text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
VIJIMAMBO: DC MTATURU AWAAGIZA VIONGOZI WA VIJIJI VYOTE KUSOMA MAPATO NA MATUMIZI NDANI YA WIKI MOJA
"2017-03-27T00:42:52"
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/10/dc-mtaturu-awaagiza-viongozi-wa-vijiji.html
[ -1 ]
ICJ sets closure date for hearings in Kenya-Somalia maritime dispute | KNATV Uganda’s Cabinet endorses adoption of Kiswahili Mbunge ataka sheria iundwe dhidi ya wanaotoa ushuzi safarini Kwa nini CIA haikugundua shambulio la Septemba 11 lililolenga majengo 2… Familia ya aliyeliwa na fisi yataka fidia kutoka kwa serikali –… Kwa mtaji wa kuku wa Sh10,000 hujipatia Sh20,000 kila mwezi –… First batch of almost 200 Nigerians arrive in Lagos from S…. Jaguar aibua jipya lingine nchini Kenya, Vijana wampongeza wazee roho juu Kampuni yaingia hatiani baada ya mfanyakazi wake kufariki wakati akifanya mapenzi,… Raia wa Nigeria 188 wawasili jijini Lagos kutoka Afrika Kusini Unmasked! Here are photos of the man enjoying Jacque Maribe’s warmth Shock as a witness in RUTO’s murder plot is arrested by… Familia ya Robert Mugabe yakasirishwa na mipango ya mazishi Zimbabwe ‘inayokwenda… ‘I’ll never forget that night,’ Victor Kinuthia on being trolled for… MAZISHI YA MUGABE: Familia yake na Serikali vyaingia kwenye mvutano mkali Kevin Hart Apata Ajali Mbaya ya Gari Meddie Kagere aongoza kwa upachikaji mabao kuelekea Qatar 2022, hatua hii… Idadi Vifo vya Ajali ya Moto Morogoro yaongezeka / Mwengine afariki Waliokamatwa wakifanya biashara ya ngono, wahukumiwa jela pamoja na wateja wao Home East Africa News ICJ sets closure date for hearings in Kenya-Somalia maritime dispute ICJ postpones Kenya-Somalia case to allow Nairobi seek new legal team Previous articleYaelezwa Nigeria yawaondosha zaidi ya raia wake 600 nchini Afrika Kusini, kutokana na machufuko ya Xenophobia Next articleArabs Abroad: The Politician and the Inventor | Middle East Hong Kong airport reopens as China fumes over protests | News Hells Gate: ‘Lango la jehanamu’ lafungwa baada ya watalii kufariki Ill-fated helicopter flew without navigation facilities Ein Sondertribunal für IS-Straftäter im Irak? | Deutschland | DW When the D-GAME is so strong ! Mombasa SLAY QUEENS nearly kill each fighting... KNA TV - July 17, 2019 World12149 Swahili News5102 Uganda News1254 Tanzania News884 Somalia's Al-Shabaab militants impose new dress code on elders
"2019-09-15T22:50:37"
https://knatv.co.ke/icj-sets-closure-date-for-hearings-in-kenya-somalia-maritime-dispute/
[ -1 ]
Japan - K. Hashimoto - Profile with news, career statistics and history - Soccerway Matches of K. Hashimoto 28 T. Enamoto 27 K. Kakoi 34 Y. Maruyama 26 M. Morishige 28 S. Muroya 19 M. Okazaki 17 Y. Tokunaga 32 M. Yamada 21 T. Yanagi 18 K. Yoshimoto 31 N. Hanyu 36 K. Hashimoto 22 K. Higashi 25 T. Hiraoka 34 Y. Kajiyama 30 H. Kawano 26 S. Kono 21 H. Nozawa 21 Y. Oiji 17 H. Takahashi 28 S. Tanabe 25 In-Soo Yu 28 N. Burns 27 Muriqui 29 Y. Hayashi 26 S. Hirayama 30 R. Maeda 34 R. Matsuoka 17 Francisco Sandaza 31 K. Yajima
"2016-05-01T02:36:57"
http://www.soccerway.com/players/kento-hashimoto/156941/
[ -1 ]
JIANDIKISHE SASA KUSHIRIKI MAONESHO YA SITA YA VITO JIJINI ARUSHA | LeoHub Blog You are hereHome > TANGAZO > JIANDIKISHE SASA KUSHIRIKI MAONESHO YA SITA YA VITO JIJINI ARUSHA TANGAZO JIANDIKISHE SASA KUSHIRIKI MAONESHO YA SITA YA VITO JIJINI ARUSHA April 15, 2017 leohubblog Mwandishi: MICHUZI BLOG kutoka MICHUZI BLOG Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya askari 8 waliouawa Kibiti PwaniMahakama yatoa amri ya kumkamata Agnes Masogange Related posts TIZA YA JOTO LA ASUBUHI LA REDIO 93.7 EFM JANUARY10 January 9, 2017 leohubblog Mwandishi: MICHUZI BLOG kutoka MICHUZI BLOG Tembelea Chanzo Related Tutembelee Facebook Tutembelee Facebook
"2017-05-25T02:59:24"
http://www.leohub.ac.tz/2017/04/jiandikishe-sasa-kushiriki-maonesho-ya-sita-ya-vito-jijini-arusha/
[ -1 ]
Download Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo .Mp4 .3gp | TvMack Download Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo play in 3gp Mp4 Flv 3gpp Mp3 available in 240p, 360p, 720p, 1080p video formats Free Download and Streaming Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo on your Mobile Phone or PC/Desktop. Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo, Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo.3gp, Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo.mp4, Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo.mp3 Format, Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Bongo Download Wanafunzi Wafanya Mapenzi Darasani5.41 › 22.201 › Milionea T... TOP 10 YA WASANII WA BONGO WAKIFANYA MAPENZI HADHARANI.2.31 › 12.456 › KAKA MASAB... Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Darasani0.55 › 181.010 › G Machine... Wanafunzi Wakutwa Class Wakifanya Mapenzi Live7.17 › 15.265 › MASSHELE T... Wakifanya Mapenzi Chooni0.48 › 7.712 › Xvideo Bon... WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WAKIFANYA YAO DAR0.59 › 21.250 › BONGO HITS... WANAFUNZI WA CHUO MWANZA WAKIFANYA MAPENZI HOSTELI4.02 › 76.597 › SAJEX CHAN... Wanafunzi Kutombana Bongo4.29 › 148.497 › UtamuOffic... Mapenzi Bongo1.01 › 3.091 › Warioba Ki... LIVE WAKIFANYA MAPENZI.2.11 › 96.502 › Official K... WANAFUNZI WA CHUO MWANZA WAKIFANYA MAPENZI HOSTELI0.06 › 599.791 › Thomas Fid... FUMANIZI: LIVE WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI3.41 › 325 › Ngozy TV... Wanafunzi Wanaswa Wakifanya Mapenzi2.25 › 763 › Online Vid... Wakifanya MAPENZI LIVE Bila Chenga1.16 › 304.061 › MICHAPIYO ... Wanafunzi Wachuo Wafanya Ngono Holter0.16 › 78.606 › Sellndeget... Wanafunzi Wa Kiarabu Waarabu Wanaswa Wakifanya Ngono Kichakani Ni Aibu1.58 › 3.919 › Bongo Mzuk... Wanafunzi Wakifanya Mapenzi Darasani0.12 › 4.876 › Ayo Boy... +18 Dunia Imekwisha Wanafunzi Wasagana0.16 › 11.581 › 24seven Tv... VIDEO YA WANAFUNZI WACHUO WAKISAGANA0.52 › 8.721 › Burudani Z... Aibu:Wakutwa Wakifanya Ngono Mchana Kweupe1.19 › 20.284 › KITAA TV...
"2018-12-10T21:09:27"
http://movies.tvmack.com/search/wanafunzi-wakifanya-mapenzi-bongo.html
[ -1 ]
MENEJA WA NSSF NA DEREVA WAKE WALIOKUFA KWA AJALI VWAWA MBOZI WAAGWA | Mwanafasihi Mahiri Mabaki ya gari aina ya Land Cruiser mali ya Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF baada ya kutokea ajali eneo la Old Vwawa wilayani Mbozi jana asubuhi Mke wa marehemu Said Mkumba akisaidiwa baada ya kushuhudia ajali iliyosababisha kifo cha mumewe Gari la NSSF lililowabeba Kaimu Meneja na dereva wake baada ya kugongana uso kwa uso la Lori Hivi ndivyo ilivyokuwa jana katika eneo la ajali baada ya dereva wa Lori kunasuliwa kwenye Chases alikobanwa Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu mjini Vwawa wilayani Mbozi wakiomba dua kabla ya kuanza kwa safari ya kuwasindikiza marehemu waliofariki katika ajali Magari yaliyobeba miili ya marehemu yakijiandaa kwa safari ya kuelekea Chalinze na Dar es salaam kwa ajili ya mazishi Buriani!! Kwa heri ya kuonana Gari lililobeba mwili wa Kaimu Meneja wa NSSF Said Mkumba likianza safari Baadhi ya wakazi wa mjini Vwawa wakitawanyika baada ya kuaga miili ya waliokufa kwa ajali Miili ya wafanyakazi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF) Wilayani Mbozi mkoani Mbeya imeagwa na kusafirishwa leo kuelekea mkoa wa Pwani na Dar es salaam. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu hao ni kwamba mwili wa Said Mkumba ambaye alikuwa Kaimu Meneja wa NSSF wilayani Mbozi unasafirishwa kuelekea Mbagala Jijini Dar es salaam huku mwili wa aliyekuwa dereva wa gari hilo Mbaraka Kiwamba unasafirishwa kuelekea Chalinze mkoani Pwani. Baadhi ya wakai wa mjini Vwawa, walishiriki kuaga miili ya marehemu hao katika mtaa wa Ilolo na Ichenjezya majira ya saa sita mchana. Ajali hiyo ilitokea jana mnamo majira ya saa 4 asubuhi maeneo ya Old Vwawa kwenye mteremko wa barabara ya Mbeya Tunduma. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba chanzo cha ajali hiyo kilitokana na Lori la Mafuta ambalo lilikuwa linaelekea mjini Tunduma kugongana uso kwa uso la Landcruiser ya NSSF ambapo mbele yake kulikuwa na magari yaliyokuwa yakisindikiza harusi. Taarifa zinaeleza kuwa Land Cruiser ilikuwa inatokea Tunduma kuelekea Vwawa ilhali Lori lilikuwa linaelekea Tunduma nyuma ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa harusi ambao ulikuwa unaelekea njia ya Tunduma. Inaelezwa kuwa Dereva wa Lori aliyefahamika kwa jina la Maduhu aliamua kuovateki msafara wa magari ya harusi ndipo alipokutana uso kwa uso na Landcruiser ambayo ilikuwa katika upande wake ikielekea mjini Vwawa na kusababisha vifo vya Mkumba na Kiwamba ambao wapoteza maisha papo hapo. Mara baada ya kugongana uso kwa uso na LandCruiser Lori hilo lililobeba mafuta aina ya Petrol lilipinduka bondeni upande wa kulia ambapo dereva wake alibanwa kwenye Chesesi ya gari hilo na kuchomolewa baada ya masaa matano tangu kutokea kwa ajali hiyo.
"2018-02-23T06:30:57"
http://mkwinda.blogspot.com/2014/11/meneja-wa-nssf-na-dereva-wake-waliokufa.html
[ -1 ]
Majina ya mapapa[hariri | hariri chanzo] Mkuu wa Vatikano[hariri | hariri chanzo] Cheo cha "Papa" penginepo[hariri | hariri chanzo] ↑ Jarrett, Bede (1913). "Papal Arbitration". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. Viongozi wa Kikristo Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 7 Septemba 2017, saa 09:37.
"2017-12-15T16:07:08"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mapapa
[ -1 ]
MAN CITY WAMTAKA ISCO Kiungo wa Real Madrid Isco ametajwa kuwa mmoja ya wachezaji ambao kocha wa Manchester City Pep Guardiola anataka kuwasajili kwenye kikosi chake. Isco alijiunga na Madrid mwaka 2013 ameshindwa kujihakikishia nafasi katika klabu hiyo huku akianza katika michezo 10 pekee kwenye michuano yote walioshiriki. City ambao wamekuwa wakimtaka nyota huyo tangu mwaka 2012 watatumia nafasi ya kukosa namba kwenye kikosi cha LOS BRANCOS ambapo kwa sasa amesitisha mazungumzo ya kusaini mkataba mpya klabuni hapo. BARCELONA KUMNASA IVANOVIC Klabu ya Barcelona imeendeleza jitihada zake za kutafuta beki wa kulia na sasa wamehamishia nguvu kwa wa Chelsea Branislav Ivanovic. Barcelona imekua ikiwafuatilia mabeki mbali mbali kama Hector Bellerin ambaye alisaini mkataba mpya na Arsenal huku Srna nae akigoma kusaini kutokana maslahi madogo. Ivanovic anategemewa kutimka Chelsea katika dirisha ili dogo la usajili kutokana na kukosa nafasi kwenye kikosi cha kocha Antonio Conte. CHICHARITO KUJIUNGA NA CHELSEA Mshambuliaji wa timu ya Bayern Leverkusen ya Ujerumani Javier Hernandez 'Chicharito' anahusishwa na dili la kujiunga na Chelsea katika dirisha hili la usajili. Chicharito alitimka Manchester United majira ya joto na kujiunga na Leverkusen amekuwa katika kiwango bora kilichowavutia Chelsea kuhitaji huduma yake. Leverkusen wapo tayari kumuachia Chicharito kwa ada ya uhamisho isiopungua euro milioni 35. VALLEJO KUREJEA MADRID Beki wa Real Madrid aliye kwa mkopo katika klabu ya Eintracht Franfurt Jesus Vallejo anatarajiwa kurejea klabuni hapo baada ya mkopo kuisha huku Pepe akitaka kutimka baada ya mkataba wake kwisha. Vallejo alitazamiwa kuongeza mkataba wa mwaka mmoja zaidi wa mkopo ambapo uwezo wake alionyesha akiwa Liverkusen miamba ya Hispania wamekataa ofa ya kuongeza mwaka mwingine kwa mkopo na hivyo kutegemea kurejea juni 30. Vallejo anategemewa kumrithi Pepe ambae amepata ofa kutoka klabu mbalimbali kutoka china huku mshahara wa euro milioni 10 kwa mwaka ukimvutia zaidi. PSG WAMUANDALIA DAU COUTINHO Liverpool ipo katika wakati mgumu wa kumzuia kiungo wake fundi Phillipe Coutinho baada ya matajiri wa Ufaransa timu ya Paris Saint Germain kuonesha nia ya kutaka kumsajili. Coutinho yupo majeruhi tangu alipo umia katika mechi dhidi ya Sundeland katika ushindi wa mabao 2-0. PSG wapo mbioni kupeleka dau la paundi milioni 44 ili kuishawishi Liverpool kumuachia kiungo huyo. PSG wameungana na timu za Barcelona na Real Madrid katika kinyang'anyiro hicho cha kumpata nyota huyo.
"2017-01-23T00:23:31"
http://boiplus.blogspot.com/2017/01/tetesi-za-usajili-barani-ulaya.html
[ -1 ]
Diary Yangu : KITANDA HAKIZAI HARAMU-22 KITANDA HAKIZAI HARAMU-22 Dereva akiwa kabadilika, alimuendea mama yake na kusema; 'Hasa wewe…nakutafuta sana..lazima nikufundishe adabu, unadiriki kusema uongo, kuwa mimi sio damu ya huyu hawara wako…..mzandiki mkubwa wewe, mara ngapi mumekuwa naye,..mimi nawaona tu…mimi sitaki uchafu huo nimechoka..sasa nakumaliza wewe kwanza…’akawa sasa anamsogelea mama yake. ‘Nisamehe mwanangu nitasema kila kitu…usinitese, usiniue mimi ni mama yako…’akasema sasa akipiga magoti huku anatetemeka. ‘Umeniuzi,…ni lazima nikufundishe adabu….wewe na mwenzako, ni kwanini mnasema mimi sio damu halali ya ….bwana wako..kwanini….’akasema sasa akiwa keshamshika mama yake na kumuinua juu, na anataka kumbamiza chini…mama huyu ana matatizo ya presha na kama hali hiyo itazidi anaweza kuathirika vibaya, sana..na kama atarushwa kama walivyorushwa wengine sizani kama anaweza kuhimili Baba wa Soldier akaliona hili , akajua asipofanya jambo, …mke wa marehemu watamsahau, akajitutumua na kukaa vyema , akasema kwa sauti. ‘Nitasema kila kitu mwanangu…nitaitoa siri yote ya baba yako…nitasema kila kitu muachie mama yako utamuua, huyo ni mama yako…..na mimi nitasema kila kitu,…tafadhali…’akasema mzee. ‘Haya waambie ukweli, simuachiii huyu mtu, mpaka usema ukweli wote…kuwa mimi ni damu yako, kuwa wewe na mama ni wapenzi, kuwa…. Mimi ni haki sawa na familia, hii, ongea kila kitu… ‘Haya subiria, niongee…….’akasema mzee Ukumbuke haya yote yanasimuliwa na baba yake Soldier, na kwa jinsi mzee alivyozidi kuongea, ilifika mahali dereva akawa anabadilika kidogo kidogo, kwani kwa muda wote huo, alikuwa bado kamuinua mama yake hewani akitaka kumbamiza chini, lakini kila muda ulivyozidi kwenda dereva naye akawa kama anaanza kuishiwa nguvu… Ikafika muda, dereva…, akachuchumaa,...mzee anaendelea kuongea, huku mama yake dereva kainuliwa juu, ikafikia muda dereva akakaa mkao wa kukaa,...mzee alikuwa bado anaongea Na baadae akamshusha mama yake na kumshikilia kama anataka kumtia kabari…na mzee anaongea, na wengi walikuwa wakimsikiliza mzee, hawakuwa na mawazo y ahuy mtu tena. Na ilipofika sehemu hiyo tuliyoishia sehemu iliyopita, ghafla dereva akaporomoka chini…,na mama yake naye akamfuatia, na wote wakawa wamelala sakafuni, kimiaah.. Kitendo kile kiliwafanya wote waliokuwemo humo ndani kusimama kwa uwoga, na wengi waliangalia usawa wa mlango, tayari kukimbia. Dereva na mama yake sasa walikuwa wamelala sakafuni, mama kalala, kichwa kaweka kufuani kwa mwanae. Wapo kimia kabisa… ‘ Hebu waangalieni hao watu kama wapo sawa...’ akasema yule mzee mualikwa akiwa karibu na mlango, alikuwa tayari anataka kukimbilia nje. Na ni nani angewasogelea, kila mmoja alitoa jicho la uwoga, na aliyeweza kusogea pale baada ya kupita dakika chache, ni docta docta, kwa tahadhari akawasogelea, na kuanza kuwakagua, na alipoona kuna usalama, akaanza kuwapima mapigo ya moyo, na baadae akasema: ‘Wapo sawa..naona walipoteza fahamu kidogo, lakini naona wameshazindukana,…wapo sawa…’akasema docta. 'Docta una uhakika, maana hayo sio mambo ya hospitali, yana wenyewe hayo....'akasema mzee. Na mara dereva akafungua macho yake na kwa haraka akakurupuka, na kumsukuma mama yake ambaye alikuwa bado hajazindukana vyema, na kwa haraka akasimama, alikuwa kama mtu aliyeshtuliwa kwenye usingizi na ndoto mbaya, akawa sasa anaangalia huku na kule. Kwa kitendo kile, cha kuzimama kwa haraka, wengine walishafika mlangoni, wakikimbia, kutaka kutoka nje, ambaye hakuweza kusimama na kusogea pale alipo alikuwa baba yake Soldier. Dereva, akili ikamtulia akaangaza macho, na kushangaa kuona watu wanamkodolea macho, akatikisa kichwa na kusema: 'Kumetokea nini jamani?’ akauliza. Hakuna aliyemjibu, watu walikuwa na wasiwasi , huenda jamaa anaweza akaanza makashi kashi mengina wakaishia kuvunjwa viuno na mbavu,..na Dereva alipoona watu wapo kimia, wanamuangalia tu, naye akaanza kuingiwa na wasi wasi, na katika kuangaza huku na kule macho yakatua kwa mama yake, alipomuona mama yake kalala sakafuni, akamsogelea kwa haraka na kusema: 'Mama nini tena, kumetokea nini jamani, mama kafanya nini….na mama umekuja-unafanya…sasa akaanza kukumbuka, na kushika kichwa, halafu akasema ‘Sasa mama, kwanini ulikuja huku,… nilikuambia haya uniachie mimi..?'akasema na kwa muda huo mama yake akawa naye akaangaza macho huku na kule na akili ilipokaa sasa, akazizoa zoa na kusimama, akawa anataka kuondoka. ‘Mama tulia kwanza haujawa sawa, unaona unavyo yumba yumba….’akasema Dereve. 'Tuondoke, twende zetu nyumbani...'akasema mama yake akimshika mwanae mkono, na watu walipoona kuna amani, ikawa sasa kuangaliana,..na hapo ikaonekana hali ya baba yake Dereva haipo sawa. 'Docta hali ya mzee sio nzuri, tufanyaje?'ilikuwa kauli ya Soldier, na docta akamsogelea baba yake Soldier na kuanza huduma ya kwanza. Mzee akawa analalamika maumivu, na docta akasema: 'Huyu inabidi afikishwe hospitalini kwa haraka, yawezekana kuna athari ndani kwa ndani..'akasema docta. 'Sawa mimi nitamchukua kwenye gari langu...'akasema dereva. 'Wewe mimi sikuamini, ukija kutusweka kwenye makorongo..hapana, tutatafuta usafiri mwingine...'akasema Soldier. 'Kwanini niwasweke kwenye makorongo, mimi ni dereva, nina leseni?"akasema dereva akionyesha uso wa kushangaa. ‘Hakuna muda wa kubishana hapa, muhimu mgonjwa afikishwe hospitalini…’akasema docta. Hatimaye mzee akabebwa na kuingizwa kwenye gari, haraka akafikishwa hosp, na ikawa mwisho wa kikao hicho kwa siku hiyo. Zikapita siku mbili, hali ya mzee ikawa inaendelea kuwa mbaya, na siku ya tatu, taarifa zikaja, baba anataka kuongea na Soldier na dereva Na wote wawili wakafika harala mbele ya mzee, akiwa kalala kitandani….akasema; 'Wanangu, nimewaiteni,najua kuumwa sio kufa, lakini pia kuumwa ni dalili ya kuwa huenda umauti umekaribia, mengine ni majaliwa ya mungu..’akaanza kuongea. ‘Mzee usiwe na shaja, utapona, haina haja ya kupoteza matumaini,…’akasema Dereva. 'Nimewaiteni kwa jambo moja, siku ile kila jambo liliwekwa hadharani, hakuna utata tena na yaliyopita naomba yapite,…mjua sasa nyie ni ndugu, hakuna mjadala, kama rafiki yangu angelikuwepo hai, hili lisingelikuwepo, lakini kwa hayupo nimebakia mimi…mimi ndiye baba yenu wote, naombe mlielewe hivyo. ‘Hamna shida …’akasema dereva, na Soldier akatikisa kichwa tu. 'Sasa nawaombeni jambo moja, kwanza kuhakikisha familia ipo kitu kimoja, ondoeni tofauti zenu, jueni kuwa nyie ni damu ya baba mmoja, ndio yaliyotokea yalitokea isivyo stahiki lakini mkumbuke, mambo mengine yanaweza yakawafanya watu wakapokea mapokea ambayo kwa wengine yanaweza kuwa ni mshangao…hamjui ni jinsi gani hayo yalitokea, lakini..tumuombe mungu atusamehe tu…’akasema ‘Mzee , mimi nakuomba utulize kichwa chako….uangalia afya yako….haya mengine hayana msingi…’akasema Soldier. ‘Ni kweli kabisa mzee….’akasema dereva. ‘Pili, fanyeni jitihada mama zenu warejee ile hali yao ya zamani, mnajua akina mama zenu kipindi cha awali walikuwa kama mapacha , wanaume hali kadhalika, sasa nyie fanyeni hivyo hivyo, muishi kama mapacha, nawaombeni sana, msahauni yaliyopita….’akasema ‘Baba hayo yaache kwanza…’akasema Soldier ‘Usijali mzee, muhimu ni afya yako …’akasema dereva ‘’Na jingine, naona ni la tatu eeh, Soldier fanya mpango mkeo arudi, najua kaondoka kwa hasira lakini nimefurahi kuwa mtoto hakutaka kumucha, kampenda mtoto kuonyesha kuwa ni wake, nilijua atamkataa..'akatulia. 'Sasa atamkataa wakati ni mtoto wake…’akasema Dereva. ‘Una uhakika gani kuwa ni mtoto wake…?’ akauliza Soldier ‘Uhakika upi tena, kama sio mtoto wake ni wa nani,…unaona anavyofanana na wewe …lakini mimi sijui, kinachonikwanza, ni jinsi gani mke awe na roho ya namna hiyo,…kutupa mtoto…hivi nyie mnalionaje hilo, yawezekana kweli…’akatulia. Soldier akaonekana kukunja uso, lakini hakusema jambo. ‘Hayo tuyaacheni vijana wangu, …mkitaka kuchokonoa chokonoa mtafikia mahali hamtaelewana na lengo langu ni nyie wote muelewane, najua kuna sintofahamu nyingi, lakini …’akasema baba, na dereva akamkatiza kwa kusema; ‘Sawa baba tumekuelewa, lakini ni muhimu kujua huyo mtoto ni wa nani,… haya, tusema mama ni ..mke wa bro hapa,..lakini baba yake ni nani….?’ Akasema Dereva. ‘Kwa maelezo ya baba, wewe ulisema baba yake ni mzee, au…usitake kupindisha pindisha maneno, wewe subiria mzee apone, …utaniambia ukweli wote, na kama umezua jambo, utaishai jela, nakuhakikishia hilo..sitajali udugu hapa, umenisikia?’ akasema Soldier akimkazia macho dereva, na dereva akatabasamu akibenua mdomokwa dharau... ‘Bro, usiwe na shaka na hilo…ila kwa hilo ndivyo nilivyoambiwa,…lakini hata hivyo, ni nani kakuambia kuwa nilisema hivyo…?’akasema dereva akionyesha kushangaa na kugeuka kumuangalia baba yake. ‘Na nani…hahaha,ulifanya hivyo kumkomoa baba si ndio…, ili upate urithi au…sasa utapambana na mimi…umenisikia vyema..?’ akasema Soldier. Na Dereva akamuangalia baba yao pale kitandani, halafu akasema; ‘Tumuache mzee kwanza apone, najua yeye ana majibu rahisi , lakini mimi ..sikumbuki kuongea kitu kama hicho…mbele yako,…’akasema ‘Uliongea na mzee, ukimshinikiza ili akupatie urithi, na kukuandikia hati ya urithi,..hayo uliyafanya kwa siri, lakini landa pale alipokuwa anaongea baba , wewe hukuwa wewe, nasikia ikiwa hali kama hiyo hujielewi, lakini kwangu utanielewa,……’akataka kuendelea kuongea, lakini baba akawa anamzuia kwa mkono kuwa asiendelee kuongea. ‘Bro…hebu kwanza hayo tuyaache…yatafikia muda wake, tatizo hunijui…utakuja kunijua kuwa mimi sio mtu wa kutishiwa, nyau…lakini hayo tuyaache, ….’akasema ‘Tutaona…’akasema Soldier. ‘Vijana,..watoto mbona mnanikatisha tamaa, kabisa….mumenielewa nilichowaitia, wasiwasi wangu ni kuwa nikiondoka huku nyuma mnaweza kuanzisha vurugu, hilo ndio sitaki mimi, …mnanisikia hebu kwanza yafanyieni kazi hayo niliyowamambia yakikaa sawa, muone maajabu yake, hayo mengine yatajileta yenyewe…na mniombeee mungu nipone, nitawaambia kila kitu,…kuna mambo mengi hayajaka sawa, lakini hata mimi sijaweza kuwa na uhakika nayo….sasa nawaombeni mnisaidie kwa hayo niliyowaambia, ili moyo wangu uwe na amani…’akatulia. ‘Sawa mzee…’wakasema kwa pamoja. ‘Mzee, mungu akujalie upone, maana tunakuhitajia sana…’akasema dereva. ‘Hilo ni sawa…ili upate mtetezi wako..’akasema Soldier ‘Sio hivyo bro, wewe hutaki mzee apone…?’ akauliza ‘Mimi sitaki au wewe ndiye chanzo cha yote haya, hebu jiulize isingelikua wewe, baba angekuwa hapo kitandani…’akasema Soldier ‘Kwani mimi nimemfanya nini mzee…kwani mimi ndiye niliyemuumiza…mimi mpaka sasa sijajua chanzo cha mzee kuumua hivi…’akasema dereva. ‘Basi utajua tu…nimeshafungua kesi, RB, yako ninayo hapa….’akasema Soldier, na mara mlangoni akaonekana mama akija na chakula cha mgonjwa, na wote wakatulia kimia, hadi pale mama aliposogea karibu yako, Kwa nje kulikuwa na watu wengine wanasubiria waingie,..lakini yaonekana walikuwa wakiogopa kuingia. ‘Ni nani hao wapo huko nje, si mumekuja nao, mbona hawataki kuingia ndani…?’ akauliza mzee ‘Kuna ugeni ….’akasema mama akionyesha uso usio na furaha,.., na wote mle ndani wakageukia mlangoni kuuona huo ugeni, isipokuwa mama , ambaye alikuwa akimuandalia mgonjwa chakula. NB: Ni akina nani hao.. WAZO LA LEO: Inapofikia swala la ugonjwa, inabidi mambo mengine yashaulike, hata kama kulikuwa na ugomvi, hata kama kulikuwa na uadui..inabidi wote waangalia matatizo ya ugonjwa, kwani mgonjwa anahitajia faraja, anahitajia, huduma, na kukiendelea na sintofahamu inaweza ikawa sababu ya kumuongezea mgonjwa , ugonjwa, au kuzua magonjwa mengine. Tuweni na moyo wa huruma kwa wagonjwa wetu, hata kama ni maadui zetu.
