hawawezi kugombana na Malawi. Mpaka wetu na Malawi haukurekebishwa popote pale mpaka Ujerumani ilipoondoka nchini. Nafikiri viongozi wajiandae pia kwa hili ili tuweze kuwashinda ndugu zetu wa Malawi. Marekebisho ya mipaka kipindi cha Uingereza:- sote tunajua German East Africa, ni sisi(Tanzania) pamoja na Rwanda na Burundi tuligawanywa katika sehemu kuu mbili. Mosi, tulipokuwa chini ya League of Nations tukiangaliwa na Uingereza. Kuna mambo nahitaji tuweke sawa ili kuongeza hoja kwa mheshimiwa waziri wa mambo ya nje, Bernad Membe. Tulipokuwa chini ya League of Nations, tukaitwa ‘Mandated Territory’, na Uingereza ikawa ni ‘Mandatory Power’. Turudi katika Kamusi tutofautishe “a an annexed colony and a mandate.” Mpaka ukawekwa kati ya Ubelgiji na Uingereza, uliitwa The Milner-Orts Agreement of 1922! Naam, katika mkataba huu, mto Kagera ulikatwa katikati , hivyo hadi naandika makala hii mipaka hiyo tumerithi hivyo. Hapakuna mahali popote pale ambapo eneo la ziwa Nyasa kama palirekebishwa kwa njia ya mkataba baina ya Nyasaland State na Tanganyika State. Isipokuwa tofauti na Mandates zote, Tanganyika pekee, ilikuwa na tofauti ndogo, ambapo mpaka wake wa ziwa Nyasa ukapewa wanachoita 'Wording'. Na hivyo, ramani ya Tanganyika na Official Records zikaonyesha kuwa mpaka umepita katikati ya ziwa Nyasa! Hapa ndipo tatizo linapoanza na sisi tumeshindwa kusogea mbele kidogo. Ninachokisema hapa kipo pale National Archives Secretariat Files, Accession Numbere AB 8 na AB 30! James Zotto akiwasilisha utafiti wake kuhusu mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa. Nafikiri hotuba yote ya mhehimiwa Waziri Membe imetokana na Files hizo, ndizo walizopelekewa. Ndugu zangu watanzania, ni muhimu kujadili zaidi ya hapo. Twende mbele kidogo, ni kweli kama mheshimiwa alivyosema katika hotuba yake, ramani nyingi kuanzia mwaka 1922 hadi mwaka 1939 zinaonyesha mpaka upo katikati ya ziwa Nyasa! Je, ukweli huu utatutosha pekee mbeleni tukifikishana mbali? Hapana, tuendelee kusaidiana kwa hili, nafikiri ujumbe utawafikia tu. Waziri Membe hakusema kuwa ramani zingine, japo chache muda huu na Official Reports hazionyeshi mpaka au zinaonyesha mpaka upo chini. Lakini ni chache! Kwanini hili? Bado natafuta majibu, lakini kwa haraka, tunaweza kusema kuwa Uingereza ilitamani Tanganyika iwe koloni lake na si Mandate! Na pia ilishinikizwa na wawekezaji na hata jeshi ilisema afadhari waiteke ili liwe koloni na waachane na Mandate! Nahitaji tuelewe maana ya mandate. Hii yote ilitokea baada ya gavana Donald Cameroon, wa Tanganyika kusema kuwa “Tanganyika is a part of the British empire and it will remain so”. Hii ni siasa na si ukweli kama unaelewa maana ya kuwa wao hawakuwa wamepewa koloni kama mali yao, bali kuliangalia hadi wananchi wapate 'akili' ili wapewe uhuru! Kwa hiyo na kimsingi, kwa maana ya sheria ya kimataifa, Tanganyika haikuwa Part ya British Empire kama yalivyo makoloni yaliyotekwa moja kwa moja na Uingereza yenyewe! Hapa pakatokea mvutano mkubwa sana katika House of Lords na House of Commons! Na hivyo basi, mtafaruku huu wa mipaka ulianzia hapo, hivyo hata waingereza wenyewe walivutana kuhusu mipaka. Kwa mfano, mwaka 1926, wajumbe wa mabaraza waliibana serikali iseme mipaka ya Tanganyika na ule wa ziwa Nyasa! Mabishano, kama haya yetu leo yalikuwa makubwa, ila si kwa kutishiana kwa kuwa walikuwa wenyewe na walitaka kuwekana sawa! Rais Kikwete na Joyce Banda walipokutana katika kikao cha SADC mjini Maputo, Msumbiji. Naam, ndipo Secretary of state for colonies alibanwa na mjadala ulikuwa wa kisheria zaidi ukihoji Status of the Mandate, British Empire n.k, na kama waingereza wana mamlaka ya kujipangia kuhusu koloni walilokabidhiwa kuliangalia(nieleweke na sio kulimiliki koloni). Mwishowe wenye dhamana(Waingereza) walisema kwamba, hata wao wanashindwa kuelewa, 'What exactly is the sovereignty of Tanganyika lying', jamani mnamwelewa huyu mtu wa kiingereza? Kwamaana hiyo, haelewi vizuri mipaka yetu, ambayo wenyewe ndo wameirekebisha au kuipa 'Wording'! hivyo, tatizo linaanzia hapa na si muda mwingine wowote! Jambo kubwa ambalo Waziri Membe hakusema ni hili: kuanzia mwaka 1939, mambo yalibadilika na hawa hawa watu(Wakoloni) tunaochukua ushahidi kutoka kwao, wakafanya madudu! Na ilipoisha vita ya pili ya dunia, jamani oneni haya, hawa waingereza katika ramani zao, tena nyingi mno, tuangalie East Africana Section ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, katika sehemu ya Thesis, kuna Cabins 3 zimejaa ramani na bado ni mpya sana kutokana na kutunzwa na pia kutotumika sana. Zinaonyesha, bila shaka yoyote, kuwa mpaka wa Tanganyika na Nyasaland unapita pembeni mwa ziwa na sio katikati! Nieleweke naonyesha tu mambo yalivyo ili tuweze kuchukua hatua zaidi. Hotuba ya Waziri Membe, iliishia nyaraka za mwaka 1939! Kumbe hawa jamaa walichora tena ramani zote zikionyesha mpaka upo pembeni mwa ziwa! Kwanini hili? Natafuta majibu. Lakini kwa haraka naweza nikakisia mambo mawili. Mosi, karibu na vita vya pili vya dunia, ilisikika tetesi kule duniani(ughaibuni) kuwa, Ujerumani inarudi na inakuja kuchukua makoloni yake. Tukitaka kuhakikisha jambo hili, tusome National Archives of Tanzania, Secretariat Files zote zenye kichwa cha habari, 'The future of Tanganyika in British Empire'. Kwa hiyo, waingereza walihofia kutimuliwa na kurudi kwa wajerumani, na hivyo, wakarudisha ule mpaka wa awali wa mwaka 1890 unaotumiwa tena na Malawi kwa sasa! Na pia, katika kipindi hicho, baada ya kumalizika vita hivyo, Tanganyika ikawa chini ya Umoja wa Mataifa(United Nation Organisation), ambapo ilipewa Trusteeship Status! RAMANI YA ZIWA NYASA. Maana ya hii ni rahisi kuliko Mandate! Kwanini? Hii ilimaanisha ‘to be granted immediate independence’! maana ya neno ‘immediate’ hapa ni kwamba, kwa tafsiri yangu, waingereza walifahamu wanatimka mapema mno kwani mkataba unasema hivyo. Nafikiri, wakarudisha ramani zikionyesha mpaka upo pembeni mwa ziwa na kitabu cha ‘Nyasaland’ cha mwaka 1958, kinaonyesha mipaka ya Nyasaland na ziwa lote likiwa kwao! SASA TUFANYE NINI WATANZANIA? Tukitaka kuwashinda watu wa serikali ya Malawi, lazima tukisome vizuri kipindi hiki na tuelewe ukweli, hoja zipi zinawapa kiburi. Na hoja zipi sisi tuzitumie kupambana nao, tunaweza! Kwahiyo hatima ya nchi yetu haikujulikani itakuwaje. Kipindi hiki, pamoja na mipaka yake pia, tujiulize, kwa maana ya Mandate, waingereza walikuwa na ‘Legal Authority 'kurekebisha' mpaka wa ziwa nyasa? Na je makosa waliyofanya waingereza, ndio Legal backing yetu sisi Watanzania? Hebu tuzame tena tutafute ukweli zaidi ili tuwashinde hawa jamaa wa Malawi! Tulishindwana na Uingereza kurekebisha mipaka. Mwalimu Nyerere, alisubiri hadi Malawi ipate uhuru, ndipo akatoa miaka mitatu tu na asingetambua mipaka ya kikoloni(Soma Hansard, 1962). Malawi walipopata uhuru, kukawa na matatizo ambayo Waziri Membe aliweza kuyaeleza. Nampongeza kwa hilo, ni dhahiri mwaka 1964 wakati wa mgogoro wa baraza la mawaziri la Malawi, na baadhi ya mawaziri kutorokea nchini kwetu kupitia ziwa Nyasa, Rais Kamuzu Banda akaona ziwa ni infiltration route! WAZIRI MEMBE akinawa maji ya ziwa Nyasa mjini Mbamba Bay. Sera zetu za mambo ya nje za Tanzania zilikuwa tofauti na Malawi. Tanzania ilikuwa nchi iliyoongoza ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, wakati wenzetu Malawi wakaunga mkono Makaburu na Wareno na wakawa na balozi sehemu hizo Rais Banda akagombana na Mwalimu Nyerere, na matukio ya kutishiana kijeshi yalijitokeza kati ya miaka ya 1967-8; matusi na kejeli zikatawala kati yetu na wao. Tunakumbuka tuliimba, .....kipara cha Kamuzu Banda kina magamba”, tuliimba tukiwa jeshini hayo. Mwalimu Nyerere akasema suala mipaka ni hadi Malawi itakapota Sensible Leader akitokea Malawi ndipo tutajadili tena, sio utawala ule wa Kamuzu Banda! Kipindi chote hicho tulikuwa kimya, na kuanzia mwaka 1975, hatukuwa na tatizo, lakini sio kusema kuwa tulitatua tatizo la mipaka yetu na Malawi! Tulikaa kimya! Mipaka haina tatizo isipokuwa ni time bomb ambapo ikitokea rais mwendawazi akamwaga petroli tu, basi ni vurugu kubwa! Tuliirithi kupitia Article III ya Azimio la Umoja wa Afrika la mwaka 1964(OAU Charter, 1964), baadaya ya majadiliano makubwa na wengi wakaridhia “uti possidetis, ita possidetis principle” (so as you exist, so may you exist). Kama kawaida yetu tulinakili kanuni za mipaka za kibeberu za Westphalia(Westphalia border inviolability)! Hatukupata muda mwingi wa kutafakari na kuangalia kila mpaka na matatizo yake....tulirithi na matatizo na yanatutatiza leo!!! UTATUZI WA MGOGORO: Tusonge mbele! Nakiri tuna namna tatu ya kulimaliza;- moja ni kwa majadiliano ya kawaida(Diplomacy) kama Waziri Membe alivyosema katika hotuba yake. Pili ni kupigana vita (war is another means of diplomacy). Ndugu zangu watanzania nadhani mnataka kuniona kichaa kutamka hilo! Huo ndo ukweli, atakayeshindwa atasalimu kama ilivyokuwa kwa Uganda na sisi watanzania. WAZIRI WA MAMBO YA NJE, BERNARD MEMBE. Tatu; ni Mahakama ya Kimataifa(International Court of Justice) hapa nina wasiwasi. Kama nyaraka zenyewe ni zile za Waziri Membe tu, sijui kama tutafanikiwa kushinda kesi. Tutulie, tuite wataalamu wetu wajikite ndani sana. Ni kweli kama alivyosema Waziri Membe kwenye hotuba yake kwa kunukuu kesi nyingi na zilizoshinda, na kwa kusema kuwa, tukienda mahakama ile sisi ndo tutashinda. Nina shaka, tumejipa favour ya verdict, kabla ya kesi. Sijui, ila nina shaka kubwa, kuna kushinda, kushindwa au suluhu! Ninashaka tena na tena! Mimi ni mzalendo, nataka ukweli kwa njia ya mahojiano na kuumiza kichwa, tutetee mali zetu tukijua tunawashinda kwa hoja. WASIWASI: Inasemekana kuna mafuta ziwani, kwahiyo tujue Marekani na washirika wake hawako mbali! Kampuni ya Surestream ya Uingereza ndio ilipewa leseni ya kutafiti mafuta na utawalawa Bingu wa Mutharika. Lakini, tujue operesheni ya majeshi ya kibeberu na huyu mama Joyce Banda, ambaye ni mpwa wa Kamuzu Banda, anapata wapi hiki kiburi? Nyuma yake kuna nini na nani? Tuangalie haya pia. HITIMISHO: Tusiwe na hoja moja tu mkononi kama ndio water-tight evidence yetu kwa serikali na wananchi kwa ujumla. Tujaribu kuzibishanisha hoja zetu. Na hoja nzuri ni zile zinazopingana nasi na tusizozipenda, tukizielewa na kuzikubali ndipo tutajipanga namna ya kuzigalagaza. Tumwelewe vizuri adui yetu. Mungu ibaraki Tanzania, ziwa Nyasa, wanyasa, na watanzania! Tusing'ang'anie tu Reparian Law. James Zotto ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM). Na: MARKUS MPANGALA saa 16:41 Madhumuni Biashara, Chiwanda, chiwindi, dondoo, kumbukumbu, kwambe, liuli, lundo, lundu, Mafanikio, Matenje, mawazoni, Mbinga, mbmba bay, ng'ombo, ngoma, Nyasa, siasa.
"2018-06-24T12:38:24"
http://lundunyasa.blogspot.com/2012/11/james-zotto-alipozungumzia-mgogoro-wa.html
[ -1 ]
array(0) { } Radio Maisha | ODM kuandamana Jumatano dhidi ya IEBC Joto la siasa za uchaguzi mdogo wa Kibra linatarajiwa kupanda leo huku Chama cha ODM kikitarajiwa kurejelea maandamano dhidi ya IEBC kikilalamikia njama ya kuhitafiana na uchaguzi Kibra. Kupitia kikao na wanahabari, chama hicho kimsema kuwa kitafanya maandamano katika makao makuu ya Tume ya Uchaguzi IEBC kuishinikiza kutoa orodha ya wapigakura watakaoshiriki uchaguzi mdogo wa Kibra. Akiwahutubia wanahabari katika majengo ya bunge, Mwenyekiti wa ODM John Mbadi, ameikashifu IEBC kwa madai ya kuwa na njama ya kufaulisha wizi wa kura, wakati wa uchaguzi mdogo Novemba 7 mwaka huu kwa kukataa kuweka wazi sajili ya wapiga kura itakayotumika wakati wa shughuli hiyo. Kwa mujibu wa Mkuu wa Uchaguzi chamani Junet Mohamed waliandika barua zaidi ya mara tatu kupitia katibu mkuu vilevile kamouni za mawakili kabla ya barua yao kujibiwa na Afisa Mkuu Mtendaji Marjan Hussein ambaye aliwataka kulipa shilingi elfu 15, fedha ambazo zililipwa mara moja. Kwa mujibu wa Junet, IEBC imekataa kuwapa sajili hiyo na hivyo kutia nguvu madai ya mikutano ya kisiri na njama ya kuhitilafiana na shhughuli hiyo iliyorataibiwa Novemba tarehe 7. Junet amemtaja aliyekuwa Waziri wa Kawi Davis Chirchir kuwa miongoni mwa wanaohusishwa katika njama hiyo. Hata hivyo katika taarifa ya hivi punde zaidi, IEBC imesema kwamba sajili hiyo sasa iko katika harakati za kuchunguzwa katika ofisi ya Afisa Mkuu wa Uchaguzi wa Kibra kwa siku saba kabla ya sajili ya mwisho kusambazwa kwa wote wanaoihitaji. Hata hivyo, suala kuu ni iwapo chama cha ODM kilifahamishwa kuhusu utaratibu huu au la kwani chama cha ODM kinalalamikia kimya cha IEBC katika mawasiliano ya kusaka sajili hiyo. RELATED TOPICS: ODMIEBCMaandamano
"2020-07-11T04:06:35"
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001344950/odm-kuandamana-jumatano-dhidi-ya-iebc
[ -1 ]
Bobbi Kristina Kutolewa Kwenye Mashine Kesho, Mashine Inayomfanya Aishi!! Je Ndo Mwisho Wa Maisha Yake - Salma MsangiSalma Msangi 10 February 2015 by Salma Msangi+ in News International News - No Comments Baada ya kuwa hospitali kwa zaidi ya wiki 2 akiwa na tatizo la ubongo kufanya kazi kwa kiasi kidogo, familia ya Brown na Houston wameamua kumtoa Bobbi Kristina kutoka kwenye mashine ambayo inamsaidia, atatolewa mashine hiyo siku ya Jumatano 11 Februari 2015. Bibi yake Brown Cissy Houston anataka ifanyike kesho kwa sababu ni kumbukumbu ya miaka mitatu ya kifo cha Whitney Houston ambae ni mama yake Bobbi Kristina. kutoka karibu na familia hiyo aliiambia New York Post kwamba Mrs. Houston kumuacha Brown atoke kwenye mashine itamfanya mama na mtoto wake wawe pamoja milele. “Hichi ndicho wanachoweza wakakubaliana kwamba ameshakwenda na hakuna cha zaidi kinaweza kufanyika kwa ajili yake” chanzo hicho kilieleza. Mtengenezaji wa falamu Tyler Perry ameripotiwa analipia maandalizi ya maziko na matayarisho yote, na ameshatembelea hospitali ya Atlanta Emory ili awe na familia katika kipindi hiki kigumu kwa familia ya Brown” “Hautamfikiria kama kuwa mtu fulani ambae alifanya kuwa mleta amani lakini ni mtu fulani kwa pande zote kweli anaheshima” chanzo kimoja cha familia ya Brown ameiambia New York Post. Binti huyo mwenye umri wa miaka 21 mwezi Januari tarehe 30 alikutwa nyumbani kwake uso wake ukiwa umezama kwenye bathtub, Alipotolewa madakatari walimwambia baba yake kwamba uwezo wa ubongo wa Bobbi Kristina ulikuwa chini lakini alitaka awekewe mashine ya kumsaidia kuishi na kumuombea na kutegemea miujiza. Pia alitoa maelezo akikataa kwamba Bobbi Kristina ubongo wake ulikuwa umekufa wakati vyanzo vya karibu na familiana hospitalini walipoviambia vyombo vya habari. Nick Gordon ambae inasemekana ndiye aliyekuwa mchumba wake anachunguzwa kwa sasa baada ya kukutwa majeraha kwenye mwili wa Brown usoni na na mwilini. Mamlaka husika zinachunguza ili kujua kama kuna kitu kibaya alifanyiwa Bobbi Kristina. Ujerumani Yaadhimisha Miaka 24 Muungano
"2018-10-17T19:14:36"
http://salmamsangi.com/bobbi-kristina-kutolewa-kwenye-mashine-kesho-inayomfanya-aishi-je-ndo-mwisho-wa-maisha-yake/
[ -1 ]
Dawati la Michezo - Lionel Messi adinda kuchukua medali ya nafasi ya tatu Copa America Lionel Messi adinda kuchukua medali ya nafasi ya tatu Copa America Imeandikwa na Anthony Aroshee tarehe Jumanne, Julai 09 2019 02:36pm . Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina, ambaye pia ndiye nahodha wa kikosi hicho Lionel Messi, hakuonekana jukwaani wakati wa kuchukua medali za mshindi wa tatu katika Michuano ya Copa America inayoshiriki mataifa ya Bara la Marekani ya Kusini. Argentina ilimaliza ya tatu baada ya kuishinda Chile mabao 2-1 katika mechi ya kumtafuta mshinde wa tatu kwenye mchezo ambao nyota huyo wa Barcelona, alionyeshwa kadi nyekundu na kutoka nje ya Uwanjani na hakurudi tena. Katika mchezo huo, Messi na mwenzie Gary Medel wa Chile, waliotolewa nje ya Uwanja baada ya mwamuzi wa mechi hiyo Mario Diaz de Vivar kuwaonyesha kadi nyekundu baada ya wanandinga hao kutunishiana misuli Uwanjani. Messi hakufurahia na kitendo hicho akisisitiza kuwa ulikuwa ni muendelezo wa upendeleo unaofanywa na Shirikisho la Soka la Amerika Kusini CONMEBOL ambao pia ndio waandaaji wa michuano hiyo ya Copa America. Hiyo ilikuwa ni kadi nyekundu ya pili Messi kupata katika maisha yake ya soka tangu mwaka 2005 alipopata kadi nyekundu ya kwanza. “Sijaenda kuchukua medali kwa sababu sitaki kuwa mmoja ya wala rushwa, Brazil watashinda mchezo wao wa fainali. Kwani fainali hiyo tayari imeshapangwa na ni muda tu ndio unaosubiriwa na mimi daima nitaendelea kuongea ukweli,’’ ameeleza Messi kwenye mahojiano yake na waandishi wa habari baada ya mpambano huo kumalizika.
"2019-10-15T09:24:51"
http://dawatilamichezo.com/leagues/8-soka/1533-lionel-messi-adinda-kuchukua-medali-ya-nafasi-ya-tatu-copa-america
[ -1 ]
DELLA MEDIA PRODUCTION: SIMULIZI....KOSA LANGU NI LIPI...SEHEMU YA ...14...... SIMULIZI....KOSA LANGU NI LIPI...SEHEMU YA ...14...... “Vipi shemeji yupo” Joyce akamjibu “Hayupo amesafiri kikazi kama baada ya wikimbili ndiyo atarudi” Lina akaonyesha tabasamu na kusema “ Afadhali kama hayupo sasa sikiliza rafiki hapa nilipo nimekuja kwako jana nilikutana na Sukari anakutafuta yaani ananisumbua sana” Joyce alimwangalia Lina na kusema “ sitaki hata kulisikia hilo jina hapa nyumbani kwangu najuta sana kumsaliti mume wangu”.. Kwa dharau Lina akacheka “unanichekesha kweli wewe hutaki kulisikia hilo jina wakati ni baba wa mtoto wako, bila yeye ungepata mtoto embu acha mambo ya kijinga, Sukari atakusaidia upate na mtoto wa pili” Joyce kwa jazba akasema “ sikiliza nikuambie Lina mimi nilitenda kosa na siwezi kurudia kosa hata sikumoja. Tena naomba kama unataka urafiki wangu na wewe uendelee basi usinitajie huyo mtu hapa nilipo ni mjamzito kwa sasa na hii mimba ni ya Fredy najuta kutokuwa na subira kwani mume wangu alikuwa na uwezo wa kunipa mimba” Hahahahahah kicheko cha Lina “leo ndiyo unatambua kuwa ulitenda kosa.Sikiliza nikuambie Joyce mimi sina haja ya urafiki na wewe na ukicheza nitamwambia Sukari kuhusu mtoto wake tuone nani mjanja kati yangu mimi na wewe” aliongea huku akiwa ananyanyuka na kuondoka Joyce aliyekuwa amembeba mtoto wake alisema “siogopi chochote mwanga mkubwa wewe mwanamke una roho mbaya nia yako kunivurugia ndoa yangu” Lina aliondoka na kumuacha Joyce katika Dimbwi la mawazo. Baadaye Lina aliondoka huku akiendelea kutoa vitisho kwa Joyce kuwa atamueleza ukweli Sukari. Tokea siku hiyo Joyce hakuishi kwa amani alikuwa na hofu sana nini kitatokea iwapo Sukari akija kudai mtoto wake "Sijui nitafanya nini mimi Fredy atakapobaini ukweli najuta sana kutenda kosa hili" yalikuwa ni mawazo ya Joyce. Lina kutokana na tamaa ya pesa alimtafuta Sukari na kumueleza kila kitu kuhusu Joyce. kwamba kipindi yupo naye alipata ujauzito na alimweleza kuwa Joyce alimficha kwani nia yake ilikuwa apate mimba na amlee mtoto na mume wake. Sukari kusikia hayo maneno alipata hasira sana na kuwaza namna gani anaweza kumpata mtoto wake “yaani huyu mwanamke ni mpumbavu sana anaweza kunifanya nisimjue mwanangu tena analelewa na baba mwingine mtoto wangu mimi haiwezekani mimi mwenyewe sina mtoto lazima niipate damu yangu” aliwaza moyoni mwake Sukari huku Lina akisema "Tena nitakuelekeza na anapoishi na huyo mtoto mmefanana sana" Sukari aliyekuwa amekunja uso kwa hasira akamjibu "Unajua hata wewe Lina ni mtu mbaya sana inamaana ulikuwa unataka mtoto wangu nisimjue yaani ninyi ni wauaji". Lina kwa kujishaua akasema "Najua nimekukosea sana Sukari naomba unisamehe nitakusaidia ili mtoto wako akutambue kama baba yake mzazi" Sukari alisimama na kuzunguka huku na kule bila kujua wapi anaelekea akitafakari "Sijui nikamshtaki huyu mwanamke kwanini amenifanyia hivi inaniuma sana yaani mtoto wangu, damu yangu, halafu anitambui kama mimi ni baba yake hapana kwakweli imeniuma sana". Lina alimwelekeza Sukari hadi Joyce anapoishi na mume wake pamoja na sehemu ambazo anafanya kazi zake ndipo siku hiyo aliamua kumfuata nyumbani kwake aliingia moja kwa moja ndani baada ya kubishana na mlinzi wa getini. "Unaelekea wapi kijana mbona nakuuliza unijibu unataka kuingia kwa nguvu" Alihoji mlinzi "Sikiliza wewe ninapoelekea ni hapa nilipofika niitie mama mwenye nyumba" alisema Sukari huku akimkazia macho mlinzi. Joyce alitoka nje baada ya kusikia sauti za malumbano kwa mbali, alishtuka alipomuona Sukari mapigo ya moyo yalimwenda kwa kasi huku akiwa kama amepigwa butwaa, Sukari alisogea kwa ukaribu na kumwambia "Haina haja ya kushangaa wala kuogopa kila kitu nafahamu wewe mwanamke ni muuaji mkubwa” Joyce aliyekuwa amesimama kana kwamba haamini anachokiona alimgeukia yule mlinzi "Nenda getini unamtizama nani hapa" yule mlinzi alirudi getini na kuwaacha Sukari na Joyce na kwa wakati huo Fredy bado alikuwa safarini kikazi. Joyce alimwangalia Sukari na kusema “Sikiliza nikuambie huyo aliyekuambia hayo maneno amekudanganya hayana ukweli wowote” Sukari alisogea karibu ya Joyce na kumtazama huku akiwa amemkazia macho, akizungumza kwa sauti iliyojaa jazba. Joyce alikuwa akionekana kuwa na hofu kubwa. “Mimi sitaki ugomvi na wewe ninachotaka ni mtoto wangu fanya utakavyoweza lakini fahamu kwamba namtaka mwanangu atambuwe kuwa mimi ni baba yake” alisema Sukari. Joyce akamjibu “Wewe una kichaa mtoto si wa kwako tena naomba uondoke katika nyumba yangu kabla sijakuitia Polisi” Sukari akacheka kidogo na kusema “Halafu ukiwaita hao Polisi utakuwa umenisaidia sana, mimi naondoka lakini nitarudi hadi nihakikishe nampata mwanangu”....USIKOSE SEHEMU YA ....15...... Imechapishwa na Adela Kavishe kwa 4:57 PM nimemchukia wajina wangu sana,ndo kafanya nn ss?naomba mtto awe ajafanana na sukari plzzzzzzzzzzzzzzz,coz sitopenda joy alie tna. 10 Julai 2013 18:17 pole dadaa,always shortcut is a longcut 10 Julai 2013 19:19 Ayaaaaa,! patamu hapo! siamini macho yangu nini kitatokea hapo. dada adela 2pe vi2 hivyo 2jue mwisho wake. big up dada ye2. 10 Julai 2013 20:17 Mamaaaaa! ukickia kuwa kula kulipa ndo hapo. jamani namstikia sana joyce kwa kutokuwa mwaminifu 7bu ya kumsiliza sana shoga yake linah. 10 Julai 2013 20:24 Yeeleewiii! yesu na maria! bora joyce akimbilie kibololon akajifiche maana fred akirudi na kuckia hizo habari atazimia kama c kukata roho. 10 Julai 2013 20:47
"2018-03-22T03:49:36"
https://adeladallykavishe.blogspot.com/2013/07/simulizikosa-langu-ni-lipisehemy-ya-14.html
[ -1 ]
OBARA: Kampeni za mapema za urais zimefungua macho wananchi – Taifa Leo VIONGOZI wengi wa kisiasa wamelaumiwa kwa kuanzisha kampeni za mapema za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika 2022 ilhali utawala wa rais wa sasa haujakamilisha miaka miwili mamlakani. Wanasiasa hao wamelazimika kutumia muda na raslimali nyingi kwa kampeni hizo badala ya kuzitumia kuimarisha maendeleo yatakayonufaisha wananchi wa kawaida. Lakini kuna jambo jema kuhusu joto hili la kisiasa. Kwa mara ya kwanza, wapiga kura wamepata fursa ya mapema kujionea aina ya viongozi ambao hawana ari yoyote ya kuwatumikia. Kwa sasa, suala ambalo linazidi kuibua mjadala mkali katika siasa za Kenya ni mustakabali wa Naibu Rais William Ruto katika Chama cha Jubilee. Hii ni baada ya Naibu Mwenyekiti wa chama hicho, Bw David Murathe, kudai jamii ya Agikuyu haina deni lolote la kisiasa kwa Bw Ruto, huku naye Katibu Mkuu wa chama hicho Raphael Tuju akisema ni lazima naibu rais apitie mchujo endapo ataazimia kupeperusha bendera ya Jubilee uchaguzini. Kama ilivyotarajiwa, matamshi ya wawili hao yaliibua mtafaruku wa kisiasa Jubilee na kuzidisha msisimko wa kisiasa kitaifa. Kuna jambo aliloangazia Bw Murathe ambalo ni mfano mwema wa baraka wapigakura wanastahil kufurahia kutokana na kampeni za mapema. Kwenye hotuba yake katika Kaunti ya Vihiga, Bw Murathe hakuficha kwamba wanataka mgombeaji urais atakayejali masilahi ya jamii yake. Kwa miaka mingi, Wakenya wamekuwa wakiambiwa wajihadhari na aina ya viongozi wanaowania viti mbalimbali vya kisiasa kwa kuwa wengine wao hunuia tu kulinda masilahi yao ya kibinafsi, ya familia zao na wandani wao wa karibu. Bila shaka, si kawaida kusikia mwanasiasa akikiri hadharani kwamba ana masilahi ya kijamii ambayo yanamsukuma kuamua kiongozi anayestahili kuchaguliwa kuongoza taifa. Wadhifa wa urais una jukumu kubwa la kuongoza nchi hii lakini umekuwa ukidunishwa tangu Kenya ilipopata uhuru kutoka kwa wakoloni. Tumepitia enzi ambapo watu wachache walijitolea kulinda utawala wa kiimla ili wapate nafasi za kupora rasilimali za umma. Sasa tumefikia enzi ambapo makundi ya watu yanatetea utawala usiojali mwananchi wa kawaida ili wao na wandani wao wapate zabuni serikalini. Zabuni hizo ndizo zimekuwa zikitumiwa kufuja mali ya umma katika miaka ya hivi majuzi hadi Rais Uhuru Kenyatta alipokumbuka kuhusu sifa anazotaka kuacha atakapokamilisha hatamu yake ya pili na ya mwisho uongozini. Ingawa Bw Murathe hakufafanua wazi kuhusu masilahi ambayo angetaka rais ajaye alinde kwake na jamii yake, ninachoweza kubashiri ni kuwa, mengi hayahusu mkulima mdogo katika eneo la Kati au Mlima Kenya anayejikakamua kutafutia familia yake riziki huku akilemewa na mzigo mkubwa wa ushuru. Kwa kuwa tumeshindwa kuzuia kampeni za mapema, ni vyema tuwafahamu wanasiasa hawa na nia zao mapema kabla tufike uchaguzini. Tujue kuwa matatizo yanayotukumba hayatatatuliwa na rais aliye ‘mfalme wa kijamii’ bali kiongozi aliyedhihirisha uzalendo na uaminifu kwa taifa lote. 2022 obara ruto
"2019-06-25T03:53:04"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=15450
[ -1 ]
Blaze ya vita Cheats, Hack & Tips - withoutwax.tv Jumatatu, Julai 6, 2020 Home Android News Blaze ya vita Cheats, Hack & Tips Blaze ya vita Cheats, Hack & Tips standout miongoni mwa wenye kutia moyo SLG diversion milele, kuongeza mji yako mwenyewe na jeshi lenye silaha na kuanza kupanua kila mahali duniani na mpya ambayo ni kwenda tayari kupanda kutoka slag, kutumia Blaze wa vita mbinu ili kukuwezesha wote kupitia adventure hii, kuendelea upitie kwa haraka utafiti chini ya kuchukua katika zaidi kuhusu pumbao. Blast ya Mapigano lilifanywa na kusambazwa kwa “Shenzhen Lehi Network Co., Ltd.” Kampuni na ni kupatikana kwa kupakuliwa na alicheza waziwazi juu ya Android na IOS hatua. Storyline na Quick Intro. Wewe ni waanzilishi kwamba kila mtu imekuwa ameketi tight kwa! Je, ni vipi tutaanza kukusanya mji bora kutoka mwanzo kwa kuwa hii itakuwa hatua yako ya mwanzo katika uzoefu huu mpya. Kuanza mtihani kwa kufanya kazi nje ya nyumba katika nafasi ya kwanza, kama jamaa yako ni maskini hivyo huhitaji mahali fulani kupumzika na kukaa. Kuna faida kuongeza machache kutoka miundo nyumba. Kama itakuwa kujenga dhahabu yako mshahara na kikosi kuandaa kasi, unaweza kuwa befuddled kuhusu mawazo ya msingi kuhusu pumbao huu au lengo la msingi kwa kuwa fulani. Hata hivyo, kama wewe mapema zaidi juu, utapata kutumika gameplay katika kuleta chini wakati, na ni wazi Blaze yetu ya vita dhibiti ilitolewa awali ya kusaidia wachezaji mpya wa hurekebishwa ili mfumo hapa. Maelekezo Gameplay Basic. Nyumba anatoa nafasi ya wenyeji wako wa kuishi, na nyumba itaondoka kutoa dhahabu mara moja inafikia kikomo kubwa zaidi ya dhahabu. Hivyo hakikisha kuwa kukusanya dhahabu kwamba inaundwa kama mara nyingi iwezekanavyo, na kukumbuka kwamba kuendeleza kama sheria inachukua muda uliopangwa maalum, kutatokana aina ya jengo unaenda kuendeleza. Bado, unaweza kuongezeka mambo nje kushuhudia hayo mara moja na hii itahitaji mpangilio wa lulu, vito ni jambo la kawaida ndani ya hapa, hata hivyo kwa kufuata baadhi ya Moto mkali wetu wa vita tips, sisi ni karibu na uhakika kwamba utakuwa kufikiri jinsi ya kupata yoyote hatua yao kwa ufanisi. Ngazi ya chini fixings inaweza ziko kwenye kubwa kiasi moja katika Blacksmith. Hii ni sehemu hiyo ilitolewa extraordinarily kukamata muhimu na muhimu tips wote, ambayo inaweza kuja katika faida kwa ajili ya mapambano yako kwa muda mrefu kupanga hapa. sasa baadaye kujenga nyumba muhimu, jamaa wako katika muda mrefu uliopita kugundua mahali kukaa chini katika, nao kuanza kulipa dhahabu kama kuwasili kwa msaada kwa ajili ya upande wako hatimaye, na hii itakuwa tu kuongeza mshahara wa mji, lakini kuna njia chache ya kujenga kulipa dhahabu, Kimsingi Blaze wa vita mbinu, hii ni rahisi kujulikana mkakati na sisi mpaka sasa, kuendelea upitie kwa haraka kuchukua katika zaidi. Tumeendelea Gameplay Maelekezo. Hivi sasa, watu wa kawaida katika shamba lao zinahitaji riziki kuishi, vivyo hivyo askari yako unaweza kuanza maandalizi kwa kuwa chakula sahihi, hivyo jambo kuu ya kufanya kwa namna ni kuendeleza mashamba ya, chakula ni kama kuambatisha hutokea, tuliona wakati sisi awali kukutana jambo kijamii. Kuna njia bora katika miundo ya darasa ili kufidia sehemu hii juu, lakini sisi ni kukaa na misingi hapa, na ni wazi Blaze wa vita hack kufanya wewe ponders kwa namna, na kabisa kwa ajili ya kitu. Kila kitu ni inapatikana kwa lulu katika diversion. Maneno ya mwisho. chakula na Ugavi ni kuulinda, nini msaada mkubwa! Mimi takwimu katika hatua hii, unajua jinsi mambo kazi katika diversion hii. Uwezekano wewe kuwa na makazi ya uchaguzi wako bado kuhusu kama kuendelea kucheza au la, hii ni diversion vitendo bali bado ni Packs up biashara sababu kwa kukupa nafasi ya ushawishi mkubwa nchi nyingine, kwamba ni kwenda sparkle na akipanda kutoka msingi. Mji wako utaanza na mahitaji ya nafasi na kupanua ni kitu kuepukika, kugeuka waanzilishi colossal kuwaongoza kupitia wakati wote shida kwenda show up na kwa Blaze wa vita hack, mawazo hii itakuwa Umelindwa kabisa. All kitaalam yetu na maudhui kuwa kipimo na yaliyoandikwa na giant Cheats jukwaa, Hapa ni baada ya kuu ya Blaze ya vita Cheats, Hack, Mwongozo na Tips. Blaze ya vita Cheats Blaze ya vita Guide Blaze ya vita Hack Blaze ya vita Tips makala iliyopita2017 Mungu wa Highschool na Naver WEBTOON Cheats, Hack & Guide makala inayofuataTitanfall: shambulio Cheats, Hack & Guide
"2020-07-06T13:03:58"
http://withoutwax.tv/2017/08/30/blaze-battle-cheats-hack-tips/?lang=sw
[ -1 ]
Obama, Clinton Watuhumiwa Kulitengeneza Kundi la Kigaidi la ISIS – Dar24 Video: Waziri Mkuu apiga marufuku usafirishaji chakula nje ya nchi, atoa agizo kali Viongozi wa dini waombwa kukemea mauaji Pwani Binti wa Sassou Nguesso kitanzini kwa rushwa Marekani yatoa wito kwa Qatar kumaliza mzozo na nchi za Kiarabu Awekwa kwenye Jeneza akiwa hai na kutishiwa kuchomwa moto Mfahamu Ed Sheeran nje ya uimbaji Nay wa Mitego ajibu Diss ya Young Killer, adai anataka kuwa ‘Young wa Mitego’ Remy Ma akomesha utawala wa Nick Minaj kwenye tuzo za BET Saida Karoli: Nimekaa jela miaka 15 Diamond kuwapa Watanzania ‘kitu’ kwa shilingi 300 El Hadji Diouf: Mimi sio mtu mbaya, Ulaya walinionea Kamati ya TFF yatoa uamuzi wa mwisho uchaguzi Lipuli FC Nyamlani ajiondoa kinyang’anyiro cha urais TFF TFF walonga kuhusu usajili Simba, “Simba itakuwa bingwa 2017/18″ Nemanja Matic na Man Utd mambo yaiva Hakuna fisadi wala mla rushwa atakayepona awamu hii-Lubinga Ukiukwaji wa kanuni katika uchaguzi wamchefua Kinana Video: Bavicha wawaka kukamatwa Meya wa Ubungo Ngonyani awatibua wapinzani bungeni, awapiga kijembe cha kula rambirambi Video: Mwigulu atia mguu mimba shuleni, Lowassa awatetea Masheikh Uamsho Magazeti ya Tanzania leo Juni 26, 2017 Video: Manji akubali yaishe kwa JPM, Lowassa ataka mkakati kukabili kamatakamata Magazeti ya Tanzania leo Juni 25, 2017 Video: JPM ashtusha, Kiama viwanda 179 Obama, Clinton Watuhumiwa Kulitengeneza Kundi la Kigaidi la ISIS 1 year ago Comments Off on Obama, Clinton Watuhumiwa Kulitengeneza Kundi la Kigaidi la ISIS Bilionea anaewania nafasi ya kuwa rais wa Marekani, Donald Trump, jana aliwashukia Rais Barack Obama na Bi. Hillary Clinton kuwa ndio waliolitengeneza kundi la kigaidi linalojiita Islamic States of Iraq na Syria (ISIS). Trump alieleza kuwa sera za mambo ya nje za rais Barack Obama na Bi. Clinton ndizo zilizosaidia kulisuka kundi la ISIS na kuhatarisha usalama wa Marekani na nchi nyingine za Magharibi. “Walitengeneza ISIS, Hillary Clinton alitengeneza ISIS na Obama,” Trump anakaririwa. Akitoa ushahidi wa alichokieleza, Trump alidai kuwa mvutano uliopo hivi sasa kati ya Saudi Arabia na Iran unaonesha dhahiri kuwa Jamhuri ya Kiislam ilitaka kuchukua washirika wote wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati. “Huko Tehran, wanachoma ubalozi wa Saudi Arabia, mnaona..? alihoji. “Hii ni ishara kuwa Iran inataka kuichukua Saudi Arabia kama mshirika wake. Wanataka kufanya hivyo siku zote, wanahitaji mafuta,” aliongeza. Rayvanny atoa maneno mazito kwa Madee akikumbuka miaka sita iliyopita Israel yaigeuzia mashambulizi Syria Mwigulu ang'aka, atishia kuzifuta taasisi zinazotetea mimba na ushoga Wanawake wenye vitambi hupoteza mvuto, fahamu namna ya kuvikabili
"2017-09-23T16:38:07"
http://dar24.com/obama-clinton-watuhumiwa-kulitengeneza-kundi-la-kigaidi-la-isis/
[ -1 ]
Viongozi watorosha Sh trilioni 16 nje! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Viongozi watorosha Sh trilioni 16 nje! Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Janja PORI, Jul 4, 2012. VIONGOZI na wafanyabiashara nchini, wameelezwa kutorosha na kuhifadhi fedha nje ya nchi kiasi cha Sh trilioni 16.6 fedha ambazo zinazidi bajeti ya Serikali kwa mwaka 2012/13. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) alisema hayo bungeni jana wakati akichangia hotuba ya Makadirio ya Matumizi ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Tume ya Mipango kwa mwaka 2012/13 na kuituhumu Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuwa inajua fedha zote zilizofichwa na Watanzania nje ya nchi. Mpina mbali na kuituhumu BoT kufahamu fedha hizo zilipo, alisema Benki Kuu ya Uswisi imekiri sehemu ya fedha hizo kuhifadhiwa katika benki za nchi hiyo na Watanzania sita. "Taasisi ya Global Financial ilibainisha kuwa Sh trilioni 16.6 zimefichwa nje ya nchi na viongozi na wafanyabiashara wa nchini na Benki Kuu ya Uswisi imesema Sh bilioni 315 ziko nchini mwao zimefichwa na watu sita. "Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inajua fedha za Watanzania zilizo nje ya nchi, lakini hadi leo hawajatwambia ni za nani, ziliibwa lini na zitarejeshwa lini! Mbali na kufichwa kwa fedha hizo, Mpina alisema pia kwamba Tanzania inapoteza Sh bilioni 478 kila mwaka, zaidi ya nusu ya Bajeti ya Zanzibar kutokana na fedha hizo kufichwa katika benki za nje ya nchi. Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage (CCM), akichangia hotuba hiyo, alishauri uundwe Mfuko wa Dharura wa kulipa madai ya watumishi ikiwamo malimbikizo ya mishahara yao ili kuepusha migogoro ya mara kwa mara. Mbunge wa Lushoto, Henry Shekifu (CCM), aliitaka Serikali itangaze nyongeza ya mshahara mapema kama ilivyokuwa zamani ili watumishi wajipange na si kama inavyofanya sasa kuwa siri. Mbunge wa Korogwe Mjini, Yusuf Nassir (CCM) alisema katika leseni 28 zilizotolewa na Serikali za utafutaji gesi, hakuna Mtanzania anayefanya kazi hata katika ngazi za chini na taarifa ya mwekezaji ndiyo inapewa Serikali kitendo ambacho si sahihi. Duuuh kweli TZ ni nchi ya mafununu, kwa pesa hizo zote kama zingetumika ipasavyo kungekuwa na migomo? Serikali isitutanie irudishe hela hizo halafu wakamilishe madai ya watumishi wake, tuone kama kutakuwa na mgomo tena. gazeti la HABARI LEO LIMERIPOTI FRONT PAGE,MWENYE UWEZO AILETE HABAR HAPA, gazeti la HABARI LEO LIMERIPOTI FRONT PAGE,MWENYE UWEZO AILETE HABAR HAPA,Click to expand... bora maana humu ndani kuna watu wabishi sijui nao wapo kwenye Bajeti ya billion 15 ya chai kwa ofisi ya mh baba riz tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaaa tanzania, nakupenda kwa moyo woteeeeeeee kweli wahajamaa wanatafuna mapesa yetu - mpaka tukija kufunguka watakuwa wamemaliza kila kitu na kukimbia nchi Sishangai... Nilipoanzisha hii thread (Secrets of Swiss Banking) mwaka 2008 sikueleweka, wengine hata HAWAKUIJALI, hawakuangalia hata tip niliyoweka! Nchi hii ina mambo ya kutia aibu sana. Huwa nashangaa sana watu kama Ritz, Zomba na hayawani wengine kutetea udhaliumu huu. loading..........5% Netwok failed SILVANUS NJENGA Kweli Tz ni zaidi ya tuhijuavyo. Wachache wataendelea kuifaidi na Wengi tutaendelea na kuzidi kuumia tu. Pesa zote hizi wajanja wanawapora wa-tz na hakuna hatua zinazo chukuliwa na mamlaka husika, alafu tunaenda tena kuomba misaada ya kipesa tena kwa wazungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kama mfumo wa maisha umekubalika kuwa huu yaan wa viongozi kujinufahisha kwa kutumia nafasi zao na wasiokuwa na nafasi muhimu ktk ofsi za umma kuzidi kutoa macho tu, basi hatima ya tanzania si tu kuwa hiko mashakani bali hatarini pia. halafu wanasema hamna hela ya kuwalipa ma-dr jamani hivi vasco amerudi kutoka italy? si nilimuona airport juzi anakwenda kumpa balotelli pole!! curapppp presidar of the century! Sishangai... Nilipoanzisha hii thread (Secrets of Swiss Banking) mwaka 2008 sikueleweka, wengine hata HAWAKUIJALI, hawakuangalia hata tip niliyoweka!Click to expand... Mkuu Invisible juzi nilikuwa naongea na wanajeshi wa monduli walishukuru sana ile habari ya Shimbo kwani matokeo yke walinufaika sana baada ya taarifa hizo ambazo zilianzia JF, kuwa baada ya taarifa hizo vikao vya kuwahusisha hasa askari waliokuwa wameenda sehemu husika vilikuwa haviishi kuwabambeleza eti wazipuuze zile taarifa na baada ya muda waligawiwa pikipiki kila mmoja ili kuwanyamazisha na wao walitafsiri kuwa ni kutokana na habari hizo.. je kati ya hizo trilioni 16 na za Abdalah Shimbo nazo zipo humo? jamani hivi vasco amerudi kutoka italy? si nilimuona airport juzi anakwenda kumpa balotelli pole!! curapppp presidar of the century!Click to expand... Juzi alikuwa anaenda kula bata kwa kagame kama sikosei maana kulikuwa na maazimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Rwanda...Hatuana raisi tuna mtarii tu.... tupe link yake tuipitie, wengine tumekuwa member hivi karibuni. tusaidie tuisome. Juzi alikuwa anaenda kula bata kwa kagame kama sikosei maana kulikuwa na maazimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Rwanda...Hatuana raisi tuna mtarii tu....Click to expand... baada ya kula bata Rwanda huyooooo akapaa zake hadi Burundi kwenye sherehe nyingine, hapo akapewa tuzo kwaniaba ya hayati baba wa taifa. Mawazo mwake nadhani aliwaza hivi: Nami nitapata tuzo siku moja...yaani hata ile ya oscar au ya kola itakosa kweli? dah, napata shaka ya hizo pesa kurudi! waliotorosha ndo viongozi wa serikali, sa watarudishaje? labda kimya kimya! then utasikia zimeelekezwa kwenye elimu sijui maji, au afya ingawa hakuna mabadiliko ya maana tunayoweza shuhudia! tuache lomolomo! tuitoe hii serikali dhalimu madarakani, tuunde nchi nyingine yenye fikra na utendaji makini kwa manufaa ya wananchi Lugeye said: halafu wanasema hamna hela ya kuwalipa ma-drClick to expand... wala hakuna vifaa vya x rays na ct scan... tupia thread tena mkuu tufanye utatuzi baada ya kula bata Rwanda huyooooo akapaa zake hadi Burundi kwenye sherehe nyingine, hapo akapewa tuzo kwaniaba ya hayati baba wa taifa. Mawazo mwake nadhani aliwaza hivi: Nami nitapata tuzo siku moja...yaani hata ile ya oscar au ya kola itakosa kweli?Click to expand... Kikwete akose hata ya raisi alie safiri kuliko ma-raisi wote duniani hapo nitaandamano...
