text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
Nzambe azali kobenda yo (Yoane 6:44) โ€œMoto moko te akoki koya epai na ngai soki Tata, oyo atindaki ngai, abendi ye te.โ€โ€”YOANE 6:44. MPO NA NINI BATO MOSUSU BATYAKA NTEMBE? Bato mingi oyo bandimelaka Nzambe bamonaka ete azali mosika na bango. Christina, mwasi moko ya ekรณlo Irlande oyo azalaki kokende eglize pษ”sษ” nyonso, alobi boye: โ€œNazalaki komona ye kaka lokola Nzambe oyo akelรก biloko nyonso. Kasi nayebaki ye te. Ata mokolo moko te namiyokรก penepene na ye.โ€ OYO LILOBA YA NZAMBE ETEYAKA: Ntango tomonaka ete tozangi elikya, Yehova asundolaka biso te. Yesu apesaki ndakisa oyo mpo na komonisa ndenge oyo Nzambe atyelaka biso likebi: โ€œSoki moto moko azali na bampate nkama moko (100) mpe moko na yango ebungi, akotika ntuku libwa na libwa (99) na bangomba mpe akokende koluka oyo ebungi, boye te?โ€ Apesaki liteya oyo: โ€œNdenge moko mpe Tata na ngai oyo azali na likolรณ alingaka te ete moko ya bato mike oyo abeba.โ€โ€”Matai 18:12-14. Mokomoko โ€œya bato mike oyoโ€ azali na valษ›rษ› mingi na miso ya Nzambe. Ndenge nini Nzambe โ€˜alukaka oyo abungiโ€™? Vษ›rsษ› oyo totรกngaki na ebandeli elobi ete Yehova abendaka bato epai na ye. Lelo oyo, banani bakendaka na bandako ya bato mpe na bisika oyo bato bazalaka mingi mpo na koyebisa bango nsango ya Biblia oyo etali Nzambe? Tรณtala oyo Nzambe asalaki mpo na kobenda bato ya mitema sembo epai na ye. Na siษ›klษ› ya liboso ya ntango na biso, Nzambe atindaki Filipe, moyekoli ya Yesu akende kokutana na mokonzi moko ya Etiopi mpo na kosalisa ye akanga ntina ya esakweli moko ya Biblia oyo azalaki kotรกnga. (Misala 8:26-39) Na nsima, Nzambe atindaki ntoma Petro akende na ndako ya Korneyi, mokonzi moko ya basoda ya Roma, oyo azalaki moto oyo amipesรก na losambo mpe azalaki kobanga Nzambe. (Misala 10:1-48) Nzambe atindaki mpe ntoma Paulo mpe baninga na ye pene ya ebale na libรกndรก ya engumba ya Filipi. Kuna bakutanaki na mwasi moko na nkombo Lidia โ€œmosambeli ya Nzambeโ€ mpe โ€œYehova afungolaki motema na ye mpo atya likebi.โ€โ€”Misala 16:9-15. Na bandakisa yango mokomoko, Yehova asalaki ete baoyo bazalaki koluka ye bรกzwa libaku ya koyeba ye. Lelo oyo, banani bakendaka na bandako ya bato mpe na bisika oyo bato bazalaka mingi mpo na koyebisa bango nsango ya Biblia oyo etali Nzambe? Bato mingi bakoki koyanola, โ€œBatatoli ya Yehova.โ€ Omituna boye: โ€˜Ekoki kozala te ete Nzambe azali kosalela bango mpo na kobenda ngai?โ€™ Tosษ›ngi yo obondela Nzambe asalisa yo mpo milende oyo azali kosala mpo na kobenda yo elonga. * ^ par. 8 Mpo na koyeba makambo mosusu, talรก video Mpo na nini koyekola Biblia? na www.jw.org.
"2017-08-23T06:04:24"
https://www.jw.org/ln/mikanda/bazulunalo/wp20140801/nzambe-azali-kobenda/
[ -1 ]
Abayobozi bโ€™umutwe wa FDLR bagejejwe mu rukiko biregura ku byaha bashinjwa havugwamo Uganda na RNC | Umusingi Home / amakuru / Ubuzima / Abayobozi bโ€™umutwe wa FDLR bagejejwe mu rukiko biregura ku byaha bashinjwa havugwamo Uganda na RNC Nkaka Ignace (wakunze kumvikana ku izina rya La Forge Fils Bazeye) ubwo yari mu rukiko rwโ€™ibanze rwa Kacyiru kuri uyu wa mbere ยซ Previous Article Igisirikare na Polisi bakoze umukwabu wo gushaka Umunyamerika nโ€™Umugande bari barafashwe bugwate muri Uganda barababona ariko mu kindi gihugu Next Article ยป Kagame yavuze ku mutekano muke muri Nyungwe nโ€™ikizakurikiraho
"2019-05-25T23:13:51"
http://www.umusingi.org/en/archives/19033
[ -1 ]
LUPITA AWAPA NENO WAREMBO AFRIKA | Mtanzania Home Burudani LUPITA AWAPA NENO WAREMBO AFRIKA LUPITA AWAPA NENO WAREMBO AFRIKA STAA wa filamu nchini Marekani mwenye asili ya nchini Kenya, Lupita Nyongโ€™o, amewataka warembo barani Afrika kujivunia urembo wa rangi zao ili kulitangaza bara lao. Mshindi huyo wa tuzo za Oscar, amedai kwa upande wake anajivunia rangi pamoja na mwonekano wa nywele zake za Kiafrika katika kazi zake za mitindo na burudani. โ€œNimekuwa nikipata kazi mbalimbali kutokana na rangi yangu na nywele za Kiafrika, nafanya vizuri katika tasnia ya filamu Hollywood kama walivyo watu wengine. โ€œHivyo huu ni wakati wa wasichana wengine wenye rangi na nywele kama zangu kujivunia vile walivyo, hakuna sababu ya kujibadilisha kwa ajili ya kutaka kufanana na watu fulani, kila mmoja ajivunie kile alichopewa na Mungu,โ€ alisema Lupita. Previous articleMWANDAE MWANAO KUKABILIANA NA MAZINGIRA YA SHULE Next articleMKUU WA CIA WA ZAMANI AONDOLEWA ULINZI
"2019-01-22T08:08:52"
http://mtanzania.co.tz/lupita-awapa-neno-warembo-afrika/
[ -1 ]
messi. kimataifa. tff Archives - Tanzania Sports 17th February 2020 Last update at 11:01 am *Tanzania sare na Namibia, England washinda *Cameroon wabugizwa 5-1, Algeria wao safi NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi ametapika uwanjani wakati akiwakilisha Timu ya Taifa ya Argentinaโ€ฆ
"2020-02-17T13:19:38"
https://www.tanzaniasports.com/tag/messi-kimataifa-tff/
[ -1 ]
Mh. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Lairumbe Mollel (wa kushoto) Akisoma Dua Maalumu Wakati wa Kufungua Kikao hiyo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Tamim H. Kambona. Mtunza Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Bw. Nassoro Mkwanda Akiwasilisha Hoja Katika Kikao. Waheshimiwa Madiwani Wakisoma Taarifa Mbalimbali za Kikao. Wakuu wa Idara na Vitengo Katika Kikao Mh. Diwani wa Kata ya Lengatei Mainge Lemalai Akichangia Hoja Katika Kikao. Mh. Diwani wa Kata ya Kaloleni Christopher Parmet Akichangia Hoja Katika Kikao. Mh. Diwani wa Kata ya Partimbo Paul Tunyoni Akichangia Hoja Katika Kikao. Mh. Diwani wa Kata ya Dosidosi, Benzi Akichangia Hoja Katika Kikao Mh.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Lairumbe Mollel Akihitimisha Kikao. Wajumbe walifahamishwa na Mtunza Hazina wa Wilaya kuwa Halmashauri imepata Hati Safi kwa Mwaka wa Fedha 2015/2016. Hata hivyo mapato ya makusanyo ya ndani kwa Halmashauri yamepanda kutoka Shilingi milioni mia nane sabini (Tsh. 870,000,000.00) ambayo ni sawa na 78% kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hadi kufikia zaidi ya Shilingi bilioni moja mia tisa milioni (TSh. 1,900,000,000.00) sawa na 93% ya mapato ya Makusanyo ya ndani kwa Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Kufikia lengo hili ilikuwa si kazi ndogo bali ni jitihada za Mkurugenzi wa Halmashauri (W) Kiteto Bw. Tamim H. Kambona kwa utendaji wake unaoendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano, uongozi mzima wa Halmashauri, Waheshimiwa Madiwani, Wataalamu,Mkuu wa Wilaya na Wadau wetu wakubwa ambao ni wananchi, kwani imesaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuboresha na baadhi ya huduma mbalimbali na kuondoa kero kwa wananchi hususani katika Afya, Maji na Elimu. Hata hivyo Mh. Mwenyekiti alisisitiza kuwa tunapaswa tujipange vizuri kwa mwaka huu kwani mvua ilikuwa ya wastani na kwa maeneo kadhaa tu lakini tuongeze bidii kwa ukusanyaji wa machine za kielektroniki (POS) ili tuongeze uwezo wakutatua kero za wananchi wa Wilaya ya Kiteto na kupiga vita umaskini.
"2017-11-25T09:12:48"
http://www.kitetodc.go.tz/new/kikao-maalum
[ -1 ]
Rushwa ya ngono yatikisa UDSM - Mtanzania Home Habari Kuu Rushwa ya ngono yatikisa UDSM Rushwa ya ngono yatikisa UDSM TUHUMA za rushwa ya ngono zilizotolewa juzi na Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Vicensia Shule, kupitia akaunti yake ya mtandao wa twitter, zimeonekana kutikisa taasisi hiyo ambapo jana kamati yake ya nidhamu ilikutana kuanza kuchunguza kashfa hiyo. Katika akaunti yake ya twitter Dk. Shule juzi alindika; โ€œBaba MagufuliJP (Rais John Magufuli) umeingia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kufungua maktaba ya kisasa. Rushwa ya ngono imekithiri mno UDSM. Nilitamani nikupokee kwa bango langu ila ulinzi wako umenifanya ninyamae. Nasubiri kusikia toka kwako maana naamini wateule wako ni waadilifu watakwambia ukweliโ€. Mtanzania ilipomtafuta, Dk. Shule alisema ujumbe huo ni wake na ameamua kuandika suala hilo kwa sababu limekuwapo chuoni hapo kwa muda mrefu. Alisema kwa nafasi yake ameripoti tatizo hilo mara kadhaa kwenye vikao vya menejimenti lakini mpaka sasa hakuna hatua madhubuti zilizochukuliwa ili kukomesha vitendo hivyo. โ€œMsimamo wetu tumekuwa tunasema kwamba ushahidi wa haya masuala ni kwamba yanaripotiwa, kwa hiyo chuo kiunde mfumo, sio kuunda tume ya kuchunguza na kuondoka, kuweka na mfumo ambao ni endelevu kuhakikisha suala hili halitokei. โ€œKwenye vikao vya menejimenti wanasema nilete ushahidi, ujue ni ngumu sana mtoto ambaye amebakwa alafu kaja kuniambia kwa siri yaliyomkuta, leo umpeleke kwenye menejimenti kwa ushahidi, ni ushahidi upi wanautaka zaidi ya taarifa za matukio haya yanayotokea mara kwa mara?,โ€™ alihoji Dk. Shule. Alikwenda mbali kwa kusema kwamba wanafunzi wengi wanaofikisha malalamiko ni wale wa shahada ya uzamili na hivyo hajui tatizo ni kubwa kiasi gani kwa wale wa shahada za chini ambao ni waoga kujieleza. โ€œTujiulize tatizo ni kubwa kiasi gani kwa hawa watoto wa dogo wanaoingia mwaka wa kwanza, hatujui kwa wale wa mwaka wa pili na watatu ndio maana ninachokitaka mimi ni chuo kuweka mfumo endelevu wa kuwafanya hawa waathiriwa kupaza sauti yao. โ€œRushwa ni vita na chuo kitambue rushwa ya ngono ni vita kweli kweli kama ilivyo rushwa ya fedha,โ€ alisema Dk. Shule. MAKAMU MKUU WA CHUO (VC) Baada ya maelezo hayo ya Dk. Shule, gazeti hili lilizungumza na Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa William Anangisye, ambaye alisema licha ya Dk. Shule kuandika tuhuma hizo kwenye mitandao ya kijamii, hajawahi kuzifikisha ofisini kwake. Alisema inawezekana chuoni hapo kuna matatizo mengi lakini tangu apewe jukumu la kukiongoza chuo hicho, hajawahi kufikishiwa tuhuma za rushwa ya ngono. Kwa mukutadha huo alimtaka mwandishi arudi kumuuliza Dk. Shule maswali manne ambayo yeye alihoji. Maswali hayo ni moja, kwa nini hajawahi kuwasilisha tuhuma hizo ofsini kwa Makamu Mkuu wa Chuo? Pili, kama Dk. Shule amewahi kufikisha taarifa hiyo kwenye menejimenti, afafanue ni menejimenti ipi, ya idara, college au chuo? Tatu, Dk. Shule ni kiongozi ndani Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDASA) je suala hilo amewahi kulifikisha kwenye vikao vya jumuiya hiyo? Nne, kama tatizo hilo ni la muda mrefu kwa nini asubiri ujio wa Rais Dk. Magufuli ndio aliwasilishe kwa njia ya mitandao ya kijamii? Baada ya maswali hayo kwa Dk. Shule, Profesa Anangisye alisema yeye ana shahada ya uzamivu katika masuala ya uadilifu wa walimu hivyo anaamini kuwa ni wajibu wa mwalimu kulinda mwanafunzi. โ€œNa mimi nikimshika mtu nikapata ushahidi, taratibu za ualimu haziruhusu mtu wa aina hii kuendelea kuwa mwalimu na sio taratibu tu hata taratibu pia za nchi. Kwa hiyo pale atakapoonekana kwamba ni mwalimu hatutafumbia macho,โ€ alisema Profesa Anangisye. MAJIBU YA DK. SHULE Mwandishi alirudi tena kwa Dk Shule kama alivyohoji Profesa Anangisye, ambapo Dk. Shule alijibu kwa ujumla akimtaka kiongozi huyo wa chuo awaulize wasaidizi wake ( Depute Vice Chancellors-(DVCs) โ€œAwaulize wasaidizi wake ni mara ngapi nimekutana nao kuwaelezea suala hili?,โ€ alihoji Dk. Shule. Dk Shule akizungumzia nafasi yake ya uongozi wa UDASA na hatua alizochukua kuliwasilisha suala hilo ndani jumuiya hiyo, alisema mara nyingi uongozi wa jumuiya hiyo umeshindwa kukutana kufanya vikao kwa sababu ya Makamu Mkuu wa Chuo kuwazuia kuitisha mikutano na kuwanyima ukumbi wa kufanyia mikutano yao. Akijibu swali la kwanini amesubiri ujio wa Rais Dk. Magufuli ndio akaripoti tuhuma hizo kwenye mitandao ya kijamii, Dk. Shule alisema. โ€œNinayo haki ya msingi ya kikatiba kufanya hivyo kama mwananchi,โ€ alisema. Alisema yeye kuwa mtumishi wa umma sio sababu ya kuangusha haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza. MAKAMU WA CHUO TENA Baada ya maelezo ya Dk. Shule, gazeti hili lilirudi kwa mara nyingine kwa Profesa Anangisye na kumweleza alichosema Dk Shule. Profesa Anangisye aliendelea kuhoji kama Dk. Shule aliripoti taarifa hizo kwenye menejimenti na kwamba wasaidizi wake (DVC) wanajua na kama aliona mambo hayaendi kwa nini asingefika ofisini kwake kumtaarifu? Alisema UDASA ina kamati ya utendaji kwa nini hajawahi kutoa taarifa hizo? โ€œWaliomba ukumbi na tulipozuia hapajawahi kuwa na kikao chenye agenda ya suala la ngono. Angenda zote za UDASA hupitishwa na kamati tendaji na yeye ni mjumbe sijawahi kuona hoja kama hiyo anayotuhumu,โ€ alisema Profesa Anangisye. Alisema UDSM inawalimu zaidi ya 1200 inawezekana watuhumiwa ni watu 10 au 20 hivyo kusitumike madai hayo kuchafua walimu wote. Alisema Dk. Shule anatakiwa atoe takwimu za kutosha za wanafunzi walioathiriwa kwa ngono pamoja na ushahidi. Baada ya mazungumzo hayo, Profesa Anangisye alimpigia tena simu mwandishi na kumwambia kwamba anamsifu Dk. Shule kwa ujasiri aliouchukua. โ€œHii ni alamu ya kuniamsha pia, kweli suala hili linafanyiwa kazi lakini alichokifanya kinaonyesha kuwa angalau kuna watu majasiri, amediriki kusema ukweli kama upo na kama haupo waja. โ€œKwangu mimi namshukuru Mungu kwamba angalau nimempata mtu ambaye atanisaidia kupata data. Sema tu kama nilivyosema mwanzoni hajawahi kuja ofsini kwangu kunieleza jambo kama hili,โ€ Profesa Anangisye. MWENYEKITI UDASA Kwa upande wake mwenyekiti wa UDASA, Dk. George Kahangwa, alisema Dk. Shule hajawahi kumpa taarifa hiyo. Dk. Kahangwa alikwenda mbali kwa kusema kitendo cha Dk. Shule kutoa habari hiyo kwenye mitandao ya kijamii kimekiuka taratibu nyingi. Alisema UDSM ina sera ya Anti-Sexual Harassment ambayo inaeleza utaratibu wa kufuata kunapotokea jambo kama hilo na inaeleza wanaohusika na jambo hilo wanaweza kuchukuliwa hatua gani. Alisema katika idara kuna watu wanaoitwa โ€˜gender focal pointโ€™ ambao wanawajibu wa kushughulikia masuala hayo . โ€œNdani ya UDASA , Dk Shule hajalileta suala hilo, lilivyoanza kusambaa jambo hili ndio tukaanza kuhoji kulikoni, hata mimi mwenyewe niliwasiliana naye nikamwambia anipe taarifa alizodai anazo, alichonijibu alisema kuwa anadhani hili ni zaidi ya UDASA , akasema anatunza siri ya wale waathirika wa hilo jambo. โ€œSasa inakanganya amesema anatunza siri ya waathiriwa lakini bado anatawanya habari bila kuweka ushahidi mezani wala ujasiri wa kufuata njia sahihi,โ€ alisema Dk. Kahangwa Gazeti hili lilimuuliza Msaidizi wa Makamu Mkuu wa Chuo cha UDSM kitengo cha taaluma, Profesa Bonaventure Rutinwa, ambaye alijibu yuko Songea hivyo hawezi kuzungumzia jambo ambalo halijui. Alipotafutwa Msaidizi wa Makamu Mkuu wa Chuo cha UDSM kitengo cha utafiti, Profesa Casbert Kinambo alisema kama Dk. Shule amewahi kuwasilisha ofsini kwake basi suala hilo linafanyiwa kazi lakini taarifa hizo hazijawahi kumfikia. Alipotafutwa Msaidizi wa Makamu Mkuu wa Chuo cha UDSM kitengo cha Utawala, Profesa David Mfinanga alisema yupo kwenye kikao hivyo hakuwa na nafasi ya kuzungumza lolote. Previous articleJamhuri yawasilisha pingamizi rufaa ya Mbowe, Matiko itupwe Next articleJaji awa โ€˜mbogoโ€™ kesi ya Mbowe, Matiko
"2020-08-15T19:18:13"
https://mtanzania.co.tz/rushwa-ya-ngono-yatikisa-udsm/
[ -1 ]
Imewekwa : December 7th, 2018 "Waandishi wa Habari watakiwa kuwa wakala wa mabadiliko katika kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa wazazi kusimamia watoto kujua K tatu" hayo yamesemwa na Katibu Tawala mkoa wa Ruvuma Profesa Riziki Shemdoe katika kikao kazi cha mrejesho wa simulizi za mabadiliko kilichofanyika katika ukumbi wa Jimbo Mbinga. Akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa siku mbili kwa washiriki kutoka katika Halmashauri nane za mkoa wa Ruvuma na waandishi wa habari, Afisa mipngo mkoa ndg Edmund Siame alisema lengo la mrejesho wa simulizi za mabadiliko ni kubadilishana na kujifunza mbinu walizotumia kufanikiwa katika kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya elimu mkoani kupitia mpango wa Tusome pamoja. washiriki wa Tusome Pamoja wakimsikiliza katibu Tawala Mkoa Profesa Riziki Shemdoe wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mrejesho wa Simulizi za mabadiliko kutoka katika Halmashauri zote nane za mkoa wa Ruvuma. Alisema ili kuleta uhalisia na kutoa mrejesho chanya kwa wafadhili wa huu wa Tusome Pamoja ni Halmashauri zote kutoa simulizi zenye uhalisia kwa kuzingatia chazo tatizo, ukubwa, takwimu halisi zinazohusiana na tatizo hilo na suluhisho. "natoa agizo kwa Afisa Habari Ofisi ya mkuu wa mkoa kushirikiana kwa karibu na maafisa walioko katika Halmashauri zote nane kuwajengea uwezo wa kuandaa makala za simulizi za mabadiliko kuonesha ufanisi wa kazi zinazofanywa katika Halmashauri zao na mkoa wa Ruvuma kwa ujumla" Afisa Mipango Ndg. Edmund Siame alisema kuwa ili kutokomeza tatizo la wanafunzi wasiojua kusoma, kuandika na kuesabu katika mkoa wa Ruvuma linaweza kuisha kwa kushirikiana vizuri na waandishi wa habari kwani ni wakala wa amabadiliko katika jamii wakitumiwa vizuri. Mratibu wa Mpango wa Tusome Pamoja mkoa wa Ruvuma ndg Stephen Msabaha akiongea na washiriki kutoka halmashauri nane za mkoa wa Ruvuma (ambao hawako kwenye picha) wakati wa Ufunguzi wa mkutano siku mbili wa kutoa mrejesho wa maandalizi ya Simulizi za Mabadiliko "niwaombe waandishi wa habari kutoa na kutengeneza vipindi vya kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa elimu kwa wazazi pamoja na walezi kusoma na watoto wao jioni wanaporudi nyumbani lakini pia kuwa na tabia ya kufuatilia na kukagua madaftari ya watoto ili kujenga ueuelewa,ajua vyombo vya habari vina nguvu kubwa ya kuleta mabadiliko " alisema Kaimu katibu Tawala mkoa ndugu Edmund Siame vilevile alisema mpango wa Tusome Pamoja wamefanya kazi kubwa toka umeanza ikiwa ni utoaji wa vitabu vya kusoma darasa la kwanza na pili, kuboresha madarasa na matundu ya vyoo pamoja na mazingira ya kufundishia na kujifunzia. Muwezeshaji wa Mpango wa Tusome Pamoja Taifa Ndg Furaha Kabuye akitoa maoni ya maboresho ya Simulizi za Mabadiliko zilizokuwa zinatolewa na washiriki kutoka Halmashauri nane za mkoa wa Ruvuma. "Mapitio yafanyike kwa wanafunzi wa darasa la pili wanaoingia darasa la tatu wasijua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu wachujwe na kurudishwa darasa la pili ili kumaliza kabisa tatizo KKK katika wa Ruvuma ifikapo 2020 , na niwaagize Maafisa Elimu wote kufanya mapitio ya wanafunzi waliopo sekondari wasiojua KKK kuondolewa mara moja" Hata hivyo aliwapongeza washiriki kwa kazi kubwa waliofanya kwani inatia moyo kuona kuna mabadiliko chanya yanayochangiwa na Kamati za shule, wahamasishaji Elimu Jamii (WJE), Umoja wa wazazi na walimu (UWAWA), wadau mbalimbali wa Elimu na Halmashauri zote kutoa ushirikiano mkubwa kuchangia mpango wa Tusome Pamoja katika kuboresha Miundombinu ya madarasa, Upatikanaji wa chakula shuleni na kupunguza wanafunzi wasiojua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
"2019-05-21T05:20:08"
http://tundurudc.go.tz/new/waandishi-elimisheni-wazazi-umuhimu-wa-kusoma-na-watoto
[ -1 ]
India - Ushirika Kodi Rate Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - India - Ushirika Kodi Rate.
"2019-07-16T14:56:36"
https://sw.tradingeconomics.com/india/corporate-tax-rate
[ -1 ]
Watu 6 wauawa Lebanon | Matukio ya Kisiasa | DW | 27.12.2013 Watu 6 wauawa Lebanon Watu sita, akiwemo waziri wa zamani wa fedha wa Lebanon, Mohamad Chatah, wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea Beirut. Mauaji hayo yalitokea wakati Chatah akielekea kwenye mkutano wa wanasiasa wa nchi hiyo, Beirut. Mji wa Beirut, baada ya kutokea mripuko Shirika la habari la taifa-NNA limeripoti kuwa Chatah ambaye ni mpinzani mkubwa wa Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mlinzi wake ni miongoni mwa watu waliouawa katika shambulio hilo la leo (27.12.2013) lililotokea kwenye eneo la bahari na kwamba gari walilokuwa wamepanda limeharibiwa kabisa. Chatah aliyekuwa na umri wa miaka 62, aliwahi kuwa balozi wa Lebanon nchini Marekani na mshauri wa waziri mkuu wa zamani wa Lebanon, Fuad Siniora na pia aliendelea kubakia mshauri wa karibu wa mrithi wa Siniora, Saad Hariri. Hariri aishutumu Hezbollah Hariri amelishutumu kundi la Lebanon la wapiganaji wa Hezbollah la Waislamu wa madhehebu ya Shia kuhusika na mauaji hayo na kwamba huo ni ujumbe mpya kuhusu ugaidi. Waziri mkuu wa zamani wa Lebanon, Saad Hariri Hariri amesema kuwa watuhumiwa wa mauaji hayo ni wale wanaoikimbia sheria ya kimataifa na wanaokataa kujisalimisha kwenye mahakama ya uhalifu. Rais wa Lebanon, Michel Suleiman na Waziri Mkuu Najib Mikati, pamoja na maafisa wa makundi ya kidini na kisiasa, wamelaani mauaji hayo ya Chatah. Mikati amesema bomu hilo lilimlenga mwanasiasa aliyekuwa anapenda na kuamini katika mazungumzo. Naye mbunge wa Hezbollah, Ali Ammar ameyaelezea mauaji hayo kama uhalifu na wanalaani kitendo hicho cha kigaidi. Mauaji hayo yametokea wiki tatu kabla la kuanza kwa kesi ya wapiganaji watano wa Hezbollah wanaotuhumiwa kumuuwa waziri mkuu wa zamani, Rafik Hariri na watu wengine 21 mwaka 2005. Chatah aliyekuwa Muislamu wa madhehebu ya Sunni, alikuwa mkosoaji mkubwa wa Hezbollah. Hezbollah haiwezi kutawala Lebanon Waziri wa zamani wa Lebanon, Marwan Hamadeh, aliyesalimika shambulio la bomu la kutegwa kwenye gari mwaka 2004, amesema kundi la Hezbollah haliwezi kutawala nchini Lebanon, hata kama litavuruga amani na kusababisha umwagikaji mwingi wa damu. Lebanon imekumbwa na mashambulizi kadhaa ya mauaji yanayohusishwa na vita vya Syria, yakiwemo mashambulizi mawili ya kujitoa mhanga kwenye ubalozi wa Iran mjini Beirut mwezi Novemba na kuwaua watu 25. Mzozo wa Syria umedhoofisha usalama wa Lebanon na kuongeza mvutano wa kimadhehebu. Hezbollah imepeleka wapiganaji wake Syria kumuunga mkono Rais Assad, ambaye anatokea katika jamii ya Alawi ambayo ni sehemu ya Washia. Baadhi ya makundi ya waasi ya Waislamu wa madhehebu ya Sunni nchini Syria yana mafungamano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda na yamekuwa yakijaribu kuung'oa madarakani utawala wa Rais Assad. Mwandishi: Grace Patricia Kabogo/RTRE,AFPE,APE Mripuko wa bomu waua watu 18 Beirut Mada Zinazohusiana Lebanon, Aleppo, Hezbollah Maneno muhimu Lebanon, Chatah, Hariri, Syria, Hezbollah Kiungo https://p.dw.com/p/1AhYz Marekani kuliorodhesha jeshi la Iran kundi la kigaidi 08.04.2019
"2019-10-20T11:23:58"
https://www.dw.com/sw/watu-6-wauawa-lebanon/a-17327077
[ -1 ]
KANAZI SEKONDARY YAPATA MILIONI 25 KWAAJILI YA UJENZI HomeHabariKANAZI SEKONDARY YAPATA MILIONI 25 KWAAJILI YA UJENZI by - radiokwizera on - Monday, March 11, 2019 Shule ya sekondari ya Kanazi kata ya Kanazi wilayani ngara mkoani Kagera imepokea jumla ya shilingi milioni 25 ili kumalizia ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa vinavyo jengwa katika shule hiyo kwa nguvu za wananchi Kauli hiyo imetolewajana na mkuu wa shule hiyo Bw.Elihanani Mshumbusi wakati akizungumza katika mahafali ya kuwakaribisha wanafunzi wa kidato cha kwanza walio chaguliwa kujiunga na masomo ya sekondari katika shule hiyo Bw.MATUNDA MLIMA akitumbuiza katika hafla hiyo kwa kupiga zeze Bw.Mshumbuzi amesema fedha inakuja kwaajili ya kuongeza nguvu katika ujenzi ambao umeanzishwa ka nguvu za wananchi hivyo wazazi na walezi wanatakiwa kuendelea kujitolea ilikukamilisha ujenzi huo haraka iwezekanavyo ili wanafunzi waanze kutumia vyumba hivyo Pichani Wanafunzi wa kidato cha Kwanza wakisoma risala kwa mgeni rasmi Aidha ameongeza kuwa fedha hizo zinakamilisha ujenzi huo kuanzi kuezeka majengo hayo hadi samani za ndani ambapo kwa sasa chumba kimoja kimefikia hatua ya linta huku chapili kikiwa hatua ya msingi
"2019-05-22T13:12:23"
http://www.radiokwizera.co.tz/2019/03/kanazi-sekondary-yapata-milioni-25.html
[ -1 ]
MANISPAA YA MOROGORO YAPATA HATI SAFI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw .Clifford Tandale ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2015/2016,na kusisitiza uongozi kufanya kazi kwa weredi na kuzingatia miongozo mbalimbali ya Serikali,hali itakayosaidia kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla. Clifford Tandale ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja za hesabu kwa mwaka wa fedha 2015/2016 lililofanyika mkoani hapa na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali,akiwepo Mkuu wa wilaya ya Morogoro Bi Regina Chonjo na Mkaguzi na mdhibiti wa Hesabu wa mkoa wa Morogoro Ndugu Peter Mabwanga. Aidha Katibu Tawala amewataka wakuu wa idara wa Manispaa akiwepo Mweka Hazina Ndg.Mbwana Msangi ,kuhakikisha anawasilisha asilimia 20 kwenye kata kwa lengo la kufanya shughuli za miradi ya Maendeleo kwa wananchi. Naye Mkaguzi na mdhibiti wa Hesabu za serikali wa mkoa wa Morogoro ameeleza kuwa chachu pekee ya kukuza uchumi na kuleta maendeleo kwa taifa ni kila kiongozi kufanya kazi katika misingi inayotakiwa sambamba na kuimarisha ushirikin kati yao. KUMBUSHIO LA ULIPAJI WA KODI YA HUDUMA(SERVICE LEVY),HOTEL LEVY NA KODI ZINGINE. August 03, 2017 TAARIFA YA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI July 25, 2017 MAPOKEZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2017 June 09, 2017 UZINDUZI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI MANISPAA YA MOROGORO TAREHE 28/04/2017 April 25, 2017 TASAF YATOA MIL 16,740,000.00 KWA KAYA MASKINI KATA YA CHAMWINO. WANANCHI WASTAAJABU KAUSHIO LA MBOGAMBOGA KWA KUTUMIA MWANGA WA JUA Nukushi: 0232614727
"2017-08-18T20:17:19"
http://morogoromc.go.tz/new/manispaa-ya-morogoro-yapata-hati-safi-kwa-mwaka-wa-fedha-20152016
[ -1 ]
Serikali Kuboresha Mazingira ya Upatikanaji wa Elimu kwa Watoto wenye Mahitaji Maalum - MTAA KWA MTAA BLOG Home ELIMU Serikali Kuboresha Mazingira ya Upatikanaji wa Elimu kwa Watoto wenye Mahitaji Maalum Serikali Kuboresha Mazingira ya Upatikanaji wa Elimu kwa Watoto wenye Mahitaji Maalum Othman Michuzi February 18, 2019 ELIMU, Serikali imesema kipaumbele kikubwa katika sekta ya elimu kwa sasa ni kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wanakuwa na mazingira salama na rafiki katika mchakato wa kujifunza ili kuwawezesha kupata elimu bora. Kauli ya Serikali imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansina Teknolojia Dkt. Ave Maria Semakafu wakati akifunga mkutano wa kimataifa wa kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Girls Inspire wenye lengo la kuzuia ndoa za utotoni uliofanyika Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu huyo amesema kundi la watoto wenye mahitaji maalum linasaulika hata unapoangalia miradi ya elimu inayoletwa na wafadhili mara nyingi inaangalia matatizo ya mimba au mila kandamizi lakini wanasahaulika, kundi hili ambalo ni wahanga namba moja wa mila hizo kandamizi ambazo zinawakosesha fursa ya kupata elimu. โ€œWatoto wenye mahitaji maalum wanasaulika hata wenzetu wafadhili wanapokuja kuanzisha miradi mara nyingi wanapenda kuongelea mambo ya mimba na mila kandamizi lakini wanasahaulika kwamba kundi hili la watoto wenye mahitaji maalum ambao unapoongelea mila kandamizi wao ni wahanga namba moja haijalishi kama wamepata mimba lakini tumewawekea alama kutokana na maumbile yao โ€ alisemaDkt. Semakafu. Dkt. Semakafu amesema Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansina Teknolojia limeweka kipaumbele kwa kundi hili kwa kuhakikisha miundombinu ya shule ambazo zinachukua watoto wenye mahitaji maalum zinapewa kipaumbele katika kuboreshwa, kununua visaidizi vya watoto wenye mahitaji maalum ili waweze kusoma na kupata elimu yao katika mazingira yaliyoboreshwa na salama. Aidha, amesema kwamba mkaka ti mwingine wa serikali ni kuhakikisha kila mkoa unakuwa na shule maalum kwa ajili ya watoto wenye mahitaji maalum ili kuwezesha kuwalinda watoto bora kama watoto wengineiliwawezekujisaidiakatikamaishayaoyabaadaye. Naye Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Kitengo cha Elimu la Jumuiya ya Madola (COL), Profesa Asha Kanwaramwe ataka washiriki wanaoutekeleza muda huo kutoa chakuutekeleza kwasababu yeyote ile kwani unadabadili maisha ya wasichana wengi nakutaka nchi ishiriki kuimarisha elimu masafa ambayo imekuwa msaada mkubwa kwa wasicha na wanaopata mimba. Mradiwa Girls Inspire unalenga kuzuia ndoa za utotoni unatekelezwa katika nchi za Tanzania, Msumbiji, Bangladesh, India na Pakistani na kufadhiliwa na serikali za Canada na Australia ambapo kwa Tanzania umatekelezwa na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima na Shirika lisilo la Serikali Kiota Women Health and Development, (KIHOWEDE). Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Kitengo cha Elimu la Jumuiya ya Madola (COL), Profesa Asha Kanwaramwe akizungumza wakati wahafla ya kufunga mkutano wa kimataifa wa kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Girls Inspire wenye lengo la kuzuia ndoa za utotoni uliofanyika Jijini Dar es Salaam. (Picha zote na TEW)
"2019-08-23T01:38:36"
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/02/serikali-kuboresha-mazingira-ya.html
[ -1 ]
#luku Hashtag Instagram #luku photos and videos HOUSE FOR RENT. APARTMENT โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ DATE : LISTED 07 / 04 /2020 ASKING PRICE. TSHS 800.000 /= LAKI 8 TERMS OF PAYMENT. MIEZI 6 DIRECTION: MSASANI โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ NYUMBA NZURI YA KISASA YENYE ___ 2bedroom. 1bedroom is self #CONTAINED #SitingRoom #Diningi #KITCHEN nzuri la #kisasa lenye #makabati #public toilet full Tiles Gypsum #Aluminium windo Cars parking #Space #Fenced #Maji yapo ya dawasco 24Hrs #LUKU ya #kujitegemea . #parving #Block . Full Air. Condition โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ CONTACT ๐Ÿ“ถ0768046426 WhatsApp โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ NDUGU MTEJA UKIIPENDA HII NYUMBA PIGA SIMU MOJA KWA MOJA UKI COMMENTE UTACHELEWA KUJIBUWA KWA WAKATI ________________________________________________________________________ __________ # 0718888902 # 0768046426 _ namba ya WhatsApp # 0769104811 #0785127622 APARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MBEZI MWISHO KIMARA MPIJI MAGOHE ______________ APART NZURI YA KISASA ____________ YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimmoja ni #Master yenye #Sebule kubwa #daining kubwa #Jiko lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ___________________ ZIKO 2 KTK COMPOUND 1 _______________ KODI TSHS LAKI 200,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalalidavid ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA: 0716914131 mbabe APARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-BOKO BEACH ______________ APART NZURI YA KISASA ____________ YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba viwili vikubwa vya kulala kimmoja ni #Master yenye #Sebule kubwa #Jiko lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ___________________ ZIKO 4 KTK COMPOUND 1 _______________ KODI TSHS LAKI 500,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalalidavid ___________________ KWA MAWASILIANO 0716914231 mbabe APARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-SINZA "A" MLIMANI CTEY ______________ APART NZURI YA KISASA ____________ YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimmoja ni #Master yenye #Sebule kubwa #daining kubwa #Jiko lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ___________________ ZIKO 3 KTK COMPOUND 1 _______________ KODI TSHS LAKI 650,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @dalalidavid ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA:- 0716914131 mbabe #AD FURNISHED MASTER BEDROOM INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-SINZA KWA REMMY _______________ NZURI YA KIBACHELA ________ SIFA ZAKE:- Chumba kimoja tu kikubwa cha kulala ambacho ni #Master chenye #Kitanda #Tv #Kabati la nguo #Meza na #Viti vyake #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku ya kushare #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedAppart _____________ KODI TSHS LAKI 150,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 2 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalalimwanamke _________ AMBAPO:- Huduma za #Maji x #Takataka + #Ulinzi vyote hatolipia tena viko included ktk kodi itakayolipwa kasoro #Umeme tuu ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA:- +255-684808232 +255-768914118 ______________ KWA #MATANGAZO + #PROMO ZA KIBIASHARA WhatsApp no +255-718936416 ____________________ PIA TUNAHAMISHA VITU, KUFANYA USAFI WA NYUMBA, KUBEBA NA KUSAFIRISHA MIZIGO AINA YOTE NDANI/NJE YA NCHI #MoveSafewithus ๐Ÿšš @Dalalimwanamke_movingservices ________ 4 THE BEST MC Follow @MCMtaenjoy ๐ŸŽค #VYUMBA_VIWILI INAJITEGEMEA-INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MBWENI-JKT ____________ KUBWA YA KIFAMILIA __________________ INATIZAMA, RAMI, HAUKANYAGI, VUMBI KODI TSHS LAKI 500,000/=KWA MWEZI ______________ MALIPO YA MIEZI 6 ___________________ ______ YENYE:- Vyumba vitata #vikubwa vya kulala #chumba kimoja ni #Master #Sebule kubwa #Jiko zuri lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya ndani public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #fullAc #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs unajitegemea Cars #Parking Space ipo #FencedApart ๐Ÿ™๐Ÿ’• PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @dalalimbezibeach_chiefmtalaam โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ CONTACT #0718642245Whatsapp #0718642245Whatsapp Whatsapp @dalalimbezibeach_chiefmtalaam #VYUMBA_VIWILI APART /VILLA INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-BUNJU (A ) MWANZONI ________________ APART NZURI YA KISASA (KILA MTU NA GETI LAKE ) ____________ KUBWA YA KIFAMILIA __________________ KODI TSHS LAKI 500,000/=KWA MWEZI ______________ MALIPO YA MIEZI 6 ___________________ ______ YENYE:- Vyumba viwili vikubwa vya kulala #chumba kimoja ni #Master #Sebule kubwa #Jiko zuri lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya ndani public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #fullAc #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs unajitegemea Cars #Parking Space ipo #FencedApart PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @dalalimbezibeach_chiefmtalaam โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ CONTACT #0718642245Whatsapp #0718642245Whatsapp Whatsapp @dalalimbezibeach_chiefmtalaam APARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-SAYANSI ______________ APART NZURI YA KISASA ____________ YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba viwili vikubwa vya kulala kimmoja ni #Master yenye #Sebule kubwa #Jiko lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ___________________ ZIKO 4 KTK COMPOUND 1 _______________ KODI TSHS LAKI 500,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 7 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalali_deco ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA:- +255-716090186 +255-625586874 _______________ KWA #MATANGAZO + #PROMO ZA KIBIASHARA WhatsApp no +255-625586874 _________ APARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MBEZI MWISHO KIMARA MPIJI MAGOHE ______________ APART NZURI YA KISASA ____________ YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba vitatu vikubwa vya kulala kimmoja ni #Master yenye #Sebule kubwa #daining kubwa #Jiko lenye #Makabati #Choo / #Bafu vya public #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ___________________ ZIKO 2 KTK COMPOUND 1 _______________ KODI TSHS LAKI 200,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalali_deco ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA:- +255-716090186 +255-625586874 _______________ KWA #MATANGAZO + #PROMO ZA KIBIASHARA WhatsApp no +255-625586874 _________ Today's #bpintaiwan feature goes to @plant_hui - Congratulations and thank you for sharing with us! โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™•โ™• Location : #ๅ—ๆŠ• #ๅฐ็ฃ | #nantou #taiwan - ๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ–๐ŸŽ– ๆญก่ฟŽๅคงๅฎถ่ธด่บๅˆ†ไบซ่ƒŒๅŒ…ๆ—…่กŒๅœจ่‡บ็ฃ็š„็”Ÿๆดปใ€‚ We welcome you to join us tag @bpintaiwan or #bpintaiwan to share your perspective and information of Taiwan๏ผ - ๅŠ ๅ…ฅๆˆ‘ๅ€‘็š„็ฒ‰็ตฒๅฐˆ้ ๏ผŒไธ€่ตทๅ…ฑๅŒ็ถ“็‡Ÿ้€™ๅ€‹ๅˆ†ไบซๅนณๅฐๅง๏ผ Follow our Facebook page and share your awesome experience in Backpacker in Taiwan - โžก๏ธFB: Backpackers in Taiwan - โžก๏ธIG : Bpintaiwan - #Taiwan #nantou #luku #bp_luku #bp_nantou #bpintaiwan #backpacker #backpackerintaiwan #่ƒŒๅŒ…ๆ—…่กŒๅœจ่‡บ็ฃ #ๅฐ็ฃ #ๅ—ๆŠ• #้นฟ่ฐท #bp_้นฟ่ฐท #ไธ‰็”Ÿ็ทฃ่žข็ซ่Ÿฒๅพฉ่‚ฒๅœ’ๅ€ #bp_ไธ‰็”Ÿ็ทฃ่žข็ซ่Ÿฒ #ๆˆ‘ๆ„›่‡บ็ฃ #๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ผ House 4 rent 1masta bedrom. seatng room Full tiles and gypsum Nets window #fenced No car parkng. #luku mnashea wa3 dawasco water 24 hrs. LocationUbungo.(nyua ya stand ya mkoa ) 3minutes 2main road(mwendokac ). PRice: 170000 Terms 6month. $ servces churg 20000 4more inf 0746936710. *Ucnisumbue 2csumbuae* #VYUMBA_VIWILI ZIKO,(2 )KWENYE-FENCE INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MBWENI- UBUNGO ______________ ZIKO (2 ) NDANI YA FENSI KODI TSHS LAKI 300,000/=KWA MWEZI ________________ ________________ ZIKO(2 )KWENYE-FENCE _____________ YA KIFAMILIA _______ YENYE:- Vyumba viwili vya kulala #kimoja ni #Master #makabati #Sebule kubwa #Dinning #Jiko zuri kubwa lenye #makabati #Choo / #Bafu vya ndani public #Gypsum #Tiles #aluminium #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo #Pavingblocks #FencedHouse ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalalimmeru โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ CONTACT #0679788830 โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ @Dalalimmeru GARAMA YA KUONA HII NYUMBA TSH.20,000 ANGALIZO SITAKI USUMBUFU #AD APARTMENT ZINAPANGISHWA ZIKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-KINONDONI STUDIO ________________ APART MPYA ZA KISASA ____________ ZA KIBACHELA __________ ZINAFANANA _______ @1 INA:- Chumba kimoja tu cha kulala ambacho ni #Master #Sebule , #Jiko #Gypsum #Tiles #Slides #Windows #Umeme upo wa #Luku yake #Maji yapo ya #bomba #24hrs Cars #Parking Space ipo Nje #Pavingblocks #FencedApart ______________ KODI TSHS LAKI 400,000/=KWA MWEZI _________________ MALIPO YA MIEZI 6 ____________ PAMOJA NA MALIPO YA KODI YA MWEZI 1 WA @Dalalimmeru ___________________ KWA MAWASILIANO PIGA:- 0712314638 _______________ KWA #MATANGAZO + #PROMO ZA KIBIASHARA WhatsApp no 0712314638 Top on #luku Precap ๐Ÿ’— #yehrishtakyakehlatahai #yrkkh โค #nairasinghania ๐Ÿ˜˜ #kairavgoenka #tanmayrishi #nairagoenka #kairavnaira #naira #shivangijoshi โœจ #shivinupdates #shivinmoments #shivinkaira #shivangi #mohsinshivangi #11yearsofyrkkh #kairamadeforeachother #mohsinkhan โœจ #luvkhush #kairaupdates #directorscutproduction #dkpyrkkh #shivin #shivinkairamyuniverse ๐Ÿ˜˜ #shivinlovebirds ๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’– #shivimomo ๐Ÿ’• #shilparaizada #alihassanturabi #anmoljyotir #apurvjyotir #luku @shivangijoshi18 @khan_mohsinkhan @tanmayrishi @swatichitnisofficial @niyatijoshiofficial @shilpa_s_raizada @simrankhannaofficial @samir_onkar @alihasanturabi @maazchampofficial @sachintyagioficial @rajan .shahi.543 @vyasbhavna @gdimri @romeshkalra @directorskutproduction @starplus @abdulwaheed5876 @yashoda .joshi.33 @anmolljyotir07 @apurvjyotir @dhami_diksha09 ใƒใƒ—ใƒ‹ใƒณใ‚ฐใ ใ‚‰ใ‘ใฎๆ—ฅใงใ—ใŸใ€‚ ใƒป ใƒป ใƒป #luku Enjoy each moment.๐Ÿšฅ๐Ÿšฅ๐Ÿ’จ #havefun , #kenyamodelsforum , #10over10 , #trendingindonesia , #wajinganyinyi , #wajingasisi , #kingkaka , #gains , #repost , #noma , #sondeka , #luku , #trendinkidz , #finessefishing , #naivashasopalodge , #likeforlikes , #loveyourself , #mangonada , #gaintrick , #gaintrick ...cc @lyrics_photography .254 , @thee_pluto ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ‡บ ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ช FOR ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡น APARTMENT โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ DATE LISTED: 30 Aug 2019 ASKING PRICE: LAKI 4 TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6 DIRECTION: TABATA KINYEREZI โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #2Bedroom 1bedroom is self CONTAINED #SittingRoom #Diningi #Tiles #Gypsum #Aluminium windo #Car parking #Fenced #KITCHEN #Garden #Publictoilet #Luku yako #Maji #Parving block โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #FORrentmkombozi CONTACT #0713355443 #0789279416 whats app โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ KWA MATANGAZO YA BIHASHARA YOYOTE KAMA:---- #SCHOOL #OFFICE #HOTEL #LODGE #BAR #SALOON #DUKA #MAGARI ...NK Call 0713355443 Wacha nifinnese๐Ÿ˜‚โ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธlulu fest was amazing,๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฃ๐Ÿ’ฃ #luku #lukufestival #seagull ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ‡บ ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ช FOR ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡น APARTMENT โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ DATE LISTED: 22 / 12 / 2019 ASKING PRICE: $ 800 TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6 DIRECTION: UPANGA โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #3Bedroom 2bedroom is self CONTAINED #SittingRoom #Diningi #Tiles #Gypsum #Aluminium windo #Swimming Pool #Air condition #Car parking #Fenced #KITCHEN #Garden #Publictoilet #Luku yako #Maji #Parving block โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #FORrentmkombozi CONTACT #0713355443 #0789279416 whats app โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ KWA MATANGAZO YA BIHASHARA YOYOTE KAMA:---- #SCHOOL #OFFICE #HOTEL #LODGE #BAR #SALOON #DUKA #MAGARI ...NK Call 0713355443 ๐Ÿ–ค We canโ€™t get enough of our new tile (NEW-001 ) All in stock to take away today. Call us on 01642 606505 or DM us for more info! #tiles #interiordesign #design #tile #bathroom #architecture #homedecor #interior #ceramic #kitchen #bathroomdesign #flooring #tiledesign #floor #gypsum #walltiles #renovation #maji #home #tilestyle #luku #marble #floortiles #construction #mosaic #art #interiors #tilesetter #decor #bhfyp ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ‡บ ๐Ÿ‡ธ ๐Ÿ‡ช FOR ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡น INAJITEGEMEA โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ DATE LISTED: 16 / 11 / 2019 ASKING PRICE: LAKI 6 TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6 DIRECTION: GOBA โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #3Bedroom 1bedroom is self CONTAINED #SittingRoom #Diningi #Tiles #Gypsum #Aluminium windo #Car parking #Fenced #KITCHEN #Garden #Publictoilet #Luku yako #Maji โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ #FORrentmkombozi CONTACT #0713355443 #0789279416 whats app โ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒโ–ƒ KWA MATANGAZO YA BIHASHARA YOYOTE KAMA:---- #SCHOOL #OFFICE #HOTEL #LODGE #BAR #SALOON #DUKA #MAGARI ...NK Call 0713355443 And just like that....Stress and frustration turns into happiness and appreciation ๐Ÿ˜Œ Excited to finish this off ๐Ÿ™Šโœจ #bathroomtiles #luku #porcelaintiles #porcelain #ihavethisthingwithtiles #parking #bathroomdecor #luxury #decoration #stone #tilefloor #handmade #architect #madeinitaly #interiordesigner #tilesetter #mosaic #tileshop #bathrooms #building #designer #cementtiles #instagood #tilework #umeme #kitchendesign #jiko #tileshower #house #floortile
"2020-04-07T07:46:50"
https://picmehd.com/htag/Luku
[ -1 ]
Machafuko Zimbabwe baada ya madai kuwa kura za mwaniaji aliyeungwa mkono na Mugabe ziliibwa โ–ท Tuko.co.ke Machafuko Zimbabwe baada ya madai kuwa kura za mwaniaji aliyeungwa mkono na Mugabe ziliibwa Maoni: 1178 -Mwanamume mmoja alipigwa risasi na kufariki wakati polisi walipokuwa wakikabiliana na waandamanaji -Polisi walikashifiwa kwa kutumia risasi za kweli kuwatuliza waandamanaji hao -Mwaniaji wa chama cha Movement for Democratic Change (MDC) Nelson Chamisa alidai kura ziliibwa na kunyima ushindi -Kuna dalili kuwa chama tawala, ZANU-PF kimeshinda viti vingi vya ubunge -Tume ya uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) ilifichua kuwa Rais Emmerson Mnangagwa wa ZANU-PF alielekea kushinda kiti cha uraia baada ya chama chake kushinda viti 109 vya ubunge Taharuki imetanda nchini Zimbabwe kutokana na ghasia zilizoshuhudiwa Jumatano, Agosti 1 baada ya mwaniaji wa kiti cha urais wa upinzani Nelson Chamisa kudai Jumatatu, Julai 20 kuwa kura ziliibwa kumfaa Rais Emmerson Mnangagwa. Kulingana na matokeo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi nchini humo (ZEC), Mnangagwa wa chama tawala cha ZANU-PF alielekea kushinda uchaguzi huo baada ya chama chake kushinda viti 109 kati ya viti 210 vya ubunge. Afisa wa polisi nchini Zimbabwe wakati wa maandamano ya raia kulalamikia matokeo ya uchaguzi mkuu, Mtu mmoja alifariki kwa kupigwa risasi. Picha: Facebook/ Gilbert Navonika Tume ya uchaguzi Jumatano, Agosti 1 ilisema kuwa chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change (MDC) kilishinda viti 41 huku matokeo ya viti 58 yakiwa hayajatangazwa, Aljazeera iliripoti. โ€œTunafurahia matokeo kufikia sasa. Inaonyesha raia wa Zimbabwe wanaiamini ZANU-PF kuwaongoza na tutafanya kila tuwezalo kutimiza matawakwa ya waliotuchagua,โ€ Nick Mnangagwa ambaye ni msemaji wa ZANU-PF alisema. Mnangagwa alisema kuwa chama tawala kilihitaji kushinda viti vingine 30 ili kupata thuluthi mbili ya kura itakayoiruhusu kubadilisha katiba. Hata hivyo, upinzani ulidai kura ziliibwa kuipendelea ZANU-PF ambayo imekuwa mamlakani tangu taifa hilo lilipojinyakulia uhuru mwaka wa 1980. โ€œMatokeo hayo ni mzaha kujaribu kuiandaa Zimbabwe kwa uchaguzi ulioibwa. Ikiwa Rais Chamisa atashinda uchaguzi huu, basi watu wa Zimbabwe watakuwa na serikali yao,โ€ Nkululeko Sibanda ambaye ni msemaji wa MDC alikariri. Taharuki imetanda katika makao makuu ya chama cha upinzani huku mamia ya wafuasi wao wakikusanyika nje ya ofisi hizo wakidai kuwa uchaguzi huo ulikumbwa na udanganyifu. โ€œMatokeo hayo hayajaonyesha jinsi watu walivyopiga kura. Wamebuni takwimu ambazo sio halisi. โ€œSina furaha kwa kuwa kwenye kituo nilichopigia kura, watu wengi walipigia kura MDC lakini matokeo yaliyotangazwa hayakuonyesha matakwa ya watu. Hatutakubali kushindwa,โ€ Samson Chikazhe ambaye ni mwanachama wa MDC alisema. Kwa upande wake, ZANU-PF ilikana madai ya kugeuza takwimu za kura huku maandamano yakiendelea jijini Harare. โ€œHakuna kura zilizoibwa na upinzani itagundua hilo wakati hali itakapotulia. Watu walionyesha matakwa yao,โ€ Mnangagwa aliongeza. Mchanganuzi wa maswala ya kisiasa wa taasisi ya demokrasia ya Zimbabwe (ZDI) Pedzisai Ruhanya alisema kuwa matokeo yaliyotangazwa yanaweza kuwa yanaonyesha matakwa ya raia lakini sio kamilifu. โ€œInaonekana kuwa kufikia sasa, matakwa ya watu imeonekana, hasa katika maeneo ya mashambani waliotaka kuongozwa na ZANU-PF, lakini kuna maswala tata kuhusu jinsi ZEC ilivyoendesha uchaguzi na maswala hayo yanastahili kutatuliwa ikiwa uchaguzi huo unalenga kuipa nafasi serikali mpya kwa utulivu, au sio kutakuwa na kutoaminiana na kutoridhika kati ya watu wanaoishi mijini,โ€ Ruhanya alisema. Uchaguzi huo ulikuwa wa kwanza kwa Zimbabwe tangu Rais Robert Mugabe aondoke ofisini mwaka wa 2017. Kinachosubiriwa ni kuona ikiwa chama cha upinzani kitakubali matokeo yatakapotangazwa. Upinzani imesema kuwa ina matokeo yake inayoonyesha kuwa Nelson Chamisa alishinda uchaguzi huo. Uchaguzi wa urais utaandaliwa Jumamosi, Septemba 8 ikiwa mwaniaji mmoja wa urais hatapata zaidi ya asilimia 50 ya kura. Zaidi ya raia milioni tano wa Zimbabwe walishiriki kwenye uchaguzi huo mkuu. Tume ya uchaguzi nchini humo ilisema kuwa asilimia 1.3 ya wapiga kura hawakupiga kuwa kwa kuwa waliwasilisha nyaraka zisizofaa kwenye vituo vya kupigia kura. Kwenye ukurasa wake wa Twitter, Rais Mnangagwa aliwaonya wafuasi wake dhidi ya kutoa matamshi yatakayochochea chuki za kisiasa. Wedding gowns in Kenya and their prices TSC teachers replacement list DStv packages Kenya Pepino melon Vera Sidika net worth
"2018-10-16T02:23:47"
https://kiswahili.tuko.co.ke/281570-machafuko-zimbabwe-baada-ya-madai-kuwa-kura-za-mwaniaji-aliyeungwa-mkono-na-mugabe-ziliibwa.html
[ -1 ]
๏ปฟ IBYO UTARI UZI KURI DAVID HIMBARA N'UKO YAJE KUBA UMUJYANAMA WA PEREZIDA KAGAME - RUSHYASHYA You are at :HomeยปITOHOZAยปIBYO UTARI UZI KURI DAVID HIMBARA Nโ€™UKO YAJE KUBA UMUJYANAMA WA PEREZIDA KAGAME Editorial 09 Jun 2016 ITOHOZA Aho yahashinze ishyirahamwe ryitwa โ€œSolidarityโ€. Mu gihe Inkotanyi zaharaniraga guhamagara urubyiruko rwo muri Canada kwitabira urugamba, Himbara we yari ahugiye gushaka urubyiruko rufasha ANC kurwanya ingoma y aba gashabuhake. Ibi ntabwo yabigezeho na gato kandi byagaragaje amafuti ye nโ€™inda nini.
