BUFFET / xcopa /sw /xcopa_test.tsv
akariasai's picture
Upload 506 files
b3bdde9
Kifaa kilikuwa kimefungwa kwenye mfuko vibofu. (A) Kikuwa nyepesi kuvunjika. (B) Kilikuwa kidogo. (A)
Niliiacha mitupu mifuko yangu. (A) Nilikipata tena kipande cha tiketi. (B) Niliona silaha. (A)
Mchwa walivamia nyumba. (A) Mchwa waliondoka kutoka kwenye nyumba. (B) Mchwa walikula kupitia mbao ndani ya nyumba. (B)
Wasafiri wamefika mpakani. (A) Afisa doria alikagua pasi zao za kusafiria. (B) Afisa doria aliwatuhumu wao kwa kupenyeza magendo. (A)
Ofisi ilikuwa imefungwa. (A) Ilikuwa ni siku ya mapumziko. (B) Ilikuwa nikipindi cha kiangazi. (A)
Msichana alipungua nguvu. (A) Alicheza drafti. (B) Aliruka kamba. (B)
Mwanamke amepoteza nafasi yake kwenye mstari. (A) Watu zaidi waliingia kwenye mstari. (B) Alitoka nje ya mstari. (B)
Msichanfinya pua yake. (A) Mtoto alitoka mate kinywani mwake. (B) Mtoto alichafua nepi yake. (B)
Bendi ilipiga nyimbo yake ipendwayo. (A) Hadhira walipiga makofi kufuatia muziki. (B) Hadhira walisikiliza kwa upole na ukimya. (A)
Msichana alitaka kumshukuru mwalimu wake wa hesabu. (A) Msichana alibakia kizuizini baada ya shule. (B) Msichana alimletea tofaa mwalimu wake. (B)
Mpiga kambi mdogo alihisi woga. (A) Mshauri wao wa kambi aliwambia kuhusu hadithi za mzuka. (B) Walizichoma mashmalo katika moto wa kambi. (A)
Mwanamme alijigonga kichwa chake. (A) Alipotea kwenye mawazo. (B) Alipoteza fahamu. (B)
Hundi nilioiandika imedunda. (A) Akauti yangu ya benki ilikuwa tupu. (B) Nimepata ongezeko la mshahara. (A)
Kisanduku pokezi cha barua pepe ya mwanamme kilijaa barua taka. (A) Alifuta barua taka. (B) Alituma barua pepe ya halaiki. (A)
Baharia alikuwa ametengwa. (A) Alikuwa amegundulika kuwa na ugonjwa. (B) Amepona kutoka kwenye ugonjwa. (A)
Yule msichana alihifadhi msimbo kwenye akili. (A) Aliukariri. (B) Alisahau kuuandika chini. (A)
Nilimimina maji kwenye gilasi. (A) Maji yalizima kiu yangu. (B) Maji yalikuwa yamejaa. (B)
Mwanamme alibakia kimya wakati rafiki yake alipomaliza kuongea. (A) Alitaka kumpatia rafiki yake msaada. (B) Alikuwa akifikiria kuhusu maneno ya rafiki yake. (B)
Ajali ilikuwa ni kosa langu. (A) Nilijihisi mwenye hatia. (B) Nilipeleka mashitaka. (A)
Mkufu ulikuwa mbali mbali. (A) Mkufu ulizongwa kuzunguka tairi. (B) Kulikuwa na kiungo kilichovunjika katika mkufu. (B)
Wanandoa waliamua kuafikiana. (A) Walikuwa wamechoka na mabishano. (B) Walikimbia kujadili tatizo. (A)
Mwanamke ameamua kuendesha afisi ya umma. (A) Aliajiri meneja wa kampeni. (B) Alishuhudia ndani ya mahakamani. (A)
Mwanamme alitarajia hali ya hewa ya baridi katika safari yake. (A) Alipanga nguo za joto ndani ya sanduku lake. (B) Alisafiri pamoja na sanduku kubwa. (A)
Mwanafunzi alijua jibu la swali. (A) Aliinua mkono wake. (B) Hakujishughulisha. (A)
Macho ya mwanamme yalitokwa na machozi. (A) Vumbi lilingia ndani ya macho yake. (B) Alivaa miwani juu ya macho yake. (A)
Mchezaji alishinda michezo kumi kwenye safu. (A) Mpinzani wake alimtuhumu yeye kwa udanganyifu. (B) Mpinzani wake alimuonea huruma yeye. (A)
Mwalimu alichana mtihani wa mwanafunzi. (A) Alimkamata mwanafunzi akifanya udanganyifu. (B) Majibu ya mwanafunzi yalikuwa sio sahihi. (A)
Nilisita kuacha kuongea. (A) Nilipoteza sauti yangu. (B) Nilikosa pumzi. (B)
Chakula kilichogandishwa kiliyeyuka. (A) Nilikiweka kwenye mikrowevu. (B) Nilikifunika na karatasi yaplastiki. (A)
Muajiriwa alighushi kuumwa. (A) Alikuwa na matatizo ya tumbo. (B) Alitaka siku ya mapumziko. (B)
Msichana aliteremka ndani ya bwawa. (A) Alikimbia juu ya ukingo wa bwawa. (B) Aliruka kutoka kutoka katika bao la kupigia mbizi. (B)
Tiketi za filamu zimeuzwa zote. (A) Ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa filamu. (B) Filamu lipata maoni mabaya. (A)
Mwanamme amepungua uzito. (A) Watu wanamtenga yeye. (B) Watu wanampongeza yeye. (B)
Mikono ya msichana ilikuwa na malengelenge. (A) Alichapa barua. (B) Aliparamia kamba. (B)
Mchezaji sarakasi alihadaa wakati anaendesha baiskeli ya ringi moja. (A) Watazamaji walimshangiria kwa mshangao. (B) Mwanasarakasi alining'ininia kutoka kwenye pembea. (A)
Nimepoteza uvumilivu wangu. (A) Rafiki yangu alinifanya nimsubiri. (B) Rafiki yangu alifika kwa wakati. (A)
Nchi zinazopigana zilitaka amani. (A) Zilitengeneza silaha za nyuklia. (B) Zilijadiliana mkataba. (B)
Mwanamme alitumia madawa ya usingizi. (A) Amekuwa mwenye kusinzia. (B) Alipata homa. (A)
Mwanamke aligongwa na kiti. (A) Mguu wa kiti ukafunguka. (B) Aliumiza goti lake. (B)
Mvulana alibinya puto. (A) Bofu lilichomoka. (B) Bofu liliruka juu. (A)
Wasafiri walikagua ndani ya chumba chao cha hoteli. (A) Walifungua mizigo yao. (B) Walikwenda uwanja wa ndege. (A)
Niliuma fyulisi. (A) Fyulisi iliumia. (B) Juisi ilimwagika. (B)
Mkono wangu umekuwa unanatanata. (A) Nimekula donati. (B) Nilipata chakula chenye utamu. (A)
Nilisukuma mlango. (A) Mlango ulifunguka. (B) Mlango ulijifunga. (A)
Wanaharakati waligomea bidhaa. (A) Bidhaa zilikuwa zilipimwa kwa ajili ya kuthibitisha ubora. (B) Bidhaa zilikuwa zikitengenezwa kupitia ajira kwa watoto. (B)
Nilitoboa tundu kwenye ukuta. (A) Panya alitambaa kutoka nje ya tundu. (B) Vumbi lilipeperuka kutoka katika tundu. (B)
Mwanamke alimuonea wivu dada yake. (A) Dada yake alikuwa na furaha. (B) Dada yake alipewa talaka. (A)
Nilijimwagia mvinyo juu ya shati langu. (A) Nilivaa aproni. (B) Nilibadili shati yangu. (B)
Mshika fedha alifungua vitabu vya fedha. (A) Mteja alitafuta pochi yake. (B) Mteja alimkabidhi yeye pesa. (B)
Mwanamuziki anaetumbuiza babarani alivutia umati. (A) Watu walimpa yeye sarafu. (B) Aliuondoshea mbali umati. (A)
Mvulana mdogo alimlilia mlezi wake. (A) Alitamani kuona wazazi wake. (B) Ulikuwa wakati wa kula. (A)
Rada ya rubani iligundua dhoruba. (A) Rubani aliondoa kutoka kwenye dhoruba. (B) Rubani aliruka kuielekea dhoruba. (A)
Mti uliangusha majani yake. (A) Majani yalibadilika rangi. (B) Majani yalikusanyika chini. (B)
Mvulana alikuwa katika hali ya utukutu. (A) Aliamua kucheza karata pamoja na dada yake. (B) Aliamua kucheza mchezo wa mzaha na dada yake. (B)
Mtoto alisikitika kuwa anataka kwenda chooni. (A) Baba yake alimpa yeye sada na kinywaji. (B) Baba alisimamisha gari kwenye kituo cha kuuza mafuta. (B)
Mtoto alinyunyiza chakula cha samaki ndani ya tangi. (A) Samaki waliruka kutoka nje ya tangi. (B) Samaki waliogelea kuelekea chakula. (B)
Mtazamo wa kisiasa wa mwanamke ulibadilika. (A) Alibadili mahusiano ya chama chake. (B) Alijihusisha na mgomo. (A)
Sinki la chooni lilikuwa limeziba. (A) Nilifungua bomba. (B) Niliingiza kifaa cha kusafishia ndani yake. (B)
