url
stringlengths
19
212
text
stringlengths
608
109k
index
stringlengths
64
64
word_count
int64
100
18.1k
character_count
int64
504
91.1k
line_count
int64
1
1
fraction_of_duplicate_lines
float64
0
0
fraction_of_characters_in_duplicate_lines
float64
0
0
symbol_to_word_ratio
float64
0
1
fraction_of_words_without_alpha
float64
0
10
num_of_stop_words
int64
5
1.2k
https://www.mof.go.tz/faqs
### Frequently Asked Questions The United Republic of Tanzania Ministry of Finance Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road P.O.BOX 2802, 40468 Dodoma. **Email Address** **Phone** Please use the feedback form obtained in contact us section. Wizara ya Fedha ina jukumu la kusimamia shughuli za uendeshaji wa minada kwa mujibu wa Kifungu cha 6 cha Sheria ya Waendesha Minada, Sura ya 227, ilitungwa na kuanza kutumika mwaka 1928 na kufanyiwa marekebisho mwaka 1930, 1994 na 2002. Leseni hizi zimekuwa zikitumiwa katika uendeshaji wa minada ya hadhara, ukusanyaji wa madeni, ushuru, tozo, udalali wa mahakama, udalali wa nyumba, viwanja, n.k. Ili mwombaji aweze kupewa Leseni anatakiwa kujaza fomu ya maombi ambayo ni lazima ithibitishwe na Katibu Tawala wa Wilaya anakofanyia Biashara. Fomu ya maombi ya Leseni iliyojazwa kikamilifu huwasilishwa ikiwa na viambatisho vifuatavyo:- - Tax Clearance Certificate ambayo hutolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). - Nakala ya Hati ya Usajili wa Biashara inayotolewa na BRELA. - Nakala ya Leseni ya Biashara inayotolewa na Halmashauri/Manispaa - Nakala ya Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) How Service FProviders (SPs) can join GePG? Two Cases to join GePG. For Service Providers (SPs) with Billing Systems these are steps to join GePG - Fill the GePG Registration (SP and Admin User from SP) Form that are provided by Ministry of Finance (GePG). - Integrate the Billing system with GePG according to required standard (API) provided by Ministry of Finance. - Conduct and present Test case Result to GePG for decision making. - Prepare training to all GePG users with its cost incurred by SP facilitated by one or two facilitators from Ministry of Finance. - Present Bank Account details for both commercial banks as well as in Bank of Tanzania. - Prepare Revenue Sources and Targets - Prepare Revenue Collection Centers - Prepare two ICT officers who will be responsible to manage GeFG. system. For Service Providers (SPs) without Billing Systems these are steps to join GePG - Fill the GePG Registration Form that are provided by GePG. - Prepare Training Budget for GePG System that its cost will be incurred by SP. - Present Bank Account details for both commercial banks as well as in Bank of Tanzania. - Prepare Revenue Sources and Targets - Prepare Revenue Collection Centers - Prepare two ICT officers who will be responsible to manage GePG. system. - PSPs Write the application letter to Permanent Secretary, Ministry of Finance requesting to join GepG. - Ministry of Finance (GePG) after receiving the application logs the request and Call PSPS for Sensitization session. - Request is forwarded to Procurement Department for processing - PSP are engaged by procurement. - Once procurement process has initiated, PSPs are given technical details and requirements for testing environment. - Once internal procurement process has been completed, PSPs are informed and to sign a standard contract for engagement of service providers for facilitating integration to GePG. - Integration to live environment starts after signed a standard contract. Leseni hizi hutolewa kwa Kipindi cha Mwaka mmoja au nusu mwaka (miezi sita) kwa kufuata mwaka wa Kalenda (Januari hadi Disemba kwa gharama ya shilingi 150, 000/=, Januari hadi Juni au Julai hadi Disemba kwa gharama ya shilingi 75,000/=). Mwombaji wa Leseni ataingia katika tovuti ya Wizara ya Fedha (www.mof.go.tz) na kisha kuponyeza GAMIS Portal kwenye *Quick Links*. Kujisajili mara ya kwanza bonyeza *Create Account.*Jaza taarifa zinazohitajika kwenye ukurasa wa* Registration *kisha* bonyeza Register.* Ili kufanya maombi ingia kwenye Mfumo bonyeza *Auctioneer* kisha bonyeza +*Add Auctioneer Licence. *Kwenye ukurasa wa Add Auctioneer Licence jaza kikamilifu Taarifa zinazohitajika. Baada ya kukamilisha usajili na kuingia (*Sign in*) kwenye mfumo Bonyeza Documents ili kupakua (*download*) fomu ya Maombi (*Application Form*). Baada ya kupakua Fomu ya maombi, mwombaji atapaswa kuijaza kikamilifu na kuiwasilisha kwa katibu Tawala wa Wilaya kwa ajili ya Uhakiki na Saini. Vile vile, Mwombaji anapaswa kuhakikisha kuwa na nyaraka zifuatazo ;- - Tax Clrealance Certificate inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA); - Certificate of Corporation/Incorporation zinazotolewa na BRELA; - Leseni ya Biashara inayotolewa na Halmashauri/Manispaa; - Nakala ya Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) Mwombaji atapaswa kuzi scan nyaraka hizi ili aweze kuzi – attach kwenye Mfumo. Bonyeza *Choose File* ku – attach Nyaraka katika chumba husika na kisha Bonyeza *Save *kwenda hatua inayofuata. NB: *Kumbuka kuwa kwenye Usajili zinaingizwa taarifa za Mtu kwa niaba ya Kampuni, lakini kwenye ukurasa huu JAZA TAARIFA ZA KAMPUNI NA SIO MTU.* Mfumo wa GAMIS Portal unaonyesha Status ya Maombi ya Leseni kama ifuatavyo ;- - Requested – Maombi yametumwa - Rejected – Maombi yamekataliwa - Awaiting for Payment -Fanya malipo - Paid – Malipo yamekamilika Iwapo maombi yako yamekataliwa (Rejected) bonyeza *Details* kuona sababu za maombi kukataliwa. Bonyeza *Edit* kufanya marekebisho na kisha wasilisha upya maombi (*Re – Submit*). Mfumo wa GAMIS Portal umeunganishwa na Mfumo wa Malipo wa Serikali wa GePG. Baada ya maombi kukubaliwa mwombaji atapewa control Number na maelekezo ya kufanya malipo. Bonyeza **Datalis** kupata *Control Number.* Malipo haya yanaweza kufanyika kwa njia ya Benki, Mawakala au Mitandao ya Simu. Malipo haya yanapaswa kukamilishwa ndani ya Siku Thelathini (30). Endapo mwombaji hatalipa ndani ya siku hizo anapaswa kuomba upya control number kwa ajili ya kufanya malipo husika. Baada ya kukamilisha malipo Mwombaji atafika katika Ofisi ya Msimamizi wa Mali za Serikali ya Mkoa alipo kwa ajili ya kuchukua Leseni yake. Mwombaji atapaswa kwenda na nyaraka halisi alizoziambatisha wakati wa kuwasilisha Maombi. Mwombaji hatapewa Leseni yake iwapo hatakwenda na nyaraka husika au ikionekana kuna Tofauti kati ya nyaraka alizoziambatisha na nyaraka halisi, nyaraka anazopaswa kwenda nazo ni; - - Fomu ya Maombi; - Tax Clearance Certificate; - Certificate of Registration/Incorporation; na - Leseni ya Biashara. Mwombaji anapaswa kuomba kibali cha kusajili chombo husika kwa kuwasilisha maombi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha likiambatana na nyaraka zifuatazo; - Mkatataba wa mauzo uliotolewa wakati wa mnada - Uthibitisho wa malipo yaliyofanyika kwa ununuzi wa chombo husika - Taarifa ya ukaguzi (Vehicle Inspection report) kutoka Jeshi la Polisi inayoonesha ubora wa gari kuweza kutumika (Road worthness). Baada ya kujiridhisha na taarifa hizo zilizowasilishwa, Wizara ya Fedha hutoa ridhaa ya usajili wa chombo husika kwa kuijulisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iweze kuendelea na taratibu za usajili wa chombo hicho
cd7e0e372a0854a6c9a9951790a910e7f17f016a875c908adfff735456a6b205
1,025
5,705
1
0
0
0.097561
6.15
72
https://www.ccm.or.tz/ccm-kuhusu
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilianza rasmi Februari 5, 1977 kutokana na kuunganishwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa chama tawala Tanzania Bara, kikiongozwa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala Zanzibar kikiongozwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Amaan Abeid Karume. CCM imekuwa ikishinda chaguzi za Urais toka mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa nchini Tanzania huku pia kikipata idadi kubwa ya wabunge wa Bunge la Muungano na Baraza la Wawakilishi. Baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi CCM imeendelea kuiongoza Tanzania kutokana na kushinda chaguzi zilizofanyika tangu1995. Viongozi walioweza kushinda kwa tiketi ya CCM kwenye chaguzi hizo ni Benjamin Mkapa,Jakaya Mrisho Kikwete na Dk. John Joseph Pombe Magufuli. Viongozi walioshika Uenyekiti wa CCM miaka waliyoongoza ikiwa kwenye mabano, ni; CCM inazo Jumuiya tatu ambazo zinafanyakazi kwa kuyaunganisha makundi ya Vijana (Umoja wa Vijana wa CCM), Wanawake (Umoja wa Wanawake Tanzania- UWT) na Jumuiya ya Wazazi Tanzania. Jumuiya hizi kila moja ina viongozi ambao moangilio wake unafanana na ule wa CCM yenyewe kuanzia ngazi ya Mwenyekiti Taifa hadi ngazi za matawi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5eb0b03c7ad0de2b474a97128095bc517cb9a47b6dd21f58fe135307963f2312
271
1,555
1
0
0
0
0.74
29
https://www.ccm.or.tz/ccm-idara
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Idara ya Organaizesheni ni moja kati ya Idara nne za CCM. Idara hii imeanzishwa kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la 2017 Ibara ya 107 (1). Idara hii ndiyo injini ya Uendeshaji wa Chama kwani ndio Idara inayohusika na ** Masuala yote ya Wanachama;** kwani Chama kisicho na Wanachama ni sawa na gunia tupu ambalo haliwezi kusimama. Idara hii ndio inayoshughulika na Idara ya Organaizesheni ndio inayosimamia ** Jumuiya za Chama na Sehemu ya Wazee.** CCM ilianzisha Jumuiya za CCM ili ziwe ni mkondo wa kufikisha Sera zake na Siasa ya CCM kwenye Makundi yote ya Kijamii kwa upande mmoja, na kuwa mkondo wa kuitafutia CCM Marafiki na Wanachama kutoka kwnye makundi hayo kwa upande wa pili. CCM pia inathamini sana mchango wa Wazee katika maendeleo ya Taifa letu, ndio maana ikaanzisha sehemu ya Wazee ili kuwawezesha Wazee kurithisha kwa Taifa busara, hekima na ujasiri wao ndani ya Jamii. Wahenga walisema, Idara ya Organaizesheni ndio inayosimamia** masuala yote ya uchaguzi wa ndani ya CCM na ule wa kushika Dola.** Viongozi wa Cham a cha Kijamaa huchaguliwa kwa kura za wanachama na huongoza Chama kwa ridhaa yao. Lakini pia Chama chochote cha Siasa duniani lengo lake kuu huwa ni kushinda uchaguzi ili kushika dola na kuunda Serikali. Kwa kuwa toka Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar nchi hii imekuwa chini ya Uongozi madhubuti wa CCM, ndiyo kusema Idara hii imetimiza vema majukumu yake. Idara ya Organaizesheni ndiyo inayosimamia ** Katiba Muundo Kanuni, na Taratibu za Chama na Jumuiya za CCM.** Hii ndiyo kusema Idara hii ndiyo inayohakikisha wakati wote kuwa Katiba ya CCM, Kanuni zote za Chama na Jumuiya zake, Muundo wa Chama na Taratibu mbalimbali zikiwemo taratibu za Sehemu ya Wazee zinakiwezesha Chama kutekeleza madhumuni ya kuundwa kwake. Idara hii ndio hufanya marekebisho ya miongozo hii kwa mujibu wa mahitaji ya Chama kwa wakati husika. Bila shaka utaona kuwa utulivu uliopo CCM ukilinganisha vyama vingine vya Siasa hapa nchini unatokana na utekelezaji mzuri wa wajibu huu. Hii ndio sababu tukasema Idara hii ndiyo ** injini** ya Chama. Idara ya Uchumi na Fedha ni miongoni mwa Idara tano za **Chama cha Mapinduzi** zinazoongozwa na Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa ambazo zimeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 105 ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017. Idara hii inaongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa wa Uchumi na Fedha ambaye ni **Dkt. Frank George Haule Hawassi**. Majukumu ya msingi ya Idara yameainishwa na kutajwa bayana kwenye Ibara ya 107(4) (a)-(e) ya Katiba ya CCM, kama ifuatavyo: Ili kurahisisha na kuleta ufanisi wa utendaji kazi za Chama, muundo wa Idara ya Uchumi na Fedha umegawanywa katika vitengo vitatu muhimu ambapo kila kitengo kimegawanywa pia katika sehemu (Sections) na kupangiwa majukumu mahsusi ya kila siku ya kusimamia, kufuatilia na kutekeleza. Vitengo vya Idara ni hivi vifuatavyo: Pamoja na majukumu ya Kiidara, Idara pia inayo majukumu mengine ya msingi ya kusimamia na kuratibu shughuli zote za Baraza la Wadhamini wa CCM kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM zikiwemo shughuli za vikao, usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio ya vikao vya Baraza la Wadhamini wa Chama Cha Mapinduzi. Kwa kuzingatia utajiri mkubwa Chama kilionao hususan katika eneo la Rasilimali Ardhi na Rasilimali Wanachama, Idara ya Uchumi na Fedha ina wajibu wa msingi wa kuhakikisha rasilimali hizi zinatumika kikamilifu katika kukiimarisha Chama kiuchumi na kimapato hatua ambayo itakiwezesha Chama kuhudumia kwa ufanisi majukumu yake ya kisiasa na uendeshaji wa Ofisi. Idara ya mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni moja kati ya Idara za CCM Makao Makuu inayoundwa na Ibara ya 107 kifungu cha 3 ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la 2017. Idara hii inafahamika zaidi kama idara inayoshughulika na kujenga uhusiano wa kimataifa, hata hivyo ukweli ni kwamba idara hii inashughulikia mambo mengi na muhimu ndani ya nchi yanayojenga taswira njema ya CCM kwa wananchi. Kwa kifupi tunasema, idara hii inajihusisha na kazi za Chama nje ya Chama ndani ya Umma. Kwa mujibu wa Katiba ya Chama Cha Mapinduzi, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa inajukumu la msingi la kufuatilia hali ya Kisiasa Nchini. Kwa lugha nyepesi ina kazi ya kufuatia hali ya maisha ya wananchi wa Tanzania, kijamii na kiuchumi kwa ujumla. Idara hii pia ndiyo yenye jukumu la kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Nchini, kuona kwamba tumefanikiwa kwa kiasi gani kutekeleza Ilani yetu, ni kwa kiasi gani tumeondoa kero na changamoto zinazowakabili wananchi wetu na kukishauri Chama namna ya kukabiliana nazo. Ukiacha mbali jukumu la kufuatilia maendeleo ya Jumuiya za Kijamii nchini, na kushughulikia na kusimamia masuala ya Itifaki ndani ya Chama, Jukumu lingine kubwa na muhimu la Idara hii ni kuratibu uhusiano na ushirikiano wa CCM na Vyama vya Siasa vya Kidugu , Kirafiki na vya Kimapinduzi. Aidha, Idara ina jukumu la kufuatilia hali ya kisiasa katika nchi jirani na nchi nyinginezo duniani na kufuatilia maendeleo ya kijamii ya Kamati za Urafiki na Mshikamano kati ya Watanzania na wananchi wa nchi Rafiki. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
41aadbd2670dd3d58ddaae439e2c770ad7d77deeb0bcdae39171f29bdcf69617
920
4,765
1
0
0
0
1.85
146
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/K5J
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI AJIANDIKISHA KUPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA, ATOA WITO WATU KUJITOKEZA KWA WING Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024. Akizungumza baada ya kujiandikisha, Balozi Nchimbi aliwasisitiza wananchi umuhimu wa kujitokeza kwa wingi kuandikishwa, akisema kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha ushiriki wao kwenye mchakato wa kidemokrasia. Uandikishaji wa wapiga kura wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kwenye daftari la wakaazi, ulianza tarehe 11 Oktoba, 2024 na utamalizika tarehe 20 Oktoba 2024. Balozi Nchimbi amewahimiza wananchi kutumia siku zilizobaki kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa mwezi ujao, akisisitiza kuwa kila kura inahesabika na inaweza kuleta mabadiliko makubwa kwenye jamii, ikizingatiwa kuwa viongozi watakaochaguliwa watakuwa na jukumu la kusimamia maendeleo ya mitaa yao. Balozi Nchimbi amesisitiza umuhimu makundi yote katika jamii kushiriki kikamilifu, hususan vijana na wanawake, kutambua nafasi yao ya kipekee katika mchakato huu, ikiwa pia ni sehemu muhimu kwao kujihusisha na siasa kwa lengo la kuleta maendeleo katika kijamii. Pamoja na kuwasisitiza wananchi wajiandikishe na kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi, Balozi Nchimbi alisema uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni fursa kwa wananchi kuchagua viongozi wenye maono na uwezo wa kuongoza na kusimamia shughuli za maendeleo kama vile elimu, afya, maji safi, na miundombinu. Aidha, Katibu Mkuu ameendelea kuwataka wananchi na wadau wote wa uchaguzi, kudumisha amani na mshikamano, kuepuka kuchochea chuki katika jamii, na kuzingatia taratibu za kisheria, ili kuhakikisha maslahi ya taifa na tija kwa wananchi, vinakuwa mbele, kabla, wakati, na baada ya uchaguzi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3284f8c49eb7b1465f576119a425c92d64591fbc126414d32d7c9af407170407
353
2,069
1
0
0
0
1.7
44
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/J7v
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU KATIBU MKUU CCM-BARA AFANYA MAZUNGUMZO NA KANSELA KUTOKA UBALOZI WA NORWAY TANZANIA Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg.John Mongella amekutana na kufanya mazungumzo na Kansela kutoka Ubalozi wa Norway Ndg.Ingrid Norstein kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma leo tarehe 09 Oktoba,2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
444ff4587a03fa6bda8d2e40058c322c97aa22b63cce6c60c05752661b85d02f
131
742
1
0
0
0
0.76
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/GQ3
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KISHINDO CHA SHINYANGA MAPOKEZI YA NCHIMBI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili na kupokelewa rasmi Mkoa wa Shinyanga, leo tarehe 9 Oktoba 2024, tayari kuanza ziara ya siku tatu katika maeneo mbalimbali ya wilaya za mkoa huo. Balozi Nchimbi ambaye ameambatana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (Suki), Ndugu Rabia Hamid Abdalla, ameingia Shinyanga akitokea Mkoa wa Simiyu, ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 - 2025, kusikiliza kero na changamoto za wananchi kisha kuzitafutia majawabu na kuhamasisha uimara wa CCM kuanzia ngazi ya mashina. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7db10f104e90f5901aa398692a4f0312b335c21706ebead9c5153f972b65d6a4
201
1,097
1
0
0
0
2.99
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/E64
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## KATIBU MKUU CCM AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MASWA MASWA Wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mji wa Maswa wakifuatilia na kushiriki kwa makini mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, katika Viwanja vya Madeco mjini hapo, leo tarehe 8 Oktoba 2024. Balozi Nchimbi, ambaye ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, pamoja na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdallah Hamid, yuko katika ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Simiyu, aliyoianza tarehe 6 Oktoba, mwaka huu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
bf630b09a956e33f382f022f620d3c5fa082227fcc6ebcc20a7aff49ceaf7561
186
1,001
1
0
0
0.537634
2.69
21
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/DJ5
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## SIMIYU NA CCM, NCHIMBI AKIWASILI ITILIMA Mapokezi makubwa wananchi na wanaCCM wa Itilima wakimpatia mapokezi makubwa Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi alipowasili eneo la Lugulu kwa ajili ya kuwasalimia, akiwa njiani kuelekea wilayani Maswa, leo tarehe 8 Oktoba 2024, ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake ya kikazi Mkoa wa Simiyu, ambayo ameambatana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Makalla na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdalla Hamid. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0c307b61af45d1e05da6504036756cf42f979a5c6fef62cd16927926c0b192f6
172
935
1
0
0
0.581395
2.91
18
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/BRW
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## DKT NCHIMBI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MWANDOYA-KISESA Wananchi wa Kata ya Mwandoya, Jimbo la Kisesa, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, alipokuwa akizungumzia masuala na hoja mbalimbali kutoka kwa wawakilishi wao, Ndugu Basu Kayungilo, Diwani wa Kata ya Mwandoya na Ndugu Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa, leo tarehe 7 Oktoba 2024. Balozi Nchimbi alisimama Mwandoya kuwasalimia wakazi wa eneo hilo na kuzungumza nao masuala ya maendeleo yanayohusu jimbo hilo la Kisesa, akiwa njiani kuelekea Mwanhuzi, Meatu, ambapo ni mwendelezo wa ziara yake ya siku 3, mkoani humo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
fa38b35f58baf9f948cdf237eaec9606b7524a540567e25145245b6c84e0fd97
185
1,045
1
0
0
0.540541
2.16
16
https://www.orpp.go.tz/
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imepongezwa kwa namna ambavyo imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Vyama vya Siasa vinajiendesha kama taasisi na kwa kuzingatia sheria na taraatibu za kidemokrasia. Soma zaidi.. Karibu kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa . Kupitia tovuti hii, utapata taarifa za uhakika juu ya shughuli za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na taarifa za uhakika juu ya Vyama vya Siasa. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imejikita katika usimamizi wa Sheria ya Vyama vya Siasa Na 5 ya mwaka 1992 na Sheria ya Gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 ili kuhakikisha uwepo na ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imepongezwa kwa namna ambavyo imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Vyama vya Siasa vinajiendesha kama taasisi na kwa kuzingatia sheria na taraatibu za kidemokrasia. Soma zaidi.. Baraza la Vyama vya Siasa limeafiki kutoa pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuimarisha Demokrasia nchini kwa kuboresha Baraza la Vyama vya Siasa nchini. Soma zaidi.. Watumishi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa vya TEHAMA na kuwa makini wanapokuwa katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha wanalinda unyeti wa ofisi hiyo. Soma zaidi.. Rais Samia amekipongeza Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini kwa kazi nzuri walioifanya ya kuchambua maoni ya wadau kwa kipindi cha miezi 10. Soma zaidi..