"2019-11-18T05:50:34"
https://rushyashya.net/ibyo-utari-uzi-kuri-david-himbara-nuko-yaje-kuba-umujyanama-wa-perezida-kagame/
[ -1 ]
Kikuichi Kasumitogi 9.4 in. (240mm) Yanagi | knifemerchant.com Home > Knives > Kikuichi > Kikuichi White Steel 9.4 in. (240mm) Yanagi
"2015-01-28T18:13:36"
http://www.knifemerchant.com/product.asp?productID=7705
[ -1 ]
Siri za kufanikiwa kupitia kwa Bwana! | NEW HOPE MINISTRY โ† New Hope Ministry (NHM) tutakuwa na mkutano Mwanza Feb.2014 Rose Mhando kuimba tamasha la christmas 25 dec.2013 uwanja wa taifa Dar โ†’ Siri za kufanikiwa kupitia kwa Bwana! Posted on November 20, 2013 by New Hope Ministry karibuni tena katika kituo chetu cha neno la Mungu ili tujifunze pamoja, jina langu ni Moses Mayila. Leo tutajifunza kuhusu somo tajwa, โ€˜SIRI ZA KUFANIKIWAโ€™ Unajuwa kula kitu kina siri zake, na kila utawala unasiri zake, waliokuwa askri wanaweza kunielewa vizuri. kama ikitokea askari akatekwa vitani cha kwanza atakachoulizwa ni siri za jeshi la nchi yake. maana siri ndo kitovu cha mafanikio. vivyo hivyo Mungu naye katika ufalme wake kunasiri ambazo ameziweka ili mtu akizijua ni lazima atafanikiwa. Moja ya siri kuu kabisa katika zote ni UTII MBELE ZA MUNGU, yapili ni KUSAMEHE WALIOKUKOEA, ya tatu ni UTOAJI, na yanne ni MAOMBI. Leo tutaanza na hii ya UTII MBELE ZA MUNGU, nadhani wengi wetu tunafahamu wazi kabisa kwamba Mungu huwapa neema wanyenyekevu na pia huwapinga wenye kiburi! (1petro:55) hivyo kama ukimtii Mungu utakuwa na nafasi kubwa ya kupokea neema ambayo ni kwajili ya wanyenyekevu wake! hebu tuangalie vifungu hivi. Luka:5-8 4 Hata alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki. 5 Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. 6 Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; 7 wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, waje kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. 8 Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini pa Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana. Hapa tunaona kuwa Simon alifanya kazi usiku kucha lakini hakupata kitu, na tukiangalia saikolojia ya kauli aliyoitumia kumjibu Yesu inaonyesha wazi kuwa Simon alijua kuwa hata kama akizamisha zile nyavu hadi kilindini lakini hataambulia kitu. Ila kwa kumtii Yesu alilazimika kutweka nyavu vilindini, lakini dhamira ya Simon haikuwa kupata samaki ila ilikuwa kumtii Yesu. maana anasema โ€œTumekesha usiku kucha hatukuambulia kitu, ila kwa neno lako nitatwekaโ€ hii ni kauli iliyokwisha kata tamaa. Yawezekana na wewe umekuwa kama Simon, umejaribu sana kutafuta mlango wa kuyakomboa maisha yako lakini haijawezekana, umefika hatua umechoka kama alivyokuwa amechoka simon kwa kazi ya usiku kucha na asipate kitu. pengine umetafuta sana kupata mtoto, kazi, mtaji, au elimu. Lakini mambo yanakwenda kinyume na ulivyotarajia! umefika hatua umekata tamaa kama Simon. Usikate tamaa bado unayo nafasi ya kupata kile unachokihitaji, Yesu anataka kuona utii wako, kisha ukishamtii utaona matokeo ya ajabu. Simon kama angelikataa kutweka nyavu, asingepata kitu, lakini alipokubali alipata samaki wengi ambao alishindwa kuwabeba peke yake, hata mtumbwi wake ulishindwa kubeba akalazimika kuomba msaada kwa majirani ili wamsaidie kubeba samaki wake! Hebu tii kile ambacho Mungu anakuambia kufanya, unajua kunawakati Mungu huongea na wewe akikutaka ufanye kitu ili mlango wa mambo yako ufunguliwe, lakini bahati mbaya sana huwa hujuwi kama Mungu anaongea na wewe. na siku zote kama Mungu akikusemesha halafu usijue kama ndiye anenaye nawe huwa ananyamaza kimya hatendi jambo lolote. angalia (1Sam. 3:1-8) utaona Mungu alikuwa akimwita Samwel ili azungumze naye lakini samwel alidhani kuwa alikuwa akiitwa na Eli babaye. Mungu alikaa kimya mara tatu, hadi pale Samwel alipotambua kuwa amwitaye siye Eli bali ni Mungu ndipo Mungu akasema naye! Na Mungu anapokwambia jambo si lazima lifanane na jambo lingine ambalo limewahi kutokea kwenye biblia, maana Mungu husema na maisha ya mtu yeye kama yeye. hata kama ukiangalia kwenye biblia kila mtu aliagizwa kufanya mambo yake ambayo haya kufanana na ya wengine. Isaya aliambiwa avue nguo atembee uchi kama ishara ya kwamba Israel watakuwa uchi, Hosea aliambiwa akaoe kahaba tena kinyume cha sheria ili iwe ishara ya kwamba hao si watu wa Mungu na wala Bwana hawapendi. Unajua Mungu huwa ananjia nyingi sana za kusema na watu wake, anaweza akasema kwa upole sana, anaweza akasema kwa sauti inayokuja ndani ya moyo wako kama mawazo walakini sio mawazo ila yanakuwa na msisitizo, anaweza akasema kwa ukali sana, anaweza akasema kwa utisho sana, anaweza akasema kwa ndoto. na nilichogundua ni kwamba Mungu anaongea na watu wengi sana katika kizazi hiki kwa njia ya mawazo na ndoto, lakini wenyewe hawamtambui! ningekuwa nafundisha somo la jinsi ya kumsikia Mungu tungeangalia kwa kina katika hili! kwa hiyo Mungu husema karibu na kila mtu amtafutaye! ndo maana utakuta uliota ndoto miaka titatu iliyopita lakini bado ile ndoto haijatoka kichwani. ndoto mpya zinakuja na kuzisahau mara baada ya siku moja tu, lakini ile bado ipo kichwani hadi leo, ifuatilie inaujumbe wa muhimu sana ndani yake. Kama tulivyoona tabia za Mungu kuwa husema na mtu kwa namna tofauti. Kwa hivyo wewe usianze kuutafakari ujumbe wa Mungu uliokuja ndani yako ukidhani kuwa haujatoka kwa Mugu, eti kwa sababu hauendani na biblia, Mungu atanyamaza kimya hatasema tena na wewe mpaka pale utakapotambua kuwa yeye ndiye anayesema na wewe. Hivyo Mungu akikwambia fanya usiwe mbishi, bali fanya kama Simon, hata kama kile anachokwambia kufanya ndicho hichohicho ambacho ulifanya na hukufanikiwa fanya tena maana kina nguvu ya Mungu ndani yake, ulipokuwa ukifanya wewe hakikuwa na nguvu ya Mungu lakini sasa kimekuwa na nguvu ya Mungu ndani yake maana Bwana anasema fanya! unaweza kuwa unasikia msukumo kutoa sadaka kwa mtumishi flani, au kwa mtu flani asiyekuwa mtumishi, pengine anaweza kuwa hata si mcha Mungu. usianze kushindana na huo msukumo, chukua hatua upesi, maana muda huo Mungu anakuwa ameshilikia ufunguo kuachilia Baraka za ajabu juu yako! Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Simon, alikesha usiku kucha akitafuta samaki lakini hakupata, yesu alipokuja kwake akamwambia kufanya tendo lile lile alilokesha akilifanya, simon hakuanza kubisha wala kujihoji ndani yake bali alifanya moja kwa moja, pamoja na kwamba alikuwa amechoka sana lakini alijikaza, na mara akapata samaki wengi sana. Jifunze kumtii Mungu ili upate mafanikio yako upesi. Bwana akushike mkono. Ev.Moses mayil: NHM-Senior 2 Responses to Siri za kufanikiwa kupitia kwa Bwana! Amina,nimebarikiwa na somo. annajoyce nolasco kagombora says: vipengele vingine vya siri ya mafanikio bado hujavielezea tunatamani kujifunza yote
"2018-06-20T21:18:56"
https://mosespk.wordpress.com/2013/11/20/siri-za-kufanikiwa-kupitia-kwa-bwana/
[ -1 ]
Kwa moyo wote | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Pdidy, Jul 15, 2011. [h=3]Kwa moyo wote! Sababu za kuwa na migogoro kati ya mume na mke mara nyingi ni kwa sababu wanaume hawawaelewi kabisa wanawake (donย’t understand) na wanawake wanawaelewa vibaya wanaume (misunderstand).โ€‹Kibaya zaidi wanaume mara zote huendelea kufanya kinyume na vile wanawake wanategemea wawafanyiwe na waume zao. โ€‹Na wanaume nao wanawashangaa wanawake namna wanavyobadilika kila mara kwani unaweza kumkuta mke dakika moja yupo na furaha na kicheko na baadae kidogo anajikunyata na kuhuzunika na wanaume huwaona wanawake ni viumbe wa ajabu sana chini ya jua.โ€‹โ€‹Linapokuja suala la kutafuta mpenzi (mume mtarajiwa) wanawake wanatabia ya kumkubali na kumshika mwanaume mzima mzima. Na hutumia akili kuhakikisha anamnasa hata kwa kujipitisha sehemu au njia ambazo anaamini anaweza kukutana naye. โ€‹Kama anajua mwanaume yule hupatikana maeneo fulani na anampenda basi hujipeleka hilo eneo ili wakutane ili iwe coincidence fulani. โ€‹Atasubiri hako kanafasi ili wakutane ghafla. โ€‹Mwanamke hutumia njia ya hisia anapoingia kwenye suala la mapenzi na kuwa karibu na kifua chake (moyo) si mwonekano kama wanavyofanya wanaume.โ€‹โ€‹Kawaida mwanaume huchelewa sana kufungua moyo kwa mwanaume na akishaufungua huufungua kwa asilimia 100 na akimpenda huyo mwanaume (fall in love) basi huwekeza kila kitu maishani mwake kwa ajili ya โ€‹[/h] NAMNA WANAUME HUCHEMKA WAKATI WA KUSAKA MPENZIโ€‹Kwa kuwa wanapenda urembo, sura na mwonekano wa nje kwa mwanamke na huamini kwamba kwa kuwa huyu mwanamke (dada) ni beautiful lazima atakuwa na tabia njema, mwelewa, mvumilivu, amelelewa vizuri na mwema na wanajisahau kufahamu sifa za mwanamke ambaye anafaa kwa mahusiano (sifa na mitazamo ya mwanamke), matokeo yake wanaume huchanganya upendo na tamaa (love/lust). Matokeo yake hutumia muda wao na nguvu zao kusherehekea urembo wa mwanamke badala ya kuchunguza sifa za ndani ambazo pia kazi yake ili kufahamu ni ngumu au huchosha. Akili yake inamtuma kumpa kwanza huyo mrembo na baadae atafahamu tabia yake.โ€‹โ€‹In dating game, men are usually disaster!โ€‹โ€‹Unaweza kusoma hapa chini kwa maelezo zaidiโ€‹ [h=3]Ndivyo Walivyo![/h] Wanaume hawapo interested in losing battle. โ€‹Wapo trained kushindwa na wasipo shinda kama timu basi angalau yeye binafsi awe na sifa inayoonesha alikuwa tofauti.โ€‹Wanaume wanapotazama sport yoyote let say Soka, mood hubadilika kutokana na matokeo. โ€‹Kama mume wako ni shabiki ya timu fulani (iwe Yanga, Simba, Arsenal, Man U, Liverpool nk) siku timu yake kufungwa unajua na siku ikishinda unajua na kuna tofauti kubwa katika mood.โ€‹โ€‹Hata hivyo hiyo attitude ya ku-win ina uhusiano mkubwa sana na ndoa yake.โ€‹Mke anayemfanya mwanaume kujiona failure na loser nyumbani kwake humpa wakati mgumu sana mume wake kwani huharibu kabisa utu wake (ego) kiasi ambacho ni hatari sana kwa mahusiano yao ya ndoa.โ€‹Mwanaume akishajisemea moyoni sentensi ifuatayo ย“I feel I canย’t win no matter what I doย” basi mwanamke inabidi ajipange upya.โ€‹โ€‹Kinachotokea kwa huyu mwanaume ni kujiweka kwenye kibox chake na kuwa mbali na mwanamke kihisia na mke hujisikia mume yupo unloving na ndipo mgogoro huanza.โ€‹โ€‹Mwanamke anayempokea mume kwa uso wa huzuni na hasira na maneno mengi ya kusemana na kulalamika (kefyakefya) bila kumpa hata dakika kadhaa apumzike au kama kila siku akirudi nyumbani jioni anakutana na kasheshe kutoka kwa mke, mwanaume hujiona ni loser na failure na atafanya kila analoweza kukwepa kurudi mapema nyumbani.โ€‹โ€‹ย“When a man canย’t win at home, he will start looking to win somewhere elseย”โ€‹Pia wapo wanawake huwatuhumu mno waume zao (too much suspicious) kiasi cha kusababisha mume kujisikia haheshimiwi na matokeo yake mwanaume huamua kufanya kweli kwa kufanya kile mke anamtuhumu.โ€‹ย“Why go lengths to avoid cheating if my wife is going to think I am cheating?ย”โ€‹Kama haheshimiwi nyumbani basi ataanza kutafuta ne game ambayo itamfanya kujiona anaheshimiwa.โ€‹โ€‹Jambo linaloleta matumaini ni kwamba:โ€‹Mume anapojisikia ana win nyumbani kwake atajitahidi kufanya kila anachoweza kum-please mke wake hapo nyumbani.โ€‹Hii ina maana mke anayempa mume wake respect, appreciation na loving gesture basi atamwezesha mume kufanya kazi kwa kujituma na atakuwa sensitive kutimiza mahitaji ya mke wake kimwili na kiroho.โ€‹ In dating game, men are usually disaster! Unaweza kusoma hapa chini kwa maelezo zaidi
"2017-01-19T19:29:38"
https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-moyo-wote.155114/
[ -1 ]
Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi | Gazeti la Jamhuri Home ยป Sitanii ยป You are reading ยป Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi Jamhuri December 23, 2015 Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi2015-12-23T10:10:01+00:00 Sitanii Nikiwa hapa mkoani Morogoro, nimesikia tangazo la Baraza la Mawaziri. Itakumbukwa kuwa mara kadhaa nimesema na nimeendelea kuamini kuwa Profesa Sospeter Muhongo alistahili kurejeshwa katika Wizara ya Nishati na Madini. Si Muhongo tu bali hata Katibu Mkuu aliyeondolewa, kisha akapangiwa kazi ya Ukatibu Tawala Manyara, Eliakim Maswi, naye bado naamini anapaswa kurejea Nishati na Madini. Ninazo sababu za msingi. Siwapendi watu hawa kwa sababu tu ni watani zangu, la hasha. Nimeangalia, na Watanzania tu mashahidi, kwamba wawili hawa kwa kipindi kifupi walichoshikilia wizara hii tulishuhudia mambo mengi. Kwanza tulipata fursa ya kufahamu kuwa nguzo zilikuwa zinatengenezwa Iringa, zinapelekwa Kenya kisha zinarejeshwa nchini ikidaiwa zimetoka Afrika Kusini. Si hilo tu, Mtanzania wa kawaida kuomba kufungiwa umeme nyumbani kwake ilikuwa ni adhabu kabla yao. Profesa Muhongo ameshusha gharama za kufunga umeme kwa watu wa vijijini hadi Sh 27,000. Wala hoja siyo kushusha bei tu, nguzo zilisambazwa kweli, watu walifika mahala wapo nyumbani wanafungiwa mita na umeme unawashwa hata kabla hawajalipa hata senti tano. Leo, tangu Muhongo na Maswi waondoke wizarani hapo, tumeshuhudia mgawo wa umeme, nguzo zilizomwagwa chini huko Tandahimba, Rulenge Ngara, Himo Moshi, Dodoma na maeneo mengi ya nchi hii sasa zinaozea chini. Kauli za watendaji wa Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO) zimerejea palepale. Watendaji wameanza kudengua. Ukiomba umeme utafikiri hutalipia. Sitanii, naifahamu kauli aliyotoa Profesa Muhongo na msigishano uliokuwapo kati yake na Mwenyekiti wa Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi. Wawili hawa walisigishana katika mtazamo wa nani anapaswa kuwekeza katika mafuta na gesi. Wakati Profesa Muhongo alikuwa na hoja kuwa gharama za uwekezaji ni kubwa, Mengi alikuwa na hoja kwamba wazawa wanapaswa kushirikishwa katika uchumi wa gesi. Binafsi huipenda misigishano ya aina hii kwani mwisho wa siku huzaa matunda. Tumemsikia Rais John Magufuli akisema atawawezesha wazawa kushiriki katika uchumi wa gesi. Naamini Profesa Muhongo kwa kukubali uteuzi wa Rais Magufuli ambaye amenuia kuwezesha wazawa, naye amekubaliana na hoja ya wazawa kupewa fursa ya kuwekeza katika mafuta na gesi. Napenda kuamini kuwa wagombanao ndiyo wapatanao. Sidjani kama Mwenyekiti Mengi ataendeleza kinyongo. Kwa kuwa hoja yake alikuwa akiisema wazi na si kwa kificho, kuwa sera ya kuwezesha wazawa ya mwaka 2004 itekelezwe kwa vitendo, binafsi nataka kuona Serikali hii ikiitekeleza sera ya uwezeshaji. Sera hii inawapa fursa wazawa kushiriki katika miradi mikubwa. Kufanya hivyo wala haitakuwa ubaguzi. Nchi kama Afrika Kusini akifika mwekezaji asilimia 40 ya mradi wowote lazima iwe ya wazawa. Kama hakupata mzawa wa kuungana naye ni wazi mradi huo hautatekelezeka. Watanzania hawakufanya kosa kuzaliwa nchini Tanzania, nchi yenye rasilimali nyingi. Tusiruhusu wageni kuja kuchuma na kuondoka. Kuna faida nyingi tukiwezesha wazawa kushiriki katika miradi hii mikubwa. Fedha zao zitakuwa zinakaa katika benki za ndani tofauti na wageni wanaodhani wakati wowote kinaweza kunuka na hupendelea kuhifadhi fedha zao ughaibuni. Tanzania haiwezi kujivunia kuendelea kuwa ya Watanzania maskini. Serikali inapaswa kuwezesha watu wake kwa maana kwamba Watanzania wakiwa na uwezo kifedha watalipa kodi. Sitanii, kwa muktadha huo, naamini Mzee Mengi na Profesa Muhongo watakubali busara za wahenga kuwa wagombanao ndiyo wapatanao. Hatutakuwa na miaka mingine mitano ya malumbano, badala yake watashirikiana na kwa mwongozo alioutoa Rais Magufuli tutawaona wakizindua miradi ya wazawa โ€“ iwe kwa njia ya ubia au uwekezaji wa kujitegemea. Nimesikia maneno ya hapa na pale juu ya Profesa Muhongo. Naamini naye amewasikia Watanzania wanaosema ni mbabe, bila shaka atawaeleza ukweli, atachapa kazi, umeme wa kutosha utapatikana na atawapa fursa Watanzania sawa na alivyowezesha vijana wengi wa nchi hii kwenda masomoni nchi za nje kujifunza masuala ya gesi na mafuta. Nimeliangalia pia Baraza la Mawaziri lililoteuliwa. Niseme sina matatizo na Baraza hili isipokuwa baadhi ya mawaziri wawe macho kwani wizara walizotangulia kushika waliacha majipu, hivyo wakihamishia majipu hayo katika wizara walizopewa itakuwa shida. Balozi Augustino Mahiga ni mtaalam aliyebobea katika masuala ya diplomasia. Ikumbukwe kwa muda mrefu amekuwa mwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN). Alikuwa mwakilishi wa Katibu Mkuu katika Umoja wa Mataifa. Ni kiongozi asiye na tamaa. Huyu amekuwa mtumishi wa kweli katika nyanja za kimataifa na hana migogoro na watu. Nape Nnauye, amekabidhiwa wizara inayoshughulikia masuala ya habari. Binafsi najua watu wengi wanavyomfikiria Nape yule wa majukwaani akiitetea CCM, ila Nape ni rafiki wa vyombo vya habari. Mara kadhaa amekuwa akitembelea vyombo vya habari, akibadilishana mawazo na wanahabari utadhani yeye ndiye aliyekuwa Waziri wa Habari. Sioni fahari kumzungumza mtangulizi wake, Dk. Fenella Mukangara, ambaye zaidi ya TBC sina kumbukumbu alipata kutembelea chombo kipi cha habari. Waziri huyu alijikita katika mapambano na vyombo vya habari. Vyombo vya habari ni Muhimili wa Nne wa Dola na ni rafiki wa wasio waovu. Sikupata kuelewa kwa nini mama huyu alivichukia vyombo vya habari kiasi hicho. Nape naamini ataushinda mtihani huu. Sidhani kama napaswa kusisitiza zaidi juu ya Profesa Muhongo. Huyu utendaji wake hauna mfano. Amejipambanua na wengi. Anatekeleza anachokiamini na moja tu, ambalo Rais Magufuli amemwambia litekelezwe ni hili la kuwezesha si tu wachimbaji wadogo, bali hata wa kati na wakubwa. Akifanya hivyo, historia itamkumbuka milele. Jenista Mhagama amepewa Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu. Naamini mama huyu ni mkomavu katika siasa. Sina kumbukumbu za kumuona akifanya ubabaishaji. Hata hivyo, anapaswa kufahamu kuwa yeye ndiye atakayekuwa Mnidhamu Bungeni. Bunge la 11 litakuwa na changamoto, hivyo awe tayari kuzikabili. Asiwachukulie wabunge wa Upinzani kuwa kila wasemacho hakifai. George Simbachawene na Angela Kairuki; hawa wafahamu kuwa wana dhamana kubwa. Ukiacha eneo la Utawala Bora, wanalo jukumu la kusimamia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Hapa ndipo maisha ya Watanzania yalipolala. Kila wizara, mengi ya mambo yake yanatekelezwa na TAMISEMI. Iwe ni shule za msingi, afya na mengine huko ndiko msingi uliko na nyumbani kwa mchwa unaokwaza maendeleo. Yawapasa kuchapa kazi kweli. January Makamba sina maneno naye. Huyu wapo wanaomuona kama kijana mwenye fitina, na wengi wanamkumbuka alivyowabana Watanzania kupitia sheria ya makosa ya mtandao. Wanataraji nguvu aliyoitumia kwenye mitandao ya kijamii kitambo, sasa ataielekeza kwenye kulinda mazingira hasa kuzuia mkaa unaotaka kuligeuza Taifa hili kuwa jangwa. Charles Kitwanga amekabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani. Ni matumaini yangu kuwa ataipa heshima wizara hii. Sitarajii chini ya uongozi wake tusikie yupo Kamishna wa Polisi ambaye mke wake anatapeli watu kuwa atawapatia ajira. Sitarajii askari waendelee kupewa mafuta lita tano, kisha waagizwe kukamata majambazi yenye lita 1,000 kwenye gari. Ukiwawezesha polisi, wataimarisha amani na uchumi utakua kwa kasi. William Lukuvi amepewa dhamana ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi. Kwa nchi zilizoendelea, wizara hii ndiyo mwarobaini wa kuondoa umaskini. Ikiwa kuna jambo Lukuvi anaweza kuwatendea Watanzania, basi ni kuhakikisha kila Mtanzania mwenye shamba, shamba lake lipimwe apate hatimiliki. Tukiwa na hatimiliki, basi tutakopesheka benki na kufanya uwekezaji utakaotukomboa kiuchumi. Ni imani yangu kuwa Lukuvi atahakikisha ardhi inapimwa. Nimemfhamu Dk. Hussein Mwinyi zaidi ya miaka 20 sasa tangu nikiwa mwandishi wa habari za Bunge. Namkumbuka akiwa Naibu Waziri wa Afya chini ya Anna Abdallah alivyokuwa na uwezo mkubwa wa kujibu maswali na ambavyo hakuwa na majivuno. Ameongoza wizara hii kitambo sasa na sijasikia mangโ€™uniko yoyote dhidi yake. Naamini ataendelea kuchapa kazi, bila wasiwasi. Harrison Mwakyembe, huyu amepewa Wizara ya Katiba na Sheria. Wapo Watanzania wanaomtaja kuwa mmoja wa wapiga fitina nchini. Lakini pia wanatazama alikotoka na majipu aliyoacha. Makontena kupotea bandarini, kununua mabehewa feki 290, ambayo yakikimbia kasi ya kilomita 40 kwa saa yanadondoka na mengine. Bodi ya Bandari imevunjwa, Katibu Mkuu wa Uchukuzi ametimuliwa kazi, ila Mwakyembe aliyekuwa waziri wao yuko safi tu! Simsemi, ila aangalie mapito yake. Mwigulu Nchemba, huyu amepewa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Hapana shana anafahamu kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo. Ukiacha siasa zake za majukwaani na vijembe vya kisiasa, ukimtazama kwa jicho la uchunguzi wakati anatetea maslahi ya Taifa unauona uzalendo ndani yake. Naamini hatavaa suti kama mtangulizi wake na kuacha mbolea ikichakachuliwa au mazao ya wakulima yakioza kwa kukosa soko. Kubwa afahamu kuwa watendaji wengi katika wizara hii hawajitumi. Hii ni wizara yenye wasomi wengi wataalam wa kilimo, mifugo na ugani. Wanatumia shahada zao za PhD kubabaisha mawaziri wanaoingia pale na kuishia kula fedha za miradi. Huko ndiko waliko wataalamu wa semina na makongamano. Mwigulu anapaswa kuwabana waende vijijini. Utaalamu wao tunautaka shambani na si kwenye semina na makongamano. Charles Mwijage amepewa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji. Naamini amesikia muda wote Rais Magufuli alivyojinadi kwenye kampeni. Anatarajia uchumi wa nchi hii ukue kupitia viwanda. Mwijage afahamu kuwa analo jukumu kubwa la kuhakikisha ahadi ya Rais kwa Watanzania inatekelezeka. Kwa kushirikiana na Lukuvi watu wakipata hatimiliki, uwekezaji utawezekana kisha masoko ya bidhaa zinazozalishwa. Ummy Mwalimu sina tatizo naye katika kazi aliyopewa ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Kwa kushirikiana na Naibu wake, Dk. Hamis Kigwangalla, naamini afya za Watanzania zitaimarika. Wajue kuna changamoto ya kila kata kuwa na kituo cha afya. Wajue nchi hii ina kipindupindu, hivyo wizara waliyopewa inahusu afya za Watanzania na hivyo wachape kazi. Kwamba Wizara ya Sayansi, Teknolojia, Elimu na Ufundi, Waziri ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Fedha na Mipango na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, mawaziri hawajapatikana hili nalo neno. Naamini Rais Magufuli atateua wachapa kazi katika eneo hili. Kubwa ninalotarajia, sitarajii kusikia maneno mkakati, mchakato, mipangoโ€ฆ bali nataraji matokeo ya utekelezaji. Sitanii, naomba kuhitimisha makala yangu kwa maneno yafuatayo. Inawezekana wapo mawaziri waliorejeshwa ambao watu wanadhani hawakustahili, ila niseme tu kuwa kichwa cha treni kikiwa kibovu, mabehewa hayawezi kwenda kasi. Kasi aliyoanza nayo Rais Magufuli inadhihirisha kichwa cha treni ni kipya na kimefanyiwa ukarabati nzuri. Watake wasitake, mawaziri hawa watachapa kazi tu. Mungu ibariki Tanzania. Lipumba anachoma nyumba aliyomo! ยซ Wateule: uwaziri si ulaji, ni kazi tu โ€˜Jangiliโ€™ Ojungu wa Arusha akamatwa ยป
"2017-11-23T18:15:34"
http://www.jamhurimedia.co.tz/mengi-muhongo-mawaziri-chapeni-kazi/
[ -1 ]
"NINASTAHILI KUPEWA TUZO" โ€“ MONALISA. | UBUYU "NINASTAHILI KUPEWA TUZO" โ€“ MONALISA. NYOTA wa filamu katika tasnia ya filamu Swahiliwood Yvonne Cherryl โ€˜Monalisaโ€™ anaamini kuwa anastahili kuendelea kuwa ndiye mwigizaji bora wa kike katika tasnia ya filamu Tanzania, huku akiamini si kitu kinachopatikana kirahisi bali ni juhudi zake na kuwa makini kwa kile anachokifanya katika tasnia ya filamu. โ€œNawashukru waandaaji wa tuzo mbalimbali japo kuwa taasisi husika zimekuwa zikizuia utoaji wa tuzo kwa wasanii wa filamu bila sababu za msingi na kila zinapotolewa kihalali lazima nangโ€™ara kwa sababu mimi ni bora na ninastahili kupata tuzo,โ€anasema Monalisa. Monalisa ni moja kati ya wasanii waasisi wa tasnia ya filamu hivi karibuni alitangazwa kama mwigizaji bora wa kike mwaka 2012 huku tuzo ya mwigizaji bora wa kiume ikienda kwa marehemu Steven Kanumba tuzo hizo zilitolewa na Jarida la Bab kubwa, Monalisa ameshinda nyingi kama Tuzo za BORA ZA 2010, tuzo za ZIFF. Posted by JUMA MPEKUZI at 12:33:00 PM Labels: BONGO MOVIE, habari za kitaifa, MONALISA
"2018-01-21T02:38:17"
http://www.ubuyublog.com/2012/12/kupewa-tuzo-monalisa.html
[ -1 ]
Development Bank (AfDB) has recently approved a USD 272.12 million loan to Tanzania for the construction of a new international airport in the capital Dodoma. The funding package comprises a USD 198.6 million loan from the Bank, USD 23.52 million from the African Development Fund (ADF) and USD 50 million in co-financing with the Africa Growing Together Fund (AGTF) โ€” a co-financing facility of the Peopleโ€™s Republic of China managed by the Bank. The new airport will be built in the district of Msalato, 12 kilometers from the capital Dodoma. The project involves the construction of high-capacity airport infrastructure to meet the expected growth in air transport from the cityโ€™s new role as the administrative capital of Tanzania. It will replace the present airport serving the capital that cannot accommodate larger aircrafts. Work will be carried out over four years and will include a passenger terminal, a runway, air navigation equipment. The project includes other related operational services such as a fuel distribution company, water supply systems, electrical power distribution substations and a fire-fighting service. The new facility is expected to handle at least 50,000 aircrafts and a million passengers per year. It is estimated it will benefit and serve more than 200 million passengers in East Africa, as well as international trade networks, and especially business travelers and tourists. Amadou Oumarou, the Director of the Bankโ€™s Infrastructure and Urban Development Department, commented: โ€œAn expanded air transport network in Dodoma, together with the ongoing high-speed railway construction on the central corridor, are necessary infrastructure investments to help unlock and disperse spatial development in the countryside. This will strengthen the cityโ€™s potential as a strategic growth pole in keeping with Tanzaniaโ€™s national development aspirations of fostering shared growth for all the regions.โ€ RELATED: Tanzania To Invest in Airports Upgrade in 2015/2016 AfDB Tanzania As of late November 2019, the AfDB portfolio in Tanzania comprised of 21 public and two private-sector operations, with a total commitment of approximately USD 2.1 billion. The transport sector alone accounts for 51% of project funding, followed by energy (16%), water and sanitation (12%), finance (6%), agriculture (6%), multisector interventions (5%) and social projects (4%). more details ... MKOA wa Pwani umewalipa wakulima wa zao la korosho Sh bilioni 60.6 kwa msimu wa mwaka 2018/19. Pia korosho tani 46 za daraja la kwanza ziliuzwa kwa Sh 2571 na daraja la pili ziliuza tani 109 kwa Sh 2075 ambapo hadi Desemba jumla ya tani 765 zimeuzwa. Akizungumza katika Kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) kilichofanyika mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Mkoa, Evarist Ndikilo alisema kwa wakulima ambao hawajalipwa serikali inaendelea na uhakiki ili kuwalipa walengwa. โ€œKorosho itakayolipwa ni ile itakayokuwa imepelekwa kwenye ghala kuu lakini zile zilizo kwenye vyama vya msingi vya ushirika watalipwa huko huko,โ€ alisema Ndikilo. Alisema hadi sasa kuna tani zaidi ya 6,000 ziko kwenye vyama vya ushirika vya msingi (Amcos) na korosho nyingine ziliharibika kutokana na hali ya mvua na ukosefu wa magunia. โ€œKorosho nying ziko Amcos na hazina ubora unaotakiwa na iliamuliwa korosho zipimwe ubora kabla ya kupelekwa ghala". more details ... Dar es Salaam Baada ya miaka minane ya kudumu katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), kampuni ya Acacia yafutwa rasmi Novemba 18, 2019. Kampuni hiyo iliyoorodheshwa DSE Desemba 2011 ikijulikana kama African Barrick Gold (ABG) kabla haijabadili jina na kuitwa Acacia Novemba 2014, inaondolewa sokoni hapo baada ya kukamilisha utaratibu wa kufutwa. โ€œAcacia ilifutwa katika Soko la Hisa London (LSEG) tangu Septemba. DSE itaifuta kuanzia leo Novemba 18, 2019โ€, inasomeka taarifa ya DSE iliyowekwa kwenye tovuti yake. Kufutwa kwa kampuni hiyo, taarifa zinaonyesha kutapunguza ukubwa wa mtaji wa soko hilo kutoka Sh 19.67 trilioni uliokuwapo mwishoni mwa wiki iliyopita hadi Sh 16.94 trilioni. Wakati ukubwa wa mtaji wa soko zima ukipungua,ule wa kampuni za ndani, Sh9.01 trilioni hautabadilika. โ€œHii inamaanisha ndio mwisho wa kuwa na kampuni ya Acacia katika soko letu. Walituandikia nasi tumewakubalia kuwafuta, โ€œ alisema Moremi. more details ...
