text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
Topic: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida 24th September 2012 10:37 31st May 2013 17:27 2nd June 2013 19:46 kuwa mvumilivu tu akina mzizi watakuja soon, bt poleni na Mungu atamponya mtoto, punguzeni wasiwasi na majonzi ili kumtia moyo mtoto By Kurunzi 2nd June 2013 20:20 kuwa mvumilivu tu akina mzizi watakuja soon, bt poleni na Mungu atamponya mtoto, punguzeni wasiwasi na majonzi ili kumtia moyo mtoto Msaada guy's Jamani ushauri wenu nauhitaji
"2013-06-19T05:33:57"
http://www.jamiiforums.com/jf-doctor/327921-tatizo-la-utumbo-mpana-kuwa-mrefu-kuliko-kawaida.html
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: TAWI LA YANGA BUNGENI LAPATA UONGOZI MPYA TAWI LA YANGA BUNGENI LAPATA UONGOZI MPYA Wabunge wa Jamhuri ya Muungazo wa Tanzania ambao ni wanachama wa Timu ya Yanga, wamekutana leo mjini Dodoma kujadili masuala mbalimbali yanayoihusu timu yao ikiwa ni pamoja na kuupata uongozi wa Tawi lao kwa muda huu wa mpito. Wabunge hao wanaYanga, wamefanikisha zoezi la kuchagua viongozi wa mpito wa Tawi lao. Katika kikao hicho, Waliwachagua Mh. Venance Mwamoto (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Tawi hilo, huku nafasi ya umakamu ikishikwa na Mh. Ridhiwani Kikwete, Mh. Hafidh Ally Tahir -Katibu Mkuu, Mh. Hamidu Bobali -Naibu Katibu, Mh. Martha Mlata-Mweka Hazina na Mh. Abdallah Ulega anakuwa Mweka Hazina Msaidizi. Kwa upande wa kamati tendaji, Wajumbe wake ni kama ifuatavyo. Mh. Grace Kihwelu, Mh. Halima Mdee, Mh. Seifu Gulamali, Mh. Gibson Meiseyeki, Mh. Issa Mangungu pamoja na Mh. Dotto Biteko Katika Baraza la Wazee wa Yanga Bungeni, kuna Mh. Freeman Mbowe, Mh. Mwigulu Nchemba, Mh. Hawa Ghasia pamoja na mjumbe mmoja ambaye atatoka Zanzibar. Kweli Binaadam hamna kitu na duniani katu si pa kukaa milele. Inasikitisha sana na huzuni kubwa isiyomithilika. Marehem Hafidh Ali Tahir aliweza hata kuhudhuria kikao hicho cha Tawi la Yanga Bungeni na hata kupata wadhifa huo wa ukatibu Mkuu, lakini kama ndoto kufumba na kufumbuwa hata siku kamili haikutimia tunaskia keshakuwa marehemu. Ni vigumu kuamini khususan kama hukuwa umeishoma khabari hii mapema na kuja kuipitia wakati huu ambapo hilo la Manani limetokea, kwa kweli ni mshtuko na vigumu kuamini, lakini yote hiyo ni QADARI YAKE ALLAH, kwani kheri na shari zote hutokana na yeye Mwenyeez Mungu Mmoja. (Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuna) Mola amughufirie kwa yote amjaaliye kauli thabiti na ampumzishe palipo pema peponi - AMEN.
"2017-01-19T06:28:53"
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/11/tawi-la-yanga-bungeni-lapata-uongozi.html
[ -1 ]
Wizi wa gari | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Wizi wa gari Discussion in 'Matangazo madogo' started by araway, Jul 22, 2009. nikiwa naimani ya kuwa JF ni zaidi ya kijiji na kina mawakala kila kona ya nchi hii naamini pia naweza kupata msaada mkubwa humu wa kimawazo kutokana na tukio la wizi wa gari lilioniksibu. nimeibiwa gari aina ya NISSAN SUNNY T553 ATW jana usiku mjini morogoro.nimefikisha suala hili police na kupewa rb no(MOR/RB/756/09)WIZI WA GARI TAR 22/07/09. NIKIAMINI KIJIJI HIKI KIMEJAA WATU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI NA WAKADA MBALIMBALI NATUMAINI KUPATA MSAADA WA KIMAWAZO NA USHAURI KUTOKAA KWENU! NI KAGARI KANGU KA KWANZA JAMANI! Ilikuwaje mkuu? ulipark home, bar, au wapi?......mPM Chaku yupo Moro as well anaweza kusaidia...though mwenyewe nipo Moro! Just eleza vizuri ilikuwaje .....waweza ni PM pia! Just eleza vizuri ilikuwaje .....waweza ni PM pia!Click to expand... maelezo niliyoyapata kutoka kwa dereva wangu ni kwamba alimpa kijana mmoja anayemfahamu funguo amuangalizie wakati yeye kaingia kambarage bar kujisaidia, baada ya hapo yule kijana aliyeachiwa akaondoka na watu wawili ambao kwa madai yake walikuwa washawahi kufanya nao biashara, walimwambia awapeleke mambo club walipofika wakamwambia pale pamepooza watafute bar iliyochangamka, wakaelekea bar moja mitaa ya chamwino inaitwa mriti na hapo wakanywa pombe na jamaa akaacha funguo juu ya meza kuelekea maliwatoni.alivyorudi akakuta meza tupu na jamaa washaondoka na gari. habari ndiyo hiyo mkuu!! nitashukuru kwa ushauri wako mkuu napatikana 0715026030 Hiyo ni fixi kabisaa, kaa chonjo na huyo dereva wako, yumo kwenye mipango Hiyo ni fixi kabisaa, kaa chonjo na huyo dereva wako, yumo kwenye mipangoClick to expand... bwana fathila nashukuru kwa kunialert, najitahidi kutomwamini lakini nashindwa. nilimwamini sana . Mungu akujalie ulipate gari lako na umpe utukufu yeye. Mungu akujalie ulipate gari lako na umpe utukufu yeye.[/QUOT NA IWE HIVYO! AMEINClick to expand... huo ni mchongo kamata dereva na huyo rafiki yake, kwa nini huyo rakifiki yake aondoke baada ya kupewa funguo huo ni mchongo kamata dereva na huyo rafiki yake, kwa nini huyo rakifiki yake aondoke baada ya kupewa funguoClick to expand... nimefanya hivyo mkuu lakini bado sina matumaini! Yaani kwa maelezo ya jamaa inaonekana wazi kabisa dereva au huyo kijana wake kama si wote kwa pamoja kuna mmoja anashiriki huo wizi. Rafiki yangu, pole sana. Mazingira na jinsi gari lilivyoibiwa, akika hutalipata tena na tena.Mara nyingi magari yanayoibwa kutokana na uzembe wa madreva huwa hayapatikani kabisa,hivyo ondoa wazo la kulipata tena,hilo sahahu kabisa. Kama unataka gari lako lipatikane, basi dreva wako pekee ndo wakukupatia gari lako, full stop.Unajua wewe umeleta mada hapa si kuitaji msaada, inaoneka hata gari hujaibiwa.Watu wanachangia kuwa mbane dreva wako wewe unasema ulimwamini mno,akili huna kabisa,tena wewe mjinga, hulimwani ni mke wako au nani.Sasa kwa taarifa yako dreva ndo ana gari lako, kwaheri. Sii vizuri kutumia lugha kali ... Kwa mtu aliyepata matatizo. Pole sana mkuu kwa yaliyokukumba!kuhusu wizi wa magari siku hizi saloon cars ikiibwa basi jamaa huwa wanalichinja!yanh kutenganisha kila kitu kivyake,Engine inauzwa Kariakoo,gear box morogoro , milango Arusha yanh kulipata ni ngumu sana!kuna jamaa yangu aliibiwa gari yake Corrola moshi hakuipata hadi leo,inasemekana magari madogo yanayoibwa yanapakiwa kwa container usiku na kuchinjwa likifika dar linafika scrap tupu!pole sana ndugu!hope ulikua umewekea comprehensive insurance at least unaweza kuanza kusumbuana nao wanaweza wakakulipa walau kifutia jasho ,kama uliweka thamani halisi ya gar utarudishiwa ila kama ulijipunja manake sis wabongo gar ina thaman ya milion 10 una declare milion 5!likiibwa insurance wana compesate ile milion 5 na si 10 ! pole mkuu! Ebwana pole sana,najua ni jinsi gani imekuuma. Nami imenitokea hivyo hivyo na chakushangaza tarehe hiyo hiyo ya 22 lakini June!!!!Yaani last month,yangu walichukua RAV 4 kaka,nimehangaika mpaka sasa hakuna dalili ya kuipata.HAWA JAMAA ni wakuchinja kabisa tukiwafahamu. Kama unataka gari lako lipatikane, basi dreva wako pekee ndo wakukupatia gari lako, full stop.Unajua wewe umeleta mada hapa si kuitaji msaada, inaoneka hata gari hujaibiwa.Watu wanachangia kuwa mbane dreva wako wewe unasema ulimwamini mno,akili huna kabisa,tena wewe mjinga, hulimwani ni mke wako au nani.Sasa kwa taarifa yako dreva ndo ana gari lako, kwaheri.Click to expand... nashukuru mkuu kwa kuniona hivyo! lakini kama kwa muda wa miaka miwili unampa mtu million 10-20 akupelekee bank bila ya escort na anapeleka bila ya tatizo kuna haja ya kutomuamini mtu kama huyo kwa kagari kasiko zidi 10m? imani hujengwa kwa vitu vidogo mkuu. maelezo niliyoyapata kutoka kwa dereva wangu ni kwamba alimpa kijana mmoja anayemfahamu funguo amuangalizie wakati yeye kaingia kambarage bar kujisaidia,Click to expand... Sina tatizo na yeye kwenda kujisaidia, tatizo langu kwa nini ampe fungua mtu mwingine.....eti kwa kuwa ameingia kujisaidia....how long could kujisaidia would have taken him mpaka akabidhi funguo....huo ni uwongo.....aliingia Kambarage Bara kukata kilaji...akamwachia DEIWAKA....na huo ni mchezo wake wa siku nyingi! baada ya hapo yule kijana aliyeachiwa akaondoka na watu wawili ambao kwa madai yake walikuwa washawahi kufanya nao biashara,Click to expand... Rejea maelezo yangu hapo juu, kwa nini huyo kijana achukue jukumu la kuondoka na wateja...kwa kuachiwa tu ufunguo wa gari? mamlaka ya kuondoka na wateja aliyatoa wapi hapa? Na je dereva wako alijuaje ''hao jamaa wawili'' ndio wale waliowahi kufanya nao biashara wakati yeye hakuwahi kuwaona siku ile kudhibitisha kauli ya kijana? Na je angejuaje yule kijana alikuwa anamdanganya au la? walimwambia awapeleke mambo club walipofika wakamwambia pale pamepooza watafute bar iliyochangamka, wakaelekea bar moja mitaa ya chamwino inaitwa mritiClick to expand... Well, huyu kijana hii authority ya kuondoka na gari Kambarage aliipata wapi? nani alimwambia apakie abiria....wewe ndivyo mlivyo kubaliana na dereva wako kuwa anaweza na yeye kuajiri mtu mwingine? nani alithibitisha kuwa yule kijana alikuwa qualified driver na kuzunguka na hao wateja sehemu zote hizo hata bila kumsitua dereva wako kinachoendelea ila hata aweze kuwafuata huko waliko? na hapo wakanywa pombeClick to expand... Deiwaka anakaa chini kunywa pombe na wateja....bila hata ya kumwambia dereva wake...then na dereva hata baada ya kumaliza kujisaidia alishindwa kumtrace huyo kijana mkuu? na jamaa akaacha funguo juu ya meza kuelekea maliwatoni.Click to expand... ....Boya, kwa nini aache fungua za gari mezani hapo bar wakati watu aliokaa nao they just wateja? alivyorudi akakuta meza tupu na jamaa washaondoka na gariClick to expand... Everyone could expect that mkuu!.....hiyo gari aliwapa hao jamaa! nitashukuru kwa ushauri wako mkuu napatikana 0715026030Click to expand... NimekuPM zingatia ushauri huo kama unataka kweli kupata gari lako mkuu!Click to expand... Pole m2 wangu, sina ushauri ila nakutakia mema na mungu akusaidie upate gari lako. Kama umekamata huyo dereva wako na shanta wake basi gari lako utalipata tu, ni hao tu wala usihangaike oswald.akyoo pole sana mkuu,ila never mind,hayo ni mambo madogo sana,maadamu uhai wamekuachia!! kaza buti mtu wangu,utalopata jingine bwana fathila nashukuru kwa kunialert, najitahidi kutomwamini lakini nashindwa. nilimwamini sana .Click to expand... Inatakiwa na huyo dereva akae ndani ili aisadie polisi.
"2016-12-11T00:35:10"
http://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-gari.34462/
[ -1 ]
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: BENKI YA POSTA TANZANIA YAJENGA VYOO VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 4.7 KATIKA SHULE YA MSINGI MAKAMBI ILIYOPO MANISPAA YA SONGEA MKOANI RUVUMA Noves alisema kuwa Benki ya Posta Tanzania inafanya kazi kwa kiwango kikubwa na serikali hivyo imetoa misaada mbalimbali ya kijamii hasa kwa upande wa afya na elimu huku katika upande wa elimu wamechangia madawati na ujenzi wa vyoo bora vya kisasa kwenye shule mbalimbali hapa nchini.
"2018-01-19T17:03:34"
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/02/benki-ya-posta-tanzania-yajenga-vyoo.html
[ -1 ]
Cadillac 16 Buick 4 Ford 2 GMC 1 Honda 2 Jeep 5 Kia 1 Mazda 1 MINI 1 Mitsubishi 2 Nissan 1 Subaru 2 Miles 61,089 Stock Number R66068AA VIN KNDPBCAC4F7748463
"2018-04-24T08:40:44"
http://www.bakercadillac.com/VehicleSearchResults?search=used&make=Kia&bodyType=SUV
[ -1 ]
Changamoto Za Mawasiliano Kwa Viziwi Katika Tanzania | Kiswahili Vol. 72 No. 1 (2009) / Changamoto Za Mawasiliano Kwa Viziwi Katika Tanzania HRT Muzale Viziwi ni moja kati ya makundi ya watu wenye ulemavu wanaohitaji huduma maalumu, hasa shuleni. Ingawa matatizo ya kiziwi yako kwenye maumbile ya mwili wake, athari za ulemavu huo haziko katika mwili kwa maana ya kumsababishia maumivu, kama walivyo watu wenye aina nyingine za ulemavu. Matatizo aliyo nayo kiziwi humkwaza katika mawasiliano katika mazingira anamoishi na hivyo kumwathiri kwa njia nyingine mbalimbali katika nyanja za elimu, mahusiano na maendeleo ya kijamii. Aidha, kwa kuwa matatizo ya viziwi ni ya kimawasiliano, na kwa hiyo hayaonekani kwa macho, viziwi wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kusahaulika katika utoaji wa huduma, kama mojawapo ya makundi ya wanafunzi wanaohitaji msaada maalumu wa kielimu. Athari za mwenendo huu zinaweza kuonekana bayana kutokana na hali za viziwi kuanzia elimu ya awali hadi elimu ya juu, na hata katika maisha kwa jumla. Makala haya yanalimulika suala hili kwa undani, ikiwa ni matokeo ya utafiti alioufanya mwandishi pamoja na kujihusisha kwake na jamiii ya viziwi kwa muda mrefu. Kwa hiyo, lengo kuu la makala haya ni kubainisha hali halisi ya maisha ya jamii ya viziwi uhusiana na vikwazo vya mawasiliano vinayowakabili, hasa shuleni. Ili kutimiza lengo hilo, makala yanabainisha msingi mkuu na chimbuko la vikwazo hivyo. Msingi huo mkuu, ambao ni chimbuko la vikwazo ni mfumo wa elimu uliopo ambao unakazia matumizi ya lugha ya Kiswahili na Kiingereza kama lugha za kufundishia bila kuzingatia mahitaji muhimu ya wanafunzi viziwi. Makala yanachambua pia kasoro za mfumo wa mawasiliano darasani pamoja na matumizi ya ubao, ambavyo hukumbatia lugha za mazungumzo (Kiswahili na Kiingereza) na kuitelekeza lugha ya alama ambayo ndilo tegemeo kuu la wanafunzi wa aina hii. Kwa njia hiyo, makala haya yanachambua asili, aina na athari za vikwazo hivyo vya mawasiliano vinavyoikabili jamii ya viziwi kuanzia kwenye familia hadi shuleni. Ili kutoa mwanga wa kutosha wa masuala hayo, makala yanavinjari pia aina za uziwi, mahitaji ya kila kundi la viziwi, na athari za changamoto zilizopo kwa maisha ya kiziwi. Hayo yanabainishwa kwa kuchambua hali halisi ya madarasa wanakosoma wanafunzi viziwi na mbinu za ufundishaji zilizopo. Kwanza tunaangalia hali halisi ya darasa lenye watoto viziwi pekee katika shule za msingi, ambako Kiswahili hutumika, na kisha darasa la elimu-mjumuiko katika ngazi ya sekondari ambako Kiingereza hutumika. Kwa hiyo, pamoja na kukomaa kwa matumizi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia katika elimu ya msingi, makala yanabainisha ni kwa kiwango gani wanafunzi viziwi wanafaidika au wanaathirika na mifumo ya elimu na mawasiliano iliyopo nchini Tanzania. Vol. 72 No. 1 (2009) eISSN: 0023-1886
"2020-07-04T19:06:21"
https://www.ajol.info/index.php/ksh/article/view/79052
[ -1 ]
DUH KWELI PESA SIO TU SABUNI YA ROHO BALI NI SABUNI YA MWILI HATA UWE UMEFUBAA VIPI UKIKAMATA SALIO LAZIMA UNG'AE AISEE HEBU JIONEE MASTAA HAWA KABLA HAWAJA KAMATA HELA JINSI WALIVYOKUWA DUH MMMMH TAZAMA HUMU> Home » Unlabelled » DUH KWELI PESA SIO TU SABUNI YA ROHO BALI NI SABUNI YA MWILI HATA UWE UMEFUBAA VIPI UKIKAMATA SALIO LAZIMA UNG'AE AISEE HEBU JIONEE MASTAA HAWA KABLA HAWAJA KAMATA HELA JINSI WALIVYOKUWA DUH MMMMH TAZAMA HUMU> USHIRIKINA WATIKISA DODOMA WAGANGA WA JADI WAPIGANA VIKUMBO KILA KONA KILA MGOMBEA ADAIWA KUWA NA MGANGA WAKE ILI APULIZE KUISHAWISHI KAMATI KUU YA CCM KUMTEUA KWENYE TANO BORA KISHA NEC WAMCHAGUE...! Posted by maskani bongo at 12:02 AM Mh Rais Dk Jakaya Mrisho Kikwete ambae atakuwa mmoja wa watu watakaoongoza uteuzi wa mgombea urais 2015 na tayari kazi hiyo inatarajia kuanza mapema. Dokta Kamdege ambae ni mtaalam wa miti shamba ambae imeelezwa yupo Mkoani Dodoma akiwa kafichwa kwenye Hotel moja ya Kifahari akimfanyia mambo mmoja wa wagombea mwenye mvuto mkubwa wananchi na ndani ya CCM. Dokta Manyaunyau nae imeelezwa yupo Mkoani humo nae kafichwa huku akifanya mambo usiku na mchana kuhakikisha bosi wake anateuliwa na kamati kuu ya ccm. "Filamu ya Wake Up iko tayari na hii ni demo yake ebu bofya hapa kuiona" Na Mwandishi Wetu- maskanibongotz Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua uchunguzi ulifanywa na mtandao huu wa maskanibongotz imebaini kuwa hali si swali Mkoani Dodoma kutokana utitiri wa waganga wa kienyeji wanadaiwa kuletwa na na baadhi ya wagombea katika kiti cha urais ili wawafanyie mambo. Habari za uhakika toka kwa kwa chanzo chetu cha kuaminika kilisema " Jamani hali si ni mbaya kwenye mji wetu kwani kila kona wanaonekana waganga wa kienyeji wakiranda hasa nyakati za usiku na tunaambiwa kuwa wapo hapa kwa kazi maalum ya kuwafanyia mambo wagombea urais" Kilisema chanzo hicho Credi: Maskanibongotz Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ 2015-07-07T00:19:00-07:00 Artikel Terkait DUH KWELI PESA SIO TU SABUNI YA ROHO BALI NI SABUNI YA MWILI HATA UWE UMEFUBAA VIPI UKIKAMATA SALIO LAZIMA UNG'AE AISEE HEBU JIONEE MASTAA HAWA KABLA HAWAJA KAMATA HELA JINSI WALIVYOKUWA DUH MMMMH TAZAMA HUMU> :
"2016-12-09T01:54:29"
http://utamuutamu.blogspot.com/2015/07/duh-kweli-pesa-sio-tu-sabuni-ya-roho.html
[ -1 ]
Kambi ya Upinzani Bungeni- 2010-2015 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kambi ya Upinzani Bungeni- 2010-2015 Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Kasheshe, Nov 5, 2010. Wachambuzi wa Siasa: Naomba msaada, nimetafuta kanuni za bunge toleo la mwisho nadhani ni la 2009 bila mafaniko, kuangalia kama CHADEMA inauwezo ya kuunda serikali kivuli yenyewe bila kuihusisha CUF? Yaani waunde kambi ya Upinzani bungeni kwa kuhusisha TLP, UMD tu? Naomba mtuhabarishe wenye sheria na kanunu za Bunge... nakumbuka ili uweze kuunda hiyo kitu lazima uwe na robo ya Wabunge wote kama si-kosei... Ili uwe na kambi ya upinzani bungeni ni lazima uwe na wabunge kutoka pande zote 2 za muungano yani tanganyika na zanzibar kwa hiyo cuf wanao uwezo wa kuunda kambi ya upinzani peke yao lkn chadema hawawezi mpaka waungane na cuf. Nionavyo mimi kuungana ni njia nzuri lkn unafiki na kutokuaminiana ndio tatizo letu. kwanza hinategemea idadi ya wabunge,asilimia zaidi ya moja chama kilizopata.KWA MJIBU WA BBC mahojina na Mr Zitto Kabwe alisema kutokana na idadi ya kula alizopa Mweshimiwa Dr slaa wanategemea kuunda kambi ya upinzani na kupata viti maalumu sipungufu ya 30. Ili uwe na kambi ya upinzani bungeni ni lazima uwe na wabunge kutoka pande zote 2 za muungano yani tanganyika na zanzibar kwa hiyo cuf wanao uwezo wa kuunda kambi ya upinzani peke yao lkn chadema hawawezi mpaka waungane na cuf. Nionavyo mimi kuungana ni njia nzuri lkn unafiki na kutokuaminiana ndio tatizo letu.Click to expand... Hakuna kanuni ya aina hiyo labda ni kanuni ya bunge la Rwanda huwezi kulazimisha watu wa sehemu fulani wakuchague hiyo si demokrasia hata CCM haina hata karani wa bunge Pemba. Kinachotakiwa ni idadi ya asilimia 12 ya idadi ya wabunge PERIOD. hapo mimi sijui lakini chadema inaweza kuteua wabunge kutoka zenji au siyo? Hakuna kanuni ya aina hiyo labda ni kanuni ya bunge la Rwanda huwezi kulazimisha watu wa sehemu fulani wakuchague hiyo si demokrasia hata CCM haina hata karani wa bunge Pemba. Kinachotakiwa ni idadi ya asilimia 12 ya idadi ya wabunge PERIOD.Click to expand... Nakuunga mkono. Katika Bunge lililopita CUF haikuwa na Mbunge hata moja kutoka Bara, lakini waliweza kuunda kambi ya upinzani -- lakini waliwashirikisha Chadema na UDP. Kasheshe nafikiri unachotaka kuhubiri na kuendeleza zile tofauti ambazo zapaswa kupigwa vita...!!! Unachotaka kuendeleza ni Upinzani ndani ya Upinzani...!!! Nimeona post nyingi za wanachadema wakisema tuunde "Serikali kivuli bila ushirikiano na CUF"...kwali nyinyi mnataka kuja kujenga nchi?...What will happen ikiwa CUF wakitengeneza Serikali kivuli mkaachwa Chadema Nje?.....!!! Endeleza siasa zako za Kimajimbo !!! Unachotaka kuendeleza ni Upinzani ndani ya Upinzani...!!! Nimeona post nyingi za wanachadema wakisema tuunde "Serikali kivuli bila ushirikiano na CUF"...kwali nyinyi mnataka kuja kujenga nchi?...What will happen ikiwa CUF wakitengeneza Serikali kivuli mkaachwa Chadema Nje?.....!!! Endeleza siasa zako za Kimajimbo !!!Click to expand... waunde tu hiyo serikali yao kivuli ya chadema. lakini kiukweli chadema bado ni chama cha jamii fulani ya watanzania na bado sehemu zingine si zanzibar tu hata hapa bara hakikubaliki na ushahidi ni uchaguzi wa mwaka huu (the same tu CUF) Njia pekee ya kuendeleza upinzani ni ushiriano na vyama vingine. beleive me. Nakumbuka 2005 CUF walijifanya kuunda serikali peke yako (kwani walikuwa na wabunge zaidi ya 30 kama katiba inavyosema) Mzee cheyo akasema hii haiingii akilini hiki kichama (cha CUF) cha kikanda kuunda serikali kivuli peke yake. kwa maeneo mengine ya watanzania hakifahamiki na wala hakijui matatizo ya huko. Ushirikiano na vyama makini vyenye lengo mahsusi la kuing'oa CCM madarakani unakubalika. Lakini ushirikiano na vyama vinavyoganga njaa na ambavyo havina mpango wowote wa kuiondoa CCM ni unafiki na usaliti kwa watanzania. Asialani siishauri CHADEMA waungane na chama chochote cha upinzani kabla ya kuset MOU ya kuiondoa CCM. Kuunda kambi ya upinzani na vyama vingine vya upinzani mi naona ni vyema ila Chadema lazima iweke prinspos na kukubaliana na ivyo vyama itakavyoshirikiana navyo waziheshimu izo prinspo lasivyo itakuwa mvurugano,nadhani mnakumbuka ishu ya Cheyo kambi inakubaliana kupinga budget ye anaenda kinyume wa2 kama hawa hawafai nadhani hata Mrema atakuwa sampuli hii.
"2017-07-24T22:59:54"
https://www.jamiiforums.com/threads/kambi-ya-upinzani-bungeni-2010-2015.85296/
[ -1 ]
Nyamagana Mwanza: Utozaji wa loss report form kwa tsh 1,000/= ni halali? Kutokana na mfumo wa sasa kupoteza line za simu sasa imekuwa kero maana raia wanalipa TSH 500/= ambayo yenyewe inakatiwa risiti haina shida japo foleni ndefu Kero iliyopo Police cetral NYAMAGANA Mwanza ni pale inapotokea copy ya loss report office ya OCD inaposainiwa na kugongwa muhuri. Bila... Huu ni muda muafaka kwa nafasi ya Rais kusimamia anachokiamini. Watanzania tuungane katika hivi vita vya kiuchumi kwa ajili ya vizazi vijavyo. Kumekuwa na maneno mengi kwamba ni CCM ndio imetufikisha hapa, hakuna anaebisha maana hata wapinzani walikuwa wanaccm,kumbe tumefikishana hapa wote. Vita hivi ni vigumu, Rais ameonyesha nia dhabiti,wapo wanadai mbona... Sera ya CCM na ACT-Wazalendo ya Ujamaa na Azimio la Arusha na Tabora zinafanana Teuzi za kutoka ACT-Wazalendo zimeonekana kuwa ni kuua upinzani lakini ukiangalia kwa umakini ni jambo jema la kuuweka Utanzania mbele zaidi kwa maslahi ya nchi zaidi. Hili ni jambo jema na kutoa changamoto hasa kwa wanaccm kuamini wao tu ndio wenye kustahili katika ujenzi wa Taifa. Rais... VYAMA WAFANYAKAZI WAUMA VIWE NA MAJIBU HAYA. Vyama vya wafanyakazi sekta ya umma vinawajibu wakuwajibu wafanyakazi wake kuhusu hatima ya kusitushwa kwa upandaji vyeo,malipo stahiki ya watumushi na zoezi la uhamisho kwa walio omba baada ya zoezi nyeti la uhakiki. Vyama hivi vinajipatia mapato makubwa toka makato ya uchangiaji toka kwa... Hii project ya Tanzania Democracy Support Project ipo? Imetangaza nafasi za kazi na walio chaguliwa wanatakiwa kutoa gharama za verification ya vyeti kupitia mpesa, je hii project ni ya kweli maana na mdogo Wangu anaomba fedha hiyo asije tapeliwa na mitandao. Nijuzeni. Wanasiasa watupe strategies namna watakavyo tatua matatizo sio ahadi Imefika muda sasa wanasiasa wawe wazi kwa kila tatizo,chanzo cha tatizo na walink sera za vyama vyao na vision/mission na objective zao watakavyotekeleza ahadi wanazotupa. Wanatuahadi watakuza elimu,afya,uchumi na maisha bora kwa kila mtanzania. Watanzania waleo si wakupewa ahadi za... Mwigulu kuipeleka Tanzania tunapotaka Kutokana na hali ya Tanzania,baada ya Kikwete kukamilisha miundo mbinu kama barabara na ujenzi wa mashule,umeme kufika vijijini,tunahitaji mrithi ambaye atapigana na rushwa,atakaye kusanya mapato na kusimamia vizuri matumizi ya walipa kodi,atakaye rudisha uzalendo wa watanzania. Ni dhajiri... Ganzi ya Kihistoria Baada ya matokeo ya kupitishwa kila mtu amepigwa na bumbuwazi na kama vile dunia ilisimama kwa Tanzania hata wa upande wa CCM maana walijua kwa logic ya kawaida kwamba akidi haitoshi tukimnukuu Mwigulu.Na watanzania wote si UKAWA wala viongozi wa kidini kila moja amebaki kimya! Je huu ni... Kuna haja ya kuweka kipengele cha serikali ya mseto Kama tunaandaa katiba ya kudumu miaka 100,ili kuduimisha amani na uwiano sawa wa maamuzi ya wananchi kuna haja ya kuwa na kipengele hiki. Tanzania ni yetu sote hivyo kungoongoza tu kwa kuwa na kura zaidi si haki,mfano asilimia 5O.1 na 49.9 wale walioshinda waongoze na kuwatawala waliochini 49.9... Faida kubwa za serikali tatu na maoni ya tume ya Warioba. UWAJIBIKAJI(Responsibility) Uwepo wa dola yenye fedha,Tanganyika au Zanzibar na dola yenye Jeshi Tanzania kutatoa ukiritimba wa ufisadi ambao hutokea na hamna paka wa kumfunga mwenzie kengele.mf.Rais wa muungano anaweza toa msimamo kwa serikali kuwajibika hasa inapotokea mambo kama ya... Kwa utajiri wa rasilimali za Tanzania,mkono wa mataifa Tajiri kwenye siasa zetu utaepukika? Urafiki wa mabepari huwa ni wa kihindi,kwa utajiri wa Zaire ya zamani,wamegombanishwa hakuna amani. Libya walipewa kila kitu lakini wakamsaliti Kadaff matajiri wakitaka mafuta,Irak,Iran na hata Nigeria vivyo hivyo hapajatulia? Watanzania wenye madini lukuki,utalii,gasi,maziwa yenye samaki,na...
"2020-04-09T01:55:11"
https://www.jamiiforums.com/search/6295841/
[ -1 ]
Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika - JamiiForums Vyombo vya Habari vinamdhulumu Dr. Shika 1,148 1,218 280 Kupitia mahojiano mbali mbali ya baadhi ya waandishi wa habari na wapangaji wenzie wanaeishi na Dr. Shika tumeweza kujua namna maisha ya dokta huyo yalivyo ya tabu na ikisemekana kuwa dokta huyo hata chakula kwake ni tatizo kubwa sanaa, anaishi maisha ambayo hata mnyama ana afadhali, na hana msaada toka kwa ndugu wala jamaa yake yoyote yule anaishi kwa neema na qudra tu za Mungu. Sasa geukia upande wa pili, hawa wanao report, kushare na kupost habari za dokta Shika wanapata mamilion mengi tu, mfano Millard Ayo, video zake zote alizopost YouTube zimekuwa namba moja kwenye trending na zimetazamwa na malaki ya watu huku pia wanaomzamini Millard Ayo wakizidi kumwagia pesa za kufa mtu na YouTube wakimlipa mamilion ya fedha. Sio Millard tu, kuna Mwananchi, Global nk nk. Ambao sasa wanauza sana kuliko wakati wowote kwa kutumia mahojiano yao na mzee huyu, na habari za mzee huyu zina sikika kuliko ata nyimbo na matukio ya wasanii kuliko hata habari za wabunge na Serikali. Je, kuna namna yoyote mzee anafaidika? Baada ya muda upepo huu utakwisha na mzee atarudi kuishi maisha yake yale yale ya kushinda njaa na upweke na hapa sijagusia Airtel ambao wametoa offer mpya na wanaiita "u mia tisa itapendeza" hawa nao najua watakua wamefanya uhuni tu, bado wale wa mashati ya 900 itapendeza, bado wale wa stika za magari za 900 itapendeza. Mungu ana maksudi makubwa na mzee huyu, katujulisha waTanzania, kamtoa chakani, basi tumsaidie huyu mzee, na nyie wakina Millard lipeni fadhila mrudishieni ata asilimia 10 basi ya faida mlizo ingiza kwa kupitia yeye. Tumsaidie mzee Likes: hazole1, Phoenix, Maxmizer and 38 others Chriss Jericho 260 369 80 Correct vyombo vya habari vinavuna hela sasa hivi kwa huyu Mzee pasipo yeye kupata chochote, inasikitisha sana Likes: hazole1, christumaini, PATIGOO and 11 others Chriss Jericho said: Tumtete huyu mzee, na dawa hapa ni tuvilipue tu hivi vyombo vya habari... ila Airtel wamenikera sanaa, wapuuzi sanaa, nao wamesafiria nyota. Likes: colin_morgan, moj6, Brightontz and 9 others george aloyce Nazani erick shigongo atamsaidia Likes: FRANCIS DA DON and Jumaaofficial 1,960 1,180 280 Kweli kabisa kama hilo la airtel nimeliona mapema yaaani wamlipe huyu mzee hatakiwi tenakuishi maisha haya.huyu Mzee. Angepata mtu amsaidie wamlipe pesa zake Likes: Mjamaa1 and Poise george aloyce said: Huyo ndio hawezi kabisa. Likes: Mr Miller and TASK FORCE 1,934 2,168 280 Ukweli mtupu na asipopata wa kumsimamia atatumiwa kama pedi au tissue Airtel wapuuzi sanaa, wamefanya utoto sanaa. Kweli Airtel na vyombo vyote wanapaswa wamsaidie huyu mzee, wasijinufaishe wenyewe tu ili halikubaliki kabisa Likes: PATIGOO and Poise PrincessAnne said: Wish basi wangekua wanataja ata namba zake za simu sisi wananchi tumchangie chochote. Likes: Kibunango, Moisemusajiografii, Poise and 1 other person Wampe ata matangazo basi. 8,517 11,557 280 "Yaani Babu yeye chakula chake ni maji tu, pale bombani anaenda na kikombe chake, basi" Hii kauli iliniuma sana! Maskini Mzee wa watu, ningekua lawyer ningeforce king mpaka wote wanamtumia kama ngazi wangemlipa! Likes: unruly gang, la magica, Brightontz and 6 others 2,725 1,655 280 Hizo ndo fursa mheshimiwa mkuu wa mkoa wa dar, ebu msaidie huyu mzee watu wanajiingizia kipato lkn mzee wetu hapati hata chochote, ebu lisimamie hili ndani ya mkoa wako, iwe mfano wa kuigwa Likes: unruly gang, Brightontz and Poise Hapa nilisikitika sanaa, mzee hua amejifungia tu ndani ata mwezi mzima. Chakula chake ni maji tu. Likes: Poise, Mr Miller and Mgibeon Itapendeza sanaa Likes: Poise and Mr Miller Sasa hivi wamebaki kumgombania kama mpira tu Likes: Mr Miller, Ibambasi and 666 chata Gawaneni pesa na huyu Mzee vyombo vya habari, sio mnatoka kumhoji mnampa ten ten zetu huku mkiingiza mamilioni Likes: Poise, Mr Miller and 666 chata halafu kumfata kwake kumpeleka mahojiano wanamfuata na usafiri wakimaliza wanamuacha akapande daladala Likes: unruly gang, Lugeye, Mr Miller and 2 others 503 192 60 Kweli kabisa daaah Likes: Poise and 666 chata Threads 1,235,066 Posts 29,211,286
"2018-12-09T19:02:21"
https://www.jamiiforums.com/threads/vyombo-vya-habari-vinamdhulumu-dr-shika.1353693/
[ -1 ]
Saudi-Arabia - Kasi ya mtandao Biashara Kujiamini 3.00 -12.00 63.00 -12.00 Index-Pointi [+] Viwanda Pmi 57.40 57.30 61.80 51.40 [+] Viwanda Uzalishaji 2.34 5.84 25.87 -24.93 Asilimia [+] Mabadiliko Katika Inventories 55807.00 -6297.00 64489.00 -51388.00 Sar - Milioni [+] Viwanda Uzalishaji (Mwezi) -0.35 4.17 4.17 -3.10 Asilimia [+] Viwanda Uzalishaji 3.71 16.44 21.50 -2.65 Asilimia [+] Mining Uzalishaji 3.39 1.95 6.02 -6.75 Asilimia [+] Rigs za mafuta yasiyosafishwa 59.00 60.00 81.00 11.00 [+] Ushindani Ripoti 67.50 65.91 67.50 4.54 Pointi [+] Ushindani Rank 39.00 41.00 41.00 17.00 [+] Urahisi Wa Kufanya Biashara 92.00 92.00 96.00 10.00 [+] Rushwa Index 49.00 49.00 52.00 33.00 Pointi [+] Rushwa Rank 58.00 57.00 80.00 46.00 [+] Steel Uzalishaji 420.00 480.00 558.00 7.00 Elfu Tani [+]
"2019-07-15T18:24:41"
https://sw.tradingeconomics.com/saudi-arabia/internet-speed
[ -1 ]
Mapigo Saba ya Mwisho | GoBible Translations Home › Mapigo Saba ya Mwisho Mapigo Saba ya Mwisho (Ufunuo 15-16) Utangulizi: Je, unampenda Mungu? Je, una shukrani kwa kile alichokutendea wewe na wale unaowapenda? Somo letu juma hili linabainisha upande wa pili wa spektra. Tunaona kwa undani mkubwa kinachowatokea wale wanaomchukia Mungu na kuwadhuru watakatifu wake. Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu anayeshughulika na haki! Hebu tuzame kwenye kitabu cha Ufunuo na tujifunze zaidi! Malaika Saba Soma Ufunuo 15:1. Ni wapi tulipowaona malaika saba hapo awali? (Tumejifunza kwamba malaika saba “wanasimama mbele za Mungu” katika kiti chake cha enzi mbinguni. Ufunuo 8:2. Tumewaona malaika saba mara kwa mara kwenye masomo yetu: kwa makanisa saba (Ufunuo 1:20), baragumu saba (Ufunuo 8:6), na sasa mapigo saba ya mwisho.) Kwa nini hayo ni “mapigo ya mwisho? (“Maaana katika hayo ghadhabu ya Mungu imetimia.”) Je, unaona ajabu kwamba Mungu anashusha ghadhabu yake kwa watu? Kwani yeye si Mungu mwenye upendo? Soma Ufunuo 15:2. Kundi hili ni la akina nani? Je, kundi hili ndilo walengwa wa mapigo ya hasira? (Utakumbuka kwamba tulipojifunza Ufunuo 7 tulijifunza kuwa Watu wa Mungu walikuwa wametiwa mhuri, na miongoni mwa kundi hilo ni lile la watu 144,000. Katika Ufunuo 14 tunaona rejea nyingine ya watu waliotiwa mhuri, lakini mara hii ni watu 144,000 pekee. Ufunuo 4:6 inatuambia kuwa kuna “bahari ya kioo” mbele ya kiti cha enzi cha Mungu mbinguni. Kutokana na hili tunajifunza kwamba taswira ya wale ambao wamekuwa waaminifu kwa Mungu ipo mbinguni. Hawatakuwa na haja ya kukabiliana na mapigo!) Soma Ufunuo 15:3-4. Waliookolewa wanafanya nini mbinguni? Je, hapa ndipo wanapopata wazo la kwamba tuna vinubi mbinguni? Unadhani ujumbe wao mkuu ni upi? Shauku yangu kubwa ipo kwenye lugha iliyotumika ya “Ni za haki, na za kweli, njia zako.” Tunakaribia kujifunza juu ya adhabu ya kutisha inayotolewa. Unadhani watu wa Mungu wanafikiria nini juu ya haki ya jambo hili? (Wanakubaliana na Mungu.) Chimbuko la Mapigo Saba Soma Ufunuo 15:5-6. Mapigo haya yanawaangukia akina nani? (Kwa kuwa mapigo haya yanatimiza ghadhabu ya Mungu (Ufunuo 15:1) kimantiki yanawaangukia waovu. Ikiwa Yohana anatupatia mpangilio wa muda, basi wenye haki tayari wapo mbinguni. Bila kujali kama huu ni mpangilio wa muda au la ni jambo tulilolijadili juma lililopita. Wakati mwingine Yohana anatuonesha mbingu kwa uchache tu na haidhamirii kuwa mpangilio wa muda. Kwa nini malaika saba wamevikwa mavazi ya kitani? Kwa nini Yohana anaelezea mwonekano wao? (Fikiria kwamba umekuwa ukikabiliana na dhambi wakati wote. Fikiria kwamba ulishuhudia mateso ya Yesu na wafuasi wake – mateso ambayo waovu wameyasababisha. Kumalizika kwa pambano hili inaweza kukufanya ujivike mavazi kwa ajili ya kujibu pigo la mwisho.) Soma Ufunuo 15:7-8. Tofauti na moshi, unaweza kufikiria kwa nini hapakuwepo na mtu aliyeweza kuingia ndani ya hekalu mbinguni? (Pendekezo moja ni kwamba upatanisho wa Yesu, Kuhani wetu Mkuu aliyeelezewa katika kitabu cha Waebrania umefikia ukomo. Uamuzi wote umekwishafanywa.) Soma Kutoka 19:18. Hii inaashiria maelezo gani mbadala? (Moshi unawakilisha utukufu na uwezo wa Mungu kwa namna ya hatari sana. Wakazi wa mbinguni wanafahamu vizuri zaidi ya kutembelea sasa hivi Mungu anapoanzisha mapigo saba ya mwisho.) Mapigo Saba Soma Ufunuo 16:1-2. Je, hii inakukumbusha juu ya jambo lolote uliloliona hapo kabla kwenye Biblia? (Soma Kutoka 9:8-9. Pigo kama hilo lilipelekwa Misri. Utaona kwamba pigo hili limo ndani ya mipaka ya nchi na haliwaathiri wanyama.) Nani anayeteseka kutokana na pigo hili? (Wale wenye alama ya mnyama.) Soma Ufunuo 16:3. Je, kuna mfanano wowote na mapigo ya Misri? (Soma Kutoka 7:19 kwa ajili ya mlinganisho.) Kitu gani kimelengwa hapa? (Bahari. Kumbuka kwamba pigo la kwanza liliilenga nchi.) Aina gani mahsusi ya damu inahusika? (Damu ya mfu. Matokeo yake ni kwamba kila kitu chenye uhai kinakufa.) Tafakari ukubwa wa maafa hayo. Hilo litaathirije maisha ya kila siku? Soma Ufunuo 16:4-6. Kitu gani kimelengwa hapa? (Maji yote yaliyosalia: mito na chemchemi.) Tatizo gani halisi lililetwa na pigo hili? (Hakuna maji ya kunywa. Hii inalenga maji baribi (maji yote tofauti na yale ya bahari.)) Tofauti na mapigo ya awali, haki ya mapigo haya inaelezewa kwa umahsusi. Soma Mambo ya Walawi 7:26-27, Mambo ya Walawi 17:11, na Matendo 21:25. Unaweza kuelezea sababu ya Mungu kutoa pigo hili? Kuna haki gani ya kutoa pigo? (Kula damu kumezuiliwa kimahsusi katika Agalo la Kale na Jipya kwa kuwa uhai uko kwenye damu, na damu inatuokoa kutoka dhambini. Watu hawa ni tofauti na Yesu. Yesu alimwagika damu yake ili tupate uzima. Watu hao wamekuwa wakiondoa uhai. Hivyo ni wanywa damu. Wako nje kabisa ya wokovu.) Soma Ufunuo 16:7. Madhabahu imeingiaje kwenye taswira hii? Hakuna chochote kwenye sura hii kilichoizungumzia. (Damu ya kafara ilimwagika chini ya madhabahu hekaluni. Mambo ya Walawi 4:7. Hivyo, kiishara, madhabahu yana maslahi ya pekee kwenye damu. Inaidhinisha matumizi haya ya damu ambayo hayakuthibitishwa. Inathibitisha haki ya jambo hili.) Soma Ufunuo 16:8-9. Je, patakuwepo na ongezeko la joto? (Ndiyo! Pamoja na ustahili wa mjadala unaoendelea sasa hivi, jua “litawaunguza” wanadamu.) Kwa nini tunaambiwa kwamba Mungu ana “mamlaka juu ya mapigo hayo?” (Hii ni hukumu. Wale wanaokana kwamba Mungu wetu mwenye upendo pia ni Mungu wa hukumu wanapuuzia kifungu cha wazi cha Biblia.) Waovu wanaonyesha hisia zao kwa nani kwenye hii hukumu? Soma Ufunuo 16:10-11. Je, mnyama ana kiti cha enzi? (Tulipojadili habari za joka, mnyama mwenye Pembe Kumi, na mnyama akaaye juu ya nchi katika ufunuo 13, tulihitimisha kwamba kuna uthibitisho mzuri kwamba Pembe Kumi ni Rumi ya Kipagani na Kipapa. Hilo ndilo hitimisho la maoni mengi ya kale.) Soma Ufunuo 2:13. Hii inatupatia ishara gani kwenye swali la mahali kilipo kiti cha enzi cha mnyama? (Hii inatuambia kwamba kiti cha enzi cha Shetani (joka, na si mnyama) kipo Pergamu. Pergamu ulikuwa mji wa kwanza kule Asia uliokuwa na hekalu kwa ajili ya ibada ya Mfalme wa Rumi. Hii inatoa uthibitisho kwamba kimsingi tunauangalia mji mahsusi hapa duniani.) Angalia tena Ufunuo 16:10-11. Pigo la giza linamaanisha nini katika mji wa kisasa? (Hakuna umeme.) Je, watu wangetafuna ndimi zao kwa maumivu endapo wangenyimwa vifaa vyao vya kielektroniki? (Usikivu wao haujabadilishwa kutokana na vifaa vyao vya kielektroniki. Mji una giza na wamejikita kwenye maumivu yao.) Angalia kauli inayojirudiarudia kwamba bado wanakataa kutubu na kumpa Mungu utukufu. Watu hawa wamedhamiria kiasi gani kuendelea kuwa dhambini? (Tunaweza kuona kwa nini wao ni waasi wakubwa dhidi ya Mungu.) Soma Ufunuo 16:12. Hii inakukumbusha jambo gani? (Inanikumbusha juu ya kuhamisha mamlaka yaliyobainishwa katika Danieli 5:30 kutoka Babeli kwenda Medo-Persia. Chimbuko ni kwamba Cyrus iliuhamisha mto Frati na kuingia Babeli chini ya mto na kuuteka mji. Hii imezungumziwa katika Isaya 44:27-28.) “Wafalme kutoka mashariki” ni wapi hao? (Soma Mathayo 24:27 na Ezekieli 43:2. Nadhani hii inamaanisha Yesu akija kutoka mbinguni na malaika wake.) Soma Ufunuo 16:13-15. Nguvu za wema na uovu zinajipangaje? (Yesu anakuja, na wale walio waovu wanajiandaa kwa ajili ya pambano dhidi ya Mungu.) Soma Ufunuo 16:16-20. Jeshi hili kubwa linapokusanyika, kitu gani kinatokea ikiwa ni matokeo ya pigo lililoletwa na malaika wa saba? (Tetemeko la nchi kubwa duniani kote.) Kwa nini Mungu analishinda jeshi kupitia kile kinachoonekana ni majanga ya asili? (Sidhani kama waovu wanachanganywa na jambo hili. Badala yake, inaonesha uwezo mkuu wa Mungu unaodhibiti nguvu za asili. Mungu hayuko ndani ya ukomo wa uwezo wa wanadamu.) Soma Ufunuo 16:21. Kitu gani kinaachwa juu ya jeshi ovu baada ya tetemeko la nchi la kutisha? (Mvua ya mawe makubwa yanayolingana na watu!) Rafiki, fanya uchaguzi kwa umakini! Upande gani unaonekana kuwa wenye uchaguzi bora? Kwa nini usiwe upande wa Yesu leo, na sasa hivi? Juma lijalo: Hukumu Dhidi ya Babeli.