Abiria walitoka nje ya kwenye treni. (A) Treni liliwasili kituoni. (B) Treni ilipiga king'ora. (A)
Mawanamme alishindilia chini bawa la bahasha lenye unyevunyevu. (A) Aliweka stempu juu ya bahasha. (B) Aliifunga bahasha. (B)
Marafiki walipoteza mawasiliano. (A) Walifurahia kuwa karibu ya kila mmoja wao. (B) Walihama katika miji tafauti. (B)
Mhasibu alishindwa kusimamia fedha za kampuni. (A) Aliondolewa kwenye nafasi yake. (B) Alikwenda kwenye likizo ya kujifungua. (A)
Niliangalia saa. (A) Nilisikia mlio wa saa. (B) Nilitaka kujua ni saa ngapi. (B)
Mkono wangu uliuma. (A) Niliandika insha kwa mkono. (B) Mimi na mke wangu tulishikana mikono. (A)
Komeo lilikaza. (A) Nilibadilisha komeo. (B) Niliviringa bisibisi. (B)
Wanandoa walisaini mkataba wa kodi kwa ajili ya fleti. (A) Wanandoa walihamia kwenye fleti. (B) Baraza la mji waliifelisha nyumba. (A)
Mwanamke alikaa nje kwenye baraza. (A) Alitaka kuangalia jua likizama. (B) Alifikiria aliona radi. (A)
Mwanamme alivaa jaketi la kujiokolea. (A) Hakuweza kuogelea. (B) Maji yalikuwa ya kina kifupi. (A)
Mwanamke alifanya makosa ndani ya kichakata matini. (A) Alifuta waraka. (B) Alibonyeza kitufe cha cha kurudi nyuma. (B)
Msichana alijisifu kwa rafiki zake. (A) Alipata daraja baya. (B) Alishinda shindano. (B)
Bustani lilikuwa na matope. (A) Kulinyesha usiku. (B) Lilikuwa limejaa magugu. (A)
Mwanamke alilala sana. (A) Alibakia hotelini usiku. (B) Alisahau kurekebisha saa yake ya kengele. (B)
Mwanamme amepaka losheni ya kujikinga na jua. (A) Alikaa kwenye kivuli. (B) Alikwenda ufukweni. (B)
Watafiti walithibitisha nadharia. (A) Watafiti waliifuta nadharia. (B) Watu waliikubali nadharia. (B)
Mashabiki kwenye mechi walizomea. (A) Mechi ilikwenda ndani ya muda wa ziada. (B) Refa alifanya maamuzi mabovu. (B)
Niliingiza namba za siri kwenye kufuli. (A) Nilifunga kufuli. (B) Kufuli ilifunguka. (B)
Umati uliongezeka. (A) Baba alimpa mwana wake pesa. (B) Baba aliukamata mkono wa mwanawe. (B)
Barafu ilikuwa imezuia njia. (A) Nilikusanya theluji kuwa mpira wa theluji. (B) Niliondoa theluji kutoka kwenye njia. (B)
Wapiga makasia walipiga makasia yao. (A) Kayak ilifika ufukweni. (B) Kayak iligonga wimbi. (A)
Msichana alipoteza muelekeo wa baiskeli yake. (A) Aliachia usukani. (B) Alijigonga kwenye ukuta. (B)
Niliwasha feni. (A) Maji yalinimwagikia juu ya ngozi yangu. (B) Nilihisi hewa baridi ikinipitia juu yangu. (B)
Wachejazi baharini walirudi pwani. (A) Walijawa na unyevunyevu wa maji. (B) Waliona papa. (B)
Nilivuta plugi ya bomba katika beseni la kuogea. (A) Maji yalichuruzika kwenye beseni. (B) Maji yalitawanyika kwenye sakafu. (A)
Mume alijihisi mwenye makosa kuhusu kumlangai mkewe. (A) Alimtuhumu yeye kwa kukosa uaminifu. (B) Alikiri uzizi wake kwake. (B)
Wino kwenye bango ulipakaa. (A) Nilisubiri wino ukauke. (B) Nilimaga maji juu ya bango. (B)
Mtoto aliamka akilia. (A) Alipata ndoto mbaya. (B) Alirovya kitanda. (A)
Mvulana aliweka miguu yake juu ya meza. (A) Baba yake alikaa chini ya meza. (B) Baba yake alimkemea. (B)
Rafiki yangu aligeuza kichwa upande wangu. (A) Niliita jina lake. (B) Nilipunga mkono. (A)
Serikali iliwakandamiza raia wake. (A) Raia walipanga uasi. (B) Raia walijiandikisha kupoga kura. (A)
Mvulana alipotea ndani ya msitu. (A) Aliweka hema. (B) Alipiga kelele kwa ajili ya msaada. (B)
Mwanamke alisafiri nchi za nje. (A) Alitaka kujifunza jinsi ya kuchora. (B) Alitaka kujifunza kuhusu utamaduni mwengine. (B)
Mwanamme alikuwa na wivu na mfanyakazi mwenziwe. (A) Mfanyakazi mwenziwe alipandishwa cheo. (B) Mfanyakazi mwenziwe alifanya kazi hadi usiku mkubwa. (A)
Mwanamme alishudia viumbe kutoka sayari nyengine. (A) Alikuwa akiwazia mambo ya kufikirika. (B) Alikuwa akivuta tafakuri. (A)
Nywele za mwanamme ziligeuka rangi ya dhahabu. (A) Aliweka blichi ndani yake. (B) Aliweka shampuu ndani yake. (A)
Msanii alibuni kazi mpya. (A) Aliikosoa kazi yake iliyopita. (B) Alijicikia kupata motisha. (B)
Mtoto wa kiume alihama kutoka nyumbani. (A) Alikuwa amefunguzwa kutoka jeshini. (B) Alikuwa anakwenda chuo. (B)
Vitabu vilianguka kwenye kabati la vitabu. (A) Rafu zilikuwa zimefunikwa na vumbi. (B) Tetemeko la ardhi lilitikisa kabati la vitabu. (B)
Umeme ndani ya nyumba yangu umezima. (A) Niliwasha taa. (B) Nilirekebisha fyuzi. (B)
Tulibebwa na chombo kwenye hifadhi ya pumbao. (A) Chombo hili lilitisha. (B) Chombo hili lilifurahisha. (B)
Mfuko wa bisi ulianza kuchomoka. (A) Nilimimina siagi ndani ya mfuko. (B) Niliipasha moto ndani ya maikrowevu. (B)
Mti ulianguka katika waya wa umeme. (A) Umeme ulizima katika mtaa. (B) Utabiri ulitabiri upepo mkali. (A)
Msemaji alitoa maoni ya kisiasa yasiyo sahihi. (A) Aliwachosha hadhira. (B) Aliwaudhi hadhira. (B)
Nilijichoma mwenyewe kwa pini. (A) Matone ya jasho yalitiririka kutoka usoni mwangu. (B) Tone la damu lilichomoza kwenye kidole changu. (B)
Samaki allielea juu ya uso wa pipa. (A) Alikuwa na njaa. (B) Alikuwa amekufa. (B)
Sauti ya mwanamme kavu. (A) Amepata mafua. (B) Ameacha sigara. (A)
Mlango wa lifti ulifunguka. (A) Lifti ilifika kwenye sakafu iliyochaguliwa. (B) Lifti iliganda katikati ya sakafu. (A)
Kijana alijipenyeza ndani ya nyumba kifichoficho. (A) Aliwadanganya wazee wake. (B) Wazee wake walimzuia asitoke. (B)
Choo kilijaa maji. (A) Choo kilifurika sana. (B) Tanki ya kupashia maji moto iliharibika. (A)
Mbwa mdogo alikaa karibu na mmiliki wake. (A) Mmiliki alimuweka kidani mbwa mdogo. (B) Mmiliki alimuweka mbwa mdogo kwenye mnyororo. (B)
Mwanamme alipata mfanano wake. (A) Alisimama chini ya mti uliosambaa. (B) Alisimama katika ziwa lililotulia. (B)
Nimekosa simu ya rafiki yangu wa kike. (A) Nilimpigia tena yeye. (B) Nilionana nae kwa chakula cha usiku. (A)
Familia ilipekuwa kwenye mtaa. (A) Mbwa alikimbia nyumbani. (B) Vito ghali vilikuwa vimepotea nyumbani kwao. (A)
Niliona pumzi zangu nilipotoa pumzi. (A) Hali ya hewa ilikuwa ya kutulia. (B) Kifua kilihisi kubana. (A)
Waajiriwa waliunda shirikisho. (A) Walitaka mazingiza mazuri ya kufanya kazi. (B) Muajiri wao aliongeza mshahara. (A)
Nilioka pai ya tofaa. (A) Harufu ya uoza ilijaa jikono. (B) Harufu ya kupendeza ilijaa jikoni. (B)
Mwanamke alipata tabu kutembea. (A) Alivaa viatu vyenye visigino virefu. (B) Alivua viatu vyake. (A)
Mvuke ulitoka nje ya chngu cha maji. (A) Maji yalichemka. (B) Nilifunika chungu. (A)
Soksi zangu zote ziko kwenye ufuaji. (A) Nilivaa vilivyo wazi. (B) Nilivaa buti. (A)
Hoja ya mwanasiasa ilikuwa imefikiriwa kuwa ya kipumbavu. (A) Alipoteza msaada wa wapiga kura. (B) Alikuwa ameshutumiwa kwa rushwa. (A)
Kila mmoja alikataa kuchumbiana kwa wapenzi. (A) Wapenzi walipata ujauzito. (B) Wapenzi walikimbia. (B)
