Datasets:
Tasks:
Text Retrieval
Sub-tasks:
document-retrieval
Multilinguality:
multilingual
Annotations Creators:
expert-generated
ArXiv:
License:
0 Je,nchi gani yenye kuzalisha chungwa kwa wingi zaidi duniani? | |
1 Je,nani mwanzilishi wa mchezo wa StarCraft? | |
3 Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi? | |
4 Makka inapatikana nchi gani? | |
5 Teolojia ya dogma ni nini? | |
7 Je,shirika la Bees for Development ilianza mwaka upi? | |
9 Je mto mkubwa sana Afrika ni gani? | |
11 Je,Juan Carlos Tedesco alisomea katika chuo kikuu gani? | |
14 Romano Prodi alijiunga na siasa mwaka gani? | |
15 Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Visa Inc? | |
16 Mlima mkubwa zaidi duniani ni upi? | |
17 Maurice Omondi Odumbe alianza kucheza kriketi mwaka gani? | |
18 Je, Carl Gustav Jung alizaliwa lini? | |
19 Nchi ya Tanzania ina mikoa mingapi? | |
20 Kanisa la kwanza la kianglikana lilianza wapi? | |
21 Je,bahari kubwa zaidi duniani ni gani? | |
23 Rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani? | |
24 Mji wa Weimar una idadi ngapi ya watu? | |
25 Je, umoja wa mataifa ulianzishwa na nani? | |
26 Je, Dk. Angela Merkel ana watoto? | |
28 Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka gani? | |
30 Nani aliwaongoza wanaisraeli kutoka misri hadi kanani? | |
31 Tuzo za Grammy zilianzishwa mwaka gani? | |
33 Je,rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani? | |
39 Lugha ya Kiswahili ilianzia wapi? | |
40 Je,Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? | |
41 Latitudo ina maana gani? | |
42 Je,mji mkuu wa fiji ni upi? | |
45 Je,Sudan Ilipata Uhuru lini? | |
46 Gowee ana rangi ngapi? | |
48 Kangaruu anabeba mimba kwa muda gani? | |
50 Je,Tanzania ina Mikoa ngapi kwa jumla? | |
51 Mlima kenya ina ukubwa kiasi gani? | |
53 Mji mkuu Ethiopia ni upi? | |
54 Je, Rais wa Kenya 2019 Uhuru Kenyatta alisomea shule gani ya sekondari? | |
55 Je,Marekani Ina idadi ya watu wangapi? | |
57 Je,lugha ya kiswahili ndyio lugha rasmi ya nchi ya Tanzania? | |
58 Mto Kongo una urefu gani? | |
59 Je,mlima Himalaya ina urefu wa mita ngapi? | |
60 Je,Anthony Alexandre Anderson alizaliwa mwaka upi? | |
61 Je,mji mkubwa zaidi Italia ni upi? | |
63 Je, ni kina nani wanaoishi Antaktiki? | |
64 Mji mkubwa Kongo ni upi? | |
65 Nchi ya Kamerun ilipata uhuru mwaka gani? | |
66 Nchi ya Thailand iko na wakazi wangapi? | |
67 Je,R. Kelly alianza kuimba mwaka upi? | |
68 Gabon ilipata uhuru mwaka upi? | |
69 Je mlima Kilimanjaro inapatikana katika nchi gani? | |
70 Je,jina ya kisayansi ya mmea wa Moringa ni ipi? | |
71 Je,nyangumi ndiye mnyama mkubwa zaidi katika spishi ya mamalia? | |
73 Je,Patrice Lumumba alizaliwa mwaka upi? | |
74 Je, mji mkubwa Nigeria ni upi? | |
75 Kombe la Mataifa ya Afrika hufanyika mara ngapi kwa mwaka? | |
76 Je, ndovu anabeba uja uzito kwa miezi mingapi? | |
77 Je rais Uhuru Kenyataa alikuwa mbunge wa wapi kabla ya kuwa rais? | |
78 Je,ziwa kubwa zaidi Kenya ni gani? | |
79 Je Oslo ni mji mkubwa wa nchi gani? | |
82 Je, kuna dini ngapi nchini Israeli? | |
83 Satelaiti iliwekwa angani kwa njia ipi? | |
84 Rais wa Jamhuri ya Watu wa China mwaka 2018 anaitwa nani? | |
85 Mohammed VI ni mfalme wa ngapi wa Moroko? | |
87 Sayari kubwa kuliko zingine inaitwaje? | |
88 Rais wa Kenya wa kwanza alikuwa nani? | |
89 Je,Jomo Kenyatta alizaliwa lini? | |
90 Mto mkubwa Rwanda ni gani? | |
91 The Hard Part ni sehemu ya ishirini na moja ya kipindi gani? | |
92 Roma ni mji katika nchi gani? | |
93 Aina ya Sayari ni ngapi? | |
94 Mji mkubwa Burundi ni upi? | |
95 Je,seli nyeupe ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili? | |
96 Je ni sayari gani ndogo zaidi? | |
97 Jina Hydrox linatokana na nini? | |
98 Je,Tanzania ina mikoa ngapi? | |
100 Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa kiasi gani? | |
102 Mji mkuu wa Brazil ni upi? | |
103 Jina piano lina maana gani? | |
104 Je, Ruwaza ya Kenya 2030 ilizinduliwa mwaka upi? | |
106 Barack Obama aliingia urais Marekani mwaka upi? | |
107 Je,mji mkuu wa Brazili ni upi? | |
109 Rais wa kwanza wa Amerika kujiuzulu Urais aliitwa nani? | |
110 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi? | |
111 Rais wa kwanza wa nchi ya Libya anaitwa nani? | |
112 Umoja wa Afrika ulianzishwa mwaka gani? | |
113 Bwana Heri bin Juma alikuwa sultani wa Saadani mwaka upi? | |
114 Get Rich or Die Tryin' ilizinduliwa mwaka gani? | |
115 Tanzania ina muziki aina ngapi? | |
116 Sungura hubeba mimba kwa miezi ngapi? | |
117 Filamu ya Sarafina ilitengenezwa mwaka upi? | |
118 Je,albamu ya Money Monday ina nyimbo ngapi kwa jumla? | |
121 Mji mkuu wa Uganda ni upi? | |
123 Mongolia ina idadi ngapi ya watu? | |
125 Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru ilianzishwa lini? | |
126 Nchi ya Komori ina zungumza lugha ngapi kuu? | |
129 Karatasi ya kwanza ilitumika nchini gani? | |
130 Je,jiji la Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? | |
131 Je,Kirsten Prout ana dada? | |
132 Mlima wa Himalaya uko na urefu wa kiasi gani? | |
133 Je,idadi ya watu nchini CΓ΄te d'Ivoire ni ngapi? | |
134 Ngw'anamalundi alizaliwa wapi? | |
135 Je, elektroni ni nini? | |
137 Je, Kampuni ya Rockport ilianzishwa na nani? | |
139 Mji mkuu Burundi ni upi? | |
140 Yvonne Cherry alianza kuigiza mwaka gani? | |
142 Vita vya kwanza duniani vilianza mwaka upi? | |
143 Dar es Salaam iko na idadi ngapi ya watu? | |
145 Je,stesheni ya CNN ilianza mwaka upi? | |
147 Pesa iligunduliwa nchini gani? | |
148 Je, sayari ya mirihi ina kipenyo kiasi gani? | |
149 Je,ugonjwa wa kisukari inaweza pata mtoto wa umri wa miaka tano? | |
150 Jina la kwanza la nchi ya Kongo lilikuwa gani? | |
151 Waziri mkuu wa Kenya mwaka wa 1963 alikuwa nani? | |
152 Je, Tanzania ina mito ngapi kwa jumla? | |
153 Je,Tupac Amaru Shakur alizaliwa lini? | |
154 Jua ina ukubwa gani? | |
157 Bahari kubwa zaidi duniani ni ipi? | |
158 Je,Romano Prodi alizaliwa lini? | |
159 Je,ni mbinu gani ya kupanga uzazi yenye haina madhara? | |
160 Mji wa Khartoum una ukubwa gani? | |
161 Mto upi mkubwa zaidi duniani? | |
162 Je alikuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki alikuwa mwalimu? | |
163 Je,Francis Coquelin alizaliwa mwaka upi? | |
164 Je, ugonjwa wa polio ina tiba? | |
166 Albamu ya The Aftermath ilizinduliwa mwaka gani? | |
167 Nini maana ya Nyanda? | |
168 Nchi ya Kuba iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
169 Eneo la Asia ni kilomita ngapi? | |
170 Kiongozi wa Biafra mwaka 1967 anaitwa nani? | |
171 Je,rais wa kwanza wa nchi ya Kongo alikuwa nani? | |
173 Bahari kuu Kenya ni gani? | |
174 Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa Kanisa la Moravian mwaka gani? | |
175 Je,mji mkuu wa Estonia ni ipi? | |
177 Vita ya kwanza ya Afghan ilikuwa mwaka gani? | |
180 Je,msitu wa Amazonia ina ukubwa wa kiasi gani? | |
181 Je aliyekuwa rais wa Kenya Arap Moi alikuwa mwalimu? | |
183 Rais wa ufaransa ni nani? | |
184 Je,Nairobi ina takriban ya watu wangapi? | |
186 Je,Yohane Hus alizaliwa mwaka upi? | |
189 Je,Roberto Carlos Da Silva Rocha alizaliwa lini? | |
190 Wikipedia ya Kivietnamu ilianzishwa mwaka gani? | |
191 Je,ni bahari gani kubwa zaidi duniani? | |
194 Je,asili ya jina Kit-Mikayi ni? | |
196 Wimbo wa I Have a Dream ulirekodiwa mwaka gani? | |
197 Mji mkuu Denmark ni? | |
199 Je,nini maana ya Apartheid? | |
201 Je,Martha Wangari Karua alikuwa waziri wa sheria mwaka upi? | |
204 Ni bahari gani kubwa duniani? | |
205 Je,Visiwa vya Shelisheli vinapatikana katika bahari gani? | |
206 Mji mkuu Uganda ni? | |
207 Nani alizindua redio duniani? | |
208 Je,mlima mrefu zaidi duniani ni upi? | |
210 St. Petersburg iligunduliwa mwaka gani? | |
212 Emmanuel Ake Richard Muttendango ana miaka mingapi? | |
216 Je, sayari ya dunia ina kipenyo cha kilomita ngapi? | |
217 Haile Mariam Desalegne alijiunga na siasa mwaka gani? | |
218 Je,elimu ya shule ya msingi katika shule za umma nchini Kenya ni bure? | |
222 Je,Brian Haule alizaliwa lini? | |
223 Mji Mkuu wa Tanzania ni upi? | |
225 Oasisi ni nini? | |
227 Lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi? | |
228 Mlima kubwa Afrika ni gani? | |
229 Je,Marekani ina majimbo ngapi kwa jumla? | |
230 Nchi ya Burundi ilipata Uhuru mwaka gani? | |
231 Dini ya Ugiriki ya kale ilianza mwaka upi? | |
233 Carl Gustav Jung alizaliwa mwaka gani? | |
235 Je ziwa la Turkana inapatikana kwa kaunti gani Kenya? | |
237 Vita ya dunia ya kwanza lilianza mwaka gani? | |
239 Je,kombe la dunia mwaka 2018 iliandaliwa wapi? | |
240 Je,ugonjwa wa Malaria inaweza kuambukizwa | |
241 Ni nani wa kwanza kufika kwa mwezi duniani? | |
243 Je,Afande Sele alishinda tuzo gani mwaka 2003? | |
245 Je,mlima Everest ina urefu wa mita ngapi? | |
246 Jina riwaya linatokana na nini? | |
247 Wapare wanatokea mkoa gani? | |
249 Je,mnyama mkubwa zaidi wa baharini ni yupi? | |
250 Je,Nkashama Kanku Kelly alianza muziki wa dansi mwaka upi? | |
251 Shule ya Aleksandria ilianzishwa na nani? | |
252 Kwa nini binadamu wengine huwa weusi? | |
253 Je,idadi ya watu wa mji wa New Orleans ni ngapi? | |
255 Je,Sancho Gracia alianza uigizaji mwaka upi? | |
257 Mji mkuu wa Jamhuri ya Kituruki ya Kupro unaitwaje? | |
260 Je,mimba ya fumbatio ni hatari kwa mama? | |
261 Je,Nelson Mandela alizaliwa lini? | |
262 Mji mkuu wa Fiji ni upi? | |
263 Rais wa kwanza wa Ufaransa aliitwa nani? | |
264 Je,idadi ya watu nchi ya Uganda ni upi? | |
266 Hidrokaboni ni nini? | |
267 Kuna kaunti ngapi nchini Kenya? | |
268 Ni nchi gani ndogo zaidi duniani? | |
269 Indonesia ina makabila mangapi? | |
270 Je,mji mkuu wa Libya ni upi? | |
271 Tanzania ina miaka mingapi? | |
272 Je aliyekuwa rais wa Afrika kusini Nelson Mandela alitoka jela mwaka upi? | |
273 Innocent Cornel Sahani alizaliwa mwaka upi? | |
274 Mlima Kilimanjaro una urefu wa mita ngapi? | |
275 Mji wa Tanga uligunduliwa mwaka gani? | |
276 Je,Uholanzi ilishiriki katika kombe la dunia 2018? | |
277 Je, elimu ya jamii ni nini? | |
278 Mji mkuu wa Burundi unaitwaje? | |
280 Sahil ina maana gani? | |
281 Je, hifadhi ya Tsavo inapatikana eneo gani? | |
282 Wikipedia ya Kijapani ina makala ngapi? | |
285 Je Slovakia wanatumia sarafu ya pesa? | |
286 Nelson Mandela aliaga dunia lini? | |
287 Mji mkuu wa Brazil unaitwaje? | |
288 Rais wa Nigeria ni nani? | |
290 Spishi ni nini? | |
291 Je,wakati wa sensa mwaka 2009 Nairobi ilikuwa na idadi ya watu wangapi? | |
293 Nchi ya Urusi ina ukubwa gani? | |
294 Je,Nairobi ina idadi ya watu wangapi? | |
295 Misa ni nini? | |
296 Je,mji mkuu wa Somalia ni upi? | |
297 Senegal iko na idadi ngapi ya watu? | |
298 Je,Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi? | |
299 Je.Tanzania ina mito ngapi kwa jumla? | |
300 Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo gani kikuu? | |
303 Je,mende iko katika kundi gani ya wadudu? | |
305 Chuma ni nini? | |
306 Je,msitu mkubwa kabisa duniani ni ipi? | |
307 Je, Guniea ina idadi ya watu wangapi? | |
308 Kuna takriban aina ngapi ya samaki? | |
310 Giacomo Tedesco ana miaka mingapi? | |
311 Je,Marekani ilipata Uhuru mwaka upi? | |
312 Nani mwana folojia wa kwanza duniani? | |
313 Kuna idadi ngapi ya kabila la wasuba nchini Kenya? | |
314 Je, siagi inatokana na maziwa pekee? | |
315 Je,Vincent Kigosi alizaliwa lini? | |
318 Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi? | |
319 Nani alizindua shirika la Transparency International? | |
322 Dubai iko na wakazi wangapi? | |
323 Mji mkuu wa Ethiopia ni upi? | |
326 Yucatan ni jimbo la wapi? | |
327 Borja Mayoral Moya alijiunga na klabu ya Real madrid mwaka gani? | |
328 Je,ni chombo kipi hutumika kuangalia nyota angani? | |
329 Je bahari ya Shamu ina urefu gani? | |
330 Je, ziwa kubwa katika nchi ya Burundi inaitwaje? | |
331 Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka gani? | |
332 Mzee Jomo Kenyatta alizaliwa mwaka gani? | |
334 Sumaku iligunduliwa na nani? | |
335 Donald Gordon alizaliwa mwaka upi? | |
336 Bahari kuu Asia ni gani? | |
