text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
Mambo 20 Niliyojifunza Kwenye Kitabu Kinachoitwa THE SECRET CODE OF SUCCESS. – AMKA MTANZANIA July 7, 2015 Makirita Amani 1. Unahitaji kujua kwanza kwa nini (Why) ufanikiwe kabla ya kujua jinsi gani (How) ufanikiwe. Kwa bahati mbaya vitabu vingi na walimu wengi wanajikita kufundisha njia za kufanikiwa kabla ya kufundisha sababu za kufanikiwa. Maana tatizo kubwa haliko katika jinsi gani kufanikiwa bali kiini cha tatizo kipo kwenye kwa nini kufanikiwa. Na bahati mbaya tatizo la kwa nini haliwezi kutatuliwa kwa suluhisho la jinsi gani kufanikiwa. 2. Unahitaji mtu atakaye kuamini kuliko wewe unavyojiamini mwenyewe. Tumekua tukiaminishwa kwamba tunatakiwa kujiamini kabla ya kuaminiwa, lakini uhalisia ni kwamba kujiamini kwetu kunajengwa kwanza na mtu kutuamini. Huwezi kujiamini kama kila mtu hana imani na wewe. Anapotokea mtu anayekuamini kuliko wewe unavyojiamini, hii inaongeza imani yako juu yako mwenyewe. Kwanza: Unaaminiwa Pili: Unawaamini wengine Tatu: Unajiamini mwenyewe sasa 3. Tunaishi katika zama za wimbi kubwa la taarifa. Taarifa zipo kila kona, nyingi sana, mara kwenye radio, tv, magazeti, email, website, blogs, mitando ya kijamii ndio balaa. Wingi wa taarifa hizo husababisha usumbufu na hii hupelekea kuwa na machaguo mengi sana, na hivyo kufanya watu kua katika wakati mgumu wa kufanya uchaguzi sahihi wa taarifa sahihi. 4. Kujaribu kufanikiwa bila support kutoka kwa wengine ni sawa na kusimama kwenye mgodi wa dhahabu huku ukichimba madini kwa kutumia kijiko cha chai. Mafanikio yanahitaji support za watu wengine, maana huwezi kua vizuri kila sehemu, utahitaji watu pia wa kukushika mkono. 6. Hofu ya kufanikiwa. Haujizuii kufanikiwa kwa sababu haujui jinsi ya kufanikiwa, unajizuia kupata mafanikio ambayo yako ndani ya uwezo wako kabisa, kwa sababu kwenye subconscious mind yako unazo sababu nyingi kwa nini usifanikiwe kuliko sababu za kufanikiwa ulizo nazo kwenye conscious mind. 7. Kuna ngazi 4 za uwezo (competency) 8. Asilimia kubwa ya watu waliofanikiwa ni Unconscious competent (wana uwezo ambao wenyewe hawaujui). Tatizo linakuja pale wanapowafundisha watu jinsi walivyofika hapo walipo, wanachowafundisha watu unakuta mara nyingi si hicho kilichowafikisha hapo japo wao wanadhani kwamba wamefikia hapo kwa sababu ya hivyo wanavyofundisha. Tatizo ni kwamba wao wenyewe hawajui maana ukiwa katika level ya Unconscious competency katika jambo fulani unakua hujui hata huwa unalifanyaje. Secret code ya mafanikio haipo katika conscious mind, bali ipo katika unconscious mind ndiyo maana hata hao waliofanikiwa inakua ngumu wao kujua kama hiyo secret code kama ipo. 9. Akili ya binadamu inafanya kazi kwa kutumia maswali zaidi kuliko misemo. Mawazo ya binadamu ni mchakato wa kuuliza maswali na kutafuta majibu ya maswali. 12. Mawazo mazuri yanakuja wakati umetulia. Wapo wengine mawazo mazuri (good ideas) huwajia wakati wa kuoga, wengine wakati wakiomba, wengine wakati wakitafakari n.k Tambua ni muda gani kwako mawazo mazuri yanatiririka akilini mwako. Tenga muda kwa ajili ya kuipa nafasi akili yako kutoa mawazo mazuri. Hakikisha unaandika mawazo unayoyapata. Ukijenga utaratibu huu utakua ni mtu wa tofauti, fursa kibao utaziona. 13. Ubora wa maisha yako unategemea vitu viwili: Ubora wa mawasiliano yako na ulimwengu wako wa ndani, na ubora wa mawasiliano yako na ulimwengu wako wa nje. 14. Watu hawafuti wafuasi, bali wanafuata viongozi. Ili watu wakufuate lazima uwe kiongozi na si kua mfuasi (follower). Unaweza kua huyo kiongozi lakini kufanya hivyo lazima kwanza ujue sababu ya wewe kuwepo hapa duniani. 16. Ukitaka kua tajiri huwezi kua kikawaida kawaida tu. Watu wanaotengeneza mamilioni ya hela sio watu wa kawaida tu, kwa sababu wanafanya vitu ambavyo watu wa kawaida hawavifanyi. Kwani idadi kubwa (majority) ya watu ni matajiri? La hasha, matajiri ni sehemu ndogo sana ya watu wote. Hii ina maana kwamba ukichagua kufanya kama idadi kubwa ya watu wafanyavyo, tegemea kupata matokeo wanayoyapata. Ila kama unataka kua mtu asiye wa kawaida, basi huna budi kufanya vile vitu ambavyo wale wachache (matajiri) wanavifanya. 17. Pindi maoni yako (opinion) kuhusu wakati uliopita, wakati ulionao na wakati ujao yanapokua chanya utakua mwenye furaha. Ila pale maoni yako ya jana yako, leo yako na kesho yako yanapokua hasi (negative) utakua usiye na furaha. Hata kama jana yako haikuwa nzuri usipende kukumbatia maoni mabaya kuhusu hiyo jana, chukua yale masomo mazuri uliyoyapata kwenye hayo mabaya yatumie hayo kujiboresha. 18. Kitu pekee tunachopaswa kufanya kwa past (wakati uliopita) zetu ni kusamehe. Samehe jana yako, samehe kwa yale ambayo si mzuri yalikupata. Jana imepita na haitarudi kamwe, usiposamehe jana yako unakua umefungwa na minyororo imara kuliko chuma. Samehe wote waliokukosea jana, samehe yote yaliyokupata jana, hii ndiyo njia rahisi ya kukufanya kua mwenye furaha. SOMA; Usikubali jua lizame leo kabla hujafanya kitu hiki muhimu. 19. Ndoto za watu wengine au malengo ya watu wengine. Watu wengi kwa kujua au kwa kutokujua tumejikuta tukiishi ndoto za watu wengine na kutekeleza malengo ambayo wala si ya kwetu. Aidha wengine ni kwa ushawishi wa wazazi au ndugu, Mfano mtoto anasomea udaktari kwa sababu baba yake ni daktari, au mtu unaambiwa usome kozi fulani kwa sababu ndiyo yenye soko zuri la ajira. Hata wakati mwingine unakuta malengo unayotekeleza uliyaona kwa rafiki yako ukayapenda na wewe ndio unafanya hivyo. Lengo au Ndoto uliyonayo kama si original kwako basi itakusumbua mahali tu, kuna viwango hutaweza fika maana ndoto si yako. Kama wewe ni moja ya watu ambao wamejikuta wakitumikia ndoto za watu wengine, jipange kutambua ndoto yako original ni ipi, halafu ifanyie kazi. 20. Nani unayetaka kumfurahisha? Kwa kawaida tunapenda kuwa level moja na wenzetu, tukiogopa kwenda hatua ya juu maana tunaona kwamba tutapoteza marafiki zetu, wakati mwingine unaogopa kufanikiwa kuliko marafiki zako maana watakusema vibaya, kwamba unaringa n.k Hivyo tunaona ni bora kuwafurahisha hawa marafiki kwa kutokufanikiwa. Mbaya zaidi hii inajengeka kwenye subconscious mind ambayo ndiyo yenye nguvu kubwa na usiyokua na maamuzi nayo. Previous Article Ushauri Kwa Waajiriwa Wapya Wote Wa Mwaka Wa Fedha 2014/2015 Next Article Kama Umewekeza Kwenye Majengo Yafahamu Magonjwa Sugu Yanayo Athiri Majengo.
"2017-09-21T01:29:39"
https://amkamtanzania.com/2015/07/07/mambo-20-niliyojifunza-kwenye-kitabu-kinachoitwa-the-secret-code-of-success/
[ -1 ]
DJ Fetty: Staili Mpya ya Nywele ya Wema Sepetu yawa Gumzo Mtandaoni..Wengi Wamsifia Wachache Wasema Haya DJ Fetty Staili Mpya ya Nywele ya Wema Sepetu yawa Gumzo Mtandaoni..Wengi Wamsifia Wachache Wasema Haya Picha za Wema Mpya Alizoweka Jana kwenye Mtandao wa Instagram Akiwa arusha na Mashabiki wake zimezua Mjadala huko Instagram Huku wengi wakimsifia kwa jinsi alivyopendeza na mkata huo wa nguvu baadhi ya wachache ambao inaaminika ni mashabiki wa Zari walitoa maoni yao na kusema kumbe hata wema hana nywele za mbele kama Zari ...ikumbukwe kipindi cha nyuma Team Wema Sepetu Walikuwa wakimkejeli Zari kuwa anakipara ..... Je Wewe Msomaji Una Maoni Gani ? Angalia Picha zingine Hapa Chini: ELIUD SAMWEL20 March 2015 at 14:23Mwache bhana maana tunakoelekea atasababisha dada zetu wawe na vipara suguReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:35merc-slim pelangsing-mercslim pelangsing herbal pelangsing usa/ pelangsing import mercslim alami obat pelangsing pelangsing tubuh/ herbal pelangsing sehat langsing pelangsing aman/ kapsul pelangsing merc-slim pelangsing-mercslim pelangsing herbal pelangsing usa/ pelangsing import/ mercslim/ obat pelangsing/ pelangsing tubuh herbal pelangsing sehat langsing pelangsing aman kapsul pelangsing merc-slim pelangsing-mercslim pelangsing herbal pelangsing usa/ pelangsing import mercslim alami obat pelangsing pelangsing tubuh/ herbal pelangsing sehat langsing pelangsing aman/ kapsul pelangsing pelangsing herbal obat pelangsing pelangsing tubuh"> herbal pelangsing sehat langsing/ pelangsing aman/ kapsul pelangsing/ mercslim/pelangsing-badan/ReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:35Alat Bantu Pasutri Alat Bantu Sex Pria Vagina Pantat Nungging Alat Bantu Pria Vagina Tabung Silikon Manual Alat Bantu Pria Vagina Bulu Getar Silikon Elektrik Vagina Getar Silikon Elektrik Alat Bantu Sex Pria Vagina Fleshlight Alat Bantu Sex Pria Penis Tempel Silikon Elektrik Penis Ikat Pinggang Getar Elektrik Penis Sakky Getar Elektrik Penis Naga Getar Silikon Elektrik Penis Mutiara Getar Elektrik Penis Getar Silikon Elektrik Vibrator Penggeli Puting Susu PayudaraBoneka Full Body Sexy dan Cantik Vagina Pantat Nunggin Vagina Getar Goyang Silikon ElektrikVakum Pembesar Penis Alat Bantu PriaAlat Bantu SexAlat Bantu WanitaSeksualitas WanitaReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:36kondom getar alat bantu sex vagina obat disfungsi ereksi viagra usa cialis obat kuat herbal sex fly d5 sex liar perangsang gairah wanita vimax alami obat pembesar penis herbal pro extender pembesar penis modern vagina getar 2 lubang alat bantu sex pria vagina getar disfungsi ereksi kuat tahan lama alat pembesar payudara vacum payudara obat herbal vitalitas boneka sex full body vacum penis pria penis ikat pinggang elektrik penis tempel telur kondom kristal duri neosize xl selaput dara made in japan penis mutiara getar goyang obat penyubur sperma smenax vimax extender obat kuat tahan lama vimax asli canada procomil spray spray germany obat kuat semprotReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:36pembesar penisvimax canada asli vimax canada izoon vimax canada import vimax canada herbal vimax asli canadavimax pembesar canadavimax pembesarpembesar penispembesar canadavimax originalvimax asli canadavimax canadavimax canada asli pembesar penis canadavimax originalvimax canada pembesarobat vimax canadavimax obat canada pembesar canadavimax originalvimax asliasli vimaxvimax canadapembesar canadavimax originalvimax canadavimax canadavimax canadavimax canadapembesar canadavimax originalvimax canadavimax canadavimax canadapembesar canadavimax canada originalvimax besarpembesar canadakapsul canadavimax originalvimax pill canadavimax canada aslipemanjang canadavimax canada originalvimax ozoon canadavimax canada ozoonozoon vimax canadavimax ozoon aslicanada ozoonvimax top canadavimax canada toptop vimax canadaobat vimax canadaherbal vimax canada vimax herbal pembesarvimax herbal oriReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:37obat-pelangsing-herbal-meizitang/pelangsing-badan-bio-slim-herbal/kapsul-pelangsing-abc-acaiberry-softgel/herbal-slim-plus-obat-pelangsing-super/ obat-herbal-dan-celana-terapi-hernia/ obat-mata-eye-super-pill/ suplemen-peninggi-badan-grow-up-super pelangsing-badan-bio-slim-herbal kapsul-pelangsing-abc-acaiberry-softgel kapsul-pelangsing-fatloss-jimpness obat-herbal-pelangsing-lida-dali herbal-slim-plus-obat-pelangsing-super teknologi-vacum-pembesar-payudara obat-herbal-diabetes-ling-zhi obat-pelangsing-herbal-meizitang kapsul-obat-herbal-usa-fruit-plant-andmercslim/pelangsing-badanpelangsing-badanmercslim/pelangsingmercslim/obat pelangsingobat pelangsingmercslim herbalmercslim usapelangsing usapelangsing importobat pelangsing usapelangsing alamiherbal pelangsing usaReplyDeleteGrosir Toko23 August 2015 at 08:48vimax canadavimax herbal orivimax aslijual vimax canadapembesar vimax canadavimax canada aslivimax canada importReplyDeleteCầm Trương Thị Mộng1 June 2016 at 19:36Beautiful girl and all Nice photos. I love that.Thank you for your post.Trương CầmBeautyful girl at Sakura Beauty CorpReplyDeleteAdd commentLoad more...
"2017-05-25T01:19:15"
http://djfetty.blogspot.com/2015/03/staili-mpya-ya-nywele-ya-wema-sepetu.html
[ -1 ]
Tume inapata Maoni juu ya updated #DraftBudgetaryPlan ya Luxembourg - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU Tume inapata Maoni juu ya updated #DraftBudgetaryPlan ya Luxemburg Tume ya Ulaya imepitisha yake Maoni juu ya updated Rasimu ya Mpango wa Bajeti ya Luxemburg na kupatikana Mpango uliowekwa wa 2019 kuwa kikamilifu kulingana na sheria za Mkataba wa Utulivu na Ukuaji. Hata hivyo, Tume inakaribisha mamlaka kuharakisha maendeleo juu ya sehemu ya miundo ya mapendekezo ya fedha walielezewa kwao na Baraza la Julai iliyopita. Kufuatia uchaguzi mkuu juu ya 14 Oktoba 2018, serikali mpya ilianza kufanya kazi katika Luxemburg juu ya 5 Desemba 2018 na iliwasilisha Mpango wa Bajeti wa Rasimu wa 2019 mwezi 5 Machi 2019. Inasasisha Hakuna sera ya mabadiliko Rasimu ya Bajeti iliyotolewa na serikali iliyotoka katika 15 Oktoba 2018. Luxemburg kwa sasa ni chini ya mkono wa kuzuia Mkataba wa Utulivu na Ukuaji. Tags: eu, featured, full-picha, Luxemburg jamii: Frontpage, EU, Tume ya Ulaya, Luxemburg « Ajira na maendeleo ya kijamii katika Ulaya: Idadi ya kumbukumbu ya watu katika ajira, lakini uwekezaji zaidi katika ujuzi unaohitajika Mei lazima iende mara moja mpango wake wa #Brexit unafuta bunge: lawmaker »
"2020-02-25T18:57:46"
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/03/26/commission-adopts-opinion-on-luxembourgs-updated-draftbudgetaryplan/
[ -1 ]
AntiPoverty and AIDS Organization Time Submitted: September 28, 2011 at 10:06 AM EAT Anti Poverty and AIDS Organization KUJENGA UWEZO WA ASASI KUANDIKA MIRADI FCS/RSG/1/10/228 Dates: September 2011Quarter(s): !st Qrt Stella Otto, S.L.P.468 Morogoro, stellaotto34@yahoo.com Kwa kuwafundisha viongozi na wanachama juu ya uandikaji wa mchanganuo wa Miradi. Uwzo wa shirika utakuwa umeongezeka juu ya jinsi ya kuandika michanganuo wa miradi Morogoro Morogoro Kata 29 wanachama 22 MorogoroKata 29 zote za Manispaa ya MorogoroMorogoro wanachama 22 D. Total beneficiaries reached Direct BeneficiariesIndirect BeneficiariesFemale11Wanachama Male11WanachamaTotal228 Uelewa wa viongozi na wanachama juu ya uandikaji wa mchanganuo wa miradi umeongezeka. Mafunzo juu ya Uandikaji miradi ya Asasi ya jamii. Idadi ya watu 22 wakiwemo wanachama na viongozi walifundishwa jinsi ya kuendesha ASASI katika njia ya kuibua na kuandika miradi warsha ya siku tano iliyofanyika katika ukumbi wa RED CROSS Morogoro. Mradi wa mafunzo ulitekelezwa kama ulivyopangwa Kiasi cha Tsh.1,664,000/= zilitimika kwa shughuli hii. Uwezo wa Wana chama 22 juu ya kutayarisha uandikaji wa michanganuo ya miradi umeongezeka . Matokeo yataonekana baada ya muda kidogo kupita. Viongozi na wanachama wamepata elimu ya uibuaji na uandikaji miradi ambayo hawakuwa nayo lakini bado mapema kuona matokeo au mabadiliko. Ratiba ilifuatwa Mafunzo juu ya uibuaji na uandikaji miradi kwa ajili ya Asasi ni jambo gumu kwa kila mwanachama kuelewa haraka hivyo inahitajika kurudia mafunzo haya mara kwa mara. Wana chama nao wanahitajika kufanya mazoezi kila wakati. Challenges Kwanza kabisa kulikuwa na mfumuko mkubwa wa bei ambao ungetufanya tushindwe kufikia malengo Tulitumia michango ya wanachama ili kukabiliana na mfumuko huu wa bei. Linkages Serikali Kufungua mafunzo na mgeni mwalikwa kuturuhusu kufafanya mafunzo CMMUT Walishiriki na walitoa mchango mkubwa katika uzoefu wa uendeshaji wa ASASI YDFKutoa mafunzo ya mazoezi Future Plans Kutoa mafunzo juu ya utunzaji wa rasilimali za shirka na aina zakumbukumbu ya fedha na taratibu za manunuzi kuthibiti uharibifu na kuongeza uwajibikaji.October Kundika taarifa ya mwishoOctober Beneficiaries Reached WidowsFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal0(No Response)People living with HIV/AIDSFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)ElderlyFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)OrphansFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)ChildrenFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)DisabledFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)YouthFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response)OtherFemaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaMaleHakuna TaarifaHakuna TaarifaTotal(No Response)(No Response) Taarifa hii haikuwa rahisi kupata Usimamizi wa RuzukuFeb 2011Uendeshaji wa miradi na utunzaji wa vitabu vya hesabuTumefungua vitabu vyote vya utunzaji wa kumbukumbu za Asasi Jinsi ya kuendesha mipango na miradi pamoja na utunzaji wa vitabu vya hesabu. Nov,2010 Uendeshaji wa miradi na utunzaji wa vitabu vya hesabu Tumefungua vitabu vyote vya utunzaji wa kumbukumbu za Asasi Utunzaji wa kumbukumbu za fedha Nov. 2010Utunzaji wa vitabu vya fedha Tumefungua vitabu vyote vya utunzaji wa kumbukumbu za Asasi Attachments Headed_letter_023.jpgHeaded_letter_024.jpgHeaded_letter_023.jpg
"2016-12-05T12:34:01"
http://envaya.org/fcs/page/fcs-narrative-report/response/62269
[ -1 ]
Kiswahili, John: Lesson 053 - Maoni tofauti tofauti juu ya Yesu kati ya watu na kwenye Baraza Kuu (Yohana 7:14-53) | Waters of Life Home -- Kiswahili -- John - 053 (Disparate views on Jesus) YOHANA 7:45-49 „Basi wale watumishi wakawaendea wakuu wa makuhani na Mafarisayo. Nao wakawaambia, Mbona hamkumleta? Wale watumishi wakajibu, Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena. Basi Mafarisayo wakawajibu, Je, Ninyi nanyi mmedanganyika? Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo? Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.“ Wakati Yesu alipokuwa anafundisha hekaluni, Mafarisayo walikutana wakitazamia watumishi wao wamshike Yesu na kumleta kwao. Makuhani wakuu wanatajwa kama zaidi ya mmoja, iwapo kuhani mkuu huwa aongoza baraza kuu kwa maisha yote. Basi Warumi waliotawala mara kwa mara waliwaondoa katika nafasi yao. Kwa sababu hiyo kulikuwa na makuhani makuu kadhaa wakati wa Yesu walioondolewa na Warumi; lakini wote walikuwa wa ukoo wa kikuhani na kuendelea kuheshimiwa na Wayahudi. Kawaida walikuwa ni Masadukayo na kuelekea kutafakari huru kuhusu torati, na hivyo hawakupatana na namna ya kisheria ya Mafarisayo. Hata hivyo Mafarisayo barazani waliketi sambamba na makuhani. Wao kama washika torati walikataa kutafakari namna ya kiyunani, na wakafanya sheria kuwa msingi wa imani yao na njia ya kufanya kazi katika chama chao. Walikuwa na mioyo migumu, wakimheshimu Mungu kwa ukali wa msimamo wao kwa ajili yao wenyewe na wengine pia. Wote, Mafarisayo na Masadukayo walikasirika kwa kukosa kumshika Yesu. Wanafunzi wake hawakumpigania wala makutano hawakumlinda, lakini maneno yake yakawaingia moyoni wote, basi hawakujaribu kumshika, kwa sababu walitambua nguvu ya Mungu iliyotenda kazi ndani yake. Kwa jambo hilo Mafarisayo walikuwa wamesisimuka na kuwakemea watumishi wa hekalu wakisema, “Ninyi nanyi mmejiunga na makundi ya huyu mdanganyi? Hata mmoja wa waheshimiwa washiriki wa baraza anamwamini. Hakuna mwumini mwaminifu ambaye angethubutu kumfuata huyu Mgalilaya.” Kwa kweli wengi walianza kumpenda Yesu, ila walikuwa ni watu wa kawaida tu, waliodharauliwa, waovu au wenye tabia mbaya. Yeye aliwahi kukaa nao na kushiriki kula nao na hivyo kuwaheshimu kwa kuwepo kwake. Lakini waliojidai kuwa wacha Mungu walidharau hao watu na kuwahesabu kama walaaniwa. Waliwatazama kwa miwani ya kisheria. Ila kwa hali halisi hao wadharauliwa ndiyo waliomfuata Yesu. Wengine wao waliwahi kukiri makosa yao hata mbele ya Yohana Mbatizaji. Basi watawala waliwachukia umati huo, wakisahau kwamba walisema lugha moja nao na kufuata desturi za namna moja. Watu wote waliunda shirika la taifa moja mbali na matatizo au migawanyo iliyokuwapo kati ya madaraja mbalimbali. YOHANA 7:50-52 “Akawaambia Nikodemo, ( naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao), Je, torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo? Wakajibu, wakamwambia, Je, wewe nawe umetoka Galilaya! Tafuta ukaone ya kuwa kutoka Galilaya hakutokea nabii.” Mmoja wa wale waliokuwapo alisumbuka kwa uadui ndani ya baraza. Huyu alikuwa ni Nikodemo, aliyemjia Yesu sirini wakati wa usiku. Yesu alikuwa amemwonyesha wakati ule Haja ya kuzaliwa kwa upya. Hadi sasa alikuwa chini ya mvuto wa Yesu, akataka kupatanisha kwa niaba yake, bila kukiri wazi kwamba alimpendelea Yesu.Alitumia namna ya kisheria mbele ya baraza, iliyokataa kupitisha hukumu wakati mstakiwa hayupo. Mahakimu hata hivyo walimcheka huyu mtu mwenye dhamiri. Hata kama baraza lingeketi kwa hukumu, ingekuwa jambo la maneno tu kijumla, kama wangemhukumu asiye na hatia kwa hatua za kudanganya. Wanashauri wakasikia kwamba ushahidi wa kukomesha ilikuwa kwamba, Yesu ni nabii wa uongo kwa vile alitoka Galilaya, mkoa uliodharauliwa na Wayahudi kwa ajili ya kuwa walegevu kuhusu kushika amri. Waliona hakuna Maandiko inayotaja kwamba Masihi mtazamiwa au nabii wa siku za mwisho atokee kule. Mafarisayo walihakikisha kwamba ni mwongo, hivyo wakamdhihaki Nikodemo, aliyetamani kumweleza Yesu mbele zao, ili kuwashawishi kwa uhodari wa maneno yake, jinsi yeye alivyomwaminisha Nikodemo mapema. Page last modified on March 18, 2014, at 11:10 AM | powered by PmWiki (pmwiki-2.2.50)
"2018-04-20T00:49:53"
http://waters-of-life.net/index.php?n=Kiswahili.BkNt04JnCh053
[ -1 ]
Samatime: MZEE MAJUTO AITWA BAKWATA MZEE MAJUTO AITWA BAKWATA SIKU chache baada ya ndoa ya supastaa wa vichekesho Bongo, Amir Athuman ‘Mzee Majuto’ kuvunjika, mke aliyeachika amekimbilia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) kutoa malalamiko yake, Amani liko mbele kukuhabarisha. Rehema Omar (20) ndiye mke aliyeachwa na Mzee Majuto, Septemba 14, 2013 alikimbilia Makao Makuu ya Bakwata Wilaya ya Kinondoni yaliyopo Hananasif, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa msichana huyo, mambo aliyoyazungumza kwenye ofisi hiyo ni matatu, kwanza kutopewa talaka baada ya kuachika. Akasema akimuuliza Mzee Majuto kuhusu talaka yake anamwambia amempa mwanamke mmoja aitwaye Rehema amfikishie, akahoji: “Kwani huyo Rehema ndiye aliyenioa?” Rehema Omar na mumewe Mzee Majuto siku ya ndoa yao. Pili, akasema wakati anakaribia kufunga ndoa, mzee huyo alimwachisha kazi mahali na pia alimhamisha kwenye chumba alichopanga. Tatu, akasema kutokana na hayo yote anaomba alipwe fidia ya fedha kwa sababu ya usumbufu alioupata. Rehema akasema kutokana na malalamiko yake, viongozi wa Bakwata walimpa barua ya kumfikishia Mzee Majuto yenye kichwa cha habari cha WITO. Rehema Omar. Mzee Majuto anatakiwa kufika bila kukosa kwenye ofisi hizo, Septemba 23, mwaka huu ambayo itakuwa Jumatatu ili shauri lake na mwanamke huyo lizungumzwe. Juzi, Amani lilimpigia simu Mzee Majuto lakini muda wote iliita bila kupokelewa. Toleo la gazeti hili lililopita, tuliandika ukurasa wa mbele habari yenye kichwa; NDOA YA MZEE MAJUTO YAVUNJIKA. Kwenye utetezi wake, mzee huyo alisema alimwacha mwanamke huyo baada ya kugundua hajatulia.
"2017-07-27T14:52:20"
http://samatym.blogspot.com/2013/09/mzee-majuto-aitwa-bakwata.html
[ -1 ]
HABARI ZA JAMII: Watanzania Watakiwa Kuuenzi Utamaduni Wao Kupitia JAMAFEST Watanzania Watakiwa Kuuenzi Utamaduni Wao Kupitia JAMAFEST Aliyekuwa Mkurugenzi wa Masuala ya Utamaduni wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Hermas Mwansoko akitoa mada kuhusu masula ya utamaduni mbele ya Wajumbe mbalimbali waliohudhuria mkutano unaohusiana na masuala ya Tamasha la Utamaduni na Sanaa Afrika Mashariki (JAMAFEST) mjini Kampala, Uganda 12 Septemba, 2017. Baadhi ya Washiriki wa mkutano uliohusisha utoaji mada wa baadhi ya Viongozi mbalimbali toka nchi wanachama pamoja na wageni waalikwa kuhusiana na masuala ya umuhimu wa Tamasha la Utamaduni na Sanaa Afrika Mashariki (JAMAFEST) wakisikiliza uwasilishaji mada ukioendelea mjini Kampala, Uganda leo 12 Septemba, 2017. Na Benedict Liwenga-WHUSM, Kampala. Posted by Dotto Mwaibale at 2:59 AM
"2017-09-23T23:25:05"
http://www.habarizajamii.com/2017/09/watanzania-watakiwa-kuuenzi-utamaduni.html
[ -1 ]
MRISHO'S BLOG: Vicoba Moshi wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali Wajasiriamali wa Kilimanjaro Vicoba Network (KIVINET) wamepata elimu ya ujasiriamali baada ya kupata mafunzo yaliyoandaliwa na FINCA Microfinance Bank mjini Moshi …………………………….Mwisho………………….. Posted by Mrisho's Photography at 2:37 PM
"2017-08-17T21:19:06"
http://abdallahmrisho.blogspot.com/2017/05/vicoba-moshi-wanufaika-na-mafunzo-ya.html
[ -1 ]
SUMATRA watoa kauli kuhusu tiketi zilizoandikwa ‘Mke mmoja analemaza akili’ | Tabell Tanzania Home Habari za kitaifa SUMATRA watoa kauli kuhusu tiketi zilizoandikwa ‘Mke mmoja analemaza akili’ SUMATRA watoa kauli kuhusu tiketi zilizoandikwa ‘Mke mmoja analemaza akili’ Kwa watu wanaopanda magari ya Mbagala-Kivukoni jijini Dar es salaam kumekuwa na tiketi za baadhi ya mabasi zikiwa zimeandikwa ujumbe unaosomeka ‘Mke mmoja analemaza akili’, Ujumbe ambao umeonekana kuwakera baadhi ya watu na kupelekea picha za tiketi hizo kusambaa kwa kasi kwenye magroup ya WhatsApp wengi wakidai kuwa ujumbe huo upo kinyume na maadili, hatimaye SUMATRA wametoa neno. Mamlaka hiyo ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu, imetoa ufafanuzi kuhusu tiketi hizo na kusema kuwa hakuna adhabu ya moja kwa moja kwa mabasi yenye tiketi zenye ujumbe kama huo au ujumbe wenye kiashiria cha kuvunja maadili lakini gari husika linaweza kuadhibiwa kwa makosa mengine kama kushindwa kufuata taratibu. “Hakuna adhabu ya moja kwa moja kwa gari lenye tiketi yenye ujumbe usiokuwa na maadili, lakini gari husika linaweza kuadhibiwa kwa kosa la kushindwa kufuata taratibu, sheria za barabarani, pamoja na sheria zinginezo, ambayo faini yake ni Sh. 250,000,” amesema Meneja Leseni wa Sumatra, Leo Ngowi kwenye mahojiano yake. Akifafanua vifungu vya sheria za SUMATRA kuhusu tiketi, Ngowi amesema kwa mujibu wa kanuni za Sumatra, kifungu namba 33(2) (a) inayohusu mabasi yaendayo nje ya miji, tiketi zao zinapaswa kuwa na jina la abiria na namba ya kiti. Pia, tiketi inapaswa kuonesha muda wa kuwasili na kuondoka kituoni, kituo cha kuondokea, pamoja na njia itakayopita na mwisho wa safari. Kwa mabasi/daladala zinazofanya safari za ndani, tiketi zinapaswa kuwa na namba ya usajili ya gari, njia ya gari itakayopitia, nauli halisi, tarehe ya kukata tiketi, pamoja na namba ya leseni. Kwa upande mwingine, Sumatra imewataka abiria watakapopewa tiketi zenye ujumbe unaoshabihiana na huo, watoe taarifa kwenye mamlaka hiyo kwa kuandika barua ya malalamiko pamoja na kuambatanisha tiketi husika. Mke mmoja analemaza akili Previous article(3.87MB)Download Nchama The Best – PANDA FREESTYLE.mp3 Next articleMahusiano ya Alikiba na mrembo wa Kenya yaanza kuvuja. SHINDA GARI LA BUREEEE!!! Yaliyomo katika magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 11-6-2018. Yaliyomo katika magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 10-6-2018. (3.57MB)Download Dudubaya – DELA.mp3 (4.61MB)Download Godzilla – Save My Soul (SMS).mp3 (OFFICIAL VIDEO )Zahra – NAMTAFUTA.mp4 Mwanasayansi maarufu wa fizikia prof Stephen Hawking afariki dunia. (3.80MB)Download Wahu – My Everything.mp3 (3.27MB)Download Gelly ft AY – UNFOLLOW.mp3 (OFFICIAL VIDEO)Ferooz – NAJARIBU.mp4 (3.24MB)Download Single Sally – MAOMBOLEZO YA AQUILINA.mp3 (3.50MB)Download Lil Ommy ft Leo Mystereo, Tana Bway, Deddy, Pink, Chemical,... (3.50MB)Download Victoria Kimani – Should Be.mp3 (3.51MB)Download Harmonize ft Diamond Platnumz – KWANGWARU.mp3 Habari za kitaifa928 Mp3 Download818 Habari za Mastaa na michezo527 Je wajua na Teknolojia286 Habari za kimataifa209 Aliyetobolewa macho na Scorpion Kufikishwa Mahakamani Yaliyomo katika magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 06-01-2018
"2018-06-19T12:32:12"
https://tabelltz.com/2018/03/13/sumatra-watoa-kauli-kuhusu-tiketi-zilizoandikwa-mke-mmoja-analemaza-akili/
[ -1 ]
WanaJF: Dowans - Unafiki; Maneno Mengi zaidi ya Vitendo!! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers WanaJF: Dowans - Unafiki; Maneno Mengi zaidi ya Vitendo!! Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by MsandoAlberto, Jan 18, 2011. Mjadala wa Dowans umezidi kuendelea. Wazungumzaji wamekuwa wengi. Kila mtu anatoa mawazo yake. Kila mtu anatoa msimamo wake. Mtanzania wa kawaida haelewi nini cha kufanya. Mjadala wa wasomi unamuhusu nini? Kinachomuhusu yeye ni ugumu wa maisha zidisha mara tano!! Humu jamvini ni post baada ya post, Dowans! Dowans! Dowans! Mpaka watalipwa sisi tunapiga story tu! Mawazo yanayotolewa ya nini kifanyike yanaishia hewani!! Watu wanataka kuandamana lakini hakuna tarehe inayopangwa, hakuna maandalizi yanayofanyika! Inakuwa kama tumepigwa butwaa. Najiuliza, hivi mtu akibakwa mara kwa mara anaishia kulia tu bila kupiga kelele? Je anafika mahali anabaki kumwangalia mbakaji bila kuomba msaada? Eti akipiga kelele atakosa mtu wa kumuoa au akiolewa watu hawatamchangia!! Huu ni upunguani. Humu jamvini tunaongeleshana, tunajibizana na kushauriana lakini hujui unamshauri nani, unajadili na nani na matokeo yake ni yapi. Hapo ndipo ugumu wa utekelezaji wa mapendekezo unapotokea!! Inakuwa ni kupiga story tu!! Unafiki unachomoza, uoga unadhihirika! Nafikia mahali naanza kuvisualize posts zitakazo andikwa siku Dowans wanalipwa! Lakini itakuwa too late!! Tutakuwa tushabakwa tunabakia kulalamika na kumuachia Mungu amlaani aliyetubaka!! Tukubaliane cha kufanya, tarehe ya kufanya, mahali pa kufanya na jinsi ya kufanya. Kama hatuwezi basi tuharakishe walipwe maisha yaendelee. Kama huwezi kuzuia kubakwa basi tembea na kinga mbakaji akija mpe atumie usipate maambukizo na mwambie amalize haja yake haraka wewe uwahi kufanya mambo mengine!! Kwa kitakachopendekezwa nitashiriki. Kama ni kwa mkoa Arusha nitashiriki kikamilifu. KUMBUKA. 1. Hatupingi sheria kwamba ukishtakiwa na ukashindwa kesi unatakiwa kulipa. 2. Hatupingi kwamba tumesaini treaty/convention iliyoanzisha ICC. Tunapinga; 1. Mkataba feki kati ya Richmond na Tanesco kuidhinishwa na kutoa haki kwa Dowans hata kama tumechelewa kupinga. 2. Tunapinga uharaka wa kulipa deni hilo. Na pia matisho kwamba tutanyimwa misaada. Sasa kama ni misaada si watusaidie kulipa hilo deni? Si msaada pia? Au? 3. Tunapinga kauli mbalimbali kwamba Dowans lazima walipwe bila kujaribu kuweka pressure ili kujua ukweli wa kilichojiri mpaka tupo hapa tulipo. Tunataka; 1. Aliyeisajili Richmond nchini bila kujiridhisha uhalali wake awajibishwe. Tumjue ni nani na hatua gani zimechukuliwa. 2. Tunataka aliyeshiriki mazungumzo na Richmond i.e vikao nk awajibishwe na atueleze aliifahamuje hiyo kampuni na alifanya due diligence search akagundua nini mpaka wakasaini mkataba. 3. walioshauri kuvunja mkataba na kupongezwa na PM watoe maelezo kwa nini walitushauri vibaya na ikiwezekana tuwafungulie mashtaka kwa professional negligence na kudai fidia. 4. Waliotuwakilisha huko ICC au hotelini watueleze wameshindwaje kesi hii. Ni uwezo mdogo au walifanya makusudi? 5. Dowans hatuna hela za kuwalipa sio kwamba hatutaki peke yake. Mdaiwa hafungwi jamani. Na sheria inakataza kushika mali za serikali sasa tusipolipa inakuwaje? Mbona Omar Bashir amegoma kwenda the Hague na bado anaendelea na maisha? Huu wema wetu utatuponza! Tufike mahali tuamue na tutende! Hakuna cha kusubiri! Kwenye mjadadala huu yalinadikwa yafuatayo: 1. 'Jamhuri Ya Ukombozi' yaundwa ndani ya Tanzania inahusisha Warundi na Watanzania Originally Posted by bonvize Ni vizuri kuangalia jambo hili katika upeo mpana zaidi,kwa kuwa hata nchi ambazo hazina utulivu sasa kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe zilianzia kwenye vikundi kama hivi ambavyo vilikuwa na nia ya ukombozi kutokana na unyonyaji unaofanya na kikundi kidogo cha watu kilichopatiwa thamana ya nchi kwa hila na mbinu chafu (kwa mf CCM). Kutokana na watu kukata tamaa halitakuwa jambo jipya kuona vikundi kama hivi vikiibuka kutoka pembe tofauti za nchi yetu kwa kuwa watu wamepoteza imani na watu waliopewa dhamana kwa hiyo wanaweza kukabidhi imani yao ha kwa wehu kama hao. Ni kweli suala hili liangaliwe kwa upana wake. Niliwahi kuandika humu kuwa hivi sasa wadanganyika wanakosa kiongozi kama kinjeketile atakayewaambia risasi zitageuka maji, na watamfuata; kwa maana wamechoka na hali hii mbaya ya maisha. Sasa isije ikawa kuna mtu kishajitokeza; kwa hakika anaweza kupata wafuasi wengi katika muda mfupi sana, maana mtu ambaye hana uhakika wa kula hata mlo mmoja, na wakati huo huo anasikia mbunge analipwa zaidi ya 100,000 kwa kikao cha siku moja, anasikia watu wamekwiba fedha nyingi na bado hawachukuliwi hatua, na wakati huo huo yeye anaambiwa nchi ni maskini; akiambiwa njoo tuna silaha za kutufanya tupate milo mitatu kwa siku hakika atakubali kujiunga nao; kwake kuwa msituni akauawa huko ni sawa kwani hata bila ya kuwa msituni yupo anakufa taratibu na 'amani' yake. Wakati tukitafuta namna ya kuwaangamiza watu hawa mara moja, tuwe tayari pia kushughulikia mafisadi ambao wanaweza kuwa sababu ya watu hawa kujiunga pamoja! Mantiki ya hoja hiyo hapo juu, bado yana msingi Wakati tukitafuta namna ya kuwaangamiza watu hawa mara moja, tuwe tayari pia kushughulikia mafisadi ambao wanaweza kuwa sababu ya watu hawa kujiunga pamoja! Mantiki ya hoja hiyo hapo juu, bado yana msingiClick to expand... Ni kweli kabisa. Idadi ya watu wanaoamua kuokoka inaongezeka, kwa nini? Wananchi wameamua kufind answers za matatizo yao sehemu nyingine. Lakini na hao wanaoanzisha makanisa (sio wote) wengine ni njia ya kupata kipato! Wanawachangisha wananchi fedha na vito vya thamani ili na wao wapate kula. Itafika mahali atatokea mtu atawapa tumaini jipya, msitu! Atawapa imani mpya, kisasi! Wengi watamfuata na hapo tutakuwa tumechelewa! Itafika mahali atatokea mtu atawapa tumaini jipya, msitu! Atawapa imani mpya, kisasi! Wengi watamfuata na hapo tutakuwa tumechelewa!Click to expand... Hoja zako zinaongeza pressure kumwoyo! Nimekaa mbele ya pc napigapiga meza sijui cha kufanya. Lakini kilio hiki kipo all over Tanzania...Na kwa mfumo wetu wa utawala, mwakilishi wa wananchi ni Mbunge...Je mbunge huyu ni lazima awe ndani ya mjengo ndipo aweze kuongea kero za wananchi wake?...hakuna njia mbadala ya ku'petition hoja 'pressing' kama hizi ili kuzishughulikia?...Hivi hakuna Bubge la dharula? Njia ya Maandamano ni kweli ingefanya kazi kwa sehemu zinginezo duniani..lakini njia hii haijaprove kutoa matunda kwa hapa nchini!...sipendi ukumbusha ya Arusha! Mkuu alishatamka kwamba "sipendi kuona watu wanaenda kwenye maongezi wakiwa na plasta", kwa maana kwamba yeye anaona dawa ya maandamano yoyote ni kuyapiga mabomu!... Vinginevyo kwa sasa tutaendelea tu kuandika sana hapa, lakini kama hatumove just an extra milimetre kujaribisha next level, basi tusitegemee badiliko! Ni ukweli mbaya sana huu! Vitendo bila kuchelewa!!! ndio siri, yamafanikioooo katika kazi!!!!!!! Kama tunapinga malipo, tupinge kwa vitendo sasa, mijadala inatosha. Watu wanataka kuandamana lakini hakuna tarehe inayopangwa, hakuna tarehe iliyopangwa,hakuna maandalizi yaliyofanyika.Inakuwa kama tumepigwa butwaa.Tukubaliane cha kufanya, tarehe ya kufanya, mahali pa kufanya na jinsi ya kufanya. Kama hatuwezi basi tuharakishe walipwe maisha yaendelee. Huu ni upunguani. Humu jamvini tunaongeleshana, tunajibizana na kushauriana lakini hujui unamshauri nani, unajadili na nani na matokeo yake ni yapi. Hapo ndipo ugumu wa utekelezaji wa mapendekezo unapotokea!! Inakuwa ni kupiga story tu!! Unafiki unachomoza, uoga unadhihirika!! Tufike mahali tuamue na tutende! Hakuna cha kusubiri!Click to expand... Nakubaliana na wewe asilimia 100,tumekuwa watu wa maneno sana,tutende,tutakuwa tumetenda haki kwa kuwa na ufahamu wa haya yote.Tuwe viongozi, i guess many of us will be proud to be part of this movement against DOWANS and any other evil/corrupt decision made that costs us.....Thank you for this post! Mi niko tayari wewe je????:amen: Ni ukweli mbaya sana huu!Click to expand... PakaJimmy, mimi nilikuwepo Arusha siku maandamano na siku ya mazishi. Kuna kijana mmoja hana zaidi ya miaka 21. Alikuwa amekaa chini ya jukwaa kuu huku Diwani mmoja wa CCM anaitwa Mawazo akiwa anaongea baada ya raia kumshikia bango amefuata nini kwenye mkutano tar 5. Yule kijana alikuwa haongei anamuangalia machozi yanamtoka kwa hasira!! Nikawa namuangalia, mara akasogea pembeni akanyanua jiwe!! Wakati Mawazo anashuka taratibu kijana akawa anajipenyeza kumkaribia ampige jiwe. Nikamshtua bouncer akamuwahi. Aliponyang'anywa jiwe dogo akaendelea na kilio huku akisema 'labda huyu k*** ahame Arusha'. Ilibidi Mawazo apakiwe kwenye gari ya Dr Slaa aokolewe!! Hiyo ni hasira! Je nikimpa huyo kijana SMG nikamuelekeza alipo waziri fulani inakuwaje? Wapo vijana wengi ambao wamechoka. Ukiangalia umati wa NMC utaona imani mpya na tumaini jipya linavyojengeka. Kama CDM watatumia vibaya hasira na kuchoka kwa wananchi hakuna atakayekuwa salama. Kila mwenye shida anamuona asiye na shida ndiye mbaya wake. Angalia hasira za wananchi Mbarali, mwekezaji ndie tatizo! Choma gari lake. Polisi wanaomtetea tatizo, tukabidhiwe tumwonyeshe! Tunaenda wapi? Unadhani tuko mbali? Hapo machame kuna wananchi wana hasira na mwekezaji eti ameloga mvua. Mvua hainyeshi kwa sababu ameanzisha shamba la maua! Utajiuliza Albert hii ni nini? Na mimi nitakuuliza hivyo hivyo!! Ila ni ishara ya hasira na njia ya kutafuta mbaya wao hata kama sie! Kuandamana inaweza sababisha kipigo. Kipigo ni njia ya kutuogopesha. Lakini pia huwa kinaleta usugu na hasira zaidi. Watawala wakiamini kwamba tunaogopa hata tuandike vipi wanajua hakuna la zaidi tutakalofanya. At least maandamano yatafanyika mchana. Hayakuwa na silaha. Wasiwasi wangu ni pale yatakapofanyika usiku baada ya kuandaliwa msituni! Yatakapokuwa na silaha kutoka kwa wasomali na burundi! Hapo itakuwa tabu. Fikiria hasira uliyonayo na umekaa mbele ya PC ulinganishe na hasira aliyenayo aliyelala kwenye wheel barrow sasa hivi hana mzigo wa kubeba! Halafu wewe na yeye mkutane! Naomba sasa tukubaliane njia ya kuchukua, tuache maneno. Mimi naamini maandamano ni njia ya kwanza - nayaamini kwani hakuna hata sehemu moja ambako maandamano ya muda mrefu hayakuzaa matunda yaliyokusudiwa. Ni kweli yanagharimu maisha kama ilivyotokea Arusha, lakini si watu wengi watakaopoteza maisha kama vile kuingia msituni. Tumepoteza fursa ya Arusha; hayo ya Arusha yangeendelea kesho yake wangeua labda 20 au zaidi, na dsm mwanza na dodoma wangelipuka, maandamano yangeendelea na vifo vingeongezeka lakini wa dsm wangeelekea ikulu na wa dodoma kwa waziri mkuu, hakika ingefika mahali Pinda anaiacha ofisi (najua huyu angekuwa wa kwanza kuachia),halafu Jk huko ikulu angefika mahali nae akaachia maana waziri mkuu akishatoka maana yake baraza zima limetoka! nk na rais hawezi kutawala bila mawaziri na muda wa kuunda baraza jipya asingeupata au wapya ambao angewateua wasingekubali, wangeogopa nguvu ya umma! Tuondoe woga, tuandamane hasa wale walioko kwenye kitovu cha nchi; msitarajie watu wakaandamana njombe au kasulu kilio chao kisikike kama aliyeandamana dsm, dodoma, arusha na Mwanza. Tunisia walianzia kwenye mazishi ya kijana kijana aliyejichoma moto baada ya kudhulumiwa na askari wa halmashauri na malalamiko yake kufungiwa milango kila alipojaribu kuyapeleka, je sisi tunaanzia wapi? Wakianzisha CDM mnasema udini, ukabila nk, wakianzisha CUF mnasema udini nk mnasahau kuwa ugumu wa maisha hauchagui imani ya mtu. Naomba yeyote atakayeanzisha tumuunge mkono Wasomi ni kundi lenye nguvu sana katika jamii. Kwanza wanafanya utafiti pili wanaeleza suluhisho. Ndio maana zamani wasomi wa vyuo vikuu walikuwa wanaheshimika. Sasa hivi ukisikia mgomo chuo kikuu chochote ni kuhusu posho na mikopo yao. Hakuna atakayeanzisha mgomo chuo kikuu kupinga malipo ya Dowans kwa kuona kwamba wanakosa mikopo kwa malipo kama hayo kufanyika na matumizi mengine yasiyo ya lazima. Wanagomea kukosa mikopo lakini hawagomei sababu zinazosababisha mikopo na posho kukosekana!! CDM wakianzisha CCM hawatashiriki, CUF watataka kuanzisha ya kwao nk Napata tabu kujua njia ipi itumike. Kundi gani liongoze hii movement! Ngo's nazo zinaliangalia hili suala kwa kusita. Hakuna inayosimama kidedea kuingia front! Bado miguu yetu imekuwa reluctant. Vyovyote itakavyokuwa ngoja niwasilishe hoja kwa uongozi wa CDM kusikia msimamo wa chama ingawaje nisingependa tushindwe kushiriki kutokana na itikadi! Hili ni la watanzania wote! Alberto, unazidi kututia hasira na hoja zako. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu ambaye kwa kweli hili swala la Dowans halimpi shida. Ni wale tuu ambao Dowans imewanufaisha kwa namna moja au nyingine ndo wanalitetea. Kumekua na uozo ambao hahuhitaji hata kwenda shule ndo ujue uozo uliopo kwenye Dowans na mwenendo mzima wa kesi na uharaka wa kutaka kulipa deni. Unajiuliza ni kwa nini hawa watu wanaharaka hivi..kama wameshinda kesi si hela yao watapata?? Ila kwa vile hawajashinda ndo maana wanataka wapewe hela haraka. Kama ulivyosema hakuna atakaefungwa hapa kwa Tanzania kushindwa kulipa hizo hela, na ni lazima tujiridhishe kwanza kabla ya kufanya hayo malipo. Hili swala lipo wazi... ni ufisadi umefanyika hapo na hatuna haki ya kulipa, tunachotakiwa sasa hivi ni kuruka na mmoja mmoja aliyehusika kwenye mchakato mzima, kuanzia Richmond hadi hao walioiwakilisha serikali kwenye kesi na serikali kushindwa. Hao wote ni wa kukamata na kuwajibisha. Kwani ndiyo wanaipeleka nchi kwenye shimo. Tanzania imekua ni nchi isiyokua na tumaini tena, watu wake wamechoka kupita maelezo, ona maisha yalivyopanda, hata huduma zile za msingi zinapanda. Katika nchi yoyote, serikali inajivunia kwa kuweza kuzifanya huduma zote za jamii kuweza kumfikia mwananchi na kuzipata kwa uwezo wake na sio kumkomoa. Ona bei ya gesi, mafuta n.k hivi sisi wananchi kweli tutaacha kua na hasira? Imefikia sasa kila mtu anamuona mwenzie ndo mchawi na ndiyo anazidisha matatizo dhidi yake. Ni wakati wa kila mmojawetu wa kusema no na kunyanyuka hapo alipo na kuchukua hatua. Kama ni maandamano yasiwe ye CDM au CUF au NGO's yawe ya nchi nzima, najua CCM hawatataka maandamano kwani ni kuumbuka. Mungu ibariki Tanzania Mambo haya yoote, yana mwisho wake! na mwisho huo uko kariibu saaana! :smile-big:
"2016-12-11T04:20:56"
http://www.jamiiforums.com/threads/wanajf-dowans-unafiki-maneno-mengi-zaidi-ya-vitendo.103967/
[ -1 ]
Visiwa vya Marshall - Wikipedia, kamusi elezo huru Jamhuri ya Visiwa vya Marshall [[Picha:|110px|Nembo ya Marshall Islands]] Kaulimbiu ya taifa: "Jepilpilin ke ejukaan" Wimbo wa taifa: Forever Marshall Islands Mji mkuu Majuro 7°7′ N 171°4′ E Mji mkubwa nchini Majuro Lugha rasmi Marshallese, Kiingereza kutoka Marekani 21 Oktoba 1986 181 km² (ya 213) ‘‘(kidogo sana)’’ - Julai 2009 kadirio - 2003 sensa 68,000 (ya 205) 342.5/km² (ya 28) Fedha US Dollar (USD) Intaneti TLD .mh Kodi ya simu +692 Visiwa vya Marshall ni nchi ya visiwani ya Mikronesia katika Pasifiki ya magharibi. Nchi jirani katika bahari ni Nauru, Kiribati, Shirikisho la Mikronesia na eneo la Marekani la Kisiwa cha Wake. Atolli ya Majuro ina nafasi ya mji mkuu. Wakazi ni 68,000, wengi wakiwa wametokana na wenyeji wa kwanza. Upande wa dini, wengi ni Wakristo, hasa Wakalvini (51.5%), Wapentekoste, Wakatoliki, mbali ya Wamormoni (8.3%). 2.1 Majaribio ya kinyuklia Eneo la visiwa vya Marshall ni safu mbili za visiwa au atolli zinazoelea sambamba: safu ya Ratak upande wa mashariki na safu ya Ralik upande wa magharibi. Kwa jumla kuna visiwa na vipande vya atolli 1,150 katika eneo la bahari la km² 1,900,000. Jina limetokana na nahodha Mwingereza John Marshall aliyetembelea eneo hili mwaka 1788 na kulichora katika ramani. Ingawa visiwa vilikaliwa tayari tangu karne nyingi na watu kutoka Mikronesia lakini jina la Kizungu limebaki kwa ajili ya jumla ya visiwa. Mwisho wa karne ya 19 Ujerumani ulianzisha ukoloni juu ya visiwa ukaviunganisha kiutawala na Guinea Mpya ya Kijerumani. Katika vita kuu ya kwanza ya dunia vilitwaliwa na Japani iliyoendelea kutawala visiwa kama eneo lindwa kwa niaba ya Shirikisho la Mataifa. Baada ya vita kuu ya pili ya dunia vilikuwa chini ya Marekani. Mwaka 1979 visiwa vimepata madaraka ya kujitawala na hatimaye kupokea uhuru kufuatana na azimio la Umoja wa Mataifa mwaka 1990. Majaribio ya kinyuklia[hariri | hariri chanzo] Kuanzia mwaka 1946 Marekani ilitumia visiwa kwa ajili ya majaribio ya mabomu ya nyuklia. Hadi mwaka 1958 ilitokea milipuko 6,913 kwenye atolli za Bikini na Eniwetok. Hadi leo kuna wakazi wa visiwa wanavyoteswa na maradhi yaliyosababishwa na mnururisho wa mabomu haya. Bikini haitawezekana kukaliwa na watu kabla ya mwaka 2050, Eniwetok haifai kwa makazi ya binadamu kwa miaka 24,000 inayokuja. Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Marshall kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Visiwa_vya_Marshall&oldid=947666" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 22 Aprili 2015, saa 21:17.