"2019-05-22T21:08:45"
http://www.gobibletranslations.org/node/2013
[ -1 ]
Download mbarawa .MP4 & 3GP || M.CodedHub.Com Download mbarawa play in 3GP MP4 FLV MP3 available in 240p, 360p, 720p, 1080p video formats Hon. Makame M Mbarawa, Minister, Tanzania @ ITU TELECOM WORLD 2012 ITU TELECOM WORLD 2014 INTERVIEW: Prof. Makame Mbarawa, Minister, Comms., Science & Tech. Tanzania WAZIRI MBARAWA AJILIPUA "BODI ZANGU ZA MAJI ZINA MAPUNGUFU" | TBC1 "NAKUFUKUZA NA NIKIKUFUKUZA HUPATI KAZI POPOTE HATA UROGE" PROF. MBARAWA WAZIRI MBARAWA AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA AKIWA NA WANANCHI Prof. Mbarawa baada ya kupewa Wizara ya Maji hivi ndivyo alivyotinga DAWASCO Waziri Mbarawa alivyomtimua Mtaalamu kwa kutoonekana site "TUTAOA MILIONI 300, HAMTOAMKA USIKU TENA KISA MAJI" - WAZIRI MBARAWA "Mkandarasi hela ushakula napiga simu unakata, siukubali huu uhuni" WAZIRI MBARAWA Agizo la Waziri Mbarawa “Nawaambia mimi sifungwi mtafungwa nyie” WAZIRI MBARAWA AWACHARUKIA DAWASA "Hatutawafanyia haki Watanzania" Maamuzi magumu aliyoyafanya Waziri Mbarawa leo “Haya ni majizi na mafisadi, wote wachukuliwe hatua” -Waziri Mbarawa Agizo moja la Waziri Mbarawa kwa Uongozi wa Bandari ya DSM MTEJA HEWA WA MAJI MIKONONI MWA WAZIRI MBARAWA WAZIRI MBARAWA: ''SEKTA YA MAJI, UKO NYUMA HELA ZINAKUSANYWA HAZIENDI KWENYE MIRADI'' Waziri Mbarawa: 'Tutaendelea kubadilisha watendaji kila siku, wasipokuwa waadilifu' "TUNATEKELEZA MIRADI 500, BILIONI 604 MKOPO, HAIJAWAHI KUTOKEA" PROF. MBARAWA Prof Jay, Waziri Mbarawa Walivyoandamana Kuyafata Maji Milimani Waziri Mbarawa "kazi imeanza hakuna atakayepoteza kazi" "Tunajipanga kuondoa kero ya upatikanaji wa maji safi ' - Waziri Mbarawa "TUTAENDELEA KUBADILISHA WATENDAJI KILA SIKU" - WAZIRI MBARAWA Waziri Mbarawa baada ya kufika bandari ya DSM PROF JAY KAMFUNGUKIA WAZIRI MBARAWA SHIDA YA JIMBO LAKE- "Tunateseka" RAIS MAGFULI "NITATUMBUA MAJIPU, OLE WAKO PROF. MBARAWA" Kitu alichokifanya Waziri Mbarawa kuhusu Maji 'Lazima tusimamie sheria' WAZIRI MBARAWA: "Mtu akifanya upuuzi muondoeni" TBC1: Prof MBARAWA Awa MBOGO! Aagiza MKANDARASI Akamatwe! Rabi pirzada nude videos20160627U AND I COMEDYgrizzy and the lemings dancezfmF5CN2jhIEXPLOIT COMEDYsqt0HIrzFiYcomedyrape sexmeera scandal1ffpmXCqJ54Crime patrol satrak sesaon 2 episode 87savdhan Indiasavdhan India episode 1235u2uLTvetqV0igaliaErktzJnLYrokajal nxxxawure eni 2tedevisivfdmaskini3amarinmanwu ashakaghana woman sex muvieCrime petrol satark 2 Ep 77comedy central roastBangla New MovielkuFM NYm6svNKn8wDYZYgalanieKwlDKEo2coQni99tpLPs8sondokodownload xvideo nollywoodFunny Scary Maze Gameh7ctfEmbriwhausa rafinUBIfkSPxYnsmo FONP1H0wbig wamen xxGDHmTjcZ 9gwomans erro nollywood moviengono xnxxxx maryam hiyanaRBLrMoMEA AafXTFtzVmPQanusBj fAlHK2rMBHexsBA5cwc7fmmMqjCaxYmandabiWgIRu94A9uQvery very funny hot s x videoskay7Tmawu6wKinjal dave xxx videosbart baker we found love rihannavidio m sharifmautundumariskacgsadam a zango amal haoussaREBXK6FyQGEkuendeshaang avatar the last air benderqhUypnWcG9kXxxsexvideoyzTuBuRdAyAsajini blouse bra open sexrambo 4 film complet francais13BgTNR9wh8mQF8WsNN3jEying tai laikha8809Tamil melodyLove Sad Melody Song tamilaXsyuC6DT0EEvergreen Melody SongEvergreen Love Sad Melody SongB HKM6IxP1Y2rz0iVI4TfwSearch ktn dramaTDN6pLyffLkkicO1xHwKzoBaywatch sax videomasilahisnoop dogg timwestwood tvwanawake na cheza waki wa uchi videosnufawa danceToonami November 23 2019Toonami ScheduleToonami Schedule November 9 2019sashi aunty romanceyasaklcutof6LLIfttd9sesobjNGaN7kia aGDfywW06zZS5 c7vIHbezm828JXs
"2019-11-18T08:40:25"
http://m.codedhub.com/search/mbarawa.html
[ -1 ]
Possible Answer Mifano mizuri ya riwaya kwa lugha ya Kiswahili ni Nagona au Mzingile, riwaya za mwandishi Euphrase Kezilahabi. ... Je, unajua kitu kuhusu Riwaya kama historia yake, ... - read more Historia ya riwaya ya Kiswahili imeangaliwa katika sura tofauti na wataalamu na watafiti mbalimbali (Mlacha na Madumulla, 1991:8). TUKI, (2004:48), ... - read more what is historia ya riwaya ya kiswahili resources Riwaya ya Kiswahili: nadharia, historia, na...Riwaya ya Kiswahili: nadharia, historia, na misingi ya uchambuzi: Publisher: Mture Educational Publishers, 2009: ISBN: 9987100112, 9789987100118: Length: 168 pages : Kiswahili - Wikipedia, kamusi elezo huru... hekaya au riwaya ... Historia ya Kiswahili; Lahaja za Kiswahili; Marejeo. Ashton, E. O. 1944. Swahili Grammar (Including Intonation). London: Longmans. SJUT STUDENT BLOG: Riwaya mpya ya KiswahiliJINSI LUGHA YA RIWAYA MPYA YA KISWAHILI INAVYODAI Said A.M. Khamis 1.0 Utangulizi Kuzuka kwa riwaya mpya ya ... Hivi historia nzima ya udhalimu wa ukoloni na ... Riwaya ya Kiswahili : nadharia, historia, na misingi ya ...Riwaya ya Kiswahili : nadharia, historia, ... inLanguage " sw" ; schema:name " Riwaya ya Kiswahili : nadharia, historia, na misingi ya uchambuzi" ; schema: ... Chomboz: CHIMBUKO LA RIWAYA YA KISWAHILI... maana ya riwaya ya Kiswahili, ... riwaya za kingano, tendi, hekaya, visakale, historia, sira, masimulizi ya wasafiri, insha na tafsiri. ... Kunga za nathari ya Kiswahili: tamthilia, riwaya, na hadithi ...Kunga za nathari ya Kiswahili: tamthilia, riwaya, na hadithi fupi. Said Ahmed Mohamed. East African Publishers, 1995 - Swahili literature - 155 pages. Riwaya | Paneli la KiswahiliRiwaya ni kazi ya fasihi andishi ambayo huwa ndefu ... Paneli la Kiswahili. HOME. Sauti za Kuimba; LUGHA. AINA ZA MANENO Nomino (N) Viwakilishi (W) Vitenzi (T ... AfricaBib | Historia na maendeleo ya riwaya ya ...Periodical article: Title: Historia na maendeleo ya riwaya ya Kiswahili: Author: King'ei, K. Year: View More Resources FASIHI ANDISHI YA KISWAHILI - chomboz.blogspot.comVivyo hivyo hata katika fasihi ya Kiswahili hususani fasihi ... Wasakatonge, Kimbunga, Mapenzi Bora, Diwani ya Mloka, nk.), riwaya (Kiu ya Haki, ... (historia ya ... Riwaya ya Kiswahili - Maina | MwananchiMaelezo mengi yametolewa kuhusu riwaya ya Kiswahili ... Hata hivyo wako baadhi ya wataalamu wa fasihi ya Kiswahili waliodai kuwa historia ya riwaya ya Kiswahili ... JIVUNIE KISWAHILI : UHAKIKI WA RIWAYA ZA KISWAHILI.UHAKIKI WA RIWAYA YA ... ya Mfalme na Madiwani kwa kusimulia historia ya kusadikika kupitia wajumbe sita waliotumwa ... fasihi linganishi ya Kiswahili na ... FASIHI ANDISHI . KF 202 NOTES ZOTE | Daniel Seni -...... na falsafa zitawale fani ya ushairi Walidai kuwa mabadiliko ya umbo la ushairi yamefungamana na maendeleo ya historia ya ... riwaya ya Kiswahili ilianza ... JIVUNIE KISWAHILI : TAFSIRI NA FASIHI LINGANISHI YA KISWAHILI.Tafsiri imesaidia kuingiza utanzu mpya katika fasihi andishi ya Kiswahili, kwani historia ya fasihi barani Afrika ... (1997). Pia riwaya ya “Uhuru wa ... Riwaya ya Kiswahili - S. A. K. Mlacha, J. S....Mikondo ya Riwaya ya Kiswahili . 29: ... ya Kiswahili fasihi-pendwa hadi hadithi halisi hisia historia ya riwaya hususan ijapokuwa ilikuwa inaweza jamii jinsi kadhaa ... Review: Kyallo Wadi Wamitila. 2003. Kamusi ya...The entry riwaya ya kitawasifu ... Kamusi ya Fasihi. Nairobi: ... Uchambuzi wa Maandishi ya Kiswahili. Juzuu ya kwanza/Juzuu ya pili. ASILI YA RIWAYA YA KISWAHILI - MWL JAPHET MASATU...... maana ya riwaya ya Kiswahili, maana ya chimbuko, ... kabila au dini.Mara nyingi visa kale huchanganya historia na masimulizi ya kubuni, ... Summary Ya Riwaya Ya Takadini - pdfsdocuments.comRiwaya ya Kiswahili : nadharia, historia, na misingi ya uchambuzi. ... Summary: On the history and development of Swahili oral and narrative literature. Rating: Kiswahili - facebook.comJifunze nasi Kiswahili kwa... Facebook logo. Email or Phone: Password: Forgot account? Sign Up. Kiswahili is on Facebook. To connect with Kiswahili, sign up for ... GLOBAL LATEST HABARI: KISWAHILIHistoria ya Cambridge kuhusu fasihi ya Afrika na Caribbean, ed Abiola Irele na Simoni Gikandi, 2 vls, Cambridge ... , maana ya riwaya ya Kiswahili, ... Neno Thabiti: FasihiHivyo basi historia ya fasihi simulizi ya kiafrika inaweza kujadiliwa kwa kuhusisha au kuchanganya mawazo ya wataalamu wote wa ... maana ya riwaya ya Kiswahili, ... UJIFUNZAJI/UFUNDISHAJI WA KISWAHILI KWA WAGENI |...Aweze kumudu lugha ya Kiswahili. ii. Aweze kuwasiliana na watumiaji wa lugha ya Kiswahili. iii. Ili wanafunzi ... Historia Ya Hadithi Fupi Za Kiswahili -...HISTORIA YA KISWAHILI Asili ya Kiswahili Uhusiano wake na lugha za ... unapolinganishwa na tanzu zingine za fasihi andishi ya Kiswahili kama vile riwaya, hadithi fupi ... Chimbuko la Kiswahili: Kukua na kuenea kwake Afrika ya ...Buy Chimbuko la Kiswahili: Kukua na kuenea kwake Afrika ya Mashariki (Swahili Edition) on Amazon.com FREE SHIPPING on qualified orders Amazon Try Prime Books ... HALI NA MAENDELEO YA FASIHI YA KISWAHILI ... -...HALI NA MAENDELEO YA FASIHI YA KISWAHILI KATIKA TANZANIA. Übersicht. Unser Verein; Unser Magazin HABARI; ... (mfano, riwaya ya Pesa za Mawe, ya Oscar Ulomi, 2006). close ×
"2016-05-29T02:03:45"
https://www.askiven.com/what-is-historia-ya-riwaya-ya-kiswahili.html
[ -1 ]
Kituko: Balotel apoteza Dakika 2 uwanjani, Eti alishindwa kufunga kamba za viatu - Celebrity Swaggz I Official Website '+l+" Home » »Unlabelled » Kituko: Balotel apoteza Dakika 2 uwanjani, Eti alishindwa kufunga kamba za viatu Kituko: Balotel apoteza Dakika 2 uwanjani, Eti alishindwa kufunga kamba za viatu Kumbuka Mario Balotelli haishi vituko, si unakumbuka alishindwa kuvaa bips? Safari hii amekosa dakika mvili za mchezo wao Nice dhidi ya Nantes Ligi Kuu ya Ufaransa kwa kuwa alishindwa kufunga kamba. Hii ilitokea juzi wakati Balotelli akihangaika kukaza kamba za viatu kwa dakika mbili wakati timu yake ikipambana uwanjani. Alisumbuka hadi mmoja wa maofisa wa Nice akalazimika kwenda kumsaidia. Tokea ametua Ufaransa pamoja na kufanya vema lakini Balotelli amekuwa akikumbana na mikasa ya kadi nyekundu kutokana na mambo yake ya kushangaza. Lakini kinachomfanya aendelee kubaki katika kikosi hicho ni ubora wake katika ufungaji.
"2018-01-21T04:40:08"
http://www.celebrityswaggz.com/2017/03/kituko-balotel-apoteza-dakika-2.html
[ -1 ]
SERIKALI IMETENGA BILIONI 30 KUJENGA HOSPITALI ZA RUFAA ZA MIKOA. - FAMARA NEWS SERIKALI IMETENGA BILIONI 30 KUJENGA HOSPITALI ZA RUFAA ZA MIKOA. Fabian Fanuel 8:12 AM 0 Comment JAMII
"2019-03-18T21:36:02"
http://www.famaranews.com/2018/08/serikali-imetenga-bilioni-30-kujenga.html
[ -1 ]
Ukawa mbele kwa mbele – Zanzibar Yetu Posted on December 16, 2014 by zanzibariyetu Ukawa mbele kwa mbele Wafuasi wa Chadema mjini Nansio Wilaya ya Ukerewe, Mwanza wakishangilia ushindi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi. Dar/Mikoani. Matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi, yanaonyesha kuimarika kwa upinzani nchini baada ya kupata viti vingi vya uenyekiti wa mitaa na vijiji, pamoja na mamia ya wajumbe wa Serikali husika. Hayo yanaonyesha kuwa vyama hivyo vimeanza kuimarika katika ngazi za chini, tofauti na ilivyokuwa mwaka 2009, katika uchaguzi ambao CCM kilipata ushindi wa kishindo wa asilimia 91.72, huku wapinzani wakigawana asilimia 8.28 zilizobaki. Licha ya uchaguzi wa juzi kugubikwa na kasoro lukuki, upinzani umeonekana kuchomoza huku katika baadhi ya mikoa ukipata ushindi maradufu hasa katika ile ambayo una nguvu kubwa wakati katika maeneo ambayo ulikuwa na viti vichache au kutokuwa navyo kabisa, umeibuka na kuipokonya CCM baadhi ya mitaa na vijiji. Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa); Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi vimejizolea viti vingi tofauti na awali, huku chama kipya cha ACT kikichomoza na kupata ushindi katika maeneo kadhaa ya mikoa ya Kigoma na Katavi. Mikoa ambayo upinzani umeonekana kuzoa viti vingi ni Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Kigoma, Mara, Kagera na Dar es Salaam, hali ambayo wachunguzi wa mambo wameielezea kuwa siyo dalili njema kwa CCM. Nguvu ya upinzani inaonekana kuongezeka siku hadi siku ikilinganishwa na ilivyokuwa mwaka 1995 wakati ulipofanyika Uchaguzi Mkuu wa kwanza wa vyama vingi vya siasa. Hii ni mara ya kwanza kwa vyama vya upinzani kuonyesha ushindani mkubwa katika uchaguzi wa chini, hali ambayo inaweza kuwa ni jibu la ukosoaji ambao umekuwa ukifanywa kwamba vyama hivyo vimejikita mjini tu na kusahau kufanya siasa kwa wananchi. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (Ruco) Iringa, Profesa Gaundence Mpangala alisema matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutangazwa, yanadhihirisha kuwa CCM itaendelea kukabiliwa na upinzani mkubwa hata kwa Uchaguzi Mkuu ujao mwakani. Licha ya mafanikio hayo, kwa upande wa upinzani, matokeo ya jumla yanaonyesha kuwa bado CCM inaelekea kushinda kwa kupata mitaa na vijiji vingi ikilinganishwa na upinzani. CCM kinaendelea kuweka mizizi katika mikoa ya Tanga, Morogoro, Dodoma, Pwani na baadhi ya wilaya katika mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa na Mwanza. Previous PostPrevious Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia ghafla Next PostNext Ni mtikisiko*Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM*Lowassa atamba
"2017-08-19T16:42:03"
https://zanzibariyetu.wordpress.com/2014/12/16/ukawa-mbele-kwa-mbele/
[ -1 ]
Mkimbizi ni nani? | USAHello Mkimbizi ni nani? Mkimbizi ni mtu ambaye ana kuondoka nyumbani yake kwa sababu ya mgogoro au hatari nyingine. Ukurasa huu una maelezo ya kukusaidia kupata usalama na kujisajili kama mkimbizi. UNHCR wa hakimiliki wa picha. Wewe ni mkimbizi wakati wewe si salama kutokana na vurugu katika nchi yako nyumbani na kuondoka kutokana na woga wa hatari. Hii inaweza kuwa kwa sababu ya rangi yako, dini, utaifa, au mali ya kikundi cha kijamii au maoni ya kisiasa. Wakimbizi kuondoka nchi yao nyumbani kwa sababu wanaogopa na ulinzi hakuna. Wakimbizi wanaweza kukimbia vita vya silaha, majanga ya asili, au serikali ya salama. Watu ambao ni trapped ndani ya nchi yao na hawana njia ya kuvuka mpaka wa kujisajili kama mkimbizi wanaitwa waliokosa makazi watu (IDP). Ni aina gani ya msaada naweza kupata? Kuna wakimbizi zaidi katika dunia ya leo kuliko milele kabla katika historia. Ni muhimu kuelewa haki zako kama mkimbizi na kujaribu kupata mashirika nzuri ambayo inaweza kukusaidia. Nchi nyingi hawana rasilimali kulinda wakimbizi. Baadhi ya watu ni mafisadi na kuchukua faida ya wakimbizi. Je, ni haki yangu? Kama wewe wanaishi katika nchi ambapo kuna vita, vurugu, au mateso, na serikali haiwezi au itakuwa kukulinda, una haki ya kusafiri kwenda nchi mpya na kutafuta kinga kama mkimbizi. Jinsi kuwa mkimbizi? Mara nyingi, ili kuwa mkimbizi, lazima kusafiri katika mpaka wa kimataifa na kujiandikisha kama wakimbizi na Umoja wa Mataifa. Kutegemea nchi gani uko katika sasa hivi au uliko, Shirika jingine anaweza kukusaidia kujisajili na Umoja wa Mataifa. Nini kinatokea baada ya kuwa mkimbizi? Inategemea kama wewe kuishi katika kambi ya wakimbizi au kama unaishi katika mji kama wakimbizi mijini. Wakati unaishi katika kambi, mashirika ya kimataifa inaweza kukusaidia kwa kutoa maskani ya msingi, chakula, na ulinzi. Wakati unaishi katika mji, wewe umeitwa wakimbizi mijini. Kama wewe ni wakimbizi mijini, inaweza kuwa na uwezo wa kupata kazi au kuunganisha katika nchi mpya. Lakini, inaweza kuwa vigumu sana kwako kwa sababu huna lolote kusaidia au kuunga mkono. Je, unahitaji msaada? Tafadhali chagua eneo lako hapa chini. Kama unahitaji msaada, Tafadhali bofya kwenye eneo hapa chini ili kupata mashirika na rasilimali katika eneo hilo: Mimi ni kujaribu kwenda Ulaya. Mimi ni juu ya Marekani-Mexico mpaka. Mimi ni tayari ndani ya Marekani na ninataka kuomba hifadhi. Jinsi gani unaweza mimi kupisha Marekani? Wakimbizi na wahamiaji duniani kote wengi wanataka kuja Marekani. Hata hivyo, ni nadra sana hakufanikiwa kuna. Chini ya 1% ya wakimbizi wamepewa milele makazi kwa USAs. Inaweza kuchukua muda mrefu sana hakufanikiwa kwa sababu lazima kupita hundi kali sana wa mandharinyuma/usalama na kukamilisha mtihani wa afya. Wakimbizi ambao ndio wanaoathiriwa zaidi na haiwezi kurudi nchi zao nyumbani ni makazi. Kujua haki yako ya habari kutoka IRAP kwa wamiliki wa SIV kuwasili katika USA
"2020-02-17T01:39:17"
https://usahello.org/sw/resources/who-is-a-refugee/
[ -1 ]
Mtuhumiwa Guantanamo ahukumiwa miaka 40 - BBC Swahili Mtuhumiwa Guantanamo ahukumiwa miaka 40 http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/11/101101_guantanamo_mshtakiwa Mahakama ya kijeshi katika gereza la Guantanamo Bay imemhukumu kijana moja mpiganaji wa kundi la kigaidi la Al Qaeda Omar Khadr, kifungo cha miaka arobaini jela baada ya kupatikana na makosa ya mauaji na ugaidi. Image caption Gereza la Guantanamo Lakini kutokana na jinsi alivyojitetea, Khadr atatumikia kifungo cha miaka minane pekee. Omar Khadr alikamatwa nchini Afghanistan mwaka wa 2002 akiwa na umri wa miaka kumi na mitano, wakati wa mapigano makali ya risasi kati ya wanajeshi wa Marekani na wapiganaji wa Kiislamu. Mshukiwa huyo alikiri mashtaka dhidi yake yakiwemo mauaji ya mwanajeshi mmoja. Marekani imesema mshukiwa huyo atarejeshwa nyumbani kwao nchini Canada baada ya kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani nchini humo.
"2018-03-17T18:38:55"
http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/11/101101_guantanamo_mshtakiwa
[ -1 ]
(Elekezwa kutoka Blattodea) Mayai na vipeto vyakeEdit Athari kama wadudu waharibifuEdit Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mende&oldid=1043560" Last edited on 11 Septemba 2018, at 20:55
"2020-05-31T21:02:47"
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Blattodea
[ -1 ]
Safari za ndege kuwaondoa wahamiaji kutoka Libya zarejelewa:IOM | Habari za UN Kwa mujibu wa shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM, wahamiaji zaidi ya 20 wameweza kuondoka kutoka Libya wakitumia ndege ya shirika la ndege la Ghana, na hivyo kufanya iwe ndege ya kwanza kuondoka Libya kufuatia makubaliano hayo. Hii inafuatia kufunguliwa tena kwa uwanja wa ndege wa Mitiga. IOM inasema wahamiaji hao walitoka viunga tofauti vya mji huo na walitaka kurejea nyumbani salama kupitia mpango wa hiari wa shirika hilo wa VHR. Kupitia mpango huo wahamiaji wanaotaka kurudi nyumbani lakini hawana njia husaidiwa na IOM kwa kuwasafirisha na punde tu wafikapo nyumbani hupewa msaada wa kuwawezesha kutulia nyumbani. Mratibu wa VHR katika ofisi ya IOM nchini Libya Ashraf Hassan,amesema kuwa wamepata ahueni kidogo kurejea kwa safari hizo na wanatarajia kukodisha ndege zingine siku zijazo ili kusafirisha wahamiaji waliosalia ambao wanataka kurejea nyumbani kwao. Ameongeza kuwa kutokana na idadi kuongezeka, wataendelea na mpango huo wakitumia nafasi hii ya usitishwaji wa mapigano kuwasaidia warejee nyumbani salama. IOM imepanga safari kadhaa hapo awali lakini zikasitishwa kutokana na mapigano yaliyokuwepo majuzi mjini Tripoli, ambayo yalielezwa na mkuu wa ofisi ya IOM Libya, Othman Belbeisi, kuwa yalihatarisha maisha ya wahamiaji wengi. IOM|libya
"2020-08-05T06:34:59"
https://news.un.org/sw/story/2018/09/1029212
[ -1 ]
Sophia Kessy ..Vitu Adim! la reine de la musique afrique: KIONGOZI WA MADAKTARI WALIOGOMA ATEKWA, APATIKANA AKIWA MAHUTUTI KIONGOZI WA MADAKTARI WALIOGOMA ATEKWA, APATIKANA AKIWA MAHUTUTI Dr. Stevin ulimboka alipataikana mapema leo asubuhi ambapo amewahishwa katika hospitali ya Muhimbili Kupatiwa matibabu yupo mahututi ambapo amepataikanaakiwa ameumia vibaya kutokana na kipigo cha watu ambao hawajafahamika . dk: ulimboka alipatikana baada ya taarifa mbali mbali kusambazwa katika mitandao mbali mbali kuhusu kupotea kwake. Angalia xclussive ya dk: Ulimboka live Clouds Tv walipopata mahojiano yake leo mapema baada tu ya kupatikana akiwa katika hali mbaya .... soon Clouds Tv
"2018-10-22T16:04:07"
http://sophiakessy.blogspot.com/2012/06/wednesday-june-27-2012kiongozi-wa.html
[ -1 ]
Messi yahigitse Cristiano aza ku mwanya wa mb... - Inyarwanda.com Messi yahigitse Cristiano aza ku mwanya wa mbere mu bakinnyi binjije agatubutse ku Isi muri 2019 - AMAFOTO Taliki:26/03/2020 16:33 0 Umunyabigwi w’umunya-Argentine akanaba rutahizamu wa FC Barcelone yo muri Espagne, Lionel Messi, niwe mukinnyi winjije amafaranga menshi ku Isi mu mwaka wa 2019 kurusha bagenzi be, kuko yinjije Miliyoni 120 z’amapound nkuko bitangazwa n’ikinyamakuru France Football cyandikirwa mu Bufaransa. Lionel Messi yahigitse rutahizamu ukomoka muri Portugal Cristiano Ronaldo wakundaga kuza mu mwanya wa mbere mu myaka yashize kuko kuri ubu yaje inyuma ya Messi ku mwanya wa Kabiri. Amafaranga Messi yinjije muri 2019, ahanini yaturutse ku mushahara uri hejuru ahembwa muri FC Barcelone, uduhimbazamusyi, kwamamariza amakompanyi akomeye, ubucuruzi bwe ndetse n’ibindi bitandukanye. Uyu munya Argentine w’imyaka 32 y’amavuko, muri 2019 yinjije Miliyoni 120 z’amapound akaba akurikiwe na Cristiano Ronaldo wa Juventus we winjije akayabo ka miliyoni 109, mu gihe umunya-Brazil Neymar Jr aza ku mwanya wa gatatu akaba yarinjije Miliyoni 87 z’amapound. Cristiano na Messi nibo bakinnyi ba ruhago bonyine babashije kwinjiza arenga miliyoni 100 muri 2019. Raheem Sterling niwe mwongereza rukumbi uri kuri uru rutonde ndetse ni nawe ukina muri Premier League ururiho, akaba ari ku mwanya wa munani aho yinjije miliyoni 30.96 z’amapound. Kylian Mbappe niwe mukinnyi wa mbere uhenze ku Isi, kuko abarirwa igiciro cya miliyoni 189 z’amapound. Urutonde rw'abakinnyi 10 ba mbere binjije akayabo muri 2019 Abakinnyi 10 ba mbere bahenze ku Isi Messi yinjije Miliyoni 120 z'amapound muri 2018 Cristiano Ronaldo aza ku mwanya wa kabiri mu bakinnyi binjije amafaranga menshi ku Isi muri 2019 Klyan Mbappe ubu niwe mukinnyi uhenze ku Isi
"2020-03-29T07:49:20"
http://inyarwanda.com/index.php/inkuru/96117/messi-yahigitse-cristiano-aza-ku-mwanya-wa-mbere-mu-bakinnyi-binjije-agatubutse-ku-isi-mur-96117.html
[ -1 ]
F44 - AckySHINE MiniSites | Best of 2019 ya kupunguza hatari ya maambukizi ya magonjwa.soma makala yote Leo wapendwa nitaenda kuzungumzia mapishi ya mchuzi wa kuku (chicken curry).soma makala yote 1 - Kitu cha muhimu ni kutoka nje salama haraka iwezekanavyo (as soon as possible).soma makala yote Alipo maliza kuandika tu, akaona wanafunzi wote walikua wanamcheka, kwasababu alikua amekosea swali la kwanza.soma makala yote Muhimu ni kukumbuka kwamba sindano na vidonge siyo njia za kudumu za kuzuia mimba, hata kama itachukua muda fulani kurudia hali ya kawaida ya uzazisoma makala yote Huu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya binadamu. Kinyesi cha punda kinabeba vimelea vijulikanavyo kama clostindium tetanii vinavyosababisha ugonjwa wa tetanasi.soma makala yote
"2019-11-13T20:40:52"
http://www.ackyshine.com/ads-sd:120
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: DAWASCO NA DAWASA SHIRIKIANENI KUONDOA KERO YA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM-MHADISI MBOGO '; if(img.length>=1) { imgtag = ' Saturday, October 15, 2016 ~ Copyright: Michuzi Blog JAMII ~ Mtumie Rafiki Yako , Maoni: 0
"2017-09-24T22:54:34"
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/dawasco-na-dawasa-shirikianeni-kuondoa.html
[ -1 ]
Kuvuta bangi yenye sumu ya chura hunituliza nisifanye unyama – Mike Tyson – Taifa Leo Kuvuta bangi yenye sumu ya chura hunituliza nisifanye unyama – Mike Tyson ALIYEKUWA mwanabondia maarufu duniani Mike Tyson ametoboa kuwa kuvuta bangi iliyo na sumu ya chura ndiko kumekuwa kukimtuliza kutokana na tabia ya kupatwa na hasira ama mawazo ya kufanya vitendo haramu. Tyson, ambaye alikuwa mmoja kati ya wanabondia walioogopwa sana duniani katika historia ya uanabondia kutokana na jinsi alivyopigana amekuwa na matatizo tangu alipoacha kazi hiyo. Mbeleni amehudumu kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kumnajisi msichana tineja, mnamo 1991. Alikuwa amefungwa miaka sita. Tyson ambaye ni balozi wa bangi, hata hivyo, sasa anasema kuwa hataki kuonekana kama mnyama jinsi alionekana mbeleni, akisema kuvuta bangi yenye sumu hiyo, ambayo hupatikana katika jangwa la Sonoran, Mexico kumemsaidia kupunguza hasira. “Sitaki kufa nikiwa na unyama kiasi hicho, sitaki kukumbukwa kama mtu wa aina hiyo,” akasema Tyson, mwenye umri wa miaka 52 sasa. Alisema mbeleni alikuwa ameingiwa na hali mbaya, ambayo ilimfanya kuwa na tabia zisizo za kupendeza. Polisi wasaka mlanguzi anayelazimu watu kuvuta bangi yake Mhudumu wa mochari alilia korti aendelee kuvuta bangi Mfanyakazi mochari aambia mahakama marehemu Mwingereza hakuwa na msokoto wa bangi Wazee mnaovuta bangi mnachangia vijana kupotoka – kamishna Ajuza, 83 akiri kuwa na misokoto ya bangi MARAGUA: Eneo ambako polisi hushirikiana na genge kuuza bangi Bangi aliyovuta Bob Marley ni safi kuliko ya sasa – Msomi Polisi wanasa bangi yenye thamani ya kiasi cha Sh5 milioni eneo la Kiandutu Bangi iliyosafirishwa kwa lori la mafuta yanaswa Aliyebeba bangi apata ajali, anaswa na polisi Wendawazimu wamejaa hospitalini kutokana na uvutaji bangi – Daktari Wanasayansi sasa wadai bangi inaongeza nguvu za kiume Aliyevunja nyumba avute bangi ashtuka kupata simba ndani Magunia 222 ya bangi yanaswa Kiambu Waliompa ajuza wa miaka 83 bangi wasakwa
"2020-01-29T09:01:03"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=25517
[ -1 ]
2 Timotheo 1 SNT - Kutoka kwa Paulo mtume wa Kristo Yesu - Bible Gateway 1 Timotheo 62 Timotheo 2 2 Timotheo 1 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 1 Kutoka kwa Paulo mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kulingana na ahadi ya uzima uliomo ndani ya Kristo Yesu. 2 Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa. Ninakutakia neema, rehema na amani kutoka kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
"2020-01-25T20:17:27"
https://classic.biblegateway.com/passage/?search=2+Timotheo+1&version=SNT
[ -1 ]
Walinzi wa pwani Italia waokoa wahamiaji nje ya Libya | ZanzibarLeo Newspaper Home Habari Kimataifa Walinzi wa pwani Italia waokoa wahamiaji nje ya Libya Walinzi wa pwani Italia waokoa wahamiaji nje ya Libya WALINZI wa pwani wa Italia wamesema wamewaokoa karibu wahamiaji 100 katika boti la mpira ambalo lilikuwa limejaa upepo nusu nje ya pwani ya Libya baada ya maofisa katika nchi nyengine kushindwa kuingilia kati. Walinzi hao wa pwani walisema boti hiyo ya mpira inayojazwa upepo ilionekana na ndege mchana katika kanda ya Libya ya utafutaji na uokoaji, SAR, bila ya injini na ikiwa imejazwa upepo nusu. Mamlaka ya Libya inayohusika na shughuli za utafutaji na uokoaji baharini haikuchukua uratibu wa operesheni za uokoaji kutokana na uhaba wa vifaa vya baharini, kikosi cha ulinzi wa pwani kimesema katika taarifa. Wahamiaji 84,ambao ni pamoja na wanawake sita na watoto wawili walisafirishwa alfajiri ya jana kutoka katika boti yao ambayo ilikaribia kuzama kwenda katika meli ya Italia, ambayo ilikuwa inaelekea katika kisiwa cha Lampedusa. Previous articleUjerumani kuanzisha upimaji wa lazima wa virusi vya corona Next articleNetanyahu aangushwa vibaya na chama chake cha Likud
"2020-08-06T07:28:26"
https://zanzibarleo.co.tz/2020/07/30/walinzi-wa-pwani-italia-waokoa-wahamiaji-nje-ya-libya/
[ -1 ]
VIDEO: Alichokifanya Joh Makini Club 71, Tegeta usiku wa kuamkia May 1 – Millardayo.com VIDEO: Alichokifanya Joh Makini Club 71, Tegeta usiku wa kuamkia May 1 Staa mwingine anayewakilisha kundi la WEUSI ambaye anatamba na wimbo wake wa ‘Waya’ Joh Makini ameendelea kudhihirisha ubora wake wa kumiliki jukwaa baada ya kupagawisha mashabiki wake wa Tegeta, Dar es Salaam. Show hiyo aliifanya katika Club ya 71 Kibo katika mji mdogo wa Tegeta usiku wa kuamkia May 1 2017. VIDEO: Asley na Khadija Kopa walivyoizindua ‘Usiitie Doa’ DAR….. ← Previous Story UTAFITI:Ukosefu wa ajira umetajwa kusababisha vifo kwa zaidi ya asilimia 50 Next Story → Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
"2019-06-26T00:16:18"
http://millardayo.com/jct71/
[ -1 ]
MAZUNGUMZO-YA-DINI-YA-WAKATOLIKI - AckySHINE MiniSites | Best of 2019 Fwatilia Website hii kupokea Makala Kama hii ya MAZUNGUMZO-YA-DINI-YA-WAKATOLIKI Endelea kusoma makala hizi za kufanana na hii ya; MAZUNGUMZO-YA-DINI-YA-WAKATOLIKI
"2019-09-16T04:15:21"
http://www.ackyshine.com/katoliki-f:mazungumzo-ya-dini-ya-wakatoliki
[ -1 ]
Kutoka Karbala… Vikosi vya Hashdi Shaábi vinaadhimisha mwaka wa tano tangu kutolewa kwa fatwa tukufu ya kujilinda kwa kuwakumbuka mashahidi wao kupitia matembezi makubwa Vikosi vya Hashdi Shaábi katika mji wa Karbala vimefanya matembezi waliyo yapa jina la (Alwafaa) katika kuadhimisha mwaka wa tano tangu Marjaa Dini mkuu katika mji wa Najafu Sayyid Ali Husseini Sistani alipo toa fatwa tukufu ya kujilinda dhidi ya magaidi wa Daesh na kukomboa ardhi ya Iraq iliyokua imetekwa na magaidi hao. Matembezi hayo yamefanyika katika mji wa Karbala kwenye eneo la katikati ya haram mbili tukufu kwa ushiriki wa kikosi cha Abbasi (a.s) blugedi ya (26 Hashdi Shaábi) pamoja na vikosi vingine, kikiwemo kikosi maalum cha Furaat Ausatu, huku wamenyanyua picha za mashahidi walio uwawa kwa ajili ya ukombozi wa taifa hili, walijitolea nafsi zao kwa ajili ya kulinda utukufu na heshima ya taifa, katika matembezi hayo zimeimbwa kaswida na kutolewa matamko mbalimbali na viongozi wa Hashdi Shaábi. Kuhusu matembezi hayo tumeongea na mkuu wa kikosi cha Abbasi (a.s) Shekh Maitham Zaidi amesema kua: Hakika matembezi yanavipengele tofauti ikiwa ni pamoja na uimbaji wa kaswida na matamko ya viongozi wa Hashdi Shaábi katika kuadhimisha fatwa na umuhimu wake katika kulinda taifa, sambamba na kukumbuka damu za mashahidi na majeruhi pamoja na namna raia wa Iraq kwa ujumla walivyo pambana kukomboa taifa lao tukufu, tunamuomba Mwenyezi Mungu awadumishe Maraajii wetu watukufu na atuwezeshe daiama kukubali wito wao na kutii maagizo yao.
