Datasets:
Tasks:
Text Retrieval
Sub-tasks:
document-retrieval
Multilinguality:
multilingual
Annotations Creators:
expert-generated
ArXiv:
License:
6 Bandari kubwa nchini Kenya iko wapi? | |
8 Je,mji mkuu Australia ni gani? | |
12 Je,hadithi ya Pinokyo ilitungwa lini? | |
13 Timu ya taifa ya soka ya Brazil imeshinda kombe la dunia mara ngapi? | |
22 Rais wa kwanza wa Gabon aliitwa nani? | |
29 Nchi ya Thailand ina idadi ngapi ya watu? | |
32 Nchi ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani? | |
34 Je,msitu ipi kubwa zaidi bara Afrika? | |
35 Je,makao makuu ya kaunti ya Samburu ni wapi? | |
38 Jina kamili la Pelé ni lipi? | |
43 Masinde muliro alijiunga na siasa mwaka gani? | |
49 Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement ni nani? | |
52 Ngugi wa Thiong'o alizaliwa wapi? | |
56 Je,Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka upi? | |
62 Dodoma iko na idadi ngapi ya watu? | |
72 Je,mtoto wa umri wa miaka mbili anaweza pata ugonjwa wa kisukari? | |
80 Je,Flamingo inapatikana katika ziwa gani nchini Kenya? | |
99 Je,Raila Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi? | |
105 Je,Mji mkuu wa Kenya ni upi? | |
108 Mji mkuu wa Nigeria ni? | |
119 Je,nani mwanzilishi wa mziki wa hIhop nchini Tanzania? | |
122 Kikurdi ni lugha ya wapi? | |
128 Bahari kuu duniani ni gani? | |
136 Je,mji wa Gold Coast inapatikana nchi gani? | |
138 Mji mkuu wa Hawaii unaitwaje? | |
141 Je rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani? | |
144 Carleton Gajdusek alisoma udaktari chuo gani kikuu? | |
146 Mji mkuu wa Norway unaitwaje? | |
172 Rais wa kwanza wa Malawi ni nani? | |
178 Je, Adolf Hitler alikuwa anatoka nchi gani? | |
182 Nani alizundua kifaa cha kupima joto? | |
185 Je, T-Pain alizaliwa lini? | |
187 Ukubwa wa Japani ni geographia ni kiasi gani? | |
193 Je Nigeria ilipata uhuru mwaka upi? | |
195 Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka gani? | |
203 Je, Jibuti ilipata uhuru mwaka upi? | |
209 Je,rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani? | |
213 Je,rais wa kwanza wa Marekani aliitwa nani? | |
214 Je,Uhispania ina idadi ya watu wangapi? | |
215 Mbegu ya maharagwe iko na asili gani? | |
221 Mtandao wa Youtube ulianzishwa na nani? | |
226 Je,Günter Wilhelm Grass alishinda tuzo la Nobel mwaka upi? | |
232 Je, Togo ilipata uhuru mwaka upi? | |
234 Muimbaji Celine Dion ana miaka mingapi? | |
238 Lanhydrock House inapatikana wapi? | |
242 LL Cool J, alizaliwa mwaka gani? | |
244 Je,Kampuni ya Kenya Breweries Limited ilianza mwaka upi? | |
248 Je,Samir Nasri alizaliwa lini? | |
254 Je,Alain Didier Zokora Deguy alizaliwa lini? | |
256 Bahari ya Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
258 Kenya ilipata Uhuru mwaka upi? | |
259 Je mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni gani? | |
265 Je,Burundi ilpata uhuru mwaka upi? | |
279 Je,Kenya ina vyama ngapi vya kisiasa kufikia mwaka 2019? | |
283 Bergisch Gladbach ina idadi ngapi ya watu? | |