5fb13ab6ced51fa65f7b8950f37b8b5f0d83af89948c906692cd8f8f442d126b
254
1,302
1
0
0
0
1.97
29
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/A9p
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## DKT NCHIMBI AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM BARIADI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Hamid Abdalla, amefika kuwapatia pole familia ya Bi. Juliana Wilemahongo, aliyefariki dunia tarehe 15 Septemba 2024. Bi Wilemahongo hadi anafikwa na mauti, alikuwa ndiye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bariadi, akiwa amejitolea kutumikia nafasi hiyo ya uongozi kwa vipindi vitatu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
db159cf489c2eae4fa002ee9bac4828f8dfdf2507eebe101821a058bf297efc9
178
993
1
0
0
0.561798
2.25
18
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/zxO
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## SHIKAMOO SIMIYU, YAJA NA MITANO TENA Maelfu ya wananchi wa mji wa Bariadi na vitongoji vyake waliofurika kwenye mkutano mkubwa wa hadhara mjini hapo wamemtuma Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kufikisha salamu zao kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa wanamhitaji agombee na aendelee kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mingine mitano katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Umati huo mkubwa wa wananchi ulionesha matamanio hayo kwa kutamka maneno “mitano tena” huku wakinyoosha mikono juu baada ya kuulizwa iwapo kauli zilizotolewa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2025 katika sekta mbalimbali za maendeleo kwenye maeneo yao ni za kweli, na wangependa kutuma salamu gani kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuthibitisha kuwa uongozi wake umewagusa. Akizungumza na maelfu ya wananchi na wanachama wa CCM katika mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa CCM Bariadi, mkoani Simiyu, Balozi Nchimbi aliwaahidi kufikisha salamu hizo kwa uzito ule ule walivyomtuma, kwanza kwa wingi wao walivyojitokeza mkutanoni na pili kwa kunyoosha mikono mingi hewani, vyote vikidhihirisha mapenzi yao kwa CCM na Rais Dkt. Samia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM. “Leo kila mtu ameona jinsi ambavyo Simiyu mlivyotikisa. Ni mapokezi ya heshima na ni salamu tosha kuwa CCM inakubalika na Dkt. Samia anakubalika sana, na ujumbe wa salamu zenu nimeupokea nitaufikisha. Tumefurahishwa na taarifa za utekelezaji na usimamizi wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM. Imetekelezwa na kusimamiwa vizuri sana. Nawapongeza Kamati ya Siasa ya Mkoa, ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa, Ndugu Shemsa, pamoja na watendaji wote wa Serikali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa. Wanafanya kazi nzuri sana,” alisema Balozi Dkt. Nchimbi huku akiitikiwa kwa shangwe na vigelegele. Aidha, Balozi Nchimbi amewaambia wananchi wa Simiyu kuwa Dkt. Samia alivyopokea dhamana ya kuongoza nchi, wapo waliokuwa hawakuamini kuwa miradi iliyoachwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli, hasa ile mikubwa ya kimkakati, ingekamilika. Lakini kwa sasa kila Mtanzania ni shahidi kuwa miradi yote inaendelea vizuri katika hatua mbalimbali na mingine imekamilika na inatumika. Balozi Nchimbi pia amewaambia wananchi kuwa adhabu sahihi ya wanasiasa waliofilisika kisera na hoja, wanaohamasisha vurugu katika jamii kwa siasa za udini, ukabila, ukanda na kuchoma moto vitu, ni kuwanyima kura na kuipigia kura nyingi CCM. Balozi Nchimbi pia amesisitiza wananchi kuwa mstari wa mbele kwenye kulinda amani ya nchi yetu, na inapotokea mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani, akemewe kwa ‘macho makavu’ usoni na akataliwe bila kumuonea haya. Balozi Nchimbi yupo mkoani Simiyu ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo, akitarajiwa kufanya ziara kwa siku tatu kabla ya kuelekea Mkoa wa Shinyanga, akiwa ameongozana na Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Ndugu Amos Makalla, pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdalla Hamid. 🗓️06 Oktoba 2024 📍Bariadi, Simiyu Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
94fa48a2e8a78d05dd9590f71a829f9adfcc2b78a92ad9b0b75800d89c4f8088
552
3,078
1
0
0
0.181159
0.91
77
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/yJg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## UDINI NI HATARI, KUCHOMA NGUO NI UTOTO Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa vitendo uwezo wa kuongoza nchi na dhamira ya kuwahudumia wananchi wanyonge. Dkt. Nchimbi alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Lamadi, Wilaya ya Busega na Kata ya Dutwa, wilayani Bariadi, mkoani Simiyu, kwa nyakati tofauti leo, tarehe 6 Oktoba 2024. Hii ni sehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu katika mkoa huo, ambapo alieleza kuwa CCM imekuwa ikiandaa viongozi wake kwa ufanisi. “Kiongozi aliyeandaliwa vizuri hueleza mipango yake waziwazi anapopewa nafasi: ‘Nikitwaa madaraka, nitafanya moja, mbili, tatu.’ Lakini kiongozi ambaye hajakomaa, anapewa nafasi ya kuzungumza na kuanza kuhamasisha maandamano, kuchoma nguo, au kuzomea watu, hapo unajua bado hajakomaa na anahitaji muda wa kujifunza zaidi.” “Katika CCM, hatuna viongozi wanaoshikilia madaraka kwa miaka 40. Viongozi wanachaguliwa, wanapungua, na wengine wanapewa nafasi. Ukiangalia baraza la kwanza la mawaziri la Tanganyika, leo hii hakuna hata mmoja aliyebakia kwenye baraza. Kila uongozi unaleta sura mpya. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu wa miaka mitano iliyopita, leo hayupo. Hii ndiyo CCM.” Balozi Nchimbi alisisitiza kuwa hii ndiyo sababu CCM kinaendelea kuwa chama chenye nguvu, kijana kuliko vyama vingine nchini, kwani uhai wa chama unategemea wanachama na viongozi wake. “Huwezi kusikia mwanachama mkongwe wa CCM akishabikia udini au ukabila. Lakini kuna viongozi wa vyama vingine ambao wameonyesha kushabikia hayo kwa sababu hawana historia ya kuijenga nchi hii, wala hawajui maumivu ya watu wake. Wao hawaitazami nchi kwa mbali, ndiyo maana wanaweza kutoa matamshi bila kujali madhara yanayoweza kutokea,” aliongeza Balozi Nchimbi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3a24a66f4b31232ad67864e5e70bc0e443bf3aea84d8ba2775a9d4058c8b58ab
357
2,070
1
0
0
0.280112
1.12
40
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wRz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## HODI SIMIYU, NCHIMBI AKIANZA ZIARA YA SIKU 3 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu, leo tarehe 6 Oktoba 2024, ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatu mkoani humo. Balozi Nchimbi ambaye ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Makalla na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (Suki), Ndugu Rabia Hamid Abdalla, ameanza ziara mkoani Simiyu kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 - 2025, kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi, kukagua uhai wa Chama kuanzia ngazi ya mashina na pia kuhamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, utakaofanyika mwezi Novemba, mwaka huu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f42301ea4b53653c5077cec4a4e4930536f50da2132ad8f9eca41dc4d4a5b7fa
219
1,165
1
0
0
0.456621
3.65
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/v9M
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KATIKA MIKOA YA SIMIYU NA SHINYANGA Katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi pamoja na serkrtariet ya CCM Taifa wanatarajia kuanza ziara katika mikoa ya simiyu na Shinyanga kuanzia tarehe 6-11 Oktoba 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
05418b1d1b2935edb3dde5d9da6335d3622adf65c4b5da4dea4c42d106017314
125
687
1
0
0
0
1.6
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/rMW
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. WATUMISHI CCM WANOLEWA KUHUSU FURSA ZA MASOMO NJE YA NCHI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), kimefanya mafunzo kwa watumishi wa chama na jumuiya zake kuhusu umuhimu wa kujiendeleza kielimu kupitia fursa zinazopatikana kimataifa. Mafunzo hayo yamefanyika Oktoba 3, 2024 katika ukumbi wa ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma na kuhudhuriwa na watumishi wa CCM, Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Jumuiya ya Wazazi (WAZAZI) na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Akifungua mafunzo hayo ya siku moja, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. John Mongella amewataka watumishi wa CCM kuchangamkia fursa za kujiendeleza kielimu ili kuwa weledi katika nafasi wanazozitumikia ndani ya chama na jumuiya zake. Amesema chama kupitia idara ya SUKI, kitajitahidi kutafuta fursa hizo, lakini mtumishi mmoja mmoja hana budi kuzitafuta kwa njia mbalimbali ikiwemo kutumia mitandao ya kijamii. Naibu Katibu Mkuu, Ndg. Mongella alifuatana na Katibu wa NEC, ambaye ni Mkuu wa Idara ya SUKI, Ndg. Rabia Abdalla Hamid na Katibu wa NEC, Organaizesheni, Ndg. Issa Gavu. Kwa upande wake, Ndg. Rabia amesema kujiendeleza kielimu ni muhimu kwa kuwa kunamfanya mtumishi kujipatia maarifa mapya kulingana na mabadiliko mbalimbali yakiwemo ya sayansi na tekinolojia. Ndg. Rabia alizishukuru nchi ambazo zimekuwa zikitoa fursa za mafunzo kwa watumishi na makada wa CCM, ikiwemo Uingereza ambayo kupitia Taasisi ya Chevening imekuwa ikitoa ufadhili wa masomo kwa Watanzania. Ndg. Rabia amewapongeza watumishi wa CCM, UWT, WAZAZI na UVCCM kwa kuhudhuria mafunzo hayo, ambayo yamewaongezea mwanga kuhusiana na ufadhili wa masomo unaotolewa na Taasisi ya Chevening kwa kushirikiana na serikali ya Uingereza. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
fd2026984e27cbe54ce917e1c6bda020dcf3b070f9fded684d3e115088489848
346
1,951
1
0
0
0
0.58
38
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qMk
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## CCM YAIOMBA SHIRIKA LA KTI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA TANZANIA KUWAWEZESHA VIJANA NA WANAWAKE Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (MCC) Ndg. Rabia Abdallah Hamid, Septemba 19, 2024 Chini Uingereza amefanya mazungumzo na Bw. Will Straw, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kings Trust International (KTI) na kuiomba Taasisi hiyo kuendelea kushirikiana na serikali katika kuwawezesha vijana na wanawake. Aidha, Ndugu Rabia amewasilisha ombi kwa Taasisi hiyo kuona uwezekano wa kuanzisha mashirikiano na Tanzania hususani kwa ajili ya programu za kuwezesha wanawake. Alieleza kwamba, uwezeshwaji vijana ni moja wapo ya ajenda ya kipaumbele ya Serikali ya Chama cha Mapinduzi. Ameongezea kwamba, katika kuendeleza uchumi wa vijana na wanawake Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya jitihada kubwa kuwezesha vijana na wanawake kupitia programu mbalimbali kama vile utoaji wa ardhi kwa vijana na kuwapatia ruzuku kujishughulisha na kilimo; kuwapatia vifaa salama vya uvuvi ili kukuza uvuvi endelevu; kuwapatia vifaa vya kupikia kama vile majiko ya gesi ili kujilinda na athari za mabadiliko ya tabianchi. Taasisi hiyo inajishughulisha na kuwezesha vijana kupata ujuzi mbalimbali ili waweze kuingia kwenye soko la ajira. KTI, ilianzishwa mwaka 1976 na Mwana wa Mfalme, Charles ikiitwa kama Prince’s Trust na imekuwa ikifanya kazi hizo za kuhamasisha mafunzo mbalimbali kwa vijana ili kukuza vipaji vyao na kuwawezesha kupata ujuzi mbalimbali katika masuala ya biashara, ujasiriamali, ubunifu na teknolojia. Mwaka 2015, Taasisi hiyo ilipanua wigo wa huduma zake na kuanza kufanyakazi katika nchi 25 za Jumuiya ya Madola (JYM). Hivyo, ilibadilishwa jina na kuitwa Prince Trust International (PTI). Kupitia program zake, Taasisi hiyo imeendelea kuwawezesha vijana kujitegemea na kuchangia maendeleo ya jamii wanazoishi. Mwezi Julai 2024, Taasisi hiyo ilibadilishwa jina na kuitwa Kings Trust International (KTI) kufuatiwa kutawazwa kwa Mfalme Charles III wa Uingereza. Kupitia Mkutano huo, Bw. Straw amemueleza Ndg. Rabia kazi zinazofanywa na Taasisi yao ya kuwasaidia vijana kupata ujuzi na ufundi wa ziada ya mafunzo ya darasani. Ameongezea kwamba vijana hao kupitia mchezo wa Enterprise Challenge wanafundishwa kubuni mawazo ya kibiashara ambayo baadae hushindanishwa na washindi kupewa mitaji midogo ya kuweza kutekeleza miradi au biashara walizobuni. Aidha ameongezea kwamba, nchini Tanzania, Taasisi hiyo inafanyakazi na Asante Africa Foundation kupitia After School Clubs katika shule 20 nchini, ambapo wanafunzi wanapewa vifaa kama computers, laptops na kupatiwa mafunzo ya ubunifu wa mawazo ya biashara. Lengo la kuwapatia ujuzi wa ziada ni kuwawezesha kuingia katika soko la ajira. Pamoja na hayo Taasisi hiyo inafanya kazi na Mo Dewji Foundation kusaidia vijana kupata ujuzi kupitia mitaala inayoendanana soko la ajira ya sasa na utaalam wanaopata unasaidia kupata ufadhili wa masomo kupitia scholarships. Vilevile, ameelezwa kwamba KTI ipo katika mazungumzo na Benk iza CRDB na NMB kwa lengo la kushirikiana katika kuwezesha vijana wa Kitanzania kupata ujuzi wa ujasiriamali, ufundi, ubunifu, teknolojia na kuweza kujitegemea na kuchangia katika uchumi wa nchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
cb1b3f08ad076d89ee17b689fa47a121becd927c7c065c4429639605c329a903
556
3,250
1
0
0
0.179856
1.44
82
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/pXm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## CCM YASISITIZA UHUSIANO WA KIMATAIFA KUIMARISHA UCHUMI NA MAENDELEO YA WATU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa Serikali na Nchi ya Tanzania, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuweka msisitizo katika kuimarisha uhusiano wa kimataifa wenye manufaa ya kiuchumi na maendeleo ya watu. Balozi Nchimbi amesema kuwa urafiki na uhusiano wa kidiplomasia unapaswa kuendelea kuwa mojawapo ya njia sahihi katika kuboresha ushirikiano wa pande mbili kimataifa, kati ya nchi na nchi, au nchi na majukwaa mbalimbali ya kimataifa. Katibu Mkuu huyo wa CCM amesema hayo alipokutana na mabalozi wanaowakilishi nchi zao hapa nchini, kutoka nchi za Brazil na India, pamoja na Mkuu wa Idara ya Mambo ya Nje ya Chama Tawala cha Msumbiji (FRELIMO) na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Friedrich Ebert Stiftung (FES), nchini Tanzania. Katika mazungumzo na viongozi hao, yaliyofanyika kwa nyakati tofauti tofauti, leo 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam, Balozi Nchimbi amesema mojawapo ya utekelezaji wa Ilani ya CCM unaofanywa na Serikali ya CCM, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kuendelea kuboresha uhusiano wa kimataifa, hasa kupitia diplomasia ya uchumi, kwa ajili ya kuimarisha uchumi, maendeleo ya watu na kubadilishana uzoefu kwenye uongozi na demokrasia. Wakati wa mazungumzo na Balozi wa Brazil nchini Tanzania, Mhe. Gustavo Martins Nogueira na Balozi Nchimbi, viongozi wote wawili walionesha msisitizo na utayari wa kuendelea kuboresha uhusiano kati ya Tanzania na Brazil kwa ajili ya manufaa ya pande zote mbili, hasa katika nyanja za afya, kilimo na michezo. Kwenye mazungumzo ya Balozi Nchimbi na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Bishwadip Dey, viongozi hao wamezungumzia umuhimu wa kuendelea kuenzi ushirikiano wa kimkakati kati ya nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali, zikiwemo teknolojia, biashara na elimu, ikizingatiwa India ni mojawapo ya nchi zilizopiga hatua kubwa za kimaendeleo katika maeneo hayo. Katika mazungumzo ya Balozi Nchimbi na Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa FRELIMO, Komredi Alcinda Antonio de Abreu, pande zote mbili zimesema urafiki na udugu wa damu uliopo kati ya Tanzania na Msumbiji utaendelea kuenziwa kwa kushirikiana kadri inavyohitajika, kama ilivyo ada tangu wakati wa kupigania ukombozi wa kisiasa wa Nchi za Kusini mwa Afrika, na sasa mkazo umeelekezwa kwenye ukombozi wa kiuchumi na kuendelea kuboresha hali za maisha ya watu. Aidha, katika mkutano wa Balozi Nchimbi na Mkurugenzi Mkaazi wa FES nchini Tanzania, Bwana Christian Denzin, ambaye alimtembelea Katibu Mkuu wa CCM kwa ajili ya kujitambulisha, pande zote mbili zimekubaliana kuendeleza ushirikiano wa muda mrefu kati ya CCM na shirika hilo la nchini Ujerumani, hasa katika kuimarisha uwezo na uzoefu katika nyanja za uongozi na demokrasi, kupitia miradi mbalimbali ya mafunzo ya viongozi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
8bc2664cdc831f5fd17c839e6c991845ce88ab1bf2de45776421c0e4fc54a373
533
2,972
1
0
0
0.187617
0.56
63
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/o6k
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## KATIBU MKUU WA CCM AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MKAAZI WA SHIRIKA LA FES UJERUMANI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Friedrich Ebert Stiftung (FES) la nchini Ujerumani, Bwana Christian Denzin, aliyefika ofisini kwa Katibu Mkuu wa CCM kwa ajili ya kujitambulisha na kuzungumza mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya CCM na FES, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar ES Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7644df80c32f2dfa5ebce48b16e84cd1947b8074c8917295d7e1c6a139202995
170
934
1
0
0
0.588235
1.76
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/nNP
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ## KATIBU MKUU WA CCM AFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA IDARA YA UHUSIANO WA KIMATAIFA FRELIMO Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Idara ya Uhusiano wa Kimataifa wa Chama Tawala cha Msumbiji (FRELIMO), Komredi Alcinda Antonio de Abreu, kuhusu masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya Msumbiji na Tanzania, kwa upande mmoja na CCM na FRELIMO kwa upande mwingine, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
e752de18793f8f50a5f0793d6e1ff52b56cb5dad2c528311e37a4d1fb7fc9f0a
174
942
1
0
0
0.574713
1.72
18
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/mMn
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania, Mhe. Bishwadip Dey, kuhusu masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya India na Tanzania, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
740e14a46293b67a8abb1ebe2081b6a230a55ef519b46c5b5adfba1fbe3e0e97
150
829
1
0
0
0
1.33
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/lMV
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA BRAZIL NCHINI TANZANIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Brazil nchini Tanzania, Mhe. Gustavo Martins Nogueira, kuhusu masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano kati ya Brazil na Tanzania, leo tarehe 19 Septemba 2024, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a6c8184c8e6da857f332b3f5892d51454ffb3d42fe04c8a32126fe57213c4e8a
151
842
1
0
0
0
1.32
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/kOK
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NUKUU ZA KATIBU MKUU WA CCM AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi akizungumza na wahariri na waandishi wa habari leo 13 Septemba 2024, Lumumba Dar es Salaam Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7c57a56dd6205e491542479dace78f799ca8acb7cbccbb01a0c07f41e983cd07
120
657
1
0
0
0
1.67
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wRg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. HAPI APOKELEWA KIBAHA VIJIJINI AWAONYA VIONGOZI WASIOWAJIBIKA ATAKA WASILAUMU CHAMA KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu. Ally Salum Hapi (MNEC) akiwa Kibaha Vijijini amepigilia msumari suala la viongozi waliopo madarakani kuhakikisha wanafanya kazi na kutoa mrejesho kwa wananchi waliompatia madaraka hayo kuwaongoza hususani katika kipindi hiki ambacho wataingia katika kugombea nafasi zao na kuomba ridhaa kwa wananchi kuwachagua badala ya kuja kulalamika baada ya kushindwa katika chaguzi. Hapi alisema katika wakati huu ambao wanaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa chama hakitaunga mkono wagombea wasiotokana na wananchi ambao watakuwa na wakati mgumu katika kuwatafutia kura "Hatutaki wagombea wa kuunga unga, tunataka mgombea ambaye wananchi watahitaji awaongoze na ndiyo tutashinda katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao" alisema Hapi Hapi amewataka wanaccm na viongozi kujenga utaratibu wa kukaa katika vikao kutatua changamoto zinazowakabili kwa kufuata utaratibu uliowekwa na chama cha mapinduzi Kwa upande wake mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Pwani Mwishehe Mlao amewanyoshea kidole wale wote wanaoendelea kusababisha mivutano ndani ya chama hicho na kufanya wananchi wasikipende chama huku mwenyekiti wa chama wilaya ya Kibaha vijijini akisema hakuna migogoro bali ni jeuri ya baadhi ya wanaccm. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6bb417d07c4759de5223a8017ef2d99cae315d5f02cae856813f26db94b7138e