"2018-01-18T00:01:02"
http://miram3.blogspot.com/2017/03/kitanda-hakizai-haramu-22.html
[ -1 ]
U HEARD: Majibu ya Diamond juu ya mwanaye "Tiffa" kuolewa na mtoto wa Alikiba - millardayo.com VIDEO: Nimekuwekea hapa Performance ya Diamond kwenye tuzo za MTVMAMA2016 South Afrika. Itazame hapa. VIDEO: Ipo hapa Full Performance ya Alikiba kwenye steji ya FIESTA2016 Dar es salaam, Tanzania. Tazama hapa ← Previous Story Kanye West hatolipwa pesa baada ya kukatisha show, Itafidiwa kwa mashabiki Next Story → Jiandae kuipokea albam mpya ya Navy Kenzo “AIM” rasmi December 2016 Soma na hizi U HEARD: Shilole kazungumzia kuhusu kuchorwa tatoo ya ubavu U HEARD: ‘Mimi ninavyong’anganiwa na wanawake naanzaje kumbaka’-Nay wa Mitego
"2016-12-05T00:25:14"
http://millardayo.com/5r367u4/
[ -1 ]
Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa - JamiiForums Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa Thread starter Dragoon Tan1947 Wasomi natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Poleni na majukumu mazito katika ujenzi wa taifa. Naomba msaada wa kupatiwa precedents zinazoongelea power ya high court ku intervene kwenye Arbitration. Au kesi zoote zinazohusu Arbitration Ninazo. Ni Application anahitaji device ku-install nIFANYEJE UWEZE KUNIFANYIA INSTALMENT YA HIZO NAOMBA KAMA UNA TLR 1983 UNISAIDIE AU KAMA UNA KESI HIIJEREMIAH VENANT V CLEMENTINA ALEXANDER (BAHATI) civil appeal no 94 of 1983 KAMUGUNGA Not sure kama kuna WhatsApp group or telegram. Kama lipo naomba mniunge kwa namba hii 0755198295 KAMUGUNGA said: Bila Dragon this thread is dead! pole sana. Reactions: GODZILLA, Soso J and nyakubonga Thread nzuri hii iko dormant baada ya Gragoon kupotea. Unaona nikiwambia kuwa mtu mmoja tu anaweza akawa NGAO ya kitu fulani say, Taifa, shule, etc. Thread ya sheria ni Dragoon! It is now dormant! Ona sasa Lisu hayupo, hakuna "outstanding" brain tena Tanzania in Tanzania politics! Jaman wanasheria wa humu ndani naomba niwaulize swali? Mm katika pita pita zangu kuna mtu alinizonga njian , hivyo kupelekea simu yangu kupotea. Nilimshitaki kwa kwa kosa la kunipiga? Nilimshitaki mahakama ya mwanzo lakin pamoja na huyo mtu kukili kunizonga ila mahakama hio ikaona hana hatia yeyote na kufuta kesi kwa sababu ushahid wa daktar katk pf3 Haojaonyesha kama nilipata maumivu makubwa! Swali langu ne kweli huyo mtu hakjwa na kosa lolote ikizingatiwa mm nilipoteza mali?? Kiufupi ilinifanya mm nimdharau sana yule hakimu kwa uwezo wake vicent Jackson Samahani nilikuwaaa na swali Explain the limitations on the powers of courts in dealing different cases. Please anaye fahamu Samahani Naomba mnisaidie Limitations on the powers of courts in dealing different cases Msaadaaa pleasea anayefahamu Swali linataka UTAJE na UELEZEE types za courts jurisdictions. Mfano Pecuniary, Territorial, Exclusive, Original, Appellate, n.k (kuna kama 11 types of jurisdiction) vicent Jackson said: NOTISI TO STUDENTS: LENGO LA UZI HUU NI KUSAIDIA MASUALA YA KISHERIA KATIKA LITIGATIONS (i.e lawsuits) SIO ACADEMICS (i.e assignments, home works ect) NO NO itakuwa sio kabsa. Masuala ya darasan komaa na vitabu Library mkuu. (It seems upo chuo kinaitwa OUT) Reactions: GODZILLA, Soso J and Retired Poa mkuu asante Nimeelewaa Kuna hii kesi ya hivi karibuni. Ni kesi ya Farijala S. Hussen imeamuliwa na mahakama ya rufani mwishoni mwa mwezi uliopita. Inatoa angalizo kuhusu Notice of appeal na Memorandum of Appeal, pia namna ya kudraft notice of appeal. karibuni Naomba msaada mwenye kitabu cha issa shivj's provisions of rule of law tafadhali Reactions: GODZILLA and Soso J Asali ya limao Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k. Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo. Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa. Wanasheria karibuni sana Mkubwa nlkua nahitaji copyright ya ruling ya kesi ya lema CAT na high court ile ya salma Maghimbi J. Aloyce_kimario Wadau, Naombeni cases za Tanzania Zinazohusu wrongful termination of employment as a tort. Natanguliza shukhrani!! Reactions: Soso J and Katus Manumbu Aloyce_kimario said: Hakuna cause of action ya hivi, labour ni labour case haijawahi kuwa tort Sijapita hapa muda mrefu. Pita mkuu Builder, 53, claims Megxit was cover-up to hide truth that he’s Charles & Camilla’s secret son as he launches legal bid JF Trash 0 Jan 29, 2020 Builder, 53, claims Megxit was cover-up to hide truth that he’s Charles & Camilla’s secret son as he launches legal bid Entertainment 10 Jan 29, 2020 Legal/authorized supplier/seller of ethanol- food grade Biashara, Uchumi na Ujasiriamali 0 Jan 23, 2020 Group Legal & Human resources manager at Exodus Group Limited Jukwaa la Ajira na Tenda 0 Jan 9, 2020 Legal/authorized supplier/seller of ethanol- food grade Group Legal & Human resources manager at Exodus Group Limited
"2020-05-28T15:51:25"
https://www.jamiiforums.com/threads/legal-documents-na-uchambuzi-wa-masuala-ya-kisheria-hapa.905368/page-40
[ -1 ]
NCHI YETU INAELEKEA WAPI?ETI WILAYA YABADILISHWA JINA KINYEMELA! ~ Kulikoni Ughaibuni NCHI YETU INAELEKEA WAPI?ETI WILAYA YABADILISHWA JINA KINYEMELA! CCM, TANZANIA JAMII imetakiwa kushirikishwa katika maamuzi yaliyotolewa na Baraza la Madiwani pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kubadili jina la Wilaya ya Missenyi na kuiita Wilaya ya Nkenge ambayo tayari yamekubaliwa na baraza hilo pamoja na chama ili kuona kama kubadilika kuna manufaa kwa jamii. Ombi hilo limetolewa jana na wajumbe wa kikao cha Kamati cha Ushauri wa Wilaya ya Missenyi (DCC) kilichofanyika katika Kata ya Kassambya ambapo baadhi ya wananchi na viongozi walisema kubadilisha jina la wilaya hiyo hakuna maana yoyote. Mmoja wa watendaji wa kata za wilaya ya missenyi Joseph Kitakule ambaye ni mtendaji wa Kassambya, alisema wadau wa maendeleo inabidi wapinge vikali suala la kubadilisha jina kwa kuwa litaiingiza halmashauri hiyo kwenye hasara kubwa na watakuwa wamekiuka maamuzi ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa aliyebariki jina hilo. Alisema kumekuwepo kundi la watu wachache wenye maslahi yao binafsi ambao jina hilo likibadilishwa na wizara husika basi wao watakuwa wamepata faida kubwa na watakuwa wamefanikisha adhma yao. Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Izidor Mtalo, alisema suala hilo wao kama watendaji walilikabidhi Baraza la Madiwani kwa vile ndiyo wenye uwamuzi wa kubadilisha au kutobadilisha. Alisema hakuna kikao chochote ambacho kinaweza kutengua uamuzi huo kwani likishapitishwa na madiwani linapelekwa katika kikao cha ushauri cha mkoa na baadaye kwa waziri mwenye dhamana. Akitoa uamuzi wa kubadilisha jina hilo na kuitwa Nkenge, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, William Katunzi, alisema kutokana na mkanganyiko wa majina ya tarafa za Kiziba na Missenyi ambazo zinaunda Jimbo la Nkenge kitendo ambacho kimeibua malalamiko kutoka kwa wakazi wa Kiziba. “Hawa wakazi wa Kiziba wanahoji kama makao makuu ya wilaya yapo katika tarafa ya Misenyi inakuwaje na jina la wilaya ipewe jina la tarafa na wakati jina la jimbo ni tofauti na wilaya kwa hiyo ndiyo sababu kubwa wanayolalamikia na kutaka jina la wilaya liwe sawa na la jimbo Nkenge,” alisema Katunzi
"2018-11-15T22:02:04"
http://www.chahali.com/2009/04/nchi-yetu-inaelekea-wapieti-wilaya.html
[ -1 ]
Vidakuzi lazima viwezeshwe kwenye kivinjari chako Ingia kwa kutumia akaunti yako juu ya: Karibu kwenye mfumo wa Ujifunzaji Kielektroniki
"2020-08-12T00:20:26"
https://stanleyjordan.com/integral.arts/courses/login/index.php?lang=sw
[ -1 ]
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi Amefungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi Amefungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi Amefungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufungua Mkutano Mkuu wa Kumi na Moja wa Mwaka 2018 wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar {ZNCCIA} uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Zanzibar. Wajumbe wa Mkutano wa Kumi na Moja wa Mwaka 2018 wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wao. Balozi Seif Kulia akiteta jambo na Rais ya Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar { ZNCCIA } Rais wa Jumuiya hiyo Nd. Toufiq Salum Turky. Rais ya Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar { ZNCCIA } Rais wa Jumuiya hiyo Nd. Toufiq Salum Turky akimkabidhi zawadi Maalum Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi baada ya hafla ya Ufunguzi. Balozi Seif akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar baada ya kuufungua Mkutano wa Jumuiya hiyo. Balozi Seif akibadilishana mawazo na baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema haipendezi kuona Sekta ya Biashara inakuwa kimbilio au chaka la uhalifu rushwa, magendo pamoja na uingizwaji wa bidhaa zilizopitwa na wakati mambo yanayoipaka matope sekta hiyo muhimu kwa Taifa. Alisema Wafanyabiashara wanapaswa kusimamia Maadili ya Biashara huku wakizingatia jambo la msingi la kuwa waaminifu , wenye kufuata kanuni na sheria zote zilizowekwa ili waende na wakati wa sasa wa Sayansi na Teknolojia. Balozi Seif Ali Iddi alisema hayo wakati akiufungua Mkutano Mkuu wa Kumi na Moja wa Mwaka 2018 wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar {ZNCCIA} uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Mjini Zanzibar. Balozi Seif alisema uingizwaji Nchini wa Bidhaa zisizokuwa na kiwango na kuuzwa kwa bei kubwa ni wizi wa mchana kwa wateja ambao ndio wadau wakubwa wa sekta hiyo. Aliuomba Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima kuwajengea uwezo Wafanyabiashara wa Zanzibar ili wajitofautishe kwa ubora na wafanyabiashara wengine Duniani kote. Alieleza kwamba nafasi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara katika Maendeleo ya Taifa Kiuchumi haina mjadala ambapo uimara wake utatokana na Wanachama walio hai ikiwa ni faraja kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Balozi Seif alisema Serikali iliyo makini husisitiza umuhimu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara iliyo makini yenye kuleta faida kwa kufungua Milango ya Biashara ndani na nje ya Nchini sambamba na kuongeza wigo wa Pato la Taifa. Alionyesha faraja ya Serikali ikitarajia kuona Taasisi hiyo inayosimamia mazingira ya Biashara Nchini inaendelea kuwa Mlezi mzuri wa wazalishaji wadogo wadogo na Wakulima ili lengo la kuwa katika uchumi wa Kati ifikapo Mwaka 2020 lifanikiwe. Balozi Seif alifahamisha kwamba tafsiri ya Uchumi wa kati ni ule utakaozalisha ajira nyingi kwa Vijana wengi ambao hukuza pato kwa Mtu Mmoja Mmoja pamoja na kutoa huduma Bora. Alieleza kwamba huduma hizo pia hujumuisha Elimu, Afya pamoja na kuzalisha Bidhaa nyingi kwa kuzisafirisha Nje ya Nchi mfumo utakaoongeza Mapato ya haraka haraka. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaiangalia Sekta Binafsi kwa mtazamo mpana zaidi kutokana na jitihada za mabadiliko yake yanayoungwa mkono chini ya mwamvuli wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima. Akitoa Risala ya Jumuiya ya Wafanyabiashara, wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar { ZNCCIA } Rais wa Jumuiya hiyo Nd. Toufiq Salum Turky alisema Miezi Sita ya mwanzo ya Uongozi Mpya ilitumiwa kwa kufanya marekebisho ya kuondokana na Utegemezi wa Wahisani jambo ambalo lilikuwa likiyumbisha uendeshaji wake. Nd. Toufiq alisema kinachohitajika kwa sasa ni kwa Viongozi na Wanachama kufanyakazi kwa pamoja na upendo ili lengo la kuanzishwa kwa Taasisi hiyo inayosimamia matakwa ya Wafanyabiashara na Wakulima linafanikiwa vyema. Alieleza kwamba Jumuiya hivi sasa iko katika mchakato wa Mabadiliko ya Katiba yake ili kujaribu kuondoa kasoro na vikwazo vilivyopo katika dhana nzima ya kujenga mazingira bora ya Mwanachama wake. Akimkaribisha Mgeni rasmi kuufungua Mkutano huo Naibu Waziri Wizara ya Baishara na Viwanda Zanzibar Mh. Hassan Khamis Hafidh alisema Wizara hiyo iko tayari wakati wowote kutoa ushauri au msaada katika kuona wadau wa Biashara wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi mpana zaidi. Mh. Hassan alisema Wizara kama Mlezi wa Sekta hiyo itajitahidi katika kusimamia Sekta hiyo ambayo ni muhimu kwa Umma na Wafanyabiashara wenyewe wanaoitegemea kuendesha Maisha kwa kujiongezea Kipato. Mkutano huo Mkuu wa Kumi na Moja wa Mwaka wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima Zanzibar pamoja na mambo mengine unajadili mada saba katika Kikao hicho halali. Miongoni mwa agenda za Mkutano huo ni pamoja na Ripoti ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Mwaka 2016/17, Taarifa ya utekelezaji na Maendeleo ya Miradi ya Mwaka 2018, Taarifa ya Fedha ya Mwaka 2016/2017/2018, Mapendekezo ya Bajeti ya Mwaka 2019 pamoja na Mapendekezo ya Muundo Mpya wa Uanachama.
"2019-03-21T12:26:51"
http://www.zanzinews.com/2018/12/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar-mhe_15.html
[ -1 ]
Trei 700 za mayai zateketezwa kahama | MPEKUZI Trei 700 za mayai zateketezwa kahama Serikali wilayani Kahama, imeteketeza trei 700 za mayai yanayosadikiwa ya Kuku yalioingizwa nchini kinyume cha sheria. Agizo hilo lilitolewa na Serikali ya Wilaya ya Kahama, kupitia Ofisa Mifugo wa Halmashauri ya Mji wa Kahama,Dk. Damian Yustin la kuteketeza trei hizo za mayai za mfanyabiashara Regine Ayinkamiye. Alisem mayai hayo kutoka Rwanda yalikuwa yakisafirishwa na gar T.318 AER Fuso. Dk .Yustin alisema wafanyabiashara wanaosafirisha ama kuingiza bidhaa kutoka nje ya nchi wanatakiwa kufuata taratibu, ili kuepuka hasara itakayojitokeza kwa kuteketezwa kwa mali zao pindi watakapobainika kuingiza ama kusafirisha kinyume cha taratibu. Alisema serikali imezuia uingizwaji wa mayai kutoka nchi za nje kwa lengo la kujikinga na homa ya ndege. Alisema licha ya wafanyabiashara wa mayai kupatiwa elimu namna ya kupata vibali vya uingizwaji wa mayai na kuku ambavyo hutolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa lengo la kuwaepusha wasiendelee kupata hasara, lakini wamekuwa wakienda kinyume na kuingiza mayai na kuku kwa njia za panya. Aidha, alitoa elimu juu ya sheria ya Mamlaka ya chakula na Dawa (TFDA) inayosema chakula chochote kinachoingizwa nchini bila ya kuwa na kibali cha uingizwaji na usafirishaji sio salama kwa matumizi na kuongeza wafanyabiashara wataendelea kupata hasara kama watashindwa kufuata sheria.