284 Rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani? | |
289 Simba huzaa baada ya muda gani? | |
301 Tanzania ina idadi ya watu wangapi? | |
302 Mji mkuu wa South Sudan ni upi? | |
304 Akwilina Akwilini Bafta alizaliwa mwaka gani? | |
309 Je,Fransisko wa Asizi alizaliwa lini? | |
317 Je,idadi ya watu nchini Ufaransa ni ngapi? | |
320 Je,Martin Luther alianzisha Uprotestanti mwaka upi? | |
321 Je,Mlima kilimanjaro ina urefu wa kilomita ngapi? | |
325 Maktoum bin Rashid Al Maktoum alikuwa makamu wa rais wa falme ipi? | |
337 Idadi ya watu wa Nchini Meksiko ni ngapi? | |
338 Kipima joto kiligunduliwa na nani? | |
343 Je, blogu ni nini? | |
351 Je, Rhodesia ya Kaskazini ina jina gani kwa sasa? | |
354 Je, ziwa Nakuru lina ndege gani maarufu? | |
358 Taifa la Kenya lilipata uhuru mwaka gani? | |
364 Kenya ina kaunti ngapi? | |
366 Je,mto mkubwa gani zaidi bara Afrika ni? | |
384 Kemikali ni nini? | |
388 Je,mwanamziki Beyonce alizaliwa lini? | |
395 Jennifer Garner ana miaka mingapi? | |
396 Nani alikuwa rais wa kwanza Urusi? | |
399 Je,chama cha KANU kilianzishwa na nani? | |
404 Mhariri mkuu wa gazeti la NRC Handelsblad anaitwa nani? | |
408 Mtindo wa muziki wa hip hop ulianzishwa na nani? | |
409 Aina za tarakilishi ni ngapi? | |
421 Astronomia ni nini? | |
422 Je,mnyama mkubwa baharini ni yupi? | |
423 Mji mkubwa nchini Afrika Kusini unaitwaje? | |
425 Je,yesu alikuwa na wafuasi wanawake? | |
429 Je, mji mkuu wa Jibuti ni upi? | |
435 Je,Mengistu Haile Mariam alizaliwa lini? | |
438 Je,lugha ni nini? | |
450 Je,nani aligundua kifaa cha darubini? | |
458 Je somo la kiswahili linafunzwa Uganda? | |
459 Simone Gooden alizaliwa wapi? | |
466 Je,sensa hufanyika nchini Kenya baada ya kila miaka ngapi? | |
472 Je,Mji mkuu wa Namibia ni upi? | |
478 2pac Shakur aliuwawa akiwa na miaka ngapi? | |
480 Edith Chewangel Masai alizaliwa wapi? | |
482 Nani rais wa shirikisho la FIFA duniani? | |
491 Je,Bill Gates ana watoto wangapi? | |
499 Otto Von Bismarck alizaliwa wapi? | |
501 Je,twiga hubeba uja uzito kwa miezi ngapi? | |
502 Nchi ya Urusi iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
504 Nani mmiliki wa kampuni ya google? | |
513 Je,Vita vya kwanza vya dunia viliisha mwaka gani? | |
516 Nchi ya Msumbiji imepakana na nchi ngapi? | |
519 Dini ya Kiislamu ina takriban watu wangapi? | |
527 Je,Michael Wamalwa Kijana alikuwa katika chama gani ya kisiasa? | |
534 Eneo la Uajemi lina ukubwa gani? | |
536 Nyuki ni nini? | |
539 Gabon ilipata uhuru mwaka gani? | |
543 Xenoni ni nini? | |
544 Je,chuo kikuu cha Moi kilianza mwaka upi? | |
555 Je mtoto huanza kumea meno akiwa na miezi mingapi? | |
558 Je,Elizabeth Cady Stanton alikuwa na watoto wangapi? | |
564 Jina la kisayansi la maharagwe ni nini? | |
568 Mlima Kenya una futi ngapi? | |
570 Kakao iligunduliwa na nani? | |
572 Mji mkuu wa Burundi? | |
573 Je,aliye kuwa rais wa Tanzania Julius Nyerere aliaga dunia mwaka upi? | |
575 Je,mlima Kilimanjaro in urefu wa mita ngapi? | |
596 Je,Nash Aguas alizaliwa lini? | |
