text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
MATONDO: HII IMEKAA VIZURI: POLISI AKATAA RUSHWA YA DOLA 3,000. ATUZWA TSH. 4,000,000!!! HII IMEKAA VIZURI: POLISI AKATAA RUSHWA YA DOLA 3,000. ATUZWA TSH. 4,000,000!!! Hongera PC John Anthony Mwesongo. Wewe ni mfano wa kuigwa! Picha na maelezo ni kutoka kwa Mzee wa Mshitu. Labels: MATUKIO, MIKASA Mzee wa Changamoto March 17, 2010 at 12:16 AM Ninalowaomba hawa wahusika wa jeshi wamuhamishe kisha wasiseme anahamia wapi. Maana kama ulivyoandika kuwa waliotaka kumpa pesa ni WAUZA MADAWA ambao wana mtandao (network) Namtakia maisha ya salama na yenye utii.
"2017-11-24T13:16:46"
http://matondo.blogspot.com/2010/03/hii-imekaa-vizuri-polisi-akataa-rushwa_17.html
[ -1 ]
Yanga wame-balance mzani | ShaffihDauda Home Kitaifa Yanga wame-balance mzani Ushindi wa Yanga 3-1 dhidi ya Stand United umeipa Yanga pointi tatu ambazo zinaifanya ifikishe pointi 46 na kuifikia Simba licha kwamba wekundu wa Msimbazi wanaendelea kuongoza ligi kwa tofauti ya magoli. Yanga imecheza mechi 21 mchezo mmoja zaidi ya Simba ambayo imecheza mechi 20 hadi sasa. Kwa muda mrefu Simba iliongoza ligi kwa tofauti ya pointi saba lakini Yanga wametoka nyuma na kuziba gap hilo la pointi zote. Baada ya mechi 13, Simba ilikuwa inaongoza ligi kwa pointi 29 huku Yanga ikiwa nafasi ya tano ikiwa na pointi 22. Februari 4, 2018 Yanga ilikuwa nafasi ya tatu ikiwa na pointi 31 wakati huo Sumba ilikuwa inaongoza ligi kwa pointi zake 38 huku kila timu ikiwa imecheza mechi 16. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ally Ally (alijifunga) dakika ya saba, Ibrahim Ajibu akafunga goli la pili dakika tano baadaye, Obrey Chirwa ameifungia Yanga bao lililokamilisha ushindi wa Yanga. Goli pekee la Stand United limefungwa na Mayanga dakika ya 83. Ushindi wa Yanga leo ni wa nane mfululizo katika michezo nane iliyopita kwenye ligi. Baada ya kutoka suluhu (0-0) dhidi ya Mwadui kwenye uwanja wa Uhuru, ilianza kushinda mchezo dhidi ya Ruvu Shooting Januari 21, 2018 hadi leo. Previous articlePointi 23 kati ya 30 ugenini, pointi 21 mfululizo, Lwandamina ni tishio Next articleVideo – Magoli yote Yanga vs Stand United Machi 12, 2018 Kitaifa7695
"2018-04-24T06:28:29"
http://shaffihdauda.co.tz/2018/03/12/yanga-wame-balance-mzani/
[ -1 ]
Dubai Metro ya Ardhi Baada ya 2017 | RayHaber | raillynews NyumbaniWORLDASIA971 Falme za KiarabuDubai Metro Itapita Baada ya 2017 30 / 03 / 2012 971 Falme za Kiarabu, RAILWAY, GENERAL, HEADLINE, Metro Inaripotiwa kwamba Dubai Metro, inayojulikana kama dereva wa dunia mrefu zaidi bila dereva, itafunika 2017, wakati mfumo wa basi wa mji utafikia gharama ya 2016. Kwa kuongeza, idadi ya abiria kutumia mfumo wa usafiri wa umma imeonekana ongezeko kubwa sana na mfumo huu wa usafiri umesababisha akiba ya dola milioni 411. Mkuu wa Road na Usafiri Authority Mattar Al Tayi metro unatarajiwa kupita nchi uokoaji wa gharama ndani ya miaka mitano na kuongezeka kwa idadi ya abiria, pamoja na mapato kutokana na utaratibu wa majina ya kituo na matangazo mengine kwa kukodisha maduka ya rejareja, alisema ilikuwa ni iwezekanavyo. Akizungumza katika mkutano wa reli rasmi katika London, mfumo Subway ni upya baadhi ya maeneo ya mkataba na kusema kuwa njia bora ya akiba kubwa alifanya kutokana na matumizi. Vile vile, alisisitiza kuwa baadhi ya njia za mabasi ya jiji zimebadilishwa na kwamba baadhi yao yameunganishwa, na hivyo kupunguza gharama za mafuta. El Tayir alisema kuwa shida kubwa waliyo nayo wakati walianza kazi ilikuwa msongamano wa trafiki katika mji na walichukua hatua muhimu za kutatua. Kulingana na utafiti, gharama ya kila mwaka ya migogoro ya trafiki huko Dubai kabla ya mgogoro wa kimataifa ilikuwa zaidi ya $ 1 milioni katika 350. Idadi ya watu wanaotumia usafiri wa umma huko Dubai, kituo cha kibiashara cha Falme za Kiarabu (UAE), ni 2005 milioni katika 91, ambayo ni 2011 katika 190. Hivyo, sehemu ya usafiri wa umma kwa usafiri wa jumla imekuwa 2006 katika 6, wakati katika 2011 imefikia 10. Katika UAE na majimbo mengine ya Ghuba ambapo petroli ni kuhusu senti 50, watu kwa ujumla hutumia zana maalum za usafiri. Reli 5 itavuka ardhi kwa miaka. Kutoka Bursa Teleferik Inc. hadi Dubai Dubai Metro Ramani Kikundi cha Serco cha Uingereza cha Kazi ya Dubai Metro hadi 2021 Ankara-Izmir line ya treni ya juu-kasi hupita kupitia Salihli YHT itapita kupitia Ereğli Treni itapita kupitia Gümüşhane Usküdar-Çekmeköy Metro ambayo itapita Furahia ladha ya theluji katika Uludağ Uwekezaji wa Miundombinu GMKurtalan - Mradi wa reli ya Cizre Mpakani 2013 Inatarajiwa
"2020-01-28T14:09:28"
https://sw.rayhaber.com/2012/03/Subbai-chini-ya-ardhi-itakuwa-nyeusi-baada-ya-2017/
[ -1 ]
Lowassa, Mbowe Watakiwa Kuripoti Polisi Leo | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba. Agizo hilo la Naibu Spika limetolewa leo bungeni mjini Dodoma wakati akitolea ufafanuzi mwongozo wa Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) aliyeiomba serikali... Mamlaka nchini Tanzania imewataka watu watatu inaowashutumu kwa kuwa wapenzi wa jinsia moja kuripoti kwa maafisa wa polisi ili kuhojiwa la sivyo wakamatwe. Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha),Halima Mdee. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camillius Wambura, alisema kuwa mbunge huyo ataripoti kituoni...
"2019-05-24T15:26:21"
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/lowassa-mbowe-watakiwa-kuripoti-polisi-leo
[ -1 ]
kushangaza zaidi binafsi au biashara Aviation Charter ya Boeing 757 Ndani jet binafsi mapambo Tazama mwisho na Wysluxury.com
"2018-06-23T00:45:15"
https://www.wysluxury.com/boeing-757-inside-private-jet-decoration/?lang=sw
[ -1 ]
PICHA:CHAMPION FRANCIS CHEKA AKIWA INDIA TAYARI KUMKABILI VIJENDER SINGH 17 DEC - LEWIS MBONDE BLOG PICHA:CHAMPION FRANCIS CHEKA AKIWA INDIA TAYARI KUMKABILI VIJENDER SINGH 17 DEC Lewis Mbonde Wednesday, December 14, 2016 0 MASUMBWI Mkutano na waandishi wa habari new delhi India Champion Francis Cheka akiwa na Promota wake Jay Msangi new delhi India Ameuambia mtandao huu kuwa "Tumefika salama na naendelea vzuri na mazoezi sitawaangusha ntarudi nyumbani na ushindi" Promota Jay Msangi,Champion Francis Cheka na kocha wake Mzee Abdalah Salehe "Komando" Championi Francis Cheka Posted by Lewis Mbonde at Wednesday, December 14, 2016
"2017-09-20T20:05:10"
http://habarikablog.blogspot.com/2016/12/pichachampion-francis-cheka-akiwa-india.html
[ -1 ]
Scooper - kenya For You News: wanamgambo-12-wa-al-shabaab-wauliwa-katika-msitu-wa-boni-huko-lamu Wanamgambo 12 Wa Al Shabaab Wauliwa Katika Msitu Wa Boni Huko Lamu Wanajeshi wa Kikosi cha Ulinzi cha Kenya (KDF) Alhamisi waliwauwa wanamgambo 12 wa Al-Shabaab katika shambulio katika kambi yao ndani ya Msitu mkubwa wa Boni katika Kaunti ya Lamu. Timu maalum ya operesheni ya KDF iliwashawishi magaidi hao kwenye kambi yao ya Korisa Kotile, ambayo imekuwa maficho yao kwa muda mrefu. Kambi hiyo iko Nginda, kati ya Korisa na Bargoni. Habari Nyingine:Mtu Mmoja Awekwa Karantini Kaunti Ya Lamu Baada Ya Kuonyesha Dalili Za Corona Kati ya waliouawa alikuwa kamanda kutoka mkoa wa Pwani ambaye alikuwa akitoa msaada wa akili na vifaa kwa magaidi waliojificha msituni. Wanajeshi wa KDF walipata silaha, pamoja na bunduki tatu za AK-47, majarida saba, risasi zaidi ya 1,000, vifuko na kibeti cha maji. Shambulio hilo linakuja wiki moja baada ya vikosi maalum kuua wanamgambo sita na kuteka mmoja katika Kaunti ya Garissa. Hili ni pigo kubwa kwa kundi la watu wenye msimamo mkali kwani wanamgambo waliowekwa kwenye msitu wanaweza kufa kwa njaa kwa kukosa vifaa vya chakula na risasi. Kambi hiyo ilikuwa moja tu iliyobaki nchini Kenya, ambayo ilitumia kuratibu shughuli zao. BREAKING: UN Implicates Saudi Prince In Amazon CEO, Jeff Bezos' Hacked PhoneBruno Fernandes Crowned Premier League Player Of The Month For FebruaryWorld War 3: $80 Million Bounty on Donald Trump's Head By IranSHOCKING! Huge Sinkhole Swallows Bus And Pedestrians In China (PHOTOS) HEARTLESS Mother Tortures Baby To Death Because He Pulled Down The Television
"2020-04-07T08:00:38"
https://scoopernews.com/kenya/000/2020/03/20/wanamgambo-12-wa-al-shabaab-wauliwa-katika-msitu-wa-boni-huko-lamu/9061458
[ -1 ]
WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA LESENI (BRELA)YASHIRIKI MAFUNZO YA HATAZA NCHINI MISRI | Full Shangwe Blog Home Mchanganyiko WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA LESENI (BRELA)YASHIRIKI MAFUNZO YA HATAZA NCHINI... WAKALA WA USAJILI WA BIASHARA NA LESENI (BRELA)YASHIRIKI MAFUNZO YA HATAZA NCHINI MISRI Tanzania ikiwa kama mwanachama wa Shirika la Miliki Bunifu Duniani (World Intellectual Property-WIPO) Kupitia Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) iliyopo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara Inashiriki Mafunzo ya Hataza kwa Nchi za Africa (Training Course on Patent Search and Examination for African Countries) Nchini Misri kuanzia tarehe 17/11/2019 hadi 21/11/2019 Mafunzo hayo yamedhaminiwa na Shirika la Miliki Bunifu Duniani (WIPO), Nchi ya Misri na Ofisi ya Hataza ya Misri na kuhudhuriwa na wawakilishi kutoka Nchi 15 za Africa Tanzania imewakilishwa na Bi Suzana Senso-Afisa Mwandamizi Kutoka kitengo cha Miliki Bunifu-Brela Mafunzo haya yanamanufaa kwa Taifa letu kwenye maswala ya uvumbuzi ili kuweza kuendana na kauli mbiu ya Serikali ya Viwanda Vumbuzi zinahitajika ili kuwa na Bidhaa na huduma zenye ubora na zenye kukidhi mahitaji ya wananchi,ili kuendana na ulimwengu wa sasa wa Technolojia Previous articleWANAFUNZI WATAKIWA KUPEWA STADI ZA MAISHA WAKIWA BADO SHULENI. Next articleMkoa wa Lindi Wajivunia Mafanikio Miaka 4 ya JPM
"2019-12-07T16:35:32"
https://fullshangweblog.co.tz/2019/11/18/wakala-wa-usajili-wa-biashara-na-leseni-brelayashiriki-mafunzo-ya-hataza-nchini-misri/
[ -1 ]
Kurasa Zinazohusiana — Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority - AUWSA KiingerezaKiswahili Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha Kuhusu Mamlaka Muundo wa Mamlaka AUWSA Departments AUWSA Units Utawala na Wafanyakazi Watendaji Wakuu Huduma ya Maji Huduma ya Majitaka Shughuli za Mazingira Vyanzo vya Maji Mkataba wa Huduma Ankara za Maji Maombi Mapya Jinsi ya Kulipa Ankara Utaratibu wa Ulipaji Kukata na Kuunganisha Machapisho na Ripoti Kurasa Zinazohusiana http://www.tanzania.go.tz The Portal’s main objective is to enable a one stop center interface for public services delivery in a transparent, easy and cost effective manner from various Public Institutions for the benefit of citizens,… https://www.maji.go.tz Wizara ya Maji ilianzishwa rasmi kwa Tangazo la Serikali Namba 494 la tarehe 17 Desemba 2010 na kukabidhiwa majukumu ya kusimamia na kuendeleza rasilimali za maji Arusha City Council http://www.arushacc.go.tz/ Arusha was declared Township Authority in 1948 with population of 5,320 inhabitants. In 1980 was upgraded to Municipality and acquire a City Status in 2012. As the hub of the country’s tourist industry, Arusha… Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) http://www.ewura.go.tz/ The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an autonomous multi-sectoral regulatory authority established by the EWURA Act Cap 414 of the laws of Tanzania. It is responsible for technical and… Association of Tanzanian Water Suppliers (ATAWAS) http://atawas.or.tz/ The Association of Tanzanian Water Suppliers (ATAWAS) is a membership based Association operating in Tanzania mainland, registered under the Societies Ordinance of 1954 and its amendments. ATAWAS was established… GIZ Tanzania Water http://www.swsd.or.tz/home/ The “Support to the Water Sector Development in Tanzania” (SWSD) is a bilateral development cooperation programme between the United Republic of Tanzania and the Federal Republic of Germany. The programme is… Malipo ya Ankara Angalia Akara Yako Hapa Anwani Zetu Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority – AUWSA Tel.: +255 272547186/ 2547163 Fax: +255 272547163/ 2548981 Call Centre: 0800110069. e-mail: md@auwsa.go.tz Sehemu za Tovuti Mhe. Rais akikagua mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa katika Jiji la Arusha Tenki la shamba la mbegu (seed farm) lenye uwezo wa kubeba maji lita milioni kumi © Copyright 2019 - Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha Maswali ya Kujiuliza Maoni na Maulizo
"2019-11-15T03:05:21"
http://www.auwsa.go.tz/sw/resources/links
[ -1 ]
Maganga Media: Mkutano wa haki za binadamu London ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 Home » habari muhimu, Maganga Media, news » Mkutano wa haki za binadamu London Mkutano wa haki za binadamu London By Emmanuel Maganga - Jun 18, 2012 Mshiriki kutoka Tanzania Alistidia Rugaitika akiwa katika mkutano wa European Leadership and Human rights:Protection of the Unempowered and the Dispossessed uliomalizika jioni hii jijini London katika jumba la Bunge la Uingereza. Baadhi ya washiriki wengine walioshiriki kwenye mkutano huo,kutoka kushoto mshiriki kutoka Cameroon ambaye pia ni mwandishi wa habari,Tosamawe kutoka Tanzania,Mr Amone toka Uganda na mshiriki kutoka Rwanda Mshiriki kutoka Tanzania katikati akiwa na mshiriki kutoka Uganda kulia Mr Amone. Na msemaji kwenye huo mkutano Mr Keith Best ambaye ni Chief Executive,Freedom From Torture UK
"2018-12-19T02:23:27"
http://maganga-resources.blogspot.com/2012/06/mkutano-wa-haki-za-binadamu-london.html
[ -1 ]
Ghasia za Mtwara TZ, mbunge atiwa mbaroni | Radio Qiblaten - 103.6 fm Ghasia za Mtwara TZ, mbunge atiwa mbaroni 30 Rajab,1434 Polisi nchini Tanzania wamemkamata mbunge wa Mtwara Mjini Hasnain Murji kwa tuhuma za kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bomba la gesi kutoka mkoani humo kwenda mji mkuu wa nchi hiyo Dar es Salaam. Msemaji wa Jeshi la polisi nchini Tanzania, Advera Senso amenukuliwa na vyombo vya habari nchini Tanzania akisema kuwa Murji ambaye ni mbunge wa chama tawala CCM alikamatwa nyumbani kwake maeneo ya Shangani mjini Mtwara. Hivi karibuni pia viongozi wanne wa vyama vya upinzani mkoani Mtwara walikamatwa na kufikishwa katika mahakama ya Mtwara Juni 4, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya kula njama, kufanya uchochezi na kuamsha hisia mbaya miongoni mwa Watanzania. Murji amekamatwa ikiwa zimepita zaidi ya wiki mbili tangu kutokea vurugu kubwa mkoani Mtwara. Ghasia hizo katika mkoa huo wa kusini magharibi mwa Tanzania zilidumu kwa siku mbili, ambapo polisi walipambana na makundi ya vijana wanaopinga mradi wa bomba la gesi kujengwa. Watu kadhaa walipoteza maisha katika vurugu hizo na mali nyingi kuharibiwa. Wakaazi wa Mtwara wanapinga wazo la kusafirishwa gesi nje ya eneo hilo kwa njia ya bomba. Wanasema gesi inapaswa kusafishwa katika eneo hilo kabla ya kusafirishwa ili wenyeji wapate ajira.
"2017-06-29T09:12:11"
http://radioqiblaten-fm.blogspot.com/2013/06/ghasia-za-mtwara-tz-mbunge-atiwa-mbaroni.html
[ -1 ]
tungependa kuwajulisha kuwa kampuni yetu itakuwa imefungwa kwa ajili ya likizo majira ya joto kutoka Agosti 6 hadi 18 Agosti. Katika kipindi kwamba sisi si kuwa na uwezo wa kutoa msaada lakini sisi kuchukua huduma ya maombi yote yako kwa haraka kama sisi kupata nyuma kazi. Tunawashukuru sana kwa ushirikiano wenu na uelewa. Sisi pia napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru kwa pongezi yako yote, msaada na mapendekezo kwamba msaada Plugin hii muhimu kukua. Booking kalenda husaidia kwa urahisi kuongeza kwa wordpress yako mwenyewe tovuti nguvu na rahisi mfumo booking katika dakika chache. Msimamizi anaweza kuunda kalenda kwa ajili ya huduma moja au zaidi ambayo inapatikana kwa booking, na chaguo kuweka tidsramar mbalimbali kwa ajili ya kila siku (Jumatatu kwa njia ya Jumapili) na sifa nyingine wote unaweza kupata chini. Wateja itakuwa kuangalia kalenda na urahisi mahali kutoridhishwa. Wote wateja na msimamizi kupokea taarifa ya barua pepe zao. Je, una kituo cha michezo? Unaweza kuunda booking kalenda kwa kila mahakama mchezo Je, ofisi yako kupokea wateja kwa kuteuliwa? Unaweza kuunda booking kalenda ya kila mtaalamu Je, wewe ni mpishi juu ya mahitaji? Hebu wateja wako urahisi kitabu huduma wako wa kupikia. Je, wewe mwenyewe biashara kukodisha baiskeli? Unaweza kuweka kalenda kwa kila baiskeli. Kama hawataki kugusa code yoyote, hii ni lazima kuwa chombo kwa ajili yenu. jopo utawala hauhitaji ujuzi wowote coding. Kufunga na kufanya kazi yake wewe tu na kuweka yako vigezo Configuration msingi, kama vile tovuti yako url, barua pepe yako, db... - Inafaa wakati upatikanaji mara moja inayoonekana - Preview instantaneous inapatikana wakati inafaa rollover - Alifanya rahisi netsurfing katika kuchagua miezi na siku - Kutoridhishwa nyingi uwezekano - Rahisi kutumia interface - Idadi ya ukomo wa kalenda ya kuweka (kila kalenda inaweza kutaja huduma mbalimbali inapatikana kwa reservation) - Idadi ya ukomo wa inafaa wakati kuweka muda wa kila mmoja - Customizable idadi ya kutoridhishwa inapatikana kwa yanayopangwa - Kila kalenda ana uhuru wake mwenyewe seti ya mazingira - Mara moja kuundwa kalenda, uwezekano wa kurekebisha kila yanayopangwa wakati, moja kwa moja au katika kikundi, wakati wowote - Uwezekano wa kuongeza inafaa tofauti kwa siku kwa urahisi - Uwezekano wa kuweka wewe siku ya kufunga - Uwezekano wa kuchagua jinsi siku nyingi kabla ya mtumiaji ina kitabu inafaa - Chaguo kuweka mashamba ya lazima ya aina booking - Fomu booking kinasa, kuwawezesha au afya - Nafasi ya uchaguzi jinsi ya kuthibitisha kutoridhishwa (moja kwa moja, kuthibitishwa kwa barua pepe au manually katika admin jopo) - Paypal ushirikiano - Reservation CSV usafirishaji - Tarehe format Configuration (uchaguzi kati ya Marekani na Uingereza tarehe format) - Mfumo wa muda Configuration (uchaguzi kati ya saa 12 asubuhi / mchana na saa 24 wakati format) - Kuarifiwa kwa admin na wateja alimtuma katika mfumo. - Uwezekano wa kuweka maandiko email notification, kwa mfano: booking barua pepe ya uthibitisho - Hakuna ujuzi coding required Toleo la sasa 3.0.0 Update kutoka toleo ANY kwa 3.0.0 ifuatavyo hatua hizi 1- kufanya Backup ya Plugin folder yako zilizopo na database 2- Deactivate Plugin kutoka admin yako jopo. Kama wewe ni mbio multisite Deactivate katika maeneo yote 3 nakala "wp-booking kalenda" folder (toleo 3.0.0) na overwrite "wp-booking kalenda" folder ya toleo la awali. 4- reactivate Plugin 5- kwenda Plugin kuu ya ukurasa kubonyeza kwenye orodha kushoto juu "Booking kalenda". Saa ya juu ya ukurasa utaona sanduku njano kusema kwamba unaweza kuokoa marekebisho kufanywa na "lang.php" files katika toleo la awali. Bonyeza kiungo zinazotolewa na pakia mafaili zamani kutoka Backup yako. NB Kama si mabadiliko yoyote ya "lang.php" files, DO NOT kufanya utaratibu namba 5. NB Kumbuka kwamba si maandiko yote itakuwa usahihi updated. Kuangalia yao katika mpya "usimamizi Nakala" sehemu. eCommerce, All Items, uteuzi, booking, booking mfumo, kalenda, cms, usimamizi, organizer, kodi, reservation, ratiba, tiketi
"2018-05-21T01:15:55"
https://sw.worldwidescripts.net/wp-booking-calendar-43152
[ -1 ]
Haki za Kiuchumi zilivyojadiliwa katika mkutano wa haki za binadamu barani Afrika - RFI Imetangazwa tarehe 19-11-2018 Imehaririwa 19-11-2018 Saa 09:15 Onesmo Ole Ngurumwa ni mwanaharakati kutoka Tanzania, aliyeshiriki Mkutano wa 63 wa haki za binadamu barani Afrika, uliomalizika hivi karibuni nchini Gambia Mwananchi Hivi karibuni kulifanyika mkutano wa 63 wa haki za binadamu barani Afrika ambao uliangazia mwenendo wa haki za binadamu kwa mataifa mbalimbali ya Afrika. Miongoni mwa agenda zilizojadiliwa ni haki za kiuchumi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya SAUDI ARABIA-HAKI ZA BINADAMU-MAUAJI
"2019-07-23T22:06:59"
http://sw.rfi.fr/siasa-uchumi/20181119-haki-za-kiuchumi-zilivyojadiliwa-katika-mkutano-wa-haki-za-binadamu-barani-afr
[ -1 ]
.: Ni marufuku walimu kukusanya michango ya Wanafunzi- Nchimbi Ni marufuku walimu kukusanya michango ya Wanafunzi- Nchimbi Mkuu wa Mkoa wa Singida (kushoto) akitoa maelekezo kwa viongozi wa mamlaka ya Bonde na viongozi wa Wilaya ya Mkalama juu ya namna bora ya utunzaji wa mazingira. Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka akimuelezea jambo Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi katika kituo cha upimaji wa wingi wa maji kijiji cha Iambi. Mkuu wa Mkoa wa Singida na Viongozi waandamizi wa Wilaya ya Mkalama wakishiriki Ufunguzi wa Darasa la kisasa lililojengwa na Shirika la 'Norwegian Church Aid' katika kijiji cha Munguli jana Afisa Miradi wa mashirika ya 'Norwegian Church Aid' (NCA) na 4 Corners Cultural Program (4CCP) Nelson Faustine akielezea mchakato mzima wa ujenzi wa darasa la kisasa uliofanywa na mashirika hayo katika kijiji cha Munguli mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi jana. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi akiwa kwenye picha ya pamoja na Mshauri Mkuu wa masuala ya Maji kutoka Shirika la 'Norwegian Church Aid' NCA Manford Hart wakati wa ziara yake jana katika kijiji cha Munguli. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Lameck Itungi wakati wa ziara yake jana katika kijiji cha Munguli. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi (Kushoto mbele) akiwa ndani ya darasa lililojengwa na Shirika la 'Norwegian Church Aid' mara baada ya kulifungua jana katika kijiji cha Munguli. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mhandisi Godfrey Sanga akiwaasa wananchi wa kijiji cha Munguli juu ya umuhimu wa kutumia vyema fursa wanazozipata. Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Mhandisi Jackson Masaka akizungumza machache muda mfupi kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Singida katika kijiji cha Munguli Jana. Viongozi waandamizi wa Kanisa la Hydorm na wawakilishi wa shirika la 'Norwegian Church Aid' wakipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida. Cheti hicho kimetolewa na Uongozi wa Wilaya ya Mkalama kama ishara ya kushukuru kwa mchango uliotolewa na Shirika hilo Wilayani hapa. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Daktari Rehema Nchimbi akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Wilaya ya Mkalama pamoja wawakilishi wa Shirika la 'Norwegian Church Aid' kutoka Nchini Norway jana katika kijiji cha Munguli. Nyuma yao ni paneli za Sola zinazohakikisha upatikanaji wa maji kijijini hapo Muda wote. Posted by Mkalama Yetu at 03:39
"2019-01-18T02:25:24"
http://mkalamayetu.blogspot.com/2018/01/ni-marufuku-walimu-kukusanya-michango.html
[ -1 ]
MATUKIO MBALIMBALI YA OFISI YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA - HABARI NA MATUKIO Home HABARI HABARI NA MATUKIO KITAIFA MATUKIO MBALIMBALI YA OFISI YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA Kajunason at April 09, 2019 HABARI, HABARI NA MATUKIO, KITAIFA, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama (mwenye blauzi nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri na wabunge nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma, wa kwanza kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
"2019-04-26T12:27:15"
http://www.kajunason.com/2019/04/matukio-mbalimbali-ya-ofisi-ya-waziri.html
[ -1 ]
IRENE MWAMFUPE JAMII: ROSE MUHANDO KWA UTAPELI TOO MUCH! ROSE MUHANDO KWA UTAPELI TOO MUCH! LILE jinamizi la kupokea fedha kwa ajili ya kushiriki tamasha la kuimba nyimbo za Injili kisha kutotokea siku ya tukio linazidi kumwandama nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando, safari hii akidaiwa kumliza tena mtu, Ijumaa Wikienda lina kesi hiyo mkononi. Nyota wa muziki huo nchini, Rose Athuman Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini cha ndani, safari hii ameendelea kupokea fedha kutoka kwa mshirika wake kwenye mambo ya Injili, Alex Msama kwa makubaliano ya kushiriki Tamasha la Krismasi kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa lakini siku ya tukio, Ijumaa iliyopita, mwanadada huyo hakutokea! Chanzo kilisema: “Hivi jamani mnajua kuwa, Rose Mhando amemliza tena Alex Msama? Amepokea fedha kwa ajili ya kushiriki Tamasha la Krismasi, Iringa lakini pamoja na kupokea fedha hizo ameingia mitini. “Hii ni mara ya pili, kwenye uzinduzi wa albamu ya msanii John Lisu pale Diamond Jubilee (Dar), Rose alipokea shilingi milioni moja kutoka kwa Msama lakini siku ya uzinduzi hakutokea. “Kusema ukweli huu utapeli wa Rose wa kuchukua fedha za watu halafu hatokei sasa imekuwa too much. Nimesikia habari kwamba ameogopa kutokea uwanjani hapa ambako tamasha lilifanyika kwa kuhofia mimba yake kuonekana maana kwa sasa ni kubwa.” Bw. Alex Msama. Baada ya madai hayo, Wikienda lilimvutia ‘waya’, muandaaji wa tamasha hilo, Msama ambapo alisikiliza kwa muda madai ya mwandishi na mwishowe alikata simu bila kusema chochote. Rose naye aliposakwa kwa njia ya simu iliita bila kupokelewa ikiwa ni mtindo aliouanzisha siku za karibuni anapotafutwa na waandishi kwa ajili ya ufafanuzi wa habari yake yoyote ile. Mbali na Msama kudaiwa kulizwa kiasi hicho cha pesa ambacho hakikujulikana ni shilingi ngapi, ikiwa ni mara ya pili ndani ya mwaka mmoja, Rose pia ana madai mengi kutoka kwa watu mbalimbali kwamba amekuwa akipokea pesa kwa makubaliano ya kufanya shoo lakini anaingia mitini kwa kuzima simu au kutopokea akipigiwa. Labels: ROSE MUHANDO, Staa Wetu
"2018-07-17T23:28:15"
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2014/12/rose-muhando-kwa-utapeli-too-much.html
[ -1 ]
June 11, 2019 – MwanaHALISI Online Regina Mkonde 5 days ago 1,610 Views Mwandishi Wetu 5 days ago 1,997 Views Faki Sosi 5 days ago 1,827 Views SERIKALI imeitaka Mahakama ya Rufani kuirudisha kesi ya jinai No. 245 ya mwaka 2012, inayomkabili Sheikh Ponda Issa Ponda, katika Mahakama ya Kisutu ili atiwe hatiani. Anaripoti Faki Sosi …(endelea). Ombi ... Mwandishi Wetu 5 days ago 2,505 Views Danson Kaijage 5 days ago 1,198 Views Regina Mkonde 5 days ago 1,434 Views Faki Sosi 6 days ago 1,718 Views SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, leo tarehe 11 Juni 2019 anapandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Rufani, jijini Dar es Salaam baada ya serikali ...
"2019-06-16T18:38:03"
http://mwanahalisionline.com/2019/06/11/
[ -1 ]
Angela Merkel ateuliwa na rais wa shirikisho kuwa kansela | Matukio ya Kisiasa | DW | 05.03.2018 Angela Merkel ateuliwa na rais wa shirikisho kuwa kansela Kifungu hicho cha sheria ndicho kinachofungua njia ya kuchaguliwa kiongozi wa serikali. Anaechaguliwa ni yule mwenye kudhibiti idadi kubwa ya wabunge na sio tu wabunge waliohudhuria zoezi la kupiga kura. Ndio maana vyama vinavyounda serikali ya muungano hujitahidi kufanya kila liwezekano ili kuhakikisha wabunge wao wote wanahudhuria kikao cha kumchagua kansela. Katika mhula wake huu wa nne kansela Merkel hatoweza kutegemea sauti nyingi kama ilivyokuwa alipopigiwa kura mwaka 2013. Serikali ya wakati ule ya muungano wa vyama vikuu au GroKo kama inavyoitwa ilikuwa na jumla ya wabunge 504 kutoka jumla ya wabunge 631 kaatika bunge la shirikisho Bundestag. Serikali hii mpya lakini ina wabunge 399 tu kutoka jumla ya wabunge 709. Kwa hivyo Marchi 14 wabunge wasiopungua 355 watabidi wampigie kura Angela Merkel aweze kuchaguliwa kuwa kansela. Baada ya rais wa shirikisho kumpendekeza, kansela mteule Merkel ametilia mkazo umuhimu wa kuharakishwa mambo ili serikali mpya ipate kuwajibika ipasavyo."Itakuwa muhimu kuharakisha kwasababu serikali itakapoundwa tu , kazi inabidi ianze na mie kama kansela mteule, natumai nitachaguliwa, nitafanya kila niwezalo na kwa nguvu zangu zote ili serikali hii iwajibike ipasavyo mbele ya wananchi nchini Ujerumani." Kansela Merkel pamoja na rais wa Marekani Donald Trump na rais wa Urusi Vladimir Putin Ujerumani kushirikiana zaidi na Ufaransa barani Ulaya Kansela Merkel ameahidi kuipatia Ujerumani sauti ya nguvu barani Ulaya kuweza kukabiliana na changamoto zinazousumbua umoja huo."Tunashuhudia kila siku jinsi Umoja wa Ulaya unavyotakiwa uwajibike na sauti ya nguvu ya Ujerumani kwa ushirikiano na Ufaransa na mataifa mengine wanachama ni muhimu." amesema kansela Merkel kabla ya mkutano wa kamati kuu ya chama chake cha Christian Democratic Union-CDU. Miongoni mwa changamoto zinazoukabili umoja wa ulaya , kansela Merkel ametaja vurugu katika biashara ya kimataifa, zinazochochewa na rais Donald Trump wa Marekani, na mzozo wa Syria ambako licha ya kwamba Umoja wa ulaya hauhusiki lakini unasababisha mikururo ya wakimbizi kuingia Ulaya, kwa wingi ambao haujawahi kushuhudiwa tangu mwaka 1945. Wakati huo huo utafiti wa maoni ya wananchi unaonyesha kura ya ndio ya SPD kwa serikali ya muungano wa vyama vikuu imewapatia faraja. Idadi ya wanaokiunga mkono chama hicho imeongezeka na kufikia asili mia 19 huku CDU/CSU wakipoteza nukta moja na kubakiwa na asili mia 34. Mada Zinazohusiana Angela Merkel, Jeshi la Ujerumani - Bundeswehr, Ujerumani, Bonn, Frank-Walter Steinmeier, Bunge, Uchaguzi Ujerumani 2017, Mkutano wa Usalama Munich, Helmut Kohl, Bundeswehr Maneno muhimu Ujerumani, Angela Merkel, Bunge, Mazungumzo ya kuunda serikali Kiungo https://p.dw.com/p/2tj0r SPD yawachagua Norbert Walter-Borjans na Saskia Esken 01.12.2019 Wakosoaji wakubwa wa muungano unaounda serikali ya kihafidhina inayoongozwa na kansela Angela Merkel wameshinda uchaguzi katika uongozi wa chama cha Social Democrats SPD nchini Ujerumani siku ya Jumamosi (30.11.2019).
"2019-12-10T02:19:33"
https://www.dw.com/sw/angela-merkel-ateuliwa-na-rais-wa-shirikisho-kuwa-kansela/a-42833745
[ -1 ]
USIKU WA KISASI LIVERPOOL KUKUMBUSHA YA BARCELONA? PSG KAZI ANAYO KWA DORTMUND LEO - Gazeti la Dimba Home Makala USIKU WA KISASI LIVERPOOL KUKUMBUSHA YA BARCELONA? PSG KAZI ANAYO KWA DORTMUND... ATLETICO Madrid watakuwa wageni wa vinara wa Ligi Kuu England, Liverpool katika Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ule wa kwanza Diego Simeone kuondoka kifua mbele kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Jurgen Klopp. Simeone atakutana na moja ya timu bora duniani kwa sasa, huku Atletico Madrid wakiwa nafasi ya tano katika msimamo wa Ligi Kuu Hispania, La Liga, nyuma ya Barcelona, Real Madrid, Sevilla FC na Getafe. Liverpool ni timu imara msimu huu, lakini vipigo vitatu walivyopata msimu huu vimetoka katika michuano hii. Ilitokea katikati ya Septemba, mwaka jana walipofungwa na Napoli, wakati ambao timu hiyo ya Jurgen Klopp akiwa kileleni kwa tofauti ya pointi tano tu. Pia, wakali hao wa England walifungwa mabao 3-0 na Watford katika mchezo wa Ligi Kuu England ikiwa ni kichapo cha kwanza kwao, kisha kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Chelsea kwenye mechi ya Kombe la FA. Licha ya ubora walionao na kufanya vizuri katika Ligi Kuu England, mchezo wa leo dhidi ya Atletico Madrid ya Diego Simeone unatarajiwa kuwa mgumu kutokana na timu hizo mbili kucheza mpira wa nguvu na kasi, ukizingatia mechi ya kwanza iliyochezwa Hispania mwenyeji alipata ushindi. HABARI ZA TIMU ZIKOJE? Atletico walicheza michezo yao ya karibuni bila wachezaji wao nyota kutokana na kukumbwa na majeraha, watacheza dhidi ya Liverpool iliyokuwa na mastaa wao kwa asilimia kubwa. Beki wa kulia wa Atletico, Kieran Trippier ataukosa mchezo wa leo sababu ya majeraha ya nyama za paja, tayari mchezaji huyo raia wa England amekosa mechi sita zilizopita. Mshambuliaji Joao Felix ambaye alisajiliwa kwa pauni milioni 113 msimu huu, anatarajia kuwa sehemu ya kikosi cha Simeone, huku hivi karibuni aliwakaribisha mastraika wake tegemeo, Alvaro Morata na Diego Costa waliokuwa nje kwa majeraha. Akiwa mshambuliaji alyefunga robo ya mabao ya Atletico msimu huu, uwepo wa Morata katika kuiongoza safu hiyo ya ushambuliaji litakuwa jambo muhimu kwa timu hiyo ya Hispania dhidi ya vijana wa Klopp. Liverpool wana wachezaji wawili ambao wapo nje kwa muda mrefu, Nathaniel Clyne na Xherdan Shaqiri, huku Klopp akitarajia kumkaribisha kikosini nahodha wake Jordan Henderson. Pia, kwa upande mwingine watakosa huduma ya kipa wa tegemeo raia wa Brazil, Alisson Becker ambaye alipata majeraha ya nyama za paja mazoezini. REKODI ZAO ZIKOJE? Timu hizo zimekutana mara tano katika michuano ya Ulaya, mara ya mwisho ilikuwa msimu wa 2009/10 kwenye nusu fainali ya Ligi ya Europa na Atletico walishinda kwa mabao ya ugenini baada ya sare ya mabao 2-2. Kwa mara ya kwanza zilikutana katika hatua ya makundi msimu wa 2008/09, na mchezo kumalizika kwa sare ya bao 1-1. Ndani ya mechi hizo tano walizokutana, Liverpool ameshinda mara moja, huku wakienda sare mbili na Atletico Madrid wakishinda mara mbili. Hata hivyo, Uwanja wa Anfield utakuwa na kumbukumbu nzuri kwa Liverpool ambao walipindua meza kwa kuifunga mabao 4-0 Barcelona msimu uliopita baada ya kuchapwa mabao 3-0 mchezo wa kwanza uliochezwa Nou Camp, msimu uliopita. Simeone hana rekodi nzuri kipindi cha karibuni, Atletico wameshinda michezo mitatu tu kati ya tisa waliyocheza katika mechi za La Liga na Spanish Cup ambako waliondoshwa na timu ya Daraja la Tatu, Cultural Leonesa. Licha ya matokeo hayo mabaya kwenye ligi wapo nafasi ya tano, wameachwa mbali na timu mbili za juu Real Madrid na Barcelona ambao wanakimbizana kwenye mbio za ubingwa huku Atletico wakifanikiwa kupata pointi moja tu kwa vigogo hao katika michezo miwili waliyocheza. Katika idara ya ulinzi wanaendelea kufanya vizuri, mabeki na kipa wao Jan Oblak wanafanya kazi na jitihada kubwa, isipokuwa kwenye safu ya ushambuliaji ambayo imelegalega na kuiangusha timu hiyo. Kutoka michezo 27 waliyocheza msimu huu ya La Liga, wamefunga mabao 31 tu huku wakifungwa 21 na kuwa kati ya timu zilizoruhusu mabao machache msimu ndani ya Ligi Kuu, lakini idara ya ushambuliaji inayoongozwa na Morata wameshindwa kufanya kazi yao vizuri. Leo, kama wakicheza na kufanikiwa kuwazuia Liverpool kufunga bao itakuwa faida kwao, kwani watakuwa salama na watafanikiwa kusonga mbele kwenye michuano hiyo. Vinara hao wa Ligi Kuu England wapo imara katika idara ya ulinzi kwa wiki za karibuni, wamekuwa wakifanya vibaya, katika michezo minne iliyopita wameruhusu kufungwa mabao zaidi manne. VIKOSI VITAKUAJE? LIVERPOOL XI: ​Adrian; Alexander-Arnold, Gomez, Van Dijk, Robertson; Henderson, Fabinho, Wijnaldum; Salah, Firmino, Mané. ATLETICO XI: ​ ​Oblak; Trippier, Savic, Felipe, Renan Lodi; Saul, Partey, Llorente, Koke; Felix, Morata. TUTARAJIE NINI UFARANSA? Borussia Dortmund watakuwa wageni wa wakali wa Ufaransa, PSG katika mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mara baada ya kushinda mabao 2-1 ule wa kwanza katika Uwanja wa Signal Iduna Park. PSG walisonga mbele baada ya kuwa vinara katika Kundi A lililokuwa na Real Madrid, huku Borussia Dortmund wakikatama nafasi ya pili kwenye Kundi F lililokuwa na Barcelona na Inter Milan. Timu zote mbili zikiwa katika viwango vya juu kwenye michezo yao ya ligi, huku PSG akiwa na kazi kubwa ya kufanya ya kushinda ushindi wa mabao 2-0 ili kusonga mbele katika michuano ya Ulaya. Kabla ya mchezo wa kwanza uliochezwa Ujerumani, timu hizo mara ya mwisho kukutana ilikuwa mwaka 2011, pia, mchezo wa leo utawakutanisha vijana wanaotabiriwa kufanya makubwa katika ulimwengu wa soka akina Jadon Sancho, Kylian Mbappe na Erling Haaland. HABARI ZAO ZIKOJE? Katika mchezo huo, inatarajiwa kwa PSG kumkaribisha Neymar ambaye alikosekana katika michezo ya hivi karibuni ya kikosi hicho kilichopo kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Ufaransa. Itakumbukwa Neymar alikosa michezo mitatu ya hatua ya makundi msimu huu kutokana na kupewa adhabu kwa kuwatolea maneno ‘machafu’ waamuzi msimu uliopita. Supastaa huyo raia wa Brazil bado hajaonesha kiwango kizuri katika michuano hiyo ya Ulaya msimu huu, amefunga mabao mawili kwenye michezo mitatu aliyocheza mpaka sasa. Hata hivyo, kocha wa PSG, Thomas Tuchel bado hajathibitisha kama mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 atakuwa sehemu ya kikosi, kwani wamefanikiwa kufanya vizuri michezo minne ambayo Mbrazil huyo alikosekana, kwa kufunga mabao 17. Dortmund wataendelea kukosa huduma ya nahodha wao, Marco Reus ambaye yupo nje kwa majeraha ya misuli huku akitarajiwa kurejea Machi, mwaka huu. Emre Can ambaye alisajiliwa mwezi uliopita kutoka Juventus, amefanikiwa kuonesha kiwango kizuri katika michezo aliyocheza na kufanikiwa kufunga bao nzuri kwa shuti kali la mita 30 dhidi ya timu yake ya zamani, Bayer Leverkusen. Mchezo huohuo, Dortmund walishuhudia kiungo wao Julian Brandt akipata majeraha ya enka, ingawa, bado haijathibitishwa kama utaikosa mechi ya leo dhidi ya PSG. ZILIWAHI KUKUTANA? Kabla ya mechi ya kwanza iliyochezwa Uwanja wa Signal Iduna Park, klabu hizo hazijakutana kwa miaka 10 sasa. Mwaka 2010, walicheza michezo miwili na yote kuisha kwa sare katika Kundi J la michuano ya Ligi ya Europa, lakini, PSG walifanikiwa kusonga mbele. Straika Robert Lewandowski ambaye sasa ni kinara katika orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Ujerumani, Bundesliga akiwa na Bayern Munich, aliingia kutokea benchi kwenye mchezo wa mwisho uliochezwa Uwanja wa Parc des Princes, hata hivyo, alishindwa kuonesha cheche zake na mechi kuisha bila kufungana. VIKOSI VITAKUWAJE? PSG XI: ​ Navas; Kehrer, Silva, Kimpembe, Bernat; Gueye, Marquinhos, Paredes; Di Maria, Mbappe, Neymar. Dortmund XI: Burki; Piszcek, Hummels, Zagadou; Hakimi, Can, Witsel, Guerreiro; Sancho, Haaland, Hazard. Previous articleBarca, Napoli bila mashabiki kisa Corona Next articleCorona ilivyotibua mipango ya mastaa hawa Simba ya ‘Mo’ Dewji haipoi KIRUMBA YAONGOZA KUFUNGWA MABAO MENGI VPL 2016/17 Mambo matano yaliyosisimua siku 100 za Mourinho Old trafford
"2020-05-29T17:52:35"
http://www.dimba.co.tz/usiku-wa-kisasi-liverpool-kukumbusha-ya-barcelona-psg-kazi-anayo-kwa-dortmund-leo/
[ -1 ]
Burundi wamiminika uchaguzi wa rais - BBC Swahili Burundi wamiminika uchaguzi wa rais http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/07/150720_burundi_elexviolence Image caption Bujumbura, Burundi Kumetokea ufyatulianaji wa risasi na milipuko usiku kucha nchini Burundi, usiku wa kuamkia uchaguzi wa rais uliozua utata. Kiongozi wa sasa wa nchi hiyo anawania muhula wa 3 kama rais licha ya madai kuwa anakwenda kinyume na katiba ya nchi. Viongozi wengi wa upande wa upinzani wameapa kususia uchaguzi huo. Saa chache tu kabla ya kufunguliwa shughuli ya upigaji kura, milipuko ya gruneti iliripotiwa jijini Bujumbura na kufuatiwa na milio ya risasi. Maeneo mengine risasi hizo zilisikika kwa wingi zaidi mjini humo. Japo haikuwa wazi ni nani hasa anayefyatua risasi hizo. Kwa mujibu wa mshauri wa kisasa wa rais, haya ni mashambulio yanayofanywa na 'magaidi' wanaonuia kuvuruga shughuli ya uchaguzi. Mnamo mwezi Mei, kundi la wanajeshi wa ngazi ya juu nchini Burundi walijaribu kufanya mapinduzi yaliyotibuka. Hata hivyo sasa baadhi yao wametishia kufanya shambulio lingine. Hofu ya kuwa uchaguzi huu huenda ukalitumbukiza taifa hilo katika mzozo mbaya zaidi wa kisiasa imeifanya jamii ya kimataifa kuitisha kuahirishwa kwa uchaguzi na kupendekeza mashauriano ya amani. Wito kama huu uliambulia patupu, mwishoni mwa wiki mashauriano ya amani yalivunjika na uchaguzi ndio huu unafanyika huku wito wa kuahirishwa kwake ukipuuziliwa mbali. Takriban watu 70 wamefariki katika maandamano ya awali kupinga uchaguzi huuhuku wengine zaidi ya elfu 160 wakiikimbia nchi kwa hofu ya kuzuka mapigano.
