edaiofficial's picture
initial commits
78aa4ee
Wala msimwite mtu baba duniani ; maana Baba yenu ni mmoja , aliye wa mbinguni .
Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu .
Yesu alisema hivi : β€œ Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe . ”
Baadhi ya majina katika makala hii yamebadilishwa .
Kwa maana mchana na usiku mkono wako ulinilemea . ”
Baadhi ya majina katika makala hii yamebadilishwa .
Hii ndiyo amri kubwa zaidi sana na ya kwanza . ”
Kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova lakini hakichapwi tena .
Hamwezi kutumikia kama watumwa Mungu na Utajiri . ”
Ama kwa hakika , mwanadamu anahitaji msaada wa Mungu .
β€œ Ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu . ”
Nitamfanyia msaidizi , awe kikamilisho chake . ”
( Tafuta chini ya MAFUNDISHO YA BIBLIA > MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA )
Yehova ni jina la Mungu kama linavyofunuliwa katika Biblia .
Mapenzi yako na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni . ”
Biblia inasema hivi : β€œ Ujinga umefungwa pamoja na moyo wa mvulana . ”
Β© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari .
Ikiwa ungependa kutoa mchango , tafadhali tembelea tovuti ya www.jw.org / sw .
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine , Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu β€” Tafsiri ya Ulimwengu Mpya .
β€œ Hangaiko katika moyo wa mtu huufanya uiname , lakini neno jema huufanya ushangilie . ”
Usitazame huku na huku , kwa maana mimi ni Mungu wako .
Β© 2017 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
β€œ Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia , nao watakaa milele juu yake . ” β€” Zaburi 37 : 29 .
Β© 2018 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Basi , angalia kama waweza kujibu maswali yafuatayo :
( b ) Ni nini litazungumzwa katika makala inayokuja ?
mimi nipo pamoja na nyinyi siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo . ”
Walitaka kuhakikisha kwamba nilijua jinsi uamuzi wangu ulivyokuwa mzito .
Yesu alisema hivi : β€œ Hakuna mtu awezaye kuja kwangu , asipovutwa na Baba aliyenipeleka . ”
Ni nini litakalozungumzwa katika makala ifuatayo ?
Wala hutaruhusu mwaminifu - mshikamanifu wako aone shimo . ”
Napenda kuwa kwenye Jumba la Ufalme miongoni mwa wale wa kwanza kufika , na kuwa miongoni mwa wale wa mwisho kuondoka , ikiwezekana .
Nahisi shangwe ya kindani ninapoongea na watu wa Mungu .
( b ) Tutachunguza nini katika makala inayofuata ?
Lakini hati - kunjo nyingine ikafunguliwa ; hiyo ndiyo hati - kunjo ya uhai .
Tutachunguza nini katika makala inayofuata ?
Aliponya vipofu , vilema , wakoma , na viziwi .
Kama vile mtajo β€œ utoaji uliopangwa ” udokezavyo , upaji wa aina hii hutaka mpaji afanye mipango fulani hasa .
( b ) Tutayafikiria maswali gani katika makala hii ?
Tutachunguza nini katika makala ifuatayo ?
( b ) Tutazungumzia maswali gani ?
Nao utegemezo wa ndugu na dada zangu wa kiroho umenifariji sana .
Ikiwa ndivyo unastahili pongezi .
Kwa maana nasadiki kwamba wala kifo wala uhai wala malaika wala serikali wala mambo yaliyo hapa sasa wala mambo yatakayokuja wala nguvu wala kimo wala kina wala kiumbe kingine chochote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu . ”
( b ) Tutazungumzia nini katika makala inayofuata ?
Ingieni katika shangwe ya bwana wenu . ’
( b ) Tutazungumzia mambo gani katika makala hii ?
β–‘ Inakuwaje tunapokufa ?
Ni maswali gani tutakayochunguza katika makala inayofuata ?
( b ) Tutazungumzia maswali gani ?
Tutazungumzia nini katika makala inayofuata ?
( Soma Mathayo 24 : 37 - 39 . )
Tunahitaji kutenda kupatana na sala zetu .
( Soma 2 Timotheo 3 : 1 - 5 , 13 . )
( Soma Zaburi 40 : 8 - 10 . )
( b ) Umeazimia kufanya nini ?
( b ) Ni maswali gani yatakayozungumziwa katika habari hii ?
( Soma Zaburi 19 : 7 - 11 . )
( Soma Waefeso 5 : 15 , 16 . )
Roho yenyewe hutoa ushahidi pamoja na roho yetu kwamba sisi ni watoto wa Mungu . ”
( Soma 1 Wakorintho 10 : 13 . )
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 34 : 1 - 3 . )
β€’ Mungu ana kusudi gani kwa dunia ?
( Soma 1 Timotheo 6 : 17 - 19 . )
( Soma Yakobo 1 : 5 - 8 . )
( Soma 2 Wakorintho 5 : 14 , 15 . )
( Soma Waroma 13 : 1 , 2 . )
( Soma 1 Wakorintho 2 : 10 . )
( Soma 1 Wakorintho 6 : 9 - 11 . )
( Soma 2 Wakorintho 13 : 5 . )
( Soma 1 Wakorintho 15 : 58 . )
Dorkasi β€œ alizidi katika matendo mema na zawadi za rehema . ”
Tutachunguza nini katika habari hii , na kwa nini ?
( Soma Methali 3 : 5 , 6 . )
( Soma Waebrania 11 : 24 - 27 . )
β€œ Neno la Mungu liko hai nalo lina nguvu . ” β€” EBR .
Mistari hiyo inalilinganisha Neno la Mungu na kioo ambacho tunaweza kujiangalia na kuona jinsi Yehova anavyotuona .
Nilianza kujiuliza ikiwa jinsi nilivyojiona ni tofauti na jinsi Yehova alivyoniona .
Mara ya kwanza , nilipinga maoni hayo mapya .
Bado nilihisi kwamba sikupaswa kabisa kumtarajia Yehova anipende .
Bado nilikuwa na shaka ikiwa Yehova anaweza kunipenda , lakini nilianza kufikiria fidia , au dhabihu ya ukombozi , ya Yesu .
Mara moja nikakumbuka kwamba Yehova amekuwa akinivumilia kwa muda mrefu na kunionyesha kwa njia nyingi sana kwamba ananipenda .
Ni kana kwamba nilikuwa ninaikataa dhabihu ambayo Yehova ametoa .
Je , umesoma kwa makini matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi ?
( Soma 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 . )
( Soma Tito 2 : 3 - 5 . )
( Soma Waroma 7 : 21 - 23 . )
( Soma Isaya 63 : 11 - 14 . )
( Soma Zaburi 1 : 1 - 3 . )
( Soma Waroma 7 : 21 - 25 . )
( Soma 2 Petro 2 : 5 . )
( Soma Isaya 48 : 17 , 18 . )
( Soma Waefeso 4 : 1 - 3 . )
( Soma Waebrania 13 : 7 , 17 . )
Tia ndani barua inayoonyesha kwamba mchango huo ni wenye masharti .
Kwa kuwa matakwa ya kisheria na sheria za kodi zinatofautiana , ni muhimu kuwaona washauri wanaostahili wa mambo ya kodi na sheria kabla ya kuchagua njia bora ya kutoa mchango .
Ardhi na Nyumba : Ardhi au nyumba zinazotolewa kama mchango kwa jina la shirika linalotumiwa na Mashahidi wa Yehova , zinaweza kutolewa zikiwa zawadi ya moja kwa moja au zawadi yenye masharti , yaani , mtoaji anaweza kuendelea kuishi humo hadi kifo chake .
Wasia na Amana : Mali au pesa zinaweza kuachiwa jina la shirika linalotumiwa na Mashahidi wa Yehova kama urithi kwa njia ya wosia halali , au linaweza kutajwa kuwa shirika ambalo litafaidika na mkataba wa amana .
( Soma Waebrania 11 : 17 - 19 . )
Katika Biblia , milima inaweza kufananisha falme , au serikali .
Enyi akina baba , msiwe mkiwakasirisha watoto wenu , ili wasivunjike moyo . ”
Kwa habari zaidi ona sura ya 3 ya kitabu hiki Biblia Inafundisha Nini Hasa ? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova
( Soma 2 Timotheo 1 : 7 . )
Kwa habari zaidi , ona sura ya 8 ya kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa ? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova
( Soma 1 Wathesalonike 5 : 1 - 6 . )
( Soma Luka 21 : 1 - 4 . )
( b ) Ni maswali gani tutakayozungumzia katika makala inayofuata ?
Ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani , na wale walio katikati yake na waondoke , nao wale walio katika sehemu za mashambani wasiingie ndani . ”
Mimi mwenyewe , Yehova , nitaharakisha jambo hilo kwa wakati wake . ”
( Soma Luka 10 : 29 - 37 . )
Ni maswali gani tutakayozungumzia katika makala hii ?
Lakini kuhusu matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile , kwa maana siku utakapokula , utakufa hakika . ”
( Soma Ufunuo 14 : 6 , 7 . )
( Soma 1 Wathesalonike 2 : 13 . )
Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini , atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia . ”
Kwa habari zaidi soma sura ya 10 ya kitabu hiki kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova
β€œ Imani ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa . ” β€” EBR .
Yesu alisema hivi : β€œ Mahali ilipo hazina yako , ndipo moyo wako utakapokuwa pia . ”
β€œ Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova ! ” β€” ZAB .
( Soma Yakobo 5 : 14 - 16 . )
( b ) Tutazungumzia nini katika makala inayofuata ?
Aliandika hivi : β€œ Mimi ni wa kimwili , nimeuzwa chini ya dhambi .
( Soma Waebrania 10 : 24 , 25 . )
( Soma 2 Wakorintho 8 : 13 - 15 . )
Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli . ” β€” Mwa .
Methali 14 : 15 inasema hivi : β€œ Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno , lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake . ”
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi . ”
Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine .
Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi kwa hiari , nanyi fanyeni vivyo hivyo pia .
Ikiwa , sasa , hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike , ling’oe ulitupilie mbali nawe . ”
Nitakutia nguvu . Nitakusaidia kwelikweli . Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu . ”
NI NINI KINGINE TUNACHOJIFUNZA KATIKA BIBLIA ?
Kwa nini ni muhimu sana tuendelee kuwa na upendo wa kindugu ?
Kwa nini Paulo aliwaandikia barua Wakristo Waebrania ?
( Soma Waebrania 10 : 36 - 39 . )
Kwa nini tunapaswa kupendezwa na kitabu cha Waebrania ?
Andiko la mwaka 2016 ni lipi , na kwa nini linafaa ?
Mstari huo umechaguliwa kuwa andiko la mwaka 2016 .
Andiko letu la mwaka 2016 : β€œ Upendo wenu wa kindugu na uendelee . ” β€” Waebrania 13 : 1
Upendo wa kindugu unamaanisha nini kwa Wakristo ?
( a ) Ni sababu gani muhimu zaidi inayotufanya tuwe na upendo wa kindugu ?
( b ) Taja sababu nyingine inayoonyesha umuhimu wa kuimarisha upendo wetu .
Yesu alieleza jinsi ambavyo hali zingekuwa ngumu wakati huo .
Tunapaswa kufanya nini sasa kabla ya dhiki kuu kuanza ?
( a ) Tuna fursa gani za kuonyesha kwamba tunawapenda ndugu zetu ?
( b ) Toa mifano inayoonyesha kwamba watu wa Yehova wana upendo wa kindugu .
Tunawezaje β€˜ kuwakumbuka wale walio katika vifungo vya gereza ’ ?
β€œ Wakumbukeni wale walio katika vifungo vya gereza . ”
β€œ Ndoa na iheshimiwe kati ya wote . ”
Kuridhika kunatusaidiaje kuwa na upendo wa kindugu ?
β€˜ Ridhikeni na vitu vya sasa . ’
β€˜ Kuwa hodari ’ kunatusaidiaje kuonyesha upendo wa kindugu ?
Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha kwamba tunawapenda wazee wa kutaniko letu ?
β€œ Wakumbukeni wale ambao wanaongoza . ”
Tunawezaje kuendelea kuonyesha upendo wa kindugu kwa ukamili zaidi ?
Upendo wa Kristo unatuchochea kufanya nini ?
Upendo wa Mungu unatuchocheaje kuwapenda ndugu zetu ?
Kwa nini msamaha wa Mungu unapaswa kutuchochea tuwasamehe ndugu zetu ?
1 , 2 . ( a ) β€˜ Zawadi ya bure isiyoelezeka ’ ya Mungu inahusisha nini ?
( Soma 2 Wakorintho 1 : 20 . )
3 , 4 . ( a ) Unahisije mtu fulani anapokupa zawadi ?
( b ) Zawadi ya pekee inawezaje kubadili maisha yako ?
Ni katika njia gani zawadi ya Mungu ya fidia ni bora kuliko zawadi nyingine yoyote ?
( a ) Unatazamia kwa hamu baraka gani zinazotokana na zawadi ya Yehova ?
( b ) Zawadi ya Mungu inatuchochea kufanya mambo gani matatu ?
Tunapaswa kuhisije kuhusu upendo wa Kristo ? Nao unapaswa kutuchochea tufanye nini ?
Naye anayenipenda atapendwa na Baba yangu , nami nitampenda na kujionyesha wazi kwake . ” β€” Yoh . 14 : 21 ; 1 Yoh . 5 : 3 .
Tunaweza kujiuliza maswali gani wakati wa majira haya ya Ukumbusho ? Na majibu ya maswali hayo yatatuchochea kufanya nini ?
( 1 Timotheo 2 : 9 , 10 . )
( a ) Kumpenda Yehova na Yesu kunatuchocheaje katika kazi ya kuhubiri ?
( b ) Upendo wetu unaweza kutuchocheaje tuwasaidie wengine kutanikoni ?
Upendo wa Mungu unatuchochea tufanye jambo gani lingine ?
Yesu aliweka mfano gani inapohusu kuwapenda wengine ?
Je , unaweza kumsaidia ndugu au dada fulani aliyezeeka katika huduma ?
Unaweza kufanya nini ili kuonyesha kwamba unawapenda ndugu zako ?
( Soma Luka 14 : 12 - 14 . )
16 , 17 . ( a ) Tunajifunza nini katika mfano wa Yesu kuhusu mfalme na watumwa ?
( b ) Baada ya kutafakari mfano wa Yesu , umeazimia kufanya nini ?
Upendo wa Mungu ulimsaidiaje Lily avumilie udhaifu wa Carol ?
Ninataka kumjua atakapokuwa mkamilifu . ”
β€˜ Zawadi ya bure isiyoelezeka ya Mungu ’ inakuchocheaje ?
[ 1 ] ( fungu la 18 ) Baadhi ya majina katika makala hii yamebadilishwa .
Ni matukio gani yaliyofanya siku ya Pentekoste iwe ya pekee , na mambo hayo yalitimizaje unabii ?
( a ) Kwa nini mambo yaliyotokea siku ya Pentekoste ni muhimu sana kwetu ?
( b ) Ni tukio gani lingine muhimu ambalo huenda lilitukia siku kama hiyo miaka mingi mapema ?
Je , wale wote wanaotiwa mafuta hupokea mwito kwa namna ileile ?
Watiwa mafuta wote hupokea nini , na hilo linawaathirije ?
Ni lazima kila Mkristo mtiwa mafuta afanye nini ili apokee thawabu yake ya kwenda mbinguni ?
Petro alieleza jambo hilo kwa njia hii : β€œ Kwa sababu hiyo , akina ndugu , fanyeni hata zaidi yote mnayoweza ili kufanya mwito na kuchaguliwa kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe ; kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo hamtashindwa hata kidogo .
Kwa kweli , hivyo ndivyo mtakavyowezeshwa kwa wingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo . ”
8 , 9 . ( a ) Kwa nini ni vigumu kwa watu wengi kuelewa kinachotokea mtu anapotiwa mafuta ?
( b ) Mtu anajuaje kwamba amepokea mwaliko wa kwenda mbinguni ?
Aliwaambia hivi : β€œ Hamkupokea roho ya utumwa inayosababisha woga tena , bali mlipokea roho ya kufanywa kuwa wana , roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti : β€˜ Abba , Baba ! ’
Andiko la 1 Yohana 2 : 27 linamaanisha nini linaposema kwamba Wakristo watiwa mafuta hawahitaji mtu yeyote awafundishe ?
Huenda mtiwa mafuta akajiuliza maswali gani , lakini ni jambo gani ambalo kamwe hatilii shaka ?
Njia ya kufikiri ya mtu hubadilika jinsi gani anapotiwa mafuta kwa roho takatifu ? Na ni nini kinachosababisha badiliko hilo ?
Watiwa mafuta wanahisije kuhusu maisha yao hapa duniani ?
Ni mambo gani ambayo hayathibitishi kwamba mtu ametiwa mafuta kwa roho takatifu ?
Tunajuaje kwamba si wote waliopokea roho ya Mungu wamealikwa kwenda mbinguni ?
17 , 18 . ( a ) Watumishi wengi wa Yehova leo wanatazamia kwa hamu thawabu gani ?
Andiko la Zekaria 8 : 23 linatimizwaje ?
1 , 2 . ( a ) Yehova alisema ni nini ambacho kingetokea wakati wetu ?
( b ) Makala hii itajibu maswali gani ?
Kwa nini hatuwezi kujua ni nani hasa watakuwa sehemu ya wale 144,000 ?
Watiwa mafuta wanapaswa kufikiria kwa uzito onyo gani , na kwa nini ?
Wakristo watiwa mafuta hawatarajii nini , na kwa nini ?
Kwa nini unahitaji kuwa mwangalifu kuhusu jinsi unavyowatendea wale wanaokula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho ?
( Tazama sanduku lenye kichwa β€œ Upendo β€˜ Haujiendeshi Bila Adabu . ’ ” )
Yesu aliwaambia hivi wanafunzi wake : β€œ Ninyi nyote ni ndugu . ”
Tunawezaje kuonyesha kwamba tunawaheshimu Wakristo watiwa mafuta ?
Kwa nini kuepuka kuwatukuza watu ni ulinzi kwetu ?
Kwa nini hatupaswi kutatanishwa na kuongezeka kwa idadi ya wanaokula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho ?
β€œ Yehova anawajua walio wake . ”
Biblia inaonyesha nini kuhusu idadi ya watiwa mafuta watakaokuwa duniani dhiki kuu inapoanza ?
Tunahitaji kuelewa nini kuhusu wale 144,000 waliochaguliwa na Yehova ?
Ni watiwa mafuta wachache tu katika karne ya kwanza waliotumiwa kuandika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo .
hutusaidia kumkaribia Mungu na kuwa na uhusiano mzuri na wengine ?
Ingawa Yehova ndiye Mwenye Enzi Kuu , amewaalika wengine wafanye nini ?
Yehova alimwalika Yesu afanye kazi gani muhimu ?
Yehova alimruhusu Adamu afanye nini , na kwa nini ?
Kwa mfano , alimruhusu Adamu awape wanyama majina .
Watu wengine walishiriki jinsi gani kutimiza kusudi la Mungu ?
Na je , Yehova alihitaji kutushirikisha katika kazi hiyo ?
Mtume Paulo aliandika hivi : β€œ Huku tukifanya kazi pamoja naye , tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake . ”
Mwana mzaliwa wa kwanza wa Mungu alihisije kufanya kazi na Baba yake ?
Kwa nini kazi ya kuhubiri hutuletea shangwe ?
Baadhi ya watu wamesema nini kuhusu shangwe ya kufanya kazi na Yehova ?
Vivyo hivyo , Franco , ambaye pia anatumikia nchini Italia , anasema hivi : β€œ Kupitia Neno lake na chakula cha kiroho anachotupatia , Yehova hutukumbusha kila siku kwamba anatupenda na kila jambo tunalofanya ni lenye thamani kwake , hata kama tunaona jitihada zetu si kitu .
Hiyo ndiyo sababu kufanya kazi na Mungu hunifanya niwe na furaha na kusudi maishani . ”
Kwa nini uhusiano wa Yehova na Yesu ulikuwa wa pekee ?
Kwa nini kuhubiri hutusaidia tumkaribie Mungu na kuwa na uhusiano mzuri na wengine ?
Alisema hivi : β€œ Ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo . ”
Tunajifunza kwa nini ni jambo la hekima kumtumaini na kufuata mwongozo wake .
Kwa nini uhusiano wetu na Yehova na ndugu zetu utakuwa wenye nguvu zaidi katika ulimwengu mpya ?
Shahidi mmoja nchini Australia anahisije kuhusu kuhubiri ?
Joel , anayeishi Australia , anasema hivi : β€œ Kazi ya kuhubiri hunisaidia kuona mambo jinsi yalivyo .
Hunikumbusha kuhusu changamoto ambazo watu wanakabili na manufaa ninayopata kwa kuishi kulingana na kanuni za Biblia .
Kazi ya kuhubiri hunisaidia kusitawisha unyenyekevu ; hunipatia fursa ya kumtegemea Yehova na ndugu na dada zangu . ”
Kuvumilia tunapofanya kazi ya kuhubiri kunaonyeshaje kwamba tuna roho ya Mungu ?
Ungeendelea kufanya kazi hiyo kwa muda gani ?
Kuhubiriwa kwa habari njema kunahusianaje na kusudi la Mungu kwa wanadamu ?
Kazi yetu ya kuhubiri inahusianaje na amri kuu mbili za Mungu ?
Ya pili , kama hiyo , ni hii , β€˜ Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe . ’ ”
Unahisije kuhusu kazi ya kuhubiri habari njema ?
Ninakupa nguvu zangu , Neno langu Biblia , msaada wa malaika , waandamani walio duniani , mazoezi endelevu , na miongozo hususa kwa wakati unaofaa . ’
Ni heshima kubwa sana kufanya yale ambayo Yehova anataka tufanye na kufanya kazi pamoja na Mungu wetu ! ”
GAZETI HILI , Mnara wa Mlinzi , linamheshimu Yehova Mungu , ambaye ndiye Mtawala Mkuu wa ulimwengu .
Linawafariji watu kwa habari njema kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu ulio mbinguni , utakomesha uovu wote na kuigeuza dunia kuwa paradiso .
Linawatia moyo watu wamwamini Yesu Kristo , ambaye alikufa ili tupate uzima wa milele na ambaye sasa anatawala akiwa Mfalme wa Ufalme wa Mungu .
Gazeti hili limekuwa likichapishwa tangu 1879 na si la kisiasa .
Linashikamana na Biblia ambayo ndiyo msingi wake .
Bebe alimpenda sana baba yake .
Maneno hayo aliyoambiwa na rafiki wa familia mwenye nia nzuri , yalimuumiza sana badala ya kumfariji .
Bebe aliendelea kujiambia , β€œ baba hakupaswa kufa . ”
Kuonyesha kwamba bado alikuwa na huzuni , miaka mingi baadaye Bebe alisimulia tukio hilo katika kitabu chake .
Sawa na Bebe , wengi wanakubali kwamba huzuni ya kufiwa haiishi haraka , hasa ikiwa aliyekufa alikuwa mtu wa karibu sana .
Biblia inasema kifo ni β€œ adui wa mwisho . ”
Kifo huharibu maisha yetu na hakizuiliki .
Hakuna yeyote kati yenu anayeweza kuepuka madhara ya kifo .
Hivyo , haishangazi kwamba tunapopatwa na msiba mara nyingi tunashindwa kukabiliana na hali hiyo .
Huenda ukajiuliza : β€˜ Huzuni ya kufiwa huisha baada ya muda gani ?
Ninaweza kuwafariji jinsi gani wale waliofiwa ?
Je , kuna tumaini lolote kwa wapendwa wetu waliokufa ?
Je , umewahi kuugua ?
Kwa mfano , fikiria jinsi mzee wa ukoo Abrahamu alivyotenda baada ya mke wake kufa .
Biblia inasema kwamba β€œ Abrahamu akaanza kuomboleza na kumlilia Sara . ”
Maneno ya awali β€œ akaanza ” yanaonyesha kwamba kwa muda fulani Abrahamu alikabiliana na huzuni ya kufiwa na mke wake .
Alihuzunika kwa β€œ siku nyingi , ” na watu wa familia yake walishindwa kumfariji .
Miaka kadhaa baadaye , bado alikumbuka kifo cha Yosefu . β€” Mwanzo 23 : 2 ; 37 : 34 , 35 ; 42 : 36 ; 45 : 28 .
β€œ Mume wangu , Robert , alikufa Julai 9 , 2008 .
Hata baada ya miaka sita bado nina maumivu moyoni .
Sidhani kama nitazoea kuishi bila Rob . ” β€” Gail , mwenye miaka 60 .
β€œ Ijapokuwa mke wangu mpendwa alikufa miaka 18 iliyopita , bado mimi humkumbuka na kuhuzunika sana .
Kila mara ninapoona ua au kitu chochote kinachovutia , mimi humkumbuka na kufikiria jinsi ambavyo angefurahia sana kuona kile ninachoona . ” β€” Etienne , mwenye miaka 84 .
Hivyo , ni jambo la kawaida kuwa na uchungu kwa muda mrefu .
Watu huhuzunika kwa njia tofauti , hivyo si jambo la hekima kumhukumu mtu kutokana na jinsi anavyokabiliana na msiba .
Wakati uleule , huenda tukahitaji kuepuka kujilaumu sana ikiwa tunahisi kwamba huzuni yetu imepita kiasi .
Kama inavyotajwa katika makala β€œ Igeni Imani Yao ” iliyo katika gazeti hili , kwa miaka mitatu tangu mama yake afe , Isaka bado alikuwa akihuzunika . β€” Mwanzo 24 : 67 .
Kwa mfano , huenda wengine wakakushauri kwamba usilie au kuonyesha hisia zako kwa njia yoyote ile .
Huenda wengine wakakusihi uonyeshe hisia zako zote .
Biblia inatoa maoni yenye usawaziko kuhusu jambo hilo ambayo yanaungwa mkono na utafiti uliofanywa hivi karibuni .
Katika tamaduni fulani , ni aibu kwa mwanamume kulia .
Lakini , je , kuna sababu yoyote ya msingi kuona aibu kulia mbele ya watu ?
Wataalamu wa akili wanakubali kwamba kulia ni njia ya kawaida ya kuonyesha huzuni .
Huenda baada ya muda , kuhuzunika kukakusaidia kukabiliana na kifo cha mpendwa wako .
Hata hivyo , kutohuzunika kunaweza kuwa na matokeo mabaya .
Biblia haiungi mkono wazo la kwamba haifai wanaume kulia wanapohuzunika .
Lazaro rafiki ya Yesu alipokufa , Yesu alilia hadharani hata ingawa alikuwa na uwezo wa kufufua wafu ! β€” Yohana 11 : 33 - 35 .
Kukasirika ni hali nyingine inayowapata wale wanaohuzunika hasa wanapofiwa ghafla na mtu wanayempenda .
Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mtu anayehuzunika awe na hasira . Kwa mfano , huenda mtu anayeheshimiwa akasema maneno fulani bila kufikiri .
Mike kutoka Afrika Kusini anasema hivi : β€œ Baba yangu alikufa nilipokuwa na umri wa miaka 14 tu .
Tulipokuwa katika mazishi , mtumishi wa kanisa la Anglikana alisema kwamba Mungu huwachukua mapema watu wazuri kwa kuwa anawahitaji .
* Maneno hayo yalinikasirisha sana kwa kuwa tulimhitaji sana baba yetu .
Ikiwa ni kifo cha ghafla , yule aliyefiwa anaweza kuwaza hivi , β€˜ Huenda asingekufa ikiwa ningefanya jambo hili au lile . ’
Ikiwa unajilaumu na kukasirika , jitahidi kutoficha hisia zako .
Zungumza na rafiki atakayekusikiliza na kukuhakikishia kwamba watu wengi waliofiwa huhisi hivyo .
Biblia inatukumbusha kwamba : β€œ Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote , naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu . ” β€” Methali 17 : 17 .
Yehova Mungu , Muumba wetu , anaweza kuwa Rafiki bora kwa yeyote aliyefiwa na mpendwa wake .
Mmiminie moyo wako kupitia sala kwa sababu β€˜ anakujali . ’
Zaidi ya hayo , anaahidi kwamba β€œ amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote ” itatuliza mawazo na hisia za wote wanaosali kwake .
Pia , mruhusu Mungu akusaidie kupitia Neno lake linalofariji , Biblia .
Kutafakari maandiko hayo kunaweza kukusaidia hasa usiku unapokuwa peke yako na unashindwa kupata usingizi . β€” Isaya 57 : 15 .
Hivi karibuni , mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 40 ambaye tutamwita Jack , alifiwa na mke wake aliyeugua kansa .
Anasema , β€œ Ninaposali kwa Yehova , sihisi upweke .
Mara nyingi mimi huamka usiku na nyakati nyingine ninakosa usingizi mpaka asubuhi .
Baada ya kusoma na kutafakari Maandiko yenye kufariji na kisha kumimina hisia za moyo wangu kupitia sala , ninahisi utulivu na amani kwa kiasi kikubwa hivi kwamba akili na moyo wangu hutulia na kuniwezesha kulala usingizi . ”
Msichana anayeitwa Vanessa alifiwa na mama yake baada ya kuugua .
Vanessa ameona nguvu ya sala .
Anasema hivi : β€œ Hali inapokuwa ngumu , mimi hutaja jina la Mungu na kuanza kulia .
Yehova husikiliza sala zangu na mara zote hunipa msaada ninaohitaji . ”
Watu wanaokabiliana na huzuni ya kufiwa hushauriwa kuwasaidia wengine au kujitolea katika kazi yoyote itakayonufaisha jamii .
Kufanya hivyo kunaweza kuwapa shangwe na kupunguza huzuni yao .
Wakristo wengi waliofiwa na wapendwa wao wamefarijika sana baada ya kuwasaidia wengine . β€” 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 .
Mungu anaelewa maumivu yako . β€” Zaburi 55 : 22 ; 1 Petro 5 : 7 .
Mungu husikiliza sala za watumishi wake . β€” Zaburi 86 : 5 ; 1 Wathesalonike 5 : 17 .
Mungu huwakumbuka wale waliokufa . β€” Ayubu 14 : 13 - 15 .
Mungu anaahidi kwamba atawafufua wafu . β€” Isaya 26 : 19 ; Yohana 5 : 28 , 29 .
Je , umewahi kuhisi hujui la kufanya ili kumsaidia mtu anayeomboleza baada ya kufiwa na mtu anayempenda ?
Wakati mwingine huenda tunahisi kwamba hatujui la kusema au kufanya hivyo tunaamua kukaa kimya na kutofanya lolote .
Hata hivyo , kuna mambo tunayoweza kufanya ili kumsaidia aliyefiwa .
Mara nyingi unachohitaji kufanya ni kuwa pamoja na yule anayeomboleza na kumwambia maneno kama vile β€œ pole sana . ”
Katika tamaduni nyingi , kumkumbatia mtu au kumshika mkono ni njia moja ya kumwonyesha kwamba unamjali .
Mtu aliyefiwa na mpendwa wake anapoongea , msikilize kwa huruma .
Zaidi ya yote , wasaidie waliofiwa kwa kufanya kazi za nyumbani kama vile kupika chakula , kutunza watoto , au kufanya mipango ya mazishi .
Kumbuka kwamba maneno matupu hayavunji mfupa .
Baada ya muda , unaweza kuzungumzia sifa nzuri au mambo mazuri ambayo yule aliyekufa alifanya .
Mazungumzo hayo yanaweza kumfariji mfiwa .
Kwa mfano , Pam aliyefiwa na mume wake , Ian , miaka sita iliyopita , anasema hivi : β€œ Mara nyingine watu hunieleza mambo mazuri aliyofanya Ian ambayo sikuyajua , na jambo hilo hunifanya nihisi vizuri . ”
Kulingana na utafiti , wafiwa wengi hupewa misaada mingi wakati wa msiba na kisha kusahauliwa baada ya hapo kwa kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake .
Hivyo , jitahidi kuwasiliana na rafiki yako aliyefiwa kwa ukawaida .
* Wafiwa wengi huthamini sana jambo hilo kwa kuwa wanapata nafasi ya kuzungumzia huzuni yao ya muda mrefu .
Mfikirie Kaori , mwanamke Mjapani aliyehuzunika sana baada ya kufiwa na mama yake na kisha miezi 15 baadaye , akafiwa na dada yake .
Jambo la kupendeza ni kwamba rafiki zake wa karibu waliendelea kumsaidia .
Ritsuko ambaye ana umri mkubwa kuliko Kaori aliamua kuwa rafiki yake wa karibu .
Kaori anasema hivi : β€œ Kusema kweli , sikufurahia jambo hilo .
Sikutaka mtu mwingine achukue nafasi ya mama yangu , na sikufikiria kwamba kuna mtu angeweza kuwa kama mama .
Hata hivyo , kwa sababu ya jinsi Mama Ritsuko alivyonitendea , nilianza kumpenda .
Kila juma tulihubiri na kuhudhuria mikutano ya Kikristo pamoja .
Alinialika tunywe chai pamoja , aliniletea vyakula , na mara nyingi aliniandikia barua na kadi .
Mtazamo mzuri wa Mama Ritsuko ulinisaidia sana . ”
Miaka kumi na mbili imepita tangu mama yake Kaori alipokufa na sasa Kaori na mume wake ni waeneza injili wa wakati wote .
Kaori anasema : β€œ Mama Ritsuko anaendelea kunihangaikia .
Ninaporudi kwetu , mara zote ninamtembelea na ninafurahia kuwa pamoja naye . ”
Mtu mwingine aliyenufaika kwa kuendelea kusaidiwa na watu wake wa karibu ni Poli ambaye ni Shahidi wa Yehova kutoka Cyprus .
Sozos , mume wa Poli , alikuwa mwenye fadhili na aliweka mfano mzuri akiwa mchungaji Mkristo kwa kuwakaribisha mayatima na wajane nyumbani kwao ili kushirikiana na kula pamoja nao .
Inasikitisha kwamba Sozos alikufa akiwa na umri wa miaka 53 , baada ya kuugua kansa ya ubongo .
Wakiwa huko walianza kushirikiana na kutaniko la Mashahidi wa Yehova .
Poli anasema : β€œ Rafiki zangu katika kutaniko jipya hawakujua lolote kuhusu maisha yetu ya awali na hali ngumu tulizokabili .
Hata hivyo , hilo halikuwazuia kututia moyo kwa maneno yanayofariji na kutusaidia .
Msaada huo ulikuwa muhimu kwa mwana wangu hasa katika kipindi hicho ambacho alihitaji kuwa karibu sana na baba yake !
Wale wanaosimamia mambo katika kutaniko walimjali sana Daniel .
Mmoja wao alihakikisha kwamba lazima Daniel awepo kila mara alipoalika marafiki au walipoenda kucheza mpira . ”
Kwa sasa Poli na Daniel wanaendelea vizuri .
Ni kweli kwamba kuna njia nyingi za kutoa msaada na kuwafariji wanaoomboleza .
Biblia hutufariji kwa kutoa tumaini zuri la wakati ujao .
Wengine wametia alama tarehe ya kifo cha mpendwa wa rafiki au mshiriki wa familia katika kalenda ili wakumbuke kutoa faraja inapohitajika zaidi , yaani , katika tarehe hiyo au karibu wakati huo .
Huenda unakumbuka kwamba Gail , aliyetajwa mwanzoni mwa mfululizo huu , alikuwa na mashaka kama angeweza kukabiliana na huzuni ya kifo cha mume wake , Rob .
Hata hivyo , anatarajia kumuona tena Rob katika ulimwengu mpya ambao Mungu ameahidi .
