text
stringlengths
44
187k
timestamp
unknown
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
sequence
Mvua yatesa familia 360 Morogoro – MwanaHALISI Online Posted by: Masalu Erasto February 1, 2016 0 903 Views MVUA iliyoambatana na upepo mkali imeezua na kubomoa nyumba na kusabisha hasara kubwa kwa zaidi ya familia 360 katika wilaya mpya ya Malinyi mkoani Morogoro. anaandika Christina Raphael … (endelea). Mvua hiyo ilinyesha jana, na kwa mujibu wa Said Msomoka, mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, athari hizo zimeumiza wakazi wapatao 1,600 katika vijiji mbalimbali. Baadhi ya wakazi hao wasio na makazi wamepata hifadhi kwenye majengo ya shule na mengine ya umma. Wengine wanatumia vibanda vyenye hadhi ya chini. Mvua hiyo, ambayo pia ilikuwa na radi, imeangusha miti mikubwa ya asili ambayo imeziba barabara na kufanya wasafiri na watumiaji wa barabara kuu ya Lupiro-Mtimbira hadi Malinyi kuchangishana ili kupata fedha ya kulipa wenye vifaa maalum vya kukatia miti hiyo. MVUA iliyoambatana na upepo mkali imeezua na kubomoa nyumba na kusabisha hasara kubwa kwa zaidi ya familia 360 katika wilaya mpya ya Malinyi mkoani Morogoro. anaandika Christina Raphael … (endelea). Mvua hiyo ilinyesha jana, na kwa mujibu wa Said Msomoka, mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, athari hizo zimeumiza wakazi wapatao 1,600 katika vijiji mbalimbali. Baadhi ya wakazi hao wasio na makazi wamepata hifadhi kwenye majengo ya shule na mengine ya umma. Wengine wanatumia vibanda vyenye hadhi ya chini. Mvua hiyo, ambayo pia ilikuwa na radi, imeangusha miti mikubwa ya asili ambayo imeziba barabara na kufanya wasafiri na watumiaji… Previous: Makunga mwenyekiti mpya TEF Next: Serikali kugawa mbegu kukabili maafa Mungere Watu 298 wafariki kwa ajali Dodoma
"2018-08-22T05:46:24"
http://mwanahalisionline.com/mvua-yatesa-familia-360-morogoro/
[ -1 ]
Klabu mpya ya Hassan Kessy, Usipime! Simba na Yanga zinasubiri | ShaffihDauda Home VPL Klabu mpya ya Hassan Kessy, Usipime! Simba na Yanga zinasubiri Hivi karibuni Hassan Kessy amejiunga na klabu ya Nkana Fc ya Zambia na kukabidhiwa jezi nambari 22. Nkana Fc ni timu gani? Kichapo chao cha mwisho kutoka kwa Tunisia kiliwanyima nafasi Zambia ya kushirii kombe la dunia mwaka 1990. Mwaka huo huo Nkana Red Devils walifika fainali ya klabu bingwa Afrika. Hakika walikuwa na kizazi hatari zaidi. Ukipita kule Kitwe ukitaja jina “Kalampa”, ovyo ovyo unaweza kujikuta sero. Kalampa lilikuwa jina maarufu sana kwa mashetani hawa wekundu wa Zambia. Ililuwa chini ya mwalimu Moses Simwala, chini ya mafundi wa mzee Malitoli ndugu hawa wawili (Kenneth na Mordon), kule Reuben maarufu kama “Kamanga” Sakala, marehemu mzee Kapambwe alijulikana sana kama “Gentile” Mulenga, pia alikiwepo mheshimiwa Golden Kazika mtu hatari sana nyakati zake, alikuwepo Godfrey Muselepete, Gibby Mbasela na mtaalam Beston Chambeshi. Kikosi hiki kimebeba mataji mengi zaidi katika hitsoria ya Zambia (Zambian Super League) vikombe 11 kutokea miaka 1980/90s. Mafanikio yake ilifanya uwanja wa Nkana Stadium kujulikana huko kwao kama Mecca ya soka. Ilikuwa moja ya vilabu vitanovikubwa sana zaidi katika bara la Afrika miaka 1990. Licha ya kupoteza ubingwa kwa Power Rangers 1990, mwaka uliofuata walitwaa ubingwa wa African Cup-Winners’ Cup. Tokea miaka ya 1980 palikiwepo na uwezekaji mkubwa sana kwenye soka lao. Raisi wa Zambia wakati ule Kenneth Kaunda alikuwa anapenda soka kama Mourinho anavyopenda kupaki mabasi. Kaunda ulikuwa humwambii kitu kuhusu soka. Kaunda aliiongoza Zambia kwa miaka 27. Miaka ya 1980s mambo yakenda kwao mrama hasa kiuchumi kitendo kilichowafanya wao kujiondoa kwenye kuandaa michuano ya Afrika mwaka 1988. Nkana FC ni moja ya vilabu vikongwa zaidi katika taifa la Zambia iliyoanzishwa mwaka 1935 katika viunga vya Kitwe mjini Wusakili . Hapo awali klabu hii ilijulikana kama Rhokana United FC kabla ya kubadilishwa na kuitwa Nkana Red Devils. Mnamo mwaka 1990 klabu hii ilifanya makubwa baada ya kufika fainali ya klabu bingwa barani afrika. Klabu hii ya Nkana imeshindwa ubingwa wa Zambia mara 12 na mara yao ya mwisho ikiwa mwaka 2013. Mwezi mei 23 2014, klabu hii ilipigwa na msiba mkubwa baafa ya aliyekuwa mkufunzi wake Masautso Mwale kufariki kwenye ajali ya barabarani akiwa anaelekea kwenye mchezo wao dhidi ya Séwé Sport kutoka Ivory Coast kwemye mchezo wa kundi B la CAF Confederation Cup. Moja ya michezo migumu ya Zambia ni mchezo wa Nkana Fc vs Power Dynamos F.C ambapo mchezo huu unajulikana kama dabi ya Kopala. Mafanaikio Klabu bingwa(African Cup of Champions Clubs) Mshindi wa pili: 1: 1990 Ubingwa wa ligi kuu Zambia (Zambian Premier League): 12: 1982, 1983, 1985, 1986, 1988, 1989, 1990, 1992, 1993, 1999, 2001, 2013Zambian Cup: 61986, 1989, 1991, 1992, 1993, 2000 Kombe la Chalenji (Zambian Challenge Cup): 7: 1964, 1966 (as Rhokana United)1992, 1993, 1998, 1999, 2000 Ubingwa wa Mabingwa (Zambian Champion of Champions Cup): 2: Ngao ya Jamii (Zambian Charity Shield): 13: Ushiriki wao wa michuano ya CAF Klabu bingwa CAF Champions League: 3 walishiriki 2000 – Mzunguko wa pili 2002 – Mzunguko wa pili 2014 – Mzunguko wa pili Hapo awali African Cup of Champions Clubs: 9 walishiriki 1983: Nusu-fainali 1984: Robo-fainali 1986: Nusu-fainali 1987: Mzunguko wa pili 1989: Nusu-fainali 1990: Fainali 1991: Nusu-fainali 1992: Robo-fainali 1993: Robo-fainali Washindi wa CAF (CAF Cup Winners’ Cup): 2 walishiriki 1998 – Robo-fainali 2001 – Mzunguko wa pili 1999 – Mzunguko wa pili Previous articleMsimu mpya wa Premier League na DStv Next articleModric kusaini mkataba mpya SUPA SANDEI: Man City ni kibonde anayetaka kufuta uteja wake kwa Arsenal
"2018-08-17T07:42:04"
http://shaffihdauda.co.tz/2018/08/10/klabu-mpya-ya-hassan-kessy-usipime-simba-na-yanga-zinasubiri/
[ -1 ]
Unafanyaje? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Unafanyaje? Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by MwanajamiiOne, Jan 29, 2012. Kwanza nilishikwa na hacra juu yake, nikajiuliza ana matatizo gani huyu mdada? hakika niliamini kuwa either hana akili timamu au ni limbukeni wa mawazo. Yaani nikawaza miaka mi3 tangu mtengane, mwanaume hana contacts kabisa na wewe pamoja na kuwa na mwanaye unayemhudumia kwa kila kitu, bado anamfikiria na kumuingiza katika kila shauri la maisha yake! Hakika sikumwelewa! hata kama walioana kisheria wakatendeana vya kutendeana, but, mume akaenda kivyake, na mke na mtoto wakakaa kivyake . Lakini baada ya kutulia nikajiuliza 1. Unafanyaje iwapo umri unakwenda nawe unatamani kuwa na mtoto hata kama situation yako ni complicated? There goes ma big sisy! Heshima yako Mj1....nitarudi baadae, ngoja kwanza nilale! Unataka mtoto wa nje ya ndo au ndani ya ndoa. ...swali zuri sana... oa desperate situations needs desperate measures au labda atafute sperm donor...na sijui tz kama huduma hiyo ipo.. samahan kidogo mj1... unazungumza apo juu "ana matatizo gani huyu mdada?"...alaf sentenzi za chini zinazofuata zinamzungumzia "mkaka".... alaf baada ya kusema hayo naomba ni-log out...nitarudi bidae kaa vip... ...hahah, mpwa....usitumie katiba kuhukumu kesi hii... mdahalo huu ukitaka kuufaidi usome << backwards<< ...anzia; Unafanyaje iwapo umri unakwenda nawe unatamani kuwa na mtoto... kisha endelea na; miaka mi3 tangu mtengane, mwanaume hana contacts kabisa na wewe pamoja na kuwa na mwanaye unayemhudumia kwa kila kitu, bado anamfikiria na kumuingiza katika kila shauri la maisha yake!... Dada ndo uamke sasa maana mie nishaamka. Ukaona hapa hapatoshi eh?! Wa nje na ndani ndo wakoje? ...............Eh! Hata wewe??! lol Hebu ukishalog-in tena usome kwa makini utanielewa. Mh! Soulmate! naona semantic imechukua asilimia kubwa zaidi ya maudhui ya thread?! Ama kweli............ mi kazi yangu ni kugonga 'LIKE' tu, kuanzia mwanzo hadi mwisho..............'LIKE' is my comment!!! wapi kesto laiti niendelee kugonga LIKE hapa. Aksante Bigirita. Wa nje ni wanje tu, na wa ndani ni wandani tu. Wa nje unajichagulia mwenyewe umpendaye, na wa ndani huna ujanja lazima huyo huyo. Umesikia au bado, mana wengine mpaa mtumie wireless microphone spekaer ndo wanasikia. ...Oohhh mungu wangu wee...nini tena soulmate, nini tatizo? nahisi sihitajiki kuchangia lolote humu :A S-coffee:...Biggie nigongee like moja hapa na mimi aisee.. Hivi ni lazima kuzaa hata kama huna mwenza?? ...Umenikumbusha swali la Bikra Maria baada ya kutokewa na Malaika....Litanitokeaje neno hili na mie sina mume?? mimi kwishagonga LIKE kule juu...........kakague... Samahani NN hata swali halieleweki?! Nisamehe
"2018-01-16T08:21:00"
https://www.jamiiforums.com/threads/unafanyaje.217488/
[ -1 ]
NKURUNZIZA KUPOKEA KATIBA MPYA - FAMARA NEWS NKURUNZIZA KUPOKEA KATIBA MPYA Fabian Fanuel 2:33 AM 0 Comment siasa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anatarajiwa kuipokea Katiba mpya ambayo taanza kutekelezwa siku ya Alhamis ambayo inatajwa kuwa itageuza mambo mengi kwenye taifa hilo, lakini pia kutoa fursa kwa Rais kuweza kuwania uongozi wa nchi hadi mwaka 2034. Taarifa kutoka Ikulu ya Burundi zimethibitisha kuwa sherehe za utiaji sahihi kwenye katiba mpya na kuitambulisha kwa raia zitafanyika katika mkoa wa kati wa Gitega eneo la Bugendana ambako huko ndiko kulikozinduliwa rasmi mchakato wa katiba. Katiba hiyo inaanza kutekelezwa wakati mazungumzo ya amani yakiwa yamekwama baada ya serikali kukataa kuketi meza moja na wapinzani.
"2019-03-25T03:21:08"
http://www.famaranews.com/2018/06/nkurunziza-kupokea-katiba-mpya.html
[ -1 ]
Askari aliyepandishwa cheo na IGP, aongoza katika riadha Japan – Millardayo.com Askari aliyepandishwa cheo na IGP, aongoza katika riadha Japan Baada ya IGP Simon Sirro kumpandisha Cheo askari Fabiam Nelson kutoka Konstebo hadi Koplo baaada ya kushinda Mita 5000 katika mashindano ya EAPCCO. Leo amepokelewa na Kamanda wa Polisi Arusha Ramadhan Ng’anzi baada ya kushinda tena kwenye nafasi ya kwanza kwenye Half marathon nchini Japan nakupewa medali ya dhahabu. ← Previous Story BREAKING: Mdogo wa Rostam afikishwa Mahakamani kwa makosa 75 Next Story → TRA ilivyogawa makontena ya Paul Makonda (+video)
"2020-02-27T08:50:25"
https://millardayo.com/mh7y66y/
[ -1 ]
MATUMIZI YA KONDOMU ZA KIKE ZA "LADY PEPETA" - Jicho La Uswazi VITU 6 VITAKAVYOKUONESHA KUWA MWENZI WAKO ANACHEPUKA. Hizi Ndiyo Sababu 4 Zinazopelekea Wanawake Warembo Kutokuolewa MATUMIZI YA KONDOMU ZA KIKE ZA “LADY PEPETA” By Mcinka Wa Lamar On Oct 27, 2017 0 Kondomu za kike ni mipira nyororo kabisa inayovaliwa katika uke wakati wa kufanya mapenzi ili kuzuia mimba na kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ya magongwa ya zinaa. Huenda kukawa na aina nyingi za kondomu za kike, lakini hapa ninaangazia kondomu aina ya “Lady Pepeta”ambayo ni mashuhuri. Wakati wa kufanya mapenzi kwa wapenzi wawili, ni jukumu la kila mmoja wenu kujilinda kwanza peke yake bila kujali kuwa swala la kinga ni jukumu la mmoja wenu. Wanawake kwa kiasi kikubwa wamekuwa hawafanyi maamuzi pekee katika swala la kutumia kinga, kwani imezoeleka kuwa wanaume ndio wanaopaswa kuvaa kondomu. Itakuwa ni dhana potofu endapo ukimtegemea mwenzio akulinde kwa kuvaa ndomu wakati wote, unapaswa kujadiliana na mwenzi wako na kufanya maamuazi sahihi kuwa nani anapaswa kuvaa kinga kwa wakati huo. Lady Pepeta ni kondomu ya kike ambayo ni rahisi kabisa kuvaa na ukafurahia tendo la kufanya mapenzi. MASWALI NA MAJIBU KUHUSUKONDOMUYA LADY PEPETA 1. Je ninaweza kutumia Lady Pepeta moja zaidi ya mara moja? Hapana isitumike zaidi ya mara moja. Tumia Lady Pepeta kwa kila tendo la ngono. 2. Je kunawakati maalum ambapo sipaswi kutumia Lady Pepeta? Hapana. Unaweza kutumia Lady Pepeta wakati wowote, hata kama uko kwenye hedhi. 3. Je nivae Lady Pepeta muda gani kabla ya kujamiiana? Unaweza kuvaa Lady Pepeta hadi masaa sita kabla ya kujamiiana. 4. Je ninaweza kutumia Lady Pepeta na njia nyingine za uzazi wa mpango? Ndio. unaweza kutumia Lady Pepeta na njia nyingine za uzazi wa mpango kama vile, vidonge, kitanzi na njia za asili. Usitumie kondomu ya kiume unapotumia Lady Pepeta. Msuguano wa kondomu mbili unaweza kupasua kondomu. Kumbuka kondomu ikitumika kila mara kwa usahihi hupunguza hatari ya maambukizi ya magonjwa yasababishwayo na ngono zembe pia hupunguza uwezekano wa kupata mimba zisizotarajiwa. 5. Mafuta yaliyopakwa kwenye Lady Pepeta yanasaidia nini? Mafuta yaliyopakwa kwenye Lady Pepeta yanarahisisha uume kuingia na kutoka kirahisi ukeni wakati wa kujamiiana. Mafuta yaliyopo upande wa nje humsaidia mvaaji wakati wa kuvaa.. 6. Je Lady Pepeta inachanika wakati wa kujamiiana? Hapana. Lady Pepeta si rahisi kuchanika wakati wa kujamiiana. 7. Je Lady Pepeta inaweza kuzama na kupotea ndani ya mwili wangu? Hapana. Lady Pepeta haiwezi kuzama wala kupotea mwilini. Mlango wa kizazi ni mdogo sana, saa zote huwa umejifunga. 8. Je nifanye nini iwapo uume umeingia kati ya uke na Lady Pepeta? Endapo uume haupo ndani ya Lady Pepeta uchomoe. Hakikisha pete ya nje imekaa kwenye midomo ya uke uelekeze uume ndandi ya Lady Pepeta. MAELEKEZO YA MATUMIZI YA KONDOMU ZA KIKE ZA “LADY PEPETA” KWA NJIA YA SAUTI… FUATILIA KIPINDI CHETU CHA “DANGER ZONE LIFE” kinachowekwa katika mtandao huu na mingineyo kila wiki na ni bure kabisa kudownload na kupata mafundisho kibao ya kijamii. “FUNGUKA OKOA JAMII”. Lady Pepeta inatengenezwa na “The Female Helth Company” Hapa nchini inasambazwa na T-MARC kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Munalove Ajitolea Kufa Na Kupona Kwa Lulu…? VYAKULA VINAVYOONDOA MAUMIVU WAKATI WA HEDHI KWA WANAWAKE. KAHAWA NI TIBA YA TEZI LA KIBOFU CHA MKOJO KWA WANAUME Madhara Ya Kuangalia Video Za Ngono Na Jinsi Ya Kuacha
"2018-01-24T07:38:08"
http://jicholauswazi.com/matumizi-ya-kondomu-za-kike-za-lady-pepeta/
[ -1 ]
VIDEO: Shangwe za Ngorongoro Heroes baada ya Ubingwa wa CECAFA U-20 – Millardayo.com VIDEO: Shangwe za Ngorongoro Heroes baada ya Ubingwa wa CECAFA U-20 Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana U-20 Ngorongoro Heroes wameibuka Mabingwa wa CECAFA U-20 kwa kuifunga Kenya U-20 goli 1-0, baada ya Ubingwa huo uwanjani Jinja nchini Uganda hali ilikuwa hivi kwa wachezaji, mashabiki kwa furaha ya Ubingwa. ← Previous Story VIDEO: Kelvin John (Mbappe) kafunguka alichoambiwa na Samatta akiwa Ubelgiji Next Story → VIDEO: Baada ya ushindi kivutio kikawa Chibonge Shabiki wa Ngorongoro Heroes
"2019-10-18T09:35:04"
http://millardayo.com/ggt6u/
[ -1 ]
Katibu Bunge afunguka Zitto Kabwe kuanika utajiri wake facebook | MPEKUZI Katibu Bunge afunguka Zitto Kabwe kuanika utajiri wake facebook Pia katibu huyo alisema kuwa bado hajauona muswada anaodai Zitto kuwa tayari amewasilisha zaidi ya mara moja kutaka kuwapo kwa sheria itakayowalazimisha wabunge na mawaziri kuweka wazi kwa umma taarifa juu ya mali wanazomiliki pamoja na madeni yao na si taarifa hizo kuishia tu kwa Kamishna wa Maadili.
"2018-04-26T17:27:10"
http://www.mpekuzihuru.com/2017/12/katibu-bunge-afunguka-zitto-kabwe.html
[ -1 ]
Diamond akana kumuandikia Wema Sepetu wimbo ‘I Miss You’ | Habari Pevu Nyumbani Burudani Diamond akana kumuandikia Wema Sepetu wimbo ‘I Miss You’ Diamond akana kumuandikia Wema Sepetu wimbo ‘I Miss You’ Diamond Platnumz na Wema Abraham Sepetu Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya ‘I Miss You’ aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu. Akizungumza na kipindi cha The Playlist cha Times FM, Diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi. “Hapana, sio kweli kwa sababu Wema hana mtoto, hana familia is just to me, unajua Mwenyenzi Mungu amenibariki sana kuandika nyimbo za feeling, unajua tunatafuta market na ili tukue kimuziki ni lazima na muziki mwingine tufanye ili tusi-disappoint wa nyumbani ni lazima uwape chao na kule (kimataifa) ufanye,” amesema Diamond, kwa mujibu wa Bongo5. Ameongeza, “Huwezi kuamini ilikuja tu, nikiandika nyimbo za mahusiano kama hizi sometime chozi linanitoka, nakumbuka mara ya kwanza huu wimbo nimeuandika nipo kwenye ndege sijui nilikuwa naenda wapi, nikawa napata feeling nikiandika topic hii itakuwa vizuri na Mungu kanijalia naweza kubadilika katika muziki wa tofauti tofauti,” IliyotanguliaKagame kuongea mubashara na wananchi redioni kuelekea uchaguzi wa urais InayofuataTisa mbaroni kwa kuvunja nyumba, wizi
"2017-11-20T17:19:50"
http://www.habaripevu.com/diamond-akana-kumuandikia-wema-sepetu-wimbo-i-miss-you/
[ -1 ]
Kweli JK Msanii! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kweli JK Msanii! Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by New2JF, Nov 6, 2011. Rais Kikwete amjulia hali Msaanii ''mwenzake'' Vengu wa Zekomedy. Hivi kweli siku zooooote alizokaa ikulu hadi asikie msanii mwenzake anaumwa ndio aende hospitalini!!!! Kuna wagonjwa wangapi muhimbili, mwananyamala etc? New2JF said: View attachment 40645 Is this real news?Click to expand... ah! JK lol! wewe ndiyo msanii, kwani kuna tatizo gani kwenda kujulia hali ya wagonjwa??? Hiyo ndiyo humanity jamani JK akitembelea wagonjwa anaitwa msanii! Ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwa jamani JK akitembelea wagonjwa anaitwa msanii! Ametembelea wagonjwa na jana ametoa zawadi ya mbuzi na mchele kwa wagonjwaClick to expand... The man knows he is center of negative news, he is entitled to check the list of patients before he makes his tour of being a Samaritan, he would have avoided that, simple and sure. Unataka afanye kipi umpongeze. Kwani hapaswi kwenda kutembelea wagonjwa . Fang..... ndio maana nimeuliza maana nimeiona iko katika moja ya habari za kazi za Rais!!! I meant hakuna kitu cha kutangaza kuhusu kazi zake hasa zenye maslai na Taifa zaidi ya hiyo??????? Bijou...mbona hiyo humanity iko very biased? Hadi msanii mwenzake aumwe ndio aende kutembelea wagonjwa (na kwa taarifa yako...alienda kwake tu na siyo kwa wagonjwa wengine) kumbuka Mkuu Bijou...gharama alizotumia kuteketeza kwa kwenda kumuona Vengu....haiingii akilini...eti msafara unatoka ikulu...magari mengine barabarani yanasimamishwa kisa bosi anapita kwenda kumtembelea Vengu? Muhimbili kazi zinasimama hadi Rais amalize ''ziara'' yake? Ningejua kuwa ni utu kama angekuwa na hako kautaratibu ka kuwaona wagonjwa kama afanyavyo ile ya kila mwezi kuzungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari!!!! Kweli unadiriki kusema Humanity? Ungekuepo wakati anaenda hapo hospitalini ungechoka mwenyewe!!! Natamani nawe ungekuwa na mgonjwa wako hapo ili uone kituko kilichotokea!!! Pole sana Mkuu Bijou. Mkuu Kimbunga tafakari sana nilichoandika hapa juu then utoe comments zako Na kwako pia dada FF Bijou...mbona hiyo humanity iko very biased???? hadi msanii mwenzake aumwe ndio aende kutembelea wagonjwa (na kwa taarifa yako...alienda kwake tu na siyo kwa wagonjwa wengine) kumbuka Mkuu Bijou...gharama alizotumia kuteketeza kwa kwenda kumuona Vengu....haiingii akilini...eti msafara unatoka ikulu...magari mengine barabarani yanasimamishwa kisa bosi anapita kwenda kumtembelea Vengu????? Muhimbili kazi zinasimama hadi Rais amalize ''ziara'' yake??? Ningejua kuwa ni utu kama angekuwa na hako kautaratibu ka kuwaona wagonjwa kama afanyavyo ile ya kila mwezi kuzungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari!!!! Kweli unadiriki kusema Humanity????? Ungekuepo wakati anaenda hapo hospitalini ungechoka mwenyewe!!! Natamani nawe ungekuwa na mgonjwa wako hapo ili uone kituko kilichotokea!!! Pole sana Mkuu Bijou. Mkuu Kimbunga tafakari sana nilichoandika hapa juu then utoe comments zakoClick to expand... mkuu hebu tuhabarishe hicho kituko kilichotokea jamaa alipoenda kumuona vengu! Wakuu dogo anaumwa serious, wala hakuna haja ya kumjadili ****** kwa kumtembelea, inafaa tujiulize namna atakavyo msaidia ukizingatia walizunguka naye nchi nzima kwenye kampeni zao magamba na wao walichangia 'kumuweka madarakani'. They need to reward him for the job they did for the magamba! And the best they can do for him is to find the best treatment of his disease the soonest. Eid MubarakClick to expand... mbaraka faidina Wakuu dogo anaumwa serious, wala hakuna haja ya kumjadili ****** kwa kumtembelea, inafaa tujiulize namna atakavyo msaidia ukizingatia walizunguka naye nchi nzima kwenye kampeni zao magamba na wao walichangia 'kumuweka madarakani'. They need to reward him for the job they did for the magamba! And the best they can do for him is to find the best treatment of his disease the soonest.Click to expand... Jamani kwani vengu anasumbuliwa na nini Mwendo ni mbuzi na mchele,lol! Jamani kwani vengu anasumbuliwa na niniClick to expand... kwa mujibu wa wafuatiliaji wa ze comedy wanasema jamaa anasumbuliwa na maleria Siyo msanii. Ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya Mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80%) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao. Na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii "strength" yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida. Na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hili. Kwani wewe kuwatembelea wagonjwa inasaidia nini wakati hakuna madawa vijijini ,hio pesa ya diesel kwenye msafara wake magari 30 si ingenunua dawa,halafu hii ya kutoa mbuzi kwenye sikuukuu tu kwanini asiwasaidie kuanzisha miradi ya kuwasaidia siku zote? watz wengi wanamatatizo ya mitaji ,kwani ccm wameuza mashirika na viwanda vyetu vyote kwa wahindi Siyo msanii. Ukweli ni kuwa moja ya mambo yaliyomfanya Mheshimiwa ashinde kwa kishindo (80%) mwaka 1995 ni tabia ya kuwatembelea wagonjwa na kushiriki kwenye misiba ya watu mbalimbali bila kujali vyeo au nafasi zao. Na kama umemfuatilia amekuwa akitumia hii "strength" yake vizuri sana kujenga picha kuwa yeye ni mtu wa watu wa kawaida. Na ninaamini kuwa amefanikiwa sana katika hili.Click to expand... Hiyo 1995 alishinda wapi na nini 80% hebu fafanua
"2016-12-07T20:44:28"
http://www.jamiiforums.com/threads/kweli-jk-msanii.189595/
[ -1 ]
KWA NINI KUTANIANA KIDOGO NI SIRI YA KUMPATA SOUL MATE WAKO +PAMOJA NA KUPATA SEX BORA. - Elizabeth David KWA NINI KUTANIANA KIDOGO NI SIRI YA KUMPATA SOUL MATE WAKO +PAMOJA NA KUPATA SEX BORA. elizabeth David August 11, 2016 0 0 234 views Ndani ya post hii kuna mtu amenionyesha kuwa kuna tahadhari ya haraka ambayo ni, tafakari inayokukaribisha kwenye maisha ambayo yatabadilisha njia ya mtu kuwa sahihi na nzuri Utani ulio wa kawaida ni jaribio la wewe kuwa makini na kuwa na ujasiri. Mara unapoanza kunywa, utasahamu malengo yako kabisa. Inaweza kuwa lengo lilikuwa kupata mpenzi wa maisha yako, labda ilikuwa kujenga urafiki wenye msingi mzuri na wenye maana. Kupata kinywaji kidogo , hayo matarajio yako hutokea dirishani. Fikiria unaenda interview umelewa. Ungeweza kuamka asubuhi hio na kwenda kuongelea kuhusu mshahara ili uongezeke badala yake unajikuta unabaki pale pale na ukafikiri ndio mpango kamili kumbe ni ulevi ndio umekufanya uwe pale. Ujasiri ni uelewa wa thamani yako. Mwanzoni, kwa sababu inashusha kuaibika.,inakufanya ujisikie kama mfalme wa milima, kwini wa ulimwengu, inakusaidia usahau kwamba kila kitu ni kitu hakijawahi kuwa kigumu. Kwa maana nyingine inafananisha na kujihukumu, kama vile pombe inavyokufanya ujione uko sawa, salama , unasahau kuwa hauko salama.’’ Nyele ziko rafu, unahitaji kupungua uzito,’’ inaharibu mwonekano wako kwa watu wengine. Kwa hio mtu anapokuchukua wewe kwenda nyumbani kwake , unaona ni kawaida kwa sababu ya pombe, lakini panapokucha asubuhi unashangaa , huamini hayo maamuzi ulifanya wewe au ulilazimishwa na mtu. Na unaona kabisa kuwa halikuwa wazo zuri kuwa pale ulipo. Kujuta kwako kunakufanya ujiulize maswali ya kujilaumu zaidi.. Kwa hio unaamua kuwa mbali na watu na kunywa peke yako wakati unaokuja. Utani kidogo ni sawa na utambuzi. Inaweza kuonyesha kama woga , Unaweza kuwa unafikiria, nitawezaje kwenda kupata vitu vya kuongea vitu vya hatari bila ya kunywa kidogo.? Ni swali kubwa. Jibu rahisi ni tafakari. Nilipoanza kutafakari, nilianza kuona kidogo kidogo ukwelli wa mimi nilivyokuwa, ilikuja kama mianga ya taa na kuniweka katika vitendo, lakini kwa muda wa zaidi, ukweli, mtu kamili alionekana. Chombo hiki cha tafakari kimenifungua kwenye kazi ya kujichunguza, hio itakuongoza kwenye ujasiri wa kweli. Unaweza usielewe hili, lakini unapovutiwa unafanya mambo mawili: unafanya pendekezo la kitu unachofanya na kesi ya kwa nini unastahili hicho. Ujasiri ni chombo muhimu kwa kufanya mambo ya mafanikio. Pombe inakufanya uweze kitu kimoja tu kwa hivyo viwili. Inakuruhusu kubishana kwa ujasiri kwamba unastahili kitu hicho kukipata, hata kama hukustahili. Kama watakukubalia wewe, ina maana ni kwenda wote nyumbani. Utani wa kwenye pombe unaweza kuleta matokeo ambayo utapata mtu asie sahihi katika chumba chako. Njia pekee ya kuepuka haya ni kubadilisha utani wa pombe na kuingiza utani kidogo wa tabia ya kutafakari. Kutaniana kidogo itakufanya kupata usahihi wa mtu muhimu ili kupata hitaji lako( whatever those are), na kupima kiasi chao cha maslahi kwa muda ambao utakuwa unawasiliana pamoja. Kujiamini kuna thamani, haipo kwenye tabia zetu za ujasiri. Ni sehemu ya kiroho, yenye nguvu ya kipekee. Kama unahitaji maisha yalio zaidi ya hapo ( and sex life) unahitaji kuwa na hivi vitu visivyogusika. Na njia nzuri ya kupitia hayo ni kwa kutafakari tu na mawasiliano ya kiroho. Unapowasilisha hivi, utakuwa hivyo. .Na kuwa hivyo ina maana kuwa mtu wa kujiamini, kwa kuingia upande wa kiroho, utasaidia hali ya kutokuwa na usalama na kuwa katika hali ya usalama iliopo ya ushindi. shirikisha marafiki makala hii kisha toa maoni yako. Tags furaha ya mapenzi kumpata mtu wa ukweli MAPENZI mapenzi ya kweli soul mate SIMULIA HISTORIA YAKO , PONYA MOYO WAKO NA YALIOPITA. MAMBO 7 YA KIHISIA WATU WENYE AKILI HAWAFANYI.:
"2018-08-21T11:32:11"
http://lizzdavid.com/kwa-nini-kutaniana-kidogo-ni-siri-ya-kumpata-soul-mate-wako-pamoja-na-kupata-sex-bora/
[ -1 ]
Picha: AJALI YA BASI LA BRIGHT LINE,GARI NDOGO NA PIKIPIKI YAUA WATU WAWILI NA KUJERUHI 20 SHINYANGA | MALUNDE 1 BLOG Home » matukio , shinyanga » Picha: AJALI YA BASI LA BRIGHT LINE,GARI NDOGO NA PIKIPIKI YAUA WATU WAWILI NA KUJERUHI 20 SHINYANGA Watu wawili wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya gari lenye namba za usajili T.437 DFJ Yutoung Bus Kampuni ya Bright Line iliyokuwa inatokea Mwanza kwende Dodoma kugongana uso kwa uso na gari lenye namba za usajili T.173 ANW Nissan Station Wagon wakati mwendesha pikipiki yenye namba MC.489 BVR Sanlg akikwepa mwendesha baiskeli katika eneo la Isela barabara kuu ya Shinyanga kuelekea Tabora. Ajali hiyo imetokea leo Jumatatu Januari 13,2020 majira ya saa nne asubuhi wakati basi hilo likitoka Mwanza kwenda Dodoma,gari ndogo ikitokea Tinde kuelekea Shinyanga na mwendesha pikipiki akitokea Shinyanga kuelekea Tinde. Waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni mwendesha boda boda aliyejulikana kwa jina moja la Saidi na abiria aliyekuwa kwenye basi aliyejulikana kwa jina la Pilly Abed (12) mwanafunzi wa Dodoma. Kwa Mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Joseph Paul chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha pikipiki kumkwepa mwendesha baiskeli wakati akilipita basi la Bright Line bila kuchukua tahadhari. Amesema majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga na miili ya marehemu imefadhiwa katika chumba kuhifadhia maiti katika hospitali hiyo. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga,Rose Malisa amesema wamepokea miili ya marehemu wawili na majeruhi 20.
"2020-05-26T10:52:30"
https://www.malunde.com/2020/01/ajali.html
[ -1 ]
ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA KINONDONI KWA KUTEKELEZA MIRADI MIKUBWA KWA KUTUMIA FORCE ACCOUNT, YATAKA HALMASHAURI NYINGINE ZIIGE. | Masama Blog Home » NEWS AND UPDATES » ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA KINONDONI KWA KUTEKELEZA MIRADI MIKUBWA KWA KUTUMIA FORCE ACCOUNT, YATAKA HALMASHAURI NYINGINE ZIIGE. from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2qr6LCs Thanks for reading ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA KINONDONI KWA KUTEKELEZA MIRADI MIKUBWA KWA KUTUMIA FORCE ACCOUNT, YATAKA HALMASHAURI NYINGINE ZIIGE.
"2020-04-06T09:55:11"
https://www.masamablog.com/2019/11/alat-yaipongeza-manispaa-ya-kinondoni.html
[ -1 ]
Chadema Blog: CUF: Hatujajiengua UKAWA CHAMA cha Wananchi (CUF), kimekanusha uvumi kuwa kimejiengua na kukisusia kikao kinachoendelea cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kwa kile kinachodaiwa kina uchu wa madaraka. Aidha, CUF imekanusha uvumi kuwa baadhi ya wananchama na wenyeviti wa CUF kununuliwa na Chama cha Mapinduzi ( CCM), kwa lengo la kuuvuruga umoja wao na kuisambalatisha UKAWA. Hayo yamebainishwa leo Jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Bara, Magdalena Sakaya alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambamo kimechukua fursa hiyo kuwaonya waandishi kuandika habari za kweli zinazohusu UKAWA kuliko kuandika habari zinazoweza kupotosha umma. Sakaya ameendelea kusisitiza kuwa, CUF haijajiengua na UKAWA, ambamo amebainisha sababu za kutoshiriki katika kikao cha jana Julai 14,2015 kilichofanyika katika ukumbi wa Collesium Dar, kumetokana na sababu za kikatiba za ndani ya Chama ambapo jana walikaa kikao hivyo kupelekea kushindwa kutuma mwakilishi katika kikao hicho. “Baada ya kikao cha UKAWA cha Julai 11 mwaka huu CUF tumekuwa na vikao vinavyohusu viongozi wakuu wa Chama akiwemo Mwenye kiti, manaibu katibu wakuu na wakurugenzi na jana ndo tulikuwa na kikao na ndio maana hatukuweza kutoka” amesema Sakaya. “Kutohudhura katika kikao cha jana hakuna mahusiano yoyote na uvumi na maneno ya chini chini kwa baadhi ya mitandao ya kijamii yanayopotosha umma” Kuhusu uvumi unaodai kuwa UKAWA umeshampitisha mgombea kwa kupiga kura na kwamba baadhi ya magazeti kumuandika mgombea amesema halina ukweli, taarifa hizo pia zilipelekea baadhi ya wananchama wa CUF kukusanyika makao makuu ya CUF ili kupata ufafanuzi zaidi juu ya uvumi huo. Nae Mkurugenzi mipango na uchaguzi Shaweji Mketo amesema, kuhusu maneno yanadai kuwa UKAWA ni pasua kichwa na kwamba unakaribia kuvunjika hayana ukweli isipokuwa wanafuata katiba ya kila chama ndipo wamtoe mwali atakaye peperusha bendele ya UKAWA. Amesema, “niwatoe wasiwasi wananchi na wapenzi wa UKAWA muondoe hofu tupo imara na tunatarajia baada ya siku tano kumtangaza mgombea wetu, na kikubwa kinachojadiliwa sasa ni ugawaji wa majimbo kutokana na kuongezeka kwa majimbo hivyo ni lazma tuyajadili kwa kina na kujua yupi atachukuwa wapi” Kuhusu kikao cha Baraza kuu la uongozi wa kitaifa Mketo amesema, “tunatarajia kufanya kikao cha mwisho Julai 25 mwaka huu ili kupata Baraka ya chombo cha maamuzi kama ambavyo wezetu wa washiriki wa UKAWA wamekwisha pitia hatua hizo katika vyama vyao” Posted by Chadema Blogtz at 1:34 AM
"2018-02-18T09:04:23"
http://chademablog.blogspot.com/2015/07/cuf-hatujajiengua-ukawa.html
[ -1 ]
Mabuku a Batumoni ba Yehova pa Mateba a Bantu TANGA MU Alur Angele Damara Dingala Esan Falanse Ibanag Kabuverdianu Kiafrikaans Kialameni Kialbane Kialema Kialema kya kunshi Kialtai Kiamarike Kiami Kiaymara Kiazeri Kiazeri (kya sirilike) Kibachkir Kibasa (kya mu Kamelune) Kibemba Kibengali Kibikole Kibilgare Kibulu Kichichewa Kichitonga Kichitumbuka Kichiyao Kichol Kicitonga (lwa mu Zimbabwe) Kicitonga(lwa mu Malawi) Kidangme Kidanwa Kidigor Kidwala Kiedo Kiefik Kieshipanyole Kieshitoni Kiewe Kifidji Kifinwa Kifon Kiga Kigarifuna Kigbo Kiguarani Kigujarati Kigun Kihausa Kihebelu Kiherero Kihiligaynone Kihindi Kihiri Motu Kihongrwa Kiikrenye Kiiloko Kiindonezi Kiislande Kiisoko Kiitali Kijampani Kijeorji Kijula Kikabye Kikachikel Kikamba Kikannada Kikaonde Kikatalana Kikechua (kya mu Ankash) Kikechua (kya mu Bolivi) Kikhosa Kikore Kikreole kya Haiti Kikroate Kikurde kya Kurmanji Kikurde kya Kurmanji (kya Sirilike) Kikuyu Kikwangali Kikwanyama Kileton Kilituani Kiluba Kiluganda Kilumani Kilunda Kiluo Kilusi Kiluvale Kimalagashe Kimalay Kimalayalam Kimam Kimambwe-Lungu Kimarati Kimarshale Kimasedwane Kimaya Kimazateke kya mu Huautla Kimikse Kimikstek (kya mu Guerrero) Kimongole Kimore Kimotu Kimyama Kinahuatl (kya Bonso) Kinahuatl (kya ku Kungala kwa Puebla) Kinahuatl (kya mu Guerrero) Kinahuatl (kya mu Huasteka) Kindebele Kindebele (kya mu Zimbabwe) Kindonga Kinepali Kinerlande Kingabere Kingidiki Kinorveje Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kioromo Kiosete Kipangasina Kipapiamento (kya Kirasao) Kipeleshia Kipendjabi Kipidjin kya mu Kisanga kya Salomo Kipolone Kipolotige Kipolotige (kya Portigale) Kiponape Kirgiz Kiribati Kirundi Kisamoa Kisango Kisebuano Kisepedi Kisepulana Kiserbi Kiserbi (kya mu Loma) Kishinwa Kantoné (Kipēla) Kishinwa Kantoné (kya Kala) Kishinwa Mandaren (Kipēla) Kishinwa Mandaren (kya Kala) Kishona Kisidama Kisilozi Kisinhala Kislovake Kislovene Kisonge Kisranantongo Kisuedwa Kiswahili Kiswahili (kya mu R.D.Congo) Kiswati Kitagaloge Kitajiki Kitamule Kitaraskane Kitatare Kitcheke Kitchouvashe Kitelugu Kitetela Kithai Kitigrinya Kitirk Kitirkmene Kitiv Kitlapanek Kitojolabala Kitok Pisine Kitonga Kitotonake Kitsonga Kitswana Kituvalu Kitwi Kitzeltale Kitzotzile Kiurhobo Kiuzebek Kivenda Kivietname Kiwaray-Waray Kiwolaita Kiyoruba Kizande Kizapotek (kya Isthme) Kizulu Kongo Kriole kya mu Belize Kurde Kurmanji (lwa mu Caucase) Kyalabu Ludimi lwa Tumama lwa mu Afrika wa Kunshi Ludimi lwa Tumama lwa mu Arjantine Ludimi lwa Tumama lwa mu Brezile Ludimi lwa Tumama lwa mu Eshipanye Ludimi lwa Tumama lwa mu Kolombi Ludimi lwa Tumama lwa mu Koré Ludimi lwa Tumama lwa mu Lusi Ludimi lwa Tumama lwa mu Meksike Mbunda Mingrelian Okpe Pidgin (kya mu Cameroon) Pidgin ya mu Nijeria Sesotho (ya mu Afrika wa Kunshi) Sesotho (ya mu Lesotho) Tetun Dili Tshiluba Uzbek (lwa Loma) Mwanda waka i bipelejibwe kutūla bintu bilupwilwe na Batumoni ba Yehova pa diteba dya muntu nansha pa marezo a mīsambo pa Entelenete? Mwanda kintu kyonso kyotulupula kimanine pa Bible tupānanga’kyo ku bitupu, ino bantu bamo balañanga’mba i bitabijibwe kwikitentula, kupwa kwikitūla pa mateba makwabo nansha pa marezo a mīsambo pa Entelenete. Inoko, kulonga uno muswelo i kutyumuna Bijila bya Mwingidijijo * bya mateba etu, kadi kino i kilete makambakano makatampe. Enka mobilombwedilwe patōka mu bino Bijila, i kutupu muntu nansha upelwe lupusa lwa “kutūla kifwatulo, mabuku, biyukeno, minjiki, mafoto, mavideo, nansha bishinte bya pa dino diteba pa Entelenete (pa diteba dyo-dyonso, pa diteba dituminwa’po myanda, pa diteba dituminwa’po mavideo, nansha pa rezo ya mīsambo pa Entelenete).” Mwanda waka bino bijila bidi na mvubu? I kutupu muntu nansha umo upelwe lupusa lwa kutūla bintu byotulupula pa mateba makwabo a Entelenete Bintu byonso bidi pa mateba etu kebikengidijibwapo mu muswelo mubi. Batupondo ne balwana netu bakwabo batompanga kwingidija pa mateba abo myanda yotulupula mwanda wa kongola Batumoni ba Yehova ne bantu bakwabo. Kitungo kya mateba abo i kya kulengeja batangi bekale na kutatana. (Ñimbo ya Mitōto 26:4; Nkindi 22:5) Kadi bakwabo baingidije myanda idi mu mabuku etu nansha kiyukeno kyetu kya jw.org mu bintu byobasumbija, mu bintu bya kupoteja byobalupula, ne mu mampangiko a mu telefone nansha mu tabulete. Pa kulama lupusa ne kiyukeno kyetu, twi bapebwe lupusa na Leta lwa kukankaja uno mwingidijijo mubi. (Nkindi 27:12) Ino shi tutale bantu kilomo-nyeka, enka ne banabetu, batūla myanda yotulupula pa mateba makwabo nansha kwingidija kiyukeno kyetu kya jw.org mu bya busunga, nabya Leta kaketukwatakanyapo pa bukomo botulonga bwa kujikakanya balwana netu ne matyapu a bya busunga. Kutentula myanda yotulupwile pa mateba angi pa kyaba kya pa jw.org i kyaka kikatampe. Yehova i mupe enka “umpika mukōkele ne mudyumuke” kete lupusa lwa kulupula bya kudya bya ku mushipiditu. (Mateo 24:45) Uno “umpika” wingidijanga enka ano mateba andi ayukene kete pa kwabanya bya kudya bya ku mushipiditu​—www.jw.org, televijo ya jw.org, ne kibīko pa jw.org. Kadi tudi enka na mampangiko asatu kete ayukene a mu telefone nansha mu tabulete​—JW Language®, JW Library®, ne JW Library Sign Language®. Tufwaninwe kukinga bino bintu ku bansunga nansha ku konwa na lupusa lwa ino ntanda ya Satana. Shi bya kudya bya ku mushipiditu bitambulwa kupityila ku mateba makwabo, nabya bikonwa ne kushintwa musapu.​—Ñimbo ya Mitōto 18:26; 19:8. Kadi, kutūla myanda yotulupula pa mateba abwanya muntu kubweja’mo myanda mikwabo, i kupa batupondo ne bantu bakwabo betufutulula mukenga wa kulengeja bantu baleke kukulupila bulongolodi bwa Yehova. Banabetu bamo bekujije mu mīsambo ya lupata ya pa Entelenete, ne kino i kifutulwije bininge dijina dya Yehova. Mīsambo ya kwipatanya pa Entelenete ke muswelopo muyampe wa kufundija “boba ba lupata na kutalala.” (2 Temote 2:23-25; 1 Temote 6:3-5) Kadi twayukile amba kudi myanda ya bubela yatūdilwe pa marezo a mīsambo pa Entelenete ne kubundwa kwa mateba mu dijina dya bulongolodi, dya Kitango Kyendeji, ne mu majina a boba babundile Kitango Kyendeji. Inoko, i kutupu wa mu Kitango Kyendeji nansha umo udi na diteba dyandi nansha umwekanga pa marezo a mīsambo pa Entelenete. Kutuma bantu pa jw.org kukwashanga pa kuzambalaja “myanda miyampe.” (Mateo 24:14) Bingidilwa bya kwingidija mu mwingilo wetu wa busapudi bitupa bulongolodi bilumbululwanga kitatyi ne kitatyi. Kadi tusakanga muntu ense amwene mu bino bingidilwa. Nanshi, monka mwikilombwela Bijila bya Mwingidijijo, ubwanya kutumina muntu bintu byotulupula kupityila ku bingidilwa bya nshinga nansha kumutumina kashinda kakamutwala pa myanda idi pa jw.org. Shi tulombola mateba etu ayukene ku bantu basangela musapu, nabya twibaluñanga na nsulo ya binebine ya bidibwa bya ku mushipiditu, ko kunena’mba “umpika mukōkele ne mudyumuke.” ^ mus. 1 Kashinda katwala ku Bijila bya Mwingidijijo katanwa kunshi kwa paje wa ñanjilo pa jw.org, ne bijila bitala kintu kyo-kyonso kidi pa mateba etu.
