url
stringlengths
19
212
text
stringlengths
608
109k
index
stringlengths
64
64
word_count
int64
100
18.1k
character_count
int64
504
91.1k
line_count
int64
1
1
fraction_of_duplicate_lines
float64
0
0
fraction_of_characters_in_duplicate_lines
float64
0
0
symbol_to_word_ratio
float64
0
1
fraction_of_words_without_alpha
float64
0
10
num_of_stop_words
int64
5
1.2k
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/B82
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NI BANDIKA BANDUA LEO NI JIMBO LA SEGEREA MWENEZI MAKALLA AANZA NA UKAGUZI WA JENGO LA SHULE YA GHOROFA MINAZI MIREFU Katibu wa NEC Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amekagua Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisasa na ya Ghorofa ya Minazi Mirefu iliyopo Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala .Jengo jipya linalojengwa Lina Madarasa 20 ambayo yako hatua za Umaliziaji . CPA Makalla amesema Mkoa wa Dar es salam unajengwa Majengo ya Kisasa ya Ghorofa Majengo ya Ghorofa likiwemo Hili la Minazi Mirefu tuna kila Sababu ya kumpongeza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza kwenye suala la Elimu na sio Jengo hili tu pale Liwiti Jengo la Ghorofa na Wanafunzi wameshaanza kutumia. 🗓08 Julai 2024 Siku ya Tatu Ziara ya Mlezi Mkoa wa Dar es salam Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7212c4890f3f4f6b5cb63f2f0807a4821f002b1201105de9cf150b53dc94481e
216
1,108
1
0
0
0
1.85
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/AQ7
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MWENEZI MAKALLA APIGILIA MSUMARI SUALA LA MITANO TENA LIWE KWA MAMA SAMIA PEKEE, WENGINE WAFUATE UTARATIBU . Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla ambaye pia ni Mlezi wa Mkoa wa Dar es salaam (kichama) akizungumza katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Leo amepokelewa na Umati wa WanaCCM . Mwenezi Makalla amesema Kumezuka suala la Watu kupigiana chapuo yaani "... unakuta Wilaya nzima wanakuwa na ajenda na Mtu, wanaimba Mitano tena kwa Diwani ama Mbunge kumbe ni ajenda, na wanaacha kabisa Chama, unakuta anapigiwa chapuo mtu mmoja, sasa nami nielekeze suala hili la Mitano tena liwe kwa Mwenyekiti wetu, wengine tufuate Utaratibu kwani ndivyo tulivyowekeana Taratibu." 06 Julai 2024 Mapokezi ya Mlezi wa Mkoa wa Dar es salam na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
841a9528240bf714191556eedceb74a76ccdd214effbf9732b068a15e62967ba
216
1,155
1
0
0
0.462963
2.78
22
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/zB5
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amewataka watanzania kuhimizana kila wakati juu ya kuitunza amani iliopo nchini kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae. Ameyasema hayo alipokuwa akisalimiana na waumini wa Dini ya kiislamu katika Masjid KAHFI uliopo MKELE KWA BIMTORO Wilaya ya Mjini mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa. Alhajj Hemed amesema ili Taifa lipige hatua kimaendeleo ni lazima kuwepo na Amani na Utulivu ndani ya nchi, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi wa Tanzania na muumini wa Dini ya kiislamu na dini nyengine kuhakikisha anaienzi na kuilinda Amani iliyopo nchini kwa faida ya vizazi vya sasa na baade pamoja na Taifa kwa ujumla. Makamu wa pili amesema zipo nchi duniani hawawezi kujumuika pamoja katika kufanya ibada kutokana na kutokuwepo kwa amani na utulivu ndani ya nchi zao hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha anaitunza tunu ya amani iliyopo kwa maslahi mapana ya Taifa letu. Amesema ni lazima kujifunza kutoka kwa nchi za jiarani jinsi wanavyokosa amani kwa sasa jambo ambalo linapelekea kukosekana kwa maendeleo na kuwataka wananchi kutokubali kushawishiwa na baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu hasa kipindi cha siasa. Aidha Alhajj Hemed amewataka baadhi ya viongozi kuacha kutoa maneno ya uwongo na yauchochezi ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani iliyopo nchini na kuwataka kuihubiri amani wakati wote ili kupata maendeleo kwa maslahi ya wananchi wote. Sambamba na hayo Alhajj Hemed ameendelea kuwakumbusha waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi kwa ujumla kuendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum wakiwemo mayatima, wajane na wazee wasiojiweza ili kuzidisha upendo baina yao. Amesema ipo haja ya kuitumia misikiti kwa kuyatambua makundi haya muhimu ili kuweza kuyasaidia ikiwa ni njia moja wapo ya kudumisha upendo na ushirikiano na kuweka usawa wa kila mwannchi. Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim MUHITA ALI HASSAN amewataka waumini wa dini ya Kiislam kujitathmini na kujiangalia upya katika kufanya ibada hasa katika kipindi hichi cha kuukaribisha mwaka mpya wa kiislamu siku chache zijazo. Amesema kuwa uislamu umewataka waumini kuhimizana katika kufanya ibada pamoja na kuwa wamoja kwa kila kitu hasa katika kuipigania dini ya kiislamu ili kuweza kufikia malengo ya kuletwa hapa duniani. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ae558ab59853ed41c837667134bf20ef27afbbefa254a285c89030cc51247e0e
445
2,442
1
0
0
0
0
73
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/y6z
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa amewasisitiza Viongozi na Watendaji wa CCM kufanya vikao kwa kufuata miongozo na Katiba ya CCM ya mwaaàka 1977 toleo la mwaka 2022. Maelekezo hayo ameyatoa katika mwendelezo wa ziara yake na Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya NEC,CCM Taifa Zanzibar wakati akizungumza na Kamati ya siasa ya Wilaya ya Mjini Kichama. Amesema Chama Cha Mapinduzi kimeweka utaratibu wa vikao ili Uongozi wa ngazi mbalimbali wapate nafasi ya kujadiliana masuala ya kiutendaji,mikakati na changamoto za maeneo husika ya kiutawala ndani ya Chama na Serikali zake. Alisema Viongozi hao wanatakiwa kuendeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha Chama ili kuandaa mazingira rafiki ya upatikanaji wa ushindi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025. Dkt.Dimwa, amesema lengo la ziara hiyo ni kuimarisha uhai wa Chama ikiwemo kukagua miradi ya Chama Cha Mapinduzi na kuzungumza na wanachama wa ngazi mbalimbali hasa wa ngazi za Mashina na Matawi. "Fanyeni vikao kwa kufuata Katiba na miongozo yetu ili kuepuka migogoro na maamuzi yasiyofaa kwani Chama chetu kimeweka utaratibu wa kuhakikisha kila jambo linatafutiwa ufumbuzi kupitia vikao vya pamoja. Pia nakupongezeni kwa kazi nzuri ya kuimarisha Chama chetu ndani ya Wilaya hii hasa kusimamia vizuri utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025."alisema Dkt.Dimwa. Akizungumza na wanachama katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo alisisitiza ulipaji wa ada ili kupata Wanachama hai. Alisema CCM inaelekea katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hivyo kila mwanachama anatakiwa kujiandaa kwa kuhakikisha anakuwa na kitambulisho Cha kupigia kura. Naibu Katibu huyo Dkt.Dimwa, alisema CCM inaendelea kuamini mfumo wa ujamaa na kujitegemea hivyo ni muhimu Wanachama wake wafanye siasa na uchumi kwa kubuni na kuendeleza miradi ya kuwapatia kipato cha kila siku. Aliwapongeza Viongozi wa majimbo ya Wilaya hiyo wakiwemo Wabunge,Wawakilishi na madiwani kwa kazi nzuri ya kuanzisha miradi ya ujasirimali inayowasaidia vijana wengi kujiajiri wenyewe ili kutimiza ahadi ya kutimiza ajira 300,000 kufikia mwaka 2025 iliyoanishwa katika Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
94fbcbbc17612700d152e079820adb823a2d56329fe3e42f741ae3bb5016092a
407
2,333
1
0
0
0
1.72
54
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/xVz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amesema Chama kipo tayari kumpokea Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Nassor Ahmed Mazrui Kauli hiyo ameitoa leo baada ya kuwepo kwa tetesi za maandalizi ya kufukuzwa kwa kiongozi huyo kwa madai ya kutoridhishwa na kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi kwa kazi kubwa ya kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar wakati wa uzinduzi wa nyumba za Wafanyakazi wa Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoa wa Kusini Pemba. Katibu huyo alisema amepokea taarifa kutoka katika chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya ACT-Wazalendo, kuwa jana baadhi ya viongozi wa Kamati Kuu ya Chama hicho wamekaa kikao cha siri kujadili kwa kina tuhuma zinazomkabili Naibu Katibu Mkuu huyo Nassor Mzrui na idadi kubwa ya wajumbe hao walipendekeza afukuzwe kwani kauli zake zinaipigia kampeni CCM na kuwatosa kisiasa ACT-Wazalendo. Mbeto, alisema Chama Cha Mapinduzi ni mwalimu na kinara wa demokrasia nchini hivyo kipo tayari muda wowote kuwapokea viongozi mbalimbali wa vyama vya upinzani wanaokiri kwa vitendo na kuunga mkono kazi nuzi ya kuwaletea maendeleo wananchi bila ubaguzi wa kisiasa. Katika maelezo yake Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi Mbeto, alisema kitendo cha kiongozi huyo Nassor Mazrui kutamka hadharani kuwa kura ni siri hivyo wananchi wana uhuru wa kuchagua chama kinacholeta maendeleo mbele ya Rais wa Zanzibar Dk.Mwinyi imekuwa ni pigo na majanga kwa ACT-Wazalendo kutokana na sera zao za kubeza,kupotosha na kukosoa na kutengeneza propaganda chafu ndidi ya CCM na Serikali zake. "CCM ni kimbilio la wanasiasa na wananchi wote jambo la msingi ni kuheshimu na kufuata itikadi na sera zetu kwa kutanguliza mbele dhana ya ukweli na uzalendo uliotukuka. Niwambie wananchi kuwa muda wowote tupo tayari kumpokea kwa mikono miwili Waziri wa Afya na Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Nassor Mazrui, atakapofukuzwa rasmi na Chama chake kwani sababu ya kufukuzwa kwetu tunamuona ni shujaa wa kisiasa na mwenye misimamo isiyoyumba',alisema Mbeto. Alieleza kuwa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kila mwananchi yupo huru kutoa maoni hivyo hata ndani ya vyama vya siasa kila kiongozi ana haki ya kutoa maoni yake binafsi na bila kuathiri misimamo ya Chama chake. Alitoa wito kwa viongozi wengine ndani ya ACT-Wazalendo waendelee kujitokeza hadharani kuunga mkono msimamo wa Nassor Mazrui, kwani hiyo ndio njia pekee ya kujitoa katika jela na utumwa wa kidemokrasia ndani ya chama hicho. Alisema wakati umefika wa vyama vya upinzani nchini kuachana na siasa za ulaghai na propaganda chafu za upotoshaji badala yake wabadilike na kujenga utamaduni wa kukosoa kwa heshima na kutoa maoni ya kutatua changamoto za wananchi. Pamoja na hayo Mbeto, alifafanua mapinduzi ya kisiasa ndani ya vyama vya upinzani yataletwa na viongozi wachache wenye dhamira na misimamo imara na kujitolea katika kulinda maslahi ya wananchi wengi badala ya kundi la viongozi wachache wanaofanya uwakala na udalali wa kisiasa kwa maslahi ya baadhi ya nchi za kigeni. Sambamba na hayo alisema CCM itaendelea kuheshimu misingi ya kidemokrasia pamoja na kusimamia kwa vitendo sera zake ziendelee kuwa na manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
1a5458f3c6fc3c2a6519ec0e91d29265de47c6bb12177387d92e3e3c0b552343
591
3,225
1
0
0
0
0.17
86
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wEg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amewataka wanasiasa nchini kuwa wangwana na kufuata nyayo za Waziri wa Afya Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui aliyekiri na kusifu kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi kwa kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi CCM ya mwaka 2020/2025 katika sekta ya Afya nchini. Kauli hiyo ameitoa katika mahojiano maalum huko Afisini kwake Kisiwandui Zanzibar, alisema kasi ya utendaji wa Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi katika kuimarisha sekta mbali mbali nchini hasa Wizara ya Afya imevuka malengo ya Ilani ya CCM. Mbeto, alisema kitendo cha Waziri wa Afya Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Nassor Mazrui jana katika ufunguzi na makabidhiano ya nyumba za wafanyakazi hospitali ya Abdulla Mzee Mkoa wa Kusini Pemba kukiri na kupongeza kasi ya utendaji wa Dk.Mwinyi ni uzalendo mkubwa unaotakiwa kuwa fundisho kwa wanasiasa wengine nchini kujitathimini kisiasa,kimaono na kifikra. Alisema kitendo cha kiongozi huyo mkuu wa Chama cha upinzani nchini kujitokeza hadharani kusifu utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 katika Wizara ya Afya ni salamu za pekee kwa vyama vya upinzani nchini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao. Katika maelezo yake Mbeto, alifafanua kuwa Waziri huyo Mazrui alimsihi Dkt.Mwinyi aendelee kufanya kazi wala asijali maneno ya watu kwani utendaji wake unaonekana kwa wananchi. "Chama Cha Mapinduzi Zanzibar tunaposema hatuna mbadala wa Dk.Mwinyi tunaimanisha kwani kazi tuliyopewa na wananchi ya kuleta maendeleo endelevu tayari imefanyika katika sekta mbalimbali tunachosubiri ni wananchi kujaza visanduku vya kura nyingi za ndio kwa nafasi za Rais,Wabunge,Wawakilishi na Madiwani wa CCM. Kuona kiongozi wa timu ya mkakati ya Chama cha ACT-Wazalendo Nassor Mazrui anamsifu Rais Dk.Mwinyi sio jambo dogo kuna kazi kubwa imefanyika mpaka kuweka mbele uzalendo badala ya kubeza na kukosoa.", alisema Mbeto. Mbeto,alisema katika sekta ya afya Serikali imejenga vituo vya afya vya kisasa zaidi ya 10 kila wilaya pia hospitali kubwa ya Mkoa yenye vifaa tiba vya kisasa nchini. Alifafanua kuwa serikali ya awamu ya nane ya Zanzibar chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi, imetekeleza mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kufikisha huduma ya umeme kwa gharama nafuu,ujenzi wa barabara za kisasa,ujenzi wa skuli,kuongeza pencheni kwa wazee,kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma pamoja na kuimarisha miundombinu ya sekta binafsi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ce7cdf7b0bcd6c6183cfacaaca3edad4c8f083a5e11107d61e19918ec4e6b58b
477
2,709
1
0
0
0
0.63
61
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/vYL
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameitaka Kampuni ya Fuchs Contraction Ltd ambayo imepewa dhamana ya kujenga skuli nane (8) za Gorofa kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo ndani ya muda uliopangwa na kiwango kilichokusudiwa ili kutoa nafasi kwa wanafunzi kusoma katika mazingira mazuri Ameyasema hayo katika ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa skuli zinazojengwa na Kampuni hiyo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo. Mhe. Hemed amemuagiza Mkandarasi wa majengo hayo kuongeza nguvu kazi na kufanya kazi mchana na usiku ili kuhakikisha Miradi hio inakamilika kwa wakati na kiwango kilichokusudiwa ili kuwaondolea changamoto wanafunzi ya kufata elimu masafa ya mbali jambo ambalo linapunguza umakini na ufaulu kwa wanafunzi hao. Amesema mtazamo na adhma ya Rais Dkt Hussen Mwinyi ni kujenga skuli za kisasa zenye viwango na zenye kuendana na wakati sambamba na kuweka vifaa vya kutosha vya kufundishiia ili kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani pamoja na kuingia mkondo moja tu kwa wanafunzi wote wa Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itatoa kila aina ya ushirikiano kwa wakandarasi hao na kuwahakikishia kuwa kiwango cha fedha kilichobakia kitalipwa ndani ya siku chache zijazo ili kuharakisha umalizikaji wa ujenzi huo na wanafunzi waliopangishwa katika maskuli jirani waweze kurejea maskuli mwao. Nae Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema ziara ya kutembelea Miradi ya Ujenzi wa Skuli za gorofa zinazoendelea kujengwa itatoa matokeo chanya ndani ya muda mfupi ujao na uongozi wa wizara utahakikisha majengo yote yanamalizika kwa kiwango cha hali ya juu. Naibu Waziri Ghulam amesema vifaa vyote kwa ajili ya maskuli yanayojengwa Zanzibar vipo tayari na Wizara imetenga Bajeti kwa ajili ya kuyafanyia ukarabati mkubwa maskuli yote yaliyoanza kuchakaa ili yaendane na hadhi ya majengo yanayojengwa sasa. Kwa upande wake Mwakalishi wa mmiliki wa Kampuni ya Fuchs Contraction Ltd Ndugu YASIN FEISAL IBRAHIM amesema Kampuni imejipanga kufanya kazi usiku na mchana na kuahidi kukamilisha ujenzi wa maskuli hayo kwa ubora na viwango vya hali ya juu ifikapo mwishoni mwa mwezi wa nane(8). Mkandarasi Feisal amesema kulikuwa na changamoto ndogo ndogo ambazo zilikwamisha ujenzi huo lakini kwa sasa kila kitu kipo sawa hivyo watahakikisha wanapambana ili waweze kukabidhi kwa wakati na kutumia fursa hio kuiomba Serikali kuwamalizia malipo ya fedha zilozobaki ili kazi iendelee kwa haraka zaidi. Mapema Mshauri elekezi kutoka wakala wa majengo Zanzibar (ZBA) MOH'D NAHODA MOH'D amesema makubaliano ya awali na Kampuni ya Fuchs ni kukamilisha Ujenzi huo mwishoni mwa mwezi wa saba(7) lakini imekuwa tofauti na ujenzi huo unaonekana kusuasua jambo ambalo linachelewesha mipango ya Serikali ya kuboresha miundombinu ya Sekta ya Elimu kama ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyoelekeza. Mkandarasi Nahoda amesema endapo kampuni ya Fuchs itashindwa kukamilisha kwa wakati miradi hio ZBA kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali watangali ni kwa namna gani wanaweza kufanya maamuzi ya kisheria dhidi ya kampuni hio ili kuwaweka sawa wakandarasi wengine waliopewa dhamana ya kujenga miradi ya Serikali. Katika ziara hio makamu wa pili wa rais wa Zanzibar ametembelea ujenzi wa skuli za ghorofa ikiwemo CHUMBUNI, MAUNGANI, MWERA, REGEZAMWENDO, KIJICHI, CHUMBUNI na MUUNGANO. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
01ab4f7f0f314bcdc4e815be246cb87992bf2f8605c27fbc28858906c39e8b84
605
3,410
1
0
0
0
0.17
90
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/rEB
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameitaka Kampuni ya Fuchs Contraction Ltd ambayo imepewa dhamana ya kujenga skuli nane (8) za Gorofa kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo ndani ya muda uliopangwa na kiwango kilichokusudiwa ili kutoa nafasi kwa wanafunzi kusoma katika mazingira mazuri Ameyasema hayo katika ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa skuli zinazojengwa na Kampuni hiyo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo. Mhe. Hemed amemuagiza Mkandarasi wa majengo hayo kuongeza nguvu kazi na kufanya kazi mchana na usiku ili kuhakikisha Miradi hio inakamilika kwa wakati na kiwango kilichokusudiwa ili kuwaondolea changamoto wanafunzi ya kufata elimu masafa ya mbali jambo ambalo linapunguza umakini na ufaulu kwa wanafunzi hao. Amesema mtazamo na adhma ya Rais Dkt Hussen Mwinyi ni kujenga skuli za kisasa zenye viwango na zenye kuendana na wakati sambamba na kuweka vifaa vya kutosha vya kufundishiia ili kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani pamoja na kuingia mkondo moja tu kwa wanafunzi wote wa Zanzibar. Makamu wa Pili wa Rais amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itatoa kila aina ya ushirikiano kwa wakandarasi hao na kuwahakikishia kuwa kiwango cha fedha kilichobakia kitalipwa ndani ya siku chache zijazo ili kuharakisha umalizikaji wa ujenzi huo na wanafunzi waliopangishwa katika maskuli jirani waweze kurejea maskuli mwao. Nae Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema ziara ya kutembelea Miradi ya Ujenzi wa Skuli za gorofa zinazoendelea kujengwa itatoa matokeo chanya ndani ya muda mfupi ujao na uongozi wa wizara utahakikisha majengo yote yanamalizika kwa kiwango cha hali ya juu. Naibu Waziri Ghulam amesema vifaa vyote kwa ajili ya maskuli yanayojengwa Zanzibar vipo tayari na Wizara imetenga Bajeti kwa ajili ya kuyafanyia ukarabati mkubwa maskuli yote yaliyoanza kuchakaa ili yaendane na hadhi ya majengo yanayojengwa sasa. Kwa upande wake Mwakalishi wa mmiliki wa Kampuni ya Fuchs Contraction Ltd Ndugu YASIN FEISAL IBRAHIM amesema Kampuni imejipanga kufanya kazi usiku na mchana na kuahidi kukamilisha ujenzi wa maskuli hayo kwa ubora na viwango vya hali ya juu ifikapo mwishoni mwa mwezi wa nane(8). Mkandarasi Feisal amesema kulikuwa na changamoto ndogo ndogo ambazo zilikwamisha ujenzi huo lakini kwa sasa kila kitu kipo sawa hivyo watahakikisha wanapambana ili waweze kukabidhi kwa wakati na kutumia fursa hio kuiomba Serikali kuwamalizia malipo ya fedha zilozobaki ili kazi iendelee kwa haraka zaidi. Mapema Mshauri elekezi kutoka wakala wa majengo Zanzibar (ZBA) MOH'D NAHODA MOH'D amesema makubaliano ya awali na Kampuni ya Fuchs ni kukamilisha Ujenzi huo mwishoni mwa mwezi wa saba(7) lakini imekuwa tofauti na ujenzi huo unaonekana kusuasua jambo ambalo linachelewesha mipango ya Serikali ya kuboresha miundombinu ya Sekta ya Elimu kama ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyoelekeza. Mkandarasi Nahoda amesema endapo kampuni ya Fuchs itashindwa kukamilisha kwa wakati miradi hio ZBA kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali watangali ni kwa namna gani wanaweza kufanya maamuzi ya kisheria dhidi ya kampuni hio ili kuwaweka sawa wakandarasi wengine waliopewa dhamana ya kujenga miradi ya Serikali. Katika ziara hio makamu wa pili wa rais wa Zanzibar ametembelea ujenzi wa skuli za ghorofa ikiwemo CHUMBUNI, MAUNGANI, MWERA, REGEZAMWENDO, KIJICHI, CHUMBUNI na MUUNGANO Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ec1aab020d6eb8920d9f926d5df6c9fede45432be9261a6412939e2cff78038a
605
3,409
1
0
0
0
0.17
90
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qVD
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI MHE. FILIPE JACINTO NYUSI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rasmi na Mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Julai, 2024. Aidha, Rais Samia akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam kuhusiana na Ziara ya Kiserikali ya Mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wameshuhudia utiaji saini Hati ya Makubaliano ya kushirikiana katika masuala mbalimbali baina ya Tanzania na Msumbiji ikiwemo Afya na Uwekezaji. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
2311b0044927e7b7a7ccb6d8f9b31a1dd6ed98d9923416b7b7b3047649174be6
193
1,061
1
0
0
0
1.04
21
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/pRX