613 Mji mkuu wa Algeria ni upi? | |
616 Inter-territorial Language committee ilianzishwa na nani? | |
622 Je,maharage iko katika kundi gani ya chakula? | |
623 Nchini Kenya masomo ya Sekondari huchukua miaka mingapi? | |
627 Serbia iko na wakazi wangapi? | |
628 Ethiopia ilitawali na nchi gani katika enzi ya mkoloni? | |
637 Je,Kingereza ni lugha rasmi nchini Kanada? | |
640 Je,Mwai Kibaki ana watoto wangapi? | |
653 Je,mke wa Ellen DeGeneres anaitwa nani? | |
660 Mama Teresa alizaliwa wapi? | |
677 Mji mkuu was Tanzania ni upi? | |
680 Je,simba wa kike ndiye huwinda? | |
686 Ni nani mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft? | |
688 Albamu ya kwanza ya Diamond Platnumz inaitwaje? | |
689 Merikebu ya Argo ina nyota ngapi? | |
693 Je, zabibu hutumika kutengeneza mvinyo? | |
695 Rais wa Marekani mwaka wa 1970 anaitwaje? | |
698 Fat Joe alizaliwa mwaka upi? | |
699 Geac Computer Corporation ilianza mwaka upi? | |
705 Kuna utawa mara ngapi? | |
716 Mji mkuu wa Mexiko unaitwaje? | |
718 Je,kundi la muziki ya Westlife ina wanachama wangapi? | |
719 Je,Nollywood ni jina ya filamu za nchi gani? | |
726 FORD-Asili ilianzishwa na nani? | |
734 Marekani iko na idadi ngapi ya watu? | |
740 Charles-Édouard alizaliwa mwaka upi? | |
754 Je, ufugaji wa wanyama ni mfumo wa kilimo? | |
755 Je,bwawa kubwa zaidi duniani ni ipi? | |
756 Je,dini ya ukristo ilianza mwaka upi? | |
760 Antiokia ya Siria inapatika wapi? | |
780 Je, Kofi Annan alizaliwa mwaka upi? | |
789 Je Kangaroo huishi kwa miaka ngapi? | |
795 Je,rais wa Syria mwaka 2019 ni nani? | |
800 Je,mashindano ya kombe la dunia ilianza mwaka upi? | |
802 Je, kuna asilimia ngapi ya wakristo nchini Misri? | |
805 Je kuna tofauti ya farasi na punda? | |
807 Adolf Hitler alizaliwa mwaka gani? | |
808 Kuna aina ngapi za bakteria? | |
814 Je,Kenya ina kaunti kwa jumla? | |
821 Je,mji mkuu wa Niger ni upi? | |
827 Je, Ice Cube ana watoto wangapi? | |
828 Chelsea F.C. ilizinduliwa lini? | |
834 Eritrea ilipata uhuru mwaka upi? | |
837 Simoni Petro alifariki mwaka gani? | |
850 Je,Manchester United ilizinduliwa lini? | |
862 Mji mkubwa nchini Kenya ni? | |
869 Je,mnyoo wa Ascaris lumbricoides unaweza kua hadi sentimita ngapi? | |
871 Fiziolojia ni somo la nini? | |
876 Je,Simoni Petro ndiye alimkana yesu? | |
879 Chanzo kuu cha ugonjwa wa ukambi ni gani? | |
885 Ushairi ni nini? | |
898 Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni ipi? | |
904 Rais wa Ufaransa ni nani? | |
909 Je,bahari ya Atlantiki ina ukubwa kiasi gani? | |
913 Jina Musambwa linatokana na nini? | |
920 Je,jangwa la Sahara inapatikana katika bara gani? | |
924 Je, geji ni nini? | |
925 Rais wa kwanza wa Ghana alikuwa anaitwa nani? | |
932 Je virusi vya ukimwi vina kinga? | |
934 Msitu wa Amazon una ukubwa gani? | |
937 Albamu ya Better Dayz ilitolewa mwaka upi? | |
938 Rais wa Marekani mwaka wa 2000 anaitwa nani? | |
939 Hermann von Wissmann alianza upelelezi mwaka gani? | |
940 Mji mkuu wa Kenya ni gani? | |
957 Rais wa kwanza wa Sudan ni nani? | |