339 Je,nchi ya Ufaransa ni idadi ya watu wangapi? | |
340 Je kuna matunda ambazo zaweza tumika kama dawa? | |
341 Damu ni nini? | |
344 Je mayai ni protini? | |
345 Don Riddell alisomea chuo kikuu gani? | |
346 Je,Malcolm X alizaliwa lini? | |
347 Je, Chad ina idadi ya watu wangapi? | |
348 Je,mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi? | |
349 Je,maharage iko katika familia gani ya mimea? | |
350 Umar ibn al-Khattab alifariki mwaka gani? | |
352 Mhusika mkuu wa filamu ya 24 anaitwaje? | |
353 Je, ugonjwa wa Malaria husababishwa na mbu yupi? | |
355 Ziwa Tanganyika ina urefu kiasi gani? | |
356 Mnara wa kwanza wa taa ulitengenezwa nchi gani? | |
359 Mji mkubwa Afrika kusini ni gani? | |
360 Je,Dk. Angela Dorothea Merkel ana watoto wangapi? | |
361 Elizabeth Blackwell alizaliwa wapi? | |
362 Nkashama Kanku Kelly ana miaka mingapi? | |
363 Je,Kamerun ilishiriki katika kombe la dunia 2018? | |
365 Ugonjwa wa moyo una tiba? | |
369 Ugonjwa wa njia za pumzi una tiba? | |
370 Je,msitu gani kubwa zaidi duniani? | |
371 Je jamii ya Kikuyu inapatikana katika sehemu ipi ya Kenya? | |
372 Ethiopia ina ukubwa gani? | |
373 Je,mji mkuu wa Kanada ni ipi? | |
374 Sanamu ya Zeu inapatikana wapi? | |
375 Kuna metali ngapi ambazo ni haba duniani? | |
376 Je,mjii mkuu wa Meksiko ni upi? | |
377 Je,mji mkuu wa Ukraine ni upi? | |
379 Je, Mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi? | |
380 Je,mji mkuu wa China ni ipi? | |
381 Je, Lagos ina idadi ya watu wangapi? | |
382 Je, bahari hindi ina ukubwa kiasi gani? | |
383 Kitabu cha Fioretti kiliandikwa na nani? | |
385 Mji mkuu wa Iran ni upi? | |
386 Mji mkuu wa Khartoum una takriban watu wangapi? | |
387 Mji mkuu wa Uturuki unaitwaje? | |
389 Je, Bahari hindi ina ukubwa wa kiasi gani? | |
391 Je, mke wa Miroslav Klose anaitwa nani? | |
392 Mji mkuu wa Kenya ni upi? | |
393 Mji wa Kigali una idadi ngapi ya watu? | |
394 Je, ndovu huishi kwa miaka ngapi? | |
397 Bakteria iligunduliwa mwaka upi? | |
398 Iceland ina ukubwa gani? | |
400 Timu ya taifa ya soka nchini Nigeria inaitwaje? | |
401 Mji mkuu wa nchi ya Cote d'Ivoire unaitwaje? | |
402 Je, mji mkuu wa Australia ni upi? | |
403 Bahari la Mediteranea iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
407 Je,Simone Gooden alizaliwa lini? | |
411 Jotoridi hupimwa na kifaa gani? | |
412 Je, Nigeria ina idadi ngapi ya watu? | |
413 Je, hadi kifo chake, Tupac Shakur alikuwa na albamu ngapi za muziki? | |
414 Wales ina idadi ngapi ya watu? | |
415 Je,rais wa kwanza wa Tanzania ni upi? | |
416 Je,George Weah alizaliwa mwaka upi? | |
417 Lugha ya kitaifa nchini Israeli ni gani? | |
418 Kulungu mwekundu ana rangi ngapi? | |
419 Je,chama cha FORD-People ilianza mwaka upi? | |
420 Rais wa kwanza wa nchi ya Uganda alikuwa nani? | |
424 Je,Zinedine Zidane ni raia wa nchi gani? | |
426 Kenya ina jamii ya watu ngapi? | |
427 Mark Elliot Zuckerberg alizaliwa mwaka upi? | |
428 Simoni Petro alikuwa mfuasi wangapi wa Yesu? | |
430 Makao ya kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilikuwa katika nchi gani Afrika Mashariki?a | |
431 Je,ni nini maana ya fizikia? | |
432 Rais wa kwanza wa Tanzania anaitwaje? | |
433 Papa wa 12 wa kikatoliki anaitwa nani? | |
434 Je, kuna aina ngapi ya nyuki? | |
436 Samir Nasri alizaliwa mwaka gani? | |
437 Je,nani mwanzilishi wa mpira wa vikapu duniani? | |
439 Je,msimu wa kwanza wa Heroes ina sehemu ngapi? | |
440 Mchezo wa vikapu huchezwa na wachezaji wangapi? | |
441 Je,Thomas Teye Partey alizaliwa mwaka upi? | |
442 Nani rais wa Eritrea? | |
444 Je,sayari ya Zuhura ni ya ngapi kutoka kwa jua? | |
445 Je,mji mkuu wa Marekani ni upi? | |
447 Je,mfereji ni nini? | |
448 Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi? | |
449 Kuna dawa ya Blackheads? | |
451 Je,Mombasa ina idadi ngapi ya watu? | |
452 Je,jina la kisayansi ya chawa ni gani? | |
453 Je, nchi ya Marekani ina majimbo mangapi? | |
454 Je,mbuga ya Serengeti inapatikana katika nchi gani? | |
455 Dini ya Uislamu ilianza lini? | |
456 Je,Nina Erin Myers alizaliwa mwaka upi? | |
457 Jina fikira linatokana na nini? | |
460 Uambukizo wa mnyoo aitwaye whipworm unaitwaje? | |
461 Je,ni aina gani ya gari ya Volkswagen ilitengenezwa ya kwanza kabisa? | |
462 Je,rais wa kwanza nchini Tanzania alikuwa nani? | |
463 Uskoti ni nchi ya bara lipi? | |
465 Rais wa kwanza wa Zambia aliitwa nani? | |
467 Je,ugonjwa wa Polio ina tiba? | |
468 Je, The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka gani? | |
469 Je,ugonjwa wa Malaria una chanjo? | |
471 Je,maabara ya Minciu Sodas ilianza lini? | |
473 Je,Bill Gates alizaliwa lini? | |
474 Nchi gani ndogo duniani? | |
475 Je,mji mkuu wa dubai ni upi? | |
476 Jumba la KICC lina ghorofa ngapi? | |
477 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi? | |
479 Je, ni watu gani wanao ishi katika ncha ya kaskazini? | |
483 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni ipi? | |
484 Kuna elementi ngapi za kemia? | |
485 Mji mkuu Tanzania ni upi? | |
486 Mji mkuu wa Ukraine ni upi? | |
487 Rais wa marekani ni nani? | |
488 Je,Misri imeshinda kombe la mataifa bara Afrika mara ngapi? | |
489 Je,rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? | |
490 Je,mlima kilimanjaro inapatikana katika nchini gani? | |
492 Je, vita vya kwanza vya dunia vilimalizika mwaka gani? | |
493 Ghana ilipata uhuru mwaka upi? | |
494 Donald Gordon alizaliwa wapi? | |
495 Ghana ilipata uhuru mwaka gani? | |
496 Je,dini gani yenye watu wengi nchini Kenya? | |
497 Ni bara gani duniani ina jangwa kubwa zaidi? | |
498 Bahari ya Pasifiki ina visiwa vingapi? | |
500 Je,Zinedine Yazid Zidane ana watoto wangapi? | |
505 Je, mto Niagara una urefu gani? | |
506 Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa lini? | |
507 Tarakilishi la kwanza kutengenezwa ilikua ipi? | |
508 Bahari Atlantiki ina ukubwa gani? | |
509 Je Punda milia yuko katika jamii ya Farasi? | |
510 Mafuta yote yana asili gani? | |
511 2Pac alizaliwa mwaka upi? | |
512 Ndovu ana meno mangapi? | |
515 Je,nani alizindua kifaa cha hadubini? | |
517 Vita vikuu vya kwanza vya dunia vilianzia nchi gani? | |
518 Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni gani? | |
520 Bahari ni nini? | |
521 Je, pombe ina sababisha saratani? | |
522 Je,seli nyekundu ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili? | |
524 Nani rais wa kwanza Ethiopia? | |
525 Je,vita kuu vya pili duniani vilianza mwaka upi? | |
526 Je,Zambia ilipata Uhuru mwaka upi? | |
528 Mkufunzi wa real madrid anaitwaje? | |
529 Mji mkuu wa Nigeria ni upi? | |
530 Je, mtandao wa youtube ilizinduliwa mwaka upi? | |
531 Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Otago Daily Times? | |
532 Kikohozi kikuu kiligunduliwa mwaka gani? | |
535 Nani mwanzilishi wa Geac Computer Corporation? | |
537 Je muziki wa Hip Hop ulianzia wapi? | |
538 Je,mishonari wa kwanza kufika Kenya ni nani? | |
540 Je Burundi iko katika mashariki Afrika? | |
541 Kiongozi wa kwanza wa Roma ya Kale anaitwa nani? | |
542 Je,rais wa kwanza nchini Uganda alikuwa nani? | |
545 Je, nchi ya Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani? | |
546 Je, Eukaryota ni nini? | |
547 Louis Pasteur aliweka misingi gani? | |
548 Nchi ya Marekani ina majimbo mangapi? | |
549 Je,John Sibi-Okumu alisomea katika chuo gani cha upili? | |
550 Je,Eritrea ina idadi ya watu wangapi? | |
551 Bara la Asia liko na ukubwa wa kiasi gani? | |
552 Je,Steven Randall "Bob" Jackson alizaliwa mwaka upi? | |
553 Mfumo wa KCPE ulianza lini Kenya? | |
554 Je,Jogoo anaweza ishi kwa takriban miaka ngapi? | |
556 Je,Nigeria ilipata Uhuru mwaka upi? | |
557 Je,nyoka iko katika spishi gani ya wanyama? | |
559 Nani alikuwa kiongozi wa Iraq wakati wa vita kati yao na Uajemi? | |
560 Je,simba huzaa akiwa na umri gani? | |
561 Je, Kisiwa kikuu cha Japan ni ipi? | |
562 2Pac aliuwawa lini? | |
563 Je,rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani? | |
565 Je,mlima Longonot una urefu kiasi gani? | |
566 Bahari kubwa kuliko zote ni ipi? | |
571 Je,mji mkuu wa Korea Kaskazini ni upi? | |
577 Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania inaitwa vipi? | |
578 Je,ugonjwa wa Ebola inapatikana Afrika pekee? | |
579 Tanakh ni nini? | |
581 Je,jangwa kubwa zaidi bara Afrika ni gani? | |
582 Je,bara Hindi ina ukubwa kiasi gani? | |
583 Je,wimbo wa taifa wa Tanzania unaitwaje? | |
584 Je,nani wa kwanza kuenda kwa mwezi? | |
585 Mji wa Texas una ukubwa gani? | |
586 Msalvia una urefu gani? | |
587 Kiunzi ni nini? | |
588 Afrika ilikuwa koloni ya nchi gani? | |
589 Je,nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka upi? | |
590 Nilgai ana ukubwa kiasi gani? | |
591 Nani alizundua mfumo wa nyota angani? | |
593 ISS ilianzishwa kutokana na mapatano baina ya nani? | |
594 Rais wa kwanza wa Rwanda aliitwa nani? | |
595 Je,Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka upi? | |
597 Je,Mji mkuu wa Marekani ni gani? | |
599 Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilisambaratika lini? | |
600 Kenya ilipata huru wake mwaka gani? | |
603 Misuli ni nini? | |
604 Mnyama wa kwanza kufugwa na mwanadamu ni yupi? | |
605 Moyo ni nini? | |
606 Je, ni nchi ngapi katika bara la Afrika ambazo hazikutawaliwa na mkoloni? | |
607 Bahari ya Karibi ina ukubwa gani? | |
608 Je,nani rais wa kwanza wa Ucheki? | |
609 Ni sentimita ngapi iko kwa mita moja? | |
611 Je,Chama Cha Mapinduzi kilianza mwaka upi? | |
612 Je,Kanda Bongo man ni mwanamziki kutoka nchi gani? | |
614 Marekani ina majimbo mangapi? | |
615 Nomino ni nini? | |
617 Je,Michael Jackson alikuwa na ndugu wangapi? | |
618 Je,The Weeknd alianza muziki mwaka upi? | |
619 Ni nani mmiliki wa British Broadcasting Corporation? | |
620 Paul Labile Pogba alianza kucheza soka akiwa na miaka mingapi? | |
621 Dini la ukristo lilianza mwaka upi? | |
624 Je,msichana anaeza shika mimba wakati wa hedhi? | |
625 Ufalme wa Buganda ulianza lini nchini Uganda? | |
626 Je! Kuna tofauti kati ya mamba na burukenge? | |
629 Dodoma iko na ukubwa gani ya kijiographia? | |
630 Kamoya Kimeu alizaliwa mwaka gani? | |
631 Je,Ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni ipi? | |
632 Je,mji wa AdΔ±yaman ina idadi ya watu wangapi? | |
633 Irene Kiwia ni mwanzilishi wa kampuni gani? | |
634 Je,Italia inatumia sarafu gani ya pesa? | |
635 Msanii 2pac alizaliwa mwaka gani? | |
636 Je,idadi ya watu jijini Nairobi ilikuwa ngapi wakati wa sensa 2009? | |
638 Mkoa wa kilimanjaro uko na idadi ngapi ya watu? | |
639 Je,ugonjwa wa Ebola inasababishwa na kirusi gani? | |
641 Je,kundi la Al-Jihad ya Misri ilianzishwa mwaka upi? | |
642 Mji mkuu wa Uttarakhand ni? | |
643 Mji mkuu Sudan ni gani? | |
644 Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwa nani? | |
645 Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi? | |
646 Je,Kongo ilipata uhuru mwaka upi? | |
647 Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilianza lini? | |
648 Mji wa Melilla una ukubwa gani? | |
649 Je,mto Nile ina urefu wa kilomita ngapi? | |
650 Chokoleti ya kwanza ulimwenguni ilitengenezwa na nani? | |
651 Muziki wa hip hop ulianza mwaka upi? | |
652 Je,idadi ya watu nchini Ghana ni ngapi? | |
654 Je,George Weah ni Rais wa nchi gani? | |
656 Je, maua ni dawa? | |
657 Je,mlima mgani kubwa zaidi duniani? | |
658 Je,Miroslav Klose ana watoto wangapi? | |
659 Je,nani alikuwa afisa mkuu mtendaji wa kwanza Safaricom? | |
661 Mji mkuu wa Uhispania unaitwaje? | |
662 kuna aina ngapi za fasihi? | |
663 Je,benki gani kuu nchini Kenya? | |
664 Je,mji wa Mariupol ina idadi ya watu wangapi? | |
665 Mary Mgonja alizaliwa wapi? | |
666 Jina wa mji wa Belgrad linatokana na nini? | |
667 Je, Vatikani ndio makao makuu ya papa wa katoliki? | |
668 Antibiotiki iligunduliwa na nani? | |
669 Malkia Kleopatra aliaga dunia mwaka upi? | |
670 Mchezo wa Ng'ombe ulianzia nchi gani? | |
671 Kamusi ya kwanza kabisa ya lugha ya kiswahili iliandikwa na nani? | |
672 Kanisa la kitaifa la kwanza duniani ilikuwa nchi gani? | |