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Hemed Suleiman amesema Serikali haijaridhishwa na kasi ya Ujenzi unaoendelea wa Skuli ya Sekondari ya Makunduchi jambo ambalo linarejesha nyuma dhamira ya Dkt. Hussein Mwinyi ya kuondoa changamoto zote za Elimu kwa wanafuzi wa Mikoa yote ya Zanzibar. Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa skuli ya Sekondari ya Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake ya kuitembelea skuli hio kila ifikipo mwisho wa mwezi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali imeshailipa Kampuni ya Fuchs Contraction Limited shiling Bilioni 4.08 ili kuharakisha umalizikaji wa Ujenzi wa Skuli hiyo lakini kasi ya ujenzi bado inasuasua na kupelekea wanafunzi kuendelea kufuata huduma ya elimu maeneo ya mbali na makaazi yao. Amesema kuwa endapo Mkandarasi kutoka kampuni ya Fuchs atashindwa kumaliza ujenzi wa skuli hio na nyenginezo amabazo zinajengwa na kampuni hio kwa wakati ambao wamekubaliana katika mkataba wao itakuwa wamejinyima fursa ya kufanya kazi ndani ya Zanzibar hasa katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nane(8) na serikali haitalifumbia macho jambo hili. Amesema lengo la Serikali ya Awamu ya Nane(8) inayoongozwa na Rais Dkt Hussen Ali Mwinyi ni kuondoa changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi ikiwa ni pamoja na kuwekeza zaidi katika Sekta ya elimu ambayo ndio muhimili mkuu wa maendeleo nchini. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amefika katika skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame kukagua maendeleo ya ukarabati wa jengo la dahalia ya wanawake liloungua moto na kusababisha hasara kubwa kwa wanfunzi wanaosoma skulini hapo, na kuwataka walimu na wanafunzi kuendelea kulitunza na kudumisha usafi ndani na nje ya jengo hilo ili liweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Mhe. Hemed ameuagiza Uongozi wa Wizara ya Elimu kuhakikisha ndani ya muda mfupi ujao wanaijengea uzio skuli hio ili kuimarisha ulinzi na usalama kwa wanafunzi wanaishi hapo sambamba na kumtaka Mkandarasi kutoka Kampuni ya Faster kuhakikisha anamalizia matengenezo madogo madogo yaliyobakia ndani ya siku tano(5) ili wanafunzi waweze kuhamia na kuendelea na masomo yao katika hali ya utulivu. Nae Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema wizara imejipanga kuhakikisha inaipatia kila skuli vifaa vya kusomea vya kisasa ili kuboresha mfumo wa elimu Visiwani ZanzibarambapoWizara imefanya ununuzi wa vifaa mbali mbali ikiwemo vitanda zaidi ya elfu moja(1000) kwa ajili ya skuli ambazo zinamadahalia Kompyuta, Projecta, viti na meza ambavyo vyote vitagawiwa kwa skuli zote za Unguja na Pemba. Mhe. Gulam ameiomba Serikali kuichukulia hatua ya kuipiga penalt Kampuni ya Fuchs kwa kusababisha kuchelewa kumalizika kwa Ujenzi wa Skuli nane (8) zinazojengwa na kampuni hio jambo ambalo litatoa fundisho kwa kampuni nyengine zitakazopatiwa fursa ya kufanya kazi na Serikali ya Awamu ya Nane (8). Kwa upande wake Mkandarasi kutoka kampuni ya Fuchs Contraction Ltd Devid Mwasomola amesema changamoto kubwa iliosababisha kishindwa kuendelea na Ujenzi wa Skuli hio ni kukosekana kwa nondo na malipo kwa ajii ya wafanyakazi hivyo ameaahidi kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi hio ndani ya muda uliopangwa kwa sasa. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ametembelea ujezi wa skuli ya ghorofa (G+3) ya Sekondari ya Makunduchi inayojengwa na Kampuni Fuchs Contraction Limited, na kukagua maendeleo ya ukarabati wa jengo la dahalia ya wanawake katika Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame liloungua moto na kusababisha athari kubwa kwa wanafunzi wanaoishi hapo mwishoni mwa mwaka jana. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
79b862eb712534ecf29bc2b8c6c3fc332defb845fe92b022340d2cd6b5932613
652
3,603
1
0
0
0
0.46
98
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ovA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU BALOZI DKT. NCHIMBI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE MHE. JAKAYA KIKWETE. Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi leo tarehe 01, Julai, 2024 katika ofisi yake binafsi Masaki jijini Dar es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0b55437a887a4b3b3a1f0d443bd5b483ef55ef9a712123e1059780fd2d66d759
141
776
1
0
0
0
1.42
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/nYY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira Bora kwa Taasisi na Mashirika binafsi katika kuhakikisha wanatimiza majukumu yao ya utoaji wa huduma za msaada wa kisheria haapa -nchini. Ameyasema hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla katika kilele cha maadhimisho ya Tano(5) ya wiki ya msaada wa kisheria Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa asheikh aidrisa Abdul Wakil Kikwajuni Zanzibar. Rais Dkt Mwinyi amesema Serikali kwa kushirikiana na Idara ya Katiba na Sheria itaendelea kutekeleza kampeni Kitaifa ya msaada wa Kisheria ya Mama Samia na Kampeni nyenginezo za Kitaifa na Kimataifa kwa lengo la kuwawezesha wananchi katika suala la upatikanaji wa haki zao. Aidha Dkt Mwinyi amesema watoa huduma za msaada wa Kisheria wamekuwa wakombozi wakubwa kwa jamii katika masuala ya kisheria, kwa kutoa elimu ya kisheria na msaada wa kisheria kwa makundi mbali mbali wakiwemo vijana, wazee, watu wenye Ulemavu na wanafunzi ambapo wameweza kuwafikia wananchi laki nne kumi na tisa elfu mia nne na moja ( 419, 401) kati yao wanawake ni laki mbili ishirini na sita elfu mia moja na sabiini na mbili ( 226, 172) ni wanawake na laki moja tisiini na tatu mia mbili na ishirini na tisa (193, 229) ni wanaume. Sambamba na hayo Rais Dkt Mwinyi amesema uwepo wa namba maalum itakayowasaidia wananchi katika upatikanaji wa huduma za Msaada wa Kisheria ni hatua muhimu inayohamasisha upatikanaji wa huduma hio na itakuwa kiungo kikubwa baina ya watoa huduma za Msaada wa Kisheria na wananchi ambao wengi wao mjini na vijijini wanamiliki vifaa vya kieletroniki ikiwemo simu za mkononi. Rais Dkt Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria pamoja na watoa huduma za Msaada wa Kisheria kuendelea kuelimisha wananchi juu ya uwepo wa namba hio maalum ya Huduma za Msaada wa Kisheria pamoja na upatikanaji wa huduma hizo kwa njia ya Teknolojia na kuwataka wananchi kuitumia vyema namba hio kwa utaratibu uliowekwa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Nae Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman amesema watoa Msaada wa Kisheria wanafanya kazi kubwa ya kujitolea katika kutoa elimu ya Sheria na Msaada wa kisheria kwa wananchi hivyo ameiomba Serikali kuangalia ni kwa namna gani itawasaidia watoa huduma hao katika kuendelea kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Waziri Haroon amesema ili kuendelea kuisaidia jamii katika kuwapatia elimu na kutoa Msaada wa Kisheria ni lazima kuwepo na mazingira mazuri ya kufanyia kazi, hivyo amewaomba Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwapatia ofisi watoaji wa Msaada wa kisheria katika kila Wilaya ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa utulivu na kwa ufanisi mkubwa. Kwa upande wao wawakilishi wa mashirika ya msaada wakisheria wakiwemo UNDP, LSF na UN WEMEN wamesema wataendela kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na wadau mbali mbali katika kupambana ili kuhakikisha upatikanaji wa haki kwa wahanga wa vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji wa kijinsia hasa wanawake na watoto uanpatikana kwa wakati. Wamesema kusaidia na kupambana kwa hali zote katika harakati mbali mbali za kimaendelo hasa katika kuhakikisha upatikanaji wa haki, haki za Binaadamu zinalindwa na kuhakikisha elimu ya Sheria inawafikia wananchi wote mijini na vijini. Mapema Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Bi. Hanifa Ramadhan Said amesema Idara ya Katiba imeona ipo haja ya kuanzisha namba maalum ambayo itatumika katika kurahisisha upatikanaji wa Msaada wa kisheria na kuwa kiunganishi kikubwa kati wa Idara , watoa huduma za Msaada wa Kisheria na wananchi. Mkurugenzi Hanifa amesema Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria itahakikisha inazidisha ushirikiano katika utendaji wa kazi baina yao na watoa huduma za Msaada wa Kisheria ili lengo halisi la upatikanaji wa haki, kutokomeza Ukatili na Unyanyasaji wa kijinsia kwa wananchi liweze kufikiwa . Amezishukuru Taasisi na Mashirika mbali mbali ikiwemo L.S.F, UNDP, UN WOMEN Mahakama, Polisi na Chuo cha Mafunzo kwa ushirikiano wao mkubwa wanaoendelea kuwapatia ambao unarahisisha katika harakati zao za ufanyaji wa kazi za kila siku. Nao watoaji Msaada wa kisheria Wameishukuru Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria kwa kuwapatia ushirikiano mkubwa unaowapelekea kufanya kazi zao za uweledi na ufanisi mkubwa sambamba na kuiomba serikali za mikoa na wilaya kuwapatia ofisi za kufanyia kazi zao ili kufikia malengo waliojiwekea Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a46a7af83eb2f3c4db01771c5d408fd2f696b0b640a32914d2909cf9fef01455
793
4,303
1
0
0
0
1.26
132
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/m2E
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Shilingi Milioni Hamsini katika Ujenzi wa Majengo ya Taasisi ya Elimu ya Maawal Islamiya iliyopo jijini Tanga ikiwa ni muendelezo wa Serikali wa Awamu ya Sita kuunga mkono jitihada za wadau katika kutoa elimu Kiasi hicho cha fedha kimewasilishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati akihutubia mamia ya waumini wa kiislamu waliokusanyika kusheherekea kuanzishwa kwa taasisi hiyo na kumbukumbu ya Muanzilishi,Sheikh Shabaani Mohamed Hariri ambapo pia alifikisha salamu kwa waumini hao kutoka kwa Rais Samia huku akigusia kuwepo kwa mporomoko wa maadili unaosababisha uhalifu katika sehemu mbalimbali za nchi. **‘**Naomba nitumie fursa hii kuwasilisha salamu za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan wakati nakuja nilimuaga amesema niwasalimie sana na ametoa kiasi cha Shilingi Milioni Hamsini ikiwa ni mchango wake katika ujenzi wenu wa majengo ya madarasa unaoendelea hapa niwaombe pia mumuombee dua ili aweze kuiongoza nchi yetu kwa salama na amani lakini kumekuwepo na mmomonyoko wa maadili niwaombe viongozi wa dini muendelee kutumia sehemu zenu za ibada kuiasa jamii iachane na mila na tamaduni ambazo zipo kinyume na mafundisho ya dini zetu’ alisema Waziri Masauni Wakizungumza wakati wa hafla hiyo,Sheikh wa Mkoa wa Dodoma,Mustafa Rajab Shabaani na Sheikh wa Mkoa wa Pwani,Alhaji Khamis Mtupa walisisitiza kulindwa kwa maadili katika jamii ambayo yameendelea kuporomoka katika jamii huku wakiwataka waumini kuendelea kuwa karibu na watoto ili kufahamu changamoto mbalimbali wanazokutana nazo. ‘Jamii imekumbwa na mabalaa mbalimbali watu wamekua na unyama usiomithilika mpaka imefikia sasa hivi wazazi kuambiwa kuwakagua watoto katika maumbile yao kila wanapotoka shuleni sasa tuitake jamii iwe karibu na watoto ili kuweza kubaini changamoto zao mbalimbali wanazokutana nazo kwani kutokua nao karibu upelekea watoto hao kukumbana na mabalaa lakini kutokuwepo ukaribu kati ya mzazi na mtoto upelekea mtoto kukaa kimya wakati tayari ashaathirika.’alisema Sheikh Mtupa. Taasisi hiyo ya Maawal Islamiy ina miaka 44 tangu ianzishwe na Sheikh Shabaan Hariri ikijikita zaidi katika kutoa elimu,misaada kwa watu mbalimbali wenye uhitaji na huduma za afya. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
aaea80cf260d4cc5950b530578f3882b7f4284ba3dbbdd4e0ff0636d786226bd
415
2,417
1
0
0
0
0.24
65
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/lv7
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), kilichokutana jijini Dar Es Salaam leo tarehe 30 Juni 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
8ba6ad7df6bf23ced16d63ddfd9cfa7ef4eaf51c1d835052d62177fb2d7d90f2
133
729
1
0
0
0
1.5
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/kwr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana jijini Dar es Salaam, tarehe 29 Juni 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
e5b33d27ae0419a03064b27ed95eb28b28e508d19d2e5119c21d5fea0833a3ce
138
748
1
0
0
0
1.45
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/jvY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. TAARIFA KWA UMMA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuongoza Vikao Vya Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Taifa, Jijini Dar es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ff59e9174d246372fe9b9ae81fe725d26e0462400d264dece051970651deeda9
122
676
1
0
0
0
0
11
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wEm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais Samia Suluhu Hassan atoa Mhadhara wenye Mada ya Falsafa ya R Nne (4Rs) ambayo anaitumia katika kuongoza Serikali ya Awamu ya Sita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Mhadhara wenye Mada ya Falsafa ya R Nne (4Rs) ambayo anaitumia katika kuongoza Serikali ya Awamu ya Sita. Mhadhara huo umefanyika katika Chuo Cha Taifa Cha Ulinzi (NDC),Kunduchi Jijini Dar es Salaam tarehe 26, Juni 2024. Falsafa yake ya R4 ni: Reconciliation(Maridhiano), Resilience(Ustahimilivu), Reforms(Mageuzi) and Rebuilding (Kujenga upya). Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
89905b2987ea864197bc1552983529fe48239c27d96f9eacee10ee68f6403ecc
177
1,004
1
0
0
0
1.13
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/vYg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA VYOMBO VYA HABARI AWAMU YA PILI Leo Juni 26, 2024 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu Amos Makalla amewataka viongozi na wafanyakazi wa kampuni ya Magazeti ya Serikali (Tanzania Standard Newspapers TSN) kuongeza kasi ya mabadiliko kuingia katika dunia ya Teknolojia. Ameyasema hayo leo hii alipotembelea ofisi za shirika hilo jijini Dar Es Salaam akihitimisha ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari nchini awamu ya pili. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
347df9c2df4d71799da2a5bcea3e447512b196b9fc65867c70276560b454da03
158
884
1
0
0
0
1.27
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qVR
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe, Hemed Suleiman Abdulla amewataka washiriki wa Mkutano wa 14 wa Mawaziri wa Biashara wa eneo huru la Biashara la Afrika kuhakikisha wanaweka mikakati imara itakayosaidia kuliunganisha Bara la Afrika katika kukuza biashara za ndani pamoja na kuimarisha nafasi ya Afrika katika Biashara za Kimataifa. Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 14 wa Mawaziri wa Biashara wa eneo huru la Biashara la Afrika uliofanyika katika Ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar. Amesema ili kuweza kufikia malengo ya Agenda 2063 ya Afrika mipango na mikakati madhubuti inahitajika ikiwemo kuboresha miundombinu ya Barabara, Reli na Viwanja vya ndege ili kurahisisha Biashara na huduma nzuri zaid. Mhe. Hemed amesisitiza kuwezesha biashara ndogo na za kati ziweze kushiriki kikamilifu katika Biashara za kikanda na Kimataifa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mikopo nafuu, elimu ya biashara na masoko. Makamu wa pili wa Rais Zanzibar amesema suala la kuwajengea uwezo watu kwa kuwekeza katika Sekta ya Elimu, Afya na mafunzo ya kiufundi ni muhimu ili kuhakikisha wanakuwa na nguvu kazi yenye ujuzi na uwezo wa kushindana katika Soko la Kimataifa. Aidha Mhe. Hemed amewataka washiriki wa Mkutano huo kuboresha mazingira ya Uwekezaji kwa kupunguza rasimu, kuimarisha utawala bora na kuhakikisha usalama wa mitaji na mali za wawekezaji jambo ambalo litasaidia kuwavutia wawekezaji nkutoka nchi mbali mbali. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko tayari kushirikiana na nchi wanachama wa eneo Huru la Biashara la Afrika kwa kuhakikksha kuwa biashara na Uwekezaji Barani Afrika vinaimarika na kuleta maendeleo chanya kwa wananchi wake. Nae Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. OMAR SAID SHAABAN amesema Mkutano wa Eneo huru la Biashara la Afrika utajadili masuala muhimu katika biashara ndani ya Afrika ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa na mapinduzi ya Kijani ya Maendeleo ya Viwanda Afrika, sambamba na kuangalia kwa kina uzalishaji wa vipuri vya magari ili kuweze kunufaika na biashara katika Sekta yamagari ambayo inakua kwa kasi zaidi Barani Afrika. Amesema kuwa eneo huru la Biashara la Afrika limeanza kuonesha matunda ambapo biashara baina ya nchi za Afrika kwa kutumia taratibu na vigezo vya AFCFTA imeanza kuongezeka na yatakapomalizika majadiliano katika masuala yaliyobakia wataweza kufanya biashara zaidi ndani ya Afrika chini ya Mkataba wa AFCFTA. Mpema akitoa taarifa ya Shirika la Eneo huria Ulimwenguni Dkt. Samir Hamroun amesema Ili kufikia katika Afrika yenye maendeleo endelevu ni lazima nchi wanachama wa Eneo huru la Biashara la Afrika kujikita katika Teknolojia, Uvumbuzi wa mbinu na nyenzo mpya za kuimarisha biashara sambamba na kuwa na maridhiano na makubaliano ya pamoja katika ngazi za maamuzi kwa kuzingatia Mkataba wa Umoja huo. Dkt. Samir amesema Serikali kupitia Taasisi husika ziongeze juhudi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, kuweka Sera rafiki za Biashara na kupunguza madeni mambo ambayo yatawasaidia katika kuimarisha Biashara, kukuza uchumi wa Taifa na Afrika kwa ujumla. Amesema kwa kipindi ambacho Eneo huru la Biashara la Afrika lipo katika mikakati ya kuimarisha na kukuza biashara Barani Afrika inapaswa kuziangalia changamoto kama ni fursa chanya ya kuweza kufikia malengo yaliyokusudiwa Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
bb53430c79597befa8f129e209f58ab061b33725177bcd67e35a7850072b9949
601
3,331
1
0
0
0
0.5
83
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/pzr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema Serikali inakopa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi wote na sio kwa maslahi ya watu wachache Hayo ameyasema katika mwendelezo wa ziara yake wakati akizungumza na wanachama wa katika Tawi la CCM Mafufuni Jimbo la Bumbwini Wilaya ya Kaskazini "B" Kichama Mkoa wa Kaskazini Unguja. Dkt.Dimwa, alisema kauli za baadhi ya wanasiasa wa vyama vya upinzani kuilaumu Serikali juu ya masuala ya mikopo ya fedha kutoka kwa wadau wa maendeleo inatakiwa kupuuzwa kwani fedha hizo ni kwa ajili ya kuimarisha miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara za lami,maji safi na salama,ujenzi wa Skuli za kisasa,hospitali,viwanja vya ndege vya kisasa pamoja na bandari za kisasa. Alifafanua kuwa katika bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 2024/2025 iliyopitishwa hivi karibuni, zaidi ya asilimia 63 ya fedha za bajeti hiyo zimeelekezwa katika uimarishaji wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya kukabili changamoto za wananchi wote wa mijini na vijijini. "suala la kukopa fedha kwa ajili ya maendeleo sio la Zanzibar tu wala Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bali nchi mbalimbali duniani zinakopa na kwa mujibu wa takwimu kutoka shirika la fedha duniani (IMF) nchi zilizoendelea kiuchumi mfano marekani,urusi,ufaransa na zingine ndio zenye madeni makubwa hivyo hao wanasiasa nawashauri wajiongeze kwa kufanya utafti wa kujua mwenendo wa uchumi wa dunia unaendaje. Wito wangu kwenu tuendeleeni kuwaombea dua njema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi Mwenyezi Mungu awajaalie nguvu,busara na imani ili nchi iendelee kupiga hatua kubwa za kimaendeleo katika nyanja kiuchumi na kijamii",alisema Dkt.Dimwa. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, aliwataka Wanachama wa CCM na Jumuiya zake kwa ngazi za Mashina na Matawi kufanya vikao vya mara kwa mara ili kujadili masuala ya maendeleo,changamoto na mikakati ya pamoja ya kuimarisha taasisi hiyo. Naibu Katibu Mkuu huyo Dkt.Dimwa, aliwasihi Viongozi,Watendaji na wanachama kwa ujumla kuhamasisha wananchi na wafuasi wa Vyama vya upinzani kujiunga na Chama ili kuongeza idadi ya wapiga kura wa Chama Cha Mapinduzi. Mapema Dkt.Dimwa akizungumza na wanachama,viongozi na watendaji wa Chama na Jumuiya zake baada ya kuwasili katika Mkoa huo,aliwapongeza kwa kazi kubwa ya kusimamia kikamilifu utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM mwaka 2020-2025 ndani ya Mkoa huo. Naye Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kilupi, aliwasisitiza Wanachama hao kuhakikisha wanapata kadi za kupiga kura ili wawe na uhalali wa kukipigia kura nyingi Chama Cha Mapinduzi. Alitoa shukrani Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa huo, Haji Juma Hajialiahidi kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha CCM inapata ushindi mkubwa wa majimbo yote ya Mkoa huo katika Uchaguzi Mkuu ujao Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
8d802e0edcde71a2580bac7c9e623f4830734347c6cbffffe55473f745b42cc6
534
3,002
1
0
0
0
0.56
67
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/oON
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAKALLA AZITAKA TAASISI ZILIZO CHINI YA IDARA YA UENEZI KWENDA KIDIGITALI Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Ndugu Amos Makalla amezitaka tasisisi zote zilizo chini ya Idara ya Uenezi kwenda kidigitali Zaidi. Hayo ameyasema leo jumanne Juni 25,2024 wakati wa kikao kazi cha Taasisi zote zilizo chini ya Idara ya Uenezi. Amewataka wakuu wa Taasisi hizo kuwa wabunifu na kuendesha taasisi zao katika mazingira ya kisasa. Tasisi zilizo chini ya Idara ya Uenezi ni Kituo cha Television cha Channel Ten, Redio Uhuru Fm, Magazeti ya Uhuru na Mzalendo Bendi ya TOT na Vijana Jazz. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
cd97c21b03c8f12fe64b4b39c2a374ae678a5b48e9229efc9b6efef31f87b567
181
976
1
0
0
0
0.55
24
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/nzD
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MWENEZI MAKALLA AANZA AWAMU YA PILI YA ZIARA YAKE KUTEMBELEA VYOMBO VYA HABARI NCHINI. Katibu wa NEC Itikadi,Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla akiwa kwenye studio za Clouds Tv na clouds Fm ikiwa ni awamu yapili ya ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari nchini. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
d87a2ffe453cad5414b9947a04562fe6e919c747c22cf10bbb8760e2d5698cc7
130
709
1
0
0
0
0
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/mEA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Balozi Dkt Nchimbi akutana na kufanya mazungumzo na Komredi Tang Dengjie, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mazungumzo na Komredi Tang Dengjie, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), yaliyofanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba, jijini Dar Es Salaam, mwishoni mwa juma lililopita. Komredi Dengjie na ujumbe wake, amefanya ziara ya kikazi ya siku 3 nchini. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