284
1,686
1
0
0
0
0
39
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/v9L
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. COMRADE MONGELLA AWASILI KAHAMA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM John Mongella, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, amewasili mjini Kahama leo, tarehe 7 Septemba 2024, kwa ziara ya siku moja wilayani humo. Ziara hii inalenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama ya 2020-2024. Mongella pia amekutana na Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kahama kwa madhumuni ya kuboresha utendaji wa kazi za chama. Ziara yake mkoani hapa inatarajiwa kudumu kwa siku saba. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
87b226fe7419cf9ffb386fbbee94adaf53e2f04d7002fa554b18fcc1b176b5b8
161
881
1
0
0
0
1.86
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/pXX
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RATIBA YA ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM ZANZIBAR 9-12 SEPTEMBA 2024 Ratiba ya ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM zanzibar Dkt. Mohammed Said Mohammed (dimwa) pamoja na wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Zanzibar kutembelea na kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya zote kisiwani - Pemba kuanzia tarehe 09 septemba, 2024 hadi 12 septemba, 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5be35e6628ffe2dbb7ff0942a838992d2c8e3545885b8e0b57b5020c5bb18fac
149
802
1
0
0
0
4.7
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/o6A
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MONGELLA AKUTANA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM SHINYANGA MJINI Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba 6, 2024, amekutana na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Shinyanga mjini, wajumbe wa baraza la jumuiya, na mabalozi katika ukumbi wa CCM Wilaya ya Shinyanga mjini. Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM pamoja na viongozi wa serikali, akiwemo wakuu wa idara wa Manispaa ya Shinyanga. Mongella ameanza ziara ya siku saba mkoani Shinyanga kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2024 na kuimarisha uhai wa chama. Katika ziara hiyo, atafanya mikutano ya hadhara na ya ndani ili kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi wa mkoa wa Shinyanga. Ziara hiyo itamfikisha katika maeneo ya Shinyanga Vijijini, Kahama, Msalala, Kishapu, na Ushetu, ambako atakutana na viongozi wa chama na wananchi kujadili namna bora ya kuimarisha utekelezaji wa sera za chama kwa maendeleo ya mkoa. Pia, ziara hii inalenga kuwahamasisha wanachama wa CCM kushiriki kikamilifu katika shughuli za chama na kushughulikia kero za wananchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
02adc89f852887c9c087c7de8c8d8f6eb3ee83ee82653a6644d63b2d6b312d5e
256
1,421
1
0
0
0
1.17
28
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/nNY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM NI CHAMA IMARA , CCM NDO CHAMA CHA MATUMAINI ENDELEENI KUKIAMINI . Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla akizungumza maelfu ya Wananchi waliofurika katika eneo la Mundarara wilayani Longido amesema kutokana na utekelezaji bora wa Ilani kumekuwa na ongezeko la Wanachama wengi kujiunga na CCM hata wa Upinzani wanazidi kujiunga CCM hii inadhirisha kuwa CCM ni Chama imara na Chama cha matumaini na ndo kina wajibu wakushughulika na shida za Wananchi. 🗓️ O5 Septemba, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
2ba549e50a5098e211729ddb68f5ba6f61097679123b5fab66a1beacc8fb76bb
167
916
1
0
0
0
2.4
21
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/mME
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA NDG JOHN MONGELLA APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2020-2024 MKOA WA SHINYANGA Naibu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa ziara ya chama ya siku saba leo, tarehe 6 Septemba 2024. Mongella ni mlezi wa CCM Mkoa wa Shinyanga. Pamoja na kutia saini kitabu cha wageni, Ndugu Mongella pia amepokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama 2020-2024 kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
99a03a180b4d4a982303c868197b1dd5dbb95897d968e426792bf530dd81e86a
191
996
1
0
0
0
2.09
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/lM7
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. DKT SAMIA AMELETA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA ELIMU - CPA MAKALLA Shule za High School zilikuwa chache lakini leo zipo kila Mkoa, Miongoni mwao za Wasichana zikiwa na Michepuo ya Sayansi Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla leo Septemba 05, 2024 amekagua Ujenzi katika Sekondari ya Samia ya Wasichana Mchepuo wa Sayansi iliyopo Wilayani Longido Mkoani Arusha. CPA. Makalla akiambatana na Viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM) amezungumza na Wanafunzi na Walimu kwenye Sekondari hiyo, ambapo amesema Rais na Mwenyekiti wa Chama hicho Dkt Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kuleta mapinduzi Makubwa Kwenye Sekta ya Elimu hapa nchini. "Nataka niwaambie kitu kimoja kuwa, tumefika hapa kwa Sababu enzi hizo nasi tulisoma kama Ninyi, kwa hiyo mnapaswa kuongeza Jitihada kwenye masomo ili nanyi muwe Viongozi Bora kwa Siku zinazokuja" "Pongezi nyingi zimuendee Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Mapinduzi makubwa kwenye sekta ya Elimu, kwa Sababu Zamani high school zilikuwa Chache, lakini Rais Dkt Samia amefanya mapinduzi kwenye Elimu, ambapo kwa Sasa Kila Mkoa unayo shule ya Mfano ya Wasichana Mchepuo wa Sayansi, hayo ni maono yake na Sisi kama Chama hatuna budi kupongeza na kuunga mkono Jitihada zake" amesema CPA. Makalla. 🗓️05 Septemba,2024. 📍 Longido Samia girls Secondary school Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7df66fd85bfcedd4e2f24ca2b0e09927b4989e7a8eaff69e7f96399adad9c7d3
291
1,609
1
0
0
0
1.72
37
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/kOr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU KATIBU MKUU CCM (BARA) JOHN MONGELLA AANZA ZIARA MKOANI SHINYANGA Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo tarehe 05 Septemba 2024 ameanza ziara ya siku saba mkoani Shinyanga. Lengo kuu la ziara hii ni kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2024, kuimarisha uhai wa chama, na pia kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi wa mkoa huo. Mongella, ambaye ni mlezi wa chama mkoani Shinyanga, anatarajiwa kufanya mikutano ya ndani na hadhara, pamoja na vikao na watumishi wa chama na jumuiya zake. Katika ziara hiyo, atatembelea maeneo ya Shinyanga Mjini, Shinyanga Vijijini, Kahama, Msalala, Kishapu, na Ushetu, ambapo atakutana na viongozi na wananchi kujadili namna bora ya kuimarisha utekelezaji wa sera za chama kwa maendeleo ya mkoa huo. Kupitia ziara hii, Mongella anatarajiwa pia kuhamasisha wanachama wa CCM kushiriki kikamilifu katika shughuli za chama na kuwa mstari wa mbele katika kutatua kero zinazowakabili wananchi. Ziara hii ni sehemu ya mikakati ya CCM ya kuhakikisha inaendelea kuwa karibu na wananchi na kujibu na kutatua kero zao kwa vitendo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0dccb37ffc6ed73477159fb22f37f9ff8984c95bacb98de1eef38076dc770612
256
1,421
1
0
0
0
1.17
33
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/jOY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MWENEZI MAKALLA ATEMBELEA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA 'NAMANGA ONE STOP' ARIDHISHWA KWA KAZI NZURI . "Nimeridhika na kazi mnayoifanya hapa 'Namanga One Stop Border Post' nimejionea foleni ya magari sio kubwa, pamoja na kazi nzuri mnayoifanya endeleeni kuhakikisha suala la foleni linaisha kabisa huku mkiondoa urasimu pamoja na yote muongeze Ushirikiano kwani kwa sasa tupo Vizuri Sisi na majirani zetu wa Afrika Mashariki". "Jambo la Mwisho wapeni Ushirikiano hawa wafanyabiashara wa hapa mpakani wasikwame wanapotaka kufanya kazi na kizuri nimeambiwa kiwanda cha Nyama kinafanya kazi". Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo wakati alipotembelea mpaka wa Namanga leo wakati akiwa kwenye Ziarani Mkoani Arusha. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5391e53a7becfaa1efd3d200522259e9836e81e1baab0ffddfa27e78016464aa
197
1,132
1
0
0
0
0.51
23
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/gQZ
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM HAIHUSIKI NA MANENO YALIYOSEMWA ALIYEKUWA MKUU WA LONGIDO - CPA MAKALLA CCM inashinda Chaguzi zake kwa haki na sio Kwa kubebwa bebwa na itaendelea kushinda kwa sababu tumejipanga vizuri kushinda chaguzi zijazo Sisi ni Chama kiongozi tumekubali kutokwenda Ngorongoro wenzetu waige Mfano wetu . "Nimekuja Arusha kwa ajili ya kumalizia maeneo ambavyo wakati tunakuja kwenye ziara ya Katibu Mkuu hatukufika Ngorongoro,Karatu na Monduli ,lakini niliomba nafasi kwenda Ngorongoro kuzungumza na wananchi lakini tulivyoomba kibali tulikatazwa na sababu sie ni Chama kiongozi tumekubali na wenzetu wajifunze kwetu na hii ni Ujumbe kuwa tunaheshimu utawala wa kisheria". "Hata yule jamaa wa Longido aliyoyasema sio maneno ya Chama mie kama Msemaji wa Chama niseme yalikuwa maneno yake na ukimsikiliza alikosa hoja huko vichani sijui alifata nini sisi Chama cha Mapinduzi hatujamtuma na hatuhusiki na maneno sisi tunajipanga kushinda kwa haki na imekuwa kawaida ya kushinda kwa haki hivyo niwaambie Wananchi na Watanzania yalikuwa maneno yake na sio msimamo wa Chama". Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amesema hayo wakati akizungumza Katika kikao cha ndani na Viongozi na Wanachama wa Mkoa wa Arusha. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
456b58d36cb5e667236d18ef85c845785cbf95a24929178dfa81ff5876dfe28d
271
1,535
1
0
0
0
0.74
44
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/0XV
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MWENEZI WA CCM AWASILI MKOANI ARUSHA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla akizungumza na Mwenyekiti CCM Mkoa Arusha Loi Thomas Ole Sabaya(katikati) na Katibu wa CCM Mkoa Arusha Mussa Dadi Matoroka mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kuanza ziara yake ya siku sita katika Mikoa ya Arusha na Manyara Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
e2d334c7a63ba12783da941eb01d386bd6f8519e04933bf1a565d2c40fc5393f
150
812
1
0
0
0
0
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/9L8
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ZIARA YA KATIBU MWENEZI WA CCM MKOANI ARUSHA NA MANYARA Ratiba ya Ziara ya Katibu Mwenezi wa CCM Taifa CPA Amos Makalla katika mikoa ya Arusha na Manyara kuanzia Tarehe 4 hadi 9, Septemba 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
1656703b81709ddbcb81bcef7c1f46545a24c83139cd2792564dde9c89d42777
120
646
1
0
0
0
2.5
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/7W8
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MWENYEKITI WA CCM DKT SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU MAALUM JIJINI DAR ES SALAAM Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya CCM, inayokutana jijini Dar Es Salaam, Jumapili Septemba 01, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
7c09586a8e01154d707ad87e81e185e8e648247c30d8230641a22e64ee8cb05e
137
752
1
0
0
0
1.46
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/6YL
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MCHAKAMCHAKA WA MWENEZI MAKALLA AANZA NA UZINDUZI WA SHINA LA WAKEREKETWA LA WAVUVI BEACH MJI MWEMA ACHANGIA MILIONI MOJA Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amefungua shina la Wakereketwa la Wavuvi Beach Mji Mwema Kigamboni. CPA Makalla akifungua shina la Wakereketwa amesema "nawapongeza sana Viongozi wa Chama kwa kunileta hapa kufungua Shina hili la wakereketwa kwani Chama Cha Mapinduzi nguvu yake kubwa ipo kwenye mashina kama ilivyo kwenye jumuiya zake kama vile Vijana ambao ndio wanaleta Hamasa nanyi watu wa Shina Uchaguzi huu ni mtatumika kukiombea kura Chama Cha Mapinduzi kwani tumelifungua wakati muafaka lakini nitawachangia Milioni Moja kwa ajili ya kuendeleza Shina". 🗓️ 27 Agosti, 2024. 📍 Kigamboni Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
aca3305a420549624c5079548131aa7d9abd2a7b3fb6ce1176bb062677a32dfc
198
1,112
1
0
0
0
2.02
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/5Aq
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAPOKEZI YA KATIBU WA NEC-ITIKADI, UENEZI NA MAFUNZO CPA MAKALLA WILAYA YA KIGAMBONI Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa CPA Amos Makalla 27 Agosti 2024 amepokelewa na Viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam wa Kichama na Serikali katika Wilaya ya Kigamboni tayari kwa kukagua na Kusikiliza kero kwa Wananchi wa Kigamboni Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
d8ed72938055b2dced19bc108cd2a0c9d5cd2b4f5af8923f29e889bfcb7bb80f
141
765
1
0
0
0
1.42
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/4Wg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA RAIS XI JINGPING WAPONGEZWA CHINI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa idara ya mambo ya nje ndugu Liu Jianchao ambaye amesema kuwa CPC na Serikali yake wanatambua juhudi kubwa za kuleta maendeleo zinazofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. katika ,mazungumzo hayo yaliyofanyika beijing China , Agosti 26,2024 Balozi Nchimbi pamoja na kufikisha salamu za Mwenyekiti amesema kuwa Tanzania kwa ujumla wanaichukulia China kama mfano wa kuigwa , chini ya uongozi wa Rais Xi Jinping CPC imeweza kuiongoza China kupiga hatua za maendeleo makubwa kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
044e78ca06e352763c71367e504a17c6d1c614e6077d33c252dd25d3ed12c76e
193
1,065
1
0
0
0
2.07
22
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/3Y4
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM YAMCHANGIA LISSU SHILLINGI MILLIONI TANO -UNUNUZI WA GARI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Nchimbi,akishuhudia Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) - Oganaizesheni,Issa Ussi Haji Gavu akionesha zaidi ya Sh. Mil. 5 zilizochangwa na Wana CCM Pamoja na Wananchi katika Mkutano wa hadhara wa CCM, za kusaidia matengenezo ya gari bovu la Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Antipas Tundulisu. Tukio hilo limetokea leo Alhamis Agosti 15, 2024 kwenye Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza,wakati Balozi Nchimbi akihitimisha leo ziara yake ya siku mbili jijini humo.Kulia ni Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
20585c5b63520fd939560afec56b9769a0e1e4b9a1a68b10b950a11c84f58472
189
1,063
1
0
0
0
2.12
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/2Gj
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM YASHIRIKI TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 CCM YASHIRIKI TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndgu. John Mongella ameshiriki kwenye uzinduzi wa Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi huku mgeni rasmi wa uzinduzi huo akiwa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohammed Mchengerwa. Mchengerwa amesema "uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania Bara kwa mwaka 2024 utafanyika Novemba 27 na Upigaji wa kura utaanza saa mbili kamili asubuhi na kumalizika saa kumi kamili jioni. Waziri Mchengerwa ameyasema hayo leo Agosti 15,2024 Jijini Dodoma , wakati akitoa tangazo la uchaguzi wa serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 lililoambatana na uzinduzi wa nembo itakayatumika kwenye uchaguzi pamoja na utolewaji wa muongozo wa uchaguzi huo" "Nafasi zitakazogombewa katika uchaguzi huu ni Mwenyekiti wa kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake), wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi la wanawake) na wenyeviti wa vitongoji katika Mamlaka za Wilaya.Kwa nafasi hizo,uchaguzi utaendeshwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya za Mwaka 2024 (Tangazo la Serikali Na. 571 la Mwaka 2024), nyingine ni Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo. Kwa nafasi hiyo, uchaguzi utaendeshwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji Midogo za Mwaka 2024 (Tangazo la Serikali Na. 572 la Mwaka 2024), Nakuongeza kuwa "nafasi nyingine ni Mwenyekiti wa kijiji, wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi mchanganyiko la wanaume na wanawake), wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji (kundi la wanawake) na wenyeviti wa vitongoji katika Mamlaka za Miji. Kwa nafasi hizo, uchaguzi utaendeshwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024 (Tangazo la Serikali Na.573 la Mwaka 2024) na Mwenyekiti wa mtaa na wajumbe wa kamati ya mtaa (Kundi Mchanganyiko la Wanaume na Wanawake) na wajumbe wa kamati ya mtaa (Kundi la Wanawake) katika Mamlaka za Miji. Kwa nafasi hizo, uchaguzi utaendeshwa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mtaa na Wajumbe wa Kamati ya Mtaa katika Mamlaka za Miji za Mwaka 2024 (Tangazo la Serikali Na. 574 la Mwaka 2024), " ameeleza Mchengerwa Aidha, katika hatua nyingine Mchengerwa amezitaka Taasisi zinazotaka kutoa elimu ya mpiga kura kufanya maombi maalumu kupitia kwa Katibu Mkuu wa ofisi ya Rais TAMISEMI ili wapate kibali cha kutoa elimu hiyo kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Ndg. Juma Ali Khatibu amesema wao kama Baraza la Vyama vya Siasa hawategemei kuona migogoro baada ya Uchaguzi kwani kuna maisha mengine yataendelea baada ya Uchaguzi. Pia ametoa wito kwa watendaji wa TAMISEMI watakaohusika katika usimamizi wa mchakato wa uchaguzi huo kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa haki na weledi na kuzingatia Taaluma zao na misingi ya Haki ili kutimiza zile 4R za Rais Samia. Naye Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa Martin Shigella amesema ushiriki wa Viongozi wa vyama vya siasa katika mchakato wa leo unakwenda kuongeza hari na hamasa kwa wananchi kushiriki katika uchaguzi huo. "Hata sisi kule mikoani tuna viongozi wa vyama vya siasa na tunashirikiana nao Sana katika kuhakikisha uchaguzi huu una kuwa wa haki na uhuru ili kuhakikisha wanapatikana viongozi bora ambao watatanguliza maslahi ya Taifa mbele," ameeleza Shigella Kampeni za UCHAGUZI wa serikali za mitaa 2024 zitafanyika siku saba kabla ya siku ya uchaguzi. Aidha, Kanuni zinaelekeza, kila Chama cha Siasa kinachoshiriki uchaguzi kitawasilisha ratiba yake ya mikutano ya kampeni ya uchaguzi kwa Msimamizi wa Uchaguzi si chini ya siku saba kabla ya kuanza kwa kampeni. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
cf177a05acbac2b27390923081b40ac1bf351be5bfb3feec898846e17ef3120e
710
3,827
1
0
0
0
2.82
76
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/1V0
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NCHIMBI AUNGURUMA UWANJA WA FURAHISHA -MWANZA Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi katika uwanja wa Furahisha Mkoani Mwanza ambapo amezungumza na Wanachama wa chama hicho na Wananchi wa Mkoa wa Mwanza leo tarehe 15 Agosti 2024. Katika mkutano huo katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla aliongoza wanachama wa CCM katika zoezi alilo lianzisha lakuweza kumchangia Mheshimiwa Tindu Lissu wa Chadema mchango wakufanya matengenezo ya Gari lake. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a5689300cc55076f924dcae433f0043f0bcf357cb6c32369c4bbadcf674b5bb0
161
910
1
0
0
0
1.24
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ZZ2
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI NA WAJUMBE WA CCM MKOA WA MWANZA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na viongozi na wajumbe wa CCM Mkoa wa Mwanza leo Agosti 15, 2024 katika Ukumbi wa Kwatunza Mkoani Mwanza, Katibu Mkuu hii leo atafanya Mkutano wa hadhara katika uwanja wa Furahisha . Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
adbdfed89b9585f471c9d3f08476f900614baf72c419a9cf0c112b1bc08871aa
143
771
1
0
0
0
2.1
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/YVO