673 Rais wa kwanza wa China anaitwa nani? | |
674 Mnyama mgani wa baharini ni mkubwa zaidi? | |
675 Je,Ziwa kubwa zaidi la maji safi barani Afrika ni lipi? | |
676 Je, mji mkuu wa Uturuki unaitwaje? | |
678 Simba huishi kwa muda gani? | |
679 Nchi ya Ufilipino ina visiwa vingapi? | |
681 Tupac Shakur alifariki mwaka gani? | |
682 Intaneti ilitengenezwa mwaka upi? | |
683 Je,makao makuu ya kampuni ya Microsoft iko wapi? | |
684 Je,Jackie Agyemang alizaliwa nchi gani? | |
687 Je kuku huishi miaka ngapi? | |
690 NARC ni nini? | |
691 Ziwa Rukwa lina ukubwa gani? | |
692 Tupac Shakur alifariki akiwa na miaka mingapi? | |
694 Je,mwanamziki Akon alizaliwa mwaka upi? | |
696 Zebaki iko na maana gani? | |
697 Je,mji mkuu Tanzania ni upi? | |
700 Je,ugonjwa wa kiakili husababishwa na nini haswa? | |
701 Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka gani? | |
702 Kinasasauti kiligunduliwa na nani? | |
704 Je,mji mkuu wa Guinea ni upi? | |
706 Je,Colin Salmon alizaliwa mwaka upi? | |
708 Ikulu ya Kenya ilitengenezwa mwaka upi? | |
709 Mae Carol Jemison alisoma chuo kikuu gani? | |
710 Puto ya kwanza ilizinduliwa na nani? | |
711 Je, Saratani ina tiba? | |
712 Mji mkuu wa Shirikisho la Amerika ya Kati ulikuwa upi? | |
713 Je, Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka upi? | |
714 Je,nani rais wa kwanza wa Uturuki? | |
717 Bakteria inayosababisha kikohozi kikuu inaitwa aje? | |
720 Dini ya KIislamu nchini Tanzania ilianza lini? | |
721 Innocent Cornel Sahani alizaliwa wapi? | |
722 Je,mji mkuu wa Uhispania ni upi? | |
723 Je,Wilfred Ombui Moriasi alisomea chuo cha upili gani? | |
724 Kiswahili kilitokea wapi? | |
725 Je,mji mkuu wa Dubai ni upi? | |
728 Je,mjii mkuu wa Tanzania ni upi? | |
729 Japani ina ukubwa gani? | |
730 Dublin ni jiji kubwa la nchi gani? | |
732 Je,mji wa Nairobi ina idadi ywa watu wangapi? | |
733 Rasi ina maana gani? | |
735 Je, kuna tiba ya Prekilampsia? | |
736 Je,Donald Gordon, CC, CMG alizaliwa mwaka upi? | |
737 Nani ndiye tajiri kabisa barani afrika? | |
738 Baba ya Hafez ni nani? | |
739 Je,saratani ina kinga? | |
741 Mji mkubwa nchini Tanzania ni upi? | |
742 Maimonides alizaliwa mwaka gani? | |
743 Je,mamalia mkubwa zaidi duniani ni yupi? | |
744 Papa mbingusi ana ukubwa gani? | |
745 Mark Elliot Zuckerberg alianza mtandao wa Facebook mwaka upi? | |
746 Rais wa kwanza wa Malawi aliitwa nani? | |
747 Je,Burundi ilipata uhuru lini? | |
748 Je,nyoka iko katika kundi gani ya wanyama? | |
749 Mji mkuu nchini Uturuki ni upi? | |
750 Nchi gani kubwa katika bara la Afrika? | |
751 Je, ugonjwa wa Saratani ya titi una tiba? | |
752 Maujai ya Kimbari yalifanyika mwaka gani nchini Rwanda? | |
753 Je,kenya ilipata uhuru mwaka upi? | |
758 Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anaitwa nani? | |
759 Je, askofu Alinikisa Cheyo alizaliwa mwaka gani? | |
761 Je,Steven Frayne anaitwa alizaliwa lini? | |
762 Je,Sudan Kusini ilifanywa kuwa nchi mwaka upi? | |
763 Jamaica in idadi ya watu wangapi? | |
764 Je,mkufunzi Arsene Wenger alikaa Arsenal miaka ngapi? | |
765 Je,katiba mpya ilipitishwa mwaka upi nchini Kenya? | |
767 Carl Ross alizaliwa nchi gani? | |
769 Je,mji mkuu wa Tanzania ni ipi? | |
771 Idadi ya watu nchini Poland ni ngapi? | |
772 Rais wa Irak mwaka wa 1980 alikuwa nani? | |
773 Je,mji mkuu wa Urusi ni upi? | |
774 Rais wa Kenya mwaka 1975 anaitwa nani? | |
775 Nani wa kwanza kupanda mlima Kenya? | |
776 Je,Martha Wangari Karua alizaliwa mwaka upi? | |
777 Marekani wanatumia sarafu gani? | |
778 Je,rais wa kwanza wa Ghana alikuwa nani? | |
779 Je,jiji ya Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? | |
781 Je,Fidel Castro alikuwa rais wa nchi gani? | |
782 Lugha rasmi ya nchi ya Indonesia ni ipi? | |
783 Je,Albania ina idadi ya watu wangapi? | |
784 Je, Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? | |
786 Kilipukaji kiligunduliwa na nani? | |
787 Je,Tanzaia ina mito ngapi kwa jumla? | |
790 Je,sayansi ni nini? | |
791 Adrenali ni nini? | |
792 Je,virusi vya ukimwi inakaa kwa mwili kwa muda gani kabla kuonekana? | |
793 Je,mto Nile ndio mto mrefu zaidi duniani? | |
794 Je,Meksiko ilipata uhuru mwaka upi? | |
796 Je,Ngugi wa Thiong'o ana watoto wangapi? | |
797 Chokoleti iligunduliwa na nani? | |
798 Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilianzishwa mwaka gani? | |
799 Je,mji wa Firenze ina idadi ya watu wangapi? | |
801 Nchi ya Ujerumani ilitawala nchi ngapi barani Afrika kipindi cha ukoloni? | |
803 Je, Tanzania ina majimbo ngapi kwa jumla? | |
804 Je,ni kisiwa gani kikubwa zaidi katika Bahari ya Mediteranea? | |
806 Je,nani mmiliki wa studio za Walt Disney? | |
809 Je, ni mfupa gani mhimu sana mwili mwa mwanadamu? | |
810 Je,mamake rais Uhuru Kenyatta anaitwa nani? | |
811 Huduma ya M-pesa ilianza mwaka gani? | |
813 Sayansi ni nini? | |
815 Gari aina ya Volkswagen ilitengenezwa kwa mara ya kwanza mwaka upi? | |
816 Je,nani wa kwanza kupanda mlima Kenya? | |
817 Meli ya kwanza ilitengenezwa na nani? | |
818 Je,sikukuu ya pasaka husheherekea mwezi upi kila mwaka? | |
819 Je,Julius Nyerere aliongoza nchi ya Tanzania kwa muda gani? | |
820 Je,Marijani Rajabu alizaliwa mwaka upi? | |
822 Je,Fiji ina idadi ya watu wangapi? | |
823 Je, mamake Hussein ibn Ali alikuwa anaitwa nani? | |
824 Fidla iligunduliwa mwaka gani? | |
825 Mlima Kilimanjaro una futi ngapi? | |
826 Mke wa rais wa kwanza wa Kenya anaitwa nani? | |
829 Je,Kenya ina idadi ya kaunti ngapi kwa jumla? | |
831 Je,Bongo Records ilianza kurekodi miziki mwaka upi? | |
832 Meli ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? | |
833 Je,ndovu hubeba mimba kwa muda upi? | |
835 Je,ndimu iko katika familia gani ya mimea? | |
836 Ghorofa ndefu zaidi ulimwenguni linaitwaje? | |
838 Mesopotamia ya kale ina jina gani leo? | |
839 Bara Hindi lina ukubwa gani? | |
840 Je, Mae Carol Jemison ana ndugu wangapi? | |
841 Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi? | |
842 Je,David James Thouless alizaliwa mwaka upi? | |
843 Je,mji mkuu wa Israeli ni upi? | |
844 Romano Prodi alizaliwa mwaka gani? | |
845 Nini maana ya neno makaburu? | |
846 Nchi ya Kenya ina kaunti ngapi? | |
847 Je,Lagos ina idadi ya watu wangapi? | |
848 Italia iko pande gani ya dunia? | |
849 Je,kuku anaweza taga takriban mayai ngapi kwa siku? | |
851 Je, Vatikano ina ukubwa gani? | |
852 Leo Africanus alizaliwa wapi? | |
853 Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea fizikia katika chuo kikuu gani? | |
854 Je,rais wa kwanza wa Meksiko alikuwa nani? | |
855 Je,mji mkuu wa Ireland ni upi? | |
858 Je,Kundi la Jacksons lina wanachama wangapi? | |
859 Amerika ilipata uhuru mwaka upi? | |
860 Nani alianzisha kanisa la Kilutheri? | |
861 Africa ina nchi ngapi? | |
863 Je,mji mkuu nchini Kenya ni upi? | |
864 Je, ni chombo kipi hupima upepo? | |
865 Demokrasia ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani? | |
866 Muziki wa hip hop ulianzia nchi gani? | |
867 Je, Tanzania ina idadi ya watu wangapi? | |
868 Je,nchi ya Yordani iko katika bara gani? | |
870 Mwimbaji R. Kelly alianza kuimba mwaka upi? | |
872 Nani alitengeneza redio la kwanza? | |
873 Je,mnyama mkubwa zaidi duniani ni gani? | |
874 Je,John Kennedy aliuawa mwaka upi? | |
875 Chanzo kuu cha kuendesha ni gani? | |
877 Dameski ina ukubwa gani? | |
878 Je,Wilma Rudolph alikuwa na watoto wangapi? | |
880 Rais wa kwanza wa marekani ni nani? | |
883 Mji mkuu wa Sudan unaitwa aje? | |
884 Umoja wa Mataifa ulianza mwaka gani? | |
886 Je, Kenneth David Kaunda alizaliwa mwaka upi? | |
887 Je,nani alitengeneza gari la kwanza la aina ya Benz? | |
889 Nani mwanzilishi wa gazeti ya The Calgary Herald? | |
890 Mlima Kenya una ukubwa gani? | |
891 Edith Chewangel Masai amezaliwa wapi? | |
892 Je,chombo gani hutumika kuangalia nyota angani? | |
893 Jackie Agyemang ana watoto wangapi? | |
894 Je,neva ni nini? | |
896 Bara kubwa duniani linaitwaje? | |
897 Je,nani rais wa kwanza wa Zambia? | |
899 Mwai Kibaki ana watoto wangapi? | |
900 Je, kuna aina ngapi ya mimea? | |
901 Sayari iliyo karibu na jua ni ipi? | |
902 Je,Petro alimkana yesu mara ngapi? | |
907 Uislamu ulianzia wapi? | |
910 Elijah Masinde alizaliwa mwaka upi? | |
911 Je,mji mkuu wa Afrika Kusini ni upi? | |
912 Kitabu cha kwanza kinaitwaje? | |
914 Je,Shinikizo la juu la damu inaweza pata mtoto wa umri wa chini ya miaka tano? | |
915 Je,Victor Wanyama alizaliwa lini? | |
916 Je,mapinduzi ya ufaransa ulianza lini? | |
917 Je, dunia ina miaka mingapi? | |
919 Nini maana ya Shahamu? | |
921 Ni kifaa kipi hutumika kuangalia nyota angani? | |
922 Aleen Bailey alizaliwa mwaka gani? | |
923 Mlima kenya iko wapi? | |
926 Je Beyonce alianza uigizaji mwaka upi? | |
927 Eneo la Morogoro lina ukubwa gani? | |
928 mto mrefu nchini Zambia unaitwaje? | |
929 Je,Cardinal Otunga aliaga dunia mwaka upi? | |
930 Je ni hatari kwa mgonjwa wa kisukari kutumia pombe? | |
931 Je,mji mkuu wa Australia ni upi? | |
933 Je,nani mmiliki wa Walt Disney? | |
935 Nani mwanzili wa mziki ya aina ya Hiphop? | |
936 Uganda ilipata uhuru mwaka upi? | |
941 Je,Gaius Julius Caesar alizaliwa lini? | |
944 Usafiri wa anga la nje ulianza lini? | |
946 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni gani? | |
947 Je,ziwa Baikal inapatikana katika nchi gani? | |
948 Afrika kusini kuna nchi ngapi? | |
949 Je,mto mkubwa zaidi Kongo ni upi? | |
950 Je ni reptilia wote wenye sumu? | |
951 Je,Google ilianza mwaka gani? | |
952 Je, Iddi Amin alitawala Uganda kwa miaka ngapi? | |
953 Je, ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi? | |
954 John Saxon ana miaka mingapi? | |
955 Ni mto upi unapitia ndani ya mji wa London? | |
956 Je nchi ya Sydney iliandaa Olimpiki mwaka upi? | |
960 Je,ni chuo kikuu gani kongwe zaidi nchini Nigeria? | |
964 Rangi ya Samawati katika bendera ya Jibuti inaashiria nini ? | |
965 Je,makao makuu ya muungano wa Afrika iko katika nchi gani? | |
967 Ugiriki ya kale ina miungu mingapi? | |
968 Wilaya ya Musoma ina idadi ngapi ya watu? | |
969 Je,Saidi Ntibazonkiza alizaliwa lini? | |
970 Je,Diamond Platnumz ana watoto wangapi? | |
973 Sancho Gracia ana miaka mingapi? | |
974 R. Kelly alizaliwa mwaka upi? | |
975 Mji mkubwa Dubai ni gani? | |
976 Mji mkuu wa Afrika kusini ni upi? | |
977 Je,mmea wa miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani nchini Kenya? | |
980 Je,Uqba ibn Nafi alizaliwa mwaka upi? | |
982 Jamhuri ya Kituruki iko na idadi ngapi ya watu? | |
984 Kristoforo Kolumbus alizaliwa wapi? | |
985 Lugha ya kitaifa Misri ni gani? | |
989 Azad Azadpour alizaliwa mwaka upi? | |
992 Kuna njia ngapi za kutoa taka mwilini? | |
994 Je,chama cha kisiasa cha KANU kilianza mwaka upi? | |
995 Eneo la bahari la Atlantiki ni upi? | |
996 Nnai alizindua chombo cha kupima joto mwilini? | |
997 Mamalia ni nini? | |
998 Je,makamu wa rais William Ruto alizaliwa mwaka upi? | |
999 Je,sayari kubwa zaidi ni ipi? | |
1000 Tsavo Magharibi iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia? | |
1001 Je,mji mkuu wa Japani ni upi? | |
1002 Piramidi ilijengwa mwaka gani? | |
1003 Kuna idadi ngapi ya Wasukuma nchini Tanzania? | |
1004 Mshairi Christopher Richard Mwashinga alizaliwa wapi? | |
1005 Nini maana ya lahaja? | |
1006 Je,ugonjwa wa trakoma unaweza kusababisha upofu? | |
1008 Je,Tanzania ilipata uhuru lini? | |
1010 Je, papa Gregori alizaliwa lini? | |
1011 Titani ni nini? | |
1013 Je,jina ya kisayansi ya tunda la ndimu ni gani? | |
1014 Je,mlima mkubwa zaidi bara Asia ni lipi? | |
1015 Klabu Paris Saint German [PSG] ilizinduliwa lini? | |
1017 Roberto Carlos Da Silva Rocha alikuwa beki wa timu gani? | |
1019 Mlima Karmeli unapatikana wapi? | |
1021 Je, ukuta wa china ulijengwa mwaka gani? | |
1022 Gabon ilipata huru mwaka upi? | |
1023 Tennis ilianza mwaka upi? | |
1024 Mama yake Tupac Shakur anaitwa nani? | |
1025 Ngozi ni nini? | |
1026 Je,bara Asia ina idadi ya nchi ngapi? | |
1027 Jina Krioli linatokana na nini? | |