27b4e92f2eb9d0de296f12a7cdab56c42615b22bfc6812e9d5bfc2e86d28c935
169
917
1
0
0
0
0.59
18
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/lpJ
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA TIXON NZUNDA SONGWE KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na wananchi kutoka maeneo mnalimbali nchini, walioshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda, yaliyofanyika huko Msinde, Kata ya Mpemba, Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, Jumamosi Juni 22, 2024. Marehemu Nzunda, ambaye hadi mauti yanamkuta kwa ajali ya gari Juni 18, 2024, akiwa ziara ya kikazi wilayani Hai, alikuwa mtumishi mwandamizi wa Serikali, akiwa amewahi kutumikia nafasi mbalimbali za utumishi wa umma, ikiwemo kuwa katibu mkuu wa wizara mbalimbali, baada ya kupanda ngazi za utumishi wa umma kutokea kuwa Ofisa wa Serikali ngazi ya wilaya. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6ed1c7c183e94412a2ce61a3bb023d5025b8284c6942cf4c106ad1ea6b6f1b93
203
1,161
1
0
0
0
1.97
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/koY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi, Komredi Tang Dengjie. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya H/kuu ya CCM Taifa Mhe. Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi, Komredi Tang Dengjie. Katika kikao hicho kilichofanyika Juni 21, 2024, katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni, Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi kiliwakilishwa na Katibu wa NEC, Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid. Katika mazungumzo hayo, Ndg. Majaliwa alisisitiza kuendelea kudumishwa kwa ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na China. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5a30decd2c3e2768901041acc002a9937eef3f263d7bd1786bb18a735a06b6b8
238
1,268
1
0
0
0
0.84
26
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/jnz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA TIXON NZUNDA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amejumuika pamoja na waombolezaji wengine, kutoa heshima za mwisho na kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Tixon Nzunda, shughuli iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Goba jijini Dar Es Salaam. Balozi Dk Nchimbi, ambaye alisoma pamoja na marehemu Nzunda Chuo Kikuu Mzumbe, pia aliwapatia pole familia ya marehemu kwa msiba huo, baada ya kusaini kitabu cha maombolezo. Mwili wa marehemu Nzunda, ambaye alifariki kwa ajali ya gari Juni 18, 2024 huko wilayani Hai, unatarajiwa kuzikwa nyumbani kwao, mkoani Songwe, Juni 22, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7cc397efc006bca09d1f843fe51854ced4e4ae4136c39d367910c4f022a2b3e8
188
1,055
1
0
0
0
2.13
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/gkl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAELFU YA VIJANA WAKUSANYIKA KUMPOKEA JOKATE IRINGA. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komredi Jokate Urban Mwegelo (MNEC) akizungumza na maelfu ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi waliojitokeza kumpokea katika Ofisi za CCM Mkoa wa Iringa tarehe 21 Juni, 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
62d65bf3e38ae1609ec84bd63157b0b6dc9b625a57db79354a185ae31e28f7e9
131
729
1
0
0
0
1.53
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/09G
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM CHINI YA MWENYEKITI DKT. SAMIA IMEENDELEA KUTUAMINI VIJANA, TUCHAPE KAZI TUSIMUANGUSHE - CDE. JOKATE Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Komredi. Jokate Mwegelo, amewataka vijana wote wanaoaminiwa na kupewa nafasi za uongozi ndani ya chama au serikali kufanya kazi kwa bidii na kwa ubunifu wa hali ya juu kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla. Komredii Jokate ameyasema hayo wakat akizungumza kwenye kikao na viongozi wa Chama na Jumuiya ya UVCCM Mkoa wa Iringa mara baada ya kuwasili na kupokea taarifa ya kazi ya UVCCM mkoani humo. "Yatupasa wakati wote kutoa shukrani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kutuamini vijana hususani vijana wa kike na kutuamini katika kutupa nafasi za uongozi ndani ya chama na serikali yetu hivyo ni wajibu na ulazima kufanya kazi kwa bidii na ubunifu kwa manufaa ya chama, serikali na Taifa kwa ujumla" Akiendelea kuzungumza na viongozi hao, Komredi Jokate amesisitiza juu ya Ushirikano katika kufanya kazi. "Kikubwa kwetu ni ushirikiano wa kutosha na kufanya kazi kubwa kulingana na wajibu wetu katika kuhakikisha vijana wanapata fursa mbalimbali hususani kuwainua kiuchumi, kuendelea kuwasemea vema viongozi wetu wa chama na serikali na kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola." Aidha, Komredi Jokate amesema lengo kubwa la kuwasili mkoani Iringa ni mpango mkakati wa kuinua kituo cha Ihemi kuwa chachu na fursa zaidi kwa vijana. "Tumekuja hapa kuangalia fursa za kuendeleza kituo chetu cha Ihemi na hivi karibuni tutakuwa na mafunzo kwa viongozi wetu wa wilaya nchi nzima." "Tunataka kuimarisha kituo cha Ihemi na kwa namna tulivyojipanga tuna hakika tutaweza kufikia adhma hiyo." "Niwasihi vijana wenzangu wa CCM , chama chetu kina namna na utartibu wake wa kuwasilisha majambo yetu na changamoto zetu hata za baina yetu ya sisi kwa sisi kupitia vikao na si kutumia njia zingine ambazo ni sawa na kuwa faida wapinzani kupata la kusemea, tuwe wazalendo, tupende chama na nchi yetu na tuwe na utulivu." 🗓21 Juni, 2024 📍Mkoani Iringa Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f49d3b2447e5ae350435730b1c84af22c89a805aef20124addc3cbf876182a6f
419
2,255
1
0
0
0
0.95
71
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/924
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AHUDHURIA HAFLA YA UAPISHO WA RAIS WA AFRIKA YA KUSINI MHE. CYRIL RAMAPHOSA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa , Ndugu. Samia Suluhu Hassan ahudhuria hafla ya Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa katika Viwanja vya Jengo la Umoja, Pretoria nchini humo leo tarehe 19 Juni 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9c5195c104758fe75d6cde4af8a6f51ac27af52b88ec48d68e87f07773f41097
143
767
1
0
0
0
2.1
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/895
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndugu Samia Suluhu Hassan amevitaka vyombo vya habari kuhamasisha kupokea ujuzi mpya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndugu Samia Suluhu Hassan amevitaka vyombo vya habari kuhamasisha kupokea ujuzi mpya, taarifa za maendeleo ya kiteknolojia katika sekta za uzalishaji na maendeleo ya jamii, vifichue maovu na kutowajibika kunakofanywa na Watumishi na Watendaji wa Serikali,vinatoa mrejesho wa hisia na mtazamo wa wananchi kwa Serikali yao, na kwa ujumla, vinafanya kazi ya kuelimisha na kukuza demokrasia. Aidha, Rais Samia amesisitiza kuwa masuala haya ndiyo yanayoifanya Serikali kujenga na kuimarisha uhusiano mwema na vyombo vya habari. Vyombo vya habari sio mshindani wa Serikali bali ni mdau na mshiriki muhimu katika yanayotendwa na Serikali hivyo, Serikali itaendelea kuweka mifumo mizuri ya Kisera, Kisheria na Kitaasisi, katika kuimarisha uhuru na mazingira ya kazi kwa vyombo vya habari. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
939cfa89c6c53d786bb41d0e52879a822c59c1cca6f0dbe8333a4ecd6a08ff60
235
1,337
1
0
0
0
0
32
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/7AG
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla amesema ujenzi wa kituo cha Karakana ya Uchongaji kilichopo Mwera PONGWE ni hatua muhimu ya utekelezaji wa miradi jumuishi ya elimu itakayowawezesha vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu kupata ujuzi utakaowasaidia katika maisha yao. Ameyasema hayo katika hafla ya Uzinduzi wa kituo cha ujuzi kwa vijana cha utekelezaji wa mpango changmani wa kuwawezesha vijana rika wenye umri wa miaka 15- 19 iliyofanyika katika viwanja vya skuli ya Mwera Pongwe, Wilaya ya Kati Unguja. Amesema utekelezaji wa mradi huo unatoa fursa kwa vijana kujifunza kwa vitendo na kuweza kuwa mafundi mahiri wa kuchonga aina mbali mbali za samani pamoja na kupatiwa ujuzi wa kutengeneza vifaa vya aluminium ili kuwajengea uwezo zaidi katika kukabiliana na harakati za kimaisha. Mhe. Hemed amesema kituo hicho pamoja na kutoa ujuzi kwa vijana pia kitatoa msaada mkubwa wa kufanya ukarabati wa vifaa mbali mbali kama vile meza, viti na madawati yatakayo haribika katika Maskuli sambamba na kuwataka walimu wakuu kuitumia fursa hio kwa kwa kufanya marekebisho ya samani zilizoharibika katika maskuli yao ili ziendelee kutumika kwa muda mrefu. Aidha Mhe. Makamu wa Pili wa Rais amesema kuwa Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imeongezwa na kufikia Bilioni 830 lengo ikiwa ni kuiwezesha wizara hio kufikia mageuzi ya elimu ya juu na kuimarisha miundombinu ya elimu kwa kujenga madarasa 1500 ilj kufikia azma ya Serikali ya kuingia mkondo mmoja wa asubihi kwa idadi ya wanafunzk 45 kwa kila darasa. Sambamba na hayo amesema katika kuimarisha mafunzo ya Ufundi na Amali Serikali imejipanga kujenga vituo viatano vya Mafunzo ya amali vitakavyojengwa Unguja na Pemba pamoja na kujenga vituo vya ujuzi bunifu katika skuli 33 za Sekondari kwa Unguja na Pemba ambapo kwa sasa zitajengwa katika skuli tatu (3 ) kila Wilaya lengo ikiwa ni kuwatayarisha vijana kupata ujuzi ambao utawasaidia katika kujiajiri baada ya kumaliza masomo yao. Mhe. Hemed amewashukuru washirika wa maendelo Serikali ya Canada na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto Duniani (UNICEF) Kwa kufadhili mradi huu wenye lengo la kuwasaidia vijana kupata ujizi utakaowadaidia katika kupata ajira na kujikwamua kiuchumi. Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesisitiza suala la kutunza Amani iliyopo ndani ya nchi na kuvitaka vyombo husika kutumia zaidi busara wakati wa kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa amani kwa bila ya amani hakuna maendeleo nchini. Kwa upande wake Kaimu Waziri wa elimu Zanzibar Ali Abulghulam Hussein amesema Serikali ya Awamu ya Nane(8) imeazimia kufanya mabadiliko makubwa katika Sekta ya Elimu kwa kusomesha Mafunzo ya Amali na ubunifu kuanzia ngazi ya msingi hadi vyuoni. Amesema Wizara itahakikisha wanafunzi wanaomaliza katika vyuo hivyo wanapata ujuzi ambao utawasaidia katika kujiajiri na kuajiriwa katika mashirika na Taasisi mbali mbali ndani na nje ya nchi sambamba na kujenga vituo vya elimu amali kila wilaya kwa unguja na pemba. Akitoka maelezo ya Kitaalamu kuhusu program ya ZIPOSA Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Khamis Abdulla Said amesema uwepo wa mradi huo utawasezesha watoto wa kike na kiume katika kumaliza elimu yao ya lazima ambayo waliikosa kutokana na chamgoto mabali mbali za kimaisha. Amesema kuwa jumla ya vijana 150 wapo katika vituo vya elimu mbadala Unguja na Pemba wakijifunza fani mbali mbali za ufundi pamoja na kujiongezea ujuzi na maarifa unaoendana na soko la ajira nchini. Mapema Mwakilishi Mkaazi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto Duniani UNICEF nchini Tanzania Bibi Elke Wisch ameipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuendelea kuboresha Sekta ya Elimu nchini na kutoa kipaombele kwa vijana hasa wale walioacha skuli kwa sababu mbali mbali na kuhakikisha wanawarudisha skuli na kuendelea na masomo yao. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
26ff8787d26915ddf3290489a8fdaa74789ff12c8fa0ab659967f96028d5daad
688
3,719
1
0
0
0
1.31
113
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/60Q
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA ASHIRIKI SALA YA EID AL ADHA MSIKITI WA MIKOCHENI KWA WARIOBA JIJINI DAR ES SALAAM. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa , Ndugu. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Dua ya pamoja na Waumini wa Dini ya Kiislam mara baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al Adha iliyosaliwa katika Msikiti wa Mikocheni kwa Warioba Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Juni, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3d47a59d1b6ea1fa7470b18b779ead45c121ee05840c1208d4d4dce4bc00afc8
155
809
1
0
0
0
1.94
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/5WZ
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA ASHEREHEKEA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA WAJUKUU, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Ndg. Samia Suluhu Hassan akisherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu, Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa Juni 16 ya kila mwaka. Rais Samia amesisitiza umuhimu wa Serikali, familia na jamii kushirikiana kuhakikisha watoto wanapata malezi bora yenye maadili mema, na kuhakikisha usalama wa mtoto ni jukumu la jamii nzima na siyo mzazi tu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3b57121f64c7c2b3b9c6d3a381567374d6b28c46b96c21d4ef6d0b5fc2d51d17
173
940
1
0
0
0
0.58
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/490
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI BUNGENI AKIFUATILIA BAJETI Matukio mbalimbali katika picha, yakimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwa ndani na nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kabla, wakati na baada ya kuwasilishwa kwa Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa na Waziri wa Fedha, Ndugu Mwingulu Lameck Nchemba, leo Alhamis, Juni 13, 2024. Balozi Nchimbi alimbatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania, Ndugu Ally Hapi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ndugu Suzan Kunambi na Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Ndugu Jokate Urban Mwegelo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
89590accaffde9c8f4ac71bfcc59f63f4a80653a6b863dea37394856541cf3fc
201
1,100
1
0
0
0
1
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/39n
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AKIFUATILIA BUNGE LA BAJETI KUU YA SERIKALI YA MWAKA 2024/25 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Samia Suluhu Hassan Pamoja na Wasaidizi wake akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga nyumbani kwake Chamwino Mkoani Dodoma.Hotuba hiyo ilikuwa ikisomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Mhe.Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
4e48092811e38893a2ad320b33e3a4947591cf5df955981e92185869a4353114
146
822
1
0
0
0
1.37
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/29P
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha George Hillary Herbert kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha George Hillary Herbert kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7fa7dd9f53b3fa882d4dfa37bdb53ccf14ff87402eb6cdc60ff950ba38106504
138
781
1
0
0
0
1.45
10
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/19o
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Majaji wa Mahakama Kuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Majaji wa Mahakama Kuu, ambao ni Bw.Projestus Rweyongeza Kahyoza, Bi.Mariam Mchomba Omary, Bw. Nehemia Ernest Mandia kuwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
38c665ae0d2e487bafcdee985e52e6dae1a8c2e4fedbe5f729bf29d7f1285e48
141
807
1
0
0
0
0
11
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ZWE
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Manaibu Katibu Watendaji wa Tume ya Mipango na Uwekezaji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Manaibu Katibu Watendaji wa Tume ya Mipango na Uwekezaji Dkt. Mursali Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango; Ndugu Lorah Basolile Madete Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango;Dkt. Linda Margaret Kokulamula Ezekiel kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
31c220a2c57a5b0524795482be8eb83051db69f3a62a92c4b5aa78b93447e031
173
971
1
0
0
0
1.16
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/YM9
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Naibu Makatibu Wakuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Naibu Makatibu Wakuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024. Viongozi hao walioapa ni: Bi. Felister Peter Mdemu kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wanawake na Makundi Maalum (anayeshughulikia Masuala ya Jinsia na Wanawake); Bi. Zuhura Yunus Abdallah kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
918952889afbbb530f710f87398ff514d2220e95495d0b02344639970c1f7939
171
970
1
0
0
0
1.17
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/XMl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AMUAPISHA MHE. KENAN LABAN KIHONGOSI KUWA MKUU WA MKOA WA SIMIYU. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 13 Juni, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6d55a162b24df0206fc28f3fc62141a65ad433821c21a21a2875e6d5741efba7
131
727
1
0
0
0
1.53
10
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/W8X
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza Mpango wake wa kujenga Uwanja wa ndege wa Kimataifa kisiawani Pemba utakaoruhusu ndege kubwa kutua kisiwani humo moja kwa moja ili kikifunga kiswa hicho kwa Utalii.** Aidha, imetaja azma ya kuzifungua barabara kubwa zenye hadhi ya juu kutoka Wete hadi Chake na kutoka Chake hadi Mkoani mwishoni mwa mwaka huu ili kukikuza kisiwa Cha Pemba kibiashara na uwekezaji. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi aliyasema hayo Hotel “the mora” alipozindua jina jipya la hoteli hiyo kutoka la zamani la “Emarald” huko Matemwe, Mkoa wa Kasakazini Unguja. Dk. Mwinyi amesema tayari Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Pemba ili ndege za kimataifa zitue kisiwani humo. Akizungumzia maboresho makubwa ya uwanja wa Ndege wa Kimaifa wa Abeid Aman Karume Rais Dk. Mwinyi amesema mara baada ya kukamikila kwa hatua kubwa ya jengo namba 3 ambalo kwasasa linafanya vizuri kimataifa, Serikali pia inafanya matengenezo makubwa kwa “Terminal 1 & 2 na ujenzi mpya wa (terminal 4) ili kuboresha mazingira ya uwekezaji na Utalii nchini. Pia, Rais Dk. Mwinyi ametaja faida za uwekezaji nchini, nakueleza kuwa umechangia asilimia kubwa ya maendeleo ya nchi kutokana na kodi wanazolipa wawekezaji kwa Serikali ambazo hutumiwa kuboresha huduma za jamii ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara na mawasiliano, ujenzi wa skuli mpya, hospitali, masoko, pamoja na kusambazwa kwa maji safi na Salama. Rais Dk. Mwinyi pia, alieleza jinsi uwekezaji unavyofungua fursa nyingi kwa wazawa wakiwemo wakulima, wafugaji, wavuvi na wafanyabiashara kupata soko la uhakika la bidhaa zao kupitia mahoteli mbalimbali yaliopo nchini. Alisema, Serikali huwalazimisha wawekezaji wa maeneo yote kuboresha huduma za jamii maeneo yote yaliyopitiwa na uwekezaji ikiwemo kujenga vituo vya afya, ujenzi wa vituo vya watoto yatima pamoja na mahitaji husika ya maeneo hayo. Hata hivyo, Rais Dk. Mwinyi alimwagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Uwekezaji, Sharif Ali Sharif kuwasimamia wawekezaji wote kununua mahitaji yote yanayozalishwa nchini kabla ya kuagiza nchi ya nchi ili kutanua fursa kwa wajasiriamali wazawa na wafanyabiashara wa ndani. Akizungumzia uwekezaji wa “Hotel the mora” Rais Dk. Mwinyi amesema imeekeza zaidi ya dola za Kimarekani milioni 600 pamoja na kutoa ajira 600 kwa wazawa na wenyeji nchini. Akisifia uzuri na haiba ya kisiwa cha Zanzibar, Mkugenzi Mwendeshaji wa kampuni ya “Tui Group, wamiliki wa “Hotel the mora” Sebastian Abel amesema Zanzibar ni kisiwa chenye hadithi nyingi nzuri zenye kumvutia kila mgeni anaetembelea pia ni zawadi na sehemu salama ya uwekezaji na biashara ndio maana wamevutiwa na kuwekeza nchini. Naye, Waziri Sharif aliwahakikishia ushirikiano wa hali ya juu wawekezaji wote waliopo nchini pia amesema maendeleo makubwa kwenye sekta ya uwekezaji ni juhudi za Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Mkurugenzi Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Saleh Saad Mohamed, amesema “Hoteli the mora” yenye hadhi ya nyota tano inamilikiwa na kampuni ya “Tui Group” ambayo tayari imewekeza nchi zaidi ya dola za kimarekani milioni 500 kwenye sekta ya Utalii kupitia hoteli zake za ‘RIU” iliopo Nungwi, “ TUI BLUE” ya Mangapwani na “the mora” ya Matemwe. Alisema, kampuni ya “Tui Group” pia inatarajia kutambulisha jina lake jengine la “ Robinson” ambalo tayari ZIPA imelipatia chei cha uwekezaji wa mdadi mkubwa wenye thamani za dola za kimarekani milioni 50, kupitia kampuni ya “Blackstone Limited” Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini, Unguja Rashid Hadid amsema mkoa huo una hoteli 316 kati ya hizo 18 zina hadhi ya nyota tano kwa ujumla wake zinachangia asilimia 61 za pato la taifa kutoka kwenye sekta ya Utalii mkoani humo, aidha ameeleza juu ya mkoa wao unavyotumia utalii wa fukwe kukuza sekta hiyo kupitia Sera ya Uchumi wa Buluu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ad0c19ba34970f7ce9ab8bc3a0d5b6096cdd2339f8c27a23d19fafe5229f120a
687
3,741
1
0
0
0
2.04
74
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/VN9