958 Je,Mwai Kibaki alitawala Kenya kwa miaka ngapi? | |
959 Je, ni chembe gani za damu husafirisha oksijeni? | |
962 Nigeria ilipata huru mwaka gani? | |
963 Jina wa mji wa Ifakara linatokana na nini? | |
971 Ni bahari gani kubwa zaidi duniani? | |
978 Je,punda iko katika spishi gani ya wanyama? | |
979 Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa mwaka upi? | |
981 Meddie Kagere alizaliwa mwaka upi? | |
986 Taifa la Rwanda lilipata uhuru mwaka gani? | |
987 Je mziki wa hiphop ulianza mwaka upi marekani? | |
988 Jokate Mwegelo aliteuliwa kama DC mwaka gani? | |
993 Je,mji mkuu wa Mexiko ni upi? | |
1016 Je,kuna wanaume wenye homoni ya Estrojeni? | |
1018 Je,Nigeria ilipata uhuru lini? | |
1020 Je,jangwa kubwa kabisa bara Afrika ni ipi? | |
1030 Mji mkuu wa Burundi ni upi? | |
1031 Je,Diamond Platnumz ana watoto wangapi? | |
1033 Je,Togo ina idadi ya watu wangapi? | |
1038 Je, nchi ya Nigeria ilitawaliwa na nchi gani enzi za mkoloni? | |
1040 Mlipuko wa Hiroshima ulitokea mwaka gani? | |
1041 Uturuki iko na idadi ngapi ya watu? | |
1045 Mengistu Haile Mariam ana watoto wangapi? | |
1048 Je,bahari ya Shamu ina ukubwa wa kiasi gani? | |
1049 Je, bangi ni dawa? | |
1056 Je,Kenya ina kabila ngapi kwa jumla? | |
1058 Je, gari la kwanza lilitumia mafuta aina gani? | |
1068 Je, kuna aina ngapi za elementi? | |
1077 Je,Sherone Simpson alizaliwa lini? | |
1084 Burukenge iko katika spishi gani ya wanyama? | |
1085 Wakurdi ni watu wa jamii gani? | |
1087 Je, Ni bahari ipi kubwa zaidi? | |
1089 Marekani imekuwa na rais wangapi? | |
1090 Je mwanamziki Chrisbrown alianza kuimba mwaka upi? | |
1105 Je,mji mkuu wa Irani ni upi? | |
1118 Nani mwanzilishi wa kitabu ya rekodi ya guinness? | |
1126 Je,Emily Ruete alikuwa na watoto? | |
1135 Panya-mito ana ukubwa gani? | |
1138 Bahari kubwa duniani inaitwaje? | |
1141 NASA ilianzishwa mwaka upi? | |
1143 Chupong Changprung alizaliwa wapi? | |
1150 Ugonjwa wa Tutuko una tiba? | |
1151 Goat Island inapatikana nchi gani? | |
1152 Je,Marianne Koch ana watoto wangapi? | |
1154 Ukuta wa China ulijengwa mwaka gani? | |
1170 Je,Kenya ina idadi ya vyama vya kisiasa ngapi mwaka 2019? | |
1177 Je,Uholanzi iko katika bara gani? | |
1178 Je,Twiga hubeba uja uzito kwa muda gani? | |
1179 Mji mkuu wa Hispania ni upi? | |
1181 Je,mlima Teide ina urefu wa mita ngapi? | |
1182 Je,Don Riddell alisomea katika chuo gani kikuu? | |
1193 Kuna aina ngapi ya maua ya Buganivilia? | |
1204 Je,chombo cha kupima joto mwilini kinaitwa vipi? | |
1221 Wafransisko ni watu wa dini gani? | |
1233 Je,Christiano Ronaldo alizaliwa mwaka upi? | |
1236 Shule ya Kimataifa ya Brookhouse ilifunguliwa mwaka upi? | |
1244 Kampuni ya Safaricom ilianzishwa na nani? | |
1246 Je,Barack Obama ana watoto wangapi? | |
1247 Je, mke wa rais wa Tanzania aliitwa nani? | |
1249 Je,Safaricom ilianza mwaka upi? | |
1252 Je, Ellen ana mume? | |
1258 Bandari ya Alexandria inapatikana wapi? | |
1259 Derby Museum and Art Gallery ilianzishwa na nani? | |