1028 Chama cha Mapinduzi kilianza mwaka upi? | |
1029 Je,Sungura wa Kizungu anaweza zaa watoto wangapi kwa wakati mmoja? | |
1032 Mji mkuu wa Uajemi ni upi? | |
1034 Rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani? | |
1035 Dedan Kimathi alizaliwa mwaka upi? | |
1036 Msitu mkubwa Kenya unaitwaje? | |
1037 Je,mto gani mkubwa zaidi duniani? | |
1039 Kuvu ni nini? | |
1042 Anthony Alexandre Anderson ana watoto wangapi? | |
1043 Uti wa mgongo ni nini? | |
1044 Mahindi ni mmea wa familia gani? | |
1046 Nani alipata kuwa waziri mkuu wa Ethiopia tangu baada ya kifo cha Meles Zenawi? | |
1047 Je,gazeti la The Wichita Eagle ilianza mwaka upi? | |
1050 Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama alizaliwa wapi? | |
1051 Nani aliunda Puto ya kwanza duniani? | |
1052 Shirika la Umoja wa Mataifa lilianzishwa mwaka gani? | |
1053 Je, mlima wenye theluji kileleni nchini Kenya unaitwaje? | |
1055 Kuki ya kompyuta ina maana gani? | |
1057 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania? | |
1059 Mji wa New York uko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1060 Je,Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu alizaliwa lini? | |
1061 Mji wa Frankfurt uko na idadi ngapi ya watu? | |
1062 Je,ni mto gani mkubwa zaidi duniani? | |
1063 Je,mti mrefu kabisa duniani inapatikana wapi? | |
1064 Je,simba hubeba uja uzito kwa miezi ngapi? | |
1065 Je,Lee Anderson Grant alijiunga na Manchester United lini? | |
1066 Kuna aina ngapi za Mata? | |
1067 Je,Robert Baden-Powell alizaliwa mwaka upi? | |
1069 Jada Koren Pinkett Smith alizaliwa wapi? | |
1070 Je,Marekani ina mikoa ngapi kwa jumla? | |
1071 Je,mji mkuu wa Uholanzi ni upi? | |
1072 Filamu ya Sarafina ilizinduliwa lini kwa mara ya kwanza? | |
1073 Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Google? | |
1075 Je, kaisari ni nani? | |
1076 Je,ni kilomita ngapi kutoka Nakuru hadi Nairobi? | |
1078 Bill Gates alisoma chuo kikuu gani? | |
1079 Kata ya Mkongo ina takriban watu wangapi? | |
1080 Nchi ya Tanzania ina mito ngapi? | |
1081 Je, Ademola Lookman alizaliwa lini? | |
1082 Jangwa kubwa zaidi Afrika ni gani? | |
1083 Je,Kenya African Union ilibadilika na kuwa chama gani cha kisiasa nchini Kenya? | |
1086 Je, bendera ya nchi ya Ghana ina rangi ngapi? | |
1088 Shira ina ukubwa gani? | |
1091 Je,Agano jipya ina vitabu ngapi? | |
1092 Je, Agano jipya lina vitabu vingapi? | |
1093 Kampuni ya Volkswagen ilianzishwa mwaka gani? | |
1094 Je,nani mwandishi wa kipindi cha 24? | |
1095 jiji la Mwanza lina idadi ngapi ya watu? | |
1096 Je,wimbo wa kwanza wa Jua Cali ni upi? | |
1097 Je,Arsene Wenger alizaliwa mwaka upi? | |
1098 Usafiri wa anga-nje ilianza lini? | |
1099 Je, Ni sayari ipi iliyo karibu na jua? | |
1100 Je,mpira wa vikapu ulianzishwa mwaka upi? | |
1101 Jina rasmi la msanii Dknob ni nini? | |
1102 Mwanadamu huwa na lita ngapi za damu mwilini? | |
1103 Je,2Pac alizaliwa lini? | |
1104 Nathaniel Thomas Wilson ana miaka mingapi? | |
1107 Je, Kenya ilipata Uhuru mwaka gani? | |
1108 Je,mke wa Kofi Annan aliitwa nani? | |
1109 Je,televisheni ya NBC inapatikana katika nchi gani? | |
1110 Mji wa Vatikan una watu takriban kiasi gani? | |
1111 Je,mji mkuu Zambia ni upi? | |
1112 Je, ni Simba kike ndio huwinda? | |
1113 Je,msimu wa pili wa kipindi ya Heroes ina sehemu ngapi? | |
1115 Nchi ya New Zealand ina idadi ngapi ya watu? | |
1116 Je,kuna aina ngapi ya kisukari? | |
1117 Pesa iligunduliwa mwaka gani? | |
1119 Nanyuki ina idadi ngapi ya watu? | |
1120 Nigeria ilipata uhuru mwaka gani? | |
1121 Aliyekuwa rais wa Tanzania Julius Nyerere alifariki mwaka upi? | |
1122 Je,mtayarishaji wa tamthilia ya Heroes anaitwa nani? | |
1123 Je,rais wa kwanza wa Ufaransa alikuwa nani? | |
1124 Yesu alianza huduma akiwa na miaka mingapi? | |
1125 Je,nani wa kwanza kutengeneza Meli ya kwanza duniani? | |
1127 Ida Ljungqvist alizaliwa wapi? | |
1128 Je,kuna bara ngapi duniani? | |
1129 Ufugaji wa kuku ulianzia wapi? | |
1130 Karl Peters alizaliwa wapi? | |
1131 LL Cool J ana albamu ngapi? | |
1132 Je, bara Australia lina ukubwa wa kilo mita ngapi? | |
1133 Hifadhi ya wanyama ya Serengeti ina ukubwa gani? | |
1134 Je,kifaru huishi kwa takriban miaka ngapi? | |
1136 Je,Nanyuki iko katika kaunti gani nchini Kenya? | |
1137 Je,Jean Bosco Mwenda alizaliwa mwaka upi? | |
1139 Ziwa Tanganyika iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1140 Aliyekuwa rais wa Sudan, John Garang alifariki mwaka gani? | |
1142 Eneo la Bakteria lina ukubwa gani? | |
1144 Je, mlima mrefu zaidi Afrika ni upi? | |
1145 Masomo ya sayansi ya wadudu inaitwaje? | |
1146 Mama ya Leonardo Da Vinci ni nani? | |
1147 Mchezo wa voliboli unachezwa na wachezaji wangapi? | |
1148 Je,kemikali ni nini? | |
1149 Je, bustani ya Jeevanjee mjini Nairobi ilipewa jina hili na Alibhai Mulla Jeevanjee? | |
1153 Sydney iko katika bara gani? | |
1155 Pombe ya kwanza ilitengenezwa na nani? | |
1156 Chama cha NAZI kilianzishwa na nani? | |
1157 Je,mamake Yohane mbatizaji alikuwa anaitwa nani? | |
1158 Mji mkubwa nchini Ufaransa unaitwaje? | |
1159 Je, Christina Milian alizaliwa mwaka upi? | |
1160 Je,mlima mkubwa zaidi Tanzania ni upi? | |
1161 Je ni nchi ngapi Ulaya haswa wanatumia sarafu ya Euro? | |
1162 Ni nani alikuwa mwanzilishi wa Google? | |
1163 Je, askofu Alinikisa Cheyo alisomea wapi shule ya msingi? | |
1164 Nyota zinaonekana kutumia kifaa gani? | |
1165 Je,Martha Karua alizaliwa mwaka upi? | |
1166 Mlima mkubwa wa volkeno duniani unaitwaje? | |
1167 Tezi inamaana gani? | |
1169 Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni upi? | |
1171 Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani? | |
1172 Mtawa wa kike wa kwanza anaitwa nani? | |
1173 Eneo la LomΓ© lina ukubwa gani? | |
1174 Je,Kiswahili ndio lugha ya kitaifa nchini Tanzania? | |
1175 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Uturuki? | |
1180 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Gabon? | |
1183 Muziki wa bongo ulianzishwa na nani? | |
1184 Kuna aina ngapi ya nyuki? | |
1185 Je,nani alikuwa rais wa Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda? | |
1186 Je Kenya huuza kahawa nje ya nchi? | |
1187 Sydney iliandaa michezo olimpiki mwaka upi? | |
1188 Nchi ya Zaire ina mikoa mingapi? | |
1189 Je,rais wa kwanza nchini Kenya aliitwa nani? | |
1190 Hispania iko na wakaji wangapi? | |
1191 Karl Peters alizaliwa mwaka upi? | |
1192 Je,Italia ilishiriki katika kombe la dunia la 2018? | |
1194 Je,Israeli iko katika bara gani? | |
1195 Mtandao wa kijamii ya facebook ulianzishwa na nani? | |
1196 Je Galileo Galilei alisomea chuo kipi? | |
1197 Ugonjwa wa Nimonia esinofili una tiba? | |
1198 Betri ya kwanza ya gari ilizinduliwa mwaka gani? | |
1199 Je,Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa lini? | |
1200 Kikohozi kikuu kina tiba? | |
1201 Je,Mwai Kibaki alisomea katika chuo kikuu gani? | |
1202 Je, Manga ni nini? | |
1205 Meli ya kwanza ya kivita ilitengenezwa mwaka gani? | |
1207 Roma mkatoliki alizaliwa wapi? | |
1208 Christopher Columbus aligundua Amerika mwaka upi? | |
1209 Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda ilianzishwa lini? | |
1210 Kabila la wajaluo lilitokea nchi gani? | |
1211 Mji wa Ifakara uko na wakazi wangapi? | |
1212 Je,jina la timu la taifa ya soka la Kenya inaitwaje? | |
1213 Je, kuna tiba ya polio? | |
1214 Je,sehemu ya hard part inapatikana katika filamu gani? | |
1215 Sami Khedira alijiunga na klabu ya Juventus mwaka gani? | |
1216 Je,buibui iko katika spishi gani ya wadudu? | |
1217 Je,mji wa Batman ina idadi ya watu wangapi? | |
1218 Je, ubongo wa pweza una ukubwa kiasi gani? | |
1219 Je,chama cha kisiasa cha kwanza nchini Kenya ni gani? | |
1220 Je,John Cena alizaliwa mwaka upi? | |
1222 Ngozi ya mwanadamu ina unene gani? | |
1223 Je,Olimpiki ya 2008 ilifanyika katika nchi gani? | |
1224 Rais wa kwanza wa Nigeria anaitwa nani? | |
1225 Je,Cassidy alizaliwa lini? | |
1226 Ziwa kubwa katika Amerika kaskazini linaitwaje? | |
1227 Kamusi ya kiswahili iliandikwa mwaka gani? | |
1228 Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu lilianzishwa mwaka gani? | |
1229 Mji mkuu wa nchi ya Kuba unaitwaje? | |
1230 Je,Jackie Agyemang ana watoto wangapi? | |
1231 Je, Mji mkuu wa Estonia ni gani? | |
1232 Je,Scott Storch anaitwa nani? | |
1234 Mzee Majuto alifariki mwaka gani? | |
1237 Je,mziki wa hip hop ilianza mwaka upi nchini Tanzania? | |
1238 Mziki aina wa reggae ulianzia kuimbwa nchi gani? | |
1239 Baba ya Leonardo Da Vinci ni nani? | |
1241 Je,nani wa kwanza kupanda mlima kilimanjaro? | |
1243 Mji mkuu China ni ipi? | |
1245 Vita vya kwanza vya dunia vilianza mwaka gani? | |
1248 Je,timu ya Argentina imewahi shinda mashindano ya kimataifa? | |
1250 Je,mji mkuu wa Brazil ni ipi? | |
1251 Vita vya kwanza vya Dunia vilianza mwaka gani? | |
1253 Mtandao wa Facebook ulianzishwa mwaka upi? | |
1254 Kamusi ya kwanza iliandikwa na nani? | |
1255 Je,herufi ngapi katika alfabeti ambayo haitumiki katika lugha ya kiswahili? | |
1256 Nchi ya Guinea ilipata huru mwaka upi? | |
1257 Marianne Koch alistaafu kama daktari mwaka gani? | |
1260 Je,Martin Luther alizaliwa mwaka upi? | |
1262 Je,Mbongeni Ngema alitunga mchezo wa Sarafina mwaka upi? | |
1263 Je,mke wa Mwai Kibaki aliitwa nani? | |
1265 Bakteria ya Treponema pallidum inasababisha maradhi mangapi? | |
1266 Mlima kubwa Kenya ni gani? | |
1267 Makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako wapi? | |
1268 Mji mkuu wa Mozambiki unaitwaje? | |
1269 Kuna asilimia ngapi ya Tanzania Breweries katika East African Breweries? | |
1271 Kitabu cha pili cha agano la kale ni gani? | |
1272 Kituo cha televisheni ya NTV ilianza mwaka upi? | |
1273 Bahari ya Pasifiki ina urefu wa kilomita ngapi? | |
1274 Je,rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani? | |
1276 Kanisa la kwanza ulimwenguni lilianzishwa mwaka gani? | |
1278 Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yako wapi? | |
1279 Bara la Asia ina nchi ngapi? | |
1281 Sudan ina idadi ngapi ya watu? | |
1283 Je,rais wa kwanza Tanzania anaitwa nani? | |
1284 Mfalme wa kwanza wa Israeli alikuwa nani? | |
1285 2pac alizaliwa mwaka upi? | |
1286 Je,Bata kubwa zaidi duniani Ni ipi? | |
1287 Kitabu cha Hesabu kiliandikwa na nani? | |
1289 Je,vita vya pili duniani iliisha lini? | |
1290 Mesopotamia ya Kale ina jina gani katika karne ya 21? | |
1291 Je, soko la hisa ni nini? | |
1292 Chama cha NSDAP kilianzishwa mwaka gani? | |
1293 Kuna makabila mangapi nchini Rwanda? | |
1294 Mvua ya barafu hutokana na nini? | |
1295 Je, kuna minyoo wenye sumu? | |
1296 Je,mji mkuu wa Estonia ni upi? | |
1297 Mji mkuu wa Somalia ni upi? | |
1298 Tupac Shakur aliuawa kwa jinsi gani? | |
1300 Bara Asia lina mataifa mangapi? | |
1301 Je,msitu wa Mau ina ukubwa kiasi gani? | |
1303 Eneo la Texas lina ukubwa gani? | |
1305 Mwanamziki Lucky Dube alikuwa na watoto wangapi? | |
1308 Je,rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alikuwa nani? | |
1309 Ufugaji wa kuku ulianzia nchi gani? | |
1311 Je, Punda Milia yupo katika familia ya Farasi? | |
1312 Je, mto Nile una takriban urefu kiasi gani? | |
1314 Gabriel Obertan alizaliwa wapi? | |
1318 Marc Predka alizaliwa wapi? | |
1322 Je, kuna ikulu ngapi za rais nchini kenya? | |
1323 Rais wa kwanza wa Togo anaitwa nani? | |
1324 Meli ya abiria ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? | |
1325 Je, bara Asia ina mataifa mangapi? | |
1326 Ugonjwa wa Prekilampsia una tiba? | |
1327 Eire ni nchi ya bara gani? | |
1328 Je, muziki wa Jazz ulianzia nchi gani? | |
1329 Siku ya kusherehekea kufufuka kwa Yesu inaitwaje? | |
1330 Je,nani alianzisha kanisa katoliki duniani? | |
1331 Je,mamalia upi mkubwa zaidi majini? | |
1332 Je,Anthony Alexandre Anderson ana watoto wangapi? | |
1333 Harold L. Green alizaliwa mwaka upi? | |
1334 Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na wake wangapi? | |
1336 Tanzania ina mikoa ngapi? | |
1337 Je,mji mkuu wa Misri ni gani? | |