"2016-12-11T14:01:26"
http://www.jamiiforums.com/threads/viongozi-watorosha-sh-trilioni-16-nje.287395/
[ -1 ]
Mbunge Mbeya aamriwa kujenga upya nyumba | Gazeti la Jamhuri Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imemtaka Mbunge wa Rungwe Magharibi, Saul Henry Amon, kubomoa na kujenga upya nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103, kitalu ‘S’ eneo la Mafiati Jijini Mbeya, iliyokuwa ikimilikiwa na Simbonea Kileo. Akitoa hukumu hiyo katika kesi ya madai namba 16 ya 2015, Februari 8, mwaka huu, iliyofunguliwa na Simbonea Kileo dhidi ya Gladness Kimaro; Saul H. Amon, J.A. Kandonga na Mashango Investment Co. Ltd, Jaji Atuganile Ngwala amewataka wadaiwa hao kujenga upya nyumba ya Serikali waliyoibomoa, kulipa gharama za kesi, ndipo kesi Namba 24 ya mwaka 2009 ianze kusikilizwa upya katika Mahakama ya Wilaya. Nyumba hiyo iliuzwa kwa njia ya mnada kwa kiasi cha Sh milioni 250 kwa Amon, ambaye aliibomoa baada ya kuuziwa wakati shauri likiwa linaendelea mahakamani. Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Msajili Msaidizi wa Hati, Mkoa wa Mbeya, inaonesha hati hiyo yenye namba 11443-MBYLR aliyopewa Simbonea Kileo baada kuuziwa nyumba hiyo na Wakala wa Majengo (TBA) kwa taratibu zote zinazotakiwa, imebadilishwa jina la mmiliki na kusomeka Saul Henry Amon. Pamoja na mmiliki huyo wa pili kupewa hatimiliki ya nyumba hiyo, hakuna taarifa zozote zilizotolewa kwa mmiliki wa awali kwamba hatimiliki aliyokuwa nayo imehamishiwa kwa mtu mwingine, jambo ambalo ni kinyume cha utaratibu. Hatimiliki hiyo inaonesha ilibadilishwa Aprili 1, 2007 na kuwa itadumu kwa kipindi cha miaka 33 huku mmiliki huyo mpya wa eneo hilo akilipa kodi ya ardhi kiasi Sh 24,540 kwa kiwanja hicho. Kileo amesema hakupewa taarifa yoyote kutoka kwa wauzaji, au Mahakama za kumtaka akabidhi hati hiyo ili umiliki uelekezwe kwa Amon zaidi ya kutolewa kwenye nyumba yake na dalali. Msajili wa Hati, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Subira Sinda, amesema kama uamuzi ulitolewa na Mahakama ilitakiwa mmiliki wa nyumba hiyo apewe taarifa (notice) kwa njia yoyote na kama haikufanyika hivyo ilikuwa ni kinyume cha utaratibu. “Kipengele cha miaka 25 ambacho ni kati ya masharti kwa mtu anayeuziwa nyumba na Serikali kinaweza kuondolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali iwapo atakuwa na haja ya kufanya hivyo, lakini sielewi kilichofanyika huko Mbeya, labda atafutwe Msajili Msaidizi wa Hati,” amesema. Kileo, ambaye ni mtumishi wa umma, aliuziwa nyumba na Serikali na kukabidhiwa hati yenye Namba 11443-MBYLR iliyotolewa Oktoba 2007 baada ya kumaliza kulipa deni lote alilokuwa akidaiwa, amesema sakata hilo lilikithiri kwa mizengwe ya kila namna. Amesema mwaka 2012 Mwanasheria wa Serikali aliwataka TBA kufungua kesi dhidi ya mnunuzi na muuzaji wa nyumba ya Serikali, lakini kwa makusudi hawakuweza kufanya hivyo na kuyaacha masharti waliyoyaweka yakikiukwa. Awali, mbunge huyo alipohojiwa na gazeti hili kuhusu nyumba hiyo iliyouzwa kwa mnada ulioibua mzozo mkubwa, alisema baada ya kuinunua aliiuza tena kwa mtu mwingine ambaye hakutaka kumtaja jina. Kileo alikopeshwa na Serikali nyumba hiyo kupitia Wakala wa Majengo kwa mkataba namba 1531, lakini iliuzwa kwa mbunge huyo Julai 5, 2012 kwa amri ya Mahakama ya Wilaya ya Mbeya baada ya ndoa yake kuvunjika mwaka 2007 kutokana na kutelekezwa na mkewe, Gladness Kimaro (ambaye ni mdaiwa wa kwanza katika shauri hilo), na watoto wake watatu tangu Januari 2001. Kileo amesema kabla ya nyumba hiyo kupigwa mnada, alimjulisha Meneja wa TBA Mkoa wa Mbeya, ambaye alimshauri apeleke nyaraka zote zinazohusiana na kesi hiyo Makao Makuu ya Wakala wa Majengo Jijini Dar es Salaam, na baada ya kukabidhi nyaraka hizo, Juni 2012 hakuna hatua zozote zilizochukuliwa hadi nyumba hiyo inauzwa na kubomolewa. Anasema, baada ya kuona hakuna hatua zozote zinazochukuliwa, aliomba ushauri kwa Mwanasheria wa Serikali ambaye alimshauri kupitia Mwanasheria wa TBA kwamba afungue kesi dhidi ya mnunuzi wa nyumba ya Serikali kupinga uuzwaji wa nyumba hiyo. “Kwa upande wangu nilikuwa tayari nimefungua kesi ya kupinga mnada huo pamoja na kuomba marejeo. Kesi ya kupinga mnada huo ilimalizika kwa kufutwa kwa mnada huo na kuamriwa mnunuzi arudishiwe fedha zake,” amesema. Licha ya kupewa amri ya zuio na Baraza la Ardhi na barua kutoka TBA Mkoa wa Mbeya zikimtaka Kandonga asiuze nyumba hiyo, aliendelea na utaratibu huo. Amesema pamoja na zuio jingine kutoka kwa Meneja wa TBA mkoani Mbeya, la kuuza nyumba ya Serikali kwa kuwa ni kinyume na utaratibu na masharti ya nyumba zilizouzwa na Serikali kwa watumishi wake kwa barua ya Julai 4, 2012, lakini alikaidi maelekezo hayo. Katika mkataba wa mauziano kati ya TBA na mtumishi wa umma anayeuziwa nyumba, vifungu namba 9 na 10 vinaeleza kwamba mtumishi yeyote aliyeuziwa nyumba ya Serikali au mrithi wake, hawaruhusiwi kuuza nyumba hadi hapo itakapotimia miaka 25 kuanzia tarehe aliyopewa hatimiliki. Kwa kuzingatia vifungu hivyo vinavyoeleza masharti kwa mnunuzi wa nyumba ya Serikali ikiwamo kuuza au kubadili matumizi yake baada ya kipindi cha miaka 25 tangu alipokabidhiwa hati, nyumba hiyo ilipaswa kuuzwa Oktoba 2032. Mmoja wa mawakili wa Kileo, Justinian Mushokorwa, ameliambia JAMHURI kuwa tangu ilipotolewa hukumu na Jaji Ngwala kwamba wadaiwa katika shauri hilo wajenge nyumba waliyoibomoa, ndipo maombi mapya yaanze kusikilizwa, hakuna utekelezaji wowote uliofanyika. “Sharti lilitolewa ni kujengwa nyumba iliyobomolewa na ndipo shauri lianze kusikilizwa; na wadaiwa kushindwa kutekeleza amri hiyo ya Mahakama ni kuchelewesha maombi kuanza kusikilizwa upya,” amesema Wakili Mushokorwa. Amesema madai yote katika shauri hilo ni yale yale ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara; na kwamba taratibu nyingine za kisheria zinaendelea kuchukuliwa. Hata hivyo, wakati Jaji Ngwala akitoa uamuzi huo, wadaiwa wote wanne hawakuwapo mahakamani. Previous: Ridhiwani awashukia maafisa wa maji Next: Ndugu Rais bao la mkono linakata huku na huku Faili kesi ya mauaji ‘lapotea’ Moshi
"2018-09-24T21:34:20"
http://www.jamhurimedia.co.tz/mbunge-mbeya-aamriwa-kujenga-upya-nyumba/
[ -1 ]
Waziri Kalemani ataja maeneo yenye ‘harufu’ ya mafuta Tanzania - Mwananchi Waziri Kalemani ataja maeneo yenye ‘harufu’ ya mafuta Tanzania Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Merdard Kalemani Maeneo aliyoyataja Waziri wa Nishati, Dk Merdard Kalemani kuwa na viashiria vya mafuta ni ya ukanda wa Ziwa Rukwa, Ziwa Tanganyika na Kitalu cha Eyasi Wembere chenye ukubwa wa kilometa za mraba 19. 2. Dar es Salaam. Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Merdard Kalemani ametaja maeneo manne yanayoashiria matumaini ya ugunduzi wa rasilimali ya Mafuta nchini kwa siku za usoni kupitia shughuli za utafiti zinazoendelea. Tathmini ya Idara ya Mkondo wa Juu wa TPDC ilibaini matumaini makubwa ya ugunduzi wa rasilimali hiyo yanapatikana zaidi katika maeneo yaliyopitiwa na Bonde la Ufa na ukanda wa Pwani. Imeelezwa kuwa matumaini ya Tanzania kugundua rasilimali hiyo yanachagizwa na jiolojia ya maeneo yaliyo kwenye bonde la ufa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kushabihiana, ikiwamo Uganda iliyogundua mafuta katika Ziwa Albertine huku Kenya ikigundua katika eneo la Lokichar. Katika ufafanuzi wake, Waziri huyo amezitaka kampuni zote za kimataifa zilizoshiriki katika kongamano hilo pamoja na zile zinazomiliki mikataba ya ugawanaji mapato (PSA) kupanua mtandao wa uwekezaji Tanzania, kwa kuwa mfumo wa sera na mazingira ya uwekezaji ni rafiki. Waziri Dk Kalemani amesema kauli mbiu ya Serikali ya Tanzania kwa sasa imejikita katika maeneo ya kuhamasisha na kuwezesha ukuaji wa sekta binafsi, kuchochea matumizi ya bidhaa za ndani, kuimarisha mazingira ya uwekezaji pamoja na kuchochea ukuaji wa viwanda.
"2019-10-21T13:36:32"
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Waziri-Kalemani-ataja-maeneo-yenye/1597296-5295646-epeoc4z/index.html
[ -1 ]
Historia ya Daniel Toroitich arap Moi, Rais aliyechukiwa na watu wazima na kupendwa na watoto - Mzalendo Media Services You are at:Home»Makala»Historia ya Daniel Toroitich arap Moi, Rais aliyechukiwa na watu wazima na kupendwa na watoto By mzalendo on February 11, 2020 0 Comments Wazungu husema man is to error na labda ndio maana mara nyingi watu wanapoaga dunia husifiwa hata kama walikuwa wabaya kiasi gani lakini kisa cha Moi ni tofauti. Baada ya kifo chake watu wengi wameshindwa kufumbia macho kile ambacho wanakisema kuwa utawala wake wa kidikteta miaka ishirini aliyoongoza huku wengine wakiamua kutrendisha hashtag ya #GoToHellMoi na #RIPMoiVictims mitandaoni. Je ni nini kilifanya akachukiwa kiasi hicho? Hujambo na karibu tujaribu kutegua kitendawili hicho. Vitabuni, Moi alizaliwa tarehe mbili septemba mwaka wa 1924 lakini ukweli wa mambo ni kuwa ni vigumu kubaini siku rasmi na mwaka aliozaliwa kwa kuwa enzi hizo elimu ya tarehe, mwezi, mwaka na siku ilikuwa bado haijafikia mkwafrika kikamilifu. Baada ya kumaliza masomo katika shule ya upili ya Tambach, alijiunga na chuo cha ualimu mjini Kapsabet. Alianza kufanya kazi kama mwalimu mwaka wa 1945 katika shule ya African Government School na mwaka mmoja baadaye akateuliwa kuwa mwalimu mkuu. Ni katika kipindi hicho akiwa mwalimu alikutana na barafu yake ya moyo marehemu Lena Moi hata hivyo ndoa yao imadaiwa kupatwa na misukosuko Moi alipojiunga na siasa na kutengana rasmi 1974. Tangu hapo Moi hakuwahi kuoa tena. Moi alijiunga na siasa mwaka wa 1955 na akachaguliwa kwa kiti cha wanabaraza wa mkoa wa bonde la ufa. Mwaka wa 1960, Moi na Ronald Ngala waliunda chama cha KADU ambaycho kwa Kiswahili ni Muungano wa Demokrasia ya Waafrika wa Kenya kilichoshindana na chama cha KANU ilichoongozwa na Jomo Kenyatta. Baada ya Kenya kupata uhuru mnamo 12 Desemba 1963, Kenyatta alimsihi Moi ya kwamba KADU na KANU ziungane pamoja kumaliza ukoloni. Kwa hiyo Kenya ikawa nchi ya chama kimoja, ikiimarishwa na muungano wa wengi Wak?k?y?-Waluo. Mzee Jomo Kenyatta alipoaga dunia tarehe 22 Agosti 1978, Moi alichukua kiapo na kuwa Rais wa Kenya. Alikuwa na sifa nchini, kona zote. Alisafiri sehemu na maeneo yote Kenya, na basi wananchi wakampa faraja na hongera. Alipochukua kiapo kuwa Rais wa Kenya, alinena kwamba atafuata “nyayo” za Mzee Kenyatta, kwa maana ataendelea na sera za Kenyatta na umoja wa Harambee. Ijapokua wapinzani wake wa kisiasa, hasa kutoka makabila makubwa, walimwona Moi kama rais wa mpito tu, asiyeweza kukaa muda mrefu kwa sababu ametoka katika kabila dogo. Agosti mosi mwaka wa 1982, kundi la askari wa jeshi la anga la Kenya, wakiongozwa na Hezekiah Ochuka, walifanya jaribio la kupindua serikali ya Moi lakini wakafeli. Tangu hapo Moi ambaye awali alikuwa mtulivu akaja kivingine. Wote ambao walifanya jaribio hilo au hata kukisiwa kuwa walihusika kwa njia moja au nyingine walipata adhabu kali. Katika kipondi cha uongozi wake ambao ulidumu miaka ishirini na nne, wengi wanakisiwa kuuliwa, wengi kulemazwa na wengine kuwabidi wakimbilie maisha ya nje. Miongoni mwa watu ambao waliuliwa katika kipindi cha uongozi wake ni pomoja na aliyekuwa waziri wa mambo ya kigeni Daktari Robert Ouko ambaye aliuliwa Februari tarehe kumi na tatu 1990, Robert aliuliwa na kuchomwa moto. Robert aliuliwa siku chache baada ya kutoka ziara ya marekani ambapo inadaiwa alikutana na Rais wa marekani kipindi hicho George Bush. Mwingine aliyeuliwa katika kipindi cha utawala wa Moi ni Bishop Alexander Kipsang Muge ambaye aliuliwa Agosti tarehe kumi na nne mwaka wa 1990., Muge alikuwa miongoni mwa viongozi wa kidini ambao walikuwa wakikosoa uongozi wa Moi. Kabla ya kifo chake, alionywa na waziri wa leba kipindi hicho Henry Okullu asihudhurie mkutano mkutano ambao ulikuwa umeratibiwa kufanyika Busia lakini hakusiki, alipokuwa anarudi nyumbani, aliuliwa na kile kilichosingiziwa kuwa ajali na dereva wake kufungwa kifungo cha miaka saba kwa kuendesha gari vibaya lakini akafa akiwa ametumikia kifungo cha miaka mitano. Ogopa watu aisee! Mojawapo ya majasusi wastaafu aliambia tume ya maridhiano kuwa Askofu Alexander Kipsang Muge aliuliwa na tume ya inteliginsia na ajali ilikuwa ya kufunga watu macho. Father Kaiser naye pia hakusazwa. Kaiser alikuwa mstari wa mbele kukosoa uongozi wa Moi. Aliwahi kukosoa uongozi wa Moi kwa kuchangia vita vya kikabila vilivyotokea mwaka wa 1991na 1992, kupinga utawala wa Moi kufunga kambi ya wakimbizi Maela, Ngong lakini pia aliwahi kuwaokoa mabinti wawili ambao walikisiwa kuwa walikuwa wamebakwa na mojawapo ya waziri katika utawala wa Moi. Kaiser alipatikana akiwa ameuliwa Naivasha mkesha wa kuamkia Krismasi 1994. Kiongozi wa wafanuzi chuo kikuu cha Nairobi (SONU) Titus Adungosi alihusishwa na kushawishi wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi kufanya maandano kwa faida ya watu waliotaka kufanya mapinduzi ya serikali ya Moi. Septemba tarehe 24 mwaka wa 1982, Titus alihukumiwa kifungo cha miaka kumi lakini akaaga dunia miezi michache kabla ya kumaliza kifungo. Zaidi ya watu elfu tatu waliuliwa katika uwanja mdogo wa ndege wa Wagalla. Mauaji hayo yalifanyika Februari 1984, wakati vikosi vya usalama vilipowakusanya wanaume kutoka ukoo wa Degodia kwenye harakati za kutafuta silaha haramu. Watu hao walizuiliwa katika uwanja mdogo wa ndege wa Wagalla kwa siku kadhaa bila chakula wala maji kabla ya wengi wao kupigwa risasi walipojaribu kutoroka. “Sitaki kuwa mahali pamoja na Moi huko mbinguni,” Bw Wamwere alisema Jumanne baada ya kifo cha Moi kutangazwa. Koigia alikuwa miongoni mwa wengi waliosota jela kwa kukosoa uongozi wa Moi. Wengine ambao walisota jela ni pamoja na Raila Odinga, Miguna Miguna, Willy Mutunga, Alamin Mazrui, Kenneth Matiba, Gitobu Imanyara, Kasisi Timothy Njoya miongoni mwa wengi wengineo. utawala wa Rais Moi ulirudisha uchumi wa Kenya chini na Serikali yake ilikuwa na ufisadi mkubwa hadi Shirika la Fedha duniani (IMF) na Benki ya dunia (WB) walikataa kutoa mikopo kwa Kenya. Moi ambaye alistaafu mwaka wa elfu mbili na mbili japo anakumbukwa kwa mengi mabaya, anakumbukwa kama rais ambaye aliangazia uboreshaji wa elimu bila kusahau kuwapa wanafunzi maziwa ambayo yalikuwa yakifahamika kama maziwa ya nyayo. Alidhihirishia ulimwengu kuwa anaongozwa na demokrasia alipongatuka uongozini bila kukwamilia hadi kifo kama wanavyofanya baadhi ya viongozi wa afrika. Katika hotuba yake ya mwisho kama Rais, Moi aliomba radhi wote aliowakosea na kusema kuwa amewasamehe wote waliomkosea. Moi alifariki tarehe nne februari na kuzikwa tarehe kumi na mbili februari mwaka wa elfu mbili na ishirini nyumbani kwake Kapsabet. Lala pema palipo na wema Daniel Toroitich
"2020-07-08T08:38:19"
https://mzalendomedia.com/2020/02/11/historia-ya-daniel-toroitich-arap-moi-rais-aliyechukiwa-na-watu-wazima-na-kupendwa-na-watoto/
[ -1 ]
Makao makuu ya CHADEMA hapaingiliki toka Lwakatare akamatwe | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Makao makuu ya CHADEMA hapaingiliki toka Lwakatare akamatwe Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Taswira, Mar 22, 2013. Nimefika makao makuu ya CHADEMA kwa lengo la kupeleka barua ofisi ya Hazina. Nimepekuliwa kuanzia kuvua viatu,mifukoni na nikaamuliwa kuacha simu mapokezi(mlinzi wa CHADEMA). Nimehamaki kuona hali ile,Haikuwa kawaida ya CHADEMA kufanya upekuzi huu. Maswali mengi sana, nimeulizwa hadi kazi ninayoifanya na ndugu zangu wa karibu. Inaokena sakata la Lwakatare limekichanganya chama sana. Walinzi wapo sharp sana kuhakikisha muda wote mgeni upo kwenye uangalizi. CHADEMA" kikulacho kinguoni mwako" Safi sana, mwendo ni huo huo mpaka kieleweke. Hii nayo news alert? chadema ni serikali ya mioyoni mwetu! Hii nayo news alert?[kumbeClick to expand... Chadema haikwepeki. Lwakatare sagga inaonekana kukichanganya chama. Hili ndilo CCM walilokuwa wanlitaka. Kwamba CHADEMA wataanza kukimbia kivuli chao wenyewe. Nadhani ni wakati muafaka wa CHADEMA ku-strike a good blow to their oponents (CCM). This would have been the best time kwa CHADEMA kuibuka na kiboko na wakachapa tena! Ni suala la usalama tu, Parokiani kwetu tangu last week waumini wanaoingia kwa ajili ya ibada wanakaguliwa sana hasa kwa kutumia sensors, unadhani ni kwasababu Lwakatare amekamatwa? Safi sana! Isije ikawa ulitumwa na magamba kuweka kitu hatari hapo then ukishafanikisha policcm waje baada ya muda waseme ni viongozi wa Chadema! Pigwa mtu seach mpaka kunani kudadeki! Mbona mie nimeingia pale juzi na kikamera changu kwenye shati hawajakiona? Nimefika makao makuu ya CHADEMA kwa lengo la kupeleka barua ofisi ya Hazina. Nimepekuliwa kuanzia kuvua viatu,mifukoni na nikaamuliwa kuacha simu mapokezi(mlinzi wa chadema). Nimehamaki kuona hali ile,Haikuwa kawaida ya chadema kufanya upekuzi huu. Maswali mengi sana,nimeulizwa hadi kazi ninayoifanya na ndugu zangu wa karibu. Inaokena sakata la Lwakatare limekichanganya chama sana. Walinzi wapo sharp sana kuhakikisha muda wote mgeni upo kwenye uangalizi. CHADEMA" kikulacho kinguoni mwako"Click to expand... tatizo wewe upo chadema ila umekaa kimagambamagamba. sawa kabisa chadema mwendo mdundo rafiki yako kumbe adui wako mzidi kuwa makini Ni nini content ya hiyo Barua???? Safi sana. security assurance must be complied! "...limekichanganya chama sana..." Unamaana gani? AU .. Unataka tueelewe nini na Matamshi hayo!!? Taswira=Masalia group! ccm walijua kwa sababu mkuu wa usalama amekamatwa wanaweza kufanya chochote wanacho taka. chadema ni chama kikuu na kikubwa. ccm msijidanganye hata kidogo. mia Kwanza wamekosea!! Ilitakiwa wakuvue kabisa nguo!!!! Inaonekana ww sio mwema hata kidogo kwa CDM, maana usingehamaki ki hivo na kutuletea humu jamvini kwa mambo ya kawaida kama hayo!!!! Badala yake ungeipongeza CDM kwa umakini wao!! Angalia ulivomalizia hapo chini!! Nyamb**u.
"2017-06-27T15:51:12"
https://www.jamiiforums.com/threads/makao-makuu-ya-chadema-hapaingiliki-toka-lwakatare-akamatwe.422022/
[ -1 ]
WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' WAZIRI MKUU MAJALIWA AFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipeana mikono na Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana baada ya mazungumzo yao kwenye Ofisi ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dars salaaa. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
"2017-08-21T10:18:37"
http://khalfansaid.blogspot.com/2016/11/waziri-mkuu-majaliwa-afanya-mazungumzo.html
[ -1 ]
Diary Yangu : Dawa ya moto ni moto-25 Dawa ya moto ni moto-25 Ule mkanda wa CD, ukawa unaanza kuonyesha manthari ya jengo, kwa nje, mara kukaonekana magari mawili yakiingia kwenye geti, yakasimama na jamaa mmoja akatoka kwenye gari lake, na sura yake ikavutwa kuwa kubwa kuonyesha sura yake…ooh, ndio Bosi mwenyewe huyu, alikuwa `handsome’ au mlimbwende, akasogea kwenye gari jingine ambalo lina rangi nyekundu. ‘Kweli hili ndio gari la mke wangu, ushahidi tosha , kila mtu akiuona huu mkanda atalifahamu kuwa ni gari la mke wangu, yes, na namba zake ndio hizo..’ akasema Maneno. Kilichofuata hapo alionekana Bosi akifungua mlango wa gari jekundu na akatokea mwanadada akiwa na kivazi chake cha usiku,…. hapo Maneno akasonya kwa hasira na kusema `eti huyu ni mke wa mtu anajidhalilisha namna hiyo…’ akaendelea kungalia huku akiwa kalaza kichwa chake kwenye kochi. Mkanda ukaendelea kuonyesha, wawili hawo wakiongea na hata kufikia kukumbatiana,…sauti ilikuwa ikisikika kwa mbali na sio rahisi kujua wanaongea nini…unachoona ni midomo kuchezacheza. Wakati bosi anataka kumbusu Maua, sura zao zilikuzwa ili kuliona hilo tendo vyema…hapo Maua akawa akageuza uso pembeni na Bosi akambusu shavuni, huku wanaongea, na walikaa pale nje kwa muda halafu wakaelekea kwenye mlango wa nyumba ambayo nayo ilikuzwa ili kuiona vyema. Walipofika pale mlangoni wakakumbatiana tena na tukio halikuwa tofauti na lile la kwanza, na hapa Maneno akawa anajiuliza kichwani kwanini Maua kama kweli ni mpenzi wa huyo jamaa na wapo sehemu ya siri, kwanini anajivunga kubusiana na mwenzake. `Huyu anajifanya tu, eti anaona aibu…mnafiki mkubwa huyu…’ akasema Maneno akiisogelea ile `laptop’ yake, na hapo ule mkanda ukawa unaonyesha mazingira ya ndani ya nyumba. Ulionyesha chumba cha maongezi, halafu ukaelekea mlangoni, na kumuona Bosi akiingia mlangoni huku kashika funguo za gari, alionekana kuwa na wasiwasi, na Maua alikuwa kasimama karibu na mlango akiwa kashika kitaulo kidogo, akifuta mikono yake na hicho litaulo, na akawa anamwangalia Bosi na akauliza kwa sauti ya wasiwasi. ‘Una uhakika hujaona mtu, mimi nimesikia kabisa mtu anagonga dirishani…isije ikawa ndio hawo jamaa wenyewe…’ akasema Maua, akiwa kasimama, alikuwa katokea kunawa mikono, kwani alionekana kujifuta maji usoni na kwenye mikono! ‘Hakuna mtu, una uhakika ulisikia sauti kama hiyo, mimi nimeangalia sehemu zote sikuona kitu, nilichofanya nikuyasogeza magarii kwenye banda la magari, maana kuyaacha pale pale kiusalama sio vyema, uzingatia mlinzi hayupo. Na wewe ulisahau ufungua wa gari kwenye gari…unaonyesha jinsi gani usivyojali,…’ akasema Bosi na kumfanya Maua ashike mdomo kwa aibu na kusema ‘Mungu wangu, mbona hili balaa…sina kawaida hiyo, kusahau ufunguo kwenye gari…duuh, naona sasa hili tatizo limeniharibu kichwa changu, nauomba huo ufunguo, maana nisije nikapitiwa tena…’ akasema na kuuchukua ule ufungua mkononi mwa Bosi. ‘Lakini Maua kwaninii tusiamue moja tu tukawa wapenzi, mimi mke ndio huyo kanitelekeza, na hatusemeshani kabisa, yeye chumba chake na mimi changu, nafikiri anasubiri siku anafukuze kabisa, na naona ina haja ya kuliharakisha hili jambo ili ajue kuwa kweli sivyo anavyodhania…’ akasema Bosi. ‘Maswala ya mkeo ni mkeo, tulishakubaliana hilo, mimi na mume wangu,wewe na mkeo…hayo hayaingilii hili zoezi, kazi kwako…’ akasema Maua akiingia kwenye chumba kilichokuwa mbele yao, na Bosi akamfuatilia kwa nyuma, hawakufunga ule mlango wa chumba, kwahiyo ukiwa kwenye chumba cha maongezi unawaoan vyema wakiwa kwa ndani na Bosi akawa anasema kwa sauti iliyofifia.`Sikiliza Maua,tunatakiwa kujiandaa kwa lolote, kama mke wangu atanitimua tunahitaji kuishi pamoja…mimi naona iwe hivyo, kwa sababu hui familia yangu ilivyo, wakinitimua wataninyang’anya kila kitu, sasa unafikiri nitakwenda wapi…?’ akasema Bosi. ‘Wewe siuna nyumba yako, unawaondoa wapangaji unaishi mwenyewe…hilo kwangu sio muhimu, tujadili jambo la maana, kwanini jana ulivurunda…?’ akasema Maua Bosi alimwendea Maua pale aliposimama karibu na kitanda na kumkumbatia, lakini Maua akamsukuma na kusikika akisema kwa sauti; ‘Wewe sasa unazidisha…niachie bwana…’ ilikuwa sautii ya Maua. ‘Lazima iwe hivyo…kwanza…ilitakiwa tufanye kweli ili hawo jamaa kama wapo mahala au wameegesha vifaa vyao wawe wanaona kama kweli kuwa ….najua kweli, hii ni kazi nzito, lakini baadaye itatusaidia..’ Ikasikika sauti ya huyo jamaa akisema huku anajinyosha na kuelekea kutoka pale chumbani hadi kurudi chumba cha maongezi, alielekea kwenye kabati la vyombo, akachukua gilasi mbili na kueleka kwenye jokofu na kutoa kinywaji, akamimina kwenye gilasi mbili, akarudi na hivyo vinywaji hadi kule chumbani lakini alipompa Maua gilasi moja Maua akakataa, na kusema; ‘Hapana sitaki kufanya makosa mengine, tukiwa mimi na wewe nataka niwe na akili zangu timamu…’ akasema Maua. Baadaye ule mkanda ukawa unaonyesha chumbani ambapo Maua alikuwa kakaa kitandani na pembeni ya kile kitanda alisimama jamaa akiwa kavaa suti malumu, alikuwa anaongea jambo, na Maua anamjibu, lakini kujibishana kule kulikuwa kama kwa kuzozana, inavyoonekana walikuwa hawakubaliani jambo fulani, sauti ilikuwa haisikiki, sijui kwanini mtaalamu hapo alishindwa kuweka sauti isikike. Huenda kifaa chake kilikuwa hakina uwezo wa kunasa sauti za mbali. Maneno akwa anawaza ‘Siku hizi bwana, utaalamu ni mkubwa sana, sijui huyu jamaa alifanyaje mpaka akaweze kuchukua matendo yote hayo, halafu alivyoweza kuingia humo ndani…mmh kweli jamaa huyu sio mchezo…’. Mara Bosi akageuka na kuelekea sehemu ya ndani ambayo ilikuwa sio rahisi kumuona vyema, na huku Maua anaongea, akionekana kaka kitandani. Wakati huo Bosi alionekana akiwa na nguo zake kama kawaida tu, halikadhalika Maua akiwa kakaa kitandani huku kabananisha miguu yake, na mikono yote miwili akawa imeshika magotini na kuinamisha kichwa kukaribia mapajani. Mara Bosi akamsogelea na akaonekana akivua tai…na mara akavua koti,…na kulishika mkononi, akaliweka pembeni mwa kitanda… hapo mkanda ukaganda kidogo, na wakati huo Maneno hasira zilikuwa zinaanza kumpanda, `kwanini mkanda usimame hapo, nataka niuone ushahidi , maana jamaa alishaanza kusarura nguo moja moja….’ akasema Maneo kwa sauti. ‘Oooh, sasa nimeamini kuwa mbaya wangu ni yule yule…anajifanya mpole, anajifanya ananijali…kumbe nyoka mkubwa huyu…’ akasema Maneno kwa sauti. `Mwanzoni nilipoambiwa kuwa mkewe anatembea na bosi, sikujua kabisa wanzungumzia bosia gani, kwani mabosi wapo wengi kwenye ile ofisi, …kwani bosii ni jina au ni cheo…’ akawa anajiliza mwenywe kwa sauti. Lakini jamaa hili wakati wote linaitwa bosi, labda bosi ndilo jina lake, basi hata mimi nitaliita Bosi…’ akasema kwa kimiyakimya. Ni kweli alikuwa hajui kuwa bosi anaitwa jina hilo la Bosi, tangu awali, alikuwa na hamasa sana ya kuumjua huyo anayeitwa bosi ni nani ambaye amediriki kuuleta ubosi wake hadi nyumbani kwake na kufanya dhambi kubwa ya kutembea na mke wake, ….hata pale walipokuwa usiku wakifanya huo uchunguzi hakufanikiwa kumuona sura yake vyema, sasa kamuona vyema kwenye ile CD. Ule mkanda uliendelea kuonyesha, lakini kwa kusuasua…na hali hii ilimfanya Maneno ashikwe na hasira, akakumbuka jinsi huyo Bosi alivyokutana naye Hospitalini, jinsi alivyotaka kuuliwa na yule mwanamke bonge, na akakumbuka kuwa alimtuma akachukue vifaa vya mkewe na DVD, ambayo alimwambia asiifungue au kuicheza, eti itaharibika… ‘Ole wake ningeupata huo mkanda, huenda kuna mambo mengi ya siri ndani ya huo mkanda…’ akasema huku akiuangalia ule mkanda ambao bado ulikuwa hauonyeshi kile alichokuwa akikitaka, walikuwa wanongea tu…hata pale huyo jamaa alipovua koti akabakiwa na shati, na baadaye kuvua shati akabakiwa na fulana, lakini hawakuonyesha kukaribiana, na kwahiyo hakuweza kuupata ushahidi anaoutaka kwa haraka. Baadaye ikaonyesha jamaa akitoka mle chumbani na kuingia chumba kingine, na kwa muda huo ikaonyesha Maua naye akiinuka pale kitandani akiwa na khanga,akasogea kwenye kabati na kuchukua Taulo…hapo mkanda ukaganda tena. ‘Labda wanakwenda kuoga pamoja…’ akasema Maneno, na kuendelea kusubiri Wakati Maneno anaendela kuangalia ule mkanda, Maua alikuwa chumbani kwake akiwa kajilaza kitandani, alikuwa mwingi wa mawazo, kwahiyo akili yake haikuwepo hapo.Alikuwa anajaibu kuwaza tukio la jana. Kwani, ilikuwa karibu wamnase huyo waneyehisi ni mbaya wao, huenda alikuja kuchukua picha nyingine ili waendelee na madai yao. Hata hivyo Maua hakuridhika na tukio zima na kumtupia mwenzake lawama. Ilikuwa usiku wakati wanaongea na Bosi ndipo waliposikia kama mtu akigonga dirishani, walihisi kuwa mtu huyo atakuwa kwa nje, kwasababu walikuwa na uhakika kuwa walipoingia ndani walikuwa wamefunga milango yote. Waliposikia sauti ya mtu akigonga dirisha, wakatulia, na walipoona kimya wakaanza kubishana kuwa nani atoke nje kuangalia,… baadaye Bosii akaamua kutoka mwenyewe na kumuacha Maua ndani. Bosi alipotoka nje, hakumfahamisha mwenzake kuwa amemuona mtu, kinyume na makubaliano yao, hapo akakunja uso kwa hasira, akalaumu kwanini Bosi alipomfuatilia huyo mtu pake yake. ‘Anadai kuwa hakukuwa na muda wa kumuita, na pia alihisi kuwa huenda kulikuwa na mtu zaidi ya mmoja…kwahiyo huenda ni kundi kubwa sana linalowaandama…’ akawaza Maua huku akijinyosha pale kitandani. Alipoona usingizi haumjii, akainuka na kutembea tembea pale chumbani, halafu mawazo mengine yakamjia…sasa aliwaza kuhusu mumewe…alijua kwakwelii anachofanya kitakuwa kinamumiza mumewe, lakini hakutaka kumfahamisha sasa hivi, kwani mambo hayajakaa vyema, wataishia kuzozana tu, ..wazo likamjia kichwani kuwa kuna umuhimu wa kukukaa na mumewe, kama inawezekana aondoke kidogo hapo nyumbani, aende kwao kijijini, ili akawaone wazee wake. Hii itampa nafasi ya kufuatilia haya matatizo bila kikwazo... ‘Sitaki nimuhusishe mume wangu, na haya matatizo, kwani ni hatari kwake, namjua saana mume wangu ni mtu kiherehere sana, anapenda kutumia nguvu hata pale pasipostahili, nikumhusisha anaweza akaharibu kila kitu, tatizo hili linahitaji akili na utaalamu, sio mabavu..na hawa watu waliofanya hili jambo wanaonekana sio watu wa mchezo.’ akasema huku anaelekea mlangoni. ‘Ngoja nikamuone nimshauri hivyo, nitampa hela za matumizi na kuwapelekea wazazi wake nyumbani…na kumalizia ukarabati wa nyumba ya wazee wake…kweli hili ni jambo jema’ akasema huku anafungua mlango wa chumba chake na kutoka kuelekea chumba cha maongezi.. Alipofika chumba cha maongezi akasimama kidogo, macho yake yalikuwa yameona kitu kwenye laptop anayoangalia mume wake, akiaangalia kwa mbali nini mume wake anakiangalia, akasogea taratibu kwa kunyatia, mpaka akawa nyuma ya mume wake. Mume wake akili yote ilikuwa kwenye hicho anachokiangalia na alisikia akiongea mwenyewe kuhusiana na hicho anachokiangalia, Alipofika karibu alishikwa na butwaa…akawa haamini kabisa, kuwa mume wake ndiye huyo aliyeonekana nab OSI usiku… Bosi alikuwa kaka kwenye bar moja akipata kinywaji, na siku hiyo aliondoka ofisini mapema akawa anapita pita mjini, hakuwa na la muhimu sana, lakini aliona ni bora akapoteze muda nje ya ofisini. Alitaka kumpitia Maua, lakini akakumbuka kuwa Maua alisema leo hatakaa sana ofisini, atakuwa nyumbani kwake, kwani alikuwa na maongezi muhimu na mume wake, hakuambiwa ni maongezi gani. Aliwaza mengi, kwani hata yeye alikuwa na haja ya kukaa na mkewe, waongee, ili kama inawezekana maisha yao yarejee kama kawaida, lakini kila alipojaribu kuonana na mkewe, mkewe alikuwa hampi nafasi hiyo, akasema leo itakuwa vyema kuongea naye kama ndoa haipo ajue moja, …`lazima nielewe, nini msimamo wake, najua ndoa ikivunjika na mimi nitakuwa sina change, lakini naweza kujimudu mwenyewe, …hilo kwangu halina shaka, hata kama nitafukuzwa kazi, nitapata kazi sehemu nyingine, …’ akajipa moyo. Alizunguka mitaani, mapaka akafika kwenye duka la zawadi, akavutiwa na uwa moja la waridi, akalinunua na kadi yake, akaandika jina la mkewe na kusema kuwa akifika atamwekea chumbani kwake au kama atakubali atampa mkononi na kumuomba waongee. Akaona kuwa hilo ni wazo jema, akatoka pale dukani na kuelekea nyumbani anapoishi, akiwa njiani akakumbuka tukio la jana, na kujialumu kumpoteza yule mtu kirahisi hivyo, akakumbuka kuwa aliokota kadi, ilikuwa sio kadi ni kitambulisho cha kupigia kura, usiku ule alikitazama, lakini hakuweza kuiona ile sura vyema, akaahidi kukitizama vyema mchana, lakini walipoanza kuzozana na Maua akasahau kabisa. ‘Hivi kwanini kila ninapotoa ushauri kwa Maua anakuwa hakubaliani na mimi, kila mara tunaishia kuzozana tu… hivi haoni hata yeye yupo matatani kama ilivyo mimi…ok, hili nalo ni jambo la kuweka sawa, kama anataka afanye kivyake , afanye…lazima niwe na msimamo wangu…’ akafika nyumbani kwake hakuliingiza gari moja kwa moja aliliegesha kwa jirani yake ambapo kuna fundi wa magari, alitakaliangaliwe na kufanyiwa `service’, akatoka pale kwa mguu hadi kwake, na alipoangalia mbele ya nyumba akaona gari la baba mkwe, …! ‘Oh, baba mkwe yupo humu leo, hapa hapanifai, lakini ngoja nifike ndani kwanza, bila wao kujua kuwa nipo, ninahitaji pesa kidogo…’ akasema, akikumbuka kuwa kuna pesa zake aliziweka ndani, kwahiyo akaona apitie nyuma ya nyumba ambapo sio rahis wao lumuona , na akizichukua anaondoka zake, hata hivyo imekuwa ndio tabia yake, akija hapo hupitia mlango wa nyuma, anafanya analotaka halafu huondoka zake! Nyumba hiyo ni mali ya mkewe, yeye mwenyewe ana nyumba yake aliyojenga lakini wamepangisha, walikubaliana iwe hivyo. Alipofika kwenye mlango mkubwa wa kuingia ndani, ili upite kwa nyuma, akasikia sauti ya baba mkwe ikisema kwa ukali, …sauti ile ikamvita asikilize nini hicho kinachofokewa, akasogea karibu na mlango kusikiliza; ‘Sikiliza mwanangu hata kama unamependa sana mumeo, lakini yeye hakupendi, anakupenda kwasababu ya maslahi, hili nililiona tangu mwanzo, hata ndugu zako wanajua hili, sasa unaona…sasa nakushauri tena kabla hujazeeka achana naye,…’ akasema Baba mkwe. ‘Baba kusema hivyo ni rahisi sana, lakini inapofikia kwenye vitendo inakuwa ngumu, mimi kiukweli nampenda, lakini kila siku vitendo vyake vinanitoa doa, imefika mahali namuona sio kama yule mume niliyempenda tena…sijaamua ninii nifanye, ila natafuta ushahidi wa nguvu, nikiupata nitahakikisha naachana naye na nitahakikisha anajuta katika maisha yake yote…’ akasikia mke wake akisema. ‘Mwanangu hata huhitaji ushahidi tena…nakuhakikishia utapata mume mwingine atakaye kusahaulisha kabisa na huyu Bosi, sijui ni bosi wa nini…tunamjua sisi kuliko unavyomjua wewe…hutaishi nay eye kwa amani kabisa…ni mtu mwenye tama…, kwa taaarifa tulizo nazo anatembea na mke wa mtu…sasa nini unataka kutoka kwake, unataka tukupe ushahidi wa kuwa anatembea na huyo mke wa mtu…hapana haina haja,…lakini kama unataka hivyo utapata..vijana watafanya kazi hiyo , sio tutawatuma, tulishafanya kazi hiyo, na kila kitu kipo wazi, ni swala la kuamua tu…’ Bosi hakuamini hayo maneno, kwani wakiwa pamoja na huyu mzee anakuwa mwema kabisa na anampa ushauri kuwa ndoa ndivyo ilivyo, kuna kupanda na kushuka, wavumiliane…kumbe yote ni kudanganywa tu. Mara akasikia mkewe akisema, `baba usitie shaka kabisa na mimi kuna ushahidi nimeupata, kama utakuwa kama ninavyohisi , mimi sitakuwa na huruma na huyu mtu…nina DVD, niliiona siku nyingi ofisini kwa huyo hawara wa mume wangu, siku hiyo nilikuwa na mawazo mengi sana, nilipofika sikumbuki ni niliibwaga sehemu gani , nimeitafuta sijaiona, lakini kuna CD, moja nimeipata jana ….kwa hawa vijana, wakawa wanataka vijisenti hii inaweza ikasiadia pia…lakini ninachohitaji sana ni ile DVD, ,,,ile nahisi ina kila kitu ninachokitaka….ushahidi wa kutiosha kabisa…., …lakini baba huoni kuwa kuna watu wapo nyuma ya hili jambo, kwani kwa uchunguzi wangu, hili ni kundi ndani ya kundi….baba,..’akasema binti. ‘Mwanangu , usione nipo kimya ukazani nimelala…kila linalofanyika tunalijua…lakini mara nyingi hatutaki kuingilia sana, hasa mambo ya kifamilia, labda…’Akanyamaza na kuuliza. ‘Una uhakika mumeo hatarudi, nahisi kama kuna mtu…’ akasema baba mtu. ‘Hawezi kurudi saa hizi, siku hizi analala nje, akirudi anakuja kubadili nguo..lakini baba, nahisi kuna zaidi ya hivyo tunavyofikiria, …kuna watu wawazunguka, inabidi kuwa makini sana, kwani mambo sivyo kama inavyoonekana, ndio maana sina papara, ….ulinisomesha mwanao katika fani ambayo dunia unaiona kiganjani, na mimi sitaki iwe kama fani tu, lakini kwa manufaa ya familia yetu, nami nitajitahidi sana kulinda maslahi ya familia kwa nguvu zote…huyu mume wangu ni kitu kidogo sana, achana naye…siku zake zinahesabika…’ akaseikia mkewe akiongea kwa majigambo kama ilivyo kawaida yake! Bosi akwaza sana, ina maana hwa watu wapo nyuma ya haya mambo yote, akasema kwa sauti ndogo ‘Inawezekana ni vijana wake aliwatuma jana usiku…oooh,…kama ndio walipanga iwe hivi ili wanifirisi hawapati kitu… lazima nikamwambie Maua kuwa kumbe baba mkwe wangu ndiye anayenitumia watu ili kuiharibu ndoa yangu, kwa vile hanitaki niishi na mwane …’ akawaza na kuondoka pale ,mlangoni ‘Ina maana baba mkwe anatumia kila mbinu ili aniharibie maisha yangu…ngoja niondoke hapa, hapanifai kwa sasa…Akazunguka nyuma ya nyumba, kwa kupitia mlngo wa dharura wa nyuma, na alikuwa na ufunguo wake, akafungua ule mlango na kuingia ndani, na ili ufikie chumba chake inabidi upite chumba cha mkewe , na akakikuta kipo wazi. Alipofika kwenye mlango wa chumba cha mke wake akasikia sauti,..ilikuwa sauti ya TV, au …akaona ahakikusukuma mlango ukafunguka wote, na pale kitandani kulikuwa na `laptop ikiwa bado inafanya kazi…kwa mbali aliona kuwa ni mkanda ulikuwa unaonyesha… Akaingia ndani taratibu na kuangali ni mkanda wa aina gani, kwani alisikia sauti kama yak wake, na shauku ikamjia kujua mkewe alikuwa anaangalia nini ambacho kinamhusu yeye…alipofika akatikisa kidogo ile laptop, kwani ilishaanza kuonekana giza, na akaanza kuona nini alichokuwa akianghalia mke wake…. ‘Mungu wangu, ina maana mke wangu ndiye aliyekuwepo jana,…hata siyo yeye hata hivyo yeye atakuwa alituwatuma watu…’ akasema wakati anaangalia kile kilichokuwa kikioonyeshwa kwenye ile Laptop, ulipoisha akautoa ule mkanda na kutafakari nini la kufanya..! ‘Hii ina maana hawa watu wamniwahi mapema, …natakiwa niwaonyeshe kuwa hata mimi sio mtoto mdogo…kwanza ngoja …’ Akaanza kutafutatafuta mle ndani, nia ilikuwa kutafuta mkanda mwingine auweke kwenye ile laptop badala yake…ili akiingia mkewe ajua kuwa ule mkanda bado upo. Akawa anawaza sana kuhusina na lile tukio la jana....akashikwa na butwaa na kukaa pale kitandani akiwa hana nguvu…wakati anautatafuta mkanda wa kuweka mara macho yake yakaangalia kwenye kikabati kidogo amabcho mkewe hukitumia kuweka nyaraka zake ambazo huziita nyaraka za siri, kilikuwa wazi hakijafungwa, akaingiwa na hamu ya kuangalia kuna nini, na pembe ya hicho kikabati akaona DVD…! Hiyo DVD, ilikuwa na picha ya mvuto, picha za rangi, picha za, ….moyo ukaanza kumuenda mbio, kwani ingawaje haionekan vyema pale ilipojibanza lakini kwa mbali alishaona kitu…oh,` sio ile DVD, aliyoikuta ofisini kwa Maua kweli…’ akajaribu kuivuta lakini ilikuwa kama imenasa kwa ndani…akasogea karibu huku akiwaza; ‘Oh, ina mke wangu kama ndiyo yenyewe mke wangu atakuwa alipanga haya yote, kwanza alitaka kuniua siku ile, halafu kumbe chanzo ni yeye… haiwezekani…haiwezekani..’ akanyosha mkono kuivuta pale ilipojibanza, ilikuwa imebana kiasi kwamba kuitoa ilibidi kuvuta kwa nguvu kidogo, au kutoa nyaraka zote zilizopo mle ndani, na hii ingechukua muda, akachukua kustuli na kusimama ili afikie vyema …na kabla hajaichukua akasikia sauti kwa nyuma ikimwambia, ‘Wewe unafikiri una fanya nini hapo…. Imetumwa na: emu three at 9:17 AM du mambo masikini bosi ndoa hana kazi hana huyu kweli inafunza na yote haya ni wazee wameingilia mambo yasowahusu mpaka wamekwenda toofar cant wait m3 big up Ni kweli Samira