1261 Bahari kubwa duniani ina ukubwa gani? | |
1264 Je,Ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi? | |
1270 Umeme hupimwa kwa kifaa kipi? | |
1275 Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka gani? | |
1277 Martin Luther aliandika vitabu vingapi? | |
1280 Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa na nani? | |
1282 Mpira wa kikapu ulianzia nchi gani? | |
1302 Mji mkuu wa Mongolia unaitwaje? | |
1304 Aliyekuwa rais wa Iraki, Sadam Hussein alifariki mwaka gani? | |
1306 Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilitawala kwa miaka mingapi? | |
1310 Kuna idadi ngapi ya Wamaasai nchini Kenya? | |
1313 Geac Computer Corporation ilianzishwa na nani? | |
1315 Je, klabu ya Manchester United ilianza mwaka upi? | |
1316 Rais wa kwanza wa Urusi alikuwa nani? | |
1319 Je, mziki wa hip hop nchini Tanzania ulianza mwaka upi? | |
1321 Rais wa kwanza wa Malawi anaitwa nani? | |
1335 Je,mto mkubwa zaidi bara Afrika ni upi? | |
1338 Sinkopu ina tiba? | |
1339 Je,chama cha Nazi kilianza uongozi nchini Ujerumani mwaka upi? | |
1343 Je,Ice Cube ana watoto wangapi? | |
1348 Homa ya Bonde la Ufa ina tiba? | |
1349 Je,Nigeria ilipata uhuru mwaka upi? | |
1356 Nchi ya Rwanda ilipata uhuru mwaka gani? | |
1376 Visiwa vya South Georgia vina ukubwa gani? | |
1377 Jangwa kubwa zaidi duniani ni gani? | |
1379 Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa wapi? | |
1380 Je,ashiki ni nini? | |
1383 Je,Lagos ina idadi ya takriban watu wangapi? | |
1384 Mto mrefu zaidi nchini Misri ni upi? | |
1386 Je, rais wa kwanza Malawi aliitwa nani? | |
1387 Je,nani mwanzilishi wa dini ya Katoliki? | |
1399 Kabila la Wazigula lina idadi ngapi ya watu? | |
1407 Bahari kubwa duniani ni gani? | |
1408 Japani iko na jumla ya watu wangapi? | |
1411 Je,jeraha ya moto kwa ngozi hutibiwa na nini? | |
1416 Je,ni ziwa gani kubwa zaidi nchini Kenya? | |
1422 Mji mkuu wa Côte d'Ivoire unaitwaje? | |
1423 Asili ya muziki wa dansi ni gani? | |
1425 Je,kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza lini? | |
1430 Je,mji mkuu wa Italy ni upi? | |
1432 Je kuku anaishi kwa muda gani? | |
1440 Mtayarishaji wa kipindi cha 24 anaitwa nani? | |
1441 Ni Kisiwa gani kubwa zaidi duniani? | |
1455 Mariah Carey alianza kuimba akiwa na miaka mingapi? | |
1459 Je, Soya iligunduliwa mwaka gani? | |
1463 Nani mwanzilishi wa mtandao ya kijamii ya whatsapp? | |
1465 Je, Edith Chewangel Masai ana miaka mingapi? | |
1477 Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania ni upi? | |
1479 Je, rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanzania anaitwa nani? | |
1480 Je,Jada Koren Pinkett Smith ana watoto wangapi? | |
1484 Je,rais wa kwanza wa Marekani alikuwa nani? | |
1491 Kenya ilitawaliwa na nchi gani enzi za ukoloni? | |
1495 Je,Kenya ilipata Uhuru mwaka upi? | |
1498 Je,chombo cha kupima joto mwilini kilizinduliwa na nani? | |
1503 Je, Martin Luther alikuwa mlutheri? | |
1507 Je,serikali ya nchi ya Kenya ina mfumo upi ? | |
1514 Mwanafalsafa wa kwanza Uchina alikuwa anaitwa nani? | |