"2019-09-20T12:39:44"
http://www.mpekuzihuru.com/2019/01/trei-700-za-mayai-zateketezwa-kahama.html
[ -1 ]
Mabaga Fresh mnatisha | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mabaga Fresh mnatisha Discussion in 'Celebrities Forum' started by EvJ, Aug 31, 2012. jaman nilienda sehem fulan inaitwa naliendele mtwara.sasa nkaskia mabaga wanapiga show,wakuu hamwez amn kwan kiingilio ilikuwa buku na had kufika saa sita naondoka pale kuna watu wanne ndan,ukumbi vumbi tupu,kumbe wasanii huwa wanafulia hivi mlioko juu akina diomond kuwen makn sana Ha ha ha ha ha! Kiingilio buku? Hii ni zaidi ya kufulia. EvJ said: mlioko juu akina diomond kuwen makn sanaClick to expand... Dah....! Mabaga fresh bado wapo? Dah....! Mabaga fresh bado wapo?Click to expand... acha tu mtu wangu yan nliwaone huruma.ikabd nitoe buku atlist nichangie.nikachungulia tu na kutoka Hawa jamaa ni vilema jamani acheni u **** Mungu awarehemu, awape nuru ya kubuni miradi mingine ya biashara, muziki umesha washinda Ebwana acha utani mkuu,dj snox wa mabaga mambo ya mtulize mambo ya tumepigika duuuuuuu kufulia noma! Kupoteza mvuto katika mziki ni msiba!day one nipo mombasa kuna ukumbi mbaya mbaya dogo Z Anto ndo alikuwa anagonga show hapo halaf kiingilio ilikuwa kama buku 3 ya kibongo!..nani alitegemea Mr Nice atakuwa anapiga show za weekdays tena kila wiki sehemu kama Maasai Club,Meridean Kinondoni na bado watu hawajai! inaumiza kichwa. Muziki una msimu, na wenyewe yaan achen tu.mbona ulaya awafulii hivi.kama hawa kna dogo janja na aslay,rachel even bora waende tu shule maskini Mungu atawasaidia ,aisee kaka,badilisha kauli yako,mungu anaombwa kurehemu waliokufa tu,hawa jamaa bado wapo hai mzee,unawaua wakati wanapumua!Click to expand... acha tu mtu wangu yan nliwaone huruma.ikabd nitoe buku atlist nichangie.nikachungulia tu na kutokaClick to expand... Unaitwaje huo ukumbi?? Unaitwaje huo ukumbi??Click to expand... Jina lao limewaponza MABAGA = KUFURIA
"2017-04-23T19:51:18"
https://www.jamiiforums.com/threads/mabaga-fresh-mnatisha.316409/
[ -1 ]
Sababu ya Chirwa kukosa penalti Z’bar hii hapa - Michezo | Mwananchi 3 hours Ago Kila msanii amlilia Masogange kivyake 3 hours Ago Halmashauri zatwishwa zigo mipango ya matumizi ya ardhi 3 hours Ago Rais wa Misri atuma ujumbe kwa Magufuli 3 hours Ago Rais Magufuli awahoji CAG, Katibu Mkuu kuhusu Sh1.5 trilioni 12 hours Ago Dk Kigwangalla: Miezi sita hakuna ujangili uliotokea 12 hours Ago Serikali yatenga Sh155 bilioni kujenga maghala mapya 1 Day Ago Ubungo, CRDB kukopesha wajasiriamali Sh1.9 bilioni 13 hours Ago Aina tano za mabosi na namna ya kuendana na utendaji wao kazini 13 hours Ago Mbinu tano za kushirikiana vizuri na wafanyakazi wenzako 1 Day Ago CAG amebainisha ukosefu wa wataalamu, ukiukaji sheria 1 Day Ago Mafanikio ya mradi wa gesi asilia yatakuwa kivutio cha uwekezaji 8 hours Ago Kupanda, kushuka kwa Wenger 10 hours Ago Atletico yaipa ubingwa Barcelona 11 hours Ago Mwisho wa enzi, Wenger abwaga manyanga 11 hours Ago Singida United yawaachia Simba, Yanga ubingwa Sababu ya Chirwa kukosa penalti Z’bar hii hapa Chirwa amegeuka shubiri kwa mashabiki wa Yanga baada ya kukosa penalti ya mwisho dhidi ya URA ya Uganda, katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa. By Thobias Sebastian,Mwananchi tsebastian@mwananchi.co.tz Shujaa aliyetarajiwa kuleta heshima kwa Yanga kuipeleka fainali ya Kombe la Mapinduzi, Obrey Chirwa amepeleka kilio makutano ya Mtaa wa Twiga na Jangwani, Dar es Salaam. Mshambuliaji huyo aliwasili visiwani hapa jana asubuhi kutoka Dar es Salaam baada ya kutokuwemo katika kikosi muda mrefu. Mchezaji huyo alikosa penalti ya tano iliyoamua ushindi wa mabao 5-4 baada ya URA kupata penalti zote tano baada ya timu hizo kutoka suluhu dakika 90. Sababu za kukosa penalti Pamoja na kucheza kwa dakika 37, mshambuliaji huyo kipenzi cha Yanga, hakupaswa kucheza jana kwa kuwa hakuwa fiti kimchezo kwasababu muda mrefu alikuwa kwao Zambia kumuuguza mama yake huku kukiwa na moja ya picha alizoweka katika mitandao ya kijamii akiwa analima mahindi shambani. Baadhi ya mashabiki waliamini kuwa angekuwa mtazamaji, lakini kocha msaidizi wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa hakutaka kuingia ndani jana zaidi ya kusema ni uamuzi wa timu. Mbali na kucheza, Chirwa hakutakiwa hata kukaa benchi la wachezaji wa akiba kwa kuwa kisaikolojia hakuwa mchezoni na hakustahili hata kupewa penalti kwani hata wakati anakwenda kupiga, hakuwa mwenye kujiamini ikilinganishwa na Papy Tshishimbi, Gadiel Michael, Hassan Kessy na Rafael Daud waliofunga penalti zao. Penalti za URA zilifungwa na Mbowa Patrick, Kibumba Enoch, Shafiq Kagimu, Jimmy Kulaba na Brian Majwega. Kauli za Watafiti Watafiti wa soka nchini Norway wanasema kukosa na kufunga penalti kupo na kwamba mpiga penalti ana asilimia 92 ya kufunga kama ni penalti ya kawaida mchezoni, lakini kama penalti inataka ufunge matokeo yawe sare au kuipa timu ushindi (penalti ya kuamua) mpigaji ana asilimia 60 za kufunga. Mchambuzi wa masuala ya soka, Pprofesa Geir Jordet wa Chuo cha Sayansi ya Michezo Norway kilichopo mjini Oslo anasema katika penalti tano tano, asilimia za kupata pia hupungua kwa wanaopiga kwani penalti ya kwanza kupata ni asilimia 86.6, penalti ya pili asilimia 81.7 na asilimia 79.3 kwa panalti ya tatu na kuendelea. “Hii inahusisha zaidi suala la kisaikolojia,” anasema profesa Jordet. Mtafiti mwingine, Rich Masters wa Taasisi ya Human Performance nchini Hong Kong, Masters, anasema kuwa wakati mwingine mpiga penalti anakosa kwa kuwa na hofu kama atapata ama la na mwisho wa siku anakosa. Naye Mchambuzi wa vitabu, Mark Wilson nchini Uingereza anasema wakati mchezaji anakwenda kupiga penalti anawaza mengi: “Umetajwa kupiga penalti, unatoka katikati ya uwanja na mawazo, unachukua mpira, unauweka kwenye eneo lake la penalti, unarudi nyuma tayari kupiga, sasa hapo unawaza; hili ndilo tumaini la timu yangu, kila mmoja ananiangalia, sijui nitapata au nitakosa na mwisho wa siku anakosa. Pambano lilivyokuwa Yanga ilianza mchezo ikiwa imefanya mabadiliko ya wachezaji wanne waliocheza dhidi ya Singida United ulimalizika kwa timu hizo kutoka sare ya bao 1-1. Lwandamina aliitazama mechi hiyo akiwa jukwaani akiendelea kuwaamini wasaidizi Shadrack Nsajigwa na Noel Mwandila tangu kuanza kwa mashindano hayo. Yanga iliwapumzisha Edward Makka, Gadiel Michael, Yohana Nkomola na Rafael Daud na nafasi zao kujazwa na Papy Tshishimbi, Juma Mahadhi,Haji Mwinyi na Said Juma ‘Makapu. Tofauti na Yanga, URA ilifanya mabadiliko mawili katika kikosi chao kilichocheza na Simba jana iliwaanzisha Ssemda Charles na Bokota Labama wakichukua nafasi za Peter Lwasa na Sseruyide Moses. Hata hivyo, muda mrefu wa mchezo mpira ulichezwa eneo la katikati kwa kila timu kuonekana kuwa na hofu ya kutoruhusu bao la mapema. URA ilijaribu mara kadhaa kupeleka mashambulizi langoni mwa Yanga, lakini ustadi wa mabeki wa timu hiyo uliisaidia kutowapa mwanya Waganda hao kupata bao. Moja ya shambulizi ilitokea dakika ya 10 ambapo kipa Youthe Rostand alilazimika kufanya kazi ya ziada kuokoa mkwaju wa faulo wa Brian Majwega ambao ulipatikana baada ya Haji Mwinyi kufanya madhambi. Yanga ilijaribu kuamka na kuanza kushambulia kwa zamu na URA lakini safu yake ya ushambuliaji ilionekana kukosa uelewano na kuwapa mwanya mabeki wa wapinzani wao kucheza kwa uhuru mkubwa. Nusura Nkomola aipatie Yanga bao la ushindi dakika moja baadaye baada ya kupiga shuti kali nje ya eneo la hatari la URA.Taharuki ilitokea dakika ya 81 baada ya Lwassa kuunganisha kwa kichwa mpira uliopita nyavu za nje ambazo zilikuwa zimechanika na kuingia ndani ya bao la Yanga lakini mwamuzi alikataa bao hilo jambo lililosababisha azongwe na wachezaji wa URA. Baada ya mchezo huo, nahodha wa URA, Allan Munaaba alisema kilichowapa mafanikio hadi wakaweza kucheza fainali ni nidhamu. Rais wa Misri atuma ujumbe kwa Magufuli Uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Misri wajadiliwa Kila msanii amlilia Masogange kivyake Ni baada ya msanii mwenzao Agnes Gerald, (Masogange) kufariki dunia leo. Wasanii ‘waubeba’ msiba wa Masogange 2 hours Ago Masogange, ‘Video Queen’ wa Bongo Fleva hatunaye 4 hours Ago Rais Magufuli awahoji CAG, Katibu Mkuu kuhusu Sh1.5 trilioni 3 hours Ago DPP alifunga jalada la kesi ya mauaji ya Akwilina 3 hours Ago 1 Habari Kila msanii amlilia Masogange kivyake 2 Habari Halmashauri zatwishwa zigo mipango ya matumizi ya ardhi 3 Habari Rais wa Misri atuma ujumbe kwa Magufuli 4 Habari Rais Magufuli awahoji CAG, Katibu Mkuu kuhusu Sh1.5 trilioni 5 Habari VIDEO: Maswali yakatishwa bungeni, Serikali yaeleza zilipo Sh1.5 trilioni 6 Mwanzo Usiyoyajua kuhusu kufikia mshindo 7 Habari Ali Kiba, AY, Diamond waunganisha familia Afrika Mashariki 8 Habari DPP alifunga jalada la kesi ya mauaji ya Akwilina 9 Habari Vigogo NCU mbaroni kwa uhujumu 10 Habari Ndugai apigilia msumari gharama matibabu ya Tundu Lissu
"2018-04-20T23:54:56"
http://www.mwananchi.co.tz/Michezo/Sababu-ya-Chirwa-kukosa-penalti-Z-bar-hii-hapa/1597534-4259458-format-xhtml-11iwwuaz/index.html
[ -1 ]
Christine Lagarde | IDHAA YA KISWAHILI | DW | 03.07.2019 Christine Madeleine Odette Lagarde ni wakili wa Kifaransa na mwanasiasa anaehudumu kama Mkrugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Shirika la Fedha la Kimataifa IMF tangu mwaka 2011. Lagarde ameteuliwa kuwa Rais wa Benki ya Ulaya. Aliwahi kushika nadhifa mbalimbali za uwaziri katika serikali ya Ufaransa. Alikuwa mwanamke wa kwanza kutoka taifa la G8 kushika wadhifa wa wa fedha, na pia mwanamke wa kwanza kuongoza shirika la IMF. Mwaka 2018, Jarida la Forbes lilimuorodhesha katika nafasi ya tatu miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Ikiwa atathibitishwa na bunge mjini Strasbourg, atakuwa pia mwanmake wa kwanza kuongoza benki kuu ya Ulaya ECB. Ukurasa huu ni mkusanyiko wa maudhui za DW kumhusu Lagarde. Mada Zinazohusiana Sarafu ya Euro, ECB Kiungo https://p.dw.com/p/3LVNd Matangazo ya Asubuhi 10.12.2016 10.12.2016 Tarehe 10 Disemba, Zanzibar yatimiza miaka 53 ya kupata uhuru. Leo pia ni Siku ya Kimataifa ya Haki za Binaadamu. Na, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa IMF, Christine Lagarde, anafikishwa mahakamani Jumatatu. 22.07.2016 Matangazo ya Jioni 22.07.2016 Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) cha nchini Tanzania, Maalim Seif Sharif Hamad, yuko mjini The Hague, Uholanzi, kwa kusaka haki ya kisheria kwa madai ya uvunjwaji wa haki za binaadamu visiwani Zanzibar // Mkurugenzi mkuu wa shirika la fedha la kimataifa-IMF Christine Lagarde atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma za uzembe katika kadhia ya kulipwa tajiri mmoja mkubwa wa Ufaransa Mazungumzo ya uokozi wa Ugiriki yaendelea 31.07.2015 Mawaziri wa fedha na uchumi wa Ugiriki wamekutana na wawakilishi wa wakopeshaji wa nchi hiyo leo, kwa mazungumzo kuhusu mpango mpya wa mabilioni ya uokozi, kuelekea muda wa marejesho ya mkopo kwa benki kuu ya Ulaya ECB. Ugiriki na wakopeshaji wafikia muafaka 13.07.2015
"2019-09-17T01:50:13"
https://www.dw.com/sw/christine-lagarde/t-49454525
[ -1 ]
Rais Aktaş Kahraman alimkabidhi dereva Nuri Acar | RayHaber NyumbaniTURKEYMkoa wa Marmara16 BursaRais Aktaş Kahraman alimkabidhi dereva Nuri Acar 09 / 11 / 2019 16 Bursa, GENERAL, HIGHWAY, Mifumo ya Magurudumu ya Tiro, Mkoa wa Marmara, TURKEY Rais Aktas shujaa alipewa Soforu Rais Aktaş Kahraman alimkabidhi dereva; Meya wa jiji la Bursa Metropolitan Alinur Aktas, wakati wakiwa kwenye basi wakiwa motoni kwa abiria wote kwa njia ya baridi ili kuhama vizuri, janga linalowezekana mbele ya dereva Nuri Acar'a wristwatch zawadi. Katika tukio lililotokea Jumatano iliyopita kwenye makutano ya Gökdere, takriban abiria wa 20 katika 'Sculpture' katika upande wa Nuri Acar (37) hutumia basi la sahani ya 16 BOD 49, moto ulizuka kwa sababu ya kushindwa kiufundi. Acar alifungua milango ya basi kwa kugundua moto, abiria wenye damu baridi kwa kupakua, walipita mbele ya janga linalowezekana. Abiria walipata moto mkubwa wa hofu, kuzimwa na walima moto kutoka ilani. Meya wa Metropolitan Alinur Aktas, asante kwa umakini na baridi ya hafla hiyo, hata pua ya mtu yeyote ambaye alinusurika dereva wa basi la Nuri Acar'ı alishikilia ukumbi wa mji wa kihistoria. Tunataka kuchukua kujitolea Akiongea wakati wa Ziara iliyohudhuriwa na Meneja Mkuu wa Burulaş Mehmet Kürşat Çapar, Rais Aktaş alisema kuwa licha ya ukweli kwamba tukio hilo ni suala kubwa sana, abiria wote walihamishwa kwa juhudi maalum za dereva Nuri Acar na ilikuwa ya kuridhisha sana kwamba hakuna mtu atakaye damu kutoka pua. Meya Aktaş alisema kwamba walileta watu kazini kwao asubuhi na kwa nyumba zao, wenzi wa ndoa, watoto na wapendwa jioni .. Arasında Kunaweza kuwa na upungufu na udhaifu katika mfumo ambao mfumo wa reli, mabasi na mabasi ya umma ni karibu na watu milioni kwa msingi huu. Lakini kutokana na juhudi maalum za marafiki wetu, tunaona kwamba upungufu umefungwa. Napenda kumshukuru mwenzetu Nuri Acar na meneja wetu mkuu anayetukuzwa. Ninaelezea mara nyingine tena kuwa tunatarajia usikivu sawa na usikivu kutoka kwa marafiki wetu wote. Wacha tuchukue mioyo ya watu wetu haswa na ombi letu, na uso wetu wa kutabasamu, na ubora wetu wa huduma na viwango tunavyowasilisha. " Dereva wa shujaa Nuri Acar alisema kuwa alikuwa akijaribu kufanya vizuri wakati wa hafla hiyo na kwamba ataendelea kufanya kazi na usikivu huo baada ya hapo. Rais Aktaş, Acar mwishoni mwa ziara hiyo, alitoa saa ya kiuno. Rais Şahin aliwapa Walifunzi wa kwanza Shule Tuzo ya Chama cha Hero Hero kwenye Klabu ya Kapteni Plaque kwa Madereva wa Hero kutoka Kocaeli Metropolitan Plaque kwa Dereva wa Hero kutoka Büyükakın Bonus ya mshahara kutoka kwa Rais kwa dereva shujaa Meya Aktaş Atangaza Njia Ya Barabara ... Mkubwa… Mabasi ya Kibinafsi ya Bursa
"2019-12-15T15:03:55"
https://sw.rayhaber.com/2019/11/rais-aktas-shujaa-sofor-nuri-acari-kuheshimiwa/
[ -1 ]
Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje - AckySHINE Blog👍Kali🐨TZ😂2017💯 Video: 👉 Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje 🙉🙉🙉Usisahau kushare video hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje.👍 Share facebook, twitter n.k bila kusahau WhatsApp!💯✔ Ackyshine sio mmiliki wa video hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje, video hii imewekwa kwa nia ya kuburudisha au kuelimisha tuu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi hapa>> 🎥 Chagua Hapa video nyingine nyingi kama hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje👇 🎬 Jamaa nusura agongwe na pantoni✔ 🎬 Duh Hawa watu ni hatari kwa kuruka✔ 🎬 Huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa. Hapa mjanja ni nani?✔ 🎬 Kati ya Huyu nyoka Na mjusi nani atakayemmeza mwenzake?✔ 🎬 Zoezi kali la kijeshi, cheki hapa uone✔ 🎬 Kama hujui kupigana usipigane, angalia kilichompata huyu✔ 🎬 Ulishawahi kuona Maandamano ya Bata mzinga? Haya hapa✔ 🎬 Chui anavyowinda na kukamata swala✔ 🎬 Huyu mbuzi atakua kafantaje? cheki huyu jamaa anachoufanyia✔ 🎬 Kocha akiwafundisha adabu wachezaji wake✔ 🎬 Cheka tena kidogo hapa kwenye hii video ya vituko✔ 🎬 Cheki hiki, hivi vyombo vingine vya usafiri ni majanga✔ 🎬 Matukio ma 5 ya kusisimua na kushangaza ya wamama wakiwaokoa watoto wao✔ 🎬 Baadhi ya ngumi zilizowahi kutokea uwanjani✔ 🎬 Huyu Bibi anakumbukia ujana, cheki anachofanya sasa✔ 🎬 Angalia kilichompata huyu jamaa baada ya kuamka na hang over yake✔ 🎬 Mcheki huyu anataka kuendesha pikipiki yenye tairi moja✔ 🎬 Huu wizi mwingine ni balaa, cheki anachofanya huyu mama✔ 🎬 Cheki jamaa alivyoangukia kwenye tope na pua✔ 🎬 Huyu kuona zimwi, ungekua ni wewe ungefanyaje?✔ 🎬 Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari, kumbe pombe saa nyingine nzuri✔ Kuangalia videos zote za kufanana na hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje; Ingia AckySHINE 📺 TV hapa✅ 🎥 Jichagulie Video za sasa za kufanana na hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje kama ifuatavyo;👇 Unaalikwa kila siku kuangalia videos bomba kali kama hii ya Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje. Ni wewe tuu kutembelea blog hii ili uweze kuona videos hizi.✅ Jifunze ujasiriamali, Soma zaid... Kwenye Maisha, Soma zaid... Maisha ni kujifunza, Soma zaid... Je wajua, Soma zaid... Usikose Picha Bomba, Soma zaid... Video za kila siku, Soma zaid... Usikose hizi, Soma zaid... Vichekesho vipya, Soma zaid... Karibu katika blog Maarufu, Soma zaid... Njia ya Kumrudia Mungu, Soma zaid... Njia ya sala, Soma zaid... Sifa za Sala yeyote, Soma zaid... Sala inayojibiwa, Soma zaid... Sala ni ufunguo, Soma zaid... Sala ni Upendo, Soma zaid... Sala sio maneno tuu, Soma zaid... Mambo muhimu katika sala, Soma zaid... Sala ni chimbuko la Fadhila, Soma zaid... Sala ni chakula cha roho, Soma zaid... Sala za kila siku, Soma zaid... Sali daima, Soma zaid... Mungu anasubiri sala zako, Soma zaid... Maisha ya Kikristo ni sala, Soma zaid... Njia ya Kumtafuta Mungu, Soma zaid... Jumbo la muhimu zaidi Duniani, Soma zaid... Sala ni Hazina, Soma zaid... Upendo wa Mungu hauna mwisho, Soma zaid... Mungu ni mwenye haki, Soma zaid... Marium amezaa Mtoto Mfalme, Soma zaid... VICHEKESHO-TOSHA, Soma zaid... VICHEKESHO-KABAMBE, Soma zaid... Ackyshine Blog, Soma zaid... Ackshine Blog, Soma zaid... Karibu Akshine Blog, Soma zaid... Blog mpya ya Ackyshine, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Watakatifu ndani ya Kanisa Katoliki, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Vishawishi, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Visakramenti, Soma zaid... Mafundisho kuhusu Vilema, Vichwa vya dhambi au mizizi ya dhambi, Soma zaid... Kanisa Katoliki linavyofundisha kuhusu Yesu, Soma zaid... Uzima wa milele, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Uumbaji, Jinsi Mungu alivyoumba, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Utatu Mtakatifu, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Utawa, Soma zaid... Mambo muhimu kujua kuhusu Ubatizo, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Toharani, Soma zaid... Maana ya sanamu ndani ya Kanisa Katoliki, Soma zaid... Mambo ya msingi kujua kuhusu sala, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Roho Mtakatifu, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Neema na Rehema, Soma zaid... Maswali na majibu Kuhusu Ndoa, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Mungu, Soma zaid... Mafundisho ya dini kuhusu Binadamu, Soma zaid... Sakramenti ya Mpako wa Wagonjwa, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Mitume, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Misa Takatifu ya Kanisa Katoliki, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu kifo, Soma zaid... Mafundisho kuhusu Hukumu ya Mwisho, Soma zaid... Mafundisho ya dini kuhusu Marehemu, Soma zaid... Maana ya MAPOKEO kwenye Kanisa Katoliki, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Malaika, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Liturujia, Soma zaid... Maana sahii ya kuabudu inayotumika na kanisa Katoliki, Soma zaid... Mafundisho kuhusu kitubio, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Sakramenti ya kipaimara, Soma zaid... Mafundisho kuhusu Karama, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Ibada, Soma zaid... Mafundisho kuhusu dhamira, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu dhambi, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Sakramenti ya Daraja Takatifu na Kuhusu Utawa, Soma zaid... Mambo makuu usiyoyajua kuhusu Bikira Maria, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Amri za Kanisa, Soma zaid... Maswali na majibu kuhusu Biblia, Soma zaid... 30, Soma zaid... Mwenendo wa Roho, Soma zaid... Makusudi ya Mungu, Soma zaid... Kumtafuta Mungu, Soma zaid... Neno, Soma zaid... Uzuri wa Mungu, Soma zaid... Upendo na Matamanio ya Mungu kwa Wanadamu, Soma zaid... Uwepo wa Mungu wakati wa shida, Soma zaid... Umuhimu wa kumsogelea Mungu, Soma zaid... Upendo wa siku zote, Soma zaid... Mafundisho ya amani, Soma zaid... Tumaini kwa Mungu, Soma zaid... Mungu ni mwenye Huruma, Soma zaid... Makala mpya, Soma zaid... Unakumbuka hizi, Soma zaid... Soma hapa kila siku, Soma zaid... Haya ni kwa ajili yako, Soma zaid... Mambo mapya ya kila siku, Soma zaid... Blog inayopendwa, Soma zaid... Usikose hii, Soma zaid... Blog ya kutembelea kila siku, Soma zaid... Furahia Blog hii, Soma zaid... Blog ya manufaa, Soma zaid... Ona mguu wa huyu Dada anavyouweka, Soma zaid... Angalia ujinga wanaofanya hawa, Soma zaid... Bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari, Soma zaid... Balaa la mitoto isiyopenda shule, Soma zaid... Cheki ndama wa kidigitali, Soma zaid... Paka kasema sikubali! Angalia alichomfanyia huyu mtoto, Soma zaid... Cheki sababu ya huyu jamaa kutokupenda mchezo wa mieleka, Soma zaid... Upendo wa kweli ni nini?, Soma zaid... Kufahamu tabia ya rafiki yako wa kike/kiume kabla ya kuoana hata kama anaishi mbali, Soma zaid... Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi, Soma zaid... Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi, Soma zaid... Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua, Soma zaid... Ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana?, Soma zaid... Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!, Soma zaid... Ukita kuruka angani…. Agana na nyonga. Cheki huyu hajaagana na nyonga kikampata hiki, Soma zaid... Cheki huyu dingi alivyo mnoko, Soma zaid... Jinsi ya kupika kisamvu bila nazi, Soma zaid... Jinsi kangaroo anavyobeba mtoto wake kwenye mfuko ulioko tumboni kwake, Soma zaid... Best Speech of Mother Teresa about Love and Family, Soma zaid... Umewah kumpenda kwa kihivi??, Soma zaid... Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work, Soma zaid... Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?, Soma zaid... Hakuna siku mbaya maishani kama hii, Soma zaid... Kupunguza magonjwa kwa kuku, Soma zaid... Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme, Soma zaid... Angalia huyu polisi kitu alichonijibu, Soma zaid... Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa, Soma zaid... Huu ukataji wa ugali ni noma, Soma zaid... Angalia huyu mtoto anachofanya huku amesinzia, Soma zaid... Mashine ya kusaga kuku, Soma zaid... Angalia hili bonge la jibwa lilivyo na hasira, Soma zaid... Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli, Soma zaid... Lengo na sababu ya kujamiiana, Soma zaid... Nani Mkali Hapa, Soma zaid... Cheki hawa wanavyoonyeshana ubabe, Soma zaid... Tabia ambazo zinamfanya mwanamke asiolewe, Soma zaid... Angalia huyu jamaa anaenjoy tuu. Nishida!, Soma zaid... Jinsi ya kuzuia magonjwa ya kuku, Soma zaid... Kweli elimu ina umuhimu wake chek hawa….., Soma zaid... Ushauri kwa usiku wa leo, Soma zaid... Kipaji ni kipaji tuu, huyu japo kilema lakini mtaalamu wa mpira, Soma zaid... Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi, Soma zaid... Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?, Soma zaid... Unakumbuka enzi hizi za utoto?, Soma zaid... Mbinu 5 za kukunufaisha maishani, Soma zaid... Jinsi ya kutunza nyanya kwa faida, Soma zaid... Simulizi ya mapenzi, Soma zaid... Michezo mingine hii ni hatari, Soma zaid... UMETOKA KAZINI UMEKUTA PANYA 6 ndani, Soma zaid... Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno, Soma zaid... Mapishi ya samaki aina ya salmon, Soma zaid... Staili ya Huyu ya kubeba mtoto ni kiboko, Soma zaid... Cheki huyu mwanamke alivyojibiwa na huyu mwanaume, Soma zaid... Kati ya hawa wanafunzi wewe ulikua yupi enzi zako ukiwa shuleni?, Soma zaid... Huyu anacheza mziki kama vile hana viungo, Soma zaid... Sipati picha kitakachofuata hapa, Soma zaid... Angalia huyu alichokifanya kwenye hii pikipiki, Soma zaid... Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?, Soma zaid... Usiruhusu tabia hii itawale akili yako, Soma zaid... Huyu kashauzwa!!, Soma zaid... Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure, Soma zaid... Angalia huyu alivyo mtaalamu wa kucheza Pool table, Soma zaid... MADHARA YA SHISHA, Soma zaid... Hapa nani mbabe kwenye ngumi hii, Soma zaid... KUFUNGA NA KUOMBA KUNAKOONGEA MBELE ZA MUNGU, Soma zaid... Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika, Soma zaid... Ukisikia bwege wa mapenzi ndio huyu, cheki anavyoropoka tuu, Soma zaid... Huyu mtoto akiwa mkubwa atakuaje? kama sasa anawaza bunduki, Soma zaid... Huu mchezo hautaki makeup, Soma zaid... Jinsi ya kupika Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya, Soma zaid... Muangalie anachokisema huyu mwanamke, Hii ni kweli?, Soma zaid... Ajali za magari za kutisha, Soma zaid... Jinsi ya kulima mtama, Soma zaid... Simu ilivyozua utata, Soma zaid... Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya, Soma zaid... Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo, Soma zaid... Jinsi ya kulima vizuri zao la kabichi, Soma zaid... Huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama?, Soma zaid... Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho shambani, Soma zaid... Je, pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa Virusi vya UKIMWI na VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana?, Soma zaid... Huyu mbuzi kwa anavyopigwa hata kaa arudie alichofanya, Soma zaid... Angalia huyu mwizi alivyokamatwa, Soma zaid... Huyu ana sura mbaya, cheki anavyokula sasa, Soma zaid... Angalia huyu panya anachofanyiwa baada ya kula hela, Mbele ya hela panya lazima asulubishwe, Soma zaid... Hawa ndio wataalamu wa Baiskeli kweli kweli, Soma zaid... Haya hapa, mavazi makuu ya msichana, nguo nne za msichana, Soma zaid... Usiyoyajua kuhusu nyangumi, Soma zaid... Mwanamke alivyowaponza wanaume, mbele ya mwanamke mwanaume anaweza kufa, Soma zaid... Mapishi ya mboga ya mnavu, Soma zaid... Hapo sasa akili itakuja, Soma zaid... Pale n'gombe anapoamua kukuhag ndio hiki hutokea, Soma zaid... Jinsi ya kufuga vizuri kuku wa kienyeji, Soma zaid... WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI, Soma zaid... Huyu dogo anawenge, siku nyingine hawezi kurudia, Soma zaid... Kwa namna hii wizi utaisha?, Soma zaid... Hizi TV nyingine bwana za kiajabu, Soma zaid... Rais Dr.Magufuli ametekeleza kwa vitendo agizo alilolitoa kwa watanzania kufanya usafi, Soma zaid... Angalia huyu alivyokomaa, Soma zaid... Angalia utofauti wa mawazo ya maskini na tajiri, Soma zaid... Huyu dogo mkorofi, cheki alichomfanyia mama yake, Soma zaid... Hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi, Soma zaid... Ni wazo tuu!, Soma zaid... Sister anaswaga simba wake taratibu, jaribu wewe uone, Soma zaid... Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??, Soma zaid... Huku kujiua kwingine huku ni balaa, Soma zaid... Hapa nani kawezwa zaidi, Soma zaid... SMS tamu za kimahaba, Soma zaid... Je, unajua kwa nini hufanikiwi?, Soma zaid... Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?, Soma zaid... Hofu inavyo tugharimu katika safari ya ujasiriamali na Jinsi ya kuiepuka, Soma zaid... Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?, Soma zaid... Kwani Albino hawatakiwi kuishi duniani?, Soma zaid... Maelezo ya Kitabu cha Mwanzo Cha Biblia, Soma zaid... Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?, Soma zaid... Ukisikia utundu ndio huu wa huyu mtoto sasa, Soma zaid... NAMNA YA KUMTAMBUA MWANAMKE MPUMBAVU NA MWANAMKE MWEREVU, Soma zaid... WIVU HUU NI NOMA, Soma zaid... Kati ya Huyu nyoka Na mjusi nani atakayemmeza mwenzake?, Soma zaid... Madenge hakosi visa. Soma hii, Soma zaid... Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?, Soma zaid... Kama wewe ni mwalimu soma hii, Soma zaid... Watu 6 wameuawa katika Mji Mkuu wa BURUNDI, BUJUMBURA na wengine kadhaa kujeruhiwa,kufuatia machafuko yaliyotokea katika mji huo, Soma zaid... Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari, Soma zaid... Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo, Soma zaid... Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi, Soma zaid... Thamani ya marafiki zetu, Soma zaid... Angalia huyu faru alichokifanyia hili gari, Soma zaid... Ishara za uhakika za mtu yeyote anayekupenda kimapenzi hata kama hajakwambia, Soma zaid... Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu, Soma zaid... Jinsi ya kulima karanga bora, Soma zaid... Kuua huyu mnyama yataka moyo, angalia anavyowasumbua hawa, Soma zaid... Angalia huyu alivyoumbuka wakati anasalimiana, Soma zaid... Kilichompata fundi umeme baada ya kuzidisha mbwe mbwe kazini, Soma zaid... Ujumbe kwa wadada, Soma zaid... Dada zangu huu ni mwaka wa mabadiliko, Soma zaid... Jinsi ya kutambua magonjwa ya mbuzi wa maziwa, Soma zaid... Mbinu kuu za Kilimo cha Mboga cha uhakika kwa mazao mazuri, Soma zaid... Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani, Soma zaid... Angalia Kiingereza kilivyoniponza, Soma zaid... Cheki hii ndege ilivyowaka, Soma zaid... Kama simu yako ina wifi, Soma zaid... Jielewe, kipato chako kinakusaidia nini?, Soma zaid... Cheki huyu mtoto alichomfanyia baba yake, Soma zaid... Huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa. Hapa mjanja ni nani?, Soma zaid... Cheki jamaa alivyofumwa akimuomba mavi shemeji yake, Soma zaid... Hakuna aliyesawa na Mungu, Soma zaid... Roho Mtakatifu aliwafanyia nini Mitume?, Soma zaid... Je, Yatupasa kumtolea Mungu shukrani?, Soma zaid... Ee Mungu moyo wangu u thabiti, Soma zaid... Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?, Soma zaid... Mawasiliano, Soma zaid... Factors of Life, Soma zaid... VICHEKESHO-BORA, Soma zaid... Malaika Walinzi wanatutendea nini?, Soma zaid... SLIDE2, Soma zaid... Jinsi ya kuzalisha lishe kwa n'gombe wa maziwa kwa bei nafuu, Soma zaid... Angalia huyu mwanaume anachokisema sasa, Soma zaid... Kwa mwaka huu Hizi ndizo videos zinazotamba online, Soma zaid... Utoto raha..!, Soma zaid... The Kingdom of God is Within You, Soma zaid... Mungu aliumbaje vyote?, Soma zaid... Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu peke yetu?, Soma zaid... Ungeenda kunya akhera., Soma zaid... Yesu alihalalisha ulaji wa vyakula vyote. Hakuna chakula kinachoweza kumtia mtu unajisi, Soma zaid... Videos kali za instagram kwa mwezi huu, Soma zaid... Matukio ma 5 ya kusisimua na kushangaza ya wamama wakiwaokoa watoto wao, Soma zaid... VIDEOS-KWA-WANAWAKE, Soma zaid... Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?, Soma zaid... VIDEO-TUU, Soma zaid... Komunyo Takatifu Hutuletea neema gani?, Soma zaid... VIDEOS-MBEYA, Soma zaid... Ushauri wa bure kwa wakaka na wadada, Soma zaid... Je, Yesu ametufundisha maneno ya sala pia?, Soma zaid... Angalia huyu baba anavyomfanyisha mwanae mazoezi, huyu mtoto akiwa mkubwa atakuwa mtaalamu Ile mbaya, Soma zaid... Nini matatizo ya macho ya Albino?, Soma zaid... PICHA-ZA-LEO, Soma zaid... Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?, Soma zaid... Rais wa Gambia Yahya Jammeh ametangaza taifa hilo lenye Waislamu wengi kuwa jamhuri ya Kiislamu, Soma zaid... Stress tupu, Soma zaid... Je, wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi?, Soma zaid... Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili, Soma zaid... Waziri mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya Rais Uhuru Kenyatta amejiuzulu, Soma zaid... Karoli - Nipe Biblia, Soma zaid...