"2018-12-18T23:26:18"
http://miram3.blogspot.com/2011/06/dawa-ya-moto-ni-moto-25.html?showComment=1308940018221
[ -1 ]
Picha : AGAPE YAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUKOMESHA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WASICHANA KWENYE MASOKO SHINYANGA | MALUNDE 1 BLOG Home » habari , shinyanga » Picha : AGAPE YAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUKOMESHA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WASICHANA KWENYE MASOKO SHINYANGA Picha : AGAPE YAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUKOMESHA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WASICHANA KWENYE MASOKO SHINYANGA Meneja Miradi wa Shirika la Agape ACP, Mustapha Isabuda akitoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana wafanyabiashara katika soko la Ibinzamata Mjini Shinyanga leo- Picha na Kadama Malunde - Malunde1 blog. Wananchi katika Manispaa ya Shinyanga wameendelea kunufaika kwa elimu ya kutambua haki za binadamu ili kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana wafanyabiashara katika masoko inayotolewa na Shirika la Agape ACP. Leo Jumapili Aprili 14,2019 ilikuwa ni zamu ya Soko la Ibinzamata Mjini Shinyanga ambapo maafisa kutoka shirika la Agape ACP na Dawati la Jinsia na Watoto la Jeshi la polisi Shinyanga. Huo ni mwendelezo wa utoaji elimu ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na wasichana wafanyabiashara kwenye masoko mbalimbali ikiwa ni utekelezaji wa mradi “Mpe Riziki Si Matusi” unaofadhiliwa na shirika la UN WOMEN kupitia Shirika la kitaifa la Equality for Growth (EfG). Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga, Secilia Kizza ametumia fursa hiyo kuitaka jamii kuachana na tabia ya kuwafanyia ukatili wanawake na wasichana wanaofanya biashara zao kwenye masoko kwa kuwadhulumu na hata kuwatolea lugha mbaya. “Toeni taarifa za matukio ya vitendo vya ukatili mahali sahihi, toeni kwa viongozi wenu wa masoko,viongozi wa serikali na pia katika jeshi la polisi kupitia dawati la jinsia na watoto”,alisema. Aidha aliwataka wananchi kuondokana na kasumba kuwa dawati la jinsia na watoto ni kwa ajili ya wanawake tu bali ni kwa ajili ya watu wote huku akiwahamasisha pia wanaume wanaofanyiwa ukatili kutoa taarifa katika dawati hilo ili wasaidiwe. Afisa Mradi wa “Mpe Riziki Si Matusi”, Helena Daudi aliwataka wanawake na wasichana wafanyabiashara kwenye masoko kutofumbia macho vitendo vya ukatili na kuwahamasisha kuvunja ukimya ili kukomesha ukatili katika masoko na hata kwenye familia zao. Naye,Meneja Miradi wa Shirika la Agape ACP,Mustapha Isabuda alisema kukosekana kwa uaminifu katika ndoa imekuwa chanzo cha vitendo vya ukatili katika familia hivyo kuwaomba wanandoa kupendana na wanaume kuwahudumia wake zao badala ya kutamani wanawake wengine. Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga, Secilia Kizza akitoa elimu namna ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana wafanyabiashara katika soko la Ibinzamata Mjini Shinyanga leo Jumapili Aprili 14,2019 - Picha zote na Kadama Malunde - Malunde1 blog Wakazi wa Ibinzamata wakimsikiliza Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga, Secilia Kizza. Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto jeshi la polisi wilaya ya Shinyanga, Secilia Kizza akiwasisitiza watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili kutoa taarifa mahali sahihi ikiwemo jeshi la polisi. Wakazi wa Ibinzamata wakiwa eneo la tukio ambapo Chiza aliwahamasisha pia wanaume wanaofanyiwa ukatili katika familia zao waripoti katika dawati la jinsia na watoto ili wasaidiwe. Afisa Mradi wa “Mpe Riziki Si Matusi” , Helena Daudi akiwahamasisha wanawake na wasichana kuvunja ukimya ili kukomesha vitendo vya ukatili kwenye masoko na hata katika familia zao. Afisa Mradi wa “Mpe Riziki Si Matusi”, Helena Daudi akiendelea kutoa elimu kuhusu haki za binadamu. Meneja Miradi wa Shirika la Agape ACP,Mustapha Isabuda akitoa elimu kuhusu haki za binadamu na kuitaka jamii kuacha kudhulumu akina mama wanaofanya biashara kwenye masoko wakiwemo Mama Lishe. Wakazi wa Ibinzamata wakimsikiliza Meneja Miradi wa Shirika la Agape ACP,Mustapha Isabuda aliyetaka wanaume kuacha kuonea wanawake na wasichana kwenye masoko kwa kuwadhulumu na kuwashika shika bila ridhaa yao. Meneja Miradi wa Shirika la Agape ACP,Mustapha Isabuda akiwasisitiza wanaume kuacha kutamani watoto wa shule na kama wanapenda sana wanafunzi basi wawashonee sketi wake zao,huku akibainisha kuwa ukikamatwa umefanya mapenzi au umempa ujauzito mwanafunzi unatupwa jela miaka 30 kwa mujibu wa sheria. Mwanasheria kutoka shirika la Agape CP, Suzana Musa (kulia) akigawa vipeperushi vinavyotoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kwenye masoko. Wananchi wakisoma na kuomba vipeperushi vinavyotoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kwenye masoko baada ya kupewa na Afisa kutoka Shirika la Agape ACP,Kitengo cha Miradi,Teresia Venant (kulia). Vijana kutoka kundi la Shinyanga Arts Group linaloongozwa na Msanii Chapchap wakitoa burudani wakati elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kwenye soko la Ibinzamata ikiendelea. Msanii Chapchap akitoa burudani ya kucheza muziki. Wananchi wakifurahia burudani kutoka kwa Msanii Chapchap. Mzuka ukampanda Mama huyu...,akaamua kuingia kati ya kuonesha maufundi ya kucheza pamoja na Msanii Chapchap.
"2020-06-02T12:23:03"
https://www.malunde.com/2019/04/agape-ukatili-sokoni.html
[ -1 ]
Nambari Ya C-sections Zilizo Salama Kwa Mama Na Mtoto | Africaparent Je, Kuna Nambari Ya C-sections Ambazo Mama Hawezi Pitisha? Je, ushai jiuliza nambari ya C-sections ambazo mama anaweza pata? Siku hizi, visa vya upasuaji wa C-section kama njia ya kujifungua vinaongezeka huku baadhi ya wamama waki amua kuenda njia ya upasuaji wa C-section badala ya kujifungua kwa njia asili. Kwa hivyo, ni nambari gani ya upasuaji wa c-sections ambayo mama anaweza pata iliyo salama? Na kwa mama ambaye mtoto wake wa kwanza alizaliwa kupitia kwa upasuaji wa C-section, kuna nafasi za asilimia 90 kuwa mtoto wa pili atazaliwa kupitia C-section. Nambari ya Upasuaji wa C-sections iliyo salama kwa mama? Kwa sehemu kubwa, hakuna jibu shwari ikifika ni mara ngapi zilizo salama kwa mama kushuhudia upasuaji wa C-section. Walakini, madaktari wanakubaliana kuwa kadri mama anavyo shuhudia mara nyingi za upasuaji wa C-section ndivyo anavyokuwa katika hatari kubwa. Daktari Marra Francis anasema, “Upasuaji wa C-section mara moja ama mbili hauna hatari kubwa kwa mama na mtoto.” Kwa kuongeza, Mayo Health Clinic ilisema kuwa hatari zinaongezeka baada ya upasuaji wa mara ya tatu wa C-section, ila hakuna nambari salama za upasuaji wa C-section. Hatari ni zipi? Hapa ni hatari zinazo husika na C-section nyingi: Kupata alama – kila mara unapo pitia upasuaji wa C-section, kutakuwa na alama nje ya mwili na ndani. Kuwa na alama hizi nyingi huenda kukafanya upasuaji wa C-section ujao kuwa na matatizo. Matatizo na placenta yako – baada ya C-setion nyingi, placenta yako huenda baadhi ya wakati ikaji shikilia kwenye uterasi yako ama baadhi hata kufunika mlango wa kizazi chako. Majeraha ya kibofu na tumbo – Wakati ambapo sio jambo linalo shuhudiwa mara kwa mara, haya hutokea na C-sections nyingi. Kuvunja damu nyingi – kutoa damu nyingi ni hatari inayo kuja na C-sections na nambari inavyo zidi kuongezeka, ndivyo hatari ya kuvunja damu nyingi inavyo ibuka. Katika baadhi ya visa, uterasi huenda ikatolewa, utaratibu unao julikana kama hysterectomy. Katika mwisho wa siku, ni muhimu kuongea na daktari wako na kutumia ushauri wao, utafanya uamuzi iwapo ungetaka kuwa na C-section ama kujifungua kwa njia asili. Kwa njia hiyo, unaweza pima hiari zako na uamue ni ipi bora kwako na kwa mtoto wako. *Makala haya yalichapishwa kwa mara ya kwanza katika kurasa la theAsianparent Philippines na kuchapishwa tena katika kurasa ya the Africanparent na kisha kutafsiriwa na Risper Nyakio. Chanzo: familyshare.com Soma: Finally, A Way To Heal Your C-Section Cut Without A Scar!. Swahili kujifungua mtoto upasuaji wa C-section
"2020-07-11T10:28:50"
https://www.africaparent.com/nambari-ya-c-sections/is-there-a-limit-to-the-number-of-c-sections-mums-can-have-3
[ -1 ]
THE CO BLOG: HUYU NDO MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ..ALIYE UWAWA KIKATILI NA MUMEWE KISHA MWILI WAKE KUUFICHA STOO Huyu ndiye Yahaya aliyekuwa mume wa marehemu Hamida Hamida alitoka hapo akashitaki kwao na kwao wakamwambia aende kwa mjomba wa mumewe kumueleza matatizo ya mtoto wao. Alipofika kwa mjomba akaambiwa wanaume ndivyo walivyo avumilie tu arudi kwa mumewe. Na kwa sasa kama nilivyo report hapo mapema leo kwamba mthumia Yahaya anatafutwa na police kwa kosa la mauwaji ya mkewe Hamida.R.I.P Hamida na tunatoa pole kwa familia nzima ya Urembo kwa msiba AZAM TV NI NOMA, TAZAMA BASI LINALOONGOZA KWA MKWA... MCHUNGAJI ATOA MAPEPO SEHEM ZA SIRI KAZI KWELI KWE... PICHA:MZEE ALIYEZIKWA HAI AFUKULIWA AKUTWA AMEKUFA... DUNIA HII SIJUI INAELEKEA WAPI? HEBU CHEKI PICHA C...
"2017-02-23T18:41:48"
http://calvin-obeld-blog.blogspot.com/2013/11/huyu-ndo-mwanafunzi-wa-chuo-kikuu-aliye.html
[ -1 ]
IRENE MWAMFUPE JAMII: DIAMOND, PENNY MZOZO UPYA DIAMOND, PENNY MZOZO UPYA IMEVUJA! Ile mimba ya aliyekuwa Mtangazaji wa Efm Radio, Penieli Mungilwa ‘Penny’ ambayo ilijulikana alipachikwa na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imezua mzozo upya baada ya kuvuja kwa madai mengine. Chanzo makini kimeliambia Amani kwamba, tofauti na madai ya Diamond kwamba Penny alitoa mimba yake, lakini kumbe Diamond hakumpa mimba ila ilikuwa ni magumashi ya Penny. “Hali ilikuwa hivi! Kutokana na Diamond kutafuta mtoto kwa muda mrefu, hasa kwa mpenzi wake wa nyuma Wema Sepetu kushindikana, ikabidi Penny atumie mbinu yake ili kufaidika na pesa za Diamond. “Penny aliahidiwa na Diamond kwamba, kama atakubali kuzaa naye atamnunulia gari zuri, kwa hiyo kazi ikawa kwa Penny sasa, afanyaje? “Siku moja Penny alimwambia Diamond kwamba amenasa, Diamond akafurahi sana, lakini kumbe Penny alishaenda kwenye hospitali moja kubwa iliyopo Kinondoni (jina tunalo), akaongea na nesi mmoja kwamba kama atakwenda na Diamond kupima mimba akubali kwamba anayo, lengo lake ni kupata gari,” kilisema chanzo hicho. Mtangazaji wa Efm Radio, Penieli Mungilwa ‘Penny’ akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’. IKAZIDI KUDAIWA Chanzo kikazidi kudai kwamba, ili amridhishe Diamond, Penny alimchukua mpenzi wake huyo hadi kwenye hospitali hiyo na kukutana na yule nesi ambaye alimwambia Diamond kwamba kweli mchumba wake huyo (kwa wakati ule) alikuwa amenasa.“Ndipo Diamond ikabidi amnunulie gari Penny aina ya Toyota Brevs la rangi ya bluu iliyoiva. Siku mbili tatu, akageuka, akamwambia Diamond mimba imetoka, ndiyo kikawa kisa cha kumwagana,” kiliongeza chanzo chetu. PENNY ASAKWA NA AMANI Baada ya kupata madai hayo mazito, Amani lilimvutia ‘waya’ Penny na kumsomea mashtaka yake ambapo alisema kuwa, hafikirii katika kumbukumbu zake kama alishawahi kusema yeye ni mjamzito au alikuwa na mimba ya Diamond kama siyo mwanamuziki huyo kutangaza mwenyewe. “Hivi jamani! Mimi sijawahi kusema kama nina mimba ya Diamond hata siku moja, sasa hapo hushangai aliyekuwa akisema nina mimba ni Diamond na siyo mimi. Kwanza Diamond hajawahi kunipa mimba hata siku moja, muulizeni aseme ukweli wake. Kama ni gari ni mapenzi yake lakini si zawadi ya mimba,” alisema Penny. ‘Penny’ akiwa na mama Diamond. DIAMOND NAYE Kwa upande wake, Diamond alipoulizwa kuhusu madai ya kuingizwa mjini na Penny kuhusu mimba, alikuwa na haya ya kusema:“Mm! Hiyo kali zaidi! Mimi Penny aliponiambia ana mimba yangu, asubuhi nilimkurupua mwenyewe, nikampeleka kwenye hospitali yangu mimi, hakunipeleka yeye. “Tena hakujua kama nampeleka hospitali gani. Kule daktari wangu akampima, akamuona amenasa kweli. Sasa mnaposema eti alinipeleka kwenye hosptali yake aliyokwishapanga na nesi, nashangaa, siyo kweli bwana.“Yeye kama alifanya hivyo labda alimfanyia mtu mwingine, si mimi. Sasa naona kama kuna mzozo unataka kuibuka upya hapa.” PENNY, ARUDIWA, HAPOKEI SIMU Jumatatu iliyopita, Penny akapigiwa simu tena ili kupewa majibu ya Diamond, lakini simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa. Lakini Amani linaendelea kumfuatilia ili kumsikia atasema nini kuhusu majibu ya Diamond. Posted by Irene Mwamfupe at 10:40 AM Labels: Diamond, Peniel Mgilwa ‘Penny’, Staa Wetu
"2018-07-23T14:03:11"
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2015/03/diamond-penny-mzozo-upya.html
[ -1 ]
ZITAMBUE NCHI AMBAZO WATU WAKE WAMEWAHI KUTAMAN KUONGOZWA NA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI K | EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG Home » Unlabelled » ZITAMBUE NCHI AMBAZO WATU WAKE WAMEWAHI KUTAMAN KUONGOZWA NA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI K ZITAMBUE NCHI AMBAZO WATU WAKE WAMEWAHI KUTAMAN KUONGOZWA NA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI K 1.Kenya mpaka kesho wanaonesha hali ya juu sana ya kumkubali MAGUFULI, Na wamekuwa wakituma ujumbe Mara kwa Mara kupitia ukurasa wa rais wa Kenya Mr uhuru Kenyatta, kuwa MAGUFULI njoo utuondolee ufisadi Kenya 2. Colombia. Hii ni nchi maarufu sana dunian. Mwana riadha Carles Valdez, ameandika Mara kwa Mara katika kurasa zake, kuwa " the African rising star from Africa, please join us ,help us with this triumph corruption in our country " 3. Uganda kwa Mzee mseven wametaka kuwa Na rais Magufuli, hawaijui Kiswahili vema, wanasema HIS EXCELLENCY JOHN POMBE MAGUFULI. ,NJOOO UTUNYOROOSHEEE, tunakutaka uku, 4. USA, ni vigumu sana kuamini kwamba watu wa USA wanafuatilia pia, mmoja kaandika kwenye ukurasa wa Twitter kuwa, "Trump you are John too but you don't deserve to be respected as John of Tanzania, welcome to USA we need a president of your caliber " 5. Bolivia ni nchi inayopatikana kusini mwa bara la America. Wakati wa mechi ya kirafiki Na Venezuela, ilionekana bango kwa mbali wakipinga rushwa inayoendelea nchini mwao, said " there is an emerging country in Africa with MAGUFULI. Our president don't be ashamed to get lecture from the guy" 7. Nepal mitaa ya kathmandul wananchi wameamdamana kutaka mitaa baadhi iitwe MAGUFULI, Na kusema wanataka rais wao awe kama Magufuli 8. Congo kwa kabila nyote ni mashahid wakati mkilia kule wanaomba MAGUFULI aongoze, 9. Australia magazeti yanatoa maoni ya watu mbali mbali Na kusema wanashangaa kuna ka nchi uko Africa kana rais ni hatari kabisa, wanataman aongoze hata kule, 10. Madagascar kwa waziri mkuu Kelvin Ruud, nao wameandamana Jana mitaa ya Antananarivo kushinikiza rais wao afuate mfumo wa uongozi Tanzania.
"2017-09-22T02:42:15"
http://ndgshilatu.blogspot.com/2017/06/zitambue-nchi-ambazo-watu-wake-wamewahi.html
[ -1 ]
TIMU YA TAIFA YA RIADHA YAKABIDHIWA BENDERA ,YAELEKEA UGANDA NA MATUMAINI YA KUREJEA NA MEDALI - MAENDELEO VIJIJINI Home / MICHEZO/SANAA/UTAMADUNI / TIMU YA TAIFA YA RIADHA YAKABIDHIWA BENDERA ,YAELEKEA UGANDA NA MATUMAINI YA KUREJEA NA MEDALI Maendeleo Vijijini 3/24/2017 12:13:00 PM MICHEZO/SANAA/UTAMADUNI
"2017-11-25T02:07:58"
http://maendeleovijijini.blogspot.com/2017/03/timu-ya-taifa-ya-riadha-yakabidhiwa.html
[ -1 ]
Siku ya Wanawake – VoWET Siku ya Wanawake Duniani husherekewa Machi 8 kila mwaka,Rais wa Sauti ya Wanawake Wajasiriamali Tanzania (VoWET) Maida Waziri na Mkurugenzi wa IBRA Contractors amewataka wanawake nchini kujituma na kuwa wabunifu katika biashara zao jambo litakalo wapelekea kufanikiwa, huku akisisitiza elimu na mtaji siyo chanzo cha kukata tamaa bali kufanya kazi kwa bidii na kutumia taarifa sahihi zitakazo wapelekea kufanukiwa kama ilivyokuwa kwake, ambaye amefikia hatua ya kupewa tuzo na Rais Mstaafu Jakaya Kikwetu kwa kuwa Mkandarasi bora 2011-2015. Kauli mbiu yetu TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKANA TUWEZESHWE MAZINGIRA RAFIKI YA KODI Rais wa Vowet akibebwa juu kwa furaha baada ya kumaliza hotuba yake.
"2019-11-22T00:23:22"
http://vowet.org/2017/03/08/siku-ya-wanawake/
[ -1 ]
MOSCOW:Mwaka mmoja tangu kuuwawa mwandishi habari mkosoaji wa Putin | Habari za Ulimwengu | DW | 07.10.2007 MOSCOW:Mwaka mmoja tangu kuuwawa mwandishi habari mkosoaji wa Putin Wanaharakati wa kutetea uhuru leo hii wamepanga kufanya maandamano mjini Moscow Urussi na duniani kote kumshinikiza rais Vladmir Putin kuwasaka waliomuua mwandishi habari Anna Politkovskaya mwaka mmoja uliopita. Maandamano yatafanyika katika miji mbali mbali ya dunia ikiwa ni pamoja na mjini NewYork,Paris na Roma. Anna Politkovskaya mwandishi habari aliyekuwa mkosoaji mkubwa war ais Putin aliuwawa kwa kupigwa risasi akiwa ndani ya Lifti kwenye nyumba yake mnamo Oktoba saba mwaka jana na hadi sasa hakuna yoyote aliyeshtakiwa kwa mauaji hayo. Mauaji ya mwandishi huyo wa habari yalikosolewa sana na jumuiya ya kimataifa huku wakosoaji wa Putin wakimshutumu kwa kushindwa kulinda uhuru wa kujieleza.Anna atakumbukwa daima nchini Urussi na duniani kwa jumla kwa kuandika habari bila ya uoga za kuishutumu serikali ya nchi hiyo na maafisa wake wa kijeshi kwa kutumia vibaya madaraka na hasa katika jimbo la mzozo la Chechniya. Kiungo https://p.dw.com/p/C7Hs
"2018-07-20T15:14:05"
https://www.dw.com/sw/moscowmwaka-mmoja-tangu-kuuwawa-mwandishi-habari-mkosoaji-wa-putin/a-2887952
[ -1 ]
True Memories Of My Life [Kumbukumbu za Kweli za Maisha Ya Shigongo] - 11 - Global Publishers True Memories Of My Life [Kumbukumbu za Kweli za Maisha Ya Shigongo] - 11 Posted by GLOBAL on December 31, 2012 at 9:05am Eric James Shigongo (kulia) akiwa na mama yake mzazi. ERIC Shigongo ameamua kuelezea historia ya maisha yake yote, alikotoka mpaka alipo sasa bila kuficha umasikini ulioikumba familia yao, manyanyaso na mateso mengi kutoka kwa watoto wenzake mitaani huku akiitwa majina mengi ya kukarahisha.Ni majina haya ndiyo yaliyomfanya aamue kubadilika, aliufahamu umasikini na katika maisha yake hakuutaka na kuamua kubadilika. Mara kadhaa akikumbuka maneno ya baba yake kwamba hawakuwa mahali sahihi akiwaeleza kama yeye alishindwa, basi wao walitakiwa kufanya kitu fulani maishani mwao.Ni maneno hayo ndiyo yalimfanya kuukataa umaskini na kuupinga kwa nguvu zake zote. Hakika hakuupenda. Marehemu baba yake, hakuishia hapo, aliwapa elimu ya ujasiriamali kwani alielewa hicho ndicho kitakachowakomboa katika maisha yao.Hata darasani, uwezo wake ulikuwa wa chini kabisa lakini alijaliwa kipaji kikubwa ambacho hakuna mwingine aliyekuwa nacho, kusimulia hadithi. Anaendelea kusimulia historia ya maisha yake... KWA sababu nilifeli Hesabu, Historia, Jiografia, Siasa, Kiswahili na masomo mengine, basi nilionekana sina kitu chochote ndani yangu, hakuna aliyefahamu kwamba kule kusimulia hadithi, kilikuwa ndicho kitu ambacho Mungu alikiweka ndani yangu ili kinikomboe kutoka kwenye umasikini na hatimaye kusaidia Watanzania wenzangu na hata kukutana na watu ambao hakika nisingekutana nao kama nisingekigundua kipaji changu. Hivi ningekutana wapi na kuwa rafiki wa mtu kama Dk. Reginald Mengi, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Dk. Emmanuel Nchimbi, Richard Branson, Donald Trump kama ningeendelea kukubaliana na jina la ujinga nililoitwa kwa sababu sikufanya vizuri darasani? Ndugu zangu nataka kusema wazi leo kuwa maisha ambayo watu wengi wanaishi si maisha yao, walichaguliwa na watu wengine na wao wakakubali.Kataa jina hilo, simama na uanze kupeleleza ndani yako Mungu ameweka nini. Ndiyo maana wakati ule Magreth Sitta akiwa Waziri wa Elimu niliwahi kumwandikia barua na kulalamika kwamba mfumo wa elimu uliopo hapa nchini unawafanya watoto wanaofeli masomo, waitwe wajinga! Wajione hawafai na wasio na faida bali wale wanaofaulu na kuitwa wenye akili ndiyo wajione bora.Lakini mwisho kinachotokea ni kwamba, aliyekuwa na akili nyingi darasani, akasoma hadi chuo kikuu na kukuta ajira hakuna na aliyebaki kijijini baada ya kufeli darasa la saba akaamua kujiingiza kwenye ujasiriamali kama njia pekee aliyobaki nayo, lakini wakati msomi anarejea kutoka chuo kikuu atamkuta mjinga ana maduka mawili, mashamba ya kahawa na malori ya kubebea mizigo! Hii huwafanya wasomi mwisho wajione wajinga.Siongei haya kupuuza wasomi au kupuuza elimu kwa sababu mimi sikusoma, ninachosema hapa ni kwamba, hata watoto wangu nawapeleka kwenye shule nzuri ili wapate elimu bora, lakini mwisho wakirejea nyumbani nawafundisha ujasiriamali, hicho ndicho nilichotaka Wizara ya Elimu ifanye, ifundishe ujasiriamali kwenye shule zetu si kufanya kama ambavyo huko nyuma ilifanyika; kuondoa masomo ya biashara, kilimo kwenye mitaala ya kufundishia. Hivi tulikuwa tunajenga taifa la aina gani?Sikumbuki kama nilijibu hata swali moja kwenye mtihani wangu wa darasa la saba, karibu kila kitu nilikiona ni ‘Kichina’ kwenye karatasi ya mtihani. Ninachofahamu ni kwamba matokeo yalipotoka nilikuwa nimefeli, jina la mjinga likathibitika kabisa. Na nikawa na uhakika asilimia mia moja kwamba kweli nilikuwa mjinga sababu hata serikali ilikuwa imeona hivyo. Mimi na dada yangu wote tulifeli.Dada yangu alilia sana, lakini mimi niliona ni sawa na nilimshangaa kwa nini alilia, tushinde vipi wakati tulikuwa wajinga? Kilichofanyika baada ya hapo ni kukubaliana na matokeo, kama sikosei walifaulu wanafunzi wawili tu darasa zima, majina yao siwakumbuki maana sikuwa na mawasiliano na mtu yeyote baada ya pale.Nikajiunga rasmi na baba yangu sokoni Buzuruga, kufanya kazi aliyonifundisha; kuchuuza. Kazi yangu ikawa ni kumsaidia kuwafungia wateja bidhaa, lakini jioni nilifanya kazi ya kurusha (kulangua) sigara ambazo wakati huo zilikuwa ni bidhaa adimu, ndani ya muda mfupi tu nikawa nimeshakuza mtaji wangu mpaka shilingi mia saba, nikamkabidhi baba anitunzie! Nikaendelea tena, wakati huo nikawa nimekwishaanza biashara ya kuuza mafuta ya taa mitaani na karanga za kukaanga, wakati mwingine mayai ya kuchemsha.Nikifanya yote hayo niliwaona watoto wa matajiri na watu wenye uwezo wakienda shule, wakati huo Mwanza kulikuwa na shule mbili tu maarufu, Mwanza Sekondari ambayo iliitwa kwa kifupi Mwanza Seco, wanafunzi wake wa kike walivalia sketi za kijani zenye mistari miwili ya rangi nyeupe inayoshuka chini! Msichana aliyevaa sketi ya aina hiyo alijiona malkia mtaani na aliheshimika kweli, acheni siku hizi watu wadharau elimu ya sekondari kwa sababu kuna sekondari za kata, wakati ule mtoto wa sekondari si mchezo, aliheshimiwa na kila alikopita watu walisema, “Kanasoma seko” na walijidai.Shule nyingine ilikuwa ni Lake Sekondari, ambako watoto wa matajiri tu walisoma kwa sababu ilikuwa ni ya kulipia, wasichana walivalia sketi za rangi ya kahawia, nazo zikiwa na mistari miwili ya kushuka chini kama Mwanza Sekondari, wavulana walivaa suruali za kahawia na wote mashati meupe! Kwa hakika walivutia na nilitamani kuwa miongoni mwao, lakini ujinga wangu ndiyo ulikuwa umeniweka sokoni kushirikiana na baba. Walipopita wakienda shule niliwaonea wivu.Yombo Paul ambaye hivi sasa kama sikosei anafanya kazi na shirika linaloitwa FINCA ambalo hutoa mikopo kwa wajasiriamali na Fidelis au Vedastus ambaye hivi sasa anafanya kazi Tanesco Mwanza, walikuwa ni miongoni mwa vijana waliokuwa wakisoma sekondari wakati ule, Fide pia alisoma kwa tabu sana lakini alikuwa na akili nyingi, alijulikana kama mchawi wa hesabu na wakati wa likizo alifanya kazi ya ufundi uashi.Sitaisahau siku ambayo Yombo na Fide walipita sokoni Buzuruga na kukuta njaa imenishika kuliko kawaida, nataka niende nyumbani kula lakini baba amekataa akinitaka nisubiri mpaka jioni kwa sababu hakuwa na mtu wa kumsaidia, alikuwa akiniambia, “ikazage duhu ngosha” (jikaze tu mwanaume), siku za hivi karibuni Yombo alinitembelea ofisini kwangu na nilishangaa sana aliponikumbusha maneno hayo ya baba yangu, kumbe aliyasikia, tulicheka na kusema, “ya kale yamepita, tazama sisi ni watu wapya.” Je, nini kitaendelea? Usikose wiki iijayo. Views: 1227 Comment by sabbo sabbo on January 2, 2013 at 4:20pm Mie hukukubali sana Erick!ulikuwa huna lakini ukipata mbona sawa tu na aliyekuwanavyo!nakuombea kwa MUNGU!uzima ndo wa maana!nilianza kusoma magazeti yenye hadithi zako toka kuanza!nikawa nasisimka na kutetemeka mno!kama vile miaka ile nikiwa shule ya msingi nilisoma vitabu vya hadithi vya mtu mmoja aitwa PATRICK MUSIBA' ivi 'sina hakika na jina lake' nilikuwa kijana mdogo!akiwatumia wahusika kina Veronika Ammando!kweli yale ni ya kale!ila nilitetemeka na kusisimka mwili hivyo hivyo!ila sikuacha kusoma hadithi zile!ndo maana I do value you a lot!! Comment by sarah rolick on December 31, 2012 at 3:36pm una nii inspire real..............nitakutafuta kaka nikuone live..Mungu akulinde. Comment by DORAH FREDY on December 31, 2012 at 12:36pm ha ha ha ha ha ha ha ha ha kweli maisha ni mapito duhh Erick ulipitia mapito ndiyo hivyo lakini Top News · Everything Caleb Mcgovern posted a status"http://hollywoodaccess.com/phpBB/profile.php?mode=viewprofile&u=133632"12 minutes ago 0 Caleb Mcgovern posted a status"http://www.libertycraftsito.altervista.org/wiki/index.php?title=Discussioni_utente:ShennaKim"12 minutes ago 0 Caleb Mcgovern posted a status"http://www.caminoalislam.com/wiki/index.php?title=Usuario:GayNickel"12 minutes ago 0 Caleb Mcgovern posted a status"http://trainwiki.net/index.php?title=%E5%88%A9%E7%94%A8%E8%80%85:SeleneG13"12 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"Tupe mpya yako ya leo....."18 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"http://bizspeaking.com/big-deal"18 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"http://vaahaka.scicomonline.com/node/37797"18 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"http://vortext.org/fc1/SammyagVarnerms"18 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"Tupe mpya yako ya leo....."19 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status""19 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"http://bizspeaking.com/big-deal"20 minutes ago 0 Tristan Gerard posted a status"http://thedeceptionofallah.com/read_blog/27267/understanding-advice-of-flapper-dress"20 minutes ago 0
"2013-05-20T00:55:25"
http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/true-memories-of-my-life-kumbukumbu-za-kweli-za-maisha-ya-6
[ -1 ]
Maoni: Mwanzo mpya kwa Cuba? | Matukio ya Kisiasa | DW | 19.04.2018 Maoni: Mwanzo mpya kwa Cuba? Mama yangu alizaliwa chini ya utawala wa Castro, mimi nilizaliwa chini ya utawala wa Castro na mtoto wangu wa kiume alizaliwa chini ya utawala wa Castro. Kwa uchache, vizazi vitatu vya Wacuba wameishi chini ya utawala watu wawili wenye jina hilo. Ukiritimba huu umemalizika leo (Aprili 19), ambapo Diaz-Canel Bermudez ametangazwa kuwa rais mpya. Ama hatua hii iwe inapendelea muendelezo wa yale yale, au inaanzisha mageuzi, kuwa na mtu mpya kwenye uongozi wa juu wa taifa kunaashiria ukweli mmoja wa kihistoria: mwisho wa zama za Castro nchini Cuba. Yoani Sánchez, mwandishi wa blogu ya Generation Y na mwandishi wa maoni haya Lakini pamoja na kuja kwa siku hii inayojitokeza kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha miaka miaka 50 ya historia ya Cuba, matumaini kwenye mitaa ya Havana si makubwa, hata kama taifa linakabaliana na mabadiliko makubwa huko juu. Sababu za kukosekana hamasa Na kuna angalau sababu tatu za kukosekana kwa hamasa ya mabadiliko haya miongoni mwa wananchi wa kawaida. Kwanza ni hali mbaya ya kiuchumi, ambayo inawalazimisha watu wengi kupapia maisha ya siku hadi siku. Kuna masihara kuhusu Cuba mpya, lakini yanakabiliwa na changamoto kadhaa kama vile uwezo wa mtu kupata chakula chake cha mchana au kuhangaika kwenda kazini. Sababu ya pili inayohusishwa na ukosefu huu wa hamasa, ni wananchi kutoshawishika kuwa mabadiliko ya kiongozi mmoja wa juu yanaweza kubadilisha chochote kwenye uhalisia, hasa kwa kuwa anayeingia hana tafauti yoyote na anayeondoka panapohusika mfumo wa utawala wa kikomunisti. Na sababu ya tatu inayofahamika na watu wote ni ukweli kwamba hakuna anayeyajuwa mazingira ya kisiasa yasiyokuwa ya mfumo wa kikomunisti na hivyo hakuna cha kuulinganisha nao na hivyo pia, hakuna cha kurejelea kama ni mfumo mbadala kwa kizazi hiki cha kihistoria. Hisia kwamba kila jambo litaendelea kama lilivyokuwa kabla ni matokeo ya miongo sita ya utawala wa akina Castro kwenye taifa hilo la kisiwa. Kwa kuukandamiza kila upinzani na kumfyeka kila aliyeonesha dalili za kuwa mshindani wao, ndugu hawa wawili wamegeuka kuwa viumbe wasioweza kutenganishwa na historia ya miongo sita ya Cuba. Baada ya yote, akina Castro wamekwisha Lakini ukweli mmoja uko wazi pia. Zaidi ya asilimia 70 ya Wacuba walizaliwa baada ya Januari 1959, pale kundi la vijana wenye ndevu lilipowasili mjini Havana wakiwa na silaha mikononi na tabasamu usoni. Muda mchache baadaye, vitabu vyote vya kiada, vyombo vyote vya habari, na propaganda za serikali zikawa zimewaremba wanamapinduzi hao kama waokovu walioiokoa nchi. Kwa miongo kadhaa, walisambaza ushawishi kwamba Cuba ilikuwa na itikadi moja tu rasmi, chama kimoja cha kisiasa cha kikomunsti na kiongozi mmoja tu, Castro. Sasa, baiolojia inahitimisha ukurasa huu wa historia ya Cuba. Unaweza mwaka sifuri kwenye historia ya Cuba, mwaka mpya kwa mwanzo mpya. Lakini badala ya watu kushangiria mitaani wakipeperusha bendera, kilicho wazi mjini Havan ni mateso ya kimaisha tu. Hii ndiyo hali ya watu ambao imani na hamasa yao imepondwapondwa kabisa kutokana na kusubiri kwa muda mrefu sana. Mwandishi: Yoani Sanchez Maneno muhimu Cuba, Raul Castro, Fidel Castro, Miguel Mario Diaz-Canel Bermudez Kiungo https://p.dw.com/p/2wKxK
"2018-10-17T16:56:08"
https://www.dw.com/sw/maoni-mwanzo-mpya-kwa-cuba/a-43456254
[ -1 ]
Pata Grumman E1B Tracer FSX & P3D - Rikoooo Ukubwa 64 MB Downloads 9 299 Hapa ni ajabu ya ubora asili FSX & P3D ni pamoja na VC kikamilifu animated na sauti ya kweli sana (kuangalia video). Grumman E-1 Tracer ni ndege ya rada kuangalia, nini Anglo-Saxons kuwaita AWACS, iliyoundwa na kujengwa na Grumman kwa ajili ya mahitaji ya Navy Marekani. Ni kuchukuliwa ndege ya kwanza ya aina hii maalum iliyoundwa kwa ajili safari hii. Mkono: 3 478 Mkono: 10 645 Mkono: 8 420 Mkono: 4 108 Mkono: 3 227
"2018-03-23T01:16:28"
https://www.rikoooo.com/sw/downloads/viewdownload/99/612
[ -1 ]
Sababu zipi Hasa zinazopelekea Kufanya Mapenzi Kwenye Gari? | UDAKU SPECIAL BLOG Sababu zipi Hasa zinazopelekea Kufanya Mapenzi Kwenye Gari? Nimepatwa na mshtuko baada ya kusimama barabarani mbele ya gari moja, Mshtuko umekuja baada ya kushangaa hili gari linaunguruma wakati ndani hakuna mtu na kama linatikisika kwa mbali. Ndo kukodoa macho kupitia kioo cha mbele nashangaa kuona jamaa yuko busy anapanda juu na kushuka chini. Mhh nimeshtuka sana aisee maana ni mchana muda wa saa tisa gari limepakiwa tuu chini ya mti. Nikajiuliza why this? Je wamekosa guest? Nikapata jibu kuwa wanaofanya huu uchafu ndani ya gari mara nyingi ni wake za watu Watoto wadogo wa shule Au jinsia moja Kwa nini nasema hivi kwa sababu haiingii akilini mchana wote huu watu wawe wamejibana kwenye gari wanachoogopa ni nini??? Wamekosa gust bubu hata?? Nyie baadhi ya wanaume wenye mtindo huu muache hayo magari mnapanda na familia zenu, mnaenda nayo makanisani n.k mnayafanya najisi kwa kufanya ngono humo. Ni bora basi mkafanya na wake zenu kwa bahati mbaya. Kwa upande wangu sijafurahishwa jamani kila mtu ana maono yake au mitizamo yake. Nilichowaza anaweza akawa hata ni mtoto wa jirani yangu au ndugu yangu labda hata anageuzwa humo na libaradhuli aka fataki By Cajojo/JF
"2020-08-14T12:13:34"
https://www.udakuspecially.com/2020/07/sababu-zipi-hasa-zinazopelekea-kufanya.html
[ -1 ]
kipi kilianza kati ya yai na kuku?? ~ SwahiliQA photunatusvalerian Freshman Asked on March 4, 2020 in Chemsha Bongo. Kulingana na jibu alilotoa James Chungu katika swali hili, Kwa muda mrefu wengi tumekuwa tukidhani kuwa yai ndilo lililoanza kabla ya kuku lakini kutokana na ushahidi wa kisayansi kama alivyosema Dakta Colin Freeman kutoka Chuo Kikuu cha Sheffield aliyeshirikiana na watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Warwick. Watafiti hao wa Kiingereza wanasema kuwa kuku ndiye aliyeanza kabla ya yai kwa vile yai linaweza kupatikana tu kwa chembechembe za protini ziitwazo ovocledidin-17 (OC-17) zinazopatikana katika mifuko ya uzazi ya kuku Protini hiyo inayofanya kazi kama kichocheo (catalyst) kuharakisha maendeleo ya yai, ilitambuliwa kabla na ilihusishwa na uzalishaji wa yai lakini kwa kuchunguza kwa undani wanasayansi hao wakagundua namna gani protini hiyo inavyowezesha hatua hiyo (ya kutengeneza yai). Wanasayansi hao walitumia kompyuta yenye uwezo wa hali ya juu (supercomputer) ifahamikayo kama HECToR,ambayo ipo jijini Edinburgh,Scotland, kukuza (zoom) hatua zinazoonyesha jinsi yai linavyozalioshwa.Ilibainika kuwa OC-17 ni muhimu katika kuanzisha kukomaa (crystallization)-hatua ya awali katika uundwaji wa gamba la yai.Protini hiyo hugeuza calcium carbonate kuwa chembechembe za calcium (calcite crystals) ambazo ndizo zinazounda gamba la yai,huku zikitengeneza gramu 6 za gamba katika kila masaa 24. Ukiachana na utafiti huo,Kama wewe ni Muumini wa Dini utakumbuka kwenye vitabu kuwa Mungu aliumba Kiumbe na Akaamrisha Vizaliane Hakuumba Yai ili limzae kuku. Ila aliumba Kuku na Yai lipo Kwenye mzunguko wa maisha yake. newzfid Sophomore Answered on March 20, 2020. Apo inafaamika mkuu kuku ndo ilianza Ni Sawa na kuuliza Kati ya binadamu na sperm Nini kilianza Amoury Freshman Answered on March 11, 2020. Kilo moja ya chuma na kilo moja ya nyama ipi nzito? Kwanini Kuku hakojoi?