"2020-01-24T11:43:27"
https://business.go.tz/home?p_p_auth=zHI2TcA6&p_p_id=49&p_p_lifecycle=1&p_p_state=normal&p_p_mode=view&_49_struts_action=%2Fmy_sites%2Fview&_49_groupId=20182&_49_privateLayout=false
[ -1 ]
#Armenia na #Azerbaijan wanatarajia kumaliza mzozo wa Nagorno-Karabakh - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU #Armenia Na #Azerbaijan ni wito kwa kumaliza mgogoro wa Nagorno-Karabakh EU Reporter Mwandishi | Novemba 14, 2016 | 0 Maoni Vyama vya kiraia na wasomi kutoka Armenia na Azerbaijan zimejiunga katika wito wa mwisho kwa "migogoro waliohifadhiwa" ya Nagorno-Karabakh. wawakilishi sita kuongoza kutoka pande zote mbili zimesaini wazi barua ya onyo ya "madhara ya janga" isipokuwa mgogoro wa muda mrefu-mbio ni kutatuliwa. Juhudi, ikiwa ni pamoja na OSCE Minsk Group, kumaliza mgogoro kuwa hazikufanikiwa. Katika barua hiyo, wasaini sita alisema, "watu Armenian Azerbaijani na ni uchovu wa mgogoro huu na hawataki kwa uso hasara mpya tena na tena." Ni anaongeza, "Ni naive kuamini kuwa mbali na watu Armenian Azerbaijani na mtu mwingine kuwa na uwezo wa kutatua migogoro." kuingilia inakuja huku kukiwa na kuongezeka kwa wasiwasi kufuatia ongezeko la karibuni katika mapigano ya kijeshi kati ya mbili pande zote. Waandishi wanasema, "matokeo ya vita vya umwagaji damu kati ya nchi mbili bado wanaendelea kuzuia uanzishwaji wa amani endelevu na utulivu katika kanda." Kundi alisema kuwa ongezeko la hivi karibuni katika uadui "kwa mara nyingine tena alionyesha kuwa kuanza kwa vita inaweza kusababisha madhara ya janga." Wakidai "wajibu wa kiraia," sita-kali muungano kuandika, "Ni vigumu kueleza Hofu yote ya vita na tu kutoa takwimu kamili ya uharibifu kimaadili na vifaa waliyoyapata kwa nchi zote mbili bila kujali ukabila, umri na jinsia na moto wa migogoro wakati wa miongo iliyopita. " Young Armenian Azerbaijani na askari katika mitaro kuona kila mmoja kwa njia ya "scopes optic wa bunduki sniper", wanasema wasaini. "Rasilimali zote alitumia kwa madhumuni ya kijeshi," wao kuongeza, "wangeweza kutumiwa kwa ajili ya ustawi na ustawi wa mataifa mawili." Katika rufaa, sita kutoa mapendekezo kadhaa. Hii ni pamoja na "kuzingatia kubwa" kuwa kutolewa kwa "uwezo maelewano mpango" ambayo kuona uanzishwaji wa Nagorno-Karabakh Jamhuri Autonomous ndani ya mipaka Azerbaijan ambapo haki zote kama vile usalama wa jamii Armenian Azerbaijani na itakuwa uhakika. Wao wito kwa "kuongeza kasi katika mazungumzo makubwa na matokeo-oriented" wakati mapendekezo nyingine ni "kuondoa ukweli wa kazi, ambayo ndiyo msingi wa kimsingi wa hali ya sasa-kama ilivyo na kuhakikisha uondoaji wa majeshi pamoja na kurudi salama ya wakimbizi wa ndani kwa nchi zao za asili. " barua anahitimisha, "Azerbaijan ni wavumilivu, kitamaduni na nchi zinazoendelea, ambapo 30 elfu wananchi wa Armenian ukabila kuishi katika mazingira huru na na ingawa migogoro hawajawahi kuwa chini ya ubaguzi. " Ni anaongeza, "Kuna si vikwazo yoyote kwa Azerbaijani na jamii Armenian kuishi tena katika usalama na amani katika Nagorno-Karabakh mkoa wa Azerbaijan. Kwa hivyo, maoni ungrounded kibaguzi juu ya uwiano wa Waarmenia na Waazerbaijani na kutokuwa na uwezo wa mataifa yote mawili kwa amani mshikamano lazima imara kukataliwa. " Wasaini kutoka upande wa Armenia ni Vage Aventian, mlinzi wa haki za binadamu; Vaan Martirosian, mwenyekiti wa "Movement ya Taifa ya Uhuru" na Syusan Djaginian, mwandishi wa habari na makamu wa rais wa shirika la haki za binadamu zisizo za kiserikali. Kutoka upande wa Kiazabajani, barua hiyo imesainiwa na Rovshan Rzayev, mwanachama wa jamii ya Azerbaijani ya Nagorno-Karabakh; Kamil Salimov, Profesa wa Chuo Kikuu cha Baku State na Shalala Hasanova, mwenyekiti wa chama cha umma Kusaidia kwa Maendeleo ya Mawasiliano na Umma. Tags: Armenia, Azerbaijan, featured, full-picha, Kamil Salimov, Nagorno-Karabakh Jamhuri Autonomous, National Liberation Movement, OSCE, Rovshan Rzayev, Shalala Hasanova, Djaginian ya Syusan, Vaan Martirosian, Vage Aventian jamii: Frontpage, Armenia, Azerbaijan, Migogoro, EU, Dunia ยซ #Brexit: Mei anasema kuwa 'kutoona wanaounga mkono biashara' kama Uingereza majani EU #Oceana Utafiti hupata samaki wanaovuliwa katika maji Ulaya inaweza kuongeza na 57% kama hifadhi walikuwa imeweza endelevu ยป
"2019-11-21T06:50:58"
https://sw.eureporter.co/world/2016/11/14/armenia-and-azerbaijan-are-calling-for-an-end-to-the-conflict-of-nagorno-karabakh/
[ -1 ]
HEKIMA ZA BADI: TLP WATWANGANA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI TLP WATWANGANA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI VIOJA na vurugu jana vilitawala katika Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo), na kusababisha Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), kuingilia kati na kuwakamata baadhi ya wanachama wa TLP. Watu hao walianza kuwagawia waandishi taarifa iliyosainiwa na Tao na wala yeye mwenyewe hakushtuka wala kupinga watu hao kugawa taarifa hiyo ya maandishi.Waandishi walipigwa na butwaa kuona taarifa hiyo inamsifu Mrema wakati Tao anamponda, ikabidi waanze kuangaliana na mmoja wao akaamua kupasua jipu na kumuuliza:โ€œNaibu Katibu, unakanusha juu ya taarifa za Mrema kupewa nyumba na wanachama na unaeleza kuwa Mrema ni kada wa CCM. Mbona katika taarifa uliyotupa inakanusha yote na kuelezea kuwa Mrema alipewa nyumba na wanachama wote waliridhia?โ€ alihoji mmoja wa wanahabari. Swali hilo lilimfanya Naibu Katibu huyo ashikwe na butwaa na kushangaa juu ya maelezo hayo ya mwandishi wa habari ambao walimtaka kufafanua juu ya utata huo.Tao alijitetea, โ€œMimi sijui taarifa hizo na wala sikanushi maneno yangu kwani hata taarifa zangu za maandishi zinajieleza. Hawa wanaogawa taarifa hizi wametumwa na Mrema ili nisiseme ukweli wa mambo mabaya anayoyafanya ndani ya chama kwani amegeuza chama kuwa chake na si cha wananchi.โ€ Alipotakiwa kujieleza zaidi juu ya saini iliyopo kwenye taarifa hiyo alikanusha na kusema yeye hajui chochote na kuwa huo ni mchezo mchafu ulifanywa na Mrema ili kujisafisha.โ€œSahihi hiyo mimi siijui na maelezo yaliyomo humo ndani ya taarifa hiyo siyatambui,โ€ alisema Tao. โ€œTumelazimika kuita watu wa usalama kutokana na vurugu hizi kwani watu hawa wameingia hapa na kumwambia mlinzi kuwa ni wa moja katika mkutano, lakini kumbe ni kinyume chake. Matokeo yake wamesababisha mtafaruku huu,โ€ alisema Hokororo.
"2017-09-25T20:34:45"
http://darusi2008.blogspot.com/2011/06/tlp-watwangana-mbele-ya-waandishi-wa.html
[ -1 ]
Angalia picha za Sherehe ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Angalia picha za Sherehe ya miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Fatal5, Apr 27, 2012. kwa nini wa Tanganyika tumefanya sherehe za miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar bila ya wa Zanzibari kushiriki pale uwanja wa Taifa na Ikulu Rais wa Zanzibar hakuwepo katika sherehe hizo wala makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar hakuja Ni Wa Zanzibari 10 tu peke yao kutoka CCM ndio walikuwepo pale uwanja wa Taifa na ikulu. RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA WANANCHI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MIAKA 48 YA MUUNGANO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akipunga mkono kusalimia wananchi wakati akiingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar. WAZANZIBARI 10 TU NDIO WAPO HAPO KATIKA PICHA YA CHINI HIYO Amir Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akikagua gwaride wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar, zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo katika sherehe za maadhimisho ya miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar. Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWT, kikipita mbele ya Jukwaa Kuu kwa mwendo wa haraka na kutoa heshima kwa mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete. Kikosi cha Wanamaji kikitoa heshima mbele ya Jukwaa Kuu. Kikosi cha FFU kikionyesha uwezo wa kulichapa gwaride kwa mwendo wa haraka. Kikosi cha JWT katika mwendo wa haraka. Kikosi cha Magereza katika mwendo wa haraka. Watoto wa shule mbalimbali za msingi wanaounda kikundi cha alaiki, wakionyesha manjonjo ya michezo na maumbo mbalimbali wakati wa sherehe hizo leo. Watoto wa shule mbalimbali za msingi wanaounda kikundi cha alaiki, wakionyesha manjonjo ya mchezo wa Sarakasi. Watoto wa shule mbalimbali za msingi wanaounda kikundi cha Halaiki wakionyesha manjonjo ya na kupandisha Bendera ya Taifa. Kikundi cha Sanaa cha JKT Oljoro, kikionyesha umahiri wake wa kuimba na kucheza 'Kiduku' wakati wa sherehe hizo. Baadhi wa wananchi waliofika kushuhudia sherehe hizo IKULUโ€‹ Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanasanii kutoka katika Chuo Cha mafunzo ya Polisi, Moshi wakati wa hafla ya sherehe za miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanasanii kutoka katika kikundi cha JKT Oljoro, Arusha wakati wa hafla ya sherehe za miaka 48 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia Katibu mkuu kiongozi mstaafu Mzee Timothy Apiyo wakati wa hafla ya sherehe za miaka 48 ya Muungano iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Monsinyori Julian Kangalawe wakati wa halfa ya muungano ikulu jana jioni Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa Wazee waliohudhuria hafla ya sherehe za Muungano iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni(picha na Freddy Maro). SASA HUU NI MUUNGANO GANI UNAOSHEREHEKEWA NA UPANDE MMOJA TU WAKATI NCHI ZILIZOUNGANA NI 2 ?? NAOMBA JIBU WATANGANYIKA WENZANGU?? SASA HUU NI MUUNGANO GANI UNAOSHEREHEKEWA NA UPANDE MMOJA TU WAKATI NCHI ZILIZOUNGANA NI 2 ?? NAOMBA JIBU WATANGANYIKA WENZANGU??[/FONT] [/FONT][/COLOR][/LEFT]Click to expand... na mimi na-echo swali lako zuri. linahitaji majibu kutoka kwa wale protagonists wa muungano kwa structure yake ya sasa.. Gwaride lilifana saana. Inaonekana vijana wetu ni wakakamavu kiukweli. utata mtupu huo na mm nadhani nibora kila mtu ale hamsini zake
"2017-04-25T10:47:50"
https://www.jamiiforums.com/threads/angalia-picha-za-sherehe-ya-miaka-48-ya-muungano-wa-tanganyika-na-zanzibar.258248/
[ -1 ]
SERIKALI YAWAFUATA MAREKANI WANAOSHIKILIA BOMBARDIER - PAMOJA BLOG Home > Habari > Matukio > SERIKALI YAWAFUATA MAREKANI WANAOSHIKILIA BOMBARDIER 11/23/2017 12:59:00 PM Habari, Matukio
"2017-12-14T06:25:26"
http://www.pamoja.co.tz/2017/11/serikali-yawafuata-marekani.html
[ -1 ]
Kutools kwa Outlook 2.10 - Fungulia maelezo Kutools kwa Outlook 2.10 inapatikana sasa. Ili kuwa na jaribio la bure la programu au kuboresha toleo la hivi karibuni, tafadhali nenda kupakua na kuiweka kutoka hapa. Tangu sasa, tutauza tu au kuchapisha leseni ya maisha ya programu. Mpangilio wa ruhusa ya uzima unatumia programu hiyo milele na uboreshaji bure kwa matoleo yoyote ya programu ndani ya miaka ya 2. Ikiwa umenunua leseni ya usajili (miaka ya 2 au miaka 5), huhitaji mabadiliko ya leseni yako ili uboresha bure kwenye matoleo yoyote ya programu wakati wa kipindi chako cha usajili. Baadhi ya mende madogo yamewekwa.
"2019-02-16T07:03:46"
https://www.extendoffice.com/sw/support/latest-updates/kutools-for-outlook/kutools-for-outlook-2-10.html
[ -1 ]
Alvin Collections: RWANDA YAMKATAA BALOZI WA TANZANIA... JE KUNAANII? SOMA ZAIDI HAPA!! RWANDA YAMKATAA BALOZI WA TANZANIA... JE KUNAANII? SOMA ZAIDI HAPA!! Rwanda imemkataa Balozi mteule wa Tanzania, Mussa Siwa, ambaye alitakia na serikali kwenda kufanya kazi kwenye ubalozi wa Tanzania nchini humo.Taarifa kutoka Rwanda na duru za ndani ya serikali ya Tanzania zimeeleza serikali ya nchi hiyo imemkataa balozi huyo kwasababu mbalimbali zikiwemo za kiusalama. Habari kutoka ndani ya Ikulu ya Rwanda zinaeleza kuwa serikali ya nchi hiyo imemkataa balozi Siwa, baada ya kumshuku kuwa ni jasusi. Siwa kabla ya kuteuliwa kushika wadhifa huo, alikuwa ofisa katika ubalozi wa Tanzanianchini Ujerumani. Ofisa mmoja mwandamizi wa Ikulu ya Rwanda aliliambia MTANZANIA kuwa viongozi wa nchi hiyo wanachukuwa tahadhari dhidi ya wanadiplomasia wa Tanzania wanaofanya kazi nchini Rwanda , tangu nchi hizi mbili ziingie katika vita ya maneno mwaka jana. โ€˜โ€™Viongozi hapa wamekuwa na hofu kubwa na Tanzania na kufanya wawe macho na watanzania wanaoishi hapa na hasa maofisa ubalozi na ndio maana wamemkataa balozi huyo mteuleโ€™โ€™. Alisema mtoa taarifa wetu. Wafuatiliaji wa maswala ya kidiplomasia wametafsiri kitendo hicho kuwa ni mwendelezo wa kutofautiana kati ya serikali za nchi hizi mbili. Rwanda iliingia katika mgogoro na Tanzania baada ya kuchukizwa na ushauri uliotolewa na Raisi Jakaya Kikwete wa kuitaka serikali ya nchi hiyo kufanya mazungumzo na kundi la waasi la FDLR, ambalo limejichimbia ndani ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Rais kikwete alitoa ushauri huo mbele ya katibu mkuu wa Umoja wa MataifaBan Kin-Moon na Raisi wa Umoja wa Afrika, Nkosazana Dlamini-Zuma, wakati wa mkutano wa viongozi wa ukanda wa maziwa makuu ya afrika uliofanyika mjini Addis Abab, Ethiopia, Mei, mwaka jana. Mkataba wa Vienna Hata hivyo, Rwanda ina uhuru wa kisheria wa kumkataa balozi mteule wa kigeni kama inaona hafai kwenda kuishi nchini humo. Kifungu cha nne cha mkataba wa kimataifa wa Vienna wa mwaka 1961 unaozungumzia masuala ya kidiplomasia baina ya mataifa,kinatoa uhuru wa nchi kumkubali balozi mteule wa kigeni. Mathalani Tanzania , mwaka jana ilimkataa balozi mteule wa Ujerumani, Margit Hellwig โ€“ Boette, ambaye alitakiwa kuja kuwa balozi hapa nchinimara baada ya kumaliza muda wake nchini Kenya. Sefue asema hana taarifa Akizungumzia suala hilo, Sefue alisema taarifa hizo hajazipata na kwamba wizara ya mambo ya nje ndiyo inayoweza kufahamu vizuri suala hilo. โ€˜โ€™Mimi sifahamu chochote kwakweli, nadhani watu wa wizara ya mambo ya nje ndiyo wanajua process (taratibu) hizi ndiyo maana hata jina la huyo balozi aliyekataliwa silijuiโ€™โ€™ alisema. Wizara ya mambo ya nje washangaa Nae mkuu wa kitengo cha mawasiliano cha wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, Mkumbwa Ally, alishangaa na kuhoji kuwa hizo taarifa tumezipata wapi kwani ni habari za ndani. โ€˜โ€™Hizo taarifa mmezipata wapi, ni taarifa za ndani, chanzo chako cha habari ni naniโ€™โ€™,alihoji ally. Hata hivyo, alipoombwa kuzungumzia swali la msingi alisema suala hilo lipo nje ya uwezo wa wizara yake kwani Rais Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteuwa na kutangaza jina la mteule huyo. "Kiujumla sijapata taarifa za uhakika kuhusu suala hilo kwa sababu uteuzi wa balozi yeyote ni โ€˜processโ€™ utaratibuโ€™โ€™ , hivyo hatuwezi kujua jina lakempaka uteuzi wake ukamilike ndipo tutangaziwe na mwenye mamlaka hayo ni Rais, hivyo siwezi sema chochote โ€˜โ€™ alisema. MTANZANIA lilifanya jitihada za kumtafuta Siwa bila mafanikio kuzungumzia suala hilo. Wiki mbili zilizopita, Rais kagame alikacha kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na zanzibarzilizofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na marais wote wanachama wa ( EAC). Mbali na Kagame kutokuhudhuria maadhimisho hayo, pia aliukacha mkutano wa wakuu wa nchi za EAC uliofanyika jijini Arusha, lakini alikwenda nchini Kenyana kuhudhuria kikao cha viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wanaounganishwa na mradi unaoitwa โ€˜ Northern Corridor Infrastructure Projectโ€™. Waziri Mkuu Pinda aliiwakilisha Tanzania katika mkutano huo. CHANZO: Gazeti la MTANZANIA,toleo la Jumatano May 7, 2014 Posted by Prince Ngenje Sr. at 7:35 AM
"2017-12-11T02:20:25"
http://alvincollections.blogspot.com/2014/05/rwanda-yamkataa-balozi-wa-tanzania-je.html
[ -1 ]
Kwa lugha tano za kigeni na mada tofauti: Darul Kafeel ya Tarjama inashiriki katika maonyesho ya kimataifa ya (32) jijini Teheran. Darul Kafeel ya Tarjama iliyo anzishwa miaka mitatu iliyopita chini ya kituo cha utamaduni na habari za kimataifa Alkafeel katika Atabatu Abbasiyya, hadi sasa inamachapisho zaidi ya (100) katika lugha (10) na kuwafikia zaidi ya watu bilioni tatu wanao zungumza lugha hizo kama lugha mama. Hii ni mara ya kwanza kwa Darul Kafeel ya Tarjama kushiriki katika maonyesho haya ikiwa ni miongoni mwa matawi ya vitengo vya Atabatu Abbasiyya tukufu. Jassaam Muhammad Saidi kiongozi wa matawi ya Ataba tukufu yanayo shiriki katika maonyesho haya amesema kua: โ€œHakika machapicho ya Darul Kafeel yamekua na mwitikio mzuri, ukizingatia kua huu ni ushiriki wao wa kwanza, pamoja kua Atabatu Abbasiyya tukufu imesha shiriki mara nyingi katika maonyesho haya, imekua ikishiriki tangu mwaka 2005, watu kutoka nchi za kigeni wametembelea kwa wingi tawi la Darul Kafeel hasa raia wa China.
"2020-06-03T16:06:27"
https://alkafeel.net/news/index?id=8366&lang=sw
[ -1 ]
Zaidi ya watu elfu kumi na moja wamefanyiwa ziara ya Ashura kwa niyaba.. Ustadh Haidari Mamitha mhariri mkuu wa mtandao wa Alkafeel (mtandao ramsi wa Atabatu Abbasiyya) ametangaza kua; idadi ya watu walio jisajili katika ukurasa wa ziara kwa niaba na wakafaniwa ziara na kusomewa dua katika siku ya Ashura imefika (11,100), walisajiliwa katika kumi la kwanza la mwezi mtukufu wa Muharam, kupitia mtandao wa kimataifa wa Alkafeel katika lugha zake zote: (Kiarabu, Kiengereza, Kiurdu, Kituruki, Kifaransa, Kiswahili na Kijerumani). Akaongeza kusema kua: โ€œAsilimia kubwa ya watu walio jisajili wametoka katika nchi zifuatazo: (Iraq, Iran, Lebanon, Pakistan, Urusi, Marekani, Uingereza, India, Saudia, Swiden, Kanada, Kuwait, Malesia, Australia, Aljeria, Baharain, Misri, Ujerumani, Islandi, Namsa, Yunani, Holandi, Tunisia, Denmak, Norwey, Qatar, Ubelgiji, Komoro, Afghanistan, Oman, Ekwado, Brazili, Ajentina, Uswisi, Naijeria, Gana, Yemen, Indonesia, Italia, Hispania, Ufaransa, Uturuki, Adharbaijan, Finland, China, Ailend, Hong Kong, Japani, Falme za kiarabu na Sudani)โ€. Akabainisha kua: โ€œHakika ziara ilihusisha utekelezaji wa ibada zinazo fungamana na ziara, ikiwa ni pamoja na swala ya rakaa mbili na kusoma dua, akasisitiza kua; ukurasa wa ziara kwa niaba uko wazi kwa kila anayetaka kujisajili kwa ajili ya kufanyiwa ziara, pia anaweza kutumia lugha yeyote miongoni mwa lugha zilizopo katika mtandao wetu, na anaweza kuhakiki jina lake katika ukurasa huo huoโ€.
"2020-02-28T15:57:58"
https://alkafeel.net/news/index?id=5958&lang=sw
[ -1 ]
(showing articles 14681 to 14700 of 37941) 01/08/16--06:25: _Serikali yatoa pich... 01/08/16--06:36: _MODFA KUFANYA UCHAG... 01/08/16--06:41: _WANANCHI WA MICHAMV... 01/08/16--06:42: _WAZIRI MKUU MAJALIW... 01/08/16--06:50: _CHAMA CHA KIKAPU MK... 01/08/16--06:52: _ NAPE AMPONGEZA SAM... 01/08/16--07:01: _ WAZIRI KITWANGA: H... 01/08/16--07:05: _PPF NANHIF YATILIAN... 01/08/16--07:12: _ TANGAZO BINTI WA M... 01/08/16--07:16: _WAZIRI MKUU AAGANA ... 01/08/16--07:59: _TAARIFA YA SERIKALI... 01/08/16--08:11: _TANZANIAN WINS AFRI... 01/08/16--10:32: _ASKOFU PENGO APONGE... 01/09/16--03:06: _WAZIRI NAPE NNAUYE ... 01/09/16--12:55: _ HOSPITALI YA KIVUN... 01/09/16--12:58: _ TAJATI YAFANYA ZIA... 01/10/16--00:59: _SHUJAA WETU MBWANA ... 01/11/16--03:22: _MSIBA DMV NA TANZAN... 01/11/16--04:45: _MAGONJWA YASIYOAMBU... 01/11/16--05:02: _JK AMPONGEZA SAMATT... older | 1 | .... | 733 | 734 | (Page 735) | 736 | 737 | .... | 1898 | newer 01/08/16--06:25: Serikali yatoa picha Rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano. Kaimu Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo Bi Zamaradi Kawawa akionesha kwa waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli,kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari โ€“MAELEZO Bw. Raphael Hokororo.picha hiyo inauzwa sh. 15,000/- tu. Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Bi Zamaradi Kawawa akionesha kwa msisitizo Picha rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakati wa mkutano na Vyombo vya habari leo Jijini Dar es salaam. Na Zainabu Hamis, Globu ya Jamii. PICHA Rasmi ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Joseph Magufuri imetoka leo Januari 8, 2015 katika Ofisi ya Idara ya Habari (MAELEZO) Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Zamaradi Kawawa, amesema kuwa Picha hiyo ya Rais Magufuri kwa kila moja itauzwa kwa sh15000 ya kitanzania bila ya kuwekwa frem,huku picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere itauzwa kwa sh 5000. Aidha Zamaradi amesema kuwa Nakala za picha hizo zinapatikana Idara ya Habari Maelezo na Ofisi za Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA). Picha hiyo ya Rais pamoja na ya Baba wa Taifa zinatakiwa kutundikwa katika ofisi zote za Serikali,Taasisi za Umma,Mashirika na Ofisi Binafsi. Aidha Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Raphael Hokororo amesema picha ya Rais Magufuri imewahi kutoka mapema sana kuliko picha za Waheshimiwa waliopita na kusema kuwa hairuhusiwi kukopi wala kunakili picha hiyo. Serikali inatoa onyo kwa wale wote wanaosambaza picha isiyo rasmi pamoja na Serikali kusitisha matumizi ya picha hiyo na wale wote wanaotengeneza picha ukubwa usio rasmi, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.Kwani Idara ya Habari Maelezo ndiyo yenye Haki miliki ya picha hiyo. 01/08/16--06:36: MODFA KUFANYA UCHAGUZI MAPEMA MWEZI WA PILI MWAKA HUU Picha maktaba ikionyesha wananchi jamii ya kimasai wakiwa wanacheza mpira Chama cha soka wilaya ya Mondoli (MODFA),kinatarajia kufanya uchaguzi Mkuu Mwezi wa pili mwaka huu (2016), ili kupata uongozi kwa nafasi nane zinazowaniwa ili kupata uongozi utakao kiendesha chama hicho kwa miaka mitatu. Katibu Mkuu wa Chama cha soka wilayani humo Twaha Kibayasi, alisema kuwa taratibu kamilihazija kamilika japo mambo yanaenda vizuri na nafasi nane ndizo zinazowaniwa katika uchaguzi huo. Nafasi zitakazo waniwa ni Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu, Muweka Hazina, Mjumbe wa mkutano Mkuu, Mwakilishi wa Vilabu na Wajumbe watatu wa kamati tendaji. โ€œZoezi la uchukuajiwa wa fomu bado halijaanza na pindi taratibu zitakapo kamilika tutawatangazia lasmi ikiwa pamoja na ada ya kila nafasi itakayo tangazwa, cha msingi ni kuwaomba wajitokeze na wawe tayari kugombea nafasi hizoโ€ alisema Kibayasi Kwa mujibu wa katiba ya MODFA mtanzania yeyote mwenye Sifa zitakazo ainishwa ikiwa pamoja na elimu ya sekondari na kuendelea anafaa kugombea nafasi yoyote. โ€œSio sifa hizo pekee Pia asiyewahi kushitakiwa kwa kosa lolote na kufungwa na awe mpenda michezo ndio sifa mojawapo itakayoangaliwa maana watu wanapenda kuleta siasa kwenye michezo na mwisho kuhalibu sokaโ€ aliongeza kusema Kibayasi. Kibayasi alisema kuwa mara baada ya mwaka mpya Kamati tendaji ya MODFA inatarajia kukaa pamoja na kujadili mambo mbalimbali ikiwepo juu ya kuandaa ligi ya Wilaya hiyo inayo suasua ili kupata bingwa atakaye iwakilisha Monduri katika Ligi ya Mkoa wa Arusha inayotarajia kuanza mapema mwezi januari. Uchaguzi huo umehairishwa zaidi ya mara mbili kutokana na sababu mabali mbali ikiwemo watu kutojitokeza kugombea nafasi zilizotangazwa, uchaguzi huo ulitarajiwa kufanyika mwezi wa tano mwaka uliopita (2015). Kibayasi Aliongeza kuwa kwa sasa wasipojitokeza watafanya uchaguzi kwa nafasi ambazo zitapata wagombea na pia wataandaa uchaguzi mdogo hadi wajaze nafasi zote kulingana na taratibu na sheria za MODFA 01/08/16--06:41: WANANCHI WA MICHAMVI KUPATA MAJI SAFI NA SALAMA IKIWA NI MATUNDA YA MAPINDUZI Waziri wa Uwezeshaji, ustawi wa Jamii,Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar Mohammed akiweka Jiwe la Msingi la Mradi wa kuchuja Maji Chumvi kuwa Maji matamu huko katika Kijiji cha Michamvi wilaya ya Kusini Unguja.Aliyevaa kanzu ni Katibu mkuu Wizara ya Ardhi, Makaazi,Maji na Nishati Ally Khalil Mirza.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar Jumla ya Wananchi 1,572 wa Vijiji vya Michamvi Pingwe na Michamvi Kae wanatarajiwa kupata Maji safi na salama baada ya kukamilika kwa Mradi wa kuchuja Maji Chunvi kuwa Maji matamu. Kukamilika kwa mradi huo kutawapunguzia Kero wananchi wa Vijiji vya Michamvi ambao kwa miaka mingi wamekumbwa na tatizo hilo bila ya msaada wowote.Hayo yameelezwa na Waziri wa Uwezeshaji, ustawi wa Jamii,Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar Mohammed wakati akiweka Jiwe la Msingi la Mradi huo huko Michamvi wilaya ya Kusini Unguja. Amesema uwekaji wa Jiwe la Msingi wa Mradi huo na kupata maji matamu ambayo yatawasaidia wananchi hao ni moja kati ya jitihada zinazofanywa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa lengo la kuwaondoshea shida ya upatikanaji wa maji wananchi wake.โ€œMalengo makubwa ya jitihada hizo ni kuwaondoshea kero Wananchi ya kukosekana kwa huduma hiyo ya maji safi ili waweze kushughulikia zaidi kazi za uzalishaji mali na maendeleo kwa lengo kuimarisha kipato chaoโ€ amesema Waziri Zainab. Ameongeza kuwa eneo la Michamvi ni moja kati ya maeneo yanayokabiliwa na upatikanaji wa maji safi na salama na kwamba baada ya muda mfupi wananchi wataondokana na kero hiyo. Akitoa taarifa juu ya Mradi huo Naibu Katibu mkuu Wizara ya Ardhi, Makaazi,Maji na Nishati Mustafa Jumbe amesema Mradi umetekelezwa na kugharamiwa kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Kampuni ya UST kutoka Ujerumani ambapo jumla ya Shilingi Millioni 475 za Kitanzania zinatarajiwa kutumika. Amefafanua kuwa Kampuni ya UST imechangia Milioni 395 ambapo kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi kwa kushirikiana na Wananchi wamechagia Millioni 80.Jumbe amezitaja kazi zitakazofanyika kuwa ni pamoja na uchimbaji wa kisima,utiaji wa pampu,ujenzi wa kibanda cha kuwekea mitambo na ununuzi wa mitambo ya kusafishia maji chumvi kuwa matamu. Akitoa nasaha Mkuu wa Wilaya ya Kusini Jabir Khamis Makame amewaomba wananchi wa Michamvi kuuenzi Mradi huo ili uweze kuwaletea matunda yaliyokusudiwa. Uwekaji wa Jiwe la Msingi Mradi wa Kuchuja maji Chumvi kuwa Maji matamu ni moja ya matunda ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo lengo lake ni kuwakombo Wananchi na Umasikini ikiwemo kuwaletea maji safi na salama katika maeneo yao. 01/08/16--06:42: WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA MABALOZI WA NAMIBIA NA FINLAND Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na balozi Namibia nchini, Mhe. Japhet Isaack ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 8, 2016 kuaga. Waziri Mkuu, Kassim Mjaliwa akimkabidhi Balozi wa Namibia nchini aliyemaliza muda wake, Mhe. Japhet Isaack zawadi ya ramamni ya Tanzania iliyochongwa kwenye mti wa mpingo ili aendelee kuikumbuka Tanzania atakapoondoka. alozi alikwendaofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam, Januari 8, 2016 kuaga. Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akimkabidhi Balozi wa Tanzania nchini, Japhet Isaack zawadi ya kinyago cha pundamilia ili atakapoondoka nchini abaki na kumbukumbu ya wanyamapori ambao nimuhimu kwa utalii hapa nchini. Balozi huyo alikwenda Ofisini kw Waziri Mkuu jijini Dares salaam Januari 8, 2016 kuaga. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akisalimiana na balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Pekka Hukka kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 8, 2016. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza na balozi wa Finland nchini Mhe. Pekka Hukka kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Januari 8, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 01/08/16--06:50: CHAMA CHA KIKAPU MKOA WA ARUSHA MBIONI KUFANYA UCHAGUZI Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Arusha (ARBA), Kipo katika hatua za mwisho kufanya uchaguzi Mkuu mapema mwezi huu uongozi utakao kiongoza chama hicho kwa muda wa Miaka Mitatu. Mwenyekiti wa chama cha Mchezo wa Kikapu Mkoa wa Arusha (ARBA) Barick Kilimba alisema kuwa nafasi kuu mbili zitagombewa ikiwa pamoja na nafasi ya Mwenyekiti Mkuu, na Msaidizi wake, Katibu Mkuu na Makamu wake. โ€œNilikuwa naongoza huku nacheza hivyo ilikuwa inaniwia vigumu sana wakati mwingine, katika kutoa maamuzi nilikuwa naogopa kuonekana napendelea Timu yangu, hivyo nimeamua niweke uongozi pembeni nibaki kuwa mchezaji pekeeโ€ โ€œShida ilikuwa hakuna watu wa kuongoza nafasi hizi lakini tumewashawishi wale wachezaji wakongwe waje washike madaraka ili watuongoze na kutuonesha wao walikuwa Wanafanyaje kipindi wao wanachezaโ€ Alisema Kilimba. Aliongeza kuwa wanatarajia kufanya kikao cha viongozi wote Waliokuwa madarakani kwa sasa ili kupanga tarehe maalumu ya kufanya uchaguzi huo, ikiwa pamoja na kutangaza sifa za wagombea. Pia ARBA Wanatarajia kuendesha Bonanza la mchezo huo kwa kushirikisha timu zote zinazopatikana Mkoani hapa pamoja na mikoa ya Jirani ikiwa na Lengo kupanua na kutangaza Mchezo huo katika ukanda wa Kusini. Kilimba alisema kutoshirikiana baina ya viongozi ndio sababu kubwa ya Mchezo huo kufifia Mkoani hapa, kwa iongozi wengi kukwepa majukumu yao na kuwa Bize na mambo yao Binafsi. Hata hivyo alikiri ARBA kukabiliwa na ukata kitu ambacho kilisababisha kushindwa kushiriki mashindano ya Kitaifa yaliyokuwa yanafanyika Mkoani Dodoma mwezi Disemba mwaka uliopita, licha ya kukiandaa kikosi. 01/08/16--06:52: NAPE AMPONGEZA SAMATTA KWA KUWA MCHEZAJI BORA. Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akiongea na wafanyakazi wa Wizara hiyo wakati wa kikao cha wafanyakazi kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akimkabidhi cheti cha mfanyakazi mmoja wa wafanyakazi wa Wizara hiyo. Waziri wa Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye kushoto akiongea na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kulia Prof. Elisante Ole Gabriel kulia wakati wa mkutano wa wafanyakazi uliofanyika Dar es Salaam leo, katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornard Thadeo. Waziri wa Habari ,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara hiyo mara baada ya mkutano na wafanyakazi hao. (Picha na Benjamin Sawe-WHSUM) Na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es Salam Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo Nape Nnauye amempongeza mchezaji wa mpira wa miguu wa Taifa Star Mbwana Samatta baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa soka Afrika 2016 kwa wachezaji wanaocheza soka Barani Afrika.iliyotolewa nchini Nigeria. Nnauye ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano na watumishi wa Wizara wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo leo jijini Dar es salaam.Amesema tuzo hiyo imemjengea heshima na kuleta sifa kwa Mbwana Samatta mwenyewe, wanasoka hapa nchini na Tanzania kwa ujumla katika medali ya Soka Kimataifa.Nnauye amewataka wachezaji wengine kufuata nyayo za mchezaji huyo kwa kuongeza juhudi, nidhamu katika michezo na watambue kuwa mchezo wa mpira wa miguu ni kazi kama zilivyo kazi nyingine. Akifafanua zaidi Nnauye alibainisha kuwa kilichomfikisha Samatta hapo ni kujitambua na kujituma katika ajira yake.Samatta ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza ligi ya Barani Afrika kwa kupata alama 127 dhidi ya Robert Kidiaba aliyepata alama 88 na Baghdad Bounedjah alama 63. 01/08/16--07:01: WAZIRI KITWANGA: HATUA KALI KUCHUKULIWA KWA YEYOTE ATAKAYE KAIDI KULIPISHA GARI LA ZIMAMOTO WAKATI LINAENDA KATIKA TUKIO Mkufunzi wa Masuala ya Majanga wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Christopher Marwa (kulia) akimuonyesha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (aliyevaa tai), gari la Uokozi ambalo lina vifaa mbalimbali vya uokozi. Waziri Kitwanga alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo, na baadaye kujifunza kazi mbalimbali za jeshi hilo katika Kituo cha Zimamoto Kanda ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara yake katika Kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kanda ya Ilala, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake kwa waandishi hao wa habari, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa mtu yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kushoto) akitoa taarifa ya utendaji wa Jeshi lake Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga wakati Waziri huyo alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiongozwa na Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kulia kwa Waziri) wakati Waziri huyo alipofanya ziara Makao Makuu ya Jeshi hilo, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam leo. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akiondoka Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mara baada ya kuzungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakiongozwa na Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha (kulia). Katika hotuba yake kwa viongozi hao wa jeshi, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akimsalimia Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Jenerali, Pius Nyambacha wakati alipowasili Makao Makuu ya Jeshi hilo, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Waziri Kitwanga aliliagiza Jeshi hilo kumchukulia hatua kali za kisheria kwa yeyote atakaye kiuka kulipisha gari la Zimamoto na Uokoaji wakati linaenda katika tukio lolote la uokoaji pamoja na kuzima moto. Pia aliitaka Jeshi hilo kuongeza kasi ya kukusanya mapato katika vyanzo vyake mbalimbali. 01/08/16--07:05: PPF NANHIF YATILIANA SAINI MKATABA WA HUDUMA YA BIMA YA AFYA KWA WATEJA WAKE WA FAO LA HIARI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF bwana Michael Mhando na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana William Erio wakitia saini makubaliano yatakayowawezesha wajasiliamali wanaonufaika na fao la hiari la PPF kupata huduma za bima ya afya kupitia mpango wa kikoa Mpaka sasa fao la hiari la PPF lina wanachama 12, 000 ambao hivi karibuni wataanza kunufaika na mafao yatolewayo na NHIF baada ya kusainiwa kwa makubaliano hayo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeanza kutoa huduma za matibabu kwa wanachama wa VIKUNDI vya WAJASILIAMALI VILIVYOSAJILIWA ambapo kila mmoja anachangia shilingi 76,800 kwa mwaka na kupata matibabu katika hospitali zaidi ya 6000 zilizosajiliwa na NHIF nchi nzima. 01/08/16--07:12: TANGAZO BINTI WA MIAKA 13 KHADIJA HASSAN AMEPOTEA Khadija Hassan who is 13 years old has been missing since Monday 4th January 2016 , she was last seen at KEKO Mwanga. If you see her immediately call 0657697217 or 0719 537 565 Naomba utusaidie kusambaza ujumbe huu: Mtoto was dereva wetu aitwa Khadija Hassan anaye umri 13 amepotea tangia Jumatatu tarehe 4 January 2016. Mwisho alionekana eneo la KEKO Mwanga. Ukimuona tafadhali utupigie Simu 0657697217 or 0719 537 565 01/08/16--07:16: WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA NAMIBIA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amekuaana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Namibia ambaye anamaliza muda wake, Bwana Japhet Isaack. Akizungumza na Balozi Isaack leo ,ofisini kwake ,Magogoni jijini Dar es salaa, Waziri Mkuu ameshukuru Balozi huyo na kumumwomba waendeleze uhusiano mwema ulipo baina ya nchi hizi mbili ambao ulianza tangu enzi za kugombania uhuru ili kusaidia kukuza uchumi wa nchi hizi mbili. โ€œNamibia ni nchi yenye uchumi uanaokua haraka, na mmefanikia katika baadhi ya sekta , hivyo ningependa Tanzania ijufunze kutoka kwenu hasa katika sekta za Utalii, Afya, na Elimu,โ€ alisema Waziri Mkuu Majaliwa. Pia, alitumia fursa hiyo kuwakaribisha raia wa Namibia kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali ikiwemo viwanda na kuendeleza maeneo ya ukanda maalum ya uwekezaji (EPZ) ili kuongeza thamani ya mazao pamoja na kutatua tatizo la ajira nchini. Kwa upande wake, Balozi Isaack amesema kwa kipindi alichokaa Tanzania amejifunza mengi, na amefurahishwa ambavyo Waziri Mkuu pamoja Serikali kwa ujumla inavyofanyakazi kwa kasi na kwa mafanikio makubwa. โ€œHongera, ninafurahishwa na unavyofanya kazi hongera sanaโ€, alisema Balozi Isack. Pia, amefurahi sana kipindi chote alichokaa Tanzania kwani kimekuwa na matukio mengi yenye kumbukumbu nzuri kwake. Balozi Isack ameomba mahusiano ya nchi hizi mbili yaendelezwe ili zishirikiane zaidi katika masuala mbalimbali ya kukuza uchumi. IJUMAA, JANUARI 8, 2016. 01/08/16--07:59: TAARIFA YA SERIKALI KUHUSU ZOEZI LA KUHAMISHA WAKAZI WA MABONDENI KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM 01/08/16--08:11: TANZANIAN WINS AFRICAN PLAYER OF THE YEAR BASED IN AFRICA AWARD Mr. Mbwana Aly Samatta-2nd from left receiving an Award as the African Player of the Year based in Africa during an event that took place in Abuja, Nigeria on 7th January, 2016 The Tanzania Ministry of Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation wishes to inform the world and all football fans that Mr. Mbwana Aly Samatta, the African Player of the Year based in Africa is a citizen of Tanzania and not of Botswana or Tunisia as was reported by NBC Sports.com and several other international media. Mr. Samatta is one of the star players of the Tanzania national team (Taifa Stars) currently playing for TP Mazembe Club in the Congo DRC. The Tanzanian icon was announced by the Confederation of African Football (CAF) as the African Player of the Year based in Africa in an event that took place in Abuja, Nigeria on 07th January, 2016. Mr. Samatta becomes the first player from East Africa to win the prestigious title. The Ministry takes this opportunity to thank Mr. Samatta for placing Tanzania on the international football stage and congratulate him for the victory well deserved. 01/08/16--10:32: ASKOFU PENGO APONGEZA HUDUMA ZA TAASISI YA MOYO. Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo na kupongeza jopo la Madaktari waliomhudumia katika Hospitali ya Mhimbili. Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiingia katika ukumbi wa mikutano katika kitengo cha Moyo cha Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete kilichopo katika Hospitali ya Taifa ya Mhimbili. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee Mhe Ummy Mwalimu akimkaribisha Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ili aweze kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Katibu Mkuu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee, Dkt. Mpoki Ulisobisya akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari kuhusiana na swali lililoulizwa na mwandhishi wa habari kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee haitoi ruhusa ya mtu yoyote kwenda kutibiwa nje ya nchi na ruhusa hiyo hutolewa na Madaktari wenyewe ambao walikua wanamtibia mgonjwa. wa Globu ya Jamii. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amepongeza weledi wa huduma za madaktari na huduma zinazotolewa katika Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam. Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ametoa pongezi hizo jana Ijumaa Januari 8, 2016 wakati akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo ambako alikuwa amelazwa kwa uchunguzi wa afya yake na matibabu. Alisema kwamba awali yeye alikuwa anaogopa kutibiwa hapo kutokana na taarifa potofu zilizokuwa zinazotolewa kwenye vyombo vya habari juu ya operesheni tata zilizowahi kufanyika katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, na kwamba sasa ameridhika kuwa ni vinginevyo kwani Kitengo cha magonjwa ya moyo cha hospitali hiyo kimemdhihirishia kwamba kina uwezo mkubwa wa matibabu ya moyo kama ilivyo hospitali zingine popote pale duniani. Askofu Mkuu huyo wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo alilazwa katika taasisi hiyo ya moyo tangu Januari Mosi mwaka huu. Hali yake imeendelea kuimarika kila siku baada ya kufanyiwa uchunguzi na kupatiwa matibabu hapo. Kwa upande wake Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee, Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Serikali imeokoa kiasi cha shilingi bilioni nne ambazo zilikua zipotee kwa ajili ya kupeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa nje ya nchi. Aidha Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Mrisho Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Mhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesma kuwa Askofu Pengo ataruhusiwa mwisho wa juma hili kwa kuwa afya yake imeimarika. 01/09/16--03:06: WAZIRI NAPE NNAUYE AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR Baadhi ya Wadau wakubwa wa habari pia walikuwepo kwenye mkutano huo 01/09/16--12:55: HOSPITALI YA KIVUNGE YAPATA JENGO JIPYA LA WAGONJWA WA NJE (OPD) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa jengo jipya la wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Kivunge, Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa ni miongoni mwa shamrashara za sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar. Alievaa miwani ni Naibu Waziri wa Afya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo na Daktari dhamana wa Hospitali ya Kivunge Tamim Hamad. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Muonekano wa sehemu ya mbele ya jengo jipya la Wagonjwa wa nje wa Hospitali ya Kivunge, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Meneja wa Mradi wa Kuimarisha Afya Zanzibar (HIPZ), ambao umetoa mchango mkubwa kufanikisha ujenzi huo, Bi. Pamela Allard akizungumza wakati wa shehere za ufunguzi wa jengo hilo. Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akitoa maelezo ya ujenzi wa Jengo hilo na baadae kumkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame. Baadhi ya Wawakilishi wa Mashirika Wahisani wakifuatilia ufunguzi wa Jengo hilo katika Hospitali ya Kivunge. Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria ufunguzi wa jengo la Wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Kivunge, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakimskiliza Mgeni rasmi Dkt. Mwinyihaji Makame hayupo pichani. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt. Mwinyihaji Makame akizungumza na wananchi kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wakati wa ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa nje liliopo Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa hatua za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Awamu ya Saba za kuimarisha huduma za afya za vijijini ni miongoni mwa utekelezaji wa shabaha ya Mapinduzi ya mwaka 1964 ya kuzifikisha huduma bora za afya hadi vijijini kwa nia ile ile ya waasisi wa Mapinduzi. Dk. Shein aliyasema hayo katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk. Mwinyihaji Makame Mwadini, mara baada ya kulifungua jengo la wagonjwa wa nje katika Hospitali ya Kivunge, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Katika hotuba hiyo, Dk. Shein alisema kuwa huduma bora za afya kwa wananchi wote bila ya ubaguzi ni miongoni mwa malengo ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964 ambapo Chama cha ASP kilichoongoza Mapinduzi hayo katika manifesto yake, kiliweka bayana azma yake ya kutoa huduma za afya bure bila ya ubaguzi wakati kitakaposhika hatamu za Serikali. Dk. Shein alisema kuwa jitihada kubwa zimefanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kipindi cha miaka 52 ya Mapinduzi katika kuimarisha huduma za afya kwa kutambua kwamba afya bora ni muhimu kwa wananchi ili waweze kuishi vyema katika kazi ya kuleta maendeleo ya nchi yao. Alisema kuwa mafanikio makubwa yamepatikana katika utekelezaji wa mipango na mikakati ya kuiendeleza sekta ya afya nchini kupitia vitengo na programu mbali mbali zinazoendeleshwa na Serikali kwa ushirkiano na Washirika wa Maendeleo. โ€œNyote ni mashahidi wa kuimarika kwa huduma za afya katika hospitali na vituo vytetu vyote va afyaโ€ฆ Aidha, kuna ongezeko kubwa la vituo vya afya vya daraja mbali mbali kiasi kwamba hivi sasa wananchi wa Zanzibar hawawezi kwenda zaidi ya kilomita tano bila ya kukuta kituo cha afyaโ€,alisema Dk. Shein. 01/09/16--12:58: TAJATI YAFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA VIWANDANI JIJINI MBEYA NA KUSHUHUDIA MAGOFU NA MITAMBO ILIYOTELEKEZWA 01/10/16--00:59: SHUJAA WETU MBWANA SAMATTA ALIVYOPOKELEWA NA WADAU WA SOKA MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR Msafara wa magari uliokuwa umembeba Mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika wa Wachezaji wa Ndani 2015, Mbwana Samata,ulionaswa na Camera ya Globu ya jamii maeneo ya Morocco jana jioni ukitokea hoteli ya Kempinsk baada ya kuzungumza na vyombo vya habari,Msafara huo akiwemo Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye ulipita maeneo kadhaa ya jiji la Dar na kukomea katika kiota cha Escape One Mikocheni jijini Dar,ambako alikutana na kupongezwa na Wadau mbalimbali wa tasnia ya Michezo.Mwanasoka huyo aliwasili juzi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam akitokea Abuja, Nigeria katika hafla ya utoaji tuzo kwa mwanamichezo bora. Baadhi ya Waendesha Boda boda nao hawakuwa na hiyana kuunga mkono mafanikio ya Mbwana Samatta,ambayo yameiletea heshima kubwa nchi yetu. Msafara wa Mbwana Samatta ukikatiza maeneo ya Morocco Baadae akawasili viwanja vya Escape One akiwa ameambatana na Waziri Nape Nnauye tayari kwa kukamilisha ratiba nyingine,pia alipata selfie na washabiki wa soka kama uonavyo pichani Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kazini,huku Nyota wetu Mbwana Samatta akiwa amepozi na tuzo yake ya mchezaji bora wa Afrika. Samatta akipata picha ya pamoja na Waziri Mh.Nape Nnauye. Wadau wa Soka wakijadiiana jambo,wakati huo Samatta anafanya mahojiano ya hapa na pale na baadhi ya vyombo vya habari Kutoka kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano) Mh. January Makamba sambamba na Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauyewakijumuika pamoja kwenye hafla fupi ya kumpongeza Mbwana Samatta ndani ya kiota cha maraha-Escape One Mikocheni jijini Dar Kutoka kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Mazingira na Muungano) Mh. January Makamba sambamba na Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.Nape na wadau wengine wa soka wakijumuika kwa pamoja kumpongeza Samatta. PICHA NA MICHUZI JR-MMG. 01/11/16--03:22: MSIBA DMV NA TANZANIA LETICIA NYERERE HATUKONAE TENA Leticia Nyerere enzi ya uhai wake. Familia ya Leticia Nyerere ya Lanham, MD inasikitika kutangaza kifo cha mama Yao mpenzi kilichotokea tarehe 10 January 2016 nchini marekani. Mipango na utaratibu wa kusafirisha mwili inafanywa. Msiba upo 9004 brightlea court, Lanham MD 20706. Kama mila na desturi zetu tufike kuwafariji familia. Kwa maelezo zaidi wasiliana na : 01/11/16--04:45: MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA YAONGEZEKA TANZANIA Mtaalamu wa masuala ya Afya kutoka akipima mzunguko wa damu Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukizwa (TANCDA)jana katika hospitali ya mkoa wa Mount Meru ambapo shughuli za upimaji wa magonjwa ya moyo,kisukari na saratani yalifanyika bure kwa wananchi wote. "Watu wengi wamekua hawatilii maanani magonjwa yasiyoambukiza lakini yana athari kubwa kiafya na kwenye uchumi wa watu kwani hutumia muda mrefu na fedha nyingi kutibu" Alisema Dokta Waane. 01/11/16--05:02: JK AMPONGEZA SAMATTA LEO Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye hafla hiyo leo.