"2019-04-24T09:07:49"
http://web.archive.org/web/20150912232040/https:/sw.wikipedia.org/wiki/Visiwa_vya_Marshall
[ -1 ]
Posted On Tuesday, 20 September 2016 05:34 Written by Tunayofuraha kuwataarifu wana Dudumizi na jamii kwa ujumla kuwa, baada ya kukaa jikoni kwa muda mrefu, tunatarajia kuzindua programu yetu ya mauzo, inayojulikana kama Michongo App. Application hii ya Michongo inakuwezesha kuuza na kununua bidhaa mbalimbali zilizopo kwenye punguzo. Michongo inajitofautisha na programu nyingi za mauzo ya online kwa sababu kuu zifuatao; 1. Michongo inauza bidhaakwa bei ambayo hauwezi kuipata sokoni. Inamaana, Michongo imeshabageni bei kwa ajili yako. 2. Michongo inatumia programu rafiki ya Affiliate kuwezesha watu kuingiza kipato kwa kila linki wanayosambaza kwa marafiki zao na rafiki akanunua bidhaa. Hii inamaanisha, Michongo ni agent wa timu ya sales itakayokufanyia kazi. Kwa mtindo huu, unaweza kupunguza gharama za kutangaza biashara yako hadi nusu kwa sababu hakuna gharama yoyote kwa kutangaza kwenye Michongo, pia kuna mamilioni ya watu watakuwa busy kusambaza link za bidhaa yako. Hii itawawezesha wajasiriamali wadogo wengi kuingia sokoni na kutengeneza ajira zaidi na zaidi, kama malengo ya Rais wetu (kuongeza ajira). 3. Michongo inakuwezesha kupata huduma kwa kutumia namba za kuponi. Hii inamaana, unaepuka kutembea na pesa (usalama) na malipo yote yanaishia kwenye Michongo na kukupa namba ya siri utakayoonesha kwa muuzaji. 4. Michongo inahusisha Bidhaa na Huduma. Programu nyingi zimejikita kwenye bidhaa pekee huku zikisahau Huduma. Michongo tumekufikia. 5. Michongo inakuwezesha kupata bidhaa zilizo karibu nawe zaidi kwa kutumia simu ya mkononi. Chukulia upo katikati ya mji na unataka kutafuta sehemu yenye punguzo la chakula ukapate chakula cha mchana. Utapata kwenye Michongo App. Katika uzinduzi huu, Michongo inaandaa tamasha la mauzo ambapo wafanya biashara watapata kuuza moja kwa moja bizaa na wateja kununua. Tamasha hili linaitwa Michongo festival . Michongo festival ni tamasha la aina yake kuwahi kutokea Tanzania ambapo wauzaji wataweza kuuza moja kwa moja, pia watapata nafasi ya kujua zaidi kuhusu michongo, kwakweli si la kukosa. Tamsaha hili litafanyika Oktoba 29, Mlimani City Idea hii ya Michongo ilianzia nchini China ambapo muanzilishi wa Dudumizi Mr Nyoni aliliwasilisha wazo la Michongo kwenye kongamano la wana electronics Duniani lililohudhuriwa na magwiji kutoka kampuni makubwa ya teknolojia Duniani, kama Intel, IBM, Microsoft na mengine mengi. Katika kongamano hilo Mr Nyoni alialikwa kama mtoa mada mkuu (Keynote Speaker) ambapo aliweza kuliwasilisha wazo la Michongo na jinsi gani litasaidia kukuza biashara kwa nchi zinazoendelea haswaa kwenye dunia ya leo ya mitandao, baada ya miaka mitano, leo hii anatimiza wazo hili. Wazo kamili la Michongo ni kuweza kufikisha huduma au bidhaa kwa uharaka, kwa watu wengi na bei nafuu, huku ukimsogezea mnunuzi bidhaa karibu na pia zilizo na machaguo yake. Mnunuzi anapata bidhaa zilizomlenga na zinazomfaa (selected) na zilizomzunguka (nearby) huku tukiongeza ushinani kwa watoa huduma. Michongo inalenga kuwapa sauti wanunuzi na kuwapa nafasi ya kuwashawishi wengine zaidi kununua bidhaa/huduma. Kujua mengi zaidi kuhusu Michongo na Michongo Festival tembelea http://festival.michongo.co.tz/ na kushiriki kwenye Michongo festival jisajili online kwa kwenda http://festival.michongo.co.tz/register-business.html More in this category: Libeneke jipya la biashara mtandaoni – Mavazi Store
"2018-02-20T11:58:43"
http://mjengwablog.com/item/27867-dudumizi-kuzindua-application-inayowezesha-wafanyabiashara-kuuza-na-kuwafikia-wateja-kiurahisi-popote-walipo.html
[ -1 ]
TANZANIA YAWAKARIBISHA WAKOREA KUSINI KUWEKEZA SEKTA YA VIWANDA - JIACHIE TANZANIA YAWAKARIBISHA WAKOREA KUSINI KUWEKEZA SEKTA YA VIWANDA - JIACHIE Home > TAARIFA MBALIMBALI > TANZANIA YAWAKARIBISHA WAKOREA KUSINI KUWEKEZA SEKTA YA VIWANDA Benny Mwaipaja,WFM, Seoul, Korea WAFANYABIASHARA wakubwa kutoka KOREA ya Kusini, wamekaribishwa kuja kuwekeza nchini Tanzania katika sekta ya viwanda vitakavyoongeza thamani ya bidhaa za kilimo, mifugo, mazao ya bahari pamoja na kutumia malighafi zinazopatikana nchini ili kusisimua uchumi wa taifa na kukuza ajira. Wito huo umetolewa Jijini Seoul nchini Korea, na Mkurugenzi wa Uhamasishaji uwekezaji kutoka Kituo cha Uwekezaji Tanzania-TIC, JOHN MNALI, wakati akiwasilisha mada kuhusu fursa za uwekezaji zinazopatikana Tanzania, wakati wa mkutano wa 5 wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Korea ya Kusini na nchi za Afrika(KOAFEC). “ Kampuni yetu imetafuta kwa muda mrefu fursa ya kuwekeza Tanzania lakini tulikuwa hatufahamu ipasavyo njia za kutumia kufikia uwekezaji huo ambapo sisi tunajihusisha na biashara itokanayo na zao la mwani linalozalishwa kwa wingi Zanzibar ambapo tunatengeneza bidhaa za karatasi, urembo, karatasi na vitu vingine vingi” alisema Yun-Young Katika Mkutano huo uliomalizika leo, Ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, ambaye amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo, Tanzania imesaini mkataba mmoja pamoja na Makubaliano ya ushirikiano wa pamoja kwa ya upanuzi wa miundombinu ya maji taka katika Jiji la Dar es salaam na ujenzi wa njia ya umeme yenye msongo wa kV400 kutoka Mbeya, Kigoma hadi Nyakanazi. Item Reviewed: TANZANIA YAWAKARIBISHA WAKOREA KUSINI KUWEKEZA SEKTA YA VIWANDA Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
"2018-04-24T10:24:19"
http://michuzijr.blogspot.com/2016/10/tanzania-yawakaribisha-wakorea-kusini.html
[ -1 ]
Amafoto ya Stade Amadou Bary izakira igikombe cy’Afurika kirimo n’u Rwanda - Kigali Today Amafoto ya Stade Amadou Bary izakira igikombe cy’Afurika kirimo n’u Rwanda 30-07-2017 - 22:08' | Ibitekerezo ( 1 ) Stade Amadou Bary ijyamo abatagera ku gihumbi ni yo izakira igikombe cy’Afurika cy’abatarengeje imyaka 20 muri Handball kitabiriwe n’u Rwanda. Kuri uyu wa Kabiri tariki 01/08/2018 i Dakar muri Senegal harabera igikombe cy’Afurika cya Handball cy’abatarengeje imyaka 20 (IHF Challenge Trophy 2017), kikazahuza ibihugu byabaye ibya mbere mu turere tw’imikino two muri Afurika (Zone), aho icyo gikombe kizanitabirwa n’u Rwanda rwabaye urwa mbere muri Zone 5B. Ikipe y’u Rwanda yegukanye igikombe cy’akarere ka gatanu cyabereye muri Uganda mu mpera z’umwaka ushize,mu itsinda rya mbere hamwe na Senegal yakiriye irushanwa, RD Congo ndetse na Madagascar, aho u Rwanda ruzakina umukino wa mbere ku wa Kabiri ku i Saa kumi n’ebyiri z’umugoroba ku isaha y’i Dakar, bikazaba ari saa mbiri z’i Kigali rukina na Madagascar. Inyubako iberamo imikino y’intoki harimo na Handball uyirebeye inyuma Imbere ... Uko mu kibuga hasi hameze Hanakinirwa Basketball Aho abafana bicara ni uko hasa/hameze Ahandikwa ibitego muri Stade Amadou Bary Igisenge cyayo Ubwo Kigali Today yahageraga hari hakiri gukorwa amasuku, ngo imikino izatangire hasa enza Aho abakobwa bazaba bakinira, gusa u Rwanda mu bakobwa ntirurimo Aho abazajya gushyigikira abakobwa bazicara Abakobwa bo bazaba bakinira kuri iyi Stade ya Iba Mar Diop ariko yo idatwikiriye Uyu munsi twasanze hari gukinira abakinnyi batabigize umwuga, mu Rwanda hari aho babita abatari inyota (gusa si byo cyane kuko abenshi baba bari gukora Siporo) Ikibuga cy’umupira w’amaguru cya Amadou Bary Umunsi wa mbere, Ku wa kabiri tariki 01/08/2017 14h00 (16h00 za Kigali): Ibirori byo gutangiza amarushanwa kuri Stade Amadou Bary 16h00 (18h00 za Kigali): Benin vs Ethiopie 18h00 (20h00 za Kigali): Madagascar vs Rwanda 20h00 (22h00 za Kigali): RD Congo vs Senegal Umunsi wa kabiri, Ku wa gatatu tariki 02/08/2017 16h00 (18h00 za Kigali): Mozambique vs Benin 18h00 (20h00 za Kigali): Rwanda vs RD Congo 20h00 (22h00 za Kigali): Senegal vs Madagascar Umunsi wa gatatu, Ku wa kane tariki 03/08/2017 16h00 (18h00 za Kigali): Ethiopie vs Mozambique 18h00 (20h00 za Kigali): Senegal vs Rwanda 20h00 (22h00 za Kigali): RD Congo vs Madagascar Umunsi wa kane, ku wa Gatanu tariki 04/08/2017 Kuri uyu munsi hateganijwe imikino ya ½ cy’irangiza, aho muri buri tsinda hazazamuka amakipe abiri ya mbere, maze iya mbere mu itsinda rimwe igakina n’iya kabiri mu rindi tsinda, izitsinze zigahurira ku mukino wa nyuma, naho izitsinzwe zikazahatanira umwanya wa gatatu Iyo mikino izabera mu nyubako (Gymnase) Amadou Bary iherereye mu gace kitwa Guediawaye kari Dakar muri Senegal, aho iyo nyubako ishobora kwakira abantu bari hagati ya 400 na 700, ku bufatanye na Ambasade y’u Rwanda tukaba twasuye iyo Stade izaberaho iyo mikino. Urutonde rw’abakinnyi 14 bahagarariye u Rwanda: 3.Tuyishime Zacharie (Police) 4.Muhumure Elysée (Inyemeramihigo ) 8.Karenzi Yannick (APR) 11.Nshumbusho Maliyamungu (St Aloys) 12.Niyonkuru Shaffy (APR) 13.Kayijamahe Yves (ADEGI) 14.Hagenimana Fidele (Police) Umutoza wungirije: Bagirishya Anaclet Umutoza w’abanyezamu: Unjima Alberto Nukuri Imana izadufashe duthane igikombe tuzishimire hamwe indinzi ya nyakubahwa Paul Kagame Imana ihw umugisha U Rwanda rwacu Unanaise yanditse ku itariki ya: 30-07-2017 → Musubize Ngororangingo | 14 minutes ago
"2018-09-25T15:44:04"
https://www.kigalitoday.com/imikino-11/handball/article/amafoto-ya-stade-amadou-bary-izakira-igikombe-cy-afurika-kirimo-n-u-rwanda
[ -1 ]
WADAU WA AFYA SINGIDA WARIDHIA MPANGO WA TIBA KWA KADI ~ UVCCM BLOG ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append(" Home » » WADAU WA AFYA SINGIDA WARIDHIA MPANGO WA TIBA KWA KADI WADAU WA AFYA SINGIDA WARIDHIA MPANGO WA TIBA KWA KADI UVCCM TANZANIA16:24 Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye uzinduzi wa mpango wa Tiba kwa kadi (TIKA) katika halmshauri ya manispaa ya Singida uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini Singida. Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi. Meneja msaidizi wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoa wa Singida, Isaya Shekifu, akizungumza muda mfupi kabla ya kumkaribisha mkuu wa mkoa wa Singida.Dk.Parseko Kone, kuzindua mfuko wa Tiba kwa kadi (TIKA) katika manispaa ya Singida. Walioketi kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na Mstahiki Meya wa manispaa ya Singida,Sheikh Salumu Mahami. Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,Yahaya Nawanda, akitoa mada yake iliyohusu mfuko wa afya ya jamii (CHF) kwenye mkutano wa wadau wa afya wa manispaa ya Singida. Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,(wa kwanza kulia) akisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano wa wadau wa afya wa manispaa ya Singida. Wa kwanza kushoto,ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida,Sheikh Mahami. Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone (wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na madiwani wa manispaa ya Singida.Walioketi wa kwanza kulia ni Diwani wa viti maalum Yagi Kiaratu na anayefuatia ni mstahiki Meya wa manispaa ya Singida,Sheikh Salum Mahami.Kulia ni Katibu Tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya ya Iramba na Queen Mlozi, mkuu wa wilaya ya Singida.(Picha na Nathaniel Limu). WADAU wa afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida kwa kauli moja wameridhia kuanzishwa kwa Mpango wa Tiba kwa Kadi (TIKA) katika Manispaa hiyo. Wadau hao wamefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa mpango wa TIKA una manufaa mengi ikiwemo mwananchi baada ya kulipa ada ya uanachama, atakuwa na haki ya kupata huduma za matibabu ndani ya Manispaa kwa mwaka mzima. Kwa mujibu wa Meneja Msaidizi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Singida, Isaya Shekifu mpango wa TIKA ambao unafafana na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) unatumika mijini tu. Shekifu amesema uanachama wa TIKA ni wa mtu mmoja mmoja, wakati ule wa CHF, ni wa familia au kikundi. “Kwa sasa hapa Manispaa ya Singida, baada ya mpango huo kupata baraka ya kuanzishwa tunaendelea na mchakato wa kubadilisha sheria ndogo ya CHF kwenda kwenye Tiba kwa Kadi (TIKA)”,alifafanua Shekifu. Meneja Msaidizi huyo amesema baada ya kukamilika kwa sheria ndogo itakayotawala uendeshaji wa TIKA, mpango huo utaanza rasmi mapema iwezekanavyo mwaka huu. Akizindua mpango huo wa Tiba kwa Kadi (TIKA) katika Manispaa ya Singida juzi, Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone amesema mpango wa TIKA utawahakikisha wakazi wa Manispaa ya Singida na viunga vyake mwanzo mpya wa kupata huduma za matibabu zenye uhakika. Hata hivyo, Dk. Kone aliagiza viwango vya uchangiaji vya TIKA zitazingatia uwezo wa mwananchi kulipia pia vitazingatia hali ya sasa ya huduma za matibabu. Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa amesema kwa kuwa suala la TIKA ni la hiari wananchi watajiunga kwa wingi endapo watahamasishwa kikamilifu. “Kila mmoja hapa awe balozi mzuri kwa kuhamasisha wannachi wajiunge na mpango huu mara baada ya sheria ndogo kupitishwa. Manispaa ihakikishe huduma zinakuwa bora katika vituo vyote ikiwa ni pamoja na lugha nzuri kwa wananchama”,amesema Dk.Kone.
"2017-12-18T12:49:27"
https://uvccmtz.blogspot.com/2014/01/wadau-wa-afya-singida-waridhia-mpango.html
[ -1 ]
Na Sylvia Mwehozi | 04.02.2019 "Nimemwandikia barua Papa Francis", alisema Maduro wakati akizungumza na kituo cha habari cha Italia cha SkyTg24, akisema kwamba anamwomba kiongozi huyo kusaidia kufanikisha mchakato wa majadiliano, akigusia juhudi kama hizo zinazofanywa na mataifa ya Mexico, Uruguay, Bolivia na mataifa mengine. "Ninamuomba Papa kutusaidia, kwenye mchakato wa majadiliano. Ninatumai tutapata majibu ya kutia moyo kutoka kwake", alisema Maduro. Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kwa pamoja wamesema wana matumaini ya ufumbuzi wa amani kwenye mgogoro huo wa kisiasa, huku Merkel akisema taifa lake linamtambua kiongozi wa upinzani Juan Guaido aliyejitangazia mwenyewe kuwa rais wa mpito. Merkel ambaye yuko ziara ya siku mbili nchini Japan, ameungana na mataifa mengine ya Ulaya, kumtambua Guaido kama rais wa mpito na kusema anapaswa kuandaa uchaguzi mpya haraka iwezekanavyo. Waziri mkuu Abe, hata hivyo hakutoa msimamo juu ya Guaido, lakini alisema Japan inataka suluhisho la amani na demokrasia kwenye mgogoro huo. Juan Guaido aliyejitangazia urais wa mpito huko Venezuela "Kwa kiongozi wa upinzani wa Venezuela Juan Guaido, hadi kufikia jana, hakuna uchaguzi ulioitishwa. Kwa hiyo Guaido ni mtu ambaye tunazungumza naye na tunataraji ataanza mchakato wa uchaguzi haraka iwezekanavyo. Yeye ni rais halali wa mpito kwa ajili ya jukumu hilo, kulingana na mtizamo wa Ujerumani na mataifa kadhaa ya Ulaya", alisema Merkel. Wakati hayo yakiendelea Juan Guaido amesema atafanya kila awezelo kuishawishi Italia ili iweze kumuunga mkono baada ya serikali kugawanyika ikiwa imtambue kama rais wa mpito. Italia bado iko kimya kutokana na mgawanyiko ndani ya serikali ya muungano. Rais wa Italia Sergio Mattarella, ambaye mara nyingi huwa nje ya shughuli za kila siku za kisiasa, aliitaka serikali yake kuondoa tofauti na kuelezea uungaji mkono dhidi ya Guiado. Urusi nayo imeyashutumu mataifa ya magharibi ikisema kitendo cha kumtambua kiongozi wa upinzani kuwa rais wa mpito ni kuingilia siasa za ndani za taifa hilo, na kuongeza kwamba suluhisho lolote katika mgogoro huo litaletwa na Wavenezuela wenyewe. Matukio ya Kisiasa | 29.05.2019
"2019-06-17T09:44:12"
https://m.dw.com/sw/maduro-amwomba-papa-francis-kuingilia-kati-mgogoro-venezuela/a-47353927
[ -1 ]
Prof. Lipumba Live On Agape Television NOW | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Prof. Lipumba Live On Agape Television NOW Prof. Lipumba live on ATN Ameanza kuzungumzia, jinsi serikali ilivyoshindwa kwa kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania. Hali ya maisha imekuwa ngumu, mwaka 2005 kilo ya sukari ilikuwa Tsh 460 lakini sasa inakalibia Tsh 2,000 Anadai Elimu bure inawezekana kwani hata wao wamesoma mpaka vyuo vikuu bure. Vilevile anazungumzia umoja wa kitaifa, ambapo anasema serikali yake inachukua watu wa vyama tofauti na hata wasio na vyama vya siasa, Anazungumzia viwanda haviwezi kuendea nchini kutokana na matatizo ya umeme, umeme wa tanzania ni kidogo na sio maalumu. Anaainisha vyanzo vya kupata umeme wa kutosha, ikiwamo maji na gas, anadai tunavyanzo vingi vya maji lakini ni asilimia moja tu ya maji inayotumika. amedai hata kwenye kilimo ni asilimia moja ya maji ya mvua yanayotumika kwa kilimo. Anaizungumzia elimu, anadai enzi zao watoto wa maskini walikuwa wanafaulu vizuri na wakaguzi walikuwa wakitembele shule mara kwa mara. Anadai hadhi ya ualimu imeshuka. Serikali za kata bila walimu ni kazi bure, vile vile masomo ya sayansi yako chini sana, serikali yake itatiulia mkazo elimu ya sayansi na kuwekeza kwenye maabara na Technologia, mambo ya ICT Sasa anaanza kupangua swala la afya, anadai huduma kwa wakinamama ni mbovu, vifo vya kina mama wajawazito na watoto wachanga ni vingi sana., huduma za afya ni mbovu na haziwafikii wananchi wengi, na ni gharama. Serikali yake itatoa huduma ya afya bure na madawa yataku available hongera ATN KWA kutoa fursa sawa kwa wagombea kunadi sera zao ili wananchi tuchague kulingana na sera na si jinsi tumepewa vitu kama vinywaji, nguovile tshirt, vitenge nk. Anapangua kilimo na kuziponda sera za sasa kuhusu kilimo, anadai bujeti ya kilimo haizidi 6% anadai kilimo kinatakiwa kupewa at least 10% ili kukidhi mahitaji ya tafiti na kusaidia wakulima kwa vitu kama mbolea etc. Kilimo kikipewa kipaombele hali ya maisha itakuwa nzuri na gharama za maisha zitashuka, at the same time kitaongeza malighafi kwa viwanda vyetu, ajira, na pato kwa kuuza nnje ya nchi. Kilimo amegusia,uyu jamaa nadmire sana chonde Slaa umpatie ata Uwazili wa uchumi. Jamaa kapiga simu anataka Slaa na Lipumba waungane twasubiri majibu ya Lipumba Maswali kwa simu:- Muuliza swali 1. anadai anawakubali sana Dr Slaa na Pro. Lipumba anachosema kwa nini wasingeungana ili waweze kufanya mapinduzi makubwa na ya nguvu? Jibu: Tatizo vyama vingine vilisema wanaenda majimboni, Slaa, Mbowe, Mrema sasa tulijua hakuna mtu anayetaka kusimama na sisi tulisha jipanga, lakini next time tunaweza kufanya hivyo, lakini vile vile katiba inasumbua hapo inabidi kusajili chama kiwe chama kimoja, kwa hiyo katiba inabidi ibadilike, ili kulinda madiwani na wabunge..kalifafanua vizuri sana. Jibu: Kabla hata ya katiba mpya vyama vilikuwa vinaruhusiwa kuunganisha vyama bila wabunge na madiwani kupoteza nafasi zao, lakini katiba yetu imechakachulia kuifanya iwe vigumu kwa vyama vya upinzani. Muuliza swali 2. Powatila hazifai kwa kilimo kulingana na ardhi yetu, serikali imepoteza pesa nyingi na gharama kubwa je akiingia madarakani atawaadhibu vipi watu wanaonunua vitu visivyo na tija na kuingiza serikali hasara kubwa?. Jibu: Serikali inaingiza watu mkenge, inakurupuka bila kufanya utafiti ni kama shule za kata na hivyo kutuingiza gharama kubwa Muuliza swali 3. Namkubali sana Pro.Lipumba, viongozi waliotangulia inabidi wawe mfano kwetu, naomba vyama vya upinzani waungane kama kenya, maghembe amedai hakuna kuchija wanafunzi mpaka form four, je tumefikia huko? Jibu: Mitihani ya darasa la saba ni muhimu, watatenga 25% kwenda kwenye elimu, kodi inapotea tuna hela nyingi mfumo wa kodi ni mmbaya na ukusanyaji ni mbovu. Koo naona inanikauka, safari baridi wapi wakuu?
"2016-10-28T03:04:43"
http://www.jamiiforums.com/threads/prof-lipumba-live-on-agape-television-now.81223/
[ -1 ]
Conte kumsajili mchezaji huyu kutoka Bayern Munich – Bongo5.com Conte kumsajili mchezaji huyu kutoka Bayern Munich By Rama Nnauye | January 6, 2017 - 7:30 pm Kocha wa klabu ya Chelsea, Antonio Conte amedaiwa kwamba yupo tayari kufanya usajili wa mchezaji kiungo wa kimataifa wa klabu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani Arturo Vida. Inadaiwa Conte amemuandalia Arturo Vidal dau la paundi milioni 34 ili kumnasa katika dirisha dogo la mwezi huu wa Januar Conte na Vidal walishawahi kufanya kazi pamoja wakati wapo Juventus. Tusubiri kuona endapo atampata. ← Previous Story Morgan Schneiderlin akaribia kutua Everton, afanyiwa vipimo Ijumaa hii Next Story → Rooney aifukuzia rekodi ya Sir Bobby Charlton kwenye FA
"2017-08-23T15:37:40"
http://www.bongo5.com/conte-kumsajili-mchezaji-huyu-kutoka-bayern-munich-01-2017/
[ -1 ]
aendeleo ya Jamii, afya jinsia watoto na wazee | Mlele District Council aendeleo ya Jamii, afya jinsia watoto na wazee NINA FURAHI NINAPO KUJA MLELE DC KWA KUWA MNAFANYA VIZURI KATIKA KILA JAMBO-RC AMOS MAKALA.
"2019-02-20T05:55:53"
http://www.mleledc.go.tz/community-development
[ -1 ]
MWAIPAJA BLOG: MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA MLIMANI MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA MLIMANI 0 Comments Imetumwa na Gadiola Emanuel Thursday, January 8, 2015 at 1/08/2015 10:49:00 PM Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini. Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akikagua Vifuko vya mndihira na Mwere Vilivyo Kata ya mlimani Ambavyo Vimegarimu Kiasi cha Shilingi Milion 3 Zilizotolewa na Mbunge Huyo. Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akianda Safu ya Milima Uluguru Kuelekea Mitaa ya Kisosa ,Choma na Chalagule vilivyopo Kata ya Mlimani Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisikiliza kwa Makini Kero Mbalimbali zilizokuwa Zikiwasilishwa na wakazi wa Kata ya Mlimani Jimbo la Morogoro Mjini wakati Mbunge huyo aliopofanya ziara ya Kutembelea kata Hiyo. Baadhi ya Wakazi wa Mitaa ya Ruvuma ,Mng'ong'o, na Tulo Iliyopo Kata ya Mlimani Wakimsikiliza kwa Makini Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini alipofanya ziara katika Mitaa hiyo ili kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi wa Kata hiyo. Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisisitiza Jambo wakati Akiongea na wakazi wa Kata ya Mlimani Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akijibu Hoja Mbalimbali Mara baada ya Kusikiliza Kero zinazowakabili wakati wa Kata ya Mlimani Ambapo walimwambia Wanakabiliwa na Kero Kubwa ya Umeme,Maji na Barabara.Kuhusu Maji Mh Abood alitoa Zaidi ya Shilingi Shilingi Milioni 20 Kwajili ya Kununua Vifaa vya Kuwezesha Kufikisha Maji katika Mitaa ya Kisosa ,Choma , Chalagule Ruvuma Mng'ong'o na Tulo Iliyopo Kata ya Mlimani. .Pia Alitoa vifaa vyenye Dhamani ya Shilingi Milion 2 kwajili ya Kununua Vifaa vya Kukarabati Barabara Za Mitaa hiyo Ikiwemo Sajuri,Makaravati na Vifaa vingine vinavyotumika kutengeneza Barabara. Wakazi waliojitokeza kwenye ziara ya Mbunge huyo Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akipokea zawadi Kutoka kwa Wakazi wa Mitaa ya Kisosa ,Choma na Chalagule Ikiwa ni Ishara ya kukubali Utendaji wa Kazi wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini.Wakielezea Zaidi wakazi hao wamesema Tangu Uhuru hakuna Mbunge aliyewahi kuwatembelea na pili Ahadi zote alizowahidi wakati wa Mitaa hiyo amezitekeleza na bado wana imani kubwa sana na Mbunge Huyo.Namnukuu Mkazi Mmoja aliyejitambuliza kwa Jina la Bw Omari Alisema " Huyu Ndiye Mbunge tunayemuhitaji Mbunge wa Vitendo na si Mbunge wa Maneno Mengi Utendaji Hafifu" Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akiwa na mtendaji wa kata ya Mlimani mara baada ya kuwasili katika Mitaa ya Ruvuma Mng'ong'o na Tulo Iliyopo Kata ya Mlimani. Wajumbe wa Serikali ya mtaa wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Wakazi wa Mtaa wa Kikundi wakiwa Kwenye Mvua Kumsikiliza Mbunge wao ISACA TANZANIA YATOA SEMINA KUHUSU USALAMA WA MITA... Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kuk... MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 2... TUWAKUMBUKE WAZEE WASIOJIWEZA -LULU MTEMVU
"2017-12-18T08:59:46"
http://amani-mwaipaja.blogspot.com/2015/01/mbunge-wa-morogoro-mjini-atumia-zaidi.html
[ -1 ]
Kuteseka kwa Wanadamu—Nani wa Kulaumiwa? Ikiwa si Mungu anayesababisha hali ngumu duniani, basi kwa nini kuna njaa kali, umaskini usioisha, vita, magonjwa, na misiba ya asili? Neno la Mungu, Biblia, linataja mambo matatu makuu yanayosababisha wanadamu wateseke: Ubinafsi, Pupa, na Chuki. “Mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.” (Mhubiri 8:9) Mara nyingi, wanadamu huteseka kwa sababu ya matendo ya wanadamu wenzao wasio wakamilifu ambao ni wabinafsi na wakatili. Wakati na Matukio Yasiyotarajiwa. Mara nyingi wanadamu huteseka “kwa sababu wakati na matukio yasiyotarajiwa huwapata wote.” (Mhubiri 9:11) Mtu anaweza kuwa mahali pasipofaa wakati usiofaa, ama aksidenti ikatokea, au labda watu wakakosa kuwa waangalifu au wakafanya makosa. Mtawala Mwovu wa Ulimwengu. Biblia inataja wazi chanzo kikuu cha matatizo ambayo wanadamu wanakabili. Inasema: “Ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.” (1 Yohana 5:19) “Mwovu” huyo ni Shetani Ibilisi, kiumbe wa roho mwenye nguvu ambaye mwanzoni alikuwa malaika wa Mungu lakini “hakusimama imara katika kweli.” (Yohana 8:44) Viumbe wengine wa roho walijiunga na Shetani na kumwasi Mungu ili watimize tamaa zao za kibinafsi na hivyo wakawa mashetani. (Mwanzo 6:1-5) Tangu walipoasi, Shetani na mashetani wake wamekuwa wakiongoza mambo duniani kwa njia ya kikatili. Hilo ni wazi hasa katika nyakati zetu. Sasa, Ibilisi ana hasira kali na “[anaipotosha] dunia nzima inayokaliwa,” na hilo limeleta ‘ole kwa dunia.’ (Ufunuo 12:9, 12) Kwa kweli, Shetani ni mtawala katili sana. Anapenda kuwaona wanadamu wakiteseka. Shetani ndiye anayewafanya wanadamu wateseke, na wala si Mungu. FIKIRIA HILI: Bila shaka, mtu anayesababisha mateso kwa wanadamu wasio na hatia lazima awe mwovu, katili, na asiye na huruma. Kinyume na hilo, Biblia inasema: “Mungu ni upendo.” (1 Yohana 4:8) Kwa kuwa msingi wa utu wake ni upendo, “Mungu wa kweli hawezi kamwe kuwazia kutenda uovu, na Mweza-Yote hawezi kamwe kutenda kosa!”—Ayubu 34:10. Hata hivyo, huenda ukajiuliza, ‘Mungu Mweza-Yote atamruhusu Shetani aendelee kutawala kikatili hivyo hadi lini?’ Kama ambavyo tumeona, Mungu anachukia uovu, na anapoona tukiteseka yeye huumia sana. Kwa kuongezea, Neno lake linatusihi hivi: “[Tupeni] mahangaiko yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.” (1 Petro 5:7) Mungu anatupenda na ana nguvu za kuondoa mateso yote na ukosefu wa haki tunaouona, kama makala inayofuata itakavyoonyesha. * ^ fu. 7 Ili kupata habari zaidi kuhusu sababu za Mungu kuruhusu wanadamu wateseke, soma sura ya 11 ya kitabu Biblia Inatufundisha Nini? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova, na unachoweza kukipakua bila malipo yoyote kwenye tovuti ya www.jw.org/sw. Tunawezaje kuwa na uhakika kwamba hivi karibuni Mungu ataondoa mateso yote na ukosefu wa haki? Ni Nani Anayesababisha Wanadamu Wateseke?
"2018-11-21T03:55:26"
https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/mnara-wa-mlinzi-na3-2018-sep-okt/mambo-yanayosababisha-wanadamu-wateseke/
[ -1 ]
Madiwani wawili Chadema wajiunga CCM - Mtembezi Home siasa Madiwani wawili Chadema wajiunga CCM Madiwani wawili Chadema wajiunga CCM Wakati diwani wa Ruaha, Tandesy Sanga akitangaza uamuzi huo jijini Dar es Salaam; mwenzake wa Kwakilosa, Joseph Ryata ametangaza uamuzi huo mjini Iringa. “Huwezi kumsifia Rais wala utendaji wake ukiwa nje ya chama chake, binafsi nimeshaonywa kwenye vikao hata kutishiwa kuvuliwa uanachama kwa sababu hiyo,” amesema. “Kwa hiyo bila kutumwa, kushinikizwa wala kununuliwa na yeyote kama inavyodaiwa na baadhi ya watu najiunga na chama kilicho taasisi, si cha mtu mmoja,” amesema. Previous articlePitia vichwa vya habari katika magazeti ya leo Ijumaa ya 5/1/2018 Next articleDiwani Mtarawanje atembelea Miradi ya Maendeleo Kijichi ahimiza uwajibikaji kwa watendaji Mtulia kupambana na aliyekuwa meneja wake kuwania Ubunge Kinondoni
"2018-01-19T11:22:39"
http://mtembezi.co.tz/2018/01/05/madiwani-wawili-chadema-wajiunga-ccm/
[ -1 ]
Jaman binamu unanivunja mbavu , chale za matako Tena ? , shoga angu ushirikina umekukaa kwenye damu , yan umejua kunivunja mbavu aiseeh Tunahangaika na mengi ndugu yangu ww acha tu lkn kuna kitu kilinitokea kwenye maisha yangu siamini tena awe mganga wa jadi au anatibu kwa kitabu simuamini. Kwasasa nimeokoka naamini sana kwenye kuomba, kufunga na kusali kwa Imani sifa na utukufu zirudi kwa Bwana. Reactions: Diana Spencer, saneneto, warumi and 2 others 35,929 2,000 Bongo movies washirikna balaa...!!yaani wanarogana wanajifanya kusomewa kumbe hawana lolote...!!! Sasa dogo janja alikua anarogwa ili iweje? Hawa wadada na wakaka zao wote...!!! Lao moja wanajifanya maustadhi kumbe hawana lolote Halafu na waganga mwenzangu hawanaga siri , wakienda wasanii wakubwa lazima watangaze kwa watu Nasikia uwoya ilikua ndo zake tanga , alikua anamuomba pesa dogo janja halafu hizo hizo anaenda kumroga nazo tanga Yan uwoya kwa ushirikina kila siku anachinja mbuzi tu huko tanga , bora abadilishe tu waganga , anajichoresha tu huko tanga Ameen ameen barikiwa sanaa Da Lu said: Kubbra Hooda Umemsahau DIDA mwanwmke anapenda ULONZI kuliko kula alikuwa na mganga wake anaitwa SH 60 ukienda malipo kwake ni sh 60 kwa sasa anaroga sana Morogoro ndo maana kila weekend hakauki Ndio hivyo , watu wanahangaika kutafuta tiba ya mambo yao , ilamradi tu hawadhuru watu wengine Nimefurah kuwa umeokoka binamu na kuamua kurudi kwa muumba, mie shoga angu Ndo nataka kuanza ushirikina nikachanjwe hizo chale za matakoni Reactions: Evelyn Salt 6,093 2,000 8)Esma 9)Snura 10)Shilole. 11)Batuli. Na Mimi nikashangaa jaman , dogo janja ? Kwa pesa zip? Ila nimekuja kugundua binamu irene uwoya uwa Ana fetish ya kupenda dogo dogo , na janja alimpenda sana ndio maana akawa anamroga ili asiende kwa wengine Mmelogana kimya kimya. Sasa mnaanza kutajana mitandaoni. Kinachofuata ni kuwataja waganga wenu kisha mje madhabauni kufanyiwa maombi. Reactions: saneneto and warumi Huwa wanatest kwanza hizi dawa kwa mwanaume wa kawaida, zikitiki anaenda kwa mwanaume mwenye pesa, yule aliechwa anakuwaga kama kachanganyikiwa flani hivi kwa muda badae anakaa sawa... Nishaiona hii rafiki yangu alikuwa kicheche shababi sana ila ana vijisenti tu, huyo dada alimtuliza akawa kama zezeta madem hatongozi tena, badae huyo dada akapata bosi nae akatulizwa hivyo hivyo paka akaolewa, huyo rafiki yngu alivyoachwa hata viatu alikuwa havai.. 8. Rais Magufuli 10. Bashite 11. Musukuma Joseph 12. Lusinde 13. Kalamaganda Kabugi Reactions: tweenty4seven and THAN0S HK wa utalii... Reactions: tweenty4seven and Mackanackyyy Mchambe basi tuone anavyotembea uchi barabarani Kwako mleta uzi..."Karma is a Bitch" ipo siku self guilty conciousness itakutesa sana! Mr Never Mind asa mbna hujamtaja rayvann au tumjumuishe na platnam KALUMENYA Kwako mleta uzi..."Karma is Bitch" ipo siku self guilty conciousness itakutesa sana! Inawesekana ndio imeshaanza kumpeleka puta. Mie nimeishia tu pale ulipowaita watu mbwa yaani bahati nzuri mie ni mbwa dume ila sasa nawaza hao wasomaji wengine sijui ni mijibwa koko au ile mijibwa inayokulaga kila kitu mpaka mavi ya walevi.! People who like to talk about others have nothing to present about themselves. Wakija madhabahuni wanakumbana na kitu Gwajima
"2019-05-25T11:39:24"
https://www.jamiiforums.com/threads/wafahamu-mastaa-wanaotumia-nguvu-za-giza-ushirikina.1577156/page-9
[ -1 ]
Frolida William. Edward Josephat. Usisahau Kushare/kumtumia kwenye mitandao ya kijamii hapa chini ili Frolida William asome Ujumbe wako Bofya ANDIKA UJUMBE MPYA kumuandikia na wewe Mtu wako Ujumbe kama Edward Josephat alivyomwandikia Frolida William. 09 Mar 2019 05:43, 09 Mar 2019 05:43 ago; salamu-asubuhi-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya HAWA LUGENDO, kutoka kwa JEPII IPINA,👉soma ujumbe... 27 Sep 2019 04:11, 27 Sep 2019 04:11 ago; msamaha-ndugu,: Ujumbe/ kadi ya PAWA MW, kutoka kwa NYAKOLE TUBILU SEME,👉soma ujumbe... 20 Aug 2019 09:57, 20 Aug 2019 09:57 ago; pole-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya Salome Chalzi, kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 03 Oct 2019 19:25, 03 Oct 2019 19:25 ago; pole-ndugu,: Ujumbe/ kadi ya eria iburahmu, kutoka kwa eria petro,👉soma ujumbe... 25 Sep 2019 20:37, 25 Sep 2019 20:37 ago; salamu-usiku-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya sophia, kutoka kwa ramadhan lugoma,👉soma ujumbe... 18 Sep 2019 09:43, 18 Sep 2019 09:43 ago; salamu-mchana-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa Witnes king tz,👉soma ujumbe... 29 Sep 2019 18:14, 29 Sep 2019 18:14 ago; mlo-mwema-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya morethe, kutoka kwa Vincent mreth,👉soma ujumbe... 10 May 2019 09:58, 10 May 2019 09:58 ago; msamaha-ndugu,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 15 Sep 2019 15:16, 15 Sep 2019 15:16 ago; salamu-usiku-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya shem kaka, kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 19 Sep 2019 11:49, 19 Sep 2019 11:49 ago; pole-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 25 Sep 2019 18:10, 25 Sep 2019 18:10 ago; msamaha-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya Mwapatima, kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 13 Oct 2019 23:46, 13 Oct 2019 23:46 ago; msamaha-mzazi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ANDRE Z LUNGWA,👉soma ujumbe... 15 Aug 2019 23:31, 15 Aug 2019 23:31 ago; salamu-jioni-mzazi,: Ujumbe/ kadi ya latifa mohamedi makiluka, kutoka kwa azizi ally kingoma,👉soma ujumbe... 05 Apr 2019 11:40, 05 Apr 2019 11:40 ago; nimekumisi-mzazi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 20 Jul 2019 12:53, 20 Jul 2019 12:53 ago; hongera-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 02 Sep 2019 16:41, 02 Sep 2019 16:41 ago; salamu-jioni-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya Mercy cheroo, kutoka kwa Nicholas toroitich,👉soma ujumbe... 28 Apr 2019 11:40, 28 Apr 2019 11:40 ago; nimekumisi-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya Neema sidada, kutoka kwa Sospeter sted,👉soma ujumbe... 21 Aug 2019 11:27, 21 Aug 2019 11:27 ago; salamu-mchana-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 09 Aug 2019 19:03, 09 Aug 2019 19:03 ago; salamu-asubuhi-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya salah juma, kutoka kwa shilinde dotto,👉soma ujumbe... 19 Aug 2019 17:11, 19 Aug 2019 17:11 ago; salamu-usiku-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya , kutoka kwa ,👉soma ujumbe... 05 Apr 2019 19:25, 05 Apr 2019 19:25 ago; pole-mpenzi,: Ujumbe/ kadi ya recho, kutoka kwa recho,👉soma ujumbe...
"2019-10-17T00:29:08"
http://www.ackyshine.com/msamaha-mpenzi:617
[ -1 ]
Waziri Prof. Maghembe Ajiuluzu; Dawasa/Dawasco Warejeshe Huduma Ndani ya Wiki Moja Katika Maeneo Yaliyokuwa Yakipata Mgawo wa Maji Kabla Mbunge wa jimbo la Ubungo (CHADEMA) Mh. John Mnyika. Posted by Ally Shaaban Mgido's at Saturday, January 11, 2014 Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Labels: Waziri Prof. Maghembe Ajiuluzu; Dawasa/Dawasco Warejeshe Huduma Ndani ya Wiki Moja Katika Maeneo Yaliyokuwa Yakipata Mgawo wa Maji Kabla
"2018-02-24T13:55:25"
http://allyshams.blogspot.com/2014/01/waziri-prof-maghembe-ajiuluzu.html
[ -1 ]
(showing articles 9961 to 9980 of 37949) 04/01/15--13:01: _AUTOSUECO TANZANIA ... 04/01/15--13:12: _TaSUBa yatangazia u... 04/01/15--13:15: _UCHAMBUZI WA SHERIA... 04/01/15--13:27: _MHE.GEORGE SIMBACHA... 04/01/15--13:35: _LESENI ZA WACHIMBAJ... 04/02/15--01:49: _Benki ya Exim yatoa... 04/02/15--01:54: _ Airtel yazinduzia ... 04/02/15--02:30: _MAONESHO YA KIMATAI... 04/02/15--07:10: _EFM REDIO YATIMIZA ... 04/02/15--10:59: _Kamati ya ufundi ya... 04/02/15--11:04: _TAARIFA YA SIKUKUU ... 04/02/15--11:06: _WADAU WA VITUO VYA ... 04/02/15--11:08: _FLAVIANA MATATA ATA... 04/02/15--11:14: _ Tume ya Taifa ya U... 04/02/15--11:16: _KITABU CHA DIRA NA ... 04/02/15--11:18: _King Majuto ‘kuvunj... 04/03/15--00:15: _MGAWAHAWA WA KWANZA... 04/03/15--00:21: _TAARIFA KWA UMMA 04/03/15--00:24: _MBUNGE MGIMWA AJITO... 04/03/15--00:29: _BASATA YAPIGA MARUF... older | 1 | .... | 497 | 498 | (Page 499) | 500 | 501 | .... | 1898 | newer 04/01/15--13:01: AUTOSUECO TANZANIA (VOLVO) APPOINTS ALEN NKYA AS HEAD OF CE In a statement released today states that Mr. Nkya has over 10 years’ experience in the industry. Formerly a Sales Manager CE at Hyundai, he has an outstanding track record of achievements in Marketing, Business Development and Customer Relations. “I’m looking forward to this new challenge,” said Mr. Nkya. “Tanzania is one of the key markets with great potentials, so we must prosper in here and not just stay.” AutoSueco is a subsidiary of Nors Group, the leading supplier of Trucks, Construction Equipment, Power Generators and Industrial Engines. Established since 1949 with HQ in Porto, Portugal; it has several brands worldwide, 04/01/15--13:12: TaSUBa yatangazia umma nafasi za kozi kwa mwaka wa masomo 2015 /2016 TaSUBa inawatangazia umma nafasi za kujiunga na kozi kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na Stashahada (Diploma) kwa mwaka wa masomo 2015 /2016 - Masomo ya sayansi ya Jamii, ICT, Kiswahili na Kiingereza yatafundishwa kwa wote. - Mwombaji kozi namba mbili (2) na namba tatu (3) awe na ujuzi wa compyuta. Pichani miongoni mwa walimu wa TaSUBa wakionyesha igozo la ubunifu jukwaani chuoni hapo. - Aliyemaliza Darasa la Saba (Standard Seven) na ambaye hakuhitimu kidato cha Nne - Aliyehitimu kidato cha Nne na hakufanikiwa kupata wastani wa “D” nne (4) - Ngazi hii ni kwa Masomo ya Sanaa za Maonyesho TU. - Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM B Baadhi ya wanafunzi wa wakiwa katika moja ya shughuli za ngoma katika jukwaa chuoni hapo. - Aliyemaliza kidato cha nne na kupata wastani wa “D” nne (4) - Watakaofaulu wastani wa ‘B’ baada ya kuhitimu ngazi ya cheti wataruhusiwa kujiunga - Waombaji wa Ngazi hii watajaza FORM A Wanafunzi wa TaSUBa wakiwa darasani chuoni hapo. - Awe amefaulu kidato cha sita na kupata principal pass 1 na subsidiary 1 - Awe amehitimu ngazi ya cheti cha sanaa za maonyesho na ufundi kwenye chuo kinachotambuliwa na NACTE Miongoni mwa wasanii Mahiri hapa Nchini Tanzania, Baba Haji akiwa katika pozi wakati wa kuhitimu masomo yake. Msanii huyo ni miongoni mwa wasanii waliopitia chuo hicho. - FOMU za kujiunga zinapatikana Chuoni pia kwenye tovuti ya chuo www.tasuba.ac.tz - Kila mwombaji atalipia ada ya FOMU ya Tsh.15,000/=kupitia NMB BANK akaunti - Maombi yaambatanishwe na stakabadhi ya malipo (Receipt/Bank Pay Slip) ya Tsh. 15,000 kwa ajili ya FOMU. - Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 31/05/2015 na maombi yote yatumwe kwa; MTENDAJI MKUU, TaSUBa, S.L.P 32, BAGAMOYO, Tanzania. - Kwa MAELEZO zaidi wasiliana nasi kupitia namba za simu: 0715974100, 0763408792, na 0715394933 au Barua pepetaasisisanaa@gmail.com 04/01/15--13:15: UCHAMBUZI WA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO, 2015 Naomba tu kusisitiza watanznaia kusoma na kuelewa na sio tu kufata mikumbo kwenye hili. Aidha, Hofu kubwa lazima iondoshe hofu ndogo. Nikiimanisha Uhalifu mtandao nitishio kubwa kuliko ugaidi na sheria zetu zanafanana kabisa na sheria nyingine za mataifa mbali mbali huku baadhi zikiwa kali zaidi kuliko tulizo nazo. Nimalizie kwa kutoa wito wa matumizi salama ya mitandao ili kujiepusha na kuingia matatani bila sababu za msingi. Huku nikiwatoa watanznaia hofu juu ya uchunguzi wa dhati wa makosa haya uanafanywa na hakuana atakae ingia matatani kama si muhusika. 04/01/15--13:27: MHE.GEORGE SIMBACHAWENE AKIZUNGUMZIA KUHUSU UGUNDUZI WA NANE WA GESI ASILIA Waziri wa Nishati na Madini (wa pili Kulia) Mhe.George Simbachawene akizungumza na waandishi wa Habari Mjini Dodoma kuhusu Ugunduzi wa nane wa gesi asilia uliyofanywa na Kampuni ya Statoil katika eneo la Bahari Kuu,(wa kwanza kulia) ni Naibu Waziri Nishati na Madini Dkt Charles Mwijage,na (wa kwanza kushoto) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu Nishati na Madini Mhe.Richard Ndassa (Mb) wa Sumve CCM. Picha na Anitha Jonas – MAELEZO,Dodoma. 04/01/15--13:35: LESENI ZA WACHIMBAJI MADINI 3,449 ZATOLEWA Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava amesema kuwa jumla ya leseni 3,449 zilitolewa katika mwaka wa fedha 2014/15 kwa wachimbaji wa madini ya aina mbalimbali nchini. Mhandisi Mwihava aliyasema hayo wakati akielezea mafanikio ya sekta za nishati na madini kwenye mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Madini uliofanyika katika hoteli ya Kunduchi Beach iliyopo nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam unaoendelea. Lengo la mkutano huo ni kujadili mafanikio na changamoto katika utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Nishati na Madini pamoja na Tasisi zake. Alisema kati ya leseni hizo leseni mbili ni za uchimbaji mkubwa, leseni za utafutaji wa madini ni 694, leseni za uchimbaji wa kati ni 21 na leseni za uchimbaji mdogo ni 2,732. Mhandisi Mwihava alieleza kuwa lengo la kutoa leseni hizo ni kuhakikisha kuwa wachimbaji wanaendesha shughuli za uchimbaji katika maeneo rasmi yaliyopimwa na kuongeza pato la serikali. Alisema mbali na utoaji wa leseni hizo, wamiliki wa leseni 1,144 wa leseni za utafutaji madini, wamiliki 34 wa leseni za uchimbaji mkubwa na wamiliki 83 wa leseni za uchimbaji mdogo walisajiliwa kutumia mfumo wa huduma za leseni kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Mining Cadastre Portal. Alisema kuwa mfumo huo unawezesha wamiliki wa migodi hiyo kuhuisha leseni kwa kutumia mtandao badala ya kufunga safari hadi kwenye ofisi za madini. Mhandisi Mwihava akielezea mafanikio mengine katika sekta ya madini alisema kuwa mwezi Desemba, 2014 kampuni ya uchimbaji madini ya Resolute (T) Limited ilikabidhi miundombinu yote ya mgodi wa Golden Pride kwa Chuo cha Madini Dodoma ambayo itatumia kufundishia wanafunzi wa chuo hicho kwa vitendo. Aliongeza kuwa mafanikio mengine ni pamoja na uanzishwaji wa Ofisi mbili za Kanda na nne za Afisa Madini Mkazi ambazo zinafanya kazi. Alitaja ofisi hizo kuwa ni pamoja na Kanda ya Ziwa Nyasa – Songea, Kanda ya Ziwa Viktoria Mashariki – Musoma, Ofisi za Madini Mkazi zilizopo Bariadi, Moshi, Nachingwea na Njombe. Wakati huo huo akielezea mafanikio ya sekta ya nishati, Mhandisi Mwihava alisema kuwa hadi kufikia mwezi Februari mwaka huu, utekelezaji wa mradi wa Kinyerezi 1 ulikamilika kwa asilimia 84 ambapo mitambo yote minne pamoja na mitambo ya kupooza injini imeshafungwa kwenye eno la mradi na kusisitiza kuwa mradi huo unatarajiwa kukamilika mapema Juni mwaka huu. Aliongeza kuwa mradi wa ujenzi wa bomba la gesi umekamilika kwa asilimia 97 na kuongeza kuwa mara baada ya ukamilishwaji wake wananchi wataanza kupata umeme wa uhakika na kwa gharama nafuu. “ Pamoja na hayo, hadi kufikia Februari, 2015 jumla ya wateja wapya 131, 180 walio ndani na nje ya gridi ya taifa wameunganishwa na umeme ambayo ni sawa na asilimia 75 ya lengo la Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa mwaka ambalo ni kuunganisha wateja 175,000. “ Alisisitiza Mhandisi Mwihava. Alitaja mafanikio mengine kuwa ni pamoja na uanzishwaji wa kampuni ya maendeleo ya joto-ardhi Tanzania ambayo ilianza kazi yake rasmi tangu Julai, 2014 na ukamilishwaji wa rasimu ya sera ya nishati na mafuta ambazo ziko kwenye hatua ya kuwasilishwa kwenye baraza la Mawaziri. 04/02/15--01:49: Benki ya Exim yatoa wito wateja kuchukua kadi mpya 04/02/15--01:54: Airtel yazinduzia Ofa ya Internet BURE Tanzania 04/02/15--02:30: MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHA TAREHE 21-23 APRILI, 2015 04/02/15--07:10: EFM REDIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO. Muheshimiwa David Kafulila alipokua akiongea moja kwa moja kutoka katika kituo cha 93.7 EFM siku ya leo. Ushauri huo umetolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa E FM,FRANCIS SIZA wakati wa hafla ya kutimiza mwaka mmoja tangu kuanza kwa shughuli za urushaji wa matangazo ya Efm Radio. Hafla hiyo imehudhuriwa na wageni mbalimbali akiwemo Meya wa Manispaa ya Kinondoni YUSUPH MWENDA, Mbunge wa Kigoma Kusini Mheshimiwa DAVID KAFULILA, Mheshimiwa ZITTO KABWE na Mkurugenzi wa Masoko kutoka Zantel, SUKHWINDER BAJWA. Katika hafla hiyo SIZA amesema kuwa ni muda muafaka sasa kwa Watanzania kubadili maisha yao kuwa chanya kupitia E FM na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano, kwani E FM ipo kw aajili ya Watanzania. Wakati huohuo,Mstahiki Meya wa MANISPAA ya Kinondoni YUSUPH MWENDA amesema kuwa, mbali na Efm kutoa Burudani pia imetoa mchango mkubwa kutatua changamoto kwa wananchi. MWENDA amewasihi wananchi hususani wa Kinondoni kutumia vyema matangazo ya Efm Radio ili iwe rahisi kutatua kero mbalimbali. Naye Mbunge wa Kigoma Kusini Mheshimiwa DAVID KAFULILA amesema kuwa, ameguswa kwa kiasi kikubwa na vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na Kituo hiki kwa kuwa vinaligusa Taifa. Akimzungumzia kumkumbuka ZITTO KABWE akiwa ni rafiki yake Bungeni na ni mmoja ya Wabunge wanaotoka wote mkoani wa Kigoma, Mheshimiwa KAFULILA amesema kuwa ,ZITTO alikuwa ni miongoni mwa Wabunge vijana walioleta mabadiliko makubwa ya Kisiasa nchini. Kwa upande wake Mheshimiwa ZITTO KABWE amesema, kwa kipindi kifupi, EFM imeonesha Taswira ya hali ya juu inayoakisi hali halisi ya chombo cha habari kinavyotakiwa kuwa. ZITTO amesema kuwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kituo hiki kimeonesha utofauti na Vyombo vya Habari vingine kwa kuwa kinajali sauti za Wanyonge na si watu wenye nyadhifa Fulani katika jamii. 04/02/15--10:59: Kamati ya ufundi ya Trade facilitation and Ports Community System ya IAPH yakutana Paris, Ufaransa 04/02/15--11:04: TAARIFA YA SIKUKUU YA PASAKA KUTOKA JESHI LA POLISI KWA WANANCHI Tunapoelekea kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka ambayo inaanza kesho Ijumaa Kuu, Jeshi la Polisi nchini, linatoa tahadhari kwa wananchi, kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao. Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha kwamba hakuna vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza na pale vitakapoonyesha dalili ya kujitokeza viweze kudhibitiwa kwa haraka. Mwisho, Jeshi la Polisi linapenda kuwashukuru wale wote ambao tayari wamefunga kamera za CCTV katika maeneo yao ya biashara hususani yale yanayokuwa na mikusanyiko mikubwa ya watu, yakiwemo maduka, mahoteli na maeneo ya benki. Jeshi la Polisi linaendelea kuwasisitiza ambao bado hawajaweka kamera hizo, kuweka ili ziweze kusaidia kubaini wahalifu na hata kurahisisha ukamataji wa wahalifu hao endapo uhalifu unatokea. 04/02/15--11:06: WADAU WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA MATIBABU MKOANI RUKWA WAPEWA ELIMU YA UTARATIBU WA MIKOPO MBALIMBALI INAYOTOLEWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) Sister Helena Katebela wa Kituo cha Afya Katandala akiuliza swali katika Semina hiyo. Alitaka kujua endapo dawa anazohitaji Mkopaji hazipo kwa wakala wa usambazaji ambaye ni MSD itakuwaje? Alipata jibu kuwa mkopaji huyo ataelekezwa kwa msambazaji mwingine aliyejiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afta tofauti na MSD. (Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa@Rukwareview.blogspot.com) 04/02/15--11:08: FLAVIANA MATATA ATANGAZA VIPODOZI VYA KIKO Kwa mara nyengine tena Mwanamitindo afanyae kazi zake za uanamitindo nchini Marekani Flaviana Matata amepata deal ya kutangaza vipodozi vya Kiko Milano vya nchini Italy .Flaviana na wanamitindo wenzie wanatangaza kampeni iyo iliyopewa jina la Modern Tribe 04/02/15--11:14: Tume ya Taifa ya Uchaguzi yaaangaza kuahirisha zoezi la Kura ya Maoni hadi hapo itakapotangazwa tena Inatarajiwa kwamba, zoezi litakamilika Mkoani Njombe tarehe 18/04/2015. Hadi kipindi hiki kwa Kata ambazo Tume imeishapita, hakuna hata mtu mmoja aliyejitokeza Kituoni ambaye aliachwa kuandikishwa. Tume inawahakikishia wananchi kuwa wakati ambapo vifaa vingine vya BVR vinaendelea kupokelewa na Tume wanachi wote watakaojitokeza katika Mikoa mingine nchini wenye sifa wataandikishwa. Baada ya zoezi kukamilika Mkoani Njombe, kwa tarehe zitakazo ainishwa, Tume itaendelea na Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika Mikoa ya Ruvuma, iringa, Mtwara, na Lindi. Mara kwa mara, Tume imeulizwa itakuwaje kama tarehe 30 April, 2015 inakaribia na Tume haijakamilisha Uboreshaji wa Daftari. Wakati wote Tume imesema, ikitokea hivyo itawaarifu wananchi i. Kwa vile kazi ya Uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ni ya msingi kabla ya Zoezi la Kupiga Kura na kutokana na uzoefu tuliopata Mkoani Njombe, Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura bado halijakamilika Mkoani Njombe na katika Mikoa mingine. ii. Kwa vile zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura halijakamilika, Tume haitaweza kuendelea na zoezi la upigaji wa kura ya maoni. 04/02/15--11:16: KITABU CHA DIRA NA TUMAINI JIPYA HANDENI CHAANZA KUSAMBAZWA KWA WADAU 04/02/15--11:18: King Majuto ‘kuvunja mbavu’ Zanzibar siku ya KARUME DAY, Aprili 7 Msanii mkali wa maigizo na vichekesho, Nchini, Amri Athuman a.k.a King Majuto anatarajiwa kufanya shoo maalum ya vichekesho katika viwanja vya kufurahia watoto Kariakoo, Aprili 7, mwaka huu Mjini Unguja, Zanzibar. 04/03/15--00:15: MGAWAHAWA WA KWANZA MKUBWA WA KIAFRIKA WAFUNGULIWA ULAYA Ndani ya mgahawa huo pia watu mbalimbali watapatiwa taarifa za utalii Tanzania. Katika kazi yake ya upishi, amebahatika kuwapikia watu mashuhuri duniani, baadhi wakiwa Andrew Young, Mchungaji Jesse Jackson, Robert Mugabe (Rais wa Zimbabwe), Paul Kagame (Rais wa Rwanda), Benjamini Mkapa (Rais mstaafu wa Tanzania), Raila Odinga (Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya), Daniel Arap Moi (Rais Mstaafu wa Kenya), Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bi. Hillary Clinton na mumewe Bill Clinton, Mke wa Rais wa zamani wa Marekani Laura Bush. 04/03/15--00:21: TAARIFA KWA UMMA 04/03/15--00:24: MBUNGE MGIMWA AJITOLEA KUANZA UJENZI WA DARASA KUBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA IFUNDA Mbunge wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa akishiriki kucheza kwaito na wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda leo Mkuu wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda akimpongeza mwalimu wa kujitolea wa Hesabu Shuleni hapo mbele ya mbunge Godfrey Mgimwa Mbunge wa Kalenga Godfrey Mgimwa kushoto akikavbidhi zawadi kwa walimu wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda Wanafumnzi wa kidato cha sita wakikabidhiwa vyeti na mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda wakimpokea mbunge wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa kwa gwalide maalum Mbunge Mgimwa wa tatu kulia akiongozana na mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Abed Kiponza kulia na viongozi mbali mbali wa shule hiyo ya serikali ya kijiji cha Ifunda Mbunge Mgimwa akivishwa skafu Mbunge Mgimwa akitazama mwanafunzi wa Ifunda akimpasua Simbilisi Baada ya upasuaji kufanyika Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya wasichana Ifunda Abed Kiponza akimpongeza mbunge Mgimwa Mbunge Mgimwa akiwahutubia wanafunzi na wazazi BAADA ya wanafunzi kukosa darasa kubwa la kusomea ,mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa amejitolea kuanza ujenzi wa darasa hilo kuahidi kuchangia mifuko 200 ya Saruji yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 3 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa darala litakalotumiwa na wanafunzi zaidi ya 200 katika shule ya sekondari ya wasichana Ifunda katika wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Mbunge Mgimwa ambae alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 9 ya shule hiyo ametoa ahadi leo kufuatia maombi ya uongozi wa shule hiyo . Alisema kuwa lengo lake kuona kiwango cha elimu katika jimbo lake kinaendelea kukua zaidi na ndio sababu ameendelea kusaidia ujenzi wa maabara pamoja na kuchangia shughuli mbali mbali za kimaendeleo zinazofanywa na wananchi wake zikiwemo za ujenzi wa shule ,nyumba za walimu pamoja na ujenzi wa maabara zinazojengwa kufuatia agiza la Rais Dkt Jakaya Kikwete. "Leo hapa nimeelezwa changamoto mbali mbali zinazoikabili shule hii kwanza juu ya uchakavu wa majengo ,uhaba wa walimu wa masomo ya Hisabati na Sayansi lakini pia ukosefu wa darasa kubwa litakaloweza kuchukua wanafunzi 200 kwa wakati mmoja na mmeomba kusaidiwa kati ya bati 200 ama Saruji .......sasa ili ujenzi huu uanze mimi nitachangia saruji mifuko yote 200 ila rai yangu kwa wazazi tuungane katika ujenzi huu" Kuhusu tatizo la uhaba wa walimu alisema kuwa hiyo ni changamoto ya nchi nzima japo alisema lazima atalifikisha kwa mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa ili kuweza kuitazama shule hiyo kwa jicho la tatu . Pia mbunge huyo alisema kuwa toka ameingia madarakani mwaka jana kuna baadhi ya kazi kubwa amepata kuzifanya katika jimbo hilo na kuwa wananchi wa jimbo hilo ni mashahidi katika suala hilo na kuwa akiwa kama mwakilishi wa wananchi wa Kalenga atahakikisha kwa muda uliobaki kuona anatafuta majibu ya changamoto mbali mbali za jimbo hilo. Aidha mbunge huyo aliupongeza uongozi wa shule hiyo kwa kazi nzuri ya ukuzaji wa taaluma shuleni hapo na hata kuifanya shule hiyo kuwa moja kati ya shule zenye sifa nzuri ya kufaulisha ndani ya wilaya ya Iringa ,mkoa na taifa na kuwataka wahitimu wa kidato cha sita kutumia muda uliobaki kujisomea zaidi ili kuendeleza rekodi ya kufaulu vema katika mitihani ya kidato cha sita. Mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Abed Kiponza akimshukuru mbunge Mgimwa alisema kuwa msaada huo ni ukombozi mkubwa wa maendeleo ya ujenzi wa darasa hilo pia aliwaomba wazazi na wadau mbali mbali kujitolea kushiriki ujenzi wa darasa hilo pamoja na uboreshaji wa majengo ya shule hiyo . Kiponza alisema kuwa shule hiyo ni shule ambayo imekuwa ikiendeshwa kwa misingi bora ya kitaaluma na kuwa haijapata kuwa na mgomo wa wanafunzi wala walimu tofauti na shule nyingine . Mkuu wa shule hiyo Bi Zaina Salingwa katika taarifa yake kwa wazazi na mgeni rasmi alisema kuwa shule hiyo ilianza mwaka 2005 baada ya kufungwa kwa kilichokuwa chuo cha ualimu Ifunda na kuwa hali ya majengo hayo ni chakavu zaidi baada ya majengo hayo kujengwa toka mwaka 1985. Alisema kuwa shule hiyo ni shule ya bweni yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 640 lakini ina wanafunzi 653 wakiwepo wanafunzi 440 wa kidato cha tano na wanafunzi 213 wa kidato cha sita na kuwa asilimia 90 ya wanafunzi wanasoma masomo ya Sayansi na jumla ya michepuo waliyonayo ni saba yani CBG, PCB, PCM, PGM,EGM,HGK na HGE na kuwa walimu waliopo ni 23 huku masomo ya Sayansi na Hesabu yakiwa hayana mwalimu hata mmoja zaidi ya kukodi walimu kutoka nje. Mkuu huyo alisema kuwa hadi sasa shule hiyo imefanikiwa kuwa na gari la mkuu wa shule ambalo limenunuliwa kwa kiasi cha Tsh milioni 20 fedha zilizochangwa na wadau mbali mbali akiwemo kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas . 04/03/15--00:29: BASATA YAPIGA MARUFUKU DISKO TOTO NA UKIUKAJI WA SHERIA ZA UENDESHAJI KUMBI ZA BURUDANI KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA PASAKA
"2019-12-13T16:58:21"
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p499.html
[ -1 ]
Septemba 19, 2017 - 2:12 AM Habari NO : 855081 Rejea : abna.ir Link: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson amekutana na waziri mwenzake wa Urusi Sergei Lavrov na wamejadiliana kuhusu mzozo wa Syria, masuala ya Mashariki ya Kati pamoja na makubaliano ya kurejesha amani Ukraine.Tillerson na Lavrov wamekutana jana mjini New York, shirika la habari la ABNa linaripoti kuwa: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson amekutana na waziri mwenzake wa Urusi Sergei Lavrov na wamejadiliana kuhusu mzozo wa Syria, masuala ya Mashariki ya Kati pamoja na makubaliano ya kurejesha amani Ukraine.Tillerson na Lavrov wamekutana jana mjini New York, kabla ya kuanza kwa mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Heather Nauert amesema kuwa viongozi hao wamekubaliana kujiepusha na mapambano ya kijeshi nchini Syria, kupunguza ghasia na kuanzisha masharti ili mchakato wa Geneva uweze kusonga mbele. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi, Maria Zakharova, amewaambia waandishi habari kwamba mkutano ulihusu ushirikiano katika mzozo wa Syria, masuala ya Mashariki ya Kati na makubaliano ya Minsk. Hata hivyo alipoulizwa namna mazungumzo hayo yalivyokwenda, alijibu kuwa hana taarifa kwa sababu hakuwepo ndani ya chumba cha mazungumzo.Uhusiano kati ya Marekani na Urusi uko katika kile ambacho Tillerson amekiita wa ''kihistoria'' baada ya Vita Baridi wakati ambapo nchi hizo mbili zimekuwa zikilipiziana kisasi katika masuala ya kidiplomasia. Lakini Marekani inataka kufanya kazi na Urusi ili kusaidia kuutatua mzozo wa Syria, ambako nchi zote mbili zina vikosi vyake na wapinzani wakijaribu kuendesha shughuli zao kutokana na tofauti hizo walizonazo. Hata hivyo, mazungumzo hayo kati ya Urusi na Marekani yamefanyika baada ya Urusi kushutumiwa kuvilenga vikosi vya magaidi vinavyoungwa mkono na Marekani katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh katika shambulizi la anga. Hayo yameelezwa jana na kamanda wa jeshi la Marekani.Vikosi vinavyopigania demokrasia nchini Syria, SDF, vinavyojumuisha wapiganaji wa Kikurdi na Kiarabu na vinavyoungwa mkono na Marekani, vimesema kuwa wapiganaji wake walijeruhiwa katika shambulizi la ndege za kivita lililofanywa na Urusi mashariki mwa Mto Euphrates karibu na jimbo lenye utajiri wa mafuta la Deir al-Zor. Msemaji wa jeshi la Urusi amekanusha madai hayo, ingawa jeshi la muungano limekiri kwamba Urusi ilikuwa ikifahamu kuwa eneo hilo lina wapiganaji wa SDF. Vikosi vya SDF na majeshi ya serikali ya Syria yanayoungwa mkono na Urusi yanaendesha operesheni zenye malengo sawa lakini yanayotofautiana, dhidi ya wapiganaji wa jihadi katika jimbo la Deir al-Zor, jimbo kubwa ambalo bado linadhibitiwa na kundi la kigaidi la Daesh.