"2020-04-01T04:46:07"
https://swahiliqa.com/question/kipi-kilianza-kati-ya-yai-na-kuku/
[ -1 ]
VIJIMAMBO: ASKOFU GWAJIMA AMJIBU KATIBU MKUU WA ZAMANI WA CCM, YUSUF MAKAMBA ALIYEMUITA MUONGO “Kuchaguliwa kwake kuwa mwenyekiti ni zawadi kwetu Watanzania, tuendelee kumwombea kila siku ili aendelee kufanya kazi yake kwa ufanisi zaidi,” alisema. Alisema nafasi hiyo mpya itamwezesha kupambana na rushwa tatizo ambalo ameonyesha kuwa `atalivalia njuga’ hata ndani ya chama hicho. Mbali na Rais Magufuli, Gwajima aliwaombea pia Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, mawaziri na Spika wa Bunge kwamba Mungu awalinde ili wamsaidie Rais kutekeleza majukumu yake. Kwa mwezi mzima, Askofu Gwajima amekuwa akitafutwa na Polisi baada ya kusambaa kwa sauti inayosikika kama yake ikitaka Rais mstaafu Kikwete afikishwe mahakamani kwa makosa yote yaliyofanyika katika utawala wake. Katika mkanda huo, sauti hiyo inadai baadhi ya viongozi wa CCM wametuma watu mikoani kupiga kampeni ya kutaka Magufuli asipewe uenyekiti ambao umekuwa ukishikiliwa na Kikwete. Baada ya sauti hiyo, Gwajima aliondoka nchini kwenda Japan lakini Polisi waliendelea kumsaka hadi Julai 12 walipomkamata katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), aliporejea. Alihojiwa na kuachiwa siku hiyohiyo. at
"2016-12-04T10:09:12"
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/07/askofu-gwajima-amjibu-katibu-mkuu-wa.html
[ -1 ]
Jipu jipya2016-02-10T07:37:41+00:00 Ufisadi mpya na mwanya wa wizi wa mapato makubwa ya Serikali umebainika kufanywa kwenye uingizaji wa gesi, mafuta ya kula, mafuta ya magari na mafuta ya viwandani nchini kutokana na… ‘Yaliyonikuta Precision Air’2016-02-10T07:34:33+00:00 Sauti nyororo ya mwana mama inapokea simu, na kabla sijasema lolote, nakaribishwa kwa maneno: “Precision Air, Can I Help You?” Baada ya kujua nazungumza Kiswahili, ananiuliza: “Nikusaidie…” Namjibu: “Naam, naomba… Tajiri kizimbani akituhumiwa kughushi nyaraka Moshi2016-02-10T07:33:37+00:00 Mfanyabiashara maarufu, Thobias Moshi (47), maarufu kwa jina la ‘Toby’ mkazi wa Shanty Town katika Manispaa ya Moshi, amefikishwa mahakamani akishitakiwa kwa makosa mawili ya kughushi nyaraka. Moshi, ambaye ni… Magufuli anaheshimu waandishi, nchi itanyooka2016-02-10T07:31:41+00:00 Wiki iliyopita sikuandika kwenye safu hii. Sikupata wasaa huo kutokana na ukweli kwamba nilikuwa kwenye harakati za uchaguzi. Naomba kuwashukuru wahariri wenzangu walionichagua kwa kishindo kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa… Serikali sasa itoe mwongozo elimu bure2016-02-10T07:30:39+00:00 Tangu shule zimefunguliwe Januari, mwaka huu na Serikali kuanza kutekeleza sera ya elimu bure darasa la kwanza hadi kidato cha nne, kumetokea mambo mengi. Tumesikia wakuu wa shule katika… Polisi wanatumiwa vibaya2016-02-10T07:30:09+00:00 Kumekuwa na matukio mbalimbali ambayo Polisi wametumiwa vibaya na Serikali, taasisi na watu wengine. Hali hii imetufikisha mahali ambako ile kauli ya siku nyingi kwamba polisi ni usalama wa raia… SSRA yaisemea mifuko ya jamii2016-02-10T07:28:21+00:00 Baada ya Gazeti JAMHURI kuchapisha taarifa za kiuchunguzi za mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kuwa katika hali mbaya kifedha kutokana na deni kubwa linaloikabili kwa Serikali kushindwa kulipa madeni… Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli Siku ya Sheria Februari 4, 20162016-02-10T07:27:54+00:00 Mheshimiwa Jaji Mkuu, nafikiri utaungana na mimi mara baada ya hotuba hizi ambazo zilitangulia inawezekana ikaniwia vigumu sana kutafuta maneno mengine ya kuweza kuzungumza. Lakini niseme tu kwa dhati Mheshimiwa… Sokwe hatarini kutoweka (2)2016-02-10T07:26:39+00:00 Katika kikao cha Desemba 17-18, 2016 mjini Mpanda, Mkuu wa Mkoa Katavi alipiga marufuku ukataji miti katika maeneo muhimu kwa maisha ya Sokwemtu. Binafsi nakubaliana na msimamo huo na kuunga… Mabepari wakutana Uswisi kupanga mikakati2016-02-10T07:26:17+00:00 Mkutano wa matajiri wakubwa duniani ulifanyika mjini Davos katika milima ya Uswisi tarehe 20 hadi 23 Januari mwaka huu. Takriban matajiri 2,500 walishiriki, pamoja na wakuu wa kampuni za kimataifa,… TafutaSearch for: Habari mpya Jipu jipya Copyright ©2016. Gazeti la Jamhuri
"2016-02-13T21:17:58"
http://www.jamhurimedia.co.tz/?option=com_content&view=article&id=790:mawalla-mfanyabiashara-aliyewapenda-wazungu-kuliko-watanzania-wenzake-&catid=12:mitindo&Itemid=3
[ -1 ]
Serikali yaagiza Miradi viporo ikamilishwe kabla ya Kuanzisha Miradi mipya | Tamisemi - Tanzania Serikali yaagiza Miradi viporo ikamilishwe kabla ya Kuanzisha Miradi mipya Serikali yaagiza Miradi viporo ikamilike kabla ya Kuanza kwa miradi mipya Serikali imetoa agizo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha inakamilisha miradi ya maendeleo wanayoitekeleza badala ya kuanzisha miradi mingine mipya na kusababisha kutokamilika kwa miradi. Mhe.Simbachawene ambaye pia ni Mbunge wa Kibakwe ameyasema hayo katika ziara yake aliyoifanya jimboni Kibakwe katika vijiji vya Chinyika, Chaludewa na Fufu kwa kuagiza Halmashauri zote nchini kuzingatia ukamilishaji wa miradi iliyoanzishwa kabla ya kuanza kwa miradi mipya. "Natoa Agizo kwa Halmashauri zote Tanzania kuhakikisha miradi yote iliyoanzishwa na wadau, nguvu za wananchi au Serikali kuhakikisha inakamilika kabla ya kuanzisha miradi mipya kupitia njia hii thamani ya fedha itaonekana,tofauti na hapo fedha zilizotumika zitapotea bila kusaidia jamii", Alisema Mhe.Simbachawene. Mhe.Simbachawene amekemea kuwepo kwa hulka inayoendelea kukua katika Halmashauri nyingi nchini kuanzisha Miradi mipya ya maendeleo ili hali miradi viporo ikiendelea kuzorota kwa miaka mingi bila kukamilika huku ikiharibika na kusababisha upotevu wa fedha zilizowekwa hapo awali kama ilivyo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa alipotembelea kijiji cha Chinyika Kata ya Mlunduzi, Tarafa ya Rudi ambapo alikuta baadhi ya miradi kutokamilika kutokana na kutotengewa fedha katika Bajeti ya mwaka wa fedha uliofuata. Akiwa kijijini Chinyika, Mhe.Simbachawene alisema ni vyema miradi inayofadhiliwa na Wadau na ile ya Halmashauri kuwa na umiliki (ownership) na kuthamini nguvu na fedha zilizotumika ili hata ikiishia katikati Halmashauri husika ama wananchi wa eneo hilo kuwa na moyo wa kuendelea kutenga fedha au kuchangia kutoka mifukoni mwao na kukamilisha mradi husika. Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri aliwasilisha changamoto za wananchi wa kijiji cha Chinyika kuwa ni pamoja na sintofahamu ya mapato ya mnara wa Halotel uliosimikwa katika kijiji hicho lakini hakinufaiki na pato lolote, pia baadhi ya wananchi kushiriki kwenye kilimo haramu cha zao la bangi na wakazi wachache kuharibu chanzo cha maji hivyo kusababisha ukosefu wa maji kwa wananchi wote. Mhe.Simbachawene ameahidi kuongeza nguvu katika operesheni ya kuwakamata wale wote wanaolima zao haramu la bangi katika Jimbo la Kibakwe na kuwapeleka mahakamani kwa yeyote atakayekamatwa lakini pia wanaoharibu chanzo cha maji watashughulikiwa kisheria.
"2018-02-22T12:16:20"
http://tamisemi.go.tz/newseventsinfo/habari-1256-20170725-Serikali-yaagiza-Miradi-viporo-ikamilike-kabla-ya-Kuanza-kwa-miradi-mipya/
[ -1 ]
BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII - MTAA KWA MTAA BLOG Home BIASHARA BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII BENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2020 KWA KUHAMASISHA USAWA WA KIJINSIA KATIKA JAMII Othman Michuzi March 06, 2020 BIASHARA, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akifungua sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB. Benki ya CRDB imefanya hafla ya kusherehekea ‘Siku ya Wanawake Dunia’ ikilenga kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema Benki ya CRDB inachukulia kwa umuhimu suala la kumuwezesha mwanamke na ndiomana Benki hiyo imetoa kipaumbele cha ajira kwa wanawake katika ngazi mbalimbali. “Asilimia 46 ya wafanyakazi wetu ni wanawake, na tunatamani kuona tunaongeza kufikia asilimia 50,” alisema Nsekela. Nsekela alisema Benki ya CRDB pia inafanya jitihada za kuwanyanyua wanawake kupitia nafasi za uongozi huku akibainisha kuwa Benki hiyo ina jumla ya wanawake viongozi 284 katika ngazi za umeneja, wakuu wa vitengo na wakurugenzi. Nsekela alisema Benki ya CRDB imedhamiria kujenga mazingira, rahisishi, mazuri na rafiki ya kujenga usawa ili kuwasidia wanawake waweze kukua katika mazingira yao ya kazi. Katika hafla hiyo Benki ya CRDB pia ilizindua kampeni maalum ya kusaidia kutoa taulo za kike (sanitary pads) kwa wanafunzi mashuleni. Kampeni hiyo ilianza kwa kuzindua zoezi la uchangiaji lilokuwa likiendeshwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa ambapo wafanyakazi wa Benki ya CRDB wamejitokeza kuchangia gharama za ununuzi wa taulo hizo. “Tunashukuru Mkurugenzi wetu Mtendaji ametufungulia kwa kuchangia kiasi cha shilingi milioni 1, hii ni zawadi ya kipekee kwa wanawake wote lakini pia inaonyesha ni kwa namna gani anawathamini wake,” alisema Mwambapa. Kwa upande wake Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa Benki ya CRDB, Siophoro Kishimbo alisema Benki hiyo imeweka mikakati endelevu ya kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanawake wa Benki hiyo wanapata fursa sawa na wanaume. “Tunaihamasisha jamii kuzingatia usawa katika sehemu zote iwe ni kwenye kazi na hata nyumbani kwenye familia hii itaongeza ushiriki wa wanawake katika shughuli za maendeleo na hivyo kujenga taifa imara zaidi,” alisema Kishimbo. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwatambulisha baadhi ya viongozi wanawake wa Benki hiyo, kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano, Tully Esther Mwamba, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Yolanda Uriyo na Mkuu wa Kitengo cha Mikikati ya Bishara, Jessica Nyachiro. Salamu kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 2020 Mkurugenzi wa Mawasiliano Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akiendesha zoezi la uchangiaji kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa taulo za kike (sanitary pads) kwa wanafunzi mashuleni. Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Yolanda Urio akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB. Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki ya CRDB, Siophoro Kishimbo (kulia) akizungumza jambo na baadhi ya waratibu wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa wafanyakazi wa Benki ya CRDB. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wakwanza kushoto), Afisa Mkuu wa Biashara, Dkt. Joseph Witts, Mkurugezi wa Rasilimali Watu, Siophoro Kishimbo na Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo, wakionyesha vibao vyenye ujumbe wa kuhamasisha usawa wa kijinsia katika jamii. Wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakionyesha vibao vyenye ujumbe unaosema “Ninasherehekea Mafanikio ya Mwanamke”. Mkurugenzi wa Mawasiliano Benki ya CRDB, Tully Mwambapa na viongozi wengine wanawake wakishangilia baada ya Mkurugenzi Mtendaji, Abdulmajid Nsekela kuchangia shilingi milioni moja kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wakike. Posted by Othman Michuzi at March 06, 2020
"2020-05-25T00:20:32"
https://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/03/benki-ya-crdb-yaadhimisha-siku-ya.html
[ -1 ]
Habari » Mwakilishi ammwagia sifa Rais Dk. Shein. Maalim Seif atikisa fomu urais Zanzibar. Majambazi wavamia maafisa NEC. Urais: Siku 6 za kishindo. Uchaguzi Mkuu kufanyika Jumapili kwazusha malumbano bungeni. Shule aliyosoma Pinda yapigwa jeki milioni 6.5/-. Sera ya kuwawezesha Watanzania haitekelezwi, asema Dk. Mengi. JK aahidi kushughulikia madai walimu kabla kustaafu. Upinzani yataka majibu ya deni bilioni 800/- wanalodai makandarasi. Bajeti yatengwa kuondoa msongamano barabarani Dar. Mwandosya kutangaza nia ya urais Jumatatu. Maoni ya Mhariri » Vitendo Vya Ukiukwaji Haki Za Binadamu Vikomeshwe. Kuna taarifa za kusikitisha kuhusiana na namna haki za binadamu zinavyozingatiwa nchini. Ripoti iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) inaonyesha kuwa vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu viliongezeka zaidi mwaka 2014 kulinganisha na miaka iliyopita Habari Kamili Kampeni ya kuzuia ajali za barabarani iungwe mkono. Serikali ikomeshe ucheleweshaji mikopo ya wanafunzi elimu ya juu. Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha fomu ya kugombea urais baada ya kuichukua kutoka kwa Katibu wa tawi la chama hicho Bububu, Saleh Muhammed Saleh, mjini Zanzibar jana. Picha: Rahma Suleiman Urais: Siku 6 za kishindo. Zikiwa zimebaki siku sita kabla ya kuanza kwa mchakato wa uchukuaji fomu za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), makada wanaotajwa na ambao wameonyesha nia ya kuwania mafasi hiyo, wameanza kupigana vikumbo kutangaza nia na kueleza sababu za wao kuomba nafasi hiyo Habari Kamili Biashara » Mfumuko Wa Bei Waendelea Kupaa. Mfumuko wa bei wa taifa kwa kipimo cha mwaka kwa mwezi uliopita, umeongezeka hadi asilimia 4.3 kutoka asilimia 4.2 mwaka huu. Mfumuko huo ambao unapima kuwango cha badiliko la kasi ya bei za bidhaa na huduma zinazotumiwa na kaya binafsi, umesababishwa na kupanda kwa bei za bidhaa za vyakula kama vile mchele, unga wa muhogo, nyama, samaki, maharage, choroko na sukari Habari Kamili Moruwasa kupanua mtambo wa bwawa la Mindu kwa bilioni 35/- CRDB yaikopesha serikali Sh. bil. 15 kulipa madeni ya wakulima 'Bia na vinywaji vikali visiongezwe kodi tena' CRDB yatoa mikopo trilioni 1.4/- kwa saccos nchini. Benki ya DCB yatoa mikopo kwa wajasiliamali wanawake Benki NMB yaanza kutoa huduma kupitia MaxMalipo Mabati chini ya viwango yaingizwa nchini Michezo » Simba Yasajili 'majembe' Mawili Wakati dirisha la usajili likiwa bado halijafunguliwa rasmi na Shirikisho la Soka Tanzania, Klabu ya Simba imeendelea kufanya usajili wake baada ya juzi jioni kuwasainisha mikataba wachezaji wapya wawili ambao wote ni mabeki, Mohammed Fakhi kutoka JKT Ruvu na Samir Haji Nuhu ambaye aliwahi kuichezea Azam FC Habari Kamili Stewart asaini miaka miwili Azam FC. CAF yaipa TZ uenyeji U-17. Rage: Kocha Taifa Stars afukuzwe. Mgosi: Tukielewana pesa narudi Simba. Yanga yasajili tena wawili wapya. Simba wamvuruga Ramadhani Singano. Mkude, Mandawa waitwa Stars kuivaa Misri . Makala » Upungufu katika mfumo wetu wa kodi: Kodi ni eneo muhimu kwa taifa, lakini lina utata mkubwa. Makusanyo kupitia kodi ndicho chanzo kikuu na chenye kuaminika zaidi Epuka biashara yako kufilisika: Ni Ijumaa nyingine tena tunakutana katika kona hii, ambayo wajasiriamali wanaweza kuitumia kuanzisha na kuendeleza biashara Upotevu wa mazao baada ya mavuno wadidimiza wakulima: Upotevu wa mazao baada ya mavuno, unachangia kuwafanya wakulima waendelee kuwa maskini ikiwamo kukabiliwa na upungufu Tanzania ina nafasi gani katika tuzo ya Mo Ibrahim: Mchango wa Mbunge wa Ngara, Deogratias Ntukamazina (CCM), bungeni mwishoni mwa wiki, kuhusu ushindi wa tuzo ya Mo Ibrahim, Kina Jaji Warioba, Dk salim wanapoililia amani ya Tanzania.: Viashiria vya kutoweka lulu ya amani vimeanza kujitokeza kutokana na kuongezeka kwa ubaguzi na kubaguana kwa itikadi za vyama, Jaji Makungu: Wanawake wasaidiwe katika siasa Zanzibar: Kwa mara ya kwanza wanawake wengi wamejitokeza kugombea ubunge na uwakilishi katika majimbo visiwani Zanzibar tofauti na Wachangishana kujenga shule kuisaidia serikali Buyuni-D'salaam.: Mpango shirikishi wa jamii ujulikanao Elimu Kaya umeanzishwa katika mtaa wa Mgeule, kata ya Buyuni, Ilala nje kidogo Sheria za kimila zinadidimiza wanawake na watoto: Sheria nyingi za kimila zinawanyima haki wanawake na watoto hata kusababisha misuguano mikali ndani ya familia. Kinachochangia Friday, May 29, 2015 00:30 Mini-Series : Bare essence rpt. Telenovela rpt : Triumph of Love (Triunfo Del Amor) Indian Movies rpt Movie : hollywood files. Watoto Wetu. Igizo: Uaridi rpt Sema usikuke rpt. Movie: Comfort my soul prt1 Excentriick. Movie : Raj the dancer prt 1, 2 & 3. Friday, May 29, 2015 00:01 Friday, May 29, 2015 00:00 Friday, May 29, 2015 01:00
"2015-05-29T12:09:47"
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/29rontend/enovies/javascript/Pj%20o?m=54&lang=SW
[ -1 ]
Rwanda yasaini makubaliano na timu ya Paris Saint-Germain kuimarisha sekta ya utalii - BBC News Swahili Rwanda yasaini makubaliano na timu ya Paris Saint-Germain kuimarisha sekta ya utalii https://www.bbc.com/swahili/50659853 Haki miliki ya picha RDB Image caption Bodi ya mamlaka ya maendeleo ya Rwanda, imetangaza kwamba chini ya makubaliano hayo, majani chai na kahawa kutoka Rwanda,tauzwa katika uwanja wa michezo viwa Paris. Serikali ya Rwanda na mabingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa wametangaza kufikia makubaliano ya kibiashara kuendeleza sekta ya utalii nchini Rwanda katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea Rwanda. Kulingana na Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Rwanda (ADB) Bi Clare Akamanzi mapatano yaliyosainiwa kati ya serikali ya Rwanda na club ya Ufaransa ya Paris Saint Germain ni mapana yakihusu sekta mbali mbali : ''Ni katika kuendeleza kampeni yetu ya 'Visit Rwanda' ama tembelea Rwanda. Siyo hayo tu kwani tutatumia pia mitandao ya timu ya PSG nchini Ufaransa na kwengineko . Unajua hii ni timu ambayo ina washirika wengi katika sekta mbali mbali kama viwanda vya nguo na mitindo. Hii itatusaidia kufahamisha dunia yale ambayo na sisi tunayafanya katika sekta yetu ya utalii na mambo mengine yanayotengenezwa hapa Rwanda'', alisema Bi Kamanzi. Rwanda yawa mmoja wa wadhamini wa Arsenal Kwa mujibu wa mapatano hayo ya miaka 3 kwanzia mwaka ujao wa michezo mabango ya Visit Rwanda yataanza kuonekana kwenye uwanja wa timu hiyo wa Parc des Prince na kwenye fulana za timu ya wanawake. '' Zaidi ya hayo sisi pekee ndio tunaruhusiwa kuuza chai ya Rwanda na kahawa ndani ya uwanja wa PSG wakati wa mechi. Na kila mwaka tutakuwa na kampeni ya wiki nzima inayofahamika kama Rwanda week mjini Paris ni kama wiki ya maonyesho ya bidhaa na utamaduni wa Rwanda mjini Paris'' alisema Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Rwanda. Leo, ligi ya mabingwa wa Ufaransa imetuma ujumbe wa video kupitia mtandao wa Twitter, unaoonesha wachezaji kama Neymar, Kylian Mbappé, Marco Veratti na wengineo wakisifu maeneo ya kitalii ya Rwanda: Bodi ya mamlaka ya maendeleo ya Rwanda, imetangaza kwamba chini ya makubaliano hayo, majani chai na kahawa kutoka Rwanda,vitauzwa katika uwanja wa michezo viwa Paris. Hata hivyo, Rwanda na timu ya PSG hazijasema lolote kuhusu kitita cha pesa walichokubaliana katika kipindi hicho cha miaka mitatu. Baadhi ya wachezaji nyota wa PSG na baadhi ya nyota wake wa zamani watatembelea maeneo tofauti ya kitalii nchini Rwanda kama njia ya kuuvutia watu wengine duniani kuzulu pia maeneo hayo. Timu hiyo maarufu ya Ufaransa itachangia pia katika mpango wa kuinua soka ya vijana nchini Rwanda. Inasemekana kwamba mwaka 2018, Rwanda ilipata mapato ya dola milioni 380 huku mwaka huu ikipania kupata dola milioni 405. Mei mwaka jana, Rwanda ilitangaza mpango wa ushirikiano na timu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya England. Inasemekana makubaliano hayo yaliigarimu serikali ya Rwanda dola milioni 30. Pande zote hazijatoa maelezo yoyote juu ya gharama hiyo zote hazijazungumzia. Unaweza pia kutazama : Ushirikiano huo wa miaka 3 ulilenga kuimarisha sekta ya utalii nchini Rwanda, uwekezaji na maendeleo ya mchezo wa soka. Makubaliano kati ya Arsenal na Rwanda,yalihusu timu ya kwanza, timu ya wachezaji walio chini ya umri wa miaka 23 na timu za wanawake. Pia ilitangazwa kwamba maneno 'Tembelea Rwanda' yatakuwa yakionekana kwenye mabango maalum ya kibiasara ndani ya uwanja wa Emerates wakati wa mechi za Arsenal. Wakosoaji nchini Rwanda huistumu serikali kwa mapatano hayo wakihoji ikiwa ndiyo kipaumbele cha matatizo yanayowasumbua wananchi. Akiwajibu wakosoaji wa mpango wa kunadi utalii kwa njia ya timu kubwa, rais wa Rwanda Paul Kagame alisema wakosoaji wanapaswa kuwa na hoja za msingi wanapokosoa jambo, akisisitiza kuwa ni heri kufanya mambo ya maana kwa nchi yake kuliko kuacha kulifanya kwa kuhofia ukosoaji ambao ni lazima utakuwepo. Sherehe za kuwapatia majina sokwe zafanyika nchini Rwanda
"2019-12-16T05:50:27"
https://www.bbc.com/swahili/50659853
[ -1 ]
MBURU: Viongozi watakao wakazi wazaane wamejaa ubinafsi – Taifa Leo MATOKEO ya sensa yaliyotolewa na serikali wiki hii yameanika hila za baadhi ya viongozi wa kisiasa nchini tena, ambao wamekuwa wakiwapotosha wananchi kuwa na familia kubwa, hata bila kujali uwezo wao wa kukimu mahitaji yao. Punde baada ya Shirika la Takwimu Kitaifa (KNBS) kutangaza matokeo ya hesabu ya watu iliyofanywa Agosti, jambo kuu ambalo viongozi wengi wamekuwa wakilalamikia ni kuwa, idadi ya watu ambao kaunti zao zilitangazwa kuwa nao ni ndogo mno. Viongozi hawa wamelalamika kuwa haiwezekani kuwa wakazi wa maeneo yao wameongezeka kwa kiwango kidogo tangu matokeo ya sensa ya miaka kumi iliyopita mnamo 2009, wengi wao wakipinga uhalali wa matokeo hayo. Cha kushangaza ni kuwa, viongozi waliojitokeza kulalamika hadi sasa ni wale maeneo yao yalikuwa na wakazi wachache. La kustaajabisha ni kwamba, hakuna yeyote aliyejitokeza kufikia sasa, kulalamika kuwa wakazi wa eneo lake ni wengi kupita kiasi. Hakuna kiongozi ambaye ameshauri wakazi wa eneo lake kuwa na idadi ya watoto wanaoweza kulea bila changamoto za kiuchumi. Lakini kinaya ni kwamba, kuna baadhi yao wengine ambao hata wamejitokeza kuwahimiza wakazi wao kutoshiriki mbinu za upangaji uzazi, ili wawe na watoto wengi, kuongeza idadi yao wakati wa sensa. Ni ubinafsi ulioje kwa kiongozi kuwashauri watu kujifungua watoto wengi kwa ajili ya sensa na kuongeza idadi ya kura pekee, bila kujali jinsi mahitaji ya kila siku ya watoto hao yatakidhiwa wala mazingira watakamoishi. Vilevile, hila kubwa kwa viongozi- ambao wana familia ndogo licha ya mapato yao makubwa inaonyesha jinsi viongozi wetu bado hawajali maslahi ya wananchi, ila kila mara wao husukuma ajenda zitakazowanufaisha tu na kuwakweza kisiasa. Miaka ya nyuma, taifa lilishuhudia matukio ya kutamausha, ambapo viongozi walijitokeza wazi kusifia hali ya watu kujifungua watoto wengi, wakati wengi wa wanaopotoshwa hivi huwa ni maskini wasio na mapato. La kuudhi zaidi ni kuwa, viongozi wa kike pia wamekuwa wakihusika katika upotoshaji huu wa watu, licha ya kuwa ndio wanatarajiwa kuwa mstari wa mbele kushauri kina mama na wazazi kwa jumla, kujifungua watoto ambao wana uwezo wa kuwalea na kuwasomesha ipasavyo.
