Datasets:
Tasks:
Text Retrieval
Sub-tasks:
document-retrieval
Multilinguality:
multilingual
Annotations Creators:
expert-generated
ArXiv:
License:
2601 Je,Sarah Wayne Callies ana mume? | |
2602 Je,Thiago Silva alianza kucheza soka mwaka upi? | |
2603 Dalili kuu ya Mmenyuko wa mzio ni ipi? | |
2604 Je,nchi ya Tanzania ina majimbo ngapi? | |
2606 Je,mwanzilishi wa chama cha ODM kilizinduliwa lini? | |
2607 Kitabu cha Takadini kilitolewa kwa mara ya kwanza katika nchi gani? | |
2608 Vita vya Sudan Kusini vilianza mwaka gani? | |
2609 Fidla iligunduliwa nchini gani kwanza? | |
2610 Lucas Vázquez Iglesias ana miaka mingapi? | |
2611 Kuna kundinyota ngapi? | |
2612 Rosetta ilizinduliwa na nani? | |
2613 Je,Samwel Yellah alizaliwa mwaka upi? | |
2614 Je,Wade Andrew William ana watoto wangapi? | |
2615 Je, Edward Moss alizaliwa lini? | |
2616 Twiga anaishi kwa muda gani? | |
2617 Je,nani alizindua jina la Altdeutscher Schäferhund? | |
2618 Kulungu pembe-nne ana urefu gani? | |
2619 Je,Mbosso alizaliwa mwaka upi? | |
2620 Je,Howard Winchel Koch alianza utayarishaji filamu lini? | |
2621 Je,Oliver N'Goma alizaliwa mwaka upi? | |
2622 Edward Moss alizaliwa wapi? | |
2623 Je,Joachim Kimario alianza muziki mwaka upi? | |
2624 Kisiwa cha Msumbiji kiligunduliwa mwaka gani? | |
2625 Tamthilia ya Traveler ina wahusika wakuu wangapi? | |
2626 Chama cha Orange Democratic Movement Party of Kenya kilianzishwa na nani? | |
2627 Je,jina la utani wa Monique Séka ni ipi? | |
2628 Je,Edgar Leonard Luhende alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2629 Je, mwanamitindo Nancy Sumari ni ndugu wa Nakaaya Abraham Sumari ? | |
2630 Gazeti la raia la BrooWaha lilianzishwa mwaka gani? | |
2631 Keyshia Miesha Cole ana miaka mingapi? | |
2632 Jina Zimbabwe linatokana na nini? | |
2633 Namba ya postikodi ya Morogoro ni ipi? | |
2634 Je, Mongolia ina takriban ya idadi ya watu wangapi? | |
2635 Afrika Mashariki ina nchi ngapi? | |
2637 Je,mwanamziki Nuru the Light alianza kuimba mwaka upi? | |
2638 Je,Chris Okotie alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2639 Je,mji mkuu wa Zimbabwe ni upi? | |
2641 Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi? | |
2642 Emil von Zelewski aliuawa katika vita gani? | |
2643 Je nyangumi huishi miaka ngapi? | |
2644 Nkem Owoh alianza uigizaji mwaka gani? | |
2645 Osama Bin Laden alizaliwa mwaka upi? | |
2646 Lambo la magenge matatu nchini China lina ukubwa gani? | |
2647 Je,mwanamziki Shaggy alizaliwa mwaka upi? | |
2648 Wimbo wa kwanza wa Keyshia Miesha Cole unaitwaje? | |
2649 Ugonjwa wa Tutuko uligunduliwa mwaka gani? | |
2650 Halima James Mdee alijiunga na siasa mwaka gani? | |
2651 Je,mji wa St. Petersburg inapatikana katika nchi gani? | |
2652 Jeff Koinange alianza kufanya kazi CNN mwaka gani? | |
2653 Dinosauri waliishi miaka gani? | |
2654 Je,Wentworth Miller alianza uigizaji mwaka upi? | |
2655 Je,R. Kelly ni mzaliwa wa nchi gani? | |
2656 Vladimir Nabokov alihamia Marekani mwaka gani? | |
2657 Biashara ya watumwa ilianza mwaka gani? | |
2658 World Wrestling Entertainment ilianzishwa lini? | |
2659 Moses Wetangula alizaliwa mwaka upi? | |
2660 Paul Emil von Lettow-Vorbeck alizaliwa mwaka gani? | |
2661 Je,Halima James Mdee alisomea shule gani ya upili? | |
2662 Je,Tanzania iko katika Afrika Mashariki? | |
2663 Kenneth David Kaunda alistaafu lini? | |
2664 Je,Kool G Rap alizaliwa mwaka upi? | |
2665 Taifa ya Kenya alizindua maono ya 2030 mwaka upi? | |
2666 Je, Yesu alikuwa na wafuasi wangapi? | |
2667 Je,Bollywood ni jina ya filamu katika nchi gani? | |
2668 Je,Wentworth Earl Miller III alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2669 Je,Kenneth David Kaunda alitumikia Zambia kama rais kwa miaka ngapi? | |
2670 Ugonjwa wa mshtuko wa moyo una tiba? | |
2671 Suruali ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? | |
2672 Kitabu cha kwanza cha hekaya za Abunwasi kilichapishwa mwaka gani? | |
2673 Je, kuna mifereji mingapi katika mji wa Amsterdam? | |
2674 Je,Benjamin S. Carson alizaliwa mwaka upi? | |
2675 Je,nani mwanzilishi wa kikosi cha Kigaidi cha al-Qaida? | |
2676 Vasili Vasilyevich Vereshchagin alifariki mwaka gani? | |
2677 Je, ni nani mmiliki wa klabu ya Chelsea F.C? | |
2678 Je,mji mkuu wa Morocco ni? | |