1517 Je,nani mwanzilishi wa chama cha kisiasa cha KANU? | |
1523 Simba huanza kuwinda baada ya miezi ngapi? | |
1528 Je,Nelson Mandela alifungwa jela kwa muda upi? | |
1533 Kikokotoo kiligunduliwa na nani? | |
1535 Fasihi andishi ni nini? | |
1541 Kiongozi wa kwanza wa jeshi la Izz ad-Din al-Qassam Brigades anaitwa nani? | |
1550 Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania unaitwaje? | |
1555 Raila Odinga aliingia katika siasa mwaka gani? | |
1557 Bara Asia ina nchi ngapi? | |
1564 Je,mke wa rais wa Tanzania Pombe Magufuli anaitwa nani? | |
1576 Je,jina la kisayansi ya bata ni ipi? | |
1587 Je,Msitu wa Kakamega ina ukubwa gani? | |
1588 Je,Ndovu anaweza ishi kwa takriban miaka ngapi? | |
1600 Robert Baden-Powell alizaliwa wapi? | |
1605 Waashanti ni watu wa nchi gani? | |
1609 Jefferson Antonio Montero alizaliwa wapi? | |
1610 How to Stop an Exploding Man ni sehemu ya ishirini na tatu ya kipindi gani? | |
1629 Je, Benito Mussolini alizaliwa wapi? | |
1639 Je,jina la kisayansi ya tunda ya ndimu ni ipi? | |
1648 Je,2Pac alizaliwa mwaka upi? | |
1656 Je,Ally Kleist Sykes alizaliwa mwaka gani? | |
1661 Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania ina jina gani? | |
1669 Je, Ali Muhsin Al-Barwani alizaliwa lini? | |
1674 Je,mji wa Yamoussoukro ina idadi ya watu wangapi? | |
1677 Tawahudi ina tiba? | |
1689 Mohammed VI ana mke? | |
1694 Je,albamu ya kwanza ya Westlife ilikuwa gani? | |
1697 Je, lugha ya Swahili inazungumziwa na nchi ngapi bara Afrika? | |
1703 Jean Pruitt alikuwa nani? | |
1714 Je,Orange Democratic Movement Party of Kenya kilianzishwa na nani? | |
1722 Je,klabu ya Manchester united ilizinduliwa mwaka upi? | |
1729 Vita,vya pili vya dunia vilianza mwaka upi? | |
1748 Je, Harriet Tubman alizaliwa wapi? | |
1749 Je,Ethipoia ina idadi ya watu wangapi? | |
1754 Je,mke wa Bill Gates anaitwa nani? | |
1756 Tanzania ilitawaliwa na nchi gani kipindi cha ukoloni? | |
1770 Nani alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania? | |
1772 Sultan wa kwanza wa Zanzibar anaitwaje? | |
1778 Je,kampuni ya Kenya Data Networks ilizinduliwa mwaka upi? | |
1782 Je,mto mkubwa kabisa duniani ni upi? | |
1796 Ugonjwa wa Ukimwi uligunduliwa mwaka gani? | |
1797 Je, mwanamziki Diamond alizaliwa mwaka upi? | |
1804 Spishi ya pili ya Cheche inaitwaje? | |
1808 Uganda ina wilaya ngapi? | |
1809 Je, mfumo wa NATO ulianza mwaka gani? | |
1813 Guinea ilipata uhuru mwaka upi? | |
1816 Khalilou Fadiga alizaliwa mwaka upi? | |
1818 Je,jiji la Nairobi ina idadi ya watu wangapi? | |
1826 Je,mbwa huishi takriban miaka ngapi? | |
1835 Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa mita ngapi? | |
1840 Je, Irene Kiwia alisomea katika chuo kikuu gani? | |
1843 Ni nchi gani ilijulikana kama Rhodesia hapo awali? | |
1844 Kuna aina ngapi ya fasihi? | |
1845 Je,Uganda ilipata Uhuru mwaka upi? | |
1849 Mchezo wa soka una wachezaji wangapi kila upande? | |
1853 Je,nani mwanzilishi wa chama cha kisiasa ya Nazi? | |