"2018-03-17T21:58:47"
http://sw.abna24.com/news/habari-muhimu/marekani-na-urusi-zaujadili-mzozo-wa-syria_855081.html
[ -1 ]
Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kuhakikisha mtoto anapata elimu bora | Magazeti ya Tanzania - Tanzania Newspapers | Magazetini > Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kuhakikisha mtoto anapata elimu bora Wazazi watakiwa kushirikiana na walimu kuhakikisha mtoto anapata elimu bora Na Salmin Juma, PembaWazazi na walezi watoto kisiwani Pemba wametakiwa kutoa mashirikiano ya kutosha baina yao na walimu ili kumfanya mtoto kupata elimu itakayomuokoa katika maisha yake duniani na akhera.Tafiti zinaonyesha kuwa wananchi mbalimbali nchini zinaonyesha kua wanafunzi wengi hushindwa kufanya vizuri katika masomo kutokana na kutokuwepo kwa mashirikiano mazuri baina ya pande hizo mbili .Akizungumza na mwandishi wetu Mwalim msaidizi wa madarasatul siraji-munira ya Kilindi wilaya ya chakechake Ust: Ramadhan Juma Ramadhan amesema kuwa, kuna baadhi ya wazazi hawatoi kabisa mashirikiano kwa maustadh pindi wanapowapeleka watoto wao chuoni.Ust: Ramadhan... In the last 3 days HakiElimu yazindua kampeni ya kuhamasisha elimu kwa mabinti Mwananchi (2 days ago) - Taasisi ya HakiElimu imezindua kampeni maalumu ya kuhamasisha elimu ya mtoto wa kike ili kukabiliana... ‘MCHAKATO WALIOBEBA MIMBA KURUDI SHULE UHARAKISHWE’ Neema kuzishukia shule 17 kongwe nchini Mwananchi (2 days ago) - Aghalabu, matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na tano yanapotangazwa, Serikali, wadau wa elimu... Popular Posts
"2017-06-22T12:02:34"
http://www.magazetini.com/news/wazazi-watakiwa-kushirikiana-na-walimu-kuhakikisha-mtoto-anapata-elimu-bora
[ -1 ]
Serikali Yawahakikishia Wafugaji wa Samaki Mazingira Bora Zaidi Ya Ufugaji | MPEKUZI Serikali Yawahakikishia Wafugaji wa Samaki Mazingira Bora Zaidi Ya Ufugaji Mhe. Ulega ameyasema hayo Februari 26, 2020 kwenye Mkutano wa Mashauriano kati ya Serikali, Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Mkoa wa Shinyanga uliofanyika katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Uwekezaji, Mhe. Angellah Kairuki. “Mwanzo tulikuwa na tatizo la bina lakini hivi sasa tupo kwenye hatua nzuri bima kwenye mifugo na uvuvi ili upatikanaje wa fedha kwenye eneo hili uwe wa uhakika kwa wafanyabiashara. “Tumeweka Mazingira mazuri ya kuhakikisha kwamba Watanzania wanaoingia kwenye biashara za mifugo na uvuvi wapate soko. Mwanzo tulikuwa tunaagiza nyama nyingi kutoka nje ya mipaka yetu lakini serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Magufuli imefanya kazi kubwa na sasa hatuingizi nyama kutoka nje isipokuwa kwa kibali maalumu tu”,alisema Mhe. Ulega. Labels: Habari tanzania, habari za kitaifa, ufugaji samaki
"2020-03-29T08:24:47"
http://www.mpekuzihuru.com/2020/02/serikali-yawahakikishia-wafugaji-wa.html
[ -1 ]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu wamekutana leo na kuzindua kituo cha huduma za pamoja cha Tunduma-Nakonde. Uzinduzi wa kituo hicho umefanyika katika eneo la Tunduma kwa upande wa Tanzania na kisha Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu waliekea kuzindua kituo hicho eneo la Nakonde upande wa Zambia. Rais Dkt John Pombe Magufuli ameipongeza wizara ya Fedha kwa uamuzi wa kujenga kituo hicho kwakuwa Kituo hicho kitarahisisha shughuli za biashara huku akiwaasa maafisa wa forodha kusimamia weledi katika kuhudumia kituo hicho. Aidha Rais Dkt John Pombe Magufuli amewataka wananchi na watumiaji wa kituo hicho kukitunza na kuwa mstari wa mbele kuwafichua watu wenye nia ovu ya kutaka kuhujumu miundombinu ya kituo hicho. Naye Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu amesema kituo cha Huduma za Pamoja cha Nankonde-Tunduma hupitisha zaidi ya mizigo 600 kwa siku na hivyo kurahisisha biashara kutoka Dar es Salaam hadi katika ushoroba wa kanda ya kusini mwa Afrika. Rais Edgar Lungu amesema baada ya kuboreshwa kwa kituo hicho upitishaji wa mizigo umerahisishwa na kupunguza muda ambao watu walikua wanakaa mpakani kutoka siku 4 za awali hadi kufikia siku moja. Rais Edgar Lungu amezishukuru serikali zote mbili kwa kuchukua hatua hiyo ambayo itawasaidia wafanyabiashara hususani wafanyabiashara wadogo.
"2020-08-03T21:19:21"
http://www.songwe.go.tz/new/rais-dkt-magufuli-na-rais-lungu-wa-zambia-wakutana-na-kuzindua-kituo-cha-tunduma-nakonde-one-stop-border-post
[ -1 ]
Carpal Tunnel Syndrome Treatments Yakima WA - orthopedics, Yakima WA medicine, Yakima WA surgeons, Yakima WA hospitals, Yakima WA doctors, Yakima WA wrist injury, Yakima WA nerve injury, Yakima WA carpal tunnel syndrome Carpal Tunnel Syndrome Treatments Yakima WA Local resource for carpal tunnel syndrome treatments in Yakima. Includes detailed information on local clinics that provide access to carpal tunnel syndrome treatments, as well as advice and content on orthopedics, wrist injury, repetitive motion injury, and nerve injury.
"2017-11-23T07:33:29"
http://local.eorthopod.com/Carpal_Tunnel_Syndrome_Treatments_Yakima_WA-p1555178-Yakima_WA.html
[ -1 ]
ZABIBU "CABERNET SAUVIGNON": MAELEZO YA AINA MBALIMBALI, HASA KILIMO, MATUMIZI - ZABIBU "Cabernet Sauvignon", yeye ni "Petite Vidure" - aina ya zabibu na historia ya miaka mia tatu, inayotokana na maarufu Aquitaine ya Kifaransa, inayojulikana kwa ajili ya uzalishaji wa vin za Bordeaux (hata hivyo, kwa mujibu wa vyanzo vingine, zabibu hizi zipo katika eneo la Ufaransa wa kisasa tangu wakati wa Roma ya Kale). Leo inajulikana kuwa aina hiyo ni matokeo ya kuvuka kwa aina mbili za Bordeaux - Sauvignon nyeupe, ambayo ilitoa upinzani wa baridi kwa aina mpya, na nyekundu cabernet franc, ambayo iliwapa mseto harufu nzuri na muundo wa kipekee. Je! Unajua? Hakuna data ya kuaminika juu ya jinsi Cabernet Sauvignon ilivyotumika imefikia siku zetu, na hivyo toleo la kukubalika kwa ujumla ni kwamba kuvuka kunatokea kwa bahati, ingawa winemakers kweli wanasema kuwa kuna ajali katika eneo hili. kuwa hawezi. Nusu ya pili ya karne ya XVII nchini Ufaransa ilikuwa hai sana katika uwanja wa winemaking. Kwa wakati huu, uzalishaji wa divai ulikuja kikamilifu, na sio wataalam tu wa vizazi kadhaa, lakini pia wenyeji wa kati na wenyeji wa kati walihusika nao. Yeye hakuwa na kupita kiasi aina hii ya kilimo na monasteries, ambapo wajumbe pia walifanya mazoezi ya kila aina ya majaribio na majaribio. Kwa upande mwingine, Mapinduzi makubwa ya Kifaransa yaliyotokea wakati huu yanaweza kunyonya rekodi za maumivu ya winemakers ya amateur, ambayo inaelezea ukosefu wa habari kuhusu mchakato wa cabernet ya kufanya zabibu. Hata hivyo, Cabernet Sauvignon haraka sana alifanya mashindano ya moja kwa moja na ya mafanikio kwa zabibu zaidi za kikomo Bordeaux Merlot na Malbec. Na zabibu za Cabernet zilianza maandamano yao ya kushinda duniani kote katikati ya karne ya kumi na tisa na tangu wakati huo imeshinda idadi kubwa ya nchi karibu na mabara yote. Maelezo ya vipengele vya kibiolojia Cabernet Sauvignon ni ya aina ya zabibu za kuchelewa, mazao yake katika nchi yetu kwa kawaida huvunwa si mapema kuliko Oktoba. Mzabibu unachukua mizizi kwa urahisi na hupanda bila matatizo yoyote, mazao ni ya juu sana. Majani ni pande zote na vidokezo vyekundu vyema. Kuenea kwa misitu ni juu, shina ni kufunikwa na fluff nene, katika vijana wana mwanga sana, karibu kivuli nyeupe. Je! Unajua? Majina mengine maarufu ya aina "Petit Cabernet", "Lafitte" ("Kusafiri"). Cabernet Sauvignon huunda kwa muda mrefu, hadi 15 cm, makundi ya kutosha kwa sura ya koni, wakati mwingine na tawi la upande. Mazao ya pande zote - hadi sentimita 1.5 mduara na hadi 3 g ya uzito. Rangi ya berries ni bluu nyeusi, ngozi ni mbaya, kufunikwa na mipako yaxy. Mifupa katika matunda yanapo, lakini idadi yao ni ndogo. Zabibu juicy, mazuri kwa ladha. Cabernet Sauvignon zabibu ni rahisi kukua na kudumisha kwamba wakati mwingine huitwa zabibu zavivu. Inakabiliwa na ukame na karibu haina kuoza wakati wa kumwagilia, haogopi baridi kali au baridi ya baridi, ina hatari ndogo ya magonjwa ya hatari ya zabibu (hasa phylloxera na koga) na wadudu (majani ya kijani), hupanda sana na huendana kikamilifu na hali ya kubadilika. Miongoni mwa mapungufu ya aina mbalimbali, inawezekana kutofautisha pengine uwezekano wa kumwagika kwa matunda na mavuno ya chini kuliko ya aina nyingine nzuri za Bordeaux. Tatizo jingine la aina hii ni kile kinachoitwa pea, ambacho kinaonyeshwa kwa kuonekana kwa berries ndogo na yenye tindikali sana ya kijani kwenye mizabibu. Mapungufu yaliyobaki ya aina mbalimbali, ikiwa yanaweza kuitwa hivyo, yanahusiana na sifa za ladha ya matunda kama vifaa vyenye mvinyo - vyema mno, matajiri na tart, hawana kutosha, lakini upungufu huu unafadhiliwa kwa kuongeza kwa zabibu nyingine kwa divai, hasa Merlot na "wazazi" "Cabernet Franc. Tunataka pia kukuambia kuhusu aina ya zabibu maarufu kama "Isabella". Hali kuu ya ununuzi wa miche ya ubora - kukata rufaa kwenye mahali hapa katika eneo lenye kuthibitika. Wafanyabiashara wasiokuwa na wasiwasi walitambua ujuzi wa kudanganya wanunuzi wasiokuwa na ujuzi, kwa hiyo, kutoa maoni mapya kwa vifaa vya chini vya ubora kwao hawatakuwa na ugumu. Hata hivyo, baadhi ya sheria za kuchagua mimea ya zabibu zinahitaji kujua ili kujilinda angalau kutoka ndoa dhahiri na dhahiri. Mizizi ya miche ya zabibu hukauka haraka sana, baada ya ambayo mmea unaweza kuwa vigumu sana kukaa. Ni bora kununua mbegu mara moja kabla ya kupanda, kwani hawana uvumilivu. Ikiwa unakwenda kupanda zabibu katika chemchemi, haipaswi kununua mbegu wakati wa kuanguka. Idadi kubwa ya majani juu ya saplings ya vuli ni sababu ya kukataa kununua: kuna uwezekano kwamba kiasi kikubwa cha unyevu tayari kimepita kupitia majani, na sapling imefutwa. Daima ununue miche kwa msimu na uteuzi mkubwa. Muulize muuzaji afanye kazi fulani na miche ili kuhakikisha kwamba mzabibu ni hai: ikiwa ukata juu ya mbegu au kuondoa sehemu ndogo ya ngozi, unapaswa kuona nyama ya juisi na yenye rangi ya kijani; Mzizi wa kukata safi unapaswa kuwa mwepesi na unyevu, kama kijiko kilichokatwa cha viazi; wakati wa kuinama, mzabibu unaweza kupasuka kidogo, lakini si kuvunja; buds katika mchanga wenye afya sio kuanguka kwa kugusa kidogo; tovuti ya kuunganisha inapaswa kuwa sahihi - kupotosha miche kwenye makutano ya graft na hisa kwenye kanuni ya kufuta mifereji ya mvua na kuzingatia kwa uangalifu baadaye: usipaswi kuona nyufa au mapungufu; Kwa upande mwingine, ikiwa huoni chanjo wakati wote, inamaanisha kuwa haipo, licha ya uhakika wa muuzaji wa kila kitu kwamba kila kitu kimeongezeka pamoja ili kisichoonekana tena: unatafuta tu kuuza sapling isiyojajwa badala ya kuunganishwa. Ni muhimu! Ikiwa muuzaji anakataa bila ya shaka kufanya shughuli yoyote inayotolewa na wewe - sema kwaheri na kwenda ununuzi mahali pengine: wanakudanganya! Bei ya juu pia si dhamana ya ubora, pamoja na vyeti vingi vya mihuri. Tumaini macho yako na sifa ya muuzaji: ikiwa umepata mchele mzuri, lakini haujachukua mizizi, fikiria ikiwa ni vyema kuomba vifaa vyenye ghafi kwa mfanyabiashara sawa. Kuna njia mbili za kupanda zabibu - spring na vuli. Kila mmoja ana sifa zake mwenyewe, faida zake na hasara zake. Kwa hiyo, upandaji wa spring ni mzuri kwa sababu mzabibu utakuwa mizizi vizuri kabla ya baridi, lakini njia hii inahusishwa na hatari fulani za kuhifadhi miche hadi wakati wa spring. Ndiyo sababu wataalam wengi wanapendelea kupanda zabibu karibu na majira ya baridi, wakichagua siku ya joto sana kwa hili, ili wasihifadhi mbegu kwa miezi kadhaa. Jifunze kuhusu sheria za kupanda zabibu katika kuanguka. Ikiwa kuna uchaguzi, zabibu hupandwa katika kuanguka muda mrefu kabla ya baridi ya kwanza (karibu katikati ya mwezi Oktoba), ili mizizi isiyovunjika isiangamizwe kama matokeo ya kushuka kwa joto kali. Kupanda na kulima zabibu huanza na uchaguzi wa eneo. Mahali bora kwa Cabernet Sauvignon ni mteremko wa kusini au kusini-magharibi wa tovuti na taa nzuri na uingizaji hewa. Mzabibu umewekwa kutoka kaskazini hadi kusini. Ni muhimu! Mahali mazuri ya zabibu ni kwenye ukuta wa kusini wa jengo: katika kesi hii mzabibu utalindwa na makazi salama kutoka kwa upepo mkali wa kaskazini. Lakini katika kivuli cha miti au majengo mengine mmea huu haupaswi kupandwa kwa makundi! Uundaji wa zabibu za udongo Cabernet Sauvignon hauzidi mahitaji makubwa, lakini maji mema na thamani ya jumla ya lishe ni kuwakaribisha. Jinsi ya kupanda: miche ya kupanda kwenye tovuti Jinsi ya kukua zabibu za cabernet nchini - jibu la swali hili linategemea eneo ambalo una kwa hili na ni kiasi gani cha divai unachohitaji. Kama ilivyoelezwa, idadi ndogo ya vichaka inaweza kupandwa kwa mstari mmoja kwa umbali wa mita moja na nusu kutoka kwa muundo wa karibu. Lakini ikiwa ungependa kujenga shamba la mizabibu halisi, miche inapaswa kuwekwa safu, umbali kati ya ambayo inapaswa kuwa angalau mita tatu, ili vikundi vyote vipate mwanga wa kutosha. Umbali kati ya zabibu za Cabernet Sauvignon mfululizo lazima iwe karibu mita moja na nusu. Je! Unajua? Katika udongo kavu na mchanga, zabibu hupandwa kwa njia ya mvua (katika mashimo ya kina), lakini ikiwa kuna maji ya chini, pamoja na miti na udongo, kinyume chake, kitanda kinapaswa kuinuliwa kidogo. Wakati wa kupanda mbegu, bomba yenye kipenyo kikubwa au chupa ya plastiki iliyoingizwa na chini ya kukatwa ni kuzikwa katika shimo la kumwagilia mzabibu kupitia kifaa hicho. Hata hivyo, kwa kuzingatia unyenyekevu wa Cabernet Sauvignon, miaka mitatu baada ya mzabibu imechukua mizizi, bomba hiyo inaweza kuondolewa kwa salama - zabibu zina uwezo wa kujitegemea kupokea unyevu unachohitaji kutoka kwa udongo wa kina wa udongo, na haitaji tena marupurupu maalum katika umwagiliaji. Angalia pia zabibu zinazofaa sana kwa divai. Kanuni za huduma za msimu za zabibu "Cabernet Sauvignon" Kama ilivyoelezwa tayari, zabibu za Cabernet ni rahisi kukua, kwa sababu aina mbalimbali hazijali kwa hali ya hewa inayobadilika na haziogopa sana wadudu. Lakini hii haimaanishi kwamba kuondoka mzabibu huo hauhitajikani kabisa. Kumwagilia vizuri ni muhimu sana katika teknolojia ya kuongezeka kwa matunda ya divai. Unyevu wa ziada, kama upungufu wake, una athari mbaya juu ya mavuno. Kama ilivyoelezwa, wakati wa miaka mitatu ya kwanza ya maisha ya mzabibu ni bora kuitumia kwa njia ya bomba iliyochimbwa shimo au chupa ya plastiki, basi vifaa hivi vinaweza kuondolewa kwa usalama. Kuunganisha mzabibu kwa trellis baada ya kuondoa makao ya baridi, hutoa maji yake ya kwanza ya kumwagilia. Mwanzoni mwa msimu wa kupanda, zabibu zinahitaji hasa sana: kichaka moja kitachukua hadi lita 40 za maji. Ni muhimu! Maji kwa ajili ya kunywa maji yabibu yanapaswa kuwa joto la joto, kwa kuongeza, kwa kuvaa ni vyema kuongeza mchanga mdogo wa kuni (kuhusu jarida la lita moja kwa kichaka). Baadaye, kabla ya kukomaa kwa berries, maji mengine mawili yanafanyika: kwanza - siku chache kabla ya kuanza kwa maua, na pili - baada ya maua kumalizika. Wakati zabibu kuanza kuchukua matunda, kumwagilia lazima kuacha bila kujali unyevu udongo, kanuni hii inatumika kwa aina yoyote ya zabibu. Hatimaye, kabla ya majira ya baridi yenyewe, siku chache kabla ya kuacha, zabibu huwashwa tena (hii imefanywa ili mzabibu usiingie wakati wa baridi na udongo kavu, udongo huu unafungia zaidi na zabibu zinaweza kufa kutokana na baridi kali sana). Mizabibu iliyopandwa kabisa inaweza kumwagilia hata kidogo. Kweli, wakati wote wa msimu, mzabibu unaweza kuondokana na udongo kiasi cha kutosha cha unyevu kwa maendeleo ya kawaida, lakini kumwagilia ni lazima kabla ya majira ya baridi. Pia ni muhimu kulisha zabibu kwa tahadhari, kwa sababu ziada ya mbolea hupungua ukuaji wa mzabibu na hupunguza mavuno. Ikiwa, kabla ya kupanda zabibu, umechukua huduma ya kujaza udongo na mbolea za kikaboni na madini, hifadhi hii ni ya kutosha kwa miaka mitatu au minne ya kwanza ili kuongeza kitu chochote duniani. Kutoka kwa zabibu za kikaboni hujibu vizuri sana kwa mbolea, pia hufaa na mbolea. Vidonge vya madini - carbamudi, nitrati ya ammoniki, superphosphate, na mbolea za potashi (potassiamu sulfate, chumvi ya potashi, majivu). Unaweza pia kutumia virutubisho vikali vya madini, kama vile Florovit, Kemira na wengine. Angalia pia ni aina gani za mbolea za madini na ambazo zina virutubisho ndani yao. Katika chemchemi, wakati huo huo na kumwagilia kwanza, ni lazima kulisha zabibu na virutubisho vya madini vyenye nitrojeni, fosforasi na potasiamu. Kila kichaka kitahitaji 50 g ya phosphate na 20 g ya mbolea ya potashi. Mfereji usiojulikana humbwa karibu na kichaka, mbolea huwekwa ndani yake, na kuinyunyiza na ardhi juu. Mbolea inayofuata inaweza kufanyika kabla ya maua, wakati huu kwa kutumia mbolea na mbolea nyingine zaidi na mbolea ya phosphate (takriban 15 g na 25 g, kwa mtiririko huo, kulingana na ndoo ya maji). Ni muhimu! Huwezi kulisha zabibu na mbolea za nitrojeni katika nusu ya pili ya majira ya joto, hii inasababisha kuchelewa kwa kiasi kikubwa katika berries za kukomaa. Matokeo sawa hutoa ziada ya mbolea. Kulisha mizabibu pia inaweza kuchapwa, na aina hii ya mbolea ni pamoja na matibabu ya kuzuia kutoka kwa wadudu. Kwa hili, ni rahisi zaidi kununua bidhaa iliyopangwa tayari katika duka maalumu ("Aquarine," Plantafol, "Novofert, nk). Cabernet Sauvignon inahitaji hasa kupogoa vizuri, kama mzabibu ulioingizwa huzaa mazao mabaya. Kupogoa kunaweza kufanyika wakati wowote wa mwaka, lakini kila kupogoa kuna sifa zake. Je! Unajua? Kuwepo kwa vuli kunafaa zaidi kuliko spring, kwa sababu wakati wa mtiririko wa sampuli nyingi, mzabibu uliopandwa huponya vibaya na kukua pasaka ("kilio"). Machozi hiyo hupanda mafuriko, hugeuka sour na haukua, hivyo kuandika sio kusoma na kuandika kunaweza kuharibu zabibu. Ikiwa haikuwezekana kupunguza wakati wa kuanguka, au kichaka kilichopandwa katika vuli kinatupa shina nyingi sana, unaweza kuziondoa kwa makini mapema ya spring, wakati bado sio joto, lakini baridi halisi imekwisha. Kwa wakati huu, matawi ya kavu na magonjwa ya mzabibu pia yanaondolewa. Katika majira ya kizabibu, ongeza matawi ya ziada na majani. Shrub iliyopangwa vizuri inapaswa kuangazwa vizuri na jua kutoka pande zote ili berries kuiva vizuri zaidi. Wakati wa kuanguka, zabibu hukatwa wakati wa kuvuna (shina dhaifu huondolewa na kinachojulikana kama "vichwa" - shina bila zabibu). Kisha, baada ya majani kuanguka, kupogoa zaidi ya kardinali hufanywa. Ni muhimu! Wakati sahihi wa kupogoa vuli ni mwanzo wa baridi za kwanza. Sap mtiririko unapaswa kuacha katika mzabibu, lakini hupaswi kufikia baridi ya kweli, kwa sababu matawi yatakuwa tete sana. Juu ya mchele mdogo, kama matokeo ya kupogoa, shina 3-7 upande lazima kushoto, tena. Juu ya mzabibu mzima mnamo Septemba, ni muhimu kuondoa shina zote za upande ambazo zilifukuzwa chini kuliko mita nusu kutoka chini. Kisha, kutokana na shina kukua kwa urefu zaidi ya 0.8 m juu ya ardhi, vichwa vya kukatwa kwa sehemu ya kumi, na matawi yote ya upande huondolewa. Kisha, wakati wa kukata vuli ya pili kwa urefu wa mita moja kutoka chini, unahitaji kuchagua jozi la shina kali zaidi: kata moja chini, uacha 3-4 buds, na ukate juu juu upande wa pili kwenye buds 10 - hii ndio ambapo makundi yatapanga. Magonjwa na Upinzani wa wadudu: Matibabu na Ulinzi Tumeelezea hapo juu kwamba Cabernet Sauvignon ni sugu sana hata maadui wa kutisha ya zabibu. Hata hivyo, ili wasiwe na shida na uchunguzi na matibabu, ni muhimu kutekeleza hatua fulani za kuzuia kulinda mzabibu kutokana na maafa kama vile zabibu na buibui, pruritus, majani, pamoja na magonjwa mbalimbali ya vimelea na kuoza. Katika maduka maalumu, unaweza kununua maandalizi ya kila siku kwa matibabu ya kupumua ya zabibu, ambayo ina mali ya fungicidal na wadudu na, kwa kuongeza, huchea ukuaji wa mzabibu. Kwa kuwa madawa haya ni ya sumu, matibabu inapaswa kufanyika mapema ya spring. Na ikiwa mzabibu bado unaathiriwa, na matibabu hufanyika baadaye - kwa hali yoyote, ni lazima ikamilike kikamilifu mwezi mmoja kabla ya kuvuna. Je! Unajua? Kama mbadala salama kwa dawa za dawa, inawezekana kupambana na tiba wakati wa mwanzo wa maambukizi kwa kunyunyizia majani kwa sabuni na maji ya kawaida. Lakini nani ni hatari sana kwa Cabernet - hupunguza. Kuchunguza kwa uangalifu tovuti hii kwa uwepo wa viota vya wasp. Ikiwa wadudu hawa wanashambulia mazao yako, weka mitego maalum au, ikiwa yote yanayoshindwa, funika makundi kwa jani. Upinzani wa baridi: makao ya majira ya baridi Cabernet Sauvignon ni aina ya aina ya baridi (mzabibu unaweza kuhimili joto hadi -30 ° C), lakini wakati wa kupanda zabibu katika njia ya katikati ya baridi, inapaswa kufunikwa. На самом деле особенности повреждения виноградников в результате морозов - очень сложная наука, где важно не только то, насколько низко опускалась температура в течение зимы, но и то, насколько неожиданными и серьезными были осенние и весенние заморозки, какие ветры преобладали в течение холодного сезона и т. п. Kwa hiyo, ili usiwe na hatari, haipaswi kuondoka shamba la mizabibu kwenye trellis kwa majira ya baridi yote. Njia rahisi kabisa ya kukaa zabibu ni kuiacha. Unaweza kujiandaa kwa ajili ya mzabibu na mahali zaidi ya muda wa majira ya baridi - kuifunika kwa mbao, plywood, filamu na vifaa vingine vilivyotengenezwa, imefanya mto kutoka kwenye nyasi kavu. Ni muhimu! Kwa njia yoyote unayochagua, huwezi kufunika mzabibu na majani ya zabibu kavu, kwa sababu katika kesi hii unafanya baridi kali kwa wadudu kwa mikono yako mwenyewe. Kufunua zabibu na filamu pia hakuonekana si nzuri sana: ikiwa huna fursa ya kupanga kupanga mara kwa mara kwa mzabibu, inaweza kuoza na kuoza. Kutumia zabibu za Cabernet Sauvignon kwa kufanya mvinyo Na sasa, hatimaye, jambo la kupendeza ni kuvuna na kuandaa divai. Je! Unajua? Cabernet Sauvignon ni aina ya divai ya divai peke yake, sio mzuri sana kwa ajili ya matumizi kama delicacy kwa sababu ya ngozi yake mno. Kwa mwaka gani Cabernet Sauvignon zabibu matunda hutegemea mambo mengi, lakini kwa wastani itachukua miaka mitatu hadi mitano kusubiri kutoka wakati wa kupanda. Mvinyo wa Cabernet inapendwa na wengi: ina ladha ya spicy na tart na ladha ya currant. Kweli, cabernet ndogo hufanana na wino katika rangi, na ladha yake ni nzito sana. Kinywaji hupanda kwa muda mrefu, lakini baada ya muda, hupata pomegranate hue na bouquet tata sana. The astringency (shukrani kwa ngozi ngumu na mifupa) na harufu ya currant nyeusi ni kadi ya kutembelea ya Cabernet Sauvignon. Kama ilivyoelezwa hapo juu, wakati wa kuandaa divai kutoka Cabernet Sauvignon, aina nyingine za divai mara nyingi huongezwa kwenye kinywaji ili kuidhinisha ladha, lakini kunywa ubora wa mzabibu huu pia huzalishwa. Je! Unajua? Kwa mujibu wa sheria zilizopo za divai inayozingatiwa na aina tofauti ya zabibu, ni ya kutosha kuwa na robo tatu ya aina moja ya zabibu (kulingana na mpango wa Bodro, aina moja ya aina ya vin tayari, kama sheria, si kufanya ). Faida isiyowezekana ya aina hii kwa winemakers ya mwanzo ni utabiri wake: katika hali yoyote mzabibu inakua, chochote kinachoongezwa kwenye kunywa wakati wa maandalizi, gazeti kuu la Cabernet bado linatambulika. Kichocheo na teknolojia ya kuandaa divai ya juu nyumbani ni mada kwa makala tofauti. Ushauri pekee ambao ningependa kutoa kwa waanzilishi: utunzaji mapema juu ya ununuzi wa chachu ya divai halisi, inayofaa kwa ajili ya uzalishaji wa vin nyekundu, kwa sababu divai juu ya chachu ya asili haihusiani na vinywaji vyema ambavyo unaweza kujiandaa kwa mikono yako mwenyewe, ukiangalia kwa makini teknolojia. Mvinyo inaweza kutayarisha si tu kutoka kwa zabibu, lakini pia kutoka kwa jam na hata kuchanganya. Kwa hivyo, baada ya kufanya uamuzi wa kukua zabibu za Cabernet Sauvignon kwenye njama yako, huwezi kujiingiza katika shida kubwa, lakini mnamo Oktoba utachukua mavuno mazuri ya vifaa vyenye ubora wa divai na kufurahia mwenyewe na kupendeza wageni wako kwa kunywa kifahari na kifahari.
"2019-11-20T19:53:33"
https://sw.lezgka.ru/2898-grapes-cabernet-sauvignon-characteristics-and-agricu.html
[ -1 ]
Sheria Leo.3: Je, Sheria ni Muhimu? | Uliza Sheria August 24, 2017 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo, Uncategorized - 4 comments Marbel - August 24, 2017 at 12:13 pm Asante sana Bwana Wakili kwa shule ya leo… Nimepata kujua kwamba Kuna sheria ya makaburi jambo ambalo sikulifahamu awali.. ulizasheria - August 25, 2017 at 8:06 am Karibu sana kuna mengi ya kujifunza kuhusu sheria kila siku. Munyosi - August 25, 2017 at 4:15 pm ulizasheria - August 26, 2017 at 5:23 am
"2020-02-26T02:57:08"
http://ulizasheria.co.tz/2017/08/24/sheria-leo-3-je-sheria-ni-muhimu/
[ -1 ]
Unabii 5, NYINYI NI HAZINA ZANGU ZA SIRI, NYINYI NI SILAHA ZANGU ZA SIRI. Unabii 5 NYINYI NI HAZINA ZANGU ZA SIRI, NYINYI NI SILAHA ZANGU ZA SIRI. Ilipewa kwake Mtume Sherrie Elijah Machi 14, 1997 Nilianza kuomba katika lugha za RUACH ha KODESH na kilichofuata, nilihisi kuwa YAHUVEH alikuwa ananipa upako na ujumbe ufuatayo ukaja. Ingawa nilidhani kuwa itakuwa ya Danieli pekee yake ikawa ya watu wengi. Mbarikiwe mkiyasoma haya na mwone kama RUACH ha KODESH hatawaonyesha, kuwa ujumbe huu ni wenu pia. Kama wewe hutafuta uso WANGU daima na kuniuliza MIMI, “Utanitumia mimi lini?” Basi ujumbe huu ni wako. Kama mwaweza kusikia sauti YANGU katika unabii huu, basi nyinyi, Wana WANGU na Binti ZANGU, ujumbe huu ni wenu. Roho WANGU atathibitisha ndani yenu kama ujumbe huu ni wenu. Kwa kuwa utatoa ushahidi kwa roho yenu ndani yenu. Wote wengine watabaki viziwi na haya yatakuwa maneno tu kwao. Watashuku kama kwa kweli ni YAHUVEH anayeongea kupitia huyu Handmaiden. Mkiyahisi haya, basi bila shaka ujumbe huu si wenu. Watoto WANGU Wapendwa, nyinyi ni kama hazina za siri, nyinyi ni kama podo za mishale za siri, wanapoona tu upinde. Nitawatumia kuzungumza kwa ujasiri na mtafanya yote ambayo dada yenu anafanya, kuonya juu ya hukumu ijayo. Nyinyi pia ni walinzi kwenye mnara. Tazameni ishara angani kama Eliyah alivyofanya, kwa kuwa mtaonywa na tena mtapasha onyo hizi kwa wengine. Watoto WANGU, Nimewapa upako wa kutumia karama Nilizowapa. Hamjakuwa na imani ya kufanya haya, vile Nilivyowapa upako wa kufanya haya. Lakini siku hii Niliyoikadiri, mmekutana na Handmaiden WANGU na karama zake na zenu zimekuwa moja. Mmezikoroga karama hizi ndani yenu nyote. Msifikiri kuwa haya hayakupangwa, kwa kuwa nyinyi nyote ni moja katika Roho WANGU. Neno LANGU ndani yenu huchoma kama upanga mkali. Upanga wenye makali mawili utakata ndani sana. Kuna moto mwingi uliofungwa ndani ya mifupa yenu na hamjui ni nini mtafanya nayo. Anzeni kuyanena! Maneno YANGU hayawezi kurudi KWANGU tupu, lazima ifanye yote Niliyoiita ifanye. Nimekuambia mengi kwa siri na bado haujayatoa kwa wengine. Sasa ndio wakati uo huo wa kupiga mbiu na kuonya juu ya adhabu inayokaribia kwa wale wanaokejeli au kutojali. Lakini, wakati wa baraka kwa wale wanaonitii na kutafuta uso WANGU kwa unyenyekevu, wale wanaosikiza sauti YANGU na Kondoo WANGU hujua sauti YANGU na hawamjii mgeni yeyote. Hawa hawana chochote cha kuogopa. Ingawa kifo kimewazunguka na uwaambie, haitawadhuru wale ambao ni WANGU na kama wao ni shahidi, damu humwagika ardhini ili kuwaleta Paulo wengine ambaye mbeleni aliitwa Shaul na kuwazaa Stefano wengine. Nyinyi ni kama Stefano; nyinyi ni silaha ZANGU za siri Nilizozificha. Tena Ninasema, mnajua sauti YANGU na mmepata thibitisho usiku huu kutoka kwa mmoja wa Manabii WANGU. Mtatumika na mnatumika kwa njia kuu kwa wale ambao mshawagusa. Msidharau mwanzo mdogo kwa kuwa hata mti mkuu wa mwaloni ulitoka kwa mbegu ndogo. Nyinyi ni kama mti mkuu wa mwaloni wa utakatifu, utakatifu WANGU. Hamjajazwa na kiburi, wala sitairuhusu, kwa kuwa Nitawagonga kutoka kwenye kiimo chenu mkithubutu kuyajaribu haya. Mmebaki wanyenyekevu mbele YANGU, na Ninawapenda sana, kwa kuwa Ninawaona mkisoma hadi masaa ya usiku, Ninahisi upweke wenu na kushangaa ni wapi mnapotoka. Nyayo za Watakatifu zimekadiriwa na YAHUVEH. Endeleeni kufuata nyayo ZANGU na kuelekeza wengine KWANGU. Fuateni nyayo ZANGU na kuelekeza wengine kwa mti wa Kalvari. Fuateni nyayo ZANGU na kuelekeza wengine kwenye milango ya Mbinguni. Nimewafundisha, sio binadamu. Nimewakadiri, sio binadamu. Nyinyi ni hazina ZANGU za siri, silaha ZANGU za siri, na Nitaanza kuwatumia kwa njia kuu katika hizi nyakati za mwisho, na msidangayike, hizi ni nyakati za mwisho. Lakini sio mwisho kwa Watoto WANGU, kwao ni mwanzo mpya wa ajabu. Kurudi nyumbani kutatendeka na angalieni Watoto WANGU wote waliokusanyika kwenye meza ya karamu. Ndio, Wana WANGU na Binti ZANGU, mtakusanyika kwenye meza hiyo ya karamu hivi karibuni, kushinda mnachojua au kufikiria. Kwanza, anzeni kukusanya mavuno, kwa kuwa ni kuu na wafanyakazi ni wachache. Kejeli zinazidi Ninavyosikia wachungaji ambao mbeleni walihubiri Injili YANGU sasa wanahubiri injili yao. Wao hujiita miungu. Nitathibitisha kwao MUNGU YAHUVEH ni nani. Watajuta kwa kuyafunza haya kwa kuwa wengi wamepotea kwa sababu ya uongo huu. Wengi wamefariki na walishangaa kuwa hawakukutana NAMI; kwa sababu ni mwovu ambaye wao huona. Lakini msidanganyike kwa kuwa MIMI huwa sikejeliwi vivyo hivyo. Uongo mwingi unatajwa na hao waongozi wa kiroho ambao hapo mbeleni mliwaamini. Watajibu kwa yote wajuayo. Walihubiri uasi na kuibandika kama injili. Ninawaambia, watalipa kwa njia kuu. Kwa kuwa wao huniita MIMI Baba na hata hawafahamu MIMI ni nani. Lakini, sio nyinyi Wana WANGU na Binti ZANGU. Sio wale wanaoitambua sauti YANGU kwenye jumbe za kinabii Nilizompa Handmaiden WANGU. Kondoo WANGU watajua sauti YANGU. Ingawa sauti ya mgeni watakayoisikia yaweza kutoka kwa mchungaji anayeheshimiwa, au kiongozi wa kiroho, mahali hapo kitambo wangewaamini, sasa hawawezi kamwe. Msimtegemee binadamu bali tu YAHUSHUA pekee kama kiongozi wenu wa kiroho. Je, wanachosema hawa viongozi wa kiroho inalingana na Neno Takatifu la YAHUVEH au wameichukua na kuibadilisha katika mfano wa binadamu? Lazima mmtegemee RUACH ha KODESH na yeye atawaongoza katika ukweli, na kuwapa macho na masikio ya kiroho ya kusikia. Mwamini kiongozi hadi RUACH ha KODESH atakaposema ni mwisho. Huduma nyingi zinaanguka mbele ya macho yenu. Ni mwanzo wa mwaka tu na yale Niliyoyatabiri yametendeka, na nyingi zaidi zitaanguka kabla mwaka huu haujaisha. Msihuzunike juu ya huduma au wachungaji walioanguka kwa kuwa walionywa. Mhuzunike juu ya wale kondoo waliodanganyika na sasa wameacha kuniamini MIMI. Mhuzunike juu ya kondoo wanavyoenda katika pango la mbwa mwitu, kwa sababu hata kama wamevaa barakoa ya kondoo, watawala. Watawala kwa sababu tena kondoo wametawanyika katika kambi la maadui kwa sababu ya masikio yao yanayowasha. Chungeni masikio yenu Watoto WANGU. Chungeni macho yenu. Msidanganyike na yale ulimi huzungumza hata ingawa yanasikika kuwa nyororo kama asali; tambueni ni Roho ya aina gani inayozungumza. Tambueni na macho yenu, je, inalingana na Neno la YAHUVEH? Je, wanafikiria, ah ha, sasa nimesoma sana, nina ufunuo mpya na ufunuo huo hauwaleti nyote karibu nami, lakini huwasababisha nyote kuenda mbali NAMI. Kiongozi wa kiroho wa kweli atawaleta nyote karibu, akiwaonya, akiwapa moyo na kuwaimarisha. Kiongozi wa kiroho wa kweli hajajazwa na kiburi. Wanajua kuwa wao si Mungu, hata yule mdogo. Wanajua wao ni nani; wameumbwa katika mfano WANGU kuumanisha kuwa wana pua, macho na masikio. Jamani; jiangalieni kwenye kioo, mnajua picha ni nini. Msiwaruhusu hawa walimu wapumbavu kuwapoteza. Nyote ni watoto Niliowakubali kuwa WANGU, Nina tu Mwana mmoja wa Kipekee, au sio? Lakini hata kama nyote ni watoto Niliowakubali kuwa WANGU, Ninawapenda kama Ninavyompenda Mwana WANGU wa Kipekee. Ambieni wengine juu ya yale Niliyoyazungumza usiku huu kwa sababu, ingawa ulianza kama ujumbe wa mtu mmoja yakawa pia maneno ya wengi. MIMI ni YAHUVEH, MUNGU wenu na MIMI sipotezi chochote. Hata mazungumzo haya yalikuwa yamekadiriwa. Kukutana kwenu ulikuwa umekadiriwa. Ninawaambia sasa YAHUSHUA anawajia Bibi Arusi WAKE, na wasiomtarajia YEYE wataachwa NYUMA! Wale wasioishi kama anarudi siku yoyote ile, wataachwa NYUMA! Endeleeni katika shughuli ZANGU na mfanyeni kazi Niliyowaita mfanye. Haijalishi kama wanaamini, acheni yaya haya kati yao na MIMI. Kama katika siku zake Nuhu hawakuamini. Kama katika siku zake Lutu hawakuamini lakini msidanganyike, sauti katika Unabii hizi huzungumza kwa Watoto WANGU na MIMI sitaruhusu wadanganyike, isipokuwa watakapochagua haya wenyewe. Ninapotuma ishara zaidi za ghadhabu YANGU, hasira dhidi ya Manabii wanaozungumza jumbe hizi itazidi. Lakini jueni haya, MIMI huwatuma Manabii daima kuonya kwa sababu ya upendo WANGU na huruma. MIMI sitaki yeyote ateseke wala kuangamia au kuteseka katika laana ya milele. Kwa hivyo, pigeni mbiu tena, wale walio na masikio ya kiroho ya kusikia wataisikia sauti YANGU vizuri na wengine wote watabaki viziwi na vipofu. Ni chaguo lao sio lenu. Ilipewa kwake chombo hiki cha udongo 3/14/97. Njoo YAHUSHUA, njoo! Mtume Sherrie Elijah
"2017-11-21T22:56:56"
http://www.amightywind.com/prophecykiswahili/proph5kiswahili.html
[ -1 ]
Kujiuzulu kwa Rumsfeld, maoni ya D.Scheschkewitz | Matukio ya Kisiasa | DW | 09.11.2006 Kujiuzulu kwa Rumsfeld, maoni ya D.Scheschkewitz Kutokana na chama chake cha REPUBLICAN kushindwa katika uchaguzi wa bunge rais George W.Bush amemwondoa waziri wake wa ulinzi Donald Rumsfeld.Jee hayo ni mabadiliko ya sura ama ya sera? Kujiuzulu kwa bwana Rumsfeld ni hatua ya aherini . Kwa muda mrefu rais Bush alikuwa anamtetea waziri wake lakini sasa kisu kimefika mfupani baada ya mtokeo ya uchaguzi wa bunge kufahamika. Kwani uchaguzi huo ulikuwa kura ya maoni juu ya vita vya Irak. Bwana Rumsfeld amekuwa anaulumiwa kwa muda mrefu kwa kuendesha vita vya Irak kwa njia ya utobwe, yaani bila ya ustadi, pia amekuwa analaumiwa kwa kuvielekeza vita hivyo katika vurumai. Kama waziri wa ulinzi yeye ndiye alieviandaa na kuviongoza. Hayo yalisababisha apoteze umaarufu miongoni mwa wananchi na miongoni mwa majeshi. Majenerali wanane wa jeshi la Marekani pamoja na magazeti maarufu yalimlitaka waziri huyo wa ulinzi ajiuzulu kutokana na jinsi aliyvokuwa anaendesha vita vya Irak. Bwana Rumsfeld mwenyewe siku nyingi alitashatambua kwamba maji yalikuwa yashamefika utosini. Mara tu baada ya picha juu ya jela ya Abughraib nchini Iraka kutolewa hadharani aliomba kujiuzulu. Picha hizo zilizonesha jinsi wafungwa katika jela hiyo walivyokuwa wanateswa na kudhalilishwa. Katika harakati za kupambana na ugaidi Marekani imechepuka kidogo kutoka kwenye njia ya uungwana. Mateso yametendeka katika harakati hizo na wizara ya ulinzi imehusika. Lakini baya zaidi kwa bwana Rumsfeld ni ukaidi aliokuwa anafanya juu ya mapendekezo yaliyokuwa yanatolewa na majenerali wake. Kwa mfano majenerali hao walitaka idadi kubwa ya askari ili kuweza kuleta utengemavu nchini Irak. Lakini waziri wao alileta kichwa - ngumu. Alisema ingeliwezekana kuidhibiti Irak kwa kutumia kiasi kidogo cha fedha. Kama mpangaji wa vita vya Irak waziri Rumsfeld alifanya kosa jingine kubwa sana. Mara tu baada ya majeshi ya Marekani kuivamia Irak na kumng’oa Saddam Hussein, hatua ya kwanza kuchukuliwa ilikuwa kulivunja jeshi la nchi hiyo, japo Marekani haikuwa na askari wa kutosha wa kuweza kuidhibiti Irak inayoendelea kusambaratika. Jee isingeliwezekana kuliweka jeshi la Irak la wakati huo chini ya uongozi mwingine? Matokeo ya kosa hilo ni kwamba sasa wapiganaji wa jamii mbalimbali wanauana katika kuwania mamlaka ; na jeshi la Marekani halina uwezo wakuzuia mauaji hayo-kwani askari wengi wa jehi hilo bado wana ubwabwa wa shingo! Rumsfeld anabeba lawama juu ya Irak kizidi kudidimia mnamo vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hayo yametokana na mipango yake ya kufanya mageuzi katika jeshi kwa gharama za chini. Japo ilishatambulika siku nyingi kuwa askari zaidi wanahitajika nchini Irak. Na sasa rais Bush amemwondoa waziri wake, Donald Rumsfeld kufuatia kushindwa katika uchaguzi wa bunge. Lakini uchaguzi huo umeonesha kuwa wananchi wa Marekani wanataka sera mpya juu ya vita vya Irak na siyo sura mpya .! Imetafsiriwa na Abdu Mtullya Kiungo http://p.dw.com/p/CHLC
"2017-08-23T06:33:10"
http://www.dw.com/sw/kujiuzulu-kwa-rumsfeld-maoni-ya-dscheschkewitz/a-2926598
[ -1 ]
Mh Lukuvi katazo la kujenga, kuendeleza au kuuziana maeneo yote yasiyopimwa limepuuzwa | JamiiForums Mh Lukuvi katazo la kujenga, kuendeleza au kuuziana maeneo yote yasiyopimwa limepuuzwa Thread starter illegal migrant Mh nivumilie kweli nimekuwa nakuandama lakini ni kwa wema tu, siku za hivi karibuni ulitoa agizo kuwa ni marufuku kujenga, kuendeleza kuuziana maeneo yote yasiyopimwa, nadhani ulikuwa na lengo zuri tu katika kuzuia migogoro ya ardhi ambayo ipo mingi na inazidi kuibuka kila kukicha. Sina uhakika kama agizo hili ulilitoa kisiasa ama ulidhamiria kwa sababu huku pembezoni watu bado wanauziana na ujenzi unaendelea kama kawaida kwa baraka zote za serikali ya mitaa, hawa wenyeviti wa serikali za mitaa ni kero na ni chanzo kikubwa sana wa migogoro wakishirikiana na watendaji wa halmashauri wasio waaminifu. Inasikitisha sana kuona serikali inapambana na mipango miji wakati watu wanazidi kuuziana maeneo holela na kujenga holela sijui lengo ni nini hasa.....nawasilisha Na ndio haohao wanakwamisha maendeleo ya nchi, sheria ikifata mkondo wake wanalalama ooh tunaonewa Yaani hutaki wenzako wajenge? Hhutaki wenzako wauze viwanja walivyonunua kwa hela zao? Hiyo migogoro inakuumiza vipi au inakuhusu vipi wewe? Reactions: Mapya Yaja, tracy martins, kichuminyi and 1 other person Sijui kama una taarifa kuwa jiji la Dar linatakiwa lifumuliwe upya kama uliangalia vichwa vya habari vya magazeti ya jana zilitawala habari za bomoa bomoa.......kuna gazeti limeandika "tutawasaidia watakaobolewa" kuna lingine limeandika bomoa bomoa iko pale pale kuna lingine limeandika ukitaka usibomolewe fuata hatua hizi. Sasa wao wakibomolewa kutokana na uzembe wao wa kujua au kutokujua wewe inakuuma nini? Kwa ulivyoandika si kuwa unawaonea huruma hao watu bali naona ni kuwa unawaonea wivu wao wanauza We umesema wivu tu unamsumbua illegal migrant said: Hivi uko serious kweli? mwenye wajibu wa kupanga mji ni nani? je ni serikali au ni wananchi? sasa kama mwenye wajibu wa kupanga mji hapangi unadhani maisha ya wananchi yanasimama. Waziri na mtoa mada wote mna fikra sawa! dawa ya kupanga miji ni kwa serikali kupanga na kupima viwanja vingi kuliko mahitaji ya wananchi ya wakati huo na ndio hapo serikali inakuwa na uhalali wa kupiga marufuku kujenga sehemu zisizopimwa. Mbali na kupima viwanja vingi zaidi inatakiwa viwanjo hivyo vipatikane kwa bei zinazoendana na vipato vya watu. Tujiulize mwaka wa 2016/17 serikali katika jiji la Dar imepima viwanja vingapi? na je mahitaji ya watu yalikuwa kiasi gani? na ukiona tofauti utajua ni nani anayesababisha makazi holela. Sijui unachotetea ni nini binafsi nimeshabomolewa nyumba, jaribu kuangalia post zangu za nyuma za malalamiko nimejidunduliza tena nashindwa kununua kwa hofu hii ambayo niliipata, waziri amepiga marufuku kuuza na kununuà ardhi isiyopimwa inanilazimu niendelee kukaa nyumba ya kupanga nawaonea huruma wale wanaondelea kuuziana na kujenga maeneo ya nje ya mji siku bomoa ikija...... Mtoa mada nisaidie muktadha wa hili agizo kama kweli lipo. Nami nipate kumshangaa waziri Lukuvi Kila awamu upo Uko sahihi kabisa, NHC ambao walipewa jukumu la kujenga nyumba mijini kwa ajili ya kupangisha wafanyakazi na watu wa kipato cha chini imegeuka kuwa ya matajiri. Watu wakijihangaikia wapate walau pa kujisitiri wanakuja kubomolewa, huwa najiuliza hii nchi kama kuna watu wanatumia akili zao vizuri Matamshi ya waziri yako kinyume cha sheria http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/23035-ujenzi-maeneo-yasiyopimwa-marufuku Ujenzi maeneo yasiyopimwa marufuku Asante mkuu, tafsiri yake ni kwamba sekta ya ujenzi sasa itakuwa tegemezi kwenye zoezi la upimaji ardhi nchi nzima.. Kweli hapa kazi tu! Hii wizara haijawahi muacha mtu salama. Lukuvi asitoe maamuzi utadhani Jamii hii ni ya Ulaya au mabara mengine yaliyoendelea!. Lazima ajue mazingira na hali ya jamii yake! Kupima ardhi siyo chini ya Milioni Nne na nusu, wangapi wanaweza kuafford hiyo? Mchakato wa hati bado ni mrefu wenye vizingiti vingi, anataka watu wasipojenga wataishije? Lukuvi aache kutoa matamko, afanye kwanza reform za msingi kwenye sector ya ardhi ndo aje na amri kama hizo alizotoa! Mzee Uzi umeutoa hata kabla sijaanza kuweka msingi maana ndio juzi kati tu nimenunua plot nataka nijenge fasta we unambumburua jamaaa Hiyo kauli tu imeshatengeneza mazingira ya rushwa. Maana mtu ana enelo lake uswahili akianza kujenga wanakuja serikali ya mtaa simamisha ujenzi mpaka uwakatie pesa. Wakulaumiwa ni serikali kwanini wasipime viwanja matatizo ya panya road , uhuni ,pombe chafu tutazipunguza. Lukuvi ataka wamiliki wa ardhi wenye hati za miaka 33 kuzihuisha Ofisi za Ardhi za Mikoa Jukwaa la Siasa 13 Jul 5, 2020 SINO Company iliyomhenyesha kutoa Majibu Lukuvi mbele ya Rais Magufuli Jukwaa la Siasa 18 Jun 29, 2020 Waziri Lukuvi aagiza Hati za Ardhi kutolewa ndani ya wiki moja Jukwaa la Siasa 10 Jun 23, 2020 Iringa: Waziri wa Ardhi, Mh Lukuvi agawa TV 40 vijiji 60, aagiza ziwekwe maeneo ya wazi ili wananchi waangalie wapate elimu juu ya COVID-19 Jukwaa la Siasa 67 Apr 29, 2020 N Ushauri kwa Serikali: Mh. Rais Magufuli, Waziri wa TAMISEMI (Jaffo), Waziri wa Ardhi (Lukuvi) Jukwaa la Siasa 8 Apr 14, 2020 Lukuvi ataka wamiliki wa ardhi wenye hati za miaka 33 kuzihuisha Ofisi za Ardhi za Mikoa SINO Company iliyomhenyesha kutoa Majibu Lukuvi mbele ya Rais Magufuli Waziri Lukuvi aagiza Hati za Ardhi kutolewa ndani ya wiki moja Iringa: Waziri wa Ardhi, Mh Lukuvi agawa TV 40 vijiji 60, aagiza ziwekwe maeneo ya wazi ili wananchi waangalie wapate elimu juu ya COVID-19 Ushauri kwa Serikali: Mh. Rais Magufuli, Waziri wa TAMISEMI (Jaffo), Waziri wa Ardhi (Lukuvi)
"2020-07-13T20:44:36"
https://www.jamiiforums.com/threads/mh-lukuvi-katazo-la-kujenga-kuendeleza-au-kuuziana-maeneo-yote-yasiyopimwa-limepuuzwa.1264617/
[ -1 ]
NAIBU WAZIRI MASAUNI AKUTANA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA JIJINI MBEYA - HABARI24 Home / Uncategories / NAIBU WAZIRI MASAUNI AKUTANA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA JIJINI MBEYA NAIBU WAZIRI MASAUNI AKUTANA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA JIJINI MBEYA Reviewed by HABARI24 TV on 3:04:00 AM Rating: 5
"2017-11-25T09:36:39"
http://habari24.blogspot.com/2017/01/naibu-waziri-masauni-akutana-na-kamati.html
[ -1 ]
Vodacom yadhamini na kutoa vifaa vya mawasiliano kwa wapandaji wa Mlima Kilimanjaro - MTAA KWA MTAA BLOG Home BIASHARA Vodacom yadhamini na kutoa vifaa vya mawasiliano kwa wapandaji wa Mlima Kilimanjaro Vodacom yadhamini na kutoa vifaa vya mawasiliano kwa wapandaji wa Mlima Kilimanjaro Othman Michuzi August 06, 2018 BIASHARA, Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen (katikati) akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Samsung kanda ya Africa Sung Yoon (kushoto) aliyeambatana na mwanaye Jason Yoon baada ya kuwakabidhi Moderm zitakazotumika kwa ajili ya mawasiliano wawapo mlimani, zoezi hili hufanyika kila mwaka kwa ajili ya kuchangisha fedha za kusaidia watoto wa kike ijulikanayo kama Trek4Mandela. Washiriki wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa muasisi na rais mstaafu wa taifa la Afrika Kusini ijulikanayo kama Trek4Mandela wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kupanda mlima Kilimanjaro. Zoezi hili hufanyika kila mwaka kwa udhamini wa kampuni ya Vodacom na pesa zinazokusanywa hupelekwa kusaidia vifaa vya Wasichana kujistiri pindi wanapokuwa kwenye hedhi. Mkuu wa Vodacom kanda ya Kaskazini, Brigita Stephen akikabidhi Moderm kwa mmoja wa washiriki wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro ijulikanayo kama Trek4Mandela,wakati washiriki hao wakiagwa kabla ya kuanza kwa zoezi la kupanda Mlima, Vodacom imekabidhi Moderm sita kwa kundi hilo ili kurahisisha mawasiliano wakati wa kupanda mlima huo mrefu kuliko yote barani Afrika.