Ninawasikitikia sana watu waliofiwa ambao hawajui lolote kuhusu tumaini hili la kuwaona tena wapendwa wao . ”
Hivi karibuni , Mungu atamfufua Ayubu pamoja na watu wengine wengi wakati dunia hii itakapogeuzwa kuwa paradiso .
Biblia inatuhakikishia hivi katika andiko la Matendo 24 : 15 , β€œ Kutakuwa na ufufuo . ”
Pia , Yesu alisema hivi : β€œ Msistaajabie jambo hili , kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake na kutoka . ”
Atarudia β€œ nguvu za ujana wake ” na mwili wake utakuwa β€œ laini kuliko wakati wa ujana . ”
Wale wote watakaopata kibali cha Mungu watafurahia jambo hilo watakapofufuliwa ili waishi duniani .
Ikiwa umefiwa na mtu unayempenda , huenda mambo tuliyozungumzia yasiondoe moja kwa moja huzuni yako .
Hata hivyo , ukitafakari ahadi za Mungu zinazopatikana katika Biblia , utapata tumaini la kweli na nguvu za kuvumilia . β€” 1 Wathesalonike 4 : 13 .
Je , ungependa kujifunza mengi zaidi kuhusu jinsi ya kukabiliana na huzuni ?
Au je , una maswali mengine , kama vile β€œ Kwa nini Mungu ameruhusu uovu na mateso ? ”
Tafadhali tembelea tovuti yetu ya jw.org / sw ili uone jinsi Biblia inavyotoa majibu yanayofariji .
β€œ Mungu . . . atafuta kila chozi kutoka katika macho yao , na kifo hakitakuwapo tena . ” β€” Ufunuo 21 : 3 , 4 .
Toleo hili la gazeti la Mnara wa Mlinzi linazungumzia jinsi ambavyo Mungu atatimiza ahadi hiyo na jinsi unavyoweza kufaidika .
NILIZALIWA mwaka wa 1926 katika kijiji cha Crooksville , Ohio , Marekani .
Baba na Mama hawakuwa wanadini , lakini walituambia sisi watoto nane twende kanisani .
Margaret Walker ( dada wa pili kushoto ) alinisaidia kujifunza kweli
Katika kipindi hicho , jirani yetu aliyeitwa Margaret Walker , ambaye alikuwa Shahidi wa Yehova , alianza kumtembelea mama na kuzungumza naye kuhusu Biblia .
Hata hivyo , niliendelea kutafuta nafasi za kusikiliza mazungumzo yao .
Baada ya ziara kadhaa , Margaret aliniuliza hivi : β€œ Unajua jina la Mungu ? ”
Nilimjibu , β€œ Kila mtu anajua ni Mungu . ”
Akaniambia , β€œ Chukua Biblia yako na usome Zaburi 83 : 18 . ”
Baada ya kusoma , nilitambua kwamba jina la Mungu ni Yehova .
Kisha nilikimbia nje na kuwaambia hivi rafiki zangu : β€œ Mkifika nyumbani leo jioni , someni Zaburi 83 : 18 katika Biblia zenu mwone Mungu anaitwa nani . ”
Unaweza kusema kwamba nilianza kuhubiri mara moja .
Nilijifunza Biblia na nikabatizwa mwaka wa 1941 .
Muda mfupi baadaye , nilipewa mgawo wa kuongoza funzo la kitabu la kutaniko .
Niliwatia moyo mama , dada yangu na wadogo zangu wahudhurie , na wote walianza kuja kwenye funzo la kitabu nililoongoza .
Wakati mwingine akiwa njiani kwenda mkutanoni , Baba angemfuata na kumrudisha nyumbani .
Lakini Mama angeondoka kupitia mlango mwingine na kwenda mkutanoni .
Pia , niliwaambia maofisa kwamba sitakuwa mwanajeshi .
Majuma mawili baadaye , hakimu alisema hivi : β€œ Ungekuwa uamuzi wangu , ningekuhukumu kifungo cha maisha gerezani .
Nilijibu hivi : β€œ Mheshimiwa , ninapaswa kuonwa kuwa mhudumu .
Huwa ninawatembelea watu nyumbani kwao , na nimewahubiria watu wengi habari njema ya Ufalme . ”
Hakimu aliliambia hivi baraza la mahakama : β€œ Hamkuja hapa kuamua ikiwa kijana huyu ni mhudumu au la .
Mmekuja kuamua ikiwa alijiunga na jeshi au la . ”
Nilisali hivi kwa Yehova : β€œ Siwezi kukaa ndani ya chumba hiki kwa miaka mitano .
Siku iliyofuata , walinzi waliniruhusu nitoke nje .
Nilimkaribia mfungwa mmoja mrefu na mwenye nguvu , nasi tukasimama tukitazama nje dirishani .
Aliniuliza hivi : β€œ Ewe Mfupi , kwa nini umefungwa ? ”
Nilijibu , β€œ Mimi ni Shahidi wa Yehova . ”
Nikamwambia , β€œ Mashahidi wa Yehova hawaendi vitani na hawaui watu . ”
Nikasema , β€œ Hata mimi sielewi . ”
Kisha alisema , β€œ Nilikuwa kwenye gereza lingine kwa miaka 15 na huko nilisoma baadhi ya machapisho yenu . ”
Nilikuwa kati ya Mashahidi waliofungwa gerezani huko Ashland , Kentucky , kwa sababu ya kutounga mkono upande wowote
Hivyo ndivyo tulivyohubiri kwa utaratibu .
Nilikuwa na wasiwasi kuhusu familia yetu kwa kuwa Baba alikuwa ameniambia , β€œ Nikifanikiwa kukuondoa wewe , hawa wengine hawatanishinda . ”
Baada ya kuachiliwa , nilishangazwa na maendeleo mazuri niliyokuta katika familia yetu .
Nilisema hivi : β€œ Ni sawa , lakini sitajiunga na jeshi . ”
Kisha nilinukuu andiko la 2 Timotheo 2 : 3 na kusema , β€œ Tayari mimi ni askari - jeshi wa Kristo . ”
Baada ya kimya kirefu , alisema hivi : β€œ Unaweza kuondoka . ”
Muda mfupi baadaye , nilihudhuria mkutano wa wale wanaotaka kutumikia Betheli katika kusanyiko la wilaya lililofanywa jijini Cincinnati , Ohio .
Nilifanya kazi pia katika Majumba ya Kusanyiko huko New York City .
Nimepata marafiki wengi hapa Betheli na kutanikoni .
Nimejifunza Kichina cha Kimandarini na ninafurahia kuwahubiria Wachina katika mahubiri ya barabarani .
Wakati mwingine , ninatoa magazeti 30 au 40 hivi kwa watu wanaopendezwa .
Kuwahubiria Wachina jijini Brooklyn , New York
Nimewahi kufanya ziara ya kurudia ya mtu akiwa nchini China !
Aliyachukua na akaniambia kwamba anaitwa Katie .
Baadaye , alikuwa akija kuzungumza nami kila aliponiona .
Nilimfundisha majina ya matunda na mboga katika Kiingereza , naye alirudia kutaja majina hayo .
Nilimfafanulia pia maandiko ya Biblia , na alikubali kitabu Biblia Inafundisha .
Hata hivyo , baada ya majuma kadhaa , sikumwona tena .
Juma lililofuata alinipa simu yake na kusema , β€œ Zungumza na mtu kutoka China . ”
Nilisema , β€œ Simjui mtu yeyote nchini China . ”
Lakini aliendelea kusisitiza , hivyo nilichukua simu na kusema , β€œ Habari , mimi ni Robison . ”
Sauti kwenye simu ilisema , β€œ Robby , unazungumza na Katie .
Tafadhali mfundishe kama ulivyokuwa ukinifundisha . ”
Nilisema hivi : β€œ Katie , nitafanya yote niwezayo .
Asante kwa kuniambia mahali ulipo . ”
Muda mfupi baadaye , nilizungumza na mdogo wa Katie kwa mara ya mwisho .
Ikiwa ni mapenzi ya Mungu , watu wa familia yetu na marafiki ambao wamekufa watafufuliwa katika ulimwengu mpya .
Makala hii ilipokuwa ikitayarishwa , Corwin Robison alikufa akiwa mwaminifu kwa Yehova .
Ujuzi na uzoefu uliimarishaje imani ya Abrahamu ?
Abrahamu alifanya nini ili kuimarisha urafiki wake na Mungu ?
Unawezaje kumwiga Abrahamu unapoimarisha urafiki wako na Yehova ?
1 , 2 . ( a ) Tunajuaje kwamba wanadamu wanaweza kuwa rafiki za Mungu ?
3 , 4 . ( a ) Abrahamu alikabili jaribu gani kubwa la imani ?
Inaelekea Abrahamu alijifunza jinsi gani kumhusu Yehova , na ujuzi huo ulimsaidiaje ?
Tunawezaje kupata ujuzi na uzoefu utakaoimarisha urafiki wetu na Yehova ?
9 , 10 . ( a ) Ni nini kinachohitajika ili kuwa na urafiki imara ?
( b ) Ni nini kinachoonyesha kwamba Abrahamu alithamini na aliimarisha urafiki wake na Yehova ?
Abrahamu alithamini na alidumisha urafiki wake na Yehova .
Kwa nini Abrahamu alikuwa na wasiwasi kuhusu Sodoma na Gomora , na Yehova alimsaidiaje ?
12 , 13 . ( a ) Ujuzi na mambo ambayo Abrahamu alipitia yalimsaidiaje baadaye ?
( b ) Ni nini kinachoonyesha kwamba Abrahamu alikuwa na uhakika na Yehova ?
Unakabili changamoto gani katika utumishi wako kwa Yehova , na mfano wa Abrahamu unaweza kukusaidiaje ?
Abrahamu na Sara wamjua Yehova na kuanza kumwabudu
Abrahamu anakufa β€œ katika umri mwema wa uzee , akiwa mzee na mwenye kutosheka ”
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Abrahamu hakujutia kamwe uamuzi wake wa kumtii Yehova kwa ushikamanifu ?
Umeazimia kufanya nini , na tutachunguza nini katika makala inayofuata ?
Acheni kila mmoja wetu aazimie kuiga imani ya Abrahamu .
( Soma Waebrania 6 : 10 - 12 . )
Katika makala inayofuata , tutachunguza mifano mingine mitatu ya watu waaminifu ambao walikuwa marafiki wa karibu wa Mungu .
Urafiki wa Mungu na Ruthu unatufundisha nini ?
Kwa nini Mfalme Hezekia alikuwa rafiki wa karibu wa Yehova ?
Ni sifa gani zilizofanya Maria , mama ya Yesu , awe rafiki ya Yehova Mungu ?
1 - 3 . ( a ) Ni nini kinachoonyesha kwamba tunaweza kuwa rafiki za Mungu ?
( b ) Tutazungumzia nini katika makala hii ?
Ruthu alihitaji kufanya uamuzi gani mgumu , na kwa nini ilikuwa vigumu kufanya uamuzi huo ?
( a ) Ruthu alifanya uamuzi gani wa hekima ?
( b ) Kwa nini Boazi alimsifu Ruthu kwa kutafuta kimbilio chini ya mabawa ya Yehova ?
Ni nini kinachoweza kuwasaidia wale wanaosita kujiweka wakfu kwa Yehova ?
9 , 10 . ( a ) Kwa nini ingekuwa rahisi kwa Hezekia kuwa mwenye ghadhabu ?
( b ) Kwa nini hatupaswi kuwa na ghadhabu dhidi ya Mungu ?
( c ) Kwa nini hatupaswi kufikiri kwamba malezi yetu huamua jinsi maisha yetu yatakavyokuwa ?
Vijana wengi wanakubali kweli haidhuru wamelelewa katika familia za aina gani ( Tazama fungu la 9 na 10 )
Kwa nini Hezekia alikuwa miongoni mwa wafalme bora wa Yuda ?
( Soma 2 Wafalme 18 : 5 , 6 . )
Watu wengi leo wamethibitishaje kwamba wao ni rafiki za Yehova ?
Kwa nini mgawo ambao Maria alipewa ulionekana kuwa mgumu sana , lakini Maria aliitikiaje maneno ya Gabrieli ?
Ni nini kinachoonyesha kwamba Maria alikuwa msikilizaji mzuri ?
Katika visa hivyo vyote , Maria alisikiliza , alikumbuka , na alitafakari kwa kina mambo aliyosikia . β€” Soma Luka 2 : 16 - 19 , 49 , 51 .
Maneno ya Maria yanafunua nini ?
Tunawezaje kuiga imani ya Maria ?
Tunapoiga imani ya pekee ya watu wanaotajwa katika Biblia , tunaweza kuwa na uhakika gani ?
NI SIKU gani ulikuwa na shangwe zaidi maishani mwako ?
Je , ni siku uliyofunga ndoa au siku ambayo mtoto wako wa kwanza alizaliwa ?
Bila shaka umefurahia sana kumtumikia Yehova tangu ulipobatizwa .
Na ni sababu gani zinazotuchochea tuendelee kumtumikia Yehova kwa shangwe ?
Kumbuka kwamba Yesu alisema , β€œ Njooni kwangu , nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo , nami nitawaburudisha ninyi .
Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu , kwa maana mimi ni mwenye tabia - pole na mnyenyekevu moyoni , nanyi mtapata burudisho kwa ajili ya nafsi zenu .
Tunamtumikia Mpaji wetu wa Uhai , Mungu mwenye furaha .
Mfikirie HΓ©ctor , ambaye amemtumikia Yehova akiwa mwangalizi anayesafiri kwa miaka 40 .
Anasema hivi : β€œ Ingawa ninahuzunika kuona afya ya mke wangu ikidhoofika na kufanya iwe vigumu kumtunza , sijaruhusu hilo liondoe shangwe yangu ya kumtumikia Mungu wa kweli .
Kujua kwamba chanzo cha uhai wangu ni Yehova , ambaye aliwaumba wanadamu akiwa na kusudi fulani , ni sababu tosha ya kumpenda sana na kumtumikia kwa moyo wote .
Ninajitahidi kudumisha bidii yangu ya kuhubiri na kukazia fikira tumaini la Ufalme ili nisipoteze shangwe yangu . ”
Yehova ametupatia zawadi ya fidia ili tuwe na maisha yenye furaha .
Kwa kweli , β€œ Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa - pekee , ili kila mtu anayemwamini asiangamizwe bali awe na uzima wa milele . ”
JesΓΊs alirahisisha maisha yake na kumtumikia Yehova kwa shangwe kwa miaka mingi
Nilifanya hivyo ili tu nipate pesa zaidi .
Kisha nilijifunza kumhusu Yehova na jinsi alivyomtoa Mwana wake mpendwa kwa ajili ya wanadamu .
Hilo lilinifanya nitamani sana kumtumikia .
Hivyo , nilijiweka wakfu kwa Yehova , nikaacha kazi yangu niliyoifanya kwa miaka 28 na kuanza utumishi wa wakati wote . ”
Je , unakumbuka maisha yako yalikuwaje kabla hujamjua Yehova ?
Mtume Paulo aliwakumbusha Wakristo wa Roma kwamba zamani walikuwa β€œ watumwa wa dhambi ” lakini walikuja β€œ kuwa watumwa wa uadilifu . ”
β€œ Miaka yenye furaha zaidi maishani mwangu ni ile ambayo nimetumia kumtumikia Yehova . ” β€” Jaime
Jaime anasema hivi : β€œ Hatua kwa hatua , nilitambua kwamba kuna Mungu mwenye rehema ambaye ni Baba mwenye upendo .
Kuishi kulingana na viwango vya Yehova vya uadilifu kumenilinda .
Ikiwa nisingebadilika , huenda ningeuawa kama baadhi ya rafiki zangu waliokuwa katika mchezo wa ndondi .
Miaka yenye furaha zaidi maishani mwangu ni ile ambayo nimetumia kumtumikia Yehova . ”
Yonathani , mwana wa Mfalme Sauli , alionyeshaje kwamba alikuwa mshikamanifu kwa Yehova ?
Tunawezaje kuwa washikamanifu kwa Mungu tunapoona kwamba mtu fulani mwenye mamlaka hastahili kupewa heshima ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba sisi ni washikamanifu kwa Yehova wengine wanapotuelewa vibaya au kututendea isivyo haki ?
Kwa nini urafiki wa Yonathani na Daudi ni mfano bora wa ushikamanifu ?
Ni jambo gani lililokuwa muhimu zaidi kwa Yonathani kuliko kuwa mshikamanifu kwa Daudi , nasi tunajuaje ?
( a ) Ni nini kitakachotupatia shangwe ya kweli na kuridhika ?
Kwa nini haikuwa rahisi kwa Waisraeli kuwa washikamanifu kwa Mungu Sauli alipokuwa mfalme ?
Ni nini kinachoonyesha kwamba Yonathani aliendelea kuwa mshikamanifu kwa Yehova ?
Kwa nini tunapaswa kuheshimu mamlaka ?
Kwa nini Yonathani alichagua kuwa mshikamanifu kwa Daudi ?
Kumpenda Mungu hutusaidiaje tuwe washikamanifu kwake ?
Kuwa washikamanifu kwa Mungu kunatusaidiaje kushughulikia matatizo ya familia ?
Tunapaswa kufanya nini ikiwa ndugu ametutendea isivyo haki ?
Ni katika hali gani tunapaswa kuwa washikamanifu kwa Mungu na kutokuwa na ubinafsi ?
[ 1 ] ( fungu la 9 ) Baadhi ya majina yamebadilishwa .
Kwa nini Yonathani alimtendea Daudi kwa njia tofauti na Abneri ?
Ni sifa gani zitakazotusaidia tuwe washikamanifu kwa Mungu , na jinsi gani ?
Daudi alionyeshaje kwamba alikuwa mshikamanifu kwa Mungu ?
( a ) Ni kwa njia gani Daudi alikuwa mfano mzuri wa ushikamanifu kwa Mungu ?
( b ) Tutachunguza nini katika makala hii ?
Tunajifunza nini kutokana na kosa la Abishai ?
Ingawa ni kawaida kushikamana na watu wa familia na marafiki , kwa nini tunapaswa kuwa waangalifu ?
Dada mmoja alidumishaje ushikamanifu wake kwa Mungu alipokabili hali ngumu ?
Ni sifa gani zitakazotusaidia tuwe washikamanifu kwa Mungu ?
Masimulizi ya Biblia kumhusu Abneri , Absalomu , na Baruku yanatufundisha nini ?
Na wewe unaendelea kujitafutia makuu .
Eleza ni kwa nini hatuwezi kuwa washikamanifu kwa Mungu ikiwa tuna ubinafsi .
Baada ya kutoa sala nyingi na machozi , nilifanya hivyo .
Daudi alipofanya dhambi , Nathani alidumishaje ushikamanifu wake kwa Mungu na kwa Daudi ?
Unawezaje kuwa mshikamanifu kwa Yehova na kwa rafiki au mtu wako wa familia ?
Kwa nini Hushai alihitaji ujasiri ili awe mshikamanifu kwa Mungu ?
Kwa nini tunahitaji ujasiri ili tuwe washikamanifu ?
Nilisali ili nipate ujasiri wa kushikamana na uamuzi wangu .
Sasa mtazamo wao umebadilika , nami ninaweza kuwatembelea kwa ukawaida . ” β€” Soma Methali 29 : 25 .
[ 1 ] ( fungu la 7 ) Baadhi ya majina yamebadilishwa .
HABARI KUU | KWA NINI YESU ALITESEKA NA KUFA ?
Mwaka wa 33 W.K . , Yesu Mnazareti aliuawa .
Alishtakiwa kwa uwongo kuwa mchochezi , akapigwa kikatili , na kutundikwa mtini .
Lakini Mungu alimfufua , na siku 40 baadaye , Yesu akapaa kwenda mbinguni .
Simulizi hilo la pekee linatoka katika Injili nne za Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo , ambazo hujulikana kama Agano Jipya .
Kwa upande mwingine , ikiwa mambo hayo yalitukia , basi kuna tumaini zuri ambalo unaweza kupata .
Kwa hiyo , masimulizi ya Injili ni ya kweli au hadithi tu ?
Tofauti na hekaya zilizobuniwa , masimulizi ya Injili ni sahihi na yanaeleza mambo hususa .
Kwa mfano , masimulizi hayo yamejaa majina ya maeneo halisi ambayo yanaweza kutembelewa leo .
Yanataja kuhusu watu halisi , ambao wanahistoria wamethibitisha kwamba waliishi . β€” Luka 3 : 1 , 2 , 23 .
Yesu anatajwa na waandishi wa karne ya kwanza na ya pili .
* Kifo chake kinachofafanuliwa katika Injili kinapatana na jinsi Waroma walivyokuwa wakiwaua wahalifu .
Pia , matukio yanaelezwa kwa unyoofu kutia ndani hata makosa ya baadhi ya wanafunzi wa Yesu .
Mambo yote hayo yanaonyesha wazi kwamba waandishi wa Injili walikuwa wanyoofu na walisema mambo kwa usahihi kumhusu Yesu .
Ingawa watu wengi hukubali kwamba Yesu aliishi na kufa , baadhi wana mashaka na ufufuo wake .
Hata mitume wake hawakuamini waliposikia kwa mara ya kwanza kwamba amefufuliwa .
Hata hivyo , waliamini kwamba Yesu amefufuliwa walipomwona katika pindi tofauti - tofauti .
Hata katika kisa kimoja , watu 500 walimwona Yesu . β€” 1 Wakorintho 15 : 6 .
Bila kuogopa kukamatwa na kuuawa , wanafunzi wa Yesu waliwatangazia watu wote ufufuo wa Yesu kwa ujasiri β€” hata wale waliomuua .
Je , wanafunzi hao wote wangekuwa na ujasiri kama wasingekuwa na uhakika kwamba Yesu amefufuliwa ?
Kwa kweli , ufufuo wa Yesu umewachochea watu wengi ulimwenguni wavutiwe na Ukristo sasa na wakati uliopita .
Masimulizi ya Injili ya kifo na ufufuo wa Yesu ni sahihi .
Ukiyasoma kwa makini utapata uhakika kwamba matukio hayo ni ya kweli .
Usadikisho wako utaimarishwa zaidi ukielewa kwa nini mambo hayo yalitukia .
Tasito , aliyezaliwa mwaka wa 55 W.K . , aliandika kuwa , β€œ Kristo , ambaye ndiye chanzo cha jina [ Wakristo ] , alihukumiwa kifo na gavana wetu Pontio Pilato wakati wa utawala wa Tiberio . ”
Yesu anatajwa pia na Suetonius ( karne ya kwanza ) ; mwanahistoria wa Kiyahudi Yosefo ( karne ya kwanza ) ; na Plini Mdogo , gavana wa Bithinia ( mwanzoni mwa karne ya pili ) .
Pia , si rahisi kwamba wapinzani wa Yesu wangeandika jambo lolote kumhusu ambalo lingewachochea watu wamwamini .
Mtume Petro anaeleza hivi kuhusu ufufuo wa Yesu : β€œ Mungu alimfufua Huyu katika siku ya tatu na kumfunua , si kwa watu wote , bali kwa mashahidi waliowekwa kimbele na Mungu , kwetu sisi , tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuliwa kwake kutoka kwa wafu . ”
Injili ya Mathayo inatuambia kwamba maadui wa Yesu waliposikia habari za ufufuo wake , walipanga njama ya kukomesha habari hizo . β€” Mathayo 28 : 11 - 15 .
Je , hilo linamaanisha kwamba Yesu alitaka ufufuo wake uwe siri ?
Hapana , kwa kuwa Petro alisema hivi : β€œ Alituagiza sisi tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili kwamba Huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu . ”
Wakristo wa kweli wanafanya hivyo . β€” Matendo 10 : 42 .
β€œ Kupitia mtu mmoja [ Adamu ] dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi . ” β€” Waroma 5 : 12
Utajibuje ukiulizwa , β€œ Je , unataka kuishi milele ? ”
Huenda watu wengi wakasema kwamba wanataka lakini wanahisi haiwezekani .
Wanasema kifo ni sehemu ya maisha na hakiepukiki .
Hata hivyo , tuseme swali hilo ligeuzwe na uulizwe , β€œ Uko tayari kufa ? ”
Katika hali ya kawaida , watu wengi watajibu hapana .
Biblia inaonyesha Mungu aliwaumba wanadamu wakiwa na tamaa ya kuishi .
Ndiyo maana inasema kuwa , β€œ wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao . ” β€” Mhubiri 3 : 11 .
Hata hivyo , ukweli ni kwamba wanadamu hawaishi milele .
Na Je , Mungu amefanya jambo lolote ili kurekebisha hali hiyo ?
Majibu ya Biblia yanatia moyo , na yanahusiana na mateso na kifo cha Yesu .
Sura tatu za kwanza za kitabu cha Biblia cha Mwanzo zinatueleza kwamba Mungu aliwapa mume na mke wa kwanza , Adamu na Hawa , tarajio la kuishi milele na aliwaambia jambo la kufanya ili tarajio hilo litimie .
Kisha simulizi hilo linaeleza jinsi walivyoshindwa kumtii Mungu na wakapoteza tarajio hilo .
Simulizi hilo linaelezwa kwa njia rahisi hivi kwamba baadhi ya watu wanaona kuwa ni hadithi .
Kitabu cha Mwanzo kinaeleza mambo ya kweli kama vitabu vya Injili .
Uasi wa Adamu ulitokeza nini ?
Biblia inasema hivi : β€œ Kupitia mtu mmoja [ Adamu ] dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi , na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi . ”
Hivyo akapoteza tarajio la kuishi milele na hatimaye akafa .
Tukiwa wazao wake , tumerithi dhambi .
Lakini je , Mungu amefanya lolote ili kurekebisha jambo hilo ?
Mungu amefanya mpango ili kurudisha , au kununua tena , kitu ambacho Adamu aliwapotezea wazao wake , yaani , tumaini la kuishi milele .
β€œ Mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo , ” inasema Biblia katika Waroma 6 : 23 .
Hilo linamaanisha kwamba kifo ni matokeo ya dhambi .
Vivyo hivyo , tunatenda dhambi na hivyo lazima tupate mshahara wa dhambi , yaani , kifo .
Ingawa hatuna hatia , tumerithi dhambi hiyo .
Hivyo , Mungu alimtuma Mwana wake , Yesu , abebe β€˜ mshahara wa dhambi ’ kwa ajili yetu .
Kifo cha Yesu kinatufungulia njia ya kupata maisha yenye furaha milele
Kwa kuwa mtu mmoja , mwanadamu mkamilifu Adamu , alituletea dhambi na kifo kwa sababu ya kutotii , mwanadamu mkamilifu aliyetii hadi kifo alihitajika ili kutuondolea mzigo huo .
Biblia inaeleza jambo hilo kwa njia hii : β€œ Kama vile kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa watenda - dhambi , vivyo hivyo pia kupitia kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa kuwa waadilifu . ”
Alitoka mbinguni , akawa mwanadamu mkamilifu * , na akafa kwa niaba yetu .
Matokeo ni kwamba tunaweza kuwa na msimamo mzuri mbele za Mungu na kupata tarajio la kuishi milele .
Hata hivyo , kwa nini ilikuwa lazima Yesu afe ili kutimiza hilo ?
Je , Mungu Mweza - Yote asingeweza kutoa agizo kwamba wazao wa Adamu waruhusiwe kuishi milele ?
Ikiwa Mungu angepuuza haki katika kisa hiki , watu wangejiuliza ikiwa atafanya hivyo tena katika mambo mengine pia .
Kwa mfano , je , angetumia haki kuamua ni nani kati ya wazao wa Adamu anayestahili kupata uzima wa milele ?
Je , anaweza kutumainiwa katika kutimiza ahadi zake ?
Kutumia haki katika kutuletea ukombozi kunatuhakikishia kwamba sikuzote Mungu atafanya lililo sawa .
Kupitia kifo cha Yesu cha kidhabihu , Mungu alituletea tarajio la kuishi milele katika Paradiso hapa duniani .
Ona maneno ya Yesu katika Yohana 3 : 16 : β€œ Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa - pekee , ili kila mtu anayemwamini asiangamizwe bali awe na uzima wa milele . ”
Hivyo , kifo cha Yesu kinaonyesha Mungu anavyotenda haki , lakini pia kinaonyesha jinsi anavyowapenda sana wanadamu .
Hata hivyo , kwa nini Yesu alihitaji kuteseka na kufa kwa maumivu makali kama inavyoonyeshwa katika Injili ?
Kwa kupata majaribu makali na kuwa mwaminifu , Yesu alipinga dai la Shetani kwamba wanadamu hawawezi kuendelea kuwa washikamanifu kwa Mungu wanapojaribiwa .
Dai hilo lilionekana halali Shetani alipomshawishi Adamu mkamilifu atende dhambi .
Lakini Yesu β€” ambaye alikuwa sawa kabisa na Adamu β€” aliendelea kuwa mwaminifu ingawa alipata mateso makali .
Hivyo akathibitisha kwamba Adamu angeweza pia kumtii Mungu ikiwa angetaka .
Kwa kuvumilia majaribu , Yesu alituwekea mfano wa kuiga .
Kutokana na utii wake , Mungu alimthawabisha Mwana wake , Yesu kwa kumpa uhai usioweza kufa mbinguni .
Yesu alituonyesha jambo la kufanya aliposema hivi : β€œ Uzima wa milele ndio huu , waendelee kupata ujuzi juu yako wewe , Mungu wa pekee wa kweli , na juu ya yule uliyemtuma , Yesu Kristo . ” β€” Yohana 17 : 3 .
Wachapishaji wa gazeti hili wanakualika ujifunze mengi zaidi kumhusu Mungu wa kweli Yehova , na kumhusu Mwana wake , Yesu Kristo .
Mashahidi wa Yehova katika eneo unaloishi watafurahi kukusaidia .
Pia unaweza kupata habari zaidi kwa kutembelea tovuti yetu ya www.jw.org / sw .
Soma makala yenye kichwa β€œ The Historical Character of Genesis , ” ya kitabu cha Insight on the Scriptures , buku la 1 , ukurasa wa 922 , kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova .
Yehova alihamisha uhai wa Mwana wake kutoka mbinguni na kuutia katika tumbo la Maria , na roho ya Mungu ikamlinda Yesu ili asirithi kutokamilika kutoka kwa Maria . β€” Luka 1 : 31 , 35 .
Usiku uliotangulia kifo chake , Yesu aliwakusanya mitume wake waaminifu na kuanzisha Ukumbusho wa kifo chake .
Aliwaambia hivi : β€œ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi . ”
Ili kutii amri hiyo , Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote wanakusanyika kila mwaka kuadhimisha kifo cha Yesu .
Mwaka huu , Ukumbusho wa kifo cha Yesu utafanyika Jumatano , Machi 23 , baada ya jua kutua .
Kiingilio ni bure ; hakuna sadaka zitakazokusanywa .
Tafadhali waombe Mashahidi wa Yehova katika eneo lenu wakueleze mahali na wakati wa mwadhimisho huo .
Au tembelea tovuti yetu ya www.jw.org / sw .
JE , UNGESEMA Ibilisi ni . . .
Uovu ulio ndani ya mtu ?
Ibilisi aliongea na β€˜ alimjaribu ’ Yesu .
Mwanzoni , Ibilisi alikuwa malaika mtakatifu , hata hivyo β€œ hakusimama imara katika kweli . ”
Akawa mwongo na kisha akamwasi Mungu .
Malaika wengi waliunga mkono uasi wa Shetani . β€” Ufunuo 12 : 9 .
Ibilisi amepotosha watu wengi kwa kuwafanya waamini kwamba hayuko . β€” 2 Wakorintho 4 : 4 .
BAADHI YA WATU WANASEMA si kweli kwamba Ibilisi anaongoza watu , na wengine wanaogopa sana roho waovu .
Ingawa Ibilisi amefanikiwa kushawishi idadi kubwa ya wanadamu , haongozi kila mwanadamu .
Ibilisi anatumia uwongo ili kushawishi watu wengi zaidi . β€” 2 Wakorintho 11 : 14 .
Katika visa fulani roho waovu huongoza watu . β€” Mathayo 12 : 22 .
Mungu anaweza kukusaidia ufanikiwe β€˜ kumpinga Ibilisi . ’ β€” Yakobo 4 : 7 .
β€œ Ni nani kati yenu anayetaka kujenga mnara ambaye haketi kwanza na kuhesabu gharama , ili aone kama ana kiasi cha kutosha kuukamilisha ? ” β€” LUKA 14 : 28 .
Ukomavu ni nini , na Danieli alionyeshaje sifa hiyo ?
Unajuaje kwamba uamuzi wako wa kutaka kubatizwa unatoka moyoni ?
Kujiweka wakfu ni nini , na kunahusianaje na ubatizo ?
1 , 2 . ( a ) Ni nini huwapa watu wa Mungu shangwe leo ?
( b ) Wazazi Wakristo na wazee wa kutaniko wanaweza kuwasaidiaje vijana waelewe maana ya kubatizwa ?
Ningependa kukuuliza , β€˜ Kwa nini unataka kuchukua hatua hiyo ? ’ ”
( Soma Luka 14 : 27 - 30 . )
( a ) Maneno ya Yesu na Petro yanatufundisha nini kuhusu umuhimu wa kubatizwa ?
( b ) Tutachunguza maswali gani , na kwa nini ?
( 2 ) Je , ninatamani kutoka moyoni kufanya hivyo ?
( 3 ) Je , ninaelewa maana ya kujiweka wakfu kwa Yehova ?
4 , 5 . ( a ) Kwa nini si watu wenye umri mkubwa tu ndio wanaopaswa kubatizwa ?
( b ) Eleza maana ya kuwa Mkristo mkomavu .
Tunasoma hivi kwenye Methali 20 : 11 : β€œ Kwa matendo yake , mvulana hujitambulisha kama utendaji wake ni safi na mnyoofu . ”
6 , 7 . ( a ) Eleza changamoto ambazo Danieli alikabili alipokuwa Babiloni . ( b ) Danieli alionyeshaje kwamba alikuwa amekomaa ?
Kijana aliyekomaa hatendi kama rafiki ya Mungu akiwa Jumba la Ufalme lakini kama rafiki ya ulimwengu akiwa shuleni ( Tazama fungu la 8 )
Hatendi kama rafiki ya Mungu akiwa Jumba la Ufalme lakini kama rafiki ya ulimwengu akiwa shuleni .
9 , 10 . ( a ) Kijana anaweza kunufaikaje kwa kutafakari jinsi alivyotenda hivi karibuni alipokabili majaribu ya imani ?
11 , 12 . ( a ) Mtu anayefikiria kubatizwa anahitaji kuwa na uhakika gani ?
( b ) Ni nini kitakachokusaidia uwe na maoni yanayofaa kuhusu mpango wa Yehova wa ubatizo ?
Unaweza kutambuaje ikiwa uamuzi wako wa kutaka kubatizwa unatoka moyoni ?
Anakukabidhi hati rasmi za gari na kukuambia , β€œ Hili ni gari lako . ”
18 , 19 . ( a ) Maelezo ya Rose na Christopher yanaonyeshaje kwamba kubatizwa huleta baraka ?
( b ) Unahisije kuhusu hatua muhimu sana uliyochukua ya kubatizwa ?
Ninafurahia sana kufanya kazi kwa ajili ya Yehova na tengenezo lake . ”
Inamaanisha nini β€˜ kushawishiwa kuamini ’ ?
β€œ Matendo matakatifu ya mwenendo ” na β€œ vitendo vya ujitoaji - kimungu ” ni nini ?
Kutafakari kuhusu fidia kunawezaje kukusaidia umpende zaidi Yehova ?
1 , 2 . ( a ) Kwa nini kubatizwa ni jambo zito ?
Vijana wanaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Timotheo ?