1340 Je, Angola ilitawaliwa na nani enzi za mkoloni? | |
1341 Je,kipindi cha Heroes ilianza mwaka upi? | |
1342 Je,nchi ya Libya ina idadi ya watu wangapi? | |
1344 Je,mwanadamu ana aina ngapi ya mifupa mwilini kwa jumla? | |
1345 Bahari la Mediteranea lina ukubwa wa kiasi gani? | |
1347 Pendo linaitwaje katika lugha ya kimombo? | |
1350 Mji mkuu wa Visiwa vya Marshall ni upi? | |
1351 Adal Sultanate ilikuwa ni ufalme mwaka upi? | |
1352 Nchi gani duniani iko na idadi ya watu kubwa zaidi? | |
1353 Je,klabu ya Paris Saint-Germain ilianza lini? | |
1355 John Tucker Mugabi Sentamu aliteuliwa kama askofu mwaka gani? | |
1357 Maharagwe ni mmea wa familia gani? | |
1358 Mwanamuziki Beyonce alizaliwa mwaka upi? | |
1359 Je, Jawaharlal Nehru alizaliwa mwaka upi? | |
1360 Je,kuna sayari ngapi kwa jumla? | |
1361 Mji mkuu Algeria ni upi? | |
1362 Amos Biwott alizaliwa mwaka upi? | |
1363 Je,msitu Mau ina ukubwa wa kiasi gani? | |
1364 Je,ziwa kubwa zaidi bara Afrika ni ipi? | |
1365 Nathaniel Thomas Wilson alianza sanaa ya muziki lini? | |
1366 Mto Conwy una maji ya aina gani? | |
1367 Kuku anaishi miaka mingapi? | |
1368 Bahari ya hindi ina ukubwa gani? | |
1369 Kaboni ni nini? | |
1370 Je,nchi ya Syria iko katika bara gani? | |
1371 Je,Misri ilipata uhuru mwaka upi? | |
1372 Mfumo wa Elimu ulianzia wapi? | |
1373 Ukristo ni nini? | |
1374 Je,Ali bin Muhammad alikuwa na watoto wangapi? | |
1375 Msitu mkubwa nchini Kenya ni gani? | |
1378 Nyoka iko katika spishi gani ya wanyama? | |
1381 Simba huzaa watoto wangapi kwa mara moja? | |
1382 Kifua kikuu kinaweza sababisha kifo? | |
1385 Nchi ya Guinea iko na wakazi wangapi? | |
1388 Raila Amolo Odinga alizaliwa mwaka upi? | |
1389 Je,jina la kisayansi ya nanasi ni ipi? | |
1390 Mji mkuu wa Kenya unaitwa aje? | |
1391 Je,paka ako katika spishi gani ya wanyama? | |
1392 Alibhai Mulla Jeevanjee alizaliwa mwaka gani? | |
1393 Je, Bangladeshi inapatikana katika bara gani? | |
1394 Punda milia anazaa baada ya muda gani? | |
1395 Je,mji mkuu wa Vietnam ni upi? | |
1396 Je, mji mkuu wa Kenya ni upi? | |
1397 Sayari ya Zuhura ina ukubwa gani? | |
1398 William Shakespeare alizaliwa mwaka upi? | |
1401 Je,mji mkuu wa Gabon ni ipi? | |
1402 Kenya Ina makabila ngapi kwa jumla? | |
1403 Je,nani wa kwanza kwenda kwa mwezi? | |
1404 Je,mji mkuu wa Malawi ni upi? | |
1405 Je,sungura iko katika spishi gani? | |
1406 Mji mkuu wa Slovakia ni upi? | |
1409 Bara la Antaktiki iko na ukubwa gani wa kijiographia? | |
1410 Kampuni ya Microsoft ilianza mwaka upi? | |
1412 Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa mwaka gani? | |
1413 Lugha rasmi ya nchi ya Afrika kusini ni ipi? | |
1414 Je,mkoa wa Arusha ina idadi ya watu wangapi? | |
1415 Je,Julius Nyerere alizaliwa lini? | |
1417 Sarah Clarke ana miaka mingapi? | |
1418 Je, nani mwanzilishi wa tuzo ya Pulitzer ? | |
1419 Nani mwanzilishi wa Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani? | |
1420 Ngugi wa Thiong'o alizaliwa mwaka upi? | |
1421 Je,simba huishi kwa takriban miaka ngapi? | |
1424 Je,John Cabell Breckinridge alihudumu kama makamu rais wa Marekani kwa muda upi? | |
1426 Mchungaji wa kwanza anaitwa nani? | |
1427 Puto ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? | |
1428 Wimbo wa Changes ulirekodiwa mwaka gani? | |
1429 Variola minor ni nini? | |
1431 Amos Biwott alizaliwa eneo gani? | |
1433 Je,mto mkubwa kabisa duniani ni ipi? | |
1435 Pilau ni nini? | |
1436 Jumuiya ya Mkataba wa Atlantiki ya Kaskazin ilianzishwa lini? | |
1437 Kuku huishi kwa muda gani? | |
1438 Je,Mji wa mombasa ina idadi ya watu wangapi? | |
1439 Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kilizinduliwa mwaka upi? | |
1442 Jina la Darmstadti linatokana na mji upi? | |
1444 Uwanja mkuu wa ndege wa Amsterdam unaitwaje? | |
1445 Mlima mrefu sana duniani ni gani? | |
1446 Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa kanisa la Moravian mwaka upi? | |
1447 Rais wa Marekani ni nani? | |
1448 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro alizaliwa mwaka upi? | |
1449 Fizikia ni nini? | |
1450 Je,nani alizindua kifaa cha darubini? | |
1451 Je, usafiri wa anga la nje ulianza lini? | |
1452 Mama ya Christopher Richard Mwashinga alikuwa nani? | |
1453 Je,Nakaaya Abraham Sumari alizaliwa lini? | |
1454 Mji wa Lubumbashi una idadi ngapi ya watu? | |
1456 Thomas Teye Partey alizaliwa wapi? | |
1457 Je,ni mfuasi yupi alikana yesu mara tatu? | |
1458 Je, jangwa la Kalahari inapatikana bara gani? | |
1460 Nusutufe ni nini? | |
1461 Je,Ghana ilijipatia uhuru mwaka upi? | |
1462 Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1464 Christopher Richard Mwashinga alisomea shule gani ya msingi? | |
1466 Je,albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka upi? | |
1467 Je,vita kuu vya pili duniani viliisha lini? | |
1468 Je, Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta ilianza mwaka upi? | |
1469 Je, nini maana ya Latitudo? | |
1470 Je,Sayari ndogo zaidi ni ipi? | |
1471 Je,dini ya Ukristo ulianzishwa na nani? | |
1472 Je,mji mkuu wa Kenya ni upi? | |
1473 China ina idadi ya watu wangapi? | |
1474 Wadudu-ute wana miguu? | |
1475 Je,2pac alikufa kwa kupigwa risasi? | |
1476 Ziwa Rukwa iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1478 Mlima mkubwa katika mkoa wa Kilimanjaro unaitwaje? | |
1481 Mkuu wa kanisa la katoliki duniani anaitwaje? | |
1482 Mto mrefu wa pili bara Afrika ni gani? | |
1483 Ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima Kilimanjaro hadi kileleni? | |
1485 Mke wa rais wa Tanzania Pombe Magufuli anaitwa nini? | |
1486 Rashidi Yekini ana miaka mingapi? | |
1488 Elizabeth Cady Stanton alizaliwa wapi? | |
1489 Je,Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta ulijengwa mwaka upi? | |
1490 Mji mkuu wa Kongo ni upi? | |
1492 Je,nani alizindua chombo cha kupima joto mwilini? | |
1493 Je,Jerusalem ni mji mkuu wa nchi gani? | |
1494 Kikokotoo cha kwanza kiligunduliwa na nani? | |
1496 Bahari kubwa ni ipi? | |
1497 Je,Sami Khedira alizaliwa mwaka upi? | |
1499 Kalenda ya Gregori kiligunduliwa na nani? | |
1500 Je, dunia ni mviringo? | |
1501 Je,riba ni nini? | |
1502 Presha ina tiba? | |
1504 Muziki wa bongo ulianza lini? | |
1505 Je,nani wa kwanza kufika kwa mwezi? | |
1506 Je,nchi ya Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla? | |
1508 Kuku huwa na kilo ngapi kwa wastani? | |
1509 Je,Ujerumani ina lugha ngapi rasmi? | |
1510 Je,Shania Twain alianza kuimba mwaka upi? | |
1511 Je,ugonjwa wa Strongyloidiasis ina tiba? | |
1512 Bara Ulaya lina idadi ngapi ya watu? | |
1513 Je,mto mkubwa sana bara Afrika ni upi? | |
1515 Je,mji mkuu wa Uturuki ni upi? | |
1516 Marijani Rajabu alianza kuimba akiwa na miaka mingapi? | |
1518 Luigi Galvani aligundua nini kikuu? | |
1520 Je,nani alizindua kifaa cha kupima joto mwilini? | |
1521 Je,tunda la ndizi iko katika kundi gani la mmea? | |
1522 Je, ni mto gani kubwa nchini Misri? | |
1524 Rais wa kwanza wa Rwanda anaitwaje? | |
1525 Je,shule ya Emmaus inapatikana katika nchi gani? | |
1526 Je,ugonjwa wa saratani ya ngozi una tiba? | |
1527 Shirika la Hilali Nyekundu lilianzishwa mwaka gani? | |
1529 Bendi ya Orchestra Mambo Bado iko na wanamziki wangapi? | |
1530 Je,mto mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi? | |
1531 Je, Johann Paul Schor alizaliwa mwaka upi? | |
1532 Je,chungwa iko katika kundi gani ya mimea? | |
1534 Mlima mkubwa sana duniani inapatikana wapi? | |
1536 Mji wa Kisii una idadi ngapi ya watu? | |
1537 Je,mende iko katika spishi gani kwa wadudu? | |
1538 Lugha ngapi zinatumia herufi za kiarabu? | |
1539 Je,kuku ako katika spishi gani ya wanyama? | |
1540 Je, Sepsisi ina tiba? | |
1542 Mlima kilimanjaro iko wapi? | |
1543 Je,mji mkuu nchini Nigeria ni upi? | |
1544 Annie Wersching alizaliwa mwaka upi? | |
1545 Je,mji mkuu wa Afrika Kusini ni ipi? | |
1546 Msanii Rayvanny alizaliwa mkoa gani? | |
1547 Je,nani mwanzilishi wa mtandao wa You tube? | |
1548 Nchi ya Denmark ina visiwa vingapi? | |
1549 Homoni iko na maana gani? | |
1551 Mlima kubwa Uganda ni gani? | |
1553 Muziki wa Taarab ulianzia wapi? | |
1554 Je, siku ya yesu kufa husheherekewa wakati upi? | |
1556 Dini la kikristo lilianzia nchi gani? | |
1558 Cannabidiol ilivumbuliwa na nani? | |
1559 Je, kuna watu wanaoishi katika kisiwa cha Msumbiji? | |
1561 Je,Hendrick Witbooi alizaliwa lini? | |
1565 Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi? | |
1566 Je,Jackie Chan ni muigizaji wa kutoka nchi ipi? | |
1567 Je,nchi ya Vietnamu ina idadi ya watu wangapi? | |
1568 Je,Kamoya Kimeu alizaliwa lini? | |
1569 Je,Abdullah bin Faisal Al Saud alizaliwa mwaka upi? | |
1570 Mlima gani una theluji nchini Kenya? | |
1571 Je,lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi? | |
1572 Chanzo kikuu cha kisukari ni gani? | |
1573 Je,dini ya Katoliki ilianza lini? | |
1574 Steven Kanumba alizaliwa katika wilaya gani? | |
1577 Je, lugha rasmi ya Uzbekistan ni ipi? | |
1578 Je,shirika la umoja wa kimataifa ina wanachama wangapi? | |
1579 Je,Elia Bombarone wa Cortona alizaliwa lini? | |
1581 Bahari ya Shamu ina kina kiasi gani? | |
1583 Je, Stephen Brian "Steve" Tilson alizaliwa mwaka upi? | |
1584 Je,Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi? | |
1585 Ukambi ni nini? | |
1586 Je mlima Everest inapatikana katika bara gani? | |
1589 Jamestown ina ukubwa gani? | |
1590 Nani alikuwa rais wa kwanza wa China? | |
1592 Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwaje? | |
1593 Je,kisukari ina tiba? | |
1594 Je,rais wa kwanza wa Burundi aliitwa nani? | |
1595 Je, msitu mkubwa zaidi duniani ni upi? | |
1596 Chanzo kuu cha chunusi ni gani? | |
1598 Je,Bahari Hindi ina ukubwa wa kiasi gani? | |
1599 Mji mkuu wa Uturuki ni upi? | |
1601 Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea chuo gani kikuu? | |
1602 Bahari la Atlantiki liko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1603 Fomula ya kikemia ya zebaki ni ipi? | |
1604 Kuna takriban wakikuyu wangapi nchini Kenya? | |
1606 Ndumili ni nini? | |
1607 Jina Krismasi linatokana na nini? | |
1608 Je,gazeti la Calgary Sun kilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka upi? | |
1611 Nyota ni nini? | |
1612 Je,Johann Bayer alizaliwa mwaka gani? | |
1613 Nyungunyungu ni nini? | |
1614 Makao makuu ya shirika la Transparency International yako wapi? | |
1615 Mawimbi ni nini? | |
1616 Je,kiswahili ndio lugha rasmi ya nchi ya Tanzania? | |
1617 Donald Gordon alizaliwa mwaka gani? | |
1618 Je,mto Nile iko ina urefu wa kilomita ngapi? | |
1619 Mapinduzi ya Kifaransa yalifanyika mwaka gani? | |
1620 Steven Frayne alizaliwa wapi? | |
1621 Je,mlima mrefu zaidi Afrika ni upi? | |
1622 Atomu ni nini? | |
1623 Maktoum bin Rashid Al Maktoum alifariki wapi? | |
1624 Je,Dwight David Eisenhower alizikwa wapi? | |
1625 Je, Fransisko wa Asizi alizaliwa katika karne gani? | |
1626 Je,Akwilina Akwilini Bafta alizikwa wapi? | |
1627 Balbu ilitengenezwa na nani? | |
1628 Kuna asilimia ngapi ya maji mwilini? | |
1631 Je,Yevgeniya Yevgeniyevna Polyakova alishinda medali ngapi katika Olimpiki ya 2008? | |
1632 Je,Marekani ina mikoa ngapi? | |
1633 Je,ukimwi uligunduliwa lini barani Afrika? | |
1634 Je,Malawi ilipata uhuru mwaka upi? | |
1635 Atlantiki ina ukubwa gani? | |
1636 Kiboko anaishi kwa maji pekee? | |
1637 Anthony Alexandre Anderson amesoma chuo kikuu gani? | |
1638 Je,Thabo Mvuyelwa Mbeki alizaliwa lini? | |
1641 Hispania ina idadi ngapi ya watu? | |
1642 Je,nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka 2018? | |
1643 Johann Paul Schor alikuwa mzalishaji wa kitu gani? | |
1645 Patrick Francis Imanjama ni maarufu kwa kufanya kazi gani? | |
1646 Je,Gamalieli alizaliwa katika karne gani? | |
1647 Je,Bill Gates alisomea katika chuo kikuu gani? | |
1649 Je Tupac Shakur alikuwa na miaka ngapi wakati wa kifo chake? | |
1650 Lugha ya kiswahili ilitokea wapi? | |
1651 Je,mnyama mkubwa kabisa porini ni yupi? | |
1652 Aina za rangi ni gani? | |
1653 Mlima mkubwa nchini Albania unaitwaje? | |