"2020-07-08T23:47:58"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=40283
[ -1 ]
Bomu La Gwajima Limempata Dk. Slaa? – Dar24 3 years ago Comments Off on Bomu La Gwajima Limempata Dk. Slaa? Askofu wa Kanisa la Ufufuko na Uzima, Josephat Gwajima jana alijibu tuhuma za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa ambaye siku chache zilizopita alimtaja askofu huyo kama mshenga aliyempeleka Edward Lowassa katika chama hicho. Katika hotuba yake, Dk Slaa alimtaja askofu huyo kuwa ndiye aliyemwambia kuwa maaskofu 30 kati ya 34 wa kanisa katoliki walihongwa fedha na Edward Lowassa. Akiongea na waandishi wa habari, Gwajima alijibu mapigo kwa kueleza siri nyingi kati ya wawili hao huku akidai kuwa Dk Slaa ni muongo na kwamba aliudanganya umma kwa shinikizo la mkewe aliyenunuliwa na maadui wa Chadema. Alisema mkewe huyo tayari alikuwa amejiandaa kuwa ‘first lady’ na hakutaka kupoteza nafasi hiyo. Pamoja na mambo mengine, Gwajima alieleza kuwa Dk Slaa aliudanganya umma kuwa sababu za yeye kuachana na siasa ni ujio wa Edward Lowassa ndani ya Chadema iliyokuwa ikipinga ufisadi. Alidai kuwa Dk Slaa ambaye alikiri ni rafiki yake, ndiye aliyemfuata na kumshawishi ampeleke Lowassa Chadema ili awezeshe chama hicho kushinda katika uchaguzi mkuu. “Dk. Slaa alikuja kwangu nimuunganishe na rafiki yangu Lowassa kwa sababu ni mtu mwenye mvuto katika chama chake, jamii na ana nguvu kisiasa. Mimi nataka nikiri kwamba nilifanya kila linawezekana ili kuhakikisha Lowassa anakwenda Chadema,” alisema. “Dk. Slaa alivyoniita Mshenga hakukosea kwa sababu ninajua kila kitu. Mimi kusaidia kumleta Lowassa Chadema ni kazi ya Mungu, maana Biblia inasema ‘heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu’.” Aliongeza. Gwajima alieleza kuwa Dk Slaa alikuwa na nia ya kumpeleka Lowassa Chadema akiwa kama Katibu Mkuu wa Chama na kwamba ndiye aliyemkutanisha na mwenyekiti wa chama hicho na mwisho kuingia katika kamati kuu ambapo alipokelewa vizuri na wananchama wa chama hicho baada ya kuhutubia. Alisema hata hivyo mke wa Dk Slaa, Josephin aligeuka kikwazo kikubwa baada na kuanzisha ugomvi akimtaka kubadili mawazo yake, huku akisimulia tukio la kutupiwa begi nje na mkewe na kulazimika kulala kwenye gari lake. Gwajima alisema walinzi wa Dk Slaa ambao alipewa na askofu huyo miaka mitano iliyopita ndio walimfahamisha kuhusu tukio hilo la kulazwa nje. Pia, Dk. Slaa alimtumia ujumbe ambao aliuonesha kwa vyombo vya habari, ujumbe uliokuwa ukieleza kuwa Dk Slaa anataka kuachana na siasa kwa kuwa familia yake inapasuka. Katika hatua nyingine, Gwajima amemuelezea mke wa Dk Slaa kuwa ni mtu mwenye mashetani na mara nyingi amekuwa akimuombea na kwamba ameibadili akili ya Dk Slaa na kusema hayo anayoyasema leo. Alisisitiza kuwa kinachoongea sio akili ya Dk Slaa, bali anaendeshwa na mkewe. Aidha, alikanusha kauli ya Dk Slaa kuwa alimwambia maaskofu walihongwa na wakagawana fedha mbele ya macho yake. Alimtaka kuacha mara moja kuwahusisha maaskofu na siasa kwa kuwa anachokizungumza sio kweli na kwamba anapaswa kuacha uongo unaowachafua maaskofu ili kumridhisha mtu au chama kilichomtuma. Baada ya maelezo marefu, Gwajima alimuonya Dk Slaa kutorudia kumtaja kwa kuwa siri zake zote anazifahamu na kwamba alikuwa anarekodi maongezi yao. “Nasema kama Dk. Slaa atajaribu kujibu haya, nitatoa siri nzito namna alivyokwenda Afrika Kusini akiwa na wanne wanne pamoja na mzigo uliopo na mahali ulipotunzwa,” alisema. Wakati Gwajima anatoa maelezo hayo, taarifa zinaeleza kuwa Dk. Wilbroad Slaa amesafiri na familia yake kuelekea nchini Marekani. Hata hivyo, Dk Slaa ameiambia Azam TV kuwa ameondoka nchini sio kwa kukimbia bali ameenda kwa ajili ya mapumzika na atakuwa akifuatilia kinachoendelea nchini. Haijafahamika kama bomu hilo la Gwajima limepokelewaje na Dk Slaa, na kama atajitokeza tena kujibu huku kukiwa na onyo la askofu huyo ambaye amewataka maaskofu wote kutohangaika na tuhuma za Dk Slaa kwa kuwa yeye atammudu. Habari 3 hours ago Comments Off on Video: Mhandisi Kilaba aufagilia mfumo wa TTMS Habari 3 hours ago Comments Off on Video: Huu ni uwekezaji mkubwa, ni lazima nchi ipate mapato- Dkt. Chegeni Habari 5 hours ago Comments Off on JPM asema Changamoto zitakazoshindikana awamu hii hazitatatuliwa mbeleni Habari 9 hours ago Comments Off on LIVE: Rais Magufuli akikabidhiwa mfumo mpya wa kusimamia mawasiliano ya simu (TTMS)
"2019-01-18T18:40:39"
http://dar24.com/bomu-la-gwajima-limempata-dk-slaa/
[ -1 ]
Name | Date | Hits [ Ascendant ] The ABC of EAC-EU Economic Partnership Agreements (EPA) hot! Date added: Global trade is worldwide business that involves making and collecting payments for transactions in goods and services, and transporting them to interested markets. International trade allows us to expand our markets for both goods and services that otherwise may not have been available to us. It is the reason you can pick between a Japanese, German or American car. Economic Partnership Agreements (EPAs) are a form of trade contract between the European Union (EU) and the African Caribbean and Pacific (ACP) countries that mainly comprises developing nations4. The main objective of the EPA is to support and facilitate trade between the two blocks and to eradicate poverty Download Details Kazi na wajibu wa Maafisa wa serikali waliochaguliwa hot! Date added: Ukweli wa kwamba wengi wa wananchi hawajui mipaka ya uchaguzi au kazi ya wale wanaowachagua kuchukua ofisiinaonyesha kwamba i) wapiga kura hawaambatanishi uchaguzi na upatikanaji wa haki kwa njia ya upokeaji wa huduma; ii) wapiga kura hawadhani kwamba ushuru wanaolipa unastahili kwa wao kudai kiwango fulani cha utendaji, ambayo ina maana kwamba wapiga kura wamekubali utendakazi usioridhisha kutoka kwa wale waliowachagua. Hii inapaswa kuwa sababu ya kushtusha; zaidi ya hivyo, wakati mtu anapouliza swali “Kama si matarajio ya ubora na utoaji wa huduma kwa wakati, na utendaji kazi wa viongozi waliochaguliwa au kwa wapiga kura kupata thamani ya fedha zao (Kodi) , inayowafanya Wakenya kupiga kura katika uchaguzi mkuu, je nini?” Kwa hakika hii ni sehemu inayohitaji masomo zaidi.Nini hasa mamlaka, majukumu, wajibu au kazi ya wabunge (MPs) na maafisa wa serikali waliochaguliwa kuhudumu ili wapate malipo na faida wanazopata, na hata kufikiri wao wanahitaji zaidi?Muhtasari huu unatoa maelezo mafupi ya majukumu mbalimbali ya maafisa wa serikali waliochaguliwa wanapaswa kufanya. Muhtasari huu umetengezwa kukabiliana na masomo5 ambayo yalibainisha haja ya kujenga uwezo wa wabunge kuelewa na kutekeleza bora majukumu yao. Muhtasari huu pia unatambua haki ya na wajibu wa ushiriki wa raia ambao sasa unatambuliwa katika Katiba ya Kenya, 2010. Download Details FUNCTIONS OF ELECTED STATE OFFICERS hot! Date added: In the period 2008- 2012, Kenyan taxpayers paid Members of Parliament Ksh 851,000 per month and the PresidentKsh 2.4M per month. In the same period, Kenya’s per capita income has been Ksh 2,000 per month, while minimumwage remained Ksh 4,050 per month. This means the President earned over 595 times than the average citizen,while MPs in the 10th Parliament earned over 425 times more than the per capita income and 210 times more thanthe minimum wage paid to the many workers in the agriculture, plantations and allied sector whose sweat is thebackbone of Kenya’s economy.What exactly should to elected state officers be doing to earn this money and are they actually offering Kenyanstheirmoney’s worth? Download Details « Start Prev 1 2 3 Next End » Page 1 of 3 Publications
"2015-02-28T01:53:35"
http://www.khrc.or.ke/resources/publications/cat_view/37-downloads/39-economic-rights-and-social-protection-er-sp.html
[ -1 ]
Allods Online - free online browser mchezo. Rage - ni vipande vya sayari nzima mara moja kuharibiwa cataclysm kwamba mythical yaliyo katika Astral. Allods Online mchezo mteja ufungaji required, ambayo inaweza kupakuliwa kutoka tovuti ya mchezo: Kwa kubonyeza "mchezo Download" kufuata maelekezo. Muhimu mfumo mahitaji: OS - Windows 2000 / XP / Vista / 7. CPU - Pentium III 1,5 GHz au Pentium IV 3 GHz. Kumbukumbu - 512 MB RAM au 1024 MB RAM. Video kadi - GeForceFX 5200 au Ati Radeon 9550/9600 c 128 MB au GeForce 7600 GS c MB 256. Nafasi Reli - 8 GB. Kupata internet kupitia ADSL channel 56 Kbit / s au zaidi high-speed. Allods mchezo ina uwezo wa kufunga toleo kesi ya mchezo, si kushusha, mteja mchezo kabisa. Hii kutoa nafasi kwa kupata khabari na mchezo karibu. Pia tovuti unaweza kushusha madereva muhimu kwa ajili ya mchezo. Next, kujiandikisha Allods Online: Kwa kubonyeza "Register", wewe ni kuwekwa kwenye ukurasa wa usajili, ambapo katika masanduku sahihi: e-mail login password rufaa code (kama ipo) Kukubali mkataba na Sheria za mchezo na vyombo vya habari juu ya "Jiandikishe". Kujiunga katika tarehe mchezo huu Allods Online, na kuishia wakati mteja mchezo si imewekwa, kufunga hiyo. Sasa unaweza kuanza kucheza mchezo Allods Online. Kwenda katika mchezo, "Binafsi Akaunti" unaweza hariri mchezaji yako profile. Sasa ni wakati wa kujenga tabia yako kwa kubonyeza icon "New": kuchagua ubinafsi (Ligi au Dola), kila chama ina mila wenyewe na sifa. Baada ya uteuzi wa mwisho wa vigezo vyote, kuthibitisha uchaguzi wako na kufuata prompts na maelekezo ya mchezo, kuendelea na gameplay ... Tabia ya kila ina sifa ya kucheza, upinzani (vipengele, asili, Mungu na silaha) na mali ya silaha (uharibifu katika kupambana karibu na nguvu ya uchawi.) Kwa kila ngazi mpya, tabia ya kupokea pointi ujuzi kwamba unaweza kukusaidia kuboresha ufanisi wa zilizopo au kujifunza ndio mpya. Mchezo Allods Online ina wingi mkubwa wa mambo. Mambo yote ni kugawanywa katika makundi. Uanachama wa mambo ni kuamua na Michezo (kijivu, nyeupe, kijani, bluu, zambarau na rangi ya machungwa). Kina ya uchunguzi wa vipimo wa mambo haya itakuwa kwenye tovuti. mchezo ni vizuri maendeleo na mfumo wa kibiashara, kuna kila kitu unahitaji biashara maduka, mnada. Oh ... na bila shaka, mchezo yetu wenyewe sarafu: dhahabu, fedha na shaba. Na kisha kuna fuwele, ambayo unaweza kununua vitu maalum. Kucheza Allods Online mapenzi, mapigano dhidi ya wachezaji wengine katika PvP-vita (mashindano hayo, "allodnye" na "astral"). Na fursa katika mchezo bado oh kiasi gani! Guild, kuendesha gari pets astral meli na mapepo astral - si tu ni sehemu kubwa ya kwamba ni mkali na mchezo huu ... Allods Online usajili itafungua pazia kwa wote wanaopenda, ambayo ipo nyuma ya adventure fumbo na amani! Katika mchezo Allods Online itakuwa ya kuvutia kwa kila mtu! Allods Online - free online browser mchezo. Rage - ni vipande vya sayari nzima mara moja kuharibiwa cataclysm kwamba mythical yaliyo katika Astral. Allods Online mchezo mteja ufungaji required, ambayo inaweza kupakuliwa kutoka tovuti ya mchezo: Kwa kubonyeza "mchezo Download" kufuata maelekezo. Muhimu mfumo mahitaji: OS - Windows 2000 / XP / Vista / 7. CPU - Pentium III 1,5 GHz au Pentium IV 3 GHz. Kumbukumbu - 512 MB RAM au 1024 MB RAM. Video kadi - GeForceFX 5200 au Ati Radeon 9550/9600 c 128 MB au GeForce 7600 GS c MB 256. Nafasi Reli - 8 GB. Kupata internet kupitia ADSL channel 56 Kbit / s au zaidi high-speed. Allods mchezo ina uwezo wa kufunga toleo kesi ya mchezo, si kushusha, mteja mchezo kabisa. Hii kutoa nafasi kwa kupata khabari na mchezo karibu. Pia tovuti unaweza kushusha madereva muhimu kwa ajili ya mchezo. Next, kujiandikisha Allods Online: Kwa kubonyeza "Register", wewe ni kuwekwa kwenye ukurasa wa usajili, ambapo katika masanduku sahihi: e-mail login password rufaa code (kama ipo) Kukubali mkataba na Sheria za mchezo na vyombo vya habari juu ya "Jiandikishe". Kujiunga katika tarehe mchezo huu Allods Online, na kuishia wakati mteja mchezo si imewekwa, kufunga hiyo. Sasa unaweza kuanza kucheza mchezo Allods Online. Kwenda katika mchezo, "Binafsi Akaunti" unaweza hariri mchezaji yako profile. Sasa ni wakati wa kujenga tabia yako kwa kubonyeza icon "New": kuchagua ubinafsi (Ligi au Dola), kila chama ina mila wenyewe na sifa. Baada ya uteuzi wa mwisho wa vigezo vyote, kuthibitisha uchaguzi wako na kufuata prompts na maelekezo ya mchezo, kuendelea na gameplay ... Tabia ya kila ina sifa ya kucheza, upinzani (vipengele, asili, Mungu na silaha) na mali ya silaha (uharibifu katika kupambana karibu na nguvu ya uchawi.) Kwa kila ngazi mpya, tabia ya kupokea pointi ujuzi kwamba unaweza kukusaidia kuboresha ufanisi wa zilizopo au kujifunza ndio mpya. Mchezo Allods Online ina wingi mkubwa wa mambo. Mambo yote ni kugawanywa katika makundi. Uanachama wa mambo ni kuamua na Michezo (kijivu, nyeupe, kijani, bluu, zambarau na rangi ya machungwa). Kina ya uchunguzi wa vipimo wa mambo haya itakuwa kwenye tovuti. mchezo ni vizuri maendeleo na mfumo wa kibiashara, kuna kila kitu unahitaji biashara maduka, mnada. Oh ... na bila shaka, mchezo yetu wenyewe sarafu: dhahabu, fedha na shaba. Na kisha kuna fuwele, ambayo unaweza kununua vitu maalum. Kucheza Allods Online mapenzi, mapigano dhidi ya wachezaji wengine katika PvP-vita (mashindano hayo, "allodnye" na "astral"). Na fursa katika mchezo bado oh kiasi gani! Guild, kuendesha gari pets astral meli na mapepo astral - si tu ni sehemu kubwa ya kwamba ni mkali na mchezo huu ... Allods Online usajili itafungua pazia kwa wote wanaopenda, ambayo ipo nyuma ya adventure fumbo na amani! Katika mchezo Allods Online itakuwa ya kuvutia kwa kila mtu! Kucheza katikaAllods Online
"2017-11-22T09:18:19"
http://tz.igames9.com/online-allody-online/
[ -1 ]
2018-09-23 ~ g sengo BREAKING NEWS:- SIKU YA 9 MV NYERERE YASIMAMA WIMA ASILIMIA 100, WAMEKUTA NINI NDANI? Siku tisa zinakamilika hii leo tangu taifa la Tanzania kupoteza zaidi ya watu 220 kwenye ajali ya kupinduka majini kwa kivuko cha #MvNyerere. Gari ya mizigo aina ya Canter tani 1 na nusu, Pikipiki 1 yenye namba za usajili DFPA 2313 na baiskeli ambayo bila shaka ilikuwa ya mkulima. Vyote hivyo vimeokotwa ndani ya maji na wazamiaji maalum wakishirikiana na wazawa eneo lilelile la ajali. Katika hatua nyingine ya kufunga zoezi la upokeaji michango, Kamati ya Maafa iliyochini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Issack Kamwelwe, hii leo kabla ya saa 7 mchana (muda wa kuhitimisha zoezi la uokoaji na upokeaji michango) imepokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi za kitanzania milioni 50 toka Kampuni ya Uzalishaji Umeme Tanzania (SONGAS) pamoja na hundi nyingine ya mfano yenye thamani ya shilingi milioni 80 kutoka kwa ACACIA, fedha ambazo zote tayari zimeingizwa benki. Kwa sasa kivuko kiko wima kwa asilimia 100% pembezoni mwa ufukwe wa ziwa Victoria kijiji cha Bwisya, Ukara, wilayani Ukerewe mkoani Mwanza. Tangu walipoanza kazi hiyo asubuhi leo Septemba 29, 2018, wazamiaji tayari wameopoa pikipiki moja na baiskeli, jana walifanikiwa kutoa gari aina ya Toyota Canter. Mikoba ya mikononi, mifuko yenye bidhaa za aina mbalimbali za viatu vya watu wazima na watoto ni miongoni mwa mali zinayoopolewa kutoka chini ya maji. Vitu vingine vinatolewa katika kivuko hicho ambacho tayari kimevutwa hadi pwani ya mwalo la kijiji cha Bwisya kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe. Kivuko cha Mv Nyerere kilipopinduka Septemba 20 na kusababisha vifo vya watu 230 huku watu 41 wakiokolewa. Thursday, September 27, 2018 HABARI No comments .Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda katika mkakati wake wa kuwapa tumaini jipya watu wenye ulemavu leo ameahidiwa Kiasi cha Shilingi Billion 5 na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP Dr. Reginald Mengi kwaajili ya ujenzi wa kiwanda kitakachowaajiri watu wenye ulemavu ambao wana ujuzi wa aina mbalimbali ili wajikwamue kiuchumi. HUU SIO WAKATI KWA WALEMAVU KULIA WALA KUJUTA, NI WAKATI WA KUINUKA. CHELSEA YAIBAMIZA LIVERPOOL KWENYE KOMBE LA MBUZI. Thursday, September 27, 2018 MICHEZO No comments ʟɪᴠᴇʀᴘᴏᴏʟ ᴠѕ ᴄʜᴇʟѕᴇᴀ ـ ʜɪɢʜʟɪɢʜᴛѕ SHINDA BAJAJ NA SPORTS PESA ILIPOTINGA MWANZA Wednesday, September 26, 2018 MICHEZO No comments NA GSENGOtV Kampuni ya michezo ya kubashiri nchini ya SportPesa tayari imezindua rasmi kampeni ya SHINDA NA SPORTPESA itakayodumu kwa siku 100 (SIKU 100 BAJAJ 100) ambapo mshindi mmoja ataweza kujishindia TVS KING mpya kila siku. Kwenye promosheni hiyo ambayo tayari washindi wamekwishaanza kujinyakulia Bajaj zao, lakini pia kutakuwa na zawadi nyingine zinazoshindaniwa ambazo ni pamoja na tiketi tatu kwenda nchini Uingereza kutazama mechi ya EPL, tiketi moja ikitolewa kila mwezi sambamba na jezi orijino zitakazotolewa kila wiki. Kwa ufupi sana Mwanza ilikuwaje.... WATU WAWILI WAUAWA NA KUTOLEWA VIUNGO GEITA. Wednesday, September 26, 2018 HABARI No comments Wakazi wawili wa Kijiji cha Lubanga mkoani Geita wameuwawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa viungo mbalimbali vya mwili, tukio linalodaiwa kufanywa na watu wasiojulikana na kutoweka na viungo hivyo. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa polisi mkoani humo wakati akizungumza na www.eatv.tv , Mponjoli Mwabulambo amesema tukio hilo limetokea mwishoni mwa wiki na waliouawa ni mtu na shangazi yake suala ambalo limehusishwa na imani za kishirikina. Kamanda Mponjoli amewataja waliouawa kuwa ni Kija Lushanga (70) na Pendo Bukelebe (48) ambapo amesema kuwa imani potofu za kishirikina imekuwa jambo la kawaida kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa na ni changamoto kwa Jeshi la Polisi katika majukumu yake kwani matukio mengi yanafanywa na wanafamilia. “Kufuatia mauaji hayo jeshi la polisi tumekamata watu wanne kwa mahojiano na uchunguzi bado unaendelea na hatuwezi wataja kutokana na sababu za kiusalama, lakini Kanda ya Ziwa hakuna uelewa wa wananchi kutoamini kuwa imani za kishirikina ni matatizo na wao kujichukulia sheria mkononi”, amesema Mponjoli Ameongeza kuwa, “Jamii inayozunguka eneo hili inahusisha mauaji haya na imani za kishirikina lakini sisi kama Jeshi la Polisi kwa sasa tunachukulia kuwa ni mauaji isipokuwa tutakapokamilisha uchunguzi ndio tutajua nini kiini cha mauaji na watu kuondoka na viungo hivyo”. Mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa yenye matukio ya mauaji ya wanawake kukatwa mapanga kutokana na kuhusishwa na imani za kishirikina ambapo Mei 17, 2018 Sophia Sitta mkazi wa kijiji cha Mwabasabhi wilayani Chato aliuawa na mwili wake kutenganishwa kichwa na kiwiliwili. April 05, 2018 wanawake wanne wilayani Nyang’hwale waliuawa kwa kunyongwa kisha miili yao kutupwa porini. Juni 06 ,2018 polisi walimuua kwa kumpiga risasi Panda Kinasa (36) ambaye alikua akiteka watu kudai fedha kisha kuwaua. Takwimu za polisi za mwaka 2015 zinaonyesha kuwa watu 32 walipoteza maisha mkoani Geita kwa kipindi cha miezi mitatu Oktoba Disemba 2015 kutokana na mauji ya kutumia mapanga yanayodaiwa kusababishwa na imani za kishirikina. MBUNGE WA JIMBO LA KWIMBA SHANIF MANSOOR,AFUNGUA BARABARA ZA VIJIJI AMBAZO ZILIKUWA HAZIPITIKI JIMBONI KWAKE. Tuesday, September 25, 2018 HABARI No comments MBUNGE wa jimbo la Kwimba Shanif Mansoor amefungua barabara za vijiji jimboni kwake ambazo kwa kipindi kirefu zilikuwa hazitumiki kwa kuwa zilikuwa hazipitiki kutokana na ubovu kwa barabara hizo. Aidha Mhe. Mansoor ametembelea pia kukagua upanuzi wa Kituo cha Afya Mwamashimba ambacho kipo katika hatua ya mwanzo ya ujenzi. Moja ya adha kubwa wanayoipata wananchi Jimbo la Kwimba kwa kipindi kirefu imekuwa uhaba wa kupatikana huduma za afya, hivyo upanuzi huo utasaidia kuwa na hakika ya usalama wa afya kwa wananchi hasa wanawake na watoto. ELIMU YA MASAFA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI. Tuesday, September 25, 2018 MAWASILIANO No comments Dkt. Adephonce Fuka, kutoka Chuo kikuu Huria akitoa mada kuhusu mwenendo wa Elimu ya Masafa kwa Madiwani katika Mkutano wa 34 wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa ALAT jijini Dodoma. Baadhi ya Madiwani wakiwa katika Mkutano huo wa 34 wa Jumuiya ya ALAT, huku wakitazama na kuona jinsi watakavyokuwa wakinufaika na Elimu ya Masafa kupitia Simu zao za Adroidi. (Picha na Habari na Atley Kuni wa OR TAMISEMI) Elimu ya Msafa kuwajengea uwezo MadiwaniNa. Atley Kuni- OR TAMISEMIMadiwani kote nchini wataanza kupata mafunzo ya uongozi kwanjia ya masafa kupitia mtandao wa kielektroniki, yaani kupitiamfumo wa intaneti, hali itakayowawezesha kujiimarisha katikautendaji wa majukumu yao ya kila siku na kuwatumikia wananchi. Akitoa mada katika mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Serikaliza Mitaa nchini, Mhadhiri wa chuo Chuo Kikuu Huria, Dkt.Adephonce Fuka, alisema shabaha ya mafunzo hayo nikuwajengea uwezo Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchikatika maeneo yao. Akizungumza wakati wa mawasilisho, Dkt. Fuka alisema nia kuu nikuhakikisha Madiwani wanatekeleza majukumu yao kwa mujibuwa sheria, taratibu na kanuni zinazoongoza mabaraza yamadiwani, na mafunzo hayo ni maboresho ya kitabu cha rejea yaMh. Diwani kilichotumika kufundisha Madiwani kutoka Mamlakaza Serikali za Mitaa 93 hapo awali. Mafunzo hayo ambayo yameandaliwa kwa mtindo wa Elimu-Masafa ili kuwezesha kujifunza mahali popote, yataendeshwa naChuo cha Serikali za Mitaa - Hombolo, na ni marejeo ya mafunzoya awali ambayo yalitolewa kwa viongozi hao kwa Halmasahuri 93zilizopo chini ya mradi wa Uimarishaji Mifumo ya Sekta za Umma(PS3). Akitoa maelezo ya awali kabla ya kutolewa kwa wasilisho la elimuhiyo ya masafa kwa njia ya kieletroniki, mwakilishi kutoka PS3,Dkt. Peter Kilima, alisema mradi huo unaofadhiliwa na Serikali yaMarekani kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani(USAID), unafanya kazi katika mikoa 13 na Halmashauri 93 natayari umejipanga kutoa elimu kwa madiwani nchi nzima. “Mradi huu ni wa miaka mitano, na moja ya maeneotunayoimarisha ni mfumo ya Utawala Bora na Ushirikishwaji wa Mfumo wa Kielektroniki. Tuesday, September 25, 2018 HABARI. No comments Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi (kushoto mwenye kaunda suti ya blue) amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (katikati) kwa utendaji wake wa ubunifu na unaolenga kuboresha maisha ya Watanzania. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo Jumatano Septemba 25, 2018 akiambata na viongozi wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikali (TAGCO) alipofika Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa huyo katika ziara ya kufuatilia utendaji wa sekta ya habari. LUKA MODRIC AVUNJA UFALME WA MESSI NA RONALDO. Tuesday, September 25, 2018 MICHEZO No comments Nyota wa Real Madrid na Croatia, Luka Modric ametangazwa mchezaji bora wa dunia wa FIFA mwaka 2018 kwenye tuzo zilizotolewa usiku wa jana jijini London Uingereza. Modric aliisaidia Real Madrid kutwaa klabu bingwa Ulaya pamoja na timu yake ya taifa ya Croatia kufika fainali ya kombe la dunia 2018 ambapo ilipoteza dhidi ya Ufaransa. MCHEZAJI BORA WA KIUME Nyota wa Real Madrid na Croatia, Luka Modric ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia wa FIFA 'FIFA Best Men's Player'. Amewashinda Cristiano Ronaldo na Mohamed Salah. MCHEZAJI BORA WA KIKE Nyota wa Brazil na klabu ya Orlando Pride, Marta Vieira da Silva ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa kike. Mohamed Salah ameshinda tuzo ya goli bora la mwaka 'Fifa Puskas Award' kupitia goli lake alilofunga dhidi ya Everton. KOCHA BORA SOKA LA WANAUME Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa Didier Deschamps ameshinda tuzo ya kocha bora wa FIFA. Deschamps aliiwezesha Ufaransa kutwaa kombe la dunia 2018. Kipa wa Real Madrid na Ubelgiji ambaye msimu uliopita aling'aa na Chelsea Thibaut Courtois, ameshinda tuzo ya golikipa bora wa mwaka. KOCHA BORA SOKA LA WANAWAKE Kocha wa timu ya wanawake ya Olympique Lyon ya Ufaransa, Reynald Pedros, ameshinda tuzo ya kocha bora wa soka la wanawake. MASHABIKI BORA Mashabiki wa timu ya taifa ya Peru wameshinda tuzo ya mashabiki bora wa Fifa, 'The Fifa Fan Award' TUZO YA FAIR PLAY Mchezaji Lennart Thy wa klabu ya VVV-Venlo ya Uholanzi ameshinda tuzo ya 'FIFA Fair Play'. Lennart alikosa mechi ya ligi kati ya timu yake dhidi ya PSV Eindhoven akiwa ameenda kujitolea msaada kwa mgonjwa wa kansa. "SEHEMU PEKEE YA VIJANA KUIMARISHA KIPATO NI KUPITIA SEKTA YA KILIMO" DKT TIZEBA Tuesday, September 25, 2018 KILIMO No comments Dkt Charles Tizeba Waziri wa kilimo akisisitiza jambo wakati akizungumza na vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tanga ambao wapo katika kambi maalumu ya kujitolea kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza leo tarehe 25 Septemba 2018. (Picha Zote Na Mathias Canal-WK) Dkt Charles Tizeba Waziri wa kilimo pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Martin Shigela wakikagua ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Muheza wakati walipotembelea kambi maalumu ya vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tanga walioamua kufanya ujenzi kwa kujitolea, wakati akiwa safarini kuelekea Wilayani Korogwe leo tarehe 25 Septemba 2018. Waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba akisisitiza jambo wakati akizungumza na vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tanga ambao wapo katika kambi maalumu wakijitolea katika ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza leo tarehe 25 Septemba 2018. Na Mathias Canal-WK, Muheza-Tanga Imeelezwa kuwa sehemu pekee ya kuimarisha kilimo cha mwananchi mmoja mmoja, wananchi katika makundi ya kijamii hususani vijana ni kupitia sekta ya kilimo kwani ndio sehemu pekee ya ukombozi wa mkulima katika jamii. Imeelezwa kuwa kuna uwezekano wa kufanya biashara mbalimbali nchini ambazo zinaweza kuongeza kipato lakini sahemu sahihi isiyokuwa na jazba na dhoruba katika utendaji ni kufanya kilimo biashara ambacho kamwe hakiwezi kumtupa mkulima. Dkt Charles Tizeba Waziri wa kilimo, ameyasema hayo leo tarehe 25 Septemba 2018 wakati akizungumza na vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Tanga ambao wapo katika kambi maalumu ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza. Vijana hao ambao wameamua kutumia nguvu zao pasina malipo wameamua kwa umoja wao kuunga mkono juhudi za Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli kwa kauli yake inayohamasisha chachu na juhudi za kiutendaji kwa wananchi ya "Hapa Kazi Tu". Aidha, katika kuhamasisha juhudi za kiutendaji Waziri huyo mwenye dhamana ya kilimo ameunga mkono juhudi za vijana hao kwa kuchangia fedha ya chakula shilingi 1,100,000 sambamba na kushiriki ujenzi wa jengo maalumu la upasuaji. Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba alitembelea ujenzi huo wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza akiwa safarini kutembelea mashamba ya mkonge ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya kikazi Mkoani Tanga aliyoianza jana tarehe 25 Septemba 2018 ya kukutana na makundi mbalimbali ya wakulima wa zao la Mkonge ili kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili wakulima wa zao hilo. PICHA ZIARA YA MDAU WA MAENDELEO KUFUTA SIFURI. Tuesday, September 25, 2018 ELIMU. No comments Mkurugenzi wa Shule za Patrick Mission na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Iyela,Ndele Mwaselela akizungumza na wanafunzi wa kidato cha nne ambao wapo kambi kwa ajili ya kujiandaa na Mitihani ya kidato cha nne mwaka hu ikiw ani mpango wa kutokomeza sifuri katika shule. Mkurugenzi wa Shule za Patrick Mission na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Iyela,Ndele Mwaselela, akikabidhi Chakula kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha Nne Sekondari ya Iyela ambapo mdau huyo wa Maendeleo alikabidhi gunia mbili za mchele. Waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba akisisitiza jambo wakati akizungumza na wakulima wa zao la Mkonge kwenye Shamba la Mgombezi lililopo katika Kijiji na kata ya Mgombezi katika Wilaya ya Korogwe wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga jana tarehe 24 Septemba 2018. (Picha Zote Na Mathias Canal-WK, Tanga) Kikao kazi wakulima wa zao la Mkonge na Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba kilichofanyika katika kijiji na kata ya Makuyuni Wilaya ya Korogwe wakati wa ziara ya waziri huyo ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga, jana tarehe 24 Septemba 2018. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Martin Shigela akitoa maelezo mafupi Waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba kuhusu zao la Mkonge mkoani humo mbele ya wakulima wakulima katika kijiji na kata ya Makuyuni, Wilayani Korogwe jana tarehe 24 Septemba 2018. Wakulima wa zao la Mkonge kwenye Shamba la Mgombezi lililopo katika Kijiji na kata ya Mgombezi wilaya ya Korogwe wakifatilia kwa makini mkutano wa Waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba wakati wa mkutano wa pamoja kujadili zao la Mkonge Mkoani Tanga jana tarehe 24 Septemba 2018. Waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba akisisitiza jambo wakati akizungumza na wakulima wa zao la Mkonge kwenye Shamba la Mgombezi lililopo katika Kijiji na kata ya Mgombezi wilaya ya Korogwe wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Tanga jana tarehe 24 Septemba 2018. Wakulima wadogo wa zao la mkonge Wilayani Korogwe mkoa wa Tanga, wameiomba Serikali kuweka utaratibu wa kuanzisha soko huria kwa ajili ya ununuzi wa zao hilo ili malengo yaliyowekwa na serikali ya kuzalisha tani 100,000 kwa mwaka yafikiwe. Wakulima hao wameilalamikia Kampuni ya Katani Ltd. kwamba inachukuwa asilimia 54 na kumuachia mkulima asilimia 46 jambo walilodai ni unyonyaji unaofanywa na kampuni hiyo kinyume na utaratibu wa kiutendaji. Wakulima hao wametoa malalamiko yao mbele ya waziri wa kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba wakati akizungumza na wananchi katika maeneo tofauti wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili kutekeleza maagizo aliyopewa hivi karibuni na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa ya kutembelea mashamba ya Mkonge mkoani humo na kutatua changamoto zinazowakabili wakulima. Katika mkutano huo pia wakulima hao walijadili suala la bei na namna ambavyo sera iliyowekwa na serikali inayoelekeza kuwa kila mwaka mkonge uzalishwe tani 100,000 na kwamba sera hiyo haisimamiwi ipasavyo kwani endapo kama ikisimamiwa ipasavyo zao hilo litaingia kwenye zao kuu la kibiashara nchini. Akizungumza katika mikutano hiyo Waziri wa Kilimo Mhe Mhandisi Dkt Charles Tizeba alisema kuwa Tanzania ilikuwa ndiyo nchi pekee barani Afrika kupokea zao la mkonge kutoka Jimbo la Yucatan, nchini Mexico mwaka 1893. Mkoa wa Tanga ndio ulikuwa kinara wa kulima zao hilo kwa wingi kwa kuwa na mashamba makubwa ikifuatiwa na Morogoro. Aliongeza kuwa Kutokana hali hiyo, sekta ya kilimo hicho ndiyo sekta ambayo ilikuwa imeajiri watu wengi hususani katika maeneo ya mashambani. Hivyo Mkoa wa Tanga ulikuwa na maendeleo makubwa ya kiuchumi kutokana na faida ya uwapo wa zao hilo ukitoa viwanda vilivyokuwepo enzi hizo. Dkt Tizeba alisisitiza kuwa zao la Mkonge ni miongoni mwa mazao muhimu ya kibiashara hivyo serikali inayoongozwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli imejidhatiti kuhakikisha zao hilo linaendelea kukua na kuongeza uzalishaji maradufu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa wanufaikaji wakubwa ni wakulima na sio vinginevyo. Akijibu malalamiko ya wananchi ambao ni wakulima wa mkonge katika Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga Dkt Tizeba alisema kuwa serikali haiwezi kuchukua hatua za haraka katika kutatua mgogoro huo badala yake inaendelea kujiridhisha ili kubaini ukweli kuhusu uendeshaji wa zao hilo kupitia kampuni ya Katani LTD na ndani ya wiki mbili itatoa maelekezo ya serikali. Dkt Tizeba ameitaka kampuni ya Katani LTD pamoja na wakulima wa katani kutunza kumbukumbu zao zote ili ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) itakapoanza kazi ya ukaguzi iweze kupata taarifa za uhakika.
"2019-01-22T17:39:10"
https://gsengo.blogspot.com/2018_09_23_archive.html
[ -1 ]
Makundi ndani ya Watu waliookoka | Strictly Gospel 21/12/2014 by Strictly Gospel 39 Mtu akimpokea Yesu huingia kwenye familia ya watu waliookoka, watu waliosafishwa kwa damu ya Yesu Kristo. Anakuwa mwanachama wa Kanisa la Mungu lililo hai. Anaanza kuishi kwa kufuata mafundisho ya Bwana Yesu Kristo. Anakuwa Mkristo! Lakini kadri watu wanavyoendelea kuokoka kutoka katika dini na madhehebu mbali mbali kunajitokeza makundi ya watu hao. Wale wanaookoka toka katika dini fulani hutengeneza kikundi chao cha waliookoka toka dini hiyo. Huwa na kanuni na taratibu zao ambazo zinawafunga au zinatofautiana na wale wa kutoka dini au dhehebu fulani. Na pengine huendelea kutekeleza baadhi ya maagizo ya dini/madhehebu walikotokea hata kama mambo hayo yanaweza kuwa yana mgongano wa kimaslahi na Imani ya Kikristo! Je, huku kuokoka halafu mtu akawa anajiita kwa jina la dini au dhehebu aliyotoka mfano Muislamu aliyeokoka, Mkatoliki aliyeokoka au Mpentekoste aliyeokoka inaashiria nini hasa? Kwa nini tu mtu asiseme Mimi nimeokoka? Huo utambulisho wa dhehebu/dini una umuhimu gani kwenye Wokovu? Maoni yako tafadhali! ← Ni ELIMU hii hii ya Darasani au Ni ELIMU kitu kingine? Bwana Yesu alikuwa anamaanisha nini katika Yohana 10:9? → 39 thoughts on “Makundi ndani ya Watu waliookoka” FRANSIS says: 10/12/2015 at 11:37 PM Frankly speaking!!! There is nothing like religious in the Bible. These are from humans perceptions so that they can abide to what that at least is seems to be right in accordance to what that is in the Bible. Sasa sioni maana ya kulaumu au kuhukumu au kunyooshea kidole kundi fulani la imani. Hakuna kikundi chochote cha waamin ambacho hakiitwi dini na ndani yake lazma Kuna vitu wamevishikilia kama kanuni ya imani Yao. stephen says: 19/02/2015 at 12:11 AM Bwana yesu asifiwe wote kwanza mimi niseme wanaotaja udhehebu wako sawa hata nyie mnaopinga mimi sielewi mnasimamia wapi au mnasema tu kujifulahisha kweli nimechelewa kuchangia sasa nianze kusema hivi kazi ya Yesu alikuja kutafuta na kuokoa wote ambao wamepotea katika dhambi sasa kubwa hapa ni hili ulipotea katika dhambi,au umepotea katika dhambi ni kugeuka na kumpa Yesu maisha yako Yesu aliacha kazi kwa mitume kuwa waende ulimwenguni mwote wakawafanye mataifa yote,watu wote, wakawafanye kuwa wanafunzi wa Yesu (mathayo 28:-19) na hapa naomba nieleze machache ili nijenge hoja kwanza sharti ujue ujue wakati Yesu anakuja zilikuwepo dini kama dini za kiyahudi sasa mtu anaposema nimeokoka niko romani,PAG,EAGT,Anglikani,lutherani nk unajua kuna madhebu yanajitaja ni ya kristo lakini ukweli wa mambo yanamkataa yesu ndio maana watu wote ni wakristo kama mlivyonukuu katika matendo ya mitume mko sawa leo utakuta mtu anajiita ni mkristo yeye ni mzinzi,mlevi,mvuta sigara,ana mke zaidi ya mmoja,fisadi,mchawi,na wengine kwa ajili ya kutetea dhambi wanathubutu kusema huwezi kuokoka ukiwa duniani hata hawaju neno lolote kwani ukisema wewe ni mkiristo uwe kama Yesu alivyo kuwa yeye alipigwa,alitukanwa,alitemewa mate,pamaoja na maudhi mengi bado biblia inasema hakutenda dhambi yoyote aliendelea kumpendeza Mungu na wanadamu sasa kuna madhehebu ambayo kweli yenyewe ni nuru ya ulimwengu kama kanisa la kakobe huwezi kuwakosoa kwa lolote wanaishi sawa na neno la Mungu linavyo sema.ndio maana watu wanajitambulisha kwa madhebu ili ukiwafatilia uweze kuelewa wameokoka au hawajaokoaka kwani nyakati za leo kila mkristo asema Bwana asifiwe hata kama ni mtenda dhambi wakati biblia inasema kila alitajaye jiana la Bwana na aache uovu kwa leo niishie hapo nasubili mchango wako wewe unayebisha bila maana balikiwa pendael simon says: 16/01/2015 at 10:37 AM Wapendwa; 2:13 ” Kwa maana watu wangu hawa wametenda maovu mawili; wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji ya uzima, wamejichimbia mabirika, mabirika yavujayo, yasiyoweza kuweka maji.” MADHEHEBU YOTE wamemfanyia BWANA YESU makosa MAWILI. 1.KOSA LA KWANZA; Madhehebu WAMEMUACHA Yeye ( BWANA YESU), aliye CHEMCHEMI ya MAJI ya UZIMA. -Madhehebuni hakuna NENO LA UZIMA bali kuna MAPOKEO,MAFUNDISHO YA SHARTI na KANUNI ZA IMANI. 2.KOSA LA PILI ; MADHEHEBU wamejichimbia Mabirika (wanajiita, TAG,ANGLLIKANA,EAGT,LUTHRAN,HOLINESS,KLPT,KATOLIKI,….nk. Unaweza Kuthibitisha kwa kumuuliza mmoja “wewe ni Mkristo?” utasikia “Mimi ni MKATOLIKI, MUANGLIKAN,MPENTEKOSTE, M-TAG, M-EAGT, M-BAPTISTI, ……nk.” -Mabirika yenyewe yanavuja na hayaweki maji (MAFUNDISHO YANAYOFUNDISHWA ni ya MASHETANI, 1TMOTHEO 4:1-5 ” Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.” MAFUNDISHO MENGINE YA MASHETANI yanayofundishwa MADHEHEBUNI ni Mungu ana NAFSI TATU, UBATIZO WA WATOTO,KUBATIZA KWA VYEO VYA MUNGU ( BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU),WANAWAKE WANAPEWA KUWA WACHUNGAJI,WAINJILISTI,MASHEMASI,…..nk” MATENDO 11:25-26 ” Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli; hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.” Mtu yeyote anayemuamini YESU huitwa MKRISTO si M-TAG,M-EAGT,MPENTEKOSTE,MWANGILIKANA,WALA MKATOLIKI hayo ni MAJINA YA MAKUFURU. **** NA WANAFUNZI WALIITWA WAKRISTO KWANZA HAPO ANTIOKIA**** Mrs CHRISTINA K. says: 09/01/2015 at 9:48 PM HAKUNA NENO LILILOSITIRIKA AMBALO HALITAFUNULIWA WALA LILILOFICHWA AMBALO HALITAJULIKANA!!!