"2019-05-19T20:48:55"
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mapepala/kiteba-kya-mulami-kya-kwifunda-kweji-4-2018/mabuku-pa-mateba-bantu/
[ -1 ]
Posted on: August 31st, 2019 <strong>Kiongozi mbio za Mwenge awaasa akinamama kujifungulia vitua vya Afya.</strong></p> <p><strong>Na. Andrew Chimesela – Ulanga, Morogoro</strong></p> <p>Katika kukabiliana na tatizo la vifo... Posted on: August 4th, 2019 Na. Andrew Chimesela - Morogoro.</p> <p> <br> </p> <p>Jamii imetakiwa kuunga mkono jitihada zinazotolewa na vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalum ili kuboresha hali zao za kimaisha n... Posted on: August 3rd, 2019 <br> </p> <p><em>Na, Andrew Chimesela, Morogoro</em></p> <p>Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa mwaka huu ndugu Mzee Mkongea Ali amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bi. Regina Chonjo kusima...
"2020-01-23T12:38:22"
http://www.morogoro.go.tz/news/28
[ -1 ]
Contacts Udzungwa National Park Katavi National Park Ruaha National Park The park is rich of plants and animals such as Greater Kudu (Tragelaphus strepsiceros) which can not be found in any other national park Manyara National Park Rubondo National Park Beautiful and attracting beaches such as Fly catcher, Mchangani and Michicoco Mkomazi National Park Mikumi National Park Gombe National Park Chimps come to feed by the lakeshore in the dry season Mahale National Park Saadani National Park Kilimanjaro National Park The Roof of Africa Kitulo National Park The Garden of God (Bustani ya Mungu) Saanane National Park The aquatic part of the Park inhabits a variety of fisheries life, mainly Tilapia and Nile Perch. Tarangire National Park Serengeti National Park The Great Migration Arusha National Park Tourism Activities in the Parks PRECISION AIR KUANZA KUTUA SERENGETI Ndege aina ya ATR namba 5H-PWE mali ya Shirika la ndege la Precision Air ikitua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa ndege uliopo ndani ya Hifadhi ya taifa ya Serengeti ikiwa na wageni 45 kutoka nchini Afrika Kusini waliofika nchini kwa ajili ya shughul za utalii
"2017-05-30T05:35:04"
http://tanzaniaparks.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=112:precision-air-kuanza-kutua-serengeti&catid=9&Itemid=197
[ -1 ]
Balozi Seif Alaani Kitendo Cha Kinyama Kilichofanywa na Vijana Kumkata Kwa Mapanga Utingo wa Daladala. - ZanziNews HOME Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Kijana Khamis Mgaya Juma aliyelazwa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmmoja baada ya kushambuliwa na Vijana Mtoni Kidatu Jumanne ya Tarehe 11 Julai 2017.Wa kwanza kutoka kulia anayemsaidia Mgonjwa Khamis ni Baba Mzazi Mzee Mgaya Juma na kulia ya Balozi Seif ni Muuguzi wa Zamu ya Wagonjwa wa Wodi ya Mifupa Biubwa Hassan Juma. Majeruhi Khamis Mgaya Juma aliyelala kitandani akimuelezea Balozi Seif Mkasa uliomkubwa wakati aliposhambuliwa kwa mapanga na Vijana wasiopungua Saba Eneo la Mtoni Kidatu na kumjeruhi sehemu za Kichwa, Mikono na Miguu. Balozi Seif akiwaagiza wauguzi kuzingatia maadili yao ili kupunguza malalamiko yanayotolewa na wagonjwa wakati akimfariji Kijana Khamis Mgaya aliyejruhiwa kwa mapanga Jumanne iliyopita.(Picha na OMPR. Na. Othman Khamis OMPR. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameliagiza Jeshi la Polisi Nchini kuwasaka na kuwatia mikononi mara moja Vijana Waliohusika na kitendo cha kinyama cha kumshambulia kwa Mapanga Utingo wa Dala dala ya bara bara ya Mtoni Kidatu - Darajani Kijana Khamis Mgaya Juma mnamo Tarehe 11 Julai 2017. Alisema kitendo hicho ambacho hakikubaliki kibinaadamu hata kisheria kinastahiki kulaaniwa na Jamii nzima na Serikali Kuu kupitia vyombo vya Ulinzi haitakubali kuona tabia kama hiyo inaendelea kushuhudiwa Mitaani. Balozi Seif Ali Iddi alitoa agizo hilo wakati alipofika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kumkagua na kumfariji Kijana Khamis Mgaya Juma mwenye umri wa Miaka 24 aliyepata mtihani huo akiwa kazini mwake Hapo Mtoni Kidatu Wilaya ya Magharibi “A”. Khamis Mgaya licha ya kupata majeraha makubwa sehemu za Kichwa, Miguu pamoja na mikono yote miwili baada ya kushambuliwa kwa silaha za jadi za Mapanga na Vijana zaidi ya Saba hivi sasa anaendelea kupata nafuu licha ya kubakiwa na maumivu katika mwili wake. Balozi Seif alisema polisi licha ya doria wanazoendelea kuzifanya sehemu mbali mbali Nchini lakini bado kuna haja ya kuafuatilia nyendo za watu wanaoripotiwa kwao kuhusika na vitendo viovu ikiwemo ujambazi. Alisema hatua hiyo kwa kiasi kikubwa inaweza ikatoa fursa kwa wananchi kuwa na amani pamoja na utulivu wa kuendelea na harakati zao za Kimaisha bila ya wasi wasi wote. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alimtakia matibabu mema Kijana Khamis Mgaya Juma na kumuomba aendelee kuwa na subira wakati huu wa maumivu wakati Serikali kupitia vyombo vya Ulinzi vitahakikisha wale wote waliohusika na tatizo lililomkubwa wanaonja mkono wa sheria. Balozi Seif halkadhalika waliwakumbusha Madaktari na Wauguzi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili bila ya kujali wanao muhudumikia ana wadhifa au cheo gani. Alisema baadhi ya Madaktari hasa wauguzi wamekuwa wakiripotiwa kuhusika na vitendo vya kunyanyasa wagonjwa mambo ambayo yako nje ya maadili yao ya kazi. Balozi Seif alisema Serikali imetoa msukumo wa kuwapatia Wananchi matibabu bure lakini bado wapo baadhi ya watu dhana hiyo wamekuwa wakiiwekea vikwazo visivyo na msingi kwa kuwasumbuwa Wananchi hao. Mapema Majeruhi Khamis Mgaya Juma alimueleza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwamba alipatwa na kasa huo Jumanne ya Tarehe 11 Julai baada ya Mmoja wa abiria aliowachukuwa kwenye Gari yake kukataa kulipa Nauli. Kijana Khamis alisema licha ya kumsamehe Kijana huyo baada ya kubishana muda wote wa safari lakini Abiria huyo aliamua kutafuta Vijana wenzake na kupanga njama ya kutaka kumfanyia hujuma wakati akiendelea na harakati zake za kazi. Alisema Vijana hao walilazimika kukodi gari kumfuatilia Utingo huyo na hatimae kufanikiwa kumavia wakati wakishusha Abiria katika maeneo ya Mtoni kidatu wakitokea Mjini Darajani. Khamis alielezea masikitiko yake pale alipoomba msaada kwa wasamaria waliopo katika na eneo hilo la tukio wakati akiendelea kushambuliwa kwa mapanga lakini wazee waliokuwa karibu ya tukio hilo walihamasisha Vijana hao kuendelea kumpiga. Kijana Khamis Mgaya Juma alimshukuru msaramia Mmoja aliyekuwa akipita eneo hilo alipofanya juhudi za kutafuta gari na kumpelekea Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja bila ya msaada wowote wa watu waliokuwa karibu na eneo hilo.
"2017-07-27T02:34:00"
http://www.zanzinews.com/2017/07/balozi-seif-alaani-kiytendo-cha-kinyama.html
[ -1 ]
BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE AKUSIHI KUOMBA KILA WAKATI - RUMAFRICA FOR ALL NATIONS » BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE AKUSIHI KUOMBA KILA WAKATI BISHOP DR. GERTRUDE RWAKATARE AKUSIHI KUOMBA KILA WAKATI Sikiliza & Download Gospel Music Audio: Rogate Kalengo Feat Evalyne Denis-Ombi Langu The post Sikiliza & Download Gospel Music Audio: Rogate Kalengo Feat Evalyne Denis-Ombi Langu appeared first on GOSPOMEDIA. SIKILIZA/DOWNLOAD WIMBO WAKE LYDIA ELIKANA | NITENDEE *Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, akipokea vifaa vya kuzuia vumbi kwa askari wa usalama barabarani kutoka kwa msamaria mwema, Ta... * Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, akipokea vifaa vya kuzuia vumbi kwa askari wa usalama barabarani kutoka kwa msamaria mwema, T... KOCHA MSAIDIZI ATAJA KILICHOIANUSHA YANGA. Mara baada ya Yanga kuchezea kipigo cha mabao 2- kutoka kwa mahasimu wao Simb, Kocha Msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amefunguka sababu za timu yake kupote... Miaka 10 ya Ali Nabwa, ndoto zake zingali hai Miaka 10 iliyopita fani ya uwandishi wa habari Zanzibar na Tanzania kwa jumla ilipata msiba wa kuondokewa na mwandishi habari mahiri na jabari, Ali Mohamme... *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Thobias Andengenye kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, t... *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Thobias Andengenye kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji... RAIS DKT MAGUFULI AMTEUA OMARY NUNDU KUWA BOSS TTCL WAZIRI NAPE AFUNGUA MICHUANO YA STAND CHARTERED *Mtumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Moses Mjuni amefariki dunia baada ya kugongwa na gari la Mbunge wa Tarime Mjini (Chadema), Esther ... Spika mstaafu Kificho aongoza mahafali ya nne ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo Spika Mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mheshimiwa Pandu Ameir Kificho, akimtunuku Mtihimu wa kwanza wa Falsafa ya Udaktari (PhD), Fadhil Innocen... PICTURE SPEAK: Raila, Kalonzo and Musalia Political Chemistry is REAL, NASA Magic Moment in Eldoret The post PICTURE SPEAK: Raila, Kalonzo and Musalia Political Chemistry is REAL, NASA Magic Moment in Eldoret appeared first on Kenya Today. Jubilee Party Dream Was Untimely, Uhuru and Ruto Allies Now Admit Jubilee Party Dream Was Untimely, Uhuru and Ruto Allies Now Admit mwakilishi Sun, 02/26/2017 - 02:44
"2017-02-26T12:18:51"
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/08/bishop-dr-gertrude-rwakatare-akusihi.html
[ -1 ]
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020: Upinzani umefanya kitu gani? 6,966 2,000 Kwa Sababu mna Tawala sawa ,ila Katiba haisemi hivyo.Halafu wewe unakaa Sinza ipi nikutafute Mkuu ? 39,153 2,000 Nshakuona we kichwani hauko Sawa Usitufanye sisi mazuzu Kipenga cha kampeni kuanza kikipulizwa ndio mtajua wamefanya nini? kwa sasa endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe! masuala ya leli ambayo imepelekea deni la taifa kufikia tirion 61 . somethinging, ctaki kuongelea hzo ndege bila shaka mwenzangu unazifurahia atakuwa ana panda baba ako na mama ako, ila kwa upande wangu hazina manufaa, kuna upuuzi mnaita "elimu bure" huku kwetu shule za kata, wanaokaa day, mchango wa chakula n lak 2 na 50, na wanaokaa bwen n laki 4 na 50, michango hiyo n ya lazimaa!! hapo nmetoa mchango maji, umeme, afya, mlinzi, jembe, ndoo. , mifagio, reki. Kwanja, track suti. ,na uchafu mwngne naona uvivu kuandika, hapo bado ww hujamuaandaa mwanafunzi wako, hyo elimi bure ni ipi????? Jiulize yafuatayo:- (i). Wajibu wa vyama vya siasa ni upi? (ii). Wajibu wa mwanasiasa ni upi? (iii). Mazingira ya kufanyia siasa yanapaswa kuwa yapi? Ukiongozwa na itikadi wakati wa kuamulia jambo huwezi kuwa hakimu mwema! kwa maana hiyo hakuna haja ya kuwa na mbunge wala diwani je ahadi alizotuahidi alitudanganya je kama alijua awezi kututumikia kwanini asijiuzulu kama dhima ya uwajibikaji Inatafuta huruma ya Mabeberu Ulaya na Amerika mkuu mimi nina ushahidi wa jimbo langu nalotoka la ubunge hasa katika kata yangu ya sinza Katafute Wajinga wenzio mkajadili nnaona unanimalizia tu MB. 3,615 2,000 Tumepata huruma ya dunia. Maendeleo hayana chama! Mbunge na diwani wako ndio wanakusanya kodi? maendeleo Waulize wanaokusanya kodi we Vipi . Reactions: BAK and mrangi kaswepepe umekurupuka, wao wameweka mkataba na diwani na wabunge wao ambo ndyo wawakilishi wao. 92,431 2,000 Kapumbavu sana haka Mkuu. Threads 1,304,806 Posts 31,527,779
"2019-06-19T16:20:06"
https://www.jamiiforums.com/threads/kuelekea-uchaguzi-mkuu-wa-2020-upinzani-umefanya-kitu-gani.1544366/page-2
[ -1 ]
13 AUG, 2013 NI KUMBUKUMBU YA MIAKA 10 YA KIFO CHA MWANAMUZIKI JUSTIN KALIKAWE KILICHOTOKEA 13AUG, 2003 | BUKOBA WADAU 13 AUG, 2013 NI KUMBUKUMBU YA MIAKA 10 YA KIFO CHA MWANAMUZIKI JUSTIN KALIKAWE KILICHOTOKEA 13AUG, 2003 Kutoka maktaba ya bukobawadau blog, hivi ndivyo mazishi ya marehemu Justine Kalika yalivyokua , kijijini kwake KITENDAGURO kibeta ndani ya manispaa ya mji wa Bukoba CREDIT;MZEE WA CHANGAMOTO VIA BUKOBAWADAU BLOG KWA MANENO HAYO KUHUSU JUSTIN KALIKAWE NA WIMBO WA KITENDAWILI "nilikuja kutafuta ugenini, nikazoea pakawa ni nyumbani, sasa ninaelekea uzeeni, nibaki huku au nirudi nyumbani. Nilioa nikazaa na watoto, na nilipotoka kwao ni kama ndoto; lakini najiuliza siku nikirudi kwetu, niende nao au wabaki huku" Hayo ni maneno anayoanza nayo mwanamuziki aliyepata kufanya vema saana katika miondoko ya Reggae nchini Tanzania Marehemu Justine Kalikawe katika wimbo wake Kitendawili. Kama ilivyo kwa nyimbo nyingi ambazo zinakuwa na UJUMBE HALISI wa maisha kwa hadhira, wimbo huu bado unaendelea kuwa na maana na mguso uleule kwa wale walio mbali na nyumbani na hasa wale walioanzisha familia ambapo ikifika suala la maisha baada ya kustaafu unarejea kujiuliza kama alivyojiuliza Kalikawe. Haijalishi alitunga wimbo huu akiwa wapi, ama akijifikiria kama aliye wapi, lakini kwa kuwa alifanya kile afanyacho vema zaidi kwa kutunga nyimbo zenye uhalisia kwa jamii, bado sasa hivi ndugu wengi tulio mbali na nyuni tukiusikiliza wimbo huu tunapata hisia halisi ya alichoeleza Justine na kuweza kujiuliza maswali ambayo naye aliuliza kwenye utunzi wake huu, bado ujumbe wake unawagusa wengi ambao kwa bahati mbaya kutokana na mfumo wa maisha ya sasa wameelekea popote duniani kwa namna yoyote kusaka chochote ili kuweza kurejesha uwekezaji nyumbani, na kama ilivyo kwa binadamu yoyote, unapofika mahali ndio unmbaapoanzisha urafiki na "udugu" na uliokutana nao, na wakati muafaka ukifika unaanzisha familia na kwa majaaliwa ya Mungu unapopata watoto inakuwa baraka, lakini baadae waweza kujiuliza kama aliyojiuliza Kalikawe kuwa "nilikotoka niliishi na wazazi, babu na bibi, mjomba na shangazi, lakini huku mimi na familia, ndugu wengine ni eneo la kazi eeeee; katikati kuna bahari, tena ni mbali elfu kumi maili, nikisafiri nafika alfajiri tena ni mbali natumia utajiri eee" Sijui la kusema, lakini namkumbuka Justine kama moja ya nguzo za muziki wa Reggae mkoani Kagera na Tanzania kwa ujumla. Alitumia lugha zake za Kihaya na Kiswahili kufikisha ujumbe aliokusudia kwa jamii husika na mara zote ALIELIMISHA, AKIBURUDISHA NA AMA KUIFUNZA JAMII KUJIKOMBOA KUTOKA KATIKA UTUMWA WA KIAKILI. Justine alifariki ghafla mwezi wa nane mwaka 2003 katika Hospitali Kuu ya Mkoa wa Kagera mjini Bukoba miezi michache baada ya kurejea kutoka ziara ya kimuziki nchini Denmark. Aliacha mjane Georgia na watoto wawili Abayo na Niwe na mpaka mauti yanamkuta alikuwa ndiye msanii mwenye albamu nyingi zaidi za Reggae nchini Tanzania (8 za audio na 3 za video katika miaka 16 aliyodumu katika muziki wa Reggae). Katika kumuenzi, wasanii nyota wa Reggae nchini walitunga wimbo wa HAKUNA na kuandaa Tamasha maalum la kuenzi kazi na maisha ya Justine lililofanyika Don Bosco. Tulishapata kujadili FIKRA PEVU / MAONO ya Justine Kalikawe katika wimbo wa HAKUNA kwa kuhusisha na uchaguzi ujao Marehemu Justine Kalikawe alipotwaa tuzo ya msanii bora wa Reggae Mdau msomajinaweza kudownload na kusikiliza hapo chini 'BAGAYA BATUNGILE' R.I.P JUSTINE KALIKAWE Posted by Bukobawadau at 11:25 AM Devotha J. R said... KibiraFilms said... RIP Brother Kalikawe. You are still with us forever!! Check out more memories here: http://www.youtube.com/watch?v=FZvOBQAUbVc http://www.kibirafilms.com/trailer_audio.html R.I.P mzee wa ndija ndigaluka owaitu kandisindula ekikonya kye ngemu nkongela ekindi...... R.I.P Baba mdogo, tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi. R.I.P Baba mdogo, sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi. dah hii dunia, nkyakuijuka kaziro kalikawe Rip bro, still these songs touch me maisha,Aman,kitendawili,MV bukoba,raggar reggae. U r the one make me like reggae
"2019-05-20T10:43:11"
http://www.bukoba-wadau.com/2013/08/13-aug-2013-ni-kumbukumbu-ya-miaka-10.html
[ -1 ]
Geita: Kijana wa miaka 20 ahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kumbaka binamu yake | JamiiForums Geita: Kijana wa miaka 20 ahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kumbaka binamu yake Mkazi wa kijiji cha Katoro mkoani Geita, Jackob Thomas (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kumbaka mtoto wa miaka (8) ambaye ni binamu yake. Hukumu hiyo ilisomwa na hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya ya Chato, Erick Kagimbo baada ya kusikiliza maelezo ya pande zote mbili. Akisoma hukumu hiyo Hakimu kagimbo amesema kuwa kutokana na ushahidi uliotolewa na Upande wa Jamhuri pamoja na maelezo ya kukiri kosa la mshtakiwa, mahakama hiyo imelazimika kutoa adhabu ya kifungo cha maisha jela ili iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kutenda ukatili huo. Awali muendesha mashtaka wa serikali Anosisye Erasto akishirikiana na mwendesha mashtaka wa Polisi Semeni Nzigo waliiambia mahakama kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo baada ya kumtembelea mjomba wake katika kijiji cha Nyarutu wilayani Chato. ”Baada ya kufikishwa kituo cha polisi mshtakiwa alihojiwa na kukiri kutenda kosa hilo ambapo alidai kwamba mtoto huyo ni mtu wa sita katika idadi ya wanawake aliowahi kuwabaka kwa nyakati tofauti” amesema Erasto Hatahivyo Hukumu ya kifungo cha maisha ni ya tatu tangu kutolewa na mahakama hiyo katika kipindi cha miezi minne tangu kuanza kwa shughuli za mahakama mwaka 2020. Reactions: NAKWEDE, MAPITO Mwanza, Extrovert and 5 others ugumu jau Siungi mkono hoja, kwani anaweza kufungwa miaka kadhaa akatoka na akawa amejifunza kwani umri wake bado sana Reactions: Mgonga Like, Machmadem, MAPITO Mwanza and 7 others Kwa mtoto wa miaka 8 sasa anaskia raha gan, tamaa zingine sio kabisa. Reactions: Mgonga Like, chaliifrancisco, ven1965 and 4 others Angembaka wa umri gani mkuu Reactions: y-n, FAIZHAD and Ambiele Kiviele Kwanini ubake Reactions: ven1965, Mnazareth and dingimtoto Kama kweli alitenda kosa, amepata haki yake Huyo kijana kashakua sugu kwenye kubaka, kwanini alegezewe hukumu? ... pumbavu sana hilo likijana! Reactions: NAKWEDE and Extrovert Yaani alishabaka tena sita kwa nyakati tofauti... Smh Siku ikitokea amefanyiwa mtoto wako aina hii ya ukatili, nina uhakika utabadili tu huu msimamo wako. Reactions: Farolito, The Humble Dreamer, Savimbi Jr and 1 other person Miaka 20 michache angepigwa 30 kama sheria inavyosema!! ameshindwa kwenda mtaani kukamata "swala" wa buku 2 au 3?? Kabisa angefanyiwa mwanae asingetoa hiyo kauli. Reactions: The Humble Dreamer and Tate Mkuu Kahukumiwa kifungo cha maisha Reactions: Mgonga Like, Saguda47, Extrovert and 5 others Usiwe kilaza kiasi hicho miaka 20 ni umri wa aliyefanya tukio,adhabu aliyopewa ni kifungo cha maisha Reactions: Mgonga Like, Saguda47, Extrovert and 4 others Ohooo kumbe 20 ndio miaka yake ,safi sana liwe funzo kwa wapuuzi wengine kuharibu watoto wadogo wakati warembo wapo kibao mtaani. Reactions: Extrovert, The Humble Dreamer and Lenie Heko na pongezi kwa hakimu mkazi Eric Kabingo . Reactions: Extrovert and The Humble Dreamer There’s three types of niggas in life And niggas that don’t even know what the **** is going on. Meek Mill - Dope Dealer. Reactions: endesha, Capital G, Saguda47 and 4 others Polisi Wilayani Geita watuhumiwa kuhusika na mauaji ya kijana aliyekuwa mlizi wa kampuni ya Jerusalemu Security Ltd Habari na Hoja mchanganyiko 7 Nov 12, 2018 M Maonyesho ya Madini Geita - Kijana anaechengua dhahabu kwa madiaba awa kivutio Habari na Hoja mchanganyiko 12 Sep 30, 2018 GEITA NA KIJANA ALIENYESHEWA MVUA:AKIMSUBIRI MKUU WA MKOA, Habari na Hoja mchanganyiko 13 Dec 3, 2017 Kijana anayedaiwa kuuawa mgodini azikwa na Serikali Geita Habari na Hoja mchanganyiko 2 Aug 31, 2017 USHIROMBO GEITA: Kijana ampiga mateke baba yake mzazi Habari na Hoja mchanganyiko 67 May 8, 2017 Polisi Wilayani Geita watuhumiwa kuhusika na mauaji ya kijana aliyekuwa mlizi wa kampuni ya Jerusalemu Security Ltd Maonyesho ya Madini Geita - Kijana anaechengua dhahabu kwa madiaba awa kivutio GEITA NA KIJANA ALIENYESHEWA MVUA:AKIMSUBIRI MKUU WA MKOA, USHIROMBO GEITA: Kijana ampiga mateke baba yake mzazi
"2020-08-03T23:57:55"
https://www.jamiiforums.com/threads/geita-kijana-wa-miaka-20-ahukumiwa-kwenda-jela-maisha-baada-ya-kumbaka-binamu-yake.1719169/
[ -1 ]
Mikutano Mwandamizi wa Mkutano - kwa Ajili ya Quadras Mikutano Mwandamizi wa Mkutano — kwa Ajili ya Quadras Wewe ni mama au baba ni moja ya Mkutano. Rencontres-mwandamizi-reunion, hii ni tovuti ya mkutano wa quadras. Rencontres-mwandamizi-reunion, unaweka katika ovyo yako yote teknolojia yake ya kukutana na maelfu ya watu tayari kusajiliwa katika kisiwa cha Mkutano: matangazo Yetu na chat, chat video, matangazo na picha, profile desturi itasaidia kukutana na ubora kati ya mwandamizi. Wewe tu haja clicks chache kuwasiliana na kukutana na single kutoka Reunion na Mauritius online ← Upload, download au kubadilisha video YouTube, Dailymotion Jinsia: Jinsi ya kuzungumza kuhusu suala hilo katika maeneo ya dating →
"2018-12-14T23:43:02"
https://sw.videochat.cafe/mikutano-mwandamizi-wa-mkutano-kwa-ajili-ya-quadras/
[ -1 ]
King Chavala(MC); The Stand Up Comedian!!!: HATIMAYE PAPAA ATHIBITISHA NA KUANIKA ALIYEMWANGUSHA!!! HATIMAYE PAPAA ATHIBITISHA NA KUANIKA ALIYEMWANGUSHA!!! HABARI ZENU BASI! BAADA YA SARAKASI NA MISERELEKO YA MUDA MREFU YA KIJANA FULANI MTANASHATI, MREFU SANA HUSUSANI UKIMLINGANISHA NA YEYE MWENYEWE,MSHEREHESHAJI,MTANGAZAJI NA MTU WA MAMBO MENGI MJINI,JUMAPILI HII AMETHIBITISHA NA KUWEKA WAZI BINTI ALIYEBAHATIKA KUMWANGUSHA KWA PIGO MOJA TU....MMMH HUYU HAPA NI MILEMBE MADAHA!! FUATANA NAMI KATIKA PICHA UONE SIKU HIYO ILIKUWAJE..... KUBEBWA KULIANZIA NDANI KISHA AKATOLEWA NJE JUU HATIMAYE NDANI WATU WALIMBEBA KAMA NINI.... ....VAA PETE HII KAMA ISHARA NA ALAMA YA UCHUMBA WETU..... .....HATA KAMA ANGEKUWA NANI LAZIMA ANGECHEKA TU!! ....NA MILEMBE NAE AKATOA NADHIRI... MCHUNGAJI DK HURUMA NKONE AKIWAOMBEA HATIMAYE MCHUNGAJI AKAWATANGAZA KAMA WACHUMBA RASMI SASA .....PAPAA AKIONGEA KABLA HAJATOA SHUKRANI YA PEKEE HAWA NI WANA FAMILIA YA SASALI WALIOKUWEPO PAMOJA NA MZEE SASALI CHAKULA MAALUM CHA MCHANA,KAWE BEACH MEZA YA MARAFIKI WAKILA PAMOJA SAMUEL AKIMTAMBULISHA MCHUMBA WAKE NYUMBANI WACHUMBA WAKIPIGA STORI MBILI TATU WAKATI WA CHAKULA BASI SHUGHULI HIYO ILIKUWA BOMBA SANA MAANA MARAFIKI WENGI WALIJITOKEZA KUMUUNGA MKONO...PICHANI UNAWAONA NAFTALI,PAPAA,SILAS MBISE,JIMMY TEMU,MATHEW NA WENGINEO AMBAO HAPA PICHANI HAWAJATOKEA!!! HONGERA SANA PAPAA THE BLOGGER KWA HATUA HII!!! 0713 883 797 Posted by King Chavala MC at 5:46 AM
"2017-10-23T15:09:08"
http://kingchavala.blogspot.com/2013/06/hatimaye-papaa-athibitisha-na-kuanika.html
[ -1 ]
CHADEMA, Zitto, Tundu Lissu jifunzeni kwa Jeremy Cobyn - JamiiForums CHADEMA, Zitto, Tundu Lissu jifunzeni kwa Jeremy Cobyn ruaharuaha Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa Brexit katika Bunge la makabwela (house of commons) la UK.Nilichogumdua kambi ya upinzani chini ya Jeremy Cobyn wanajenga uhalali wa hoja zao huku wakitaka kuungwa mkono na waingereza na si mataifa ya nje. Leo tumeshuhudia maspika wa mabunge yote lile la mabwanyenye (house of Lords) na makabwela (house of commons) walitangaza kuahirisha mijadala kwa wiki tano hadi tarehe 14 October,2019,kufuatia amri iliyosainiwa na malkia wa Uingereza ambayo haiwezi kupingwa kortini kwani wabunge,mawaziri na waziri Mkuu UK huapa kutii maagizo ya mfalme au Malkia. Ninayasema haya kwa sababu najua Jeremy Cobyn ni bosi wa Zitto Kabwe,na vile vile Chadema na Tundu Lissu wamekukuwa wakiishitaki Tanzania kwa waingereza ili washinikize wananchi kupitia serikali kurejea utumwa wa fikra.Mara kadhaa Zitto,Tundu na Chadema wameandika barua kwenye ofisi za Balozi na Bunge la UK ili Watanzania washindwe na kurudi kwenye utumwa bila mafanikio. Jeremy Cobyn,hajawahi kutaka msaada wa nchi za nje ili kumpa shinikizo Borris au Malkia bali anashawishi wananchi na wabunge.Hili ni fundisho,kama wanasiasa wa upinzani wataendelea kukumbatia utumwa na fikra za kushikiwa akili hakika wananchi tutawapuuza. NB:Katika andiko hili,Chadema inamaanisha Mbowe na wafuasi wa Chadema, Tundu Lissu ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe ni Zitto Kabwe. Tujadili kwa mantiki. Wenzetu maslahi ya Taifa i kwanza. 12,790 2,000 Umechemka, hakuna kusichopingwa kortin. Kwa taarifa tu leo mahakama imeamua kulifunga bunge ni batili na kinyume cha sheria. Sijui aliyekuambis maamuzi ya malkia hayapingwi ni nani? Sasa hao walishitaki nchi za nje?subiri rufaa ya korti kuu ya UK Serikali yetu inawaogopa wafadhili kuliko wananchi.Japo uwaita mabeberu wakiwakumbusha wajibu wa kutenda haki ila wakipewa hela aachi kupokea na kuwaita wafadhili.Sema wazungu wameumbwa na mioyo tofauti Utetezi dhaifu Sera zao watauzia wapi kama uwanja si huru
"2019-09-23T00:58:53"
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-zitto-tundu-lissu-jifunzeni-kwa-jeremy-cobyn.1627423/page-3
[ -1 ]
NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Mary Maganga,amewataka wanafunzi wa vyuo nchini, kuwa wazalendo na wasikubali kutumika na watu wanaotaka kuvuruga amani ya nchi. Maganga amesema hayo leo wakati wa mahafali ya 21 ya chuo cha Uhasibu Arusha (IAA),,na kuwatunuku vyeti wahitimu 1323. Amesema wapo watu wasioitakia mema nchi ya Tanzania, pia wamekuwa wakiwatumia wanafunzi wa vyuo kama sehemu ya kufanikisha malengo yao. “Wiki ijayao tunasherekea miaka 58, ya uhuru na miaka 57, ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kauli mbiu ni uzalendo,uwajibikaji na ubunifu ni msingi wa ujenzi wa uchumi wa Taifa,”amesema Maganga. Maganga ametoa rai kwa wanafunzi wa vyuo waliohitimu mafunzo na wale waliobakia vyuoni kuzingatia kauli mbiu hiyo, ili kulinda amani na mshikamano wa nchi. Licha ya kuzungumza hayo,amewataka wahitimu hao, kutumia elimu waliyoipata vyuoni kuleta matokeo chanya ya kiuchumi katika jamii kwa maslai ya taifa. Pia amewataka wanafunzi wa vyuo nchini,kuwa na upendo,hekima,busara na waadilifu kwa watu waliowazunguka ili kuendelea kujenga misingi bora ya utamaduni wa kiafrika. Mkuu wa Chuo hicho, Prof.Eliamani Sedoyeka, amesema chuo hicho,kinatarajia kuanzisha kozi saba mpya ya shahada ya uzamili na shahada ya uzamivu, ikiwa ni mojawapo ya mikakati ya kukidhi matakwa ya watanzania. Hata hivyo, amesema katika kuunga mkono jitihada za serikali kwa kutekeleza ilani ya chama tawala, chuo hicho kimejipanga kutoa elimu bora kwa kuweka mazingira rafiki ya wanafunzi kusomea. Sedoyeka amesema wamefanikiwa kujenga zahanati ya chuo, bwalo la chakula, jengo kwa ajili ya idara ya uzamili litakalojumuisha madarasa na kumbi za mikutano na ujenzi wa mabweni. Aidha amesema kwa kipindi cha mwaka 2019, chuo hicho kinaongezeko la wanafunzi 5,485 kutoka 3600. “Sisi wahadhiri na walezi tunatarajia mtatumia maarifa,ujuzi na elimu mliyoipata hapa chuoni kuwatumikia watanzania wote kwa kuzingatia maelekezo ya Rais John Magufuli,’amesema Sedoyeka.
"2020-07-10T22:39:37"
https://www.ippmedia.com/sw/habari/wanafunzi-vyuoni-watakiwa-kuwa-wazalendo
[ -1 ]
‘Ndoa za mitara zitasaidia idadi ya Wapwani kuongezeka’ – Taifa Leo WANAWAKE katika kanda ya Pwani wamehimizwa kukubali uke wenza ili kuwezesha kuongezeka kwa idadi ya watu eneo hilo. Baraza la Maimamu na Wahubiri Nchini (CIPK) limeeleza kuwa ni kupitia kuongezeka kwa ndoa ndiko kutawezesha kuongezeka kwa kizazi kitakachoongeza idadi ya wakazi wa Pwani. CIPK imetoa pendekezo hilo kwa wanawake baada ya matokeo ya sensa kama yalivyotolewa Jumatatu kuonyesha kuwa kaunti tatu za Pwani zipo miongoni mwa zile ambazo zina idadi ndogo zaidi ya watu. Kulingana na takwimu za matokeo hayo, Kaunti ya Lamu ndiyo iliyoongoza kutroka nyuma kwa kuwa na idadi ya watu wachache zaidi humu nchini kwa kuwa na watu 143,920 ikifuatwa na ile ya Isiolo ambayo ina watu 268,002 katika idadi yake. Kaunti ya Samburu ikatajwa kuwa na watu 310,327, huku ya Taita Taveta ikiwa na watu 340,671 na ile ya Tana River ikiwa na watu 315,943. Jumanne, katibu mtendaji wa CIPK Sheikh Mohamed Khalifa amesema kuwa kuna haja ya kuhimizwa kuongezwa kwa wakazi wa Pwani kuoana. “Tukizidisha ndoa ndipo tutapata watoto na kufanya idadi yetu iongezeke hata zaidi. Tumekuwa tukiacha mafunzo ya dini na tamaduni zetu na kufuata mienendo ya Wazungu kwa kuzaa watoto wachache,” amesema Sheikh Khalifa. Amesema kuwa wanawake wakitoa vizuizi kwa waume zao kuoa mke zaidi ya mmoja na vijana nao watie juhudi za kuoa na kupata watoto, basi idadi ya wakazi wa Pwani itaongezeka pakubwa. Sheikh Khalifa alizungumza baada ya Taifa Leo kutoa kichwa cha habari katika gazeti lake la Jumatatu lililoeleza kuwa eneo la Pwani huenda likawa limelegea chumbani. Kichwa hicho cha habari kilizua hisia tofauti nchini hasa kanda ya Pwani huku wakazi wa eneo hilo wakishinikiza wanaume kuacha utumizi wa dawa za kulevya ambazo yumkini zinalemaza katika uzazi. “Utumizi wa miraa na mugoka umekuwa juu; jambo ambalo huenda pengine limechangia Wapwani kupata watoto wachache na ndio maana idadi yetu ipo chini,” akasema Bw Khamis Omar, mkazi wa Mombasa. ndoa wake wengi SHERIA: Ndoa bila tendo la ndoa huzua doa WANDERI: Utamaduni wa Mwafrika tiba ya matatizo ya ndoa Mke amshtaki mume kwa ulaghai wa penzi
"2020-01-27T03:31:05"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=40109
[ -1 ]
Simu mpya ya Infinix Yenye kioo kikubwa na uwezo mkubwa Aprili 29, 2020, 1:56 um -1 Votes Kampuni pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu Infinix NOTE 7 na kupewa jina la BIGI MAKINI kutokana na kioo chake kuwa na size kubwa 6.95 inch na uwezo mkubwa wa camera 48MP na processor ya G70 kutoka Mediatek. Processor yenye speed ya G70 inauwezo mkubwa wenye kuwezesha matumizi mbali mbali kwa wakati mmoja bila kuchoka, NOTE 7 inatumia OS mpya kutoka Google, Android 10. Simu hii haitazinduliwa rasmi kama utaratibu wao ulivyozoeleka lakini kupitia mitandao yao ya kijamii @infinixmobiletz wameeleza sifa na umaradufu wa simu hii. Yawezekana kuwa ndiyo simu bora zaidi ya Infinix kutoka mwaka huu. “Vile vile tunawashukuru wa Tanzania kuipokea vyema Infinix NOTE 7 Lite, iliyoingia sokoni katika ya mwezi huu wa April. Infinix NOTE 7 ni simu inayoweza kumsaidia mfanyakazi katika shughuli zake za kila siku kwani inaweza kutunza kumbukumbu kupitia 64GB na RAM ya 4GB, pia kuna sifa nyingine kama Document Scanning ambazo huitaji kupakua app ya ziada. Tumeunganisha Teknolojia ya kisasa zaidi ili kuwanufaisha wateja wetu. Pamoja na sifa zote za simu hii, tumeweka bei ya kawaida kwa mtanzania mwenye kipato cha kati” Aisha Karupa, Afisa Mahusiano. Tunawakaribisha wateja wetu kununua Infinix NOTE 7 Lite sasa zipo madukani, na kwa kila mteja atakayenunua atapata zawadi mbali mbali kutoka Infinix, ikiwemo, magic cup, Notebooks, Speaker vile vile unaweza kujishindia Simu nyingine ila hii itakuwa kwa wateja wa NOTE 7 pindi itakapoingia sokoni mwezi ujao. Makala iliyopita Facebook Yaja na Sehemu ya Kufuatilia COVID-19 Tanzania Makala inayofuata Hizi Hapa Simu Zote Mpya Zilizotoka Mwezi Aprili (2020)
"2020-08-13T14:59:45"
https://tanzaniatech.one/2020/04/simu-mpya-ya-infinix-note-7/
[ -1 ]
HATUA YA 30: Hivi ni Vitu vya Msingi kama unataka kudumu kwenye Mafanikio. | Jacob Mushi published in January 13, 2017 HATUA YA 30: Hivi ni Vitu vya Msingi kama unataka kudumu kwenye Mafanikio. Kama kuna sehemu utakosea ni kusahau kujali vitu vya muhimu sana kwenye Maisha yako wakati unatafuta mafanikio na mali za ulimwengu huu. MAHUSIANO; Wakati unatafuta pesa usijisahau ukaacha kutengeneza mahusiano mazuri na familia au wale unaowapenda. Unaweza kutafuta pesa nyingi sana kwenye dunia hii kisha unashindwa kuja kuzifurahia kwasababu wale unaowapenda na waliokupenda uliwasahau hivyo ukawapoteza. Unaweza kutafuta mafanikio ukasahau watoto, mke, rafiki na wengineo. Hii ni hatari sana hakikisha familia yako inafurahia uwepo wako. Bila familia sisi sio kitu, bila familia hakuna muunganiko wowote ambao ungetokea. Jali sana familia yako, ndugu zako, marafiki na wote uwapendao. Kama wako mbali na wewe tenga muda mfupi ambao unaweza kuwakumbuka kwa ujumbe mzuri au hata kuwapigia simu. Tambua kwamba kuna siku watakuwa hawapo tena duniani. Vyote uvitafutavyo haivitakuwa na maana sana kama wale unaowapenda hawapo. AFYA; Wakati unatafuta mafanikio kwa nguvu zote usijisahau ukashindwa kuijali afya yako. Afya ndio inakupa uwezo wa wewe kufanya yote hayo unayotaka. Ukisahau afya huwezi kuishi kwa furaha wala kufurahia unachokitafuta. Siku zote kama una bidi katika kutafuta ongeza bidi katika kujali afya yako. Fanya mazoezi kula vyakula bora. Na hakikisha unaishi kama unavyoweza kuishi sasa. Soma: Sio kila Vita Upigane wewe! KUMBUKA: Hakikisha unafanya yote kwa pamoja. Kama unatafuta pesa tafuta kwa bidi sana lakini jail afya, jail wale uwapendao. Kama unatafuta mafanikio tafauta kwa bidi zote lakini usisahau afya yako. Usisahau watu wa muhimu kwenye Maisha yako. Jiulize hivi kwa mfano ukapatwa na janga la kupoteza kila kitu ulichonacho ni wapi utaanza kukimbilia? Huyo alikuja kichwani kwako wa kwanza hakikisha unamjali na kumuonyesha uwepo wako. ZAWADI YA KWANZA MWAKA 2017, KITABU SIRI ZA KUWA HAI LEO; HATUA YA 31: Ishi Sasa,
"2020-04-05T19:03:16"
https://www.jacobmushi.com/hatua-ya-30-hivi-ni-vitu-vya-msingi-kama-unataka-kudumu-kwenye-mafanikio/
[ -1 ]
SuperD Boxing Coach: MPAMBANO WA MASUMBWI KUPIGWA APRIL 7 JUMAPILI MWANANYAMALA CCM MPAMBANO WA MASUMBWI KUPIGWA APRIL 7 JUMAPILI MWANANYAMALA CCM Mabondia Issa Omar na Shaban Madilu ambao wanacheza pambano lao la raundi kumi ubingwa wa UBO international, wakisindikizwa na wakongwe wa masumbwi nchini Joseph Marwa atakaezipiga na amour mzungu katika pambano la kisasi ,baada ya mzungu kupigwa na marwa miaka saba iliyopita jumapili hii ndani ya ccm mwinjuma anataka ajiulize ilikuwaje na amepata uzoefu wa kutosha wa kulipa kisasi. Mabondia wote hao pamoja na uzito wa juu Ramadhan kido na musa mbabe wamekupima afya zao na uzito siku ya jumamosi saa 4 hapohapo ukumbini CCM Mwinjuma – mwananyamala zoezi zima la upimaji liliongozwa na dr donard Madono akisaidiwa na Emanuel mlundwa. Mpambano huo ulioandaliwa na bigright promotion na kusimamiwa na PST kama mwakilishi wa UBO nchini unategemea kuwakutanisha mabondia mbalimbali wenye uwezo mzuri na kuwavutia washabiki wa mchezo huo kwa kushuhudia mapambano zaidi ya tisa kwa wakati mmoja na mabondia wanaotegemea kupigana siku hiyo ni Ide mnali toka mtwara atakaezipiga na zumba kukwe wa dare s salaam, Husein Mbonde atazipiga na mwaite juma,Martin Richard atapigana na Faraji Sayuni, Salum Chandonga atazipiga na amour mzungu ,Mohamed mzungu. Herman Richard na kade hamis, kani west na Nasor Hatibu,james Edmond na julias anastaz .pia kutakuwa na maonesho ya ngumi za watoto wenye vipaji. Mpaka leo hii haijaripotiwa kama kuna tatizo lolote na mabondia karibu wote wapo katika hali nzuri na wapo tayari kwa mpambano Mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na uuzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo Fransic Miyeyusho, Said Mundi na King Class Mawe. nyingine zitakuwa Posted by Superd Boxing Coach at 12:37 PM
"2018-05-26T11:36:47"
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2013/04/mpambano-wa-masumbwi-kupigwa-april-7.html
[ -1 ]
DOWNLOAD NYIMBO WANAFUNZI SHULE YA LITTLE TREASURES WAWATEMBELEA WAZEE,ALBINO NA WAGONJWA Wanafunzi wa shule ya msingi Little Treasures iliyopo katika eneo la Bugayambele kata ya Kizumbi katika manispaa ya Shinyanga wametembelea kituo cha walemavu wa ngozi (Albino) cha Buhangija katika manispaa ya Shinyanga na kuwapatia zawadi mbalimbali ikiwemo mchele,pipi,biskuti,sukari,chumvi,nguo,mafuta ya kujipaka Posted by stella homolwa at 4:53 AM No comments: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA HUKO IRINGA Tunafuatilia kwa karibu taarifa ya ajali mbaya sana ambayo imetokea eneo la Changalawe, Mafinga, mkoani Iringa basi la Majinja toka likitokea Mbeya kwenda Dar es salaam limeangukiwa na kontena na taarifa zisizo rasmi zinasema abiria wengi wamepoteza maisha yao. PROFESA TIBAIJUKA ASEMA KAMWE HAWEZI KUJIUZURU WADHIFA WAKE. Siku Moja baada ya kujiuzuru kwa Mwanasheria mkuu Jaji Fredrick Werema, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa mara nyingine amejitokeza hadharani na kutoa msimamo wake kwamba hana sababu ya kujiuzuru kwenye nafasi yake kwa kuwa hakuhusika kwa namna yeyote kwenye sakata la uchotwaji wa mabilioni kwenye akaunti ya Escrow. Profesa Tibaijuka amekwenda mbali zaidi na kusema kuwa uvumi unaoendelea kusambazwa mitaani ni ishara mbaya kwani unawaaminisha wananchi kuwa amehusika katika sakata hilo wakati yeye hajahusika na jambo lolote. Via :Mwananchi. Posted by stella homolwa at 5:06 AM No comments: ALALA BARABARANI KUCHANGISHA FEDHA KUMSAIDIA MWANAUME ASIYEKUWA NA MAKAO Mwanafunzi anayesoma katika chuo kikuu cha Lancashire nchini Uingereza amekuwa akilala katika barabara za mji wa Preston ili kuchangisha fedha za kumsaidia mwanamume Posted by stella homolwa at 4:43 AM No comments: HAYA NDIYO YALIYOJIRI SHINYANGA MKUTANO WA MWIGULU NI BAADA YA KUAPISHA MAKAMANDA Baadhi ya makamanda wa vijana wa CCM mkoa wa Shinyanga wakila kiapo baada ya kusimikwa rasmi kushika wadhifa huo,kutoka kulia ni kamanda wa vijana mkoa Ahmed Salum ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Solwa akifuatiwa na Naibu Posted by stella homolwa at 2:56 AM No comments: MTOTO WA SHULE YA AWALI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI CHENYE FUTI 50 Kisima chenye urefu wa futi 50 ambapo mtoto Mack Johnson amefariki dunia baada ya kutumbukia, Mtoto huyo mwenye umri wa miaka (5)alikuwa anasoma darasa la awali katika shule ya Sheer Bliss mtaa wa majengo mapya manispaa ya Shinyanga. Ambapo ngazi mbili za jeshi la zimamoto pamoja na kuungwa lakini hazikuweza kufikia kina cha kisima hicho na badala yake ikatumika kamba ndefu na mmoja wa wananchi kujitoa mhanga kutumbukia nayo kisimani kuutoa mwili wa mtoto huyo. Mashuhuda wamesema tukio hilo limetokea leo saa tatu asubuhi ambapo mtoto huyo alitumbukia kwenye kisima hicho wakati akicheza na wenzake karibu na kisima hicho kilichopo eneo la shule ambacho kimefunikwa na makaravati yaliyoonekana kuchakaa. Mwili wa mtoto Mack Johnson ukitolewa kwenye kisima cha maji na wananchi waliofika eneo la tukio wakishirikiana na jeshi la wananchi na jeshi la zimamoto na uokoaji. Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga aliyekuwa eneo la tukio Dkt Anselm Tarimo amesema wamebaini kuwa mazingira ya shule hiyo siyo rafiki, shimo lilikuwa halijafunikwa hivyo kuwaomba wataalam mbalimbali wawe wanapita katika maeneo wanakosomea watoto ili kujua mazingira ya watoto kuepusha majanga yanayoepukika. Posted by stella homolwa at 7:48 AM No comments: BARIDI YAGANDISHA BREKI ZA NDEGE ABIRIA WALAZIMIKA KUSHUKA NA KUISUKUMA Posted by stella homolwa at 2:54 AM No comments: stella homolwa ASKOFU WA KANISA LA EAGT ABURUZWA MAHAKAMANI NA WAUMINI WAKE Waumini wa kanisa la EAGT Majengo mjini Shinyanga wakiwa katika mahakama ya wilaya ya Shinyanga wakiwa wameshikilia mabango ... KAMPUNI YA BARRICK YAWAKIVUTIO SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI SHINYANGA ,MAMIA YA WANANCHI WAFURIKA KUJIONEA BIDHAA MBALIMBALI KWENYE BANDA LAO.  Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Anselm Tarimo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Shilabela wilaya ya Shinyanga mara baada ya kuk... FAHAMU MADHARA YA KUTUMIA SUKARI NYINGI,WATALAAMU WA AFYA WATAHADHARISHA Kiwango kikubwa cha Sukari kinagharimu sekta ya afya na kuwaathiri zaidi watoto.. HABARI ZILIZOPITA August (1) March (1) December (3) November (25) October (23) September (44) August (102) July (38) June (15) May (19) April (6) February (2) SIKILIZA/ PAKUA NYIMBO UNGANA NASI KWA EMAIL DIAMOND AONESHA JEURI..AIMBA WIMBO WA NYEGEZI ULIOKATAZWA...BASATA KUKOMAA NAE - Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limesema kitendo cha mwanamuziki Diamond Platnumz kuimba wimbo wa Mwanza uliofungiwa na baraza hilo ni dharau na kubainis... Wanajeshi walioandamana kwenda ofisi ya waziri mkuu Ethiopia wahukumiwa vifungo jela - Waziri mkuu Abiy Ahmed alisema wanajeshi walioandamana kwenda ofisi yake walikuwa na mpango wa kumuua
"2018-12-17T04:42:45"
http://stellahomolwa.blogspot.com/
[ -1 ]
MATONDO: SWALI: NENO KITIMOTO LINATOKANA NA NINI? SWALI: NENO KITIMOTO LINATOKANA NA NINI? Mwanafunzi wangu Mmarekani alikuwa Dar es salaam, Mbeya na Bukoba na leo kaniuliza kama ninafahamu neno kitimoto linatokana na nini. Kusema kweli sifahamu na sikutoa jibu la maana. Kuna anayejua neno hili lilianzaje? Kuna uhusiano gani kati ya kiti na moto; na nyama ya nguruwe? Natanguliza shukrani zangu. Posted by Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) at Thursday, October 14, 2010 Subi October 14, 2010 at 9:53 AM Tafsiri niliyonayo mimi ni kuwa, nchini Tanzania kilikuwepo kipindi kinarushwa kwenye kituo kimoja cha runinga kilichopewa jina la "Kiti Moto" ambapo watu maarufu na hasa wenye nyadhifa za uongozi nchini Tanzania, walikuwa wakialikwa kisha wananchi waalioweza kufika studioni wakapewa fursa ya kumwuliza maswali mheshimiwa huyo bila ya yeye kufahamu swali atakaloulizwa, kisha alipaswa alitolee majibu au ufafanuzi. Kilikuwa kikiendeshwa na mtangazaji Adam Lusekelo au Julius Nyaisangah nk. Baada ya historia hiyo ndefukidogo, sasa niweke -connection- yake na nyama ya nguruwe. Kutokana na jina la "kiti moto" kuwa maarufu, basi jina hilo likahamia mitaani katika migahawa viosk kuwa kwa wale ambao kula nyama ya nguruwe ni haram, (Waislam, Wasabato nk) basi yeyote ambaye alizidiwa na tamaa na kujikuta akiila kwa siri na kwa kujificha ficha, alikuwa akifanya hivyo kama vile "ameketi kwenye kiti moto" kwani anaweza kuonwa na yeyote anayemfahamu kisha akapigwa maswali ya chap chap (kama ya "kiti moto") kuelezea sababu hasa ya kufanya kufuru na kula nyama hiyo. Hivi ndivyo nijuavyo mimi asili ya neno "kiti moto" na uhusiano wake na " nyama ya nguruwe". Wengine wataelezea wanavyofahamu wao. SIMON KITURURU October 14, 2010 at 12:52 PM Nami nilivyosikia ni kama Da SUBI alivyoelezea. Na kwenye kiti moto kwa kawaida kunakuwa na majadiliano motomoto lakini.:-) DUH nimeimisi hii kitu na nyama choma:-( John Mwaipopo October 14, 2010 at 3:25 PM haswaa subi ndivyo hivyo. nadhani pia na paschal mayala alikiendesha. Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) October 15, 2010 at 6:40 AM Da Subi: Jibu mwafaka kabisa. Yaani sikuwa hata na fununu. Asante sana. Mtakatifu: huko Uswidi hakuna kiti moto? Au tatizo ni kukosekana kwa majadiliano motomoto? Mwaipopo: kipindi hiki naona mimi kilinipita kabisa. Nyote asanteni. Hata mimi nilikuwa sijui. Asanteni. Blogu kweli ni shule. Me love yo blog a lot. Keep up da gud job!!! Kwa kuongezea ni kwamba, hii nyama ni tamu sana kuliko nyama zote,kwahiyo iliitwa kiti moto kwakulinganishwa na kile kipindi cha kiti moto maana watu wengi walikuwa wakivutwa sana na kusisimka mara tu kipindi kile kilipoanza na pia waliamua kutumia jina hilo ili kuficha makali unapolitamka kwa wale wasiotumia. Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) January 8, 2011 at 6:40 PM Asanteni wadau maanony. kwa nyongeza zenu. Msichoke kutoa michango yenu...