2679 Tshimanga Kalala Assosa alizaliwa wapi? | |
2680 Je,Rhona Natasha Mitra alizaliwa mwaka upi? | |
2681 Elisha Cuthbert alizaliwa wapi? | |
2682 Nchi ya Gabon iko na idadi ngapi ya watu? | |
2683 Sehemu ya juu ya nyumba huitwaje? | |
2684 Mario Brega alizaliwa mwaka upi? | |
2685 Je, idadi ya watu wanaoishi Andhra Pradesh ni ngapi? | |
2686 Hoteli ya Fairmont Royal York ilianzishwa lini? | |
2687 Je,nani alikuwa mfalme wa kwanza wa Roma? | |
2688 Mkoa wa Rukwa una wilaya ngapi? | |
2689 Dkt John Garang de Mabior alifariki mwaka gani? | |
2690 Jeff Koinange alizaliwa mwaka upi? | |
2691 Vladimir Nabokov aliandika vitabu vingapi? | |
2692 Sheikh Ilunga Hassan Kapungu alifia wapi? | |
2693 Je,Samwel Yellah alikuwa mchezaji wa kandanda? | |
2694 Gaius Julius Caesar alikuwa kiongozi wa Roma ya Kale kwa muda gani? | |
2695 Chama cha Liberal Democratic Party kilianzishwa na nani? | |
2696 Je,Afrika Mashariki ina nchi ngapi? | |
2697 Yobes Ondieki aliweka rekodi gani mwaka 1991? | |
2698 Je,mkoa wa Morogoro ina idadi ya watu wangapi? | |
2699 Je, Kakamega ni kaunti? | |
2700 Je, nani aligundua dawa ya Dawamfadhaiko? | |
2701 Je,Walter Rodney alizaliwa mwaka upi? | |
2702 Je,jeraha sugu ni hatari kwa mgonjwa wa kisukari? | |
2704 Wangari Muta Maathai alizaliwa lini? | |
2705 Je,jina ya kisayansi ya mti wa Kratom ni? | |
2706 Je, Abunwasi na mwandishi Abu Nuwas wana sifa zipi zinazo fanana? | |
2707 Kuna watu wanaoishi katika theluji? | |
2708 Philip Emeagwali alizaliwa mwaka upi? | |
2709 Kipindi cha Heroes kilizinduliwa mwaka upi? | |
2710 Je,mji wa Lamu inapatikana katika sehemu gani nchi Kenya? | |
2711 Je,jina kamili la msanii Professa Jay ni gani? | |
2712 Francisco Guillermo Ochoa Magaña alijiunga na timu ya Standard Liege mwaka upi? | |
2713 Je,kundi la Somethin' for the People lina wanachama wangapi? | |
2714 Mwanamuziki Shaggy alizaliwa mwaka upi? | |
2715 Kundi la muziki la Somethin' for the People lilianzishwa mwaka gani? | |
2716 Wade Andrew William alizaliwa wapi? | |
2717 Je, kuna tiba ya Dimenshia? | |
2718 Ujamaa nchini Tanzania ulianzishwa mwaka gani? | |
2719 Je,Toni Kroos anacheza katika nafasi gani katika mchezo wa soka? | |
2720 Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alizaliwa wapi? | |
2721 Jina la kisayansi la Kulungu mwekundu ni gani? | |
2722 Hatua ya kwanza ya utafiti wa kisayansi ni ipi? | |
2723 Je,miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani Kenya? | |
2724 Mji wa Tanga una idadi ngapi ya watu? | |
2725 Klabu ya Chelsea F.C ilianza mwaka upi? | |
2726 Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alizaliwa wapi? | |
2727 Je,nani mwanzilishi wa mashindano ya WWE? | |
2728 Je,Tanzania ilipata uhuru mwaka upi? | |
2729 Makao makuu ya gazeti la Financial Times yanapatikana wapi? | |
2730 Je, Jua inaonekana katika sayari zote nane? | |
2731 Rwanda ilipata uhuru mwaka gani? | |
2732 Mji wa Lindi una idadi ngapi ya watu? | |
2733 Je,Doris May Lessing alikuwa na watoto wangapi? | |
2734 Je,Tanzania ina idadi ya wabunge wangapi katika serikali? | |
2735 Jina Furukombe linatokana na nini? | |
2736 Jeff Koinange alisomea chuo kikuu gani? | |
2737 Mhariri mkuu wa gazeti la The Era mwaka 1838 anaitwa nani? | |
2738 Kofi Annan alikuwa na wake wangapi? | |
2739 Doris Mollel alianzisha Taasisi ya Doris Foundation mwaka gani? | |
2740 Mikunga hupatikana maji ya chumvi ? | |
2741 Vita vya pili vya dunia viliisha mwaka gani? | |
2742 Je,nani alitengeneza meli ya MV Liemba? | |
2743 Dinosauri alikuwa anapatikana bara gani? | |
2744 Je,nani mmiliki wa gazeti la Financial Times? | |
2745 Je,klabu ya Gormahia ilianzishwa mwaka upi? | |
2746 Je,jumba refu zaidi nchini Dubai ni ipi? | |
2747 Je, Osama Bin Laden alifariki mwaka gani? | |
2748 Yesu alikuwa na wafuasi wa kike? | |
2749 Je,Willian Borges da Silva alizaliwa lini? | |
2751 Moses Masika Wetangula alisoma chuo kikuu gani? | |
2752 Je,Hillary Clinton alizaliwa mwaka upi? | |
2753 Je,Jamaika ina idadi ya watu wangapi? | |
2754 Kiongozi wa kwanza wa wakikuyu anaitwa nani? | |
2755 Mskiti wa Sultan Ahmed inapatikana wapi? | |
2756 Makao makuu ya Umoja wa Afrika yako wapi? | |
2757 Gazeti la The Province huchapishwa na kundi gani? | |