"2017-12-15T10:42:59"
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/07/150720_burundi_elexviolence
[ -1 ]
Athari za kuwatunukia na kuwarudi watoto KWA kawaida binadamu yeyote hupenda kutiwa moyo na hujisikia vibaya anaposhutumiwa, japo anaweza kukosolewa kistaarabu asijisikie vibaya. Kwa watoto wadogo umakini zaidi unahitajika kuliko ilivyo kwa watu wazima kwa vile wanahitaji kutiwa moyo kwa kila wanalojifunza ili wajenge tabia ya kujiamini. Kuwashutumu kila mara kuna madhara makubwa kuliko faida. Endelea na Mfululizo wa makala zetu kutoka kitabu cha Shirika la Uchapishaji wa Lugha za Kigeni la Beijing, China juu ya Afya. HAMU ni mwalimu mwema. Jambo la namna ya kuchochea hamu ya mtoto ya kupenda masomo linazidi kuangaliwa. wazazi wengi hutumia njia ya kutunukia na kuwarudi watoto wao ili kuchochea hamu yao . Lakini hawajui kwamba kuwatunukiwa na kuwarudi huweza kushusha hamu kwani hami inayochochewa kwa njia hiyo huwa ya muda tu. Kwa nini basi inatokea hali ya namna hiyo? Kwanza, kusoma sawasawa na kucheza ni jambo la kufurahisha na linategemea hiyari ya watoto Kama watoto wanajifunza masomo yaliyolingana na kiwango chao cha akili na wanapata furaha katika wakati wa kusoma, wataweza kujifunza kwa hiyari yao. Katika hali hiyo kuwatunukia kutaweza kushusha hamu iliyowajia kwa hiyari. Uchunguzi ufuatao unaweza kuthibitisha ukweli huo. Tuwagawanye watoto wanaopenda kuchora kuwa vikundi viwili. Watoto waitwe kuingia katika chumba kidogo mmoja baada ya mwingine. Watoto wa kikundi cha kwanza waambiwe, "Mtoto anayechora picha nzuri atatunukiwa" Zawadi ni kitabu chenye picha nzuri, ambacho huwavutia sana watoto. Halafu watoto wakachora kwa furaha na kupewa zawadi. Kwa watoto wa kikundi cha pili wasitajiwe zawadi ila waambiwe, "Napenda sana kuona picha iliyochorwa na mtoto. Je utapenda kunichorea picha moja?" Baada ya kusikia maombi ya watu wazima wataanza kuchora picha. Mwishowe tukihesabu picha picha tutagundua kwamba picha zilizochorwa na watoto wa kikundi cha kwanza ni nyingi sana. Hii inaonyesha kwamba kutunukia kunaleta matokeo mazuri zaidi. Lakini jambo linalostahili kuangalia ni kwamba wiki mbili baadaye tangu kufanya uchunguzi huo hatuna budi kuchunguza jinsi watoto wanavyocheza nje ya wakati wa masomo. Wanaweza kuchezea vipuzi vyao au kuchora picha. Wawekee kalamu na karatasi mezani na kila atakayependa kuchora, basi atachora tu. Mwishowe tutagundua kwamba picha zilizochorwa tu. Mwishow tutagundua kwamba picha zilizochorwa na watoto wa kikundi cha kwanza, yaani wanaotunukiwa zawadi ni chache sana. Hii ni kwa sababu hamu yao ya kuchora picha imeshuka lakini, watoto wa kikundi cha pili wanaendelea kupenda kuchora picha kama zamani kwani shauku yao haikutawaliwa na zawadi, kwani shauku yao haikutawaliwa na zawadi bali na uchoraji tu. Kwa hivyo, kutunukia kunaweza kuchochea hamu ya watoto katika muda maalum tu, na tunaposita kufanya hivyo hamu itashuka sana hata ikawa kidogo kuliko zamani. Pili matokeo ya kusoma hayaonekani Mtu fulani anaposema "anafanya juhudi kwa ajili ya kutanzua matatizo" lakini pengine anafikiri mambo yasiyohusiana na masomo yake. Hali hii haiwezi kutambuliwa kutoka kijuujuu. Kutunukia na kurudi kunategemea matokeo ya matendo, siyo kuzingatia kiwango cha juhudi yake. Hivyo ikatokea hali ya mtu anayetanzua tatizo atatunukiwa na asiyetanzua tatizo ataadhibiwa" Matokeo yake ni kwamba baadhi ya watoto wanafikiri : Ninajifunza kwa bidii sana, kwa nini siwezi kupata zawadi badala ya kualaumiwa? Watajihisi kuwa ni watu wasiokuwa na uwezo na hivyo kufifisha hamu yao ya kusoma.. Alikuweko mtu mmoja aliyewahi kufanya uchunguzi fulani kuhusu watoto. Watoto walifanya jihudi kubwa kutafuta lakini hawakufanikiwa baada ya kumaliza swali hilo watoto walipewa swali jingine yaani walitakiwa kutunga maneno yenye maana kwa kutumia herufi zilizotawanyika. Swali hili ni rahisi sana walakini matokeo yalionyesha kwamba watoto walioshindwa mara nyingi katika swali la kwanza walishindwa tena. kwa mujibu wa uwezo wao ilikuwa rahisi kwao kujibu swali hilo, lakini baada ya kushindwa mara nyingi walijihisi kwamba hawana uwezo tena. wakaona kwamba hata kama watafanya kwa juhudi kiasi gani bado hawataweza kufaulu. Matokeo yatakuwa tofauti kabisa kama wakipewa swali rahisi kwanza na wanatanzua vizuri kwa juhudi zao. Bila kuzingatia kiwango cha juhudi cha watoto tunawarudi eti kwa sababu hawawezi kutanzua swali kwa kufanya hivyo hata baadaye wakikuta swali lililoweza kutanzuliwa hawatokuwa na hamu ya kufanya hivyo jambo ambalo la kusikitisha ni kwamba katika wakati fulani mtu akikosewa kuadhibiwa atajiona yeye ni mtu asiyekuwa na uwezo. hivyo hujenga mazoea ambayo humuathiri kwa upande mwingine. Kwa ajili ya kukuza akili ya watoto tusitumie akili nyingi katika kuwatunukia na kuwarudi watoto, bali tungefanya chini juu katika kuwafundisha watoto jinsi ya kujifanyia mambo yao kwa furaha. Watakatifu Paulo na Petro: Mitume waliouawa kinyama mithili ya kuku asiyekuwa na mwangalizi MANENO ya mitume hao wawili ambayo ni ya maana zaidi kuyakumbuka ni mengi. Wafilipi waliandikiwa barua na mtume Paulo akisema "Ninavyoona kila kitu ni hasara kwangu; hasara tupu, kwa ajili ya jambo bora zaidi yaani kumjua Bwana wangu Yesu Kristo" Maneno hayo yapo kwenye kitabu cha Wafilipi 3:8. Na tena Mtakatifu Mtume Paulo akaongeza tena maneno mengine makubwa yaliyopatikana katika (2 Tim .:12) akisema, "namjua yule niliyemwamini na nina hakika kwamba yeye anaweza kukilinda salama mpaka siku ile" Naye Mtakatifu Petro baadhi ya maneno yake makuu ni "Bwana wewe wajua yote, wewe unajua kwamba ninakupenda" na alipomuuliza Yesu, "sisi tumeacha yote na tutakufuata tutapata nini basi?" Akajibiwa kwamba "Ninyi mlioacha yote na kunifuata mimi mtapokea mara mia na kurithi uzima wa milele" Labda kwa kumtazama Petro, tunambiwa alikuwa miongoni mwa mitume waliokuwa pamoja na Simoni Bin Yohane aliyekuwa mtu mwenyeji wa Betsaida mkoani Galilaya huko Israel. Yeye Simoni Bin Yohane alikuwa mvuvi alipoitwa na Bwana Yesu ili amfuate. mara Simioni Bin Yohane alikubali akaziacha nyuma zile nyavu zake, mashua yake na hata ndugu zake. Basi Petro tuliyemuona kuwa miongoni mwa mitume aliyekuwa wa kwanza kuungama kwamba Yesu ni Mungu akisema "ndiwe Kristo mwana wa Mungu Mzima" ndipo Bwana alipomweka kuwa mchungaji wake Mkuu wa kundi lake lote yaani kanisa, akasema. "Wewe ndiwe Petro (maana yake ni mwamba) na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na nguvu za jehanamu hazitaweza kulishinda." Petro alikuwa mtu hodari sana na alimpenda mno mwalimu wake hata akataka kumfia. hata katika bustani ile ya kule Gestemane alijaribu kumtetea kwa upanga ingawa baadaye alikuja jionesha kuwa mwoga alipomkana Yesu mara tatu.ndiyo maana hata baada ya kufufuka kwake Bwana Yesu alimuuliza mara tatu kama kweli alimpenda kikwelikweli. Petro ndiye aliyekuwa wa kwanza kutoa hotuba na kuanza kuwabatiza watu na ndiye yeye huyo aliyembatiza Korneli yule mtu wa kwanza ambaye hakuwa Myahudi aliyetaka kumwamini Yesu Kristo. Petro alifanya hivyo akiitikia sauti aliyosikia katika njozi na baadaye akahudhuria katika mikutano mjini Yerusalemu ambapo Mitume waliamua kuwa siyo lazima kwa wakristo wa mataifa kushika sheria ya Musa. Kisha Petro alipohama hapo Yerusalemu akaenda huko Antokia Uturuki na kulisimamia Kanisa la mji huo kisha baada ya miaka kadhaa Petro alihamia Roma akawa Askofu wa kwanza wa mji huo. Tunaambiwa kuwa wakati ule wa utawala wa Kaisari Nero Wakristo waliodhulumiwa mno na ndivyo hali hiyo ilivyompata pia Petro alikamatwa na kufungwa gerezani kwa ajili ya dini yake ya kikristo. Pia tunaelezwa kuwa kati ya mwaka 64 au 65 Petro anayekumbukwa na kanisa kila tarehe ya 29 ya mwezi Juni kila mwaka Pamoja na Mtume Paulo, alihukumiwa kifo kwa ajili hiyo ya dini yake. Kwa kadri ya mapokeo Petro alihukumiwa akasulubiwa kichwa chini na miguu juu kwa sababu alivyoona yeye mwenyewe. hakustahili kusulubiwa sawa na na Bwana wake Yesu Kristo. Mtakatifu Paulo yeye alikuwa ni mwenyeji wa mji wa Tarso huko Uturuki na inaelezwa kuwa alizaliwa katika familia ya Wafarisayo. Yeye mwenyewe anaelezwa kuwa hapo awali alikuwa mtesi mkali sana wa wakristo kwa kuwa aliona namna yao ya kuishi ilikuwa kinyume kabisa na Sheria za Musa. Alipoelekea Damasko nchini Siria aliguswa na neema za bwana akaona ukweli ulivyokuwa Paulo sasa akawa hapo Paulo alikwenda Arabia na kwa kadri ya masimulizi ya mapokeo alikaa mwenyewe jangwani akifundishwa na Bwana wetu mwenyewe mambo mengi ya dini ya kikristo kwa namba ya kiroho. Baadaye Paulo akawa muumini mzuri wa Bwana Yesu akabatizwa na Anania kisha mmisionari mkuu kwa vile mara nyingi alisafiri sana katika nchi za ng'ambo na kuunda makanisa mengi wakati wa safari tatu Korinto, Filipi, Tesalonike, Efaso, Galatia, Kolosai na kadhalika. Kazi ya Mtakatifu Mtume Paulo ilikuwa ngumu kwa kuwa mara nyingi alipokuwa safarini alipata mateso mengi kwa ajili ya Bwana. Mara kadhaa alitupiwa mawe akafungwa gerezani akavumilia baridi kali njaa, kiu na hata mara nyingi alikokotwa na mawimbi ya baharini. Alipata faraja ya kiroho alipochukuliwa juu hadi uwingu wa tatu. Mwishowe alikamatwa na kufungwa gerezani kwa kuwa kwa amri ya Kaisari Nero aliuawa na kukatwa kichwa. Hali ya utumishi katika kazi ya Mungu iliyofanywa na mitume hawa Petro na Paulo haina budi kuwa kioo na mfano bora wa maisha yetu. Tuishi kwa kadri ya mapenzi yake tukijua bila msaada wa Yesu, kwetu hakuna ahueni. Kwa nini tunahitaji msingi wa maadili (4) Tofauti za maoni juu ya mambo fulani fulani zisiwe sababu ya uhasama, bali ziwafanye watu kutafakari pamoja; ni katika kutafakari hivi pamoja ndio uchambuzi wa masuala kunaweza kufanyika pia mikakati na makubaliano bora kukabili masuala magumu . Ndio kusema lazima kuwe na utaratibu wa uongozi mbalimbali kukutana mara kwa mara. Njia nyingine ni kwa kutoa maoni yao katika vyombo vya habari, jambo linaloanza kujitokeza nchini Tanzania sasa hivi. Badala ya kukilaumu tu kitu kiitwacho 'Serikali' ni bora zaidi kupendekeza utatuzi bora zaidi wa masuala. Kunaweza kuwa na Kongamano ili kuwapa fursa viongozi mbalimbali kutoa maoni yao juu ya mambo mengi muhimu sio tu juu ya siasa. Mikutano ya aina hii inakosekana ingawa hapo na pale imefanyika inatakiwa iratibiwe barabara. Mathalani kungeweza kuundwa Baraza la viongozi kwa minajili hivyo. Hilo lingekuwa juu ya vyama vya siasa. Mabaraza ya viongozi yangeweza kuundwa katika ngazi ya wilaya, mkoa na taifa, au pia katika viwango vya wanataaluma, na wanataaluma mbalimbali kama madaktari, waandishi wa habari, wanasheria na kadhalika. Hao wangeunda vyama vyao huria (vyama huria vitazungumziwa zaidi katika kifungu kinachofuata) Mabaraza ya aina hiyo na vyama hivyo vingepewa uhuru na madaraka kuhakikisha kuwa mapendekezo yao haya na malengo ya kisiasa. Vyama Huria Kuna vyama huria vingi katika Tanzania, kama Spoti,Utamaduni, biashara, haki za binadamu , kina mama n.k! Vingi zaidi vingeweza kuanzishwa katika mazingira yetu mapya kisiasa kwahitajika sana vyama kama vya biashara, vya ushirika na wakulima, vya wafanyakazi, vya wazazi n.k Kati ya dalili nzuri ni kuanzishwa vyama katika mwelekeo tunaozungumzia hapa . itachukua muda kushamiri lakini matunda yake mema ni ya uhakika. Lazima tuhimize sana mwelekeo huo tena toka ngazi ya chini tunataka tuone kazi ya serikali ikiwa yakutegemeza juhudi za watu badala ya kutupangia vitu toka juu. Kumbe vyama hivi havipingani na mwenye mamlaka , hivi ni vikundi vya watu wenye mielekeo sawia na wenye mambo yale yale yanayowakera. Ni kwa kuvikubali vikundi kama hivyo na mambo inavyosimamia ndio siasa zinazoundwa nchini zitaihusisha jamii nzima. Hapa ndipo inapowezekana kupanga mambo kwa manufaa ya wote. Mara nyingi watu hawaambiwi sheria gani zinatungwa au siasa gani zinabuniwa. Hivyo ni kuwanyima haki yao. Lazima watu wahusishwe na maamuzi yanayogusa maisha yao, na watoe maoni yao. Usipotafuta kujua maoni ya watu kabla ya kufanya maamuzi yanayowagusa utapata matatizo baadaye kama mgomo. Suala la ardhi huko monduli ni mfano mmoja. Kufanya mambo kirisiri katika mambo yahusuyo jumuia nzima ni dalili za udhaifu. Tuchukue kwa mfano matatizo yaliyojitokeza mashuleni kama kungekuwepo na vyama vya waalimu na wazazi utatuzi wa mambo ungewezekana kabisa badala ya mikasa iliyotokea. Hapo hoja za wahusika zingeangaliwa kwa makini zaidi. Kutilia maanani mapendeleo na mapendekezo ya watu ni njia bora ya kuimarisha jamii na kielelezo cha utungaji sheria na kanuni. Hivi tofuati zilizopo nchini lazima zisiwe tushio bali huchangia uboreshaji wa maisha ya jamii. Wengi huchukulia tofauti kuwa tishio, kwa vyovyote ni lazima kuhakikisha kwamba hakuna kikundi kimoja kugandamiza vingine. Kadiri mambo yalivyo sasa ni vikundi vya biashara ndiyo vyenye uwezo zaidi na kujitetea vyenyewe kuliko walimu au walaji. Hui sio mwelekeo bora! Tofauti za dini hazipewi makini unaotakiwa ili zisisababishe uhasama katika ya waumini hata kuhatarisha amani. Tusijaribu kulikwepa suala hili. kama wanataaluma Wakristo lazima tutoe mchango wetu wa mawazo au tuwaalike wanataaluma wa dini tofauti nao wafanye vilevile pamija tuweke msingi unaotakikana katika jamii yetu ya kitanzania. Hapa chini tunazichambua tofauti zetu za kidini na jinsi tunavyoweza kuziishi bila matata. 3. Uwingi wa dini na athari zake kijamii na kisiasa Tunaishi katika jamii yenye dini mbalimbali na tofauti, hivyo ni wazi athari zake zitaonekana katika nyanja za kisiasa. Pengine masuala nyeti ya kidini hujitokeza na Mungu -bariki yakapita bila kuharibu amani. Ila haitoshi kuridhika na kutoharibika amani lazima tuchambuue tofauti zetu kidini. Makundi makumbwa ndio wakristu, Waislam wafuasi wa dini za jadi na yapo makundi madogo madogo kama wahindu. Makundi hayo makubwa ya dini nayo yamegawanyika yenyewe, wapo Wakristu wa madhehebu mbalimbali yenye mitazamo tofauti kadhalika Waislamu nao wamegawanyika. Hivi vitendo vya kundi fulani la wakristu au Waislamu haviwezi moja kwa moja kueleweka kuwa vitendo vya Wakristo au Waislamu wote. Hivi tuanze kuelewana kwanza na wale walio karibu zaidi nasi. Hata hivi tukubali kwamba sio kila mtu atajiunga na mazungumzo ya maelewano kati ya dini tofauti. Tusiwakubali wale wenye lengo la kuendeleza maslahi yao huku wakiharibu maelewano wakijidai kuwakilisha dini fulani. Vikundi vya Kikristu au vya Kiislamu vinavyoelekea kuvigandamiza vingine haviwakilishi ukristu, uislamu au dini za jadi. Kupuuza tofauti zetu ni kujipambaza wenyewe. Tusidhani kwamba athari za dhambi hazigusi tabia na maoni ya dini yetu. Mathalani tunaelewa nini na dhana kama haki, Uhuru demokrasia, dhamiri? Tuna maoni tofauti hapa na ni vema tusipuuze neno hilo. Tena sio tofauti kati ya Wakristo na Waislamu hata kati ya Wakristo, mathalani wakatoliki na walokole wana maoni tofauti juu ya dhana hizo za msingi: Hivi zipo tofauti kati ya Wakristo na wafuasi wa dini za Kijadi kama Wasuni na Washiha kati ya Waislamu. Wapo wale wanaodadisi kwamba hapa Tanzania "Siasa haina dini" au "Katika ngazi ya mitaa na vijiji hakuna shida" kusema hivi ni kukosa kina katika kuyaelewa maisha ya jamii: Jamii yahitaji kukubaliana katika yale tunayoyapa thamani ili kubuni siasa za kujenga. Tusipokuwa na msingi wa pamoja wa maadili tutawezaje kubuni siasa bora ya elimu, ya familia au kutoa miongozi ya maadili ya waandishi wa habari, wanataaluma au wanajeshi? Ikiwa dini zetu tofauti zina namna tofauti ya kuelewa dhana za msingi kama demokrasia na Uhuru wa dini tutawezaje kukubaliana, kuheshimiana kweli, pasipo kukaa pamoja na kujadiliana? Uzoefu watufundisha wazi kwamba amani katika taifa letu itakuwa ndoto pasipokuwepo na amani kati ya dini mbalimbali. Pasipo majadiliano hapawezi kuwa na amani kati ya dini zetu mbalimbali. Majadiliano hayatawezekana tusipokubali kuwapokea na kuwaheshimu wenzetu wa dini tofauti wawe Wakristu, Waislamu au wafuasi wa dini za jadi. Tusipotambua kuwa Mungu yuko kati ya wengine na kwamba nao hushika dini yao kwa moyo hatuwezi kuheshimiana. Bila kutakiana mema na kuvumiliana hakuna uwezekano wa kuwepo na mawasiliano ya kina. tunalazimika kuishi kwa kujihami. Hapo jamii inakosa maelewano ya kweli na kuishi maadili ya nipe nikupe badala ya kuaminiana na kutenda pamoja kwa manufaa ya wote. Hii ina maana kwamba lazima tujifunze kuwaeleza watu wengine tofauti zilizopo kati yetu nao katika lugha wanayoielewa. Lazima tuepuke lugha ya majigambo au mantiki ya 'jahad' kuwashinda wengine kwa mabavu, mapesa au kwa kutumia jeuri. Wapo watakaodai kwamba Wakristu, Waislamu na Wafuasi wa dini ya jadi ni awali ya yote Watanzania ni kweli, tunao umoja hapa Tunaweza kujenga jamii juu yake. Ila lazima tukiri pia kwamba tunazo tofauti kati yetu. Zinazotungwa Imani za dini hukua na kuharibu tabia na mitazamo yetu kijamii na kisiasa. Kupuuza tofauti hizi ni kufanya mambo juu juu. Tuendeleze udadisi huu kwa kuangalia mifano miwili Uhuru wa dini na mtazamo wa imani za kidini mintarafu haki za binadamu. Athari zake kwa siasa ni wazi. Uhuru wa Dini na Uhuru wa Dhamira Ukristo na Uislamu kila imani moja hufundisha kwamba zinashika ukweli wote. Hivi wale wanaofuata imani tofauti ni kuishi katika makosa ya imani au kwa vyovyote kupungukiwa na ufunuo. Kumekuwa na mang'amuzi mapya kati ya Wakatoliki katika kuelewa mafundisho ya Uhuru wa dini na Uhuru wa dhamiri. Kabla ya mtaguso wa pili wa Vatikano (1962-1965)Kanisa Katoliki kimsingi lilifundisha kwamba ukweli tu ndio ulikuwa na haki ya kuzingatiwa. Kosa lingeweza kuvumilika tu katika mazingira fulani fulani kama pale tokeo jema zaidi lilipotarajiwa kama kutarajia lingetunza amani katika Taifa. Baada ya mtaguso wa Vatikano II Kanisa Katoliki limekubali kwamba Uhuru wa Dhamiri na Uhuru wa dini ni haki ya mwanadamu. Watu wanao uhuru wa kufuata dini yoyote ikiwa wanatafuta ukweli kwa dhati na wapo wazi kupokea maongozi ya Mungu. Waislamu hawakubali msimamo huo mpya wa kanisa katoliki. Hao wapo tayari kuwapa Uhuru na haki watu wa "Dini za kitabu" (wayahudi, Wakristu Wazoroa striani) katika nchi za Kiislamu hao hulindwa. Lakini wanawezekana mipaka na pengine hata wanatanguliwa. Mathalani Muislamu anaweza kumwona Mkristu lakini sio Mkristo kumwoa Muislamu. Kumwingiza Muislamu dini nyingine ni marufuku. Ziwa Orra: Sehemu ya 'utakaso' kwa Waethiopia Na Masha Otieno JR. MWENDO wa masafa mafupi kutoka jiji la Addis Ababa, mji Mkuu wa Ethiopia unalifikia ziwa mashuhuri kabisa la Orra Arsedi. Ukilitazama kama mandhari ya kawaida ni kweli laonekana kuwa ziwa zuri la kuvutia hasa kwa maumbile yake ya asili na maji yake matulivu. Kwako kama mtalii, ziwa hili lina maana ya maumbile ya asili tu aliyoyaumba Mwenyezi Mungu, na wala si zaidi ya hapo. Lakini hivyo sivyo, Ziwa Orra - Arsedi, lilivyo kwa dini ya Oromo inayokusanya kabila la Wa - Oromo ambalo ni mojawapo kati ya makabila makubwa kabisa nchini Ethiopia. Wa - Oromo ambao kwa asili ni wafugaji na wafanyabiashara wanaamini kuwa Ziwa Orra, ni la utakaso na pia ndilo chimbuko la jinsia mbili za binadamu zilizopo leo juu ya uso wa dunia wakimaanisha mume na mke. Dini ya Oromo kulingana na kumbukumbu za wanahistoria imekuwepo yapata miaka 1000 kabla ya kuzaliwa Kristo. Profesa Thomas Vilatman, ni Mtaalamu wa Elimu ya Sayansi ya Jamii katika Khuo Kikuu cha Addis Ababa, yeye anayo yafuatayo ya kusema kuihusu dini ya Waoromo. "Waoromo wanaamini dini yao ni dini ya Mungu mmoja isipokuwa ina mambo yafananayo na Uislamu na Uyahudi" Waoromo huja kwenye Ziwa Orra, ili kujitakasa katika kipindi cha mwisho wa mwaka na kile cha mwanzo wa mwaka. Waoromo hujitakasa kwa kuoga ziwani, kitendo wanachoamini kuwa kinasafisha dhambi zao na kuwawezesha kupata nguvu za uzazi. Lakini si Waoromo peke yao waliotambika kwenye ziwa hili , Jarida la Africa Now , toleo la Agosti ,mwaka 1982, lilichapisha makala kuhusu viongozi wa mataifa ya Kiafrika na imani za uchawi ambapo ndani ya makala hiyo ilielezwa kuwa aliyekuwa Mfalme wa Ethiopia na mwanzilishi wa umoja wa Nchi Huru za Kiafrika, hayati Haille Sellasie, zama za utawala wake alipata kufukia kichwa cha binadamu kwenye ufukwe wa ziwa hilo la utakaso ili kujikinga kwa imani ya ushirikiana kulinda dola yake. Haille Sellasie pamoja na jitihada hizo zote baadaye alipinduliwa na kuondolewa madarakani. Alitawala kwa mkono wa chuma akiacha uchumi wa Ethiopia ukiwa taabani; wananchi wakidhoofu kwa njaa na kukata tamaa ya maisha. Miaka mingi baada ya kufa Haille Sellasie, Dini ya Waoromo ingali ikiendelea kwa kasi huku wakiendelea kujitakasa kama kawaida yao kwa kuoga maji ya ziwa Orra. Waoromo wanaamini kuwa Mungu aliumba kwa siku 2. Baadaye aliibuka kiumbe mtakatifu aitwaye Ora kutoka ndani ya ziwa la Utakaso. Kiumbe huyo baada ya kuibuka ndani ya maji akagawanyika sehemu mbili sehemu moja ikawa mwanamke na sehemu nyingine ikawa mwanaume. Waoromo wanaamini kiumbe huyo aliyeasisi jinsia mbili za binadamu aliibuka kutoka ziwani siku ya 21. Waoromo pia wanaamini juu ya unajimu na nyota. Siku zote huabudu chini ya mkuyu wakiamini ndiyo sehemu ya ibada. Dini yao imewapelekea kujenga imani kuwa Mungu husikia kilio zaidi akiitwa chini ya mti wa Mkuyu. Pamoja na kuamini yote hayo ipo imani iliyojengeka miongoni mwa jamii zingine za Waethiopia kuwa Waoromo ni wapagani wanaoamini juu ya dini za jadi na siyo Mungu, kama wanavyodai. Waoromo binafsi wanazikanusha tshutuma hizo na wanadai kuwa hawako kama watu wanavyofikiri wala hawaamini dini ya jadi, bali imani hiyo imekuja kwenye hisia za watu kwa sababu Waoromo wanathamini sana uhai na mali za a sili kama mimea na wanyama. Hivyo wao wanajitetea kwa kudai wanaamini juu ya uwepo wa Mungu mmoja, muumba mbingu na nchi.
"2017-07-26T06:30:33"
http://kiongozi.tripod.com/K2000/makalamachi5.htm
[ -1 ]
(showing articles 33401 to 33420 of 37949) 09/11/18--05:08: _MAKAMU MKUU WA CHUO... 09/11/18--05:10: _JAFO AISHUKIA MANIS... 09/11/18--05:14: _Wananchi Mkuranga ... 09/11/18--05:20: _TAASISI YA MANJANO ... 09/11/18--05:36: _MAHAFALI YA SEKONDA... 09/11/18--10:31: _ Mwanafunzi Chuo K... 09/11/18--10:34: _MAKAMU WA RAIS AMAL... 09/11/18--17:45: _KAMATI YA MAADILI Y... 09/11/18--17:51: _TAARIFA KWA UMMA K... 09/11/18--17:52: _WAZIRI DKT KIGWANGA... 09/11/18--17:56: _Waziri Mkuu Majaliw... 09/11/18--19:42: _FARU WA SERENGETI K... 09/11/18--19:43: _WAMBURA AWAONYA WAA... 09/11/18--20:51: _QUEEN MLOZI AWAOMBA... 09/11/18--20:53: _SOMA VICHWA VYA HAB... 09/12/18--00:43: _EMIRATES WAJIPANGA ... 09/12/18--02:51: _TAWA yawakamata,pok... 09/12/18--04:09: _DC KAWAWA APIGA MAR... 09/12/18--04:47: _SERIKALI KUKUZA UCH... 09/12/18--08:33: _RAIS DKT. MAGUFULI ... older | 1 | .... | 1669 | 1670 | (Page 1671) | 1672 | 1673 | .... | 1898 | newer 09/11/18--05:08: MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU ARDHI AZINDUA MAFUNZO YA VYUO VIKUU 12 VYA AFRIKA KUHUSU MBINU NA NAMNA YA KUTATHMINI ATHARI ZITOKANAZO NA MAAFA 09/11/18--05:10: JAFO AISHUKIA MANISPAA YA ILALA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI 1 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo akiwa na Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema katika eneo la Machinjio ya Vingunguti. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo akifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu katika kituo cha afya Mnyamani. 1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo akipata maelezo ya ujenzi wa Hospitali ya Kivule inayo jengwa katika Manispaa ya Ilala. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo akipata maelezo ya ujenzi wa Hospitali ya Kivule inayo jengwa katika Manispaa ya Ilala. Wadau wa Machinjio ya Vingunguti wakitoa maoni yao wakati wa ujio wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amechukizwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo ndani ya Manispaa ya Ilala. Jafo ameonyeshwa kukerwa wakati alipokuwa katika ziara ya Kikazi Mkoani Dar es salaam katika Manispaa ya Ilala. Katika Ziara hiyo, Waziri Jafo ametembelea Machinjio ya Vingunguti ambayo hivi kalibuni ilitengewa fedha shilingi bilioni 8 kwa ajili ya kujenga machinjio ya Kisiasa pia ametembelea Kituo cha afya cha Mnyamani ambacho kimepewa fedha shilingi milion 500 pamoja na ujenzi wa Hospitali ya Kivule. Jafo ameonyeshwa kutofurahishwa na kusuasua kwa miradi hiyo kwani ujenzi wa Machinjio ya Vingunguti haujaanza hadi sasa licha ya kupokea fedha za awali zaidi ya shilingi bilion tatu zaidi ya miezi mitatu iliyopita. Pia amebaini kasi ndogo ya ujenzi wa miundombinu katika Kituo cha afya Mnyamani licha ya kupokea fedha tangu mwanzoni mwa mwezi Juni 2018. Kutokana na hali hiyo, Waziri Jafo amemtaka Mkurugenzi Mpya wa Manispaa hiyo Jumanne Shauri kubadilisha kasi ya utendaji katika Manispaa hiyo ili fedha za Serikali ziweze kuleta mabadiliko yanayokusudiwa katika Manispaa hiyo. Aidha, Waziri Jafo amewashangaa viongozi na watendaji wa Manispaa hiyo kwa kutotoa fedha zozote kwa ajili ya Ujenzi wa Hospitali ya Kuvule kitendo kilichosababisha ujenzi huo kusimama kwa zaidi ya miaka miwili wakati manispaa hiyo imekusanya zaidi ya shilingi bilion 44 katika mwaka wa fedha 2017/2018 kutoka vyanzo vyake vya ndani. Jafo ameelezea kwamba Serikali kuu imetenga fedha shilingi bilioni 1.5 katika bajeti ya mwaka huu 2018/2019 kwa ajili ya hospitali hiyo ya Kivule lakini ameitaka manispaa hiyo kuacha kubweteka kwa kutegemea fedha za Serikali kuu pekee wakati manispaa hiyo ina uwezo mkubwa wa mapato. 09/11/18--05:14: Wananchi Mkuranga wanufaika na Kilimo Na Emmanuel Massaka,Global ya jamii. Wilaya ya Mkuranga ni moja ya wilaya saba zilizopo mkoani Pwani,ambapo wakazi wake hujishughulisha sana na shughuli za kilimo ili kujipatia kipato. Wilaya ya Mkuranga inalima mazao mbalimbali ya biashara na ya chakula ikiwemo Mihogo,Mbaazi, ,Korosho Machungwa Ufuta Mananasi pamoja na Nazi. Akizungumza wilayani Mkuranga mkoani Pwani Umri Manage mkulima wa mihogo na bamia alisema kuwa kilimo kimemsaidia kwani ndio kinachoendesha Maisha yake"mimi nalima bamia linaniongezea kipato changu cha kila siku pia namsaidia mume wangu baadhi ya majukumu"alisema. Manage alitoa wito kwa wanawake wote nchini kuacha kujibweteka na kuacha utegemezi masala yake wajishughulishe katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Mfanyabiashara na Mkulima wa Bamia,Umri Manage akizungumza na Michuzi Blog kuhusiana Kilimo.Wananchi wakivuna Mihogo kama walivyokutwa na kamera yetu Wananchi wa wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani wakivuna Mihogo kama walivyokutwa na kamera yetu.Picha na Emmaniel Massaka wa Global ya jamii) 09/11/18--05:20: TAASISI YA MANJANO FOUNDATION YATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE WA KIGOMA Mafunzo hayo yalikuwa na lengo la kumsaidia mjasiriamali mwanamke kujikwamua na kujiongezea kipato. Awamu ya kwanza ni kumfundisha maswala ya biashara namna ya kuibua na kubuni miradi mbalimbali namna ya kuandika mpangilio wa biashara ikiwemo matumizi sahihi ya rasilimali muda, kutokufuja fedha na pia namna ya kujitunzia akiba itokanayo na biashara yake. Awamu ya pili walipata ujuzi jinsi ya kupamba ma harusi na matumizi sahihi ya vipodozi salama vya LuvTouch Manjano. Baada ya wanawake hawa kuhitimu mafunzo haya Taasisi ya Manjano Foundation itawaunganisha na taasisi za fedha zinazotoa mikopo bila riba ili waweze kupata mtaji wa kununua bidhaa za vipodozi kwa ajili ya kuwawezesha kuanzisha biashara zao wakiwa chini ya uangalizi maalum wa Taasisi hiyo kwa lengo la kuhakikisha kila mhitimu wa mafunzo haya anapiga hatua na kuweza kujitegemea. Taasisi ya Manjano imefanikiwa kuwawezesha zaidi ya wanawake 500 kutoka Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Dodoma, Mbeya, Mtwara, Kigoma na Unguja - Zanzibar . Wengi wa wahitimu wa mradi wa Manjano Dream-Makers wamefanikiwa kuanzisha biashara zao na kuwa mawakala wa bidhaa za LuvTouch Manjano. Kwa mwaka huu taasisi ya Manjano wanajipanga pIa kumalizia kwa kuwawezesha kiuchumi na kutengeneza ajira kwa vijana wa kike na wanawake wa Mkoa wa Tabora.. 09/11/18--05:36: MAHAFALI YA SEKONDARI YA JOHN BAPTIST YAFANA 09/11/18--10:31: Mwanafunzi Chuo Kikuu Iringa ashinda Milioni 239.4 za M-Bet 09/11/18--10:34: MAKAMU WA RAIS AMALIZIA ZIARA YAKE WILAYA YA BUHIGWE MKOANI KIGOMA 09/11/18--17:45: KAMATI YA MAADILI YA TAIFA YAITAKA CHADEMA KUTEKELEZA MAAMUZI YALIYOTOLEWA NA KAMATI YA MAADILI JIMBO LA UKONGA. 09/11/18--17:51: TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TAKWIMU ZA DENI LA SERIKALI KWA BENKI KUU YA TANZANIA 09/11/18--17:52: WAZIRI DKT KIGWANGALLA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI 09/11/18--17:56: Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Mkutano wa Tano wa Wadau wa Lishe, atahadharisha ULAJI USIOFAA 09/11/18--19:42: FARU WA SERENGETI KULINDWA KWA VIFAA MAALUMU 09/11/18--19:43: WAMBURA AWAONYA WAAMUZI, LIGI KUENDELEA WIKIENDI HII 09/11/18--20:51: QUEEN MLOZI AWAOMBA WAPIGA KURA KUCHAGUA VIONGOZI WATAKAOWALETEA MAENDELEO Pichani kulia Katibu Mkuu UWT ,Queen Mlozi akimuombea kura Mgombea wa Udiwani kwa tiketi ya ccm katika kata ya kizota mkoani Dodoma ndugu Jamal Paul. Katika Kampeni hizo Ndugu Mlozi amewaomba wakazi wa kata hiyo kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi wakati wa kupiga kura na kumchagua kiongozi atakae wafaa na kuwaletea maendeleo ya kweli na si maneno matupu. katibu Mkuu Uwt Queen Mlozi akiagana na Mbunge wa Dodoma Mjini Mh Antony Mavunde mara baada ya Mkutano wa kumnadi mgombea wa udiwani kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM) katika kata ya kizota,uliofanyika jana. 09/11/18--20:53: SOMA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO JUMATANO SEPTEMBA 12,2018 09/12/18--00:43: EMIRATES WAJIPANGA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA 09/12/18--02:51: TAWA yawakamata,pokonya baiskeli 60, Nyaya 100 za majangiri 09/12/18--04:09: DC KAWAWA APIGA MARUFUKU WANAOSHIRI KUKARIBISHA MIFUGO KIHOLELA 09/12/18--04:47: SERIKALI KUKUZA UCHUMI KWA KUDHIBITI FEDHA ZA ZIADA KATIKA MZUNGUKO 09/12/18--08:33: RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU, KATIBU MKUU WA WIZARA YA AFYA PAMOJA NA BALOZI MMOJA IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA
"2019-12-13T17:18:25"
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1671.html
[ -1 ]
LENZI YA MICHEZO: MSIMAMO WA LIGI DARAJA LA KWANZA KWA MAKUNDI YOTE JINSI ULIVYO SASA MSIMAMO WA LIGI DARAJA LA KWANZA KWA MAKUNDI YOTE JINSI ULIVYO SASA 1 Ashanti United 9 5 3 1 13 5 8 18 2 Kiluvya United 9 4 4 1 9 4 5 16 3 Friends Rangers 9 3 5 1 9 4 5 14 4 Africa Lyon 9 4 2 3 10 6 4 14 5 KMC FC 9 3 3 3 6 8 -2 12 6 Polisi Dar 9 2 5 2 5 6 -1 11 7 Mji Mkuu 9 2 2 5 7 12 -5 8 8 Polisi Dodoma 9 1 0 8 4 18 -14 3 1 Ruvu Shooting 9 7 1 1 21 5 16 22 2 Njombe Mji 9 5 1 3 10 8 2 16 3 Kurugenzi FC 9 4 2 3 10 9 1 14 4 JKT Mlale 9 3 4 2 10 7 3 13 5 Polisi Morogoro 9 3 2 4 8 11 -3 11 6 Lipuli FC 9 2 4 3 6 11 -5 10 7 Kimondo FC 9 3 1 5 5 12 -7 10 8 Burkinafaso FC 9 0 3 6 6 13 -7 3 1 Geita Gold FC 9 5 3 1 14 4 10 18 2 JKT Oljoro 9 5 3 1 9 7 2 18 3 Polisi Tabora 9 5 2 2 12 4 8 17 4 Panone FC 9 3 2 4 10 8 2 11 5 Mbao FC 9 3 2 4 9 16 -7 11 6 Rhino Rangers 9 1 6 2 4 7 -3 9 7 Polisi Mara 9 1 5 3 6 9 -3 8 8 JKT Kanembwa 9 0 3 6 4 13 -9 3
"2017-10-20T17:54:22"
http://pallangyor.blogspot.com/2016/01/msimamo-wa-ligi-daraja-la-kwanza-kwa.html
[ -1 ]
SOMA KATIKA Chinese Cantonese (Simplified) Kiajemi Kibikoli Kichewa Kichina (Kikantoni) Kichina (Kilicho Rahisi) Kichina (cha Kitamaduni) Kidachi Kidenishi Kiewe Kiga Kihiligaynoni Kihungaria Kiigbo Kiingereza Kiitaliano Kijerumani Kikorea Kikreoli cha Haiti Kikwechua (cha Bolivia) Kilithuania Kimalagasi Kimyanmar Kiosetia Kipolishi Kireno Kirumania Kisamoa Kishona Kisilozi Kislovaki Kislovenia Kisranantongo Kiswahili Kitsonga Kitswana Kituruki Kiukrania Kiurdu YEHOVA anataka uwe na shangwe. (Zab. 100:2) Ukiwa mmoja wa watumishi wake, inaelekea wewe pia una shughuli nyingi sana. Labda hukuwa na shughuli nyingi hivyo kabla hujaweka maisha yako wakfu kwa Mungu, lakini sasa huenda madaraka ya kimwili na ya kiroho yakakufanya uhisi umelemewa. Huenda hata ukahisi kwamba una hatia unapokosa kutimiza mambo yote uliyopanga kutimiza. Unaweza kupata jinsi gani usawaziko unaofaa na kuendelea kuwa na “shangwe ya Yehova”?—Neh. 8:10. Unaishi katika nyakati za hatari na hivyo unakabili mikazo mingi, basi unahitaji kuwa na ratiba nzuri. Kuhusiana na hilo, shauri hili la mtume Paulo lililoongozwa na roho ya Mungu linafaa sana: “Endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima, mkijinunulia wakati unaofaa, kwa sababu siku hizi ni zenye uovu.”—Efe. 5:15, 16. Kupatana na shauri hilo lenye hekima, unaweza kupanga jinsi gani miradi unayoweza kutimiza na kusawazisha funzo la kibinafsi, daraka la kuitunza familia, utumishi wa shambani, kazi ya kimwili, na shughuli nyingine za lazima? Je, unakumbuka shangwe uliyokuwa nayo ulipojiweka wakfu kwa Mungu na kubatizwa? Ulikuwa na shangwe kwa sababu ulipata ujuzi kumhusu Yehova na makusudi yake. Huenda ulijifunza kwa bidii kwa miezi mingi na hivyo ukapata shangwe na uelewaji huo. Bila shaka, jitihada hizo zote hazikuwa za bure. Funzo hilo lilibadili maisha yako na kuyaboresha. Ili uendelee kuwa na shangwe, unahitaji kuendelea kujilisha kiroho. Ikiwa unajikaza sana ili upate wakati wa kusoma na kujifunza Biblia, chunguza ratiba yako. Kujifunza na kutafakari hata kwa dakika chache tu kila siku kutakusaidia kuwa na uhusiano wa karibu zaidi pamoja na Yehova, na bila shaka utapata shangwe nyingi. Watumishi wengi wa Mungu wanaweza kununua wakati fulani wanaotumia kwa ajili ya mambo yasiyo ya maana sana na kuutumia kufanya mambo ya maana. Jiulize, ‘Ninatumia wakati mwingi kadiri gani kusoma magazeti ya kilimwengu, kutazama televisheni, kusikiliza muziki, au kufuatia burudani fulani ninayopenda?’ Mambo hayo yanaweza kufurahisha ikiwa tu yanafanywa kwa usawaziko. (1 Tim. 4:8) Ukitambua kwamba una tatizo la kupanga wakati wako vizuri, rekebisha ratiba yako. Adam, ambaye ni mume, baba mwenye watoto watatu, na mzee wa kutaniko, anaeleza kinachomsaidia: “Ninajitahidi kuishi maisha rahisi. Ninaepuka burudani na vitu vya kimwili vinavyohitaji wakati mwingi. Si kwamba ninaishi maisha ya kujinyima, lakini ninafurahia tu burudani ya kawaida.” Kutafakari kuhusu matokeo mazuri ya maamuzi yako kunaweza kukusaidia kupata tena shangwe yako na kuendelea kuwa na mtazamo mzuri. Kwa mfano, Mariusz, mzee wa kutaniko mwenye watoto watatu, anasema hivi: “Nilipoanza kujifunza Biblia, nilianza kuwa na mtazamo mzuri kuhusu wakati ujao. Bado ninakabili matatizo mara kwa mara, na ni Yehova tu anayejua mengi ya matatizo hayo. Lakini kwa sababu ya utegemezo wake, ninatazamia wakati ujao nikiwa na shangwe.” Kama kisa cha Mariusz kinavyoonyesha, kuwa na mtazamo mzuri hakutaondoa mahangaiko yote. Lakini mtazamo mzuri unaweza kukusaidia ujihisi vizuri na upambane vizuri zaidi na matatizo ya maisha. Tunasoma hivi: “Siku zote za mwenye kuteseka ni mbaya, lakini mtu aliye mchangamfu moyoni huwa na karamu sikuzote.” (Met. 15:15) Tafakari pia kuhusu upendo ambao tayari Mungu amekuonyesha. Kutafakari kuhusu upendo huo kunaweza kujenga upendo wako kwa Mungu na kuongeza shangwe yako ya kimungu.—Mt. 22:37. Kumtanguliza Yehova na mambo ya kiroho maishani kunaongeza shangwe katika familia. Kuonyesha sifa za Kikristo kunapunguza matatizo ya kutoelewana na kunaisaidia familia kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na wenye kupendeza zaidi. Hivyo, familia yote itafurahia hali ya umoja na nyumba yenu itakuwa na amani ya kweli.—Zab. 133:1. Kushiriki katika utendaji wa kiroho mkiwa familia kunaleta shangwe nyingi ya kweli. Mariusz anaeleza hivi: “Ninathamini sana wakati tunaotumia pamoja tukiwa familia. Mke wangu ananiunga mkono kabisa. Inapowezekana, anaambatana nami katika huduma ya shambani au ninaposafisha uwanja kabla ya makusanyiko, na pia anaambatana nami ninapoenda kutoa hotuba za watu wote katika makutaniko mengine. Jambo hilo linanitia moyo.” Maandiko yanawaamuru Wakristo waandalie familia zao mahitaji ya kimwili. (1 Tim. 5:8) Lakini ikiwa kazi ya kimwili inachukua nguvu na wakati mwingi sana, inaweza kukufanya upoteze shangwe katika utumishi wa Mungu. Sali kwa Yehova kuhusu jambo hilo. (Zab. 55:22) Wakristo fulani wameamua kwamba ili watangulize Ufalme wa Mungu wanahitaji kutafuta kazi nyingine. Hakuna Mkristo anayepaswa kuruhusu faida za kifedha anazopata kwa kufanya kazi inayohitaji nguvu na wakati mwingi sana zimzuie kufuatilia mambo ya kiroho ambayo ni ya maana zaidi.—Met. 22:3. Unaweza kunufaika ukiandika faida na hasara zote za kazi yako ya sasa au kazi unayofikiria kuanza. Bila shaka, ungependa kupata mshahara mzuri na kazi yenye kuridhisha. Hata hivyo, je, kazi yako ya sasa inakusaidia kujenga hali ya kiroho ya familia yako? Chunguza kwa uzito mambo yote, na ufanye maamuzi ambayo yanaonyesha kwamba unatanguliza uhusiano wako pamoja na Yehova. Ikiwa kazi yako ya sasa inakuzuia kukua kiroho, unahitaji kurekebisha hali zako. Wakristo wengi wamefanya mabadiliko makubwa ili wapate wakati wa mambo ya kiroho. Ndugu mmoja huko Poland anasema hivi: “Pindi moja sikuwa na jambo lingine la kufanya ila kuacha kazi katika kampuni moja kwa kuwa mara nyingi nilisafiri kwa sababu za kibiashara. Sikuwa na wakati wa kutosha kushughulikia ipasavyo mambo ya kiroho au kuitunza familia yangu.” Sasa anapata riziki kwa kufanya kazi ambayo haihitaji nguvu na wakati wake mwingi sana. Pata Shangwe kwa Kuwasaidia Wengine Yesu alisema kwamba “kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea.” (Mdo. 20:35) Wakristo wana nafasi nyingi za kutoa kwa njia hiyo. Nyakati nyingine, ili upate shangwe na kumletea mtu mwingine shangwe unahitaji tu kutabasamu kwa uchangamfu, kumsalimu kwa mkono, au kumshukuru kutoka moyoni kwa sababu ya jitihada anazofanya katika mgawo wake wa kiroho. Mtume Paulo aliwatia moyo hivi Wakristo wenzake: “Semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika, tegemezeni walio dhaifu.” (1 The. 5:14) Watu waliohuzunika wanaweza kuhisi kwamba hawawezi kukabiliana na matatizo kwa nguvu zao wenyewe. Je, unaweza kuwasaidia watu kama hao? Ukiona kwamba mmoja wa ndugu zako anapoteza shangwe yake katika utumishi wa Yehova, jitahidi kumtia moyo. Kufanya hivyo kutakutia moyo pia. Matatizo fulani hayawezi kutatuliwa na mwanadamu yeyote. Hata hivyo, unaweza kumhurumia kutoka moyoni ndugu yako na kumhimiza ategemee msaada wa Yehova ambao haushindwi kamwe. Wale wanaomtegemea hawatakata tamaa kamwe.—Zab. 27:10; Isa. 59:1. Hatua nyingine inayofaa ni kumwalika yule ambaye anaonekana hana shangwe ahubiri pamoja nawe. Yesu alipowatuma wale wanafunzi 70, aliwatuma “wawili-wawili.” (Luka 10:1) Je, huamini kwamba kwa kufanya hivyo alituandalia njia ya kutiana moyo? Je, unaweza kuiga kielelezo hicho leo kwa kuwasaidia Wakristo wengine wapate tena shangwe? Leo kuna mambo mengi ambayo yanaweza kutufanya tuhangaike. Hata hivyo, Paulo anatuhimiza hivi: “Shangilieni sikuzote katika Bwana. Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!” (Flp. 4:4) Kwa sababu unampenda Mungu, unamtii, na unavumilia unapoendelea kufanya kwa bidii kazi ambayo amekupa, maisha yako yana kusudi. Hilo linakuletea shangwe. Na zaidi ya hayo, Yehova anakusaidia kushughulika na mikazo na matatizo ambayo unakabili.—Rom. 2:6, 7. Kwa macho ya imani, tunatambua jinsi tulivyo karibu sana kuingia katika ulimwengu mpya ambao Yehova anaahidi. Ulimwengu huo mpya utatuletea baraka na sababu nyingi kama nini za kushangilia! (Zab. 37:34) Kwa hiyo, tunaweza kushangilia, na kuendelea kukazia fikira jinsi Yehova anavyotubariki sana hata sasa. Hivyo, tunaweza ‘kumtumikia Yehova kwa kushangilia.’—Zab. 100:2. [Mchoro katika ukurasa wa 8] Huenda ukahitaji kurekebisha ratiba yako ili uendelee kuwa na shangwe BURUDANI na TAFRIJA KUITUNZA NYUMBA na FAMILIA MIKUTANO YA KIKRISTO Je, unaweza kuwasaidia wengine kupata tena shangwe?