Eleza jinsi miongozo ya kujifunza inavyoweza kukusaidia uimarishe imani yako ?
Dada mmoja kijana alisema hivi : β€œ Kabla ya kuamua kubatizwa , nilijifunza Biblia na nikatambua kwamba hii ndiyo dini ya kweli .
Na kila siku maishani mwangu , uhakika huo unazidi kuimarika . ”
Kwa nini tunatarajia kwamba Mkristo aliyebatizwa ataonyesha matendo yanayopatana na imani yake ?
Biblia inasema hivi : β€œ Imani , ikiwa haina matendo , imekufa yenyewe . ”
β€œ Matendo matakatifu ya mwenendo ” ni nini ?
Kwa mfano , fikiria matendo yako katika miezi sita iliyopita .
Taja baadhi ya β€œ vitendo vya ujitoaji - kimungu , ” na unapaswa kuvionaje ?
Ni mambo gani yanayoweza kukusaidia uwe na β€œ vitendo vya ujitoaji - kimungu , ” na baadhi ya vijana wamenufaikaje ?
β€œ Funzo lako la kibinafsi linatia ndani nini ? ”
β€œ Wewe huenda kuhubiri hata ikiwa wazazi wako hawaendi ? ”
Dada mmoja kijana aitwaye Tilda , alisema hivi : β€œ Nilitumia kurasa hizo kujiwekea malengo .
Nilifikia malengo hayo moja baada ya lingine , na mwaka mmoja hivi baadaye nilikuwa tayari kubatizwa . ”
Je , utaendelea kumtumikia Yehova hata wazazi wako wakiacha kumtumikia ?
Kwa nini uamuzi wa kujiweka wakfu unapaswa kuwa wa kibinafsi ?
16 , 17 . ( a ) Ni nini kinachopaswa kumchochea mtu awe Mkristo ?
( b ) Toa mfano unaoweza kutusaidia tuithamini fidia .
Yesu alimjibu : β€œ Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote . ”
( Soma 2 Wakorintho 5 : 14 , 15 ; 1 Yohana 4 : 9 , 19 . )
18 , 19 . ( a ) Kwa nini hupaswi kuogopa kujiweka wakfu kwa Yehova ?
( b ) Kumtumikia Yehova kunaboreshaje maisha yako ?
Kijana anaweza kufanya nini ili afanye maendeleo na hatimaye kujiweka wakfu na kubatizwa ?
β€œ Ninaweza Kuboreshaje Sala Zangu ? ” ​ β€” Novemba 2008
β€œ Ninaweza Kufanya Nini ili Nifurahie Kusoma Biblia ? ” ​ β€” Aprili 2009
β€œ Mimi Ni Nani ? ” ​ β€” Oktoba 2011
β€œ Nifanye Nini ili Nifurahie Kujifunza Biblia ? ” ​ β€” Februari 2012
β€œ Kwa Nini Uhudhurie Mikutano ya Kikristo ? ” ​ β€” Aprili 2012
Kuhubiri habari njema kunatuunganisha jinsi gani ?
Tunaweza kuchangiaje umoja kutanikoni ?
Mume na mke wanaweza kudumishaje umoja ?
Ni sifa gani ambayo imekuwa ikionekana wazi katika kazi za Mungu ?
( a ) Ni sifa gani iliyoonekana wazi katika kutaniko la Kikristo la karne ya kwanza ?
( b ) Tutachunguza maswali gani ?
( Soma 1 Wakorintho 12 : 4 - 6 , 12 . )
Tukifanya kazi kwa umoja , tutafanikiwa kutimiza nini ?
8 , 9 . ( a ) Paulo alitumia mfano gani ili kuwafundisha Wakristo waendelee kuwa na umoja ?
( b ) Tunaweza kushirikiana jinsi gani kutanikoni ?
( Soma Waefeso 4 : 15 , 16 . )
Watumishi wa huduma wanachangiaje umoja kutanikoni ?
Ni nini kinachoweza kuwasaidia washiriki wa familia washirikiane ?
Ikiwa mume au mke wako hamtumikii Yehova , unaweza kufanya nini ili uimarishe ndoa yako ?
Wenzi wa ndoa wenye umri mkubwa wanaweza kuwasaidiaje vijana ?
Watumishi wa Mungu wenye umoja wanatazamia nini ?
Yehova alitoa miongozo gani katika siku za Noa na katika siku za Musa ?
Mungu aliwapa Wakristo miongozo gani mipya ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunategemea mwongozo wa Mungu ?
1 , 2 . ( a ) Ni onyo gani ambalo limeokoa uhai wa watu wengi ?
Familia ya wanadamu iliingiaje katika njia inayoongoza kwenye kifo ?
( a ) Kwa nini miongozo mipya ilihitajika baada ya Gharika ?
( b ) Hali mpya ilifunuaje maoni ya Mungu ?
Tutachunguza nini , na kwa nini ?
Kwa nini watu wa Mungu walipaswa kutii sheria walizopewa kupitia Musa , nao walihitaji kuwa na mtazamo gani ?
( a ) Eleza ni kwa nini Yehova aliwapa watu wake miongozo . ( b ) Ni kwa njia gani Sheria ilikuwa mtunzaji kwa Waisraeli ?
Kwa nini tunapaswa kuongozwa na kanuni zilizo katika Sheria ya Musa ?
Ni hali gani mpya zilizotokeza uhitaji wa miongozo mipya kutoka kwa Mungu ?
Kwa nini kutaniko la Kikristo lilipewa sheria mpya , nazo zilitofautianaje na sheria walizopewa Waisraeli ?
Kwa kweli , β€œ Mungu hana ubaguzi , bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake . ”
β€œ Sheria ya Kristo ” inahusisha mambo gani mawili ambayo Wakristo wanahitaji kuzingatia ?
13 , 14 . ( a ) β€œ Amri mpya ” ya Yesu inahusisha nini ?
( b ) Mfano wa Yesu unatufundisha nini ?
( Soma Yohana 13 : 34 , 35 . )
Tunakabili hali gani mpya sasa , na Mungu anatuongozaje ?
Tunapaswa kupokeaje miongozo tunayopata ?
Je , unaona maagizo hayo kuwa mwongozo kutoka kwa Mungu ?
Ni vitabu gani vya kukunjwa vitakavyofunguliwa , na kutakuwa na matokeo gani ?
Pia , inaeleza kazi ambayo uvumilivu unapaswa kukamilisha ndani ya kila mmoja wetu .
Mfano wa Yeftha na binti yake unaweza kutusaidiaje kupinga mtazamo wa ulimwengu ?
Ni kanuni gani za Biblia ambazo zimekusaidia ufanye maamuzi yanayofaa ?
Makala hii imekuchocheaje ujidhabihu kwa ajili ya Ufalme ?
Yeftha na binti yake walikabili changamoto gani ?
Mfano wa Yeftha na binti yake unaweza kutusaidiaje leo ?
4 , 5 . ( a ) Yehova aliwapa Waisraeli amri gani walipokaribia kuingia katika Nchi ya Ahadi ?
( b ) Kulingana na Zaburi 106 , Waisraeli walipatwa na nini walipokosa kutii ?
Ulimwengu wa leo ukoje , na tunapaswa kujitahidi kufanya nini ?
( a ) Yeftha alitendewaje na watu wa taifa lake ?
8 , 9 . ( a ) Ni kanuni gani zilizo katika Sheria ya Musa ambazo huenda zilimsaidia Yeftha ?
( b ) Ni jambo gani lililokuwa muhimu zaidi kwa Yeftha ?
Kanuni za Mungu zinaweza kutusaidiaje tutende Kikristo ?
Yeftha aliweka nadhiri gani , nayo ilihusisha nini ?
Maneno ya Yeftha kwenye Waamuzi 11 : 35 yanafunua nini kuhusu imani yake ?
Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake . ”
Wengi wetu tumetoa ahadi gani , na tunaweza kuonyeshaje kwamba sisi ni waaminifu ?
Binti ya Yeftha aliitikiaje ahadi ya baba yake ?
( a ) Tunaweza kuigaje imani ya Yeftha na binti yake ?
( b ) Andiko la Waebrania 6 : 10 - 12 linakuchocheaje ujidhabihu ?
Tumejifunza nini katika simulizi la Yeftha na binti yake , na tunaweza kuwaigaje ?
Inamaanisha nini kuacha β€œ uvumilivu ukamilishe kazi yake ” ?
1 , 2 . ( a ) Tunajifunza nini kutokana na uvumilivu wa Gideoni na wanaume wake 300 ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Kulingana na Luka 21 : 19 , kwa nini uvumilivu ni muhimu sana ?
Adui zetu ni pamoja na Shetani , ulimwengu wake , na udhaifu wetu .
Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa wale waliovumilia ?
Kwa nini tunaweza kusema kwamba upendo ndio hutuchochea tuvumilie ?
( Soma 1 Wakorintho 13 : 4 , 7 . )
Kuwapenda ndugu zetu kunatusaidia tuvumilie udhaifu wao .
Kwa nini Yehova ndiye anayeweza kutupatia msaada bora zaidi ili tuvumilie ?
Yehova ni β€œ Mungu anayetoa uvumilivu na faraja . ”
Kama ilivyoahidiwa katika Biblia , Yehova β€˜ anafanyaje njia ya kutokea ’ tunapokabili majaribu ?
Toa mfano unaoonyesha ni kwa nini tunahitaji chakula cha kiroho ili tuvumilie .
8 , 9 . ( a ) Kulingana na Ayubu 2 : 4 , 5 , ni jambo gani linalohusika tunapokabili majaribu ?
( b ) Unaweza kuwazia tukio gani unapokabili majaribu ?
Je , Shetani amebadilika tangu alipotoa dai hilo ?
Kwa nini tunapaswa kuchunguza mambo waliyopitia β€œ wale ambao wamevumilia ” ?
Tunajifunza nini kutokana na mfano wa makerubi waliowekwa katika Edeni ?
Ni nini kilichomsaidia Ayubu avumilie majaribu ?
42 : 10 , 17 .
Kama 2 Wakorintho 1 : 6 inavyosema , uvumilivu wa Paulo uliwasaidiaje wengine ?
( Soma 2 Wakorintho 1 : 6 . )
15 , 16 . ( a ) Ni β€œ kazi ” gani inayopaswa kukamilishwa na uvumilivu ?
( b ) Toa mifano inayoonyesha jinsi tunavyoweza kuacha β€œ uvumilivu ukamilishe kazi yake . ”
Tunapovumilia majaribu , utu wetu wa Kikristo unakuwa kamili zaidi ( Tazama fungu la 15 na 16 )
17 , 18 . ( a ) Toa mfano unaoonyesha umuhimu wa kuvumilia mpaka mwisho . ( b ) Tunaweza kuwa na uhakika gani mwisho unapokaribia ?
[ 1 ] ( fungu la 11 ) Utatiwa moyo pia ukisoma masimulizi yanayohusu uvumilivu wa watu wa Mungu katika nyakati zetu .
[ 2 ] ( fungu la 12 ) Biblia haisemi ni makerubi wangapi walipewa kazi hiyo .
β€œ Siku baada ya siku walikuwa wakihudhuria daima kwenye hekalu . ” β€” MDO . 2 : 46 .
Jinsi tunavyowanufaisha wengine tunapohudhuria mikutano .
1 - 3 . ( a ) Wakristo wameonyeshaje kwamba wanapenda kukutanika pamoja ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Tutazungumzia nini katika makala hii ?
Imani yetu ilijengwa na tuliimarishwa sana . ”
Mikutano yetu hutusaidiaje kujifunza kumhusu Yehova ?
Mikutano imekusaidiaje kutumia mafundisho ya Biblia na kuboresha ustadi wako wa kuhubiri ?
Ni kwa njia gani mikutano yetu inatutia moyo na kutuimarisha ?
( Soma Matendo 15 : 30 - 32 . )
Kwa nini kuhudhuria mikutano ni muhimu sana ?
Ndugu zetu wananufaikaje wanapotuona mikutanoni , na wanaposikia tukiimba na kutoa maelezo ?
( Tazama pia sanduku lenye kichwa β€œ Sikuzote Yeye Huondoka Akiwa Mwenye Shangwe . ” )
9 , 10 . ( a ) Eleza jinsi maneno ya Yesu kwenye Yohana 10 : 16 yanavyotusaidia kuelewa umuhimu wa kukutanika pamoja na ndugu zetu . ( b ) Tunapohudhuria mikutano kwa ukawaida tunawanufaishaje wale wanaopingwa na familia zao ?
β€œ KATIKA siku za hivi karibuni , imekuwa vigumu kwangu kufika mikutanoni kwa sababu ya matatizo ya afya .
Lakini ninapohudhuria , ninafurahia sana chakula kizuri cha kiroho ambacho Yehova ameandaa .
Ingawa mimi huja nikiwa na maumivu ya magoti , matatizo ya moyo na ugonjwa wa kisukari , sikuzote mimi huondoka nikiwa na shangwe zaidi kuliko nilivyokuja .
β€œ Niliposikia kwa mara ya kwanza wimbo namba 68 , β€˜ Sala ya Mtu wa Hali ya Chini , ’ ukiimbwa kutanikoni , nilitokwa na machozi .
Vifaa vya kunisaidia kusikia vilinasa sauti ya kila mtu , nami nikaimba pamoja nao .
Kuhudhuria mikutano hutusaidiaje kumpa Yehova kile anachostahili ?
Yehova anahisije tunapotii amri yake ya kuhudhuria mikutano ?
Ni kwa njia gani tunamkaribia Yehova na Yesu tunapohudhuria mikutano ?
Kuhudhuria mikutano kunaonyeshaje kwamba tunataka kumtii Mungu ?
16 , 17 . ( a ) Tunajuaje kwamba mikutano ilikuwa muhimu sana kwa Wakristo wa karne ya kwanza ?
( b ) Ndugu George Gangas alihisije kuhusu mikutano ya Kikristo ?
Ninapokuwa miongoni mwao nahisi niko nyumbani pamoja na familia , katika paradiso ya kiroho . ”
Unahisije kuhusu mikutano yetu , nawe umeazimia kufanya nini ?
[ 2 ] ( fungu la 3 ) Tazama sanduku lenye kichwa β€œ Sababu za Kuhudhuria Mikutano . ”
Wakiwa huko wanapata habari njema kupitia mahubiri ya hadharani
Makao ya watawa jijini Zaragoza , Hispania ; ( kushoto ) Biblia tafsiri ya NΓ‘car - Colunga ( kulia )
Sikujua kama nilikuwa nikifanya jambo linalofaa .
Nakumbuka nilisali hivi : β€œ Asante Yehova kwa kutokata tamaa ya kunisaidia na kunipa fursa nyingi za kupata nilichokuwa nikitafuta , yaani ujuzi wa kweli wa Biblia . ”
Waumini wangu na watu wa familia watasemaje ? ”
Nilimjibu hivi : β€œ Na Mungu atasemaje ? ”
Hata hivyo , alikufa miezi miwili kabla ya siku ya kubatizwa .
Tunaweza kufanya nini ikiwa ni vigumu kwetu kudumisha msimamo wa Kikristo ?
Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa watumishi waaminifu wa Yehova waliodumisha msimamo wao wa kutounga mkono upande wowote ?
Tunawezaje kumtii Mungu na vilevile serikali za wanadamu ?
Tunaonyeshaje kwamba hatuungi mkono upande wowote katika siasa za ulimwengu ?
( a ) Tunajuaje kwamba itazidi kuwa vigumu kudumisha msimamo wetu wa Kikristo ?
( b ) Kwa nini tunapaswa kujitayarisha sasa kudumisha msimamo wetu wa kutounga mkono upande wowote ?
Tunapaswa kuwatendeaje wenye mamlaka serikalini ?
Inapokuwa vigumu kudumisha msimamo wetu wa Kikristo , tunawezaje kuwa wenye β€œ kujihadhari ” na wakati huohuo kutokuwa na β€œ hatia ” ?
( Soma Mathayo 10 : 16 , 17 . )
Tunapaswa kujihadhari na nini tunapozungumza na wengine ?
Tunapotazama au kusoma habari fulani , tunaweza kuhakikishaje kwamba hatuungi mkono upande wowote ?
12 , 13 . ( a ) Yehova anawaonaje wanadamu ?
( b ) Tunaweza kujuaje ikiwa tumeanza kujivuna kwa sababu ya nchi yetu ?
Sala inaweza kutusaidiaje , na Biblia inathibitishaje jambo hilo ?
Biblia inaweza kutusaidiaje tudumishe msimamo wetu ?
( Tazama pia sanduku lenye kichwa β€œ Neno la Mungu Liliimarisha Azimio Lao . ” )
Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa watumishi waaminifu wa Mungu waliodumisha msimamo wao ?
( Soma Danieli 3 : 16 - 18 . )
18 , 19 . ( a ) Washiriki wa kutaniko lenu wanaweza kukusaidiaje udumishe msimamo wako wa Kikristo ?
β€œ Kutafakari andiko la Methali 27 : 11 , Mathayo 26 : 52 , na Yohana 13 : 35 kuliimarisha azimio langu la kukataa utumishi wa kijeshi .
Maandiko hayo yalinisaidia pia niwe mtulivu wakati wa kesi yangu . ” β€” Andriy , kutoka Ukrainia .
β€œ Andiko la Isaya 2 : 4 lilinisaidia nisiunge mkono upande wowote nilipojaribiwa .
Niliwazia maisha matulivu katika ulimwengu mpya , wakati ambapo hakuna mtu atakayebeba silaha ili kumdhuru jirani yake . ” β€” Wilmer , kutoka Kolombia .
β€œ Mdumishe amani kati ya mtu na mwenzake . ” β€” MARKO 9 : 50 .
Yesu alitoa ushauri gani unaoweza kutusaidia kusuluhisha kwa upendo hali ya kutoelewana ?
Mkristo anaweza kujiuliza maswali gani anapofikiria jinsi ya kusuluhisha hali ya kutoelewana ?
Hatua tatu zinazotajwa kwenye Mathayo 18 : 15 - 17 zinaweza kutumiwaje kusuluhisha hali fulani za kutoelewana ?
Ni matatizo gani ya kutoelewana yanayotajwa katika kitabu cha Mwanzo , na kwa nini tufikirie masimulizi hayo ?
Ni mtazamo gani ambao umeenea ulimwenguni pote , na matokeo yamekuwa nini ?
Yesu alifundisha nini kuhusu kushughulikia hali ya kutoelewana ?
6 , 7 . ( a ) Kwa nini ni muhimu tusuluhishe haraka hali ya kutoelewana ?
( b ) Watu wote wa Yehova wanapaswa kujiuliza maswali gani ?
Baba yetu wa mbinguni atasikiliza na kujibu sala hizo zinazotolewa kwa unyenyekevu . β€” 1 Yoh . 5 : 14 , 15 .
Tunapaswa kufanya nini tunapokosewa ?
( Soma Methali 10 : 12 ; 1 Petro 4 : 8 . )
( a ) Mwanzoni dada mmoja alitendaje wengine walipomchambua ?
( b ) Ni Andiko gani lililomsaidia adumishe amani yake ya moyoni ?
11 , 12 . ( a ) Mkristo anapaswa kutendaje akihisi kwamba ndugu yake β€œ ana jambo fulani juu ” yake ?
Mwangalizi mmoja alitendaje alipoambiwa maneno makali , na tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wake ?
14 , 15 . ( a ) Ni wakati gani tunaweza kutumia ushauri ulio kwenye Mathayo 18 : 15 - 17 ?
( b ) Yesu alitaja hatua gani tatu , na tunapaswa kuwa na lengo gani tunapozitumia ?
Ni nini kinachoonyesha kwamba kufuata ushauri wa Yesu ni njia bora na yenye upendo ya kusuluhisha matatizo ?
Tutafurahia baraka gani β€˜ tukitafuta amani ’ pamoja na wengine ?
ujumbe wanaohubiri na sababu za kuhubiri ?
Maneno ya Yesu kwenye Mathayo 24 : 14 yanazusha maswali gani ?
Kulingana na Mathayo 28 : 19 , 20 , wafuasi wa Yesu wanapaswa kufanya mambo gani manne ?
Kuwa β€œ wavuvi wa watu ” kunahusisha nini ?
( Soma Mathayo 4 : 18 - 22 . )
Ni maswali gani manne ambayo yanahitaji kujibiwa , na kwa nini ?
Kwa nini unaweza kuwa na uhakika kwamba Mashahidi wa Yehova wanahubiri ujumbe ambao Yesu alisema tuhubiri ?
Tunajuaje kwamba makasisi wa dini zinazodai kuwa za Kikristo hawahubiri ujumbe ambao Yesu alisema tuhubiri ?
Hatupaswi kuwa na lengo gani tunapofanya kazi ya kuhubiri ?
( Soma Matendo 20 : 33 - 35 . )
Mashahidi wa Yehova wameonyeshaje kwamba wanafanya kazi ya kuhubiri wakiwa na lengo linalofaa ?
Yesu na wanafunzi wake walitumia mbinu gani kuhubiri ?
Inapohusu kuhubiri habari njema , kuna tofauti gani kati ya watu wa Yehova na dini zinazodai kuwa za Kikristo ?
Wao pekee ndio wanaohubiri kwamba Yesu anatawala akiwa Mfalme tangu 1914 .
Kazi ya kuhubiri inapaswa kuenea kadiri gani ?
Ni nini kinachothibitisha kwamba Mashahidi wa Yehova wametimiza unabii wa Yesu kuhusu kuenea kwa kazi ya kuhubiri ?
Tovuti yetu rasmi ina habari katika lugha zaidi ya 750 .
Tunajuaje kwamba Mashahidi wa Yehova wana roho ya Mungu ?
17 , 18 . ( a ) Kwa nini tuna uhakika kwamba Mashahidi wa Yehova ndio wanaohubiri habari njema ya Ufalme leo ?
( b ) Ni nini kinachotusaidia tuendelee kufanya kazi hiyo ?
Kwa sababu tunahubiri ujumbe ambao Yesu alisema tuhubiri , yaani , habari njema ya Ufalme .
Ni nini kinachoweza kufanya tusifaidike kikamili na chakula chote cha kiroho ?
Ni mapendekezo gani yanayoweza kutusaidia tufaidike na sehemu zote za Biblia ?
Tunaweza kufaidikaje tunaposoma habari zilizotayarishwa kwa ajili ya vijana na watu wote ?
1 , 2 . ( a ) Mashahidi wa Yehova wana maoni gani kuhusu Biblia ?
( b ) Unapenda sehemu gani ya Biblia ?
3 , 4 . ( a ) Tuna maoni gani kuhusu machapisho yetu ?
( b ) Ni machapisho gani ambayo yametayarishwa kwa ajili ya vikundi fulani hususa vya watu ?
Tuna uhakika kwamba Yehova anathamini nini ?
Kwa nini tunahitaji kusoma Biblia tukiwa na mtazamo unaofaa ?
8 , 9 . ( a ) Tunaposoma Biblia , huenda tukajiuliza maswali gani ?
( b ) Matakwa ambayo wazee Wakristo wanapaswa kutimiza yanatufundisha nini kumhusu Yehova ?
Ninaweza kuitumiaje kuwasaidia wengine ? ’
( Soma 1 Timotheo 3 : 2 - 7 . )
10 , 11 . ( a ) Tunaposoma matakwa ambayo wazee wanapaswa kutimiza , tunaweza kutumiaje habari hiyo maishani mwetu ?
( b ) Tunaweza kutumiaje habari hiyo kuwasaidia wengine ?
12 , 13 . ( a ) Tunaweza kufanya utafiti gani kwa kutumia vifaa tulivyo navyo ?
( b ) Toa mfano unaoonyesha jinsi habari za ziada zinavyoweza kutusaidia tujifunze mambo ambayo hayaonekani wazi .
Habari zilizochapishwa kwa ajili ya vijana zinawasaidiaje , na wengine wanaweza kufaidikaje na habari hizo ?
Kwa nini Wakristo ambao ni watu wazima wanapaswa kusoma habari zilizotayarishwa kwa ajili ya vijana ?
Machapisho yetu yanawasaidia vijana kwa njia gani nyingine ?
( Soma Mhubiri 12 : 1 , 13 . )
Ninaweza Kufanya Nini ili Nifurahie Kusoma Biblia ? ”
Tunaweza kufaidikaje tunaposoma habari zilizotayarishwa kwa ajili ya watu wote ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunamshukuru Yehova kwa kutupatia chakula cha kiroho ?
Maamuzi yetu yanaweza kuwa na matokeo gani kwetu na kwa wengine ?
Ikiwa Biblia haitoi sheria hususa kuhusu jambo fulani , tutajuaje kile kinachomfurahisha Yehova ?
Ni nini kitakachotusaidia tujue vizuri zaidi maoni ya Yehova ?
Taja baadhi ya sheria zilizo katika Biblia , na ueleze jinsi tunavyonufaika kwa kuzitii .
2 , 3 . ( a ) Kwa nini Biblia haina sheria kuhusu kila hali tunayokabili maishani ?
Maamuzi yetu yanaweza kuwa na matokeo gani kwetu na kwa wengine ?
Ikiwa hakuna sheria hususa katika Biblia , tutajuaje mambo ambayo Yehova anataka tufanye ?
Yesu alifahamu jinsi gani mambo ambayo Yehova alitaka afanye ?
( Soma Mathayo 4 : 2 - 4 . )
Mtambue yeye katika njia zako zote , naye atanyoosha mapito yako .
Tunaweza kujiuliza maswali gani tunaposoma au kujifunza Biblia ?
Machapisho na mikutano yetu inaweza kutusaidiaje kujua maoni ya Yehova kuhusu mambo mbalimbali ?
Toa mfano unaoonyesha jinsi kuzingatia maoni ya Yehova kunavyoweza kutusaidia tufanye maamuzi ya hekima .
( Soma Luka 18 : 29 , 30 . )
Unaweza kujuaje ikiwa mtindo fulani wa mavazi unamfurahisha Yehova ?
( c ) Tunapaswa kufanya maamuzi mazito jinsi gani ?
( Soma Mwanzo 6 : 5 , 6 . )
Tunanufaikaje tunapofanya maamuzi yanayomfurahisha Yehova ?
Bila shaka , sikuzote tutajifunza mambo mapya kumhusu Yehova .
Kwa nini tunapaswa kuendelea kufanya mabadiliko baada ya ubatizo ?
Kwa nini Mungu anatazamia tujitahidi kushinda udhaifu wetu ?
Tunaweza kufanya nini ili Neno la Mungu liendelee kubadili maisha yetu ?
1 - 3 . ( a ) Inaweza kuwa vigumu kwetu kufanya mabadiliko gani baada ya kubatizwa ?
( b ) Tunapoona kwamba kufanya mabadiliko fulani ni vigumu kuliko tulivyotarajia , tunaweza kujiuliza maswali gani ?
Kwa nini hatuwezi kumpendeza Yehova nyakati zote ?
Tulifanya mabadiliko gani kabla ya kubatizwa , lakini huenda tunaendelea kupambana na udhaifu gani ?
6 , 7 . ( a ) Ni nini kinachotuwezesha kuwa rafiki za Yehova ingawa sisi si wakamilifu ?
( b ) Kwa nini hatupaswi kusita kumwomba Yehova msamaha ?
Tunajuaje kwamba tunaweza kuendelea kuvaa utu mpya ?
Tunapaswa kufanya nini ili Biblia iendelee kutusaidia kufanya mabadiliko , na huenda tukajiuliza maswali gani ?
Kwa nini Mungu anatazamia tujitahidi kushinda udhaifu wetu ?
Tunaweza kufanya nini ili tusitawishe sifa ambazo Yehova anakubali ?
( Tazama sanduku β€œ Biblia na Sala Ilibadili Maisha Yao . ” )
Kwa nini hatupaswi kuvunjika moyo ikiwa hatufanyi mabadiliko haraka ?
Tukiwa washikamanifu kwa Yehova , tunaweza kutazamia nini wakati ujao ?
Kwa nini tuna uhakika kwamba Biblia inaweza kuendelea kubadili maisha yetu ?
[ 1 ] ( fungu la 1 ) Jina limebadilishwa .
Russell : β€œ Kutoa dua kwa Yehova na kusoma Biblia kila siku kulinisaidia .
Nilinufaika sana kwa kutafakari andiko la 2 Petro 2 : 11 na ushauri wa kibinafsi kutoka kwa wazee . ”
Maria Victoria : β€œ Nilimwomba Yehova kwa bidii anisaidie kudhibiti ulimi wangu .
Nilitambua pia umuhimu wa kuacha kushirikiana na watu wanaopenda kupiga porojo .
Kulingana na Zaburi 64 : 1 - 4 , sikutaka kuwa kati ya watu ambao wengine wanamwomba Mungu awaepushe nao !
Isitoshe , nilitambua kwamba kuendelea kupiga porojo kungefanya niwe mfano mbaya na kungeliletea suto jina la Yehova . ”
Linda : β€œ Nilijitahidi kuzielewa vizuri trakti zetu ili niwe tayari kuzitoa .
Wanadamu wote hufanya makosa yanayoweza kuwaumiza wengine .
jinsi Yehova anavyochagua wale atakaowafinyanga ?
jinsi Mungu anavyowafinyanga wale wanaojitiisha kwake ?
Tunaweza kuigaje mtazamo wa Waisraeli waliotubu ?
Yehova huchunguza nini anapochagua wale atakaowavuta kwake ?
( Soma 1 Samweli 16 : 7b . )
Tukiamini kwamba Yehova ni Mfinyanzi wetu , tutakuwa na mtazamo gani kuelekea ( a ) watu katika eneo letu ?
Baadaye , nikiwa mahali tofauti , nilivutiwa na mwenendo wa familia fulani .
Kisha siku moja nilishtuka kujua kwamba walikuwa Mashahidi wa Yehova !
Mwenendo wao ulinichochea kuchunguza sababu zilizofanya niwabague .
Nilitambua kwamba niliwabagua kwa sababu sikuwajua vizuri na pia kwa kuwa nilisikia habari zisizo za kweli kuwahusu . ”
( Soma Waebrania 12 : 5 , 6 , 11 . )
Yehova anatufundishaje leo , na elimu hiyo itaendeleaje wakati ujao ?
Na tumejifunza kupendana .
Yesu aliigaje subira na ustadi wa Mfinyanzi Mkuu ?
( Soma Zaburi 103 : 10 - 14 . )
Daudi alionyeshaje kwamba alikuwa udongo laini , na tunaweza kumwigaje ?
Yehova anatufinyanga jinsi gani kupitia roho takatifu na kutaniko la Kikristo ?
Ingawa Yehova ana mamlaka juu ya udongo , anaonyeshaje kwamba anaheshimu uhuru wetu wa kuchagua ?
Wanafunzi wa Biblia wanaonyeshaje kwamba wanataka Yehova awafinyange ?
( a ) Ni nini kinachokuvutia kumhusu Yehova akiwa Mfinyanzi wako ?
( b ) Tutachunguza mambo gani mengine kuhusu ufinyanzi ?
Ni mazoea gani yanayoweza kufanya iwe vigumu kwetu kukubali ushauri wa Yehova ?
Ni sifa gani zinazoweza kutusaidia tuendelee kuwa kama udongo laini mikononi mwa Mungu ?
Wazazi Wakristo wanaweza kuonyeshaje kwamba Yehova ni Mfinyanzi wao ?
Kwa nini Mungu alimwona Danieli kuwa β€œ mtu mwenye kutamanika sana , ” na tunawezaje kuwa watiifu kama yeye ?
Andiko la Methali 4 : 23 linasema hivi : β€œ Linda moyo wako kuliko vitu vingine vyote vinavyopaswa kulindwa , kwa maana ndiko zinakotoka chemchemi za uzima . ”
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 26 : 3 - 5 , 16 - 21 . )
Ni nini kinachoweza kutokea ikiwa tutashindwa kuepuka kiburi ?
Ndugu mmoja alisema kwamba baada ya muda fulani mwenendo wake usiofaa uliacha kumsumbua .
7 , 8 . ( a ) Waisraeli wa kale walionyeshaje jinsi ukosefu wa imani unavyoweza kufanya mioyo iwe migumu ?
( b ) Tunajifunza nini ?
Kwa nini tunapaswa β€˜ kuendelea kujijaribu ’ kama tuko katika imani , na tunaweza kufanya hivyo jinsi gani ?
Ni nini kitatusaidia tuwe kama udongo laini mikononi mwa Yehova ?
Yehova anaweza kutumiaje kutaniko la Kikristo kutufinyanga kulingana na mahitaji yetu ?
Huduma ya shambani inaweza kutusaidia kusitawisha sifa gani , na tutapata manufaa gani ?
Wazazi wanapaswa kufanya nini ili wafanikiwe kuwafinyanga watoto wao ?
Wazazi wanapaswa kuonyeshaje kwamba wanamtegemea Mungu ikiwa mtoto wao ametengwa na ushirika ?
( Soma 1 Wakorintho 5 : 11 , 13 . )
Kwa nini tuendelee kujitiisha kwa Yehova katika maisha yetu yote , na tutanufaikaje kwa kufanya hivyo ?
Yehova Mungu wetu ni β€œ Yehova mmoja ” katika maana gani ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunamwabudu Yehova akiwa β€œ Yehova mmoja ” ?
Tunaweza kufanya nini ili tudumishe amani na umoja wetu ?
( b ) Kwa nini Musa alisema maneno hayo ?
4 , 5 . ( a ) Maana moja ya maneno β€œ Yehova mmoja ” ni nini ?
( b ) Yehova anatofautianaje na miungu ya mataifa ?
Ni nini maana nyingine ya maneno β€œ Yehova mmoja , ” naye alionyeshaje kwamba yeye ni β€œ mmoja ” ?
8 , 9 . ( a ) Yehova anataka waabudu wake wafanye nini ?
( b ) Yesu alikaziaje maana ya maneno ya Musa ?
( Soma Marko 12 : 28 - 31 . )
10 , 11 . ( a ) Ni katika njia gani ibada yetu kwa Yehova ni ya pekee ?
( b ) Vijana Waebrania walionyeshaje kwamba wamejitoa kikamili kwa Yehova ?
Tunapaswa kuepuka nini tunapojitoa kikamili kwa Yehova ?
Tunaweza kupenda nini zaidi kuliko Yehova ?
Kwa nini Paulo aliwakumbusha Wakristo kwamba Mungu ni β€œ Yehova mmoja ” ?
16 , 17 . ( a ) Ni unabii gani unaotimizwa leo , na kumekuwa na matokeo gani ?
( b ) Ni nini kinachoweza kuharibu umoja wetu ?
18 , 19 . ( a ) Tunapata ushauri gani katika Waefeso 4 : 1 - 3 ?
( b ) Tunaweza kufanya nini ili kudumisha umoja kutanikoni ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaelewa β€œ Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja ” ?
Kuna vijiji vingi vyenye wavuvi kwenye pwani za Trinidad na Tobago .
Mara nyingi Mashahidi wa Yehova huzungumza na wavuvi hao
Biblia inaonyeshaje kwamba sisi sote si wakamilifu ?
Tunaweza kufanya nini kuhusu makosa yetu na ya wengine ?
Biblia ilitabirije kuongezeka kwa watu wa Yehova ?
( Soma Mika 4 : 1 , 3 . )
Hilo limewasaidia kubaki β€œ safi kutokana na damu ya watu wote . ” β€” Mdo . 20 : 26 .
Kwa nini inashangaza kwamba watu wa Yehova wanaongezeka ?
Kwa nini huenda nyakati fulani wengine wakaumiza hisia zetu ?
( Soma Waroma 5 : 12 , 19 . )
Ikiwa ungeishi Israeli wakati huo , ungemwonaje Eli ambaye aliachilia dhambi za wanawe ?