2758 Mkoa wa Njombe uko na wakazi wangapi? | |
2759 Je, Doris May Lessing alishinda tuzo la nini katika tuzo za Nobel? | |
2760 Je,mamake Emily Ruete alikuwa anaitwa nani? | |
2761 Je,mji mkuu wa Togo ni upi? | |
2763 Nyota inayo ng'aa zaidi inaitwaje? | |
2764 Mwanamziki Kanye West alizaliwa lini? | |
2765 Ukomeshaji wa biashara ya watumwa ulifanyika mwaka gani? | |
2766 Mhariri mkuu wa gazeti la Prajasakti mwaka 1981 anaitwa nani? | |
2767 Hoteli ya Cairo Marriott ilijengwa na nani? | |
2768 Je,Lisbon ni mjii mkuu wa nchi gani? | |
2769 Je,mji mkuu wa Ubelgiji ni upi? | |
2770 Jihadi ni nini? | |
2771 Je,Vladimir Nabokov alikuwa na watoto wangapi? | |
2772 Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa mwaka upi? | |
2773 Je,Masinde muliro alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2774 Je,kitabu cha kwanza cha Ben J. Hanson ni ipi? | |
2775 Sokrates alikuwa mwanabiashara? | |
2777 Shule ya St. Andrews Turi ilianza mwaka upi? | |
2778 Ubingwa wa World Wrestling Entertainment umekuwa na washindi wangapi? | |
2779 Je,Remmy Ongala alikuwa na watoto wangapi? | |
2780 Ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi? | |
2781 Je,Jean Bedel Bokassa alikuwa na watoto wangapi? | |
2782 Qurani ya kwanza iliandikwa na nani? | |
2785 Je,Victor Nsofor Obinna alizaliwa lini? | |
2786 Je,msitu wa Mau una ukubwa kiasi gani? | |
2787 Ukubwa wa Mecklenburg ni kiasi gani? | |
2788 Antonio Casas alizaliwa lini? | |
2789 Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alizaliwa mwaka upi? | |
2790 Homeri alizaliwa wapi? | |
2791 Je,Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aliuawa na nani? | |
2792 Asbel Kiprop alishiriki kwanza katika michezo ya Olimpiki ya mwaka gani? | |
2793 Kitenzi ni nini? | |
2794 Eminem ana albamu ngapi? | |
2795 Cordozar Calvin Broadus alizaliwa mji gani? | |
2796 Nani aligundua kundi nyota? | |
2797 Mnara wa Eiffel una urefu gani? | |
2798 Je, Kiswahili ni Pijini? | |
2799 Nini maana ya BK? | |
2800 Nani alituzwa tuzo ya Nobel ya Fasihi ya kwanza ulimwenguni? | |
2801 Mchungaji Chris Okotie alisomea chuo kikuu gani? | |
2802 Mto mrefu nchini Urusi ni upi? | |
2803 Je,msitu wa Mau ina ukubwa wa kiasi gani? | |
2804 Je ugonjwa ambao unasibishwa na unene mwilini unaitwaje? | |
2805 Je,nani mmiliki wa klabu ya Chelsea? | |
2806 Mji mkuu wa Moroko ni upi? | |
2807 Mkoa wa Arusha una makabila mangapi? | |
2808 Medard Matogolo Kalemani alizaliwa mwaka upi? | |
2809 Je, Shaka alipigana na makaburu? | |
2810 Je,gazeti la BrooWaha huchapishwa kila baada ya wakati gani? | |
2811 Je,mji mkuu wa Chad ni upi? | |
2812 Je,mhusika mkuu wa kipindi cha 24 ni nani? | |
2813 Je,Halima James Mdee alizaliwa mwaka upi? | |
2814 Kundinyota la Panzimaji lina nyota ngapi? | |
2815 Je,Wade Williams alizaliwa lini? | |
2816 Graviti kiligunduliwa na nani? | |
2817 Je,Benjamin S. Carson alisomea udaktari katika chuo kikuu gani? | |
2818 Togo ilipata uhuru mwaka gani? | |
2819 Je,uwanja wa nyumbani ya klabu ya Gor Mahia ni gani? | |
2820 Je, Tanga ni mkoa? | |
2821 Chama cha African National Congress kilianzishwa mwaka gani? | |
2822 Je, yesu alizaliwa mwaka gani? | |
2823 Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alifariki mwaka gani? | |
2824 Je,Carlo Rota alizaliwa mwaka upi? | |
2825 Je,mji mkuu wa Morocco ni upi? | |
2826 Rosetta ilitumika kwa mara ya kwanza mwaka gani? | |
2828 Mkoa wa Njombe ulianzishwa lini? | |
2829 Je Kangaroo wanapatikana nchini Australia pekee? | |
2830 Yesu alisulubiwa katika mlima gani? | |
2831 Kampuni ya Sunshine biscuits inapatikana nchi gani? | |
2832 Maji huchemka kwa ailimia ngapi ya joto? | |
2833 Je,msanii Juma Nature alizaliwa lini? | |
2834 Je,Pol Pot alizikwa wapi? | |
2836 Je, Mkoa wa tanga una ukubwa gani? | |
2837 Je,Emil von Zelewski alizaliwa mwaka upi? | |
2838 Mkoa wa Mbeya ulianzishwa lini? | |
2839 Bill Clinton ana watoto wangapi? | |
2840 Boma la Kale lina miaka mingapi? | |
2841 Je,R. Kelly alizaliwa mwaka gani? | |
2842 Dkt Geoffrey William Griffin alizaliwa nchi gani? | |
2843 Je, Miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani nchini Kenya? | |
2844 Doris Mollel alianzisha Taasisi ya Doris Foundation mwaka upi? | |
2846 Je,jina ya kisayansi ya muhogo ni ipi? | |