"2020-02-28T20:49:03"
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20091215/Kumtumikia-Mungu-kwa-Bidii-na-Shangwe/
[ -1 ]
official black n white @bla_official Instagram profile - Mulpix Volkswagen vw volkswagenim tã¼rkiye هاوڕێ Köy kalıcıdudak kıltekniği permanentmakeup 펄러비즈 펄비즈 비즈 Folding bike bicycle Ë°±í˜„ exo baekhyun baekhyunee Long arm 4 link Drawing skull art artist Cage cf kyokushin kuwait Hago cafe love Vc eu sempre amo Volare ordinarilyunique lifestyle Meninos lindos e repost برياني الدياي Siku ya chunusi hips P tomo smk 974 sexy Fashionhijab hijabootdindo hijab hijabers Dunia al عماني bait グッジョバ uniqlo ユニジョ uniqloginza Bla_official Instagram Photos and Videos bla_official official black n white @bla_official mentions Tuacheee ujinga na kudanganyanaaa Tuacheee ujinga na kudanganyanaaa bla_official Black n white Black n white Hdlloh Hdlloh Hatasielewiii ilikuwajeee uyu jamaaa Naona black n white yuu Hatasielewiii ilikuwajeee uyu jamaaa Naona black n white yuu Mwisho wa mchezo ndio hapa haraka zote zinakwishaaaa Mwisho wa mchezo ndio hapa haraka zote zinakwishaaaa Kama unaweza unaweza tu Kama unaweza unaweza tu SOMO KWA WANAWAKE MUME: Darling nina kikao mkoani kesho naomba niandalie vitu please. MKE: Dada zile nguo za baba pamoja na soksi ulifua. DADA:Ndio nimepanga kabatini. mama anarudi chumbani na kumuomba hubby wakacheki TV sebulen, lakini baada ya muda mama anamuita dada akapange suruali ... SOMO KWA WANAWAKE MUME: Darling nina kikao mkoani kesho naomba niandalie vitu please. MKE: Dada zile nguo za baba pamoja na soksi ulifua. DADA:Ndio nimepanga kabatini. mama anarudi chumbani na kumuomba hubby wakacheki TV sebulen, lakini baada ya muda mama anamuita dada akapange suruali kadhaa na mashati kwa ajili ya safari ya kesho, dada anapanga kila kitu anatoka MKE: Kama tayari hakikisha unarekebisha yale mashuka pale kitandani weka na maji bafuni, dada anafanya na kwenda zake kulala, asubuhi dada anaamka mapema na kuandaa kila kitu ikiwemo na chai, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka. MKE: Dada msindikize baba ili ufunge geti sababu bado ni giza.😂 DADA: Sawa mama, dada anatoka na begi la baba hadi nje kwavile mkewe yupo ndani , baba anamtaka dada abaki vizuri na watoto, dada anaitika na kusema nawao wanamuombea safari njema. Baada ya muda baba anarudi toka safari MKE: Huku akitabasamu, dada si umemuona baba amerudi vipi chakula tayari. DADA: Ndio. MKE: Haya kapange meza vizuri mimi naandaa juice. Baada ya muda wanakula na baba anagundua juice sio nzuri anaamua kuiacha na kusema leo wamesahau kuweka baadhi ya vitu, hivyo hataweza kuinywa. Baadae baba anakumbuka kuwa aliacha boxer zake kwenye ndoo ya maji chumban na kufunika mfuniko, anamuuliza mama vipi zile nguo zangu kwenye ndoo zilifuliwa maana nilisahau kusema kama zina maji. MKe: Dada njoo hapa hivi zile nguo za baba chumbani ulifua?. DADA: Ndio mama lakini hasemi kama alianua na kuweka chumbani kwake akidhani atakunja baada ya kazi kupungua MKE: Darling zilifuliwa. MUME: Na watoto vipi wameshalala?. MKE: Anajibu wamelala darling. MUME: vipi dereva wao alifika kuchukua pesa yake. MKE:Dada eti uncle Hassan amechukua pesa yake?. DADA:Hapana wamembadilishia gari uncle Hassan amesafiri kwa muda. MKE:Tutampatia darling siku akirudi acha dada aendelee kuitunza. MUME: Basi vizuri, ehee vipi na tution walienda leo. MKE: Ndio walienda anamgeukia dada, si eti ee walienda si eti. DADA:Hapana Kelvin anaumwa leo siku ya pili nilinunua dawa dukan nimempa lkn hajambo MKE:Anashangaa hee mtoto mgumu huyu kumbe jana alikua mgonjwa halafu wala!!! alikua anacheza tu jamani watoto,asante dada umefanya vizuri. MUME: Haya Hawa jamaaa wanaweza wakakungawa vipande viwili Hawa jamaaa wanaweza wakakungawa vipande viwili Usiombe ukawa na gunduuu Usiombe ukawa na gunduuu
"2020-01-29T06:17:23"
https://mulpix.com/bla_official
[ -1 ]
Je, ni desturi ngapi za kidini unazozizingatia? Ni mara ngapi wewe umeasi dhidi ya neno la Mungu na kwenda kwa njia yako mwenyewe? Ni mara ngapi wewe umetia katika vitendo neno la Mungu kwa sababu wewe kwa kweli unajali mizigo Aliyobeba na unatafuta kutimiza mapenzi Yake? Lielewe neno la Mungu na uliweke katika vitendo. Kuwa mwenye maadili katika vitendo na matendo yako; huku si kutii sheria au kufanya hivyo shingo upande kwa ajili ya kujionyesha. Badala yake, haya ni kutenda ukweli na kuishi kulingana na neno la Mungu. Kutenda kama huku pekee ndiko hutosheleza Mungu. Desturi yoyote inayompendeza Mungu si kanuni bali ni kutenda ukweli. Baadhi ya watu wana upendeleo wa kujivutia nadhari. Mbele ya kaka na dada zake katika Kristo, anasema yeye ni mdeni wa Mungu, lakini akiwapa kisogo, yeye hatii katika vitendo ukweli ila anafanya tofauti kabisa. Je, hii si ni kama wale Mafarisayo wa dini? Mtu ambaye anampenda Mungu kwa kweli na ana ukweli ni yule ambaye ni mwaminifu kwa Mungu, lakini bila ya kufichua kwa nje. Yeye yuko tayari kutia katika vitendo ukweli wakati mambo yanapotokea wala hasemi au kutenda kinyume cha dhamiri yake. Anaonyesha hekima wakati mambo yanapotokea na ni mwenye maadili katika matendo yake, bila kujali mazingira. Mtu kama huyu ni mtu ambaye anahudumu kwa kweli. Kuna baadhi ya watu ambao mara nyingi shukrani zao kwa kuwa wadeni wa Mungu ni kwa mdomo tu. Siku zao huisha wakiwa na nyuso za wasiwasi, kukaa katika hali isiyo halisi, na kuvalia uso bandia wa mnyonge. Aibu gani hii! Na kama ungemuuliza, "Ni kwa njia zipi wewe ni mdeni wa Mungu? Tafadhali niambie!” Hangeweza kutamka lolote. Kama wewe ni mwaminifu kwa Mungu, basi usizungumze kuhusu uaminifu wako kwa umma, bali tumia matendo yako halisi ili kuonyesha upendo wako kwa Mungu, na kumwomba kwa moyo wa kweli. Wale wanaotumia maneno pekee kushughulika na Mungu ni wanafiki wote! Baadhi yao husema kuwa wao ni wadeni kwa Mungu katika kila sala, na kuanza kulia wakati wanasali, hata bila uwepo wa Roho Mtakatifu. Watu kama hawa wamepagawa na mila na desturi za kidini na fikra; wanaishi na mila hizo na fikra kama hizo, daima wakiamini kwamba hatua kama hiyo humpendeza Mungu, na kwamba kumfuata Mungu kijuujuu au machozi ya huzuni ndivyo humpendeza Mungu. Ni kitu kipi kizuri kinachoweza kutoka kwa watu kama hao wa kushangaza? Ili kuonyesha unyenyekevu wao, baadhi yao huonyesha neema bandia wakati wanazungumza mbele ya watu wengine. Baadhi yao kwa maksudi hujitoa wakati wowote kwa utumishi mbele ya watu wengine, kama mwanakondoo asiye na nguvu yoyote. Je, hii ni namna ya watu wa ufalme? Mtu wa ufalme sharti awe wa kusisimua na aliye huru, asiye na hatia na aliye na uwazi, mwaminifu na wa kupendeza; mtu aishiye katika hali ya uhuru. Ana tabia za kiajabu na heshima, na anaweza kuwa shahidi kokote aendako; yeye ni mmoja wa wapenzi wa Mungu na wanadamu. Wale ambao ni wanafunzi katika imani huwa na matendo mengi ya nje lazima kwanza wapitie kipindi cha ushughulikiaji na kuvunja. Wale ambao wana imani kwa Mungu katika nyoyo zao hawawezi kutofautishwa na wengine kwa nje, lakini vitendo na matendo yao ni ya kupongezwa kwa wengine. Watu wa aina hii pekee ndio wanaweza chukuliwa kuwa wanaishi kwa kudhihirisha neno la Mungu. Ukihubiri injili kila siku kwa mtu huyu na yule, ukiwaleta kwa wokovu, ilhali mwishowe wewe bado unaishi katika sheria na mafundisho, basi wewe huwezi kuleta utukufu kwa Mungu. Namna hii ya watu ni watu wa dini, na ni wanafiki mno. Kila mara watu wa kidini kama hao wanapokusanyika, wanaulizana, "Dada, uko vipi siku hizi?" Anajibu, "Nahisi kuwa mimi ni mdeni wa Mungu na siwezi kutosheleza matakwa ya moyo Wake." Mwengine anasema, "Mimi, pia, ni mdeni wa Mungu na nimeshindwa kukidhi matakwa Yake." Sentensi na maneno haya machache pekee yanaonyesha maovu yaliyo ndani ya nyoyo zao. Maneno kama hayo ni ya kuchukiza zaidi na yenye makosa sana. Asili ya watu kama hao inaleta upinzani kwa Mungu. Wale ambao huzingatia ukweli halisi huwasilisha vilivyomo katika nyoyo zao na kufungua mioyo yao katika mawasiliano. Hakuna shughuli hata moja ya uongo, hakuna heshima ama salamu na mazungumzo matupu. Wao huwa na uwazi na hawafuati sheria za duniani. Kuna wale ambao wako na upendeleo wa kujionyesha kwa nje, hata bila maana yoyote. Wakati mwenziwe anaimba, yeye anaanza kucheza, bila hata kujua kuwa wali kwenye sufuria yake umeshaungua. Watu wa namna hii si wacha Mungu au waheshimiwa, bali ni watu wa kijinga kupindukia. Hizi zote ni dalili za ukosefu wa ukweli! Baadhi yao hukusanyika kuzungumza kuhusu mambo ya maisha katika roho, na ingawa hawasemi kuhusu kuwa kwao wadeni wa Mungu, wao hubaki na upendo wa kweli kwa Mungu ndani ya mioyo yao. Kuwa kwako mdeni kwa Mungu hakuhusiani na watu wengine; wewe ni mdeni kwa Mungu, si kwa mwanadamu. Kwa hiyo ina maana gani ya wewe daima kuzungumzia haya kwa watu wengine? Lazima uweke umuhimu kwa kuingia katika hali halisi, si kwa bidii ya nje au maonyesho. Je, matendo ya kijuujuu ya mwanadamu yanawakilisha nini? Hayo huwakilisha mwili, na hata matendo yaliyo bora zaidi ya nje hayawakilishi maisha, ila tabia yako tu mwenyewe. Matendo ya nje ya mwanadamu hayawezi kutimiza tamaa za Mungu. Wewe daima huzungumza kuhusu udeni wako kwa Mungu, lakini huwezi kuyakidhi maisha ya wengine au kuwafanya wengine kumpenda Mungu. Je, unaamini kwamba matendo hayo yatamridhisha Mungu? Unaamini kwamba hii ndiyo hamu ya moyo wa Mungu, kwamba haya ni ya roho, lakini kwa kweli huu ni ujinga! Unaamini kwamba yale yanayokupendeza wewe na unayotaka ni yale yanayomfurahisha Mungu. Je, inawezekana kuwa unayoyataka wewe yanaweza kuwakilisha Anayotaka Mungu? Je, tabia ya mwanadamu inaweza kumwakilisha Mungu? Yale yanayokupendeza wewe ndiyo hasa yale humchukiza Mungu, na mienendo yako ni ile ambayo Mungu huchukia na kukataa. Kama wewe unahisi kuwa u mdeni, basi nenda na usali mbele za Mungu. Hakuna haja ya kuyazungumzia mambo haya kwa watu wengine. Usipoomba mbele za Mungu na badala yake mara kwa mara unavuta nadhari kwako wewe mwenyewe mbele ya wengine, jambo hili linaweza kutimiza hamu ya moyo wa Mungu? Kama matendo yako daima ni katika kuonekana tu, hii ina maana kuwa wewe ni mtu bure zaidi ya wote. Ni mtu wa aina gani yule aliye na matendo mema ya kijuujuu tu lakini hana uhalisi? Watu kama hao ni Wafarisayo wanafiki na watu wa dini! Msipoacha matendo yenu ya nje na hamuwezi kufanya mabadiliko, basi mambo ya unafiki ndani yenu yatazidi kuimarika. Namna mambo ya unafiki yanavyozidi kuwa, ndivyo upinzani kwa Mungu unavyozidi, na mwishowe, aina hii ya watu hakika watatupiliwa mbali! Je, matendo ya kijuujuu ya mwanadamu yanawakilisha nini? Hayo huwakilisha mwili, na hata matendo yaliyo bora zaidi ya nje hayawakilishi maisha, ila tabia yako tu mwenyewe. Matendo ya nje ya mwanadamu hayawezi kutimiza tamaa za Mungu. Wewe daima huzungumza kuhusu udeni wako kwa Mungu, lakini huwezi kuyakidhi maisha ya wengine au kuwafanya wengine kumpenda Mungu. Je, unaamini kwamba matendo hayo yatamridhisha Mungu? Unaamini kwamba hii ndiyo hamu ya moyo wa Mungu, kwamba haya ni ya roho, lakini kwa kweli huu ni ujinga! Unaamini kwamba yale yanayokupendeza wewe na unayotaka ni yale yanayomfurahisha Mungu. Je, inawezekana kuwa unayoyataka wewe yanaweza kuwakilisha Anayotaka Mungu? Je, tabia ya mwanadamu inaweza kumwakilisha Mungu? Yale yanayokupendeza wewe ndiyo hasa yale humchukiza Mungu, na mienendo yako ni ile ambayo Mungu huchukia na kukataa. Kama wewe unahisi kuwa u mdeni, basi nenda na usali mbele za Mungu. Hakuna haja ya kuyazungumzia mambo haya kwa watu wengine. Usipoomba mbele za Mungu na badala yake mara kwa mara unavuta nadhari kwako wewe mwenyewe mbele ya wengine, jambo hili linaweza kutimiza hamu ya moyo wa Mungu? Kama matendo yako daima ni katika kuonekana tu, hii ina maana kuwa wewe ni mtu bure zaidi ya wote. Ni mtu wa aina gani yule aliye na matendo mema ya kijuujuu tu lakini hana uhalisi? Watu kama hao ni Wafarisayo wanafiki na watu wa dini! Msipoacha matendo yenu ya nje na hamuwezi kufanya mabadiliko, basi mambo ya unafiki ndani yenu yatazidi kuimarika. Namna mambo ya unafiki yanavyozidi kuwa, ndivyo upinzani kwa Mungu unavyozidi, na mwishowe, aina hii ya watu hakika watatupiliwa mbali!
"2020-05-31T08:55:42"
https://sw.godfootsteps.org/recital-focus-on-reality-not-religius-rituals.html
[ -1 ]
HAHAHA HAPA NDIO UTAJUA UTAMU WA SIASA SASA VIJANA INABIDI WAJIFUNZE KITU KATIKA KATUKIO HAYA YA PICHA ILI KUPUNGUZA MIKUMBO SIASA NI UPENDO BWANA TAZAMA HUMU UONE WALICHOKUWA WAKIZUNGUMZA Home » Unlabelled » HAHAHA HAPA NDIO UTAJUA UTAMU WA SIASA SASA VIJANA INABIDI WAJIFUNZE KITU KATIKA KATUKIO HAYA YA PICHA ILI KUPUNGUZA MIKUMBO SIASA NI UPENDO BWANA TAZAMA HUMU UONE WALICHOKUWA WAKIZUNGUMZA 2015-09-15T02:21:00-07:00 Artikel Terkait HAHAHA HAPA NDIO UTAJUA UTAMU WA SIASA SASA VIJANA INABIDI WAJIFUNZE KITU KATIKA KATUKIO HAYA YA PICHA ILI KUPUNGUZA MIKUMBO SIASA NI UPENDO BWANA TAZAMA HUMU UONE WALICHOKUWA WAKIZUNGUMZA :
"2017-01-21T04:18:40"
http://utamuutamu.blogspot.com/2015/09/hahaha-hapa-ndio-utajua-utamu-wa-siasa.html
[ -1 ]
Yaaap nikiwa na maswahiba zangu wa TBC1, kushoto ni NICK MARWA na katikati ni MAIMARTHA JESSE...Nikiwa na rafiki yangu mambaye ni Kocha wa Timu ya taifa ya soka chini ya miaka 23 JAMHURI KIHWELU aka 'Julio'...Nikiwa na mshambuliaji machachari wa timu ya SIMBA ya jijini Dar MUSA HASSAN aka 'mgosi'...Sambamba na swahiba 'J.B' ambaye ni mcheza Filamu nguli nchini...
"2017-07-23T22:40:46"
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/04/jiachie-na-ben-kinyaiya_14.html
[ -1 ]
Kumbu kumbu ya Waamini Marehemu Wote! - | Vatican News Tarehe 2 Novemba, Mama Kanisa anaadhimisha Kumbu kumbu ya Waamini Marehemu Wote! (ANSA) Kumbu kumbu ya Waamini Marehemu Wote! Baba Mtakatifu amekumbusha kwamba, tarehe 2 Novemba, kila mwaka, Mama Kanisa anawakumbuka Waamini Marehemu Wote. Papa Francisko anatarajiwa kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Makaburi ya Laurentino yaliyoko mjini Roma. Baba Mtakatifu Francisko mara baada ya Sala ya Malaika wa Bwana, Siku kuu ya Watakatifu Wote, tarehe Mosi Novemba 2018 kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, amechukua fursa hii kuwasalimia na kuwatakia heri na baraka mahujaji na wageni kutoka ndani na nje ya Italia, waliohudhuria Sala ya Malaika wa Bwana. Kwa namna ya pekee kabisa, amewashukuru wale wote walioshiriki katika shindano la “Mbio za Watakatifu” yaliyoandaliwa na Mfuko wa “Utume wa Don Bosco”, kwa kushiriki kwa furaha katika maadhimisho haya. Baba Mtakatifu anawashukuru kwa mkakati na uwepo wao. Baba Mtakatifu amekumbusha kwamba, tarehe 2 Novemba, kila mwaka, Mama Kanisa anawakumbuka waamini marehemu wote. Papa Francisko anatarajiwa kuadhimisha Ibada ya Misa Takatifu kwenye Makaburi ya Laurentino yaliyoko mjini Roma. Anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema, kumsindikiza kwa njia ya sala katika maadhimisho ya siku hii maalum iliyotolewa na Mama Kanisa kwa ajili ya kuwakumbuka na kuwaombea wale wote waliotangulia mbele ya haki wakiwa na alama ya imani na sasa wanapumzika kwenye usingizi wa amani. Mwishoni, amewatakia waamini na mahujaji wote, Siku kuu njema ya Watakatifu wote! Marehemu Wote 01 November 2018, 16:01
"2019-05-22T08:36:08"
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-11/papa-francisko-marehemu-wote-novemba-makaburi-laurentina-roma.html
[ -1 ]
Ningekuwa nafasi ya wenger | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Sports' started by kashengo, May 27, 2012. Chamackh,squillaqi,bendtner,fabianski,diaby wote ningewatoa Chamackh,squillaqi,bendtner,fabianski,diaby wote ningewatoaClick to expand... huna tofauti na wenger, huo ndio upuuzi ambao amekuwa anaufanya miaka nenda rudi - kupenda vya chee noma!Click to expand... Ali mradi iwepo culture ya kuretain wachezaji na kuongeza reinforcement whenever possible...ila ukununua Kiboya unaishia kama Liverpool ebu fukiria Downing ametua kwa Paund mil 20 na hana goli wala assist msimu mzima,the same to carrol,handersson...timu inayoweza kuwatunza wachezaji wakakaa pamoja mda mrefu baadae huzoena na kujiamini....kuna mambo hayawezekani pale ARSENAL hata tufanyeje kwani kuwepo Peter hillwood,gazidis,stan kraonke, na wenger iyo ni (tight budget each year) na man U naona nao wameia dopt hii kanuni....Click to expand... hapo kwenye nyekundu tu ndio kuna pointi, zingine zote ni pumba - na hiyo pointi wenger kaishindwa; wenzake wote (ferguson, maurinho et al.) wameweza ku-balance young and old, hata milan ya wazee imeweza kufanya retention ya oldies na kusustain youngsters ila wenger ndio kwanza anaanza tena upuuzi ule wa mwaka jana kwenye sakata la rvp!Click to expand... Naelewa yote hayo pamoja na mtizamo wangu kuuona ni pumba ila nakwambia timu kufanikiwa si kama lazima mtumie mapesa meengi maana timu hata kama ina Academy nzuri ya soka itafanya vizuri kwa budget ndogo na kununua wachezaji wachache, na suala la RVP ilo ni kosa la BOARD nzima kulewa pesa wanazoingiza bila kujua bila ya wachezaji hwawezi kupata hayo mapesa na upande mwingine huyu huyu RVP ata akiondoka hatopata watu wakamvumilia na miguu yake flagile kama ile....seven season consecutively yuko majeruhi ila leo anataka aende city kama atakomaa akwende alafu siku akiumia wananunua stiker mpya warabu wanataka machekoClick to expand... Arsenal ndiyo club pekee inayotengeneza super profit pale Uk na inawezekana kuliko clubs nyingi Eu. Vikombe ni moja ya malengo ya clubs lakini hela kwanza, it's all about strategies UmkhontoweSizwe said: Mkuu, hii si ungeweka tu kwenye post ya watu wa ass-nol? Kuna ulazima gani wa kuanzisha thread mpya? Nadhani huu nao ni ubadhirifu au matumizi mabaya ya JF.Click to expand... hakika ukichaa ni kukirudia kitu kile kile tena na tena ukitarajia matokeo tofauti!Click to expand... kichaa mwenyewe na mdomo wako mchafu huwezi comments mpaka utukane? PambavClick to expand... Si kweli nafanana na wenger katika philosophy yake anawafukuza watu waliofikia 30??? kitu ambacho ni kosa kubwa timu inakosa winning mentalit na experience imagine mtu kama Gallas,pires,gilberto,edu,vieira,parlour,raulen wote hao aliwakatalia 2 years contarct kisa wako miaka 30? huu ni Upuuzi wa arsenal mwingine nisio kubaliana nao siku zote Umemsahau Frimpong back up ya SongClick to expand... Si kweli nafanana na wenger katika philosophy yake anawafukuza watu waliofikia 30??? kitu ambacho ni kosa kubwa timu inakosa winning mentalit na experience imagine mtu kama Gallas,pires,gilberto,edu,vieira,parlour,raulen wote hao aliwakatalia 2 years contarct kisa wako miaka 30? huu ni Upuuzi wa arsenal mwingine nisio kubaliana nao siku zoteClick to expand... Mzee wenger sijui anafikiria nini sasa hvi.Click to expand... now you are talking, huu ushauri ni tofauti kabisa na uliotoa mwanzo - hapo pekundu ndio pointiClick to expand... Tatizo kaka umeniparamia ukadhani mi siiijui arsenal kisa cha kufanya vibaya kila msimu? tatizo kwanza ni kushindwa kuwabakiza nyota wakeClick to expand...
"2017-04-27T15:30:58"
https://www.jamiiforums.com/threads/ningekuwa-nafasi-ya-wenger.269485/
[ -1 ]
Hapana chezea Mange Kimambi awapa bakora maadui zake | HABARI ZA WALIMWENGU Home » » Hapana chezea Mange Kimambi awapa bakora maadui zake Hapana chezea Mange Kimambi awapa bakora maadui zake Written By Bewith Jeddy on Wednesday, July 16, 2014 | 10:22 AM USIPOJIPANGA NTAKUPANGA……LOL……. MANGE 44 COMMENTS JUL 16,2014 UNCATEGORIZED First of all Mungu atawalaani sana kwa kunishuhudia uongo mwezi huu mtukufu, cha pili atawalaani pia sababu instead of mimi kukaa nikiweka products kwenye website yangu nimekaa na deal na wapuuzi…. Ila this time imebidi nijibu sababu my reputation is on the line….. MY WHOLE BUSINESS STRUCTURE DEPENDS ON MY REPUTATION AS AN HONEST AND FAIR BUSINESS WOMAN ,KWA HIYO LAZIMA NIJIBU HILI…. Kama mnavyonijua huwa siongei bila evidence. Haya twende kazi…. The whole idea ya high end wigs ilianzia na rafiki yangu mmoja anakaa Nigeria aliniuliza about a wig I once used nikamwambia bei akashangaa sana akasema in Nigeria zinauzwa $1500 kwa hiyo nikimuuzia whole sale kwa 800 au 900 atatengeneza hela na atawa undercut wauzaji wa huko atayauza kwa 1200 Mpare na mie hapo hapo nikapata business idea nikasema let me find the very best ones, basi nikampata huyu dada on insta kwa kweli nikadata. Hiyo hapo ni link ya website naomba muangalie bei. Hiyo ni bei ya yeye kukutengenezea wigi tu, ila unamtumia nywele zako mwenyewe anakutengenezea wigi. tumeelewana eeeh. Hiyo ni bei ya utendani kazi bila nywele. Wapuuzi wengi hapa ndo walipojichanganya, sasa ngoja niwape shule. Huyu dada aliweka mpaka na link ya kampuni aliponunulia nywele ya wigi nililokuwa nimelipenda, na ukweli ni kwamba mimi siwezi kuuza kitu without me trying it out first nikasema ngoja ninunue nywele nimtumie anitengezee nione quality yake kabla sijawatumia wateja Naomba uweke akiba akilini kwamba cheapest price yake hapo kasema ni $175. sasa tuchukue hiyo 175 tuache na bei ya express ambayo ndo ningekuwa natumia. Basi mpare nikatoka mdogo mdogo mpaka kwenye hiyo website, maana nilitaka niwe natumia the very best hair possible. jamani kumbukeni issue imetokea jana usiku. Naomba muangalie bei za nywele. alafu na wewe mwenyewe nenda ukaangalie. Basi nikanunua nywele bundle 3 hapo hapo jinsi nilivyokuwa na mcheche….. Yani nilikuwa nafatisha maelezo ya mtengeneza mawigi to the T maana nilitaka nywele zitoke vile vile. Hii ndo payment niliyofanya kupitia pay pal. Bundle 3 hizo jamani chekini bei. $400. Hizo chenji ntazisamehe,ntampa Leila apandie mabasi Brooklyn. haya sasa naomba tujumlishe dola 400 + 177 ya yule dada how much is that $575. sawa eeh? haya twende kazi kama mlivyoona kwenye post zangu jana kuhusu nywele nilisema wigi zote zitakuwa na lace closure Haya hii ndo bei ya lace closure. Naomba kuweka msisitizo kuwa hii website ni website niliyonunulia nywele pia ni website ambayo nimetoa kwa huyo huyo mtengeneza mawigi maana nilitaka nywele zitoke vile vile jinsi navyowapenda wateja wangu. yani nilifata maelezo yake kama nasoma swali la mtihani kwenye ile 575 yetu naomba uongeze 124 How much imefika hapo? $699 sawa eeeh? bado tupo pamoja? sasa naomba uweke na usafiri wa kutoka marekani mpaka Africa kila mtu anajua dhl, fedex etc cost ya kutuma hili wigi kwako will cost between 30-60. mpaka hapo wigi lako limenicost more than $700 dollars tuseme limenicost between 730-760 Mimi niliwapa cost ya 800. sasa wapenzi wangu niambie faida ya dola 40-50 kwa kila wigi la dola 800 ni mbaya? naomba niambieni ni mfanyabiashara gani angefanya hii na kujipa faida ya around 50 dollars only? mtu mwingine si angetafuta hata profit ya 50%. Watu hawajui mimi nimesomea biashara, naamini ntapata faida kubwa kwa kuuza vitu vingiiiiiiiii kwa profit ndogo kuliko kuuza vitu vitatu kwa profit kubwa. Basi sister wenu jinsi nilivyo na haraka nikamtumia email huyo mnugu anaetengeneza hayo mawigi nikamweleza kuwa nimeshanunua nywele kwenye kampuni aliyoitaja yeye na nimezituma nywele ziende kwake moja kwa moja. Nyewele zinatoka Canada sasa nikaona zitoke Canada zije kwangu then nimtumie huyu dada ntachelewa so nilivyonunua nikaweka shipping address ya huyu mAfrican American ili tufanye fasta zaidi. Na hapo hapo nikamweleze kuwa naomba tufanye biashara nna market kubwa sana Africa. Jamani hivi mtu anaetaka kuiba kazi ya mtu akaifanya yake hivi kweli anaongea na mwenye mali kumwambia wafanye biashara? Ingekuwa nimeweka picha za wigi zake alafu nikajifanya nimetengeneza mie nikauza its another story but i informed her. Ila ukweli lazima usemwe na kwenye makosa lazima nikubali, kosa langu mimi hapa ilikuwa ni kiherehere cha kurusha picha kabla huyu mnugu hajanibu kuwa anaweza au hawezi? mie nilijua hii ni kampuni na kwamba wanatengeneza tu mawigi. Only baada ya kumtumia nywele ndo nimekuja kujua kuwa anachukua order kwa appoitnment na yupo peke yake, mie nilijua yeye ni ndo mwenye kampuni ya nywele wana produce nyingi kumbe sio. Naombeni msome email yangu na msome jibu lake. Hakunijibu chochote kuhusu biashara mie nikadhani labda anafikiria then ataniambia baadae ila mie nikaanza tangaza mawigi maana nilidataje nae na nilijua wengi sana Africa- wanatafuta mawigi high quality hawapati. Niliiona fursa jamani. Nikachukua picha za nywele zake nikatoa logo nkaziweka, sasa jamani hapo nimekosea nini? hivi mlitaka niache logo ili mjue nimetoa wapi?? sasa hapo nafanya biashara au nacheza makida? si bora nikae ninyonyeshe mwanangu? Na pia sikuona ni big deal kutumia picha za mtu ambae naenda kununua products kwake. Ni kama niweke products za Gucci kwenye website yangu si ntatumia picha za Gucci? unadhani Gucci watanimind? no ways as long as nauza the original Gucci na sio fake Gucci alafu natumia picha zao na jina lao. Sisi watu weusi tuna laana za drama jamani. haya tuendelee na story Kwa vile jana niliingia kulaa saa moja asubuhi sababu ya website leo nimeamka around saa 6 mchana,naamka nakuta missed calls zaidi ya mia whatsapp message ndo hazisomeki wanaonipenda wakiniambia niamke ningie instagram ndo nkakutana na hii kwanza, huyu ndo mtengeneza nywele mwenyewe. AKarusha hiyo, basi nikajikaza nikawa calm nikaanza kusoma maelezo ya huyu mnugu. Kidogo nilimwelewa na pia sikumwelewa kwanza kabisa yeye mwenyewe kwenye comments zake amekubali kuwa nilim contact kuwa tufanye biashara Africa ila akasema hakunijubu kitu.Which is true akadai nataka kuiba kazi yake, hivi watu weusi tukoje jamani i think ndo maana all great inventions in the world zimefanywa na mtu mweupe, weusi akili zetu ni drama drama and drama and not money. Jamani nauliza tena mtu anaetaka kuiba kazi yako huwa anakuomba mfanye biashara? pia kwenye post zangu nilisema kabisa ni mtu mwingine anaetengeza hizi wigi sio mimi na nikamsifia sasa hapo inakuwaje? Ila katika kusoma comments pia nikaelewa kuwa huyu dada amekuwa pumped sana na watanzania wenzangu ambao ndo wamempa kichwa na kumwambi its true im a scammer. One big point niliyotoka nayo kwenye comments za huyu dada na ambacho ndo kilichomuuzi sana huyu dada ni kwamba alidhani mie nitamlalia kibiashara kwamba nanunua kwake wigi $150 then mie naenda kuuza $800 , akapanick akasema naweka profit ya 400%. Mneona point ya mnugu hapo? kati ya vyote alichochukia ni hicho cha mimi kupata profit ya 400%. Hivi jamani mie ntakuwa mwizi wa kiasia gani jamani kujiwekea profit kubwa hivyo. Huyu dada alidhani na mie ntafanya biashara na nyie kama yeye anavyofanya biashara na wateja wake, alidhani kwamba nimewapeni hiyo bei ya $800 alafu mnanunua nywele zenu wenyewe mnanitumia kama vile wateja wake yeye wanavyofnya. hivyo dola $150 yeye ana charge bila nywele nywele anataka ukatafute mwenyewe umtumie. Ila mimi biashara yangu ilikuwa tofauti, kwanza najua Tanznaia- Africa hakuna nywele za viwango vya juu na zikiwepo hazishikiki so mie kama nilivyoeleza jana naweka nywele mwenyewe hakuna kunitumia nywele. Mnaona hapo mnugu alipojichanganya????? hakukaa chini akafikiria maybe she is buying the hair too akadhani nawapiga juu kwa juu….lol… Ila narudia tena watu weusi ndo tatizo letu uwezo wa kufikiri huwa ni mdogo sana tunapenda ziaidi drama kuliko kukaa chini na kufikiria. Another thing pia ndo maana weusi hatuendelei maana mtu anaumia wewe uta make money kuliko yeye, sasa yeye huyu mwenywe mawigi,lets say kweli n ningekuwa mtu wa tamaa nikawa napata 400% yeye inamuhusu nini? yeye si anauza kwangu na mimi nikauze navyoweza? inahusu nini napata profit gani? hata kama ingekuwa kweli napata that much? black tumeumbwa na roho za vikorosho kuliko yeye awaze kuwa biashra yake itakuwa ntamuuzia yeye anawaza mimi ntapata nini… Lol… Sasa ndugu zangu wa bongo kwa vile mmemjua huyu please naomba mmoja tu aende front akanunua kwake aone kama hajaspend what i spent or more than that hapo ndo mtakapojua thamani yangu kwenu kwenye kuwaletea products bora kwa bei poa sana, unless kama utamtumia nywele za mchina….lol.. Haya tuendelee na habari. Haya sasa ngoja niwapange hawa magume gume yalomshinda mtume….. Basi bwana ngoma ikapata mchezaji, mnakumbuka some comments humu navyowaambiga anaandika Linda privati jeti wengine mkasema Linda yupo busy anashona hana time, haya mmeona sasa? Yani istagram page yake imejaaa hii issue yani kaivalia njuga…. naomba msome hiyo comment yake hapo na yeye analia na mimi kumake 400%. Hivi kumbe mnaijua hollywoodshopaholics nilidhani hamuuijua…lol… Anyways, Linda namsamehe maana dozi aliyopata last yr bado inampelekesha, she never got over it. Ila mwanamke wa kiislam kutafuta shari mwezi wa Ramadhan inahusu jamani? alafu akitoka hapo anaenda kuswali anapiga picha sugu za miguu anasema anasali sana. lol…. Lakini namsaheme as you all know mtu yoyote ambae alishatumia unga au kuuza unga akili zao huwa hazirudi kuwa fresh. Maana huyu jimama nae badala akae ahta afikirie hivi kweli mange anaweza kununua kitu dola 175 alafu akauza dola 800? yani badala afikirie linakulupuka tu. Huyu laana za watoto wa watu alowafanya mandondocha na midawa yake itamsumbua mpaka anakufa hivi mama gani unamjua wewe wa age yake anaefanya ujinga huu instagram? kilichonisikitisha zaidi ni kwamba na yule mwanae Leyla anae eti kavalia njuga issue? omg, huyu mtoto yani kweli amekuwa shangingi kama mama yake? I swear to God mie Bhoke akikutana na watu ambao siongei nao ataenda na kuwaamkia wabaki wanashangaa maana she doesnt know that side of my life na wala simuhusishi mtoto, imagine huyu Leila badala akarudie amalize high school eti nae ana deal na drama za mamake instagram. I feel bad for this kid, duh mwenyewe Mungu amuepushe huyu mtoto maana anapoelekea ni atakuwa shangingi ka mamake. Hivi we shangingi mzee unapata wapi muda na mimi? si unajifanya uko busy una madeal ? why are you still on my case?Unajifanya unajua biashara ungekuwa unajua biashara maduka yako yale ya mwaka 47 yasingekufa, ungekuwa nayo hadi leo. Ila sababu ni mshari na mwenye roho mbaya ndo maana leo hii at that age bado unashindani with people 10 yrs your junior. By now ulitakiwa uwe on a whole different league ila bado unasugua gaga at that age. Hivi ukiulizwa for the more than 15 yrs that you have been in America umepata nini utasemaje??? Naomba kuuliza tu. Zaidi ya kuzaa watoto wanne na wanaume wanne, watoto wasiotakiwa na baba zao mpaka unawapa jina la babako, kwani ulizaa na babako??? First born wako ulishindwa hata kum guide angalau amalize high school? really free education na bado mtoto hamalizi high shcool? sasa umeone matokeo yake anaingilia ugomvi wa watu wazima ,yani keshakuwa kama mamake…….. Huko aliko asipoanza kudeal drugs sijui maana ndo ilikuwa kazi ya mamake…. Haya huyu changu wa wa west nae akapokea issue…lol… Hivi mmeona waliojifanya kuvalia njuga ni wale wale mataahira wetu wa kila siku?? hakuna mwenye akili zake alieongelea hili coz wanajua lazma kuna kitu ndani yake especially cos mimi nilikuwa sijaongea…… We Stella uwiiiii unikome na uniache naomba uendelee kudeal na washenzi wenzio, uwiii niache sawa??? Umekaa marekani more than 10yrs hivi ukiulizwa ume achieve nini marekani utasema nini? Nahisi utasema makalio yako yamekuwa makubwa jinsi ulivyo punguwani. Baba yako (ex boyfriend wako) alihonga kanisani wakaachwa mayatima wa ukweli ukajifanya wewe yatima ukachukua nafasi ya mayatima wa ukweli badala sasa uje huku ufanye ya maana umekalia kufanywa mpira wa dana dana na wanaume. You came here on a full scholarship sababu ya uyatima feki wako na bado shule imekushinda mpaka student Visa ikawa revoked. Darasani huendi kazi kwenda mabaa kuvizia wanaume…… Kwanza siongei na illegal immigrants mimi. Badala ukae utafute makaratasi unakaa kunitafuta mimi. Unajibenua benua insta, maskini vitoto vya watu watu huko bongo vinadhani maisha marekani mazuri kumbe hamna kitu, maisha ya kubangaiza ulalwe na wawest ndo ukanunue kiatu, au nywele . Eti mzuri, wazuri wanaachwa?ungekuwa mzuri usingekuwa unapigwa kibuti kila baada ya siku mbili, kha, mwanamke gani usieweza kukaa na bwana hata mienzi 6??? Mimi sio mwenzio mimi ni mtafutaji kima wewe, nna uwezo wa kulala ,nikala ,nikavaa bureeee, nna mume mwenye upendo na mapenzi na mimi na uwezo wa kuniacha niwe stay at home mom lakini its not im my nature mimi ni mtafutaji, nataka kuwa na changu, nahangaika mpaka mume wangu hanielewi why nahangaika hivi anatamani nikae nyumbani nimlele wanae full time, ila najua kuna leo na kesho Mungu anaweza kumchukua mume wangu, je ntaanzia wapi? ntaleaje wanangu? ndo maana najituma. Na sijaanza leo, nilikuwa nna baba mwenye kunipa more than what i needed na still i was hustling, uliza waliosoma na mimi Uni, nimeanza kuandaa miss Dar Indian ocean mwaka 2003 na hapo nakaa home nalelewa na baba yangu nna kila kitu ila bado nilikuwa nahangaika kwenye jua Dar natafuta sponsorship ya Miss Dar Indian Ocean,mpaka babangu siku moja alilia machozi kuwa namwaibisha jinsi navyoomba watu hela ya sponsorship nikamwelesha maana ya sponsorship akaelewa ila akaniuliza how much will i make kwenye show ? nkamwambia 1.5m akasema niache atanipa hizo pesa, kesho yangu akanipa cheque 1.5m nikarudi zangu hostel mabibo na bado nikaandaa kisirisiri, kaja kujua nishafanya show, nikamrudishia pesa zake. Thats just me, napenda kuwa na kitu changu hata kama kinanipa dola 10 ila ni changu. sasa wewe mwenzangu ni tofauti ukishalalwa ukapewa dola 100 ukaenda kununua nguo ukapiga picha ukaweka insta basi umeridhika na maisha. Sasa mwenzio nna hustle wewe unataka kuniharibia biashara,tatizo nimesoma hata siku moja mburula alieishia form 4 will not be my down fall. Hivi kweli u thought wewe na huyo ex muuza unga ndo mngeniaibisha leo????? Wewe hapa kisiki hamniwezi. We endelea kujibenuabenua huko instagram hayo ndo unayoyaweza. Ila chonde chonde wadogo zangu mlioko bongo msije pagawa na mapicha marekani hamna kitu, huyo nyau hata akifiwa na babake (ex boyfriend) hawezi kwenda kuzika hana papers na mtu akimshikia bango anarudishwa bongo juu juu….. Hana elimu, hana future sasa anataka kuingia kwenye hollywshopaholics, nikome mchaga wewe… Alafu sijui mchaga gani huyu jamani, uwiii wachaga naowajua mimi very hard working ni watafutaji wa hela, kwa kweli sijui wachaga wauza sura. Haki ya nani ukiniwekea huyu na Flora lyimo Mbuta nanga mara 100 Mbuta Nanga. Bora Mbuta Nanga anapiga picha na chupi anazouza ,angalau anapata vijihela vya kubadilisha mboga sasa huyu anapiga picha na chupi huku halipwi?…… Uchangu usiolipa ni shiderrr…… Ungekuwa na akili ungetafuta bwana wa kukuhonga elimu usome angalau siku ukirudishwa kwenu uwe na elimu, sasa wewe unataka kuhongwa kuongezewa makalio…. Shule inasaidia sana hivi wanaume gani siku hizi wanaoa wanawake sababu ya matako makubwa……Wenzio tulivyokutana na waume zetu hatukuomba hela ya kiatu tuliomba kusomeshwa Masters sasa wewe punguani ukilipiwa nywele saloon basi miguu yote unaachia angle 90 degrees Wewe na huyo mvuta bangi mwenzio mnikoooooo. I have been in this country for 2 yrs only and made significant progress, bado sijafika napopataka au kupata mafanikio makubwa ila atleast nimesonga mbele and thats 2 yrs baby, come check me after 5 yrs…. Na huyo jinga anaetangza kona zote Mange hana nyumba US au Bongo, mwambie aendelee kuchungulia humu kuna simu atapata ugonjwa wa moyo….mfyuuuuuu…… Haya stella (changu wa wawest) na Linda Private Jeti aka Muke ya mume mwenye bankruptcy nawapeni kazi, Naomba muongee na huyo African American wa mawigi , kwa vile mmeshakuwa shoga zake please mwambie nywele zangu nimezituma kwake, as she can see kwenye hii risiti ya Pay Pal. Please mwambie akizipata tu anitumie fastaaaaaa…. Uwii angejua vilaza anaoongea nao, hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kununua hata wigi la $50 let alone la dola mia 800… Haya nimemaliza, mnanijua nikichukia huwa naandika kitabu… Poleni someni taratibu,chukua hata siku tatu sio lazma umalize leo leo….. Wateja wangu wa mawigi hii biashara ipo pale pale tena sana sana sasa hivi mmjua jinsi gani im fair kwenye biashara nahisi ndo mtanunua zaidi….. Niliwaambie instagram subirini nikijieleza mtanipenda mara 100 ya zamani….lol…. Kwa wateja wangu mliopenda zile wigs jana hakijaharibiaka kitu, nimempata mtu mwingine tena huyu kasema ni family business wako kama wanne sisters wanatengeneza, wakinitumia picha tu nawarushia insta…. What a waste of my time… Yani leo ningemaliza website yangu naona ila ndo hivyo mashetani waliona watucheleweshe kidogo. Kwa mlioenda kunitetea pande zile ahsanteni sana si mnajua wale mablack hawanijui basi wakiona kina mama bankruptcy wanacomment ushuzi wanaamini. PS: Kuna mtu nimeshangaa hakuingia kwenye hii ngoma, yani sijaamini maana huyo ndo zamani ndo angelianzisha. BIG UP RACHEL TEMU. UMEKUWA SIKU HIZI…NIMEKUPENDA BURE….LOL……HAWA NYAU WENGINE WAMEGOMA KUELEWA SOMO ILA WATAELEWA TU. Source: u-turn.co.tz
"2017-12-15T13:44:36"
http://www.bewithjeddy.com/2014/07/hapana-chezea-mange-kimambi-awapa.html
[ -1 ]
WANAKIJIJI WAMWAGIA SIFA RAIS MAGUFULI KWA KUTOA AGIZO HILI KUHUSU WAO. ~ g sengo WANAKIJIJI WAMWAGIA SIFA RAIS MAGUFULI KWA KUTOA AGIZO HILI KUHUSU WAO. Monday, October 21, 2019 HABARI No comments Na Timothy Itembe Mara Wananchi wa kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime mkoani Mara wamempongeza Rais John Pombe Magufuli kwa kuagiza Halmashauri ya Tarime Vijijini kuhama Nyamwaga ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Akiongea kwa niaba ya wenzake Mwenyekiti mstaafu ,Kirigiti Sasi alisema kuwa ndoto zake alizokuwa nazo hapo nyuma ni kuona mji wa Nyanwaga unakuwa mji mkubwa na ndoto hizo zimetimizwa . Mstaafu huyo aliongeza kuwa yeye binafsi aliwiwa na maendeleo ambapo katika uongozi wake alishawishi Mgodi wa kuchimba madini ya dhahabu uliopo Nyamongo ACACIA na kusaini mikataba ya kutekeleza shuguli za miradi ya maendeleo ndani ya kijiji hicho ikiwemo kulima barabara zinazozunguka mji wa Nyamwaga pamoja na kujenga shule ya Nyamwaga sekondari hayo wameyatekeleza kumebaki kujenga walitekeleza lakini bado kuna moja hawajatekeleza kama vile ujenzi wa Chuo cha Veta na ukamilishaji wa madarasa ya kidato cha tano na sita katika shule ya JK Nyerere. Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Apoll Tindwa alitumia nafasi hiyo kuwataka watumishi wake kuhamia Nyamwaga ili kuwakaribu na wananchi wa Nyamwaga katika kutoa huduma. "Namshukuru Rais John Pombe Magufuli kwa utendaji kazi wake nasi kama halmashauri tunatekeleza agizo alilotoa tarehe saba mwezi huu la halmashauri kuhamia Nyamwaga ili kusogeza huduma karibu na wananchi nami nasema watumishi wangu ifikapo mwisho wa mwezi huu wote wawe wamehamia Nyamwaga kwa sababu mimi tayari nilishahamia na mizigo yangu lengo ni kusogeza huduma kwa jamii"alisema Tindwa.