"2019-12-14T22:29:33"
https://alkafeel.net/news/index?id=8707&lang=sw
[ -1 ]
Copy Paka ni moja ya bora cartoon-style michezo ambayo unaweza kucheza wakati wowote juu casino inafaa tovuti. mandhari kuwakumbusha maarufu 'Tom na Jerry' show na inaonekana kweli funny sana. yanayopangwa ni kuweka katika bakgrund ya mji na vyumba karibu, siku mkali jua. Kuna reels tano na 25 paylines na mchezo inakuwezesha kurekebisha bet cha na sarafu thamani kama kwa upendeleo wako. betting kikomo ni kati £ 0.25 na £ 250 kwa kila spin. Kuna cartoon style jazz music kwa nyuma ambayo inajenga hisia furaha. Kuhusu developer ya Copy Paka Hii rangi cartoon style yanayopangwa mchezo kwamba unaweza kucheza katika juu casino inafaa tovuti ilianzishwa na NetEnt. maarufu sana online casino michezo ya kubahatisha ufumbuzi mtoa na mamia ya majina mbalimbali mchezo tofauti na orodha yao. Hii ni mchezo sana kuibua rufaa na mada ya rangi na alama ya kuvutia. alama ni nyekundu funny uso paka, pink cute uso paka, hasira uso bluu paka, toy panya, chupa za maziwa na mfupa wa samaki. nyekundu funny uso paka ni juu ya kulipa ishara kwa 200 Mara juu ya mti wa yako na tano ya aina yake. alama ya chini thamani ya hii juu casino inafaa tovuti mchezo ni nne tofauti rangi paka paw prints. wao kulipa 25 Mara hatarini yako kila kwenye tano ya aina. dhahabu cat alama na paka ya shingo tai kengele ni ishara ziada. Wild Bonus: paka dhahabu ni ishara pori na ni substitutes kwa ajili ya wote bila ya ishara kengele. Wakati pori inaonekana katika malezi sifa kufunika Reel kwanza, ni kuchochea copycat kipengele. Kwa kesi hii, alama ya paka wote kutoka reels mbili kwa upande tano porini. kuwatawanya Bonus: alama kengele ni kutawanya hulka ya hii juu casino inafaa tovuti mchezo. Inaonekana tu kwenye reels moja, tatu na tano. Wakati mechi zote tatu kutokea, wewe ni tuzo ya kumi spins bure. spins hizi zinaweza upya yalisababisha wakati wa michezo ya bure pia. Copycat Kipengele: stack kamili ya alama yoyote paka huwezesha kipengele. Wakati hii hutokea, nyingine alama paka wote katika reels kugeuka paka kwamba yalisababisha kipengele. Kama paka nyekundu huwezesha copycat kisha kushinda hatarini juu kwa kuwa ni ya juu-yenye thamani ishara. Hii ni moja ya wengi rangi na vipengee vingi michezo ambayo unaweza kucheza wakati wowote juu casino inafaa tovuti. graphics na uhuishaji katika mchezo kuwalinda kuwakaribisha katika kikao.
"2017-08-21T19:26:57"
https://www.topslotsite.com/sw/games/top-casino-slots-site-copy-cats/
[ -1 ]
Mama wa Kambo amtesa kinyama mtoto wa kike. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mama wa Kambo amtesa kinyama mtoto wa kike. Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Rubi, Dec 18, 2009. MWANAMKE Hadija Nzali [30] mkazi wa Kimara King'ong'o anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kudaiwa kufanya ukatili kumuingiza mtoto wa mume wake mwiko sehemu za siri na kumchoma moto sehemu zake za mwili Jeshi la polisi nchini limesema linamshikilia mama huyo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kitendo hicho cha ukatili dhidi ya mtoto huyo. Awali ilidaiwa na baadhi ya majirani wanaoishi karibu na familia hiyo kuwa, wao walikuwa wakimuona mtoto huyo na makovu lakini kila walipokuwa wakijaribu kumhoji kwanini anakuwa hivyo aligoma kuelezea kwa kumuogopa mama huyo ambaye alimwambia akisema kwa watu anamuua kabisa. Wamesema kuwa, mwanamke huyo alikuwa akidiriki hata kumnyima chakula mtoto huyo ambapo afya yake ilikuwa ikizidi kudorora siku hadi siku zinavyoenda. Amesema kuwa mateso ya mtoto huyo walianza kuyasikia kupitia kwa watoto wenzake ambao alikuwa akicheza nao na binti huyo kuugulia maumivu makali aliyokuwa akiyapata kutokana na majeraha ya kipigo kutoka kwa mwanamke huyo. Imedaiwa kuwa mtoto huyo alikuwa akielezea kuwa mama yake huyo amekuwa akiweka kijiko kwenye moto kisha kuanza kumbandika nacho mwilini mwake huku akimuingiza mwiko sehemu za siri. Binti huyo (jina limehifadhiwa), aliliambia jeshi la polisi kuwa alikuwa akipata mateso makali kutoka kwa mama huyo hali ambayo ilimsababishia kukaa ndani muda mwingi bila ya baba yake mzazi kujua na aliogopa kumwambia baba yake kwa kuwa alikuwa hamuamini. Amesema kuwa “majirani zetu walipoona hali yangu inazidi kudidimia na huku mwendo wangu ukibadilika na kukosa furaha kila kukicha ndipo waliponihoji na walipogundua mateso hayo na kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi ili niweze kusaidiwa . Hata hivyo mwanamke huyo alipohojiwa kuhusiana na tukio hilo alikana kuhusika ingawa mtoto huyo amekuwa na alama za majeraha mwilini mwake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mark Kalunguyeye amesema kuwa, Jeshi lake linaendelea kumshikilia mwanamke huyo na atafikishwa Mahakamani baada ya upelelezi kukamilika. Binti huyo anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mwananyamala chini ya ulinzi wa jeshi la polisi. source www.nifahamishe.com Binti huyo anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mwananyamala chini ya ulinzi wa jeshi la polisi. source www.nifahamishe.comClick to expand... Hii habari ilirushwa na TBC1 juzi na Elisha Eliya alifanya kazi kubwa kuwatafuta wahusika wote na kuwahoji. Mtoto alikuwa kafichwa Mbagala na mama naye alikuwa mafichoni. Ni hadithi ya kuhuzunisha sana. Hata hivyo inaonesha kuwa sisi binadamu ni wanyama wakatili kuliko viumbe vyote alivyoumba Mwenyezi Mungu. AAaa..unyama huu uko Tanzania kweli!?? Baba mzazi naye ana makosa makubwa. wewe kama mzazi kwa nini uwe bandidu kwa mwanao tena wa kike?? hata anashinda kukuelezea mateso anayopeta toka ndani tena nyumbani kwako inabidi wazazi mbadilike sasa ule wakati wa baba na mtoto kuwa kama chui na swala umeisha . au mnataka kuniambia kuwa baba yake alikuwa bussy sana..aua kila siku anarudi na stress?? tubadilikeni jamani hiki kipindi cha sasa hivi ni hatari sana kwa wanetu hasa mabinti . kha jamani....yule mama mkatili sana... sijawahi kuona m/mke kama yule inasikitisha ukimwangalia bint mwenyewe she is still very young yani hata viziwa havijaota... halafu akishateswa hivyo anafichwa chumbani baba yake anaambiwa amevunja ungo yuko ndani hata kama mwanamme, kwa jinsi alivyo yule mtoto ilibidi agundue tu mwanae yuko matatizoni... makovu mwili mzima... I really blame the dad for irresponsibilities... sad!!!1 huyu mama aliefanya kitendo hiki chakikatili aozee jela ikiwezekana afungwe jela maisha yake yooooote ili iwe fundisho kwa watu wengine na baba wa mtoto nae anafaa aadhibiwe japo kwa kuchapwa viboko 40 inakuwaje mtoto wako anapata mateso ya kikatili namna hiyo wewe umekaa unaangalia au ndio mume ***** ameshalishwa limbwata. Huko kimara hii sio mara ya kwanza kwa mama wa kambo kumfanyia ukatili wa hali ya juu mtoto. Kuna mtoto alichomwa moto na mama wa kambo kwa kula chakula cha house girl Baba mzazi naye ana makosa makubwa. wewe kama mzazi kwa nini uwe bandidu kwa mwanao tena wa kike?? hata anashinda kukuelezea mateso anayopeta toka ndani tena nyumbani kwako inabidi wazazi mbadilike sasa ule wakati wa baba na mtoto kuwa kama chui na swala umeisha . au mnataka kuniambia kuwa baba yake alikuwa bussy sana..aua kila siku anarudi na stress?? tubadilikeni jamani hiki kipindi cha sasa hivi ni hatari sana kwa wanetu hasa mabinti .Click to expand... Nakuunga mkono mpwa, huyu baba ni mwehu tena na yeye akamatwe. Mshenzi kabisa, inakuwaje baba unashindwa kufuatilia hali ya mtoto hadi majirani wajue kwamba hali ya mwanao si nzuri na wewe umo humo ndani. Mshenzi kabisa huyu baba tena ***** kwelikweli. Nakuunga mkono mpwa, huyu baba ni mwehu tena na yeye akamatwe. Mshenzi kabisa, inakuwaje baba unashindwa kufuatilia hali ya mtoto hadi majirani wajue kwamba hali ya mwanao si nzuri na wewe umo humo ndani. Mshenzi kabisa huyu baba tena ***** kwelikweli.Click to expand... Huyu baba ana makosa na hawezi kukwepa lawama. Llakini kwa wanaume wa kiswahili, ni jambo la kawaida kumsikiliza mama wa kambo na kuishia hapo bila kumwangalia mtoto hata kama anaumwa sana. Akishawekwa kwenye 18 za mama, biashara imekwisha. Ndo maana hata alipoambiwa kuwa mtoto wa ~10yrs amevunja ungo, zee zima la zaidi ya miaka 30 hapa duniani lilikubali tu kama taahira! Nadhani alikuwa amekamatika kisawasawa. Kama ni shuntama (limbwata) basi huyu yake imeagizwa toka Ulaya. Mtu na akili zako kamili huweze kuwa naive kiasi kile. Lakini wanaume wengi wakikamatika ni heri ukutane na kondoo tena yule mzee kabisa! Hili kubwa jinga nalo linastahili kwenda lupango likabebe mtondoo ili lijue kuwa kuzaaa hakuishii kitandani! - 0 people likes
"2017-04-27T21:27:32"
https://www.jamiiforums.com/threads/mama-wa-kambo-amtesa-kinyama-mtoto-wa-kike.47495/
[ -1 ]
RAIS John Magufuli amesema mafisadi katika serikali ya awamu ya tano bado wapo, na kwamba ataendelea kuwashughulikia mpaka watapike fedha zote. Rais Magufuli alitoa kauli hiyo jana, jijini Mwanza, katika hafla ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa meli mpya ya kisasa, chelezo na ukarabati wa meli ya Mv Victoria na Mv Butiama. Alisema miradi hiyo ilicheleweshwa kwa kipindi kirefu kutokana na fedha kutafunwa na mafisadi. "Ni lazima tuzungumze ukweli, kwamba ni lazima tufanye mabadiliko ya kweli kusaidia nchi yetu, kwa nini tuweze sasa na kwa nini ishindikane miaka yote hiyo?" Alihoji Rais Magufuli. Akizungumzia ujenzi wa meli mpya, Rais Magufuli alisema zaidi ya miaka 20 baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba ilitakiwa kujengwa meli nyingine, lakini jambo hilo halikufanyika. "Kama mnavyofahamu baada ya kuzama kwa Mv Bukoba kumekuwa na tatizo kubwa la usafiri kwa wanaozunguka Ziwa Victoria, nilipokuja katika kipindi cha uchaguzi mwaka 2015 niliahidi kununua meli na sikujua pesa nitatoa wapi." "Niliwaza kwamba kama wengine wote waliopita hawakununua, mimi nitawezaje, lakini kumbe inawezekana, pesa zipo nyingi ila zinachezewa na mafisadi ambao hata sasa wapo, hawajaisha." "Hivi sasa tunafanya mpango wa kujenga pia standard gauge (reli ya kisasa) kutoka Mwanza hadi Isaka, sasa msiniulize pesa nitatoa wapi, nitaendelea kubanana na mafisadi mpaka watapike zote." Katika ujenzi wa meli hiyo na ukarabati wa Mv Victoria na Mv Butiama, Rais Magufuli alisema miradi hiyo kwa ujumla wake itagharimu Sh. bilioni 153 ambazo ni fedha za ndani. Alizitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa miradi hiyo, kuhakikisha kwamba inazalisha faida. Alisema katika kipindi cha uongozi wake hataki kusikia chombo chochote kinachojiendesha kwa hasara. "Kwenye serikali yangu kitu kinachoitwa hasara ameshakufa zamani, kwangu mimi anayeishi ni faida tu, kwa hiyo nataka mhakikishe miradi hii yote inazalisha," alisema Rais Magufuli. Pia aliagiza miradi hiyo kukamilika kwa wakati ili kusaidia kutatua tatizo la usafiri katika Ziwa Victoria. "Nimeambiwa ukarabati wa chelezo umekamilika kwa asilimia 68, Mv Victoria asilimia 65 na Mv Butiama asilimia 60, hii inanipa uhakika kwamba miradi hii itakamilika kwa wakati uliopangwa na ikiwezekana hata kabla ya wakati ili kutatua tatizo la usafiri katika ziwa hili la Victoria," alisema Rais Magufuli. Akizungumzia kuanza kwa safari za treni kutoka Dar es Salaam hadi Moshi mkoani Kilimanjaro, Rais Magufuli alisema ni jambo la kushangaza huduma hizo kisimama kwa kipindi kirefu. "Na hii lazima tuzungumze ukweli, miaka 26 yote huduma za treni katika mkoa huo zilikuwa zimesimama. Siyo kwamba hakukuwa na pesa, isipokuwa hatukujipanga, hatukuona priority (kipaumbele) kwa pesa tunazokusanya kwa ajili ya maendeleo ya wananchi, huo ndio ukweli." Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL), Eric Hamissi, alisema meli mpya itakuwa na madaraja matatu na kwamba ya kwanza itakuwa inabeba abiria 50, la pili abiria 316 na la tatu abiria 834. Hamissi alisema itakuwa inafanya safari zake Mwanza, Bukoba, Musoma na nchi jirani za Kenya na Uganda. Hamissi alisema, makandarasi wanaotekeleza miradi hii kwa upande wa ujenzi wa meli mpya ni Gas Entec akishirikiana na KANG NAM zote kutoka Korea ya Kusini pamoja na SUMA JKT ya Tanzania, ujenzi wa chelezo mkandarasi ni Stx Engine anashirikiana na SAE KYUNG zote za Korea Kusini, huku mkandarasi wa ukarabati wa meli za MV. Victoria na MV. Butiama ni KTMI nayo kutoka Korea ya Kusini. Katika hatua nyingine, Rais Magufuli aliwaagiza makandarasi wanaosimamia miradi hiyo kuhakikisha wanatekeleza miradi hiyo kwa ubora na ikiwezekana waikamilishe miradi hiyo kabla ya wakati. "Wana-Mwanza jipangeni vizuri katika kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa na serikali inawanufaisha, huku viongozi wote wa mikoa ikiwamo Mwanza kuhakikisha mnawahamasisha wananchi katika suala hilo," alisema. Imeandikwa na Elizabeth Zaya, Elizabeth Faustine na Neema Emmanuel, MWANZA Chadema yapitisha wagombea mabaraza
"2020-01-19T21:40:01"
https://www.ippmedia.com/sw/node/72342
[ -1 ]
MRADI WA KUWA MFANO WAZINDULIWA JIJINI DAR, WANAFUNZI KUKUTANA KWA MIDAHALO ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' ya Wanafunzi wa Shule za Sekondari za Zanaki na Msimbazi, wakiwa katika picha ya pamoja na Wasimamizi wa Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili pamoja na Walimu wao baada ya uzinduzi rasmi wa Mradi wa Kuwa Mfano, ulioratibiwa na Taasisi ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Taasisi ya Friedrich Naumann, uliofanyika katika Shule ya Sekondari ya Zanaki, Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Katika Mdahalo huo, Shule ya Sekondari ya Zanaki ndiyo iliibuka na ushindi. Afisa Mipango wa Taasisi ya Friedrich Naumann, Veni Swai akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule za Sekondari Zanaki na Msimbazi katika Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili, ulioambatana na uzinduzi rasmi wa Mradi wa Kuwa Mfano, ulioratibiwa na Taasisi ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Taasisi ya Friedrich Naumann, uliofanyika katika Shule ya Sekondari ya Zanaki, Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. wa wasimamizi wa Mdahalo huo, Dorothy Kipeja akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule za Sekondari Zanaki na Msimbazi katika Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili, wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi ya Doris Mollel, Erick Kajahurwa akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule za Sekondari Zanaki na Msimbazi katika Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili, Mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Zanaki, akizungumza wakati akichangia mada katika Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili, Afisa Mipango wa Taasisi ya Friedrich Naumann, Vena Swai akikabidhi zawadi ya mpira kwa Mwanafunzi Mwanahamisi Ally wa Shule ya Sekondari ya Zanaki, baada ya kuwa mmoja wa washindi katika Mdahalo uliozikutanisha shule mbili za Zanaki na Msimbazi, ulioambatana na uzinduzi rasmi wa Mradi wa Kuwa Mfano, ulioratibiwa na Taasisi ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Taasisi ya Friedrich Naumann, uliofanyika katika Shule ya Sekondari ya Zanaki, Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Zanaki wakiwa katika Mdahalo uliozikutanisha shule hizo mbili za Zanaki na Msimbazi, ulioambatana na uzinduzi rasmi wa Mradi wa Kuwa Mfano, ulioratibiwa na Taasisi ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Taasisi ya Friedrich Naumann, uliofanyika katika Shule ya Sekondari ya Zanaki, Jijini Dar es salaam mwishoni mwa Picha ya pamoja ya Wasimamizi wa Mdahalo uliozikutanisha shule mbili za Sekondari za Zanaki na Msimbazi pamoja na Walimu wao baada ya uzinduzi rasmi wa Mradi wa Kuwa
"2017-08-17T05:52:56"
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/05/mradi-wa-kuwa-mfano-wazinduliwa-jijini.html
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: WAGOMBEA WA UDIWANI WA CCM SARANGA NA KIJICHI, WAREJESHA FOMU KWA KISHINDO DAR Wagombea Udiwani wa CCM katika Uchaguzi wa marudio katika Kata ya Saranga Wilayani Ubungo na Kata ya Kijichi wilayani Temeke wamerudisha fomu zao kwa wasimamizi wa uchaguzi katika kata hizo kwa kishindo huku wakisindikizwa na viongozi kadhaa ya wa CCM wakiongozwa ana Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe. Pichani, Mgombea wa CCM katika Kata Saranga, Manispaa ya Ubungo Haroun Mdoe akimkabidhi fomu yake Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata hiyo Dandasi Kijo kwenye Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Saranga. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja. Mashabiki wa CCM wakiwa kwenye bajaji kwenye msafara kumsindikiza mgombea Udiwani kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi wa marudio Kata ya Saranga. Mgombea wa CCM katika Kata Saranga, Manispaa ya Ubungo Haroun Mdoe akikabidhiwa fomu za kiapo na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata hiyo Dandasi Kijo, kwenye Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Saranga, huku Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe (kulia) Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja (kushoto) wakishuhudia. Mgombea wa CCM katika Kata Saranga, Manispaa ya Ubungo Haroun Mdoe akimkabidhi fomu yake Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata hiyo Dandasi Kijo kwenye Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Saranga. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja. Mgombea huyo wa CCM akiwa katika picha ya pamoja na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kata ya Saranga (wapili kushoto) na baadhi ya viongozi wa CCM baada ya kukabidhi fomu yake ya kuomba kuteuliwa kugombea. Posted by Yahya Charahani at Friday, October 27, 2017
"2018-10-21T17:04:12"
http://charaz.blogspot.com/2017/10/wagombea-wa-udiwani-wa-ccm-saranga-na.html
[ -1 ]
MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: MAUAJI Z'BAR.PDRI MWINGINE APIGWA RISASI TATU KICHWANI.TIMU YA MAKACHERO YATUMWA,JK AOMBELEZA.WATATU MBARONI,WAUMINI WAANGUA KILIO MAUAJI Z'BAR.PDRI MWINGINE APIGWA RISASI TATU KICHWANI.TIMU YA MAKACHERO YATUMWA,JK AOMBELEZA.WATATU MBARONI,WAUMINI WAANGUA KILIO Mwajuma Juma na Goodluck Hongo PADRI wa Kanisa Katoliki la Minara Miwili, lililopo Mji Mkongwe, Zanzibar, Evaristus Mushi, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi tatu kichwani na watu wasiofahamika jana asubuhi. Tukio la mauaji hayo limeibua simanzi kubwa kwa waumini wa kanisa hilo ambao jana walikusanyika kanisani hapo baadhi yao wakilia, kulaani mauaji ya kinyama aliyofanyiwa kiongozi huyo. Baadhi ya waumini hao, walihoji utekelezwaji wa tamko la Serikali baada ya Padri wa kanisa hilo, Parokia ya Mpendaye mjini Zanzibar, Ambrose Mkenda, kujeruhiwa kwa risasi Desemba 24,2012 na watu wasiofahamika akiwa nje ya nyumba yake. Baada ya tukio hilo, Desemba 28,2012 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), ilitoa tamko la kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya mfululizo wa matukio ya kushambuliwa viongozi wa dini ili kubaini kama ni hujuma zinazofanywa na baadhi ya watu wanaotaka kuifanya Zanzibar isitawalike. Tamko hilo lilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohammed Aboud Mohamed, baada ya kumjulia hali Padri Mkenda, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kwenye Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI). Taarifa zilizolifikia gazeti hili, zinasema Padri Mushi alivamiwa na watu wawili waliokuwa kwenye pikipiki aina ya Vespa, baada ya kushuka katika gari lake ili kwenye Kanisa la Betras. Baada ya tukio hilo, Padri Mushi alikimbizwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja lakini baadaye alifariki dunia. Kutokana na tukio hilo, Rais Jakaya Kikwete, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kukusanya nguvu zake zote na kuhakikisha linafanya uchunguzi wa kina na haraka ili kuwabaini wahusika waliofanya tukio hilo na kufikishwa katika vyombo vya sheria. Taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ilisema Rais Kikwete amelitaja jeshi hilo kushirikiana na vyombo vingine vya usalama nchini na mashirika ya upepelezi kutoka nchi rafiki ili kufanya uchunguzi wa mauaji hayo. “Nataka umma ufahamu ukweli ili kama kuna jambo lolote zaidi liweze kushughulikiwa na kukata mzizi wa fitina, nimepokea taarifa za mauaji haya kwa mshtuko na masikitiko makubwa. “Naomba nitumie fursa hii kutuma salamu za rambirambi kwa Baba Askofu, Augustino Shayo wa Jimbo Katoliki, Zanzibar na waumini wote wa Parokia ya Minara Miwili kwa msiba mkubwa ambao umewakuta,” ilisema taarifa hiyo na kuongeza; “Napenda kuwahakikishia kuwa, tupo pamoja katika kuomboleza kifo cha Mpendwa wetu Padri Mushi...msiba huu ni wetu sote,” alisema Rais Kikwete. IGP Mwema azungumza Kwa upande wake, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Said Mwema, Alisema Makao Makuu ya jeshi hilo Dar es Salaam, limepeleka timu ya wataalamu waliobobea katika masuala ya upelelezi na opereshini mjini Zanzibar. Alisema wataalamu hao watashirikiana na wenzao waliopo Zanzibar ili kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji ya Padri Mushi pamoja na kutumia fursa hiyo kulaani kitendo hicho. Akizungumza na waandishi wa habari, IGP Mwema alisema hadi jana mchana, jeshi hilo lilikuwa linawashikilia watu watatu ambapo timu ya watalamu hao, inaongozwa na Makamishna watatu. “Naibu Kamishna wa Polisi Peter Kivuyo, atahusika kukusanya taarifa za matukio, Naibu Kamishna Samson Kasela ambaye atahusika na masuala ya upelelezi wakati Mkuu wa Operesheni wa jeshi hilo, Simon Sirro atahusika na operesheni. “Nawaomba wananchi wote mtusaidie kutoa taarifa juu ya watu wanaofadhili makundi yanayovuruga amani ya nchi, kuchochea na kushawishi...huu ndio mkakati mpya wa jeshi letu ambao umeazimiwa mkoani Dodoma,” alisema IGP Mwema. Aliongeza kuwa, hivi sasa jeshi hilo limeimarisha doria katika maeneo yote nchini, kufuatilia mienendo ya watu wanaochochea, kufadhiri, kuhamasisha na kushiriki vitendo vya uhalifu, vurugu na fujo hivyo aliwataka wananchi kuwa watulivu. IGP Mwema aliwataka wananchi wote wenye taarifa ambazo zitasaidia kukamatwa wahalifu hao, wapige namba 0754 785557, 0782 417247 au kuwapigia makamanda wa vikosi ili kuhakikisha amani, usalama na utulivu vinadumishwa nchini. Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu Bw. Mizengo Pinda, jana alikutana na viongozi wa dini ya Kiislamu na Kikristo mkoani Geita na kuwataka watumie mkutano huo kwa manufaa ya Taifa ili kuleta amani na utulivu nchini. Alisema tukio la kuuawa Padri Mushi huko Zanzibar, limemsikitisha sana na kuongeza kuwa, huenda likawa na uhusiano na vurugu zilizotokea mkoano Geita, kati ya Waislamu na Wakristo. Mashuhuda wa tukio Baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo, walisema Padri Mushi huwa na kawaida ya kwenda kusalisha katika Kanisa la Mtoni na alipofika kanisani hapo wakati akipaki gari lake, ghafla walitokea watu wawili, kumpiga risasi na kukimbia kusikojulikana. “Hili kanisa lipo njiani kabisa, wakati tukipita tulisikia milio ya risasi...tulisogelea eneo husika la tukio na kukuta Padri Mushi akitokwa na damu nyingi kichwani,” walisema mashuhuda hao. Waumini wake Wakizungumza kwa masikitiko makubwa, waumini wa kanisa hilo walisikitishwa na mauaji hayo na kuiiomba Serikali ifanye uchunguzi wa kina ili wahusika waweze kukamatwa. “Tumetoka nyumbani tukiwa na matumaini makubwa ya kufanya ibada na Padri Mushi lakini tulipofika kanisani tukapata taarifa za kusikitisha...mbona Zanzibar haina amani tena maana tumeingiwa hofu ya kuendelea kuishi hapa visiwani,” walisema. Mwili wa Padri Mushi umehifadhiwa katika mochali ya Hospitali Kuu Mnazi Mmoja. Kiongozi mwingine wa dini aliyefanyiwa unyama hivi karibuni ni Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Shekhe Fadhil Soraga, aliyemwagiwa tindikali na watu wasiojulikana. Matukio ya viongozi wa dini kushambuliwa, yametanguliwa na uchomwa moto baa 12 na makanisa 25, katika maeneo tofauti visiwani Zanzibar. Anonymous February 18, 2013 at 3:00 PM Ndugu muheshimiwa, aslam aley kum. 1.Uchunguzi wa kumwagiwa tindikali kwa shehe wetu umeishia wapi? 2. Na yule daktari aliyepigwa umepotelea wapi? 3. Yule padri mkenda, vipi wamekamatwa? 4. Makachero si walienda pia? tell us mheshimiwa, dekozi kuuana hakuna kikundi kinachoshindwa. Tukumbuke kuwa watanzania tunaishi nyumba za kupanga tukianza chuki hizi ujue nchi haitatawallika. Cha maana maelezo yatolewe, nani kakamatwa, walitumwa na nani? hatima yao ni nini na wapi? EE MWENYEZI MUNGU, TUEPUSHE NA BALAA HILI LA DHULMA NA MAUAJI YA NDUGU ZETU, BILA WEWE SISI WAJA WAKO HATUWEZI KITU, WACHUKUE WALE WOTE WANAOTAKA KUTULETEA DHULMA NA MAUAJI NA VITA, ILI WAJE KIAMANI ILI WALIOBAKI WAISHI KWA AMANI. kazi kwelikweli ifike mahari tumwogope mungu jamani hebu fikilieni mataifa jilani yanavyopata shida kutokana na vita asa nyie watu mnataka mwingize nchi hetu huko wakati tumebalikiwa amani ogopa sana vita ya kidini kwani ni ya mtu kwa mtu mungu ibariki tanzania mungu ibaliki zanzibar Hawa watanzania wenzetu wa visiwani kwa muda mrefu wamekuwa wanaanza chokochoko sana ili kuvuruga amani nchi kwetu hivi hawa wanachokitafuta ni nini?? ndio maana walikuwa wanachinjwa kipindi cha mzee karume..tuombe mungu atunusuru na balaa la vurugu wanazozitafuta kwa uvumba na ubani hawa jamaa zetu wanaojiita wakereketwa wa uzanzibar. Wanatuvurugia pasaka kama walivyosema. Kisasi ni cha Mungu kulipa lakini wakristo angalieni. Mnajega mashule, vyou vikuu, haopitali nk. Ndugu zetu hawa bado wanatuua! Alafu miaka kumi ijayo wanasema wakristo wameshika positions za juu. Kumbe kazi yao kuu ni kubomoa pale wenzao wanapojenga!! Tunahitaji kuwa wa wazi na yale tunayofanya na kusema kwa sauti ya juu maana ya wokovu wetu. Wasaidieni waislamu kwa kuwaambia ukweli, kuwaconfront na facts and kuwatia moyo wabadili fikra zao an kuthamini elimu, kazi na biddi kutenda mema. Mnangojea serikali hii au ile ifanye nini? Kaeni mtathmini na kufanya initiative ninyi wenyewe. WaTZ tuna ugonjwa wa kungojea serikali ifanye, polisi wafanye nk. Angalia hata CCM wamekumbushwa juzi juzi tu kwamba si kungojea polisi bali jibuni mapigo kwa maelezo mazuri, nguvu za hoja na pia kuonyesha kwamba sis ni watu wazuri tusiopenda ujinga wa kuuana! Raia wa zanzibar hawamiliki wala hawajawahi kumiliki silaha, waliyoyafanya haya na wanaoendelea kuyafanya ni watu kutoka bara kwa kuwa wao ndio wanaomiliki silaha kama alivyosema Kikwete kuwa Silhaha zinazotumika zanzibar zinatoka bara Inawezekana wauwaji ni wakristo wenyewe kwani kuna malalamiko kuwa, Wakristo wazanzib wanaletewa viongozi kutoka bara kwani wao hawawezi kuongoza? Waacheni Wazanzibari msiwatie midomoni na kuwatoa kwenye malengo, kwa sasa Malengo yao ni Kuikomboa zanzibar kutoka kwenye makucha ya Muungano. ZANZIBAR KWANZA 1.Maoni ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba huenda majahili yaliyomuua Padri Mushi yanatia kinyaa. Eti huenda yanahusiana na ubishi wa uchinjaji wa wanyama huko Geita! Kama hivyo ndivyo, atasema nini kuhusu majaribio yaliyotangulia ya kutaka kuondoa uhai wa Padri Nkenda mwaka jana? Awe huru.Kama hana cha kusema anyamaze. 2.Je,jeuri ya wauaji wa wakristo Zanzibar inatokana na mfumo wa idara za ulinzi na usalama za S/Muungano na za Serikali ya Mapinduzi? Ulinzi na usalama Zanzibar ni tata.Kwani licha ya polisi wa s/muungano , vipo vikosi kama jeshi la kujenga uchumi na grini belts. Hivi si vya serikali ya muungano. Ni vya serikali ya zanzibar! Ni vya nini? Vinaamrishwa na nani? Katika hali hiyo,amri za Mwema na Rais Kikwete kwa polisi wa s/muungano waliopo visiwani zitasaidiaje kudhibiti wanauamsho na majahili wengine wa visiwa hivyo? Vyombo vya habari vimesema kwamba baadhi ya viongozi visiwani wanachochea udini,eti! Tutafakari! NI SIRI YA WAZI KUWA SERIKALI YA KIKWETE NDIYO INAENDEKEZA UDINI NA TENA KWA KUWAPENDELEA WAISLAMU NA MAANDAMANO YAO YASIYOISHA. VIONGOZI WA SERIKALI KUTOA POLE NI UNAFIKI NA UZANDIKI KWANI WAO NDIYO TATIZO KWA KUULEA UDINI. AIYUMKINI KUSEMA KUWA BAADHI YAO NDIYO WANAOFADHILI VIKUNDI HIVI VYA KUDINI VYENYE KULETA CHUKI NA CHOKO CHOKO. tanzania hatuna viongozi bado tunahihitaji kutawliwa serikari iliyopo ni ya watu wachache wala si kwa ajili ya wananchi na ndio maana wannchi wanauliwa kila siku kuuwawa kwa mashehe au mapdri hay ni matokeo ya uongozi mbovu hakuna kiongozi shupavu wa kukemea haya yote. je kipindi cha mwalimu nyerere yangetokea haya ?