"2019-02-17T05:04:06"
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/08/vodacom-yadhamini-na-kutoa-vifaa-vya.html
[ -1 ]
Watanzania tuache woga kudai haki | Gazeti la Jamhuri Wiki mbili zilizopita, niliamua kubadili utaratibu wa kutumia usafiri wa daladala, nikachagua kutumia gari moshi (treni) kwenda kazini na kurudi nyumbani jijini Dar es Salaam. Siku moja, takriban dakika nne baada ya kuondoka kituo cha Ubungo Maziwa kuelekea kituo cha Dar es Salaam (Mjini Kati), treni ilisimama ili kupakia abiria katika kituo cha Mabibo. Kwa kawaida treni hii ya jijini Dar es Salaam hutumia dakika mbili kupakia na kushusha abiria katika kila kituo. Lakini siku hiyo ilizidisha muda wa kusimama kituoni hapo. Abiria wengi tulishangaa kuona hali hiyo isiyo ya kawaida. Baada ya kuona muda unazidi kuyoyoma huku wafanyakazi wa treni wakikaa kimya bila kutujulisha sababu ya kuchelewa kituoni hapo, baadhi ya abiria tulichungulia nje kuona kinachoendelea. Ndipo tulipoona wafanyakazi wa treni na askari polisi wakijizatiti kuchungulia chini ya mabehewa. Kumbe treni ilikuwa imepata hitilafu (tatizo la kiufundi), lakini wafanyakazi husika wakaamua kukaa kimya bila kujulisha abiria kilichotokea. Tulichelewa kituoni hapo kwa zaidi ya dakika 15 kabla ya tatizo husika kurekebishwa na treni kuendelea na safari. Wakati wote tuliokawizwa kituoni hapo, karibu abiria wote walikuwa wakilalamika na kunung’unika tu. Abiria wengi hawakuwa tayari kujitokeza kuuliza wafanyakazi husika sababu ya treni kusimama kwa muda wote huo usio wa kawaida yake. Tuliojitokeza kuhoji hali hiyo hatukuzidi wanne kati ya abiria zaidi ya 1,300 tuliokuwa kwenye mabehewa yote manane. Tangu siku hiyo nikaanza kuamini kuwa Watanzania wengi ni waoga wa kuhoji na kudai haki zao. Woga huu umeendelea kuwa chanzo kikuu cha wengi wetu kunyimwa, kudhulumiwa, kupunjwa na kucheleweshewa haki zao. Hili ni tatizo lisilo la lazima katika jamii, ni tatizo la kujitakia. Fikiria kwamba abiria wote tuliokuwa kwenye treni siku hiyo tulipaswa kuhoji wafanyakazi husika watueleze, kwanini imetumia muda mrefu kusimama na sababu ya wao kukaa kimya bila kutufahamisha tatizo lililopo na hatima yake. Tena ikibidi tuwachukulie hatua za kisheria kwa kukwepa majukumu yao hayo. Lakini abiria wengi hawakuthubutu kufanya hivyo, waliogopa kuhoji na kudai haki yao. Hata kwenye daladala na mabasi ya abiria, hali ni hiyo hiyo. Abiria wengi hawadai haki zao wakati madereva na makondakta wanapokiuka utaratibu wa kuwasafirisha hadi mwisho wa safari zao. Wamekuwa wakikubali kukatishiwa safari bila kurudishiwa sehemu ya nauli walizolipa. Vivyo hivyo, Watanzania ni waoga kuhoji na kudai haki zao katika taasisi za umma kama vile hospitali na shuleni. Wananyanyaswa hata pasipostahili kunyanyaswa na kuburuzwa. Kwa mfano, wengi tunajua huduma za matibabu kwa wajawazito, watoto wenye umri chini ya miaka mitano na wazee wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea zinatolewa bure katika zahanati, vituo vya afya na hospitali za Serikali. Lakini ni wangapi walio na uthubutu wa kukataa kudaiwa gharama za huduma hizo? Ni wachache mno katika nchi hii! Wamiliki wa nyumba za kupanga wanapandisha kodi za pango kila mwaka bila kufanya ukarabati au maboresho yoyote. Wengi hawahoji uhalali wa kupandishiwa kodi hivyo. Walimu wanawaongezea wazazi mzigo mkubwa kwa kuibua michango isiyo rasmi mara kwa mara. Ni wazazi wachache mno wanaohoji sababu za michango hiyo, ingawa hatimaye nao hujikuta wanakubali yaishe, wanailipa hata kama watabaini si halali. Ndiyo maana baada ya kugundua ugonjwa huo (woga) wa Watanzania, baadhi ya viongozi wamekuwa ndiyo watu wa kuamua leo ijengwe barabara, kesho ijengwe zahanati na keshokutwa ijengwe shule ya sekondari. Wananchi ambao kimsingi ndiyo waajiri wa viongozi, siku zote wamekuwa waoga wa kutumia haki yao ya kuamua miradi wanayotaka kujengewa, kulingana na vipaumbele vya mahitaji yao ya kimaendeleo. Watanzania wengi wamekuwa waoga wa kuhoji matumizi mabaya ya rasilimali za umma kwa hofu ya kuchukiwa na mafisadi. Wanaona bora waache rasilimali hizo zifujwe na kuwanufaisha wachache, kuliko wao kuchukiwa na viongozi wachache wasio waadilifu na waaminifu katika utumishi wa umma. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya viongozi wetu wamekuwa kiburi na wengine wamejigeuza miungu-watu katika ofisi za umma. Wanatumia madaraka waliyokabidhiwa na umma kujiamulia mambo wanayoona yanawapatia manufaa binafsi. Ndiyo maana hivi karibuni tuliona na kusikia wabunge wetu wakiunga mkono mifuko ya hifadhi ya mafao ya jamii, kwa kupitisha muswada wa sheria ya kuondoa fao la kujitoa bila kuwashirikisha wafanyakazi husika. Hata hivyo, baadaye wafanyakazi walipata nguvu ya ziada iliyoshawishi kurejeshwa kwa sheria ya fao hilo, ingawa utekelezaji wake bado ni kitendawili. Woga umesababisha Watanzania wengi kukosa na kunyimwa haki zao katika ofisi za umma, kampuni na mashirika yanayomilikiwa na watu binafsi. Wengi hawako tayari kuihoji Serikali tuliyoiweka madarakani sababu za kushindwa kusimamia taratibu za nchi, na hata kudhibiti mfumko wa bei za bidhaa na huduma mbalimbali nchini. Uchunguzi umebaini kuwa woga unachangia ugumu wa maisha ya Watanzania walio wengi. Wengi hawako tayari kuihoji Serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi za maendeleo ilizowaahidi wakati wa kuomba madaraka ya nchi. Inawezekana pia wengi hawako tayari kuiadhibu kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi. Tutakuwa wageni wa nani tunapoendelea kukumbatia kasumba ya woga wa kudai haki zetu katika mazingira mbalimbali ndani ya nchi yetu huru? Hivi kweli tumekubali kuendelea kupunjwa na kudhulumiwa haki zetu kwa sababu ya woga wetu? Hapana, umefika wakati tuseme imetosha. Umefika wakati Watanzania wote tuseme woga kwetu sasa basi. Tujenge uthubutu na ujasiri wa kuhoji na kudai haki zetu. Penye nia pana njia. Tanzania bila wananchi waoga wa kudai haki zao inawezekana. Previous: Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (5) Next: Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (2)
"2019-09-20T18:31:01"
http://www.jamhurimedia.co.tz/watanzania-tuache-woga-kudai-haki/
[ -1 ]
Tuambizane istilahi za fani mbalimbali | nukta77 Tuambizane istilahi za fani mbalimbali Wakati fulani nimewahi kuandika na kubandika mafundisho ya KiSwahili fasaha kutoka kwa mkufunzi, profesa na sheikh, Ahmed Nabany. Baadhi ya wasomaji walipenda kupata mawasiliano na mkufunzi huyu hasa zaidi kwa madhumuni ya kupata tafsiri za maneno kadhaa katika fani mbalimbali na mwingine alitaka kufahamiana na babu yake huyo. Bw. Jackson Muraya, aliye mfuatiliaji, mwanafunzi na msomaji mzuri wa maneno ya KiSwahili ameniandikia ujumbe ufuatao, ambao nauweka hapa aghalabu upate kurejelewa na wengi katika siku za sasa na usoni ili tuweze kuchangishana na kupata maoni zaidi juu ya KiSwahili. Salamu mwadhamu, Labda langu pendekezo ni uweke katika blogu yako orodha ya maneno na majina ambayo pia yanahitaji utafiti kama istilahi za Microbiology ili wasomi kufikiria kuhusu sajili kama hizo. Wakati mwema. Asante Jackson nitaendelea kuirejea habari hii kadiri nitakavyofanikiwa kuzipata istilahi hizo. label: P.U.G.U/HowTo... , | Rants/Kero.Soga.Hekaya |
"2017-08-19T05:39:41"
http://nukta77.blogspot.com/2008/11/wakati-fulani-nimewahi-kuandika-na.html
[ -1 ]
WAONGOZA NDEGE WAASWA KUTUMIA TAALUMA KWA MAENDELEO YA KUKUZA UCHUMI WA NCHI - MTAA KWA MTAA BLOG Home Unlabelled WAONGOZA NDEGE WAASWA KUTUMIA TAALUMA KWA MAENDELEO YA KUKUZA UCHUMI WA NCHI WAONGOZA NDEGE WAASWA KUTUMIA TAALUMA KWA MAENDELEO YA KUKUZA UCHUMI WA NCHI Othman Michuzi December 08, 2017 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamkala ya Usafiri wa Anga (TCAA), Valley Chamuluyu amesema kuwa waongoza ndege wameaswa kutumia taaluma zao katika maendeleo ya taifa. Chamuluyu ameyasema hayo wakati akifungua mkutano mkuu wa Chama cha Waongoza Ndege uliofanyika katika ukumbi wa mamlaka wa TCAA leo jijini Dar es Salaam, amesema TCAA itaendelea kutoa ushirikiano kwa chama cha waongoza ndege katika usimamizi wa usafiri wa anga. Amesema kuwa waongoza ndege ni watu muhimu katika maendeleo ya taifa ambapo kazi hiyo ndiyo wanafanya usalama wa usafiri wa ndege na taifa kupata uchumi. Nae Rais wa Chama cha Waongoza Ndege nchini (TATCA), John Msagga amesema kuwa mkutano huo watajadili mada mbalimbali ikiwemo maadili ya taaluma hiyo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamkala ya Usafiri wa Anga (TCAA), Valley Chamuluyu akizungumza jambo wakati akifungua mkutano wa chama cha waongoza Ndege uliofanyika ukumbi wa Mamlaka ya TCAA jijini Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wongoza Ndege nchini (TATCA), John Msagga akitoa taarifa za utekelezaji wa majukumu ya chama kwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika jijini Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Waongoza Ndege Nchini Kenya (KATCA), Peter Oduer akizungumza juu ya ushirikiano wa chama cha waongoza Ndege Tanzania, leo jijini Dar es Salaam. Sehemu wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Waongoza Ndege wakiwa katika mkutano.
"2019-03-25T00:37:06"
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/12/waongoza-ndege-waaswa-kutumia-taaluma.html
[ -1 ]
Wabongo roho mbaya hadi Ulaya? | Gazeti la Jamhuri Kuna watu huwa wanafikiria wenzao walio ughaibuni – Ulaya, Marekani au hata Mashariki ya Kati – ni wachawi. Halafu kuna wengine walikuwa wakisema kuwa labda waliotoka Tanzania na sehemu nyingine za Afrika kwenda huko na kupata maendeleo, walibebwa au ni kubarikiwa tu. Sawa, kubarikiwa kupo lakini hata Mungu alimwambia mwanadamu ajenge nyumba imara, aweke mlango na usiku au wakati hayupo aufunge ndipo naye ataweka mkono wake kumsaidia. Kwa hiyo dhana iliyozoeleka kwamba watu wanabebwa au wanaelea tu kwa nguvu ya wakubwa si sahihi, na utashangaa msomaji wangu kuona wapo wanaojitesa mno hadi wakafanikiwa. Njia mojawapo ya kufikia hatua hiyo ni kujijengea mazoea ya kutafuta, kupekua na kusoma kwa bidii badala ya kuketi na kufikiria mtu mwingine atakuletea ngekewa hiyo. Kuna watu walikuja Ulaya kwa miezi michache ya kozi fupi, na baada ya kufika hawakulala ‘hadi kikaeleweka’. Waliangalia taratibu zinataka nini, wakafungua mitandao na kutazama fursa zilizopo kama masomo au nafasi za kazi na kuanza kuomba. Hadi sasa wapo wanaoendelea kila siku kufungua macho na masikio kuhusu nafasi na zinapojitokeza wanaharakisha kuziomba wakati wakiendelea na kazi. Lakini kwa hili naomba niwe wazi. Kinachosaidia zaidi wengi kupata nafasi hizo ni kasi ya maendeleo pamoja na kuweza kurambaza haraka mtandao, lakini na wenyewe wanavyojitahidi kukimbia na kasi yake hiyo. Kwa mfano, wakishahitimu kozi walizokuja kusomea, baadhi wana nafasi za kuongeza tena nyingine, na wengine kuomba muda wa ziada wa kukaa ughaibuni na pia kufanya kazi. Lakini yote hayo yanatakiwa pia utonyaji, vifungua macho au watu wa nchi au eneo moja waliotangulia kutoa ushirikiano, kwa sababu hata kompyuta na mtandao vikiwa vizuri na kasi ya namna gani, mtu hawezi kurambaza tu bila dira. Kuna watu wenye roho zao nzuri walioingia Ulaya na kuwaita wenzao kutoka nyumbani, ili watafute maendeleo na kuyapeleka kwao. Lakini wapo wale wanaofikiria wanaweza wao wenyewe kumiliki kila kitu. Kwa mfano ni upenyo unaotolewa kwa watu wetu baada ya kusoma kozi mbalimbali. Hakuna mtu atakayekuandikia ubaoni au kukuimbia isipokuwa ndugu au rafiki yako anayejua. Kwa hiyo, wale waliotangulia ndiyo wanaotarajiwa kuwasaidia waliopo na wanaoendelea kuingia kwa kuwapa ramani halisi ikoje. Nafasi nyingi sana za kazi baada ya watu kupata digrii zao za pili hapa Uingereza, zimepotea bure kwa muda mrefu sasa. Baada ya watu kujibana kusoma na kufanya kazi kidogo au ndogo ndogo wakati wa kozi zao, walikuwa na haki ya kupata mwaka au hata zaidi ya kuchapa kazi tu kwa saa nyingi kadiri wanavyopenda na kujikusanyia ‘mapaundi’ kabla ya kurudi nyumbani. Lakini wapo baadhi ya watu wasiopenda ushirikiano na watu wao kutoka nyumbani. Licha ya kujua kuwa Serikali ya Uingereza ilitoa nafasi hizo kwa yeyote anayehitimu, wao walizichukua bila kuwaambia wenzao wanapokuja. Kama kuna madoa ya ushirikiano hapa, hili ni mojawapo na linatakiwa kurekebishwa haraka. Wenzetu wa Nigeria, Ghana na Afrika Magharibi kwa ujumla na hata Wafilipino, wamejijengea wavu mzuri wa ushirikiano na wana mtandao mkubwa. Wanasaidiana na kuhabarishana juu ya kila kinachoendelea tofauti na wabongo. Niliona na kucheka kwa uchungu siku jamaa mmoja kutoka Tanzania alipojidai si ‘wa kwetu’, alipokataa salamu ya Kiswahili baada ya mwingine kuambiwa na jamaa fulani kwamba huyo ni Mbongo. Akishauchuna kinamna hiyo akifika vijiweni anaungana na wenzake wa aina hiyo kwenye stori za jinsi alivyomwepuka ‘wakuja’, na baadaye wanakuja kumcheka alipomaliza miezi au miaka michache na kurudi Bongo mikono mitupu. Jambo hili linatakiwa lifanyiwe mabadiliko makubwa na walio nchini Uingereza au na hata walio nyumbani, kwa kuwafunda kimtandao. Ungependa tujiulize! Lakini je, nani wa kumfunga paka kengele? Previous: Kashfa mpya Maliasili Next: NMB wafundisha uelewa masuala ya kifedha kwa wanafunzi
"2019-10-14T03:34:38"
http://www.jamhurimedia.co.tz/wabongo-roho-mbaya-hadi-ulaya/
[ -1 ]
Kirehe: Wananchi wapewa amri ya kuhama mashamba inayosemekana kuwa mali ya serikali – Swahili by Fred Masengesho July 17, 2017 July 17, 2017 0 Kirehe- rangi nyekundu Raia wa Kirehe walalamika kuwa mamlaka ya tarafa ya Mushikiri imewapa amri ya kuhama mashamba ambayo wanaishi na wanayo miliki kwa kupewa na wengi wao wamerithi kutoka wazazi na mababu na wengine kwa kununua. Wananchi hawa wemesema kuwa wamerithi ardhi hii kutoka kwa wazazi wao na mababu yao hapo miaka ya 1987 na wakapanda miti ambayo haina uhusiano wowote na kimsitu kingine cha serikali. Licha ya serikali kudai kuwa mashamba hayo ni mali yake, wananchi hawa wasema kuwa wamekuwa wakiuziana ardhi kati yao na huku serikali ikikaa bila kufanya kitu. Mmoja wa wananchi, Mukasine Gaudiose aliyenunua ardhi na kupewa vitambulisho amesema “ Nilikuwa nikaishi kwenye makazi yenye hatari, na baada ya serikali kuhamasisha watu kuhamia kwenye maeneo salama karibu na wengine nilikuja hapa nikanunua ardhi kwa faranga elefu 30 ambayo tulifanya hati ya makubaliano na kutiwa sahihi na kiongozi wa kijiji na baadaye tukapewa cheti cha kujenga kutoka tarafa, sasa hivi ikiwa ni siku nyingi tukiishi hapo mamlaka ya tarafa ilituendea ikaomba kuhama mashamba haya kwa kudai kuwa ni mali ya serikali na kutisha kwamba tusipohama watazibomoa nyumba zetu. Kwa hivyo tunaomba serikali kututendea haki kwa sababu hili ni shamba ambalo tulijinunulia pekee. Licha ya madai ya raia hao kuwa wanatofautiana na uamuzi wa mamlka ya tarafa unaowaamrisha kuhama makazi yao kwa kuwa ni mashamba hayo ni miliki ya serikali, viongozi hao walisema kwamba ardhi hiyo ni mali ya serikali. Kwa mjibu wa Katibu mtendaji wa tarafa ya Mushikiri habari za kuwa ardhi hiyo ni mali ya serikali zilitolewa na washauri wa tarafa. “mashamba yale ni mali ya serikali ikiwa kuna wananchi waliopewa ni kwa ajili ya kuwakopa ili waweze kuendesha shughuli zao kwa muda lakini kulingana na taarifa kutoka kwa halmashauri ya tarafa mashamba hayo ni milki ya serikali” asema katibu huyo. Aliendelea kusema kwamba wamewapa muda wakuzihamisha shughuli zao zinazoendeshwa kwenye mashamba hayo kwa kuwa ni mali ya serikali. Tuna wajibu wa kuhakikisha sheria zinaheshimiwa na kwa kuwa wamekiuka sheria watashurutishwa kuhama na ikiwa kuna yeyote atakayeathiriwa na kauli hiyo kutatafutwa mbinu ya kumsaidia. Nyamasheke :Nitawaletea mashua na barabara ya rami- Maahidi ya Dkt Frank Fred Masengesho May 8, 2018 Fred Masengesho March 12, 2018 Fred Masengesho December 30, 2017
"2018-12-12T21:49:40"
https://swahili.bwiza.com/kirehe-wananchi-wapewa-amri-ya-kuhama-mashamba-inayosemekana-kuwa-mali-ya-serikali/
[ -1 ]
Herald (Glasgow) - Wikipedia, kamusi elezo huru Nchini Scotland *. 200 Renfield Street *. Glasgow *. 55,707 Takwimu za Julai 2009 Jumba la Charles Mackintosh,Glasgow Herald Building, hivi sasa ni "The Lighthouse" The Herald ni gazeti linalochapishwa Jumatatu hadi Jumamosi jijini Glasgow, na hupatikana kote nchini Scotland. Takwimu za Julai 2009, usambazaji wake ulikuwa nakala 55,707, takwimu hii inaonyesha kuwa gazeti hili linashinda gazeti lile jingine la taifa la The Scotsman katika mauzo. 2 Wahariri Jarida hili ni mojawapo wa magazeti kongwe ya lugha ya Kiingereza duniani kote. Lilichapishwa kwa mara ya kwanza katika mwaka wa 1783 kama gazeti la Glasgow Advertiser huko Duncan's Land,Gibson Wynd's, Glasgow. Mhariri wake wa kwanza alikuwa John Mennons. Katika mwaka wa 1802 likawa gazeti la Herald and Advertiser, likibadilika kuwa Glasgow Herald katika mwaka wa 1805. Lilianza kuchapishwa kila siku katika mwaka wa 1859. Katika mwaka wa 1895, chapisho hilo lilihamia jengo la Charles Rennie Mackintosh katika barabara ya Mitchell Street. Jengo hili sasa ni The Lighthouse, jumba la usanifu na michoro ya majengo. Katika mwaka wa 1964, kampuni ya uchapishaji ya George Outram ilinunuliwa na Sir Hugh Fraser. Umiliki ,kisha,ulinunuliwa na Lonrho ya Tiny Rowland katika mwaka wa 1979. Mnamo 19 Julai 1980, jarida hili lihamisha ofisi zake katika barabara ya Albion Street, zilizofanana na jengo la Black Lubyanka ya gazeti la Daily Express lililokuwa katika barabara ya Fleet Street jijini London. Jarida hili liliitwa jina la The Herald katika tarehe 3 Februari 1992. Usimamizi wake ulinunuliwa katika mwezi wa Mei 1992 na Kampuni ya Magazeti ya Caledonian, kampuni hii ikanunuliwa,hapo baadaye na Scottish Television katika mwaka wa 1996. Baada ya ununuzi huu, kundi hilo la Scottish TV lilijiita jina jipya "Scottish Media Group" (hili lilifupishwa kuwa SMG na katika mwaka wa 2008 likaitwa STV Group plc.). Kichwa cha gazeti hilo lilichorwa kwa mtindo mpya na gazeti la "New Era" likaanzishwa upya katika mwezi wa 11 Mei 1998. Gazeti shirika la Jumapili , Sunday Herald, lilianzishwa katika mwaka wa 1999. The Herald inamilikiwa na Newsquest ( kitengo cha kampuni ya Gannett) , iliyonunua kitengo cha uchapishaji cha SMG katika mwaka wa 2006. Ilinunua SMG kwa bei ya £216m katika ununuzi ulioleta migogoro na ubishi. Waandishi maarufu wa makala ya gazeti hili ni kama: Alison Rowat, Collete Douglas-Hume, Ruth Wishart, Anne Johnstone, Ian Bell, Ron Ferguson, Iain Macwhirter, na Alf Young. Donald Martin ndiyo mhariri akichukua nafasi ya Charles McGhee katika mwezi wa Desemba 2008. Alianzisha mpango wa kupunguza pesa zilizotumika na kampuni, mpango huo ulipingwa na kuungwa mkono na Bunge la Scotland. Wahariri[hariri | hariri chanzo] FH Kitchin 1964: George MacDonald Fraser 2008: Donald Martin Other assets: Clipper Magazine • Gannett Foundation • Gannett Healthcare Group • Pointroll Inc. • ShopLocal Investments: CareerBuilder (50.8%) • Classified Ventures (joint venture) • Metromix (50%) • Topix (minority stake) Annual revenue: US$8.03 billion (2004) • Employees: 49,675 • Stock symbol: NYSE: GCI • Website: gannett.com Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Herald_(Glasgow)&oldid=892696" Jamii: Magazeti ya ScotlandVyombo vy habari vya GlasgowMagazeti ya NewsquestMajarida yaliyoanza 1783Makampuni ya Ufalme wa Muungano Urambazaji EnglishFrançaisGàidhlig日本語PolskiPortuguêsTagalog Edit links Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 Machi 2013, saa 12:47.
"2016-05-27T12:19:25"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Herald_(Glasgow)
[ -1 ]
Alpha Dry Cleaner-Mlimani City! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Alpha Dry Cleaner-Mlimani City! Discussion in 'Biashara, Uchumi na Ujasiriamali' started by Tusker Bariiiidi, Mar 15, 2009. Nikiwa mteja wa muda mrefu wa Alpha Dry cleaner,nilifurahia sana kitendo cha kwao kutuletea/kutusogezea huduma karibu kwa kufungua duka /Outlet mpya Mlimani City Mall na kama mnavyofahamu karibu huduma zote zinazopatikana hapo karibu asilimia 97 zinafunguliwa siku zote saba za wiki mfano ni benki za NBC,NMB,CRDB,TWIGA na EXIM pia maduka ya kampuni za simu kama ZAIN,TIGO na VODACOM yanatoa huduma zake siku zote iwe sikukuu au wikiendi lakini mimi nimesikitishwa na kitendo chao Alpha Dry Cleaner kufungua duka lao mfano kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni kwa siku za wiki na jumamosi saa 3 asubuhi mpaka saa 9 mchana!! na kufungwa siku za Jumapili na siku za sikukuu!!! sasa mimi sijaelewa umuhimu wa wao kuleta duka hilo hapo Mlimani city na kujaza eneo ambalo lingeweza kuongeza ufanisi wa kupatikana huduma nyingine ambazo zinamfanya mteja azifuate katikati ya jiji. Tafadhali uongozi wa Alpha Dry Cleaner uliangalie hilo... NAWASILISHA!! nakuunga mkono. Lakini yaelekea hawa jamaa wa Alpha hawana hata access ya kusoma JF vinginevyo wangelishughulikia hili katika wakati huu wa competition. Nafikiri tufuatilie email yao tuwajulishe kwanza kuwa kuna mtandao maridhawa wa JF, na pili juu ya kuboresha huduma zao haswa katika suala hilo la muda ambao wako wazi. Nimeshapotelewa na SUTI yangu hapo - they just lack seriousness! It seems wale wafanyakazi wa front-desk ni wadogo zake mweye Alpha! alpha dry cleaners na alpha internet za lowasa, inaonekana zinakaribia kufilisika au kukosa seriosness kama ilivyoandkikwa hapo juu, hata ile internet ya mjini ppf tower buree kabisa Alpha Dry Cleaner kufungua duka lao mfano kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 jioni kwa siku za wiki na jumamosi saa 3 asubuhi mpaka saa 9 mchana!! na kufungwa siku za Jumapili na siku za sikukuu!!!Click to expand... Kwa kuwa ni mteja wao ulitakiwa kuwafikishia hili wao wenyewe, ingekuwa bora zaidi. Lakini kwa vyovyote kulileta hapa hata kama hawaingii JF umewasaidia, kwa wale waliokuwa hawajui kuna dry cleaner Mlimani City sasa wanajua. alpha dry cleaners na alpha internet za lowasa, inaonekana zinakaribia kufilisika au kukosa seriosness kama ilivyoandkikwa hapo juu, hata ile internet ya mjini ppf tower buree kabisaClick to expand... ...Mh!! Hata huu ujasilia mali wa kufua nguo nao Ex-PM naye yumo???? I don't believe my legs!!! Yaani sifadi bwana kawekeza kila idara hata zile ambazo sio size yake rancho zote za taifa zake , dili la richmond lake sijui nini chake ...nadhani hiyo biashara alikuwa nayo kabla hata ya U-pm. Wanatoa huduma za massage? Kwa kuwa ni mteja wao ulitakiwa kuwafikishia hili wao wenyewe, ingekuwa bora zaidi. Lakini kwa vyovyote kulileta hapa hata kama hawaingii JF umewasaidia, kwa wale waliokuwa hawajui kuna dry cleaner Mlimani City sasa wanajua.Click to expand... Nimejitahidi sana kuwaambia lakini nadhani wananiambia watawaambia wahusika...Ila inaonyesha hata wao wanafurahia sana kutoka mapema... Mwenye number ya Mama Lowassa pleaseeeee... Tusker Baridiiii! Ulichokisema kuhusu hiyo dry cleaner ni kweli kabisa,full matatizo halafu watu wanafanya biashara kama hawataki yaani mteja ndo unalazimisha. Pia kwa kukosea nguo za wateja wao hawajambo kabisa. Mwaka jana nilienda hapo na nguo zangu nyingi tu kufua, wakati wa kuchukua wakanizidishia suti 5 zote hebu fikiria na ustaarabu nilionao nikakanyaga milonjo yangu kuwarudishia jamani mmenizidishia nguo. Upande wangu nilikuwa na nguo nyingi hivyo wakati wa kuchukua sikuziangalia vizuri pale pale japo hamna nguo iliyopotea. Sehemu waliopo pale ni nzuri kweli kibiashara na hawana mpinzani kwa pale badala ya kuchangamkia wateja wanabaki kuuza sura maana ni vibinti tu vyote vilikuwa,nahisi mpaka sasa. Labda uishie internet au wakufanyie massage kwenye hivyo vyumba vya internet! Tusker Baridiiii!!!! ....inaonekana wewe ni very loyal customer, mpaka unatafuta namba ya mmiliki? kwa nini usiende kwa service provider mwingine kama wanakuzingua? Wanasema wanatoa na huduma za internet but whenever I go there wanasema huduma hakuna. Mh. Waziri mkuu mstaafu ana biashara gani ya siri pale? isijekuwa dry cleaner na internet service ni geresha tu! Au ndo ofisi mpya za DOWANS? Mtu anaviwanda viwili holland mnamwambia mambo ya Alpha.. anawazuga yule.. Mimi nilidhani labda kile chumba chenye internet cafe alipewa nyongeza hakilipii aisee, hamna biashara yoyote haki! Mtu ana viwanda viwili holland mnamwambia mambo ya Alpha.. anawazuga yule..Click to expand... Duuuuu !!!!! Kusikia hivyo miguu yangu yote imelegea!!! Je viwanda hivi aliviangika katika fomu ya maadili ya viongozi???? Sasa mumezidisha... hii peleka kwa mwenye biashara na kama inakukera nenda kwa service provider mwingine. Jamani mnafahamu kuwa kwa waafrika imejengeka dhana, ali muradi una mapesa mengi na unaweza kuiingiza kwenye biashara za kila aina basi wewe ni mjasiriamali! Whether unapata faida, unatoa huduma nzuri ama unakidhi haja ya soko. Matokeo yake watu wanafungua mashule wakati hawana hata idea ya education service delivery or standards, watu wanaanzisha hospitali vichochoroni hawana idea ya standards watu wanafungua night clubs kwenye sehemu za makazi ya watu . Ukiuliza nini? wana pesa! Do you wonder service delivery is so low? and our cities are the worst planned in SSA! Since we are on the topic of businesses opening up, I would like to draw your attention to a new outlet recently opened on Haile Selassie an extension of another one at Mikocheni one of the first malls to be etsablished in Dar. Hilo duka jamani linauza vitu aghali ajabu! sometimes three times higher! sasa najiuliza ni kwa sababu liko masaki au kwa sababu anatake advantage ya euphoria ya watu kusogezewa huduma karibu au ndio ile kawaida yetu ya kuibiwa wabongo? Halafu anadiriki hata kupokea foreign exchange for purchases. Yaani nchi inachezewa hii kama haina wenyewe!! Hebu TRA tembeleeni huko jamaa walipe kodi basi anagalao ebo! Sehemu waliopo pale ni nzuri kweli kibiashara na hawana mpinzani kwa pale badala ya kuchangamkia wateja wanabaki kuuza sura maana ni vibinti tu vyote vilikuwa,nahisi mpaka sasa. Labda uishie internet au wakufanyie massage kwenye hivyo vyumba vya internet!Click to expand... naenda kesho......
"2017-07-25T17:03:16"
https://www.jamiiforums.com/threads/alpha-dry-cleaner-mlimani-city.25694/
[ -1 ]
Post A Powerful Picture | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Post A Powerful Picture Discussion in 'Entertainment' started by Game Theory, Oct 7, 2008. very famous picture hii ilikuwa wakati wa Vietnam war ina wind down inasemekana aliyeipiga hii picha alijiua sijui ukweli ni upi lakini still it says alot Hutu man mutilated by the Hutu 'Interahamwe' militia, who suspected him of sympathizing with the Tutsi rebels Waarabu na watumwa wao..sijui hapa ni wapi lakini najua itakuwa huko kwetu tuu kama si kilwa basi Bagamoyo na kama si bagamoyo basi Zenji still its a powerful photo So is this little girl Kim Phuc during Vietnam war! matumai wote sisi tunaijua hii picha Hii picha ya Miles ilikuwa my avatar jamaa akalamika kuwa inatisha so i resorted to my man Trane hapo juu Miles alikuwa Jeuri lakini talented and btn the two i would still go for Miles badala ya Trane. Still powerful pic though kisha wanauliza WHY DO THEY HATE US? Mnaikumbuka hii picha? GULF WAR 1 NYERERE alishabikia vita VYA BIAFRA na madhara yake yalikuwa ni haya: at the same time alikuwa anangangania Africa tuungane! Miles alikuwa Jeuri lakini talented and btn the two i would still go for Miles badala ya Trane. Still powerful pic thoughClick to expand... Trane na ukali wake katika avant-garde, mbona bonge la protege tu. Trane na ukali wake katika avant-garde, mbona bonge la protege tu.Click to expand... mzee ulinilet down kwenye ile thread ya Jazz hukurudi tena! anyway Miles was said to have limited technique and was slow in learning new material. However, what he had in abundance was a monumental ego which often came out by his well known gift of showing contempt for his listeners. matumai wote sisi tunaijua hii pichaClick to expand... Hii nadhani ni SA...Enzi za apartheid kama sijakosea. still its a powerful photoClick to expand... Hao hapo kushoto pemebeni wenye kanzu nyeupe ni waafrika wenye masharubu ama ni waarabu? Maana kuna mgogoro kule kwenye thread ya FMES kati ya Nyani na Pundit... Maana kuna mgogoro kule kwenye thread ya FMES kati ya Nyani na Pundit...Click to expand... thread gani tena hiyo? mzee ulinilet down kwenye ile thread ya Jazz hukurudi tena! anyway Miles was said to have limited technique and was slow in learning new material. However, what he had in abundance was a monumental ego which often came out by his well known gift of showing contempt for his listeners.Click to expand... Ninavyojua mimi kutoka kwa wanafunzi waliokuwa wanasomea chuo kikuu kimoaja cha MUSICS and Sound Engineering ni kuwa Huwa wana heshima kubwa sana kwa huyu jamaa. Miles inawezekana alikuwa mgumu wa kusomea vitu ila alikuwa ni mtu anayependa sana KUJARIBU. Akisikia kifaa fulani kipya basi huchukua na kukifanyia majaribio kwa kutumia katika nyimbo zake. Wanafunzi hao humtumia sana Miles shuleni. Wanasema kuwa huyu jamaa amesababisha sana JAZZ iwe na sura nyingi sana kama ilivyo leo. Zamani ilikuwa sanasana ni kama ile sauti ya Train linakwenda yaani Katamiti-katamiti. Hizi beats hata baadaye the Bee Gees (This Is Where I Came In ???) walizitumia ingawa wao wanadai walikuwa wamesimama kwenye sehemu ya kuvuka reli na train likapita na wakasikia sauti hiyo. Ila wao naona lilipita kwa speed ndogo maana uko kidogo slow. Miles kitu kingine mashuhuri kwake ni kuwa alikuwa anawapa watu CHANCE. Ukija leo na kusema Mie natoka Sikonge na huko nimejifunza kupiga marimba basi anasema hebu piga, akipendezwa au ukikoga kwa kalufundi kako, hapo hapo unakuwa umepata kazi. Hakuwa kama maproducer wa siku hizi. Nasikia Shemeji Tommy Motolla nusura aitupe tape ya Mariah Carey. akiwa kwenye gari akasema hebu ngoja nisikilize. Alichosikia kimemfanya dada yetu siku awe hadi na wine MARIAH. Miles kidogo ni kama Queens Jones. Huyu mzee ukiandika wimbo hata kama wewe ni kibonde basi atakusifia na kuanza kuurekebisha huo wimbo hadi mwisho unakuwa umebaki asilimia 10 ya kazi yako na anakuachia kazi ya wewe kujipa ujiko kuwa ni mtunzi wa huo wimbo. Wanamuziki na producer wa namna hiyo siku hizi ni ndoto. na kibaya zaidi ni kuwa wimbo unavyozidi kuwa mbaya, siku hizi ndiyo unazidi kupendwa. Wimbo kama huu wa SCOOTER uitwao "how much is the fish" unajua tu hata kama hujasikiliza kuwa ni upupu wa hali ya juu. Ila utashangaa unapendwa si kawaida na kila sehemu German upo. Anyway wakati ukuta. very famous picture hii ilikuwa wakati wa Vietnam war ina wind downClick to expand... this photo was a powerful legacy of the vietnam war,in high resolution photo's of this episode,you can actually see the bullet,on its way to shatter the vietcong.s brain.the officer brandishing the gun was court-marshalled the little girl kim phuc,now an adult lives in canada,in the photo,this was just after a napalm bomb attack.i have had the opportunity to met her in canada.she is now married,and has some sort of ceremonial role for the united nations Unfortunately, its true checki the links below
"2017-01-20T05:40:25"
https://www.jamiiforums.com/threads/post-a-powerful-picture.18999/
[ -1 ]
Watengenezaji wa Kofia - Watengenezaji wa Kofia na Kiwanda cha China Unisex Pamba ya Pamba ya Kitambaa cha Mnenaji wa Chef anaficha U406S0100A Brand CHECKEDOUT Item Code U406S0100A size ONE SIZE Maneno muhimu chef Kichwa WRAPS, WAWA WRAPS Kitambaa 65/35 aina nyingi / pamba GSM.235g Xinjiang Aksu pamba ya chakula kirefu, hakuna pilika, hakuna kusinyaa, hakuna kansa, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, chini ... Mgahawa wa Jiko la Kikaushaji Chef Dereva Caps U408S9900Q Brand CHECKEDOUT Item Code U408S9900Q size moja SIZE Maneno muhimu kutafuna, kofia za kusubiri, kofia za kitambaa Kitambaa 100% pamba ya kushona Thread Polyester pia inaitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri na upinzani wa joto, uzi wa polyester ni sugu ya kutu, sugu kwa kali, na haina minyoo. Ndani ya... Mguu Waoker Chef Poly Pamba ya baseball cap U411S0100B Brand CHECKEDOUT Item Code U411S0100B size Moja SIZE maneno muhimu chef kofia, waiter baseball kofia kitambaa 65/35 poly / pamba GSM.155g Xinjiang Aksu pamba ya chakula kirefu, hakuna-nguzo, hakuna kushuka, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, ... POLY COTTON KITCHEN KIWANDA CHA KIWANDA CHA KIWANDA CHEFU U406S0100A Cheti cha brand CHECKEDOUT OEKO-TEX standard 100 Item Code U406S0100A size ONE SIZE maneno muhimu chef, kanzu ya chef, koti la chef, sare ya upishi, sare ya ukarimu, sare ya kupikia, sare ya kitamaduni, sare ya jikoni Vitambaa 65/35 vya poly / pamba Ginji Pamba ya muda mrefu ya Aksu, hakuna-pilu, hakuna-kunya, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya kawaida ya mpishi. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kwa kawaida huitwa (bead light ... Mgombea wa Kioka Chef Pamba Kofia ya baseball U401S8901Q Brand CHECKEDOUT Item Code U401S8901Q size One SIZE Maneno muhimu chef waiter cap, waiter baseball kofia Kitambaa 100% pamba Xinjiang Aksu pamba ya muda mrefu, hakuna-pilu, kushuka, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, g ... Mgahawa wa Jiko la Kikaushaji Chef Dereva Ches U408S0600A Brand CHECKEDOUT Item Code U408S0600A size moja SIZE Maneno muhimu ya kutafuna, kofia za kusubiri, kofia za kitambaa Kitambaa 65/35 aina nyingi / pamba GSM.235g Kushona Thread Polyester ya nyuzi pia huitwa nyuzi za nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri na upinzani wa joto, uzi wa polyester ni sugu ya kutu, sugu kwa koga, na hufanya ... Mguu Waoker Chef Poly Pamba ya baseball cap U411S8100H Brand CHECKEDOUT Item Code U411S8100H ukubwa wa kwanza SSIE maneno muhimu chef kofia, waiter baseball kofia Kitambaa poly / pamba Xinjiang Aksu pamba mrefu, hakuna-pilling, hakuna kushuka, hakuna kansa, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, g ... Mgahawa wa Jiko la Kikaushaji Chef Dereva Caps U410S0100B Brand CHECKEDOUT Item Code U410S0100B size Moja SIZE Maneno muhimu ya kutafuna, kofia za kusubiri, kofia za kitambaa kitambaa 65/35 aina nyingi / pamba GSM.155g Kushona Thread Polyester pia huitwa nyuzi za nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri na upinzani wa joto, uzi wa polyester ni sugu ya kutu, sugu kwa koga, na hufanya ... Pleated Hat Che Hat Poly Pamba Nyeupe Chef Hat U404S0200A Brand CHECKEDOUT Item Code U404S0200A saizi S, M, L maneno muhimu chef kofia kitambaa 65/35 aina nyingi / pamba GSM.235g Xinjiang Aksu pamba ya chakula kirefu, hakuna-pilu, kushuka, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kawaida kanzu ya mpishi. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri ... Mgombea wa Kioka Chef Pamba Kofia ya baseball U401S9101Q Brand CHECKEDOUT Item Code U401S9101Q size One SIZE Maneno muhimu chef waiter cap, waiter baseball kofia Kitambaa 100% pamba Xinjiang Aksu pamba ya muda mrefu, hakuna-pilu, kushuka, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, g ... Mgahawa wa Jiko la Kikaushaji Chef Dereva Ches U408S1200A Brand CHECKEDOUT Item Code U408S1200A size moja SIZE Maneno muhimu ya kutafuna, kofia za kusubiri, kofia za kitambaa Kitambaa 65/35 aina nyingi / pamba GSM.235g Kushona Thread Polyester ya nyuzi pia huitwa nyuzi za nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri na upinzani wa joto, uzi wa polyester ni sugu ya kutu, sugu kwa koga, na hufanya ... Pamba ya Pamba nyeusi ya Chef CU404S0100A Brand CHECKEDOUT Item Code CU404S0100A size ONE SIZE Maneno muhimu kutafuna kofia Vitambaa 65/35 pole / pamba GSM.235g Xinjiang Aksu pamba ya chakula kirefu, hakuna-pilu, kusinyaa, hakuna mzoga, maisha ya huduma ni mara 2 kama kanzu ya chef ya kawaida. Kushona Thread Polyester nyuzi pia huitwa nyuzi zenye nguvu. Kawaida huitwa (mwanga wa bead). Ambayo ni sugu ya kuzuia, shrinkage ya chini, na utulivu mzuri wa kemikali. Kwa sababu ya nguvu yake ya juu, upinzani mzuri wa abrasion, shrinkage ya chini, mseto mzuri ...
"2020-08-04T13:34:43"
http://sw.checkedoutchef.com/hats/
[ -1 ]
Muhammed Said Abdulla - Wikipedia, kamusi elezo huru Muhammed Said Abdulla (25 Aprili, 1918 - Machi 1991) ni mwandishi kutoka nchi ya Tanzania katika visiwa vya Zanzibar. Historia fupi katika maisha yake ambayo ilikuwa ni kumbukumbu isiyofutika katika uhai wake ni kuuliwa kwa familia yake, mkewe na watoto wake wawili wa kike waliouawa katika kipindi cha mapinduzi ya Zanzibar. Hasa anajulikana kwa hadithi zake za upelelezi ambazo mhusika wao mkuu ni Bwana Msa. Baadhi yao ni: Mzimu wa Watu wa Kale (1966) Kisima cha Giningi (1968) Duniani Kuna Watu (1973) Siri ya Sifuri (1974) Mke Mmoja Waume Watatu (1975) Mwana wa Yungi Hulewa (1976) Abdulla alikuwa ni mhariri na mwaandishi wa vitabu tofauti ambavyo viliinyanyua lugha ya kiswahili katika daraja la juu na kuiongezea umaarufu mkubwa eneo la afrika mashariki. Alifanikiwa kuowa mke na kupata wawili katika maisha yake. Vile vile ni miongoni mwa watetezi wakubwa walifanya utetezi katika kuikomboa nchi ya Zanzibar kutoka mikononi mwa Watanganyika. Na hii ndio ilikuwa sababu ya yeye kuwa katika hatari ya maisha yake. Miongoni mwa beti zake za kuwatupia watanganyika ujumbe utakaoweza kuwapotezea nguvu ya kutaka kuinyakuwa Zanzibar. Njama ilianza kupangwa na watanganyika ili kumuondoa Bwana Msa Katika hii dunia. Aliuwawa yeye na familia yake, mkewe na watoto wake wawili wa kike katika kipindi cha mapinduzi ya Zanzibar. Hili lilikuwa pigo kubwa sana kwa Wazanzibari wote kwa kuuwawa Bwana Msa katika mazingira ya kutatanisha. Je, unajua kitu kuhusu Muhammed Said Abdulla kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Muhammed_Said_Abdulla&oldid=921338" Jamii: Mbegu za waandishi wa AfrikaWaliozaliwa 1918Waliofariki 1991Waandishi wa TanzaniaWashairi wa Tanzania Urambazaji العربيةEnglish Edit links Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 25 Januari 2014, saa 13:22.
"2016-07-27T07:44:18"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Muhammed_Said_Abdulla
[ -1 ]
DIAMOND awaomba radhi WATANZANIA | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Celebrities Forum' started by Lucchese DeCavalcante, Jan 11, 2012. Msanii wa Muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva Diamond amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo ambacho kilitokea mjini Iringa na kusema kuwa hakitatokea tena.Akizungumza na Kajunason Blog mara baara ya kutoka kufanya mahojino katika kipindi cha XXL cha redio Clouds jijini Dar es Salaam, Diamond alisema kuwa, "Nawaomba msamaha wapenzi wangu wa Muziki ikiwa ni pamoja na Watanzania wote kwa kitendo cha kumfanyia fujo mwandishi wa Iringa,Bw. Godwin Fransis. "Unajua ni vyema kuwaomba msamahama watanzania kwavile haikuwa dhamira yangu kumfanyia fujo mwandishiwa Iringa, Bw. Godwin Fransis bali ilitokana na hasira nilizokuwa nazo". Mapema jana tarehe 4.1.2012 Diamond akiwa na wacheza show wake, walitolewa hukumu na hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Hakimu Masua alisema kulingana na watuhumiwa wote watatu kukiri kosa hilo anawahukumu kwenda jela miezi 6 au kulipa fidia ya shilingi elfu hamsini kila mmoja na huku wakilazimika kumlipa Godwinshilingi elfu 30 kila mmoja na kufanya kufikia kiasi cha shilingi 90,000 Wakitoa utetezi wao watuhumiwahao walisema mahakama iwapunguzia adhabu kwa kuwa hawa kukusudia kufanya kosa hilo, na wao walikuja mkoani hapa kwa ajili ya kutoa burudani, na kuwa tukio hilo wamelifanya kwa ghadhabu. na wacheza show wake, walitolewa hukumu na hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Hakimu Masua alisema kulingana na watuhumiwa wote watatu kukiri kosa hilo anawahukumu kwenda jela miezi 6 au kulipa fidia ya shilingi elfu hamsini kila mmoja na huku wakilazimika kumlipa Godwinshilingi elfu 30 kila mmoja na kufanya kufikia kiasi cha shilingi 90,000 Wakitoa utetezi wao watuhumiwahao walisema mahakama iwapunguzia adhabu kwa kuwa hawa kukusudia kufanya kosa hilo, na wao walikuja mkoani hapa kwa ajili ya kutoa burudani, na kuwa tukio hilo wamelifanya kwa ghadhabu. awaombe radhi washabiki wake na si wa Tanzania. sio wote tunaomfahamu huyo mtoto anayeitwa sijui Diamond Anajisafisha! Nadhani Watanzania wana mambo makubwa yanayowahusu kuliko hayo ya kupiga watu. Ulimwengu wa sasa hivi mtu anapiga mtu mwingine ili apate faida gani!!!! Hajui kuwa ngumi ni mtaji. Dogo hovyo sana! hata clouds sema ni radio ya ajabu kabisa otherwise hapakuwa na haja ya kualika mtu/msanii kama huyu au wanatangaza studio zao? hey dude, thousands of us diamond's fans care! Tuliza boli bro there are people outa there who cares dearly just like you do when CDM wanaandamana Bado utoto unamsumbua..akajifunze kwa TID. Ni mpuuzi na ndio maana anaweza kuishi na Wema Sepetu ambae wanaume wenzake walimshindwa...mtoto wa kiswazi ni mswai tu kamwe hawezi kubadilika. hey dude, thousands of us diamond's fans care!Click to expand... Futota==Wema sepetu Tuliza boli bro there are people outa there who cares dearly just like you do when CDM wanaandamanaClick to expand... Hapo kwenye CDM umeharibu, hata tuliotaka ku-care tumeahirisha kwa kuwa umechanganya gongo na maziwa. Siku njema bro natoka humu... Hajakuwa bado!!! Ujana unamsumbua. Amwombe radhi huyo mwandishi aliempiga na pie amlipe laptop na kamera zake Anatakiwa kujiomba radhi yeye mwenyewe, kama anaelewa nini maana ya kufanya hivyo Mimi shabiki wa msondo na sikinde hainihusu Amwombe radhi mwandishi aliyemfanyia fujo. Anajisafisha!Click to expand... Hapo kwenye CDM umeharibu, hata tuliotaka ku-care tumeahirisha kwa kuwa umechanganya gongo na maziwa. Siku njema bro natoka humu...Click to expand... hapo hata mimi kanitibua kwelikweli! duu! .......I do.