"2020-05-28T04:57:14"
https://gsengo.blogspot.com/2019/10/wanakijiji-wamwagia-sifa-rais-magufuli.html
[ -1 ]
BUSTANI YA MANISPAA YA IRINGA KUWA KIVUTIO KIZURI CHA UTALII MKOANI IRINGA - Bongo Leaks BUSTANI YA MANISPAA YA IRINGA KUWA KIVUTIO KIZURI CHA UTALII MKOANI IRINGA Bustani ya Manispaa ya Iringa inavyoonekana kwa sasa Vyakula na vinywaji vya aina mbalimbali vimeanza kutolewa kwenye bustani hiyo na kampuni ya IMARA FOODS iliyopewa tenda ya kuendeleza bustani hiyo BUSTANI ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa itafanywa kuwa kivutio cha kwanza cha utalii katikati ya mji wa Iringa; hiyo ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Theresia Mahongo. Mpango huo ni jitihada za halmashauri hiyo kuunga mkono harakati za kitaifa za kuboresha shughuli za utalii nchini na hasa baada ya mkoa wa Iringa kutangazwa kuwa kitovu cha Utalii kusini mwa Tanzania. Ili kufikia lengo hilo, Mahongo alisema mwaka jana halmashauri hiyo ilitangaza tenda kwa ajili ya kumpata mwekezaji atakayesaidia kuboresha mazingira ya bustani hiyo ili yavute watalii wa ndani na nje. “Tunataka bustani ile iwe na hadhi kubwa, iwe na hadhi ya kimataifa itakayoleta sifa kwa manispaa yetu na taifa kwa ujumla kwa kukuza shughuli za utalii mkoani Iringa,” alisema. Mahongo alisema mchujo ulifanywa kwa umakini mkubwa uliiwezesha kampuni ya IMARA FOODS kuibuka kidedea dhidi ya kampuni nyingine. Aliipongeza kampuni hiyo kwa kuanza maboresho ya bustani hiyo kwa kupanda miti ya kivuli, maua na nyasi za kuteleza ili kuwavutia watalii wengi zaidi. Afisa Utalii wa Shirika la Hifadhi ya Taifa (Tanapa) wa ofisi ya kanda ya Nyanda za Juu Kusini iliyopo mjini Iringa, Risala Kabongo alisema manispaa ya Iringa ni lango la watalii wanaokuja mkoani Iringa kutembelea vivutio mbalimbali ikiwa ni pamoja na hifadhi kubwa kuliko zote nchini ya Ruaha. Alisema mbali na kuboresha mazingira yake, shughuli za kuboresha vivutio vya utalii zinatakiwa kwenda sambamba na ujenzi wa miundombinu mbalimbali kama ujenzi wa hoteli za kitalii na maeneo ya kupumzikia. Mmoja wa wakurugenzi wa IMARA FOODS, Peter Christopher alisema kazi ya kuboresha bustani hiyo imeanza kwa kasi kubwa na watalii wa ndani na nje watagemee makubwa katika kipindi kifupi kijacho. “Tutazingatia vipengele vyote vilivyopo katika mkataba wetu; tumedhamiria kuifanya manispaa ya Iringa iwe mfano wa shughuli za utalii kusini mwa Tanzania,” alisema. Alisema mbali na kupanda maua ya kuvutia, nyasi na miti ya vivuli, katika bustani hiyo wataweka vivutio vingine mbalimbali vikiwemo vinywaji na vyakula vilivyozoelekea na vile vya kitamaduni. “Tunajipanga kuanza kutengeneza vyakula vya kitamaduni kwasababu ni sehemu muhimu katika kukuza utalii; mfano wa vyakula hivyo ni kama ugali wa muhogo na nyama ya wanyama wadogo kama sungura na simbilisi,” alisema. Alisema utalii wa vyakula vya asili umekuwa ukivutia watalii wengi katika miji mingine ya kitalii ukiwemo Arusha. Alisema maboresho mengine katika bustani hiyo yatakuwa yakifanywa kwa kuzingatia mahitaji ya wadau na maelekezo ya manispaa hiyo. Kuboreshwa kwa bustani hiyo kumeelezwa na wadau wa maendeleo ya manispaa ya Iringa kwamba kutaongeza idadi ya watalii wanaotembelea hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Hifadhi ya Ruaha kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Hifadhi za Taifa (Tanapa) ndiyo inayoongoza kusini mwa Tanzania kwa safari za utalii. Hifadhi ya kwanza ni Serengeti.
"2018-10-17T07:23:10"
http://www.frankleonard.info/2014/04/bustani-ya-maniaspaa-ya-iringa-kuwa.html
[ -1 ]
JAFO AWAONYA WAKANDARASI WASHAURI WA MIRADI YA MAJI - HABARI ZA JAMII Home / Unlabelled / JAFO AWAONYA WAKANDARASI WASHAURI WA MIRADI YA MAJI Dotto Mwaibale 3:59 AM Naibu Waziri Ofisi ya Rasi, Tamisemi Selemani Jafo akisikiliza taarifa ya mradi wa maji Mkoyo. Aidha amebaini kampuni hiyo mshauri huyo ndiye yule yule aliyesimamia mradi kijiji cha Itiso ambao aliutembelea mradi huo mwezi Agosti mwaka huu na kukumbana na changamoto nyingi.
"2018-02-22T01:01:54"
http://www.habarizajamii.com/2017/09/jafo-awaonya-wakandarasi-washauri-wa.html
[ -1 ]
Magufuli na mivutano ya madaraka CCM, serikalini – Raia Mwema Magufuli na mivutano ya madaraka CCM, serikalini Mar 09, 2017 by Evarist Chahali in Makala KATIKA hitimisho la makala yangu katika safu hii wiki iliyopita niliahidi kuwaletea uchambuzi kuhusu mivutano ya kugombea madaraka (power struggles) ndani ya chama tawala CCM.Kwa bahati nzuri, kati ya makala hiyo na hii, kumejitokeza tukio ambalo linaweza kuhusishwa na mada hiyo ninayoiongelea katika makala hii. Barua-pepe: evarist@chahali.org Blogu: www.chahali.com Twitter: @chahali One thought on “Magufuli na mivutano ya madaraka CCM, serikalini” Pingback: Tanzania – Is parliament waking up? | Democracy in Africa Trackback: Tanzania – Is parliament waking up? | Democracy in Africa Leave a Reply Cancel reply Your email address will not be published. Required fields are marked *Comment Name * Email * Website Mitandao ya Kijamii Twitter Facebook Google Plus RSS Youtube Instagram Machapisho Mapya Kimataifa Nini kitatokea Marekani, Korea Kaskazini zikipigana vita? 0 Comments
"2017-04-29T07:33:47"
http://www.raiamwema.co.tz/magufuli-na-mivutano-ya-madaraka-ccm-serikalini/
[ -1 ]
MUWSA yaanzisha mfumo mpya kuhifadhi taarifa - Kilimanjaro Yetu Home » » MUWSA yaanzisha mfumo mpya kuhifadhi taarifa MUWSA yaanzisha mfumo mpya kuhifadhi taarifa MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Moshi (MUWSA) Alisema mfumo wa kielektroniki wa utunzaji taarifa utakapokuwa umeandaliwa vema mamlaka itakuwa kwenye kiwango ambacho mteja hatakuwa na haja ya kupanga foleni kulipia ankara
"2018-03-19T18:05:48"
http://kilimanjaro-yetu.blogspot.com/2014/01/muwsa-yaanzisha-mfumo-mpya-kuhifadhi.html
[ -1 ]
Mashindano ya kumuenzi Marehemu Hassan Gharib yazinduliwa - ZanziNews Home MICHEZO Mashindano ya kumuenzi Marehemu Hassan Gharib yazinduliwa Mwakilishi wa Jimbo la Dimani Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini akikaguwa timu katika ufunguzi wa mashindano ya Hassan Gharib CUP bweleo mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, alliempa mkono ni mchezaji wa timu ya Mitondooni Khamis Ali. Picha na Mwajuma Juma MWAKILISHI wa Jimbo la Dimani Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini amezinduwa rasmi mashindano ya pili ya kumuenzi Marehemu Hassan Gharib. Mashindano hayo yatafanyika katika uwanja wa Bweleo ambapo Mwakilishi huyo aliwataka wachezaji wa timu shiriki kucheza kwa amani na utulivu ili kuendeleza kwa vitendo matendo ya marehemu. Alisema kuwa wanafanya mashindano hayo kwa lengo la kumuenzi marehemu Hassan Gharib ambae alikuwa mdau mkubwa wa mpira pamoja.na kupenda amani na utulivu. Hivyo wanachokitaka wao ni kuona mashindano hayo yanatumika kwa kuonesha vipaji na soka la upinzani litakalovutia watazamaji. Mapema akisoma risala Mwenyekiti wa Kamati ya mashindano hayo Said Majid alisema kuwa changamoto kubwa iliyopo ni vilabu kuomba kuongezewa kwa zawadi ili ziweze kulingana na zawadi za mashindano mengine ya ndondo, ambayo hapa Zanzibar ili kuzidi hamasa na timu nyengine zaidi zizidi kushiriki. Michuano hiyo inashirikisha timu 16 yana lengo la kulienzi jina la kaka yao marehemu Hassan Gharib ambae alikuwa ni miongoni mwa wanabweleo amabao ni muhimili mkubwa wa timu hiyo.
"2019-10-21T02:52:14"
http://www.zanzinews.com/2019/06/mashindano-ya-kumuenzi-marehemu-hassan.html
[ -1 ]
MATUKIO-MICHUZI: JE UMEZAA MTOTO NJE YA NDOA, FANYA HAYA ILI KUMWEZESHA KURITHI BAADA YA KIFO CHAKO. Unao watoto wa namna mbalimbali. Unao uliowazaa ndani ya ndoa na wale uliowazaa nje ya ndoa. Unawapenda sana wote kwa usawa kwasababu wote ni watoto wako. Kuna suala la kifo na ungependa baada ya kifo chako watoto wako wote wafaidi kidogo ulichochuma. Lakini je hilo umelijengea mazingira. Ni muhimu sana ujue kuwa suala la watoto wako kufaidi ulichonacho halitokani na matakwa yako, laa hasha bali linatokana na matakwa ya sheria. Wewe waweza kuamua watoto wako wote wa nje ya ndoa na wale wa ndani ya ndoa wapate mali lakini baadhi wakakosa kutokana na msimamo wa sheria. Ni hapo unapotakiwa kuandaa mazingira yanayoendana na matakwa ya sheria ili watoto wako wote waweze kufaidi machumo yako. 1.FANYA HAYA ILI KUWAWEZESHA WATOTO WA NJE YA NDOA KURITHI. Uhuru wako wa kugawa mali kwa wosia upo katika 1/3 basi na si vinginevyo. Na ni kusema kuwa mtoto/watoto wa nje ya ndoa haki yao ipo katika 1/3 tu. Ikiwa utampatia mali zaidi ya 1/3 basi anaweza kunyanganywa . Kwahiyo uelewe kuwa wosia utakaoandika unahusu 1/3 ya mali tu. Zingatia kuwa usipoandika wosia kugawa 1/3 yote au sehemu yake kwa mtoto/watoto uliowazaa nje ya ndoa basi hawatapata mali kabisa baada ya kifo chako. Na hii ni kwasababu watoto hao hawaruhusiwi kurithi kisheria. Kwahiyo utaona kuwa unachotakiwa kufanya ili hao watoto wasikose ni kupiga hesabu ili kupata 1/3 ya mali yako na kuwapa yote au sehemu yake.
"2016-10-25T01:31:36"
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/08/je-umezaa-mtoto-nje-ya-ndoa-fanya-haya.html
[ -1 ]
KALABA NJE MAZEMBE DHIDI YA YANGA, ULIMWENGU ANAANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KALABA NJE MAZEMBE DHIDI YA YANGA, ULIMWENGU ANAANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > YANGA > KALABA NJE MAZEMBE DHIDI YA YANGA, ULIMWENGU ANAANZA MSHAMBULIAJi tegemeo wa TP Mazembe ya DRC, Ranford Kalaba hatacheza dhidi ya Yanga jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na kuwa majeruhi. Kalaba hayumo kabisa katika orodha ya wanaoshiriki mchezo wa leo, jambo ambalo hakika ni pigo kwa Mazembe katika mchezo huu wa ugenini. Mshambuliaji Mtanzania, Thomas Emanuel Ulimwengu ameanzishwa pamoja na Koffi Christian na Christian Luyindama katika safu ya ushambuliaji. Ranford Kalaba (kushoto) akiwa na kocha Mfaransa, Hubert Velud wa Mazembe muda huu Uwanja wa Taifa kabla ya mchezo na Yanga Thomas Ulimwengu (katikati) akipasha muda huu na wachezaji wenzake wa Mazembe Wachezaji wa Yanga wakipasha muda huu kabla ya mechi Vikosi kamili vya leo ni Yanga; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Mbuyu Twite, Vincent Bossou, Kevin Yondan, Thabani Kamusoko, Haruna Niyonzima, Deus Kaseke, Juma Mahadhi, Obrey Chirwa na Donald Ngoma. TP Mazembe; Sylvain Gbohoud Guelassiognon, Jean Kasusula, Issama Mpeko, Salif Coulibaly, Rodger Asale, Adama Traore, Merveille Bope, Nathan Sinkala, Koffi Christian, Christian Luyindama na Thomas Ulimwengu. Benchi; Robert Kidiaba Muteba. Joel Kimwaki, Deo Kanda, Jonathan Bolingi, Daniel Nii Adjei, Jose Bodibake Mpongo, Richard Kissi Boateng na Jonas Sakuwaha. Item Reviewed: KALABA NJE MAZEMBE DHIDI YA YANGA, ULIMWENGU ANAANZA Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
"2018-06-20T11:10:07"
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/06/kalaba-nje-mazembe-dhidi-ya-yanga.html
[ -1 ]
PINDA apata wakati mgumu Bunda, MWAKYEMBE akana kumshambulia LOWASSA na SITTA aja na mambo matano..MAGAZETINI JUNE 04 – Millardayo.com PINDA apata wakati mgumu Bunda, MWAKYEMBE akana kumshambulia LOWASSA na SITTA aja na mambo matano..MAGAZETINI JUNE 04 Waziri Mkuu Mizengo Pinda atakipa wakati mgumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Bunda, baada ya baadhi ya wakazi wa wilaya hiyo kutishia kuwa hawatakipigia kura kutokana na kiongozi huyo kutoa ahadi hewa ya upatikanaji wa maji safi na salama. Wakazi hao wameapa kuwa labda ahadi hiyo iliyotolewa na Waziri Pinda Machi mwaka jana, itekelezwe kabla ya Uchaguzi Mkuu, kinyume cha hivyo hawataipigia kura CCM ili kuonyesha kuwa hawaridhiki na namna wanavyodanganywa. Wakazi hao walitoa tishio hilo juzi katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM akiwamo, Katibu wa CCM mkoa wa Mara Adam Ngalawa na Naibu Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mfaume Kizigo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye mkutano huo, walisema, wameazimia kutoipigia kura CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kuwa viongozi wa CCM na Serikali yake wanatoa ahadi za uongo na zisizotekelezeka. Michael Kweka alitaja ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda Machi mwaka jana kwamba tatizo la maji lingekoma Juni, kuwa ni moja ya ahadi hewa za viongozi wa Serikali ya CCM zinazowachefua wananchi. “Hatutawapigia kura za urais, ubunge wala udiwani wagombea wote watakaoletwa na CCM mwaka huu kwa kuwa wanakuwa wakitudanganya kwa ahadi hewa,”Kweka. Kweka alisema akiwa ziarani wilayani Bunda Machi mwaka huu, Waziri Mkuu Mizengo Pinda alitoa ahadi kwamba tatizo la maji lingekwisha ifikapo Juni mwaka huu, lakini hadi sasa hakuna dalili zozote za kumaliza kero hiyo. Alisema hali hiyo inawafanya wakazi wa mji huo ambao wamekuwa wakidamka nyakati za usiku kutafuta huduma ya maji safi na salama kuichukia Serikali ya CCM, wakiamini kuwa haiwajali. “Mimi kero yangu ni maji. Hiki kimekuwa kilio chetu kwa muda mrefu. Lakini kinachotuumiza ni ahadi hewa za viongozi wa Serikali ya chama chetu cha Mapinduzi kuhusu mradi unaotekelezwa hapa. Mnaonaje tukiwanyima kura sababu mmezidi ubabaishaji,” alisema mkazi mwingine wa eneo hilo akiwahoji viongozi wa CCM waliokuwapo meza kuu. Nyerere Lucas aliilalamikia Serikali ya CCM kwa kile alichoeleza kuwa imeshindwa kutimiza ahadi zake za kuboresha miundombinu ya barabara wilayani humo kama ilivyoahidi katika Uchaguzi Mkuu uliopita na kuwafanya wakazi wa maeneo hayo kusafiri kwa tabu kutafuta maji mbali na maeneo yao. Kero nyingine walizolalamikia wakazi wa wilaya hiyo ni mikopo kwa vijana na akinamama. Walisema mikopo kwa makundi hayo imekuwa ikitolewa kwa watu maaalum hasa vikundi vinavyomilikiwa na watumishi wa serikali, jambo ambalo limeonekana kwamba kuna nia ya dhati ya kuwasahau wananchi. Hata hivyo, Katibu wa CCM mkoa wa Mara, Adam Ngalawa katika majibu yake ameshindwa kueleza lini mradi huo wa maji utakamilika badala yake akasema umepangwa kutekelezwa katika bajeti ya mwaka Wanasiasa wanaojiandaa kuingia katika Uchaguzi Mkuu, wametakiwa kumuomba Mungu ili awape nafasi hizo kwa njia sahihi kuliko kutumia ‘sangoma’. Wito huo ulitolewa jana na Mchungaji Samuel Mshana kwa niaba ya Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma katika ibada ya kuuaga mwili wa marehemu Eugen Mwaiposa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga (CCM). Mwaiposa alifariki dunia juzi akiwa usingizini kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu, mwili wake ulisafirishwa jana kwa ndege ya kukodi kupelekwa Dar es Salaam ambako utazikwa keshokutwa nyumbani kwake Kipunguni, Dar es Salaam. Ilikuwa ni siku ya huzuni jana, wakati wa ibada iliyofanyika kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, iliyohudhuriwa na umati wa waobelezaji wakiwamo wabunge, wafanyakazi, viongozi wa mkoa na Taifa akiwamo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Katika Bunge la kumi, huyu ni mbunge wa saba kufariki dunia. Akihutubia kwenye ibada hiyo, Mchungaji Mshana alisema ni wakati wa kuangalia namna watu wanavyopaswa kutafuta madaraka kupitia njia zisizofaa. Serikali katika ibada hiyo iliwakilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Bunge, Jenister Mhagama, ambaye alisema hadi Mwaiposa kabla ya kukutwa na umauti alionekana mwenye afya njema na aliomba kuchangia katika hotuba ya Wizara ya Afya. Mhagama alisema, Serikali na Chama cha Mapinduzi vimepoteza mtu mahiri ambaye pengo lake halitazibika na kutoa rambirambi ya Sh5 milioni. Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma. Alitaja mambo mengine kuwa ni kusimamia Muungano, kukamilisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya, kuweka mfumo wenye motisha kwa wote ili kuchochea uchumi endelevu na wa viwanda, vita dhidi ya rushwa na kukiimarisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kiuchumi. Sitta alitangaza nia hiyo jana kwenye Ikulu ya Wanyanyembe iliyopo Itetemia, takriban kilomita saba kutoka mjini Tabora. “Ili kukomesha tatizo hilo (la rushwa), hatuna budi kutunga sheria itakayotenganisha biashara na uongozi,” Sitta alisema akiungana na Rais Jakaya Kikwete ambaye pia aliwahi kuahidi kutenganisha siasa na biashara lakini hadi sasa bado hajatunga sheria hiyo. “Mtu achague moja, biashara au uongozi wa siasa. Ikiwa mfanyabiashara atataka kuingia katika uongozi wa siasa itabidi akabidhi mali na biashara zake kwa mdhamini atakayeziendesha wakati mhusika anatumikia umma,” alisema Spika huyo wa Bunge la Tisa. Alisema mikataba mibovu ya huduma na mauzo, ununuzi hewa, ununuzi uliojaa unyonyaji, uteuzi wa wazabuni kwa rushwa na hasa rushwa katika ajira, imelisababisha Taifa hasara kubwa. Alisema hatua ya pili ya kupambana na rushwa ni kutunga sheria mpya zilizo kali na ambazo zitakuwa na matokeo ya kumzuia mtu asitamani kusaka rushwa. “Katika hilo tutahakikisha mali za viongozi zinatajwa kwa uwazi. Mali isiyolingana na kipato na kukosa maelezo ya kutosheleza itaifishwe, kesi za rushwa ziwe na utaratibu wenye uwazi,” alisema mbunge huyo wa Urambo Mashariki. “Tume inayoshughulikia maadili ya viongozi ipewe nguvu kubwa za uchunguzi na ufuatiliaji wa mali za viongozi bila kuzuiliwa na mamlaka yoyote. Pia Tume ifanye kazi zake kwa kuyaweka mambo wazi kuhusu watuhumiwa, tuhuma zao, majibu yao na hatua zinazofuatia. Vikao vya tume vya kusikiliza mashauri ya maadili viwe vya wazi kwa wananchi.” Alisema adhabu ya utoaji na wapokeaji rushwa itakuwa kali na iambatane na mali zitakazothibitika kupatikana kwa rushwa, zitataifishwa. Mji wa Dodoma na viunga vyake, leo unatarajiwa kuwaka moto baada ya vigogo sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watakapokuwa wanachukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Vigogo wanaochukua fomu leo ni pamoja na Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, Mawaziri Wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Frederick Sumaye, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta na Balozi Ali Abeid Karume. Idadi hiyo ya wanaochukua fomu za kuomba kuwania urais itafikisha jumla ya makada 11 wa CCM ambao tayari wamekwisha kuchukua fomu za kuomba ridhaa kwa chama chao kuwania nafasi ya juu ya uongozi nchini. Wengine waliochukua fomu jana ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya, Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Balozi Amina Salum Ali. Lowassa alitakiwa kuchukua fomu jana, lakini aliahirisha kutokana na msiba wa Mbunge wa Ukonga, marehemu Eugen Mwaiposa, aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi mjini Dodoma. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, wa kwanza kuchukua fomu atakuwa Siyatemi, akifuatiwa na Sumaye, Dk. Bilal, Balozi Karume, Lowassa na atakayefunga dimba ni Dk. Magufuli. Zaidi ya tembo 10,000 katika Hifadhi ya Ruaha-Rungwa wamepotea ama hawajulikani walipo. Akitangaza matokeo ya sensa ya tembo ya mwaka 2014 mjini hapa jana, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema wataalam wa hifadhi wameshindwa kubaini waliko au nini kimewatokea tembo hao na kulinganisha kupotea huko sawa na ilivyotokea kwa ndege ya Malasia Machi mwaka huu ambayo haijaonekana hadi leo. Sensa hiyo ilifanywa na Shirika la Taifa la Utafiti Wanyamapori (TAWIRI), Frankfurt Zoological Society na Vulcan Inc katika eneo la kilomita za mraba 268,692 ambazo ni sawa na asilimia 28.3 ya eneo lote la nchi, kuanzia Mei hadi Novemba 2014. Maeneo ilikofanyika sensa hiyo ni Serengeti, Tarangire-Manyara, Katavi-Rukwa, Burigi-Biharamulo, Malagarasi-Muyovosi, Soulus-Mikumi na Ruaha-Ruangwa, Mkomazi na Saadani. “Wizara yangu inajipanga kikamilifu kujua sababu za kupotea kwa tembo hao…je?, waliuawa au waliondoka katika eneo la hifadhi?. Kwa kawaida kama kuna idadi kubwa ya vifo vya wanyama kama hiyo kunakuwa na mabaki ya mizoga au mifupa kitu ambacho hakijaonekana tangu kupotea tembo hao,” alisema. Idadi ya tembo katika Hifadhi ya Ruaha-Rungwa imepungua kutoka 20,000 mwaka 2013 hadi kufikia 8,272 mwaka 2014. “Tembo 10,000 katika Hifadhi ya Ruaha-Rungwa hawajulikani walipo na wala mizoga yao haijaonekana, wamepotea kama ile ndege ya Malasia. Hali hii inatufanya kuendesha sensa nyingine majira ya kiangazi kuanzia Agosti hadi Novemba, wataalam wanajiuliza kila siku tembo hao wamepotelea wapi, hizi ni habari zinazosumbua,” alisema. Aidha, alisema matokeo ya sensa hiyo pia yamebaini kuwapo kwa upungufu mkubwa katika mfumo wa ekolojia ya Ruaha-Rungwa. Akitangaza matokeo ya ujumla ya sensa hiyo, Nyalandu alisema imeonyesha kupungua kwa tembo kutoka 110,000 mwaka 2009 hadi 43,330 mwaka 2014. Hata hivyo, waziri huyo alisema idadi ya tembo imeongezeka kutoka 13,000 mwaka 2013 hadi 15,217 mwaka jana, ongezeko ambalo ni zaidi ya tembo 2,000. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond. Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto. Alisema kutokana na kusambazwa kwa waraka ambao umeandikwa nyadhifa zake za ubunge na uwaziri, hivi sasa ameshaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu waliokuwa wakiusambaza. Waziri Mwakyembe ambaye kitaaluma ni mwanasheria na mwanahabari, alisema anapata shaka hata na baadhi ya vyombo vya habari pamoja na mitandao hiyo na kudai kuwa anamshambulia Lowassa. “Ninashangazwa sana na hii mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari (magazeti), vimekuwa vikiandika vitu vibaya ikiwa ni pamoja na kumshambulia Lowassa wakati hata siku moja sijazungumza nao. “Kitendo cha baadhi ya watu wa aina hii kuwaandika vibaya wanasiasa katika mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya watu wengine ni ishara ya woga wa kisiasa na kushindwa kujiamini katika misimamo yao. “…Kinachonikera kupindukia ni kuwa taarifa hizo sijawai kuziandika ila kuna mtu ama kundi maalumu la watu limeziandika na kuweka jina langu na nafasi zangu za uongozi kama mbunge na waziri, huu si uungwana na wala si siasa kwa kuchezea majina ya watu. Kama siasa zimefika huku basi ni za hatari,” alisema. Dk. Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela mkoani Mbeya, alisema katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, watu wanapaswa kuacha woga na kutojiamini. “Kitendo cha kutumia majina ya watu na kuelezea hisia zao ni kukosa ujasiri na hata yanayosambazwa kwenye mitandao hayaendani na hadhi yangu kiongozi, sina tabia ya woga na uongo,” alisema. Alisema baada ya kupata taarifa zilizopo mitandaoni alilazimika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ili kulalalimikia mchezo huo mchafu. Dk. Mwakyembe alisema vyombo hivyo vimeshaanza uchunguzi mkali ili kuwabaini watu walioandika na kutuma taarifa hizo. Alisema kutokana na hali hiyo, amedhamiria na kuhakikisha kesi ya kwanza ya matumizi mabaya ya mitandao inaanzia kwake kwa kuwa hana utamaduni wa woga, na watu wanapaswa kuwa wazi endapo wanakuwa na vitu na si kutumia majina ya watu. Dk. Mwakyembe alisema anashangazwa na watu kutumia jina lake kumchafua kwa kuwa hana tatizo na mtu yeyote na kama chanzo ni suala la Richmond, ilikuwa ni kazi aliyopewa na Bunge. Baadhi ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa. Wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo. Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari, alisema ni mwezi wa pili sasa amekuwa akienda na kurudi hospitalini hapo bila ya kupata huduma. “Kila nikifika bado nakutana na bango la ujumbe unaosomeka mashine ni mbovu mafundi wanafanya matengenezo, nimekuwa nikienda na kurudi huku tatizo likizidi kukuwa, mpaka sasa sijui hatima yangu itakuwaje,” Omari. Ofisa Uhusiano wa Hospitali hiyo, Aminiel Eligaesha, alikiri kuharibika kwa mashine hiyo na kusisitiza kuwa tayari uongozi umeshaagiza kifaa cha mashine hiyo kutoka nchini Afrika Kusini. “Tunatarajia kifaa hicho kitafika haraka iwezekanavyo ili kuweza kuwapatia huduma ya kipimo cha CT-Scan wagonjwa wetu wanaokuja kwa ajili ya kufanyiwa kipimo hicho,” ligaesha. Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba. Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Prof. Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu kilichoanza vikao vyake jana jijini Dar es Salaam, kilisema kuwa tuhuma za mjumbe huyo zilifikishwa mbele ya kikao hicho na kufikiwa uamuzi huo. “Kikao cha Baraza Kuu bado kinaendelea hapa na ajenda kubwa ilikuwa ni tuhuma dhidi ya Chifu Yemba ambaye anadaiwa kutumia jina la Mwenyekiti wa chama kuanzisha Saccos na hata kusababisha chama kudaiwa shilingi milioni 12. “Lakini pia amekuwa akitumia jina la Mwenyekiti wa chama, Profesa Lipumba katika mradi wake huo binafsi ambao anauendesha na hata kusababisha chama kuingia katika mgogoro hasa katika Mkoa wa Shinyanga,” kilisema chanzo hicho. Chifu Yemba alipambana na Profesa Lipumba katika uchaguzi wa kuwania nafasi ya uenyekiti ambapo alipata kura 30 huku Lipumba akishinda kwa kura 659 na kufanikiwa kukiongoza tena chama hicho. Chanzo hicho kilisema baada ya kufikiwa kwa uamuzi wa kuvuliwa uanachama kwa Mjumbe huyo wa Baraza Kuu, alitolewa nje ya ukumbi kwa ulinzi maalumu hadi nje ya geti na kuondoka. Yemba kwa muda amekuwa haelewani na hata kushambuliana katika mitandao ya kijamii na Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi, Abdul Kambaya ambaye hivi karibuni alishindwa kura za maoni za kuwania ubunge wa Jimbo la Kinondoni. Kutokana na kushindwa huko kwa Kambaya, kuliibua hisia mbalimbali miongoni mwa wana CUF hali iliyosababisha baadhi ya kikundi cha watu kuandamana na kwenda Makao Makuu ya CUF kufikisha malalamiko yao kuhusu mwenendo wa uchaguzi Kinondoni. Alipotafutwa Naibu Mkurugenzi wa Habari wa Uenezi wa CUF, Abdul Kambaya, alithibitisha kuvuliwa uanachama kwa Chifu Yemba na kikao cha Baraza Kuu la Uongozi la CUF. Related ItemsW ← Previous Story Ninazo tayari stori kutoka kwenye kurasa za Magazeti ya TZ leo JUNE 04 2015 kuanzia Udaku, Hardnews na Michezo Next Story → Michelle na Obama, Mugabe, Lowassa na Rais JK, Mandela, Mkapa kwenye pichaz zao za zamani..
"2020-06-06T04:54:56"
https://millardayo.com/news0415/
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MOBILE 360 AFRICA JIJINI DAR ES SALAAM ~ Blogu ya Wananchi '; if(img.length>=1) { imgtag = '
"2017-08-18T20:19:43"
http://www.lemutuz.com/2017/07/makamu-wa-rais-afungua-mkutano-wa.html
[ -1 ]
James Sinclair: A Friend or Foe? | Page 3 | JamiiForums Huko huko. Kama ndiko nyumbani basi kaa mkao wa kuhama. Maana rais kishasema afadhali wachimbe dhahabu kuliko kulima. wazee ambao mko interested send me your email. Nitakuwa nawapatia vitu exclusive na tunaweza kuandika mengine ambayo hatuwezi kuyaanika hapa maana wanasema "kwenye kuku wengi...." I'll keep your contacts in strict confidence... mwanakijiji@journalist.com Haki ya nani nitaua mtu atakayegusa kashamba kangu pale Kagunga. Bila kuwa na nia ya ku-undermine hii move hebu wajameni tueleweshane hapa kaswali alikouliza Mwanasiasa' ni hisa kiasi gani zinahitajika kuwa kwenye board ya maamuzi? Na vipi kama wazalendo wakifanikiwa kuitwaa kampuni hiyo halafu makuwadi wa soko huria wakainyang'anya hizo hati miliki? Maana kupewa huko siyo kwa sababu ya nia njema bali ni kutokana na wao kutupiwa makombo na huyo mwivi, Kisha tukasikia "tuna tender upya hii kazi" iliyokuwa inafanywa na Sinclair ... Kisha hapo hapo anarudi Sinclair na kampuni nyingine may be this time Dowans Holding. hivi maneno haya yana ukweli gani? Hisa zao zinauzwa Toronto, New York na London. Mtanzania yeyote atakayekuwa na hisa huko ujue ana mkono mrefu---yaani kishaiba nyumbani kuwekeza kwenye kampuni hiyo. Huyu jamaa kamwajiri kijana wa George Kahama pale DSM na kila mara rais Kikwete anapokuja Marekani wanakutana. Sijui wana dili gani. Lakini kama alivyosema Dua, huyu ni kibaka wa kutupa mbali. Serikali ya awamu ya tatu ilifanya watanzania wote tuwe wajinga kwa hiyo hivi sasa tunaliwa kiulaini na huyu jamaa. This thug cannot be our friend even a single minute; ni friend wa Mkapa, Sumaye, Kikwete na Lowassa. Wakati Kikwete alipokohoa kuwa anataka kupitia upya mikataba yote ya madini, akanyamazishwa. Tanzania pale hatuna sheria kamili ya ardhi, bado ardhi nyingi ni mali ya Taifa. Yeye alivyopata haki ya kumilki ardhi yenye madini bado ni kitendawili kweli kweli. Huu ndio ule ukoloni uliojulikana miaka hiyo ya sabini kuwa ukoloni mamboleo. Zamani walikuja kwa na kutunyanganya ardhi kwa nguvu na ikilazimika kwa mtutu wa bunduki. Leo hii wanakuja na kuwalaghai viongozi wetu wapumbavu na kisha kutunyananya ardhi; tatizo la afrika limekuwa ni kwenye ardhi miaka nenda rudi. Ni kama vile sisi wenyewe hatujui matumizi ya ardhi nzuri. Wazo la kununua share ni zuri lakini linataka watu ambao wako committed ili kulifanikisha. Tunaweza kupata angalau Watanzania 10 000 ambao wanaweza kuwekeza lets say kila mmoja share 1000. Kwa hiyo kila mtu atakuwa na at least Canadian $ 6000 kwa bei ya leo ili kuifikia hiyo 2%. Mwanakijiji mimi naona tuanze kukusanya list tujipange kila mwezi kuanza kununua shares, tukijipa muda i.e. kila mwezi kununua share at least Canadian $ 200 kwa wanaojiweza zaidi wanunue zaidi nafikiri tutafanikiwa. Inabidi tuwe na Broker mmoja pale Toronto ili asituchaji bei mbaya kwa kila transaction. Target ikiwa minimum of 1000 shares kwa kuanzia. Floated shares zipo 527 376 629. share ambazo ni outstanding ni 86 455 185. Ukitaka kuona zaidi symbol ya kampuni hii ni TNX. Bei ya leo Canadian $ 6.04 kwa share. Inabidi tuangalie hizo outstanding shares pengine ndio kwa ajili ya wabongo inabidi kufuatilia hili. TNX ni CBOE 10-Year Treasury Yield Index. Mimi huwa natafuta stocks kwa kupitia website hii http://www.marketwatch.com/ Nimejaribu kutafuta hiyo ya TNX sikuiona kama inahusiana chochote na Tanzania. Hebu mwenye kujua symbol kamili ya hii kampuni atuambie. Nenda kwenye Toronto stock Exchange au FTSE ya hapa London halafu kuna sehemu wanauliza unataka share zipi utaona mahali wameandika jina la kampuni ausymbol ya kampuni. hapo weka TNX halafu utaona hizo bei za leo. Au gonga hapa:http://uk.moneycentral.msn.com/investor/quotes/quotes.asp?Symbol=CA:TNX Huwezi kujua nini kinaendelea kwenye kampuni hii kwani wamekuwa wasiri sana; i.e. hata report yao ya mwaka huwezi kuiona mpaka uwe na share kwa hiyo huwezi kujua nani anavuta kamba. Ngoja mie nitanunua some shares nianze kujua kulikoni na nani ana nini. Itabidi tuvute subira kwa hili lakini mimi nitanunua tu maana nataka kujua nini kinaendelea hapo. Nikisha nunua nitafahamu nani ana nini na kiasi gani? ninavyojua mimi makampuni yanatofautiana lakini kama kampuni iko listed in UK then ni rahisi ukiwa na shares za paundi kumi basi uko entitled kupata taarifa zote za kampuni sasa mlioko UK mna siku mbili tuu kwani ni muhimu kumuuliza rais akija huko kuhusu hili kwa taarfa zaidi basi mnaweza kuingia hapa http://www.londonstockexchange.com/en-gb/pricesnews/prices/priceshelp/ na kama kampuni iko lREGISTERD in UK basi ni rahisi nadhani unatakiwa kulipia kiasi kidogo tu kupata info zote kuhusus kampuni http://www.companieshouse.com/ na kama hiyo kampuni inatuhuma za unyanyasaji basi mseme kwani ni rahisi kuwaasemea kwa wabunge wao na kuna website maalum ambayo unaweza kumwaga upupu wote kuhusu hiyo kampuni pamoja na watendaji wake sasa mbaona hamjasema zaidi jinsi MTOTO WA GEORGE KAHAMA anavyohusiana na hawa jamaa? kwani si alikuwa anafanya kazi pale UBALOZI WA UK-DAR? Asante nimeipata; ninaweza kuiweka kwenye portfolio yangu Wall Street kwa kutumia symbol ya CA:TNX au TRE. Tatizo ni kuwa siwezi kupata taarifa kamili za kampuni kama vile analyst information, insider actions, financial reports na vitu kama hivyo. Hata hivyo nitajaribu kununua shares kadhaa hasa kwa vile bei yao ni nafuu kweli kwa share. Naona walianza kuuza share kwe bei ndogo sana chini ya dola moja, na bei yao imepanda haraka sana mwaka wa 2005 tu. Hebu ona chart yao hapa chini. Website yao iko hapa; kuna mahali jamaa huyu anasema " Tanzanian Mining Laws Model For Other African Countries," what a joke? int-basic.chart.gif Nimeshindwa kusoma ripoti hii; nadhani lazime ni sign-in kwenye website yako. Mwl.Kichuguu, Inafunguka hapo panapoonekana unahitajika kusaini usipatilie manani,scrol down utaona kuna sehemu mbili ya kudown load na ya open sasa click kwenye hiyo link ya kufungua utaweza kuisoma, inafunguka hata hivyo ni mpaka idownload lakini inafanya haraka. Kichuguu, kuna kitu hujafanya sawa maana nimejaribu kusign out kila mahala na kuingia humu na kufungua hiyo link na nimeweza kuona. So, jaribu tena.. na kama watu wengine mna tatizo hilo hilo, basi nitabadilishe baadaye na kuweka kwenye site nyingine kuna habari nyeti kweli na za kushangaza! The attachment is here below. Zaidi? Hapo wa JF mmenena! I am in. Yaleyale ya Carl Peters na Chief Mangungo wa Msovero? Again, we need to focus... so far nimepata watu watatu tu kwenye email ambao wako interested..! hatutafika. Wa ndugu kama tutaamua kufanya hivi it'll take angalau dola 500-1000 kuweza kununua shares...kwa kila mtu.. hatuna haraka...tukitaka kufanya hivi by June basi tujiandae. How we gonna do that tutaamua. But the first thing is committment and if you think you can put aside that amount of money until June...Ukisave angalau $50.00 a week from March to the end of May you'll hava at least $650 na tukipata angalau watu 50 tu... we'll be able to invest about $32,500 sawa na karibu shilingi milioni 42!! Is that idealistic of course, is that overtly ambitious? absolutely! is it doable? you betcha!! are there about 50 Tanzanians out there willing to do this in two days I got three!! Watanzania wangapi wako members hapa JF 808! ambao wako active? 270! kati ya hao waliotembelea leo peke yake hadi saa 3.00Asubuhi ni 52! now, you guys tell me.. am I too optimistic? probably. I am in too. Tutawasiliana. Ili tuweze kufanikiwa, tusiwe na wasiwasi wa fedha kwanza... moyo na kujiandaa ndilo la msingi. a. Tujue idadi ya Watanzania ambao wako tayari kuingia na kununua hisa (wapo tayari watanzania wenye hisa kwenye kampuni hiyo) tunataka kuhakikisha kuwa wengi wenye hisa kwenye kampuni hiyo kama mtu mmoja mmoja ni Watanzania b. Tukishajua tuko wangapi ambao tuko tayari kuanza kuweka akiba ya kati ya dola 500 na 1000 basi tunakubaliana wakati muafaka wa kuamua hatua inayofuata. Kama hatuwezi kupata angalau watu 50... it is not worthy it. c. Tutajaribu kuwapata watu wa nico au tuf tuone kama na wenyewe wanaweza kuwa wana hisa... Pesa zinazochumwa nchini mwetu, zirudishwe kwetu. Debate: James Baldwin debating William F. Buckley at Cambridge Union, 1965 Jamii Intelligence 3 Oct 23, 2019 James 'Whitey' Bulger: Jambazi sugu aliyehusishwa na Mafia Marekani afariki kwa njia ya kushangaza gerezani Jamii Intelligence 2 Nov 8, 2018 Kutana na James Hobson Injinia anayetengeza characters wa Marvels & DC Comics, video games kuwa halisia Jamii Intelligence 130 Aug 6, 2018 Kwanini kazi nyingi za kijasusi ni za kifamilia (Family-friendly)? Jamii Intelligence 47 Jul 13, 2018 Debate: James Baldwin debating William F. Buckley at Cambridge Union, 1965 Kwanini kazi nyingi za kijasusi ni za kifamilia (Family-friendly)? Threads 1,379,065 Members 525,302 Posts 33,733,605
"2020-01-19T04:00:07"
https://www.jamiiforums.com/threads/james-sinclair-a-friend-or-foe.1747/page-3
[ -1 ]
AS VITA WA TATU KAGAME, YANGA NA AZAM NYASI ZINAIPATA FRESH HIVI SASA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AS VITA WA TATU KAGAME, YANGA NA AZAM NYASI ZINAIPATA FRESH HIVI SASA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged AS VITA WA TATU KAGAME, YANGA NA AZAM NYASI ZINAIPATA FRESH HIVI SASA AS VITA WA TATU KAGAME, YANGA NA AZAM NYASI ZINAIPATA FRESH HIVI SASA FAINALI ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, kati ya Yanga SC na Azam FC inaendelea hivi sasa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa mechi ya kusaka mshindi wa tatu, AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ikiifunga 2-1 APR ya Rwanda. Mechi kati ya Yanga na Azam inachezeshwa na refa Thierry Nkurunzinza kutoka Burundi, akisaidiwa na Simba Honore wa Rwanda na Peter Sabatia wa Kenya, wakati mezani atakaa Issa Kagabo wa Rwanda, Kamisaa Hassan Amir wa Somalia na Mtathmini wa marefa ni Anangwe Robert wa Kenya. Yanga SC; Ally Mustafa ‘Barthez’, Stefano Mwasyika, Oscar Joshua, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Athumani Iddi ‘Chuji’, Rashid Gumbo, Haruna Niyonzoma, Said Bahanuzi, Hamisi Kiiza na David Luhende. Benchi; Shamte Ally, Juma Seif, Ladislaus Mbogo, Idrisa Assenga na Jerry Tegete. Azam FC; Deo Munishi ‘Dida’, Ibrahim Shikanda, Erasto Nyoni, Said Mourad, Aggrey Morris, Jabir Aziz, Kipre Tcheche, Salum Abubakar, John Bocco ‘Adebayor’, Ibrahim Mwaipopo na Ramadhan Chombo ‘Redondo’. Benchi; Mwadini Ally, Samir Haji Nuhu, Joseph Owino, George Odhiambo, Mrisho Ngassa, Khamis Mcha ‘Vialli’ na Gaudence Mwaikimba. Item Reviewed: AS VITA WA TATU KAGAME, YANGA NA AZAM NYASI ZINAIPATA FRESH HIVI SASA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
"2020-05-25T04:29:08"
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/07/as-wa-tatu-kagame-yanga-na-azam-nyasi.html
[ -1 ]
Mh.Balozi mpya wa Tanzania Washington Dc apokelewa na watanzania wa Dc | Sunday Shomari Home Karibu Mh.Balozi mpya wa Tanzania Washington Dc apokelewa na watanzania wa Dc By SundayShomari - September 18, 2010 0 259 Share on Facebook tweet Mheshimiwa balozi wa Tanzania Mwanaidi Maajar akiwasili nyumbani kwake Bethesda Maryland baada ya kukabidhi hati zake White house huku pembeni yake akitazama ni Bw.Suleiman Saleh(suti nyeusi). Share this:Click to share on Twitter (Opens in new window)Click to share on Facebook (Opens in new window)Click to share on Google+ (Opens in new window) tweet Previous articleNext articleKibaki ailaumu jumuiya kimataifa kuhusu Somalia SundayShomari RELATED ARTICLESMORE FROM AUTHOR Rais Magufuli alipozungumza na wawakilishi wa Umoja wa sekta binafsi Tanzania. December 3, 2015 Kesi ya talaka ya mmiliki wa St.Mathew yaahirishwa tena. August 30, 2015 MKE WA RAIS NIGERIA AMUUMBUA MUME WAKE HADHARANI October 15, 2016 Kenya -Tanzania Bussiness forum in Nairobi. October 10, 2015 Load more Uchaguzi 2015
"2017-07-26T22:26:53"
http://sundayshomari.com/mh-balozi-mpya-wa-tanzania-washington-dc-atoa-wito-kwa-jumuiya/
[ -1 ]
MBEYA CITY SASA YAAMUA KURUDISHA 'MAJEMBE' YAKE YALIOONDOKA | BOIPLUS Blogspot » MBEYA CITY SASA YAAMUA KURUDISHA 'MAJEMBE' YAKE YALIOONDOKA MBEYA CITY SASA YAAMUA KURUDISHA 'MAJEMBE' YAKE YALIOONDOKA A+ MBEYA CITY ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kumrudisha mchezaji wao Deo Julius ambaye anakipiga katika timu ya Kagera Sugar inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Kagera Sugar ilimsajili mchezaji huyo kutokea City baada ya kushindwa kumpa mkataba mpya baada ya ule wa awali kumalizika na hivyo kuuamua kujiunga Kagera kwa mkataba wa mwaka mmoja. Deo Julius Mchezaji huyo ambaye kwasasa yupo jijini Mbeya ameiambia BOIPLUS kuwa tayari mazungumzo ya pande mbili Mbeya City na Kagera Sugar ya kuvunja mkataba wake yanaendelea vizuri na huenda akasaini mkataba muda wowote kuanzia sasa. Deo amesema kuwa kikubwa anachokiangalia ni fedha na wala hachagui wapi afanye kazi kwani mpira ndio ajira yake hivyo haoni tatizo kurejea kwenye timu yake ya zamani. ''Ni kweli nitarudi Mbeya hapa nasubiri viongozi wa Mbeya City wamalizane na viongozi wangu wa Kagera maana kule nina mkataba. Sina tatizo kurudi City kwani ninachokiangalia sasa ni masilahi na kucheza soka ndiyo ajira yangu,'' alisema Deo
"2016-12-03T09:36:37"
http://boiplus.blogspot.com/2015/11/mbeya-city-sasa-yaamua-kurudisha.html
[ -1 ]
 Madereva, makodakta wa daladala wenye lugha chafu kukamatwa 20 September 2019 Friday 10:04 MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, (LATRA) imesema inawachunguza na itawachukuli hatua za kisheria Madereva na Makondakta watakaobainika kutumia lugha chafu kwa abiria. Meneja wa LATRA Kanda hiyo, Denis Daudi amesema hatua hiyo inafuatia baada ya kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa abiria wanaodai tiketi wanaposafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine ndani na nje ya jiji la Mbeya. ‘‘Kodakta au dereva hapaswi kukiuka sheria na taratibu zilizoweka ikiwamo kutoa lugha chafu kwa abiria. Naomba abiria wanapopata shida hii, walete malalamiko yao katika ofisi yetu na hata kwa askari wa barabarani (Trafiki),’’ amesema na kuongeza ‘‘Sheria ipo na kwa mujibu wa sheria adhabu atakazokutana nazo dereva au kodakta ni kutozwa faini ya Sh 50,000 au kufikishwa mahakamani.’’ Abiria wanaosafiri kutoka Stend Kuu ya Mabasi ya Mikoani kuelekea katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mbalizi , na kutoka Sokomatola kwenda Uyole wamelalamikia kuwepo kwa baadhi ya makondakta kutokuwa wastaarabu na kutumia lugha za kejeli pindi wanapodaiwa tiketi. Tumpale Saimon amesema ipo haja ya vyombo husika kufanya uchunguzi na kuwawajibisha ili waweze kutambua majukumu yao na kutii sheria bila shuluti . Gwamaka Fredy Mkazi wa Iyunga ameishauri Serikali kufanya usajili wa makondakta na Madereva pamoja na wamiliki wa makampuni waliyowaajiri ili yanapojitokeza majanga hususan ya ajali, ukikwaji wa sheria iwe rahisi kuwabaini na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.