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. UVCCM MKOA WA GEITA WAJIPANGA KUSHIRIKI VYEMA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA NA VIJIJI. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM),Mkoa wa Geita ,Manjale Magombe , amemuhakikishia ushindi Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Rehema Sombi kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa,vijiji pamoja na vitongoji ni kutokana na hatua kubwa za kimaendeleo ambazo zimefanywa na Rais Samia Suluhu Hassan . Manjale ameyasema hayo wakati wa shughuli za ufunguzi wa kambi za mafunzo kwa vijana wa CCM ambayo yanafanyika kwenye Kata ya Namonge Wilayani Bukombe Mkoani Geita. Amesema wanaamini wanaenda kwenye uchaguzu mkuu wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji wakiwa na imani kwamba hakuna ambacho watapoteza kutokana na hatua kubwa za kimaendeleo ambazo tayari zimekwisha kufanywa kwenye maeneo mbalimbali yaliyomo ndani ya mkoa wa Geita. “Leo Mhe Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa utazindua kambi rasmi ya mafunzo kwa vijana wa CCM,mafunzo ambayo yamelenga kuwafundisha vijana kuijua historia ya Chama,Lakini pia watajifunza maadili mema ya uongozi ndani ya chama tunataka tunapokwenda kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wawe wameiva kwaajili ya kwenda kunadi sera za chama chetu pamoja na utekelezaji wa Ilani”Amesema Manjale Magambo. Manjale ameongeza ndani ya Chama hicho kumekuwepo na watu ambao wamekuwa wakikichafua chama cha Mapinduzi(CCM) na kumchafua Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri za kimaendeleo ambazo amezifanya na kwamba wao kama vijana hawapo tayari kuona watu wanaendelea na uzalilishaji wa namna hiyo kwa viongozi na chama. “Kuna wahuni baadhi wameingia kukivuruga chama chetu na sisi umoja wa vijana tumejitolea kucheza nao sahani moja ,hawa wahuni ambao wanajifanya wametumwa na Rais Samia tunawaambia waache mara moja kumchafua Rais wetu na Geita nenda kamwambie kawaida tutakuwa na oparesheni hivi karibuni ya kuwaondoa wahuni ndani ya Chama chetu,hatuwezi kuhishi na wahuni Samia ameshamaliza kila kitu mtu unakuja unasema unafanya tathimini ya uchaguzi chama kinautaratibu wake,hawa wahuni na wageni ndani ya chama hatutaki kuwasikia” Amesema Manjale Magambo. Aidha Manjale amewataka vijana wenye uwezo wa kuongoza kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali kwenye chaguzi ambazo zinakuja. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ec5755daffd5ec74af840ead7fc9a498844b385994371dd7e5ae2c0ecafd0460
412
2,404
1
0
0
0
0.49
45
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/RL0
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI KUPITIA CHAMA CHA FRELIMO NDG. DANIEL FRANSISCO. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco Chapo wakati alipofika Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 12 Juni, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
db5d032717ff623ddd2f3e7dedebe2a115df0f733e799dc07fc6032c1fee6179
145
811
1
0
0
0
1.38
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/QOq
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI AONGOZA MAPOKEZI YA KATIBU MKUU, MGOMBEA URAIS WA FRELIMO Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewaongoza viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, ngazi ya taifa na Mkoa wa Dodoma, kumpokea Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha Msumbiji (FRELIMO), Komredi Daniel Francisco Chapo, ambaye pia ni mgombea urais mteule wa FRELIMO, kwenye Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo utakaofanyika mwaka huu mara baada ya kuwasili pamoja na ujumbe wake, katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma, leo Jumatano Juni 12, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
96c2710b7e226b6eff7858e19b6469be89a9c7223a135c6dd4d9c7cd8ef76627
171
941
1
0
0
0
1.17
19
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/PYl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Serikali imeanza Uchunguzi Maalumu wa kubaini mapungufu mbalimbali katika Viwanja vyote vya Ndege nchini " Ili kubaini changamoto hilizopo na kuweza kuzifanyia kazi ikiwemo Mapungufu ya Kimfumo,Utendaji na Upungufu wa Miundombinu ili kuweza kuboresha sehemu husika lengo ikiwa kurahisisha uingiaji na utokaji wa wageni ikiwemo watalii wanoukuja nchini kwa shughuli za utalii ambao uiingizia nchi kiasi kikubwa cha fedha sambamba na kudhibiti uhalifu unaotokea katika Viwanja vya Ndege ikiwemo utoroshaji wa vito vya thamani,mnyororo wa upitishaji na uingiaji wa dawa za kulevya na uingiaji nchini kwa wageni bila kufuata sheria na taratibu za kiuhamiaji ". Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati wa Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama ambapo kamati hiyo ilitembelea na Kukagua Mifumo ya Uhamiaji Mtandao katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,Ujenzi wa Chuo cha Uhamiaji Kitogani na Ujenzi wa Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Mjini Magharibi Mazizini. ‘Mbali ya kazi nzuri ambazo zinafanywa na Uhamiaji lakini kuna maeneo tunataka kupeleka nguvu zaidi hasa maeneo ambayo kwanza ni sura ya nchi,malango makuu ya kuingilia kama hapa tulipo katika maeneo ya Viwanja vya Ndege,mtu akija Tanzania sura ya nchi inamuonyesha anapopokelewa katika viwanja vya ndege,haipendezi mgeni akija hapa nchini apange mstari mrefu,mara viyoyozi havifanyi kazi ndio maana serikali kuna uchunguzi maalumu tunafanya ili kuweza kubaini mapungufu hayo na kuyafanyia kazi katika Viwanja vyote vya ndege nchini.’ Alisema Waziri Masauni Akizungumza katika ziara hiyo Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama,Vicent Mbogo amesema ni muhimu mapungufu hayo katika viwanja vya ndege yakafanyiwa kazi huku akisifu juhudi za serikali zote mbili katika kuiletea Zanzibar maendeleo ambapo alisema Zanzibar ni nchi ya utalii ni vyema huduma malango yan chi zikaboreshwa. ‘Zanzibar imeendelea kwa kasi kubwa pamoja na maendeleo haya ya miundombinu katika uwanja wa ndege ambapo sasa yanasomana na kule Tanzania Bara tumeona maendeleo yanafanyika katika viwanja vyetu ambavyo ndio maingilio ya watalii ambao wanatuletea fedha nyingi hapa nchini,napenda kwapongeza Marais wetu,Dkt. Samia Suluhu Hassan na Dkt.Hussein Ali Mwinyi wanafanya kazi kubwa sana kuiletea nchi yetu maendeleo’alisema Mbogo Nae Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar,Hassan Ali Hassan alitaja jinsi miradi ya maendeleo ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 ilivyokamilika ikiwemo Ujenzi wa Ofisi ya Uhmiaji mkoa wa Mjini Magharibi,Mkoa wa Kusini Pemba,Ukarabati wa Ofisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar,Ukarabati wa Nyumba ya Makazi ya Askari Ndugu Kitu Chake Chake Pemba na Ukarabati wa Nyumba Mbili za Makaazi ya Askari Mtemani Wete na Pemba ambapo imekamilika kwa asilimia mia moja huku gharama yake ikiwa ni kiasi cha Shilingi Bilioni1.9 . Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
aac7a28bcfed4e7f67654c260a666b48b1f3d5f0d20360a2a6bc75f517a088b2
513
2,938
1
0
0
0
0.78
70
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/OZG
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimewapongeza Wananchi wa Jimbo la Kwahani kwa kufanya maamuzi sahihi ya kumchagua Mgombea wa Chama hicho kuwa Mbunge Mteule Khamis Yussuf Mussa (Pele) kwa ushindi wa kura 7,092 Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis mara baada ya kutangazwa matokeo ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kwahani. Amesema CCM Zanzibar itaendelea kuthamini na kuenzi maamuzi ya Wananchi wa Jimbo hilo walioamua kutumia haki yao ya kidemokrasia kuichagua CCM iendeleze Mapinduzi ya kisiasa katika utekelezaji wa Ilani yake ya mwaka 2020/2025 kwa vitendo. Katika maelezo yake Mbeto, amewapongeza pia Wogombea wa Vyama vyote vya Siasa nchini vilivyoshiriki Uchaguzi huo na kwamba CCM itaendelea kushirikiana na Vyama hivyo katika kuimarisha demokrasia nchini. "Tunawashukru sana Wananchi wa Jimbo la Kwahani kwa maamuzi yetu ya kudhibitishia Dunia kuwa Jimbo lenu ni ngome ya CCM kabla na baada ya mfumo wa Vyama vingi vya Siasa Tanzania. Mbunge mteule mliyemchagua ataendelea kuwasaidia kwa ufanisi Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi katika kujenga na kuimarisha maendeleo ya Jimbo."amefafanua Mbeto. Sambamba na hayo amempongeza Mbunge mteule wa Jimbo la Kwahani Khamis Yussuf Mussa(Pele) kwa ushindi wa kishindo alioupata kupitia Uchaguzi huru na haki uliofanyika katika hali ya Amani na Utulivu. Pamoja na hayo Katibu huyo Mbeto, alimsisitiza Mbunge huyo mteule Khamis (Pele) kuwa atekeleze kwa vitendo ahadi zote alizoahidi kwa Wananchi wa Jimbo hilo ili waendelee kukiamini Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake. Katika Uchaguzi huo mdogo jumla ya Vyama vya Siasa 14 vimeshiriki Uchaguzi huo wa Jimbo la Kwahani ambavyo ni CCM kura 7,092, ADA-TADEA kura 49,ADC kura 83, AAFP kura 6,CCK kura 21, CUF kura 79,Demokrasia Makini kura 14, DP kura 7,NRA kura 5, NLD kura 8, SAU kura 7, UNP kura 1,UMD kura 5 na UPDP kura 6. Uchaguzi huo mdogo uliofanyika leo Juni 8,mwaka 2014 umetokana kufariki Dunia kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ahmada Yahya Abdul-wakil (Shaa) mnamo April 8,2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6b92cc0e26a7d177f585e80fef58082031dcd3c8dec2025cd2a078e5c0738bc4
441
2,408
1
0
0
0
3.17
47
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/N8K
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, ametembelea vituo 31 vya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kwahani Wilaya Mjini, Mkoa Mjini Magharibi Kisiwani Unguja unaofanyika leo Juni 8, 2024. Akizungumza katika vituo tofauti alisema ameridhishwa na mwenendo wa uchaguzi huo unaofanyika katika hali ya amani na utulivu. Dkt.Dimwa, amesema wananchi wamepata fursa ya kufika katika vituo mbali mbali vya upigaji wa kura na kutekeleza haki yao ya kidemokrasia ya kumchagua mgombea mwenye sifa wanazoona anafaa kuwa Mbunge wa Jimbo hilo. “Nimetembelea vituo vyote na kuona namna wananchi mbalimbali walivyojitokeza kwa wingi kupiga kura katika vituo vyao, tunatarajia hali hii ya utulivu itaendelea mpaka kumalizika kwa zoezi hili la uchaguzi.”, amefafanua Dkt.Dimwa. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa matarajio ya CCM ni kupata ushindi mkubwa kupitia mgombea wake Khamis Yussuf Mussa (Pele) na kwamba Chama hicho kimetekeleza vizuri ilani yake ndani ya Jimbo hilo. Uchaguzi huo unafanyika baada ya kufariki dunia kutokana na maradhi ya shinikizo la damu kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ahmada Yahya Abdulwakil mnamo April 8, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
369cb9035da44964a2cf28192d45fb3844c12fe6c8c1db7e9806c97b6e7f7b49
260
1,484
1
0
0
0
1.92
30
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/M9B
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuweka mikakati na kuwaunga mkono wafanya biashara wadogo wadogo na wajasiriamali ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea ya kujipatia kipato cha mtu mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla wakati alipokuwa akizungumza na wajasiriamali, wafanya biashara wadogo wadogo na Taasisi za Kiseriakli zilizo chini ya Wizara ya Biashara na viwanda Zanzibar katika Viwanja vya Baraza la wawakili Chukwani nje kidogo wa mji wa Zanzibar. Amesema kuwa kumekuwepo ushirikiano mkubwa baina ya wafanya biashara wadogo wadogo na taasisi za kiserikali zilizo chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar jambo ambalo linaendana na azma ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la kuwarahisishia wafanyabiashara kufanya biashara zao kwa kuzingatia viwango na hali za kimaisha kwa watumiaji. Mhe Hemed amesema dhamira ya Serikali kwa wafanya biashara ni kuhakikisha biashara zote zinazozalishwa na wafanya biashara wa ndani zinapata soko la uhakika la kuwawezesha kuuza biashara zao kwa urahisi pamoja na kukua kwa pato la taifa. Mhe. Hemed amewataka wafanya biashara kuendelea kuzitumia fursa za kibiashara zilizopo nchini kwa kuwawezesha vijana kuweza kupata ajira sambamba na kufanya biashara zenye viwango vya hali ya juu ili waweze kuuza ndani na nje ya nchi. Amesema Serikali ipo tayari kukaa na wafanyabiashara kutatua changamoto zilizopo ili kurahisisha ufanyaji wa biashara na Serikali iweza kupata kodi jambo ambalo litaipelekea Serikali kufikia malengo iliyojiwekea ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia kodi wanazozitoa. Kwa upande wake Waziri Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. OMAR SAID SHAABAN amesema Wizara imejipanga kuhakikisha inawaunga mkono wafanya biashara wote wakiwemo wajasiliamali kwa kuwawezesha kupata soko kwa urahisi za biashara zao wanazozalisha. Mhe. OMAR amesema kupitia ziara ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoifanya hivi karibuni nchini Korea Serikali kupitia Wizara ya Biashara itafaidiaka na ujenzi wa mradi wa kituo cha Kimataifa cha Biashara kinachotarajiwa kujengwa Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B” unguja. Nae Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya ZASCO Dkt. MASOUD RASHID MOHAMMED amewataka wakulima wa mwani kuhakikisha wanalima mwani wenye viwango na kuhakikisha wanaukausha vizuri ili kuendana na soko la Kimataifa. Mapema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Hemed Suleiman Abdulla ametembelea mabanda ya wafanya biashara, wajasiriamali pamoja na Taasisi za kiserikali zilizopo chini ya Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar kwa lengo la kujionea kazi na biashara zinazofanywa na wafanya biashara hao. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0a953ed0c418f468e81cc9db5bbce8499322e3ccd19548518fe2db15f929bfb1
484
2,807
1
0
0
0
0
64
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/LPW
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM BALOZI NDG. DKT NCHIMBI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA TANGA KATIKA MKUTANO WA HADHARA VIWANJA VYA LAMORE. Matukio mbalimbali katika picha, Mkutano wa hadhara leo Juni 8,2024 katika viwanja vya Lamore jijini Tanga, Katibu Mkuu Balozi Ndg. Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi. Katika ziara hii Dk Nchimbi ameambatana na Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amosi Makalla, Katibu wa NEC-Organaizesheni Ndg. Issa Ussi Haji (Gavu) pamoja na Katibu wa NEC- Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdallah Hamid. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
df94dd5c4669e330e4888b3e6d114839d601f1859dd8ba912c862751db5b26ac
169
945
1
0
0
0
0.59
18
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/K6z
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. DKT. NCHIMBI AZINDUA KIWANDA CHA TANGA CABLE INDUSTRIES Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Ndg. Dkt. Emmanuel Nchimbi leo Juni 8,2024 akiwa katika siku ya pili ya ziara yake mkoani Tanga amezindua kiwanda cha Tanga cable industries kilichopo Tanga mjini. Katika ziara hii Dk Nchimbi ameambatana na Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amosi Makalla, Katibu wa NEC-Organaizesheni Ndg. Issa Ussi Haji (Gavu) pamoja na Katibu wa NEC- Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdallah Hamid. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
c4269e0a6dfc02e40766611c04f3a5c37e7961d9d8a998e1076adbd7069c1bbd
164
913
1
0
0
0
0.61
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/JPl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. HABARI_PICHA: MKUTANO WA HADHARA KOROGWE - TANGA Matukio mbalimbali toka katika Mkutano wa Hadhara Korogwe Mkoa wa Tanga ambapo leo Juni 7,2024 Katibu Mkuu wa CCM Balozi Ndg. Dkt. Emmanuel Nchimbi ameanza ziara katika mkoa wa Tanga ikiwa ni mkoa wa tano tangu kuanza kwake ziara. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
4f25f3cfa5bd7920483aca1f2c710b14bf744512e60de431a2e7e70d74681fc3
131
721
1
0
0
0
1.53
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/G9Q
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndg. John V. K. Mongella kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Tume ya Nidhamu na Maadili ya Chama cha Kikomunisti Cha China (CCDI) na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Usimamizi (NCS) ya Serikali ya Watu wa China Ndugu Wang Hongjin. Aidha katika mazungumzo hayo Mongela aliipongeza Serikali ya Jamhuri ya China kwa kuendelea kushirikiana vizuri na Serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo kwenye nyanja mbalimbali za kiuchumi kwenye Nchi yetu. Kwa Upande wake Mjumbe wa Kamati ya kudumu ta Tume ya Nidhamu na Maadili ya Chama cha Kikomunisti cha China (CCDI) na Kamishna wa (NCS) Ndg.Wang Hongjin ameishukuru Serikali ya Tanzania na Chama cha Mapinduzi CCM kwa Ushirikiano mzuri wanaounyesha kwenye suala la uwekezaji na kutoa fursa mbalimbali kwa watu China kwenye nyanja mbalimbali za maendeleo. Naibu katibu Mkuu Bara amefanya mazungumzo hayo leo tarehe 07.06.2024 kwenye Ofisi Ndogo za CCM Lumbumba Jijini Dar es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
52c7dfdb455981e2322d5ad199461dfa32d3f08e0cc6e0a9f0d3c9f9346639ec
256
1,372
1
0
0
0
0.39
30
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/EPK
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MONGELA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI 2024 Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Ndg.John V. K Mongela ameshiriki Maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani, huku kauli Mbiu ya Maadhimisho hayo ikiwa ni "Urejeshwaji wa Ardhi,Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame" Aidha Mongela alitoa salamu za CCM kwa kuipongeza Serikali kwa kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo hususani kwenye suala la kutunza Mazingira na upandwaji wa miti. Naibu katibu Mkuu ameyasema hayo tarehe 05 Juni,2024 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Mkoani Dodoma. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
2f1b5442754de66231d0264f01e7377572ba5449bfb2f3d0b8ec708a5681e8bf
170
956
1
0
0
0
1.18
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/D0Y
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. DKT NCHIMBI ASIMAMISHWA HEDARU, ASISITIZA UMOJA WA KITAIFA Msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo Ijumaa Juni 07, 2024 akiwa njiani kuelekea Tanga, baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya siku nne Mkoa wa Kilimanjaro kwa kufanya mkutano wa ndani Wilaya ya Same, umesimamishwa na wananchi katika eneo la Hedaru, wakitaka awasalimie. Akiwa hapo Katibu Mkuu Balozi Nchimbi ameendelea kuwasisitiza Watanzania kuhusu umuhimu wa umoja wa kitaifa kwa kutunza tunu ya amani iliyopo nchini. Katibu Mkuu wa CCM na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, anaendelea na ziara ya mikoa mitano inayolenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020/2025, kukagua na kuhamasisha uhai wa CCM kuanzia ngazi ya shina, pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majawabu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f57831077685bb6106fc270472ee697195f896380b7f73521d04ae5084f04e7e
217
1,201
1
0
0
0
1.38
21
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Bnn
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano wa ndani na Wanachama na Viongozi wa CCM wa Wilaya ya Same Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano wa ndani na Wanachama na Viongozi wa CCM wa Wilaya ya Same, leo Ijumaa, Juni 7, 2024, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku nne ya kikazi Mkoa wa Kilimanjaro. Kabla ya mkutano huo, Balozi Nchimbi alisimikwa kuwa mmoja wa Wafumwa (Chifu) wa Kabila la Wapare. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
049d80d9d6abb22b8dd88f6be9ccd19b3a1f22ffd48c5c12d79efcb75a07cc18
174
907
1
0
0
0
1.15
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Am1
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama cha Mapinduzi kiko imara na kitaendelea kushinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa Jimbo la Kwahani na uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020-2025 kutokana na kuitekeleza vyema Ilani ya CCM katika kuwaletea wananchi maendeleo. Akimnadi Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Kwahani kupitia tiketi ya CCM Ndg Khamis Yussuf Mussa Pele wakati wa kufunga kampeni za jimbo hilo katika viwanja vya kibanda maiti , Mhe. Hemed amewataka wananchi wa Jimbo la kwahani kumpigia kura za ndio mgombea huyo ili aendeleze kuinadi na kitekeleza vyema ilani ya CCM. Amesema endapo wananchi wa jimbo la Kwahani hawatafanya makosa na watamchagua ndugu Pele kuwa mbunge wa jimbo hilo ambae atashirikiana na wabunge na viongozi wengine katika kuitekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi hasa katika kuwaletea wananchi wa Zanzibar maendeleo. Mhe. Hemed amewataka wana CCM wa jimbo la kwahani kudumisha amani na utulivu wakati wote wa zoezi la uchaguzi na kuwasihi watakapomaliza kupiga kura kuŕudi majumbani kusubiri matokeo yatakayotangazwa na Tume ya Uchaguzi. Nae Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Talib Ali Talib amesema wana CCM wa jimbo la kwahani wanaahidi kumchagua kwa kishindo ndugu Khamis Pele ambae anatosha kuwa Mbunge kutokana na uchapa kazi wake katika chama, uaminifu na kujitoa kwake katika kuitumikia CCM vinatosha kuipeperusha bendera ya CCM katika Bunge. Talib ametoa onyo kali kwa wale wote wanaotumia majukwaa kwa kuwatukana na kuwakashifu Viongozi wakuu wa nchii na kusema kuwa CCM haitakuwa tayari kuvumilia uovu huo na itaviomba vyombo vya sheria kufanya kazi yake kwa maslahi ya Taifa. Akiomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kwahani ndugu Kahamis Yussuf Pele ameahidi ataitekeleza vyema Ilani ya CCM kwa kukaa pamoja na viongozi wengine wa Jimbo kupanga mikakati ya kimaendeleo ili kuweza kuleta Ustawi ndani ya Jimbo hilo la kwahani. Pele amewashukuru Viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa imani kubwa waliyompa ya kumteuwa kuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kwahani ambapo amesema kazi yake kubwa ni kuhakikisha anayatekeleza kwa vitendo yale yote yaliyoelezwa katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
e2c037e98c371ed748eaae76250bec4b4e764c6ac1b77d3685ec08a10397c9f1
428
2,336
1
0
0
0
0.47
59
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/zn7
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia Wanachama wa CCM,na Wafuasi wa chama hicho na Wananchi njia panda Himo wakati akielekea kwenye Mkutano wa Hadhara wilaya ya Mwanga Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwasalimia Wanachama wa CCM,na Wafuasi wa chama hicho na Wananchi njia panda Himo wakati akielekea kwenye Mkutano wa Hadhara wilaya ya Mwanga,mkoani Kilimanjaro leo Alhamisi Juni 6,2024, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya kikazi mkoani humo. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu wa CCM ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Oganaizesheni, Ndugu Issa Usi Haji Gavu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI). Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
64f807d68f306aa4706e61df55b8cace5a7e8c38874cc94945b9df2c285945ca
218
1,189
1
0
0
0
0.46
21
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ymw