1654 Je,LuΓs Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka upi? | |
1655 Je, Kenya ilitengeneza katiba kwa mara ya kwanza mwaka upi? | |
1657 Umoja wa Kisovyeti ulianza lini? | |
1658 Nchi ya Zaire ni sehemu ya Kongo? | |
1659 Sudani Kusini ilipata Uhuru mwaka gani? | |
1660 Musa alifariki na miaka mingapi? | |
1662 ESA ilizinduliwa mwaka gani? | |
1663 Sababu kuu ya Kupooza kwa ubongo ni ipi? | |
1664 Je paka ako kwenye kundi gani ya wanyama? | |
1665 Je,Sofia ni mji mkuu wa nchi gani? | |
1666 Je,mchezo wa rugby ulianza mwaka upi? | |
1667 Je, kuna aina ngapi za fasihi? | |
1668 Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Kenya? | |
1670 Saratani husababishwa na nini? | |
1671 Je, popo iko katika spishi gani ya ndege? | |
1672 Je,ubongo ni nini? | |
1673 Je,Jan Kacper Bednarek alijiunga na klabu ya Southampton mwaka upi? | |
1675 Bara Ulaya lina ukubwa gani? | |
1676 Je,mchezo wa soka ulianza katika nchi gani? | |
1678 Je, Misri ilipata uhuru mwaka upi? | |
1679 Je,nani rais wa kwanza wa Rwanda? | |
1680 Je,ugonjwa wa homa ya matumbo inasababishwa na nini haswa? | |
1681 Je,gesi ni nini? | |
1682 Mji mkuu wa Honduras ni? | |
1683 Carl Weathers alizaliwa mwaka gani? | |
1684 Je,mji mkuu wa Eritrea ni upi? | |
1685 Kemia ni nini? | |
1686 Mwana muziki Tupac Shakur alikufa mwaka gani? | |
1687 Je,mji mkuu wa Tanzania ina idadi ya watu wangapi? | |
1688 Ni jengo gani kubwa zaidi nchini Dubai? | |
1690 Je,rais wa kwanza wa Uganda aliitwa nani? | |
1691 Kuna mikoa mingapi nchini Tanzania? | |
1692 Wafransisko wa Utawa wa Kwanza ni wa Karne gani? | |
1693 Kampala ina idadi ngapi ya watu? | |
1695 Mji mkuu wa Wales ni upi? | |
1696 Mfuasi wa mwisho wa Yesu anaitwa nani? | |
1698 Vuvuzela ya kwanza ilitengenezwa na nani? | |
1699 Je,sayari gani yenye umbali zaidi kutoka kwa jua? | |
1700 Je,waluo wako katika jamii ya Waniloti? | |
1701 Je,Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla? | |
1702 Je,uti wa mgogngo ni nini? | |
1704 Je,Federico "Kiko" Macheda alizaliwa mwaka upi? | |
1705 Je,dhahabu inapatikana nchini Kongo? | |
1706 Kitongoji duni kikubwa nchini Kenya kinaitwaje? | |
1707 Je,rais wa kwanza wa Gabon anaitwa nani? | |
1708 Je,Japani ina idadi ya watu wangapi? | |
1709 Ukubwa wa nchi ya Tanzania kijiographia ni kiasi gani? | |
1710 Bahari ya Atlantiki ina ukubwa gani? | |
1711 Je,Otto von Bismarck alikuwa na watoto wangapi? | |
1712 Je,kuna saratani ya figo? | |
1713 Rais wa kwanza wa Mexico aliitwa nani? | |
1715 Je,nani mwanzilishi wa kitabu cha rekodi cha Guiness? | |
1716 Mji mkuu wa Ufilipino unaitwaje? | |
1717 Je,rais wa kwanza wa Ethiopia alikuwa nani? | |
1718 Je,George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi? | |
1719 Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya? | |
1720 Je, Salah ad-Din alizaliwa mwaka gani? | |
1723 Je, nini maana ya Sumakuumeme? | |
1724 Je,Ghana ilipata uhuru mwaka upi? | |
1725 Ni nani alitengeneza meli ya kwanza duniani? | |
1726 Kevin Peter Hall alizaliwa wapi? | |
1727 Je,nani rais wa kwanza wa Uganda? | |
1728 Je, Ligi Kuu Uingereza ilianza mwaka upi? | |
1730 Je,klabu ya Manchester United imeshinda taji ya ubingwa bara Uropa mara ngapi kufikia mwaka 2018? | |
1731 Je,mji mkuu wa Kenya ni ipi? | |
1732 Je, Karolo mkuu alikuwa na watoto? | |
1733 Jangwa la Namib lina ukubwa gani? | |
1734 Je,ndovu hubeba uja uzito kwa miezi ngapi? | |
1735 Sanamu ya Uhuru wa New York ilikuwa zawadi kutoka nchi gani? | |
1736 Mji mkuu wa Ethiopia ni gani? | |
1738 Je,Anibal Ibarra alizaliwa lini? | |
1739 Je, mfumo wa kwanza wa upangaji uzazi ulianza lini? | |
1740 Bahari la Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
1741 Nchi ya Italia ina Ziwa ngapi? | |
1742 Nchi ya Nigeria ina makabila mangapi? | |
1743 Je, familia ya Kenyatta ni ya Ufalme? | |
1744 Rais wa nne wa Marekani aliitwa nani? | |
1745 Kampuni ya Rockport ilianzishwa mwaka gani? | |
1746 Henry Fonda alikuwa na wake wangapi? | |
1747 Ziwa kubwa zaidi duniani ni gani? | |
1750 Je,Marko Polo alizaliwa nchi gani? | |
1751 Je,mwanamziki 2Face Idibia alizaliwa mwaka upi? | |
1752 Virusi ni nini? | |
1753 Sergei Mikhailovich Eisenstein alizaliwa wapi? | |
1755 Je, kuna kundi nyota ngapi? | |
1757 Je,mji mkuu wa Palestina ni upi? | |
1758 Ni mlima upi mrefu bara la Afrika? | |
1759 Je,rangi ya nyeupe katika bendera ya Kenya inaashiria nini? | |
1760 Kisiwa kikubwa kinaitwaje? | |
1761 Je, Angola ilipata uhuru mwaka upi? | |
1762 Steven Kanumba alifariki akiwa na miaka mingapi? | |
1763 Bakteria ni nini? | |
1764 Ni mwanasayansi yupi wa kwanza kugundua kuhusu atomi? | |
1765 Je,mpira wa vikapu ulianza lini duniani? | |
1766 Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi? | |
1767 Je,mhusika mkuu wa filamu ya 24 ni nani? | |
1768 Je,nini haswa huleta minyoo kwa tumbo ya binadamu? | |
1769 Nchi ya Sudan kusini ina idadi ngapi ya watu? | |
1773 Je, bahari kubwa zaidi duniani ni gani? | |
1774 Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia? | |
1775 Je,Mji mkuu wa Brazil ni upi? | |
1776 Je,Ziwa kubwa zaidi Afrika ni ipi? | |
1777 Mwanamuziki Madonna alizaliwa mwaka upi? | |
1779 Je,Sahara desert inapatikana katika bara gani? | |
1780 Je,P,Diddy ana watoto wangapi? | |
1781 Je,nani alizindua saa ya mkono ya kwanza? | |
1783 Je nani mmiliki wa kampuni ya Microsoft? | |
1784 Je,Usain Bolt alizaliwa lini? | |
1785 Je,bahari Hindi ina ukubwa kiasi gani? | |
1786 Je,bara Ulaya ina idadi ya watu wangapi? | |
1787 Richard Vincent Corleleus Petrus alizaliwa wapi? | |
1788 Je,Agano Jipya ina vitabu ngapi? | |
1789 Gesi ni nini? | |
1790 Robert Braden alizaliwa wapi? | |
1791 Je,makao makuu ya kampuni ya viatu ya Alden inapatikana wapi? | |
1792 Je, kuna programu ngapi za Kompyuta? | |
1793 Je,jina la kisayansi la Kulungu aktiki ni ipi? | |
1794 Gari la kwanza lilitengenezwa mwaka gani? | |
1795 Je,nani mmiliki wa East African Breweries? | |
1798 Je,nani mwanzilishi wa chama cha Hamas? | |
1799 Mwanamziki Eminem alizaliwa mwaka upi? | |
1800 Je,jina halisi la mwanamziki Diamond Platnumz ni gani? | |
1801 Je,rais wa kwanza wa Mexiko aliitwa nani? | |
1802 Jina ya kuzaliwa ya msanii T-Pain ni nini? | |
1803 Wilaya ya mwanza ina idadi ngapi ya watu? | |
1805 Masi ni nini? | |
1806 Kilimo cha nyanya kilianza lini? | |
1807 Je,Davido ni mwanamziki kutoka nchi gani? | |
1810 Jina Jupiter linatokana na nini katika Dini ya Roma? | |
1811 Ndovu anaishi kwa miaka mingapi? | |
1812 Leo Africanus alisomea wapi? | |
1814 Rais wa Rwanda anaitwaje? | |
1817 Kongo ilipata uhuru mwaka gani? | |
1819 Kanisa la Anglikana lilianzishwa na nani? | |
1820 Ndovu huishi kwa miaka ngapi? | |
1821 Kuna joto kiasi gani katika sayari Zuhura? | |
1822 Kupooza kwa ubongo kuna tiba? | |
1823 Lulu Ngβwanakilala alisomea chuo kikuu gani? | |
1824 Je,Rwanda ilipata uhuru mwaka upi? | |
1827 Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Portland tribune? | |
1828 Shule ya Kimataifa ya Brookhouse ina bweni malazi kwa wanafunzi wangapi? | |
1829 Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? | |
1830 Je,mke wa Tom Mboya anaitwa nani? | |
1831 Je,mji mkuu wa Malawi ni gani? | |
1832 Je,mamba iko katika spishi gani ya wanyama? | |
1833 Je,gari la aina ya Volks Wagen ina makao makuu yake nchi gani? | |
1834 Neno penzi kwa kigiriki ni? | |
1836 Je,nani mwanzilishi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia? | |
1837 Uingereza ina visiwa vingapi? | |
1839 Gideon Moi alizaliwa mwaka gani? | |
1841 Je,Fiji iko katika bara gani? | |
1842 Je,Amerigo Vespucci alizaliwa mwaka upi? | |
1847 Adolf Hitler alizaliwa nchi gani? | |
1848 Je,mbu anaye sababisha Malaria anaitwaje? | |
1850 Tanzania iko na idadi ngapi ya watu? | |
1851 Mark Elliot Zuckerberg alisomea wapi chuo kikuu? | |
1852 Je, sayari ya Pluto ina ukubwa gani? | |
1854 Klabu ya soka ya Manchester United ilianzishwa mwaka upi? | |
1855 Mji mkuu wa Malawi ni upi? | |
1856 Chokoleti ya kwanza ilitengenezwa nchini gani? | |
1857 Kevin Peter Hall alizaliwa mwaka upi? | |
1859 Mji mkuu wa kuba ni upi? | |
1861 Ipsiloni ni nini? | |
1862 Je, Irene Kiwia ana mume? | |
1863 Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Marekani? | |
1864 Ni nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka wa 2006? | |
1865 Je,ni chuo gani cha upili kongwe zaidi nchini Kenya? | |
1866 Je,ni nchi ngapi Afrika haikutawaliwa na Koloni? | |
1868 Elijah Masinde alizaliwa wapi? | |
1869 Alain Kahanga Dekula ameshirikiana na bendi gani la muziki? | |
1870 Je,Zinedine Yazid Zidane aliteuliwa kuwa mkufunzi wa Real Madrid mwaka upi? | |
1871 Je, bahari ya Mediteranea ina ukubwa gani? | |
1872 Je,Rwanda ina idadi ya takriban watu wangapi? | |
1873 Je, ni kweli lugha ya Kiswahili ilitoka kwa Waarabu? | |
1875 Je.msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni upi? | |
1876 Je, kuna kalenda ya wayahudi? | |
1877 Kanisa la katoliki lilianza mwaka upi? | |
1878 Rais wa kwanza wa nchi ya Urusi anaitwa nani? | |
1879 Sayari ni nini? | |
1880 Je,Catherine Ndereba alikuwa mwanariadha wa mbio gani? | |
1881 CΓ΄te d'Ivoire iko na idadi ngapi ya watu? | |
1882 Kampaundi ya TNT iligunduliwa mwaka gani? | |
1883 Christopher Colombus alizaliwa mwaka upi? | |
1884 Nani alizindua somo la kemia mara ya kwanza duniani? | |
1885 Wilfred Ombui Moriasi alijiunga na siasa mwaka gani? | |
1886 Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni gani? | |
1887 GΓΌnter Wilhelm Grass alizaliwa wapi? | |
1888 P. Diddy ana watoto wangapi? | |
1889 Je,New Zealand ina idadi ya watu wangapi? | |
1890 Je,jina la kisayansi ya ndimu ni ipi? | |
1891 Je,jangwa la Sahara linapatikana katika bara gani? | |
1894 Je,hoteli ya Hilton inamilikiwa na nani? | |
1896 Mji wa AdΔ±yaman una ukubwa gani? | |
1898 Je,rais wa pili wa Marekani alikuwa nani? | |
1902 Je,Umaru Musa Yar'Adua alizaliwa mwaka upi? | |
1903 Ndovu husihi kwa miaka ngapi? | |
1904 Je, mji mkuu wa Estonia ni upi? | |
1906 Je,sayari ndogo duniani ni gani? | |
1907 Mji mkuu wa Ubelgiji ni upi? | |
1908 Bill Gates alizaliwa mwaka upi? | |
1909 Nguchiro miraba ana rangi ngapi? | |
1910 Bibilia ina vitabu vingapi kwa jumla? | |
1911 Bara Arabu lina ukubwa gani? | |
1912 Je,Oliver Mtukudzi alizaliwa mwaka upi? | |
1913 Je,Zamaradi Mketema alianza utangazaji lini? | |
1915 Je,mji wa Dameski ina idadi ya watu wangapi? | |
1917 Je,Uqba ibn Nafi alizaliwa lini? | |
1918 Je, Uganda ilipata uhuru mwaka gani? | |
1919 Je,Ligi Kuu Uingereza ilianzishwa mwaka upi? | |
1920 Saidi Ntibazonkiza alizaliwa mwaka gani? | |
1921 Mwanamziki Franco Luambo Makiadi alijulikana kwa mziki wa aina gani? | |
1922 Mlima Kilimanjaro una urefu wa kiasi gani? | |
1924 Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? | |
1925 Nani alijenga ukuta mkubwa wa China? | |
1927 Nani rais wa Nigeria? | |
1929 Makao makuu ya Umoja wa mataifa inapatikana nchi gani? | |
1930 Je,jina la kisayansi la chungwa ni gani? | |
1931 Nani mhusika mkuu wa kipindi ya 24? | |
1932 Mnyama mgani ni mkubwa duniani? | |
1933 Je,Dknob alizaliwa mwaka upi? | |
1934 Rais Kennedy aliuawa mwaka upi? | |
1935 Je,kuna saratani ya Ubongo? | |
1937 Je, Hispania ina idadi ngapi ya watu? | |
1939 Mto mkubwa zaidi duniani unaitwaje? | |
1940 Je,Borja Mayoral Moya alizaliwa mwaka upi? | |
1941 Neil Armstrong alienda mwezini kwa kifaa gani? | |
1942 Je,lugha rasmi nchini Uganda ni gani? | |
1943 Rais wa nchi ya Rwanda anaitwaje? | |
1945 Je,Lee Anderson Grant alizaliwa mwaka upi? | |
1947 Mji mkuu wa Madagascar unaitwaje? | |
1948 Mji mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi? | |
1949 Je,Zinedine Zidane ni mzaliwa wa nchi gani? | |
1950 Diamond Platnumz ana watoto wangapi? | |
1952 Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa anaitwa nani? | |
1954 Ugonjwa wa Cholera ulianzia nchi gani? | |
1955 Je, Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo kikuu kipi? | |
1956 Je,mji mkuu wa Urusi ni ipi? | |