"2019-10-18T16:20:17"
http://www.azaniapost.com/habari-maalum/madereva-makodakta-wa-daladala-wenye-lugha-chafu-kukamatwa-h24462.html
[ -1 ]
Love - created by Naisha - Listen Playlist Creator: Naisha 1 Missing Me (Remix) 615 Exclusive3:05 Naisha has no other uploads.
"2018-10-17T07:32:18"
https://audiomack.com/playlist/naisha-21/love
[ -1 ]
Discussion in 'Jukwaa la Elimu (Education Forum)' started by Persie, Aug 22, 2012. Kachaguliwa st John's ya dar (st mark's) BAF lakini yupo saut anapiga pre entry programme BBA in procurement anaomba ushauri aende wapi, na wapi kuna soko kubwa la ajira? nenda baf kijana Aiseee baba yangu mi nadhani ungekwenda tcu ukaombe wakupe ushauri coz pale ndipo kwenye wataalamu Unamuombea dogo ushauri akili kumkichwa yeye Hajui cha kufanya Alie soma/anaesoma St John hiyo BAF funguka kuhusiana na quality yake ukilinganisha na BAF ya vyuo vingine kama Mzumbe na Muccobs Koromeo said: Unamuombea dogo ushauri akili kumkichwa yeye Hajui cha kufanya[/Q ndo jibu anko zote anapenda bt hajui yenye opportunity costs kubwa na ndogoClick to expand... Aiseee baba yangu mi nadhani ungekwenda tcu ukaombe wakupe ushauri coz pale ndipo kwenye wataalamuClick to expand... nenda baf kijanaClick to expand... quality vp ukilinganisha na ya vyuo vingine dogo bongo hapa kwa sasa procurement hiko juu, asikwambie mtu. nakushauri ukasome hiyo manunuzi prokyuament, mana sio vyuo vingi vinafundisha hiyo. pia ukiangalia hata serikialini wametilia mkazo swala la procurement. nikwambie dogo, baf , bcom, bachelor of accounting, ni kitu kimoja kuna maelfu na maelfu ya watu katika field hizo. pia kutoka katika field hiyo ni kujuana au kama wewe ni kichwa kweli. kichwa cha kupata first class au upper second kali ambazo hizo ni za ma TOOO. KASOME MANUNUZI MDOGO WANGU ,USIJE UKATUSUMBUA MTAANI HELA YA KULA nikwambie dogo, baf , bcom, bachelor of accounting, ni kitu kimoja kuna maelfu na maelfu ya watu katika field hizo. pia kutoka katika field hiyo ni kujuana au kama wewe ni kichwa kweli. kichwa cha kupata first class au upper second kali ambazo hizo ni za ma TOOO. KASOME MANUNUZI MDOGO WANGU ,USIJE UKATUSUMBUA MTAANI HELA YA KULAClick to expand... Tatizo lenu vijana ni kwamba nyote by instinct ni mafisadi hata kama post zenu nyingi hapa ni za kulaani mafisadi. Mnalaani kwa vile hamjapata nafasi ya kuingia lakini malengo yenu ni kujiunga katika kundi la mafisadi. Financial sector hapa Tz ni kubwa na inaendelea kukuwa na kuwa diversified. Kwa hiyo kama unayo BAF 'worth the salt' prospect ni nyingi. Lakini ni sector inayoangalia vichwa siyo makaratsi.
"2016-10-24T07:19:15"
http://www.jamiiforums.com/threads/naomba-ushauri-wako.311935/
[ -1 ]
WAKULIMA ,WAFANYAKAZI WA MKONGE WALIA KWA DC KOROGWE - MSUMBA NEWS BLOG WAKULIMA ,WAFANYAKAZI WA MKONGE WALIA KWA DC KOROGWE Baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Mkonge Hale kilichopo chimi ya Kampuni ya Katani Ltd wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Kissa Kasongwa (hayupo pichani) alipofika kiwandani hapo kuzungumza nao. (Picha na Yusuph Mussa). Mkonge huu wa mmoja wa wakulima wa Shamba la Mkonge Hale wilayani Korogwe ambao umeharibika, unadaiwa kuvunwa Mei 3, 2019 kisha kutelekezwa ukiwa shambani. BAADHI ya wafanyakazi na wakulima wa Shamba la Mkonge Hale lililopo Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga wamelalamika kuwa hawaridhiki na mwenendo wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Mkonge Hale (AMCOS). Walitoa dukuduku lao juzi mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Kissa Kasongwa alipotembelea Kiwanda cha Mkonge Hale kilichopo chini ya Kampuni ya Katani Ltd ili kusikiliza changamoto za wafanyakazi ikiwa ni muendelezo wa kutembelea viwanda vya mkonge vya Magoma, Mwelya, Ngombezi, Magunga na Hale. "Mkuu wa Wilaya mimi nilipewa kazi ya usimamizi na AMCOS ya Hale ya kusimamia wakataji na kuwalipa. Na kazi hiyo ya malipo nilikuwa naifanya kila jumamosi. Lakini nilisimamishwa kazi baada ya kuambiwa nimepoteza mkonge wa wakulima. Nataka kusema mbele yako, mkonge ulikuwepo na meta zilizokatwa zilikuwa sawa, lakini kuna watu ili kunihujumu, walichukua baadhi ya mkonge huo na kwenda kuutupa ili meta zangu ziwe pungufu. "Bado kuna mkonge mwingine umebaki eneo hilo, kwani una muda mrefu ulikuwa umekatwa (tangu Mei 3, 2019), lakini ulishindwa kusombwa kwa wakati ili uweze kufikishwa kiwandani. Hofu yao ni kuwa mkonge huo ungeletwa kiwandani wakati muda umepita, mkonge wake ungekuwa wa daraja la chini sana... Mkuu wa Wilaya, nipo tayari kuweka mafuta kwenye gari lako ili ukaone mkonge huo uliotelekezwa shamba" alisema Omar Chuma. Mkulima Emmanuel Cossam alisema, mkonge wake haujakatwa kwa muda mrefu huku yeye akiwa na matatizo mbalimbali ikiwemo kumuuguza baba yake. Hivyo kumuomba Mkuu wa Wilays aweze kumsaidia ili mkonge wake ukatwe. "Mimi nimekuwa nalia na uongozi wa AMCOS wanisaidie namna ya kukata mkonge ili nimuuguze baba yangu mzazi ambaye anaumwa ugonjwa wa tezidume, lakini sasa ni muda mrefu na kilio changu hakijasikilizwa, hivyo Mkuu wa Wilaya, naomba unisaidie kwa hilo" alisema Cossam. Kasongwa alitaka kujua uongozi kama unayajua malalamiko hayo, huku akiagiza uongozi wa AMCOS, pamoja na kuwa wanakata mkonge kwa zamu, lakini mkulima anaeuguliwa na baba yake apewe kipaumbele ili aweze kumuuguza mzazi wake. "Korogwe ndiyo wilaya inayoongoza kwa kilimo cha mkonge Tanzania nzima. Naomba sifa hizo ziendane na hali halisi, sio watu tunasifiwa nchi nzima, halafu wakulima na wafanyakazi wake wa mkonge choka mbaya! nataka kampuni ya Katani Ltd na AMCOS muhakikishe mnawalipa kwa wakati wakulima na wafanyakazi wa mkonge" alisema Kasongwa. Hata hivyo, Kasongwa aliipongeza Kampuni ya Katani Ltd, kwani katika viwanda vitano vya kusindika mkonge vya Hale, Mwelya, Ngombezi, Magunga na Magoma, Kiwanda cha Hale, wafanyakazi wanadai mshahara wa nusu mwezi wa Agosti, mwaka huu, tena ni kwa sababu Katani Ltd hawajalipwa sh. milioni 18 na AMCOS. "Wafanyakazi wa Katani Ltd, niseme ninyi hapa mna maisha mazuri tofauti na wenzenu. Huko kote nilikopita, ninyi peke yenu ndiyo mnadai fedha kidogo tangu utaratibu mpya umeanza wa kuwa chini ya AMCOS... tena mnadai nusu mwezi. Nina hakika baada ya Katani Ltd kulipwa hizo fedha, nao watawalipa mshahara wenu" alisema Kasongwa. Meneja wa Kiwanda cha Mkonge Hale Nassoro Mpate alisema wanaidai AMCOS sh. milioni 18, huku Mwenyekiti wa AMCOS Hale Abdallah Kamili akikiri deni hilo, na kudai wangelipa fedha hizo kwa Katani Ltd wiki hii ili nao wawalipe wafanyakazi. Kamili aliahidi kushughulikia malalamiko hayo ya wakulima na wafanyakazi, huku akiahidi kumpa kipaumbele Cossam ili avuniwe mapema mkonge wake ili aweze kumuuguza mzazi wake, na huku akiahidi kufuatilia suala la mkonge kutupwa na mwingine kuachwa shamba wakati ulishakatwa. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Sept. 5, Kamili alisema hana uhakika na tuhuma zilizotolewa kuhusu mkonge kutupwa porini na mwingine kuachwa shambani, lakini kesho Jumamosi (Sept. 7), Kamati ya Nidhamu ya AMCOS Hale itakaa na wahusika ili kuweza kujua ukweli wa jambo hilo. "Mwandishi, unaposema una ushahidi wa picha ya mkonge uliotupwa ama kuachwa shamba, mimi hilo siwezi kuthibitisha, unajuaje kama huo mkonge ni wa sehemu hiyo. Ili kupata ukweli wa hilo, Kamati ya Nidhamu ilikuwa ikae leo (jana), lakini kutokana na vikao vingi hapo Korogwe, kikao hicho kitafanyika Jumamosi" alisema Kamili.
"2019-11-15T08:18:10"
http://www.msumbanews.co.tz/2019/09/wakulima-wafanyakazi-wa-mkonge-walia.html
[ -1 ]
Religious – Jamii Islam Moja ya siku muhimu sana katika kalenda ya Kiislamu ni Eid al-Fitr. Husherekewa siku mbili, kuhitimisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao hudumu kwa mwezi mmoja. Tuangalie kwa umakini tamaduni za sikukuu hii, ambazo kwa asili yake husherekewa na familia, na jamii. 1. Eid al-Fitr Inaashiria Mwisho wa Ramadhan Eid al-Fitr hufanyika siku ya […] Waumini wa Dini ya Kiislamu popote walipo katika kipindi hichi cha kusherehekea uzawa wa Kiongozi wa Dini hiyo Ulimwenguni Mtume Muhammad { SAW } wana wajibu wa kupitisha maazimio ndani ya nafsi zao ya kuachana na maovu na kukumbatia mema yote kama alivyokuwa akiyahubiri Kiongozi huyo wakati wa uhalifa wake. Makamu wa Pili wa Rais […] MWENYEKITI WA MWINYI BARAKA ISLAMIC FOUNATION SHEIKH ISSA OTHOMAN ISSA IMAMU WA MSIKITI WA MAAMURU UPANGA ( WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO) AKIMKABIDHI MSHINDI WA KWANZA WA SHINDANO LA QUR’AN KWA NJIA YA TAJWEED RAJEI AYOB FUNGUO YA PIKIPIKI
"2020-08-13T08:54:56"
https://www.jamiiislam.co.tz/category/religious/
[ -1 ]
Uandikishaji daftari la wapiga kura bado - BBC News Swahili Uandikishaji daftari la wapiga kura bado http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/02/150212_tanzania_bvr Image caption Nembo ya Tume ya Uchaguzi Tanzania, chini yake ni mwanamke mmoja akimsaidia mwenzake kumwonyesha sehemu ya kupiga kura Tume ya uchaguzi nchini Tanzania imesogeza mbele kwa wiki moja zaidi tarehe ya kuzinduliwa kwa zoezi la daftari la wapiga kura litakalotumia mfumo mpya wa kieletroniki yaani Biometric Voters Registration BVR. Zoezi hilo ambalo litaanza rasmi katika mkoa wa Njombe na baadae kufuatia katika mikoa mengine ya Tanzania hivi sasa linatarajiwa kuanza tarehe 23 ya mwezi huu badala ya tarehe 16 kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini humo amesema lengo la mabadiliko hayo ni kuvipa fursa vyama vya kisiasa kujiandaa na kuandaa watu wake. Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa vyama vikuu vya kisiasa wamesema kauli hiyo haina ukweli wowote na kwamba tume inajikosha kwa sababu haina vifaa vya kutosha vya kuendesha uandikishaji huo. Mwandishi wa BBC Aboubakar Famau kutoka Dar es Salaam ametuandalia taarifa ifuatayo: Wakati ikiwa imesalia miezi miwili tu na wiki kadhaa kabla ya tarehe iliyopangwa ya kupiga kura ya maoni ya katiba inayopendekezwa, wasi wasi unazidi kutanda miongoni mwa viongozi mbali mbali wa vyama vya kisiasa hapa nchini Tanzania, iwapo Tume ya Uchaguzi nchini humu itaweza kuboresha daftari la wapiga kura katika kipindi cha muda mfupi uliobakia. Baadhi ya viongozi hao wamesema kwamba licha ya tume hiyo kutovishirikisha vyama vya kisiasa katika baadhi ya maamuzi yake, lakini pia wamebaini kwamba mpaka sasa tume hiyo inakabiliwa na ukosefu wa vifaa vya uandikishaji kwa sababu havijaingia nchini kama ambavyo anabaini Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema. Image caption Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa CUF Mfumo huyo mpya kwa Tanzania wa BVR utaigharimu tume kiasi cha fedha za kitanzania shilingi bilioni mia mbili na tisini na tatu ambazo mpaka sasa haijafahamika iwapo fedha hizo zimepatikana au la. Kwa upande wake, Prof. Ibrahim Lipumba ambae ni mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF anaelezea kuwa kukosekana kwa utaalam miongoni mwa wafanyakazi wa tume kunaweza kuwa kikwazo cha kufanikisha zoezi hilo. Hata hivyo, Jaji Damian Lubuva ambaye ndiye mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania anasema madai hayo ni uoga wa wanasiasa ambao hawataki mabadiliko katika mifumo ya uchaguzi. Uandikishaji wapigakura umepangwa kufanyika nchi nzima kwa muda wa siku sitini kuanzia mkoani Njombe tarehe 23 mwezi huu ambapo watanzania zaidi ya milioni 23 wanatarajiwa kujitokeza katika uandikishaji huo. Hata hivyo kwa mujibu wa wachambuzi wa mambo, haijafahamika iwapo raia wengi watajitokeza kwa sababu kazi ya kuwahamasisha raia bado haijafanyika na vile vile baadhi ya watanzania wanaweza kuikosa fursa hiyo ikizingatiwa ni msimu wa wakulima kuingia mashambani kabla ya mvua za masika. Aboubakar Famau, Dira ya Dunia, BBC, Dar es Salaam.
"2018-05-24T11:08:07"
http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/02/150212_tanzania_bvr
[ -1 ]
TRITON AP-DATA Msimamizi wa Mafunzo ya Kozi katika Gurgaon TRITON AP-Msimamizi wa DATA Mafunzo ya kozi katika gurgaon TRITON AP-DATA Msimamizi Mthibitishaji wa kozi ya gharama katika Gurgaon Taasisi ya TRITON AP-DATA Administrator Kozi katika gurgaon TRITON AP-DATA Msimamizi wa Mafunzo katika Gurgaon TRITON AP-DATA Msimamizi Mtihani wa kozi katika gurgaon TRITON AP-DATA Msimamizi Mtaalam wa Kozi katika Gurgaon Bora TRITON AP-DATA Msimamizi wa Mafunzo ya Kozi Online TRITON AP-Mtawala wa DATA Mafunzo ya kozi Katika kozi hii, utajifunza jinsi ya kupima kupelekwa kwa sasa, jinsi ya kusimamia sera na ripoti, kushughulikia matukio na mwisho, kuboresha na kusimamia mfumo wa AP-DATA. Utakuwa na ujuzi wa kuunda sera za data, kujenga vigezo vya desturi na kutumia sera zilizopangwa, usimamizi wa tukio, taarifa, na usanifu wa mfumo na matengenezo. Maarifa Makali ya Suite ya TCP / IP Maarifa ya Firewall Inakubaliana na AP-WEB na AP-EMAIL Kuepuka trafiki na Mlinzi Uvumbuzi na Serikali za AP-DATA Shughuli ya Maisha ya Maisha Mbinu ya uumbaji wa sera za DLP Vipengee rahisi Maandiko na vigezo vilivyotanguliwa Watumiaji & Mwisho Mwisho wa Takwimu Matukio na taarifa Ufuatiliaji wa kazi ya matukio ya juu Admins zilizowekwa Hitilafu ya hatua Upatikanaji wa Juu wa Meneja wa AP-DATA Tahadhari, Matukio ya Mfumo
"2018-09-23T12:11:48"
https://itstechschool.com/sw/course/triton-ap-data-administrator-course/
[ -1 ]
DIRA YANGU.: MUSEVENI AANZA KUONESHA DALILI ZA UDIKTETA Ukisikia hakuna demokrasia basi ndio hapa Uganda. Kweli Museveni amemtia kizuizini mpinzani wake mkuu ambaye amekuwa akidai Museveni ni dikteta. Huku akiwa jela jana, washtakiwa wengine wanaoshtakiwa naye walipewa dhamana ya bei mbaya: dola elfu sita kwa kila mmoja.Pamoja na kwamba hela hiyo ililipwa lakini hawakuweza kutoka kwani wanajeshi walifika na kuiteka mahakama wakidai wanataka kuwakamata hao jamaa. somahapa Jamaa wakiongozwa na wanasheria wao walikataa kutoka na kuwa huru na wakabaki gerezani kwani haijulikani wanajeshi walitaka kuwapeleka wapi. Nakwambia dalili za udikteta zimeanza kujionesha hapa.Lakini yote hii imemuongezea umaarufu Dr. Besyige, mpinzani mkuu wa Museveni. Museveni jana alikutana na mabalozi wa nchi za majuu na akawatisha kwelikweli. Kuna kila dalili ya Museveni kuchokwa na waganda wengi lakini yeye sasa ameamua ni ubabe tu. somahapa Ila ningependa pia msome makala moja nzuri sana ambayo inaeleza ni kwa vipi kumtia kizuizini Besyige kuna athari kadhaa na ni kwa vipi kunachangia demokrasia ya nchi hii iliyotawaliwa na wanajeshi. somahapa Posted by Innocent Kasyate at 4:39 am
"2018-03-22T19:44:20"
http://funguajicho.blogspot.com/2005/11/museveni-aanza-kuonesha-dalili-za.html
[ -1 ]
Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada - Dar Es Salaam, Dar es Salaam Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada - Dar Es Salaam Private Price: 60,000,000TSh00 Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada Nyumba ya vyumba 3 vya kulala stininroom dining room kitchen stoo toilet parkin umeme upo maji yapo Nyumba full tairizi Nyumba Aipo mbali na Barbara ya rami km dk 5 kwa miguu kufika k Nyumba Nyumba Hati ya ke ya serekali ya mtaa Nyumba ukubwa wa kiwNja sqm 400 Nyumba ipo vinzuri Nyumba mpya Kwenda saiti chaji ya dalali elufu 20 Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada listings360 Nyumba inauzwa ipo kigamboni kibada listings360 Kawambwa Property Sales Rentals listings360 Property Sales Rentals Dar Es Salaam le bon coin Property Sales Rentals Dar Es Salaam listing Property Sales Rentals Dar Es Salaam let go Property Sales Rentals Dar Es Salaam Property Sales Rentals Dar Es Salaam Houses for Sale listings360 Houses for Sale Dar Es Salaam le bon coin Houses for Sale Dar Es Salaam listing Houses for Sale Dar Es Salaam let go Houses for Sale Dar Es Salaam Houses for Sale Dar Es Salaam listings360 Dar Es Salaam P 6 months ago Real Estate & Property ✅ Property for sale Dodoma nyumba inauzwa ipo mbande - dar es salaam nyumba inauzwa ipo mbondore - dar es salaam nyumba inauzwa ipo magole - dar es salaam nyumba inauzwa ipo kigamboni - dar es salaam nyumba inauzwa ipo tabata ruiti - dar es salaam nyumba inauzwa ipo chanika mwisho - dar es salaam nyumba inauzwa ipo kigamboni geza - dar es salaam nyumba inauzwa ipo mbagala kwa - dar es salaam nyumba inauzwa ipo kitunda kivure - dar es salaam
"2020-04-06T14:14:11"
https://listings360.co.tz/nyumba-inauzwa-ipo-kigamboni-kibada-dar-es-salaam/9432874.html
[ -1 ]
jack ma | JamiiForums Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma. Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada. Wiki... First deals under continental free-trade pact planned for July Ma wants Africa entrepreneurs to be celebrated as ‘heroes’ Jack Ma, the co-founder of Alibaba Group Holding Ltd., said African entrepreneurs will find countless opportunities in e-commerce, logistics and e-payments as the continent... Jack Ma anasema kwamba... Kuwa na degree au kuwa na PhD haimaanishi kuwa unaweza au unafahamu kila kitu. Kila siku kuwa mtu wa kujifunza kutoka kwa watu wanaokuzunguka kila siku. Katika maisha yako ya kila siku hasa kwa jamii inayokuzunguka kuna elimu zaidi ya iyo degree yako au PhD yako. Usipende kujiona kama muweza wa...
"2020-04-05T19:47:34"
https://www.jamiiforums.com/tags/jack-ma/
[ -1 ]
WABUNGE FILIKUNJOMBE NA MNGONGO WASIMIKWA KUWA WALEZI WA UWT ~ UVCCM BLOG ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append(" Home » » WABUNGE FILIKUNJOMBE NA MNGONGO WASIMIKWA KUWA WALEZI WA UWT WABUNGE FILIKUNJOMBE NA MNGONGO WASIMIKWA KUWA WALEZI WA UWT Mbunge Filikunjembe na Mafulu wakipongezwa kwa kuteuliwa walezi wa UWT Njombe Dr Suzana Kolimba wa tatu kushoto akipongezwa kwa mchango wake UWT walezi wa UWT mkoa wa NJombe mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe ( kulia ) na mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Lediana Mafulu wakipongezana kwa kuteuliwa kuwa walezi wa UWT mkoa wa Njombe Wabunge Filikunjombe na Lediana wakiwa katika pozi CHANZO;MJENGWABLOG
"2018-07-22T09:00:11"
https://uvccmtz.blogspot.com/2014/08/wabunge-filikunjombe-na-mngongo.html
[ -1 ]
“Wee tafuta mkwanja kwa juhudi zote” Prezzo’s girlfriend Amber Lulu offers Hamisa Mobetto support - Priority10News | Exclusive East Africa News,Entertainment And Technology Home / Celebrities & Gossip / Entertainment / “Wee tafuta mkwanja kwa juhudi zote” Prezzo’s girlfriend Amber Lulu offers Hamisa Mobetto support “Wee tafuta mkwanja kwa juhudi zote” Prezzo’s girlfriend Amber Lulu offers Hamisa Mobetto support Unknown 6/13/2018 0 Hamisa Mobetto come under heavy fire from Diamond Platnumz’s family when a new song ‘Iyena’ was released. The music video showed Diamond and Zari’s wedding. Hamisa was forced to call out Diamond on social media for failing to defend her against attacks from members of his family including his mother and sister. “Lakin ndugu zako hawabebeki its too much talk to Your familia maana wewe ni mwanaume na uwezo wa kunyamaliza…Na pia waambie unahitaji Mke sio House girl wa Nyumba…Mwanamke kazi yake kukupikia Ule … Nk, au nlikua sikupikii tena sio wewe tu na Ndugu zako mkala na kusanza ? … leo imekua hamisa hajui kupika kusafisha nyumba kwahiyo chumba chako tukimaliza lalana huwa anasafisha nani ? Au walitala niende kwafulia vyupi vyao nikimaliza niwapigie deki mpaka chumbani kwao ? Wakishindwa kuniheshimu basi waambie waheshimu damu yako,” wrote Hamisa Mobetto on Instagram. Prezzo’s girlfriend Amber Lulu has come out to offer her support to Hamisa Mobetto. The popular video vixen encouraged Mobetto to ignore the distractions from haters and focus on making money. “Mimi namuamini sana Mobetto na ninajua kwamba ni mwanamke anayejiamini kwa kila kitu, kwa hivyo hili lililomtokea ni changamoto tu katika maisha niseme tu kwamba yeye aendelee na biashara zake kwa nguvu zote na kufanya kazi ili aweze kulea familia yake, achukulie hii ndio changamoto ya yeye kukaza buti na kutafuta mkwanja kwa juhudi zote, mwanaume kama anampenda atarudi tu,” said Amber Lulu during an interview with Star Showbiz.
"2019-06-19T03:31:53"
http://www.priority10.ml/2018/06/wee-tafuta-mkwanja-kwa-juhudi-zote.html
[ -1 ]
SEOUL: Korea Kusini yaanza juhudi za kuwakoa mateka wake | Habari za Ulimwengu | DW | 26.07.2007 SEOUL: Korea Kusini yaanza juhudi za kuwakoa mateka wake Korea Kusini imeanza juhudi za kidiplomasia kuwaoka mateka wake 22 wanaozuiliwa na watekaji nyara nchini Afghanistan. Mjumbe wa Korea Kusini, Baek Jong - Chun, ameondoka leo mjini Seoul kwenda Afghanistan. Baek Jong Chun ni katibu mkuu anayehusika na sera za kigeni na usalama katika ofisi ya rais na amekwenda Afghanistan kama mjumbe maalumu wa rais wa Korea Kusini Roh Moo - Hyun. Ziara yake inafanyika kufuatia kuuwawa kwa mateka mmoja miongoni mwa mateka 23 waliotekwa nyara na wanamgambo wa Taliban. Korea Kusini imelaani vikali kuuwawa kwa mchungaji wa kanisa la Kiprotestanti la Presbiteri mjini Seoul, Bae Hyung-Kyu, aliyekuwa akiwaongoza wenzake kufanya mradi uliodhaminiwa na kanisa hilo nchini Afghanistan. Taarifa iliyotolewa na ofisi ya rais wa Korea Kusini, Roh Moo Hyun, imesema mauaji ya raia asiye na hatia ni kitendo kiovu ambacho hakiwezi kuhalalishwa kwa sababu yoyote ile na wala hakiwezi kuvumilika. Msemaji wa Taliban, Qari Mohammed Yousuf, amesema leo mateka wote 22 wako salama kufuatia ahadi waliyopewa na serikali kwamba suluhisho la amani litapatikana kuhusiana na swala hilo. Kiungo https://p.dw.com/p/CBey
"2018-08-19T14:38:56"
https://www.dw.com/sw/seoul-korea-kusini-yaanza-juhudi-za-kuwakoa-mateka-wake/a-2904760
[ -1 ]
JOHN MNYIKA: Uzinduzi wa Mradi wa Kinamama Mji Mpya Posted by John Mnyika at 11:41 PM Nasimama na Wabunge na Makamanda wetu waliokamatwa...
"2019-08-23T00:02:30"
http://mnyika.blogspot.com/2017/12/uzinduzi-wa-mradi-wa-kinamama-mji-mpya.html
[ -1 ]
Pinda wa zamani wa Kituo cha Disney anasema amedhulumiwa na wapiga picha wa Hollywood: Martin Vrijland chanzo: Wanafunzi wa wanafunzi, com Nyota wa zamani wa Kituo cha Disney Ricky Garcia amekuwa nyota mpya ya watoto kulipua filimbi ya mlipuko wa ugonjwa wa Hollywood. Anamtuhumu meneja wake wa zamani kuwa amemnyanyasa kingono kwa miaka na kuruhusu vibuni vingine vya Hollywood kumtumia kama "toy ya ngono." Garcia alidai kwamba dhuluma ya Joby Harte ya Hot Rock Media ilianza wakati alikuwa na umri wa miaka 12 tu, kulingana na ripoti iliyochapishwa na Ukurasa wa sita Alhamisi. Dhuluma hiyo iliendelea kwa miaka kadhaa baadaye, kesi ya korti katika Korti Kuu ya Kaunti ya LA ilidai (ona hapa). Kwa bahati nzuri, aina hiyo ya kitu hufanyika tu huko Amerika, kwa sababu tumesahau kituo chetu cha huduma cha mchana cha Amsterdam Robert M.. Ni nani walikuwa wanunuzi wa wale watoto waliodhulumiwa tena? Tunaanza kuzoea. Kwanza Jimmy Savile nchini Uingereza, kisha Jeffrey Epstein huko Merika na sasa kesi hii tena. Kwa kweli sisi wenyewe tulikuwa na katibu mkuu wa haki ambaye alishutumiwa kwa pedophilia (Joris Demmink), lakini hiyo haijawahi kuthibitika kuwa ngumu. Kwa hivyo huko Uholanzi sio mbaya sana. Mbali na ukweli kwamba mitandao kubwa ya ponografia ya watoto imewahi kuzinduliwa nchini Uholanzi na kwamba hapo zamani tulikuwa na seneta wa PvdA ambaye nyumba yake ilijaa na ponografia ya watoto, lakini hebu, tunabaki kuwa nchi tamu nzuri. Jina la seneta huyo alikuwa Edward Brongerma na faili za ponografia za watoto sasa ni nyenzo za kisayansi za msingi ambaye yuko nyuma ya elimu ya ngono katika shule zetu za msingi, lakini pia tutafanya hivyo tena. Halafu tunayo filamu za unyanyasaji wa kijinsia ambazo watoto wachanga na watoto wachanga wananyanyaswa kijinsia. Sio zabuni! Kesi za pedophilia za nyakati za hivi karibuni zinaonekana kuwa na athari ya kuzoea. Ikiwa tunaona ujumbe wa kutosha kutoka kwake, itakuwa na athari ya kuamini kwamba hii ni hitaji la kingono la wanaume fulani. Kwa kuongezea, daima ni juu ya watoto wadogo wa (wacha tuseme) kikundi cha umri 12 +. Watu wengi wanaweza hata kuchagiza mabega yao kwa siri kwa hiyo (ikiwa unaona kitu kibaya lakini mara nyingi vya kutosha katika habari, hali hujitokeza, hata iwe mbaya). Mchunguzi wa Marc Dutroux, kesi ya Robert M., kesi ya ponografia ya watoto wa Zandvoort na jam za trafiki za Edward Brongersma, hata hivyo, zimeonyesha kuwa kuna uwezekano kuwa kuna soko kubwa la unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wadogo sana (watoto wachanga na watoto wachanga). Ingawa nina wasiwasi kuhusu uwezekano wa kwamba David Icke (tazama hapa chini) ni fungu lililodhibitiwa (labda hana fahamu), hiyo haimaanishi kwamba haonyeshi ukweli mwingi. Hiyo ni kazi yake. Upinzani uliodhibitiwa lazima ufunue ukweli. Mara tu msaada ukiwa mkubwa, bomu limepigwa chini chini na umeshughulika na kikundi hicho katika 1x. Kwa hivyo mimi huchukua msimamo kwamba anatoka na sehemu kubwa za ukweli, sio kwamba yeye haoni kila wakati kwamba tunachezwa pia na mbwembwe na PsyOps (lakini wakati anakaguliwa, hawezi kudhihirisha kuwa) . Icke pia inakuja na ufunuo ambao tayari umetengenezwa kwenye njia zingine, lakini kazi yake ni kuvutia ubinadamu wa kuamsha. Hadithi ya ibada ya Sabasaba hapa chini (tazama video) labda ni msingi wa ukweli. Pedophilia ni sehemu muhimu ya kanuni za Kabbalistic za ibada hii. Kwa maoni yangu, hata hivyo, kikundi hiki kinasimamiwa (tazama maelezo hapa chini). Kilicho muhimu kuelewa ni kwamba sisi (kama David Icke anavyodai kwa usahihi) tunashuhudia hati ambayo mambo mawili yanainuliwa kwa makusudi hadi urefu mkubwa. Katika hili, uovu pia huchukuliwa kwa urefu mkubwa. Hiyo ndiyo kazi ya hawa kabbalists na ibada ya Sabbatan. Ikiwa unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wachanga umekuwa ukiendelea kwa vizazi (ndani ya hizi damu), ni kama ilivyochomwa ndani ya Dawa ya binadamu kama kumbukumbu ya msingi. Hii ndio jinsi avatar ya mwanadamu inavyofanya kazi (kama ilivyoelezwa katika makala hii: soma!). Jalada kubwa la pedophilia katika media na media mbadala pia ina athari hiyo. Aina ya hali ya kukosa fahamu kwa jambo hilo hufanyika na duka zetu za DNA hujali kama ukweli wa msingi. Waliowajibika Ikiwa tunataka kuona kwa nini tunaona uzushi huu na kwa nini kikundi cha Wasabati kinatimiza jukumu lake katika maandishi ya bwana, basi tunahitaji kuona kupitia kiini cha ukweli wetu. Kiini hicho ni kwamba watu fulani katika mikoa ya juu wanaendeshwa na mjenzi wa ukweli huu wa simulative. "Halo, subiri kidogo! Je! Tunapata nini tena? Ukweli Simulative?"Ndio, wewe na wewe tunaona ulimwengu huu na ulimwengu huu, lakini kwa kweli uko nje yake. Tunaangalia na kucheza katika simulation hii kupitia avatar yetu; mwili wetu. Kikundi kinachojaribu kudhibiti ulimwengu huu kulingana na hati ya bwana huunda maandamano ambayo yanadhibitiwa na wajenzi wa ukweli huu halisi. Je! Unatukumbusha sinema "Matrix"? Hiyo inakuja karibu sana. Katika makala hii Ninaelezea kwa undani kile unapaswa kufikiria katika simulation; jinsi inavyofanya kazi sawasawa na kwa nini mwili wako ni avatar yako. Ninapendekeza kusoma nakala hiyo vile vile, kwa sababu vinginevyo unaweza kufikiria kuwa unasikiliza hadithi ya kutamani kulingana na filamu hiyo kutoka miaka ya tisini. Kikundi kinachodhibitiwa (avatar) kina ushawishi mkubwa. Wanajaribu kushinikiza wachezaji kwenye mwelekeo fulani. Baada ya yote, ni sheria ambayo simulation lazima msingi wa uhuru wa kuchagua. Vinginevyo isingekuwa simulizi, lakini uamuzi (ambapo kitu tayari kiko tayari) filamu. Njia yako ya asili ya fahamu inacheza hii simulizi ya wachezaji wengi na chaguzi zako zinabaki bure. Kwa hivyo unaweza pia kuamua kuto kushirikiana na hati. Timu ya avatar (midundo ya damu) ambayo inadhibitiwa na mjenzi / timu ya wajenzi wa simulizi hii lazima ichukue rangi hii kwa njia ambayo ni ngumu sana (au karibu kabisa) kuchagua tofauti kuliko hati ya bwana. Kwa mfano, umetengenezwa kwa kutegemea pesa na ni vigumu kujiondoa kwenye mfumo wao. Kundi hilo la waadharia ni kwa maoni yangu maelewano ya kidemokrasia (kama ilivyoelezewa) na ibada iliyotajwa na Icke inatimiza kazi katika hati ya bwana ambayo wanajaribu kutekeleza. Uelewa wa kimsingi na suluhisho Ni muhimu kuelewa uendeshaji wa simulizi hii (ambayo tunafikiri ni ulimwengu wetu wa kweli); tambua maandishi ya bwana na uelewe jukumu la wachezaji tofauti. Walakini, ni muhimu zaidi kuendelea kukuonyesha kwamba hali yako ya asili ya fahamu inaona ukweli huu halisi na kwamba kwa hivyo haujashikwa hapa. Umetambuliwa sana na udanganyifu huu. Karibu kila siku ninapambana na shida zinazofanana. Ninajali ubaya wote ulimwenguni na ni njia gani inaenda. Kikundi cha kudhibiti, mfumo wa kudhibiti na maandishi ya bwana yanaonekana kukumbatia yote na nguvu kwamba inaonekana hakuna njia ya kutoka. Kila siku lazima nitajiambia mwenyewe kuwa mimi ni aina ya asili ya fahamu ambayo ni nguvu sana kuliko kila kitu kinachotokea katika ukweli huu wa simulative. In makala hii (na vifungu vya msingi kupitia viungo vya bluu) Ninaelezea kuwa sisi ni wachezaji katika simulizi ya virusi vya Luciferian. Ni muhimu kuelewa kanuni hiyo ili tuelewe ni hatua gani tunaweza kuchukua (kwa kiwango cha ufahamu). Kwa sababu sisi ni wakubwa zaidi kuliko wale Wasabato wote, Kabbalists, damu za Aristocracy na Lusifa pamoja! Lengo linapaswa kuwa juu ya hiyo. Kumbuka: chukua wakati na juhudi kupitia vifungu vilivyounganishwa. Ni jambo ngumu, ambalo kwa kweli halina ugumu hata mara robo inapoanguka. Tafadhali pia jitahidi kuwa mshiriki au toa toleo moja kwa NL27 ABNA 0558 4469 22 kwa jina la Martin Vrijland Foundation, kwa sababu msaada wako unahitajika sana. Asante mapema. Orodha ya kiungo cha chanzo: thetruthrevolution.net Makosa ya pedophile ya Uingereza na tafsiri ya Nieuwsuur kwa Uholanzi Zika maambukizi ya virusi sasa pia kwa njia ya kuwasiliana na ngono Tags: channel, Disney, featured, unyanyasaji, pedophilia, Ricky Garcia, ngono, str, ngozi « Simu ya haraka! Lazima tuweke media nje ya hatua SASA! Je! Kutakuwa na vita kati ya Amerika na Irani haraka sana sasa? » Ziara ya Jumla: 13.139.232
"2019-10-22T09:05:58"
https://www.martinvrijland.nl/sw/uchambuzi-wa-habari/Asterisk-ya-zamani-ya-Disney-Channel-inasema-kuwa-imedhulumiwa-na-pedophiles-za-Hollywood/
[ -1 ]
WANAFUNZI WA NELSON MANDELA WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUSAIDIA UTATUZI WA MATATIZO YA MAZINGIRA | Lukwangule Entertainment WANAFUNZI WA NELSON MANDELA WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUSAIDIA UTATUZI WA MATATIZO YA MAZINGIRA
"2018-05-25T18:51:37"
http://lukwangule.blogspot.com/2016/11/wanafunzi-wa-nelson-mandela-watakiwa.html
[ -1 ]
KWA TAARIFA YAKO: SAFARI YA GOSPEL KITAA HADI HIVI SASA - Gospel Kitaa™ Home / Ambwene Mwamwaja / Boniface Kazi / Gospel Kitaa / Kwa Taarifa Yako / silas mbise / KWA TAARIFA YAKO: SAFARI YA GOSPEL KITAA HADI HIVI SASA KWA TAARIFA YAKO: SAFARI YA GOSPEL KITAA HADI HIVI SASA Januari 2012, wafuasi wakiwa 600 Gospel Kitaa, ambayo imeanza mwaka 2011, imekuwa na lengo hasa la kuwavuta vijana na kuwafanya wawe watumishi wa Mungu, kwa namna ambavyo anapenda wamtumikie. KWA TAARIFA YAKO jina la Gospel Kitaa lililenga hasa jamii ya watu mbalimbali, kwanza Gospel ikilenga kuwavuta wale wote wanaopenda na wasio na mashaka na injili, na pia neno Kitaa likiwalenga vijana moja kwa moja, ambao hufika kutazama kinachojiri "kitaani". Kwa mwendo wa kusuasua na kama mzaa ndivyo ambavyo blogu hii ilianza, ikiendeshwa na Ambwene M. Mwamwaja, kabla ya kuungana naye Elie J. Chansa, na kisha Silas E. Mbise, na hivi karibuni Boniface Kazi. KWA TAARIFA YAKO Team GK wanaoonekana ni hao 4, ila pia kuna wale ambao hawaonekani, mmojawapo ni wewe unayetembelea tovuti kila siku :-) . Mwaka 2011 mwezi Aprili ndio ambapo habari ya kwanza iliandikwa kwenye blog hii, ambayo ilikuwa inamhusu mwimbaji Joyce Mlabwa, ambaye alikuwa ametoa toleo lake la pili la album ya picha za sauti. (bofya hapa kusoma) Kipindi hicho blog ikifahamika kama gospelkitaa.blogspot.com Mwezi Aprili ulishuhudia habari moja tu ikiandikwa, kisha ikifuatiwa na habari mbili kuandikwa mwezi Mei, kisha kufuatiwa na miezi 4 ya ukimya kutokana na majukumu mengine ya kujenga taifa. Hata hivyo nguvu iliongezwa mara baada ya timu kuongezeka, baada Elie kujunga na GK, ambapo mwaka 2012 ukashuhudia jumla ya habari 750 zikiandikwa, kulinganisha na habari 18 kwa mwaka 2011. KWA TAARIFA YAKO, GK ambayo ilizaliwa jijini Manchester Uingereza ambako wazo la Ambwene kuwa na blog ya kuandika habari za Kristo lilikamilika kwa vitendo akisaidiwa na rafiki yake Dkt Mbonea Mrango. Ila KWA TAARIFA YAKO makao makuu ya Gospel kitaa yalikuwa Kurasini kwenye majengo ya WAPO Radio FM ambako timu nzima ilikutana hapo, iliendelea kufanya vema, na kuanza kupata wadau mbalimbali ambao pia walikuwa wakiisikiliza WAPO Radio FM kwa njia ya mtandao, mara tu ilipoanza. Na hicho ndio chanzo cha mitandao mingine mingi kunakili ratiba ya vipindi kama ilivyoandikwa, ikiwemo mitandao ambayo haiandiki kuhusu habari za injili. Julai 2014, wafuasi 9000 Uanzishwaji wa ukurasa wa facebook ulifanikisha kueneza injili kwa watu wengi zaidi, ambapo wafuasi walianza kufuatilia mtandao huu kutoka kila kona ya dunia. Ufuatiliaji wa habari za makanisa mbalimbali bila ya kubagua imekuwa sababu nyingine ya GK kupata mashiko, ambapo pamoja na kukua kwake, changamoto nazo zilizidi kukua, ikiwemo ile ya kufuatilia habari kwa muda mrefu na kisha mara baada ya kuandika, watu wengine kuinakili kama ilivyo na kuifanya yao (bila kueleza chanzo chao). KWA TAARIFA YAKO hilo ndilo lililopelekea kuanza mfumo wa kuweka alama kwenye picha na video ambazo GK imezipiga. Tazama baadhi ya video hizo kwa kubofya hapa. Kwa kadri siku zilivyokuwa zinaenda na changamoto kuzidi, ndivyo ambavyo kumekuwa na mabadiliko kadha wa kadha ili kuendana na teknolojia, kuwezesha kufikisha injili katika viwango vya juu. Mwaka 2013 ulishuhudia mabadiliko ambayo kwa KWA TAARIFA YAKO hata mitandao mingine ililazimika kuiga mfano, ambapo Gospel Kitaa ilihama kutoka www.gospelkitaa.blogspot.com kwenda www.gospelkitaa.co.tz/ ukiuliza waendeshaji, safari kwao bado kufika mwisho. Ni mengi yangewezwa kuzungumzwa kuhusu safari ya GK hadi kufikia hivi sasa, ila kiufupi. Tunaamini kwamba kuna mahala mtu huguswa na kile ambacho huwa tunakichapisha hapa, aidha kwa utafiti wetu, ama kupitia walimu mbalimbali na wahubiri ambao hutuma mafundisho yao kwa ajili ya kukufikia. Kama ambavyo hatutozi kwa ajili ya kuweka mafundisho kutoka kwa mtu yeyote, ndivyo tunaamini kwamba mafundisho yanafanyika baraka kwako. Maoni yako ni muhimu kama kuna mafundisho uliyoguswa nayo, jambo ambalo pia linamtia moyo mwalimu kuendelea kufundisha. Kama ungependa kuwa sehemu ya Team GK kwenye mkoa wowote uliopo, milango yetu iko wazi kwa ajili ya kumtwalia BWANA Yesu utukufu. Ila kama ulikuwa hujui, KWA TAARIFA YAKO Team GK na majukumu yao ni kama ifuatavyo. Ambwene Mwamwaja; Mkurugenzi/Mwandishi mwandamizi, Elie Chansa; Mhariri/Mpiga picha mkuu, Silas Mbise; Mratibu/Mwandishi Mpiga picha, Boniface Kazi; Mpiga picha/Graphics Katika yote tunayofanya na kupitia, tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kueneza Injili kwa mfumo wa dijitali. Pamoja na yote, KWA TAARIFA YAKO mtandao huu usingefaa kitu kama haukupata watembeleaji wa kila siku kama wewe. Ahsante sana, endelea kueneza ujumbe kwa wengine injili na izidi kusonga mbele. Hiyo ndio KWA TAARIFA YAKO, vinginevyo tukutane wiki ijayo...