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KIMEI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MIRADI MINGI YA MAENDELEO VUNJO Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei amesema katika kipindi cha miaka takribani minne wamepokea fedha takribani shilingi bilioni 41 kwa ajili ya miradi ya maendeleo hivyo kwa niaba ya wananchi wenzake wanamshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa upendo mkubwa kwao. Dkt Kimei amesema Jimbo lake limepata zahanati mpya 12, vituo vya afya vipya viwili - Kahe na Marangu Hedikota, upanuzi wa kituo kimoja cha Kirua Vunjo, kupandishwa hadhi kwa Himo OPD kuwa kituo cha afya kamili, miradi ya maji safi ya takribani shilingi bilioni 10.2, shule mpya za msingi na sekondari tano pamoja miradi ya umeme. Utekelezaji huu umefanya siasa za Vunjo kuwa tulivu na kukiimarisha sana Chama Cha Mapinduzi. Ametumia jukwaa hilo pia kuomba serikali kupitia wizara ya maliasili na utalii kujenga mazingira ya ujirani mwema na vijiji 19 vinavyozunguka hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro ili kuwapa wananchi amani na utulivu katika makazi yao. Wananchi wa Vunjo wamemzawadia Rais Samia mbuzi dume 'Ndafu' kwa utekelezaji mzuri wa ilani pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emanuel John Nchimbi kwa uimarishaji mzuri wa Chama pamoja na sekretarieti yake. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
498ff979260f80f81188565509579407e010b578f23ad8ae78e0b0f8d201bcaa
282
1,535
1
0
0
0
1.77
32
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/xln
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Katibu Mkuu Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama wa CCM, wawakilishi wa makundi mbalimbali, Viongozi wa Chama na Jumuiya zake wa ngazi mbalimbali, kwenye mkutano wa ndani Kilimanjaro, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama wa CCM, wawakilishi wa makundi mbalimbali, Viongozi wa Chama na Jumuiya zake wa ngazi mbalimbali, kwenye mkutano wa ndani, uliofanyika Ofisi za CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Jumatano Juni 5, 2024, ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya kikazi mkoani humo, ambayo ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Oganaizesheni, Ndugu Issa Usi Haji Gavu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI). Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
771c25dcadcada9882b2bd87d29d63a909ad383cfa51d7e15d038504736632ac
214
1,177
1
0
0
0
0.93
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wkm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA MHE. PROF. ADOLF MKENDA AAHIDI KUTEKELEZA MAELEKEZO YA KATIBU MKUU CCM DKT. NCHIMBI KABLA YA MWISHO WA MWEZI. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara yake imepokea maelekezo ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emanuel Nchimbi kuhusu suala la ‘Boom’ kwa wanafunzi wa vyuo nchini. Dr Nchimbi akiwa eneo la Usa River jana Juni 04,2024 Wilaya ya Arumeru alitoa maagizo kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuhakikisha wanafunzi wa vyuo wanalipwa fedha hizo ifikapo mwisho wa mwezi June. Profesa Mkenda ambaye ni mbunge wa Rombo akizungumza kwenye kikao cha ndani cha viongozi na mabalozi wa chama cha Mapinduzi mkoani Kilimanjaro mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, alisema kuwa Wizara yake imepokea agizo hilo na kwamba watalitekeleza kabla ya mwisho wa mwezi. “Ndugu Katibu Mkuu jana pale Arusha ulitoa maelekezo kuhusu suala la boom na naomba nitumie nafasi hii kusema kuwa suala hilo tutalifanyia kazi na kabla ya muda uliyotoa wanafunzi wote nchini watalipwa” alisema. Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu Balozi Nchimbi ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Komredi Amos Gabriel Makalla na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Hamid Abdalla. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
84ef4aabf36c094972a2570d06ec05b0df91e6a986e76313fc544428fd5ca3eb
290
1,568
1
0
0
0
0.34
31
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/rYk
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MKUTANO WA NDANI MKOA WA KILIMANJARO KATIKA ZIARA YA KATIBU MKUU DKT.NCHIMBI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, katika Mkutano wa ndani akizungumza na Wanachama na Viongozi wa Chama na Serikali na wawakilishi wa makundi mbalimbali Mkoa wa Kilimanjaro katika Ukumbi wa ofisi za CCM mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 5,2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
533f1fb927a7ff38884bba1beafa40594aad3b3a8b0371de5a4517cce4c07046
142
788
1
0
0
0
0.7
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/q2R
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na Jumuiya ya wasioona Zanzibar (ZANAB) na Jumuiya nyengine za watu wenye ulemavu ili kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi ambayo yatawasaidia watu wenye ulemavu kufaidika na fursa mbali mbali nchini. Ameyasema hayo katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla wakati wa kuahirisha maadhimisho ya kuongeza uwelewa kwa jamii juu ya watu wenye Ulemavu katika Viwanja vya Mpira wa Mto wa Pwani Wilaya ya Kaskazini 'A' Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema kwa kutambua kuwa watu wenye ulemavu wamekuwa wakikumbana na chamgamoto mbali mbali katika jamii, kumeanzishwa Baraza la Taifa la watu wenye ulemavu na mabaraza ya Wilaya ya watu wenye Ulemavu yenye dhamana ya kusimamia , kutekeleza, kutetea na kulinda haki nafursa za watu wenye Ulemavu ambapo jumla ya shilingi za Kitanzania Bilioni 1.2 zimetenga kwa mwaka wq fedha 2024-2025 kwa ajili ya kuendeshea mabaraza hayo. Rais Dkt Mwinyi amesema Serikali imeweza kutoa nafasi za Uongozi kwa watu wenye ulemavu katika Wizara mbali mbali ambapo wamekuwa wakitekeleza majukumu kwa ufanisi mkubwa jambo ambalo linazidi kutoa hamasa lwa Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kufikia katika ndoto zao walizojipangia. Dkt. Mwinyi amesema Serikali itahakikisha sheria ya watu wenye Ulemavu inafanyiwa kazi na kupelekwa Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya kujadiliwa na hatimae kupitishwa kuwa Sheria kamili ambayo itatoa miongozo mbali mbali kwa Taasisi na Jumuiya za watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kufanikisha malengo yao walkyojipangia. Rais Dkt Mwinyi amesema kupitia Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025 Serikali imekuwa ikichukua hatua za kuweka mazingira bora kwa watu wenye ulemavu ikiwemo kutunga Sheria ya watu wenye Ulemavu Namba (8) ya mwaka 2022 kwa lengo la kulinda na kutetea haki na fursa za watu wenye ulemavu. Aidha Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Amesema Serikali kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais itaandaa program maalum itakayowajengea uwelewa wananchi juu ya kutambua haki na wajibu wa watu wenye ulemavu katika Mikoa yote ya Zanzibar. Sambamba na hayo Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Jumuiya za watu wenye Ulemavu kuongeza nguvu zaid ya uwajibikaji na kuwahamasisha watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa mbali mbali zinazojitokeza katika Taifa. Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Mhe. Dkt **KHALID SALUM MUHAMMED** amesema Serikali zote mbili zimefanya mapitio ya Sera na Sheria kuhakikisha watu wote wanapata haki sawa ikiwa ni pamoja na makundi maalum katika nyanja zote za kiuchumi na kijamii. Dkt **Khalid **amefahamisha kuwa Serikali kupitia Mfuko wa uwezeshaji imejipanga kumaliza kilio cha muda mrefu cha watu wenye ulemavu kwa kuwapatia mikopo itakayowasaidia kujiendeleza kiuchumi katika miradi yao pamoja na kujikimu kimaisha. Akisoma Risala iliyoandaliwa na Jumuiya ya watu wasioona Zanzibar Ndugu **AWENA HASSAN SEIF** amesema (**ZANAB**) inaiomba Serikali kuongeza uwelewa kwa jamii katika kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kutambua haki na ustawi wao katika mambo mbali mbali ya kijamii. Amesema kuwa changamoto kubwa inayowakabili watu wenye ulemavu ni kutokufikishwa katika Baraza la Wawakilishi sheria ya Hati miliki ya Zanzibar kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho ili iendane na Mkataba wa Markesh ambayo itatoa fursa kwa watu wasioona kupata nyaraka za maandishi kwa mfumo sikivu. Mapema Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja **RASHID HADID RASHID** amesema jamii inapaswa kutambua kuwa watu wenye ulemavu wanaweza kuleta maendeleo katika jamii, hivyo tunapaswa kuwashirikisha na kuwapa kipaombele katika kushiriki mambo mbali mbali ya kimaendeleo. **Hadid** amesema Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Unguja imekuwa ikifanya kazi kwa karibu na watu wenye ulemavu kwa kuwashirikisha katika mambo muhimu ya kimaendeleo ili kutoa mchango wao katika mambo yanayowahusu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
12585c0f1c7785dfbf8d03c5a70780d078cf9239cff47647630696906b1d5c60
710
4,027
1
0
0
0
0.85
109
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/p2r
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, amewasihi wananchi kuwa na tahadhari dhidi ya vyama vya upinzani vinavyoendeleza siasa za choko choko,fitna na uchochezi huku wakikosa sifa ya kupigania maendeleo na kukosa ujasiri wa kutetea maslahi ya umma. Amesema njia pekee ya kuweka nchi katika hali za Udiwani,Ubunge, Uwakilishi na Urais ili viendelee kuwa wasindikizaji na wapiga porojo katika vijiwe na maskani zao. Wito huo aliutoa wakati akitoa akichambua masuala mbali mbali ya kisiasa nchini, alieleza kuwa wapo baadhi ya viongozi wa kisiasa wameku mstari wa mbele kutoa kauli za kuingiza nchi katika machafuko ili waweze kuonekana ni majasiri mbele ya wafuasi wao na kusahau kuwa Zanzibar inaongozwa na utawala wa kisheria. Mbeto,alisema wananchi hawapaswi kuviunga mkono vyama vya upinzani kwakuwa havina sera wala ajenda ya kupigania maendeleo pia hawana uchungu na si watetezi wa rasilimali za Taifa huku akiwataka ACT-Wazalendo kuacha siasa za kuwachonganisha wananchi dhidi ya Serikali yao. Alisema Chama cha ACT-Wazalendo wamekuwa wakimchafua na kumdhihaki Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia mitandao yao ya kijamii huku wakimtaka atimize matakwa yao ya maridhiano ya kisiasa hali inayoonyesha kuwa viongozi hao hawana chembe ya utu,busara na nidhamu za uongozi. “Hao jamaa kwa sasa wamechanganyikiwa kwani hawana tena cha kwenda kuwambia wafuasi wao 2025, mambo yote tayari Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi kashamaliza utekelezaji wake. Kwa sasa wanachofanya ni kuzunguka kila kona kutukana na kutoa kauli zisizofaa kwa serikali na viongozi wake yaani wanatoboa jahazi ambalo nao ni wasafiri.”, alisema Mbeto. Akitoa ufafanuzi juu ya zabuni mbali mbali zinazotangazwa na Serikali kuwa zote zinafuata taratibu zote za kisheria na makampuni yanayoshinda zabuni hizo ndio yanayopewa. Alisema kitendo cha ACT-Wazalendo kudai kuwa kampuni zinazoshinda zinakuwa na mkono wa Viongozi wa Serikali ni upotoshaji unayotakiwa kupuuzwa vikali kwani madhara yake ni makubwa. Mbeto, akizungumzia juu ya kauli za ubaguzi wa ukanda na ukabila zinazotolewa wazi na baadhi ya Viongozi wa ACT-Wazalendo kupitia mikutano yao inayoendelea hivi sasa na kusisitiza kuwa siasa za aina hiyo zimepitwa na wakati toka mwaka 1964. "Kiongozi wa kisiasa unasema hadharani eti watu fulani warudi kwao wawaachie Zanzibar yenu je nyie mnazijua vizuri asili zenu na sisi tuanze kuchimbua mlikotoka?, wenzetu mnatoka katika mstari badala ya kufanya siasa za mleta kauli za mipasho, sisi tutawajibu kwa vitendo kwani tuna kazi ya kujenga nchi. Aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kuonya juu ya dhambi za ubaguzi leo tunaanza kubaguana kwa wenyewe kwa wenyewe ni hatari kubwa."alihoji Mbeto. Alieleza kuwa kauli za wapinzani haziwezi kuzuia kadi ya Serikali katika utoaji wa huduma bora za wananchi. Alibainisha kuwa CCM inaamini katika maridhiano ya kisiasa lakini sio kwa shinikizo la kauli za kibabe,uchochezi na udalali wa kisiasa na kwamba siasa za aina hiyo hazina dhamira njema ya kuivusha salama Zanzibar. Katibu huyo wa NEC Mbeto, alieleza kuwa Chama Cha Mapinduzi kitaendeleza siasa za uvumilivu,ustaarabu huku kikinadi sera zake kwa kueleza kwa kina mafanikio na mikakati endelevu ya kuwatumikia wananchi. Katika maelezo yake Katibu huyo, aliwasihi wanachama,viongozi na watendaji wa CCM kufanya kazi zao kwa ufanisi huku wakiongeza ubunifu katika ufutiliaji wa utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 ili iendelee kutoa majawabu chanya ya utatuzi wa changamoto za wananchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5636129453010be78d65684585fa055ac30fa9293454dbac129c765be3a80fce
621
3,540
1
0
0
0
0.48
91
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/oyN
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU BALOZI DKT. NCHIMBI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI KATIKA MKUTANO WA HADHARA VIWANJA VYA KILOMBERO ARUSHA, LEO JUNI 3,2024 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Kilombero Sokoni, jijini Arusha, leo Juni 3, 2024 , katika siku ya pili ya ziara yake mkoani humo, ambayo ameambatana na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Komredi Amos Gabriel Makalla na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdallah Hamid. Ziara ya Dk Nchimbi inalenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 - 2025, kuhamasisha uhai wa CCM kuanzia ngazi ya mashina, pamoja na kuzungumza na makundi mbalimbali ya wananchi, kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero zao. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f5e3e1ff6a06ba4205e87f83cb8e2f78365fd28d32798793a8851ce215be02f0
214
1,164
1
0
0
0
3.27
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/myA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MKUTANO WA NDANI ARUSHA, ZIARA YA KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama na Viongozi wa Chama na Serikali na wawakilishi wa makundi mbalimbali Mkoa wa Arusha, kwenye mkutano wa ndani uliofanyika jijini Arusha, ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani humo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a4e98ce2cad5986477e4bcb0534fa50d00da146cdd7683efeda0bdd3ae2cb6d2
141
776
1
0
0
0
0
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/l7J
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM DKT. NCHIMBI AKIHUTUBIA WANANCHI NA KUSIKILIZA KERO ZAO MBALIMBALI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akihutubia wananchi na kusikiliza kero zao mbalimbali, wakati na baada ya mkutano wa hadhara, uliofanyika katika Uwanja wa Stendi ya (zamani) Babati Mjini, Jumamosi, Juni 1, 2024, ambapo alihitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani humo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
dc53853e26d8e07ae095ef855c8eab80ada454cd8b832727a5a4d897d8c68a6a
146
825
1
0
0
0
1.37
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/j8z
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MKUTANO WA KATIBU MKUU NA WANANCHI WA HANANG MKOA WA MANYARA Matukio mbalimbali katika picha Mkutano wa hadhara Hanang' Manyara, Katibu Mkuu Balozi Ndg. Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi. Katibu Mkuu yupo katika ziara ya siku mbili mkoani Manyara kufuatilia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020/25.Katibu Mkuu ameambatana na Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla na Katibu wa NEC-Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdallah Hamid. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
4eed3e60e7c48042347a5b876e3f92def9c5cd873a9b8195e75573293976d6f4
158
895
1
0
0
0
0
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/g2l
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI DKT. NCHIMBI AKISALIMIANA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU NDG. FEDERICK SUMAYE Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe.Frederick Sumaye mjini Katesh, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara,muda mfupi kabla ya kuelekea kwenye mkutano wa hadhara akitokea kwenye ziara yake mkoani Singida leo Ijumaa Mei 31,2024.Mh Sumaye ni mkazi wa Kateshi Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
59da6bc95c79b1b61964733e7fa818e1d4aa13cef04d0a55b1cda15e31f09e31
144
826
1
0
0
0
0
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/9g4
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **Rais wa ****Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ****Alhaj ****Dk. Hussein Ali Mwinyi ****ameeleza umuhimu wa kutunza amani kwa maendeleo na ustawi bora wa watu na Taifa.** **Amesema amani na kuwaunganisha watu kuwa kitu kimoja ni chachu ya kujenga ustawi bora wa jamii na kukuza uchumi wa nchi.** Alhaj Dk. Mwinyi ameyasema hayo Ikulu Zanzibar, alipokutana na Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Madhehebu ya Shia, Tanzania ‘TIC’ Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge na ujumbe alioongozana nao. Alhaj** **Dk. Mwinyi alisema maendeleo ya nchi hayaji eneo lenye vurugu au vita, yanaboreshwa kwenye utulivu, umoja, usalama na mshikamano wa watu, pia nia rahisi kuyafikia. Alisema, hata kama hakuna maelewani kwa asilimia zote kwani hakuna jamii isiyo na migogoro lakini isipitilize ikawa tishio kwa amani, walao sehemu kubwa ya jamii iwe na maelewano ndipo mafanikio yanapatikana. Pia, aliwashukuru viongozi wa dini wa madhehebu yote pamoja na wananchi wa kuendelea kuhubiri na kuiombea nchi amani na mshikamano, vilevile ameendelea kumuomba Mwenyezi Mungu aendelea kuidumisha nchi kwenye amani na utulivu uliopo kwa mafanikio makubwa. Halkadhalika, ameendelea kuwashukuru viongozi hao wadini wa medhehebu yote kwa kuendelea kuwaombea heri, amani na mafanikio makuwa viongozi na serikali ili kuendelea kukamilisha vyema mipango ya sekali kwa maendeleo ya nchi kwa ujumla. Naye, Sheikh Jalala amempongeza Rais Dk. Mwinyi kwa kazi nzuri ya maendeleo kupitia sekta mbalimbali ikiwemo mafanikio makubwa yaliyofikiwa kwenye huduma za jamii, ikiwemo maji safi, umeme, elimu na afya, halikadhalika miundombinu ya barabara na mawasiliano. Kwa upande wake Msemaji wa Jumuia hiyo, Yasmin Aloo pia amepongeza mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyofikiwa na awamu ya nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ndani ya kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake. Jumuiya ya Waislamu wa Madhehebu ya Shia, Tanzania ‘TIC’, ilisajiliwa tangu mwaka 1992. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a4e5285036a1f6e9483f9d951efb6df664992eabcc80cac76ca0c488c52c0480
374
2,148
1
0
0
0
0.27
46
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/8E5
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza azma yake ya kutaka kusambaza umeme vijiji vyote vya Unguja na Pemba na kukuza maendeleo maeneo hayo.** Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo Ikulu Zanzibar alipozungumza na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes aliyekuja kujitambulisha. Kwenye mazungumzo yao, wamegusia maeneo makuu manne ya ushirikiano uliopo baina pande mbili hizo za diplomasia ikiwemo Sekta ya Umeme, Mafuta na Gesi, Afya na Mazingira. Kuhusu umeme Rais Dk. Mwinyi alimueleza Balozi, Tinnes kuangalia uwezekano wa kuongeza Ushirikiano uliopo baina ya Norway na Tanzania ikiwemo Zanzibar hasa kusambaza umeme vijijini ili kuviendeleza vijiji hivyo. Akizungumzia sekta ya Mafuta na Gesi, Rais Dk. Mwinyi ameikaribisha Norway kuangalia fursa za uwekezaji kwenye maeneo hayo. Aidha, Rais Dk. Mwinyi alimueleza Balozi Tinnes kuongeza ushirikiano kwenye sekta ya Afya kupitia hospitali ya rufaa ya Mnazi Mmoja kwa wataalamu wa magonjwa ya moyo. Akigusia suala za Mazingira Rais Dk. Mwinyi alieleza Zanzibar na Norway zimekua na ushirikinao mzuri kwenye maeneo hayo, sambamba na kuwawezesha na kuwaendeleza wanawake wa Zanzibar. Dk. Mwinyi pia alimueleza Balozi huyo, kuangalia uwezakano wa kuwaendeleza wakulima wa mwani wa Zanzibar kupitia sekta ya Uchumi wa Buluu. Alisema, Uchumi wa Buluu ni Sera kuu ya Zanzibar ya kukuza Uchumi wake ikifuatiwa na Utalii unaochangia asilimia 30 ya pato la taifa. Naye, Balozi Tinnes alimuhakikishia Rais Dk. Mwinyi ushirikiano mzuri uliopo baina ya Ubalozi huo na Shirika la Umeme, Zanzibar (ZECO) kupitia miradi mbalimbali ya kimkakati ya kukuza huduma za umeme kwa visiwa vya Zanzibar. Balozi Tinnes alisema, ZECO na Ubalozi wa Norway nchini umefikia mazungumzo mazuri kwenye kuimarisha ushirikiano wao kupitia miradi mbalimbali ya Shirika hilo. Kuhusu Sekta ya Afya, Balozi Tinnes alimueleza Rais Dk. Mwinyi ushirikino uliopo baina ya hospitali ya Mnazi Mmoja na Hospitali kuu ya Norway kuwa pande mbili hizo zinashirikiana kubadilishana uzoefu na kusaidiana wataalamu kwa maeneo tofauti. Balozi Tinnes pia alisifu ushirikiano mzuri uliopo baina ya Taasisi za kodi za Tanzania ikiwemo Mamlaka ya Mapato Zanzibar, (ZRA) na taasisi ya kodi ya Norway, alisema Tanzania na Norway zinashirikiano kwa kubadilisha uzoefu na utaalamu wa maeneo hayo. Pia Balozi huyo, alipongeza hatua kubwa ya Maendeleo iliyofikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na kupongeza miaka 60 ya ushirikiano wa diplomasia uliopo baina ya Tanzania na Norway uliotengeneza historia muhimu kwa jamii za pande zote mbili za ushirikiano kiuchumi na jamii. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3b7b6f3b63dfb412f1670b8efc058d76882e5f10d4bb3e82e928785cec84d247
481
2,742
1
0
0
0
0.42
45
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/7XG