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NCHIMBI ATUA MWANZA NA MAAGIZO WIZARA YA UJENZI Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameielekeza Wizara ya Ujenzi kuharakisha mchakato wa kumpata Mkandarasi mpya atakayejenga Barabara ya kutoka Sengerema hadi Nyehunge, jimboni Bushosa yenye urefu wa Kilometa 54.5, ili kazi ya ujenzi ianze mapema. Aidha ameitaka Wizara hiyo, kuimarisha mchakato wa kukagua Wakandarasi ili wapatikane Wakandarasi wenye uwezo. Balozi Dokta Nchimbi amesema hayo Agosti 13, 2024, alipokuwa akizungumza na wananchi wa Nyehunge Jimboni Buchosa wilayani Sengerema,mara baada ya kuwasili Jijini Mwanza kuanza ziara yake ya siku 2 mkoani humo. Balozi Nchimbi ameelekeza mchakato ufanyike haraka ili Mkandarasi apatikane na kazi ianze ya ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha Lami. Kuhusu kuimarisha uwezo wa kubaini Wakandarasi wenye uwezo, Balozi Dokta Nchimbi amesema hiyo itasaidia kwani wako Wakandarasi ambao wana historia ya kuharibu kila sehemu,na wanakimbilia Tanzania. Amesema kamwe watu wasipewe kazi kwa majaribio. Awali Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Mkandarasi huyo wa kituruki pia alipewa kazi Kyela mkoani Mbeya ambako ndiko alikoanza,lakini akaanza kusuasua. Mhandisi Kasekenya amesema baada ya kuona Mkandarasi huyo anasuasua Kyela,Serikali ilifuatilia na ikaona uwezo wake ni mdogo. Amesema kutokana na kubaini hilo,Serikali iliamua kusitisha Mkataba licha ya kwamba alikua ameshakabidhiwa hiyo Barabara. Amesema Serikali ilitambua uwezo wa Mkandarasi huyo ni mdogo na amefafanua kwa sasa Serikali inakamilisha taratibu za kuvunja huo Mkataba ambao ni mkataba wa kimataifa. Mhandisi Kasekenya amesema baada ya hapo,Serikali itatafuta Mkandarasi mwingine na kusema kama sheria itaruhusu, aliyekua wa pili apewe Kandarasi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
5aa9cef566a6a0415cbd895c7c8042b81d68c03729186f4dfe41df5febc37b53
332
2,011
1
0
0
0
1.2
33
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/XY8
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AZUNGUMZA NA WANANCHI WA JIMBO LA MISUNGWI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Jimbo la Misungwi , jana Jumatano Agosti 14, 2024, mara baada ya kuwasili na kupokelewa Mkoa wa Mwanza, kuanza ziara ya siku 2 ya kikazi mkoani humo, akitokea Mkoa wa Geita. Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu Balozi Nchimbi ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Ndugu Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa - Oganaizesheni, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. Malengo ya ziara hiyo ya Katibu Mkuu wa CCM ni pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020 - 2024, kukagua na kuhamasisha uhai wa CCM, pamoja na kuzungumza na kuwasikiliza wananchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f5efd442329e726028e86eb5348b1475bc48554d44664f0c4e764777123f1822
232
1,193
1
0
0
0
4.31
23
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/WW4
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKU WA CCM AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA BUCHOSA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Jimbo la Buchosa, Halmashauri ya Buchosa, Nyehunge, leo Agosti 14, 2024, mara baada ya kuwasili na kupokelewa Mkoa wa Mwanza, kuanza ziara ya siku 2 ya kikazi mkoani humo, akitokea Mkoa wa Geita. Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu Balozi Nchimbi ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Ndugu Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa - Oganaizesheni, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. Malengo ya ziara hiyo ya Katibu Mkuu wa CCM ni pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020 - 2024, kukagua na kuhamasisha uhai wa CCM, pamoja na kuzungumza na kuwasikiliza wananchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
50b709ae49e6d522ec5c710558e2b1cc103d719ec03f0e8e4383158e399abeef
232
1,206
1
0
0
0
3.88
23
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/VJB
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AWASILI MKOANI MWANZA KWA ZIARA YA SIKU MBILI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wananchi wa jimbo la Buchosa wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza leo Agosti 14, 2024, wakati akiwa njiani kuendelea na ziara yake Mkoa wa Mwanza ambako atakua na ziara ya siku 2 Mkoa huo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ff4ee2b5db4c1376fd8e326c4c4cf49d3bd5934f650b01e7589eda4d144ffb5a
143
766
1
0
0
0
2.1
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/R8z
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KASOTA-GEITA VIJIJINI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Kata ya Kasota, Jimbo la Geita Vijijini, leo Agosti 14, 2024, wakati alipokuwa njiani kuelekea Mkoa wa Mwanza kuanza ziara ya siku 2 mkoani humo, baada ya kumaliza ziara ya siku 3 katika Mkoa wa Geita, aliyoianza Agosti 11, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
38507903df0f297ca7765a1ed9268191d1c5ef166d8073d6872bd534c2c53d9b
151
820
1
0
0
0
3.97
13
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/QAM
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. WANASIASA TUCHUNGE NDIMI ZETU-NCHIMBI WANASIASA TUCHUNGE NDIMI ZETU-NCHIMBI Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka wanasiasa nchini, kutumia vizuri ndimi zao na kamwe wasitoe matamshi ambayo yanaweza kuhatarisha amani na utulivu nchini. Balozi Dk. Nchimbi ameyasema hayo Jumanne Agosti 13, 2024 alipokua akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Uwanja, Geita Mjini. Balozi Nchimbi amesema wanasiasa wasijisahau katika kuchagua maneno yanayoweza kuhatarisha amani ya nchi yetu, na kuongeza kuwa wako watu ndani ya wanajisahau, hivyo amewaomba Watanzania wasijisahau. “Wana CCM na Wanasiasa wa vyama vingine wachague maneno wanayoyatumia, kwani wote wanajenga Nchi moja inayoitwa Tanzania ambayo wana wajibu wa kuipenda na kuitumikia kwa nguvu zote.”,amesema Nchimbi Dkt. Nchimbi anaendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Geita,yenye lengo la kusikiliza kero mbalimbali za wananchi, kuangalia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kuimarisha uhai wa Chama cha Mapinduzi. Katika ziara hiyo Balozi Dkt.Nchimbi ameambatana na Ndugu Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) - Oganaizesheni, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo na Ndugu Rabia Abdalla Hamid, Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
fbd713b44ffd4a6de0615313467ff3ab8099aa379e4382ee6710f8b19ee35840
284
1,652
1
0
0
0
1.76
33
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/P6y
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NCHIMBI: CHANGAMOTO ZA BODABODA, MACHINGA ZISHUGHULIKIWE Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dokta EMMANUEL NCHIMBI, ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Geita, kwa kuchukua hatua mbalimbali za kushughulikia changamoto zinazowakabili Bodaboda na Wamachinga mkoani Geita. Changamoto hizo ni pamoja na kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao na kutokamilika kwa ofisi za Bodaboda na Wamachinga. Balozi Dokta NCHIMBI amesema hayo alipokua akizungumzia kero za Bodaboda ikiwemo kuwepo kwa matukio ya kutekwa kwa Bodaboda na Pikipiki zao, na pia changamoto ya kutokamilika kwa Ofisi ya Bodaboda na Machinga mkoani Geita. Amesema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Geita katika uwanja wa Shule ya msingi Uwanja ikiwa ni muendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa. Akijibu kero hizo Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA amesema Serikali mkoa wa Geita, tayari imetekeleza maagizo ya Rais Dokta SAMIA SULUHU HASSAN ya kuwajengea Ofisi Machinga, ambapo tayari Rais Dokta SAMIA alitoa Shilingi Milioni 10 kwa ajili ya kuanza safari ya Ujenzi huo. RC SHIGELA amesema tayari wamejenga na Ramani waliyopewa, waliipanua iwe kubwa zaidi, na wanatarajia mpaka tarehe 15 mwezi wa 9, kutakua na sherehe ya kuwakabidhi Ofisi Machinga na Bodaboda. Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Balozi Dokta NCHIMBI, ametaka Serikali mkoa wa Geita kuongeza kasi ya kuinua wachimbaji wadogo na Wafanyabiashara wadogo mkoani humo. Amesema hayo alipokua akizungumzia kuhusu taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Geita MARTINE SHIGELA inayoonesha wachimbaji wadogo zaidi ya elimu mbili walipata Leseni. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f1da1a2b0c08eaeda2d5433c17bb66defbeadb0d5799c40969ce94618a823c32
323
1,835
1
0
0
0
0.93
42
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/OJB
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. GEITA MJINI IMEITIKA! MKUTANO WA KATIBU MKUU WA CCM. Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi katika uwanja wa Shule ya Msingi Uwanja Geita Mjini ambapo amezungumza na Wanachama wa chama hicho na Wananchi wa Mkoa wa Geita leo tarehe 13 Agosti 2024. Katika mkutano huo katibu Mkuu aliambatana na Manaibu waziri watatu kutoka wizara za Tamisemi, Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Ujenzi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3470b17a0b1473a9e4727ac1bd932f56f9943318785b670b0d59ad3cf02b5b6e
155
836
1
0
0
0
1.29
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/N7m
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU WA CCM AKITETA JAMBO NA NAIBU WAZIRI MKUU -KATORO GEITA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko wakiteta jambo kwa furaha wakati wa mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Katoro Mjini, mkoani Geita wakati wa ziara ya siku tatu ya Dk Nchimbi mkoani humo Agosti 12, 2024. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita. Nicholaus Kasendamila. Dk Biteko ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Bukombe mkoani humo, amehudhuria mkutano huo na kujibu baadhi ya kero zilizotolewa na wananchi zinazohusisha wizara ya Nishati. Amewahakikishia wananchi wa Katoro kuwa maeneo wanaotaka kuunganishiwa umeme tayari amewaagiza maafisa wa wizara hiyo kwenda kuwaunganishia haraka umeme. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
648eb3777712c1760c85e73a88cf9c823a3687317ada143f13ab0240bdfbf17e
204
1,124
1
0
0
0
0.98
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/M7P
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ALICHOSEMA KATIBU MKUU WA CCM SAKATA LA CHADEMA KUSHIKILIWA POLISI “Nimesikia kule Mbeya kulikuwa na tafrani kidogo kati ya Chadema na Polisi, na sisi kwa staili ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan, anapenda sana mambo yawe yanamalizwa kwa kuzungumzwa, badala ya kukimbizana kimbizana kila mahali. “Kwa hiyo nilifanya jitihada za kuwatafuta viongozi wenzangu wa vyama vingine ili nizungumze nao makatibu wenzangu, lakini nikaambiwa yule mmoja wa Chadema ni katika waliokamatwa. “Sasa nikasema kwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani uko hapa, mambo ya sheria, siyo ya kutolea maelekezo Kiongozi wa Chama cha siasa, au siyo? Lakini nitumie nafasi hii, mwambie Waziri wako, kwamba tunaomba, muone uwezekano wale viongozi wa vyama vya siasa waachiliwe. “Ili mtupate nafasi ya kuzungumza nao. Waachiliwe tupate nafasi ya kuzungumza nao, kwa sababu tunajenga taifa moja. Tunapenda kuwa na taifa tulivu. “Kama kuna mahali wamekosea wao au tumekosea sisi, tukae tuzungumze. Tuijenge nchi yetu. Kwa hiyo huu ni ujumbe, mwambie Waziri wako kwamba Chama Cha Mapinduzi kinaamini kwamba kuzungumza ni jambo zuri zaidi. “Kabla vyombo vya sheria havijafanya mambo ya sheria basi mtupe nafasi kidogo sisi wanasiasa kwanza tuzumgumze," Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM. Balozi Nchimbi amezungumza hayo leo Agosti 12, 2024, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake ya siku 3, mkoani humo, aliyoanza Agosti 11, 2024. Katibu Mkuu wa CCM huyo, katika ziara yake hiyo aliyoanzia Mkoa wa Kigoma, kisha Kagera na sasa yuko mkoani Geita, ameambatana na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Ndugu Issa Haji Usi Gavu, Katibu wa NEC - Oganaizesheni, Ndugu Amos Gabriel Makalla, Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo na Ndugu Rabia Hamid Abdalla, Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, ambapo kesho anatarajiwa kuzungumza na wananchi Mjini Geita, kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika Uwanja wa Nyankumbu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
58b9498deb003c09523ba6b6be801472ef522736e6350cb8a95cd293b2e8c675
394
2,167
1
0
0
0
2.03
48
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/KAl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAPOKEZI YA SEKRETRIET YA CCM TAIFA KATORO GEITA Wanachama cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Katoro mkoa wa Geita wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa hadhara leo Jumatatu Agosti 12,2024,wakisubiri kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt.Emmanuel John Nchimbi, ambaye ameongozana na ujumbe wake kuendelea na ziara ya Mkoa wa Geita akitokea mkoa wa Kagera. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
597093eff02c9eccc1dacc8bcd23bd66727dab90651fcfae99287fdef8c28581
141
807
1
0
0
0
0
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Gwr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Kata ya Berega Wilayani Kilosa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Kata ya Berega Wilayani Kilosa mara baada ya kufungua Daraja la Berega katika muendelezo wa ziara yake ya Kikazi Mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
57c632417c6baadc9fa2b09e29d3e6e352d51922ba79630b759271a87237fc82
144
788
1
0
0
0
1.39
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/EKm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AZINDUA HOSPITALI YA WILAYA YA GAIRO AGOSTI 2,2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo mara baada ya kuanza ziara yake ya kikazi Mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
1e66e3885f6c56c1c6eecbd5b3e1cc526f1ad3e12060a9fb966b9e9481746a88
132
721
1
0
0
0
2.27
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/DwA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AZINDUA RASMI SAFARI ZA TRENI YA KISASA (SGR) DAR - DODOMA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi safari za Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar Es Salaam - Dodoma, leo Agosti 1,2024 katika Stesheni ya SGR jijini Dar Es Salaam. Uzinduzi huo ukishuhudiwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pia wakiwemo wasanii na wananchi lukuki. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f7e9d07d98852729f681f35db4f5b2c9c94fd70f2c857510c993d8f616ffd9a1
156
838
1
0
0
0
1.92
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/B12
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI APOKEA TAARIFA UTEKELEZAJI ILANI MCHINGA, AMPONGEZA MBUNGE MAMA SALMA KIKWETE KWA KAZI NZURI "Niseme nimeisikiliza taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, tena kwa umakini sana kwa niaba ya CCM nakupongeza wewe na viongozi wenzako kwa kazi kubwa unayofanya. Umetembelea kata zote na vijiji vyote. Umetumia hadi bodaboda na bajaji kuwafikia wananchi wa Jimbo la Mchinga, unaguswa na changamoto za wananchi wenzako wa Mchinga na unapambana kutatua kero zao kwa kuzisemea Bungeni na kuwaomba mawaziri kufika huku wao wenyewe.” “Wakati wa natazama ile video ya uwasilishaji wa taarifa hiyo ya utekelezaji wa ilani, kuna mama mmoja amesema hakutegemea kwa hadhi yako ulivyo, kwamba ungeweza kulizunguka jimbo zima la Mchinga. Mimi pamoja na wenzangu Wajumbe wa Sekretarieti tumefurahishwa sana ya utekelezaji huu mzuri wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi 2020/2025, ndani ya miaka hii mitatu. Tunakutakia kila la heri katika kumalizia hayo mengine yaliyobakia katika kukamilisha Ilani ya 2020 - 2025.” Naye Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mhe. Salma Rashid Kikwete wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020/2025, amepongeza Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya kwenye nchi yetu ya Tanzania, pamoja na Jimbo la Mchinga, ambapo hadi sasa ambapo takriban Sh. 18.4 bilioni zimetumika katika Sekta ya Elimu ikiwemo kujengwa Shule ya Wasichana ya Mkoa wa Lindi Mchepuo wa Sayansi, iliyojengwa katika Kijiji cha Kilangala huku uboreshaji wa huduma za afya ukifanyika kwa mafanikio makubwa na umeme tayari umefika katika vijiji vyote jimbo zima, sasa unaanza kuunganishwa kwenye vitongoji. Baada ya kuwasilisha taarifa hiyo, Mama Salma Kikwete amekabidhi pikipiki kwa Polisi Jamii wa Jimbo la Mchinga na shule za sekondari katika kata zote za jimbo hilo. 🗓 31 Julai, 2024. 📍Lindi Vijijini Jimbo la Mchinga Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
c1c74e580bca42214f2df73503f08f05f9d22d4a8f4ae5c9ed9b4bca8b5527ab
373
2,067
1
0
0
0
2.41
45
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/A87
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ZIARA YA BALOZI NCHIMBI YAFYEKA ACT, CUF NA CHADEMA KUSINI Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT Wazalendo, CUF na Chadema walioamua kujiunga CCM leo, wakisindikizwa na mamia ya wanachama waliorejesha kadi zao za vyama vya zamani kwa kasi kubwa kwenye mkutano wa hadhara. Katika mkutano huo wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Mpilipili, Lindi mjini, ukiwa ni mwendelezo wa ziara ya Balozi Nchimbi, amewapokea viongozi hao waandamizi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Lindi na Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Mchinga Ndugu Hamidu Bobali akiambatana na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Wanawake wa ACT Wazalendo Lindi Mjini Bi. Hawa Kipara, Meneja Kampeni wa Wabunge ACT Wazalendo Lindi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Vijana CUF Lindi Issa Sapanga, Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Pwani, Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Mchinga, Mwenyekiti wa Wanawake Chadema Lindi Mjini pamoja na Wanachama 250 wa ACT Wazalendo. Wakati akikabidhi kadi yake ya ACT na kujiunga CCM, Ndugu Bobali amesema; “Nimeishi miaka 20 nje ya CCM ambako niliaminiwa sana katika ngazi tofauti ndani ya CUF na ACT Wazalendo hadi kuwa Waziri Kivuli wa Maji lakini nikiri niliyokuwa yanapigania Jemedari Samia ameyafanya kwa nguvu kubwa hivyo sina jinsi isipokuwa kujiunga CCM na kumuunga mkono. Kule upande wa pili tulikokuwa ametupiga kwenye mshono, hakuna tena agenda. Sasa hakuna kingine zaidi ya kazi nzuri za Dkt Samiana wenzangu hawa sasa tupo tayari kumsaidia.” Naye Balozi Nchimbi akiwapokea wanachama hao wa vyama mbalimbali wakiongozwa na ACT Wazalendo amesema “karibuni huku wanachama wote ni sawa na mtapata ushirikiano mkubwa sana kuanzia sasa na kikubwa mmesema mmerudi sababu ya mambo makubwa yaliyofanywa na Dkt Samia nawapongeza kwa kuliona hilo mapema sasa tukaifanye Lindi ya kijani.” 🗓30 Julai,2024. 📍 Lindi Viwanja vya Mpilipili. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3b2b48472cd55cc08fe9237acbe0ff4bbe9910d060fa05383284b103cb15cd7a
395
2,196
1
0
0
0
1.01
41
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/zq5
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RABIA: MRADI WA KUSINDIKA, KUCHAKATA GESI ASILIA UTAIFUNGUA LINDI KWA MAENDELEO Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatambua umuhimu wa mradi wa kuchakata gesi (LNG) kwa maendeleo ya taifa. Akizungumza mkoani Lindi Julai 30, 2024, akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi aliyeongozana na baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti mkoani Lindi, Rabia amesema kuwa mchakato wa utekelezaji wa mradi huo unaendelea. Rabia amesema kuwa utekelezaji wa mradi LNG ni maelekezo na ahadi ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2024 na kwamba mwakani hatua mbalimbali zitafikiwa ikiwamo kutia saini mikataba ya utekelezaji huo. Aidha, amesema kuwa kuanza kwa mradi huo kutazalisha ajira nyingi za kudumu na za muda mfupi kwa wakazi wa Lindi na mkoa huo utaendelea kupata maendeleo kupitia mauzo ya bidhaa na huduma mbalimbali wakati wa utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya sh. trilioni 70. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6ce66fafb7e2f4d0fe2c0cd772f31d484167bdfeb6e76238dfb1692ce6647532
248
1,356
1
0
0
0
1.61
24
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/ypz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA ASHIRIKI KUMBUKIZI YA 3 YA URITHI WA MKAPA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kumbukizi ya 3 ya Urithi wa Мкара katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 31 Julai, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