"2016-12-11T11:48:16"
http://www.gospelkitaa.co.tz/2015/04/kwa-taarifa-yako-safari-ya-gospel-kitaa.html
[ -1 ]
Wimbi - Wikipedia, kamusi elezo huru Mfano wa wimbi katika maji[hariri | hariri chanzo] Mawimbi ya aina nyingi[hariri | hariri chanzo] Tabia za wimbi[hariri | hariri chanzo] What is a wave (physicsclassrom) What is a wave ? (pbslearningmedia) Waves / Physics for kids Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Wimbi&oldid=996089" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 29 Aprili 2017, saa 15:48.
"2017-10-19T01:56:21"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Wimbi
[ -1 ]
WATU NA SIMBA YAO KWA RAHA ZAO, NA WANAPENDEZA 'MASHAALLAH'! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE WATU NA SIMBA YAO KWA RAHA ZAO, NA WANAPENDEZA 'MASHAALLAH'! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > SIMBA > WATU NA SIMBA YAO KWA RAHA ZAO, NA WANAPENDEZA 'MASHAALLAH'! WATU NA SIMBA YAO KWA RAHA ZAO, NA WANAPENDEZA 'MASHAALLAH'! Mashabiki wa Simba wakiwa Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons Aprili 16, Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0. Item Reviewed: WATU NA SIMBA YAO KWA RAHA ZAO, NA WANAPENDEZA 'MASHAALLAH'! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
"2019-09-18T22:22:35"
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/04/watu-na-simba-yao-kwa-raha-zao-na.html
[ -1 ]
Hapa Kwetu: Kwenye Baa Hakuna Udini Umeniwazisha sana tu Prof.!Na siku hizi kirahisi wapayukao sana neno AMANI unaweza kukuta ndio waanzisha VITA yani!:-( Ila kwa ujumla mie naamini Tanzania hatuna Serekali yenye nguvu sasa hivi ndio maana kuanzia , UDINI ,...tatizo la MALAWI.... tukiachilia mbali mapungufu kidhaifu ambayo hayahitaji hata misaada kama tuaminishwavyo yafanyavyo TANZANIA imelala!:-( Prof, unapaswa ujue kuwa kuna Waislamu jina(wengi wao wamezaliwa tu na wazee wa Kiislamu) na Waislamu waliosoma dini yao. Uislamu si dini ya kuzaliwa kama ulivyo ukristo na baadae kwenda kubatizwa. Uislamu ni matendo. Ni sawa na kusema Waislamu ndio magaidi. Matendo ya watu ndio yanayowapelekea kujulikana imani zao. Hao unaowaona kwenye vilabu vya pombe wanakunywa wanaitwa "wanafiki". Katika Uislamu hao ni wabaya kuliko makafiri. Katika Quran tunaambiwa kuwa wanafiki watakuwa wa mwanzo kuingia motoni na watakuwa chini kabisa. Angalia aya hii:4:145 The Hypocrites will be in the lowest depths of the Fire: no helper wilt thou find for them;Kwahiyo hilo naomba ulijue.Kuhusu ubaguzi wa kidini, upo sehemu nyingi ikiwemo chuo kikuu Dar. Walimu wengi walioonekana kuwa ni Waislamu wa kweli pale chuoni, walikuwa wakipata vitisho na kuitwa wakiulizwa masuali kuhusiana na misimamo yao.Pia bahati mbaya katika shule za Wakristo iko ubaguzi wa dini.Nakumbuka niliwahi kuwatembelea vijana wa Kiislamu katika shule za bara na walikuwa wakilalamikia kuwa walikuwa wanalazimishwa kwenda kusafisha mabanda ya nguruwe na wakizuiliwa kusali. Ndugu Anonymous, shukrani kwa changamoto yako. Hapa kijiweni pangu ni sehemu ya fikra huru, kwa hivi jisikie nyumbani.Nina dukuduku na masuali kadhaa kutokana na kauli zako. Kwanza umesema kuwa u-Islam ni matendo. Kama ni hivyo, basi wale wa-Islam ninaojumuika baa angalau wana hii dalili moja kuwa ni wa-Islam, kwani matendo yao ni pamoja na kuwa sambamba na binadamu wenzao bila ubaguzi, bila udini. Nimeeleza hayo katika makala yangu. Umewaita hao "wanafiki." Hapo nashindwa kukubali, kwa sababu anayemjua mnafiki ni Muumba peke yake. Binadamu hana upeo wa kumjua binadamu mwenzake kiasi hicho, na akijipa wadhifa wa kumhukumu mwenzake namna hii, naona anajifanya yeye ana uwezo wa Muumba. Katika dini zetu, hiii huitwa kufuru.Napendekeza kuwa sote tuwe makini na suala hilo la kuwahukumu wenzetu, kwani tunajiweka katika hatari ya kutotambua uwezo na wadhifa wa Mungu (Allah).Umesema pia kuwa "Katika Uislam hao {wanafiki} ni wabaya kuliko makafiri. Mimi nakunywa nao baa na sijaona ubaya wao. Ni watu wazuri, ambao tunakaa nao pamoja kwa amani. Siwaogopi, bali nawaogopa wale ambao wamejiaminisha kuwa wao ni waIslam safi kabisa, (yaani akina Boko Haram, Al Shabab na wengine) na wanatuvizia ili watulipue huko baa. Hao ndio nawaogopa.Unafanya vema kunukuu Quran. Waumini tunapaswa kurejea kwenye misahafu, ili tusipotee njia. Lakini Quran ni kitabu cha Allah. Anayeongea ni Allah. Na mwenye ufahamu kamili ni Allah.Tukisoma aya kama hiyo uliyonukuu, haimaanishi kuwa sisi binadamu tunaweza kumtambua nani mnafiki, ingawa ametajwa katika Quran. Mwenye uwezo wa kumtambua mnafiki na kumwadhibu ni Allah. Kama nilivyosema hapo juu, wanadamu tujihadhari na hiki kishawishi cha kujitwalia mamlaka ambayo hatuna, kwani sisi ni viumbe dhalili mno.Makala yangu iliongelea suala la kutokuwepo udini katika baa. Sikujiingiza katika kuongelea uwepo au kutokuwepo kwa udini sehemu zininge katika jamii ya Tanzania. Tukitaka kuongelea suala hilo kwa upana, basi, tutataja sehemu nyingi, taasisi nyingi, za wa-Kristo na za wa-Islam. Kwa mfano hatuwezi kufumbia macho udini uliopo Visiwani, ambako makanisa zaidi ya ishirini yamechomwa moto. Hilo nalo itabidi tulijumlishe katika uchambuzi. Tusimpendelee mdini m-Kristu, wala mdini mu-Islam.Umetoa mfano wa wa-Islam kushurutishwa kwenda kusafisha mabanda ya nguruwe. Kama hilo limetokea, na jambo la kulaaniwa na yeyote anayeheshimu imani za wanadamu wote. Papo hapo, nami nimesikia kuwa kuna sehemu fulani Tanzania ambako m-Kristu akionekana anakula wakati wa Mwezi Mtukufu ananyanyaswa. Hiyo nayo ni hujuma, kwani Mwezi Mtukufu ni wa wa-Islam, sio wa-Kristu. Mimi m-Kristu nikienda sehemu ya aina ile, nahitaji kuona hoteli ambapo naweza kupata chakula. Naziheshimu dini zote, na nategemea nami kuheshimiwa kutokana na imani yangu.Tutafakari mambo hayo kwa uwazi. Napenda kugusia pia hoja yako ya mwanzo kabisa, kwamba kuna waIslam jina, yaani ni kwamba tu wamezaliwa na wazee wa ki-Islam. Naona hii ni hoja muhimu.Sasa basi, wale wa-Islam waliosema wataendesha kampeni nchi nzima ili kushinikiza sensa iwe na kipengele cha dini, walikuwa na huu upeo wa kupambanua waIslam na wa-Islam jina? Au maana yao ilikuwa kwamba kila Hassan, Maryam, Mustafa, na Zubeda ni mu-Islam?Na je, wakati ule wa mgogoro wa shule ya Ndanda, tulipoambiwa waIslam wananyanyaswa pale, palikuwa pamefanyika uchambuzi na kubaini kuwa wale wote walikuwa ni wa-Islam au walikuwepo pia wa-Islam jina? Tufanye uchambuzi huo nchi nzima? Prof,Hao jamaa wanaojiita Waislamu na kisha ukawakuta baa hawana matendo mema kwa mujibu wa Uislamu. Uislamu uko very clear unaposema katika aya tofauti kuwa "wale walioamini na kisha wakafanya matendo mema". Matendo mema katika Uislamu Uislamu yako very clear na baadhi yake yanafanana na matendo mema ya dini nyengine. Matendo mauvo pia yako wazi. Sasa kunywa pombe ni katika mambo yaliyokatazwa katika Uislamu. Sasa mtu anaekunywa pombe anakuwa ni mnafiki. Wanafiki wanajulikana wazi katika Uislamu. Quran imetufahamisha wanafiki ni nani na katika hadithi za Mtume(SAW) zimeweka alama zote za wanafiki.(Ukipenda na nikipata nafasi naweza kukuelezea alama hizo)Kwako wewe hao jamaa unaokunywa nao hawana makosa, lakini katika Uislamu hao wana makosa.Kauli yako hii nahisi ni sawa na wale wanaowahifadhi Al Qaeda kule Pakistan. Wanawahifadhi kwasababu wanawaona hawana makosa, Wanaona wanaenda nao msikitini, wanafunga nao na wanawapatia misaada. Wao wanahisi Al Qaeda kushambulia Wamarekani au kushambulia watu wanaotofautiana nao wakiwemo Mashia, kwao wao sio makosa hayo. Lakini haya ni makosa katika Uislamu. Kwahiyo it does not matter kwamba wewe unamuona mtu ni mwema machoni mwako. Kama mtu anafanya matendo yalitokatazwa katika Uislamu na akajiita Muislamu, Uislamu hauna jina la kumuita mtu huyo isipokuwa ni mnafiki. Huyo ni muovu mbele ya Uislamu. Huyo ni muovu kuliko kafiri. Kwasababu huyo ni adui "miongoni mwenu"(Chui alievaa ngozi ya paka au mbuzi). Kwa kuwa uko nje muda mwingi inaonekana hujui kinachoendelea Zanzibar. Unachokijua ni kile ulichosoma kwenye magazeti.Sijui kama katika taaluma hili ni sawa kuongelea kitu ambacho hujakifanyia utafiti. Mtu kama wewe uliesoma usifanye analysis kwa kauli za kusikia.Ukitaka kujua kilichotokea Zanzibar, ama njoo ufanye utafiti au uliza watu walioshuhudia. Usiwe "simplistic" kiasi hicho. Mimi nakuheshimu sana kwa elimu yako. Na napata tabu sana kuona wakati mwengine unavyochambua mambo kama watu wanaotaka kuuza magazeti yao.Alshabab, Boko Haram na wengineo kama hao ni makundi ya wanafiki. Matendo yao ni maovu. Inaonekana hii mada unaipanua zaidi na zaidi. Kwa bahati mbaya nasikitika sina muda mwingi wa kuandika, lakini kwa ufupi sisi Waislamu tunatakiwa tuwaogope watu wote ambao matendo yao hayaendani na mafundisho ya dini ya Kiislamu profesa Mbele asante sana,hilo mimi nilikuwa silijui kwamba kumbe kwenye baa watu wa dini tofauti tunapendana asante kumbe kusoma ni kuelimika hilo nalo nimelipata ni kweli pamoja na huyo anon kupinga lakini baa ndio kuna upendo zaidi kuliko kwenye nyumba za ibada maana kwenye nyumba za ibada kumejaa vitisho mara kwenda motoni,mara sijui nini.asante sana yaani leo umenipa kitu ambacho sikukitegemea.ni mimi mwislamu ni siyekuwa wa kuzaliwa.vipi bado upo songea dar utapita lini? Ndugu Anonymous wa kwanza, ungefanya vema kutusaidia sisi wengine kufahamu yaliyotokea Zanzibar.Kama Muumba amekupa fursa ya kuishi na kufahamu jambo, unawajibika kuwamegea wengine, kwani chochote tulicho nacho kinatoka kwa Muumba, na ni dhamana.Kama tunakubaliana, hebu tupe angalau dondoo kuhusu ukweli wa yaliyojiri Zanzibar. POLISI RUVUMA WAKAMATA TENA PEMBE ZA NDOVU Dar: Majambazi yajeruhi, yapora begi SHAIBU NNUNDUMA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA WILAYA YA NYASA KUNRADHI MALAWI NA TANZANIA Tanzania Yangu.....Inayotunza "ubongo wa digitali" ndani ya "fuvu la analogia" AU MATURING Uvutaji sigara unavyoteketeza mamilioni ya watu
"2013-05-23T22:35:53"
http://hapakwetu.blogspot.com/2012/08/kwenye-baa-hakuna-udini.html
[ -1 ]
Hii Ndio Yanga Bana..Yatenga Bilioni 2 za Kufanya Usajili wa Kishindo..Chuji Aomba Kurudi Yanga Kukipiga Msimu Ujao..!!! - Habari Online na Elimtaa Habari Online na Elimtaa 2017 at 06:05PM Blogger IFTTT June 05 Uncategorized Hii Ndio Yanga Bana..Yatenga Bilioni 2 za Kufanya Usajili wa Kishindo..Chuji Aomba Kurudi Yanga Kukipiga Msimu Ujao..!!! Hii Ndio Yanga Bana..Yatenga Bilioni 2 za Kufanya Usajili wa Kishindo..Chuji Aomba Kurudi Yanga Kukipiga Msimu Ujao..!!! Unknown 6:06:00 pm 2017 at 06:05PM Blogger IFTTT June 05 Uncategorized SASA Yanga kumekucha. Baada ya kumaliza pilikapilika za kushangilia ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa klabu hiyo inataka kuanza kazi ya kuunda kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao. Kamati ya Utendaji wa Yanga imeunda kabineti ya watu watano na kuwakabidhi Sh bilioni 2 kwa ajili ya kufanya mazungumzo na nyota wao wanaomaliza mikataba mipya na kufanya usajili ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao. Mwenyekiti wa kabineti hiyo ni Hussein Nyika, makamu wake ni Mustapha Ulungo, huku wajumbe wakiwa ni Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwasa na kocha wa klabu hiyo, George Lwandamina. Moja ya majukumu yatakayowakabili ni kuhakikisha wananasa saini za wachezaji wanaotajwa kuwaniwa na klabu hiyo, ambao ni Salmin Hoza, Yusuph Ndikumana, Mbaraka Yusuph, Jamal Mwambeleko, Michael Gradiel, Raphael Daudi, Mrisho Ngassa, Youth Rostard, Said Ndemla, Ibrahim Ajib na Jonas Mkude. Ili kupata nafasi ya kuwasajili wachezaji hao, klabu hiyo imepanga kuacha nyota wao 15, ambao hawakuwa na nafasi katika kikosi hicho na kusuka upya timu kwa ajili ya msimu ujao. “Kamati imeazimia kusajili wachezaji wengi vijana ambao wana uwezo na wenye ubora wa kucheza Yanga na kuwaacha wachezaji 15 ambao walikuwa hawana nafasi ya kucheza, wamedhamiria kujenga timu imara yenye hadhi na mashindano ya kimataifa, ndiyo maana wametenga fungu hilo la fedha,” alisema mjumbe huyo. Aliongeza kuwa, mbali na kufanya usajili huo wa nguvu, lakini kamati hiyo leo inatarajia kuanza mazungumzo na wachezaji Deus Kaseke, Donald Ngoma, Amis Tambwe, Haji Mwinyi, Thaban Kamusoko, Vincent Bossou na wengine ambao mikataba yao ya kuichezea timu hiyo imemalizika hivi karibuni na kupendekezwa na Kocha Lwandamina kuendelea kuwa nao. Mmoja wa wajumbe wa kabineti hiyo ambaye hakutaka kutajwa jina lake, alisema: “Kesho (leo) Jumatatu tutaanza kazi ya kuzungumza na wachezaji wote ambao walimalizia mikataba yao, ambao wamependekezwa kubaki na kocha Lwandamina, baada ya hapo itakuja zamu ya wachezaji wapya ambao watakuwa wameorodheshwa kwenye ripoti ya kocha wetu.” Kwa upande wake Mkwasa, alisema Yanga ni timu kubwa na wamejipanga kufanya usajili wa nguvu wenye tija utakaowezesha kutetea ubingwa wao msimu ujao. “Tumejipanga kila eneo ili kufanya usajili wa nguvu wenye tija ambao utazingatia vigezo vyote na mimi ndio nitaongoza jahazi hilo,” alisema Mkwasa. Katika mipango yao ya usajili, Yanga wanadai kuwa na mpango na kuanza na beki wa kushoto wa Azam, Gadiel Michael, ili kucheza pamoja na Haji Mwinyi kwenye klabu hiyo. Naye kiungo wa zamani wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’, ameomba kurejea tena kundini kuvaa viatu vya Justine Zullu ‘Mkata Umeme’ na kusema uwezo wa kuitumikia timu hiyo ya Jangwani bado anao kama akipewa nafasi katika eneo la kiungo mkabaji. “Nimeiangalia Yanga msimu uliomalizika, nimegundua bado ninao uwezo mkubwa wa kuichezea timu hiyo pamoja na umri wangu wa miaka 29, bila shaka ninaweza kulitibu tatizo la kiungo mkabaji ambalo limekuwa likiwasumbua Yanga kwa muda mrefu,” alisema ‘Pass Master’ huyo, Chuji. Akizungumza kuhusiana na ombi hilo la Chuji kutaka kurejea tena Yanga, Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Paulo Malume, alisema amelisikia suala hilo na atalipeleka mahali husika kwa ajili ya kulitolea maamuzi, lakini yeye hawezi kusema lolote. “Nimelisikia suala la mchezaji huyo, kwa kifupi nitalipeleka mahala husika tuone nini watasema, kila mtu anamfahamu Chuji alikuwa ni mchezaji wetu, lakini muda mrefu umepita tangu aondoke, hivyo ngoja tuone watasemaje,” alisema Malume. from Blogger http://ift.tt/2rLl5DT
"2019-08-24T13:16:24"
http://eliabu.blogspot.com/2017/06/hii-ndio-yanga-banayatenga-bilioni-2-za.html
[ -1 ]
2.2 Kwa Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki Katika Uyahudi [hariri] Jina linalotumika zaidi ni tzadik (mtu wa haki, mwadilifu), aliyejitahidi kufuata Torati. Katika Ukristo [hariri] Katika Kanisa Katoliki [hariri] Klara wa Asizi alivyochorwa na Simone Martini katika basilika la Mt. Fransisko wa Asizi huko Asizi Kwa Wakatoliki mtakatifu ni yule aliyemfuata Yesu Kristo, akiishi kwa upendo na maadili mengine yanayoutegemea, hasa aliyeyatekeleza kwa kiwango cha ushujaa katika kufia dini au katika maisha ya kila siku. Utakatifu si wa aina moja, bali kila binadamu anatakiwa kuitikia siku kwa siku wito maalumu aliopewa na Mungu. Hivyo yeyote anaweza na kupaswa kulenga utakatifu, bila ya kujali sifa zake za kibinadamu tu. Ili kuzuia udanganyifu, Kanisa Katoliki linamuachia Papa kusimamia kesi ndefu za kumtangaza mtakatifu mpya, miaka baada ya kifo chake. Wakatoliki wanawapatia Bikira Maria na watakatifu wengine heshima ya pekee kama marafiki wa Mungu, lakini si ibada halisi. Heshima hiyo inadai wajitahidi pia kufuata mifano yao kama wao walivyofuata ile ya Yesu. Kwa Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki [hariri] Masalia ya Demetrio wa Thesalonike katika kanisa lake huko Thesalonike Makanisa ya Kiorthodoksi yanamuita mtakatifu hasa anayesadikiwa yuko katika paradiso, kuanzia Adamu na Eva, Mose na manabii wengine, lakini pia malaika. Ni Mungu anayefunua watakatifu wake kwa kuitikia sala anazotolewa kwa kuwapitia na kwa kutenda miujiza. Wakristo wanaanza kuwatambua lakini uamuzi wa mwisho unachukuliwa na sinodi ya maaskofu. Waorthodoksi wanawatendea watakatifu kama watu hai, kwa sababu wanaishi mbinguni pamoja na Kristo mfufuka, ingawa miili yao haijaungana tena na roho zao. Kila mtu anapobatizwa anapewa jina la mtakatifu fulani kama msimamizi kwa maisha yake yote. Katika Uprotestanti [hariri] Madhehebu mengi hayakubali mawazo hayo, yakipenda kusisitiza kwamba wokovu unamtegemea Mungu tu. Hata hivyo mara nyingi waamini bora wanakumbukwa kwa heshima na kuchukuliwa kama mfano (taz. Confessio augustana art. 21). Hasa Waanglikana wanakaribia msimamo wa Wakatoliki na kuadhimisha sikukuu za watakatifu kadiri ya kalenda maalumu. Katika Uislamu [hariri] Rudishwa kutoka "http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mtakatifu&oldid=883974" Jamii: DiniWatakatifu Wakristo Urambazaji Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 9 Machi 2013, saa 21:48.
"2013-05-20T03:14:49"
http://sw.wikipedia.org/wiki/Mtakatifu
[ -1 ]
Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoani Singida Mhe: Emmanuel Luhahula amefanya ziara katika kijiji cha Kisonga, Lunsanga kata ya Mtekente pamoja na kijiji cha Luzirukuru tarafa ya Ndago wilayani Iramba ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kufanya mikutano na wananchi ili kuhamasisha shughuli za maendeleo na kusikiliza kero zao leo Tarehe 25.03.2019. Katika ziara hiyo Mkuu wa wilaya ya Iramba amekabidhiwa madawati 20 kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kisonga kata ya Mtekente tarafa ya Ndago kwa ajili ya shule ya msingi Kisonga ili kuunga mkono jitihada za serikali. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kisonga, Mkuu wa Wilaya ya Iramba amewashukuru sana kwa ushirikiano wao na kwa kujitoa kuchangia madawati. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Kennedy Thobias Mpanduji, amekabidhi madawati hayo kwa mkuu wa shule ya Kisonga na uongozi wa shule na kuwataka wayasimamie. Aidha amewataka wanafunzi wayatumie vizuri ili baada ya miaka ijayo wadogo zao watakapo kuja wasipate tabu ya madawati na uongozi usichangie tena madawati isipokua wachangie vitu vingine vya maendeleo. Mhe: Luhahula amewapongeza walimu na wananchi wa kata ya Mtekente kwa kuongeza ufaulu wa wanafunzi wa darasa la Saba wilayani Iramba mwaka huu.” Nawapongeza sana walimu wa wilaya ya Iramba na wazazi kwa kupeleka chakula mashuleni kwa ajili ya watoto wetu na hatimaye kupanda kwa ufaulu wa mitihani ya darasa la saba mwaka huu. Hongereni sana kwa ushindi wa darasa la saba, watoto wote walifauru kujiunga na kidato cha kwanza katika shule ya msingi Kisonga. wananchi lazima mshirikiane na watalaamu ili kudumisha ufaulu wa wanafunzi wetu. Viongozi wote kuanzia ngazi ya tarafa lazima kuwashirikisha wazazi na kuwaelemisha maana halisi ya Elimu bila malipo na kuhakikisha watoto wote wanakwenda shule na wanakula chakula. Simamieni suala la utoro na hakikisheni watoto wote wanakwenda shule, hakikisheni watoto wote wanakula chakula shuleni, watoto lazima wale sio ombi kwenye vijiji vyote, ninatumia mamlaka kuagiza hili na sio ombi watoto lazima wale”. Alisema Mhe: Luhahula. Ameongeza kusema wazazi wanawajibika kikamilifu katika kuhakiksiha watoto wao wanapata elimu, kuwalinda na ukatili wa kijinsia pamoja na kupinga ndoa za utotoni ambazo zinawakatisha watoto masomo “wazazi lazima kuwalinda watoto wenu na Wakina mama waache tabia ya kufika wanaume wanaowapa wanafunzi mimba”. Ikibainika mtoto wako amepewa mimba, wazazi mtawajibishwa kwa mjibu wa sheria” Alisema Mhe: Luhahula Aidha Mkuu wa Wilaya Iramba amewataka wananchi kuhakikisha wanasajili watoto wao wenye umri chini ya miaka mitano ili wapate vyeti vya kuzaliwa ambavyo vimetolewa bure na Mhe: Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt: John Joseph Pombe Magufuli, “mpaka sasa tumekwisha sajili zaidi ya watoto 11,000. Simamieni upatikanaji wa cheti cha kuzaliwa na hakikisheni mnakitunza maana ukipoteza utalazimika kutoa gharama kukipata ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Mhe: Luhahula aliongeza kusema “sote tunaona hali ya hewa, yote tunamwachia mungu lakini hakikisheni wananchi mnatunza chakula, mwenye mfugo avune na kununua chakula maana ni fedhea sana familia kukosa chakula. Mkuu wa wilaya ya Iramba ameagiza “viongozi kuanzia ngazi ya tarafa simamieni ugawaji wa vitambulisho vya wajasiliamali wadogo wadogo ili viishe, kufanya hivyo tutakua tunaunga mkono juhudi za Mhe: Rais, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, wajasiliamali wasisumbuliwe, wasitozwe ushuru wowote, wachangie elfu 20,000/= amabyo ni gharama ya kutengeneza kitambulisho hicho, watendaji wa kata, watendaji wa vijiji na wenyeviti wa vijiji simamieni suala hili la vitambulisho vya wajasiliamali wadogo, Tusimamieni nidhamu, kuheshimiana viongozi wote wa serikali na hakikisheni mnatekeleza wajibu wenu kwa kufanya kazi”. alisisitiza Mhe: Luhahula Mkuu wa wilaya ya Iramba amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kuchangia mapato ili kuleta maendeleo kwenye maeneo yao. “Wananchi tujengee utamaduni wa kutoa mapato. hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemee misaada. Tunahitaji kukamilisha ujenzi wa zahanati ili huduma za afya zipatikane kwa wananchi. jipangeni kuhakikisha majengo haya yanakamalika”. alisema Mhe: Luhahula Akiwa katika ziara ya kusikiliza kero za wananchi na kuhamasisha maendeleo, Mkuu wa wilaya ya Iramba ametembelea ujenzi wa jengo la zahanati ya Mtekente ili kutazama maendeleo ya jengo hilo ambalo limefikia hatua ya lenta. Vile vile Mhe: Luhahula amewataka Viongozi ngazi ya Tarafa, kata na kijiji kutatua migogoro ya wananchi, kupitia vyombo vya kisheria. Ameongeza kwa kusema “kumetokea wimbi kubwa la mauaji na vifo katika maeneo yenu. Mauaji na vifo hivi vinatokea kwa watu kuuana, kujinyonga, watu kupotea kusipojulikana na watoto kutumbukia kwenye madimbwi/Visima vya maji, “mnafanya unyama, wananchi mnawajua wanaofanya unyama huu, haiwezekani, wazee wangu mnawajua wanaofanya haya sio watu wazima kama nyinyi lakini ni watoto wenu, haiwezekani tukageuza Kisonga kuwa jehanamu, Mwenyekiti wa kijiji, Mtendaji wa kijiji na Mwenyekiti wa kitongoji ambapo matukio haya yametokea paundwe jeshi la ulinzi mara moja. Sitaki kusikia mauaji yanatokea tena. Viongozi kuanzia ngazi ya kata itisha mkutano na kubaini wote wanaofanya mauaji haya” alisisitiza Mhe: Luhahula Wananchi wanatakiwa kutatua migogoro yao kupitia Ofisi za kiserikali au kwa kuwatumia viongozi wa kijamii walio katika maeneo yao na kwamba kujinyonga au kumuua mtu ambaye una mgogoro/ugomvi naye haisaidiii kutatua mgogoro huo wala kumaliza ugomvi huo. serikali haitasita kumchukulia hatua kali za kisheria yeyote atayebainika kujiusisha na mauaji. Ameagiza viongozi na wananchi kuchukua hatua za taadhari katika visima na mabwawa yaliyo katika maeneo yao ili kuepusha vifo vinavyotokana na watoto kutumbukia kwenye mabwawa/visima hivyo na kuwalinda na kuwachunga watoto wao wasicheze katika maeneo hatarishi. “Mtoto akitumbukia kwenye Bwawa/kisima lazima wazazi wachukuliwe hatua kari za kisheria kwa sababu ya uzembe wa kulinda watoto wao” aliongeza kusema Mhe: Luhahula. Mhe: Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Emmanuel Luhahula amewataka wananchi kudumisha usafi wa mazingira na kuwataka wazazi kuacha tabia ya kuwalea wanafunzi watoro. “Niliagiza kila kaya na taasisi zote kujenga choo bora na watendaji wote kukomesha suala la utoro shuleni, endapo atakapopatikana mwanafunzi mtoro kamata mzazi wake ili tuzalishe watoto wasomi na hatutaki kuzalisha wajinga,” amesema Mkuu wa Wilaya ya Iramba amewataka viongozi wa kata kuhakikisha wanasoma mapato na matumizi kwa wananchi kuhusu fedha mbalimbali wanazozikusanya ili kuwajengea imani ya kufaham fedha iliyochangwa na namna ilivyotumika. Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mhe: Emmanuel Luhahula, amewaomba viongozi wa mazehebu mbalimbali kusaidia serikali kwa kuwafichua wale wote wanaotumia makanisa au misikiti kufanya maovu na kuiombea Wilaya ya Iramba iwe salama. “Niwaomba viongozi wa dini mtusaidie kuwafichua watu wanaotumia vyombo vya dini kufanya maovu. Nilazima viongozi wa dini tulinde amani yetu na kudumisha kulinda amani ya wilaya yetu”. Mkuu wa wilaya ya Iramba Amewataka wananchi kutoa taarifa kwa wale ambao wanawaomba Rushwa. “Suala la Rushwa halina mjadala, Rushwa ni adui wa haki, usikubali kununua haki yako, wananchi mnaombwa Rushwa lakini hamtoi taarifa, wananchi toa taarifa ili tuwakamate hao waarifu” alisema Mhe Luhahula. Afisa TAKUKURU wilaya ya Iramba Ndg. Benjamin Masyaga alisema Rushwa ni tatizo ambalo athari zake zinamgusa kila mwananchi. Tatizo hili linasababisha jamii kukosa imani na Serikali yao, amani baina ya wanajamii, kujenga matabaka ya walionacho na wasiokuwa nacho. Vilevile rushwa imekuwa chanzo cha kudhoofisha huduma zinazotolewa katika jamii. “kila mwananchi sehemu alipo aweze kushiriki kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa bila kuchukua muda mrefu. Kila mwananchi anawajibika kuzuia vitendo vya rushwa na kutoa taarifa hizo ili kuchukuliwa hatua stahili za kisheria dhidi ya wala Rushwa na kutokomeza Rushwa nchini. Ametoa wito wa kukataa kujihusisha na vitendo vya Rushwa ikiwemo kutoa au kupokea Rushwa na kuhakikisha wanatoa taarifa za vitendo vya Rushwa katika ofisi za TAKUKURU zilizo wilayani Iramba au kwa kupiga simu ya bure namba 113 au kwa vyombo vingine vya dola na viongozi wanaohusika. Ameongeza kusema wananchi watoe ushirikiano kwa TAKUKURU na vyombo vingine vya dola na kuwa tayari kutoa ushahidi wa vitendo vya Rushwa kwakuwa mara nyingi TAKUKURU imekuwa ikishindwa kufikia malengo kutokana na wananchi kutotaka kutoa ushirikiano Afisa uhamiaji wilayani Iramba Ndg. Collins Soka amewataka wananchi wa wilaya ya Iramba kutoa taarifa wanapobaini uwepo wa wahamiaji haramu ili kuthibiti raia wa kigeni na yeyote atayebainika kuficha wahamiaji haramu kwenye eneo lake atachukuliwa hatua kali za kisheria. Alitoa wito huo kwa wananchi kutowahifadhi wahamiaji haramu kwenye makazi yao sambamba na kuwataka watoe taarifa kwenye vyombo vya dola pale wanapogudua kuna mgeni asiyeeleweka na wanamtilia mashaka kwenye makazi yao “Mhamiaji haramu ni raia wa kigeni anayeingia nchini na kuendelea kuishi nchini bila kufuata taratibu na sheria za uhamiaji, au anayeingia nchini kwa mujibu wa sheria za uhamiaji lakini akaendelea kuishi nchini kinyume na sheria, kanuni na taratibu. wananchi kutoa taarifa kwenye ofisi za Uhamiaji, kituo cha Polisi, au serikali za mitaa pindi unapohisi kuwepo wahamiaji haramu mahali popote. Ushiriki wako katika kuwafichua wahamiaji haramu ni muhimu sana katika kuimarisha ulinzi, usalama na maendeleo ya nchi”. Mhe: Mkuu wa Wilaya amewaomba wenyeviti wa vitongoji wote na mabalozi kusimamia na kuimarisha madaftari ya wageni ili kuahakikisha tunatokomeza uhamiaji haram. Akiongea na wananchi wa Luzirukuru, amewapongeza kwa juhudi zao za kutunza miti "Nimefurahishwa sana na hali ya hewa ya hapa, nimefanya operesheni ya kuzuia ukataji miti. Leo tukisema tufyeke miti, miti yetu itapotea na maeneo haya tutayakimbia, sehemu zingine mazao yamenyauka kwa sababu ya kukata miti na hawapati mvua ya kutosha, Lazima tuifadhi miti ili tuwe na uoto wa asili. Enedeleni kuifadhi misitu ili tuweze kupata mvua. Mvua tunayoipata hapa Iramba inatokana na misitu iliyopo hapa Lunzirukuru, Winduwindu na maeneo mengine, hiyo ndo inatuletea mvua pamoja na ziwa kitangiri". Alisema Mhe: Luhahula
"2019-10-20T08:21:39"
http://irambadc.go.tz/new/mkuu-wa-wilaya-ya-iramba-mkoani-singida-mhe-emmanuel-luhahula-amefanya-ziara-katika-kijiji-cha-kisonga-na-lunsanga-kata-ya-mtekente-tarafa-ya-ndago-wilayani-iramba
[ -1 ]
Wabunge msiwaangushe Watanzania | Gazeti la Jamhuri Jamhuri November 28, 2014 Wabunge msiwaangushe Watanzania2014-11-28T09:13:29+00:00 Siasa Kuanzia kesho watakuwa na fursa ya kujadili Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali inayohusu ufisadi wa fedha katika Akaunti ya Escrow. Umoja wa wabunge katika kuijadili kashfa hii umeshaonekana, na ni wazi kuwa Watanzania wanasubiri kusikia kile wanachotarajia – nacho si kingine, bali mjadala wenye tija kwao na kwa Taifa lao kwa jumla. Mara kadhaa mijadala ya aina hii imekuwa ikitawaliwa na jazba. Wananchi hawatarajii kuyaona hayo. Shida yao si kuona au kusikia ufundi katika uzungumzaji, bali ni kuona au kusikia hoja zenye mantiki na vionjo vyenye mwelekeo wa kutetea maslahi ya wananchi na nchi yao. Wananchi hawatarajii kusikia kunakuwapo ujanja ujanja wa kukwepesha hoja kwa visingizio visivyo na maana kama vile madai ya kwamba kuibuliwa kwa Escrow eti ni matokeo ya harakati za urais mwakani. Wabunge ni watumishi wa wananchi. Wametumwa na wananchi ili wawawakilishe. Kama nchi hii ingekuwa na uwezo wa kuwa na ukumbi wenye kuhimili watu milioni 45 wa Tanzania, bila shaka kazi hii ingefanywa na wananchi wenyewe. Lakini kwa kuwa hakuna ukumbi wala mantiki ya watu wote hao kukusanyika pamoja, ndio maana wabunge 352 wamechukua dhamana ya kuwawakilisha wananchi wote wa Tanzania. Mijadala ya Monofu ya Samaki, EPA, na hata Richmond ilithibitisha kuwa nchi ikiwa na wabunge makini, haiwezi kuishiwa hoja za kujadiliwa bungeni. Huu wa Escrow ni kielelezo kingine kinachothibitisha kuwa wabunge wakiamua, kuna madudu mengi sana ambayo yanaweza kuibuliwa na hata kufikia hatua ya kuwawajibisha wahusika. Matarajio yetu ni kuona baada ya Escrow, wabunge wanahoji ufisadi katika maeneo mengine, kama kule Wizara ya Maliasili na Utalii ambako kumegeuzwa kuwa mgodi wa mafisadi wachache ambao wanaungwa mkono na kulindwa na viongozi wa wizara. Moto huu wa Escrow ukielekezwa katika Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), tuna hakika asilimia 90 ya wakurugenzi na watendaji wengine watafikishwa katika vyombo vya sheria na hata kufungwa. Watanzania wamechoka kuibiwa. Haiingii akilini kuona maskini wakiyakimbia makazi kwa kukwepa kukamatwa kutokana na michango ya maabara, lakini kukawapo kundi la wachache walioamua kufaidi – bila huruma mabilioni ya fedha za umma. Huu ni wakati wa wabunge kusimama kidete kufanya kazi ya kweli ya uwakilishi wa wananchi. Ni wakati wa kuthibitisha kuwa mhimili wa Bunge ukiamua kufanya kazi, hakuna kinachoshindikana katika nchi hii. Mwisho, tunawasihi wabunge watende haki. Wawe tayari kuwawajibisha wote waliohusika kwenye sakata hili, lakini wasitumie mwanya huu kuwakomoa ‘wabaya wao kisiasa’ kama tulivyoona katika Ripoti ya Operesheni Tokomeza. Macho na masikio ya Watanzania sasa yanasubiri kuona na kuasikia kazi iliyotukuka kutoka kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa pamoja, tukiamua, Tanzania bila ufisadi inawezekana kabisa. « Nyaraka za ufisadi zachomwa Ngorongoro Escrow ni jaribu kubwa kwa Katiba »
"2017-08-22T03:26:02"
http://www.jamhurimedia.co.tz/wabunge-msiwaangushe-watanzania/
[ -1 ]
Diwani Chadema ahamia CCM, kisa biashara zake haziendi vizuri - Mtembezi Home Habari Diwani Chadema ahamia CCM, kisa biashara zake haziendi vizuri Diwani Chadema ahamia CCM, kisa biashara zake haziendi vizuri MATUKIO ya Madiwani kuhama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) yamezidi kushika kasi, baada ya diwani wa tano wa Kata ya Olsunyai, Elirehema Nnko, kuhama chama hicho jana. Aidha, tangu kuanza kwa matukio ya kujiuzulu madiwani wa chama hicho mwaka jana, hadi sasa wamefika watano walioachia ngazi. Madiwani wa Chadema waliojiuzulu na na kjiunga CCM ni Credo Kifukwe (Muriet), Geyson Ngowi (Komandolu), ambao tayari kaza zao uchaguzi umesharudiwa na CCM kuzinyakua. Wengine ambao wamejiuzulu karibuni na uchaguzi bado kufanyika ni Elirehema Nnko (Olsunyai), Prosper Msofe (Daraja Mbili) na Obeid Meng’oriki wa Kata ya Terati. Akizungumza jana wakati akitangaza kuachia ngazi Chadema na kujiunga CCM, Elirehema alisema sababu kubwa ya kuhama ni za kibiashara. “Biashara zangu haziendi vizuri nadhani nikiwa CCM zitabadilika natakuwa nzuri,”alisema. Sababu hiyo aliyotoa diwani huyo inakuwa tofauti na walizotoa wenzake waliomtangulia kutoka chama hicho ambao wanadai sababu kubwa ni kuguswa na jitihada za Rais John Magufuli na kuamua kumuunga mkono kwa kujiunga na chama tawala. Previous articleVigingi 7 bajeti kuu ya serikali vyatajwa Next articleMagufuli kuzindua ujenzi wa reli Dodoma Nape afunguka dosari za uchaguzi wa madiwani mwandishi wetu - November 27, 2017
"2018-09-24T14:16:25"
http://mtembezi.co.tz/2018/03/14/diwani-chadema-ahamia-ccm-kisa-biashara-zake-haziendi-vizuri/
[ -1 ]
MBUNGE VITI MAALUM CCM ANUSURIKA KIFO AJALINI LEO ~ DAILY NEWS-HABARILEO '; if(img.length>=1) { imgtag = ' MBUNGE VITI MAALUM CCM ANUSURIKA KIFO AJALINI LEO Toyota VX lenye namba za usajili T329 DGK alilokuwa akisafiria Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Ruvuma, Sikudhani Chikambo (picha ndogo) iliyopata ajali na kusababisha kifo cha mtu mmoja leo mchana eneo la Dumila, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Mbunge huyo pamoja na watu wengine watano walikuwa wakisafiri kutoka Dodomna kwenda jijini Dar es Salaam ndipo gari walilokuwa wakisafiria Toyota VX lenye namba za usajili T329 DGK, kupasuka gurudumu na kuacha njia na kupinduka na kusababisha kifo cha ndugu wa Mbunge huyo. “Dereva alikuwa anakwepa shimo, lakini kutokana na ukubwa wa shimo tairi lika tumbukia na kupasuka gari iliyumba na kupoteza mwelekeo …na kupinduka mara tano kabla ya kusimama,”alisema Sikudhani. Alisema aliyepoteza maisha ni ndugu wa karibu wa kiume aliyekuwa akiishi Dodoma na kufanyia kazi za ujenzi wa nyumba. Alisema baada ya ajali walikimbizwa Hospitali ya Kanisa Katoliki Dumila na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Morogoro. Wabunge Mbalimbali wa mkoa wa Morogoro wakiongozwa na Mbunge wa Morogoro mjini, Abdulaziz Abood, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Omary Mgumba, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde na Mbunge wa Viti Maalumu Vyuo Vikuu, Dk Jasmine Tisekwa walimtembelea na kumjulia hali. Dk Tisekwa ndiye alimsaidia Mbunge mwenzake na majeruhi kuletwa hostitali kuu.
"2018-05-26T15:58:07"
http://dailynewstzonline.blogspot.com/2017/07/mbunge-viti-maalum-ccm-anusurika-kifo.html
[ -1 ]
Sekondary ya mataira. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Sekondary ya mataira. Discussion in 'Jokes/Utani + Udaku/Gossips' started by Senator p, Nov 6, 2011. Kuna sekondar moja iko mjini kahama shinyanga,jna limehfadhiwa.Yaani ile sekondary ni ya mataira director wa shule elimu yke darara la pili,mkurungenz wke hakusoma,mkuu wa shule ana digrii lakin hana maamuz yoyote hta km mwanafunz hafai ktk taaruma,second master hana sfa wala uwezo na huwa anavuta bng ktk vyoo vya walimu.Yote tisa + 1=91,academic & ndio wenye busara.Tatzo hawana maamuz,wenye maamuz ni mwasibu,ambaye nae hajasomea uhasibu. Md kuna lugha nyingi ambazo unazizuia lakini kama mtu je ametumia lugha ya kumkashifu binadamu mwenzake kama vile kutumia neno 'taahira' kubeba uchafu au uwezo mdogowa kufikiria mtu alionao mie naona concept hiyo ni wrong kutumiwa katika kuelezea mambo machafu au uwezo mdogo wa kufikiria mtu alio nao. Kwani nielewavyo mtu 'taahira' ni mwenye ulemavu wa akili- 'means people with mild or severe interlectual disability and who may need support in learning living skills. Tusitumie lugha ngumu za kuwadhalilisha wenzetu ndugu yangu yawezekana ni ndugu yako au jirani yako au ndugu yangu au jirani yangu au mwanangu. Critical thinkers in here at JF never use abusive language, punguza makali. Kama umewahii kupitia walau shule ya msingi, na hapa kwetu TV na radio nyingi zinatangaza kwa kiswahili na hata magazeti yanaandika kwa kiswahili, na kiswahili ni lugha ya taifa lakini bado umeandika kwa kiswahili cha daraja hilo.basi chonde chonde usiende kuomba kazi TANESCO maana mgao wa umeme utaongezeka. Hahahaha!!!!!!! Speak Openly. Hebu itaje, hatuna muda wa majungu hapa JF hata kama ni utani mdau uliotoa huu uzi we nani kwenye iyo shule? Saikoloj ipo poa sana mdau Likes Received: 20,288 Yeye ni msaidizi wa director na ndiye mlinzi mkuu Duh! Hiyo itakuwa kubwa kulko ila shule yenyew kama nilishaiski siyo r....a's kwel.okey poa ndo yenyewe nimeikumbuka.ila mwakani wana mpango wa kwenda kupata milembe kupata tiba isikuumize mno yeye ni secondmisstress Kwahiyo iwe je? kama academic mr..elimu yake, ngumbaroo Godfrida Member sio kweli......... HAYA majungu bwana wakuajiri wewe bac c unajiona timamu.