(LUKA 12:2) Huu ni unabii wa Yesu mwenyewe ambao umeshatimia na unaendelea kutimia.Utimilifu wa unabii huu unaleta AFYA YA KIUNGU kwa wateule hasa wale wanaojitambua kiroho.Roho Mtakatifu naomba utufafanulie una maana gani kusema haya. Hii mada ni nyeti mno hasa katika nyakati hizi za mwisho.CK LWEMBE ametoa maelezo ya kina kwa sehemu na yanaleta nuru ya ajabu.Ukiya soma kwa utulivu unaweza ukaiona tofauti kati ya kanisa na madhehebu.Kupitia blog hii, nilipata neema ya kusoma mafundisho ya Mwalimu Mwakasege yanayohusu tofauti kati ya KANISA na DHEHEBU.Roho Mtakatifu alimuongoza Mwakasege kueleza KWA KINA TENA KWA UNDANI SANA kuhusu makundi ya watu walio ndani na nje ya WOKOVU.Maelezo hayo yanapatikana katika mada inayosema KWANINI BWANA YESU ALITUOMBEA UMOJA.Wewe mwenye nia njema itafute ili UWE HURU KWELI KWELI.Ni mafundisho ya Roho Mtakatifu ndani ya Mwakasege na siyo mafundisho ya Mwakasege!Huwezi kuyatambua mafundisho ya Roho Mtakatifu kama huongozwi na Roho Mtakatifu.Unaweza ukawa umeokoka lakini hujampa Roho Mtakatifu nafasi ya kukuongoza katika mambo yote(Soma 1YOHANA 2:20,27). KANISA ni mwili wa Kristo.Mwili wa kristo ni watu wanaoongozwa na Roho Mtakatifu kwa kuwa walizaliwa mara ya pili kwa uweza wa Roho wa Kristo.DHEHEBU ni watu au kusanyiko la watu ambao hawajazaliwa mara ya pili na kimsingi wanaongozwa na mapokeo ya wanadamu.Katika MATHAYO 15:3-9, Yesu anazungumza wazi kuhusu MADHEHEBU ya kwamba ni UNAFIKI wa kufuata MAFUNDISHO na MAAGIZO ya wanadamu.WARUMI 8:12-17 inaelea maana halisi ya KANISA kuwa ni mikusanyiko ya wana wa Mungu wale ambao HAWAONGOZWI NA ROHO YA UTUMWA ILETAYO HOFU.Kuna madhehebu ya wanadamu na madhehebu ya shetani(1 TIMOTHEO 4:1) ambayo kimsingi yote chimbuko lake ni shetani,kwa sababu yote yanafanya UNAFIKI kwa kupotosha MAFUNDISHO na MAAGIZO ya Mungu aliye hai. Ni muhimu sana tukatambua kwamba ndani ya MADHEHEBU wapo wana wa Mungu na wana wa Ibilisi.Na pia ndani ya KANISA kuna wana wa ibilisi ambao wamejiingiza kwa siri.Hata katika hii blog wapo mbwamwitu ambao wanachangia mada mbalimbali sambamba na wana wa Mungu na kila mmoja analinda maslahi ya ufalme wake.Wateule ni LAZIMA wafike mahali pa kuyatambua mambo haya na kuwabaini WAPOTOSHAJI.Nisikilize kwa makini hapa,Roho Mtakatifu anapigilia misumali ya moto ulao.SI KILA ANAYEPOTOSHA NI MBWAMWITU WENGINE NI WATEULE WASIOJITAMBUA KIROHO LAKINI KWA MUONGOZO WA ROHO WA KRISTO TUNAYATAMBUA MAFUNDISHO YANAYOPOTOSHWA PAMOJA NA UHALISIA WA WALE WANAYOYAPOTOSHA.Si lazima nionane na Lwembe uso kwa uso ili kujua anafananaje au kuujua uhalisia wake wa kiroho.Roho Mtakatifu anaweza kunionyesha uhalisia wa Sungura katika ULIMWENGU WA ROHO.Kama unadhani natania katafakari kile ambacho Mtume Paulo anasema katika WAKOLOSAI 2:5.Unaweza kumtambua mtu na mafundisho yake kwa kumchungulia katika ulimwengu wa roho.USIPOTEZE MUDA WAKO KUBISHANA NA KUSHINDANA NA MTU. Katika MADA HII NENO LA MUNGU LIMEWAACHA UCHI WALE WOTE WANAOPINGANA NA MAFUNDISHO YA ROHO MTAKATIFU.Soma WAEBRANIA 4:12-13 UONE JINSI NENO LA MUNGU LINAVYOWEZA KUTOFAUTISHA KATI YA MAFUNDISHO YA MASHETANI NA YA ROHO Mtumishi Pandaeli utakuwa umeelewa sana kile ambacho ROHO WA KRISTO anadhibitisha.Watumishi JOHN PAUL,SUNGURA NA ASHERI ENDELEENI KULETA CHANGAMOTO.KUSUDI LA MUNGU NI LAZIMA LITIMIE HAIJALISHI ANAYELITIMIZA NI MWANA WA MCHANA AU USIKU.Ninawaomba wateule mfatilie hii mada kwa KUMSHIKA MKONO ROHO MTAKATIFU.MTAONA MAMBO MAKUBWA NA MAGUMU AMBAYO HAMKUYAJUA KUHUSU KANISA NA MADHEHEBU.Yesu alikuja kuvunja madhehebu na kuanzisha KANISA LAKE.HATA LEO KUNA MADHEHEBU MENGI SANA YA MAFARISAYO NA MASADUKAYO. Ni lazima tutofautishe kati ya JINA LINALOBEBA MAONO YA KANISA(kusanyiko la wana wa Mungu) fulani na DHEHEBU fulani.Roho Mtakatifu ataendelea kuwaelewesha wateule wake.KWA HABARI YA MAFUNDISHO POTOFU, VITA KATI YA WANA WA MUNGU NA IBILISI INAENDELEA KUWA TAMU ZAIDI.MWAKA 2015 WATEULE WENGI ZAIDI WATAENDELEA KUJITAMBUA NA KUONDOKA KATIKA MADHEHEBU YA MASHETANI.KWA SABABU YA UTANDAWAZI WA MAFUNDISHO YALIYO KUFA NDIYO MAANA KUNA MAKANISA YA KRISTO AMBAYO YAMEGEUZWA KUWA MADHEHEBU!! KARIBUNI WAPOTOSHAJI NA WENYE NIA NJEMA ILI ROHO MTAKATIFU AMALIZE KABISA HII BIASHARA. william mashauri says: 09/01/2015 at 1:01 PM asanten kwa wote mliochangia kwan baadh ya michango yenu imenibariki sana. Ck Lwembe says: 30/12/2014 at 12:24 AM Siyi, Swali uliloniuliza kwamba, “Je, kanisa la Kristo nalo lipo????” ni swali la zamani saaana!! Elia aliwahi kuwa na swali kama lako kichwani mwake, ndipo akamwambia Mungu kuwa amebaki peke yake, yaani Kanisa lote limekengeuka, limejiingiza ktk ibada ya miungu, kama ilivyo leo hii, yule mungu wa kale, Baali, amejibadilisha jina, sasa hivi anajiita UTATU MTAKATIFU!!! Bali Mungu alimhakikishia kwamba anao watu 7,000 ambao hawajampigia magoti Baali, 1 Ki 19:18 “Yet I have left me seven thousand in Israel, all the knees which have not bowed unto Baal, and every mouth which hath not kissed him.”! Ndio hivyo, Kanisa lipo, hilo ambalo halijajichafua na wanawake, Ufu 14:4-5 “Hawa ndio wasiotiwa unajisi pamoja na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo. 5Na katika vinywa vyao haukuonekana uongo. Maana hawana mawaa.” Na wengine hawa hapa, Efe 1:3-5: “Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo; kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo. Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake.” M. Siyi says: 28/12/2014 at 10:42 AM Lwembe, Je, kanisa la Kristo nalo lipo???? Ha ha ha ha!! Ck Lwembe says: 27/12/2014 at 11:08 PM …….. inaendelea: Tunafahamu kwamba duniani kuna roho mbili tu zinazofanya kazi, kuna Roho ya Kristo, ambayo ndiyo Kichwa cha Kanisa, huo Mwili wake; na kuna roho ya Mpinga Kristo, hiyo inayojiwakilisha kama Roho ya Kristo, ndiyo hiyo roho ya Ibilisi itendeyo kazi ndani ya wana wa uasi, ambayo tunafunuliwa hapo kwamba inajitambulisha kama Wayahudi, bali ni sinagogi la Shetani, ndilo hilo “kanisa” laghai, kwa maneno mengine! Kimsingi tumekuwa na miaka 2000 ya Teolojia, yaani miaka ya kuitafsiri Injili, ile interpretation. Matokeo ya miaka hiyo, yanapimika katika tafsiri za Maandiko zinazojiwakilisha ktk idadi ya madhehebu yetu kiasi kwamba kwa mtu mwenye kujiuliza kuhusu hali hiyo, ni lazima abaki na maswali mengi sana kichwani yasiyo na majibu. Ukirudi ktk Maandiko unaweza kuuona mzizi wa jambo hili, Maandiko yanasema ni FITINA; 1Kor 1:11-12 ” … ya kwamba iko fitina kwenu. Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo. Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?” Hebu jaribuni kulipima jambo hili na madai yetu ya leo, kwamba mimi ni Mlutheri, au ni Muanglikana au ni mTAG au ni Mkatoliki nk, Leo Paulo akituuliza maswali hayo aliyowauliza Wakorintho, binafsi ningependa niyasikie majibu yake kutoka kwenu wapendwa! Kama jambo hilo Roho alilikemea ktk siku hizo, sioni ni kwa vipi atalikubali leo hii! Kuwa kwetu Wakristo si jambo la “lele mama”, ni wito unaoambatana na jinsi ya mwenendo ili kulitimiza kusudi la wito wetu, Efe 4:1-6 Jamani, Roho ANATUSIHI! Tunapaswa kuuhifadhi umoja wa Roho, tukiwa sote tu chini ya huyo Roho, huyo ndiye anayeweza kutufikisha ktk kuwa Mwili mmoja maana ni Roho mmoja. nayo imani itakuwa ni moja inayoambatana na Tumaini moja kutoka kwa huyo Roho! Labda ili kuliweka ktk kueleweka vizuri, tumatazame huyo “Roho” anaye tuongoza ili tuuone mfano ulio hai kuhusu jambo hili: Tuchukulie Dhehebu la Katoliki. Ibada inayoendeshwa ktk kanisa la dhehebu hilo lililoko Songea, itakuwa iko sawa sawa na ibada inayoendeshwa huko London au Beijing au ktk vijiji vya Brazil au Vatican na sehemu yoyote nyingine duniani, tofauti itakuwa ni lugha tu, lakini content ya Ibada ni moja, kwa sababu wanaongozwa na roho mmoja nao ni mwili mmoja, na Tumaini lao ni moja na imani yao ni moja nk! Vivyo TAG, EAGT, SDA, Lutheran nk kila kundi likiwa ni tofauti na jingine hivyo roho pia zikiwa ni tofauti, lakini zote zikiwa zimejizalisha kutoka ktk Injili hiyo hiyo, na wote wakidai kwamba Roho Mtakatifu ndiye anaye waongoza, ndiye mwenye kuwapa mafundisho yooote waliyonayo; mpaka fundisho la kwamba Ishara na Miujiza vilikwisha na mitume!!! Ngoja nikomee hapa kwanza, kisha nitamalizia wazo nililonalo kuhusu haya makundi ya waliookoka kutoka ktk mauti za kidhehebu, halafu mwendo kidogo wanarudi tena humo kujitambulisha na kifo, tuone wamepatwa na nini??!!! Ck Lwembe says: 27/12/2014 at 11:01 PM Wapendwa, Kuna wakati fulani katika majadiliano, ilionekana kana kwamba tuko ktk mitazamo tofauti, lakini mwenzangu alipoyaangalia kwa kina tunayoyazungumzia akaniambia, “May be we have the same perspective but we miss how to describe and come to common ground”, huyo alikuwa ni Eucalyptos; ni kweli, wakati mwingine shida inakuwa ndio hiyo! Katika majadiliano haya, yamejitokeza mambo mengi kama ambavyo mijadala inavyoweza kuzalisha mikondo mingi, lakini yote huwa ni kutoka ktk ile Tie Post moja, Yesu Kristo, yaani lile Neno! Mshangao alionao mleta mada ni halisi sana tena una changamoto ya Uzima kwa wote ambao mioyo yao huridhika na mambo yaliyo halisi, kama ni Kweli ya Mungu, basi kiu yao iko ktk hilo na si ule wepesi wa ku compromise hiyo Kweli na kubakia umelishikilia jambo ambalo unajua kabisa kwamba si Halisi, bali unaendelea nalo ukijidanganya kwamba ni halisi! Mleta mada anazungumzia ukweli wa maisha anaouona kuhusu makundi yetu ya Kikristo. Anasema “Mtu akimpokea Yesu huingia kwenye familia ya watu waliookoka, watu waliosafishwa kwa damu ya Yesu Kristo.” Kwa kadiri ya jambo la Wokovu, huo unaoletwa kwa Injili, binafsi ninaamini kwamba kauli yake hii ni sahihi kwa asilimia 100; Mk 16:15-16 “Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.” Nao udhihirisho wa jambo hili ndio huu hapa, Mdo 2:40-41 “Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi. Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.” Sasa kundi hilo la watu 3000 waliookoka siku hiyo, ni hao waliotoka ktk dini, huo Ufarisayo na Usadukayo na Waandishi nk, yale madhehebu ya wakati huo, hayo yaliyojizalisha kutoka ktk Torati. Kundi kubwa zaidi lilibaki ktk madhehebu yao, wakaendelea na taratibu zao za ibada, wakikataa KUMPOKEA Kristo, yaani kulingana na hicho kifungu cha Marko 16:16, ni kwamba wote wameingia ktk Hukumu, na hivyo hawawezi kuwa sehemu ya Mwili wa Kristo!!!! Kwa kadiri ya hali hiyo iliyokuwapo ktk siku hizo, tunaweza kusema ndicho kinachojirudia leo hii tena. Tazama anachokisema mleta mada, “Lakini kadri watu wanavyoendelea kuokoka kutoka katika dini na madhehebu mbali mbali…” Basi, iwapo kuna watu wanaookolewa kutoka ktk madhehebu yetu ya Kikristo, hili ndilo linaloashiria kwamba huko wanakookolewa hakuko salama, maana tunaokolewa kutoka ktk Hukumu ya Jehanamu! Ndio kusema kwamba hayo madhebu ambamo watu wanaokolewa, licha ya kwamba yanadai kwamba wao ni Kanisa, yaani ule Mwili wa Kristo, kwa jambo hilo la watu kuokolewa kutoka humo, hilo laonesha kwamba madhehebu hayo yanaelekea kuzimu! Maelezo yake ya ki Maandiko ndiyo hapa: Ufu 2:9 “… najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.” Nitaendelea….. Petrus Georgiy says: 27/12/2014 at 7:54 PM shaloom……samahan si mahali pake Mtumishi wa mungu John Paul ni wewe pia unatumia jina John F paul ktk Vitabu kama Uponyaji wa Mti wa famila & weka ufahamu wako huru Petrus Georgiy says: 27/12/2014 at 7:30 PM ha ha ha mungu wangu…dah sungura says: 27/12/2014 at 9:23 AM Pendael, wow bravo! Asante sana kwa maneno mazuri yaliyojaa neema na kukolea munyu yanayomfaa msikiaji. John Paul alikwambia kitu kimoja kuwa unaweza ukasema lolote kwa ujasiri kwa sababu tunajadili katika uwanja ambao hatuonani wala kusikiana kwa sauti zetu. Lakini as God lives kuna siku tutakutana na kuonana uso kwa uso, ndipo utajua Sungura huyu unaemwita mwana wa ibilisi ni nani hasa. Huwezi kunishawishi kuwa wewe unamfahamu Mungu sawasawa,huwezi kunishawishi kuwa anayeongea ndani yako kuniita mimi ni mwana wa ibilisi kuwa ni Roho mtakatifu, no way! Pamoja na hayo yote, hebu tuonyeshe sasa andiko lipi linasema kuwa dhehebu ni mwili wa ibilisi. Na hebu thibitisha kuwa wewe hauko chini ya dhehebu lolote. Maana najua ktk nchi hii huwezi kukusanyika mahali popote kwenye public bila kujulikana jina la hilo kusanyiko. Kuthibitisha kwako hayo uliyoyasema ndio kitu cha msingi kuliko kumwita Sungura kuwa ni mwana wa ibilisi. Na ashukuriwe Mungu kuwa damu iliyonikomboa si yako ila ya kwake mwenyewe. Huyo ndiye anayeujua uchungu wa kunipata mimi. Kwa naana hiyo, huyo ndiye atakayekuhold responsible kwa maneno yasiyo maana. Shetani hawezi kuwa na mtoto mzuri kama mimi rafiki. Pendael, nakuona kabisa kuwa wewe unachokiona ni kujua maandiko ni kule kuyanukuu kama ulivyonukuu Ufunuo 3:17 hapo juu na kuitumia kwa matakwa yako. Mtu yeyote anayejua neno la Mungu akiangalia jinsi unavyoyatumia hayo maandiko uliyonukuu atajua pasi na shaka kuwa uelewa wako wa neno uko so limited. Mara nyingi unaongea mambo mengi ambayo huna ujuzi nayo wa kutosha, lakini kwa sababu wewe unadhani unaowaandikia nao ujuzi wao ni kama wa kwako, basi unajiona u mwerevu kweli. Pole, mimi huwezi kunidanganya, ila kuniita nwana wa ibilisi hilo unaweza! Thibitisha niliyokuuliza inatosha! pendael simon says: 27/12/2014 at 12:09 AM Sungura. Nishakuambia ni Haki Ya Msingi KUNENA YALIYOUJAZA MOYO. Hayo ndiyo MATANGO MWITU ULIYOLISHWA NA IBILISI. Unadai kwamba Huwezi kudanganywa wakati tayari uko Kwa BABA WA UONGO UKITUMIKA KWA MOYO WOTE. Unaniambia ‘believe me’! How can I believe unbeliever like you?Mara nyingi nimesoma Michango yako ni UPOTOSHAJI TU wa MAANDIKO kwa kutumia ‘techniques’ za Ibilisi ikiwemo teminolojia za THEOLOJIA. Mtumikie Adui vizuri kwa sababu kuna Mshahara pia. UFUNUO 3:17 ” Kwa kuwa wasema, mimi ni tajiri,nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na uchi”.Umeshasema “akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa,huwezi kunifundisha….nk” nawe hujui kuwa u mnyonge(weak spiritual muscles) na mwenye mashaka (huna IMANI), maskini ( kiroho uko tupu),na kipofu (huoni chembe ya Neno la Mungu zaidi ya Kukariri mapokeo ya DHEHEBU lako na INJILI Chotara “Hybrid Gospel” ya Theolojia ) na Uchi (Neno la Mungu ni vazi kwaku Neno huna,uko uchi Mbele za Mungu). Kama unataka Mungu akusaidie hebu ZINGATIA HUU USHAURI ULIOPO KWENYE “UFUNUO 3:18-22”. **Mungu Na Ahirehemu Nafsi Yako Yenye DHAMBI** sungura says: 26/12/2014 at 7:19 PM Pendael, Acha maneno rejareja, jibu hoja! Kunukuu maandiko siyo kuelewa maandiko. Wewe tuambie imeandikwa wapi kwamba dhehebu ni mwili wa ibilisi? Bila shaka wewe umezoea mijadala fulani ya kujadili na watu wenye reasoning ndogo, ndio maana unaongea vitu ambavyo havina substance, vinaelea. Ati bila aibu unasema uongo kuwa wewe huna dhehebu. Halafu unataka tusikwambie kuthibitisha hilo! Please, elewa kuwa unaongea na watu wenye ufaham, huvyo ongea vitu ambavyo vina ukweli usiotia shaka. Believe me, unaweza kuongea chochote lakini huwezi kunidanganya jambo linalohusu kweli ya kristo. pendael simon says: 26/12/2014 at 10:09 AM Asheri. Haihitaji UFAFANUZI Kulifahamu jambo fulani isipokuwa Inategemea UNA NIA ipi.Ungekuwa na NIA ILIYOKUWA NDANI YA KRISTO na USINGEKUWA NA ROHO YA KUPINGA MAANDIKO Usingediriki Kusema MAANDIKO niyokupa HAYAHUSIANI na MADHEHEBU.Pia kumbuka Kuwa Kisicho na MAANA kwako kina MAANA kwa mwingine.Usipate Shida kuwa na DHEHEBU lako kwana Bwana Yesu anasema kwenye MATHAYO 19:11 ” Lakini yeye akawaambia, Si Wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.” pendael simon says: 26/12/2014 at 9:51 AM Sungura,Una haki ya KUONGEA KILICHOUJAZA MOYO WAKO!! sungura says: 26/12/2014 at 8:00 AM Pendael, Ni kweli kuwa akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa. Huwezi wewe kutawala akili yangu kwa issues kama hizi, maana unaongea vitu kwa kukurupuka tu rafiki. Sijakuuliza hayo maswali ili unifundishe ktk majibu yako, nimekuuliza ili uthibitishe ulichokisema. Kujaribu kuyasema kuwa ni ya kipuuzi ni kutafuta tu kichaka cha kujificha. Huwezi ukathibitishe kwenye maandiko kuwa dhehebu ni mwili wa ibilisi. Umeitumia hiyo term kutoka kwenye wazo la mwili wa kristo, kwa akili nyepesi tu ukadhani kuwa kuna na mwili wa ibilisi pia. Ona pia umeamua kusema uongo wa wazi kabisa kuwa wewe hauko kwenye dhehebu. Maneno kama hayo kawaambie mabaladhuli ndo pekee unaweza ukawa-fool! Jana kama ulisali ulikusanyika wapi, chumbani kwako? Lakini kama hukukusanyika chumbani kwako ila ulikusanyika haraiki baso kuanzia leo jua kuwa hilo ndio dhehebu lenyewe. Vipi kuhusu dini na yenyewe huna au unayo? Halafu ati unasema kuwa Yesu hakuanzisha dhehebu! Ulitaka aanzishe dhehebu kwani dhehebu linamhusu Mungu au watu? Kwani Yesu aliwahi kujenga jengo la kuabudia,lakini kwa nini leo sisi tunajenga majengo, kwa mfano? Pendael, umeniambia mimi ati nina kiburi cha uzima, ivi unaelewa maana ya kiburi cha uzima kweli? Kama mimi nina kiburi cha uzima sijui wewe una kiburi cha nini sasa, labda cha ujinga! Maana unadhani kunukuu maandiko ndio kujua maandiko, lakini kumbe kutokujua maana ya andiko ni zaidi ya ujinga, hata kama umekariri biblia nzima! Uko biased big time! Asheri says: 26/12/2014 at 7:49 AM Ndugu Pendael Simon Ndugu yangu, mimi ningefurahi na ungekuwa umenisaidia kama ungenifafanulia hayo maandiko uliyoyaandika. Nilisema katika mchango wangu wa mwisho kuwa maandiko uliyoyaandika hayahusiani na dhehebu, ulichopaswa ni kuyafafanua ili mimi nisiye na ufahamu basi nifahamu. Cha kusikitisha unaniambia nataka mashindano yasiyo na tija! Mimi nilitaka kufahamu si kushindana. Tija kwangu ni kujua kile ambacho ndugu yangu unakijua ili kinisaidie. Naomba ufahamu kuwa mimi haijaniuma kwa kuwa umesema madhehebu ni mabaya/ makufuri, hilo kwangu si tatizo. Tatizo langu ni watu wanaosema vitu halafu wakiombwa kufafanua wanaruka ruka na kuwa wakali. Hapa ni mahali pa mjadala, ukisema kitu uwe na uwezo wa kukifafanua na kama ulikuwa hukijui vizuri basi wengine watakusaidia kwa maana kupitia majadiliano haya tunajifunza mambo mengi. Lakini pia lazima tukumbuke kuwa tunasomwa na watu wengi, tusipokuwa makini tunaweza kuwa sababu ya kupoteza wengine, ndiyo maana ni lazima tuwe wapole tunapoulizwa kile tulichokisema. Hivyo mpendwa Pendael Simon, narudia tena kusema kuwa ninaamini huna jibu ndiyo maana una ruka ruka badala ya kujibu hoja. Ushauri wangu kwako ni kama unaotushauri sisi, unahitaji kujifunza neno la Mungu na kujifunza si kunukuu tu maandiko, ni kuyaelewa hayo maandiko katika usahihi! Mungu akubariki!!!! pendael simon says: 25/12/2014 at 6:56 AM Bwana John Paul, Hivi, Kwa MAELEZO YAKO hayo uliyoyatoa NDIYO UKO CHINI? Hiyo ndiyo namna ya kushuka au una jambo lingine ZAIDI YA KUJIFUNZA? Kama Unatka nikujibu unavyotaka UNGENIULIZA ungenieleza na NAMNA YA KUKUJIBU. Ushupavu wa Dini, mashindano wa anayejua kuliko mwenzake na Mapokeo Ya Wazee Hayatusaidii kitu. HASIRA ya MWANADAMU haitendi Haki ya MUNGU.Ninajua unataka Nikutajie JINA kama LA KWAKO, nilishakuambia HAYO ni MAJINA ya MAKUFURU kulingana NA BIBLIA. Mimi ni MKRISTO tu na sina mojawapo ya Majina hayo ya kidhehebu. Nilishakuambia TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD ni DHEHEBU na wala si KANISA. Hayo MAJINA Ya KUJIITA ndiyo MAJINA YA MAKUFURU ( UFUNUO 17:3-5) KUKUJIBU naabudu KANISANI ndio kumekufanya UKASIRIKE? Wanafunzi WA YESU WALIKUTANIA KANISANI kule YERUSALEMU. FILEMONI 1:1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo aliye ndugu yetu, kwa Filemoni mpendwa wetu, mtenda kazi pamoja nasi, na kwa Afia, ndugu yetu, na kwa Arkipo askari mwenzetu, na kwa kanisa lililo katika nyumba yako.” SEHEMU nyingi kwenye BIBLIA zinasema kuhusu WAKRISTO na KANISANI (MATENDO 8:1 “Siku ile kukatukia adha kuu ya kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Uyahudi na Samaria, isipokuwa hao mitume.”) BIBLIA inasema katika UFUNUO 2-3: Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika; Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika;” Mbona Kinachozungumziwa hapa ni KANISA na si DHEHEBU? Hivyo kuna KANISA lililoko Dar es Salaam,Mtwara,.Arusha.Kigoma,Tabora,….n Unaweza Kuchagua KANISA au DHEHEBU Utambulishwe kwalo, LAKINI huwezi kuwa na KANISA na DHEHEBU kwa wakati mmoja. John Paul says: 25/12/2014 at 1:33 AM @ Pendael Simon Kunukuu Biblia siyo tatizo wala siyo sababu. Hilo lisikutie moyo. Nami Naweza sana tuu kunukuu maandiko lakini yasipoambatana na Upendo ni maneno tuu sawa na maneno mengine. Mbona hata wapagani wanatumia tuu maneno ya Biblia? Kama ungekuwa unayafahamu hayo maandiko ULIYOYANUKUU kama ninavyoyafahamu mimi USINGENIJIBU HIVYO kama vile unaongea na hayawani. Kwani mimi sijui wanapokutana wakristo panaitwa KANISANI? Hicho ni kiburi tuu ndugu. Au hukuona nilivyokuuliza kwa upendo na unyenyekevu? Unataka kusema kanisani kwako kunaitwa kanisani? Serious? No! Ni lazima kuna JINA la Kanisa Lako. Hakuna kanisa duniani linaloitwa tuu Kanisa! Tuache hiki kiburi hasa kwa kuwa hapa hatufahamiani live. Bora angalau ukiwa unamfahamu mtu live unaweza ukam-rate na hivyo ukamjibu unavyojisikia. Lakini hata kama mnafahamiana haifaikuleta mazoea binafsi hapa. Sasa hapa hatufahamiani. Tumekutana hapa kama wakristo ili tubadlishane ujuzi wa Neno la Mungu. Sasa mtu anapojiona yupo juu sana; kila mtu anamparamia tuu, siyo sawa. Ni lazima kunyenyekea. Kushuka chini. Yesu ainuke. Sisi tuwe chini. Hata kama mtu amekosea kuuliza unajibu kwa upendo siyo kwa KEJELI, japo swali langu liko wazi na sahihi kabisa. Kwa hiyo nasisitiza tena kuwa umejiinua sana na kufikiri kiiiiiiila kitu unakijua. Hapana! Kuna vingi tuu huvijui. Tena mimi kuna ninavyovijua zaidi yako na wewe kuna unavyovijua zaidi yangu kwa hiyo TUNAHITAJIANA kila mmoja kwa mwenzake. Neno la Mungu ndilo linatufundisha KUWATAMBUA WATU KWA MATUNDA YAO. Kile ulichojibu swali langu la msingi pale juu ndicho kimesababisha niku-rate kutokana na Neno. Bible inasema HATA MPUMBAVU AKIKAA KIMYA HUONEKANA MWENYE BUSARA. Kwa sababu ya Neno nimekuona unakiburi. Umejiinua saaana. Na hapa siyo NAKUHUKUMU bali nakuelezea ulivyo. Mungu ndiyo mwenye KUHUKUMU. Ni Neno linatufundisha KUWAIGA WALE WALIOTUTANGULIA katika imani, kwa kutazama mwenendo wao. Utamuigaje mtu bila KUMFAHAMU? Mtume Paulo aliandika NIFUATENI MMI KAMA NINAVYOMFUATA KRISTO. Utamfuataje bila kumfahamu NI MTU WA NAMNA GANI? Sasa kuna ubaya gani mm nikikufahamu kuwa wewe ni mtu wa namna gani na hasa kwa jinsi UNAVYOTOA KILE KILICHOUJAZA MOYO WAKO? Nashukuru lakini kwa majibu yako ambayo yananifundisha kitu kingine kuwa dhehebu lako ni tofauti na la kwangu. Wewe umekataa kutaja dhehebu lako kwa kufikiri kuwa dhehebu lina tatizo. Tatizo siyo dhehebuu bali ni watu. Mimi nimekutajia la kwangu na ambalo HALINIZUWII KUMTAFUTA MUNGU KWA KADRI NIWEZAVYO. Sasa wewe endelea kuficha la kwako! Nakusihi tu kwamba shuka chini brother. Tuongee kwa upole, upendo na katika hali ya kumuinua Yesu na siyo vichwa vyetu hivi ati mtu labda ana kadigree ka Theology au sijuwi Professor au gari au nyumba 20 mjini au whatever. Hayo yote si kitu tunapokuwa tumepata fursa ya kujifunza maneno ya Mungu! Si unaona unavyoendelea kuandika “Pia sijafunga MILANGO kama ulivyodai na hata ningetaka nisikujibu ningekuwa mwungana kukuambia.na sababu ya kutojibu.” Haya! Wewe endelea kuwa juu lakini mimi niko chiiiini kabisa. Nimekuja hapa kujifunza ili nitoke na kitu kipya chenye kunisaidia. Sijuwi wewe mwenzangu! pendael simon says: 25/12/2014 at 12:45 AM Ndugu yangu , Umenihukumu pasipo haki. UKIHUKUMU kwa kuhisi utakosea sana. Nimejiinua Kwa Kukuambia “Unapaswa KULIJUA na KULIFAHAMU hasa NENO LA MUNGU kwa Hakika na kwa Mapana na Marefu yake.”? Nilichomaanisha ni UMJUE BWANA YESU zaidi kuliko kunijua mimi NA SI VINGINEVYO. YEREMIA 9:23-24 ” Bwana asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni Bwana, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema Bwana, ” Pia sijafunga MILANGO kama ulivyodai na hata ningetaka nisikujibu ningekuwa mwungana kukuambia.na sababu ya kutojibu. John Paul says: 24/12/2014 at 11:58 PM Baada ya kujibu kwa kejeli hata baada ya kuwa nimekuuliza kwa upendo na unyenyekevu UMEFUNGA MILANGO YOTE AMBAYO NILITAKA NIPITE ILI NIJIFUNZE KITU TOKA KWAKO. Siwezi pokea chochote tena toka kwako unless umeshuka chini. Umejiinua juu mno! @ Pendael Simon pendael simon says: 24/12/2014 at 11:32 PM John Paul, Unapaswa KULIJUA na KULIFAHAMU hasa NENO LA MUNGU kwa Hakika na kwa Mapana na Marefu yake. John Paul says: 24/12/2014 at 9:58 PM Nashukuru kwa jibu hilo ambalo nalo limenisaidia pia kufahamu kwamba wewe ni mtu wa namna gani. Asante. @ Pendael Simon pendael simon says: 24/12/2014 at 9:45 PM Ndugu,John Paul. Mahali ninapokutana na Wakristo Wenzangu Panaitwa KANISANI. John Paul says: 24/12/2014 at 9:08 PM Mi naomba tu kukuuliza ndg Pendael Simon, kwa unyenyekevu kabisa, kwamba ina maana wewe mahali unapokutana na wakristo wenzako PANAITWA JINA GANI? Mimi ninapokutana na wakristo wenzangu panaitwa TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD. Wewe kwako panaitwaje? pendael simon says: 24/12/2014 at 5:56 PM Sungura.Ulishawahi kuniambia ‘akili ndogo haitawali akili kubwa’.Kama una ‘akili kubwa’ kama unavyojiita hayo maswali uliyoniuliza ni ya nini?Kutokana na KIBURI CHAKO cha Uzima ndio maana nimekuwa napuuzia maswali yako. pendael simon says: 24/12/2014 at 5:49 PM Bwana Asheri. Usipende mashindano yasiyo na tija.Naona Dhehebu kuwa Mwili wa Ibilisi limekuuma sana! Kanisa na Dhehebu ni kitu kimoja?HAYO MENGINE niliyozungumzia kuhusu DHEHEBU mbona kimya? Hayo MAANDIKO niliyokuandikia ni ya UONGO?Kama hujasoma Hayo maandiko hutasaidika kwa namna yoyote.EPUKA KUTETEA DHEHEBU KWANI MADHEHEBU YOTE NI YA IBILISI.HAKUNA DHEHEBU LA YESU mahali popote.Kama unatamani kujua zaidi,Hii mada ya ‘tofauti kati ya KANISA na DHEHEBU ilishachangiwa hapa SG. Mimi sina DHEHEBU kwa sababu YESU KRISTO,MANABII na MITUME hawajawahi kuwa nalo.WAEFESO 2:2O-22. sungura says: 23/12/2014 at 6:01 PM Well done Asheri! Kuna wakati hawa jamaa mimi naamua kuwaangalia tu, sijui kwenye vichwa vyao wanadhani wanawasiliana na watu wa namna gani hapa. They just say anything wanachojisikia wao kusema, bila kuwa na uwanda wa kutosha wa kimtazamo! Ngoja tungoje majibu ya Pendael! Asheri says: 23/12/2014 at 2:59 PM Ndugu Pendael Simon na wasomaji wenzangu wote, Nilipochangia hapo juu, nilitaka kupata majibu ya swali ambalo na ndugu Sungura ameliuliza pia kuhusu kauli ya ndugu Pendael, lakini ndugu Pendael hajannisaidia. Nilitegemea angenijibu kwa kuonyesha maandiko, lakini ameanza kwa kusema kuwa kama una Roho wa Kristo jibu liko wazi!!!. Lakini naomba sote tukumbuke kuwa, tunapoandika hapa wanasoma watu wa aina mbalimbali, wakiwa na viwango tofuati vya kiroho, hivyo ni vema kuwa makini sana na kile tunachokiandika ili kiweze kuwasaidia wanaojifunza Ndugu Pendael, niseme tu ukweli kuwa mimi hujanisaidia wala hujajibu swali la kuwa dhehebu ni mwili wa shetani. Maandiko yote uliyoyaandika hayahusiani na dhehebu au madhehebu. Hii nayo ni hatari kwa kuwa wapo watu waliotamani kujua maana ya maandiko hayo, hivyo unaweza kuwa umewapotosha. Kwa mantiki hiyo, mimi nachukulia kuwa huna jibu la kimaandiko linalosema kuwa dhehebu ni mwili wa shetani, kama unalo jibu basi utatupatia. Kwanza naomba niseme kuwa, si lazima mtu awe kwenye dhehebu fulani ndipo ahubiri uongo! mtu anaweza aseme yeye hana dhehebu/dini na bado akawa mhubiri wa uongo. Kwa sababu shetani hawaogopi wenye madhehebu au wasiyo nayo! Lakini ndugu Sungura alikuuliza kama wewe huna dhehebu, hukutaka kujibu swali hilo. Mimi nadhani tunahitaji pia kupata tafsiri ya neno dhehebu ili tuone nini maana yake? Maana kuna wengine wanaweza wakadhani kuwa hawana madhehebu, kumbe wanayo. Aidha, niseme wazi kuwa si nia yangu kutetea madhehebu, lakini pia si sahihi kuyasema madhehebu bila kuwa na hoja za msingi? Kwangu mimi najiuliza, tatizo ni uwepo wa madhehebu? mbona tunaposoma nyaraka za Paulo tunaona kuwa makanisa yalikuwa na shida? hata kama hayakuwa yakiitwa madhehebu? Ukiangalia Wakorintho, utagundua kuwa kanisa hilo lilikuwa na mambo mengi ikiwemo ugomvi, migawanyiko, kushtakiana, uzinzi, n.k., lakini tukiulizana je Wakorintho walikuwa dhehebu? Si Wakorintho tu, angalia Wagalatia, huko hata waalimu wa uongo walikuwepo lakini biblia haijasema kuwa Wagalatia walikuwa dhehebu, bali inasema ni kwa makanisa ya Galatia (Gal. 1:2). Katika Ufunuo wa Yohana mlango/sura ya pili na ya tatu, Yesu anazungumza na makanisa saba ya Asia Ndogo ambapo tunaona kuwa makanisa mengi yalikuwa na shida mbalimbali ikiwemo mafundisho ya uongo, kupungua upendo, uzinzi, waliokuwa na majina ya kuwa hai lakini wamekufa n.k. ni kutokana na matatizo hayo Bwana wetu Yesu Kristo anayaonya na kuyaambia yatubu!! Hapo biblia haikusema madhehebu, inasema makanisa!! Ndiyo maana mimi naona kuwa ipo haja ya kuangalia hoja ya msingi kuliko kuyasema madhehebu bila kuwa na tafsiri ya neno dhehebu. Lakini cha muhimu zaidi ni kuangalia tatizo liko wapi? Ni dhehebu au watu? sungura says: 23/12/2014 at 1:59 AM Hahahaa, Jibuni hoja, la mtakalia hayohayo ya msiogope maneno ya wanatheolojia. Mnajifanya mna ujuuuzi, lakini mnakwepa kujibu mambo ya msingi na kubaki kusifiana wenyewe kwa wenyewe! Suala la theolojia linatoka wapi kwenye hii mada kama si kuongea tu maneno ya vivihivi? Semeni hapa kama ninyi hamtoki kwenye madhehebu. Pendael sema hapa umepata kwenye andiko gani mwili wa ibilisi. Jibuni hoja!!! pendael simon says: 23/12/2014 at 1:38 AM WAPENDWA, Kama una ROHO WA KRISTO kujua kuwa DHEHEBU NI MWILI WA IBILISI iko wazi kabisa. ILI Uweze kuona mambo ya ROHONI ni LAZIMA MACHO YATIWE NURU. Hapa dhana ya “MWILI” imetumika KUDHIHIRISHA SIFA FULANI.SIFA za MUNGU au za IBILISI. Kama MNAKUBALI kuwa KANISA ni MWILI WA KRISTO mbona MNAKATAA kuwa DHEHEBU si MWILI WA IBILISI? Mbona KIMOJA ni KINYUME cha KINGINE? Mwanzilishi WA KANISA NI BWANA YESU ( MATHAYO 16:18 ” Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.” Mwanzilishi wa DHEHEBU ni IBILISI. (KJV BIBLE 1 Corinthians 14:33 ” For God is not the author of confusion, but of peace, as in all churches of the saints.” -Kwa maana Mungu si mwanzilishi wa machafuko,lakini wa amani,kama ilivyo katika makanisa yote ya Watakatifu. Mwanzilishi wa MACHAFUKO ni IBILISI MAKANISA YOTE YA WATAKATIFU YANA AMANI, Madhehebu ni MACHAFUKO. MADHEHEBU YOTE YANA MACHAFUKO ( Hawa wote HUPINGANA; TAG,EAGT,KLPT,PEFA,FPCT,CALVARY,HOLLINESS,JESUS ONLY,LUTHERAN,KATOLIKI,SABATO,ANGLIKANA,SALVATION ARMY, AIC,,,,,,nk,,) JE, HUU NI MWILI WA YESU? 1 WAKORINTHO 6:15-17 ” Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha! Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja. Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye. ” UDHEHEBU KWA MUNGU NI UKAHABA (UFUNUO 17:3-5 ” Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi. Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.” Majina ya MADHEHEBU ni Majina ya MAKUFURU.Madhebu ndio chimbuko la Mafundisho potofu. -Kukufuru ni KUNENA DHIDI YA.. BWANA YESU ALIANZISHA KANISA na SHETANI ALIANZISHA DHEHEBU, HEBU MNIJIBU MASWALI HAYA; 1.BWANA YESU na MITUME wake pamoja na WAKRISTO wa BIBLIA walikuwa DHEHEBU GANI? 2,MADHEHEBU WANAHUBIRI KITU KIMOJA? 3.DHEHEBU LIPI LINASEMA UKWELI? 4.MADHEHEBU wanahubiri KAMA MITUME WALIVYOHUBIRI? 5,HAMUONI MADHEHEBU YAMELAANIWA? -WAGALATIA 1: 8-9 ” Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe. Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. ” >>>NIONESHE DHEHEBU LAKO KWENYE BIBLIA NAMI NITAKUONESHA KANISA LANGU KWENYE BIBLIA>>> pendael simon says: 23/12/2014 at 12:15 AM Ndugu, Jackson Zebedayo Mulele . Ubarikiwe na BWANA YESU KRISTO. Usiogope MANENO ya WANATHEOLOJIA. sungura says: 22/12/2014 at 10:07 PM Mulele, Acha ubabaishaji kwa kusema mambo ambayo kimsingi ni misemo ya kubuni wala hayapo. Unaposema kuna neno na maneno tofauti yake ni ipi nje ya kwamba neno ni umoja na maneno ni wingi? Huu si msemo tu wa rejesta ya kilokolelokole ambao hauna ukweli wowote wa kimantiki! Halafu unasema kuacha mipasho; nani anayeongea mipasho kama si wewe mwenyewe? Kwenye hiyo komenti yako mbona kuna maneno ya vivihivi mengi tu!! Halafu unaanzia wapi kuiamini biblia ambayo uliletewa na wazungu, una uhakika gani kuwa yaliyoandikwa humo ni maneno ya Mungu? Huoni kuwa hata kilichoandikwa kwenye hicho kitabu walichotuletea wazungu ni mawazo yao tu? Na kitu kingine mnachokosea sana ni kuyajadili mambo kwa ujumlajumla. Mnapotukana suala la madhehebu naona kama mnajitukana wenyewe, maana hapo mlipo nanyi mna madhehebu. Kama hamna madhehebu mtuambie hapa hadharani ili tujue ninyi kwenye hayo makusanyiko mnayotoka mkoje! Kuna tofauti kubwa kati ya dhehebu na udhehebu, kwa hiyo msiunganishe hayo mambo mawili mkadhani ni jambo moja. Na Pendael nae atuambie suala la mwili wa ibilisi amelitoa kwenye andiko gani, maana ni rahisi sana kuona kuwa kuna neno mwili wa kristo ukadhani kuwa basi kuna na mwili wa ibilisi! Lazima kila mtu tumwajibishe kwa maneno anayosema, huwezi kusema tu chochote tukanyamaza! Take care (sijaedit) Asheri says: 22/12/2014 at 3:12 PM Shalomu wapendwa, Nimefurahishwa na mada, ina changamoto za msingi sana, hata hivyo nimeshangazwa kidogo na mchango wa mchangiaji wa kwanza kuwa madhehebu ni mwili wa Ibilisi, naamini kuwa ana maana yake katika hili, lakini ningemuomba afafanue kuhusu mwili wa ibilisi. Kulingana na kumbukumbu zangu, biblia inasema kuwa Kanisa ni mwili wa Kristo, lakini sikumbuki kama biblia imesema juu ya mwili wa ibilisi (shetani). Aidha, nadhani kuwa ipo haja ya kukubaliana na baadhi ya mambo yanayotokea kutokana na uwepo wa sheria na nyakati tulizo nazo hivi sasa. Yapo mambo ya kisheria yaliyosababisha kuwepo kwa madhebebu, na pia kuna tofauti za kiimani zilizosababisha kuwa na misingi tofauti ya kiimani iliyosababisha watu wawe na madhehebu tofauti, maana, kama watu wametofautiana masuala ya msingi ya imani, hawawezi kuwa na kusanyiko moja. Mfano, wapo wanaosali siku ya Jumamosi, wengine Jumapili, hapa lazima iwepo tofauti. Wapo wanaokubali wokovu, wapo wanaoukataa, wapo wanaoukubali wokovu, lakini wanasema kuna Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu, na wapo wanaoukubali wokovu, lakini wanasema ni Yesu Pekee. Wapo wanaomkubali Roho Mtakatifu, wengine wanakataa kuhusu Roho Mtakatifu, sasa katika mazingira hayo, ni lazima watu wawe tofauti. Ni hayo tu kwa sasa, ila nitafurahi kupata ufafanuzi kutoka kwa mchangiaji wa kwanza. Maran atha Jackson Zebedayo Mulele says: 22/12/2014 at 11:10 AM Amani iwe juu ya yeyote ataesoma! Kwa mtazamo wangu: Hata huyu ‘Mtoa mada’ nae ni mmoja wa hao waliokuja na ‘madhehebu yao’ kwenye kuokoka, maana nikiangalia hii mada bado haina ‘mishiko’. Kwani hasa KUOKOKA ndio nini?? Hivi ni Kweli kwamba mtu akisema au akidai kuwa ameokoka ndio ameokoka?? Hivi nii Kweli kwamba alie okoka na asie okoka tofauty yao ni kusema na kukiri kwao tu, lakini kuumwa, kushindwa, kuchoka, hasira, faraka, fitina zao ni sawasawa?? Mroman ni mtu wa asili ya Italia, je Mnyamwezi wa Shinyanga akijiita Mroman kama sio wazimu ninini!? Lini Mu-Anglicana (Muengereza) atajiita M-Chagglian ( Mchaga ) kama sio kuwa na mawazo ya kitumwa ktk Neno ni nini?? Wa-Lutheran ni Wajerumani walio kuja na kufanya vita na mababu zetu na kuwaua kwa kuwanyonga na kisha kumiliki migodi na mashamba ya Katani, kama walivyofanya waingereza! (Anglicans) Nimewahi kuandika hapa SG jinsi wazungu walivyo ‘tuletea’ Injiri na utapeli wao mwingi tuu! Lakini nikasema kuwa, Mungu na awabariki kwa kuwa wametuletea NENO ambalo ndani yake tunaweza jifunza na kuhojiana ‘wenyewe’ nae Bwana ameahidi kutufunulia ‘siri’ zake zilizofichwa ndani ya hilo NENO Lake !! SG yaani Straight Gospel inapaswa ku-hit straight ktk NENO na wala sio mipasho! Tunazo ahadi nyingi ktk NENO kwamba Mungu atatuinua na kutuweka mahali pa JUU, lakini hapo hatutapafikia kamwe bila kuzama ktk NENO. “Mtu akimpokea Yesu huingia kwenye familia ya watu waliookoka, watu waliosafishwa kwa damu ya Yesu Kristo. Anakuwa mwanachama wa Kanisa la Mungu lililo hai” Haya ni mafundisho ya Chekechea, yaani wiki ya kwanza darasani ktk safari ya kuelekea Primary, Secondary, High Level na hatimae kuuendea utimilifu yaani University!! Hebrania 5:11-14 Inatuamsha kwamba tuondokane na mipasho (story na itikadi za wazungu na u-kindergaten) na tuingie kwenye NENO Hebrania 6:1-2 kwa namna ya ‘ajabu kabisa’ NENO lina tuainishia ni jambo gani tunapaswa KULIENDEA na mambo gani ambayo “tutayafanya Mungu akitujalia” Tunapaswa kujifunza na kuelewa kuwa kuna NENO na maNENO, wazungu wametuletea maNENO ambayo ndani yake kuna NENO ambalo ndilo linapaswa kujadiliwa hapa SG (Straight to NENO!!!!) Tuulizane/tujadiliane/tufundishane kuhusu NENO tukiachilia mbali maNENO !! Pendaeli wa Simon, wewe ni mjasiliamali wa NENO la Mungu, hongera kwa kuthubutu kuyasema uliyoyasema ndugu! Walisemaga mababu zetu: Msema Kweli, ni mpenzi wa Mungu. Uko vizuri na salama ndugu na ahsante sana kwa “Udhehebu kwa Mungu ni Ukahaba” 🙂 🙂 Hilo ni NENO wala sio maNENO !! Soma majibu yangu ya swali: Kwanini ndoa nyingi za leo zina migogoro!?? Hapa SG ili tujifunze NENO. magreth says: 22/12/2014 at 12:26 AM ukimuuliza mlutheran kuwa je? umeokoka, atakuambia hapana. lakini misingi ya hilo dhehebu ni kuwa kila jumapili kuna sala ya pamoja ya kuukiri wokovu. hapa ninaona kuwa wakristo wengi hawajui kwa undani hasa wokovu ni nini? fanya research utaniambia kuwa ninachosema ni kweli. wape karatasi na kalamu waandike wanavyoufahamu, utashangaa mitazamo yao Magreth Mkiwa says: 22/12/2014 at 12:24 AM ukimuuliza mlutheran kuwa je? umeokoka, atakuambia hapana. lakini misingi ya hilo dhehebu ni kuwa kila jumapili kuna sala ya pamoja ya kuukiri wokovu. hapa ninaona kuwa wakristo wengi hawajui kwa undani hasa wokovu ni nini? fanya research utaniambia kuwa ninachosema ni kweli. wape karatasi na kalamu waandike wanavyoufahamu, utashangaa mitazamo yao. pendael simon says: 21/12/2014 at 10:36 PM SHALOM; KANISA NI MWILI WA KRISTO na DHEHEBU ni MWILI WA IBILISI. WANAFUNZI au WALIOMWAMINI BWANA YESU waliitwa WAKRISTO ( MATENDO 11:26) MADHEHEBU yanakua kama UTITIRI MPAKA MAJINA YAMEKOSEKANA wanayaita kwa majina YAO hasa MADHEBU YA PENTEKOSTE MPAKA YANATIA AIBU. MADHEBHEBU yamekuwa KWAZO katika KUSHUHUDIA Injli KUTOKANA na TOFAUTI ZAO KIMAANDIKO. Hivi vikundi vimesababishwa na IBILISI. SHETANI si mjinga kama watu wanavyofikiri alijua namna ya kuwatala WATU WASIOLIFUATA NENO. VKUNDI HIVI VIMEJIKITA KATIKA MIRADI YA TUMBO badala ya KUHUBIRI INJILI; MFANO, KUJENGA SHULE,VYUO,HOSPITALI nk. IBILISI aliweza kutumia mtindo wa WAGAWE na UWATAWALE”DIVIDE & RULE” Kutengeneza MADHEHEBU Mengi na YOTE YANAPINGANA KWANI KILA MOJA LINAFUNDISHA TOFAUTI NA LINGINE. -MADHEHEBU wanaunga mkono WANAWAKE KUHUBIRI mimbarani na kuongoza wanaume? 1 WAKORINTHO 14:34-38, 1TIMOTHEO 2:8-15 -MADHEHEBU HUWAPINGA MITUME (mfano; KAKOBE hufundisha kuwa MITUME walifundisha kinyume cha MAAGIZO YA YESU- kuhusu Ubatizo) ? LUKA 10:16, WAEFESO 2:20, WAGALATIA 1:8-9 -MADHEHEBU wanapinga UBATIZO KATIKA JINA LA YESU KRISTO? (MATENDO 2:38-39, 8:14-16, 10:48, 19:1-5) *Mengine hubatiza WATOTO! – BWANA YESU na MITUME wake pamoja na WAKRISTO wa BIBLIA hawajawahi kuwa na DHEHEBU? * UDHEHEBU KWA MUNGU NI UKAHABA (UFUNUO 17:3-5). Majina ya MADHEHEBU ni Majina ya MAKUFURU.Madhebu ndio chimbuko la Mafundisho potofu.