Jengo lilikuwa maalumu kwa milionea. (A) Milionea alitaka jengo libomolewe. (B) Milionea alichangia fedha kulijenga. (B)
Mshirika wa mauzo alimtuhumu msichana kwa kuiba. (A) Mshirika wa mauzo alimuona msichana akiweka bidhaa ndani ya pochi lake. (B) Mshirika wa mauzo alimsaidia msichana kutafuta pochi aliyoipenda. (A)
Nchi ilitangaza vita na maeneo jirani. (A) Wanajeshi walipelekwa kwa mapigano. (B) Wanajeshi waliungana tena na familia zao. (A)
Makahama iliunga mkono uamuzi huo wa utata. (A) Ghasia zilizuka mbele ya jumba la mahakama. (B) Wachumba walibadilishana viapo mbele ya jumba la mahakama. (A)
Msichana alinuka harufu ya kitu kinachoungua. (A) Alitoa biskuti nje ya chupa. (B) Aliacha biskuti ndani ya oveni. (B)
Mvua ilikuwa ikimiminika chini. (A) Dhoruba ilikuwa mbaya zaidi. (B) Nilikimbia kuingia ndani. (B)
Waliokuwa ndani ya hilo jumba walitolewa. (A) Lifti iliacha kufanya kazi. (B) Kengela ya moto ililia. (B)
Baba alichukia ulevi wa mtoto wake wa kiume. (A) Baba alimnunulia mtoto wake wa kiume bia. (B) Baba alimfukuza mtoto wake wa kiume nje ya nyumba. (B)
Wakili alipanda ngazi hadi kwenye ofisi yake. (A) Karani alikwenda nyumbani kwa mapumziko. (B) Lifti ilikuwa mbovu. (B)
Mwanamme amekuwa akisononeshwa na rafiki zake. (A) Rafiki zake walimkatisha yeye. (B) Rafiki zake walimnunulia chakula cha mchana. (A)
Msichana alimpa keshia pesa. (A) Keshia alimrudishia chenji yake. (B) Keshia alisahau kumpa msichana risiti. (A)
Mwanamke aliwekwa kwenye kiti cha magurudumu. (A) Alikuwa amepooza kutokana na ajali. (B) Aliingia hospitali ndani ya machela. (A)
Raia walinin'giniza bendera ya taifa nje ya nyumba zao. (A) Nchi ilikuwa ikikumbuka uhuru wao. (B) Nchi ilikuwa ikipitia tabu za kiuchumi. (A)
Timu ilishindwa kwenye mashindano. (A) Waliwasikitisha mashabiki wao. (B) Waliwasisimua mashabiki wao. (A)
Rafiki yangu alinionesha kuwa nilikuwa na chakula kimeganda kwenye meno. (A) Nilihisi kuaibika. (B) Nilijihisi fahari. (A)
Mvulana alifeli mtihani wake wa historia. (A) Alikuwa makini darasani. (B) Alisahau kusoma. (B)
Jengo la kati ya mji liliporomoka. (A) Tetemeko la ardhi lilipiga jiji. (B) Kiwango cha uhalifu katika jiji kiliongezeka. (A)
Rafiki wake wa kike ameachana na yeye. (A) Alimuomba yeye arudiane nae. (B) Alimtambulisha yeye kwa wazazi wake. (A)
Watoto wawili walifika chini kupiga mpira kwa wakati mmoja. (A) Mpira ulijibingirisha. (B) Vichwa vyao viligongana. (B)
Rakuni alifukua pipa la takataka. (A) Kulikuwa na kadibodi ndani ya pipa la takataka. (B) Mfuniko ulikuwa wazi kwenye pipa la takataka. (B)
Mvulana alichonga penseli. (A) Ilikuwa rahisi. (B) Ilikuwa butu. (B)
Mshika fedha alimkatalia mwanamke kumrudisha pesa kwa ajili ya nguo. (A) Alipoteza risiti yake. (B) Nguo haikumfaa. (A)
Mkwaruzo ndani ya ngozi yangu ulikuwa kubwa. (A) Ulipoa kwa haraka. (B) Uliacha kovu. (B)
Mwanamme alipata mtizamo wa ajabu kutoka kwa abiria ndani ya treni. (A) Alikuwa akiangaza chini. (B) Alikuwa akizunguza peke yake. (B)
Mtoto alibakisha makombo juu ya sakafu. (A) Sisimizi walitambaa kwyenye makombo. (B) Mtoto aliweka mkate mbali. (A)
Mwanamke alimkabidhi tishu dada yake. (A) Dada wa mwanamke alikunja mkono wake. (B) Dada wa mwanamke alianza kulia. (B)
Mwanamme alichukua nanaa. (A) Midomo yake ilikuwa mikavu. (B) Alikuwa na wasiwasi kuhusu harufu mbaya. (B)
Wanandoa waliondoka mapema kwa ajili ya onesho. (A) Walitarajia mkusanyiko kuzunguka ukumbi. (B) Walipata muongozo kuelekea ukumbini. (A)
Mwanamke alibakia nyumbani kutoka kazini. (A) Bosi wake alimpongeza yeye. (B) Mfanyakazi mwenzake alichukua nafasi kwa ajili yake. (B)
Mwanamme alisaini activists maombi ya mwanaharakati. (A) Aliwaunga mkono sababu yao. (B) Aliwakemea wao kama kichaa. (A)
Moyo wa muigizaji ulikuwa ukipapatika kabla ya uigizaji. (A) Alipata hofu ya jukwaa. (B) Alikariri mistari yake. (A)
Nilikuwa nimepotea. (A) Nilihesabu pesa zangu. (B) Sikukunjua ramani. (B)
Tunda bivu lilisalia kwenye jua. (A) Lilikuwa limeliwa. (B) Lilisinyaa. (B)
Gari iliharibika. (A) Niliwasha moto. (B) Injini ilipata moto sana. (B)
Mwanamme aliumia mgongo wake. (A) Alikwenda kumuona daktari wa magonjwa ya akili. (B) Alibakia kitandani kwa siku saba. (B)
Niliwasha moto ndani ya mahali pa kuotea moto. (A) Nilikuwa nimepungukiwa na kuni. (B) Ilikuwa baridi ndani ya nyumba. (B)
Mwanamke aliacha kukimbia. (A) Alipata kichomi ndani ya ubavu wake. (B) Alipata nguvu mpya. (A)
Niligonga kwenye mlango wa jirani yangu. (A) Jirani yangu alinikaribisha ndani. (B) Jirani yangu aliondoka nyumbani kwake. (A)
Mwanamke alishusha pumzi kwa mfadhaiko. (A) Mume wake hakuelewa wasiwasi wake. (B) Mume wake alimuaga kwa mabusu. (A)
Mwalimu aliwasifu wanafunzi. (A) Wanafunzi walijibu suali kwa usahihi. (B) Wanafunzi walisita kujibu suali. (A)
Mwanamke amepungukia na mayai. (A) Alikwenda shambani. (B) Alikwenda supamaketi. (B)
Nilikutana na rafiki wa zamani. (A) Nilifichua siri kwake. (B) Nilimkumbatia yeye. (B)
Mwanamke alikataa kwenda ndani ya ziwa. (A) Alikamata samaki. (B) Lilionekana lenye uchafu. (B)
Mwnafunzi waliwasili darasani wamelowana chepechepe. (A) Mwevuli wake ulikua umevunjika. (B) Baiskeli yake ilikuwa imeibiwa. (A)
Kasa kwenye kioo cha kompyuta alisogea. (A) Mtumiaji alibonyeza kasa. (B) Mtumiaji alimhamisha kasa. (B)
Dereva alichukua njia ya mzunguko. (A) Ajali ilitokea kwenye barabara kuu. (B) Alifuata gari ya mizigo mbele yake. (A)
Nilining'iniza lineni yenye maji maji kwenye kamba ya nje. (A) Lasi ilikauka. (B) Lasi iliingia madowa. (A)
Mwanamke alivaa miwani ya kiza. (A) Muangaza wa jua ulilikuwa mkali. (B) Alivua kofia. (A)
Mwanamme alikazia macho anga la usiku. (A) Alitamani iwe ni kiangazi. (B) Alifikiria ilikuwa nzuri. (B)
Nilijihisi kuchoka. (A) Nilikwenda kulala mapema. (B) Nilikaa macho usiku kucha. (A)
Mwanamme alikwenda kwa kinyozi. (A) Alikuwa akikuzikuza nywele zake. (B) Nywele zake zilikuwa refu. (B)
Mvulana alimtania vibaya mwanafunzi mpya darasani. (A) Mvulana alimkaribisha mwanafunzi mpya. (B) Mvulana hakumpenda mwanafunzi mpya. (B)
Nilitamani gilasi ya maziwa. (A) Nilikuwa nikila biskuti. (B) Nilikuwa nikioka mkate. (A)
Mvua ilianza kunyesha. (A) Dereva aliwasha taa za vin'gora. (B) Dereva aliibadilisha gari kwa kurudi nyuma. (A)
Maengesho mengi kwenye majengo yalikuwa matupu. (A) Niliegesha katikati ya mtaa. (B) Niliegesha karibu na mlango. (B)
Mwandishi alikosa tarehe ya mwisho ya kuwasilisha mswada. (A) Alipewa zuio la mwandishi. (B) Alihariri mswada. (A)
Mshirika alinikatia simu. (A) Nilitaka kuzungumza na msimamizi. (B) Nilijipatia nambari ya kitambulisho. (A)