"2018-10-23T18:42:10"
http://majira-hall.blogspot.com/2013/02/mauaji-z-bar.html
[ -1 ]
Bayolojia (1) Fizikia (15) Kemia (8) Teknolojia (5) Uhandisi (6) Mabadiliko ya Kawi (11) Nguvu Muhimu (17) Maabara ya Mtandaono (18) Zaidi ya 16 (25)
"2019-06-18T15:45:33"
https://www.golabz.eu/sw/labs?age_range=7&language=28
[ -1 ]
Juni 4, 2019, 2:26 um -1 Votes Kama ilivyo semekana kwenye tetesi, hatimaye kampuni ya Apple imetangaza kupitia mkutano wa WWDC kuwa programu ya iTunes haito kuwepo tena na badala yake kutakuwa na programu nyingine tatu ambazo zitafanya kazi ambazo iTunes ilikuwa inafanya. Hapo awali programu ya iTunes ilikuwa ndio programu inayotumika kufanya mambo mbalimbali kama vile kuweka muziki baina ya kompyuta na simu au iPod, Kusikiliza muziki mtandaoni pamoja na kuangalia vipindi au filamu mtandaoni. Sasa yote hayo yanaenda kubadilika kwani Apple imetangaza kuwa, kazi zote hizo zitaenda kufanywa na programu nyingine, kwa mfano kazi ya kuweka muziki baina ya simu na kompyuta itafanywa na sehemu mpya ndani ya mfumo wa macOS, kwa upande wa kusikiliza muziki kazi hiyo itafanywa na programu ya Music, huku kazi ya kusikiliza vipindi vya mtandaoni ikifanywa na programu ya Podcast. Pia kama utakuwa unatafuta filamu utaweza kuzipata kupitia Apple TV. Hata hivyo kwa upande wa Windows bado haijajulikana kama programu ya iTunes itaendelea kufanya kazi au kama kampuni ya Apple itakuja na suluhisho lingine. Hata hivyo programu zote zitakuja zikiwa ndani ya mfumo mpya wa macOS Catalina ambao umezinduliwa rasmi hapo siku ya jana. Kama unataka kujua zaidi kuhusu mfumo mpya wa macOS Catalina, hakikisha unasoma makala inayofuata. Kwa habari zaidi kuhusu mkutano wa WWDC na yote yaliyojiri hakikisha unatembelea ukurasa wetu wa #WWDC 2019 Hapa. Makala iliyopita Apple Yaja na Mac Pro Kompyuta ya Gharama ya Zaidi ya Tsh Milioni 13 Makala inayofuata Fahamu Yote ya Muhimu Kuhusu Mfumo Mpya wa macOS 10.15
"2020-05-30T17:47:23"
https://tanzaniatech.one/2019/06/mwisho-wa-itunes/
[ -1 ]
Imewekwa:: Mar, 12 2020 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe amesisitizakuwasilisha orodha ya majina ya wataalamu wa kufundisha Kiswahili kwa wageni kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa lengo la kusambazwa katika balozi. Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya Stadi za kufundisha lugha ya Kiswahili kwa wageni ambayo yanatolewa kwa wahadhiri 21 wa Chuo Kikuu cha Dodoma. Mheshimiwa Mwakyembe alisema kuwa fursa za kufundisha lugha ya Kiswahili duniani ni nyingi, hivyo watanzania wanapaswa kujitokeza kwa wingi kutumia fursa hizo katika kujiongezea kipato pamoja na kukuza lugha hiyo. “Serikali iliona uhitaji wa waalimu wakufundisha lugha ya Kiswahili nje ya nchi ,hivyo iliamua kuanzisha kanzidata ya wataalamu hao ambao kwa sasa wamefikia 1,224 na nchi mbalimbali zimeanza kutuma maombi ya uhitaji wa wataalam hao” alisema Mhe.Makyembe. Dkt.Mwakyembe ameongeza kuwa orodha ya majina ya wataalam wa lugha hiyo itawasilishwa Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Balozi za Tanzania nje ya nchi kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa wataalamu hao. Kwa upande wake, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) Bibi. Consolatha Mushi alisema kuwa mafunzo hayo hutolewa kwa wahitimu wa Vyuo Vikuu katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kuanzia Shahada ya kwanza hadi Uzamivu. “Mafunzo haya yanatolewa na BAKITA ikiwa ni kutekeleza agizo ulilolitoa wewe Mhe.Waziri Agosti mwaka 2018 wakati ulipotembelea Baraza letu na kubaini kuwa hakuna takwimu halisi za wataalamu wa lugha ya Kiswahili nchini hivyo Baraza limetekeleza agizo hilo” alisema Bibi.Consolatha. Ameongeza kuwa hadi sasa mafunzo yameshatolewa kwa mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Iringa, Mbeya,TangaMwanza na Arusha lengo kiwa ni kuwaandawaalimu wa Kiswahili kunufaika na fursa mbalimbali za Kiswahili zinazojitokeza ndani na nje ya nchi. Naye, Dkt.Samweli Mgaya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma Idara Kuu ya Kiswahili, alisema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia wataalamu hao kueneza lugha adhimu na aushi ya kiswahili kwa namna ambavyo inatakiwa hasa matumizi sahihi ya lugha hiyo. Mafunzo haya yameanza kutolewa machi 9 hadi machi 13,2020 kwa ushirikiano Ndaki ya Insia na Elimu na Jamii pamoja na Idara ya Kiswahili, ikiwa ni awamu ya pili kutolewa hapa Jijini Dodoma baada ya awamu ya kwanza kufanyika mwezi Oktoba, 2018.
"2020-04-09T22:39:48"
https://www.habari.go.tz/news/wahadhiri-21-wapatiwa-mafunzo-ya-stadi-za-kufundishia-kiswahili-kwa-wageni
[ -1 ]
Matteo Guendouzi - Wikipedia, kamusi elezo huru Matteo Guendouzi (alizaliwa Paris, nchini Ufaransa, 14 Aprili 1999) ni mchezaji wa soka wa Ufaransa mwenye asili ya Moroko ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza ya Arsenal FC na timu ya taifa ya Ufaransa ya chini ya miaka 21. Kazi ya kimataifaEdit Guendouzi aliwakilisha Ufaransa katika ngazi ya mashindano ya chini ya miaka 20. Guendouzi ana sehemu ya asili kama raia wa Moroko, Guendouzi alifikiwa na meneja wa Moroko Hervé Renard mwaka 2017 kubadili na kucheza katika timu ya taifa ya Morocco. Hata hivyo, baada ya baba yake Guendouzi kukutana na Renard mwezi Machi 2017, Guendouzi aliamua kubaki na kuwa raia wa Ufaransa. Je, unajua kitu kuhusu Matteo Guendouzi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Matteo_Guendouzi&oldid=1067154" Last edited on 3 Juni 2019, at 10:30
"2020-01-17T22:00:23"
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Matteo_Guendouzi
[ -1 ]
Waziri Mkuu: Serikali Imetunga Sheria Kuongeza Udhibiti Sekta Ndogo Ya Fedha | MPEKUZI Waziri Mkuu: Serikali Imetunga Sheria Kuongeza Udhibiti Sekta Ndogo Ya Fedha WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali iliamua kutunga Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 ili kuongeza udhibiti wa sekta ndogo ya fedha. “Kwa muda mrefu sekta ndogo ya fedha haikuwa na udhibiti wa kutosha. Hali hiyo ilisababisha kuwepo na uendeshaji usio rasmi wa shughuli mbalimbali za kifedha kama vile, taasisi zinazochukua amana, vikundi vya fedha vya jamii na wakopeshaji binafsi,” amesema. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Ijumaa, Novemba 16, 2018) bungeni mjini Dodoma wakati akitoa hoja ya kuahirisha mkutano wa 13 wa Bunge. Bunge limeahirishwa hadi Januari 29, mwakani. Amesema shughuli hizo ambazo nyingi ziliendeshwa katika utaratibu usio rasmi, ziliwaletea wananchi athari mbalimbali ikiwemo kupoteza mali zao zilizowekwa kama dhamana kwenye taasisi hizo. Amesema baadhi ya watu wasiokuwa waaminifu wamekuwa wakitumia mwanya wa kutokuwepo udhibiti wa kutosha kwenye sekta hiyo ndogo ya fedha kuendesha vitendo mbalimbali vya kihalifu ikiwemo utakatishaji fedha. “Kutokana na sababu hizo, Serikali iliamua kutunga Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha ya mwaka 2018 kwa lengo la kuongeza udhibiti wa sekta hiyo ndogo ya fedha na kuiwezesha kuchangia ipasavyo katika kuimarisha uchumi wa nchi yetu na kulinda mali na fedha za wananchi wetu,” amesema. Serikali iliwasilisha Muswada wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha wa mwaka 2018 (The Microfinance Act, 2018) ambao umesomwa kwa hatua zake zote na kupitishwa na Bunge, ukisubiri kibali cha Mheshimiwa Rais ili uwe sheria kamili. Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema hali ya usalama barabarani bado ina changamoto nyingi licha ya takwimu kuonesha kupungua kwa matukio na vifo vinavyosababishwa na ajali hizo. Akitoa mfano kuhusu matukio ya ajali nchini, Waziri Mkuu amesema katika mwaka 2016 matukio ya ajali za barabarani yalikuwa 9,856 ikilinganishwa na matukio 5,578 katika mwaka 2017 ambayo ni pungufu kwa matukio 4,278 sawa na asilimia 43. Akifafanua zaidi, amesema katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Oktoba 2018, matukio ya ajali za barabarani yalikuwa 3,209 ikilinganishwa na matukio 5,578 katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Desemba mwaka jana. Amesema Serikali inachukua hatua mbalimbali kukabiliana na matukio ya usalama barabarani ikiwemo kuendesha operesheni za kuhakikisha sheria zote za usalama barabarani zinafuatwa kikamilifu. IJUMAA, NOVEMBA 16, 2018. Blog Archive December (292) November (595) October (653) September (570) August (635) July (678) June (638) May (684) April (711) March (611) February (486) January (506) December (438) November (427) October (440) September (398) August (446) July (390) June (354) May (375) April (317) March (291) February (307) January (371) December (366) November (351) October (363) September (340) August (403) July (384) June (421) May (486) April (499) March (478) February (404) January (444) December (375) November (317) October (335) September (271) August (250) July (284) June (352) May (325) April (345) March (383) February (339) January (341) December (246) November (239) October (310) September (289) August (369) July (313) June (322) May (333) April (260) March (294) February (251) January (205) December (262) November (240) October (262) September (278) August (226) July (284) June (256) May (262) April (245) March (238) February (168) January (236) December (164) November (134) October (219) September (303) August (376) July (539) June (551) May (827) April (562) March (258) February (149) January (146) December (127) November (173) October (269) September (205) August (734) July (411) June (241) May (8) April (20)
"2018-12-15T14:19:51"
http://www.mpekuzihuru.com/2018/11/waziri-mkuu-serikali-imetunga-sheria.html
[ -1 ]
Mbunge ashangaa Prof. Ndulu, Waziri Mkuya kutowajibishwa – MwanaHALISI Online Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Posted by: Dany Tibason June 19, 2015 0 1,048 Views MBUNGE wa Mpwapwa, Greogory Teu (CCM) ameshangazwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Benu Ndulu kutowajibishwa kutokana na kuanguka kwa shilingi. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Amesema, si jambo la kawaida kuona shilingi ya nchi ikiporomoka kwa kiwango kikubwa huku viongozi wa nchi wakiendelea kuwa salama. Kutokana na hali hiyo amesema, ni lazima hatua zichukulie mapema ili kukabiliana na suala la kushuka kwa shilingi kwa sababu suala hilo ni kubwa. Kutokana na kuporomoka kwa shilingi suala hilo linaenda pabaya hivyo ni lazima Waziri Saada na Prof. Ndulu wachukua hatua za haraka kuhakikisha tatizo hilo linatafutiwa ufumbuzi wa haraka. “Suala hili la kuporomoka kwa shilingi si jambo dogo kama linavyofikiriwa, kwani katika baadhi ya mataifa viongozi wangekuwa katika hali mbaya. “Naomba Waziri wa Fedha na gavana wahakikishe wanatumia kila mbinu kumsaidia rais kuhusiana na kuporomoka kwa shilingi, suala hili ni kubwa nchini kwa sababu hali iliyofikia sasa inaenda kubaya, tatizo hilo ndio litaleta hali mbaya ya maisha kwani wakiacha dola itafikia sh. 3,000 jambo ambalo halifai,” amesisitiza Teu. Pudensiana Kikwembe (Viti Maalumu-CCM) amesema, umefika kwa kizazi kilichopo watu kikubali kuingia gharama kwa ajili ya kizazi kijacho, ili kuhakikisha asilimia 50 hadi 70 watu waishio vijijini wanawekewa umeme, hivyo alishauri tozo ya mafuta iendelee. Pia amesema, matumizi ya Mashine za Kielektroniki (EFD) yafanyiwe utaratibu na wananchi waelimishwejuu ya umuhimu wa kulipa kodi. Dk. Kikwembe amesema, jambo ambalo linasababisha kulaumiwa ni kutokana na serikali kutokuwa na nidhamu ya bajeti. Amesema, jambo la kutokuwa na nidhamu ya bajeti kunasababisha matumizi makubwa zaidi ya kiwangokilicho pitishwa na bunge. Pia ametaka Serikali kudhibiti wezi, wabadhirifu na ufisandi ndani ya taasisi za serikali ili fedha zilizotengwa ziweze kuwa na manufaa. Akichangia katika mdajala huo Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Ester Matiku ameitaka serikali kuongeza wigo wa kodi kwa kuangalia nyumba pamoja na nyumba zenye milango ya maduka ya biashara ambayo wamiliki wamekuwa wakipata fedha nyingi kutokana na malipo ya wapangaji ambazo zimekuwa hazilipwi kodi. Mbali na hilo amekema ubadhirifu wa katika miradi ya maendeleo na kutolea mfano mradi wa mabasi yaendayo kasi kuwa yanaubadhirifu mkubwa ambao amesema atahakikisha atauibua wakati wa bunge lijalo atakapokuwa amerejea bungeni. MBUNGE wa Mpwapwa, Greogory Teu (CCM) ameshangazwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Benu Ndulu kutowajibishwa kutokana na kuanguka kwa shilingi. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Amesema, si jambo la kawaida kuona shilingi ya nchi ikiporomoka kwa kiwango kikubwa huku viongozi wa nchi wakiendelea kuwa salama. Kutokana na hali hiyo amesema, ni lazima hatua zichukulie mapema ili kukabiliana na suala la kushuka kwa shilingi kwa sababu suala hilo ni kubwa. Kutokana na kuporomoka kwa shilingi suala hilo linaenda pabaya hivyo ni lazima Waziri Saada na Prof. Ndulu wachukua hatua za haraka… Previous: Ya Tundu Lissu yatimia Next: Kairuki mgeni rasmi siku ya wajane Duniani
"2017-12-18T16:44:45"
http://mwanahalisionline.com/mbunge-ashangaa-prof-ndulu-waziri-mkuya-kutowajibishwa/
[ -1 ]
AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR – Hassbaby Mapacha HomeNewsAZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR More Stories News/February 16, 2017 /No Comment STELLA MWANGI MUSIC FEATURED ON TOMMY HILFIGER’S SUMMER/SPRING LINE SHOW 2017NewsUncategorized/January 28, 2016/hassbaby /No Comment/26 views /20152016CCMCUFMarudioTanzaniaUchaguziZanzibar AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBARshare on:FacebookTwitter Google +EmailSend to Email Address:Your NameYour Email AddressEmail check failed, please try againCancel 12. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa linawatahadharisha CCM na watawala wasiowajali na kuwaheshimu wananchi kwamba zama za utawala wa mabavu usioheshimu Katiba na Sheria za nchi hazina nafasi tena katika dunia ya leo. Baraza Kuu lina imani kwamba HAKI ITASHINDA. tweet Tags:20152016CCMCUFMarudioTanzaniaUchaguziZanzibar previous articleMusic Video: Skylight Band – Nata Kidogonext articleMwigizaji wa Empire Jussie Smollett athibitisha kuwa ni Shoga hassbaby Related Posts DOWNLOAD MUSIC (AUDIO)/March 4, 2017 /No Comment Download Man Fongo – Safi Tu |Audio DOWNLOAD MUSIC (AUDIO)/March 1, 2017 /No Comment Download Harmo Rapa Ft Juma Nature – Kiboko ya Mabishoo |Audio
"2017-03-29T03:24:44"
http://hassbabytz.com/2016/01/28/azimio-la-baraza-kuu-la-uongozi-la-taifa-kuhusu-tangazo-la-mwenyekiti-wa-tume-ya-uchaguzi-ya-zanzibar-la-kuitisha-uchaguzi-wa-marudio-zanzibar/
[ -1 ]
Tume ya Ulaya inasema mpango wa EU wa kukabiliana na vikwazo vya biashara ya Marekani kwenye #steel na #aluminium: Mwandishi wa EU Tume ya Ulaya inaelezea mpango wa EU wa kukabiliana na vikwazo vya biashara ya Marekani kwenye #steel na #aluminium Chuo cha Kamishna imejadili majibu ya EU kwa vikwazo vinavyowezekana vya kuagiza Marekani kwa ajili ya chuma na alumini iliyotangaza mnamo 1 Machi. EU imesimama tayari kukabiliana kikamilifu na kikamilifu kulingana na sheria ya Shirika la Biashara Duniani (WTO) ikiwa hatua za Marekani zina rasmi na huathiri maslahi ya kiuchumi ya EU. Chuo hicho kilipewa kibali cha kisiasa kwa pendekezo iliyotolewa na Rais Jean-Claude Juncker, Makamu wa Rais Jyrki Katainen na Kamishna wa Biashara Cecilia Malmström. Akizungumza baada ya mkutano wa Chuo, Kamishna Malmström alisema: "Tunatarajia, kama mpenzi wa usalama wa Marekani, kwamba EU itaondolewa. Tunatarajia kuwashawishi utawala wa Marekani kwamba hii sio hoja sahihi. Kama hakuna uamuzi umechukuliwa bado, hakuna hatua rasmi iliyochukuliwa na Umoja wa Ulaya. Lakini tumeeleza wazi kwamba ikiwa hatua kama hii inachukuliwa, itawaumiza Umoja wa Ulaya. Itawaweka maelfu ya ajira ya Ulaya katika hatari na inapaswa kuzingatiwa na majibu thabiti na ya uwiano. "Tofauti na majukumu haya yaliyopendekezwa ya Marekani, nyimbo zetu tatu za kazi zinaendana na majukumu yetu katika WTO. Watafanyika na kitabu. Sababu ya msingi ya tatizo katika sekta ya chuma na aluminium ni upungufu wa kimataifa. Inatokana na ukweli kwamba uzalishaji mkubwa wa chuma na alumini hufanyika chini ya ruzuku kubwa ya serikali, na chini ya hali isiyo ya soko. Hii inaweza kushughulikiwa tu kwa ushirikiano, kupata chanzo cha tatizo na kufanya kazi pamoja. Ni wazi ni kwamba kugeuka ndani si jibu. Ulinzi hawezi kuwa jibu, kamwe. EU inabakia inapatikana ili kuendelea kufanya kazi pamoja na Marekani. EU imekuwa na imesaidia mshikamana wa mfumo wa kibiashara wa wazi na wa sheria. " jamii: Frontpage, EU, Tume ya Ulaya, US « Mtazamo wa UlayaKuingiliaji: Kuchunguza maendeleo ya nchi wanachama juu ya vipaumbele vya kiuchumi na kijamii Usaidizi zaidi wa Tume ya #Waida ya nchi kujenga uchumi wenye nguvu na ushindani »
"2019-05-22T01:26:50"
https://sw.eureporter.co/frontpage/2018/03/13/european-commission-outlines-eu-plan-to-counter-us-trade-restrictions-on-steel-and-aluminium/
[ -1 ]
Kufanya tukio, tangazo Nje ni rahisi baada ya kutumia WP VeriteCo Timeline! WP VeriteCo Timeline (TimelineJS) samlar VeriteCo ya Timeline JS katika WordPress nyuma-mwisho. WPVT samlar ajabu JS Plugin kuundwa kwa VeriteCo seamlessly katika WordPress yako nyuma-mwisho. Ni utapata kusimamia entries ratiba kupitia Timeline desturi baada aina, wordpress baada ya kawaida au unaweza timelined hata ukurasa wako kama unataka! WPVT moja kwa moja inazalisha JSON data file kutoka orodha yako na mitindo yake kulingana na mazingira yako. Sasa kujenga ratiba ni rahisi zaidi kuliko milele na WPVT shortcode. Au tu ya kuweka kanuni katika template yako ambapo unataka: ? <Php echo do_shortcode ( "[WPVT]"); ?> Kama wewe kama Plugin, tafadhali kiwango ni pamoja na nyota 5 mkono Sites Ramani ya Google 1. Weka `wp-veriteco-timeline` kwa` / wp-content / plugins / `saraka 2. Kuamsha Plugin kwa njia ya menu 'Plugins' katika WordPress 3. Kurekebisha mazingira chini ya `Settings -> WP Timeline` 4. Kujenga baadhi entries ratiba chini ya `Timeline` desturi baada aina au tu kufafanua posts yako ya zamani au kurasa kama ratiba! 5. Matumizi shortcode `[WPVT]` katika ukurasa wako Bofya kiungo hiki ili kuona tovuti live ambaye anatumia VertiCo Timeline: Live Sites 9 Agosti 14 eCommerce, eCommerce, All Items, kalenda, tukio, tukio slider, slider, ratiba, vertico ratiba, wordpress
"2017-08-21T23:53:07"
https://sw.worldwidescripts.net/veriteco-timeline-for-wordpress-43262
[ -1 ]
Rasmi..Okwi Athibitiha Kuwa Anatua Simba Msimu Ujao,Atoa Kauli Hii kwa Yanga - The Choice You are at:Home»Michezo»Rasmi..Okwi Athibitiha Kuwa Anatua Simba Msimu Ujao,Atoa Kauli Hii kwa Yanga By choicetz on March 28, 2017 Michezo AMA kweli Emmanuel Okwi amenogewa na Simba, kwani licha ya uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi kuweka wazi kuwa atarejea msimu ujao, taarifa kutoka Uganda zinadai kuwa, hata yeye mwenyewe ameonyesha mapenzi ya kurejea kwenye timu yake hiyo ya zamani. Okwi, ambaye alikuwa akikipiga nchini Denmark katika Klabu ya SonderjyskE, kwa sasa anaichezea SC Villa ya nchini kwao Uganda na anafanya mambo makubwa, hali iliyomfanya kuitwa kwa mara nyingine katika kikosi cha timu ya Taifa ya nchi hiyo. Miongoni mwa marafiki wa Okwi kutoka nchini Uganda, amesema kuwa, mchezaji huyo anasubiri tu kumalizika msimu huu arejee Tanzania kujiunga na Simba, baada ya viongozi wa timu hiyo kuonyesha nia ya kumhitaji. “Hata yeye mwenyewe anaipenda Simba, kwa sasa baada ya kusikia kuwa viongozi pamoja na mashabiki wanataka arejee, anajiandaa kumalizia msimu huu na kuna kila dalili wakamalizana mapema,” alisema rafiki huyo wa karibu. Kwa upande wake, Kocha wa zamani wa Simba, ambaye kwa sasa ni kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Uganda, Mosses Basena, alisema kuwa, Okwi amekuwa akionyesha kiwango kizuri kila siku, hivyo kama Simba atamrejesha watakuwa wamelamba dume. Mapema Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, aliliambia gazeti hili kuwa, suala la Okwi wala halina mjadala mkubwa, kwani yeye kwa klabu hiyo ni kama nyumbani, hivyo anakaribishwa muda wowote.
"2017-12-17T17:25:42"
http://thechoicetz.com/rasmi-okwi-athibitiha-kuwa-anatua-simba-msimu-ujaoatoa-kauli-hii-kwa-yanga/
[ -1 ]
Jamani, Nakwazika kweli kwa kulikosa gazeti la MwanaHalisi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Jamani, Nakwazika kweli kwa kulikosa gazeti la MwanaHalisi Siwezi ficha hisia zangu jinsi gani nakwazika kwa kukosa gazeti la mwanahalisi.Ki ukweli naichukia serikali kwa hilo,tena chuki mbaya sana.Sioni gazeti jingine ambalo ni worth my hard earned cents.Nimechoka nunua magazeti ambayo zaidi ya headings hakuna habari zinazodi highlights za JF.Nachukia kununua gazeti halafu baada ya kuscann natamani litupa. Serikali ifungulie hili gazeti,we are hardcore fans wa hili gazeti na jinsi wanavyolifungia chuki zetu zinapanda beyond normal.Serikali wana sababu gani ya kulifungia kuliko radio na magazeti yalisoababisha uvunjifu wa kama tulivyowaona wakristu wakiwa terrorized?Iam afraid kama serikali na vyombo vyake wanajua wanachokifanya. Nawashauri mwanahalisi sasa watengeneze website tofauti ili watu waweze subscribe kwa malipo ili waweze pokea news kupitia PDF format.It cheaper and personal na inaweza kuwa registered anywhere.This time nadhani itakuwa vyema content ziwe explicitly naked. Nawakilisha kwa hardcore fans wenzangu. mwanahalisi wangu ehe..upo wapiiiiiiii. Soma raia mwema maana linaendana kidogo na mwanahalisi Ndio anaandikia mkandara na Zitto?nilipat akichefuchefu nikachana one day kwa sababu ya hao watu wanandika ujinga with passion.kidogo nikikuta Generali Ulimwengu kidogo nasikia moyo unarelax. Mimi nimeacha kusoma magazeti lilikuwa halina mfano nasoma tanzania daima Jumapili. Mwananch Nivile alipoweka siasa issue mandamano ya wanahabari na mchimbi nimeligomea hata wandikeje sitongozeki Karibuni masijala said: ↑ Mwananchi bado linanishangaza,kwani inawezekana mbwembwe za Tido kuondoka si kitu bali ni yaleyale ya shibuda na CDM.Gazeti lina heading nzuri, huku habari ni shallow as if hata mwandishi hakuwa anaijua au hata kuweka vipande vya JF.Mtanganzo ni mengi kuliko, shemu za kusoma huku ukitafakari ni kidogo sana,na hivyo kunifanya nisome haraka sana within 5min imemmaliza na huku mkononi nina makaratasi mengi bure kabisa.Nipashe nalo ni hivyo hivyo. Wewe Niko wewe usinikumbushe hilo gazeti,kwenye kazi zangu nyingi nilikua nalitumia kama reference sasa hivi nasononeka tuu lakn Jf haijaniacha nyuma kwani ndio gazeti langu hili kwa sasa,pole mdau mwenzangu. Halafu nilichokuwa napenda kwa hawa jamaa walikuwa na kitu kama mwendelezo wa matukio na njama zinzofanyika nchini.Ilikuwa ni rahisi kusoma habari zao na kujikuta unaweza predict hat kuhisi kitu pale unaposikia hutuba za viongozi wetu hata kama wanapiga kelele vipi za kujidai kuwa wato sehemu fulani na si ingine. Masula Senior Member kama kuna kitu kilichonikera sana mwaka huu ni kitendo cha serikali kulifungia gazeti la Mwana halisi kipenzi cha watu wengi.Ingekuwa serikali inasifiwa kwa kila jambo wasingelifunga gazeti hilo.Ni heri kuandika ukweli kuliko kuandika uongo ili upendwe. ili kulinda heshima ya mwanahalisi, sitasoma gazeti lingine lolote hadi pale litapoanza kuchapishwa tena. GreenCity said: ↑ Thibitisha kauli yako! La sivyo.... nilijaribu raia mwema nikakuta vumbi la akina Zitto,mwananchi nikakuta habari shallow sana.Siku hizi nitafuta kama kuna tangazo maalumu tuu na niambiwe na wale wote wajuao nivitafutavyo. Nawapenda CDM ila kila siku ipitayo Zitto anazidi nipa kichefuchefu.Kila paltform aipatayo huengea vitu vilevile anavyoota.
"2018-01-21T21:27:55"
https://www.jamiiforums.com/threads/jamani-nakwazika-kweli-kwa-kulikosa-gazeti-la-mwanahalisi.346032/
[ -1 ]
SERIKALI WILAYANI HANDENI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI HOLELA WA MKAA | TANURU LA FIKRA BlogNews Home Uncategories SERIKALI WILAYANI HANDENI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI HOLELA WA MKAA SERIKALI WILAYANI HANDENI YAPIGA MARUFUKU UUZAJI HOLELA WA MKAA Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe na wataalamu wakipata maelekezo mafupi juu ya moja ya kituo cha kuuzia mkaa cha Manga. Mkurugenzi akionesha baadhi ya vibakuli vilivyokamatwa ambavyo vilitengenezwa na mti aina ya mkarambati tayari kwa kusafirisha kuelekea nchini Kenya kwa mauzo. Meneja wa wakala wa Misitu Tanzania wa Wilaya ya Handeni akizungumza na wafanyabiashara wa mazao ya misitu ya Mkaa wakati wa Uzinduzi. Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe na Meneja wa wakala wa Misitu wa Wilaya Bw. Elias Mwaijere wakitoka kuzindua kituo cha wauza mkaa cha Manga Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe akizungumza na wafanyabiashara wa mkaa wakati wa Uzinduzi . Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe akizungumza na wafanyabiashara wa Mkaa. Serikali wilayani Handeni imepiga marufuku uuzaji holela wa mkaa ili kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za misitu NA kuwataka wananchi kutumia vituo rasmi kuuza na kununua mkaa. Marufuku hiyo ilitolewa na Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe alipokuwa akizindua vituo maalumu vilivyotengwa kwaajili ya kuuzia mkaa (mkaa centre) vinavyotarajiwa kuwa mazingira rafiki kwa vijana wanojihusisha na biashara za mikaa wilayani hapa. Mh Gondwe alisema "ni marufuku kuanzia sasa mtu yeyote kuuza mikaa kwenye maeneo ambayo sio vituo rasmi, mkaaa utauzwa na kununuliwa kwenye vituo vilivyopangwa atakayekiuka hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake”. Aliongeza kuwa lengo kuu la kuweka vituo vya kuuzia mkaa ni kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za misitu; Kulingana na sera ya ukusanyaji mapato,kwa kutumia vituo hivi serikali itaweza kupata mapato yake ambayo hapo awali kulikua na utoroshaji na ukwepaji wa kulipa kodi kwa wavunaji na wauzaji wa mikaa. Mkuu wa wilaya aliwataka wavunaji wa mkaa kuunda vikundi ambavyo vitawatambulisha na kusaidia kuwa na umoja utakaopelekea kupata vibali halali vya uvunaji wa mazao ya misitu. Alisema kuwa utaratibu huo utasaidia kuwepo kwa uvunaji endelevu ambao utahusisha kupanda miti na kuvuna tofauti na ilivyokuwa awali watu wanavuna miti bila kupanda miti mingine ili kufidia ile iliyovunwa hali itakayoiepusha Handeni kuwa jangwa na kuharibu vyanzo vya maji. Aliwaeleza wananchi kuwa vituo hivyo vitasaidia kuwa na bei elekezi ambayo itawanufaisha wafanyabiashara wote tofauti na awali ambapo kulikua na ushindani mkubwa uliopelekea wengine kujaza lumbesa ili kupata wateja kwa haraka. Aidha Mkurugenzi mtendaji wa Halmasahuri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe aliwataka wafanyabishara wa mkaa kusajili vikundi vinavyojihusisha na uuzaji wa mikaa ili, watambuliwe na waweze kupata mikopo itakayowasaidia kujiendeleza ikiwezekana kuacha biashara ya mkaa na kujikita kwenye shughuli nyingine za kilimo, ufugaji na biashara nyingine ndogo ndogo. Aidha, alisema kuwa Mikopo hiyo itawawezesha kununua miche ya miti na kuipanda ili kusaidia uvunaji endelevu, ambapo mwezi wa tatu kutakuwepo na zoezi la upandaji miti ambalo litawahusisha wafanyabiashara hao moja kwa moja. Vituo hivi vitasaidia pia kuwatambua na kuratibu kiwango cha mkaa kitakachokuwa kinavunwa na kutolewa kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Handeni. Wakati huohuo Mkurugenzi Mtendaji chini ya kamati ya mapato inefanikiwa kukamata vibakuli zaidi ya 500 vilivyo tengenezwa kwa mbao za mkarambati vyenye soko nchini Kenya na mbao 914 zenye thamani ya milioni 24 ambazo zimevunwa kinyume chavsheria na kukiuka katazo la uvunaji wa miti ya mikalambati ambayo ipo hatarini kutoweka. Watuhumiwa wamekamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa hatua zaidi. Aidha Meneja wa Misitu Wilaya Bw. Elias Mwaijere, Aliwaeleza wanafanyabiashara hao kwamba kuna shamba la miti lijulikanalo kama Korogwe Plantation ambapo kila mwaka miche 5000 hupandwa na kuhamasisha na wao kuwa na tabia ya kupanda miti.Alieleza pia Halmashauri ya Wilaya ya handeni inatarajia kupata miche 3000 ambapo itapandwa kwenye maadhimisho ya siku ya upandaji miti mwaka huu 2017. Vituo vimetakiwa kuwa na umbali wa mita100 kutoka usawa wa barabara, ambapo vituo vilivyopangwa ni pamoja na Manga, Tengwe, Kwenkwale, Chang,ombe, Kabuku na Mailikumi.
"2017-10-21T19:40:21"
http://www.tanurulafikra24.com/2017/01/serikali-wilayani-handeni-yapiga.html
[ -1 ]
Jf: Wasichana wa songea | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Love Connect' started by SAWEBOY, Jul 24, 2012. Wapendwa Dadas' & Bintis' Kwani hakuuzwi mablanket huko?Click to expand... Kwa lugha rahisi haitaji kumpenda mtu, anahitaji kampani tu ya kulala usiku na pia hajaweka vigezo vyovyote vya status ya afya, sura, umbile, rangi wala dini!!! Kama na wewe uko huko msaidie nduguyo! :israel: Kwa lugha rahisi haitaji kumpenda mtu, anahitaji kampani tu ya kulala usiku na pia hajaweka vigezo vyovyote vya status ya afya, sura, umbile, rangi wala dini!!! Kama na wewe uko huko msaidie nduguyo! :israel:Click to expand... Mkuu umepatia sana.....mie nataka manjonjo ya warembo wa songea na kula bata to front.....hii baridi bana mwaka huu mhmhmh it is too much wajameni...! NB: Usikusipati usingizi jamani...lol.....so plse come and feel @ home!Click to expand... pole sana songea kwa sasa changudoas bameds na wakusoma wote ni adimu ksb soko lao liko juu mno makampuni ya barabara, synhdro, sogeasatom, progressive, ile ya makaa tancoal, uranium, imefanya bei ya hiyo kitu kuwa juu, hadi wake za watu wanajuta kuolewa. maana jama wanakula nyaps si mchezo ndoa zinavunjika kila siku dadaz wanafuata washelskwa wazungu wa sogea, kwa hiyo mzee itakuwa ngumu kidogo lkn usikate tamaa jaribu kupitapita maeneo ya equator night club jambolee unaweza ukaokota ila uwahiwahi mapema na usichague.Click to expand... what are the terms? Naweza apply ikiwa inalipa!Click to expand... kaka umeoa?namaanisha huko ulikotoka hujaacha mkeo? potelea mbali umeacha au hujaacha, mimi ninachoona hapa ni ubinafsi uliokithiri, maana sasa kama utapata dada hapo halafu mwisho wa siku akapagawa na kukuhitaji labda uwe mumewe, itakuwaje wakati wewe unahitaji mtu wa kukupa majotro nite? ANGALIZO: muweke wazi huyo mrembo utakayempata ili asiwe na mipango mingine kwako zaidi ya kukupa majotro maana usije kuumiza moyo wa mtu huko bure....jiangalie sana mkuu hiki kijitabia chako mh!!!Click to expand... Usikonde madam....you are WeLcome kuhusu terms basi ingia chumbani?Pm ili tuongee vizuriClick to expand... Mimi nipo single til now lakini kuhusu suala la kuoa si unajua huwa linakuja automatically endapo mtu unaona kifaa kinalipa na manendana vema...so ishu sio ubinafsi ila ni kukubaliana na kuwa na malengo so kama nikiona mtu anajituma kwa 100% kwanini nisichukue jumla...? so uwanja upo wazi..mkuu!Click to expand... Ina maana hiyo ofisi unayofanya kazi haina Wadada ? Uoga mwingine aka Midomo zege utakufikisha pabaya, kwa tabia hii ya kuwinda kila Mnyama utakuwa kama Mzee Fisa. Uko tayari kula hata mizoga waliacha wenzako !!! Kuwa kama Chui ambaye hali asichokiua mwenyewe !!!!Click to expand...