"2019-12-11T10:18:58"
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p735.html
[ -1 ]
Nchi - TPAN - Mwezi Machi Nchi - TPAN Nyumbani ยป Nchi - TPAN Mkataba wa Kuzuia Silaha za Nyuklia 7 2017 Julai, baada ya miaka kumi ya kazi na ICAN na washirika wake, idadi kubwa ya mataifa ya dunia iliyopitishwa kihistoria mkataba wa kimataifa kupiga marufuku silaha za nyuklia, rasmi inayojulikana kama Mkataba juu ya Marufuku ya silaha za nyuklia . Itakuingia katika nguvu za kisheria mara moja mataifa ya 50 yamesaini na kuidhinisha. Hali ya sasa ni kwamba kuna 81 ambazo zimesaini na 39 ambazo pia zimeridhia. Tunapoteza 11 kuingia kwenye nguvu, juu ya kufikia jumla. Nakala kamili ya mkataba Hali ya saini / ratifi Kabla ya mkataba, silaha za nyuklia na silaha tu za maangamizi yasiyokuwa chini ya marufuku kabisa (kama ni kemikali na vimelea silaha), licha ya janga la kibinadamu na kimazingira matokeo yao ya muda mrefu. Makubaliano mapya hatimaye kujaza pengo kubwa katika sheria ya kimataifa. Inakataza mataifa kuendeleza, mtihani, kuzalisha, utengenezaji, uhamisho, wamiliki, kuhifadhi, kutumia au kutishia kutumia silaha za nyuklia, au kuruhusu silaha za nyuklia katika nchi hiyo ambalo lililokuwa limeegeshwa. Pia marufuku kusaidia, kuhamasisha au kushawishi mtu yeyote kushiriki katika yoyote ya shughuli hizi. Taifa linalo silaha za nyuklia linaweza kujiunga na mkataba huo, kwa kadiri inavyokubali kuwaangamiza kwa mujibu wa mpango wa kisheria na wa muda. Kwa njia hiyo hiyo, taifa ambalo linakamata silaha za nyuklia la taifa lingine katika eneo lake linaweza kujiunga, kwa muda mrefu kama inapokubali kuondosha ndani ya muda fulani. Mataifa wanalazimika kutoa msaada kwa waathirika wote wa matumizi na upimaji wa silaha za nyuklia na kuchukua hatua za kurekebishwa kwa mazingira yasiyojali. Utangulizi utambua uharibifu unaosababishwa kutokana na silaha za nyuklia, ikiwa ni pamoja na athari mbaya kwa wanawake na wasichana, na kwa watu wa asili duniani kote. mkataba ilijadiliwa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Machi, Juni na Julai 2017, pamoja na ushiriki wa zaidi ya nchi 135 na wanachama wa jamii ya kiraia. 20 Septemba 2017 ilifunguliwa kwa saini. Ni ya kudumu na itakuwa kisheria kwa ajili ya mataifa wanayounganisha. Kushirikiana na TPAN kuingia katika nguvu ni mojawapo ya vipaumbele vya Dunia Machi kwa ajili ya Amani na Ukatili. Hati ya saini au ratifi
"2020-07-11T13:15:29"
https://sw.theworldmarch.org/paises-tpan/
[ -1 ]
Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha! - JamiiForums Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha! Thread starter nyaggad nyaggad Je ni wakati gani mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha yake kwa mwanaume? 1)je ni wakati ambao mwanaume ana maisha magumu ,hana Ajira,yani kipindi ambacho mwanaume anapambana na hali yake kutoka kwenye dimbwi la umaskini?au! 2)je ni wakati ambao mwanaume ana maisha mazuri,ana ajira nzuri,ameshatoka kwenye Dimbwi la umaskini na mwenye mafanikio ya kiuchumi? Binafsi naona wakati mzuri wa mwanaume kutafuta mwanamke wa maisha yake,ni wakati ule mwanaume anapokuwa na maisha magumu,kwa sababu Dunia nzima hakuna mtu anaependa maisha magumu na umaskini labda awe chizi,na hapa Duniani kuna uchizi wa aina mbili tu "uchizi wa matatizo ya akili na uchizi wa mapenzi"lakini uchizi wa mapenzi ni mzuri maana huwa ni kiwango cha juu sana cha upendo, kwa mantiki hiyo ukimuona mwanamke amekubali kuishi maisha magumu na mwanaume maskini wakati kuna wanaume wenye maisha mazuri wanahitaji kuwa nae,unatakiwa ujue huyo mwanamke amechizika na mapenzi yani kwa tafsri nyingine "amependa kweli"na wahenga husema "Rafiki wa kweli ni yule akufaae kwa dhiki",ni bahati mbaya sana siku hizi wanaume wengi hutafuta wachumba pindi wanapokuwa wamefanikiwa ndio maana ndoa nyingi siku hizi hazidumu! Hakika nawaambieni"ukweli ni vigumu kumpata mwanamke anaekupenda kweli ukiwa maskini lakini ni vigumu zaidi kumpata mwanamke anaekupenda kweli ukiwa Tajiri"sasa wewe subiri ufanikiwe ndipo utafute mchumba wa kuoa halafu uone mara ume filisika baada ya kuoa,hapo ndipo utakapojua kuwa kuna wanawake wenye Destiny ya umaskini,kwa sababu wanajua kutumia tu pesa hawajui kuzalisha na hawana upendo wa kweli! Huu ni mtizamo wangu sio sheria,toa na wewe mtizamo wako! Reactions: yellow eyes, THOMASS SANKARA, Mamvula and 30 others ujumbe wako Umekuja wakati Mhafaka kwa Upande wangu..Nashidwa Nichague Mwanamke wa Namna Gani kwa wakati Nilio nao?Naomba wadau wenye Mchango zaidi wa changie zaidi Hapa.Tafadhari Reactions: othuman dan fodio, afande kifimbo, Mark Msue and 16 others Kiukweli mwanamke anaekupenda na kukuthamini ukiwa huna kitu hasa ktk hii hali ya vyuma kukaza nindio chaguo bora tatizo linakuja wewe unamuona kimuonekano hakuvutii sasa hapo ndo unapofeli. Reactions: yellow eyes, Cute lee, El west and 39 others Subiri wanakuja mkuu! Reactions: Extrovert and misasa Hanitoni said: Hilo nalo neno mkuu! 12,772 2,000 Kwenye shida ndo utampata MTU sahihi, si waume tu na wake pia 7,387 2,000 Umenena kweli.. Japo kupata binti wa kukupenda na umasikini wako wanazidi kupungua kadri siku zinavyokwenda Reactions: Cute lee, timo toby, aymatu and 12 others Kweli kabisa mkuu! Ni changamoto kweli mkuu! 1,140 2,000 Yah n kwel kipind ukiwa kapuku km ikitokea ukapata mwanamke na akakubali kuishi na we kipind cha msoto bhas kuna uwezekano huyo akawa anakupenda kwa dhati ... Reactions: timo toby, gbefa, misasa and 7 others Uko sawa mkuu! Hatari sana aisee! 4,695 2,000 Kipindi cha shida ndio wakati muafaka wa kumtambua mtu mwenye mapenzi ya dhati kwako. Hata ukitaka kujua marafiki wa kweli ni wakati wa shida!! Reactions: yellow eyes, Mfagio, gbefa and 8 others Ni kweli kabisa mkuu! nyaggad said: Tatizo wanaume tukiwapenda katika nyakati za shida mnajiona wa maana sana na kutudharau kwamba tuko cheap, baadae mnaona hatuna hadhi... apandacho mtu ndicho atakachovuna Reactions: Mamvula, afande kifimbo, LadyRed and 10 others Sio zama hz aisee, unamkubali mwanaume hana kitu, unamsaport kwa kila hali, hela za nauli za kwenda kwny interview unamtafutia hata kwa kukopa, unamsaidia kutafuta matangazo ya kazi, kuaply, kusaka vibarua huku na huku, lkn akishainuka na kupata ajira na hela basi wewe unaonekana screpa!!! Anaanza kushoboka na wavaa mawigi wanaojua kujichubua na kutumia hela wasizozitafuta!!!! Mwisho wa siku anakubwaga kweupe na kashfa juu ati wewe sio hadhi yangu...wasengerema kweli hawa viumbe. Reactions: yellow eyes, trustful, Mamvula and 24 others 610 1,000 kwa akili za fasta kuna wanawake wa aina mbili 1. anayeweza kuwa na wewe wakat wa msoto hapa pagumu kidogo kwa wadada wapenda snapt chart au kuhudhuria vikao vya fried chicken pale mliman city KFC na mary brown 2. kuna wanawake ili uwe nao lazima uwe na kitu flan ndo ukweli hapa tunawaitaga wadada wa finished project swala la kutafuta mwenza halina wakati maalum moyo wako utakwambia kwa sasa nimechoka kuhudhuria gest naitaji pumziko Reactions: Extrovert, fatou46, Doswe Dossena and 7 others bin saidy Kweli,lakini usihukumu hivo kama umempenda mpende.sisi sio samaki akioza mmoja tumeoza wote wengine tumejaaliwa kujali na kuthamini fadhila zenu Reactions: mjambaji, dinna R, misasa and 3 others Apejiwe Ukiona binti hakupendi kwa sababu in maskini huyo hafai, maana inaonesha ana tamaa ya mali tu wala hana upendo kwako. Reactions: Extrovert and timo toby
"2019-05-20T11:29:59"
https://www.jamiiforums.com/threads/tambua-wakati-mzuri-wa-kutafuta-mwanamke-wa-maisha.1351161/
[ -1 ]
Kuishi Roulette Wheel | kupata 50% 3rd mechi Bonus Up ยฃ 250 | Slot Fruity ยฃ 5 + ยฃ 500 za simu za! Kuishi Roulette Wheel | kupata 50% 3rd mechi Bonus Up ยฃ 250 | Slot Fruity ยฃ 5 + ยฃ 500 za simu za! Kuishi Roulette Wheel | kupata 50% 3rd mechi Bonus Up ยฃ 250 Kuchukua Uwezekano juu ya kuishi Roulette Wheel And Turn Luck yako Around โ€“ Kupata Bure ยฃ 5 The โ€˜ Slots mkononi Hakuna Amana Bonusโ€™ Mapitio na kwa Slotfruity.com Katika kati ya bahari ya kasinon mkononi, Slot Fruity ni moja kwamba anaibuka kama kisiwa. Roulette kuwa mmoja wa pop michezo yake, Slot Fruity casino unaweza kubadilisha bahati yako kwa spin moja tu juu ya kuishi Roulette gurudumu. Jinsi ya kucheza kuishi Roulette Wheel Online โ€“ Jiandikishe sasa kupata 50% 3rd mechi Bonus Up ยฃ 250 + kupata 25% Bonus Up ยฃ 50 On Siku za wiki Roulette ni moja ya kiwango cha michezo ya kamari classic kupasha hisia ya novelty na heshima katika kukutana moja tu kwa casino yetu Roulette meza. Kuchagua idadi bahati yako. Kuchagua rangi bahati. Kusimama nyuma na kuangalia kama kuishi Roulette gurudumu spins bahati yako karibu. Kusubiri kwa bahati yako ya kupata wewe. Kufurahia thrill ya mikakati hila Roulette. Hebu kuishi Roulette gurudumu whirl na swirl. Mafao All Around Hiyo ni haki kabisa. Kwa kiasi ya inatoa sisi kutoa na wewe juu ya kila siku, ikiwa ni pamoja na nafasi ya kucheza Roulette kwa ajili ya bure, ni ajabu tuna wachezaji wengi kuandamana us kila siku juu ya kuishi Roulette gurudumu. Kuanzia amana mafao bure, sisi kwa ajili yenu kuwakaribisha ziada, Daily bahati sare mafao na jackpots kwa kucheza na na bila shaka, kutoa mwisho kushinda bonuses kila wakati kuwapiga muuzaji ambayo katika kesi hii itakuwa kuishi Roulette gurudumu spinner. Hivyo kifungo juu na kunyakua kwamba kitabu cha Roulette maelekezo. mchezo ni juu ya. Tunafahamu confusions kwamba kuongozana kamari. Sirens lazima kwenda mbali katika akili yako wakati unaweza kuona kucheza bure Roulette ishara. Kuweka moja katika akili, sisi yaliyoandaliwa huduma huduma kwa wateja kwamba inachukua huduma ya kila kitu. Huduma zetu ni inapatikana na wewe kutoka tisa asubuhi hadi kumi na mbili katika usiku. Kutupatia wito wakati wowote unataka. Tutumie ujumbe kwenye mazungumzo yetu ya kuishi. E-mail yetu maswali yako na sisi kujaribu bora yetu ya kupata nyuma yenu katika span chini ya muda iwezekanavyo. Tunafahamu kamari na sisi ni furaha ya kukusaidia. Tunaamini katika Kutoa Back Kile ambacho ni mali kihalali kwa mchezaji atakabidhiwa kwa us. Kucheza kuishi Roulette gurudumu kwa ajili ya kujifurahisha au kucheza na mikopo na kuchukua winnings wako wa kulia nyuma na wewe. Tunaunga mkono Kuweka urahisi wa mchezaji katika akili, sisi wamekuja na simu muswada kulipa huduma. Ni jambo la sekunde na unaweza amana au kuondoa winnings yako kupitia huduma yako carrier mkononi.Rahisi haina hata kuanza kuelezea us. Vifaa Sisi Upendo Slot Fruity Casino ni sambamba na karibu yote makubwa majukwaa ikiwa ni pamoja na Android, Symbian, iOS, Blackberry na Windows versions. Matumizi iPad au iPhone au tab au mbali au desktop na utapata Slot Fruity kila mahali. Tunachukua biashara hii kwa umakini watu. Je, Ziara Tena Sisi katika casino yetu, Roulette, michezo ya bure na idadi ya chaguzi za kuchagua kutoka kwamba itawasha siku yako. Kucheza Amerika Roulette kuishi au kwenda kwa spin juu ya kuishi Roulette gurudumu kwa ajili ya ama Ulaya au Kifaransa Roulette. Slot fruity casino itaendelea kuendesha vizuri ili uweze kufurahia bure, kuishi, online Roulette michezo. kufurahia michezo, kushinda mengi na kuendelea kuja nyuma. Slot Fruity ni furaha daima kuwa na wewe.
"2017-10-21T21:31:22"
https://www.slotfruity.com/sw/kuishi-gurudumu-Roulette/
[ -1 ]
Mchezo trojan Walinzi Online. Kucheza kwa huru Mchezo trojan Walinzi Kucheza mchezo trojan Walinzi Online: Maelezo ya mchezo trojan Walinzi Kuahidi sana shooter flash, nzuri kuchora, wazo nzuri! Kitu pekee ambayo inaweza mara moja kujenga usumbufu operesheni hii gumu. . Kucheza mchezo trojan Walinzi online. Kiufundi na tabia ya mchezo trojan Walinzi Mchezo trojan Walinzi aliongeza: 06.02.2011 Michezo kama mchezo trojan Walinzi Download mchezo trojan Walinzi Embed mchezo trojan Walinzi katika tovuti yako: trojan Walinzi Kuingiza mchezo trojan Walinzi kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo trojan Walinzi, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia! Pamoja na mchezo trojan Walinzi, pia alicheza katika mchezo:
"2017-10-22T02:50:49"
http://sw.itsmygame.org/121174479/trojanskaja-gvardija_online-game.html
[ -1 ]
2018-09-23 07:14:06 2 Iliyotangulia: Kuna tofauti ipi kati ya kazi ya wale wanaotumiwa na Mungu na kazi ya viongozi wa kidini? Inayofuata: Mtu anayemwamini Mungu ni lazima aweze kutambua wachungaji wa uwongo na wapinga Kristo kuiacha dini na kurudi kwa Mungu
"2019-06-17T05:46:21"
https://sw.kingdomsalvation.org/gospel/work-of-God-and-work-of-man-3.html
[ -1 ]
YANGA B YAIPIGA 3-0 MBEYA CITY NA KUTANGULIA FAINALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA B YAIPIGA 3-0 MBEYA CITY NA KUTANGULIA FAINALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > YANGA > YANGA B YAIPIGA 3-0 MBEYA CITY NA KUTANGULIA FAINALI Kiungo wa Yanga B, Said Mussa (kulia) akijaribu kumtoka beki wa Mbeya City, Erick Kyaruzi, Mshambuliaji wa Yanga B, Paul Godfrey, (kulia), akimtoka mchezaji wa Mbeya City, Anthony Item Reviewed: YANGA B YAIPIGA 3-0 MBEYA CITY NA KUTANGULIA FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
"2018-12-13T01:25:26"
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/yanga-b-yaipiga-3-0-mbeya-city-na.html
[ -1 ]
AJIB, KIFUNUE NA UKISOME KITABU CHA RONALDO - Tanzania Sports 29th May 2020 Last update at 8:39 pm Usiku wa jana kulikuwa na hafla ya utoaji tunzo za soka ambazo ziliandaliwa na shirikisho la soka duniani FIFA. Hafla ambayo iliwakutanisha watu mbalimbali, tena miamba migumu iliyotengeneza historia iliyotukuka katika ulimwengu wa soka. Historia ambayo haiwezi kufutika zaidi ya kutumika kama kumbukumbu kwa vizazi na vizazi. Historia ambayo inawapa heshima wao kwa sababu wao walianza kuupa heshima mpira wa mguu. Waliuheshimu, wakautukuza na wakaishi ndani ya mpira na kuota mafanikio yao makubwa yatakuwa ndani ya mpira. Ndiyo maana historia itamkumbuka Pele ambaye jana ilikuwa siku yake ya kuzaliwa kama moja ya wachezaji bora kuwahi kutokea dunia. Hii yote ni kwa sababu Pele alipigana vya kutosha miaka ya 1960 kuhakikisha dunia itakuja kumkumbuka kama mmoja wa wachezaji bora katika dunia. Alitumia muda wake kuhakikisha kuwa ipo siku moja dunia itamwandika kwa wino wenye bashasha la tabasamu, na siyo wenu wenye bashasha la huzuni. Hakutaka kuruhusu neno kushindwa liwe katika mwisho wa kitabu chake cha historia, alihakikisha kuwa ushindi ndiyo neno pekee linalotakiwa lionekane kwenye kurasa ya mwisho ya kitabu chake. Hiki ndicho ambacho alitaka kukiacha kwenye kizazi cha milele, milele atakumbukwa. Nilitabasamu sana na kufurahia baada ya kuwaona Maradona na Ronaldo De Lima wakienda kutoa tunzo ya mchezaji bora dunia wa kiume. Macho yangu yalifurahia kuwaona kwa sababu akili yangu iliruhusu kumbukumbu zangu zirudi nyuma. Kumbukumbu ambazo kwa asilimia kubwa zilikuwa zinaelezea mafanikio makubwa ya kukumbukwa ya hawa magwiji wawili. Mafanikio ambayo waliyapata na kuyaacha kama kumbukumbu kwa kila kizazi. Historia inamtambua Maradona kama mchezaji bora wa dunia kuwahi kutokea baada ya Pele, historia hiyo hiyo inasema Ronaldo De Lima ni mshambuliaji bora wa kati kuwahi kutokea. Historia imewafanya kuwa nguzo imara kwa sababu wao walijenga msingi mzuri wa historia yao wakati wanacheza. Wachezaji wawili wenye medali ya kombe la dunia walikuwa wanamkabidhi mchezaji bora wa dunia wa mwaka 2017 ambaye hana medali ya kombe la Mchezaji ambaye ana mafanikio makubwa uwanjani kwa sababu ya jitihada zake. Jitihada zake zimemfanya awe na mafaniko makubwa na jitihada zake pia zinamtengenezea mazingira mazuri ya yeye kuandikwa kwenye vitabu vya historia kwa wino wa tabasamu. Ni mchezaji ambaye amezaliwa katika mazingira magumu, lakini alikuwa na maono. Maono yake makubwa yalikuwa kuja kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa duniani kwa kutumia kipaji chake. Alikiamini kipaji chake na kuamini ipo siku moja dunia itamkunbuka kwa mazuri kwa sababu ya kipaji chake Wakati akiwa mtoto mdogo, Cristiano Ronaldo aliwahi kumuonesha baba yake hotel kubwa nchini Ureno nakumwahidi kuwa ipo siku angemjenge a Hotel kubwa kama hiyo. Miaka mingi imepita leo hii Cristiano Ronaldo ana hotel zake kubwa Ureno na Marekani. Ndoto yake kaipita kwa sababu aliishi ndani ya maono yake. Alikiamini kipaji chake na kuamini ipo siku moja atapata mafanikio makubwa kupitia kipaji chake. Jana wakati anaulizwa siri ya mafanikio yake alisema kitu kimoja โ€ Talent without working is nothingโ€. Kipaji bila kukifanyia kazi ni kazi bure, unatakiwa uhakikishe unakifanyia kazi kipaji chako kwa manufaa yako binafsi. Unapokuwa na kipaji unatakiwa utamani uwe mkubwa kila siku. Jua la leo likitoka, unatakiwa litoke katika hali ya utofauti na wa jua la jana. Kila siku unatakiwa uwe mkubwa kuliko jana. Usiendelee kuishi katika mfumo wa jana ambao umekufanya udumae kila uchwao. Inauma unapoona kipaji hakipigi hatua ya mafanikio na muda unaenda. Haina ubishi Ajib ana kipaji kikubwa sana, kipaji ambacho hakistahili kuendelea kuvaa jezi ya Yanga. Ni dhambi kubwa kwa Ajib kuendelea kuwepo katika ardhi ya Tanzania. Historia ya mpira itamwandika kama Ngassa . Mwisho wa kitabu chake kutakuwa na maneno ya huzuni kama kitabu cha Ngasa. Kuna haja ya Ajib kutamani kitabu chake kiwe na kurasa ya mwisho chenye maneno ya ushindi. Naamini anaweza akabadilisha historia, na kizazi kijacho kikamsoma kama mchezaji bora kuwahi kutokea nchini kutokana na mafanikio yake ambayo anatakiwa kuyapata nje ya ardhi ya Tanzania. Tags: Ajib, christiano Ronaldo, Martin Kiyumbi, soka, UEFA
"2020-06-03T10:25:07"
https://www.tanzaniasports.com/ajib-kifunue-na-ukisome-kitabu-cha-ronaldo/
[ -1 ]
SOMA KATIKA Afrikaans Chibemba Kialbania Kiamharike Kiarabu Kiarmenia Kiaymara Kibengali Kibikole Kibislama Kibulgaria Kicheki Kichichewa Kichinois mandarin (simplifiรฉ) Kichinois mandarin (traditionnel) Kichitonga Kichitumbuka Kidangme Kidanishi Kiebrania Kiefik Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifini Kiga Kigiriki Kigreenland Kiguarani Kigujarati Kihiligaynon Kihindi Kihispania Kiholanzi Kihungaria Kiigbo Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiiselandi Kiitaliano Kijapani Kijeorjia Kijerumani Kikannada Kikaonde Kikatalan Kikazath Kikechua (Bolivia) Kikirigizi Kikorasia Kikorea Kikrio Kikrioli cha Haiti Kikuyu Kikwanyama Kilitwania Kiluba Kiluo Kimalagasi Kimalayalamu Kimalta Kimarati Kimasedonia Kimaya Kimbundu Kimongolia Kimoore Kimyama Kindebele Kinepali Kingabere Kinorwe Kinyaneka Kinyarwanda Kinzema Kiosete Kipangasinan Kipapiamento (Aruba) Kipapiamento (Kurasao) Kipolandi Kipunjabi Kireno Kiromania Kirundi Kirusi Kisango Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (Kiroma) Kisetswana Kishona Kisilozi Kisinghale Kislovakia Kislovenia Kisonge Kisranan tongo Kiswahili Kiswahili (Congo) Kiswedi Kitagalog Kitahiti Kitai Kitamul Kitatar Kitelugu Kitigrinya Kitirke Kitsonga Kitwi Kiukraini Kiumbundu Kiuzbek Kivenda Kivietinamu Kiwayuunaiki Kixhosa Kiyoruba Kizulu Kongo Lingala Luganda Sesotho (Lesotho) Tshiluba Zande
"2018-12-11T06:42:05"
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/wp20140601/kuvuta-tumbaku-mambo-ya-hakika-tatizo-lenye-kuenea-sana/
[ -1 ]
Jesus ta loteke oshikungulu | Onghalamwenyo yaJesus MATEUS 8:18, 23-27 MARKUS 4:35-41 LUKAS 8:22-25 JESUS TA LOTEKE OSHIKUNGULU OSHO SHA TUKULUKA MEFUTA LAGALILEA Ola li efiku lile kuJesus nokwa li a loloka. Eshi etango la ningina, okwa lombwela ovahongwa vaye a ti: โ€œNatu yeni kombinga ikwao yefuta.โ€ โ€” Markus 4:35. Kombinga ikwao yokoushilo womunghulofuta wefuta laGalilea oku na oshitukulwa shOvagerasa. Oshitukulwa osho ohashi ifanwa yo Dekapolis. Oilando yaDekapolis oya li ondingandinga yomifyuululwakalo dOvagreka, nonande omwa li hamu di Ovajuda vahapu. Eshi Jesus a dja mo muKapernaum, ovanhu ova li ve shi didilika. Opa li yo eewato dimwe molweendo olo tadi taulula efuta. (Markus 4:36) Ashike olweendo lado ka la li lile. Efuta laGalilea, etale linene olo li na omeva mawa, noli na oule weekilometa 21 nosho yo omutamo weekilometa 12. Ashike kali na omeva a ya moule. Nonande Jesus omunhu a wanenena, okwa li a loloka eshi a kala ta udifa. Eshi va londa mowato, okwa ka kofela konima, a tenheka omutwe waye koshiwilo. Ovayapostoli vamwe ovo ve na owino ova li tava shingi owato, ashike olweendo olo kala li lipu. Ova li va dingililwa keemhunda, nefuta laGalilea ola li hali kala la pupyala luhapu. Omafimbo amwe, omhepo italala oyo hai di meemhunda ohai shakene nomhepo oyo ipyu hai di mefuta nohashi ningifa pa holoke oikungulu inene mefuta. Pomhito oyo, osho osho sha li sha ningwa po. Omakufikufi okwa li tae lidenge mowato. Owato yavo oya โ€œli ya hovela okuyada omeva.โ€ (Lukas 8:23) Natango, Jesus okwa li ashike a kofa. Ovashingiwato ova li tava longo noudiinini mokushinga owato, tava longifa owino wavo oo va li va mona monakudiwa u na sha nokutaulula moikungulu. Ashike pomhito oyo onghalo kaya li ngaashi shito. Molwaashi ova li va tila okufya, ova li va pendula Jesus tava ingida tava ti: โ€œOmwene, tu xupifa, otu li pokufya!โ€ (Mateus 8:25) Ovahongwa ova li va tila okufya omeva. Eshi Jesus a penduka, okwa pula ovayapostoli vaye a ti: โ€œOmolwashike mwa tila? Kamu na tuu eitavelo linini!โ€ (Mateus 8:26) Opo nee Jesus okwa hanyena omhepo nefuta ta ti: โ€œShii! Mwena!โ€ (Markus 4:39) Omhepo yoshikungulu oya li ya mwena, nefuta ola li la lota. (Markus naLukas ova shanga kombinga yoshiningwanima osho, tete ova divilika nghee Jesus a lotifa oshikungulu pashikumwifilonga, nova popya shi na sha novahongwa ovo vehe na eitavelo.) Diladila kunghee osho sha li sha kuma ovahongwa. Eshi va mona oshikungulu osho shinene sha lota, ova li va kwatwa koumbada noku pulafana tava ti: โ€œOmunhu ou okwa tya naanaa ngahelipi? Nokuli nomhepo nefuta otai dulika kuye.โ€ Ova ka fika nombili kombinga ikwao yefuta. (Markus 4:41โ€“5:1) Otashi dulika yo eewato dikwao da li da dula okushuna komunghulofuta wokouninginino. Itashi hekeleke tuu okushiiva kutya Omona waKalunga oku na eenghono dokupangela onghalo yomhepo! Eshi Jesus ta ka pangela kombada yedu e li ohamba, ovanhu otava ka kala meameno molwaashi itapa ka kala oiponga yopaushitwe. Oinima ilipi yopaushitwe tashi dulika ya ningifa oshikungulu shi tukuluke mefuta laGalilea? Ovahongwa ova li va ninga po shike eshi va li va tila? Omolwashike oshiningwanima osho tashi tu hekeleke?
"2020-02-28T07:14:56"
https://www.jw.org/kj/ongulumambo/omambo/jesus/oukalele-mugalilea/ta-loteke-oshikungulu/
[ -1 ]
14 Ndipo Samsoni akashuka mpaka Timna,+ akamwona mwanamke mmoja huko Timna kati ya binti za Wafilisti. 2 Basi akapanda, akamwambia baba yake na mama yake, akisema: โ€œNimemwona mwanamke mmoja huko Timna kati ya binti za Wafilisti, basi sasa mniletee mwanamke huyo awe mke wangu.โ€+ 3 Lakini baba yake na mama yake wakamwambia: โ€œJe, hakuna mwanamke yeyote kati ya binti za ndugu zako na kati ya watu wangu wote,+ hivi kwamba uende kumchukua mwanamke kutoka kwa Wafilisti wasiotahiriwa?โ€+ Lakini bado Samsoni akamwambia baba yake: โ€œNileteeni huyo, kwa maana ndiye anayestahili kabisa machoni pangu.โ€ 4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+ 5 Basi Samsoni akashuka pamoja na baba yake na mama yake, wakaenda Timna.+ Alipofika katika mashamba ya mizabibu ya Timna, tazama! mwana-simba mwenye manyoya shingoni akamngurumia alipokutana naye. 6 Ndipo roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ naye akampasua vipande viwili, kama vile mtu anavyompasua mwana-mbuzi vipande viwili, wala hapakuwa na kitu chochote mkononi mwake. Naye hakumwambia baba yake wala mama yake jambo alilokuwa amefanya. 7 Naye akaendelea kushuka, akaanza kusema na yule mwanamke; na huyo mwanamke alikuwa bado ni mwenye kustahili machoni pa Samsoni.+ 8 Basi baada ya muda akarudi kumchukua mwanamke yule nyumbani kwake.+ Naye akageuka kando kuuangalia ule mzoga wa simba, na tazama, kulikuwa na bumba la nyuki ndani ya huo mzoga wa simba, na asali.+ 9 Basi akaiparura na kuitia mkononi mwake, akaendelea kutembea, huku akila alipokuwa akitembea.+ Alipojiunga tena na baba yake na mama yake, ndipo mara moja akawapa sehemu ya asali hiyo, nao wakaanza kula. Naye hakuwaambia kwamba aliitoa asali hiyo katika ule mzoga wa simba. 10 Na baba yake akaendelea kushuka mpaka kwa yule mwanamke, naye Samsoni akafanya karamu huko;+ kwa maana hivyo ndivyo vijana walivyokuwa na desturi ya kufanya. 11 Na ikawa kwamba, walipomwona, bila kukawia wakachukua rafiki 30 za bwana-arusi, ili wakae naye. 12 Ndipo Samsoni akawaambia: โ€œTafadhali, acheni niwategee kitendawili.+ Mkiniambia kwa hakika kitendawili hicho kwa muda wa siku saba+ za karamu hii, nanyi mkitegue, ndipo nitakapowapa mavazi 30 ya ndani na nguo 30.+ 13 Lakini mkishindwa kuniambia kitendawili hicho, ninyi mtanipa mavazi 30 ya ndani na nguo 30.โ€ Kwa hiyo wakamwambia: โ€œTega kitendawili chako, tukisikie.โ€ 14 Hivyo akawaambia: โ€œKatika mwenye kula+ kilitoka kitu fulani cha kula, Na katika mwenye nguvu kilitoka kitu fulani kitamu.โ€+ Nao hawakuweza kukitegua kitendawili hicho kwa muda wa siku tatu. 15 Na ikawa kwamba, katika siku ya nne wakaanza kumwambia mke wa Samsoni: โ€œMdanganye mume wako ili atutegulie kitendawili hicho.+ Kama sivyo tutakuteketeza kwa moto+ wewe na nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?โ€+ 16 Basi mke wa Samsoni akaanza kumlilia+ na kusema: โ€œWewe unanichukia tu, unanichukia, wala hunipendi.+ Kuna kitendawili ambacho uliwategea wana wa watu wangu,+ lakini mimi hukuniambia.โ€ Ndipo akamwambia: โ€œAngalia, hata sikumwambia baba yangu wala mama yangu,+ nami je, nikuambie wewe?โ€ 17 Lakini akaendelea kumlilia zile siku saba ambazo waliendelea na karamu, basi mwishowe ikawa kwenye siku ya saba akamwambia, kwa sababu mwanamke huyo alikuwa amemkaza.+ Kwa hiyo mwanamke huyo akawaambia wana wa watu wake kitendawili hicho.+ 18 Basi watu wa jiji wakamwambia siku ya saba kabla hajaenda katika chumba cha ndani:+ โ€œNi nini kilicho kitamu kuliko asali, Na ni nini kilicho na nguvu kuliko simba?โ€+ Ndipo naye akawaambia: โ€œKama hamngelima na ngโ€™ombe wangu mchanga,+ Hamngekitegua kitendawili changu.โ€+ 19 Halafu roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu yake,+ kisha akashuka Ashkeloni,+ akawapiga watu 30 kati yao, akachukua mavazi aliyowavua, akawapa mavazi hayo wale wasemaji wa kile kitendawili.+ Na hasira yake ikaendelea kuwaka, akapanda kwenda zake kwa nyumba ya baba yake. 20 Na mke wa Samsoni+ akaja kuwa mke wa mmoja wa rafiki+ zake aliyekuwa ameshirikiana naye. https://www.jw.org/finder?docid=1011452&Book=7&Chapter=14&wtlocale=SW&srcid=share mailto:?body=Soma Biblia Kwenye Mtandao%0a%0ahttps%3A%2F%2Fwww.jw.org%2Ffinder%3Fdocid%3D1011452%26Book%3D7%26Chapter%3D14%26wtlocale%3DSW%26srcid=shareโŠ‚ject=Soma Biblia Kwenye Mtandao
"2016-12-07T16:28:18"
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/waamuzi/14/
[ -1 ]
Msanii Chid Benz Anatia HURUMA....Msaada wa Haraka Unahitajika Ili Kumuokoa | MPEKUZI Msanii Chid Benz Anatia HURUMA....Msaada wa Haraka Unahitajika Ili Kumuokoa Licha ya wadau mbalimbali kutaka asaidiwe lakini bado tunaona hakuna msaada wa haraka ambao mpaka sasa umechukuliwa ili kumuokoa Chidi Benz. Serikali ya Magufuli ni sikivu sana, bila shaka kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo inayoongozwa na Waziri kijana mpenda sanaa, Nape Moses Nnauye ataliangalia suala hili.
"2017-03-26T22:52:47"
http://www.mpekuzihuru.com/2016/03/msanii-chid-benz-anatia-hurumamsaada-wa.html
[ -1 ]
Serikali Yapinga Kuwafukuza Wakimbizi Wa Burundi - Swahili Cloud China: Wanafunzi kufundishwa kusoma kwa kasi ya ajabu, dakika 5 mtoto kumaliza maneno Laki 1, elimu yahofiwa kushuka
"2019-12-16T09:47:07"
https://www.swahilicloud.com/2019/12/02/serikali-yapinga-kuwafukuza-wakimbizi-wa-burundi/
[ -1 ]
AKINAMAMA 50 KUFAIDIKA NA TAMASHA LA UPENDO KWA MAMA. ~ CHIMBUKO LETU Carlos Mkindi ambaye ni mkurugenzi wa mkundi production akiongea na wanahabari kuhusiana na Tamasha la Upendo kwa mama ambalo linalenga kutoa mitaji kwa zaidi ya akina mama 50 wajasiriamali ili kuwawezesha kujiajiri pamoja na kuwaombea na kuwashukuru kwa moyo wa upendo waliyonayo kwa kujitoa katika kusimamia familia na malezi Carlos Mkindi mwenyekiti wa Tamasha la upendo ambaye ni mkurugenzi wa mkundi production akifanyiwa mahojiano na wanahabari katika studio za mkundi production zilizopo njiro mkoani Arusha
"2017-06-24T03:34:03"
http://chimbukoletu.blogspot.com/2014/10/akinamama-50-kufaidika-na-tamasha-la.html
[ -1 ]
Jamhuri April 9, 2013 FASIHI FASAHA2013-04-09T14:03:56+00:00 Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili โ€œLugha yetu ya Kiswahili imepata misukosuko mingi kwa kunyanyaswa na kubeuliwa kwa karne nyingi zilizopita. Unyonge wetu ulitokana na kutawaliwa na kudharauliwa uliotufikisha mahali ambapo hata sisi wenyewe tulianza kukinyanyasa na kukibeua Kiswahili.โ€ Kauli hiyo ilitolewa na Saadan Abdu Kandoro (STAHAKI) katika kifunguzi cha kitabu chake kiitwacho โ€˜Ushahidi wa Mashairi ya Kiswahili na Lugha Yakeโ€™ (Uk xvii). Aya hiyo imenifanya nitie nanga katika safari yangu ya kuabiri ndani ya kitabu chake, ili nipate kusanifu maana na tafsiri ya maneno aliyosema. Ingawa sitakuwa sahihi moja kwa moja, basi angalau niseme na kujadili ili nikate kiu yangu juu ya maneno hayo. Maneno hayo yananipa taswira ya kuwa ni indhari kwa mtu yeyote atakayepitia kitabu hicho. Na mtumiaji au mkereketwa wa lugha ya Kiswahili kutambua lugha hiyo ni chombo muhimu katika mawasiliano ndani ya jamii yetu. Nilipokuwa nasanifu kauli ya Saadan Abdu nilizingirwa na kauli nyingine tatu tofauti, kutoka kwa magwiji wawili wa lugha ya Kiswahili na mwingine wa mambo ya siasa nchini. Magwiji hao ni Profesa Mugyabuso Mlinzi Mulokozi na Joshua S. Madumula, na Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru. Profesa Mulokozi wa Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili Chuo Kikuu Dar es Salaam (TATAKI) anasema, โ€œIpo hali ya kufifia na kulegalega kwa maendeleo ya lugha ya Kiswahili katika miaka ya hivi karibuni.โ€ Naye Profesa Madumula wa Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, anasema, โ€œLugha ya Kiswahili ni chombo muhimu katika kuwaunganisha wananchi kabla na baada ya Uhuru nchini. Lakini umuhimu huo unapungua na badala yake unapewa lugha ya kigeni.โ€ Mzee Ngombale-Mwiru wa CCM anasema, โ€œHali ya lugha yetu ya Kiswahili hivi sasa si nzuri sana. Kuna makosa mengi katika matumizi. Vipi Kiswahili kiwe tatizo wakati ni lugha ya msingi ya Taifa letu?โ€ Kauli hizo za magwiji wa lugha ya Kiswahili na siasa, zilitamkwa katika sherehe za uzinduzi wa kitabu cha historia ya hayati Sheikh Kaluta Amri Abeid (1924-1964), kilichoandikwa na hayati Mathias Eugen Mnyampala, kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam, March 12, 2013. Mtumiaji na mkereketwa yeyote wa lugha ya Kiswahili atashituka na kuguswa na kauli hizo, kwani zinaonesha wazi Kiswahili hakipewi hadhi stahiki kimatumizi, isipokuwa kinapewa hadhi na utukufu kwa kuvikwa kilemba cha ukoka. Hivi leo magwiji wa lugha ya Kiswahili, wanazuoni na wanangezi wa lugha, wakereketwa na Waswahili wanadai wanataka na wanapenda lugha yao itumike kifasaha katika kuandika na kuzungumza; na pia kipewe nafasi katika kufundisha masomo kuanzia shule za awali hadi chuo kikuu. Tamu na hamasa hiyo bado kupatikana kutoka kwenye vyombo vya uamuzi. Busara ya vyombo hivyo bado doro na mikono ya kutoa ni mifupi kufikia watumiaji Kiswahili. Nzumari inahitajika kuamsha busara na uhunzi unahitajika kurefusha mikono hiyo. Mpiga nzumari na mhunzi wakipatikana na kufanya matilaba katika usanii wao, hapana shaka kibali kitapatikana kwa sababu lele za kutukuza, kuenzi na kuendeleza lugha ya Kiswahili zimeanza muda mrefu kusikika. Kabla ya kusanifu kauli za magwiji hao wanne, Saadan Kandoro, Profes Mulokozi, Profesa Madumula na mzee Ngombale-Mwiru na magwiji wengine wa lugha ya Kiswahili watakaojitokeza katika makala haya, nitangulize pia fasihi na ushauri wa baadhi ya Waswahili. Sheikh Shaaban Robart anasema, โ€œTiti la mama litamu hata kama ni la mbwa.โ€ Hayati Mathias Mnyampala anasema, โ€œLugha kama Kiingereza, Kiarabu na Kifaransa watu wanaweza kujifunza ili kupanua maarifa yaoโ€. Kutokana na maelezo hayo, nasema lugha ya Kiswahili ni yetu, hatuna budi kuikuza na kuithamini na wala si kuinyanyasa na kuibeua. Kila mdharau chake hufa maskini. Mshairi na msanii mmoja wa nyimbo, Ali Mtoto Seif (kwa sasa ni marehemu), alipokuwa katika kikundi cha JKT Taarab, Mgulani, Dar es Salaam, alitunga wimbo uitwao โ€˜Moyoโ€™. Baadhi ya maneno yanasema: โ€˜Ingawaje nina changu, kindani nyumbani kwangu, tena chaota ukungu, mithili ya nungunungu, sikithamini wenzangu, tena naona kichungu. Hata kwenye njozi zangu, huviota vya wenzangu, vinangโ€™ara kama mbingu, na vitamu kama dengu, nikizinduka wenzangu, hunikithiri uchunguโ€™. Kutokana na shairi hilo, nakuuliza wewe Mswahili mwenzangu: Je, Kiswahili ni kichungu? Serikali nayo inapokuwa mlalamishiโ€ฆ ยป
"2017-08-20T17:11:17"
http://www.jamhurimedia.co.tz/fasihi-fasaha-14/
[ -1 ]
Mambo ya kuzingatia katika kuchagua pafyum | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mambo ya kuzingatia katika kuchagua pafyum Discussion in 'JF Chit-Chat' started by Michael Amon, Apr 1, 2012. UCHAGUZI wa pafyum kwa kawaida huzingatia mambo mengi ambayo si wengi wanaoyafahamu. Mara nyingi watu huchagua pafyumu kwa kusikia harufu kutoka kwa watu wengine ama kuvutiwa na chupa za manukato hayo. Lakini je, unafahamu kuwa unatakiwa kuchagua pafyum kutokana na kuridhishwa na harufu yake na si vinginevyo? Suala la kupata harufu halisi ya pafyum imekuwa ni tatizo kwa watumiaji wengi, kwani wengi wao hawaelewi mambo ya kuzingatia wakati wa kuchagua. Yapo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua pafyum, ambayo endapo yakifuatwa ipasavyo, yatakuweka katika nafasi ya kufanya uchaguzi ulio sahihi. Kwanza kabisa, usinunue pafyum kwa sababu tu ya kujulikana kwa nembo ya bidhaa hiyo au umaarufu wa mbunifu wake. Ili uwe na chaguo bora unashauriwa kwenda kwenye duka la pafyum wakati wa asubuhi. Inaamika kuwa, wakati huo pua yako itakuwa na uwezo mkubwa wa kupata harufu halisi. Ikiwa kwa wakati huo utakuwa na mafua ama utakuwa umechoka, si vibaya ukahairisha na kwenda siku nyingine. Jaribu pafyum kwenye ngozi safi ambayo haina manukato. Katika majaribio hayo unaweza kujaribu zaidi ya pafyum tatu, kwani kwa wakati huo pua yako itakuwa na uwezo mkubwa wa kupata harufu na kutofautisha. Usinuse juu ya kizibo cha chupa kwa sababu harufu utakayoipata haitakuwa halisi. Unaweza kupata harufu ya nyingine badala ya ile ya manukato unayokusudia. Usijaribishe pafyum kwa kupaka katika kipande cha karatasi. Unapojipulizia pafyum kwa mara ya kwanza ukiwa na lengo la kupata harufu yake, hakikisha unakaa kwa dakika 30. Hapo ndipo utakapopata harufu halisi ya pafyume hiyo. Ikiwa tayari umeamua kununua, hakikisha unachagua chupa ndogo. Kwani kwa kawaida pafyum huisha muda wake miaka mitatu baada ya kutengenezwa. Hata kama huitumii mara kwa mara, inaweza kubadilika na kupoteza harufu yake halisi. Kwa kawaida pafyum hupakwa kulingana na jinsia na umri. Kwani siku zote pafyum za wanawake ni tofauti na zile za wanaume. We kila siku unakuja na post za kike-kike zaidi. Kesho utaleta ya namna ya kuchagua wanja na lipstick. @mwali!amekosea? Kesho utaleta ya namna ya kuchagua wanja na lipstick.Click to expand... Kibongo bongo colognes na perfume zote ni perfumes tu....lol Hii mada wala sio ya kike kike. Kuna wanaume na wanawake wanapaka perfume mbaya sana. Wengine hawataki kutumia deodorant wala perfume na matokeo yake akija ofisini kwako unaomba amani kwa hiyo harufu anayokuachia. Hawaogi wakatakata na wala hawatumii deodorant au perfume basi ndiyo balaa. Wengine perfume zina harufu kaliiii ofisini, lazima tujifunze mambo haya. Asante mleta mada Mie nna ugonjwa wa perfumes! YM, asante kwa kushare hii. Ni muhimu nadhani kununua tester (inakuwa 1ml, inaweza kugawiwa bure pia) wakati unajaribu uturi mupya. Kuna siku nilinunua ki-uturi kidogo cha 5ml cha christian dior poison, nikakifungua. Keshoye nikagundua ina-melt kifuniko. Nikaogopa kuitumia hadi ikaisha yenyewe. Sijathubutu tena! Hii mada wala sio ya kike kike...... Kuna wanaume na wanawake wanapaka perfume mbaya sana..... akija ofisini kwako unaomba amani kwa hiyo harufu anayokuachia. Hawaogi wakatakata..... basi ndiyo balaa. Wengine perfume zina harufu kaliiii ofisini Asante mleta madaClick to expand... Mkuu uliyosema hapo juu ni kweli kabisa. Tena wale wenye perfum zenye harufu mbaya wanajiona wamepatia kwelikweli, anapulizia kila wakati. Tena kuna perfum moja yenyewe ina harufu ya kikwapa kabisa jina siijui na wala sijaina ila kuna baadhi ya watu wanaipenda sana maana nimeishaisikia kwa zaidi ya mtu mmoja, kweli huwa ina nikerehesha. Kuna mshkaj wangu aliwahi kuitumia ikabidi nimzuge ni ya madem. Akaacha! Dear mzima?? Youngmaster af analalamika kwamba facebook anatongozwa na wanaume..sasa kama huko fb ana post mambo haya watu si watashindwa kutofautisha kati yake na Rio?? umeona avatar yake hayo macho?? ha ha jaman!! Mzima kabisa TBag, mtu Khatar. Unataka kunisemesha kitu ambacho sijasema... Ila kusema kweli kuna kitu kinanishangaza kwa rafiki yangu YM Juzi alirusha uzi wa namna mwanaume anatakiwa kuosha sura leo analeta za perfume na colognes (thanks BHT) Kesho ataleta nini? he is getting closer and closer. Angerusha hata kamoja ambako sio urembo-related then after a week or two arushe tena hizi. but kwa sasa...:thinking: Youngmaster af analalamika kwamba facebook anatongozwa na wanaume..sasa kama huko fb ana post mambo haya watu si watashindwa kutofautisha kati yake na Rio?? umeona avatar yake hayo macho?? ha ha jaman!!Click to expand... then after a week or two arushe tena hizi. but kwa sasa...:thinking:Click to expand... Hilo nalo neno mwaya..japokua kumwambia kuhusu kutongozwa on fb inatokea mara kwa mara lakini kwa trend hii huko fb si wanakoma? itakua anaweka tu "naosha kucha mwenge" au "having good time with mylove" try get a picture!..nilipata shida sana fb..YM badilika kijana..ohooo Kwani perfume wanatumia wanawake tu? Hii mada wala sio ya kike kike. Kuna wanaume na wanawake wanapaka perfume mbaya sana. Wengine hawataki kutumia deodorant wala perfume na matokeo yake akija ofisini kwako unaomba amani kwa hiyo harufu anayokuachia. Hawaogi wakatakata na wala hawatumii deodorant au perfume basi ndiyo balaa. Wengine perfume zina harufu kaliiii ofisini, lazima tujifunze mambo haya. Asante mleta madaClick to expand... Asante sana mkuu kwa kuliona hilo. Mimi nimeona niilete hii mada maana nimeona watu wengi ahwajui kuchagua paerfume matokeo yake tunaishia kuchagua perfume za ajabu ajabu nyingine zinanuka kama bomu. YM, asante kwa kushare hii. Ni muhimu nadhani kununua tester (inakuwa 1ml, inaweza kugawiwa bure pia) wakati unajaribu uturi mupya. Kuna siku nilinunua ki-uturi kidogo cha 5ml cha christian dior poison, nikakifungua. Keshoye nikagundua ina-melt kifuniko. Nikaogopa kuitumia hadi ikaisha yenyewe. Sijathubutu tena!Click to expand... Duh! Ulinunua perfume yenye poison? Ulitaka kujiua au? Mkuu uliyosema hapo juu ni kweli kabisa. Tena wale wenye perfum zenye harufu mbaya wanajiona wamepatia kwelikweli, anapulizia kila wakati. Tena kuna perfum moja yenyewe ina harufu ya kikwapa kabisa jina siijui na wala sijaina ila kuna baadhi ya watu wanaipenda sana maana nimeishaisikia kwa zaidi ya mtu mmoja, kweli huwa ina nikerehesha. Kuna mshkaj wangu aliwahi kuitumia ikabidi nimzuge ni ya madem. Akaacha!Click to expand... Ha ha haaaa!! Duh! Kumbe kuna perfume zinazonuka kama kikwapa? Hii kali. Haya maneno umeyatoa wapi? Na mbona facebook nilishajitoa siku nyingi? Na sijawahi kupost mambo kama haya huko. Unadhani mimi huwa narusha mambo ya urembo tu? embu angalia my latest threads ili ujue ninachoanzisha before haujacomment. Haya maneno umeyatoa wapi? Na mbona facebook nilishajitoa siku nyingi? Na sijawahi kupost mambo kama haya huko.Click to expand... kwani mi na ww tulishawahi kua marafiki fb?? mi nazungumzia kwa reference za JF humu humu..hata mi nili deactivate...salam zako!! kwani mi na ww tulishawahi kua marafiki fb?? mi nazungumzia kwa reference za JF humu humu..hata mi nili deactivate...salam zako!!Click to expand... Naomba unielewe kitu kimoja. Mimi huwa naweka threads ambazo naamini kuwa zitawasaidia wana JF kwa namna moja au nyingine na sidhani kama kuna dhambi kujifunza mambo mbali mbali hasa urembo. Inamaana wale wanaume wanaofanya kazi za urembo masaloon ni wanyama? Wale wanaume wanaopita mitaani na kuwafanyia urembo wanawake na kuwapaka rangi kucha ni mijibwa? Amkeni. Mawazo yenu hayo potofu ndiyo yanawarudisha nyuma kimaendeleo kila kukicha. Wewe weka mawazo yako potofu ubaki nyuma kimaendeleo na sisi tunasonga mbele. Kama wewe hujaipenda thread hii ujue haikuhusu na ni bora ukae kimya kuliko kuharibu reputation ya mtu. Wapo wenye shida nayo ambao wataisoma na itawasaidia. Na hii message iwafikie wale wote ambao wanapinga thread zangu. Naomba unielewe kitu kimoja. Mimi huwa naweka threads ambazo naamini kuwa zitawasaidia wana JF kwa namna moja au nyingine na sidhani kama kuna dhambi kujifunza mambo mbali mbali hasa urembo. Inamaana wale wanaume wanaofanya kazi za urembo masaloon ni wanyama? Wale wanaume wanaopita mitaani na kuwafanyia urembo wanawake na kuwapaka rangi kucha ni mijibwa? Amkeni. Mawazo yenu hayo potofu ndiyo yanawarudisha nyuma kimaendeleo kila kukicha. Wewe weka mawazo yako potofu ubaki nyuma kimaendeleo na sisi tunasonga mbele. Kama wewe hujaipenda thread hii ujue haikuhusu na ni bora ukae kimya kuliko kuharibu reputation ya mtu. Wapo wenye shida nayo ambao wataisoma na itawasaidia. Na hii message iwafikie wale wote ambao wanapinga thread zangu.Click to expand... ha ha ha!! Brother..dont take me wrong..mi sipingi wala nini thread zako bana..ujue nimejikuta nacheka tu ghafla,..pole kama nimekukwaza aixee..ha ha!!