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar **MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLA** amesema Makumbusho ya Amani na Viumbe Hai yatasaidia katika kukuza Sekta ya Utalii na kukuza uchumi wa nchi kwa vile ni kivutio kikubwa cha wageni walio wengi wanaoitembelea Zanzibar. Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Makumbusho ya Amani na Viumbe hai yaliyopo Mnazi Mmoja jijini Zanzibar. Amesema Serikali imejipanga kufanya ukarabati katika maeneo yote ya kihistoria ikiwemo eneo la kihistoria la Fufuni Pemba, Msikiti wa Kihistoria wa kichokochwe Pemba, eneo la kihistoria la Maruhubi pamoja na Mahamamu ya Forodhani, Kijichi, Hamamni na Kizimkazi Unguja kwa lengo la kukuza sekata ya utalii pamoja kuengeza pato la nchi. Mhe. Hemed amefahamisha kuwa Serikali kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale itaendelea kuyaendeleza maeneo ya kihistoria kwa kuzungusha ukuta, Uwekaji wa vitu vya kale, kuyajenga ili kurudisha uasili wake sambamba na kuimarisha majengo ya utoaji wa huduma kama vile vyoo, migahawa na maduka. Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar amesema kwa kutambua na kuthamini umuhimu mkubwa wa Makumbusho, Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2020-2025 imechukua hatua ya kuweka mazingira mazuri katika maeneo ya Makumbusho kwa kutunga Sheria ya Uhifadhi wa mambo ya kale No.11 ya mwaka 2022 inayosimamia kutunza, kuhifadhi na kuendeleza Makumbusho ya Mambo ya Kale. Aidha Mhe. Hemed amewataka wafanyakazi wa Makumbusho ya Amani na viumbe hai pamoja na Makumbusho mengine kuendelea kuyaimarisha na kuyatunza ili yaendelee kuwa kivutio cha wageni wengi zaidi wa ndani na nje ya nchi. Sambamba na hayo, Mhe. Hemed ametoa wito kwa jamii kutokuyavamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Makumbusho ya historia na badala yake waendelee kushirikiana na Serikali katika kuyalinda na kuyaimarisha ili kuendelea kuongeza vivutio vya utalii Zanzibar sambamba na kuwataka kujenga tabia ya kutembelea maeneo ya Makumbushoya kihistoria ili kujifunza mambo mbali mbali ya kihistoria katika nchi yetu. Nae Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar MHE. MUDRIK RAMADHAN SORAGA amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha inahuwisha Sekta ya Utalii na Mambo ya Kale kwa kuyafungua Makumbusho yote ambayo yalikuwa hayafanyi kazi ndani ya Zanzibar. Amesema Serikali kupitia Wizara ya Utalii imejipanga katika kuyajenga na kuyafanyia ukarabati maeneo ya Kihistoria na maeneo mengine ambayo ni vivutio vya Watalii ili kurejea katika hadhi yake jambo ambalo litapelekea kukuza pato la mtu mmoja mmoja na la Taifa kwa ujumla. Akisoma taarifa ya Kitaalamu juu ya Uzinduzi wa Makumbusho ya Amani na Viumbe Hai, Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Dkt. **ABOUD SULEIMAN JUMBE** amesema kupitia mradi wa kuhifadhi na kuendeleza maeneo ya urithi Serikali imeamua kuyafanyia ukarabati na kuimarisha maonesho ya Makumbusho ili kutarejesha katika haiba yake hasa kwa vile baadhi yao ni urithi muhimu wa Kitaifa na Kimataifa. Dkt. Jumbe amesema kuwa Makumbusho ya Amani na Viumbe Hai yana umuhimu mkubwa katika uimarishaji wa Elimu na Utafiti, kuchangia uimarishaji wa Utalii wa ndani na nje katika kukuza uchumi wa nchi pamoja na kuhakikisha uhifadhi wa urithi wa kihistoria na kiutamaduni kwa vizazi vijavyo. Zaidi ya shilingi Bilioni saba(7) zimetumika katika ukarabati wa Makumbusho hayo kwa kuzifanyia ukarabati kuta na sakafu ndani na nje, ujenzi wa mabanda ya viumbe haipamoja na urejeshaji wa viumbe hai, ukarabati wa maabara pamoja na uwekaji wa vifaa vya teknolojia ya habari na mawasiliano ambavyo vitatumika katika kutoa elimu kwa wageni. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
2fdb60c1e68f0e64d2481d53b2f7057918b2c7a49f5747e689f985b73c5a9955
625
3,457
1
0
0
0
0.32
97
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/69Q
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameikaribisha Ufaransa kuja Zanzibar kuangalia fursa za uwekezaji kwenye sekta za Utalii, Uvuvi na ****ufugaji wa samaki, Bandari, Mafuta na Gesi pamoja na Sekta ya usafirishaji wa majini.** Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye Kongamano la kwanza la biashara lililojumuisha wadau wakubwa wa biashara na wawekezaji, Wamiliki wa viwanda kutoka Ufaransa na Jumuiya za wafanyabiashara wa Zanzibar, kwenye Ukumbi wa hotel ya Park Hayatt iliyopo Shangani, Mji Mkongwe Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi. Dk. Mwinyi aliueleza ugeni huo ulioongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Ali Jabir Mwadini pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini, Mhe. Nabil Hajlaoui kwamba Utalii wa Zanzibar una mchango mkubwa kwa Uchumi wa nchi. Alisema, Utalii unaochangia asilimia 30 ya pato la taifa ambao unajumuisha utalii wa fukwe, Urithi, michezo, pamoja na utalii mpya wa afya na mikutano ya kimataifa. Akizichambua sekta nyengine za maendeleo, Rais Dk. Mwinyi aliwaeleza wafanyabiashara na wawekezaji hao kutoka Ufaransa kwamba Zanzibar pia imejikita kwenye sekta ya Uchumi wa Buluu, ambayo imejipambanua kwenye maeneo muhimu yakiwemo Uvuvi na ufugaji wa vifaranga vya Samaki, ukulima wa mwani na Utalii. Pia alisema, sekta ya Uvuvi na ufugaji wa Samaki, hutoa fursa nyingi kwa wavuvi na ajira za mtu mmoja mmoja wanaojihusisha na shughuli za maboti na majahazi, kilimo cha Mwani kilichobeba asilimia kubwa ya kina mama wanaoongoza kuzalisha mwani mzuri Afrika. Rais Dk. Mwinyi akieleza fursa nyengine za Uchumi wa buluu, aliiueleza ugeni huo kuwa Zanzibar inanufaika na Sekta ya Bandari zikiwemo Bandari jumuishi ya Mangapwani iliyo kwenye matengenezo makubwa, yenye nia ya kusafirisha na kuingiza makontena ya wafanyabiasaha walio wengi wa ndani na nje. Alisema, bandari ya Malindi, Mkokotoni na bandari ya Fumba zinaendeleza uchumi wa nchi ili kukidhi mahitaji ya uchumi wa watu kama vituo muhimu vya usafirishaji, usambazaji wa bidhaa kutoa huduma na kufanyia biashara ikiwemo kupokelea mizigo, kusafirishia mazao, na mahitaji mbalimbali kama mafuta, nafaka, na kukuza uchumi wa nchi. Alisema, sekta hiyo pia inaimarisha biashara na uchumi kupitia bandari za Zanzibar, Pemba, Tanga, Dar es Salaam na Mtwara kusafirisha maeneo mengine ikiwemo Msumbiji, visiwa vya Comoro na kwengineko. Hata hivyo, Rais Dk. Mwinyi amewakaribisha wafanyabiashara hao kutenga muda na kutembelea vivutio vya utalii vilivyomo, ukiwemo Mji Mkongwe wa Zanzibar ambao ni utithi wa Kimataifa, fukwe nzuri za bahari pamoja na vivutio vyengine. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Balozi wa Ufaransa nchini, Mhe. Nabil Hajlaoui amesifu ushirikiano uliopo baina ya Serikali za Tanzania na Ufaransa, wafanyabiashara wa pande mbili hizo za Diplomasia pamoja na kukua kwa jamii za nchini mbili hizo. Akigusia, Ushirikiano baina ya Serikali hizo, alisifu uhusiano mzuri uliopo baina yao ni wa historia. Aidha, alisema Ufaransa na Tanzania ikiwemo Zanzibar zimeimarisha ushirikiano kwa jamii na kubadilisha uzoefu wa masuala mbaliumbali ikiwemo kujifunza tamaduni za pande mbili za ushirikiano, kuimarisha masuala ya elimu kwa kuweka mikakati mizuri ya kuzifanya jamii za pande mbili hizo kunufaika kitaaluma. Naye, Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini amesema uhusiano mzuri wa Dipolomasia uliopo baina ya Tanzania na Ufaransa umekuwa na mafanikio makubwa kwa nchi mbili hizi kufanikiwa kusaini makubaliano yenye tija kwa Uchumi na fursa za maendeleo. Aidha, alisema moja ya faida kubwa iliyopatikana kwenye ushirikiano uliopo mbali na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kuzuru mara mbili taifa la Ufansa ikiwemo Mwezi Febuari mwaka 2022 na wiki chache zilizopita, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuzuru Ufaransa kwa ziara za kikazi, kupata mialiko kadhaa ya wadau wa pande mbili hizo kutembeleana wakiwemo wafanyabiasha na wawekezaji ni tija na fursa adhimu za ushirikiano uliopo. Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff amepongeza hatua kubwa ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kuboresha mazingira salama ya uwekezaji ikiwemo kuimarisha miundombinu ya barabara na mawasiliano nchi nzima na kuboresha sehemu za utalii. Kongamano hilo la wafabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania ikiwemo Zanzibar lilijadili masuala mbalimbali ya biasahara na uwekezaji ikiwemo nishati, Miundombinu, Utalii, Uchumi wa Buluu, masuala ya maendeleo ya teknolojia, Usafi wa mazingira na mambo mengine. Limetayarishwa na kudhaminiwa na hizo mbili, Mtandao wa wafanyabiashara wakubwa kutoka Ufaransa unaohusisha wafanyabiashara, wawekezaji, wadau wa biashara kutoka kampuni kubwa za Ufaransa, Jumuiya za wafanyabiasha Zanzibar (Zanzibar National Chamber of Commerce “ZNCC” za Ufaransa na Zanzibar). Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
791e8b9e7a150a841552f760b915c2f2dd0d7ec551e833c3d719201288ac0d00
804
4,629
1
0
0
0
0.25
85
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/5LZ
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. DKT. NCHIMBI AENDELEA NA ZIARA SIKU YA PILI MKOANI SINGIDA Wanachama, Viongozi wa CCM wa ngazi mbalimbali na wawakilishi wa makundi mengine, wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi alipokutana na kuzungumza nao kwenye mkutano wa ndani uliofanyika mjini Singida, Mei 30, 2024, ikiwa ni mwendelezo wa vikao na mikutano ya ndani na hadhara anayofanya kwenye ziara yake mkoani humo, aliyoanza Mei 29, 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
16bccddca22f297132827adf4c3b6aa65040982d11dddbbc76a0bfc0a0d1bea4
159
883
1
0
0
0
2.52
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/3wn
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Samia kupitia Nchimbi akamilisha ahadi Manyoni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan leo kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amekipatia chama wilaya ya Manyoni zaidi ya shilingi millioni 18 kwa ajili ya kuezeka jengo lake la kitega uchumi. Katibu Mkuu wa CCM alitangaza hayo mbele ya Kamati ya Siasa ya Wilaya, mjini Manyoni, mwanzoni mwa ziara yake ya siku mbili mkoani Singida. Amesema hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mwenyekiti Rais Samia aliyoitoa kupitia kwa Katibu Mkuu wa zamani Daniel Chongolo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6cb16f4f4f4411c8bf4ef4f3f7ce3839ffc9adc34b4ec72609ac547669e9f475
174
953
1
0
0
0
0.57
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/2WP
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi Wananchi wa Jimbo la Kwahani kufanya maamuzi sahihi ya kumchagua mgombea aliyesimamishwa na CCM kwani ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 kwa vitendo. Nasaha hizo amezitoa wakati akizindua kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo katika Uwanja wa Tawi la CCM Sebleni Zanzibar. Alisema CCM imejipanga kuhakikisha mgombea wake anashinda katika Uchaguzi huo ili kuendeleza maendeleo na ustawi wa jamii katika Jimbo hilo ambalo ni ngome ya CCM toka kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama vingi vya siasa nchini. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa,amesema Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi amefanya kazi kubwa na nzuri,hivyo anastahili kupewa Viongozi imara na makini wanaotokana na CCM ili wamsaidie kazi. " Maendeleo ya Jimbo hili yatazidi kuimarika zaidi chini ya Viongozi wachapakazi,waadilifu na wachapakazi wanaojali utu na maisha ya Wananchi wote bila ubaguzi wa kisiasa,kikabila na kidini na kazi hiyo ataifanya kwa ufanisi mkubwa ndugu yetu Khamis Pele." alisisitiza Dkt.Dimwa. Akizungumzia mafanikio ya CCM katika utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 uliofanyika katika Jimbo la Kwahani ikiwemo ujenzi wa Skuli ya kisasa ya ghorofa Shehia ya Muungano iliyogharimu zaidi ya Bilioni 6.1,ujenzi wa Soko la Kwahani uliogharimu kiasi cha zaidi ya milioni 500, wanufaika wa miradi wa TASAF ni 242 unaogharimu zaidi ya milioni 577.4 pamoja na utoaji wa Pencheni Jamii kwa Wazee 582. Pia utekeleza wa Ilani ya CCM kwa upande wa Mbunge na Mwakilishi wameimarisha sekta za Elimu,afya,maji safi na Salama, ujenzi wa Ofisi za CCM ngazi zote,vikundi vya ujasirimali, ununuzi wa vifaa vya michezo na misaada ya Kijamii kwa Wananchi vilivyogharimu shilingi 467.8. Kupitia Mkutano huo Dkt.Dimwa, alimkabidhi Ilani ya Uchaguzi Mgombea huyo Khamis Yussuf Mussa (Pele), na kumsisitiza kuwa ilani hiyo ndio mkataba kati ya wananchi na CCM hivyo akishinda kazi kubwa ya kuendeleza maendeleo kwa wananchi wa jimbo hilo. Kampeni hizo za Uchaguzi huo zinafanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ahmada Yahya Abdul Wakil (Shaa) tarehe 8,April 2024 kwa maradhi ya shinikizo la damu, na Uchaguzi huo umepangwa kufanyika June 8, mwaka 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
e290c0de9a1b10fe06ad1b0505303d06f742cfd3cac5b26592a8aa74a0f0f8c5
439
2,438
1
0
0
0
2.51
63
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/14o
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo Khamis Mbeto Khamis, amewataka viongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo kuacha upotoshaji juu ya mchakato wa zabuni za makampuni ya uingizaji wa mafuta nchini kwani kampuni ya GBP ndio iliyokidhi vigezo na kupewa tenda hiyo kwa mujibu wa sheria. Alisema mchakato huo ulikuwa wazi kwa kampuni yoyote iliyokuwa na uwezo wa kuingiza mafuta itimize masharti mbalimbali yakiwemo kutoa huduma hiyo kwa wakati wote pia kulipwa fedha kidogo kidogo na wakati mwingine kwa mkopo vigezo ambavyo makampuni zaidi ya matano yalikataa kwa kudai kuwa yanahitaji kulipwa fedha taslimu kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta duniani, vigezo ambavyo kampuni GBP ilikubali kutekeleza. Kauli hiyo ameitoa leo wakati akitoa ufafanuzi juu ya upotoshaji huo uliotolewa na Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa wakati wa mkutano wa viongozi wakuu wa chama hicho Mkoa wa Kusini Unguja, aliyedai kuwa mikataba mingi mibovu inayogharimu nchi. Katika madai ya Jussa, alisema katika zabuni ya kuingiza mafuta ya kampuni tano zilizoomba zabuni ya kuingiza mafuta ,iliyopendekeza zabuni kubwa ndio iliyopewa na kuachwa zilizopendekeza zabuni ndogo. Mbeto, amefafanua kuwa kauli zilizotolewa na Jussa ni upotoshaji ukweli ni kwamba, Serikali ya awamu ya nane chini ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, imeendelea kufanya juhudi kubwa za kuhakikisha inafunga mikataba halali na yenye maslahi mapana ya nchi. “ Nishati ya Mafuta ni uti wa mgongo wa nchi inapokosekana kwa dakika moja sote tunajua hali inavyokuwa Zanzibar , kwani watu wanaangaika na hawafanyi kazi kwa ufanisi kwani wanaangaika kila kituo cha kutoa huduma hiyo kupata mafuta kwa ajili ya matumizi ya mashine,magari, na pikipiki. Serikali haiwezi kuacha watu wakiangaika kwa kuwaendekeza makampuni yanayojali faida na kuweka mbele maslahi ya fedha badala ya maslahi ya nchini kwani kampuni ya GBP imejitolea kusambaza mafuta zaidi ya mwaka sasa wakilipwa fedha kidogo kidogo huku kampuni nyingine zikishindwa masharti ya kutoa huduma hiyo.”, alifafanua na kuwataka Viongozi wa ACT-Wazalendo kufanya utafti kabla ya kutoa kauli za upotoshaji. Alisema Serikali imeyadhamini kampuni ya ndani yanayofanya biashara ya Mafuta ili kampuni ya GBP iendelee kuleta nishati hiyo ambapo kwa sasa inadai zaidi ya Bilioni 200. Alifafanua kuwa hata makampuni ya ndani uwezo wao wa mitaji umeyumba kutokana na bei ya mafuta kupanda Duniani inayosababishwa na uwepo wa vita vya Urusi na Ukraine, matatizo ya nchi za mashariki ya kati, nchi za umoja wa Opec kupunguza uzalishaji kutokana na kupanda kwa Dola ya Kimarekani. Katibu huyo wa NEC Mbeto, alisema makampuni yanayolalamika kutopewa tenda hiyo mengi hayana mtaji wa kutosha katika kuleta mafuta ya kukidhi soko la Zanzibar, hivyo wasitumie baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaofanya siasa za kiharakati kupandikiza mbegu za chuki kwa wananchi na kuharibu hadhi ya nchi katika soko la kikanda na kimataifa. Pamoja na hayo alieleza kuwa kinachofanywa na viongozi wa Chama Cha ACT- Wazalendo ni kutafuta huruma ya wananchi na kutafuta umaarufu wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025 kwa kufanya uchochezi na siasa za porojo zisizokuwa na ushahidi. Aliwasihi wananchi kuendelea kuamini na kuunga mkono serikali iliyopo madarani kwani inafanya juhudi kubwa za kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na maisha bora na yenye hadhi. Sambamba na hayo Mbeto, alisema Zanzibar inahitaji kuwa vyama vya upinzani imara vyenye viongozi wenye maono na fikra za kujenga hoja zenye mashiko, kukosoa, kufanya utafti na kusimamia dhana ya uzalendo na utaifa sio kuwa madalali wa kisiasa. Kampuni ya Gulf Bulk Petroleum (GBP) inajihusisha na biashara ya usafirishaji na uingizaji wa nishati ya mafuta ya petrol,dizeli, mafuta ya taa na mafuta ya ndege. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9675bfe17438048e1b292f679befcfbfc6fc127deecaef6aa3c4a0c24b5cd9b1
671
3,737
1
0
0
0
0.6
90
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Z0E
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamo wa Pili wa Raiswa Zanzibar amesema haridhishwi na mwenendo wa Utendaji kazi wa Kampuni ya FUCHS CONTRACTION ianayojenga Skuli ya Sekondari ya Mkunduchi kwa kusababisha kuchelewa kumalizika kwa wakati kwa Mradi huo na kuwataka wakandarasi kuutumia muda wa makubaliano uliopangwa kwa kumaliza Ujenzi ili wanafunzi waweze kusoma katika mazingira mazuri. Ameyasema hayo katika hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa skuli ya Sekondari ya makunduchi Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja. Makamu wa pili wa rais wa Zanzibar amesema serikali imeamua kuwapa wakandarasi wazawa kujenga majengo ya Skuli za ghorofa ili kuweza kuwasaidia katika utendaji kazi hivyo ni lazima kuthamini juhudi za serikali katika kuwalete maendeleo wananchi sambamba na kuwatatulia changamoto zote zinazowakabili ikiwemo upatikanaji wa mazingira bora ya kusomea. Mhe. Hemed amesema kukamilika kwa ujenzi wa Skuli hiyo utasaidia kutatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi kwa kukosekana mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia ikowemo kufuata elimu ya Sekondari masafa marefu, hivyo ni wajibu wa wakanadarasi kufanya kazi wa bidii ili kuendana na makubaliano ya mkataba uliopo baina yao na serikali. Amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia iIani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025 Sera na Mikakati imeelekeza kuweka mazingira bora ya upatikanaji wa elimu nchini ikiwemo kujenga skuli mpya za kisasa kuanzia Maandlaizi, Msingi na Sekondari ili kuendana na kasi ya ongezeko la idadi ya wanafunzi mashuleni. Akizungumzia suala Ajira Mhe. Makamu wa Pili wa Rais amesema kuwa ameshauagiza Uongozi wa Wizara ya Elimu kutoa kipaombele cha ajira kwa vijana wazawa wa Mkoa husika uliopitiwana Miradi ya Elimu ili kupunguza changamoto ya kuajiri walimu wanaotoka masafa ya mbali na skuli na kusababisha kuzorotesha kwa ufanisi maskulini. Mhe. Hemed ameikumbusha jamii kuwa ni jukumu la kila mtu kuilinda miundombinu ya elimu ili iweze kudumu kwa muda mrefu na kuwataka walimu kuendelea kusomesha kwa bidii ili kuzidi kupata ufaulu mzuri kwa wanafunzi na kuzalisha wataalamu wengi wanaohitajika katika Taifa. Sambamba na hayo amewaasa wanafunzi nchini kuitumia na kuitunza vyema miundombinu ya elimu kwa kujifunza ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao na iweze kutumika kwa vizazi vya sasa na baadae. Nae Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Mohamed Mussa amesema nia ya Serikali na Wizara ya Elimu ni kuhakikisha wanawaajiri waalimu wazawa wanaoishi katika maeneo yanayojengwa maskuli ili kuzidisha ufaulu kwa wanafunzi na kutengeneza mazingira rafiki ya kujisomea na kufundishia kwa walimu na wanafunzi. Amesema Asilimia Hamsini (50) ya Bajeti ya Wizara ya Elimu ya mwaka 2024-2025 imeelekezwa katika miradi ya Elimu sambamba na kuboresha miundombinu ya elimu lengo ni kuondoa kabisa devision Zero Zanzibar. Waziri Lela amesema ni vyema wakandarasi wa ujenzi wa skuli hio kutoka kampuni ya Fuchs Contraction kuzitumia changamoto walizo nazo kuwa ni Fursa kwao ili kuweza kukamiloisha ujenzi huo kwa wakati na kwa kiwango kilichokusudiwa ili kuweza kuishawishi seriakli kuwapatia miradi mengine inapotokezea. Sambamba na hayo Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali amemuomba Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar kuwaagiza Watendaji wa Tume ya Utumishi Serikalini kuiangalia vyema mifumo ya ajira ambayo imekuwa ikileta malalamiko mengi kwa wananchi ambao wameshamaliza kusoma na wengine kujitolea katika maskuli mbali mbali Unguja na Pemba. Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud amesema Mkoa wake umenufaika na Miradi mingi ya maendeleo hasa katika Sekta ya Elimu jambo lililochangia kuongezeka kwa kiwango cha ufaulu katika Mkoa huo. Ayoub ameiomba Serikali kupitia Wizara ya elimu kusimamia Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari Makunduchi ili uweza kumalizika kwa haraka na kuondoa changamoto ya wanafunzi kufuata skuli masafa ya mbali hasa katika kipindi hiki ambacho vitendo vya udhalilishaji vinaongezeka siku hadi siku, Sambamba na kuishauri wizara kuajiri walimu wanaotoka sehemu husika ili kuondoa changamoto zote zinazojitokaza, Ujenzi wa skuli ya Sekondari ya Makunduchi utakapokamilika utakuwa na madarasa 42 ya kusomea, Maabara tatu(3), Maktaba mija(1), chumba kimoja cha Komputer, ofisi za walimu na vyoo 31 na unatarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi Bilioni 6 hadi kukamilika kwake Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
463a54b5a5850afabf1f34c1c3afd37755f8129439e410f63cef1f0d8aabaac7
739
4,220
1
0
0
0
0.81
114
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Y59