"2017-07-24T01:20:47"
https://www.jamiiforums.com/threads/jf-wasichana-wa-songea.297065/
[ -1 ]
Muungano na ajenda ya siri dhidi ya Zanzibar – Zanzibar Daima HomeHABARIMuungano na ajenda ya siri dhidi ya Zanzibar July 29, 2008 Zanzibar Daima HABARI 1 Sheikh Abeid Amani Karume, mmoja wa waasisi wa Muungano. MIMI si mmoja ya wale wanaoamini kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pale mwaka 1964 ulitokana na dhamira njema walizokuwanazo wale tunaowaona kuwa waasisi wake, Sheikh Abeid Karume wa Zanzibar na Mwalimu Julius Nyerere wa Tanganyika. Sikubali kwamba msukumo wa kuungana kwa nchi hizi ulikuwa ni hisia za umoja na udugu wa Afrika (pan-africanism). Na, kwa hakika, nakerwa sana na hoja kwamba Zanzibar iliuhitaji Muungano kwa sababu ya ulinzi na kujiimarisha kiuchumi. Yote hayo yalitumiliwa tu, lakini hazikuwa sababu hasa za kuutosa utaifa wa mataifa mawili hayo. Moja ya mambo yanayoonesha ukosefu wa dhamira njema, ni zile jitihada za makusudi za kuififisha sura ya Tanganyika siku hadi siku katika Muungano huu kufikia hali ambapo sasa, sio tu kwamba wameifuta vitabuni, bali hata kwenye nafsi za watu, hata sasa imekuwa Watanganyika wote wanafikiri kama Watanzania tu. Na, kwa hakika, sio la kufikiri tu, bali pia wenyewe wanaukana Utanganyika wao. Hili limetufanya hata sisi tusio Watanganyika tujihisi vigumu kuwaita hivyo, labda iwe tunakusudia hasa kuwakera. Na kweli wanakereka sana! Nina mifano miwili ya wazi. Karibuni nilikuwa kwenye boti pale bandarini Dar es Salaam, nayo ikawa inakaribia kuondoka; mara simu yangu ikaita na nikaipokea. Aliyenipigia akataka kujua niko wapi, na nikamjibu kwamba wakati huo nilikuwa napanda boti kuondoka Tanganyika kurudi kwetu Zanzibar. Unajua nilitazamwa vipi na wale walio karibu yangu, ambao wengi wao walikuwa ni Watanganyika? “Kwani mpaka useme unatoka Tanganyika? Si useme unatoka Dar tu?” Mmoja wao, mwanajeshi mwenye magwanda, hakuweza kujizuia. “Kwani kuna ubaya gani kusema Tanganyika?” Nami nikamuuliza. “Nyinyi ndio munaoleta chokochoko nyinyi.” Akaanza vitisho vyake. “Za nini? Za kuiita Tanganyika, Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar?” Naamini mwanajeshi yule alikuwa anataka kunichukulia hatua zaidi, lakini wenzake waliingilia kati na kubadilisha mazungumzo, na mimi nikapotea mbele ya macho yake. Mfano mwengine wa kila mara ni hizi sherehe za uhuru wa Disemba 9, 1961, ambapo hutangazwa kwamba panasherehekewa uhuru wa Tanzania. Lakini tarehe hiyo Tanzania ilikuwa bado haijazaliwa. Hata katika tukio hilo la kihistoria, husikii Tanganyika ikitajwa. Aliyewaita Watanganyika ‘wadanganyika’ aliwapatia kwa mengi. Hapa chuoni pia ninao. Wasomi wanachukua digrii na bado hawataki kujiaminisha kwamba wao ni Watanganyika, ingawa mimi wananiita Mzanzibari. Ninapowauliza msingi wa mimi kuwa Mzanzibari ni upi hata wao wasiwe Watanganyika, wananiambia kwamba Tanganyika ilikufa mwaka 1964 ilipounganishwa na Zanzibar, lakini Zanzibar haikufa! Jibu lililotayarishwa na kutetewa kwa miaka 44 sasa. Hata kama limechoka na kuchosha, wanaolitoa hawana upeo wa kuona hilo. Kwao ni ‘man-qaalal balozi, huwa muwafaqa.’ Yes, boss, wasemavyo Waingereza. Madhali hivyo ndivyo Nyerere alivyosema, itakuwa hivyo milele na milele. Hiki ndicho kiwango alichofanikiwa Nyerere – kuwalisha wenziwe mzugo. Nyerere anatambuliwa kama Baba wa Taifa huku. Taifa lipi? Tanzania. Lakini kwa nini kama ni ubaba, usiwe kwa Karume pia, ambaye ndiye muasisi mwenzake wa Muungano huu uliozaa Tanzania. Nyerere anatambulika pia kama kielelezo cha ushujaa, uhuru na mshikamano. Ushujaa, uhuru na mshikamano upi, ukiuliza, utajibiwa Muungano. Kwa hivyo, ikiwa kuna lolote, basi Nyerere aliutumia Muungano kujijenga yeye binafsi, na sio kujituma yeye kuujenga Muungano wa kweli. Turudi kwenye Tanganyika. Tangu mwanzo kabisa, Nyerere alikuwa anajuwa anachokifanya katika suala hili la kizungumkuti cha Muungano. Alijuwa kwamba kwa kulififilisha jina tu la Tanganyika, alikuwa hauuwi wala kuuzika utambulisho wa Tanganyika. Na sio tu kwamba alijuwa kwamba hafanyi hivyo, bali pia hakutaka iwe hivyo. Alichokuwa akikitafuta ni kile kielezwacho kwenye nyimbo moja ya kikwetu: Msegeju yuna ng’ombe Ng’ombeze Nami n’na ng’ombe wangu Anambia tuchanganye Kwaheri nakwenda zangu Hadithi ya nyimbo hii ni kwamba, kulikuwa na wachugaji wawili wa ng’ombe: mmoja (mwimbaji) alikuwa na ng’ombe mmoja tu na mwengine (Msegeju) alikuwa na kundi kubwa la ng’ombe. Lakini pamoja na kuwa na kundi hilo kubwa, bado Msegeju alimtaka (kwa kumlazimisha) mwimbaji wachanganye ng’ombe wao. Mwenzake ndipo akaimba kwa malalamiko kwamba anatenzwa nguvu kumchanganya ng’ombe wake mmoja kwenye kundi lile kubwa, naye jambo hilo hakulitaka. Akihofia kuja kumpoteza ng’ombe wake mmoja kwenye kundi kubwa la mwenzake, akaamua kuaga: “kwa heri nakwenda zangu!” Msegeju ni Nyerere. Karume ndiye mwimbaji mwenye ng’ombe mmoja. Lakini bahati mbaya ni kwamba yeye, Karume, alipotakiwa na Nyerere kuchanganya ng’ombe, alikubali kumuingiza ng’ombe wake mmoja kwenye kundi kubwa la Nyerere. Bahati mbaya zaidi, kama alivyohofia mwimbaji, Karume naye akafa hajaweza kumuengua ng’ombe huyo kutoka kundi lile wala kufaidika naye, ingawa kila mara alilalamika. Wakati Karume alipoaga kwenda zake, yule ng’ombe alimuacha mule mule kundini. Lakini lile kundi akaliwacha mikononi mwa Nyerere. Sasa ng’ombe wa Karume ni wa Nyerere. Mzee wangu, Arham Ali Nabwa, alikuwa akikuita huku ndiko ‘kufa dungu msooni.’ Msemo maarufu kwenye mchezo wa kitoto wa gololi, ambapo aliyekufa dungu msooni, hulazimika kutoka mchezoni akiwa amepoteza kila kitu na pia kutakiwa alizokula mwanzo azitowe. Akaondoka pangu pakavu, keshabunwa, kwa lugha ya kitoto. Kwa miaka yote hii 44 ya Muungano, habari imekuwa ndiyo hiyo. Kwa jina la Tanzania, Tanganyika imeendelea kuhuika, na kwa jina la Muungano, Zanzibar imezidi kufa. Sasa, kwa kuwa Tanganyika imeambiwa haipo, basi Zanzibar imekosa mshirika wa kuongea naye matatizo ya Muungano, kwani anayewakilisha Tanganyika hivi sasa ni huo huo Muungano. Lakini kimsingi, wakati Muungano unasainiwa, haikuwa dhamira (angalau ya Karume) kupoteza kila kitu. Kwa hakika, mnasaba wa Mkataba wa Muungano unaonesha kwamba palikusudiwa kuwepo kwa mamlaka tatu: ya Zanzibar, ya Tanganyika na ya Muungano. Hivyo ndivyo muundo ulivyokusudiwa uwe. Kwamba hautekelezwi hivyo, hilo ni suala jengine. Na kwa nini muundo huu hautekelezwi? Ni kwa sababu tangu mwanzoni kabisa palikuwa na dhamira mbaya ya kisiasa kwa upande wa Tanganyika, ambayo ilikusudia hasa kuikalia Zanzibar kwa gharama yoyote iliyostahili. Kwa hivyo, kama nilivyotangulia kusema, Muungano huu tulionao haukuchimbukia kwenye nia njema kama tunavyoambiwa. Lakini kwa nini palikuwa na dhamira mbaya? Kuna sababu zaidi ya moja, hapa nitazitaja tatu. Kwanza, dhamira ya Muungano huu ilikuwa ni kuitumilia Zanzibar kiuchumi. Hadi tunapata uhuru wa Disemba 1963 na kufanya Mapinduzi ya 1964, Zanzibar ilikuwa miongoni mwa nchi zilizokuwa zimeendelea sana. Tanganyika waliopata uhuru miaka 3 kabla yetu, walikuwa katika hali ngumu kiuchumi. Kwa nafasi yake ya kijiografia, Zanzibar ni mlango wa kuingilia na kutokea katika soko kubwa la Afrika ya Mashariki. Kwa nafasi yake ya kihisoria, Zanzibar ni kituo cha usambazaji. Nyerere alikihitaji kituo hiki kuiendeleza Tanganyika yake. Ni bahati mbaya sana kwamba hakuwa na ujanja wa kutosha kuweza kutumia fursa hiyo ya kiuchumi iliyonayo Zanzibar kwa miaka 20 ya utawala wake badala yake akazifanya zote mbili, Tanganyika na Zanzibar, kuwa masikini zaidi kuliko alivyozikuta. Ujamaa wake ulikuwa ni kuugawa umasikini kwa watu wote na sio kuugawa utajiri. Pili ni kuitumilia Zanzibar kujijenga kisiasa. Tanganyika ilihitaji kujitanua na Nyerere alihitaji sifa ya kuonekana mwanasiasa wa Kiafrika anayethubutu. Kuitwaa Zanzibar ilikuwa hobi yake hata kabla ya Uhuru wa Tanganyika wa 1961. Mara nyingi alikuwa amesema kwamba hakuwa tayari kuwa na jirani wa Kiarabu na Kiislam mlangoni pake. Aliumwa na hilo na kuichukua Zanzibar hata halikuwa suala la kufikiria mara mbili. Zile hadithi alizokuwa akizitoa Nyerere kwamba ni Karume ndiye aliyeshauri waungane, na kisha kumuambia kuwa yeye Nyerere awe Rais na yeye Karume awe makamu, zina shaka sana. Karume alivyokuwa akiupenda ukubwa, haingii akilini kwamba aliutoa sadaka uraisi wake kiasi hicho. Hadithi hizo alizisema wakati Karume keshakufa. Alijua kuwa kwa adabu za Karume zilizvyokuwa nyingi, angeliweza kulikanusha hilo mbele za watu tena hata bila kumsubiri amalize. “Julius, msalie Mtume, bwana!” Karume baba aliweza na alikuwa na uthubutu huo. Sababu ya nne iliyo nyuma ya Muungano huu ni ya kidini, ambayo ilichochewa sana na Uingereza, ambayo inalaumiwa kuyawezesha Mapinduzi ya 1964; lakini ikawa na tahadhari kuelekea Muungano ikihofia kwamba athari ya Uislamu iliyoko Zanzibar ingelikuwa imepata jukwaa lake Tanganyika kama ingelikuwa nchi moja. Lakini katika mtindo wa kutumiliana, Nyerere akashinda ushawishi wake wa kuonesha kwamba Zanzibar kuna ‘makomunisti’ ambayo kuyadhibiti kulihitaji kuiingiza katika makucha yake. Akasaidiwa katika hilo na likawa kama lilivyokuwa na leo ndio huu Muungano tulionao. Sababu hii inaogopwa sana kutajwa kwa kuwa siasa za leo za kilimwengu zimefanikisha kuubatiza Uislamu jina la ugaidi. Wengi wa wanaojiita wasomi, au watu walioendelea, hawataki kujihusisha na Uislam wala kuuhusisha Uislam na Uzanzibari. Mimi si mmoja wao. Nisiwe msomi wala mtu niliyeendelea, lakini nitasema kwamba chuki za Nyerere dhidi ya Zanzibar zilichangiwa pia na imani yake ya kidini. Nyerere hakuupenda Uislamu na aliwachukia Waislamu. Hata historia ya kwao, Tanganyika, inaonesha hivyo. Soma kitabu cha Mohammed Said, Maisha ya Abdulwahid Sykes, ikiwa unataka ushahidi madhubuti. Waingereza pia, tangu mwanzoni mwa karne ya 14 wamekuwa na vita maalum dhidi ya Uislamu na Waislamu. Zanzibar kilikuwa kitovu cha Uislamu kwa ukanda huu wa Afrika. Ilikuwa lazima kidhibitiwe kwa namna yoyote ile. Kwa hivyo, hata kama Waingereza hawakufikia upeo mkubwa zaidi wa kuitosa Zanzibar, lakini angalau walifanikiwa kuichora vibaya historia ya Visiwa hivi kwa kutumia ukabila, na kisha wakazunguka kwa mlango wa nyuma kusaidia kufanikishwa kwa Mapinduzi ya 1964 na hatimaye ndio Muungano ukaja. Kwa haya yote, bado kuna sababu ya kutufanya tuamini dhamira njema nyuma ya Muungano huu? Na kama, shaka yetu ni ya kweli, basi kwa nini iwe sawa kuutangaza Muungano huu kuwa ni batili tangu kwenye msingoi wake kabisa? Kama hilo ni gumu, kwa nini Mkataba wa Muungano usiwekwe hadharani ukajadiliwa upya na pande zote mbili kiadilifu? Kama hilo pia haliwezekani, kuna ubaya gani kuuitisha sasa kura ya maoni kuwauliza wananchi wa Zanzibar wanachokitaka kwenye Muungano huu? Kama yote haya hayawezekani kwa kuwa hayatakiwi na watawala, kwa nini Mzanzibari kama mimi nisihitimishe kuwa nchi yangu haimo kwenye Muungano na nchi mwenzake, bali ni mahmiya ya kijeshi, na inakaliwa kimabavu na dola ya kigeni? Kificho usifiche kisichofichika Issa Omar Issa (Mchwaka) says: ASSALLAM ALLAYKUM ? MASHALLAH ; JAMANI TUPO PAMOJA KWA LOLOTE KUITOA ZANZIBAR KATIKA UKOLONI WA TANGANYIKA
"2019-10-19T16:56:49"
https://zanzibardaima.net/2008/07/29/muungano-una-ajenda-ya-siri/
[ -1 ]
Mdee aingia Bungeni kwa Mbwembwe, Ndugai atoa onyo “si mnanijua” – Dar24 4 weeks ago Comments Off on Mdee aingia Bungeni kwa Mbwembwe, Ndugai atoa onyo “si mnanijua”
"2019-12-07T13:52:34"
http://dar24.com/mdee-aingia-bungeni-kwa-mbwembwe-ndugai-atoa-onyo-si-mnanijua/
[ -1 ]
3,150 pdf work typing kazi zimepatikana, bei imeletwa USD Fillable pdf or word 6 siku left Uchapishaji Nakala Uhariri PDF Word Kuandika Fast Typing 6h left BPO Uingizaji Data Kutengeneza Data Excel Microsoft Exchange Project for Chandrasekhar G. 2 siku left Web development - project work Imeisha left Data Entry Operator requred Imeisha left Encoder Needed Urgently Newbies Only($8/Hour) Imeisha left Project for Poorani M. -- 18/07/14 13:20:08 Imeisha left data admin: Mark up PDF document Imeisha left Project for Michael Y. Imeisha left Uchapishaji Nakala Uingizaji Data Kiingereza (Kimarekani) Excel Msaidizi wa Mtandao Project for Mimoza L. Imeisha left Data Entry Work: PDF to Word Typing(Newbies Welcome)s Imeisha left BPO Uchapishaji Nakala Uingizaji Data Excel Word 241 zabuni Urgent Typing work: Need emails typed from a pdf file (Fixed rate) Imeisha left Project for Amir Kumar N. Imeisha left Uingizaji Data Photoshop Utafiti Msaidizi wa Mtandao Web Scraping Data Entry (MS Word) - 01/05/2018 16:14 EDT Imeisha left Data Entry (PDF to MS Word) - 01/05/2018 15:44 EDT Imeisha left Data Entry - 01/05/2018 14:40 EDT Imeisha left Looking for data entry typing work Imeisha left Copyeditor for Screenplay Imeisha left Design a Knuckle Boom Crane Imeisha left Ubunifu wa Vipeperushi Uhandisi wa Kiufundi Kuandika Ripoti Solidworks Project for Fabrice D. Imeisha left Kutengeneza Data Excel Microsoft Access PHP Visual Basic Earn upto 1$ per page typing (Pdf to Ms-word) Imeisha left 289 zabuni Product Configurator Development (Woocommerce) Imeisha left Data Entry Operator | Internet Researcher | Imeisha left Project for Divya P. Imeisha left Article Writing Azure Uchapishaji Nakala Uandishi wa hati miliki Uingizaji Data Job description - Bilingual English Arabic - Excer - Imeisha left Kiarabu Uchapishaji Nakala Uingizaji Data Kiingereza Ukalimani Uchapishaji Nakala Uingizaji Data Msamiati wa Kiingereza Upangaji wa Maneno ya Kiingereza Excel Copy Typing work from PDF to MS Word....... Imeisha left Earn upto 1$ per page typing (Pdf to Ms-word) - Repost Imeisha left AutoCAD Utengenezaji wa Majengo CAD/CAM Uhandisi wa Civil Uchapishaji Nakala I need a virtual assitant to help me complete client projects Imeisha left Project for jielyn1591 -- 18/01/25 21:26:11 Imeisha left Uasilishi wa Nakala Krismasi Uandishi wa hati miliki Uandishi wa Ubunifu Huduma kwa Wateja Typing text from an old dictionaries Imeisha left Uingizaji Data Kutengeneza Data Msamiati wa Kiingereza Upangaji wa Maneno ya Kiingereza Excel Typing text from the old dictionaries Imeisha left writting copy writting pdf convered adobe photoshop Imeisha left Article Writing Blogu Uandishi wa Biashara Magento PHP Earn upto 1$ per page typing (Pdf to Ms-word) - Repost - open to bidding Imeisha left Trophy icon Prepare nice Leaflet with Scribus and Company Letter Formats in Word Imeisha left Ubunifu wa Vipeperushi Ubunifu wa Picha PDF Word Inaonyesha1 hadi 50 ya wasilisho 3,150
"2018-08-18T04:37:01"
https://www.freelancer.co.ke/job-search/pdf-work-typing/
[ -1 ]
Mamlaka zachunguza shambulizi la New York Novemba 01, 2017 Gari lilohusika na shambulizi la New York. Mamlaka za jiji la New York, Marekani zinaendelea kuchunguza sababu zilizomfanya dereva wa lori dogo lililokodiwa kuwashambulia watu katika njia ya waendesha baiskeli yenye mkusanyiko mkubwa hapo jana. Tukio hilo linaelezwa kuwa ni la uovu mkubwa lililo sababisha vifo katika jiji hilo tangia kutokea kwa shambulizi la Septemba 11 mwaka 2001. Takriban watu wanane wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika kile meya wa jiji hilo Bill de Blasio alichokiita kitendo cha kigaidi cha mtu mwoga kushambulia raia wasio na hatia. Maafisa wa polisi walioongea kwa masharti ya kutatambulishwa, wameviambia vyombo vya habari kwamba mshukiwa ni muhamiaji kutoka nchi ya Uzbekistan, Sayfullo Saipov, mwenye umri wa miaka 29 ambaye aliingia Marekani 2010 na alikuwa mkazi wa jimbo la Florida. Kwa upande wake Gavana wa New York Andrew Cuomo ameeleza shambulio hilo limetekelezwa na mtu mpweke, akisema hakuna ushahidi unaoonyesha lilikua sehemu ya mpango mkubwa zaidi. Tukio hilo lilitokea katika njia ya wapita baiskeli na watu wanaotembea kwa miguu karibu na eneo la makumbusho ya World Trade Center kusini mwa kisiwa cha Manhattan, kulikotokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11, 2001. Kamishna wa polisi wa New York James O'Neill amasema ilikua karibu saa tisa za mjioni wakati dereva akiwa na lori dogo alipopita katika njia hiyo ya kupita baiskeli, akiwagonga watu wanaopita. . Watu 8 wauwawa katika shambulio la kutumia gari New York Wanane wauawa New York
"2018-08-16T18:07:51"
https://www.voaswahili.com/a/mamlaka-zachunguza-shambulizi-la-new-york/4095192.html
[ -1 ]
MHE. RIZIKI S. MNGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. Niruhusu nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, muumba mbingu na ardhi, aliyetujalia sote uhai, afya na uzima na kutuwezesha kuwa hapa tukijadili hili suala tunalojadili kwa mara ya pili sasa katika kipindi hiki au awamu hii ya uongozi tuliyonayo. Mheshimiwa Mwenyekiti, nifuatilize kwa jambo jema kabisa ambalo limewahi kutendwa hapa duniani ambalo ni kuhusiana na kuusia mema na hasa kuusia kumcha Mwenyezi Mungu. Basi na mimi niwausie kama ninavyousia nafsi yangu kumcha Mwenyezi Mungu kwa namna inavyopasa kumcha. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, naipongeza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi thabiti wa Mheshimiwa Mbowe, akisaidiwa na mimi hapa ndugu yake, lakini pia chini ya usaidizi mkubwa kabisa wa Mwenyekiti Mwenza, kaka yangu mpenzi, Mheshimiwa James Mbatia. Ama timu ya UKAWA inafanya kazi na kwenye ukweli siku zote uongo hujitenga. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, katika pongezi ambazo ningependa kuzitoa leo hii kwa uzito wa kipekee kabisa, nimpongeze kiongozi wangu mwadilifu, mcha Mungu, muungwana, mpenda amani na yeye mwenyewe ni kipenzi cha watu; huyu sio mwingine ni Katibu Mkuu Mwenza wa UKAWA, Mheshimiwa Maalim Seif Sharrif Hamad ambaye yeye siyo tu ana dhamira ya kuendeleza amani, bali anafanya kwa kitendo. Anatekeleza suala hili, anaendeleza amani na maelewano katika nchi hii na kwa kweli penye ukweli pasemwe. Laiti Maalim Seif angekuwa kama viongozi wengine wa Afrika wale ambao wana maslahi binafsi au wana ubinafsi, basi Bunge hili inawezekana ingekuwa saa hizi tunajadili mengine au nchi hii kwa ujumla wake ingekuwa katika hali tofauti na hii tunayoiona sasa hapa. Nampongeza sana, namwomba Mwenyezi Mungu amzidishie subira na ucha Mungu na kwa hakika yeye ni miongoni mwa wenye kufaulu duniani na akhera. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi wala si mtaalam sana wa takwimu lakini masuala mengine yamekuwa tabled hapa wiki iliyopita na kwa vigelegele kabisa mpaka watu wakasimama wima mimi nilikuwa nashangaa na naamini ulikuwa unaniona, nilikuwa nashangaa hivi kweli hotuba hii inastahiki kusimamiwa, kwa lipi lililomo mle jipya? Walichojitahidi sana ni kucheza na maneno, semantics genetics tu, sarakasi za maneno lakini hazina jipya lilotuletea hapa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, semeni kwa ukweli wa dhati wa mioyo yenu Waheshimiwa hivi unapoongeza tozo kwenye mafuta ya taa nia yako hasa ni nini? Wapiga kura wetu walio wengi lile wenyewe wanaita jiko la mchina ndiyo gesi yao na ndiyo electric cooker yao. Hivi unavyowaongezea hiyo gharama ya kununua mafuta ya taa unataka waende wapi? Unaongeza bei ya mafuta wakati ambapo tunakaza nati kwenye masuala ya mazingira na kuwazuia kukata miti, hao wananchi waishi maisha ya namna gani hebu niambieni Waheshimiwa? Nakuomba sana Mheshimiwa Waziri ukija hapa tuambie hawa walala hoi wa Tanzania wewe unataka waishi maisha ya aina gani mwaka huu wa 2017/2018? (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nimesahau yule Malkia wa Ufaransa alikuwa wa mwaka gani lakini katika kituko chake cha ile kuonyesha kiasi cha yeye kuwa mbali na realities na uhalisia wa mambo, wananchi walipoandamana wakasema hatuna mikate akawaambia why don’t you eat cake, hamna mkate kuleni keki. Kumbe wenzie wanasema hawana mkate yaani hawana hata kile cha kuendesha maisha ya kawaida, sasa ndiyo tunachokifanya hapa. Tumeshindwa kutafuta shilingi trilioni zile pungufu 29 leo tunasema tunataka shilingi trilioni 32 tunazitoa wapi kwa hali halisi? Halafu hatuonyeshi mbadala ulio mahsusi na makini wenye kueleweka kwamba hivi ndiyo vyanzo ambavyo vinakuja. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, jamani nakusihi sana Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango, hebu soma kwa uadilifu bila hiyana maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ambayo Masha Allah leo kijana wangu Silinde kaya-present yakiwa kwenye fomu yake hasa. Yapitie kwa umakini kabisa, utaona mapendekezo gani yamo mle kuhusu vyanzo vya mapato, lakini pia kuhusu ipi iwe ndiyo budget figure yetu. Tuache kucheza na maneno hapa, tuache kuwadanganya walimwengu lakini mwisho wa yote tunajidanganya sisi wenyewe. Hivi unaposema nitakimbia kilometa saba ukashindwa ukaishia mbili na nusu halafu unakuja tena unasema sasa mara hii nataka kukimbia kilometa kumi, inatokea wapi mambo hayo? Jamani kwa nini tunajidanganya hivi? (Makofi) Mheshimiwa Mwalimu Bilago pale kauliza huyo aliyeturoga nani huyu? Sisi kule kwetu wanasema ukiona hali kama hii huyo aliyekuroga kafa maana angekuwa hai angekuhurumia. Laiti yule aliyeturoga Watanzania angekuwa hai akatuona tunavyodhalilika humu, tunavyosema mambo ambayo hayana kichwa na miguu wala hayana mbele wala nyuma angetuhurumia. Basi akapunguza, wanasema anapunguza ile dozi, basi na sisi tungepata ahueni. Waheshimiwa Wabunge nawasihi sana tumwogope Mwenyezi Mungu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mwalimu wangu mmoja wa jiografia nilipokuwa O-level, Mrs. Seif, Mwenyezi Mungu ambariki sijui yuko wapi sasa hivi, katika ufundishaji wake mzuri sana wa geography ya maeneo alikuwa anatupandisha ndege na meli lakini tuko Kisutu Sekondari. Anatuambia fumba macho leo tunaondoka Zanzibar kwa boti namba fulani tumeingia baharini, mawimbi yanafanya vile, fumba macho na kweli tunafumba macho tuna-internalize ile safari yote mpaka lile aneo jipya tunalokwenda. Hebu na sisi tufumbe macho tu-internalize haya mambo, tu-internalize hii bajeti process yetu kila figure, tumvute kwenye picha hii kubwa kila mtu ambaye anaguswa na bajeti hii, tusijifikirie sisi wenyewe tu Waheshimiwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mambo ambayo mimi naamini au katika vitu ambavyo ninajua kabisa bila hata kufundishwa wanasema, I am spill of effect au trickling down effect ni masuala ya mafuta. Unapoongeza tozo kwenye diesel na petrol unatarajia hao wenye mabasi yao akina Mheshimiwa Shabiby watawacha nauli ile ile, si watapandisha? Madaladala si watapandisha nauli? Mwalimu Bilago kasema hapo unadhani bidhaa itakayotoka Dar es Salaam mpaka ikafika huko Kakonko sijui itakuwa bei ile ile, itakuwa bei juu. Sasa sisi tunafanya nini jamani mbona tunagusa mahali sipo! Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa nini tunafanya jambo kama hili wakati tunadai eti tunataka kuwasaidia walalahoi, hatuwasaidii walalahoi. Labda mniambie mmekuja na system ambayo mtatengeneza kwenye vile vituo vya mafuta ile gari ikienda inakuwa detected, hii ni ya Mheshimiwa Ashatu mkate huyu, hii ni gari la daladala usikate labda iwe hivyo lakini kama tunaweka hii blanket amount halafu kwa system hii ya kawaida kwa kweli tunakwenda kuwaumiza watu wetu na walio wengi wataanza sasa kutumia hii tunaita TZ eleven, watatembea kwa miguu badala ya kutumia vyombo vya usafiri kwa sababu hawatamudu kutoa gharama hizo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, waswahili wanasema kama ilivyo dawa ya jipu kulitumbua dawa ya deni kulipa. Msitumie maneno lihahimilika, linavumilika, linahamishika, linakwenda wapi? Bado linabaki ni deni letu la taifa, tulilipe, tuwe na clean slate halafu tunaanza upya. Watu tumelalamika hapa na Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti kasema kuhusu riba, riba tena inatuning’inia rohoni hapa hatujiwezi. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nitawaambia jambo lakini ninyi mtakasirika kwa sababu lilishaingia Bungeni humu likaleta siasa na chuki, go OIC ambapo tunapata mikopo haina riba. Kama OIC mnaiona ina ukakasi, mimi naamini kama hiyo economic diplomacy yetu tungeitumia vizuri wangetutafutia partners ambao wangeweza kutupa mikopo kwa bei nafuu kabisa. Naamini hao watu wapo, hizo nchi zipo kwenye Bara la Ulaya tungeweza kupata hao partners ambao wangetupa arrangements zenye unafuu sana na mikopo ambayo kweli tungeweza kuhimili. Siyo hii mikopo ambayo tunaenda kukopa kibiashara kwenye arrangements ambazo zinatutoza riba kubwa mwisho wa yote capital hatulipi na wala hiyo riba inayoongezeka kila mwaka hatulipi, tunaendelea kubadilisha maneno hapa mara leo linahimilika, kesho sijui litavumilika. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, namwomba sana Mheshimiwa Waziri husika hebu atuambie vizuri haya maneno hasa mwisho wake nini na nini anapotuambia tunaweza kuhimili deni ili mwisho wake iwe nini. Atuambie tu hii bajeti yake inajibu vipi vilio vile ambavyo tulivisikia hapa wakati tunajadili Sectorial Ministries. Tulipokuwa tunasema maji, kila mtu hana maji na Mheshimiwa kaka yangu Almas anamalizia hiyo imekwisha, Wizara ya Maji ilishapita na hii bajeti haina hata maji humu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, tumejadili hapa kila kitu elimu matatizo, afya mtihani, maji ndiyo hayo, barabara hazisemeki, kila kitu kila kitu hakipo. Hii bajeti hii hapa hii ukiondoa hiyo dhamira ya kuendeleza amani ambayo wala haipo mnafanya nini ku-address vilio vyote vile ambavyo vimesemwa katika Bunge lako hili Tukufu kuhusu maisha ya Watanzania kwa mustakabali wa nchi yetu.
"2020-07-12T12:31:44"
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/7468
[ -1 ]
Capricorn Bi-weekly Tarot na kusoma kwa uangalizi Aprili 17th & 24th 2017 - Kusoma kwa maandishi ya akili Online masomo ya akili > Video > Capricorn Bi-weekly Tarot na kusoma kwa uangalizi Aprili 17th & 24th 2017 Capricorn Bi-weekly Tarot na kusoma kwa uangalizi Aprili 17th & 24th 2017 Megan Aprili 13, 2017 VideoTagged Ushauri, biweekly ..., Utabiri, ujumla, mwongozo, horoscope, Angavu, mwezi, kila mwezi, chumba cha ndani, maelezo ya jumla, psychic, kusoma, Tarotc, tarotscope, wiki, kila wiki, mwaka, kila mwakaKuondoka maoni juu ya Capricorn Bi-weekly tarot na kusoma psychic Aprili 17th & 24th 2017 SAVE 20% Toka kwenye Worthville Psychic SAVE UP TO 80% Kutoka kwenye Convent Psychic
"2019-11-17T14:44:49"
https://sw.psychicbonus.com/capricorn-bi-weekly-tarot-and-psychic-reading-april-17th-24th-2017/
[ -1 ]
MO AANZA KUTIMIZA AHADI ZAKE SIMBA, SASA MAISHA UHAKIKA | BOIPLUS » MO AANZA KUTIMIZA AHADI ZAKE SIMBA, SASA MAISHA UHAKIKA MO AANZA KUTIMIZA AHADI ZAKE SIMBA, SASA MAISHA UHAKIKA UONGOZI wa klabu ya Simba umemshukuru mfanyabiashara Mohamed Dewji 'MO' kwa kutimiza ahadi ya kuwalipa mishahara wachezaji na benchi la ufundi ikiwa ni moja ya ahadi zake kabla ya mchakato wa uwekezaji hisa za asilimia 51 kukamilika. Dewji maarufu kama MO tayari ameshaanza kulipia mishahara ya wachezaji, benchi la ufundi na Sekretarieti ya klabu na atafanya hivyo katika kipindi chote cha mpito kuelekea mabadiliko ya kimuundo ya klabu ambayo yanaweza kuchukua miezi sita hadi mwaka. Mbali ya hayo mfanyabiashara huyo mkubwa barani Afrika atalipia kodi ya nyasi bandia na gharama nyingine za uendeshaji wa klabu ikiwa ni miongoni mwa mambo aliyowaahidi Wanasimba wakati akitangaza dhamira yake ya kuwekeza miezi mitatu iliyopita. Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara alisema kuwa uongozi unamshukuru sana MO kwa kutekeleza ahadi zake kwa vitendo hasa katika kipindi hiki ambacho hawana mdhamini yoyote. "Uongozi wa Simba unamshukuru sana MO, ukizingatia klabu kwa sasa haina mdhamini na unaamini uwekezaji huo ni chachu ya kuwarejeshea furaha wanasimba na hatimae kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom msimu huu na misimu mingine ijayo," alisema Manara. Aidha Manara amewaomba mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi siku ya Jmosi ya Octoba Mosi uwanja wa Taifa,kuwashangilia Wekundu hao watakapocheza mechi ya ligi dhidi ya watani zao wa jadi Yanga. "Tunaamini mechi hiyo ni mwendelezo wa furaha kwa wanachama na washabiki wetu kote nchini kwakua tutaibuka na ushindi. "Pia tuwaombe sana kukumbuka kununua tiketi kwa mawakala wa Selcom waliopo katika maeneo mbalimbali. Ikumbukwe tiketi za mechi hii ni za kieletroniki," alimaliza Manara.
"2017-01-20T15:56:10"
http://boiplus.blogspot.com/2016/09/mo-aanza-kutimiza-ahadi-zake-simba-sasa.html
[ -1 ]