"2017-05-01T07:01:37"
https://www.jamiiforums.com/threads/mambo-ya-kuzingatia-katika-kuchagua-pafyum.242679/
[ -1 ]
NAIBU WAZIRI KANYASU AMALIZA MGOGORO WA ARDHI KATI YA PORI LA AKIBA LA SELOUS NA KIJIJI ULIODUMU KWA MIAKA 12 MKOANI LINDI | MALUNDE 1 BLOG Home ยป matukio ยป NAIBU WAZIRI KANYASU AMALIZA MGOGORO WA ARDHI KATI YA PORI LA AKIBA LA SELOUS NA KIJIJI ULIODUMU KWA MIAKA 12 MKOANI LINDI .Mbunge wa Liwale, Mhe.Zuberi Kuchauka akizungumza na wananchi wake kuhusu kumalizika kwa mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 12 baada ya Naibu Waziri Kanyasu kuzungumza na wananchi hao Aniel Heliem mmoia wa wananchi akimuuliza swali Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Cinstantine Kanyasu mata baada ya kuutangaza kuwa eneo la Kihurumila si sehemu ya Pori la Akiba la Selous na wala sio eneo la Kijiji cha Kikulyungu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ametatua mgogoro uliodumu kwa miaka 12 baina ya Pori la Akiba la Selous na Wananchi wa kijiji cha Kikulyungu kilichopo katika wilaya ya Liwale mkoani Lindi WAZIRI MBALAWA AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI KUACHANA NA WAKANDARASI
"2020-08-13T06:32:26"
https://www.malunde.com/2019/08/naibu-waziri-kanyasu-amaliza-mgogoro-wa.html
[ -1 ]
Kula Mwenyekiti Beige Pu Leather China Manufacturers & Suppliers & Factory Kula Mwenyekiti Beige Pu Leather - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Kula Mwenyekiti Beige Pu Leather) Kula Mwenyekiti Beige Pu Leather Kula Mwenyekiti Beige PU Leather Kula Mwenyekiti Leather Mto Kula kiti na Metal Frame Beige PU Leather Kula mwenyekiti na PU Mto PU Kula Mwenyekiti wa Metal Sura Kula Mwenyekiti giza Wood High Back Kula Mwenyekiti WIth giza Walnut
"2020-07-03T13:37:08"
https://sw.taihuafurniture.com/dp-kula-mwenyekiti-beige-pu-leather.html
[ -1 ]
Wafuasi 22 CUF Kortini Kwa Madai ya Kukutwa na silaha za Jeshi la Polisi | MASWAYETU BLOG Wafuasi 22 CUF Kortini Kwa Madai ya Kukutwa na silaha za Jeshi la Polisi Wafuasi 22 wa Kundi la โ€˜Blue Guardโ€™ la Chama cha Wananchi (CUF) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka manne likiwemo la kukutwa na silaha za Jeshi la Polisi.
"2016-12-05T00:24:07"
http://www.maswayetublog.com/2016/10/wafuasi-22-cuf-kortini-kwa-madai-ya.html
[ -1 ]
CATHERINE RUGE ATEULIWA KUWA MBUNGE VITI MAALUMU KUPITIA CHADEMA | KAMANDA WA MATUKIO CATHERINE RUGE ATEULIWA KUWA MBUNGE VITI MAALUMU KUPITIA CHADEMA Attachments area Preview YouTube video CATHERINE NYAKAO RUGE ATEULIWA KUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA CATHERINE NYAKAO RUGE ATEULIWA KUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA
"2017-10-20T23:16:58"
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/05/catherine-ruge-ateuliwa-kuwa-mbunge.html
[ -1 ]
Dr Phone na Wataalam Wengine: MSAADA TUTANI! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Dr Phone na Wataalam Wengine: MSAADA TUTANI! Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by Amoeba, Apr 16, 2011. Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya kitambo sana)! Nimewapigia voda wanadai ne-renew, kilio changu ni kwenye contacts zangu! Je kunauwezekano wa kufanya manuva na kupata PUK? (mfano kitu kama PUK generator au vyovyote)! kweli sisi tuko chali ,jamaa wanasindwa kukupa PUK Mh! umejaribu kuwauliza kwanini washindwe kukupa PUK? mkuu nenda voda achana na wamitaani kama umepoteza ile kadi wanakupa puk huitaji kuswap sim sema customers care wengi wavivu wanakuwa na majibu mepesi mepesi kwenye maswali magumu na muhimu Customer care Bongo? Mkuu wapandie hukohuko kwa ofisi zao kitaeleweka usijali. MKUU azima simu ya mtu yyt inayo tumia line ya voda kisha uende uwanja wa msg. ANDIKA puk acha nafasi kisha tuma kwenda 123. mfano: PUK 0754123456 >>>123 UKIKWAMA RUDI UTUAMBIE UMEKWAMA WAPI. kiongozi inawezekana naomba namba yako nikupe puk yako usiumize kichwa Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya kitambo sana)! Nimewapigia voda wanadai ne-renew, kilio changu ni kwenye contacts zangu! Je kunauwezekano wa kufanya manuva na kupata PUK? (mfano kitu kama PUK generator au vyovyote)!<br /> nimekupa namna ya ku generate puk.hiyo inafanya kazi 98% 2% za networ problems. UKIKWAMA RUDI UTUAMBIE UMEKWAMA WAPI.Click to expand... Dah! Ubarikiwe sana mkuu, hii skuijua kabsaa! Cha ajabu hata customercare wa voda sjui hawapewi seminar juu ya huduma zao, wamekaa kipumbavu sana. Asante sana mkuu! IDUMU JF! Dah! Ubarikiwe sana mkuu, hii skuijua kabsaa! Cha ajabu hata customercare wa voda sjui hawapewi seminar juu ya huduma zao, wamekaa kipumbavu sana. Asante sana mkuu! IDUMU JF!Click to expand... tupo pamoja mkuu.customer care wengi wanajua ila kuna wakati mwingine wanatoa majibu kwa mkato sana.
"2016-12-03T16:00:54"
http://www.jamiiforums.com/threads/dr-phone-na-wataalam-wengine-msaada-tutani.127305/
[ -1 ]
Italia yakosolewa kuhusu wahamiaji | Masuala ya Jamii | DW | 20.07.2018 Italia yakosolewa kuhusu wahamiaji Askari wa kikosi cha ulinzi wa pwani nchini Italia wamelalamika juu ya uamuzi wa serikali mpya ya Italia wa kuwazuia wahamiaji wanaookolewa baharini kwa kuzifunga bandari zake, wakisema hatua hiyo inasababisha taharuki kwa jeshi hilo, ambalo hadi sasa limetoa mchango mkubwa katika operesheni za kuwaokoa wahamiaji hao. Kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita walinzi wa pwania wamekuwa wakiratibu shughuli ya uokozi wa mamia kwa maelfu ya wahamiaji karibu na pwani ya Libya, na katika matukio mengi huwaokoa majini wakiwa katika hali mbaya. Lakini kuanzia mwezi Juni, walipewa amri ya kuhamishia mawasiliano ya simu za kuomba msaada na ripoti za boti zinazokumbwa na matatizo baharini mjini Tripoli, Libya. Hivi sasa baadhi ya wafanyakazi hao wameikosoa serikali hadharani, licha ya kwamba kitamaduni, haikubaliki kuikosoa serikali. Kwenye mahojiano na gazeti la kila siku la Italia, la 11 Sole 24 Ore, mnamo wiki iliyopita, kamanda wa ngazi za juu wa kikosi cha ulinzi wa pwani amekosoa msimamo mpya mkali wa serikali ya Italia na hususan, wa waziri wa mambo ya ndani mwenye siasa kali za mrengo wa kulia Matteo Salvin. Alipozungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake, kamanda huyo alikumbushia kwamba mfumo wa kisheria wa Italia uliichukulia Libya kama sio mahali salama kwa ajili ya wahamiaji waliookolewa kurejeshwa huko. Waziri wa mambo ya ndani wa Italia, Matteo Salvini anatuhumiwa sana kwa misimamo yake mikali kuhusu wahamiaji. UN yapongeza mataifa ya Ulaya kwa kukubaliana kuhusu wahamiaji waliokwama Mediterania Wahamiaji wengi wanaojaribu kwenda Ulaya huwa hawapo tayari kurejea Libya, kwa kuwa hukabiliwa na manyanyaso na kubakwa wakiwa kwenye vituo vya kuwashikilia wahamiaji. Kamanda huyo, pia amelaani hatua ya kukosekana na amri rasmi ama kuchukua hatua kwa kuangazia maamuzi ya kuzizuia meli zilizobeba wahamiaji kutia nanga kwenye bandari za nchini humo. Lakini katika hatua nyingine, naibu msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq amewaambia waandishi wa habari hii leo, katika makao makuu ya Umoja huo, yaliyoko New York Marekani kwamba shirika la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limekaribisha hatua za hivi karibuni za baadhi ya nchi za Ulaya za kuungana pamoja kumaliza mvutano juu ya wakimbizi na wahamiaji 450 waliokwama katika bahari ya Mediterania, wakati kukiwa na mvutano kuhusu meli yao inakoweza kutia nanga. Libya kupitia waziri wake mkuu Fayez al-Sarraj imesema haitaruhusu Umoja wa Ulaya kujenga vituo vyake vya kuchunguza maombi ya waomba hifadhi nchini mwake, hatua inayochukuliwa kama pigo jipya kwa viongozi wa Umoja wa Ulaya wanaosaka suluhu ya kukabiliana na wahamiaji wapya wanaoingia Ulaya. Saraj, amesema hayo katika mahojiano na gazeti la kila siku la Ujerumani la Bild, na kuongeza kuwa hawataafiki makubaliano yoyote na Umoja wa Ulaya, ya kuwataka kuwapokea wahamiaji haramu, na kusema viongozi hao wa Ulaya badala yake wanatakiwa kuongeza shinikizo kwa mataifa wanakotokea wahamiaji kuwazuia kuondoka. Morocco na Albania, zenyewe zimekwishaeleza wazi kutokukubaliana na mpango huo wa Umoja wa Ulaya. Tarehe 20.07.2018 Mada Zinazohusiana Italia, Silvio Berlusconi, Jamhuri ya Malta, Uhamiaji Maneno muhimu Italia, Matteo Salvini, Malta, Wahamiaji Kiungo https://p.dw.com/p/31oIG Nani atakuwa Waziri Mkuu mpya wa Italia? 28.08.2019 Kiongozi wa mrengo wa kulia Matteo Salvini amepigiwa upatu kushinda wadhifa huo wa waziri mkuu. Waziri Mkuu wa Italia Giuseppe Conte ajiuzulu 20.08.2019
"2019-10-23T05:22:24"
https://www.dw.com/sw/italia-yakosolewa-kuhusu-wahamiaji/a-44760668
[ -1 ]
Mzunguko wa Uhai na Mauti wa Watu Mbalimbali Wenye Imani | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME 2019-09-10 13:02:57 6 Chukua Ubudha: Hebu Niwaambie ukweli. Mfuasi wa Budha, kwanza kabisa, ni mtu aliyebadili dini kwenda Ubudha, na ni mtu ajuaye imani yake ni nini. Mfuasi wa Budha akinyoa nywele zake na kuwa mtawa wa kiume au mtawa wa kike, hii inamaanisha kuwa wamejitenga na mambo ya kidunia na kuacha nyuma ghasia ya dunia ya mwanadamu. Kila siku wanakariri maandiko ya Kibudha na kula chakula bila nyama, wanaishi maisha ya kujinyima anasa za kimwili, na kupitisha siku zao ndani ya mwangaza baridi, na hafifu wa taa ya mafuta ya siagi. Wanaishi maisha yao yote kwa njia hii. Maisha yao ya kimwili yaishapo, wanatengeneza muhtasari wa maisha yao, ila mioyoni mwao hawajui watakapoenda baada ya kufa, watakutana na nani, na watakuwa na hatima ya aina ganiโ€”mioyoni mwao hawana uhakika na haya mambo. Hawajafanya chochote zaidi ya kuishi bila mwelekeo maisha yao yote wakiambatana na imani, baadaye wanaondoka duniani wakiambatana na matamanio na maadili wasiyoyafahamu. Hiyo ndiyo tamati ya maisha yao ya kimwili wanapoiaga dunia ya walio hai, na wakati maisha yao ya kimwili yanapoisha, wanarudi katika sehemu yao asilia katika ulimwengu wa kiroho. Kama hawa watu watapata mwili na kurudi duniani kuendelea na kujikuza kwao inategemea mienendo na kujikuza kwao kabla ya kifo chao. Ikiwa hawakufanya kitu kibaya wakati wa uhai wao, watapata mwili haraka na kurudishwa duniani, ambapo watakuwa watawa wa kiume au watawa wa kike tena. Kulingana na utaratibu wa mara ya kwanza, mwili wao unajikuza wenyewe, baada ya hapo wanakufa na kurudi katika ulimwengu wa kiroho, ambapo wanatathminiwa, baada ya hapoโ€”ikiwa hakuna shidaโ€”wanaweza kurudi tena katika ulimwengu wa wanadamu, na kuweza kubadili dini hadi Ubudha tena na kuendelea kujikuza. Baada ya kupata mwili mara tatu hadi mara saba, watarudi tena katika ulimwengu wa kiroho, ambapo wanakwenda kila mara ambapo maisha yao ya kimwili yanamalizika. Ikiwa viwango na mienendo yao mbalimbali katika ulimwengu wa wanadamu inaambata na sheria za mbinguni za ulimwengu wa kiroho, basi watabaki huko kutoka wakati huu kuendelea; hawatapata mwili tena kama wanadamu; wala hakutakuwa na tishio la wao kuadhibiwa kwa kutenda maovu duniani. Hawatawahi kupitia tena mchakato huu. Badala yake, kulingana na hali zao, watachukua nyadhifa katika milki ya kiroho. Hili ndilo wafuasi wa Budha wanaliita kupata uzima wa milele. Kupata uzima wa milele kunamaanisha hasa kuwa afisa wa ulimwengu wa kiroho, na kutokuwepo na nafasi zaidi ya kupata mwili au adhabu. Zaidi ya hayo, ina maana kwamba hakuna kupata taabu tena ya kuwa mwanadamu baada ya kupata mwili. Hivyo basi, bado kuna uwezekano wao kupata mwili tena kama wanyama? (La.) Hili linamaanisha kwamba wanabaki kushika nafasi katika ulimwengu wa kiroho, na kamwe hawatapata mwili. Huu ni mfano mmoja wa kupata uzima wa milele katika Ubudha. Na kuhusu wale ambao hawapati uzima wa milele baada ya wao kurudi katika ulimwengu wa kiroho, wanatathminiwa na kuthibitishwa na msimamizi anayehusika, na kuonekana hawakujikuza kwa makini au kuwa makini katika kukariri maandiko ya Kibudha kama inavyotakiwa na Ubudha; badala yake, walitenda maovu mengi, na kutenda mengi yaliyo mabaya. Katika ulimwengu wa kiroho hukumu inatolewa basi juu ya uovu wao, na baada ya hapo wana hakika ya kuadhibiwa. Hakuna vighairi katika hili. Basi, mtu wa aina hii atapata lini uzima wa milele? Katika maisha ambamo hawatatenda maovuโ€”wakati, baada ya kurudi katika ulimwengu wa kiroho, inaonekana hawakufanya chochote kibaya kabla hawajafa. Wanaendelea kupata mwili, wanaendelea kukariri maandiko ya Kibudha, wanapitisha siku zao ndani ya mwangaza baridi na hafifu wa taa ya mafuta ya siagi, bila kuua chochote chenye uhai, bila kula nyama, na hawaufurahii ulimwengu wa mwanadamu, kuachana na vurugu zake kabisa, na kuepuka migogoro na wengine. Katika mchakato huu, hawafanyi maovu, kufuatia hayo wanarudi katika ulimwengu wa kiroho, na baada ya matendo na mienendo yao yote kutathminiwa, wanatumwa tena katika ulimwengu wa wanadamu, kwa mzunguko unaojirudia mara tatu au saba. Ikiwa hakuna kikwazo wakati huu, basi kupata kwao uzima wa milele hakutaathiriwa, na hakutacheleweshwa. Hii ni sifa ya mzunguko wa uhai na mauti wa watu wenye imani: wanaweza kupokea uzima wa milele na kushikilia wadhifa katika ulimwengu wa kiroho. Hili ndilo linawafanya kuwa tofauti na wasioamini. Kwanza kabisa, wanapokuwa hai duniani, matendo ya wale wanaoweza kushika wadhifa katika ulimwengu wa kiroho ni yapi? Ni sharti wasifanye kabisa ovu lolote: ni lazima wasifanye mauaji, uchomaji, ubakaji, au wizi; wakifanya hila, udanganyifu, au ujambazi, basi hawawezi kupata uzima wa milele. Ina maana kwamba, wakiwa na uhusiano au ushirikishaji wowote na uovu, hawataweza kuepukana na adhabu ya ulimwengu wa kiroho. Ulimwengu wa kiroho unafanya mipango inayofaa kwa wafuasi wa Budha wapatao uzima wa milele: wanaweza kuteuliwa kusimamia wale ambao wanaonekana kuamini katika Ubudha, na yule Mzee aliye Angani, na wafuasi wa Budha watapewa mamlaka, wanaweza tu kuteuliwa kuwasimamia wasioamini, vinginevyo wanaweza kuwa wasimamizi wadogo sana. Ugavi huo unalingana na asili ya hizi roho. Huu ni mfano wa Ubudha. Iliyotangulia: Mzunguko wa Uhai na Mauti wa Wasioamini Inayofuata: Mzunguko wa Uhai na Mauti wa Watu Wanaomfuata Mungu
"2019-12-13T10:43:08"
https://sw.kingdomsalvation.org/gospel/cycle-of-various-people-of-faith.html
[ -1 ]
KiWeasley kiwettina99 kiwiella kiwiipawa kiwivisione kiwi_solitario Kixiu_ KiyanceHope KiyoChan90 kiyokokawai Kiyokokawaii kiyokokawaiii Kiyokone Kiyokoperv Kizoku22 KizozuitaNoDatenshi
"2018-03-22T17:17:06"
https://efpfanfic.net/authors.php?action=viewlist&let=&offset=90360
[ -1 ]
Viongozi Barani Afrika wajenge uwezo wa kukabiliana na vita pamoja na kinzani za kijamii ndani ya nchi zao na Afrika kwa ujumla! 2013-01-10 10:27:52 Serikali ya Angola hapo tarehe 9 Januari 2013 imefungua mkutano wa kawaida kati ya Serikali na mabalozi pamoja na wawakilishi wa nchi na mashirika ya kimataifa nchini Angola, kwa lengo la kubainisha sera za mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa nchini Angola kwa kipindi cha Mwaka 2013. Kati ya mambo makuu yanayopewa kipaumbele cha pekee anasema Bwana George Chikoti, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Angola ni kupata ufumbuzi wa kudumu wa migogoro ya kivita na kinzani za kijamii zinazoendelea kuibuka sehemu mbali mbali za Bara la Afrika. Angola inapania kuchangia kwa ahli na mali, mchakato wa kudumisha amani, utulivu na maendeleo ya Bara la Afrika kwa kutatua migogoro ya kivita ambayo inaendelea kukwamisha jitihada za kujikwamua kutoka katika lindi la umaskini, ujinga na maradhi. Umefika wakati kwa Bara la Afrika kuchangia katika ustawi wa haki, amani na demokrasia ndani ya Bara la Afrika na Ulimwenguni kwa ujumla. DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati ni baadhi ya nchi za Kiafrika zinazopakana na Angola ambazo kwa sasa zinakabiliwa na vita pamoja na kinzani za kijamii. Kuna haja kwa viongozi wa Serikali Barani Afrika kujenga uwezo wa kudhibiti kinzani za ndani, kwa kuheshimu utawala wa sheria na demokrasia; mafao ya wengi bila kusahau haki na amani. Vita inayoendelea kusikika katika baadhi ya nchi za Kiafrika ni matokeo ya: ukabila, udini, uchu wa mali na madaraka pamoja na utawala mbovu usiozingatia mafao ya wengi. Madhara ya vita hivi ni kuendelea kudumaza mchakato wa maendeleo endelevu Barani Afrika; kuzalisha Jeshi kubwa la wahamiaji na watu wasiokuwa na makazi wala fursa za ajira. Bara la Afrika halitaweza kujikwamua kutoka kwa maadui: ujinga, umaskini na maradhi, ikiwa kama hakuna mkakati madhubuti wa kujenga na kuimarisha haki, amani na mshikamano wa kitaifa. Wahamiaji haramu ni matokeo ya vita na kinzani za kijamii zinazoendelea katika baadhi ya nchi za Kiafrika. Wananchi wa Bara la Afrika anasema Bwana Georges Chikoti wanayo haki ya kutembea kutoka nchi moja hadi nyingine Barani Afrika, kwa sababu za kiuchumi. Lakini kwa bahati mbaya, baadhi ya wanasiasa wametumia fursa ya wahamiaji na watu wasiokuwa na makazi kama chambo cha vurugu na uvunjifu wa misingi ya haki, amani na utulivu. Wananchi wa Bara la Afrika wamechoka kusikia habari za vita, wanataka haki, amani na mshikamano viweze kutawala miongoni mwao!
"2019-08-24T08:49:24"
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2013/01/10/viongozi_barani_afrika_wajenge_uwezo_wa_kukabiliana_na_vita_pamoja_na/kws-654387
[ -1 ]
IMbunge Robert Kyagulanyi Mbunge wa Kyadondo Mashariki Robert Kyagulanyi amesema ataomba kibali kutoka polisi cha kuitisha maandamano Jumanne kupinga hatua ya polisi ya kuzuia tamasha lake lisifanyike Jumatatu. Uganda: Bobi Wine akamatwa tena, maandamano yazuka upya Hatimaye Bobi Wine aruhusiwa kuondoka Uganda EU yataka Uganda iwawajibishe maafisa wa usalama Polisi Uganda wasifia tamasha la โ€˜kwanzaโ€™ la Bobi Wine Museveni, Besigye, Bobi na Muntu wajiandaa uchaguzi 2021 Uganda
"2020-07-05T09:19:56"
https://www.voaswahili.com/a/bobi-wine-adai-anahisi-yuko-kizuizini-nyumbani-kwake/4886291.html
[ -1 ]
Macha Achaguliwa Kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Macha Achaguliwa Kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki Katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anamringi Issay Macha, ambaye ameteuliwa leo na Kamati Kuu ya CCM, kugombea Nafasi ya Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki.
"2017-10-22T02:33:13"
http://www.zanzinews.com/2017/03/macha-achaguliwa-kugombea-ubunge-wa.html
[ -1 ]
siku 7 za CHADEMA kwa Nape | JamiiForums | The Home of Great Thinkers siku 7 za CHADEMA kwa Nape Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by kapotolo, Sep 5, 2012. Chadema kumfikisha Nape mahakamani wiki hii Na Restuta James 4th September 2012 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeazimia kwenda mahakamani wiki hii kumshtaki Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, baada ya kushindwa kukiomba radhi chama hicho pamoja na kutoa faini ya Shilingi bilioni tatu, baada ya kupita kwa muda aliopewa kufanya hivyo. Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi wa Utawala na Fedha wa Chadema, Anton Komu, alisema chama hicho hivi sasa kinakamilisha taratibu za kisheria ili kwenda mahakamani. Alisema "wakati wowote wiki hii tutakwenda mahakamani, leo jioni (jana) nitakutana na mawakili ambao wanashughulikia jambo hilo." Komu alisema imelazimu suala hilo kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa Nape amekataa kuomba radhi kuhusu madai aliyoyatoa. Chadema ilimtaka Nape aombe radhi baada ya kukituhumu kwamba kimekuwa kikichangisha fedha kwa wananchi katika mikutano yao wakati kinapokea mabilioni ya fedha kutoka nje ya nchi. Nape alitoa tuhuma hizo Agosti 12 na kueleza kwamba anao ushahidi kuwa chama hicho kimekuwa kikiwahadaa wananchi kwa kuwachangisha fedha huku kikipokea mabilioni ya fedha kwa wafadhili kutoka nje na kwamba upo uwezekano wa chama hicho kupewa fedha hizo kwa mikataba yenye masharti ya kuiweka nchi rehani. Baada ya kauli hiyo, bodi ya wadhamini wa Chadema iliagiza wanasheria wake wamwandikie Nape barua ya kumtaka kukiomba radhi chama, kwa kutumia vyombo vya habari. Chadema inataka kuombwa radhi na fidia ya fedha ni kwa ajili ya fedheha na fundisho kwa kitendo cha uzushi na uongo kilichotolewa na Nape. Nipashe - September 4 Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana. Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.Click to expand... hiyo mbaya mbaya sana taratibu za kwenda mahakamani zimeshaiva,ishu inafanyiwa kazi Tulia kwanza serikali ijikaange na nape aliyetabiri hizi vurugu za polisi.wana vikao visivyoisha akina nape wakijilaumu picha zilipotoka. alizozitoa ''mzee wa matamko'' john mnyika zimeshapitiliza mbona hawaendi mahakamani?Click to expand... kwan we karani wa mahakama???????? Siasa sio uadui Hana jipya huyu mtoa tamko,anapenda sana camera za wahandishi wa habari. Mbona mnaharaka, mambo yanafanyiwa kazi, hivi hamjui kuwa kuna issues za maana na za ghafla zimetokea? 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18.....n n = namba yoyote ambayo ni chanya kama walisema baada ya siku 7 si usubiri, wangesema siku ya 7 kweli ungekuwa sahihi kudoubt. Hatuwezi dili na hilo tambara la deki nape tunamambo muhimu kuliko hilo Ndugu siyo vizuri hata kidogo kujaribu kuonyesha ujinga ulionao kwa watu hasa hasa hadharani kama hapa! Kuwa wapinzani wa siasa si ugomvi! kama walisema baada ya siku 7 si usubiri, wangesema siku ya 7 kweli ungekuwa sahihi kudoubt.Click to expand... mkuu hesabu ngumu! hiyo mbaya mbaya sanaClick to expand... Ndugu zangu. si vema kuwataka wanasiasa wetu wachukiane, kisa ni upinzani wao wa kivyama. sasa watawezaje kupeana mawazo mazuri ya kuijenga nchi yetu kama hawatakua marafiki? Hey, jamani,tupo kwenye mambo makubwa yanayohusu uhai wa watanzani,nashauri cdm waweke nguvu kubwa kwenye hili kwanza, wawahakikishie watu usalama, then after, habari za nape zitafanyiwa kazi,hebu tuwe na vipaumbele. Naamini issue ya nape aliyodai chadema wanajifanyia vurugu,ndiyo utekelezaji wake kupitia pilisccm.kwapamoja tuwaunge mkono viongozi wetu na tusiondoe imani kwao naamini kila kitu kitafanyika kama ilivyopangwa.waombaji waombe for cdm,waswaliji wafanye dua pia. naamini tutashida vita dhidi ya huu uzalimu wa ccm na polis. long live cdm WAnasubiri waandamane Hana jipya huyu mtoa tamko,anapenda sana camera za wahandishi wa habari.Click to expand... We ndio yule Mama Mingoi wa Twanga Pepeta? CHADEMA wana mambo mengi muhimu ya kufanya kwa sasa kuliko hizi porojo za Nape na Mnyika Mkuu Mnyika heshima mbele sana, Mnamo tarehe 25 Agost, Ulionekana kwenye TV na hata magazetini ukifanya mkutano na waandishi wa habari na kutoa siku 7, vipi mpango wako umeishia wapi na kama mmeyamaliza mezani huna budi kuita waandishi wa habari na kuufahamisha umma kuwa mmeyamaliza mezani na mahakamani hamtaenda tena laa sivyo credibility itashuka kwa kasi sana. Nini kilichojili Kiongozi.??
"2016-10-26T17:25:25"
http://www.jamiiforums.com/threads/siku-7-za-chadema-kwa-nape.318568/
[ -1 ]
Uwoya astushwa na habari za Ujauzito - Celebrity Swaggz I Official Website '+l+" Home ยป IRENE UWOYA ยป Uwoya astushwa na habari za Ujauzito Uwoya astushwa na habari za Ujauzito DAR ES SALAAM: Sexy lady wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya โ€˜Mama Krishโ€™ amefungukia madai kuwa, kwa sasa ametengeneza urafiki wa muda na ndimu, samaki wabichi na ukwaju kwa kinachosemekana ni mjamzito. Huku akionesha kushtushwa na habari hizo zinazoenezwa bila kutaja mhusika wa kibendi hicho, Uwoya alikuwa na haya ya kusema: โ€œHe! Mimi? Mjamzito? Jamani imekuwa too much (imezidi), watu wanaongea kama hawana mambo ya kufanya maishani, kinachowashtua wengi ni mabadiliko ya mwili wangu. Unajua nimenenepa kwa kweli, inafika mahali mtu anaridhika na maisha. Mwili nao unabadilika kutokana na sababu za kibaiolojia, sina njaa kama zamani. Napata madili mengi, hivyo lazima niridhike na kunenepa, wengi wanadhani ni mimba na hata familia yangu, walidhani ni hivyo, lakini sina mimba na hata sifikirii kufanya hivyo kwa sasa,โ€ alisema Uwoya.
"2018-02-22T02:40:03"
http://www.celebrityswaggz.com/2017/06/uwoya-astushwa-na-habari-za-ujauzito.html
[ -1 ]
MB DOGG ATOBOA SIRI YA KUPOTEA, NCHI ALIYOKIMBILIA - Global Publishers MB DOGG ATOBOA SIRI YA KUPOTEA, NCHI ALIYOKIMBILIA Mohammed Ally โ€˜Mb Doggโ€™ KWA wale waliokuwa wakipenda kusikiliza Muziki wa Bongo Fleva miaka ya 2006 watakuwa wanaelewa mashairi ya ngoma hii ya Si Uliniambia iliyoimbwa kwa ufundi miaka hiyo na Mohammed Ally โ€˜Mb Doggโ€™ ukipenda waweza kumuita Man Dogg. Jamaa alikuwa anaujua muziki, alikuwa anajua kucheza na sauti hasa katika nyimbo za mapenzi na ndiyo maana wengi waliobahatika kusikiliza ngoma zake kuanzia Latifa, Natamani, Inamaana na Sagaplasha walimbatiza jina la king wa makopakopa. Mb Dogg alikuwa mmoja kati ya vichwa hatari kutoka Lebo ya Tip Top Connection iliyokuwa na vichwa vingine enzi hizo kama vile Keisha, Madee, Spack, Z Anto na wengine kibao. Baada ya kutamba miaka hiyo, ghafla alizima kwenye muziki akiwa bado wa moto, baada ya miaka zaidi ya sita aliibuka tena na Ngoma ya Mbona Umenuna na Sio Siri ambazo nazo hazikufanya poa akatulia na kutoa Ngoma ya Uwe Wangu kisha akakaa kimya tena. Star Showbiz limemtafuta na kufanya naye mahojiano Exclusive kuhusiana na maisha na muziki wake, ungana naye; Star Showbiz: Kwa kipindi chote hicho ulikuwa wapi? Mb Dogg: Nipo wakati mwingine huwa natoka nje ya nchi mishenโ€™tauni si unajua dunia inazunguka hii huwezi kukaa sehemu moja, kwa hiyo naweza nikasema nipo kwa sababu napatikana wakati wote. Star Showbiz: Kwa hiyo ulikuwa unajishughulisha na nini kwa ajili ya kuendesha maisha yako? Mb Dogg: Biashara zangu tu tofauti tofauti, huwa nafanyia Kenya na Sauz (Afrika Kusini), maana huko kuna familia yangu na marafiki zangu, kwa hiyo mara nyingi huwa nakuwa huko. Star Showbiz: Kwa nini uliacha ghafla muziki ukapotea? Mb Dogg: Muziki sikuacha jumla ila kuna muda unaweza ukafanya halafu wewe mwenyewe ukaona kuna uzito fโ€™lani hivi upepo ulipotea lakini pia kulikuwa na mambo nje ya ramani ambayo pia sikuwa tayari kuyazungumza yalinifanya kwanza nirudi nyuma lakini kwa sasa naamini muda sio mrefu mazoezi yatafanyika na mashabiki watanisikia nilikuwa nafanya nini. Star Showbiz: Ulikuwa na menejimenti? Mb Dogg: Ndio nilikuwa chini ya Kampuni ya QS Mhonda ambayo ilikuwa inasimamia katika kila kazi yangu lakini sema mkuu wa kampuni hiyo ambaye alikuwa kama mlezi wangu naye akaondoka nje ya nchi kutokana na kuwa na kampuni kubwa huko anaisimamia kwa hiyo nikawa nipo tu kishida shida ndio maana nikaamua nisimame kwanza. Star Showbiz: Kwa hiyo unavyorudi kwenye gemu umeshapata menejimenti mpya au utakuwa unajisimamia mwenyewe? Mb Dogg: Nimepata menejimenti mpya kuna mtu aliniomba baada ya kuona nipo kimya muda mrefu akaniambia yeye ni shabiki wangu na angependa kuniona nikiendelea na muziki. Akaomba tuonane ili tuweze kuongea na kuafikiana baadhi ya mambo bado hatujayaweka sawa na yakiwa vizuri mtanisikia rasmi. Star Showbiz: Umejipanga vipi juu ya ujio wako wa sasa na upepo wa muziki unaofanywa sasa? Mb Dogg: Hizi chaki unajua nilizishika mwenyewe mwanzo kwenye ubao na kufundisha watu muziki pale Tip Top na kutoa wasanii wakubwa tu labda nijipange na instrumental maana zimekuwa za kigeni na watu wamejaribu kubadilisha baadhi ya vitu ila niwaahidi bado niko vizuri. Star Showbiz: Unautofautishaje muziki uliokuwa unaufanya na wa sasa? Mb Dogg: Siwezi nikafanya mlinganisho kwa sababu muziki niliokuwa nafanya hakuna ambaye ameweza kuufanya hata baada ya mimi kuwa kimya kwa muda, muziki wangu ni wa kipekee na ndio maana haijawahi kusikika mtu anaimba kama Mb Dogg kwa sababu niko kitofauti sana. Star Showbiz: Umeoa? Mb Dogg: Ndio nimeoa na nina watoto pia japo siwezi kusema ni wangapi maana si unajua upepo wa sasa wa kutekana tekana naomba nisiwataje kwa usalama wao ila jua tu kuwa nina watoto. Star Showbiz: Wasanii wa sasa wanafanya kiki kwa ajili ya kubusti muziki wao, vipi na wewe utakuwa unafanya hivyo? Mb Dogg: Hapana! Muziki wangu unajibusti wenyewe na ndio maana zamani hakukuwa na mambo ya kiki lakini tulikuwa tunafanya vizuri bado kwa hiyo kiki mimi hainibariki kabisa yaani. Star Showbiz: Kitu gani ambacho watu hawakijui kutoka kwako? Mb Dogg: Wasichokijuwa kwangu mimi ni mchoraji mzuri sana wa ramani za majumba na ndio napiga hela huko na nimeajiriwa kwenye kampuni kabisa inayohusika na hayo mambo. Star Showbiz: Asante kwa muda wako. Mb Dogg: Asante na wewe pia, karibu!
"2019-08-23T16:09:13"
https://globalpublishers.co.tz/mb-dogg-atoboa-siri-ya-kupotea-nchi-aliyokimbilia/
[ -1 ]
Pentagon imesema vikosi vya Marekani vinavyoondoka Syria vinahamia Iraq - BBC News Swahili https://www.bbc.com/swahili/habari-50118315 Image caption Msafara wa magari ya kijeshi ya Marekani umeonekana ukiondoka kaskazini mwa Syria Vikosi vyote vya Marekani vinavyoondoka kaskazini mwa Syria vinatarajiwa kuhamia magharibi mwa Iraq, waziri wa ulinzi Mark Esper, amethibitisha. BW. Esper amewaambia wanahabari kuwa, chini ya mpango wa sasa karibu wanajeshi 1,000 watapelekwa Iraq kusaidia katika juhudi za kuzuia kurejea upya kwa kundi la Islamic State (IS). Rais Donald Trump amewahi kuahidi kuwarejesha nyumbani wanajeshi wa Marekani. Kuondoka kwa vikosi vya Marekani kaskazini mwa Syria kulitoa nafasi kwa Uturuki kuanzisha oparesheni ya kijeshi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi. Pande zote mbili zimekuwa zikilaumiana kwa kukiuka mkataba wa kusitisha mapigano ulioongozwa Marekani. Ankara inawachukulia wanamgambo walijumuishwa katika vikosi vya Kikurdi ni magaidi, hatua iliyoifanya kubuni "eneo salama" ndani ya Syria. Image caption Maelfu ya watu wametoroka makazi ya katika eneo la kaskazini mwa Syria tangu Uturuki ilipoanzisha opareshani dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi Siku ya Jumapili, Uturuki ilisema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ameuawa na mwingine kujeruhiwa wakati wakikabiliana na wapiganaji wa Kikurdi karibi na mji wa Syria wa Tal Abyad. Vikosi vya Kikurdi viliwahi kuilaumu Uturuki kwa kuvikataza kuwahamisha watu wake kutoka mji wa mpakani. Huku hayo yakijiri, Spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi amewasili nchini Jordan kufanya mazungumzo na Mfalme Abdullah. Bi Pelosi, ambaye ameandamana na wanasiasa wa ngazi ya juu wa Marekani, amekosoa vikali hatua ya rais Donald Trump kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo kaskazini mwa Syria. Vikosi vya Marekani vitafanya nini? Akiwa safarini kuelekea eneo la mashariki ya kati waziri wa ulinzi wa Marekani, Mark Esper amesema wanajeshi hao watatumiwa "kutoa ulinzi kwa Iraq" na kukabiliana na jaribio la IS kurejea tena nchini humo. "Marekani inajiondoa taratibu kaskazini mashariki mwa Syria... tunazungumzia wiki chache zijazo, sio siku"alisema. "Mapango wa sasa ni wa vikosi hivyo kujikita katika ngome maalum magharibi mwa Iraq." Afisa wa ngazi ya juu wa idara ya ulinzi ya Marekani ameonya kuwa mpango huo huenda ukabadilika ". Katika Twitter yake, rais Trump alimnukuu Bw. Esper - ambaye alimtaja kama Mark Esperanto - akisema mkataba wa kusitisha mapigano "unaendelea vyema". Siku ya Alhamizi Uturuki ilikubali kusitisha mashambulizi yake hadi Jumanne usiku, ili kuwapatia nafasi wapiganaji wa Kikurdi kuondoka katika ngome yao. Wizara ya ulinzi ya Uturuki imeripoti kuwa mwanajeshi mmoja ameuawa na mwingine kujeruhiwa karibu na mji waTal Abyad. Ilisema kuwa vikosi vya Uturuki vilijibu mashambulizi katika hatua ya kijilinda. Ni nini kinachoendelea Syria? Baada ya kufikia makubaliano na vikosi vinavyoongozwa na wapiganaji wa Kikurdi, jeshi la Syria lilianza kufanya mashambulizi kuelea mpakani siku ya Jumatatu. Vyombo vya habari vya Syria vilitangaza kuwa vikosi vya serikali vimeingia katika mji wa Manbij, eneo ambalo Uturuki inataka kubuni "eneo salama". Wanajeshi wa Uturuki na wapiganaji wanaopinga serikali ya Uturuki walianza kukusanyika karibu na mji huo. Mkataba huo ulionekana kuimarisha utawala wa rais wa Syria Bashar al-Assad kwani ulimaanisha vikosi vyake vitarejea katika maeneo ya kaskazini mashariki kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2012, baada ya kujiondoa kwao katika maeneo mengine ili kukabiliana na waasi kutoa nafasi kwa wanamgambo wa Kikurdi kuchukua udhibiti wa eneo hilo. Licha ya kupinga jaribio lao la kutaka kujitenga na kujitawala, Bw. Assad hakupigania kukomboa eneo hilo, hasa baada ya wapiganaji wa Kikurdi kuwa washirika wake katika vikosi vya muungano dhidi ya IS kwa ushirikiano na vikosi vya Marekani. Image caption Uturuki na washirika wake wakiendelea na mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa Kikurdi wanaoshikilia mji wa mpakani kaskazini mashariki mwa Syria Kando na kupiga vita IS, Wakurdi walikuwa kiungo muhimu kwa Marekani katika hatua ya kudhibiti ushawishi wa mahasimu wao Urusi na Iran katika mzozo wa Syria. Kwa sasa, vikosi vya Syria havitapelekwa katika miji ya Tal Abyad na Ras al-Ain, ambako Uturuki imeelekeza juhudi zake. Rais Erdogan wa Uturuki anasisitiza kuwa oparesheni hiyo itaendelea hadi pale inchi hiyo itakapofikia "malengo yake" licha ya kuingiliwa na vikosi vya serikali ya Syria. "Mungu akitujaalia tutakomboa maeneo yanayokaribia mpaka wetu kutoka Manbij hadi Iraq na kuhakikisha kwamba katika awamu ya kwanza, watu milioni moja wanarudi makwao na katika awamu ya pili wakimbizi milioni mbili wa Syria wanarejea nyumbani kwa hiari," alisema katika hotuba yake kupitia Televisheni siku ya Jumanne . Umoja wa Mataifa unasema watu takribani 160,000 wametoroka makazi yao lakini shirika kutetea haki la Syrian Observatory (SOHR) linasema idadi hiyo huenda ni zaidi 250,000 huku likiripoti vifo vya raia 70. Shirika hilo lillilo na makao yake nchini Uingereza pia linasema wanachama 135 wa SDF wameuawa katika oparesheni hiyo kufikia sasapamoja na wapihanaji 122 wanaounga mkono serikali ya Uturuki na wanajeshi wanane wa Uturuki. Shirika la habari la Uturiki, Anadolu limeripori vifo vya raia 18 katika mpaka wa kusini mwa Uturuki. Wasiwasi kuhusu mabomu 50 ya kinyuklia ya Marekani yaliyofichwa Uturuki Rais Erdogan wa Uturuki 'aitupa pipani barua ya Trump kuhusu Syria '
"2020-02-24T18:14:49"
https://www.bbc.com/swahili/habari-50118315
[ -1 ]
BBC Swahili - News In Brief - Wafanyikazi mashambani SA wazua fujo Wafanyikazi mashambani SA wazua fujo Maafisa wa serikali ya Afrika Kusini wanasema kuwa mtu mmoja ameuawawa katika mapigano kati ya polisi na wafanyikazi wa mashamba waliokuwa wanadai mishahara zaidi. Watu hao wafanyao kazi katika mashamba yenye rutuba ya mizabibu na matunda mengine, yaliyopo viungani Cape Town, waliweka vizuizi barabarani, wakateketeza mashamba, kupindua magari na kuharibu ala za kazi.