2847 Mohammed Gulam Dewji alizaliwa wapi? | |
2848 Je,gazeti la Financial Times ilizinduliwa mwaka upi? | |
2849 Pepe Kale alikuwa mwanamziki wa kutoka nchi gani? | |
2850 Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alikuwa kizuizini kwa miaka mingapi? | |
2851 Mji wa Casablanca una idadi ngapi ya watu? | |
2852 Sally McLellan anashikilia rekodi ya wapi? | |
2853 Pathojeni ni nini? | |
2854 Daraja la Suez lilijengwa mwaka gani? | |
2855 Panya hubeba mimba miezi mingapi? | |
2856 Jina la Bauxiti linatokana na nini? | |
2857 Je,rais wa kwanza wa marekani kushinda taji la Nobel ni nani? | |
2858 Mpwapwa iko na idadi ngapi ya watu? | |
2859 Wangari Muta Maathai alishinda tuzo gani mwaka wa 2004? | |
2860 Je,nani mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi? | |
2861 Mkoa wa Arusha una ukubwa gani? | |
2862 Mario Brega alikuwa na urefu kiasi gani? | |
2863 Je,Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden alikuwa wa kutoka nchi gani? | |
2864 Dini ya Ukristo ina idadi gani ya waumini Duniani mnamo mwaka 2019? | |
2865 Yesu Kristo aliishi Miaka ngapi duniani? | |
2866 Nani alitawala China baada ya nasaba ya Qing? | |
2867 Mfumo wa Ujamaa nchini Tanzania ulianza mwaka gani? | |
2868 Je,Kangaroo inapatikana nchini Australia pekee? | |
2869 Kieran Trippier alizaliwa wapi? | |
2870 Je,nani alizindua chombo cha darubini? | |
2871 Amani James Pausen Temba alijiunga na sanaa mwaka gani? | |
2872 Kasoko ya Ngorongoro inapatika wapi? | |
2874 Je,mji mkuu wa Chad? | |
2875 Je, Halima James Mdee alijiunga na siasa mwaka upi? | |
2876 Nani alizundua chombo cha darubini? | |
2877 Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa mwaka upi | |
2878 Je,Leo Africanus alizaliwa mwaka upi? | |
2879 Thiago Silva alizaliwa mwaka gani? | |
2880 Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni gani? | |
2881 Yesu alikuwa na wanafunzi wa kike? | |
2882 Je, Wangari Muta Maathai alikuwa na watoto? | |
2883 Je,Jeff Koinange alifanyia kazi CNN kwa miaka ngapi? | |
2884 ’William Kiptarus Tanui alishinda nishani gani katika olimpiki ya 1992? | |
2885 Mwili wa binadamu una mifumo mingapi ya fahamu? | |
2886 Hewa ina uzito gani? | |
2887 Pablo Ruiz Picasso alianza uchoraji akiwa na miaka mingapi? | |
2888 Je,buibui yuko katika spishi gani ya wadudu? | |
2889 Kaburi la yesu liko wapi? | |
2890 Mashine ya kwanza ya kushona nguo iligunduliwa na nani? | |
2891 Barua pepe ni nini? | |
2892 Yesu alizaliwa mwaka gani? | |
2893 Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu kilizunduliwa mwaka upi? | |
2894 Mwai Kibaki alizindua chama gani cha siasa? | |
2895 Bombomu kiligunduliwa nchini gani? | |
2896 Mtume Mohammed alikuwa na wake wangapi? | |
2897 Philip Emeagwali alisomea uhandisi katika chuo gani? | |
2898 Sudan People's Liberation Army ilianzishwa lini? | |
2899 Uganga wa meno ulianzia wapi? | |
2900 Je,maumivu ya mgongo inahusiana na uti wa mgongo? | |
2901 Je,Chama Cha Mapenduzi ni chama cha kisiasa cha nchi gani Afrika? | |
2902 Je,hoteli ya Cairo Marriott ilijengwa lini? | |
2903 Je,kuna idadi ya watu wangapi jijini Lubumbashi? | |
2904 Samia Yusuf Omar alianza riadha mwaka gani? | |
2905 Lamu ya kale iligunduliwa mwaka gani? | |
2906 Je ni spishi gani mbili ya Vifaru inapatikana Afrika? | |
2907 Mwarubaini hutibu magonjwa arobaini? | |
2908 Ugonjwa wa Malale uligunduliwa nchi gani mwanzo? | |
2909 Je,Paul Emil von Lettow-Vorbeck alizaliwa lini? | |
2910 Je,sensa hufanywa baada ya kila miaka ngapi? | |
2911 Je,Tanzania ina eneo bunge ngapi? | |
2912 Je,Jean Bedel Bokassa alikuwa na wake wangapi? | |
2913 Je, makao makuu ya Kampuni ya Microsoft iko wapi? | |
2914 Nani mwanzilishi wa mchezo wa WWE? | |
2915 Je,babake Aloysius Gonzaga aliitwa nani? | |
2916 Je, Chelsea imewahi kushinda ligi ya uingereza? | |
2917 Je,Mutalemwa Jason Theobard alinza mziki mwaka upi? | |
2918 Je,Edgar Leonard Luhende alizaliwa lini? | |
2919 Jina wa mji wa Durban linatokana na nini? | |
2920 Mti wa Moringa una tibu magonjwa aina ngapi? | |
2921 Je,Wentworth Miller alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2922 Kituo cha redio cha Citizen nchini Kenya kinamilikiwa na nani? | |
2923 Mji wa Moshi una idadi ngapi ya watu? | |
2924 Halijoto ya mwili hupimwa kwa kifaa gani? | |