"2017-08-22T20:38:07"
http://matondo.blogspot.com/2010/10/swali-neno-kitimoto-linatokana-na-nini.html
[ -1 ]
Mwili wa mwanamume waopolewa, watambuliwa kuwa wa John Mutinda – Taifa Leo MOHAMED AHMED Na WACHIRA MWANGI MWILI wa mwanamume umeopolewa na mpigambizi wa jeshi la wanamaji – Kenya Navy – katika kivuko cha Likoni ambapo gari limedondoka kwenye feri Jumamosi saa kumi na dakika ishirini (4:20a.m.) na kutumbukia katika Bahari Hindi. Mwanamume huyo ametambulika kama John Mutinda aliyekuwa na umri wa miaka 46. Nambari ya usajili ya gari lake ni KBX 475B na lilikuwa aina ya Toyota Allion na lenye rangi nyekundu. Feri tano ambazo zimekuwa zikitoa huduma za usafiri zipo majini lakini shughuli zao zimesitishwa zingatio likiwekwa katika uokozi na uopoaji. Wasafiri wasubiri shughuli ya uokoaji na uopoaji ikamilike kabla kuruhusiwa kutumia feri katika kivuko cha Likoni Desemba 7, 2019. Picha/ Mohamed Ahmed Gari dogo aina ya Saloon limetumbukia baharini likiwa na idadi ya watu ambayo haijabainika wazi, kulingana na Shirika la Huduma za Feri nchini (KFS). Tayari Gavana wa Kaunti ya Mombasa, Hassan Joho ametuma salamu za pole mara baada ya kutokea mkasa huo wa Likoni. Bw Joho amesema Jumamosi kwamba ametuma wapigambizi kutoka kwa ofisi yake kusaidia katika uokozi. “Nawataka watumiaji wa feri wawe makini kuepukana na maafa ambayo yanaanza kuwa mazoea,” amesema gavana Joho kwenye taarifa. Hii si mara ya kwanza mkasa kama huu kutokea katika kivuko cha Likoni. Wapigambizi wa Jeshi la Majini baada ya kuupata mwili wa John Mutinda Desemba 7, 2019. Picha/ Mohamed Ahmed Mwanamke na mwanawe walizama katika kivuko hicho Septemba 29, 2019. Maiti za marehemu Mariam Kighenda aliyekuwa na umri wa miaka 35 na mwanawe Amanda Mutheu ziliopolewa baada ya miili yao kukaa ndani ya bahari kwa muda wa siku 13. KIVUKO LIKONI
"2020-01-27T04:18:38"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=42625
[ -1 ]
Shaykh 'Abdul- 'Aziyz Bin 'Abdillaah Bin Baaz (12 Dhul Hijjah 1330 H – 27 Muharram 1420 H) | Alhidaaya.com Ukurasa Wa Kwanza /Shaykh 'Abdul- 'Aziyz Bin 'Abdillaah Bin Baaz (12 Dhul Hijjah 1330 H – 27 Muharram 1420 H) Mfasiri: ‘Abdullah Said Baghoza (1420 H – 1999 M) “Moja kati ya pigo kubwa sana linalowafika waja wa Allaah (Subhaanahu wa Ta’alaa), ni kufiliwa na Mwanachuoni wao (‘Aalim). Ummah wa Kiislamu umempoteza Mwanachuoni maarufu sana, Shaykh ‘Abdul-‘Aziyz Ibn Baaz. Mola (Subhaanahu wa Ta’alaa) Amrehemu na Amlaze mahala pema, Aamiyn.” (Shaykh Muhammad As-Subayl-Imaam-Msikiti mkuu- Makkah). Shaykh Ibn Baaz alizaliwa katika mji wa Riyadh, tarehe 12-Dhul-Hijjah-1330 H katika nchi ya Saudi Arabia. Shaykh Ibn Baaz alizaliwa akiwa na macho yake mazuri, na aliwahi kusoma elimu yake ya mwanzo akiwa hana matatizo yoyote. Katika mwaka wa 1346 H akiwa na umri wa miaka kumi na sita, alipatwa na maradhi ambayo yalikuwa ndiyo sababu ya kukosa kuona kwake. Kufikia mwaka wa 1350 H akiwa na umri wa miaka ishirini tu, alipatwa na upofu, na akawa haoni kabisa. Katika Kutafuta Elimu Shaykh Ibn Baaz alianza kutafuta elimu ilhali yungali ni mdogo sana. Kabla ya kubaleghe kwake, alikuwa tayari ni mwenye kuihifadhi Qur-aan yote. Alizidi kuzama katika elimu ya shari’ah na lugha, na vile vile alivihifadhi kwa moyo vitabu vingi vya Hadiyth. Shaykh Ibn Baaz aliwahi kusomeshwa na Ma’ulamaa mashuhuri sana. Kati ya hao wakiwa ni: · Shaykh Muhammad Ibn ‘Abdil-Latwiyf Ibn ‘Abdir-Rahmaan Ibn Hasan Ibn Ash-Shaykh Muhammad Ibn ‘Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah). · Shaykh Sa’ad Ibn Hammaad Ibn ‘Ariyq (Qaadhi mkuu wa Riyadh). · Shaykh Swaalih Ibn ‘Abdul-‘Aziyz Ibn ‘Abdir-Rahmaan Ibn Hassan Ibn Muhammad Ibn ‘Abdul Wahhab (Qaadhi mkuu wa Riyadh). · Shaykh Hammaad Ibn Faaris (Naibu mkuu wa nyumba ya Hazina Riyadh). · Shaykh Sa’ad Ibn Waqqaas Al-Bukhaariy. · Shaykh Muhammad Ibn Ibraahiym Ibn ‘Abdil-Latwiyf Aaluush Shaykh (Aliyekuwa Mufti wa Saudi Arabia). Shaykh Ibn Baaz alisoma kutoka kwake matawi yote yaliyohusiana na shari’ah ya Kiislamu kwa kipindi cha miaka kumi. Kazi Alizozifanya – Na Nyadhifa Alizozishikilia · Qaadhi wa wilaya ya Al-Kharaj kwa miaka 14. · Alisomesha katika Al-Mahad Al-‘Ilmiy (Riyadh kwa mwaka mmoja). · Amesomesha Fiqh, Uswuul Al-Fiqh na Tawhiyd katika chuo cha shari’ah kwa miaka saba. · Alipewa cheo cha unaibu mkuu wa Chuo Kikuu Cha Kiislamu huko Madiynah katika mwaka wa 1381 H, mpaka kufikia mwaka wa 1390 H. · Alishikilia wadhifa wa Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Madiynah kutoka 1390 AH mpaka 1395 H. · Katika mwaka wa 1414 H, alichaguliwa kama Mufti Mkuu wa Saudi Arabia. Alikuwa ni Rais wa kamati ya Ma’ulamaa wakubwa, pamoja na kuwa Rais wa utendaji wa mas-alah ya utafiti wa kisayansi, na Hukmu za kishari’ah. · Alikuwa ni Rais wa Baraza Kuu la Misikiti-Duniani. · Mpaka kufa kwake, Shaykh Ibn Baaz alishikilia nyadhifa nyingi zaidi zilizohusiana na shari’ah katika serikali ya Saudi Arabia. Katika kujishughulisha kwake, Shaykh ametumia muda mrefu sana katika kuandika vitabu vya Dini vilivyogusia mada mbali mbali. Vitabu ambavyo vitatumika kwa manufaa ya Ummah wa Kiislamu kwa jumla. Shaykh Ibn Baaz alishinda tunzo kubwa la mchango wa Wanachuoni wa Kiislamu duniani, nayo ni tunzo ya Malik Fayswal ambayo aliipata katika mwaka wa 1402 H, kwa kazi zake nzuri kwa ajili ya Ummah wa Kiislamu. Shaykh amewahi vile vile kujenga vituo vya Kiislamu pamoja na Misikiti na vituo vya elimu katika sehemu mbali mbali kutokana na kazi zake. Shaykh amepata wafuasi wengi, na ametoa Wanachuoni wazuri kutoka sehemu nyingi za dunia ambao kwa hakika wamefaidika kutokana na elimu na busara zake. Kwa kweli, Shaykh alikuwa ni mcha Mungu aliyejitolea kwa ajili ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’alaa), Mwanachuoni mzuri wa Kiislamu, na hapana shaka yoyote, kifo chake ni hasara kubwa kwa Ummah wa Kiislamu. Tunamuomba Mola (Subhaanahu wa Ta’alaa) Amrehemu Imam huyu mkuu wa nyakati hizi zetu za leo (Amiyn). Maisha Yake Ya Kila Siku Shaykh Ibn Baaz alikuwa akianza siku yake kwa kuswali Tahajjud nyumbani kwake pamoja na ahli yake. Baada ya kuisikia adhaan ya Al-Fajiri, alikuwa anakwenda kwenye ukumbi wake wa mikutano, na kuswali Sunnah ya Qabliyah ya Swalaatul-Fajr, kisha akilalia ubavu wake wa kulia na kuanza kuzisoma du’aa Masnuun (Du’aa zilizothibiti kutoka kwa Mtume). Kisha huelekea Msikitini kwa Swalah ya Al-Fajr, na anapomaliza huendelea na du’aa zake na kumdhukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta’alaa), kabla ya kuanza kuwasomesha wanafunzi wake. Kisha hula chakula cha Asubuhi pamoja na marafiki zake, wanafunzi, na wageni wake huko nyumbani kwake. Halafu huelekea katika maktaba yake ambako wasaidizi wake, pamoja na makatibu, huwa wanamsubiri kwa maagizo yake juu ya mas-alah mbali mbali. Shaykh alikuwa mara nyingi akiiswali Swalah ya Adhuhuri katika Msikiti wa Riyadh, au mara nyengine katika maktaba yake ambayo alishajengewa Msikiti wa Jami’ah hapo hapo. Akishamaliza Swalah ya Adhuhuri, alikuwa anarudi katika maktaba yake, na kufanya kazi mbali mbali. Alikuwa na tabia ya kuondoka mwisho kabisa baada ya wafanyakazi wote kuelekea majumbani kwao. Ilikuwa ni tabia yake kuwaalika marafiki zake, na watu kwa jumla kwa chakula cha mchana huko nyumbani kwake. Baada ya kuswali Swalah ya Alasiri, Shaykh alikuwa ana tabia ya kujipumzisha kidogo. Alikuwa akiswali Swalah ya Maghrib Msikitini, na halafu mamia ya watu humsubiri katika ukumbi, ambako alikuwa akitoa mihadhara, pamoja na kuyajibu masuala mbali mbali. Halafu baina ya Adhaana na Iqaamah ya Swalah ya ‘Ishaa, alikuwa akitoa khutbah fupi. Katika kujihimiza sana na Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), Shaykh alikuwa akifunga katika siku za Jumatatu na Alkhamiys, na akipendelea kusafiri katika siku hizi, na vile vile katika siku ya Jumamosi. Akipendelea sana kusikiliza radio, na akisomewa magezeti ya kila siku ili apate kujua yale yanayoendelea ulimwenguni. Katika tatizo lolote, alikuwa akitafuta ufumbuzi kutokana na Qur-aan na Sunnah, na alikuwa hajinasibishi na dhehebu lolote lile. Katika siku kumi za mwisho za mwezi wa Ramadhaan, Shaykh alikuwa akikaa Makkah, na katika siku za Hajj, alipendelea kuwa karibu na watu kwa kuwafunza, kuwapa mawaidha na kuwaongoza katika njia ya hakki. Baada ya Hajj, alikuwa anakwenda Twaaif kwa mapumziko ya siku kidogo. Popote alipokuwepo, kazi yake ya Da’awah iliendelea kama kawaida. Hakika Shaykh Ibn Baaz pamoja na kukosa kuona (upofu) lakini hakunyimwa elimu. Alikuwa Mwanachuoni, ‘Aalim Aliyejaa bahari ya elimu, Faqiyh, Qaadhi, Mufti, Mcha Mungu, Kipenzi, Mkarimu. Ametuachia hazina kubwa ya elimu isiyo mithali. Shaykh Ibn Baaz alifariki mwaka mmoja na Mwanachuoni mkubwa wa Ummah huu; Shaykh Al-Albaaniy, kisha baada ya chini ya miaka miwili akafuatiwa na kifo cha Mwanachuoni mwengine mkubwa kabisa, Shaykh Ibn ‘Uthaymiyn. Ilikuwa pigo kubwa kwa Ummah wa Kiislamu kupoteza Wanachuoni watatu wakubwa kwa wakati wa karibu karibu. Allaah insha Allaah Ampe yeye na Wanachuoni wenzake Jannat Al-Firdaws. Aamiyn
"2019-11-20T06:10:01"
http://www.alhidaaya.com/sw/node/123
[ -1 ]
Profesa J yamemkuta: Virusi vimevamia Website yake - Salma MsangiSalma Msangi Profesa J yamemkuta: Virusi vimevamia Website yake 11 April 2013 by Salma Msangi+ in Entertainment Bongoflava Entertainment - No Comments Watu wanaosadikika kuwa ni wahuni wa kitechnolojia wameonekana kutenda mambo yao katika Official website ya Daddy wa muziki wa rap Tanzania, Proffesa Jay http://www.professorjaytz.com/ ambayo kwa mujibu wake mwenyewe, site hii ilikuwa bado ipo katika matengenezo na kuna mtu maalum ambaye alikuwa amemuasign kazi ya kuitengeneza. Hivi ndivyo site ya msanii huyu inavyoonekana kwa sasa;Jay mwenyewealikuwa hafahamu kuhusiana na kutokea kwa issue hii, amewaahidi mashabiki wake kulifuatilia swala hili na kuhakikisha anaweka kila kitu katika mstari. Rapa huyu mchana wa leo akikua akitoa Burudani pande za Chuo kikuu Cha Dar es Salaam katika Kongamano maarufu la Kigoda Cha Mwalimu Nyerere kwa mwaka huu, Kongamano ambalo limeanza jana na linatarajiwa kuisha siku ya kesho likiwa na kauli mbiu ‘Maendeleo ni Mapambano ya Ukombozi’. Hizi ndio sababu za wanawake kuvaa nguo Fupi Pamoja na Usajili wa Line za Sim lakini Haya bado hujitokeza PSPF Yadhamini Siku Ya Msanii Eminem Afunguka Kuhus Tour Ya The Monster Aliyokuwa Na Rihanna Baada ya Ommy Dimpoz Kumdhihaki (Tusi) Marehemu Ngewa, TID aibuka na kusema Atamdunda
"2019-02-21T02:14:46"
http://salmamsangi.com/profeaa-j-yamemkuta-virusi-vimevamia-website-yake/
[ -1 ]
Robin Van Persie atua Manchester United - Tanzania Sports 14th December 2018 Last update at 1:19 pm Robin Van Persie atua Manchester United *Fungate la miaka nane la RVP na Arsenal laisha Hatimaye sakata la Robin van Persie limehitimishwa kwa Arsenal kukubali kumuuza kwa Manchester United. Licha ya kuichezea Arsenal dhidi ya Cologne nchini Ujerumani mwishoni mwa wiki iliyopita, Mholanzi huyo alisimamia uamuzi wa kutoongeza mkataba. RVP alikuwa anawaniwa pia na Manchester City na Juventus ya Italia, lakini baadaye klabu mbili hizo zilionekana kujing’atua pembeni na kuwaachia nafasi Man U. Makubaliano yaliyofikiwa ni kwa nahodha huyo wa msimu uliopita kuuzwa kwa kitita cha Pauni milioni 24, dau ambalo awali Man U waliliona kubwa. Tabasamu sasa ni kubwa kwa Mashetani Wekundu hao, na wanaweza kumwanzisha RVP kwenye mechi yao ya kwanza ya ligi Jumamosi hii dhidi ya Everton itakayokuwa ugenini. Makubaliano hayo yanamaliza mvutano wa muda mrefu kati ya klabu mbalimbali, kocha Arsene Wenger akimshawishi mchezaji huyo bora wa mwaka abaki, huku tetesi zikiwa nyingi na tofauti. Imeelezwa kwamba sasa kilichobaki ni kwa RVP mwenyewe kukubaliana na maslahi aliyopangiwa, kukamilisha vipimo vya afya, lakini ilivyo ni kwamba kikwazo kikubwa kimeshavukwa. RVP alikuwa amebakisha mwaka mmoja tu katika mkataba wake na Washika Bunduki hao wa London, na iwapo hangeuzwa, angehama bure mwishoni mwa msimu. Van Persie anatarajiwa ataingia mkataba wa miaka minne na klabu hiyo inayonolewa na Sir Alex Ferguson. Ataunganisha nguvu na Wayne Rooney kwenye mashambulizi. Wawili hao watakuwa tishio kwa wapinzani wa United uwanjani, kwani walishika nafasi ya kwanza na ya pili kwa ufungaji bora, wakiwa na mabao 57 jumla. RVP alikuwa na mabao 30 katika ligi. Pengine hilo ndilo jambo lililokuwa likiwasukuma Arsenal wamng’ang’anie, lakini ndiyo hivyo, fungate la RVP na Arsenal limefikia tamati baada ya miaka minane. Arsenal walifanya kila lililo ndani ya uwezo wao kumshawishi aendelee kubaki, lakini amefuata nyayo za wenzake, akina Cesc Fabregas, Samir Nasri, Emmanuel Adebayor, Patrick Viera na wengine. Hata hivyo, Van Persie anaondoka mashabiki wengi wakiwa wamechoshwa au kukinaishwa naye, kutokana na jinsi alivyoandika kwenye tovuti yake akibeza mipango ya baadaye ya klabu, akidai ndio msingi wa kutopenda kuongeza mkataba Emirates. Anaondoka wakati pengo lake linaonekana lilishazibwa. Wapo wachezaji wapya aina ya Olivier Giroud, Lukas Podolski na Santi Cazorla. Pamekuwa na tetesi pia kwamba RVP anakimbia ushindani kwa wachezaji wapya wanaoingia Arsenal na kwamba si kweli alikuwa anahofu hakuna mipango thabiti ya kukisuka kikosi na kutafuta mataji kama alivyodai. Kunyakuliwa kwa RVP na United kunawaacha majirani zao – City katika ukiwa, kwa sababu ni majuzi tu kocha wao, Roberto Mancini alieleza kusikitishwa kwake na jinsi usajili usivyoshika kasi Etihad. Uhamisho huu ndio dau kubwa zaidi United walilotoa baada ya lile la Dimitar Bebatov mwaka 2008 kutoka Tottenham, ambapo iliwatoka Pauni milioni 30.75. Makubaliano hayo pia yamefikiwa wakati pakiwa na maswali mengi kuhusu kitita alichotengewa Ferguson kwa ajili ya usajili msimu huu. Licha ya Rooney, Ferguson anajivunia nyota Danny Welbeck na Javier Hernandez, huku pakiwa na tetesi kwamba Berbatov ataondoka Old Trafford. Madau ya awali ya Manchester United na Juventus yalikataliwa na Arsenal, kwa maelezo kwamba yalikuwa madogo. Juventus walionekana kuwa na ari zaidi, lakini baadaye wakasita, huku Man U nao wakikaa kimya, wengi wakadhani hawatakubali kuongeza dau. Wakati mpango huo ukielekea kufa kifo cha kawaida kwa Arsenal kumlinda mtu wao, inadaiwa Ferguson alikutana na Wenger na kuzungumza naye moja kwa moja kabla ya safari ya timu nchini Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya. Wenger hakutaka kumuuuza nyota wake kwa klabu hasimu kama Man U, lakini hatajilaumu kwa vile mashabiki hawamtaki RVP tena, na hata nchini Ujerumani alizomewa. RVP alizaliwa jijini Rotterdam Agosti 6, 1983 na alianza kuichezea klabu ya Feyenoord ya Uholanzi mwaka 2002. Wenger alimtwaa kwa ajili ya Arsenal kumnyakua 2004 na kumkuza hadi alipofika. Tags: arsenal, man city, Robin, RVP
"2018-12-14T05:30:45"
https://www.tanzaniasports.com/2012/08/16/robin-van-persie-atua-manchester-united/
[ -1 ]
Je Jumuiya ya Afrika Mashariki itadumu.? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Je Jumuiya ya Afrika Mashariki itadumu.? Discussion in 'International Forum' started by sinafungu, May 27, 2010. MWENYEKITI WA JUMUIYA YA MASHARIKI Rais Kikwete amewataka viongozi wa jumuiya hiyo kuepukana na maneno ya yenye kuzua chuki kwa mataifa mengine ili kuulinda umoja huo. Hili ni neno jema sana , lakini sisis sote tunafahamuana vizuri mno, hasa tukikumbuka mwaka 1977, je hili litawezekana ...? Tunawaza jumuiya wati muungano wetu una tutoa jasho, bado hakijaeleweka bado safari ni ndefu, ila tungefika ingekuwa vizuri. bongoflava hyo! us.....ng...e mtupu Itadumu tu, tena itadumu sana! wanaopinga wana mawazo finyu, au ndo wanaleta za dini zao kuogopa watamezwa na dini fulani, mawazo ya kizamani kabisa hayo...kwanini hakuna hata mwislam mmoja anayesapoti hii kitu, tufichue tu wajameni kwamba waislam kama wanavyohubiri kwenye radio zao wanaogopa ati watamezwa na wakristo kama itafikia siku moja ikawa federation just because kenya asilimia 90% ni wakristo na uganda asilimia 80%...Rwanda na Burundi ndo kabisaaa hata Idi al fitri wameanza kuadhimisha muda si mrefu, hawakuwa nayo kama taifa. Itadumu tu, tena itadumu sana! wanaopinga wana mawazo finyu, au ndo wanaleta za dini zao kuogopa watamezwa na dini fulani, mawazo ya kizamani kabisa hayo...kwanini hakuna hata mwislam mmoja anayesapoti hii kitu, tufichue tu wajameni kwamba waislam kama wanavyohubiri kwenye radio zao wanaogopa ati watamezwa na wakristo kama itafikia siku moja ikawa federation just because kenya asilimia 90% ni wakristo na uganda asilimia 80%...Rwanda na Burundi ndo kabisaaa hata Idi al fitri wameanza kuadhimisha muda si mrefu, hawakuwa nayo kama taifa.Click to expand... Usikurupuke bila facts, maneno ya hear-say tuwache vijiweni, hapa unadeal na great thinkers, si watoto wa chekechea unaowaletea cooked statistics, nani ka kwambia waisilamu hawataki hii federation? nani kakwambia kwamba 90% of Kenyans are Christians? Punguza udini, maybe you'll see things clearer. Usikurupuke bila facts, maneno ya hear-say tuwache vijiweni, hapa unadeal na great thinkers, si watoto wa chekechea unaowaletea cooked statistics, nani ka kwambia waisilamu hawataki hii federation? nani kakwambia kwamba 90% of Kenyans are Christians? Punguza udini, maybe you'll see things clearer.Click to expand... Smatta thank you once again kwa majibu yako kwa Mwana wa Mungu, nadhani ifike mahali tuwe tunafikiri beyond nose distance na tusiwe "tunakurupuka" na kujibu thread kwa kuwa tu tuko connected na internet na we have ability to respond! Hoja ya waislam kukataa Jumuiya ya Africa mashariki imetoKa wapi, kama nakumbuka vizuri Daniel Yona aliwahi kufanya mahojiano na TBC1 na alikuwa akipinga waziwazi hii jumuiya, sasa DY ni Muislam? Katibu mkuu wa Jumuiya ya AM- Mwapachu ni Muislam! hii hoja ya waislam kupinga Jumuiya imetoka wapi! Please let us be what people think and believe we are i.e. GREAT THINKERS! Jumuiya itadumu kwa yale ambayo tumekubaliana na kuyatenda kama tulivyokubaliana,non comformities zikiwa nyingi ni vigumu jumuia kudumu,labda wanachama wakorofi wanaweza kusimamishwa uanachama mpaka watakapojirekebisha makosa yao. Jumuiya ni muhimu kwa watu wa Afrika mashariki,lakini inataka viongonzi makini wanaoamini kufanikisha jumuiya kwa maslai ya wanajumuiya wote. Msingi au muhimili wa Jumuiya ni Tanzania,sababu nyingi za msingi ukubwa wake,inapakana na nchi zote,idadi ya watu wake ni kubwa,ina mali asili nyingi kuliko washirka wengine,maelewano ya jamii ya kitanzania ni nzuri kuliko wanajumuia wengine,kiswahili kama lugha ya mawasiliano kwa watanzania ina ushawishi mkubwa kwa kujieleza na tukaeleweka. Jumuiya bila Tanzania sio jumuiya. mkuu wewe unayefikiri sana ndo ungetoa data. hapo yeye katoa zake anazozifahamu hivyo na wewe toa zako unazozifahamu ziweke hapo. nilivyokuwa najua mimi, christians in kenya ni asilimia 78% christians, catholics ni 45% na protestants ni 33%, 10% nonbelievers, na 2% etc...nenda CIA fact book hapo utaona hivyohivyo. wewe ni mkenya, unang'aka nini, tz inakuhusu nini hata ukamrukia jama ivyo, deal na wakenya wenzio huko. ni ukweli kila mtu anajua, waislam wa tz hawataki muungano kwasababu wanaogopa watamezwa, kwanini tufiche? hili pia wamelisema wazi tu kwetu sisi watz tunajua, wewe huko kenya mtajua wapi.....najua wewe ni mwislam wa kikenya sawa, lakini ukweli baba ndo huo. wenzio hapa tz wanaogopa kumezwa ati wao watakosa sauti. mahubiri haya mimi nimeyasikia kwa masikio yangu toka radio kheri na kwenye mihadhara yao...tembelea temeke, mbagala manzese uone kinachoongelewa kwenye mihadhara hii. ukitaka kuamini hili, asilimia 80 ya wapinzani wa federation, ni waislam...wanaogopa rais atakua anatoka wa upande mmoja. hapa tz penyewe shule hawaendi na wanataka tuwe tunaenda pasu kwa pasu...bila kuangalia vigezo vya kimaendeleo na elimu...hapohapo wanataka kumeguka zanzibar, ambako wanaongeza asilimia kubwa sana ya idadi ya waislam tz, hivyo zanzibar ikimeguka toka kwenye muungano, asilimia ya waislam wanaohesabika tz itapungua mno...that is the truth. udini, bora mtu anayeongea ukweli wa dini akakubali kuwa mdini, kuliko waislam wanaoenda chini kwa chini mkija kustuka nchi imekuwa ya kiislam na majambia wameshika mkononi.
"2017-07-23T19:00:17"
https://www.jamiiforums.com/threads/je-jumuiya-ya-afrika-mashariki-itadumu.62685/
[ -1 ]
»Total 21570451 Sekretarieti ya Ajira yatoa elimu ya masuala ya Ajira kwa wanafunzi wa Vyuo Zanzibar Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Public Service Recruitment Secretariat. ©2016. Tel: +255(22) 2153517 | Fax: +255(22) 2153518
"2017-06-25T05:20:58"
http://216.198.219.54/index.php/news/view/23
[ -1 ]
AJAX V MAN UNITED… NI FAINALI YA VIJANA WA SOKA LA BURUDANI DHIDI YA WAPAMBANAJI - Gazeti la Dimba Home Michezo Kimataifa AJAX V MAN UNITED… NI FAINALI YA VIJANA WA SOKA LA BURUDANI... AJAX V MAN UNITED… NI FAINALI YA VIJANA WA SOKA LA BURUDANI DHIDI YA WAPAMBANAJI NI fainali ya Ligi ya Europa msimu huu baina ya Ajax Amsterdam na Manchester United. Fainali ni neno jepesi. Hii ni zaidi ya fainali, ni dhambi kwa mdau wa soka kuikosa fainali hiyo itakayochezwa usiku wa leo nchini Sweden. Ugumu wa pambano la leo unachagizwa kwa kiasi kikubwa na lengo la Man United la kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao, sambamba na kuongeza taji jingine kabatini msimu huu, lakini cha kuzingatiwa ni kwamba Ajax ina kikosi cha vijana wadogo wanaojiamini na kusakata soka la kiwango cha hali ya juu kutokana na falsafa ya ‘Total Football’ iliyoanzia nchini Uholanzi. Aidha, si rahisi kwa kocha wa United, Jose Mourinho, kukubali kichapo leo kutokana na hatari ya kukosa mkataba mpya na ongezeko la mshahara iwapo atashindwa kuipa timu taji la Europa. Hii fainali ina maana kubwa kwa United kuliko inavyofikiriwa. Masuala ya mkataba wa jezi na kampuni ya Adidas, mapato ya msimu ujao na mishahara kwa wachezaji wao, kila kitu kitaathiriwa na kama watafanikiwa kubeba Kombe la Europa au la. Wastani wa kiasi watakachovuna Man United kwenye fainali hii ni pauni milioni 70, zaidi ya pauni milioni 20 kutoka Adidas na 50 kwa kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya, lakini suala la fedha huenda lisiwe na maana kubwa kwa United zaidi ya kushiriki ligi ya mabingwa. Ajax nao hawatakuwa na la kujitetea iwapo wataharibu leo. Licha ya kwamba wameshajikatia tiketi yao ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao, wakishinda leo watafuzu moja kwa moja hatua ya makundi. Vijana hao wameonesha uwezo mkubwa msimu huu, wataalamu wa soka wakisema ni wazi sasa Ajax imerudi kwenye falsafa zenyewe za mkongwe wa zamani wa Ajax na Barcelona, Johan Cruyff. Kwanini wanasema hivyo? Ni baada ya kutinga fainali ya kombe la pili kwa ukubwa linalosimamiwa na Shirikisho la Soka barani Ulaya, kazi nzuri ya kocha Peter Bosz. Kikwazo kikubwa kwao leo ni uwepo wa Mourinho pale United, mmoja wa makocha bora duniani. Wataweza kuhimili presha? Tujongee kibanda umiza tukashuhudie burudani ya soka la Ulaya. NONDO MUHIMU Ajax na Manchester United zimekutana mara nne kwenye michuano ya Ulaya. Zote zikishinda mechi mbili (mechi mbili katika raundi ya kwanza ya Kombe la UEFA 1976/77 na mechi mbili za nyumbani na ugenini kwenye raundi ya 32 katika michuano ya Europa msimu wa 2011/12). Ajax imetwaa mataji sita katika fainali nane za mwisho za michuano ya Ulaya, ambazo waliwahi kucheza huku Red Devils wakifanya hivyo mara nne katika fainali sita. iii. Ajax imepoteza fainali mbili za Ligi ya Europa kati ya tatu walizocheza hivi karibuni, wakiruhusu mabao saba kwenye mechi hizo. Man United: Romero; Valencia, Darmian, Blind, Jones; Fellaini, Herrera, Pogba; Lingard, Mkhitaryan, Rashford. Ajax: Onana; Veltman, Sanchez, De Light, Sinkgraven; Klaasen, Schone, Ziyech; Younes, Dolberg, Traore. Previous articleYA SIMBA NA MO YAHAMIA ARSENAL Next articleGRIEZMANN: NAONDOKA ATLETICO
"2019-05-22T05:13:47"
http://www.dimba.co.tz/ajax-v-man-united-ni-fainali-ya-vijana-wa-soka-la-burudani-dhidi-ya-wapambanaji/
[ -1 ]
VIJANA WAMETAKIWA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI VYA UJASILIAMALI NAKUACHA KUTUMIA MUDA WAO KUCHEZA BAO. | TANURU LA FIKRA BlogNews Home Uncategories VIJANA WAMETAKIWA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI VYA UJASILIAMALI NAKUACHA KUTUMIA MUDA WAO KUCHEZA BAO. TANURU LA FIKRA 2:35:00 AM Add Comment Edit
"2017-12-16T20:44:40"
http://www.tanurulafikra24.com/2016/07/vijana-wametakiwa-kujiunga-kwenye.html
[ -1 ]
NSDAP - Wikipedia, kamusi elezo huru Nembo la NSDAP kwneye bendera rasmi ya Dola la Ujerumani (1933/1934 – 1945) NSDAP ni kifupi cha Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei (Chama cha Kizalendo - Kisoshialisti cha Wafanyakazi Wajerumani) iliyotawala Ujerumani kuanzia 30 Januari 1933 hadi 8 Mei 1945 chini ya kiongozi wake Adolf Hitler. Chama hiki kinachojulikana pia kama Chama cha Nazi (tamka: natsi) kilianzishwa mjini München (Munich) 1919 kwa jina la Deutsche Arbeiterpartei (Chama cha Wafanyakazi Wajerumani) (DAP). Jina likabadilishwa 1920 kuwa NSDAP. Sababu za kuanzishwa kwa chama zilikuwa mipango ya matajiri wenye mwelekeo wa kizalendo waliotaka kujenga harakati dhidi ya vyama vya kijamaa vyenye wafuasi wengi kati ya wafanyakazi. Walitegemea ya kwamba chama kinachoitwa cha wafanyakazi na cha kizalendo kitapunguza athira ya Wajamaa na Wakomunisti kati ya wafanyakazi. Hadi 1923 chama kilikua katika jimbo la Bavaria lakini hakikuwa na athira kubwa nje ha hapa. 1 Hitler kama kiongozi wa NSDAP 2 Shabaha na itikadi 2.1 Itikati ya ubaguzi wa kimbari 3 Kuanza upya 1925 4 Vikundi vya Chama 5 Kufanyikiwa tangu 1930 6 Kuingia serikalini 1933 7 Sheria ya kuipa serikali madaraka ya bunge 8 Chama cha pekee 8.1 Uanachama 9 Mwisho Hitler kama kiongozi wa NSDAP Adolf Hitler alijiunga na DAP mwaka 1919 kwa amri ya wakubwa wake jeshini. Wakati ule Hitler alikuwa bado mwanajeshi na wakubwa wake walitafuta habari juu ya vyama vingi vipya vilivyoundwa Munich baada ya mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Alionekana mara moja kama msemaji bora mwenye uwezo wa kuwahotubia wasikilizaji wake. Hotuba zake ziliwavuta watu wengi na chama kikamtegemea. 1921 Hitler alikuwa mwenyekiti wa chama. Tangazo la Hitlerjugend (Vijana kwa Hitler) lamwonyesha kijana katika sare na Hitler nyuma yake; Maneno yasema: Vijana wamhudumia Kiongozi; wote kuanzia umri wa miaka kumi wajiunge katika Hitlerjugend! 1923 NSDAP ilishiriki katika jaribio la mapinduzi ya München lililoshindikana. Chama kikapigwa marufuku na mwenyekiti Hitler akafungwa jela. Shabaha na itikadi Itikadi ya NSDAP ilikuwa mchanganyiko wa shabaha mbalimbali. Kwa jumla zilikusanywa chini ya kichwa cha "uzalendo". Hii ililenga dhidi ya maadui watatu: Mkataba wa Versailles ulioweka masharti makali dhidi ya Ujerumani baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. NSDAP pamoja na vikundi vingine vya kizalendo ilipinga masharti haya pamoja na malipo ya fidia kwa gharama za vita, kundolewa kwa koloni za Ujerumani, kubanwa kwa jeshi kutozidi askari 100,000 na kutengwa kwa maeneo yaliyowahi kuwa sehemu ya nchi hadi 1919. Harakati ya kisohalisti au kijamaa ya kimataifa iliyotazamiwa kama tishio kwa taifa na utamaduni wa Ujerumani Ubebari wa kimataifa iliyotazamiwa ilitaka kukandamiza taifa la Ujerumani. Itikati ya ubaguzi wa kimbari Haya yote yaliunganishwa na itikadi ya kimbari iliyofundisha kuwa watu hutofautiana kutokana na "damu" na kila mbari au rangi ya watu ina uwezo na thamani tofauti. Katika itikadi hii watu weupe wenye damu safi ya Kigermanik walikuwa juu kabisa kama watu wa Skandninavia, Wajerumani na sehemu ya Waingereza. Lakini Waslavoni wa Ulaya ya Mashariki walitazamiwa kuwa wa ngazi ya chini; Warusi waliitwa "Untermensch" (mwanadamu duni). Watu wenye rangi kama Waafrika mara nyingi walitazamiwa kuwa duni zaidi. Lakini wabaya kabisa machoni pa itikadi hii walikuwa Wayahudi waliotazamiwa kama mbari au rangi ya pekee. Walitazamiwa kuwa walilenga kutawala dunia kwa mikono yao mawili ya Ukomunisti wa kimataifa na ubebari wa kimataifa. Katika itikadi hii yote miwili ilitawaliwa na Wayahudi. Kwa njia ya itikadi hii NSDAP ilifaulu kutunza uhusiano na mabepari Wajerumani wazalendo waliotoa misaada mingi kwa chama ikidai ya kwamba maovu ya ubepari yalitokana na Wayahudi tu. Kwa upande mwingine walivuta wafanyakazi waliozoea mapingamizi dhidi ya ubepari kutoka vyama vya kijamaa na wakomunisti. Kuanza upya 1925 Baada ya kutoka gerezani Hitler aliunda NSDAP upya 1925. Akidharau demokrasia alianzisha muundo wa kijeshi ambako yeye mwenyewe kama kiongozi mkuu wa chama aliteua viongozi wa kimkoa wenye madaraka ya kuteua viongozi wengine wa ngazi za chini. Hitler akisalimu maandamano ya chama; mbele ya gari lake wanamigambo ya SA, nyuma yake wa SS Vikundi vya Chama Kando la chama vikundi vya pekee viliundwa kama vile vikosi vya ulinzi vya Sturmabteilung (SA) na Schutzstaffel (SS); vikundi vya vijana kama Hitlerjugend (Wavulana kwa Hitler), BDM (wasichana), Umoja wa wanawake wa kizalendo-kisoshalisti, Maungano wa wanafunzi katika NSDAP, Shirika la madereva wa NSDAP na vingi vingine kwa karibu kila kikundi katika jamii. Baada ya mwaka 1933 Wajerumani wengi walipaswa kujiunga na vikundi hivi vya walimu, wakulima, madaktari, wanasheria wenye mwelekeo wa kijamii-kisoshalisti. Kufanyikiwa tangu 1930 Hadi 1930 chama kilikuwa kikapanua katika maeneo mbalimbali ya Ujerumani lakini hakikufaulu kisiasa kikapata kura chache tu katika chaguzi zote. Uchaguzi wa kitaifa 1928 iliona asilimia 2.6 kwa NSDAP pekee. Matatizo ya kiuchumi ya kimataifa ya 1929 yalisababisha wafanyakazi wengi kupoteza kazi wakikatika tamaa juu ya siasa ya demokrasia. Serikali ya kidemokrasia ya Ujerumani ilishindwa kuzuia matatizo haya na vyama vya bunge vilifarakana vikasababisha kuvunjwa kwa bunga mara kadhaa. Katika chaguzi hizi NSDAP ilianza kusogea mbele kwa sababu watu wasio na tumaini ya serikali tena waliipigia kura. Idadi ya wanachama ilikua haraka ikafikia 850,000 kabla ya kushika serikali. Katika uchaguzi wa 31 Juli 1932 NSDAP ilipata asilimia 37,3 % za kura ikawa chama kikubwa bungeni lakini haikuingizwa katika serikali. Rais Paul von Hindenburg alimdharau Hitler akakataa kumpa madaraka. Uchaguzi wa pili wa 1932 katika Novemba ukaleta kupunguiwa kwa chama kilichoshika 33,1% pekee. Kuingia serikalini 1933 Lakini serikali mpya ilivunjika tena mwezi wa Januari 1933 na Chansella von Papen alipaswa kutafuta washiriki wapya. Hapa alimwomba rais akubali kuingiza NSDAP serikalini kwa imani ya kwamba wanasiasa wa chama chake watafaulu kumsimamia Hitler na wafuasi wake. Hii ilikuwa kosa kwa sababu Hitler alikuwa tayari kushika madaraka yote na nafasi zote za serikali kwa lengo la kutoziacha tena. Tarehe 30 Januari 1933 Hitler aliapishwa na rais kuwa chansella mpya katika serikali ya ushirikiano. Muundo wa NSDAP mnamo 1938 Uchaguzi wa mwisho katika Ujerumani hadi 1946 ulifanyiwa tar. 5 Machi 1933. Hitler alitumia nafasi ya moto kwenye bunge kupitisha sheria za dharura kwa usalama wa taifa. Kwa msaada wa sheria hii alipiga marufuku chama cha kikomunisti na kuanzisha mateso dhidi ya chama kikubwa cha kijamaa SPD. Uchaguzi ulifanyika kwa hofu upande wa wapinzaniwa Hitler wengi walikamatwa tayari. NSDAP ilipata 44 % za kura ikapaswa kuingia katika serikali ya ushirikiano tena. Sheria ya kuipa serikali madaraka ya bunge Kwa tishio mbalimbali Hitler alipata kibali cha vyama vya katikati kwa sheria ya kuipa serikali madaraka ya kibunge kwa muda. Sasa aliweza kutangaza sheria bila bunge kwa kibali cha rais tu. Alihitaji theluthi mbili za kura za bunge kwa sheria hii alizipata kwa sababu wabunge wakomunisti walikataliwa kuhudhhuria na sehemu ya wabunge wa SPD walikamatwa tayari. Chama cha pekee Sheria hii ya kumpa madaraka ilikuwa msingi wa kugeuza Ujerumani kuwa udikteta katika muda wa miezi michache. Rais von Hindenburg alikuwa mzee asiyeelewa tena mabadiliko yaliyotokea. Hitler aliendelea kutangaza sheria za kupiga marufuku vyama vya upinzani. VYama vingine vilijiondoa wenyewe. Sheria ya Desemba 1933 ilitangaza NSDAP kuwa chama cha kisiasa cha pekee katika Ujerumani. Uchaguzi wa Novemba 1933 ilifanyiwa na wagombea wa NSDAP pekee. Baada ya kifo cha rais Hindenburg Hitler alichgauliwa na bunge kuwa "rais na kiongozi wa taifa". Sasa chama kilikuwa muhimu sana. Watu wengi walipaswa kuwa wanachama wakitafuta ajira au nafasi mpya za kazi. Viongozi wa chama kwenye ngazi za mikoa, wilaya, miji na vijiji walikuwa na athira kubwa katika maazimio yote ya serikali. Idadi ya wanachama wa NSDAP iliendelea hivyo: 2.493.890 2.793.890 4.985.400 5.339.567 15. Mei 1945 NSDAP ilipigwa marufuku na mataifa washindi tar. 10 Mei 1945 baada ya mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Nembo la chama ni marufuku katika Ujerumani hadi leo. Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei (NSDAP) 1920-1933 at Lebendiges Museum Online. In German. Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei (NSDAP) 1933-1945 at Lebendiges Museum Online. In German. Organisationsbuch NSDAP An encyclopedic reference guide to the Nazi party, organizations, uniforms, flags etc. published by the party itself Rudishwa kutoka "http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=NSDAP&oldid=881883" Jamii: Featured articlesMakala nzuriHistoria ya UjerumaniKifupi Urambazaji Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 9 Machi 2013, saa 12:33.