"2018-06-23T14:43:32"
https://www.bbc.com/swahili/news_in_brief/2012/11/121115_safrica_riots
[ -1 ]
โ€œSIKUMFUKUZA โ€˜SHILOLEโ€™ NYUMBANI KWANGUโ€ โ€“ FROLA MVUNGIโ€ฆ!! | DarTalk.comโ„ข home โ€œSIKUMFUKUZA โ€˜SHILOLEโ€™ NYUMBANI KWANGUโ€ โ€“ FROLA MVUNGIโ€ฆ!! Posted on 10 August 2012 NGOMA iliyofanya vizuri ya msanii Zena Muhamedi โ€˜Shiloleโ€™, โ€˜Nyumba za Kupanga Lawamaโ€™, inadaiwa kuwa ilikuwa inamlenga rafiki yake wa karibu, Frola Mvungi, kwani ndiye aliyempokea na kumkaribisha kwake pindi alipotoka mkoani lakini walikuja kutengana baada ya Mvungi kuanza kumtupia maneno machafu kuwa akapange kwake.
"2013-05-24T11:14:46"
http://dartalk.com/2012/08/10/sikumfukuza-shilole-nyumbani-kwangu-frola-mvungi/
[ -1 ]
ICC yatoa waranti wa kukamatwa Gaddafi | Matukio ya Kisiasa | DW | 28.06.2011 Mahakama ya uhalifu wa kivita ya The Hague nchini Uholanzi, leo hii imetoa waranti ya kukamatwa kwa kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi huku waasi nchini Libya wakijaribu kusonga mbele km 80 kufika mji mkuu wa Tripoli Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, Luis Moreno-Ocampo Mahakama imeidhinisha waranti ya kukamatwa kwa Gaddafi, mwanawe Saif Saif al-Islam na Mkuu wa Usalama wa Taifa wa Libya, Abdullah al-Senussi kwa tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu. Waendesha mashitaka wa ICC wanawatuhumu kwamba wamehusika na mauwaji ya waandamanaji walionzisha vuguvugu Februari mwaka huu la kuondoa madarakani utawala wa Gaddafi ulidumu kwa takribani miaka 41 sasa. Akisoma uamuzi huo, Jaji Sanji Mmasenono Monageng amesema kwa uhakika na bila ya shaka yeyote Gaddafi anadhibiti kila kitu nchini Libya, ikujumuisha jeshi. Mtoto wa Gaddafi, Saif al-Islam Aliongeza kwa kusema kwamba Gaddafi na Saif al- Islam kwa pamoja walipanga na kutekeleza mpango wa kuwazuia na kuzima kwa namna yeyote ile maandamano ya raia wa nchi hiyo dhidi ya utawala wake. Na kwamba al-Senussi alitumia madaraka yake yake kuamuru mashambulizi yaliyotokea. Serikali ya Gaddafi imekana kuwalenga raia na kuuhushtumu Umoja wa Kujihami NATO ambao ndege zake zinaendelea na operesheni za anga nchini humo kwamba zinafanya maangamizi kwa niaba ya Waasi. Hatua ya kutolewa kwa waranti wa kukamatwa Gaddafi imepokewa vyema na Serikali ya Uingereza, ambapo Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchi hiyo, William Hague, amesema viongozi wengine walio katika utawala wa kiongozi hiyo wanapaswa kumtekelekeza. Waziri huyo amesema watu hao wanatuhumiwa kufanya uhalifu dhidi ya binadamu, kwa hivyo wanapaswa kupandishwa kizimbani. Aidha ametoa wito kwa serikali ya Libya kutoa ushirikiano katika kufanikisha uchunguzi. Nayo Jumuiya ya Kujihami ya NATO imesema hatua ya ICC inaonesha dhahiri kwamba muda unamtupa mkono Gaddafi, huku ukitangaza kuongeza kumbana zaidi kiongozi huyo wa Libya. Katibu Mkuu wa NATO, Anders Fogh Rasmussen, amesema hatua hiyo inaongeza mgawanyiko miongoni mwa waliomo katika utawala wa Gaddafi. Hatua hiyo imezusha nderemo na vifijo huko mjini Benghazi, ambapo msemaji wa Baraza la Mpito la Waasi, Jalal al- Galal, amesema wana furaha kupita kiasi. Amesema dunia imeungana kusheherekea kwa kumshitaka Gaddafi kwa uhalifu alioufanya. Wapiganaji waasi Kwa upande wao, wapiganaji waasi waliopo maeneo milimani, kusini mashariki mwa mji wa Tripoli, wamepiga hatua kubwa kwa wiki kadhaa na kuufikia mji wa Bir al-Ghanam ambapo hivi sasa wanakabiliana na vikosi vya Gaddafi kuweza kuudhibiti mji huo. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa waasi hao, hivi sasa wapo umbali wa kilometa 30 kufika mji mkuu wa nchi hiyo wa Tripoli ambao ndio ngome ya Gaddafi. Mwandishi: Sudi Mnette/DPA/RTR Mhaariri: Miraji Othman Kiungo http://p.dw.com/p/11kMX
"2017-12-16T01:46:11"
http://www.dw.com/sw/icc-yatoa-waranti-wa-kukamatwa-gaddafi/a-15192885
[ -1 ]
Baadhi ya watu wana upendeleo wa kujivutia nadhari. Mbele ya kaka na dada zake katika Kristo, anasema yeye ni mdeni wa Mungu, lakini akiwapa kisogo, yeye hatii katika vitendo ukweli ila anafanya tofauti kabisa. Je, hii si ni kama wale Mafarisayo wa dini? Mtu ambaye anampenda Mungu kwa kweli na ana ukweli ni yule ambaye ni mwaminifu kwa Mungu, lakini bila ya kufichua kwa nje. Yeye yuko tayari kutia katika vitendo ukweli wakati mambo yanapotokea wala hasemi au kutenda kinyume cha dhamiri yake. Anaonyesha hekima wakati mambo yanapotokea na ni mwenye maadili katika matendo yake, bila kujali mazingira. Mtu kama huyu ni mtu ambaye anahudumu kwa kweli. Kuna baadhi ya watu ambao mara nyingi shukrani zao kwa kuwa wadeni wa Mungu ni kwa mdomo tu. Siku zao huisha wakiwa na nyuso za wasiwasi, kukaa katika hali isiyo halisi, na kuvalia uso bandia wa mnyonge. Aibu gani hii! Na kama ungemuuliza, โ€œNi kwa njia zipi wewe ni mdeni wa Mungu? Tafadhali niambie!โ€ Hangeweza kutamka lolote. Kama wewe ni mwaminifu kwa Mungu, basi usizungumze kuhusu uaminifu wako kwa umma, bali tumia matendo yako halisi ili kuonyesha upendo wako kwa Mungu, na kumwomba kwa moyo wa kweli. Wale wanaotumia maneno pekee kushughulika na Mungu ni wanafiki wote! Baadhi yao husema kuwa wao ni wadeni kwa Mungu katika kila sala, na kuanza kulia wakati wanasali, hata bila uwepo wa Roho Mtakatifu. Watu kama hawa wamepagawa na mila na desturi za kidini na fikra; wanaishi na mila hizo na fikra kama hizo, daima wakiamini kwamba hatua kama hiyo humpendeza Mungu, na kwamba kumfuata Mungu kijuujuu au machozi ya huzuni ndivyo humpendeza Mungu. Ni kitu kipi kizuri kinachoweza kutoka kwa watu kama hao wa kushangaza? Ili kuonyesha unyenyekevu wao, baadhi yao huonyesha neema bandia wakati wanazungumza mbele ya watu wengine. Baadhi yao kwa maksudi hujitoa wakati wowote kwa utumishi mbele ya watu wengine, kama mwanakondoo asiye na nguvu yoyote. Je, hii ni namna ya watu wa ufalme? Mtu wa ufalme sharti awe wa kusisimua na aliye huru, asiye na hatia na aliye na uwazi, mwaminifu na wa kupendeza; mtu aishiye katika hali ya uhuru. Ana tabia za kiajabu na heshima, na anaweza kuwa shahidi kokote aendako; yeye ni mmoja wa wapenzi wa Mungu na wanadamu. Wale ambao ni wanafunzi katika imani huwa na matendo mengi ya nje lazima kwanza wapitie kipindi cha ushughulikiaji na kuvunja. Wale ambao wana imani kwa Mungu katika nyoyo zao hawawezi kutofautishwa na wengine kwa nje, lakini vitendo na matendo yao ni ya kupongezwa kwa wengine. Watu wa aina hii pekee ndio wanaweza chukuliwa kuwa wanaishi kwa kudhihirisha neno la Mungu. Ukihubiri injili kila siku kwa mtu huyu na yule, ukiwaleta kwa wokovu, ilhali mwishowe wewe bado unaishi katika sheria na mafundisho, basi wewe huwezi kuleta utukufu kwa Mungu. Namna hii ya watu ni watu wa dini, na ni wanafiki mno. Kila mara watu wa kidini kama hao wanapokusanyika, wanaulizana, โ€œDada, uko vipi siku hizi?โ€ Anajibu, โ€œNahisi kuwa mimi ni mdeni wa Mungu na siwezi kutosheleza matakwa ya moyo Wake.โ€ Mwengine anasema, โ€œMimi, pia, ni mdeni wa Mungu na nimeshindwa kukidhi matakwa Yake.โ€ Sentensi na maneno haya machache pekee yanaonyesha maovu yaliyo ndani ya nyoyo zao. Maneno kama hayo ni ya kuchukiza zaidi na yenye makosa sana. Asili ya watu kama hao inaleta upinzani kwa Mungu. Wale ambao huzingatia ukweli halisi huwasilisha vilivyomo katika nyoyo zao na kufungua mioyo yao katika mawasiliano. Hakuna shughuli hata moja ya uongo, hakuna heshima ama salamu na mazungumzo matupu. Wao huwa na uwazi na hawafuati sheria za duniani. Kuna wale ambao wako na upendeleo wa kujionyesha kwa nje, hata bila maana yoyote. Wakati mwenziwe anaimba, yeye anaanza kucheza, bila hata kujua kuwa wali kwenye sufuria yake umeshaungua. Watu wa namna hii si wacha Mungu au waheshimiwa, bali ni watu wa kijinga kupindukia. Hizi zote ni dalili za ukosefu wa ukweli! Baadhi yao hukusanyika kuzungumza kuhusu mambo ya maisha katika roho, na ingawa hawasemi kuhusu kuwa kwao wadeni wa Mungu, wao hubaki na upendo wa kweli kwa Mungu ndani ya mioyo yao. Kuwa kwako mdeni kwa Mungu hakuhusiani na watu wengine; wewe ni mdeni kwa Mungu, si kwa mwanadamu. Kwa hiyo ina maana gani ya wewe daima kuzungumzia haya kwa watu wengine? Lazima uweke umuhimu kwa kuingia katika hali halisi, si kwa bidii ya nje au maonyesho. Iliyotangulia๏ผšEpuka Ushawishi wa Giza na Upatwe na Mungu Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu kwa Ukweli Tamko la Nane Kuijua Kazi ya Mungu Leo Ufafanuzi wa Tamko la Tatu
"2018-03-24T05:56:02"
https://sw.kingdomsalvation.org/believing-in-god-should-focus-on-reality-not-religious-rituals.html
[ -1 ]
WALALAMIKIA MAFUTA KUCHANGANYWA NA MAJI MTWARA | Habariclouds Edition: Local & International | Full Width Published On: Mon, Jun 12th, 2017 Business | Post by jerome WALALAMIKIA MAFUTA KUCHANGANYWA NA MAJI MTWARA Tags Watumia huduma za Nishati na Maji mkoani Mtwara wamewalalamikia baadhi ya huduma zinazotolewa na wamiliki wa vituo vya kujazia mafuta kwa kuchanganya mafuta na maji. Watumiaji hao pia wameilalamikia Mamlaka ya Maji safi na maji Taka mjini Mtwara MTUWASA kwa kusambaza maji machafu kwa wateja. Wakizungumza katika mafunzo ya wajibu na haki kwa watumiaji wa huduma za nishati na maji kwa wakazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani, baadhi ya madereva pikipiki za abiria maarufu kama bodaboda pamoja na wananchi wamesema tatizo la kugundua maji katika mafuta ya pikipiki limetokea zaidi ya mara moja, huku wengine wakihoji juu ya maji machafu yanayotoka katika mabomba. Mkuu wa kitengo cha mitambo na usambazaji maji wa MTUWASA, LUKELO WANDELAGE amekiri wateja kufikiwa na maji machafu mabombani. Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Nishati na Maji EWURA kupitia baraza la huduma za watumiaji wa nishati na maji EWURA CCC wameendesha Mafunzo ya wajibu na haki kwa watumiaji wa huduma za nishati na maji kwa wakazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani.
"2017-06-27T03:47:16"
http://habariclouds.com/2017/06/walalamikia-mafuta-kuchanganywa-na-maji-mtwara/
[ -1 ]
WAZIRI PROF. KABUDI AKUTANA, KUFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU WA NORFUND | Masama Blog Home ยป NEWS AND UPDATES ยป WAZIRI PROF. KABUDI AKUTANA, KUFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU WA NORFUND WAZIRI PROF. KABUDI AKUTANA, KUFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU WA NORFUND Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norway (Norfund), Bw. Tellef Thorleifsson akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) wakati alipomtembelea ofisini kwake na kufanya nae mazungumzo leo jijini Dar es Salaam Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norway (Norfund), Bw. Erik Sandersen akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) (hayupo pichani) wakati ujumbe huo ulipomtembelea ofisini kwake na kufanya nae mazungumzo leo jijini Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiongea na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norway (Norfund), Bw. Tellef Thorleifsson katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam Balozi wa Norway nchini, Mhe. Baalozi, Ms. Elisabeth Jacobsen akifafanua jambo mbele ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norway (Norfund), Bw. Tellef Thorleifsson Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norway kwa nchi zinazoendelea (Norwegian Investment Fund for Developing Countries โ€“ Norfund), Bw. Tellef Thorleifsson. Mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ofisi ndogo za wizara Jijini Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine, Mhe. Waziri Prof. Kabudi pamoja na Bw. Thorleifsson wamejadili masuala yanayohusu fursa za uwekezaji na biashara kati ya Tanzania na Norway. โ€œKwa kweli sisi tunafurahishwa na mradi wa Africado ambao umewekezwa katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro kwani umekuwa ukizalisha maparachichi yanayopelekwa nchi mbalimbali za Ulaya kama vile Uholanzi, Uingereza, Ufaransa, Hispania, Ureno, na Mashariki ya Kati, na kuisaidia serikali kukuza pato lake la taifa,โ€ Amesema Prof. Kabudi na kuongeza kuwa mradi huo umetoa fursa za ajira takribani 600 kwa wananchi wa Tanzania. Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Uwekezaji wa Norfund, Bw. Thorleifsson amesema kuwa lengo la mkfuko huo ni kuwekeza katika miradi mbalimbali ndani ya nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ili kuzisaidia nchi hizo kukuza uchumi wake. โ€œLengo letu ni kuwekeza katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ambapo hadi kufika mwishoni mwa 2018 tayari mfuko ulikuwa umewekeza nchini Tanzania kiasi cha Dola za Marekani milioni 160 katika miradi mbalimbali katika sekta za nishati, fedha, chakula na kilimo. Uwekezaji huo umeifanya Tanzania kuwa nchi ya nne katika nchi zinazonufaika na miradi ya Norfund,โ€ amesema Bw. Thorleifsson Norfund ni taasisi iliyo chini ya Serikali ya Norway yenye jukumu la kuwekeza mitaji na utaalamu katika uanzishwaji wa miradi mbalimbali endelevu kwenye nchi zinazoendelea kwa lengo la kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Ziara imetoa fursa kwa pande zote mbili kuweza kujadili namna bora ya kuboresha maeneo ya vipaumbele katika sekta ya uwekezaji. from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2O9kaaQ Thanks for reading WAZIRI PROF. KABUDI AKUTANA, KUFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU WA NORFUND
"2020-02-20T14:35:36"
https://www.masamablog.com/2020/01/waziri-prof-kabudi-akutana-kufanya.html
[ -1 ]
EU itachelewesha #Brexit hadi Februari ikiwa Johnson atashindwa kudhibitisha mpango wiki hii - Jarida la Jumapili - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU Sunday Times imearifu kwamba Umoja wa Ulaya utachelewesha Brexit hadi Februari 2020 ikiwa Waziri Mkuu Boris Johnson ashindwa kupata mpango wake wa wabunge wiki hii, anaandika Aishwarya Nair. Ucheleweshaji huo utakuwa "unaoweza kuharibika", ikimaanisha kwamba Uingereza inaweza kuondoka mapema, mnamo 1 au 15 Novemba, Desemba au Januari, ikiwa mpango wake umeridhiwa kabla ya uganiji kumalizika, gazeti lilisema, ikitoa mfano kwa vyanzo vya kidiplomasia. Hakuna uamuzi utakaochukuliwa hadi serikali za EU zitakapopata nafasi ya kukagua nafasi ya mkataba wa kujiondoa kupitia bungeni kabla ya Jumanne wiki hii, gazeti hilo liliongezewa. Wanadiplomasia na maafisa wa EU waliiambia Reuters siku ya Jumapili (20 Oktoba) kwamba, kulingana na maendeleo yaliyofuata katika London, chaguzi za ugani zinaanzia mwezi wa nyongeza hadi mwisho wa Novemba hadi nusu mwaka au zaidi. ยซ PM inasukuma kura ya #Brexit mpango baada ya kulazimishwa kutafuta kuchelewa #NorthernIreland inajiandaa kwa mabadiliko makubwa ya #Karibu na mabadiliko ya ndoa ya jinsia moja ยป
"2019-11-15T08:17:56"
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/10/21/eu-will-delay-brexit-until-february-if-johnson-fails-to-ratify-deal-this-week-the-sunday-times/
[ -1 ]
Zao la kwanza la Diamond Platnumz,Anaitwa Harmonize kwenye singo inaitwa Aiyola. โ€“ Millardayo.com Zao la kwanza la Diamond Platnumz,Anaitwa Harmonize kwenye singo inaitwa Aiyola. Diamond Platnumz ameamua kumtambulisha msanii wake wa kwanza mtu wangu kutoka kwenye lebo yake ya WCB,msanii huyu anaitwa Harmonize na hii ni singo yake ya kwanza inaitwa Aiyola,ukiisikiliza unaweza kuandika comment hapo chini. Bonyeza play kumsikiliza mtu wangu. โ† Previous Story Beyonce vs Kim Kardashian kwenye ushindani wa Followers @Instagram Next Story โ†’ Keisha hajakata tamaa na siasa? Ray C na vurugu hospitali ya Mโ€™nyala, Young D na maana ya tattoo zakeโ€ฆ255 (Audio)
"2020-06-06T05:34:45"
https://millardayo.com/aiyola/
[ -1 ]
Tamko Kuhusu Rais Trump kwenye Madhabahu ya Yohane Paulo II! - | Vatican News Tamko Kuhusu Hija ya Rais Donald Trump kwenye Madhabahu ya Mtakatifu Yohane Paulo II Kitaifa nchini Marekani: Kila Mtu anayo haki ya kutembelea mahali hapa pasi na ubaguzi! (AFP or licensors) Tamko Kuhusu Rais Trump kwenye Madhabahu ya Yohane Paulo II! Lengo la hija hii kwa Rais Trump, lilikuwa ni kuweka sahihi kwenye Hati inayohusu Uhuru wa Kidini Kimataifa. Hapa ni mahali muafaka kwa kuzingatia kwamba, Mtakatifu Yohane Paulo II alikuwa ni kiongozi aliyejipambanua kwa kusimamia haki msingi za binadamu, utu, heshima na uhuru wa kuabudu. Haya ni mambo msingi yalijionesha wakati wa uongozi wa Mtakatifu Yohane Paulo II. Rais Donald Trump wa Marekani pamoja na mkewe, Jumanne, tarehe 2 Juni 2020 amefanya hija ya kiroho kwenye Madhabahu ya Mtakatifu Yohane Paulo II Kitaifa yaliyoko Jimbo kuu la Washington DC., nchini Marekani yaliyoanzishwa kunako mwaka 2014. Hapa pamekuwa ni mahali pa sala na tafakari ya kina; mahali pa maadhimisho ya Sakramenti za Kanisa na mahali pa kuwakutanisha watu wa dini na madhehebu mbali mbali wanaotaka kujichotea utajiri na urithi mkubwa wa tunu msingi za maisha ya kiroho na kiutu kutoka kwa Mtakatifu Yohane Paulo II. Hija ya Rais Donald Trump kwenye Madhabahu haya wakati, Marekani imegubikwa na machafuko ya kijamii, imezua kinzani kutoka kwa baadhi ya viongozi wa Kanisa na watu wa Mungu nchini Marekani katika ujumla wao. Ni katika muktadha huu, Madhabahu ya Mtakatifu Yohane Paulo II Kitaifa nchini Marekani yametoa tamko kuhusu hija hii iliyofanywa na Rais Trump kwa kusema kwamba, hija hii ilikuwa imepangwa mapema na Ikulu la Marekani hata kabla ya kuibuka kwa machafuko ya kijamii ambayo yamesababisha maafa makubwa kwa watu na mali zao. Lengo la hija hii kwa Rais Trump, lilikuwa ni kuweka sahihi kwenye Hati inayohusu Uhuru wa Kidini Kimataifa. Hapa ni mahali muafaka kwa kuzingatia kwamba, Mtakatifu Yohane Paulo II alikuwa ni kiongozi aliyejipambanua kwa kusimamia haki msingi za binadamu, utu, heshima na uhuru wa kuabudu. Haya ni mambo msingi yalijionesha wakati wa uongozi wa Mtakatifu Yohane Paulo II kama Khalifa wa Mtakatifu Petro. Rais Trump anataka kuunga mkono jitihada za kukuza na kudumisha uhuru wa kidini ili kuondokana na nyanyaso na dhuluma wanazofanyiwa Wakristo sehemu mbali mbali za dunia. Ikumbukwe kwamba, Madhabahu ya Mtakatifu Yohane Paulo II Kitaifa ni mahali pa sala na majiundo endelevu kwa watu wote wanaopenda kujichotea amana na utajiri kutoka kwa Mtakatifu Yohane Paulo II. Tamko Kuhusu Rais Trump 03 June 2020, 13:58
"2020-07-04T11:47:21"
https://www.vaticannews.va/sw/world/news/2020-06/tamko-kuhusu-rais-donald-trump-madhabahu-yohane-paulo-ii-marekan.html
[ -1 ]
Hasunga: Miss Journalism World kumekucha - Mwanaspoti Hasunga: Miss Journalism World kumekucha Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga, wakati wa kuzindua tiketi za kidiplomasia katika hafla iliyofanyika New Dodoma Hotel juzi usiku mjini hapa. Dodoma. Taasisi pamoja na watu binafasi wametakiwa kuliunga mkono shindano la Miss Journalism World 2018, litakalofanyika Desemba mwaka huu jijini Arusha na kushirikisha washiriki kutoka nchi zaidi ya 60, kwa kujitokeza kulidhamini kwani litaitangaza Tanzania katika ngazi ya kimataifa haswa katika sekta ya utalii. Hasunga alisema, katika kipindi hiki ambacho Tanzania inapigana katika kujitangaza katika sekta ya utalii, inafurahisha zaidi kuona kuna ubunifu mkubwa kutoka kwa wadau mbalimbali katika kuhakikisha nchi yetu inajulikana zaidi kimataifa. โ€œNyumbani kumenoga, napenda kuwaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuliunga mkono shindano hili, kwani kwa kushirikisha washiriki kutoka nchi zaidi ya 60 ni faida kubwa kwetu, haswa katika sekta ya utalii. โ€œKatika kipindi hiki ambacho kuna ushindani mkubwa katika sekta ya utalii, napenda kuwafahamisha Tanzania ni moja kati ya nchi chache duniani zenye vivutio vya kutosha na tunapigana ili kuendelea kutangaza vivutio vingi tulivyonavyo,โ€ alisema. Naye Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu), Anthony Mavunde, ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM), alikiri kufurahishwa kwake na uwepo wa shindano hilo na kusema ni fursa kwa Tanzania kuendelea kujitangaza zaidi. โ€œNimefurahi uzinduzi huu kufanyika hapa Dodoma na ninawakaribisha sana, ila hii ni fursa kubwa kwetu kama Taifa kuendelea kujitangaza kimataifa zaidi kupitia sekta ya utalii,โ€ alisema. Mratibu wa shindano hilo, Samwel Chazi alisema, kwa sasa shindano hilo ni moja kati ya mashindano makubwa duniani, kutoka na kushirikisha washiriki wengi zaidi kutoka mataifa mbalimbali. โ€œBado kuna changamoto kadhaa na pia tunashukuru kwa sapoti kubwa tunayoipata kutoka serikalini, lakini tunaendelea kuomba wadhamini zaidi wajitokeze kwa ajili ya kulidhamini shindano hili,โ€ alisema. Uzinduzi huo ulihudhuriwa pia na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza, viongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, mwakilisi wa Kamanda wa Polisi Mkoa, wabunge na watu wengine maarufu ulisindikizwa na burudani ya muziki kutoka bendi ya Mjengoni Classic ya Arusha. Shindano la Miss Journalism World litafanyika katika hoteli ya Ngurdoto, Arusha Desemba mwaka huu, huku kukiwa na vipengele kadhaa vya kushindaniwa.
"2019-01-23T03:57:03"
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/-Hasunga--Miss-Journalism-World-kumekucha/1799484-4757834-14o5ww6z/index.html
[ -1 ]
Mwisho huenda ukawa karibu kwa Yahoo | Masuala ya Jamii | DW | 04.02.2016 Mwisho huenda ukawa karibu kwa Yahoo Baada ya kutangaza hasara kubwa na kupunguza nafasi za ajira, mustakabali wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Yahoo uko mashakani. DW inaangazia matatizo ya kampuni hiyo na juhudi za kuokoa biashara yake. Katika robo ya mwisho ya mwaka 2015, Yahoo ilipata hasara ya dola blioni 4.43 baada ya upunguzaji mkubwa wa thamani yake uliyotokana na ununuzi wa kampuni nyingine huko nyuma. Katika juhudi za kubadilisha hali, kampuni hiyo yenye makao yake jimboni California, ilitangaza kupunguza nafasi 1,500 za ajira, na kufunga ofisi katika miji mikubwa mitano duniani. Lakini mchambuzi Martin Pyykkonen kutoka kampuni ya hisa ya Rosenblatt ya mjini New York, anasema hatua ya yahoo kupunguza wafanyakazi kama njia ya kurejesha ufanisi wa kampuni haingii akilini, na kwamba hapo kuna jambo linakosekana. Lakini Mtendaji Mkuu wa Yahoo Marissa Mayer, anasisitiza kuwa anao mkakati wa ukuaji, ambao katika maneno yake, "utaboresha pakubwa mustakabali wao na kuongeza ushindani na kuwavutia watumiaji, watangazaji pamoja na washirika wao. Mayer alisema Yahoo inapaswa kujikita katika shughuli kuu tatu za msingi kwa biashara ya wateja wao: Utafutaji, baruapepe na Tumblr, ambao ni mtandao wa blogi ya jamii iliyoupata mwaka 2013 kwa gharama ya dola bilioni 1.1. Tazama vidio 01:15 Tuma Facebook Twitter Google+ Whatsapp Tumblr linkedin stumble Digg reddit Newsvine Kiungo http://p.dw.com/p/1HpJ7 Wawekezaji wanataka mabadiliko Tumblr ni mmoja ya biashara kadhaa alizozichukuwa Myaer baada ya kuchukuwa usukani mwa Yahoo mwaka 2012. Lakini juhudi za kampuni hiyo kuingiza fedha zaidi kw akuwavutia watumiaji vijana zimeshindwa kuzaa matunda. Tumblr ilishindwa kufikia lengo lake la kuingiza dola milioni 100 mwaka uliyopita, na Yahoo ikapunguza thamani ya kampuni hiyo kwa dola milioni 230. Kuyumba kwa biasgara ya yahoo katika miaka ya karibuni kumeathiri pia ufanisi wake katika masoko ya hisa, ambapo thamani yake ilishuka kwa zaidi ya asilimia 30 mwaka ulyopita, na kusababisha wasiwasi miongoni mwa wawekezaji. SpringOwl, kampuni ya usimamizi wa mali na mwanahisa katika yahoo, ilimkosoa Mayer kuwa ugawanyaji mbaya wa tajiriba, ushirika mbaya wa kimkakati, matumizi yasiyodhibitiwa na idadi kubwa ya wafanyakazi. Brian Wieser, mchambuzi kutoka shirika la Pivotal Research, anaamini Yahoo inahitaji uongozi mpya. "Sijui kingine, alisema mchambuzi huyo na kusisitiza katika mahojiano na tovuti ya biashara ya Business Insider, kuwa ikiwa wanatka kujenga tena uaminifu, laazima aanguke. Tayari kuuza Kwa wakati huu bodi ya uongozi wa Yahoo imekataa miito kwa Mayer kujiuzulu na ilisema imejifunga kwa juhudi za timu ya uongozi kuibadili kampuni hiyo. Lakini mwenyekiti wa bodi ya yahoo Maynard Webb alisema kuwa ni katika maslahi ya wanahisa kujaribu mikakati mbadala. Mara baada ya kauli yake hiyo, bei ya hisa za yahoo ilipanda kwa asilimia 5. Wawekezaji wanaitafsiri kauli hiyo kama kidokezo cha kutafuta mnunuzi. Lakini atakuw atayari kuinunua kampuni inayoyumba, na kwa bei gani? Kufikia sasa, thamani ya hisa za yahoo ni dola bilioni 27. Lakini hiyo inatokana kwa sehemu kubwa na hisa zake katika tovuti ya bishara ya mtandao ya China, Alibaba. katika ripoti ya fedha ya karibuni ya yahoo, uwekezaji tu umewekwa kwa thamani kubwa ya dola bilioni 31, na hivyo kuchangia sehemu kubwa zaidi ya thamani jumla ya yahoo ambayo ni dola bilioni 45. Hisa za Yahoo katika kampuni ya Alibaba zina thamani kubwa kuliko biashara yake kuu. Kampuni hiyo iliyoanzishwa mwaka 1994, awali ilikuwa ikijulikana kama Jerry's Guide to the World Wide Web. Kampuni hiyo ilipata mafanikio makubwa kama tovuti ya mtandaoni, lakini ilitokea kuwa na ufanisi mdogo ikilinganishwa na washindani wake wachanga kama vile Google na Facebook, katika kutumia idadi kubwa ya watumiaji kuongeza mapato ya matangazo. Jerry Yang kujutia uamuzi wake Miaka tisa iliyopita, mwanzono mwa mwaka 2008, hisa za yahoo zilikuw ana thamani ya chini kidogo tu ya dola bilioni 30, sawa na thamani yake ya sasa. Lakini wakati huo, kulikuwepo bado na matumaini ya mustakabali mwema, angalau katika mawazo ya Steve Ballmer, wakati huo mtendaji mkuu wa Microsoft. Ballmer alitaka kuinunua yahoo kwa kiasi cha dola bilioni 44. Jerry Yang, mwanzilishi mwenza wa Yahoo na Mtendaji Mkuu wakati huo, alikataa pendekezo hilo, akiamini kampuni yake ilishushwa thamani. Ni uamuzi ambao anaweza kuja kuujutia. Mwandishi: Becker Andreas Mfasiri: Iddi Ssessanga Tarehe 04.02.2016 Mada Zinazohusiana Yahoo Maneno muhimu Yahoo, internet, teknolojia, Mayer Kiungo http://p.dw.com/p/1HpwX Liberia inakabiliwa na migogoro ya ardhi kati ya wananchi na wawekezaji wa kigeni ikiwa ni wiki sita tangu kuapishwa kwa Rais Geoge Weah. Watoto wanaozaliwa nchi maskini wakabiliwa na hatari ya kifo 20.02.2018
"2018-02-26T00:21:30"
http://www.dw.com/sw/mwisho-huenda-ukawa-karibu-kwa-yahoo/a-19027585
[ -1 ]
Wamarekani waanza kurejea katika maisha yao. | Masuala ya Jamii | DW | 31.10.2012 Wamarekani waanza kurejea katika maisha yao. Mamilioni ya watu waliokumbwa na baa kubwa la kimbunga Sandy huko katika maeneo ya kaskazini/mashariki mwa Marekani leo hii watajaribu kurejesha hali yao ya maisha ya kawaida inagawa bado kuna changamoto kadhaa. Kimbunga Sandy kimeathiri usafiri wa umma pamoja na mfumo wa nishati umeme kwa kiasi kikubwa katika maeneo kadhaa ya jiji la New York na itachukua siku kadhaa pia kurejeshwa kwake katika hali ya kawaida. Ikiwa ni siku sita kabla ya uchaguzi wa rais wa Marekani, yaani Novemba 6, Rais Barack Obama atatembelea eneo ambalo limevurugwa kabisa na kimbunga hicho la ufukwe wa New Jersey. Katika ziara yake hiyo ataongozwa na Gavana wa eneo hilo ambae anatoka chama cha Republican Chris Christie ambae anamuunga mkono mpinzani wake Mitt Romney ambae hata hivyo amemsifu Obama na Juhudi za serikali katika kukabiliana na kimbunga hicho. Mazingira magumu kwa Romney Mgombea urais Mitt Romney Kadhia hii imemuweka katika mazingira magumu ya kisiasa Romney ambae mwaka uliyopita alinukuliwa akisema shirika la serikali la kukabiliana na majanga ya dharura lifungwe na majukumu yake yaachwe kwa majimbo husika. Na sasa imebakia wiki kabla ya uchaguzi ukiwa unakwenda sawia na janga hilo kubwa la kimbunga. Kampeni ya Romney inawahikishia wapiga kura kwamba utawala wake utahakikisha waathiriwa wa majanga hawateseki. Viongozi katika ngazi zote wana kazi kubwa sana kurejesha katika hali ya kawaida maeneo yenye wakazi wengi yalikuwa katika pwani ya Mashariki nchini Marekani. Kimbunga Sandy kinakadiriwa kugharimu maisha ya watu wa 40 nchini humo,na kupiga kutoka kutoka upande wa majini na kutpa theluji katika milima ya Milima ya Apalachian, zaidi ya makazi ya watu milioni 8.2 sambamba na maeneo ya biashara yalibaki pasipo umeme katika majimbo kadhaa. Hali mbaya New York Njia ya Treni Njia za reli na barabara ambazo zinatumiwa na idadi kubwa sana ya watu jijini New York zilijaa maji. Nusu ya eneo la Manhattan limeendelea kutokuwa na umeme baada ya kutokea mripuko katika kituo kidogo cha umeme kinachohudumia eneo hilo Con Edison. Kimbunga hicho kilisukuma maji katika jiji la New York kwa urefu wa futi 14 na kwamba kutokana na hilo jiji hilo, serikali inasema wakazi wake wataendelea kutabika pasipo kutumia njia za chini zenye umuhimu mkubwa kwa siku kadhaa. Usafiri wa mabasi una mipaka yake kwa hivyo watu wengi wanatembea umbali mrefu kwa miguu au kutumia taxi katika mitaa ya jiji hilo. Idadi ya waliofariki dunia kutokana na Kimbunga kikubwa cha Sandy huko nchini Marekani imefikia 16 ambapo zaidi ya nusu ya vifo hivyo vimetokana na watu hao kuangukiwa na miti. (30.10.2012) Maneno muhimu usa, new york, obama, romney Kiungo http://p.dw.com/p/16Zvb Marekani yakumbuka mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 11.09.2016
"2017-09-23T04:08:51"
http://www.dw.com/sw/wamarekani-waanza-kurejea-katika-maisha-yao/a-16344415
[ -1 ]
Tags: California, Japan, marijuana, Sumiyoshi-kai, yakiniku, yakuza, ใ‚ซใƒชใƒ•ใ‚ฉใƒซใƒ‹ใ‚ข, ไฝๅ‰ไผš, ๅคง้บป
"2017-10-19T21:58:22"
http://www.tokyoreporter.com/2017/08/29/yakuza-nabbed-over-smuggling-of-marijuana-from-california/amp/
[ -1 ]
Wezi wa BoT - EPA warejesha bilioni 50 hadi leo | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Wezi wa BoT - EPA warejesha bilioni 50 hadi leo Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Kamanda, Feb 29, 2008. WanaJF muda huu Waziri wa Mipango na Fedha Mustapha Mkullo, sijui naye ni alhaj au vipi, anatangaza kuwa bilioni 50/- kati ya bilioni 133/- zilizoibwa na wajanja-wajanja wetu, zimerejeshwa Benki Kuu ya Tanzania. Mkullo anasema kuwa fedha za mwisho kufikisha kiasi hicho ziliingia leo asubuhi sana kutoka akaunti moja ya mwizi ambaye hata hivyo, kama kawaida, kwamba hana haja ya kumtaja kwa sasa. Anasema hivi sasa kuwa fedha hizo zinazorejeshwa hazina riba. Kila mwizi anarejesha kama alivyochukua, bila kujali kama alizitumia kufanya biashara au vinginevyo. Wakati akisema hivyo, wananchi nao, kama ilivyo kwa JF, wanataka kurejesha tu isiwe nongwa, wakamatwe na washitakiwe. kamanda said: Wakati akisema hivyo, wananchi nao, kama ilivyo kwa JF, wanataka kurejesha tu isiwe nongwa, wakamatwe na washitakiwe.Click to expand... F*ck my govnt. ZZzzzzzzzzzzzz........krooooo......zzzzzzzzzz.... JAKAYA!!!! HEBU TUPA MZOGA UACHANE MAINZI Mushobozi kikwete inchi kama imekushinda si uachie ngazi????? Huu ni ujinga mkubwa. Wakishindwa kuwachukulia hatua za maana hawa wezi, basi wananchi tuwe tayari kuchukua sheria mikononi mwetu kama vile tunavyofanya kwa vibaka barabarani. Huu ni usanii tu na si ajabu pesa zinazosemwa zimerudishwa ni pesa hewa. Me nataka kujua zaidi kama RA amerudisha kamzigo ketu maana yeye na Jeetu walichota nyingi sana aise.... "hakuna mtu mbaya kama mhindi masikini" (page 119,makuadi wa soko huria, Chachage, S.L) sasa Tuandamane, why r u swearing (ku2mia lugha ya ma2c). Warudishe, na riba juu! Sisi 2kichukua vimkopo vidogo kwa kufuata utaratibu 2nadaiwa riba...let em pay thru their noses, kama hawakuzizungusha na kupata faida watajaza wenyewe Huu ni usanii tu na si ajabu pesa zinazosemwa zimerudishwa ni pesa hewa.Click to expand... Mtanzania hata mimi nilikuwa na mawazo kama ya kwako. Hivi kuna ugumu gani kusema nanihii alihusika na ufisadi, amerejesha Shs kadhaa. Mbona wakati wa vita ya wahujumu uchumi miaka ya 80, waliokamatwa walifahamika??? - 0 people likes Hivi wana JF Hivi nchi yetu ya Tanzania tunaelekea wapi haswa? mbona ujanja na usanii umekuwa mwingi kwa viongozi wetu ambao tumewapa dhamana ya kuliongoza taifa na watu wake? Maana si rais tuu hata viongozi wengine wenye dhamani nyeti kama AG, Hosea et al....they are just sitting and getting their fat paycheck doing nothing! Honestly, hata kwa kipofu na mjinga, hii hali inatishia uhai wa taifa letu. I dont know what to say, But Iam really afraid where JK is taking this country! sasa Tuandamane, why r u swearing (ku2mia lugha ya ma2c). Warudishe, na riba juu! Sisi 2kichukua vimkopo vidogo kwa kufuata utaratibu 2nadaiwa riba...let em pay thru their noses, kama hawakuzizungusha na kupata faida watajaza wenyeweClick to expand... NIMECHOKA NA SERIKALI YANGU KUNIDANGANYA KILASIKU KAMA MJINGA, KIFUPI SERIKALI INANITUKANA WAKATI MIMI NDO NINAWAFANYA WAISHI (KWA KODI NILIPAYO) KWANINI NISIWATUKANE BWANA.. WASHENZI TU HAWA NADHANI WAJUA KITAKACHO FATA MARA BAADA YA WANANCHI KUCHOKA KUTUKANA, KUNAWAKATI HUWA NAWAZA NA KUSIKITIKA AMBAYO OSAMA ANAWALENGA KWA MASHAMBULIZI RAIA WA MAREKANI WASIO NA HATIA WAKATI UKWELI KABISA HII KAZI INGEKUWA BARABARA KAMA ANGILENGA KWA VIONGOZI WETU Mimi nasema hapa tunadanganywa kabisa Hivi kwanini hakuna ushahidi unaonyesha kuwa hizo pesa zimerudishwa Benk, jamani watanzania tusikubali haya yalishasemwa hapa JF kuwa iko siku tutaambiwa pesa zimerudiswa tayari Ninaomba jamani watu na vyombo vya habari visikubali hata kidogo huu ni uwongo wa Serikali Pumbavu iliyoko madarakani Wanashindwa nini kutuambia kuwa Pesa zimerudishwa na mtu fulani na ushahidi huu hapa, wanaendelea kuwalinda Mafisadi wakuu, lakini mtu akiiba embe anatajwa kila mahali, ila mabilioni anafichwa Hakuna cha Baraza jipya wala nini vyote ni uozo mtupu, Tuambiwe, ni nani karudisha kiasi gani na bado kiasi gani na arudishe na Faida aliyoipata kwenye huo wizi, na sheria ichukue mkondo wake, mwizi arudishi tu mali aliyoiba na aache. JK KUWA NA AKILI NA UELEWA KAMA RAISI WA NCHI KUNA WATU WANA AKILI ZAIDI YAKO ILA HATUWEZI KUWA MAPRESIDA WOTE USITUFANYE KAMA MBUZI PLEASE JIHESHIMU, KAMA NCHI IMEKUSHINDA HACHIA NGAZI SHERIA ZIMEGEUKA SIKU HIZI MWIZI ANARUDISHA ALICHOIBA THEN ANAACHIWA SIO?? JK NA SERIKALI YAKO MMEOZA WOTEEEEEEEEEEE Jamani ujinga huu hawajaanza leo! Mi nakumbuka kuna ishu ya upatu (pyramid scheme)ambao ulichezeshwa na wake za vigogo, wakawalaghai akina dada, akina mama na akina bibi zetu! Ile kesi ilifunguliwa mahakamani ya madai lakini cha ajabu wale waliokuwa wako kimbelmbele walilipwa pesa zao na hawa waanawake wakaingia mitini. Sasa na hii wanataka kutulete mazingaombwe hayohayo. Lakini haitawezekana! Sisi wanaJF tuna kazi ndogo sana. Ni kuhakikisha kama kaziyako ni ya uandishi ufanye kazi ya kuandika makala kama ni mfanyakazi wa kawaida anza kuchangisha mawazo wafanyakazi wenzako. Hii ndo grass root movement! Na mi naamini kabisa tuanze petition - inawezekana! ni sisi tu kuamua! Hivi Tanzania issue ya petition ipo, ili tumwandikie rais na tuipublish kwenye magazeti! Mtanzania hata mimi nilikuwa na mawazo kama ya kwako. Hivi kuna ugumu gani kusema nanihii alihusika na ufisadi, amerejesha Shs kadhaa. Mbona wakati wa vita ya wahujumu uchumi miaka ya 80, waliokamatwa walifahamika??? Click to expand... Nakuunga mkono mzee, hawa jamaa wanatuchezea mazingaombwe. Kama waliweza kututanzgazia majina ya makampuni yaliyohusika leo wanashindwaje kutueleza kampuni so and so wamerudisha kiasi fulani. Ni kweli inawezekana kabisa zikawa ni pesa hewa. Hivi kazi kubwa ya hawa jamaa ilikuwa ni nini hasa. Kurushisha pesa tu au kuzifualia na kuwafikisha jamaa mahali panapostahili kuwa judged na vyombo husika. Dalili za mvua ni mawingu. Sioni dalili zozote zaidi ya utapeli tunaofanyiwa. Hivi kweli timu inayo wa-include AG na Hosea ambao tayari wako implecated kwenye skandali la RICHMONDULI kweli wataweza kutufanya kazi tunayotarajia. Hawa jamaa kama kweli ni wachapakazi wazuru na ni wasafi wangesha tusaidia kweli ile issue. Kushindwa kwao tayari kuna tuondolea imani. IGP I am not sure, lakini kwa njisi ninavyoona kesi ya Dito inavyopotea hewani, imani inaniishia. MUNGU TUSAIDIE WADANGANYIKA!!!!! Kishaju Ebu tujikumbushe kidogo hotuba aliyoitoa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Bungeni tarehe 30 Desemba, 2005 kuhusu Rushwa (ufisadi): "Tutaongeza kasi ya kupambana na rushwa kisayansi kwa kushambulia kiini chake, na kuziba mianya yake. Tutajitahidi kuongeza mishahara na kuboresha maslahi ya watumishi wa umma ili kupunguza vishawishi vya rushwa. Tutaendelea pia kuongeza uwazi katika maamuzi ya Serikali hasa katika manunuzi na mikataba. Tutaimarisha uwezo wa kifedha na kiutendaji wa taasisi zilizo mstari wa mbele kwenye vita dhidi ya rushwa, hususan Taasisi ya Kuzuia Rushwa, Jeshi la Polisi na Mahakama. Lakini yote hayo ni bure iwapo wananchi hawatajitokeza kusaidia vyombo hivyo. Naomba ushirikiano huo kutoka kwa wananchi. Katika harakati za kupambana na rushwa yapo mambo mawili mengine ambayo tutayaangalia kwa karibu. La kwanza ni mikataba. Tutaangalia upya taratibu za mikataba mbalimbali inayoingiwa na Serikali, mashirika ya umma na idara zinazojitegemea kwa nia ya kuongeza uwazi na uwajibikaji. Mikataba ni mwanya mkubwa wa rushwa hasa zile kubwa kubwa za wanaotafuta utajiri. Kadhalika, hatuna budi kuchukua hatua thabiti za kuzuia watumishi wa umma kutumia nafasi zao kujitajirisha na kujilimbikizia mali. Sisemi kwamba ni haramu mtu kuwa tajiri au kuwa na mali. Ninachosema mimi kuwa ni haramu ni kutumia nafasi yako ya utumishi au uongozi wa umma kujipatia manufaa ya kujitajirisha au kujilimbikizia mali. Jambo hili ndilo linalokera sana watu kuona mtu ambaye hana chochote lakini miezi michache tu baada ya kupata cheo anakuwa tajiri mkubwa. Ona majumba ya fahari, ona madaladala, teksi bubu, anaishi maisha ya kifahari na kadhalika. Wananchi wanayo haki kuhoji, na wanayo haki kupata majibu. Ndugu zangu, naomba tuwe waadilifu. Tusilaumiane. Nataka Tume ya Maadili ya Viongozi isione haya kutuuliza jinsi tulivyozipata mali tunazosema tunazo. Nitawasaidia kujenga uwezo wa kufanya hivyo kama tatizo lenu ni hilo". Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete...ulisema mwenyewe....sasa tunataka majibu sahihi ni akina nani hao wanaorejesha hizo pesa na kwanini hadi sasa hawapo Keko au Segerea...ulituambia mwenyewe kwamba tunayo haki ya kuhoji...sasa twambie tuwajue wezi wetu ni akina nani? Jamani nimejaa matusi ktk Nafsi yangu ila najistahi Huu uongo wa perememde wakawadanganye watoto wao nyumbani. Nadhani hii ni CHEMSHO la kwanza la Mkulo na yatakuja mengi. TUNATAKA WALIOHUSIKA WACHUKULIWE HATUA full stop. Kurudisha haitoshi, ina maana walipokuwa wanaiba walifanya bahati mbaya?? Naunga mkono hoja ya petition. Heshima Mbele, Mie sina jazba ila ningependa kujua ni kina nani wamerudisha pesa ya EPA?na wataajwe kwa majina.na kwanini wamerudisha pesa bila riba na wameichukua kwa muda mrefu??tuambiwe majina yao na lazima wawe na slip.Mlioko BanK naomba mtuambie ni kina nani wametoa pesa hizo.!na ningependenda list iwe wazi.Mziki wa leo uko wapi?ni walipoti ya EPA nadhani..Mwanakijiji uweke mapema coz nimeshamaliza mazoezi Nakubaliana na wengi kuwa huu ni usanii. Kuna uwezekano wa mambo yafuatayo 1 Fedha walizochukua ni nyingi zaidi ya 133bn/=, lakini kwa kuwa tunajua hizo tu, basi, watasema wamelipa deni. Tukitaka kujua ni kiasi gani hasa walikchukua ukaguzi uende zaidi ya 2005, uanzie 2000. 2 Wanarejesha hizo ili waonewe huruma na wasamehewe. Inabidi kujiuliza ni watanzania wangapi wamekufa kwa wao kuchukua hizo fedha zetu? Ukosefu wa dawa, wanafunzi kukosa walimu na madarasa, kukalia mawe nk.ni kero walizozisababisha 3 Fedha zinarudishwa kwa kutumia account bandia ili tracing ya wahusika iwe ngumu zaidi. Tuwe macho, hivi kweli JF tumekosa mjasiri wa kutupatia majina ya hao waliorudisha? Mimi nina mtazamo tofauti kidogo katika hili la wanaorudisha kutokutajwa majina. Inawezekana kabisa ni mtego mzuri tu umewekwa ili kwanza pesa zirudishwe zote kisha ndipo serikali iende mahakami kuwashtaki. Unajua mambo yakishafika mahakamani ndio basi tena, inabidi sheria ianze kuchukua mkondo wake na inaweza kuchukua muda mrefu sana. Na watu wa mambo ya fedha mnafahamu kitu kinaitwa time value of money, na ndio maana mnauliza mbona wamerudisha bila riba. Waacheni kwanza warudishe pesa zote, kisha ndipo hatua za kisheria dhidi yao ifuate. Taarifa zisizo rasmi nilizozipata zinasema kwamba, tayari baadhi yao wameshanyang'anywa pasi zao za kusafiria. Hapa bado tunachezewa tu. Swali ni kwanini hawatajwi? Au ndio hawatajiki? inaonekana hiyo ni trick, au naye Mkullo ni waziri wa fedha jina, kuna mwenyewe anayeoperate under the carpet.