2925 Willian Borges da Silva alijiunga na klabu ya Chelsea mwaka gani? | |
2926 Dkt Geoffrey William Griffin aliaga dunia mwaka upi? | |
2927 Wangari Muta Maathai alizaliwa mwaka upi? | |
2928 Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alikuwa na watoto wangapi? | |
2929 Je,Doris Mollel alizaliwa mwaka upi? | |
2930 Kuna idadi ngapi ya wakristo ulimwenguni? | |
2931 Yesu Kristo alizaliwa sehemu gani? | |
2932 Malkia was kwanza uingereza aliitwa Nani? | |
2933 Msitu wa Mau uko na ukubwa wa kiasi gani? | |
2934 Philip Emeagwali ana miaka mingapi? | |
2936 Mpapai una urefu gani? | |
2937 Je,Yobes Ondieki alizaliwa lini? | |
2938 Kofi Annan ana watoto wangapi? | |
2939 Ugonjwa w Ndui uligunduliwa lini? | |
2940 Kisiwa cha Pemba kina ukubwa gani? | |
2941 Je,MV Liemba ina urefu wa kiasi gani? | |
2942 Je, Moroko ni mwanachama wa muungano wa Afrika? | |
2943 Sarah Wayne Callies ana watoto? | |
2944 Je,mji mkuu wa Moroko ni upi? | |
2945 Je mwanariadha Asbel Kiprop alizaliwa wapi? | |
2946 Wade Andrew William ana watoto wangapi? | |
2947 Chelsea ina milikiwa na nani? | |
2948 Nchi ya Albania iko katika bara gani? | |
2949 Karl Peters alisomea vyuo ngapi vikuu? | |
2950 Wangari Muta Maathai alizaliwa wapi? | |
2951 Aloysius Gonzaga alizaliwa mwaka gani? | |
2952 Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aliuawa na nani? | |
2953 Je,nini maana ya graviti? | |
2954 Je,Sally McLellan alizaliwa mwaka upi? | |
2955 Ubaridi wa ashiki una dawa? | |
2957 Kampuni isambazayo umeme nchini Kenya inaitwaje? | |
2958 Je,jina la kisanii la Mutalemwa Jason Theobard Mushumbusi ni gani? | |
2960 Emily Ruete alifariki katika nchi gani? | |
2961 Je,Leleti Khumalo alizaliwa mwaka upi? | |
2962 Remmy Ongala alifariki mwaka gani? | |
2963 Je,mji mkuu wa Tanzania ni upi? | |
2964 Je,panya hubeba mimba kwa muda wa miezi ngapi? | |
2965 Je, kuna mwanamke aliye enda mwezini? | |
2967 Katiba ya Kenya iliandikwa mwaka gani? | |
2968 Oliver N'Goma alizaliwa mwaka gani? | |
2969 Panya hubeba mimba kwa miezi mingapi? | |
2970 Philip Emeagwali alizaliwa wapi? | |
2971 Je,Yobes Ondieki ana watoto wangapi? | |
2972 Je,Albania iko katika bara gani? | |
2973 Christopher Richard Mwashinga alizaliwa mwaka upi? | |
2976 Popo ni mnyama au ndege? | |
2977 Shule ya St. Andrews ilianzishwa mwaka gani? | |
2978 Je,James Watt alizaliwa lini? | |
2979 Vladimir Nabokov alisoma chuo kikuu gani? | |
2980 Bendi ya Les Wanyika ilianza na wana bendi wangapi? | |
2981 Thiago Silva alizaliwa wapi? | |
2982 Ingolstadt ina ukubwa gani? | |
2983 Je,Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa mwaka upi? | |
2984 Mwanamziki Rihana alizaliwa mwaka upi? | |
2985 Je,Monique Séka alizaliwa lini? | |
2986 Je,moyo kushindwa kusambaza damu ina tiba? | |
2987 Ben Carson alisoma chuo kikuu gani? | |
2988 Osama Bin Laden alizaliwa wapi? | |
2989 Kitabu cha Esta kiliandikwa na nani? | |
2990 Je, Mji mkuu wa Zimbabwe ni upi? | |
2991 Karl Peters alifika Afrika mwaka gani? | |
2992 Je,mkutano wa kwanza wa Umoja wa Mataifa ulifanywa katika nchi gani? | |
2993 Malkia Kleopatra alizaliwa wapi? | |
2994 Je,mwanamke wa kwanza nchini Kenya kuwa professa ni nani? | |
2995 Je, Tanzania ilitawaliwa na wakoloni? | |
2996 Philip Emeagwali alishinda tuzo gani? | |
2997 Professa Jay ni mbunge wa eneo gani nchini Tanzania mwaka 2019? | |
2998 Je,Remmy Ongala alizaliwa lini? | |
2999 Je, Lady Jaydee alianza kuimba akiwa na miaka mingapi? | |
3000 Je,msitu wa Mau inapatikana katika kaunti gani? | |
3001 Je, kampuni ya Microsoft ina miaka mingapi? | |
3002 Mwai Kibaki alisomea elimu ya siasa? | |
3003 Je,Wangari Maathai alipata Tuzo la Nobeli mwaka upi? | |
3004 Aliko Dangote alizaliwa mwaka upi? | |
3005 Chama cha TANU kilianzishwa mwaka gani? | |
3006 Chama cha TANU kilianzishwa na nani? | |
3007 Je,kitenzi ni nini? | |
3008 Oprah Winfrey ana utajiri kiasi gani? | |
3009 Je, mnara wa Eiffel ulijengwa mwaka gani? | |
3010 Je,nani alikuwa mfalme wa kwanza wa Saudi Arabia? | |
3011 Je, Omri baba yake Ahabu alikuwa mfalme? | |
3012 Je,mwanamziki wa Kenya Wahu alisomea nini katika chuo kikuu? | |
3013 Pepe Kale alizaliwa mwaka upi? | |
3014 Je,Wentworth Miller alizaliwa mwaka upi? | |
3015 Kwa nini Mnara wa Eiffel ulitengenezwa? | |