Libaka Haluswanela ‘Kuzwelapili Kubeya Hahulu Miselo’ | Tuto Tawala ya Mulibeleli—Hatiso ya Kuituta | May 2018 MUBALE MWA Afrikaans Albanian Altai Alur American Sign Language Amharic Amis Arabic Argentinean Sign Language Armenian Armenian (West) Australian Sign Language Aymara Azerbaijani Azerbaijani (Cyrillic) Bashkir Bassa (Cameroon) Belize Kriol Bengali Bicol Bolivian Sign Language Boulou Brazilian Sign Language British Sign Language Bulgarian Cakchiquel Catalan Cebuano Chilean Sign Language Chinese (Cantonese) Chinese (Simplified) Chinese (Traditional) Chinese Cantonese (Simplified) Chinese Sign Language Chitonga (Malawi) Chitonga (Zimbabwe) Chiyao Chol Chuvash Colombian Sign Language Costa Rican Sign Language Croatian Czech Czech Sign Language Damara Dangme Danish Digor Douala Dutch Ecuadorian Sign Language Edo Efik Esan Estonian Ewe Fijian Filipino Sign Language Finnish Finnish Sign Language Fon French Sign Language Ga Garifuna Georgian German Sign Language Greek Sign Language Guarani Guatemalan Sign Language Gujarati Gun Haitian Creole Hausa Herero Hiligaynon Hindi Hiri Motu Honduras Sign Language Hungarian Hungarian Sign Language Ibanag Icelandic Igbo Iloko Indonesian Indonesian Sign Language Isoko Italian Italian Sign Language Japanese Japanese Sign Language Jula Kabiye Kabuverdianu Kannada Kikamba Kikuyu Kiluba Kinyarwanda Kirghiz Kiribati Kirundi Kisonge Kongo Korean Korean Sign Language Kurdish Kurmanji Kurdish Kurmanji (Caucasus) Kurdish Kurmanji (Cyrillic) Kwangali Kwanyama Latvian Lingala Lithuanian Low German Luganda Luo Macedonian Malagasy Malawi Sign Language Malay Malayalam Mam Marathi Marshallese Maya Mazatec (Huautla) Mexican Sign Language Mingrelian Mixe Mixtec (Guerrero) Mongolian Moore Motu Myanmar Nahuatl (Central) Nahuatl (Guerrero) Nahuatl (Huasteca) Nahuatl (Northern Puebla) Ndonga Nepali Ngabere Nicaraguan Sign Language Nigerian Pidgin Norwegian Nzema Okpe Oromo Ossetian Otetela Panamanian Sign Language Pangasinan Papiamento (Curaçao) Paraguayan Sign Language Persian Peruvian Sign Language Pidgin (Cameroon) Polish Polish Sign Language Ponapean Portuguese Sign Language Punjabi Puo ya bo Susu ya Kwa Cuba Puo ya bo Susu ya Kwa India Puo ya bo Susu ya Kwa Mozambique Puo ya bo Susu ya Kwa Salvador Puo ya bo Susu ya Kwa Slovakia Puo ya bo Susu ya Kwa Zambia Puo ya bo Susu ya kwa Angola Quebec Sign Language Quechua (Ancash) Quechua (Bolivia) Romanian Romanian Sign Language Russian Russian Sign Language Samoan Sango Sepulana Serbian Serbian (Roman) Sesotho (Lesotho) Sesotho (South Africa) Sibemba Sichewa Sidama Sifura Sigerike Siheberu Sijelemani Sikaonde Sikosa Sikuwa Silozi Silubale Silunda Simambwe-Lungu Simbunda Sindebele Sindebele (Zimbabwe) Sinhala Sinyanja Sipeli Siputukisi Siputukisi (Portugal) Sishona Siswahili Siswahili (Congo) Siswana Sitonga Situmbuka Sizulu Slovak Slovenian Solomon Islands Pidgin South African Sign Language Spanish Spanish Sign Language Sranantongo Swati Swedish Tagalog Taiwanese Sign Language Tajiki Tamil Tarascan Tatar Telugu Tetun Dili Thai Tigrinya Tiv Tlapanec Tojolabal Tok Pisin Tongan Totonac Tshiluba Tsonga Turkish Turkmen Tuvaluan Twi Tzeltal Tzotzil Ukrainian Urhobo Uzbek Uzbek (Roman) Venda Venezuelan Sign Language Vietnamese Waray-Waray Wolaita Yoruba Zande Zapotec (Isthmus) Zimbabwe Sign Language Libaka Haluswanela ‘Kuzwelapili Kubeya Hahulu Miselo’ “Ndate ukanyiswa ka taba ye, kuli muzwelepili kubeya hahulu miselo ni kubonisa kuli mu balutiwa baka.”—JOA. 15:8. LIPINA: 53, 60 Ka kuya ka Mañolo, ki kabakalañi haluswanela kuzwelapili kukutaza? Ki kabakalañi hakuli kwa butokwa kuutwisisa hande libaka haluswanela kukutaza? Ki lika mañi zeelutusa kuitiisa mwa musebezi waluna wa kukutaza? 1, 2. (a) Jesu naabulelezi balutiwa bahae litaba mañi pili asika shwa kale? (Mubone siswaniso sesi fahalimu.) (b) Ki kabakalañi hakuli kwa butokwa kuutwisisa libaka haluswanela kukutaza? (c) Lukanyakisisañi mwa taba ye? MANZIBWANA a lizazi lene litatamiwa ki lizazi lanaashwile, Jesu naaambozi ni baapositola bahae ka nako yetelele, mi abataluseza kuli naabalata hahulu. Hape ka yona nako yeo, naabafile swanisezo ya kota ya veine yelunyakisisize mwa taba yefelile. Ka kuitusisa swanisezo yeo, Jesu naasusuelize balutiwa bahae kuli “[bazwelepili] kubeya hahulu miselo,” ili kutalusa kuli nebaswanela kuzwelapili kukutaza taba ya Mubuso.—Joa. 15:8. 2 Nihakulicwalo, Jesu naasika bulelela feela balutiwa bahae musebezi one baswanela kueza, kono hape naabataluselize ni libaka hane baswanela kueza musebezi wo. Kaniti, naabafile mabaka hane baswanela kukutaza. Ki kabakalañi haluswanela kunyakisisa mabaka ao? Haiba luutwisisa libaka haluswanela kuzwelapili kukutaza, lukasusuezwa kuitiisa halunze lufa “bupaki kwa macaba kaufela.” (Mat. 24:13, 14) Kacwalo, halunyakisiseñi mabaka amane a mwa Mañolo haluswanela kukutaza. Hasamulaho, lukanyakisisa limpo zeene zalufile Jehova zeelutusa kuzwelapili kubeya muselo. LUKANYISA JEHOVA 3. (a) Ka kuya ka liñolo la Joani 15:8, ki kabakalañi haluswanela kukutaza? (b) Mwa swanisezo ya Jesu, miselo ya veine iyemelañi, mi ki kabakalañi swanisezo yeo haili yeswanela? 3 Libaka la butokwa hahulu haluswanela kueza musebezi wa kukutaza kikuli lubata kukanyisa Jehova ni kukenisa libizo lahae. (Mubale Joani 15:1, 8.) Mulemuhe kuli mwa swanisezo yahae ya kota ya veine, Jesu naabapanyize Jehova Ndatahe ku mulimi yacezi simu ya likota za veine. Jesu naabulezi kuli yena kasibili ki kota ya veine, ni kuli balateleli bahae ki mitai. (Joa. 15:5) Kacwalo, miselo ya veine iswaniseza muselo wa Mubuso obabeya balateleli ba Kreste. Jesu naabulelezi baapositola bahae kuli: “Ndate ukanyiswa ka taba ye, kuli muzwelepili kubeya hahulu miselo.” Sina likota za veine zebeya miselo ya veine yeminde halitahisa kuli mulimi alumbiwe, ni luna lukanyisa ni kulumbekehisa Jehova halushaela taba ya Mubuso ka molukonela kaufela.—Mat. 25:20-23. 4. (a) Lukona kukenisa cwañi libizo la Mulimu? (b) Muikutwa cwañi kabakala tohonolo yemunani yona ya kukenisa libizo la Mulimu? 4 Musebezi waluna wa kukutaza ukenisa cwañi libizo la Mulimu? Halukoni kuekeza kwa bukeni bwa libizo la Mulimu. Kakuli likenile kale ka kutala. Kono mulemuhe manzwi anaabulezi mupolofita Isaya, aali: “Jehova wa limpi—ki yena yemuswanela kuunga kuli ukenile.” (Isa. 8:13) Nzila yeñwi yelukenisa ka yona libizo la Mulimu ki ka kuliinga kuli ki lona la butokwa hahulu kwa mabizo kaufela, ni kutusa babañwi kuliinga kuba lelikenile. (Mat. 6:9, litaluso ze kwatasi.) Ka mutala, haluluta babañwi za tulemeno twa Jehova totunde ni mulelo wahae osacinci, oama zakaezeza batu kwapili, luyemela libizo la Mulimu ni kubonisa kuli Satani ki lihata. (Gen. 3:1-5) Hape, lukenisa libizo la Mulimu haluikataza kutusa batu babafumaneha mwa kalulo yaluna ya simu kulemuha kuli ki Jehova feela yaswanela “kufiwa kanya ni likute ni maata.” (Sin. 4:11) Bo Rune base babile mapaina ka lilimo ze 16 babulela kuli: “Niikutwa kuba ni tohonolo yetuna ya kuba paki wa Mubupi wa pupo kaufela. Taba yeo inisusueza kuli nizwelepili kukutaza.” LULATA JEHOVA NI MWANAA HAE 5. (a) Ka kuya ka liñolo la Joani 15:9, 10, ki kabakalañi haluswanela kukutaza? (b) Jesu naabonisize cwañi kuli lutokwa kuba ni buitiiso? 5 Mubale Joani 15:9, 10. Libaka leliñwi la butokwa haluswanela kukutaza lushango lwa Mubuso kikuli lulata Jehova ni Jesu. (Mare. 12:30; Joa. 14:15) Jesu naasika bulelela feela balutiwa bahae kuli bamulate, kono naabataluselize kuli ‘bazwelepili mwa lilato lahae.’ Kabakalañi? Kakuli, kuli mutu azwelepili kuba mulutiwa wa niti wa Kreste, utokwa kuitiisa. Jesu naabonisize kuli lutokwa kuba ni buitiiso ka kukuta-kutela kubulela manzwi aswalisana ni linzwi la ‘kuzwelapili’ mwa taba yekuswani yeñozwi kwa Joani 15:4-10. 6. Lukona kubonisa cwañi kuli lubata kuzwelapili mwa lilato la Kreste? 6 Lukona kubonisa cwañi kuli lubata kuzwelapili mwa lilato la Kreste ni kumutabisa? Ka kumamela milao ya Jesu. Kuswana feela inge kuli Jesu ulubulelela kuli: ‘Mumamele milao yaka.’ Mane Jesu ulukupa feela kuli lueze mwanaaezelize yena, kakuli naaekelize kubulela kuli: “Sina na hanimamezi milao ya Ndate ni kuzwelapili mwa lilato lahae.” Jesu naalutomezi mutala oluswanela kulikanyisa.—Joa. 13:15. 7. Kuutwa ni kubonisa lilato kuswalisana cwañi? 7 Jesu naabonisize kuli lukona kubonisa kuli lwamulata haiba lumuutwa, hanaabulelezi baapositola bahae kuli: “Mutu kaufela yanani milao yaka mi aimamela ki yena yanilata.” (Joa. 14:21) Hape, halumamela taelo ya Jesu ya kukutaza, lubonisa kuli lwalata Mulimu, bakeñisa kuli milao yalufa Jesu ibonisa mwaangela lika Ndatahe. (Mat. 17:5; Joa. 8:28) Haiba lulata Jehova ni Jesu, ni bona bakazwelapili kululata. LULEMUSA BATU 8, 9. (a) Ki lifi libaka leliñwi haluswanela kukutaza? (b) Manzwi a Jehova aafumaneha kwa Ezekiele 3:18, 19 ni kwa Ezekiele 18:23 alususueza cwañi kuzwelapili kukutaza? 8 Kunani libaka leliñwi haluswanela kuzwelapili kukutaza. Luswanela kukutaza kuli lulemuse batu. Bibele ibonisa kuli Nuwe neli “mukutazi.” (Mubale 2 Pitrosi 2:5.) Pili Muunda usika taha kale, naakutalize lushango lwa kulemusa batu za sinyeho yeneka taha. Luziba cwañi cwalo? Mulemuhe manzwi a, anaabulezi Jesu, aali: “Kakuli sina mone kuinezi mwa mazazi ale Muunda usika taha kale, batu nebaca, nebanwa, baana nebanyala, basali nebanyaliswa, kufitela lizazi lakena Nuwe mwa aleka, mi nebasika lemuha sesiñwi kufitela Muunda utaha ni kubakukisa kaufelaa bona, ni nako ya kubateñi kwa Mwanaa mutu ikaba cwalo.” (Mat. 24:38, 39) Nihaike kuli batu nebasa isi pilu kwa lushango lwanaakutaza, Nuwe naabonisize busepahali ka kulemusa batu kulikana ni mwanaataluselizwe. 9 Kacenu, lukutaza lushango lwa Mubuso ilikuli lutuse batu kuziba zaka baezeza Mulimu. Sina Jehova, lulakaza hahulu kuli batu bautwe lushango lolukutaza ilikuli ‘bazwelepili kupila.’ (Ezek. 18:23) Mi halunze lukutaza fa ndu ni ndu ni mwa libaka za nyangela, lulemusa batu babañata ka mokukonahalela kaufela kuli Mubuso wa Mulimu ukato sinya lifasi la batu babamaswe le.—Ezek. 3:18, 19; Dan. 2:44; Sin. 14:6, 7. LULATA BABAÑWI 10. (a) Ka kuya ka liñolo la Mateu 22:39, ki kabakalañi haluswanela kukutaza? (b) Mutaluse mo Paulusi ni Silasi nebatuselize mulibeleli wa tolongo mwa Filipi. 10 Ki le libaka leliñwi la butokwa haluswanela kuzwelapili kukutaza: Halukutaza, lubonisa kuli lulata babañwi. (Mat. 22:39) Lilato laluna ku babañwi lilususueza kuzwelapili kueza musebezi wo, ka kuziba kuli batu bakona kutabela kuluteeleza habaipumana mwa miinelo yetaata. Munahane zeneezahezi ku Paulusi ni Silasi. Hane bali mwa muleneñi wa Filipi, balwanisi neba bakenyize mwa tolongo. Kono fahalaa busihu, kwaezahala zikinyeho yenenyanganyisize mitomo ya tolongo ni kukwalula minyako ya tolongo yeo. Mulibeleli wa tolongo aikalelwa kuli mapantiti batobile, mi abata kuipulaya. Kono Paulusi ahuwa, ali: “Usike waikolofaza!” Mulibeleli wa tolongo yo yanaaziyelehile abuza, ali: “Nilukela kuezañi kuli nipiliswe?” Bamubulelela kuli: “Ulumele ku Mulena Jesu, mi ukapiliswa.”—Lik. 16:25-34. Kulata Jehova, Jesu, ni batu babañwi, kulususueza kukutaza (Mubone maparagilafu 5 ni 10) 11, 12. (a) Taba ya mulibeleli wa tolongo ilulutañi ka za musebezi wa kukutaza? (b) Ki kabakalañi haluswanela kuzwelapili kukutaza ka busepahali? 11 Taba ya mulibeleli wa tolongo ilulutañi ka za musebezi wa kukutaza? Mulemuhe taba ye: Mulibeleli wa tolongo naacincize mubonelo wahae ni kukupa tuso hamulaho wa zikinyeho. Ka mukwa oswana, batu babañwi kacenu bane basika bonisa kutabela lushango lwa mwa Bibele, bakona kucinca mubonelo wabona hasamulaho hakuezahala nto yeñwi ya ka sipundumukela mwa bupilo bwabona. Ka mutala, batu babañwi babafumaneha mwa sibaka selukutaleza ku sona mwendi bazwisizwe fa misebezi ka kusalibelela mi baziyelehile. Babañwi mwendi balembwalile kabakala kuli manyalo abona afelile. Mi mwendi babañwi balembwalile kabakala kuziba kuli bakula butuku bobutuna, mi babañwi mwendi balobehile lipilu kabakala kushwelwa ki mutu yebalata. Lika zecwalo haliezahalanga, batu babaziyelehile bao bakona kukala kubuza lipuzo ka za mulelo wa bupilo, ili lipuzo zene basaisangi pilu kwamulaho. Mane mwendi bakona kubuza kuli: ‘Nilukela kuezañi kuli nipiliswe?’ Halukopana ni bona, mwendi bakona kutabela kuteeleza lwapili kwa lushango lwaluna lolukona kubatusa kuba ni sepo. 12 Kacwalo, haluzwelapili kukutaza ka busepahali, lukaba teñi ka nako yebaka tabela kuteeleza, mi luka baomba-omba. (Isa. 61:1) Kaizeli Charlotte yasaabile mwa sebelezo ya nako kaufela ka lilimo ze 38, uli: “Batu kacenu ba mwa lififi. Batokwa kuutwa taba yende.” Kaizeli Ejvor yasaabile paina ka lilimo ze 34, uli: “Batu babañata kacenu bazwafile hahulu kufita nako ifi kamba ifi kwamulaho. Nibata kubatusa luli. Ki lona libaka hanikutazanga.” Kaniti luli, kulata babañwi kuswanela kulususueza kuzwelapili kukutaza! LIMPO ZEELUTUSA KUKUTAZA KA BUITIISO 13, 14. (a) Ki mpo mañi yebulezwi kwa Joani 15:11 yeelutusa kuzwelapili kukutaza? (b) Lukona kuba cwañi ni tabo yeswana ni yanani yona Jesu? (c) Kuba ni tabo kulutusa cwañi mwa bukombwa? 13 Manzibwana a lizazi lene litatamiwa ki lizazi lanaashwile, Jesu hape naabulezi za limpo lisikai zeneka tusa baapositola bahae kuzwelapili kubeya muselo. Ki limpo mañi zona zeo, mi likona kulutusa cwañi? 14 Tabo. Kana kumamela taelo ya Jesu ya kukutaza kutaata? Batili. Jesu hasaafile swanisezo ya kota ya veine, naabonisize kuli haiba lukutaza Mubuso, lukaba ni tabo. (Mubale Joani 15:11.) Mane naabonisize kuli lukaba ni tabo yeswana ni yanani yona. Ka mukwa ufi? Sina mose kutaluselizwe, Jesu naabulezi kuli yena ki kota ya veine ni kuli balutiwa bahae ki mitai. Mitai itiyelanga kwa kota. Kuli mitai iamuhele mezi ni lico zetokwahala, inani kuzwelapili kukumalela kwa kota. Ka nzila yeswana, kuli lube ni tabo yeswana ni yanani yona Kreste kabakala kueza tato ya Ndatahe, luswanela kuzwelapili kuswalisana ni Kreste ka kuhata ka busepahali mwanaahatile. (Joa. 4:34; 17:13; 1 Pit. 2:21) Kaizeli Hanne yabile paina ka lilimo zefitelela 40, utalusa kuli: “Tabo yenibanga ni yona hamulaho wa kukutaza inisusueza kuzwelapili kusebeleza Jehova.” Kaniti luli, kuba ni tabo yetuna kuka lutusa kuzwelapili kukutaza, mane niha lusebeleza mwa libaka mo batu babañata basatabeli kuteeleza kwa taba yende.—Mat. 5:10-12. 15. (a) Ki mpo mañi yelufilwe yetalusizwe kwa Joani 14:27? (b) Kozo ilutusa cwañi kuli luzwelepili kubeya muselo? 15 Kozo. (Mubale Joani 14:27.) Ka nako ya manzibwana pili asika bulaiwa kale, Jesu naabulelezi baapositola bahae kuli: “Nimifa kozo yaka.” Kozo yalufa ilutusa cwañi kubeya muselo? Halunze luitiisa, luba ni kozo ya mwa munahano kabakala kuziba kuli lutabisa Jehova ni Jesu. (Samu 149:4; Maro. 5:3, 4; Makolo. 3:15) Muzwale yabizwa Ulf, yasaabile mwa sebelezo ya nako kaufela ka lilimo ze 45, ubulela kuli: “Niikutwanga kukatala hamulaho wa kukutaza, kono kueza cwalo kunitahisezanga tabo, mi niikutwanga kuli nieza musebezi omunde hahulu.” Luitumela hahulu kuli lufilwe kozo ya mwa munahano! 16. (a) Ki mpo mañi yebulezwi kwa liñolo la Joani 15:15? (b) Baapositola nebatokwa kuezañi kuli bazwelepili kuba balikani ba Jesu? 16 Silikani saluna ni Jesu. Jesu hasaabulezi kuli naabata kuli tabo yene banani yona baapositola “ikwanelele,” naabataluselize butokwa bwa kubonisa lilato la buitomboli. (Joa. 15:11-13) Hasamulaho, naabulezi kuli: “Nimibizize balikani.” Kuba balikani ba Jesu ki mpo yetuna luli! Ki sika mañi sene baswanela kueza baapositola kuli bazwelepili kuba balikani ba Jesu? Nebaswanela ‘kuzwelapili kubeya miselo.’ (Mubale Joani 15:14-16.) Ibato ba lilimo zepeli pili Jesu asika bulela kale manzwi ao, naalaezi baapositola bahae kuli: “Hamunze muya, mukutaze, muli: ‘Mubuso wa mahalimu usutelezi.’” (Mat. 10:7) Kacwalo, ka nako ya manzibwana pili asika bulaiwa kale, naabasusuelize kuli batiiseze mwa musebezi one bakalisize kueza. (Mat. 24:13; Mare. 3:14) Kueza zanaa balaezi Jesu nekusike kwaba nto yebunolo, kono hane bakaitiisa, nebaka kondisa ni kuba balikani bahae. Ki nto mañi yeneka batusa kuitiisa? Nebaka tusiwa ki mpo yeñwi yene bakafiwa. 17, 18. (a) Ki mpo mañi yebulezwi kwa liñolo la Joani 15:16? (b) Mpo yeo neika tusa cwañi balutiwa ba Jesu? (c) Ki limpo mañi zeelutusa kacenu? 17 Kualabiwa kwa litapelo zaluna. Jesu naabulezi kuli: “Semuka kupa kaufela ku Ndate ka libizo laka, uka mifa sona.” (Joa. 15:16) Kaniti, manzwi ao aswanela kuba anaasusuelize hahulu baapositola! * Baapositola nebasika utwisisa kuli Mulenaa bona naatuha abulaiwa, kono fo hakutalusi kuli hakuna yanaaka batusa. Jehova naakaalaba litapelo zabona za kukupa tuso yene batokwa kuli baeze musebezi wa kushaela Mubuso one balaezwi kueza. Mi luli Jesu hasaabulezi manzwi ao, baapositola nebaiponezi mwanaaalabezi Jehova litapelo zabona za kukupa tuso.—Lik. 4:29, 31. Lunani buikolwiso bwa kuli Jehova ukaalaba litapelo zaluna za kukupa tuso (Mubone paragilafu 18) 18 Ki nto yeswana ni kacenu. Haiba luzwelapili kubeya muselo ka buitiiso, lukaba balikani ba Jesu. Kuzwa fo, lukaba ni buikolwiso bwa kuli Jehova ukaalaba litapelo zaluna za kukupa tuso ilikuli lutiyele butata bolukopana ni bona halunze lukutaza taba yende ya Mubuso. (Mafil. 4:13) Luitumela hahulu kuli litapelo zaluna zaalabiwanga, mi lu balikani ba Jesu! Limpo zalufile Jehova zeo lilutusa kuli luzwelepili kubeya muselo.—Jak. 1:17. 19. (a) Ki kabakalañi haluswanela kuzwelapili kueza musebezi wa kukutaza? (b) Ki lika mañi zeelutusa kueza musebezi walufile Mulimu? 19 Sina molunyakisiselize mwa taba ye, luswanela kukutaza kuli lukanyise Jehova ni kukenisa libizo lahae, kuli lubonise kuli lwalata Jehova ni Jesu, kuli lulemuse batu, ni kuli lubonise kuli lwalata babañwi. Hape, limpo zelufilwe zecwale ka tabo, kozo, tohonolo ya kuba balikani ba Jesu, ni tohonolo ya kualabiwa kwa litapelo zaluna, lilutusa kupeta musebezi walufile Mulimu. Jehova ukaba ni tabo yetuna haiba luikataza ka pilu yaluna kaufela ‘kuzwelapili kubeya hahulu miselo’! ^ para. 17 Jesu hanaaambola ni baapositola bahae, naakuta-kutezi kubataluseza kuli litapelo zabona nelika alabiwa.—Joa. 14:13; 15:7, 16; 16:23. LIFE STORY Nenili Mubotana, Kono Cwale ni Mufumi Kozo​—Mukona Kuifumana Cwañi? Jehova Ulata Batu ‘Bababeya Muselo ka Buitiiso’ Muzibe Sila Samina Babanca​—Mutiyele Milelo ya Diabulosi Kutulo Yetuna! Text Mukete mufuta omubata kuikungela TAWALA YA MULIBELELI—HATISO YA KUITUTA May 2018 TAWALA YA MULIBELELI—HATISO YA KUITUTA May 2018
"2020-01-21T19:03:13"
https://www.jw.org/loz/sifalana/limagazini/tawala-ya-mulibeleli-ya-kuituta-may-2018/libaka-haluswanela-kuzwelapili-kubeya-hahulu-miselo/
[ -1 ]
Muzyka Polska 〜ポーランドの音楽が好き♪〜: Justyna Steczkowska(ユスティナ・ステチコフスカ)
"2018-05-26T08:06:49"
https://muzykapolskamuzyka.blogspot.com/2014/04/justyna-steczkowska.html
[ -1 ]
Lengo kuu la UM lizingatiwe kutatua mzozo wa Ukraine: Baraza la usalama laelezwa | Habari za UN Lengo kuu la UM lizingatiwe kutatua mzozo wa Ukraine: Baraza la usalama laelezwa Saa 24 baada ya Baraza la Usalama kupatiwa muhtasari kuhusu hali ya usalama nchini Ukraine, mambo yamezidi kubadilika ikiwemo maeneo muhimu kwenye jimbo linalojitawala la Crimea nchini humo kama vile viwanja vya ndege, majengo ya umma na bunge la kikanda kushikiliwa na watu waliojihami wasiojulikana. Huo ulikuwa ni ujumbe wa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Baraza la usalama siku ya Jumamosi lilipokutana kwa faragha kujadili hali ya usalama Ukraine. Amesema ripoti zaidi zinataja kuwa watu wenye silaha wasiojulikana wanadhibiti majengo ya utawala kwenye miji kadhaa mashariki na kusini mwa Ukraine. Amesema kwa upande mwingine serikali mpya huko Crimea imeripotiwa kuomba usaidizi wa ulinzi kutoka Urusi lakini hata hivyo kuna habari njema kutokana na tangazo la serikali mpya ya Ukraine kutangaza azma yake ya kupanua wigo wa ushiriki kwenye serikali ikiwemo kujumuisha wawakilishi kutoka Mashariki kwaUkraine. Bwana Eliasson amewaeleza wajumbe hao kuwa huu ni wakati muhimu sana kurejelea lengo kuu la Umoja wa Mataifa ambalo wakati wote ni kuhakikisha migogoro na mizozo inapatiwa suluhu kwa amani na akasema hilo ndilo linapaswa kuwa mwongozo wa utatuzi wa kinachoendelea Ukraine. Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama|Europe|Habari za wiki|Human rights|Humanitarian aid|Law, crime|Peace and security|Security Council|UN affairs, SG|Women, children, population Mzozo wa Ukraine-Urusi unabadilika kutoka kisiasa kuwa wa kijeshi: Eliasson
"2018-02-21T17:41:03"
https://news.un.org/sw/story/2014/03/373282-lengo-kuu-la-um-lizingatiwe-kutatua-mzozo-wa-ukraine-baraza-la-usalama-laelezwa
[ -1 ]
ORODHA YA WASANII WATAKAOWANIA TUZO ZA MTV MAMA 2016 - Celebrity Swaggz I Official Website '+l+" Home » »Unlabelled » ORODHA YA WASANII WATAKAOWANIA TUZO ZA MTV MAMA 2016 ORODHA YA WASANII WATAKAOWANIA TUZO ZA MTV MAMA 2016 Orodha ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba 22 kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna vipengele tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy Kenzo. Hii ni orodha kamili ya wasanii waliochaguliwa kuwania tuzo hizo LCVL ft Sketchy Bongo – Cold Shoulder AKA ft Yanga, Burna Boy, Khuli Chana – Baddest Dj Maphorisa, ft Wizkid, Dj Buckz – Soweto Baby Nasty C ft Davido, Cassper Nyovest – Juice Back (Remix)
"2018-10-21T16:28:11"
http://www.celebrityswaggz.com/2016/09/orodha-ya-wasanii-watakaowania-tuzo-za.html
[ -1 ]
dj sek: NEC YASEMA ELIMU YA MPIGA KURA HAIKUWAFIKIA BAADHI YA WANANCHI NCHINI. NEC YASEMA ELIMU YA MPIGA KURA HAIKUWAFIKIA BAADHI YA WANANCHI NCHINI. mbalimbali kujitokeza katika uchaguzi Mkuu uliofanyika Octoba 25 Mwaka jana.
"2017-07-25T08:39:15"
http://dj-sek.blogspot.com/2016/02/nec-yasema-elimu-ya-mpiga-kura.html
[ -1 ]
Kanyandekwe ukekwaho gusambanya umwana w’imyaka irindwi byemejwe ko afungwa by’agateganyo - IGIHE.com Kanyandekwe ukekwaho gusambanya umwana w’imyaka irindwi byemejwe ko afungwa by’agateganyo Kuya 29 Ukwakira 2019 saa 08:10 Urukiko Rwisumbuye rwa Nyarugenge, kuri uyu wa Kabiri, rwategetse ko Munyempazi Dominique w’imyaka 85 y’amavuko wamenyekanye nka ‘Kanyandekwe’ muri filime y’uruherekane ya ‘Seburikoko’ afungwa ukwezi kw’agateganyo kubera icyaha akekwaho cyo gusambanya umwana w’imyaka irindwi. Uyu musaza wavutse mu 1934 yatawe muri yombi tariki 2 Ukwakira 2019, akukiranyweho gusambanya umwana w’umukobwa w’imyaka irindwi y’amavuko. Yafatiwe mu Mududugu wa Kagunga mu Kagari ka Gasharu mu Murenge wa Nyamirambo. Nyuma yo kugezwa mu Bugenzacyaha akemera icyaha ndetse akanacyemerera Ubushinjacyaha, uyu musaza ntiyaruhije Urukiko ubwo yaburanaga ku wa 23 Ukwakira 2019, kuko yemeye icyaha ashinjwa. Kuri uyu wa 29 Ukwakira 2019 nibwo Urukiko rwanzuye ko uyu musaza afungwa iminsi 30 mu gihe hagikomeje iperereza ndetse n’ikusanywa ry’ibimenyetso byo kwa muganga bigaragaza ukuri ku cyaha cyakozwe. Indi nkuru wasoma: Umusaza wagaragaye muri ‘Seburikoko’ yemereye urukiko ko yasambanyije umwana w’imyaka irindwi Urukiko Rwisumbuye rwa Nyarugenge rwemeje ko Kanyandekwe wagaragaye muri Seburikoko ukekwaho gusambanya umwana w’imyaka irindwi afungwa iminsi 30 y'agateganyo
"2020-01-25T02:06:19"
http://igihe.com/amakuru/u-rwanda/article/kanyandekwe-ukekwaho-gusambanya-umwana-w-imyaka-irindwi-byemejwe-ko-afungwa-by
[ -1 ]
Moshi: Padri afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama - Page 4 Moshi: Padri afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama Topic: Moshi: Padri afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama 29th April 2013 15:19 Posts : 7,227 Likes Received4392 Likes Given5262 KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu. “Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo. Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia. Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu. Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha. poleni sana mtakao ghafilika ni taarifa tu wandugu.myie wanaume mnamuona mwenzenu? itikadi za kidini weka pembeni tuzungumze fumanizzzzzzzz sourse :mnaiona hapo Kadogoo, Mentor, mungelehumphrey and 3 others like this. 29th April 2013 16:44 2142766 Likes Received4423 Likes Given3733 Re: Moshi: Padri afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama halafu Padre geto ana mafuta ya Babycare......duh jamani hawa watumishi muwatunze kidogo, mbona Geto limechoka sana?? Changamoto kwa washarika na wana kigango 29th April 2013 16:46 Location : KUGULIABASHASHI. Re: Padri wa kanisa katoliki huko moshi afumaniwa live na mke wa mtu akiwa uchi wa mnyama hivi walio na wenza hawatoki nje? kwa hawa makasisi wakiruhusiwa itapunguza haya mambo kama ni muaminifu kwa mwenza wako huwezi kutoka na kama mnapeana mahajuhaju ya ukweli ndo kutoka hakuta kuepo kabisa. Sawa kabisa Mpwa kama signature yangu hapa chini inavyosemkea eeeeh... Ni udhaifu wa kibinadamu. Asiye na dhambi awe wa kwanza kumshambulia huyu mtumishi wa Mungu. 29th April 2013 16:47 Posts : 12,187 Likes Received3571 Likes Given5078 Chumbani kwa Padre....Parokoani, mtaani au wapi huko?!!! Hapa, padre anavaa boxer or some balck shorts... Hapa chini, Padre amevaa bukta/pajama like Nyeupe na anapewa suruali yake. Hapo ni chumbani kwake....anazo nguo anaweza kunyakua yoyote na kuvaa, haina maana kwa aliyemfumania kuchukua suruali yake,...... Sijui kama wote mna akili inayofanan na yangu. au ndo hivyo tena!! Jamani wamuonee huruma yule Mu-Argentina wa watu!Hata mwezi hajamaliza tangu awe Papa wameshaanza tena na matukio yao ya ajabu ajabu! Au wanataka na yeye ajiengue kama papa benedictor? 29th April 2013 16:48 Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa �laivu� akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P. �Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,� kilidai chanzo. �Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.� Nyie wakatoliki mnashangaza!!! Ina maana padre huyo anaweza kusamehewa na kuendelea na upadre? Kuwanyima mapadre kuoa ni dhambi kwa mungu ona sasa mambo wanayofanya. Posts : 8,564 Likes Received2615 By NAPITA Wala usijidanganye ndugu... Kwani wanandoa hawatoki nje? Effectiveness is measured by what happened because of what you did Location : Tukuyu By ntogwisangu Haya mambo dr slaa alishituka mapema,maana wananchi wa Basotu walishamzungumzia kipindi cha mapenz yake na Rose,mapadri waoe,hii hali inawaharibu hata mbeleni maishan,wanakuwa wanafiki sana,mfano dr slaa. Kuoa sio solution, mbona siye tumeoa na bado tunaibanjua amri ya Sita Kama hatuna akili nzuri. Hapo ni suala la commitment ya mtu na MUNGU wake. Wengi wameingia huko Kama sehemu ya kuendesha maisha tu Kama wewe na mimi tulivyoamua kuajiriwa ili mkono uende kinywani. Huuuuwiiii jamani narudi nyumabani na mimi nikamalize mambo yangu kwa my wife wangu, naona mtumishi kanihamasisha sana hasa hio style yo kwenye picha ya kwanza hapo juu, sijui ndio style gani hii, ndio mbuzi kagoma au chuma.... Paloma na saudari mnauzoefu na hizi style? 29th April 2013 16:50 hahahaaaaa LAZIMA nikaseme kwa shemeji, kumbeeeee heri yangu mie sijafanya hivi karibuni....hahahahaaa By mwanafyale Kwani huyo padre alikuwa anajitomba mwenyewe? basi na huyo mke wa mtu aolewe na wanaume watatu kwasabababu huyo mmoja hamtoshelezi....hampi mahanjuhanju ya ukweli kama unavyosema. Binadamu bana!! 29th April 2013 16:51 Posts : 6,926 Likes Received2096 Waliooa na kuolewa wanafumaniwa kila siku sembuse asie na mke kabisa. Binadamu hajakamilika.!! Posts : 4,969 Likes Received1780 Likes Given528 By Alfu Lela Ulela Si mlisema hamtaki kuchinjiwa?, sasa Padri kaamua kuchinja mwenyewe. Kwahiyo Huu mchezo utaniambia na nyie mnagombea kuchinja kwakua mnawachinjaga waumini wenu sio? '' Mtu ni Utu sio Kitu'' piper Posts : 2,973 Lakini huyo mwanamke tayari ana mwenza! Nafikiri alimaanisha mapadri waruhusiwe kuoa mkuu 29th April 2013 16:52 Likes Received7103 Likes Given21455 soma maelezo mimi sijui mkuu ila mumewa atakuwa hana hamu tena aisee lol aibu sana naona bora angefumwa yuko na mtoto mzuri ajabu potelea mbali lol hilo jimama minyama na amejitwika aibu sana. Kha starehe ya wenzio hiyo wewe!!!! tema mate shemeji... hehehehehehehehehe Eshaza Join Date : 21st March 2013 hata waumini nao au ndo msemo usemao mchungaji huaangalia ndani ya kondoo wake na kuchagua aliyenona. 29th April 2013 16:53 3859307 Likes Received11840 umeona uvunjifu wa uaminifu umepungua kwa wenye ndoa? 29th April 2013 16:54 By eshaza khaa hahahahaahahah na amechagua aliyenona haswaaaa By Alfu Lela Ulela Si mlisema hamtaki kuchinjiwa?, sasa Padri kaamua kuchinja mwenyewe. Nionee huruma mkuu, unaniua kwa kicheko mwenzio huku! Ha ha haaaaaaa By Ngalikihinja Kama kuna kuaminiana ,kusaminiana na mahahaju ya ukweli hakutakuwa na wanandoa wanao toka nje wanaotoka ukiwauliza lazima kutakuwa na sababu iliomfanya atoke nje,tukirudi kwa hawa makasisi wanatoka nje maana sheria inawazuia kuwa na mipondodo sasa wanapojaribu ndo hivyo wanaumbuka lakini tukumbe nao ni Binadamu kupenda muhimu.
"2014-04-20T15:52:35"
http://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/442418-moshi-padri-afumaniwa-live-na-mke-wa-mtu-akiwa-uchi-wa-mnyama-4.html
[ -1 ]
Download Naina Da Kya Kasoor - Full Audio | AndhaDhun | Ayushmann Khurrana | Radhika Apte | Amit Trivedi- Mp3 Songs Free Download Download Naina Da Kya Kasoor - Full Audio | AndhaDhun | Ayushmann Khurrana | Radhika Apte | Amit Trivedi Mp3 Songs Free Download Duration: 3m 43s | Zee Music Company Naina Da Kya Kasoor - Full Audio | AndhaDhun | Ayushmann Khurrana | Radhika Apte | Amit Trivedi HQ Download Heirs Korean Drama Love Is Love Is Song Jayajanakinayaka Sad Bgm
"2019-04-25T08:41:19"
http://mp3main.com/song-download/_Tvork-z5uc.html
[ -1 ]
By Hashdough September 25, 2016 No Comments INAYOHUSIANA Apple yapata pigo baada ya taarifa kuhusu bidhaa zake kuvuja Previous ArticleFUNUNU: Twitter Iko Sokoni Na Makampuni Haya Ndiyo Yanaitolea Macho! Next Article Snapchat Waja Na Teknolojia Ya Miwani Inayoitwa ‘Spectacles’!
"2020-02-28T21:05:03"
https://teknolojia.co.tz/britney-spears-atangaza-kuanzisha-mtandao-wake-wa-kijamii/
[ -1 ]
Mchezaji mpira wa kulpwa wa uganda akamtwa na kilo 5 na nusu ya bangi aiportistanbul ataturk aiport | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mchezaji mpira wa kulpwa wa uganda akamtwa na kilo 5 na nusu ya bangi aiportistanbul ataturk aiport Discussion in 'International Forum' started by MziziMkavu, Sep 8, 2011. Socks were cannabis Kayseri Erciyessporlu football player, was caught at Istanbul Ataturk Airport on the drug substance. According to information received, from Kenya and flown to Istanbul Ataturk Airport Domestic Terminal to go to Kayseri, Kayseri Erciyesspor'un Ugandan Footballer of the Mawanda Wasswa'n&#305;n Hassan, security control during the transition swollen left foot was found. Security officials handed 5.5 grams of cannabis found in his search Wasswa'n&#305;n socks. Detained and taken to the airport police station said that the Ugandan football player was learned in the first query drinker. Football, was referred to the prosecutor's office. SOURCE: zerinde esrarla yakaland - Hrriyet Futbol Huenda akafungwa miaka 3 au akalipishwa faini ya pesa. Kazi kweli ipo hata wachezaji mpira kumbe ni Wauza madawa ya kulevya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kilo tano za bangi? Duhu! Alafu Google translation inafanya hiyo atiko ionekane kama imeandikwa na mvuta bangi! Kilo tano za bangi? Duhu! Alafu Google translation inafanya hiyo atiko ionekane kama imeandikwa na mvuta bangi!Click to expand... mkuu ni vitu vya kawaida tu kitu kinachonishangaza kuwa huyu ni mcheza mpira wa kulipwa na hapo Turkey wanamlipa pesa nzuri tu Euro lakini bado ana njaa ya kuuza madawa ya kulevya? Huenda akafungwa miaka 3 au akalipishwa faini ya pesa. Kazi kweli ipo hata wachezaji mpira kumbe ni Wauza madawa ya kulevya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Click to expand... Is it 5000 grams of 5.5 grams? Wakuu hizo 5 bricks mmezitowa wapi?
"2017-01-16T12:52:22"
https://www.jamiiforums.com/threads/mchezaji-mpira-wa-kulpwa-wa-uganda-akamtwa-na-kilo-5-na-nusu-ya-bangi-aiportistanbul-ataturk-aiport.170493/
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOFUNGA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA JWTZ BAGAMOYO MKOANI PWANI JANA RAIS DKT. MAGUFULI ALIPOFUNGA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA JWTZ BAGAMOYO MKOANI PWANI JANA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitabu mara baada ya kuwasili katika Kijiji cha Baatini ili kushuhudia zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' na kufunga maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani jana. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi kabla ya kwenda kushuhudia zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' na kufunga maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani jana. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange kabla ya kuelekea kwenda kushuhudia zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' katika kijiji cha Baatini Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akipita mbele ya Askari mbalimbali wa JWTZ walioshiriki katika zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' katika kijiji cha Baatini Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wakati akielekea kwenye bendi ya Jeshi ya Mwenge iliyokuwa ikitumbuiza viwanjani hapo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma wakati bendi ya Jeshi ya Mwenge Jazz ilipokuwa ikitumbuiza kabla ya kufunga rasmi maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani jana. Pembeni yake ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akimpigia makofi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kabla ya kufunga maadhimisho hayo jana. Askari mbalimbali wa JWTZ walioshiriki katika zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' wakipiga makofi wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akihutubia. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya Askari Mgambo walioshiriki katika zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' katika kijiji cha Baatini Wilayani Bagamoyo mara baada ya kufunga maadhimisho ya miaka 52 ya JWT jana. PICHA NA IKULU.
"2018-05-25T20:51:24"
http://www.kajunason.com/2016/10/rais-dkt-magufuli-alipofunga.html
[ -1 ]
WAFUNGA OFISI YA MTAA BAADA YA MWENYEKITI KUKAIDI KUJIUZURU. ~ CHIMBUKO LETU WAFUNGA OFISI YA MTAA BAADA YA MWENYEKITI KUKAIDI KUJIUZURU. Wakazi wa mtaa wa Mwaka Kati,Kata ya Tunduma,Wilaya ya Momba,Mkoani Mbeya wameifunga Ofisi ya Mwenyekiti ya mtaa,kutonana na wananchi hao kuikataa taarifa ya mapato na matumizi. Tukio hilo limetokea Juni 11 mwaka huu,majira ya saa tano asubuhi,wananchi hao waliamua kuweka kufuli jingine na kufanya ofisi hiyo kuwa na makufuli mawili,hali iliyopelekea mwenyekiti huyo kushindwa kuingia ofisini kwake. Sakata hilo limekuja kufuatia mkutano wa hadhara uliofanyika mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu,uliokuwa na lengo la kusoma mapato na matumizi ya mataa kwa wananchi ambapo taarifa hiyo waliikataa iliyosomwa na Mwenyekiti wa mtaa huo Bwna Elias Cheyo na kumtaka ajiuzuru lakini alilikataa agizo hilo na kuondoka mkutanoni. Kufuatia dhahama hiyo Mwenyekiti huyo aliamua kufungua mashtaka mahakamani na wananchi watatu wanashikiliwa kwa kosa la kutishia kuua kwa maneno,na kusomesha shtaka katika mahakama ya mwanzo Tunduma. Aidha watu hao wamelikana kosa hilo hali ambayo ilipelekea kesi kuahirishwa mpaka Juni 11 mwaka ambapo mlalamikaji Bwana Cheyo,hakufika mahakamani hapo baada ya kutoa udhuru kwamba anaumwa. Kesi hiyo imesogezwa mbele mpaka Julai 19 mwaka huu ndipo itakaposikilizwa tena katika mahakama hiyo. Hata hivyo katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi kadhaa walionekana katika Mji huo wakiwa na mabango mbalimbali ya kulaani kitendo cha kutosomwa taarifa ya mapato na matumizi,hususani uvunjwaji wa kamati ya maendeleo ya ujenzi wa shule na ufujwaji wa pesa za makusanyo ya michango kutoka kwa wazazi.