18cebe34eb3cb906b5875cbad9db405540d4a1302196df2ca9fe0d8ba827d941
139
746
1
0
0
0
3.6
15
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/xoz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI DKT. NCHIMBI AANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI LINDI, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM katika Ukumbi wa Kagwa, Lindi mjini. Kabla ya mkutano huo wa ndani, Katibu Mkuu na msafara wake, walioko katika ziara mikoa ya Mtwara na Lindi, alipokelewa rasmi kwa kuvalishwa skafu na kufanya Kikao cha Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Lindi, katika Ofisi za CCM mkoani humo. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0f45e3b978ecf89d69e2eb64489615df5a1c87e84172a9712263f8100adb7b22
164
879
1
0
0
0
0
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wng
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI ASIMAMISHWA NDANDA, AMPIGIA SIMU WAZIRI TAMISEMI, NAE APOKEA MAELEKEZO UJENZI WA KITUO CHA AFYA ▶ Asisitiza wananchi kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano nchini ▶ Atoa wito kwa Serikali kuhakikisha wakulima wanakuwa salama na wafugaji pia kwani wanategemeana . Msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, 28 Julai ,2024 akiwa njiani kuelekea Mtwara Mjini baada ya kuzungumza na Wananchi na Wanachama wa Masasi amesimamishwa na wananchi katika eneo la Kata ya Nganganga Jimbo la Ndanda wakitaka awasalimie na kuzungumza nao. Akiwa hapo Katibu Mkuu Balozi Nchimbi ameendelea kuwasisitiza Watanzania kuhusu umuhimu wa umoja wa kitaifa kwa kutunza tunu ya amani iliyopo nchini, pamoja na kumpigia simu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akitaka kujua utekelezaji wa ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya, ambapo Waziri alipokea maelekezo na kuahidi kuwa ujenzi utaanza mwezi ujao baada tu ya mwaka wa fedha kuanza. Katibu Mkuu wa CCM na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, anaendelea na ziara ya mikoa miwili inayolenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020/2025, kukagua na kuhamasisha uhai wa CCM kuanzia ngazi ya shina, pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majawabu. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f9599da0648bf5480024977d09645e7a16c3cf6a48b7631b41440ae97a12a060
284
1,580
1
0
0
0
2.11
30
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/vmL
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. KATIBU MKUU DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA HAYATI MKAPA, CCM YATOA MILIONI 10 KUBORESHA MAJENGO YA SHULE LUPASO . Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3, hayati Benjamin William Mkapa katika Kijiji cha Lupaso mkoani Mtwara,Julai 28, 2024, kuhani familia na kuzungumza na wananchi wa Lupaso. Balozi Nchimbi amesema “naomba nikiri kuwa mimi ni mwanafunzi wa hayati na nimekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Taifa (UVCCM), katika kipindi chake. Ndiye alinilipia ada ya kusoma chuo kikuu na alikuwa mfuatiliaji sana na alitulea vizuri. Sio sisi tu, bali Watanzania wote aliwalea pia. Alikuwa mzalendo kwa nchi, alifanya mabadiliko makubwa kwa nchi yake na kwa Chama chake, lakini yote CCM chini ya Dkt Samia tutaendelea kuyaenzi yale yote aliyoyoacha hayati Benjamin Mkapa. Pamoja hayo nimeambiwa kero za hapa na tumezichukua. CCM inatoa shilingi milioni 10 kuanza kukarabati shule ya hapa Lupaso.” Katika ziara hii Dk Nchimbi ameambatana na Katibu wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amosi Makalla, Katibu wa NEC-Organaizesheni Ndg. Issa Ussi Haji (Gavu) pamoja na Katibu wa NEC- Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg. Rabia Abdallah Hamid Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
f2f6bcd1bfe2f36c5072d3373180e4bf0abe5cbbfc54e698869d792ed3323b4d
275
1,512
1
0
0
0
2.18
35
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/rgB
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali haijaridhishwa na kasi ya Ujenzi unaoendelea wa Skuli ya Sekondari ya Makunduchi jambo ambalo linarejesha nyuma dhmira ya Dkt. Hussein Mwinyi ya kuhakikisha anaondoa changamoto zote kwa wananchi ikiwemo ya Elimu kwa wanafuzi wa Mikoa yote ya Zanzibar Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa skuli ya Sekondari ya Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake ya kuitembelea skuli hio kila ifikipo mwisho wa mwezi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema Serikali imeshailipa Kampuni ya Fuchs Contraction Limited shiling Bilioni 4.08 ili kuharakisha umalizikaji wa Ujenzi wa Skuli hiyo lakini kasi ya ujenzi bado inasuasua na kupelekea wanafunzi kuendelea kufuata huduma ya elimu maeneo ya mbali na makaazi yao. Amesema kuwa endapo Mkandarasi kutoka kampuni ya Fuchs atashindwa kumaliza ujenzi wa skuli hio na nyenginezo amabazo zinajengwa na kampuni hio kwa wakati ambao wamekubaliana katika mkataba wao itakuwa wamejinyima fursa ya kufanya kazi ndani ya Zanzibar hasa katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Nane(8) na serikali haitalifumbia macho jambo hili. Amesema lengo la Serikali ya Awamu ya Nane(8) inayoongozwa na Rais Dkt Hussen Ali Mwinyi ni kuondoa changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi ikiwa ni pamoja na kuwekeza zaidi katika Sekta ya elimu ambayo ndio muhimili mkuu wa maendeleo nchini. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amefika katika skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame kukagua maendeleo ya ukarabati wa jengo la dahalia ya wanawake liloungua moto na kusababisha hasara kubwa kwa wanfunzi wanaosoma skulini hapo, na kuwataka walimu na wanafunzi kuendelea kulitunza na kudumisha usafi ndani na nje ya jengo hilo ili liweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo. Mhe. Hemed ameuagiza Uongozi wa Wizara ya Elimu kuhakikisha ndani ya muda mfupi ujao wanaijengea uzio skuli hio ili kuimarisha ulinzi na usalama kwa wanafunzi wanaishi hapo sambamba na kumtaka Mkandarasi kutoka Kampuni ya Faster kuhakikisha anamalizia matengenezo madogo madogo yaliyobakia ndani ya siku tano(5) ili wanafunzi waweze kuhamia na kuendelea na masomo yao katika hali ya utulivu. Nae Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema wizara imejipanga kuhakikisha inaipatia kila skuli vifaa vya kusomea vya kisasa ili kuboresha mfumo wa elimu Visiwani ZanzibarambapoWizara imefanya ununuzi wa vifaa mbali mbali ikiwemo vitanda zaidi ya elfu moja(1000) kwa ajili ya skuli ambazo zinamadahalia Kompyuta, Projecta, viti na meza ambavyo vyote vitagawiwa kwa skuli zote za Unguja na Pemba. Mhe. Gulam ameiomba Serikali kuichukulia hatua ya kuipiga penalt Kampuni ya Fuchs kwa kusababisha kuchelewa kumalizika kwa Ujenzi wa Skuli nane (8) zinazojengwa na kampuni hio jambo ambalo litatoa fundisho kwa kampuni nyengine zitakazopatiwa fursa ya kufanya kazi na Serikali ya Awamu ya Nane (8). Kwa upande wake Mkandarasi kutoka kampuni ya Fuchs Contraction Ltd Devid Mwasomola amesema changamoto kubwa iliosababisha kishindwa kuendelea na Ujenzi wa Skuli hio ni kukosekana kwa nondo na malipo kwa ajii ya wafanyakazi hivyo ameaahidi kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi hio ndani ya muda uliopangwa kwa sasa. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ametembelea ujezi wa skuli ya ghorofa (G+3) ya Sekondari ya Makunduchi inayojengwa na Kampuni Fuchs Contraction Limited, na kukagua maendeleo ya ukarabati wa jengo la dahalia ya wanawake katika Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame liloungua moto na kusababisha athari kubwa kwa wanafunzi wanaoishi hapo mwishoni mwa mwaka jana. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
72af1f67fd50a941cf071a8c7b186d03cbd65cdb46027adc09f5ae09a3b4d9e9
659
3,648
1
0
0
0
0.46
99
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qAD
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Serikali itaendelea kuweka mazingira Bora kwa Taasisi na Mashirika binafsi katika kuhakikisha wanatimiza majukumu yao ya utoaji wa huduma za msaada wa kisheria haapa -nchini. Ameyasema hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla katika kilele cha maadhimisho ya Tano(5) ya wiki ya msaada wa kisheria Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa asheikh aidrisa Abdul Wakil Kikwajuni Zanzibar. Rais Dkt Mwinyi amesema Serikali kwa kushirikiana na Idara ya Katiba na Sheria itaendelea kutekeleza kampeni Kitaifa ya msaada wa Kisheria ya Mama Samia na Kampeni nyenginezo za Kitaifa na Kimataifa kwa lengo la kuwawezesha wananchi katika suala la upatikanaji wa haki zao. Aidha Dkt Mwinyi amesema watoa huduma za msaada wa Kisheria wamekuwa wakombozi wakubwa kwa jamii katika masuala ya kisheria, kwa kutoa elimu ya kisheria na msaada wa kisheria kwa makundi mbali mbali wakiwemo vijana, wazee, watu wenye Ulemavu na wanafunzi ambapo wameweza kuwafikia wananchi laki nne kumi na tisa elfu mia nne na moja ( 419, 401) kati yao wanawake ni laki mbili ishirini na sita elfu mia moja na sabiini na mbili ( 226, 172) ni wanawake na laki moja tisiini na tatu mia mbili na ishirini na tisa (193, 229) ni wanaume. Sambamba na hayo Rais Dkt Mwinyi amesema uwepo wa namba maalum itakayowasaidia wananchi katika upatikanaji wa huduma za Msaada wa Kisheria ni hatua muhimu inayohamasisha upatikanaji wa huduma hio na itakuwa kiungo kikubwa baina ya watoa huduma za Msaada wa Kisheria na wananchi ambao wengi wao mjini na vijijini wanamiliki vifaa vya kieletroniki ikiwemo simu za mkononi. Rais Dkt Mwinyi ametoa wito kwa Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria pamoja na watoa huduma za Msaada wa Kisheria kuendelea kuelimisha wananchi juu ya uwepo wa namba hio maalum ya Huduma za Msaada wa Kisheria pamoja na upatikanaji wa huduma hizo kwa njia ya Teknolojia na kuwataka wananchi kuitumia vyema namba hio kwa utaratibu uliowekwa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Nae Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman amesema watoa Msaada wa Kisheria wanafanya kazi kubwa ya kujitolea katika kutoa elimu ya Sheria na Msaada wa kisheria kwa wananchi hivyo ameiomba Serikali kuangalia ni kwa namna gani itawasaidia watoa huduma hao katika kuendelea kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Waziri Haroon amesema ili kuendelea kuisaidia jamii katika kuwapatia elimu na kutoa Msaada wa Kisheria ni lazima kuwepo na mazingira mazuri ya kufanyia kazi, hivyo amewaomba Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuwapatia ofisi watoaji wa Msaada wa kisheria katika kila Wilaya ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa utulivu na kwa ufanisi mkubwa. Kwa upande wao wawakilishi wa mashirika ya msaada wakisheria wakiwemo UNDP, LSF na UN WEMEN wamesema wataendela kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na wadau mbali mbali katika kupambana ili kuhakikisha upatikanaji wa haki kwa wahanga wa vitendo vya Ukatili na Udhalilishaji wa kijinsia hasa wanawake na watoto uanpatikana kwa wakati. Wamesema kusaidia na kupambana kwa hali zote katika harakati mbali mbali za kimaendelo hasa katika kuhakikisha upatikanaji wa haki, haki za Binaadamu zinalindwa na kuhakikisha elimu ya Sheria inawafikia wananchi wote mijini na vijini. Mapema Mkurugenzi wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Bi. Hanifa Ramadhan Said amesema Idara ya Katiba imeona ipo haja ya kuanzisha namba maalum ambayo itatumika katika kurahisisha upatikanaji wa Msaada wa kisheria na kuwa kiunganishi kikubwa kati wa Idara , watoa huduma za Msaada wa Kisheria na wananchi. Mkurugenzi Hanifa amesema Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria itahakikisha inazidisha ushirikiano katika utendaji wa kazi baina yao na watoa huduma za Msaada wa Kisheria ili lengo halisi la upatikanaji wa haki, kutokomeza Ukatili na Unyanyasaji wa kijinsia kwa wananchi liweze kufikiwa . Amezishukuru Taasisi na Mashirika mbali mbali ikiwemo L.S.F, UNDP, UN WOMEN Mahakama, Polisi na Chuo cha Mafunzo kwa ushirikiano wao mkubwa wanaoendelea kuwapatia ambao unarahisisha katika harakati zao za ufanyaji wa kazi za kila siku. Nao watoaji Msaada wa kisheria Wameishukuru Idara ya Katiba na Msaada wa kisheria kwa kuwapatia ushirikiano mkubwa unaowapelekea kufanya kazi zao za uweledi na ufanisi mkubwa sambamba na kuiomba serikali za mikoa na wilaya kuwapatia ofisi za kufanyia kazi zao ili kufikia malengo waliojiwekea. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
beae50a4fc2f7a7c081289007152ad711838c19b3d5a46fc7271b67314be754d
776
4,219
1
0
0
0
1.29
131
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/p9X
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema kipaumbele cha Chama Cha Mapinduzi ni kuzisimamia kikamilifu Serikali zake zitekeleze kwa vitendo maendeleo kwa maslahi ya Wananchi wote. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na wanachama wa CCM na Wananchi kwa ujumla katika mwendelezo wa ziara yake na Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya NEC CCM Taifa Zanzibar katika Tawi la CCM Mkoa wa Mjini Wilaya ya Amani Unguja. Dkt.Dimwa,alisema Serikali ya awamu ya nane chini ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi, imeendelea kutekeleza kwa ufanisi mambo mbalimbali ya maendeleo katika sekta za kiuchumi,kijamii na kimaendeleo. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa,alieleza kuwa lengo la ziara hiyo ni kuimarisha uhai wa CCM kwa kuzungumza na wanachama na kukagua miradi mbalimbali ya CCM na Jumuiya zake inayotekelezwa katika ngazi za Mashina,Matawi hadi Wilaya. "Natumia nafasi hii kuwapongeza Wanachama na Viongozi wa ngazi mbalimbali za Chama na Jumuiya zake kwa kazi nzuri za kuimarisha Chama chetu. Tutaendelea kuhakikisha mambo yaliyoahidiwa katika Uchaguzi Mkuu uliopita tunayatekeleza kwa ufanisi ili kutimiza dhamira Kuu ya Chama chetu ya kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na maisha bora na yenye bora bila kujali tofauti za kisiasa,kidini na kikabila. Alisema CCM imeendelea kuwa Chama bora nchini na barani Afrika kutokana na kujenga misingi imara ya Uongozi na Itikadi kuanzia ngazi za chini za Mashina utamaduni ambao haupatikani katika Vyama vingine vya kisiasa. Aliwasisitiza Viongozi wa ngazi za Mashina na Matawi kufanya vikao vya kikatiba kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya mwaka 1977 ili kupata nafasi ya kujadili,kutathimini na kufikia maamuzi ya pamoja ya kuimarisha Chama na Serikali zake. Alitoa wito kwa Viongozi wa Mashina na kuwakumbusha wajibu wao ulioelekezwa katika Katiba ya CCM kuwa ni pamoja na kuongoza na kusimamia utekelezaji wa maamuzi yote ya CCM na utendaji wa kazi katika shina pamoja na kuhimiza ulipaji wa ada za Wanachama. Aliyataja maelekezo mengine kwa Mabalozi hao wa Mashina kuwa wanatakiwa kulinda na kuendeleza siasa za CCM katika Mashina. Dkt.Dimwa,alisema kazi nyingine ya Mabalozi hao ni kuimarisha ulinzi na usalama katika maeneo yao,kueneza Itikadi na siasa ya CCM katika Mashina pamoja na kuendeleza masuala ya maendeleo katika maeneo yao. Pamoja na hayo,aliwataka Viongozi wa CCM wa ngazi za majimbo kutekeleza kwa ufanisi Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 ili Wananchi waridhike na sera za Chama na kukipatia ushindi katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kupitia ziara hiyo alisisitiza Wanachama hao kulipa ada kwa wakati ili fedha hizo zisaidie katika masuala ya kiutendaji na fungu lingine linarudi kwa mabalozi. Naye Katibu wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Organazesheni CCM Zanzibar Omar Ibrahim Kirupi,aliwasihi Wanachama wote wenye sifa za kupiga kura wajitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa awamu ya pili ili kupata idadi ya mtaji wa kisiasa wa CCM. Kilupi, aliwambia Wanachama hao kuwa muda wa Uchaguzi Mkuu unakaribia hivyo kila mwanacha ajipange kuhakikisha CCM inashinda ili iendelee kuongoza dola. Kwa upande wa wananchi wa Wilaya ya Amani kwa wakati tofauti waliwapongeza viongozi wa Sekretarieti hiyo ya CCM Zanzibar kufanya ziara hiyo ambayo kwa upande wao imeacha matokeo chanya ya uimarishaji wa Chama. Naye Khamis Farid Abdulla, Mkaazi wa Jimbo la Shaurimoyo, alisema ziara hiyo imekuwa na mafanikio makubwa kutokana na uzinduzi wa miradi ya maendeleo pamoja na nasaha mbalimbali za kuhamasisha wanachama na wananchi kwa ujumla. Kwa upande wake Mkaazi wa Jimbo la Amani Zuwena Mahmoud Issa, alisema ziara za aina hiyo zifanyike mara kwa mara kwani viongozi wengi wa ngazi za juu hawafiki katika matawi kusikiliza changamoto za wanachama hali inayopelekea baadhi ya wanachama kukata tamaa. Ziara hiyo katika Wilaya ya Amani ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Dkt.Dimwa imejumuisha Wakuu wa Idara za CCM na kutembelea,kukagua, na kushiriki ujenzi wa taifa katika miradi ya maendeleo katika mashina,matawi,wadi na majimbo yote ya wilaya hiyo . Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
638b2568e3f70cb8052640154253bd51b67ac47ba4c2c5d6661260c4c3a9aa77
711
3,967
1
0
0
0
0.42
126
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/oAA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewataka wakandarasi wanaopewa dhamana ya kujenga Miradi ya Maendeleo Zanzibar kuheshimu Mikataba ya makubaliano wanayokubaliana kati ya Serikali na Kampuni husika Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) lililopo Maisara Wilaya ya Mjini Unguja ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo. Mhe. Hemed amesema kumekuwa na tabia iliyozoeleka kwa baadhi ya wakandarasi kuchelewesha kumaliza kwa wakati miradi wanayopewa kujenga na kuomba kuongezewa muda jambo ambalo linakwamisha adhma ya Serikali ya kutatua kero za wananchi kwa wakati. Amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuheshimu mikataba inayoingia na makampuni mbali mbali pamoja na kutoa ushirikiano wa hali ya juu kwa kampuni zinazojenga miradi ya maendeleo nchini ili kuharakisha ukamilishaji wa miradi hio kwa utaratibu uliopangwa na viwango vyenye ubora. Makamo wa Pili wa Rais amesema kumalizika kwa wakati kwa ujenzi wa jengo hilo kutatoa fursa kwa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kufanya kazi zao katika mazingira mazuri na salama kulingana na umuhimu wa ofisi hio. Sambambana hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema kuanzia sasa Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) wanapaswa kuwachukulia hatua stahiki Kampuni ambayo haitokabidhi Miradi kwa wakati uliopangwa ili iwe fundisho kwa kampuni nyengine zinazoendelea na ujenzi wa miradi mbali mbali hapa Zanzibar. Aidha amewataka wakala wa majengo kuacha muhali kwa kampuni yoyote itakayo kwenda kinyume na mkataba wa ujenzi wa miradi ya Serikali ambayo imefungwa baina ya serikali na kampuni husika. Nae mkandarasi kutoka kampuni ya China Railway Jianhuwang Engineering (CRJE) Chey Yur amesema licha ya kukabiliwa na changamoto mbali mbali mwanzoni mwa ujenzi huo lakini watahakikisha wanakamilisha na kukabidhi Jengo hilo ndani ya muda waliokubaliana. Mkandarasi Yur amesema wameshaongeza nguvu kazi katika ujenzi huo na wanatarajia kuanza kufanya kazi usiku na mchana ili kuongeza kasi ya ujenzi na kukamilisha kwa wakati uliopangwa na kwa ubora zaidi. Kwa upande wake msimamizi wa Majengo kutoka (ZBA) Mohamed Nahoda Mohamed amesema ZBA wamekuwa wakishirikiana kwa karibu na Mkandarasi wa ujenzi huo ambao kwa sasa umefikia asilimia 20% ya ujenzi na wanatarajia kukamilisha mwishoni mwa mwezi Disemba mwaka huu. Ujenzi huo wa Jengo la Ghorofa 4 la Ofisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar utakapokamilika utagharimu zaidi ya Bilioni 11 ambao utajumuisha Ofisi, Kumbi za Mikutano na Vyumba kwa ajili ya wageni Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
10e9659b0cd90207df597e37ccebc7b1e020b8cf8723d53d7e5e76df7ba208d5
479
2,705
1
0
0
0
0.63
70