3016 Je, R.Kelly alianza kuimba mwaka gani? | |
3017 Moses Wetangula alisoma chuo kikuu gani? | |
3019 Bahari ya Mediteranea iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
3020 Je,Musikari Nazi Kombo alizaliwa mwaka upi? | |
3021 Ruwaza ya Kenya 2030 ilitengenezwa mwaka upi? | |
3022 Je,Je,kipindi cha Heroes kilizinduliwa mwaka upi? | |
3023 Je,mkoa wa Tanga ina idadi ya watu wangapi? | |
3024 Tanga ina idadi ngapi ya watu? | |
3025 Chama cha NARC nchini Kenya kilianzishwa mwaka gani? | |
3026 Je,R. Kelly ana mke? | |
3027 Daraja la Suez ni daraja linalovuka wapi? | |
3028 Shubili ni nini? | |
3029 William Samoei arap Ruto alijiunga na siasa mwaka gani? | |
3032 Mkoa wa Tabora una idadi ngapi ya watu? | |
3033 Je,nchi ya Norwei iko katika bara gani? | |
3034 Mwanamziki wa Senegal Akon alianza mziki mwaka upi? | |
3035 Jeff Koinange alizaliwa wapi? | |
3036 Je,lugha rasmi nchini Cote d'Ivoire ni gani? | |
3037 Elementi ya Ununhexi iligunduliwa na nani? | |
3038 Shule ya St. Andrews "Turi" ilianza mwaka upi? | |
3039 Karl Peters aliaga dunia mwaka upi? | |
3040 Kenneth David Kaunda alizaliwa wapi? | |
3041 Leo Africanus alizaliwa mwaka gani? | |
3042 Je,Hilary Clinton alizaliwa lini? | |
3043 Mchezo wa mpira wa vikapu ulianzia wapi? | |
3044 Mario Brega alizaliwa wapi? | |
3045 Emily Ruete aliandika vitabu vingapi? | |
3046 Je,Reiko Aylesworth alizaliwa lini? | |
3047 Sally McLellan ana miaka mingapi? | |
3048 Kuna aina ngapi ya arithropodi? | |
3049 Je,chombo cha darubini kilizinduliwa na nani? | |
3050 Je,Visa Inc ilianza mwaka upi? | |
3051 Ukubwa wa kijiographia wa bahari la Mediteranea ni kiasi gani? | |
3052 Je,ugonjwa wa upele unaweza mpata mtoto wa chini ya umri ya miaka tano? | |
3053 Je,Mutalemwa Jason Theobard alizaliwa lini? | |
3054 Je, Yesu alisulubiwa katika mlima gani? | |
3055 Je,Afrika mashariki ina nchi ngapi? | |
3056 Je, Mfumo mkuu wa usafiri mjini Lamu Punda? | |
3057 Francis Coquelin alijiunga na klabu ya Arsenal mwaka gani? | |
3058 Je,filamu ya kwanza ya Seko Shamte kuandika ni ipi? | |
3059 Je.daraja la Suez Canal ilizinduliwa mwezi upi? | |
3060 Je,Hifadhi ya Taifa ya Amboseli ina ukubwa wa kiasi gani? | |
3061 Asbel Kiprop alizaliwa wapi? | |
3063 Kenneth David Kaunda alizaliwa mwaka upi? | |
3064 Je,popo ni ndege ama mnyama? | |
3065 Je,rais wa kwanza wa Zimbabwe aliitwa nani? | |
3066 Nchi ya Namibia ilipata uhuru mwaka gani? | |
3067 Mkoa wa Lindi uko na wakazi wangapi? | |
3068 Yesu Kristo alizaliwa mwaka gani? | |
3069 Konfusio alizaliwa mwaka upi? | |
3070 Medard Matogolo Kalemani alisomea shule gani ya msingi? | |
3071 Uganda ishawai shiriki katika mchezo wa olimpiki? | |
3072 Je,Kieran Trippier alizaliwa mwaka upi? | |
3073 Pablo Ruiz Picasso alizaliwa wapi? | |
3074 Mnara wa Eiffel ulitengenezwa mwaka upi? | |
3075 Je, Mwamvita Makamba alisoma chuo gani kikuu? | |
3076 Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa mwaka gani? | |
3077 Je,Willian Borges da Silva alijiunga na klabu ya Chelsea mwaka upi? | |
3078 Mkoa wa Tabora una ukubwa kiasi gani? | |
3079 Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden alizaliwa wapi? | |
3080 Je,Saul Niguez alizaliwa mwaka upi? | |
3081 Je,watu wangapi walipoteza maisha yao katika Shambulio la 11 Septemba 2001? | |
3082 Filamu ya Heroes ina misimu mingapi? | |
3083 Somo la mwili wa mwanadamu linaitwaje? | |
3084 Umoja wa Afrika ulianzishwa lini? | |
3085 Msanii Lil Wayne ana watoto wangapi? | |
3086 Francisco Guillermo Ochoa Magaña alizaliwa mwaka upi? | |
3087 Je, Indonesia ina visiwa vingapi? | |
3088 Joachim Kimario ana tuzo ngapi za muziki? | |
3089 Vasco Da Gama alikuwa nani? | |
3090 Mary Lynn Rajskub alizaliwa wapi? | |
3091 Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa wapi? | |
3092 Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa ni nini? | |
3093 Je, Isimu Jamii ni nini? | |
3094 Asbel Kiprop alianza riadha mwaka gani? | |
3095 Sally McLellan alijiunga na riadha mwaka gani? | |
3096 Je, kuna alama ngapi za lugha ya ishara? | |
3097 Je,Trevor Noah aliandika kitabu cha Born a Crime mwaka upi? | |
3098 Je,pathojeni ni nini? | |
3099 CSF ina maana gani? | |
3100 Je,mfalme wa kwanza wa Saudia aliitwa nani? | |