"2013-05-21T12:39:01"
http://sw.wikipedia.org/wiki/NSDAP
[ -1 ]
Michezo ya makundi yakamilika - BBC Swahili Michezo ya makundi yakamilika http://www.bbc.com/swahili/michezo/2013/01/130129_kundi_d Image caption Wachezaji wa Ivory Coast,Yahya Toure na Drogba Michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zinazoendelea nchini Afrika Kusini, inakamilika hatua ya makundi. Kesho(leo) timu za Ivory Coast, Togo, Tunisia na Algeria zinakamilisha mzunguko huo katika kundi D. Ivory Coast ndiyo inayoongoza kundi hili kwa kuwa na pointi 6, ambapo tayari wamefuzu kucheza hatua ya robo fainali, huku Algeria isiyopata pointi yoyote ikiwa imeondolewa katika mashindano hayo. Kwa hiyo ni timu za Togo na Tunisia zenye pointi tatu kila moja ndiyo zinapigana kuungana na Ivory Coast kucheza hatua ya robo fainali. Katika mpambano wa kundi hili la D, Ivory Coast na Algeria zinakamilisha ratiba kutoka na matokeo yao mpaka sasa, huku Togo inayokabiliana na Tunisia ndizo zenye kibarua kigumu huku kila timu ikitakiwa kushinda mechi hiyo. Ivory Coast inajivunia nyota wake kama Didier Drogba, Yahya Toure, Gervinho, Salomon Kalou, Emmanuel Eboue na wengineo wengi wanaosakata kabumbu la kulipwa nje na wale wa ndani. Image caption Kocha wa Tunisia Sami Trabelsi Kocha Sami Trabelsi, wa Tunisia, ambaye aliingia kwa kishindo mwaka 2011 kwa kutwaa ubingwa wa mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani, katika mashindano yaliyofanyika nchini Sudan, amepanga malengo ya kufika robo fainali katika michuano hiyo. "Hili halina ubishi kuwa tuko katika kundi gumu kuliko yote manne ya kwanza, lakini hatulalamiki kujikuta katika kundi hili," amesema kocha Trabelsi. "Wachezaji wangu kwa kweli wanajibidiisha na ninaamini tutafika mbali- huenda hatua ya mwisho ya kuamua nani bingwa," amesema, akirejelea fainali za mwaka 1996, wakati Tunisia ilipofungwa na Afrika Kusini katika fainali mjini Johannesburg. Image caption Emmanuel Adebayor mchezaji wa Togo Kwa upande wa Togo itakuwa ikiwategemea nyota wake kadhaa akiwemo Emmanuel Adebayor. Kwa hiyo ni mpambano mkali ambao utahusisha juhudi za wachezaji na makocha wa timu zote mbili. Mpaka sasa kundi A zimefuzu timu za Afrika Kusini na Cape Verde, kundi B ni Ghana na Mali, C ni timu za Nigeria na Burkina Faso.
"2018-03-17T17:40:13"
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2013/01/130129_kundi_d
[ -1 ]
Misiri Yihoye Igitero Cakozwe ku Bakristu Igitero ku bakristu b'aba copte, muri Misiri Igihugu ca Misiri cakoze ibitero vy’indege muri Libiya, kur’uyu wa gatanu. Ivyo bitero vyabereye ahari ibirindiro vy’abagwanyi ba kisilamu, aho muri Libiya, bihitana abatari bake. N’ibitero vyabaye mu ntumbero yo kwihora ubwicanyi bwakozwe ku bakristu b’aba copte, kur’uyu wa gatanu. Prezida Abdel-Fattah el-Sissi yatangarije kuri televiziyo ico gikorwa co kwihora, inyuma y’aho abagabo baje bitwikiriye mu maso, bagatera imodoka yo mu bwoko bwa bisi. Abategetsi ba Misiri bamenyesha ko abantu bashika kuri mirongo ibiri n'umunani baguye mur’ico gitero. Prezida el-Sissi yatangaje ko Misiri itazohengeshanya gutera ibirindiro vy’abiyahuzi aho biri hose. Abategetsi mu mihingo itandukanye bateye ivyatsi ico gitero cabereye mu Misiri, kur’uyu wa gatanu. Prezida Donald Trump wa Reta Zunze Ubumwe za Amerika, yatangaje ko ubwicanyi bwakorewe abakristu bo muri Misiri bubabaje cane. Inama y’umutekano ya ONU nayo nyene yateye ivyatsi ico gitero, m’ukuvuga ko ar’akabi kabishe kandi ko ar’ubukozibw’ikibi.
"2017-11-18T15:47:35"
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/3873529.html
[ -1 ]
Beijing, Seoul na Tokyo kuendeleza mazungumzo kati ya Marekani na Korea Kaskazini Imechapishwa: 24/12/2019 - 07:53 Imehaririwa: 24/12/2019 - 08:07 Rais wa Marekani, Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wakisaini hati ya pamoja katika Hoteli ya Capella kwenye kisiwa cha Sentosa, Singapore, Juni 12, 2018. REUTERS / Jonathan Ernst China, Korea Kusini na Japan zimekubali kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuendeleza mazungumzo kati ya Washington na Pyongyang, Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in amesema Jumanne wiki hii baada ya mkutano wa kilele wa nchi hizo tatu huko Chengdu , kusini magharibi mwa China. Rais Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wamekutana mara tatu tangu Juni 2018, lakini hatua kidogo imepigwa katika mazungumzo kuhusu kuvunjwa kwa mpango wa nyuklia wa Korea Kaskazini. 'Korea Kusini, China na Japan zimekubaliana kuendelea na mawasiliano ya karibu na ushirikiano kutoka pande zote tatu kwa lengo la kurejesha usalama na kuleta amani ya kudumu kwenye rasi ya Korea," amesema Moon Jae-in wakati wa mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na Mawaziri wakuu wa China na Japan - Li Keqiang na Shinzo Abe. 'Tunakubaliana kuhusu hoja ya kwamba amani katika rasi ya Korea ni kwa faida ya nchi hizi tatu na tumeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa usalama na amani vinaendelea kupitia mazungumzo ya haraka kati ya Korea Kaskazini na Marekani, 'ameongeza. Kwa upande wake, Waziri Mkuu wa China Li Keqiang, amesema viongozi hao watatu wamethibitisha tena haja ya kupata suluhisho kwa suala la Korea Kaskazini kupitia mazungumzo. China ni msaidizi mkuu wa Korea Kaskazini kwenye ngazi ya kimataifa. Mjumbe Maalum wa Marekani nchini Korea Kaskazini Stephen Biegun alikutana kwa mazungumzo na wanadiplomasia wawili wa China wakati wa ziara yake ya siku mbili huko Beijing wiki iliyopita baada ya mfululizo wa mikutano kama hiyo nchini Korea Kusini na Japan siku chache zilizopita. Wiki iliyopita China na Urusi ziliwasilisha azimio la rasimu kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambayo inapendekeza kuondoa vikwazo kadhaa vilivyowekwa dhidi ya Korea Kaskazini 'kwa lengo la kuboresha hali ya maisha ya raia '. Washington yajaribu kufufua mazungumzo na Pyongyang KOREA KASKAZINI-MAREKANI- JAPAN-USHIRIKIANO Korea Kaskazini yafanya jaribio la kombora lake Korea Kaskazini: Jaribio la kurusha makombora ni "onyo" kwa Washington na Seoul Baraza la Congress la Marekani latoa wito wa vikwazo dhidi ya maafisa waandamizi wa China China: Bunge lapitisha mpango wa sheria mpya ya usalama Hong Kong Mvutano kati ya polisi na waandamanaji waongezeka Hong Kong SUADI ARABIA-CORONA-AFYA Coronavirus: Marufuku ya kutotembea kufutwa Juni 21 Saudi Arabia CHINA-MAREKANI-USHIRIKIANO China yatishia kulipiza kisasi Marekani kuhusu Hong Kong CHINA-CORONA-AFYA Virusi: China yatangaza ushindi dhidi ya Corona, Brazil yaathirika zaidi INDIA_BANGLADESH-MAJANGA YA ASILI Kimbunga Amphan chaua watu 84 nchini India na Bangladesh Coronavirus: Urusi yakaribia kufikisha idadi ya maambukizi 300,000 Coronavirusi: Visa vipya vya maambukizi vyaendelea kupungua nchini Urusi Wagonjwa wa Corona wapindukia 272,043 nchini Urusi Coronavirus: Visa vipya zaidi ya 10,500 vya maambukizi vyatangazwa Urusi JAPANI-CORONA-AFYA Coronavirus: Tokyo yaondoa hali ya dharura katika sehemu kubwa ya Japani
"2020-05-31T21:22:21"
http://www.rfi.fr/sw/asia/20191224-beijing-seoul-na-tokyo-kuendeleza-mazungumzo-ya-kati-marekani-na-korea-kaskazini
[ -1 ]
PROF. Mussa Assad, ana siku chache tangu aanze maisha ya ustaafu, akitoka kwenye wadhifu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kabla ya hapo, alishika chaki kwa wanaosaka digirii mbalimbali za taaluma ya uhasibu au zenye somo hilo, alitafiti na kutoa ushauri wa kitaalamu. Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kichere (kulia), alipozungumza na walipa kodi katika banda la TRA katika Maonyesho ya 42 Biashara Kimataifa maarufu Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Kwa sasa Kichere, ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), akichukua nafasi ya Mussa Asaad. PICHA: MTANDAO. Na Niko Kasera Hili la mwisho alilostaafu nalo lilikuwa na unyeti wa kipekee kitaifa, kwani ni jukumu lenye dhamana ya kukagua na kusimamia rasilimali za kitaifa. Alipokuwa amebakiza miezi mitatu ofisini mnamo Agosti 11, kwenye semina jijini Dodoma, Profesa Assad alipata fursa ya kutoa neno ndani ya mkusanyiko huo wa kitaaluma. Hapo alitoa darasa kwa kutumia mfano uliowagusa wengi miongoni mwa waliohudhuria, hasa pale aliposema kwamba pamoja na kodi kuwa wajibu, ni muhimu kwa serikali yeyote kuwaonyesha walipa kodi kwamba kodi zao zinatumika kuboresha hali yao ya maisha. Alieleza: “Chukua mfano wa eneo la makazi la Sinza Dar es Salaam. Ikiwa wakazi wa Sinza wataona wazi kwamba mitaa ya mle mle yanajengewa lami na huduma za upatikanaji maji inaboreshwa, itakuwa rahisi kupata walipa kodi wengi zaidi kujitokeza.” Tafsiri aliyoiotoa Profesa Assad, inaangukia katika kilekile ambacho Rais Dk. John Magufuli, ameisisitiza mara nyingi, akihimza ulipaji kodi hata akatoa darasa kwa wanunuzi kwa kuwasisitiza kudai risiti, lengo kubwa ni kuhitimishiwa malipo ya kodi. Anasema, kutokana na malipo ya kodi yakiwa vizuri, inaisaidia serikali kuwa na uwezo kuhitimisha majukumu yake na hasa ya kimaendeleo, ikitumia fedha zake za ndani. Hapo anainisha miradi ujenzi wa reli ya kisasa, ununuzi wa ndege mpya zaidi ya 10 kwa ajili ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kutumia fedha za ndani, ikimaanisha makusanyo ya kodi na vyanzo mbalimbali. Ni dhahiri ulipaji kodi wa hiari ni msingi muhimu kwenye dhana ya uwajibikaji wa mwananachi kila mmoja kwa nafasi yake. Kadri tunapoendelea kupanua wigo wa idadi ya walipa kodi, ndivyo kiasi kinachokusanywa kitaongezeka, hivyo kuiwezesha serikali kutimiza ndoto yake ya maendeleo kwa jamii. Prof. Assad katika kauli yake amehimiza dhana hiyo kwamba ili jamii kuhoji matumizi ya serikali kuu na serikali za mtaa, ni vyema sote tuwe walipaji kodi wa hiari na sio kwa shuruti au kuwajibishwa. Uwajibikaji ni msumeno wa haki, unaojikita pande zote. Ni wajibu Watanzania wakalipa kodi na hilo wala halina ubishi. Miaka 50 ijayo, vizazi vinavyozaliwa leo vikiwa watu wazima, watakuwa na cha kuhadithia namna babu zao walivyothubutu, wakajenga reli za kisasa. Wakati huohuo, miradi ya serikali kuu na serikali za mitaa sharti zionyeshe kwamba sio tu fedha zimetumika, bali zimetumika kukidhi viwango vya ubora na kuridhisha. Mifano ni mingi ambayo kwa kazi za ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kwa vipindi tofauti, namna anavyoibua kwa miaka nenda rudi kuhusiana na baadhi ya miradi kutotendewa haki, mathalan ujenzi usokidhidhi viwango, kutokamilika kwa wakati au upotevu wa fedha za miradi. Huku tukiadhimisha miaka minne ya Rais Dk. Magufuli kuwa madarakani, daima tusiwe mbali na hotuba zake zenye maelekezo, pia kukemea mabaya mbalimbali kwa taifa, hapo tukigusa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na watendaji na Watanzania kwa ujumla. Iwapo tuna nia ya dhati kuandamanana kufikia dira ya taifa kuisaka uchumi wa kati, hatuna budi kuhakikisha tunawatumia vyema wataalamu wabobezi tulionao ambao nao ni muhimu wakawa waumini wa kulitakia mema taifa. Naamini sote tutafika. •Kwamaoni na ushauri wasiliana kupitia: [email protected] Sababu meno watoto kutoboka, kuoza
"2020-07-11T05:49:43"
https://www.ippmedia.com/sw/makala/tujifunze-darasa-la-haki-kodi-kutoka-kwa-wanaoisimamia
[ -1 ]
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AASA JAMII KUACHA KUTENDA UHALIFU ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI - MICHUZI BLOG Home Unlabelled KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AASA JAMII KUACHA KUTENDA UHALIFU ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI MICHUZI BLOG at Friday, November 09, 2018
"2019-01-20T05:05:48"
https://issamichuzi.blogspot.com/2018/11/kamishna-jenerali-wa-magereza-aasa.html
[ -1 ]
WIZARA YA AFYA, WHO WAENDESHA SEMINA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU HOTELI YA NEW AFRIKA JIJINI DAR ES SALAAM | H@ki Ngowi Mratibu wa Magonjwa ya Mlipuko Mkoa wa Dar es Salaam, Vicktoria Bulla (kulia), akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa afya wa... H@ki Ngowi: WIZARA YA AFYA, WHO WAENDESHA SEMINA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU HOTELI YA NEW AFRIKA JIJINI DAR ES SALAAM http://3.bp.blogspot.com/--bRYekZtGAg/Vj8cslu_azI/AAAAAAAAUFY/UaLFdW-GQCc/s640/1.JPG http://3.bp.blogspot.com/--bRYekZtGAg/Vj8cslu_azI/AAAAAAAAUFY/UaLFdW-GQCc/s72-c/1.JPG http://www.hakingowi.com/2015/11/wizara-ya-afya-who-waendesha-semina.html
"2017-09-20T04:00:36"
http://www.hakingowi.com/2015/11/wizara-ya-afya-who-waendesha-semina.html
[ -1 ]
Wakristo fungeni na kusali katika roho na kweli! - Radio Vatican Tafakari \ Makala Wakristo fungeni na kusali katika roho na kweli! Kwaresima iwe ni fursa ya kutafakari mateso, kifo na ufufuko ili kuonesha toba na wongofu wa ndani, tayari kusimama kidete kulinda, kutetea na kudumisha: haki, amani na maridhiano kati ya watu. - AP 24/02/2018 09:25 Kanisa ni Fumbo la Mwili wa Kristo. Kila mwamini ni kiungo cha mwili huu mmoja ambapo Kristo Yesu ndiye kichwa (Rej., Lumen gentium 7). Hivyo kila furaha ya mmoja ni furaha ya mwili mzima, na kila mateso na dhuluma kwa mmoja ni mateso na dhuluma kwa wote: “Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho” (IWakorintho 12:26). Ndio sababu, Sauli alipowatesa wakristo kabla ya wongofu wake, anapokutana na Kristo njiani kuelekea Damasko anamuuliza Kristo kuwa ni nani, Naye anamjibu: “Mimi ndimi Yesu unayemtesa” (Matendo 9:5). Jibu la kristo ni uthibitisho ya kuwa mateso ya waamini, yanamuumiza, sababu ni viungo vya mwili wake. Kanisa limeunganishwa katika umoja madhubuti wa Utatu Mtakatifu (Rej. Lumen gentium 4). Wapo wakristo wengi wanaoteseka na kudhulumiwa sehemu mbali mbali duniani. Wapo wanaoteswa wazi wazi kwa sababu ya imani yao kwa Kristo. Mfano wakristo wa maeneo ya Mashariki ya kati, China, Nigeria na kadhalika. Wapo pia waamini wanaoteseka sio sababu ya imani yao moja kwa moja, bali wakiwa sehemu ya wanyonge wengi kwa sababu za kinzani za kisiasa, kiuchumi, na kijamii. Mfano wa mateso na dhuluma hizo ni pamoja na sehemu za Somalia ambapo wengi wanafariki kwa njaa; Sudani ya kusini kwa ghasia za ukabila; DRC kwa vurugu za uchu wa mali na madaraka. Aidha kuna uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu leo hii, biashara haramu ya binadamu na utumwa mamboleo; mambo yanayopelekea mabinti wadogo na wanawake kwa ujumla kutumiwa kama vyombo vya kukidhi tamaa za ngono; vijana kuchukuliwa baadhi ya viungo vyao na vinafanyiwa biashara; kufanyishwa kazi kwa ujira mdogo na kadhalika. Haya yote ni mateso na dhuluma ambavyo vinaendelea kuutesa mwili wa Kristo. Kipindi cha Kwaresima ni kipindi cha kuadhimisha fumbo la wokovu wa mwanadamu kwa njia ya mateso, kifo na ufufuko wa Kristo. Fumbo la Pasaka, ni fumbo linalomkomboa mwanadamu kutoka katika utumwa wa shetani, utumwa wa dhambi na mauti. Kabla ya wokovu huu, mwanadamu alikuwa anaburuzwa na kugaragazwa vibaya na Ibilisi katika udanganyifu, na hivyo kujikuta akitenda dhambi nyingi kwa kuhadaika. Yeyote anayeendekeza dhambi, anabaki kuwa mtumwa wa shetani: “Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo” (Yohane 8:44). Yohane mbatizaji hali akimuandalia Bwana njia ahubiri akisema: “Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvilegeza viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto” (Mathayo 3:11). Kwa ubatizo wa Roho Mtakatifu, Kristo anamwongoza mwanadamu kuufahamu ukweli, ili asihadaike kwa kutenda yaliyo hila za shetani. Bwana asema: “Ninyi mkikaa katika Neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru” (Yohane 8:31-32). Ukweli huu ndio unaomweka mwanadamu huru, ukweli unaomwezesha mwanadamu kufanya maamuzi kwa kutambua uchaguzi anaoufanya. Kwa sababu hiyo, mwanadamu anapoichagua dhambi, anakuwa ameamua kuwa mtumwa wa shetani, kwa kuwa “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi” (Yohane 8: 34). Fumbo hili la Pasaka limemfinyanga mwanadamu kuwa kiumbe kipya (Gaudium et spes 22); na kupitia Kanisa, Kristo anamshirikisha mwanadamu Neema na Kweli (Lumen gentium 8). Kipindi hichi cha mfungo na sala, ni mwaliko kwa waamini kujitathimini iwapo wameupokea wokovu huo ambao Mwenyezi Mungu aliupania kwa ajili ya binadamu. Baada ya mateso, kifo na ufufuko wa Kristo, Mungu kautenga muda ili Habari Njema ya wokovu huu iwafikie wanadamu wote katika kweli. Muda huu ambao Mwenyezi Mungu kautenga kabla Kristo hajarudi kutoa hukumu ya mwisho, ni muda na nafasi kwa binadamu kufanya uchaguzi sahihi, uchaguzi wenye ufahamu; kwani Mungu mwokozi wetu “anapendelea zaidi watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli” (ITimotheo 2:4. Rejea pia Lumen gentium 16). Dhamiri na uhuru ambao mwanadamu kapewa na Mwenyezi Mungu una thamani kubwa machono pa Mungu, naye humuheshimu mwanadamu katika uchaguzi wake huku akimwangazia na kumsubiri kwa hamu aifuate njia iliyo sahihi (Rej., Gaudium et spes 14). Lakini kila uchaguzi una matokeo yake, ambayo mwanadamu atapaswa kuwa tayari kukabiliana nayo, hapa duniani na katika hukumu ya mwisho (Rej., Gaudium et spes 4). Hivi ndivyo ilivyompendeza Mwenyezi Mungu katika hekima yake kuu, kuacha wema na uovu kuwapo kwa pamoja, ili mwanadamu afanye uchaguzi kwa uhuru: “Akasema, La! Msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo. Viacheni vyote vikue pamoja hadi wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, yakusanyeni kwanza magugu myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu” (Mathayo 13: 29-30). Kila dhambi ina matokeo yake ambayo yanamwandama mwenye kuitenda tangu angali hapa duniani. Mtume Paulo anapofundisha “kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti” (Warumi 6:23), haishii kwenye kifo cha roho kutengana na mwili, bali ni fundisho kwamba dhambi inamtenga mwanadamu na Neema zitokazo kwa Mungu. Ndio sababu Mtume Paulo huyo huyo anasema “wote wametenda dhambi na kupungukiwa utukufu wa Mungu” (Warumi 3:23). Mwanadamu anapoukosa utukufu na neema ya Mungu, anapungukiwa nguvu thabiti ya kiimani kukabiliana na changamoto, hivyo anakuwa hatarini zaidi kuyumbishwa na lolote. Uhakika na usalama wa maisha yetu umo ndani ya Mwenyezi Mungu “kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uzima wetu” (Matendo 17:28). Mbali ya matokeo ya dhambi ya muda hapa duniani. Kuna matokeo yale ya milele, kwani “Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili kumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele” (IWathesalonike 4: 16-17). Mtume Paulo anawapa tumaini waamini juu ya ufufuo wa wafu, na jinsi tendo hilo litafanyika kwa namna iliyojaa utukufu na ukuu wa Mungu. Kristo mwenyewe alilihakikisha hilo juu ya hukumu wa mwisho: “Msistaajabu maneno hayo, kwa maana saa inakuja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake (mwana). Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu” (Yohane 5:28-29). Kumbe hapa ndipo itakuwapo hukumu ya mwisho ya hakimu mwenye haki, mbali ya matokeo ya kila dhambi tunazotenda wanadamu, iwapo hatutaongoka hukumu hiyo ya mwisho itatupeleka katika moto wa milele. Hapo sasa hakutakuwapo tena uovu, maumivu, njaa, wala chuki; bali tutaishi kwa furaha na Amani hata milele. Leo hii Mwenyezi Mungu anapenda haki itendeke na mwanadamu aishi kwa Amani. Lakini anapenda mwanadamu mwenyewe ashiriki katika mpango huo wa Mungu, wa kuijenga Jumuiya ya wanadamu yenye upendo. Hawa washiriki wa kuijenga Jumuiya ya binadamu namna hiyo, ndio watakaopokea thawabu hiyo ya kuurithi Ufalme wa milele, ufalme wa kweli na uzima, ufalme wa utakatifu na wa neema, ufalme wa haki, mapendo na Amani (Rej., Utangulizi wa Sikukuu ya Kristo Mfalme). Ufalme huu umekwishakusimikwa ndani ya nyoyo za watu kwa walio tayari. Na ndio sababu vigezo vya kushiriki katika ukamilifu wake vinaendana na namna tulivyo tayari kuushiriki ufalme huo hata sasa: “Njooni mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu; kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nilikuwa na kiu mkaninywesha; nilikuwa mgeni, mkanikaribisha; nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nilikuwa kifungoni, mkanijia” (Mathayo 25: 34 – 36). Kila tunapotenda jema au baya kwa mmoja wapo wa wanyonge, tunakuwa tumelitenda kwa Kristo mwenyewe, kwani wanyonge hao ni viungo vya mwili mmoja wa Kristo (Rej., Mathayo 25:40;45. IWakorintho 12:12-31). Na Padre Celestine Nyanda. Vatican News! Fumbo la Pasaka Utumwa mamboleo Fumbo la Msalaba Biashara ya binadamu Madhulumu ya Wakristo Madhulumu ya kidini Fumbo la Kanisa Fumbo la Mateso na Mahangaiko ya Binadamu Jumuiya ya Papa Yohane XXIII inaadhimisha Jubilei ya Miaka 50 Sakramenti ya Kipaimara inawawezesha waamini kuwa mashuhuda wa Kristo Siku kuu ya Bikira Maria Mama wa Kanisa Papa Francisko kuongoza Ibada ya Misa Takatifu, Sherehe ya Pentekoste Balozi Possi: Watanzania dumisheni: amani, umoja, ukweli na uadilifu Dr. Abdallah Saleh Possi awasilisha hati za utambulisho mjini Vatican Sherehe ya Pentekoste: Utatu Mtakatifu unafunuliwa kikamilifu! Wanawake nchini DRC wanajifunga kibwebwe kupambana na hali yao! Papa Francisko: Ubatizo ni kuzamishwa katika Fumbo la Pasaka! Papa Francisko: Tushikamane kupambana na utumwa mamboleo duniani! Askofu Kassala: familia ni chemchemi ya malezi na majiundo ya kiutu Utenzi wa shukrani kwa Jubilei ya Miaka 50 ya Njia ya Ukatekumeni Mpya Utandawazi wa mshikamano katika maisha na utume wa Kanisa! Yaliyojiri Askofu mkuu Isaac Amani Massawe aliposimikwa Arusha Askofu mkuu mstaafu Lebulu: "Dhana ya Sinodi" & "Familia ya Mungu" Ijumaa Kuu: Mashitaka ya Yuda Iskarioti, Petro na Hukumu ya Yesu! Dumisheni neema ya Kipindi cha Kwaresima ili kukuza utakatifu! Papa Francisko: Uharibifu wa mazingira ni alama ya kupoa kwa upendo Changamoto ya maisha ya kitawa katika kuutafuta Uso wa Mungu! Askofu Kardijn ni mwanzilishi wa chama cha vijana wafanyakazi Katoliki
"2018-05-25T14:34:22"
http://sw.radiovaticana.va/news/2018/02/24/wakristo_fungeni_na_kusali_katika_roho_na_kweli!/1364443
[ -1 ]
Msingi wa wiani wa Carpet na Jinsi ya kuhesabu Uzito wa carpet ni moja ya mambo mengi ambayo huamua ubora wa carpet na utendaji wa jumla. Licha ya mwelekeo usio sawa, wiani wa carpet na uzito wa uso wa carpet sio masharti ya kuingiliana ambayo yanamaanisha kitu kimoja, ingawa uso wa uzito ni sababu moja ya kutumiwa kuhesabu wiani. Upeo wa uso na wiani ni vipengele viwili tofauti kabisa linapokuja suala la ubora wa carpet. Ufikiaji wa uso wa kitambaa unamaanisha uzito wa fiber hutafuta yadi ya mraba moja ya carpet. kiwango ni kipimo katika ounces. Uwiano wa kabati unamaanisha jinsi nyuzi za karibu zinavyoshirikiwa kwenye usaidizi wa kamba. Uzito wa makabati huhesabiwa kwa kutumia fomu ifuatayo: Uzito wa uso wa kitambaa huongezeka kwa 36 imegawanyika na urefu wa rundo la mawe sawa na wiani , kupimwa kwa ounces kila yadi yadi Urefu wa rundo ni urefu wa nyuzi za kabati kutoka kwa vidokezo vya mwisho mpaka ambapo wanafikia usaidizi wa kamba. Katika fomu hapo juu, urefu wa rundo unapaswa kuwakilishwa kama sehemu ya inchi, inavyoonekana katika muundo wa decimal. Kwa mfano, ukubwa wa rundo la nusu ya inchi utawakilishwa kama 0.5, wakati ukubwa wa rundo wa robo moja ya inchi itakuwa 0.25, na kadhalika. Nambari inayotokana na hesabu ya juu ya wiani itakuwa nambari nne ya tarakimu. Kwa mfano, carpet yenye uzito wa uso wa ounce 50 na urefu wa rundo la nusu ya inchi ingekuwa na wiani wa ounces 3600 kwa kiladi yadi (50 x 36 / 0.5 = 3600). Kuangalia Ubora wa Usafi Usitumie jambo moja peke yake kama kiashiria cha ubora wa jumla wa carpet. Sababu zote (wiani, uso wa uzito, kupotosha , aina ya fiber , nk) wote hufanya kazi pamoja katika kiti ili kuamua jinsi gari itaangalia na kufanya jumla. Kila moja ya mambo haya lazima yote yatazingatiwa wakati wa kufanya uamuzi juu ya carpet sahihi kwa nyumba yako. Hata hivyo, vitu vingine vyote vilikuwa sawa, juu ya wiani wa kabati, carpet hudumu zaidi, na kupendeza zaidi itakuwa chini. Kama vile mchanga wa majani ya kitunguu unavyostaajabisha kama nyasi ni nyasi za chini, kitambaa kikubwa cha wiani kinajisikia zaidi na kitasimama chupi bora zaidi. Viwango vya chini vya wiani Kwa utendaji bora katika hali ya kawaida ya kaya, thamani ya wiani ya 3000 au ya juu ni bora. Kwa mujibu wa Taasisi ya Usafi na Rug, hali mbaya zaidi ya trafiki (kama vile inapatikana katika matumizi makubwa ya kibiashara ) yanahitaji wiani wa chini wa 5000. Biashara na Kipawa cha Zawadi ya Kipawa Je! Ni rangi ipi ya dari nzuri zaidi? Kukutana na Dhahabu Jinsi ya Kuosha Uniforms Jeshi Kupambana Sakafu za juu ambazo haziko katika mabwawa ya chini Vidokezo vya kawaida vya Feng Shui Jinsi ya kuvunja Zege kwa mkono Inamaanisha Nini Kuwa Mannerly Vinca Ndogo Mzabibu
"2020-07-10T23:06:30"
https://sw.insterne.com/jinsi-ya-kuhesabu-wiani-wa-carpet/
[ -1 ]
Huku kujiua kwingine huku ni balaa - AckySHINE | Best👍Of😂2018💯 AckySHINE Videos📹 Video: 👉 Huku kujiua kwingine huku ni balaa Ackyshine sio mmiliki wa video hii ya Huku kujiua kwingine huku ni balaa, video hii imewekwa kwa nia ya kuburudisha au kuelimisha tuu. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi hapa>> Marafiki zako wa zamani utawakuta hapa sasa Bado wanakupenda sana na wanakungoja kwa hamu kubwa👍 👉Soma zaidi 🎬 Hizi makeup jamani zitaua watu✅ 🎬 Ona haya mazingaumbwe hapa ni noma ni kiboko✅ 🎬 Mbuzi mwenye miguu miwili tuu kama binadamu na anaweza kutembea✅ 🎬 Angalia Hawa nguruwe wanavyochinjwa kama vile wanasulubishwa✅ 🎬 Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa haka kamchezo✅ 🎬 Angalia anachofanya huyu, Wewe unaweza?✅ 🎬 Angalia hawa watu wanavyofanya michezo kwenye mazingira ya hatari, Ukikosea ndio imekula kwako✅ 🎬 Wanyama wenye akili ya kufundishwa✅ • Huyu jamaa anataka kufa, thubutu!. 08 Feb 2017 13:27, (videos: vichekesho video). Huyu jamaa anataka kufa, thubutu! • Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu panya, kama wewe ni muoga usiangalie. 23 Jan 2017 01:18, (videos: maajabu vichekesho wanyama video). Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu panya, kama wewe ni muoga usiangalie • Kwa uchoyo huu, huyu msichana kazidi sasa. 28 Jan 2017 07:09, (videos: vichekesho video). Kwa uchoyo huu, huyu msichana kazidi sasa • Angalia ujinga wanaofanya hawa. 15 Jan 2017 17:37, (videos: vichekesho video). Angalia ujinga wanaofanya hawa • Mazoea mabaya eti, mcheki huyu. 08 Feb 2017 12:00, (videos: vichekesho video). Mazoea mabaya eti, mcheki huyu • Kilichowasibu polisi wa zima moto wakati wapo kazini wakizima moto, kazi nyingine ni ngumu. 24 Jan 2017 01:04, (videos: ajali video). Kilichowasibu polisi wa zima moto wakati wapo kazini wakizima moto, kazi nyingine ni ngumu • Huyu ana sura mbaya, cheki anavyokula sasa. 21 Jan 2017 12:58, (videos: mbwa vichekesho video). Huyu ana sura mbaya, cheki anavyokula sasa • Wanyama wenye akili ya kufundishwa. 07 Jan 2017 18:28, (videos: maajabu wanyama video). Wanyama wenye akili ya kufundishwa • Hawa ndio watoto wa digitali sasa. 05 Feb 2017 13:12, (videos: maajabu vichekesho video). Hawa ndio watoto wa digitali sasa • Angalia hawa swala walichofanyiwa na mamba. 05 Jan 2017 01:08, (videos: mamba swala wanyama video). Angalia hawa swala walichofanyiwa na mamba • Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea. 15 Jan 2017 14:56, (videos: chui wanyama video). Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea • Zoezi kali la kijeshi, cheki hapa uone. 22 Jan 2017 08:42, (videos: michezo video). Zoezi kali la kijeshi, cheki hapa uone • Hawa wameangukaje vizuri. 12 Feb 2017 17:27, (videos: vichekesho video). Hawa wameangukaje vizuri • Funny Teacher From Uganda. 03 Dec 2016 18:45, (videos: english funny teacher uganda video). Funny Teacher From Uganda • Cheki huyu jamaa alivyoumbuka sasa. 02 Dec 2016 11:55, (videos: kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho video). Cheki huyu jamaa alivyoumbuka sasa • Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya. 02 Dec 2016 11:54, (videos: kimya kiswahili silent vichekesho video). Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya • Angalia huyu kilichompata baada ya Baiskeli yake kukatika Breki. 02 Jan 2017 15:18, (videos: vichekesho video). Angalia huyu kilichompata baada ya Baiskeli yake kukatika Breki • Huku ndio kutiana presha, cheki huyu mzee wa watu anavyostuka. 08 Feb 2017 08:00, (videos: vichekesho video). Huku ndio kutiana presha, cheki huyu mzee wa watu anavyostuka • Angalia haya Matukio yalivyofwatana. 12 Jan 2017 14:21, (videos: ajali video). Angalia haya Matukio yalivyofwatana • Huyu Bibi anakumbukia ujana, cheki anachofanya sasa. 27 Jan 2017 09:03, (videos: vichekesho video). Huyu Bibi anakumbukia ujana, cheki anachofanya sasa • Angalia hawa watoto wanacheza na bunduki, hatari kweli kweli. 23 Jan 2017 00:56, (videos: vichekesho video). Angalia hawa watoto wanacheza na bunduki, hatari kweli kweli • Mapishi ya nyama ya chap chap. 07 Feb 2017 00:53, (videos: maajabu mapishi video). Mapishi ya nyama ya chap chap • Hawa watu wanafuga simba kama kuku. 07 Jan 2017 23:02, (videos: maajabu simba wanyama video). Hawa watu wanafuga simba kama kuku • Polisi wakionyeshana ubabe. 02 Feb 2017 05:11, (videos: vichekesho video). Polisi wakionyeshana ubabe • Hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi. 08 Feb 2017 08:15, (videos: michezo vichekesho video). Hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi • Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari, kumbe pombe saa nyingine nzuri. 24 Jan 2017 00:50, (videos: vichekesho video). Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari, kumbe pombe saa nyingine nzuri • Hizi bahati mbaya nyingine jamani…. 07 Jan 2017 23:05, (videos: vichekesho video). Hizi bahati mbaya nyingine jamani... • Ajali za bahati mbaya ambazo zimewahi kutokea. 05 Feb 2017 13:22, (videos: ajali vichekesho video). Ajali za bahati mbaya ambazo zimewahi kutokea • Swala ni noma, kumbe na yeye anajua kupiga, cheki anavyomfanyia huyu mtu. 07 Jan 2017 22:47, (videos: swala wanyama video). Swala ni noma, kumbe na yeye anajua kupiga, cheki anavyomfanyia huyu mtu • Huyu jogoo ni noma, mwangalie anavyovuta gari la kukokota. 05 Feb 2017 04:49, (videos: maajabu vichekesho video). Huyu jogoo ni noma, mwangalie anavyovuta gari la kukokota • Mtu anacheza na dubu kama anacheza na rafiki ake. 07 Feb 2017 00:36, (videos: maajabu wanyama video). Mtu anacheza na dubu kama anacheza na rafiki ake • Huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama?. 13 Jan 2017 07:45, (videos: wanyama video). Huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama? • Simba wanavyowinda na kukamata wanyama. 24 Jan 2017 09:41, (videos: wanyama video). Simba wanavyowinda na kukamata wanyama • Huyu dada hapa kazidi sasa, cheki anachomfanyia huyu jamaa. 28 Jan 2017 02:05, (videos: vichekesho video). Huyu dada hapa kazidi sasa, cheki anachomfanyia huyu jamaa • Mtaalamu wa kufanya mazoezi. 15 Jan 2017 14:28, (videos: mazoezi michezo video). Mtaalamu wa kufanya mazoezi • Angalia huyu jamaa anajitestia bastola yake kama inafanya kazi. 31 Jan 2017 07:25, (videos: maajabu vichekesho video). Angalia huyu jamaa anajitestia bastola yake kama inafanya kazi • Cheki huyu jamaa Kawa kama katuni. 23 Jan 2017 01:14, (videos: vichekesho video). Cheki huyu jamaa Kawa kama katuni • Tizama baisikeli moja ilivyosababisha ajali ya magari zaidi ya 10. 01 Mar 2017 06:37, (videos: ajali baisikeli gari maajabu vichekesho video). Tizama baisikeli moja ilivyosababisha ajali ya magari zaidi ya 10 • Hizi mila nyingine ni balaa, cheki hawa watoto wanachofanyiwa. 18 Feb 2017 08:08, (videos: maajabu video). Hizi mila nyingine ni balaa, cheki hawa watoto wanachofanyiwa • Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka. 24 Feb 2017 00:59, (videos: vichekesho video). Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka • Cheki dereva wa hili gari anachokifanya. 07 Jan 2017 23:25, (videos: gari maajabu michezo video). Cheki dereva wa hili gari anachokifanya • Cheki kilichompata huyu jamaa aliyekuwa kapanda bajaji. 12 Jan 2017 14:43, (videos: ajali bajaji vichekesho video). Cheki kilichompata huyu jamaa aliyekuwa kapanda bajaji
"2018-06-18T02:16:10"
http://www.ackyshine.com/videos:huku-kujiua-kwingine-huku-ni-balaa
[ -1 ]
JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA KUENDELEA KUFANYA UCHUNGUZI WA MGOGORO ~ CHIMBUKO LETU JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA KUENDELEA KUFANYA UCHUNGUZI WA MGOGORO Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Mbeya ADVOCATE NYOMBI amesema jeshi lake linaendea na uchunguzi ili kubaini ukweli wa mgogoro kati ya wananchi wa kijiji cha kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya dhidi ya mwekezaji wa kampuni Rice Project Kuhusu vitendo vya uharibifu wa mali za wananchi Kamanda NYOMBI amesema hana taarifa nazo na kwamba na kuwataka wananchi hao kuwa watulivu wakati uchunguzi ukiendelea. Hata hivyo habari tulizozipata zinadai kuwa mwekezaji huyo alivunja matofali kumi na mbili elfu ambayo yalifyatuliwa kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi Mbarali na kumjeruhi mwanakijiji kwa kumgonga na gari.
"2017-10-21T15:49:38"
http://chimbukoletu.blogspot.com/2011/07/jeshi-la-polisi-mkoani-mbeya-kuendelea.html
[ -1 ]
Tarehe ya Kuanza: April 2nd, 2019 Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Ndg. Kivuma Msangi alipofanya ziara akiwa na Timu ya Wataalamu ya Halmashauri (CMT) kwa ajili ya kukagua ujenzi wa Hospitali Mpya ya Wilaya siku ya tarehe 02/04/2019 katika kata ya Lugelele, kitongoji cha Mpunga Mmoja sehemu inapojengwa Hospitali hiyo. Msangi alisema kwamba Hospitali Mpya ya Wilaya inatarajiwa kukamilika ifikapo Mwezi wa Tisa mwaka huu 2019, na kukamilika kwa hospitali hii kutaongeza upatikanaji wa huduma za afya za kisasa na katika mazingira bora sambamba na hayo pia itakuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja kwani kutapanua fursa nyingi za ajira, biashara wakiwemo mama lishe, bodaboda, bajaji, nyumba za kulala wageni, nyumba za kupangingisha na nyinginezo nyingi. Akisoma taarifa ya ujenzi wa Hospitali hiyo Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Eng. Abbas Kitalima alisema kuwa, katika awamu hii ya kwanza wamepokea jumla ya shilingi Bilion moja na Milioni mia tano (1,500,000,000/=) ambayo itakamilisha ujenzi wa majengo saba mapya sambamba na umaliziwaji wa jengo la ghorofa moja ambalo litatumika kwa shughuli za utawala pamoja na kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje (OPD) hivyo kufanya jumla ya majengo tisa. Eng. Kitalima aliongeza kuwa kwa sasa ujenzi wa majengo hayo yote yapo katika hatua mbalimbali za ujenzi na yanatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 2019. Timu ya Wataalamu iliweza kutembelea na kukagua ujenzi wa majengo yote yanayoendelea kujengwa na imeridhishwa na hatua iliyofikia hadi sasa. wamemtaka Mkuu wa Idara ya Ujenzi pamoja na Kamati mbalimbali zilizoundwa kwa ajili ya usimamizi kuongeza kasi ya usimamizi ili wananchi waanze kupata huduma na kuhakikisha ubora wa majengo unazingatiwa. Majengo mapya yanayojengwa mpaka sasa ni pamoja na Wodi Wazazi (Maternity Word), Jengo la Maabara, Jengo la Mashine za Mionzi (X-Ray), Jengo la Dawa za Chanjo, Jengo la Kufulia Nguo, Jengo la Ghala la Madawa, Jengo la Mifumo ya Umeme (Power House) pamoja na ukarabati wa jengo la ghorofa moja ambalo litatumika kwa ajili ya wagonjwa wa nje pamoja na shughuli za utawala.