Upepo ulivuma kupitia dirisha lililo wazi. (A) Kengele ya mlango iligongwa. (B) Mapazia yalitikisika. (B)
Umeme umezima kwenye nyumba yangu. (A) Nilichomoa taa. (B) Nilizma fyuzi. (B)
Mwanariadha wa kuinua vyomba vya uzito alikoroma. (A) Alionyesha misuli yake mbele ya kioo. (B) Aliinua chuma juu ya kichwa chake. (B)
Mwanafunzi alijaribu kufanya hesabu kichwani mwake. (A) Aliacha kikokotoo. (B) Alichanganyikiwa. (B)
Mtoto alichululiwa na usingizi. (A) Baba alibadilisha nepi ya mtoto. (B) Baba taratibu alimtikisa mtoto. (B)
Msichana alitupa puto lenye maji kwa mvulana. (A) Mvulana alipata mtikiso. (B) Mvulana aliroa. (B)
Mpiga picha alisahau kutumia flashi kwenye kamera. (A) Picha uziligeuka kuwa na ukungu. (B) Kila mmoja kwenye picha alikataa kutabasamu. (A)
Nilikataa mualiko wa siku ya kuzaliwa. (A) Nilikuwa mpweke. (B) Nilikuwa nje ya mji. (B)
Nilifanya mazoezi. (A) Nilijihisi mwenye nguvu. (B) Nilikuwa na hofu. (A)
Nilikamua spongi tepetepe. (A) Lilirowana maji. (B) Maji yalitiririka nje yake. (B)
Watalii walipanda kivuko kwenda sehemu ya kupumzikia. (A) Sehemu ya kupumzikia ilikuwa imewekwa mapema. (B) Sehemu ya kupumzikia ilikuwa kwenye kisiwa. (B)
Kijana ana tojo. (A) Aliogopa sindano. (B) Alitaka kuasi. (B)
Gari nisiyoijua iliegesha nje ya nyumba yangu. (A) Nilikuwa na wasiwasi. (B) Nilipigia simu askari. (A)
Muhalifu alijisalimisha mwenyewe ndani. (A) Ushahidi ulimhusisha yeye. (B) Hakukuwa na ushahidi dhidi yake. (A)
Mwanamme mnene aliamua kupungua uzito. (A) Aliacha vyakula ya peremende. (B) Alijiepusha na kafini. (A)
Msichana alikanyaga barafu. (A) Aliteleza. (B) Alitetemeka. (A)
Mwanamke ana mviringo chini ya jicho lake. (A) Alibakia macho usiku kucha. (B) Alimpeleka mtoto wake wa kiume kulala. (A)
Lava ilitiririka kutoka kwenye volcano. (A) Volkano ililiripuka. (B) Volkano ilikuwa imetulia. (A)
Mwanamke alivaa viatu vyake. (A) Alijua kila mmoja kwenye sherehe. (B) Alitaka kuondoka shereheni. (B)
Nilimlipa mtumishi wa gerezani. (A) Alinipa ruhusa kupita kuelekea gerezani. (B) Alinizuia kwenye gereza. (A)
Mtendaji alifilisika. (A) Aliuza hisa za kampuni . (B) Alipoteza mali zake. (B)
Mwanamme alikwenda kwa daktari. (A) Daktari alikuwa likizo. (B) Mwanamme alikuwa anaumwa. (B)
Nilitoka chumba changu cha kulala kwa kupitia dirishani. (A) Nyumba iliingia moto. (B) Nyumba ilikuwa tupu. (A)
Vidole vya mvulana vilipata mikunjo. (A) Alioga kwa muda mrefu. (B) Alipaka sabuni kwenye vidole vyake. (A)
Niliyatema maziwa. (A) Maziwa yalikuwa na ladha ya ukali. (B) Mdomo wangu ulikuwa mkavu. (A)
Nilikosa basi. (A) Nilikuwa nimewahi kazini. (B) Nilikuwa nachelewa kazini. (B)
Gari ya mizigo liligongana na gari. (A) Gari la mizigo liliongeza mwendo. (B) Gari lilipondekapondeka. (B)
Timu ilidanganya mashindano kwa mapendeleo yao. (A) Walishinda. (B) Walijitoa. (A)
Chupa ya soda litoa sauti. (A) Niliigeuza juu chupa. (B) Nilikipinda kifuniko. (B)
Mvulana alikuwa amefungiwa nje ya nyumba yake. (A) Alitambaa ndani kupitia dirisha lililo wazi. (B) Alipanda juu ya paa. (A)
Kengele ya mlango ililia. (A) Mgeni alibisha mlango. (B) Mwanamke aliangalia kupitia tundu ya funguo kwenye mlango. (B)
Mwanamme alichafua suti yake. (A) Alizipata kufuliwa kwa dobi. (B) Aliining'iniza kwenye kabati lake. (A)
Msichana alibinya tyubu ya dawa ya meno. (A) Dawa ya meno ilichuruzika kutoka kwenye tyubu. (B) Msichana aliitema dawa ya meno. (A)
Vifo vya raia kutoka kwenye vita yaliongezeka maradufu. (A) Wapinga vita waliandamana. (B) Wapinga vita walifanya gwaride. (A)
Msichana alivuta kwa haraka utepe kutoka kwenye nywele zake. (A) Alifunga utepe. (B) Utepe ulionekana wa kitoto. (B)
Mwanamme alipata upasuaji wa maumbile. (A) Alizeeka. (B) Alionekana kijana. (B)
Mtoto wa kuku alijitokeza kutoka kwenye yai. (A) Yai lilianguliwa. (B) Nililivunja yai. (A)
Mfungwa alikaa na njaa. (A) Alikufa. (B) Alikimbia. (A)
Mwanamme alipoteza balanzi juu ya ngazi. (A) Alipanda ngazi. (B) Alianguka chini ya ngazi. (B)
Alipiga mbweu. (A) Alibugia soda. (B) Alifungua kopo la soda. (A)
Upepo wenye baridi uliingililia dirishani. (A) Nilitulia. (B) Nilitetemeka. (B)
Mwanafunzi alipata nafasi ya kulipiwa masomo kwenda chuoni. (A) Wanafunzi wenzake darasani walimuheshimu. (B) Alipata matokeo mazuri. (B)
Msichana alimtania mvulana. (A) Aliishi karibu naye. (B) Alikua na hisia za mapenzi kwake. (B)
Bedui mwenye njaa aliiba chakula. (A) Alichochea huruma. (B) Hakuwa na pesa. (B)
Nilimpigia rafiki yangu kwa maongezi. (A) Nilitaka faragha. (B) Nilijihisi mpweke. (B)
Mwanamme alinyoosha mkono wake kwangu. (A) Nilitikisa mkono wake. (B) Nilimpiga kibao. (A)
Niliepuka. (A) Fataki zilirushwa angani. (B) Kisahani kilipaa kikielekea kichwana mwangu. (B)
Msichana alitafuna kucha zake. (A) Alikuwa na wasiwasi. (B) Alikuwa na mshangao. (A)
Niligeuza hurasa juu ya kalenda. (A) Niliweka alama kwenye miadi kwenye kalenda. (B) Ilikuwa mwanzo wa mwezi. (B)
Bwana aligundua kwamba mkewe alikua na uhusiano wa kando. (A) Alimfuta kazi wakili wake. (B) Alianzisha mchakato wa talaka. (B)
Msichana aliangusha mpira. (A) Mpira ulidunda. (B) Mpira uling'ara. (A)
Msichana alifanya makosa kwenye mtihani. (A) Alibahatisha jawabu. (B) Alifuta jawabu lake. (B)
Mchezaji alikabiliana na mpinzani wake. (A) Mpinzani wake aliupata mpira. (B) Mpinzani wake alianguka chini. (B)
Nilichuma nyanya kutoka shambani. (A) Zilikuwa mbivu. (B) Nilizimwagilia maji. (A)
Mwanaume alitaka kuonyesha mapenzi. (A) Alikutana na mpenzi wake wa awali kwa chakula cha mchana. (B) Alimnunulia mpenziwe chokoleti. (B)
Zebaki ndani ya kipima joto ilipanda. (A) Niliangusha kipimajoto. (B) Hali ya hewa ilkuwa ya joto sana. (B)
Kimbunga kilikuja kuelekea mjini. (A) Paa la mahakama lilipeperuka. (B) Njia kuu iilikuwa ya hatari. (A)
Wanafunzi walipata twisheni. (A) Alama zake ziliboresheka. (B) Alidanganya kwenye mtihani. (A)
Nilihisi raha. (A) Nilipiga magoti barabarani. (B) Nilijifunika na blanketi. (B)
Nililingarisha jiwe. (A) Ilikuwa inateleza. (B) Lilikuwa linang'ara. (B)
Niliingiza sukari kwenye kahawa. (A) Kahawa ilinukia uchungu. (B) Kahawa ilikuwa na ladha ya utamu. (B)
Mwanaume aliyapitia makaratasi. (A) Alikatwa na karatasi. (B) Aliyakatakata makaratasi. (A)
Niligonga msumari kwa nyundo. (A) Msumari ulizama kwenye ubao. (B) Msumari imeota kutu. (A)
Samaki alidonoa mshipi. (A) Mvuvi alimvuta samaki kwa mshipi. (B) Mvuvi alitupa tena mshipi majini. (A)
Kijana aliona aibu kuenda shuleni. (A) Alikua na uvimbe. (B) Alizitoa gango zake. (A)
Muonekano wangu wa uso uliwaka. (A) Nilipokea habari njema. (B) Nilipoteza uvumilivu wangu. (A)