1858 Je,Adolf Hitler alizikwa wapi? | |
1860 Ashiki ni nini? | |
1867 NRC Handelsblad huchapishwa na kampuni gani? | |
1874 Msanii Dknob alizaliwa mwaka upi? | |
1892 Chanzo cha Ziwa Tanganyika ni gani? | |
1893 Je,mji mkuu wa Sudan ni Upi? | |
1895 Samir Nasri ni raia wa nchi gani? | |
1897 Rais wa kwanza wa Zambia alikuwa nani? | |
1899 Uhalisia ni nini? | |
1905 Je,ndimu iko katika kundi moja na tunda la machungwa? | |
1914 Je,kaunti ya Nakuru iko na idadi ya watu wangapi? | |
1923 Je,ni sayari gani kubwa zaidi? | |
1926 Zamaradi Mketema ana watoto wangapi? | |
1928 Pesa kuu duniani ni gani? | |
1936 Je,bara Asia ina idadi ya nchi ngapi kwa jumla? | |
1938 Kundinyota la Mkuku Carina lina nyota ngapi? | |
1944 Je,Madagaska ina idadi ya watu wangapi? | |
1951 Kamusi ya kwanza ya lugha ya Kiswahili iliandikwa mwaka gani? | |
1958 Rais wa kwanza wa Ghana anaitwa na nani? | |
1961 Mji mkuu wa New Zealand unaitwaje? | |
1968 Je,bakteria ni nini? | |
1994 Polyakova alishinda medali gani katika olimpiki ya 2008? | |
2000 Nguruwe anaweza pata watoto wangapi wakati mmoja? | |
2013 Je, kuna tiba ya maumivu ya kiuno? | |
2023 Mlima kubwa Asia ni gani? | |
2026 Je,idadi ya watu nchini Sudani ni ngapi? | |
2047 Je,kombe la dunia ya kandanda ilifanyika nchi gani mwaka 2014? | |
2062 Kerron Stewart alizaliwa wapi? | |
2068 Je, Mto mrefu zaidi ulimwenguni unaitwaje? | |
2071 Jina la Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kikirgizi liliandikwa kwa lugha gani? | |
2081 Je,mji mkuu wa Meksiko ni upi? | |
2083 Mji mkuu wa Australia ni upi? | |
2086 Je,mlima mkubwa zaidi barani Asia ni ipi? | |
2089 Tofauti kuu baina ya Punda na Punda milia ni ipi? | |
2091 Wiktionary ilianzishwa lini? | |
2092 Rais wa kwanza wa Meksiko ni nani? | |
2095 Je,Carlos Federico Ruckauf alizaliwa mwaka upi? | |
2097 Je,Adolf Hitler alikuwa na mke? | |
2098 Mafuta ya petroli yanatoa wapi jina lake? | |
2100 Je,kaswende ina tiba? | |
2105 Nini maana ya fasihi simulizi? | |
2113 Je,Bahari hindi iko katika kaunti ngapi nchini Kenya? | |
2122 Mkurugenzi mkuu wa kwanza wa Microsoft ni nani? | |
2125 Nchi ya Côte d'Ivoire ina idadi gani ya watu? | |
2132 Je,kampuni ya Microsoft ilianza lini? | |
2133 Je,hidrojeni ni nini? | |
2134 Je,ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa lini kwa mara ya kwanza? | |
2140 Mwili wa mwanadamu una mifupa mingapi? | |
2141 Fransisko wa Asizi alizaliwa mwaka upi? | |
2142 Je, bahari ya Pasifiki ina kina kiasi gani? | |
2147 Je,Kiswahili ndio ligha pekee rasmi ya Tanzania? | |
2148 Je,kuna elementi ngapi za kemikali? | |
2153 Mji mkuu Senegal ni upi? | |
2155 Je,Johann Bayer alisomea katika chuo kikuu gani? | |
2180 Je, Ndovu huishi kwa miaka ngapi? | |
2181 Falsafa ni nini? | |
2192 Chama cha Nazi kilianzishwa mwaka gani? | |
2196 Bahari Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani? | |
2197 Je, minyoo iko katika spishi gani ya wadudu? | |
2205 Je, nchi ya Kenya ina vyama vingapi vya kisiasa? | |
2220 Amerigo Vespucci alizaliwa mwaka upi? | |