"2019-04-26T05:42:06"
http://mbaralidc.go.tz/new/hospitali-mpya-ya-wilaya-kukamilika-ifikapo-septemba-2019-msangi
[ -1 ]
UN yawapiga msasa wanafunzi wa Chuo cha Tumaini Makumira juu ya SDGs – DEWJIBLOG AUDIO: Majibu ya JPM kwa wanahabari kuhusu ... Yemi Alade aeleza jinsi alivyoweza kuimba nyimbo ... Samia aagiza vyombo vya dola kukamata viongozi wanaojihusisha na uvuvi haramu
"2018-02-20T09:41:04"
http://dewjiblog.co.tz/un-yawapiga-msasa-wanafunzi-wa-chuo-cha-tumaini-makumira-juu-ya-sdgs/
[ -1 ]
TÜDEMSAŞ’tan yeni dönemde yeni nesil yük vagonları – RayHaber | raillynews NyumbaniRAILWAYMagari ya mizigo mpya ya mizigo katika zama mpya kutoka TÜDEMSAŞ 27 / 07 / 2017 RAILWAY, GENERAL, TAASISI, TÜDEMSAŞ, TURKEY, wagons TÜDEMSAŞ kubwa mizigo gari mtengenezaji nchini Uturuki, mbali na 1939 21 miaka elfu ya shida-ra I bakımon uzalishaji wa magari ya mizigo na magari ya mizigo karibu 343 elfu na akafanya marekebisho yake. Meneja Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi Yıldıray Koçarslan alisema, tumekwisha tumekamilisha mafunzo ya ufundi na kiufundi ya wafanyakazi wetu wakati wa upya miundombinu yetu ya kiufundi na uwekezaji tumefanya katika miaka ya hivi karibuni. katika kulehemu robot wetu kiwanda bogie, robotic ulipuaji kupanda, dyeing mimea na idadi kubwa ya magari katika gear ya kisasa, behewa sekta yetu ina mashine CNC sisi ni kampuni ya vifaa bora katika Uturuki. "alisema. Kocarslan, 2015-2019 kati ya miaka ya kubuni, iliyopangwa na zinazozalishwa kwa kila namna itakuwa ya ndani na ya kitaifa, kulingana na mahitaji ya sekta hiyo, magari ya reli kwa mujibu wa masharti ya kiufundi ya uendeshaji (TSI) 12 aina tofauti za magari na aina tofauti za 3 za bogie hupanga kupanga uzalishaji wa wingi. Inaonyesha, moja ya magari yenye nguvu sana na yenye madhumuni mengi huko Ulaya, ambayo ina cheti cha TSI ya kampuni hiyo, na Sgns, gari lenye nyembamba zaidi la usafiri wa Ulaya, ambalo lina muundo wa kitaifa, gari la tani la usafirishaji wa taka na Zacens Aina ya gari ya moto ni magari yenye nguvu zaidi katika darasa lake. inasimama nje. Mchakato wa vyeti kwa magari ya mizigo mpya ya kizazi, Clos Wagon Ore (Talns) na Gari la Magari ya Zimbi (Zacens), itaanzishwa hivi karibuni, imekamilika. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TÜDEMSAŞ alitoa maelezo yafuatayo: Şirket Kampuni yetu ni meneja wa mradi wa Mradi wa Taifa Mpya wa Wagon, ambayo ni moja ya nguzo tatu za Mradi wa Taifa wa Mafunzo. Kama matokeo ya masomo yaliyofanyika kwa zaidi ya mwaka, 2 imeamua kujenga aina ya Sggmrs, aina ya H ya tatu, bogie jumuishi, (compact) mfumo wa kusafisha, chombo cha kusafirisha chombo. H aina ya bogie ilitolewa na vipimo vyote vya bogie vilikamilishwa. Utaratibu wa uzalishaji na vyeti kazi ya mwili wa gari unafanyika na vitengo vya 2017 vitazalishwa kutoka gari hili hadi TCDD katika 150. Chanzo: I www.ostimgazetesi.co Reli za Azerbaijan Inachunguza Bidhaa Mpya za Uzazi zinazozalishwa na TÜDEMSAŞ Suluhisho jipya kwa breki za moja kwa moja kwa magari ya mizigo kutoka kwa Shirika la Shirikisho la Mogul Magari Mpya ya Uzazi kutoka TÜDEMSAŞ Korea ya Kaskazini ina mpango wa kuhamia teknolojia ya treni ya juu katika zama mpya Meya Karaosmanoğlu: Usafiri utakuwa uzito katika Era mpya Magari ya chakula hupotea katika kipindi kipya Kipaumbele cha Rais Türel katika New Term Metro Gari la Magurudumu la Magurudumu Imefungwa Wagon ya Cevher Mradi wa Usafirishaji wa Taifa wa Usafirishaji mwili wa wagoni Mradi Mpya wa Usafirishaji wa Taifa wa Mizigo TÜLOMSAŞ hufanya miradi ya maono ya kitaifa Izmir Metro Ilihudhuria Mtoto Maalum
"2020-01-18T17:49:53"
https://sw.rayhaber.com/2017/07/magari-ya-kizazi-mpya-ya-yuk/
[ -1 ]
 Mkulima aliyefungua kesi kupinga ukomo wa urais aitwa mahakamani Mkulima aliyefungua kesi kupinga ukomo wa urais aitwa mahakamani 02 October 2019 Wednesday 14:25 MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imemtaka Dezydelius Patrick Mgoya ‘Mkulima’ aliyefungua kesi ya kikatiba kuhusu ukomo wa urais kufika mahakamani Oktoba 10, 2019 kufuatia maombi ya Chama cha ACT Wazalendo kujiunga na kesi hiyo. Kesi hiyo (Misc Civil Cause No. 19 of 2019) ipo chini ya Jaji Dk Benhaj Masoud Maombi ya ACT Wazalendo (Misc Civil Application No. 39 of 2019) kujiunga na kesi hiyo yameshindwa kusikilizwa leo kutokana na Dezydelius kutokuwepo Mahakamani. Mahakama imeitaka ACT Wazalendo kutangaza wito wa kumuita mahakamani kwenye magazeti mawili yanayosomwa na wengi. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuahirishwa kwa kesi hiyo, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama kimeomba kujiunga na kesi hiyo ili kuilinda na kuitetea Katiba. Zitto amesema licha ya katiba ya sasa kuwa na mapungufu yake, inapaswa kuheshimiwa ikiwemo uwepo wa ukomo wa urais. Katika hatua nyingine, Zitto amesema ACT Wazalendo imesikitishwa na uteuzi wa Dk. Wilson Mahera kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) huku ikifahamika wazi kuwa ni kada wa Chama cha Mapinduzi(CCM). "Tumeshangazwa sana na hatua ya Rais Magufuli kuteua Mkurugenzi mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambaye rekodi zinaonesha amewahi kugombea ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM. Jambo hilo la wasimamizi wa uchaguzi ambao wana vyama vya siasa lipo mahakamani. Kwenye kesi ya Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe Mahakama Kuu ilisema wasimamizi wa uchaguzi hawapaswi kuwa wanachama, makada au mashabiki wa chama cha siasa. Tumesikitishwa na hatua ya Rais Magufuli kumteua mtu ambaye amekatazwa kuwa msimamizi wa jimbo moja na kumteua kuwa msimamizi wa nchi nzima," amesema Zitto. Amesema kufuatia hali hiyo ACT Wazalendo inashauriana na vyama vingine vya upinzani kuhusu hatua za kisheria za kuchukua na tayari kimemuagiza Wakili Jebra Kambole atazame misingi ya kisheria ili kuzuia uteuzi huo wa Mkurugenzi mpya wa NEC.
"2019-10-21T07:43:18"
http://www.azaniapost.com/habari-maalum/mkulima-aliyefungua-kesi-kupinga-ukomo-wa-urais-aitwa-mahakamani-h24532.html
[ -1 ]
LIPUMBA, NCHEMBA NA NAPE WAFUNGA KAMPENI ZA UDIWANI - Kijukuu Cha Bibi K | Habari,Matukio na Burudani Tanzania Home / Unlabelled / LIPUMBA, NCHEMBA NA NAPE WAFUNGA KAMPENI ZA UDIWANI
"2020-06-03T15:29:36"
https://www.kijukuu.co.tz/2018/01/lipumba-nchemba-na-nape-wafunga-kampeni.html
[ -1 ]
CHAN 2018: Uko vyifashe imbere y’inkino zanyuma mu matsinda Vyanditswe itariki 21.01.2018 Kur’uyu w’Imana 21 Nzero niho haza gutangura inkino zanyuma mu matsinda ane y’igikombe ca Africa kiriko kirahuriza muri Maroc imigwi nserukibihugu igizwe n’abakinyi bakinira mu mahiganwa y’ibihugu vyabo (joueurs locaux). Inyuma y’inkino zibiri, mu matsinda A na B ibintu vyaramaze kudadanuka kuko imigwi izobandanya n’iyizoca itaha yamaze kumenyekana, mu matinda C na D nayo, ibintu bizoza kudadanuka mu nkino za gatatu, tukaba tugomba turabire hamwe uko vyifashe ku migwi 16 iri mw’ihiganwa. Igihugu kibanyi c'Urwanda kirafise amahirwe yo gukina igice ca kane gishira icanyuma ariko kikazotegerezwa kuvyifatamwo neza mu rukino rugihuza na Libya (Isanamu y'utukino Nigeria 0-0 Rwanda, Photo DR) Mu matsinda A na B imigwi izobandanya n’iyizotaha yose yaramaze kumenyekana Itsinda A rigizwe na Maroc, Soudan, Guinée na Mauritanie Igihugu ca Maroc cakiriye ihiganwa, ryatswe Kenya ku ngingo ya CAF, kiriko kivyifatamwo neza kuko catsinze inkino 2 zambere, co kimwe n’igihugu ca Soudan caronse itike kibanje gukuramwo Uburundi (0-0, 1-0). Ibihugu vya Mauritanie na Guinée Conakry vyatsinze inkino zibiri zose bizoca bitaha inyuma y’urukino ruzobihuza, Maroc na Soudan navyo bihiganire ikibanza cambere c’itsinda. Uko inkino zagenze Maroc 4-0 Mauritanie Uko imigwi isumbana 1. Maroc ufise amanota 6, ibitsindo +6 2. Soudan 6, +2 3. Guinée 0, -3 4. Mauritanie 0, -5 Inkino zanyuma mur’iri tsinda zitegekanijwe kur’uyu w’Imana 21 Nzero igihe c’isaha zitatu z’ijoro (21:00) mu masaha y’I Burundi. Mauritanie utana mu mitwe na Guinée, Maroc nawo unyinyurane na Soudan mu kurondera ikibanza cambere Itsinda B rigizwe na Namibie, Zambie, Ouganda, Côte d’Ivoire Mur’iri tsinda, umugwi wa Côte d’Ivoire uri mu yikomeye ku mugabane wa Africa iyo urimwo abakinyi bawo bakinira mu mahanga ntiwakije mur’iri higanwa kuko wamaze kuronka itike ryo gusubira Abidjan inyuma y’inkino zibiri gusa. Umugwi wa Ouganda nawo, umugwi wambere mu karere ka Africa y’Ubuseruko dufatiye ku rutonde rwa FIFA, watsinzwe inkino zawo zibiri n’imigwi yo mu karere ka Africa y’Ubumanuko ukaba uzofata inzira yo gutaha inyuma y’inkino z’amatsinda. Côte d’Ivoire 0-1 Namibie Zambie 3-1 Ouganda Côte d’Ivoire 0-2 Zambie 1. Zambie ufise amanota 6, ibitsindo +4 2. Namibie 6, +2 3. Ouganda 0, -3 4. Côte d’Ivoire 0, -3 Nko mw’itsinda A, inkino zanyuma zizohuza abatsinzwe n’abatsinze. Zitegekanijwe kur’uyu wambere 22 Nzero isaha zitatu z’ijoro: Ouganda - Côte d’Ivoire na Namibie – Zambie Mu matsinda C na D, hamaze kumenyekana umugwi umwe ubandanya n’umwe utaha Itsinda C rigizwe na Nigeria, Rwanda, Libye na Guinée Equatoriale Igihugu kibanyi c’Urwanda cari cakiriye ihiganwa riheruka mu 2016 kiracafise amahirwe yo kubandanya muri « ¼ finale » kuko kinganya na Nigeria wambere mw’itsinda amanota 4 mu nkino 2, ariko kikazotegerezwa kuvyifatamwo neza mu rukino rwanyuma rukomeye ruzogihuza na Libye, umugwi ufise amanota 3. Umugwi wa Guinée Equatoriale waramaze gusezera inyuma yo gutsindwa inkino zibiri. Libye 3- 0 Guinée Eq. Rwanda 1-0 Guinée Eq. 1. Nigeria ufise amanota 4, ibitsindo +1 2. Rwanda 4, +1 3. Libye 3, +2 4. Guinée Eq. 0, -4 Mu nkino zanyuma z’iri tsinda zitegekanijwe kuwa kabiri 23 Nzero (21:00), Urwanda ruzokina na Libye urukino rukomeye cane rwo kurondera itike rya ¼ finale, Nigeria nawo utane mu mitwe na Guinée Equatoriale. Itsinda D rigizwe na Congo (Brazza), Angola, Burkina Faso na Cameroun Mw’itsinda D, umugwi wa Cameroun waramaze gusezererwa inyuma yo gutsinda inkino zawo zibiri zose. Congo nawo waramaze kuronka itike ryo kubandanya, hakaba hasigaye kudadanura uwuzobanya n’uwuzotaha hagati ya Angola na Burkina Faso. Cameroun 0-1 Congo Congo 2-0 Burkina Faso 1. Congo ufise amanota 6, ibitsindo +3 2. Angola 4, +1 3. Burkina Faso 1, -2 4. Cameroun 0, -2 Mu nkino zanyuma z’iri tsinda zitegekanijwe kuwa gatatu 24 Nzero (21:00), Angola uzotana mu mitwe na Congo, Burkina Faso nawo utane mu mitwe na Cameroun. Kugira Burkina Faso uronke itike, utegerezwa gutsinda Cameroun uwurusha n’imiburiburi ibitsindo 3 ugaca wizera ko Congo utsinda Angola n’imiburibiri uwurusha igitsindo kimwe. Umugwi wa Angola unganije na Congo uzoba uronse itike ryo kuwuherekeza mu gice gikurikira, mu gihe Angola wiotsinda Congo naho, uzoca uwuherekeza ufise n’ikibanza cambere c’itsinda.
"2019-01-17T19:42:42"
http://burundisport.com/international-chan-2018-uko-vyifashe-imbere-y-inkino-zanyuma-mu-matsinda-210
[ -1 ]
Mikataba ya biashara Archives - EU Reporter: EU Reporter Uingereza haitatii sheria za EU kushinda #FreeTrade - Msaada wa PM Uingereza haitatishiwa kufuata sheria za EU katika siku zijazo kwa kuongea juu ya hatari za kiuchumi na iko tayari kufanya biashara na kambi hiyo kwa masharti ya msingi ya kimataifa ikiwa inahitajika, mshauri wa Waziri Mkuu Boris Johnson wa Ulaya alisema Jumatatu (17 Februari), andika Gabriela Baczynska na John Chalmers. Uingereza iliondoka EU mwezi uliopita […] Tume inakaribisha idhini ya Bunge la Ulaya la EU na #Vietnam biashara na mikataba ya uwekezaji Tume ya Ulaya inakaribisha uamuzi wa tarehe 12 Februari na Bunge la Ulaya la kupitisha makubaliano ya biashara na uwekezaji ya EU-Vietnam. Makubaliano ya biashara ya EU-Vietnam sasa yameanza kutumika mnamo 2020, baada ya kumalizika kwa utaratibu wa kuridhia na Vietnam. Mkataba wa biashara utaondoa karibu ushuru wote kwa bidhaa iliyouzwa kati ya […] #TradePreitions zinaongeza usafirishaji wa nchi zinazoendelea kwenda Umoja wa Ulaya Mauzo ya nje kwa Jumuiya ya Ulaya kutoka nchi zinazoendelea kutumia upendeleo maalum wa ushuru chini ya Mpangilio Mkuu wa Upendeleo wa EU (GSP) ilifikia kiwango kipya cha € bilioni 69 mnamo 2018. Kulingana na ripoti ya Tume ya Ulaya iliyochapishwa kila baada ya miaka mbili kwenye GSP, iliyotolewa mnamo 10 Februari, usafirishaji kwenda EU kutoka kwa mnufaika wa GSP 71 […] #Taratibu za Msaada huongeza mauzo ya nchi zinazoendelea kwenda kwa Jumuiya ya Ulaya Mauzo ya nje kwa Jumuiya ya Ulaya kutoka nchi zinazoendelea kutumia upendeleo maalum wa ushuru chini ya Mpango Mkuu wa Upendeleo wa EU (GSP) ilifikia kiwango kipya cha € bilioni 69 mnamo 2018. Kulingana na ripoti ya Tume ya Ulaya iliyochapishwa kila baada ya miaka mbili kwenye GSP, iliyotolewa leo, usafirishaji kwenda kwa EU kutoka nchi za wanufaika wa GSP 71 ziliongezeka […] EU #Vietnam biashara ya biashara: Je! Ni faida gani? Mpango wa biashara wa EU-Vietnam umewekwa ili kuondoa karibu ushuru wote kwa kipindi cha muongo. MEP Geert Bourgeois anaelezea faida katika mahojiano haya. Alfajiri mpya ya biashara ya EU-Vietnam © Mongkol Chuewong / Adobe Hapo mapema ya Bunge hupiga kura juu ya biashara ya bure na mikataba ya uwekezaji kati ya EU na Vietnam mnamo 12 Februari 2020, Belgian […] Biashara: Mwaka wa kwanza wa Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi na #Japan unaonyesha ukuaji katika usafirishaji wa EU EU Reporter Mwandishi | Februari 3, 2020 1 Februari 2020 iliashiria kumbukumbu ya kwanza ya kuanza kutumika kwa Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi wa EU-Japan (EPA). Katika miezi kumi ya kwanza kufuatia utekelezaji wa makubaliano, usafirishaji wa EU kwenda Japan ulipanda kwa 6.6% ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita. Hii inazidisha ukuaji katika miaka mitatu iliyopita, ambayo […] #MatangazoMatokeo yataunda ajira na kulinda haki za binadamu katika #Vietnam Kundi la EPP linataka kutumia Mikataba ya Biashara na Uwekezaji kati ya Vietnam na EU kama kufungua mlango kupata masoko mengine ya Asia. Wakati huo huo, makubaliano hayo yatainua viwango vya mazingira, kazi na haki za binadamu huko Vietnam. "Makubaliano ya Biashara na Uwekezaji na Vietnam yanaweza kukuza biashara yetu na kwa hivyo kukuza ukuaji […]
"2020-02-29T03:53:51"
https://sw.eureporter.co/economy/trade-agreements/
[ -1 ]
NEC: Tutafuata uamuzi wa mahakama uchaguzi mkuu - Mwananchi NEC: Tutafuata uamuzi wa mahakama uchaguzi mkuu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa Mkutano na wahariri uliofanyika jijini, Dar es Salam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Tume hiyo, Athuman Kihamia. Picha na Anthony Siame Dar es Salaam. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imeweka wazi kuwa vifungu vya sheria ya uchaguzi vilivyolalamikiwa na kutenguliwa na mahakama havitatumika kwenye utekelezaji wa majukumu ya tume hiyo. Vifungu hivyo ni kifungu cha 7(1) na 7(3) vinavyowapa mamlaka wakurugenzi wa halmashauri kama wasimamizi wa uchaguzi. Vifungu hivyo vinawataja wakurugenzi wa jiji, wakurugenzi wa manispaa, wakurugenzi wa miji na wakurugenzi wa wilaya (DED) kwamba wanaweza kuteuliwa na tume kuwa wasimamizi wa uchaguzi. Akizungumza wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya habari, Mwenyekiti wa Nec Jaji Semistocles Kaijage alisema wanazingatia maelekezo ya mahakama hivyo Nec haitotumia vifungu hivyo vilivyolalamikiwa. Jaji Kaijage aliyasema hayo wakati akijibu swali la mhariri wa gazeti la The Citizen Damas Kanyabwoya aliyetaka kufahamu kama Nec itaendelea kuwatumia wakurugenzi baada ya uamuzi wa mahakama. “Mahaka ilitimiza wajibu wake ikavitengua baadhi ya vifungu vya sheria vilivyolalamikiwa. Niwahakikishie kuwa vile vifungu vilivyolalamikiwa hatutavitumia katika utekelezaji wa majukumu yetu. Kifungu cha 7 (1) na 7(3) cha sheria ya taifa ya uchaguzi ndivyo vilivyotenguliwa, vingine havijalalamikiwa,”
"2019-10-17T13:51:58"
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/NEC-yasema-haitatumia-Ma-DED-kusimamia-uchaguzi-Tanzania/1597296-5163586-qhy97h/index.html
[ -1 ]
YALIOJILI BUNGE LEO MJINI DODOMA NOVEMBA 3, 2016 ~ Blogu ya Wananchi Baadhi ya wabunge na mawaziri wakiwasili katika viwanja vya Bunge kuhudhulia kikao cha tatu cha Mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Novemba 3,2016. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson akiongoza kikao cha tatu cha Mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Novemba 3,2016. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kulia) pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki wakifuatilia kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu katika kikao cha tatu cha Mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Novemba 3, 2016. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof Makame Mbarawa (kushoto) pamoja na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Gerson Lwenge wakifuatilia kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu katika kikao cha tatu cha Mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Novemba 3,2016. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kipindi cha maswali ya moja kwa moja kwake wakati wa kikao cha tatu cha Mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Novemba 3, 2016.
"2017-03-25T15:44:25"
http://www.williammalecela.com/2016/11/yaliojili-bunge-leo-mjini-dodoma.html
[ -1 ]
Jalada kesi ya Maimu, wenzake kurudishwa kwa DPP Magufuli auita mradi wa NSSF ni bomu, atoa maagizo Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kiongozi mmoja wa Serikali aliyezungumza maneno yasiyofaa kuhusu Bunge 33 Minutes Ago Ndugai atoa agizo kwa Waziri Mkuu kuhusu Watanzania kupewa saa 24 kuondoka Kenya 2 Hours Ago Ndugai ataka Taifa Stars kutengewa fedha, wabunge wahoji mawaziri kutokwenda Misri
"2019-06-25T17:33:24"
https://mobile.mwananchi.co.tz/Q-Chillah-afahamu-malalamiko-hayamtatulii-matatizo-yake/1597608-5150278-format-xhtml-fih74y/index.html
[ -1 ]
mahakamani | JamiiForums "Hatuwezi KULIPA MIL 500, Hili JIPU LIMEKOMAA, Mfukuzeni, Tukutane MAHAKAMANI" - Rais Dkt John Magufuli, leo Februari 11, amezindua wilaya mpya Kigamboni, Jengo la utawala na Hospitali ya Wilaya jijini Dar. Mh. Rais ahoji kwanini mtu aingie mkataba wa ujenzi allipwe Tsh 500 million ili... Nabii Mwamposa akifikishwa Mahakamani " Atakuwa shahidi wa saba na sio mshitakiwa" Baada ya kutokea vifo zaidi ya watu 15 katika mkanyagano wakati waamini wanaohisiwa ni wa dini ya kikristo wakigombea kwenda kukanyaga mafuta ya upako" huko moshi, mkoani kilimanyaro. Kutokana na mashinikizo mbalimbali kutoka kwa Wakristo wasiokuwa na Imani kwa maji ya upako na mafuta ya upako... Mtoto kuwashitaki mahakamani wazazi wake kwa kumzaa bila ridhaa yake Kijana mmoja Uingereza anakusudia kuwashitaki wazazi wake. Hoja yake ya msingi ni kwanini walimleta kwenye hii dunia yenye shida na mateso kwa starehe zao? Wao kwa starehe zao za mapenzi kwanini wamlete duniani? Nadhani wazazi wana kesi ya kujibu! Election 2020 Kwanamna uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyoendeshwa je ni halali kuendelea na katiba inayozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani? Kwakweli sielewi hiki kipengele kinachozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani kina Nia njema ipi. Yani katika mazingira ya Tanzania ya Sasa yenye uvunjifu wa sheria zote pamoja na haki za binadamu bado kipengele kama hiki tukione kina nia njema kweli? Nitakuwa was mwisho kuamini . Vyama vya... Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa mahakamani leo, kesi yao yaahirishwa kutokana na upelelezi kutokamilika Afisa wa LHRC, Tito Magoti pamoja na mwenzake wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Januari 7, 2020 wakikabiliwa na mashitaka matatu likiwemo la utakatishaji fedha. Aidha, awali Tito Magoti na mwenzake walisomewa mashitaka matatu likiwemo la utakatishaji fedha kiasi cha shilingi... CHADEMA kuipinga Sheria ya Utakatishaji Fedha Mahakamani Wakuu natanguliza salamu za Mwaka mpya , baada ya salamu hizi najikita moja kwa moja kwenye hoja . Chama cha Demokrasia na maendeleo kanda ya Pwani kimeandaa Mawakili wawili watakaofungua kesi Mahakamani ili kupinga sheria ya " kishenzi " ya utakatishaji fedha Hayo yamesemwa na Makamu... Mgombea binafsi Namibia awasilisha kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Aliyekuwa mgombea binafsi wa urais wa Namibia Panduleni Itula, amewasilisha pingamizi la kisheria ya kupinga kushindwa kwake katika uchaguzi uliomalizika mwezi uliopita. Itula ameitaka mahakama ya juu ya Namibia kuagiza kurejewa uchaguzi haraka iwezekenavyo, kwa madai kwamba haukuwa huru... Hatma ya Erick Kabendera bado ipo kwa DPP, Kesi yaahirishwa hadi Januari 2, 2020 Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera bado haujakamilika. Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kutakatisha Sh173milioni katika Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hayo yameelezwa leo Jumatano Desemba 18... Kupanga ni kuchagua na mara zote umakini unahitajika sana. Chadema inakwenda kwenye uchaguzi mkuu utakaompata Mwenyekiti na makamu wake pamoja na kamati nzima ya utendaji. Miongoni mwa wagombea wa nafasi hizo ni mh Mbowe na wakili msomi Tundu Lisu bila kumsahau mh Mwambe. Angalizo muhimu... Matiko akiri kumiliki silaha Matiko akiri kumiliki silaha Najiuliza swali fikirishi kwamba ni nini cha ajabu huyu mtu kumiliki silaha, kwa hadhi yake kama mbunge? ===== Matiko akiri kumiliki silaha Alidai mahakamani wakati akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, baada ya kuhojiwa na Jamhuri dhidi ya... OCD Wilaya ya BUSEGA amekula Rushwa na kukataa kupeleka kesi ya mwanafunzi wa kidato cha pili Mkula Sekondari Mahakamani Mheshimiwa Sirro muwajibishe OCD wa wilaya ya Busega kwa muda sasa ameikalia kesi ya ubakaji ya mwanafunzi wa Mkula Sekondari iliyoko BUSEGA MKOANI SIMIYU inadaiwa kwamba Mwanafunzi huyo ameachishwa shule mpaka ss lakini cha kushangaza kesi ya mwanafunzi haijafika mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa hii inatokana na kwamba... Mahakama yaamuru Lissu afike Mahakamani Desemba 19 Mh Hakimu anasema hataki siasa: "Hatutaki mambo ya siasa hapa namtaka Lissu aje hapa mahakamani kesi yake iendelee". Ndugai: Sijui Lissu alipo, namvua ubunge Rais: Ametelekeza jimbo Hakimu: Sitaki siasa, aje kesi iendelee ==== Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imemwagiza... Rukwa: Hakimu aviburuza Mahakamani Vyombo vya Mahakama vilivyomfuta kazi Aliyekuwa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kalambo, mkoani Rukwa, Jonathan Ernest Mgongoro ameziburuza mahakamani, Tume ya Utumishi wa Mahakama (JSC) na Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama (JOEC), kwa kumfuta kazi. Mgongoro, alifutwa kazi na Tume ya Utumishi wa Mahakama, Julai 17... Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaonya wabunge wanne wa Chadema waliokiuka masharti ya dhamana kwa kutofika mahakamani bila taarifa yoyote. Onyo hilo limetolewa leo Jumatano Novemba 20, 2019 na Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Thomas Simba baada ya kusikiliza utetezi wao, kubainisha kuwa... Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, leo Jumatano Novemba 20, imewakamata na kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara sita wakiwamo raia wa kigeni kutoka nchini China kujibu mashtaka ya Rushwa na uhujumu uchumi. Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi)... Nimeota serikali imemfikisha Idris Sultan mahakamani na kumsomea mashitaka Nimeota kuwa upande wa serikali umefanikiwa kumfikisha Idris Sultan mahakamani na kumsomea mashitaka matatu. 1. Kukalia kiti cha Rais! 2. Kumvalisha Rais nguo za ki-BITOZI au ki-CHEKIBOB! 3. Kumkata kichwa Rais Mashtaka yaliposomwa, Hakimu alitaka kuchanganyikiwa, akapekuapekua nyaraka huku... Shabani Hamisi, Mume wa Zamaradi Mketema aliyemtishia mwenzake kwa bastola afikishwa Mahakamani Shabani Hamisi ambaye ni mume wa mtangazaji na mmiliki wa Zamarad TV, Zamaradi Mketema amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni akikabiliwa na mashtaka ya kumtishia Venance John kwa bastola. ===== Aliyemtishia mwenzake na bastola aachiwa JUMATATU , 4TH NOV , 2019 NA MWANDISHI... Uchaguzi 2019 Mgombea wa Chadema Keko Mwanga A kufikishwa Mahakamani mchana huu kwa kukataa unyonge na kupigania haki yake Atafikishwa Mahakamani baada ya kuhakikisha mtendaji wa kata ya Keko anatenda kama sheria za uchaguzi zinavyotaka kwa kumpatia mgombea halali fomu zake , hii ilitokea baada ya Mtendaji huyo kuchelewa kujificha hadi kukutwa ofisini na Mgombea wa CHADEMA ambapo akataka kukataa kumhudumia mgombea... Wakuu wa vituo vya Polisi waitwa Mahakamani kueleza sababu za kukaa na mshtakiwa mahabusu kwa siku 14 Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewataka wakuu wa kituo cha polisi Kijitonyama na Oysterbay kufika mahakamani hapo leo Ijumaa Oktoba 25, 2019 kueleza sababu za kukaa na mtuhumiwa kwa siku 14 badala ya kumpeleka gereza la Segerea. Mtuhumiwa huyo, Elizabeth Balali alifikishwa... MSWADA: Sababu 50 za kuunga mkono, dhidi ya sababu 15 za kuupinga Mswada wa sheria ya vyama vya Siasa Tanzania, wa Oktoba 2018. A. SABABU 50 ZA KUUNGA MKONO. 1. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa itakuwa na jukumu la kusajili vyama vya siasa. 2. Kutoa elimu ya uraia ni jukumu la pili la Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, 3. Ofisi ya Msajili kuwa ndiye msimamizi wa mienendo ya vyama vya siasa vyote nchini Tanzania...
"2020-02-28T13:34:25"
https://www.jamiiforums.com/tags/mahakamani/
[ -1 ]
Courier ya uzazi - ivfbabble ivfbabblenet Novemba 20, 2017 Uzazi courier Mwezi wa Uhamasishaji Saratani ya Matiti hufanyika ulimwenguni kote mnamo Oktoba, kusaidia kuongeza ufahamu kwa ugunduzi wa mapema, msaada wakati wa matibabu, pamoja na utunzaji wa hali ya juu wa ugonjwa huu wa Embryolab inasaidia sana ...
"2020-07-10T17:22:47"
https://sw.ivfbabble.com/fertility-courier
[ -1 ]
Yanayowakuta watoto Burkina Faso " 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 2013 2012 2011 2010 2009 Pekua Tovuti Yanayowakuta watoto Burkina FasoRatifa Baranyikwa WIKI hii, Juni 12 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupambana na ajira dhidi ya watoto, ambapo Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetoa takwimu zinazoonesha kuwa watoto milioni 215 wanafanyishwa kazi, nusu yao katika mazingira hatari. Watoto hawa hufanyishwa kazi katika majumba ya watu, machimbo ya dhahabu, wanatupa taka, ama wanasuka mazulia katika viwanda. Hawawezi kuandika hata jina lao, ama kusoma kitabu, kucheza kwao ni jambo ambalo hawalijui. Zenabou Ilboudou ni dada mkubwa. Sio katika hali halisi, hapana, dada huyu mwenye umri wa miaka 20 anafanya kazi katika wakfu wa Terre des Hommes, kama dada mkuu, kwa wasichana, ambao wamekuwa wakifanyishwa kazi kama wafanyakazi wa ndani. Amekuwa dada mkuu kwa sababu anafahamu tatizo hili, kwa kuwa yeye binafsi kwa muda wa miaka saba aliwahi kufanya kazi kama mfanyakazi wa nyumbani katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou. Wakati akianza kazi hiyo alikuwa na umri wa miaka tisa. �Asubuhi 11 anakuamsha mama mwenye nyumba, ili uanze kazi za ndani, na ananipa pesa kwa ajili ya kununulia vyakula vya nyumbani. Baada ya hapo hupika, na wakati baba mwenye nyumba hatapendelea mchuzi uliotengeneza, unaingia katika matatizo. �Iwapo hutapigwa, utagombezwa na kutukanwa. Mchana kupata chakula ni taabu. Sehemu yako ya kulala mara nyingi ni jikoni ama sakafuni,� anasema. Burkina Faso pamoja na nchi nyingine za Afrika, kuna maelfu kadhaa ya wafanyakazi wa nyumbani ambao wamefikwa na madhila yaliyomfika Zenabou Ilboudou. Wengi wao wako katika umri kati ya miaka 9 na 14, wakati walipoanza kutafuta kazi. Wengi wao wanakimbia kutoka katika familia zao kwa sababu wazazi wao hawana fedha, ama wameuzwa. Masharti ya kazi kwa kiasi kikubwa ni kinyume na ubinadamu, watoto wanatumiwa kama watumwa, hupigwa, hufanyiwa mambo mabaya, ama kudhalilishwa kingono. Halima Fogo hivi sasa ana umri wa miaka 21. kwa muda wa miaka sita alikuwa akifanya kazi kama mfanyakazi wa nyumbani, na amekuwa akidhalilishwa kingono mara kwa mara na waajiri wake wanaume. �Wakati baba mwenye nyumba akitoka kazini na kurudi nyumbani, kwa kuwa mke wake hayuko nyumbani, anaanza. Hunipa vishawishi, na kusema iwapo nitalala nae, mwishoni mwa mwezi ataniongezea mshahara,� anasema Halima. Ni vishawishi ambavyo ni kinyume na ubinadamu, ni ahadi za uwongo. Zaidi ya hayo, sehemu kubwa ya watoto wanaofanyishwa kazi, kiasi ya theluthi moja, hata hivyo hupata sehemu ndogo ya mshahara wao, ama hawapati kabisa. Burkina Faso, wasichana wengi wanafanya kazi katika kile kinachoitwa sekta isiyo rasmi, katika sekta hii hakuna mkataba ama mafao ya kijamii. Wakati huo huo, Serikali ya Burkina Faso inatambua matatizo haya na inajaribu kubadilisha mwelekeo huo, kwa kushirikiana na mashirika kadhaa ya kijamii nchini humo, na hata pia mashirika ya kimataifa kama Terre des Hommes ama Shirika la Umoja wa Mataifa ya Kuwahudumia Watoto (UNICEF). Herman Zoungrana, meneja mradi wa Terre des Hommes nchini Burkina Faso, anaelezea kile shirika hilo inachokifanya. �Kwa hivi sasa tuna mpango unaowahusu wasichana 700, ambao wameweza kwenda shule katika vijiji wanakotoka, pamoja na mradi wa mafunzo ya kazi unaowahusu karibu wasichana wengine 100. Na wengine zaidi ya 100 wanasoma katika shule ya sekondari katika mji wa Tougan, kaskazini magharibi ya Burkina Faso,� anasema Zoungrana. Shirika la Kazi la Kimataifa nchini Burkina Faso linasema: �Hata hivyo, kwa bahati mbaya hili ni tone tu linalodondoka katika jiwe lenye joto. Zaidi ya watoto 500,000 wanafanyishwa kazi.� Na hii si tu katika majumba ya watu binafsi. Karibu nusu wanafanya kazi katika takribani machimbo 600 ya dhahabu nchini humo. Mikono midogo ya vijana hawa hutumika kuvunja vunja mawe ili kuweza kupata dhahabu. Miili midogo ya vijana hawa hutumika kupenya katika mashimo madogo ya machimbo ya dhahabu. Mapafu yao huvuta hewa chafu ya kemikali zenye sumu za sianidi, ama kemikali za asidi salfuriki. Hawana muda wa kupumzika, wanafanya kazi mpaka usiku wa manane. Malipo kwa watoto hawa ni ya shida, hupewa chakula tu. Shule nyingi katika eneo lenye machimbo ya dhahabu zina wanafunzi wachache. Watoto wameamua kuwa hawana muda wa kwenda shule. UNICEF imefanikiwa kuwapeleka watoto 7,000 shuleni na hii ni hali ya kutia moyo. Na mafanikio haya si rahisi kila mara. Kwa sababu kazi katika machimbo ya dhahabu inawavutia watoto wengi licha ya ugumu wake. Wanafikiria kufanya kazi ya kuvunja mawe na kupata dhahabu kidogo ili kupambana na umasikini unaowakabili. juu
"2013-05-21T08:51:45"
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=37060
[ -1 ]
Maafisa walevi waliokuwa wakisumbua watu wachapwa, kufungwa kamba na kukabidhiwa polisi wenzao ▷ Kenya News - Kenyan Digest Maafisa walevi waliokuwa wakisumbua watu wachapwa, kufungwa kamba na kukabidhiwa polisi wenzao ▷ Kenya News ‘Not a great weekend,’ says Hamilton after triple Austria penalty - July 5, 2020 Ramos penalty again proves the difference as Real win in Bilbao : The standard Sports - July 5, 2020 P.S Hinga Launches Affordable Samara Estate in Migaa - July 5, 2020 – Wawili hao, walikuwa wakiwahangaisha raia na walikuwa walevi – Umma iliwakamata na kuwafunga kwa kamba kabla ya kuwakabidhi wenzao – Walikunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha Mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji – Polisi waliwatawanya wakazi waliokuwa wakiwapiga polisi hao na kuwakamata watu 10 Maafisa wa polisi kisiwani Lamu wamelilazimika kutumia nguvu kuufukuza umati uliokuwa ukiwatandika wenzao wawili waliokamatwa wakiwa walevi. Habari Nyingine: Mwigizaji Kate Actress awafichulia mashabiki wake jinsia ya mtoto anayetarajia Yadaiwa maafisa hao walikuwa wamekunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha Mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji. Picha: Nation Wawili hao, walikuwa wakiwahangaisha raia na baada ya umma kuwakamata, waliwafunga kwa kamba kabla ya kuwakabidhi wenzao. Yadaiwa maafisa hao walikuwa wamekunywa pombe ya mnazi katika kijiji cha Mararani kinachotambulika kwa biashara ya vileo vya kienyeji. Kwa mujibu wa ripoti ya Taifa Leo, Jumanne, Disemba 3, wawili hao walikuwa wanapepesuka kwa ulevi, na walikuwa wamevalia kiraia. Kisha walianza kuhangaisha wakazi kwa kuwalazimisha kujitambulisha kwa kuonyesha vitambulisho vyao vya kitaifa. Habari Nyingine: KCSE: Walimu wagoma kwa muda kusahihisha mtihani kulalamikia utenda kazi duni Kiongozi wa Nyumba Kumi kijijini humo, William Diwa, alisema polisi waliobeba silaha waliwasili na kuanza kuwapiga wanakijiji kabla ya kuwakamata zaidi ya 10. Picha: UNDP Kenya TUKO.co.ke imeng’amu kuwa, waliokaidi amri ya maafisa hao walitandikwa, jambo lililowakasirisha wakazi ambao baadaye walikusanyika na kuwaandalia njama maafisa hao. Waliwapiga bila huruma na baadaye waliwafunga kamba mikononi na kuwaitia polisi wenzao kuwachukua. Kiongozi wa Nyumba Kumi kijijini humo, William Diwa, alisema kundi la polisi waliobeba bunduki na marungu liliwasili na kuanza kuwapiga wanakijiji kabla ya kuwakamata zaidi ya 10 na kuwapeleka Kituo cha Polisi cha kisiwani Lamu. Habari Nyingine: Bintiye marehemu Njenga Karume kuzikwa katika ardhi takatifu Israel Waliokamatwa wakati wa tukio hilo walipelekwa katika Kituo cha Polisi cha Lamu. Picha: Nation Kamishna wa Kaunti ya Lamu, Irungu Macharia alithibitisha tukio hilo na akasema tayari uchunguzi umeanzishwa. “Mmoja wa polisi anadai kuibiwa KSh 7,000 wakati wa tukio hilo ilhali kijana mmoja pia amedai kupokonywa simu yake ya mkononi na maafisa hao. Wote wamekamatwa na kufikishwa kituoni kuandikisha taarifa huku uchunguzi ukiendelea,” Macharia alisema. Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690. Kenya Roads Board CEO in court over Air Pollution charges Ramos penalty again proves the difference as Real win in Bilbao : The standard Sports Argentina to renew offer to creditors, extends negotiation: president [ARTICLE]
"2020-07-05T19:59:04"
https://kenyandigest.com/maafisa-walevi-waliokuwa-wakisumbua-watu-wachapwa-kufungwa-kamba-na-kukabidhiwa-polisi-wenzao-%E2%96%B7-kenya-news/
[ -1 ]
NAIBU BALOZI WA ISRAEL NCHINI MHE. MICHAEL BAROR ATEMBELEA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE(JKCI) - Dar es salaam Yetu » NAIBU BALOZI WA ISRAEL NCHINI MHE. MICHAEL BAROR ATEMBELEA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE(JKCI) NAIBU BALOZI WA ISRAEL NCHINI MHE. MICHAEL BAROR ATEMBELEA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE(JKCI) Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimsikiliza Naibu Balozi wa Israel nchini mwenye makazi yake jijini Nairobi nchini Kenya Mhe. Michael Baror alipotembelea Taasisi hiyo jana kwaajili ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya Moyo wanazozitoa. Mhe. Naibu Balozi Baror aliahidi nchi yake kuendelea kushirikiana na Taasisi hiyo ili watanzania waendelee kupata huduma bora za matibabu ya Moyo. Mwanzoni mwa mwezi ujao jumla ya watoto tisa wanatarajia kwenda nchini Israel kwaajili ya matibabu ya moyo.
"2017-05-24T00:33:21"
https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2017/02/naibu-balozi-wa-israel-nchini-mhe.html
[ -1 ]
ubushabitsi – Page 6 Home » About ubushabitsi » Page 6 RWF295,000 Frigo nziza igurishwa kuri 295,000RWF Iyi ni frigo nziza, yakoreshwa muri alimentation, iragurishwa kuri 295,000RWF. CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw akameza n’intebe 2 bigurishwa kuri 50,000RWF Furniture ubushabitsi April 7, 2017 akameza ni kamwe n’intebe 2 CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw TOYOTA LANDCRUISER for sale at 4,000,000RWF Price:4,000,000 RWF Make: TOYOTA Transmission:Manuel Doors:3 Year:1995 Insurance: OK Control:ok CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw Frigo nziza igurishwa kuri 100,000RWF Furniture ubushabitsi April 6, 2017 Frigo nziza igurishwa kuri 100,000RWF niba ukyineye CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw Flat screen Samsung for sale at 230,000RWF Furniture ubushabitsi April 5, 2017 Iyi flat screen ni samsang, imaze amezi 3 ikoreshwa, iragurishwa kuri 230,000RWF. 242 total views, 11 today Trucks ubushabitsi March 29, 2017 matela flix ifite size 1.80m iragurishwa 100,000rwf Furniture ubushabitsi March 28, 2017 Iyi matela ni flix from size ni 1.80m iragurishwa iracyari nshyashya yaraguzwe yanga gukwira muri chamber iragurishwa 100k negociable ibitanda 2 bigurishwa, kimwe kuri 160,000RWF naho ikindi kuri 150,000RWF Hari kandi ibibitanda bya libuyu size ni 1.60m na 1.40m biragurishwa 1.60m ni 160k naho 1.40m ni 150k byose ni negociable CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 Scorpio Mahindra Jeep..2011. Ishaka 8,5million. Ifite 7 seater. RAC. Controle na Assurance Trucks ubushabitsi March 24, 2017 Daihatsu igurishwa kuri 9,500,000RWF Daihatsu Long Sache , , Mazout , Manuel , year 1998 , Price : 9.5 millions frws . Van for sale at 19,000,000RWF Price:19,000,000 RWF Make: FORD Transmission:Manuel Plate: RAC—V Doors:4 Year:2012 Insurance: OK Control:ok CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw Houses-Apartment for sale ubushabitsi March 21, 2017 Inzu igurishwa 50,000,000 RWF hafi ya Regina Pacis i Remera Houses-Apartment for sale ubushabitsi March 20, 2017 iyi nzu iherereye Remera Bibare oposite na Regina Pacis churc, iyi nzu yubatse mu matafari ahiye, iyo nzu ifite ibyumba3 (3bedroom),ubwogero 2 (2bathroom) ,icyuma kinini […] RWF9,900,000 TOYOTA HILUX Pick up for sale at 9,900,000RWF Trucks ubushabitsi December 20, 2016 Price:9,500,000 RWF Transmission:Manuel Plate: RAC…L Year:2002 Insurance: OK Control:ok CONTACTS: +250783515900(whatsapp) +250728703370 +250733515900 niemile@kigalilife.co.rw
"2017-08-17T19:25:35"
http://kigalilife.co.rw/author/ubushabitsi/page/6/
[ -1 ]
\ MTAMBUE ALLAH KWA MAJINA YAKE NA SIFA ZAKE \ Kuishi pamoja na Allah na majina yake na sifa zake \ Allah Mwenye kupokea toba. Allah Mwenye kupokea toba Hakika Allah Ni Mwenye kupokea toba. {Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kupokea toba Na Mwenye kurehemu.} (At-tawba: 118) “Mwenye kupokea toba”… Aliye amrisha toba Kwa Waja Wake, kWake Ni neema Na ukarimu Wake, Bali aliWaahidi mengi zaidi ya hayo, Nao Ni kuyafanya mabaya kuWa mema. “Mwenye kupokea toba”… Ambaye aNaWathibitisha Waja Wake katika toba, NakuWasaidia katika maamrisho. “Mwenye kupokea toba”…Ambaye bado aNakubali toba ya wenye kutubia, Na aNasamehe madhambi ya wenye kukosea, kila mwenye kutubia Kwa Allah toba ya kweli Allah aNakubali toba yake, yeye Ni Mwenye kupokea toba Kwa wenye kutubia mWanzo kWa kuWafikia kufanya toba Na kuWakubalia, Naye Ni Mwenye kupokea toba baada ya kutubia kWao kWa kuWasamehe madhambi yao. “Mwenye kupokea toba”… Ambaye aNaWafiki Waja Wake kufanya toba, Na aNaWahimiza katika Hilo, Na aNaWafanya kumpenda Kwa kupitia Hilo. “Mwenye kupokea toba”… Ambayo aNaikubali kutoka Kwa Waja Wake, Na aNaWathibitisha Kwa hayo, Na aNanyanyua daraja Na aNaWafutia madhambi.Allah Aliyetukuka Na utukufu Wake. Hakika Allah Ni “Mwenye kupokea toba”….