Nilifuta mikono yangu kwa taulo. (A) Taulo ilikuwa na majimaji. (B) Mikono yangu ilikuwa na majimaji. (B)
Mwanamme alikosa balanzi juu ya stuli. (A) Stuli ilimyumbisha yeye chini. (B) Alimwaga rangi kwenye kistuli. (A)
Wachezaji walilaumiana wao kwa wao moja kwa moja. (A) Walishindwa mchezo wao. (B) Kocha wao alighairisha mazoezi. (A)
Nilitaka msamaha. (A) Nilijutia maamuzi yangu. (B) Nilitimiza malengo yangu. (A)
Mwanamke alichoswa na miadi yake. (A) Alimuuliza masuali kuhusiana na yeye mwenyewe. (B) Alizungumza mfululizo kuhusu yeye mwenyewe. (B)
Msichana aliwaka kwa tabasamu. (A) Mashavu yake yalifanya wekundu. (B) Vibonyeo vyake vilijionesha. (B)
Meli ya maadui iliripuka. (A) Ilipita juu ya yangu. (B) Ilitia nanga kwenye bandari. (A)
Mwanamme aliumia mguu wake. (A) Alitebea ndani ya dimbwi. (B) Alikanyaga gilasi iliyevunjika. (B)
Wapelelezi waliondoa vumbi sehemu ya uhalifu kwa kutumia vidole. (A) Waligundua utambulisho wa muuwaji. (B) Waliona silaha katika eneo la uhalifu. (A)
Kulikuwa na trafiki wingi katika barabara kuu. (A) Nilipita njia ya mkato. (B) Niliulizia njia ya baskeli. (A)
Uchumi wa nchi ulishuka. (A) Watu wingi waliumwa. (B) Watu wingi walikosa ajira. (B)
Mkatishaji wa barabara alipuliza firimbi kwa watoto. (A) Walikuwa wanataka kwenda waliko trafiki wanaokuja. (B) Aliwatambua kutokana na ujirani wake. (A)
Niligeuza macho yangu kwa rafiki yangu. (A) Aliniambia ukweli. (B) Alitoa maelezo ya dhihaka. (B)
Gari ilitembea bila gesi. (A) Dereva alipigwa barabarani. (B) Dereva aliwachukua wapiganaji. (A)
Mwanamke alikwenda katika chumba cha kujifungua. (A) Mtoto alizaliwa. (B) Mwanamke alikuwa na maumivu ya asubuhi. (A)
Kofia ya mwanamme ilipepeuka. (A) Alivua kofia. (B) Kulikuwa na upepo nje. (B)
Msichana alihudhuria katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya mwanafunzi mwenzake. (A) Alipokea mwaliko. (B) Alinunua zawadi. (A)
Kijana alihisi joto katika paji la uso. (A) Mama yake alimuangalia joto lake. (B) Mama yake alimpeleka bustanini. (A)
Mwanamme alijipulizia rangi. (A) Alitaka kupiga picha tarehe yake. (B) Alitia mafuta nywele zake. (A)
Umeme ulizimwa ndani ya nyumba. (A) Nilitafuta tochi. (B) Niliokota koleo. (A)
Familia ilihamia katika nyumba kubwa. (A) Kijana alihitimu sekondari ya juu. (B) Mama alijifungua mapacha. (B)
Mpigajimbio alitumia mwendo mdogomdogo. (A) Alitaka kuhifadhi nguvu zake. (B) Aliona mstari wa mwisho. (A)
Mvulana aligonga mashine ya kuuza. (A) Mashine ilitema chenji yake. (B) Mfuko wa vibanzi ulikuwa umekwama. (B)
Mbwa wa rafiki yangu alikufa. (A) Niligeuza macho yangu kwake. (B) Nilimkumbatia. (B)
Kadi ya mkopo ya mfanyabiashara ilishuka. (A) Aliandika IOU. (B) Alilipa fedha taslimu. (B)
Yule mwanaume alilaani. (A) Alijikata kucha. (B) Aligongwa kwenye kidole chake. (B)
Mwanamme alijidai kwa sababu ya kaka yake. (A) Kaka yake alipatiwa hoja na wazazi wao. (B) Kaka yake alikubaliwa katika skuli ya sheria. (B)
Msichana alitaka kujifunza kuhusu nguvu za jua. (A) Alikwenda maktaba. (B) Aliangalia nyota. (A)
Bango lilikwama katika ukuta. (A) Nililiweka bango juu ya mlango. (B) Niliweka utepe nyoma ya bangu. (B)
Mteja aliidhinisha mipango ya mbunifu wa majengi kwa ajili ya jengo. (A) Mbunifu wa majengo alitengeneza jengo. (B) Mbunifu wa majengo alirekebisha mipango. (A)
Mwanamme aliangusha kijiko chake. (A) Mkono wake ulikuwa unatikisika. (B) Aliramba kijiko. (A)
CEO wa kampuni alijiuzulu. (A) Bodi ya wakurugenzi waliifuta kampuni. (B) Bodi ya wakurugenzi walitafuta mbadala wake. (B)
Nilichelewa kufika katika muhadhara. (A) Nilikaa katika mstari wa nyuma. (B) Nilisogelea Podium. (A)
Mwanamme aliruhusiwa kutoka jela. (A) Hamilia yake walilipia dhamada yake. (B) Aliwashambulia wafungwa wenzake. (A)
Familia ilipoteza mali zao zote. (A) Waliuza nyumba yao. (B) Nyumba yao iliungua. (B)
Nilipigwa katika kopo la alumini. (A) Kopo lilikuwa linatengenezwa upya. (B) Kopo liligongwa. (B)
Msichana alijiunga na timu ya mjadala. (A) Alijifunza kutumia kompyuta. (B) Alijifunza ujuzi wa mazungumzo. (B)
Hisia zangu ziliimarika. (A) Nilisikiliza mziki. (B) Nilifanya masufuria. (A)
Shirika la hisani lilifanya lengo la kuchanga pesa. (A) Waliwalisha wasio na makazi. (B) Walikuwa na mnada. (B)
Rola kosta ilitumbukia chini kushuka mwinuko. (A) Abiria walicheka cheka. (B) Abiria walipiga makelele. (B)
Nilikuwa na hasira. (A) Niliangalia sanduku la barua wakati wa kutoka katika nyumba. (B) Nilijigonga mlango wakati wa kutoka katika nyumba. (B)
Mwanamme alitaka kuangalia kuchomoza kwa jua. (A) Alisafiri kaskazini. (B) Aliamka mapema. (B)
Alikunja karatasi. (A) Nilitengeneza upya karatasi. (B) Karatasi ilichanika. (B)
Nchi ilikumbwa na maafa ya asili. (A) Viongozi wa nchi nyengine waliunda muungano. (B) Viongozi wa nchi nyengine walipeleka misaada ya dharura. (B)
Nguo ya kijana iliroa. (A) Alipanda juu ya bwawa. (B) Alianguka ndani ya bwawa. (B)
Mwanafunzi alifanya haraka kumaliza kitabu. (A) Ilikuwa ni kwa sababu ya kutaka kurejeshwa maktaba. (B) Alikiazima kutoka kwa rafiki yake. (A)
Muhalifu aliuwawa. (A) Alipelekwa jela. (B) Alihukumiwa kifo. (B)
Mwangaza wa jua uliingia chumbani. (A) Nilifungua pazia. (B) Nilifungua mlango. (A)
Nilizivuta nywele za mbabaishaji. (A) Nywele zake bandia zilidondoka. (B) Alinyoa kipara. (A)
Mhariri alirejea sentensi katika muswada. (A) Aligundua muswada unalazimisha. (B) Aliona sentensi ina utata. (B)
Mwanamke alifutisha akaunti yake ya kadi ya mkopo. (A) Aligundua kadi haipo. (B) Aligundua muda wa kadi umekamilika. (A)
Mwanamme na mwanamke walipendana. (A) Walihudhuria chuoni. (B) Walifunga ndoa. (B)
Muziki ulikuwa dhaifu sana kusikia. (A) Niliongeza sauti. (B) Nilitunga wimbo wangu mwenyewe. (A)
Nywele zake mvulana zilikuwa zimesimama. (A) Msichana alizishikashika zile nywele. (B) Msichana alizivuruta zile nywele. (A)
Mdudu alifinywa. (A) Nilijifukiza na dawa ya kufukuza wadudu. (B) Nilikanyaga yule mdudu. (B)
Nilifungua macho yangu. (A) Niliamka. (B) Nilipumzika. (A)
Mziki wa jirani yangu ulilia. (A) Nilimuomba apunguze sauti. (B) Nilimuomba aniazime CD. (A)
Familia ya mwanamme waliishi maisha ya umasikini. (A) Alichekeshwa na kipato chake. (B) Alipata mshahara chini ya kiwango cha chini kabisa. (B)
Mwanafunzi alihitimu chuo kikuu. (A) Alitafuta kazi. (B) Alifanya kile anachokipenda. (A)
Msanii alichanganya rangi ya njano katika rangi ya buluu. (A) Rangi ilienea sehemu zote. (B) Rangi iligeuka kuwa kijani. (B)
Nilibadilisha mada ya mazungumzo. (A) Niliishiwa na mambo ya kuongea. (B) Mazungumzo yakawa magumu. (B)