3101 Thiago Silva alijiunga na timu ya Milan mwaka upi? | |
3102 Ziwa lenye maji yenye chumvi zaidi nchini Kenya ni lipi? | |
3103 Mlima Teide una urefu gani? | |
3104 Moses Wetangula alijiunga na siasa mwaka upi? | |
3105 TANU ilianzishwa na nani? | |
3106 Nancy Abraham Sumari alizaliwa mkoa gani? | |
3107 Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft? | |
3108 Je, matumizi ya bangi ni halali katika nchi ngapi ulimwenguni? | |
3109 Je,Seko Shamte alizaliwa lini? | |
3110 Klabu ya Soka ya Chelsea ilianzishwa mwaka upi? | |
3111 Je, Kifaru ana urefu kiasi gani? | |
3112 Je, Zakaria na mkewe Elizabeti walikuwa na watoto? | |
3113 Daktari Benjamin S. Carson alisoma chuo kikuu gani? | |
3114 Je,wilaya ya Lindi Vijijini iko katika nchi gani? | |
3116 Jiji la Mwanza lilianzishwa lini? | |
3117 Lugha rasmi ya nchi ya Kodivaa ni ipi? | |
3118 Je,kuna mihogo yenye sumu? | |
3119 Kieran Trippier alizaliwa mwaka upi? | |
3120 Je,Professa Jay alipata kuwa mbunge mwaka upi? | |
3121 Mji mkuu wa Ginekweta unaitwaje? | |
3122 Je,Serbia iko katika bara gani? | |
3123 Je,nani mwandishi wa kipindi cha Heroes? | |
3124 Je,Shule ya Aga Khan Academy mjini Mombasa inapatikana katika sehemu gani? | |
3125 Furukombe ana urefu kiasi gani? | |
3126 Je,Sheikh Ilunga Hassan Kapungu alizikwa wapi? | |
3127 Bavaria ina idadi ngapi ya watu? | |
3128 Uprotestanti ni nini? | |
3129 Kalenda ya Gregorian ilianza kutumika mwaka upi? | |
3130 Suruali ya kwanza iligunduliwa na nani? | |
3131 Je,Serikali ya Tanzania huwa na wabunge wangapi? | |
3132 Klabu ya Chelsea ilianzishwa mwaka gani? | |
3133 Je,mke wa Walter Rodney alikuwa anaitwa nani? | |
3134 Mji mkubwa Misri ni gani? | |
3135 Mkoa wa Tanga una idadi ngapi ya watu? | |
3136 Mesopotamia inapatika wapi duniani? | |
3137 Vita vya nchi ya Sudan vilianza mwaka gani? | |
3138 Dwight David Eisenhower alijiunga na siasa mwaka gani? | |
3139 Mwandiko wa Kikyrili ulianzia wapi? | |
3140 Wingu la Oort liligunduliwa na nani? | |
3142 Je,Christopher Richard Mwashinga alizaliwa mwaka upi? | |
3143 Kalenda ya Julien ilindikwa mwaka gani? | |
3144 Je,Musalia Mudavadi ni kiongozi wa Chama kipi ya kisiasa? | |
3145 Samwel Yellah aliteuliwa kama meneja wa klabu ya Black Leopard Fc Under20 mwaka gani? | |
3146 Jina Impala linatokana na nini? | |
3147 Je, Yesu Kristo alizaliwa wapi? | |
3148 Asili ya Suruali ni ipi? | |
3149 Je,KCPE ilianza lini nchini Kenya? | |
3150 Alexandre Dimitri Song Billong ana umri gani? | |
3151 Je,mji mkuu wa Jamaica ni nani? | |
3153 Je, Beres Hammond alizaliwa lini? | |
3154 Je, nini maana ya utawa? | |
3156 Je,mwanamziki Ray C alianza mziki mwaka upi? | |
3157 Wagikuyu wanapatika sana mkoa gani nchini Kenya? | |
3158 Je,Mheshimiwa Temba alizaliwa mwaka upi? | |
3159 Meli ya MV Liemba ilitengenezwa mwaka gani? | |
3160 Mfumo wa umwagiliaji mimea maji ulianzia wapi? | |
3162 Je, Wasuba hupatikana magharibi mwa Kenya? | |
3163 Mji mkuu wa Namibia unaitwaje? | |
3164 Amani James Pausen Temba ni mwanachama kiongozi wa kitu gani? | |
3165 Mbosso Khan ana nyimbo ngapi? | |
3166 Jane Somers alikuwa nani? | |
3167 Nancy Abraham Sumari na Nakaaya Sumari ni ndugu? | |
3168 Je, mfumo wa Ujamaa nchini Tanzania ulianza mwaka gani? | |
3169 Je,wimbo wa kwanza wa Edgar Leonard ni upi? | |
3170 Zavara Mponjika ni raia wa nchi gani? | |
3171 Dkt John Garang de Mabior alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan chini ya uongozi wa rais yupi? | |
3172 Wilaya ya Kilombero iko na idadi ngapi ya watu? | |
3173 Michael Wamalwa Kijana alifariki mwaka gani? | |
3174 Mmenyuko wa mzio una tiba? | |
3175 Je, sensa hufanya baada ya miaka ngapi nchini Kenya? | |
3177 Je, Jamaika ndio chimbuko la muziki wa reggae? | |
3178 Je,Joachim Kimario alizaliwa mwaka upi? | |
3179 Nilgai ana pembe ngapi? | |
3180 Mhariri mkuu wa gazeti la Financial Times mwaka 2018 anaitwa nani? | |
3181 Chama cha KANU kilianzishwa mwaka gani? | |
3182 Shirikisho la Amerika ya Kati ilikuwa na nchi ngapi? | |
3183 Je,Rhona Natasha Mitra alianza kuwa mwanamitindo lini? | |
3184 Jina Bauxiti linatokana na nini? | |
3186 Mkoa wa Lindi uko na ukubwa wa kiasi gani? | |
3187 Je, mtangazaji Jeff Koinange alifanya kazi kituo cha KTN kwa muda gani? | |