"2017-06-28T05:17:06"
http://www.ackyshine.com/videos:huyu-kamuweza-mshikaji-anashangaa-damu-imetoka-wapi-t
[ -1 ]
Wagombea wetu Ismail Idrissa, Imani Madega, Rashid Bhinda, Kibo Merinyo na Baraka Igangula Makamu wa Mwenyekiti: Rashid Ngozoma Matunda, Shabaan Dilunga na PatrickFata. Lucas Kisasa, Constantine Maligo na Emmanuel Mpangala. Katibu Msaidizi: Ahmed Mamba, Mlimuka Luhanda, Ally Bwamkuu, Francis Kaswahili, Said Motisha, Abdulrahman Gwando, Constantine Maligo, Mohamed Bhinda, Rasul Ndee na Ramesh Patwa. Katibu Mipango: Ismail Mwapani, Seif Mohamed, Yussuf Yassin, Ali Kamtande, Geoffrey Mhagama na Patrick Fata. Hamisi Juma, Francis Lucas, Bakili Makele, Juma Magoma, Mlimuka Luhanda, Bakari Malima, Hamisi Kinye, Mohamed Omar na Makusudi Hussein. Patory Kyombya, Abeid Mohamed Abeid, Castory Nketto na Jeremiah Mkali. Mweka Hazina Msaidizi: Abbas Bomba, Boniphace Clemence, Godfrey Mwenge na Seif Mbelwa. UCHAGUZI UTAFANYIKA JUMATANO TAREHE 30/05/2007 KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE. Kama kuna mwanablog yeyote anayefahamu sifa za hawa wagombea ni vizuri atuwekee wazi bila majungu ili tujue nani ni nani. Posted by CM at 10:37 AM Nasikia kuna wanachama kibao wa Yanga wenye kadi za miaka ya 1960 ambao hawakujitokeza kuhakikiwa ili wafanye uchaguzi lakini waliposikia mshiko wa sh. 20,000/- wakajitokeza kuchukua? Kama ni kweli basi nadhani viongozi wapya wana kazi kubwa ya kufanya. Maana wanachama wanatakiwa kwenda klabuni kutimiza wajibu na haki yao ya kupiga kura hata kama hawaahidiwa kulipwa kitu. Sasa kumbe wako wengi na kadi wanazo lakini hawajitokezi? Jamani wanachama tunatakiwa kupeleka hela klabuni, sio kwenda kuchukua hela... Hii elimu mpaka ituingie akilini itachukua muda. Ingekuwa vizuri wagombea wenyewe wakapitia hapa na kuweka sera zao hadharani. Lakini huenda wapenzi wengi wa hapa nyumbani hawaijui hii blog 'yetu'. Kuna gazeti pale klabuni nadhani linaitwa 'Sauti ya Jangwani' kama sijakosea. Sasa kama unaweza pata email ya mhariri unaweza kumpa details za hii blog akachapisha kwenye hilo gazeti, ili viongozi na wanachama nao wawe wanatembelea hapa, nakutoa maoni yao. May 28, 2007, 12:10:00 PM Hapa kuna maelezo kidogo ya baadhi ya Wagombea. Ni kutoka gazeti la Tanzania Daima la leo: http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/5/28/makala2.php Sina hakika kama hakuwa akipigiwa debe mtu, lakini its worth reading (inafaa kusoma..). May 28, 2007, 3:32:00 PM JM nakushukuru sana kwa michango yako mbalimbali ambayo kusema kweli huwa inanijenga sana. Nimejaribu kutafuta hilo gazeti la Sauti ya Jangwani nimeona wametoa mawasiliano yao na nimefanikiwa kupata email yao (jangwani2007@yahoo.com) kwa hiyo kama mdau yeyote atafanya mawasiliano nao au vinginevyo asisite kudondosha data hapa bloguni Kuhusu hiyo makala iliyopo kwenye TZ Daima naona kama wanapiga kampeni sehemu fulani. May 28, 2007, 5:04:00 PM Kichwabuta Mwendantwala said... Huyo Patrick Fata, anayegombea Umakamu Mwenyekiti na Ukatibu Mipango mbona naambiwa ya kuwa HANA kabisa uzoefu na hizo nafasi anazogombea kwani hata wafanyakazi wenziwe wa Benki Kuu ya Tanzania wanasema hajawahi kuwa kiongozi wa ngazi yoyote pale ofisini kwake !!! Sasa tukimpa hizo nafasi anatuahakikishaje kama ATAZIMUDU ????? May 29, 2007, 12:44:00 PM
"2017-10-24T05:39:10"
http://yangatz.blogspot.com/2007/05/wagombea-wetu-mwenyekiti-ismail-idrissa.html
[ -1 ]
MAWAZIRI WATANO WATEMBELEA MRADI WA KUFUA UMEME STIEGLER'S GORGE - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content MAWAZIRI WATANO WATEMBELEA MRADI WA KUFUA UMEME STIEGLER'S GORGE Waziri wa Nishati, Medard Kalemani akizungumza na baadhi ya Mawaziri pamoja na Makatibu wakuu waliofanya ziara jana ya kutembelea mradi wa kufua umeme wa Mto Rufiji kwa ajili ya kukagua Miundombinu Wezeshi ikiwemo maji, barabara, umeme pamoja na nyumba za watumishi kabla ya kumkabidhi Mkandarasi huyo kwa ajili ya kuanza ujenzi wa bwawa la kuzalisha Umeme. Waziri wa Nyumba, Ardhi na Maendeleo ya Mkazi, Mhe. William Lukuvi akiwa ameshika moya nguzo za umeme zilizotengenezwa kwa zege yenye urefu wa mita 17 ambazo zimewekwa katika Pori la Akiba la Selous ili wanyama kama vile tembo na twiga waziweze kuziangusha wakati Mawaziri watano walipofanya ziara katika mradi huo wa kufua umeme wa mto Rufiji mkoani Morogoro. Wengine wanaoangalia ni mawaziri na makatibu wakuu. Mratibu wa Mradi wa Kufua Umeme wa Mto Rufiji, Mhandisi Justus Mtolela akizungumza na Mawaziri pamoja na viongozi mbalimbali walioambatana na katika Pori la Akiba la Selous kabla ya kuanza kufanya ziara ya kukagua Miundombinu We... Continue reading ->
"2019-03-24T09:39:07"
http://presstz.net/mawaziri-watano-watembelea-mradi-wa-kufua-umeme-stiegler-s-gorge-45601884
[ -1 ]
Mh. John Momose Cheyo unakumbuka? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mh. John Momose Cheyo unakumbuka? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Raia Fulani, Mar 7, 2011. Nakumbuka sana mwaka 2005 jk alipohutubia bunge kwa mara ya kwanza kwa hotuba yake ya kutoa denda. Saa zima na ushee jk alituimbisha, huku tabasam likimtanda usoni. Alianza kwa kusema kuwa safari hii kura zimetosha. Mwanzo mwisho wabunge walitabasam. Sie tulijawa matumaini. Mwisho wa siku wabunge wakihojiwa, Cheyo alisema tena kwa bashasha, "baada ya miaka 10 tumepata rais anayeongea na watu." labda hakukosea. Jk anaongea kweli. Mh. Bado una imani ile? Bado tuna imani ile? Naomba sana kama kuna mdau anayo ile speech atubandikie hapa tuitafakari. Maisha bora kwa kila mtanzania Hana lolote huyo JK,kazi ya msanii ni kuchekesha,Tanzania ndugu zangu hatuwezi kukombolewa na CCM.Huyo Cheyo na chama chake ni CCM B. Kura hazikutosha sana:decision: Nakushauri uachane na John Momose Cheyo, huyu siye yule wa 2005; baada ya kuhoja joto la jiwe ambapo nyumba yake ilipigwa mnada, ameamuakujihudumia yeye badala ya kuwahudumia watanzania. Matokeo yake chama chake hivi sasa tayari kimeishapoteza sifa za kuwa chama cha siasa. Kinachozuia chama hicho kufutwa ni kutokana na kulindwa kwake na utawala uliopo. Nakumbuka sana mwaka 2005 jk alipohutubia bunge kwa mara ya kwanza kwa hotuba yake ya kutoa denda. Saa zima na ushee jk alituimbisha, huku tabasam likimtanda usoni. Alianza kwa kusema kuwa safari hii kura zimetosha. Mwanzo mwisho wabunge walitabasam. Sie tulijawa matumaini. Mwisho wa siku wabunge wakihojiwa, Cheyo alisema tena kwa bashasha, "baada ya miaka 10 tumepata rais anayeongea na watu." labda hakukosea. Jk anaongea kweli. Mh. Bado una imani ile? Bado tuna imani ile? Naomba sana kama kuna mdau anayo ile speech atubandikie hapa tuitafakari. Maisha bora kwa kila mtanzaniaClick to expand... Siyo Mzee Cheyo peke yake, humu humu JF wakati inaanza 2006 ilikuwa ukimsema JK unatupiwa mawe, hata wakongwe kama Mzee Mwkjj walikuwa wanatumia kauli eti 'washauri wa raisi hawakumshauri vizuri' na leo miaka 6 baadae hatujaona mabadiliko. Ama kweli ukipenda chongo huita kengeza! Ama kweli ukipenda chongo huita kengeza!Click to expand... ni wengi sana tuliingizwa kingi kumbe tumeandaliwa mazingira ya kuliwa. Hata mi nakumbuka nilimtetea sana eti tumpe muda. I wish tungepata ile hotuba yake ya kwanza kabisa bungeni Anyone who has never made a mistake has never tried anything new. [FONT=&quot]Kwa hiyo mwanzoni mlikuwa na matumaini, haikuwa kosa. Lakini kosa ni kutumaini tena safari hii wakati hali halisi ni tofauti na maneno yasemwayo sokoni i.e. [/FONT].. reality rarely matches the marketing.[FONT=&quot] Nakumbuka Mzee aliyekua anatoka MKAPA alituonya kwamba "Najua ntaonekana sifai ila ipo siku Tanzania Itanikumbuka" Personaly sikujuaga alimaanisha nini ila kwa sasa najua alichomaanisha, na inaonekana alijua nini kitakachotokea. Watu walipoambiwa "Nguvu mpya na Kasi mpya" Wakajua ni Mbio za maendeleo kumbeee......Teh! Great Gad Oneya! Siamini kama kuna mtu kwa dhati ya moyo wake anamuamini tena kwa sasa. Kama wapo basi wana aidha maslahi binafsi ama ni wapumbavu (maana ujinga si tusi). Mpumbavu ni mtu aliyekuwa katika kiwango cha ujinga akashindwa kuondokana na ujinga pamoja na kueleweshwa. Mmojawapo Cheyo. Huyu ana maslahi binafsi
"2017-01-21T04:55:49"
https://www.jamiiforums.com/threads/mh-john-momose-cheyo-unakumbuka.115684/
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: VIWANDA VISIVYO ENDELEZWA KURUDISHWA KWA WATANZANIA Wizara hiyo inaendelea na kushawishi wawekezaji mbalimbali ili kujenga viwanda vingi iwezekavyo kwa ajili ya uchakataji wa mazao yanayolimwa nchini pamoja na mifugo
"2017-10-23T20:27:45"
http://charaz.blogspot.com/2016/06/viwanda-visivyo-endelezwa-kurudishwa.html
[ -1 ]
HAYA NDIYO MAAMUZI YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM BAADA YA KIKAO CHAKE CHA SIKU MOJA | TANURU LA FIKRA BlogNews Home Uncategories HAYA NDIYO MAAMUZI YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM BAADA YA KIKAO CHAKE CHA SIKU MOJA
"2018-02-21T17:14:57"
http://www.tanurulafikra24.com/2016/12/haya-ndiyo-maamuzi-ya-halmashauri-kuu.html
[ -1 ]
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation: May 2016 RE: POSITION OF LEGAL ADVISER (DIRECTOR) AT THE ORGANISATION FOR THE PROHIBITION OF CHEMICAL WEAPONS (OPCW) The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation through its Embassy in the Netherlands has received a notification from the Organization for the Prohibition of Chemical Weapons (OPCW) stating that the position of Legal Adviser (Director) will be vacant in August 2016. The Legal Adviser will be responsible for the provision of legal advise to the Director General of OPCW, the Technical Secretariat, the policy making organs and States Parties to the Convention. The Ministry encourages qualified Tanzanians to apply. Closing date for application is on Tuesday 30th May, 2016. Posted by Nje Tanzania at 8:17 AM No comments: Balozi Haule akiongea na Wachezaji wa timu ya Taifa. Kulia ni Kocha Mkuu Boniface Mkwasa na wa pili kushoto ni Mshauri wa timu Abdallah 'King' Kibadeni. Wachezaji wa Taifa Stars wakimsikiliza Balozi Haule. Balozi Haule katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Stars Posted by Nje Tanzania at 4:32 PM No comments: Waziri Mahiga afungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akimkaribisha Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga kwenye mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere. Mhe. Waziri Mahiga akiwahutubia watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara. Katika hotuba yake aliwaasa watumishi kuwa waadilifu, kufanya kazi kwa bidii kwa lengo la kuhakikisha shughuli za kidiplomasia zinafanyika kwa tija ikiwa ni pamoja na kuhakikisha Sera ya Mambo ya Nje inatekelezwa na kuifanya Tanzania kuendelea kupaa katika medani za kimataifa. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akitoa taarifa ya utangulizi ya mkutano kwa Mhe. Waziri, Viongozi wa TUGHE-Taifa pamoja na wafanyakazi waliohudhuria Mkutano huo hawapo pichani. Pia alitumia fursa hiyo kumkaribisha Mhe. Waziri ili aweze kufanya ufunguzi wa Mkutano ambapo tukio hilo liliambatana na utoaji wa zawadi za wafanyakazi bora wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Sehemu ya Wakurugenzi, Wakuu wa Vitengo na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia hotuba Sehemu nyingine ya Wakurugenzi, Wakuu wa Vitengo na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia hotuba Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati, Balozi Abdallah Kilima akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mahiga kwa niaba ya Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Pamoja na kuahidi kufanyia kazi nasaha zilizotolewa, Balozi Kilima alimpongeza Waziri Mahiga kwa kuwa kiongozi bora na wa mfano wa kuigwa na Watumishi wote katika utendaji wa kazi. Mjumbe kutoka TUGHE-Taifa, Bw. Arcado Nchinga pia alizungumza na Watumishi wa Wizara ambapo aliwahimiza kuendelea kufanya kazi kwa juhudi ikiwa ni pamoja na kuwakilisha nchi vizuri katika mataifa mengine Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Nigel Msangi akitoa taarifa ya wafanayakazi bora wa Wizara wa mwaka 2015/2016 kwa Waziri Mahiga ambao walitunukiwa zawadi katika mkutano huo Afisa Habari katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Ally Kondo ndiye aliyeibuka Mfanyakazi Bora na Hodari wa iliyokuwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Pichani akipongezwa na Mhe. Waziri Mahiga Afisa TEHAMA katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw.Salum M. Nalolah ndiye aliyeibuka Mfanyakazi Bora na Hodari wa iliyokuwa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Pichani akipongezwa na Mhe. Waziri Mahiga Picha ya pamoja ya Mhe. Waziri Mahiga na Wafanyakazi bora wa Idara zote za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Picha ya pamoja Mhe. Waziri Mahiga na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Posted by Nje Tanzania at 3:57 PM No comments: Mkutano wa Kimataifa kujadili Utawala wa Sheria kufanyika nchini Mkutano wa Kimataifa kujadili masuala ya Utawala wa Sheria kama chachu ya Maendeleo Endelevu unatarajiwa kufanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 1 na 2 Juni, 2016. Mkutano huo ambao utafanyika katika ngazi ya Mawaziri kutoka nchi mbalimbali za Afrika utafunguliwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Harison Mwakyembe (Mb.) na kuhudhuriwa na Mawaziri kutoka nchi za Afrika, Maafisa Waandamizi wa Serikali na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa. Mkutano huo unaolenga kuweka sera, mikakati thabiti, pamoja na kubadilishana uzoefu, weledi na ujuzi miongoni mwa washiriki ili kuwawezesha kutekeleza malengo mapya ya dunia chini ya dira mpya ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo ya Dunia ijulikanayo kama “Agenda ya Maendeleo Endelevu ya Mwaka 2030” yenye jumla ya Malengo 17. Malengo hayo yanarithi Malengo ya Milenia yaliyomaliza muda wake mwaka 2015. Ikumbukwe kuwa, mwezi Septemba 2015 Jumuiya ya Kimataifa ilifikia makubaliano ya kihistoria kwa kupitisha Agenda mpya ya Maendeleo Endelevu wakati wa Mkutano Maalum wa Umoja wa Mataifa uliofanyika Mjini New York, Marekani. Katika mkutano huo, Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa walikubaliana kuwa na Dira Mpya ya Maendeleo ya Dunia ikilenga katika kutokomeza umaskini; kulinda mazingira; kupambana na mabadiliko ya tabianchi na kushirikisha makundi yote kwenye jamii katika masuala ya maendeleo. Mkutano huo wa siku mbili umeandaliwa na Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo ya Sheria (International Development Law Organisation-IDLO) yenye Makao yake makuu mjini Roma, Italia kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkutano huo unatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki takriban 70 kutoka ndani na nje ya Tanzania na umejikita zaidi kwenye lengo Namba 16 linalohimiza haki, amani na jamii shirikishi. Dar es Salaam, 27 Mei 2016. Posted by Nje Tanzania at 3:11 PM No comments: Waziri Mahiga apokea msaada wa magari ya kubebea wagonjwa kutoka Korea Kusini Waziri wa Mambo ya nje Ushirikano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (aliye shikilia funguo za gari), akipokea Ufunguo wa Magari ya Wagonjwa kutoka kwa Balozi wa Korea Kusini nchini, Mhe. Song Geum Young yaliyotolewa Serikali ya nchi yake. Waziri Mahiga alitumia nafasi hiyo Kuishukuru na kuipongeza Serikali ya Korea Kusini kwa msaada huo ambo utatumika kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza. Tanzania na Korea Kusini zina mahusiano mazuri, ambapo Korea Kusini inaendelea kuisaidia Tanzania kwenye sekta mbalimbali zikiwemo afya,miundombinu, elimu na uchumi. Waziri Mahiga akijaribisha moja ya magari aliyokabidhiwa na Serikali ya Korea Kusini kupitia Balozi Young kushoto. Picha ya Magari yaliyotolewa kwa msaada wa Serikali ya Korea Kusini Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbelwa Kairuki (wa kwanza kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga (wa kwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Korea Kusini Mhe. Song Geum Young mara baada makabidhiano ya magari kwa Mhe. Dkt. Mahiga (hayupo pichani) Hon Dr Susan Kolimba, Deputy Minister, Foreign Affairs and East African Co-operation, Dr Susan Kolimba holds the Budget Speech. She is flanked by the EAC Secretary General, Hon Amb Liberat Mfumukeko. The deputy Minister of Foreign Affairs and East African Co-operation, Hon Dr Susan Kolimba presents the Budget Speech to the House. At back is the EALA Speaker, Rt. Hon Daniel Fred Kidega. Posted by Nje Tanzania at 5:59 PM No comments: Tanzania na China kuendelea kuimarisha ushirikiano Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akiwaonyesha waandishi wa habari kitabu kinachoelezea Historia ya Ushirikiano baina ya Tanzania na China kwenye Mkutano na vyombo vya habari uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Sehemu ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano ambao Bi. Kasiga aliwaelezea mafanikio ya ziara iliyofanywa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Aziz Mlima nchini China ambapo pamoja na kufadhili shughuli mbalimbali za kiuchumi, nchi hiyo pia imekubali kutoa ufadhili wa nafasi kumi za masomo ya kidiplomasia ambapo itatoa nafasi tano za mafunzo ya muda mrefu na tano za muda mfupi kwa kila mwaka Ziara ya Kikazi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki nchini China Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Aziz Mlima alifanya ziara ya kikazi nchini China kuanzia tarehe 15 – 19 Mei 2016 kufuatia mwaliko wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo. Lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kuimarisha mahusiano kati ya Tanzania na China katika nyanja za siasa, uchumi na utamaduni. Akiwa nchini China, Dkt. Mlima pamoja na mambo mengine alipata fursa ya kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa Serikali na wa Makampuni makubwa ya China ambayo baadhi yao yameshawekeza nchini na mengine yameonesha dhamira ya kuwekeza. Wakati wa mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Mhe. Zhang Ming, masuala mbalimbali yalijitokeza ikiwa ni pamoja na China kusisitiza dhamira yake ya dhati ya kukuza ushirikiano na Tanzania katika nyanja ya uchumi kupitia uwekezaji kwenye sekta ya viwanda, nishati na miundombinu. China imeweka kipaumbele cha juu katika miradi ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo na eneo la viwanda pamoja na maboresho ya Reli ya TAZARA na ipo tayari kuanza upembuzi yakinifu wa Reli ya Kati. Kwa upande wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Kampuni ya China ya Merchant Holding International (CMHI) ambayo imeingia ubia na Serikali ya Tanzania na Mfuko wa Oman kujenga bandari hiyo, wapo katika hatua nzuri ya kukamilisha mazungumzo ya ubia wao ili waanze awamu ya kwanza ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ndani ya mwaka huu wa 2016. Kwa suala la ujenzi wa eneo la viwanda, Serikali ya China imebainisha kuwa ikwishatenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu wezeshi (barabara, nishati ya umeme, maji, TEHAMA). Kuhusu Reli ya TAZARA, China imeahidi kuwa itaendelea kuipa kipaumbele cha juu reli hiyo kwa sababu inabeba historia ya mahusiano yake na Afrika. China imeridhishwa na mazungumzo ya wataalamu yaliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni na kuahidi kufanyia kazi yaliyokubalika ikiwa ni pamoja na kutoa fedha kupitia Itifaki ya 16 kwa ajili ya maboresho makubwa ya miundombinu ya TAZARA pamoja na kushiriki kikamilifu kwenye mikutano itakayofuata kuangalia namna bora ya kuendesha reli hiyo kwa ushirikiano na Tanzania na Zambia. Mkutano na Mamlaka ya Tumbaku Katibu Mkuu alikutana na Kamishna wa State Tobacco Monopology, Bw. Lin Chengxing ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia utekelezaji wa Mkataba wa Kuruhusu Tumbaku ya Tanzania kuingia soko la China uliosainiwa mwaka 2013 wakati Rais wa nchi hiyo, Mhe. Xi Jinping alipofanya ziara nchini. Bw. Lin alijulisha kwamba makampuni mawili ya China-Hunan Industries na Shandong Industries yamepewa jukumu la kuinunua tumbaku ya Tanzania kwa ajili ya kufanya majaribio. Hadi hivi sasa wameshanunua tani 1500 ambazo zinahifadhiwa kwa kati ya miezi 24 hadi 30 (fermentation) kabla ya kutumika kuzalisha sigara. Matarajio yao ni kwamba sigara zitakazozalishwa na tumbaku ya Tanzania itaingia soko la China mwaka ujao. Endapo soko la China litapendelea sigara hizo, mahitaji ya tumbaku ya Tanzania katika soko la China yataongezeka kwa kiasi kikubwa. Mkutano na Chuo Kikuu cha Mambo ya Nje Dkt. Mlima alikutana na Rais wa Chuo Kikuu cha Mambo ya Nje cha China, Prof. Qin Yaqing ambapo walijadiliana namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya chuo hicho na Chuo cha Diplomasia cha hapa nchini. Katika majadiliano hayo, walikubaliana kushirikiana katika tafiti na utoaji wa mihadhara. Aidha, Chuo hicho kimeahidi kutoa nafasi za masomo tano za muda mfupi na tano za muda mrefu kila mwaka kwa Wakufunzi wa Chuo cha Diplomasia na watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje. Chuo hicho kilianzishwa mahsusi kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China na baadaye kilianzisha programu mbalimbali na kuchukua wanafunzi kutoka nje ya nchi. Dar es Salaam, 26 Mei 2016.