Kaka yangu aliruhusiwa kutoka hospitali. (A) Nilimkaribisha tena nyumbani. (B) Nilimkataa. (A)
Pazia katika jukwaa lilikwenda juu. (A) Onesho la ufunguzi wa tamthilia lilianza. (B) Waigizaji wa tamthilia walilichangamsha jukwaa. (A)
Teka alipelekwa katika mamlaka ya watekaji. (A) Mtekaji alitishia kumuumiza teka. (B) Mtekaji alimuacha teka mwenyewe. (A)
Mlio ulilia katika jukwaa. (A) Mwanamuziki alipiga mguu wake. (B) Mwanamuziki alipiga ngoma mfululizo. (B)
Wazazi walikimbilia chumbani kwa mtoto wao. (A) Mtoto aliamka na kupiga makelele kutokana na jinamizi. (B) Mtoto alikuwa anaogopa kushuka kitandani. (A)
Wmwanamke aliwasiliana kwa lugha ya alama. (A) Alizaliwa kabla ya wakati. (B) Alizaliwa kiziwi. (B)
Ukame ulitokezea katika mkoa. (A) Maji yalichafuka. (B) Mazao yalipotea. (B)
Paka alimkimbiza ndege. (A) Ndege aliruka. (B) Ndege alikamata mafunza. (A)
Msichana alibadilisha skuli. (A) Skuli ilifungwa kwa kiangazi. (B) Alihamia mji mpya. (B)
Mmiliki wa kiwanda alikataa kuongeza mshahara wa waajiriwa. (A) Mmiliki aliteua meneja mpya. (B) Waajiriwa walieka mgomo. (B)
Kiongozi aliwachokoza wenye nguvu miongini mwa nchi yake. (A) Wenye nguvu walimshawishi yeye. (B) Wenye nguvu walimuua yeye. (B)
Nilitembea pekupeku ufukweni. (A) Mchanga uliganda miguuni mwangu. (B) Mawimbi yalipiga pembeni mwa bahari. (A)
Niliamka usiku wa manane nikihisi baridi. (A) Nilivaa suruali nyepesi. (B) Nilikunywa bilauri ya maji. (A)
Mama alimnyamazisha mtoto wake wa kiume. (A) Mtoto wake alitabasamu. (B) Mtoto wake alilalamika. (B)
Tobo lilizuka katika jinzi yangu. (A) Nilifunga zipu jinzi yangu. (B) Nilisakama katika njia ya wapitao kwa miguu. (B)
Mvulana alivaa gango. (A) Alipata kijishimo kwenye meno. (B) Meno yake yakawa sawa. (B)
Jana nilifanya bidii katika mazoezi. (A) Leo niliamka na maumivu ya misuli. (B) Leo niliamka na maumivu ya koo. (A)
Msichana alinong'ona na kuenea kwa kila mtu katika meza ya chakula cha mchana. (A) Wanafunzi wengine walikaa kitako katika meza ya chakula cha mchana. (B) Wanafunzi wengine katika meza ya chakula walijisikia kuondoka. (B)
Mtoto alishuka hadi kwenye trampolini. (A) Aliruka kurudi angani. (B) Aliamua kujaribu kupinduka hewani. (A)
Nilituma barua katika sanduku la barua. (A) Ofisi ya posta ilipokea barua. (B) Ofisi ya posta iliiharakisha barua. (A)
Mcheza kamari alikuwa anajiamini. (A) Aliweka dau pesa zake zote. (B) Alikwenda nyumbani amefilisika. (A)
Moto wa msitu ulienea. (A) Upepo ulikuwa mwingi. (B) Wachomaji walichukuliwa. (A)
Mtoto alibambua ngozi nyayo yake. (A) Mama yake alimpeleka chumbani mwake. (B) Mama yake aliweka bendeji juu ya kidonda. (B)
Mwanamme alinusurika mauti ya ugonjwa. (A) Alitia saini wasia (ridhaa) wake. (B) Alipokea uhamisho wa kiungo. (B)
Nilipiga chubuo ya kahawa moto. (A) Nilipiga ulimi wangu. (B) Niliunguza ulimi wangu. (B)
Mhariri alimfukuza kazi mwandishi. (A) Mwandishi aliepuka upendeleo katika stori zake. (B) Mwandishi alikosa tarehe ya mwisho. (B)
Nilijihisi nimechoka. (A) Nililala siku nzima. (B) Nilisoma siku nzima. (B)
Daktari alimtambua mgonjwa. (A) Alibaini dalili za mgonjwa. (B) Aliandika vidonge kwa mgonjwa. (A)
Nilikwaruza ngozi yangu. (A) Ilikuwa natoka jasho. (B) Ilikuwa inawasha. (B)
Mwanamme alifanya upasuaji wa dharura. (A) Alipoteza hasira zake. (B) Alisumbuliwa na mapigo ya moyo. (B)
Misuli ya mikono ya mwanamme ilituna. (A) Alipindisha mikono yake. (B) Alisukuma mikono yake. (A)
Mwanamme aliinua nyusi zake. (A) Alikuwa anashangaa. (B) Alijisikia kuvunjika moyo. (A)
Nilisamehe kosa la menzangu. (A) Niliamini nia yake ilikuwa nzuri. (B) Niliamini kuwa alitambua bora. (A)
Mwanamme aliacha kuvuta sigaraa. (A) Alianza kufanya mazoezi zaidi. (B) Alianza kutembea kwa miguu mapema. (A)
Mwanamke alimpiga mshambulizi wake puani. (A) Mwili wa mshambulizi wake ulikufa. (B) Mshambulizi alianza kuvuja damu. (B)
Mshale ulikosa lengo. (A) Mwanaume alilenga vibaya. (B) Mwanaume alikuwa akishindwa mchezoni. (A)
Mmiliki wa nyumba aliadai kuwa muangamizaji anakuja katika nyumba yake. (A) Aligundua panya chini ya nyumba. (B) Alieka boksi la mchwa katika chumba chake. (A)
Nilipendekeza kwa mgeni wangu kuwa tunatoka kwa ajili ya chakula cha usiku. (A) Nilikuwa nimechoka sana kuandaa chochote. (B) Mgeni wangu alikaa sana. (A)
Msichana alimkamata kaka yake anasoma shajara yake. (A) Alianza kuficha shajara yake. (B) Alipata shajara mpya. (A)
Mwanamke alipungukiwa na pesa kwa ajili ya kukodi. (A) Alifanya kazi muda wa ziada. (B) Aliacha kazi. (A)
Mkono wa mtoto ulirejeshwa ghafla. (A) Aligusa jiko moto. (B) Aligusa kichwa cha mtoto wa mbwa. (A)
Kampuni ilitaka kupima kuridhika kwa wateja. (A) Walitoa ofa ya punguzo kwa wateja wapya. (B) Walifanya utafiti kwa wateja. (B)
Sakafu ya mbao ilipasuka. (A) Kijana alirusha mito wa kochi. (B) Kijana alikokota kiti katika sakafu. (B)
Nilikinga uso wangu. (A) Adui yangu alinilaumu mimi. (B) Adui yangu alifunga ngumi. (B)
Sanamu maarufu liliungua. (A) Lilikuwa limepigwa na mwangaza. (B) Watu walikuja kiliekea heshima. (A)
Niliondoa tunda juu ya meza. (A) Tunda lilitoa mbegu. (B) Nzi walilizunguka tunda. (B)
Mcheza bale wa kike aligawika nyuzi. (A) Alionesha vidole vyake vya miguu. (B) Alitikisa kifundo chake cha mguu. (B)
Kamba ya kiatu ya mtoto ilifunguliwa. (A) Alijifunza jinsi ya kuifunga. (B) Alikwenda mbio katika uwanja wa michezo. (B)
Nilivutiwa na kitabu. (A) Nilikirejesha kitabu. (B) Nilipoteza muda mwingi. (B)
Mwanaume alikuwa na imani sawa na za wazazi wake. (A) Wazazi wake walimshawishi. (B) Wazazi wake walimkana. (A)
Gari ilianza kusimama polepole. (A) Iliishiwa na gesi. (B) Dereva alichuliwa na usingizi. (A)
Mwanamme alikula aiskrimu kwenye jua. (A) Aiskrimu ilipoteza ladha yake. (B) Aiskrimu ilidondoka kutoka katika koni. (B)
Nilining'iniza mchoro chumbani. (A) Kapeti lilionekana chafu. (B) Kuta zilionekana tupu. (B)
Niliacha kazi mapema. (A) Nilikuwa naumwa na kichwa. (B) Bosi wangu aliendesha mkutano. (A)
Mtoto wa mbwa alichafua zulia. (A) Mwenyewe alimkemea yule mtoto wa mbwa. (B) Mwenyewe alimpa zawadi yule mtoto wa mbwa. (A)
Niliomba radhi kwa rafiki yangu. (A) Rafiki yangu alinisamehe. (B) Rafiki yangu alikuwa na hasira. (A)
Mwanaume alitofautika na umati. (A) Alibeba mfuko wa begani. (B) Alivaa fulana ya neon. (B)
Shahidi aliongopea katika kiapo. (A) Alikamilisha ushuhuda wake. (B) Alilipishwa kwa uwongo. (B)
Mwanamke alitia rangi nywele zake. (A) Alitaka aonekane mpya. (B) Alitaka kuzichanganya. (A)
Wahamiaji walikamatwa wakikaa nchini kinyume na sheria. (A) Walipata ajira. (B) Waliondolewa kutoka nchi. (B)