"2018-08-21T16:02:34"
http://sw.with-allah.com/Kuishi-pamoja-na-Allah-na-majina-yake-na-sifa-zake/Allah-Mwenye-kupokea-toba-.aspx
[ -1 ]
Mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi Z’bar | Mtanzania Home Biashara na Uchumi Mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi Z’bar Mwinyi aeleza utalii unavyopaisha uchumi Z’bar Mwandishi wetu -Pemba RAIS mstaafu Ali Hassan Mwinyi, amesema kuwa sekta ya utalii ni muhimu kwa uchumi wa Zanzibar, kwani inachangia asilimia 27 ya pato la taifa, hivyo juhudi za makusudi zinahitajika kuhakikisha utalii unakua na kuimarika. Alisema kuwa ni vyema kutumia fursa zilizopo kuutangaza na kuimarisha utalii Zanzibar sambamba na kupewa kipaumbele ili kukuza uchumi wa nchi na kuwanufaisha Wazanzibar wote. Mwinyi alisema hayo mwishoni mwa wiki kisiwani Pemba, alipokuwa akifunga Tamasha la Utalii. Alisema kuwa asilimia 80 ya fedha zinatokana na fedha za kigeni za utalii. “Sehemu 27 ya maisha yetu hapa Zanzibar zinatokana na harakati za kiutalii, hivyo tujue kuwa utalii ni jambo kubwa, ni vyema kujua kuwa kila mmoja unamsaidia kwa nafasi yake,” alisema. Rais mstaafu alisema idadi ya wageni wanaoingia Zanzibar inaongezeka kila mwaka, ingawa kisiwani Pemba idadi bado ni ndogo. Alisema kuwa idadi ya watalii walioingia kisiwani Pemba mwaka 2014 ni 26,465 ambapo mwaka jana waliingia watalii 29,403, hivyo juhudi zinahitajika zaidi kuongeza idadi ya watalii kisiwani humo. “Kumbe kisiwa hiki kina mambo mengi ya kiutalii ambayo hapo awali tulikuwa hatuyajui, tuyatangaze maeneo yetu ya kiutalii ili wageni waingie kwa wingi,” alisema. Aidha, aliwataka vijana kufanya mazoezi ili kuijenga miili yao sambamba na kufaidika na zawadi zinazotolewa wakati zinapotokea shughuli kama hizo. Kwa upande wake, Waziri wa Habari, Utalii na Mambo ya Kale, Mahmoud Thabit Kombo, alieleza kuwa mafanikio yanayopatikana katika sekta ya utalii yanatokana na Serikali kuimarisha vianzio mbalimbali vya utalii. “Sera ya utalii kwa wote imewanufaisha wananchi wote, kwani wanafanya biashara, huuza bidhaa zao kwenye sehemu za kiutalii, wavuvi, wafugaji na wakulima nao hufaidika,” alisema. Mkurugenzi wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Abdalla Mohamed Juma, alisema lengo la kufanyika tamasha hilo ni kuifungua Zanzibar kiutalii, hasa Kisiwa cha Pemba ambacho bado kipo nyuma kiutalii. Kwa upande wao, washiriki wa mbio za nyika waliiomba Kamisheni ya Utalii kuimarisha zaidi maeneo wanayotakiwa kukimbia, ili kuepusha matatizo yanayoweza kuepukika. Previous articleHasunga wataka vijana kugeukia sekta ya kilimo Next articleWakulima wa ndizi waiangukia Wizara ya Kilimo
"2020-05-27T06:15:22"
http://mtanzania.co.tz/mwinyi-aeleza-utalii-unavyopaisha-uchumi-zbar/
[ -1 ]
Amerika yakashifu ukatili waliotendewa wanafunzi Makerere – Taifa Leo Amerika yakashifu ukatili waliotendewa wanafunzi Makerere UBALOZI wa Amerika nchini Uganda umekashifu vikali ukatili waliotendewa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Makerere na maafisa wa polisi wakati wa mgomo Alhamisi iliyopita huku ukiitaka serikali kuingila kati. “Ubalozi wa Amerika nchini Uganda umetatizwa mno na dhuluma katika Chuo Kikuu cha Makerere kuhusiana na maandamano yanayoendelea dhidi ya nyongeza za karo zilizopendekezwa. Video za maafisa wa usalama wakiwashambulia wanafunzi ambao hawakuwa wamejihami katika ukumbi wa mikutano pamoja na mashambulizi dhidi ya wanahabari waliokuwa wakifuatilia maandamano hayo, hasa ni ya kutatiza mno,” ilisema taarifa ya Amerika. Ikaongeza: “Hatua hii kali ya huduma ya ulinzi haifai na ni ukiukaji dhahiri wa haki za kukusanyika, kuzungumza na kujieleza, zinazohakikishwa na katiba ya Uganda. Tunahimiza serikali ya Uganda kuwaruhusu raia wake wote kufurahia haki zao kwa njia ya amani bila hofu.” Msemaji wa polisi Fred Enanga alitetea matumizi ya nguvu ya kikosi hicho cha pamoja cha maafisa wa usalama katika kusaka ukumbi wa mikutano wa wanafunzi. “Pindi kamanda wa polisi anapotoa amri wakati wa ghasia akiamrisha mwache kuzua fujo, mnapaswa kutii,” alisema Bw Enanga, akisema kuwa kinachotendeka baadaye hata kama kinahusu kifo, afisa wa polisi hawezi kulaumiwa.Hata hivyo, Sheria ya Polisi inaruhusu tu matumizi ya nguvu ambayo yanaambatana na pingamizi. Bw Enanga alisema walipokea habari za kijasusi kuhusu kuwepo kwa kikosi cha tatu kilichohusika na ghasia hizo. Alisema idadi kubwa ya wanafunzi walikuwa wametoa hela zilizotumwa na mtu ambaye hakumtaja na kwamba walizichukua kutoka kwa ajenti mmoja wa kituo cha kutuma hela kupitia rununu chuoni humo. Alisema kundi hilo limekuwa likiwachochea wanafunzi kutoka vyuo vikuu vinginevyo kama vile Kyambogo na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Makerere Nakawa kujiunga na maandamano hayo. Chama cha Forum for Democratic Change (FDC) kimelaani kuhusika kwa jeshi katika mgomo wa wanafunzi na kuitaka serikali kuwaondoa wanajeshi mara moja. Ibrahim Ssemujju Nganda, msemaji wa chama hicho jana alieleza vyombo vya habari katika makao makuu ya FDC Najjanankumbi kuwa hatua ya kuvunja vyumba vya wanachuo ilikuwa “ugaidi mbaya zaidi na udhalilishaji ambao kiongozi yeyote anaweza kutendea watu wake.” MKU, Makerere waingia katika ushirikiano kielimu
"2019-11-20T10:06:43"
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=39668
[ -1 ]
Dar es Salaam jiji ghali kuishi - BBC News Swahili Dar es Salaam jiji ghali kuishi https://www.bbc.com/swahili/habari/2015/01/150106_utafiti_numbeo Image caption Wakazi wa Dar es Salaam hutumia gharama kubwa kufanya manunuzi Wakazi wa jiji la Dar es Salaam hutumia gharama kubwa zaidi, kulipia mahitaji yao ya muhimu kuliko wenzao wengine wa Afrika mashariki, jijini Nairobi na Kampala,utafiti uliofanywa na Shirika linalotathimini gharama za maisha,Numbeo umeeleza. Utafiti huu ulifanywa ukihusisha miji mikubwa 22 ukiangalia uwezo wa kununua bidhaa,biashara za migahawani, hali kadhalika utafiti huu ulijikita kwenye gharama za juu na urahisi wa maisha ya mijini Kwa mujibu wa Ripoti ya Numbeo , takwimu za gharama za watumiaji kwa wakazi wa Dar es Salaam kwenye bidhaa na huduma mbalimbali ni asilimia 62.83 ambayo imezidi Kampala na Nairobi zenye asilimia 54.34. Kwa sasa Kenya ni nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa Afrika Mashariki na iko nafasi ya sita barani Afrika, hata hivyo kwa mujibu wa matazamio ya Benki ya Standard Charterd , Tanzania inaelekea kuipiku Kenya na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa ifikapo mwaka 2030 iwapo pato la taifa halitabadilika.
"2018-06-22T00:40:09"
https://www.bbc.com/swahili/habari/2015/01/150106_utafiti_numbeo
[ -1 ]
NEC: matokeo kura za urais kubandikwa vituoni - Mzalendo.net NEC: matokeo kura za urais kubandikwa vituoni By Jackline Masinde na Julius Mathias – Mwananchi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuanzia sasa itaanza kubandika matokeo ya kura za urais kwenye vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kuongeza uwazi na kupunguza malalamiko ya wizi wa kura. Mpango huo umeelezwa na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva alipozungumza na viongozi wa dini mjini Dar es Salaam ambao walimueleza hoja hiyo kuwa moja ya vigezo vitakavyokamilisha mchakato huo kwa amani na utulivu na kuwaridhisha wagombea na wafuasi wa vyama. Alisema licha ya kubandikwa vituoni, utangazaji wa matokeo utafanyika kama kawaida katika kila ngazi, udiwani kwenye kata, ubunge wilayani na urais Tume Makao Makuu. Jaji Lubuva aliwahi kulieleza gazeti hili siku za nyuma kuwa “hakuna haja ya kuwa na shaka wala kuandaa vijana wa kulinda vituo…Hakutakuwa na nafasi hiyo kwa sababu kura zote zitahesabiwa na kubandikwa vituoni.” “Kila mtu atajua diwani gani kapata kura ngapi, na mbunge na hata rais aliyemchagua. Itakuwa tofauti na zamani ambapo zilikuwa zinasafirishwa na kuhesabiwa wilayani ambako watu wengine walidhani yanabadilishwa,” alisema. Kampeni za kashfa Aidha, viongozi wa dini wamewataka wagombea, wafuasi na wanaowanadi kuacha lugha za matusi, vitisho, kejeli na kukashifiana ili kuepuka kuchochea fujo na uvunjifu wa amani badala yake wajikite katika kunadi sera za vyama vyao. Tamko la viongozi hao lililotolewa juzi baada ya mkutano wa viongozi hao uliofanyika Dar es Salaam na kuweka mikakati ya muda mrefu ya amani kwa kuishirikisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Taasisi ya Kudhibiti Kupambana na Rushwa (Takukuru), Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Jeshi la Polisi. “Sisi viongozi wa dini tumejiwekea makubaliano katika kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na hatutatumia nyumba za ibada kuwa sehemu ya majukwaa ya wanasiasa,” ilisomeka sehemu ya tamko hilo lenye kurasa tatu. Katika tamko hilo, viongozi hao wamewataka wagombea kutotumia nyumba za ibada kuonyesha ushabiki kwa chama cha siasa au mgombea yeyote katika kipindi cha uchaguzi mkuu na kuishauri NEC kutopanga upigaji kura siku za ibada. Ushauri huo umetolewa siku mbili baada ya mgombea urais wa TLP, Mackmillan Lyimo kushauri uchaguzi huo ufanyike Jumatatu Oktoba 26 badala ya Oktoba 25 ili kutoa uhuru kwa baadhi ya watu kuabudu. Akizungumzia suala hilo, Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu, Damian Lubuva aliyeshiriki mazungumzo hayo, alisema Tume imeridhia kubadili siku hiyo katika siku za usoni, lakini mwaka huu ilishindikana kutokana na taratibu nyingine kukamilika. “Huko mbele ya safari uchaguzi hautafanyika Ijumaa, Jumamosi wala Jumapili. Tumezungumza na kukubaliana hilo na maaskofu na tutalizingatia.” Aliongeza: “Awamu hii ilishindikana kwa sababu Zanzibar walikuwa wameshatangaza tarehe ya uchaguzi. Maandalizi yalikuwa yamekamilika,” alisema Jaji Lubuva. Viongozi hao wa dini pia waliitaka NEC kuweka utaratibu maalumu wa kuwaruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na watu wote watakaojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi ujao, jambo ambalo tume hiyo ilishasema “kila aliyejiandikisha atapiga kura”. Huu ni mwaka dume! CCM wamedandia sera ya mafuta – M.Seif UAMSHO WAMEBAKI NA MUNGU TU. Kisonge waanza kushosheana vidole
"2019-01-18T18:51:31"
https://www.mzalendo.net/habari/nec-matokeo-kura-za-urais-kubandikwa-vituoni.html
[ -1 ]
Nzega yamchefua Makamba, atoa maagizo makali – Dar24 9 months ago Comments Off on Nzega yamchefua Makamba, atoa maagizo makali Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba amewataka wakazi wa wilaya ya Nzega kuwa wakali kwa rasilimali zao na kuhakikisha mazingira kwa ujumla wake yanatunzwa kwa sheria kali zaidi. Ameyasema hayo mara baada ya kufanya ziara na kupokea taarifa kutoka kwa mkuu wa wilaya hiyo, Godfrey Ngukuwa kuhusu uharibifu wa mazingira. Aidha, Makamba ameagiza kufanyika kwa operesheni kali na kuwachukulia hatua wale wote wanaojihusisha na uharibifu huo. “Ndugu zangu sina budi kuwakumbusha kuwa siku hizi kuna wakimbizi wa Mazingira, watu wanaharibu mazingira katika maeneo yao na kuhamia maeneo mengine, jitihada za maendeleo zote hazitakuwa na maana kama hatutatunza mazingira,” amesema Makamba Hata hivyo, Makamba amewaeleza wakazi wa Vijiji vya Ngukumo na Mwambaha kuwa na uhifadhi wenye tija ni ule ambao wananchi wako tayari kushiriki kwa nguvu zote katika kuunga mkono shughuli za maendeleo. Video: CCM yapasuka, Makada watishia kususia kampeni za Mwita Waitara, Julius Kalanga, Mbowe, Sumaye kutikisa leo Ukonga Habari 10 mins ago Comments Off on Video: Wewe Masele mimi siwezi kukupa VX wala Usalama wa Taifa wa kukulinda- Spika Ndugai
"2019-05-24T05:52:02"
http://dar24.com/nzega-yamchefua-makamba-atoa-maagizo-makali/
[ -1 ]
����������� ���� Yakuza 2 �� ������� (�������� �������) ����������� ���� Yakuza 2 (�������� �������) ������ ���� Yakuza 2 (PC-������ �����) �� ���� �������� ����� ���������� � ��������� ����������� ��� ������ 2! ������: �� ����� �����������, �� ����� ������. ����������� ������. ���� �� ������� ������ �����, ��������� ������������ ������, ������� ������ ��������� � ������� ����� ���������� ������, �� ��� ����������� ��� ���. � ���� �� ������, ����� ��������� ����, �� ������� �� ������� whupped, ��� ����� ��� �����������. ��������� �����������. ���� ������ �� ������, �� ������ �����, ����� �������� � �����, ����� ���� ����������. � ������ �� ������ ���� ��������������� ������. ��� ��� ������ ������ ������� ����� ������� ����! ������ 2 �����������. Jin Kazama � ��� ����������� ���������� ��������� �� ��� ������: ����� ����������� � ������ �����. ����������� �����: ������������ ����� ���� ��������� - ������. ������������� R2 ��� ���������� ������, �������� � R3 ��� L2. ������������� X - ��������, ������� ��� ���-�� ���������, � ����� ���� ������. Battle Mode: ����������� ����������� ��� ������� ����� ��������, ������������� ������� ������ ���� � ����, ������������ ����������� ��� ������ �����. ����������� R1 ��� ������ ������ ������, ����������� ����� ���������� ���� � ����������� ��� �������, ����� ��������� ������ ������ ��� ��� ������� R1. ����������� �����, ����� ��������� � �������. �������� � ���� ������ � �����, �� ������������� ������� ��� ������������. ����������� ����������� ������� ����� ����. ����������� ����� ���������� ���� � X �� ������� ���. ������������� R2, ����� ����������� ��� ����� ������ � � �������� ����� ������� ����� �����. ������� ��� ������ � ����� ���������� ���� ��� �������������� ��� ��� ����. ����� ������: �������� ���������� (����� ��� ����������) 1. ����� ���������� ������������� �������, �� ������ ����� �������� ��� Kazuma. 2. ����� ������ � ������� X ����� � ������� � �����, ����� ������� ���. ��� ����� ����������, ����� "��������� ������� �������� ����" ��� ���. ��� ������������, �� ������� ���, �������� ���� �� ��� �� ������ ������ 1. 3. ����� �� ��� ��� ��������, ���� �������� ����� ������� ��� ���. �������� ����� ������ ���������� �� ������, ����� �������� ������ ���� �����. ����� ������, �� �������� ���������� ��������� ������, ��� �� ������. ����� ����� Dojima 1. ������ ������ � ����� ������� �� ���� ����� � ������� �������� ��� �������. ���������� � ���, ����� ������, ��� ������ ����������� ��� �������� �����. 2. ��������� � ������� ������� ������ �� ������ ������, ����� ����� �����. 3. ������������� ������� �� ������ � ����� �������, ����� ������� �����������. 4. ����� ������, �������, �������� �� ��������� ������ ���, ��� ����� � ��������� ��� ������ � ������. 5. ���������� �� ����� �� ����� � ������� ������ �� ������. � �������� ����� �� ���������� ������� � ������� ������ ��� ��������� ���������. 6. �����, �� �������� ��� ���� ����� ��������. �� ���� ��� �� ������ ����� ����� ������ ��� � Dodge. 7. ����� ��������, ����� ����� ��������� ��� ��-����������. ����������� ����� �����, ���� �� ��������� ���������, � ������� ���������, ����� ��������. 8. ������� ����� ��� ����, ������, ��� ��� �������� �. 9. ����� ��������, ����� ���� ������� �� ���. �������� ��� ����� ��, ��� �� ������� ������. 10. �����: ����� ���� ������������ �����������, �������� ����� � ������ � ������� �����������, ����� ����� ����������. �� Smash ������ �� �����, ��������� ������� ��. 11. ����������: � ����� ������� �� ������ ����� ���������� ����� ����� �� ������� ���� �� ����� �������. ������� ���� � ��������� � ������ "������". �������� ������ �� ������ ��������� � ����������� X, ���� �� �� ��������� ����������� �����. 12. ������ �������� ����� ������. ����� ����� ��� �������� �������� �����. 13. ����� �� ����� ������ ��������. ����������� ���� �������, �������, �������, �������, ����������� Combo ��� ������� ����������� ����� �����������. ���� ��� ������������� �����������, ���������� ��������� ����� ������������ ����������� ��������� �� ���� ��������� ����� �����. ��� ������ �� ���������� ������������ ����� � ���, ���� ����� ��������� ��� � ����� ������ ���������. ������ R2 ������, � ����� ������ �����������, ����� ����� ����������. �� ��������� ����� ������� ��������� ������ �����. 14. ����� ����� ���� ����, ������ �������� ����� ������, � �� �������� ���� ������ ����. 2. ����� ������ ����� ����� � ���������, �� ���� �����, ����� ����������� �������. 3. ���������� ������� � ����� ����� ����������. 4. ����� �������� ������ ���������� ������. 5. �� ������ �������� � ���� ������ Satenbori �����, ������� ��. 7. ������� � ���������� ��������� ������. 8. �� ���������� Usher, ��� ������� ���, ���������� �����������. 9. ����� ������ � ����� �������� � ���������� ������. 10. ���� �� ����������� � ������� ����� Satenbori, ������� ��. 11. �� ������� Kurakawa, ���������� � ���. 12. �������� �������� ��� ���������� �� VIP �� ������. 14. �� ������� � VIP-����. 15. ������� � VIP �� ������ �����, 5-� ������������ ��� �������. 16. ��� ������ ������ ������ ����� ���, ������� ��. 17. �������� VIP. 18. ���������� �� ����� �� ��������� ��������, ��� ����� � ����, ����� ������ ��, "���������". 19. ���������� � ������, ���� � ������ Kumohoro. 20. �� ��������� ����� ���������. 21. ����� ��������, ��������� ���� ����. * �����: ��� �� �������� ���� ���� ���� �� ��������, ����� �����'s, �� ����������� ��� �������� ����������� ��������, �.�. �� ������ ��������� � ��� ��� ��������� ����� � �����. 1. ���� � ����� ������ � �����. 2. �� ������ ���������� ������, ������ ��� ����������� �� �������. 3. ���� �� ���������� ����� ��� � ������ ����� �� �����, �� ������ ���-�� �����. 4. ��������� ��� � �������� ���� �� �������� # 5. 5. ���������� �����, ������� ������� ������, ���� ������. 6. ��������� � ����� ���� �� �������. 7. � ����-�������� ������� ��� ���������� ������ � ������� ���� ���� �� ������� ����. 8. ����������� ��������, ���� �� ���������� ������� �������. 9. � ���� ������� �� ������ ��������� ���� ���� � / ��� ������� ���-�� � ����. 10. ��� ��������� ������ ����� �������� �������. 11. ������� ��� �����. 12. ����� ���� ����� ��������� ����� �������� ���. 13. �� ����� ����� ����� �����. 14. ����� ��������, �������� � ������ ������ �� ������ ������. 15. ������ �� ������ ������, �������� �� ������ �����'s. 16. ��� ������� �� ������ � ���������� ������, ������� �� ������. 17. ��� ������ ��������� ��� ��� ������� ��� �� ������ ����. 18. ������ ���������� ���� �� ��������, ������� ���������� ������� � �����. 19. ���������� �� ����� �� ������ �������� �����. 20. ����� ������ ��� � ���� �����, ���� �� �� ����������, �� ������ ������� �� ���. 21. ������� ��� � ������� � �������� �� ������� ���������. 22. ���������� ��� ������ ��� ������� ��� �����, ������ ��� �� ���� �� ����������. 23. ��� ������ ������ ��������� �������, ����� �������� ��������� ??� ���� �����. 24. ����� ��������, ��������� ���� ����. ����� ���������: ������ ��� Kings 1. ����� �������� � ������ ���� �����. 2. ������ ��������� � Aoi ������� ��������� � ��� �� Night Life ����� �� --- �����. 4. ������ �������, ����� �������� Aoyami. 5. ������� �� � Aoi, ������ ��� ��� ���������� �� ������. 6. ���������, ��� �� ������, ������� �������, ������ ��� ������. 7. ����� �� �������� �� ��������� Aoi, �� ��������� ������ �� �����. 8. ������������ � �������� �� �����. 9. ��� �� ������ �� ��������� ������ �� Tamiyo. 10. �� ������ �������� �������. 11. ������� � ������ �� (Shotenfuko). 12. ���� �� ����������� Bishamon ���� � ��� �������� ���� � Dasher. 13. �� ����� �� �������� ������� ����� �� ����. 14. �������� ��� ������� � ����� ������ Ramen. 15. ������ ��������� �����, �������� �������. 16. ��������� � Aoi. 17. ���� �� ��������� ��� ����� �� �����������, �� ������ ��������� � Kanamatsu. 18. �� ���� ��� ������� ����� �����. 19. ����� �� ������������� � Aoi �� ���������� ������. 20. ������ �� ������ ����� ����������� � ������� ����� "��� �����. 21. ����� �� �������� ����, �� �������������, ���������� ����������, ����� ���������� ������. 22. �� ������ ������ �������� � ������, ����� �������� ��� �����������, �� ��� �� ����� ����� ����������� ����������, ���� �� �� ���������. 23. �� ������ �������� � ������ Shokufucho � �� ����������� � �����. 24. ��� ����� ����������� ���������� �� ������� � �������. 25. ����� �� ������� ����� �� � ��� ��������� � ����, � �� ��������� �� 5, ����������� ������� �����. 26. ���������� � ��������� ������� � ������ �� �����. 27. �� ������� ���, ����� ����� Jongka � ������� SEGA. 28. �����-�� �� ������� ��� � �������� � ���. 29. �� ������ �������� ��� �������� Kitty Kat �� ������ ��� ���������. 30. Win Kitty Kat, �� �������� � ��� �������������� �����. 32. �� ���������� �����������, �. �. whup. 33. ������ ����� � �������� � ����. 34. ���������� � ��������� � ������� �������, � ���. 35. �������� Yakiko. 36. Jongka ���� ��� ������ � ������� �����������. 37. ��������� � Reach �����. 38. ������� � �������� ��������. 39. � ������� � �����, ��� ���� ������� � ������ �����. 40. ���������� � ��� � ��������: ��� ��� ����� � ��������� ������. 41. ������� ��� ������ �� ����������. 42. �� ����������, ��� ��������� ��� ���������� ������� 300,000 ���. 43. �������� ��� ����� � ������� ��� ���� �����. 44. ���������� � ��������. 45. � Stoji � ���������� � �������� � �������. 46. ��������� � Reach ����� � �������� � ����� �����. 47. �� ����������, ��� �������� ���� ���������� ??�� ������. 48. Whup �� ����� � ��� ������������. 49. ��������� � Aoi, ��������� ����. 1. �� ��������� � ���������� ������� � �������� �� ������. 2. �������� � ������� � ������ �� ������ ���� ����-��������. 3. ���������� � �������� ������ � �������� �� ���� ������. 4. �� ������ ������� ����� � ����-��������. 5. �� ��������� ���������� ������, ����� ������� � ����� ������ �� 1 ����. 6. �������� Nakamichi ��, ����� �������� ������. 7. �� ����������� � ���������� �� ����, �� ���������� � ���. 9. ������� ������ ����-�������� � ������ ������. 10. ����� ���������, ����������� � ��� � ���� ����� ������. 11. ��� ���� ��� ������ ����. 12. �������� �� � ��������� ������� ������ �� ������ ����. 13. � ����� �������, ����� ������� �����, �� ������ ������ � �������� ������. 14. ���������, ��� �������, ����������� ���� �����. 15. ���� ����������� � ����, �������� ���. 16. ����� ��� ��������, ���������, BLK �����. 17. ����� ��������� � ���� � �����. 18. ��������� � ��� � ���������� � ��� ��� ���. 19. ����� �� ��������� ����-�������� �� ������������� Hitman. 20. Whup ���, �� ������ ��������� � ������. ����������� �, ����� �� �������� � ������ ����� �����. 21. ����� ��������� ������, ��������� � Kamurocho. 22. �� ��������� ������ �� �����. �� ������ ��������� ������ ����� � ����. 23. ������� � ��� ������ ��� ����� �������. 24. ��������� � ������ (�������). 25. ����� � ���������. 26. ��� ������ �� ��������� ����, ����� ����� �������� ������ ��������. 27. ��� ������ � ������ ��� ��������� �������. 28. ���������� � Majima. 29. ���������� ��� ������� ������, �������. 30. �� ������ ��������� ������������ / unequip ����. 31. ����� ������ ���������� �� �������� ������������ ����������. 32. ������� ��� ��� ������, �� �� ��������� �� ���. 33. ������ �������� ������� �� ������������� ��� �������� �� ����������. 34. ������, ������ ����� � ��������� ����� ������ � �������� ����������� ������ � �� ������ ���� � ��������� ��������� ���. 35. ����� ���� �� �����. 36. ������� ��� ��� ��������� � ������� ��� ��������� ���. ����� ��� ������ ����������� ���� ����������� ��������� � ������� ��� ��������. 37. ��� Majima �����, �� ������ ������� �����. ������� ��� � ����� �� ��� ������������. 38. ������� �� ���� � ������ ������������. ��������� ����, ���� �� �� ���� �������������� R2 ��������. 39. ���������� ����������� ����, ���� �� �� �������. 40. ��������� � ������ (HQ), ��������� ����. 1. ����� ��������, ������� ������� � ��������� �����. 3. �� ������, ��� �� ���������, �� ������ ����� Tamiyo ��� �����. 4. �������� ������� ������ ������, � �� ������� ������� �������. 5. �� ����� � ����� ����� ������� �� ������� �������� ��������, ������������ �����������. 6. ���� �� ��� � ��� �� ������ ������������ ����� � ����. 7. ����� �� �������� �������� �� ������� ������ ����� ���� ������. 8. �������� ������ ��� ����� ������. 9. �� ����������, ��� ������ ��������� ����� ������ �� �������� ����� � �����������. 10. �� ������� ������� 16-������ ����� � �����, whup ���. 11. �� ������� ����� ����, �� ������ ����� ���. 12. �������� ������� ������ ���. 13. �� ����� �� ����� ����������� ����� ��������. 14. �� ������� ���� ������ ����������� ��������. 15. ���������� � ���. 16. �� �������� ��� ������������, whup ���. 17. �������� ���� �� ���� � ������ �����, ����� ����� �������������. 19. ����� �����. 20. ������� � ������ ������, ��������, ������ ������������ �� ���. 21. ������� ������ X ��� ���������� ������ ������� ������� ������� Quicktime. 22. ����� ����������� ������� ��� ������� ��� � �����. 23. ������ ������ ����� � ��������� ����������� ���������, ����� �� ������ �� �����. 24. �� ������ ���� � ��������� ���� ��� � �������� ����� ����� ������������� ������� ������� (���� �� ��������� � ������ � ���������� ���������). 25. � ��������� ������ ������ ���, ��� � ����� ������ ���������. 26. ������������� �������� �������� � ��������� � ����������� ��������� �������. 27. ����� ��������� ������ ������� � ������, ������� ���� ��������. 28. ���� �������� ������. 29. ����������� � ������� �������� �� ��������� �������. 30. ��������������, ������, ������� ��. 31. ����� �������� ��������� � ������� �� ��������� �������. 32. ���� �������, ������� �� ��-������, ����� �� ���� ������. 33. ���������� � ���������� ������, � ����� �� ���� ����������. 34. ���������� �� �����, ����� ��������� �������. 35. �������� ����������, ��������� ����. * �����: ���������, ��� ��� �������������� ��������, ���� � ��� ���� ��������. 1. �� ������ ������� ����. 2. ������� �� ����� ����� Taihei Bl. 3. ������� ������� Doc �����. 4. �������� ������� ����� � �������� ����������� ���� ��� ��������. 5. ������� ������� � ������ ������. 6. ����� �������� ������, ������ ����� �� Bantam. 7. �� ��������� � Bantam, �������. 9. ����� �������� �� ������ �� ����� �� �����. 10. �� ��������� ���������� ������ �� �����. 11. �� ������ ������� ��, ��������� ������� ������ ������� � �������. 12. ������� �������, ���������� �����. 13. ����� �������� �� ������ ���� ��������. 14. ������������� ���������, ����� �� ������, �� ������ �� ������� ������� ��� ��������. 15. ������������� ���������� � ����� ������� �����, ����� �������� ��������� � �������. 16. ������ ������ � Quicktime �������, ����� �� ������ ������ ������ ������� ��� ����������� ������. ���� �� �� ���������� ������, �� ������ �������� ����. 17. ����� ��������� ������� ������ �������� ����������. 18. ����� �������� �� ������ ���������� � Bantam. 19. �� ���������� ������ �������, �������� � ���. 20. ������� Bantam � ������ ��������� �����. 21. �����������, ��� ���� ������� ���. 22. ����� ��� �������� �� ��������. 23. ����� whup ���, ��������� � ������. 24. ���� �������, ��������, ������, ��� ������������ � �������� ����. 25. � ����� � ������ �� ���������� ������� �����, ���������� � ���. 26. ����� �� ����� ����������� ����� � ������� �� ������� � ����� � ������ ������. 27. ���������� �� ������. 1. ������ ������, �� ������� ����. 2. �� ��������� ������ �� �������. 3. ������ � ��������� �����. 4. �������� ������� ������ ������-������� �� Taihei ���. 5. �� ������� ����������� ����� ������� ��������. 6. ����� �������� ��� ������, �������� ������. 7. ����� ��������, ������� � �������������� �������. 8. �������� ������� ������, ����� � ����. 9. ������������� ��������� � ������������� �����. 10. �� ������ �������� � ������ �����. 11. �� ������ �� ���������� ������. 12. �������� �� ����, � �� ���� ��������� ����� �����. 13. ������� �������� �����. 14. ������ �� ������ �������� ������. 15. ����� ������ ������. 16. ������, ���� � �������, ������ �������� ������ ����������� � ���� ������ �����. 17. �� �� ����� ����������� ����, �� �� ������� �������������� �����. 18. �� � ������ ������������� HP �� ������ ���� ��� � ��� � ����. 19. ��� ������� �������������� HP ���������� ���� ��� � ������ �����. 20. �� ����� ����������� ��������� ������� ���� �� ��������� ������������� HP. 21. ����������, ����� ������ � ������ �����, ���� �� ������ ���� ����. 22. � ������� ��������� ������������� HP ������� ������ �����. 23. ����� � ��� � ���� � ������� ����� ����������, ����� ������. 24. ��� �������������� ������������� HP � ��� ����, ����� ������������� ��� ����� � ���������� ��� ������. 25. ��� ����� ������ ����������, �� ������ ������� ��� ��� ��, ��� �� ������� ����. 26. ����� ��������� ������ �������� ����������. 27. �� ������������ � ������-��. 28. �������� ������� ������ �������. 29. ��������� � ������ ��� ��������� ���������������, ��� �� ������ ���� ��������� ����� ���. 30. �� ��������� � ������-��, �������. 31. ���������� ����, �������, ������������� � ����� �����. 33. �������� 2F ���� ����������. 34. ���������� � 3F. 35. ���� ��� ������ ����������� ����. 36. ����� � �������� �� ��������� ������� �������. 37. ������� ����� ����� ����������� ������. 38. ������ �������� �����. 39. ����������� �� ���� ������� �� ��������� ��������. 40. �������� ���� ������ �� 3F. 41. ������� �� ��������� ��������. 42. �������� ���� ������ �� 4F, ������� ����� � ���������� �������. 43. ����� Go-��. 44. �������� ����� ������ ��� ��������. 45. �������� ������ ��������. 46. ������ �������� ���������� ������ � ������� �����. 47. ����������� �������� ��� �����, ��� �� ������, ������� ��������� ����������. 48. ����������� �� �������, �� ������� � �������. 49. ����� �� ������� ��������. 50. ��������� ��������� Knifer, ������� ���. 51. ��������� ������� ����� � �������. 52. ����� �� ��������-������, �������� ����, �������� ������. 53. ��������� ����. 1. ���������� � Kashigawa, ���� �������� ������. 2. Kashigawa ������� � �� ����������� � ��������� ����. 3. �������� ����� � ����-�������� ������. 4. ������� �� ������, ������� ���������. 5. ���������� ������ � ������� ���. 6. ����������� ���� ������ � ������ ������. 7. �������� ������� ������ ��� � ���� ��� �����������. 8. ����� Go-��, ������� �� ���������. 9. ����� �� ������������� ��������, ������ �� �������� � ��� ������. 10. ����� ��������� Go-��, ����� ��������� � �������� ������. 11. ����� �������� �� ��������� ���������� ������. 12. ����� ����������� � ����. 13. �� ������ ����� ���� Sengokou. 14. �������� �� ������, � �� ����������� � ������ ������ �����. 15. ���������� ������� ����� � ������� ����� �������. 16. �� ����������, ��� Majime ����� �� ���� ���� ���. 17. ����� ���� ����� 16 ������, ���, ��������, ����� ����� 1 ���� (������� �������) �� ������� Majime ����� ��� ������ ���������. 18. ���� �� �� ����������, �� ������ ������ ���������� ������ �� ����� ������ � ������������� �������� ������. 19. ������ � ����-�������� ����� ������. 20. ���������� � ����� � �����. 21. ���������� � ������. 22. ���������� � ���������-���. 23. ����� Nishiki ������. 24. ����� ��� �� ������ �����. �������� ���������� ������. 25. ���������� ����� �� ��������. 26. ����������� �� �������� � �����. 27. ����� ����� �� ��������. 28. ������� � ����� ������. 29. ������ ������. 30. ����� �����. 31. ����� � ������, ���� �� ��� ����������� HP �����. 32. ����� ������� �� �������, ���������. 33. ����� ����� � ������� ����� ��������. 34. ����� ���, ���� ��� HP ������������� ��������. 35. ����� ������ �� ������ �������, ���������. 36. ���� �������� ������� (���� ��� � ��� ����). 37. ������� �� �����, ����� ���� ���. 38. ���� ��������� ��������� �� ������ ������ Swing. 39. ����������� ������ � ������� �����, ����� �������� �����. 40. ����� ��� HP ������������� ����������� �������, ��� ������� ��� ������. 41. Quick Time ������� ��������. ������� �� ������ � ����� �� ������. 42. ����� �������� ������� �������, �� ������ ���� � �����. 43. ������������� ����� ����������� � ���������� �������� �����. 44. ������������� ����� ����������� ���� �� �� �������. 45. ��������� � ������� ���. 46. ����� ������ � ������. 47. ���������� �� ��������. 48. ������� ����� �����. 49. �� ������� �����. 50. �������� ������ � ������ ��� ���� ��������. 51. ������ ������. 52. ��������� ����. * ����� �������� ������ �� ������, ����� �������� ������� ��� ������� �������� �����. 1. ����� ���������� � ��������. 2. ���� �� �������� ���� ���� � ���� ��� �����, �� ������ ����� ������� ��� ������ ������� �����. 3. ������� ����������� ������� ����� �� ������� �������� ������ �����. 4. �������� �� ������� � ����� � ��������� ������. 6. ����� �������� � ���������-�������� ������������ �������������� �� ������� ������, ������� ��� �������. 7. ����� ��� ������ ��� ���� aftewards. 8. �� � �������� ����� �� Shellac ����� ������ �����. 9. �������� ���� ������� ��� ���, � �� ������������� 1500 XP. 10. ����� ������ �� ������� �������� �� ������ �������. 11. ������ �������� ��� ���������� ��������� ������������. 12. ����������� ������ ������� ������ ���� �� ������� �� ����� Shikifuku. 13. �� ������ ���� � ��� �� �����. 14. ���-�� ���������� � ���, ������ ������. 15. �� ���������� �� Shellac. 16. �������� ������� ������ ��� ����������� �����. 17. ������� ������ � ������� � ����. 18. ��������� � Shellac �������� ������. 20. ����� �������� �� ��������� ������ �� �����. 21. � ������. 22. ������� � ������ ������. 23. � Stoji. 24. ���������� � ������� ����� � ������ ���. 25. �������� Stoji � ������ Kitigawa, �� ������ �� ������. 26. � ������� �� �������� ������� ����. 27. ����������� ����� � ������ ������. 28. ��������� ����������� ����� ������ �����������. 30. �� � �������� ����� � ������� Kazahori's. 32. ������� � �����-Shofukochu � ������ ������. 33. �������� ������� �����. 34. ������� ������ � ������ ������. 35. ����� Satoshi, �������� ���. 36. Kazahori ��������, �������� ������. 37. ��������� ����. 1. ����������� ����� �� ���� �����. 2. �������� ������� ������, �������� ������. 3. �������� ����� � ������ Shinseicho ��� ��� ������� �� ����. 6. ���������� � ������, ������� ����� ���� ����� �� ������� �����. 7. ���������� � ��������� � ������� ������. 8. �������, ��� �� ������� �� ������ �����. 9. �������� ���������� �����������. 10. �������� ����� �����, ������� �� �������� ����� �����. 11. ��������� ��� �� ����������. 12. �� ����������, ��� ����� ��������� �� �������� ����, ����� � ������ Tsutenkatu. 13. �������� ������� �����. 14. �� ��������� � ������, �������� ����������� � �������� �������. 15. �������� ������ �� ������ ��������, 1000 ��� ����� ����������. 16. Arigato �������� ������, ������������ ���. 18. �������� ��� ����������� � ����� ������ ��� ������. 19. ������� ��������� Arigato � ����� ���������. 20. � ����� Tsutenkatu. 21. ������� � ����� ������� � ������ ���������. 22. ������� 100 ��� � ����������. 23. �� ������� ����� Laguna. 24. �������� ������ �������. 25. ������� � ���� �����, ��������, �������� ������� Laguna. 26. ����������� ������� �������� �� ������. 27. �� ����������, ������� ����� � �����, ����� 503. 28. � Yotteya � ������� Bear Goruman ��� ����. 29. ����� �� ����� � ���� �����, �� ������� ����� Ryumi �����. 30. ��������� � ����� Tsutenkatu. 31. �������� ������� ����� �����. 32. ������� � ������ ������. 33. ����� Jingweon �����. 34. ������ knifers, ���� ������� � �������� ������. 35. ������������� ��������� � ����� �����������, ����� �������� ��. 36. ����� ��������� �����, �������� ������. ����� �����������: ����� � ����� 2. �� ��� �������. 3. ������������� � Aoi ����� �������. 4. �� ������ �� ����� Aoi. �������� ��. 6. ����� Sengoku. 7. ����� �������� �� ���� �����. 8. ���������� � ��� � ������� ��. 9. �� ��������� ���������� ������ ����� ��������� �����. 10. ���������� ������� ����������� � ������ ����� Yokobori. 11. ���������� � �����-����� Yokobori. 12. ������� �����-�����. 13. ����� ��������� �����. 14. ������������ � ����. 15. ��������� ����������, ������ ���. 16. ����� �����-�����, � �� �������� ���������� ������ �� ��������. 17. ����������� � ��� � ��������� Sotenburi. 18. �������� ��� ������ ���. 19. ����� ��� ����������� �������� � �������� ��. 20. ����������� ���� �������� ��� ����� ������. 21. Sengokou ��������� � ������� �������������� � Shinseicho. 22. ������ ��� �� ������ �������� ����, �� ������� ���������� �������. 23. �� ������� ��, ����� �� ��������. 24. �� ��������� 30000 ��� � 500 �����. 25. �������� ����� �� Shinseicho. 26. ����� � ������� ��������������. 27. �������, ������ ����� ����� � �������������� �������. 28. ����� ����� ��� ��������. 29. ����� �������, ����� ������������ ���. 30. �� ����� �� ����� � ������� ����� Tsutenkatu. 31. ���� ��� ����. 32. �������� ����� �� ����� � �����. 34. ������ ����� ������ � ����������� �����. 35. ��������� ��������, ��������� �� ���� ��������. 36. ������� ��������� �������. 37. ���� ����-�������, ������������ ������� ������� �������, ����� ��������. 38. Ninjas �����, ����� �� � ������ �������. 39. ���� ����� �������� �� ������ � ������� � ��������. 40. �� ��������� ������, ������ ��������� �������� �. 41. ���������� ������, ���� �� ������� ��� ��������. 42. ����������� �� �������� �� ��������� �������. 43. ������� ������������� �������� � ������� ��� �������. 44. ����� ������ ������, ����� � ������� �����. 45. ������� ���� � ������� ������ ���������. 46. ����������� �� �������� � ������� ��������� ����. 47. Ninjas �����, ������ ����. 48. ��������� �������� ������, �� ��������������� ����� ������, ��� �� ����� ������� ����� ������. 49. ���������� ������� ���������, ���������� � ��������. 51. �� ������������� Sengokou. 52. �� sicks ������ �� ���. 53. �� ��������� ��������� ����� ����� ����. 54. �������� ������ � ������ ������ Swing. 55. ����������� �������� �� ������ ������������. ���� � ��� ��� ������, ������ � ���������. 56. ����� ������, ������� R2 ��� �������� ������ ����� � ��������� ����� � ���������. 57. ���� �������� ������. 58. ����� ����� ���������, �������� ������. 59. ��������� ����. ����� �����������: ���������� Up 3. �������� Aoi. 4. ���������� �� ����� �� ����� � �������� ����������. 5. ���� �� ������� �� Sega ����� �� ��������� Kanamatsu. 6. ������� ��� � ����� Y76, ���� ������. 7. �������� � ������ Sega � ����� ���� �����. 8. �� ����������� � Kanamatsu �����. 9. ������ ������ ��� ������, ������� ��� ���� ��� ��� ���� ����. 10. �� �������� 1500 ����� � ����������� ��������. 11. � Aoi � �����. 12. �� ��������� ������ �� �������������. 13. �������� ������� ������ ���. 14. ������� Talent Agency, ���� ��������� � �������� ����� ������ Mercedes Benz. 15. ������������� ����� ������. 16. �����������, ��� ��� � �� ��������� (���� ��, ��������, �� ��������). 17. �� �����, ����� �������� ������ � ������� �������� ��������� ��. 19. �������� ������� ������ ������ �� Stoji. 20. ������� � ������ �������, �������� ��������� ��������. 21. ������ �����, ����� Aoi. 22. ���� � �������� � ������. 23. ������� ��, ��� �� "��� ������". 24. �� ��������� ������ � ���������� �����. 25. �� ������� �� �������� ��� �������� �������� �����. 26. ��������� ������ ����� � ������� � ���������� ��������, ������� ����� �����. 27. ��������� ������ ����� � ������� � ���������� ��������, ������� ����� �����. 28. ��������� ������� ����� � ���� ������ ������� ������� �� ��������. 29. ��������� ��������� ����� � ������� � ������ ������ ��. 30. ������������� ������������� ������� � ������� �� ��� ��� ����. 32. �������� ������� ������ ��� ��������� �����. 33. �� ������ ���� ���������� Jingweon, ������� �� ���������. 34. ���������� � ����� � ������ ������. 35. Jingweon �������� ������� ���. 36. ���� substituion ������ �� ������ ������. 37. ���� ������ ������ � �����. 38. Kurahashi �������� � ��������. 39. ������� ��� ��� �������� � ������ ��� �������� �� �����. 40. ����������� ����������� ��������� �����, ���� �� ��� ��������. ����� �������������: Go-�� ����� 3. ���������� �����, � ������ �� ����� �� �� Shikifuko �� ������ ����� ������� ��� ������ ������� �����. 4. ���������� ������� �����, � �� ������ ����������� � Kanamatsu, �� ������ ������. 5. ��� ��� ������ � �������� �����. 7. ���������� � ������, ��� ����� �� �������. �� �������� ��� � ����. 8. ������� � ����, �� ������ ����������� � �������� ����� �� ����. 9. ���� �� �������� ������� ����� �� �������� � ������� ��������, ����� ������. 10. �� ������ ������ ������������ ���������� Bukuto ������� ����� 80 ������. 11. ���� �������� ������, � ��� �� ������ ��������� � ����. 12. ���� � ��� ��� ��������� ������������� Bukuto ������� ������, ��� � ���. 13. ����� ��� �������� ������ �� �������� 2000 ����� � ���� �� ��������. 14. �� ����� �������� Lotus ����� �����������. 15. ���������� � ���� � ����� ����� ����� ��������� �� �����. 16. ���������� � ���, ��������� ��� 50000 ��� ������. 17. ����� ����� ��������. 18. ���������� � �������. 19. ��������� ����� Prankster ����� �����. 20. ����� ���������� � ���� �� ���. 21. ����� 1989 (��� ������� ���������� �����). 22. �������� 1000 ����� � ������ ������. 23. ��������� �������� ������� � �������� ������, ���� �� ���, ����������. 24. ����� �� ��������, �� ������ ��������� ������ ������� ��� ������ ����� ������� �� �� Shichifuku. ������� ��, ��� ���� ����� ������� ������. 25. ������� ���� � ���������� � ������. 26. ��������� � ������. 27. �������� ������� ������, ���������, ��� � ��� ���� ������ � �������� ���������. 28. �������� ������ � �� ��������� ������ �� ����. 29. �������� ������� ������ ��� ����� �������. 30. ������� ������� � ������ ������. 31. ����� �����, �������� �� ����������� ����. 32. ������ � ������ ����-��������. 33. �������� ������� ������ �� ���������� �����. 34. ��� ������ � ����-�������� ������� �� ���������� � ���������� ������. 36. ����� � ���������. 37. ������� ���������. 38. ���������� � ��������� �������. 39. ����� ������, �������� ������. 40. ����� ������� � �������� ������ �� ����. 41. ��������� � ����-�������� ������. 42. ����� ��������� ����������� � �� ��������� ������ �� �����. 43. ����� �� ��������� ������ �� ��, Go-�� ���� �����. 44. ����� ��������� � �� ����������� � ������. 45. ��������� ������� ������ � ??Bantam. 46. �� ���� �� ������ ��������� Go-��, ������� �� ���������. 47. ������� Bantam � ������ Go-��, ������� �� ���������. 48. ����� � ������ � ������� ����� � �� ������ ��������� Go-�� �� ����. 49. ��� ������ � �������, ����� Go-��. 50. �������� � ������� � ������ �� Stardust. 51. �������� ���������� �����, ����� �� �������. 52. ����� �������� ����� �� Go-�� �������������� ������� �����, � ���, ��� �� ������ ����� ������� ��. 53. ��� ������ �� �������� �� �������� ����������. 54. ����� ��������, ��������� ���� ����. ����� �����������: ����� � Bondage 4. �������� ������ �� ����� ������. 5. ���� �� ������������� ���� ��� �������� �� ����� �����. 6. ��� ������ ��� ���������, ������� ���. 7. ��������� ������� ���������� ���, ��� ���������. 8. �����: "��� ������� �������" 9. �����: "��������, ��� �������������" 10. �����: "�� ������ ���� ���������, ��� � �������" 11. �����: "����� ����, ��� �� ��� ����� ��� ���" 12. �����: "���, ��������, ���� �������� ��" 14. �� ��������� 3000 ����� �� ������. 15. �� ��������� ������ �� ����. 16. ������ � ������, �� �� ������ ����� ���������� ������ � ������ �������. 17. �������� ������ �� ����� � ���������� � ������. 18. �� ������ �������� ������� ��������� 30000 ���. 19. �����: "��� �" 20. �����: "���, ����� �������" 21. ������, "� ������������ ������" 22. �����: "�� ��� �������, ������" 23. ����������: "���������� �����" 24. �����: "������ ��� ��������" 25. �����: "� ���� ������������ � ���" 26. �����: "��� �������" 27. �����: "��� ��� ������� ����������� ���������� ������" 28. �����: "���������� ���� ����������" 29. �� ����� ��������� 41000 ���. 30. ���������� � ������. 31. ������ �����, ����� ������. 32. ������� ������, �������� ������. 33. ������ � ����� �������, ����� ������� 13. 34. ��������� ������� ������ ������ �� �����. 36. ��������� ����. * �����: ��������� � ���� Sotenburi � ����� �������� �����, ������� ����� �������� �����. �� ������ �������� ����� 5 ������ (������ ������� � ������). ��� ������, �� ����� ��� �������, ����� ������� �����. * �����: ��������� � ���� � ����� Sotenburi Tatsui (�������� �������). 2. �� ������� ���, ����� ���������� � ���, ����� �� ������ ����� � ��������� ���. 3. ������� � ������� � ���� ��� � ����� ������ ��������������, �� ����������� ������. 4. �������� ������ � ������� � ��� ������. 5. ������ ��� ��� ������ �� ������� ������� ��������, ��� �� ����� �����������. 6. ����� �� ������ ������, ���������� � ��� �����, ����� ������ �������� ������������������. 7. ������ � Kamurocho �����. 8. ����� ������ � ���� Jingweon �����. 9. ����������� ������� � ������, ����� ��������� 1-� �����. 10. ������ ����� ��������, ��������� �� �� �������, �� ������� �� knifer. 11. ������ ����� ��������, ������������ ������ �� ������ �������� � ������, ���� ��� ������ ���������. 12. ������� �������� ����������. 13. �� � �������� ����� �� Kamurocho �����. 14. Jingweon ����� ����� �������� �� ������. 15. ����������� ������, ���� ������� �������, ������� � �������. 16. �������� ���� ������ � ������� ��. 17. ������ ����� ��������, ������������ �������, ������ � ����� ����. 18. �������� ���� ������ ��� ������������� ������ ���. 19. ����� �� ����� ������� � ������ �� �����. �������� � �������, ���� �� ����� ��������. 20. ����� ���� � ����������� ������� ��� ���������. 21. �� ������� ����������� ������ � Tauriner + +. 22. ���������� ������, ���������� �����. 24. ������� ���, �� ������ ������������ ������ � ����� ��������, ������ �����, ��� �������� ��� ������������ ������� � ������. 25. �������� � ��������� ������. 26. ����� ������� ���. 27. ������� ��� ������� ���, ��� ������������ �� ��� ������. 28. ����������� ������ ������������, ���� ������� �������. ������ ���������� �������� � ������� � ����� �����. 29. �������� ��� ����� � R2, �����������, ������� � ������������ �����������. 30. ������� ����� �������� � ���� �������� �������� �����. 31. ��������� � Quick Time Event, �� ������ ������ �� ������ �����, ����� ��� �������� �� �������. 32. ��������� �������� ��� ����� ������, ���������� �� ������� ���� ��� ������� ������� �������� ��� ��������� �����. 33. ����� ��������� �������, ���������� �����. * �����: ���� �� ������ ����� ����� �� �������������� ���������� ������ ������, �� ��������� ������� � ��������� ����� � ��� �� �������. ����� ����� � ���� ��������� �� �������������� ������. ���� ���, �� ���� ����� ������ ���, ����� �������� ��� (����� �� ����� ��������� �� ���, ����� �� ��������, ������, ������� �� �� ������� ������� � ������ �����). 2. Combo � ���������� ���� ����� ������, ������ ��� �� ����� �������� ���. 3. �������� ������ ����� � ����� � ����� � ������ ������������. 4. ����������� ������� � ������, �� �� ������ ��������, ��������� ������ ���, ����� �� �������. 5. ����� ���������� Quick Time Event, ��������� �� � ������� ������ ������. 6. ������� �� �������� ���, ���� � ����. 7. ���� �� ������, ����������� ���� ������ ���� ��� ���� ������������. 8. ����� ����� ������������ ��� ���� Quick Time �����������, �� ������� �� ������ ���� �� �����. 9. ��� ��������� X ����� ������ ����� ��������� ������ � ������������������, ����� ������� ���������� �����. 10. ��� ������ ��� ���������� � ������, ����� �������� �����������, ���������� ���������� ����, ������� �� �� �����. 11. ������� �� ������� ��� � ���������, ���� ��� ������������� ����� ���������. 12. ����� ���������� Quick Time �������, ��� �� ��� �������� ���� �� �����. 13. ��� ������������ �� ����� ���. 14. ������ �������������� ������. 15. Roll ��������. 16. ��������� ����. ������ ���� Yakuza 2 (PC-������ �����) �� ���� ��������
"2016-10-23T20:19:44"
http://www.visionary.ru/page_106.html
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: DC ASIA ABDALAH AANZA KAZI KILOLO KWA KUPIMA UKIMWI DC ASIA ABDALAH AANZA KAZI KILOLO KWA KUPIMA UKIMWI Mganga wa kituo cha afya Kilolo Ephlon Msuva akimpima HIV mkuu wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Bi Asia Abdalaha ambaye alitembelea kituo hicho kuhamasisha zoezi la upimaji VVU na kuona huduma zinazotolewa kituoni hapo Mkuu wa wilaya ya Kilolo Bi Asia Abdalah katikati akiwa na watendaji wa kituo cha afya Kilolo kushoto ni mganga mkuu wa kituo hicho Dr Seleman Hassan na kulia ni Ephlon Msuva Na MatukiodaimaBlog MKUU mpya wa wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Bi Asia Abdalah ameanza kazi ya kumwakilisha Rais Dr John Magufuli kwa kupima Virusi vya UKIMWI kama njia ya kuhamasisha wananchi wa wilaya ya Kilolo kupima afya zao. Akizungumza baada ya kupima na kutembelea kukagua huduma zinazotolewa kituo cha afya cha Kilolo leo asubuhi ,mkuu huyo wa wilaya alisema kuwa ni siku yake ya pili ya kuanza kazi ndani ya wilaya hiyo ya Kilolo ila mbali ya siku ya kwanza kufuatilia utekelezaji wa agizo la Rais Dr Magufuli la madawati siku yake ya pili ameamua kutembelea kituo cha afya kuona huduma zinazotolewa pia kupima HIV kama njia ya kuhamasisha jamii. Mkuu huyo alisema kuwa mkoa wa Iringa kwa takwimu zilizopo unaonyesha kuwa ni miongoni mwa mikoa ambayo ipo juu katika maambukizi ya virusi vya UKIMWI na wilaya yake ya Kilolo ni miongoni mwa wilaya zenye maambukizi ya VVU hivyo pamoja na kutembelea na kupata maelezo ya mikakati ya wilaya katika kupambana na maambukizi mapya ya VVU amelazimika kupima VVU kama sehemu ya kuhamasisha jamii ya Kilolo na pia kuonyesha mfano kwa jamii. “Nawaomba wananchi wa Kilolo kujenga utamaduni wa kujua afya zao kwa kupima VVU pamoja na magonjwa mengine ambukizi ili kuwa na wananchi wenye afya bora “ Alisema kuwa serikali imeweka utaratibu mzuri wa kuwapatia dawa wale wote watakaobainika kuwa na maambukizi ya VVU na kuwa lengo ni kuona hakuna mtanzania ambaye anapoteza maisha kwa kukosa dawa hizo za kupunguza makali ya virusi vya UKIMWI . Aidha aliwataka wauguzi na madaktari katika wilaya hiyo kuendelea kufanya uhamasishaji na elimu kwa jamii ili wazidi kujitokeza kuchunguza afya zao . Pia alisema amefurahishwa na mkakati wa wilaya ya Kilolo wa kujenga Hospitali yake ya wilaya katika makao makuu ya wilaya hiyo na kuwa tayari wilaya imetenga ardhi kwa ajili ya ujenzi huo . Alisema suala la kusogeza huduma za afya karibu na wananchi ni moja kati ya sera chama cha mapinduzi (CCM) na kwa upande wake atahakikisha ujenzi huo unakamilika. Kwa upande wake Mganga wa kituo hicho cha afya Kilolo Dr Seleman Hassan alisema wilaya hiyo imekuwa na mikakati mbali mbali ya kupambana na maambukizi ya VVU na kuwa wakati wa mbio za mwenge wilayani hapo jumla ya watu 200 walijitokeza kupima VVU na kati yao watu 19 waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU na tayari wameingizwa katika huduma ya kupewa dawa za ARVS Posted by
"2017-01-19T04:30:00"
http://www.kajunason.com/2016/07/dc-asia-abdalah-aanza-kazi-kilolo-kwa.html
[ -1 ]
MPENZI WAKO ANAKUOMBA SANA FEDHA ? - Global Publishers MPENZI WAKO ANAKUOMBA SANA FEDHA ? HII INAKUHUSU Ipo dhana iliyojengeka kwenye vichwa vya watu wengi, wanaume kwa wanawake kwamba unapokuwa na mpenzi ambaye mara kwa mara anakuomba fedha, tambua kwamba hana mapenzi na wewe ila yupo kimaslahi zaidi.Utawasikia wanaume wakielezana kwamba siku hizi unaweza kuanzisha uhusiano na mwanamke unayempenda lakini baada ya muda mfupi sana, ataanza kukuomba fedha, ataibuka na matatizo chungu nzima ambayo yote yanahitaji fedha kwa lengo la ‘kukupiga mizinga’. Wanachokiamini wengi ni kwamba mwanamke wa aina hii hafai kabisa na unatakiwa kumuepuka mapema. Kwa wanawake ambao nao kidogo wanajiweza kiuchumi, nao wamekuwa wakiamini kwamba mwanaume anayependa kukuombaomba fedha, hana mapenzi ya dhati na wewe na kinachomfanya awe karibu na wewe, si mapenzi bali ni kwa sababu anaangalia maslahi yake. Siku chache zilizopita, nilipokea ujumbe kutoka kwa moja kati ya wasomaji wangu wa siku nyingi. Huyu dada aliniambia yeye anaishughulisha na biashara lakini tatizo kubwa ambalo amekuwa akikumbana nalo, kila anapoanzisha uhusiano, wanaume anaokuwa nao wanakuwa wanamuomba sana fedha mpaka inafika mahali anaamua kuachana nao. Wiki chache zilizopita pia nilipigiwa simu na msomaji mwingine ambaye aliniambia kwamba kuna mwanamke anampenda sana lakini tatizo lake, anamuomba sana fedha, yaani haziwezi kupita siku mbili tatu bila kuja na shida ambayo inahitaji fedha. Jambo ambalo unatakiwa kulielewa, ni kwamba mapenzi ni kusaidiana. Unapompenda mtu fulani, bila kujali kama wewe ni mwanaume au mwanamke, ule moyo wa upendo unakufanya utamani kumuona akiwa na furaha. Wakati mwingine hata kama hujaombwa, ukimuona mtu unayempenda anahitaji kitu fulani, ule upendo utakusukuma kumtimizia kwa moyo mweupe kabisa! Ndiyo, kwa sababu unataka afurahi. Kwa mwanaume, unapokuwa kwenye uhusiano na mwanamke, tayari linakuwa ni jukumu lako kumtimizia mahitaji yake mbalimbali. Ni makosa kwa mwanaume kulalamika kwamba eti mpenzi wake anakuomba sana fedha, kwa hiyo ulitaka akiwa na shida aende ‘kudanga’ mitaani au akamuombe nani kama siyo wewe? Kama unao uwezo wa kumsaidia, msaidie tena bila kuhesabu wala kunung’unika. Lakini pia kama wewe mwanamke ndiye mwenye uwezo kuliko mwenzako, bado hakuna tatizo lolote kwa wewe kumsaidia kwa sababu leo wewe unaweza kuwa nazo lakini hujui miezi michache baadaye hali yako itakuwaje. Yawezekana yuleyule uliyekuwa unamuona kama ni mzigo kwako, ndiyo akaja kukusaidia. Penzi la kweli halina masharti, wala halihesabu gharama, ukiamua kumpenda kwa dhati, muoneshe kwa hali na mali kwamba unampenda, isiwe ‘I love you’ zinaishia mdomoni tu lakini unapotakiwa kumgharamia unaanza kukunja sura, mapenzi hayapo hivyo. Lakini pia, kwa wewe unayependwa, isiwe kwa sababu unajua kwamba mtu fulani anakupenda basi ndiyo iwe sababu ya kuwa kila dakika unampiga ‘mizinga’ tu, mfanye ajisikie amani kukusaidia kwa kadiri ya uwezo wake lakini isiwe kama unamlipisha kwa sababu anakupenda. Kwa leo ni hayo tu, tukutane tena wiki ijayo.