"2017-11-18T15:42:17"
http://foreigntanzania.blogspot.se/2016/05/
[ -1 ]
NAIBU WAZIRI ULEGA ASISITIZA UTENGENEZAJI ZAIDI WA BIDHAA ZA NGOZI HAPA NCHINI | Masama Blog Home » NEWS AND UPDATES » NAIBU WAZIRI ULEGA ASISITIZA UTENGENEZAJI ZAIDI WA BIDHAA ZA NGOZI HAPA NCHINI Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akipata maelezo ya mashine zinazofungwa kwenye kiwanda kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Ace Leather Bw. Onorato Garavaglia Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (katikati) akikagua na kupata maelezo ya mashine zinazofungwa kwenye kiwanda cha Ace Leather. from MICHUZI BLOG https://ift.tt/3aF2MnS Thanks for reading NAIBU WAZIRI ULEGA ASISITIZA UTENGENEZAJI ZAIDI WA BIDHAA ZA NGOZI HAPA NCHINI
"2020-04-09T06:45:26"
https://www.masamablog.com/2020/01/naibu-waziri-ulega-asisitiza.html
[ -1 ]
Wizara yaongeza udahili vyuo vikuu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Wizara yaongeza udahili vyuo vikuu Monday, 13 August 2012 21:11 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa akiwasilisha hotuba ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2012/13 Bungeni,Dodoma, jana. Picha na Emmanuel Herman Daniel Mjema na Habel Chidawali, Dodoma SERIKALI imetenga Sh326 bilioni kwa ajili ya kugharimia mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi 98,772 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2012/13.Idadi hiyo ya wanafunzi ni ongezeko la takriban wanafunzi 5,596 ikilinganishwa na wanafunzi 93,176 waliopata ufadhili wa bodi hiyo mwaka jana. Hayo yalielezwa jana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa wakati akisoma Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2012/13. “Katika mwaka 2012/13, wizara kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, itatekeleza yafuatayo; kutoa mikopo kwa wanafunzi 98,772 wa vyuo vya elimu ya juu na kusimamia ukusanyaji wa marejesho ya mikopo ya Sh18 bilioni kwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wadaiwa,’’ alisema Dk Kawambwa. Waziri alisema kati ya wanafunzi 93,176 waliopata mikopo kwa kipindi cha mwaka wa fedha uliopita, 256 walikuwa wahadhiri ambao walikuwa wakisomea shahada za uzamili na uzamivu ndani na nje ya Nchi. Alisema katika mwaka huu wa fedha, Wizara inakusudia kudahili wanafunzi 65,000 wanaojiunga na vyuo vikuu kama hatua za kufikia lengo la wanafunzi 300,000 kwenye Taasisi ya Elimu ya Juu ifikapo mwaka 2015. Alisema mipango mingine ni kuanza mchakato wa ujenzi wa ofisi za bodi ili kuongeza ufanisi katika kazi na kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu wajibu wa kuchangia elimu ya juu na urejeshaji wa mikopo. Waziri alisema Wizara yake inaendelea kuongeza ufanisi katika usambazaji wa mitihani kwa kununua matrela mawili ya malori na magari madogo mawili kwa ajili ya ufuatiliaji na usindikizaji wa mitihani hiyo. Alisema kupitia Baraza la Mitihani la Taifa, Wizara itasimamia Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi kwa watahiniwa 1,050,000 wanaotarajia kufanya mtihani huo mwaka huu. Katika bajeti hiyo, Waziri Kawambwa aliomba Bunge liidhinishe matumizi ya Sh724.5 bilioni kwenye wizara hiyo kwa mwaka huu wa fedha ikiwamo ni fedha za matumizi ya kawaida, mishahara na matumizi mengineyo. Kamati: Kodi zipitiwe upya Serikali imeshauriwa kupitia upya utaratibu wa kodi zinazotozwa kwa taasisi binafsi za elimu nchini zikiwamo zinazotoa elimu ya msingi na sekondari ili kuzisaidia taasisi hizo kuongeza ufanisi katika utoaji wa elimu. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Martha Mlata wakati akiwasilisha taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii kuhusu Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa mwaka 2012/13. Mlata alisema watu na taasisi binafsi za elimu nchini zimekuwa zikichangia juhudi za Serikali katika kutoa elimu ya msingi, sekondari na vyuo kwa kuzingatia miongozo ya wizara lakini zinakabiliwa na changamoto kubwa ya kodi. “Taasisi hizi zinakabiliwa na changamoto ya utozwaji wa kodi ikiwamo kodi za ardhi, majengo, mapato, kodi ya kuajiri mwalimu au mfanyakazi asiye raia wa Tanzania hali inayosababisha uendeshaji wa taasisi kuwa mgumu,” alisema. Kamati hiyo pia imebainisha kuwapo kwa mgongano katika utekelezaji wa sera ya uchangiaji elimu hususan utoaji wa elimu ya msingi na sekondari hali inayosababisha baadhi ya wazazi kugoma kuchangia elimu kwa watoto wao. Madai ya Upinzani Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeitaka Serikali kuwarudisha vyuoni wanafunzi 285 wa vyuo vikuu waliosimamishwa masomo wakigomea utendaji mbovu wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Nchini. Msimamo huo uliwasilishwa bungeni jana na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Susan Lyimo wakati akiwasilisha maoni ya kambi hiyo kuhusu Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo 2012/13. Kati ya wanafunzi hao, 260 ni wa Chuo Kikuu Dodoma (Udom) na wanafunzi 25 ni wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
"2016-10-27T13:00:36"
http://www.jamiiforums.com/threads/wizara-yaongeza-udahili-vyuo-vikuu.307826/
[ -1 ]
LENZI YA MICHEZO: Simba Wamlilia Shabiki Aliyefariki kwa Bao la Kichuya Simba Wamlilia Shabiki Aliyefariki kwa Bao la Kichuya UONGOZI wa klabu ya Simba umesikitishwa na kifo cha shabiki wa timu hiyo Elius Mweta aliyefariki dunia kwa mshituko baada ya winga Shiza Kichuya kufunga bao la ushindi kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopigwa juzi katika uwanja wa Taifa. Mweta alifariki dunia baada ya kushangilia kwa nguvu hali iliyomfanya kupata mshituko wa moyo na kuanguka chini kabla ya kupoteza maisha muda mfupi baadae. Ofisa Habari wa klabu hiyo Hajji Manara alisema uongozi umesikitishwa na msiba wa shabiki huyo na wanaungana na familia ndugu jamaa na marafiki katika kumuombea marehemu kwakuwa kila mmoja atapita katika njia hiyo. “Tumesikitishwa sana na msiba wa shabiki wetu tunaungana na ndugu jamaa na familia katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo tukimuombea ndugu yetu apumzike kwa amani na uongozi wa Simba tunaangalia jinsi ya kupeleka rambirambi zetu,” alisema Manara. Marehemu Mweta atazikwa kesho saa 10 alasiri kwenye makaburi ya Kawe huku uongozi ukiyataka matawi yote ya klabu hiyo kwa jiji la Dar es Salaam kuperusha bendera nusu mlingoti siku ya kesho kumpa heshima shabiki huyo. Wakati huo huo Manara alisema kikosi cha Simba kimeingia kambini hii leo tayari kuivutia kasi timu ya Mbeya City kwenye mchezo wa ligi ya Vodacom utakaofanyika kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam Jumamosi ijayo. Simba wanaingia kwenye maandalizi ya mchezo huo wakiwa na morali ya hali ya juu kutokana na ushindi wa mabao 2-1 walioupata dhidi ya wapinzani wao wa jadi Yanga juzi na kuwazidi pointi tano kwenye msimamo wa ligi.
"2017-12-18T14:48:05"
http://pallangyor.blogspot.com/2017/02/simba-wamlilia-shabiki-aliyefariki-kwa.html
[ -1 ]
Habari Fulani za Ulimwengu | Amuka! Mwezi wa 10, 2014 SOMA KATIKA Afrikaans Kialbania Kiamharike Kiarabu Kiarmenia Kiazebaijani Kiazebaijani cha Kisirili Kibengali Kibulgaria Kicheki Kichichewa Kichinois mandarin (simplifié) Kichinois mandarin (traditionnel) Kichitonga Kidanishi Kiebrania Kiefik Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifini Kigiriki Kigujarati Kihiligaynon Kihindi Kihispania Kiholanzi Kihungaria Kiigbo Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiitaliano Kijapani Kijeorjia Kijerumani Kikannada Kikirigizi Kikorasia Kikorea Kilitwania Kimalagasi Kimalayalamu Kimarati Kimasedonia Kinepali Kinorwe Kinyarwanda Kioromo Kipolandi Kipunjabi Kireno Kiromania Kirundi Kirusi Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (Kiroma) Kisetswana Kisilozi Kisinghale Kislovakia Kislovenia Kiswahili Kiswahili (Congo) Kiswedi Kitagalog Kitai Kitamul Kitelugu Kitigrinya Kitirke Kitsonga Kitwi Kiukraini Kiurdu Kivietinamu Kixhosa Kizulu Lingala Sesotho (Lesotho) Mapolisi fulani wanatumia teknolojia ili kupunguza hatari wanapofuata motokari. Njia moja ambayo wanajaribu sasa ni vifaa vyenye kutumia hewa vilivyo kwenye sehemu ya mbele ya motokari zao. Vyombo hivyo vinarusha vitu vinavyoweza kutambuliwa na satelite kwenye motokari inayofuatwa. Vitu hivyo vinabana kwenye motokari. Hivyo, mapolisi wanaweza kufuata motokari bila kuwa haraka sana. Inakadiriwa kama kila saa, mwanamuke mumoja anauawa kwa sababu ya mabishano juu ya mali ya kuoa. Hata ikiwa serikali imekataza desturi ya kupana na kupokea mali hiyo, katika 2012 wanawake zaidi ya 8200 waliuawa kwa sababu bwana ao familia yake iliona kuwa mali ya kuoa ambayo bibi alitoa ilikuwa kidogo. Vyombo vidogo sana vya kusaidia kutambua mwendo viliwekwa kwenye mbayuwayu watatu wa Milima ya Alps mahali wanatagia mayayi. Vilionyesha kama ndege hao waliruka bila kusimama kwa siku zaidi ya 200 wakati walikuwa wanahamia Afrika. Hapo mbele, iliripotiwa kama wanyama wa bahari tu ndio wangeweza kufanya hivyo. Washambuliaji wa mashua walishambulia mashua 179 pembeni ya Pembe ya Afrika kuanzia Mwezi wa 4, 2005 mupaka Mwezi wa 12, 2012. Uchunguzi wa Benki Kubwa ya Dunia unaonyesha kama washambuliaji hao walipewa dola milioni 413 ili kuachilia mashua. Habari Fulani za Ulimwengu—Mwezi wa 10, 2014
"2018-01-19T19:28:46"
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/g201410/habari-fulani-za-ulimwengu/
[ -1 ]
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe yapitisha Rasimu ya mapendekezo ya Mpango wa Bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020, Rasimu hiyo iliyowasilishwa na Afisa Mipango wa Wilaya ya Rungwe Bi.Husana Toni. Nakueleza kuwa Rasimu hiyo imezingatia vipaumbele vya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kama vifuatavyo: Kuboresha miundombinu ya Elimu ,Afya na Maji, Kuhamasisha wananchi na vikundi kujenga viwanda vidogo, vya kati na vikubwa , Kuweka mazingira ya Wilaya safi kwa kuzoa taka zinazozalishwa katika masoko, kuboresha miundombinu ya biashara na masoko ili kujenga mazingira mazuri ya biashara na ukusanyaji wa mapato, kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi wa ngazi zote ili kukuza uwajibikaji, kushirikiana na wadau wa nje na ndani ya Halmashauri katika shughuli za maendeleo ili kukuza mahusiano na sekta binafsi, wananchi na wadau wa maendeleo, Kuboresha mazingira ya uwekezaji Wilayani kwa kuboresha miundombinu ya uwekezaji ili kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii. Rasimu hiyo imegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo (i) Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018 Ambayo ilionesha mchanaganuo wa Vyanzo vya mapato,Makisio ya mwaka 2017/2018, jumla ya kiasi kilicho pokelewa Julai,2017-Juni, 2018 na asilimia ya mwaka husika. Katika utekelezaji wa Mpango wa Bajet i ya mwaka 2017/208 Halmashauri ilipata mafanikio na changamoto kadhaa ambazo ziliongeza ufanisi /ubunifu katika utendaji kazi na kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi kwa wananchi. (ii)Mapitio ya Mpango na Bajeti wa mwaka wa fedha 2018/2019 hadi kufikia mwezi Disemba 2018. Kwa mwaka wa fedha 2018/2019, Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ilipanga kukusanya na kutumia kiasi cha tsh 46,307,163,194.48 hadi kufikia mwezi Disemba 2018 Halmashauri imepokea kiasi cha tsh 21,121,982,745.85 sawa na 46% ya makisio yote. Utekelezaji wa miradi unaendelea kufanyika kulingana na mapokezi ya fedha za miradi hiyo. Aidha ,uhamisishaji unaendelea kufanyika kwa Wananchi na Wadau wengine wa maendeleo. (iii)Rasimu ya mapendekezo ya Mpango na Bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 imezingatia mambo mbalimbali ya muhimu ambayo ni Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, mwongozo wa kitaifa wa uundaji wa mipango na bajeti kwa tasisi za Serikali, Ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020, mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Mpango wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019, Ushauri na Mipango kutoka kwenye Kamati za Maendeleo ya Kata (KAMAKA), Viwango vya ukomo wa bajeti vilivyotumika katika mwaka 2018/2019 na mpango mkakati wa Halmashauri wa miaka mitano kuanzia 2015/2016-2019/2020. Aidha Afisa Mipango alieleza kwamba katika mwaka wa fedha 2019/2020, Halmashauri inategemea kukusanya na kutumia kiasi cha Sh 48,364,443,782.00, vyanzo vya mapato ni Serikali Kuu, Mapato ya ndani na WahisanAidha mwenyekiti wa Halmashauri ameeleza kuwa Rasimu ya mapendekezo ya mpango na bajeti ya 20191/2020 imelenga kutekeleza huduma za jamii kwa wananchi kwaajili ya kupata mendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla alisema "kama Taifa litafanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu ya huduma za afya tutajikuta tunafanya mapinduzi makubwa sana katika miundo mbinu ya elimu na maji." Picha ya Kwanza ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Mh.Ezekiel Mwakota (mwenye skafu ya njano) akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bi.Loema I.Peter (mwenye Skafu ya bluu) wakiwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Rungwe katika mkutano wa Baraza Maalum. (Pichani ni Baadhi ya madiwani na wakuu wa idara wakiwa katika Mkutano maalumu wa Baraza la Kupitisha Mapendekezo ya Rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020)
"2019-10-16T14:55:20"
http://rungwedc.go.tz/new/baraza-la-madiwani-la-pitisha-rasimu-ya-mpango-na-bajeti-kwa-kipindi-cha-mwaka-wa-fedha-20192020
[ -1 ]
CHADEMA YALALAMIKA WAFUASI WAKE WENYE MAJERAHA YA RISASI KUENDELEA KUSOTA MAHABUSU | MALUNDE 1 BLOG Home » siasa » CHADEMA YALALAMIKA WAFUASI WAKE WENYE MAJERAHA YA RISASI KUENDELEA KUSOTA MAHABUSU CHADEMA YALALAMIKA WAFUASI WAKE WENYE MAJERAHA YA RISASI KUENDELEA KUSOTA MAHABUSU Siku 10 baada ya wanachama wa Chadema kukamatwa na polisi eneo la Mkwajuni wilayani Kinondoni jijini Dar es salaam, chama hicho kimelalamika baadhi yao kuendelea kushikiliwa na polisi katika kituo cha Oysterbay wakiwa na majeraha ya risasi bila kupatiwa matibabu, wala kufikishwa mahakamani.
"2019-01-21T00:00:47"
https://www.malunde.com/2018/02/chadema-yalalamika-wafuasi-wake-wenye.html
[ -1 ]
Orodha ya aina Zhyryanka > Bustani Mti huu, ambao utajadiliwa katika makala hii, kwa nchi nyingi ni chache. Zhiryanka ni aina ya aina ya flora inayohatarishwa na inalindwa na sheria. Ulinzi wa kisheria wa mimea hii imechukuliwa nchini Slovakia, Hungary, Poland, Ujerumani, Ukraine, Lithuania na Latvia. Ili kuelewa zaidi kuhusu maisha ya Zhyryanka ya mwitu, kuhusu aina na majina yake, soma maelezo yetu. Zhyryanka kawaida (Pinguicula vulgaris L.) Toast Alpine (Pinguicula alpina L.) Toaster Gypsum (Pinguicula gypsicola) Mgawanyiko wa mviringo (Pinguicula cyclosecta) Mchuzi wa Morani (Pinguicula moranensis) Zhiryanka-jani la gorofa (Pinguicula planifolia) Vipande violet (Pinguicula ionantha) Crystal ya mafuta (Pinguicula crystallina) Zhiryanka kawaida ni mmea wa kudumu wa herbaceous wa jenasi Zhiryanka, familia ya Bubyl-vestate. Ni muhimu! Tofauti na mimea mingine ya familia ya Bubyl, kila aina ya Zhiryanka ina mizizi halisi. Hata hivyo, hali muhimu kwa ukuaji wa Zhiryanka ni hali nzuri ya hali ya hewa. Vinginevyo, mmea hufanya mizizi dhaifu sana, ambayo husababisha urahisi. Habitat: maporomoko ya mvua na maporomoko katika sehemu za chini, maeneo ya mvua na udongo mvua katika maeneo ya milimani. Usambazaji: Ulaya, Greenland, Iceland, Scandinavia, Alaska. Maua: Juni-Agosti. Maelezo: Mti huu una mizizi ya nyuzi (5-15 cm). Urefu wa majani ni cm 5-25. Majani ni basal (basal, sessile), iko chini, urefu wa 2-5 cm, 1-2 cm pana. Ni rahisi kutambua mafuta ya kawaida kwa kikubwa, rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya rangi ya njano, na ya kijani, na pia ni fimbo na ndogo kwa majani ya kugusa. Inaonekana imara na ndefu (urefu wa 5-17 cm). Calyx ina muundo wa nywele. Inflorescence moja. Petals wana rangi ya rangi ya zambarau. Uchunguzi wa majani ulifunulia wadudu wadogo wadogo na uchafu mdogo ambao ulionekana kuwa umesimama na uso wa jani. Zhiryanka ya kawaida na aina nyingine zote za mmea huu zinaenea na mbegu. Ni muhimu! Ikiwa unaamua kushiriki katika kilimo cha Zhyryanka kwenye bustani yako au nyumbani, ni muhimu kujua kwamba mmea huu ni vimelea (wasiwasi). FimboMafuta kaanga ni aina ya mtego wa wadudu. Maji na madini maalum yaliyomo katika majani huvutia wadudu wadogo. Wakati wadudu wanakusanya juu ya uso wa nyasi, majani hupanda kutoka makali hadi katikati na kula wadudu. Alpine zhiryanka - mmea mmoja, una muda mrefu wa kuishi. Maelezo: Tofauti na Zhyryanka ya kawaida, pedicel ya mmea huu ni mfupi sana. Shina la Rhizome, hudhurungi; mizizi ya adventitious ni rangi ya manjano na rosette moja ya majani chini. Urefu wa kupanda - 5-15 cm. Majani ni mbadala, yaliyo chini, 4-5 katika sehemu moja, hadi 4 cm ya kipenyo, kuwa na tezi za kitambaa juu ya uso. Rangi ya majani inatofautiana na nyekundu ya kijani na nyekundu kwa nyekundu. Mtaa mmoja wa rangi ya jua nyeupe yenye rangi ya njano. Usambazaji na makazi: Mti huu ni thermophilic sana. Inatokea kwenye mteremko wa kusini na miamba katika eneo la katikati la arctic. Alpine zhiryanka ni aina ya zhiryanka ya Ulaya na ya Siberia, iliyoenea katika mikoa ya kaskazini na yenye mlima. Maua: kawaida bud moja mpya inafungua wakati wa msimu mmoja. Je, unajua? Tofauti na aina nyingine, zyryanka ya alpine ni vimelea vya nusu. Kiwanda kina chlorophyll na pia hupokea virutubisho kutoka kwa photosynthesis. Maelezo: rhizome ni rahisi, fupi, lakini kuna mizizi ya filiform ya adventitious.Majani mengi ya basal yana muundo wa ciliary na sura ya mviringo-umbo au ya rangi (1.5-8 cm urefu, 2-3.5 mm kwa upana). Pedicle imara; maua ina tabia ya rangi ya zambarau. Corolla imegawanywa katika midomo ya juu na chini; petals zambarau. Kipenyo cha corolla ni kutoka 2 hadi 2.5 cm. Usambazaji na makazi: Mexico ni nyumbani kwa mmea, pia hupatikana huko Brazil. Aina hii ya Zhyryanka ilipatikana kwanza na kuchunguzwa mwaka wa 1910 karibu na kaburi ya jasi iliyoko San Luis (1300 m juu ya usawa wa bahari). Mnamo 1991, alipewa jina lake na kuanza kulima Ulaya. Eneo la jasi zhiryanka inahitaji maelezo zaidi. Mazingira ya kawaida ya mmea huu ni milima ya miamba: nyasi hupanda ama katika kamba za kioo au katika tabaka nyembamba za udongo ulioharibika. Inapendelea upande wa kivuli zaidi wa kilima, unaoelekea upande wa kaskazini au kaskazini-magharibi, kwani kuna uvukizi wa maji kutoka udongo ni chini na joto ni la chini. Hata hivyo, wakati mwingine mimea inaweza kupatikana katika maeneo ya shady ya canyons ndogo. Wakati wa kavu (kutoka Desemba hadi Juni), mmea unapata unyevu tu kutoka kwenye misuli ya asubuhi.Kati ya Agosti na Novemba, kuna mvua za kawaida, lakini kilima yenyewe pia huhifadhi unyevu, ambayo hutoa mmea kwa kulisha zaidi. Maua: Juni hadi Novemba (kulingana na unyevu wa udongo); Bloom inaweza kuanza baadaye. Zhiryanka pande zote-mgawanyiko - aina rahisi ya Zhiryanka. Maelezo: inatofautiana na aina nyingine katika pande zote, majani ya kijani ya sessile. Majani mengi hukusanywa katika shimo lenye wingi. Kipimo cha upepo ni sentimita 20, urefu wa pedicle ni cm 12. Kipigo ni tete sana, rangi ya rangi ya zambarau. Rhizome fupi, rahisi, na mizizi mingi ya adventitious thread. Mboga huu unahitaji madini. Kwa hiyo, kama aina nyingi za Zhyryanka, mmea huu hutumia majani yake kama Velcro kwa mtego wadudu (ili kuongeza lishe duni). Usambazaji: Mexico ni mahali pa kuzaliwa kwa Zhiryanka. Katika pori, kudumu huongezeka katika misitu: juu ya miamba ya chokaa na miti ya miti. Wakati mwingine inakua katika maeneo mengi ya misizi au tu kwenye nyufa kwenye miamba (upande wa kaskazini wa miamba). Zyryanka Moranskaya - mmea wa kudumu wa kudumu. Maelezo: katika majira ya joto, mmea huunda rosette ya basal ya majani hadi urefu wa sentimita 10, ambayo hufunikwa na tezi za mucous. Kama aina nyingine, zhiryanka ya Morani hupatia wadudu. Mimea inayotokana na mwili wa arthropods ndogo hutumiwa kwa kuongeza virutubisho zilizopo katika udongo. Katika majira ya baridi, Morani zhiryanka hupoteza sehemu yake na huchukua aina ya mmea mdogo. Maua yana kivuli cha rangi ya zambarau au cha rangi ya rangi ya rangi ya zambarau, iko kwenye shina la wima na urefu wa sentimita 25. Mimea hupanda mara mbili kwa mwaka. Usambazaji na makazi: Aina hii ilipatikana kwanza huko Mexico mwaka wa 1799. Hadi leo, mmea hukua Mexico, pamoja na Guatemala. Zhuranka Moranskaya hupandwa sana duniani kote. Je, unajua? Ya aina zote za jenasi Zhiryanka, maarufu kwa kilimo katika mazingira ya nyumbani ni zhiryanka Moran. Hii ni sehemu kutokana na ukweli kwamba mmea una majani makubwa, nyembamba, nyembamba na yenye rangi ya rangi. Maelezo: Zhiryanka majani ya gorofa kutoka kwa aina nyingine hujulikana na rangi ya majani ya kina ya maroon.Sampuli zingine zinaweza kuwa na rangi nyepesi (kutokana na jua haitoshi). Kipenyo cha bandari ni 12.5 cm; urefu wa pedicel - 12 cm. Maua ya majani ya majani yalikuwa na petals tano. Rangi ya petals inatofautiana na rangi ya zambarau ya karibu na nyeupe. Maua ni ndogo, lakini yanaweza kufikia 2 cm kwa kipenyo. Kwa ajili ya maua kufungua petals yake, mmea unahitaji jua kali kwa siku kadhaa. Ni jua kwamba majani ya nyasi hupata rangi nyekundu nyekundu. Habitat: Aina hii ya mwanamke mafuta hupenda makazi ya mvua sana. Unaweza kupata juu ya jani juu ya maeneo ya mvua kama vile mteremko, mabwawa, milima ya mvua. Usambazaji: ilienea katika ulimwengu wa kaskazini. Aina hii ya Zhyryanka inatoka Marekani (kusini mashariki); mara nyingi hupatikana nchini france. Kipindi cha maua: Machi hadi Aprili, kulingana na joto. Vitisho: mmea unatishiwa na kufuta tovuti, kupungua kwa ubora wa maji na kila aina ya shughuli za binadamu. Valleus valleus nerilischnaya ni aina nyingine ya mimea isiyo na mazao ambayo ni ya familia ya vesiculate. Usambazaji na makazi: kupanda mimea katika maeneo ya mawe na maeneo ya chokaa katika urefu wa mita 600-1700 juu ya usawa wa bahari. Nyasi za kudumu hupenda mvua, lakini maeneo yaliyohifadhiwa kutokana na mvua ya moja kwa moja. Zhirinka vallysenelistnaya imeenea katika milima ya Hispania. Maelezo: ua ni rangi nyekundu au rangi ya zambarau, mara nyingi huwa nyeupe au rangi ya bluu. Maji ya corolla yana urefu wa mmeta 15-22. Majani ya basal yana kipenyo cha cm 12.5, urefu wa cm 12; rangi ya bandari ni terracotta, Kipindi cha maua: Biliaceae ya kawaida hupanda bloom mwezi Mei au mapema mwezi Juni. Kulima: kilimo cha muda mrefu itakuwa kazi ngumu. Hali muhimu kwa ukuaji ni: unyevu mzuri, joto la chini na taa ya ultraviolet. Zyryanka zylelistnaya - mmea wa kudumu, aina nyingine ndogo ya wadudu ya Zyryanka. Usambazaji: zyryanka ylfeistnaya inashughulikia eneo la kiikolojia pana kuliko aina nyingine. Inatokea hasa katika sehemu ya magharibi ya Cuba na katika mikoa jirani. Zhyryanka nitelist iligunduliwa kwanza mwaka wa 1866. Habitat na mazingira: Zyryanka filamentous inakua karibu na maeneo ya pwani na mabwawa. Grass inakua katika mabwawa na joto la juu na unyevu wa hewa na udongo. Hata hivyo, msimu wa kavu, ambao huanzia Novemba hadi Aprili, mmea huu unakabiliwa kwa kutosha. Maelezo: urefu wa majani ya Zhiryanka filamentous - 4-6 mm, upana - 1-1,5 mm. Kama mimea mingi ya mafuta, mmea huu wa kitropiki hutumia shinikizo la nata kwenye majani yake kukamata wadudu wadogo, poleni na uchafu mwingine wa mimea ili kuongeza chakula chake. Tundu ina kipenyo cha mm 8-10. Moja moja huwa na vile vile 4-6. Kila maua ina makundi mawili. Rangi ya petals inatofautiana na nyeupe na njano, kutoka bluu hadi rangi ya zambarau. Maua: kipindi cha maua kinatokea hasa katika msimu wa majira ya joto (mwezi Julai, Agosti), lakini mmea unaweza kupasuka kila mwaka. Vitisho: kwa sababu ya kukaa mara kwa mara katika mvua, mafuta mara nyingi hutana na tishio la kuoza. Wakati tishu za mafuta hufikia ukuaji wa kukomaa, majani ya majani huchukua nafasi ya wima. Hali hii imara husaidia kuzuia magonjwa ya kuoza na vimelea. Mazao ya Zyryanka violet ni aina ya kawaida ya mimea ya maua ya Bubylata familia. Maelezo: Mimea hii ya kudumu ya mimea ya mchanga hufanya rosette ya majani ya kijani mkali na minyororo yenye nywele. Majani, kila senti hadi sentimita 8 kwa urefu, hufunikwa na nywele za nata. Maua ni rangi ya zambarau. Corolla ina spurs ya kijani nyuma. Katikati ya maua hufunikwa na nywele za njano au nyekundu. Vipu vya corolla vina nywele nyeupe. Kipindi cha bloommimi: Februari-Aprili. Habitat: nyasi ni kuenea nchini Marekani. Inakua katika mabwawa, mabwawa ya kina, misuli ya mvua na puddles. Katika nchi nyingi, violet ya mafuta ya mafuta huhesabiwa kama aina ya hatari. Tishio kwa mmea ni moto wa misitu. Aidha, ukame wa muda mrefu unaweza kupunguza idadi ya mimea. Je, unajua? HataBaada ya mvua nzito, kuwa chini ya maji kwa siku kadhaa, mimea ya mafuta ya mimea violet inaweza kuishi. FCrystal White - mmea wa mwisho kwenye orodha yetu kutoka kwa Zhiryanka jenasi. Makala: mmea unaozea huwa na majani ya kijani ya mwanga mwekundu kati ya sita hadi tisa (kutoka cm 1.5 hadi 3 cm urefu na 1 cm kwa upana).Sura ya majani hutofautiana kutoka kwa mviringo hadi mviringo. Maua ina rangi ya rangi ya bluu au nyekundu. Kipigo kinaweza kuwa hadi 2 cm kwa kipenyo. Usambazaji na makazi: Kupro inachukuliwa kuwa mahali pa kuzaliwa kwa mmea, lakini kumbukumbu za kihistoria zinaonyesha kwamba kwa mara ya kwanza kiboko cha kioo kiligunduliwa katika eneo la Uturuki wa kisasa. Pia mmea hupatikana kusini mwa Italia, huko Bosnia na Herzegovina, Albania na Ugiriki. Zhirini ya kioo hupendelea maporomoko ya chokaa, kuta za mawe, pamoja na mabwawa au meadows ya mvua. Kuzaa aina hii si rahisi. Mti huu umefunuliwa na baridi na theluji. Je, unajua? Hadi mwaka wa 1991, Pinguicula crystallina na Pinguicula hirtiflora zilizingatiwa aina mbili tofauti. Hata hivyo, tafiti mara kwa mara zilifanyika. Uchunguzi umeonyesha kwamba mimea hii miwili ni karibu sana na haifai kuchukuliwa kama aina mbili tofauti. Sasa Pinguicula hirtiflora si tena aina tofauti, ni ndogo ya Zhiryanka kioo. Wakazi wachache wa nchi yetu wanajua na mafuta. Sasa, hata hivyo, ikiwa umewahi kukutana na nyasi hizi za mwitu na uzuri na uzuri wake, unaweza kuitambua kwa urahisi, na huenda ukapenda kukua kwenye dirisha lako. Magazine Mkate Yellow © Copyright 2020 | Zhyryanka kawaida na aina zake nyingine