Eli alikosa kuwaadhibu wana wake katika njia gani ?
Daudi alifanya dhambi gani nzito , na Mungu alifanya nini ?
( a ) Mtume Petro alishindwa kutimiza ahadi yake jinsi gani ?
( b ) Kwa nini Yehova aliendelea kumtumia Petro hata baada ya kukosea ?
Kwa nini unaamini kwamba Mungu ni mwenye haki sikuzote ?
Yesu alifahamu nini kuhusu makosa ya Yuda Iskariote na Petro ?
Biblia ilitabiri nini kuhusu watumishi wa Yehova leo ?
Tuyaoneje makosa ya wengine ?
13 , 14 . ( a ) Kwa nini tunapaswa kuonyeshana subira ?
( b ) Tungependa kukumbuka ahadi gani ?
Yesu alisema tunapaswa kufanya nini wengine wanapokosea ?
Ungependa kufanya nini wengine wanapokukosea ?
( Soma Mathayo 5 : 23 , 24 . )
Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi kwa hiari , nanyi fanyeni vivyo hivyo pia . ”
Hilo linaonekana wazi tunaposoma mambo ambayo Biblia inasema kuhusu utambuzi na hekima .
Andiko la Methali 3 : 13 - 15 linasema hivi : β€œ Mwenye furaha ni mtu ambaye amepata hekima , na mtu anayepata utambuzi , kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu yenyewe .
Ina thamani kuliko marijani , na mapendezi yako mengine yote hayawezi kulinganishwa nayo . ”
Yesu Kristo aliweka mfano mzuri wa unyoofu .
Nikiwa msimamizi , nilitarajiwa β€˜ kukubaliana ’ na wakala wa kukusanya kodi kwa kumhonga ili apuuze ufisadi wa kampuni hiyo .
Kwa sababu hiyo , nilijulikana kuwa mtu asiye mnyoofu .
Nilipojifunza kweli , nilikataa kufanya hivyo , hata ingawa nilikuwa nikipata mshahara mnono .
Nimewawekea wana wangu wawili mfano mzuri , na nina mapendeleo kutanikoni .
Wakaguzi wa kodi na watu wengine ninaofanya biashara pamoja nao sasa wananijua kuwa mtu mnyoofu . ”
Ruthu alihamia Israeli ambapo angeweza kumwabudu Mungu wa kweli .
1 : 16 .
Ni wonyesho gani mkubwa zaidi wa fadhili zisizostahiliwa za Yehova kuelekea wanadamu ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba hatutawaliwi tena na dhambi bali na fadhili zisizostahiliwa ?
Tunapata baraka gani kutokana na fadhili zisizostahiliwa za Yehova ?
1 , 2 . ( a ) Fafanua mfano wa Yesu kumhusu mkulima wa mizabibu . ( b ) Mfano huo unaonyeshaje sifa za ukarimu na fadhili zisizostahiliwa ?
Je , si halali kwangu kuwalipa wafanyakazi wangu mshahara ninaotaka ?
( Soma 2 Wakorintho 6 : 1 . )
Kwa nini Yehova anawaonyesha wanadamu wote fadhili zisizostahiliwa , na anafanya hivyo jinsi gani ?
Inamaanisha nini kwamba fadhili zisizostahiliwa za Yehova β€˜ zinaonyeshwa kwa njia mbalimbali ’ ?
Mtume Petro aliandika hivi : β€œ Kwa kadiri ambayo kila mmoja amepokea zawadi , itumieni katika kuhudumiana kama wasimamizi - nyumba wazuri wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu zinazoonyeshwa kwa njia mbalimbali . ”
Mtume Yohana aliandika hivi : β€œ Sisi sote tulipokea kutokana na wingi alio nao , hata fadhili zisizostahiliwa juu ya fadhili zisizostahiliwa . ”
Tunapata manufaa gani kutokana na fadhili zisizostahiliwa za Yehova , na tunaweza kuonyeshaje kwamba tunazithamini ?
( Soma 1 Yohana 1 : 8 , 9 . )
Tunafurahia nini kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
Pendeleo la kusikiliza habari njema ( Tazama fungu la 11 )
Watiwa mafuta wanawaletaje β€œ kondoo wengine ” kwenye uadilifu ?
Baraka ya sala ( Tazama fungu la 12 )
Sala inahusianaje na fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
Fadhili zisizostahiliwa zinaweza kutusaidiaje β€œ kwa wakati unaofaa ” ?
Fadhili zisizostahiliwa za Yehova zinanufaishaje mioyo yetu ?
Fadhili zisizostahiliwa za Mungu zinatupatia tumaini gani ?
( Soma Zaburi 49 : 7 , 8 . )
Baadhi ya Wakristo wa mapema walitumiaje vibaya fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
Kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa za Yehova , tuna majukumu gani ?
Ni wajibu gani tulio nao ambao tutachunguza katika makala inayofuata ?
[ 1 ] ( fungu la 2 ) Tazama kichwa β€œ Undeserved kindness ” kwenye β€œ Glossary of Bible Terms ” katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya toleo la 2013 ya Kiingereza .
20 : 24 .
Fadhili zisizostahiliwa za Yehova zinapaswa kutuchochea tufanye nini ?
β€œ Habari njema ya ufalme ” inakaziaje fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
Yehova ataonyeshaje fadhili zake zisizostahiliwa katika ulimwengu mpya ?
Mtume Paulo alionyeshaje kwamba alithamini fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
MTUME Paulo angeweza kusema hivi kwa unyoofu : β€œ Fadhili [ za Mungu ] zisizostahiliwa zilizonielekea mimi hazikuwa za bure . ”
( Soma 1 Wakorintho 15 : 9 , 10 . )
( Soma Waefeso 3 : 5 - 8 . )
Kwa nini tunaweza kusema kwamba β€œ habari njema ya Ufalme ” ni sawa na β€œ habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu ” ?
Tunapowaeleza watu kuhusu fidia , tunaenezaje habari njema za fadhili zisizostahiliwa za Mungu ?
Kwa nini wanadamu wenye dhambi wanahitaji kupatanishwa na Mungu ?
Mtume Yohana aliandika hivi : β€œ Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele ; yule asiyemtii Mwana hataona uzima , bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake . ”
9 , 10 . ( a ) Kristo aliwapa ndugu zake watiwa mafuta daraka gani ?
Kwa hiyo sisi ni mabalozi walio badala ya Kristo , kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi .
Watu wanapojifunza kwamba wanaweza kusali kwa Yehova , kwa nini hiyo ni habari njema ?
Watu wengi wanasali ili wajihisi vizuri , hata hivyo , hawaamini kwamba Mungu husikiliza sala zao .
Wanahitaji kujua kwamba Yehova ni β€œ msikiaji wa sala . ”
Mtunga - zaburi Daudi aliandika hivi : β€œ Ee msikiaji wa sala , kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja .
Yesu aliwaambia hivi wanafunzi wake : β€œ Mkiomba jambo lolote katika jina langu , nitalifanya . ”
13 , 14 . ( a ) Watiwa mafuta watakuwa na mapendeleo gani makubwa wakati ujao ?
( b ) Watiwa mafuta watawafanyia wanadamu kazi gani nzuri ?
Yehova atawaonyeshaje β€œ kondoo wengine ” fadhili zake zisizostahiliwa wakati ujao ?
Mamilioni ya wanadamu waliokufa bila kujifunza kumhusu Mungu watafufuliwa pia .
Yohana aliandika hivi : β€œ Nikawaona wafu , wakubwa kwa wadogo , wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme , na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa .
Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao .
Na bahari ikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake , na kifo na Kaburi vikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake , nao walihukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake . ”
Tunapaswa kukumbuka nini tunapohubiri ?
Biblia inasema hivi : β€œ Uumbaji wenyewe pia utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu . ”
Pia , anasema : β€œ Andika , kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli . ”
Kwa kweli , tunatukuza fadhili zisizostahiliwa za Yehova tunapowahubiria wengine habari njema kwa bidii !
β€œ Tafuteni ufalme wa Mungu , na vitu hivi vyote vitaongezwa kwenu . ” β€” LUKA 12 : 31 , Zaire Swahili Bible .
Kuna tofauti gani kati ya vitu tunavyohitaji na vitu tunavyotaka ?
Kwa nini tunapaswa kujidhibiti tusitamani vitu vingi zaidi vya kimwili ?
Kwa nini unasadiki kwamba Yehova anaweza kukuandalia mahitaji yako ya kila siku ?
Shetani anatumiaje β€œ tamaa ya macho ” ?
Kumbuka , mtume Yohana alitoa onyo hili : β€œ Ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake . ”
Tunaweza kupatwa na nini ikiwa tutatumia nguvu zetu zote kutafuta vitu vingi vya kimwili ?
Tutazungumzia nini na kwa nini ?
8 , 9 . ( a ) Kwa nini hatupaswi kuwa na wasiwasi kupita kiasi kuhusu mahitaji yetu ?
( b ) Yesu alijua nini kuhusu wanadamu na mahitaji yao ?
Yesu alipowafunza wafuasi wake jinsi ya kusali , alisema ni nini kinachopaswa kuwa muhimu zaidi maishani mwao ?
Tunajifunza nini kuhusu jinsi Yehova anavyowatunza ndege wa mbinguni ?
Tunapaswa β€œ [ kuwaangalia ] kwa makini ndege wa mbinguni . ”
Bila shaka , hawalishi chakula katika vinywa vyao !
Ni nini kinachothibitisha kwamba tuna thamani zaidi ya ndege wa mbinguni ?
( Linganisha Luka 12 : 6 , 7 . )
15 , 16 . ( a ) Tunajifunza nini kuhusu jinsi Yehova anavyoyatunza mayungiyungi ya shamba ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Huenda tukahitaji kujiuliza maswali gani na kwa nini ?
Yehova anajua nini kumhusu kila mmoja wetu , na atatufanyia nini ?
Kwa nini hatupaswi kuwa na wasiwasi kuhusu mambo yanayoweza kutokea wakati ujao ?
Je , unaweza kurahisisha maisha yako ili ukazie fikira zaidi Ufalme ?
( a ) Unaweza kujiwekea miradi gani katika utumishi wa Yehova ?
( b ) Unaweza kufanya nini ili kurahisisha maisha yako ?
Ni nini kitakachokusaidia umkaribie Yehova zaidi ?
Toa mfano unaoonyesha kwa nini ni muhimu kutambua wakati na mambo yanayotukia .
Kwa nini Yesu aliwaambia wanafunzi wake β€˜ waendelee kukesha ’ ?
Kwa nini tunazingatia onyo la Yesu ?
( a ) Kwa nini tunaweza kuamini kwamba Yesu anajua wakati ambapo Har – Magedoni itatukia ?
( b ) Ingawa hatujui dhiki kuu itaanza lini , tunaweza kuwa na uhakika gani ?
Yesu alisema hivi alipokuwa duniani : β€œ Kuhusu siku ile na saa ile hakuna mtu anayejua , wala malaika wa mbinguni wala Mwana , ila Baba tu . ”
( Soma Habakuki 2 : 1 - 3 . )
Toa mfano unaoonyesha kwamba sikuzote unabii wa Yehova hutimizwa kwa wakati .
Sikuzote unabii mbalimbali ambao Yehova ametoa unatimia kwa wakati barabara !
Muda fulani baadaye , Yehova alimwambia Abrahamu hivi : β€œ Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao , nao watawatumikia watu wale , nao watawatesa kwa miaka mia nne . ”
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova atawaokoa watu wake ?
7 , 8 . ( a ) Katika nyakati za kale , mlinzi alikuwa na wajibu gani , na tunajifunza nini kutokana na hilo ?
( b ) Toa mfano wa jambo linaloweza kutukia mlinzi anapolala akiwa kazini .
Watu wengi leo wanakosa kutambua nini ?
10 , 11 . ( a ) Tunapaswa kuwa waangalifu kuhusu nini , na kwa nini ?
( b ) Ni nini kinachokusadikisha kwamba Ibilisi amewafanya watu wapuuze unabii wa Biblia ?
Kwa nini hatupaswi kumruhusu Ibilisi atudanganye ?
Yesu alituonya hivi : β€œ Endeleeni kuwa tayari , kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja katika saa msiyoitazamia . ”
Roho ya ulimwengu inaathirije watu , na tunaweza kuepukaje hatari hiyo ?
Tunapata onyo gani katika andiko la Luka 21 : 34 , 35 ?
( Soma Luka 21 : 34 , 35 . )
Ni nini kilichowapata Petro , Yakobo , na Yohana , na tunaweza kupatwa na jambo hilo jinsi gani ?
Kulingana na Luka 21 : 36 , Yesu alituagiza β€˜ tuendelee kukesha ’ jinsi gani ?
Tunaweza kuhakikishaje kwamba tuko tayari kwa mambo yatakayotukia hivi karibuni ?
[ 1 ] ( fungu la 14 ) Tazama sura ya 21 ya kitabu Ufalme wa Mungu Unatawala !
Katika kusanyiko fulani , ndugu mmoja aliniuliza ikiwa ningependa kuhubiri .
Tulienda kwenye eneo , na akanipa vijitabu kadhaa kuhusu Ufalme wa Mungu .
Dada mmoja alitufundisha sisi watoto masomo yaliyotegemea Biblia na kitabu The Harp of God .
Nilipokuwa tineja , nilifurahia kushiriki na watu tumaini lililo katika Neno la Mungu .
Ndugu huyo alisimamisha baiskeli yake na kuniomba niketi pamoja naye kwenye gogo .
Alisema hivi : β€œ Ni nani aliyekupa mamlaka ya kumhukumu mtu kuwa mbuzi ?
Acha tufurahie kuwapatia watu habari njema na tumwachie Yehova kazi ya kuhukumu . ”
Ndugu mwingine mwenye umri mkubwa alinifundisha kwamba ili kupata furaha ya kutoa , wakati mwingine tunahitaji kuvumilia tukiwa na subira .
Miaka mingi baadaye , alithawabishwa kwa kuonyesha subira mke wake alipobatizwa na kuwa Shahidi wa Yehova .
Hatukujua kwamba Ireland ilitofautiana sana na Uingereza .
Hatukutambua kiasi cha uvutano ambao makasisi walikuwa nao .
Sikuwahi kusafiri majini , kwa hiyo safari hiyo ilinisisimua .
Kwa miaka mitano , tulihubiri hasa katika visiwa vya mbali ambavyo havikuwa na Mashahidi .
Wamishonari wakiwa kwenye mashua Sibia ( kuanzia kushoto hadi kulia ) : Ron Parkin , Dick Ryde , Gust Maki , na Stanley Carter
Mara nyingi , walitupatia samaki wabichi , maparachichi , na njugu - karanga .
Kisha jioni ilipofika , tulipiga kengele ya mashua ili kuwaalika watu .
Ilipendeza sana kuona jinsi ambavyo baadhi yao walichukulia kwa uzito mgawo huo .
Tulipofika , nilikutana na dada mrembo mmishonari anayeitwa Maxine Boyd , na nikampenda .
Basi nikajiambia , β€˜ Ronald , ikiwa unampenda msichana huyu , lazima uchukue hatua mara moja . ’
Baada ya majuma matatu , nilimwomba tuanze uchumba , na baada ya majuma sita tukaoana .
Mimi na Maxine tulipewa mgawo wa kuwa wamishonari nchini Puerto Riko , kwa hiyo sikwenda kwenye mashua mpya .
Kwa mfano , katika kijiji cha Potala Pastillo , kulikuwa na familia mbili za Mashahidi ambazo zilikuwa na watoto wengi , na nilipenda kuwapigia muziki kwa filimbi .
Nilimwuliza mmoja wa wasichana wadogo anayeitwa Hilda , ikiwa angependa kwenda mahubiri pamoja nasi .
Tulimnunulia viatu , naye alijiunga nasi .
Alikuwa karibu kwenda kwenye mgawo wake nchini Ekuado , naye alituambia hivi : β€œ Sidhani kama mnanikumbuka .
Mimi ni yule msichana mdogo kutoka Pastillo ambaye hakuwa na viatu . ”
Mwanzoni , mimi na Lennart Johnson tulifanya kati ya kazi nyingi zilizohusika .
Nathan Knorr , aliyekuwa akiongoza kazi ya Mashahidi wa Yehova , alikuja nchini Puerto Riko .
Baadaye , alinishauri vikali kuhusu kuwa mwenye utaratibu na akasema kwamba nimemtamausha .
Baba hakuikubali kweli wakati mimi na mama tulipoanza kujifunza .
Mke wangu mpendwa , Maxine , alikufa mwaka wa 2011 .
Ninatazamia kwa hamu kumwona tena atakapofufuliwa .
Baada ya miaka 60 katika kisiwa hicho , nilijihisi mwenyeji kama chura mdogo wa Puerto Riko anayeitwa coquΓ­ , ambaye huimba ko - kee , ko - kee akiwa kwenye miti saa za jioni .
Baadhi yao wanakuja kuzungumza kuhusu matatizo ya kibinafsi au ya familia .
Kazi zote tunazofanya Betheli ni utumishi mtakatifu .
Hata iwe tunatumikia Yehova tukiwa wapi , tuna nafasi nyingi za kumsifu .
Simulizi la maisha la Leonard Smith lilichapishwa katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Aprili 15 , 2012 .
Kwa nini tunaweza kusema kwamba ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ?
Unaweza kuelezaje historia ya ndoa kuanzia wakati wa Adamu hadi siku za Yesu ?
Ni nini kinachoweza kumsaidia Mkristo aamue ikiwa ataoa au kuolewa ?
1 , 2 . ( a ) Ndoa ilianzaje ?
( b ) Yaelekea mwanamume na mwanamke wa kwanza walitambua nini kuhusu ndoa ?
( Soma Mwanzo 2 : 20 - 24 . )
Kusudi muhimu la ndoa lilikuwa kujaza dunia .
Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi Adamu na Hawa walivyomjibu Yehova ?
Ungeelezaje andiko la Mwanzo 3 : 15 ?
3 : 16 . ( a ) Ndoa zimepatwa na nini tangu uasi wa Adamu na Hawa ?
( b ) Biblia inawaamuru waume na wake wafanye nini ?
Ni nini kilichoupata mpango wa ndoa tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Gharika ?
Yehova alifanya nini kuhusu watu waovu wa siku za Noa , na tunapaswa kujifunza nini kutokana na mambo yaliyofanyika wakati huo ?
( a ) Ni mazoea gani ya kingono yaliyokuwa sehemu ya kawaida ya maisha katika tamaduni nyingi ?
( b ) Abrahamu na Sara waliwekaje mfano mzuri katika ndoa yao ?
( Soma 1 Petro 3 : 3 - 6 . )
Sheria ya Musa iliwalindaje Waisraeli ?
( Soma Kumbukumbu la Torati 7 : 3 , 4 . )
12 , 13 . ( a ) Wanaume fulani katika siku za Malaki waliwatendeaje wake zao ?
( b ) Leo , mtu aliyebatizwa akitoroka na mwenzi wa mtu mwingine , matokeo yatakuwa nini ?
( a ) Ni kielelezo gani cha ndoa ambacho kingefuatwa katika kutaniko la Kikristo ?
Paulo aliongeza hivi : β€œ Ikiwa hawawezi kujizuia , acheni wafunge ndoa , kwa maana ni bora kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa . ”
18 , 19 . ( a ) Ndoa ya Kikristo inapaswa kuanzishwaje ?
( b ) Makala inayofuata itazungumzia nini ?
Mungu aliwapa waume na wake majukumu gani ?
Kwa nini upendo na wororo ni muhimu sana katika ndoa ?
Biblia inaweza kutoa msaada gani ikiwa kuna matatizo katika ndoa ?
Ingawa ndoa huwa na furaha mwanzoni , wale wanaofunga ndoa wanapaswa kutarajia nini ?
Wenzi wa ndoa wanapaswa kuonyeshana aina zipi za upendo ?
Upendo unapaswa kuwa wenye nguvu kadiri gani katika ndoa ?
Paulo aliandika hivi : β€œ Enyi waume , endeleeni kuwapenda wake zenu , kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake . ”
( Soma Yohana 13 : 34 , 35 ; 15 : 12 , 13 . )
4 , 5 . ( a ) Mume ana jukumu gani akiwa kichwa cha familia ?
( b ) Mke anapaswa kuuonaje ukichwa ?
( c ) Wenzi fulani wa ndoa walihitaji kufanya mabadiliko gani ?
Nilihitaji kufanya mabadiliko baada ya kuolewa kwa kuwa nilijifunza kumtegemea mume wangu .
Haijawa rahisi sikuzote , lakini kuishi kulingana na kanuni za Yehova kumetusaidia kuwa na uhusiano wa karibu zaidi . ”
Na katika ndoa , inakuwa vigumu hata zaidi unapohitaji kufanya maamuzi yanayohusu watu wawili .
Lakini ninapotafuta mwongozo wa Yehova kwa kusali na kusikiliza kwa makini mapendekezo ya mke wangu , inakuwa rahisi zaidi .
Ninahisi kwamba kwa kweli tunakamilishana ! ”
Upendo unakuwaje β€œ kifungo kikamilifu cha muungano ” matatizo yanapotokea katika ndoa ?
7 , 8 . ( a ) Biblia inatoa ushauri gani kuhusu mahusiano ya kingono katika ndoa ?
( b ) Kwa nini wenzi wa ndoa wanapaswa kutendeana kwa wororo ?
( Soma 1 Wakorintho 7 : 3 - 5 . )
Mume au mke hapaswi kumlazimisha mwenzi wake kuwa na mahusiano ya kingono , bali kila mmoja wao anapaswa kutoa haki ya ndoa kwa kupenda .
Kwa nini kutamani kufanya ngono na mtu asiye mwenzi wetu wa ndoa ni jambo lisilokubalika ?
10 , 11 . ( a ) Watu wanaotalikiana ni wengi kadiri gani ?
( b ) Biblia inasema nini kuhusu kutengana ?
( c ) Ni nini kitakachowasaidia wenzi wa ndoa wasichukue hatua ya kutengana haraka ?
Ni nini kinachoweza kumfanya mwenzi wa ndoa afikirie kutengana na mwenzi wake ?
Biblia inawaambia nini Wakristo waliofunga ndoa na wenzi ambao si waabudu wa Yehova ?
( Soma 1 Wakorintho 7 : 12 - 14 . )
Au , wewe mume , unajuaje kama utamwokoa mke wako ? ”
15 , 16 . ( a ) Biblia inatoa ushauri gani kwa wake Wakristo waliofunga ndoa na waume ambao si watumishi wa Mungu ?
( b ) Mwenzi Mkristo anaweza kufanya nini β€œ yule asiyeamini akiondoka ” ?
Mtume Petro anawashauri wake Wakristo wajitiishe kwa waume zao , β€œ ili , ikiwa wowote si watiifu kwa lile neno , wavutwe bila neno kupitia mwenendo wa wake zao , kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo wenu ulio safi kiadili pamoja na heshima kubwa . ”
Namna gani ikiwa mwenzi ambaye si Shahidi anaamua kutengana na mwenzi wake ?
Biblia inasema hivi : β€œ Yule asiyeamini akiondoka , acha aondoke ; ndugu au dada hayumo katika utumwa chini ya hali za namna hiyo , lakini Mungu amewaita ninyi kwenye amani . ”
Wenzi wa ndoa Wakristo wanapaswa kutanguliza nini ?
Kwa nini inawezekana kwa Wakristo kufanya ndoa zao zifanikiwe na ziwe zenye furaha ?
[ 1 ] ( fungu la 5 ) Majina yamebadilishwa .
[ 2 ] ( fungu la 13 ) Tazama kitabu β€œ Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu , ” nyongeza yenye kichwa , β€œ Maoni ya Biblia Kuhusu Talaka na Kutengana . ”
Inafurahisha sana kutoa ushahidi asubuhi kando ya Mto Danube !
Wahubiri hawa wenye shangwe wanashiriki ujumbe wa Ufalme pamoja na mtu anayependezwa katika eneo la VigadΓ³ Square huko Budapest , Hungaria
Ni nini kinachohusika katika kufanya maendeleo ya kiroho ?
Unaweza kufanyaje maendeleo ya kiroho bila kuchoka ?
Unaweza kufanya mabadiliko gani ili uwe na matokeo mazuri zaidi katika huduma ?
1 , 2 . ( a ) Andiko la Isaya 60 : 22 limetimiaje katika siku hizi za mwisho ?
( b ) Kuna uhitaji gani sasa katika sehemu ya kidunia ya tengenezo la Yehova ?
β€œ MDOGO atakuwa elfu , na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu . ”
Unaweza kujiwekea malengo gani ya kiroho ?
Vijana wanaweza kutumiaje nguvu zao katika utumishi wa Ufalme ?
6 - 8 . ( a ) Kijana mmoja alibadili maoni yake jinsi gani kuelekea utumishi wake kwa Mungu , naye alipata matokeo gani ?
( b ) Tunawezaje β€˜ kuonja na kuona ya kuwa Yehova ni mwema ’ ?
Kwa kuwa Yehova amenibariki , ninahisi nikiwa na deni kwake na ninachochewa kufanya mengi zaidi katika utumishi wake , jambo ambalo limenipatia baraka nyingi hata zaidi . ”
( Soma Zaburi 34 : 8 - 10 . )
Kwa nini ni muhimu uwe na β€˜ mtazamo wa kungoja ’ ?
Tunaweza kujitahidi kusitawisha sifa zipi za kiroho , na kwa nini sifa hizo ni muhimu ?
Washiriki wa kutaniko wanaweza kuonyeshaje kwamba wanategemeka ?
Unaweza kuigaje mfano wa Yosefu wengine wanapokutendea isivyo haki ?
Unaweza kufanya nini wengine wakikutendea isivyo haki ?
14 , 15 . ( a ) Kwa nini tunapaswa β€˜ kuangalia daima ’ jinsi tunavyohubiri ?
( b ) Unawezaje kubadili njia yako ya kuhubiri ili ifaane na hali mbalimbali ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii na sanduku lenye kichwa , β€œ Je , Uko Tayari Kutumia Njia Tofauti ya Kuhubiri ? ” )
Mahubiri ya hadharani yanaweza kutusaidiaje kuwa na matokeo mazuri ?
17 , 18 . ( a ) Unaweza kupataje ujasiri zaidi wa kushiriki katika mahubiri ya hadharani ?
( b ) Kwa nini kuwa na mtazamo kama wa Daudi wa kumsifu Yehova ni jambo lenye thamani unaposhiriki katika huduma ?
Anasema hivi : β€œ Wakati wa ibada ya familia , mimi na mke wangu hufanya utafiti ili kujua jinsi ya kushughulika na vizuia - mazungumzo na maoni ya watu .
Pia , tunauliza mapendekezo kutoka kwa Mashahidi wengine . ”
( Soma 1 Timotheo 4 : 15 . )
Wataongea juu ya utukufu wa ufalme wako , nao watasema juu ya nguvu zako , kuwajulisha wana wa binadamu matendo yake yenye nguvu na utukufu wa fahari ya ufalme wake . ”
Ikiwa umepewa majukumu mengi zaidi katika tengenezo la Yehova , unawezaje kuwa baraka kwa wengine ?
Sasa Venecia anasema , β€œ Mahubiri ya simu yana matokeo mazuri sana ! ”
Mke wangu alikufa miaka mitatu iliyopita , na mwaka jana mwanangu alikufa katika aksidenti . ”
Na sasa , baada ya miaka miwili , ninawaandikia nikiwa dada Mkristo . ”
Kwa nini tunapaswa kuwachochea wanafunzi wa Biblia wapende kujifunza Biblia kibinafsi ?
Tunaweza kuwasaidiaje wapya wawe na ustadi wa kuzungumza na watu wanapohubiri ?
Kwa nini jitihada inahitajiwa ili kuwazoeza wengine wawe wachungaji wa kundi la Mungu ?
Kwa nini tunapaswa kuwazoeza wengine wajitahidi kutimiza migawo ya kitheokrasi ?
3 , 4 . ( a ) Paulo alihusianishaje funzo la Biblia na huduma yenye matokeo ?
( b ) Kabla ya kuwatia moyo wanafunzi wetu wajifunze Biblia kibinafsi , sisi wenyewe tunapaswa kuwa na mazoea gani ?
Toa pendekezo la jinsi ya kuwasaidia wapya wawe na mazoea ya kujifunza Biblia kibinafsi .
Huenda ukajiuliza hivi : β€˜ Ninaweza kumzoezaje mwanafunzi wangu awe na mazoea ya kujifunza Biblia ? ’
Mtie moyo asome kila nakala ya gazeti la Mnara wa Mlinzi na Amkeni !
( a ) Unaweza kumsaidiaje mwanafunzi wako aipende Biblia kutoka moyoni ?
( b ) Huenda mwanafunzi wa Biblia akahisije baada ya kukuza tamaa ya kujifunza Biblia ?
Yesu aliwazoezaje watangazaji wa habari njema ?
8 , 9 . ( a ) Yesu alitumia mbinu zipi kuwahubiria watu ?
( b ) Tunaweza kuwasaidiaje wahubiri wapya kuzungumza na watu kama Yesu alivyofanya ?
10 - 12 . ( a ) Yesu alichocheaje upendezi ambao watu walionyesha katika habari njema ?
( b ) Tunaweza kuwasaidiaje wahubiri wapya waboreshe ustadi wao wakiwa walimu wa kweli za Biblia ?
13 , 14 . ( a ) Una maoni gani kuhusu masimulizi ya Biblia ya watu waliojidhabihu sana kwa niaba ya wengine ?
( b ) Unaweza kufanya mambo gani ili uwazoeze wahubiri wapya na watoto wawapende ndugu na dada zao ?
Kwa nini ni muhimu wazee wapendezwe na maendeleo ya wanaume kutanikoni ?
16 , 17 . ( a ) Paulo alionyeshaje kwamba anapendezwa na maendeleo ambayo Timotheo alifanya ?
( b ) Wazee wanaweza kuwazoezaje kwa njia yenye matokeo ndugu watakaotumikia wakiwa wachungaji kutanikoni ?
Kwa nini ni muhimu kuwazoeza wengine katika utumishi wa Yehova ?
Kwa nini unapaswa kuwa na uhakika kwamba jitihada zako za kuwazoeza wengine katika utumishi wa Yehova zitafanikiwa ?
Wao huniabudu bure , kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho . ’
Mnaiacha amri ya Mungu , na kuyashika sana mapokeo ya wanadamu . ” ​ β€” Marko 7 : 6 - 8 .
3 β€œ Mikono Yako Isilegee ”
Yehova aliitiaje nguvu mikono ya Musa , Asa , na Nehemia ?
Tunaweza kufanya mambo gani ili tuitie nguvu mikono ya ndugu na dada zetu ?
( b ) Ni nini kinachoweza kufanya mikono yetu ilegee ?
Kwa mfano , mkono umetajwa mara nyingi sana .
Unaweza kupataje kitia moyo na nguvu ili uvumilie na uwe mwenye shangwe ?
Maadamu Musa aliendelea kuinua mikono yake , Yehova aliitia nguvu mikono ya Waisraeli ili wawashinde Waamaleki .
( b ) Mungu alijibuje sala ya Nehemia ?
( Soma Nehemia 1 : 10 ; 2 : 17 - 20 ; 6 : 9 . )
Je , unaamini kwamba Yehova anatumia β€œ uwezo [ wake ] mkubwa ” na β€œ mkono [ wake ] wenye nguvu ” kuwaimarisha watumishi wake leo ?
10 , 11 . ( a ) Shetani anatumia njia gani kufanya mikono yetu ilegee ?
( b ) Yehova anatumia nini kutuimarisha na kutupatia nguvu ?
Anatumia uwongo na vitisho kutoka kwa serikali , viongozi wa kidini , na waasi imani .
13 , 14 . ( a ) Ndugu mmoja alitiwaje nguvu mke wake alipokufa ?
Sala na funzo la kibinafsi limekuwa kama boya linalonisaidia kuelea licha ya hali ngumu .
Nimetambua umuhimu wa kusitawisha uhusiano wa karibu pamoja na Yehova kabla ya kupatwa na hali ngumu . ”
Mungu anatuzoeza jinsi gani kupigana na adui zetu ?
Pia , anatusaidia kupitia machapisho yanayotegemea Biblia tunayopokea , mikutano ya Kikristo , na makusanyiko .
Tunaweza kuepukaje kushindwa na uovu ?
( b ) Tutazungumzia mifano gani kutoka kwenye Biblia ?
Ni nini kilichomsaidia Yakobo aonyeshe ustahimilivu , naye alithawabishwaje ?
( Soma Mwanzo 32 : 24 - 28 . )
Wakristo wawili walipata msaada gani wa kudhibiti tamaa zisizofaa ?
Kijana huyo alinufaika pia na makala yenye kichwa : β€œ Je , Mungu Anakubali Ngono Isiyo ya Asili ? ”
Alisema hivi : β€œ Kwa sababu hiyo , kila siku inapopita ninahisi kwamba ninaweza kubaki mwaminifu .
Ninamshukuru sana Yehova kwa kutumia tengenezo lake kutusaidia kila siku kupambana na mfumo huu mwovu . ”
Fikiria pia kisa cha dada mmoja kutoka Marekani .
Aliandika hivi : β€œ Ningependa kuwashukuru kwa kuendelea kutulisha kile hasa tunachohitaji na kwa wakati unaofaa .
Mara nyingi ninahisi kwamba makala hizi ziliandikwa kwa ajili yangu .
Kwa miaka mingi nimekuwa nikipambana na tamaa yenye nguvu kuelekea kitu ambacho Yehova anachukia .
Nyakati nyingine , ninataka kukata tamaa na kuacha kupambana .
Ninajua kwamba Yehova ana rehema na ni mwenye kusamehe , lakini kwa sababu nina tamaa hii mbaya ambayo hata siichukii , ninahisi kwamba sistahili kupokea msaada wake .
Pambano hili la kila siku limeathiri sana maisha yangu . . . .
Baada ya kusoma makala yenye kichwa : β€˜ Je , Una β€œ Moyo wa Kumjua ” Yehova ? ’
katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Machi 15 , 2013 , kwa kweli nilihisi kwamba Yehova anataka kunisaidia . ”
( a ) Paulo alihisije kuhusu mapambano yake ?
Tunaweza kujifunza nini kuhusu mavazi katika Sheria ambayo Mungu aliwapa Waisraeli ?
Ni nini kinachoweza kuwasaidia Wakristo wafanye maamuzi mazuri kuhusu mavazi ?
Ni pindi gani hasa ambazo tunahitaji kuvalia kwa njia inayofaa ?
Ni kweli kwamba mavazi yanayofaa eneo moja huenda yasifae eneo lingine .
( Soma 1 Wakorintho 10 : 32 , 33 . )
Ni mambo gani yanayoweza kumsaidia ndugu aamue ikiwa atafuga ndevu au la ?
Kulingana na Sheria ya Musa , ilikuwa lazima kwa wanaume kufuga ndevu .
Hata baadhi ya ndugu waliowekwa rasmi wanafuga ndevu .
Hata hivyo , ndugu fulani huenda wakaamua kutofuga ndevu .
Mavazi na mapambo yetu yanapaswa kuwafanya watu wawe na maoni gani kutuhusu ?
Ndugu mmoja nchini Ujerumani aliandika hivi : β€œ Walimu wangu wanaamini kwamba simulizi la Biblia kuhusu uumbaji ni nadharia .
Na wanawatarajia wanafunzi waamini mageuzi . ”
Dada kijana nchini Ufaransa alisema hivi : β€œ Walimu wa shule yetu wanashangaa kwamba kuna wanafunzi ambao bado wanaamini Biblia . ”
na Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai , na kitabu Je , Kuna Muumba Anayekujali ?