1957 Je,Julius Nyerere aliaga dunia mwaka upi? | |
1959 Ni nchi gani inayo tengeneza sigara kwa wingi ulimwenguni? | |
1962 Je,Carl Weathers alizaliwa lini? | |
1963 Je,ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni upi? | |
1964 Meno ya kwanza ya mtoto huanza kuota akiwa na umri gani? | |
1965 Je, Ali Muhsin Al-Barwani alisomea katika chuo kikuu gani? | |
1966 Homa ya Bonde la Ufa iligunduliwa lini? | |
1967 Je,VΓctor HipΓ³lito MartΓnez alikuwa katika chama gani cha kisiasa? | |
1969 Sudan Kusini ilipata uhuru mwaka gani? | |
1970 Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya facebook? | |
1971 Je,ugonjwa wa kisukari ina dawa? | |
1972 Amos Biwott alizaliwa mji gani? | |
1973 Mji mkuu wa Jamaica ni upi? | |
1974 Je,ndovu ndiye nyama mkubwa kabisa wa pori? | |
1975 Rais wa kwanza Tanzania aliitwa nani? | |
1976 Je,virusi ni nini? | |
1977 Neno wakristo linatokana na nini? | |
1978 Je, mji mkuu wa Ghana ni upi? | |
1979 Je, Rosebud Violet Kurwijila ana watoto wangapi? | |
1980 Je,Fat Joe alianza mziki mwaka upi? | |
1981 Je, Jennifer Garner alianza uigizaji mwaka upi? | |
1983 Je,mji wa Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? | |
1984 Je,ziwa kubwa zaidi duniani ni ipi? | |
1985 Je, Freddy Ndala Kasheba alizaliwa mwaka upi? | |
1986 Je, nini maana ya Kemia? | |
1987 Froot Loops ilizinduliwa mwaka gani? | |
1988 Je,mwanamziki Afande Sele ni mzaliwa wa nchi gani? | |
1989 Je bahari kuu ni kubwa kuliko kontinenti? | |
1990 Je,Joshua Nkomo alizaliwa lini? | |
1991 Mohamed Said Salum anafahamika zaidi kwa kitabu gani? | |
1992 Je,kasoko gani kubwa zaidi duniani? | |
1993 Je,Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia ina makao makuu yake nchi gani? | |
1995 Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na watoto wangapi? | |
1996 Mchezo wa kriketi huchezwa na wachezaji wangapi kila upande? | |
1997 Bahari Hindi ina ukubwa gani? | |
1998 Je, msichana hufika umri wa kubaleghe akiwa na miaka mingapi? | |
1999 Je,Zambia ina makabila ngapi? | |
2001 Je,kuku anaweza ishi kwa miaka ngapi takriban? | |
2003 Je, Adolf Hitler alifariki mwaka gani? | |
2004 Tanzania ina mikoa mingapi? | |
2005 Je,Diamond Platnumz alizaliwa lini? | |
2006 Je,Leopold II alizaliwa mwaka upi? | |
2007 Utaratibu wa alama za kimataifa za magari ulianzishwa mwaka gani? | |
2008 Klabu ya Manchester United inamilikiwa na nani? | |
2009 Je,mto mubwa zaidi duniani ni upi? | |
2010 Nani alishinda mashindano ya American idol kwa mara ya kwanza? | |
2015 Je,astronomia wa kwanza duniani alikuwa nani? | |
2016 Kenya ilipata huru wao mwaka gani kutoka kwa wakoloni? | |
2017 Kamusi ya kwanza ya kiswahili iliandikwa na nani? | |
2018 Muziki wa aina ya hip hop ulianzia nchi gani? | |
2019 Mji mkuu wa Dodoma una takriban watu wangapi? | |
2020 Nani alikuwa mwanafalsafa wa kwanza ugiriki? | |
2021 Je, mamake 2Pac anaitwa nani? | |
2022 Mto mrefu zaidi duniani ni gani? | |
2024 Kuna aina ngapi za kalenda ulimwenguni? | |
2025 Chuo Kikuu cha Benin kilianzishwa mwaka upi? | |
2027 Je,Adolf Hitler alikuwa kiongozi wa chama gani cha kisiasa? | |
2028 Je,ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa lini duniani? | |
2029 Je, kuna kemikali katika utumbo mpana? | |
2030 Steven Kanumba alizaliwa mwaka upi? | |
2031 Ludwig van Beethoven alizaliwa lini? | |
2033 Je, Ujerumani ilishiriki katika kombe la dunia mwaka wa 2018? | |
2034 Je, mlima mgani mrefu zaidi bara Afrika? | |
2035 Intaneti ilianza kutumika nchi gani mara ya kwanza? | |
2036 Jihadi ya Kiislamu ya Misri ilianza mwaka upi? | |
2037 Je,jina Haile Selassie ina maana gani? | |
2038 Je,Alpha Blondy alizaliwa mwaka upi? | |
2039 Je, Kulungu aktiki ana urefu kiasi gani? | |
2040 Sudan ilijitenga na Sudan Kusini mwaka gani? | |
2042 Ziwa Tanganyika lina ukubwa gani? | |
2043 Je,mjii mkuu wa Nigeria ni upi? | |
2044 Je, Mae Carol Jemison alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2045 Je,Cristiano Ronaldo dos Santos alizaliwa mwaka upi? | |
2046 Uyahudi ni nini? | |
2048 Nani mwanzilishi wa shule St. Andrews "Turi"? | |
2049 Kamerun ilipata uhuru mwaka gani? | |
2050 Chanzo cha hedhi ni nini? | |
2051 Amerigo Vespucci ni mwenyeji wa nchi gani? | |
2052 Simba hubeba mimba kwa muda gani? | |
2053 Euclid alikuwa nani? | |
2055 Bayern Munich ilianzishwa lini? | |
2056 Je,Adrenali ni nini? | |
2057 Rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani? | |
2058 Saratani inatibiwa kwa njia gani? | |
2059 Paka mrefu ana futi ngapi? | |
2061 Je,kanisa la katoliki kubwa kabisa nchini Italia ni ipi? | |
2063 Je,Mwai Kibaki alisomea chuo kikuu cha Makerere? | |
2064 Nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka gani? | |
2066 Je,mji wa Almere ina idadi ya watu wangapi? | |
2067 Je,Kamerun ina idadi ya watu wangapi? | |
2069 Je, ziwa Viktoria lina kina kiasi gani? | |
2070 Je kibunga ni nini? | |
2072 Bakteria ya Klamidia ina tiba? | |
2073 Je,mji mkuu wa Jamaika ni upi? | |
2075 Adolf Hitler alitawala kwa muda gani? | |
2076 Nani mwanzilishi wa kitu cha CNN? | |
2077 Mlima mrefu nchini Kenya ni upi? | |
2078 Ndezi ana ukubwa gani? | |
2079 Norwei ina idadi ngapi ya watu? | |
2082 Mji mkuu wa nchi ya Iceland unaitwaje? | |
2084 Historia ya teknolojia ilianzia wapi? | |
2085 Je,Haile Selassie alizaliwa mwaka upi? | |
2087 Je,mke wa Donald Trump anaitwa nani? | |
2088 David Munyasia alipatikana na makosa ya kuvunja kanuni za Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki mwaka gani? | |
2090 Homa ya nyongo C iligunduliwa mwaka gani? | |
2093 Simu ya upepo ilizinduliwa lini? | |
2096 Mama ya Isa kulingana na Qurani alikuwa anaitwa aje? | |
2099 Al Jazeera ilianza mwaka gani? | |
2102 Je,ugonjwa wa shinikizo la juu la damu mwilini una tiba? | |
2104 Elementi ni nini? | |
2106 Je,mji mkuu wa Eritrea? | |
2107 Kiongozi wa bendi ya Westlife anaitwa nani? | |
2108 Je,Mandakini Kihindi alizaliwa lini? | |
2109 Biblia ya kikristo ina vitabu vingapi kwa jumla? | |
2110 Makao makuu la shirika la Msalaba Mwekundu iko wapi? | |
2111 Inter-territorial Language ilianzishwa lini? | |
2112 Mwanamziki Beyonce alizaliwa mwaka upi? | |
2114 Je,msitu mkubwa zaidi duniani ni upi? | |
2115 Je,William Shakespeare alizaliwa lini? | |
2117 Kuna takriban nyota ngapi? | |
2118 Je, Alkoholi ni mihadarati? | |
2119 Hispania iko na idadi ngapi ya watu? | |
2120 Mkoa wa Dar es Salaam una idadi ngapi ya watu? | |
2121 Je,nani mwazilishi wa kanisa la katoliki duniani? | |
2123 Mji mkuu wa Korea unaitwaje? | |
2124 Je,rais wa kwanza wa Tanzania anaitwa nani? | |
2126 Jina la ugonjwa wa saratani linatokana na nini? | |
2127 Je, Urusi ina ukubwa wa kilomita ngapi? | |
2129 Bahari kubwa Kenya ni gani? | |
2130 Umoja wa Mataifa ulianzishwa mwaka gani? | |
2135 Je, ni timu ngapi zipo katka chama cha FIFA? | |
2136 Je, mpira wa kikapu huwa na wachezaji wangapi? | |
2137 Je,mji mkuu Namibia ni upi? | |
2138 Je,Cherry Jones alizaliwa lini? | |
2139 Je, kuna jamii ya waluo nchini Tanzania? | |
2143 Je,ugonjwa wa polio una tiba? | |
2144 Mji mkuu wa Chile ni upi? | |
2145 Tanzania ilipata uhuru mwaka upi? | |
2146 Rais wa Urusi ni nani? | |
2149 Je,mlima Karmeli inapatikana nchi gani? | |
2150 Ni ziwa gani kubwa zaidi nchini Kenya? | |
2151 Je, ziwa Nakuru lina maji ya aina gani? | |
2152 Je,mji mkuu wa Brazil ni upi? | |
2154 Je,LL Cool J alizaliwa mwaka upi? | |
2156 Je,East African Breweries inamilikiwa na nani? | |
2157 Mkoa wa Flevoland ulianzishwa mwaka upi? | |
2158 Je,mji wa Bergisch Gladbach ina idadi ya watu wangapi? | |
2159 Je kuna watu huishi kwa jangwa la Sahara? | |
2160 Je,mji mkuu wa Israel ni upi? | |
2161 Zheng He alizaliwa mwaka upi? | |
2162 Lugha ni nini? | |
2163 Je ni nchi gani kubwa bara Afrika? | |
2164 Tarakilishi ya kwanza duniani ilizinduliwa na nani? | |
2165 Uvuvi nchini Angola ulianza lini? | |
2166 Nini maana ya mtaguso? | |
2167 Je Masedonia inapatikana Ugiriki? | |
2168 Je, Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka upi? | |
2169 Je,David James Thouless alizaliwa lini? | |
2172 Togo ina idadi ngapi ya watu? | |
2174 Je,nchi ya Marekani inatumia sarafu gani? | |
2175 Nchi ya Misri ilitawaliwa na mkoloni? | |
2176 Je, ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima wa Kilimanjaro? | |
2177 Ndege ya kwanza ilitengenezwa na nani? | |
2178 Je, Ghana ilipata uhuru mwaka upi? | |
2179 Je,George Weah aliwahi chezea klabu ya Arsenali? | |
2182 Indonesia ipo kati ya bahari ngapi? | |
2183 Vita vya pili duniani viliisha mwaka upi? | |
2184 Je,Ellen DeGeneres alizaliwa mwaka upi? | |
2186 Je,Collins Injera anachezea timu gani ya raga nchini Kenya? | |
2187 Mji mkuu wa Poland unaitwaje? | |
2189 Timu ya taifa ya Wales ilianzishwa mwaka gani? | |
2190 Je,kuna dawa y a kuuwa minyoo? | |
2191 William Mshindi alizaliwa wapi? | |
2193 Nani rais wa kwanza wa Uganda? | |
2194 Martin Luther alianzisha dini ngapi? | |
2195 Kleopatra alikuwa malkia wa mfalme yupi? | |
2199 Vita vya pili duniani vilianza mwak upi? | |
2200 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH amechezea timu ngapi? | |
2201 Ivory Coast iko na idadi ngapi ya watu? | |
2202 Ni nchi ngapi barani Afrika zina zungumza lugha ya Kiswahili? | |
2203 Rais wa Tanzania mwaka 1987 anaitwa nani? | |
2204 Kuna nyota ngapi ngani? | |
2206 Je,chui iko katika spishi gani ya wanyama? | |
2207 Satelaiti ya kwanza ilianza kuzunguka dunia mwaka gani? | |
2209 Rais wa kwanza wa Gabon alikuwa anaitwa nani? | |
2210 Muziki wa Taarab ulianzia nchi gani? | |
2212 Alizeti ni maua ya rangi gani? | |
2213 Bahari ya hindi iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
2214 Elementi ya Gerimani iligunduliwa na nani? | |
2215 Bie ni nini? | |
2217 Elizabeti alipata mtoto akiwa na umri gani? | |
2218 Bara Arabu ina ukubwa gani? | |
2219 Je wimbo wa Dear Mama wa tupac shakur ilikuwa katika albamu gani yake? | |
2222 Robert Baden-Powell alizikwa wapi? | |
2223 Lugha rasmi ya nchi ya Ethiopia ni ipi? | |
2225 Je,Tha Trademarc alizaliwa mwaka upi? | |
2226 Jina la 2Pac la kuzaliwa ni gani? | |
2228 Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa wapi? | |
2229 Je,makao makuu ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu iko wapi? | |
2230 Raila Amolo Odinga alianza siasa mwaka upi? | |
2231 Isopodi ana miguu mingapi? | |
2232 Je,nani mwanzilishi wa muziki wa hip hop Marekani? | |
2233 Je, nchi ya Tanzania ina idadi ngapi ya watu? | |
2237 Je,sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya? | |
2238 Je, Malawi ilipata uhuru mwaka upi? | |
2239 John Michael Kosterlitz alizaliwa wapi? | |
2240 Je,idadi ya watu nchini Cote d'Ivoire ni ngapi? | |
2241 Kuna mataifa mangapi ya Waarabu ulimwenguni? | |
2242 Je, tufe ni nini? | |
2243 Ufugaji wa Kuku ulianza mwaka gani? | |
2244 Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka upi? | |
2246 Armand TraorΓ© alizaliwa katika mji gani? | |
2247 Mji mkuu wa Mali unaitwaje? | |
2248 Ziwa Victoria ina urefu wa kiasi gani? | |
2249 Eva, alishawahi kuelezewa nini na gazeti la Vogue? | |
2250 Je,mwanamke anaweza pata uja uzito akiwa katika hedhi? | |
2251 Je,John Saxon alizaliwa mwaka upi? | |
2252 Je,Nelson Mandela alifungwa jela miaka ngapi? | |
2253 Mji mkuu wa Urusi ni upi? | |
2254 Je,kuacha uraibu wa dawa za kulevya ni rahisi? | |
2255 Mji mkuu wa urusi ni upi? | |
2256 Je,Brian Haule alianza mziki mwaka upi? | |
2259 Je,biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki ilianza lini? | |
2261 Je, reli ya SGR ya Kenya ilianza kutengenezwa lini? | |
2262 Je,mjii mkuu wa Israeli ni upi? | |
2263 Nkashama Kanku Kelly alizaliwa wapi? | |
2264 Albamu ya Allow Us to Be Frank ina nyimbo ngapi? | |
2265 Je, kuna visiwa vingapi katika bara Australia? | |
2266 Je, utumbo mwembamba una urefu gani? | |
2267 Je, Kamanda wa jeshi kuu la Sudan mwaka 2008 anaitwa nani? | |
2268 Je, Diamond Platnumz alizaliwa lini? | |
2269 Je,Bonnah Moses Kaluwa alizaliwa lini? | |
2270 Utumbo mdogo una ukubwa gani? | |
2271 John F. Kennedy aliuawa mwaka upi? | |