2224 Kemia kaboni ni nini? | |
2227 Je, Paul Labile Pogba ana pacha? | |
2234 Je,malkia wa kwanza wa Uingereza aliitwa nani? | |
2236 Je,TANU inamaanisha nini? | |
2245 Longido iko wilaya gani? | |
2258 Jada Koren Pinkett Smith ana watoto wangapi? | |
2260 Eneo la Uskoti una ukubwa gani? | |
2275 Je, bara la asia lina nchi ngapi? | |
2276 Je,chuo kikuu kongwe zaidi nchini Kenya ni gani? | |
2278 Je,Kombe la Mataifa ya Afrika ilianza mwaka upi? | |
2286 Je, nchi ya Mexico ina takriban watu wangapi? | |
2288 Je,kuna tofauti kati ya Sungura na Sungura wa Kizungu? | |
2297 Kampuni ya Rockport ilianzishwa na nani? | |
2308 Blog ni nini? | |
2330 Je simba hubeba mimba kwa miezi ngapi? | |
2340 Bahari ya Mediteranea ina ukubwa gani? | |
2344 Je,mke wa Jawaharlal Nehru alikuwa anaitwa nani? | |
2348 Yesu Kristo aliishi duniani kwa miaka mingapi? | |
2353 TANU ina maana gani? | |
2364 Malkia Kleopatra alizaliwa mwaka upi? | |
2372 Kabila lenye idadi kubwa ya watu nchini Tanzania ni lipi? | |
2382 Ziwa Natron lina kina kiasi gani? | |
2384 Je ni nyota gani yenye mwangaza zaidi? | |
2388 Otto Von Bismarck alifariki mwaka gani? | |
2389 Je,mkoa wa Shinyanga ina idadi ya watu wangapi? | |
2393 Je, China ina idadi ngapi ya watu? | |
2407 Albamu ya R U Still Down, ilizinduliwa mwaka gani? | |
2408 Je,Wilma Rudolph alizaliwa mwaka upi? | |
2412 Je,Madgaska ina ina idadi ya watu wangapi? | |
2414 Yeroboamu II alitawala kwa miaka mingapi? | |
2434 Mji mkuu wa Tanzania unaitwaje? | |
2439 Je,mji mkuu wa Uswidi ni upi? | |
2440 Je,The Weeknd alizaliwa mwaka upi? | |
2449 Makoto Hasebe alizaliwa wapi? | |
2453 Adolf Hitler alikuwa rais wa Ugerumani mwaka upi? | |
2455 Je,mwanamuziki Beyonce alifunga harusi mwaka upi? | |
2458 Je,Abuja ina idadi ya watu wangapi? | |
2465 Je,Tom Mboya alizaliwa lini? | |
2466 Maandishi ya kwanza yalikuwa katika lugha gani? | |
2470 Je,mji mkuu Uganda ni upi? | |
2471 Je, nchi ya kenya ina jamii ngapi? | |
2477 Alinikisa Cheyo aliteuliwa kuwa askofu mwaka upi? | |
2485 Mohamed Said Salum ametunga vitabu vingapi? | |
2493 Je,nini maana ya sayansi? | |
2501 Je,nani wa kwanza duniani kuenda kwa mwezi? | |
2514 Bahari kubwa zaidi ulimwenguni inaitwaje? | |
2522 Je, Kampuni ya Rockport ilianza mwaka upi? | |
2530 Mto mrefu zaidi Afrika ni gani? | |
2535 Mchezo wa voliboli ulianzishwa na nchi gani? | |
2542 Chama cha kisiasa kilicho tawala Kenya kwa muda mrefu ni kipi? | |
2545 Je,bunge la juu jimbo la Illinois ilianza mwaka upi? | |
2546 Mwanamziki wa Kenya Willy Paul alizaliwa mwaka upi? | |
2549 Bakteria iligunduliwa na nani? | |
2561 Jina la kuzaliwa la msanii 2Pac ni nini? | |
2564 Rais wa kwanza wa Zimbabwe anaitwa nani? | |
2566 Je,rais wa tano nchini Marekani alikuwa nani? | |
2569 Bahari zote ziko na maji ya chumvi? | |
2575 Je, Sayari ya Dunia ina ukubwa gani? | |
2577 Je, bara Asia lina visiwa vingapi? | |
2580 Satelaiti iliwekwa angani na nani? | |
2592 Mlima Kilimanjaro ina futi ngapi? | |
2597 Paul Schulze alizaliwa mwaka upi? | |