Nimezisoma mara nyingi sana . ”
Zimeonyesha kwamba wahandisi wenye ujuzi mwingi huiga ubuni wa vitu vya asili lakini kamwe hawafikii utata wa ubuni huo . ”
Kwa nini Mungu anataka utumie uwezo wako wa kufikiri ?
( Soma Waroma 12 : 1 , 2 ; 1 Timotheo 2 : 4 . )
Wengi wao waliishi pindi tofauti na hawakujuana . ”
Nilihitaji kutua kihalisi na kutafakari jinsi unabii kuhusu mlo wa Pasaka ulivyo wa pekee ! ”
Ndugu fulani kijana nchini Uingereza alisema hivi : β€œ Si kawaida kuona unyoofu wa aina hiyo .
Hilo linatuthibitishia hata zaidi kwamba kweli Biblia ni Neno la Yehova . ”
Dada mmoja kijana anayeishi Japani aliandika hivi : β€œ Tulipotumia kanuni za Biblia katika familia yetu , tulipata furaha ya kweli .
Tulikuwa na amani , umoja , na upendo . ”
Ilhali wengine wameacha kuamini kuwapo kwa Mungu kwa sababu wamevunjwa moyo na dini .
Aliongeza hivi : β€œ Mtu anaweza kupendezwa na mambo tata kuhusu uhai hata ule unaonekana kuwa wa hali ya chini . ”
Aliandika hivi : β€œ Kila nyumba hujengwa na mtu fulani , lakini yeye aliyevijenga vitu vyote ni Mungu . ”
Kwa nini ni muhimu sana kuwafahamu watoto wako vizuri ?
Watoto wetu huisitawisha hatua kwa hatua . ”
Yeye huniuliza hivi : β€˜ Biblia inasema nini ? ’
β€˜ Je , unaamini inachosema ? ’
Anataka nimjibu kwa maneno yangu mwenyewe badala ya kurudia maneno yake au maneno ya Mama .
Kadiri nilivyoendelea kukua ndivyo nilivyohitaji kuboresha majibu yangu . ”
Walijibu maswali yangu yote kwa kutumia Biblia . ”
( Soma Kumbukumbu la Torati 6 : 5 - 8 ; Luka 6 : 45 . )
Kwa hiyo , ikiwa mnyama mmoja aligeuka na kuwa mnyama tata zaidi , kwa nini viumbe hao wa zamani tayari walikuwa tata sana ?
Ni somo ambalo lilinivutia sana na nikazungumza na mwanangu kuhusu mambo niliyojifunza . ”
Kisha akamwomba kila mmoja wao amtayarishie kahawa .
Alieleza hivi : β€œ Walikuwa makini sana walipokuwa wakiitayarisha .
Nilipowauliza kwa nini walikuwa makini kiasi hicho , walisema kwamba walitaka iwe jinsi ambavyo mimi hupenda .
Nilieleza kwamba Mungu alichanganya aina mbalimbali za hewa katika anga letu kwa njia hiyohiyo ili zitufae . ”
Na je , kati ya sauti ya ndege za abiria na sauti za ndege wa angani , ni sauti ipi iliyo bora ?
Kwa hiyo , nani aliye na akili nyingi kati ya mtengenezaji wa ndege za abiria na Muumba wa ndege wa angani ? ”
Baba mmoja alisema hivi : β€œ Usichoke kamwe kujaribu mbinu mpya za kufundisha mambo mliyojifunza zamani . ”
Tangu walipokuwa wachanga , nilijifunza nao kwa dakika 15 kila siku , isipokuwa siku za mikutano ya Kikristo .
Kadiri muda ulivyopita , maswali mengi kati ya hayo yalijibiwa kwenye mikutano , funzo la familia , au funzo langu la kibinafsi .
Hiyo ndiyo sababu ni muhimu wazazi waendelee kuwafundisha watoto wao bila kukata tamaa . ”
Acheni watoto wenu waone jinsi ambavyo Yehova ni halisi kwenu .
Wanasema hivi : β€œ Huwa tunamwambia binti yetu mkubwa , β€˜ Mtegemee Yehova kabisa , uwe na mengi ya kufanya katika utumishi wa Ufalme , na usihangaike kupita kiasi . ’
Anapoona matokeo , anatambua kwamba Yehova anatusaidia .
Hilo limemsaidia awe na imani yenye nguvu kwa Mungu na katika Biblia . ”
Makala ya kwanza inaonyesha jinsi ambavyo tunaweza kukuza imani na kuidumisha ikiwa yenye nguvu .
Acheni nieleze mazungumzo hayo yalianzaje .
NILIZALIWA katika jiji la Wichita , Kansas , Marekani , tarehe 10 Desemba , mwaka wa 1936 , nikiwa wa kwanza kati ya watoto wanne .
Kisha mwanajeshi fulani alipita , na daktari huyo akapiga kelele akisema , β€œ Mkamate huyu mwoga ! ”
Mwanajeshi huyo aliona waziwazi kwamba daktari huyo alikuwa amelewa , kwa hiyo akamwambia , β€œ Nenda nyumbani , utulie , pombe iishe ! ”
Baba alikuwa na vibanda viwili vya kunyoa nywele katika jiji la Wichita , na daktari huyo alikuwa mteja wake !
Nikiwa pamoja na wazazi wangu tukienda kwenye kusanyiko huko Wichita katika miaka ya 1940
Kwa sababu ya baraka za Yehova na bidii yao , kutaniko lilianzishwa .
Pia , ndugu huyo alifanikiwa kuuza gari langu kwa dola 25 .
Tulipewa mgawo wa kuwa mapainia wa pekee katika jiji la Walnut Ridge , Arkansas .
Kisha mwaka wa 1962 , tulifurahi sana kupata mwaliko wa kuhudhuria darasa la 37 la Shule ya Gileadi .
Tukiwa katika huduma ya shambani pamoja na Mary na Chris Kanaiya , jijini Nairobi
Muda mfupi baadaye , binti yetu wa kwanza , Kimberly , alizaliwa , na miezi 17 baada ya hapo , tulipata binti yetu wa pili , Stephany .
Tulikuwa pia na kawaida ya kupiga kambi pamoja na binti zetu na tungekuwa na mazungumzo mazuri huku tukiota moto .
Mara kwa mara , tuliwakaribisha watumishi wa wakati wote nyumbani .
Walishtuka , wakaanza kulia , halafu wakasema wanataka tufanye funzo letu .
Kwa msaada wa tengenezo la Mungu na mwongozo wake , tulifanya yote tuwezayo kuwasaidia wampende Yehova .
Waliporudi huko mara ya pili , Kimberly alikutana na Mwanabetheli mwingine aliyeitwa Brian Llewellyn .
Kwa hiyo , wote walibaki waseja mpaka walipokuwa na angalau umri wa miaka 23 .
Wakati huohuo , Brian na Kimberly walialikwa kutumikia kwenye ofisi ya tawi ya London na baadaye walihamishiwa kwenye ofisi ya tawi ya Malawi .
Siku tuliyoondoka kwenda kwenye Kituo cha Elimu cha Watchtower kilichoko Patterson , Linda alitupigia simu na kutuambia kwamba Mama amekufa .
Baadaye , tulienda kuwafundisha watafsiri katika nchi ya Zimbabwe na Zambia .
Mwaka wa 2006 , Brian na Kimberly walihamia katika ujirani wetu ili wawalee binti zao wawili , Mackenzie na Elizabeth .
Paul na Stephany bado wanatumikia nchini Malawi , Paul akiwa mshiriki wa Halmashauri ya Tawi .
Kwa nini huenda tukahitaji kurekebisha maoni yetu kuelekea wageni ?
Nilipoondoka kwenye uwanja wa ndege , kwa mara ya kwanza maishani nilihisi baridi kali mpaka nikaanza kulia . ”
Wayahudi waliozungumza Kigiriki walinung’unika kwamba wajane wao hawakutendewa kwa haki .
Iwe tunatambua hilo au la , sisi sote huathiriwa sana na utamaduni wetu .
( Soma 1 Petro 1 : 22 . )
Waonyeshe subira wale wanaojaribu kuzoea mazingira mapya .
Huenda mwanzoni tukashindwa kuelewa kikamili jinsi wanavyotenda au kufikiri .
Leo wahamiaji wanaweza kuiga mfano gani wa heshima na uthamini ?
Kwanza , aliheshimu utamaduni wa nchi aliyohamia kwa kuomba ruhusa akusanye masalio .
[ 1 ] ( fungu la 1 ) Jina limebadilishwa .
Je , wewe ni mmoja wa wale wanaojifunza lugha ya kigeni ?
( Soma Nehemia 13 : 23 , 24 . )
( b ) Tunaweza kufikiaje lengo hilo ?
Ni lazima tutambue kwamba tunapojitayarisha kwa ajili ya huduma , mikutano , au hotuba huenda sisi wenyewe tusitumie habari zote tunazosoma .
Kwa kuwa ninakazia fikira kujifunza lugha , moyo wangu hauguswi kikamili na mawazo ya kiroho ninayosoma .
Hiyo ndiyo sababu mimi hutenga wakati kujifunza Biblia na machapisho mengine katika lugha yangu . ”
Muriel anasema hivi : β€œ Alikasirika kila mara alipoenda kuhubiri katika lugha nyingine , lakini zamani alipenda kuhubiri katika lugha yake ya Kifaransa . ”
Serge anaeleza hivi : β€œ Tulipotambua kwamba hali hiyo ilikuwa ikimzuia mwana wetu kufanya maendeleo ya kiroho , tuliamua kurudi kwenye kutaniko letu la awali . ”
Hakikisha kwamba kweli inagusa mioyo ya watoto wako ( Tazama fungu la 14 na 15 )
Lakini pia , tulitenga wakati wa kufanya mazoezi na michezo katika lugha ya Lingala ili wafurahie kujifunza lugha hiyo . ”
Jitahidi kujifunza lugha ya kigeni na utoe maelezo katika mikutano ( Tazama fungu la 16 na 17 )
Pia , tuna lengo la kuhudhuria mikutano ya Kifaransa angalau mara moja kwa mwezi , na tunatumia siku zetu za likizo kuhudhuria makusanyiko katika lugha yetu . ”
( Soma Waroma 15 : 1 , 2 . )
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunalipenda Neno la Mungu ?
Akina ndugu wakihubiri katika eneo la biashara , wanamhubiria fundi wa magari kwenye gereji .
( Soma Ufunuo 21 : 3 - 6 . )
Ni nini kilichomsaidia Abrahamu na familia yake kudumisha imani yenye nguvu ?
( Soma 1 Yohana 5 : 14 , 15 . )
Baadhi ya manabii walivumilia majaribu gani kwa sababu ya imani yao ?
Wengine , kama vile Eliya , β€œ walitembea huku na huku katika majangwa na milima na mapango na mashimo ya dunia . ”
Mfano wa Noa unatusaidiaje kuelewa kile kinachomaanishwa na kuwa na imani ?
Tunapaswa kufanya mambo gani ili kuonyesha kwamba tuna imani ?
Andiko la Waebrania 11 : 1 linafafanua imani katika njia gani mbili ?
Mnaona kwamba imani yake ilitenda pamoja na matendo yake na kwa matendo yake imani yake ilikamilishwa . ”
Kwa mfano , Yohana alieleza hivi : β€œ Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele ; yule asiyemtii Mwana hataona uzima , bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake . ”
Ni sifa gani iliyo muhimu zaidi kati ya imani na upendo ?
Yakobo aliwauliza hivi ndugu zake watiwa mafuta : β€œ Mungu alichagua walio maskini kwa habari ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani na warithi wa ufalme , aliowaahidi wale wanaompenda , sivyo ? ”
Watu wakiwa wamelala usingizi , adui yake alikuja na kupanda magugu katikati ya ngano , naye akaondoka .
Wakati jani lilipoota na kuzaa matunda , magugu yalionekana pia . ”
Yehova aliwapa watu wake tumaini gani , na kwa nini ahadi hiyo ilikuwa ya pekee sana ?
Je , Waisraeli wangeweza kupata tena uhuru wa kumwabudu Mungu kwa njia inayokubalika kabisa ?
Hivyo , haielekei kwamba watu wa Yehova waliingia katika utekwa wa Babiloni Mkubwa mwaka 1918 .
( Soma 1 Petro 2 : 9 , 10 . )
( Soma Mathayo 13 : 24 , 25 , 37 - 39 . )
Je , Wakristo wa kweli wangeweza kupata tena uhuru wa kumwabudu Mungu kwa njia inayokubalika ?
Watiwa mafuta waliwekwa huru lini kutoka kwenye utekwa wa Babiloni ?
Ndugu Rutherford aliomba tupange makusanyiko katika majiji kadhaa yaliyo magharibi mwa Marekani na tuombe wasemaji wafanye yote wawezayo kuwatia moyo akina ndugu . ”
13 : 15 .
Kwa hiyo , mimi hulia mara kwa mara na kuamua kutozungumza nao .
Nilipomweleza hisia zangu , alinisikiliza kwa huruma .
Kisha akanikumbusha mambo mazuri ambayo mimi hutimiza .
Alinikumbusha pia maneno ya Yesu kwamba kila mmoja wetu ni bora kuliko shomoro wengi .
Mimi hukumbuka andiko hilo mara nyingi , na bado linanigusa moyo .
Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi Yehova , Yesu , na Paulo walivyowatia moyo wengine ?
( Soma Mhubiri 4 : 9 , 10 . )
Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi Yesu alivyowatendea mitume wake ?
Baada ya kupitia sehemu hizo na kuwatia moyo wale walio huko kwa maneno mengi , akaingia Ugiriki . ”
( Soma 1 Wathesalonike 5 : 12 , 13 . )
Barua hizo hututia moyo sana . ”
Andreas , ambaye ana watoto wawili , anasema hivi : β€œ Kuwatia moyo watoto huwasaidia kukua kiroho na kihisia .
Ingawa watoto wetu wanajua mambo yaliyo sawa , kufanya mambo hayo huwa sehemu ya maisha yao tunapowatia moyo kwa ukawaida . ”
( Soma Luka 21 : 1 - 4 ; 2 Wakorintho 8 : 12 . )
( Soma Ufunuo 2 : 18 , 19 . )
Ningependa ujue kwamba maneno yako ya fadhili , ukiwa jukwaani na tulipozungumza ana kwa ana , yalifanya nihisi kuwa nimepokea zawadi kutoka kwa Yehova . ”
[ 1 ] ( fungu la 1 ) Baadhi ya majina yamebadilishwa .
( b ) Tutazungumzia nini katika makala hii ?
Makutaniko yalinufaikaje kwa kufuata mwongozo wa baraza linaloongoza ?
( Soma 3 Yohana 9 , 10 . )
( Soma Mathayo 5 : 23 , 24 ; 18 : 15 - 17 . )
Biblia inatuagiza tuhudhurie mikutano kwa ukawaida .
Je , unatumia jw.org katika huduma yako na katika ibada ya familia ?
na broshua Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo ?
Tuna sababu gani za kumshukuru Yehova ?
Tuna sababu nyingi za kumshukuru Yehova !
Inaonyesha pia jinsi tumaini la kupata thawabu linavyoweza kutunufaisha . .
Nilikuwa na umri wa miaka minane tu wakati huo .
Baba hakutaka mama anieleze mambo aliyokuwa akijifunza .
Hata hivyo , nilikuwa mdadisi na niliuliza maswali , kwa hiyo mama alinifundisha nyakati ambazo baba hakuwa nyumbani .
Kwa sababu hiyo , mimi pia nilitaka kujiweka wakfu kwa Yehova .
Mama aliniambia nizungumze kwanza na mtumishi wa akina ndugu ( sasa anaitwa mwangalizi wa mzunguko ) .
Mwangalizi huyo aliniambia , β€œ Usisite , anza mara moja ! ”
Baada ya miezi minne , nilitafuta mwandamani wa kufanya upainia naye .
Lakini mama na dada mwingine walifanya upainia katika kutaniko lingine .
Mnamo 1951 , nilijaza ombi la kuhudhuria Shule ya Gileadi .
Nikiwa huko , nilipata mwaliko wa kuhudhuria darasa la 22 la Shule ya Gileadi .
Kisha nikasafiri kwa gari - moshi hadi South Lansing , New York , ambako shule hiyo ilikuwa ikifanyiwa .
Tukiwa na Janet katika mojawapo ya visiwa vingi vya Ufilipino
Bado tunatumikia katika ofisi ya tawi iliyoko Quezon City
Unaweza kupataje β€œ amani ya Mungu ” ?
Kutaniko linaweza kukusaidiaje kupunguza mahangaiko ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Tutachunguza nini katika makala hii ?
Lakini unaweza kufanya hivyo jinsi gani ?
Mtunga zaburi Daudi alimsihi Yehova hivi : β€œ Utege sikio , Ee Mungu , kwa sala yangu . ”
Kwa nini sala ni muhimu tunapokuwa na mahangaiko ?
( Soma Mathayo 11 : 28 - 30 . )
Yesu alimaanisha nini aliposema : β€œ Msihangaike kamwe ” ?
Kujua maana ya jina la Mungu kunaweza kuimarishaje imani yako ?
Jina lake linamaanisha β€œ Nitakuwa Kile Nitakachokuwa . ”
Kwa nini unaweza kuwa na uhakika kwamba uhusiano wako na Mungu utakuimarisha ?
( a ) Tunaweza kumtupia Mungu mahangaiko yetu jinsi gani ?
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova huwathawabisha watumishi wake ?
Yehova aliwabariki jinsi gani watumishi wake nyakati zilizopita ?
1 , 2 . ( a ) Kuna uhusiano gani kati ya upendo na imani ?
Hata hivyo , kuwa na tumaini la kupata thawabu kunatunufaishaje ?
Yesu alionyesha kwamba wanafunzi wake wangebarikiwa kwa sababu ya kujidhabihu ( Tazama fungu la 5 )
Pindi moja , mtume Petro alimwuliza Yesu swali hili : β€œ Tumeacha vitu vyote na kukufuata wewe ; kwa kweli kutakuwa na nini kwa ajili yetu ? ”
Katika Mahubiri yake ya Mlimani , Yesu alisema hivi : β€œ Shangilieni na kuruka kwa shangwe , kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni ; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu . ”
Musa aliwaambia hivi Waisraeli : β€œ Hakika Yehova atakubariki katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi , uimiliki , ikiwa tu hutakosa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako nawe uwe mwangalifu kufanya amri yote hii ninayokuamuru leo .
Kwa maana hakika Yehova Mungu wako atakubariki kama vile alivyokuahidi . ”
Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu , kwa sababu , kama alivyosema , β€˜ Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu . ’ ”
Neno la Mungu linaeleza hivi : β€œ Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake , yeye alivumilia mti wa mateso , akaidharau aibu . ”
Ni wazi kwamba Yesu alipata shangwe katika kulitakasa jina la Mungu .
Yehova huhisije kuhusu mambo tunayofanya kwa ajili yake ?
β€œ Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova , na Yeye atamlipa matendo yake . ”
Tunapata faraja gani katika andiko la 1 Yohana 3 : 19 , 20 ?
( Soma 1 Yohana 3 : 19 , 20 . )
Yehova ametubariki leo katika njia zipi ?
Watumishi wa Yehova wanahisije kuhusu baraka wanazopokea ?
Kwa mfano , Bianca anayeishi Ujerumani anasema hivi : β€œ Ninamshukuru sana Yehova kwa kunisaidia nikabiliane na wasiwasi , na kunitegemeza siku baada ya siku .
Ulimwengu umejaa vurugu na hakuna tumaini .
Lakini ninapofanya kazi kwa ukaribu pamoja na Yehova , ninajihisi salama .
Kila mara ninapojidhabihu katika utumishi wake , ananibariki mara mia . ”
Nina kitabu ninachoandika maandiko fulani ya Biblia na habari kutoka kwenye machapisho yetu ambacho mimi hukisoma mara kwa mara ili nipate kitia moyo .
Mimi hukiita β€˜ Kitabu Changu cha Kunitia Moyo . ’
Tukitafakari ahadi za Yehova hatutavunjika moyo kwa muda mrefu .
Sikuzote , Yehova hutusaidia hata hali zetu ziweje . ”
Hata hivyo , yaelekea unaweza kutaja njia mbalimbali ambazo Yehova amekubariki wewe pamoja na wapendwa wako .
Paulo na wengine waliwekwa huru jinsi gani kutoka katika dhambi na kifo ?
( Waroma 6 : 1 , 2 . )
Kila mmoja wetu anahitaji kufanya uamuzi gani ?
( Soma Methali 14 : 5 ; Waefeso 4 : 25 . )
Wanapokea β€œ ile roho ” kama β€˜ wanaongojea kwa bidii kufanywa kuwa wana , kuachiliwa huru kutoka katika miili yao ya nyama . ’
( Soma Waroma 4 : 20 - 22 . )
( Soma Matendo 18 : 2 - 4 ; 20 : 20 , 21 , 34 , 35 . )
Watalii wengi hutembelea jiji la Aveiro lililo kaskazini mwa Ureno ili kuona vidimbwi vinavyotumiwa kuvukiza chumvi .
Mashahidi wanaoishi huko wanahakikisha kwamba wanawahubiria habari njema wale wanaouza chumvi hiyo
Mambo mengine tunayojifunza katika Biblia
Katika makala hii , tutajifunza jinsi ya kuonyesha kwamba tunathamini zawadi ya Mungu ya uhuru wa kuchagua kwa kuitumia katika njia itakayompendeza Mpaji wa zawadi hiyo .
Makala ya kwanza inaeleza sifa ya kiasi ni nini .
Yehova anatarajia tutumie uwezo wetu jinsi gani ?
Ni wazi kwamba Yehova anataka tufanye yote tuwezayo ili tujinufaishe na kuwanufaisha wengine .
Noa aliishi katika ulimwengu ambao β€˜ ulijaa jeuri ’ na maadili mapotovu .
Kupingwa unapohubiri ( Tazama fungu la 6 hadi 9 )
6 , 7 . ( a ) Ni mambo gani ambayo Noa hangeweza kufanya ?
( b ) Hali katika siku zetu inafananaje na hali katika siku za Noa ?
Sisi pia tunaishi katika ulimwengu uliojaa uovu , na tunajua Mungu ameahidi kwamba atauharibu .
Kwa sasa , hatuwezi kuwalazimisha watu wakubali β€œ habari njema ya ufalme . ”
Mambo ambayo Noa angeweza kufanya : Badala ya kukata tamaa kwa sababu ya mambo ambayo hangeweza kufanya , Noa alikazia fikira mambo ambayo angeweza kufanya .
Zilipofunuliwa , Daudi alitendaje ?
Makosa ya zamani ( Tazama fungu la 11 hadi 14 )
11 , 12 . ( a ) Baada ya kutenda dhambi , ni mambo gani ambayo Daudi hangeweza kufanya ?
Mambo ambayo Daudi hangeweza kufanya : Daudi hangeweza kutangua dhambi zake .
Alihitaji kuamini kwamba ikiwa angetubu kikweli , Yehova angemsamehe na kumsaidia kuvumilia matokeo ya matendo yake .
Hangeweza kufanya mengi , ila tu kumwachia Yehova mahangaiko yake .
Mfikirie ndugu anayeitwa Malcolm , ambaye alikuwa mwaminifu mpaka kifo chake mnamo 2015 .
Kazia fikira mambo unayoweza kufanya bali si yale usiyoweza kufanya . ”
( b ) Utatumia jinsi gani andiko la mwaka 2017 maishani mwako ?
Andiko la mwaka 2017 : β€œ Mtegemee Yehova na ufanye mema . ” ​ β€” Zaburi 37 : 3
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunaheshimu maamuzi ya wengine ?
Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe . ”
4 , 5 . ( a ) Ni nani aliyekuwa wa kwanza kupata zawadi ya uhuru wa kuchagua kutoka kwa Mungu , naye aliitumiaje ?
( b ) Kila mmoja wetu anapaswa kujiuliza swali gani ?
Kupata uzima wa milele kunategemea jibu la swali hilo .
Mungu β€œ akaanza kumletea huyo mtu ili aone atawaitaje kila mmoja wao . ”
Tunapaswa kuepuka nini tunapotumia zawadi yetu ya uhuru wa kuchagua ?
Wazia kwamba umempa rafiki yako zawadi yenye thamani .
Taja njia moja tunayoweza kuepuka kutumia vibaya uhuru wetu wa Kikristo .
( Soma 1 Petro 2 : 16 . )
Tunajifunza nini kutokana na kanuni inayopatikana kwenye andiko la Wagalatia 6 : 5 ?
Kumbuka kanuni inayopatikana katika andiko la Wagalatia 6 : 5 .
Utaonyeshaje kwamba unathamini zawadi yako ya uhuru wa kuchagua ?
( a ) Watu wengi wana maoni gani kuhusu sifa ya kiasi ?
Sifa ya kiasi ni nini , na haimaanishi nini ?
Kwa nini tunapaswa kuepuka kutilia shaka nia za watu wengine ?
Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Yesu mgawo wetu unapobadilika ?
( Soma Wagalatia 6 : 4 , 5 . )
( Soma Mhubiri 11 : 4 - 6 . )
Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa na sifa ya kiasi milele ?
Kwa nini ni vigumu kwa watu fulani kuwakabidhi wengine majukumu ?
Alimwambia Nathani amweleze Daudi hivi : β€œ Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa . ”
( Soma Hesabu 11 : 24 - 29 . )
Hapana , laiti watu wote wa Yehova wangekuwa manabii , kwa sababu Yehova angeiweka roho yake juu yao ! ”
( Soma Wafilipi 2 : 20 - 22 . )
Ofisi ya tawi ilituma magazeti 800 ili tutumie katika huduma .
Nilifundisha katika maeneo ya Manaus , BelΓ©m , Fortaleza , Recife , na Salvador .
Tulifika mjini Lisbon , Ureno , Agosti 1964 .
Hilo ndilo tengenezo pekee linalofanya kazi ambayo Yesu aliwaamuru wanafunzi wake wafanye , yaani , kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu ! ”
Makala hii ilipokuwa ikitayarishwa , Douglas Guest alikufa akiwa mwaminifu kwa Yehova , Oktoba 25 , 2015 .
Na β€œ roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi . ”
Kwa nini Mungu alitaka watu wake wawaheshimu wanaume walioongoza katika Israeli ?
( Soma Waebrania 1 : 7 , 14 . )
Biblia inarejelea Sheria waliyopewa Waisraeli kuwa β€œ sheria ya Musa . ”
11 , 12 . ( a ) Yoshua na wafalme ambao waliwaongoza watu wa Mungu walipaswa kufanya nini ?
β€œ Mara tu mfalme alipoyasikia maneno ya kile kitabu cha ile sheria , akayararua mavazi yake mara moja . ”
Kwa nini Yehova aliwatia nidhamu baadhi ya viongozi wa watu wake ?
Katika visa fulani , Yehova aliwatia nidhamu au kuwaondoa viongozi hao .
Ni nini kilichothibitisha kwamba Yesu alikuwa ametiwa nguvu na roho takatifu ?
Muda mfupi baada ya Yesu kubatizwa , β€œ malaika wakaja na kuanza kumhudumia . ”
Saa kadhaa kabla ya kifo chake , β€œ malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu . ”
Neno la Mungu liliongozaje maisha na mafundisho ya Yesu ?
Wao huniabudu bure , kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho . ”
Hakuna mtu aliye mwema , ila mmoja , Mungu . ”
β€œ Papo hapo malaika wa Yehova akampiga , kwa sababu hakumpa Mungu utukufu ; naye akaliwa na wadudu akakata pumzi . ”
Makala inayofuata itajibu maswali hayo .
Huenda hiyo ndiyo hati iliyoandikwa na Musa .
Kwa nini uamuzi huo ulikuwa muhimu sana kwao na kwa Yehova ?
Wakiwa baraza linaloongoza , walitoa mwongozo katika makutaniko yote . ​ β€” Mdo . 15 : 2 .
5 , 6 . ( a ) Roho takatifu ililitia nguvu baraza linaloongoza jinsi gani ?
( c ) Neno la Mungu liliongozaje baraza linaloongoza ?
Kwanza , roho takatifu ililitia nguvu baraza linaloongoza .
Tatu , Neno la Mungu liliongoza baraza linaloongoza .
Kwa nini tunaweza kusema kwamba Yesu aliwaongoza Wakristo wa karne ya kwanza ?
( a ) Yesu alimweka rasmi β€œ mtumwa mwaminifu na mwenye busara ” lini ?
Miaka mitatu baada ya kifo cha Ndugu Russell katika 1919 , Yesu alimweka rasmi β€œ mtumwa mwaminifu na mwenye busara . ”
Toleo la Julai 15 , 2013 la Mnara wa Mlinzi , lilieleza kwamba β€œ mtumwa mwaminifu na mwenye busara ” ni kikundi kidogo cha watiwa mafuta ambao ndio Baraza Linaloongoza .
Kwa hiyo , tunaweza kujibuje swali hili la Yesu : β€œ Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara ? ”
Roho takatifu imesaidiaje Baraza Linaloongoza ?
Taja njia moja tunayoweza kuwakumbuka washiriki wa Baraza Linaloongoza .
Kwa nini umeazimia kumfuata Kiongozi wetu , Yesu ?
Yesu aliporudi mbinguni , hakuwatelekeza wafuasi wake .
Hivi karibuni , atatuongoza kupata uzima wa milele .
Tangu 1955 , shirika hilo linajulikana kama Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania .
Yehova β€œ hutufariji katika dhiki yetu yote ”
β€œ Mimi nimesema hilo ; pia nitalitimiza .
1 , 2 . ( a ) Yehova ametufunulia nini ?
MANENO haya ya kwanza kabisa katika Biblia ni rahisi lakini yana maana sana : β€œ Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia . ”
( c ) Tutachunguza maswali gani ?
Kwa nini dhabihu ambayo Yesu alitoa kuwa fidia ndiyo njia kuu inayowezesha kusudi la Mungu litimizwe ?
Ni zipi baadhi ya zawadi ambazo Yehova aliwapa Adamu na Hawa ?
Ni kana kwamba alikuwa akisema hivi : β€˜ Unamaanisha hamwezi kufanya mnachotaka ? ’
Lakini Yehova ni mwaminifu kwa viwango vyake ; hawezi kuvivunja kamwe .
( Soma Kumbukumbu la Torati 32 : 4 , 5 . )
Kwa nini fidia ni zawadi yenye thamani sana ?
Yehova aligharimika sana alipoandaa fidia .
Ni wakati gani Yehova atakuwa β€œ vitu vyote kwa kila mtu ” ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tunapenda jina la Yehova ?
( Soma 1 Petro 1 : 15 , 16 . )
Kwa nini Yehova anaweza kutuona kuwa waadilifu ingawa sisi si wakamilifu ?
Anawakubali watu waliojiweka wakfu kwake wawe waabudu wake .
Kisha , Yesu alisema hivi : β€œ Mapenzi yako na yatendeke . ” Alimaanisha nini ?
Fidia inawanufaishaje wanadamu waliokufa ?
Mapenzi ya Mungu ni nini kuelekea β€œ umati mkubwa ” ?
( a ) Tunapata baraka gani sasa kutoka kwa Yehova ?
( Soma Matendo 3 : 19 - 21 . )
Yehova anatupatia mengi zaidi kuliko zawadi ya uhai .
β€œ Sisi wenyewe tumejua na tumeamini upendo ambao Mungu anao kwa habari yetu .
Na je , nyakati nyingine tunapaswa kubadili maamuzi ambayo tulifanya mwanzoni ?
Makala hii itatusaidia kujibu maswali hayo .
Lakini bado Yehova aliwaona wafalme hao kuwa wenye moyo kamili .
Je , Mungu ataona kuwa tuna moyo kamili licha ya makosa tunayofanya ?
Tuliishi kwenye shamba dogo mashariki mwa jimbo la South Dakota .
Kazi ya ukulima ilikuwa muhimu katika familia yetu , lakini haikuwa kazi muhimu zaidi .
Wazazi wangu walibatizwa na kuwa Mashahidi wa Yehova mwaka 1934 .
Baba yangu , Clarence , na baadaye baba mkubwa Alfred , walitumikia wakiwa watumishi wa kampuni ( sasa ni mratibu wa baraza la wazee ) katika kutaniko letu dogo lililokuwa jijini Conde , South Dakota .
Mimi na dada yangu Dorothy , tulikuwa wahubiri wa Ufalme tukiwa na umri wa miaka sita .
Makusanyiko yalikuwa sehemu muhimu maishani mwetu .
Biblia inasema kwamba β€œ anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima , ” na kulikuwa na watu wengi wenye hekima katika familia yetu waliounga mkono uamuzi wangu wa kuwa painia .
Walipokuwa wakizuru makutaniko jirani , nyakati nyingine walinialika nihubiri pamoja nao .
Nikiwa Mwanabetheli mpya mbele ya gari lililotumiwa shambani
Shamba lililokuwa katika Staten Island lilitia ndani kituo cha redio cha WBBR .
Washiriki 15 hadi 20 pekee wa familia ya Betheli ndio waliopewa mgawo katika shamba hilo .
Wengi wetu tulikuwa vijana na hatukuwa na uzoefu mwingi .
Ndugu Peterson alitimiza mgawo wake wa Betheli vizuri lakini hakupuuza kamwe huduma ya shambani .
Nikiwa na Angela mwaka 1975 , kabla ya mahojiano ya televisheni
Miaka mitatu baadaye , tulialikwa Betheli .
Kwa nini Yehova na Kristo wanastahili kuheshimiwa ?
Wanadamu waliumbwa β€œ kwa mfano wa Mungu . ”
8 , 9 . ( a ) Mashahidi wa Yehova wana maoni gani kuelekea maofisa wa serikali ?
( Soma 1 Timotheo 5 : 17 . )
Wala msiitwe β€˜ viongozi , ’ kwa maana Kiongozi wenu ni mmoja , Kristo .
Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa , na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa . ”
Kwa nini wengine hawapaswi kutufanyia maamuzi ?
( a ) Ili kufanya maamuzi kwa hekima , tunapaswa kuwa na imani katika nini ?
Ni nini kitakachotusaidia kufanya maamuzi kwa hekima ?
( Soma 2 Wakorintho 1 : 24 . )
Wazee wenye upendo huwasaidia wengine wajifunze kujifanyia maamuzi ( Tazama fungu la 11 )
Wazee pia wanapaswa kutumia wakati kufanya utafiti .
Je , utaleta furaha na amani katika familia yangu ?
Na je , utaonyesha kwamba mimi ni mwenye subira na fadhili ? ’
Kwa nini Yehova anatarajia tujifanyie maamuzi ?
Inamaanisha nini kumtumikia Yehova kwa moyo kamili ?
Ungependa kumwiga nani kati ya wafalme hao wanne , na kwa nini ?
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 14 : 11 . )
Moyo wako utakuchochea kufanya nini ?
Yehoshafati mwana wa Asa β€œ [ aliendelea ] kutembea katika njia ya Asa baba yake . ”
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 20 : 2 - 4 . )
( Soma Isaya 37 : 15 - 20 . )
( Soma 2 Wafalme 20 : 1 - 3 . )
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 34 : 18 , 19 . )
Kwa nini tutachunguza mifano ya wafalme wanne wa Yuda ?
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 16 : 7 - 9 . )
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 32 : 31 . )
Watu wengi wanamsifu kwa hotuba yake .
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 35 : 20 - 22 . )
Biblia inasema kuwa maneno ya Neko yalikuwa β€œ kutoka kinywani mwa Mungu . ”
Acheni tutafakari masimulizi hayo ya Biblia na kushukuru kwamba Yehova ameyaandaa !
Umeweka nadhiri ngapi kwa Yehova ?