"2019-08-25T20:02:36"
https://globalpublishers.co.tz/mpenzi-wako-anakuomba-sana-fedha/
[ -1 ]
Katika Maadhimisho ya Mwaka wa Watawa, Rehema kamili kutolewa kwa waamini! 2014-12-02 07:45:43 Katika maadhimisho ya Mwaka wa Watawa Duniani, unaowachangamotisha watawa wa Mashirika ya Kitawa na Kazi za Kitume kuyapyaisha tena maisha na utume wao ndani ya Kanisa, kwa kuendelea kuwa waaminifu kwa karama za waanzilishi wa Mashirika yao pamoja na kutoa fursa kwa Familia yote ya Mungu kuweza kufurahia maadhimisho haya katika imani, matumaini na mapendo huku wakiungana na Kanisa zima, Baba Mtakatifu Francisko ametoa zawadi ya rehema kamili kwa waamini wote watakaotimiza masharti yaliyowekwa. Ili kupata rehema kamili, mwamini atapaswa kupokea Sakramenti ya Upatanisho, Ekaristi Takatifu na kusali kwa ajili ya nia za Baba Mtakatifu. Zawadi hii inatolewa kwa waamini wote watakaotekeleza masharti haya tangu Jumapili ya kwanza ya Kipindi cha Majilio, hadi tarehe 2 Februari 2016, Kanisa litakapokuwa linafunga rasmi Mwaka wa Watawa Duniani. Rehema kamili itatolewa pia kwa waamini watakaosali kwa ajili ya kuombea roho za waamini marehemu, kila wakati watakapokuwa wanashiriki katika matukio mbali mbali ya kimataifa yatakayofanyika mjini Roma kama sehemu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Watawa Duniani; kwa kusali sala ya Baba Yetu, Kukiri Kanuni ya Imani pamoja na kusali Sala zilizokubaliwa na Kanisa kwa Bikira Maria. Rehema kamili pia itatolewa kwa wale wote watakaotembelea kwenye Makanisa mahalia, nyumba za kitawa au madhabahu maalum yaliyotengwa wakati wa Maadhimisho ya Mwaka wa Watawa Duniani na kusali Sala ya Kanisa hadharani au ibada nyingine na kuhitimisha kwa kusali Sala ya Baba Yetu, Kukiri Kanuni ya Imani na kumwomba Bikira Maria. Rehema kamili itatolewa pia kwa watawa ambao kutokana na ugonjwa au sababu mbali mbali watashindwa kuhudhuria katika maeneo yaliyotengwa, kwa kujitenga na dhambi na kunuia kutekeleza mapema iwezekanvyo masharti yaliyotajwa, kwa kufanya hija ya kiroho huku wakitolea mateso na mahangaiko yao kwa Mwenyezi Mungu, mwingi wa huruma na mapendo kwa njia ya Bikira Maria na kusali kama inavyotakiwa. Huu ni mwaliko kwa Mapadre kuhakikisha kwamba, wanatoa nafasi kwa waamini wanaokimbilia huruma ya Mungu kwa njia ya Sakramenti ya Upatanisho; Maadhimisho ya Fumbo la Ekaristi Takatifu pamoja na Mpako Mtakatifu kwa ajili ya wagonjwa. Waamini wataweza kupata rehema kamili wakati wote wa Maadhimisho ya Mwaka wa Watawa Duniani.
"2019-08-22T08:53:14"
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/02/katika_maadhimisho_ya_mwaka_wa_watawa,_rehema_kamili_kutolewa_kwa/kws-838950
[ -1 ]
HANDENI KWETU: Picha mbalimbali za sherehe za wasanii wakimuaga Rais Kikwete Picha mbalimbali za sherehe za wasanii wakimuaga Rais Kikwete JK akipongezwa na Mwana FA kwa hotuba tamu JK akijumuika na wasanii kucheza muziki Mwandishi Kambi Mbwana SAA 6:42 PM
"2017-08-19T01:39:42"
http://handenikwetu.blogspot.com/2015/08/picha-mbalimbali-za-sherehe-za-wasanii_48.html
[ -1 ]
Somewhere Blog: MSANII HEMED 'PHD' SULEIMAN AMFUNGUKIA MARTIN KADINDA KUHSU MAISHA YAKE YA MAPENZI NA UTUMIAJI CONDOM...!!! MSANII HEMED 'PHD' SULEIMAN AMFUNGUKIA MARTIN KADINDA KUHSU MAISHA YAKE YA MAPENZI NA UTUMIAJI CONDOM...!!! Hemed ndani ya Single Button by Martin Kadinda Fashion designer & blogger Martin Kadinda alitaka kujua ni vijana wangapi watuamiji wazuri wa condoms hasa kwa vijana maarufu. Mtu wake wa kwanza aliyekutana nae na kumuuliza juu ya suala hilo alikuwa msanii Hemed Suleiman almaarufu kama 'PHD' na alipomuuliza swali hilo akamjibu: "We jamaa maswali gani hayo bana? mimi kondomu za nini? muda wote mimi nakwenda dry... anakaongezea kuwa alikuwa katika mahusiano na msichana mmoja ambaye hajataka kumtaja na anasema kwa sasa wameachana imepita miezi 3... anasema aliwa kupima nae virusi vya ukimwi na walipojikuta wako safi wakaamua kujilipua kavu kavu.... Martin: Umewahi kuwa katika mahusiano na wasichana wakitanzania maarufu? Hemed: Marti Martin...... unauliza kengele kanisani??? unadhani kwanini naitwa Hemed PHD? nina taaluma ya kucheza na mioyo ya mabinti hawa wakibongo.... ila tatizo hawanivutii huwa napita tu kwakuwa nina hamu na wakati huo au ninakuwa sipo katika mahusiano na mtu yoyote.... Martin: Duuh kwa hiyo ushampitia nani hii..........?? na nanihiiii........??
"2018-02-21T15:19:27"
http://allswaggazz.blogspot.com/2012/07/msanii-hemed-phd-suleiman-amfungukia_31.html
[ -1 ]
Concerts – DizzimOnline DizzimOnline News Concerts Idris Sultan aitamani nafasi ya maisha ya Jela ya Papii Kocha Muigizaji, mchekeshaji na Mtangazaji wa redio na Tv kutoka Tanzania, Idris Sultan amerusha karata yake ya Bahati ili apewa nafasi ya kucheza nafasi ya maisha ya jela ya Mwimbaji wa muziki wa dansi, Johnson Nguza 'Papii Kocha'. Kupitia ukurasa wake wa ... Read More » Willy Paul atoa sababu za kumtumia Lynn wa Kwetu kwenye video yake mpya Staa wa muziki kutoka nchini Kenya, Wilson Abubakar Radido ‘Willy Paul’ ameachia kazi yake mpya chini ya lebo yake ya ‘Saldido Records’, iliyotayarishwa na Prodyuza Teddy B na ametoa sababu za kwanini amemtumia Mrembo na Video Vixen ‘Lynn’ kutoka ... Read More » Davido aendeleza kasi yake Mtandaoni kwa kazi yake mpya Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido' ameanza vyema ukurasa wa kuachia ngoma kwa kasi ya utazamwaji wa video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la 'Flora My Flawa' iliyoongozwa na Director 'CLARENCE PETERS'. Hatua hii ... Read More » Bahati aisikia Sauti na Mtoto wake wa kwanza kwa Mara ya Kwanza Msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya, Kevin Kioko ‘Bahati’ leo amempokea na kumkaribisha mtoto wake wa kwanza wa kike kutoka kwa mpenzi wake Diana Murua aliyejifungua asubuhi ya leo katika Hospitali ya Karen iliyoko jijini Nairobi nchini ... Read More » Saida Karoli na Hanson Baliruno waachia kolabo zao kwa kupokezana Mkongwe wa muziki wa asili na tamaduni ya kabila la Magharibi mwa Tanzania, Saida Karoli ameachia wimbo mpya akiwa ameshirikiana na Mwimbaji wa kiume wa nyimbo za aina yake anayefanya vizuri kutoka nchini Uganda ‘Hanson Baliruno’ na ipo nyingine ... Read More » Jokate Mwegelo aonesha shahuku ya kuingia kwenye mapenzi Muigizaji, mwimbaji, mtangazaji na mjasiriamali kutoka Tanzania, Jokate Mwegelo ameonesha shahuku yake ya kuyaishi maisha ya ndoa katika ishara ya moja vitu anavyo vitamani kutimiza kwa mwaka wa huu wa 2018. Kwa maneno yenye utayari wa kuishi katika maisha ya ... Read More » AliKiba afungua mwaka na Cinderella baada ya kusindikizwa na Ommy Dimpoz Staa AliKiba nchini Rwanda katika tamasha la East Africa Party la tarehe 1 mwezi Januari mwaka huu lililofanyika viwanja vya Amahoro vilivyoko mjini Kigali aliuchagua wimbo wa Cinderella uliobeba jina la Album yake ya mwaka 2007 kusafisha jukwaa katika kuufungua mwanzo ... Read More » Jason Derulo athibitisha kolabo ya Rayvanny kwenye Remix ya ‘Tip Toe’ ft. French Montana STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Raymond Shaban Mwakyusa 'Rayvanny' ameyajwa rasmi kuwa katika kolabo ya ngoma Staa kutoka Marekani Jason Derulo baada picha iliowakilisha uwepo wa waili hao kikazi studio. Kupitia uwanja wa maoni kwenye post ya Instagram ya Rayvanny ... Read More » Wiziri ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amemkingia kifua msanii wa sanaa ya maigizo kutoka Tanzania Amir Athuman a.k.a King Majuto/Mzee Majuto dhidi ya kampuni inayomzungusha juu malipo yake ka kazi za sanaa zenye thamani ya milioni ... Read More » ‘Full Dozi Concert’ kuwasha moto viwanja vya Dar Live ‘Septemba 9’ Katika kuhakikisha wapenda Burudani ya muziki wanapata burudani ya wasanii wanaowapenda kupitia muziki wao tarehe 9 ya mwezi Sepetemba jiji zima litahamia viwanja vya Dar Live Mbagala kushuhudia tamasha la Full Dozi Concert. Tamasha hilo lililopewa nguvu ya kutosha na ... Read More » Humble yamvimbisha Kendrick Lamar usiku wa ‘MTV VIDEO MUSIC AWARDS’ 2017 Rapa na Staa wa ngoma ya Humble ‘Kendrick Lamar’ amejitanua kifua mara sita kwenye usiku wa tuzo za 'MTV VIDEO MUSIC AWARDS' 2017 kwa kuibuka na tuzo sita kupitia video ya wimbo wake wa HUMBLE, ngoma inayopatikana kwenye album ... Read More » Joh Makini aeleza kwanini ni muhimu msanii kubadilika katika nyimbo Joh Makini amesema ili msanii aweze kudumu, ni muhimu awe na uwezo wa kubadilika katika kila nyimbo Rapper mpole kutoka Arusha, amesema hicho ndicho amekuwa akijitahidi kufanya siku zote. "Mimi naamini msanii anaweza kubadilika vyovyote vile anavyotaka yeye ilimradi tu ... Read More »
"2018-08-16T16:13:11"
http://dizzimonline.com/category/concerts/
[ -1 ]
Semalt: 6 Mbinu za SEO za Mitaa Kwa Biashara Ndogo Ni kwa mmiliki wa biashara ndogo kuruhusu Google kujua mahali ambapo biashara inakaa, na inatoa nini. Inafanana na kusaidia kampuni kuonekana kwenye kurasa za utafutaji za kurasa, na kuongeza kuonekana kwa watazamaji husika katika eneo hilo. Inajulikana kama optimization ya SEO ya ndani, na inaweza kuwa mada kabisa ya kuchanganyikiwa hasa na kuanzishwa kwa algorithm ya Pigeon na Google. Inafanya urahisi kuelewa mambo ya cheo ambayo itasaidia huduma za ndani za SEO . Ivan Konovalov, mtaalam kutoka Semalt , anafafanua kile ambacho kinapaswa kuhusisha katika malengo yao ya SEO. 1. Unda Kurasa za Maeneo Ya Mitaa Inahakikisha kwamba mmiliki ana ukurasa wa biashara wa ndani kwa injini tatu za juu za utafutaji. Kwa jumla, kuna orodha tatu na dashibodi kwa jumla ya kusimamia. Wote anahitaji kufanya ni kujaza habari zote kuhusu biashara, na hiyo itakuwa yote kwa akaunti. 2. Kuboresha na Kuweka Ukurasa sahihi Ufafanuzi ni pamoja na kupakia picha za ubora, kutaja saa za kazi, na orodha ya huduma zote zilizopo. Kundi, kwa upande mwingine, ni kusaidia injini za utafutaji kuelewa kile biashara inafanya. Wanapaswa kutoa makundi 2-5 ili kukupa uwezo wa kuweka biashara yako kwa yeyote kati yao. Mitambo ya utafutaji haifai kuonyeshea biashara bila categorization au categorize vibaya.. 3. Ufafanuzi wa Biashara Bora Daima kuhakikisha kuwa maelezo ya kampuni ya NAP (Jina, Anwani, Simu) ni thabiti katika orodha zote kwenye injini za utafutaji. Kuna nafasi kubwa ya kwamba biashara tayari imeorodheshwa mahali fulani na mtu mwingine. Yote anahitaji kufanya ni kudai orodha hiyo ili kuepuka migogoro. Kudai citation inahitaji mmiliki kufanya utafiti fulani kama kuna biashara nyingine na jina sawa na eneo. Endelea kuthibitisha umiliki kwa njia yoyote iwezekanavyo. Tumia rasilimali kama vile Yext au Localize, au Google MapMaker ili kuharakisha mchakato. 4. Mapitio ya mtandaoni Google pia inaonekana kwenye mapitio ya mtandaoni kwa cheo cha tovuti. Hata hivyo, ni wateja tu wanaopata kuangalia tovuti kwenye ukurasa wa matokeo ya utafutaji ambao hufanya ukaguzi. Ukaguzi huamua ikiwa wageni wanataka kubonyeza kiungo au la. Mtu anaweza kuongeza kifungo cha "mapitio ya post" kwenye tovuti ili iwe rahisi kwa wageni, kuwasababisha kuondoka mapitio baada ya kununua. 5. Picha za Ubora Watu wanapotafuta kitu chochote, wanapenda kuona picha zake. Mitaa ya Google+ inaruhusu mtumiaji kupakia hadi picha kumi. Kuwa na picha nyingi zilizopakiwa kwenye akaunti ni ufunguo wa kuvutia wateja wengi. Hakikisha kuchukua picha halisi ya jengo, ndani na nje. Ili kuongeza picha, tembelea orodha ya ndani iliyoundwa, na upate kiungo kinachosema "kuongeza picha". 6. Kuongeza Website Sehemu ya utafutaji wa ndani ni tovuti na nini watu wanasema kuhusu hilo. Tovuti hiyo inapaswa kuwa na maelezo ya mawasiliano, ikiwezekana nambari ya simu. Faida iliyoongeza ni kuingiza maneno ya ndani popote iwezekanavyo na kisha kujenga juu yao kwa kuunda maudhui husika kwa watazamaji wa lengo. Uhusiano unaofanywa na watazamaji wa ndani huamua kama watafanya ziara za kurudi.
"2018-02-22T21:00:19"
http://learninnkeeping.com/semalt-6-mbinu-za-seo-za-mitaa-kwa-biashara-ndogo
[ -1 ]
BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF - HABARI ZA JAMII Home / Unlabelled / BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF Dotto Mwaibale 9:35 PM Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akipokea zawadi kutoka kwa mtumishi wa LAPF Simboninsia Ndosi alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, kulia anayeshuhudia tukio hilo ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akisalimiana na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, kulia ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko huo wakati alipotembelea banda la mfuko wa Pensheni wa LAPF katika viwanja vya Sabasaba. Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akikikaribishwa na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe wakati alipotembelea banda la mfuko wa Pensheni wa LAPF katika viwanja vya Sabasaba kushoto ni Rehema Mkamba Afisa Mwandamizi wa Mawasiliano LAPF. Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akizungumza na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe wakati alipotembelea bandahilo. Mtumishi wa LAPF Philbert Francis akimkabidhi zawadi mmoja wa wanachama wa LAPF alietembelea banda hilo.
"2018-01-21T06:17:32"
http://www.habarizajamii.com/2017/07/balozi-dk-pindi-chana-na-mwenyekiti-wa.html
[ -1 ]
Taifa Stars waliwatoroka polisi Abidjan kimya kimya | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Taifa Stars waliwatoroka polisi Abidjan kimya kimya Discussion in 'Sports' started by BAK, Feb 27, 2009. Date::2/26/2009 Taifa Stars waliwatoroka polisi Abidjan kimya kimya Na Saleh Ally, Abidjan Mwananchi​ UAMUZI wa kikosi cha Taifa Stars kuamua kutokula chakula kwenye hoteli ya Golf ya mjini hapa ili kukwepa hujuma, kulizua tafrani kubwa baada ya askari Polisi aliyepewa dhamana ya kuwalinda kutaka kuwalazimisha kupanda kwenye basi kwa nguvu. Stars juzi iliibuka na ushindi wake wa kwanza wa mashindano ya CHAN kwa kuwachapa wenyeji Ivory Coast kwa bao 1-0 lililofungwa na Mrisho Ngassa kwa kichwa cha kuchupa. Kamati maalum iliyo jijini hapa ilichukua uamuzi wa kuhakikisha Stars hawali chakula cha hotelini hapo na maandalizi yakafanyika kwenda kula mafichoni ili kuepuka hujuma hasa suala la kuwekewa 'vitu' mbalimbali kwenye chakula. Lakini ilibidi ifanyike kazi ya ziada kuwatoroka walinzi ambao wamekuwa wakitembea na timu hiyo tangu imewasili jijini hapa, wakiwamo askari Polisi wawili wa usalama barabarani wenye mbwembwe za kila namna. Wachezaji Stars walitoroka kimya kimya kutoka hoteli ya Golf ndani ya Taxi sita kwenda kula huko walikopangiwa, baada ya hapo walinzi hao walianza kuwasaka kila kona ya jiji na mwisho walifanikiwa kuwapata pale walipokuwa kitu ambacho kilimshangaza kila mmoja. 'Kila mtu alishangaa jamaa wamepajua vipi, tulibaki tumepigwa na butwaa na mara moja wakaanza kutulazimisha kupanda kwenye gari, lile basi tunalotumia lakini viongozi pamoja na (Crescentius ) Magori na Teddy Mapunda wakazuia. Hatukupanda. 'Walitaka kuanza kutumia nguvu na sisi tukagoma, ikawa mshike mshike, lakini mwisho jamaa wakakubali kufuatana na sisi. Tukaingia kwenye zile taxi na kuanza kurudi hotelini huku wakitusindikiza kwa ving'ora na basi likiwa tupu,' anaeleza mmoja wa wachezaji wa Stars. Lakini hali ya kuwalazimisha wachezaji kupanda kwenye basi hilo tayari ilionyesha kulikuwa na walakini na askari mmoja aliiambia Mwananchi kwamba ule ni utaratibu ingawa mmoja alikiri kwamba ilikuwa ni amri kutoka ngazi za juu zinazoshughulikia masuala ya usalama katika michuano ya CHAN ambao walitaka kuona lazima wachezaji wa Stars wapande basi hilo. Kumekuwa na hujuma katika mechi nyingi hasa katika nchi za Afrika kitu ambacho kimeifanya Stars kuongeza umakini hasa inapokua mbali na nyumbani. Hali hiyo pia ilijitokeza wakati wa mechi yake ya mwisho kufuzu katika michuano ya CHAN dhidi ya Sudan mjini Kharthoum ambako wenyeji walilala kwa mabao 2-1. Imeelezwa kumekua na tabia ya kupulizia dawa kwenye vyumba au kwenye chakula na wachezaji baada ya muda mfupi wanachoka hivyo kuwafanya washindwe kucheza kwenye viwango vyao. Ingawa Caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa mara. Imeelezwa kumekua na tabia ya kupulizia dawa kwenye vyumba au kwenye chakula na wachezaji baada ya muda mfupi wanachoka hivyo kuwafanya washindwe kucheza kwenye viwango vyao. Ingawa Caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa mara.Click to expand... "Ingawa Caf imeshindwa kuthibitisha hilo hadharani lakini imekua hali inayojitokeza mara kwa mara..." sasa mbona ulitaka uthibitisho wa CAF kama unajua hilo tatizo lipo mara kwa mara? "Hali hiyo pia ilijitokeza.. dhidi ya Sudan mjini Kharthoum..." Nini kilitokea Kharthoum, hebu taja kimoja! "Kamati maalum iliyo jijini hapa ilichukua uamuzi wa kuhakikisha Stars hawali..." kamati maalum ya nani, CAF, UMISHUMTA au kamati maalum ya bunge la Jamhuri? "Kumekuwa na hujuma katika mechi nyingi..nchi za Afrika..." Taja timu moja iliyojumiwa, ilihujumiwa vipi! "...ilibidi ifanyike kazi ya ziada kuwatoroka walinzi..." Ungewauliza CAF halafu ukaripoti ni utaratibu gani huo unaosema wageni hawatakiwi kukanyaga nje ya hoteli kwenda wanapotaka kula mpaka watoroke. Eti mwandishi anaenda kuuliza wahusika kama tatizo lipo, hapati uthibitisho, anaamua kutangaza tatizo lipo! Hizi ndio mbinu za Medani, nawatakia kila la heri katika kutupatia ushindi. Sijui mechi ijayo wale jamaa wa Senegal wanaoonesha TVyao online watatufanyia tena kama siku ya TZ na Ivory Coast, manake walionesha tu kpindi cha kwanza. King Zenji Udaku!Click to expand... ,,,,Mzee inaonesha umekua mkali sana kwa huyu REPORTER,lakini kama wewe ni mpenzi wa soka la KIAFRIKA,mbona hizi ni habari za kweli tu ingawa FACTS zake ni vigumu sana kuzianika. SkillsForever Ndio twajua wanawewkewa dawa wanachoka haraka sana...na kuishiwa nguvu kabisa.maji na chakula ndio vibaya zaidi ya vyumba kubadilishia nguo mimi hapa ndio huwa nawakubali watu kama akina Mhe. Magori huwezi kupelekwa pelekwa tu na wenyeji wakati huo huo unatakiwa kucheza nao game jioni. Nimekipenda kitendo hiki 100% BIG UP TO BRAZA MAGORI NA JOPO LAKE... Fitna ya mpira ipo sana Afrika na hasa Afrika magharibi. Hongereni sana kwa kuwa makini na fitna hizo. Nakutakieni kila la kheri na mafanikio. Tujitahidi Kombe lije Tz. Nahene Hongera kwa meza ya ufundi kung'amua mbinu hizo mapema, Enzi za mwalimu wangeliondoka na Mwanamalundi/shekhe Yahaya. Endeleeni kususia misosi yao ili mrudi na ushindi kwani watu wa magharibi ni hatari sana kwa mazingaobwe. Timu za kiafrika visingizio viiingi Amwanga Mechi ya kesho ni saa ngapi wadau? Mkuu Amwamba, ratiba ni hiyo chini utaona na muda, nikiipaste haikai vizuri, lakini utaipata hapa Fixtures: CHAN 22/02-08/03/09 - African Nations Championship 2009 - CAF No Match Gp Date time Venue: 16H00 1. Cote D’Ivoire V Zambia A 22.02.09 Abidjan 19H00 2. Senegal V Tanzania A 22.02.09 Abidjan 15H00 3. Ghana V Zimbabwe B 23.02.09 Bouake 18H00 4. RD Congo V Libya B 23.02.09 Bouake 16H00 5. Zambia V Senegal A 25.02.09 Abidjan 19H00 6. Tanzania V Cote D’Ivoire A 25.02.09 Abidjan 15H00 7. Zimbabwe V RD Congo B 26.02.09 Bouake 18H00 8. Libya V Ghana B 26.02.09 Bouake 16H00 9. Cote D’Ivoire V Senegal A 28.02.09 Abidjan 16H00 10. Zambia V Tanzania A 28.02.09 Bouake 16H00 11. Ghana V RD Congo B 01.03.09 Bouake 16H00 12. Zimbabwe V Libya B 01.03.09 Abidjan Semi-Finals/½ Finale 13. 1st B V 2nd A 04.03.09 15H00 Bouake 14. 1st A V 2nd B 04.03.09 19H00 Abidjan 3rd Place match/Match de classement 15. Loser-Perdant: 13 V Loser-Perdant: 14 07.03.09 16H00 Abidjan Final match/Match final 16. Win./Vainq.:13 V Win./Vainq.: 14 08.03.09 16H00 Abidjan Ahsante kwa ratiba VIJANA TUPENI RAHA WATANZANIA, waTanzania sote tuko nyuma yenu. Mungu Ibariki Taifa Stars, Mungu Ibariki Tanzania. Kweli nakumbuka tulienda kule shinyanga kwenye mashindano ya shule za Sekondari basi unajua mchana watu wakishakula wanalala basi walitumwagia upupu si kawaida ndani ya vyumba ,ilibidi tushindwe maana ni kujikuna tu hakuna kutliza mpira. 20,554,762
"2017-04-23T17:49:12"
https://www.jamiiforums.com/threads/taifa-stars-waliwatoroka-polisi-abidjan-kimya-kimya.24950/
[ -1 ]
Rc Hapi apiga marufuku vifungashio vya mifuko ya Plastiki visivyo na TBS - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Rc Hapi apiga marufuku vifungashio vya mifuko ya Plastiki visivyo na TBS Mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamahuri Wiliam ( kulia) akimkabidhi jana mkuu wa mkoa wa Iringa Alli Hapi mifuko kilo 344 ya Plastiki ambayo imesalimishwa na wafanyabiashara wa Mufindi kwa ajili ya kuteketezwa ,mwenye sare za kijani ni mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mufindi Daud Yassin (picha na Francis Godwin) Mkuu wa mkoa wa Iringa Alli Hapi akiwahutubia wananchi wa wilaya ya Mufindi katika viwanja vya mashujaa jana wakati wa kilele cha siku ya mazingira duniani ,maadhimisho yaliyofanyika kimkoa katika mji wa Mafinga wilaya ya Mufindi Mkuu wa mkoa wa Iringa Alli Hapi akionyesha jana wakati wa maadhimisho ya siku ya mazingira duniani mjini Mafinga aina nyingine ya mifuko ya plastiki ambayo inatumiwa na wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Iringa kuwa vifungashio badala ya rambo ,mifuko ambayo pia ameipiga marufuku kuendelea kutumika (picha na Francis Godwin) Wafanyabiashara mbali mbali wilayani Mufindi mkoani Iringa wamesalimisha jumla ya kilo 344 za mifuko ya... Continue reading ->
"2019-07-22T06:22:01"
http://presstz.net/rc-hapi-apiga-marufuku-vifungashio-vya-mifuko-ya-plastiki-visivyo-na-tbs-51131969
[ -1 ]
(I) Maneno Juu ya Kumwamini Mungu | Kanisa la Mwenyezi Mungu 10. Kwa ufupi, kuishika njia ya Petro katika imani ya mtu kunamaanisha kuitembea njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kupata kujijua na kubadilisha tabia yako kwa kweli. Ni kwa kuitembea tu njia ya Petro ndio mtu atakuwa kwenye njia ya kukamilishwa na Mungu. Mtu lazima aelewe hasa, jinsi ya kuitembea njia ya Petro, na vilevile jinsi ya kuiweka katika vitendo. Kwanza, mtu lazima aweke kando madhumuni yake mwenyewe, shughuli zisizofaa, na hata familia na vitu vyote vya mwili wake. Lazima ajitolee kwa moyo wote; yaani, mtu ajitolee kabisa kwa neno la Mungu, azingatie kula na kunywa maneno ya Mungu, amakinikie kutafuta ukweli na utafutaji wa nia za Mungu katika maneno Yake, na ajaribu kufahamu mapenzi ya Mungu katika kila kitu. Hii ndiyo mbinu ya msingi na muhimu zaidi ya utendaji. Hili ndilo alilofanya Petro baada ya kumwona Bwana Yesu, na ni kwa kutenda kwa njia hii tu ndio mtu anaweza kupata matokeo bora zaidi. Kujitolea kwa moyo wote kwa maneno ya Mungu hasa kunahusisha kutafuta ukweli, kutafuta nia za Mungu ndani ya maneno Yake, kuzingatia kuyaelewa mapenzi ya Mungu, na kuelewa na kupata ukweli zaidi kutoka kwa maneno ya Mungu. Wakati wa kusoma maneno Yake, Petro hakuwa anazingatia kuelewa mafundisho ya dini, sembuse kulenga kupata maarifa ya teolojia; badala yake, alimakinikia kuelewa ukweli na kufahamu mapenzi ya Mungu, na vilevile kutimiza ufahamu wa tabia yake na uzuri wake. Petro pia alijaribu kuelewa hali potovu mbalimbali za mwanadamu kutoka kwa maneno ya Mungu, asili potovu ya mwanadamu na dosari za kweli za mwanadamu, hivyo kufikia hali zote za matakwa ya Mungu kwa mwanadamu ili kumridhisha Yeye. Petro alikuwa na utendaji mwingi sahihi ambao ulifuata maneno ya Mungu; hili linalingana zaidi na mapenzi ya Mungu, na ilikuwa njia bora ambayo mtu angeshirikiana anapopitia kazi ya Mungu. Wakati ambapo alipitia mamia ya majaribio kutoka kwa Mungu, Petro alijichunguza kabisa dhidi ya kila neno la hukumu ya Mungu kwa mwanadamu, kila neno la ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu, na kila neno la madai Yake kwa mwanadamu, na akajitahidi kuelewa maana ya maneno hayo. Alijaribu kwa bidii kutafakari na kukariri kila neno ambalo Bwana Yesu alimwambia, na alitimiza matokeo mazuri sana. Kupitia namna hii ya utendaji, aliweza kutimiza kujifahamu kutoka kwa maneno ya Mungu, na hakuja tu kuelewa hali potovu mbalimbali za mwanadamu, lakini pia alikuja kuelewa kiini, asili, na dosari mbalimbali za mwanadamu. Hii ndiyo maana ya kujifahamu kwa kweli. Kutoka kwa maneno ya Mungu, Petro hakutimiza tu kujifahamu kwa kweli, lakini kutokana na mambo yaliyoonyeshwa katika maneno ya Mungu—tabia ya Mungu yenye haki, kile Anacho na alicho, mapenzi ya Mungu kwa kazi Yake, mahitaji Yake kwa wanadamu—kutoka kwa maneno haya alikuja kumjua Mungu kabisa. Alikuja kujua tabia ya Mungu, na asili yake; alikuja kujua na kuelewa kile Mungu anacho na Alicho, na vilevile uzuri wa Mungu na mahitaji ya Mungu kwa mwanadamu. Hata ingawa Mungu hakuzungumza sana wakati huo kama Anavyofanya leo, matokeo katika hali hizi yalitimizwa ndani ya Petro. Hili lilikuwa jambo adimu na la thamani. Petro alipitia mamia ya majaribio, lakini hakuteseka bure. Hakuja kujielewa tu kutokana na maneno na kazi ya Mungu, lakini pia alikuja kumjua Mungu. Aidha, katika matamshi ya Mungu, alizingatia hasa matakwa ya Mungu kwa wanadamu ndani ya maneno Yake. Bila kujali ni katika hali gani mwanadamu anapaswa kumridhisha Mungu ili kukubaliana na mapenzi ya Mungu, Petro aliweza kufanya juhudi kubwa katika vipengele hivi na kupata uwazi kamili; hili lilikuwa la manufaa kubwa sana kwa kuingia kwake mwenyewe. Haijalishi kile ambacho Mungu alizungumzia, maadamu maneno hayo yangeweza kuwa maisha yake, Petro aliweza kuyaweka ndani ya moyo wake kuyatafakari na kuyathamini mara kwa mara. Baada ya kuyasikia maneno ya Bwana Yesu, aliweza kuathiriwa nayo, ambalo linaonyesha kuwa alikuwa akizingatia hasa maneno ya Mungu, na alitimiza matokeo mwishowe kwa kweli. Yaani, aliweza kuyatia maneno ya Mungu katika vitendo kwa uhuru, kutenda kwa usahihi ukweli na kukubaliana na mapenzi ya Mungu, kutenda kikamilifu kwa mujibu wa nia ya Mungu, na kuacha maoni na mawazo yake mwenyewe. Kwa njia hii, Petro aliingia katika ukweli wa maneno ya Mungu.