"2017-01-17T17:31:45"
https://www.jamiiforums.com/threads/diamond-awaomba-radhi-watanzania.211203/
[ -1 ]
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Kukamilika kwa Matayarisho ya Mkutano wa Baraza - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Kukamilika kwa Matayarisho ya Mkutano wa Baraza Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Kukamilika kwa Matayarisho ya Mkutano wa Baraza Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Raya Issa Msellem akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na kuaza kwa Mkutano wa Kumi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi linalotarajiwa kuaza kesho 9/5/2018 na Kujadili Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kuwasilishwa kwa Maswali 279. Kujadili Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mwaka wa Fedha 2018/2019, .Na kuwasilishwa kwa Miswada ya Sheria itawasilishwa na kujadiliwa, Miswadi yenyewe ni i.Mswada wa Sheria ya Fedha (Finance Bill) ii.Mswada wa Sheria ya Kuidhinisha Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2018/2019. Ripoti ya Mdhbiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Mwaka 2015/2016. Ripoti ya Mwaka ya Utekelezaji wa Kazi za Mamlaka ya Kuzuiya Rushwa na Uhujumu wa wa Uchumi Zanzibar 2017. KATIBU wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Raya Issa Msellem akizungumza na waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano wa Kumi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi linalotarajiwa kuaza keshokutwa na kujadili Bajeti ya Serikali na kuwasilishwa Maswali 279,akionesha kitabu cha kanuni za Baraza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi mdogo wa baraza chukwani Zanzibar Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo na Katibu wa Baraza wakati akiwasilisha shughuli za Baraza linalotarajiwa kufanyika wiki hii jumatano.
"2018-12-11T15:59:10"
http://www.zanzinews.com/2018/05/katibu-wa-baraza-la-wawakilishi.html
[ -1 ]
23 Jumada II 1441 | Jumatatu, 17 Februari 2020 Miezi Sita Imepita, Na Wabebaji Ulinganizi na Watu Maarufu wa maeneo yaliyokombolewa Bado wako katika Magereza ya al-Julani Ni muhimu kutambua kuwa matendo haya ya kukandamiza sio maalumu kwa kikundi cha HTS (Hay'at Tahrir al-Sham, “Shirika la Ukombozi wa Al-Sham”), lakini badala yake ni vitendo jumla vya vikundi vingi vinahusiana na ujasusi wa dola; kwa idadi tofauti ya ukandamizaji na uhalifu. 26 Rabi' I 1440 | Jumanne, 04 Disemba 2018 Tawala za ukandamizaji na udhalimu hususan utawala wa kihalifu na ukandamizaji wa Ash-Sham, umekuwa ukiwapokonya Ummah maamuzi yao, ukiyakosea heshima matukufu yao, na kuwafuatilia kinyama kupitia taasisi za ujasusi ili kuwatia hofu kiasi kwamba watu wameshindwa mpaka kuzungumza na ndugu zao kuhusu masuala ya ummah.
"2020-05-29T17:04:54"
http://hizb-uttahrir.info/sw/index.php/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari/syria.html
[ -1 ]
Hechizos De Amor Fáciles Rápidos Y Efectivos echizosdeamor74948.blog5.net - sehemu maalum kwa ushauri, mapendekezo na curiosities kuhusu inaelezea. Kuna I wanaweza kutuma maswali au maoni yoyote una kuhusu programu nasi gladly'll kutatua hayo, kwa namna moja programu hii ni katika maendeleo ya mara kwa mara na kuongeza inaelezea mpya na yenye nguvu, kwa hivyo kila wakati una ovyo wako inaelezea bora kwa upendo. Kama unataka retrieve scare upendo au ukafiri utapata nyeupe uchawi inaelezea kwa kufanya huu. No cabe duda que esta es la mejor aplicación de hechizos y conjuros que encontraras, los mejores amarres para el amor, múltiples hechizos para enamorar a un hombre mujer, hechizos para amarrar a un hombre a una mujer y sobre todo hechizos caseros y efectivos. Finest mahusiano ya upendo, inaelezea bora ya kufunga mtu, inaelezea do-it-yourself na ufanisi. Pt Limito-me, aquí, a exortar toda a Igreja na África a cuidar de modo distinct a celebração da Eucaristia, memorial do Sacrifício de Jesus Cristo, sinal de unidade e vínculo de caridade, banquete pascal y también penhor da vida eterna. Se le reembolsará el dinero a la persona por medio de un deposito a convenir. Además hemos escogido los mejores hechizos y conjuros. Mi interés pues te enteres que somos los mejores hechiceros negros tenemos tanto más poder que los chamanes de Haití y México esto es a fin de que tengas la plena seguridad de que cambiar la historia de nuestras vidas puede estar en tu aarres para encontrar un amor manos. Matumizi upendo inaelezea haya ambayo miaka mingi wamekuwa kufanya kweli sorceresses kitaalamu, ni rahisi sana na ufanisi wa kupata yote ya mtu huyo nyote unataka. Qué persona no se ha visto afectada por adulterios, por cambios de car or truckácter intempestivos en la pareja, quién no se ha sentido víctima de algún embrujo que haya cambiado tu dicha. Inaelezea na mahusiano nyumbani Upendo ni maombi ambayo itasaidia kufanya mapenzi inaelezea kwa ajili ya bure kutoka nyumbani kwako. Kuna Berth inaelezea kuleta mpenzi wako na kulinda upendo wako. Hizi inaelezea uchawi itasaidia kupata kila kitu wewe kupendekeza kwa upendo. Recuerde el autentico objetivo es atraer el amor y recobrar sentimientos mágicos perdidos de una relación. Estos hechizos de Magia te van a ayudar a conseguir todo cuanto te propongas en el amor. Sw Hapa ninalihimiza Kanisa zima huko Afrika kuonyesha uangalifu wa pekee kwa adhimisho la Ekaristi, kumbukumbu ya sadaka ya Kristo Yesu, ishara ya umoja na kifungo cha upendo, karamu ya Pasaka na amana ya uzima wa milele.
"2019-05-27T03:42:52"
http://echizosdeamor74948.blog5.net/16113855/h1-hechizos-de-amor-f-ciles-r-pidos-y-efectivos-h1
[ -1 ]
Posted on: April 9th, 2018 Watanzania wote nchini wametakiwa kuendelea kudumisha amani na mshikamano katika maeneo yao ili kukuza maendeleo ya uchumi kwa nchi.</p> <p>Yamesemwa hayo na Rais wa jamuhuli ya muungano wa Tanzani... Posted on: April 9th, 2018 Halmashauri za mkoa wa Arusha zatakiwa kuhakikisha zinatenga bajeti ya kutosha kusaidia zoezi la upandaji miti.</p> <p>Yamesemwa hayo na mkuu wa wilaya ya Monduli Theresia Mahongo alipokuwa akisoma...
"2018-07-19T17:17:27"
http://arusha.go.tz/news/4
[ -1 ]
Guinea wenyeji AFCON 2015 - Tanzania Sports Home / All Articles / Guinea wenyeji AFCON 2015 19th March 2018 Last update at 8:25 pm Guinea wenyeji AFCON 2015 Katika hali ya kushangaza, Guinea ya Ikweta iliyokuwa imefutwa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2015, imeteuliwa kuwa nchi mwenyeji na timu yake itashiriki. Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limefikia uamuzi huo baada ya waliokuwa wawe wenyeji, Morocco kukataliwa ombi la kuahirishwa michuano hiyo kutoka Januari 17 hadi Februari 8 mwakani kwa hofu ya kusambaa kwa maradhi hatari ya Ebola yaliyoua zaidi ya watu 5,000 Afrika Magharibi. Rais wa CAF, Issa Hayatou ametangaza uamuzi huo baada ya kukutana na Rais Teodoro Obiang jijini Malabo, Guinea Ijumaa hii na rais kukubali serikali ya taifa lake kubeba msalaba huo. Guinea walioandaa michuano hiyo pamoja na Gabon 2012 sasa watakuwa wenyeji pekee, na walikuwa wametolewa katika hatua za awali kwa madai ya kuchezesha mchezaji asiyekuwa na sifa walipocheza na Mauritania Mei 17 mwaka huu. Morocco wametupwa nje ya mashindano hayo moja kwa moja, itabidi wajipange upya kwa ajili ya kufuzu kwenye inayokuja. Mashindano ya mwakani yanashirikisha timu 16. “Mkuu wa Taifa la Guinea ya Ikweta amekubali kuwa mwenyeji wa michuano hiyo, kwa hiyo Kamati ya Utendaji ya CAF inatangaza kwamba mashindano yataendelea kama yalivyopanga na Guine ya Ikweta itashiriki kama nchi mwenyeji. “Caf inapenda kutoa shukurani zake za dhayi kwa watu wa Guinea ya Ikweta, serikali yao na kwa namna ya pekee Rais Obiang,” akasema Hayatou kwenye taarifa yake. Mechi zitachezwa katika miji ya Bata, Ebebiyin, Mongomo na mji mkuu wal Malabo. Mwaka 2012 ni viwanja vya Malabo na Bata tu vilitumiwa. Droo kwa ajili ya fainali hizo zitapangwa Malabo Desemba 3. Tags: CAF 2015, Equatorial Guinea Ni Blatter tena Fifa
"2018-03-19T14:17:30"
https://www.tanzaniasports.com/2014/11/14/guinea-wenyeji-afcon-2015/
[ -1 ]
Hatua zilizochukuliwa na shirika la feri baada ya mama na mwana kufa maji - BBC News Swahili Hatua zilizochukuliwa na shirika la feri baada ya mama na mwana kufa maji John Nene BBC, Mombasa https://www.bbc.com/swahili/habari-51545205 Image caption Feri Miezi minne iliyopita shirika la feri la Kenya lilishutumiwa vikali wakati Mariam Kigenda na mwanae wa miaka minne Amanda Mutheu walipotumbukia baharini wakafa maji wakiwa kwenye gari lao katika kivuko cha Likoni mjini Mombasa pwani ya Kenya. Je, tangu mkasa huo shirika hilo la feri limechukua tahadhari gani kuona kwamba kuna usalama katika kivuko hicho cha Likoni? Nimekua huko nijionee mwenyewe hali ilivyo. Unapofika hapo kuna mtangazaji anayekumbusha abiria kuhusu usalama wao wakiwa kwenye feri:`` Kumbuka kushusha vioo ukiwa ndani na feri na ufungue mkanda wako, na ukiweza utoke nje,'' anasema mtangazaji huyo kupitia kipaza sauti. Ndani ya feri ya MV Kilindini, mkurugenzi mkuu Bakari Gowa anaeleza ni hatua zipi walizochukua kuwahakikishia watuamiaji wa feri hiyo usalama wao.. Gowa anaeleza kuhusu kanuni ya magari kuegeshwa ndani mwa feri:`` Hii ni sehemu ambayo ni kama mita sita hadi nane halafu kuna sehemu ya ramp umbali wa mita sita, kwa jumla kuna umbali wa mita kumi na mbili kutoka kwa mlango wa feri na hapa magari yameegeshwa.'' BBC ilimuuliza Gowa kwanini wenye magari hawatoki nje maana yake mama na mwanae walipozama, wakenya wengine walilaumu shirika hilo kwa kutotilia mkazo amri kwa abiria kutoka nje ya magari yao. Gari la mama huyo ndilo lilikua limeegeshwa mwisho kabisa lilipotumbukia baharini. Image caption Kivuko cha Likoni ``Si lazima abiria watoke nje ya magari yao,'' anasema Gowa, ``ukiangalia kivuko cha Likoni si kirefu sana. Feri huchukua kama dakika saba hivi zifike upande huo mwingine. Muda ni kidogo sana. Kila mtu akianza kutoka kwenye gari lake huku wengine wana watoto kisha tena feri ikifika waanze kuingia kwenye magari yao haitawezekana maanake feri ikifika hivi kuna wengine wanajitayarisha kuingia. Isitoshe feri zetu zingine hazina nafasi ya abiria kusimama akitoka nje. ``Tumechunguza hali hii ya usalama tukaona wako sawa. Tunalosisitiza ni kila mtu ashushe vioo vya magari, wazime gari pia na kufungua mikanda. Hii inatusaidia kujua idadi ya watu waliomo kwenye kila gari. Na kuna watu wetu hapa kama yule unamuona kazi yake ni kukumbusha watu washushe vioo na kufungua mikanda yao. Hizo ni kanuni lazima zifuatwe. Kama abiria hawezi kushusha vioo vya gari lake itabidi ashuke nje ya gari hilo.'' Kuhusu masuala ya usalama Gowa anazungumza kuhusu mipango ya kuwa na boti la uokoaji: ``Hiyo mipango tunayo, la muhimu ni pesa zikipatikana tutatekeleza hilo maana yake ni muhimu tuwe na watu wa kuokoa maisha hapo na boti lao kila siku, mchana na usiku wakifanya kazi kwa zamu. Hii itatuwezesha kuokoa abiria akipatwa na mkasa. Na pia kuna wale hujirusha baharini wenyewe kutokana na matatizo yao binafsi. Hatuwezi kuwaacha hata kama wamejirusha wenyewe. Nao pia lazima waokolewe.'' Baadhi ya watumiaji wa feri wanasema wameridhishwa na juhudi za shirika la feri la Kenya kuhusu usalama wao wanapotumia kivuko hicho cha Likoni, na wanahimiza shirika hilo liwe na wapiga mbizi wa kuokoa maisha hapo Likoni kila siku.
"2020-03-29T16:01:52"
https://www.bbc.com/swahili/habari-51545205
[ -1 ]
MWANZOKUHUSU MAGEREZAMuundo wa JeshiHistoria ya ViongoziHuduma za MagerezaOrodha ya magereza Tz BaraMafanikio ya MagerezaKujiunga na MagerezaVyeoHABARIDIVISHENIHuduma za UrekebishajiUjenzi na UkarabatiKilimo, Mifugo na MazingiraViwanda VidogovidogoSheria na uendeshaji wa MagerezaSheria na Usalama wa MagerezaSheria na Menejimenti ya WahalifuHuduma za AfyaHuduma za ParoleHuduma za Menejimenti ya MahabusuFedha na UtawalaUtawala na Menejimenti ya Rasilimali watuUnunuzi na UgaviUsafirishaji na MawasilianoMafunzoTeknolojia ya Habari na MawasilianoBLOGMAWASILIANO (i) Wafungwa wote ambao baada ya punguzo la kawaida la moja ya tatu (1/3) linalotolewa chini ya Kifungu 49(1) cha Sheria ya Magereza Sura ya 58, wawe wametumikia nusu (½) ya vifungo vyao vilivyobaki, isipokuwa wafungwa walioorodheshwa katika Ibara ya 2(i – xxi).(ii) Wafungwa wagonjwa wenye magonjwa kama UKIMWI, Kifua kikuu (TB) na Saratani (Cancer) ambao wako kwenye “terminal stage”. Wafungwa hawa wathibitishwe na Jopo la Waganga chini ya Uenyekiti wa Mganga Mkuu wa Mkoa/Mganga Mkuu wa Wilaya.(iii) Wafungwa wazee wenye umri wa miaka sabini (70) au zaidi. Umri huo uthibitishwe na Jopo la Waganga chini ya Uenyekiti wa Mganga Mkuu wa Mkoa/Mganga Mkuu wa Wilaya.(iv) Wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani, pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya.(v) Wafungwa wenye ulemavu wa mwili na akili (Physical disability and mental disability). Ulemavu huo uthibitishwe na Jopo la Waganga chini ya Uenyekiti wa Mganga Mkuu wa Mkoa/Mganga Mkuu wa Wilaya. (i) Wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa.(ii) Wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa na adhabu hiyo kubadilishwa kuwa kifungo cha maisha au kifungo gerezani.(iii) Wafungwa waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani.(iv) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya kujihusisha na usafirishaji na matumizi ya madawa ya kulevya kama vile cocaine, heroin, bhangi n.k.(v) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya kujihusisha na uombaji na upokeaji au utoaji rushwa.(vi) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya unyang’anyi na unyang’anyi wa kutumia silaha au kujaribu kutenda makosa hayo (robbery with violence, armed robbery and attempt robbery).(vii) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya kupatikana na silaha, risasi au milipuko isivyo halali (fire arms, ammunitions and explosives).(viii) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya shambulio la aibu, kunajisi, kubaka na kulawiti au kujaribu kutenda makosa hayo.(ix) Wafungwa waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo kwa kosa la kuwapa mimba wanafunzi wa Shule za Msingi na Shule za Sekondari na ambao walitenda kosa hilo wakiwa na umri wa miaka kumi na nane (18) na kuendelea.(x) Wafungwa wanaotumikia kifungo kwa makosa ya wizi wa magari na pikipiki, uharibifu wa miundombinu au kujaribu kutenda makosa hayo.(xi) Wafungwa wanaotumikia kifungo chini ya Sheria ya Bodi ya Parole (Act. No. 25/1994) na Sheria ya Huduma kwa Jamii (Act. No. 6/2002).(xii) Wafungwa waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo kwa makosa ya kutumia vibaya madaraka yao.(xiii) Wafungwa waliowahi kupunguziwa kifungo na Msamaha wa Mhe. Rais na bado wangali wanaendelea kutumikia sehemu ya kifungo kilichobaki. (xiv) Wafungwa waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kwa kosa la kuzuia watoto kupata masomo.(xv) Wafungwa waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kwa kosa la utekaji wa watoto, kupoka na kufanya biashara ya binadamu (Human Trafficking).(xvi) Wafungwa waliopatikana na hatia na kuhukumiwa kwa kosa la kukutwa na viungo vya binadamu.(xvii) Wafungwa wanaotumikia vifungo kwa makosa ya kujihusisha kwa namna yoyote ile na nyara za Serikali na ujangili (poachers).(xviii) Wafungwa wanaotumikia vifungo kwa makosa ya wizi/ubadhirifu wa fedha za Serikali.(xix) Wafungwa wanaotumikia vifungo kwa makosa ya kutoroka au kujaribu kutoroka chini ya ulinzi halali.(xx) Wafungwa walioingia gerezani baada ya tarehe 16/03/2017.(xxi) Wafungwa warejeaji wa makosa/wafungwa waliowahi kufungwa gerezani (Recidivists). Meja Jenerali Projest RwegasiraKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI 26/04/2017 Back to Top © 2017 Jeshi la Magereza Tanzania Bara
"2017-05-26T11:12:45"
http://magereza.go.tz/index.php/habari/116-msamaha-wa-rais-kwa-wafungwa-katika-kuadhimisha-miaka-53-ya-muungano-wa-tanzania-tarehe-26-aprili-2017
[ -1 ]
Monday, 15 May 2017 17:19 Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria ya Usalama Barabarani kwa mtazamo wa visababishi vitano vya ajali Mtandao wa wadau kutoka Asasi za Kiraia unaotetea Marekebisho ya Sheria na Sera inayohusu Usalama Barabarani Tanzania, umeungana na watanzania katika Maadhimisho ya Nne ya Umoja wa Mataifa ya Wiki ya Usalama Barabarani (UN Road Safety Week) yalionza tarehe 08/05/2017 na kufikia kilele chake tarehe 14/05/2017. Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya mwaka huu ni “Udhibiti wa Mwendo Kasi kwa Vyombo vya Usafiri”. Wakati tunaadhimisha Wiki ya Umoja wa Mataifa ya Usalama Barabarani, tumeshuhudia matukio mbalimbali ya ajali ambazo chanzo chake kikubwa ni makosa ya kibinadamu. Mfano mmojawapo ni ule wa tukio la tarehe 6 Mei mwaka huu, ambapo taifa letu lilipatwa na simanzi, pale wanafunzi 33 na walimu wao wawili pamoja dereva walipata ajali na kufariki papo hapo katika wilaya ya Karatu, Mkoani Arusha. Kama sehemu mojawapo ya Maadhimisho ya Wiki ya Umoja wa Mataifa ya Usalama Barabarani, Mtandao wa wadau kutoka Asasi za Kiraia unaotetea Marekebisho ya Sheria na Sera inayohusu Usalama Barabarani Tanzaniasiku ya tarehe 12 na 13 Mei, 2017 wamefanikiwa kukaa na baadhi ya Wabunge kutoka kamati saba za Bunge. Kamati hizo ni Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Katiba na Sheria, Kamati ya Bajeti, Huduma za Jamii, Kamati ya Sheria Ndogo, Viwanda na Biashara pamoja na Kamati ya Miundombinu. Vikao na Kamati hizo viliongozwa chini ya Uenyekiti wa Mwenyeketi wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Balozi Adadi Rajabu ambaye pia ni Mbunge wa Muheza. Katika Vikao hivyo Wabunge walionyesha dhamira kubwa na kuunga mkono mapendekezo ya kuboresha usalama bararani kwa maendeleo ya Taifa letu. Wajumbe wa Kamati hizi walipata nafasi ya kusikiliza mada mbalimbali kuhusiana na masuala ya usalama barabarani. Kwa mujibu wa moja ya mada hizo iliyyoelezea hali ilivyo sasa, ilielezwa kuwa madhara yatokanayo na ajali za barabarani yamemeendelea kuwa sababu namba tisa katika kusababisha vifo vya watu wengi zaidi duniani. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 1.25 hufariki kila mwaka kutokana na ajali za barabarani. Wakati huo huo, watu zaidi ya milioni 20 hadi 50 wamebaki na majeraha makubwa na au ulemavu wa kudumu kutokana na ajali hizo kwa mwaka. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mwaka 2015. Kwa mujibu ya ripoti ya haki za binadamu kwa mwaka 2016, ajali za barabarani zilipungua katika nusu ya kwanza ya mwaka 2016, ikilinganishwa na kipindi kama hicho hicho kwa mwaka 2015. Jumla ya ajali 5,152 ziliripotiwa kwa Jeshi la Polisi kuanzia Januari hadi Juni 2016. Pia takwimu zinaonyesha kuwa kila mwaka watu 3,000 hupoteza maisha kutokana na ajali za barabarani Nchini. Aidha kwa upande wa Tanzania Bara, taarifa kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani inaonyesha kwamba, kwa mwaka 2016 jumla ya watu 3,256 walipoteza maisha kutokana na ajali za barabarani. Katika vifo hivyo wanaume ni 2,580 na wanawake ni 676. Aidha kumekuwa na majeruhi 8,958 kati yao wanaume ni 6,470 na wanawake 2,488. Wakati vyombo vya moto vilivyoongoza katika ajali ni magari binafsi ambayo yalisababisha ajali 3,649 ikifuatiwa na pikipiki zilizosababisha ajali 2,544 Kutokana na idadi kubwa ya vifo vinavyotokana na ajali za barabarani nchini, Mtandao wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera zinazohusu usalama barabarani Tanzania umeona umuhimu na kuchukulia jambo hili na kulifanyia kazi kwa kina. Tafiti zinaonyesha kwamba asilimia 76 ya ajali zote zinatokana na vyanzo vya kibinadamu kama vile Ulevi, Mwendokasi, Uzembe, Uchovu, kupuuzia au kutokuwa makini uwapo barabarani na kutokutii sheria za Usalama Barabarani. Tuna amini matendo haya ya kibinaadamu yanadhibitika kisheria, hivyo basi tunaisihi serikali kuboresha sheria. Kama wadau wa Usalama Barabarani, tunadhani kuna umuhimu wa sheria sasa kuboreshwa, na hivyo utashi wa kisiasa unatakiwa. Ndiyo maana tukaitisha majadiliano ya pamoja na Wabunge pamoja na wadau mbalimbali wa Usalama Barabarani ili kuona ni kwa namna gani tunaweza kuleta mabadiliko ya sheria kwa ufanisi na kwa haraka. Umoja wa mataifa na Shirika la Afya Duniani wanakiri kwamba sheria madhubuti zinahitajika katika kupunguza idadi ya watu wanaofariki katika barabara zetu. Tanzania lazima tuwe na sheria kali za usalama barabarani kukomesha hali hii. Katika muda wa miaka mitatu iliyopita Nchi karibia 17 zinazowakilisha wananchi milioni 409 zimetunga na kufanyia maboresho ya sheria angalau kwa kiashiria kimoja au zaidi ambavyo vimekuwa ndio vyanzo vikubwa vya ajali na Nchi hizo zimekuwa zikifanya vizuri katika kudhibiti ajali. TanZania si miongoni mwa nchi hizo. Ni muda mwafaka sasa Tanzania kuchua hatua kwa matendo. Wabunge waliohudhuria vikao hivi kwa ujumla wao waliona umuhimu wa kuwa na mikakati ya kitaifa ya kupunguza ajali na walionyesha nia na kukubali kuunda Mtandao wa Wabunge wanaotetea usalama barabarani. Maeneo ambayo tunayapa kipaumbele katika maboresho ya sheria ni kama haya yafuatayo: b) Matumizi sahihi ya kofia ngumu; Sheria ya sasa ya usalama barabarani inasema kuwa ni kosa kwa muendesha pikipiki kutokuvaa kofia ngumu wakati wa kuendesha chombo hicho. Lakini sheria hiyohiyo haisemi chochote kwa abiria anayepanda katika chombo hicho. Vilevile pamoja na kuanisha kosa kwa dereva wa pikipiki kutokuvaa kofia ngumu lakini pia sheria haielezi ni jinsi gani kofia inatakiwa kuvaliwa na aina maalum ya kofia inayotakiwa kuvaliwa. Kwa mujibu wa Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO) unaonyesha kuwa iwapo ajali itatokea madhara yanayotokea kwa kutovaa kofia maalum na kwa usahihi ni makubwa sana ukilinganisha na kofia hiyo ikivaliwa kwa usahihi. Hivyo basi ukizingatia kuwa sasa hivi usafiri wa pikipiki umekuwa unatumika kwa kiasi kikubwa (public transport) hivyo ni rai yetu sheria hiyo ifanyiwe maboresho na kuweka kuwa ni sheria kwa mtu yoyote anayepanda pikipiki kuvaa kofia ngumu na kwa usahihi. c) Ulevi: Sheria ya sasa ya usalama barabarani inasema kuwa itakuwa kosa kwa mtu yoyote kuendesha chombo cha moto akiwa na kiwango cha kilevi katika damu yake kinachozidi asilimia 0.08% katika mfumo wa mwili. Kiwango hiki ni kikubwa sana kikilinganishwa na tafiti zilizofanywa na Shirika la Afya Duniani na kupendekeza kiwango cha asilimia 0.05% kwa dereva aliyebobea (experienced driver) na asilimia 0.02% kwa dereva mchanga (young driver). Hivyo basi ni rai yetu kuwa sheria ifanyiwe marekebisho ili iendane na kiwango cha sasa cha kimataifa kilichofanyiwa utafiti. d) Mwendo kasi (Speeding): Mwendokasi umeendelea kuwa sababu kubwa ya ajali zinazogharimu uhai wa watu wengi. Sheria yetu inayo mapungufu kadhaa pamoja na juhudi nyingi za Jeshi la Polisi na wadau wengine kutaka kudhibiti jambo hili limeendelea kuwa tatizo. Adhabu zisizokidhi wala kuleta hofu kwa maderava wasiotaka kutii zimeendelea kufifisha juhudi za kudhibiti tatizo hili. Tunatoa wito kwa watunga sera kushirikiana zaidi na wadau kuuelimisha umma katika eneo la uhusiano wa adhabu zitokanazo na makosa ya usalama barabarani na ongezeko la ajali. Pia sheria kufanyiwa maboresho na kuangalia kwa upya mianya iliyopo. AMEND TANZANIA TABOA & SAFE SPEED FOUNDATION Read 3827 times Last modified on Monday, 15 May 2017 18:28 More in this category: « TAMWA CALLS FOR AMENDMENT OF ROAD TRAFFIC ACT OF 1973 TAMWA YAMLILIA DR. SUBILANGA KAGANDA » Comment Link Friday, 24 May 2019 21:02 posted by Abe Gabbert An impressive share! I have just forwarded this onto a friend who had been conducting a little research on this. And he in fact ordered me breakfast because I found it for him... lol. So let me reword this.... Thank YOU for the meal!! But yeah, thanx for spending the time to talk about this matter here on your web page. Comment Link Wednesday, 22 May 2019 20:05 posted by velkoz runes hey there and thank you for your info – I’ve certainly picked up anything new from right here. I did however expertise a few technical points using this web site, as I experienced to reload the site many times previous to I could get it to load correctly. I had been wondering if your web hosting is OK? Not that I'm complaining, but slow loading instances times will sometimes affect your placement in google and could damage your high-quality score if advertising and marketing with Adwords. Well I am adding this RSS to my e-mail and could look out for a lot more of your respective fascinating content. Ensure that you update this again very soon.. Comment Link Tuesday, 14 May 2019 02:40 posted by Reed
"2020-07-04T02:54:03"
https://tamwa.org/tamwa/index.php/media-center/press-released/item/170-mtandao-wa-wadau-kutoka-asasi-za-kiraia-unaotetea-marekebisho-ya-sheria-na-sera-inayohusu-usalama-barabarani-tanzania/170-mtandao-wa-wadau-kutoka-asasi-za-kiraia-unaotetea-marekebisho-ya-sheria-na-sera-inayohusu-usalama-barabarani-tanzania?start=6
[ -1 ]
FAO: Ajira milioni 12 zahitajika kila mwaka Afrika kunusuru vijana You are at:Home»Habari360»FAO: Ajira milioni 12 zahitajika kila mwaka Afrika kunusuru vijana By noreply@blogger.com (Muungwana Blog 2) on February 22, 2018 Habari360 Kila mwaka barani Afrika ajira milioni 12 zinahitajika ili kukidhi mahitaji ya vijana wanaoingia katika soko la ajira kwa kipindi cha miaka 20 ijayo. Selina Jerobon na taarifa kamili. Hayo yameelezwa leo kwenye mkutano wa 30 wa shirika la chakula na kilimo FAO kwa ajili ya kanda ya Afrika unaofanyika mjini Khartoum Sudan ,ukijikita katika mada ya “kuunda ajira zenye hadhi na za kuvutia barani humo hususani kwa vijana.” Akizungumza katika mkutano huo mkurugenzi mkuu wa FAO José Graziano da Silva amesema kilimo kitaendelea kuwa uti wa mgongo na muajiri mkubwa barani Afrika katika miongo ijayo lakini fursa mpya zisakwe zitakazokuwa zaidi ya kilimo katika mfumo mzima wa chakula ili kuunda ajira za kutosha kwa vijana hususani walioko vijijini. Ameongeza kuwa leo hii asilimia 54 ya nguvu kazi barani Afrika inategemea sekta ya kilimo kwa maisha ya kila siku, kipato na ajira, na kwa idadi kubwa ya watu kuhamia mijini mahitaji ya soko la chakula yanakuwa, hali ambayo inaweza kutoa fursa za ajira katika shughuli zote zinazohusiana na kilimo. Tony Nsanganira ni mtaalamu wa programu ya ajira ya vijana wa FAO kwa ajili ya kanda ya Afrika na anasisitiza “Ni muhimu sana kuendelea kuangali fursa za kuwahakikishia vijana ajira ili kuepuka hatua ya kuhama , lakini pia tunatambua kwamba vijana kuwa ndio kundi kubwa katika jamii watachangia katika kuleta mabadiliko kwenye bara hili na hususani vijijini.” Ameongeza kuwa nchi zinapaswa kuchagiza mabadiliko vijijini na kujenga madaraja baina ya shughuli za kilimo na nyinginezo , vijijini na mijini na katika nyanja mbaimbali ikiwemo uandaaji, usindikaji, ufungaji, usafirishaji, usambazaji, masoko na utoaji huduma zikiwemo za kifedha na kibiashara. Previous ArticleWAZAZI WAENDELEA KUCHANGIA CHAKULA – GAIRO Next Article VILIO NA SIMANZI VYATAWALA WAKATI WA KUMUAGA AKWLINA
"2019-08-20T12:02:39"
https://habarimpya.com/featured-2/noreplyblogger-com-muungwana-blog-2/fao-ajira-milioni-12-zahitajika-kila-mwaka-afrika-kunusuru-vijana
[ -1 ]
RAIS MAGUFULI AZISHIKA PABAYA NGO's.AZITAKA ZIFUNGUE SHULE ZA WENYE MIMBA | MATUKIO NA VIJANA » RAIS MAGUFULI AZISHIKA PABAYA NGO's.AZITAKA ZIFUNGUE SHULE ZA WENYE MIMBA RAIS MAGUFULI AZISHIKA PABAYA NGO's.AZITAKA ZIFUNGUE SHULE ZA WENYE MIMBA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amezitaka Asasi za Kiraia (NGO’s) kufungua shule kwa wanafunzi wanaopata mimba shuleni kama kweli zinawapenda wanafunzi hao. Rais amesema hayo leo Jumanne, Julai 4 alipokuwa akihutubia wananchi wa wilaya ya Sengerema wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji. “Si kwamba nawachukia wenye mimba, hata kwa bahati mbaya akapata mimba, kama hizo NGO zinawatetea sana, zifungue shule za wenye mimba, kwa sababu zinawapenda wenye mimba, wafungue shule zao,”amesema Rais Magufuli huku akiendelea kusisitiza kuwa. “Haiwezekani fedha za walipa kodi, Sh 17 bilioni kila mwaka za kusomesha watoto wetu, kwenda kusomesha wakinamama, wazunguke, waimbe, waseme nini mimi ndiyo Rais, huo ndio ukweli,” amesema Rais Magufuli. Hata hivyo Rais Magufuli tatizo si wanaopata mimba, kwani wapo waliopata matatizo, kama kuugua kwa muda mrefu wakashindwa kwenda shule lakini ulianzishwa mpango maalum wa kuwasomesha katika mfumo usio rasmi.
"2017-07-22T14:51:13"
http://www.matukiotz.co.tz/2017/07/rais-magufuli-azishika-pabaya.html
[ -1 ]
TBoost | TBet Sports Betting Tanzania Soka Bets. Premier and Premium Bets 1X2 Normal. Proudly Tanzanian / TBoost Boost ushindi wako mpaka 600,000tsh! Kwenye msimu huu mpya, TBet inakuletea promosheni mpya kwa wale wateja wote wapya waliojiandikisha kwa kuwapatia bonasi kwenye tiketi zao za ubashiri walizotengeneza kwa kutumia wallet ambapo tiketi hizo zitakuwa na chaguzi ya timu kuanzia timu 5 au zaidi. Bonasi itakuwa kwenye asilimia zifuatazo kutegemea na timu/idadi ya mechi ulizochagua: Idadi ya ubashiri - Bonasi ya asilimia Timu 5 - 5% Timu 6 - 6% Timu 7 - 7% Timu 8 - 8% Timu 9 - 9% Timu 10 - 10% Timu 11 - 12% Timu 12 - 14% Timu 13 - 16% Timu 14 - 18% Timu 15 - 20% JINSI UTAKAVYOFANYA CHAGUZI YA TIMU NYINGI NDIVYO ASILIMIA ZAKO ZA BOOST ZITAKAVYOPANDA Jinsi ya kuzipata? Tiketi ambazo zitakuwa zimelipiwa kwa njia ya Pochi na mchezaji ndio zitakuwa halali Weka multibet ya kuanzia timu 5 au zaidi. Hakikisha kwamba kila mechi umeichagulia odd ya 1.20 au zaidi. Bashiri ambazo zitakuwa zimelipiwa kwa Freebet au bonasii (Bonus Wallet) hazitoweza kushiriki kwenye promosheni hii. Lini nitapata zawadi zangu? Bonasi yako itakwenda sambamba pamoja na ushindi wa tiketi/bashiri yako. Malipo hayatochukua zaidi ya saa moja baada ya matokeo ya mechi yako ya mwisho kukamilika. Kitu gani kingine nahitaji kujua? Ushindi wa nyongeza ya mwisho utakuwa shilingi 600,000tsh kwenye tiketi zote. Kama ikitokea mechi yoyote kwenye chaguzi zako imehairishwa au haijachezwa kama ilivyotakiwa na kukuacha wewe kwenye tiketi yako kubakiwa na timu pungufu 4 na sio tano kama inavyotakiwa, itapelekea tiketi yako kutokuwa halali tena kwenye hii promosheni. Kama mechi yoyote kwenye tiketi yako uliyochagua imehairishwa au kutochezwa na kukuacha wewe umebakia na timu 5 au zaidi kwenye tiketi yako, tiketi yako bado itakuwa halali kwenye hii kwenye hii promosheni lakini bonasi yak itafanyiwa mahesabu upya kutokana na namba za idadi ya timu zilizobakia. Kwa mfano kama chaguzi 1 kwenye jumla ya chaguzi 9 imehairishwa au kuchezwa siku nyingine, ushindi wa tiketi utatolewa baada ya kufanyiwa marekebisho ya timu 8 zilizobaki. Ushindi wa zaidi (TBoost) utatolewa kutokana na asilimia ya timu 8 zilizosalia kwenye chaguzi ya bashiri/tiketi yako.
"2020-07-06T11:31:26"
https://release.koperca.com/promosheni/tboost
[ -1 ]
Gospel news from all over the word: FAHAMU UNDANI WA VITA KATI YA ISRAEL NA PALESTINA KIBIBLIA. ISRAEL ALIPEWA YAKOBO NA SI YAKUB. MPENDWA ENDELEA KUIOMBEA ISRAEL part 2 Jumatano, 7 Januari 2015 Na Douglas Majwala Hii nguvu ya medani ya Israel ni ya kimaandiko, haishindwi na silaha za kivita, haishindwi na uchawi, wala haishindwi na uganga ebu soma jinsi ambavyo Balaamu mwenyewe kwa maneno ya kinywa chake aliyopewa na MUNGU anavyomshuhudia Balaki mwana wa Sipori kuhusu nguvu za Israel katika Hes.23:22-23 22Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati. 23Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! MUNGU aliwahidi Wana wa Israel kuwa vita si yao, 2Nya.20:15 msiogope maana vita si yenu bali ni ya MUNGU. Jambo ambalo dunia inapaswa kujuwa ni kuwa Wayahudi hawakupewa Israel kwa mkataba wa kisiasa bali walipewa Israel kwa Agano la Kimbingu. Kwa maneno mepesi ni kuwa kutafuta muafaka wa mgogoro huu katika siasa ni kupoteza muda tu, rasilimali na kuendelea kuhatarisha amani na utangamano kama siyo wa Israel na Palestina basi wa dunia nzima, tena mgogoro ambao unalazimishwa uwe wa kidini wakati MUNGU hakutoa eneo hilo kwa Waisrael kwa misingi ya kidini maana yeye MUNGU hakuwahi kuwa na dini hata sasa. Utaratibu huu wa kuendelea kutegemea siasa kwa miongo mingi kuleta muafaka au jawabu la mgogoro huu ni sawa na kutafuta kitu kisichoweza kupatikana asilani, Waingereza wanasema indulging in a wild goose chase. Kwa nini dunia isigutuke kuwa siasa imeshindwa na kuwa njia ya imani kwa maandiko ipewe nafasi nayo itumike?. Hakuna nguvu ya kisiasa chini ya jua inayoweza kutangua Agano la Kimbingu, hata YESU mwenyewe hakupewa amri/kibali cha kutangua Agano la MUNGU bali zaidi alipewa kulikamilisha [Agano la Kale lilijengeka katika msingi wa Torati ambayo YESU hakuitangua Mt.5:17]. Jambo wasilolijuwa watu ni hili: Wakati Wakaanani wanamuasi MUNGU wa kweli, hawakufanya hivyo kwa misingi ya siasa, bali imani [japo potofu] na kwa mantiki hiyo iweje leo waamini katika nguvu ya siasa katika kutafuta ufumbuzi wa mgogoro ambao hauna msingi wake kwenye siasa tangu mwanzo? Warudi kwenye imani [ambayo waliiasi kwa mapokeo ya miungu mingine] na wakirudi kwenye imani maandiko yako wazi kwa mfano huu ninaoutoa: kama Rais wa nchi anavyotwaa ardhi toka kwa mmiliki wake kwa matumizi mengine yenye maslahi kwa umma basi MUNGU naye alikuwa sahihi bila kuhoji uamuzi wake wa Kiagano la Kimbingu kutwaa ardhi ile na kuwapa Wana wa Israel kwa maslahi mapana ya Kimbingu, na hivyo Wapalestina wanatakiwa kurudi kwenye misingi ya imani [siyo siasa] iliyobomolewa na mababu zao na kuwafanya kuwa wageni kwenye ardhi ile badala ya kuwa wenyeji wake. Ni bahati mbaya kwao kuwa MUNGU ni Alfa na Omega na utukufu wake na utendaji wake havipimiki kwenye mizania ya kisiasa inayotumika kutatua mgogoro huu, wala yeye hana asili [Azali] wala huwezi kuona mwanzo wake wala mwisho wake kwa maana yeye hakuwahi kuumbwa [kama Baali waliyemuabudu alivyoumbwa] ijapokuwa yeye aliumba hata na visivyoonekana pia ameviumba Kol.1:16, vivyo hivyo imani aliyoumba MUNGU haina mwanzo wala mwisho kama ambavyo siasa ina mwanzo na mwisho wake na pia dini ilivyo na mwanzo na mwisho wake na ndiyo maana MUNGU hana dini na wala hasimami kwenye dini bali ana imani ambayo imo Mbinguni na duniani pia bali dini haikuwahi kuwepo Mbinguni. Hivyo basi, Wapalestina kudai ile ardhi kisiasa na kidini [Waisrael wao wanaidai Kiimani siyo kidini wala kisiasa; tazama hata tangu enzi za Yehoshafat Mfalme wa nne wa ufalme wa Yuda ambaye alipigana vita kwa njia ya imani, siyo dini, akitanguliza kwaya kama kikosi cha msitari wa mbele kabisa kwenye uwanja wa medani/vita 2Nya.20:1-37; 2Nya.5:13-14; 2Fal.3:15-27. Lakini pia 2Nya.1-6 anaitangazia Yuda yote kufunga na kusali maana nchi inaingia vitani. MUNGU kwenye 2Nya.20:15 amesikia maombi yao na anawatuliza wasiogope maana vita si yao bali ni ya MUNGU mwenyewe. Tena katika 2Nya.17 anawaambia hawahitaji kupigana vita bali wajipange, wasimame wakauone wokovu wa BWANA, tena anawahakikishia kuwa watauona wokovu wa BWANA ulio pamoja nao. Hata Daudi hakupigana vita na kumshinda Goliath kwa njia ya kidini wala kisiasa bali ya kiimani] ni kuzidi kuasi kama ambavyo mababu wao waliasi na kupoteza uhalali wa milki ya ile ardhi kwa Waisrael, “Mt.15:6, Basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua Neno la MUNGU kwa ajili ya mapokeo yenu. Mk.7:13 Huku mkalitangua Neno la MUNGU kwa mapokeo yenu mliyopokeana; tena mwafanya mambo mengi yaliyo sawasawa na hayo.” “Isa.31:2 Naye ataleta uovu, wala hatayatangua maneno yake; bali ataondoka juu ya nyumba yao watendao mabaya, na juu ya msaada wa hao watendao maovu.” MUNGU hakuona uasi na uovu kwa Yakobo wala ukaidi kwa Israel kama ambavyo aliuona katika nyumba ya Wakaanani “Hes.23:21 21Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. Bwana, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme i katikati yao.” Ieleweke kuwa Waisrael walimheshimu sana MUNGU huyu aliyeasiwa na Wakaanani, Sidoni, Hethi, Myebusi, Mwamori, Mgirgashi, Mhivi, Mwarki, Msini, Mwarvadi, Msemari na Mhamathi akiwemo Mmisri chimbuko la Mpalestina. Wana wa Israel walimhofu huyu MUNGU, walimpenda kwa kiwango ambacho hawakutaka kumuasi. Ewe msomaji, ujuwe kuwa Utukufu wa MUNGU wa Israel uliheshimiwa na Waisrael kwa kiwango ambacho waliogopa hata kulitamka jina lake wakihisi watakuwa wamemtenda dhambi mbaya kuliko, ndipo walipatana kutafuta kiwakilishi cha jina lake; kiwakilishi ambacho kitakuwa rahisi kutamka badala ya jina lake halisi lililotukuka sana, wakaagana kumuita Yawhe, tena wakaja kumuita majina mengine kuelezea mibaraka waliyokuwa wakipata wakitanguliza jina Yehova likifuatiwa na: Adonai [mwenye mamlaka], El-shadai [mtoshelevu/asiye mpungufu], Rafa [mponyaji], Jire [utupaye tunapokuomba], Ninsi [beramu/bendera yetu], Sabaoth [Bw wa vita], Rohi [Mchungaji wetu], Shalom [utupaye amani], Shama [uliyepo/unayepatikana], El-Gibor [mwenye nguvu], El-Ohinu [wa pekee/huna wa kufanana naye], El-Ohimu [muumbaji wa pekee] nk. Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha mwanadamu kumuheshimu na kumtukuza MUNGU. Ni sawa na jinsi ambavyo wewe leo huwezi kudiriki kumuita baba yako kwa jina lake, badala yake utamuita kwa msamiati wa baba, father, dady, papaa, thatha nk. Na hii ndiyo maana hata makabila yametafuta majina ya kumuita badala ya jina lake halisi e.g. Mungu, God, Omukama, Mruwa, Nyasaye, Omongo, Eli nk. Kwa Wakaanani, Sidoni, Hethi, Myebusi, Mwamori, Mgirgashi, Mhivi, Mwarki, Msini, Mwarvadi, Msemari na Mhamathi akiwemo Mmisri chimbuko la Mpalestina haikuwa hivi bali waliasi na kutafuta miungu mingine tena wakawatafuta kwa makabila, lugha na mataifa yao baada ya kutawanyika baada ya gharika. Hawa ama waliona au walisikia habari za gharika kupitia kwa babu/baba yao Nuhu aliyepewa kufikisha ujumbe wa MUNGU wa kutoa notisi halali ya miaka 120 ya kuleta gharika juu ya nchi kama watu wasingetubu [wasingemrudia MUNGU wa kweli]; notisi iliyopitishwa kwa Nuhu. Ni kipindi ambacho Baali, Dagoni na Ashtorethi waliabudiwa na kizazi kiovu Amu.16:23. Lakini licha ya ama kushuhudia au kusikia kwenye historia habari za gharika, bado walikuja kumuasi MUNGU wao wakaambatana na miungu ambayo Torati ilionya juu yao wasiabudiwe. Neno la MUNGU lililowapa Wayahudi Israel litasimama milele yote lakini mikataba ya kisiasa inayowekwa mbele haitasimama na imeishashindwa kusimama hata sasa. “Mk.13:31 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu [yakiwemo yaliyowapa Waisrael Kaanani] hayatapita kamwe.” Kama MUNGU ndiye Neno lenyewe sawa na “Yn.1:1 naye Neno alikuwa MUNGU”, basi ina maana kuwa Neno la MUNGU lililowapa Wayahudi Israel/Kaanani ni MUNGU mwenyewe huyo ndiye aliwapa Wayahudi Israel [siyo UN wala siyo Arab League]. Lakini Biblia ina maajabu makubwa sana, ebu soma hii tena “Yn.1:1 Naye Neno alikuwako kwa MUNGU.” Ina maana Neno la MUNGU lililowapa Waisrael Kaanani liliishakuwepo [MUNGU aliishaazimia] kabla ya dunia kuumbwa, kabla siasa kuwepo, kabla League of Nations kuwepo, kabla Mkoloni kuwepo, kabla UN kuwepo, kabla Arab League kuwepo, kabla Nuhu na kizazi chake kuwepo, kabla Yakobo kuwepo na pengine kabla Yakub kuwepo. Na MUNGU alivyowapa Waisraeli ardhi hiyo aliweka wazi kabisa kwenye kumbukumbu ya maandiko tena Matakatifu [yasiyotanguka] kuwa atawafukuza hao waliomuasi [Wakaanani, Sidoni, Hethi, Myebusi, Mwamori, Mgirgashi, Mhivi, Mwarki, Msini, Mwarvadi, Msemari na Mhamathi akiwemo Mmisri chimbuko la Mpalestina] katika mwaka mmoja nchi isiwe ukiwa, na wanyama wa bara wakawasumbua Kut.23:29. Wote wanasiasa wanaokaa mikutano kutatua suala la Israel vs Palestina kwa mantiki na mitazamo ya kisiasa, wanajaribu kubishana na MUNGU na wanajaribu kutangua Agano la Kimbingu badala ya kulitekeleza, kinyume na hapo watakuwa wanafanya ibada ya sanamu ambayo wafalme wote waliofanya ibada ya sanamu, MUNGU aliondoa ufalme wao. Kama tulivyoona awali, kwa nini Marekani katika jambo hili huwa anaogopa sana kupingana na Neno/MUNGU je, ni kwa sababu taifa la Marekani linamuamini MUNGU [In God they Trust?] na ndiyo maana dunia inaona kama vile Marekani inalalia upande wa Israel? Ikumbukwe kuwa kuikana Israel ni sawa na kuilaani na kuilaani Israel ni kujitwalia laana yako mwenyewe. Ni katika mantiki na muktadha huu kwamba tunagundua kuwa ustawi wa Marekani umejiegemeza kwa asilimia kubwa kwenye mafungamano yake na Israel na hivyo kuitenganisha Marekani na Israel ni sawa na kuishusha Marekani kurudi kundi la dunia ya tatu kimaendeleo; kwa nguvu ya kinywa cha MUNGU kilichotamka baraka na laana kwake yeye atakayehusiana na Israel “Mwa.27:29 Mataifa na wakutumikie na makabila na wakusujudie, uwe bwana [angalizo: hapa neno bwana halijaandikwa kwa herufi kubwa kwa sababu bwana ya herufi kubwa ni MUNGU mwenyewe] wa ndugu zako na wana wa mama yako na wakusujudie. Atakayekulaani alaaniwe” Kwa wale ambao hatuna muda wa kusoma Biblia, nimeamua niwawekee hapa maneno ya Biblia kuonyesha jinsi MUNGU alivyowainua Wana wa Israel, alivyowatetea, alivyowapa nguvu na kuweka utisho mbele yao dhidi ya maadui zao, soma Hes.22:6-41 6Basi, njoo wewe, nakusihi unilaanie watu hawa; maana wana nguvu kunishinda mimi. Labda nitawaweza, tupate kuwapiga, niwafukuze watoke katika nchi yangu, kwa maana najua ya kuwa yeye umbarikiye hubarikiwa, na yeye umlaaniye hulaaniwa. 7Wazee wa Moabu, na wazee wa Midiani, wakaenda, wakichukua ujira wa uganga mikononi mwao; wakamfikilia Balaamu, wakamwambia maneno ya Balaki. 8Akawaambia, Kaeni hapa usiku huu, nami nitawaletea jawabu kama Bwana atakavyoniambia; wakuu wa Moabu wakakaa na Balaamu. 9Mungu akamjia Balaamu, akasema, Ni watu gani hawa ulio nao pamoja nawe? 10Balaamu akamwambia Mungu, Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, amewatuma kwangu, akisema, 11Tazama, kuna watu waliotoka Misri, wanaufunika uso wa nchi; basi njoo unilaanie watu hawa; labda nitaweza kupigana nao, na kuwafukuza. 12Mungu akamwambia Balaamu, Usiende pamoja nao; wala usiwalaani watu hawa, maana wamebarikiwa. 13Balaamu akaondoka asubuhi akawaambia wakuu wa Balaki, Enendeni zenu hata nchi yenu; kwa maana Bwana amekataa kunipa ruhusa niende pamoja nanyi. 14Wakuu wakaondoka wakaenda kwa Balaki, wakasema, Balaamu, anakataa kuja pamoja nasi. 15Basi Balaki akatuma wakuu mara ya pili, wengi zaidi, wenye cheo wakubwa kuliko wale wa kwanza. 16Wakamfikilia Balaamu, wakamwambia, Balaki mwana wa Sipori asema hivi, Nakusihi, neno lo lote lisikuzuie usinijie; 17maana nitakufanyizia heshima nyingi sana, na neno lo lote utakaloniomba nitalitenda; basi njoo, nakusihi, unilaanie watu hawa. 18Balaamu akajibu akawaambia watumishi wa Balaki, Kama Balaki angenipa nyumba yake imejaa fedha na dhahabu, siwezi kupita mpaka wa neno la Bwana, Mungu wangu, kulipunguza au kuliongeza. 19Basi sasa nawasihi, kaeni hapa tena usiku huu, nipate kujua Bwana atakaloniambia zaidi. 20Mungu akamjia Balaamu usiku, akamwambia, Kwa kuwa watu hawa wamekuja kukuita, enenda pamoja nao; lakini neno lile nitakalokuambia ndilo utakalolitenda, basi. 21Balaamu akaondoka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu. 22Hasira ya Mungu ikawaka kwa sababu alikwenda; malaika wa Bwana akajiweka njiani, ili kumpinga. Basi alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye. 23Na yule punda akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, na upanga wake mkononi mwake amekwisha kuufuta; punda akageuka upande ili kuiacha njia, akaingia shambani. Balaamu akampiga punda ili kumrejeza njiani. 24Kisha malaika wa Bwana akasimama mahali penye bonde, katikati ya mashamba ya mizabibu, tena penye kitalu upande huu na kitalu upande huu. 25Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajisonga ukutani, akamseta Balaamu mguu wake, basi akampiga mara ya pili. 26Malaika wa Bwana akaendelea mbele akasimama mahali pembamba sana, hapakuwa na nafasi ya kugeukia mkono wa kuume, wala mkono wa kushoto. 27Yule punda akamwona malaika wa Bwana, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28Bwana akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi? 29Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi. 30Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La! 31Ndipo Bwana akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa Bwana amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi. 32Malaika wa Bwana akamwambia, Mbona umempiga punda wako mara tatu hizi? Tazama mimi nimekuja ili kukupinga, kwa sababu njia yako imepotoka mbele zangu, 33punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai. 34Balaamu akamwambia malaika wa Bwana, Nimefanya dhambi; maana sikujua ya kuwa wewe umesimama njiani ili kunipinga; basi sasa, ikiwa umechukizwa, nitarudi tena. 35Malaika wa Bwana akamwambia Balaamu Enenda pamoja na watu hawa, lakini neno lile nitakalokuambia, ndilo utakalosema. Basi Balaamu akaenda pamoja na wakuu wa Balaki. 36Balaki aliposikia ya kuwa Balaamu amefika, akatoka kwenda kumlaki, mpaka Mji wa Moabu, ulioko katika mpaka wa Arnoni, ulioko katika upande wa mwisho wa mpaka huo. 37Balaki akamwambia Balaamu, Je! Mimi sikutuma watu kwako kwa bidii ili kukuita? Mbona hukunijia? Je! Siwezi mimi kukufanyizia heshima nyingi? 38Balaamu akamwambia Balaki, Tazama, nimekujia. Je! Mimi sasa nina uwezo wo wote kusema neno lo lote? Neno lile Mungu atakalolitia kinywani mwangu, ndilo nitakalolisema. 39Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika Kiriath-husothi. 40Balaki akachinja ng'ombe, na kondoo, akampelekea Balaamu na wale wakuu waliokuwa pamoja naye. 41Ikawa asubuhi Balaki akamchukua Balaamu, akampandisha hata mahali pa juu pa Baali; na kutoka huko akawaona watu, hata pande zao za mwisho. Hes.23:1-23 1Balaamu akamwambia Balaki, Nijengee hapa madhabahu saba, ukaniandalie hapa ng'ombe waume saba, na kondoo waume saba. 2Balaki akafanya kama Balaamu alivyonena. Balaki na Balaamu wakatoa sadaka, ng'ombe mume mmoja na kondoo mume mmoja juu ya kila madhabahu. 3Balaamu akamwambia Balaki, Simama karibu na sadaka yako, nami nitakwenda, labda Bwana atakuja kuonana nami; na lo lote atakalonionyesha nitakuambia. Akaenda hata mahali peupe juu ya kilima. 4Mungu akakutana na Balaamu; naye Balaamu akamwambia, Nimetengeneza madhabahu saba, nami nimetoa sadaka ng'ombe mume mmoja na kondoo mume mmoja juu ya kila madhabahu. 5Bwana akatia neno katika kinywa chake Balaamu, akasema, Umrudie Balaki; ukaseme maneno haya. 6Akarudi kwake, na tazama, amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, yeye na wakuu wote wa Moabu pamoja naye. 7Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli. 8Nimlaanije, yeye ambaye Mungu hakumlaani? Nimshutumuje, yeye ambaye Bwana hakumshutumu? 9Kutoka kilele cha majabali namwona; Na kutoka milimani namtazama; Angalia, ni watu wakaao peke yao, Wala hawatahesabiwa pamoja na mataifa. 10Ni nani awezaye kufanya idadi ya mavumbi ya Yakobo, Au kuhesabu robo ya Israeli? Na nife kifo chake mwenye haki, Na mwisho wangu uwe mfano wa mwisho wake. 11Balaki akamwambia Balaamu, Umenitendea nini? Nimekuleta ili Uwalaani adui zangu, na tazama, umewabariki kabisa kabisa. 12Naye akajibu, akasema, Je! Hainipasi kuangalia, niseme neno lile Bwana atialo kinywani mwangu? 