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/nGY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Watanzania na waumini wa Dini ya Kiislamu kuhimizana kila wakati juu ya kuitunza amani iliopo nchini kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae. Ameyasema hayo alipokuwa akisalimiana na waumini wa Dini ya kiislamu katika Masjid KAHFI uliopo MKELE KWA BIMTORO Wilaya ya Mjini mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa. Alhajj Hemed amesema ili Taifa lipige hatua kimaendeleo ni lazima kuwepo na Amani na Utulivu ndani ya nchi, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi wa Tanzania na muumini wa Dini ya kiislamu na dini nyengine kuhakikisha anaienzi na kuilinda Amani iliyopo nchini kwa faida ya vizazi vya sasa na baade pamoja na Taifa kwa ujumla. Makamu wa pili amesema zipo nchi duniani hawawezi kujumuika pamoja katika kufanya ibada kutokana na kutokuwepo kwa amani na utulivu ndani ya nchi zao hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha anaitunza tunu ya amani iliyopo kwa maslahi mapana ya Taifa letu. Amesema ni lazima kujifunza kutoka kwa nchi za jiarani jinsi wanavyokosa amani kwa sasa jambo ambalo linapelekea kukosekana kwa maendeleo na kuwataka wananchi kutokubali kushawishiwa na baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu hasa kipindi cha siasa. Aidha Alhajj Hemed amewataka baadhi ya viongozi kuacha kutoa maneno ya uwongo na yauchochezi ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani iliyopo nchini na kuwataka kuihubiri amani wakati wote ili kupata maendeleo kwa maslahi ya wananchi wote. Sambamba na hayo Alhajj Hemed ameendelea kuwakumbusha waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi kwa ujumla kuendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum wakiwemo mayatima, wajane na wazee wasiojiweza ili kuzidisha upendo baina yao. Amesema ipo haja ya kuitumia misikiti kwa kuyatambua makundi haya muhimu ili kuweza kuyasaidia ikiwa ni njia moja wapo ya kudumisha upendo na ushirikiano na kuweka usawa wa kila mwannchi. Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Maalim MUHITA ALI HASSAN amewataka waumini wa dini ya Kiislam kujitathmini na kujiangalia upya katika kufanya ibada hasa katika kipindi hichi cha kuukaribisha mwaka mpya wa kiislamu siku chache zijazo. Amesema kuwa uislamu umewataka waumini kuhimizana katika kufanya ibada pamoja na kuwa wamoja kwa kila kitu hasa katika kuipigania dini ya kiislamu ili kuweza kufikia malengo ya kuletwa hapa duniani Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
42b1e7f319b3874ccaacda12189825c69170fed6edffcc8af7f674e5b84e9ac3
439
2,403
1
0
0
0
0
74
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/l87
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameuagiza Uongozi wa Mfuko wa hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kuwasimamia vyema wakandarasi na washauri elekezi wanaojenga miradi yao ili kuhakikisha wanamaliza kwa wakati uliopangwa na kwa kiwango cha hali ya juu Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi mbali mbali inayojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF). Mhe. Hemed amesema miradi yote ya kimaendelea inayojengwa na Serikali inadhamira ya kuwaondolea wanachi changamoto ya makaazi, kuwainua kichumi sambamba na kuwaletea wananchi wa Zanzibar maendeleo endelevu kwa maslahi ya vizazi vya sasa na baadae. Mhe. Hemed amesema wakati umefika kwa wakandarasi wanaopewa dhamana ya kujenga miradi ya Serikali kuhakikisha wanaikamilisha kwa wakati uliopangwa na kushindwa kukamilisha kwa wakati ni kuifelisha dhamira njema ya Rais Dkt Hussen Mwinyi ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Zanzibar. Mhe.Hemed amesema kukamilika kwa miradi ya maegesho ya magari iliyopo Kijangwani na Malindi Mjini Unguja na Nyumba za bei nafuu zilizopo viwanja vya Magereza kutawaondolea wananchi changamoto ya makaazi pamoja na msongamano wa kuegesha magari sehemu zisizo salama jambo linalopelekea kupotea kwa haiba ya mji Mji wa Zanzibar. Sambamaba na hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesisitiza kuwa Serikali haitakuwa na muda wa nyongeza kwa Mkandarasi yoyote ambae atashindwa kukamilisha miradi aliyopewa kwa wakati na kuwaagiza washauri elekezi kutoa adhabu ya penalt kwa kampuni itakayokwenda kinyume na makubalino ya kimkataba. Aidha Mhe.Hemed ametoa wito kwa wananchi wa Zanzibar kuendelea kuunga mkono juhudi zinazochukuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Mwinyi za kuondoa changamoto mbali mbali zinazowakabili sambamaba na kuwaletea maendeleo wananchi wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Nae Naibu Waziri wa fedha na mipango Zanzibar Mhe. JUMA MAKUNGU JUMA amesema miradi inayojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) inaendana na dhamira ya viongozi ya kuweka mzingira bora kwa kila mwananchi hivyo Serikali kupitia Wizara ya fedha itahakikisha inasimamia vizuri ujenzi wa miradi hio kwa maslahi ya Taifa. Mhe. Juma amesema majengo hayo yatawasaidia wafanya biashara kufanya biashara zao bila ya usumbufu wowotea na amewatoa hofu wanachama wa ZSSF kuwa fedha zao wanazochangia katika mfuko huo zipo salama na kila mwanachama atapatiwa haki yake kwa mujibu wa michango aliyochangia. Kwa upande wake Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mfuko wa Hfadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Bwana Nassor Ameir Shaaban amesema ZSSF imekusudia kujenga vituo vitano(5) vya kisasa vya maegesho ya magari vitakavyotoa huduma ndani ya mji wa Zanzibar. Amesema ZSSF imedhamiria kuwaondoshea wananchi wa Zanzibar changamoto ya huduma ya usafiri wa daladala ambapo imejipanga kutafuta kampuni ambayo italeta mabasi makubwa na ya kisasa yatakayotoa huduma ya usafiri ndani ya Zanziba Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3ab78c0e616b3ce41e67077331036e264592d2219ef7d90a385607fd444cf719
524
3,028
1
0
0
0
0
70
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/k6r
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Wazazi na walezi wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kupata kizazi chenye hofu ya Allah kitakachosaidia kuziondosha changamoto zilizopo zinazosababishwa na kukosekana kwa maadili mema kwa vijana. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid JAMII WATHABATUL- KHEIR iliyopo KOANI kwa KOZI Wilaya ya Kati mara baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa. Amesema ni wajibu wa kila mzazi na mlezi kuwalea watoto wao katika maadili mema yatakayowajenga kidini na kiimani jambo ambalo litasaidia Taifa kupata viongozi bora wa baadae na wenye kufanya kazi zao kwa hofu ya Mwenyezi Mungu. Alhajj Hemed amesema wakati umefika wa jamii kujitathmini katika malezi wanayowalea watoto wao ili kupunguza malalamiko ya mmong’onyoko wa maadili unaopelekea vijana kujiingiza katika vitendo viovu ikiwemo udhalilishaji na utumiaji wa madawa ya kulevya. Sambamba na hayo Alhajj Hemed ameendelea kuwasisitiza wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla kuzidi kudumisha Amani na Utulivu uliopo nchini jambo ambalo huwaweka huru katika kufanya shuhuli zao mbali mbali za kujitafutia maisha kwa faida yao na Taifa kwa ujumla. Mapema akitoa Khutba katika Sala ya Ijumaa, Sheikh SALIM MASSOUD SEIF amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kuendelea kuzilea vyema familia zao ili kuweza kupata watoto wema ambao watakuwa wema sasa na hadi kuondoka kwao duniani. Amesema kuwa waislamu ni lazima kushirikiana na kuamrishana mambo mema na kukatazana mabaya ili kujikurubisha karibu na Allah (S.W) na kufikia lengo la kuumbwa mwandamu hapa duniani Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
4699ebc50022129c4e1ddaa1b4c55c3f440807076a367f43bd08ba13fc810402
327
1,855
1
0
0
0
0
56
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/jAY
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA JIJINI DODOMA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma leo tarehe 25 Julai, 2024. #TunaendeleaNaMama Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
bb52321b2e48c18771cd2ab8109dfd157b7845175cf89b0a9dc654a6200c3d2f
138
775
1
0
0
0.724638
1.45
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/g7Z
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuifungua Bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, iliyoko jirani na Hospitali ya Mnazi Mmoja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 15-7-2024, na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Kampuni ya Infinity Group Bw. Samuel Saba na ( kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar. Mhandisi.Ali Said Bakari, akitowa maelezo ya mnara ulioko katika bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar. unaoonesha masafa ya maeneo mbali mbali ya Unguja yanayoazia katika enao hilo, wakati wa ufunguzi wa bustani hiyo uliyofanyika leo 15-7-2024.(Picha na Ikulu) NO.2324///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kuifungua Bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 15-7-2024, iliyoko jirani na Hospitali ya Mzani Mmoja.(Picha na Ikulu) NO.2336-2346-2395///BAADHI ya Wageni waalikwa katika ufunguzi wa Bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya ya Mjini Unguja jirani na Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. (hayupo pichani) akizungumza na kuifungua bustani hiyo ufunguzi huo uliofanyika leo 15-7-2024.(Picha na Ikulu) NO.2371////RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea bustani ya Mnazi Mmoja Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kuifungua leo 15-7-2024, akiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.(Picha na Ikulu) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
bba25b064be205bc3c590b322025b922096ec6ee91e3444adadfe3e0e65ef8e1
349
2,038
1
0
0
0
1.15
40
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/0AV
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema uwepo wa Maonesho ya Wiki ya elimu ya juu nchini yamekuwa yakiziweka pamoja Taasisi, vyuo na wadau wa elimu ya juu kwa lengo la kutangaza fursa mbali mbali kwa wanafunzi wanaosoma na wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu vya ndani na nje ya Nchi Ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Tano(5) ya wiki ya elimu ya juu Zanzibar yaliyofanyika katika viwanja vya Maisara Mkoa wa Mjini Magharibi. Mhe. Hemed amesema kupitia maonesho ya wiki ya elimu ya juu wanafunzi hupatiwa fursa mbali mbali za kimasomo ikiwemo upatikanaji wa mikopo, namna ya kujiunga na vyuo vya ndani na nje ya nchi na kutoa hamasa kwa wanafunzi kusoma kwa bidii na kujiendeleza katika ngazi ya elimu ya juu. Amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025, Sera na Dira ya Maendeleo ya mwaka 2050, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imekuwa ikichukua hatua mbali mbali za uboreshaji wa elimu ikiwemo kuweka mageuzi makubwa kuanzia ngazi ya maandalizi hadi elimu ya juu kwa kuwawezesha wanafunzi kupata ujuzi na maarifa baada ya kumaliza masomo yao. Aidha Serikali imeongeza Bajeti ya Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu Zanzibar kutoka fedha za Kitanzania shilingi Bilioni 26.95 kwa mwaka wa fedha 2024 hadi kufikia Bilioni 30.5 kwa mwaka 2025 ambazo zitakwenda kuwanufaisha wanafunzi zaidi ya 7,367 ambapo kwa mara ya kwanza wanafuzi 1,000 wa ngazi ya Diploma watanufaika pia na mikopo hio. Amefahamisha kuwa Serikali imeendelea kuimarisha huduma kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ikiwemo kuwapatia Bima ya Afya pamoja na kuongeza fedha za kujikimu kwa wanafunzi wote wanaosoma Vyuo vya Zanzibar na vyuo vya Tanzania Bara. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ametoa wito kwa wanafunzi na wananchi kwa ujumla kujitokeza na kuitumia vyema wiki ya maonesho kwa kujielimisha juu ya upatikanaji wa fursa mbali mbali za elimu ndani na nje ya nchi na kuwasisitiza wanafunzi kusoma kwa bidiii na kuzitumia vyema fursa wanazozipata pamoja na kuepuka kutumika kwa misingi yoyote ambayo itapelekea kuvuruga umoja na amani iliyopo nchini Nae Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Mohamed Mussa amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inayoongozwa na Rais Dkt Hussen Mwinyi inafanya kazi kubwa na nzuri katika kuimarisha miundombinu ya elimu inayopelekea kuongezeka kwa kiwango cha ufaulu jambo ambalo linaendelea kuiletea heshima zanzibar. Mhe. Lela amesema ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha sita unaongezeka mwaka hadi mwaka na kufikia asilimia 99.5% kwa mwaka 2024, ambapo zaidi ya wanafuzi 3,387 wamepata ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na wote wanatarajiwa kujiunga na vyuo vikuu mbali mbali ndani na nje ya nchi, hivyo kupitia maonesho ya juma la elimu ya juu yatawasaidia katika kufanya udahili wa vyuo na kupata taaluma juu ya kupata mikopo ya elimu juu iatakayowawezesha kusoma pasipo na changamoto ya aina yoyote. Akisoma taarifa ya kitaaluma kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Naibu katibu Mkuu Utawala (WEMA) Khalid Massoud Waziri amesema lengo kuu la maonesho hayo ni kuimarisha mashirikiano baina ya Taasisi za Elimu, Vyuo na Mabenki ili kuhakikisha Sekta ya Elimu nchini inaendelea kuimarika na kiwango cha ufaulu kuzidi kuongezeka siku hadi siku. Khalid amesema maonesho hayo ya juma la Elimu ya juu yanazidi kuimarika mwaka hadi mwaka ambapo kwa mwaka huu washiriki wameongezeka kutoka washiriki 17 mwaka 2020 hadi washiriki 77 mwaka 2024 na kutoa fursa kwa wanafunzi kupata kujua ni namna gani wanaweza kujiunga na vyou vikuu vya ndani na nje ya nchi samabamba na kupata kujua ni namna gani mwanafuzni anapata fursa ya kufanya maombi ya mikopo kwa taasisi husika. Mapema Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ametembelea Mbanda ya washiriki wa maonesho ya juma la Elimu ya juu na kupata elimu na huduma zinazotolewa katika mabanda hayo Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
07a2a26d579a3c8c9284b779bce24d3ef4cae4432bf9abeddc883e17999215e4
717
3,745
1
0
0
0
2.09
116
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/938
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Dider Chassot, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 18-7-2024. /RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Dider Chassot (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-7-2024 kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu) NO.3132///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Dider Chassot, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-7-2024.(Picha na Ikulu) NO.3138-3141///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar mgeni wake Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Dider Chassot, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-7-2024.(Picha na Ikulu) NO.3154-3156///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Balozi wa Switzerland Nchini Tanzania Mhe.Dider Chassot, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-7-2024.(Picha na Ikulu) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
33584088eb6a20d1a02190d9b8121ae54518888f06f448fe8e404387d20c2e47
273
1,708
1
0
0
0
0.73
35
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/8X2
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Utafiti cha Mambo ya Jamii,Uchumi na Sera. Ndg.Juma Hassan Reli (kushoto kwa Rais) akiwa na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-7-2024 na (kulia kwa Rais) Bi. Rukiya Wadoud.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Kituo cha Utafiti cha Mambo ya Jamii,Uchumi na Sera, ukingozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho Ndg,Juma Hassan Reli (kushoto kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-7-2024.(Picha na Ikulu) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
831b23b58a7300a5145540518d0da0765b73ac7fc6e686371225b4d3d61c63af
182
1,051
1
0
0
0
0.55
29
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/7D8
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameutaka Mfuko wa Fidia kwa wafanyakazi (WCF) na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kuendeleza ushirikiano katika kazi utakaoleta manufaa makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku Akifungua kikao kazi kati ya Mahakama ya Tanzania, Mfuko wa hifadhi ya Jamii Zanzibar na Mfuko wa Fidia kwa wafanyakazi kilichofanyika katika Ukumbi wa Hotel ya Zanzibar Beach Resort, Mhe. Hemed amesema Taasisi hizo zinapaswa kuwa na maazimio ya pamoja katika kuzifanya maboresho mbali mbali sheria zote zinazohusiana na malipo ya fidia kwa wafanyakazi na taratibu zote zinazotumika katika kutoa huduma hio. Mhe. Hemed amesema waajiri wote Tanzania Bara na Zanzibar wanapaswa kubeba dhamana kwa wafanyakazi wao pindi wanapopata majanga yatokanayo na kazi kwa kuchukua hatua za haraka ikiwemo kutoa taarikwa kwa WCF na ZSSF ndani ya muda uliowekwa kisheria ili wafanyakazi au wategemezi wao waweze kupata mafao stahiki kwa wakati. Aidha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amesema uwepo wa Majaji wa Mahkama Kuu kwa pande zote mbili za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kikao kazi hicho kinatoa fursa kwao kujifunza namna ya kufanya kazi na WCF pamoja na ZSSF hasa katika kuboresha huduma za kimahakama kwa kutambua hatua mbali mbali katika uchakataji wa madai ya wafanyakazi waliopata madhila yatokanayo na kazi wanzozifanya. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewahakikishia washiriki wa kikao kazi hicho kuwa Serikali zote mbili zitaendelea kutoa ushirikiano utakaohitajika katika kuboresha mahusiano yenye lengo la kuleta ustawi wa wafanyakazi pindi wanapokuwa kazini. Kwa upande wake Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Vijana na watu wenye ulemavu MERY MAGANGA amesema vikao kazi kama hivi vinaumuhimu mkubwa sana katika kudumisha Muungano wa Tanzania pamoja na kuimarisha utendaji kazi kwa wafaanyakazi jambo ambalo huleta tija kubwa kwa Taifa. MAGANGA amesema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu itaendelea kufanya kazi kwa ushirikiano kati ya pande zote mbili za Muungano kwa kuhakikisha sheria ya fao la Fidia linatekelezwa kwa haki na usawa kwa wafanyakazi wote sambamba na kuwataka washiriki wote wa kikao hicho kwenda kuyafanyia kazi kwa vitendo yale ambayo watakubaliana katika mkutano huo. Nae Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania Mhe. MUSTAPHER SIYANI amesema lengo kuu la kikao kazi hicho kufanyika Zanzibar ni kudumisha Muungno na kuweka mazingira bora na rafiki yenye kuvutia wawekezaji hasa pakiwa na mfumo Imara wa utowaji na upatikaniji wa haki nchini. SIYANI amesema kikao hiki kitawakumbusha Majaji, watendaji wa mahakama na wadau wa haki juu ya utekelezaji wa nguzo ya pili ya upatikanaji wa haki na kuwasaidia katika kutafuta utatuzi wa migogoro ya kazi katika Taasisi mbali mbali zilizopo nchini. Mapema Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Dkt. JOHN MDUMA amesema Utiaji wa saini wa makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya WCF na ZSSF unathibitisha mahusiano imara waliyonayo kwa muda mrefu yanayodhihirisha utayari wa kuwasaidi wafanyakazi hasa pale wanapopata majanga wakiwa kazini. Dkt. MDUMA amesema WCF wameona ipo haja na umuhimu wa kuwajengea uwezo Wazanzibari katika kuzifahamu vyema huduma za mafao ya fidia kazini ili kuweza kutoa haki kwa mfanyakazi ama wategemezi wao pindi mfanyakazi atakapopata ajali akiwa kazini. Katika kikao hicho Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar ameshuhudia utiaji wa saini kati ya WCF na ZSSF ya makubaliano ya kufanya kazi kwa ushirikiano jambo ambalo litaleta tija na mafanikio makubwa kwa wafanya kazi wa pande zote mbili za jamuhuri ya muungano wa Tanzania Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
a72597e6ede8ed8d40948d9fd151e65ab04d33878a0914befd9a8bdfc967eca0
644
3,540
1
0
0
0
0
92
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/6mL