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI DK NCHIMBI: MFUMO WA ELIMU UTAWASAIDIA WATANZANIA KUSHINDANA KIMATAIFA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amesema mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu ya Tanzania yanayofanywa na Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan yataweka msingi imara wa mabadiliko yatakayowasaidia vijana wa Kitanzania kushindana duniani. Balozi Nchimbi amesema msingi huo kupitia elimu, pia utawasaidia vijana wa Kitanzania kumudu changamoto za kuwa raia wa ulimwengu ambao unazidi kuunganishwa na kuwekwa karibu au kuwa kitu kimoja kupitia changamoto au fursa mbalimbali, kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamii na kidiplomasia. Katibu Mkuu Balozi Nchimbi amesema hayo alipowahutubia wanafunzi, wazazi na Jumuiya ya Shule ya Dar Es Salaam International Academy (DIA), alipokuwa mgeni rasmi wa mahafali ya wahitimu wa kidato cha sita wa shule hiyo, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, jijini Dar Es Salaam. “Katika ulimwengu unaozidi kuunganishwa na masuala mbalimbali, ambapo tunakutana na jamii na tamaduni tofauti kila siku, elimu ni mojawapo ya nyenzo muhimu katika kutusaidia na kuwajengea msingi imara vijana wetu hasa wanapopambana kenye hii dhana ya raia wa kimataifa…ulimwengu umekuwa mahali padogo na kuzidi kutufanya sisi kuwa raia wa dunia katika nyanja tofauti tofauti. Tunapaswa kuwa sehemu ya washiriki washindani sio kujitenga. “Chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, Tanzania inafanya mabadiliko makubwa ya mfumo wa elimu kuendana na mahitaji ya kimataifa, ili kuweka mkazo katika mahitaji ya nyakati za sasa na mbele zaidi ili vijana wetu washindane kimataifa. Maendeleo ya ulimwengu yametuonesha ukweli kuwa uraia wa nchi yoyote kwa sasa, hauwezi kuepuka kukamilishwa na uraia wa kimataifa, kwa maana ya kuelewa jinsi ulimwengu unavyofanya kazi, kuthamini utofauti, na kushirikiana kutafuta majawabu ya changamoto na kutumia fursa mbalimbali zilizopo kila mahali,” amesema Balozi Nchimbi. Aidha, Balozi Nchimbi alisisitiza pamoja na Tanzania kuweka maandalizi ya msingi imara kwa ajili ya watu wake kuwa na uwezo wa kushindana kimataifa, kwa kupitia nyanja mbalimbali, pia imejidhatiti kuendelea kuenzi, kuthamini na kulinda mila, desturi na tamaduni ambazo zimekuwa tunu na utambulisho wa Tanzania na Watanzania katika majukwaa mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo katika kushindania fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya nchi na watu wake. Mbali na mahafali ya wanafunzi wa kidato cha sita, Shule ya DIA pia mwaka huu inasherehekea miaka 20 tangu ilipoanzishwa kuwa mojawapo ya taasisi zinazotoa elimu nchini, ikiwa imejikita katika mtaala wa IB (International Baccalaureate). Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9847f49d8b2c52b3a553a5521a3360c9ab36e56cff56f33ba6618e49a5b113b9
481
2,800
1
0
0
0.2079
0.21
60
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/X5l
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99 Mwanasiasa mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia salam za pongezi kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia kwa kuadhimisha miaka 99 ya kuzaliwa kwake. “Mfikishie salam zangu mwambie anaongoza nchi vizuri sana…nchi imetulia…nchi iko baridi kabisa hata chama nacho kimetulia mambo yanakwenda vizuri kabisa,” amesema Mzee Songambele. Ameongeza kusema kuwa iwapo mambo yangekuwa hayaendi vizuri, basi pamoja na umri wake mkubwa, angeenda makao makuu ya chama kusema. Kwa upande wake, Balozi Nchimbi amesema Mzee Songambele alifanya kazi kubwa ya kujenga Chama na Serikali tangu enzi za TANU na baadae CCM. Mzee Songambele alizaliwa mwaka Mei 25,1925, mkoani Ruvuma kabla ya kuhamia Magomeni, jijini Dar es Salaam, ambapo walikuwa miongoni kwa watu waliompokea Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere jijini humo. Alikuwa rafiki mkubwa wa Mwalimu Nyerere na ndiye aliyemtafutia kiwanja Magomeni Mikumi ambako kuna nyumba ya Mwalimu, hivi sasa ikiwa ni Makumbusho ya Taifa. Aliwahi kushika nafasi kadhaa ndani ya Chama na Serikali, ikiwa ni pamoja na ukuu wa mkoa. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
cc5d0585e2cbdcc5ead1a15c8e1e3624934928f1bfc53de21e379c1484fd8d5f
299
1,708
1
0
0
0.668896
1.67
32
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/WqX
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KINANA AFUNGUA MAFUNZO KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WANAWAKE KUTUMIA TAKWIMU Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefungua mafunzo kwa viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa ngazi mbalimbali. Kinana amefungua mafunzo hayo leo Mei 25, 2024 yakiwa yanahusu matumizi ya takwimu zilizotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika kupanga mipango ya maendeleo ya wananchi. Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha viongozi hao kupanga mipango ya maendeleo ya wananchi katika sekta mbalimbali ili kuhakikisha rasilimali za taifa zinatumika kwa ufasaha. Mafunzo hayo yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Pius Chatanda, Katibu Mkuu wa UWT, Suzan Kunambi na Kamisaa wa Sensa, Spika Mstaafu Anne Makinda. Pamoja na viongozi wa UWT, wengine walioshiriki katika mafunzo hayo ni wabunge wanawake wa CCM, watendaji wanawake wa CCM kutoka Jumuiya ya Wazazi na wenyeviti wanawake wa CCM wa Mikoa na wilaya. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0822a954a01d1117db9483643fc78e7c7ae453c54a2ae112b2244634ccc66fdd
234
1,330
1
0
0
0
1.28
26
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/VQ9
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla ameendelea kuwashukuru waumini wa dini ya kiislamu na wazanzibari kwa ujumla kwa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Nane (8) katika kuwaletea maendeleo wananchi wote Ameyasema hayo alipokuwa akiwasalimia Waumini wa Masjid AL- SWAFAA uliopo Kikwajuni GONGONI mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa. Alhajj Hemed amewashukuru wananchi kwa kuwa wavumilivu katika kipindi chote cha utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayopita katika maeneo yao na kuwahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Nane inayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. HUSSEIN ALI MWINYI imejipanga kuhakikisha inatatua changamoto zote zinazowakabili wananchi wa maeneo yote ya Zanzibar Mijini na Vijijini. Aidha amesema kuwa kwa kuzingatia mahitaji ya wananchi wa Zanzibar Serikali imeamua kujenga miundombinu ya barabara za mijini na vijini sambamba na kuimarisha sekta ya elimu na Afya pamoja na nyenginezo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wake bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kuitunza tunu iliopo nchini ya Amani na Utulivu ambayo ndio chachu ya maendeleo ya Taifa pamoja na kuiweka nchi katika mikono salama siku hadi siku. Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim SULTWAN NASSOR SIMBA amewataka waumini wa dini ya Kiislam na Wazanzibari kwa ujumla kujitahidi kuchuma chumo la haalali katika mali zao jambo ambalo litapelekea kuweza kujipanga katika kufanya ibada ya Hijja kwa fedha za halali na kupata fadhila kutoka kwa Allah (S.W) Aidha amewataka waumini kuzitumia vyema neema walizonazo ikiwemo mali zao katika kufanya amali njema na kufanya ibada kwa wingi katika miezi mitukufu ukiwemo mwezi wa ZUL-QAADA (Mfungo Pili) pamoja na kuwaombea dua wale wote ambao wanajiandaa na kwenda kufanya ibada ya hijja kwa mwaka huu wa 1445 Hijjiria. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
72df89a356cca49dabae61fe148b5f4f9b751cf0d21ad5c79b6e1e37314da3b2
380
2,121
1
0
0
0
0.53
59
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/R10
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ****amemuapisha Naibu Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) Zanzibar, Kepteni Hussein Mohamed Seif. ** Hafla ya uapisho huo ilifanyika ukumbi wa Baraza la Mapinduzi - Ikulu, Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman na Hemedi Suleiman Abdulla. Kepteni Seif awali alikua Mkuu wa Operesheni na Mipango ya Utendaji KMKM, kabla ya uteuzi wake, Mei 13 mwaka huu. Amechukua nafasi ya Kepteni Khatib Khamis Mwadini aliekua Naibu wa KMKM awali, ambae kwasasa atapangiwa nafasi nyengine. Viongozi wengine wa Serikali waliohudhuria hafla hiyo ya uapisho wa Kepteni Hussein ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Mhandisi Zena Ahmed Said, Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi (BLM), Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ (OR-TMSMIM), Masoud Ali Mohammed, Mkuu wa KMKM, Zanzibar Commodore, Azana Hassan Msingiri na viongozi wengine wa KMKM. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
da9213b6cdef49264a2fbb41c01d53724d67b1e995f394ec328c546b2d4e6c23
258
1,407
1
0
0
0
1.16
23
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Q7q
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amewataka Wajumbe wa Sektetarieti za CCM ngazi za Matawi, Wadi na Jimbo la Kwahani kuendeleza utamaduni wa kufanya kazi za Chama na Jumuiya zake kwa ubunifu na uchapakazi katika majukumu yao ya kila siku. Nasaha hizo amezitoa wakati akizungumza na wajumbe hao katika ziara yake ya kuimarisha uhai wa Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo la Kwahani Unguja, alisema kila mtendaji na kiongozi wa CCM anatakiwa kutekeleza wajibu wake ili kuwa mfano bora na wa kuigwa kwa wanachama na makada wa Chama hicho. Dkt.Dimwa, alieleza kuwa CCM itaendelea kusimamia wajibu wake wa kuwa daraja la kuwaunganisha wananchi na Serikali zake mbili ili jamii iwe na uelewa mzuri wa kufahamu utekelezaji mkubwa wa kazi za kimaendeleo unaofanywa na Serikali zilizopo madarakani. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, alisema kasi kubwa ya maendeleo kupitia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025 unaofanyika nchini hivi sasa imekuwa ni tishio kwa Vyama vya upinzani na kupelekea kuanza kutoka nje ya mstari kwa kutoa tuhuma sisizokuwa za kweli kwa baadhi ya viongozi wa Serikali na Chama kwa ujumla. “ Kasi yetu ni ile ile yenye viwango vya siasa za kisayansi mpaka mwaka 2025 hatusimami hadi tutakapohakikisha tunashinda uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Hivyo wito wangu kwenu tekelezeni majukumu yenu ipasavyo kwa mujibu wa miongozo na Katiba yetu ya mwaka 1977 toleo la Disemba 2022, msivunjwe moyo wala kuteteleka kwa mbwembwe na kelele za Wapinzani wanaona CCM imeshajibu hoja zao kwa vitendo na wanaanza kutafuta huruma ya kisiasa kwa kususia uchaguzi mara kudai Katiba mpya sisi tunasonga mbele.”, alieleza Dkt.Dimwa. Pamoja na hayo alitoa wito kwa wanachama,viongozi na makada wa CCM wa Jimbo la Kwahani kujiandaa Kisaikolojia juu ya kuyafanyia kazi kwa vitendo maelekezo ya Chama na Jumuiya zake wakati yatakaposhushwa kwa ajili ya utekelezaji. Aidha, aliwasihi wananchi bila kujali tofauti za kisiasa, kidini na kikabila kuendeleza utamaduni wa kulinda amani na utulivu wa nchi ili kupata fursa pana ya kutekeleza majukumu yao ya kujipatia kipato halali kwa wakati. Kupitia ziara hiyo, aliwapongeza Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi, kwa utendaji wao mzuri ulioongeza ufanisi katika uimarishaji wa nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kidiplomasia kwa ujumla. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
512580e4bee0f70914b2f22c57c3a24f3fb72fb71f790f29e2123393547312a5
487
2,661
1
0
0
0
1.23
75
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/PQl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. JOHN MONGELLA AKIONGEA NA WATUMISHI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE MKOA WA TANGA Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndugu John V.K Mongella amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Tanga na kuzungumza na Watumishi wa CCM na Jumuiya zake, katika kikao hicho amewaeleza Watumishi juu ya suala la Uwajibikaji ni jambo kila mmoja, kila Mtumishi ahakikishe anasimama na Katiba, Miongozo na taratibu zilizowekwa. Amewakumbusha kuandaa mpango kazi wa majukumu yao ya kila siku, Watumishi wakumbuke mwaka 2024 ni mwaka wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni vema wakajipanga na kushirikiana ili CCM iweze kushinda kwa kishindo. Aidha Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga kinatoa shukrani kwa Mweyekiti wa CCM na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea Fedha nyingi za miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya 9 za Mkoa wa Tanga. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
1a07c1c1b72f964cbedf3a569281ceb1f8d6ca365154690ed38976112a300650
224
1,207
1
0
0
0
0.89
28
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/O8G
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ****amesifu fursa kubwa ya biashara iliyopo baina ya Tanzania ikiwemo Zanzibar na Visiwa vya Comoro. ** Rais Dk. Mwinyi ameyaeleza hayo Ikulu Zanzibar, alipozungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakoub aliefika kumuaga baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan tarehe 13 April, mwaka huu. Katika mazungumzo yao wamegusia kuendeleza makubaliano yaliyopo baina ya Zanzibar na Comoro hasa kwenye nyanja za Elimu kupitia Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) na vyuo vya Comoro, sekta ya Usafirishaji, Afya, Biashara na vyombo vya habari kupitia Shirika la Utangazaji la Zanzibar (ZBC) na Shirika la Utangazaji la Comoro. Alisema, ishara ya uhusiano mzuri baina ya pande hizo mbili ni utekelezaji wa Makubaliano ambayo awali yaliazimiwa na pande mbili hizo sambamba na uhusiano wa damu uliopo baina ya Zanzibar na Comoro. Rais Dk. Mwinyi alisema, sekta ya biashara ni fursa adhimu kwa Zanzibar kunufaika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Shirika la Meli tayari imeagiza meli mbili zitakazofanya safari zake ikiwemo visiwa vya Comoro sambamba na meli ya MV Mapinduzi ambayo imefanyiwa matengezo makubwa na inatarajiwa kujeresha safari zake visiwani Comoro. Akizungumzia suala la usafirishaji na ufanisi hasa kwa bandari za Zanzibar, Rais Dk. Mwinyi alisema, Serikali inazifanyia maboresho makubwa ili kurejesha ufanisi wa handari hizo. Pia Rais Dk. Mwinyi alieleza kuhusu usafiri wa anga kwamba utakuwa na tija kubwa kwa fursa za biashara baina ya Zanzibar na Comoro. Dk. Mwinyi pia aligusia sekta ya Afya, akimweleza Balozi Said kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kukuza Utalii wa matibabu nchini kupitia hospitali ya Mkoa ya Lumumba iliyopo Mkoa wa Mjini Magharibi inayotarajiwa kupokea watalii wengi wa matibabu kutoka mataifa mbalimbali ya dunia ikiwemo visiwa vya Comoro. Hata, hivyo Rais Dk. Mwinyi alieleza uhusiano baina ya Zanzibar na Comoro ni maalum ni wa damu na undugu na amemuahidi Balozi Said kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Comoro wataangalia uwezekano wa kuanzisha ubalozi mdogo wa Comoro Zanzibar na kuahidi Serikali itatoa ushirikiano wa hali ya juu kwenye eneo hilo ilkiwemo kuwasaidia jengo la ubalozi huo. Pia Rais Dk. Mwinyi ametumia fursa hiyo kumpongeza Balozi Saidi kwa kuteuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye visiwa vya Comoro na kumuahidi kumpa ushirikiano wa hali ya juu kwenye majukumu yake ya kuitangaza na kuitekeleza kwa vitendo Diplomasia ya Uchumi ya Tanzania. Kwa upande wake, Balozi Said amemshukuru Rais Dk. Mwinyi kwa nasaha na maelekezo yake na kumuahidi kuitangaza vyema nchi na kuzitumia fursa zinazopatikana Comoro kwa maslahi ya Tanzania ikiwemo Zanzibar. Alisema Kariakoo, Dar es Salaam na Zanzibar ni vitovu vya biashara baina ya Tanzania na Comoro ambako awali wafanyabiashara wengi waliingia nchini na kufanya vizuri zaidi kwenye Sekta ya biashara. Alisema hadi mwaka jana Soko la Kariako, Dar es Salaam lilikusanya zaidi dola milioni 54 sawa na bilioni 145 kwa mwaka. Kuhusu Sekta ya Afya, Balozi Said alisema Comoro ni fursa adhimu ya Tanzania kuendelea kunufaika nayo kwani inaleta watalii wengi wa matibabu nchini. Alisema kwa mwaka jana zaidi ya wagonjwa 14, 300 raia wa Comoro waliingia nchini kwaajili ya matibabu, sawa na wastani wa wagonjwa 12,000 kwa mwezi, wagonjwa 300 kwa wiki na 42 kwa siku ambao hutibiwa Tanzania. Balozi Saidi alisema, kuanzishwa kwa hospitali ya Mkoa ya Lumumba, Zanzibar ni fursa adhimu kwa Sekta ya Afya Zanzibar kupitia uhusiano wa kindugu uliopo baina ya Comoro na Zanzibar. Aidha, Balozi Saidi alipongeza juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kudhamiria kuongeza meli mbili zitakazoleta tija na kuimarisha uhusiano uliopo baina ya Comoro na Zanzibar hasa kwenye sekta ya usafirishaji na biashara na kuwataka Watanzania hususani Wazanzibari kuitumia fursa hiyo adhimu ya kukuza uchumi wa nchi. Balozi Saidi pia amesifu ushirikiano uliopo baina ya Comoro na Tanzania hasa kwenye usafiri wa anga kwa kuwepo safari mbili kwa siku baina ya Tanzania na Comoro kupitia ndege za “Precian Air” na Air Tanzania ambazo pia alizieleza kuwa ni fursa lukuki kwa wa Tanzania kuwanufaisha kiuchumi na kijamii. Uhusiano wa Diplomasia baina ya Tanzania na Comoro ni wa kihistoria, ambapo Comoro ilifungua ubalozi wake Dar es Salaam mwaka 2013 na mwaka mmoja baadae Tanzania ilifungua ubalozi wake jijini Moroni, Comoro mwaka 2014. Mwaka jana 2023, pande mbili hizo za Diplomasia zilianzisha Tume ya kudumu ya pamoja (JPC) ambapo mwezi Julai mwaka huu inatarajiwa kufanya mkutano wa pamoja utakaotoa wawakilishi baina yao. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
20ffe35126a5d14c4a185227573561d60d630046fbc085c24175c4a8ea06c89f
818
4,474
1
0
0
0
1.47
102
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/M1B
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI ATAKA MAOFISA UTUMISHI KUACHA UONEVU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu, Mei 20, 2024, ambayo kitaifa imefanyika mkoani Morogoro, Balozi Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia rasilimali watu na utawala kujiepusha na uminyaji haki na kujali stahiki za wafanyakazi, zilizowekwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Aidha, Balozi Nchimbi amesema dhamana ya nafasi zao za kusimamia utawala na rasilimali watu zitaendelea kuhitajika na kuheshimika iwapo baadhi ya watendaji wanaoendekeza tabia ya kujifanya ‘miungu watu’, na kuweka mbele maslahi binafsi katika ofisi wanazozisimamia, wataacha tabia hizo. Katibu Mkuu huyo wa CCM ambaye ni mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo, amewataka Wanachama wa Wanachama wa Chama cha Wataalamu wa Rasilimali Watu na Utawala Tanzania (THRAPA), kila mmoja wao kujiona ana deni la kutoa utumishi wa kusaidia wafanyakazi kupata haki na maslahi yao katika sehemu zao za kazi. “Ni muhimu sana tukumbushane kuwa tuna dhima kubwa ya kusaidia kujenga na kuimarisha nguvu kazi endelevu katika maeneo yetu ya kazi na kwenye ofisi zetu. Taaluma yetu hii itaendelea kuhitajika na kuheshimiwa sana iwapo sote tutatimiza wajibu wetu wa kuhakikisha watu wanapata haki na maslahi yao. Baadhi yetu waache kujifanya miungu watu, wanaonea watu na kutisha watu. Unakalia faili la mtu mwaka mzima. Tuache hizo tabia mbaya; alisema na kuongeza: “Watu wapande madaraja yao kwa merits (sifa) zao, wapate vyeo kwa merits, wapate safari kwa merits. Watu wapate madai yao, mishahara, posho, likizo…hizo zote ni haki za watu. Tusimamie haki za watu bila haya. Msionee watu wala kuleta undugu au kuomba rushwa ndiyo mtu apate haki na maslahi yake. Kila mmoja wetu atambue analo deni la kutumikia watu kwa kutanguliza maslahi ya taasisi na watu mbele, kuliko maslahi yake binafsi,” amesema Balozi Dk Nchimbi. Aidha, Balozi Dk Nchimbi amemwelekeza Waziri wa Nchi, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kukutana na uongozi wa THRAPA ili kumaliza sintofahamu inayowakabili wataalamu wa utawala na rasilimali watu walioko katika sekta ya umma ambao wamekuwa wakizuiwa na baadhi ya waajiri wao kushiriki shughuli au kuwa wanachama wa THRAPA. Katika hatua nyingine, Balozi Nchimbi amekubali ombi la wanachama wa THRAPA waliomtaka awe mlezi wao, huku pia akiunga mkono dhamira yao ya kutaka chama hicho kiwe na Bodi ya Kitaaluma kama zilivyo bodi za baadhi ya taaluma nyingine na kusisitiza kuwa katika jambo hilo CCM itakuwa nao bega kwa bega kulifanikisha. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ec72ae3248034681da4c9729ce67396f0d2c44b4d2148232970c52369a2276fa
507
2,841
1
0
0
0.197239
0.39
66
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/KQz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, ZANZIBAR Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar tarehe: 19 Mei 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
bb5539451e35e7294c60fdc0f7ba5c400d0fab0d267936b37a1f20bc5da3eb59
134
748
1
0
0
0
1.49
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/G8Q
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CHATANDA AKUTANA NA WABUNGE WA MAJIMBO WANAWAKE WA CCM NCHINI 📍Dodoma 🗓️ 13 Mei 2024 Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) Leo tarehe 13 Mei, 2024 amekutana na Wabunge wa Majimbo Wanawake katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. Huu ni Muendelezo wa Mwenyekiti Chatanda kukutana na makundi mbalimbali ya Viongozi Wanawake kwa lengo la kuhamasisha ushiriki wa Wanawake kugombea nafasi mbalimbali za uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu 2024 na Uchaguzi Mkuu mwakani 2025. Katika kikao hicho Chatanda aliambatana na Naibu Katibu Mkuu wa UWT Tanzania Bara Ndg. Riziki Kingwande (MNEC) na Katibu wa Wabunge Wanawake ambae pia ni mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UWT Taifa Mhe. Subira Mgalu (MB) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
31e9b461babf585dbf2acee97ef3f6e7ae8ada5e880a1062fc93406970a3494b
200
1,081
1
0
0
0
3.5
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ExK
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameutaka uongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) na wanachama wake kuyatumia vyema mafunzo wanayopatiwa ambayo yatawajengea uwezo wa utekelezaji wa majukumu yao ili kuleta mabadiliko ya kiutendaji katika Chama cha Mapinduzi sambamba na kutatua changamoto za wanachama zinapojitokeza Ameyasema hayo katika ufunguzi wa Semina ya siku moja ya kuwaongezea ujuzi na maarifa Madiwani, Makatibu wa Wadi na Majimbo pamoja wajumbe wa kamati tendaji iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamanzi Zanzibar Wilaya ya Magharibi “B” Unguja. Mhe. Hemed ameseama moja ya jukumu la UWT ni kutoa elimu kwa wanachama, kuwahamasisha wanawake katika kugombea nafasi za Uongozi, kuishauri Serikali na kutatua changamoto katika jamii kwa lengo la kuweka mustakbali mwema wa Taifa na chama cha Mapinduzi ili kiendelee kushika Dola awamu kwa awamu. Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Uongozi ni kuonesha njia kwa wanowaongoza ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na kusema kuwa kufuata maadili ya Uongozi na Utendaji ni jambo la msingi ambalo litasaidia kunyanyua ari kwa wafuasi wa Chama na kuleta maendeleo kwa Jumuiya. Aidha Mhe. Hemed ametoa wito kwa Viongozi kuzitumia vyema nafasi zao kwa kufuata misingi ya uongozi kwa wanowaongoza ikiwemo nidhamu, uaminifu, uadilifu, unyenyekevu, kujenga umoja, matumizi mazuri ya lugha, kutatua kero na kuandaa viongozi wapya watakaoweza kushika nafasi mbali mbali katika Jumuia. Sambamba na hayo, Mhe Hemed amesema anatambua kuwa wapo baadhi ya viongozi na watendaji hawana lugha nzuri kwa wanowaongoza hivyo amewataka kujirekebisha na kuachana na tabia hiyo kwani Chama cha Mapinduzi hakitamvumilia mtu yoyote atakae kwenda kinyume na maadili ya Chama, hivyo amewahamasisha wanawake ndani ya Chama Cha Mapinduzi wenye uwezo wa kuongoza kujiandaa na kujitokeza kugombea nafasi mbali mbali za Uongozi katika Uchagzi Mkuu wa mwaka 2025. Kwa upende wake Mwenyekiti wa UWT Taifa Bi. Mary Pius Chatanda amezipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kukamilisha vyema na kwa mafanikio makubwa zoezi la sensa la kidigital ambalo halijawahi kutokea nchini ambalo takwimu zake zitalisaidia Taifa katika kupanga mikakati mbali mbali ya kimaendeleo nchini. Chatanda amewaagiza viongozi ambao wamepatiwa mafunzo hayo kushuka kwa wananchi kusikiliza kero zao zinazowakabili ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika vikao vya chama na Serikali. Aidha amewataka viongozi wa UWT kuendelea kufanya zoezi la usajili wa wanachama wapya kwa njia ya kielektroniki ambao watasaidia katika kupanga mikakati ya Jumuiya sambamba na kuhakikisha Chama cha Mapinduzi kinashinda kwa kishindo kikubwa katika uchaguzi mkuu wa nchi unaotarajiwa kufanyika mwaka 2025. Mapema Makamo Mwenyekiti wa UWT Taifa Bi. Zainab Khamis Shomari amesema kuwa Mafunzo hayo waliopatiwa viongozi wa UWT yataleta mabadiliko chanya katika Utendaji kazi wa Jumuiya na Chama kwa Ujumla. Amesema kuwa UWT wamejipanga kukipigania na kukilinda chama cha Mapinduzi kwa kuhakikisha kinafanya vizuri katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwisho wa mwaka huu na ule uchaguzi Mkuu wa nchi mwaka 2025 CCM inashinda na kuendelea kuiongoza nchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9432638fe5a5f31ec2655e7438d2ddd1f46538d66b5438cd2ef87b44774524ae