13Balaki akamwambia, Haya! Njoo, tafadhali, hata mahali pengine, na kutoka huko utaweza kuwaona; utaona upande wa mwisho wao tu, wala hutawaona wote, ukanilaanie hao kutoka huko. 14Akamchukua mpaka shamba la Sofimu, hata kilele cha Pisga, akajenga madhabahu saba, akatoa sadaka ng'ombe mume mmoja na kondoo mume mmoja juu ya kila madhabahu. 15Akamwambia Balaki, Simama hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami nitaonana na Bwana kule. 16Bwana akaonana na Balaamu akatia neno kinywani mwake, akasema, Umrudie Balaki, ukaseme hivi. 17Akafika kwake, na tazama, amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, na wakuu wa Moabu pamoja naye. Balaki akamwambia, Bwana amenena nini? 18Naye akatunga mithali yake, akasema, Ondoka Balaki, ukasikilize; Nisikilize, Ee mwana wa Sipori; 19Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza? 20Tazama, nimepewa amri kubariki, Yeye amebariki, nami siwezi kulitangua. 21Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. Bwana, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme i katikati yao. 22Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati. 23Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu! Israel imenasa kwenye mgogoro huu kwa miaka kwa sababu wanasiasa na wanajumuiya za kimataifa ikiwemo Kanisa pia vimeshindwa kusimama katika zamu zao za kusema ukweli wa kimaandiko na wa Kiagano hata kama unauma na hata kama ni mchungu [ndiyo maana hapo mwanzo nilisema kuwa najitoa muhanga na nikadiriki kusema kuwa natangaza kuwa nina upande katika hili jambo na upande wangu ni Israel]. Taasisi zote hizo zimekosa ujasiri hata kama ule wa Balaamu ambaye licha ya kutamani malipo ya kazi aliyopewa na Balaki ya kwenda kuwalaani Waisrael waliokuwa wakiijia nchi ya Balaki kama nzige kutokea Misri [walienda utumwani Misri wakiwa 70 na walirudi Kaanani wakiwa takriban laki 6 na thelathini na…hivi] na kuleta hofu kuu; tena Balaamu akitumwa kuifanya kazi hiyo hata mara tatu, huku akifanya jambo la msingi sana la kumuuliza MUNGU kwanza [kitu ambacho jumuiya za kimataifa, Kanisa na wanasiasa wa leo hawafanyi] ampe maneno ya kumuendea Balaki maana Balaamu alikwishajuwa tahadhari ya MUNGU ya madhara ya kuilaani Israel [ya kutokuwa upande wa Israel] na MUNGU alipompa maneno na kurudi kwa Balaki, kwa kumuonea aibu Balaki aliyemuahidi malipo mazuri makubwa], Balaamu aliamua kutumia maarifa ya kufikisha ujumbe wa MUNGU kwa njia ya fasihi ya mithali badala ya maneno ya moja kwa moja. Nadhani hii ndiyo staili ambayo Marekani inatumia kwenye mgogoro huu na mwisho wa siku inajulikana kuwa yuko upande wa Israel na hii imefanya Marekani imebarikiwa katika uso wa dunia hii tunayoishi sasa kuliko dola yoyote ile; ikimiliki pato la wastani wa asilimia 14 ya mapato yote ya dunia nzima ikiwa na takriban zaidi ya dola za Marekani trilioni 30 kwa mwaka kama pato-ghafi lake lote la ndani (GDP); wakati katika nchi zingine ili mtu aweze kupata mkate wa siku analazimika kuuza mwili wake au kumiliki bunduki ndiyo mkono uweze kwenda kinywani. Kama kuna taifa linafaidi matunda ya kuibariki Israel [kuwa na mahusiano mazuri nayo mbele ya adui zake, basi ni Marekani pekee]. Sasa Kanisa limekuwa na ujasiri wa kwenda kuhiji Israel lakini limekosa ujasiri wa kusimama madhabahuni kuisemea Israel hata kwa mafumbo tu ya mithali kama alivyofanya Balaamu; kutamka hadharani mbele ya umma kuwa sehemu inayogombewa ni ya Israel [Wazayoni] kwa mujibu wa maandiko ambayo kamwe hayatanguki. Kanisa halina upande japo linayo maandiko mikononi mwake na hii nachelea kuamini kuwa ni sababu ya kufanya Kanisa linakosa baraka na linatembea chini ya viwango vya Roho Mtakatifu katika kutenda kazi yake ya huduma iliyoitiwa. Kwa Kanisa la Tanzania ninawajuwa Watumishi wawili tu ambao ndiyo wamejitoa kuhubiri na kufundisha kwa nguvu zao zote, kwa akili zao zote na kwa uwezo wao wote kuhusu mahusiano ya Kanisa/nchi na taifa la Israel, mmoja ni Mwalimu na mmoja ni Askofu na huduma zao zimefanikiwa sana. Hawa hawakutanguliza uwoga wala soni kwa habari ya kuhubiri na kufundisha juu ya Baraka ambazo MUNGU anaachilia kwa Kanisa, taifa au mtu ikiwa atajitoa kuiombea Israel baraka. Jumuiya za kimataifa na wanasiasa wanaoonea aibu Agano la MUNGU la kuwapa Waisrael eneo lao wanapata kibali kutoka kwa nani? Na kutoka kwa MUNGU yupi? MUNGU wa Israel au Baali? Tazama Balaamu anavyomshuhudia Balaki mwana wa Sipori mfalme wa Moabu kwa ujasiri bila kutafuna maneno “Hes.23:20, 20Tazama, nimepewa amri [siyo ombi] kubariki, Yeye amebariki, nami siwezi kulitangua.” Balaamu anaogopa kutangua Agano la MUNGU licha ya ahadi ya malipo makubwa manono toka kwa Balaki kama angewalaani Waisrael ili washindwe kuitamalaki nchi waliyopewa na MUNGU. Madalali wa amani [Peace Brokers] ambao ni viongozi wa jumuiya za kimatafa, wanasiasa maarufu wenye hekima katika dunia ya leo na Makuhani wa Mahekalu ya leo wanatakiwa kuchukua nafasi ya punda wa Balaamu mwenye sifa kuu zifuatazo: kwanza alikuwa na utayari wa kusafiri kwenda ufalme wa Moabu kufikisha ujumbe maalum wa MUNGU, pili alikubali kufanyika chombo cha kubeba mjumbe wa MUNGU, tatu alivumilia mateso ya bwana wake Balaamu katika safari ile ngumu iliyojaa mashaka njiani, nne alijuwa kuwa MUNGU mtetezi wake yu hai angetuma hata Malaika njiani kumtetea na kuhakikisha kuwa ujumbe wa MUNGU hauchakachuliwi njiani labda na tamaa ya Balaamu ya ahadi ya malipo manono yaliyomfanya asitesite kati ya mawazo mawili ya malipo manono au ujumbe wa MUNGU, na kwa kuogopa Mjumbe wa Mbingu Malaika mwenye upanga mkali aliyesema na punda kwanza kabla ya bwana wake [aliona punda ni bora kuliko kwa sababu hawezi kuhongeka] basi ni vivyo hivyo wote wanaohusika kutatua mgogoro wa Muisrael na Mpalestina wanatakiwa kuwa punda wa Balaamu kwa sifa hizo kuu kuhakikisha kuwa ujumbe wa MUNGU usiochakachuliwa kisiasa na kidini unafika kwa Wamoabu [Wapalestina wa leo] kwa njia za mahubiri na mafundisho madhabahuni na kwa njia ya mikutano ya kutafuta amani majukwaani na kuhakikisha pia kuwa mpango wa MUNGU wa kuimilikisha Israel unabaki palepale bila kuchakachuliwa kwa roho za uwoga wala tamaa za kisiasa na kiuchumi za kuchochea vita vya kudumu ili soko la zana za kivita liendelee kuwepo kwa maslahi yao huku matarishi wa amani [peace messengers] nao amana zao za kibenki ziendelee kunona kwa malipo ya perdiem na posho [masurufu ya safari za hapa na pale za kutafuta amani ambayo kamwe naapa hawataipata nje ya mpango wa MUNGU ambao tayari uko kwenye maandiko kwa miaka mingi sana kabla na baada ya YESU, yaani tangu pale Neno liliposhushwa kwa vinywa vya manabii ingawa Neno lilikwishakuwepo hata kabla ya manabii]. Narejea tena kuwa suala la umiliki wa Kaanani ni suala la kiimani na siyo suala la kidemokrasia ya kisiasa. Utangamano wa mgogoro huu unategemea kwa 100% kuheshimu Agano la MUNGU aliloingia na wana wa Israel, yaani ni jambo la kiimani na imani ikumbukwe ni mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu [akiwemo Muisrael], tofauti ya dini na imani ni kuwa dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta MUNGU. Kuna tafsiri au maana mbili katika falsafa hii: moja, ni dhahiri kwa ufafanuzi huo kwamba suala la Israel ni suala la kiimani na siyo la kisiasa wala dini kama nilivyosisitiza katika aya za awali. Mbili, pana tofauti kubwa sana kati ya imani na dini kama ambavyo pana tofauti kubwa sana pia kati ya Mbingu na dunia au giza na nuru. Tumeona kwamba dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta MUNGU na imani ni mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu, hivyo basi MUNGU hakumtafuta Muisrael ili ampe Israel kwa njia ya dini bali kwa njia ya imani na moja ya sifa za msingi za imani ni kuwa lazima itafsirike katika matendo [lazima itimie katika uhalisia wake] maana isipotimia katika matendo inabaki kuwa uongo na ndiyo maana hata leo Wana wa Israel wanayakalia yale maeneo ambayo hii ni tafsiri kuwa imani iliyowapa hayo maeneo imetimia; na lazima bado watayatwaa/watayarejesha mengine yenye mgogoro iwe kwa njia ya amani au upanga, maandiko yako wazi kabisa kwa habari hii kama ambavyo tutaona katika aya zijazo mbele ya mafundisho haya. Kwa hiyo kwa ufafanuzi huo hapo juu, tunagundua kuwa ni imani kwa njia ya Neno la Agano ndiyo iliwapa Waisrael Israel. Hivyo basi, Mpalestina hawezikudai sehemu ya Israel kwa njia ya dini kama ambavyo siasa haiwezi kumpora Muisrael Israel yake na kumpa Mpalestina. Ili Mpalestina aweze kutambua uhalali wa Muisrael kumiliki Israel, analazimika kuachana na dini na siasa na kuingia kwenye imani ili aone kuwa MUNGU ni Alfa na Omega kwenye maamuzi yake juu ya jambo lolote liwalo lile na juu ya ahadi yoyote iwayo ile. Hivyo basi Mpalestina atakapogundua siri kubwa kuwa akiheshimu Agano la MUNGU na kuambatana na Israel, basi baraka zile alizotamka MUNGU kwake yeye atakayeibariki Israel, zitaambatana na Wapalestina pia na watawezakupaa kimaendeleo hadi kuifikia dunia ya kwanza. Uamuzi na uchaguzi ni wao Wapalestina. “Kut.12:3 Jamaa zote za dunia [wakiwemo Wapalestina watabarikiwa]. Hapa MUNGU hajawabaguwa Wapalestina katika baraka hizi na ndiyo maana nikasema hapo nyuma kuwa uamuzi na uchaguzi ni wao wenyewe Wapalestina, maana MUNGU amesema jamaa zoote za dunia. Biblia inasema Yakobo ndiye Israel, haisemi Yakubu ndiye Israel. Kama jina la Kiarabu la Yakubu linamaanisha Yakobo Muisrael kama ambavyo Ibrahim na Abraham, basi wamekubali kuwa Israel alipewa Yakobo Muisrael [Mzayoni kama wanavyoita]. Ebu tutumie mfano wa Musa kuelezea uhalali wa wana wa Israel kupewa nchi ambayo haikuwa yao hapo awali [ya ahadi tu] lakini kupewa huko kunawapa uhalali wa Kiagano [siyo wa kisheria ya wanadamu] maana sheria ya wanadamu inatanguka lakini Agano la MUNGU halitanguki maana lina gharama kubwa kulitangua na isitoshe kulitangua kunategemea kibali cha MUNGU mwenyewe. Musa mwana wa Amram alikuwa ni Prince/Mwana-mfalme wa Misri kwa Faraoh, katika nyumba ya mfalme ambaye hakumzaa yeye Musa [alilelewa katika kasri la Faraoh]. Na kama Yusufu pia, Musa kuwa Prince, hakukumzuia kutamalaki Misri kwa kinywa cha MUNGU na kwa Agano la MUNGU na kabila la Waebrania waliokuwa utumwani Misri kuwa na nguvu dhidi ya Wamisri, mfano huu unafafanua uhalali wa Wayahudi kupewa Israel ambayo kama Waebrania kule Misri, walikuta Israel ikikaliwa na makabila mengine ambayo yalimuasi MUNGU na kujenga na kuabudu katika madhabahu za miungu ya uongo. Aidha narejea kwamba mgogoro huu siyo wa kidini maana hata MUNGU hana dini bali zaidi mgogoro ni wa kiimani. Nasema hivyo kwa sababu Palestina kuna dini za Uislamu, Ukristo na Druze, hali kadhalika Israel kuna dini kuu ya taifa ya Judaism, dini zingine ni Jewish, Ukristo, Uislamu, Druze na Bahai. Sheria za Israel zinatoa uhuru wa kuabudu na serikali ina wizara maalum ya kuratibu masuala ya kidini kama kukarabati nyumba za ibada na kuzilinda zote kwa ajili ya watalii na watu wanaokwenda hija, lakini pia serikali ya Israel inaziruzuku toka bajeti ya taifa dini/madhehebu yote yaliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria. Sasa kama mgogoro ni wa kidini je, ni dini ipi kati ya hizo ina maslahi na mgogoro huu? Nijuavyo mimi Ukristo siyo dini bali Ukristo ni imani, dini ina asili yake duniani lakini Ukristo kama imani asili yake ni Mbinguni na ndiyo maana yangu kusema kuwa lile Agano la MUNGU na wana wa Israel kuhusu Kaanani asili yake ni Mbinguni na ndiyo maana nikasema kuwa Agano lililowapa wana wa Israel Kaanani ni Agano la Kimbingu na siyo la kidunia, siyo la kisiasa na hivyo basi siyo la kidini. YESU Kristo alitabiriwa na Yohana ujio wake toka Mbinguni lakini ili akubalike kwa wanadamu ilibidi azaliwe kwa sura zetu kasoro utakatifu wake, YESU ni MUNGU kwa nafsi yake ya pili, na MUNGU anakaa Mbinguni, neno Ukristo ambayo ni imani siyo dini limetokana na Kristo. Na ndiyo maana mgogoro huu unaegemezwa kwenye utaifa [ambao unajumuisha dini na imani ya Ukristo pia vinavyopatikana pale] maneno ya MUNGU wakati anawapa wana wa Israel ile ardhi alimwambia Yakobo utakuwa baba wa taifa la Israel, MUNGU alitaja neno taifa hakutaja neno dini, hivyo dini zinazopatikana mle zinafaidi tu kwa mgongo wa kuwa ndani ya taifa ambalo MUNGU alilitoa kama ahadi na ni kwa jinsi hiyo hiyo Musa alikuwa Prince katika nyumba ambayo hakuzaliwa kibaiolojia lakini akaja kuwa na nguvu kumzidi hata mfalme aliyemlea na Musa akafanikisha Agano la MUNGU la kuwatoa Waebrania toka utumwani Misri. Niliahidi mwanzoni kabisa kuwa nitafundisha mambo magumu sana ambayo bila msaada wa Roho Mtakatifu kwa njia ya maombi ili akufunulie unaweza usielewe chochote na unaweza ukaingia katika lawama dhidi yangu kuwa kwa nini nina upande katika mgogoro huu kama nilivyotangaza hapo awali kuwa nina maslahi na Israel. Nikuhakikishie kuwa hata mimi ninajishangaa namna ambavyo Roho amenifunulia haya mafundisho magumu kwenye akili zangu, mwanzoni pia nilisema kuwa mafundisho haya nimeyaatamia kwa maombi kwa muda mrefu sana kabla sijaanza kushika kalamu na note book yangu, haleluya! Haleluya! Utukufu kwa MUNGU! ukitaka kusoma part 1 http://martmalecela.blogspot.com/2015/01/fahamu-undani-wa-vita-kati-ya-israel-na.html Imechapishwa na Martin Malecela kwa 21:31:00 PICHA MAARUFU YA SAFARI YA MSAFIRI Je umewahi kuangalia filamu maarufu ya safari ya msafiri? angalia hii hapa kwa lugha ya kiswahili KAMA UNA MAONI YOYOTE NIANDIKIE HAPO ...
"2018-08-18T18:41:37"
http://martmalecela.blogspot.com/2015/01/fahamu-undani-wa-vita-kati-ya-israel-na_7.html
[ -1 ]
RAHA ZA PWANI BLOG: DK.SHEIN AMALIZA ZIARA KUSINI UNGUJA AKUTANA NA WATENDAJI WA AIZARA YA AFYA. DK.SHEIN AMALIZA ZIARA KUSINI UNGUJA AKUTANA NA WATENDAJI WA AIZARA YA AFYA. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamu wa Kwanza wa Rais wa ZanzibarMaalim Seif Sharif Hamad. Baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya wakimsikiliza Dk.Shein. Baadhi ya Viongozi na watendaji katika ofisi mbali mbali za Mkoa wa Kusini Unguja,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa na mazungumzo na watendaji hao katika mkutano wa majumuisho ya ziara aliyoifanya katika Mkoa wa Kusini Unguja,mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,Wilaya ya Kati Unguja. Akiwahutubia wananchi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (katikati) akifuatana na viongozi na kuingia katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu katika mkutano wa watendaji wa Ofisi za Serikali Mkoa wa Kusini Unguja, katika mkutano wa majumuisho uliofanyika Chuoni hapo jana.baada ya kumaliziki kwa ziara ya Rais katika Mkoa huo.
"2017-08-21T10:27:08"
http://saidpowa.blogspot.com/2012/05/normal-0-false-false-false-en-us-x-none.html
[ -1 ]
HEKIMA ZA BADI: Kafulila akalia kuti kavu NCCR.Wafikiria Kumvua Ubunge Kafulila akalia kuti kavu NCCR.Wafikiria Kumvua Ubunge Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi),David Kafulila MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, ambaye Desemba 8 mwaka huu alienguliwa katika nafasi ya ukatibu mwenezi, huenda akavuliwa uanachama. Habari zilizolifikia gazeti hili jana zimeeleza kuwa mbali na kuvuliwa wadhifa huo, mbunge huyo, sasa anakabiliwa na hatua nyingine ngumu zaidi kisiasa, baada ya uongozi wa chama hicho kutaka kumvua uanachama. Kwa mujibu wa habari hizo, hatua hiyo imepangwa kufikiwa Jumamasi hii, wakati Halmashauri Kuu ya chama hicho itakapoketi kwa dharura jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali ikiwamo, suala la Kafulila. Katibu mkuu wa NCCR Mageuzi Samwel Ruhuza alithibitisha jana maandalizi ya kikao hicho cha dharura lakini, akasema agenda zake hazijapangwa. "Ni kweli Halmashauri kuu imeitishwa kwa dharura Jumamosi hii jijini Dar es Salaam na baadhi ya wajumbe wameanza kufika," alisema Ruhuza na kuongeza: “Mkutano utafanyika keshokutwa (Jumamosi) lakini bado hatujapanga eneo tutakapofanyia. Tukipanga tutawajulisha waandishi wa habari,” alisema Ruhuza. Alipoulizwa iwapo moja ya ajenda za mkutano huo ni kumjadili Kafulila, katibu mkuu huyo alisema kwamba hawezi kulizungumzia suala hilo sasa hadi muda mwafaka utakapowadia. Chanzo cha habari ndani ya chama hicho kimeeleza kuwa kanuni za nidhamu na usuluhishi za NCCR ukurasa wa 49, jedwali la saba kipengele cha kwanza na cha pili, zinaonyesha kuwa Kafulila anaweza kutimuliwa uanachama na huo baada ya kuondolewa uongozi. Kwa mujibu wa chanzo hicho "Mtu yoyote anayetoa siri za chama nje ya vikao kama ni mara ya kwanza atapewa karipio kali au kuvuliwa uongozi na endapo akirudia mara ya pili, anavuliwa uanachama." Vyanzo zaidi vilidokeza kwamba ni kosa kwa mwanachama kumtuhumu kiongozi au mwanachama mwenzake kupitia vyombo vya habari (nje ya vikao vya chama) na kwamba, kufanya hivyo ni sawa na kukihujumu chama. “Kafulila alitakiwa kupingana na Mbatia (Mwenyekiti) ndani ya vikao vya chama na siyo katika vyombo vya habari na sio yeye tu, wale wote waliohusika kufanya jambo hilo nao watahusishwa”, kilisema chanzo hicho na kuongeza: “Suala hili karibu litafikia tamati na kumaliza mvutano ndani ya chama; Kafulila kavunja kanuni nyingi za chama sijui itakuwaje ngoja tusubiri uamuzi.” Kauli ya Ruhuza Awali, akizungumza na gazeti hili Ruhuza alisema hawezi kuzungumza mambo ya ndani ya chama kwa kuwa kwa kufanya hivyo naye atakuwa amevunja kanuni na taratibu za chama. “Ninachoweza kuhoji ni kitendo cha Kafulila kuzungumza na vyombo vya habari juu ya barua niliyompa, kulikuwa na ulazima gani wa kuzungumza habari hizo?,” alihoji Ruhuza. Alisema barua hiyo alimuandikia tangu Desemba 8 mwaka huu, lakini iweje taarifa za yeye (Kafulila) kuvuliwa uongozi zianze kuibuka baada ya kukabidhiwa barua hiyo. “Nashindwa kuelewa amezipeleka katika vyombo vya habari kwa mtizamo gani, mimi ningeweza kuwaita waandishi na kuwaeleza suala hilo lakini niliona halina maana yoyote,” alisema Ruhuza. Ruhuza alisema kutokana na madaraka aliyopewa kikatiba, anaweza kuteua wajumbe wa Sekretarieti au kuwaengua bila kushauriana na mtu yoyote. “Nina mpango wa kuiboresha hii idara (Uenezi) ili kuipa makali, atakapoteuliwa mtu mwingine wa kuziba nafasi hiyo vyombo vya habari vitaelezwa,” alisema Ruhuza Alipoulizwa kuhusu hatma ya Kafulila, alisema suala hilo hawezi kulizungumza bali linaweza kujadiliwa katika vikao vya ndani vya chama. Mbatia Akizungumza na Mwananchi Mbatia alisema hawezi kuzungumza masuala ya utendaji wa chama katika vyombo vya habari na kutaka atafutwe Katibu Mkuu, ili alizungumzie suala hilo. “Mambo ya chama siyazungumzi katika vyombo vya habari nayazungumza katika vikao vya chama na nikifanya hivyo, nitakuwa nimekwenda nje ya kanuni na taratibu za chama,” alisisitiza Mbatia. Kauli ya Kafulila Kwa upande wake Kafulila alisema anachofahamu ni kwamba, mkutano wa Nec utakutana Februari 3, mwaka 2012 na katika mkutano huo, Mbatia ndiye atatakiwa kutoa maelezo ya ajenda iliyoibuliwa katika mkutano wa Nec uliofanyika Novemba 5 mwaka huu kama ni mpinzani ama kibaraka wa CCM. “Wajumbe wa Nec walionyesha kutokuwa na imani na Mbatia tangu mkutano wa Nec wa mwezi uliopita, na walimtaka awasilishe utetezi wake kwa Katibu Mkuu , utetezi ambao utajadiliwa katika kikao cha mwakani,” alisema Kafulila. Alipoulizwa kuhusu kuzungumza mambo ya ndani ya chama katika vyombo vya habari Kafulila alihoji, “Mambo gani hayo ninayozungumza na vyombo vya habari? Chama ni vikao kaka, wewe muulize Ruhuza kama Mbatia ameshawasilisha utetezi wake”. Kutokana na hali hiyo huenda mkutano huo ukaibua sura mpya ndani ya chama hicho kutokana na kwamba kuna baadhi ya wajumbe walionyesha kutokuwa na imani na Mbatia tangu katika mkutano wa NEC ulimalizika hivi karibuni. Katika hatua nyingine Ruhuza amesema hali ya siasa ndani ya chama hicho sasa ni shwari na kwamba kitaendelea kuwashughulikia wanachama wake wanaoonekana kuwa ni kikwazo kwa kutengeneza makundi yenye lengo la kukibomoa. Alisema kuenguliwa kwa Mbunge huyo ni adhabu tosha na kwamba chama hicho kitaendelea kufanya mabadiliko makubwa ya uongozi. Alisema chama cha NCCR ni chama kikongwe hapa nchini na kwamba wanataka kukijenga ili kiwe imara ndio mana wameamua kufanya mabadiliko ya uongozi ndani ya chama na kwamba kwa kuanzia wameanza katika nafasi ya Katibu Uwenezi kwa kumuondoa katika nafasi hiyo. “Chama chetu hakiwezi kuyumbishwa na watu wachache na kwamba tumeamua kufanya mabadiliko ambayo sasa tunatengua baadhi ya vitengo ndani ya chama na kuweka uongozi mpya ambao utawezesha kuinua chama,” alisema Ruhuza. Aidha Ruhuza alifafanua kwamba kutokana na kazi ya ukatibu Uwenezi ndani ya chama kuhitaji muda mwingi kutekeleza majukumu yake ya kazi wameamua kumuondoa Mbunge huyo katika nafasi yake iliaweze kupewa mtu ambae atafanya kazi hiyo kwa muda wote wa kazi. “Kama unavyo fahamu Kafulila ni Mbunge na anamajukumu mengi katika jimbo lake sasa hatuwezi kuendelea na nafasi hiyo ambayo inahitaji mtu wa kufanya katika muda wote wakazi ndio mana tumeamua kumpumzisha,” alisema Hata hivyo Katibu Mkuu huyo alisema suala la Kafulila sasa limekwisha na haipaswi tena kulizungumzia kwa sababu tayari chama kimeshatekeleza majukumu yake kwa kufuata Katiba ya chama hicho. Posted by AMANI BILA YA HESHIMA NA KIPATO NI KAZI BURE at Thursday, December 15, 2011
"2017-09-25T20:36:48"
http://darusi2008.blogspot.com/2011/12/kafulila-akalia-kuti-kavu-nccrwafikiria.html
[ -1 ]
KUPPET Yatishia Kurejea Mahakma Dhidi Ya Mkataba | Radio Taifa Kimataifa Watangazaji Zinga La Asubuhi Top Mashariki Afya ya Uzazi Mali Shambani KUPPET Yatishia Kurejea Mahakma Dhidi Ya Mkataba February 26, 2016 April 26, 2018 Lilian Njeri contracts, KUPPET Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo-KUPPET kimetishia kuelekea mahakamani kuzuia mipango ya serikali ya kutathmini utendakazi wa walimu. Chama hicho kimesema serikali kupitia tume ya kuajiri walimu TSC haijashauriana kikamilifu na wadau husika. Naibu katibu mkuu wa chama cha KUPPET, Moses Nthurima amesema vyama vya KUPPET na KNUT havitakubali swala la kuwatathmini walimu hadi vitakapohusishwa kikamilfu katika shughuli hiyo. Nthurima pia amesema serikali ni sharti iongeze mishahara ya walimu kabla ya kuafikia makubaliano kuhusu swala la kusaini kandarasi za utendakazi. Wakati huo huo Nthurima ameshtumu serikali kwa kutowashughulikia walimu ipasavyo hususan swala la nyongeza ya mishahara na marupurupu ya walimu. Mthurima alisema hayo katika shule ya upili ya Wiyumiririe kaunti ya Laikipia wakati wa uchaguzi wa maafisa chama cha KUPPET tawi la kaunti hiyo. Sambaza Kwenye Mtandao Wa Kijamii: Share on FacebookShare on TwitterShare on Google+ ← Ngilu Awasihi Wakenya Kutekeleza Haki Zao Kwa Kujisajilisha Kupiga Kura KRA Yatwaa Makasha 16 Ya Sukari Katika Bandari Ya Mombasa → Wawakilishi Wa Wodi Malindi Wamtaka Waziri Dan Kazungu Kujiepusha Na Masuala Ya Kisiasa July 6, 2016 toepista nabusoba Comments Off on Wawakilishi Wa Wodi Malindi Wamtaka Waziri Dan Kazungu Kujiepusha Na Masuala Ya Kisiasa Rais Kenyatta Atia Saini Miswada Iliopitishwa Na Bunge April 1, 2016 Lilian Njeri Comments Off on Rais Kenyatta Atia Saini Miswada Iliopitishwa Na Bunge Wamalwa ahimiza ushirikiano baina ya Serikali ya Kitaifa na Kaunti February 20, 2018 John Madanji Comments Off on Wamalwa ahimiza ushirikiano baina ya Serikali ya Kitaifa na Kaunti Sikiliza Redio Advise for Playing Matches Across the internet There is not anything proved to be better in order to do using your best... Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wakutana Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi waA� NASA Raila Odinga wamekutana na kushauriana katika jumba la... Raila Odinga akutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa rais mstaafu Daniel Arap Moi nyumbani kwake Kabarak Kiongozi wa upinzani Raila Odinga jana alikutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa rais wa taifa... Mwanamke anayeshukiwa kuogoza genge la majambazi katika mitaa ya kifahari jijini Nairobi afikishwa mahakamani Mwanamke anayeshukiwa kuongoza genge la majambazi ambao wamekuwa wakitekeleza A�wizi katika mitaa ya kifahari jijini... Mbadi ataka makamishna waliosalia kwenye tume huru ya uchaguzi na mipaka kuondoka mara moja Mwenyekiti wa kitaifa wa chama cha ODM John Mbadi amesema makamishna waliosalia kwenye tume huru... Twitter Tweets Powered By Weblizar About Radio Taifa Other Stations Pwani FM Coro FM Kitwek FM Ingo FM Nosim FM Mwatu FM Iftin FM Mwago FM Channel1 TV
"2018-05-21T08:43:19"
http://radiotaifa.co.ke/index.php/kuppet-yatishia-kurejea-mahakma-dhidi-ya-mkataba/
[ -1 ]
VIDEO: Chelsea na Liverpool walilazimishana sare ya 1-1 na msimamo wa EPL ulivyo – Millardayo.com VIDEO: Chelsea na Liverpool walilazimishana sare ya 1-1 na msimamo wa EPL ulivyo Usiku wa January 31 Liverpool waliwakaribisha Chelsea katika uwanja wao wa Anfield kucheza mchezo woa wa 23 wa Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017, Liverpool waliingia katika mchezo huo staa wao Saido Mane akiwa kaanzia katika benchi. Sadio Mane alikuwa benchi katika mchezo huo uliyomalizika kwa sare ya 1-1 kutokana na kutokuwa fiti kwa asilimia 100, hivyo alikuwa benchi akiwa kawekewa barafu lakini aliingia dakika ya 75 kuchukua nafasi ya Philippe Coutinho. Chelsea ndio walikuwa wa kwanza kufunga goli dakika 25 kupitia kwa David Luiz aliyefunga goli hilo kwa mpira wa adhabu, ila Liverpool walisawazisha goli hilo dakika ya 58 kupitia kwa Georginio Wijnaldum na kuufanya mchezo huo umalizike kwa sare ya 1-1. Msimamo wa EPL ulivyo kwa sasa baada ya mechi za January 31 2017 Matokeo ya mechi za EPL zilizochezwa usiku wa January 31 2017. #EPL pic.twitter.com/r6wrPLEeWa — millard ayo (@millardayo) January 31, 2017 ← Previous Story KRC Genk imetolewa nusu fainali, Samatta kashindwa kumaliza game baada ya kuumia Next Story → Dirisha la usajili la January limefungwa rasmi, baadhi ya waliosajiliwa kabla ya kufungwa Kupoteza World Cup 2018 hakujawafanya Croatia wasipokelewe kishujaa Tazama LIVE !!! Press Conference ya Ronaldo akiwa Juventus
"2018-07-17T11:24:36"
http://millardayo.com/ch1ls/
[ -1 ]
Kombe la Dunia 2018 | DW Intaneti ilivyochangamka na Kombe la Dunia Ufaransa ndio mabingwa kombe la dunia 2018 Fainali za kombe la dunia 2018 zakurubia kumalizika Urusi Croatia imetinga katika fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yao baada ya bao la ushindi katika muda wa ziada la Mario Mandzukic kuizamisha England kwa mabao 2-1 Hatuhitaji kuwa na Salah Kikosini - Gernot Rohr Mchezo mzuri wa Nigeria umewafanya mashabik waanze kufikiria kuhusu ushindi wa Kombe la Dunia. Kocha Mkuu wa Nigeria Gernot Rohr alizungumza na DW. Makocha wa Premier League waimarisha kikosi cha England Utandawazi katika ligi ya England mara nyingi umelalamikiwa kuzuwia mafanikio ya wachezaji wa ndani lakini uwepo wa makocha kama Pep Guardiola na Juergen Klopp umesababisha kuimarisha nafasi ya Uingereza kombe la dunia. Loew azungumzia nafasi za timu ya Ujerumani Zimebaki siku tatu tu kabla ya kuanza tamasha kubwa kabisa la kandanda duniani. Kombe la Dunia la FIFA 2018 linaanza Urusi Alhamisi tarehe 14. Tayari timu zinaendelea kuwasili Urusi na kuanza kijifahamisha na mazingira Viwanja: Kombe la Dunia Urusi 2018 Kombe la Dunia Urusi litachezwa katika viwanja 12 kati ya mwezi Juni 14 na Julai 15. Ifuatayo ni orodha ya viwanja vitakavyotumika kwenye kundumbwendumbwe hicho. Maneno 11 ya Kijerumani unayopaswa kuyajuwa kwa ajili ya Kombe la Dunia Jifunze kuzungumza kama bingwa wa dunia! Wakati Kombe la Dunia likianza tarehe 14 Juni hadi 15 Julai, ni wakati wa kupiga msasa msamiati wetu wa soka - na Wajerumani wanauelezea mchezo huu kwa njia ya ubunifu kabisa. Matokeo ya Kombe la Dunia na jedwali Mfahamu beki wa kulia wa Ujerumani Joshua Kimmich Kiungo https://p.dw.com/p/2yJj6 Wajue wachezaji waliochaguliwa na Loew Je, kipa bora zaidi wa Ujerumani atakuwa katika hali nzuri kucheza? Hata ingawa Neuer hakucheza katika sehemu kubwa ya msimu kwa kuwa majeruhi, Joachim Löw amemjumuisha nahodha wake huyo kikosini akitaraji kuwa atapona kikamilifu. Mechi za Kimataifa: 74 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 2 Kipa huyo wa Barcelona amekuwa chaguo la Löw wakati Neuer akiwa mkekani. Huku nahodha wa Ujerumani akiwa amerejea, ter Stegen huenda akarejea tena kwenye benchi, lakini pia huenda pia akaanza katika kikosi cha kwanza wakati Neuer akiyanoa makali Mechi za kimataifa: 19 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Kipa huyo wa Leverkusen shot stopper ni mwingine katika kikundi cha makipa wa Ujerumani. Ijapokuwa amekuwa na msimu mzuri, yuko nyuma ya Neuer na ter Stegen katika msimamo wa ubora. Mechi za kimataifa: 6 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Trapp ndiye aliyenufaika sana na pengo la Neuer kuwa nje. Hakuwa mafanikio mengi sana msimu uliopita, aliichezea Paris Saint-Germain mechi 12 tu na kufanya makosa kadhaa makubwa. Lakini amechaguliwa kwa sasa. Mechi za kimataifa: 3 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Mchezaji huyo wa Bayern Munich ndiye beki bora zaidi wa Ujerumani, na mmoja wa majina ya kwanza kwenye orodha ya Loew. Lakini Boateng alipata maumivu ya paja dhidi ya Real Madrid mwezi Machi, na kutilia shaka kama atakuwa shwari kucheza Kombe la Dunia. Mechi za kimataifa: 70 / Mabao: 1 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 2 Anashirikiana na Boateng katika safu ya ulinzi katika klabu na timu ya taifa na ni mmoja wa wachezaji muhimu wa Loew. Swali sio kama atakuwa katika timu ya kwanza katika Kombe la Dunia, lakini nani ataanza na yeye. Mechi za Kimataifa: 63 / Mabao: 5 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 1 Beki huyo wa Chelsea anaaminiwa na Loew, maana ameshirikisha katika mechi zote za kufuzu katika dimba la Dunia. Huenda kimsingi akawa mchezaji wa akiba kwa Boateng na Hummels. Mechi za kimataifa: 23 / Mabao: 1 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Mchezaji huyo wa Bayer Leverkusen huenda akawa mbadala kukiwa na majeruhi. Tah, mwenye umri wa miaka 22 alikuwa na msimu wa matatizo ya majeraha kwa Leverkusen, lakini anaonekana kuwa mchezaji wa usoni. Hata hivyo, huenda akawa mmoja wa majina manne yatakayoachwa ifikapo Juni 4 wakati timu itapunguzwa hadi 23. Alikuwa na msimu mzuri wa kwanza katika klabu ya Bayern na ana uzoefu wa kucheza pamoja na Hummels na Boateng. Süle mwenye umri wa miaka 22 sasa anatarajiwa kucheza Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza. Mechi za Kimataifa: 9 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Uhamisho wake kutoka Borussia Dortmund hadi Borussia Mönchengladbach hakujaathiri kabisa nafasi za Ginter katika timu ya taifa. Mchezaji huyo wa akiba ndiye alikuwa mdogo zaidi katika kikosi cha 2014, lakini hakucheza hata dakika moja katika dimba hilo. Atatumai kucheza mara hii lakini huenda pia akaachwa nje. Mechi za kimataifa: 17 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 1 Beki huyo wa Bayern sio tu beki bora zaidi wa kulia katika timu ya Ujerumani, lakini pia mmoja wa mabeki bora zaidi wa kulia duniani. Loew atamhitaji akiwa kwenye hali yake bora zaidi katika Kombe la Dunia. Mechi za kimataifa: 27 / Mabao: 3 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Atacheza katika ligi ya daraja la ili msimu ujao baada ya Cologne kushushwa ngazi kutoka Bundesliga. Kabla ya hapo, Hector anatarajiwa kucheza katika Kombe la Dunia kwa mara yake ya kwanza akiwa beki wa kushoto. Mechi za kimataifa: 36 / Mabao: 3 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Licha ya kucheza kwa maa ya kwanza katika timu ya taifa kwenye Kombe la Mabara mwaka jana, mchezaji huyo wa Hertha Berlin anajikuta katika nafasi nzuri ya kwenda Urusi. Mchezaji huyo mwenye umri wa 26 anaweza kuwa wa akiba katika nafasi ya Hector. Kroos anatarajiwa kuwa nguzo muhimu katika safu ya kiungo ya mabingwa hao watetezi. Kiungo huyo wa The Real Madrid amekuwa akichaguliwa moja kwa moja katika timu ya Ujerumani kwa muda sasa. Mechi za kimataifa: 82 / Mabao: 12 / Mashindano Kombe la Dunia: 2 Akiwa na umri wa miaka 31, kiungo huyo wa Juventus huenda asiwe katika kiwango chake bora. Lakini uongozi wake ndio anaoupenda na uwepo wake uwanjani utafanya bila shaka achaguliwe katika timu ya taifa. Mechi za kimataifa: 73 / Mabao: 7 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 2 Alikosa kushiriki katika Kombe la Dunia la 2014 nchini Brazil na katika Euro 2016 nchini Ufaransa. Baada ya kuanza katika kila mechi za Kombe la Mabara 2017, Rudy anajaribu kumshawishi Loew hatimaye kumleta katika mashindano makubwa. Mechi za kimataifa: 24 / Mabao: 1 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Kiungo huyo wa Manchester City hatimaye yuko hali nzuri baada ya kukosa mashindano mawili makuu kutokana na majeraha tofauti. Ni kiungo anayekaa nyumasana na anayeweza kufanya mambo kuwa sawa katikati mwa uwanja Mechi za kimataifa: 24 / Mabao: 4 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Kiungo huyo wa Arsenal ni mmoja wa wachezaji bora wabunifu duniani, lakini mara kwa mara anakosolewa kwa kile kinachoonekana kupotea katika mechi au nyakati muhimu. Atakuwa mmoja wa wachezaji wa Loew nchini Urusi Mechi za kimataifa: 89 / Mabao: 22 / Kombe la Dunia: 2 "Müller hucheza kila mara," kocha wa zamani wa Bayern Louis Van Gaal alisema wakati mmoja. Sio mshambuliaji katika hali halisi, lakini kawaida yeye huonekana kujua namna ya kufunga mabao. Ana uzoefu wa Kombe la Dunia pia. Alikuwa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2010 na akawa wa tatu 2014. Mechi za kimataifa: 90 / Mabao: 38 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 2 Nyota huyo mwenye umri wa miaka 29 hatimaye anaonekana kuwa atacheza dimba lake la kwanza la Dunia. Anapaswa tu kukamilisha mazoezi yake katika kambi ya Tyrol bila kujiumiza mwenyewe... Mechi za Kimataifa: 29 / Mabao: 9 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Mchezaji mwingine anayependwa na Loew, Draxler alikuwa nahodha wa Ujerumani katika Kombe la Mabara mwaka jana. Baada ya kutopata muda wa kutosha wa kucheza katika timu yake ya Paris Saint-Germain msimu huu, Draxler analenga kuichukua nafasi yake katika kiwango cha kimataifa. Mechi za kimataifa: 42 / Mabao: 6 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 1 Kiungo huyo mpya wa Bayern Munich alionyesha mchezo mzuri katika Schalke msimu huu, baada ya kutamba katika Kombe la Mabara mwaka jana. Hata hivyo huenda akawekwa kwenye benchi wakati mastaa wa Ujerumani watakaporudi kikosini. Mechi za kimataifa: 14 / Mabao: 6 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Kasi huenda likawa jina la katikati la Leroy Sané. Atampa Loew kasi na ujuzi kwenye eneo la pembeni mwa uwanja baada ya kushinda taji la Ligi ya Premier Manchester City. Mechi za kimataifa: 11 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Winga huyo mwenye umri wa miaka 22 alipewa majukumu zaidi katika timu ya Leverkusen msimu huu. Sasa analenga kuiimarisha nafasi yake katika timu ya Loew kwa miaka ijayo. Mechi za kimataifa: 14 / Mabao: 1 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Mshambuliaji huyo wa Leipzig ni mdogo, mwenye kasi na mwenye nguvu tofauti na walivyo washambuliaji wengine wa Ujerumani. Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 22 anaonekana kuwa mshambuliaji nambari moja wa Loew baada ya kushinda tuzo ya mfungaji bora katika dimba la mwaka jana la Kombe la Mashirikisho. Mechi za kimataifa: 12 / Mabao: 7 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0 Mshambuliaji huyo wa Stuttgart ameshuka chini katika orodha ya ubora tangu alipotamba sana katika Euro 2016. Hata wakati akiwa na umri wa miaka 32, bado ni mmoja wa wafungaji bora wa Ujerumani. Lakini anapaswa kuwa katika hali nzuri ili kumshawishi Loew ampeleke Urusi. Mechi za kimataifa: 73 / Mabao: 31 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 1 Mshambuliaji huyo wa Freiburg amewashangaza wengi kwa kujumuishwa katika kikosi cha Loew licha ya kumaliza msimu wa Bundesliga akiwa mfungaji mwenza bora wa Ujerumani akiwa na mabao 15. Petersen hajawahi kuichezea timu ya taifa, lakini atalenga kuisahau penalti aliyopoteza katika Michezo ya Olimpiki mwaka wa 2016 Mechi za Kimataifa: 0 / Mabao: 0 / Mashindano ya Kombe la Dunia: 0
"2018-12-10T08:48:34"
https://www.dw.com/sw/idhaa-ya-kiswahili/kombe-la-dunia-2018/s-43789132
[ -1 ]
LIFESTYLE | FASHION | ENTERTAINMENT: 3/1/14 Gari la Chameleone lakamatwa Kwa kushindwa kulipa Kodi. Mwanamuziki Tajiri kuliko wote Afrika Mashariki Jose Chameleone amenyang'anywa Gari lake aina ya Cadilac Escalade baada ya Kushindwa kulipia Kodi yenye thamani ya jumla ya Shiling Milioni 7 za Uganda. Akizungumza kwa njia ya Simu na Swahili Meadia Group Chameleone alithibitisha kukamatwa kwa gari hilo akiwa anajiandaa na show yake kubwa ya Tubonge na akadai kuwa tatizo sio pesa bali nikwamba URA(Uganda Revenue Authority) walishindwa Kuthibitisha ni vigezo gani walitumia kupata thamani ya kodi ya Shilingi Milioni 7. EMBU MWANGALIE X -GIRLFRIEND WA DRAKE DIAMOND OFF TO NIGERIA AGAIN Diamond na Wema wakiwa Aiport Diamond akiongea na Swahili Media hakutaka kutoa dondoo nyingi ila alisema kuwa tutegemee kuona Colabo na Wasanii wakubwa wa Nigeria kama DBanji na Wiz Kid. Akiwa akiwa ameongozana na Manager wake Babu Tale VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO Timu yaVijimambo inapenda kuwatangazia wadau wake kwa sasa imeanzisha VIJIMMBO RADIO ambayo ipo hewani sasa hivi kwa majaribio kwa hiyo kama utapata nafasi naomba uisikilize kupitia www.vijimamboradio.com na toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na VIJIMMBO RADIO SWAHILI RADIO OFFICIAL DJ D OMMY AACHIA AFRICA'S FINEST Ingawa Yuko Jela Video yake yapata mamilioni ya watazamaji ndani ya siku moja! KIJIWE CHA UGHAIBUNI KUTOKA VIJIMAMBO BLOG KIM KARDASHIAN AND LALA AT CIARA'S BABY SHOWER KISHAKILENA REALITY TV SHOW FIRST EPISODE KISHAKILENA Reality TV Show is geared towards exploring the complexity of life particularly when beautiful girls referred to as ‘Kishakilena’ come under one roof. Though they share cultural heritage they have different personalities that set out serious life dramas. Episode‐#1 establishes the show’s characters by zeroing in on; Jestina, CoCo Diva, Kim, Nusrat and Linda the four complex personalities. JESTINA, an educated and iron lady, cannot stand crazy ideas of her mates particularly on men of their dreams. She gets wild when CoCo DIVA, the crazy party girl, tries to insinuate evil minds to the youngest girl LINDA. CoCo Diva is highly threatened by the natural beauty of sexy KIM. She Cannot also stand NUSRAT, the eldest among them all who has brilliant ideas but fails to execute them. The serious back rash between CoCo Diva and Nusrat steers up the mood of the house. Can the youngest, funny, sexy, music lover and model‐dreamer Linda stand the peer pressure? Enjoy first episode below: BEST CHEF....GREAT SERVICES WITH GREAT AMBIANCE....WITH PATIO (OUTSIDE SITING)-MGAHAWA WA KINYUMBANI NDANI YA WASHINGTON DC! NAFASI ZA KAZI KUTANGAZWA SOON GET YOUR RESUME READY-THE BEST EAST AFRICAN CUISINE IN NORTH AMERICA CHAKULA KITAMU KAMA CHA MAMA Mwanamuziki Mahiri kutoka Tanzania ambaye kwa sasa yuko London anashoot Video ya wimbo wake mpya,Akizungumza na Swahili Media Group amesema kuwa anayofuraha kuweza kufanya kazi na Supermodel anayetikisa jiji la London.Alipoulizwa na Mwandishi wetu je imekuwaje akaweza kumpata model huyo Dimpoz alitabasamu nakusema Siri yake na pia akasema Model huyo ni fan wake mkubwa pia kwani anapenda sana miziki ya Dimpoz ingawa Kiswahili hajui.Dimpoz amewaomba wapenzi wake wakae mkao wakula kwani video hiyo itakuwa ni balaa. OMMY DIMPOZ NA SOFIA SKVORTSOVA KATIKA VIDEO SHOOT MSIBA NEW YORK NA TANZANIA Mtanzania mwenzetu Mama Lulu John Maro Mwaluko amefariki dunia asubuhi ya siku ya Ijumaa tarehe 7 Machi 2014. Mama Mwaluko alikuwa akikaa Queens, New York na alishawahi kuwa mwalimu na alifundisha high school hapa New York. Mama Mwaluko alifariki baada ya kuugua ugonjwa wa saratani yaani kansa. Alikuwa akitibiwa huko katika hospitali ya Calvary huko Bronx, New York. Mama Mwaluko alishawahi kukaa na Marehemu mumewe China na Marekani kama Wanadiplomasia na alishastaafu kufundisha mwaka 2012 na kabla ya kufariki alikuwa mbioni kurejea Tanzania. Mama Mwaluko atakumbukwa na familia yake kama mama, dada, shangazi, mwalimu, mcha Mungu na mama mwenye busara. Katika kuomboleza msiba wa Mama Mwaluko, Watanzania wote tunaombwa kuifariji familia yake na ndugu zake kwa kujumuika nao katika sala na michango katika wakati huu mgumu wa maombolezo. Taarifa zaidi zitafuata baadae lakini kwa sasa mnaweza kuwasiliana na Emma Kasiga kwa simu namba 612-229-4050 Nanna Mwaluko kwa simu namba 347-693-6129 na Camelot Funeral Home kwa simu namba 914-664-8500. Taarifa zaidi za msiba huu zitafuata baadae. Siku ya Jumatano itakuwa ni siku ya kuaga mwili wa Marehemu kuanzia saa tisa na nusu hadi saa mbili za usiku pale Camelot Funeral Home. Anwani ni: Camelot Funeral Home, 174 Stephens Avenue, Mount Vernon, New York, 10550. Wote mnaombwa kufika kumuaga Mama Lulu John Maro Mwaluko na kuifajiri familia yake. Taarifa zaidi za utoaji wa michango ili kufanikisha msiba huu na rambirambi zitafuata baadae.Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amen. Imetolewa na Uongozi - Jumuiya ya Watanzania New York.Deogratius MhellaThe Executive SecretaryNew York Tanzanian Communityc/o Tanzania Mission to the UN307 East 53rd Street, 4th FloorNew York, NY 10022Tel: 201-252-7220Email: info@nytanzaniancommunity.org Posted by Hoyce Temu a communication specialist at the United Nations in Tanzania has been selected as one of the inspirational southern African women and a rising star in the region. Temu has been involved in the social works by helping the communities in various ways and sharing what she has to make the world a better living for everyone. On the International Women’s Day, the MISA announced the first annual MISA’s Women to Watch. MISA is honoring 12 dynamic­­ and inspirational southern African women who embody both the official United Nations theme for International Women’s Day 2014 - Equality for women is progress for all – as well as the theme designated by non-governmental organisations around the world –Inspiring Change. MISA Regional Director, Ms Zoe Titus said, “We chose women who we see as rising stars in the region, women whose achievements to date are a promise of more great work to come, making them women to watch.” WASHINGTON DC-GRAND OPENING SOON ! NAFASI ZA KAZI KUTANGAZWA HIVI KARIBUNI KWETU FASHION DESIGN YAZIDI KUPASUA VICHWA -NDIYO HABARI YA MUJINI! THE CEO WA KWETU FASHION MISSY TEMEKE KATIKA POZI NA MAMODO WAKE MAMA NA MWANA..THE CEO NA KABINTI SPECIAL HATE OR NO HATE....KWETU FASHION DESIGN IS ON FAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAA SERENA WILLIAMS...BALAAAAAAAAAAAAAAAAAA BABY MADAHA AJA NA NGOMA MPYA SHILOLE KUOLEWA NA MWANAMUZIKI MWENZIE? Wasanii wa kizazi kipya Shilole na Nuhu wamesema kuwa wanapendana sana na wako tayari kufunga ndoa. Wakizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds,Nuhu alisema yeye yuko real kwa Shilole ndo maana anampenda sana na wamekuwa kwenye mahusiano kwa mieazi mitatu sasa. Je Ndoa itatokea kweli maana itakumbukwa pia Shilole aliwahi kusema atafunga ndoa na mwanamuziki mwingine Barnaba lakini haijatokea hadi leo.Endelea kutembelea blog yako tutawaletea habari zozote zitakazopatikana kuhusu uhusiano wao. Lil Wayne has not only stomped on the American flag, he's now said F you to Uncle Sam, because we've learned he hasn't paid his taxes -- TO THE TUNE OF MORE THAN 12 MILLION BUCKS! According to a tax lien -- obtained by TMZ -- Weezy failed to pay taxes for 2011 and 2012. For 2011 he owes a staggering $5,843,952. And for the following year, even worse -- $6,311,132. Wayne has had his financial issues. He owed $7 mil for back taxes in 2008 - 9, but he cleared the debt in 2012. He's also had legal issues. In 2012 ... Wayne famously lost a case against Quincy Jones' son after thumbing his nose at the court. A jury socked Wayne for $2.2 mil. Wayne is reportedly worth $135 MILLION. As Weezy says, "You got money and you know it. Take it out your pocket and show it and throw it." Gari la Chameleone lakamatwa Kwa kushindwa kulipa ... SWAHILI RADIO OFFICIAL DJ D OMMY AACHIA AFRICA'S F... BEST CHEF....GREAT SERVICES WITH GREAT AMBIANCE...... OMMY DIMPOZ AFANYA VIDEO NA SUPER MODEL SOFIA SK W... KWETU FASHION DESIGN YAZIDI KUPASUA VICHWA -NDIYO ...
"2017-05-01T04:10:20"
http://dmk411.blogspot.com/2014/03/
[ -1 ]
Rais MAGUFULI akutana na viongozi mbalimbali IKULU - TBC.go.tz Rais MAGUFULI akutana na viongozi mbalimbali IKULU Rais Dkt. JOHN MAGUFULI amekutana na makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya AFRIKA –AfDB-anayeshughulikia masuala ya nishati AMADOU HOTT Ikulu jijini DSM. Rais Dkt. JOHN MAGUFULI amekutana na makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya AFRIKA –AfDB-anayeshughulikia masuala ya nishati AMADOU HOTT Ikulu jijini DSM. Wakati wa mazungumzo yao HOTT ameelezea kuguswa na dhamira ya Rais MAGUFULI ya kuongeza uzalishaji wa umeme wa gharama mnafuu kwa ajili ya kufanikisha mipango mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa viwanda. Kwa upande wake Rais MAGUFULI amesema TANZANIA iko tayari kutoa ushirikiano wakati wowote utakapohitajika kufanya hivyo ili kuhakikisha dhamira hiyo inafanikiwa. Wakati huo huo Rais MAGUFULI amekutana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Bharti Enterprises inayomiliki kampuni ya simu ya Airtel Duniani, SUNIL BHARTI MITTAL na kuzungumzia utendaji wa kampuni hiyo nchini. SUNIL BHARTI MITTAL amesema yuko tayari kuingiza kampuni ya Airtel Tanzania katika soko la hisa la Dar es Salaam ili Watanzania wapate fursa ya kumiliki kampuni hiyo kwa kununua hisa. Aidha Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo nchini JEAN PIERRE TSHAMPANGA MUTAMBA Ikulu jijini Dar es Salaam.
"2017-02-27T08:56:53"
http://www.tbc.go.tz/read/?id=IjE1NDIzIg==
[ -1 ]
FIESTA NDANI YA SINGIDA ILIKUWA HAPATOSHI | Lukwangule Entertainment FIESTA NDANI YA SINGIDA ILIKUWA HAPATOSHI lukwangule 8:54 PM A+ A- Print Email Msanii Ben Pol akiwa jukwaani kuwapagawisha wakazi wa Singida kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Namfua usiku wa kuamkia jana. Dj D Ommy akiwa katika kuhakikisha kuwa kila burudani inayotolewa na wasanii inakuwa katika utaratibu maalum katika usiku wa Tamasha la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa jana. FID Q akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa jana JUX akiwaburudisha wapenzi wa muziki waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Namfua mkoani Singida wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa jana Niki wa pili akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa jana Mkoani Singida Malkia wa Uswazi Snura akiwa na madancer wake katika kuwapagawisha wakazi wa Singida katika usiku wa Tigo Fiesta usiku wa jana katika viwanja vya Namfua Maelfu ya wakazi wa SIngida waliojitokeza kwa wingi kushuhudia Tamasha kubwa la burudani Tigo Fiesta lilifanyika katika viwanja vya Namfua mkoani humo usiku wa jana.