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema amefurahishwa na ushirikiano unaotolewa na wananchi wa Kisiwa cha Tumbatu kwa wakandarasi wanaojenga miradi mbali mbali ya maendeleo kisiwani humo. Ameyasema hayo katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa skuli ya Sekondari ya ghorofa ( G+3 ) inayojengwa katika kijiji cha Tumbatu Gomani Mhe. Hemed amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Nane ( 8) inayoongozwa Rais Dkt. Mwinyi ni kuona wananchi wa Tumbatu wanapata huduma zote za stahiki za kimaendeleo kwa kiwango kinachokubalika sawa na sehemu nyengine. Makamu wa Pili wa Rais amesema wananchi wa Tumbatu wana kila sababu ya kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Dkt Mwinyi ikiwemo za kuwaletea maendeleo endelevu katika nyanja mbali mbali ikiwemo Elimu, Afya, Barabara, umeme na maji safi na salama ili ustawi wa wananchi wa Tumbatu uweze kuimarika zaidi. Mhe. Hemed amewaahidi wananchi wa Kisiwa cha Tumbatu kuwa Serikali itahakikisha inazipatia ufumbuzi changamoto zilizomo kisiwani humo ikiwa ni pamoja na kuajiri madaktari wazawa na watumishi wa kada nyengine wanaotoka maeneo hayo ili kuepusha usumbufu wa kutokupatikana huduma kwa wakati. Sambamba na hayo Mhe.Hemed amewataka wananchi wa Tumbatu na wazanzibar kwa ujumla kuendelea kudumisha Amani na ushirikiano uliopo nchini ili kuweza kupata maendeleo endelevu yatakayokuwa na faida kwa vizazi vya sasa na baadae. Nae Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. LELA MOHAMED MUSSA amesema dhamira ya Rais Dkt Mwinyi ya kuleta mageuzi katika sekta ya elimu mijini na vijijini inaonekana wazi wazi kwa kujengwa skuli za kisasa zenye kukidhi mahitaji yote ya kufundishia na kujisomea. Mhe. LELA amewashukuru wananchi wa Tumbatu kwa ushirikiano wao mkubwa na wakupigiwa mfano wanaowapatia Wizara ya elimu na wakandarasi wanaojenga miradi mbali mbali kisiwani hapo jambo linalowapa nguvu wakandarasi ya kumaliza ujenzi huo kwa wakati na kwa kiwango kilichokusudiwa. Kwa upande wake Mkandarasi kutoka kampuni ya Simba Developers Ltd LUKAS LUKAS amesema licha ya kukabiliwa na changamoto ya usafirishaji wa material kwa ajili ya ujenzi kampuni itahakikisha inakabidhi jengo hilo mwishoni wa mwezi wa nane ili kuwawezesha wanafunzi kuendelea na masomo yao katika mazingira bora. Lukas amesema kampuni ya Simba Developers inaahidi kulijenga jengo hilo kwa viwango na ubora wa hali ya juu ambalo litawahudumia zaidi ya wanafunzi 1890 kwa mkondo mmoja wa masom Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
695a8bb1ef2dd88f5f32dbfc065f03876ead459e4f54eb28ffcd07ed32d1c164
459
2,572
1
0
0
0
1.09
72
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/5lq
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika Sala ya Maiti, aliyekuwa Mke wa Marehemu Sheikh.Hyder Jabir Saleh E-Farsy,Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah, ikiongozwa na Mtoto wa Marehemu Sheikh Ahmad Hyder Jabir E-Farsy,iliyofanyika katika Msikiti wa Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Mahonda Mhe. Abdalla Hassan Mwinyi na Mtoto wa Marehemu Sheikh Kassim Hyder Jabir.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah, baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti,iliyofanyika katika Msikiti wa Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Mahonda Mhe. Abdalla Hassan Mwinyi na Mtoto wa Marehemu Sheikh Kassim Hyder Jabir.(Picha na Ikulu) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
4665df3751fc29a9382b625f6a83b7bc4825af59291e7a9ff0e712c62f676df6
286
1,569
1
0
0
0
0
36
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/4kg
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amewaonya wanafunzi walioko mashuleni,vyuoni na taasisi nyingine za elimu kuacha na kutojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya kwani kushiriki katika matumizi ya dawa hizo itapelekea nchi kupoteza nguvu kazi ambayo inategemewa katika kujenga taifa huku akiitaka jamii kushirikiana na serikali katika vita dhidi ya dawa za kulevya Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara baada ya kufungua Kikundi cha Ujasiriamali kilichopo Visiwani Zanzibar ambacho kinajumuisha makundi mbalimbali ikiwemo kundi la vijana ambalo limekua likiathirika na matumizi ya dawa za kulevya ambapo wamekua wanatumia kwa njia ya kuvuta puani,kuvuta mdomoni na kujidunga sindano. ‘Ni muhimu kwa jamii nzima kushikamana ili kuweza kupambana na matumizi ya dawa za kulevya,tafiti zinaonyesha sasa janga la matumizi ya dawa za kulevya limehamia kwa wanafunzi ambao wengine wana digrii zao lakini wamejiingiza katika uraibu wa dawa za kulevya,jambo hili linahatarisha uhai wa taifa kwani vijana ni nguvu kazi ya taifa lolote lile duniani,sisi kwa upande wa serikali tumeunganisha nguvu ya pamoja katika kudhibiti uingiaji wa dawa za kulevya na wito wangu kwa wazazi na wanajamii kuhakikisha wanashirikiana na serikali katika kudhibiti janga hilo’ amesema Waziri Masauni Waziri Masauni pia amezungumzia matendo ya udhalilishaji ikiwemo ulawiti,ubakaji,ushoga ambayo yanaendelea kukithiri huku jamii pamoja na familia wakiendelea kuwaficha watu wenye kujihusisha na matendo hayo ambapo ameiasa jamii kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi waonapo dalili za udhalilishaji wa kijinsia kwa watoto na makundi mbalimbali. ‘Kuna mmomonyoko wa maadili unaopelekea matukio ya ukiukwaji wa maadili hayo ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia,ubakaji,ulawiti na ushoga;mambo hayo hayajaisha katika jamii yetu na ni muhimu kwa jamii nzima kushikamana ili kupambana na majanga haya,na kumekua na desturi kwa baadhi ya watu wanaofanya matendo ya ubakaji na ulawiti hususani ya watoto tunawakumbatia na kuwaficha,imefikia hatua mtu amethibitika kufanya ulawiti lakini wanamficha katika kuhakikisha yule mtuhumiwa aendi kwenye mikono ya sheria hiyo sio sawa.’ Aliongeza Waziri Masauni Taarifa zinabainisha walevi wa uraibu wa dawa za kulevya wamekuja na mtindo wa kutumia dawa za kutibu binadamu kama mbadala wa dawa za kulevya huku wakichukua dawa aina ya methamphetamine ambayo waraibu uchukua dawa hiyo kuisaga na kuiweka kwenye kijiko huku mshumaa ukitumika kuipasha na mwisho mraibu huvuta moshi unaotokana na uunguaji wa dawa hiyo Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9ed563a3806020644dda5f0783f8e1c0e8b3611fc5878d63de3940504292a606
452
2,676
1
0
0
0
0
68
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/3j4
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar , imeridhishwa na hatua nzuri ya ujenzi wa skuli za Sekondari za ghorofa ( G+3 ) zinazojengwa na Kampuni ya Simba Developers Ltd katika kijiji cha Bumbwini Makoba na Bumbwini Misufini Wilaya ya Kaskazini “ B” Unguja Akikagua maendeleo ya ujenzi wa skuli hizo pamoja na kumbi za Mitihani zinazojengwa katika skuli hizo, Mhe.Hemed amesema wakadarasi kutoka kampuni ya Simba Developers wanaendelea kuipatia heshima kampuni yao sambamba na kuendana na kasi ya serikali ya awamu ya nane ya kuwaletea maendeleo wananchi wake. Amesema kuwa Serikali imekusudia kuondoa changamoto zote zinazowakabili wananchi wa mijini na vijijini ikiwemo chanagamoto ya msongamano wa wanfunzi madarasani na kuingia kwa mikondo miwili ya masomo hivyo ameitaka kampuni ya Simba Developers inayojenga Skuli hizo kuongeza kasi zaidi ili kuweze kumalizika kwa wakati ujenzi huo, Aidha Mhe. Hemed ameitaka Wizara ya Elimu kukaa pamoja na viongozi wa Jimbo la Bumbwini kuangalia namna watakavyoifanyia ukarabati skuli ya Msingi ya Bumbwini Makoba na kuliangalia kwa umakini suala zima la ajira hasa katika kuajiri walimu wazawa ambao watasaidia kuondosha changamoto ya walimu kuchelewa kufika maskulini na kuzorotesha maendeleo katika Sekta ya Elimu. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais amesema Serikalini ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuzisimamia changamoto zote na kuzitafuta ufumbuzi na kuwaahidi wananchi wa Bumbwini waliotoa maeneo yao kupisha ujenzi wa miradi mbali mbali ya maendeleo kuwa Serikali itahakikisha inawapatia stahiki zao kwa mujibu wa taratibu na sheria. Aidha Mhe. Hemed amewataka Wananchi wa Bubwini na wazanzibari kwa ujumla kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt Hussen Mwinyi pamoja na Serikali zote mbili katika jitihada wanazozifanya za kuwaletea maendeleo na kuwataka kukipa mashirikiano chama cha Mapinduzi ili kiendele kushikilia dola katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020-2025, Sambamba na kuwasisitiza kuendelea kuitunza na kuidumisha amani iliyopo nchini kwani hakuna Taifa lolote litakalopiga hatua za kimaendeleo bila ya kuwa na Amani, Umoja na mshikamano. Kwa upande wake Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema Mipango ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar ni kuhakikisha ifikapo Januari 2025 wanafunzi wote wa Zanzibar wawe wanaingia skuli kwa mkondo mmoja wa asubuhi pamoja na kuondoa changamoto ya msongamano wa wanafunzi madarasani. Aidha Mhe. Ghulam amesisitiza kuwa vifaa vyote kwa ajili ya skuli mpya zinazojengwa na zinazofanyiwa ukarabati vipo tayari na hakuna skuli itakayokosa vifaa vya kufundishia na kusomea kwa wanafunzi wote wa Zanzibar. Mhe. Ghulam amesema Serikali imeongeza Bajeti ya Wizara ya Elimu na kufikia zaidi ya Bilioni 800 kwa mwaka wa fedha 2024-2025 fedha ambazo zitatumika kwa ajili ya kujengea skuli za ghorofa za kisasa, kuzifanyia ukarabati skuli ambazo ni chakavu na kujenga madarasa mapya kwa lengo la kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani. Kwa upande wake mkandarasi anaenjenga skuli hizo pamoja na kumbi za Mitihani Simba Developers Ltd amesema wapo katika hatua za mwisho za ujenzi na kuahidi kuwa mwishoni mwa mwezi wa saba wanatarajia kuzikabidhi skuli hizo Serikalini ili wanafunzi waweze kuendeleo na masomo yao katika skuli hizo. Kampuni ya Simba Developers wamemshukuru Rais Dkt Mwinyi kwa kuwaamini na kuwapatia nafasi ya kujenga miradi mbali mbali ya amendeleo hapa Zanzibar na kuahidi kuwa watahakikisha wanajenga kwa ubora na kwa viwango vinavyokubalika ili majengo hayo yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu pasipo na changamoto za aina yoyote za kiufundi. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar ametembelea ujenzi wa skuli ya Ghorofa ya Bumbwini Makoba, na Bumbwini Misufini na kumbi za Mikubtano . katika skuli hizo Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
2935036be1409eb061b9c87863dda57545efb3116da9a9b5bcc31926040cbaa3
668
3,767
1
0
0
0
1.35
100
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/2gj
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Waziri Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira na Mbunge wa Jimbo la Uzini Khamis Hamza Chilo amesema elimu kubwa inahitajika kwa Wananchi kuacha matumizi ya Mkaa na Kuni kwa matumizi ya kupikia hali itakayopelelekea utunzaji wa Mazingira Kauli hiyo ameitoa huko Machui wakati akizungumza na wananchi wa shehia ya machui mara baada ya kukamilika utafiti uliofanywa taasisi isiyo ya serekali ya up skills foundation kutoka Tanzania Bara unaohusisha matumizi ya nishati ya kupikia na ufahamu wa wananchi juu ya dhana ya uchumi wa buluuu. Amesema wananchi wengi hawana uelewa wa matumizi sahihi ya nishati ya kupikia na dhana ya uchumi wa buluu kwa kuacha matumizi ya kuni na mkaa ambayo hupelekea uchafuzi wa Mazingira na kusababisha maradhi kwa wananchi. Aidha ameeleza matumizi ya nishati ya gesi kwa kupikia majumbani itasadia kwa kiwango kikubwa utunzaji wa Mazingira kwa nchi kavu na bahari. Nae Mwakilishi wa Jimbo la hilo Haji Shaaban Waziri amesema kufanyika kwa utafiti huo katika kijiji cha Machui itasaidia kwa Serekali kufahamu matumizi ya nishati ya kupikia kwa wananchi wanaoishi vijijini pamoja na dhana ya uchumi wa buluu. Aidha ameeleza Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuondosha matumizi ya kuni na mkaa na badala yake wananchi watumie nishati ya gesi kwa matumizi ya kupikia . Amesema matumizi ya nishati ya gesi ya kupikia ni salama na huepusha maradhi yanayosababishwa na matumizi ya kuni na mkaa ikiwemo kifua kikuu na homa ya mapafu. Nae katibu wa app skills foundation Tinnah Didas Masaburi amesema utafiti huo wanaoufanya unalenga kujua ufahamu wa jamii kuhusu dhana ya uchumi wa buluu na matumizi ya nishati ya kupikia. Pia utafiti huo utaonesha ni kwa namna gani jamii inatambua njia ya utunzaji wa Mazingira na kutoa Elimu ya matumizi sahihi ya nishati isiyo na madhara kwa binaadamu. Nao wananchi wa Shehia ya Machui wameushukuru uongozi wa Jimbo la Uzini kwa kuiteua Shehia yao kuwa sehemu ya utafiti huo ambao umewasaidia kufahamu njia sahihi ya utunzaji wa Mazingira na dhana nzima ya Uchumi wa buluu. Utafiti huo umefanyika katika Shehia ua Machui kwa Mkoa wa Kusini Unguja, Shehia ya Matemwe Kigomani, Shehia ya Mkokotoni kwa Mkoa wa Kaskazini Unguja na Shehia ya Mndo kwa Mkoa wa Mjini Magharibi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
12abad549b1d16f70902dda70cbb30d5f084d51f7f25400d214dd04596faf4d2
457
2,417
1
0
0
0
0.22
58
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/1Y0
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi wanachama wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujisajili katika mfumo wa kielektroniki wa kadi za uanachama wa CCM Kauli hiyo ameitoa katika ziara yake ya kuangalia na kukagua zoezi hilo linalofanyika katika matawi mbalimbali nchini alipotembelea matawi ya CCM ya Wilaya ya Mjini Kichama Unguja. Alisema usajili huo ni muhimu kwa kila mwanachama anatakiwa kusajiliwa katika mfumo wa kielektroniki wa kadi hizo ili kutambulika katika mfumo huo kwa dhamira ya kupata haki mbalimbali za uanachama. Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa kila mwanachama aliyekuwa na kadi ya zamani ya gamba ambaye bado hajasajiliwa katika mfumo huo anatakiwa kwenda katika tawi lake la Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya kujisajili. “Wito wangu kwa wanachama wote tuendelee kuhamasishana kushiriki zoezi hili la usajili hasa kwa wanachama wote wenye sifa za kutimiza umri ambao wana kadi za zamani na wengine hawana hata hizo kadi waende katika matawi yetu kwa ajili ya usajili huu”, alisema Dkt.Dimwa. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, aliwasisitiza watendaji wa CCM wanaosimamia zoezi hilo la usajili kuhakikisha kila mwanachama anapata haki hiyo ya kusajiliwa kwa wakati na taarifa zao zinahakikiwa kwa usahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo huo. Pamoja na hayo alisema kuwa CCM inaendeleza malengo yake ya kujiendesha katika mfumo wa sayansi na teknolojia ili kurahisisha masuala mbalimbali ya kiutendaji,kisiasa na kiuchumi yenye maslahi kwa wanachama wote nchini Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9f809b23a73d09558341d893deabb73b37e03db56e476aa3305947aa4406b100
316
1,795
1
0
0
0
0
52
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Zw2
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mke wa Marehemu Sheikh.Hyder Jabir Saleh E-Farsy,Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah,yaliyofanyika katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar .(Picha na Ikulu) /RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussei Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Dini na Wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mke wa Marehemu Sheikh.Hyder Jabir Saleh E-Farsy,Marehemu Zulekha Ahmed Abdallah,yaliyofanyika katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar .(Picha na Ikulu) Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
3cdbb5078ce2cfe5e391cd80808dd721ec03d53e0b31d8d7bbf1dcc48dd5bd15
189
1,112
1
0
0
0
0
22
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/YQO
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar , imeridhishwa na hatua nzuri ya ujenzi wa skuli za Sekondari za ghorofa ( G+3 ) zinazojengwa na Kampuni ya Simba Developers Ltd katika kijiji cha Bumbwini Makoba na Bumbwini Misufini Wilaya ya Kaskazini “ B” Unguja. Akikagua maendeleo ya ujenzi wa skuli hizo pamoja na kumbi za Mitihani zinazojengwa katika skuli hizo, Mhe.Hemed amesema wakadarasi kutoka kampuni ya Simba Developers wanaendelea kuipatia heshima kampuni yao sambamba na kuendana na kasi ya serikali ya awamu ya nane ya kuwaletea maendeleo wananchi wake. Amesema kuwa Serikali imekusudia kuondoa changamoto zote zinazowakabili wananchi wa mijini na vijijini ikiwemo chanagamoto ya msongamano wa wanfunzi madarasani na kuingia kwa mikondo miwili ya masomo hivyo ameitaka kampuni ya Simba Developers inayojenga Skuli hizo kuongeza kasi zaidi ili kuweze kumalizika kwa wakati ujenzi huo, Aidha Mhe. Hemed ameitaka Wizara ya Elimu kukaa pamoja na viongozi wa Jimbo la Bumbwini kuangalia namna watakavyoifanyia ukarabati skuli ya Msingi ya Bumbwini Makoba na kuliangalia kwa umakini suala zima la ajira hasa katika kuajiri walimu wazawa ambao watasaidia kuondosha changamoto ya walimu kuchelewa kufika maskulini na kuzorotesha maendeleo katika Sekta ya Elimu. Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais amesema Serikalini ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuzisimamia changamoto zote na kuzitafuta ufumbuzi na kuwaahidi wananchi wa Bumbwini waliotoa maeneo yao kupisha ujenzi wa miradi mbali mbali ya maendeleo kuwa Serikali itahakikisha inawapatia stahiki zao kwa mujibu wa taratibu na sheria. Aidha Mhe. Hemed amewataka Wananchi wa Bubwini na wazanzibari kwa ujumla kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt Hussen Mwinyi pamoja na Serikali zote mbili katika jitihada wanazozifanya za kuwaletea maendeleo na kuwataka kukipa mashirikiano chama cha Mapinduzi ili kiendele kushikilia dola katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020-2025, Sambamba na kuwasisitiza kuendelea kuitunza na kuidumisha amani iliyopo nchini kwani hakuna Taifa lolote litakalopiga hatua za kimaendeleo bila ya kuwa na Amani, Umoja na mshikamano. Kwa upande wake Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulghulam Hussein amesema Mipango ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar ni kuhakikisha ifikapo Januari 2025 wanafunzi wote wa Zanzibar wawe wanaingia skuli kwa mkondo mmoja wa asubuhi pamoja na kuondoa changamoto ya msongamano wa wanafunzi madarasani. Aidha Mhe. Ghulam amesisitiza kuwa vifaa vyote kwa ajili ya skuli mpya zinazojengwa na zinazofanyiwa ukarabati vipo tayari na hakuna skuli itakayokosa vifaa vya kufundishia na kusomea kwa wanafunzi wote wa Zanzibar. Mhe. Ghulam amesema Serikali imeongeza Bajeti ya Wizara ya Elimu na kufikia zaidi ya Bilioni 800 kwa mwaka wa fedha 2024-2025 fedha ambazo zitatumika kwa ajili ya kujengea skuli za ghorofa za kisasa, kuzifanyia ukarabati skuli ambazo ni chakavu na kujenga madarasa mapya kwa lengo la kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani. Kwa upande wake mkandarasi anaenjenga skuli hizo pamoja na kumbi za Mitihani Simba Developers Ltd amesema wapo katika hatua za mwisho za ujenzi na kuahidi kuwa mwishoni mwa mwezi wa saba wanatarajia kuzikabidhi skuli hizo Serikalini ili wanafunzi waweze kuendeleo na masomo yao katika skuli hizo. Kampuni ya Simba Developers wamemshukuru Rais Dkt Mwinyi kwa kuwaamini na kuwapatia nafasi ya kujenga miradi mbali mbali ya amendeleo hapa Zanzibar na kuahidi kuwa watahakikisha wanajenga kwa ubora na kwa viwango vinavyokubalika ili majengo hayo yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu pasipo na changamoto za aina yoyote za kiufundi. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar ametembelea ujenzi wa skuli ya Ghorofa ya Bumbwini Makoba, na Bumbwini Misufini na kumbi za Mikubtano . katika skuli hizo , Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ba58d25c8f004b81f32a6186057a73bd84eb7b3ac6c24f0b544401a8dff8ba0d
669
3,769
1
0
0
0
1.49
100
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/X78
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi wanachama wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujisajili katika mfumo wa kielektroniki wa kadi za uanachama wa CCM Kauli hiyo ameitoa katika ziara yake ya kuangalia na kukagua zoezi hilo linalofanyika katika matawi mbalimbali nchini alipotembelea matawi ya CCM ya Wilaya ya Mjini Kichama Unguja. Alisema usajili huo ni muhimu kwa kila mwanachama anatakiwa kusajiliwa katika mfumo wa kielektroniki wa kadi hizo ili kutambulika katika mfumo huo kwa dhamira ya kupata haki mbalimbali za uanachama. Dkt.Dimwa, alifafanua kuwa kila mwanachama aliyekuwa na kadi ya zamani ya gamba ambaye bado hajasajiliwa katika mfumo huo anatakiwa kwenda katika tawi lake la Chama cha Mapinduzi kwa ajili ya kujisajili. “Wito wangu kwa wanachama wote tuendelee kuhamasishana kushiriki zoezi hili la usajili hasa kwa wanachama wote wenye sifa za kutimiza umri ambao wana kadi za zamani na wengine hawana hata hizo kadi waende katika matawi yetu kwa ajili ya usajili huu”, alisema Dkt.Dimwa. Katika maelezo yake Dkt.Dimwa, aliwasisitiza watendaji wa CCM wanaosimamia zoezi hilo la usajili kuhakikisha kila mwanachama anapata haki hiyo ya kusajiliwa kwa wakati na taarifa zao zinahakikiwa kwa usahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo huo. Pamoja na hayo alisema kuwa CCM inaendeleza malengo yake ya kujiendesha katika mfumo wa sayansi na teknolojia ili kurahisisha masuala mbalimbali ya kiutendaji,kisiasa na kiuchumi yenye maslahi kwa wanachama wote nchini. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
def5b505ca55c3c3f2f7332bcffedbaf501200321f0a608921471740b6a2ae20
316
1,796
1
0
0
0
0
52
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/Ww4
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma tarehe 18 Julai, 2024 baada ya kuhitimisha Ziara yake ya Kikazi Mkoan Rukwa. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