Vipi kuhusu nadhiri yako ya kujiweka wakfu au ya ndoa ?
Tunapoamini kwamba sisi au mtu mwingine ametendewa isivyo haki , huenda imani , unyenyekevu , na ushikamanifu wetu ukajaribiwa .
β€œ Ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake , lakini yeye anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu milele . ” β€” 1 YOH . 2 : 17 .
Yehova atafanya nini kuhusu watu waovu na mashirika yenye ufisadi ?
Biblia inasema hivi : β€œ Ulimwengu unapitilia mbali . ”
Hakuna giza wala kivuli kizito kwa ajili ya wale wanaozoea kufanya madhara kujificha humo . ”
Baadaye katika kitabu hichohicho cha zaburi , tunasoma hivi : β€œ Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia , nao watakaa milele juu yake . ”
β€œ Wapole ” na β€œ waadilifu ” ni nani ?
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba dunia mpya itakuwa na utaratibu ?
Je , kutakuwa na shirika lolote duniani baada ya Har – Magedoni ?
Kwa hiyo , β€œ dunia mpya ” itakuwa yenye utaratibu .
Ni matendo gani maovu unayoona katika eneo unaloishi , nayo hukuathirije wewe na familia yako ?
Tunajifunza nini kutokana na hukumu ya Yehova juu ya Sodoma na Gomora ?
( Soma 2 Petro 2 : 6 - 8 . )
( Soma Zaburi 46 : 8 , 9 . )
Ni mambo gani yataondolewa milele baada ya Har – Magedoni ?
Toa mfano . ( b ) Tutafanya nini ili tuwe na uhakika kwamba tutabaki ulimwengu huu utakapoondolewa ?
β€œ JE , MWAMUZI wa dunia yote hatafanya lililo sawa ? ”
Kwa sababu Yehova ndiye mfano bora zaidi wa haki na uadilifu .
Wakristo wanatarajia kukabili ukosefu wa haki nje ya kutaniko la Kikristo .
Katika 1946 , alihudhuria darasa la nane la Shule ya Gileadi jijini New York , Marekani .
Baada ya kuhitimu , alipewa mgawo wa kuwa mwangalizi wa mzunguko nchini Uswisi .
Tutachunguza visa gani katika makala hii na inayofuata ?
Katika makala hii , tutachunguza kisa cha kitukuu wa Abrahamu , Yosefu , na jinsi alivyoshughulika na ndugu zake .
10 , 11 . ( a ) Yosefu alikabili ukosefu gani wa haki ?
( Soma Mathayo 5 : 23 , 24 ; 18 : 15 . )
Ushikamanifu kwa Yehova na kwa ndugu zetu utatulinda tusifanye kosa kama hilo .
La muhimu hata zaidi , hakuruhusu kutokamilika na matendo mabaya ya wengine yamtenganishe na Yehova .
Kwa nini tunapaswa kumkaribia Yehova hata zaidi tukitendewa isivyo haki kutanikoni ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tuna uhakika katika β€œ Mwamuzi wa dunia yote ” ?
Unaweza kusoma simulizi la maisha la Willi Diehl , lenye kichwa β€œ Yehova Ni Mungu Wangu Nitakayemtumaini , ” katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 1 , 1991 .
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Tutajibu maswali gani katika makala hii ?
Wao ni mfano bora kwa wanaume na wanawake wanaoamua kuweka nadhiri kwa Yehova leo .
Kuweka nadhiri kwa Mungu ni jambo zito kadiri gani ?
Tunajifunza nini kutoka kwa Yeftha na Hana ?
2 , 3 . ( a ) Nadhiri ni nini ?
( b ) Maandiko yanasema nini kuhusu kuweka nadhiri kwa Mungu ?
( a ) Kuweka nadhiri kwa Mungu ni jambo zito kadiri gani ?
( b ) Tungependa kujifunza nini kutoka kwa Yeftha na Hana ?
( a ) Kwa nini haikuwa rahisi kwa Yeftha na binti yake kutimiza nadhiri yao kwa Mungu ?
Yeftha alisema hivi : β€œ Mimi nimemfungulia Yehova kinywa changu , nami siwezi kurudi nyuma . ”
( b ) Nadhiri ya Hana ilibadili maisha ya Samweli jinsi gani ?
Alimpeleka Samweli kwa Kuhani Mkuu Eli kwenye maskani huko Shilo na kusema hivi : β€œ Ilikuwa kuhusu mvulana huyu kwamba nilisali ili Yehova anipe ombi langu nililomwomba .
Nadhiri ya pili muhimu zaidi ambayo mtu anaweza kuweka ni nadhiri ya ndoa .
Biblia inasema nini kuhusu talaka na kutengana ?
( Soma 1 Wakorintho 7 : 10 , 11 . )
Wenzi fulani wa ndoa walisema hivi : β€œ Tangu tuanze kujifunza broshua hii , ndoa yetu imezidi kuwa na furaha . ”
Kwa sasa ndoa yetu inaendelea kuimarika . ”
18 , 19 . ( a ) Wazazi wengi Wakristo wamefanya nini ?
( b ) Watumishi wa pekee wa wakati wote wameweka nadhiri gani , na hilo linamaanisha nini ?
Nadhiri ya utumishi wa pekee wa wakati wote ( Tazama fungu la 19 )
Kazi hiyo ndiyo inayoonwa kuwa ya pekee bali si watu .
Tazama kitabu β€œ Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu , ” uku . 219 - 221 ” .
Je , Mweza - Yote anapendezwa kwa vyovyote kwa kuwa wewe ni mwadilifu , au kupata faida yoyote kwa kuwa wewe unafanya njia yako isiwe na lawama ? ”
( b ) Waisraeli walishindaje jeshi la Yabini ?
( Soma Waamuzi 4 : 14 - 16 . )
Mto wa Kishoni ukawafagilia mbali . ”
Tazama makala β€œ Mahangaiko Kuhusu Pesa ” katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Julai 1 , 2015 .
1 , 2 . ( a ) Nabothi na wanawe walikabili ukosefu gani wa haki ?
( b ) Tutachunguza sifa zipi mbili katika makala hii ?
Nabothi alikuwa mtu wa aina gani , na kwa nini alikataa kumuuzia Mfalme Ahabu shamba lake la mizabibu ?
Nabothi alikuwa mwaminifu kwa Yehova wakati ambapo Waisraeli wengi walikuwa wanafuata mfano mbaya wa Mfalme Ahabu na mke wake mwovu Malkia Yezebeli .
Soma 1 Wafalme 21 : 1 - 3 .
Alisema hivi kwa heshima : β€œ Ni jambo lisilowaziwa kwangu , kwa maoni ya Yehova , kwamba mimi nikupe fungu la urithi la mababu zangu . ”
Kwa nini sifa ya unyenyekevu ingeweza kuwalinda watu wa familia ya Nabothi na rafiki zake ?
( Soma Kumbukumbu la Torati 32 : 3 , 4 . )
( b ) Sifa ya unyenyekevu itatulinda kwa njia gani ?
Tutachunguza simulizi gani , na kwa nini ?
Petro alirekebishwaje , na ni maswali gani yanayozuka ?
Hata baadaye aliongozwa na roho kuandika barua mbili zilizokuja kuwa sehemu ya Biblia .
3 Kuwasaidia β€œ Wakaaji Wageni ” β€˜ Wamtumikie Yehova kwa Kushangilia ’
Makala ya pili inazungumzia jinsi kutumia kanuni za Biblia kunavyoweza kuwasaidia wazazi wahamiaji kufanya maamuzi yatakayowanufaisha watoto wao .
β€œ Tuliona watu wakikimbia na kufyatua risasi .
Wazazi wetu na sote watoto 11 tulikimbia ili kuokoa maisha yetu tukiwa tumebeba vitu vichache sana .
Yesu na wengi wa wanafunzi wake walikuwa wakimbizi jinsi gani ?
Alisema hivi : β€œ Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja , kimbilieni jiji lingine . ”
( b ) wanapoishi kambini ?
Miguu yangu ilikuwa imevimba sana hivi kwamba niliiambia familia yetu iniache .
Kwa kuwa baba hangekubali kuniacha mikononi mwa wapiganaji waasi , alinibeba .
Walipiga porojo , walilewa , walicheza kamari , waliiba , na walikuwa na maadili mapotovu . ”
( Soma 1 Yohana 3 : 17 , 18 . )
( b ) Kwa nini tunahitaji kuwasaidia kwa subira ?
Wanahitaji kuona kwamba tunawajali .
( b ) Wakimbizi wanaweza kuonyeshaje uthamini ?
Tunaweza kuwasaidiaje ndugu na dada zetu ambao ni wakimbizi ?
( a ) Wakimbizi wanahitaji kupinga kishawishi gani ?
Mwishowe , aliinua mfuko mtupu na kusema hivi kwa tabasamu : β€˜ Mnaona ?
Huu tu ndio mnaohitaji ! ’ ” β€” Soma 1 Timotheo 6 : 8 .
Wanahitaji kuhisi upendo wa Yehova na kuonyeshwa na Wakristo wenzao kwamba wanawajali .
Leo , wakimbizi wengi hutoka katika nchi ambazo kazi yetu ya kuhubiri imezuiwa .
Anasema hivi : β€œ Ndugu waliwatendea kama watu wa karibu wa familia wakiwapatia chakula , mavazi , makao , na usafiri .
Ni nani wengine wangeweza kuwakaribisha watu wasiowajua katika nyumba zao kwa sababu tu wanaabudu Mungu yuleyule ?
Ni Mashahidi wa Yehova pekee ! ” β€” Soma Yohana 13 : 35 .
Baada tu ya mkimbizi kufika eneo la kigeni , wazee wanapaswa kufuata mwongozo unaopatikana katika kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova , sura ya 8 , fungu la 30 .
Wakati huohuo , wanaweza kumwuliza mkimbizi huyo maswali kwa busara kuhusu huduma na kutaniko ambalo ametoka ili kujua hali yake ya kiroho .
β€œ Sina sababu nyingine kubwa zaidi ya kuwa na shukrani kuliko mambo haya , kwamba niwe nikisikia watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli . ” β€” 3 YOH . 4 .
Wazazi wanaweza kuwawekeaje watoto wao mfano mzuri ?
Ni nini kinachoweza kusaidia vichwa vya familia kuamua watashirikiana na kutaniko la lugha gani ?
Wengine wanaweza kuwasaidiaje wazazi ambao ni wahamiaji pamoja na watoto wao ?
1 , 2 . ( a ) Watoto wengi wahamiaji hukabili tatizo lipi ?
( b ) Makala hii itazungumzia maswali gani ?
β€œ Lakini nilipoanza shule , nilianza kupendelea lugha ya wenyeji .
Baada ya miaka michache , nilibadilika kabisa .
Sikuelewa mikutano , na niliacha utamaduni wa wazazi . ”
3 , 4 . ( a ) Wazazi wanaweza kuwawekeaje watoto wao mfano mzuri ?
( b ) Wazazi hawapaswi kutarajia nini kutoka kwa watoto wao ?
Watoto wenu wanapowaona β€˜ mkiutafuta kwanza ufalme , ’ wanajifunza kumtegemea Yehova ili kupata mahitaji yao ya kila siku .
Kamwe msiwe na shughuli nyingi hivi kwamba mkose muda wa kuwa pamoja na watoto wenu .
Watoto wako wanaweza kunufaikaje kwa kujifunza lugha yako ?
Wazazi , ikiwa watoto wenu wanakabili hali hiyo , je , mnaweza kujifunza kwa kiwango fulani lugha ya wenyeji ?
Je , hukubali kwamba mtoto anayeelewa vizuri zaidi lugha nyingine anahitaji pia kuhangaikiwa jinsi hiyo ?
Ikiwa unakabili hali hiyo , bado unaweza kuwasaidia watoto wako kumjua na kumpenda Yehova .
Lakini tulipomwona akijifunza , akisali , na kujitahidi awezavyo kuongoza ibada ya familia kila juma , tulielewa kwamba ni muhimu sana kumjua Yehova . ”
Wazazi wanaweza kuwasaidiaje watoto ambao huenda wakahitaji kujifunza kwa kutumia lugha mbili ?
( a ) Ni nani anayepaswa kuamua familia itashirikiana na kutaniko la lugha gani ?
Huenda isiwe hivyo ikiwa hawaelewi vizuri lugha inayotumiwa .
( Soma 1 Wakorintho 14 : 9 , 11 . )
Jibu la sala yetu halikutufaa sisi kibinafsi .
Lakini tulipoona kwamba hawakunufaika sana na mikutano ya lugha yetu , tuliamua kuhamia kutaniko la lugha ya wenyeji .
Tukiwa pamoja , tulihudhuria mikutano na kushiriki katika huduma kwa ukawaida .
Pia , tuliwaalika marafiki wenyeji wajiunge nasi kwa ajili ya mlo na tafrija .
Kufanya hivyo kuliwasaidia watoto wetu kuwafahamu akina ndugu na kumjua Yehova , si akiwa Mungu tu , bali pia Baba na Rafiki yao .
Tuliona jambo hilo kuwa muhimu zaidi kwao kuliko kujifunza lugha yetu . ”
Samuel anasema hivi pia : β€œ Ili kudumisha hali nzuri ya kiroho , mimi na mke wangu pia tulihudhuria mikutano ya lugha yetu .
Tulikuwa na shughuli nyingi , na tulichoka .
Lakini tunamshukuru Yehova kwa kubariki jitihada zetu na jinsi tulivyojidhabihu .
Watoto wetu wote watatu wanamtumikia Yehova katika utumishi wa wakati wote . ”
Kristina anakumbuka hivi : β€œ Nilielewa kwa kiasi fulani lugha ya wazazi wangu , lakini ilikuwa vigumu sana kuelewa mikutano .
Nilipokuwa na umri wa miaka 12 , nilihudhuria kusanyiko lililotumia lugha niliyozungumza shuleni .
Kwa mara ya kwanza , nilielewa kwamba kile nilichokuwa nikisikia ni kweli !
Maisha yangu yalibadilika pia nilipoanza kusali katika lugha niliyozungumza shuleni .
Sasa ningeweza kuzungumza na Yehova kutoka moyoni ! ”
Enyi vijana , je , mnahisi kwamba mngependelea kuwa katika kutaniko la lugha ya wenyeji ?
Nadia , ambaye sasa anatumikia Betheli , anasema hivi : β€œ Mimi na ndugu zangu tulipokuwa matineja , tulitaka kuhamia kutaniko la lugha ya wenyeji . ”
β€œ Sasa tunashukuru kwamba wazazi wetu walijitahidi kutufundisha lugha yao na kuamua tubaki katika kutaniko la lugha yetu .
Kufanya hivyo kumeboresha maisha yetu na kumeongeza fursa zetu za kuwasaidia wengine kumjua Yehova . ”
( b ) Wazazi wanawezaje kupata msaada wanapowafundisha watoto wao kweli ?
( Soma Methali 1 : 8 ; 31 : 10 , 27 , 28 . )
Hata hivyo , wazazi ambao hawajui lugha ya wenyeji huenda wakahitaji msaada ili kufikia mioyo ya watoto wao .
Watoto na wazazi hunufaika kwa kushirikiana na kutaniko ( Tazama fungu la 18 na 19 )
( b ) Wazazi wanapaswa kuendelea kufanya nini ?
Nilijifunza mambo mengi waliponisaidia kutayarisha migawo ya hotuba ya wanafunzi kwa ajili ya mikutano .
Na nilifurahia tafrija tulizofanya tukiwa kikundi . ”
Wazazi , mwombeni Yehova msaada na mfanye yote mwezayo .
( Soma 2 Mambo ya Nyakati 15 : 7 . )
Tangulizeni uhusiano wa mtoto wenu pamoja na Yehova kuliko mapendezi yenu binafsi .
Lakini mwaka 1946 ndipo nilipoelewa vizuri kweli ya Biblia .
Mwishowe , nilijifunza lugha ya ishara ( alama ) na hivyo nilifurahia kucheza na watoto wengine .
Alikubali maandikisho ya gazeti na akataka nikutane na mume wake , Gary .
Mwishowe , wanafunzi watano katika darasa lao wakawa Mashahidi wa Yehova .
Wakati huo , alinipa peremende na kuniomba tuwe marafiki .
Alipotaka kubatizwa , wazazi wake walimwambia , β€œ Ukiwa Shahidi wa Yehova , utaondoka nyumbani ! ”
Aliendelea kujifunza na baadaye akabatizwa .
Tulipofunga ndoa mwaka 1960 , wazazi wake hawakuhudhuria arusi yetu .
Mwanangu Nicholas na mke wake , Deborah , wanatumikia katika Betheli ya London
Faye na James ; Jerry na Evelyn ; Shannan na Steven
Sasa tunashirikiana na kutaniko la Lugha ya Ishara la Calgary , ambako ninaendelea kutumikia nikiwa mzee wa kutaniko .
Tunaweza kudumishaje upendo wetu kwa Yehova ukiwa imara ?
Tunaweza kufanya nini ili upendo wetu kuelekea kweli za Biblia uwe wenye kina zaidi ?
Kwa nini ni muhimu kuwapenda ndugu zetu ?
Ni nini ambacho huenda kilisababisha upendo wa baadhi ya Wakristo upoe ?
Leo upendo wa watu wengi kwa Mungu unaendelea kupoa .
Onyesha upendo kwa Yehova ( Tazama fungu la 10 )
( Soma Zaburi 119 : 97 - 100 . )
Onyesha upendo kwa kweli za Biblia ( Tazama fungu la 14 )
Yesu aliwaambia hivi wanafunzi wake katika usiku wake wa mwisho hapa duniani : β€œ Ninawapa ninyi amri mpya , kwamba mpendane ; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi , ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo .
Kwa jambo hili wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu , mkiwa na upendo kati yenu wenyewe . ” β€” Yoh . 13 : 34 , 35 .
Mtume Yohana aliandika hivi : β€œ Yeye ambaye hampendi ndugu yake , ambaye amemwona , hawezi kuwa anampenda Mungu , ambaye hajamwona . ”
Onyesha upendo kwa ndugu na dada ( Tazama fungu la 17 )
Tunaweza kuonyesha upendo katika njia zipi ?
Soma 1 Wathesalonike 4 : 9 , 10 .
21 : 15 .
Kisha akawaambia : β€œ β€˜ Utupeni wavu upande wa kuume wa mashua , nanyi mtapata . ’
Basi wakautupa , lakini hawakuweza tena kuuvuta ndani kwa sababu samaki walikuwa wengi sana . ” β€” Yoh . 21 : 1 - 6 .
( b ) Ndugu mmoja nchini Thailand alijifunza somo gani muhimu kuhusu kazi yake ?
Kwa hiyo , nilikuwa na muda mfupi sana wa kufanya mambo ya kiroho .
Mwishowe , nilitambua kwamba ili nitangulize masilahi ya Ufalme , nilihitaji kubadili kazi yangu . ”
Anaeleza hivi : β€œ Baada ya kufikiria nitafanya kazi gani na kuweka akiba ya pesa kwa mwaka mmoja hivi , niliamua kuuza aiskrimu mtaani .
Mwanzoni , biashara yangu haikuwa nzuri na nilivunjika moyo .
Nilipokutana na watu niliofanya kazi nao , walinicheka na kuniuliza kwa nini nilifikiri kwamba kuuza aiskrimu ni bora kuliko kufanya kazi ya kompyuta katika vyumba vyenye viyoyozi .
Nilisali kwa Yehova na kumwomba anisaidie kukabiliana na hali hiyo , na kufikia lengo la kuwa na muda zaidi wa kufanya mambo ya kiroho .
Nilielewa vizuri zaidi kile ambacho wateja wangu hupenda na nikaongeza ustadi wa kutengeneza aiskrimu .
Punde si punde , nilikuwa nikiuza aiskrimu yote kila siku .
Kwa kweli , nilipata pesa nyingi zaidi kuliko wakati nilipokuwa nikifanya kazi ya kompyuta .
Mimi ni mwenye furaha zaidi kwa sababu sina mikazo na wasiwasi niliokuwa nao katika kazi niliyofanya mwanzoni .
Na jambo muhimu hata zaidi , sasa ninahisi nikiwa karibu sana na Yehova . ” β€” Soma Mathayo 5 : 3 , 6 .
Baada ya kubatizwa , alisema hivi : β€œ Ninajuta tu kwamba nilipoteza muda mwingi kabla ya kugundua kuwa kumtumikia Yehova huleta furaha nyingi zaidi kuliko kufuatia burudani za ulimwengu huu . ”
Yesu alisema kwamba β€œ hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili . ”
Aliongeza hivi : β€œ Hamwezi kutumikia Mungu na Utajiri . ”
( Soma 1 Wakorintho 2 : 14 . )
Tazama makala β€œ Je , Tafrija Unayochagua Inakujenga ? ”
Pia , tulishiriki kwa ukawaida katika huduma ya shambani . ”
Tulihuzunika sana kuacha mafunzo yetu ya Biblia . ”
Lakini mwezi mmoja baadaye , walipokea habari zenye kusisimua .
Miriam anasema hivi : β€œ Tuliombwa kutumikia tukiwa mapainia wa pekee .
Tulipata shangwe kubwa kubaki katika mgawo wetu ! ”
Waliamini ahadi hii inayopatikana katika Zaburi 37 : 5 : β€œ Mkabidhi Yehova njia yako , na kumtegemea , naye mwenyewe atatenda . ”
Sasa tumefaulu , na hatukosi kitu chochote muhimu . ”
Kwa nini tunaweza kutarajia kwamba tutakabili majaribu fulani katika ndoa na katika familia ?
Kama alivyowategemeza watumishi wake wa kale , tunaweza kuwa na uhakika kwamba anataka tufanikiwe . β€” Soma Yeremia 29 : 11 , 12 .
( Soma 1 Samweli 1 : 4 - 7 . )
Paula anaeleza hivi : β€œ Ingawa Ann hakuwa mtu wa ukoo , hangaiko lake la upendo lilinisaidia sana .
Lilinisaidia kuendelea kumtumikia Yehova . ”
( Soma Zaburi 145 : 18 , 19 . )
β€œ Mahali ilipo hazina yenu , hapo pia mioyo yenu itakuwapo . ” β€” LUKA 12 : 34 .
Tunapochunguza mambo hayo , tafakari jinsi wewe binafsi unavyoweza kuongeza kina cha upendo wako kwa hazina hizo za kiroho .
Je , unaweza kuwazia jinsi lulu hiyo ilivyokuwa yenye thamani kwake ?
( Soma Marko 10 : 28 - 30 . )
( a ) Kwa nini mtume Paulo alifafanua huduma yetu kuwa β€œ hazina . . . katika vyombo vya udongo ” ?
( Soma Waroma 1 : 14 , 15 ; 2 Timotheo 4 : 2 . )
Baadhi yao ni Wanabetheli , mapainia , na wazee .
Irene anasema hivi : β€œ Ninapofikiria malengo ambayo ningefuatia , siwezi kuwazia lengo lingine ambalo lingeniletea shangwe zaidi . ”
β€œ Hazina ” ambayo Yesu alitaja katika Mathayo 13 : 52 ni nini , na tunaweza kuijaza jinsi gani ?
( Soma Methali 2 : 4 - 7 . )
Fikiria mfano wa ndugu anayeitwa Peter .
Ili kumjaribu Peter , rabi huyo alimwuliza , β€œ Hivyo mwanangu , kitabu cha Danieli kiliandikwa katika lugha gani ? ”
Niliporudi nyumbani , nilichunguza magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni !
ya miezi iliyotangulia , na nikapata makala iliyoeleza kwamba kitabu cha Danieli kiliandikwa katika Kiaramu . ”
Unapoendelea kufanya hivyo , utajenga β€œ hazina isiyopungua kamwe katika mbingu , ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali .
Kwa maana mahali ilipo hazina [ yako , hapo pia moyo wako utakuwapo ] . ” β€” Luka 12 : 33 , 34 .
β€œ Sikuelewana na ndugu tuliyefanya kazi naye .
Pindi fulani tulipokuwa tukigombana , watu wawili walikuja na kushuhudia tukio hilo . ” β€” CHRIS .
β€œ Dada mmoja niliyehubiri naye kwa ukawaida alisitisha ghafula mpango tuliokuwa nao wa kwenda kuhubiri .
Sikuelewa kwa nini alifanya hivyo . ” β€” JANET .
β€œ Nilikuwa nikizungumza kwa simu na watu wawili kwa wakati mmoja .
Mmoja wao akatuaga , na nikafikiri amekata simu .
Kisha nikasema maneno yasiyo ya fadhili kumhusu , lakini kumbe hakuwa amekata simu . ” β€” MICHAEL .
β€œ Katika kutaniko letu , mapainia wawili walianza kuwa na matatizo ya kutoelewana .
Watu walivunjwa moyo sana na ugomvi wao . ” β€” GARY .
β€œ Msigombane njiani . ”
β€œ Mipango huvunjika mahali ambapo hapana mazungumzo ya siri . ”
Michael anasema , β€œ Ndugu yangu alinisamehe kabisa . ”
β€œ Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine . ”
Sasa wao ni marafiki na wanaendelea kuhubiri habari njema .
Huenda tofauti hiyo ikaonekana kuwa ndogo ; lakini inaweza kusababisha matatizo makubwa . ”
Nilipozidi kuudhika , nilianza kuzungumza naye bila heshima .
Niliwaza hivi , β€˜ Hanionyeshi heshima ninayostahili , kwa hiyo , hata mimi sitamwonyesha heshima . ’ ”
β€œ Nilianza kuona kasoro zangu , na nikahuzunishwa sana na matendo yangu .
Nikatambua kwamba nilihitaji kubadili njia yangu ya kufikiri .
Baada ya kusali kwa Yehova kuhusu jambo hilo , nilimnunulia dada huyo zawadi ndogo na kumwandikia kadi ya kuomba msamaha kwa kumtendea kwa njia isiyofaa .
Tulikumbatiana na kusameheana .
Tangu wakati huo , hatujakuwa na matatizo yoyote . ”
SUALA kuu maishani mwa watu wengi leo ni pesa .
Kwa nini ni lazima suala la enzi kuu litatuliwe ?
Kutetewa kwa enzi kuu ya Yehova ni muhimu kadiri gani ?
Kwani , tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo , mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji . ”
( Soma Isaya 55 : 10 , 11 . )
( Soma Ayubu 1 : 7 - 12 . )
( Soma Ayubu 38 : 18 - 21 . )
( Soma Waroma 5 : 3 - 5 . )
Sababu moja ni kwamba anatawala kwa upendo .
Anatutunza kwa njia nzuri zaidi kuliko tunavyoweza kujitunza .
Wazee na vichwa vya familia wanaweza kumwigaje Yehova ?
Zaburi ya 147 inawatia moyo watu wa Mungu wamsifu Yehova tena na tena .
Ni nini kilichompendeza mtunga zaburi sana kumhusu Yehova hivi kwamba akataka Mungu asifiwe ?
Ndugu na dada wengi vijana wanajiunga kwa bidii na utumishi wa wakati wote .
β€œ Jifanyieni rafiki kupitia mali zisizo za uadilifu . ” ​ ​ β€” LUKA 16 : 9 .
Tunaweza kuepukaje kuwa watumwa wa ulimwengu wa sasa wa kibiashara ?
Katika mfumo huu wa mambo , kwa nini maskini watakuwapo sikuzote ?
Tunaweza kujifunza nini kutokana na shauri la Yesu ?
Tunajuaje kwamba ulimwengu wa sasa wa kibiashara haukuwa sehemu ya kusudi la Mungu ?
Wahubiri fulani wanaonyeshaje uaminifu wao kuhusu jinsi wanavyotumia mali zisizo za uadilifu ?
Ni rahisi zaidi kwangu kusamehe , kuwa mwenye subira , kukabiliana na hali zenye kuvunja moyo , na kupokea shauri . ”
Abrahamu alionyeshaje kwamba alimtegemea Mungu ?
( b ) Tunaweza kutumiaje shauri la Paulo leo ?
Baada ya kumwita β€œ askari - jeshi mwema wa Kristo Yesu , ” Paulo alimwambia hivi : β€œ Mtu anayetumikia akiwa askari - jeshi hajihusishi katika shughuli za kibiashara za maisha , ili apate kibali cha yule aliyemwandika kuwa askari - jeshi . ”
Yehova huwabariki wale walio β€œ matajiri katika matendo mazuri . ”
Mbao , mawe , na chuma za ubora wa hali ya juu zitapatikana kwa urahisi ili kujenga nyumba maridadi .
Ili kutoa mchango kupitia mtandao , tembelea tovuti ya jw.org / sw , kisha bofya kiunganishi β€œ Toa Mchango kwa Ajili ya Kazi Yetu ya Ulimwenguni Pote ” kwenye sehemu ya chini ya ukurasa wowote .
β€œ KWA mwaka mmoja hivi baada ya mwana wetu kufa , tulihisi maumivu makali sana , ” anasema Susi .
Kila moja ya pindi hizo , amani ya Mungu ililinda mioyo na akili yetu . ” ​ β€” Soma Wafilipi 4 : 6 , 7 .
Yesu alionyeshaje huruma Lazaro alipokufa ?
Ikiwa unaomboleza , wewe pia unaweza kupata faraja katika maandiko yafuatayo :
( Soma 1 Wathesalonike 5 : ​ 11 . )
Tunahitaji kukumbuka nini kuhusu huzuni ?
Hata mtu anapoeleza jinsi anavyohisi , si rahisi kwa wengine kuelewa anachosema nyakati zote .
Wakati huo , sijihisi nikiwa peke yangu ninapohuzunika . ”
Junia anasema hivi : β€œ Ninapopata ujumbe wenye kutia moyo au mwaliko wa kumtembelea Mkristo mwenzangu , mimi hufarijika sana .
Watu wanapofanya hivyo , mimi huhisi kwamba wananipenda na kunijali sana . ”
Dalene anakumbuka hivi : β€œ Nyakati nyingine dada wanapokuja kunifariji , mimi huwauliza ikiwa wangependa kutoa sala .
Wanapoanza kusali , mara nyingi inakuwa vigumu kutamka maneno lakini baada ya maneno machache , sauti zao huimarika na wanatoa sala nzuri sana za kutoka moyoni .
Imani yangu imeimarishwa sana na imani yao yenye nguvu , upendo wao , na jinsi wanavyonihangaikia . ”
β€œ Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote , naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu . ”
Ndugu mmoja anaeleza hivi : β€œ Nilijua kwamba siku tuliyofunga ndoa itakapofika ningehuzunika sana , na kwa kweli haikuwa rahisi .
Lakini ndugu na dada wachache walipanga tafrija ndogo ya marafiki wangu wa karibu ili nisiwe peke yangu siku hiyo . ”
Junia anaeleza hivi : β€œ Mara nyingi waliofiwa wanaweza kutiwa moyo sana akina ndugu wanapojitoa kuwasaidia na kushirikiana nao pindi ambazo hakuna tukio la pekee .
Pindi hizo ambazo hazijapangiwa mapema ni zenye thamani na hunifariji sana . ”
Kwa kweli , wamefanya nihisi kana kwamba mikono ya Yehova inanikumbatia kwa upendo . ”
Kwa nini ahadi za Yehova zinafariji sana ?
Mungu anaahidi kwamba β€œ atameza kifo milele na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote . ”
Maandiko mengine ambayo yamewafariji watu wengi ni Zaburi 20 : ​ 1 , 2 ; 31 : 7 ; 38 : 8 , 9 , 15 ; 55 : 22 ; 121 : 1 , 2 ; Isaya 57 : 15 ; 66 : 13 ; Wafilipi 4 : 13 ; na 1 Petro 5 : 7 .
Tazama pia makala β€œ Wafariji Waliofiwa Kama Yesu Alivyofanya ” katika toleo la Novemba 1 , 2010 , la Mnara wa Mlinzi .
β€œ Hatujui la kusema ila tunakupenda .
Hatuwezi kuelewa kikamili jinsi unavyohisi , lakini Yehova anaelewa na ataendelea kukupa nguvu za kuvumilia .
Tunatumaini kwamba sala zetu zitasaidia kwa kiasi fulani . ”
β€œ Yehova na akutegemeze katika kipindi hiki kigumu unachokabili . ”
β€œ Inafariji kujua kwamba mpendwa wako yuko salama katika kumbukumbu ya Mungu . Atakumbuka kila kitu kumhusu na kumfufua . ”
β€œ Mpendwa wako hatakabili yule adui wa mwisho , yaani , kifo tena kamwe .
Kwa sasa , tutaendelea kukumbuka matendo yake ya imani hadi atakapofufuliwa akiwa mzima wa afya katika Paradiso . ”
β€œ Ingawa kwa sasa hatuwezi kueleza kikamili maumivu ya kufiwa na mpendwa wako , tunatazamia kwa hamu wakati ambapo hatutaweza kueleza kikamili shangwe tutakayopata Baba yetu wa mbinguni atakapokurudishia mpendwa wako . ”
Wakati wa dhiki kuu , Wakristo watamtegemea Yehova badala ya kujaribu kujilinda
Mhubiri akimweleza ujumbe wa Biblia mfanyakazi katika shamba la matofaa mjini GrΓ³jec
( b ) Tunaweza kunufaikaje kwa kujifunza Zaburi ya 147 ?
Na huenda kuna matrilioni ya makundi ya nyota ulimwenguni !
Ninataka ufurahie maisha ukiwa mmoja wa Mashahidi wangu ! ”
( Soma Zaburi 147 : ​ 8 , 9 . )
Mutsuo anasema hivi : β€œ Nilihisi kwamba Yehova yuko kando ya kila mmoja wetu na alitutunza .
12 , 13 . ( a ) Ili tunufaike na msaada wa Mungu , tunapaswa kuepuka kufanya nini ?
Kwa upande mwingine , Mungu β€œ anawashusha waovu mpaka chini . ”
β€œ Yehova anawafurahia wale wanaomwogopa , wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo . ”
15 - 17 . ( a ) Nyakati nyingine huenda tukahisije kuhusu majaribu yetu , lakini Yehova anatumiaje Neno lake kutusaidia ?
Leo , Yehova anatuongoza kupitia Neno lake , Biblia .
( Soma Zaburi 147 : 19 , 20 . )
Unaweza kufanya mipango gani ili uwe na wakati ujao wenye furaha ?
Utumishi wa upainia unaweza kukunufaishaje ?
IKIWA wewe ni kijana huenda ukakubali kwamba kabla ya kuanza safari , ni jambo la hekima kujua unapotaka kwenda .
Maisha ni kama safari , na wakati unaofaa wa kupanga unapotaka kwenda ni unapokuwa kijana .
Unajuaje kwamba Yehova anataka upangie wakati ujao wenye furaha ?
Muumba wako ni β€œ Mungu wa upendo , ” β€œ Mungu mwenye furaha , ” aliyewaumba wanadamu β€œ kwa mfano wake . ”
Utakuwa mwenye furaha ukimwiga Mungu wetu mwenye upendo .
Yesu Kristo aliwawekea ninyi vijana mfano bora kabisa .
Yesu pia alimkaribia Yehova kwa kujifunza Maandiko .
β€œ Mipango huvunjika mahali ambapo hapana mazungumzo ya siri , lakini katika wingi wa washauri mambo hutimizwa . ”
Kama ilivyo na kazi nyingine yoyote , unahitaji muda ili upate ustadi .
Mwanzoni , nisingeweza kuanzisha mafunzo ya Biblia , lakini baadaye nilipohamia eneo lingine , nilianzisha mafunzo kadhaa ndani ya mwezi mmoja .
Mwanafunzi mmoja alianza kuhudhuria mikutano .