"2018-01-16T16:28:57"
https://www.jamiiforums.com/threads/sekondary-ya-mataira.189604/
[ -1 ]
ajira za walimu 2016 soma hapa habari mpya kuhusu post za walimu 2016 Author Topic: ajira za walimu 2016 soma hapa habari mpya kuhusu post za walimu 2016 (Read 575 times) « on: February 16, 2016, 12:30:50 pm » Serikali inatarajia kutoa ajira 40,000 kwa walimu wa shule za msingi na sekondari mwaka huu. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suleiman Jaffo, alilieleza Nipashe jana kuwa idadi hiyo inalenga kupunguza upungufu wa walimu shuleni. Sambamba na hilo, ameahidi kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kuwezesha wanafunzi zaidi ya 5,800 wa Shule ya Msingi Majimatitu wanapata elimu bora. Alisema idadi hiyo ya wananfunzi ni sawa na idadi ya shule sita za msingi, hivyo itagawanywa katika shule za jirani pamoja na kujenga madarasa mapya katika shule hiyo. “Ongezeko hili la wanafunzi waliojiandikisha darasa la kwanza mwaka huu limetokana na mfumo wa serikali kutoa elimu bure na lengo la serikali ni kutoa elimu bora, hivyo kama serikali tutahakikisha tunaboresha mazingira kwa kuweka madawati ya kutosha, madarasa na walimu, hivyo hakuna mwanafunzi atakayekaa chini kuanzia mwezi wa sita,” alisema Jaffo. Pia alisema serikali itahakikisha inaongeza majengo katika shule hiyo pamoja na kujenga shule mpya umbali wa kilomita moja kutoka shule hiyo ilipo, katika kiwanja kilichotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Martin Lumbanga, kwa ajili ya kujenga shule mpya. Alimtaka Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Photidas Kagimbo, kuangalia uwezekano wa kujenga jengo la ghorofa katika kiwanja hicho ili kukidhi mfumuko wa wanafunzi wanaoandikishwa kila mwaka pamoja na kupunguzia wanafunzi wa Shule ya Mbagala Majimatitu katika shule hiyo mpya. Pia aliwataka kuwashirikisha wamiliki wa viwanda wa manispaa hiyo, mchakato wa ujenzi wa madarasa ili kukamilisha kazi hiyo kwa wakati. Jafo pia alimtaka Ofisa Elimu wa wilaya hiyo, Angel Frank, kuhakikisha walimu wa shule hiyo wanaotakiwa kupandishwa daraja wanafanyiwa hivyo pamoja na kulipwa mishahara stahiki kwa wakati kutokana na kazi kubwa wanayoifanya ya kulea watoto hao. Naye Mkuu wa shule hiyo, Abdallah Ngomi, alisema shule ina zaidi ya wanafunzi 5,800, walimu 77 wakati mahitaji yakiwa ni walimu 131 na madawati 900 hali inayowalazimu kuweka madawati 52 katika darasa moja badala ya 15 huku mahitaji ya kwa shule nzima yakiwa ni 1,959. “Tuna uhitaji wa vyumba vya madarasa 131 na kwa sasa tunavyo 22 pekee na tunatarajia kujenga 10, hivyo mahitaji ni 109, matundu ya vyoo pia tunahitaji 203 wakati tunayo 36 tu. "Kutokana na idadi hiyo kubwa, wanafunzi wanalazimika kusomea nje na wengine kuingia kwa awamu,” alisema. Mwaka huu shule hiyo imeandikisha wanafunzi 1,022 wa darasa la kwanza idadi ambayo ni sawa na wanafunzi wa shule moja." Jisajiri hapa chatguest kupitia link yangu hapo chini ili nikupe taarifa kwenye email yako siku wakitangaza post za ualimu 2016 Click my link join I will tell you how to get money from this website, Join now http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=15 Tembele chatguest,bonyeza link hapo chini na ujisajili Re: ajira za walimu 2016 soma hapa habari mpya kuhusu post za walimu 2016 « Reply #1 on: February 16, 2016, 05:11:35 pm » Wafanye haraka katika kuajiri walimu maana hali si nzuri kwa shule zetu waache kuwaweka pia vijana mda mrefu kitaa. Mtandao bora unaokulipa kwa kila kazi utakayofanya kupitia hapa jisajili sasa uongeze kipato chako bonyeza=> http://www.chatguest.com/index.php?action=refferals;refferedby=1730 refferal name "Thebeast" KARIBU CHATGUEST ULIPWE SASA UKIWA UNASOMA. « Reply #2 on: February 20, 2016, 10:06:17 pm » lini serikali itaajili walimu maana shule zetu zimelemewa kwa kuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo
"2020-07-06T04:30:52"
http://www.chatguest.com/education-forum(jukwaa-la-elimu)/ajira-za-walimu-2016-soma-hapa-habari-mpya-kuhusu-post-za-walimu-2016/
[ -1 ]
 Godoni Vu'a Maiu'ina Epasasi 1 ☰ Epasasi 1 ◀ ▶ Epasasi 1 Na Porura Godoni ura ijino Jesu Keriso oni apasorua rejuta. ꞌEnaꞌomo Godoni ehija Epasasi hijura kaꞌene Jesu Keriso oni vaji uchaha paꞌajihi punaꞌe veju. 2 Maiji vwihaniꞌina ꞌee matauviꞌina kaꞌene Godi núni Oma ꞌee Natohwa Jesu Keriso oni rena roajija ja puꞌúmuna. Keriso Oni Vaji ꞌAvena Huni Merajihiꞌina 3 Núni Natohwa Jesu Keriso oni Godi ꞌee Omiji taꞌaroha. Hura ꞌAvena Huni merajihiꞌina kaꞌene akúpi ꞌahi navujija Keriso oni vaji mahoꞌo merajúha paranana. 4 ꞌEne Hu nú mweꞌa pavejiꞌini Huni vaji iji pijúhana. ꞌEjakame nú Huni unaꞌi oja mahiꞌina rene akuaviꞌina rene ꞌee sisea panamuhiꞌinaꞌe reꞌavarono iji pijúhana. 5 ꞌEne Jesu Keriso oni vaji Huni Harihijaꞌe ꞌekuhunijaho nitama Huni ura ijino Hu ura renajaꞌinaꞌe amairiaramana. 6 ꞌEne Huni maiji vwihaniiꞌini jihuni pinaniji taꞌaroꞌavarono Hura oja múhiꞌini jihuni vaji maꞌekuana. 7 ꞌEne Hura ori Huni ꞌaa vajijino niꞌajúhe kúꞌo ꞌekuana. Huni maiji vwihaniiꞌina kaꞌene ituꞌoꞌuna namuna vajijino núni sisea vwihanúe aremana. 8 ꞌEne Hura Huni maiji vwihaniiꞌina kaꞌene ituꞌona namuna vajijino vwiha mamaa mahoꞌone ꞌee henaka mahoꞌo ꞌusesamúhana. 9 Godi Huni ura ijihuni hemijaho vejume núnunaꞌa samaumaa renana. Godi Huni ura ijino Keriso oni vaji Hu ura renajaꞌinaꞌe venana. 10 ꞌEne vea roe areri rena parajakaviꞌi uneunecha mapoka Keriso oni vaji ichutoi navura ꞌee mweꞌi navura ꞌekaroe Huni harura hari nahuna. 11 Hura nitama Huni ura ijino iji pijúhana. Hura amairiarama jaꞌinaꞌe ꞌee Huni aachia ꞌuꞌo ꞌekara. ꞌEne uneunecha mahoꞌo Hura ura rene ꞌee ꞌwarama jaꞌinaꞌe rejara. 12 ꞌEjakame ikehuni urijaho nú ea kaꞌene amuraꞌe Keriso nimaa rojujaho Huni mamaiji taꞌarohuna. 13 Ja ꞌuꞌo Huni vaji Huni ira nimaiji hene ꞌee vuꞌa maa maiuꞌina kaꞌene ja niꞌajihana ka ja nimaa rojume Huni ꞌAvena kaꞌene nahama ꞌwaramajaho joni vaji Huni tatua vene mihana. 14 Huni ꞌAvena kaꞌene nú múhajaho Huni aachiji ꞌekahuna tatua vene múhana. ꞌEne Godi Omaꞌe rehunaꞌe kúꞌo ꞌuname ꞌimenúa avanana. ꞌEne Huni mamaiji taꞌaroꞌavarono avanana. 15 Ikehuni hahi na joni vaji Natohwa Jesu nimaa rojuji hene ꞌee jara Godoni ehija mahoꞌo oja mihuji hejujaho paꞌuhuname paturanaꞌikaꞌi 16 na jonijihunaꞌe joni ihi ꞌurihe siporua ꞌone teimani ꞌwavura. 17 ꞌEjakame núni Natohwa Jesu Keriso oni Godi ꞌee Oma kaꞌene pinana rukinijara vwiha kaꞌene vwiha mamaa vwihane ꞌee jonunaꞌa veje samaumaa rene ꞌee Hu hena kahunijaho samaumaa rehuna. 18 ꞌEne na siporua ꞌojujaho joni oja jaraa kame Hura maa irakijihunaꞌe ja ꞌumenaajaho hena kahuna. ꞌEne Huni uneunecha mapoka mavarasaꞌina kaꞌene Huni ehijijipo ꞌekujija hena kihuna. 19 ꞌEne Huni harura niꞌimaꞌura kaꞌene nú nimaa rojiꞌina kihipunaꞌi veꞌamajaho hena kahuna. Ike harura niꞌimaꞌura kaꞌene núni vaji kaukara venujaho 20 ijí harura kajara Kerisora kwamajaho vejume ꞌurinana. ꞌEne vejume akúpi ꞌahi Godoni ija manaꞌinijaꞌi asuma hinana. 21 Iviamai ikehuni vea ikeru pana kaivo túnaꞌa ꞌuꞌo ꞌajohaiꞌina mamaꞌina harura ꞌee harura mahoꞌo ꞌee iha ichaꞌina kaꞌene ja ꞌurihujaho asitaha parane huri hinana. 22 ꞌEne Godira uneunecha mahoꞌo Huni mumora hari irechamana. ꞌEne uneunecha mahoꞌo ꞌee sosia Hura húmata rehunaꞌe mahana. 23 ꞌEne sosijaho Huni haha kaꞌene Hu ijihuni vaji mahoꞌo areri rena paranujina ꞌee Hu uneunecha mahoꞌo areri rena paranu.
"2019-09-15T15:58:07"
https://ebible.org/study/content/texts/mcq/EP1.html
[ -1 ]
TRUMP, PUTIN KUPAMBANA NA ISIS | Mtanzania Home Kimataifa TRUMP, PUTIN KUPAMBANA NA ISIS TRUMP, PUTIN KUPAMBANA NA ISIS RAIS wa Marekani, Donald Trump na Vladimir Putin wa Urusi, wamekubaliana kuhakikisha wanapambana kwa nguvu zote ili kundi la wapiganaji wanaojiita Islamic State (IS) linashindwa vita nchini Syria. Kwa mujibu wa maofisa wa rais wa Urusi, wamesema viongozi hao wawili wamekutana jana kwa muda mfupi pembezoni mwa mkutano wa viongozi wa nchi za Asia na Pasific nchini Vietnam. Viongozi hao wawili walikutana mara tatu katika kipindi cha saa 24 katika mji wa Da Nang. Hata hivyo, hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Serikali ya Marekani kuhusu tamko lililotolewa na Serikali ya Urusi. Mkutano kati ya Rais Trump na Vladimir Putin, ulitarajiwa kufanyika wakati wa mkutano huo wa APEC, lakini ni maelezo machache sana ambayo yametolewa. Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza Julai katika mkutano wa nchi tajiri zaidi duniani, G20 katika mji wa Hamburg nchini Ujerumani. Maswali kuhusu uhusiano wa Donald Trump na Urusi yamekuwa yakiulizwa mara kwa mara. Wasaidizi wake wakuu wa zamani wanachunguzwa kwa tuhuma za kushirikiana na Urusi kuingilia uchaguzi wa urais wa Marekani wa mwaka 2016. Lakini Serikali ya Urusi imekanusha tuhuma hizo. Ingawa Ikulu ya Marekani haijasema chochote kuhusu mkutano wa wawili hao, taarifa ya Kremlin iliyotolewa jana imesema viongozi hao waliafikiana kwamba mzozo wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa njia ya kijeshi. Aidha, viongozi hao wamekaririwa wakisema kujitolea kwao kutasaidia kuwashinda magaidi wa ISIS na kuzitaka pande zote kushiriki mazungumzo ya amani ya Geneva. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Interfax la Urusi, wameahidi kuendelea kudumisha njia za mawasiliano za kijeshi kati ya majeshi ya Urusi na Marekani kuzuia uwezekano wa kushambuliana na IS. Urusi imekuwa ikiunga mkono Serikali ya Rais Bashar al-Assad katika vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu miaka sita sasa. Marekani nayo huwasaidia waasi wa makundi ya Waarabu wa Syria na Wakurdi. Tangu 2014, Marekani imeongoza muungano ambao umekuwa ukitekeleza mashambulio ya kutoka angani dhidi ya ISIS nchini Syria. Previous articleUJUE UGONJWA WA HOMA YA INI Next articlePUTIN AUNGA MKONO SOKO HURU ASIA, PASIFIKI Urusi, Misri kuimarisha ushirikiano
"2018-10-17T03:41:24"
http://mtanzania.co.tz/trump-putin-kupambana-na-isis/
[ -1 ]
Pitio la 09:33, 16 Januari 2020 93 bytes added , miezi 5 iliyopita →‎Jeshi la taifa Pitio la 08:26, 16 Januari 2020 (hariri) 41.75.221.21 (Majadiliano) (→‎Jeshi la taifa) Pitio la 09:33, 16 Januari 2020 (hariri) (tengua) Chipalo E (Majadiliano | michango) d (→‎Jeshi la taifa) == Jeshi la taifa == Jeshi la Taifa ni chombo kilichoanzishwa kisheria chenye silaha na askari wenye mafunzo ya kivita amabao kazi yao ni kupambana kivita kulinda ardhi ya nchi husika dhidi ya uvamizi kutoakutoka nje. Nchi huwa na jeshi moja la kulinda mipaka yakyake dhidi ya uchokozi kutoka nje, lakini pia huwa na majeshi 'Usu' kadhaaa kwaajili ya kulinda usalaama wa ndani,. kwa mfano; majeshi ya nchi ni kama [[Jeshi la Uganda, UPDF, Jeshi la Tanzania TPDF nk|Jeshi la Uganda UPDF, Jeshi la Tanzania TPDF nk]]. Majeshi Usu ni kama Polisi,Magereza,Uhamiaji, Zimamoto na TANAPA. Shughuli nyingi za majeshi hutofautiana kulingana na kitengo husika cha jeshi, kwa mfano jeshi la nchi kavu,Jeshi la Anga na Jeshi la Majini, haya ndiyo matawi makuu matatu ya jeshi . Kwa historia, Jeshi la anga lilikuwa pamoja na Jeshi la ardhiardhini, hasa kwa historia ya [[Uchina]] ama [[Jeshi la ukombozi wa umma wa Uchina]] ilichanganya (jeshi la ardhi, jeshi la majini, jeshi la anga, divisheni za makombora na usayari) kwa tawi moja. Majeshi ya kisasa yaitwa pia ''huduma'', ama ''[[askari watawala]]''). Hii inaweza kuhusu pia matawi ya [[Vita]]: [[jeshi la nchi kavu]], [[Kifaru (vita)|vifaru]], [[makombora]], na [[mhandisi wa jeshi]], na pia [[Wasafirishaji]] wa matawi kama: [[mawasiliano ya kijeshi|mawasiliano]], [[jeshi la watambuzi|watambuzi]], [[daktari wa kijeshi|daktari]], [[Jeshi la vifaa|wapeleka vifaa]], na [[Jeshi la ndege]] (tofauti na jeshi la anga). Jeshi laweza kuwa kubwa kama chama, [[chama cha Jeshi]] ([[Shurutisho la Jeshi|Shurutisho]]) ambayoambalo inalina kundimakundi nyingimengi zaidi zaya [[askari]]. Jeshi tofauti hujigawa kulingana na utamaduni wao — hasa Marekani ([[Jeshi la kwanza la Marekani]]). Kwa [[Jeshi la Uingereza]] Jeshi kwa shurutisho ni "Jeshi la kwanza", na Marekani ni "divisheni ya kwanza". ([[Jeshi Kikundi]] ama [[kinara|Jeshi kinara]]) ni shurutisho kubwa zaidi kulingana na umma, utatuzi na ushirikana. Chipalo E Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1097896"
"2020-07-06T00:51:53"
https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1097896
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: HATI ZA BAYPORT ZATOLEWA KWA MTINDO WA AINA YAKE HATI ZA BAYPORT ZATOLEWA KWA MTINDO WA AINA YAKE Meneja Biashara wa Bayport Financial Services, Thabit Mndeme, kushoto akimpatia hati ya kiwanja cha Vikuruti, mteja wao Ibrahim Yusuph Ismail, nyumbani kwao Kariakoo jijini Dar es Salaam, leo mchana. Kwa wiki hii tu Bayport imeamua kuwapelekea hati za viwanja wateja wao katika maeneo yao ya makazi na maofisini kwao. Na Mwandishi Wetu, Dar esSalaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi nyenzo za kazi Dkt. Harrison Mwakyembe baada ya kumuapisha ku...
"2017-03-27T06:38:05"
http://www.kajunason.com/2016/03/hati-za-bayport-zatolewa-kwa-mtindo-wa.html
[ -1 ]
Kimbuga Neymar, Mbappe chatikisa Ligi Kuu England - Mwanaspoti Kimbuga Neymar, Mbappe chatikisa Ligi Kuu England Kwa hali ilivyo, ndani ya miaka mitatu ijayo kwa maana ya kuanzia sasa, Ligi Kuu England itakuwa kwenye hatari ya kuondokewa na mastaa wake wote wa maana London, England. Nyota Eden Hazard ameshaondoka zake. Msimu unaokuja hatakuwapo kwenye Ligi Kuu England tena. Paul Pogba na Romelu Lukaku nao wanapiga hesabu za kuipiga kibuti ligi hiyo baada ya kuwapo kwa taarifa kwamba wawili hao wapo kwenye mikakati ya kuachana na Manchester United. Christian Eriksen naye yupo njiani kuachana na Tottenham Hotspur, huku mastaa Alexandre Lacazette na Pierre-Emerick Aubameyang wamekuwa kwenye maneno maneno ya kuachana na Arsenal kama si dirisha hili la majira ya kiangazi bas lile la mwakani. Supastaa Mohamed Salah ameshaweka wazi kwamba huenda msimu utakaoanza utakuwa wa mwisho kwake kuitumikia Liverpool huku jambo kama hilo likitarajiwa kutokea kwa mkali mwenzake wa huko Anfield, Sadio Mane. Hivyo hivyo mastaa wa maana wanavyotarajia kuachana na Ligi Kuu England kwenye kipindi hiki cha uhamisho. Lakini, wasiwasi zaidi unakuja kutokana na ukweli ni kwamba hata mastaa wa ligi nyingine waliotazamiwa kuja kwenye Ligi Kuu England wanawaza kwenda kwenye timu nyingine za huko Italia, Hispania na Ufaransa. Mastaa Neymar, Antoine Griezmann, Kylian Mbappe na Paulo Dybala wote hawatajwi kuwa na mpango wa kwenda kukipiga kwenye Ligi Kuu England. Akili ya mastaa hao kwa sasa ni kwenda kwenye klabu za huko Hispania kama si Barcelona basi ni Real Madrid, huku Paris Saint-Germain na Juventus nazo zikiwa na mvuto mkubwa kwa mastaa wenye majina makubwa kuliko timu za Ligi Kuu England, wakiwamo vigogo Manchester United, Manchester City, Arsenal, Chelsea, Tottenham na Liverpool. Baada ya timu za England kutamba kwenye soka la Ulaya kwa msimu uliopita, kwa maana ya michuano ya Europa League na Ligi ya Mabingwa Ulaya, wababe wa Hispania Real Madrid na Barcelona zimeamua kumeza mate ya akili ikiwa pamoja na kufanya usajili wa maana ili kuwa na vikosi vya kutisha msimu ujao. Juventus nao wamekuwa wakiimarisha wakiwanasa mastaa wa nguvu, akiwamo Aaron Ramsey aliyetoka Arsenal moja ya wababe kwenye Ligi Kuu England. Kwa hali ilivyo, ndani ya miaka mitatu ijayo kwa maana ya kuanzia sasa, Ligi Kuu England itakuwa kwenye hatari ya kuondokewa na mastaa wake wote wa maana kutokana na ukweli kwamba wakali wake wa sasa wanaoipa hadhi ligi hiyo kama vile Pogba, Mo Salah, Mane, Lukaku, Eriksen na hata Harry Kane wanaweza kushawishika kuachana na ligi hiyo wakati vigogo Real Madrid au Barcelona zitakapohitaji saini zao. Ilikuwa rahisi sana kwa Barca kunasa huduma ya Philippe Coutinho, Januari mwaka jana na ilikuwa rahisi kwa Real Madrid ilipowang'oa Hazard na Thibaut Courtois kwenye Ligi Kuu England, kama ilivyotaka kumng'oa pia Pogba na Eriksen. Barcelona wanapiga hesabu za kumnasa Victor Lindelof kutoka Man United kitu ambacho kinazidi kuivuruga zaidi Ligi Kuu England katika miaka ya karibuni. Wakati wote wa Ligi Kuu England wanasakwa na Real Madrid, Barcelona, PSG na Juventus na kinachoonekana ni kwamba timu hizo zitakwenda kugawana mastaa hao kutokana na nguvu yao ya kifedha na mikakati ya kujijenga kwa mipango ya kutamba kwenye mchezo huo huko Ulaya na duniani. Hakuna dalili pia ya kumwona Neymar, Mbappe au Griezmann kutua kwenye Ligi Kuu England na hivyo kutishia usalama wa mastaa zaidi kwenda kucheza ligi hiyo licha ya kwamba imekuwa ikisifika kwa kutoa mishahara mitamu.
"2019-09-18T14:08:07"
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Kimbuga-Neymar--Mbappe-chatikisa-Ligi-Kuu-England/1799484-5172594-u8k9lz/index.html
[ -1 ]
Athari ya Kirusi Cha ZIKA ~ NASAHA ZETU Athari ya Kirusi Cha ZIKA UNAFIKI WA NCHI ZA ULAYA NA AMERIKA. Kushoto ni Mtoto aliyeathirika na Kirusi cha Zika Kirusi cha Zika kina mahusiano ya karibu na kirusi kinachosababisha homa ya dengue, Homa ya Manjano (yellow fever). Iki Kirusi kimegunduliwa miaka ya 40. Wataalam wa afya wanahisi kirusi hiki kilianzia aidha nchi za Kiafrika au Asia, na inasemekana Mwaka 1947 kwenye msitu wa Zika nchini Uganda karibu na Ziwa Viktoria, walichua aina ya nyani wenye mikia mifupi wakati kwa ajili ya utafiti wa chanjo ya Homa ya Manjano (yellow fever). Baadae wakaja kugundua kuwa njani waliokuwa wakiwafanyia majaribio wamepata aina ya homa tofauti na Homa ya Manjano, ndipo homa hio wakaita Zika na vijidudu vilivyo sababisha hiyo homa ambavyo kwa asili vinatokana na virusi vya Homa ya Manjano wakavipa jina Zika Virus, hii ilikuwa miaka ya 1950. Baadae kwenye miaka ya 60, alipatikana mgonjwa nchini Nigeria na ugonjwa ukaenea inakisiwa ni kuanzia miaka ile ya 1950 mpaka 1981. Baadae wagonjwa kadhaa wakaanza kupatikana kwenye nchi za Kiafrika kama vile Afrika ya Kati, Misri, Sierra Leone, Tanzania, na Uganda. Na nchi zilizo Asia kama vile India, Indonesia, Malaysia, Philippines, Thailand, na Vietnam. Kirusi hiki kinasambazwa na aina fulani ya Mbu na haswa kipindi cha mchana. Kirusi hiki kinaambukiza na kama mama ni mja mzito basi Kondo lake au mfuko wa Kizazi uathirika na mtoto aliyeko tumboni naye uathirika kwenye ubongo wake na mtoto uzaliwa akiwa mwenye matatizo ya kiakili. Miaka yote hoyo hakuna nchi yoyote ya Ulaya au shirika lolote la Kimataifa, lililothubutu kusema chochote au kuchukuwa hatua yoyote kudhibiti kuenea kwa kirusi hiki, kwa sababu hakikuwepo kwenye nchi za Ulaya na Amerika. Mwaka 2014, kirusi au wagonjwa walianza kupatikana kwenye nchi zilizo kwenye ukanda wa Bahari ya Pacific haswa nchi zinazojulikana kama French Polynesia. Nchi ambazo ugonjwa huu umeenea ni New Zealand, Samoa, Tonga, Cook Islands, Tuvalu, Tokelau, Niue, Wallis, Futuna, Papua New Guinea na Visiwa vya Solomon, na Fiji. Baadae mwaka 2015 nchi za Mexico, Amerika ya Kati, nchi za Karibbeian, Amerika ya Kusini kama vile Brazir, Kirusi cha Zika kimetangazwa kuwa ni Janga la Kitaifa. Mwezi December mwaka 2015, nchi za Ulaya (European) kupitia Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa nchi za Ulaya (European Centre for Disease Prevention and Control) Wameweza kutoa ripoti kamili jinsi kirusi iki kinavyo athiri binadamu na hatua za kuchukua haswa kwa wamama wajawazito. Na hii imetokana kuwa nchi za Ulaya na Amerika kuna wagonjwa ambao wameathirika na kirusi iki, kama vile tulivyo shuhudia wagonjwa wa Ebola walipopatikana nchi za Ulaya na Amerika, ndio nchi hizi zikazibduka na kuona kuwa ili ni tatizo la nchi zote Ulimwenguni na si nchi za Kiafrika na Asia tu peke yake. Hapa ndio utaona kuwa hizi nchi kama janga alija wakuta, mashirika ya Kimataifa kama vile shirika la Afya Duniani, WHO (World Health Organisation). Uwa awachukulii kuwa haya majanga yanayoikumba Afika au Nchi zilizo Eshia (Asia) yanaweza kufika kwenye nchi za Ulaya na Amerika. Ni mpaka pale wakipatikana wagonjwa kwenye nchi zao ndio utaona kuwa wakichukua hatua za kudhibiti na hata kufanya uchunguzi wa kina jinsi ya kuzuia au kutibu kwa magonjwa husika.
"2017-08-20T08:07:47"
http://nasahazetu.blogspot.com/2016/02/athari-ya-kirusi-cha-zika.html
[ -1 ]
Bob Wine Aachiwa Kwa Masharti Magumu Kesi Yake Yaendeshwa Kwa Njia Ya Video Mwenyewe Akiwa Gerezani,Awasiliana Na Hakimu Kupitia Teknolojia Hiyo | robengo16 Msanii na mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi ameachiwa kwa dhamana na mahakama mjini Kampala japo kwa masharti makali. Mchakato wa kulisikiliza ombi lake la dhamana uliendeshwa kwa njia ya video akiwa gerezani Luzira. Aliweza kuwasiliana na hakimu kupitia mawasiliano hayo ya video, hatua ilioepusha kutokea kwa vurugu kama ilivyotarajiwa iwapo angasafirishwa hadi mahakamani. Ameshtakiwa kwa kushiriki katika maandamano ya ‘haramu’ mnamo mwaka jana ya kupinga kodi ya kutumia mitandao ya kijamii maarufu Uganda kama OTT. Wafuasi wa mbunge Robert Kyagulanyi walionekana wakiimba wimbo wao wa ushindi baada ya hakimu wa mahakama ya Buganda Road kukubali ombi la Bobi Wine kupewa dhamana. Uamuzi huo ulitolewa katika kikao kilichochukua muda wa saa nne, upande wa serikali ukipinga apewe dhamana.Kabla ya hakimu kumpatia dhamana, Bobi Wine alipewa fursu ya kuzungumuza: ‘Napenda kusisitiza kwamba sio mimi ninayeshitakiwa mahakamani ni mahakama yenyewe, maamuzi ya mahakama itakayotowa sio tatizo kwangu, mimi nitaendelea na kusema ukweli. ‘Kazi yangu ni kutetea haki, kazi yangu ni kupigania haki yako wewe hakimu na mimi na raia wengine wa Uganda. Kama itakuwa haki mimi kubaki hapa korokoroni, nitamushukuru mwenyezi Mungu kwa sababu nina kazi nyingi za kufanya hata hapa gerezani’ alisema mwansiasa huyo wa upinzani. Masharti magumu aliopewa Bobi Wine: Kyagulanyi amepewa masharti magumu ya dhamana kulingana na umarufu wake anapopita mjini anakuwa na wafasi wakubwa wakimufatilia, na katika masahriti hayo amekatazwa kuhusika katika mkusanyiko au Maandamano kama anavyosema wakiri wake Asumani Basalilwa: ‘Haya masharti yanashangaza kwasababu ni nani ana uwezo wa kusema maandamano ni mazuri au mabaya? ‘Kama hiyo nguvu wanajipatia polisi rafiki yetu Bobi wine asiwe huru nchini mwetu, Kwasababu polisi wanaweza kukamata watu bila mpango, wanaweza kukukamata ukiwa unafanya kazi yako unaenda kula, wanakukamata. Kama ni mahakama itasema mkutano huu ni haramu, hivyo ni vizuri lakini kama ni polisi, kutakuwa na vita vingi,’ amesema Asuman. Licha ya mashariti aliyopewa, Mawakili wake hawakufurahishwa na mfumo wa mahakama uliotumiwa wa teknolojia bila ya kuwasiliana na mteja wao akiwa Luzira: ‘Sio teknolojia mbaya, lakini leo sheria yetu Uganda inasema, ni lazima uje mahakama uwasilishe ombi kama unataka kufanyisha video conference. Lakini hakuna aliyekuja hapa kuwasilisha ombi hilo, kwa hivyo kilichofanyika hapa ni kinyume cha sheria’. Watu waliokuwa mahakamni hawajafurayishwa na maamuzi ya mahakama jinsi serikali inavyomunyima haki za kufanya kazi Robert Kyagulanyi. ‘Hakuna demokrasia hapa, kila anayetaka kuwa rais anawekwa mahabusu’ ameeleza raia mmoja aliokuwepo nje ya mahakama Kampala. Kampeni mpya ilianzishwa katika mitandao ya kutaka Bobi Wine aachiliwe huru huku baadhi wakizungumzia hatua hiyo kama ya kutia wasiwasi. Mashirika ya kutetea haki za binaadamu likiwemo la Marekani, Tom Lantos Human Rights Commission, na shirika linaloshinikiza uongozi wenye maadili na demokrasia kwa wote – Vanguard Africa, yameshutumu hatua hiyo ya serikali ya Uganda. Bobi Wine alikamatwa siku ya Jumatatu wakati akilipokuwa njiani kupeleka barua makao makuu ya polisi kuwafahamisha anakwenda kufanya mandamano ya kumunyima haki zake za kufanya kazi yake ya muziki ikiwa tangu mwaka jana wamezuia matamasha 124. ← Previous Story Vituo 13 Vya Radio Na Televisheni Na Wanahabari Wa Futwa Kwa Upotoshaji Na Kuchochea Ghasia Nchini Uganda Next Story → Mfahamu Nyoka Mwenye Macho Matatu Aliyegunduliwa Na Maafisa Wa Wanyama Pori
"2019-06-16T00:28:49"
https://robengo16.com/2019/05/03/bob-wine-aachiwa-kwa-masharti-magumu-kesi-yake-yaendeshwa-kwa-njia-ya-video-mwenyewe-akiwa-gerezaniawasiliana-na-hakimu-kupitia-teknolojia-hiyo/
[ -1 ]
Matokeo ya form two 2019 Form two examination results 2019/2020 HOW TO WATCH Matokeo ya kidato cha pili 2019 bonyeza hapa Matokeo ya kidato cha nne 2019 bonyeza... Matokeo ya darasa la nne 2019/20 Standard four results 2019 Tazama matokeo ya kidato cha pili 2019, Form two results 2019 here matokeo ya kidato cha nne (csee) 2011 link1 matokeo ya kidato cha nne (csee) 2011 link2 matokeo ya kidato... NBC BANK JOBS 2012 Specialist Branch Operations (8 Posts) Qualifications • Bachelor of commerce or related degree • 2 yrs experience in branch operations ... Jan 09, 2020 · Check Matokeo ya kidato cha pili 2019 - matokeo ya kidato cha pili 2019 tanzania form two results 2019/2020 necta form two 2019 results matokeo ya form two 2019 necta matokeo ya form two 2019/2020 ftna 2019 results form two matokeo ya form two 2019 Form Two Secondary Education Examinations (FTSEE) and Standard Four National Assessment (SFNA ... Matokeo. 4,609 likes · 35 talking about this. HERE ARE THE EXAMINATION RESULTS AND PAST PAPERS FOR FORM TWO, FORM FOUR AND FORM SIX, ALSO EXAMS RESULTS FOR STD FOUR & STD SEVEN. MATOKEO YA USAILI WA INTERNS - IMPORT INSPECTION NoticesVacancies | Shirika la Viwango Tanzania linapenda kuwataarifu waombaji wa nafasi za Mafunzo kwa vitendo kazini (Internship) waliofanya usaili tarehe 14-09-2019 kuwa matokeo yapo tayari. Read More Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) [email protected] Jan 24, 2019 · Zanzibar yaula na chuya shule 10 bora kitaifa matokeo kidato cha nne Posted by Wahida | Jan 24, 2019 Baraza la Mitihani la taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2018 ambapo Shule ya Wasichana ya St. Francis ya mkoani Mbeya imeongoza kitaifa. matokeo ya mitihani kwa madarasa yote,examination result here. ... form two past papers questions and answers. ... Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2018-2019 | NECTA ... s1098 maji ya chai s1099 nyehunge s1100 ruiwa s1101 luagala s1102 mahuta t d f s1103 busongo s1104 idodi s1105 suba s1106 kikaro s1107 mwamashimba s1108 myamba s1109 st.dorcas seminary s1110 kaloleni s1111 mashingia s1113 chanjagaa s1114 shelui s1115 bukandwe s1116 mtipe s1117 dabalo s1118 mlongwema s1119 zanzibar commercial Necta:Form Four,Two&Standard Four Result,Matokeo Ya kidato Cha Nne Na Pili 2019 January 9, 2020 January 16, 2020 8 Comments Necta:Form Four, Two&Standard Four Result,Matokeo Ya kidato Cha Pili 2019 Form FOUR Results 2019 | CSEE NECTA Results 2019 |… I'm so excited to introduce you to news matokeo ya kidato cha pili 2017 2018 fuatilia hapa Matokeo ya necta matokeo ya kidato cha nne 4 2018 2019 News Alert NECTA IMETANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2017 NECTA Form Two and Standard Four National Assessment Examination Form Two National Assessment 2019/2020 - matokeo form two 2019/20 The National Examinations Council of Tanzania administered the Form Two National Assessment (FTNA) since 2014. The Form Two National Assessment Formats have been prepared taking into account the topics stipulated in the syllabuses currently in use. Necta:Form Four, Two&Standard Four Result,Matokeo Ya kidato Cha Pili 2019 FORM TWO AND STANDARD FOUR EXAMINATION RESULT 2019 Summary of... Form Two FTNA Results 2019/20 (Matokeo ya Kidato Cha Pili) by maujanjamusic. FORM TWO RESULTS CLICK HERE . FORM TWO RESULTS CLICK HERE. DEAR READER LEAVE A COMMENT BELOW. Tags : ENTERTAINMENT. SHARE THIS. Share it Tweet Share it Share it Pin it. DO NOT FORGET LIKE OUR PAGE BELOW TO GET MORE SONGS FOR RESPONSE ... s1098 maji ya chai s1099 nyehunge s1100 ruiwa s1101 luagala s1102 mahuta tdf s1103 busongo s1104 idodi s1105 suba s1106 kikaro s1107 mwamashimba s1108 myamba s1109 st.dorcas seminary s1110 kaloleni s1111 mashingia s1113 chanjagaa s1114 shelui s1115 bukandwe s1116 mtipe s1117 dabalo s1118 mlongwema s1119 zanzibar commercial Tazama matokeo ya kidato cha pili 2019, Form two results 2019 here. Form two examination results 2019/2020 HOW TO WATCH Matokeo ya kidato cha pili 2019 bonyeza hapa Matokeo ya kidato cha nne 2019 bonyeza... 24 signs that show some wants to start love relationship with you. Form FOUR Results 2019/2020 | CSEE NECTA (Matokeo ya Kidato Cha Nne 2019) Author Ajira Faster. Date January 09, 2020. Tags. MATOKEO. ... FTNA Results 2019 -Matokeo form two 2019 by NECTA Form Two National Assessment Result 2019-20 Matokeo Ya Upimaji Wa Kitaifa Wa Kidato Ch... Matokeo ya Kidato cha Plili&Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019 The National ... Link 1: Click Here For Form Two National Assessment Results ... after, council, darasa la nne, kidato cha pili, national, plili, standard MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2019. ... MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2019. ... THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA) is Government Institution which was established by the Parliamentary Act No. 21 of 1973. NECTA is responsible for the administration of all National Examinations in Tanzania. Read more. Matokeo ya Kidato cha Pili Na Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019 National Examinations Council of Tanzania announced form Two and Standard Four National Assessment Results. All about deepening the connection with information MATOKEO HALISI matokeo kidato cha pili 2018 2019 Tazama matokeo ya kidato cha pili 2017 2018 hapa ð ¥Hotâ Hotð ¥ Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Pili 2014 Wel e necta tanzania national examination results - allow students to check the "acsee results 2018 2019" by sms through mobile phone if you do not have internet ... All about deepening the connection with information MATOKEO HALISI matokeo kidato cha pili 2018 2019 Tazama matokeo ya kidato cha pili 2017 2018 hapa ð ¥Hotâ Hotð ¥ Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Pili 2014 Wel e necta tanzania national examination results – matokeo ya kidato cha nne 2019 dodoma. Looking for form four examination results 2019. necta form four results 2019. form four results 2019/2020. form four results 2019/20. form four results 2019/2020. necta results 2019. matokeo ya form four 2019/20. www.necta.go.tz 2019 csee. matokeo ya form four 2019/2020. Artikel Terkait. Unknown. Next Post ... FTNA Results 2018 -Form Two National Assessment Result 2019 - 2020 have been announced today. NECTA allow students to check the FTNA Results 2019 - 2019 by SMS through their mobile or online by using the following liks MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2019. After Tanzania Mainland had pulled out of the East African Examinations Council, in 1971 and before NECTA was established by Law, in 1973, the Curriculum and Examinations Section of the Ministry of Education was responsible for all examinations. Necta | Form Two National Examination Result 2018/2019 by TubongeMEDIA. January 04, 2019. Form Two National Results The decision to establish NECTA was a follow-up of ... Necta:Form Four,Two&Standard Four Result,Matokeo Ya kidato Cha Nne Na Pili 2019 After Tanzania Mainland had pulled out of the East African Examinations Council, in 1971 and before NECTA was established by Law, in 1... January 8, 2018 Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde, ametangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa darasa nne na kidato cha pili iliyofanyika November 22 na 23, 2017, huku idadi kubwa ya wanafunzi wakifanya vyema katika mitihani hiyo. Jan 18, 2019 · Yatazame hapa matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2018 January 24 2019 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2018’ na matokeo ya mtihani wa maarifa (QT) 2018. Jan 14, 2019 · Jinsi ya kuangalia matokeo ya form two hatua zote ziko hapa - Danfald chanelTv. Date : 09 January 2018. ... Tags: Matokeo ya kidato cha nne 2018 2019 Video Download ... Matokeo Kidato Cha Pili 2019, Form Two Results 2019, FTNA Results 2019, Matokeo Necta, 2019/2020 Matokeo kidato cha pili, Form Two Results 2019-2020. The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is Government Institution which was established by the Parliamentary Act No. 21 of 1973. ... MATOKEO YA KIDATO CHA PILI HAYA HAPA ... Jan 01, 2020 · NECTA Form Two Results | FTNA Results | Matokeo Kidato Cha Pili, FTNA 2019 Results, Matokeo Kidato Cha Pili 2019 Form Two National Assessment (FTNA) is the exam that conducted by Form two Students to assess their knowledge so as to join form three for ordinary level in Tanzania FTNA Exams are Supervised by National Examinations Council Of Tanzania (NECTA) MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 – FORM FOUR (CSEE) NECTA RESULTS 2019 – 2020 Dar es salaam Tanzania. CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION (CSEE), is as prescribed by Circular Number 1 of the Ministry of Education and Vocational Training (MOEVT), of April 2006. FORM TWO National Assessment (FTNA) Results | Matokeo ya Kidato cha Pili 2019 163 views. Tanzania January 16, 2020 matokeo2019 - Others. Form Two National Assessment (FTNA) Results | Form Two Examinations Results | NECTA Form Two Results All Years ... ©2019 | ajirazote.com is Not Affiliated In Any Way With The Companies Whose Vacancies Are ... NECTA Form Two Results app kwaajili ya Matokeo Ya Kidato Cha Pili 2019/2020. Tazama matokeo ya form 2 necta kupitia app hii. Matokeo Ya Kidato Cha Pili 2019 1.0.1 APK Download BoxBack top. Matokeo Ya Kidato Cha Pili 2019 2.0 APK Download. Version 2.0; Min SDK Android 4.0.x - Ice Cream Sandwich (SDK: 14) Matokeo ya Kidato cha Pili&Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019 The Nat... Matokeo ya Kidato cha Pili&Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019. The National Examinations Council of Tanzania has announced the form Two and Standard Four National Assessment ... matokeo mapya ya kidato cha nne haya hapa 1079 chikuyu s1080 muheza muslim s1082 mtii s1083 bumbuli s1084 vuma s1085 laureate international school s1086 ludewa s1088 tumbi s1089 kilimatinde s1090 chala s1091 bungurere s1092 kwemaramba s1093 aldersgate s1094 jihad s1095 wotta s1096 mitundu ... Jan 09, 2020 · Matokeo ya form four 2019/2020 STORY PAGE. Loading... Unsubscribe from STORY PAGE? ... Matokeo ya form four yaangalie live - Duration: 0:45. Danfald chanelTv 58,494 views. Jan 05, 2019 · Matokeo ya Kidato cha Plili&Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019 Posted on January 5, 2019 by Admin The National Examinations Council of Tanzania has announced the form Two and Standard Four National Assessment Results. Eaa witness compact grips Dell r510 passthrough Tax refunds kent Festival of sail tacoma 2019 Jv characteristics of solar cell The crown hotel napier Meg peter quotes Hath ki silai Onli taaty karti ladaki video Super automaticas semillas Examples of prejudice in healthcare Razor 2.0 firmware Nba 2k14 team ratings Ertugrul season 5 episode 16 vimeo Woolrich autumn ridge slippersChild law Http srs wsu edu et reviewHorsin around farm Premiere pro unsupported video driver70 aud to usd Template creatorMitsubishi lancer timing chain replacement Plague vendor bioConstant mesh gearbox design calculations Tomas rimkus plunge Beretta 92x centurion priceLittle cat in chinese Commander root youtube Dec 13, 2015 · On this page you can read or download matokeo ya mock exemination form four in PDF format. If you don't see any interesting for you, use our search form on bottom ↓ . MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 – FORM FOUR (CSEE) NECTA RESULTS 2019 – 2020 Dar es salaam Tanzania. CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION (CSEE), is as prescribed by Circular Number 1 of the Ministry of Education and Vocational Training (MOEVT), of April 2006. Jan 28, 2019 · Seaching for loan for Jinsi ya kuomba mkopo wa chuo 2019/2020 , HSLB 2019. maombi ya mkopo wa chuo 2019,bodi ya mikopo 2019/220,bodi ya mikopo 2019/20,bodi ya mikopo elimu ya juu 2019/2020,majina ya waliopata mkopo 2019/2020,fomu za bodi ya mikopo,majina ya waliopata mkopo 2019/20,fomu za bodi ya mikopo 2019/2020,majina ya waliokosea kuomba mkopo 2019/2020 All news about higher education news ... Matokeo Ya Form Two Katika matokeo ya kidato cha pili, yaliyotangazwa na Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), shule... Attached Below is a copy of Tusiime Results as posted on NECTA website. *This copy does not contain any... Matokeo ya kidato cha Pili 2019 - Form Two Necta result 2019 CLICK HERE TO SEE FORM TWO Examinations Results 2019 | FORM TWO National Assessment (FTNA) Results 2019 | NECTA Form Two Results 2019 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA FOR FORM FORM FOUR AND STANDARD FOUR RESULTS CLICK HERE! Summary of NECTA's History: After […] Matokeo ya Kidato cha Plili&Darasa la Nne Form Two & Standard Four National Assessment Results January 2018/2019 The National ... Link 1: Click Here For Form Two National Assessment Results ... after, council, darasa la nne, kidato cha pili, national, plili, standard Matokeo Darasa la Saba 2017 : Pitia Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2017 Gadiola Emanuel. October 20, 2017 Arusha, ELIMU, HABARI, MATUKIO, ... Contact Form ... Matokeo ya Form Two 2019/2020 Online. From 2016 the National Examination Council Of Tanzania (NECTA) developed online Matokeo ya form two systems through the official website (www.necta.go.tz). Here is a guide on how to check the form two results online from the necta official website. Dec 13, 2015 · On this page you can read or download matokeo ya mock form 4 in PDF format. If you don't see any interesting for you, use our search form on bottom ↓ . Martin curbishley automotive Oct 15, 2019 · Form Two FTNA Results 2019/20 (Matokeo ya Kidato Cha Pili) Standard FOUR SFNA Results 2019/2020 (Matokeo Darasa la Nne) LIKE US ON FACEBOOK. Top 10 Trending This Week. MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA KWA NGAZI MBALI MBALI MWAKA 2018 . Matokeo ya Kidato cha Pili Mwaka 2018 Matokeo ya Darasa la Sita Mwaka 2018 Matokeo ya Darasa la Nne Mwaka 2018 Idadi ya wanafunzi wanaorudia Kidato cha Pili mwaka 2018 Idadi ya wanafunzi waliofaulu na skuli walizopangiwa mwaka 2018Breaking News: MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018/2019 | Form Two National Assessment Results 2018/2019 | Released Today 04th January, 2019 PLEASE SHARE WITH YOUR FRIENDS. Background: The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is Government Institution which was established by the Parliamentary Act No. 21 of 1973. NECTA is responsible ... Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato nne ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia saba. Jumla ya watahiniwa 385, 767 walisailiwa kufanya mtihani kidato cha nne mwaka 2017, kati yao 287,713 sawa na asilimia 77.09 ndio wamefaulu ambapo wasichana ni 143,728 sawa na asilimia 75.21 na wavulana 143,985 sawa na asilimia 79.06. NECTA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019/2020 | FORM SIX RESULTS 2019, Form Six Results 2019 | MATOKEO Kidato cha sita 2019 | Necta Form Six Results 2019 | Kidato cha 6 Matokeo 2019 | Matokeo Necta 2019 | Form Six 2019 Results | T.O Form Six 2019 | Form 6 Best Schools 2019 | Shule 10 Bora Kidato cha sita 2019 | Mwanafunzi Bora Form Six 2019 |10 Best Girls Form Six 2019 |10 Best Boys Form Six 2019 ...MATOKEO YA FORM TWO NECTA Form Two Results | FTNA Results | Matokeo Kidato Cha Pili, FTNA 2019 Results, Matokeo Kidato Cha Pili 2019 Recommended: CHECK SCHOLARSHIPS OPPORTUNITIES TO STUDY . Apply to job. Share this page on. Get new jobs for this search by email. Send me new jobs by email You can cancel emails at any time. form two results click here Form Two FTNA Results 2019/20 (Matokeo ya Kidato Cha Pili) Reviewed by maujanjamusic on January 09, 2020 Rating: 5 DEAR READER LEAVE A COMMENT BELOW Tazama matokeo ya kidato cha pili 2019, Form two results 2019 here. Form two examination results 2019/2020 HOW TO WATCH Matokeo ya kidato cha pili 2019 bonyeza hapa Matokeo ya kidato cha nne 2019 bonyeza... 24 signs that show some wants to start love relationship with you.NECTA Form Two Results app kwaajili ya Matokeo Ya Kidato Cha Pili 2019/2020. Tazama matokeo ya form 2 necta kupitia app hii.NECTA Certificate of Secondary Education Examination(CSEE) This is an achievement test offered to candidates who have completed four years of secondary education in Tanzania so as to get those who will pass their exams to join with advanced level for two year to study form five and six, also to get students who will be chosen to join various technical College in Tanzania. Matokeo ya Kidato cha Pili & Darasa la Nne 2018/2019 Ashel January 4, 2019 The National Examinations Council of Tanzania has announced the form Two and Standard Four National Assessment Results. Dream of driving off a bridge into water Honda rebel 250 replacement carburetor August 10 celeb birthdays