"2020-03-31T23:30:20"
https://sw.yellowbreadshorts.com/1832-common-poultry-and-its-other-species.html
[ -1 ]
WAREMBO 30 MISS TANZANIA WATINGA KAMBINI LEO, WAPEWA SOMO LA AWALI NA MISS TANZANIA WA SASA - PAMOJA BLOG Home > Burudani > Miss Tanzania > Mwanamitindo > WAREMBO 30 MISS TANZANIA WATINGA KAMBINI LEO, WAPEWA SOMO LA AWALI NA MISS TANZANIA WA SASA 9/30/2016 07:00:00 PM Burudani, Miss Tanzania, Mwanamitindo
"2018-06-20T03:36:11"
http://www.pamoja.co.tz/2016/09/warembo-30-miss-tanzania-watinga.html
[ -1 ]
Klaipeda Abiria na gari Feri Klaipeda abiria na gari kivuko tiketi bei, ratiba, kutoridhishwa tiketi na habari kwa ajili ya vivuko meli kutoka Klaipeda kwa Anafi, Ios, Kimolos, Koufonissi, Milos, Naxos, Paros, Piraeus, Santorini, Serifos, Sifnos, Sikinos, Syros na Thirassia. Kulinganisha zote zilizopo Klaipeda kivuko tiketi bei katika muda halisi na kitabu gharama nafuu Klaipeda gari na abiria kivuko tiketi meli na kutoka Klaipeda, Anafi, Ios, Kimolos, Koufonissi, Milos, Naxos, Paros, Piraeus, Santorini, Serifos, Sifnos, Sikinos , Syros na Thirassia na Anek Ferry Line, LANE Sea Lines, Aegean Speed ​​Lines au Bahari Jets vivuko online na uthibitisho papo. Desturi Tafuta Bei ya tiketi & Rizavu Kitabu Klaipeda Ferry tiketi na Anek Ferry Line, LANE Sea Lines, Aegean Speed ​​Lines au Bahari Jets kwa vivuko meli kutoka Klaipeda kwa Anafi, Ios, Kimolos, Koufonissi, Milos, Naxos, Paros, Piraeus, Santorini, Serifos, Sifnos, Sikinos, Syros na Thirassia online katika mapema ili kufurahia gharama nafuu kivuko tiketi ya bei. bei unaweza kuona ni bei kulipa. Hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi Visa Electron. bei sisi quote wewe kwa kuchaguliwa Klaipeda abiria au gari kivuko tiketi, onboard malazi na aina ya gari ni wote utakuwa kulipa, na kwamba ahadi. Ili kupata Klaipeda kivuko tiketi ya bei na kitabu kivuko yako tiketi salama online tafadhali kutumia muda halisi kivuko booking fomu upande wa kushoto. Wewe pia ni uwezo wa kuongeza hoteli katika marudio yenu, au mahali popote pengine, kwa kivuko yako tiketi wakati kukamilisha kivuko tiketi yako reservation. Zaidi Kuhusu Klaipeda Klaipeda ni mji Lithuania mkubwa wa tatu, ziko katika kona ya kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo. Awali ilianzishwa na makabila Baltic, mji na ngome iliyojengwa kwa Teutonic Order 1252 na jina lake Memel kwa heshima ya mto ya jina moja baadhi 40km upande wa kusini. Kwa zaidi ya historia yake, Memel ilikuwa ni sehemu ya Prussia na vita kubwa na mabwana Kilithuania ulifanyika hapa. Uvamizi alikuja kutoka Sweden na Urusi na mji ilikuwa ni sehemu ya Prussia Kingdom na akawa mafanikio bandari mji. Ni kuwakilishwa mji kaskazini nchini Ujerumani na Prussia mpaka 1918. Baada ya Ujerumani waliopotea Vita Kuu ya Dunia, Memelland mara ya kwanza kutolewa bure jiji hadhi na kisha hatimaye bifogas ulioanzishwa Jamhuri ya Lithuania. Ilikuwa kwa ufupi reabsorbed na Nazi Germany kabla WWII na kisha kurudia Lithuania (Soviet Union) katika 1945. Tangu uhuru Kilithuania katika 1990, Klaipeda imekuwa moja ya miji Lithuania zaidi buoyant na biashara kukua kwa kasi utalii. mji Klaipėda inajulikana kwa ni icons kuu: uchongaji Annchen von Tarau, iliyoko ukumbi mraba, na umri wa meli iliyokuwa "Meridianas" (kulikuwa na mgahawa ndani), pia kuna kura ya sanamu ndogo (uchongaji wa panya, mbwa, joka, chimney kufagia, baada njiwa na wengine) mafichoni katika mji wa kale. Kuna si makumbusho wengi katika Klaipėda. Baadhi ya maarufu ni pamoja na Makumbusho ya Historia ya Lithuania Ndogo, Klaipeda Picha Nyumba ya sanaa, Marine Makumbusho na Makumbusho Clock. Klaipeda ya mji wa kale ni ndogo lakini kuvutia. Anika Square ina balcony ambapo Adolph Hitler kushughulikiwa umati wa watu. Legend ina kuwa Hilter alikuwa annoyed kwa sababu sanamu inayoonyesha "Anike" ya Kilithuania watu tale hakuwa inakabiliwa na yeye, hivyo alikuwa sanamu kuondolewa. replica ni sasa katika nafasi yake. Habari zaidi kuhusu mji Klaipėda inaonyesha unaweza kupata katika Klaipeda utalii na utamaduni kituo cha habari. Kuna mambo mengi ya kufanya katika Klaipėda. Kama wewe kama asili - lazima kutembelea Curonian mate, ambayo ni 10 dakika ya safari ya mashua kutoka Old feri terminal (New feri terminal kwa ajili ya magari). Katika wakati majira ferrys ni mbio kila dakika 30, kuanzia 6 am, mpaka usiku wa manane. Katika upande mwingine (Smiltynė) unaweza kutembelea Sea makumbusho, Ethnographic mvuvi farmstead, kuchukua kutembea juu ya gati, angalia nyeupe sanded fukwe au tu kuchukua mabasi ya Juodkrante au Nida miji (wao ziko 18 50 na km kutoka Smiltyne kusini) . Best Klaipeda Ferry tiketi Bei ya dhamana Best Bei ya dhamana - Sisi daima kutoa wewe chini yetu inapatikana Anek Ferry Line, LANE Sea Lines, Aegean Speed ​​Lines au Bahari Jets abiria na feri gari tiketi ya bei na kutoka Klaipeda. Hakuna extras siri au mshangao kama vile surcharges aliongeza mafuta au ada booking na sisi pia sisi si malipo chochote ziada kwa ajili ya kulipa na kadi Visa Electron. bei sisi quote kwa kuchaguliwa Klaipeda feri tiketi, malazi onboard na gari aina ni wote utakuwa kulipa, na kwamba ahadi! Katika tukio uwezekano kupata huo wote umoja Klaipeda kivuko tiketi ya bei nafuu katika brosha ya yoyote ziara operator nyingine sisi ahadi kwamba sisi kufanya kazi nzuri ya kuwapiga kwamba bei au kutoa uchaguzi wa kuomba marejesho ya kodi. Kwa kitabu Klaipeda gari na abiria kivuko tiketi tafadhali bonyeza hapa. Wateja Care, Telesales & Wasiliana Nasi Wakati ferryto.com wewe ni uwezo wa kupata kuishi Klaipeda kivuko tiketi bei, kuangalia upatikanaji na kitabu gari na abiria kivuko tiketi kwenda na kutoka Klaipeda katika inapatikana yetu chini bei ya tiketi. Ferryto.com ni sehemu ya ukubwa duniani online kivuko tiketi mtandao wa usambazaji kutoa uwezo kwa kitabu juu ya 80 kubwa ya Ulaya kampuni ya feri ikiwa ni pamoja na Klaipeda na zaidi 1,200 wengine njia ya feri katika Uingereza, Ufaransa, Hispania, Ireland, Uholanzi, Ulaya Mashariki, Mediterranean, Baltic na Afrika Kaskazini. Kwa habari zaidi, majibu ya mara nyingi kuulizwa maswali au kuwasiliana nasi moja kwa moja tafadhali bonyeza hapa. Kuhusu sisi
"2016-10-27T22:36:01"
http://www.ferryto.com/sw/bandari/Klaipeda.html
[ -1 ]
Mwanzo Mpangilio Orodha Balozi na Mashirika ya KimataifaBalozi ndogo Nchini Tanzania China NO.2 Kajificheni close Barabara TOURE , Namba ya simu: +255 22 2668063 Faksi: +255 22 2666353, Barua pepe: chinaemb_tan@mfa.gov.cn Tovuti: http://tz.china-embassy.org/
"2017-03-27T10:42:12"
http://www.tanzania.go.tz/directoryrecords/details/290
[ -1 ]
Fanya Maswala ya Mazoezi ya Kuingilia Kwa Wanafunzi na Wazazi Mikakati & Kusoma Maswali ya Mazoezi ya Uingizaji Unataka ujuzi wako wa ufahamu wa usomaji? Kufanya ujuzi wako wa kuzingatia ni mahali pazuri kuanza, lakini ikiwa haujui jinsi ya kufanya maelezo yoyote (au ni kitu gani hata), unaweza kuanza na misingi ya upendeleo ambayo itakupa maelezo yote ambayo unahitaji. Ikiwa uko tayari kwenda, endelea na uanzishe na maswali haya mafupi ya mazoezi ya uingizaji ili kupunguza ujuzi wako wa kusoma . Maswali yafuatayo yanatoa tathmini ya msingi ya ufahamu wako wa ujuzi. Printable PDF: Maswali ya Mazoezi ya Maingiliano 1 | Majibu kwa Maswali ya Mazoezi ya Uingizaji 1 Maswala ya Mazoezi ya Uingizaji 1 Kutumia mikakati yako ya inference bora, fanya maelezo juu ya kauli zifuatazo. Mawili ya kwanza yamefanywa kwako. Siwezi kula baada ya umri wa miaka miwili kama ningekuwa wewe. Uingilizaji: Huenda mwenye umri wa miaka miwili alifanya kitu kikubwa kwa chakula ambacho ulikuwa unachola kula au una baridi na unaweza kukipata. Kitu kibaya kitatokea kwako ikiwa unakula chakula. Kwa siku ya wapendanao , jirani yangu ya ajabu ilimpa mke wake shairi ambalo lilimchukua sekunde mbili kuandika. Sheesh. Upendeleo: Jirani yangu si mjadala sana tangu hakuchukua muda wake kuandika shairi. Mwanamume mmoja alikimbilia basi ya kurudi, akipiga bunduki yake kwa bidii. Ikiwa amekufa , sikuenda kwenye mazishi yake. Jake karibu alitamani kwamba hakusikiliza redio. Alikwenda kwenye chumbani na akamshika mwavuli wake hata ingawa angejisikia kwa ujinga akiibeba kwenye basi ya kusitisha asubuhi ya jua. Hey! Nini kilichotokea kwa fedha zote za ujenzi wa shule zilizochukuliwa kutoka kwa walipa kodi? Ililipwa kwa choo hiki pesa ilipigwa. Unapotoa hotuba mbele ya watazamaji wengi, unaona kwamba watu wanaseka nyuma ya mikono yao na wakielezea kanda chini ya kiuno chako. La, Asali, Sitaki kutumia pesa nyingi siku ya kuzaliwa kwangu. Kuwa na wewe tu kwa mume ni zawadi pekee ambayo ninahitaji. Kwa kweli, nitawaendesha tu ndoo yangu ya zamani ya vifungo chini ya maduka na kununua mwenyewe sasa. Na kama gari la zamani la maskini halivunja, nitarudi hivi karibuni. Mwanamke anaingia kwenye hospitali akipiga tumbo lake na kumwomba mumewe, ambaye hupitia nyuma akibeba mfuko mkubwa. Unaendesha barabara kuu, kusikiliza redio, na afisa wa polisi anakuvuta. Mazoezi ya maingiliano 1 Majibu yaliyopendekezwa 3. Mtu mmoja alikimbia baada ya basi, akicheza kifungu chake kwa urahisi. Upendeleo: Mtu huyo alipaswa kuchukua basi hiyo kufanya kazi na alikuwa akimbilia. Alitaka dereva wa basi kuacha basi ili apate kupata. 4. Kama alikufa, sitakuenda kwenye mazishi yake. Upendeleo: Nina hasira sana kwa mwanamke huyu kwa sababu kubwa, kwa sababu moja ya mambo mabaya ambayo mtu anaweza kufanya ni kumchukia mtu baada ya kupita. 5. Jake karibu alitaka kuwa hakuwa na kusikiliza redio. Alikwenda kwenye chumbani na akamshika mwavuli wake hata ingawa angejisikia kwa ujinga akiibeba kwenye basi ya kusitisha asubuhi ya jua. Upungufu: Jake aliposikia kwamba inakuja mvua baadaye mchana. 6. Hey! Nini kilichotokea kwa fedha zote za ujenzi wa shule zilizochukuliwa kutoka kwa walipa kodi? Ililipwa kwa choo hiki pesa ilipigwa. Ufafanuzi: Wilaya ya shule ni kupoteza pesa ya walipa kodi. 7. Unapotoa hotuba mbele ya watazamaji wengi, unaona kwamba watu wanaseka nyuma ya mikono yao na wakielezea eneo chini ya kiuno chako. Upungufu: Umesahau kufuta ndege yako au una kitu juu ya suruali yako. 8. Hapana, Asali, Sitaki kutumia pesa nyingi siku ya kuzaliwa kwangu. Kuwa na wewe tu kwa mume ni zawadi pekee ambayo ninahitaji. Kwa kweli, nitawaendesha tu ndoo yangu ya zamani ya vifungo chini ya maduka na kununua mwenyewe sasa. Na kama gari la zamani la maskini halivunja, nitarudi hivi karibuni. Upendeleo: Mke anataka mume amununulie gari mpya kwa siku ya kuzaliwa kwake. 9. Mwanamke anaingia kwenye hospitali akikumbatia tumbo lake na kumtukana mumewe, ambaye anasafiri nyuma yake akibeba mfuko mkubwa. Upungufu: Mwanamke ni katika kazi. 10. Unaendesha barabara kuu, kusikiliza redio, na afisa wa polisi anakufukuza. Upungufu: Umevunja sheria kwa njia fulani wakati wa kuendesha gari. 5 Websites ya Kufundisha Shule ya Juu ya Math Programu 8 za Mafunzo Bora ya Kufikia 2018 Makala ya Kujifunza na Mikakati Jifunze mtihani katika Siku 2 hadi 4 5 Moto Mwisho Mtihani Tips kwa Chuo Kikuu Wanafunzi Kuandaa mtihani kwa Mwezi mmoja Mipangilio 3 tofauti ya kujifunza 3 ya chaguo bora cha mafunzo ya mtandaoni kwenye somo lolote Kuelewa Maneno ya Msamiati kwa Muktadha Kushinda wasiwasi wa mtihani katika hatua 5 Je! Ninafaa kwa Malazi ya MCAT? Masomo ya Ufahamu wa Kusoma 1 Tathmini ya Tathmini ya Majaribio Maswali ya Kuuliza Wakati wa Uzazi au Utunzaji wa Sorority Nini Mkulima wa Kwanza? Uthibitisho katika Hotuba na Utawala Kununua Long Racet Tennis Racquet kwa Mchezaji Junior Jinsi ya Kuandika Toleo katika Hatua 5 Historia ya Dynamite Tabia za Juu za Ustaarabu wa kale - Ukamilifu katika mbaya zaidi Utamaduni wa Hopewell - Mlima wa Kaskazini wa Mound ya Horticulturalists Quotes Inspirational Kuhusu Ndege Jinsi ya kutumia Proposition "Con" kwa Kiitaliano Muhtasari wa Sheria ya 1 ya Mji Wetu Aina tofauti za upasuaji wa Gitaa Nini Mafundisho ya Usawa? Ufafanuzi wa Fluid Historia ya Electroplating Admissions Chuo Kikuu cha Trine Nyimbo za Violent Femmes Juu za '80s Jinsi ya kucheza kinyang'anyiro cha Florida Mipango 3 ya Juu Linebacker Kukabiliana na Pande zote PRCA Utawala wa Mabadiliko katika Utoaji wa Tie Viungo vya Turnberry: Kozi ya Ailsa George Strait - Wajumbe na Historia ya Chati Maandiko Rastafari Mbinu 5 Kuwa Faida Kiitaliano Jinsi ya Kuangalia Kumbukumbu za Tiro
"2020-07-16T12:52:44"
https://sw.eferrit.com/maswali-ya-mazoezi-ya-uingizaji/
[ -1 ]
DAWA ZA KULEVYA ZILIVYOMCHOMOA AISHA MADINDA. - MICHUZI BLOG Home BURUDANI MAKALA MAKTABA YA GLOBU YA JAMII DAWA ZA KULEVYA ZILIVYOMCHOMOA AISHA MADINDA. DAWA ZA KULEVYA ZILIVYOMCHOMOA AISHA MADINDA. MICHUZI BLOG at Tuesday, April 09, 2019 BURUDANI, MAKALA, MAKTABA YA GLOBU YA JAMII, Na Moshy Kiyungi,Dar es Salaam Tatizo la madawa ya kulevya ni janga kubwa duniani kote, ambapo idadi kubwa ya watu wameathirika. Janga hili halichagui tajiri, masikini, jinsia, rika, vijana kwa wazee pia wamo.Madawa ya kulevya hutumiwa kwa njia ya kunywa, kunusa, kula au hata kujidunga. Matokeo yake hubadili akili au fikra za mtumiaji kuwa tofauti na akili zake za kawaida.Yasemekana kuwa wapo watu wengi wanaotumia madawa hayo wakiwemo baadhi ya Wasanii, Wanamuziki na baadhi ya vijana, waliojiingiza katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya. Katika makala haya yanamzungumzia aliyekuwa mnenguaji mahiri humu nchini, aliyejiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya, yakapelekea kupoteza maisha yake. Msanii huyo ni Aisha Mohammed Mbegu ‘Aisha Mandinda’, aliyekuwa mnenguaji maarufu humu nchini. Mara baada ya kujiingiza katika matumzi ya madawa ya hayo, tabia na maisha yake kwa ujumla yalikuja kubadilika kabisa. Aisha Madinda alifikia hatua ya kucheza picha ya utupu ikarushwa kwenye mitandao ya kijamii, akionesha sehemu zake zote nyeti, akisindikizwa sauti ya kibwagizo cha ‘Alamba Alamba’ kilichochoachiwa na aliyekuwa Mfalme wa taarabu nchini, Mzee Yussuf. Msemo wa Kiswahili usemao “Majuto mjukuu” ulijionesha dhahiri kwa mwanamama huyo baada ya kujikuta amepoteza mwelekeo wa maisha. Aliwahi kutamka kuwa anajuta kujiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya, kwamba yamechangia kuharibu maisha yake aliyoyatengeneza akiwa na nguvu zake.Aisha alisema kwa uchungu kwamba alighiribika na kujikuta akiuza nyumba zake tatu kwa bei ya kama katoa bure, ili kupata fedha za kununua madawa hayo. Majina yake kamili alikuwa alikuwa akiitwa Aisha Mohammed Mbegu, aliyezaliwa katika Hospitali ya Ocean Road, jijini Dar es Salaam mwaka 1980.Kutokana na wazazi wake kuhamishiwa Mkoani Mbeya kikazi, Aisha alilazimika kuanza masomo yake katika shule ya Msingi Kiganamo iliyopo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma, hadi alipohitimu darasa la saba mwaka 1992. Mwaka 1993 alihamishia makazi yake mjini Kigoma akajiunga na shule ya Sekondari ya Katubuka.Kwa bahati mbaya hakufanikiwa kuhitimu masomo yake ya sekondari, baada ya wazazi wake kushindwa kumlipia karo hivyo aliishia kidato cha pili tu. Baada ya kukatisha masomo yake, mwaka 1994, alihamia jijini Dar es Salaam na kuanza kazi ya usafi katika Kampuni iliyojulikana kama Dar Cleaner, ambako alifanya kazi ya usafi katika majengo mbalimbali. Aisha alijiingiza rasmi kwenye unenguaji mwaka 1996, baada ya Prodyuza wa muziki aliyefahamika kwa jina moja la Maloni, kumtonya kuwa Club Billicanas ilikuwa ikihitaji wanenguaji. Club ya Billicanas ilianzisha kundi la wanenguaji la Bill Bambums, yeye akawa miongoni mwao.Kundi hilo lilikuwa likiundwa na yeye pamoja na Mussa Hassan ‘Super Nyamwela’, ambao kwa pamoja walikuwa wakitoa burudani maridadi katika ukumbi huo wa Club Bilicanas. Katika enzi za uhai wake alikiri kwamba alichagua kazi ya unenguaji, akafanikiwa na kudumu ndani ya kazi hiyo kwa takriban miaka kumi na sita.Mwaka 1999, mkali huyo wa nyonga ambaye tayari alishakuwa tishio kokote apandapo jukwaani, alipata ‘mchongo’ wa kwenda kupiga ‘kazi’ Uarabuni katika mji wa Muscat. Aliambatana na mnenguaji mwenzake aliyekuwa swahiba wake Halima White ambaye naye ni marehemu pia. Walipiga kazi kwa takriban mwaka mmoja na mwaka 2000 walirejea nchini.Aisha mara baada ya kurejea, alichukuliwa na bendi ya Borabora Sound, ambako aliitumikia kwa miezi sita kabla hajaachana nayo. Aliondoka tena kwenda Bahrain, Uarabuni ambako alipiga kazi katika kumbi mbalimbali nchini humo kwa miezi mitatu.Aisha aliporejea Dar es Salaam kwa mara nyingine, alijiunga na bendi ya The Kilimanjaro Connection ambapo pia hakukaa sana. Mwaka huohuo wa 2000 mwishoni, akaachana na bendi hiyo, akaamua kufanya biashara zake ndogondogo.Mwaka 2001, Aisha Madinda ndipo aliamua kujiunga rasmi na bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’. Aisha baada ya kujiunga na bendi hiyo, akawa kivutio kikubwa kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo kufuatia urembo wake, shepu nzuri na tabasamu usoni mwake wakati wote.Wapenzi wa bendi hiyo ya Twanga walikuwa wakipaza sauti wakimhitaji pindi Aisha Mdinda ikitokezea siku amekosekana katika onesho la bendi hiyo, kwa kuwa pengo lake lilionekana mapema. Mnenguaji huyo kwa tabia hakuwa na makuu wala majivuno yeyote, licha ya kujaaliwa kuwa na maisha mazuri.Alifanikiwa kujenga nyumba tatu, alimiliki usafiri wake pia watoto wake aliwapa chakula na malazi bora, pia aliweza kuwapeleka shule nzuri.Aisha Madinda alipiga kazi ya unenguaji hadi mwaka 2011, mwishoni, akaenda kujiunga katika bendi ya Extra Bongo iliyokuwa ikiongozwa na Ally Choki. Wakati huo tayari alikuwa ameshakuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya. Ilifikia hatua ya kushindwa kunengua jukwaani, shoga zake walikuwa wakimfariji kwa amaneno matamu kuwa asikate tamaa bado ana nguvu bora alilie uzima wake. Mkurugenzi wa kampuni African Stars Entertainment Tanzania, Asha Baraka na yeye alionesha dhamira ya kumsaidia Aisha, ili aweze kurudi katika hali yake ya zamani.Hivyo akawa anakwenda kuchukua fedha mara kwa mara kwa ajili ya manunuzi ya mahitaji yake kama mwanamke wa mjini. Baadae afya yake ilianza kuimarika akaweza kuhudhuria onesho la usiku wa Mwafrika katika ukumbi wa Club Bilicanas.Hakika usiku huo baadhi ya watu walimsahau kwani alikuwa amependeza na amerudi katika hali yake ya zamani.Wakamsisitiza aendelee na tiba ya dawa za Methodine ambazo alikua anatumia. Wadau wa Twanga Pepeta walipania kumrudisha katika hali yake ya kawaida, wakitamka kuwa kupotea kwa kipaji cha Aisha kuliwauma mno. Wakajitolea kwa hali na mali ili kuyanusuru maisha yake.Aisha Madinda alikuwa ni mama wa watoto wawili na mjukuu mmoja. Wakati akihangaika ujinasua na janga hilo ili alikuwa akipita huku na kule ili aweze kupata tiba ya ugonjwa unaomsumbua.Hivyo Aisha aliwahi kuokoka na alithibitisha hilo. Yaelezwa kuwa alifanya hivyo kwa kuamini kwamba matatizo yake yangemalizika kwa kuombewa. Aisha Mohamed Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’ alikutwa na rafiki yake Samira Saleh akiwa amelala usingizi mzito kibarazani nyumbani kwake Mabibo (Nyumbani kwa Samira).Samira alibainisha kwamba Aisha Madinda hakuwa kwake, lakini alimkuta barazani kwake asubuhi ya akiwa hajitambui. Alisema kuwa alijitahidi kumtingisha lakini Aisha alikuwa kimya na hivyo akaamua kuchukua Bajaji na kumkimbiza hospitali ya Mwananyala, jijini Dar es Salaam.Walipofika katika hospitali ya Mwananyamala majira ya saa 2 asubuhi, Daktari aliyempokea akamwambia tayari mgonjwa wake alishafariki dunia Desemba 17, 2014. Kamanda wa kanda ya Polisi mkoa wa Kinondoni wakati huo Camillus Wambura, alithibitisha kutokea kwa kifo chake. Samira alieleza ukweli kwamba yeye kama alivyo Aisha Madinda, ni muathirika wa madawa ya kulevya ambapo anaitaja hospitali ya Mwananyamala ndio Kliniki yao ya kupata tiba saidizi (MAT) ya madawa ya kulevya na ndio sababu hakumpelekea hospitali nyingine yoyote zaidi ya Mwananyamala. Marafiki wa Aisha Madinda ambao nao ni waathirika wa madawa ya kulevya, walisema Aisha Madinda alikwa amerudia utumiaji wa madawa hayo, wanamashaka kuwa alitumia kiasi kikubwa kuliko inavyohitajika na pengine ndio sababu ya kifo chake. Maziko ya Aisha Madinda yalicheleweshwa kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo. Hatimae mwili wa Aisha Madinda ukashushwa kwenye nyumba yake ya milele Desemba 19, 2014, kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam. Hadi mauti yanamkuta alikuwa katika dozi ya kujinasua na matumizi ya mihadarati na alikuwa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa. Baada kifo hicho Asha Baraka alimwelezea Aisha Madinda kuwa alikuwa ndio kwanza amerejea kutoka Dubai alikokuwa amekwenda kwa shughuli za kimuziki na kwamba alikuwa hajajiunga na bendi yoyote hadi mauti yanamkuta. Kwa upande wake Katibu wa bendi ya Twanga Pepeta, Luiza Mbutu alisema kuwa Aisha alitazamiwa kuanza mazoezi na bendi ya Twanga Pepeta kwa ajili ya maandalizi ya miaka 16 Luiza Mbutu ndani ya Twanga Pepeta. Hii ni picha kamili ya ubaya wa kutumia madawa ya kulezya. Makala hii inakuasa wewe achana na fikra potofu za kutaka kutumia madawa ya kulevya.