2272 Raila Amolo Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi? | |
2273 Frances Ford Seymour aliolewa mara ngapi? | |
2274 Je,Dk. John Robert Ouko alikuwa katika chama gani cha kisiasa? | |
2277 Jina dikteta linatokana na nini? | |
2279 Je,nchi ya Kongo ina idadi ya watu wangapi? | |
2280 Je,Mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani? | |
2281 Nkashama Kanku Kelly aliingia kwenye sanaa mwaka gani? | |
2282 Je, mawingu hutokana na nini? | |
2283 Je,ni bara gani yenye jangwa kubwa zaidi? | |
2284 Je, mji mkuu wa Florida ni upi? | |
2287 Rais wa kwanza wa uhabeshi aliitwa nani? | |
2289 Nyerere alitawala Tanzania kwa muda gani? | |
2291 Je, Nagib Mahfuz alisomea chuo kikuu gani? | |
2292 Je,Tupac Shakur alizaliwa lini? | |
2293 Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi? | |
2294 LuΓs Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka gani? | |
2295 Rais wa pili wa nchi ya Tanzania anaitwa nani? | |
2296 Msanii Diamond Platnumz wa Tanzania ana watoto wangapi? | |
2298 Je, uwanja wa ndege wa JKIA ulifunguliwa mwaka gani? | |
2299 Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi kilianzishwa mwaka upi? | |
2300 Emmaus Shule ya Biblia iko sehemu gani? | |
2301 Je,Saratani ya ini ina tiba? | |
2302 Je,kampuni ya Volkswagen ilianza mwaka upi? | |
2305 Postkodi ya mkoa wa Mara ni ipi? | |
2306 Johann Paul Schor alizaliwa mwaka gani? | |
2307 Ziwa Viktoria lina ukubwa gani? | |
2310 Je,Italia inatumia sarafu gani? | |
2312 Je,lugha rasmi ya Ugiriki ni gani? | |
2314 Je,nchi ya Iceland iko katika bara gani duniani? | |
2315 Je,Masinde muliro alizaliwa mwaka upi? | |
2316 Je,lady Jay Dee alizaliwa mwaka upi? | |
2317 Kindi-miamba ana urefu gani? | |
2318 Je sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya? | |
2319 Je,chuo kikuu cha Strathmore kilianza mwaka upi? | |
2320 Elijah Masinde alizaliwa katika wilaya gani? | |
2321 Paulo wa Tarso alifariki akiwa na miaka mingapi? | |
2322 Je,lugha rasmi ya kitaifa ya Uganda ni ipi? | |
2323 Mamake Tupac Shakur anaitwa nani? | |
2325 Je,ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi kwa jumla? | |
2326 Nuru ni nini? | |
2328 Je,Rwanda ina idadi ya watu wangapi? | |
2329 Mji mkuu wa Nigeria unaitwaje? | |
2331 Geline Alfred Fuko ndiye mtu wa kwanza kutengeneza kitu gani? | |
2332 Je,sayari gani ndogo zaidi? | |
2334 Alizeti huwa na urefu gani? | |
2336 Je,msimu wa kwanza wa kipindi cha Heroes ina sehemu gani? | |
2337 Je,Bonnah Moses Kaluwa alisomea shule ya upili gani? | |
2338 Je,Kristine Sutherland alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2341 Je,Vicensia Alfred Fuko alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2343 Ferdinand Magellan alikuwa mtu wa kwanza kufanya nini? | |
2347 Trevor Noah alizaliwa wapi? | |
2350 Je, mji mkuu wa Kazakhstan unaitwaje? | |
2351 Je,punda hubeba mimba kwa muda gani? | |
2354 Vipofu husoma kwa njia gani? | |
2355 Sami Khedira alizaliwa wapi? | |
2356 Je,idadi ya watu nchini Nigerian ni ngapi? | |
2357 Muziki wa hip hop ulianza mwaka gani? | |
2358 Je,nani mwandishi wa filamu ya Juice? | |
2359 Lucky Dube alikuwa wa nchi gani? | |
2360 Katiba ina maana gani? | |
2361 Je,idadi ya watu nchini Vietnam ni ngapi? | |
2362 Je,simba anaeza ishi kwa takriban miaka ngapi? | |
2363 Je,bahari ya Pasifiki ina ukubwa kiasi gani? | |
2365 Je,Christiano Ronaldo ni raia wa nchi gani? | |
2366 Nani alizindua chombo cha kupima joto? | |
2367 Je,rais Uhuru Kenyatta alizaliwa lini? | |
2368 Je,wimbo wa Fred Astaire wa The Way You Look Tonight uliimbwa mwaka upi? | |
2369 Variola major ni nini? | |
2370 Rais wa pili wa Tanzania aliitwa nani? | |
2371 Carleton Gajdusek alizaliwa mwaka gani? | |
2373 Je,stesheni ya televisheni ya CNN ilianza mwaka upi? | |
2374 Raila Odinga alizaliwa mwaka upi? | |
2375 Je,bara Hindi ina ukubwa wa kiasi gani? | |
2377 Imamu wa kwanza anaitwa nani? | |
2378 Mwanasoka Christiano Ronaldo alizaliwa mwaka upi? | |
2379 Je, mfumo wa NATO ulianzia wapi? | |
2380 Japani iko na idadi ngapi ya watu? | |
2381 Puku ni nini? | |
2383 Mbinu ya rediokaboni ilianza mwaka gani? | |
2386 Je, Tupac Shakur alizaliwa mwaka upi? | |
2387 Je nchi ya Chad ina idadi ya watu wangapi? | |
2390 Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni upi? | |
2392 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH alizaliwa wapi? | |
2394 Je, Yesu Kristo alikuwa na ndugu? | |
2395 Je, Lambo kubwa ulimwenguni linaitwaje? | |
2396 Je,Ziwa gani kubwa zaidi duniani? | |
2397 Kirsten Prout alizaliwa mwaka gani? | |
2398 Je,Jokate Mwegelo alijiunga na siasa mwaka upi? | |
2399 Kuna elementi ngapi ? | |
2400 Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya youtube? | |
2401 Je, ziwa kubwa zaidi barani Asia linaitwaje? | |
2402 Urusi ina ukubwa gani? | |
2403 Je,Arusha ina idadi ya watu wangapi? | |
2405 Je,nani kiongozi wa kundi la muziki la Westlife? | |
2406 Je, Tanzania ilipata uhuru mwaka gani? | |
2409 Kombe la Mataifa ya Afrika lilianzishwa lini? | |
2410 Mto Kongo una urefu kiasi gani? | |
2413 Emmaus Shule ya Biblia ilianzishwa mwaka gani? | |
2415 Eneo la Mediteranea lina ukubwa gani? | |
2416 Je, lugha ya taifa ya Uthai ni ipi? | |
2417 Je,ni kweli kuwa simba wa kike ndiye huwinda? | |
2418 Nairobi iko na idadi ya watu wangapi? | |
2419 Britney Spears ana albamu ngapi? | |
2420 Rangi ya Kijani katika bendera ya Jibuti inaashiria nini? | |
2421 Vita vya pili vya dunia iliisha mwaka upi? | |
2422 Je, kuna elementi ngapi katika jedwali la elementi? | |
2423 Je,Wamaasai wanapatikana kwa wingi katika sehemu gani ya Kenya? | |
2424 Nematodi ni nini? | |
2425 Kitabu cha Fioretti kiliandikwa mwaka upi? | |
2427 Intaneti iligunduliwa mwaka upi? | |
2428 Je,idadi ya watu Uhispania ni ngapi? | |
2429 Nini maana ya kaviti? | |
2430 Ni mji gani nchini Nigeria yenye idadi kubwa ya watu? | |
2433 Je,Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi? | |
2435 Je,Kamerun ilipata uhuru mwaka upi? | |
2436 Chama cha Forum for the Restauration of Democracy kilianzishwa na nani? | |
2437 Je,Zimbabwe ilijipatia uhuru mwaka upi? | |
2438 Je,Rita Dominic alianza uigizaji mwaka upi? | |
2442 Kanisa ya kwanza ya katoliki ilijengwa wapi? | |
2443 Roketi ya kwanza ina jina gani? | |
2444 Je,Trevor Noah alizaliwa lini? | |
2445 Je,Neil Armstrong alizaliwa mwaka upi? | |
2446 Zuhura ina kipenyo cha mita ngapi? | |
2447 Je,Jupiter ndio sayari kubwa zaidi? | |
2448 Je,Fransisko wa Asizi aliteuliwa kuwa mtawala lini? | |
2450 Je,ni dini gani yenye watu wengi zaidi Jamaika? | |
2451 Je,simba hubeba mimba kwa muda gani? | |
2456 Je,ni watu wangapi walikufa katika Mauaji ya Kimbari ya Rwanda? | |
2457 Je,mji mkuu wa Sudani ni upi? | |
2459 Je,nini maana haswa ya Katiba? | |
2460 Je, mchezaji Michael Jordan alikuwa anacheza mchezo upi? | |
2461 Je,Gantt alizindua chati mwaka upi? | |
2462 Ali Muhsin Al-Barwani alizaliwa mwaka gani? | |
2463 Makao makuu ya umoja wa mataifa iko wapi? | |
2464 Je,Sungura wa Kizungu ana rangi gani? | |
2467 Je,Nkashama Kanku Kelly alizaliwa mwaka upi? | |
2468 Allen Dennis Mitchell alizaliwa mwaka upi? | |
2469 Je,Malcolm X alikuwa na watoto wangapi? | |
2472 Watoto wa simba huanza kuwinda wakiwa na umri gani? | |
2473 Je, hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi? | |
2474 Ni nani mwanamke wa kwanza kufika angani? | |
2475 Je, vita vya Korea na Marekani vilianza lini? | |
2476 Je, aliyekuwa rais wa Marekani Barack Obama aliwahi kuwa mkuu wa jimbo la Illinois? | |
2478 Umetaboli una maana gani? | |
2479 Je, Jennifer Garner alizaliwa katika nchi gani? | |
2480 Kipepeo anaishi kwa muda gani? | |
2481 Kalenda ya Gregori kiligunduliwa mwaka gani? | |
2483 Nchi ya Thailand ina idadi ya watu wangapi? | |
2484 Mto mkubwa China ni gani? | |
2486 Gazeti la The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka upi? | |
2487 Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Polyphony Digital mwaka 2018 anaitwa nani? | |
2488 Jina kamili la muigizaji Rambo ni? | |
2489 Mke wa jakaya Kikwete anaitwa nani? | |
2490 Je,mji mkuu wa Wales ni upi? | |
2491 Hispania ina ukubwa gani? | |
2494 Mji mkuu wa Namibia ni upi? | |
2495 Je,Uganda ina lugha ngapi rasmi? | |
2496 Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi? | |
2497 Wayahudi walitokea nchi gani? | |
2498 Kuna wanyama wangapi aina ya Mamalia? | |
2499 Dionysius Exiguus alizaliwa lini? | |
2500 Ugonjwa wa ebola ulianzia wapi? | |
2503 Muziki wa bongo Flava ulianza lini nchini Tanzania? | |
2504 Je,tarakilishi ya kwanza duniani ilikuwa ya aina gani? | |
2505 Je,Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi? | |
2507 Raila Odinga alijiunga na siasa mwaka upi? | |
2508 Safari ya Wana Israeli ilichukua miaka mingapi kufika kanani? | |
2509 Mji mkuu Sudan unaitwa aje? | |
2510 Msimu wa Heroes inayorushwa kwa TV ya NBC ulianza mwaka upi? | |
2511 Je,huduma ya intaneti ilianza lini? | |
2512 Gazeti la NRC Handelsblad lilianza kuchapishwa mwaka gani? | |
2513 Jina la kisayansi la kuku ni nini? | |
2515 Baba wa sayansi ni nani? | |
2516 Msitu wa Mau una ukubwa gani? | |
2517 Raffaello Sanzio alizaliwa mwak upi? | |
2518 Dini ya ukristo ilianza karne gani? | |
2519 Je,kuna aina ngapi ya bakteria? | |
2520 Msitu kuu duniani ni ipi? | |
2521 Msitu mkubwa ulimwenguni ni upi? | |
2523 Je,Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? | |
2526 Mto mkubwa zaidi barani Afrika unaitwaje? | |
2527 Je, Ngisi huliwa? | |
2529 Eneo la Iberia lina ukubwa gani? | |
2531 Mtaguso wa pili wa Vatikano ulikuwa mwaka gani? | |
2532 Jackie Agyemang alizaliwa wapi? | |
2533 Je,nani mwandishi wa kitabu cha Fioretti? | |
2534 Je,kiongozi wa kundi la westlife anaitwa nani? | |
2536 Kuku huishi kwa kipindi cha muda mgani kwa wastani? | |
2537 Je,mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani? | |
2538 Burundi ilipata uhuru mwaka upi? | |
2539 Je,jimbo la Illinois ina idadi ya watu wangapi? | |
2540 Nchi ya Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
2541 Mlima Kenya ina urefu wa kilomita ngapi? | |
2543 Ng'ombe ana tumbo ngapi? | |
2544 Ni mlima upi mkubwa sana duniani? | |
2548 Kamusi ya kikoloni ya Kijerumani iliandikwa na nani? | |
2550 Je Kuku anaishi kwa miaka mingapi? | |
2551 Ni nini kilileta ukomo vita vya dunia? | |
2552 Serikali ya kenya ina mfumo gani wa utawala? | |
2553 Je,nani mwanzilishi wa hoteli za Burger Ranch? | |
2554 Je,rais George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi? | |
2555 Haile Mariam Desalegne alizaliwa mwaka gani? | |
2557 Alfabeti ni nini? | |
2558 Aina ya mifupa ni ngapi? | |
2559 Lugha ya taifa ya Afrika kusini ni ipi? | |
2560 Je,Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi? | |
2562 Je,Lutricia McNeal alizaliwa lini? | |
2563 Kuna mataifa mangapi ya Waarabu? | |
2565 Je, Kampuni ya Magazeti ya Community ilianzishwa lini? | |
2567 Waraka wa pili wa Yohane umeandikwa na nani? | |
2570 Je,nyangumi mkubwa zaidi anaweza kuwa na kilo ngapi? | |
2571 Somaliland ina ukubwa gani? | |
2572 Je,mji mkuu waTanzania ni upi? | |
2573 Je,sayari yenye iko mbali kabisa na jua ni ipi? | |
2574 Je kuwa na libido ya chini ina tiba? | |
2576 Je, M-pesa ilianza kutumika lini nchini Kenya? | |
2578 Je,Miroslav Klose alichezea klabu ya Bayern Munich kwa muda gani? | |
2579 Balungi ni nini? | |
2581 David James Thouless alishinda tuzo gani ya Nobel? | |
2582 Je,samaki yupi mkubwa zaidi baharini? | |
2583 Mbuni ni mnyama wa spishi gani? | |
2584 Je, Ndovu hubeba mimba kwa muda gani? | |
2585 Je,Lucky Dube aliaga dunia mwaka upi? | |
2586 binadamu ana meno mangapi? | |
2587 Jina la ugonjwa wa cholera linatokana na nini? | |
2588 Albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka gani? | |
2590 Je,makao makuu ya shirika la Umoja wa Mataifa iko wapi? | |
2591 Je, ni msitu gani kubwa zaidi duniani? | |
2593 Carleton Gajdusek alizaliwa wapi? | |
2595 Mwanamasumbwi ni nini? | |
2598 Prison Break ina misimu mingapi? | |
2600 Nini maana ya data? | |