"2017-08-21T04:33:28"
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/06/wafunga-ofisi-ya-mtaa-baada-ya.html
[ -1 ]
JINSI YA KUKAUSHA APPLES KATIKA TANURI YA UMEME: VIDOKEZO JUU YA KUWEKA HALI YA JOTO INAHITAJIKA NA MODE YA KUHAMISHA - KWA MWENYEJI Jinsi ya kukausha apples katika tanuri ya umeme? Mapishi ya Sushina Wafanyabiashara wengi wamebadilika kukauka mavuno ya apples nyumbani, wakitumia vifaa na vituo vya kutosha. Kwa baadhi, chaguo rahisi zaidi ni maandalizi ya matunda yaliyokaushwa katika kitanda cha nyumba ya nchi au sehemu zote za ubora wa convection. Hata hivyo, kutokuwepo kwa vifaa maalum hubakia kuwa na maudhui na nini. Kwa wakazi wa vyumba vya jiji, swali linaweza kutokea ambapo ni rahisi zaidi kwa matunda kavu - katika tanuri ya gesi au tanuri ya umeme. Kila mmoja ana sifa zake mwenyewe, faida na hasara, lakini, kwa kawaida, upendeleo hupewa bora zaidi. Je, ninaweza kukausha maapulo kwenye tanuri ya umeme? Kama uzoefu umeonyesha, inawezekana kufikia matokeo mazuri katika matukio yote - na wakati wa kukausha kwenye gesi na umeme wa tanuri. Bila shaka, ubora na wakati wa kupika utategemea kutoka kwa nguvu ya tanuru, hali yake na jinsi vizuri alikuwa na wakati wa joto. Wataalamu wanashauri kutumia tanuri ya umeme, si kwa sababu tu zaidi ya kuaminikalakini pia ni rahisi sana kuhakikisha kwamba hewa si nzito kutoka kwa muda mrefu kazi katika kesi ya tanuri ya gesi. Aidha, tanuri ya umeme ni salama salama na inaaminika zaidi katika kudumisha moto thabiti. Katika tukio kwamba wewe ni bahati na nyumba ina hasa jiko la umeme, fikiria kanuni chache rahisi za kupika vizuri matunda yaliyokaushwa. Tanuri ya umeme ni nzuri ambayo inaruhusu kuhifadhi wingi wa virutubisho. Kwa sababu hii, unaweza kufanya bila kusafisha kamili na usiizike msingi wa matunda, ukiacha na mifupa. Haitathiri ladha, lakini itakuwa na manufaa tu katika kuandaa msingi mzuri wa compote ya baadaye. Ni kukausha nini kwa apples katika tanuri ya umeme? Jambo la kwanza kukumbuka ni joto sahihi. Inashauriwa kuongeza kwa kasi ili apula hazichochea na kuchoma. Wakati joto linalohitajika linafikia (takriban 60-80 ° C), jiko lazima liwe wazi kidogo. Shukrani kwa "kutangaza" unyevu kupita kiasi, ambayo hupuka kutoka kwenye massa, itaondoka kwa uhuru nje. Vitalu vinahitajika kuzingatiwa mara kwa mara. Kila masaa machache, inaweza kuwa muhimu kugeuza vipande, vurugu, hivyo si kukwama kwenye uso wa karatasi, na kufikiwa hata rangi. Jinsi ya kukausha apples katika tanuri ya umeme? Tayari tumezingatia kanuni muhimu za kuandaa apples kwa kukausha, na hatutazingatia sana mchakato huu. Baada ya vipande vipande au pete za apples tayari, unahitaji kuweka kwenye grillkaratasi ya kuoka karatasi (karatasi ya ngozi). Karatasi za kuoka kwa kusudi hili haifai - matunda yaliyokaushwa yatakuwa kavu bila kavu, na kukausha huchukua muda mrefu zaidi kuliko ilivyopangwa. Acha apple ngozi kabla ya kukausha au la, ni suala la upendeleo wa kibinafsi na kusudi ambalo umekausha matunda. Kwa kupikia kwa charlotte, jelly na sahani nyingine tamu ni bora zaidi kikamilifu apples ili ngozi haina scratch na haina nyara ladha. Kupika wakati Ni masaa mingapi ya kukausha maapuli? Kulingana na jinsi jiko lako jipya na lenye nguvu, wakati wa kupika utatofautiana. Kwa wastani, kukausha huchukua masaa 5 na usimamizi sahihi. Hata hivyo, mchakato unaweza kudumu hadi saa 8-10 upeoikiwa aina ya apple ni ngumu sana na sio ladha. Joto la athari Tuna kavu gani? Suluhisho la manufaa zaidi linachukuliwa kuwa ongezeko la polepole la joto lililofuatiwa na kupungua karibu na utayari. Tanuri hupitishwa kwanza. 45-50 ° C. Katika hatua hii ya kukausha, matunda ni kavu kidogo. Basi unaweza ongeze joto hadi 70-95 ° C na kushikilia kwa masaa machache mpaka unyevu mkubwa unapovuliwa kutoka kwa matunda yote. Katika hatua ya mwisho ya kukausha, joto linapaswa kupunguzwa tena kulinda bidhaa kutoka kuwaka. Maapulo yatakufikia hali inayohitajika na itazalishwa, ambayo itakuwa wazi katika kivuli cha njano au kivuli. Njia gani inapaswa kukausha apples katika sehemu za umeme? Modes inapaswa kubadilishwa: chini hadi kati na nyuma. Vinginevyo, huwezi kuharibu matunda ya kavu ya baadaye, baada ya kukausha kwa saa 6-7 kwenye hali ya kati na kazi ya convection (pamoja na shabiki). Jinsi ya kuamua utayarishaji wa matunda yaliyokaushwa? Kuchukua vipande chache kutoka sehemu tofauti za latiti, hakikisha kwamba vipande vyote vilifanana na rangi na ukubwa. Ni muhimu kwamba kati ya matunda yaliyokaushwa yalikuwapo rangi ya sare. Ikiwa unatangulia apples kusindika katika suluhisho au blanching, matunda iliyoyokauka itakuwa nyeusi na kidogo "kutu". Vinginevyo, rangi nyembamba ya beige nyembamba. Jaribu kupiga moja ya vipande. Kugusa maapulo yaliyopikwa vizuri ni ya kutosha rahisi na sio kupungua. Usiwe na wasiwasi ikiwa vipande vilikuwa vya kavu na vichafu, kwa sababu bado wanaweza kutumia jelly, saladi ya matunda na sahani nyingine. Kwa chaguo la dessert, ambapo apula hupata tamu na futi, hifadhi juu ya usambazaji mdogo wa siki tamu - iliyopambwa au kununuliwa (cranberry au chochote). Wazaze na vipande vya matunda kwenye vyombo vyenye, shika soak kwa siku au sikuna kisha kavu ndani ya tanuri, kama kawaida. Kwa kupikia compotes na jelly mara nyingi soak katika syrup vipande vyote vya apple, ambavyo viliacha si ngozi tu, bali pia msingi. Sura rahisi inaweza kupikwa kwa kumwaga sukari katika maji ya kuchemsha. Jinsi ya kukausha majani kwenye tanuri ya umeme, unaweza kupata kwa kuangalia video: Kutumia njia moja au nyingine ya kukausha, usisahau kuhusu mbinu za upishiambayo itasaidia kupanua mali ya ladha ya matunda yaliyokaushwa. Usisahau kufuatilia kiasi cha maji, ambayo hupuka kutokana na vipande vya maua, ili usipunguze au kuondosha apula kutoka tanuri kabla ya muda. Na kuongeza syrup kabla ya kukausha, ni suala la ladha binafsi. Jinsi ya kuhifadhi matunda kavu kavu kusoma makala "Uhifadhi wa apples kavu." Tazama mapishi ya video ya kukausha apples katika tanuri ya jiko la umeme na kuongeza ya siki ya sukari: //youtu.be/BmKVaIJ2KYk
"2019-11-21T10:32:57"
https://sw.lezgka.ru/9513-how-to-dry-apples-in-an-electric-oven-sushina-recipe.html
[ -1 ]
Picha za kutombana k - Swahili - Italienska Översättning och exempel You searched for: picha za kutombana kiwahili (Swahili - Italienska) picha za kutombana gkiswahili immagini di vaginale gkiswahili rapporto sessuale picha za kutombana kiswahili immagini di vaginale kiswahili rapporto sessuale immagini Tanzania di rapporto vaginale foto kutombana della Tanzania foto kutombana di Kiswahili Voglio che x immagini siano in conflitto in Europa Voglio le immagini di x vaginale intercourse africa forma di rapporto vaginale Quadri rapporto vaginale Tanzania La realtà dietro ogni foto di guerra x xxx video per incontri pircha L'Afghanistan come non l'avete mai visto *Video na picha za Roberto Serrini, zimetumiwa kwa ruhusa yake. *Foto e video di Roberto Serrini, utilizzate con permesso* Mradi wa Picha wa Nepali unafanya kazi ya kukusanya picha za dhoruba hii ya kihistoria. Per ulteriori informazioni, c'è la Coverage Speciale di Global Voices sull'argomento qui . Timu yake ilitumia ndege aina ya DJI Phantom na kamera ya GoPro kupata picha za uzuri halisi wa Cambodia. La sua troupe ha utilizzato un drone DJI Phantom ed una video camera GoPro nelle riprese dell'incantevole Cambogia. Picha za kuteketea kwa magari ya polisi zimetawanyika kwenye mtandao wa twita kuonyesha athari ziliozletwa na waandamanaji. Dappertutto su Twitter foto di furgoni della polizia bruciati che mostrano gli strascichi delle proteste. Immagini sanguinose sono circolate senza tregua, ma i nostri autori trovano voci e punti di vista costruttivi per il dialogo. Mchanganyiko wa picha za kiev .Kwa upande mwingine, Waukraine wanaonekana kusikitishwa sana na hotuba ya Rais Putin. Collage tratto da kievtypical .D'altro canto, gli ucraini sono palesemente contrari dal discorso del Presidente Putin. Alcune delle foto su Flickr del viaggio di roberto In Cambogia: masuk baju ke dalam seluar (Malajiska>Engelska)sir hindi me likho (Hindi>Engelska)taste (Tagalog>Engelska)agri (Engelska>Lettiska)tritium (Danska>Engelska)chin music (Engelska>Franska)tiktik ng semento (Tagalog>Engelska)yctahobka (Ryska>Engelska)you trust me (Engelska>Swahili)rautatieasema (Finska>Litauiska)gancio molla (Italienska>Engelska)pork lard (Engelska>Tagalog)kuma yako tamu san (Swahili>Engelska)mengusahakan (Malajiska>Kinesiska (förenklad))paagaeldende (Danska>Franska)bf nepal (Hindi>Nepali)stahl (Finska>Holländska)onlar (Turkiska>Indonesiska)pilingon ka (Tagalog>Engelska)justus et tenax (Latin>Engelska)varalice (Serbiska>Svenska)dico (Franska>Arabiska)digna factis recipimvs (Latin>Engelska)apakah maksud water based (Engelska>Malajiska)comprometteremmo (Italienska>Engelska)
"2020-02-23T16:41:26"
https://mymemory.translated.net/sv/Swahili/Italienska/picha-za-kutombana-kiwahili
[ -1 ]
TAHARIRI: Mizozo ya bajeti kauntini ikome – Taifa Leo KUMEKUWA na matukio mengi ya mizozo kati ya madiwani na magavana kuhusu bajeti za serikali za kaunti mbalimbali. Katika baadhi ya matukio hayo, ikiwemo ya majuzi zaidi katika Kaunti ya Taita Taveta, mvutano hutishia kusambaratisha utawala wote wa kaunti. Viongozi katika kaunti zote wanahitajika kukumbatia mashauriano kutatua tofauti kati yao ili kuepusha madhara kwa wananchi. Wakati mwingi, mizozo hii huwa haihusu hata maslahi ya wananchi bali ya viongozi wenyewe wanaojitafutia makuu. Utakuta kwamba, madiwani wanafahamu fika bajeti wanayotaka iongezwe haiwezekani kuongezwa bila kudhuru shughuli za kaunti lakini bado watashikilia msimamo wao mkali wa kukataa kupitisha ile iliyopendekezwa na afisi ya gavana. Wakati baadhi yao wakitaka kutengewa pesa zaidi wanazodai ni za kuimarisha maendeleo katika wadi wanazosimamia, kuna wale wasio na aibu ya kutaka mabunge yao yaongezwe fedha za matumizi. Aibu ni kwamba, fedha hizo mara nyingi huwa hazitumiwi kwa manufaa yoyote ya umma bali kwa manufaa ya madiwani katika mambo kama vile kufadhili safari tele zisizo na maana, kulipia marupurupu ya burudani na mengineyo. Viongozi wote wanahitaji kufahamu walichaguliwa kuwakilisha umma na hivyo basi yale yote wanayoyafanya yanafaa kuweka mbele maslahi ya umma. Hili ni jambo ambalo hatutachoka kusisitiza hadi pale wanaoingiza ulafi katika uongozi wao watakapokoma au kukomeshwa. Inasikitisha kuona shughuli za kaunti zikikwama kwa sababu ya ulafi wa madiwani au uchoyo wa gavana. Kwa msingi huu, vitengo hivyo viwili vinafaa viwe vikishirikiana wakati wote kwa manufaa ya umma. Viongozi hao wakumbuke kwamba hawatakuwa uongozini milele na hivyo basi wanapohujumu maendeleo, wanajiandalia maisha magumu hapo mbeleni. Hitaji la kuleta maendeleo mashinani ni kwa manufaa ya kila mmoja wakiwemo wao wenyewe na jamii zao ambazo wanapokuwa mamlakani wanaona wako starehe. Viongozi waweke ulafi wao kando, wawe wenye busara na wanaoweza kushirikiana katika kila jambo ili Kenya isonge mbele. bajeti tahariri
"2020-01-18T21:46:01"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=40017
[ -1 ]
Mzozo wa Ukraine Wazidi Makali | Matukio ya Kisiasa | DW | 06.05.2014 Sauti zinazidi kupazwa kutahadharisha dhidi ya kuripuka vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Ukraine.Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa Urusi,Ukraine na Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana mjini Vienna. Tawi la Benki lahujumiwa na mali kuporwa huko Donetsk Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uingereza William Hague ,mara baada ya kuwasili mjini Vienna kuhudhuria mkutano wa baraza la Ulaya utakaomulika mgogoro wa Ukraine,ameituhumu Urusi kujaribu kuvuruga uchaguzi wa rais nchini Ukraine.Akizungumza na waandishi habari waziri Hague amesema anataraji "risala kali itatolewa na nyingi kati ya nchi zinazohudhuria mkutano huo, kutaka uchaguzi wa rais uitishwe kama ilivyopangwa."Wananchi wa Ukraine wana haki ya kuwa na serikali yao,rais wao na kuitisha uchaguzi huru na wa kidemokrasia amesema." Uchaguzi wa rais umepangwa kuitishwa May 25 mwaka huu lakini Moscow imeutaja uchaguzi huo kuwa "hauna maana" huku wanamgambo wananaotaka kujitenga eneo la mashariki wakijiandaa kuitisha kura ya maoni ya kudai uhuru jumapili ijayo. Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Urusi Sergei Lavrov hajasema lolote alipowasili Vienna kuhudhuria mkutano huo,wazirio mwenzake lakini wa Ukraine Andriy Deshchytsia amesema:"Tumekuja ili kusaka njia ya kujikwamua toka hali hii iliyoko hivi sasa na kubuni utaratibu utakaotuliza hali ya mambo nchini Ukraine." Uwezekano wa mafahali wawili kukutana Vienna Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Ukraine Andriy Deshchytsia alipowasili Vienna kuhudhuria mkutano wa baraza la ulaya Bado si dhahir kama wanasiasa hao wawili waliohudhuria karamu ya chakula cha usiku pamoja na mawaziri wenzao jana usiku mjini Vienna,watakuwa na mkutano baidi pembezoni mwa mkutano huu wa Vienna. Msemaji wa wizara ya mambo ya nchi za nje ya Austria alisema mjini Vienna mawaziri Lavrov na Deshtschytsia walikutana kwa muda mfupi,lakini hawakuwa peke yao. Wakati huo huo Urusi imeongeza idadi ya manuari zake na nyambizi katika eneo la bahari nyeusi,kufuatia kile waziri wa ulinzi wa Urusi Sergei Shoigu alichonukuliwa akisema "kumezwa raas ya Crimea. Vikosi vyaangani na nchi kavu navyo pia vitapelekwa katika vituo vya kijeshi vya Urusi katika bahari nyeusi. Kitisho cha kuripuka vita vya wenyewe kwa wenyewe Mkutano wa mawaziri wa Mambo ya nchi za nje wa Urusi,Ukraine,Marekani na mwakilishi mkuu wa siasa ya nje ya Umoja wa Ulaya uliofanyika Geneva April 17 mwaka huu Na nchini Ukraine kwenyewe idadi ya wahanga wa opereshini za kijeshi dhidi ya mji unaodhibitiwa na waasi wa Slavyansk,mashariki ya Ukraine imeongezeka na kufikia watu 34.Kiwanja cha ndege cha Donetsk kimefuingwa-hakuna sababu zilizotolewa. Sauti zinazidi kutolewa kuonya dhidi ya balaa la kuripuka vita vya wenyewe kwa wenyewe.Kuna hofu rais Vladmir Putin asije akaamuru wanajeshi wake waivaamie nchi hiyo jirani. Mada Zinazohusiana Chernobyl, Kamisheni ya Ulaya, Schengen, Ukraine, Urusi Maneno muhimu Ukraine, Baraza la Ulaya, Urusi, Umoja wa Ulaya Kiungo http://p.dw.com/p/1BuQB
"2017-12-13T05:32:32"
http://www.dw.com/sw/mzozo-wa-ukraine-wazidi-makali/a-17614831
[ -1 ]
President Magufuli: We are rich, but we don't believe in ourselves as rich. Grants are misleading Africa | JamiiForums Thread starter obakunta Comments kwenye hii video, Waafrika kutoka nchi mbali mbali wanamkubali sana Magufuli. Mugufulication of Africa. Africa is working again through Magufuli! Reactions: MKWEPA KODI, Renegade, jebs2002 and 2 others Sure.... Kweli kabisa... Reactions: thetallest and obakunta Timu kuabudu na kusifu endeleen kumpoteza Reactions: Mshana Jr and eliakeem Magufulification of Afrika starts with you, starts with our minds. Reactions: thetallest, obakunta and Kawe Alumni We ni tajiri, mbona madeni ya taif yanapaa? Tumia utajiri wetu tuondokane na riba! Kamuambie maneno hayo yule kijana mwenye uhitaji lakini kakosa mkopo wa chuo. Walimu wanadai. Hata baadhi ya vyuo vikuu wahadhiri hawavumi lakini wanaidai hii serikali kwa muda mrefu wengine wakifariki bila kulipwa na wanaishi kwa matumaini labda siku moja watalipwa. Umenielewa. Huyu mtu wa ajabu kabisa. Wafanyakazi mwaka wa nne hawajapandishwa mishahara, halafu mtu eti sisi ni tajiri, ananunua ndeg... rubbish Dalili ya kujisahau ukiwa kiongozi maisha mazuri, hela kibao kila unachotaka unapata unaona kama wewe ni tajiri tayari na nchi nzima tajiri wakati asilimia 70 hawana uhakika wa mlo moja unawaambia wao ni Matajiri wakati wewe upo kwenye v8 full ac wenzio wamevaa kandambili zina tobo na masweta yameisha upande moja. Kuwadanganya watu matajiri wakati wanajijua maskini huo ni utapeli wa hali ya juu. Swala la nchi kuwa tajiri siyo hoja ya kuwadanganya watu. Nchi inaweza kuwa tajiri lakini asilimia moja ndo wamehodhi utajiri kama equitorial Guinea. Ishu siyo nchi kuwa tajiri kila mtu anajua nchi ina utajiri hata nchi ya congo ina utajiri. Cha muhimu ni watu kuwa matajiri siyo nchi. Finland haina utajiri wa madini kama wanayojitambia viongozi wetu ila wananchi ni Matajiri. Ni bora kuwa matajiri wa watu siyo vitu ambavyo wanufaika ni wachache ambao ni hao viongozi. Mwananchi wa kawaida hausiki katika kugawa mikataba ya kuchimba hayo madini wala hahusiki kwenye matumizi ya mapato ya hayo madini, wala haambulii huduma bure za matibabu kutokana na pesa za hayo madini bali ni viongozi ndo hunufaika na rushwa kwenye mikataba ya madini na ni viongozi ndo wananufaika na matibabu ya bure ndani na nje ya nchi kwa fedha za mauzo ya hayo madini, kwaiyo tuache utapeli wa kuwalisha wananchi ndimu za utajiri wa madini wakati wanufaika pekee ni hao viongozi. Mmmmmh nimevhoka watu wanapiga kimombo hadi cha Brazil duuuh kweli great thinkers Kubalini, he is right, again... Reactions: Renegade and obakunta Magufuli is very right. Wasiomuelewa huyu Mzee itawachukua miaka mingi sana kujua kama nchi tunahitaji nini ili tusonge mbele, Huyu Mzee sio wa kawaida, demokrasia tupa kuleeee, hakuna wala haijawahim kuwepo popote duniani, ni propaganda tu za kututawala na kutawala wajinga wachache. Reactions: obakunta and jebs2002
"2020-06-01T16:34:41"
https://www.jamiiforums.com/threads/president-magufuli-we-are-rich-but-we-dont-believe-in-ourselves-as-rich-grants-are-misleading-africa.1667320/
[ -1 ]
1544021 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2009 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544352 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2009 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543376 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2011 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544385 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2012 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543418 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2014 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544107 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2015 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543799 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2016 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544463 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2016 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544518 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544532 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543867 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543836 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543853 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543504 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2017 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543555 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2018 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544248 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2018 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543619 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2018 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544581 WA Clark Columbia River, at Marine County Park 2018 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543677 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2007 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543333 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2007 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543357 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2009 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543689 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2009 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1544359 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2009 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543750 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2014 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established 1543466 WA Clark Columbia River, at Ridgefield Ramp 2016 17080003 Lower Columbia-Clatskanie established
"2020-01-21T12:28:09"
https://nas.er.usgs.gov/queries/CollectionInfo.aspx?SpeciesID=92&State=WA&HUCNumber=17080003
[ -1 ]
Ni ukweli ulio wazi kuwa ushawishi wa mzazi kwa mtoto wake hauji hivi hivi. Ushawishi ni matokeo ya jitihada za muda mrefu zinazofanywa na mzazi ili kuwekeza katika uhusiano na mwanae tangu mapema. Tutazame maeneo manne yanayoongeza ushawishi wa mzazi kwa mtoto. Kushiriki anayoyapenda huongeza kuaminika PICHA: Sayuni Mamlaka yako mzazi kwa mwanao yanategemea kiwango cha imani alichonacho kwako. Kukuamini maana yake, kwanza, hana mashaka na nia yako njema kwake na pili, anaamni anayo nafasi ya pekee kwako kama mzazi wake. Kwa kawaida, mambo madogo madogo sana ndiyo humfanya mtoto aongeze imani yake kwako. Kwa mfano, kutumia sehemu ya muda wako kwa ajili yake kwa kufanya mazungumzo na matembezi naye, kufurahia yale mema yanayomgusa zaidi, humfanya mtoto akuamini. Kuaminika kunakwenda sambamba na vile unavyoonesha kumthamini kama mtu anayestahili heshima. Msimamo usioyumba Hakuna kitu kibaya kama kutokueleweka unataka nini. Kutokueleweka kunakotokana na kubadilika badilika, kunatuma ujumbe mbaya kuwa huna uhakika na usahihi wa kile unachokidai kwake. Hali hii ya kutokutabirika kwako humfanya atake kuendelea kujaribu bahati yake kwa sababu tayari ana wasiwasi na mamlaka yako kama wazazi. Ili kujihakikishia mamlaka ni muhimu kuwa na msimamo wa pamoja na mzazi mwenzako. Kupingana wazi wazi na msimamo na maamuzi ya mzazi mwenzako mbele ya mwanao huwapunguzia mamlaka yenu kama wazazi na ni kutengeneza mazingira ya kujaribiwa kwa mamlaka yenu mara kwa mara. Kuishi unayoyasema Mtoto hujifunza zaidi kwa yale unayoyafanya kama mzazi kuliko yale unayoyasema. Mamlaka yako kama mzazi yanategemea na namna maneno yako yanavyooana na yale unayoyafanya. Mtoto anapokuona ukifanya yale yale unayomzuia yeye anakupunguzia alama za ushawishi wako kwake. Hakikisha unaishi maneno yako. Tenda unayoyasisitiza. Unapomwambia ashukuru anapopewa kitu, kuwa mfano kwa kuwa mtu wa shukrani. Unaposisitiza aombe msamaha, jitahidi kuonesha mfano kwa kuomba msamaha pale unapojikwaa. Mstahi anapokosea Unafanya nini pale unapogundua mwanao amekosea? Unamkemea kwa ghadhabu tu kwa sababu ni mtoto? Ni vizuri kuelewa kuwa watoto, kama sisi tulio watu wazima, wanatamani sana kutendewa kwa staha. Unapomtendea kwa staha unamfanya ajione analo deni la kukulipa heshima unayostahili. Hakuna sababu ya kumkemea mtoto kupita kiasi hata kama unajua ni kweli amekosea. Hakuna sababu ya kumvunjia heshima kwa kumdhalilisha mbele ya rafiki zake. Unapofanya hivyo, ni rahisi kujenga kisasi cha utoto. Usipomstahi mwanao, unapoteza mamlaka yako kwake. Kwa ujumla, mamlaka yako kama mzazi ni zao la maisha yako yanayohalalisha kusikilizwa. Ukijenga uhalali kama mzazi, hutalazimika tumia nguvu nyingi kutafuta ushiwishi kwa mwanao. Fuatilia safu ya Uwanja wa Wazazi kwenye gazeti la Mtanzania kila Alhamis kwa makala kama hizi. Barua pepe: bwaya@mwecau.ac.tz Emotional attachment Kubadili Tabia Makuzi Malezi na Makuzi ya watoto Saikojia Tumizi Tafiti poker 9/10/16 5:44 PM poker 13/10/16 5:10 AM
"2017-12-14T16:58:49"
http://bwaya.blogspot.com/2016/10/mambo-ya-manne-ya-kufanya-mtoto.html
[ -1 ]
Jinsi ya kuanzisha mradi - Mambo 7 Muhimu ya Kuzingatia | Elimu ya Biashara, Ujasiriamali na Uongozi Ili kuanzisha mradi kuna baadhi ya mambo muhimu ni vyema ukayajua. kulingana na ukubwa wa mradi kifedha na kieneo mambo muhimu yaweza kubadilika. Lakini katika miradi yote angalau haya mambo yanastahili kuzingatiwa: Kufanya Utafiti wa Uhitaji wa Mradi – Project Research or Situational Analysis Uchambuzi wa wadau – Stakeholders Analysis Mpangilio wa mradi – Project Design Andiko la Mradi-Project Proposal na kutafuta pesa na rasilimali zinazotakiwa-fundraising Kuweka mipango ya utekelezaji wa mradi, Usimamizi, Ufuatiliaji na Tathmini – Project Planning, Management, Monitoring and Evaluation hii ni pamoja na namna ya kufanya ukaguzi wa mahesabu-project audit na kufanya tathmini ya mradi-project evaluation Kutengeneza taasisi ya kusimamia mradi-Organization Development Kutengeneza sera mbalimbali-Policies Development SERVICE: Jinsi ya kuanzisha mradi - Mambo 7 Muhimu ya Kuzingatia HUDUMA: Jinsi ya kuanzisha mradi - Mambo 7 Muhimu ya Kuzingatia
"2019-09-15T12:18:04"
https://www.kivuyo.com/jinsi-ya-kuanzisha-mradi/
[ -1 ]
Wamza - Kurt Vile & The Violators - The Castle Theatre Wamza - What's going on tonight? Kurt Vile & The Violators - The Castle Theatre 02/23/2019 8:00 PM - 02/23/2019 10:00 PM 2019-02-23 20:00:00 2019-02-23 22:00:00 America/Detroit Kurt Vile & The Violators The Castle Theatre info@wamza.com
"2019-08-18T15:14:12"
http://wamza.com/event.php?id=39854
[ -1 ]
Boss Ngasa Official Website : Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake ");f="";""!=urlMyProfile&& m==urlMyProfile&&(f=" recent-comment-admin");var a=a.published.$t.match(/\d+/g),m=new Date(a[0],a[1]-1,a[2],a[3],a[4],a[5]),p=txtWrote,p=-1==txtWrote.indexOf("[")?l+" "+txtWrote:replaceVars(p,l,g,m),a=replaceVars(txtTooltip,l,g,m);/#/.test(n)||(n+="#comments");document.write(' You are here: Home / burudani Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake Snura Ajipanga Kumuanika Laazizi Wake Monday, April 17, 2017 | No comment DAR ES SALAAM: Staa wa mduara Bongo, Snura Mushi ‘Snusexy’ amefunguka kuwa, baada ya ukimya wa muda mrefu na kuzushiwa kila mwanaume, sasa anajipanga kumuanika laazizi wake ili watu wamtambue kwani usumbufu umekuwa ‘too much’. Snura aliliambia Wikienda kuwa, ishu ya kuambiwa mara anatoka na mtu fulani, mara na Mwarabu ni suala linalomsababishia usumbufu hivyo mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani kuna kitu kikubwa anataka kukifanya katika kumtambulisha mwanaume anayetoka naye. “Soon nitawatambulisha shemeji yao maana naona ni miaka miwili sasa nasingiziwa mambo mengi, mara yule mara huyu lakini wasiwe na wasi kwani kuna kitu kikubwa kinakuja,” alisema Snura.
"2017-08-17T15:34:31"
http://www.bossngasatz.com/2017/04/snura-ajipanga-kumuanika-laazizi-wake.html
[ -1 ]
DK. KIGWANGALLA AFUNGA MAFUNZO YA 15 YA JESHI USU KWA MAAFISA WANYAMAPORI WA TAWA, TANAPA NA NGORONGORO MKOANI KATAVI - HABARI ZA JAMII Home / Habari / DK. KIGWANGALLA AFUNGA MAFUNZO YA 15 YA JESHI USU KWA MAAFISA WANYAMAPORI WA TAWA, TANAPA NA NGORONGORO MKOANI KATAVI Dotto Mwaibale 9:59 PM Habari Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akiwaongoza Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro kupiga gwaride la ukakamavu muda mfupi baada ya kuwatunuku vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Jeshi Usu jana katika kituo cha Mlele mkoani Katavi. Na Hamza Temba- Mlele, Katavi Ametoa agizo hilo jana Disemba, 16, 2017 katika Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wakati akifunga mafunzo ya 15 ya mabadiliko ya kuelekea mfumo wa Jeshi Usu kwa Maafisa wa Wanyamapori 87 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania– TAWA, Shirika la Hifadhi za Taifa – TANAPA na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro.
"2018-06-23T00:34:06"
http://www.habarizajamii.com/2017/12/dk-kigwangalla-afunga-mafunzo-ya-15-ya.html
[ -1 ]
Polisi ya Uingereza imeendelea na msako hadi usiku wa manane katika eneo maarufu la Barking mashaiki mwa mji wa London, ambapo watu kadhaa walikamatwa. Kundi la Islamic State lilikiri siku ya Jumap[ili kwamba lilihusika na shambulio hilo. Katika taarifa mpya, mkuu wakikosi cha kukabiliana na ugaidi alisema kwamba wachunguzi wamekua wakiendelea na kazi yao na wametambua watu walilioendesha shambulio dhidi ya mji wa London siku ya Jumamosi usiku. Polisi kwa sasa inachunguza kama watu hao walipata msaada wowote kutoka watu wengine kwa kuandaa shambulio hili. Vikosi vya usalama waliendesha mfululizo wa mashambulizi katika eneo la Barking, mashariki mwa London mapema Jumapili asubuhi. Watu kumi na mbili ikiwa ni pamoja na wanawake wanne walikamatwa wakituhumiwa kuhusika katika shambulio hilo. Katika shambulio hilo watu saba waliuawa na wengine hamsini walijeruhiwa . Watu kumi na mbili wanashikiliwa kufuatia msako wa polisi mashariki mwa London. Kundi la Islamic State lilisema siku ya Jumapili lwamba lilihusika na shambulio hilo. Raia mmoja kutoka Ufaransa aliyeuawa ni miongoni mwa watu waliouawa katika shambulio hilo Wakati huo huo katika mji wa London, polisi imeeleza kwamba maeneo ya usalama yaliotengwa katika mitaa iliyolengwa na mashambulizi yatasalia chini ya ulinzi mkali kwa muda fulani, na hatua za usalama katika mji mkuu wa Uingereza zitajadiliwa upya.
"2017-10-24T02:07:08"
http://kingsfm.co.tz/news/1337-is-yadai-kuhusika-na-shambulio-la-london
[ -1 ]
Msama Tupo Pamoja, Kanyaga Twende KAMPUNI ya ufilisi na udhamini ya Msama Promotions imeonyesha njia ya kuwasaidia wasanii kwa kuanza kukamata kazi mbalimbali za wasanii katika maeneo tofauti. Hatua ya Msama kuanza msako wa kukamata wezi wa kazi za wasanii imetokana na kukithiri kwa wizi wa kazi ambazo ni jasho la wasanii waliojipanga kimaendeleo kupitia… Si mwingine bali ni yule Muigizaji na Muongozaji wa filamu za kibongo, Steven Kanumba anakaribia kuanza harakati zake za kuanza maisha ya ndoa mara tu baada ya kuweka makubaliano ya awali na mkewe mtarajiwa. Alisema mwanamke anayetaka kumuoa ni mmoja wa waigizaji wa kike aliowahi kushiriki naye katika moja ya… MCHEKESHAJI Mahiri wa Vichekesho Haji Salum almaarufu kama Mboto ameiambia FC kuwa moja kati ya matatizo yanayowakabiri wasanii wa Komedi ni ukosefu wa Elimu ya darasani na Mtaani pia, akielezea kwa undani Msanii anasema kuwa pamoja na kuwa wao ndio wanaohitajika na jamii lakini bado wamekuwa wakionekana kama vile ni… Wasanii Wengi Wanategemea Kipaji Pekee - Sandhu MUIGIZAJI wa filamu ambaye pia alikuwa ni mshiriki wa Maisha Plus Steve Sandhu amewashauri wasanii, Waongozaji na Watayarishaji wa filamu kuwa kuna haja ya kujiendeleza kitaaluma zaidi katika masuala ya filamu kuliko kutegemea sana vipaji ambavyo ndiyo sehemu kubwa ya wasanii wengi kwa hapa Tanzania, hali ipo pande zote yaani… Mapacha Watatu Bega kwa Bega na Extra Bongo BENDI ya Mapacha Watatu juzi iliungana na Extra Bongo ‘Next Level’ kushambulia kwa shoo ya aina yake iliyofanyika ukumbi wa Zonghwaa Victoria jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wapenzi na mashabiki wa burudani katika ukumbi huo, mmoja wa wanamuziki wa Mapacha Watatu, Kalala Junior, alisema wao na Extra Bongo ni… Same Script ndani ya Kitaa FILAMU ya Same Script imekamilika na ipo tayari kuingia sokoni wakati wowote kuanzia sasa, filamu hii ambayo imewashirikisha baadhi ya Nyota wa Filamu hapa nchini ni kazi ya aina yake kuanzia utunzi wa hadithi yake na waigizaji walioigiza katika filamu hiyo, Hadithi ya Same Script inamhusu kijana mmoja David mpenda… MARA nyingi kama si mara zote, Tanzania imegubikwa na kelele ya wasanii wa nyanja mbalimbali kwa sababu ya kuibiwa na kudhulumiwa kazi zao. Sanaa ni nyanja tanzu ambayo ikitumika ipasavyo, Tanzania itakuwa zaidi ya nchi zilizoendelea kuliko ilivyo sasa, kelele zimekuwa nyingi badala ya kujipanga na maendeleo yanayotafutwa kila leo.… Inspekta, Tundaman Kinomanoma Mbeya Mastaa wa Bongo Fleva, Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ (pichani) na Khaled Ramadhan ‘Tundaman’ nusu watoane roho, Risasi Jumamosi linashuka nayo.Tukio hilo lililoshuhudiwa na paparazi wetu lilijiri ndani ya Hoteli ya Mount Stone jijini Mbeya ambapo jamaa hao walikuwa pande hizo kwa ajili ya Tamasha la Fiesta mwishoni mwa wiki iliyopita.Katika… Waigizaji Kujiendeleza ndo Mpango Mzima Baada ya Kiba Sasa ni Mwasiti, Barnaba na Usher Raymond BAADHI ya wasanii nyota kutoka kituo cha Tanzania House of Talents (THT), wamealikwa na msanii nyota nchini Marekani, Usher Raymond, kupitia taasisi yake ya New Look Foundation iliyoko jijini Atlanta. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam jana, ziliwataja wasanii hao kuwa ni Mwasiti Almas, Amin Mwinimkuu, Barnaba,…
"2017-11-20T07:29:13"
http://wahapahapa.com/index.php?option=com_k2&view=itemlist&layout=category&task=category&id=1&Itemid=181&limitstart=20
[ -1 ]
Martin Kadinda's Official Fashion Blog: I loved it... This sunday nilipata bahati ya kuhudhulia Red Party ya machozi band.. ilikuwa tamu sana... pata picha zaidi kwa jide www.ladyjaydee.blogspot.com Jide the number one female artist in tanzania alikuwa ametupia kuliko maelezo... i love her dress!! you can see her beautiful african body... legs and the best part ni hapo mguuni... look at her shoes Safu nzima ya machozi band ilikuwa inang'ara kuliko maelezo....
"2018-01-24T01:55:09"
http://mvutokwanza.blogspot.com/2010/05/i-loved-it.html
[ -1 ]
Ufufuo na Uzima GCTC: June 2010 KOREA 2010 CONFERENCES WITH PASTOR JOSEPHAT GWAJIMA Conference with Josephat Gwajima July 13 - July 19, 2010 (Seoul - Great Faith Church) July 21 - July 24, 2010 (Cheonan Sinbu-dong Church) Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 9:26 AM KOREA 2010 CONFERENCES WITH PASTOR JOSEPHAT GWAJIMA: July 21 - July 24, 2010 (Cheonan Sinbu-dong Church Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 9:22 AM No comments: Ibada ya Jumapili tarehe 6 June 2010 Watu wengi wampa Yesu Maisha yao Makutano makubwa ya watu walikata shauri na kumpa Yesu maisha yao katika ibada ya Jumapili tarehe 6 June 2010. Siku mbili baada ya kutoka Japan, Makutano makubwa ya watu "wamekata shauri" na "kumpa Yesu maisha yao" Kama wanavyoonekana hapa pamoja na Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima akiwaongoza "sala ya toba". Mchungaji Maximilian Machumu, RP (mwenye suti nyekundu) akiwa na kundi la waimbaji wake(wenye nguo nyeusi kulia) akiimba kibao cha wimbo wake mpya wa "ufufuo na Uzima" huku akisindikizwa kwa kushangilia na kumuimbia Sifa Mungu wetu YEHOVA. Pembeni yake ni Mchungaji Mwangasa, RP (Kushoto kwa mchungaji Max), Mchungaji Bryson,RP(kushoto kwa Mchungaji Mwangasa). Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 3:02 AM Waandhishi wa habari kutoka kituo cha Mlimani Television wakimhoji Mchungaji Josephat Gwajima, mara baada ya sherehe fupi ya kumkaribisha ndani ya nyumba ya Ufufuo na Uzima katika bonde la kukata maneno Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 4:54 PM Baada ya kumchakaza shetani Japan sasa ni katika Bonde la ukata maneno Mama Mchungaji, Mchungaji Grace Gwajima(RP) akiwa kanisani Ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima(Bonde la Kukata maneno, Kawe Tanganyika Packers, jijini Dar es salaam) katika Ibada ya Jumapili 6 June 2010, siku mbili baada ya kurejea kutoka Japan ambapo Mchungaji Josephat Gwajima alikuwa akiwasambaratisha miungu wa Kijapani(mashetani,majoka) kwa Jina lenye nguvu, uweza na Mamlaka, jina lipitalo majina yote, Jina la Yesu. Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 4:15 PM No comments: Mama Mchungaji RP Grace Gwajima Akilisalimia Kanisa katika Sherehe ya Mapokezi Mama Mchungaji, Mchungaji Grace Gwajima(RP) akilisalimia kanisa mara baada ya kurejea kutoka Japan ambapo alikwenda pamoja na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima. Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 1:23 AM No comments: Karibu Baba Gwajima...mmoja wa watoto wa kiroho wa Mchungaji Gwajima akionesha Bango kuanshiria yupo tayari kumpokea Mzazi wake katika BWANA. Waandishi wa Habari wakimhoji Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima huku akiwapungia mkono watu waliojitokeza kumkaribisha nchini Tanzania. Mchungaji msaidizi RP Yekonia Bihagaze na RP Maximilliam Machumu wakisindikizwa na maelfu ya watu wakimpokea Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima kwa furaha ya ajabu mara baada ya Kutua na ndege ya Quater Airways kutokea nchini Japan. Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 12:47 AM No comments: Posted by Glory of Christ Tanzania Church: Nyumba ya Ufufuo na Uzima at 12:41 AM No comments:
"2017-11-23T00:03:27"
http://ufufuonauzima.blogspot.com/2010/06/
[ -1 ]
Cheusi Cha Walnut Sita Za Giza China Manufacturers & Suppliers & Factory Cheusi Cha Walnut Sita Za Giza - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Cheusi Cha Walnut Sita Za Giza) Cheusi Cha Walnut Sita Za Giza Cheusi cha Walnut Sita za giza Kiti cha Chakula cha Walnut cha giza Chumba cha Walnut na White Oak Jedwali la kahawa ya Walnut ya giza Jani la kahawa ya Walnut ya giza Mwenyekiti wa Chakula cha Walnut cha giza Chumba cha Mpira Mango Mzito wa giza
"2019-12-09T13:36:09"
https://sw.taihuafurniture.com/dp-cheusi-cha-walnut-sita-za-giza.html
[ -1 ]
Hapa Kwetu: Maandamano Makubwa Dhidi ya Rais Trump Jana hapa Marekani yamefanyika maandamano makubwa dhidi ya rais Donald Trump, ambaye aliapishwa juzi. Maandamano haya yaliyoandaliwa na kukusudiwa kwa wanawake, yanasemekana kuwa makubwa kuliko yote yaliyowahi kufanyika katika historia ya Marekani kwa siku moja. Maandamano haya yamefana sana, kwa mahudhurio na hotuba mbali mbali, na yametoa ujumbe wa wazi kuwa serikali ya Rais Trump isitegemee kuwa itatekeleza ajenda yake bila vipingamizi. Marekani ni nchi inayoheshimu uhuru wa watu kujieleza. Katiba inalinda uhuru huo. Ndio maana maandamano ya kumpinga Rais Trump yalifanyika nchi nzima bila kipingamizi. Polisi walikuwepo kwa ajili ya kulinda amani, si kuzuia maandamano, wala kuwakamata wahutubiaji waliokuwa wanamrarua Rais Trump. Polisi wana wajibu wa kuhakikisha kuwa waandamanaji wanayo mazingira muafaka na fursa kamili ya kutekeleza haki yao ya kuandamana na kuelezea mawazo yao. Ninajua kuna wengine walioshiriki maandamano ya jana ambao si wa-Marekani. Kuna wakimbizi na wahamiaji kutoka nchi mbali mbali ambao walishiriki. Hapa Marekani, huhitaji kuwa raia ili kushiriki maandamano. Mimi sikushiriki, kwa sababu zangu binafsi. Kwa kuwa mimi si raia wa Marekani, na sijawahi kuwazia kuwa raia, sioni kama nina haki au sababu ya kujihusisha na siasa za ndani za Marekani. Sipigi kura wakati wa uchaguzi wa viongozi. Kwa nini nijihusishe na maamuzi ya hao viongozi? Kama maamuzi yataiathiri nchi yangu, hapo nitaona nina wajibu wa kuisemea nchi yangu. Ninatambua wajibu wangu wa kuitetea nchi yangu popote nilipo. Ingekuwa maandamano yanahusu masuala ya Tanzania ningeshiriki, kwa sababu Tanzania ni nchi yangu. Serikali ya Tanzania ikifanya mambo yasiyokubalika, halafu wa-Tanzania au marafiki wa Tanzania wakaandaa maandamano ya kupinga au kulaani, ni haki yangu kushiriki. Kule Uingereza, mwaka 2015, wa-Tanzania waliandamana kupinga mwenendo wa uchaguzi Zanzibar. Maandamano kama yale ni haki yangu kushiriki. Huu utamaduni wa Marekani na nchi kama Uingereza unaendana na tangazo la kimataifa la haki za binadamu. Baada ya maandamano haya ya kihistoria ya jana dhidi yake, Rais Trump ametuma ujumbe: "Peaceful protests are a hallmark of our democracy. Even if I don't always agree, I recognize the rights of people to express their views." Tafsiri kwa ki-Swahili ni, "Maandamano ya upinzani ya amani ni kielelezo thabiti cha demokrasia yetu. Hata kama mara nyingine sikubaliani na wahusika, ninatambua haki ya watu kuelezea mawazo yao." Posted by Mbele at 12:15 PM Labels: haki, maandamano, Marekani, Siasa, Uingereza, upinzani, uzalendo, wajibu, Zanzibar
"2017-08-18T06:54:03"
http://hapakwetu.blogspot.com/2017/01/maandamano-makubwa-dhidi-ya-rais-trump.html
[ -1 ]
WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR BALOZI AMINI SALUM ALI AZINDUA CHUMVI YA ZALT ZANZIBAR.BZMHE. | Full Shangwe Blog Home Biashara WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR BALOZI AMINI SALUM ALI AZINDUA CHUMVI... WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR BALOZI AMINI SALUM ALI AZINDUA CHUMVI YA ZALT ZANZIBAR.BZMHE. WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi waBidhaa ya Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt, hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na. Mpiga Picha Wetu) WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Swahili Coast Salt.Bi. Stephanie Said, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Chumvi ya Zalt (Zanzibar Salt With a Story)AzAinayotengeneza Pemba na kampuni hiyo, hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu) MKURUGENZI wa Kampuni ya Swahili Coast Salt, inayotengeneza bidhaa ya chumvu ya Zalt.Bi.Stephanie Said, akitowa maelezo ya kitaalam ya uzalishaji wa bidhaa hiyo ya chumvi wakati wa hafla ya uzinduzi wake uliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South shangani Jijini Zanzibar, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin kuzungumza na kuzundua bidhaa hiyo.(Na Mpiga Picha Wetu) WAALIKWA katika hafla ya uzinduzi wa Chumvi ya Zalt inayozalishwa na Kampuni ya Swahil Coast Salt, wakipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa kampuni hiyo.Bi, Kika Toscano,(katikati) akitowa maelezo ya bidhaa hiyo wakati wa hafla ya uzinduzi huo uliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu) WAGENI waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa ya Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt Zanzibar, wakimsikiliza Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe Balozi Amina Salum Ali.(hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na. Mpiga Picha Wetu) MWAKILISHI wa Kampuni ya Swahil Coast Salt.Bi.Kika Toscano akitowa maelezo ya chumvi ya Zalt, kwa wageni waalikwa katika hafla hiyo ya ufunguzi wa chumvi hiyo ikiwa katika vifungashio vha aina mbalimbali, uzinduzi huo umefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu) BAADHI ya wageni waalikwa wa hafla ya Uzinduzi wa Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt, wakiangalia vipeperushi vinavyoelezea bidhaa hiyo ya chumvu wakati wa hafla hiyo, iliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijin I Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu) Previous articleSERIKALI YAKANUSHA UVUMI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KAMPASI YA SINGIDA KUHAMISHIWA DODOMA
"2020-03-29T01:58:00"
https://fullshangweblog.co.tz/2020/03/14/waziri-wa-biashara-na-viwanda-zanzibar-balozi-amini-salum-ali-azindua-chumvi-ya-zalt-zanzibar-bzmhe/
[ -1 ]
Why are our public schools so miserable? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Why are our public schools so miserable? Makwaia wa KUHENGA, 31st July 2009 IN the old good days, those who went through schools owned by the government, or as known those days -- &#8216;native authorities' or &#8216;local authorities' interchangeably -- but all subscribing to one larger sense that they were owned by a given government of the day via taxpayers may agree that the standards were reasonable and conducive to learning. Whether boarding or day schools, the public schools were reasonably habitable and the standards in terms of an education thus offered were qualitatively competitive. There were schools those days which earned for themselves a good reputation. One of these was Tabora School. This is the school which even the Father of this Nation went through before proceeding to Makerere University. Books for all disciplines were available from English literature to chemistry and so forth. Teachers, although not so handsomely paid, were of equally good training and dedicated to their jobs which in turn earned them considerable esteem and respect from society in our towns and villages. This was as far as things went from pre-independence to post independence days. In fact one can say, with reasonable certitude that things went on reasonably well in so far as public schools were concerned. And because the successive socialist governments between 1967 and 1985 were focused on eliminating illiteracy in the country so that all the people of this country were able to read and write, government funding for all schools were equally well focused. Of course the focus on achieving high literacy rate was not without a cost in terms of standards and quality in education. But still there was no glaring fall in terms of habitable standards in schools and quality in terms of availability of learning textbooks, well-stocked libraries and so forth. But the emergence of a neo-liberal order from 1985 in the wake of privatisation which brought into the fore the emergence of private schools meant also the graduation of education, not as an important ingredient of a development process, but its graduation to &#8216;commodity' levels. But privatisation has also meant the stratification of our society into classes: the class of the affluent and the poor. And these classes are easy to see: children of the poor are the ones attending public (government owned) schools today, one sees them every morning struggling to board &#8216;daladala' buses, being shoved by unruly bus conductors carrying with them grass-made sweeping stakes in hand. Their primary schools are found around Mnazi Mmoja area in Dar es Salaam, Bomani at Ilala and so forth. They look underfed and miserable. But so do the schools they attend: also miserable! And the secondary schools for the poor, (but the lucky ones!) that seem to have gone though their qualifying exams at primary level are equally pathetic. The school buildings look as if they have just survived a bomb attack; wretched and worn out. They are the Ifundas, Jangwanis of our world and the like of them! These schools do not have even libraries to talk of, let alone textbooks for learning. Teachers are equally few &#8211; even those who are there have no plans to stay longer! They are on a look out for greener pastures; to join private schools where the pay cheques for teachers can make ends meet! In real terms, these are not the schools preferred by the policy and decision makers of this country. The children of these big shots are comfortably installed in private schools in the neighbouring countries or even the United States or are, by and large, in the booming private school &#8216;industry' of this country! But this is in contrast with their counterparts in the developed capitalist world of western Europe such as Sweden and other Scandinavian countries. I am told it is scandalous for a public official or political leader to have his/her child go to a private school. If it is a Cabinet Minister, such a minister runs the risk of being sanctioned in parliament on why he/she prefers his children to go to a private school instead of a public school attended by most citizens! Hence the question: Why are our public schools so pathetic and miserable? Why is there no evidence of adequate funding so that they are competitive and more attractive than private schools so much so that they would belong to everybody: to a child of a Cabinet minister of this country and equally, an underdog? Why were public schools of this country in the old good days qualitatively attractive to everyone? Here then is my clarion call to the powers that be in this country: Please make available adequate funding to the public schools of this country because they belong to the majority poor of this country. Please make the pay package for teachers in these schools competitive so that teachers see no reason to abandon them in favour of greener pastures. But most importantly, make it a state regulation obliging all public officials including policy and decision makers to have their children attend a public school. It is only through this way that these schools will have their quality and standards elevated and attractive to all in society including our ministers. For if the primary school at Mchikichini in Dar es Salaam is attractive for a commoner's child, then it must be attractive to the son of our Cabinet Minister or our Member of Parliament! Makwaia wa KUHENGA is a Senior Journalist & Author. E-mail: makwaia@bol.co.tz They are miserable for the obvious reasons.No maintenance culture...majengo ya toka enzi za mkoloni hayafanyiwi ukarabati wala maboresho yoyote.If anything ni kuongezea vyumba tena visivyokuwa na sura ya kuvutia.... hakuna madawati wala samani..... hakuna vyoo vinavyofaa na wakati mwingine hakuna kabisa. Kuwekeza kwenye sekta ya elimu ni kitendawili...kwa maana hata waalimu walioanza kuingizwa kwa wingi ni wa UPE( kila mtu anajua maana ya walimu wa UPE.) Wakoloni waliwekeza kwenye elimu kwa maana, mwafrika au mzawa aliyefaulu vizuri ndio alikuwa anaenda kusomea ualimu.Hakuchukua makapi na kuyafanya ndio waalimu.Yapo mengi yanayofanya shule za umma ziwe balaa! Simple! We got our priorities twisted. We invest in the extravant lives of our politicians and not the most important things like healthcare and education. Ahsante sana kwa mchango mzuri jirani. Juzi kulikuwa na picha ya shule moja ambayo usingeingia kama ungeambiwa ni choo. Hizi ndiyo ahadi za maisha bora kwa kila Mtanzania. Hivi kwanini viongozi wetu wanataka kung'ang'ania kuendelea kuwepo madarakani hata kama kuna ushahidi wa kutosha kwamba kazi waliyopewa na wapiga kura imewashinda? Kwanini 'viongozi' hao wasikubali ukweli na kukaa pembeni ili wengine nao wajaribu kuliongoza Taifa letu ambalo miaka nenda miaka rudi halipati maendeleo yoyote katika nyanja mbali mbali ikiwemo hii nyanja ya Elimu? Hivi kwanini viongozi wetu wanataka kung'ang'ania kuendelea kuwepo madarakani hata kama kuna ushahidi wa kutosha kwamba kazi waliyopewa na wapiga kura imewashinda? Wakwetu hawang'ang'anii madaraka tena. Wanarudishwa madarakani na wananchi. Kwa hiyo usiwalaumu sana viongozi. Walaumu wananchi. Mimi nikikuajiri wewe Bubu uwe unanifyekea majani yangu halafu unakua unalipua lipua sitakuajiri tena. Nitatafuta mwingine atakayefyeka vizuri. Simple as that. It's not rocket science. Huko CCM si unaona wanavyompigia debe Kikwete ili arudi tena 2010. Wangekuwa wanasikia vilio vya wananchi kila kona ya nchi yetu basi wangesema Kikwete sasa basi tutafute mgombea mwingine na kwenye uchaguzi watatumia vyombo vya dola kuwanyanyasa wapinzani, na tume ya uchaguzi ambayo inafumbia macho maovu yote yanayofanywa na CCM ikiwa ni pamoja na kutoa rushwa za pilau, nguo, vyakula na magodoro na hata kuiba kura ili kujihakikishia ushindi. Kama CCM kweli wangekuwa wanaitakia nchi yetu mema basi mgombea wa CCM 2010 hatakuwa Kikwete maana hakuna chochote alichofanikisha katika ahadi zake toka 2005 hadi sasa, lakini wapi! CCM wana utamaduni wao wa kuhakikisha Rais wa kutoka chama chao anakaa madarakani kwa awamu mbili hata kama kavurunda kiasi gani katika awamu yake ya kwanza. Kwa maneno mengine basi 'utamaduni' huo unapewa kipaumbele kuliko maslahi ya nchi yetu. Huko CCM si unaona wanavyompigia debe Kikwete ili arudi tena 2010. Wangekuwa wanasikia vilio vya wananchi kila kona ya nchi yetu basi wangesema Kikwete sasa basi tutafute mgombea mwingine. na kwenye uchaguzi watatumia vyombo vya dola kuwanyanyasa wapinzani, na tume ya uchaguzi ambayo inafimbia macho maovu yote yanayofanywa na CCM ikiwa ni pamoja na kutoa rushwa za pilau, nguo, vyakula na magodoro na hata kuiba kura ili kujihakikishia ushindi. Kwani CCM ndio wao tu wanaoweza kuongoza Tanzania? Kama wao wanamtaka Kikwete poa tu. Wamtake John Mashaka nayo bien tu. It is we, the people who are the arbiters of who should lead us. Personally, I know CCM have failed on leading us and therefore they will not going to be getting my vote anytime soon. Why can't others think and see things like I do instead of looking at CCM as the only saviors (like you imply in your above comment) Kwa sasa ni CCM tu maana wapinzani kwa ubinafsi wao wa kutotaka kusikiliza maoni ya wananchi ya kuunda chama kimoja chenye nguvu ili kuhakikisha wanaishinda CCM. Kama unadhani katika uchaguzi wa 2010 vyama vya upinzani kama vilivyo sasa vina nafasi ya kushinda Urais basi unakosea ndugu yangu. CHADEMA hata mgombea wa Urais hawana maana Mbowe naye anataka kugombea Ubunge, CUF nao labda watamweka Lipumba lakini kutokana na wapinzani kutokuwa na ushirikiano katika uchaguzi ataishia kupata kura chache na hivyo CCM "Kushinda" tena. Lazima tuwe wakweli wa hali halisi ndani ya nchi yetu. Kwa yeyote anayedhani kwamba upinzani utaingia Ikulu 2010 basi haijui hali hali ya kisiasa ndani ya nchi yetu. Je, CCM inaweza kushindwa katika chaguzi? Ndiyo inaweza kabisa kushindwa maana wananchi wamechoka kabisa, lakini inabidi wapinzani waweke pembeni ubinafsi mkubwa uliowajaa na kuwa kitu kimoja ili kuhakikisha ushindi mkubwa dhidi ya CCM lakini kama wataendelea na ubinafsi wao basi nchi yetu itaendelea kuwa katika hali ya kusikitisha miaka nenda miaka rudi. Sisi sote kama Kondoo tumepotea.....lakini ole wake mchungaji aliyetupoteza na kutukabidhi mikononi mwa mbwa mwitu...huyo ana dhambi kubwa zaidi.... I can't believe it! Yaani pamoja na madudu yote CCM iliyosimamia kuna watu bado wanawaona wanafaa kuongoza. OMG! Ndio maana wengine tumeshawaachia hilo linchi lenu mhangaike nalo wenyewe. Soma tena jumbe yangu ya mwisho ili uielewe vizuri. Hakuna popote pale niliposema nawaona CCM wanafaa kuendelea kuwa madarakani kama chama tawala. Ingekuwa amri yangu hata leo hii ningewaondoa madarakani maana naamini matatizo mbali mbali ya nchi yetu yanasababishwa kwa asilimia kubwa na CCM kuendelea kuwepo madarakani na kuitisha uchaguzi haraka sana badala ya kusubiri hadi October 2010 na kuwapiga marufuku CCM hata ya kugombea nafasi yoyote ile. Bahati mbaya sina uwezo huo. Nimependa hiki kifungu. Hivi Tz neno UKARABATI bado liko kwenye kamusi ya Kiswahili? Vingapi tunajengewa na wachina lakini haichukui hata miaka mitatu havifanyi kazi tena. Kwa uwelewa wangu ile barabara ya Morogoro road haina hata miaka kumi toka imalizike. Kahesabu sasa ni taa ngapi zinafanya kazi.