3188 Je,Rebeca Z. Gyumi alizaliwa katika mkoa gani nchini Tanzania? | |
3189 Ni nani mwanzilishi wa kifaa cha kuzalisha nishati duniani? | |
3190 Je,William Kiptarus Tanui alizaliwa lini? | |
3191 Je,mwanamziki Profesa Jay ni mbunge wa wapi nchini Tanzania? | |
3192 Nchi ya Senegal ilipata uhuru mwaka gani? | |
3193 Saul Niguez ana miaka mingapi? | |
3194 Je,kundi la Kalamashaka ilianza mwaka upi? | |
3195 Kofi Annan alifariki mwaka gani? | |
3196 Je,yesu alikuwa na wafuasi wangapi? | |
3197 Mvinyo ulitengenezwa kwanza nchi gani? | |
3198 Mwanamziki Shaggy alianza kuimba mwaka upi? | |
3199 Wade Andrew William alizaliwa mwaka upi? | |
3200 Je,Karl Peters aliaga dunia mwaka upi? | |
3201 Musikari Nazi Kombo alizaliwa mwaka gani? | |
3202 Je, Kolo Habib Toure alizaliwa mwaka upi? | |
3203 Ukomeshaji wa biashara ya watumwa uliongozwa na nani? | |
3204 Mwanamuziki Mbosso alizaliwa lini? | |
3205 Je,Jean Bedel Bokassa alizaliwa mwaka upi? | |
3207 Rais wa Kongo mwaka wa 1971 alikuwa nani? | |
3208 Jua hutua upande gani? | |
3209 Mtume Thoma alikuwa nani? | |
3210 Je,Pablo Ruiz Picasso alikuwa na watoto wangapi? | |
3211 Je, nchi ya Jamaika ipo chini ya utawala wa malkia wa Uingereza? | |
3212 Je, Lugha asilia ya kitabu cha Alfu Lela Ulela ni ipi? | |
3213 Tuzo la kwanza la Nobel lilituzwa nani? | |
3214 Thiago Silva alizaliwa mwaka upi? | |
3215 Kundinyota la Zodiaki lina nyota ngapi? | |
3217 Je, Biblia ina manabii wangapi? | |
3218 Je Senegali ilishiriki katika kombe la dunia mwaka 2010? | |
3219 Milima ya Upare inapatikana mkoa gani? | |
3220 Cherehani ya kwanza ilitengenezwa mwaka gani? | |
3221 Nyota ngapi zipo duniani? | |
3222 Dkt Geoffrey William Griffin alisomea nchi gani? | |
3223 Je,Jack Andrew Wilshere alizaliwa lini? | |
3224 Mchungaji Chris Okotie aligombea kiti cha urais mwaka gani? | |
3225 Rais wa Marekani mwaka wa 1965 anaitwa nani? | |
3226 Je,sensa nchini Marekani hufanywa kila baada ya miaka ngapi? | |
3227 Beres Hammond alizaliwa mwaka gani? | |
3228 Vifaru wana pembe yenye urefu kiasi gani? | |
3229 Je,yesu alikuwa ana wafuasi wangapi? | |
3230 Je,Mheshimiwa Temba alianza sanaa ya mziki mwaka upi? | |
3231 Mchungaji Chris Okotie ana miaka mingapi? | |
3232 Je,mmiliki wa klabu ya Chelsea anaitwa nani? | |
3233 Medard Matogolo Kalemani alizaliwa wapi? | |
3234 Kolo Habib Toure alizaliwa wapi? | |
3235 Je, pweza huliwa? | |
3236 Je,Nge wote wana sumu? | |
3237 Je,Luís Vaz de Camões alizaliwa mwaka upi? | |
3238 Je,Gerard Piqué Bernabéu alijiunga na klabu ya Barcelona mwaka upi? | |
3239 Je, kuna mihogo yenye sumu? | |
3240 Mchezaji Christiano Ronaldo anachezea timu gani? | |
3241 Nabii Yeremia alifanya unabii mwaka gani? | |
3242 Je, Pablo Ruiz Picasso alizaliwa lini? | |
3243 Je Roma ndio mji mkuu Italia? | |
3244 Vasco da Gama alifika lini pwani ya Afrika Mashariki? | |
3245 Shaw Hassan Shaw Rwamboh alizaliwa mwaka upi? | |
3246 Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi? | |
3247 Je,mji mkubwa wa Morocco ni upi? | |
3248 Je,inchi ya Iceland ina idadi ya watu wangapi? | |
3249 Je, muigizaji Priyanka Chopra ni wa nchi gani? | |
3250 Kaa ana urefu gani? | |
3251 Je,William Samoei arap Ruto alikuwa mbunge wa wapi? | |
3252 Je,Wade Andrew William alizaliwa mwaka upi? | |
3253 Je,Yesu alisulubishwa katika mlima upi? | |
3254 Nairobi ina idai ya watu wangapi? | |
3255 Yesu alifunga siku ngapi jangwani? | |
3256 Jack Andrew Wilshere alijiunga na klabu ya Arsenal mwaka gani? | |
3257 Mwamvita Makamba alizaliwa wapi? | |
3258 Mary Lynn Rajskub alizaliwa mwaka upi? | |
3259 Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa wapi? | |
3260 Kuna aina ngapi za gari? | |
3261 Je,hoteli ya Fairmont Royal York iko katika sehemu gani katika eneo la Toronto? | |
3262 Bunge la Tanzania lina wabunge wangapi kwa jumla? | |
3263 Je,Hoteli ya Fairmont Royal York ilizinduliwa lini? | |
3264 Fly Me to the Moon uliimbwa ulirekodiwa na nani? | |
3265 Neno kiebrania iko na maana gani? | |
3266 Je,ni wimbo gani wa kwanza kuimbwa na kundi la The Wailers? | |
3267 Je,nani mwanzilishi wa World Wrestling Entertainment? | |
3268 Nchi ya Norwei ipo katika bara gani? | |
3269 Moses Masika Wetangula alizaliwa wapi? | |
3270 Michael Wamalwa Kijana alifariki akiwa na miaka mingapi? | |