"2020-08-04T05:59:54"
https://oedl.lawandicome.co/matokeo-ya-form-two-2019.html
[ -1 ]
Msaidizi wa mafuta Kwa sasa tuna 23 / 07 / 18, 10: 01 Mitambo maalum, ruhusa, kupunguza matumizi ya mafuta ⇒ Msaidizi wa mafuta Ujumbe zisizo lupar tembo » 15/09/06, 08:26 Kwa njia ya mchezo wa mifumo ya kiungo cha matangazo, hapa ni nini kinachopatikana kwa kubonyeza moja ya viungo vya umma juu ya ukurasa wa nyumbani wa tovuti yetu mpendwa Christophe, hatukulaumii, lakini ikiwa una uwezo wa kuchagua: haipaswi kuwa tunapitia gugusses! Ujumbe zisizo lupar denis » 15/09/06, 09:26 ni katika mstari wa mawazo yetu, lakini kama kawaida, matokeo ya utani. Ujumbe zisizo lupar denis » 15/09/06, 09:34 kama injini hp2: kujaribu, lakini ni ufanisi? kutokana na bei ya bidhaa! ni bidhaa za muujiza, sina imani kubwa sana. Ingekuwa nafuu sana, ikiwa inaepuka kujenga upya injini Re: Msaidizi wa mafuta Ujumbe zisizo lupar Christophe » 15/09/06, 12:09 tembo aliandika hivi: Christophe, hatukulaumii, lakini ikiwa una uwezo wa kuchagua: haipaswi kuwa tunapitia gugusses! Blacklisté ... Nakumbusha kwamba kuna mada kwenye jukwaa hasa kwa: https://www.econologie.com/forums/les-sponso ... t1714.html Nimefunga jambo hili. 10019 Maoni 6975 Maoni 6777 Maoni 1808 Maoni 2578 Maoni
"2018-07-23T08:01:50"
https://sw.econologie.com/forums/consommer-moins-auto/economiseur-di-carbu-t2296.html
[ -1 ]
Tetesi za soka Leo Ulaya Jumatatu: Leroy Sane, Gareth Bale, Bruno Fernandes,Nicolas Pepe, Wilfried Zaha - MWANAHARAKATI MZALENDO ™ Admin 10:49:00 AM BRUNO FERNANDES, GARETH BALE, LEROY SANE, MICHEZO, NICOLAS PEPE, WILFRIED ZAHA By Admin muda 10:49:00 AM Labels: BRUNO FERNANDES, GARETH BALE, LEROY SANE, MICHEZO, NICOLAS PEPE, WILFRIED ZAHA
"2019-09-21T10:59:32"
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/07/tetesi-za-soka-leo-ulaya-jumatatu.html
[ -1 ]
Luka 2Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Kuzaliwa Kwa Yesu2 Siku zile Kaisari Augusto, mtawala wa milki ya Kirumi, aliamuru ya kwamba watu wote wa milki yake waandikishwe. 2 Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza kufanyika nayo ilitokea wakati Kirenio alipokuwa liwali wa Siria. 3 Watu wote walikwenda katika sehemu walikozaliwa ili waandikishwe huko. 4 Yusufu alitoka mji wa Nazareti uliopo Galilaya akaenda mpaka Bethlehemu mji wa Daudi kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi. 5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na mchumba wake Mariamu ambaye kwa wakati huu alikuwa mja mzito. 6 Walipokuwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu kujifungua uli fika, 7 naye akamzaa mtoto wa kiume, kifungua mimba. Akamfunika kwa vinguo na kumlaza horini, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni. Wachungaji Wapata Habari8 Usiku ule walikuwako wachungaji wakilinda kondoo zao nje ya mji. 9 Ghafla malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Mungu ukawang’azia pande zote. Wakajawa na hofu kuu. 10 Lakini malaika akawatuliza akisema: “Msiogope! Nawaletea habari njema ya furaha kubwa, na habari hii ni kwa faida ya watu wote! 11 Kwa maana leo katika mji wa Bethlehemu, amezaliwa Mwokozi ambaye ndiye Kristo Bwana. 12 Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa vinguo na kulazwa horini.” 13 Mara jeshi kubwa la malaika wa mbinguni likatokea na pamoja wakamsifu Mungu wakiimba: 14 “Atukuzwe Mungu juu mbin guni, na duniani iwepo amani kwa watu ambao amependezwa nao.” 15 Malaika hao waliporudi mbinguni wale wachungaji walish auriana: “Jamani, twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotokea, ambayo Bwana ametufahamisha.” 16 Kwa hiyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Mariamu na Yusufu; na yule mtoto mchanga alikuwa amelala mahali pa kulia ng’ombe. 17 Walipomwona mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa. 18 Na wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wachungaji. 19 Lakini Mariamu akayaweka mambo haya yote moyoni mwake, akayafikiria mara kwa mara. 20 Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kum sifu kwa yale waliyoyasikia na kuyaona. 21 Hata baada ya siku nane, ilipotimia siku ya kumtahiri mtoto, aliitwa Yesu; jina alilopewa na malaika kabla hata haja chukuliwa mimba. Yesu Apelekwa Hekaluni22 Baada ya kutimia kwa muda wa utakaso wa Yusufu na Mar iamu, kwa mujibu wa sheria ya Musa, walimpeleka mtoto Yerusalemu, wakamtoa kwa Bwana 23 kama ilivyotakiwa na sheria ya Bwana -“Kila mtoto wa kiume wa kwanza atakabidhiwa kwa Bwana.” 24 Pia walitoa sadaka, kama ilivyotakiwa na sheria ya Bwana: “Hua wawili au makinda ya njiwa wawili.” 25 Na alikuwepo huko Yerusalemu mzee mmoja jina lake Simeoni ambaye alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Siku zote alikuwa akitarajia ukombozi wa Israeli na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake. 26 Pia Roho Mtaka tifu alikuwa amemhakikishia kuwa hangekufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. 27 Kwa hiyo, akiwa ameongozwa na Roho Mtaka tifu, Simeoni alikwenda Hekaluni. Wazazi walipomleta mtoto Yesu ili wamfanyie kama ilivyokuwa desturi ya sheria, 28 Simeoni alimpokea mtoto mikononi mwake akamshukuru Mungu akisema: 29 “Sasa Bwana, niruhusu mimi mtumishi wako niende kwa amani kama ulivyoniahidi, 30 kwa sababu macho yangu yameuona wokovu 31 ulioandaa mbele ya watu wote, 32 nuru itakayowaangazia watu wa mataifa na kuleta utukufu kwa watu wako Israeli.” 33 Wazazi wa mtoto walistaajabu kwa yale yaliyokuwa yakisemwa kumhusu mtoto wao. 34 Simeoni akawabariki. Kisha akamwambia Mariamu, mama yake, “Mtoto huyu amechaguliwa na Mungu kwa makusudi ya kuanga mizwa na kuokolewa kwa wengi katika Israeli. Atakuwa ishara ya onyo kutoka kwa Mungu ambayo watu wengi wataikataa 35 ili kudhi hirisha mawazo yao ya ndani. Na uchungu kama kisu kikali utaku choma moyoni.” 36-37 ,Tena, alikuwepo Hekaluni nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti wa Fanueli, wa kabila la Asheri. Nabii Ana alikuwa mjane wa miaka themanini na minne naye alikuwa ameolewa kwa miaka saba tu mumewe akafariki. Yeye aliishi humo Hekaluni daima, akimwabudu Mungu na kuomba na kufunga. 38 Wakati huo huo, Ana alikuja mbele akamshukuru Mungu na kueleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wakitarajia ukombozi wa Yerusalemu. 39 Yusufu na Mariamu walipokamilisha mambo yote yaliyotakiwa na sheria ya Mungu, walirudi nyumbani kwao Nazareti katika Wilaya ya Galilaya. 40 Yesu aliendelea kukua, akawa kijana mwenye nguvu na hekima, akijaa baraka za Mtoto Yesu Adhihirisha Hekima Yake41 kila mwaka wazazi wake walikwenda Yerusalemu kushiriki katika siku kuu ya Pasaka. 42 Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama desturi ilivyokuwa. 43 Sikukuu ilipokwisha walianza safari ya kurudi nyumbani. Yesu akabaki Yerusalemu pasipo wazazi wake kujua. 44 Wao walidhani yupo nao kwenye msafara kwa hiyo wakaenda mwendo wa siku nzima. Walipotambua kwamba hawakuwa naye, walianza kumtafuta kati ya jamaa na marafiki. 45 Hawakumpata, kwa hiyo wakarudi Yerusalemu wakimtafuta. 46 Siku ya tatu wakamkuta Hek aluni ameketi kati ya walimu wa sheria, akiwasikiliza na kuwau liza maswali. 47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa na majibu aliyoyatoa. 48 Wazazi wake walipomwona walishangaa. Mama yake akamwul iza: “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Baba yako na mimi tume hangaika kukutafuta kila mahali kwa wasiwasi mkubwa.” 49 Lakini yeye akajibu: “Kwa nini mlihangaika kunitafuta? Hamkujua ninge kuwa hapa Hekaluni kwenye nyumba ya Baba yangu? 50 Lakini wao hawakuelewa maana ya jibu lake. 51 Akarudi pamoja na wazazi wake hadi Nazareti. Akawa aki watii, na mama yake akayaweka moyoni mambo haya yote. 52 Basi Yesu akaendelea kuongezeka katika kimo na hekima, akipendwa na Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica
"2017-07-21T02:49:56"
https://www.biblegateway.com/passage/?search=Luka+2&version=SNT
[ -1 ]
Tanzanian Canadian Association: 50 Cent achonga Mwanamuziki maarufu wa hiphop nchini marekani amepungua uzito kiasi cha kushangaza watu, Fiddy kama baadhi wanavyomuita amepungua toka 216 mpaka 140 kwa kunywa vimiminika na mazoezi mengine. Yote haya ni katika kutengeneza filamu ambayo amecheza kama mchezaji wa Football aliyeugua kansa, sinema hiyo itaitwa Things Fall Apart, kwa wapenzi wake wasiwe na wasi kwani ameshaanza kula baada ya kumaliza kazi na atarudia afya na mwili wake wa kawaida. Posted by Tanzanian Canadian Association at 9:24 PM
"2018-12-13T04:00:18"
http://tanzcan.blogspot.com/2010/05/50-cent-achonga.html
[ -1 ]
HOTUBA YA BALOZI BARAKA H. LUVANDA WAKATI WA MAHAFALI YA WANAFUNZI NA WANACHAMA WA UMOJA WA WANAFUNZI WA MYSORE(TASAM), 17 MACHI,2018 Ndugu Rais wa TASAM na Mwenyeji wetu, Ndugu Viongozi katika Meza Kuu, Ndugu Wahitimu, Marafiki wa TASAM, Kama ulivyokwisha kudokeza katika hotuba yako, leo sio siku ya kupoteza muda kwa kusikiliza hotuba ndefu. Nami ninaitikia mwongozo wako kwa kuongea kwa ufupi. Kwanza kabisa ni shukrani. Ninawashukuru sana kwa kunialika kuja kujumuika nanyi katika kufurahia wenzetu kuweza kutimiza lengo na dhumuni lililokuwa limewaleta India. Hongereni sana wahitimu wote. Aidha, nawapongeza na kuwashukuru wakufunzi wenu waliowapatia elimu, ujuzi na maarifa na kuwawekeni katika hali ya utayari kwenda kukabiliana na changamoto za maisha yanayoanza leo. Mahafali ni tukio laa kipekee sana popote pale. Kwa wahitimu, tukio ni muda mahsusi wa kusherehekea, ni muda pekee wa kutathimini mafanikio ya masaa mengi waliyotumia katika kuhakikisha wanafikia malengo yao. Lakini pia siku kama ya leo mara sherehe hizi zinapohitimishwa ni muda kwa wahitimu kutafakari ukurasa mpya wa maisha. Mlango wa dunia unafunguka na furaha, maumivu na wajibu mpya. Nayasema haya si kwa kuwaogopesha, bali hiyo ndiyo hali halisi inayowakabili. Wahitimu wetu hawa wamefanya jitihada kubwa hadi kufikia siku ya leo. Lakini pia ni ukweli kuwa wazazi wao wametekeleza wajibu wao vizuri wa kuhakikisha mazingira rafiki yamekuwepo wakati wote wa safari yao ya masomo. Wakufunzi halikadhalika wamekuwa sehemu ya mafanikio haya. Kwa ajili ya kuwapongeza wote niliowataja, naomba tupige makofi mengi. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa kila mwaka Tanzania inazalisha wahitimu wapatao laki nane na wote hao wanaingia katika soko la ajira. Changamoto kubwa imekuwa ni ufinyu wa ajira zenyewe iwe kwa sekta ya umma au kwa sekta binafsi. Na mbaya zaidi kwa upande wa sekta binafsi ni kuwa na ajira zisizodumu. Ninalitaja jambo hili kwenu ili kuwaandaa kisaikolojia Baadhi yenu watakuwa na matarajio ya kuajiriwa. Hakuna shaka kuwa watapata ajira baada ya kuhangaika sana. Lakini sina uhakika kama mmeshakutana na neon "Ujasiriamali."Na kama linafahamika miongoni mwenu basi naamini mtakuwa mmejiweka vizuri kukabiliana na changamoto za kimaisha zinazoanza leo. Kwa wale ambao kwa bahati mbaya hawakuwahi kukutana na neno hili nawasihi watumie simu zao kubofya na kupata maana yake watanufaika sana na maelezo na mifano inayotolewa. Kwa kuwa niliahidi kuitikia rai ya kutumia muda mfupi, naomba nimalizie nasaha zangu kwa kuongezea yafuatayo: Matarajio ya wazazi wenu ni makubwa, matarajio ya wadogo zenu ni makubwa, matarajio ya nchi ni makubwa na hata matarajio ya familia zenu pia ni makubwa. Na kama ilivyokwishakusemwa,ninanukuu: "Our prime purpose in life is to help others. And if you can’t help them, at least don’t hurt them." Nikiwaangalia nyuso zenu sioni hata mmoja wa kumuumiza mtu aliyechangia kumfikisha hapa siku ya leo. Na kwa kuhitimisha, naomba nitoe rai hii. Mmehitimu ngazi hii ya elimu na katika fani mbali mbali hii. Sote tunajumuika kukupongezeni sana. Lakini ninashawishika kuamini kuwa wengi wenu bado mna hamu na uwezo kujiendeleza zaidi ya hapo. Nawasihi fursa ya kujiendeleza zaidi ikijitokeza ichangamkieni bila kusita. Kwani ni ukweli usiofichika kuwa when you buy a car or a piece of equipment it comes with a user’s manual with maintenance instructions. You have to service it regularly to ensure it continues to serve you well. How much more important is it to regularly service your brain after graduation? I know there are graduates who find no time to read a book again after graduation Don’t be like that. For, a mind is like a garden. If it is not watered, and cultivated, weeds will take over. Kwa mara nyingine, nawashukuruni sana kwa kunialika katika furaha hii na ninaamini kuwa huu ni mwanzo tu.
"2018-04-23T22:43:39"
http://tanzrepdelhi.com/17_03_2018.html
[ -1 ]
8:20:32pm Maamuma anayeswali nyuma ya imamu kumeshurutizwa sharti kadhaa ili kumfuata kwake imamu kusihi. Miongoni mwa sharti muhimu ni kama zifuatavyo:- 1) Mfuataji (maamuma) asijue kubatilika kwa swala ya imamu wake au kuitakidi hivyo. Mfano: Watu wawili wamefanya jitihadi katika kujua upande kilipo Qiblah. Kila mmoja wa wawili hawa akaitakidi kwamba Qiblah kiko upande ule auonao yeye na wala hakiko upande auonao mwenzake. Katika hali kama hii hakujuzu kwa mmojawapo wa wawili hawa waliokhitalifiana katika upande kilioko Qiblah, jambo ambalo ni mojawapo ya nguzo za swala. Hakumjuzii kumfuata mwenzake akamfanya kuwa ndio imamu wake na yeye akawa maamuma nyuma yake. Kutokujuzu huku kunatokana na ile itikadi ya kila mmoja wa wawili hawa kwamba mwenzake amekosea welekea/upande wa Qiblah. Sasa basi, maadam amekosea Qiblah basi na swala yake anayoiswali kuelekea upande huo itakuwa sio sahihi, ni batili tu na si vinginevyo kwa itikadi yake hiyo. 2) Imamu asiwe umiyi (asiyejua kusoma wala kuandika) na ilhali maamuma ni msomi: Muradi wa makusudio ya “umiyi”, hapa ni mtu asiyeweza kuisoma vizuri Suratil-faatihah (Al-hamdu) kwa hukumu zake za usomaji kama zilivyotajwa katika vitabu vya fani ya “Tajweed”. Angalia ikiwa imamu na maamuma wote ni maumiyi, basi kutamjuzia kila mmoja wao kumfuata mwenzake. 3) Imamu asiwe mwanamke na maamuma akawa ni mwanamume: Mwanamke hana mamlaka kisheria kumtangulia mwanamume katika swala, akawa ndio imamu wa mwanamume. Hili ndilo agizo la Mtume wa Allah-Rehema na Amani zimshukie-katika kauli yake: “Mwanamke asimswalishe mwanamume”. Ibn Maajah-Allah amrehemu.
"2017-11-19T01:20:21"
http://www.uislamu.org/index.php/en/fiqhi-na-sheria-02/sura-ya-pili-02/swala-ya-jamaa/sharti-za-maamuma
[ -1 ]
Tanzania yazidi kupaa katika mapambano dhidi ya Rushwa – Dar24 7 months ago Comments Off on Tanzania yazidi kupaa katika mapambano dhidi ya Rushwa Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inaendelea kupata heshima kubwa katika Jumuiya ya Kimataifa katika vita vya mapambano dhidi ya rushwa kutokana na mshikamano na nguvu ya pamoja iliyopo katika vyombo na taasisi zinazosimamia utawala bora nchini. Ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika kongamano la siku maalum dhidi ya rushwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba, ambapo amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi hizo zimesifu juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya tano na kuitaja Tanzania kuwa ni nchi ya mfano katika vita vya mapambano dhidi ya rushwa. Amesema kuwa taasisi hizo zikiwemo MO Ibrahim, Transparency International, APRM na taasisi nyingine kubwa duniani zinazosimamia masuala ya utawala bora zimefanya utafiti na kusifu juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Tanzania chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo tafiti mbalimbali zimeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili nyuma ya nchi ya Rwanda. ”Kwa sasa vyombo vyetu vyote serikalini si TAKUKURU pekee bali pia polisi, tiss (usalama wa taifa), Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ICAG) na vingine vyote, vimeendelea kuunga katika kusimamia masuala ya utawala bora na hili limeleta msukumo na hamasa mpya katika vita dhidi ya rushwa hapa nchini,”amesema Mkuchika Akizungumzia rushwa katika sekta ya viwanda na biashara, Waziri Mkuchika amesema kuwa Serikali imeendelea kuweka mikakati mbalimbali katika kupunguza tatizo hilo ambalo limekuwa likiathiri sekta binafsi ambayo imekuwa mshirika wa karibu wa serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo nchini. Kwa mujibu wa Waziri huyo, rushwa katika sekta ya biashara imekuwa ikiathiri sana masuala ya uwekezaji wa kigeni, ambapo eneo lililoonyesha kutawala kwa rushwa ni katika eneo la utoaji wa vibali na leseni kutoka katika taasisi na Idara muhimu za serikalini na hivyo serikali imeendelea kulifanyia kazi ili kuhakikisha kuwa vikwazo hivyo vinaondolewa kwa wawekezaji na hivyo kuharakisha ukuaji wa uchumi. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Diwani Athumani amesema kuwa serikali imeendelea kushirikiana na wadau wa sekta binafsi kupitia Mpango Mkakati dhidi ya mapambano ya rushwa (NASCAPIII) ili kuhakikisha kuwa mapambano na vita dhidi ya rushwa yanapata mafanikio nchini. Kamanda wa Polisi Arusha ajibu mapigo, ‘Kaangalieni Katiba ya CCM Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Julai 4, 2019 Afya/Habari 4 mins ago Comments Off on Waziri atangaza maeneo waliyotenga kutibu watakao pata virusi vya Corona Habari 27 mins ago Comments Off on Video: Historia fupi ya marehemu Doglas, mwandishi TBC, ”Mwili uligundulika siku ya nne, ulianza kutoa harufu”
"2020-01-29T13:46:53"
http://dar24.com/tanzania-yazidi-kupaa-katika-mapambano-dhidi-ya-rushwa/
[ -1 ]
DC MUHEZA AWATAKA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA SAMAKI KUHAMIA ENEO LA SOKO LA MICHUNGWANI | Politiksi Kurunzini Home ARUSHA NEWS biashara HABARI utawala DC MUHEZA AWATAKA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA SAMAKI KUHAMIA ENEO LA SOKO LA MICHUNGWANI SeriaJr TW Tuesday, July 19, 2016 ARUSHA NEWS , biashara , HABARI , utawala Edit
"2017-12-15T10:05:39"
https://arusha255.blogspot.com/2016/07/dc-muheza-awataka-wafanyabiashara-wa.html
[ -1 ]
MFUNGO WA SIKU 30 ZA MIUJIZA NA MAAJABU | YesuniBwana Home › Mafunzo › MFUNGO WA SIKU 30 ZA MIUJIZA NA MAAJABU MFUNGO WA SIKU 30 ZA MIUJIZA NA MAAJABU Posted on January 7, 2016 by yesunibwana — 1 Comment Kusudi la Mfungo: Kutafuta uso wa Mungu kwa ajili ya 2016 MWAKA WA KUJIONESHA. Ni mfungo wa masaa 12; Ifikapo saa 12:00 jioni ruksa kufungulia. Tunaomba muda gani; Asubuhi muda wa chai, Mchana muda wa lunch, Jioni kabla ya kufungulia. Tumeanza leo 05/01/2016 tunamaliza 04/02/2016. Maombi ya asubuhi hii; Utakaso wa mioyo yetu. Zaburi 66:18-20. “Kama NINGALIWAZA MAOVU MOYONI MWANGU…BWANA ASINGELINISIKIA…” Moyo ambao una mambo mengi yasiyo na utukufu kama vile; kuumizwa, visasi, kutosamehe, uchungu, maumivu, majeraha, kudhalilishwa, kutelekezwa, kudhulumiwa… Unakuwa kizuizi cha kujibiwa na Mungu. Mungu hujibu maombi kwa kuangalia hali ya moyo wa mwombaji kwanza. Hatutajitesa bure kufunga na tusipate matokeo kisa mioyo yetu ina mambo yasiyofaa mbele za Bwana Yesu. Tutaanza kwa kujitakasa mioyo yetu. Usifanye yale matoba ya jumla jumla, matoba ya juu kwa juu, ya kukurupuka… Hapana! Kaa chini, tafakari maisha yako… Tangu umejielewa hadi hapo ulipo… Angalia waliokuumiza, waliokujeruhi, waliokudhalilisha, waliokudhulumu, waliokujeruhi… Halafu tengeneza… Achilia hayo… Achilia hao watu… Achilia hayo matukio! “Moyo uwa mdanganyifu una ugonjwa wa kufisha… Ni nani awezaye kuujua? Mimi Bwana nauchunguza moyo na kuvijaribu viuno” Mungu ana tabia ya kuangalia moyo wa muombaji kuliko maneno mazuri anayotamka, maandiko anayosema au ukiri wake. Moyo ni kituo kikuu cha mahusiano na mawasiliano kati ya mtu na Mungu. “Watu hawa huniheshimu kwa midomo; ila MIOYO YAO iko mbali na mimi” Unapokuja mbele za Mungu, anachokiangalia cha kwanza ni moyo na si mdomo. Kila mmoja anaweza kuongea ila si kila mtu anaweza “kuwa sawa na asemayo mdomoni” … Mungu yuko serious mno na hali ya moyo wa mtu kuliko maneno ya mdomo wa mtu. Zaburi 73:1 “Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli (watu wake), Kwao hao WALIO SAFI MIOYO YAO” Wema wa Mungu kwa mtu unategemea hali ya moyo wa mtu. Zaburi 10:17 “Bwana, umeisikia tamaa ya wanyonge, UTAITENGENEZA MIOYI YAO, utalitega sikio lako” Kabla Mungu hajakutegea sikio lake, mpe nafasi akutengeneze moyo wako kwanza! Anza na moyo wako… Tengeneza moyo wako kwanza. Tukutane mchana ukiwa na moyo mwingine. Moyo uliopondeka. (Isaya 66:1-2). Moyo wa nyama na si wa jiwe. (Ezekieli 11:19, Ezekieli 36:26). Kwa kuamua kufunga tu… Maaajabu na miujiza imeanza kwako! NB: Muda wa lunch (saa 6:30-7:30 mchana), nitaleta maombi ya mchana. NB: nina nafasi kadhaa za wale ambao “mlikuwa bado mnajishauri moyoni” kujiunga na mfungo huu wa siku 30, kabla ya saa 6:30 mchana ukiona uko tayari, niambie nitakuunganisha kwenye group tukimbize maelfu pamoja. Group maalum ya whatsapp ya maombi haya; 0655 466 67 ‹ Mfungo wa Siku 30 SIKU 30 ZA MAOMBI YA MIUJIZA NA MAAJABU [Day 2] › Tagged with: 2016, maombi, mdungo, siku30 One comment on “MFUNGO WA SIKU 30 ZA MIUJIZA NA MAAJABU” gracembwambo says: Mungu akubariki kwa huduma hii nimetiwa moyo sana na mafundisho haya ya mfungo name nitayafuatilia kwa karibu japo siku nanyi tangu mwanzo.
"2018-02-23T12:52:05"
https://yesunibwana.org/2016/01/07/mfungo-wa-siku-30-za-miujiza-na-maajabu/
[ -1 ]
HESLB Act & Amendments National Higher Education Policy 1999 HESLB Strategic Plan Client Service Charter Education Policy 2014 HESLB Annual Reports Speeches Criteria for Loans issuance Wanafunzi 698 washinda rufaa na kupangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 2.46 bilioni
"2020-08-14T23:19:33"
https://mail.heslb.go.tz/Post/view_post?post=19
[ -1 ]
Halmashauri ya Jiji la Tanga Yaendelea Kuwa Kinara Utoaji wa Mikopo Kwa Asilimia 10 -RC Sheigella. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Halmashauri ya Jiji la Tanga Yaendelea Kuwa Kinara Utoaji wa Mikopo Kwa Asilimia 10 -RC Sheigella. Halmashauri ya Jiji la Tanga Yaendelea Kuwa Kinara Utoaji wa Mikopo Kwa Asilimia 10 -RC Sheigella. RTO wa Mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo kushoto akiwa na na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Leons Rwegasira wakijitambulisha kwenye mkutano wa hadhara wa mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella
"2019-09-15T16:46:18"
http://www.zanzinews.com/2019/09/halmashauri-ya-jiji-la-tanga-yaendelea.html
[ -1 ]
THE SUPERSTARS TZ: AIBU MTOTO AMFUMANIA MAMA YAKE AKIJIUZA JIJINI DAR...! Pages AIBU MTOTO AMFUMANIA MAMA YAKE AKIJIUZA JIJINI DAR...! Na Issa Mnally na Richard BukosiSHABAASH! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Hamis mkazi wa Tandale jijini Dar, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kumfuma mama yake mdogo akijiuza usiku.Tukio hilo la kufedhehesha lilitokea usiku wa kuamkia juzi (Jumatano) maeneo ya Sinza Mapambano ambapo mapaparazi wetu walikuwa katika operesheni ya kuwasaka wanawake wanaojihusisha na biashara hiyo haramu. maeneo hayo, waandishi wetu walimuona kijana mmoja akiwa amejiinamia baada ya kumfuata na kumhoji kilichompata, alidai kuwa alipewa taarifa juu ya mzazi wake huyo aliyemtaja kwa jina la mama Husna kujiuza na siku hiyo alimuona akiwa kwenye mawindo.“Jamani niacheni maana nilichoshuhudia kimeniumiza sana…mama yangu anafikia hatua ya kuja kijiuza huku?...amekosa nini…au ni huu ugumu wa maisha dah…?” Alisikika kijana huyo aliyekuwa akilia.Katika kuthibitisha kile anachokizungumza, Hamis aliwaonesha waandishi wetu kundi la wanawake waliokuwa ‘sokoni’ na kuelekeza kuwa, aliyekuwa amevaa nguo ya mauamaua ndiye mama yake mdogo (angalia picha ukurasa wa 16). kupata utamu wa stori hiyo, mapaparazi wetu waliwavaa wanawake hao na kuwafotoa picha ambapo walitawanyika huku kila mmoja akishika njia yake.Aidha, maelezo yaliyopatikana kutoka kwa shuhuda mmoja aliyedai kumfahamu vizuri mama Husna, alisema amekuwa akifika eneo hilo akiwa ameongozana na wapangaji wenzake ambao ni maarufu kwa biashara hiyo ya kujiuza.Mbali na tukio hilo la aibu, waandishi wetu walitembelea mitaa ya Kinondoni, Posta maeneo ya Las Vegas, Ohio, Jolly Club na kwingineko jijini Dar na kushuhudia idadi kubwa ya wanawake wakijiuza.Uchunguzi umebaini kuwa, biashara hiyo imekuwa akishamiri kadiri siku zinavyokwenda licha ya operesheni zinazofanywa na polisi huku ugumu wa maisha ukitajwa kuwa ndiyo chanzo.Gazeti hili linawaomba wanawake wanaojihusisha na biashara hii haramu kuacha mara moja kwani ni hatari kwa maisha yao. Credit: GLP
"2016-12-04T03:53:04"
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/12/aibu-mtoto-amfumania-mama-yake-akijiuza.html
[ -1 ]
TEHAMA kusaidia kupunguza msongamano ofisi za DC na RC – Dar24 TEHAMA kusaidia kupunguza msongamano ofisi za DC na RC 10 months ago Comments Off on TEHAMA kusaidia kupunguza msongamano ofisi za DC na RC Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo amesema maboresho ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) yanayofanywa na mhimili wa mahakama nchini utasaidia kupunguza foleni za wananchi wanaofika ofisi za Wakuu wa Wilaya na kwa Mkuu wa Mkoa kutafuta haki zao. “Mwaka 2018 na jitihada zilizofanyika na mahakama umekuwa mwanzo mzuri, wananchi watajitokeza kutafuta elimu hii ya sheria na wanapoipata itatupunguzia msongamano kwenye ofisi zetu za Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ili tufanye kazi za maendeleo sio kusuluhisha migogo ya ndoa, mirathi na ardhi ambayo yote imekaa katika misingi ya kisheria,” Ameeleza. Ameongeza kuwa elimu ya sheria iendelee kutolewa ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wakati huku wakizingatia kaulimbiu ya maadhimisho hayo inayosema “Matumizi ya TEHAMA kwa kutoa haki kwa wakati na kuzingatia maadili.” Aidha, Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Sumbawanga, John Mgeta ametahadahrisha matumizi mabaya ya Teknolojia katika kuvunja maadili na misingi ya mahakama na utu kwani watu hutumia teknolojia hiyo kuendeleza rushwa kupitia namba za simu za mahakama. “Mtumishi wa mahakama anaweza kutumia simu kuwasiliana na mtu akimuomba rushwa au kufanya miamala ya pesa, vyombo vya habari na wananchi ambao wanakiuka maadili kwa kutumia simu na TEHAMA, sisi tunasisitiza matumizi haya yazingatie maadili,” Amebainisha. Video: Mzee Kingunge alirejea Katoliki kabla ya mauti, Chadema wajitosa majaji wala 'bata' Habari 57 mins ago Comments Off on Ofisa Elimu azuia Wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika kwenda likizo
"2018-12-12T10:02:12"
http://dar24.com/tehama-kusaidia-kupunguza-msongamano-ofisi-za-dc-na-rc/
[ -1 ]
Katibu Mkuu: Kampeni ya marufuku ya mifuko ya plastiki inaenda vizuri - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI Katibu Mkuu: Kampeni ya marufuku ya mifuko ya plastiki inaenda vizuri Katibu Mkuu: Kampeni ya marufuku ya mifuko ya plastiki inaenda vizuri Othman Michuzi June 21, 2019 HABARI, Serikali imesema kampeni ya kupiga marufuku mifuko ya plastiki inakwenda vizuri na kusisitiza ni makosa kisheria kubadili matumizi ya vifungashio vya bidhaa maalumu na kutumika kama mifuko ya kubebea bidhaa mbalimbali huku. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo amebainisha hayo leo jijini Dodoma alipozungumzia azma ya Serikali ya kuendesha operesheni maalumu nchi nzima ya uzingatiaji wa sheria ya usimamizi wa mazingira juu ya marufuku ya mifuko ya plastiki na matumizi endelevu ya mifuko mbadala. Alisema adhabu stahiki zitatolewa kwa watengenezaji, waingizaji, wasambazaji na watumiaji wa vifungashio vya plastiki vilivyozalishwa ama kuingizwa nchini na kutumika kama vibebeo vya bidhaa. "Baada ya kuanza kwa utekelezaji wa Katazo la Kutumia mifuko ya Plastiki imebainika kuwa baadhi ya wazalishaji na wasambazaji wamebadilisha matumizi ya mifuko laini ya plastiki isiyokuwa na mishikio na kuitumia kama vibebeo vya bidhaa," alisema Mhandisi Malongo. Alisema Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na kikosi kazi inaendelea na zoezi la kuelimisha umma juu ya jambo hili pamoja na kuhamasisha matumizi ya mifuko mbadala. Kwa mujibu wa Kanuni za Usimamizi wa Mazingira za Kupiga Marufuku Mifuko ya Plastiki za Mwaka 2019, ni marufuku kuzalisha, kuingiza nchini, kusambaza na kutumia mifuko ya plastiki iliyotajwa katika Katazo hili. Alisema Kanuni ya 9 inatoa msamaha kwa baadhi ya vifungashio vya plastiki kwa ajili ya huduma za afya au ambavyo vinatumika kwenye kufungashia bidhaa za viwandani, sekta ya ujenzi, sekta ya kilimo, vyakula au usafi na udhibiti wa taka. "Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linaanda viwango kwa vifungashio hivi ambavyo vitalazimisha kiwango cha unene, uwekwaji lakiri na kutambulisha bidhaa iliyofungashwa kabla ya kuuzwa," alisema. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo (katikati) akifafanua kuhusu vifungashio alipozungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)jijini Dodoma. Wengine pichani kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine na Mkurugenzi Mkuu Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akionesha baadhi ya viungashio vinavyotumika kwa matumizi ya kubebea bidhaa nyingine tofauti na inayotakiwa. Naibu Katibu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine akifafanua jambo kwa waandishi wa habari. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akionesha mfuko mbadala unaoruhusiwa kubebea. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akionesha kifungashio kilichofungwa nyama bila kukidhi vigezo vinavyotwakiwa. Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais kufafanua nkuhusu vifungashio. Posted by Othman Michuzi at June 21, 2019 KUMBUKUMBU December (37) November (87) October (220) September (216) August (113) July (240) June (190) May (244) April (255) March (319) February (344) January (376) December (356) November (356) October (414) September (418) August (240) July (329) June (335) May (330) April (292) March (337) February (252) January (332) December (376) November (471) October (506) September (498) August (586) July (471) June (420) May (530) April (416) March (482) February (400) January (473) December (414) November (493) October (283) September (344) August (569) July (552) June (401) May (378) April (393) March (499) February (531) January (501) December (579) November (385) October (656) September (653) August (509) July (381) June (392) May (353) April (298) March (329) February (228) January (201) December (254) November (204) October (260) September (251) August (287) July (239) June (195) May (202) April (214) March (150) February (214) January (238) December (235) November (199) October (233) September (251) August (283) July (266) June (306) May (303) April (259) March (268) February (227) January (242) December (280) November (228) October (240) September (212) August (265) July (306) June (317) May (287) April (216) March (177) February (179) January (217) December (217) November (196) October (204) September (240) August (174) July (193) June (193) May (178) April (177) March (167) February (106) January (136) December (136) November (141) October (142) September (179) August (151) July (144) June (130) May (137) April (129) March (206) February (152) January (91) December (123) November (124) October (108) September (135) August (149) July (95) June (73) May (54) April (74) March (48) December (1) November (22) October (66) September (70) August (89) July (117) June (115) May (81) April (60) March (8) February (95) January (76) December (59) November (75) October (97)
"2019-12-09T21:17:27"
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/06/katibu-mkuu-kampeni-ya-marufuku-ya.html
[ -1 ]
VODACOM TANZANIA Plc YAMZAWADIA SH.MILIONI MIA MOJA NA HAMSINI MSHINDI WA SHINDANO LA TUSUA MAPENE | Full Shangwe Blog Home Burudani VODACOM TANZANIA Plc YAMZAWADIA SH.MILIONI MIA MOJA NA HAMSINI MSHINDI... VODACOM TANZANIA Plc YAMZAWADIA SH.MILIONI MIA MOJA NA HAMSINI MSHINDI WA SHINDANO LA TUSUA MAPENE Mkurugenzi wa kitengo cha dijitali na huduma za ziada Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamando (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 150,000,000/- mshindi wa shindano la TUSUA MAPENE na Vodacom , Eveneth Rutiyomba ambaye ni fundi cherehani mkazi wa Kimara Bucha , hafla ya makabidhiano ilifanyika Kimara jijini Dar Es Salaam jana. Pichani katikati ni Afisa wa Huduma za Ziada Vodacom, Paulina Bisheko. Mkurugenzi wa kitengo cha dijitali na huduma za ziada Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamando (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi wa shindano la TUSUA MAPENE, Eveneth Rutiyomba (kulia) pamoja na wazazi wake, John Ndebisa na Fasness Ndebisa Previous articleDCC TABORA YAPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILIONI 52 YA MWAKA UJAO Next articleBRELA YATOA SEMINA ELEKEZI KWA WABUNGE KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA JIJINI DODOMA
"2020-06-05T11:22:11"
https://fullshangweblog.co.tz/2020/01/19/vodacom-tanzania-plc-yamzawadia-sh-milioni-mia-moja-na-hamsini-mshindi-wa-shindano-la-tusua-mapene/
[ -1 ]
Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa Home > Bidhaa > Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa) Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China Sisi ni maalumu Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa bidhaa za kuongoza kutoka China, Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd.. Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa jumla kwenye Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd. na kupata ubora wa juu Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Bonde La Njano Vitunguu Vilivyopendezwa na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
"2019-07-18T15:21:24"
http://sw.fuyuanfv.com/dp-bonde-la-njano-vitunguu-vilivyopendezwa.html
[ -1 ]
MAHAKAMA YA WILAYA YA MBOZI LAWAMANI KWA KUCHELEWESHA KESI. ~ CHIMBUKO LETU 2:28 AM KONA YA MAHUSIANO NA MAPENZI. No comments
"2017-10-20T14:26:59"
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/10/mahakama-ya-wilaya-ya-mbozi-lawamani.html
[ -1 ]
Ripple Bei - XRP kubadilisha fedha online BTC/USD11766.09010.99%ETH/USD391.84951.49%LTC/USD58.4454-0.70%DASH/USD100.03002.03%XMR/USD94.96681.33%NXT/USD0.0139-0.75%ETC/USD6.9396-2.08%DOGE/USD0.0035-0.06%ZEC/USD96.89923.39%BTS/USD0.02610.10%DGB/USD0.02771.38%XRP/USD0.2963-1.21%BTCD/USD29.55960.98%PPC/USD0.2927-0.44%CRAIG/USD0.00220.99%XBS/USD0.02390.98%XPY/USD0.05840.99%PRC/USD0.00811.00%YBC/USD1895.73461.02%DANK/USD0.00320.97%GIVE/USD0.00050.97%KOBO/USD0.00451.48%DT/USD1.0857CETI/USD0.00040.98% Bei na kubadilisha fedha Ripple (XRP) Uko hapa pengine kwa sababu unahitaji kubadilisha (pata bei) Ripple (XRP) kwa sarafu ya kigeni au Fedha za Crypto online. Hakuna kitu rahisi kuliko kubadilisha zaidi 170 sarafu na 2500 Fedha za Crypto Hapa, sarafu yetu ya kubadilisha fedha mtandaoni itasaidia kufanya hivyo hivi sasa. Jisikie huru kubadilisha si tu Ripple lakini pia sarafu nyingine yoyote inapatikana. Bei: $0.296 Kichwa cha soko: $10 508 100 674.00 Inapatikana ugavi: 43818008717.0 Ugavi mkubwa: 100000000000 Ugavi wa jumla: 99991068479.0 Labda itakuwa ya kuvutia kwa wewe kuangalia yote viwango vya kubadilishana Ripple kwenye ukurasa mmoja. XRP/USD Chati Bei ya Ripple sarafu kubwa duniani RippleXRP kwa Dola ya MarekaniUSD$0.296RippleXRP kwa YuroEUR€0.251RippleXRP kwa Pauni ya UingerezaGBP£0.227RippleXRP kwa Faranga ya UswisiCHFSFr.0.27RippleXRP kwa Krone ya NorweNOKkr2.68RippleXRP kwa Krone ya DenmakiDKKkr.1.87RippleXRP kwa Koruna ya Jamhuri ya ChekiCZKKč6.61RippleXRP kwa Zloty ya PolandiPLNzł1.11RippleXRP kwa Dola ya KanadaCAD$0.397RippleXRP kwa Dola ya AustraliaAUD$0.414RippleXRP kwa Peso ya MeksikoMXNMex$6.63RippleXRP kwa Dola ya Hong KongHKDHK$2.3RippleXRP kwa Real ya BrazilBRLR$1.61RippleXRP kwa Rupia ya IndiaINR₹22.23RippleXRP kwa Rupia ya PakistaniPKRRe.49.75RippleXRP kwa Dola ya SingaporeSGDS$0.407RippleXRP kwa Dola ya NyuzilandiNZD$0.449RippleXRP kwa Baht ya TailandiTHB฿9.25RippleXRP kwa Yuan ya UchinaCNY¥2.06RippleXRP kwa Yen ya JapaniJPY¥31.39RippleXRP kwa Won ya Korea KusiniKRW₩352.35RippleXRP kwa Naira ya NijeriaNGN₦112.15RippleXRP kwa Ruble ya UrusiRUB₽21.84RippleXRP kwa Hryvnia ya UkraniaUAH₴8.19 RippleXRP kwa BitcoinBTC0.00003 RippleXRP kwa EthereumETH0.000756 RippleXRP kwa LitecoinLTC0.00507 RippleXRP kwa DigitalCashDASH0.00296 RippleXRP kwa MoneroXMR0.00312 RippleXRP kwa NxtNXT21.35 RippleXRP kwa Ethereum ClassicETC0.0427 RippleXRP kwa DogecoinDOGE83.94 RippleXRP kwa ZCashZEC0.00306 RippleXRP kwa BitsharesBTS11.34 RippleXRP kwa DigiByteDGB10.71 RippleXRP kwa BitcoinDarkBTCD0.01 RippleXRP kwa PeerCoinPPC1.01 RippleXRP kwa CraigsCoinCRAIG132.53 RippleXRP kwa BitstakeXBS12.41 RippleXRP kwa PayCoinXPY5.08 RippleXRP kwa ProsperCoinPRC36.49 RippleXRP kwa YbCoinYBC0.000156 RippleXRP kwa DarkKushDANK93.27 RippleXRP kwa GiveCoinGIVE629.52 RippleXRP kwa KoboCoinKOBO66.46 RippleXRP kwa DarkTokenDT0.273 RippleXRP kwa CETUS CoinCETI839.38 Viwango vya exchange vilivyosasishwa: Sat, 08 Aug 2020 15:40:02 +0000.
"2020-08-08T15:42:58"
https://sw.currencyconvert.online/xrp
[ -1 ]
Hii ni Plugin kwa Ultimate Mteja Meneja - Lite Edition. Tafadhali kuhakikisha una kununuliwa na imewekwa toleo la karibuni la mwisho Meneja Mteja kabla ya kutumia Plugin hii. Kalenda Export Feature Hii Plugin rahisi hutoa ical nje kutoka mfumo UCM. Hii inaruhusu alerts na vitu todo kutoka UCM dashibodi kuonekana katika Google yako kalenda binafsi au Outlook kalenda ya (au kalenda yoyote kwamba inasaidia kuagiza ical url wa). Hiari Sifa: Pia kufunga UCM Fedha Plugin kupokea entries kalenda kwa ajili imepangwa muswada malipo, ankara muafaka na zaidi. Kupata leseni kificho yako kwa Plugin hii ( click here kwa maelekezo) Kwenda Mazingira> kuboresha katika mfumo wako Bofya + kifungo kwa kuongeza ziada ya leseni kificho Kuingia leseni kificho yako kwa Plugin hii Bofya kuboresha kifungo Hii itakuwa kufunga toleo la karibuni la Plugin kwa ajili yenu, na kuitunza updated katika siku zijazo. kalenda zilizopo ambazo zinaweza kuagiza kutoka iCal url ya (mfano: Google kalenda) Angalia mfumo wa kuboresha kazi kwa sababu mwenyeji (katika Mipangilio> kuboresha) Kipengele Orodha na Bidhaa kulinganisha: Kama unahitaji msaada tafadhali jisikie huru kutumia mfumo wa kusaidia wetu kwa kubonyeza hapa. Tafadhali wala post msaada maombi juu ya mjadala wa bodi ya bidhaa - haya si checked mara kwa mara na swali lako ili waende unanswered kwa muda wa wiki. 5 Julai 12, Badiliko la Mwisho eCommerce, eCommerce, Vitu wote, kalenda, kalenda ya kuuza nje, kalenda mteja, kalenda wateja, kalenda google, ical, mawaidha, orodha todo, ucm, Ultimate meneja Mteja
"2017-11-22T23:56:29"
https://sw.worldwidescripts.net/ucm-plugin-calendar-ical-google-calendar-export-40757
[ -1 ]