"2019-08-26T01:02:59"
https://issamichuzi.blogspot.com/2019/04/dawa-za-kulevya-zilivyomchomoa-aisha.html
[ -1 ]
F LITA ZAIDI YA MILIONI 700 ZA MAJI KUZALISHWA | RobertOkanda LITA ZAIDI YA MILIONI 700 ZA MAJI KUZALISHWA Posted By Robert Okanda On 6:43:00 AM Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Serengeti Limited inayotekeleza mradi huo, Mehrdad Talebi (kulia) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo kuhusu hatua iliyofikiwa katika kutekeleza mradi huo Juni 24 2017. Moja ya Visima Virefu vyenye kina cha Mita 600 vikitoa maji wakati wa majaribio yaliyofanyika ili kuonesha uwezo wa visima hivyo kuzalisha maji. Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo akionja ladha ya maji yanayozalishwa na visima hivyo mara baada ya kukagua mradi huo ikiwa ni sehemu ya ziara yake kukagua miradi ya maji inayotekelezwa na DAWASA. Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo (wa pili kushoto) akikagua mradi wa kuchimba visima virefu 20 katika eneo la Kimbiji na Mpera Kigamboni Jijini Dar es Salaam. Kaimu Mtendaji Mkuu wa DAWASA, Mhandisi Romanus Mwangi’ngo akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo kuhusu utekelezaji wa mradi huo utakaowanufaisha wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na Kisarawe Mkoani Pwani wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo unaotarajiwa kuzalisha maji lita milioni 260 kwa siku. Frank Mvungi – Maelezo Serikali inatekeleza mradi mkubwa wa uchimbaji Visima virefu 20 wenye thamani ya bilioni 40 katika eneo la Kimbiji na mpera vyenye kina cha mita 600 kila kimoja, vitakavyowezesha kuzalishwa kwa jumla ya lita milioni 260 za maji kwa siku. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha kuwa kila mtanzania anafikiwa na huduma ya maji safi na salama kote nchini. “Visima vya Kimbiji na Mpera ni moja ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali kupitia DAWASA yenye lengo la kuongeza wingi wa maji katika eneo la huduma ya Mamlaka hiyo kutoka lita milioni 300 hadi kufikia zaidi ya lita milioni 700 ambazo zinajumuisha maji yanayozalishwa katika vyanzo vya Ruvu Juu na Ruvu Chini yatakayokidhi mahitaji hadi kufikia mwaka 2032.” Alisisitiza Prof. Mkumbo Akifafanua Profesa Kitila amesema tayari visima 17 kati ya 20 vimeshachimbwa na baadhi vipo katika hatua ya upimaji wa wingi wa maji (pump testing). “Hali ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam inaendelea kuimarika na nchini kwa ujumla lengo likiwa kuwafikia watanzania kwa zaidi ya asilimia 95,” aliongeza Prof. Mkumbo. Aliongeza kuwa mradi huo pamoja na ile ya Ruvu Juu na Ruvu chini sasa itaondoa kabisa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo yote yanayohudumiwa na Mamlaka hiyo ikiwemo Kigamboni, Mji mpya, Kongowe, Gongo la mboto, Pugu, Chanika, Mbagala na Mji wa Mkuranga Mkoani Pwani na maeneo mengine ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Romanus Mwangi’ngo amesema kazi ya usanifu wa kulaza miundombinu ya kusafirishia maji imekamilika. Mradi wa uchimbaji visima vya Kimbiji na Mpera unatekelezwa na Serikali kupitia Kampuni ya NSPT ya Iran na Serengeti ya Tanzania kwa gharama ya bilionii 40 za Tanzania ukiwa na lengo la kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam.
"2017-11-24T22:28:54"
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/lita-zaidi-ya-milioni-700-za-maji.html
[ -1 ]
TANESCO YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI 2018 IRINGA ~ Father Kidevu ").replace(/;/g,"!important;"));function c(h,i){return a(h,/(?:em|ex|%)$|^[a-z-]+$/i.test(i)?"1em":i)}function a(k,l){if(/px$/i.test(l)){return parseFloat(l)}var j=k.style.left,i=k.runtimeStyle.left;k.runtimeStyle.left=k.currentStyle.left;k.style.left=l.replace("%","em");var h=k.style.pixelLeft;k.style.left=j;k.runtimeStyle.left=i;return h}var f={};function d(o){var p=o.id;if(!f[p]){var m=o.stops,n=document.createElement("cvml:fill"),h=[];n.type="gradient";n.angle=180;n.focus="0";n.method="sigma";n.color=m[0][1];for(var l=1,i=m.length-1;l '; if(img.length>=1) { imgtag = ' TANESCO YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI 2018 IRINGA Magari ya Tanesco yakiwa katika maandamano hayo ya Mei Mosi mjini Iringa Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ni miongoni mwa maelfu ya wafanyakazi waliojitokeza kwa wingi Mjini Iringa katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani MEI MOSI ambapo kitaifa iliadhimishwa mkoani humo na kuongozwa na Rais Dk John Pombe Magufuli Posted by MROKI On Wednesday, May 02, 2018 No comments
"2018-10-22T04:33:49"
http://mrokim.blogspot.com/2018/05/tanesco-yashiriki-sherehe-za-mei-mosi.html
[ -1 ]
Alichokisema Ngeleja kuhusu kumuomba msamaha Magufuli - Mwananchi Alichokisema Ngeleja kuhusu kumuomba msamaha Magufuli Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja leo Alhamisi Septemba 12, 2019 amezungumza kwa mara ya kwanza tangu Rais wa Tanzania, John Magufuli alipotangaza kumsamehe pamoja na mwenzake, January Makamba (Bumbuli). Dodoma. Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja leo Alhamisi Septemba 12, 2019 amezungumza kwa mara ya kwanza tangu Rais wa Tanzania, John Magufuli alipotangaza kumsamehe pamoja na mwenzake, January Makamba (Bumbuli). Ngeleja amezungumza bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa muswada wa Sheria Mbalimbali namba 6 wa mwaka 2019, akimshukuru Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwapongeza wabunge waliomuomba msamaha Rais Magufuli. Ngeleja na Makamba walikuwa wabunge wa kwanza kumuomba radhi Magufuli kufuatia kuhusishwa na sauti zilizosambaa mitandaoni zikizungumzia barua ya makatibu wa zamani wa CCM na pia hali ya chama kudhoofika na kumkejeli kiongozi mkuu huyo wa nchi. Juzi mbunge wa Mtama, Nape Nnauye naye aliomba msamaha na kuwa mtu wa tatu kati ya wanachama sita wa chama hicho tawala waliohusishwa na sauti hizo. Akizungumza bungeni Ngeleja amesema, “Kibinadamu wote tunajua msamaha siku zote unaleta faraja. Mimi mwenyewe lakini kwa niaba ya wananchi wa Sengerema nitumie nafasi hii kuelezea faraja niliyonayo kwa kupata huo msamaha. Pia, nakushukuru (Ndugai) kwa namna ambavyo umeliweka.” Mapema leo Ndugai aliwapongeza wabunge hao kwa kuomba msamaha, ““Nawapongeza wabunge wangu watatu kwa jambo muhimu la kuomba radhi kwa Rais kwa yaliyotokea. Kwa binadamu wa kawaida kuomba radhi si jambo la kawaida na wengi wameshindwa kufanya hivyo.”
"2020-02-17T05:02:14"
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kitaifa/Alichokisema-Ngeleja-kuhusu-kumuomba-msamaha-Magufuli/1597296-5270304-tjhv8wz/index.html
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: MSEMAJI WA POLISI AKUTANA NA MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO '; if(img.length>=1) { imgtag = ' Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas, akizungumza na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi kushika nafasi hiyo.Picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi. Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas, akimkabidhi Jarida la Nchi yetu, Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa, wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi kushika nafasi hiyo. .Picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi. Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbas akimuonyesha Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabas Mwakalukwa ofisi ya Msajili wa Magazeti wakati Msemaji huyo alipofanya ziara ya kikazi katika Idara hiyo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipoteuliwa na Inspekta Jenerali wa Polisi kushika nafasi hiyo.Picha na Demetrius Njimbwi wa Jeshi la Polisi. Thursday, July 13, 2017 ~ Copyright: Michuzi Blog HABARI, POLISI ~ Mtumie Rafiki Yako , Maoni: 0
"2018-02-18T05:13:01"
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/msemaji-wa-polisi-akutana-na-mkurugenzi.html
[ -1 ]
Waziri Mkuu Aongoza Wananchi Kuaga Miili Ya Waliokufa Kwa Tetemeko – SJ POST WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza maelfu ya wananchi wa Manispaa ya Bukoba mjini kuaaga miili ya watu 16 waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea jana (Jumamosi, 10 Septemba, 2016) mkoani Kagera. JUMAPILI, SEPTEMBA 11, 2016 ← Image: Previous Post Swala Ya Eid-el-Hajj Dar es Salaam →
"2017-02-22T06:09:52"
https://sjposters.wordpress.com/2016/09/13/waziri-mkuu-aongoza-wananchi-kuaga-miili-ya-waliokufa-kwa-tetemeko/
[ -1 ]
Umbea wapigwa marufuku Manila nchini Ufilipino, watakaokamatwa kutozwa kiasi hiki cha fedha na adhabu juu | KNATV Home Video Umbea wapigwa marufuku Manila nchini Ufilipino, watakaokamatwa kutozwa kiasi hiki cha fedha... watakaokamatwa Previous articleDigitalberaterin Noveck: ″Angela Merkel ist auf Zack″ | Wirtschaft | DW Next articleRIPOTI: Vifo vya waandishi wa habari vyaongezeka duniani, Afghanistan ndio taifa lililoongoza kuua waandishi wengi kwa mwaka 2018 Nancy Pelosi: Impeachment-Ikone wider Willen? | Amerika – Die aktuellsten Nachrichten und Informationen | DW Präsident Filipe Nyusi gewinnt Wahlen in Mosambik | Aktuell Afrika | DW Malaria-Impfung: Was sie kann und was nicht | Wissen & Umwelt | DW Uganda News2018 Tanzania News1407 Fahamu kiumbe cha ajabu chenye jinsia 720 kilichozua gumzo, kisicho na...
"2020-01-18T09:00:07"
https://knatv.co.ke/umbea-wapigwa-marufuku-manila-nchini-ufilipino-watakaokamatwa-kutozwa-kiasi-hiki-cha-fedha-na-adhabu-juu/
[ -1 ]
Cha Kusikitisha Zaidi Kuhusu Imani ya Binadamu kwa Mungu | Kanisa la Mwenyezi Mungu 1 Jambo la kusikitisha mno kuhusu imani ya wanadamu kwa Mungu ni kuwa wanadamu wanatekeleza usimamizi wao wenyewe katikati ya kazi ya Mungu na hawasikilizi usimamizi wa Mungu. Udhaifu mkubwa wa mwanadamu unaegemea katika jinsi, wakati huo huo anatafuta kujitoa kwa Mungu na kumwabudu, mwanadamu anaunda hatima yake kamilifu na kuhesabu jinsi ya kupokea baraka kubwa zaidi na hatima iliyo bora zaidi. Hata kama watu watafahamu jinsi walivyo wa kuhurumiwa, wenye chuki na walivyo ovyo, ni wangapi hapo ambao wanaweza kuachana na ukamilifu na matumaini yao? Na ni nani anayeweza kusimamisha hatua zake na kuacha kujifikiria yeye mwenyewe? 2 Mungu Anawahitaji wale watakaojihusisha kwa karibu Naye kukamilisha usimamizi Wake. Anawahitaji wale ambao watatoa mawazo yao na mwili kwa ajili ya kazi Yake ya usimamizi ili kujitoa Kwake; Hawahitaji wale watakaoinua mikono yao na kuomba kutoka Kwake kila siku, na hata wale wanaotoa kidogo na kusubiri kulipwa kwa hilo tendo la kutoa. Mungu Anawadharau wale wanaotoa michango kidogo na kuridhika. Anawachukia wenye roho katili ambao hukataa kazi ya usimamizi Wake na hutaka tu kuongea kuhusu kwenda mbinguni na kupata baraka. Anachukia hata zaidi na wale ambao hufaidika na fursa inayowezeshwa na kazi Anayoifanya katika kuokoa wanadamu. 3 Hii ni kwa sababu hawa watu hawajawahi kushughulishwa na Anachotarajia kupata Mungu kutokana na kazi Yake ya usimamizi. Wanashughulishwa tu na jinsi wanavyoweza kutumia hiyo fursa iliyowezeshwa na kazi ya Mungu ili kupata baraka. Hawajali roho Yake Mungu, kwa kuwa wanajishughulisha na mustakabali na hatima yao. Wale ambao wanakataa kazi ya usimamizi wa Mungu na hawana hata tamanio dogo katika jinsi Mungu Anavyowaokoa wanadamu na mapenzi Yake, wote wanafanya wapendavyo kando na kazi ya usimamizi wa Mungu. Tabia yao haikumbukwi na Mungu, na haikubaliwi na Mungu, na hata haiangaliwi kwa fadhila ya Mungu. Umetoholewa kutoka katika “Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Katikati ya Usimamizi wa Mungu Pekee” katika Neno Laonekana katika Mwili Iliyotangulia:Mungu Atawezaje Kuwasamehe Wale Wanaotelekeza Maneno Yake? Inayofuata:Bado Hujapata Mengi Kutoka kwa Mungu?
"2020-07-06T00:27:14"
https://sw.godfootsteps.org/saddest-about-belief-in-God-lyrics.html
[ -1 ]
South Africa to let places of worship reopen from June | JamiiForums Rais wa Afrika ya kusini Cyril Ramaphosa akihutubia Taifa amesisitiza ingawa hali ni mbaya ya corona lakini kuanzia Juni 01 mwaka 2020 atafungua makanisa na Misikiti ili watu wapate faraja wakati huu wa Janga la corona Ukiweka siasa za unazi na unafiki pembeni kwenye hili la kutofunga nchi au mji Rais Magufuli ameweza Wenye chuki na wanatafuta sifa za kisiasa ni kweli roho inauma sana, Lakini kwa hili Magufuli sasa watu wanamuiga Afrika kusini imefungwa zaidi ya mwezi sasa lakini Rais amesalimu amri kwenye imani kwa kumuiga Magufuli OHANNESBURG (Reuters) - South Africa’s churches and other places of worship can reopen their doors from June, but will be limited to 50 people, President Cyril Ramaphosa said on Tuesday as coronavirus lockdown rules are further eased. Source: South Africa to let places of worship reopen from June Reactions: Renegade, sheiza, USSR and 6 others Weka source Alafu mnavyosema kuwa dunia ina mwelewa jiwe hvi ni mahaba gan mnapewa huko Lumumba Ww ulidhani watu watafunga nchi zao milele Reactions: kekule benzene kati ya mazuri na kuigwa ni la Magu kutofunga nyumba za ibada Reactions: sheiza, Isayalussy11, USSR and 8 others Kwahiyo kila nchi inayoondoa lockdown inamuiga Magufuli hata kama idadi ya maambukizi na vifo kwao inapungua? Reactions: Dingswayo, kekule benzene and Rubawa Donald Trump nae kamuiga magu kufungua shule Vijana wa Lumumba wenzenu wa ufipa wanatumia ubongo kufikiri nyie mnatumia makamasi, Hamjishtukii vyeo wanapewa wageni toka chadema??? Ataa Mimi ningekuwa magu kwa akili Kama hizi ata kama unanisifia sikuteui wengi mnapwaya, mnachojua Ni kusifu mikakati,mbinu za kiuchumi kijamii nk. Hamna. Pia sio wabunifu mwanzoni wasifiaji waliula Sasa KILA MWANA LUMUMBA Anatumia mbinu ile ile Reactions: kekule benzene and Sky Eclat Hakuna mtu wakumuiga mjinga Sisi upinzani kama upinzani tunasema hatutaki tena lockdown sababu mizungu tunaowaiga kila kitu kama bendera fuata upepo wameachana na mambo ya lockdown. Sasa inakuwaje wafungue nyumba za Ibada ,mfano s,afrika wakati hali ya maambukizi ni mbaya ?,hapo ndipo dhana ya kumuiga Magufuli inapokuja ,hutaki acha ,kwanini wasisubiri mpaka mwezi wa kumi ? Reactions: Lucas Sabuni and sweettablet Mjinga maza wako Reactions: msondomba and Lucas Sabuni Hakuna mtu wakumuiga mjinga asiyefahaumu hata kingereza kutwa kupiga watu risasi ...na kumpa sumu makamu mwenyekiti wake. Mkuu marais wote duniani wanamuiga rais wetu, tmkumbe tuna rais wa dunia. Reactions: SheriaE, chuma cha mjerumani and Rubawa Vibaraka wa wazungu lazima watafungua tu kwani Viongozi wao wamefanya hivyo. Wacha wamuige tu, hamna namna Afrika ya kusini waamua kumuiga Rais Magufuli kufungua makanisa na Misikiti watu waabudu JPM hakufunga kabisa Afrika Kusini walifunga wakafungua. Sasa hapo mbona ni vitu tofauti, wameiga nini, kutokufunga kabisa? Maana ya kufunga ilikuwa nini? Unafunga una wagonjwa 10, wamepanda mapak maelfu unafungulia, huu si uchizi? Kwa hili Magufuli yuko sahihi! Juzi mlikuwa mnamtukana Nkurunzinza Kwamba hana akili anamwiga Magufuli, kwanini afanye uchaguzi kipindi hiki cha janga watu wanarundikana kwenye kampeni, watu watakufa kama kuku! Haya Uchaguzi umepita rais mpya kapatikana hakuna hata kuku wal bata aliekufa na UN wamemsaport kwa kusema marafuku nchi za Afrika kusingizia korona kuahirisha chaguzi. Kwenye hili la corona wapinzani wa Magu wameaibika vibaya sana. Inapungua.? Nilifiiri wanaondoa kwakuwa maambukizi yameisha,. Ko wameiga Kijana tatizo una hasira na chuki sana kwa Magu! Hivi unajisikiaje matusi mliyokuwa mnamtukana Magu kwa hatua zake alizokuwa anachukua kuihendo corona, alafu mataifa karibu yoyote duniani wanapita mulemule alimopita Magu baada ya kuona hatua zao si suluhisho? Mbowe na genge lake wamejaribu kutafuta kiki kupitia corona wakaishia kuaibika na kuvurugana wao wenyewe! Unaonaje hii sapot anayopewa Magu kwenye social media juu ya corona? Nyie subirini kichapo chenu hapo oktoba murudi kunywa mbege basi. Sawa bna ngoja nikuache na mahab yako Tuwaombee ndugu zetu South Africa: Maambukizi ya Corona yamepita 10,000 International Forum 71 Yesterday at 7:14 PM M South Africa belongs to the White people ,Black people just live there,Here is the proof . International Forum 9 Yesterday at 2:46 PM M AU Comission: South Africa Urged to stop China from building Africa Desease Control Center HQ in Addis Ababa International Forum 10 Jun 9, 2020 A South African court rules lockdown restrictions ‘Irrational.’ International Forum 0 Jun 4, 2020 South Africa: Vilevi vyaruhusiwa kuuzwa baada ya zuio la miezi miwili, foleni zashuhudiwa madukani International Forum 2 Jun 1, 2020 Tuwaombee ndugu zetu South Africa: Maambukizi ya Corona yamepita 10,000 South Africa belongs to the White people ,Black people just live there,Here is the proof . AU Comission: South Africa Urged to stop China from building Africa Desease Control Center HQ in Addis Ababa A South African court rules lockdown restrictions ‘Irrational.’ South Africa: Vilevi vyaruhusiwa kuuzwa baada ya zuio la miezi miwili, foleni zashuhudiwa madukani
"2020-07-06T09:42:35"
https://www.jamiiforums.com/threads/south-africa-to-let-places-of-worship-reopen-from-june.1735897/
[ -1 ]
Theresa May aitisha uchaguzi wa mapema | Matukio ya Kisiasa | DW | 18.04.2017 Theresa May aitisha uchaguzi wa mapema Akisimama nje ya ofisi yake katika mtaa wa Downing, May alisema alisita juu ya kuliomba bunge kuunga mkono hatua yake hiyo kuitisha uchaguzi na mapema, kutoka mipango ya awali ya kuitisha uchaguzi huo mwaka 2020, lakini aliamua ni muhimu kupata uungwaji mkono kwa juhudi za chama chake tawala cha Conservative kuendelea na hatua za Uingereza kujitoa kutoka Umoja wa Ulaya. Baadhi wameshangazwa na hatua yake, amekuwa akisema mara kwa mara hataki kuvurugwa na kampeni itakayopoteza muda, lakini uchunguzi wa maoni ya wapiga kura unamuonesha akiwa anaongoza, uchumi unakwenda vizuri licha ya kura ya Brexit na amekabiliana na upinzani kutoka katika chama chake binafsi kutokana na mageuzi ya ndani. Sarafu ya pauni imepanda kwa kiwango cha juu cha miezi miwili na nusu dhidi ya dola ya Marekani baada ya kutangaza uchaguzi, lakini faharasa kuu ya soko la hisa nchini Uingereza iliporomoka katika kiwango chake cha chini kabisa katika muda wa zaidi ya wiki saba. Uingereza inajiunga na orodha ya nchi kadhaa za Ulaya zinazopanga kufanya uchaguzi mwaka huu. Uchaguzi nchini Ufaransa mwezi Aprili na Mei na Ujerumani mwezi Septemba una uwezekano wa kuelekeza taswira ya kisiasa katika miaka miwili ijayo ya majadiliano ya Uingereza kujitoa kutoka Umoja wa Ulaya wakati mazungumzo yanatarajiwa kuanza rasmi katika mwezi wa Juni. Wapinzani wa Labour mashakani Wajumbe wa majadiliano wa Umoja wa Ulaya wanamatumaini kwa hatua hiyo ya waziri mkuu wa Uingereza itampa nguvu zinazostahili akiwa na mamlaka ya wazi kuweza kutoa masharti ya uingereza kujitoa kutoka Umoja huo. Waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani Sigmar Gabriel amesema ana matumaini uchaguzi wa mapema utaelekeza katika uwazi na uwajibikaji katika majadiliano ya Uingereza pamoja na umoja wa Ulaya kuhusiana na Brexit. Jeremy Corbyn, mwenyekiti wa chama cha Labour Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uingereza cha Labour, Jeremy Corbyn amesema anaupokea uamuzi wa waziri mkuu May. "Naikaribisha fursa hii, kwetu sisi kuweza kuwaeleza Waingereza kusimama dhidi ya serikali hii na ajenda yake iliyoshindwa ya kiuchumi, ambayo imesababisha matatizo katika huduma za afya, mashule kupata fedha chache, pamoja na kuwaacha watu wengi hawana hakika. Tunataka kuwaelezea wananchi wa Uingereza, kuhusu jamii inayomjali kila mtu, uchumi unaofanyakazi kwa kila mtu, na Brexit inayofanyakazi kwa kila mtu." Nae waziri kiongozi wa Scotland Nicola Sturgeon amesema hatua ya waziri mkuu May inaakisi dhamira yake kuipeleka Uingereza katika mrengo wa kulia wa kisiasa wakati nchi hiyo ikijadili kuhusu Brexit kutoka Umoja wa Ulaya. Sturgeon amesema May anachukua fursa ya mtafaruku mkubwa katika chama cha Labour ili kuzima upinzani na kuwatenga watu ambao wanampinga. "Hatua hii itakuwa na maana sio tu uwezekano mgumu wa Brexit, lakini kubana zaidi matumizi na upunguzaji mkubwa wa bajeti. Kwa hiyo katika Scotland ni muda sasa wa kuhakikisha kwamba tunasimama kwa ajili ya maslahi ya Scotland, kuifanya sauti ya Scotland kusikka na kuhakikisha wabunge wanapigania maslahi ya Scotland." Utaratibu wa serikali nchini Uingereza kuitisha uchaguzi mpya una utata mkubwa kuliko ilivyozoeleka hapo kabla. Serikali zilikuwa na uwezo wa kuitisha uchaguzi kama zitakavyo, lakini sheria ya bunge ya muda maalum, iliyopitishwa mwaka 2021 , imeweka vipindi maalum kufanyika uchaguzi kila baada ya miaka mitano. Chini ya sheria hiyo, hoja ya uchaguzi mpya kabla ya wakati inapaswa kupelekwa bungeni na kukubaliwa na theluthi mbili ya wabunge 650 katika baraza la wawakilishi, ikiwa ni pamoja na viti ambavyo havina wabunge. May amesema atawasilisha hoja hiyo bungeni kesho Jumatano. Iwapo itapita, bunge litasitisha shughuli zake siku 25 kabla ya siku ya Uchaguzi. Sikiliza mahojiano na mchambuzi Ahmed Rajab Tarehe 18.04.2017 Mada Zinazohusiana Uingereza, Brexit, Scotland, Sergei Skripal Maneno muhimu Theresa May, Uingereza, Brexit, uchaguzi, Labour, Scotland Kiungo https://p.dw.com/p/2bPfS
"2018-08-14T09:34:48"
https://www.dw.com/sw/theresa-may-aitisha-uchaguzi-wa-mapema/a-38469478
[ -1 ]
PROF. MUHONGO ‘TUKUBALI KUBADILIKA’ | LEKULE BLOG Home KITAIFA PROF. MUHONGO ‘TUKUBALI KUBADILIKA’ PROF. MUHONGO ‘TUKUBALI KUBADILIKA’ Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa akizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara. Kikao hicho kimeshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Katikati ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati), akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Madini, Profesa James Msofe wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya Wizarani. Wengine kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara Profesa Justin Ntalikwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dkt. Eng. Juliana Pallangyo. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo (katikati), akizungumza jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara ambacho kiliongozwa na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kikao hicho kimeshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Taifa (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)akimweleza jambo Mkuu wa Chuo cha Madini Dodoma (MRI), Oforo Ngowi wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa wizara. Kikao hicho kimeshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara wakiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Taifa (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Mkurugenzi Msaidizi wa RasilimaliWatu, Caroline Musika akiongea jambo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara. Katikati ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kikao hicho kimeshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini, wakifuatilia kikao baina ya Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini ya Wizara zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Mtendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Picha Chuo cha Madini Dodoma Na Asteria Muhozya. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo amewataka Watendaji wa Wizara, Wakuu wa Taasisi zilizochini yake na watumishi wote kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha kwamba sekta za Nishati na Madini zinakuwa na manufaa makubwa kwa Taifa ikiwemo mabadiliko kiuchumi kupitia sekta hizo. Profesa Muhongo ameyasema hayo wakati wa kikao cha utambulisho wa viongozi wapya wa Wizara kilichoshirikisha Menejimenti ya Wizara, Taasisi zilizo chini yake zikiwemo Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la Maendeleo ya Petroli la Tanzania (TPDC), Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA), Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Chuo cha Madini Dodoma (MRI) na Watendaji kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). “Ni lazima tujitume, hili ndio jukumu letu la kwanza. Wananchi wanataka umeme na wanataka mabadiliko kupitia sekta za nishati na madini. Tufanye kazi kwa umoja na uwazi kwasababu tumepewa fursa ya kuwatumikia wananchi hivyo ni lazima tubadilike na mabadiliko ni lazima. Asiyeweza kuendana na kasi ya awamu hii aondoke, hakuna atakayeonewa,” ameongeza Prof. Muhongo. Prof Muhongo aliongeza kuwa, kutokana na uzoefu wa viongozi hao na watendaji wa Wizara na Taasisi anaamini kuwa yatakuwepo mabadiliko katika sekta hizo kutokana na sifa zao kitaaluma na kiutendaji. “Wananchi wana imani kubwa na uteuzi wetu na uwepo wetu katika wizara. Tufanye kazi kwa manufaa ya Taifa”, amesema prof. Muhongo Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara, Profesa Justin Ntalikwa alieleza kuwa, uongozi huo unatarajia kufanya kazi kwa uadilifu na umakini na kuongeza kuwa, “ jukumu lililo mbele yetu ni kubwa tunahitaji kufanya kazi kwa bidii tukitumia uzoefu, wote kutekeleza majukumu yaliyo mbele yetu”,amesema Profesa Ntalikwa. Naye, Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Madini, Profesa James Msofe, amesema kuwa, aanatarajia kujifunza kwa kasi kubwa majukumu yake ili kuweza kufikia matarajio ya wananchi na taifa.