Mzungumzaji wa hadhara alifanya mzaha. (A) Hadhira ililia. (B) Hadhira ilisimama. (A)
Niliangalia jua. (A) Jua lilinipofua. (B) Jua lililainisha ngozi yangu. (A)
Nilijihisi mchovu. (A) Nilivuta pumzi kwanguvu kupitia pua. (B) Nilienda myayo. (B)
Nyama ilikuwa ngumu kukata. (A) Kisu kilikuwa hakipati. (B) Nyama ilikuwa mbichi. (A)
Mwanamke alitangaza kufilisika. (A) Alipokea malipo ya masurufu. (B) Alipewa deni kubwa. (B)
Taa katika ghorofa ya rafiki yangu ilikuwa imewashwa. (A) Nilishangaa kama alikuwa nje. (B) Niliamua kumtembelea. (B)
Nilieka ua chini ya pua yangu. (A) Petali zilitoa ua. (B) Nilichuma harufu ya au. (B)
Mwanamke alichukuliwa na fikra zenye hisia nzuri. (A) Alipatana na rafiki yake wa utotoni. (B) Aliwapigia kelele watoto wake. (A)
Mwanafunzi alikhairisha karatasi. (A) Alipeleka karatasi mapema. (B) Alipeleka karatasi haijatimia. (B)
Gari yangu ilivunjika. (A) Nilikwenda madukani. (B) Nilimwita fundi. (B)
Nilizikataa matini. (A) Ilikuwa hazijulikani. (B) Ilikuwa hazisomeki. (B)
Ndege alipiga mabawa yake. (A) Alizaa mayai. (B) Alipaa juu. (B)
Niliegesha katika njia ndogo ya kwenda gereji. (A) Gereji ilikuwa wazi. (B) Gereji ilikuwa imejaa. (B)
Muhalifu alikusudia kumpiga bunduki muathirika. (A) Muhalifu aliweka bunduki chini. (B) Muhalifu alinyanyua juu mkono wake. (B)
Nilikuwa naisubiria mwisho wa wikiendi. (A) Nilipanga kuhudhuria mazishi ya mjomba wangu. (B) Nilipanga kuhudhuria katika harusi ya rafiki yangu. (B)
Nilipoteza muda mwingi. (A) Nilikuwa na msururu wa mawazo mazuri. (B) Nilikuwa na kichefuchefu. (A)
Nakala ilichapwa kwa hati zisizosomeka. (A) Printa ilikuwa na wino kidogo. (B) Printa ilikuwa haichukui karatasi. (A)
Wimbo wa taifa ulichezwa kwenye uwanja wa michezo. (A) Mashabili waligeukia bendera. (B) Mashabiki walikimbia kuelekea uwanjani. (A)
Mchuzi ulikosa ladha. (A) Niliushughulikia. (B) Niliutia chumvi. (B)
Nililiweka taulo katika mwanga. (A) Taulo ilifyonza kimiminika. (B) Mwanga ulibakisha mnato. (A)
Mwanamke aliingiliwa kati katikati ya kusoma kitabu chake. (A) Aliweka alama katika karatasi. (B) Alisoma tena kitabu. (A)
Ndege ilipata mtikisiko. (A) Mwanamme alikaza ukanda wake wa kiti. (B) Mwanamme aliangalia nje ya dirisha. (A)
Kijana alishtuka. (A) Msichana alimpuuza. (B) Msichana alimguza na kidole. (B)
Madaktari walimpa mgonjwa mguu wa bandia. (A) Walitoa mguu wake. (B) Walisimamia viungo vyake muhimu. (A)
Kijana alimfinya msichana kifundo cha mkono. (A) Alifanya juhudi kumsogezea bega lake. (B) Aliupapatua mkono wake utokane naye. (B)
Nilimuomba rafiki yangu ushauri. (A) Nilithamini maoni yake. (B) Nilitambua nilikuwa sahihi. (A)
Kijana alikanyaga katika tope. (A) Tope ziliganda katika viatu vyake. (B) Tope zilimpiga usoni. (A)
Mji ulipata inchi kadhaa za theluji. (A) Mashule yalifungwa. (B) Watu walijificha chini ya ardhi. (A)
Zamu za muajiriwa ilimaliza. (A) Alikwenda nyumbani kwa siku moja. (B) Alitishia kuacha kazi. (A)
Mti uliharibu nyumba. (A) Mti ulianguka katika paa. (B) Mti uliweka kivuli uani. (A)
Ukuni ulipasuka katikati. (A) Niliongeza ukuni kwenye moto. (B) Niliteremsha shoka ili kuulenga ukuni. (B)
Familia iliwapongeza wanandoa. (A) Wanandoa walitangaza kuwa wametengana. (B) Wanandoa walitangaza kuwa wamepata mtoto. (B)
Msichana alimpelekea kijana kadi. (A) Alimpenda yeye. (B) Alim'busu. (A)
Nilitikisa kichwa kukubaliana na kauli ya rafiki yangu. (A) Nilichanganyikiwa. (B) Nilikubaliana naye. (B)
Marafiki walizungusha sarafu. (A) Walitaka kutafuta mwafaka. (B) Walitaka kufanya maamuzi ya haki. (B)
Alama ya saa ilizima jikoni. (A) Mwanamme alipakua mboga katika jokofu. (B) Mwanamme alitoa piza katika jiko. (B)
Mwanamke aliweka malengo yake aliyoyataka. (A) Hakuyafikia. (B) Alifanya kazi kwa juhudi. (B)
Mwanamme tajiri alifariki akiwa na mkongwe. (A) Mtoto wake wa kiume alipata matatizo ya kisheria. (B) Mtoto wake wa kiume alirithi utajiri wake. (B)
Mwanamke alikanyaga juu ya moto. (A) Moto ulizima. (B) Moshi ulitoka katika moto. (A)
Gari ya mwanamke ilikuwa katika sehemu ya matengenezo. (A) Leseni ya dereva ilikuwa imemaliza muda. (B) Alipata ajali ya gari. (B)
Nililala nikavuka kengele yangu ya saa. (A) Nilitayarisha chakula cha asubuhi. (B) Nilikosa chakula cha asubuhi. (B)
Mwandishi wa habari alitoka nje ya gari la kifahari. (A) Kamera iliangaza katika upande wake. (B) Familia yake ilihudhuria katika mkutano wa waandishi wa habari. (A)
Mwanamke alikaa sana bafuni. (A) Maji ya kukoga yalikuwa ya moto kidogo. (B) Maji ya kukoga yalitoka nje ya pira. (A)
Mwanafunzi wa chuo kikuu alitaka kuwaona wanafunzi wengune katika kampasi. (A) Aliunga udugu. (B) Alichukua kozi ya uhandisi. (A)
Nilinyanyua mto wa kochi. (A) Ilikuwa natafuta sarafu. (B) Ilikuwa ninipanga tena chumba cha kuishi. (A)
Nyiga alipaa kumuelekea kijana. (A) Kijana alikimbia. (B) Kijana alichuma ua. (A)
Mwanamke alitiwa hatiani kwa kosa dogo. (A) Aliamuriwa afanye huduma za kijamii. (B) Aliekwa katika orodha ya waliohukumiwa kifo. (A)
Nilikoroga sukari katika chai ya moto. (A) Chai ilipoa. (B) Sukari iliyeyuka. (B)
Mkongwe wa vita alitembea huku akichechemea. (A) Alichukuliwa aingie kwenye vita. (B) Aliumia vitani. (B)
Muhalifu alimkimbia askari. (A) Askari alikwenda kwa waathirika. (B) Askari alimkimbiza muhalifu. (B)
Kompyuta haingewaka. (A) Niliiangusha. (B) Niliiongezea chaji. (A)
Nafasi kwenye chumba cha nguo ilimwishia mwanamke. (A) Alipata nguo mingi. (B) Alikunja nguo zake. (A)
Mwanamme alivunjika moyo. (A) Mke wake alijifungua. (B) Mke wake alimuacha. (B)
Mwanamme alipata shahada. (A) Alipata sifa za kazi aliyoitaka. (B) Ofa ya kazi yake iliondolewa. (A)
Sauti ya mwanamme ilifika sehemu zote za hadhira. (A) Aliisalimia hadhira. (B) Alizungumza kwa kipaza sauti. (B)
Nilirusha sarafu katika chemchemi ya maji. (A) Sarafu ilizama chini. (B) Sarafu iligarika katikati. (A)
Mchezaji alipiga mpira kuelekea shimoni. (A) Mpira uliingia shimoni. (B) Mpira ulirudi kwa mchezaji. (A)
Nilivuta pumzi kwenye vumbi katika dari. (A) Nilienda kwikwi. (B) Nilipiga chafya. (B)
Mhasibu wa duka aliwapigia usalama. (A) Mteja alitumia pesa bandia. (B) Mteja aliwacha taa yake ya mbele inawaka. (A)
Nilizitupa takataka nje. (A) Takataka zilileta harufu mbaya jikoni. (B) Kwa bahati mbaya nilitupa orodha yangu ya manunuzi. (A)
Familia ilikwenda katika bustani ya wanyama. (A) Watoto waliwapenda wanyama. (B) Watoto waliwakimbiza wanyama. (A)
Mwanamme avuta pumzi kwa sauti. (A) Mafigo yalikataa. (B) Mapafu yalikuwa yameziba. (B)
Nilikuwa na tiketi ya ziada kwa ajili ya tamasha. (A) Nilimuomba rafiki yangu anielekeze sehemu ya tukio. (B) Nilimuuliza rafiki yangu kama angeweza kwenda. (B)