"2016-12-06T16:11:11"
http://www.jamiiforums.com/threads/wezi-wa-bot-epa-warejesha-bilioni-50-hadi-leo.10403/
[ -1 ]
CCM msiigeuze Igunga yetu Somalia - JamiiForums CCM msiigeuze Igunga yetu Somalia Thread starter JOHN MADIBA TUMEFIKA pabaya naaapa! Mbona haya mambo hatukuwahi kuyashuhudia huko nyuma? Lazima iwepo namna. Ukiwa mlokole hukawii kusema siku za kiyama zimefika na haya ndiyo yaliyonenwa kwenye maandiko. Hivi watu hawajui mipaka ya kazi zao? Igunga wanatuletea siasa za aina mpya nawaapia. Kumbe ndiyo maana yule wanayemwita gamba alisema kuna siasa uchwara? Sasa tumeziona lakini miye simo! Kuna hiki kituko cha mwakilishi wa mkuu wa kaya katika ngazi ya wilaya kukamatwa na wanaodai alikuwa akihujumu jambo! Hivi inawezekana vipi mwakilishi wa rais awe kwenye ziara ya kikazi halafu akakosa ulinzi wa dola? Hapana. Hapa tunataka maelezo enyi wana. Mbona katika ngazi ya wilaya ukiona DC ndiyo umeona dola yenyewe? Ifike vipi mahali tuone watu wameiweka dola ngazi ya wilaya chini ya ulinzi? Hiki ni kituko cha karne nawaapia lakini nasema pande zote mbili zimetuthibitishia kwamba siasa zetu sasa zimevuka mpaka. Nasikia mama wa watu analalamika alikuwa kwenye kikao cha kikazi. Kwani maafande walikwenda wapi ili wamlinde asikumbwe na yaliyomkumba? Yeye si ndiye amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya? Huyo si ndiye mwakilishi wa rais? Huyo si ndiye mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama ngazi ya wilaya? Sasa kama usalama wake mwenyewe aliuweka rehani ataweza vipi usalama wa wengine? Nasema hapa lazima mtu ujitoe mtu wangu. Huko si tumeshuhudia pia vituko vya watu kudai kumwagiwa tindikali na nyumba kuchomwa? Nasikia vyote hivi vinahusishwa na siasa. Tumefika huko? Hayo mambo mbona tulidhani haya yanaweza kutokea tu Somalia na huko Kandahar? Nasikia yametokea Igunga. Tumekubali vipi kufikishwa kwenye hizi siasa za kihasama? Kumbe hatamu ina utamu watu awataki kuiachia eh? Wacha nikae kimya tu. Nimeona na wengine wakilishwa ubwabwa. Karne ya leo ya teknolojia bado tunakubali tunachanganywa na kitu kinachogeuka kinyesi baada ya dakika chache? Kumbe mwadhani wali ule utakaa tumboni saa ngapi? Baada ya wali wewe unampa mtu ulaji miaka mitano. Hapo unajiuliza kama huku vichwani mwetu kuna ubongo au funza? Ngoja ninyamaze maana hamkawii kusema ninatukana mtoto wa mama miye. Hizo sarakasi nasikia zimezidi hadi kuna wakubwa kwenye hicho chama nambari wahedi wanadai eti CHADEMA wameleta makomandoo waliopata mafunzo Afghanistan na Libya. My God! Kama huo ni ukweli basi tujue chama tawala kimeshindwa kutawala. Hadi wapinzani waweze kuingiza makomandoo intelijensia ilikuwa wapi enyi ndugu? Kama hayo ya chama tawala ni kweli basi wapo wengi wa kujiuzulu na chama kuachia ngazi hadi makomandoo wasio rasmi wakaingia nchini. Hoja zimefika hapo? Nasema haya ya Igunga yanatuthibitishia namna ambavyo fujo huanzishwa. Hivi mna hamu sana ya kupelekwa kizimbani na Ocampo siyo? Miye simo kabisa huko. Kweli kabisa nchi hii yenye jeshi lake na intelijensia inayoweza kujua fujo itatokea hata kabla watu hawajakusanyika inaweza kushindwa kuwanasa makomandoo wa chama cha upinzani? Tuambiwe lingine lenye mashiko, hili lina ukakasi watu wangu. Lakini ukiacha hayo hivi hamkuona picha ya Bwana Aden Rage yule mbunge wa Tabora Mjini akienda kwenye mkutano wa siasa na bastola kiunoni? Tumefika hapo enyi watu. Kweli vyeo hivi vinatafutwa kwa msaada wa risasi, bado hamuoni kuna noma? Hapanaย….hapana. Tumekwisha. Kwani mbona tulifunzwa kwamba siasa ni sera? Nasema afadhali hata udanganye utaleta mahakama ya kadhi halafu baadaye uiruke kimanga kama ilivyokwisha kutokea kuliko kutafuta ushindi kwa gharama ya roho za watu. Hivi hamkujifunza kitu kule Pemba nyie? Tayari roho zetu zinapukutishwa na ukimwi, ujambazi, lishe mbovu, ajali za kujitakia na ajali za kweli bado mnatuletea tena siasa za fujo? Hapana, hata kwenye umaskini wetu bado twazipenda roho zetu enyi wana. Kwanza kwa wengi wetu hakuna kingine tunachomiliki zaidi ya hizo roho. Chonde chonde Igunga. Nasikia wengine wanajaribu kuingiza na dini ndani ili kupata kura za huruma. Hivi hamumuogopi hata Mwenyezi Mungu? Jamani kwenye siasa kuna uchafu wa kila aina wala msithubutu kabisa kumuingiza Mola wetu huko. Huo uchaguzi si mmejitakia wenyewe mlipoanza kuitana magamba? Kama si hizo siasa za kuwekana uchi mnadhani mngefika hapo mlipofika? Miye simo kabisa na kamwe sikubaliani nanyi. Narudia tena simo kwenye hayo mambo yenu. Hivi nguvu hii inayotumika kwenye kampeni za kisiasa zingetumika kwenye uzalishaji mali mbona tungekuwa dunia ya kwanza? Naapa natamani turudie enzi za Mwalimu wakati uongozi ulipokuwa utumishi. Uliwahi kuona enzi zile watu wakifikia kumuagiana tindikali au kupanda jukwaani na silaha kiunoni inaonekana? Ni vitisho au ubabe? Nasema kama tunataka kupata ukombozi wa kweli sasa tuandamane na mashirika yasiyo ya kiserikali tuachane na blah blah za siasa. Kwa sasa hivi Igunga inaonekana lulu miongoni mwa wanasiasa lakini subiri uchaguzi uishe. Utashangaa na roho yako. Miye nilishawaambia wakwe zangu walioko huko Igunga waendelee kwenda makondeni kulima badala ya kwenda kwenye hii mikutano watu wanayoihutubia na bastola. Yawezekana wengine wanaona huo ni ujanja lakini nasema ni dalili mbaya. Kwetu Tanzania hatujazoea kumwona raia akitembea na silaha hadharani, hiyo labda iko Somalia. Utamaduni huu wa kuomba kura na bastola bado ni mgeni kwetu. Chonde chonde enyi watu wangu. Hivi hoja zimeisha hadi sasa tunazungumzia tu kwamba watu wanabishana kwa misuli? Hii ndiyo miaka 50 ya Uhuru sio? Uhuru wa kufanya kampeni huku amani ikiwekwa rehani? Kweli tumekubali uholela wa soko miye simo huko kote mtoto wa mama. Nawausia tu Wanaigunga tumieni akili zenu kichwani, kwani mbona pumba na mchele vinaonekana kwa macho hata bila miwani? Miye simo huko! Likes: saliel twashukuru kwa taarifa zako nzuri na zenye hekima endelea na moyo huo huo. endelea ku2jua yanayojiri humo ...i.gu.ng.a
"2018-12-19T15:17:35"
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-msiigeuze-igunga-yetu-somalia.175783/
[ -1 ]
Matokeo murua kwa rais Bashir wa Sudan - BBC News Swahili Matokeo murua kwa rais Bashir wa Sudan https://www.bbc.com/swahili/habari/2010/04/100427_sudan_analysis Wanaomuunga mkono rais wanauchukulia ushindi huu kama jibu la wananchi wa Sudan kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ambayo imetoa kibali cha kukamatwa kwa bwana Bashir ikimtuhumu kwa uhalifu wa kivita katika Darfur. โ€œHuu ni ujumbe kwa dunia nzima: rais ni halali na ni mwakilishi wa watu wote,โ€œ akasema ofisa wa NCP Rabie Abdelati. โ€œMashtaka yoyote sasa ni mashtaka dhidi ya wananchi woteโ€ <!-- /* Font Definitions */ @font-face {font-family:Wingdings; panose-1:5 0 0 0 0 0 0 0 0 0; mso-font-charset:2; mso-generic-font-family:auto; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:0 268435456 0 0 -2147483648 0;} @font-face {font-family:PMingLiU; panose-1:2 2 3 0 0 0 0 0 0 0; mso-font-alt:ๆ–ฐ็ดฐๆ˜Ž้ซ”; mso-font-charset:136; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:3 137232384 22 0 1048577 0;} @font-face {font-family:"\@PMingLiU"; panose-1:2 2 3 0 0 0 0 0 0 0; mso-font-charset:136; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:3 137232384 22 0 1048577 0;} /* Style Definitions */ p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal {mso-style-parent:""; margin:0cm; margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:12.0pt; font-family:"Times New Roman"; mso-fareast-font-family:PMingLiU; mso-fareast-language:ZH-TW;} @page Section1 {size:612.0pt 792.0pt; margin:72.0pt 90.0pt 72.0pt 90.0pt; mso-header-margin:36.0pt; mso-footer-margin:36.0pt; mso-paper-source:0;} div.Section1 {page:Section1;} /* List Definitions */ @list l0 {mso-list-id:526872859; mso-list-type:hybrid; mso-list-template-ids:-488994748 134807553 134807555 134807557 134807553 134807555 134807557 134807553 134807555 134807557;} @list l0:level1 {mso-level-number-format:bullet; mso-level-text:๏‚ท; mso-level-tab-stop:36.0pt; mso-level-number-position:left; text-indent:-18.0pt; font-family:Symbol;} ol {margin-bottom:0cm;} ul {margin-bottom:0cm;} --> Yassir Arman, SPLM (alijitoa): 22% Abdalah Deng Nhial, PCP: 4% Hatim al-Sir, DUP: 2% Sadiq al-Mahdi, Umma (alijitoa):1% Kusini Chanzo:Tume ya Uchaguzi Sudan Hata hivyo Mahakama ya Kimataifa yaUhalifu (ICC) imesema kuwa matokeo hayo ya uchaguzi hayatabadilisha uamuzi wake wa kutaka kumshtaki Rais Bashir. Ushindi wake wa 68% ulikuwa wa kusadikisha na chama chake kikajizolea ushindi mkubwa kaskazini. Matokeo hayo yamepingwa na upinzani, na kutiliwa shaka na wengine, kufuatia shutuma nyingi za udanganyifu. Lakini wakati kura ya maoni mwakani juu ya uwezekano wa Sudan ya kusini iliyo huru ikikaribia kwa kasi, chaguzi hizi zitakubaliwa kimataifa. Wakati vyama kadhaa pinzani kwa Rais Bashir, kikiwemo waasi wa zamani wa SPLM ambao wanaongoza kusini, walipojitoa kwenye mbio za urais, walizidisha sana makadirio ya nguvu zao. Msimamo wao imara uliathirika vibaya wakati baadhi ya vyama vilipoamua kushiriki. โ€˜Vitishoโ€™ Wale waliopinga waliamini kuwa kujitoa kwao kuliondoa uhalali wote wa uchaguzi. Wakaguzi wa kimataifa, kutoka Umoja wa Ulaya (EU) na Carter Centre, walishutumu chaguzi kuwa โ€œhazikukidhi viwango vya kimataifaโ€. WASIFU WA SUDAN Nchi kubwa kuliko zote Afrika Imegawanyika katika misingi ya dini na ukabila Chaguzi za Aprili 11-15, za kwanza za vyama vingi katika kipindi cha miaka 24 Mgogoro wa Darfur unaendelea Rais Bashir anatakiwa kwa uhalifu wa kivita katika Darfur Sudan ya Kusini inajijenga baada ya miaka 21 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan ya Kusini inaweza kujitenga mwaka 2011 Visima vikubwa vya mafuta karibu na mpaka wa kaskazini-kusini Lakini kwa mshangao wa upinzani nchini Sudan, rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter aliweka wazi kabisa kuwa โ€˜jumuiya ya kimataifaโ€™ itawatambua washindi wa uchaguzi. Wanasiasa toka kambi ya upinzani kaskazini mwa nchi wanadai utaratibu mzima wa uchaguzi ulikuwa wenye mapungufu, ikiwemo uanishaji wa majimbo, sensa, uandkishaji wa wapiga kura na uchaguzi wenyewe. Wakaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Kiarabu na Umoja wa Afrika wamesisitiza kuwa chaguzi zilikuwa za haki na huru. Image caption Salva Kiir, Rais wa Sudan Kusini Baadhi ya wakaguzi kutoka Sudan wanapinga vikali. Sudan Democracy First, jumuiya mama kaskazini mwa nchi, ilitoa kile ilichokiita ushahidi mkubwa wa udanganyifu uliofanywa na chama cha Rais Bashir (National Congress Party). Shirika la Mtandao wa Demokrasia na Uchaguzi (Sunde) lilisema kulikuwepo na udhalilishaji na vitisho kusini mwa nchi kutoka kwa majeshi ya SPLM. Katika maeneo yote ya nchi hii iliyogawanyika, raia wa kawaida na wagombea ambao hawakuridhika walijihatarisha kwa kuainisha mambo mabaya yaliyofanyika katika chaguzi. Maswali yanayoleta wasiwasi Filamu ya siri inayoonesha maofisa wa uchaguzi mashariki ya Sudan wakifanya udanganyifu katika uchaguzi kwa ajili ya chama cha NCP iliwekwa katika mtandao wa YouTube. Majeshi yanayomilikiwa na SPLM kusini mwa Sudan yalishutumiwa kwa kutesa watu ambao hawakupigia kura SPLM. Wagombea pinzani dhidi ya SPLM wanasema kuwa ama walitiwa kizuizini au kuzuiwa kupiga kampeni. Ikiwa sehemu ya shutuma hizi zitakuwa na ukweli basi inaacha maswali mengi ya kutia wasiwasi juu ya kura ya maoni, na hasa namna Kusini itakavyotawaliwa ikiwa itakuwa huru. Hivyo basi hali hii ya mvutano inaipeleka nchi wapi? Sudan Kaskazini kuliko wakati wowote ule iko katika himaya ya Rais Bashir na chama chake, ambacho kilishinda kila kiti ilichogombea, zaidi ya yale maeneo yenye mvutano katika mpaka wa kasakazini-kusini. Inavyoonekana ni kuwa Rais Bashir ameimarisha himaya yake kabla ya kura ya maoni mwezi wa kwanza mwakani juu ya uwezekano wa kusini iliyo huru. Kupoteza imani Maofisa kutoka katika chama chake wameeleza kuwa wataendelea kutoa ule ule uhuru wenye mipaka kama ilivyokuwa wakati wa kampeni za chaguzi. Lakini wengi wana mashaka. Nina wasiwasi sana kuwa Chama cha National Congress katika miezi ijayo kitajaribu kuchelewesha kura ya maoni Yassir Arman- mgombea kutoka SPLM Upinzani kaskazini umeyashutumu matokeo na kudai hautakubali matokeo na kutaka maandamano ya amani kufanyika ili kudai chaguzi mpya. Hata hivyo, Rais Bashir ana mamlaka, yawe ya kidemokrasia au vinginevyo kufanya apendavyo. Upinzani mkali pekee unatolewa na SPLM kusini mwa nchi. Chenyewe pia kilipata ushindi mkubwa katika maeneo kinayomiliki. Kwa mfano, katika viti kumi vya magavana wa majimbo kiliweza kushinda viti tisa. Kiti cha kumi cha ugavana kilikwenda kwa mgombea binafsi-ambaye ni kanali wa jeshi katika SPLA kusini. Mrejesho wa wanasiasa wa kusini waliopoteza matumaini, wakiwemo wagombea binafsi walioshindwa ni muhimu kuutazama. Upande mmoja kujitenga? Baada ya kujiimarisha, wote kaskazini na kusini wanaelekeza macho yao sasa kwenye kura za maoni. Rais Bashir, kwa mara nyingine tena, alisisitiza katika hotuba iliyotangazwa punde baada ya matokeo kutangazwa, nia yake ya kuhakikisha kura ya maoni inafanyika kwa wakati. Lakini wengi kusini wana mashaka. โ€œNina wasiwasi sana kuwa Nationa Congress katika miezi ijayo watajaribu kuchelewesha kura ya maoniโ€ akasema Yassir Arman wa SPLM ambaye alipata kura zaidi ya milioni mbili kwa nafasi ya urais, licha ya kwamba alijitoa katika uchaguzi. SPLM kimeshatangaza wazi kabisa kuwa ikiwa kura ya maoni itacheleweshwa kitatoa uamuzi wa upande mmoja wa kutangaza uhuru. Hivyo baada ya uchaguzi kukamilika ni wakati wa majadiliano mengi magumu. Kwanza, Rais Bashir ataunda serikali ya umoja wa kitaifa, ambayo lazima ijumuishe SPLM, lakini labda si wapinzani wengi watakuwemo humo. Baada ya hapo NCP na SPLM lazima wakubaliane juu ya mambo kadhaa muhimu kuhusu kura ya maoni, ikiwemo labda pia jambo zito la kutengwa kwa mpaka wa kaskazini-kusini. Hatimaye, uchaguzi wa Sudan huenda ukaonekana tu kama hatua yenye dosari kuelekea kura ya maoni.
"2018-09-19T17:21:31"
https://www.bbc.com/swahili/habari/2010/04/100427_sudan_analysis
[ -1 ]
Map of Zanzibar North Region Hotels - Hotels Near Zanzibar North Region | Zanzibar North Region Map of Zanzibar North Region Hotels Maps of Zanzibar North Region Hotels Largest Cities Near Zanzibar North Region Map of Mkokotoni Hotels Map Cities Near Zanzibar North Region Map of Mkokotoni Hotels (0 mi.) Map of Gamba Hotels (4.1 mi.) Map of Kijini Hotels (4.7 mi.) Map of Koani Ndogo Hotels (18.6 mi.) Map of Zanzibar Hotels (21.2 mi.) Map of Pangani Hotels (35.7 mi.) Map of Nganane Hotels (42.2 mi.) Map of Mahonda Hotels (43 mi.) Map of Uwelini Hotels (43.9 mi.) Zanzibar North Region Hotel Map Updated on 6/16/2019 Frasers Mill Ruin Pwani Deburi Jito la Kiwani Kigunda Pwani Diko Mchanga Diko la Kichanakana Diko la Kombe Diko la Jomba Diko la Inkadini Diko la Mgombeji
"2019-06-16T13:11:43"
http://www.hotelmapsearch.com/Guides/Tanzania_United_Republic_of/Zanzibar_North_Region.html
[ -1 ]
NAMNA YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA ROHO MTAKATIFU. โ€“ โ€ฆUTAIINUA MISINGI YA VIZAZI VINGIโ€ฆ (Isaya 58:12) August 17, 2007 August 17, 2007 Sanga Yohana 14:16-17. Biblia inasema โ€œ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele, ndiye Roho wa kweli ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni, wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenuโ€. Ukiaangalia vema mistari hiyo miwili hapo juu utagundua Yesu alikuwa akiwaambia wanafunzi wake mambo yafuatayo;Moja, alikuwa akiwaaga na kwa hiyo akawaambia nitamwomba Baba awape msaidizi mwingine ambaye ndiye Roho wa kweli yani Roho mtakatifu. Mbili, huyo msaidizi ulimwengu hauwezi kumpokea kwa kuwa haumwoni na wala haumtambui.Tatu, wanafunzi wake watampokea kwa sababu kwanza wanamtambua na kisha atakuwa ndani yao. Ukisoma kile kipengele cha mwisho kinasema โ€œBali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenuโ€ Sasa leo nataka nizungumzie kipengele cha mwisho kinachosema โ€œnaye atakuwa ndani yenuโ€. Biblia inasema atakuwa, maana yake ni tendo la wakati ujao, au si la sasa au kwa lugha nyingine ni baada ya vitu fulani kufanyika. Roho mtakatifu kukaa ndani yako ni kwa ajili yako wewe binafsi. Hii ina maana atakua ndani yako kwa ajili ya kukusaidia uweze kulitumika shauri la Bwana katika kizazi chako. Ili Roho mtakatifu aweze kuwa ndani yako na kukuongoza vema katika njia unayopasa kuiendea ni lazima ufanye maamuzi ya ndani ya kumruhusu akae ndani yako kwa kujenga mahusiano mazuri katika maisha yako au kiwango cha yeye kukusaidia katika maisha yako binafsi.Mambo yafuatayo yatakusaidia kujenga mahusiano mazuri na Roho mtakatifu ili akusaidie; *Kuliweka neno la kristo kwa wingi ndani yako. Wakolosai 3:16.Hakikisha kila siku unatenga muda wa kutosha wa kusoma na kulitafakari neno la Mungu. Unapolitafakari neno la Mungu, ndivyo jinsi linavyokaa kwa wingi moyoni mwako. *Kutenga muda wa kuwa pamoja naye. Jifunze kujenga mahusiano na Roho mtakatifu kama rafiki yao, usimuone kama ni adui. Kumbuka yeye ni msaidizi na bila yeye huwezi lolote. Mara nyingi marafiki wazuri huwa wanakuwa na muda wa kutosha wa kuwa pamoja. Hivyo jifunze siku zote kutenga muda wa kuongea naye kwa maombi na pia kutulia tu ili na wewe usikie kutoka kwake. *Kutafakari mambo ya Rohoni. Warumi 8:5bSiku zote jifunze kutafakari mambo ya roho. Kutafakari mambo ya roho ni ile hali ya kutumia muda wako mara kwa mara kutafakari zaidi juu ya Roho mtakatifu na kazi zake na kisha kukaa kwenye mkao wa kusikiliza kila analokuagiza. *Kuwa mtiifu kwake. Yesu alipomtambulisha Roho mtakatifu kwa wanafunzi wake aliwaambia moja ya kazi zake itakuwa ni kuwafundisha na kuwakumbusha yale yote aliyowaambia (Yohana 14:26). Sasa kitu cha muhimu kuliko vyote ili kuboresha mahusiano yako na Roho mtakatifu ni wewe kuwa mtiifu kwake kwa kila analokuagiza. Watu wengi wameshindwa kumpa Roho mtakatifu heshima kisa lile neon linalosema yeye ni msaidizi. Nisikilize kama umesoma mstari wa mwanzo kabisa vizuri utagundua kwamba hata Yesu alikuwa ni msaidizi, Neno msaidizi halina maana yuko chini yako kibiblia. Ina maana unahitaji msaada wake ili uweze kufika unakotakiwa kwenda na bila yeye hutaweza. Hivyo mpe Roho mtakatifu nafasi ile ile uliyompa na Yesu pia. Asikiaye na afahamu, Ndimi Sanga P.S. Previous NINI MAANA YA KUMPENDA BWANA? Next NINI MATARAJIO YA MUNGU KWAKO 2008? MERERE,Cuthbert says: Amina ndugu Merere nelson bwoto says: asante sana kaka kwa mafundisho mazuri sana. MUNGU akubaliki na awe nawe siku zote. JOSHUAH SHUKIA says: NI KWELI TUPU HIYO MTUMISHI ULIYOSEMA, INGAWA MKRISTO WA LEO HATAKI KUHUSIANA NA ROHO MTAKATIFU. Amina, ni changamoto, ndiyo maana BWANA anatufundisha ili tupate faida.
"2017-10-24T09:19:47"
https://sanga.wordpress.com/2007/08/17/namna-ya-kujenga-mahusiano-mazuri-na-roho-mtakatifu/
[ -1 ]
Khamenei.ir - Kiongozi Muadhamu Aonana na Mkuu na Maafisa wa Ngazi za Juu wa Chombo cha Mahakama Kiongozi Muadhamu Aonana na Mkuu na Maafisa wa Ngazi za Juu wa Chombo cha Mahakama Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, leo asubuhi (Jumapili) ameonana na mkuu na maafisa wa ngazi za juu wa Chombo cha Mahakama na vile vile viongozi wakuu wa mahakama na idara za sheria za makao makuu ya mikoa ya Iran. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha vipaumbele sita vikuu vya kipindi kipya cha miaka mitano cha uongozi wa Ayatullah Amoli Larijani katika Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, ushirikiano, kupendana na kuwa na sauti moja wakuu wa Mihimili Mitatu Mikuu ya dola (Mahakama, Serikali na Bunge) katika masuala makuu ya nchi na katika kulinda maslahi ya umma ni jambo la dharura sana. Vile vile ameashiria matukio ya hivi sasa ya Iraq na kusisitiza kuwa, nyuma ya pazia la fitna na mauaji yanayofanyika Iraq sasa hivi, kuna madola ya kibeberu ya Magharibi yakiongozwa na utawala wa Marekani na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kupinga vikali uingiliaji wa aina yoyote ile wa Marekani katika masuala ya ndani ya Iraq, inaamini kuwa, wananchi na serikali ya Iraq pamoja na maraji'i wa kidini wa nchi hiyo wanaweza kwa pamoja kukomesha mauaji na kuzima moto uliowashwa nchini humo. Katika mkutano huo, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaenzi na kuwakumbuka kwa wema mashahidi wa Tir 7 (1360 Hijria Shamsia sawa na Juni 28, 1981 wakati genge la wanafiki la MKO lilipofanya shambulio la bomu katika Makao Makuu ya chama cha Jamhuri ya Kiislamu mjini Tehran na kupelekea kuuawa shahidi Ayatullah Beheshti na wafuasi 72 wa Mapinduzi ya Kiislamu) na hususan shahid Ayatullah Beheshti kama ambavyo pia amemuenzi shahid Ayatullah Quddusi. Aidha ameitaja sifa ya kipekee ya Chombo cha Mahakama ikilinganishwa na vyombo vingine kuwa ni kudhamini kwake ufanikishaji wa kusimamishwa haki na uadilifu katika taasisi zote za mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu. Ameongeza kuwa: Ni kwa sababu hiyo ndio maana matarajio yaliyopo kwa Chombo cha Mahakama yakawa makubwa na kwamba kwa kuzingatia uwezo na ustahiki mkubwa wa mkuu wa chombo hicho ambaye ni mwanachuoni mkubwa, mujtahidi, aliyeshikamana vilivyo na dini, mwenye fikra pana, mwanamapinduzi, shujaa na mweledi wa mambo, kunaufanya uwezekano wa kufanikishwa matumaini ya kufikiwa malengo yaliyokusudiwa uwe mkubwa sana. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu vile vile amemshukuru mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maafisa wa ngazi za juu wa chombo hicho kwa juhudi zao kubwa za kufanikisha malengo yaliyokusudiwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kubainisha vipaumbe sita vya chombo hicho katika kipindi kipya cha miaka mitano ijayo. Kuwa na ratiba na mipangilio maalumu na iliyo wazi kwa ajili ya kutekeleza sera na siasa za chomo hicho, ni kipaumbele cha kwanza kilichoashiriwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi katika mkutano huo. Amesema: Inabidi iweko mipangilio na ratiba maalumu na za wazi kwa ajili ya kusimamia utekelezaji wa siasa zinazohusiana na Chombo cha Mahakama na kuzifanya sera hizo zote kuwa ratiba zinazotekelezeka kivitendo. Ayatullah Udhma Khamenei ametaja kipaumbele cha pili kikuu cha Chombo cha Mahakama kuwa ni kuweko usimamiaji wa utendaji wa kazi zote iwe za majaji na pia za viongozi na wakuu wa chombo hicho. Amesisitiza kuwa: Usimamiaji huo ni lazima upewe uzito wa hali ya juu na uwe mpana kiasi kwamba uweze kukifanya kiwango cha matatizo na malalamiko kuhusiana na utendaji wa maafisa wa chombo hicho kuwa cha chini kabisa kadiri inavyowezekana. Vile vile amelitaja suala la kutocheleweshwa utekelezaji wa hukumu zinazotolewa kuwa ni kipaumbele cha tatu cha Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ameongeza kuwa: Baadhi ya ucheleweshaji wa muda mrefu wa utekelezaji wa hukumu zinazotolewa na mahakama unatokana na baadhi ya mapungufu yaliyopo hivyo inabidi mapungufu hayo yatafutwe na yaondolewe. Kuhusiana na uakhirishaji wa uchunguzi na upelelezi wa kesi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekumbushia nukta moja muhimu akisema: Kupunguza kiwango cha wastani cha muda wa uchunguzi na upelelezi ni jambo zuri lakini vile vile inabidi kuzingatia ni kesi na mafaili mangapi katika kipindi cha muda wa juu kabisa uliotengwa kwa kazi hiyo, yanafanyiwa uchunguzi, na kama wastani wa muda wa kiwango hicho uko juu, basi upunguzwe. Kuandaa wafanyakazi na kukabidhiana nyadhifa ni kipaumbele cha nne alichokiashiria Ayatullah Udhma Khamenei katika mkutano huo. Kipaumbele cha tano amekitaja kuwa ni kuzuia kutokea uhalifu. Amesema kuhusu kipaumbele hicho kwamba: Kuzuia kutokea uhalifu ni suala ambalo halikihusu tu Chombo cha Mahakama, hivyo katika kuzuia kutokea uhalifu, chombo hicho kina wajibu wa kuwa na uhusiano na ushirikiano mkubwa na wa karibu na vyombo vingine husika, na kuimarisha mambo yanayovikutanisha vyombo hivyo katika masuala hayo. Amesema: Kuzuia kutokea uhalifu ni suala ambalo pia ni la kielimu kikamilifu na ndio maana inabidi kushirikiana na wasomi, wataalamu na wanafikra wa masuala hayo katika kutambua sababu za kutokea uhalifu na madhara yake. Kipaumbele cha sita na cha mwisho kilichobainishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano huo ni kuongezwa kiwango cha ushirikiano baina ya mihimili mitatu mikuu ya dola (Serikali, Bunge na Mahakama). Ayatullah Udhma Khamenei amesema: Jambo ambalo nimekuwa nikilisisitizia wakati wote ni kwa wakuu wa Mihimili Mitatu Mikuu ya dola ni kuongeza ushirikiano baina yao na kwamba ushirikiano huo unahusu pande mbili, unahusiana na masuala ya ndani ya chombo husika na masuala makuu ya nchi yanayoviunganisha vyombo na taasisi zote. Amesisitiza kuwa: Kiujumla ni kwamba, mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu unataka kusikia kauli moja kutoka kwa wakuu wa mihimili mikuu ya dola katika masuala tofauti ya nchi. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria pia misimamo muhimu mno, makini sana, iliyojengeka kihoja na ya kimantiki ya Ayatullah Amoli Larijani (Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran) katika masuala tofauti na kusema kuwa: Kushirikiana na kuwa na fikra za pamoja wakuu wa Mihimili Mitatu Mikuu ya dola inaweza kuisaidia serikali katika kazi zake kama misimamo hiyo itaenea na kushuhudiwa kwenye sekta na kada tofauti. Ayatullah Udhma Khamenei amesisitiza pia kuwa masuala ya kitaifa ya nchi ni muhimu zaidi kuliko masuala mengine yote na kuongeza kuwa: Wakuu wa Mihimili Mitatu Mikuu ya dola wanapaswa kuongeza vikao vyao vya pamoja kwani kukutana kwao huko kunatoa msaada mkubwa katika utatuzi wa matatizo mbali mbali na kunaleta maendeleo katika mambo tofauti na husaidia kuondoka malalamiko yanayojitokeza. Amma kuhusiana na masuala muhimu ya nchi amesisitiza kuwa: Matatizo yaliyopo nchini na hata yale ambayo baadhi ya watu wanadhani kuwa nayo ni matatizo ijapokuwa si matatizo, yote yanaweza kupatiwa ufumbuzi kwa sharti kwamba tuweze kujitegemea wenyewe na kutumia uwezo wetu wa ndani kuyatatua. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameongeza kuwa: Moja ya changamoto kubwa za nchi yetu ni uadui na upinzani mkubwa wa madola ya kibeberu ya Magharibi kwa mfumo wetu wa Kiislamu na inabidi uhakika huo ueleweke na utambuliwe vyema. Ameongeza kuwa kusema: Kama tutashindwa kuuzingatia uadui wa madola ya kibeberu dhidi ya nchi yetu, basi tutafanya makosa katika kuchanganua masuala ya taifa letu. Ayatullah Udhma Khamenei ameongeza kuwa: Watu ambao hawako tayari kuuona uadui wa kambi ya adui dhidi ya nchi yetu, ndio wale wale watu ambao wameelekeza matumaini yao kwa adui. Amesema, sababu kuu inayowafanya mabeberu waifanyie uadui Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni aidiolojia mpya iliyoletwa na mfumo wa utawala wa Kiislamu na kuyumba misingi ya mfumo wa kibeberu. Vile vile ameashiria matukio ya hivi sasa ya nchini Iraq na kusema kuwa: Katika kadhia ya Iraq, madola ya kibeberu ya Magharibi na hasa hasa utawala wa Marekani, yamekusudia kutumia vibaya ujinga na taasubu za baadhi ya watu kwa manufaa yao. Ayatullah Udhma Khamenei ameongeza kuwa: Lengo kuu katika masuala ya hivi sasa ya Iraq ni kuwanyima wananchi wa nchi hiyo matunda ya mfumo wao wa utawala wa kidemokrasia waliojiamulia wenyewe licha ya Marekani kuingilia masuala yao ya ndani. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza pia kuwa: Marekani haifurahishwi na hali ya mambo ilivyo hivi sasa nchini Iraq yaani kufanyika uchaguzi na kushiriki vizuri wananchi ndani yake ambao wametumia haki yao ya kidemorasia kuchagua viongozi wanaowapenda kwani inachotaka Marekani ni kuona Iraq inatawaliwa na watawala vibaraka ambao watakuwa wanatii tu amri zitokazo Marekani. Ayatullah Udhma Khamenei ameashiria pia matamshi ya viongozi wa Marekani wanaofanya njama za kuyaonesha matukio ya Iraq kuwa ni vita vya kimadhehebu baina ya Waislamu wa Kisunni na Kishia na kuongeza kuwa: Kinachotokea nchini Iraq hivi sasa si vita baina ya Mashia na Masunni bali madola ya kibeberu yanatumia mabaki ya utawala uliopita wa Saddam kama silaha yao kuu na yanayatumia makundi ya kitakfiri kama askari wa kutembea kwa miguu kufanya njama za kuvuruga utulivu na maelewano nchini Iraq na kuhatarisha umoja wa ardhi ya nchi hiyo. Ameongeza kuwa: Wahusika wakuu wa fitna inayoendelea nchini Iraq hivi sasa wanawafanyia Waislamu wa Kisunni wenye imani thabiti na wanaopigania ukombozi wa kweli wa Iraq, uadui ule ule wanaowafanyia Waislamu wa Kishia. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza pia kuwa, ugomvi mkubwa ulioko Iraq hivi sasa ni baina ya watu wanaotaka Iraq iingie kwenye kambi ya Marekani na watu ambao wanataka uhuru kamili wa nchi yao bila ya kuwepo uingiliaji wa aina yoyote ile wa Marekani. Ayatullah Udhma Khamenei pia amesisitiza kwamba Wairaq wenyewe wanao uwezo wa kuuzima moto uliowashwa nchini mwao na kuongeza kuwa: Sisi tunapinga vikali uingiliaji wa Wamarekani na madola mengine katika masuala ya ndani ya Iraq na kamwe hatuwezi kuunga mkono jambo hilo kwani tunaamini kuwa serikali na taifa la Iraq na maraji'i wa kidini wa nchi hiyo wanao uwezo wa kukomesha fitna hiyo na Inshaallah fitna hiyo itaisha kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Mwanzoni mwa mkutano huo, Ayatullah Amoli Larijani, Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa ripoti fupi kuhusu kazi za chombo hicho katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kusema kuwa: Kuongeza kiidadi na kiubora nguvu kazi, kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa chombo hicho kabla kuajiriwa, wakati wa kuajiriwa na baada ya kuajiriwa, kupandisha kiwango cha kielimu ndani ya chombo hicho kupitia kuanzisha vituo viwili vya utafiti wa kiutaalamu katika miji ya Qum na Tehran, kuimarisha njia na namna ya usimamiaji wa utendaji wa wafanyakazi wa chombo hicho wakiwemo majaji, wafanyakazi wa Mahakama Kuu na kitengo cha kuhifadhi na kukusanya taarifa cha Chombo cha Mahakama, kutumia teknolojia mpya na kuongeza huduma za kielektroniki, kurekebisha miundo na taasisi pamoja na kubuni miswada muhimu kuhusiana na kazi zinazohitajika katika masuala ya mahakama, kama vile muswada wa polisi wa mahakama na muswada mkuu wa uwakili, ni miongoni mwa hatua muhimu zilizochukuliwa na chombo hicho katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ayatullah Amoli Larijani vile vile amesema kuhusu kupunguza muda wa uchunguzi na kufuatilia kesi kuwa, wastani wa kufuatilia kesi nchini Iran unakubalika kulingana na hali ilivyo katika nchi nyingine duniani. Aidha amesisitizia udharura wa kushirikiana vizuri Mihimili Mitatu Mikuu ya dola na kuongeza kuwa: tunajitahidi kuhakikisha kuwa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kinashirikiana vizuri na mihimili mingine ya dola yaani Serikali na Bunge sambamba na kulinda uhuru wake.
"2018-06-18T21:13:46"
http://swahili.khamenei.ir/index.php?option=com_content&task=view&id=1440&Itemid=60
[ -1 ]
Wasanii msijipe matumaini juu ya mdau, amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. | Tizneez Wasanii msijipe matumaini juu ya mdau, amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Nani amfunge paka kengere? ilihali kila mmoja anaepusha vyema kichwa chake lakini pembezoni kutoa lawama nyingi juu ya mfumo kandamizi kwa wasanii kutoka kwa mdau. Furaha ya mdau ni yeye kuendelea kujiweka sawa kimaisha lakini hana maana mbele ya maisha ya wasanii wengi kwa maana ya wakati wote kuwatumia vyema bure. Lakini ndugu zetu wasanii yapasa mjue ni afadhari muwe wawili kuliko mmoja, kwa maana mkiwa wawili mmoja akianguka basi mmoja atamuinua mwenzake, hapa tunalenga umoja maana umoja ni nguvu. Lakini Roma aliwahi kusema โ€œMdau anachenga nyingi kama alichezea Tukuyuโ€ Maana ni wazi mdau anajua vyema namna ya kucheza na akili za wasanii wengi katika kuwaweka makundi mawili na bila umakini makundi haya hayawezi kuunganika lakini hapo ndipo njia njema ya mdau katika kuweka sawa upana wa utawala wake juu ya Sanaa. Jambo baya na lakushangaza mpaka leo hii ni wasanii wengi kuendelea kutumika vyema bure bila mdau kujali wasanii nao wanafamilia ambazo zinahitaji msaada kutoka kwa msanii husika. Ila mdau amevijika upofu na kuendeleza mfumo kandamizi juu ya wasanii wengi mno, jambo hili si jema katika uhalisia ila ni jema kwa mdau maana anatimiza malengo yake kupita jasho jepesi la wasanii wengi ambao wamezingirwa na uonyoge katika mioyo yao ila furaha ya uongo katika nyuso zao. Ni wazi majina ya wasanii hayafanani hata kwa udogo na kazi wafanyazo, wakati mdau akimtumia vyema msanii katika matamasha yake ni wazi yeye anafaidika na mdhamini tamasha lakini hata viingilio vya matamasha. Lakini bado mdau anataka vyote achukue yeye na msanii hana kauli maana huogopa kuzimiwa kabisa kupigwa kwa nyimbo zake lakini hata kukosa yote kuanzia ngazi ya matangazo ya makampuni. Maana wanasema muziki umekua lakini sisi hatuamini katika hilo kwa maana upana wa udalali wa mdau juu ya kampuni kumfikia msanii ni mkubwa mno.
"2018-01-23T14:19:09"
http://tizneez.com/makala/wasanii-msijipe-matumaini-juu-ya-mdau-amali-yake-haina-mwisho-wala-macho-yake-hayashibi-utajiri/
[ -1 ]
WAZIRI MKUU MAJALIWA, AWAASA WATANZANIA KUTUMIA BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIWANDA VYA NDANI - SUFIANIMAFOTO Home Biashara WAZIRI MKUU MAJALIWA, AWAASA WATANZANIA KUTUMIA BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIWANDA VYA NDANI WAZIRI MKUU MAJALIWA, AWAASA WATANZANIA KUTUMIA BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIWANDA VYA NDANI Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akiongea machache mara baada ya kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akizindua jiwe la msingi katika kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Mwenyekiti wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia akimpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa ili kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE Mwenyekiti wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa wakati alipofika kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Mwenyekiti wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia (wa kwanza kushoto waliokaa) akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akifuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo na Naibu waziri wa kilimo ,Mifugo na Uvuvi Mhe. William Ole Nasha wakati walipofika kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha Leo. Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akikata utepe tayari kwa uzinduzi wa kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha Kutoka Kushoto (mwenye suti bluu) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Sailesh Pandit, Mwenyekiti wa kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia wakiongozana na Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa ndani ya kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha Mwenyekiti wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa ili kuongea na hadhara iliyopo kwenye kiwanda hicho mara baada ya kuzindua kiwanda kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Sailesh Pandit akiagana na Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa mara baada ya kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Mwenyekiti wa kampuni ya Lodhia Group Bw. Arun Lodhia akiagana na Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa mara baada ya kuzindua kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Lodhia Group Bw. Sailesh Pandit akisoma risala mbele ya Mgeni rasmi ambaye niWaziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa ndani ya kiwanda cha Lodhia Plastic kinachotengeneza Mabomba ya Maji ,kilichopo Njiro jijini Arusha Leo, 3 Disemba 2016. Picha zote Gadiola Emanuel.