"2017-10-18T01:58:01"
http://sosteneslekule.blogspot.com/2016/01/prof-muhongo-tukubali-kubadilika.html
[ -1 ]
Mkuu wa Wilaya yaBunda Mh Lydia Bupilipili amehamasisha wananchi wa Kata ya Nyamihyolo kujenga Shule ya Sekondari ambapo ujenzi huo utagharamiwa na nguvu za Wananchi wa Kata hiyo katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya tano chini ya Dkt.John Pombe Magufuli. Akizungumza katika Mkutano wa hadhara Januari8,2020 katika eneo la Nyamitwebili alisema ilikujenga kizazi bora lazima kuwepo na msingi mzuri wa elimu kwa kizazi tulichonacho ambacho kitaleta manufaa ya sasa na baadae. Wanafunzi wanatembea umbali mrefu kufuata Shule,hivyo nawaagiza wananchi wa Nyamihyolo kupeleka nguvu kazi katika ujenzi wa shule ya Sekondari ya kata ili wanafunzi wasitembee umbali mrefu.alisema Bupilipili Pamoja na changamoto zilizokuwepo baina ya Wananchi wa Nyamihyolo kuhusu eneo ambalo litajengwa Shule ya Sekondari,pia Mh Bupilipili aliwasihi Wananchi hao kumaliza mgogoro wao kwa haraka ili kuweza kukamalisha ujenzi huo. Naye ,Afisa Elimu Bwa.sylvester A.Mrimi aliwahimiza wazazi kuendelea kuhamasika kupeleka watoto wakike shule ili kuwajengea maisha bora ya baadae. " Wananchi wa Nyamihyolo endeleni kutoa hamasa kwa ujenzi wa Shule ili uweze kukamilika kwa haraka."kama kuna familia ipo hapa haifikirii mtoto wake kupata maarifa basi mzazi huyo hapendi maendeleo ya mtoto wake" Madarasa manne yatasaidia kuanzia ili watoto wakidato Cha kwanza waweze kusoma.alisema afisa elimu. Aidha,Kaimu Katibu tawala wa Wilaya Bwa.Jonas Nyehoji alisema umoja Ni nguvu utengani ni udhaifu ni vyema kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuweza kuhakikisha ujenzi wa Shule unakamalika kwa haraka ili watoto waanze kutumia madarasa hayo. Pia Mh Bupilipili alitoa agizo la kusitishwa kwa ujenzi wa Shule ya Sekondari Nyamitwebili kutokana na kutokidhi vigezo vya kua eneo la shule kwa kuwepo na mgogoro wa eneo hilo. akaelekeza vifaa vyote vilivyotolewa kwa ajili ya ujenzi wa Shule hiyo vipelekwe eneo la Mihyolo ambalo Shule itajengwa, viongozi kutoa mrejesho wa vikao ambavyo wanawakilisha Wananchi ili kuondoka sitofahamu kwa Wananchi na watalaamu wa Halmashauri wakishirikiana na wakaguzi wa ubora wa shule kufanya tathmini upya ya maeneo yaliyopendekezwa kujengwa Shule. Kata ya Nyamihyolo ina vijiji vitatu ambavyo ni Nyamitwebili,Mahyolo na Haluzale pamoja na vitongoji 12 vyenye watu takribani5000.
"2020-04-02T19:45:36"
http://bundadc.go.tz/new/mkuu-wa-wilaya-ya-bunda-ahamasisha-wananchi-wa-kata-ya-nyamihyolo-kujenga-shule-ya-sekondariaonya-migogoro
[ -1 ]
WAZIRI AIPA POLISI SIKU MOJA IJIELEZE - Bongo Leaks WAZIRI AIPA POLISI SIKU MOJA IJIELEZE Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga ametoa siku moja kwa Jeshi la Polisi kueleza ni kwa nini askari hawalindi Bandari ya Dar es Salaam badala yake kazi hiyo inafanywa na kampuni binafsi za ulinzi. Kitwanga amepanga kukutana na viongozi waandamizi wa Polisi kesho ili kujadili mipango na mikakati mbalimbali ya kuongeza ufanisi wa kazi ya kuwahudumia wananchi. Akizungumza na maofisa waandamizi wa polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam baada ya kufanya ziara katika Chuo cha Taaluma ya Polisi na kuangalia makazi ya askari, Kurasini, Kitwanga alieleza kusikitishwa na hatua ya polisi kuacha kutoa ulinzi bandarini na kuita kitendo hicho kuwa ni udhaifu wa jeshi hilo. Alisema kitendo hicho kimetoa mwanya kwa baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi wakati wa kushusha bidhaa zao akisema Bandari ni eneo la mpaka ambalo linahitaji ulinzi wa polisi kama mipaka mingine ya nchi. Akionekana kukerwa, Waziri Kitwanga alimkatisha Kamishna wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alipojaribu kutoa sababu akimtaka kutumia siku nzima ya leo kuandaa majibu ili kesho wayazungumze kwenye kikao rasmi. Waziri Kitwanga amelitaka pia jeshi la polisi kumweleza mipango ya kukabiliana na dawa za kulevya kwa sababu ndiyo zimekuwa chanzo cha matukio mengi ya uhalifu ikiwamo tishio la ugaidi. Alisema haiwezekani kitengo cha kupambana na dawa za kulevya kikaachiwa jukumu hilo wakati jeshi la polisi liko kwenye operesheni zake kila siku. Kuhusu msongamano wa magari katika jiji la Dar es Salaam, waziri huyo alisema ni uzembe wa askari wa usalama barabarani kwa sababu wameshindwa kusimamia sheria na kuwachukulia hatua madereva wazembe. Alisema zipo nchi za Afrika ambazo hazina askari wa barabarani kwa sababu kiwango cha nidhamu ya madereva wake ni kikubwa na wamekuwa wakifanya vizuri kuhakikisha kwamba suala la msongamano usio wa lazima unadhibitiwa kwa kufuata sheria.
"2017-10-18T22:13:55"
http://www.frankleonard.info/2015/12/waziri-aipa-polisi-siku-moja-ijieleze.html
[ -1 ]
Bingwa Wa Zamani Wa Formula 1 Michael Schumacher Atoka Hospitali - Salma MsangiSalma Msangi 10 September 2014 by Salma Msangi+ in Entertainment - No Comments Bingwa wa zamani wa Formula One Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali Katika taarifa aliyoitoa, Meneja wa bingwa huyo wa zamani wa michezo ya Langa langa, Sabine Kehm amesema mteja wake huyo ataendelea kupata matibabu nyumbani. Amesema anaendelea vizuri lakini bado kunahitajika muda zaidi kuweza kupona kabisa. Schumacher alipoteza fahamu baada ya kupata majeraha kichwa kufuatia ajali aliyoipata Desemba mwaka jana nchini Ufaransa alipokuwa akiteleza kwenye barafu. Schumacher alilazwa kwa muda wa miezi sita katika hospitali moja nchini Ufaransa kabla ya kuhamishiwa katika hospitali ya Lausanne nchini Uswisi mwezi Juni mwaka huu. (By BBC).
"2019-11-20T14:39:28"
http://salmamsangi.com/bingwa-wa-zamani-wa-formula-1-michael-schumacher-atoka-hospitali/
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: TANZIA: KARANI WA BARAZA LA MAWAZIRI HASSAN RASHID SHEBUGE AFARIKI DUNIA '; if(img.length>=1) { imgtag = ' TANZIA: KARANI WA BARAZA LA MAWAZIRI HASSAN RASHID SHEBUGE AFARIKI DUNIA Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha Karani wa Baraza la Mawaziri Hassan Rashid Shebuge (pichani) kilichotokea jana Julai 06, 2017 katika Hospitali ya Taifa Muhimbini Jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Kabla ya kufikwa na mauti inaelezwa kuwa marehemu Shebuge aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake Mbagala Majimatutu jijini Dar es salaam mnamo Julai 03, 2017 na kukimbizwa katika hospitali ya Rangi Tatu ili kupatiwa huduma ya dharura na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi hadi hapo matuti yalipomfika. Kwa mujibu wa taarifa ya kitaalam iliyotolewa na madaktari inaelezwa kuwa Maremu Shebuge alipatwa na shinikizo la damu ambalo limepeleka kupoteza kwake maisha. Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu, aiweke roho ya Marehemu Hassan Rashid Shebuge mahapa pema peponi - Amin.
"2018-03-22T03:53:18"
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/tanzia-karani-wa-baraza-la-mawaziri.html
[ -1 ]
2018 EDF Pulse Africa Awards kwa ajili ya kuanza kwa Afrika (tuzo ya 40,000 euro) | Fursa Kwa Waafrika nyumbani Piga simu kwa Maombi 2018 EDF Pulse Africa Tuzo za kuanza kwa Afrika (tuzo ya 40,000 ya euro) 2018 EDF Pulse Africa Tuzo za kuanza kwa Afrika (tuzo ya 40,000 ya euro) Maombi Tarehe ya mwisho: Julai 09, 2018. Wewe ni Kuanza Afrika. Unaendeleza miradi ya ubunifu karibu na nishati na unataka kuharakisha maendeleo ya mradi wako. EDF ni nje ya Tuzo zake za ubunifu nchini Afrika na tamaa ya kusaidia na kusaidia wasomi wa Afrika, wale wanaohusika sana katika maendeleo ya nishati. Katika hali ya mara nyingi ngumu na changamoto, utamaduni wa uvumbuzi umeibuka na unatoa ufumbuzi wa nishati muhimu kwa Waafrika. EDF inataka kutegemea rasilimali hii ya nguvu ya mitaa ili kuboresha upatikanaji wa umeme na kujenga na, baadaye ya nishati Afrika. Hii ndiyo sababu kampuni inafungua toleo la kwanza la «EDF Pulse Africa». Kwa toleo hili, litatolewa tuzo za 3 kwa miradi bora ya ubunifu iliyowasilishwa na washiriki (strat-up, kampuni ndogo na biashara ndogo ndogo), na zinaweza kutumika kwa maeneo yafuatayo: Utoaji wa gridi ya mbali ya gridi ya mbali: innovation yoyote inayozalisha na / au kuhifadhi gridi ya umeme mbali Huduma za umeme na matumizi: huduma yoyote inayowezesha kupanua umeme na bidhaa yoyote ya ubunifu yenye matumizi ya chini ya nguvu; kupatikana kwa watumiaji wa huduma za umeme Upatikanaji wa maji: ufumbuzi wowote wa ubunifu ambao unaboresha upatikanaji wa maji kupitia umeme (kilimo, maji ya kunywa) Muundo wowote unaohusika unapaswa kukidhi mahitaji yafuatayo: ● Kuwa na muundo (kuanza-up, biashara ndogo ndogo ...) chini ya watu wa 30. ● Kuwa na mamlaka katika Afrika. ● Kuanzishwa na Julai 9, 2017. ● Kuanzisha uvumbuzi unaotumia au hutoa umeme, na huanguka ndani ya upeo wa moja ya makundi ya 3 yaliyotajwa hapo juu. ● Kuwa mteja wa mradi na hatua ya juu ya maendeleo: Uwe katika awamu ya uuzaji kabla (au uuzaji kwa chini ya mwaka mmoja). Tumia mfano wa Novemba 21, 2018, kuruhusu maonyesho ya mapendekezo suluhisho kwa umma kwa ujumla, wakati wa Jury Mkuu Washiriki wote wanapaswa kukamilisha na kuwasilisha faili ya umeme kwenye tovuti ya ushindani https://africa-pulse.edf.com na Julai 09, 2018. Muhtasari kamili unajumuisha: Fomu ya maombi ya PDF moja (1) iliyosababishwa na kanuni hii) inayowasilisha: Muundo, timu yake na motisha zake; Suluhisho la maendeleo au bidhaa, pamoja na soko lake na mfano wa kiuchumi; Hatua ya maendeleo: majaribio, prototypes, kuongeza fedha, mawasiliano ya biashara, msaada na washirika, tuzo ... Picha ya mradi mmoja (1) katika ufafanuzi wa juu, muundo wa JPEG au PNG, pixel 800 x XUMUMX cha chini Picha moja ya (1) ya timu katika ufafanuzi wa juu, muundo wa JPEG au PNG, pixel 800 x XUMUMX cha chini Fomu ya maombi ya Tuzo za EDF Pulse Africa, zilizokamilishwa kikamilifu, zinapaswa kuwasilishwa na mwakilishi wa kisheria au mwanzilishi wa kampuni kwa niaba ya mwisho. Sherehe ya tuzo Sherehe ya EDF Pulse Africa Awards itafanyika Ufaransa mnamo Novemba 22, 2018, huko Paris. Wafanyabiashara wanakubaliana kujitolea kwa ajili ya tukio hilo. Kila mmoja lazima awe: amesimama na mwanachama wa timu yake; na kutoa mfano au mfano wa innovation yake. Mpangilio ataandaa kusafiri na malazi ya wawakilishi wa kila timu, pamoja na mifano na prototypes. Sherehe ya tuzo itakuwa iliyosafishwa na kusambazwa au kufanywa upya kwenye mtandao, hasa kwenye mitandao ya kijamii Kila mshindi atapata nyara "EDF PULSE AFRIKA PUMA YA 2018" Mfuko wa Allowance Kila mmoja kati ya wale kumi (10) watakuwa na kadi ya uwasilishaji kwenye tovuti http://africa-pulse.edf.com: jina la muundo na mradi, alama (ikiwa imewasilishwa kwa kifupi), nchi ya utawala, muhtasari wa mapendekezo , unaunganisha kwenye tovuti au mtandao wa kijamii ... Washiriki kumi (10) wataalikwa siku ya Jury Grand mwezi Novemba Novemba 22, 2018 na watashiriki kwenye kikao cha kufundisha siku ya siku ya (3) kutoka Novemba 19, 2018 hadi Novemba 21, 2018. Zaidi zaidi, watapokea ushauri na ushauri juu ya maendeleo yao ya mradi kuanzia Oktoba hadi Novemba. Kila mmoja wa kumi (10) wa mwisho wataalikwa pia kwenye tuzo ya tuzo. Wafadhili watatu (3) watapata kutoka kwa EDF mgao kwa ajili ya tuzo za 1st, 2nd na 3rd: 15K €, 10K € na 5K € kwa mtiririko huo. Ugawaji huu utachangia maendeleo ya miradi yao. Malipo yatatolewa na uhamisho wa benki au angalia muundo wa timu ya kushinda. Washiriki watatu (3) watafaidika na upatikanaji rahisi wa fedha na uwezekano wa maendeleo ya ushirikiano na kampuni za EDF Group Afrika MAFUNZO YA WINNERS Washindi wa tuzo hufanya: ● Kujitolea kuwa inapatikana hadi siku tano (5) siku kumi na mbili (12) zifuatazo tarehe ya tuzo, kukuza EDF Pulse Africa Awards ndani na nje, juu ombi la Mpangaji. ● Kujitolea kutoa Mratibu, kwa ombi, na taarifa juu ya maendeleo ya mradi wake ndani ya miezi ishirini na minne (24) ya tarehe ya tuzo. Uchaguzi wa Top 30 kwa 40 na kamati na uwasilishaji wa wagombea waliochaguliwa kwenye tovuti edf.fr: Septemba 20, 2018 Jury la wataalam: uteuzi wa miradi kumi (10) «Wafanyabiashara» Oktoba 4, 2018 Kufundisha kikao cha wawakilishi wa mwisho: Novemba 19, 2018 Grand Jury: uteuzi wa miradi mitatu ya kushinda tuzo (3) iliyotolewa na jury: Novemba 22, 2018 Sherehe ya Tuzo ya EDF Pulse Africa kwa watatu watatu (3): Novemba 22, 2018 Tembelea Tovuti ya Rasmi ya Tuzo za 2018 EDF Pulse Africa kwa ajili ya kuanza kwa Afrika Makala zilizotanguliaMamlaka ya Aviation ya Kusini mwa Afrika Kusini Mamlaka ya Maendeleo ya Anga Ajira 2018 kwa vijana wa Afrika Kusini Makala inayofuataShirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Siku ya Chakula Duniani Mashindano ya Poster ya 2018
"2018-09-21T07:48:54"
https://sw.opportunitiesforafricans.com/2018-edf-pulse-africa-awards-for-african-start-ups/
[ -1 ]
I am looking for a job - Page 2 Registered Members: 129,931 Current Users Online: 21551 Topic: I am looking for a job 29th June 2012 23:04 I am completing my first degree in science with education,so i find school for teaching, i am teaching biology and chemistry any one who interested ho/she may call me.my telephone number is 0716563735. Mtundu Kisu 30th June 2012 22:47 Posts : 676 Rep Power : Re: I am looking for a job Mweh angwenda nghelebuno!!! Kaka ungeandika kiswahili tu ungeeleweka khaaah!! 2nd July 2012 15:12 Dah kaaz kwelikweli hiki kidhungu ni janga la taifa hehehehehehe 2nd July 2012 16:21 Uwiii mbavu zangu nimechakaje !!!! Au kijana umepost hii kuchekesha umati!!!! Ila kama uko serious kweli kazi unayo. Na unayofundisha ni masomo ni biology na chemistry. Watoto watokomaje chemicla formulas not reacheable. 3rd July 2012 22:53 Posts : 2,321 Rep Power : umemaliza chuo gani mkuu??? 3rd July 2012 23:35 Join Date : 31st May 2011 Ataeleweka tu. sijui anasoma Tumaini university huyu?. Kote yupo, ona : I am completing......I find school for teaching.....I am teaching.... Wewe saizi yako ni shule za kata tu mkuu. acha usenge ww tumain university kuna nini?unawashwa eeh?kama unawashwa niambie nije for a index sex,next tym mind ur language,sio unaongea 2 kama nchemba idiot..kujua buttons za keyboard yako isiwe tabu hatuitaji kujua degree za utabularaza kwa ujinga unaoandka hapa jamvi,idnt knw u bt atleast i knw how low u can thnk.try 2 thnk dnt tink..mafankulo ww.! GUDIGUDI likes this. 4th July 2012 00:10 Jaslaws na wewe unatakiwa u mind ur language othrwise BAN inakunyemelea Kiuhalisia jamaa hakutakiwa kubeza chuo chochote, haipendezi jaman. GUDIGUDI 5th July 2012 19:31 ! Kuwa na busara mkuu we ndo nchemba hujitambui huwez tumia kauli za namna hii. Ulisoma Tumaini University? kwa kauli hz wewe na huyu mwomba ajira ni kopo na mfuniko wake. Chuo cha kata hicho au unabishaaaaaaa!! Mr.Kombo 5th July 2012 21:18 oya mbona serikali ina shida kubwa ya watu kama hawa hawaangalii lugha shida ni hayo masomo jamaa anatania nini? 7th July 2012 01:26 Im looking for temporaly or permanent teaching post specifically biology and chemistry subjects.Yet i've completed my bachelor degree-BSC ED. and eligible to be awarded a degree early nov.2012.Please contact me through 0764448152.HAPO VIP WAKUU. 7th July 2012 02:18 By Fungo N. ime2lia bab! 7th July 2012 11:18 Posts : 771 Rep Power : The friend of mine, you must attend English course at British Council, otherwise the shame upon you is on the way......English English please 11th July 2012 12:01 ha ha ha ha ha pole sana! Ha ha ha,try next tym...ha ha ha 11th July 2012 13:39 Mbali na kumkosoa kwa hiko kimombo....inatubidi tumsaidie kwa hicho alichokiandika sababu najua kila mmoja wetu amemuelewa na elewa wewe unaekosoa kizungu cha huyo Mwalimu nawe unatamka maneno ya kiingereza tu huongea English. Mwalimu private schools zipo nyingi tafuta utapata ajira ya ualimu haina tatizo tena hasa masomo km hayo unayofundisha. 11th July 2012 20:01 Posts : 1,809 Rep Power : hakika nakuapia,kama wewe sio kilaza au kihiyo basi hiyo degree yako umeipata kwa bluetooth Wapi pazuri kwa graduate Nafasi za kazi arusha technical college
"2013-05-19T10:35:08"
http://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/285286-i-am-looking-for-a-job-2.html
[ -1 ]