565
3,267
1
0
0
0
0.53
94
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/D8Y
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI MISA, SHEREHE KUWEKWA WAKFU ASKOFU MSAIDIZI KIBOZI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, Mei 12, 2024, ameshiriki misa takatifu na sherehe ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Katoliki Dodoma, Padri Wilbroad Henry Kibozi, iliyofanyika katika Kituo cha Hija cha Kanisa Katoliki, Miyunji, Mbwanga, jijini Dodoma. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
c95e0f144d5b8d502d5812f775c5110f09e8bdf0066a0d11893b7e76f2a65a81
142
814
1
0
0
0
1.41
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/B6n
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFUNGUA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA UWT NA MADIWANI WANAWAKE UNGUJA-ZANZIBAR Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemedi Suleiman Abdullah Leo tarehe 11 Mei, 2024 amefungua Mafunzo kwa viongozi wa UWT na Madiwani Wanawake Unguja Zanzibar yaliyofanyika katika ukumbi wa Nyamazi, Dimani Zanzibar Mafunzo hayo yametolewa kwa makatibu wa UWT ngazi ya Wadi,Majimbo pamoja na Madiwani Wanawake wa Kuteuliwa Unguja- Zanzibar. Viongozi Mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), Makamu wa Mwenyekiti wa UWT Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC), Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharib Ndg. Mohamed Rajab, Wajumbe wa Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa kutoka UWT, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Mgeni Hassan Naibu Katibu Mkuu wa UWT-Zanzibar Ndg. Tunu Kondo Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji la Baraza Kuu la UWT, pamoja na Baadhi Wajumbe baraza kuu la UWT Wamehudhuria Mafunzo hayo. 📍 Unguja, Zanzibar 🗓️ 11 Mei, 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
16ac9d21f2a94d0c1b3c117bd03fba99de71dbfe172afd04067663de315e01f6
238
1,306
1
0
0
0
2.52
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/A11
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefanya ziara katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefanya ziara katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Kinana amefanya ziara hiyo kwa lengo la kujionea namna TBC inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutembelea maktaba iliyohifadhi nyaraka za kumbukumbu za ukombozi wa Bara la Afrika. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6d931c3d188d83187607bac3e09fa1ed4cdd73db072d2a3a0a678cd202e06845
150
888
1
0
0
0
0
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/zX7
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zitaendelea kuweka mazingira mazuri kwa kuziimarisha Taasisi za Ujenzi ili kuhakikisha wataalamu wazawa wanakuza taaluma zao na kushiriki kikamilifu katika Ujenzi wa Miradi inayojengwa na Watanzania Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla katika ufunguzi wa mafunzo ya kuwaendeleza wataalamu wa Usanifu, Uhandisi na Wakadiriaji Majengo Tanzania hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamanzi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja. Amesema kuwa Serikali zote mbili zimetoa kipaombele kwa wataalamu wa Ujenzi na Makampuni ya ndani ya nchi kupitia Wizara na Taasisi ambazo zimefanya jitihada maalum za kuweka Sera, Sheria na kanuni zenye vigezo rafiki ili kurahisisha maombi ya kazi za ujenzi hapa nchini. Mhe. Hemed amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuitumia vyema nafasi waliyoipata ili kuweza kupata uwelewa mkubwa na mbinu mbali mbali za ujenzi ikiwemo utumiaji wa njia mbadala ya vyuma hasa Zanzibar ambapo kumekuwa na uhaba mkubwa wa matumizi mali zisizorejesheka kama vile mchanga na nyenginezo. Aidha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema matumaini makubwa ya Serikali kuwa mafunzo hayo yatasaidia kuonesha mbinu za kuhifadhi, kuitunza na kuiendeleza miji ya urithi ambayo inachangia kuongeza pato la Taifa kupitia watalii wanaokuja nchini Sambamba na hayo ametoa wito kwa Makampuni na wataalamu wa Ujenzi kuendelea kuwa waadilifu katika kutekeleza majukumu yao ikiwemo kuzingatia ubora unaohitajika na muda wa mradi uliopangwa ili iweze kutumika kama ilivyokusudiwa na kudumu kwa muda mrefu kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae. Akiwasilisha Taarifa ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiano na Uchukuzi Katibu Mkuu Wizara hio Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema kufanyika kwa mafunzo haya kunatokana na mashirikiano yaliyopo kwa Pande mbili za Muungano kwa lengo la kuhakikisha tunakuwa na wataalamu wabobevu hasa katika masuala ya kutunza na kuboresha Miji ya Urithi wa dunia. Dkt Mngereza amesema ushirikiano uliopo katika Sekta za Ujenzi kwa Tanzania Bara na Zanzibar Umesaidia kuimarika kwa Miundombinu ya Barabara na kupelekea kuongezeka kwa Kipato Kwa mwananchi mmoja mmoja na taifa kwa ujumla pamoja na kuimarika kwa huduma za kijamii. Kwa upande wao Wenyeviti wa Bodi ya Usajili wasanifu, wahandisi na wakadiriaji majengo kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wamezishauri Serikali kutumia wataalamu wazalendo katika shuhuli za ujenzi ili majengo na Miji ya Urithi iweze kuwa bora zaidi. Wamesema wakati umefikwa kwa Serikali kuangalia sheria na miongozo katika masuala ya ujenzi ili kupunguza changamoto ya kujengwa kwa majengo yasiokidhi viwango na ubora na kuendelea kulitia hasara Taifa siku hadi siku Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0c58e1768b23af40201f152766dd8eda7852449c842629dc637c91a060dc58fb
496
2,821
1
0
0
0
0
78
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/yXw
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM IMEAMUA KUTOA ELIMU KUHUSU MASUALA YALIYOPO MAHAKAMANI - MAKALLA Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Amos Makalla amesema kuwa viongozi wengi wa chama wamekuwa wakikutana na jumbe mbalimbali kupitia simu na hata malalamiko kupitia mikutano mbalimbali ya hadhara kutoka kwa wananchi kuhusiana na kesi ambazo tayari zilishatolewa maamuzi na mahakama. Kutokana na hayo, Makalla ameeleza kuwa CCM inaamini katika utawala bora wa kuzingatia vyombo vya sheria na kuwa haki ya kutoa haki inapatikana kupitia Mahakama na hakuna mwenye mamlaka ya kuingilia mahakama na ndio maana wakaamua kutoa elimu kwa watu kuwa mahakama ndio chombo pekee cha kutoa haki na hakuna mwenye uwezo wa kuingilia katika maamuzi ndio maana kama hujaridhishwa na maamuzi basi utakata tena rufaa. Mwenezi Makalla amewataka watanzania kuamini vyombo vya sheria kwa kuwa ndio kazi yake na vinaifanya pasipo kudidimiza. Makalla ameyasema hayo leo akiwa kwenye kipindi cha #Goodmorning kinachoruka kupitia redio ya wasafi, alipotembelea katika studio za Wasafi Media ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari hapa Nchini. 🗓️8 Mei, 2024 📍Dar es salaam Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9272ea638b9aa89a2510465fc7492d6f076d1f23b695c49cb8a8c482dbe22571
267
1,513
1
0
0
0.374532
1.12
38
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/x1n
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MWENEZI MAKALLA AANZA ZIARA YA KUTEMBELEA VYOMBO VYA HABARI, AELEZA MAKUBWA YANAYOFANYWA NA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI > Agusia mchakato wa Katiba Mpya > Asema kupitia ziara iliyofanyika hivi karibuni ya Katibu Mkuu Dkt. Nchimbi, CCM imetatua kero 160 za wananchi > Asema CCM inaendelea kutambua na kuheshimu muhimili wa mahakama hivyo haitajihusisha na utatuzi wa kesi ambazo tayari zipo mahakamani Katibu wa NEC - Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla, ametembelea studio za Azam Media Limited na Mwananchi Communications Limited (MCL) ikiwa ni kuanza kwa ziara yake ya kutembelea vyombo mbalimbali vya habari hapa Nchini. Akizungumza kwenye mahojiano katika kipindi cha #MorningTrumpet cha UTV pamoja na waandishi na wahariri wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) , Mwenezi Makalla ameeleza sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuingia mitaani kusikiliza na kutatua kero na changamoto za Wananchi. Mwenezi Makalla ameeleza kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa kasi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo nchini ikiwemo Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere, Mradi wa Reli ya kisasa ya SGR, Miradi ya Elimu, Afya na Miundombinu ya Barabara pamoja na viwanja vya ndege. Sambamba na hayo, ameeleza namna mchakato mzuri unavyoendelea kufanyika kuhusiana na upatikanaji wa katiba mpya kwa kuzingatia taratibu ya kuchukua maoni ya wananchi na si maoni ya vyama vya siasa pekee. Aidha, Makalla amesema tuhuma zinazotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu kuwepo kwa fedha chafu zinazoingizwa ndani ya chama chao ili kuwavuruga si za kweli na kusema saula hilo si la kuupuziwa hivyo kumuomba msajili wa vyama vya siasa na TAKUKURU kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo. 🗓️7 Mei, 2024 📍Jijini Dar es salaam Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
b608532665df05d00a56438988aba1eef67a78fbcee9a822aaf692295677f6e0
375
2,059
1
0
0
0.266667
2.13
40
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wrm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. **SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inahitaji uwekezaji mkubwa katika sekta ya Maji na Umeme ili kuongeza ufanisi wa hali ya juu wa huduma ya uhakika kwenye sekta hizo.** Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na uongozi wa Kampuni ya “WAPCOS Limited” ya nchini India, uliofika Ikulu Zanzibar. Dk. Mwinyi amesema hadi sasa Zanzibar inapokea megawati 110 za nishati ya umeme, ambao pia inapata msaada kutoka Tanzania Bara, hivyo alisema, Serikali inadhamira ya kuzalisha umeme wake mwenyewe na iko tayari kushirikiana na kampuni yoyote itakayokuwa tayari ili kuanza hatua za upembuzi yakinifu. Pia, Rais Dk. Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji utafiti wa kina wa uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa nishati hizo kwa kuangalia zaidi uwekezaji na huduma za uhakika. Dk. Mwinyi ameikaribisha kampuni ya “WAPCOS Limited” endapo inavutika kufanya kazi na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakaribishwa. Alisema, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya India ni wadau wakubwa kwenye huduma za jamii na imekua ikishirikiana kwenye nyanja mablimbali za Maendeleo ikiwemo elimu. Akizungumza kwenye hafla hiyo, Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “WAPCOS Limited, Rajni Kant Agrawal amesema kampuni yao imejika zaidi na kutoa huduma za ushauri hasa kwenye nishari za umeme, maji na miundombini na kueleza kuwa wako tayari kusirikiana na Serikali kwenye uwekezaji wa sekta hizo. Alisema, kwa Tanzania tayari kampuni hiyo inafanyakazi maeneo ya Dar es Salaam, Bagamoyo na maeneo mengine ya nchi ikiwemo Zanzibar. Kampuni ya “WAPCOS Limited” yenye makao makuu yake mjini New Delhi, India ni watoa huduma za ushauri kwa nyanja za rasilimali maji, nishati na miundombinu. Ilizinduliwa rasmi June 26, mwaka 1969, mjini New Delhi. Ni kampuni yenye miradi kadhaa kote India, Asia na Afrika, iko chini ya umiliki wa Serikali ya India kwa usimamizi wa Wizara ya Jal Shakti nchini humo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
d38f22ba9d5050a78b4339613556ad8ee2c733aef30c579e17cb890decc458e7
385
2,145
1
0
0
0
0.78
45
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/vZg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa amesema Chama hicho kitaendelea kuwa mtetezi na mwangalizi wa Wananchi wote. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na kada wa CCM ambaye ni Mkurugenzi mstaafu idara ya umwagiliaji Wizara ya Kilimo Zanzibar Dkt.Ramadhan Aseid Ramadhan huko nyumbani kwake Fuoni. Dkt.Dimwa,amesema lengo la ziara yake hiyo ni kumtembelea ili kumjulia hali ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa ziara zake za kuwatembelea makada,wazee na wananchi kwa ujumla. Alieleza kuwa ziara hizo zinaendeleza utamaduni wa Chama Cha Mapinduzi wa kuweka daraja huru la mahusiano mema baina ya Chama na Wananchi bila kujali tofauti za kidini,kisiasa na kikabila. "Kila nikikutana na wazee na makada wakongwe waliotumia nguvu na muda wao kuitumikia nchi yetu kwa uadilifu nafurahi sana kwani napata ushauri,mbinu na nasaha nzuri za kunisaidia katika masuala ya utendaji na kuwatumikia kwa ufanisi zaidi wanachama wa CCM na Wananchi kwa ujumla. Dhamira ya Chama Cha Mapinduzi ni kushinda katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025 ili tuendelee kuongoza nchi kwa uadilifu na ufanisi mkubwa kwa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora zinazoendana na mahitaji yao ya sasa kiuchumi,kijamii na kimaendeleo",alisema Dkt.Dimwa. Naye Mkurugenzi mstaafu idara ya umwagiliaji Wizara ya Kilimo Zanzibar Dkt.Ramadhan Aseid Ramadhan,amemshukru Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Dimwa kwa kumjali na kumtembelea kwa dhamira ya kubadilishana mawazo juu ya masuala mbalimbali ya Kijamii. Dkt.Aseid,amempongeza kwa dhati Naibu Katibu Mkuu Dkt.Dimwa kwa utendaji wake unaoleta ufanisi na mabadiliko mkubwa ya kiutendaji ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Jumuiya zake. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
df9460ff9964400d0f85e65b65f6dd325a25b1b82b0b1a8d9eaf2d5ffc948bb7
331
1,925
1
0
0
0
0.3
55
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/r9k
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI DK NCHIMBI: KAZI KUBWA ZA SAMIA ZINAIPA CCM UJASIRI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amesema kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk Samia Suluhu Hassan, ndiyo siri na chachu ya chama na viongozi wake katika kuwatumikia wananchi. Balozi Dk Nchimbi ameongeza kusema kuwa katika kutekeleza kwa vitendo Falsafa ya 4R ya Mhe. Rais Samia na kuwatumikia wananchi waliokipatia dhamana ya kuongoza, CCM kikiwa Chama kiongozi nchini, kitaendelea kutimiza wajibu wake wa kuwaunganisha Watanzania kuwa wamoja wenye mshikamano bila kubaguana kwa kuangalia maeneo wanayotoka, dini, kabila wala itikadi za kisiasa. Balozi Dk Nchimbi, ameyasema hayo wakati wa mazungumzo kati yake na Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha Burundi, CNDD – FDD, Mhe. Révérien Ndikuriyo, yaliyofanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba, jijini Dar Es Salaam, leo Ijumaa, Mei 3, 2024. “Asante kwa pongezi zako za utekelezaji wa ilani ya CCM. Mojawapo ya nguzo za uimara wa CCM ni pamoja na kazi kubwa sana zilizofanywa na Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka hii mitatu. Zinatupatia ujasiri na jeuri ya kuwa barabarani, kwenda kuzungumza na wananchi kwa sababu tunayo mambo ya kusema na kuonesha. Na wananchi wanatuunga mkono. “Lakini pia katika uhusiano kati yetu, CCM tunafurahi sana jinsi ambavyo Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Burundi, Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye ni marafiki. Hivyo vyama vyetu ni marafiki, nchi zetu ni rafiki na hata viongozi wetu ni marafiki, ni wajibu wetu sisi tuendelee kuenzi na kulinda uhusiano na ujirani wetu mwema, kwa ajili ya watu wetu wa pande zote mbili,” amesema Balozi Dk Nchimbi. Kwa upande wake Mhe. Ndikuriyo amesema kuwa CCM na Tanzania kwa ujumla, ni sehemu muhimu kujifunza kwa ajili ya kujiimarisha, hususani wakati huu ambapo Chama cha CNDD – FDD kinaendelea kuisimamia Serikali ya Burundi katika kulinda misingi ya demokrasia inayotokana na utashi wa Warundi. Katika ujumbe wake, Mhe. Ndikuriyo aliambatana na Balozi wa Burundi nchini Tanzania, Mhe. Leontine Nzeyimana na maofisa wengine wa Chama cha CNDD - FDD kutoka Burundi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5c5ec6d6740ad129e182b2574c198a8f946548e7eeed610599421a349ca2f71f
432
2,334
1
0
0
0
1.16
61
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qZR
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Wazazi na walezi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu wa madrasa na walimu wa skuli pamoja na kujua taarifa na mienendo ya watoto wao ili kupata wataalamu na wanazuoni wabobezi wa baabae. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid IITISWAM uliopo TUNGUU KWA SHEMEGO Wilaya ya Kati Unguja mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa. Amesema kuwa kuwafatilia vijana katika suala zima la kupata elimu zote mbili kutapelekea kupata walaalamu watakao weza kulisaidia Taifa katika kusimamia miradi mbali mbali ya kimaendeleo pamoja na kupata wanazuoni watakao watakaoitetea dini ya kiislamu kwa ushahidi wa Qur-an na Sunna. Alhajj Hemed amesema suala la wazazi na walezi kuwasiamamia vijana katika mambo mema yakiwemo suala la Elimu na Ibada ni suala la lazima kwani kufanya hivyo ni kutimiza wajibu wao na kujiweka huru na masuala mbele ya M.Mungu kwani kila mzazi ni mchunga juu ya mtoto wake. Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar amesema kuwa maisha ya duniani ni mapito tu hivyo ni lazima kujiandaa kwa kufanya Ibada pamoja na kuwaandaa watoto katika suala zima la kuwapatia elimu yenye manufaa hapa duniani na kesho akhera. Sambamba na hayo Alhajj Hemed amewataka wazazi na walezi kuwafuatilia watoto wao wanaoingia skuli katika mkondo wa jioni kwa skuli ambazo bado wanafanya hivyo kwani serikali ya awamu ya Nane (8) inayoongozwa na Dkt. Hussein Ali Mwinyi inahakikisha inaendelea kujenga skuli za ghorofa kila sehemu ili kuwawezesha wanafunzi kusoma mkondo mmoja tu na kupata elimu iliyobora kwa maslahi ya taifa. Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Ustadh. RAJAB R’DHAN CHOUM amewaasa waumini wa Dini ya Kiislam hasa wale waliomo kwenye Ndoa kuacha tabia ya kutoa Talaka kiholela jambo ambalo linamkirihisha sana Allah (S.W) na kupelekea kuwasambaratisha watoto na kukosa malezi yaliyo bora kutoka kwa wazazi wawili. Amesema kuwa kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wazazi kususiana watoto wanapoachana huku wakijua kuwa kufanya hivyo ni kuwakosesha haki zao za msingi na kupelekea Taifa kuwa na watoto wengi wa mtaani na kuongezeka kwa mambo maovu na machafu baina yao. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6aea8d9fae55aa737c881ca1b8ccf73a998a5ca51d83de9c34981c947a1d666f
428
2,305
1
0
0
0
0.23
72
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/pkr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimempongeza kwa dhati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi kwa kuendelea kujali na kuwajengea mazingira rafiki wafanyakazi nchini kwa kuanza kutoa posho ya nauli ya kuwapeleka kazini pamoja na kuongeza posho ya likizo. Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo Zanzibar Khamis Mbeto Khamis, katika mahojiano maalum huko Afsini kwake Kisiwandui. Alisema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na uamuzi huo wa busara,hekima,utu na mapenzi ya dhati kwa wafanyakazi nchini yatakayoongeza ari,ufanisi na uwajibikaji wenye viwango katika sehemu za kazi. Katika maelezo yake Katibu huyo Mbeto, alisema Rais Dkt.Mwinyi ameendelea kuenzi kwa vitendo dhamira ya CCM ya kuhakikisha wananchi wa makundi mbalimbali wanaendelea kupata maendeleo endelevu bila ya kujali tofauti za kisiasa,kidini na kikabila. “Tunampongeza sana Rais wetu Dkt.Hussein Ali Mwinyi kwa kazi kubwa anayofanya ya kuinua maslahi ya makundi mbalimbali hivyo nasaha zangu naomba tuendelee kumuamini na kumuunga mkono”, alisema Mbeto. Alisema uongozi wa Dk.Mwinyi unaendelea kuandika historia kubwa na iliyotukuka nchini kwa kuchukuwa hatua, kuanza kutoa Posho la nauli za kwenda kazini na kurudi nyumbani ya TZS. 50,000 kwa watumishi wote wanaostahiki kulipwa posho na Jumla ya TZS. 34,099,500,000 zimetengwa na Serikali kwa ajili ya posho la usafiri. Sambamba na hilo Rais wa Zanzibar Mwinyi ameeleza dhamira yake ya kuhakikisha serikali inaongeza fedha kwa ajili ya posho ya likizo ya jumla ya TZS. 2,523,814,700 zimetengwa na Serikali kwa ajili ya likizo katika bajeti mpya ya mwaka wa fedha 2024/2025. Katibu huyo wa Idara ya Itikadi na Uenezi Zanzibar Mbeto, amesema kupitia hotuba ya Dk.Mwinyi,ameelezea hatua zilizopigwa na serikali katika kutimiza malengo ya kufikia ajira 300,000 zilizotajwa katika Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 ambapo kwa sasa tayari amefikia jumla ya ajira 187,651 sawa na asilimia 104 ya lengo la ajira 180,000 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Mbeto, alisema mafanikio yanayoendelea kupatikana katika sekta mbalimbali nchini yanatokana na matunda ya utekelezaji mzuri wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ab1d1bd4928f384c18dfb2ac8fd9bf0648f13559be6e2c02a463f681aa5646a6
410
2,381
1
0
0
0
2.44
56