"2019-11-20T05:01:30"
https://sw.godfootsteps.org/belief-in-God.html
[ -1 ]
Mfululizo wa miripuko ya mabomu waitikisa Nigeria | Matukio ya Kisiasa | DW | 25.12.2011 Mfululizo wa miripuko ya mabomu waitikisa Nigeria Miripuko ya mabomu imeendelea mfululizo katika maeneo kadhaa nchini Nigeria wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Krismasi, ambapo hadi sasa yameshasababisha vifo vya watu 28 na wengine kadhaa kuachwa majeruhi. Mripuko katka mji wa Kaduna Mripuko wa kwanza ulitokea asubuhi ya leo katika Kanisa la Mtakatifu Theresa kwenye mtaa wa Madalla, mjini Abuja, wakati waumini wakishiriki sala ya Krismasi. Miripuko mingine imetokea mchana katika miji Jos, Damaturu na Gadaka. Msemaji wa kundi lenye msimamo mkali wa kidini, Boko Haram, ameliambia Shirika la Habari la AFP kwa njia ya simu kwamba kundi lake linahusika na mashambulizi hayo. "Tunachukuwa dhamana ya kuhusika na mashambulizi yote katika siku za hivi karibuni, ikiwemo miripuko ya leo ya mabomu katika kanisa mjini Madalla. Tutaendelea na mashambulizi kama hayo upande wa kaskazini katika siku chache zijazo." Amesema msemaji huyo, Abul Qaqa. Makao Makuu ya Kanisa Katoliki, Vatican, yamelaani mshambulizi hayo katika Sikukuu ya Krismasi, ambapo Baba Mtakatifu wa 16, ameyaelezea kama matunda ya "ukatili na chuki zisizo na maana". Mashambulizi katika mji wa Maiduguri Msemaji wa Baba Mtakatifu, Federico Lombardi, amesema kwamba mauaji hayo yaliyofanyika kwenye nchi ya Afrika Magharibi ni ishara za ukatili na chuki ambazo haziheshimu maisha ya binaadamu. "Tupo pamoja na mateso yanayolipata Kanisa Katoliki la Nigeria, na watu wote wa taifa hilo, ambalo linapitia kipindi kichungu cha vurugu za kigaidi katika siku hii ambayo ilitakiwa iwe ya furaha na amani. Tunatarajia kuwa mashambulizi haya hayatodhoofisha nia ya kuishi pamoja na majadiliano." Amesema Lombardi. Vikosi vya usalama vinaripotiwa kuyafunga maeneo yalikotokea mashambulizi, huku wafanyakazi wa uokozi wakifanya jitihada ya kuondoa maiti na kuwaokoa majeruhi. Katika mripuko wa kwanza kwenye kanisa la Mtakatifu Theresa, kwenye kitongoji cha Madalla, miili kadhaa ilitolewa kwenye kifusi ikiwa imekatikakatika vibaya, jambo lililofanya kazi ya kuzitambua maiti kuwa ngumu. Shahidi mmoja, Ndubuisi Chukuemeka, ameliambia shirika la habari la Ujerumani (DPA) kuwa dada yake ni miongoni mwa waliouawa. "Tulipokuwa tunatoka kanisani, nilisahau kadi ya Krisimasi niliyokuwa nimepewa, nikarudi kwenda kuichukua. Muda mchache baadaye nikasikia mripuko na lilikuwa ni hilo bomu. Nikaonma moshi na watu wanapiga kelele na kukimbia. Nikaziona nguo za dada yangu zimechanikachanika." Amesema Chukuemeka kwa majonzi. Shahidi mwengine, Micheal Ogar, amesema kuwa mripuko ulitokea baada ya gari kuegesshwa karibu na kanisa hilo. Gari na nyumba kadhaa karibu na kanisa hilo pia zimeharibiwa na mripuko huo. Msemaji wa Shirika la Huduma za Dharura la Nigeria, Yushau Shuaib, amesema kwamba idadi ya waliokufa na majeruhi huenda ikaongezeka. Shuaib ameomba wananchi wachangie damu kuokoa maisha ya majeruhi wanaopelekwa katika hospitali mbalimbali za mjini Abuja, ingawa amelalamikia upungufu mkubwa wa gari za kubebea wagonjwa na vifaa vya matibabu. Kabla ya mashambulizi haya, mtaa wa Madalla haukuwa kamwe ukifikiriwa kuwa ungelishambuliwa. Sasa waumini wanaripotiwa kuyakimbia makanisa mengine mjini Abuja, wakihofia usalama wao. Miripuko ya leo imetokea, huku kukiwa na taarifa kwamba mapambano baina ya jeshi la Nigeria na kundi la Boko Haram yamesababisha vifo vya watu karibu 100 katika miji ya Damaturu na Maiduguri kaskakazini mwa Nigeria. Idadi kubwa ya waliouawa ni wanachama wa Boko Haram, wanaopigania kuudwa kwa taifa linalofuata Shariah. Kundi hilo linalaumiwa kwa kuendesha kampeni ya mauaji na mashambulizi ya mabomu, yakiwemo yale yaliouwa watu 65 katika mji wa Damaturu hapo Novemba na yale yaliyofanyika mwezi Agosti katika mji mkuu, Abuja, moja likiwa kwenye ofisi za Umoja wa Mataifa. Watu 26 waliuawa baada ya mshambuliaji wa kujitoa mhanga kujiripua ndani ya gari. Mwandishi: Mohammed Khelef/AFP/PDA/Reuters Mhariri: Abdou Mtullya Tarehe 25.12.2011 Maneno muhimu Nigeria Kiungo http://p.dw.com/p/13Z7S Nigeria: Kundi la Niger Delta kushambulia sekta ya mafuta 17.01.2018 Kundi hilo limesema mashambulizi hayo yatakuwa ni mabaya zaidi kuwahi kutokea UNICEF: Watoto walishambuliwa mno 2017 28.12.2017 Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto UNICEF, limesema mwaka 2017 ulikuwa miongoni mwa mibaya zaidi kwa watoto wanaoishi katika maeneo ya vita na mizozo duniani.
"2018-01-22T06:50:33"
http://www.dw.com/sw/mfululizo-wa-miripuko-ya-mabomu-waitikisa-nigeria/a-15626322
[ -1 ]
STRAIKA: EPIQ BONGO STAR SEARCH YAPATA WAKALI ARUSHA EPIQ BONGO STAR SEARCH YAPATA WAKALI ARUSHA Jaji Mkuu Madame Ritha (aliyesimama) 'akipasua' kichwa pamoja na majaji wenzake Master Jay (kushoto) na Salama J (kulia) katika kuamua washindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuimba la Epiq Bongo Star Search mjini Arusha. Majaji wa shindano la kusaka vipaji vya kuimba la Epiq Bongo Star Search, Master Jay (kushoto), Jaji Mkuu Ritha Paulsen (katikati) na Salama Jabir (kulia) wakifuatilia kwa makini vijana wakifanya vitu vyao mjini Arusha. Vijana wakipanga foleni kusubiri kuingia kuonyesha "maujuzi" yao mbele majaji wakati wa shindano la Epqiq BSS Arusha. Mh! Mbona kila mtu mshindi? Majaji wakijiuliza wakati wa shindano la Epiq BSS Arusha PAZIA la mchujo wa kusaka vipaji vya wawakilishi wa mkoa wa Arusha katika fainali za EBSS 2012 lilifungwa rasmi jana katika ukumbi wa Triple A. Siku mbili za usindani mkali, ulioleta pamoja zaidi ya vijana 800 kugombea nafasi ya kuwakilisha Arusha, zilikuwa ngumu kwa majaji kuamua washindi. Mbali na vijana wengi wa Arusha kupenda zaidi kuimba nyimbo za Hip Hop huku mkoa huu ukisifika zaidi kuwatoa wasanii wengi wa muziki huo, katika shindano hilo ilikuwa ni tofauti kwa kuwa wasanii wengi waliamua kuimba. Jaji Mkuu wa EBSS 2012, Ritha Paulsen alikiri kuwa katika mikoa ya Lindi, Dodoma na kisiwa cha Zanzibar ambapo walienda kusaka vipaji kwa Arusha hali imekuwa nzuri zaidi. “Najua kila mkoa ambao tulienda tuliona upekee wake na kila mkoa ulikuwa na ladha yake, kwa Arusha tumekuta kuwa kuna hata walio na umri wa chini ya miaka 17 wamekuja wengi na wamefanya vema," alisema Ritha. Aliongeza kuwa kadri miaka inavyozidi kwenda mbele ndivyo shindano hilo linavyozidi kupanda chati hasa kwa hamasa inayozidi kujionyesha kati ya vijana. "Mbali na kuwachagua wale ambao wanakuwa wana vipaji lakini pia kuna wakati huwa tunatoa elimu au ushauri wa bure kwa washiriki hawa, kuna wengine wanaonekana kuwa wanaweza kuigiza na pia kufanya sanaa nyingine hivyo tunawashauri nini cha kufanya," aliongeza Madam Ritha. Akizungumzia shindano hilo, Mkurugenzi wa Masoko wa Zantel, Deepak Gupta, anasema amefurahishwa na vijana wengi waliojitokeza, na anafurahi Zantel kuwa sehemu ya kuwasaidia vijana hao kufikia ndoto zao. "Vijana waliojitokeza wanaonyesha kuwa wanahitaji msaada, na ndio maana mwaka huu tumeanzisha kampeni kwenye mitandao ya kijamii ili kuwatengenezea fursa vijana hao hata wasipochaguliwa," alisema Gupta.
"2018-07-16T02:37:27"
http://straikamkali.blogspot.com/2012/07/epiq-bongo-star-search-yapata-wakali.html
[ -1 ]
MFUKO WA WAFANYA KAZI 1 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili | WatsupAfrica - Africa's Latest News & Entertainment Platform Uchambuzi: Ronaldo aimaliza Morocco/ Spain na Ureno ngoma nzito! Aslay ametuonesha mpenzi wake mpya leo EXCLUSIVE: Aika kaeleza upekee wa style yake ya nywele na sababu kuiweka ‘Serikali ituambie bei ya kuanzisha kiwanda cha Taulo za kike (PADS)’ MOSHI ULGSP: Kwa Mipango Hii Moshi ‘TUTAISAHAHU’ KIPUNJE MOJA pt 2 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili Mkubwa Fella ampa mbinu za kutwaa taji la kombe la Dunia kocha wa Brazil Tite Kizito amkemea Waiguru kutisha wabunge wanaomhusisha na NYS Mbunge BWEGE aja na kituko kingine Bungeni adai ATAANDAMANA Mwijaku kafunguka “Dogo Janja ni mdogo hana sauti kwa Uwoya, ana ndoa ya pili” Uchambuzi: Ronaldo aimaliza Morocco/ Spain na Ureno… EXCLUSIVE: Aika kaeleza upekee wa style yake… ‘Serikali ituambie bei ya kuanzisha kiwanda cha… KIPUNJE MOJA pt 2 : Nollywood Tanzania… Mkubwa Fella ampa mbinu za kutwaa taji… Kizito amkemea Waiguru kutisha wabunge wanaomhusisha na… Mbunge BWEGE aja na kituko kingine Bungeni… Lema kawafungukia wanaosema kafulia na gari yake… Mwijaku kafunguka “Dogo Janja ni mdogo hana… Breaking: Waziri Lukuvi atengua uteuzi wa Mkurugenzi… SUGU: Mimi siyo DIAMOND Wala ROMa, BASATA… Alichokisema Kubenea kuhusu DARTS “Wanaobeza ni wendawazimu’ MFUKO WA WAFANYA KAZI 1 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili KIPUNJE MOJA pt 1 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili MUGOTANYA 2 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili MUGOTANYA 1 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili TEMO YA DUU part 2 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili MFUKO WA WAFANYA KAZI 2 : Nollywood Tanzania Swahili Movies 2018 /Free 2018 Swahili Samatta baada ya ushindi wa 4-2 vs TeamKiba #SouthAfrica: Phakamile NUMSA goo.gl/tNEUmZ #SouthAfrica: DA DAVID MAYNIER on Gigaba budget speech goo.gl/EddnVe #SouthAfrica: South Africa’s best teachers honoured goo.gl/QHtYjG #SouthAfrica: IFP SUPPORTS THE PRESIDENT goo.gl/pt966f #SouthAfrica: Matthews Phosa wanted to have the PEC results nullified. goo.gl/KZ18bc
"2018-06-21T02:59:15"
http://tanzania.watsupafrica.com/news/mfuko-wa-wafanya-kazi-1-nollywood-tanzania-swahili-movies-2018-free-2018-swahili/
[ -1 ]
MWAIPAJA BLOG: MAMBO YA NATHAN-SAKATA LA DOWANS NA TANESCO 0 Comments Imetumwa na Amani Mwaipaja Friday, March 8, 2013 at 3/08/2013 04:25:00 PM
"2017-10-16T22:06:04"
http://amani-mwaipaja.blogspot.com/2013/03/mambo-ya-nathan-sakata-la-dowans-na.html
[ -1 ]
Shambulio dhidi ya wahamiaji Libya: UNSC yashindwa kuafikiana - Afrika - RFI Libya UNSC Shambulio dhidi ya wahamiaji Libya: UNSC yashindwa kuafikiana Na RFI Imechapishwa 04-07-2019 Imehaririwa 04-07-2019 Saa 08:40 Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa katika mkutano maalum Septemba 26, 2018 New York. REUTERS/Eduardo Munoz Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeshindwa kutoa tamko kuhusu shambulizi la anga lililotekelezwa na wapiganaji wa Marshal Khalifa Haftar ambapo wahamiaji haramu zaidi ya 40 wameuawa katika shambulio la anga dhidi ya kambi yao katika moja ya vitongoji vya mji wa Tripoli. Watu 70 wamejeruhiwa katika shambulio hilo. Haya yanajiri wakati mkuu wa kamati ya Baraza la Seneti la Marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu silaha za nchi hiyo zilizotumiwa na jeshi la jenerali muasi wa Libya Khalifa Haftar. Jumanne wiki hii Umoja wa Mataifa ulisema kuwa mashambulizi ya Jumatatu nchini Libya, ambayo yamewaua takribani watu 40 katika mji wa Tripoli, yanaweza kuchukuliwa kuwa uhalifu wa kivita. Kwenye taarifa yake, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, Ghassan Salame, amesema ni dhahiri kuwa mashambulizi hayo yanaweza kuwa uhalifu wa kivita kwa sababu yaliuwa kwa ghafla, watu ambao hawakuwa na hatia, na ambao hali yao mbaya ndiyo iliwalazimu kuwa katika kituo hicho cha wakimbizi. Naye Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Moussa Faki Mahamat, ametaka uchunguzi huru ufanyike na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliohusika na uhalifu huo wa kusikitisha.
"2019-10-23T02:46:29"
http://sw.rfi.fr/afrika/20190704-shambulio-dhidi-ya-wahamiaji-libya-unsc-yashindwa-kuafikiana
[ -1 ]
Sera ya Usafirishaji - LFOTPP Tumeweka vipaumbele vingi juu ya kuhakikisha kuwa vitu vinapatikana kwa wateja wetu haraka iwezekanavyo. Utapokea amri yako katika siku za biashara za 5-35 tangu tarehe ambayo imewekwa. (Kulingana na wapi unapoishi, wakati unavyoweza kuchukua kwa bidhaa yako ya kubadilishana ili kufikia wewe, inaweza kutofautiana.) Barua pepe ya uthibitisho itatumwa kwako mara moja utaratibu umeidhinishwa na kuthibitishwa. Tunaanza kuandaa amri yako mara baada ya kuthibitishwa. Kwa aina hii ya wakati, inafanya kuwa vigumu kwetu kubadilisha au kufuta amri yako, hata hivyo, tutafanya kazi nzuri ili kuunga mkono ombi lako. Inayotayarishwa Kwa kawaida huchukua siku za biashara za 1-2 kwa ajili yetu kutatua utaratibu wako. Tafadhali kumbuka kuwa hii haijumuishi sikukuu na mwishoni mwa wiki. Uhamishaji huchukua siku za biashara za 5-35 kufikia, tafadhali rejea meza hapa chini kwa nyakati mbalimbali za meli kwenda kwa nchi za kimataifa. Ingia kwenye akaunti yako na uhakikishe kupokea kukusanya malipo ya uhakika wa ziada.
"2020-03-28T23:02:44"
https://sw.lfotpp.com/kurasa/sera-ya-meli
[ -1 ]
Serikali yasitisha sheria ya vipimo | Mtanzania Home Bungeni Serikali yasitisha sheria ya vipimo Serikali yasitisha sheria ya vipimo Serikali imesitisha kwa muda matumizi ya sheria ya vipimo inayotaka kutumia vifungashio katika usafirishaji wa viazi mviringo kutoka maeneo ya uzalishaji kwenda sokoni. Akisoma hotuba ya bajeti wa Wizara Viwanda na Biashara, bungeni leo Mei 14, waziri mwenye dhamana, Joseph Kakunda amesema sheria ilikuwa ikiwataka wazalishaji kutumia vifungashio maalum ambavyo kwa bahati mbaya upatikanaji wake una matatizo. Previous articleSahel Trading Co. waagizaji maarufu, wauzaji mizani Afrika Mashariki Next articleWatumishi wa Umma marufuku kudai nyongeza ya mshahara
"2019-05-19T12:28:45"
http://mtanzania.co.tz/serikali-yasitisha-sheria-ya-vipimo/
[ -1 ]
LADY JD ATOA WOSIA... RUGE MTAHABA NA JOSEPH KUSAGA WASIHUDHURIE MSIBA WAKE Posted by jfk on May 01, 2013 Katika hali ambayo haijawahi kutokea katika tasnia ya muziki kwa kumbukumbu zangu za miaka zaidi ya 30 ambayo nimekuwa mwanamuziki MWANAMUZIKI LADYJD AMETOA MATAMKO MAZITO SANA KATIKA BLOG YAKE. Pamoja na mengine mengi ametamka maneno ambayo huchukuliwa kwa uzito sana katika jamii ya Kiafrika, nanukuu…… Ila naomba nitamke hivi, siku nikifa CLOUDS FM isipige nyimbo zangu, wala isiongelee lolote kuhusiana na kifo changu. Enyi mtakaokuwa hai baada yangu….. haya ndiyo yote aliyoandika………. Zaburi project fame said… DADA JIDE HUO NDIO USANII, KWA KUWA MUNGU NDIYE NGAO KWA WAMKIMBILIAO NA WATENDA HAKI BASI ITABAKIA HIVYO NA KILA MTU NA RIZIKI YAKE- NIMESHUHUDIA SKYLIGHT BAND WANALAZIMISHA IJULIKANE LAKINI WAPI!!!!!!! KABLA YA KUANZA KUSEMA NILIVYOONA WAIMBAJI WAKO JONICO NA MWINYI WAMEHAMIA SKY NIKAJUA TU KUNA MKONO WA MTU. ACHA WAENDELEE NA ROHO ZAO MBAYA NA DAIMA ZITAENDELEA KUWA MBAYA KWANI BIBLIA INASEMA: "NA MWENYE UCHAFU NA AENDELEE KUWA MCHAFU". NA JK NYERERE ALISEMA:"MTU AKIANZA KULA NYAMA YA MTU KAMWE HATAACHA." salim seif said… Kaza hapohapo. Wakongwe twasema kua uyaone. Wape methali hii : MUNGU HAKUPI NGUVU NA MBIO, UTAUA WENZIO. muhozi bunura said… pole sana mdogo wangu kwa hayo unayopitia mungu wetu ni mwema atakupigania utashinda soma KUTOKA 14:14 Mh! Pole sana dada, inaonekana hawa jamaa wanajisahau sana.....lakini kama unavyoani, iko siko utafanikiwa zaidi yao, riziki ya mtu haizuiriwi, inacheleweshwa tu! Lawrence Ambrose said… Pole sana Dada Jay_D na usiwaze wala usiwasikilize hao, maana mtu akitenda lililo BAYA wewe tenda lililo ZURI, mfano kama ulivyoamua kusema UKWELI hiyo safi sana!, hatima yake Aibu na watajidharau. Songa mbele mdada... Nakukubali KAMANDA....watashindana lakini hawata shinda.....Roho zao Nyeusi hata Shetani Anawaogopa.... Tutatekeleza wosia wako. Hawa clouds na jopo lote hilo la akina Kusaga,Ruge nk.wamezidi sana ku dominate ktk tasnia hii ya sanaa,hii inawapa vichwa kunyanyasa wasanii kwa kadri wawezavyo,mambo haya yamekuwa yakisemwa lakini naona wizara husika hajayatilia maanani,Nakumbuka hata MR.Two aliwahi kuwapa ukweli wao lakini hakuweza kuungwa mkono na watu,Mimi naamini ayasemayo Jide hawa watu(Clouds)wamezidi sana kuwa na tamaa na pia kivihujumu vukundi vingi vya sanaa,Naamini hata kuzorota kwa muziki wa dansi Tanzania hii redio ya Clouds imechangia kiasi kikubwa.Cha msingi hapa ni kuiomba wizara husika km Utamaduni na pia wizara ya habari kuweza kuwaonya majitu haya yaliyojaa tamaa na roho mbaya,Mwisho wao utafika tu,hakluna lisilo na mwisho.Mwanamuziki mkongwe Ugaibuni.
"2018-03-22T03:46:11"
http://musicintanzania.blogspot.com/2013/05/lady-jd-atoa-wosia-ruge-mtahaba-na.html
[ -1 ]
MAZISHI YA MRAKIBU WA POLISI CAPT.KIDAI SENZALA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA HEKOPTA DAR ES SALAAM | BUKOBAWADAU skip to main | Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014. Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake. Helkopta aina ya Robertson R44 iliyo tolewa msaada kutoka kwa Taasisi ya Howard G. Foundation inayomilikiwa na mfanyabiashara mashuhuri nchini Marekani Bw. Buffet ililetwa nchini kwa lengo la kukabiliana na vitendo vya ujangili na kupokelewa nchini na Waziri wa Maliasili na Utalii June 14, 2014 jijini Dar es Salaam na kuikabidhi kwa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) ilipata ajali majira ya saa nne asubuhi baada ya kupata hitlafu katika injili yake na kupoteza maisha ya Mrakibu wa Polisi Capt. Kidai Senzala Kaluse, Mkaguzi wa Polisi Capt. Simba Musa Simba, Konstebo wa Polisi, Josso Selestine na Capt. Joseph Khalfan wa Malisasili aliyezikwa Arusha.SOURCE: Father Kidevu Blog Maofisa wa Polisi wakijiandaa kulibeba jeneza la Marehemu Capt Kidai. Wanafamilia wakiwa katika gari lililobeba mwili wa mpendwa wao Capt. Kidai Senzala. Maofisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku la Mrakibu wa Polisi-Capt. Kidai. Heshima za Kihjeshi zikitolewa kabla ya jeneza kushushwa kaburini na kupigiwa mizinga. Heshima zikiendelea... Ndugu wa marehemu akiwepo mkewe, mama yake mzazi marehemu, dada zake na ndugu wengine wakitafakari kazi ya Mungu baada ya kufanyika kwa mazishi ya Capt. Kidai Senzala. Posted by
"2017-07-20T18:32:02"
http://www.bukobawadaumedia.com/2014/12/mazishi-ya-mrakibu-wa-polisi-captkidai.html
[ -1 ]
Mihanga Ya Muhammad Kwa Ajili Ya Uislamu | Usahihi Wa Historia Ya Uislamu Na Waislamu | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org Belief & Creed Education & Society History & Politics Laws & Worship Quran & Hadith Spirituality & Philosophy Mihanga Ya Muhammad Kwa Ajili Ya Uislamu Malengo Makubwa, ili yafatimie, yanahitaji mihanga, na kufanikiwa katika kupata hali halisi kutokana nayo kunakuja kwa gharama kubwa. Lengo kubwa zaidi, gharama kubwa zaidi atakayolipia mtu kulifanikisha. Mapambano ya mwanadamu kujikomboa kutoka kwenye minyororo ya utumwa na udhalimu yana umri wa maelfu ya miaka, na yamechukua maisha ya watu yasiyo idadi. Mapambano yanaendelea leo hii kama yalivyokuwa huko nyuma, na Hadith yake haina mwisho kwa sababu mapambano yenyewe hayana mwisho. Matatu kati ya matukio muhimu katika mapambano ya mwanadamu kwa ajili ya uhuru ni yale Mapinduzi ya ki-Faransa ya mwaka 1789, Mapinduzi ya ki-Russi ya mwaka 1917, na Mapinduzi ya ki-China ya mwaka 1949. Haya pia ni matatu kati matukio ya maana sana katika historia ya ulimwengu. Mikondo ya damu iliibuka kufuatia mapinduzi haya, na yalivyokuwa yakipungua, yaliibeba ile mifumo na mifano ya kizamani ya ukandamizaji na unyonyaji pamoja nayo. Mapinduzi haya yalianzisha nguvu mpya ambazo hadi leo hii zinaisukasuka dunia yote. Yalikuwa ndio gharama mwanadamu alikuwa ailipe kununua uhuru wake wa kisiasa na kiuchumi. (Mapinduzi ya Kirusi na Dola ya Sovieti yalianguka, katika hayo, baada ya miaka 73 – mnamo mwaka 1990. Yalithibitika kutowezekana.) Karne nyingi baadaye, yaani, katika karne ya saba, mapinduzi mengine yalibadili mwelekeo wa historia. Yalikuwa ni moja ya mapinduzi makubwa ya nyakati zote lakini jambo la kipekee kuhusu mapinduzi haya ni kwamba yalikuwa ya amani. Hayakutengeneza mikondo yoyote ya damu, na kwa kweli, yanapaswa kuitwa mapinduzi “yasiyo na umwagaji damu.” Yalikuwa ni ujumbe wa amani. Amani ilikuwa ndio beji yake, na amani au Uislamu lilikuwa ndio jina lake. Ingawa Uislamu ulitetea amani katika ulimwengu, haukuwa umewezekana bila ya mapambano. Ulikuwa, kwa kweli, umefungwa, kwa miaka 23, katika mapambano ya kumwaga damu kwa ajili ya uhai wake, na kama vile tu mavuguvugu makubwa juu ya ukombozi, ulihitaji vilevile mihanga. Ni ajabu kwamba Muhammad - Mjumbe wa Allah swt. na Mtume wa Uislamu – hakuwaiga viongozi wengine ambao wanawasukuma wafuasi wao kwenye milipuko ya vita kwa jina la “muhanga” kwa ajili ya mfano bora. Yeye mwenyewe alikuwa ndiye mtu wa kwanza kutoa makafara kwa ajili ya Uislamu. Ufafanuzi wa Webster wa muhanga ni kupata hasara kwa ajili ya kuweka mfano bora. Mtu kutoa mali yake anayoithamini sana kwa ajili ya mfano mwema kunafanya kafara. Wengi wa manabii na mitume waliishi maisha ya muhanga. Ibrahim alimtoa mwanawe, Ismail, kama kafara; na Yahya (Yohana) alijitolea maisha yake mwenyewe kama kafara. Ismail angeweza kuuawa lakini akabadilishwa wakati ule ule na mwana kondoo. Yahya hata hivyo, yeye aliuawa, na kichwa chake kikabidhiwa kwa mwanamke fasiki kutuliza kiburi chake. Yeye ni mmojawapo wa wahanga (shahiid) wakubwa wa nyakati zote. Hii ni miwili kati ya mifano mingi ya kafara ambayo ilihitaji ujasiri mkubwa na imani kubwa. Lakini yote kwa mtazamo wa ubora na ukubwa, ile mihanga Muhammad aliyotoa kwa ajili ya Uislamu, inabakia kutolinganishika katika historia. Tofauti lazima ionyeshwe hapa kati ya makafara ya mali na makafara ya uhai. Muhammad (s.a.w.w.) alifanya yote. Alitoa muhanga hali njema zake binafsi zote, na mali zote alizokuwa akimiliki kwa ajili ya Uislamu. Hili, bila shaka kila mtu analijua. Ambacho labda hakijulikani sana, ni ule ukweli kwamba baadhi ya jamaa zake wa karibu na wapenzi wake walikuwa wameuawa katika ketetea Uislamu. Ndugu zake Muhammad waliofanya maisha yao dhabihu kwa ajili ya Uislamu, ni kama wafuatao: 1. Al-Harith ibn Abi Hala, mwana wa kulelewa, na mpwawe Khadija. Aliuawa huko Makka.2. Ubaidullah ibn al-Harith ibn Abdul-Muttalib, binamu yake. Aliuawa katika vita vya Badr.3. Hamza ibn Abdul-Muttalib, ami yake. Aliuawa katika vita vya Uhud.4. Mas’ab ibn Umayr, ami yake. Aliuawa katika vita vya Uhud.5. Abdallah ibn Jahash, binamu yake. Aliuawa huko Uhud.6. Zayd ibn Haritha, mwana wa kulea na rafiki. Yeye aliuawa katika vita vya Muutah.7. Jaafar Tayyar ibn Abi Talib, binamu yake. Yeye aliuawa katika vita vya Muutah.8. Ayman ibn Ubayd, kaka wa kunyonya. Huyu aliuawa katika vita vya Hunayn. Hii ni orodha ya baadhi ya majina yanayotambulika sana katika Uislamu wote, na inajumuisha ami zake wawili, binamu watatu, watoto wa kutwaliwa wawili, na kaka wa kunyonya mmoja wa Muhammad (s.a.w.w.). Ilikuwa ni kwa kupitia mihanga hii ambapo aliufanya Uislamu kutodhurika na kutoharibika. Muhammad (s.a.w.w.) kamwe hakufanya jaribio la kutaka kuwalinda wale aliwapenda yeye mwenyewe. Walikuwa, kwa kweli, ni wale wapenzi wake ambao ndio walikuwa wa mbele kabisa katika kukabiliana na changamoto ya adui. Hakuna aliyekuwa akimpenda kuliko Ali, na bado, nafasi ya hatari kubwa zaidi katika kila makabiliano na wapagani – ndani ya Makka au Madina – ilikuwa siku zote imewekewa yeye. Makafara makubwa kabisa kwa ajili ya Uislamu yote yalitolewa na Muhammad na Ali. Kwa upande mwingine, Abu Bakr na Umar hawakufanya makafara yoyote. Kwa jinsi makafara kwa ajili ya Uislamu yanavyohusika, wao hawana chochote cha kuonyesha. Wakati wowote ilipotokea changamoto kutoka kwa wapagani, kama ilivyokuja wakati wa vita vya Badr, Uhud na Khandaq, wao (Abu Bakr na Umar) hawakuipokea; na hakuna mtu wa familia zao aliyeuawa katika utetezi wa Uislamu katika wakati wowote ule. Ndugu pekee ambaye Umar alimpoteza kamwe kwenye mapambano ya Uislamu na upa- gani alikuwa ni mjomba wake, Abu Jahl, ambaye aliuawa katika vita vya Badr. Taji la shahada ndio heshima kubwa na sifa kubwa ambayo Uislamu unaweza kuitoa juu ya Muislamu katika dunia hii. Wapendwa wa Muhammad na Ali walipata shahada nane katika uhai wa Muhammad (s.a.w.w.), na walitakiwa kupata nyingine nyingi zaidi baada ya kifo chake. Allah swt. awarehemu wote hao.
"2017-04-27T21:18:26"
https://www.al-islam.org/node/25094
[ -1 ]
MGOMBEA UBUNGE CHADEMA JIMBO LA KINONDONI ARUDISHA FOMU | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today QS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira... UPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG�ANYWA FOMU YA UBUNGE Kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge. Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani. Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo. Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi Chanzo:... MUSLIM ARUDISHA FOMU YA UBUNGE, MAKUNGU AJIUNGA NA CHADEMA Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Muslim Hassanali akirudisha fomu kwa Mratibu wa Kanda ya Pwani, Casimir Juma Mabina za kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema katika uchaguzi mkuu ujao. Kulia ni Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Mabere Marando. (Picha na Francis Dande) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando (kushoto) akimkabidhi kadi ya Chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM tawi la Kigamboni Wilaya ya... SALUMU MWALIM ALIPORUDISHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la dimani achukua fomu Mgombea ubunge wa jimbo la Dimani kupitia tiketi ya CCM Mh. Juma Ali Juma amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo katika jimbo hilo katika ofisi za muda za tume ya (NEC) ziliopo Skuli ya Sekondari ya Kiembe samaki Zanzibar. Mh. Juma Ali Juma amechukua fomu hiyo kufuatia kuchaguliwa na chama kugombania nafasi ya ubunge katika jimbo la Dimani mnamo tarehe 16 Disemba mwaka huu. Mh. Juma atagombea nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu anaotarajiwa kufanywa January 22, 2017 ili kuziba nafasi iliyo... MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA KUSINI MASHARIKI KHALIFA KONDO MPONDA ACHUKUA FOMU Engineer Hamis Ahmad Ndwata akimlipia Khalifa Kondo shs 100,000 ya ada ya fomu kwa wagombea ubunge. Katibu wa CCM wilaya ya Morogoro Vijijini Muheshimiwa Shahibu Mtawa akihesabu hela za fomu ya mgombea Khalifa Kondo Mgombea ubunge wa jimbo la Kusini Mashariki bwana Khalifa Kondo akikabidhiwa fomu na katibu wa wilaya ya Morogoro Vijijini muheshimiwa Shaibu Ally Mtawa Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Athumani Sheshe, akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni, Muigizaji, Steven Mengere (kulia) katika ofisi za chama hizo eneo la Mkwajuni, Jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni mke wa mgombea Dk. Sarah Makene. Picha na Elisa Shunda Muigizaji, Steven Mengere, akionyesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya... MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA BAGAMOYO ACHUKUA FOMU WENGI WAMPONGEZA WADAU SAIDIA TUTANI Mgombea Ubunge Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mathew Juma Salum Yungwe, akionesha fomu ya kugombea nafasi hiyo baada ya kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Kombo Kamote wilayani humo leo mchana. Katibu Msaidizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Bagamoyo, Salum Mtelela (kulia), akimkabidhi stakabadhi ya malipo ya kuchukua fomu, Mgombea huyo. Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo, Kombo Kamote (kushoto), akimkabidhi fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la... IDD AZAN na Jumaa Mhina 'Pijei' wachukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni na Kawe Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Jamii UVCCM Dar es Salaam na Kamanda mstaafu wa wa UVCCM Wilaya ya Kinondoni, na Wakili wa Mahakama kuu, Jumaa Mhina 'Pijei' akikabidhiwa fomu ya kuomba kuwania Ubunge Jimbo la Kawe,jana jijini Dar es Salaam kupitia...
"2019-02-16T01:52:03"
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/mgombea-ubunge-chadema-jimbo-la-kinondoni-arudisha-fomu
[ -1 ]
Mafuta ya Arghani - Islamic Calendar Mafuta ya Arghani Category: MAPAMBO Producer: Morocco show products Price: 3,00 US $ .Mafuta ya Arghani ya ngozi:Baada ya kuoga na kukausha maji ,chovya mafuta kiganjani halafu sugua usoni kwa njia ya duara na pia paka eneo lolote jengine lenye ugonjwa wa ngozi.Hutumika kwa watu wa jinsia zote.Ni mafuta halisi ya mmea kwa asilimia 100 na bila chembe chembe za ziada za kemikali.Ni mmea kutoka milima ya Atlas kaskazini magharibi ya Afrika.Hayana madhara yoyote kwa mtumiaji..Mafuta haya hutibu kwa ufanisi sehemu za ngozi zilizojificha.Ili kupata matokeo bora daima weka mbali na muangaza wa jua la moja kwa moja. Mafuta ya kula ya Arghani: Mafuta ya mti huu ni mazuri sana kwa ajili ya kula.Hutumika kula kwa kuchovya na mikate au kunyunyiza kwenye baadhi ya vyakula wakati wa kula.Huongeza nguvu mwilini na hulainisha njia yote ya mapitio ya chakula mpaka mwisho wake. Sabuni ya Arghani.Vile vile ipo sabuni yake ambayo hutumika kuogea kwa mwenye matatizo na uyabisi wa ngozi.Oga kwa maji ya vugu vugu na sugua kwa sabuni sehemu zenye athari na wacha povu kwa muda halafu suuza. Maghreb fashion 1 Suruali za kuvalia kanzu
"2018-03-17T22:12:29"
http://www.islamictides.com/sokoni/mapambo/item/142-arghani-oil
[ -1 ]
NYALANDU SASA AITESA CHADEMA | Gazeti la Rai Home Habari kuu NYALANDU SASA AITESA CHADEMA NYALANDU SASA AITESA CHADEMA MAOMBI ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ya kuomba wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yanatajwa kukitesa chama hicho ingawa tayari baadhi ya viongozi wamesharidhia kumpokea. RAI linaripoti. Nyalandu amechukua uamuzi wa kujivua uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) sanjari na nyadhifa zake zote ikiwa ni pamoja na ubunge mapema wiki hii. Alisema amechukua uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa wa chama hicho. Duru za habari kutoka ndani ya Chadema zinabainisha kuwa uamuzi wa Nyalandu wa kutaka kuhamia Chadema unabeba sura mbili, moja ikiwa ni kukiimarisha chama hicho na au kukidhoofisha zaidi chama hicho. Hoja ya kukiimarisha chama hicho inaeleza kuwa Nyalandu si mwanasiasa wa kubeza kutokana na mizizi aliyonayo mkoani Singida hasa hasa jimboni kwake Singida Kaskazini. Wanaobeba hoja hiyo wanakwenda mbali zaidi kwa kudai kuwa Nyalandu mbali ya kuwa na nguvu za kisiasa Singida, lakini pia anaonekana kuwa na ushawishi mkubwa kwa matajiri mbalimbali wa Ulaya na Marekani, hali inayoweza kuimarisha mfuko wa chama. Aidha utaratibu wake wa kusaidia watu mbalimbali hasa kwenye huduma za afya nayo inaonekana kama mtaji kwa hoja kuwa upo uwezekano ujio wake ndani ya Chadema unaweza kubeba idadi kubwa ya watu wa kada mbalimbali. Ukiachana na hoja hizo, lakini pia wanaamini endapo ataingia Chadema na kutaka kuwania ubunge wa jimbo lake aliloliacha ni wazi mwanasiasa huyo atashinda hali itakayosaidia kulihamishia jimbo hilo kwa upinzani. Kitendo cha Nyalandu kuwa karibu na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu tangu apigwe risasi Septemba 7, mwaka huu nacho kinachukuliwa kama mtaji wa kisiasa kwa mwanasiasa huyo ambaye kabla ya kuhama CCM alikuwa akitazamwa kama mbunge pekee wa chama hicho tawala asiyeangalia itikadi za vyama. Hatua ya Nyalandu kumtembelea Lissu, Hospitali alikolazwa kiliibua mjadala mzito uliosababisha kuwapo kwa madai kuwa ameonywa na chama chake cha zamani, hata hivyo yeye mwenyewe alikanusha madai hayo. Wakati hoja ya kukiimarisha chama ikipambwa na sababu hizo, wale wanaoamini ujio wake unaweza kukidhoofisha chama hicho, wamebeba sababu kadhaa kubwa ikiwa ni uwezekano wa kuja na watu wake hatua inayoweza kukigawa chama hicho hasa kwa kuzingatia historia ya mwaka 2015. Mwaka 2015 Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa alijiunga na Chadema akitokea CCM na kukabidhiwa dhamana ya kuwania Urais. Uamuzi huo ulitazamwa vibaya na baadhi ya makada akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbroad Slaa ambaye baadae aliamua kujiondoa kundini. Habari za ndani zinabainisha kuwa hatua hiyo hadi sasa bado inakitesa chama kwani wapo baadhi ya makada wanaojiita wazawa hawakubaliani na baadhi ya maamuzi hasa yale yanayoonekana kubeba sura ya kuwapa nafasi makada waliohamia kwenye chama hicho mwaka 2015. Kwa kufuata historia hiyo, wapo baadhi ya makada wanaoamini kuwa upo uwezekano wa Nyalandu kupata upendeleo maalum katika baadhi ya mambo na kuwaacha baadhi ya makada wa muda mrefu wa chama hicho. Baadhi ya nafasi zinazotazamwa kuelekezwa kwa Nyalandu moja kwa moja ni kuwania ubunge wa jimbo aliloliachia mwenyewe au kuja kupewa au kuwania nafasi kubwa zaidi ndani ya chama siku zijazo. Tayari baadhi ya makada ndani na nje ya CCM wanaamini kuwa huenda Nyalandu ameamua kutimkia Chadema ili kwenda kufanikisha nia ya kuwania urais baada ya kukosa nafasi hiyo ndani ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu uliopita. Kabla ya kujiondoa CCM Nyalandu alipata kuliambia RAI kuwa kwa sasa jukumu lililombele yake ni kuwahudumia wapiga kura wake na si urais. “Kusema ukweli sasa nina kazi ya ubunge ambayo wana Singida Kaskazini wamenipa na hata sasa ninapozungumza na wewe nipo jimboni kwangu natekeleza majukumu ya kuhakikisha miradi ya Singida inatekelezwa kwa usimamizi wa hali ya juu kwa faida ya wanaSingida na Watanzania wote kwa ujumla. Hata hivyo hisia hizo zinatajwa kuwa ni mateso na mzigo mzito kwa baadhi ya makada ndani ya chama na kwamba suala la Nyalandu lisipoangaliwa kwa umakini linaweza kukigawa chama hicho, ingawa idadi kubwa ya makada wa Chadema hasa wale wasioamini katika kupewa nafasi wamefurahishwa na uamuzi wake wa kujiondoa CCM. Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema aliliambia RAI juzi kwa njia ya simu kuwa kamwe ujio wa Nyalandu hauwezi kukitesa chama hicho kwa sababu tayari viongozi wanakutana ili kuangalia namna sahihi ya kumpokea mwanasiasa huyo. Alisema wanajua nguvu ya Nyalandu kisiasa na kwamba si mwanasiasa mdogo na tayari wameshamkaribisha, lakini bado hawajampokea kwa sababu mapokezi yake yanahitaji kuandaliwa kikamilifu. “Tunajua uzuri na ubaya wa kupokea wanasiasa wakubwa, tahadhari zote hizo zinachukuliwa, lakini kamwe hatuwezi kuacha kumpokea, Nyalandu ni mwanasiasa mkubwa na ametupa heshima kubwa hivyo viongozi wa juu wanahitaji kukaa ili kuangalia ni namna gani bora tutampokea,”alisema. Kuhusu mahali patakapotumika kumpokea Nyalandu, Mrema alisema bado hawajaamua kama watampokea jijini Arusha au jijini Dar es Salaam na ndio maana viongozi wameiona haja ya kukutana ili kujadiliana namna ya kumpokea. Alipoulizwa nafasi atakayoandaliwa Nyalandu ndani ya chama na kama ataachiwa kuwania ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini. Mrema alisema chama chao kina taratibu zake, uongozi utakaa na kujadili juu ya suala hilo na kama atakuwa na nia ya kutaka kuwania ubunge ndani ya jimbo hilo anaweza kupewa nafasi hiyo. “Hili la kuwania ubunge ndani ya jimbo aliloliachia, litaamuliwa na viongozi na kama yeye mwenyewe ataonesha nia hiyo basi akipitishwa ni wazi atawania tu,”alisema. Duru za habari zimeliambia RAI kuwa upo uwezekano mkubwa wa Nyalandu kupokelea jijini Arusha kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani. Previous articleDIANE RWIGARA MWANAMKE NGULI ANAYEPAMBANA NA SIASA ZA KAGAME Next articleMAGUFULI AFANYA MAKUBWA MWANZA
"2020-01-27T13:51:03"
http://www.rai.co.tz/nyalandu-sasa-aitesa-chadema/
[ -1 ]
Kamishna mpya wa Kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani | Mtanzania Home Kitaifa Kamishna mpya wa Kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani Kamishna mpya wa Kazi na kibarua kizito kusafisha vibali hewa wizarani Rais Dk. John Magufuli amemtaka Kamishna mpya wa Kazi, Kanali Francis Mbindi kushughulikia changamoto lukuki zinazoikabili Wizara ya Kazi ikiwamo utolewaji wa vibali hewa. Previous articleSIMBA INA HATARI Next articleMagufuli ampa kibarua kizito Kichere; “Ofisi ya CAG siyo ‘clean’ kaisafishe”
"2019-12-14T05:35:42"
http://mtanzania.co.tz/kamishna-mpya-wa-kazi-na-kibarua-kizito-kusafisha-vibali-hewa-wizarani/
[ -1 ]
Rais Gauck hatagombea awamu ya pili | Matukio ya Kisiasa | DW | 04.06.2016 Rais Gauck hatagombea awamu ya pili Gauck, mwenye umri wa miaka 76, anatarajiwa kutoa maelezo juu ya uamuzi wake wa kutowania muhula wa pili kama mkuu wa dola katika mkutano na kansela wa Ujerumani Angela Merkel siku ya Jumatatu, gazeti hilo liliripoti. Gauck anatarajiwa kutoa tangazo rasmi kwa umma siku ya Jumanne mjini Berlin. Muhula wa Gauck, unakamilika Machi 2017. Msemaji wa rais huyo amekataa kutoa kauli kuhusu suala hilo. Rais Gauck aliidhinishwa kuwa rais Machi 2012, kuchukua nafasi iliyoachwa na Christian Wulff, ambaye baada ya miezi 20 tu alilazimika kujiuzulu kutokana na kashfa iliyohusisha mkopo wa nyumba. Mwaka 2010 Gauck alishindwa na rais wa zamani Wulff wakati alipokuwa mgombea wa muungano wa vyama vya Kijani na Social Democratic, SPD. Mwaka 2012 kansela Merkel na muungano wa vyama ndugu vya Christian Democratic Union, CDU na Christian Social Union, CSU, ulimuunga mkono Gauck baada ya mabishano kadhaa. Angela Merkel,kushoto, Jochim Gauck na Sigmar Gabriel Mwezi uliopita viongozi wa vyama vinavyounda serikali viliahidi kuunga mkono muhula wa pili wa rais Gauck. Gazeti la Frankfurter Rundschau liliripoti kwamba chama cha Christian Democratic Union, CDU cha kansela Merkel pamoja na mshirika wake serikalini, chama cha Social Democratic SPD, vilihofia athari za Gauck kukataa kugombea awamu ya pili. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, uamuzi huo ungekwamisha kampeni zao za uchaguzi wa shirikisho mwaka 2017, iwapo vyama havitoweza kukubaliana kuhusu mgombea mmoja. Baraza maalumu linalomchagua rais litakutana Februari 12 mwaka ujao 2017. Wajerumani wataka Gauck aendelee Matokeo ya kura ya maoni ya hivi karibuni, yanaonyesha asilimia 70 ya Wajerumani wangependelea Gauck aendelee kuwa rais. Kiongozi huyo kwa muda mrefu alikuwa ameliacha wazi suala la ikiwa atagombea awamu ya pili ama la. Wakati alipofanya ziara nchini China mwezi Machi mwaka huu rais Gauck alisema ni hisia nzuri kwamba watu wengi wangependelea kuendelea kufanya kazi yao kwa weledi. "Lakini katika hilo mtu anatakiwa kujifikiria hali yake ya mwili na uwezo wake kisaikolojia," alisema. Rais wa Ujerumani ni mkuu wa dola na kwa kiwango kikubwa hushikilia wadhifa wa heshima, kuiwakilisha nchi katika masuala ya sheria za kimataifa na mikutano rasmi. Rais hachaguliwi moja kwa moja na umma, bali huchaguliwa na kamati maalumu inayowajumuisha wabunge wa bunge la Ujerumani, Bundestag, na idadi sawa na hiyo ya wajumbe kutoka kwa mabunge ya mikoa. Rais wa Ujerumani huwa na muhula wa miaka mitano na anaweza kuchaguliwa tena mara moja tu. Raia yeyote wa Ujerumani mwenye umri wa zaidi ya miaka 40, anaweza kugombea urais. Mwandishi:Josephat Charo/rtre/afpd Mhariri:Yusra Buwayhid Mada Zinazohusiana Angela Merkel, Bonn, Uchaguzi Ujerumani 2017 Maneno muhimu Joachim Gauck, Angela Merkel, Germany, President, Bild Kiungo https://p.dw.com/p/1J0NM
"2019-09-18T13:51:38"
https://www.dw.com/sw/rais-gauck-hatagombea-awamu-ya-pili/a-19306016
[ -1 ]