"2018-01-18T02:30:29"
https://www.jamiiforums.com/threads/why-are-our-public-schools-so-miserable.35150/
[ -1 ]
Mueteleli wa naha uneulela bafuzana | New Era Newspaper Namibia Home Languages Mueteleli wa naha uneulela bafuzana Mueteleli wa naha uneulela bafuzana Kuzwelela fa buitamo bwa hae ňola mwa kweli ya Yenda kuli ukana atambekanga kalulo yefita fa lipesenti ze mashumi amabeli kutusa mwa tuwelo ya hae, mueteleli wa naha Hage Geingob malobanyana utazelelize mulelo wa hae kaku neulela lifuzana zeo mayemo azona akwatasi libyana, mwa lilalanda ze ketalizoho kazetalu ze wela mwa sikiliti sa Khomas. Neulo neli ya likubo, likausu, lico zamakapa ni mulo. Nihaike kuli neli batu ba ketalizoho kababalalu banebabile teni kuamuhela libyana kuzwelela kumueteleli malobanyana, kono batu ba mwaanda kuzwelela mwa lilalanda ze ketalizoho kazetalu mwahali aze lishumi za sikiliti sa Khomas, kuzwisa kwa teni Windhoek West ni East, batamehile kufumana kwa neulo yeo. Sibuwabuwi mwa ofisi ya mueteleli wa naha, Albertus Aochamub utalusize kuli pene yelekile libyana ze kuzwelela kwa kalulo ya President,s Winter Charity Drive, haizwi mwa mukotana wa mali wa muuso. Ye kipene yezwa mwa pokoto ya hae mueteleli kasibili,” Aochamub a tiiseza. Utalusize kuli pene kaufela yeneneulwa itabe ibalilwe ňandaleza kusupeza busepahali. Baneuli babane bafitisize lineulo zabona kwa Hage Geingob Winter Charity drive, Hadago Fishing Company ineuzi N$260 000, B2 Gold baneuzi N$30 000, First National Bank ya Namibia baneuzi N$50 000, mi ba Swakopmund Uranium ki N$10 000. Kalulo ya President Winter Charity drive ilelezwi kutusa basupali ni banana babatokwa lituso. Lineulo litabe lisizwe mwa lilalanda. Aochamub uize, kalulo ya lituso za maliha isike yaba feela mwa nako ya maliha. Yomumwi ni yomumwi ange mutala wa mueteleli wa naha. Mueteleli wa sikiliti sa Khomas Laura Mcleod- Katjirua nalikile kuputulula kamo ba amuheli nebakile baketelwa teni. Na ize, ba mwaanda nebaketilwe kakuya ka sikuka sa mueteleli Geingob, mi ki bao mayemo abona mwa bupilo ali kwatasi ahulu. Nihakulicwalo hakibona feela banosi babatokwa lituso, atalusa. “Lulikile molukonela kakuya kazibo yeluna niyona kakuya kamayemo amipilelo, kono kakushutana ka silalanda ni silalanda ni mayemo alapa ni lapa,” kwa talusa Mcleod- Katjirua. U elelize batusiwa kukona kusebelisa libyana zabona kamukwa oswanela. Nekuzwelapili kutalusa kuli kutateka kala 1 Sikulu, lineulo za mueteleli likana lilumelwa mwa katengo ka mufumahali wapili kakabizwa ka First Lady’s One Economy Foundation Charity. Pene ikana itusiswa kutusa babanyandile babatokwa lituso mwa tuto. Mueteleli wa naha Hage Geingob u kana zwisanga N$20 000 mwa tuwelo ya hae kakweli kubeya kuwona mulelo wo. N$160 000 kuzwelela silimo sesifelile mwa Njimwana hatumusa mulelo wo niyona itabe itambekilwe kwa katengo. Baamuheli balituso nebafitisize buitumelo ni kukambelela kamaniti. “Luitumela ku mueteleli wa naha ni kubao kaufela babakonile kupeta musebezi wo kachenu, kwa bulela musali muhulu wa myaha ye 85, Magrietta Afrikaner yakonile kufitisa tapelo ya limbiyoti ku mueteleli ni bao bakonile kupeta kezahalo ya mufuta wa yani. Sichaba sa mwa silalanda sa Ipupa, sikiliti sa Kunene ni silalanda sa Tsumkwe mwa sikiliti sa Otjizondjupa ki baba kalatelela kuamuhela lituso kuzwelela kwa katengo ka Hage Geingob Winter Charity drive. Previous articleBalimi babamwi basizo balibaka za upa ba amuhela mulelo wa mabulaelo a limumanu kafo lilekwa teni Next articleHotto-Kavendjii signs for Celtic
"2018-03-24T23:09:03"
https://www.newera.com.na/2016/07/04/mueteleli-wa-naha-uneulela-bafuzana/
[ -1 ]
HATUZUII POME TUNAZUIA VIROBA VINAVYOCHAFUA MAZINGIRA: WAZIRI MAKAMBA ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' HATUZUII POME TUNAZUIA VIROBA VINAVYOCHAFUA MAZINGIRA: WAZIRI MAKAMBA SERIKALI imepiga rasmi marufuku matumizi ya pombe zinazofungashwa katika vifungashio vya plastiki maarufu kama viroba kuanzia tarehe 1 Machi 2017. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano, Januari Makamba wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam. “Dhamira ya Serikali siyo kupiga marufuku vinywaji vya pombe kali bali ni kutekeleza Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ambayo inatoa haki ya kuishi katika mazingira yaliyo safi, salama na yenye afya,” alisema Makamba. Aliongeza kuwa uamuzi huo wakusitisha matumizi ya pombe hizo, Serikali itatumia Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 ambapo alitumia fursa hiyo kutangaza utaratibu wa utekelezaji wa maamuzi hayo. Alizitaja taratibu hizo kuwa ni pamoja na kutungwa kwa kanuni zitakazodhibiti uzalishaji wa vifungashio vya plastiki kwa mujibu wa kifungu 230 (2) (F) CHA Sheria ya mazingira ya 2004. Aidha Waziri Makamba ametoa wito kwa wazalishaji wa pombe kali wanaohitaji muda wa ziada wa kuhamia katika teknolojia ya chupa kuwasilisha maombi yao kwa ajili ya kupewa kibali cha kuendelea na uzalishaji huku wakihama kabla ya tarehe 28 Februari. Makamba alisema kuwa maombi hayo yaambatanishwe pamoja na ushahidi wa barua ikionyesha mwenendo wa ulipaji wa kodi, nyaraka kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) kuhusu usalama wa kinywaji, uthibitisho wa Shirika la Viwango Tanzania(TBS),cheti cha tathmini ya athari za mazingira, uthibitisho kuwa atatumia teknolojia ya kudhibiti utengenezaji wa vifungashio bandia na uthibitisho kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni. Katika hatua nyingine Waziri Makamba amewaagiza Wakuu wa Wilaya nchini kuendesha operesheni kwa ajili ya kudhibiti uingizwaji wa pombe kali zinazotoka nje na kuzuia matumizi ya pombe haramu aina ya Gongo. Utekelezaji wa uamuzi huo unafuatia dhamira ya Serikali ya Awamu ya Tano ya kusitisha matumizi ya vifungashio vya plastiki ikiwemo pombe za viroba iliyotolewa bunge mwezi Mei 2016, Agosti na Desemba 2016 na kufuatiwa na agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa akiwa ziarani mkoani Manyara aliagiza kusitishwa kwa utengenezaji, uuzaji na matumizi ya pombe zunazofungashwa kwenye vifungashio vya plastiki kuanzia tarehe 1 Machi.
"2018-07-21T15:25:56"
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/02/hatuzuii-pome-tunazuia-viroba.html
[ -1 ]
Njombe, Iringa na Mbeya yakabiliwa na maambukizi makubwa ya VVU uploaded 30/05/2016 MIKOA ya Njombe, Iringa na Mbeya yakabiliwa na maambukizi makubwa ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kutokana na muingiliano mkubwa wa watu unaosababishwa na shughuri za kiuchumi. Hayo yalisemwa jana na Mratibu wa Tume ya kudhibiti Ukimwi (Tacaids) Mkoa wa Mbeya, Edwin Mweleka, wakati alipokuwa mgeni rasmi kwenye utambulisho wa mradi wa ushirikishaji wa wananchi wanaoishi na virusi vya Ukimwi wa ‘Sauti yetu’ unaofadhiliwa na wananchi wa Marekani kuipitia Shirika la USAID. Mweleka alisema Mkoa wa Njombe unaongoza kwa kuwa na asilimia 14.8, ukifuatiwa na Iringa wenye asilimia 9.1 na Mbeya unashika nafasi ya tatu ukiwa na asilimia tisa. Alisema mradi huo wa ‘Sauti Yetu’ utasaidia kupunguza maambukizi hayo. “Tunashukuru wenzetu wa Marekani kwa kutusaidia kufadhili mradi huu wa Sauti yetu kupitia shirika la USAID, na naamini kwa mikoa yetu hii yenye maambukizi makubwa, mradi huu utakuwa msaada mkubwa katika kupunguza maambukizi,” alisema. “Mikoa ya ukanda wetu wa Nyanda za Juu Kusini ndiyo inayooongoza kwa maambukizi ikiongozwa na Njombe ambao ndio mkoa unao ongoza kitaifa wenye asilimia 14.8 ukifuatiwa na Iringa wenye asilimia 9.1 huku Mbeya tukishika nafasi ya tatu kwa asilimia tisa, hivyo kampeni itakayokuwa inaendeshwa kupitia ‘Sauti yetu’ tunatarajia itusaidie kupunguza maambukizi hayo mpaka kufikia sifuri tatu,” alisisitiza. Mweleka alisema kuwa mikoa ya Mbeya na Iringa haijawahi kutoka kwenye orodha ya mikoa mitatu yenye maambukizi makubwa tangu tafiti zilipoanza kufanyika katika miaka ya 2003/2004. Mwenyekiti wa Baraza la Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi nchini, Justine Mwinuka, alisema mradi huo unatekelezwa katika halmashauri 46 zilizopewa kipaumbele nchi nzima huku katika Mkoa wa Mbeya zikihusika halmashauri tatu ambazo ni Mbeya jiji, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya na Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali. Alisema kuwa watu wanaolengwa kwenye mradi huo ni wale wanaoishi na VVU pamoja na wenye kifua kikuu kwa madai kuwa magonjwa hayo yana uhusiano wa moja kwa moja. Alisema kuwa mradi huu unatambulishwa kwa waratibu wa Ukimwi shughuli za Ukimwi ngazi ya halmashauri pamoja na watendaji wa mabaraza ya watu wanaoishi na VVU ngazi za wilaya (Konga) Kwa upande wake Meneja wa mradi huo wa ‘Sauti Yetu’, Rachel Jacob, alisema changamoto inayowakumba watu wanaoishi na VVU kwa sasa ni unyanyapaa binafsi hali ambayo huwafanya watu hao kuishi kwa wasiwasi wakati wote Alisema lengo kubwa la mradi huo ni kutoa hamasa kwa jamii kupima afya zao kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa ili kila mtu aweze kuijua afya yake na wale wanaokutwa na maambukizi waweze kuanzishiwa dawa. Jacob alisema kuwa Mradi huo ulianza kutekelezwa tangu mwezi Oktoba 2015 na utakamilika mwezi Oktoba mwaka 2019.
"2018-11-17T19:16:22"
http://www.nacopha.or.tz/news/latest/64/
[ -1 ]
All Iowa Properties Iowa Single Family Homes Iowa Condos Iowa Townhomes Iowa Lofts Iowa Duplexes Iowa Multi-Family Homes Iowa Land Iowa Mobile Homes Iowa Apartments Iowa Rentals Iowa Leases Homes for Sale in Iowa - 364 $1,700,000
"2013-12-11T07:17:51"
http://www.kw.com/homes-for-sale/44256/OH/Medina/4075-N-Jefferson/Iowa/stprp-IA-all.html
[ -1 ]
DC Muro Awatia Mbaroni Watuhumiwa Watatu Walioshiriki Kumtoa Mimba Mwanafunzi – Mjengwablog DC Muro Awatia Mbaroni Watuhumiwa Watatu Walioshiriki Kumtoa Mimba Mwanafunzi Na Imma Msumba Arumeru, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kwa kushirikiana na Jeshi la polisi Wilaya ya Arumeru limewakamata watuhumiwa wa Tatu ambao wameshiriki kumtoa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne kwa kutumia dawa za miti shamba suala ambalo linachochea mimba kwa wanafunzi na kuzorotesha elimu yao. Dc Muro amesema kuwa wamebaini tukio hilo baada ya kuweka mtego na kuwabaini watuhumiwa hao pamoja na mtia mimba ambao wamefikishwa polisi kwa ajili ya kufikishwa mahakamani Akielezea jinsi alivyopewa ujauzito na kisha ujauzito kutolewa aikaeli Pallangyo amesema ni kweli alipata ujauzito Kwa kurubuniwa na kijana wanaeishi nae Jirani nyumbani ambae alikuwa akimrubuni Kwa kumpatia fedha Kwa upande wao watuhumiwa wa sakata hilo kijana aliempa mimba Binti,pamoja na mama Mzazi wa Aikaeli na mwanamke ambae ni ndugu wa Kijana aliempa mimba ambae anatajwa kuhusika na kumtoa ujauzito Binti wametoa sababu mbalimbali ambazo hata hivyo zimeonekana kukinzana zenyewe Kwa zenyewe Kutokana na mama wa Binti kukiri Kuwafahamu watuhumiwa wenzake na kuelezea tukio la Mchezo mzima ulivyokuwa Akidhibitisha taarifa Za Binti huyo kuwa mjamzito na kutoa ujauzito, Mganga mkuu wa halmashauri ya Meru Daktari Cosmas kilasara amesema vipimo vya awali vilionyesha Binti kuwa mjamzito na vipimo walivyofanya tena vimeonyesha Binti sio mjamzito tena ambapo amesema hata hivyo Binti huyo ameendelea kupata dalili zote Za kuwa na ujauzito ikiwemo ya maziwa kutoka. Kutokana na tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru amevigiza vyombo vya Usalama kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote ambao wamehusika katika tukio hilo , ambapo pia amelitaka jeshi la Polisi kuhakikisha wanawakamata na wanawafikisha mahakamani watu wote waliohusika katika kuwapa ujauzito wanafunzi 57 Kwa kipindi Cha miaka miwili iliyopita. ← Previous Story Magazeti Ya Leo Tarehe 06/11/2018 Next Story → Msemaji Mkuu wa Serikali: Serikali Imefanya Mambo Makubwa Sana Ndani ya Miaka Hii Mitatu
"2019-01-19T06:31:33"
http://mjengwablog.com/dc-muro-awatia-mbaroni-watuhumiwa-watatu-walioshiriki-kumtoa-mimba-mwanafunzi/
[ -1 ]
Mikel Arteta apona corona - Mwanaspoti MMOJA kati ya watu maarufu katika medani ya soka kupata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona alikuwa ni kocha wa klabu ya Arsenal, Mikel Arteta inayoshiriki Ligi Kuu ya England (EPL). Arteta alikuwa ni mmoja wa kati ya watu wa kwanza kupata maambukizi hayo, sasa amethibitika kupona ugonjwa huo ambao tayari umeshaambukiza watu 300,000 duniani. Ugonjwa wa Corona unasababishwa na virusi vya Corona vinavyoshambulia mfumo wa hewa na kusababisha homa ya mapafu kitabibu unajulikana kama COVID 19. Kisa cha kwanza duniani kiliripotiwa Desemba 31, 2019 jijini Wuhan, China wakati hapa nchini kisa cha kwanza kilithibitishwa Machi 16, 2020 mjini Kilimanjaro. Kocha huyo aliyepata maambukizi baada ya kuchangamana na bosi wa Olympiacos ambaye alikuwa na maambukizi ya virusi vya Corona alitengwa kwa muda wa siku 14 na huku pia wachezaji wote wa Arsenal nao walitengwa. Inaelezwa kuwa tangu kuchangamana na bosi huyo Arteta alianza kujisikia vibaya akiwa na dalili za homa, mafua, kikohozi na uchovu na baada ya siku tatu hadi nne alianza kupata ahueni kidogo. Arteta aliyaeleza haya wakati akihojiwa na kituo cha luninga cha Kihispania cha La Sextra na aliwaambia kuwa sasa anajihisi amepona ugonjwa huu. Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO) kati ya watu 100 wenye maambukizi ya Corona, 80 hupona wenyewe bila matibabu yoyote. Hivyo hata Arteta anaingia katika kundi la wale ambao wamepata maambukizi ya Corona na kupona mwenyewe kwa uwezo na uimara wa kinga yake ya mwili. Kwa mujibu wa WHO mpaka sasa Corona haina tiba wala kinga ila matibabu saidizi hutolewa kumpa nafuu mgonjwa na hutengwa ili asiambukize wengine na huwa katika uangalizi maalum. Je, hatua gani zilifanywa na klabu ya Arsenal? Moja ya hatua muhimu za kudhibiti ugonjwa huu zilizofanywa na klabu ya Arsenal ilikuwa ni kumtenga kocha wake. Hatua ya pili ilikuwa pia kuwatenga wachezaji wote ambao kwa namna moja ama nyingine walichangamana na kocha huyo. Kocha huyo na wachezaji walitengwa kwa muda wa siku 14 kipindi ambacho endapo kitapita pasipo kuonyesha dalili zozote huwa ni ishara kuwa hawakupata maambukizi au aliyeumwa amepona. Klabu hii ya kaskazini mwa London haikuishia hapo kwani walihakikisha wale wote wanaowahudumia wachezaji wanajikinga kwa kuvaa barakoa (mask) pamoja na mavazi maalum ya kitabibu. Waliwawekwa chini ya uangalizi maalum wa jopo la madaktari wenye ujuzi wa kukabiliana na magonjwa ya kuambukiza ambao walisimamia pia utoaji wa elimu ya afya ya namna ya kujikinga. Eneo la klabu hiyo lilipuliziwa dawa na vifaa vimewekwa kila kona kwa ajili ya unawaji wa mikono ikiwamo maji na sabuni ya mani pamoja kimiminika cha kitakasa mikono yaani sanitizer. Programu zote za mazoezi za klabu hii zilisitishwa kabisa na walitarajia kuanza tena mazoezi baada ya siku hizi 14 kupita lakini pamoja na kuisha wameonelea si sahihi kwa sasa kuanza mazoezi kwani hali bado hali si shwari. Wachezaji wafanye nini kulinda viwango vyao? Kwa sasa ligi nyingi zimesimama kutokana na janga hili la kidunia na wachezaji wengi wameshauriwa kuwa ndani majumbani mwao hasa kwa wale ambao kuna visa vingi vya Corona. Ikumbukwe kuwa kipindi hiki mchezaji anaweza kuwa katika hatari ya kushuka kiwango kutokana na kusimama kwa mazoezi ya jumla ya klabu. Mchezaji mwenye kiwango ni yule mwenye kasi, nguvu na ustahimilivu. Vitu hivi anapaswa kuvilinda kwa kuzingatia mienendo na mitindo mizuri ya kimaisha. Anatakiwa kipindi hiki kutojihusisha na ulevi, matumizi ya tumbaku na ulaji holela wa vyakula hasa vya mtaaani. Akiwa kwake binafsi anatakiwa kufanya mazoezi rahisi ya kunyoosha viungo na kuimarisha misuli ya mwili kwa kufanya ubebaji wa vitu vizito vya wastani. Mazoezi mepesi binafsi anayoweza kufanya kipindi hiki ambacho wameambiwa watulie ndani ni pamoja na kuruka kamba, ni zoezi rahisi lisilohitaji eneo kubwa. Zoezi hili litakuwa na tija endapo tu litafanywa kwa muda wa dakika 30-60. Zoezi hili lina msaada mkubwa katika kulinda uzito wa mwili wa mchezaji. Umakini unahitaji kwa mchezaji kuhakikisha kuwa anazingatia ratiba ya chakula aliyopangiwa na daktari au mtaalam lishe za wanamichezo. Ulaji holela kipindi kama hiki inaweza kuchangia kupata uzito mkubwa hivyo kumweka katika hatari ya kuharibu kiwango chake. Mchezaji kama mwananchi mwingine nao pia wanaweza kupata maambukizi ya Corona kama ilivyotokea kwa wachezaji wa italia na Uingereza ambao wameugua Corona hivyo anatakiwa kujikinga. Osha mikono kila mara kwa maji safi yanayotiririka na sabuni au kwa kitakasa mkono (sanitizer) chenye kilevi dawa asilimia 60% na tumia angalau sekunde 30 kuosha mikono yako. Epuka kugusa maeneo ya usoni Tumia barakoa (mask) ikiwa unatoa huduma kwa visa vya Corona Vaa barakoa kwa usahihi na usirudie kuitumia unapoisha muda wake Epuka kukumbatiana, kugusana na kubusiana Epuka kuwepo sehemu za misongamano isiyo na lazima. Kaa umbali wa zaidi ya mita moja au futi sita kutoka kwa mgonjwa wa Corona au mwenye dalili za Corona Zuia chafya au kikohozi kwa kutumia kitambaa safi au eneo la mbele la kiwiko. Fuatilia taarifa zinazotolewa na wizara ya afya na Shirika la Afya Duniani.
"2020-07-11T08:24:56"
https://www.mwanaspoti.co.tz/spotimajuu/makala/Soka/Mikel-Arteta-apona-corona/1841834-5504932-1w708fz/index.html
[ -1 ]
WATUMISHI WIZARA YA KILIMO CHAPENI KAZI KWA WELEDI-KM KUSAYA — Ministry of Agriculture Kauli hiyo imetolewa leo (24.03.2020) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya wakati wa hafla ya makabidhiano rasmi ya ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu Mhandisi Mathew Mtigumwe yaliyofanyika makao makuu ya wizara Mtumba mkoani Dodoma na kuhudhuriwa na Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo vya wizara.
"2020-03-29T21:09:45"
https://www.kilimo.go.tz/index.php/sw/highlights/view/watumishi-wizara-ya-kilimo-chapeni-kazi-kwa-weledi-km-kusaya
[ -1 ]
MZEE WA MIAKA 90 ASHINDA MBIO ZA TIGO KILI HALF MARATHON ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' MZEE WA MIAKA 90 ASHINDA MBIO ZA TIGO KILI HALF MARATHON Posted by KHALFAN SAID on 05:06 Mshiriki wa Tigo half Kilimaratho mwenye miaka 90, Joram Zacharia Mollel baada ya kumaliza mbio hizo za kilomita 21, Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Sehemu ya kuanzia ya Tigo half Kilimarathon yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro. Washiriki wa Tigo half Kilimarathon wakiwania taji hilo kwenye mashindano hayo yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro Washiriki wa Kilimarathon wakipewa maji kwenye kwa ajili ya kuchangamsha miili yao. Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaaskazini, George Lugata akitoa neno la shukrani kwa washiriki wa Kilimarathon na wananchi waliojitokeza kwenye mashindano hayo yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Mecky Sadick akimpa tuzo mshiriki wa Tigo half Kilimaratho mwenye miaka 90, Joram Zacharia Mollel baada ya kumaliza mbio hizo za kilomita 21 Washindi wa riadha ya kilomita 21 iliyofadhiriwa na Tigo kwenye Kilimarathon wakiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali. Blog Archive July (23) August (33) October (73) November (31) December (5) February (2) March (4) April (6) May (8) June (6) July (14) August (28) September (4) October (19) November (21) December (4) January (27) February (19) March (30) April (3) May (14) June (13) July (42) August (95) September (43) October (41) November (76) December (86) January (61) February (79) March (78) April (97) May (107) June (90) July (171) August (184) September (216) October (262) November (153) December (233) January (247) February (304) March (263) April (166) May (232) June (384) July (291) August (306) September (269) October (276) November (266) December (165) January (205) February (150) March (270) April (394) May (493) June (395) July (421) August (569) September (394) October (487) November (403) December (307) January (447) February (162) BONDIA FRANCIS CHEKA AULA UBALOZI MTWARA - Mwenyekiti wa TAMOFA Kanda ya Kusini Seleman Mstapha Akimkabidhi Kadi ya Ubalozi wa TAMOFS bondia Francis Cheka Mkoani Mtwara. ****************************... MUWSA MABINGWA WA UTOAJI HUDUMA BORA ZA MAJI TANZANIA - *Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Isack Kamwelwe (kulia) akimkabidhi tuzo ya ushindi wa Mamlaka inayotoa huduma bora za Maji Tanzania, Mwenyekiti wa Bodi ya... Bondia Francis Cheka apewa Ubalozi-Mtwara. - *Chama cha Urafiki wa Wananchi wa Nchi ya Tanzania Na Msumbiji TAMOFA Kimempa Ubalozi Bondia wa Kimataifa Francis Cheka Ili kuweza Kutangaza Chama Hicho k... TBL YAAMLIWA KUMLIPA DAVID MGWASSA SH. BILIONI MOJA - *Na Mwandishi Wetu* *TUME Usuluhishi na Uamuzi (CMA) imetoa tuzo kwa aliyekuwa *Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi Tanzania (TDL), David Mgwassa* (... Blog Archive February (162) January (447) December (307) November (403) October (487) September (394) August (569) July (421) June (395) May (493) April (394) March (270) February (150) January (205) December (165) November (266) October (276) September (269) August (306) July (291) June (384) May (232) April (166) March (263) February (304) January (247) December (233) November (153) October (262) September (216) August (184) July (171) June (90) May (107) April (97) March (78) February (79) January (61) December (86) November (76) October (41) September (43) August (95) July (42) June (13) May (14) April (3) March (30) February (19) January (27) December (4) November (21) October (19) September (4) August (28) July (14) June (6) May (8) April (6) March (4) February (2) December (5) November (31) October (73) August (33) July (23)
"2018-02-17T21:40:46"
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/02/mzee-wa-miaka-90-ashinda-mbio-za-tigo.html
[ -1 ]
Ese waba uzi igisobanuro cy’umutako w’igiti cya noheri ( ikirugu ) n’ umuntu wagishyize mu nzu ye bwa mbere? | IMIRASIRE.com Yanditswe: 25/12/2017 07:54 Yasuwe incuro: 27426 MAKUZA - 28/12/2017 saa 06:37 frannk - 27/12/2017 saa 18:37 Nibajije ko unomwanditsi atashishoje neza mugukurikirana ivyiki hiyo. Na Noel ubwayo yobs atazi inkomoko yayo. Ko Luteri yagwanya gatoriko vyagenze gute ngo na papa yemere ivyico giti
"2018-05-25T20:52:31"
http://imirasire.com/amakuru-yose-242/iyobokamana/article/ese-waba-uzi-igisobanuro-cy-umutako-w-igiti-cya-noheri-ikirugu-n-umuntu-wagishyize-mu-nzu-ye-bwa-mbere
[ -1 ]
wema sepetu uchi fiestaUnladylike Behavior wema sepetu uchi fiesta September 23, 2012 admin wema sepetu uchi fiesta Wema sepetu na aunt ezekiel wakata mauno katika stage ya, Wema sepetu na aunt ezekiel wakicheza baada ya kukaribishwa kwenye stage katika fiesta. Picha: wema sepetu uchi.!! - kizobrax, Hivi ndivyo wema sepetu star wa bongo movie alivyoamua kuwaonyesha mashabiki wake utamu katika tamasha la fiesta katika mkoa wa morogoro ndani ya viwanja vya jamuhuri.. Jestina-george - nguo aliyovaa wema sepetu kwenye women, Beautiful onyine aka wema sepetu alikimbiza na kivazi chake, make up na nywele kwenye green carpet ya women day celebrations iliyofanyika 3 march 2013 katika ukumbi. Maisha: wema sepetu rumande, Miss tanzania mwaka 2007, wema sepetu(20) jana alionja adha ya rumande baada ya kushindwa kutoa sh 500,000 kujidhamini na pia kuwa na wadhamini wawili.. Maisha: wema sepetu kituko, Miss tanzania mwaka 2006, wema sepetu jana alikuwa kituko baada ya mama yake mzazi, mariam sepetu kumdhamini kwa sh 500,000 katika mahakama ya kinondoni. Previous Postwomens olympic picNext Postchan junior list Search for: Random entriesrebeccas worldmy wife caught me dresseddallas cowboy cheerleader nip slipsemployee forced feminizationhighkickwardrobemalfuntiontough mudder promo codes 2013 detroitwives that humiliate the spoucescameltoe europavasiliki tsirogianni imageswomens track and field camel toeArchives Select Month June 2013 March 2013 February 2013 January 2013 December 2012 November 2012 October 2012 September 2012 August 2012 April 2011 March 2011 February 2011 January 2011 December 2010 November 2010 Proudly powered by WordPress
"2014-10-21T05:24:54"
http://unladylikebehavior.com/2012/09/23/wema-sepetu-uchi-fiesta/
[ -1 ]
HII NI REKODI YA KOCHA WA YANGA KWENYE KOMBE LA DUNIA | ShaffihDauda Home Kimataifa HII NI REKODI YA KOCHA WA YANGA KWENYE KOMBE LA DUNIA Mchezaji wa zamani Ernie Brandts aliyewahi kuwa kocha wa Yanga anashikilia rekodi ya tofauti sana kwenye mechi za kombe la dunia. Huyu jamaa ni mchezaji wa Netherlands na kwenye kombe la mwaka 1978 mechi yao na Italy. Ernie Brandts alishinda magoli mawili moja kwa kila timu. Dakika ya 18 alijifunga na baadae dakika ya 50 alifunga goli la kusawazisha. Ikafika dakika nyingine baadae mwenzake Arie Haan alifunga goli la pili na wakashinda 2 – 1. Hadi leo haijawahi kutokea hali kama hiyo kwenye mechi za kombe la dunia. Huyu jamaa sasa hivi ni kocha wa timu ya FC Dordrecht. Tuendelee kucheki Brazuka kama rekodi hii itafikiwa au kuvunjwa. Previous articleEPISODE 10 YA DAUDA IN BRAZIL : HII NDIYO HALI ILIVYOKUWA SIKU AMBAYO MABINGWA WATETEZI WALIVYOTOLEWA Next articleYANGA WAANZA KUJIFUA UFUKWENI WAKIMSUBIRI MAXIMO
"2018-09-23T15:53:09"
http://shaffihdauda.co.tz/2014/06/24/hii-ni-rekodi-ya-kocha-wa-yanga-kwenye-kombe-la-dunia/
[ -1 ]
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ alivyosimama na maneno yake Bungeni baada ya ishu ya mtoto wake kuzungumzwa. – Millardayo.com Stori yote iko hapa mtu wangu, utayasikia maneno ya Mbunge Joseph Mbilinyi akiongea hiyo ishu ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma. Related ItemsBungeniJoseph Mbilinyi Sugu ← Previous Story #MAGAZETINI JUNE 26…Fisi amnyang’anya mama mtoto na kumla, Muhongo aumbuka na Nchimbi abaki njia Panda Next Story → Shambulio la kigaidi katika hotel ya kitalii Tunisia ipo kwenye headlines tena..
"2019-11-13T14:50:31"
https://millardayo.com/122867jmbilinyi-dom/
[ -1 ]