8d43b701b860044e731a1c1c7b913bcf717611de2e5d843d76bb5144514c4587
138
776
1
0
0
0
1.45
12
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/V5B
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CPA MAKALLA AZINDUA JENGO LA OFISI YA CCM TAWI LA MAKUMBUSHO Katibu wa NEC -Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amefungua Jengo la Ofisi za CCM Tawi la Makumbusho. CPA Makalla akifungua Tawi la CCM amesema nawapongeza wanaMakumbusho hili ni Tawi la Mfano hongereni ni la Kisasa na sasa litakuwa mfano kwa Mkoa wa Dar es salam lakini Tawi hili la Makumbusho linazidi Kwa uzuri Makao Makuu ya Chama chochote cha Upinzani hakika mmekiheshimisha Chama cha Mapinduzi. Lakini akasisitiza kuwa Viongozi wa Tawi la Makumbusho ni Viongozi wake ni Vijana na hii inatuma mesegi kwa kwao kuwa Chama kipo Makini kinawaamini vijana kwenye kushika dola na uzuri wa Ofisi ni sifa kwetu kwani wenzetu hawana hata Ofisi ya kata wanafanyia vikao nyumbani mwao. 🗓 17 Julai 2024. Ziara ya Mlezi wa Mkoa wa Dar es salam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
0a3484379420044245d9ac2051967f0f7c2ff44262273b11e46378aca617686b
225
1,168
1
0
0
0
1.33
27
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/RMz
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. MAKALLA NDANI YA JIMBO LA KINONDONI AKAGUA UJENZI WA STENDI YA KISASA NA UWANJA WA MPIRA MWENGE MAKALLA NDANI YA JIMBO LA KINONDONI AKAGUA UJENZI WA STENDI YA KISASA NA UWANJA WA MPIRA MWENGE Katibu wa NEC -Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla Leo amendelea na Ziara Jimbo la Kinondoni ikiwa ni Muendelezo wa Ziara yake ya kukagua na kuzungumza na Wananchi wa Majimbo 10 ya Uchaguzi Mkoa wa Dar es salam. Makalla amekagua Ujenzi wa stendi ya Kisasa ya Mwenge na Uwanja wa Mpira wa Mwenge ambapo Miradi yote imekamilika kwa asilimia kubwa hivyo kisha akatoa neno kwa Wanachama na Wananchi kuwa Miradi hii shukrani zimuendee Dkt Samia Suluhu Hassan kwani ndie ameridhia ifanyike na sasa imekamilika tunaenda kuongeza ajira,kukuza Uchumi na Maendeleo kwa Wana Mwenge kwani yanayofanyika hayahitaji tochi . 🗓 17 Julai 2024. Ziara ya Mlezi wa Mkoa wa Dar es salam. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
43087d35f04a7db059936479a3429f7cfa3a8cdb4e726e0875bfe590487dca8a
234
1,219
1
0
0
0
2.14
27
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/QNM
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RABIA: NAFASI YA TANZANIA KIMATAIFA IMEKUA KWA KASI KUBWA Katibu wa NEC Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, ameleeza kuwa katika kipindi cha uongozi wa nchi wa awamu ya sita, chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, uhusiano wa Tanzania na nchi nyingine dunia umekua kwa kasi kubwa. Ameongeza kuwa katika kipindi cha 2021 mpaka 2024, serikali ya CCM imeimarisha uhusiano wa kimataifa kwa kukuza biashara, uwekezaji, imeongeza ushawishi katika masuala mtambuka yanayohitaji ushirikiano wa kimataifa pamoja na kutafuta fedha kwa ajili ya kugharimia miradi ya kimkakati na kuongezeka kwa watalii. Ndg. Rabia ameyasema hayo Julai 16, 2024, katika Chuo Cha Umoja wa Vijana wa CCM Ihemi, mkoani Iringa ikiwa ni muendelezo wa mafunzo ya kuwajengea watendaji na viongozi wa jumuiya hiyo ngazi za mikoa na wilaya zote nchi nzima. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
b61455be49062adfbd5d1b1ea63c90dce3dd54ce419299d202ff179d1a3d9c0d
222
1,210
1
0
0
0
1.8
31
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/PMy
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Viwanja vya ndege ni sehemu muhimu sana kwa ukuwaji wa uchumi wa Zanzibar ambayo inategemea zaidi shuhuli za utalii ambazo zinakwenda sambamba na uwepo wa miundombinu mizuri ya viwanja hivyo. Ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi mbali mbali inayojengwa na Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibari. Mhe. Hemed amesema kuwa viwanja vya ndege ni milango mikuu ya nchi yoyote ile duniani inayotumika kwa kusafirishia wageni ambao huchangia kwa kiwango kikubwa kukuwa kwa uchumi na kuongezeka kwa pato la nchi husika. Amesema kuwa utakapokamilika ujenzi wa Miradi ya Viwanja vya ndege vya Terminal One na terminal two na eneo la biashara lililopo terminal three vitaondoa changamoto ya msongamano wa abiria wanaokaa muda mrefu kusubiri kuhudumiwa sambamba na kuongezeka kwa uwezo wa kutoa huduma bora na za haraka jambo ambalo litapelekea wageni wengi kuendelea kuitembelea Zanzibar mara kwa mara. Makamu wa Pili wa Rais amemuagiza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege kuhakikisha kila penye uwezekano wa kupatikana kwa kodi kuhakikisha kodi hio inakusanywa na kuingia Serikalini ili kuendelea kuimarisha na kuboresha huduma mbali mbali za kijamii kwa wananchi wa Zanzibar. Aidha amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa ushirikano kwa kampuni zote zinazojenga miradi mbali mbali nchini ikiwemo kampuni ya Estim Constraction Ltd inayojenga miradi ya Viwanja vya ndege vya Zanzibar ili kuhakikisha wanakabidhi miradi hio kwa wakati uliopangwa na kwa kuzingatia viwango na ubora wa hali ya juu. Nae Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Dkt Khalid Salum Muhammed amesema uchumi wa Zanzibar unategemea zaidi Utalii hivyo ni lazima kuimarisha miundombinu ya kimkati ikiwemo viwanja vya ndege ili kuhakikisha Utalii unakuwa kwa kasi zaidi na pato la nchi linaongezeka kupitia wagemi wanaoingia Zanzibar. Dkt. Khalid amesema ujenzi wa miradi hio inaendelea vizuri na hakuna changamoto yoyote hadi sasa ambayo itasabisha kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa miradi hiyo sambamba na kuahidi kuwa uongozi wa wizara utahakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati na kwa kiwango kilichokusidiwa ili kufikia malengo ya Serikali iliyojiwekea. Kwa upande wake mshauri elekezi kutoka kampuni ya Anova Consult Ltd Muhandisi IBRAHIM GASPER amesema kuwa hadi sasa miradi yote inakwenda vizuri na ipo ndani ya wakati ambapo amemuhakikishia Makamu makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kuwa watakabidhi miradi hiyo ndani ya muda uliopangwa na kwa kuzingatia viwango vya hali juu. Gasper ameushukuru uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Mamlaka ya Viwanja vya ndege kwa ushirikiano mkubwa wanaowapatia jambo ambalo linawapa ari ya kufanya kazi kwa haraka na kukamilisha ujenzi huo kabla ya wakati uliopangwa kwa maslahi mapana ya wananchi wa Zanzibar. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amekagua UKARABATI WA JENGO LA TERMINAL ONE , UJENZI WA GENGO LA TERMINAL TWO pamoja NA UJENZI WA SEHEMU YA BIASHARA ILIYOPO TERMINAL THREE. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
9ada8f9e55edd0ec3127d05f7625b31b49d696d9489dadd6aa96fdc7a0627656
558
3,121
1
0
0
0
0.18
85
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/OEB
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Serikali ya Awamu ya Nane(8) inayoongozwa na Rais Dkt Hussen Mwinyi itaendelea kutatua chamgamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi kwa kuwaletea maendeleo endelevu mijini na vijini. Ameyasema hayo katika ziara yake ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi mbali mbali inayojengwa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema Dhamira ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibarr ni kuendelea na ujenzi wa miundombinu mbali mbali ikiwemo ya Elimu na masoko ili wanafunzi waweze kusoma katika skuli zenye hadhi na zinazokidhi mahitaji ya kusomea na kufundishia sambamba na wananchi waweze kufanya biashara zao katika masoko ya kisasa yatakayokidhi mahitaji ya wananchi. Amesema kuwa kuwepo kwa miundombinu bora ya elimu ikiwemo Skuli za ghorofa zenye dakhalia na nyumba za kuishi walimu karibu na skuli hizo zitasaidia wanafunzi kusoma kwa utulivu na kuongezeka kwa kiwango cha ufaulu kila mwaka. Aidha Mhe.Hemed amewataka wafanyabiashara kufuata uataratibu ambao utaandaliwa na viongozi husika pindi yatakapo malizika na kuhamia katika masoko hayo sambamba na kuwataka kuyatunza na kudumisha usafi na kuachana na tabia ya kufanya bishara nje ya soko jambo ambalo linapelekea uchafuzi wa mazingira na kuondoa haiba ya masoko hayo. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amewaagiza wakandarasi wa ujenzi wa miradi hio kuongeza kasi ya ujenzi ili iweze kukamilika kwa wakati na kuwasisitiza kujenga kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa ili majengo hayo yaweze kudumu kwa muda mrefu. Sambamba na hayo Mhe.Hemed amewataka Viongozi kuendelea kuwafahamisha wananchi yale yote mazuri ya maendeleo nayofanywa na Rais Dkt. Mwinyi yanayowanufaisha wananchi wote wa Zanzibar pasipo na ubaguzi wa aina yoyote. Aidha Makamu wa Pili wa Rais amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na viongozi wakuu wa nchi sambamba na kuwataka kuendelea kuitunza Amani iliyopo nchini ambayo ndio chachu ya maendeleo. Kwaupande wao mawaziri wenye dhamana ya kusimamia ujenzi wa miradi hio wamesema ziara za Mhe. Makamo wa Pili wa Rais zinatoa msukumo na kuamsha ari ya kutekeleza majukumu yao ya kuisimamia miradi hio ili iweze kukamiliaka kwa wakati na kiwango kilichokusudiwa. Mawaziri hao wamemuhakikishia Mhe. Makamo wa Pili wa Rais kwamba miradi hio itamalizika kwa wakati uliopangwa na kwa viwango vya hali ya juu ili iweze kuwanufaisha wananchi kama Ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyoelekeza. Nao wakandarasi wanaojenga miradi hio wamesema baadhi ya maeneo wanayojenga wamekuwa wakikumbana na changamoto mbali mbali ikiwemo changamoto ya umeme mdogo na ubovu wa miundombinu ya barabara inayopelekea vinapunguza kasi ya ufanyajikazi kwa kukosa nyezo muhimu za kujengea. Aidha Wakandarasi hao wameahidi kukamilisha miradi hio kwa wakti uliopangwa na kwa viwango bora kama walivyokunaliqna. Katika ziara hio Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar amekagua mradi wa ujenzi wa SOKO LA CHAANI, UJENZI WA SKULI YA SOKONDARI, DAKHALIA NA NYUMBA YA WALIMU iliyopo GAMBA, UJENZI WA SOKO LA MKWAJUNI NA na UJENZI WA SKULI YA SEKONDARI MKOKOTONI. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
52719a2c1ebd82750c4f8d777c93a51c2f12e54bfe17f27862b5b725f930309a
550
3,122
1
0
0
0
0
88
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/NEm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga (km107) iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Hafla ya ufunguzi wa barabara hiyo imefanyika katika eneo la Matai Wilayani Kalambo Mkoani Rukwa tarehe 16 Julai, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
35ae4a084417dc7905ca272923cf6d7a6db9aa7283fda6a1a091f1fa307b18d7
146
850
1
0
0
0
1.37
17
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/MEP
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. RAIS SAMIA AWASILI MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI Matukio mbalimbali katika picha kutoka Uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi ambapo Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Viongozi wa Serikali na Wananchi wakimpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ndg. Samia Suluhu Hassan alipowasili mkoani Katavi leo Julai 12, 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
8cd4c963dceee2df2c4c943913b0447a4d32fe3f8b601c1548cedabcc49e8ebb
142
790
1
0
0
0
1.41
14
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/LYp
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. BALOZI NCHIMBI AONYA VIONGOZI KUTOA KAULI ZA KIBAGUZI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuepuka kutoa kauli au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa baadhi yao wanashabikia ukandamizaji wa haki za wananchi. Katibu Mkuu Balozi Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa maneno na vitendo vya wana-CCM wakati wote lazima yaakisi dhamana ambayo chama kimepewa na wananchi ya kuwatumikia, ikiwemo kusimamia haki, bila ubaguzi wala dhuluma ya aina yoyote . Balozi Nchimbi amesema hayo akiwa Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Ihemi, mkoani Iringa, alipokuwa akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji na viongozi wa jumuiya hiyo wa ngazi za mikoa na wilaya zote, nchi nzima, leo Alhamis, 11 Julai 2024. Awali akimkaribisha Balozi Nchimbi, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Komredi Mohammed Ali Mohammed (Kawaida), amekishukuru Chama chini ya Mwenyekiti wa CCM, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi kinavyoendelea kuwalea na kuwaamini vijana kukitumikia Chama na jumuiya zake na nchi kwa ujumla. Nae Katibu Mkuu wa UVCCM, Komredi Joketi Urban Mwegelo akitoa taarifa kuhusu maandalizi ya mafunzo hayo, amesema yatawasaidia viongozi na watendaji wa jumuiya hiyo kwenye mikoa, wilaya na hatimae kushuka ngazi zingine nchi nzima kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi unaohitajika. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
6dd426d5c2e15e613ccd70370285efd926adffff57e6dfe5aa092ed26933f2db
293
1,681
1
0
0
0
1.02
32
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/KYl
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU KATIBU MKUU TANZANIA BARA AONGOZA KIKAO CHA WATUMISHI WA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE MKOA WA MBEYA Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg. John V.K. Mongella ameongoza kikao cha Watumishi wa CCM Mkoa na Jumuiya zake Mkoa wa Mbeya Aidha katika kikao hicho Mongella amewasisitiza Watumisha kufanya kazi kwa umoja na kujiepusha na makundi yasiyo na tija kwa ustawi wa Chama Chetu. Mongela amewaomba Watumishi wa Chama Mkoani Mbeya kuwa na Uadilifu, Uweledi hasa katika kuwatumikia Wananchi na kutatua Changamoto zao. Mongela ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Mbeya ameyasema hayo katika ukumbi wa Mkapa leo tarehe 10 Julai 2024. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
ac1a455a3a854b902bd45e4da6cfa27887ae714b6c6c239e7f0049178d6c5279
187
1,003
1
0
0
0
1.07
23
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/JY9
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU KATIBU MKUU CCM (BARA) NDG. JOHN MONGELA AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA SIKU MOJA. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella amewasili mkoani Mbeya kwa ajili ya ziara ya siku moja ambapo amepokelewa kwa kishindo na wanachama wa CCM wa Mkoa wa Mbeya. Mongela ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Mbeya ameanza ziara yake kwa kufanya vikao vya ndani na viongozi na watumishi mbalimbali wa Chama hicho. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
28fc869ae4ab536e2cd582b69b6196aed6ded02ec3e7ca3a659d64a03e7aa844
158
835
1
0
0
0
0
20
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/GYr
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. ILALA IMECHACHAMAAA, MWENEZI MAKALLA AANZA NA UKAGUZI WA JENGO LA SHULE YA GHOROFA MNAZI MMOJA NA UKAGUZI WA BARABARA 20 ZA MITAA ILALA Katibu wa NEC Itikadi,Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amekagua Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisasa na ya Ghorofa ya Mnazi Mmoja iliyopo Jimbo la Ilala Jengo jipya linalojengwa Lina Madarasa 20 yenye thamani ya Bilioni 1.8 pamoja na Ukaguzi wa Barabara 20 za Mitaa ya Ilala zilizo gharimu Bilioni 30 kandarasi zote zipo hatua ya Umaliziaji CPA Makalla amesema Mkoa wa Dar es salam unajengwa Majengo ya Kisasa ya Ghorofa likiwemo la shule ya Mnazi mmoja, nyingi za Mkoa wa Dar es salam huku barabara zinaendelea kujengwa hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mikakati ya kuibadilisha Dar es salam na kulifanya Jiji la Kisasa. 🗓09 Julai 2024 Siku ya Nne Ziara ya Mlezi Mkoa wa Dar es salam Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
79a97aa786fab514f5cf2085b54beb832a229d5ad68164f066d1a47aeee9a4bd
235
1,202
1
0
0
0
2.98
16
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/EZm
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Ndugu.Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Chama cha Mapinduzi kinatambua na kuthamini mchango mkubwa unaotolewa na Jumuiya ya wazazi Tanzania katika kuhakikisha CCM inaendelea kushikilia dola awamu kwa awamu Ameyasema hayo katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Hemed Suleiman Abdulla katika uzinduzi wa sherehe za Wiki ya wazazi Kitaifa zinazofanyika Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi. Dkt Mwinyi amesema Jumuiya ya wazazi imekuwa ikifanya kazi nzuri katika kusimamia elimu, maadili na malezi bora kwa watoto yenye kufuata utamaduni wa Kitanzania jambo ambalo linaendelea kuiletea heshima kubwa Tanzania. Amesema kuwa jumuiya ya wazazi imekuwa mstari wa mbele katika kupiga vita vitendo vya ukatili, unyanyasaji na udhalishaji wa kijinsia jambo ambalo linazorotesha nguvu kazi na maendeleo ya Taifa hivyo ni wajibu wa kila mwanajumuiya kuhakikisha anasimama imara katika kupinga vitendo hivi. Rais Dkt. Mwinyi amesema mtaji wa chama chochote cha siasa ni wanachama hai hivyo ameitaka Jumuiya ya Wazazi kuendelea kuhamasisha wananchi kujiunga na CCM, kuwapa elimu ya kupiga kura pamoja na kuwajenga kuwa na utayari wa kukipigia kura kwa wingi chama cha Mapinduzi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020-2025. Aidha Makamu Mwenyekiti Mwinyi amewasisitiza viongozi kushuka chini kwa wanachama na kufanya ziara ya kuzitembelea jumuia mbali mbali pamoja na kushika kwa wananchi kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuziwasilisha Serikali kupatiwa ufumbuzi kwa maslahi ya chama na serikali. Rais Dkt Mwinyi amesasisistiza kuwataka Watanzania kuwa Umoja na Mshikamano kwa kuweka mbele maslahi ya CCM hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu ujao ili CCM iendelee kushinda kwa kishindo na kudhikilia madaraka. Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa anaefanyia kazi zake Zanzibar Ndugu DOGO IDDI MABROUK amesema Jumiiya ya Wazazi itaendelea kutoa elimu na kuhamasisha juu ya malezi bora ya watoto kwa kutambua tamaduni zao ambazo zinaonekana kutoweka na kusababisha mmong'onyoko wa maadili jambo linalopelekea kuongezeka kwa vitendo vya udhalilishaji na ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto. Ndugu DOGO amesema kupitia Jumuiya ya wazazi itahakikisha sera tano muhimu za jumuiya hio zinatiliwa mkazo katika utekelezaji wake ikiwa ni pamoja na elimu, malezi, utamaduni, mazingira na afya ili kuhakikisha CCM inakuwa na wanachama wenye uweledi na wenye kufuata maadili kama sera na miongozi ya chama inavyoongoza. Akiwasalimia wananchi wa Mkoa wa Katavi Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Mizengo Kayanza Pinda amesisitiza umoja na mshikamano kwa Watanzania wote ambao hujenga upendo miongoni mwao na kupelekea amani na utulivu ambao ndio ngao na muhimili mkubwa wa maendeleo ya Taifa. Mhe. Pinda amewataka wanakatavi na watanzani wote kuendelea kujiandikisha katika daftari la kupigia kura ili kuweza kupata nafasi ya kukipigia kura kwa wingi chama cha Mapinduzi na kuendelea kukiweka madarakani. Pinda amesema uhifadhi wa mazingira ni jambo la lazima kwa kila Mtanzania na kuwaomba kuacha tabia ya kukata miti na kuchoma moto kiholela misitu ya hifadhi na badala yake wajenge tabia ya kupanda miti kwa kuhifadhi mazingira. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
02d8b625cee0db40c6302424df937101f19a91c0078955642476514f2b012fed
585
3,325
1
0
0
0
0.17
100
https://www.ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/DYA
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM ITAWALETEA WAGOMBEA SAFI WENYE KIU YA MAENDELEO Tunajua Mwaka huu kutakuwa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Sisi ndio tuna Ilani inayotekelezwa, tunaomba Mchague CCM lakini nasisi kama Viongozi Wakuu tutahakikisha tutawaletea Wagombea wazuri na Safi ambao wataenda sambamba na Madiwani na Viongozi wote Katika kuleta Maendeleo. " Wananchi nyinyi tunawajua tukiwaletea mtu mwenye shida mtatuhukumu sasa tunawaahidi watu kuwaletea watu Safi na nitaongea na Wakuu wa Wilaya wote kulisimamia". Katibu Mwenezi na Mlezi wa Chama Mkoa Dar es salam CPA Amos Makalla amesema hayo wakati akizungumza na Wananchi na WanaCCM waliofurika Viwanja vya Sekondari Liwiti Jimbo la Segerea ikiwa ni Muendelezo wa Ziara zake kuzungumza na Wana Dar es salam . 🗓08 Julai, 2024 Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
998db34f1f14e61a8970a674c3ebf0f3ec22c51b121692f5385733f964142303
202
1,132
1
0
0
0
1.98
30