Kwa mfano , Jacob , anayeishi Amerika Kaskazini , aliandika hivi : β€œ Nilipokuwa na umri wa miaka saba , wanafunzi wengi niliosoma nao walikuwa wametoka Vietnam .
Nilitaka kuwafundisha kumhusu Yehova , kwa hiyo baada ya muda nilifanya mipango ya kujifunza lugha yao .
Nilijifunza hasa kwa kulinganisha gazeti la Mnara wa Mlinzi la Kiingereza na la Kivietnam .
Pia , nilitafuta marafiki katika kutaniko la Kivietnam lililokuwa karibu .
Nilipokuwa na umri wa miaka 18 , nilianza upainia .
Baadaye , nilihudhuria Shule ya Biblia ya Ndugu Waseja .
Shule hiyo inanisaidia katika mgawo wangu wa sasa nikiwa painia katika kikundi cha Kivietnam , ambapo mimi pekee ndiye mzee .
Wavietnam wengi wanashangaa kwamba nimejifunza lugha yao .
Wao hunikaribisha nyumbani , na mara nyingi mimi huanzisha funzo la Biblia pamoja nao .
Baadhi yao wamefikia hatua ya kubatizwa . ” ​ ​ β€” Linganisha Matendo 2 : ​ 7 , 8 .
Ninafurahia kuwatia moyo ndugu vijana katika kutaniko letu na kuona wakifanya maendeleo ya kiroho .
Baada ya kuhudhuria Shule ya Biblia ya Ndugu Waseja , nilipata mgawo mpya .
Ni kweli kwamba sijapata mtu ambaye amefanya maendeleo hadi kufikia ubatizo katika eneo hilo , lakini wengine wamefaulu .
Utumishi wa upainia unaweza kutupatia fursa zipi nyingine ?
Ndugu anayeitwa Kevin anasema hivi : β€œ Tangu nilipokuwa mvulana mdogo , nilikuwa na lengo la kumtumikia Yehova wakati wote .
Mwishowe , nilianza upainia nilipokuwa na umri wa miaka 19 .
Ili nijitegemeze , niliajiriwa kufanya kazi ya muda na ndugu aliyekuwa mjenzi .
Nilijifunza kuweka paa , madirisha , na milango .
Kisha , baada ya kimbunga kutokea , nilitumika kwa miaka miwili kujenga Majumba ya Ufalme na nyumba za akina ndugu nikiwa katika kikosi cha kutoa msaada .
Niliposikia kwamba kuna uhitaji wa wajenzi nchini Afrika Kusini , nilijaza fomu na nikapokea mwaliko .
Hapa Afrika , ninashiriki kujenga Majumba ya Ufalme , na ninafurahia kukamilisha mradi mmoja baada ya mwingine kila baada ya majuma kadhaa .
Tunaishi pamoja , tunajifunza Biblia pamoja , na kufanya kazi pamoja .
Pia , ninafurahia kuhubiri na ndugu kutanikoni kila juma .
Mipango niliyofanya nikiwa mvulana imenifanya niwe mwenye furaha kuliko nilivyotarajia . ”
Utumishi wa Betheli unaleta furaha kwa sababu mambo yote unayofanya hapo unamfanyia Yehova .
Baada ya mwaka mmoja na nusu , nilialikwa Betheli , ambapo nilijifunza kutumia mashine ya kuchapisha na baadaye nilijifunza kutayarisha programu za kompyuta .
Nikiwa Betheli , ninafurahia kupata habari moja kwa moja kutoka shambani kuhusu maendeleo ya ulimwenguni pote ya kazi ya kufanya wanafunzi .
Ninapenda kutumikia hapa kwa sababu kazi tunazofanya zinawasaidia watu wamkaribie Yehova . ”
Unaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova anataka β€˜ ushike imara ’ wakati ujao wenye furaha .
( Soma 1 Timotheo 6 : ​ 18 , 19 . )
Kisha upange kufanya kile kitakachomfurahisha .
Amechunguza tabia za wanadamu tangu walipoumbwa .
Ni kitu ambacho lazima ujitafutie . ”
na β€œ Usiruhusu wakuongoze vibaya na kukusababishia matatizo ! ”
Yesu alisema : β€œ Msiwaogope wale wanaouua mwili na baada ya hilo hawawezi kufanya jambo lolote zaidi . ”
Usitetemeke wala usiwe na hofu , kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda . ”
Msikilize Yehova na umtegemee katika mambo yote unayofanya .
Makala ya pili inakazia jinsi Yehova anavyoweza kutimiza mambo ambayo hatungewazia anaweza kufanya , mambo yanayopita matarajio yetu .
Kama mkulima huyo , tunahitaji kungoja kwa subira .
Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa nabii Mika ?
( Soma Mika 7 : 1 - 3 . )
Ikiwa tuna imani kama ya Mika , tutakuwa tayari kumngojea Yehova .
Kwa hiyo , β€œ [ tunavumilia ] kikamili na kuwa wenye ustahimilivu pamoja na shangwe . ”
Abrahamu alihitaji kungoja kwa miaka mingi kabla ya wajukuu wake , Esau na Yakobo , kuzaliwa ( Tazama fungu la 9 na 10 )
( Soma Waebrania 11 : 8 - 12 . )
Lakini wazia shangwe ambayo Abrahamu atakuwa nayo atakapofufuliwa katika dunia paradiso .
Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi . ”
( b ) Ni nini kilichomsaidia Daudi kungoja kwa subira ?
Nitamwimbia Yehova , kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa thawabu . ”
( Soma 2 Petro 3 : 9 . )
Ni nini kitakachotusaidia kuwa tayari kungoja kwa subira ?
Tunajifunza mambo gani kutokana na yale yaliyompata mtume Paulo akiwa Filipi ?
( Soma Matendo 16 : ​ 8 - ​ 10 . )
Muda mfupi baada ya kufika Makedonia , akafungwa gerezani !
Kwa nini Yehova aliruhusu Paulo afungwe gerezani ?
Yeye na Sila wakaanza β€œ [ kusali ] na kumsifu Mungu kwa wimbo . ”
4 , 5 . ( a ) Hali zetu zinaweza kufananaje na hali za Paulo ?
( b ) Hali ya Paulo ilibadilikaje ghafla ?
Tutachunguza mambo gani sasa ?
( Soma 1 Petro 5 : ​ 6 , 7 . )
Nyakati nyingine anatushangaza kwa kufanya jambo linalopita matarajio yetu .
Yehova alimtuma malaika kuwaangamiza wanajeshi 185,000 wa Senakeribu katika usiku mmoja .
( a ) Tunajifunza nini kutokana na mambo yaliyompata Yosefu ?
Bila shaka mambo ambayo Yehova alifanya yalipita kabisa matarajio ya Yosefu .
Mfikirie pia Sara , bibi ( nyanya ) wa ukoo wa Yosefu .
( Soma Isaya 43 : 10 - 13 . )
Tunajua kwamba Yehova anatujali na anataka tufanikiwe .
Tunaweza kuvua utu wa zamani na kutourudia kamwe jinsi gani ?
Kufikia mwaka wa 1939 kulikuwa na Mashahidi 6,000 kwenye [ kambi za mateso ] . ”
Nanyi mmesafisha uwanja vizuri sana .
Lakini zaidi ya yote , kwa kweli ninyi hamna ubaguzi . ”
Lakini kadiri nilivyoendelea kujihusisha katika mahusiano hayo , ndivyo nilivyozidi kukosa amani . ”
Sakura aliendelea kuishi maisha hayo hadi alipofika umri wa miaka 23 .
Hali ilikuwa mbaya sana hivi kwamba nisingeweza kusubiri mwanamke niliyeishi naye atoke nyumbani ili nitazame video za ponografia . ”
Ni nini kilichomsaidia Stephen aache kuwa mwenye hasira na matukano ?
Anasema hivi : β€œ Maisha yetu ya familia yalibadilika sana .
Sasa , Stephen anatumikia akiwa mtumishi wa huduma na mke wake ametumikia akiwa painia wa kawaida kwa miaka kadhaa .
Baadhi ya Maandiko yaliyonitia moyo ni Isaya 55 : 7 , linalosema : β€˜ Mtu mwovu aiache njia yake , ’ na 1 Wakorintho 6 : 11 , linalosema hivi kuhusu wale walioacha mwenendo wenye dhambi : β€˜ Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo . ’
Kwa miaka mingi , Yehova amenisaidia kwa subira kupitia roho yake takatifu kuvaa utu mpya . ”
Tunanufaika pia na Neno la Mungu na roho yake takatifu tunapotayarisha na kuhudhuria mikutano ya kutaniko .
Tazama sura ya 25 katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza ​ β€” Majibu Yafanyayo Kazi , Buku la 1 .
( Soma Wakolosai 3 : 10 - 14 . )
Anasema hivi : β€œ Hakuna Mgiriki wala Myahudi , tohara wala kutotahiriwa , mgeni , Msikithe , mtumwa , mtu huru . ”
( a ) Watumishi wa Yehova wanapaswa kuwatendeaje wengine ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Kumekuwa na matokeo gani ?
Kisha akahudhuria mkutano wa Mashahidi wa Yehova .
Unafurahia undugu wetu wa ulimwenguni pote na kujionea umoja wenye kustaajabisha . ”
Tulipowaonyesha maandiko kama vile Ufunuo 21 : 3 , 4 au Zaburi 37 : ​ 10 , 11 , 29 katika Biblia yao ya Kireno , walisikiliza kwa makini na hata nyakati fulani walitokwa na machozi . ”
Tunamshukuru sana Yehova . ” ​ β€” Soma Matendo 10 : 34 , 35 .
Yesu aliweka mfano gani katika kuonyesha upole na subira ?
Halafu akaongeza hivi : β€œ Mkiendelea kuonyesha upendeleo , mnafanya dhambi . ”
Kwa nini ni muhimu tujivike upendo ?
Pia , upendo ni wenye β€œ ustahimilivu na wenye fadhili ” na β€œ haujivuni . ”
Paulo alisema kwamba bila upendo yeye β€œ si kitu . ”
Hivi ndivyo upendo ulivyo , si kwamba sisi tumempenda Mungu , bali kwamba yeye alitupenda akamtuma Mwana wake kuwa dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu . ”
Yesu alisema hivi : β€œ Hakuna aliye na upendo mkuu kuliko huu , kwamba mtu aitoe nafsi yake kwa ajili ya rafiki zake . ”
Acheni tuchunguze jinsi tunavyoweza kufanya hivyo .
Yohana aliandika hivi : β€œ Watoto wadogo , acheni tupendane , si kwa neno wala kwa ulimi , bali kwa tendo na kweli . ”
Lakini nikajiuliza , β€˜ Ninaweza kumwigaje Yesu katika kushughulika na mtu huyu ? ’
Baada ya kutafakari kile ambacho Yesu angefanya , niliamua kumsamehe na kutolifikiria tena .
Baadaye , niligundua kwamba mfanyakazi huyo alikuwa na ugonjwa mbaya na alikuwa na mkazo mwingi .
Nilikata kauli kwamba huenda hakumaanisha mambo aliyoandika .
Kutafakari mfano wa Yesu wa kuonyesha upendo hata alipokasirishwa , kulinisaidia kumwonyesha mfanyakazi mwenzangu upendo kama huo . ”
Kwa kushuka kutoka mbinguni , β€œ alijiondolea mwenyewe hali yake ” kwa ajili yetu , hata kufikia β€œ kifo . ”
AMANI : β€˜ Kuvumiliana katika upendo ’ kunafanya tufurahie β€œ kifungo chenye kuunganisha cha amani . ”
Je , hukubali kwamba roho hiyo ya amani ni ya pekee sana katika ulimwengu wa sasa uliogawanyika ?
Paulo aliandika hivi : β€œ Upendo hujenga . ”
Siku iliyofuata , eneo la kusanyiko likawa dogo kuliko idadi ya watu . ”
Chini yake kulikuwa na maelezo haya : β€œ Mitaa yavamiwa . ”
Kutaniko moja liliandika hivi : β€œ Mawasiliano ya simu tu ndiyo yaliyokuwa karibu na eneo letu . ”
Nchini Mexico , watu 2,262,646 walihudhuria Ukumbusho mwaka wa 2016 .
Simulizi la Mathayo linakazia matukio yanayomhusu Yosefu .
1 , 2 . ( a ) Kukosa sifa ya kujizuia kunaweza kusababisha madhara gani ?
Sali ili upate hekima ya kusema au kufanya jambo linalofaa .
Unaweza kujiandaa jinsi gani kupinga vishawishi ?
Ndugu mmoja alipatwa na hali gani , na kwa nini ni muhimu tuzingatie tutakavyotenda katika hali kama hizo ?
Wazazi wanaweza kuwasaidiaje watoto wasitawishe sifa ya kujizuia ?
Unaweza kuwasaidiaje watoto wako wasitawishe sifa ya kujizuia ?
( Soma Kutoka 34 : 5 - 7 . )
( b ) Kwa nini unapaswa kupendezwa na kile ambacho Biblia inasema kuhusu sifa ya huruma ?
( a ) Kwa nini Yehova aliwatuma malaika Sodoma ?
( Soma Kutoka 22 : 26 , 27 . )
Tunasoma hivi : β€œ Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake , akatuma tena na tena , kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake . ”
β€œ Akaanza kuwafundisha mambo mengi . ”
Kinyume chake , tunahitaji kufanya yote tunayoweza sasa ili kuwasaidia .
Maana moja ya neno huruma ni β€œ kuteseka pamoja . ”
β€œ Uwe hodari na mwenye nguvu nawe utende .
Vijana pamoja na wazazi wao wanaweza kuonyeshaje ujasiri ?
1 , 2 . ( a ) Sulemani alipewa mgawo gani muhimu ?
Ili kufanikiwa , Sulemani angehitaji kuwa hodari au jasiri na kutenda .
Sulemani angeweza kujifunza nini kuhusu ujasiri kutoka kwa baba yake ?
( Soma 1 Mambo ya Nyakati 28 : 20 . )
Ujasiri wa Yesu uliwasaidiaje mitume ?
Tuchunguze maeneo mawili ambayo tunahitaji kuonyesha ujasiri , yaani , katika familia na kutanikoni .
( b ) Vijana wanawezaje kumwiga Musa ?
Atawasaidia kutunza familia zao .
Anaandika hivi : β€œ Nilipokuwa nikikua , nilikuwa mwenye haya sana .
Ilikuwa vigumu sana kwangu kuzungumza na watu katika Jumba la Ufalme , na vigumu hata zaidi kuzungumza na watu nisiowajua nilipokuwa nikihubiri nyumba kwa nyumba . ”
Kwa msaada wa wazazi wake na wengine kutanikoni , dada huyo alifanikiwa kufikia mradi wake wa kuwa painia wa kawaida .
Wazazi wanaweza kutumiaje andiko la Zaburi 37 : 25 na Waebrania 13 : 5 ?
( Soma Zaburi 37 : 25 ; Waebrania 13 : 5 . )
Ndugu mwenye watoto wawili aliandika hivi : β€œ Wazazi wengi hutumia jitihada na pesa nyingi kuwasaidia watoto wao kufikia miradi katika nyanja za michezo , burudani , na elimu .
Hata hivyo , ni jambo la hekima zaidi kutumia jitihada na pesa kuwasaidia watoto wetu wafikie miradi itakayowasaidia kudumisha uhusiano mzuri pamoja na Yehova .
Kwa kweli , kuwaona watoto wetu wakifikia miradi ya kiroho na kuwa pamoja nao walipokuwa wakijitahidi kuifikia kumetuletea shangwe na uradhi mkubwa . ”
Toa mifano ya hali zinazohitaji ujasiri kutanikoni .
( a ) Ndugu waliobatizwa wanaweza kuonyeshaje ujasiri ?
( Soma Wafilipi 2 : 13 ; 4 : 13 . )
Tunawasihi ndugu wote waliobatizwa wawe na ujasiri na wafanye kazi kwa bidii kwa ajili ya kutaniko !
Hivyo basi , β€œ uwe hodari . . . nawe utende . ”
1 , 2 . ( a Maisha yangekuwaje bila Biblia ?
Mtume Petro alinukuu andiko la Isaya 40 : 8 .
( Soma 1 Petro 1 : 24 , 25 . )
( a ) Lugha hubadilikaje baada ya muda ?
( Soma Ufunuo 14 : 6 . )
Nakala zilizochapishwa baadaye za tafsiri hiyo zilikuwa na neno β€œ BWANA ” kwa herufi kubwa katika baadhi ya mistari ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo .
Kwa nini tunafurahi kuwa na Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ?
( b ) Septuajinti ya Kigiriki ni nini ?
( Soma Zaburi 119 : 162 - 165 . )
Tazama makala yenye kichwa β€œ Je , Unahitaji Kujifunza Kiebrania na Kigiriki ? ”
katika toleo la Novemba 1 , 2009 , la Mnara wa Mlinzi .
Katika Aprili 3 , 2017 , maonyesho ya Biblia yalifunguliwa kwenye makao yetu makuu yaliyoko Warwick , New York , Marekani .
Sehemu ya kudumu ya maonyesho hayo inaitwa β€œ Biblia na Jina la Mungu . ”
Tunakualika uje utembelee maonyesho hayo ya Biblia na maonyesho mengine yaliyoko katika makao makuu .
Tafadhali tembelea tovuti ya www.jw.org / sw ili kufanya mipango ya kututembelea .
Tazama kwenye KUTUHUSU > OFISI NA MATEMBEZI .
Alimsomea andiko la 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 , linalosema , β€œ Baba ya rehema nyororo na Mungu wa faraja yote . . . hutufariji katika dhiki yetu yote . ”
Akina ndugu wanaofundisha jukwaani wana wajibu gani ?
Je , hatumshukuru Yehova kwa Neno lake Biblia ?
Ona sanduku β€œ Mtazamo Wangu Ulibadilika . ”
Tumia wakati wa kutosha kueleza , kutoa mifano , na kuonyesha jinsi ya kutumia mistari hiyo maishani
β€œ Maoni yangu yalibadilika miaka 15 hivi baada ya kubatizwa .
Siku moja hotuba ilipotolewa kwenye Jumba la Ufalme . . . , msemaji alizungumzia andiko la Yakobo 1 : 23 , 24 .
β€œ Siku chache baadaye , nilisoma andiko lililobadili maisha yangu .
Lilikuwa andiko la Isaya 1 : 18 , ambalo linamnukuu Yehova akisema : β€˜ Sasa , njooni , nasi tunyooshe mambo kati yetu . . . .
Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu , zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji . ’
Nilihisi kana kwamba Yehova anazungumza nami akisema : β€˜ Njoo , Vicky , tunyooshe mambo kati yetu .
Ninakujua , ninajua dhambi zako , ninaujua moyo wako β€” nami ninakupenda . ’
β€œ Sikulala usiku huo .
Hata hivyo , ni kama nilikuwa nikimwambia : β€˜ Upendo wako hauwezi kunifikia .
Dhabihu ya Mwana wako haiwezi kufunika dhambi zangu . ’
Lakini sasa , kwa kutafakari kuhusu zawadi hiyo ya fidia , nilianza kuhisi kwamba Yehova ananipenda . ”
Makala hizi zinazungumzia maono ya sita , saba , na nane ya Zekaria .
Kwanza , acheni niwasimulie kuhusu malezi yangu .
NILIZALIWA mwaka wa 1923 katika mji wa Hemsworth , ulioko Yorkshire , Uingereza .
Mwaka uliofuata , niliwekwa rasmi kuwa painia wa pekee , na mwandamani wangu alikuwa Mary Henshall .
Tulitumwa katika eneo ambalo halikuwa limehubiriwa katika jimbo la Cheshire .
Tunafurahi sana kujua kwamba sasa kuna Mashahidi wengi katika eneo hilo .
Kaka yangu na Lottie , mke wake , tayari walikuwa wakitumikia wakiwa mapainia wa pekee Ireland Kaskazini , na katika mwaka wa 1952 sisi wanne tulihudhuria pamoja kusanyiko la wilaya jijini Belfast .
Usiku huo sote wanne tulilala kwenye gari .
Jambo la kushangaza ni kwamba hatukupata tatizo lolote kuegesha trela hiyo kwenye mashamba ya wakulima wenye urafiki .
Tulifurahia sana mgawo wetu wa kuzungukia makutaniko .
Kusanyiko la kwanza la kimataifa nchini Ireland lilifanywa jijini Dublin mwaka wa 1965 .
Jumla ya watu 3,948 walihudhuria , na 65 wakabatizwa .
Arthur akimsalimu Nathan Knorr alipowasili kwa ajili ya kusanyiko la mwaka wa 1965
Arthur akitangaza kutolewa kwa Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia katika Kigaeliki mwaka wa 1983
Katika mwaka wa 2011 maisha yetu yalibadilika kabisa wakati ofisi za tawi za Uingereza na Ireland zilipounganishwa , nasi tukapewa mgawo wa kutumikia katika Betheli ya London .
Katika miaka ya karibuni , nimevunjika moyo , nimeshuka moyo , na kuwa na majonzi .
Sikuzote Arthur alikuwa akinitegemeza .
Lakini unapopitia hali kama hizo , unamkaribia Yehova zaidi .
β€œ Acheni tupendane , si kwa neno wala kwa ulimi , bali kwa tendo na kweli . ” β€” 1 YOH . 3 : 18 .
Ni nini maana ya β€œ upendo usio na unafiki ? ”
Yehova amewaonyeshaje wanadamu upendo usio na ubinafsi ?
Yehova alionyesha upendo kuelekea wanadamu hata kabla ya kuwaumba Adamu na Hawa .
Tunaweza kuonyesha upendo wa kweli katika njia zipi ?
6 , 7 . ( a ) β€œ Upendo usio na unafiki ” ni nini ?
( Soma Mathayo 6 : 1 - 4 . )
Tunaweza kuonyeshaje upendo wa kweli tunapowaalika wengine ?
( Soma 1 Yohana 3 : 17 . )
( Soma Waroma 12 : 17 , 18 . )
Tunaweza kuonyeshaje kwamba tumewasamehe wengine kutoka moyoni ?
β€œ Upanga ” ambao Yesu alisema angeleta ni nini ?
Unaweza kudumishaje ushikamanifu wako kwa Yehova watu wa ukoo wanapopinga ibada ya kweli ?
3 , 4 . ( a ) Mafundisho ya Yesu yana matokeo gani ?
Yesu alisema hivi : β€œ Msifikiri nilikuja kuleta amani duniani ; nilikuja kuleta , si amani , bali upanga .
Kwa maana nilikuja kuleta mgawanyiko , mtu kumpinga baba yake , binti kumpinga mama yake , mke aliye mchanga kumpinga mama - mkwe wake .
Mkristo anaweza kuwafundishaje watoto wake kumheshimu mzazi ambaye si mwamini ?
Badala yake , waeleze kwamba kila mtu anapaswa kujiamulia ikiwa atamtumikia Yehova .
Biblia inasema hivi : β€œ Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote . ”
( Soma 1 Petro 3 : 1 , 2 , 16 . )
Unaweza kufanya nini ili ushinde hisia za hatia zinazosababishwa na kutoelewana na watu wa ukoo ?
Mojawapo ya vituo vya mahubiri ya hadharani katika jiji la Lagos , ambalo ndilo jiji lenye watu wengi zaidi barani Afrika .
Waisraeli walikuwa katika hali gani wakati huo ?
( Soma Zekaria 1 : 3 , 4 . )
Sura ya 5 ya kitabu cha Zekaria inaanza kwa maono yenye kushangaza .
( Soma Zekaria 5 : 1 , 2 . )
8 - 10 . ( a ) Kiapo ni nini ?
Tunajifunza nini kutokana na maono ya sita ya Zekaria ?
( Soma Zekaria 5 : 5 - 8 . )
( Soma Zekaria 5 : 9 - 11 . )
Unahisije kuhusu kazi kubwa zaidi ya ujenzi inayoendelea leo ?
( Soma Zekaria 6 : 1 - 3 . )
Yehova bado anawatumia malaika wake kuwalinda na kuwaimarisha watu wake
7 , 8 . ( a ) Ile milima miwili inafananisha nini ?
( b ) Kwa nini milima hiyo imetengenezwa kwa shaba ?
Ni nani wanaoendesha magari ya kukokotwa , nao wamepewa kazi gani ?
( Soma Zekaria 6 : 5 - 8 . )
( Soma Zekaria 6 : 9 - 12 . )
Hatimaye , ibada ya kweli itakuwa imerudishwa kikamili !
Yehova hatasahau kamwe upendo tunaomwonyesha !
MIAKA 60 iliyopita katika mji mmoja mdogo huko Gujarat , India , baba ya John alibatizwa na kuwa Shahidi wa Yehova .
Dada huyo aliona kidole cha John kilichokuwa kimejeruhiwa , naye akajitolea kumhudumia .
Alienda kwa kasisi wake na kumuuliza maswali yaleyale mawili .
Nionyeshe ni wapi katika Biblia panaposema kwamba Yesu si Mungu .
Nionyeshe ni wapi panaposema kwamba hatupaswi kumwabudu Maria .
Tunaweza kujifunza mambo muhimu kutokana na mpango wa majiji ya makimbilio katika Israeli la kale .
Kuimba hutimiza sehemu gani katika ibada ya kweli ?
Lakini unapoimba wimbo , maneno yake hugusa moyo . ”
( b ) Tunapaswa kumwimbia Yehova sifa jinsi gani , na ni nani wanaopaswa kuwa mstari wa mbele kuimba ?
Soma maneno yake kwa sauti kubwa yenye nguvu .
( a ) Kufungua mdomo wazi kabisa kunaweza kutusaidiaje tunapoimba ?
( a ) Ni tangazo gani lililotolewa kwenye mkutano wa kila mwaka wa 2016 ?
Fanyeni mazoezi ya kuimba wakati wa ibada ya familia ( Tazama fungu la 18 )
( Soma Hesabu 35 : 24 , 25 . )
Anapokumbuka wakati huo , anasema hivi : β€œ Kwa kweli niliogopa kwenda kuwaambia wazee .
Dhambi zako zinapofutwa , haziendelei kuwapo .
Kama Yehova alivyosema , anaondoa mizigo yako na kuiweka mbali sana nawe .
Hutaiona tena kamwe . ”
Kwa nini ungependa kumfanya Yehova kuwa kimbilio lako ?
Tunaweza kuigaje rehema za Yehova wengine wanapotukosea ?
1 , 2 . ( a ) Yesu alikuwa na maoni gani kuhusu Sheria ya Mungu ?
( b ) Hilo linatufundisha nini kumhusu Yehova ?
( Soma Matendo 20 : 26 , 27 . )
( Soma Hesabu 35 : 20 - 24 . )
Nendeni , basi , mkajifunze maana ya jambo hili , β€˜ Ninataka rehema , wala si dhabihu . ’
Kwa maana nilikuja kuwaita , si watu waadilifu , bali watenda - dhambi . ”
Watu hao hawakuwa wamefika nyumbani kwa Mathayo ili kula tu .
Ni mambo gani uliyojifunza kuhusu majiji ya makimbilio unayopanga kutumia maishani ?
Dada wawili Wakristo wakimhubiria mfanya - biashara mmoja katika mji wa Tipitapa
Mtume Paulo alitoa shauri gani lenye upendo kuhusu maoni ya ulimwengu ?
Taja mfano unaoonyesha maoni ya ulimwengu , na jinsi tunavyoweza kukataa maoni hayo .
Mjihadhari : labda kuna mtu ambaye atawachukua ninyi kama windo lake kupitia falsafa na udanganyifu mtupu kulingana na pokeo la wanadamu , kulingana na mambo ya msingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo . ”
β€œ Ninaweza kuwa mtu mzuri bila kuamini kwamba kuna Mungu . ”
β€œ Unaweza kuwa na furaha bila kuwa mfuasi wa dini fulani . ”
Yehova ana haki ya kutuwekea sheria kwa sababu alituumba .
Yesu alisema : β€œ Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili ; kwa maana ama atamchukia mmoja na kumpenda yule mwingine , ama atashikamana na mmoja na kumdharau yule mwingine .
( Soma 1 Wathesalonike 2 : 13 , 19 , 20 . )
β€œ Wanadamu wanaweza kusuluhisha matatizo yao wenyewe . ”
Tukiwa familia , tunaweza kufanya nini ili tupate tuzo ?
( b ) Ni nini kinachotusaidia kukaza macho kwenye tuzo ?
Tunaweza kujilindaje tunapokuwa katika hali hatari ?
Ili kuua tamaa ya kufanya uasherati , tunahitaji kuepuka burudani potovu .
( Soma Mhubiri 7 : 21 , 22 . )
10 , 11 . ( a ) Kwa nini wivu ni hatari ?
Neno la Mungu linasema hivi : β€œ Upendo ni wenye ustahimilivu na wenye fadhili .
Je , tunaweza kumwiga Yonathani kwa kuwa wenye fadhili na upendo ?
Enyi waume , endeleeni kuwapenda wake zenu nanyi msiwakasirikie kwa uchungu .
Enyi watoto , watiini wazazi wenu katika kila jambo , kwa maana hilo linapendeza vema katika Bwana .
Mume Mkristo anaweza kufanya nini ikiwa mke wake ambaye si mwamini hamheshimu ?
Neno la Mungu linasema hivi : β€œ Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi , na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu . ”
Makala hizi zitaimarisha imani yako katika ufufuo .
11 : 11 .
Ni masimulizi gani ya Biblia yaliyompa Martha uhakika katika ufufuo ?
Kama Martha , wewe unatazamia tukio gani lenye shangwe ?
Bali alisema : β€œ Ninajua atafufuka . ”
Baadaye , mwanaye akawa mgonjwa na kufa .
Mungu alimsikia Eliya , na mtoto huyo akawa hai tena .
( Soma 1 Wafalme 17 : 17 - 24 . )
( Soma 2 Wafalme 4 : 32 - 37 . )
Petro alimsaidiaje dada Mkristo ambaye alikuwa amekufa ?
Pindi moja , mtume Paulo alikuwa kwenye mkutano katika chumba cha juu katika jiji la Troa , ambalo kwa sasa ni kaskazini - magharibi mwa Uturuki .
Kijana aliyeitwa Eutiko alikuwa ameketi dirishani akisikiliza .
Pia , Yehova alikuwa amesema kwamba baraka hizo zingekuja β€œ kupitia Isaka . ”
Bila shaka , hilo halimaanishi kwamba Mungu hawezi kumfufua mwanadamu .
( Soma Ayubu 14 : 13 - 15 . )
( b ) Kwa nini ufufuo ni jambo muhimu sana ?
Lakini , je , ungetaja fundisho la ufufuo kuwa miongoni mwa mafundisho unayothamini zaidi ?
( Soma 1 Wakorintho 15 : 12 - 19 . )
Hata hivyo , tunajua kwamba Yesu alifufuliwa .
Yesu alihusika jinsi gani katika utimizo wa Zaburi ya 118 ?
β€˜ Wajenzi walimkataa ’ Masihi ( Tazama fungu la 7 )
Ni katika njia gani Yesu angeweza kuwa β€œ jiwe kuu la pembeni ” ?
Kwa kuwa watu walimkataa Yesu na kumuua , angewezaje kuwa β€œ jiwe kuu la pembeni ” ?
( a ) Zaburi 16 : 10 ilitabiri nini ?
( Soma Matendo 2 : 29 - 32 . )
( Soma Matendo 2 : 33 - 36 . )
( Soma Matendo 13 : 32 - 37 , 42 . )
Kuna habari kuhusu β€œ nyakati au majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe . ”
Paulo aliandika kwamba β€œ Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu , matunda ya kwanza ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo . ”
Ni nini kitakachowapata baadhi ya watiwa mafuta wakati wa kuwapo kwa Kristo ?
Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena , vivyo hivyo pia , wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu , Mungu atawaleta pamoja naye . . .
Sisi tulio hai ambao tutabaki mpaka kuwapo kwa Bwana hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo ; kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri , . . . na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza .
Watiwa mafuta watakaokuwa hai wakati wa dhiki kuu β€˜ watanyakuliwa katika mawingu . ’
Ukirudi nitakuvunja miguu . ”
Nilizaliwa Julai 29 , 1929 , katika kijiji fulani kwenye mkoa wa Bulacan nchini Filipino .
Nilipenda kusoma Biblia , hasa vile vitabu vinne vya Injili .
Hilo lilinifanya nitamani kufuata kielelezo cha Yesu . β€” Yoh . 10 : 27 .
Wakati huo wazazi wangu waliniomba nirudi nyumbani .
Shahidi mmoja mwenye umri mkubwa alifika nyumbani kwetu na kutueleza kile ambacho Biblia inasema kuhusu β€œ siku za mwisho . ”
Alitualika tuhudhurie funzo la Biblia katika kijiji fulani kilichokuwa karibu .
Tulizungumzia Biblia kwa muda mrefu usiku huo .
Mimi nilijibu , β€œ Ndiyo . ”
Nilijua kwamba ninataka β€˜ kumtumikia Bwana , Kristo . ’
Tulienda kwenye mto uliokuwa karibu , na wawili miongoni mwetu tukabatizwa Februari 15 , 1946 .
Familia ya Ndugu Cruz ilinikaribisha niishi nao katika mji wa Angat .
Alitoa hotuba hiyo katika Kiingereza , na baadaye nikatoa muhtasari wa hotuba hiyo katika Kitagalogi .
Asubuhi na mapema nilisaidia kazi jikoni .
Baada ya kuhitimu , nilipewa mgawo wa muda wa kuwa painia wa pekee katika eneo la Bronx jijini New York City .
Juma la kwanza baada ya harusi yetu tulitembelea kutaniko lililokuwa katika Kisiwa cha Rapu Rapu .
Hata tulifanikiwa kununua uwanja wa mwanamume ambaye alikuwa ametuambia β€œ Sisi Wachina huwa hatuuzi . ”
Yai hilo lililotungishwa linaweza kubaki ndani ya mirija ya uzazi au Falopia ( yaani , mimba iliyotungwa nje ya tumbo la uzazi ) au linaweza kufika katika tumbo la uzazi .
Hilo lingesababisha mimba iharibike ikiwa bado changa .
Mwongozo kutoka Huduma ya Afya ya Kitaifa ya Uingereza unasema hivi : β€œ Vitanzi vyenye shaba nyingi vinazuia mimba kwa zaidi ya asilimia 99 .
Hiyo inamaanisha kwamba ni wanawake wasiozidi asilimia moja wanaotumia vitanzi watakaopata mimba katika muda wa mwaka mmoja .
Vitanzi vyenye shaba kidogo vina uwezo mdogo wa kuzuia mimba . ”
( a ) Maneno β€œ kushawishiwa kuamini ” yanamaanisha nini ?
( b ) Tunajuaje kwamba Timotheo alishawishiwa kuamini habari njema kumhusu Yesu ?
Kwa kweli , ningekuwa na wasiwasi ikiwa angekubaliana tu na jambo fulani bila kuuliza maswali . ”
Je , wanakubaliana na yale ambayo Biblia inasema ?
Ni jambo gani linalopaswa kuwa sehemu muhimu ya ufundishaji wako ?
Stephanie , mama mwenye mabinti watatu , anasema hivi : β€œ Tangu watoto wangu walipokuwa wachanga , nimejiuliza , β€˜ Je , mimi huwaeleza watoto wangu kwa nini mimi ninasadiki kwamba Yehova yupo , ananipenda , na kwamba njia zake ni za uadilifu ?
Je , watoto wangu wanaona waziwazi kwamba mimi ninampenda Yehova kutoka moyoni ? ’
Siwezi kutarajia watoto wangu washawishiwe kuamini ilhali mimi sijashawishiwa kuamini . ”
Hekima ya aina hiyo ni ya lazima ili kupata wokovu .