"2017-02-24T03:42:29"
https://strictlygospel.wordpress.com/2014/12/21/makundi-ndani-ya-watu-waliookoka/
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: WAETHIOPIA ZAIDI YA NANE WAKUTWA WAMEFARIKI PORINI KATIKA KIJIJI CHA AMANI MAKOLO MKOANI RUVUMA '; if(img.length>=1) { imgtag = ' WAETHIOPIA ZAIDI YA NANE WAKUTWA WAMEFARIKI PORINI KATIKA KIJIJI CHA AMANI MAKOLO MKOANI RUVUMA Ditha nyoni - RUVUMA Raia nane kutoka nchi ya Ethiopia wamekutwa wamefariki katika kijiji cha Amani makolo taarafa ya kingonsera wilayani mbinga mkoani wa ruvuma huku wengine 25 wakiwa hai wanashikiriwa na jeshi la polisi. Habari kutoka jeshi la polisi mkoa wa ruvuma kupitia kaimu kamanda wa polisi ACP DISAMASI KISUSI zinasema raia hao wa Ethiopia walikuwa wanasafirishwa kwenda nchi ya AFRIKA KUSINI kupitia Upande wa MALAWI mwa ziwa NYASA. Vifo vya Waithiopia hao vinatokana na kubebwa kwenye kontena la lori wakitokea NAMANGA, ARUSHWA hivyo kutokana na hali mbaya ya hewa hali zao zilianza kubadilika na kupelekea kufariki.huku miili ya marehemu hao ikiwa imehifadhiwa katika hospitali ya wilaya MBINGA Jeshi la polis mkoa wa ruvuma kwa kushirikiana na jeshi la uhamiaji linaendelea na uchunguzi kubaini walioleta miili ya marehemu na wale wasiliokamatwa hatua za kisheria zitafuatwa. Monday, May 15, 2017 ~ Copyright: Michuzi Blog POLISI ~ Mtumie Rafiki Yako , Maoni: 1 Tumaini Temu Anasema: they are not haramu wasaidieni Kumbu Kumbu October 2017 (749) September 2017 (946) August 2017 (1122) July 2017 (1200) June 2017 (1137) May 2017 (1127) April 2017 (878) March 2017 (1100) February 2017 (1044) January 2017 (1135) December 2016 (1183) November 2016 (1214) October 2016 (1284) September 2016 (1096) August 2016 (1183) July 2016 (1162) June 2016 (1277) May 2016 (1183) April 2016 (1153) March 2016 (1164) February 2016 (1009) January 2016 (1026) December 2015 (1031) November 2015 (853) October 2015 (892) September 2015 (1021) August 2015 (974) July 2015 (1002) June 2015 (1095) May 2015 (951) April 2015 (848) March 2015 (936) February 2015 (810) January 2015 (759) December 2014 (954) November 2014 (777) October 2014 (995) September 2014 (918) August 2014 (917) July 2014 (1123) June 2014 (989) May 2014 (1039) April 2014 (915) March 2014 (987) February 2014 (1077) January 2014 (815) December 2013 (926) November 2013 (979) October 2013 (960) September 2013 (938) August 2013 (893) July 2013 (810) June 2013 (899) May 2013 (1043) April 2013 (795) March 2013 (846) February 2013 (741) January 2013 (659) December 2012 (801) November 2012 (738) October 2012 (688) September 2012 (704) August 2012 (821) July 2012 (918) June 2012 (893) May 2012 (841) April 2012 (653) March 2012 (737) February 2012 (603) January 2012 (567) December 2011 (649) November 2011 (721) October 2011 (866) September 2011 (941) August 2011 (889) July 2011 (797) June 2011 (763) May 2011 (734) April 2011 (500) March 2011 (593) February 2011 (480) January 2011 (508) December 2010 (525) November 2010 (546) October 2010 (368) September 2010 (461) August 2010 (457) July 2010 (507) June 2010 (526) May 2010 (563) April 2010 (568) March 2010 (619) February 2010 (517) January 2010 (446) December 2009 (516) November 2009 (421) October 2009 (377) September 2009 (382) August 2009 (405) July 2009 (420) June 2009 (371) May 2009 (352) April 2009 (424) March 2009 (373) February 2009 (347) January 2009 (371) December 2008 (356) November 2008 (366) October 2008 (367) September 2008 (429) August 2008 (300) July 2008 (379) June 2008 (359) May 2008 (264) April 2008 (356) March 2008 (304) February 2008 (384) January 2008 (303) December 2007 (335) November 2007 (426) October 2007 (410) September 2007 (395) August 2007 (271) July 2007 (281) June 2007 (335) May 2007 (321) April 2007 (325) March 2007 (306) February 2007 (360) January 2007 (262) December 2006 (266) November 2006 (169) October 2006 (209) September 2006 (157) August 2006 (207) July 2006 (112) June 2006 (122) May 2006 (197) April 2006 (207) March 2006 (90) February 2006 (86) January 2006 (101) December 2005 (51) November 2005 (13) October 2005 (14) September 2005 (13)
"2017-10-21T11:52:49"
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/05/waethiopia-zaidi-ya-nane-wakutwa.html
[ -1 ]
Papa Francisko: Michezo ni kwa ajili ya huduma kwa binadamu! - | Vatican News Papa Francisko anasema: Michezo daima inalenga kuwa ni kwa ajili ya huduma kwa binadamu! Papa Francisko: Michezo ni kwa ajili ya huduma kwa binadamu! Baba Mtakatifu Francisko anasema, tunu msingi za kuheshimiana, ujasiri, tabia ya kuwajali wengine, uwiano, nidhamu na udhibiti binafsi wanazojifunza wana michezo ni muhimu sana katika maandalizi ya mashindano katika maisha. Michezo daima inalenga kuwa ni kwa ajili ya huduma kwa binadamu. Vijana washirikishwe zaidi katika michezo! Baba Mtakatifu Francisko, Alhamisi, tarehe 13 Juni 2019 amekutana na kuzungumza na wajumbe wa Baraza la Kimataifa la Umoja wa Mchezo wa Kuteleza Kwenye Barafu “International Skating Union”. Baraza hili linapania pamoja na mambo mengine kuendeleza mchezo wa kuteleza kwenye barafu sehemu mbali mbali za dunia, ili kuwawezesha watu wengi zaidi kuona uzuri wa mchezo huu, kama chemchemi ya furaha, kwa kukutana na wengine, kwa kuwa hai pamoja na kuendelea kufurahia karama na mapaji mbali mbali kutoka kwa Mwenyezi Mungu anayowakirimia katika maisha na hususan katika mchezo kuteleza kwenye barafu. Baba Mtakatifu anaendelea kufafanua kwamba, mchezo huu unachota nguvu yake kutoka katika: uhalisia wa maisha, uhuru wa mtu kutembea, kwa njia ya mazoezi na nidhamu, kazi ya timu pamoja na ushiriki na mchango wa mtu binafsi. Kimsingi, mchezo huu umekuwa ni mchezo jumuishi unaovunjilia kuta za utengano wa kijamii na hivyo kutoa nafasi kwa watu wa marika mbali mbali kushiriki kikamilifu. Baba Mtakatifu ametumia fursa hii kuwatia shime wajumbe wa Baraza la Kimataifa la Umoja wa Mchezo wa Kutekeleza Kwenye Barafu ili uweze kuwa ni kati ya michezo inayowaletea watu furaha katika kiwango cha juu kimataifa. Baba Mtakatifu anawataka kuhakikisha kwamba, wanawashirikisha vijana zaidi katika mchezo, ili kwa malezi na maongozi yao, waweze kukua na kukomaa zaidi katika michezo na kama wazalishaji. Mwishoni Baba Mtakatifu anasema, tunu msingi za kuheshimiana, ujasiri, tabia ya kuwajali wengine, uwiano, nidhamu na udhibiti binafsi wanazojifunza wana michezo ni muhimu sana katika maandalizi ya mashindano katika maisha. Michezo daima inalenga kuwa ni kwa ajili ya huduma kwa binadamu. 13 June 2019, 16:31
"2019-06-27T04:21:14"
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2019-06/papa-francisko-baraza-kimataifa-umoja-mchezo-kuteleza-barafu.html
[ -1 ]
Ni Simba au Mbeya City? – Kwanza TV UN: Vyombo huru vya habari ni muhimu kwa amani haki Mwili wa Dr Regnald Mengi kuwasili nchini Jumatatu Ni Simba au Mbeya City? by Kwanza 6 months ago 6 months ago Baada ya kutakata Kanda ya Ziwa kisha Dar es Salaam, kikosi cha Simba leo kinatarajia kuanza msako wa pointi tatu Nyanda za Juu Kusini, itakapoikabili Mbeya City, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Kikosi cha wachezaji 22 na benchi zima la ufundi, kiliondoka Dar es Salaam jana kwenda Mbeya tayari kuwavaa wenyeji wao hao, huku ikiisubiri Tanzania Prisons ambayo jana ilicheza na Yanga Uwanja wa Uhuru. Wekundu wa Msimbazi hao wanashuka dimbani wakiwa wametoka kushinda mechi nne mfululizo kati ya tano za Ligi Kuu. Mechi nne kati ya hizo ilicheza Kanda ya Ziwa, ikipigwa mabao 2-1 na Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba, ikaichapa KMC 2-1, ikaitungua Alliance mabao 2-0, zote zikipigwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kabla ya kuitandika Biashara United mabao 2-0, Uwanja wa Karume, Musoma. Baada ya kukamilika ziara yake Kanda ya Ziwa, Simba ilirejea Dar es Salaam na kuikandamiza JKT Tanzania bao 1-0, mchezo uliochezwa juzi Uwanja wa Taifa jijini humo. Baada ya michezo hiyo, Wekundu hao walifikisha pointi 72 na kuzidi kuikaba koo Yanga iliyoko kileleni ikiwa na pointi 77. Ukiangalia msimamo wa Ligi Kuu ulivyo, pointi hizo zinawafanya Wekundu wa Msimbazi hao wazidi kuonesha matumaini ya kutetea ubingwa wao, kwani wamecheza mechi 28 pekee hadi sasa, wakipishana pointi chache na Yanga. Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu, amezungumzia mchezo huo na kusema watawakosa wachezaji wao wanne ambao ni John Bocco aliyeumia mechi iliyopita. Wengine ni Pascal Wawa, Asante Kwasi ambao ni majeruhi pamoja na Haruna Niyonzima, anayetumikia kadi nyekundu aliyoipata katika mchezo dhidi ya Biashara United. Alisema waliondoka Dar es Salaam jana mchana kuelekea Mbeya baada ya kukosa ndege ya asubuhi lakini hiyo haijaharibu mipango yao ya kusaka ushindi jijini Mbeya. Kwa upande wa Mbeya City, wanaingia uwanjani kutafuta pointi za kujiondoa katika hatari ya kushuka daraja baada ya kujikusanyia alama 40 pekee katika mechi 33 walizocheza.
"2019-10-18T23:50:45"
https://kwanzatv.co.tz/ni-simba-au-mbeya-city/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=ni-simba-au-mbeya-city
[ -1 ]
Atabatu Abbasiyya imetoa tamko kuhusu kusafirishwa majeruhi wa ajali ya Sirya Uongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya tukufu umetoa tamko kuhusu kusafirishwa majeruhi wa ajali ya mazuwaru wa bibi Zainabu (a.s) iliyotokea Sirya pembezoni mwa mji mkuu wa Damaskas. Tamko hilo limetolewa kwenye kikao na waandishi wa habari leo mwezi (13 Rajabu 1441h) sawa na (9 Machi 2020m) asubuhi, ndani ya ukumbi wa mikutano katika hospitali ya rufaa Alkafeel, limetolewa na Dokta Mushtaqu Abbasi Muan kwa niaba ya rais wa kitengo cha habari wa Atabatu Abbasiyya tukufu, ifuatayo ni nakala ya tamko hilo: Atabatu Abbasiyya tukufu inatangaza kua imefanikiwa kusafirisha maruwaru wa kiiraq waliopata ajali pembezoni mwa mji mkuu wa Sirya Damaskas, wamewasiri leo asubuhi (13 Rajabu 1441h) sawa na (9 Machi 2020m). Jumla ya majeruhi walio wasili ni thelathini, tumewagawa katika mikoa mitatu (Bagdad, Muthanna na Karbala) kuna ambao wanamajeraha madoge, wenye majeraha ya saizi ya kazi na wenye majeraha makubwa. Kuna majehuhi wengine wanne ambao madaktari wameshauri waendelee kutibiwa katika hospitali za Sirya, kwa sababu hali zao za kiafya haziruhusu kuwasahirisha kwa sasa. Atabatu Abbasiyya tukufu inawaombea majeruhi wote wapone haraka, na inawapa mole wahanga wote na kuziomba familia zao kuwa na subira, na inatoa shukrani rasmi kwa kila aliyeshiriki katika mchakato huu, hususan wafuatao: - Waziri mkuu wa Iraq/ idara ya matukio. - Wizara ya afya ya Iraq na idara ya afya ya mkoa wa Karbala. - Wizara ya ulinzi. - Wizara ya mambo ya nje. - Uongozi wa umoja wa opresheni za kijeshi. - Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Karbala. - Ubalozi wa Iraq nchini Sirya. - Idara ya uwanja wa ndege wa Najafu. - Serekali ya Sirya.
"2020-04-04T06:54:57"
https://alkafeel.net/news/index?id=10249&lang=sw
[ -1 ]
Dkt. Fenella Mukangara aahidi kuijenga Kimbamba mpya | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa eneo hilo wakati akipokuwa akitangaza sera za chama chake na kuwaomba wampigie kura katika uchaguzi ujao pamoja na madiwani wengine sita wa chama cha mapinduzi.Dkt Fenella alitaja vipaumbele vyake katika jimbo hilo ambavyo ni Maji,Elimu,Afya pamoja na ajira kwa Vijana na kuwasihi wakazi hao kuchagua maendeleo bora yatayopatikana ndani ya CCM. Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es... Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi... DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE. Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt Fenella Mukangara akiwa kwenye mazungumzo na wakazi wa jimbo la kibamba(kwa Yusuph) wakati alipotembelea vikundi vya vicoba ili kuwaskiliza kero zao ili kujua matatizo wanayowakabili kwa ujumla. Mkazi wa kata ya Msigani(aliyesimama) akielezea matatizo yanayowakabili wakazi wa eneo ilo na kumwomba mgombea wa Jimbo ilo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt Fenella Mukangara kuyatafutia ufumbuzi atakapopata nafasi... DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA Umati wa wananchi wa kimara michungwani wakimsikiliza mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM) Dkt Fenella Mukangara(hayupo pichani) wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake jimboni kibamba. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM) Dkt Fenella Mukangara akizungumza na wakazi wa kimara michungwani wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi hao kuwa wakimchagua atafanikisha kutatua suala la ajira kwa vijana ikiwemo kuwapa elimu... WAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya wadau kutoka sekta mbalimbali za wizara hiyo.… Dkt. Fenella Mukangara akabidhi vifaa vya Michezo kwa Shule za Sekondari jijini Dar leo Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo mmoja wa wanafunzi waliowakilisha shule zao katika hafla hiyo leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni ya Vodacom Salum Mwalimu. Meneja Uhusiano wa Vodacom Salum Mwalimu(kushoto) akimkabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya shilingi Milioni moja... DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana SACCOS wa kata ya Msigani akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana. Baadhi ya akina mama na wana SACCOS wa kata ya Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara jijini Dar es Salaa jana. Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...
"2019-04-21T08:36:15"
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/dkt-fenella-mukangara-aahidi-kuijenga-kimbamba-mpya
[ -1 ]
TFF watuma salamu za rambirambi msiba wa Joseph Senga – DEWJIBLOG Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Theophil Makunga kutokana na kifo cha Joseph Senga – Mpigapicha Mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima. Rais Malinzi amepokea taarifa za kifo cha mwandishi huyo mwandamizi wa habari aliyebobea kuripoti habari za aina mbalimbali ikiwamo za michezo nchini kilichotokea jioni ya Julai 27, 2016 huko India, alikokuwa akipatiwa matibabu ambako habari za kifo chake zilianza kusambaa usiku wa kuamkia jana Julai 28, 2016 kabla ya kuthibitishwa na Mhariri Mtendaji wa Free Media, Neville Meena. Salamu za rambirambi za Rais wa TFF Malinzi pia zimekwenda kwa familia ya marehemu Joseph Senga, ndugu, jamaa na marafiki na kuwataka kuwa na moyo wa subira wakati huu mgumu wa msiba wa mpendwa wao. Malinzi alimwelezea Joseph Senga, wakati wa uhai wake alikuwa na mchango mkubwa katika tasnia ya habari za michezo akitoa mawazo yake hivyo ameacha alama ya ucheshi, kujituma na uwajibikaji katika kufanikisha kazi zake katika gazeti la Tanzania Daima na wakati fulani magazeti ya Kampuni ya New Habari House 2006. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu Joseph Senga mahala pema peponi. Celine Dion ametoa kauli hii baada ya ... Rais Magufuli katika ziara mikoa ya Singida,Tabora,Shinyanga ... Serikali yaombwa kuongeza somo la kodi mashuleni Kamati ya UN kutetea haki za Wapalestina yazungumza na Waziri Mwakyembe VIDEO: Waziri Ummy awataka waajiri kuzingatia haki ya mwanamke kunyonyesha mtoto
"2018-04-25T17:52:08"
http://dewjiblog.co.tz/tff-watuma-salamu-za-rambirambi-msiba-wa-joseph-senga/
[ -1 ]
LHRC YAMPA MAPOKEZI MAKUBWA MWANAHARAKATI GELINE FUKO AKITOKEA MAREKANI | PAMOJA BLOG » JNIA » Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu » LHRC » LHRC YAMPA MAPOKEZI MAKUBWA MWANAHARAKATI GELINE FUKO AKITOKEA MAREKANI 8/06/2016 06:37:00 PM Geline Fuko amepata kutambulika baada ya Rais Obama kumtaja kama mfano wa kuigwa wa wanaharakati wa haki za binadamu wakati akizungumza Jumatano Agosti 3, 2016 katika kilele cha mpango wake wa kuwawezesha vijana wakiafrika unaojulikana kama Mandela Washington Fellowship. Raisi Obama alimsifu mwanasheria huyo kutoka LHRC ambaye ni moja ya vijana 1000 waliokuwa jijini Washington kwa lengo la kujengewa uwezo ili kuweza kusaidia Maendeleo katika Nyanja zote za maisha katika nchi zao. RaisiObamaalisifujuhudizaGelinezakuibuawazo la kuanzishakwamaraya kwanza Kanzidata ya Katiba nchini Tanzania kwa kutekeleza wazo hilo chiniya LHRC. Raisi Obama alikaririwa akisema Marekani itaendelea kushikamana na wanaharakati kama Geline Fuko kutoka Tanzania. GelinenimwanasherianamwanaharakatiwahakizabinadamuambayeamefanikishakuanzishwakwaKanzidatayaKatibaya kwanza nayapekeenchini Tanzania inayowawezesha watanzania kusoma Katiba kupitia simu zao za mkononi”. Programu ya Mandela Washington Fellowship yenye lengo la kuwa wezesha vijana wa Kiafrika katika Nyanja za kiuchumi, kisiasa, kiteknolojia na kijamii ilianzishwa na Rais Obama mwaka 2014. Programu hii hujumuisha vijana elfu moja (1000) kutoka nchi mbalimbali za Afrika ambao hugharamiwa na serikali ya Marekani kwenda jijini Washington kwa lengo la kujengewa uwezo zaidi.
"2016-12-09T07:40:23"
http://www.pamoja.co.tz/2016/08/lhrc-yampa-mapokezi-makubwa.html
[ -1 ]
ziro99blog: HOSPITALI ZA MIKOA 25 KUBORESHWA HOSPITALI ZA MIKOA 25 KUBORESHWA Hospitali 26 za rufaa katika mikoa 25 nchini, zitafanyiwa maboresho ili zitoe huduma bora za afya kupitia mradi wa Japan International Co-operative Agency (JICA) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Akizungumza katika mkutano wa tathimini ya miradi mingine ya afya iliyotekelezwa, mwakilishi wa shirika la Jica, Kuniaki Amatsu alisema mpango huo umeonesha ufanisi mkubwa katika utekelezaji wake na kuwezesha wananchi kupata huduma bora za afya. “Uboreshaji wa huduma za afya umekuwa na matokeo mazuri na tumeshuhudia mabadiliko katika hospitali nyingi, ikilinganishwa na hali ilivyokuwa hapo awali. Mazingira yamekuwa mazuri na utaratibu mzuri wa mpangilio wa utoaji huduma,” alisema Amatsu. Akizungumzia hali ilivyokuwa katika hospitali nyingi za rufaa kabla ya kuanza kwa utekelezaji wa uboreshaji huduma mwaka 2011, alisema kwa sasa mandhari za hospitali ni nzuri na mazingira pia yanafurahisha katika upatikanaji wa huduma za afya. “Hospitali zimekuwa na mandhari nzuri na hata ufanisi wa utoaji huduma pia umeongezeka ikilinganisha na kipindi cha nyuma kabla mradi huu haujaanza kutekelezwa katika hospitali hizo,” alisema. Hospitali zilizoonesha mafanikio ambazo zitaanza kutekelezewa maboresho mengine ambayo mafanikio yake yatatumika katika maboresho ya sekta ya afya Afrika ni pamoja na Mawenzi (Kilimanjaro), Bukoba (Kagera), Mbeya (Mbeya), Morogoro (Morogoro), Shinyanga (Shinyanga). Nyingine ni Bombo (Tanga), Songea (Songea), Musoma (Mara), Maweni (Kigoma), Iringa (Iringa), Sokoine (Lindi), Amana, Mwananyamala na Temeke za Dar es Salaam, Ligua (Mtwara), Tumbi (Pwani), Sekou-Toure (Mwanza), Dodoma (Dodoma), Mount Meru (Arusha), Singida (Singida), Kitete (Tabora), Sumbawanga (Rukwa), Bariadi (Simiyu), Mpanda (Katavi), Geita (Geita), Kibena (Njombe), na Manyara (Manyara). Akizungumzia mradi huo mpya wa uboreshaji hospitali za rufaa za mikoa utakaoanza mwezi ujao, Amatsu alisema wanahitaji kuongezea ufanisi katika utoaji wa huduma, ikiwa ni pamoja na kuwezesha watoa huduma kupata mafunzo bora ya kutoa huduma. Watoa huduma hao pia watafundisha namna na umuhimu wa utunzaji wa kumbukumbu za kitabibu, jinsi ya kuweka mipangilio mizuri ya vifaa tiba na dawa katika mazingira ya hospitali na kutunza mazingira ya hospitali. “Mradi mkubwa unaotarajia kuanza mwezi ujao, utajumuisha hospitali za rufaa zipatazo ishirini na sita zitakazoboreshwa kwa kupatia mafunzo madaktari na watoa huduma wengine, ili kuwa na ufanisi mzuri wa kutoa huduma za afya. “Hospitali hizo zitapatiwa vifaa tiba kwa ajili ya kuongeza ufanisi wa matibabu, kuwezesha hospitali kutatua matatizo madogo bila kuhitaji msaada wa nje na kufundisha watoa huduma jinsi ya kutunza kumbukumbu za matibabu na takwimu nyingine za kitabibu,” alisema Amatsu. Akifungua mkutano huo, Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bernard Kongo, aliishukuru Serikali ya Japan kwa kuendelea kusaidia Tanzania kuboresha huduma za afya, kwani kupitia shirika la Jica hospitali nyingi zimeboreshwa na kuwa na uwezo mkubwa wa utoaji wa huduma za afya. Aliongeza, “mradi huu utakaoanza, utasaidia kwa kiasi kikubwa katika upanuzi wa huduma za afya hapa nchini. Hospitali zetu za rufaa zitatoa huduma za haraka na zenye ufanisi mkubwa ikilinganishwa na hapo awali,” alisema Kongo. Akizungumzia jinsi walivyonufaika na mradi huu, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dk Archie Hellar, alisema hospitali za mkoa wake zimekuwa bora zaidi kwa kila kitu ukilinganisha na hapo zamani.
"2018-02-18T10:22:02"
http://ziro99.blogspot.com/2015/02/hospitali-za-mikoa-25-kuboreshwa.html
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: MAKALA YA SHERIA: NANI ANASTAHILI KIPAUMBELE KUSIMAMIA MIRATHI KATI YA WARITHI WA MAREHEMU Ni vema kujua nani anapaswa kupewa kipaumbele cha kusimamia mirathi pale mwenye mali anapokuwa ameaga dunia. Mara kadhaa mjadala huibuka baina ya wanafamilia hasa pale inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na kila upande kuna watoto. Lakini pia hata pale marehemu anapokuwa na mke mmoja mjadala huu napo waweza kuibuka kati ya wanaotegemewa kurithi juu ya nani awe msimamia mirathi. Hii si pale tu anapokufa baba lakini pia hata panapo mswiba wa mama mjadala huu huibuka.
"2016-12-05T14:34:58"
http://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/makala-ya-sheria-nani-anastahili.html
[ -1 ]
Swala - Wikipedia, kamusi elezo huru Swala tomi (Eudorcas thomsonii) Nusufamilia 3: Aepycerotinae (Swala pala) J. E. Gray, 1872 Antilopinae (Wanyama wanaofanana na swala) Pantholopinae (Swala wa Tibeti) Jenasi 1 ya Aepycerotinae: Aepyceros Sundevall, 1847 Jenasi 10 za Antilopinae: Ammodorcas Thomas, 1891 Antidorcas Sundevall, 1847 Antilope Pallas, 1766 Dorcatragus Noack, 1894 Eudorcas Fitzinger, 1869 Gazella de Blainville, 1816 Litocranius Kohl, 1886 Nanger Lataste, 1885 Procapra Hodgson, 1846 Saiga J. E. Gray, 1843 Jenasi 1 ya Pantholopinae: Pantholops Hodgson, 1834 Swala ni wanyama walao manyasi katika nusufamilia Antilopinae, Aepycerotinae na Pantholopinae za familia Bovidae. Hupatikana katika maeneo yenye nyasi fupi fupi na vichaka vifupi fupi hasa kwenye maeneo mengi ya hifadhi katika Afrika. Spishi nyingine hukimbia kilometa 80 kwa saa na zina uwezo wa kuruka mita 7 hadi 8 juu akiwa kwenye kasi. Rangi yao ni ya mchanga na nyeupe kidogo kwenye koromeo na sehemu ya chini ya mkia. Maadui yao wakubwa ni simba, chatu na chui. Spishi[hariri | hariri chanzo] Nusufamilia Aepycerotinae Aepyceros melampus, Swala Pala (Impala) Nusufamilia Antilopinae Ammodorcas clarkei, Swala Dibatag (Dibatag au Clarke's gazelle) Antidorcas marsupialis, Swala Mrukaji (Springbok) Antilope cervicapra, Swala Mweusi (Blackbuck) Dorcatragus megalotis, Swala Beira (Beira) Eudorcas albonotata, Swala wa Mongalla (Mongalla gazelle) Eudorcas rufifrons, Swala Paji-jekundu (Red-fronted gazelle) Eudorcas rufina, Swala Mwekundu (Red gazelle) – imekwisha sasa Eudorcas thomsonii, Swala Tomi au Swala Lala (Thomson's gazelle) Gazella arabica, Swala Arabu (Arabian gazelle) – imekwisha sasa Gazella bennettii, Swala Mhindi (Chinkara au Indian Gazelle) Gazella cuvieri, Swala wa Cuvier (Cuvier's Gazelle) Gazella dorcas, Swala-jangwa (Dorcas au Ariel Gazelle) Gazella erlangeri, Swala wa Neumann (Neumann's Gazelle) Gazella gazella, Swala-milima (Mountain Gazelle) Gazella leptoceros, Swala Pembe-nyembamba (Rhim Gazelle) Gazella saudiya, Swala wa Saudia (Saudi Gazelle) – imekwisha sasa Gazella spekei, Swala wa Speke (Speke's Gazelle) Gazella subgutturosa, Swala Mwajemi (Goitered Gazelle) Litocranius walleri, Swala Twiga (Gerenuk au Waller's au Giraffe-necked Gazelle) Nanger dama, Swala Dama (Dama Gazelle) Nanger granti, Swala Granti (Grant's Gazelle) Nanger soemmerringii, Swala wa Soemmerring (Soemmerring's Gazelle) Procapra gutturosa, Swala wa Mongolia (Mongolian Gazelle) Procapra picticaudata, Swala Goa (Goa) Procapra przewalskii, Swala wa Przewalski (Przewalski's Gazelle) Saiga tatarica, Swala Saiga (Saiga) Nusufamilia Pantholopinae Pantholops hodgsonii, Swala wa Tibeti (Tibetan Antelope) Swala pala Swala mrukaji Swala mweusi Swala paji-jekundu Swala mhindi Swala wa Cuvier Swala-jangwa Swala-milima Swala wa Sahara Swala mwajemi Swala twiga Swala dama Swala granti Swala wa Soemmerring Swala Goa Je, unajua kitu kuhusu Swala kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Swala&oldid=1043087" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 5 Septemba 2018, saa 12:52.