"2017-10-21T21:13:19"
http://www.sufianimafoto.com/2016/12/waziri-mkuu-majaliwa-awaasa-watanzania.html
[ -1 ]
Select Unit > Unit 15: Siasa > Lesson 5: Hide transcript Hotuba ya siasa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, ndugu Kolimba, anasoma risala kwa makamo wa kwanza wa rais, ndugu Salmin Amour. Ndugu makamu mwenyekiti wa chama cha vijana, ndugu wajumbe wa kamati ya taifa, waheshimiwa mawaziri, waheshimiwa wabunge, wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM), wakereketwa wa chama cha mapinduzi, wapenzi wa CCM wote, washabiki na umma wa mkoa wa Dar Es Salaam, mabibi na mabwana. Ndugu makamu, awali naomba uniruhusu kwa niaba ya uongozi wa CCM, wanachama na uma wa mkoa wa Dar Es Salaam nikushukuru sana kwa kukubali kwako kuja na kushirikiana pamoja nasi katika matembezi haya muhimu ya mshikamano siku hii ya leo. Ndugu makamu, kushiriki kwako katika matembezi haya ya mshikamano hapa Dar Es Salaam kumekiongezea haiba, uhai, na nguvu, chama cha mapinduzi hapa mkoani. Aidha, ndugu makamu, tunaishukuru kwa dhati kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa kwa kukupanga wewe, nguzo ya siasa, chimbuko la mageuzi, mpenda maendeleo, na mkereketwa wa dhati wa CCM, kuja kutembea na sisi hapa Dar Es salaam. Tunasema makamu, asante sana na karibu mkoani Dar Es Salaam. ยฉ African Languages Program, University of Georgia
"2018-01-19T05:26:01"
http://africa.uga.edu/Kiswahili/doe/unit_15/section_C/lesson01.html
[ -1 ]
DKT.CHAULA AMPONGEZA MHE.RAIS KWENYE SEKTA YA AFYA - MTAA KWA MTAA BLOG Home AFYA HABARI JAMII DKT.CHAULA AMPONGEZA MHE.RAIS KWENYE SEKTA YA AFYA MICHUZI BLOG August 21, 2019 AFYA, HABARI, JAMII, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
"2019-09-21T12:00:03"
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/08/dktchaula-ampongeza-mherais-kwenye.html
[ -1 ]
Posted On Tuesday, 07 November 2017 06:12 Written by mjengwablog Ametoa wito huo juzi (Jumapili, Novemba 5, 2017) wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Ngโ€™au, kata ya Mnacho wilayani Ruangwa mkoani Lindi ambako alienda kukagua ujenzi wa shule mpya ya msingi ambayo ujenzi wake ulianza wiki mbili zilizopita. โ€œMpango wetu ni kujenga shule ya msingi mpya hapa kijijini Ngโ€™au ili watoto wanaotoka ngโ€™ambo hii wasome hapa hapa. Wakati wa masika nyote mnajua taabu wanayopata watoto wetu kukatisha kwenda ngโ€™ambo ile, โ€œIle shule ina historia na wakazi wengi kutoka Nandagala, Namahema, Chimbila โ€˜Aโ€™ na Chiemeka wamesoma pale. Mimi mwenyewe nimesoma pale kuanzia darasa la kwanza hadi la saba. Shule ilishazeeka, ndipo tukatafuta fedha ili ifanyiwe ukarabati na sasa ina miundombinu mizuri ndiyo sababu inaonekana inafaa kuwa ya sekondari, โ€œUjenzi wa hii shule ukikamilika, watoto wale 500 watahamia hapa na walimu wao na ile pale itapokea wanafunzi sekondari za wilaya hii ili tuwe na kidato cha kwanza hadi cha nne na ianze mara moja,โ€ aliongeza. Waziri Mkuu amerejea Dodoma jana asubuhi kuendelea na vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza leo (Jumanne, Novemba 7, 2017). More in this category: Mahakama Kuu yasimamisha mchakato wa uchaguzi Liberia โ€œHAKUNA UPUNGUFU MKUBWA WA DAWA NCHINIโ€- UMMY MWALIMU
"2018-02-20T11:53:22"
http://mjengwablog.com/jamii/item/32411-ruangwa-inahitaji-kuwa-na-shule-ya-sekondari-ya-bweni-kwa-wasichana-majaliwa.html
[ -1 ]
ziro99blog: BAGAMOYO WAELEZA WALIVYONUFAIKA MRADI WA KAYA MASKINI BAGAMOYO WAELEZA WALIVYONUFAIKA MRADI WA KAYA MASKINI Mtandao wa wabunge katika mashirika ya fedha ya kimataifa wametembelea wanavijiji wanaonufaika na mradi wa utoaji fedha kwa kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) wilayani Bagamoyo na kujiridhisha na utekelezaji. Wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani wanaunda mtandao pamoja na Benki ya Dunia pamoja na Shirika la Fedha Duniani (IMF) , walitembelea juzi Kijiji cha Kerege na Mlingotini, mkoani Pwani ambako walipata ushuhuda wa walengwa wanavyonufaika. Katika kijiji cha Mlingotini, wabunge walitembelea kikundi cha wanawake cha Mshikamano chenye wanachama 12 kinachoendesha miradi ya ufugaji kuku, mbuzi na uuzaji samaki chini ya mradi huo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia Tasaf. Akizungumza mbele ya ujumbe huo, Mweka Hazina wa kikundi , Stahabu Mrisho alisema Tasaf iliwapatia Sh milioni 13 ambazo walitumia kujenga jengo la biashara, kununua majokofu na pia kwa mtaji. โ€œKwa kweli tumenufaika sana na Tasaf. Tumekuwa tukigawana mapato kila mwaka lakini pia akiba na hisa zimetusaidia kuanzisha miradi ya magenge na mama ntilieโ€ฆTasaf imetujengea utu na heshima mbele ya jamii,โ€ alisema Stahabu. Katika Kijiji cha Kerege, ujumbe huo wa wabunge ulimtembelea mwanakijiji, Jema Lemabi ambaye katika ushuhuda wake, alisema alikuwa na maisha magumu akitegemea kupika na kuuza pombe. Kwa mujibu wa Jema, baada ya Tasaf kumwingiza kwenye mpango wa kupewa fedha, alifanya miradi midogo midogo ikiwemo ufugaji wa bata, kuku na kanga na kumudu kujenga nyumba imara iliyoezekwa kwa bati. Jema ambaye kwa mujibu wake, alikuwa akiishi nyumba ya makuti, anao bata 49, kuku watatu na kanga wawili. Bei ya bata ni Sh 15,000 na kwamba soko lake kubwa ni Bagamoyo Mjini. Mpango huo wa utoaji fedha kwa kaya masikini, umeanza rasmi mwaka huu kutekelezwa nchini kote baada ya majaribio yaliyoanza 2008 mkoani Dodoma na Pwani. Walengwa wake ni watoto na wazee katika kaya masikini zilizo katika mazingira hatarishi. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf, Ladislaus Mwamanga, Mpango huo wa Uhawilishaji Fedha kwa Kaya Masikini chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia, unalenga Watanzania zaidi ya milioni 7.5 katika kaya zipatazo milioni 1.2 wanaoishi katika lindi la umasikini. Mtandao wa wabunge wa IMF na Benki ya Dunia unaundwa na wabunge 300 kutoka zaidi ya nchi 140 zinazoendelea na zilizoendelea ambako mashirika hayo ya kimataifa yanafanya kazi. Ulianzishwa mwaka 2000. Ziara za wabunge husika nchini ni kujionea shughuli zinazotekelezwa na Benki ya Dunia katika miradi mingine ya maendeleo.
"2017-08-20T07:58:24"
http://ziro99.blogspot.com/2014/05/bagamoyo-waeleza-walivyonufaika-mradi.html
[ -1 ]
Pitio la 03:07, 30 Septemba 2010 126 bytes added , miaka 9 iliyopita Pitio la 02:02, 14 Agosti 2010 (hariri) 88.77.134.215 (Majadiliano) Pitio la 03:07, 30 Septemba 2010 (hariri) (tengua) Eneo la hifadhi ya [[Ngorongoro]] liliwahi kuwa sehemu ya Serengeti hadi kutengwa kama hifadhi ya pekee. [[Olduvai Gorge|Bonde la Olduvai]] ambako mabaki ya wanaadamuwanadamu wa kale kabisa yalipatikana liko ndani ya Serengeti. Mazingira ya '''Serengeti''' ni kanda ya kijiografia iko katika kaskazini-magharibi ya [[Tanzania]] na inaenea kwa kusini-magharibi mwa [[Kenya]] kati ya latitude 1 na 3 Kusini na longitude 34 na 36 Mashariki. Ina enea kiwango cha mraba kilometa 30,000 <sup>2.</sup> Karibu Oktoba, karibu herbivores (yaani wanyama wanaokula majani badala ya nyama) milioni 2 husafiri kutoka milima ya kaskazini kuelekea nyanda za kusini [[,]] na kuvuka [[mto]] wa [[Mara,]] katika harakati za mvua. Katika mwezi wa Aprili, wao hurejea kaskazini kwa kupitia magharibi, na kwa mara nyingine tena kuvuka Mto wa Mara. Jambo hili kwa mara huitwa "Circular migration" yaani uhamiaji mviringo. Nyumbu zaidi ya 250,000 peke watakufa safarini kutoka Tanzania kwenda katika [[katikaMasai Mara|mbuga ya wanyama ya Masai Mara]] huko Kenya pande za juu, ambayo ni jumla ya maili 500. Kifo mara nyingi unasababishwa na maudhi au uchovu. <ref name="partridge"></ref> Uhamiaji huu huwa umeonyeshwa katika filamu yana documentaryprogramu mwakanyingi waza 1994televisheni kote duniani. Bara la Maasai ina mbuga ya wanyama bora zaidi AfricaAfrika Mashariki. <ref> ''Africa's Great Rift Valley.'' Nigel Pavitt. 2001. Ukurasa 122. Harry S. Abrams, Incorporated, New York. ISBN 0-8109-0602-3.</ref> Serikali ya Tanzania na Kenya hutunza idadi kadha ya maeneo yaliyochunwa: mbuga, maeneo ya hifadhi, mapori ya akiba, nk, ambayo hutoa ulinzi wa kisheria kwa zaidi ya 80% ya Serengeti. <ref>http://64.233.169.104/search?q=cache:rss9ABx99HUJ:www.ath.aegean.gr/srcosmos/showpub.aspx%3Faa%3D8868+serengeti+ecosystem+kenya&amp;hl=en&amp;ct=clnk&amp;cd=4&amp;gl=us</ref> Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/525119"
"2020-08-08T18:49:58"
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/525119
[ -1 ]
Papa Francisko: Heri za Mlimani: Ni chemchemi ya uongozi bora! - | Vatican News Papa Francisko: Heri za Mlimani ni chemchemi ya uongozi bora! (AFP or licensors) Papa Francisko: Heri za Mlimani: Ni chemchemi ya uongozi bora! Kristo Yesu anawaonesha wafuasi wake Heri za Mlimani kama: hekima na njia salama wanayopaswa kuifuata kama dira ya uongozi. Upole, unyenyekevu na huruma, mambo msingii kwa kiongozi kuwa mkweli, mnyenyekevu na mtu wa haki. Viongozi wanapaswa kuondokana na unafiki pamoja na hali ya kujikweza, ili kuona boriti machoni pao, ili kuwasaidia wengine kuwa watu bora zaidi! Liturujia ya Neno la Mungu, Jumapili VIII ya Kipindi cha Mwaka wa Kanisa na kwa namna ya pekee kabisa, Injili inayosimulia mifano mitatu iliyotolewa na Kristo Yesu ni mwaliko wa kutafuta na kufumbata hekima, kama dira na mwongozo wa watu wa Mungu, vinginevyo, watakaiona cha mtema kuni. Kwani kipofu hawezi kumwongoza kipofu mwenzake. Walengwa wakuu wa sehemu hii ya Injili ni wale wahusika wakuu katika malezi na makuzi; viongozi wa maisha ya kiroho, viongozi wa Serikali na jamii; watunga sera na sheria; walimu na wazazi; makundi ambayo yanapaswa kuwa makini katika kutekeleza dhamana na wajibu wake pamoja na kuwa na mangโ€™amuzi ya kufuata njia sahihi ya kuwaongoza watu waliokabidhiwa kwao! Hii ni sehemu ya tafakari iliyotolewa na Baba Mtakatifu Francisko kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, wakati wa Sala ya Malaika wa Bwana, Jumapili, tarehe 3 Machi 2019. Kristo Yesu anawaonesha wafuasi wake Heri za Mlimani kama: hekima na njia salama wanayopaswa kuifuata kama dira ya uongozi. Upole, unyenyekevu na huruma, mambo msingi yanayomwezesha kiongozi kuwa mkweli, mnyenyekevu na mtu wa haki. Viongozi wanapaswa kuondokana na unafiki pamoja na hali ya kujikweza, ili kuona boriti machoni pao, tayari kuwasaidia jirani zao kuondoa vibanzi vilivyomo machoni pao! Baba Mtakatifu anakaza kusema, ni ukweli usiofumbiwa macho kwamba, watu wengi wanapenda kuwalaani wengine kutokana na makosa pamoja na dhambi zao, kiasi hata cha kushindwa kuona makosa na dhambi zake mwenyewe. Ni watu wanaojihurumia sana wenyewe, lakini kwa wengine, wanakuwa ni wakali na wakatili sana. Waamini na watu wote wenye mapenzi mema, wanashauriwa kuwasaidia jirani zao kwa ushauri mzuri, wakati huo huo, wakitambua kwamba, hata wao wana mapungufu na wawe tayari kukosolewa, kwani kukosoa na kukosoana ni kujengana katika fadhila ya udugu! Kwa njia hii, waamini wataweza kuwa kweli watu wanaoaminika, watu wenye unyenyekevu na mashuhuda wa upendo! Watu wanaweza kutambulikana kuwa ni wema au wabaya kutokana na ushuhuda wa maneno na matendo yao. Kile kilicho chema, kizuri na kitakatifu kinabubujika kutoka katika moyo wa mtu mwema na kushuhudiwa kwa njia ya maneno! Kwa mtu wenye moyo mbaya na roho ya kwa nini? Huyo ataonekana na kusikika hata kwa maneno yake! Hawa ndio wale โ€œwanaopika majunguโ€ usiku na mchana; watu wasioridhika hata kidogo na matokeo yake ni watu wenye โ€œlitania za manungโ€™unikoโ€ kila kukicha! Ni watu wanaowateta jirani zao na kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa! Tabia ya namna hii anasema Baba Mtakatifu Francisko ni hatari sana, kwani inasambaratisha familia, shule, maeneo ya kazi na makazi ya watu. Mara nyingi vita inaanza kwa maneno! Kumbe, hii ni nafasi kwa waamini kufanya tafakari ya kina kuhusu mafundisho ya Kristo Yesu, kwa kujiuliza, Je, mimi ninawateta wengine? Ninataka kuwaharibia sifa zao njema? Je, niko mwepesi kuona makosa ya wengine kuliko makosa yangu mwenyewe? Mtu akishagundua udhaifu na mapungufu yake mwenyewe aanze kujitakasa na hali hii itakuwa ni msaada kwa watu wengi zaidi! Maombezi ya Bikira Maria yawe ni msaada katika kufuata nyayo za Kristo Yesu katika mafundisho yake! Papa: Sala Malaika Bwana 03 March 2019, 09:55
"2020-05-29T17:21:28"
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2019-03/baba-mtakatifu-francisko-heri-mlimani-boriti-kibanzi-papmar.html
[ -1 ]
Mtibwa Sugar Waahidi Kumaliza Simba............Kichuya Ajipange! - robengo 16 Mtibwa Sugar Waahidi Kumaliza Simbaโ€ฆโ€ฆโ€ฆโ€ฆKichuya Ajipange! Ofisa Habari wa Mtibwa, Thobias Kifaru anasema; โ€œKwa sasa Mtibwa ipo vizuri ndiyo maana hata Simba hawana raha sababu wameingia na hofu kutokana na kasi yetu ambayo tumeonyesha kwenye michezo miwili ambayoimepita hivyo hawalali huko wanawaza waje na mbinu gani.โ€ โ† Previous Story Hivi Ndivyo ManchesterUnited Walivyobadili Ubao Katika Uwanja wa Etihad Next Story โ†’ Tetesi Za Soka Barani Ulaya Leo Jumapili Ya Tarehe 8/4/2018
"2018-04-20T23:57:30"
http://robengo16.com/2018/04/mtibwa-sugar-waahidi-kumaliza-simba-kichuya-ajipange/
[ -1 ]
Imechapishwa: 12/12/2017 - 16:56 Imehaririwa: 12/12/2017 - 16:56 UNICEF-NIGERIA UNICEF yasema bado Boko Haram inawatumia watoto kutekeleza mashambulizi LIBYA-WAHAMIAJI UNICEF: Watoto wako hatarini zaidi wakijaribu kufanya safari kuingia Ulaya kutokea Libya
"2020-06-06T10:46:49"
http://www.rfi.fr/sw/afrika/20171212-unicef-watoto-400000-nchini-drc-wanaweza-kufariki-kutokana-na-utapiamlo
[ -1 ]
Kwa staili hii, TFF itamfia Tenga | Gazeti la MwanaHalisi Kwa staili hii, TFF itamfia Tenga Na Alfred Lucas - Imechapwa 10 February 2010 AKILI yangu inanituma kuamini kwamba, TFF (Shirikisho la Soka Tanzania ) chini ya Rais Leodegar Chilla Tenga, inazama. Nina sababu nyingi za kuamini hivyo, hasa baada ya kuona nguvu, akili na maarifa mengi ya wasaidizi wa Tenga yakielekezwa katika Ligi Kuu na timu ya soka ya taifa ya Tanzania โ€˜Taifa Starsโ€™. Mengi ya msingi tuliyotarajia kuyaona yakikuza soka ya nchi hii ni kama yameachwa yajiendeshe yenyewe. Kwa mfano, najiuliza kuna sababu gani za msingi za kuipiga danadana Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara ambayo ilitarajiwa kuanza Desemba mwaka 2009, lakini mpaka sasa ni kitendawili? Timu zilishaingia kambini, mathalani Polisi Dodoma ilishakuwa Dar es Salaam, lakini imekata tamaa na kurejea nyumbani Dodoma, tena baada ya kuingia gharama ambazo hazijulikani nani atazifidia. Ukiacha Ligi Daraja la Kwanza, kabla ya Tenga kuingia madarakani tulishuhudia uhondo wa Kombe la FAT (sasa pengine lingeitwa Kombe la TFF). Miaka mingi imepita, Watanzania hawajashuhudia michuano hiyo iliyotoa fursa ya kushirikisha hata timu za mchangani kabisa. Nakumbuka wakati ule Tanzania Stars iliyoundwa na nyota wengi wa zamani wa Simba na Yanga, ingawa haikuwa katika ligi kubwa nchini, iliweza kutamba mara mbili na kuiwakilisha nchi katika michuano ya kimataifa. Leo hii michuano hiyo imezikwa rasmi, hakuna anayeijua, na hakuna vipaji vipya vinavyoonekana kutoka mchangani baada ya michuano mingine kumezwa na nyota wa Ligi Kuu. Ukiachana na michuano, TFF haijaonyesha kabisa juhudi za kufufua au kuendeleza soka ya nchi hii, hasa ile ya vijana. Mara kadhaa wadhamini kama Coca Cola na Maji ya Uhai imejaribu kuandaa michuano ya vijana, lakini mwisho wa siku michuano na hata vipaji huishia siku ile ile ya mwisho wa mashindano. Angalau Coca Cola hujaribu kupeleka vijana mpaka Brazil au Afrika Kusini, lakini wakisharudi kila mmoja hulazimika kubeba msalaba wake kujaribu mbinu za kujiendeleza kisoka! Jamani, kwa mtaji huu tunatarajia kuendeleza vipaji au kuua kabisa? Ni lini tutategemea vipaji vya wachezaji wa Ligi Kuu ambao wengi wamechipukia kwa staili ya uyoga kutokana na kukosa misingi imara ya soka ya kisasa? Kwa staili hii, hakika nguvu za wadhamini waliojitoa mhanga kuipiga jeki Taifa Stars kama vile Benki ya NMB na Bia ya Serengeti zinaweza kupotea bure! Ndiyo, nguvu zao zinaweza kupotea kwa sababu baada ya akina Shadrack Nsajigwa, hakuna vijana wanaoandaliwa ipasavyo kulitumikia taifa na hatimaye kuirejesha Tanzania katika ramani ya kweli ya soka. Sana sana tunachokishuhudia sasa ni `maduduโ€™ madogomadogo ambayo kamwe hayana chembe ya kuirudishia heshima nchi hii. Sawa tayari mbinu za kudhibiti mapato zimetangazwa, lakini haitoshi. Unakuzaje soka kama huna waamuzi waliokomaa, vijana waliolelewa katika misingi halisi ya soka na mambo mengine kadha wa kadha? Kwa kuyaangalia haya machache, nadhani TFF ya Tenga iliyoanza kwa mbwembwe na kuwajaza watu matumaini si hii tunayoiona sasa kwa sababu imesahau majukumu mengi ya msingi kwa ustawi wa soka ya Tanzania. Pengine anakosa wasaidizi wenye busara na kiu ya kweli ya kuirudisha soka ya Tanzania katika ramani. Lakini kama ukweli ndio huo, bila shaka juhudi zinapaswa kuelekezwa katika mambo kadhaa, ikiwa pamoja na kuhakikisha anapata Makamu wa Pili wa Rais wa Kweli katika uchaguzi wa mwishoni mwa mwezi huu. Nadhani mtu kama Ramadhani Nassib akirejea pengine anaweza kukamilisha kazi kwani, licha ya kuwa TFF, atakuwa pia balozi mzuri kwa klabu za ligi kuu na nyingine, akizifikishia ujumbe mzuri jinsi ya kuendesha klabu kisasa na mambo mengine kadha wa kadha. Nguvu nyingine zinapaswa kuelekezwa katika kuondoa longolongo, kwani katika hili TFF haiwezi kukwepa kutokana na kile kinachodaiwa kuzipiga `pangaโ€™ fedha za klabu kutoka kwa wadhamini, mathalani mpaka leo hii Vodacom imeingia doa kwa kushindwa kuzilipa baadhi ya klabu fedha za msimu uliopita. Inapaswa kuwaimarisha waamuzi ambao leo hii wanaonekana kituko kila wanapoingia uwanjani wakionekana wasiojua chochote au kama wanajua, basi wamenunuliwa. Imebainika posho ndogo kwa siku ni moja ya sababu ya kuvurunda kwao. Jamani, mwamuzi gani atakwepa kufanya usaliti kwa kuuza mechi kwa kipato kiduchu? Kuna mengi ya msingi, lakini nisisitize tu kwamba, kwa staili hiii ya sasa, TFF itamfia Tenga na wa kumwokoa makamu wake, Athumani Nyamlani na Nassib kama atapata tena ridhaa. Wa kuchagua โ€œpumbaโ€ au โ€œmcheleโ€ ni wajumbe. Toleo na. 143 Tenga, hatuna la kujivunia Cecafa Mkapa Slaa CHADEMA Rostam Makamba Dowans Uchaguzi CCM Kikwete Lowassa CUF Chenge Pinda Richmond Sitta
"2019-05-22T12:13:54"
http://mwanahalisi.co.tz/kwa_staili_hii_tff_itamfia_tenga
[ -1 ]
PressReader - Uhuru: 2016-10-20 - Wazazi waungane na serikali katika elimu Wazazi waungane na serikali katika elimu Uhuru - 2016-10-20 - Maoni - NA ATHNATH MKIRAMWENI IMEFIKA wakati kila mwananchi kuwa na uchungu na nchi yake katika suala zima la maendeleo, hususan katika sekta ya elimu nchini. Pia, kuungana na walimu katika kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na nidhamu kwenye masomo yao kwa ajili ya kutengeneza taifa la baadae lenye nidhamu na mafanikio. Hilo kwa sasa limekuwa halipewi nafasi kubwa na wazazi wengi hasa kwa kipindi hiki ambacho serikali inatimiza ahadi yake ya elimu bure kwa wanafunzi ikiwa na lengo la kutengeneza kizazi bora kilichosoma na kitakachokuwa na wataalamu wa kutosha. Aidha, inatatakiwa kila mwananchi kutambua nyakati na majira yanavyokwenenda ndipo tutakapoweza kufikia mapinduzi ya kimaendeleo katika suala la elimu. Inasikitisha kuona wakati serikali ikijititahidi kuwatimizia wananchi wanachokihitaji lakini baadhi ya wananchi wanashindwa kwenda na kasi hiyo kwa angalau kuwahimiza wanafunzi kwenda shule na kuweka jitihada katika masomo. Hali hiyo inasababishwa na baadhi ya wazazi kuwa na tabia isiyo nzuri ya kutowawekea mkazo watoto wao kuhusu mahudhurio ya shuleni. Baadhi ya wazazi wanashindwa kutazama mbali na kutambua kuwa jukumu la โ€˜kumkabaโ€™ mtoto na kuhakikisha anahudhuria kikamilifu shuleni liko mikononi mwao lakini wakati mwingine utashangaa kusikia wakiwaambia watoto wao waliotega shule โ€œUtajijua wewe kwani serikali si inatoa elimu bure usome, usisome ni shauri yakoโ€ hii ni kauli ya aabu na haiaswi kuungwa kuendekezwa. Ukweli ni kwamba kauli hiyo sio nzuri kwa mzazi mwenye nia ya taifa lake kuwa na maendeleo kwa sababu anakuwa hajengi msingi mzuri kwa mtoto na nchi kwa ujumla bali anabomoa. Taifa lolote haliwezi kuendelea kama halitakuwa na wasomi wa kutosha ikiwa na maana kuwa hakutaweza kuwa na madaktari, viongozi wazuri, walimu, wauguzi, wachumi na wataalamu wote wanaohitajika kwenye sekta mbalimbali. Tabia hiyo, pia inasababisha na kuchochea taifa kuwa tegemezi kwa kutokuwa na uchumi imara kwa kutokuwepo na wasomi watakaosaidia maendeleo nchini. Tukumbuke maadui watatu wa maendeleo ni ujinga, maradhi na umaskini kwa hiyo tusipokuwa mstari wa mbele kumhimiza mtoto kusoma hatuwezi kuwakabili wala kuwadhibiti maadui hao. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aligiza vita kali dhidi ya maadui hao baada ya kutazama mbali kuwa endapo wataedelea kuizunguuka jamii ya Watanzania watasababisha athari kubwa na kusababisha udumavu wa maendeleo. Hivyo basi tusipozingatia umuhimu wa elimu hatutaweza kufika mbali na kusababisha tuwe na watu wa kuhangaika, kuombaomba na hatimaye hatutaweza kufikia mafanikio. Ni vyema kila mmoja katika jamii kuwa mlinzi kwa mwenzake na kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri stahili anapata elimu ya uhakika itakayomsaidia katika maisha yake binafsi na taifa kwa ujumla siku za usoni. Tuwe mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za serikali za katika elimu kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari na kuhakikisha inaleta mafanikio kwa taifa. Endapo tutashirikiana katika mapinduzi haya, walimu, wazazi, wanafunzi na serikali tunaweza kufika mahala pazuri kimaendeleo na taifa kuwa na vijana waliosoma na kuwa chachu ya maendeleo ya uchumi hapa nchini.
"2017-09-23T09:36:23"
http://www.pressreader.com/tanzania/uhuru/20161020/281560880333118
[ -1 ]
Macau - Gari Sajili Viwanda Uzalishaji 15.00 34.00 64.60 -38.80 Asilimia [+] Viwanda Uzalishaji (Mwezi) 1.90 36.00 44.80 -36.80 Asilimia [+] Viwanda Uzalishaji 20.60 20.20 39.90 -12.40 Asilimia [+] Mabadiliko Katika Inventories 552.00 -238.00 1208.00 -387.00 MOP tho [+] Gari Sajili 1122.00 1130.00 2363.00 504.00 [+] Umeme Uzalishaji Wa 55.90 60.10 222.50 17.50 Gigawatt Saa [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Macau - Gari Sajili.
"2019-12-08T14:36:25"
https://sw.tradingeconomics.com/macau/car-registrations
[ -1 ]
Nicole Auzston, kulia, na mtoto wake Branden, 17, mwanafunzi wa shule ya sekondari ya awali ambaye alikuwa shuleni wakati wa shambulizi hilo la bunduki wakiwa na huzuni wakati walipokutana katika kituo cha kuwaunganisha wazazi na watoto wao baada ya mauaji hayo katika shule ya sekondari ya Fe High, Mei 18, 2018. Maafisa wa polisi katika mji wa Texas Ijumaa wamemfungulia mashtaka kijana mwenye umri ya miaka 17 kwa kosa la kuuwa katika shambulizi la bunduki lililouwa watu 10, wengi wao wakiwa wanafunzi, katika shule ya sekondari ya Santa Fe, Texas. Watu zaidi ya 8 wauwawa shuleni Texas
"2018-12-11T18:44:47"
https://www.voaswahili.com/a/mwanafunzi-afunguliwa-mashtaka-ya-kuuwa-shuleni-texas/4401007.html
[ -1 ]
RAIS MAGUFULI AWASAMEHE WALIOSIMAMISHWA KAZI TBC1 ~ Blogu ya Wananchi RAIS MAGUFULI AWASAMEHE WALIOSIMAMISHWA KAZI TBC1 Rais John Magufuli amewasamehe wafanyakazi tisa wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), waliosimamishwa kazi kwa kosa la kutangaza habari ya uongo iliyomhusu. Wafanyakazi hao waliosimamishwa Machi 14, walirusha taarifa kwenye Televisheni ya TBC ikidai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amesifu utendaji wa Rais Magufuli hasa vita dhidi ya dawa za kulevya ilhali siyo kweli. Taarifa hiyo ambayo ilirushwa Machi 10, inadaiwa ilikuwa imeandikwa kwenye tovuti ya Fox Channel.com. Hata hivyo, baadaye iligundulika tovuti hiyo haikuwa ya Fox na kwamba, taarifa iliyokuwa imeandikwa ni ya uongo. Kutokana na hali hiyo, Mkurugenzi wa TBC, Dk Ayub Rioba aliwasimamisha kazi wafanyakazi hao waliohusika na uandaaji na utangazaji wa habari hiyo. Hata hivyo, Rais Magufuli ambaye jana alifanya ziara ya kushtukiza ofisi za TBC pamoja na mambo mengine alitoa msamaha kwa wafanyakazi hao. Baada ya kufika alitembelea chumba cha kurushia matangazo na chumba cha habari na kukalia kiti cha watangazaji, huku akiigiza kama mtangazaji wa habari, alitumia fursa hiyo kuzungumza na wafanyakazi. Akizungumza kwa njia ya simu, Dk Rioba alisema Rais alifika katika ofisi hizo kwa lengo la kuwatembelea na kuzungumza na wafanyakazi, kisha alitoa msamaha huo. Aliwataja waliosamehewa kuwa ni Gabriel Zackaria, Elizabeth Mramba, Prudence Constantine, Dorothy Mmari, Ramadhani Mpenda, Leya Mushi, Alpha Wawa, Chunga Ruza na Judica Losai. Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
"2017-05-28T20:29:43"
http://www.williammalecela.com/2017/05/rais-magufuli-awasamehe-waliosimamishwa.html
[ -1 ]
Mukama: Mbio za Urais CCM, sasa ni zamu ya nyanda za Juu Kusini, Kati na Kaskazini | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Ozzie, Apr 5, 2012. Alisema hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo za CCM, Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam... Mukama alisema: "Kuwa na makundi ni kitu cha kawaida lakini si la mtu fulani, bali ni katika chama ili vitu viende na ni jambo jema katika chama. Kwa mfano, mambo ya urais kikanda Kusini wameshapata, sasa inaweza ikawa Nyanda za Juu Kusini au Kanda ya Kati na upande wa Kaskazini vilevile, juu kule Mwalimu Nyerere alishatoka." Alisema hali kama hiyo ndiyo inatengeneza makundi kwa watu wa sehemu fulani kusema: "Mbona kule ameshatoka huku bado hajatoka. Hayo ndiyo mambo yalivyo na si mtu mmoja mmoja kuwa na kundi, hayo yanayosemwa huko siyajui." ina maana ni makinda,nyalandu asha migiro au lowasa!membe hana chake!mwandosya,mwakyembe wagonjwa!MAGHARIBI JEE? Mmmmmmh! Hizi kauli ni za hatari sana! Hivi urais siku hizi unatolewa kikanda? Ni kwa Katiba ipi Rais anachaguliwa Kikanda? Mukama alisema: ย“Kuwa na makundi ni kitu cha kawaida lakini si la mtu fulani, bali ni katika chama ili vitu viende na ni jambo jema katika chama. Kwa mfano, mambo ya urais kikanda Kusini wameshapata, sasa inaweza ikawa Nyanda za Juu Kusini au Kanda ya Kati na upande wa Kaskazini vilevile, juu kule Mwalimu Nyerere alishatoka.ย” Alisema hali kama hiyo ndiyo inatengeneza makundi kwa watu wa sehemu fulani kusema: ย“Mbona kule ameshatoka huku bado hajatoka. Hayo ndiyo mambo yalivyo na si mtu mmoja mmoja kuwa na kundi, hayo yanayosemwa huko siyajui.ย” Mukama ana maana hii Nyanda za Juu Kusini - Prof Mwandosya; Nyanda ya Kati Mh. Sitta na Kasikazini Mh Lowasa? Utakuwa mpambanio mzuri ndani ya CCM. Kuna wengine wanahoja Wakatoliki na Waislam walishapata sasa ni 2005 ilikuwa iwe zamu ya Walutheri - Prof Mwandosya akahujumiwa. Hata hivyo naona hapa anataka kumwengua Mh. Membe (kusini) kijanja sijui ndo kaongea nini?hata haeleweki!huyu na lusinde wanatenganishwa na mitusi tu! Kwa maneno mengine Mukama anatuambia kuwa utaratibu wa ccm wa kumpata mgombea urais unaangalia sehemu aliyotoka mgombea! CCM hawaangalii matatizo yanayoikabili nchi hii na uwezo wa mgombea katika kutatua matatizo hayo, ila cha muhimu (according to Mukama) ni 'umetoka kanda gani? Labda Mukama atufafanulie vizuri, ni kwa nini CCM wanaangalia mahala alipotoka mgombea na sio uwezo wake? Nini majukumu ya rais? kutambika? Ngoja wamsikie Zanzibar! The most stupid comment from a SG General kasahau kuwa Tanzania ina watu milioni 44? CCM fanyeni kazi ya kutekeleza ahadi zenu "instead of kuwaza urais, haya mambo yatakuja yenyewe muda ukifika. ukanda wa nini sisi tunahitaji kiongozi atakaye tutoa kwenye hili tatizo la umaskini full stop!!!!!!!!!!!!!!!!! Ukiona mtu anaendekeza ukanda basi ujue huyo amefilisika kisiasa. Ukanda ni ukaburu tu. Duh CCM sasa hata kauli za kawaida tu zinakuwa tabu? Chini ya miaka 20 baada ya kifo cha Mwalimu hakuna hata mmoja ambaye alirithi hata robo ya hekima ya mwalimu? Wale tuliokuwa tunaambiwa ni wanafunzi wa mwalimu ndani ya Chama wako wapi? Nimesoma gazeti la mwananchi sijamwelewa Mukama. Katika makundi ndani ya chama sijasikia kama kundi makundi ya ukanda. Sasa anatengeneza tatizo ambalo halipo Kweli CCM ina matatizo si kidogo kwa kweli. kuendelea kuwa na watu kama kina mkama ni JANGA!! Wanaanza kutule taa mambo ya ukanda?! Jamani mbona wATZ hatuna huruma? Kichaa cha Lusinde na Mkama kinalipuka tayari,halaf badala ya kuwakamata na kuwawahsha wodini MIREMBE sie tunakazana kuwajadili! mimi napiganga nae, nadhani mtu safi na mwenye uwezo hata kama akitoka pwani tena poa tu Kweli CCM ina matatizo si kidogo kwa kweli.Click to expand... Mkuu huwezi kuamini kama kweli hayo yameongewa na katibu mkuu wa chama, hizi zilitakiwa kuwa story za kijiweni. What if maeneo yote hayo hayana mwanaCCM ambaye anafaa kuiongoza CCM kukabiliana na changamoto zilizopo sasa? kuna haja ya chama kuwa more serious. Urais 2015 ni muhimu sana kwa Tanzania, kwa hiyo rais anatakiwa kuwa mwelewa na mweye uwezo wa kuongoza nchi. Chadema wakitaka Urais kirahisi wateue mgombea kutoka Kusini. Mbowe, Slaa, Ndesamburo and company zinaua chama Hee kwa hiyo vigezo vitafuata baadae kwanza ukanda???baadae itakuja udini na ukabila ni hatari sana wana magamba twaelekea wapi??vigezo ndio ingekuwa msingi na utaratibu ungebadilishwa iwe chama kinaangalia kada anaefaa kwa wakati huo sio hata kukimbilia kuchukua form Akili hizi ni hatari sana, hebu fikiria huyu ndiye alikuwa Mtendaji mkuu wa Wizara (Katibu Mkuu). Wameleta Udini, Ukabila, Ufalme - yaani kurithisha watoto wao madaraka (Husein Mwinyi, Sioi Sumari, Nape, Amani Karume, Mathayo David, Malima nk.). Wamemaliza sasa Lusinde kaanzisha mradi wa Matusi majukwaani na kabla huo haujamalizika Mukama naye kazindua mradi wake wa Urais kwa Ukanda. Shame on you Lusinde na Mukama. Hakika sasa nimeamini CCM kuna akili za KILUSINDE. Bora CCM ya jana kuliko ya leo - yaani - ni Bora Makamba kuliko Mukama. CCM go to hell!!!!! mimi nilidhani hoja ya ukanda ni ya CDM kumbe hata magamaba wanayo... Mungu wangu.. tufweee...
"2017-01-25T01:37:39"
https://www.jamiiforums.com/threads/mukama-mbio-za-urais-ccm-sasa-ni-zamu-ya-nyanda-za-juu-kusini-kati-na-kaskazini.245300/
[ -1 ]
1 katika Scholarship ya 7 kuhudhuria Mkutano Mmoja wa Vijana wa Dunia 2018 huko La Haye, Uholanzi (Fully Funded) | Fursa Kwa Waafrika nyumbani Scholarships 1 katika Scholarship ya 7 kuhudhuria mkutano mmoja wa vijana wa 2018 ... 1 katika Scholarship ya 7 kuhudhuria Mkutano Mmoja wa Vijana wa Dunia 2018 huko La Haye, Uholanzi (Fully Funded) Maombi Tarehe ya mwisho: 8 Agosti, 12pm BST Kuna watu zaidi ya bilioni 1 duniani wanaoishi na aina fulani ya ulemavu - hiyo ni 15% ya idadi ya watu duniani, au 1 katika 7 yetu. Kikundi hiki kinasimamiwa kila ngazi. Dunia Mmoja wa Vijana ni fahari kutangaza 1 katika 7 Scholarship kwa kushirikiana na Include Me TOO ambayo itasaidia 5 ya viongozi wa ulimwengu wenye kuchochea na wenye nguvu katika nafasi ya ulemavu kushiriki katika Mkutano Mmoja wa Vijana wa Dunia 2018 ambayo inafanyika huko La Haye, Uholanzi kutoka 17 - 20 Oktoba. Nijumuishe TOO ni misaada ya kufanya kazi ndani ya nchi kwa kitaifa na kimataifa na watoto wenye ulemavu vijana na familia zao kuunga mkono haki zao, kuingizwa, ushiriki na uwakilishi kutoka kwa aina mbalimbali za asili. Upendo unaunga mkono na kukuza haki ya kijamii, usawa na haki kwa watoto wote wenye ulemavu na vijana. Nijumuishe TOO hutoa huduma mbalimbali za msaada ikiwa ni pamoja na msaada wa rika, huduma za urafiki, shughuli na vilabu vya likizo kwa watoto wenye ulemavu, ufikiaji na taarifa na ushauri. Upendo unawashauri juu ya sera, ulemavu usawa, utofauti, kuingizwa na haki, kitaifa na kimataifa. Nijumuishe TOO ni nyuma ya Mkataba wa Taifa wa Haki za Watoto na Watoto Walemavu ambao ulisainiwa na kuungwa mkono na misaada kadhaa ya kitaifa, idara za serikali, mawaziri wa serikali, Waziri Mkuu wa 2008 ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu wakuu. Ili kuomba lazima iwe: Kuwa mzee 18 - 30 Tambua kuwa na ulemavu Kujitolea dhahiri ya kusaidia usawa na haki kwa watu wenye ulemavu Tembelea Tovuti rasmi ya 1 katika Scholarship ya 7 Makala zilizotanguliaProgramu ya Ushirikiano wa Chuo Kikuu cha TWAS-CNPq 2018 kwa wanasayansi wadogo kutoka nchi zinazoendelea Makala inayofuataMichezo ya Chuo Kikuu cha Coventry Scholarship 2018 kwa ajili ya utafiti wa shahada ya kwanza nchini Uingereza (Ilifadhiliwa) Abena Kusiwaa Agosti 7, 2018 katika 5: 43 pm Baraka mike Agosti 8, 2018 katika 9: 14 am Maoni: Nataka kupata udhamini na
"2018-10-23T23:12:20"
https://sw.opportunitiesforafricans.com/1-in-7-scholarship-to-attend-the-one-young-world-summit-2018/
[ -1 ]
Lowassa Awavuta Boda Boda, Machinga Na Mama Ntilie โ€“ Dar24 3 years ago Comments Off on Lowassa Awavuta Boda Boda, Machinga Na Mama Ntilie Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ametupa karata yake ya kwanza ya ahadi zake kwa watanzania kwa kuwavuta waendesha pikipiki maarufu kama boda boda na mama Lishe maarufu kama Mama Ntilie. Akiwahutubia maelfu yananchi waliojitokeza kumsindikiza kuchukua fomu ya urais jana jijini Dar es Salaam, Lowassa alisema kuwa endapo atafanikiwa kuingia Ikulu kwa ridhaa ya watanzania, atahakikisha anabadilisha hali ya maisha ya watanzania kiuchumi na kwamba ataunda serikali itakayokuwa rafiki kwa Boda Boda na Mama Ntilie ili kuhakikisha wanainuka zaidi kiuchumi. โ€œMuweke matumaini yenu pale, mimi nawahakikisheni kazi yangu ya kwanza Mungu akibariki nikaingia Ikulu nitaanza na vijana. Nachukua dhamana ya kushughulika na matatizo ya vijana. Na nitaunda serikali ambayo itakuwa rarafiki wa Mama Ntilie, rafiki wa Machina na rafiki wa Boda Boda. โ€œItakuwa priority yangu number one kuangalia watu wangu ambao hali yao ni mbaya. Nawaahidi, kwa jinsi mlivyoniunga mkono, sitawangusha,โ€ aliongeza. Lowassa alisisitiza kuwa kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha anawatoa watanzania katika umasikini waliokuwa nao kwa zaidi ya miaka 50. Aidha, Lowassa alieleza kuwa serikali ya Kikwete imeanguka katika suala la maendeleo ya kiuchumi kwa kushuka kwa sarafu na mfumuko wa bei unaowatesa watanzania wa hali ya chini. Alisisistiza kuwa anauchukia umasikini kama ukoma na kwamba endapo atapewa ridhaa ya kuiongoza serikali ya awamu ya tano atahakikisha anapambana kwa nguvu zote kuuondoa. Habari 34 mins ago Comments Off on Kama bado nina nguvu, sitarajii kungโ€™oka madarakani- Museveni Habari 6 hours ago Comments Off on Theresa May awapigia goti viongozi wa EU Habari 7 hours ago Comments Off on Moyo wa binadamu wazua taharuki ndani ya Ndege
"2018-12-14T15:14:27"
http://dar24.com/lowassa-awavuta-boda-boda-machingana-mama-ntilie/
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: BREAKING NEWS: TEMBO WANNE WAONEKANA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) LEO, ASKARI WA WANYAMAPORI WAFANYA KAZI KUWARUDISHA HIFADHINI '; if(img.length>=1) { imgtag = ' BREAKING NEWS: TEMBO WANNE WAONEKANA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) LEO, ASKARI WA WANYAMAPORI WAFANYA KAZI KUWARUDISHA HIFADHINI
"2017-10-17T09:17:10"
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/05/breaking-news-tembo-wanne-waonekana.html
[ -1 ]
Wakicheza kwa tambo zilizokosekana tangu kuanza msimu huu, Chelsea wamepata ushindi wa kihistoria, baada ya kuwabandika Aston Villa mabao 8-0. Home / All Articles / Rafa Benitez aanza tambo 20th August 2017 Last update at 11:44 pm *Chelsea wawakungโ€™uta Aston Villa 8 โ€“ 0 *Man United waambulia sare Swansea Kwa ushindi huo wamepanda hadi nafasi ya tatu, lakini wakiwa umbali wa pointi 12 kuwafikia Manchester United wanaoongoza ligi hiyo. United wangeweza kutanua pengo la pointi na kuwa sita dhidi ya wanaoshika nafasi ya pili, Manchester City. Hata hivyo, vijana hao wa Alex Ferguson walibanwa vilivyo huko Wales, walikocheza na Swansea na kuambulia sare ya bao 1-1. United walitangulia kufunga kupitia beki Patrice Evra kwa kichwa, lakini bao hilo lilirudishwa na mchezaji mwenye makeke, Michu, aliyefunga baada ya kosa kosa nyingi. Kocha wa muda wa Chelsea, Rafa Benitez amepokea ushindi huo mnono kwa furaha, akitamba ni mafunzo yake yaliyowabadilisha wachezaji. โ€œUnaona wazi sasa timu imeboreka, kwa jinsi hii tutajaribu kupunguza pengo kadiri itakavyowezekana. Siku zote ushindi ni kitu cha pekee, lakini kubwa ni kuona timu ikisonga mbele na kuwa nzuri. โ€œKila siku mazoezini tunarekebisha vitu vidogo vidogo na vinaonekana wazi sasa. Wachezaji wanajituma hasa, wanajifunza, wanaelewa, wanajiamini na wanashinda. โ€œIliyopo sasa ni kufanya ushindi huu uwe endelevu, tuendelee kushinda mechi zetu na hapo itakuwa rahisi kwangu kutuma ujumbe kote kote kwamba sisi ni washindani wa kweli,โ€ akasema bosi huyo aliyeanza kazi mwezi uliopita. Hakuacha kummwagia sifa Mhispania mwenzake, Fernando Torres aliyefunga bao lake la 13 msimu huu, ambaye ndiye alifungua karamu ya mabao leo. โ€œKama mshambuliaji, alitakiwa kufunga mabaoโ€ฆtimu inafanya vizuri, naye sasa ana nafasi zaidi na anajiamini kwa vile anafunga,โ€ akasema. Wakicheza nyumbani Stamford Bridge, Chelsea walipata bao dakika ya tatu tu, ambapo hadi mapumziko walishapachika matatu, kupitia kwa David Luiz na Branislav Ivanovic. Kaimu nahodha, Frank Lampard alipata bao lake la 500 katika ligi kuu, kabla ya Ramires kufunga mawili kisha Oscar na Eden Hazard kumalizia shughuli. Ushindi huu ulikuwa muhimu kwa Benitez, kwani ni wa kwanza nyumbani tangu alipoanza kazi, ambapo ilikuwa kawaida kuzomewa kila wakifanya vibaya. Ushindi huu unafanana na waliopata Chelsea dhidi ya Wigan mwaka 2010, ambapo rekodi kubwa hadi sasa inashikiliwa na Manchester United waliowafunga Ipswich Town mabao 9-0 mwaka 1995. United hao walipoteza nafasi nyingi za kufunga, hata alipoingia super sub, Chicharito, na jitihada za Robin van Persie hazikuzaa matunda yoyote, zaidi ya kuishia kuzozana na wachezaji wa timu pinzani na kuambulia kadi ya njano. Ferguson anaomba nahodha wa Swansea, Ashley Williams afungiwe kwa muda mrefu, akidai angeweza kumuua RVP, kwa kumpiga na mpira kwa nguvu kichwani alipokuwa amelala chini. Ferguson amemlalamikia mwamuzi Michael Oliver, huku akisema Swansea wana bahati, kwa sababu waliwapelekesha sana. Posted under: All Articles, Aston Villa, Featured, Football, Ligi kuu ya England, Sport, Sports News Tags: Epl. nane bila.
"2017-08-20T00:25:35"
https://www.tanzaniasports.com/2012/12/24/rafa-benitez-aanza-tambo/
[ -1 ]
Bongo Voice: SKENDO YA LUCCI NA JOKATE KIDOTI SASA YAPATA UFUMBUZI ...!UKWELI UPO KIHIVI.. .SOMA ZAIDI HAPA..! Home SKENDO YA LUCCI NA JOKATE KIDOTI SASA YAPATA UFUMBUZI ...!UKWELI UPO KIHIVI.. .SOMA ZAIDI HAPA..! Sehemu ya video ya wimbo wa "dada kaka" iliyozua utata kuhusu mahusiano ya wawili hawa.. wangu wa nguvu unaweza kujiuliza huyu shemeji yetu alikuwa na hali gani kipindi kifupi kilichopita wakati Kaka Dada,Lucci Jokate ndiyo headline kila sehemu. Lucci anaongezea,โ€Unajua ukishakuwa kwenye mapenzi na mtu anayejitambua na anafahamu kazi yako. Basi atafahamu kabisa entertainment inahitaji vitu tofauti ili kufanikisha. So mimi na yeye tuliongea kwamba muda huu tunaitoa kazi ya kaka dada na plan nzima alikuwa anaijua. So hakukuwa na tatizo loloteโ€Kama unataka kujua upande wa pili wa Lizzyblazzer, Lucci anatuelezea kuhusu mchumba wake,โ€Lisa ni director wa kampuni yetu mimi na yeye inaitwa Tsere. Kazi tunayofanya ni creative and marketing, pia anafanya kazi ya HR kwenye hii kampuniโ€ Oky, so kumaliza mawazo mengi ambayo watu walikuwa nayo kuhusu Jokate na Lucci. Kaka Dada ni kaka na dada kweli, ule ulikuwa wimbo tu.Tunasubili Jokate na yeye atuwekee wazi shemeji yetuโ€ฆJUST KIDDINโ€™Yanayoendelea twitter.... UMBEA TUPA KULE...SHEMEJI YETU NDIO HUYU KATKA TIME KABISA ENEO LA TUKIO Posted by
"2016-12-11T11:53:20"
https://bongovoice.blogspot.com/2014/01/skendo-ya-lucci-na-jokate-kidoti-sasa.html
[ -1 ]