Wazazi wanaweza kuwasaidiaje watoto wao ili wawe na β€œ hekima kwa ajili ya wokovu ” ?
Tafuta kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > VIFAA VYA KUJIFUNZIA BIBLIA .
Unaweza kufanyiaje kazi wokovu wako mwenyewe ?
Huenda baadhi yao wamelelewa katika kweli .
Lakini baada ya miaka michache , wakati hamu ya kufanya ngono inapokuwa yenye nguvu , ndipo atakapohitaji kusadiki kabisa kwamba sikuzote kutii sheria za Yehova ndio uamuzi bora zaidi . ”
( b ) Unaweza kujifunza nini kutoka katika andiko la Wafilipi 4 : 11 - 13 ?
Inamaanisha nini kufanyia kazi wokovu wako mwenyewe β€œ kwa kuogopa na kutetemeka ” ?
Ni vifaa gani ambavyo vimekusaidia katika funzo lako la kibinafsi ?
Ninapaswa kujihisi huru kufanya vivyo hivyo .
Kwa hiyo , mimi hutaja wazo kama hili β€˜ Juzi nilipokuwa nikifundisha Biblia , . . .
’ Kisha ninaendelea na jambo nililokuwa nikizungumzia .
Ingawa jambo nililokuwa nikizungumzia halihusiani na Biblia , mara nyingi baadhi ya wanafunzi hutaka kujua mambo ninayofanya ninapofundisha Biblia .
Kadiri ninavyotumia mbinu hiyo , ndivyo inavyokuwa rahisi kwangu kuhubiri .
Na baada ya kufanya hivyo , mimi huhisi vizuri sana ! ”
Hawajui Mashahidi wengine isipokuwa sisi .
Hivyo , matendo yetu yanaweza kuamua jinsi watakavyoitikia .
Vipi ikiwa tunaona haya , tunaogopa , au tunakosa ujasiri tunapoanza kuzungumza ?
Wanaweza kufikiri kwamba hatuonei fahari kuwa Mashahidi wa Yehova .
Wanaweza hata kukataa kusikiliza kwa sababu tumekosa ujasiri .
Hata hivyo , ikiwa tutazungumza kwa uhuru na kwa uhakika kuhusu mambo tunayoamini , na kuyafanya kuwa sehemu ya kawaida ya mazungumzo yetu , kuna uwezekano mkubwa kwamba watatuheshimu . ”
Yesu alisema hivi : β€œ Mtu yeyote akitaka kunifuata , na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote . ”
Kwa mapendekezo zaidi , tazama β€œ Vijana Huuliza β€” Kwa Nini Ninapaswa Kusali ? ”
Tunaweza kujifunza nini kutokana na andiko la Isaya 40 : 26 ?
Hakuna mtu ambaye amefaulu kuhesabu nyota zote angani .
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba Yehova anaweza kutupatia nguvu ?
Kisha akasema hivi : β€œ Nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu .
Lakini tunahisije tunaporudi nyumbani ?
Hotuba hiyo ilitolewa kwa njia yenye huruma na ufikirio hivi kwamba nilitokwa na machozi .
Hilo lilinikumbusha kwamba mikutanoni ndipo mahali ninapopaswa kuwa . ”
Mtume Paulo alimaanisha nini alipoandika : β€œ Ninapokuwa dhaifu , ndipo ninapokuwa na nguvu ” ?
Aliimba hivi : β€œ Kwa msaada wako ninaweza kukabiliana na kundi la wavamizi ; kwa nguvu za Mungu ninaweza kuupanda ukuta . ”
Je , tutaendelea kuweka kinyongo kwa miaka mingi , au tutafuata ushauri wenye hekima wa Biblia na kusuluhisha mambo haraka ?
Unaweza kuanzisha mazungumzo kwa kusema hivi : β€œ Huenda sipaswi kuumizwa na jambo hili , lakini ulipozungumza nami jana , nilihisi . . .
Aliandika hivi : β€œ Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako ; . . . nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu . ”
( 4 ) Je , kutakuwa na Ukumbusho wa mwisho ?
( Soma Yohana 3 : 16 ; 17 : 3 . )
( a ) Yesu alisali kuhusu nini katika usiku ambao Mlo wa Jioni wa Bwana ulianzishwa ?
( b ) Ni nini kinachoonyesha kwamba Yehova amejibu sala ya Yesu ?
( Soma Yohana 17 : 20 , 21 . )
( Soma Ezekieli 37 : 15 - 17 . )
Tunaweza kufanya nini ili kuchangia umoja miongoni mwa watu wa Mungu ?
Tunaweza kuonyeshaje kwamba β€˜ tunavumiliana kwa upendo ’ ?
Tunajuaje kwamba kutakuwa na Ukumbusho wa mwisho ?
Katika mji wa Riberalta , kwenye eneo la Beni , wenzi hawa wa ndoa wanapakia machapisho kwenye ndege .
Kwa nini Yehova anatarajia tumpe vitu vyetu vyenye thamani ?
Leo , tengenezo hutumiaje michango inayotolewa ?
Tunamthibitishia Yehova nini tunapotegemeza kazi yake ?
( Soma 2 Wakorintho 8 : 18 - 21 . )
Michango unayotoa husaidia kazi yetu ya ulimwenguni pote ( Tazama fungu la 14 hadi 16 )
Hivyo , nyakati nyingine sisi huhisi ni kana kwamba tumetengwa na wengine , nasi husahau jinsi kazi ya Yehova inavyotimizwa kwa njia kubwa .
Lakini mara tu tunapotazama programu mbalimbali za JW Broadcasting , tunakumbuka kwamba sisi ni sehemu ya undugu wa ulimwenguni pote .
Ndugu na dada zetu katika eneo hili wanafurahia sana programu za JW Broadcasting .
Mara kwa mara tunawasikia wakisema kwamba wanahisi wakiwa karibu zaidi na washiriki wa Baraza Linaloongoza baada ya kutazama programu za kila mwezi .
Sasa kuliko wakati mwingine wowote , wanajivunia sana kuwa sehemu ya tengenezo la Mungu . ”
( Soma Methali 11 : 24 , 25 . )
Mwanamume anayempenda mke wake anajipenda mwenyewe , kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake , bali huulisha na kuutunza . ”
Tunaweza kuepukaje kuwa wenye kujipenda wenyewe ?
Paulo aliandika kwamba watu wangekuwa β€œ wenye kupenda pesa . ”
Miaka kadhaa iliyopita , painia fulani nchini Ireland alizungumza na mwanamume mmoja kuhusu Mungu .
Aguri aliandika nini kuhusu utajiri na umaskini ?
Aliandika hivi : β€œ Ili nisishibe na kukukana na kusema , β€˜ Yehova ni nani ? ’ ”
Alikuwa akisema hivi , β€˜ Mimi ninamtumikia mwajiri bora zaidi ! ’
Kwa kuwa sasa mimi pia ni painia , sote tunamfanyia kazi mwajiri yuleyule , Yehova . ”
Tunaweza kuepukaje kuwa wenye kupenda pesa ?
Unamaanisha kwamba hawampendi Mungu hata kidogo . ”
Tunaweza kuepukaje kuwa wenye kupenda raha ?
Pia tunajua kwamba upendo β€œ haujigambi , haujivuni . ”
Niliona kwamba wananijali na hilo lilinichochea nitamani kuwafurahisha . ”
( Soma Isaya 11 : 6 , 7 . )
Unaweza kusoma baadhi ya masimulizi kuhusu maisha yao katika mfululizo wenye kichwa β€œ Biblia Inabadili Maisha , ” unaopatikana kwenye Tovuti ya jw.org .
Tunapaswa kuwaambia wengine kwamba sisi ni Mashahidi wa Yehova .
3 Iga Imani na Utii wa Noa , Danieli , na Ayubu
28 Shangwe ​ β€” Sifa Inayotoka kwa Mungu
9 , 10 . ( a ) Tunaweza kuigaje imani na utii wa Noa ?
( Soma Malaki 3 : 17 , 18 . )
( b ) Yehova alikuwa na maoni gani kumhusu Danieli ?
( b ) Wazazi wanaweza kujifunza nini kutokana na wazazi wa Danieli ?
( Soma Ayubu 1 : 9 , 10 . )
19 , 20 . ( a ) Tunaweza kuigaje imani na utii wa Ayubu ?
1 - 3 . ( a ) Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa waaminifu kwa Mungu katika siku hizi za mwisho ?
( Soma Danieli 6 : 7 - 10 . )
( Soma Ayubu 31 : 24 - 28 . )
( Soma Zaburi 11 : 5 ; 26 : 4 . )
Kwa hiyo , jiulize hivi , β€˜ Je , ninamjua Yehova vizuri kama Noa , Danieli , na Ayubu ? ’
Pia Enoko babu ya Noa β€œ aliendelea kutembea na Mungu wa kweli . ”
Yesu alisema hivi : β€œ Baba yenu Abrahamu alishangilia sana tazamio la kuona siku yangu . ”
Ni vigumu kwangu kueleza shangwe tunayohisi . ”
Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu kupitia roho yake . ”
Yesu alisema hivi : β€œ Nimewaambia mambo haya , ili shangwe yangu iwe ndani yenu na shangwe yenu ijae . ”
( 3 ) Jitihada zetu za kuwa na β€œ akili ya Kristo ” zitatusaidiaje kuwa watu wa kiroho ?
( Soma 1 Wakorintho 2 : 14 - 16 . )
Biblia inasema nini kuhusu watu walio na mtazamo wa kiroho ?
Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Yakobo ?
Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wa Maria ?
( Soma Luka 1 : 46 - 55 . )
( Soma Isaya 63 : 9 ; Marko 6 : 34 . )
Rachel , dada kutoka Brazili , anasema hivi : β€œ Nilipenda kuiga mitindo ya mavazi ya kilimwengu .
Hivyo , sikuvalia kwa kiasi .
Lakini kujifunza kweli kulinichochea nifanye jitihada zilizohitajika ili niwe mtu wa kiroho .
Haikuwa rahisi kwangu kufanya mabadiliko lakini furaha yangu iliongezeka na nikapata kusudi maishani . ”
Hivyo , tunapomwiga Yesu tunakuwa kama Yehova .
Walisema hivi : β€œ [ Sisi ] ni mashahidi wa mambo yote aliyofanya . ”
Kuwa na akili ya Kristo kutakuwa na matokeo gani katika maisha yako ya kila siku ?
Anasema hivi : β€œ Sikufanya jambo lolote baya lakini nilifanya mambo kidesturi tu .
Nilionekana kama mtu mwenye nguvu kiroho kwani nilihudhuria mikutano yote na kutumikia nikiwa painia msaidizi mara kadhaa kwa mwaka .
Anasema hivi : β€œ Ni kana kwamba sikujua chochote .
Nilijiambia hivi , β€˜ Ikiwa ninapaswa kuwa kichwa cha mke wangu katika mambo ya kiroho , ninahitaji kufanya marekebisho . ’ ”
Anasema , β€œ Nilianza kusoma na kujifunza Biblia kwa bidii , nami nilifanya hivyo tena na tena , na baada ya muda nikaanza kuielewa vizuri .
Niliifahamu , na jambo la muhimu hata zaidi nilisitawisha uhusiano wa karibu pamoja na Yehova . ”
( 3 ) Kuwa wenye nguvu kiroho kutatusaidiaje katika maisha yetu ya kila siku ?
( b ) Tunapaswa kuwa na lengo gani tunapojifunza na kutafakari ?
( b ) Tunaweza kuiga mfano gani ulio katika Biblia ?
12 , 13 . ( a ) Ni nini kitakachotusaidia kuwa na β€œ mtazamo uleule wa akili ambao Kristo Yesu alikuwa nao ” ?
( Soma 2 Petro 1 : 5 - 8 . )
Kuwa mtu wa kiroho kutakuwa na matokeo gani maishani mwetu ?
β€œ Matendo yaliyokufa ” tunayopaswa kuepuka ni gani ?
Je , maamuzi yangu yatanisaidia kujiwekea malengo ya kiroho ?
Kwa nini ungependa kufanya maendeleo ya kiroho ?
Mtume Petro aliwahimiza hivi Wakristo wa karne ya kwanza : β€œ Mkaribishane . ”
Simama , ubatizwe . ” ​ β€” MDO . 22 : 16 .
Wazazi Wakristo wangependa kuhakikisha nini kabla ya watoto wao kubatizwa ?
β€œ KWA miezi mingi , niliwaambia Baba na Mama kwamba ningependa kubatizwa , nao walizungumza nami mara nyingi kuhusu jambo hilo .
Hatimaye , mwezi wa Desemba 31 , 1934 , siku hiyo kubwa maishani mwangu ilifika . ”
5 , 6 . ( a ) Maelezo ya Biblia kumhusu Timotheo yanatusaidia kufikia mkataa gani kuhusu ubatizo wake ?
( Soma Wakolosai 1 : 9 , 10 . )
Alimwambia Yehova kwamba alikuwa amefurahi sana kwa sababu ya uamuzi ambao binti yake mdogo alikuwa amefanya wa kujiweka wakfu Kwake . ”
( Soma 1 Petro 3 : 20 , 21 . )
Kwa nini hatupaswi kumshinikiza yeyote abatizwe ?
Ikiwa wewe ni mzazi huenda umejiuliza hivi : β€˜ Je , kweli mtoto wangu yuko tayari kubatizwa ?
Swali la kwanza wanaloulizwa ni : β€œ Kwa msingi wa dhabihu ya Yesu Kristo , je , umetubu dhambi zako na kujiweka wakfu kwa Yehova ili kufanya mapenzi yake ? ”
Tunaweza kuonyeshaje sifa ya ukaribishaji wageni katika mikutano yetu ya Kikristo ?
( Soma 3 Yohana 5 - 8 . )
Aliandika hivi : β€œ Mwanzoni nilisita kwa sababu tulikuwa tumetoka tu kufunga ndoa na nyumba yetu ilikuwa ndogo .
Lakini ilikuwa pindi yenye shangwe kwelikweli kuwaalika wanafunzi ili walale nyumbani kwetu .
Tukiwa wenzi wapya wa ndoa , tulipata fursa ya kujionea furaha ambayo wenzi wa ndoa wanaweza kupata wanapomtumikia Yehova na kufuatia miradi ya kiroho wakiwa pamoja . ”
Kwa nini ndugu na dada waliohamia hivi karibuni katika kutaniko lenu wanahitaji kuonyeshwa ukaribishaji wageni ?
( Soma Luka 10 : 41 , 42 . )
Jioni moja mke wangu alilemewa sana na hisia za kukosa nyumbani , na jitihada zangu za kumtuliza ziligonga mwamba .
Kisha saa 1 : 30 hivi jioni , tulisikia mlango ukibishwa .
Tukafungua mlango na kumwona mwanafunzi wa Biblia akiwa na machungwa matatu kwa ajili yetu .
Alikuwa amekuja kutukaribisha kwa kuwa tulikuwa wamishonari wapya .
Tulimkaribisha ndani mwanamke huyo na kumpa maji ya kunywa .
Ikiwa unapatwa na wasiwasi unapofikiria kuwakaribisha wageni , si wewe tu unayepitia hali hiyo .
Mzee mmoja wa kutaniko kutoka Uingereza anakiri hivi : β€œ Unaweza kupatwa na wasiwasi fulani unapojiandaa kuwakaribisha wageni .
Lakini kama tu ilivyo na mambo mengine yanayohusu utumishi wetu kwa Yehova , manufaa na hisia za kuridhika tunazopata huzidi sana wasiwasi wowote ambao huenda tukawa nao .
Nimefurahia pindi ambazo nimeketi pamoja na wageni wangu tukinywa kahawa huku tukifurahia mazungumzo . ”
Mzee mwingine wa kutaniko anaeleza hivi : β€œ Kuwaalika ndugu na dada nyumbani kwangu hunisaidia kuwaelewa vizuri , nami hupata wakati wa kuwajua , hasa jinsi walivyojifunza kweli . ”
Mke wa mwalimu fulani wa shule hizo aliniondolea wasiwasi .
Aliniambia kwamba wanapozungukia makutaniko , majuma wanayofurahia zaidi ni majuma wanayoishi na mtu wa kiroho ambaye huenda hana vitu vingi vya kimwili lakini ambaye lengo lake kuu ni kama lao β€” kumtumikia Yehova na kuishi maisha rahisi .
Hilo lilinikumbusha jambo ambalo mama yangu alizoea kusema tulipokuwa watoto : β€˜ Ni afadhali kula mboga za majani mahali penye upendo . ’ ”
( Soma Methali 25 : 21 , 22 . )
Kwa kawaida wale wanaowakaribisha wageni hujitayarisha vizuri kwa ajili ya wageni wao ( Tazama fungu la 20 )
Mtunga zaburi Daudi aliuliza hivi : β€œ Ee Yehova , ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako ? ”
Ni muhimu pia kuheshimu tamaduni zinazotuzunguka .
Kwa nini ni muhimu sana β€˜ tukaribishane ’ ?
Ndugu wawili wakimpa trakti mpaka rangi aliye kwenye daraja lililo mbele ya ngome ya KaΕ‘tilac iliyojengwa katika karne ya 16 , karibu na jiji la Split
( Soma Tito 2 : 11 - 14 . )
Mzee huyo anaeleza hivi : β€œ Graham alikuwa na tatizo la kiburi .
Aliwachambua wazee walioshughulikia kisa kilichofanya atengwe na ushirika .
Hivyo , katika vipindi kadhaa vilivyofuata vya funzo tulizungumzia Maandiko yanayohusu kiburi na matokeo yake .
Baada ya kujitazama vizuri katika kioo cha Neno la Mungu , Graham hakufurahishwa na kile alichoona !
Baada ya kutambua kwamba alikuwa amepofushwa na kiburi kilichokuwa kama β€˜ boriti ’ kwenye jicho lake na kwamba yeye ndiye aliyekuwa na tatizo β€” tatizo la kuwachambua wazee β€” alianza kufanya mabadiliko mara moja .
Alianza kuhudhuria mikutano kwa ukawaida , kujifunza Neno la Mungu kwa bidii , na akasitawisha zoea la kusali kila siku .
Alisema , β€˜ Nimekuwa katika kweli kwa miaka mingi , na hata nimetumikia nikiwa painia .
Mtume Petro aliandika hivi : β€œ Lichungeni kundi la Mungu lililo chini ya utunzaji wenu , mkiwa waangalizi , si kwa kulazimishwa , bali kwa hiari mbele za Mungu ; si kwa kupenda pato lisilo la haki , bali kwa hamu ; si kupiga ubwana juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu , bali kuwa vielelezo kwa kundi . ”
Wazazi wanaweza kuwaleaje watoto wao kulingana na nidhamu inayotoka kwa Yehova ?
( Soma Waebrania 12 : 5 - 11 . )
Mtoto anaweza kukuza uwezo wake wa kujitia nidhamu jinsi gani ?
4 , 5 . ( a ) Kwa nini kujitia nidhamu ni sehemu muhimu ya β€œ utu mpya ” ?
Tunaweza kufanya nini ili tuwe wanafunzi wazuri zaidi wa Neno la Mungu ?
Ndugu mmoja aliandika hivi : β€œ Ninashukuru sana jinsi wazazi wangu walivyonilea .
( b ) Familia moja ilinufaikaje kwa sababu wazazi walimtii Yehova ?
Miaka kadhaa baadaye , binti huyo alirudishwa kutanikoni .
( b ) Tunaweza kufanya nini ili wazee wafurahie zaidi kazi yao ?
Hawakunikemea wala kunichambua , lakini walinitia moyo na kuniimarisha .
Licha ya shughuli nyingi walizokuwa nazo , baada ya kila mkutano angalau mmoja wao alinifikia na kuniuliza ninaendeleaje .
Kwa sababu ya mambo niliyopitia zamani , nilihisi kwamba sistahili kupendwa na Mungu .
Hata hivyo , mara kwa mara Yehova ametumia kutaniko lake na wazee kunithibitishia kwamba ananipenda .
Ninasali kwamba nisimwache kamwe . ”
Ukitenda mema , je , hutapata kibali tena ?
Lakini usipotenda mema , dhambi inakunyemelea mlangoni , nayo inatamani sana kukutawala ; lakini je , utaishinda ? ”
Hivyo , acheni β€˜ tusikilize nidhamu ili tuwe na hekima . ’
Katika sehemu nyingi za ulimwengu watu wanadai uhuru zaidi .
15 Mwige Yehova ​ β€” Mungu Ambaye Hututia Moyo
8 : 36 .
( Soma 1 Mambo ya Nyakati 29 : 11 , 12 . )
Ili wanadamu wafurahie mambo β€˜ mema ’ ni lazima wamtegemee Mungu na kumtii .
Wakikosa kutii , wataachwa wajiamulie wenyewe yaliyo mema . . . na yasiyo mema . ”
Kama rubani huyo , Adamu na Hawa walijiamulia njia waliyotaka kufuata .
Alisema hivi : β€œ Mkikaa katika neno langu , ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu , nanyi mtaijua kweli , nayo kweli itawaweka ninyi huru . ”
Kwa nini uhuru ambao Yesu aliahidi unaweza kutufanya tuwe β€˜ huru kikweli ’ ?
( Soma Waroma 8 : 1 , 2 , 20 , 21 . )
( c ) Tutachunguza maswali gani ?
( Tafuta kwenye MAHOJIANO NA MAMBO YALIYOONWA > KUVUMILIA MAJARIBU . )
Mambo yote ni halali , lakini si mambo yote yanayojenga . ”
Noa na familia yake walituwekea mfano gani ?
Waliishi katika ulimwengu uliokuwa umejaa ukatili na ukosefu wa maadili .
β€œ Noa akafanya kulingana na mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemwamuru .
Yehova ametuamuru tufanye nini leo ?
( Soma Luka 4 : 18 , 19 . )
Nilielewa vizuri zaidi maana ya andiko la Yakobo 4 : 8 : β€˜ Mkaribieni Mungu , naye atawakaribia ninyi . ’
Nilitambua kwamba nimepata kile nilichokuwa nikitafuta , kusudi lenye kuridhisha maishani . ”
Wenzi wa ndoa ambao ni mapainia wa pekee wakihubiri kwenye eneo la mashambani lililo karibu na jiji la Balykchy
( b ) Yehova alimtiaje moyo Mwana wake ?
Hezekia aliwatiaje moyo wakuu wa majeshi na watu wa Yuda ?
Petro aliwatiaje moyo ndugu zake ?
Lakini nimeomba dua kwa ajili yako ili imani yako isidhoofike ; nawe utakaporudi , watie nguvu ndugu zako . ” β€” Luka 22 : 31 , 32 .
Ni nani tunaoweza kuwatia moyo , na kwa nini ?
Wazee wanaweza kutoaje shauri kwa njia itakayowatia moyo wengine ?
Wazazi , je , mnawazoeza watoto wenu kuwatia moyo wengine ?
Pia , alinisimulia mambo aliyopitia ambayo yalifanana kabisa na hali yangu , na hilo lilifanya nione kwamba si mimi peke yangu niliyepitia hali hiyo . ”
Mfalme Sulemani aliandika hivi : β€œ Neno linalosemwa wakati unaofaa β€” ni jema sana !
Kumtupia mtu jicho kwa uchangamfu huufanya moyo ushangilie ; habari njema huitia nguvu mifupa . ”
Kwa maana umenifanya nishangilie , Ee Yehova , kwa sababu ya matendo yako ; kwa sababu ya kazi za mikono yako ninapaza sauti kwa shangwe . ”
Mtume Paulo alitoa ahadi hii : β€œ Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake . ”
Vijana , mnaweza kujiwekea malengo ya kiroho hata ikiwa umri wenu ni mdogo .
Methali 21 : 5 inasema hivi : β€œ Mipango ya wenye bidii hakika huleta mafanikio . ”
Kadiri unavyojitahidi kufanya mipango mapema kwa kujiwekea malengo mazuri maishani , ndivyo utakavyopata mafanikio haraka .
Ikiwa ningekuwa na shahada ya sheria ningeweza kupata kazi yenye mshahara mnono , lakini haingekuwa rahisi kwangu kupata kazi ambayo ningeweza kufanya kwa saa chache . ”
17 , 18 . ( a ) Yehova angependa vijana wawe na hali gani ?
Nilizaliwa katika nyumba ya mbao yenye chumba kimoja katika mji mdogo sana unaoitwa Liberty , Indiana , Marekani .
Baadaye , ndugu zangu wawili na dada yangu wakazaliwa .
HAKUKUWA na mabadiliko mengi nilipokuwa shuleni .
Mji wa Liberty ulizungukwa na mashamba madogo , na zao kuu lilikuwa mahindi .
Alitupeleka kwenye kanisa la Baptisti kila Jumapili .
Walitaka nitumikie nikiwa mwanajeshi maisha yangu yote .
Hata hivyo , wakati huu walinialika nihudhurie mkutano wa Funzo la Kitabu la Kutaniko , ambao ulikuwa mkutano mdogo wa kujifunza na kuzungumzia Biblia uliofanywa nyumbani kwao .
Niliwaambia nitafikiria kuhusu jambo hilo .
Nilistaajabu kuona jinsi walivyokuwa na ujuzi mwingi kuhusu Biblia !
Miaka mingi mapema nilipomuuliza Mama kuhusu Mashahidi wa Yehova , alinijibu hivi : β€œ Ah , hao wanamwabudu mzee fulani anayeitwa Yehova . ”
Lakini sasa nilianza kuhisi kwamba macho yangu yalikuwa yakifunguliwa !
Mwaka uliofuata , yaani , mwaka wa 1958 nilianza upainia .
Kwangu , Gloria alikuwa kama jiwe la thamani wakati huo , na angali hivyo hadi leo .
Mimi na Gloria tulifunga ndoa mwezi wa Februari , 1959 .
Ndugu mpendwa anayeitwa , Simon Kraker , alituhoji .
Alituambia kwamba kwa wakati huo Betheli haikuwa ikiwapokea wenzi wa ndoa .
Malipo tuliyopokea kwa kazi mbalimbali tulizofanya yalikuwa dola tatu kwa siku .
Na kila juma Gloria alipiga pasi nguo za familia fulani .
Ninakumbuka wakati mmoja tulipokwenda kwenye kituo kimoja cha mafuta .
Kwa upande mwingine , tulikuwa na pindi zenye kufurahisha pamoja na akina ndugu , na tulifurahia huduma yetu !
Wakati huohuo , nilianza kujifunza Biblia na binti yao pamoja na mume wake .
Binti huyo pamoja na mama yake wakaamua kuwa watumishi wa Yehova na kubatizwa .
Tulikuwa na marafiki tuliowapenda katika kutaniko la ndugu weupe .
Kundi la KKK ( Ku Klux Klan ) linalochochea ubaguzi wa rangi na ukatili , lilikuwa lenye nguvu sana wakati huo .
Mwaka wa 1962 , nilialikwa kuhudhuria Shule ya Huduma ya Ufalme huko South Lansing , New York .
Lakini kampuni moja ya simu huko Pine Bluff ilikuwa imenihoji kwa ajili ya kazi .
Ikiwa wangeniajiri , ningekuwa mtu wa kwanza mweusi kufanya kazi katika kampuni hiyo .
Sikuwa na pesa za kwenda New York .
Aliniambia hivi : β€œ Nenda kwenye shule hiyo , ujifunze kadiri uwezavyo , kisha uje utufundishe ! ”
Ninafurahi sana kwamba sikukubali kazi hiyo !
Gloria anasema hivi kuhusu wakati tuliokuwa pamoja huko Pine Bluff : β€œ Nilipenda sana kuhubiri katika eneo hilo !
Tungeenda nyumba kwa nyumba asubuhi , kisha tungeongoza mafunzo ya Biblia mchana , na nyakati nyingine tulifanya hivyo hadi saa 5 usiku .
Tulipokuwa mapainia huko Pine Bluff , tuliomba kutumikia tukiwa mapainia wa pekee .
Ndugu Leon Weaver , ambaye sasa anatumikia akiwa mratibu wa Halmashauri ya Tawi ya Marekani , aliwekwa kuwa mwangalizi wa mzunguko wakati huohuo pia .
Nilikuwa na wasiwasi kuhusu kuwa mwangalizi wa mzunguko .
Nilipowekwa kuwa mwangalizi wa mzunguko , Ndugu Thompson ndiye aliyekuwa mwangalizi wa kwanza wa wilaya niliyefanya kazi naye .
Siku hizo mwangalizi wa mzunguko hakupata mazoezi mengi .
Ninakumbuka nikimwambia Gloria , β€œ Kwani ni lazima atuache sasa hivi ? ”
Wakati fulani , kundi la KKK lilifanya maandamano katika mji tuliokuwa tukizuru huko Tennessee .
Mwezi uliofuata tulianza utumishi wetu wa Betheli .
Gloria alikuwa kama jiwe la thamani wakati huo , na angali hivyo hadi leo
Kisha katika mwaka wa 1999 , niliwekwa rasmi kuwa mshiriki wa Baraza Linaloongoza .
Andiko la Isaya 32 : 17 linasema hivi : β€œ Matokeo ya uadilifu wa kweli yatakuwa amani , na mazao ya uadilifu wa kweli yatakuwa utulivu wa kudumu na usalama wa kudumu . ”
Pili , tunapaswa kusali ili tupate roho takatifu ya Mungu .
Ikiwa nyumba hiyo inastahili , amani mnayoitakia na iwe juu yake ; lakini kama haistahili , amani yenu na iwarudie ninyi . ”
Hivyo nilimsalimu kwa lugha yake .
Kwa mshangao aliniuliza , β€˜ Ungependa tukusaidiaje ? ’
Nilimwambia kwa upole kwamba ningependa kuzungumza na Balozi .
Alimpigia simu , naye akaja na kunisalimu katika lugha yake .
Baada ya hapo alinisikiliza kwa makini nilipokuwa nikieleza kuhusu kazi ya amani inayofanywa na Mashahidi wa Yehova . ”
β€œ Nazo mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri , ni wale . . . [ wanaozaa ] matunda kwa uvumilivu . ” ​ β€” LUKA 8 : 15 .
Ni nini kitakachotusaidia tuendelee kuzaa matunda kwa uvumilivu ?
( Tazama picha mwanzoni mwa makala hii . ) ( b ) Yesu alisema nini kuhusu kuhubiri katika β€œ eneo lake la nyumbani ” ?
β€œ Uaminifu wao hunitia moyo niendelee kuvumilia na kuwa jasiri ninapotimiza huduma yangu . ”
Tutachunguza maswali gani matatu , na kwa nini ?
Hata hivyo , hiyo ndiyo kazi ambayo ninapendelea zaidi kufanya . ”
Soma Yohana 15 : 1 - 5 , 8 .
Ni kazi ya kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu .
Soma Luka 8 : 5 - 8 , 11 - 15 .
Tunawezaje β€œ kuzaa matunda kwa uvumilivu ” ?
Kwa maana ninawatolea ushahidi kwamba wana bidii kwa ajili ya Mungu , lakini si kulingana na ujuzi sahihi . ”
Tuliporudi , wapita - njia walituuliza , β€˜ Mlikuwa wapi ?
Kwa nini umeazimia kuendelea β€œ kuzaa matunda kwa uvumilivu ” ?
15 : 8 .
( Soma Yohana 15 : 1 , 8 . )
Yesu aliwaambia hivi mitume wake : β€œ Baba yangu hutukuzwa kwa jambo hili , kwamba mwendelee kuzaa matunda mengi . ”
( b ) Unahisije kuhusu pendeleo ulilonalo la kulitakasa jina la Mungu ?
( a ) Andiko la Yohana 15 : 9 , 10 linatupatia sababu gani ya kuendelea kuhubiri ?
Tunaonyeshaje kwamba tunataka kukaa katika upendo wa Kristo ?
Biblia inasema kwamba Noa alikuwa β€œ mhubiri . ”
( a ) Andiko la Mathayo 22 : 39 linatupatia sababu gani ya kuendelea kuhubiri ?
Wanahitaji kusikia habari njema . ”
13 , 14 . ( a ) Ni zawadi gani inayotajwa katika Yohana 15 : 11 ?
( a ) Ni zawadi gani inayotajwa katika Yohana 14 : 27 ?
( a ) Ni zawadi gani inayotajwa katika Yohana 15 : 15 ?
( b ) Mitume walihitaji kufanya nini ili waendelee kuwa rafiki za Yesu ?
( Soma Yohana 15 : 14 - 16 . )
Tunaweza kuwa na hakika kwamba Yehova hujibu sala zetu za kuomba msaada ( Tazama fungu la 18 )
Mtume Petro anamfafanua Shetani Ibilisi kuwa β€œ simba anayenguruma , ” na Yohana anamwita β€œ nyoka ” na pia β€œ joka . ”
Kwa msaada wao , tunaweza kumpinga adui yetu .
Wale wanaoamini uwongo huo hutumia maisha yao kutumikia β€œ Utajiri ” badala ya kumtumikia Mungu .
Tunahitaji kumjua adui yetu , lakini hatupaswi kumwogopa .
Tukimpinga , atatukimbia .
Taja sehemu mbalimbali za mavazi kamili ya silaha za kiroho .
Na wazazi wangu na rafiki zangu wanajua kwamba wanaweza kuniamini . ”
Lakini unapofanya hivyo , sikuzote unanufaika kwelikweli : Unapata ujasiri , unamkaribia Yehova zaidi , na unaheshimiwa na wale wanaokupenda . ”
Mshipi wa ile kweli ( Tazama fungu la 3 hadi 5 )
Kwa kipindi fulani , nilipoteza ujasiri na kushuka moyo . ”
Baadhi ya wale niliowaita marafiki wangu walianza kutumia dawa za kulevya na wengine wakaacha shule .
Nilisikitika kuona jinsi maisha yao yalivyobadilika .
β€œ Mimi hujikumbusha kwamba ninalibeba jina la Yehova na kwamba vishawishi ni njia ya Shetani ya kunishambulia .
Ninaposhinda kishawishi fulani , ninajihisi vizuri sana . ”
Bamba la kifuani la uadilifu ( Tazama fungu la 6 hadi 8 )
Sasa ninafurahia kuwahubiria vijana wenzangu . ”
Kwa kufanya hivyo , ninaweza kujua jinsi ya kuwasaidia .
Wakati ambapo nimejitayarisha , ninaweza kuzungumza nao kuhusu mambo hususa ambayo yatawasaidia . ”
Mimi huhakikisha kwamba nimesoma machapisho yote yaliyoandaliwa kwa ajili ya vijana .
Kufanya hivyo huniwezesha kuwasomea vijana wenzangu mstari fulani wa Biblia au kuwaelekeza kwenye habari fulani iliyo kwenye Tovuti ya jw.org ambayo itawasaidia . ”
Viatu vikiwa tayari miguuni ( Tazama fungu la 9 hadi 11 )
Taja baadhi ya β€˜ mishale inayowaka moto ’ ya Shetani .
Hata hivyo , sasa mimi hujitayarisha kwa ajili ya mikutano na kutoa maelezo angalau mara mbili au tatu .
Si rahisi lakini ninajihisi vizuri zaidi ninapofanya hivyo .
Na ndugu na dada hunitia moyo sana .
Sikuzote mimi hutoka mikutanoni nikihisi kwamba Yehova ananipenda . ”
Ngao kubwa ya imani ( Tazama fungu la 12 hadi 14 )
Kofia ya chuma ya wokovu ( Tazama fungu la 15 hadi 18 )
Nimetambua kwamba watu huitikia vizuri wanapoona ukizungumzia habari za Biblia kwa shauku na unapofanya yote unayoweza kuwasaidia . ”
Upanga wa roho ( Tazama fungu la 19 na 20 )
Kwa msaada wa Yehova tunaweza kusimama imara na kumpinga !