"2019-04-23T17:51:26"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Swala
[ -1 ]
0.04897 Ruble Kirusi kwa CAD 0.04897 RUB kwa CAD - Mpangilio wa sarafu Ruble Kirusi kwa Dollar ya Canada Mwandishi wetu Ruble Kirusi kwa Dollar ya Canada ni wa sasa na viwango vya ubadilishaji kutoka 28.01.2020. Ingiza kiasi chochote cha kugeuzwa katika sanduku upande wa kushoto wa Ruble Kirusi. Tumia "swap sarafu" - Button kufanya Dollar ya Canada sarafu default. Bofya kwenye Dollar ya Canada au Ruble Kirusi ili kubadilisha fedha hizo na sarafu nyingine zote. Viwango vya kubadilishana vinasasishwa: 28.01.2020 07:32 0.04897 RUB (₽) 0,00103 CAD ($) 1 RUB = 0,020977 CAD 47,671486 RUB = 1 CAD USD 1 1.10097 1.30522 0.75856 0.00918 0.01587 EUR 0.90829 1 1.18552 0.68900 0.00834 0.01442 GBP 0.76616 0.84351 1 0.58118 0.00703 0.01216 CAD 1.31828 1.45139 1.72064 1 0.01210 0.02092 JPY 108.94450 119.94462 142.19642 82.64140 1 1.72922 RUB 63.00220 69.36353 82.23166 47.79121 0.57830 1 Ruble Kirusi ni sarafu katika Urusi. Dollar ya Canada ni sarafu katika Canada. Ishara ya RUB ni ₽. Ishara ya CAD ni $. Kiwango cha ubadilishaji wa Ruble Kirusi kilibadilishwa mwisho Januar 28, 2020. Kiwango cha ubadilishaji wa sarafu ya Dollar ya Canada kilibadilishwa mwisho # #. Kipengele Januar 28, 2020 cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu. Kipengele RUB cha uongofu kina tarakimu mbili muhimu. ₽ 50 $ 1.05 ₽ 100 $ 2.10 ₽ 250 $ 5.24 ₽ 500 $ 10.49 ₽ 1000 $ 20.98 $ 1 ₽ 47.67 $ 5 ₽ 238.36 $ 10 ₽ 476.71 $ 50 ₽ 2,383.57 $ 100 ₽ 4,767.15 $ 250 ₽ 11,917.87 $ 500 ₽ 23,835.74 $ 1000 ₽ 47,671.49 RUB kwa AUDRUB kwa BRLRUB kwa CNYRUB kwa GBPRUB kwa IDRRUB kwa JPYRUB kwa KRWRUB kwa NOKRUB kwa USDRUB kwa VND
"2020-01-28T18:12:12"
https://www.curvert.com/sw/rub-cad/0.04897
[ -1 ]
ZEPHANIA LIFE HERBAL CLINIC - Daktari bingwa wa kutibu nguvu za kiume Sababu za kupungua Nguvu za Kiume Daktari bingwa wa kutibu nguvu za kiume ZPHANIA LIFE HERBAL CLINIC KLINIKI MAALUM YA NGUVU ZA KIUME ​MATIBABU YA UHAKIKA YA NGUVU ZA KIUME Dr. Khamisi Ibrahim Zephania ni daktari bingwa aliyebobea katika kutibu matatizo ya nguvu za kiume na afya ya uzazi wa mwanaume kwa ujumla. Anatibu kuanzia chanzo cha tatizo. Anatibu hadi tatizo lako liishe kabisa. Ni matatibabu ya uhakika wala siyo ya kubahatisha. Pia, anakupatia ushauri juu ya afya yako kwa ujumla na chakula. Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote. Hapo zamani, tatizo hili lilikuwa la wazee zaidi, lakini jambo la ajabu na la kuhuzunisha leo limekuwa ni tatizo la vijana zaidi kuliko hata wazee! Utamkuta mwanaume ni kijana wa miaka 18 au 25 au 30 au 40, lakini jinsi anavyotenda tendo la ndoa ni sawa na mzee wa miaka 90 au 100!! ​Atakwambia, “Ninafika kileleni ndani ya dakika mbili,” au “Nikimaliza tendo la ndoa raundi ya kwanza, siwezi kurudia mpaka kesho yake!” Au “Uume wangu unasimama kwa uregevu sana, na nikiingia ukeni tu, unakufa (unaregea)!” Habari kama hizo ni nyingi kwa namna tofauti tofauti na kwa watu wengi sana. Ni utitiri wa watu, vijana kwa wazee, na vijana ndiyo wakiwa wameshika usukani (wakiongoza). Kwa bahati nzuri matatizo mengi ya nguvu za kiume yanatibika, lakini iwapo tu kama matibabu sahihi (yanayoanzia kwenye chanzo cha tatizo yatapatikana). Hata hivyo, kwa bahati mbaya sana waathirika wengi wa nguvu za kiume wamekuwa wakikurupuka tu kubugia dawa, na hii ndiyo sababu wamekuwa hawaponi licha ya kutumia chungu ya dawa, na pia wamekuwa wakipoteza pesa nyingi bure tu kwa matibabu hayo ya kubahatisha. Pia kutokana na tatizo hili kuwa kubwa, kila kuchapo huibuka watu wanaodai wanaweza kutibu na kumaliza tatizo kabisa. Kwenye magazeti, kwenye mabango mitaani, katika redio n.k, kuna utitiri wa matangazo juu ya tatizo hili. Lakini, kinachokata maini zaidi ni kwamba, wengi wa wataalamu hao hawajui sababu za kupungua nguvu za kiume, wala hawajui utendaji wa mwili wa binadamu. Wengi wanadhani kuishiwa au kupungua nguvu za kiume ndiyo ugonjwa wenyewe. ​Kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa. Kuna sababu zake ndani ya mwili. Sababu hizo ni nyingi mno, ni zaidi ya 100! Anatakiwa daktari mtaalamu aliyebobea katika uzazi, mifumo ya mkojo, anayelijua vizuri figo ndani na nje, ini na mifumo mingine ya mwili, ikiwa ni pamoja na kemia ya mwili. Na inatakiwa dawa iende kutibu chanzo cha tatizo. ​Jambo muhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba, kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa, ni dalili ya ugonjwa. Sentensi hii ina maana gani? Twende pamoja. KWA NINI UPUNGUKIWE NGUVU ZA KIUME? Hakuna jambo baya asilopenda mwanaume yoyote kama kupungua nguvu za kiume. Linaleta simanzi kwa wanandoa na kuharibu saikolojia ya mtu. Mwanaume yeyote anapaswa kujiuliza swali hili: Kwa nini mwanume apungukiwe nguvu za kiume? Ndani ya mwili wa mwanaume kuna viungo zaidi ya 100 vinavyohusika na nguvu za kiume. Kiungo kimojawapo kinaposhindwa kufanya kazi, nguvu za kiume hupungua. Na kuna sababu zaidi ya 200 zinazoweza kusababisha viungo hivyo vishindwe kufanya kazi zake vizuri. NGUVU ZA KIUME NI NINI? Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa kwa wakati muafaka; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo la lenyewe. Kwa ujumla vipengele vyote hivyo, ndivyo ukamilifu wa nguvu za kiume. Na ndiyo maana ya nguvu za kiume. Kuna watu huwa hawajitambui kama wana tatizo la kuishiwa nguvu za kiume, na hatimaye tatizo huwa kubwa zaidi. Katika kitabu changu, VYAKULA VINAVYOTIBU NGUVU ZA KIUME, watu walikuwa wakipiga simu wakisema, “Mimi sina tatizo la nguvu za kiume ila tu nawahi kufika kileleni!” Wengine wakisema, “Mimi niko sawasawa tu ila nakosa hamu ya tendo la ndoa,” na kadha wakadhaa. Ukweli wa mambo ni kwamba: Kama unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Kama uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime. Kama uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume. Kama uume wako hulegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Kama unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Kama unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Kama unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu. za kiume. Kama unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Iwapo moja ya matatizo hayo yatakutokea, fahamu ya kwamba, una UPUNGUFU wa nguvu za kiume, na hivyo sasa ni muda muafaka wa kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa. Unapoanza kujitibu mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi, unakuwa umejitengenezea fursa pana ya kupona. Lakini, chelewa chelewa…. utakuta mwana si wako! NI VIUNGO GANI MWILINI VINAHUSIKA KUFANYA KAZI ZA NGUVU ZA KIUME? Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu mbalimbali zaidi ya 100 ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa. Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga. Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayo pubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k. Orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 100! Unapopungua nguvu za kiume, kama nilivyosema hapo awali, ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo. Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana. Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni: 5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au 6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au 7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au 8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Tukichukulia mfano wa kiwanda, ni kwamba ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k. Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme, au wafanyakazi wakagoma, au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wakadha, basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni, kwa hakika haitapatikana. Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa! Kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume. Mwanaume yoyote anapaswa kutambua jambo hili, na siyo kukurupuka kubugia dawa tu. Lakini, nini kinachosababisha viungo hivyo vishindwe kufanya kazi? Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni kujichua/punyeto (masturbation); kisukari; presha ya kupanda; presha ya kushuka; uvutaji wa sigara; unywaji wa pombe; madawa ya kuleva; kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika; matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku. Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo; kutofanya mazoezi; ukosefu wa kumbukumbu; uzito mkubwa/unene mkubwa; kitambi; kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate Hyperplasia). Sababu zingine ni saratani ya tezi dume (Prostate cancer), matibabu ya mionzi ya tezidume na upasuaji, ugonjwa unaoathiri vitendo na shughuli za mwili kama vile mwondoko na balansi (multiple sclerosis), ugonjwa ambao hudhuru mawasiliano ya ubongo na miondoko ikiwa ni pamoja na kutembea, kuongea na kuandika (parkinson’s disease), vyakula vya mafuta, vyakula vilivyowekewa homoni bandia za kike n.k. Sababu zingine ni maumivu ya mgongo/kiuno; baadhi ya side effects za madawa ya kemikali (madawa ya hospitali); kiharusi (stroke); upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism); uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid. Sababu zingine ni kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha; ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushing’s syndrome); ugonjwa wa kupinda uume (peyronie’s disease); kukakamaa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis); orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 200. Hivyo mwanaume anapopungua nguvu za kiume, ina maana kuna ugonjwa ndani ya mwili wake, au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshadhihirika (umeshatokeza) kwa nje, au huo ugonjwa bado uko ndani ya mwili unamla na kummaliza kimyakimya kama yalivyo baadhi ya magonjwa ambapo baadaye hulipuka. Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa. Yani unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu au vitu havifanyi kazi vyema. Hivyo, unaambiwa kuchukua haraka TAHADHARI kabla ya HATARI! Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu chanzo cha tatizo. Hili ni KOSA KUBWA sana! Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu eneo au kitu gani mwilini. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona! Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, kama tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; kama ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Hebu zingatia mfano kichwani mwako kwanza, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanaume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanaume wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa kwa dawa aina moja? Watu wengi sana wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana kwao. Kosa lingine wanalofanya wanaume wengi ni kukimbilia dawa za kikemikali. Dawa hizi si kwamba hazitibu tu chanzo cha tatizo bali pia zina madhara mengi sana kiafya pia. Nini ambacho hufanya mwilini dawa hizi? Dawa hizi hufanya kazi ya kuulazimisha moyo kusukuma damu kuingia katika uume, kwa kua-activate nitric oxide. Matokeo yake ni kwamba, viungo ambavyo ni vigonjwa vitalazimika kufanya kazi huku vikiwa ni vigonjwa, na hatimaye vitadhoofika kabisa. Kama ambavyo wewe unakuwa mgonjwa unalazimishwa kufanya kazi. Mara ya kwanza unaweza kufanya, lakini mara nyingine unaweza kushindwa kabisa, na hata kuumia zaidi. Hiki ndicho kinachotokea kwa wahanga wengi wa madawa ya kikemikali. Atakwambia, “Nilijaribu kutumia mara kadhaa ikawa inasimama lakini baadaye haikusimama kabisa, hata kama nikitumia siwezi kabisa.” NANI ANAWEZA KUTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? Kuna watu wengi sana hivi leo wanaodai kutibu nguvu za kiume. Ukweli wa mambo ni kwamba siyo kweli! Ni watu wachache sana wenye uwezo wa kutibu tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Na ni watu wachache sana wenye kuelewa matibabu sahihi. Utakuta mtu au kampuni inatangaza dawa ya aina moja kuwatibu watu wote wenye matatizo ya nguvu za kiume. Tabia hii pia imejengeka kwa baadhi ya watu, hunipigia simu au kuniandikia baruapepe na kuniuliza moja kwa moja, "Daktari, dawa za nguvu za kiume ni shilingi ngapi?" Hii ni dalili kwamba watu hawajui maana ya kupungukiwa nguvu za kiume. Na hawajui nguvu za kiume ni nini? Na kwa kutokujua huwafanya waendelee kuteseka. Tatizo la nguvu za kiume, haliwezi kutibiwa kwa njia hiyo hata siku moja. Ndugu wapendwa, mimi siuzi dawa, nafanya matibabu. Kwa nini? Kila mwanamume ana sababu na chanzo chake cha kupungua nguvu za kiume. Kama wanaume 100 waliopungukiwa nguvu za kiume watajipanga mstari kwa daktari mjuzi na mtaalamu, basi kila mgonjwa atakuwa na sababu yake na chanzo chake cha kupungukiwa nguvu za kiume tofauti kabisa na mwingine. Na hivyo, kila mgonjwa atapewa dawa yake ya kipekee kabisa tofauti na mwingine. Sasa itashangaza kuona huyu kapungukiwa nguvu za kiume kutokana na mishipa ya ateri kutofanya kazi vizuri, na yule kapungukiwa nguvu za kiume kutokana na kuvimba kwa tezidume, ati wote wapate dawa aina moja! Hiki ndicho kinachofanyika na watu wengi wamepoteza pesa na muda kwa matibabu kama haya yasiyokuwa na maana. Yahitajika daktari mtaalamu aliyebobea katika mfumo wa uzazi wa mwanaume na mfumo wa mkojo, na anayeujua utendaji wa mwili wa binadamu kwa ujumla. Huyu ndiye anayeweza kutibu tatizo la nguvu za kiume. Yaani, daktari ambaye anajua vizuri ndani na nje utendaji wa figo, ini, moyo n.k; ama awe ni daktari wa tiba asilia au daktari wa tibakemikali (yaani daktari wa hospitali) siyo kila mtu tu au kila daktari. Hata kama utakwenda kwenye hospitali kubwa yoyote duniani unayoijua, na ukagonga hodi katika chumba cha daktari, ukamwambia, "Nina tatizo la upungufu au kuishiwa nguvu za kiume," atakurifaa kwa daktari maalumu aliyebobea katika mfumo wa uzazi wa mwanaume na mfumo wa mkojo. Hata kwa madaktari wa tiba asilia, hali ni hivyo hivyo, lazima ukutane na ambaye amebobea katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. ​Kwa nini awe maalumu? Kwa sababu unapotibu nguvu za kiume unakuwa unatibu viungo vya mwili kwa ujumla. Daktari aliye mtaalamu na aliyebobea katika viungo vya uzazi vya mwanaume anakuwa ana uwezo wa kutambua tatizo la kiungo kilichokorofisha mwilini kutokana na kumhoji mgonjwa; na anaweza kwenda mbali zaidi kwa kujiridhisha kwa kumshauri mgonjwa afanye vipimo gani sahihi. Na anaweza kujua ni vyakula gani anavyopaswa mgonjwa kutumia kulingana na tatizo lake. Narudia tena na tena, upunguvu wa Nguvu za kiume lazima utibiwe kwenye chanzo cha tatizo, na si vinginevyo. MATIBABU YA UHAKIKA KUTOKA Utaratibu wetu ni kwamba hatumtibu mgonjwa mpaka tufanye mahojiano naye kwa kina juu ya historia ya afya yake kwa ujumla. Kama yuko nje ya Mwanza, tutahojiana naye kwa simu, kama yuko Mwanza basi anaweza kuja moja kwa moja kwenye kliniki yetu. Kama yuko nje ya nchi, tutahojiana naye kwa njia ya email. Kupitia mahojiano hayo ndiyo tunaweza kufahamu chanzo cha tatizo lake, na pia tunaweza kumshauri kufanya vipimo kama tutaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo. Lengo ni kwamba, tunahitaji kumtibu mgonjwa kuanzia chanzo cha tatizo, ni kwa njia hiyo tu ndipo anaweza kupona kabisa tatizo lake. Matibabu yetu ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume humaanisha kwamba; tunatibu matatizo yote yanayosababisha kupungua nguvu za kiume. Tunatibu tezidume, tunatibu matatizo ya homoni mwilini, tunatibu tatizo la kufunga choo (constipation) na madhara yaliyoletwa mwilini, tunadhibiti kisukari na madhara yake, tunatibu kitambi/unene na madhara yake, tunatibu madhara ya kujichua, tunatibu presha ya kupanda na kushuka, tunatibu saratani ya tezidume kabla haijakomaa sana, tunatibu maumivu ya mgongo/kiuno na vyanzo vyake; tunatibu matatizo ya figo na ini na magonjwa yote ambayo ni sababu ya kupungua nguvu za kiume. Hivyo, unapotibu nguvu za kiume, unatibu afya yako kwa ujumla, kinyume na watu wanavyofikiri kwamba labda nguvu za kiume ni ule uume!! NGUVU ZA KIUME ZIKO NDANI! Na ni viungo na vipengele mbalimbali zaidi ya 100 vinavyofanya kazi kwa ushirikiano mkubwa ili kukupatia nguvu za kiume. Tunatibu kwa dawa asilia. Dawa zetu hazina madhara yoyote. Ni mimea tiba na matunda Katika miaka ya hivi karibuni, sayansi imepiga hatua kubwa sana katika kuelewa sababu za tatizo la nguvu za kiume. Lakini, kwa mamia ya miaka, watu wengi duniani wameendelea kutumia dawa asilia na zimewapa matokeo ya kustaajabisha sana kuliko dawa za kemikali. Mimea mingi ina dawa bora sana. Dawa za kemikali zinaweza kutibu tatizo moja tu, madawa asilia ya mimea yana uwezo wa kutibu maradhi mengi kwa wakati huo huo mmoja. Hii ni kwa sababu, asili ya maumbile yao, huifanya mimea kuoana na kemia ya mwili, na hivyo zitafanya kazi kwa ubora zaidi na side effects zake ni ndogo mno, wakati mwingine hata hizo side effects hazipo kabisa. Upatikanaji wake na usalama wake huifanya kuwa na umuhimu mkubwa hasa kwa maradhi sugu. Namna ya kutibu nguvu za kiume hutegemeana na sababu. Tunazo dawa asilia zaidi ya 100 zinazotibu nguvu za kiume. Tunamtibu mgonjwa na tunampa dawa kulingana na chanzo cha tatizo, na tunamtibu mgonjwa mpaka apone. TUNAZO DAWA ZA UHAKIKA AMBAZO HUTIBU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUISHA KABISA. DAWA HIZI ZINATOKANA NA MIMEA NA MATUNDA KUTOKANA NA MITI AMBAYO IMETHIBIKA KISAYANSI INA UWEZO MKUBWA WA KUTIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. TUNAZO DAWA ZAIDI YA 200 TOFAUTI TOFAUTI. AMBAZO ZINATIBU VYANZO VINGI NA SABABU NYINGI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. TUNAPOTIBU NGUVU ZA KIUME, TUNATIBU AFYA KWA UJUMLA. CHUNGUZA AFYA YAKO HAPA Jambo ambalo mwanaume yeyote anapaswa kutambua ni kwamba, tunapotibu upungufu wa nguvu za kiume, maana yake tunatibu afya kwa ujumla. Ni kwamba tunatibu vipengele vyote, viungo na mifumo yote ya mwili ambayo ni sababu au iliyopelekea kupungua nguvu za kiume. Watu wengi wanaelewa kimakosa sana juu ya jambo hili. USHAURI WA AFYA YAKO KWA UJUMLA Tunakupa ushauri mpana kuhusu nguvu za kiume. Tunakushauri Juu ya Afya yako kwa ujumla. Tunakushauri juu ya nini ule na nini usile. Tunakupa ushauri bora wa kimatibabu. Hapa kwenye ushauri ndipo pia kwenye shida kubwa sana. Watu wanaelewa kimakosa sana. Wanadhani kuna ushauri wa aina moja ambao utawafaa watu wote. Unakuta hata katika mitandao na blogu mbalimbali kumejaa vyakula vinavyoongeza nguvu, au nguvu za kiume na asali, au mbegu zenye kuongeza nguvu za kiume, au zabibu na nguvu za kiume, orodha ni ndefu sana. Hayo ni makosa makubwa, na hii ndiyo shida inayowafanya watu waendelee kuteseka. Huo ni ushauri wa jumla. Mtu anatakiwa ashauriwe na mtaalamu kulingana na shida ya tatizo lake. Mfano, mtu huyu kapungikiwa nguvu za kiume kwa sababu ya ngiri na huyu kapungiwa nguvu za kiume kwa sababu ya matatizo ya figo, je watu hawa watapata ushauri wa aina moja? Nini ambacho LIFE HERBAL CLINIC tunafanya kwako kuhusu ushauri? Baada ya kugundua ni eneo gani ambalo lina shida, mathalani baada ya kugundua kuwa ngiri imekuathiri mishipa ya neva iliyo kwenye uume na utendaji wa homoni ya testestoroni tutakushauri utumie matunda ya kuongeza nguvu za kiume kwa ajili ya kusapoti dawa inayokwenda kushughulikia eneo hilo na afya yako kwa ujumla. Kama tumegundua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linatokana figo kukuathiri uzalishaji wa baadhi ya homoni, tutajua tukushauri vyakula vya kuongeza nguvu za kiume kwa ajili ya kusapoti figo kuendelea kuzalisha homoni zilizoathirika. Huo ndiyo utaratibu wetu wa ushauri. BAADHI YA DAWA ZETU Tangu zamani za kale, watu wamekuwa wakitafuta mmea wa ajabu ambao kwa nguvu sana unaweza kuongeza nguvu za kiume. Kwa bahati mbaya hakuna mti mmoja tu peke yake ambao unaweza kufanya maajabu hayo, ila kuna mimea mingi ambayo inaweza kufanya kazi kwa pamoja na ikaleta maajabu makubwa. ​ Balijaam BALIJAAM ni dawa asilia yenye mchanganyiko wa mimea 17. Huongeza stamina, nguvu na uchangamfu. Huongeza hamu ya mapenzi, msisimko wa mapenzi pia hukufanya uchelewe kufika kileleni. Ina msaada mkubwa sana kwa watu waliofanya masturbation, huimarisha afya ya tezidume na kurekebisha homoni mwilini. Ni dawa yenye uwezo mkubwa sana ya kutibu upungufu wa nguvu za kiume kutokana na madhara ya masturbation na matatizo mengine. Lakini yahitajika kutanguliwa na dawa zingine kwanza. ​ Exporere EXPORERE ni dawa asilia yenye mchanganyiko wa mimea 20. Huongeza stamina. Hukufanya uchelewe kufika kileleni kiasi cha kufurahia vizuri mno tendo la ndoa. Na hukupa uwezo mkubwa wa kurudia hata zaidi ya mara mbili. Ina msaada mkubwa kwa wagonjwa wa kisukari na wenye matatizo ya mishipa ya neva. Ina msaada pia katika mzunguko wa damu, shida za moyo. Ni dawa nzuri sana katika kutibu nguvu za kiume kutokana na mzunguko mbaya wa damu. Huinua kiwango cha testosterone, huongeza hamu ya tendo la ndoa. Hutibu matatizo ya mkojo na viungo vya uzazi. Huongeza utoaji wa nitric oxide ndani ya mwili. Huboresha mtiririko na mzunguko wa damu. Huifanya misuli kutanuka na kuruhusu mishipa ya ateri kutanuka vizuri na hivyo kuongeza mtiriko wa damu. Ni dawa mujarabati sana katika kurekebisha homoni, afya ya moyo na mzunguko wa damu. Huimarisha uume na kuufanya kuwa mgumu sana na madhubuti. Hizo ni baadhi ya dawa. Tunazo dawa zaidi ya 100. Hivyo mgonjwa anapewa dawa kulingana na chanzo chake cha tatizo. Hakuna dawa moja ambayo inaweza kuwatibu watu wote. Kama ambavyo tumekwisha eleza kila mtu anahitaji dawa yake kutegemeana chanzo cha tatizo lake, uzito wa tatizo na ukubwa wa tatizo. Tunatuma dawa mahala popote mtu alipo Tunatuma dawa mahala popote mtu alipo ndani na nje ya nchi. Kwa watu walio ndani ya nchi, mzigo huchukua siku 3-5 hadi kukufikia. Na kwa watu walio nje ya nchi mzigo huchukua wiki 1-2/au hadi 4 kulingana na mahala ulipo na njia ya usafiri. Lakini sehemu nyingi ni wiki 1-2. Kwa wale Kenya, mzigo huchukua siku 4 tu kukufikia mahala ulipo. Tunasafirisha kwa ndege, posta (ems/register) n.k. Pokea habari mpya kila zinapotokea Pata habari kuhusu nguvu za kiume pindi tu kila zinapochapishwa.
"2018-06-24T08:40:09"
https://www.nguvuzakiume.com/index.html
[ -1 ]
Jee!!! Church za Tanzanianazo zitafuata mkondo ? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Jee!!! Church za Tanzanianazo zitafuata mkondo ? Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Babylon, Feb 13, 2011. Gay couples currently cannot get married in religious settings Ministers will publish plans to change the law to enable same-sex couples to "marry" in church, the BBC has learned. The changes will be welcomed by gay rights campaigners but are likely to raise the ire of many churchgoers. The The Sunday Telegraph claims the decision to push ahead with the legislation is a victory for Mrs Featherstone and her fellow Liberal Democrats. The Telegraph says the Church of England has already said it will not allow any of its churches to be used for civil partnership ceremonies. But Quakers, Unitarians, and Liberal Jews are thought to be more sympathetic to the idea, says the paper. The move follows an amendment to the Equality Act by Lord Alli, a Labour peer. The Home Office spokesman said: "The government is currently considering what the next stage should be for civil partnerships, including how some religious organisations can allow same-sex couples to register their relationship in a religious setting if they wish to do so. Sodoma na Gomola time. Kwa hili jamani wakiristo na waisilamu tushikamane ili tuliangamize maaana watakao athirika si wakiristo au waisilamu peke yao ni jamii nzima tushirikiane kulipinga hili jambo na mwenyezimungu aliepushilie mbali nawaomba. Pia najuwa hata kwa wakiristo hili jambo linawachefua kama linavyotuchefua sisi waisilamu nawaomba wakiristo kwa hili wapipinge kwa nguvu zao zote, wasikubali nyumba zao za ibado zitumike kwa kumdhalilisha mungu Hii ni laana kwa dunia ya sasa, Allah apishie mbali. Nimeisoma kwenye mitandao ya kimataifa juu ya nchi za ulaya kuridhia iruhusiwe ndoa, CBS NEWS wameitoa usiku wa leo pia. Ni human rights katika upana wake huo. Mambo ni kwa hatua, pole pole, Beijing kwa kuanzia halafu gay rights....tutafika tunakokwenda. sasa haya ndio masuala ya falsafa, maadili na weledi wa dini na mambo ya jamii.Wataalamu hebu toeni rai zenu au tuelezeeni huu mwenendo wa jamii na sheria. Hatari, lakini salama. "Ministers have met a range of people and organisations to hear their views on this issue. An announcement will be made in due course."Click to expand... As far as I'm concerned the classical definition of English of marraige (applied also in most common law jusridictions) is given in Hyde v Hyde (1886) that 'marriage is 'the union of one man with one woman voluntarily entered into for life, to the exclusion of all others'. In The Catholic Church and according to Canon Law Article 1055(1) The marriage covenant, by which a man and a woman establish between themselves a partnership of their whole life, and which of its own very nature is ordered to the well-being of the spouses and to the procreation and upbringing of children, has, between the baptised, been raised by Christ the Lord to the dignity of a sacrament. In Tanzania, 'marriage is the union between man and woman intended for their joint lives' (The Law of Marriage Act, 1971 [R.E 2002]). I'm not aware if the definition of marriage changed but what I'm aware of is that the English law recognises 'registered civil relationships' which are not marriage themselves. Could anyone with a new definition of marriage as understood e.g. in Europian Union give it to us, please! Mmmmmmh, dunia tambara bovu ukilishika vibayua linachanika. Tuwe makini na mambo ya ulimwengu huu. Uislamu hata siku moja hakiwezi kupindisha sheria zake! Sasa hii dini ya wenzetu, inaangalia leo baridi ngoja nivae sweta, kesho joto basi anavua nguo zote. Yaani kujiamulia tu, mradi kukidhi comfort na matamanio ya kibinaadamu bila kujali kuwa ni disrespect kubwa mno kujifanya mjuaji wewe binaadamu unamkosoa Mungu na kubadili sheria zake. Mbona sheria za nchi mtu havunji waziwazi anafanya juhudi ya kujificha. Kumbe anaogopa kukamatwa na kuadhibiwa? Sasa ukishapindisha amri zake unategemea siku ya hesabu aje akuhukumu kwa sheria ulizo-modify wewe? Kupokea amri za Allah na kumtii pasina kumuona ni katika sifa ya uislam na ni sifa yenye malipo makubwa Insha Allah. Sodoma na Gomola time.Click to expand... Kweli kabisa enzi za Sodoma na Gomora zimerudi - na kama hapo kale, matokeo mabaya yatakuja. Nawaonea huruma WAKRISTO coz wanatuita WAISLAMU MAGAIDI jee na sisi tuwaite WAKRISTO MASHOGA Nawaonea huruma WAKRISTO coz wanatuita WAISLAMU MAGAIDI jee na sisi tuwaite WAKRISTO MASHOGAClick to expand... (Reuters) – A 13-year-old Yemeni girl died three days after marrying a man twice her age, due to internal bleeding following intercourse, a Yemeni human rights group and UNICEF said. The girl's death comes amid ongoing debate on whether to set a minimum age for brides in Yemen, where human rights groups say one in every three girls is married before the age of 18. Muslim Pedophilia Marriage Ends In Death Of 13 Year Old Child Due To Internal Bleeding. « Political Vel Craft Hizi dini zingine watu wenye akili wameshaacha kuzifuata ..ndio maana wanakimbilia sub-sahara africa na misaada hasa vijijini... Huko kwa wenye reasoning ndogo wameishia kunywa pombe.. Njooni kwenye dini ya haki UIslam, mbele ya Muumba. Njooni kwenye dini ya haki UIslam, mbele ya Muumba.Click to expand... Hao ni kuwapa ubwa bwa tu watakuja kuunga mkono tamko hata wasilolijua. Hatari, lakini salama.Click to expand... Vitabu vyote vya dini zote vinapinga usenge. Period!! Muslim Pedophilia Marriage Ends In Death Of 13 Year Old Child Due To Internal Bleeding. « Political Vel CraftClick to expand... Habari nzuri sana ila nadhani ina maudhui tofauti kidogo mleta hoja ameuliza je Mkanisa ya Bongo wataruhusu hizi ndoa za mashoga? Mie nadhani kwa kuwa Tanzania tumesaini haki za binadamu na nchi wahisani wanatetea haki za mashoga soon haya mambo yataingia na kwetu. Vitabu vyote vya dini zote vinapinga usenge. Period!!Click to expand... Wanaotetea haki za binadamu ni wa dini gani? we naweClick to expand... Duh jamaa hatumii hata tafsida! sasa ile issue imekaa vema? mbona umenitia hamasa halafu unataka kuni.................... Duh jamaa hatumii hata tafsida! sasa ile issue imekaa vema? mbona umenitia hamasa halafu unataka kuni....................Click to expand... tungekuwa tunafuata mafunzo ya Mtume Muhhamad kisawasawa jazba za namna hii zisingekuwepo,we nawe unatafuta laana ya mchana kweupeeeee Muslim cleric found guilty of rape Published on Wed Feb 02 20:53:43 GMT 2011 A Muslim cleric from Sheffield has been convicted of raping a young boy as he attended Islamic education lessons at his mosque. The charges relate to two boys who attended the mosque in Capper Street, Stoke on Trent, where Khan was imam, in 2009. He told the court one of the boys claimed in police interviews that he was singled out by Khan after evening prayer on several occasions. He was sexually assaulted in various areas of the mosque which were not covered by CCTV, Mr Shakoor told the court. But in his evidence to the court Khan, of Owler Lane, Sheffield, said he had a close relationship with the youngsters because he tried to help them with their unruly behaviour. He said he would often be more lenient on the boys if they were late or did not turn up for classes at the mosque because he was aware they had issues at home. A further five charges were dismissed by Mrs Justice Dobbs because the jury could not reach a decision. She adjourned the trial for pre-sentence reports to a date yet to be fixed. Deen ya Moh MAD hiyo! http://www.maltonmercury.co.uk/news/regional/muslim_cleric_found_guilty_of_rape_1_3011521
"2017-01-18T10:47:13"
https://www.jamiiforums.com/threads/jee-church-za-tanzanianazo-zitafuata-mkondo.110315/
[ -1 ]
BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA-AfDB YAIPIGA JEKI TANZANIA DOLA MILIONI 200 ~ g sengo Tuesday, July 19, 2016 UCHUMI No comments
"2018-05-22T10:07:41"
http://gsengo.blogspot.com/2016/07/benki-ya-maendeleo-ya-afrika-afdb.html
[ -1 ]
Traffic police arusha. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Traffic police arusha. Discussion in 'Jukwaa la Sheria (The Law Forum)' started by Arushaone, Jul 28, 2012. Ni habari ya uhakika kabisa ambayo nimeifanyia uchunguzi wa kutosha. Wakiingia kazini hawa askari wanapewa jukumu la kila mmoa hataruhusiwa kuondoka alipopangiwa hadi akamate magari 20 ambayo yatalipa notification ya 30,000 each! Tunapelekwa wapi? Ndio serikali ya ccm ilivyo Vitabu vitakuwa fake malipo yanaingia matumboni mwao, otherwise hata wao hawana wanachonufaika kama zote zaenda serikalini kweli habari za kuaminika ni mpango wa maandalizi ya muda mrefu ya kutunisha mfuko wa kisiri wa uchaguzi ujao na kuwapa posho wapiga saluti. Si unajua wameiishiwa wanatafuta vyanzo mapato? hahaaa nchi hii ina kazi sana ....yaani kila mahali ni wizi wizi wizi Nawaomba mfanye utafiti wa kina kuhusu matrafiki na vyanzo vipya vya mapato visivyo rasmi ambavyo vinaanza abruptly kwenye mkoa wako na ufanye uchunguzi kwa kina kwa wahusika utaunganisha habari ya trafik arusha na mkoa wako. Fichua maovu nakuomba. Hiyo siyo Arusha peke yake. Ni utaratibu ambao upo kila mkoa. Dar es Salaam huo upo na unaendelea kuwepo. usikurupuke wewe.., hapa dar es salam hawa askar wanaoitwa tigo wanapewa pikpik ikifika jioni wanapeleka mapato labda wakitoka jumapili ndio mapato wanaingiza mfukoni mwao. ushahid upo Inno laka said: ↑ Sijakurupuka Inno laka, ni utafiti wa kweli nilioufanya kwa makini na kubali kataa ndivyo ilivyo: hujakamata magari 20 yatakayolipa notification ya 30,000 @ kwa siku hutapata posho/renumeration. Ukweli usiopingika ccm RIP. mangimeza Senior Member Hayo madogo kuna vile viroller vya risit vya EFD machine bei yake sh 2000 ila kuna boss kasema tutumie vilivyochapwa maandishi TRA TRA kwamba havipauki ila wajue thermal paper huweizi kuizuia kupauka na bei ni sh6000 per roll huu ni ufisadi mwingine 4000 inaenda wapi????? Ni kweli kabisa Arusha1 anavyosema, huu utaratibu ni tofauti na wengi wanavyoufahamu. Kuna utaratibu wa kawaida kama tulivyozoea wengi na watanzania kwa ujumla rushwa ni k2 cha kawaida. Utaratibu huu wa kawaida ni kwamba RTO(Regional Traffic Officer) anakuwa analetewa fungu kwa kila traffic kutegemea na kitengo, kifaa, sehemu aliyopangiwa. Ukipdwa tochi, ile inayosoma speed ya gari kuna hela lazima ulete jwa RTO jioni wakati wa kufunga kazi hii haihusiani na ofisi halafu ulete ya ofisi kisha ubakiwe na ya kwako wewe traffic police. Hivyo hivyo atakayepewa pikipiki, gari ya kukimbiza magendo n.k. na utapeleka hela siyo tu kwa RTO, hata kwa RPC, na wengine walio chini ya hao kutegemea uko kitengo gani. Sasa huu ni utaratibu wa kawaida ktk nchi hii. Utaratibu mpya wa kitengo cha traffic police pale Arusha ni tofauti/mpya. Huu utaratibu naweza kuuhusisha na either chama au serikali. UPO HIVI: Traffic police anatakiwa apeleke polisi magari 10 yenye makosa kwa mwezi(haijalishi kosa hata kubambikizwa kama ukionekana uko kamili ktk gari lako) ili upigwe faini ya 30,000Tshs. Wengine wanasema wanatakiwa wapeleke gari 20 per day. Trafic police wamekuja kusababisha usumbufu wa hali ya juu ktk mji wa Arusha. Kwa wale wanaoufahamu mji wa arusha(Arusha town) trafic police ni wengi na wanasimamisha gari kila kituo kama unataka kuwahi ofisini/hospital/kuswali au popote ina maana labda upite usiku. Kona ya technical wanakusimamisha uwe unaenda ngarenaro au umetoka/sakina mianzini wapo, sanawari b4 mataa wanakusimamisha, baada ya mataa wanakusimamisha, philips wanakusimamisha, ngulelo hawa, kwa mrefu hawa, nduruma unapigwa mkono. Kutoka kituo mpaka kituo haizidi 1.5km ingawa vituo vingi ni less than 1km. Vituo vyote lazima wakusimamishe ukifanikiwa kupita bila kusimamishwa ni kwamba wako busy kwenye magari waliyoyasimamisha. Wanamuuliza dereva kila kitu kinachotakiwa kuulizwa, akiona umekamilika anakuchomekea lolote 'wewe nakusimamisha husimami unakimbia' twende kituoni. Anakupeleka. Inasemekana kitengo cha trafic police wanakusanya kiasi cha 6-7million per day kwa hapa Arusha mjini. Cha kujiuliza: huu utaratibu si wa kawaida na je nani kawatuma, hizo hela wanapeleka wapi? Juzi wamenisimamisha Boma wakachukua 5000, pale KIA (less than 5 KMs from BOMa) wakata 20000 nikagoma wakachukua 10000. Kufika King'ori (Pia Less ama equal na 5 KMs from KIA) wakasimamisha nikaona ushenzi nikasepa, kufika KIKATITI (almost 5 KMs from King'ori) wakasimamisha tena nikasepa wakanifuata kwa gari, kufika USA nikawekewa Barrier nikapeleka Gari kituoni wanataka All Charges plus mafuta ya kunikimbiza kama 150,000 nikawaambia sina kama vipi bakini na gari. Nikaita Taxi nikiwa pale pale, wakaona hiyo Confidence wakaogopa wakanipa gari yangu nikasepa. Kwao ni kawaida sana na kama wewe ni muoga ukitoka Sakina mpaka ufike Moshi mjini unakuwa umepoteza zaidi ya 150,000 barabarani. Kama Huamini njoo ujionee na gari yako isiwe na Kile kitambaa (alama) ya CCM ndani uone utatoa bei gani kutoka tu Mianzini mpaka Usa-River. Arusha ni zaidi. Kuna siku nlikuwa natoka Arusha kwenda Moshi nikasimamishwa mara nne!! Triple A, daraja la Nduruma, Kikatiti na KIA. Kila point walikuwa wananikagua vilivyo hadi nikawauliza walikuwa na tatizo gani wakanijibu wako kazini!! Trafiki Arusha wanakera sana hasa kuanzia Sakina hadi USA River. Mara nyingi trafiki ni wale wale kila uchao (nawafahamu kwa sura) wanabadilishana eneo tu ila watakusimasha karibia kila siku! Siku za karibuni nimekuwa kibri kusimama.., LIWALO NA LIWE! Kwa shingo upande................. hebu wawaone Takukure pale tank la maji! Eyoma Senior Member mimi nilitokea dodoma mpaka singida hakuna matatizo haya lakini nilipoingia mkoa wa manyara wale trafic balaa kateshi nikasimamishwa,dareda,babati,magugu,tarangire kote huko nasimamishwa na ninaulizwa eti sina stiker ya nenda kwa usalama.mmh jamani stiker yenyewe ths 3000 unaambiwa ulipe elf 20 ni haki hiyo,mi wananikera sana na bado unacheleweshwa safari yako.hivi hakuna namna ya kuachana na usumbufu usio na msingi? THEY WILL never HELP YOU AND PLEASE NEVER TRY THAT NI SAWA NA KESI YA NGEDERE HAKIMU AWE NYANI....THIS IS ROTTEN COUNTRY TAKE IT OR NOT. THEY THINK HIZO STICKER NDIZO HUENDESHA GARI...twajua tulipo na tulipotoka tusipoangalia hatutajua our future. wale trafic balaa katesh nikasimamishwa,dareda,babati,magugu,tarangire kote huko nasimamishwa na ninaulizwa eti sina stiker ya nenda kwa
"2018-01-21T23:28:31"
https://www.jamiiforums.com/threads/traffic-police-arusha.299358/
[ -1 ]
Masheikh wasaliti makubaliano kikao na madaktari | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Masheikh wasaliti makubaliano kikao na madaktari Ukistaajabu ya musa utayAona ya firauni. Hivi majuzi viongozi hawa walikuwa na kikao na madaktari na kupiga dua nyingi na kutokwa na povu kuwa rais amedanganywa leo hii baada ya kuchomolewa ombi lao na mkuu wa kaya wamewarudia madaktari nakutaka kuwashtaki. Jamani madaktari kama watoto wa kambo. Masheikh acheni usaliti. Acheni kutumika. Wanajali harufu ya ubwabwa Tupatie na source kabisa usije ukawa umekurupuka huko, tukaanza kuwajazia lawama bure! Kweli wamesema eti watawashkaji madocs kwa mauaji.mandumilakuwili walifikiri wakienda magogoni watapewa ubwabwa Tatizo Madaktari hawakuwapa Ubwabwa, sasa wanategemea jamaa watawasapoti kivipi! Ukiona hivyo ujue JK ameshapenyeza rupia penye uzia. Mashehe njaa! Jamani madaktari kama watoto wa kambo. Masheikh acheni usaliti. Acheni kutumika.Click to expand... Mnakosea sana mnaposema masheikh. Hawa sio, ni kikundi cha michongo mijini kinachoongozwa na Said Mwaipopo. Sijui madoctor's walitokana wapi na hili genge. Yaani hapa ni kundi la majuha lililodandi mgongo wa ma-Dr's kupanda chati. Wanywa kahawa.. Tupatie na source kabisa usije ukawa umekurupuka huko, tukaanza kuwajazia lawama bure!Click to expand... Acha kukariri mkuu. ¤hujui kwamba waliomba dua ili warudi kazini ¤Hujapata taarifa wanaenda kuwashitaki Tulishasema wale wa siku ile sio wasemaji wa Dini zetu ni Kikundi cha madaktari kiliwabeba ili ionekane tu kuwa Mkuu wa Nchi kagoma kuwasikiliza maDr. Leo ukweli umejidhihiri kiko wapi? mm nashauri MaDr tafuteni kazi nyingine km mligoma kurudi kazini, maisha ni popote sio lazima mkae Muhimbili, KCMC, Bugando na Hospitali za rufaa, kwa sasa mmchemsha Filamu imeisha na hakuna Mada yoyote tutawasikiliza Genge hili lilikuwa Igunga Money talks aisee... yani masheikh ubwabwa hapo ukute wamepewa hela ya visheti na tende tu
"2017-01-17T19:39:35"
https://www.jamiiforums.com/threads/masheikh-wasaliti-makubaliano-kikao-na-madaktari.291343/
[ -1 ]
Arsenal kupigwa mnada? - Mwanaspoti | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Arsenal kupigwa mnada? Zinaweza kuwa ni habari zitakazowashtua mashabiki wa Arsenal au zisiwashtue kwa sababu pengine klabu haitabadilika kwa kiwango cha wagusa moja kwa moja mashabiki. Arsenal muda wowote kuanzia sasa inaweza kuwa mikononi mwa mtu mmoja kwa asilimia 100. Imefichuka kuwa kampuni Kroenke Sports&Entertainment chini ya bosi wake Stan Kroenke ipo tayari kuzinunua hisa zote zilizokuwa zikimilikiwa na tajiri Alisher Usmanov. 1: This is Simba bwanaaaa 2: Mastaa wenye ndinga za bei mbaya England 3: Simba yanusa ubingwa Ngao ya Jamii 4: Mashabiki wa Yanga wajipanga kuizomea Simba 5: Manji kula chakula cha jioni na Yanga leo
"2018-08-18T17:42:26"
http://presstz.net/arsenal-kupigwa-mnada-40078893
[ -1 ]
swahilivilla: PROFESA JAY AMSHANGAA WAZIRI MWAKYEMBE KUTAKA WASANII WASIIMBE SIASA PROFESA JAY AMSHANGAA WAZIRI MWAKYEMBE KUTAKA WASANII WASIIMBE SIASA Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay, ametoa maoni yake kuhusu ushauri wa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe aliyewataka wasanii wa Tanzania kuacha kuimba nyimbo zenye jumbe za kisiasa kwani hawatafanikiwa. Profesa Jay ambaye ni rapa nguli wa kizazi kipya aliyewahi kuweka rekodi maalum ya albam yake ya ‘Mapinduzi Halisi’ iliyokuwa na jumbe zenye mlengo wa kisiasa na kijamii, amesema ameshangazwa na kauli ya Waziri. “Kuwaambia wasanii kuwa waimbe nyimbo za maisha yao tu na washindwe kuimba vitu vingine, maana yake unataka kutoa ‘green light’ kwa wasanii sasa waanze kuimba mambo ya mapenzi… nakupenda, nakupenda..,” alisema Profesa Jay. “Maana yake unaweza kuchochea kuhusu masuala ya mapenzi tu na kushindwa kufanya vitu vya kijamii ambavyo vingeweza kulipeleka taifa letu mbele. Mimi naamini msanii ana sauti kubwa na anaweza kupaza sauti positively na ikasaidia taifa letu ideologically (kiitikadi), socially (kijamii), culturally (kitamaduni), economically (kiuchumi), politically (kisiasa) pamoja na sustainable development (maendeleo endelevu),”aliongeza. Mbunge huyo alidai kuwa wapo wasanii walioimba kuhusu siasa na masuala ya kijamii kama 2Pac, BIG, Bob Marley, Lucky Dube na wengine ambao walisaidia dunia kuhama katika ngazi moja kijamii hadi ngazi nyingine. Hata hivyo, Profesa Jay alikubaliana na hoja ya Waziri Mwakyembe kuwa wasanii hawapaswi kuitukana Serikali, akieleza kuwa wanapaswa kuachwa watoe mawazo yao mbadala ikiwa ni pamoja na kuisifia Serikali. Akizungumza Bungeni mjini Dodoma, Waziri Mwakyembe aliwashauri wasanii kuachana na nyimbo za siasa kwani hawatafanikiwa kwakuwa hakuna msanii ambaye alijikita katika kuimba siasa na akafanikiwa. Chanzo: malunde.com Labels: PROFESA JAY AMSHANGAA WAZIRI MWAKYEMBE KUTAKA WASANII WASIIMBE SIASA
"2017-10-18T12:52:12"
http://swahilivilla.blogspot.com/2017/05/profesa-jay-amshangaa-waziri-mwakyembe.html
[ -1 ]
Kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wanawake kuwasema na kuwacheka wanaume wenye “vibamia” hali kadhalika na wao huwa wanacheka na kusema wanawake wenye “Kuma” kubwa/pana wakidai kuwa hawafurahii kwa vile haibani na kupoteza ule msuguano ambao ndio chanzo cha raha na hatimae utamu. Natambua kuwa ni jambo linalotia aibu kama ilivyokua kwenye suala zima la ngono lakini hili ni tatizo ambalo linasumbua wanawake wengi. Hili tatizo mara nyingi hutokea au kujitokeza mara baada ya kuzaa watoto 2 na kuendele. Hakuna sababu ya wewe kuona aibu ikiwa una tatizo hili hasa pale unapokwenda kumuona daktari wako kwani wanatambua kabisa nini huwa kinatokea baada ya kuzaa. Ukiwa mtu wa kufanya mazoezi au ulikuwa mtu kwa kufanya mazoezi kabla hujapata mtoto huwa rahisi kurudisha u-tight wa misuli ya uke wako kwa kufanya mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo pamoja na yale maalimu kabisa yanayoitwa Kegel. Zoezi hili limepewa jina la Kegel baada ya Dr.Arnold Kegel ambae ni “Obstetrician” alietambulisha zoezi hili kama sehemu ya kuwasaidia akina mama wajawazito kuboresha na kukaza misuli ya uke ambao huwasababishia kuvunjwa kwa mkono pale wanapocheka, kohoa, piga chafya n.k. mara baada ya kujifungua. Baada ya miaka michache imegundulika kuwa zoezi hilo lijulikanalo kama Kegel husaidia kurudisha “mnato” wa uke pia na wengi hufanikiwa kurudisha ule “u-tight” wa uke hali inayowafanya wajiamini wanapofanya mapenzi na vilevile kuwafanya wapenzi wao na wao wenyewe kufurahia kama ilivyokuwa awali (kabla ya kuzaa). Misuli inayofanyiwa zoezi hili ni ile iliyozunguuka uke, njia ya mkojo na sehemu ya haja kubwa(mkundu). Unajua unapokunya (toa haja kubwa) ile ngumu au hata ya kawaida huwa huliachii mpaka liwe reefu kama na mara nyingi unakata kimba hilo, ukilikata lile "javi " sehemu yako ya nyuma (mkundu) inakuwa kama vile ina "hema" au "inamwenyua-mwenyua" samba-mba na ile ya mbele....sasa unatakiwa kufanya hivyo mara nyingi uwezavyo ukiwa mahali popote na sio wakati unakunya. Lakini kumbuka ku-hold na kuachia....sio unafanya haraka-haraka ili uwahi kumaliza. Hali hiyo ya mkundu na Kuma "kuhema" pia hujitokeza wakati ukisikilizia utamu wa kufanya mapenzi mara tu baada ya uume unapotolewa haraka ukeni pale unapofika.....hasa ikiwa Mpenzi anataka kumaliza lakini kwa nje. Vilevile unaweza ukalifanya zoezi hilo kila unapokwenda kukojoa, jaribu kuzuia mkojo usitoke kwa kutumia misuli yako ya uke kwa muda wa dakika fulani....kwamba uzuie kisha hesabu 1....2....3....4...5...6 kisha uachie na rudia tena mpaka mkojo wote uishe. Zoezi hili halifanywi na wenye uke mpana na wenye maji-maji mengu tu bali na mwanamke yeyote ili kuboresha maisha yake ya kingono na mpenzi wake. Ikiwa unafanya haya mazoezi mara kwa mara yatakusaidia kumpatia mpenzi wako kilele cha maana kwa kubana-vuta na kukamua uume wake kila unapo ingia deep inside na vile vile kunaendeleza mnato wako na ikiwa wewe ni kati ya wale wanawake wenye maji-maji mengi basi unaweza kutumia misuli yako hiyo kuubana uume na kumpatia utamu na raha mpenzi wako ambayo hajawahi kuipata toka umaji-maji ujitokeze. Nitajuaje kama nimepatia? Ni rahisi, ingiza kidole kisha fanya Kegel na utahisi kidole chako kikibanwa na kuachiwa. Fanya zoezi hili kila siku, mahali popote na utapata matokea(utaona mabadiliko) ndani ya miezi miwili hadi minne kwa wale wenye uke mpana. Ikiwa wewe uke wako uko sawa (sio mpana)na unafanya Kegel ili kuongeza raha ya kufanya mapenzi basi itakuchukua wiki moja. Hakikisha unafanya zoezi hili kila wakati unapofanya mapenzi na hakikisha anapokaribia mbane-mwachie na kamua "cream" yote. Pia Kegel inaweza ikafanywa kwa kulala chali, weka mikono huku nahuku kisha ipumzishe kwenye sakafu alafu kunja miguu yako sehemu ya magoti na vikanyagio viwe sambamba kwenye sakafu kisha inua kiwili-wili chako kwenda juu baki hapo juu (huku ukiwa umebana msuli ya uke kama vile unazuia mkojo usitoke) kwa muda kisha rudi chini na rudia tena kadiri uwezavyo. Publicada por BANGAMBIKI em 5:45 AM Etiquetas: mazoezi, misuli, uke
"2018-05-21T07:10:11"
http://ngononisanaa.blogspot.com/2009/03/mazoezi-ya-kukaza-misuli-ya-uke.html
[ -1 ]
Fursa katika Ulimwengu wa roho Na. Dkt Godfrey Kimaro Uploaded by CCTUDSM at Your Listen Fursa katika Ulimwengu wa roho Na. Dkt Godfrey Kimaro This music and or audio is not accessible due to copyright violations ."Tunakuletea tena "MANA" ya sik ..." has been removed due to a copyright notification. Keep exploring! You can find more similar and music and audio here - Fursa katika Ulimwengu wa roho Na. Dkt Godfrey Kimaro CCTUDSM 50 uploads 1 followers 0 likes 264 activities <a rel='nofollow' href="http://yourlisten.com/CCTUDSM/fursa-katika-ulimwengu-wa-roho-na-dkt-godfrey-kimaro" id="yl17606458">Podcast Hosting - Listen Audio Files - </a><script src="http://yourlisten.com/embed.js?17606458" type="text/javascript" async></script> Tags: fursab katika ulimwengu wa rohomorning glorydkt. godfrey kimaarojumannejumanne a tarehe 8 novemba 2016ujasiriayesu Tunakuletea tena "MANA" ya siku ya leo kwa njia ya sauiti. Wiki hii Dkt Godfrey Kimaro anatuongoza kutafakari suala la "Fursa katika Ulimwengu waroho" kwa mtazamo wa Kibiblia na kiroho. Fuatana nasi upate kujua siri hii ya “UjasiriaYesu” Fursa Katika Ulimwengu Wa Roho Na.… by CCTUDSM 00:20:32 79 Fursa Katika Ulimwengu Wa Roho - D… by CCTUDSM 00:20:51 84 Fursa (ujasiriayesu) Na. Dkt. Godf… by CCTUDSM 00:18:58 89 Dkt by Peppepper 00:03:05 258 Roho Mtakatifu ,nabii Victor by mulisajr 00:38:27 101 Roho Mtakatifu ,nabii Victor by mulisajr 00:38:27 135
"2020-01-25T17:01:46"
https://yourlisten.com/CCTUDSM/fursa-katika-ulimwengu-wa-roho-na-dkt-godfrey-kimaro
[ -1 ]