"2017-10-19T12:46:37"
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/fiesta-ndani-ya-singida-ilikuwa.html
[ -1 ]
VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA KUCHUKULIWA HATUA KALI IWAPO WATABAINIKA KUKIUKA TARATIBU ZA KAZI-MAMA SAMIA - JIACHIE VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA KUCHUKULIWA HATUA KALI IWAPO WATABAINIKA KUKIUKA TARATIBU ZA KAZI-MAMA SAMIA HABARI VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA KUCHUKULIWA HATUA KALI IWAPO WATABAINIKA KUKIUKA TARATIBU ZA KAZI-MAMA SAMIA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameiagiza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Nchi kuchunguza na kuwachukulia hatua kisheria na za kinidhamu viongozi na watumishi wa umma ambao wanakiuka taratibu za kazi kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Item Reviewed: VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA KUCHUKULIWA HATUA KALI IWAPO WATABAINIKA KUKIUKA TARATIBU ZA KAZI-MAMA SAMIA Rating: 5
"2016-10-25T03:06:01"
http://michuzijr.blogspot.com/2016/09/viongozi-na-watumishi-wa-umma.html
[ -1 ]
Ya Jux na Vanessa yamefikia hapa... - BongoSwaggz.Com Home / Jux / Vanessa Mdee / Ya Jux na Vanessa yamefikia hapa... Ya Jux na Vanessa yamefikia hapa... Admin 10:05 PM Jux, Vanessa Mdee Msanii wa bongo fleva, Juma Jux mwenye 'hit song' ya 'Unanikamata' amefunguka mazito na kusema yeye na mpenzi wake Vanessa Mdee wapo sawa kabisa hawana ugomvi ila wamemua kufanya hivyo kutokana na madai ya watu kusahau kazi zao za muziki. Jux amefunguka hayo baada ya kuwepo zile tetesi za muda mrefu katika mitandao kijamii kwa kile kinachodaiwa wawili hao kutokuwa na maelewano mazuri kwa sababu ya kuonekana Vanessa Mdee akiwa na mwanaume mwingine anayedaiwa kuwa ndiyo mpenzi wake mpya. "Mimi na Vanessa tupo sawa kabisa, tumeficha uhusiano kwa sababu watu walianza kusahau hadi kazi zetu. Siwezi kuchukia kumuona Vanessa akipiga picha na wanaume kwa sababu ile ni kazi yake, mimi nikikaa na wasichana 10 watu watasema Jux ana-shoot lakini Vee akipiga picha na wanaume 15 utasikia 'malaya' yule....Wasichana kwenye 'Industry' wako wachache inabidi tuwasapoti....siwezi ku-mind kisa kapiga picha na Ice Prince". Alisema Jux Ya Jux na Vanessa yamefikia hapa... Reviewed by Admin on 10:05 PM Rating: 5
"2017-09-24T05:08:52"
http://www.bongoswaggz.com/2017/04/ya-jux-na-vanessa-yamefikia-hapa.html
[ -1 ]
LUFUNJISHO 14 Sukulu wa Gileada, ku Patterson, mu New York Masukulu a kufunda pe Lesa anema bingi ku Bakamonyi ba kwa Yehoba. Aba bepana kwingila kimye kyonse mu mwingilo wa kusapwila Bufumu bebanengezhezha masukulu akwibakwasha “kwingila bulongo mwingilo.”—2 Timoti 4:5. Sukulu wa Mwingilo wa Bupainiya. Panyuma ya kwingila mwaka umo mu mwingilo wa bupainiya bwa kimye kyonse, mulongo nangwa nyenga wakonsha kutanwa ku sukulu wa moba atanu na jimo wikela pa Nzubo ya Bufumu iji pepi. Uno sukulu waikelako kukwasha bapainiya kwikala na bulunda bwakosa ne Yehoba, kuwamisha busendwe bwabo mu mwingilo, ne kwibakwasha kutwajijila mu uno mwingilo mu bukishinka. Sukulu wa Basapwishi ba Bufumu. Uno sukulu wa bañondo babiji waikelako kufunjisha bapainiya bapijilwa benengezha kuya na kwingijila konse kuji kukajilwa. Nabo kijitu nobe babena kwamba’mba: “Amiwa bano! Ntumai!” byonka byaubile Yesu Kilishitu, Musapwishi mwine wayukisha. (Isaya 6:8; Yoano 7:29) Kufuma pa nzubo ne kuya na kwingijila kungi kwavwangamo ne kufunda kwikala bwikalo bwapela. Bisho, nkilo ne kajo byakonsha kupusana bingi na byo apijilwa ko afuma. Kimo kimye kikebewa ne kufunda mulaka wakatataka. Uno sukulu ukwasha bonsetu, bakatanda ne bazhike ne baji mu masongola, baji na myaka ya kusemwa kutendekela pa 23 kufika pa 65 kwikala na bipangwa bya mupashi bya kwibakwasha mu mwingilo wabo ne kufunda bintu bibalengela kwibengijisha bingi kwi Yehoba ne jibumba janji. Sukulu wa Baibolo wa Gileada wa Watchtower. Mu Kihebelu kyambo kya “Gileada” kilumbulula “Mulumba wa Bukamonyi.” Uno sukulu watendekele mu 1943. Baana ba sukulu kukila pa 8,000 bapwisha uno sukulu bebatuma mu mwingilo wa bumishonale na kushimuna bukamonyi “kufika kwapela ntanda.” Kabiji bengila bingi bulongo. (Byubilo 13:47) Bapwishishe uno sukulu byo bafikile kimye kitanshi mu Peru, kechi mwajingapo kipwilo ne. Pano luno muji bipwilo kukila pa 1,000. Bamishonale byo bafikile mu kyalo kya Japan, Bakamonyi kechi bakijile pa jikumi ne. Lelo jino muji Bakamonyi kukila pa 200,000. Uno sukulu wa Gileada wa bañondo batanu mwavwangwa kufunda Mambo a Lesa bulongo. Baji mu mwingilo wa bupainiya bwiikajila nangwa bamishonale, bengijila pa ofweshi wa musampi, ne baji mu mwingilo wa bukalama bwa mwanzo bebeta ku uno sukulu ko bebafunjisha bulongo bya kwibakwasha kushikimana ne kutwala mwingilo wa kusapwila palutwe. Mambo ka o kwaikela Sukulu wa Mwingilo wa Bupainiya? Bañanyi bo banengezhezha Sukulu wa Basapwishi ba Bufumu? Kufunjisha Bamwingilo ba Bufumu Nga masukulu a Lesa akwasha byepi bamwingilo ba Bufumu kwingila mingilo yabo?
"2018-04-20T21:42:24"
https://www.jw.org/kqn/mabuku/mabuku/kyaswa-muchima-wa-yehoba/masukulu-a-bapainiya/
[ -1 ]
Watanzania Milioni 23 kupata namba ya utambulisho wa vitambulisho vya uraia ifikapo Desemba 31, 2016. - TUANGAZE BONGO Home BONGO FLEVA BONGO MOVIES BURUDANI ELIMU HABARI MAPENZI SIASA SKENDO Watanzania Milioni 23 kupata namba ya utambulisho wa vitambulisho vya uraia ifikapo Desemba 31, 2016. Watanzania Milioni 23 kupata namba ya utambulisho wa vitambulisho vya uraia ifikapo Desemba 31, 2016. Reviewed by TUANGAZE BONGO on 22:07 Rating: 5
"2017-10-17T18:34:05"
http://www.tuangazebongo.com/2016/08/watanzania-milioni-23-kupata-namba-ya.html
[ -1 ]
018-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Mlango Wa Twahara: Kutahiri Ukurasa Wa Kwanza > Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Mlango Wa Twaharaah > 018-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Mlango Wa Twahara: Kutahiri 018-Kutahiri Maana Na Hukmu Yake Kutahiri (katika Lugha ya Kiarabu) ni kisoukomo (Maswdar) cha kitenzi ,(ختن)yaani amekata. Na kutahiriwa ni ima kukata ngozi inayofunika kichwa cha uume, au kukata ngozi iliyopo upande wa juu wa utupu wa mwanamke (ukeketaji). [Angalia Tuhfat Al-Mawduwd cha Ibn Al-Qayyim (uk 106, 132) na Al-Majmuu (1/301)]. Ama kwa upande wa hukmu yake, Maulamaa wana rai tatu: 1- Ni wajibu kwa mwanamume na mwanamke. 2- Ni jambo mustahabu kwao. 3- Ni wajibu kwa mwanamume, lakini kwa mwanamke ni mustahabu. Ibn Qudaamah katika kitabu cha Al Mughny (1/85) anasema: “Ama kutahiriwa, hilo ni wajibu kwa wanaume na ni ukirimio kwa upande wa haki ya wanawake na wala si lazima kwao. Hii ndio kauli ya Maulamaa wengi….” Naye An-Nawawy katika kitabu cha Al Majmu’i (1/301) anasema: “Na madhehebu sahihi kwa matni ya Ash-Shaafi’iy na yaliyokubaliwa kwa sauti moja na Jamhuri ya Maulamaa ni kuwa kutahiriwa ni wajibu kwa wanaume na wanawake…” Ninasema (Abuu Maalik): “Ama kutahiriwa mwanamume, inavyoonekana ni kuwa jambo hilo ni la lazima kutokana na dalili zifuatazo: 1- Hilo ni mila ya Ibraahiym (‘Alayhis Salaam). Kwani imepokelewa toka kwa Abuu Hurayrah kwamba Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) anasema: ((أختتن إبراهيم خليل الرحمن بعد ما أتت عليه ثمانون سنة)) ((Kipenzi cha Ar-Rahmaan Ibraahiym alitahiriwa baada ya kufikisha miaka 80)). [Hadiyth Swahiyh. Imefanyiwa “ikhraaj” na Al-Bukhaariy (6298) na Muslim (370)]. Na Allaah Mtukufu Anamwambia Rasuli Wake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): ((ثُمَّ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ أَنِ اتَّبِعْ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفاً وَمَا كَانَ مِنَ المُشْرِكِينَ)) ((Kisha Tukakufunulia ya kwamba ufuate mila ya Ibraahiym mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina)).[ An-Nahl (16:123]. 2- Ni kwa yale yaliyopokelewa kwamba Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alimwambia mtu mmoja aliyesilimu: ((ألق عنك شعر الكفر واختتن )) ((Jitakase na taka za ukafiri na utahiriwe)). [Al-Albaaniy ameifanya Hadiyth Hasan kwa Hadiyth nyingine kama hii iliyopokelewa na Swahaba mwingine. Imefanyiwa “ikhraaj” na Abuu Daawuud (356) na Al-Bayhaqiy (1/172). Katika Sanad yake kuna wapokezi wawili wasiojulikana pamoja na mkatiko. Lakini Al-Albaaniy amesema kuwa ni Hadiyth Hasan kwa Hadiyth nyingine kama hii iliyopokelewa na Swahaba mwingine aliyoinasibishia katika Swahiyh ya Abuu Daawuud (383). Na katika “Al-Irwa’i” (79), “mimi sikuviona”. An-Nawawiy na Ash-Shawkaaniy wamesema kuwa ni Dhwa’iyf]. 3- Kwamba kutahiriwa ni katika ‘ibaadah ya Waislamu, na ni sifa yao maalumu inayowatofautisha na Mayahudi na Wakristo. Na kwa ajili hiyo, imekuwa ni wajibu kama zilivyo ‘ibaadah nyinginezo. 4- Ni kwamba kutahiri ni kukata sehemu ya mwili, na hili ni haramu, na la haramu halihalalishwi ila kwa la wajibu. Haya ndio madhehebu ya Maalik, Ash-Shaafi’iy na Ahmad. Lakini Maalik amelichukulia msimamo mkali na kusema: “Mtu ambaye hakutahiriwa, basi hafai kuwa Imaam na ushahidi wake haukubaliwi”. Na Maulamaa wengi wamenukulu toka kwa Maalik akisema kuwa hilo ni Sunnah. Lakini kuacha Sunnah kwa mujibu wa Maalik, ni dhambi. [Tuhfat Al-Mawduwd (uk 113)]. Ama kwa mwanamke, bila shaka sharia ya kutahiriwa amewekewa. Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) anasema: (( إذا التقى الختانان وجب الغسل)) ((Zinapokutana tupu mbili zilizotahiriwa, ni lazima kukoga)).[Hadiyth Swahiyh. Ibn Maajah ameitoa kwa tamko hili (611). Na katika Swahiyh Mbili, imekuja kwa tamko la: ((Na utupu kuugusa utupu, hakika imepasa kuoga))]. Na "Al-Khitaanaani" ni mahala pa kukatwa katika dhakari ya kijana na utupu wa msichana. Na hii yaonyesha kuwa wasichana walikuwa wakikeketwa. Kuna Hadiyth zilizopokelewa juu ya wajibu wa kumkeketa mwanamke. Hadiyth zote hizo zimekosolewa. Kati ya Hadiyth hizo ni ile ya Ummu ‘Atwiyyah aliyesema kwamba kuna mwanamke fulani aliyekuwa akikeketa mjini Madiynah. Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akamwambia: ((لا تنهكي، فإن ذلك أحظى للمرأة وأحب إلى البعل)) ((Usikate sana, kwani hilo linampa hadhi zaidi mwanamke na linapendwa zaidi na mume)).[Hadiyth Dwa’iyf. Imefanyiwa “ikhraaj” na Abuu Daawuud (5271), na amesema ni dhwa’iyf]. Na katika riwaya: (( إذا خفضت فأشمي ولا تنهكي، فإنه أنضر للوجه، وأحظى عند الزوج)) ((Unapokata, basi bakisha kidogo wala usikate chote, kwani hilo linapendeza zaidi usoni na linashabikiwa zaidi na mume)). [Hadiyth Munkar: Imefanyiwa “ikhraaj” na Al-Khatiyb katika kitabu cha At-Taariykh (5/327). Tazama pia Jaami’ul Ahkaam An-Nisaa’i (1/19)]. Hadiyth hizi Sanad zake ni Dhwa’iyf ingawa Mwanachuoni Al-‘Allaamah Al-Albaaniy amesema kuwa ni Swahiyh katika As-Silsilat As-Swahiyhah (722). Na kama mambo ni hivi, basi mwenye kusema anaweza kusema: “Kutahiri ni wajibu kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume ingawa Hadiyth hizi ni Dhwa’iyf. Kwani asili ni kuwa wote wawili wako sawa katika hukmu isipokuwa kama kuna dalili ya kuwapambanua, na dalili hiyo haipo”. Na mwingine anaweza kusema: “Bali hilo ni jambo mustahabu, na ni takrima kwa mwanamke, lakini si wajibu. Na picha ya kupambanua hapa kati ya mwanamume na mwanamke ni kuwa kutahiriwa kwa upande wa mwanamume, kuna maslaha kwake yanayofungamana na utwahara ambao ni moja kati ya sharti za Swalaah. Kwani endapo kama govi hilo litabakia, basi mkojo hubaki na hujikusanya ndani”. [Muono huu ameuelezea Mwanachuoni Al-‘Allaamah Ibn ‘Uthaymiyn (Allaah Amrehemu) kama ilivyo katika Al-Mumti’i (1/134)]. Ama kwa upande wa mwanamke, faida kubwa kwake ni kuwa kukeketa humpunguzia matamanio yake. Na hii ni kutafuta ukamilifu na wala si katika mlango wa kuondosha adha. Ninasema (Abuu Maalik): “Kukeketa wanawake kunazungukia kati ya mustahabu na wajibu. Na imepokelewa toka kwa Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: (( الختان سنة للرجال مكرمة للنساء)) ((Kutahiriwa ni Sunnah kwa wanaume na ukirimio kwa wanawake)).[Hadiyth Dhwa’iyf]. Lakini Hadiyth hii ni dhwa’iyf. Na lau kama ingelikuwa ni Swahiyh, basi ingemaliza mzozo. Na Allaah Ndiye Ajuaye zaidi." Source URL: http://www.alhidaaya.com/sw/node/9545 [1] https://www.addtoany.com/share#url=http%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F9545&amp;title=018-Swahiyh%20Fiqh%20As-Sunnah%3A%20Mlango%20Wa%20Twahara%3A%20Kutahiri
"2020-05-25T08:48:36"
http://www.alhidaaya.com/sw/print/book/export/html/9545
[ -1 ]
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Yashindwa Kuzoa Taka kwa Wakati Kisa Gari kutumiwa na Idara Nyingi. HomeMatukio pichaHalmashauri ya Wilaya ya Ngara Yashindwa Kuzoa Taka kwa Wakati Kisa Gari kutumiwa na Idara Nyingi. by - radiokwizera on - Saturday, December 21, 2019 Wananchi wakitoka kumwa taka katika kizimba hiki kilicho karibu na makazi yao. Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera imesema uwezekano wa kuzoa taka zilizopo kwenye maeneo mbali mbali ya mji wa Ngara ni mdogo kwa sasa kutokana na upungufu wa Watumishi na ukosefu wa gari la kuzolea taka hizo. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Afisa Mazingira wilaya ya Ngara Bw. Athanasio Andrew ambapo amesema kwa sasa Halmashauri itashindwa kuzoa taka zilizoko mjini kutokana na gari lililopo kutegemewa na kila idara, hivyo kuathiri shughuli hizo. Amesema ikiwa gari litapatikana wataanza kuzoa taka hizo na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhakikisha wanaacha tabia ya kusambaza taka barabarani hali ambayo ni hatari kwa afya za wakazi wa maeneo hayo. Hivi karibuni wakazi wa maeneo ya Nakatunga wilayani Ngara wamelalamikia Halmashauri hiyo kwa kushindwa kukusanya taka hasa katika kipindi hiki cha mvua na kusema kuwa ni hatari kwani nyakati za usiku hutoa harufu mbaya.
"2020-02-22T03:51:18"
http://www.radiokwizera.co.tz/2019/12/halmashauri-ya-wilaya-ya-ngara.html
[ -1 ]
SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AFUMUA KAMATI YA BUNGE NA KUISUKA UPYA | PAMOJA BLOG » SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AFUMUA KAMATI YA BUNGE NA KUISUKA UPYA SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AFUMUA KAMATI YA BUNGE NA KUISUKA UPYA 10/10/2016 01:16:00 PM Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefanya mabadiliko makubwa kwenye Kamati ya Bunge ya masuala ya Ukimwi, akiwabadilisha wabunge ishirini na wanne waliokuwa wanaunda kamati hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano cha Ofisi ya Bunge, Ndugai ameteua wajumbe wapya kumi na sita wa kamati hiyo ambao pia watakuwa wajumbe wa kamati nyingine. Taarifa hiyo imeeleza kuwa Spika ametumia Mamlaka aliyonayo kikatiba kuunda Kamati za Bunge kadri anavyoona inafaa, na kwamba mabadiliko haya yamelenga katika kuboresha utekelezaji wa majukumu ya kibunge. “Kanuni ya 116 (3) –(5) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari 2016 inampa Spika mamlaka ya kuteua wajumbe ili wawe wajumbe katika kamati mbalimbali za Bunge ikiwa ni pamoja na mamlaka ya kuongeza, kubadilisha au hata kupunguza idadi ya wabunge katika kamati za kudumu za Bunge,” imeeleza taarifa hiyo. Mabadiliko hayo yameanza mara moja kuanzia mwezi huu wa Oktoba na kwamba wajumbe wote wameshatumiwa barua tayari kwa maandalizi ya kukutana na kuwachagua viongozi wa kamati hiyo. Hii ni orodha ya waliokuwa wajumbe wa kamati hiyo na kamati walizohamishiwa kufuatia mabadiliko hayo: SHINDANO LA DANCE 255 Angalia video mbalimbali za Shindano la Dance 255 kupitia Vijimambo Blog. Waandishi wa Vijimambo Blog watakuwepo masaa yote eneo la Jamhuri Stadium Kuhakik...
"2016-10-24T03:23:14"
http://www.pamoja.co.tz/2016/10/spika-wa-bunge-job-ndugai-afumua-kamati.html
[ -1 ]
Je, Rais Kikwete amemaliza ubishi wa Dowans au amechelewa? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Je, Rais Kikwete amemaliza ubishi wa Dowans au amechelewa? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Shadow, Apr 3, 2009. HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amepigilia msumari wa mwisho katika jeneza la mzozo juu ya ununuzi wa mitambo ya kufua umeme wa dharura ya kampuni ya Dowans Tanzania Limited, aliposema kuwa serikali haitanunua mitambo hiyo kama Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) lilivyo tangaza. Akizungumza na wananchi katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi Machi, mwaka huu kupitia vyombo vya habari juzi, Rais Kikwete alisema serikali haitabadili msimamo wa Tanesco juu ya ununuzi wa mitambo hiyo na kwamba, inajitahidi kukabiliana na tatizo la umeme, hivyo kuwataka wananchi wasiwe na wasiwasi kwani nchi haitaingia gizani. Tunashukuru kusikia kauli ya mwisho ya rais juu ya suala hilo ambalo lilizua utata mkubwa na kuibua mjadala uliozua maswali mengi yaliyoihusisha moja kwa moja serikali kuwa iko nyuma ya mpango huo na hasa baada ya Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Tanesco, Dk Idris Rashid kusema kuwa nchi ikiingia giza kutokana na kutonunua mitambo hiyo shirika lake lisilaumiwe. Hata hivyo, tunasema rais amechelewa kumaliza mzozo huo ikizingatiwa kuwa sakata la mitambo hiyo ilivyoingia nchini alikuwa analifahamu kwa kina pamoja na wasaidizi wake; akiwemo Waziri wa Nishati na Madini, William Ngereja kuonyesha kuunga mkono pendekezo la Tanesco la kuinunua badala ya kumshauri achukue hatua ya sasa mapema, ili kuzuia mjadala na malumbano yaliyotokea. Ni ukweli usiopingika kwamba, mjadala wa mitambo ya Dowans ulitaka kuchafua hali ya hewa baada ya wanasiasa kuiingilia, lakini kwa hatua hii ya sasa tunampongeza rais kunusuru; tukiamini kwamba, huo ndiyo mwisho na hakutakuwa na njia yoyote itakayolifufua suala hilo kupitia mlango wa nyuma. Tunasema hivyo kwa sababu, Watanzania wa siku hizi wameelimika kupita kiasi; kwani wakishindwa jambo hawakati tamaa, hutumia hila na mbinu mbalimbali kuhakikisha kuwa azma yao inafanikiwa. Kwa sababu hiyo, tunamtahadharisha rais kuwa makini na watu wa namna hiyo ambao baadhi yao wanaweza kupitia kwa wasaidizi au washauri wake kufanikisha mambo yao na mwisho wa safari lawama zote kumwendea yeye kwamba, hakuwa makini. Pia tunasisitiza kwamba, washauri wa rais wafanye kazi yao kikamilifu kwa kumpa ushauri unaofaa na kwa wakati muafaka. Hili la Dowans ndiyo kwanza limeanza na hawa wanaodai Kikwete kapilia msumari wa mwisho naona bado hawajui kuzisoma alama za nyakati. Mjadala wa Dowans utafungwa vipi wakati 'hatujamjua' mmiliki wake ni nani? Pili hii kampuni bado inadaiwa na Serikali/TANESCO shilingi 23 billioni walitakiwa waridishe shilingi 30 bilioni lakini hadi sasa wamerudisha bilioni 7 tu sasa mjadala wa Diwans Kikwete anashinikiza ufungwe kwa maslahi ya nani? Ya Watanzania au ya wamiliki wa Richmond/Dowans?
"2018-01-20T21:37:57"
https://www.jamiiforums.com/threads/je-rais-kikwete-amemaliza-ubishi-wa-dowans-au-amechelewa.26668/
[ -1 ]
BBC Swahili - Habari - Syria yatakiwa iache kutumia nguvu Syria yatakiwa iache kutumia nguvu Imebadilishwa: 8 Januari, 2012 - Saa 10:38 GMT Jumuia ya nchi za Kiarabu imetoa wito kwa serikali ya Syria na makundi yenye silaha yaache haraka kutumia nguvu dhidi ya raia. Mawaziri wa mashauri ya nchi za nje wakikutana mjini Cairo, wameamua kuwa ujumbe walioutuma Syria kuchunguza hali, uendelee na kazi yake, ingawa wapinzani wamelalamika kuwa hausaidii kumaliza fujo huko. Mawaziri hao walielezewa ripoti ndefu kutoka kwa kiongozi wa ujumbe wao nchini Syria, na wameoneshwa ramani, michoro na picha kuhusu yale wachunguzi walioshuhudia. Mawaziri hao hawakutaja pendekezo kwamba ujumbe wao uongezwe nguvu kwa kuwajumuisha wataalamu wa Umoja wa Mataifa. Katibu Mkuu wa jumuia hiyo amesisitiza kuwa idadi ya watu waliouwawa imepungua kwa ujumbe wao kuweko nchini Syria.
"2014-08-22T17:50:05"
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2012/01/120108_syria_arab_league.shtml
[ -1 ]
WAKULIMA KILOLO NA MUFINDI KUTAJIRIKA NA KILIMO CHA PARETO - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 WAKULIMA KILOLO NA MUFINDI KUTAJIRIKA NA KILIMO CHA PARETO mwakilishi wa kiwanda cha Pareto Mafinga Bw Godfrey Mbeyela akiwaeleza wananchi wa Bomalang'ombe Kilolo faida ya kilimo cha zao la Pareto Mwamasishaji wa zao la Pareto nchini Gerald Chuwa akiwapa maelezo wananchi wa Madege kata ya Idete juu ya faida ya kilimo cha Pareto Wananchi wa Bomalang'ombe wakimsikiliza diwani wa viti maalum Wananchi wa kijiji cha Madege kata ya Idete wakiwa katika mkutano wa uhamasishaji wa kilimo cha zao la Pareto Wananchi wa Madege wakisikiliza elimu ya kilimo cha zao la Pareto Wananchi wakitawanyika katika mkutano wa uhamasishaji wa kilimo cha pareto uliofanyika ofisi ya kijiji Madege Kilolo Vitalu vya miche ya Pareto kwa ajili ya kupewa bure wananchi WAKULIMA wa wilaya ya Kilolo na Mufindi mkoani Iringa kuanza kunufaika na kilimo cha zao la pareto baada ya kiwanda cha Pyrethrum company Tanzania Ltd (PCT) Mafinga kuanza kugawa bure ya zao la Pareto . Akizungumza katika mkutano wa uhamasishaji wa kilimo cha zao La Pareto mwakilishi wa kiwanda cha PCT Bw. Godfrey Mbeyela jana wakati wa mkutano wa hadhara na wananchi wa kata ya Bomalang'ombe na Idete , alisema kuwa kampuni hiyo imeamua kutoa miche bure ili kuwaondolea usumbufu wananchi wa kupata mbegu. Alisema pamoja na kugawa bure kwa wananchi waliotayari kulima zao hilo la biashara pia kwa wale watakaojiunga vikundi watapewa ajira ya kuotesha miche ya Pareto na kuiuza kwa kampuni ili kuigawa bure kwa wakulima zoezi ambalo litakuwa kwa mwakani "Kwa mwaka huu miche ipo ya kutosha ya kuwawezesha wananchi zaidi ya 40,000 kulima Pareto ila kwa kuwa idadi ya wakulima inaweza ongezeka zaidi mwakani vikundi vitapewa kazi ya kuotesha miche na kuuza kwa kampuni….. kampuni haitaki mkulima wa zao la Pareto kununua miche" Juu ya soko la zao hilo ambalo miaka ya nyuma Wilaya ya Kilolo ilikuwa akiongoza kwa uzalishaji alisema kwa sasa soko ni uhakika kwani kampuni imekuja kwa kasi ya kuwakomboa wakulima na sasa fedha za mazao zitatolewa papo kwa papo shambani baada ya mavuno na hakuna mpango wa kumkopa mkulima . Pia alisema bei ya zao hilo kwa kilo kwa wananchi wa Kilolo kwa ajili ya kuhamasisha kilo itanunuliwa kati ya Tsh 20000 hadi Tsh 30000 Mkuu wa wilaya ya Kilolo Asia Abdalah aliwataka wananchi kujiunga na kilimo hicho kwani ni moja kati ya mazao ambayo hayahitaji gharama kubwa ya kuhudumia zaidi ya palizi pekee. Hivyo alishauri kila mwananchi kulima japo hekari moja ya Pareto japo mazao mengine waliyozoea yakiwemo mahindi kwa ajili ya Chakula kulima hekari nyingi zaidi. Mkuu huyo wa wilaya ya Kilolo alisema kilimo hicho cha Pareto ni fursa kubwa kwa wananchi ambao watachangamkia kuanza kilimo hicho. Awali wananchi walisema kuwa waliacha kilimo hicho na mashamba ya Pareto kufyeka na kupanda viazi baada ya kuyumba kwa soko la Pareto ila kwa sasa kwa utaratibu huu mpya wapo tayari kuchangamkia kilimo hicho.
"2018-02-21T13:13:37"
http://www.kamerayangu.co.tz/2017/01/wakulima-kilolo-na-mufindi-kutajirika.html
[ -1 ]
Kanuni za Barabara LAZIMA uwe unajisikia vizuri - usiwe mgonjwa au umechoka. • LAZIMA uweze kuona vizuri (uweze kusoma kibao cha namba za gari • kutoka umbali wa mita 20) - iwapo unahitaji kuvaa miwani au lenzi ili kuona LAZIMA uvae wakati wa kuendesha - usitumie miwani ya jua usiku au kukiwa na mwanga mdogo. lazima, miwani, kuona, uweze, vizuri USISHINDWE KUANZISHA BIASHARA KWA KUKOSA MAARIFA! Unahitaji ufanye nini ili biashara yako ipate faida na itachukua muda gani kuwa na faida? e. Nini matarajio yako ya mapato na matumizi kwa miaka 4 ya kazi (ni mapato na matumizi kiasi gani katika mwaka wa kwanza, mwaka wa pili, wa tatu na wa nne)? matumizi, mwaka, faida, mapato, katika Je, Canopy hufanya nini? Sisi hurekebisha nyumba mahame ... Canopy inaweza kutafuta mkalimani ikiwa unahitaji mmoja. Kufanya kazi katika eneo na wengine wanaojitolea ni fursa kubwa ya kujifunza na kuzoea Kiingereza nje ya darasa. kubwa, fursa, wanaojitolea, kujifunza, kuzoea Kundi la Kilimo cha Mwani Mwongozo wa kilimo cha mwani unahitaji kuwa na masharti ya kumlinda mwekezaji kutoka kwa uvuvi haramu na haribifu. 3. Matakwa yetu in kwamba kilimo cha mwani mwani, kilimo, haramu, haribifu, kwamba Mahitaji hutofautiana kutegemea na umri, jinsi, jinsia, Mwili unahitaji pr Unapokosa kupata kalori na protini za kutosha kila siku, mwili wako hutumia akiba yake kufidia pengo la ukosefu wa nishati. Hali hii huinyima mwkuufanya uwe na afya bora na hivyo kusababisha kupungua mwili, nishati, ukosefu, huinyima, mwkuufanya SPANISH Si necesita un intérprete o materiales que se traduzcan del inglés a su idioma, por favor pida a su trabajador o llame al 602-542-9935 o 1-800-352-8401 SWAHILI Iwapo unahitaji mkalimani wa kiswahili ua maarifu kutafsiriwa, tafadhali muulize msimamizi wa kesi yako au piga simu nambari 602-542-9935 au 1 ... maarifu, kiswahili, mkalimani, kutafsiriwa, tafadhali Jia Mwafaka Za Kuchabua Bibilia HARVESTIME INTERNATIONAL ... Mtihani wa kumalizia: Kama kikundi chako kimejiandikisha sahani hili na deni, umepokea mutihani wa mwisho na sahani hili. Unahitaji kuwa nakala ya kila mwanafunzi na kuandikisha mtihani kabla hujamaliza funzo hili. sahani, mtihani, kuandikisha, mwanafunzi, kabla Mkopaji/Wakopaji SERIKALI YA TANZANIA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA) unahitaji upanuzi wa sekta muhimu za uzalishaji za uchumi. Ili kuwa na ukuaji endelevu wa uchumi wa kati ya asilimia 6 na 8 kwa mwaka, mkakati unapendekeza ukuaji mkubwa zaidi miaka minne ijayo ili kufanikisha ukuaji katika sekta ... uchumi, ukuaji, sekta, mkakati, zaidi Mwongozo wa uendeshaji bodi Ingawa utekelezaji wa mabadiliko haya unahitaji msaada kutoka nje, msaada huo utaelekezwa zaidi katika shughuli zitakazowezesha mfumo wa utoaji wa huduma za afya kuwa wa kujitegemea na endelevu. msaada, mfumo, zitakazowezesha, utoaji, huduma Kama unahitaji kununua mbegu inashauriwa kununua mbegu kutoka kwa mawakala wanaoaminika. Unaweza kupanda kwa mstari ama kwa kusia. Miche ikiwa tayari ikapandwe bustanini wakati wa jioni na imwagiliwe vizuri. mbegu, kununua, ikapandwe, tayari, bustanini
"2020-07-06T17:24:00"
http://www.sputtr.com/unahitaji?page=3
[ -1 ]
"The best and most beautiful things in this world cannot be seen or even heard, but must be felt with the heart."Kama wewe umeoa au kuolewa labda nikuulize hili swali.Je, huwa inatokea unapoamka asubuhi kujisikia hatia na kutokurishwa sawa na unavyotegemea, hata kama usiku mlikuwa na tendo la ndoa la kufurahisha?Yaani unajikuta bado kuna kitu kikubwa sana unakikosa kutoka kwa mwenzako zaidi ya tendo la ndoa kwenye mahusiano yenu? Ukweli ni kwamba Binadamu katika maisha ya mahusiano hukamilishwa katika maeneo muhimu matano ambayo yote kwa pamoja yakikamilishwa basi kunakuwa na faragha (intimacy) ya kweli.Mambo hayo ni pamoja na kuridhishwa:Kimwili (physical),Kihisia (feelings and emotions),Kiroho,Kiakili (mental) naKijamii. Mara nyingi sana wengi hutimiziana hitaji la faragha kimwili (sex) tu kitu ambacho ni rahisi, hata hivyo baada ya kutimiziana kimwili wanajikuta ndani kabisa bado kuna hitaji halijatimizwa na hawajaridhika au kuridhishwa vilivyo na mwenzake.Na wapo wajinga zaidi ambao baada ya kuona haridhiki ndiyo hukata kona kwenda kutafuta mwanamke au mwanaume mwingine akidhani huku atapata sex itakayomfanya aridhike zaidi hata hivyo matokeo yake anaona ni kitu kilekile. Kitu cha msingi si sex bali ni intimacy, kuunganishwa kiroho, kimwili, kiakili, kijamii na kihisia. Faragha (intimacy) ni kule kwa wawili kuwa karibu, pamoja, ku-share maisha pamoja katika yote, ni kule kujisikia karibu kabisa katika kutegemeana, kuhusiana, kuaminiana, Kusaidiana wakati wa shida na raha, kusameheana, kupendana, kuchukuliana, kuhurumiana na kutumikiana, kuwa pamoja kwa kila eneo la maisha hadi kuhusisha milango matano ya fahamu. Kucheka pamoja, kucheza pamoja, kutembea pamoja, kushikana, kubusiana, kukumbatiana, kulala pamoja, kuoga pamoja, kusoma vitabu pamoja nk, si sex tu.Je, kwako faragha ni kimwili tu au hata kiroho, kiakili, kihisia au kijamii? Posted by faragha ya wawili Kaka MBilinyi ama kweli ni mafundisho mazuri ambayo labda wengi waliolewa/oa wanasahau ningependa kama wote wangekuwa na uwezo wa kusoma blog yako.Kwani ina mafundisho mazuri Dada Yasinta,Asante sana kwa comments zako, binafsi najifunza na lengo ni kutaka maisha yangu na yule nampenda yawe ya kuridhishana idara zote katika maisha yetu si unajua ndoa za siku hizi usipofanya efforts unaweza kuona inakumbwa na Tsunami.Ubarikiwe
"2017-06-28T17:28:27"
http://mbilinyi.blogspot.com/2008/08/huwa-siridhiki.html
[ -1 ]
Gasabo:Mwinjilisti na mke wake washtakiwa kutesa kimwili mtoto wa miaka 4 | Swahili Nyumbani HABARI MPYA Gasabo:Mwinjilisti na mke wake washtakiwa kutesa kimwili mtoto wa miaka 4 Mwendesha mashtaka mkuu wa wilaya ya Gasabo amepeleka kesi mahakamani akiwashtaki mtume wa mungu na mke wake wanaoishi kijijini Kamashashi, tarafa ya Rusororo kwa kumtesa kimwili mtoto changa wa miaka 4 aliyezaliwa nje ya ndoa na mtume wa mungu huyu. Mwendesha mashtaka amesema kuwa mwinjilisti huyu alienda kumtembelea mtoto wake na kuomba mama yake kwenda naye,alipofika kwa mama wa kambo mtoto huyu aliteswa sana kwa kumtia karantini wakati wa miezi 9 bila kukanyaga nje na kukata mawasiliano yoyote na mama yake. Watuhumiwa hawa ili kuweza kuficha mabaya yao walibadili makazi na kuenda mahali pengine. Baada ya hizi habari kuenea,mwendesha mashtaka alimkuta mtoto kwa baba yake akiwa chumbani katika hali ya upweke ,uchafu na majeraha mwili mzima na sasa mtoto huyu ni mgonjwa mahtuti katika hospitali ya CHUK.Watuhumiwa wamefungwa kwenye kituo cha polisi ya Rusororo lakini wanakana kosa hili. Makala ya awaliMuhanga:Viongozi wapatanisha raia na katibu mtendaji aliyeharibu chakula cha harusi. Makala ijayoUjerumani yamtuma nchini Rwanda Twagiramungu mtuhumiwa wa mauaji ya kimbali Haifai kujigamba kwa mema tuliyotimiza kwa kuikomboa nchi-Mbunge Rucibigango Rwanda:Serikali mpya karibu kukaa ikuluni Rais Kagame pamoja na Nyusi kwa niaba ya kuwajengea Raia maendeleo
"2018-06-18T03:50:51"
https://swahili.bwiza.com/gasabomwinjilisti-na-mke-wake-washtakiwa-kutesa-kimwili-mtoto-wa-miaka-4/
[ -1 ]
INIESTA AFICHUA SIRI YAKE NA KOCHA PEP GUARDIOLA | saluti5 Home » SOKA » INIESTA AFICHUA SIRI YAKE NA KOCHA PEP GUARDIOLA INIESTA AFICHUA SIRI YAKE NA KOCHA PEP GUARDIOLA NAHODHA na kiungo wa mabingwa wa soka nchini Hispania FC Barcelona, Andres Iniesta amefichua siri iliyokuwa ikiendelea kati yake na meneja wa sasa wa Manchester City, Pep Guaridiola wakati wa usajili wa majira ya kiangazi. Iniesta amesema Guaridiola alionyesha nia ya kutaka kumsajili na kumpeleka Etihad Stadium lakini alikataa wito huo kwa kuamini England hapakuwa mahala sahihi kwa soka lake. Iniesta ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Barcelona wakati Guardiola akiliongoza benchi la ufundi la klabu hiyo kati ya mwaka 2008-2012, amesema lengo lake kubwa kwa sasa ni kutaka kumalizia soka lake akiwa Camp Nou. Hata hivyo amedai kuwa anamuheshimu sana Guaridiola na bado ataendelea kuwa mtu wake wa karibu hivyo amevitahadharisha vyombo vya habari kutolichukua suala la kukataa kwake kwenda Man City kama kuna ugomvi baina yao. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 32, kwa sasa ni mchezaji mkongwe katika kikosi cha FC Barcelona baada ya kuondoka Carlos Puyol pamoja na Xavi Hernandez ambao kwa pamoja walicheza michezo 505 wakiwa Camp Nou. Iniesta ameshacheza michezo 392 akiwa na FC Barcelona na amebahatika kufunga mabao 34 tangu mwaka 2002 alipopandishwa kutoka kikosi pili hadi kikosi cha kwanza.
"2017-09-23T05:30:09"
http://www.saluti5.com/2016/10/iniesta-afichua-siri-yake-na-kocha-pep.html
[ -1 ]
MAGAZETI YA LEO: UTUMBUAJI MAJIPU WA MAGUFULI UMEKOSA DIRA. KASUSURA AACHIWA HURU. BUNGE LAANIKA MAJIPU MATANO WIZARA YA AFYA. ~ g sengo MAGAZETI YA LEO: UTUMBUAJI MAJIPU WA MAGUFULI UMEKOSA DIRA. KASUSURA AACHIWA HURU. BUNGE LAANIKA MAJIPU MATANO WIZARA YA AFYA. Thursday, May 12, 2016 HABARI No comments CHADEMA: Utumbuaji majipu wa Magufuli umekosa dira. Kasusura aachiwa huru. Bunge laanika majipu matano wizara ya afya. Sukari ya bil.5 yakamatwa Dar. Magufuli avunja mwiko akitua Uganda. Saba wa familia moja wauawa kwa kukatwa mapanga; Mazito yaibuka kamati ya Lugumi. Wazee watengewa kijiji kwa imani za ushirikina. Migogoro yaibuka walikohamishiwa machinga Dar;
"2018-07-23T11:57:06"
http://gsengo.blogspot.com/2016/05/magazeti-ya-leo-utumbuaji-majipu-wa.html
[ -1 ]
MZEE wa ukoo Ayubu alipopatwa na msiba alitembelewa na rafiki zake watatu, Elifazi, Bildadi, na Sofari. Walikuja kumsikitikia na kumfariji. (Ayubu 2:11) Kati ya watu hao watatu, Elifazi ndiye aliyekuwa mwenye uvutano zaidi na mwenye umri mkubwa. Alikuwa wa kwanza kusema, naye alikuwa na mengi zaidi ya kusema. Hotuba tatu za Elifazi zilionyesha nini kuhusu kufikiri kwake? Elifazi alisema hivi kuhusu maono yasiyo ya kibinadamu aliyoona: “Roho fulani ikapita juu ya uso wangu; nywele za mwili wangu zikaanza kusimama. Ikaanza kusimama tuli, lakini sikuitambua sura yake; umbo fulani lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa na utulivu, na sasa nikasikia sauti.” (Ayubu 4:15, 16) Ni roho ya aina gani iliyoathiri kufikiri kwa Elifazi? Maneno yenye kushutumu yaliyosemwa yalionyesha kwamba kwa hakika roho hiyo haikuwa mmoja wa malaika waadilifu wa Mungu. (Ayubu 4:17, 18) Ilikuwa roho mwovu. Kama sivyo, kwa nini Yehova alimkaripia Elifazi na wenzake wawili kwa kuwa walisema uwongo? (Ayubu 42:7) Naam, Elifazi aliathiriwa na roho mwovu. Maneno yake yalidhihirisha kwamba fikira zake hazikuwa kama za Mungu. Tunaweza kutambua mawazo gani katika maneno ya Elifazi? Kwa nini ni muhimu kujilinda dhidi ya mawazo yasiyofaa? Na ni hatua gani tunazoweza kuchukua ili kukataa mawazo hayo? “Yeye Hana Imani Katika Watumishi Wake” Katika hotuba zote tatu, Elifazi alionyesha wazo la kwamba Mungu ni mwenye kudai mengi mno hivi kwamba hakuna jambo watumishi wake wanalofanya linalompendeza. Elifazi alimwambia Ayubu hivi: “Hata watumishi wake, Mungu hana imani nao; na malaika wake huwaona wana kosa.” (Ayubu 4:18, BHN) Baadaye Elifazi alisema hivi kumhusu Mungu: “Yeye hana imani na watakatifu wake, na mbingu zenyewe kwa kweli si safi machoni pake.” (Ayubu 15:15) Naye akauliza: “Je, Mweza-Yote anapendezwa kwa vyovyote kwa kuwa wewe ni mwadilifu?” (Ayubu 22:3) Bildadi alikubaliana na maoni hayo kwa kuwa alisema hivi: “Kuna hata mwezi, nao si mwangavu; nazo nyota zenyewe si safi machoni pake [Mungu].”—Ayubu 25:5. Tunapaswa kujihadhari ili tusiathiriwe na kufikiri kwa namna hiyo. Kunaweza kutufanya tufikiri kwamba Mungu anatudai mambo mengi mno. Kufikiri kwa njia hiyo kunahatarisha uhusiano wetu pamoja na Yehova. Isitoshe, tukiathiriwa na kufikiri kwa namna hiyo, tutaitikiaje tunapotiwa nidhamu? Badala ya kukubali rekebisho kwa unyenyekevu, huenda moyo wetu ‘ukawa na ghadhabu juu ya Yehova’ na hata tunaweza kumwekea kinyongo. (Methali 19:3) Hakika hilo linaweza kuharibu uhusiano wetu pamoja na Mungu. “Je, Mwanamume Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?” Wazo la kwamba Mungu ni mwenye kudai mengi mno linahusiana sana na maoni ya kwamba Mungu huona wanadamu kuwa bure kabisa. Hotuba ya tatu ya Elifazi ina swali hili: “Je, mwanamume anaweza kuwa na faida kwa Mungu mwenyewe, kwamba mtu mwenye ufahamu awe na faida kwake?” (Ayubu 22:2) Elifazi alikuwa akimaanisha kwamba Mungu huona mwanadamu kuwa bure kabisa. Vivyo hivyo, Bildadi alisema hivi: “Mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa upande wa haki mbele za Mungu, au, mtu aliyezaliwa na mwanamke anawezaje kuwa safi?” (Ayubu 25:4) Kulingana na maoni hayo, Ayubu, mwanadamu duni anayeweza kufa, angewezaje kudai kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Watu fulani leo wanajiona kuwa hawafai. Huenda wanahisi hivyo kwa sababu ya malezi yao, matatizo ya maisha, au kwa sababu ya chuki kuelekea jamii au kabila lao. Lakini Shetani na roho wake waovu pia wanafurahia kumfanya mtu ahisi kwamba hafai. Wanapomfanya ahisi kwamba Mungu Mweza-Yote hafurahii chochote anachofanya, inakuwa rahisi sana kwa mtu huyo kuvunjika moyo. Baada ya muda, mtu huyo anaweza kupeperushwa, na hata kujiondoa kwa Mungu aliye hai.—Waebrania 2:1; 3:12. Uzee na magonjwa hutuwekea vizuizi. Huenda ikaonekana tunatimiza tu sehemu ndogo sana katika utumishi wa Ufalme tukilinganisha na yale tuliyofanya tulipokuwa vijana wenye nguvu na afya nzuri. Ni muhimu kutambua kwamba Shetani na roho wake waovu wanataka tuhisi kwamba Mungu hafurahii yale tunayofanya. Tunapaswa kukataa kufikiri kwa namna hiyo. Jinsi ya Kukataa Mawazo Yasiyofaa Licha ya kuteswa na Shetani Ibilisi, Ayubu alisema hivi: “Mpaka nitakapokata pumzi, sitajiondolea utimilifu wangu!” (Ayubu 27:5) Kwa kuwa alimpenda Mungu, Ayubu aliazimia kudumisha utimilifu wake licha ya yale yaliyompata, naye hakuruhusu jambo lolote libadili azimio lake. Hapa pana jambo muhimu linaloweza kutusaidia kukataa mawazo yasiyofaa. Tunapaswa kuelewa vizuri upendo wa Mungu na kusitawisha uthamini kwa ajili ya upendo huo. Pia tunahitaji kumpenda Mungu zaidi. Tunatimiza hilo kwa kujifunza kwa ukawaida Neno la Mungu, kutafakari yale tunayojifunza, na kusali. Kwa mfano, andiko la Yohana 3:16 linasema: “Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee.” Yehova anawapenda sana wanadamu, na upendo huo unaonekana kwa jinsi ambavyo ameshughulika nao. Kutafakari mifano ya kale kunapaswa kutufanya tumthamini na kumpenda Yehova zaidi, na hivyo kukataa mawazo yasiyofaa. Fikiria jinsi Yehova alivyoshughulika na Abrahamu uharibifu wa Sodoma na Gomora ulipokuwa unakaribia. Abrahamu alimuuliza Yehova mara nane kuhusu hukumu Yake. Yehova hakukasirika kamwe. Badala yake, majibu yake yalimpa Abrahamu uhakika na faraja. (Mwanzo 18:22-33) Baadaye Mungu alipomwokoa Loti na familia yake kutoka Sodoma, Loti aliomba akimbilie jiji la karibu badala ya kwenda milimani. Yehova alijibu hivi: “Haya, nakujali kwa kadiri hii pia kwa vile sitaliangamiza jiji ambalo umesema.” (Mwanzo 19:18-22) Je, masimulizi hayo yanaonyesha Yehova kuwa mtawala mwenye kudai mengi mno, asiye na upendo, na anayetawala kimabavu? La. Yanamwonyesha jinsi alivyo kwa hakika, yaani, Mtawala mwenye upendo, fadhili, rehema, na anayejali. Mifano ya Haruni, Daudi, na Manase wa Israeli la kale inakanusha wazo la kwamba Mungu anatafuta makosa na kwamba hakuna mtu anayeweza kumfurahisha. Haruni alifanya makosa matatu mazito. Alitengeneza ndama ya dhahabu, alijiunga na Miriamu dada yake kumshutumu Musa, na alikosa kumtakasa na kumheshimu Mungu huko Meriba. Hata hivyo, Yehova aliona sifa nzuri za Haruni naye akamruhusu aendelee kutumika akiwa kuhani mkuu hadi kifo chake.—Kutoka 32:3, 4; Hesabu 12:1, 2; 20:9-13. Mfalme Daudi alifanya dhambi nzito wakati wa utawala wake. Hizo ni pamoja na uzinzi, njama ya kumuua mtu asiye na hatia, na kuhesabu watu isivyo halali. Hata hivyo, Yehova alitambua toba ya Daudi naye akatimiza kwa ushikamanifu agano la Ufalme kwa kumruhusu Daudi atumike akiwa mfalme hadi kifo chake.—2 Samweli 12:9; 1 Mambo ya Nyakati 21:1-7. Manase Mfalme wa Yuda alijenga madhabahu kwa ajili ya Baali, akapitisha wanawe motoni, akaendeleza mazoea ya kuwasiliana na pepo, naye akajenga madhabahu ya dini ya uwongo katika nyua za hekalu. Hata hivyo, baada ya kuonyesha toba ya kweli, Yehova alimsamehe, akamweka huru kutoka utekwani, naye akamruhusu atawale tena akiwa mfalme. (2 Mambo ya Nyakati 33:1-13) Je, hivyo ndivyo Mungu asiyefurahishwa na mtu yeyote anavyotenda? La hasha! Mshtaki wa Uwongo Ndiye Mwenye Hatia Haitushangazi kwamba Shetani ndiye anayefanya mambo yaleyale anayomshutumu Yehova kuwa anafanya. Shetani ni mkatili na anadai mengi. Hilo linaweza kuonekana waziwazi katika mazoea ya kudhabihu watoto yaliyohusiana na ibada ya uwongo wakati wa kale. Waisraeli waasi-imani waliwateketeza motoni wana na binti zao, jambo ambalo halikuingia kamwe moyoni mwa Yehova.—Yeremia 7:31. Shetani ndiye anayetafuta makosa wala si Yehova. Andiko la Ufunuo 12:10 humtaja Shetani kuwa “mshtaki wa ndugu zetu . . . , anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!” Kwa upande mwingine, mtunga-zaburi aliimba hivi kumhusu Yehova: “Kama ungekuwa unaangalia makosa, Ee Yah, Ee Yehova, ni nani angesimama? Kwa maana kwako wewe kuna msamaha wa kweli.”—Zaburi 130:3, 4. Wakati Ambapo Hakutakuwa na Mawazo Yasiyofaa Ni wazi kwamba malaika walihisi kitulizo Shetani Ibilisi na roho wake waovu walipotupwa kutoka mbinguni. (Ufunuo 12:7-9) Baada ya hapo, roho hao waovu hawangekuwa tena na uvutano wowote juu ya utendaji mbalimbali wa familia ya Yehova ya kimalaika mbinguni.—Danieli 10:13. Hivi karibuni wakaaji wa dunia watashangilia. Hivi punde, malaika kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa abiso na mnyororo mkubwa mkononi mwake atamfunga Shetani na roho wake waovu na kuwatupa ndani ya abiso, yaani, hali ya kutotenda. (Ufunuo 20:1-3) Tutapata kitulizo kama nini hilo litakapotokea! Kwa sasa, tunapaswa kujihadhari tusiwe na mawazo yasiyofaa. Mawazo mabaya yanapoanza kuingia akilini mwetu, tunahitaji kuyakataa kwa kukaza akili zetu juu ya upendo wa Yehova. Ndipo ‘amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo yetu na nguvu zetu za akili.’—Wafilipi 4:6, 7. Loti alijifunza kwamba Yehova ni Mtawala anayejali
"2020-02-19T23:17:34"
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20050915/Kataa-Mawazo-Yasiyofaa/
[ -1 ]
HABARI MSETO BLOG: Kampuni ya Tigo kushirikiana na Visions Sports wazindua mbio za Nyika Dodoma Katika jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano chini ya rais Dkt John Pombe Magufuli za kuimarisha afya kupitia michezo, Tigo Tanzania kwa kushirikiana na Visions Sports wamezindua mbio za nyika zitakazokuwa zikifanyika kila mwaka zikijulikana kama Dodoma Marathon. Akizungumza mbele ya waandishi wa habari wakati wa Uzinduzi wa mbio hizo mkuu wa mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana amesema ujio wa mbio hizo kwa mkoa wa Dodoma ni fursa kubwa kwa wakazi wa makao makuu huku akiwapongeza Vision Sport na Tigo kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya tano. Amesema atazungumza na Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai ili kuwaalika wabunge kushiriki katika mbio hizo za Dodoma Marathon bila kuwasahau waandishi wa habari mkoani hapa kupitia club ya Central Press Club ( CPC ) na kwamba atazungumza na viongozi wa Chama cha Waandishi wa habari, tiGo Tanzania na Vision Spotrs ili kupata njia bora ya kuwasaidia Waandishi katika suala la michezo. Akionyesha kuguswa na ujio wa Dodoma Marathon, Rugimbana amesema kilio chake kimekwisha kwani kwa siku nyingi amekuwa akipambana kuleta marathon Dodoma na hatimae Vision Sports na Tigo wametatua tatizo hilo na kwamba kutakuwa kamati ndogo ya mashindano itakayoongozwa na Mbunge wa jimbo la Dodoma mjini Antony Mavunde huku Katibu wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dodoma, Robert Mabonye akisema angetamani Dodoma marathon iende mbali zaidi hadi ngazi ya Kimataifa. Mkurugenzi wa Vision Sports Ally Nchahanga amesema mbio hizo zitahusisha mbio ndefu za 42km, 21km,10km na matembezi ya 5km huku akiwashuru tigo kwa kudhamini Dodoma Marathon Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa tigo kanda ya Kaskazini Henry Kinabo amesema wanajivunia kudhamini tukio hilo litalowapa hamasa watu kuwa timamu kimwili na wenye afya ili watumie ujuzi wao wa kimichezo kung'ara. Amesema tigo wanatazamia karibu na tukio hilo ili kuleta maendeleo na kuitambulisha Dodoma katika jumuiya ya kimaraifa. Imewekwa na: Francis Dande Tarehe: 21.10.17
"2018-10-20T10:41:24"
http://francisdande.blogspot.com/2017/10/kampuni-ya-tigo-kushirikiana-na-visions.html
[ -1 ]
Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Wapenzi wasikilizaji, katika usiku kama wa leo anga kimya na tulivu ya mji wa Madina iliajabia nuru iliyoangaza kwenye nyumba ya Imam Sajjad (AS); nuru ambayo mwanga wake ulitandawaa kwenye anga yote hiyo ya mji huo. Ilikuwa ni nuru ya sura ya umaasumu, ing'arayo na kumeremeta ya mwana aliyebarikiwa, wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW na kuenea hadi mbinguni. Wapenzi wasikilizaji, tunakoa mkono wa pongezi, kheri na baraka kwa mnasaba wa kuzaliwa ua la tano lenye manukato, la bustani ya uongofu na maarifa, Imam Muhammad Baqir (AS) kwa wapenzi wote wa kizazi kitoharifu cha Mtume SAW. Karibuni kusikiliza kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba huo. Jina lililobarikiwa la Imam wa tano ni Muhammad. Lakabu ya mtukufu huyo ni Baqir au Baqirul Ulum, kwa sababu alipasua vina vya bahari ya elimu na kubainisha siri za elimu na maarifa. Lakabu nyengine za Imam Muhammad Baqir (AS) ni Shaakir, yaani mshukurivu, Saabir, mvumilivu na Haadi, muongozaji kulekea uongofu, ambazo kila moja kati yao zinabainisha sifa za mtukufu huyo. Amma kwa upande wa wazazi, mama yake ni Fatima, binti wa Imam Hassan al Mujtaba (AS) na baba yake ni Imam Zainul Aabidiin, Ali Ibn Hussein (AS). Jabir ibn Abdullah al Ansari, alikuwa mmoja wa masahaba watiifu wa Bwana Mtume SAW. Siku moja sahaba huyo alifunga safari ya kwenda kumwona Imam Baqir (AS). Hamu na shauku isiyoweza kuelezeka ilimjaa sahaba Jabir, na japokuwa mwili wake ulikuwa haujiwezi tena kwa uzee, huku nuru ya macho yake nayo pia ikiwa imefifia lakini uso wake ulikuwa ukimeremeta kwa furaha. Wakati alipomwona Imam Baqir alisema:" Naapa kwa Mola wa Al Kaaba kwamba hulka na silka hizi ninaziona kwako ni za Mtume wa Allah; namshukuru Mwenyezi Mungu aliyenipa umri na kuweza kukutana na wewe, na kukufikishia salamu za Mtume wa Mwenyezi Mungu. Siku moja nilipokuwa pamoja na Mtume, alinambia:"Ewe Jabir wewe utabakia hai mpaka uje kuonana na mwana katika kizazi changu ambaye ni miongoni mwa watoto wa Hussein. Jina lake ni Muhammad; yeye ataipasua na kuipembua elimu ya dini; na kwa hivyo atapewa lakabu ya Baqir. Wakati utakapomwona mfikishie salamu zangu". Wapenzi wasikilizaji, zama alizoishi Imam Muhammad Baqir (AS) zilikuwa zama za kustawi na kuenea elimu za Kiislamu, ambapo mafaqihi na maulama wakubwa wa elimu za fiqhi na hadithi waliishi katika zama hizo; lakini Imam Baqir (AS) alikuwa na hadhi na daraja maalumu mbele yao. Sheikh Mufid, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa mwishoni mwa karne ya nne na mwanzoni mwa karne ya tano Hijria ameandika kuwa:"Masahaba waliokuwa wamesalia, wakubwa katika mataabiina pamoja na mafaqihi wakubwa wakubwa wamepokea hukumu za masuala ya dini kutoka kwa mtukufu huyo. Imam alikuwa akisimulia habari za watu wa zama zilizopita pamoja na Mitume, na watu wakipokea kutoka kwake habari za sira na Sunna za Mtume SAW". Kwa mujibu wa Sheikh Tusi, mmoja wa maulama wakubwa wa Kishia aliyeishi katika karne ya tano hijria idadi ya wanafunzi hodari na mahiri wa mtukufu huyo ilifikia 466. Imam alikuwa marejeo ya maulama wote wa Hijaz katika masuala ya fiqhi. Umashuhuri wake ulienea katika ardhi ya Hijazi kiasi cha kujulikana kuwa ni Bwana wa Mafaqihi wa Hijazi. Kwa kujulikana kuwa mfasiri bora wa Qur'ani Tukufu, Imam Muhammad Baqir (AS) alikuwa akitoa tafsiri sahihi ya aya za kitabu hicho kitukufu na kuwashinda wapinzani na wale waliokuwa na inadi. Alikuwa kila mara akitumia aya za Qur'ani kuthibitisha hoja zake na kuyaweka maneno matukufu ya Mwenyezi Mungu shahidi wa aliyokuwa akiyanena. Alikuwa akiwaambia watu:"Niulizeni juu ya kila nikisemacho kimetokea wapi ndani ya Qur'ani ili nikusomeeni aya inayohusiana na nacho". Kuwasaidia wahitaji na wanaodhulumiwa pamoja na wanyonge katika jamii lilikuwa moja ya mambo ya msingi katika maisha ya Imam Baqir (AS), na kukidhi mahitaji yao ya kimaada na kiroho ilikuwa moja ya shughuli muhimu zaidi za kijamii alizokuwa akifanya mtukufu huyo. Alikuwa akiwakusanya na kukaa karibu nao watu hao, akisikiliza dukuduku lao kisha akiwapoza na kuwaliwaza kwa machungu waliyokuwa nayo. Imam Jaafar Sadiq (AS) amesimulia kuhusu sifa na mwenendo huo wa Imam Baqir kwa kusema:"Siku moja nilikwenda kwa baba yangu, nikamkuta anagawa dinari elfu nane za dhahabu kwa wahitaji wa Madina na akawakomboa na kuwaachia huru watumwa kumi na moja". Katika siku za mapumziko hususan Ijumaa, Imam Baqir (AS) aliutumia muda wake kwa ajili ya utoaji sadaka na kuwasaidia wahitaji pamoja na kuwashajiisha watu wengine kufanya jema hilo. Katika hadithi nyengine, Imam Sadiq (AS) amesema:"Japokuwa baba yangu alikuwa na uwezo mdogo wa mali kulinganisha na watu wengine wa ukoo wake, na matumizi yake ya gharama za maisha yalikuwa makubwa zaidi kuliko wao lakini kila siku ya Ijumaa alikuwa akitoa misaada kwa wahitaji hata kama msaada wenyewe ni wa kiwango cha dinari moja, na alikuwa akisema:"Zawadi ya sadaka na msaada kwa wahitaji katika siku ya Ijumaa ina fadhila zaidi kama ambavyo siku ya Ijumaa ina fadhila na utukufu zaidi kulinganisha na siku nyenginezo." Katika kuzungumzia sifa na akhlaqi za baba yake, Imam Jaafar Sadiq (AS) anasimulia tena kwa kusema:"Baba yangu alikuwa muda wote katika hali ya kumdhukuru Mwenyezi Mungu. Wakati wa kula chakula alikuwa akimtaja Mwenyezi Mungu. Wakati alipokuwa akizungumza na watu hakuacha pia kumdhukuru Mwenyezi Mungu na ulimi wake ulikuwa muda wote ukitamka kalima ya Laailah illa Allah." Dini tukufu ya Uislamu wapenzi wasikilizaji inalipa umuhimu mkubwa suala la tabia na khulka njema na kuamiliana mtu kwa wema na bashaha na waumini wenzake. Na jambo hilo linachukuliwa na dini hiyo kuwa moja ya thamani aali za kiakhlaqi. Imam Baqir (AS) amelizungumzia jambo hilo kwa kusema:"Tabasamu la mtu kwa ndugu yake muumini ni jambo lenye kupendeza mno; na kuondoa ukungu wa majonzi katika uso wake ni tendo jema, na hajaabudiwa Mwenyezi Mungu kwa kitu bora zaidi kuliko kuufurahisha moyo wa muumini." Mtukufu huyo alikuwa akiwanukulia watu maneno ya babu yake mtukufu Mtume SAW aliposema:"Kila mwenye kumfurahisha muumini amenifurahisha mimi, na kila mwenye kunifurahisha mimi amemfurahisha Mwenyezi Mungu". Muhammad bin Munkadir, ambaye alikuwa mmoja wa maulama wa Kisuni amenukuliwa na Imam Jaafar Sadiq (AS) akisema:"Mimi nilikuwa siamini kama Ali Ibn Hussein ameacha kumbukumbu ya mtoto mwenye fadhila na elimu kama yeye mwenyewe, mpaka nilipokuja kumwona mwanawe Muhammad Ibn Ali.... Wakati mmoja joto lilipokuwa kali mno niliamua kutoka nje na kuelekea kandokando ya Madina. Nilipokuwa njiani nikakutana na Muhammad Ibn Ali. Alikuwa mtu mkakamavu. Wakati huo alikuwa ameshughulika kulima shambani. Nikajisemea moyoni mwangu:"Mtu mkubwa katika wakubwa wa Kikureishi, katika hali ya joto kama hii, ameamua kutoka nje kwa sababu ya kutafuta mali za dunia; acha niende nikampe mawaidha." Nikiwa na nia hiyo nikamsogelea na kumwambia:"Mwenyezi Mungu akutengezee mambo yako; wewe mkubwa miongoni mwa wakubwa wa Kikureishi umetoka nyumbani kwako katika joto hili na katika hali kama hii kwa sababu ya kuhangaikia dunia; ikiwa mauti yatakufika katika hali kama hii utafanya nini? Mtukufu huyo alinielekea na kuniambia:"Naapa kwa Mwenyezi Mungu, endapo mauti yatanifika nikiwa katika hali hii nitaondoka duniani katika hali ya kumtii na kumwabudu Mwenyezi Mungu; kwa sababu ninafanya kazi katika joto kali hili, ili nisiwanyooshee mkono watu. Naam, mimi nahofia hali moja tu, nayo ni kufikwa na mauti nikiwa katika hali ya kufanya mambo ya kumwasi Mwenyezi Mungu mtukufu." Muhammad bin Munkadir anasema:" hapo nilimuelekea mtukufu huyo na kumwambia:"Mwenyezi Mungu akurehemu; mimi nilitaka kukupa mawaidha wewe, lakini ni wewe ndiye uliyeniadhi mimi". Wapenzi wasikilizaji kwa mara nyengine tunatoa mkono wa hongera, kheri na baraka kwa mnasaba wa kuadhimisha siku iliyozaliwa nuru ya elimu na imani, Imam Muhammad Baqir (AS), kwa wafuasi wote wa kweli wa mtukufu huyo . Wassalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Zaidi katika kategoria hii: « Malengo ya kubaathiwa Mtume Muhammad SAW Abul Fadhl Abbas AS, shujaa muungwana »
"2018-02-17T19:44:33"
http://kiswahili.irib.ir/uislamu/minasaba/item/48206-kwa-mnasaba-wa-siku-ya-kuzaliwa-imam-muhammad-baqir-as
[ -1 ]
Kibali cha Polisi Kuandamana. - JamiiForums Kibali cha Polisi Kuandamana. Thread starter Diana-DaboDiff Kwenye miaka ya tisini baada ya tume ya Nyalali kurekebisha sheria kipengele cha kuomba kibali polisi kilifutwa na tukaambiwa mkitaka kuandamana munawajulisha polisi watoe ulinzi. Kuna nyimbo ya Bob Mapesa wa Kenya anauliza kila mara 'tuko mbele au tuko nyuma' mpenzi wake anajibu tuko mbele,sio nia yangu kuongelea wimbo huu lakini nauliza pia 'tunaenda mbele au nyuma' ? Miaka ya hivi karibuni naona kile kipengele cha kuomba kibali polisi kimerudi kinyemela utasikia polisi wamezuia kundi flani kuandamana.Naomba wanasheria humu ndani watujulishe ni vipi tunaomba kibali au tunawajulisha polisi tukitaka kuandamana ? haaaa, hawa polisi jamani polisi wa hii nchi ndugu yangu wapo kimaslahi zaidi,ukiwa na mkwanja utaandamana mpaka uchoke ila kama ni chaka chinu we utakuwa ni mtu wa kulalamika daima,wanazijuwa sheria ila ni makaidi sana,hakuna kilichobadilika kila kitu kipo wazi,hata wanapoongelea kuwa nchi haipo ktk mstabari wa mzuri wa amani wana juwa kuwa Raisi ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza hali ya hatari,ila wao wanatumia kigezo hicho pasipo hata Raisi kutangaza Ila ndio polisi wetu walivyo(walitowa kibali kwa makongoro mahanga kuhutubia wapiga kura-wakamnyima mpendazoe) sasa haki ipo wapi? 3,231 165 160 Hivi tanzania tunao polisi kweli( in the real sense of the word), Au watu wanaovaa uniform za polisi? Kuna kamjamaa kalishikwa live na mabox yenye kura nje ya kituo cha kuhesabia kura, akapelekwa polisi mpaka leo polisi hawajazungumzia ni vipi jamani, angalia kifungu 91 (1)(h) cha sheria ya uchaguzi sura 343 kama ilivyorekebishwa Juni 2010. Wala hawajamfikisha mahakamani. Waandishi mbona hawafuatilii hii kitu? Posts 28,145,872
"2018-09-22T02:03:19"
https://www.jamiiforums.com/threads/kibali-cha-polisi-kuandamana.91405/
[ -1 ]
ManYoTa☆ - @tzmubashara Download Twitter MP4 Videos and Browse Tweets with Statistics | Twigur ManYoTa☆ @tzmubashara @tzmubashara Statistics We looked inside some of the tweets by @tzmubashara and found useful information for you. @shaunasimms123 @rEFEjAv0iRhewPy @fshihah_ @khantwinz @roshanx8 @if38MxvPA @MrBolon_ @mami_508 @agata1332 @Manonrollin @angellocsinbe Mzee Meko ajiandae dhidi ya hao magwiji wa ccm na mabingwa wa mipango na mbinu... akumbuke kuwa hao watu hawajawahi kufeli... bye bye Magufuli 2020. 📌📌📌 #KitabuChaHistoriaYaRaisMkapa Barua ya Mwalimu Nyerere kujiuzulu ualimu Pugu Sekondari, ili kushiriki siasa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika, Jumanne Machi 22, 1955 FENTYLOOK @THEFENTYLOOK Ilivyokuwa mara ya mwisho tulipocheza na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu. Tuliibuka na ushindi wa magoli 2-0, magoli yakifungwa na Paul Bukaba na Medie Kagere. #NguvuMoja Nashukuru sana bado kuna Watanzania wenye kujali weledi ( professionalism ) kama huyu. Anajibu bila woga na kwa ufasaha mpaka Amiri Jeshi Mkuu anakosa maswali wala mifano ya kujenga hoja zake. Natumai Rais @MagufuliJP atakuwa amejifunza kusikiliza wataalamu “Tanzania ilikuwepo kabla ya Mheshimiwa Magufuli (Rais) na itakuwepo baada yake. Tanzania si mali ya mtu awaye yeyote bali ni mali ya Mungu muumbaji wa mbingu na nchi.” - Askofu Stephen Munga. Soma zaidi >http://bit.ly/2ObZYph https://t.co/amnZ7CN9GR ''Wachunguzi hawakuwa wakitafuta ukweli bali walikuwa wakinitafuta'' #trouble on http://FENTY.com Familia 🦁 #NguvuMoja “Mtu aliyekwenda shule hana haja ya kutuambia kuwa ana ‘Degree’ tutajua tu, Elimu ya kweli inataka uanze kwa kukiri kwamba hujui ndio unafungua milango, siku unaposema mimi najua mimi nina cheo haniambii Mtu kitu, siku hiyohiyo unatangaza kufeli”-RC MWANRI https://youtu.be/NCwD0wcAyVo Huyu ndiye mchezaji pekee Tanzania nzima anayecheza namba zote Uwanjani 😂 #TBT Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipotunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) katika ukumbi wa Chimwaga Jijini Dodoma. MSIMAMO: Baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi, msimamo unaonesha Tanzania Bara itakutana na Uganda wakati Kenya ikiumana na Burundi kwenye nusu fainali itakayopigwa Jumamosi Novemba 23, 2019. #AzamSports2 #CecafaSeniorWomensChallengeCup #CECAFAWomenChallengeCup #Msimamo Martin M. M "Alichokifanya Rais ni kuzuia mapanki wakati minofu inakwenda.... Mheshimiwa Mwenyekiti for the records naomba niseme, hizo kamati mbili za (Profesa Mruma na Profesa Osoro) ni 'professorial Rubbish'. Ni uongo! Uongo! Uongo" — @TunduALissu terrance🏄‍♂️🏄‍♂️ @TerryLoveday8 Samatta to West Ham in January could really bolster our attack. Get it done @CloudsMediaLive Jose Mourinho anaripotiwa yupo kwenye hatua za mwisho kurithi ajira iliyoachwa wazi na Mauricio Pochettino katika klabu ya Tottenham ..... Spurs wanaenda Old Trafford tarehe 4/12/2019 vs United 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 https://t.co/JedFw4VTZF Mourinho kocha mpya Tottenham Spurs Pick your fave 😍😍😍 #Bugatti
"2019-11-22T21:39:11"
https://www.twigur.com/account/tzmubashara
[ -1 ]
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III (Dondoo II) | Kanisa la Mwenyezi Mungu Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III (Dondoo II) Hatima ya Binadamu na Hatima ya Ulimwengu Haviwezi Kutenganishwa na Ukuu wa Muumba Nyinyi nyote ni watu wazima. Baadhi yenu ni wa umri wa kati; baadhi mmefikisha umri wa uzee. Kutoka kwa yule asiyesadiki hadi kwa yule anayesadiki, na kuanzia mwanzo wa kusadiki kwa Mungu hadi kukubali neno la Mungu na kuweza kupitia kazi ya Mungu, je, ni maarifa kiwango kipi mliyopata kuuhusu ukuu wa Mungu? Ni maono yapi mliyopata kwenye hatima yenu ya kuwa binadamu? Je, mtu anaweza kutimiza kila kitu anachotamani katika maisha? Je, ni mambo mangapi kwenye miongo michache iliyopita katika kuwepo kwenu mliyoweza kutimiza kama mlivyopenda? Ni mambo mangapi hayafanyiki kama yalivyotarajiwa? Ni mambo mangapi hutupata kwa mshangao mzuri? Ni mambo mangapi ambayo ungali unasubiri kutimia—unasubiri bila kufahamu muda sahihi, unasubiria mapenzi ya Mbinguni? Mambo mangapi yanakufanya uhisi kana kwamba huna wa kukusaidia na umezuiliwa? Watu wote wanayo matumaini kuhusu hatima yao, na hutarajia kwamba kila kitu katika maisha yao kitaenda sawa na wanavyopenda, kwamba hawatakosa chakula wala mavazi, kwamba utajiri wao utaongezeka pakubwa. Hakuna anayetaka maisha ya kimaskini na ya taabu, yaliyojaa ugumu, na kuandamwa na majanga. Lakini watu hawawezi kuona mbele au kudhibiti mambo haya. Pengine kwa baadhi ya watu, yaliyopita ni mchanganyiko tu wa yale mambo waliyoyapitia; hawajifunzi katu ni nini mapenzi ya Mbinguni, wala hawajali mapenzi hayo ni yapi. Wanaishi kwa kudhihirisha maisha yao bila kufikiria, kama wanyama, wakiishi siku baada ya siku, bila kujali kuhusu hatima ya binadamu ni nini, kuhusu ni kwa nini binadamu wako hai au vile wanavyostahili kuishi. Watu hawa hufikia umri wa uzee bila ya kufaidi ufahamu wowote wa hatima ya binadamu, na mpaka wakati ule wanapokufa hawana habari yoyote kuhusu maana ya maisha. Watu kama hao wamekufa; ni viumbe bila roho; wao ni wanyama. Ingawaje katika kuishi miongoni mwa mambo haya yote, watu hupata furaha kutoka kwa njia nyingi ambazo ulimwengu hutosheleza mahitaji yao ya anasa, ingawaje wanauona ulimwengu huu wa anasa ukiwa unapiga hatua bila kusita, hali yao binafsi waliyoipitia—kile ambacho mioyo yao na roho zao zinahisi na kupitia—hakina uhusiano wowote na mambo ya anasa, na hakuna kitu chochote cha anasa ambacho kinaweza kuchukua nafasi yake. Ni utambuzi ndani ya moyo wa mtu, kitu ambacho hakiwezi kuonekana kwa jicho vivyo hivyo tu. Utambuzi huu umo katika ufahamu wa mtu wa, na hisia za mtu za, maisha ya binadamu na hatima ya binadamu. Na mara nyingi humwongoza mtu katika kuelewa kwamba Bwana yule asiyeonekana anapanga vitu vyote, Anaunda kila kitu kwa ajili ya binadamu. Katikati ya haya yote, mtu hawezi kuepuka ila kukubali mipangilio na mipango ya hatima ya mambo; wakati uo huo, mtu hawezi kuepuka ila kukubali njia iliyo mbele ambayo Muumba amempangia, ukuu wa Muumba dhidi ya hatima ya mtu. Hii ndiyo hoja isiyopingika. Haijalishi ni maono na mtazamo gani ambao mtu anao kuhusu hatima yake, hakuna anayeweza kubadilisha hoja hii. Pale utakapoenda kila siku, kile utakachofanya, yule au kile utakachokumbana nacho, kile utakachosema, kile kitakachokufanyikia—je, kati ya vyote hivi kipo kinachoweza kutabirika? Watu hawawezi kutabiri matukio haya yote, sikutajii kudhibiti namna ambavyo yanavyoendelea. Katika maisha, matukio haya yasiyotabirika hufanyika kila wakati, na ni tukio la kila siku. Mabadiliko haya ya kila siku na njia ambazo yanajitokeza, au ruwaza ambazo yanajitokeza, ni vikumbusho vya kila wakati kwa binadamu kwamba hakuna kinachofanyika bila mpango, kwamba njia ya maendeleo inayochukuliwa na mambo haya, na kutoepukika kwa mambo haya, haviwezi kubadilishwa na mapenzi ya binadamu. Kila tukio linaonyesha onyo kutoka kwa Muumba kwa mwanadamu, na pia linatuma ujumbe kwamba, binadamu hawawezi kudhibiti hatima zao wenyewe; na wakati uo huo kila tukio ni upingaji wa malengo yasiyo na mwelekeo, yasiyo na maana ya binadamu na tamanio la kuchukua hatima yake na kutaka kuidhibiti mwenyewe. Ni sawa na makofi yenye nguvu juu ya masikio ya binadamu moja baada ya jingine, yanayolazimisha binadamu kufikiria upya ni nani, hatimaye, atatawala na kudhibiti hatima yao. Na kama vile malengo na matamanio yao yanavyokiukwa mara kwa mara na kusambaratika, binadamu kwa kawaida huishia kukubali kwa nadharia yao bila kufahamu kile ambacho hatima yao imesheheni, kukubali kwa uhalisi, kwa mapenzi ya Mbinguni na ukuu wa Muumba. Kutokana na mabadiliko haya ya kila siku katika hatima za maisha yote ya binadamu, hakuna kitu ambacho hakifichui mipango ya Muumba na ukuu Wake; hakuna kile ambacho hakiutumi ujumbe huu kwamba “yale mamlaka ya Muumba hayawezi kupitwa,” ambacho hakionyeshi ukweli wa milele kwamba “mamlaka ya Muumba ni ya juu zaidi.” Hatima za binadamu na zile za ulimwengu zimeingiliana kwa ndani na ukuu wa Muumba, zimefungamanishwa na haziwezi kutenganishwa na mipango ya Muumba; na hatimaye, haziwezi kutenganishwa na mamlaka ya Muumba. Kupitia kwenye sheria za mambo yote binadamu huja kuelewa mipango ya Muumba na ukuu Wake; kupitia kwenye sheria za namna ya kuishi ambazo anaona katika utawala wa Muumba; kutoka kwenye hatima za mambo yote anapata hitimisho kuhusu njia ambazo Muumba huonyesha ukuu Wake na kuvidhibiti; na kwenye mzunguko wa maisha ya binadamu na mambo yote ambayo binadamu kwa kweli hupitia ile mipango na mipangilio ya Muumba kwa mambo yote na kwa viumbe vyote vilivyo hai na anashuhudia kwa kweli namna ambavyo mipango na mipangilio hiyo inavyozidi sheria zote za nchi, kanuni, na taasisi, mamlaka na nguvu zote nyingine. Kwa mujibu wa haya, binadamu wanashawishiwa kutambua kwamba, ukuu wa Muumba hauwezi kukiukwa na kiumbe chochote kilichoumbwa, kwamba hakuna nguvu zinazoweza kuharibu au kubadilisha matukio na mambo yaliyoamuliwa kabla na Muumba. Ni kupitia kwenye sheria na kanuni hizi takatifu ambapo binadamu na viumbe vyote wanaweza kuishi na kuzalisha, kizazi baada ya kizazi. Je, huu si mfano halisi wa mamlaka ya Muumba? Nyinyi nyote ni watu wazima. Baadhi yenu ni wa umri wa kati; baadhi mmefikisha umri wa uzee. Kutoka kwa yule asiyesadiki hadi kwa yule anayesadiki, na kuanzia mwanzo wa kusadiki kwa Mungu hadi kukubali neno la Mungu na kuweza kupitia kazi ya Mungu, je, ni maarifa kiwango kipi mliyopata kuuhusu ukuu wa Mungu? Ni maono yapi mliyopata kwenye hatima yenu ya kuwa binadamu? Je, mtu anaweza kutimiza kila kitu anachotamani katika maisha? Je, ni mambo mangapi kwenye miongo michache iliyopita katika kuwepo kwenu mliyoweza kutimiza kama mlivyopenda? Ni mambo mangapi hayafanyiki kama yalivyotarajiwa? Ni mambo mangapi hutupata kwa mshangao mzuri? Ni mambo mangapi ambayo ungali unasubiri kutimia—unasubiri bila kufahamu muda sahihi, unasubiria mapenzi ya Mbinguni? Mambo mangapi yanakufanya uhisi kana kwamba huna wa kukusaidia na umezuiliwa? Watu wote wanayo matumaini kuhusu hatima yao, na hutarajia kwamba kila kitu katika maisha yao kitaenda sawa na wanavyopenda, kwamba hawatakosa chakula wala mavazi, kwamba utajiri wao utaongezeka pakubwa. Hakuna anayetaka maisha ya kimaskini na ya taabu, yaliyojaa ugumu, na kuandamwa na majanga. Lakini watu hawawezi kuona mbele au kudhibiti mambo haya. Pengine kwa baadhi ya watu, yaliyopita ni mchanganyiko tu wa yale mambo waliyoyapitia; hawajifunzi katu ni nini mapenzi ya Mbinguni, wala hawajali mapenzi hayo ni yapi. Wanaishi kwa kudhihirisha maisha yao bila kufikiria, kama wanyama, wakiishi siku baada ya siku, bila kujali kuhusu hatima ya binadamu ni nini, kuhusu ni kwa nini binadamu wako hai au vile wanavyostahili kuishi. Watu hawa hufikia umri wa uzee bila ya kufaidi ufahamu wowote wa hatima ya binadamu, na mpaka wakati ule wanapokufa hawana habari yoyote kuhusu maana ya maisha. Watu kama hao wamekufa; ni viumbe bila roho; wao ni wanyama. Ingawaje katika kuishi miongoni mwa mambo haya yote, watu hupata furaha kutoka kwa njia nyingi ambazo ulimwengu hutosheleza mahitaji yao ya anasa, ingawaje wanauona ulimwengu huu wa anasa ukiwa unapiga hatua bila kusita, hali yao binafsi waliyoipitia—kile ambacho mioyo yao na roho zao zinahisi na kupitia—hakina uhusiano wowote na mambo ya anasa, na hakuna kitu chochote cha anasa ambacho kinaweza kuchukua nafasi yake. Ni utambuzi ndani ya moyo wa mtu, kitu ambacho hakiwezi kuonekana kwa jicho vivyo hivyo tu. Utambuzi huu umo katika ufahamu wa mtu wa, na hisia za mtu za, maisha ya binadamu na hatima ya binadamu. Na mara nyingi humwongoza mtu katika kuelewa kwamba Bwana yule asiyeonekana anapanga vitu vyote, Anaunda kila kitu kwa ajili ya binadamu. Katikati ya haya yote, mtu hawezi kuepuka ila kukubali mipangilio na mipango ya hatima ya mambo; wakati uo huo, mtu hawezi kuepuka ila kukubali njia iliyo mbele ambayo Muumba amempangia, ukuu wa Muumba dhidi ya hatima ya mtu. Hii ndiyo hoja isiyopingika. Haijalishi ni maono na mtazamo gani ambao mtu anao kuhusu hatima yake, hakuna anayeweza kubadilisha hoja hii. Pale utakapoenda kila siku, kile utakachofanya, yule au kile utakachokumbana nacho, kile utakachosema, kile kitakachokufanyikia—je, kati ya vyote hivi kipo kinachoweza kutabirika? Watu hawawezi kutabiri matukio haya yote, sikutajii kudhibiti namna ambavyo yanavyoendelea. Katika maisha, matukio haya yasiyotabirika hufanyika kila wakati, na ni tukio la kila siku. Mabadiliko haya ya kila siku na njia ambazo yanajitokeza, au ruwaza ambazo yanajitokeza, ni vikumbusho vya kila wakati kwa binadamu kwamba hakuna kinachofanyika bila mpango, kwamba njia ya maendeleo inayochukuliwa na mambo haya, na kutoepukika kwa mambo haya, haviwezi kubadilishwa na mapenzi ya binadamu. Kila tukio linaonyesha onyo kutoka kwa Muumba kwa mwanadamu, na pia linatuma ujumbe kwamba, binadamu hawawezi kudhibiti hatima zao wenyewe; na wakati uo huo kila tukio ni upingaji wa malengo yasiyo na mwelekeo, yasiyo na maana ya binadamu na tamanio la kuchukua hatima yake na kutaka kuidhibiti mwenyewe. Ni sawa na makofi yenye nguvu juu ya masikio ya binadamu moja baada ya jingine, yanayolazimisha binadamu kufikiria upya ni nani, hatimaye, atatawala na kudhibiti hatima yao. Na kama vile malengo na matamanio yao yanavyokiukwa mara kwa mara na kusambaratika, binadamu kwa kawaida huishia kukubali kwa nadharia yao bila kufahamu kile ambacho hatima yao imesheheni, kukubali kwa uhalisi, kwa mapenzi ya Mbinguni na ukuu wa Muumba. Kutokana na mabadiliko haya ya kila siku katika hatima za maisha yote ya binadamu, hakuna kitu ambacho hakifichui mipango ya Muumba na ukuu Wake; hakuna kile ambacho hakiutumi ujumbe huu kwamba “yale mamlaka ya Muumba hayawezi kupitwa,” ambacho hakionyeshi ukweli wa milele kwamba “mamlaka ya Muumba ni ya juu zaidi.” Hatima za binadamu na zile za ulimwengu zimeingiliana kwa ndani na ukuu wa Muumba, zimefungamanishwa na haziwezi kutenganishwa na mipango ya Muumba; na hatimaye, haziwezi kutenganishwa na mamlaka ya Muumba. Kupitia kwenye sheria za mambo yote binadamu huja kuelewa mipango ya Muumba na ukuu Wake; kupitia kwenye sheria za namna ya kuishi ambazo anaona katika utawala wa Muumba; kutoka kwenye hatima za mambo yote anapata hitimisho kuhusu njia ambazo Muumba huonyesha ukuu Wake na kuvidhibiti; na kwenye mzunguko wa maisha ya binadamu na mambo yote ambayo binadamu kwa kweli hupitia ile mipango na mipangilio ya Muumba kwa mambo yote na kwa viumbe vyote vilivyo hai na anashuhudia kwa kweli namna ambavyo mipango na mipangilio hiyo inavyozidi sheria zote za nchi, kanuni, na taasisi, mamlaka na nguvu zote nyingine. Kwa mujibu wa haya, binadamu wanashawishiwa kutambua kwamba, ukuu wa Muumba hauwezi kukiukwa na kiumbe chochote kilichoumbwa, kwamba hakuna nguvu zinazoweza kuharibu au kubadilisha matukio na mambo yaliyoamuliwa kabla na Muumba. Ni kupitia kwenye sheria na kanuni hizi takatifu ambapo binadamu na viumbe vyote wanaweza kuishi na kuzalisha, kizazi baada ya kizazi. Je, huu si mfano halisi wa mamlaka ya Muumba?
"2020-04-10T00:00:53"
https://sw.godfootsteps.org/recital-daily-words-of-God-07-1-2.html
[ -1 ]
RC Songwe awashukia TBA kuhusu ujenzi wa nyumba za serikali – Dar24 3 months ago Comments Off on RC Songwe awashukia TBA kuhusu ujenzi wa nyumba za serikali Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Elias Mwangela amewataka Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA) kukamilisha miradi ya ujenzi wanayopewa ndani ya muda wa makubaliano ya mikataba. Ameyasema hayo wakati akishuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya ujenzi wa Nyumba ya Mkuu wa Mkoa na ya Katibu Tawala Mkoa kati ya TBA na Katibu Tawala Mkoa wa Songwe. Amesema kuwa TBA wamechelewesha ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na ujenzi wa Hospitali ya Mji wa Tunduma hivyo ucheleweshaji huo usirudie tena katika mikataba hiyo miwili waliyopewa kwani hatasita kuvunja mikataba hiyo endapo wataonyesha ucheleweshaji. “TBA mna sifa nzuri ya kujenga majengo ya serikali kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na kwa gharama nafuu lakini kuna wakati kunakuwa na kusita katika kuwapa kazi kutokana na historia yenu ya kuchelewesha kukamilisha miradi mnayopewa ya ujenzi,” amesema Brig. Jen. Mwangela. Naye Katibu Tawala Mkoa wa Songwe, David Z. Kafulila ameishukuru serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuupatia Mkoa wa Songwe kiasi cha shilingi bilioni 26.8 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali mkoani humo. Aidha, amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa fedha za miradi mbalimbali lakini kasi ya utoaji wa fedha na matumizi ya fedha hizo kwenye miradi husika imekuwa haiendani na hivyo kusababisha kuchelewa kukamilika kwa miradi hiyo. Hata hivyo, kwa upande wake Kaimu Meneja wa TBA Mkoa wa Songwe Mhandisi, Fidelis Cosmas ameishukuru serikali kwa kuendelea kuwaamini na kuwapa miradi hiyo miwili yenye thamani ya shilingi bilioni moja na kuahidi kuikamilisha kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa. Ole Sendeka atoa maagizo,' Sasa kuanza na wenyeviti'
"2019-04-24T04:00:19"
http://dar24.com/rc-songwe-awashukia-tba-kuhusu-ujenzi-wa-nyumba-za-serikali/
[ -1 ]
Kagere freshi, Makambo achomolewa Yanga - Mwanaspoti Kagere freshi, Makambo achomolewa Yanga Kabla mechi za jana Ijumaa Kagere alikuwa na mabao 20, Makambo (Yanga) akiwa na 16 sawa na Aiyee (Mwadui) na Bocco akiwa na 14 sawa na Okwi wote wa Simba. Akizungumza na Mwanaspoti, Straika huyo alisema kwa hali ilivyo ni wazi nyota wa Simba, Kagere, Okwi na Bocco mmojawapo anaweza kubeba tuzo hiyo lakini kwa Makambo wa Yanga hawezi kufurukuta. MWANZA. STRAIKA wa Mwadui FC,Salim Aiyee amewataja nyota wa Simba, Meddie Kagere, Emanuel Okwi na John Bocco mmoja wapo kubeba tuzo ya mfungaji bora, huku akimchomoa Heritier Makambo wa Yanga kwenye vita hiyo msimu huu. Aiyee ambaye alianza kwa kasi msimu huu na kuongoza kwa muda mrefu kwenye orodha ya ufungaji mabao kwa kupachika 16, kwa sasa ameshaachwa nyuma mabao manne na Straika wa Simba Meddie Kagere. Alisema sababu ya kuwapa nafasi wachezaji wa Simba ni kutokana na kuwa na mechi nyingi lakini hata kombinesheni yao inatisha sana lakini pia wana uwezo hata kiuchumi. “Sijakata tamaa, lakini kiukweli Kagere, Okwi na Bocco mmoja wapo anaweza kubeba tuzo ya mfungaji bora, Makambo hapana hayumo kabisa, wale Simba kombinesheni yao ni nzuriîalisema Aiyee. Pia mshambuliaji huyo alieleza kuwa kupungua kwa kasi yake kwenye ufungaji mabao ni kutokana na mechi nyingi za ugenini kuwa na changamoto nyingi ikiwamo kukamiwa, alikiri ushindani msimu huu umekuwa mkali kutokana na ongezeko la timu.
"2020-01-25T06:13:39"
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Kagere-freshi--Makambo-achomolewa-Yanga/1799484-5110466-xgj0ovz/index.html
[ -1 ]
MKWASA ATANGAZA KIKOSI CHA 24, AWAACHA SAMATTA, ULIMWENGU, OSCAR JOSHUA NDANI - SALEH JEMBE Home » Kitaifa » MKWASA ATANGAZA KIKOSI CHA 24, AWAACHA SAMATTA, ULIMWENGU, OSCAR JOSHUA NDANI MKWASA ATANGAZA KIKOSI CHA 24, AWAACHA SAMATTA, ULIMWENGU, OSCAR JOSHUA NDANI Kocha Mkuu timu ya Mpira Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 24 watakaoanza kambi ya awali kuajindaa na mchezo dhidi ya Nigeria utakaofanyika Lagos, Septemba 2, 2016. Kwa mujibu wa Mkwasa, timu hiyo itaingia kambini Agosti 1, 2016 na itadumu kwa siku tano tu kabla ya kuvunjwa na kuitwa tena mwishoni mwa mwezi Agosti, 2016 kujiandaa na kambi ya mwisho na moja kwa moja itakuwa ni kwa ajili ya safari kwenda Nigeria. Katika kikosi hicho, Mkwasa hajaita nyota wa kimataifa akiwamo Nahodha, Mbwana Samatta wa FC Genk ya Ubelgiji na Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa sababu ya majukumu waliyonayo kwenye klabu zao kwa sasa. Kadhalika, nyota hao wataungana na wenzao nchini Nigeria kwa kuwa mchezo huo upo kwenye kalenda ya CAF na ni wa mashindano. Mchezo huO ambao ni wa kukamilisha ratiba, Mkwasa amesema utakuwa mgumu kwani Nigeria wamebadili benchi la ufundi hivyo kila timu inaungalia mchezo huu kwa jicho la pekee. Wachezaji walioitwa ni: Deogratius Munishi Benny Kakolanya Mebeki: Mohamed Husein ‘Tshabalala’ Ibrahim Jeba Hassan Kabunda Jamal Mnyate Jeremia Juma IMEWEKWA NA saleh ally @ 3:20 PM
"2017-09-20T23:40:40"
https://salehjembe.blogspot.com/2016/07/mkwasa-atangaza-kikosi-cha-24-awaacha.html
[ -1 ]
Tukifa pamoja naye,Tutaishi Pamoja Naye | YesuniBwana Home › Mafunzo › Tukifa pamoja naye,Tutaishi Pamoja Naye Tukifa pamoja naye,Tutaishi Pamoja Naye Posted on July 12, 2013 by yesunibwana — 2 Comments Tutaishi Pamoja naye ‹ Imani yetu Ijengwe Kwenye Nguvu za Mungu Ukikiona Chochote CHEMA Ndani Yangu › Tagged with: tutaishi, yesu 2 comments on “Tukifa pamoja naye,Tutaishi Pamoja Naye” Dionise Majaliwa says: Yesu yu hai ktkameno km haya yaliyojaa nguvu kuu ya roho wa Mungu Hakika tutapona ikiwa tutamtii roho wa Mungu anenaye masi kupitia mtumishi wake; M.D.K Mwalimu Mungu wa mbinguni aishiye milele Akutimizie haja za moyo wako na aendelee kukufanya msaada kwa watu wake! Amina .. Mungu akubariki Dionese
"2017-11-21T17:15:08"
https://yesunibwana.org/2013/07/12/tukifa-pamoja-nayetutaishi-pamoja-naye/
[ -1 ]
Siungi mkono mgomo wa madaktari... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by ZeMarcopolo, Jan 28, 2012. Kitanda usicho kilalia hujui kunguni wake wanaumaje. Mgomo ni risasi ya mwisho mkuu. Hasa mgomo wenyewe ukiwa unahusu maisha ya binadamu na wala si mgomo wa kutengeneza soda. Risasi hiyo inaonekana kutumika vibaya dhidi ya wanyonge wasiokuwa hata na bakora. Naunga mkono kichwa cha habari hawa jamaa hawajui wanachotaka hawaeleweki,wengine wanagoma wengine wanafanya kazi,hivi fabi yao kama ingekua kutibu ngombe wangegoma au kwa kua wanajua wameshika roho za watu,ni dhambi kwa mungu na si utu,walaaaniwe Kitanda usicho kilalia hujui kunguni wake wanaumaje.Click to expand... Asante mkuu, hata swala la kumeandikia mgonjwa dawa na hazipo inabidi anunue na Hana pesa hivyo hawezi kupona pia sio la madaktari? Huyu jamaa haelewi namwalika aje kazini kwangu ashinde siku nzima aone tunayokumbana nayo ndo arudi hapa kuandika hawa jamaa hawajui wanachotaka hawaeleweki,wengine wanagoma wengine wanafanya kazi,hivi fabi yao kama ingekua kutibu ngombe wangegoma au kwa kua wanajua wameshika roho za watu,ni dhambi kwa mungu na si utu,walaaaniweClick to expand... Ilaaniwe serikali yako isiyotupatia vitendea kazi, nimepita Kilimanjaro hospitali ya mkoa haina chumba cha upasuaji tangu wafunge kilichokuwepo 27/12/2010 ni zaidi ya mwaka sasa wananchi wanateseka. KCMC is congested inabidi kuwalaza chini. Hapo nani alaaniwe? Mbona husemi rais wako apumguze miziruro tujenge theatre na kununua vifaa na kuwalipa wanaokesha 24 hours call posho Iongezeke toka 10,000? Asante mkuu, hata swala la kumeandikia mgonjwa dawa na hazipo inabidi anunue na Hana pesa hivyo hawezi kupona pia sio la madaktari? Huyu jamaa haelewi namwalika aje kazini kwangu ashinde siku nzima aone tunayokumbana nayo ndo arudi hapa kuandikaClick to expand... Swala la kumuandikia mgonjwa dawa akakosa pesa ya kununua liko dunia nzima, sio kwenye kituo chako cha kazi tu. Na kama umeelewa mafunzo yako shuleni hupaswi kuwa na sympathy, unapaswa kuwa na empathy. Ukigoma humsaidii huyo mgonjwa aliyekosa dawa, kwa sababu the fact is hakuna serikali duniani yenye uwezo wa kuwanunulia dawa wananchi wake wote. Hata hivyo, swala hilo ni la wananchi na viongozi wao. Hadi leo na umri wangu huu nashindwa kabisa kuwaelewa watanzania wenzangu... Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mtu ambaye hajawahi kugusa shule analaani wanafunzi wa vyuo vikuuu kwa kugoma. Wakati wakigoma masaa 2, maji ambayo yalikatika kwa week nzima yanaanza kuflow kwenye mabomba.....Very pathetic in deed! Hivi kwa nini madaktari na watumishi wengine kama walimu ndio wafuate utaratibu mrefu kurekebishiwa maslahi yao wakati wanasiasa wanarekebishiwa ndani ya masaa? Marekebisho yawe kwa asilimia ngapi nalo ni issue...hivi kutoka 70K kwenda 200K ni asilimia ngani na ilichukua miaka mingapi kubadili sera? Mara ngapi order ya kupandisha mishahara ya madaktari wakati mgomo imetolewa na kutekelezwa ndani ya 24hrs??? Bado nasikitika sana!! Unaunga mkono hali ya sasa ilivyo ambayo imefikisha mahali hapa; kuanzia 2006 kumekuwa na changamoto zile zile. Hoja ya umaskini haina mshiko kwa sababu kama ingekuwa kweli unaweza vipi kuelezea ongezeko la posho za wabunge katika nchi maskini? Iongezeke toka 10,000?Click to expand... play ur part kaka usigome kisa hospitali vitanda havitoshi, ingekua unafanya kazi zimamoto gari ipo moja ungegoma.unaweza kuokoa maisha ya mtu hata kama kalala chini hospitali,kina mama wajawazito wanavitanda nyumbani wanalala chini kuwafuata nyie halafu mmegoma nafsi inawasuta,kazi yenu ni wito,ni sawa na kuona mtu kagogwa na gari humjui ukaitwa na kitu kumsaidia bila kutegemea malipo.lkn hospitali za serikali mnazuga tu mpate majina mwende aga khan badae jioni.mna bahati ipo siku mtkua wengi we utakua ushakufa hamtaringa. Huungi mkono mgomo wa madaktari lakini unaunga mkono hatua ya kugeuza Muhimbili kuwa kituo cha wakubwa kupumzikia kabla ya kwenda India? Huungi mkono mgomo wa madaktari lakini unaunga mkono kwa sababu wanadai nyongeza ya mshahara lakini unaunga mkono hatua ya serikali ya ccm ya kuongeza posho za wabunge? Pengine nikuulize, utamlipa kiasi gani mtu anamtibu ndugu/mtoto ugonjwa ambao potentially unaweza kumuua? Hata Blandina Nyoni ,Pinda ,baazi ya wafuasi wa Magamba na Mganga JK hawaungi mkono huu mgomo .Kwa hiyo usijione mpekwe ukafikiri upo peke yako. Naunga mkono juhudi za mtu yoyote yule kudai haki zake. Madaktari wamenyimwa haki zao kwa muda mrefu na wamekuwa wakionewa, wakinyanyaswa na kudhalilishwa na serikali kila mara wanapojaribu kudai haki hizo. Suala la wagonjwa kufa halipendezi wala halikubaliki. Lakini je ni kweli kwamba ni madaktari pekee ndio wenye wajibu wa kuhakikisha kuwa wagonjwa hawafi wanapofika hospitalini? Kila mtu akitimiza wajibu wake hakuna mgonjwa atakayekufa kwa magonjwa yanayotibika nchi hii. KCMC ni ya Serikali??? kwanini mnachanganya madawa? Zemarcopolo... unakumbuka Nyerere alivyotuaminisha mapinduzi ya russia , cuban revolution, mahatma gandhi, nk?? Na je unafahamu madaktari wanasaidia watanzania wote kwa serikali kukumbuka wajibu?? je unajua kwamba no pain no gain?? pia si unafahamu katika kila generation kuna sacrifices?? I expected you to be against drs. lakini kwasababu sijui nafasi yako kwa jamii, naishia hapo MIE NAUNGA MKONO DRS STAND Kiasi usiuunge mkono mgomo kwa sababu ukiumwa pesa za ufisadi zitakutibi nje ya nchi Wapo watu wanataka mema lakini hawataki kulipia gharama ya mema hayo. Wapo wanataka waone kuwa huduma ya afya nchini inaboreshwa lakini hawako tayrai kuona kuwa serikali inalazimishwa kuboresha huduma hiyo baada ya njia nyingine zote kushindwa. Ni sawasawa na mtu ambaye anataka kubakia na keki yake lakini wakati huo huo anataka kuila. Mengi ya madai ya madaktari ni illusion hayawezi kutekelezeka kwa uchumi uliopo... So kwa madai hayo na kutaka yafanyiwe kazi immediately...inabidi watafute kazi sehemu nyingine..this is free market Kama unaona muajir wako hawezi kukutimizia maslahi yako kama upendavyo unaweza kwenda kufanya kazi kwa wahindi...au private sector au waanzishe hospitali zao walipane wenyewe kama watakavyoona inafaa.. Mapato ya madaktari ni sawa na ya mwalimu, ni sawa na ya Askari, ni sawa na ya Mkulima???? Wapo watu wanataka mema lakini hawataki kulipia gharama ya mema hayo. Wapo wanataka waone kuwa huduma ya afya nchini inaboreshwa lakini hawako tayrai kuona kuwa serikali inalazimishwa kuboresha huduma hiyo baada ya njia nyingine zote kushindwa. Ni sawasawa na mtu ambaye anataka kubakia na keki yake lakini wakati huo huo anataka kuila.Click to expand... Kwani lazima daktari afanye kazi serikalini????? Wafungue hospitali zao walipane wapendavyo..
"2016-12-08T22:13:07"
http://www.jamiiforums.com/threads/siungi-mkono-mgomo-wa-madaktari.217343/
[ -1 ]
VIJIMAMBO: UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA ULIVYADHIMISHA SIKU YA MUUNGANO Mhe. Baraka Luvanda (kulia), Balozi wa Tanzania nchini India akimpokea Mhe. Shri Vijay Goel, Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Taifa ya Tanzania iliyofanyika jijini New Delhi tarehe 26 Aprili 2018. Mhe. Baraka Luvanda (kulia), Balozi wa Tanzania nchini India akiwa katika mazungumzo na Mhe. Shri Vijay Goel, Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India kabla ya kuanza rasmi kwa hafla ya kuadhimisha Siku ya Muungano wa Tanzania. Balozi Luvanda akiwahutubia washiriki wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Muungano wa Tanzania Balozi Luvanda akigongesheana glasi na Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India ikiwa ni ishara ya kuutakia mema Muungano wa Tanzania uweze kudumu milele. Mhe. Shri Vijay Goel, Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India (katikati) akionesha jarida kuhusu miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini India na kuzinduliwa rasmi katika hafla hiyo. Mhe. Baraka Luvanda (kulia), Balozi wa Tanzania nchini India akimkabidhi zawadi ya kinyago Mhe. Shri Vijay Goel, Waziri wa Nchi, Masuala ya Bunge na Takwimu wa India.
"2019-01-22T21:06:44"
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2018/04/ubalozi-wa-tanzania-nchini-india.html
[ -1 ]
Said Meck Sadik ndie Amiri jeshi wa Tanzania? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Said Meck Sadik ndie Amiri jeshi wa Tanzania? Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Khakha, Oct 20, 2012. wakuu JF, ninasoma gazeti la mwananchi la leo tarehe 20 oktoba ukurasa wa tatu kwenye kipengele cha 'uwepo wa jwtz'. headline ya leo gazetini ni khs kadhia ya jana dar na znz na kutumika kwa JWTZ kutuliza kadhia ya jana. ktk ukurasa huo nimesoma paragrafu isomekayo km ifuatavyo- 'hata hivyo, habari kutoka ndani ya jeshi hilo(hapa ni jwtz) zinasema kuwa ombi la kuwapo askari hao(wa jwtz) kulitokana na ombi laRC wa dar es salaam, said mecky sadik ambaye aliomba liwe tayari kusaidia endapo polisi wangezidiwa. wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari? Acha kukuza mambo na ww!!.ulitaka iweje?. wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari?Click to expand... Kaika nchi kama Tanzania, kila mtu anaweza kutoa amri, ili mradi awe anaisaidia Serekali. Ila kata habari hii naona umejichangaji (Hujui tofauti kati ya ombi na amri. Tazama hapo kwenye red. Mkuu wa Mkoa ndio mwenyekiti wa kamati ya ulizi na usalama wa mkoa ambapo mkuu wa kambi mojawapo au makao makuu jeshi ni member hapo,akitoa ombi linapitia kwa uwezo wake kama mwenyekiti wa kamati hiyo!ile sio vita ni kusaidia kutuliza fujo tu,na sidhani kama walibeba silaha za moto!sidhani! natangaduaki Nafikiri bila kumumunya maneno huyu RC wa Dar anajittahidi sana ingekuwa ni huyu wa ARUSHA AU Kilimanjaro nadhani damu ingekuwa imekwishamwagika. Na ukweli ni kuwa kuonekana kwa wanajeshi kumesaidia sana kuleta hali iliyopo ya amani. yeyote aliyehusika na mpango huo, iwe ulivunja sheria au ulienda kinyume na taratibu yoyote, binafsi nampongeza sana. Mkuu ninafiriri RC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama wa Mkoa. Hivyo aweza kutumia majeshi yaliyoko kwenye himaya yake kulinda usalama wa raia na mali zao, ila hawezi kutangaza vita. Rais ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama lakini hutamsikia akiamrisha Polis kufanya kazi kwenye matukio ya kulinda usalama. Waislam wametegeka sana this time Na ukweli ni kuwa kuonekana kwa wanajeshi kumesaidia sana kuleta hali iliyopo ya amani. yeyote aliyehusika na mpango huo, iwe ulivunja sheria au ulienda kinyume na taratibu yoyote, binafsi nampongeza sana.Click to expand... Nilichokiona hapo ni kwamba nchi hata ikija kuhasiwa polisi watakuwa hawana msaada sasa mumbe mnaogopa jeshi sio
"2017-01-18T16:36:44"
https://www.jamiiforums.com/threads/said-meck-sadik-ndie-amiri-jeshi-wa-tanzania.341605/
[ -1 ]
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI APOKEA RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI CAG KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA TAREHE 30 JUNE 2017. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO RAIS MHE. DKT. MAGUFULI APOKEA RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI CAG KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA TAREHE 30 JUNE 2017. RAIS MHE. DKT. MAGUFULI APOKEA RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI CAG KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA TAREHE 30 JUNE 2017.
"2018-04-23T03:33:00"
http://www.zanzinews.com/2018/03/rais-mhe-dkt-magufuli-apokea-ripoti-ya.html
[ -1 ]
Mwanafunzi wa Miaka 13 Aozeshwa kwa Ng’ombe 13 Thread: Mwanafunzi wa Miaka 13 Aozeshwa kwa Ng’ombe 13 13-01-2016, 08:29 #1 Mtoto mwenye umri wa miaka 13 anayesoma darasa la sita katika Shule ya Msingi Wishiteleja wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga, ameozeshwa kwa nguvu na wazazi wake baada ya kupokea mahari ya ng’ombe 13. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Shinyanga juzi, Mkurugenzi wa Shirika la AGAPE, John Myola alisema mwanafunzi huyo alifungishwa ndoa ya kimila Septemba 25, mwaka jana katika Kitongoji cha Nyamikoma Kijiji cha Buchambi wilayani Kishapu. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Mika Nyange alisema hakuwa na taarifa kuhusu tukio hilo na aliahidi kuwasiliana na Mkuu wa Polisi wilayani Kishapu, ampatie taarifa kamili aitoe rasmi kwa waandishi wa habari. Hata hivyo,alipotafutwa Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Hawa Ngh’umbi alikiri* kupokea nakala ya barua kutoka Agape iliyozungumzia juu ya kufungishwa ndoa kwa mtoto huyo.* Alikemea kitendo hicho na kuahidi kumsaka mtuhumiwa akamatwe na kufikishwa mahakamani. Kwa mujibu wa Mkuu wa Shirika la Agape, Myola, siku ya tukio, ofisi yake ilipokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema ambao walieleza kusikitishwa na kitendo cha mtoto huyo mdogo, kuozeshwa kinyume cha sheria za nchi na kudai kuwa zipo shutuma za viongozi wa serikali ya kijiji na kitongoji kushiriki. Alisema baada ya kupokea taarifa hizo, alikwenda katika eneo la tukio akiongozana na polisi kutoka kituo kidogo cha Maganzo wilayani Kishapu, ambapo walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa na viongozi wa serikali ya kitongoji na kijiji, waliodaiwa kuhusika katika suala la kupatanisha mahari. Mwanamume aliyekuwa akifunga ndoa na mwanafunzi huyo, alitajwa kwa jina la Emmanuel Njile, mkazi wa Kijiji cha Isemelo Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, ambaye alikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi, alikofunguliwa jalada la kesi namba RB/ MGZ/495/2015 na kuwekwa mahabusu. Alidai kuwa baada ya kusambaratisha ndoa hiyo, walipewa fomu namba tatu (PF. 3) ili wampeleke mtoto huyo hospitali, ambako alifanyiwa vipimo na daktari, ambako hata hivyo inadaiwa ilibainika hakuwa ameingiliwa kimwili. Alisema siku mbili baadaye, Septemba 27, 2015 usiku saa 2, walipokea taarifa za kuwepo kwa kikao cha siri katika baa moja ya mjini Maganzo, kilichowahusisha baadhi ya viongozi na watendaji (wakiwemo polisi) waliokutana na kaka wa mtoto, wakijadili jambo ambalo haikufahamika ni nini. “Kwa kweli tulipata wasiwasi juu ya kikao hicho cha usiku, tuliamini kuna mpango mchafu ulikuwa ukifanyika, na kweli asubuhi yake, Septemba 28, 2015, tulielezwa kuwa mtuhumiwa alikuwa ametolewa mahabusu na kuruhusiwa kurudi nyumbani, ambako alimchukua mtoto aliyeozeshwa na kuondoka naye. *“Tulifuatilia na kuelezwa kuwa amekwenda kwao Kijiji cha Isemelo wilayani Igunga Mkoa wa Tabora ambako hivi sasa wanaishi kama mke na mume.Tulimwandikia barua Mkuu wa Polisi wilayani Kishapu ili kupata ufafanuzi juu ya kesi hiyo". Akifafanua kwamba, katika barua iliyotoka kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kishapu yenye Kumb. Na. A.20/08/ Vol.1/13 ya Desemba 14, 2015, mtuhumiwa aliyetajwa kuhusika na kesi iliyofunguliwa kwa jalada namba RB/ MGZ/495/2015 alikuwa ni Daudi Sagi badala ya Emmanuel Njile, hatua ambayo alisema walishangaa. 15-01-2016, 08:17 #2 Re: Mwanafunzi wa Miaka 13 Aozeshwa kwa Ng’ombe 13 Nadhani elimu kwa wananchi bado inahitajika. Waelewe hasara za ndoa za utotoni. « Tubadilishane vituo vya kazi | MTOTO WA MIAKA 10 ANASOMA DGREE YA HESABU »
"2018-04-20T18:15:18"
http://mwanahalisiforum.com/threads/9578-Mwanafunzi-wa-Miaka-13-Aozeshwa-kwa-Ng%E2%80%99ombe-13
[ -1 ]
Sema Bila yako ya Kesi ya BURE ya Mfumo wa Forskolin Mlipuko - Fitness Nyumbani » Virutubisho » Sema Chupa chako cha KIKI CHA KAZI cha Mlipuko wa Mwili wa Forskolin Mwili wa Forskolin Mlipuko wa bure Kuangalia kupoteza uzito huu majira ya joto? Ikiwa ndio tuna habari njema kwako! Kwa muda mdogo tu, unaweza kupata chupa ya majaribio ya Mwili wa Forskolin Mwili. Kuuliza nini hype ni kuhusu Forskolin? Hapa kuna baadhi ya maelezo juu ya kile forskolin ni: Kiwanja cha powerhouse, forskolin, kinapatikana katika mizizi ya mmea wa coleus forskohlii, ambayo ni mimea ambayo ni ya familia ya mint. Watafiti wamegundua hivi karibuni hivi dondoo safi ya forskolini itasaidia kuvunja mafuta ya mkaidi na kuongeza ongezeko la misuli. Mchanganyiko huu hufanya kazi kwa wanaume na wanawake. Tofauti na virutubisho vingine vinavyopatia tu matokeo ya muda mfupi, Forskolin ina njia nyingi za kupoteza uzito. Inafanya kazi katika ngazi ya seli ili sio kuchochea mifuko ya mafuta yenye ukaidi lakini pia inzuia awali ya mafuta ya awali. Hii husaidia sio kupoteza uzito tu, bali pia kuifuta kabisa! Juni 26, 2018 Admin Virutubisho Hakuna maoni
"2019-01-21T01:08:40"
http://sw.fitnessrebates.com/kizuizi-bure-majaribio-chuki-forskolin-mwili-blast/
[ -1 ]