Kiyoyozi kiliharibika ndani ya nyumba. (A) Nilivua blangeti. (B) Nilifungua dirisha. (B)
Mgongo wa kijana uliuma. (A) Mfuko wa begani ulikuwa wazi. (B) Mfuko wa begani ulikuwa mzito. (B)
Nilimnunulia mama yangu zawadi. (A) Nilimpambilia keki. (B) Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa. (B)
Mimea ya maua kwenye bustani iliharibiwa. (A) Nyuki alimdunga mkulima. (B) Chindi walichimbua balbu za ile mimea. (B)
Niliwasha kiberiti. (A) Moto ulififia. (B) Kiberiti Kilizalisha moto. (B)
Vyama vilivyolumbana viliekeana mkataba. (A) Hawakutaka kulumbana mahakamani. (B) Walitaka kurudisha uhusiano wao. (A)
Watoto walipelekwa sehemu ya kulelea yatima. (A) Wazazi wao walifariki. (B) Wazazi wao waliwaharibu. (A)
Kimondo kiliangukia baharini. (A) Sunami ilitokezea. (B) Mvua ya mawe ilianza. (A)
Mzururaji alikabiliana na nyoka mwenye sumu. (A) Alikosa maji mwilini. (B) Aliogopa. (B)
Jiko lilipata moto. (A) Niliwasha jiko. (B) Niliteleka sufuria katika jiko. (A)
Alibonyeza ganda la limau. (A) Limau lilifanya ukungu. (B) Limau lilikamuliwa. (B)
Nchi iligundua ardhi mpya. (A) Nchi iliibomoa ardhi. (B) Nchi iliitawala ardhi. (B)
Bilauri ilianguka juu ya meza. (A) Ilivunjika na kuenea katika sakafu yote. (B) Iliwekwa katika rundo la nguo zitakazofuliwa. (A)
Meza ilitingishika. (A) Sakafu haikuwa sawa sawa. (B) Sakafu ilikuwa inateleza. (A)
Baba alimkamata mtoto wake wa kiume amelala. (A) Mtoto wake wa kiume alikiri ukweli. (B) Baba alimuamini mtoto wake wa kiume. (A)
Kichwa cha mwanamme kilipata maumivu. (A) Alikunya dawa ya kifua. (B) Alimeza aspirini. (B)
Treni ilipunguza mwendo. (A) Ilikuwa inakaribia kituoni. (B) Ilikuwa inatembea kinyume na ratiba yake. (A)
Mwanaume alipita kwenye matibabu. (A) Jamaa yake ina ugonjwa wa akili. (B) Aligunduliwa kuwa na unyogovu wa akili. (B)
Mwanamke alishika koo yake. (A) Alimeza chakula chake. (B) Alisamwa na chakula. (B)
Mwanamke alikuwa na maumivu ya koo. (A) Sauti yake ilikuwa mzito. (B) Aliongea kwa msisitizo. (A)
Mbwa aliangalia pande la nyama juu ya meza. (A) Alitoka mate. (B) Alilala chini. (A)
Biashara ya mwanamke ilifanikiwa. (A) Aliwafukuza kazi waajiriwa wake. (B) Alikuwa tajiri. (B)
Wanafunzi walitoka darasani. (A) Kengele ililia. (B) Mwalimu alitoa kazi ya nyumbani. (A)
Mwanamke alidai aliona pepo. (A) Uelewa wake ulionesha mashaka. (B) Uelewa wake uliendana na yeye. (A)
Mwanamme alipoteza usikivu wake. (A) Karibu apotee katika bahari. (B) Karibu afe katika mripuko. (B)
Mtoto alikata kamba ya puto. (A) Puto lilitoka upepo. (B) Puto lilikwenda hewani. (B)
Mwanamme aliputeza uwezo wake wa kuzungumza. (A) Alikuwa na kiharusi. (B) Alivuta pumzi kubwa. (A)
Mwanamke alijikwaa katika njia ya wapitao kwa miguu. (A) Kulikuwa na ufa katika saruji. (B) Alisikia jina lake linaitwa. (A)
Mwanamme alijitupa katika bwawa. (A) Muokoaji alijitupa baada yake. (B) Mwanamme alimrowesha muokoaji. (B)
Nilimeza dawa ya kuondoa sumu. (A) Ugonjwa wangu wa kuambukiza uliondoka. (B) Ugonjwa wangu wa kuambukiza ulienea. (A)
Taa ya trafiki iliwaka rangi ya manjano. (A) Dereva alifunga breki. (B) Dereva alipiga honi. (A)
Chombo cha plastiki kiliyeyuka. (A) Nilikiroweka chombo katika maji moto. (B) Nilikiweka chombo katika jiko moto. (B)
Gari ilitoboka. (A) Dereva alikanyaga ncha ya simu. (B) Dereva alitembea wakati taa nyekundu inawaka. (A)
Kijana alisoma usiku kutwa. (A) Aliruka mtihani. (B) Alifaulu mtihani. (B)
Mvulana mdogo alijishikilia pembeni mwa bwawa la kuogelea. (A) Aliogopa kuogelea. (B) Mtunzani wa bwawa alikua pale. (A)
Niliweka mkono wangu kifuani kwangu. (A) Nilihisi mapigo yangu ya moyo. (B) Kiwango cha mapigo ya moyo kiliongezeka. (A)
Jengo karibu na ofisi yangu ilikuwa linajengwa. (A) Ofisi yangu ilikuwa na watu wengi. (B) Ofisi yangu ilikuwa na kelele. (B)
Familia walitaka kuwajua jirani zao wapya. (A) Familia iliwaalika jirani zao katika chakula cha usiku. (B) Familia walipunga mikono kwa jirani zao kutoka bustanini kwao. (A)
Maji yalipiga kutoka katika bwawa. (A) Muogeleaji alipiga mbizi katika bwawa. (B) Muogeleaji alielea katika bwawa. (A)
Nilitafuna kipande cha tikiti maji. (A) Kwa bahati mbaya nilimeza konde. (B) Kwa bahati mbaya nilikata jino langu. (A)
Kijana alijikwaa. (A) Koti lake lilikuwa halijafungwa zipu. (B) Nyuzi zake za viatu ilikuwa hazijafungwa. (B)
Mwanamke alivaa kizibo cha masikio. (A) Alikuwa anasumbuliwa na kelele. (B) Alitoboa masikio yake. (A)
Niliijaza tena chupa yangu ya maji. (A) Nilikunywa maji yote ndani yake. (B) Niliiweka katika jokofu. (A)
Onesho la televisheni lilitathminiwa lugha yake. (A) Lilikuwa na lugha ya kipuuzi. (B) Lilikuwa na mjengeko mgumu. (A)
Meli ilianguka. (A) Wafanyakazi walizama majini. (B) Wafanyakazi walikabiliana na maharamia. (A)
Kijana alichagizwa na kitendawili. (A) Alitegua kitendawili. (B) Aliomba kidokezo. (B)
Simu iliita. (A) Mwanamme aliipotezea simu. (B) Mwanamme aliipokea simu. (B)
Mwanamke alikuwa ananikodolea. (A) Nilimkumbatia. (B) Nilijisikia wasiwasi. (B)
Kundi lilibakia makumbusho. (A) Walichukua picha za maonesho. (B) Walitazama maonesho yote. (B)
Mwanamme alianza hoja na mie. (A) Rafiki yangu alinitambulisha kwa mwanamme. (B) Rafiki yangu alisimama kwa ajili yangu. (B)
Mpira katika baskeli yangu ulikuwa umelala. (A) Nilitia upepo katika tairi. (B) Nilibadilisha gia katika baskeli. (A)
Msichana alionekana ana safura. (A) Baba yake alimsomea hadithi. (B) Baba yake alimgusa paji la uso. (B)
Kalamu ilimaliza wino. (A) Nilitumia penseli. (B) Nilisaini jina langu. (A)
Mwanamme alikataliwa kukopa. (A) Alikuwa na deni. (B) Alianza biashara. (A)
Msichana alikaa nyumbani kutoka skuli. (A) Alikuwa na tetekuwanga. (B) Alifurahia kusoma hesabu. (A)
Begi la takataka lilikuwa limejaa. (A) Nilizipeleka jaani. (B) Nilizitupa chini ya bakuli la choo. (A)
Nilisafisha zulia. (A) Wenzangu katika chumba walimwaga kinywaji. (B) Mbwa wangu alimwaga nywele. (B)
Mwanaume alikasirika. (A) Alizima tarakilishi yake. (B) Alirusha kiti kwenye chumba. (B)
Msichana alirusha jani katika kambi ya moto. (A) Jani liliungua. (B) Moto ulizima. (A)
Mwanamme alitoka nje ya mfereji wa kuogea. (A) Maji moto yalikuwa yameisha. (B) Hakuona taulo. (A)
Wazazi walitaka watoto wao waende chuo kikuu. (A) Walitenga pesa kwa ajili ya masomo ya ziada. (B) Waliwashajihisha watoto wao wacheze nje. (A)
Mwanamme alifungua nyuzi viatu vyake. (A) Viatu vililegea. (B) Viatu vilichafuka. (A)
Mwanamme alikula nusu ya sufuria la nyama. (A) Iliyobakia aliiweka katika jokofu. (B) Alihifadhi mapishi. (A)
Kifundo changu cha mguu kilikuwa kimevimba. (A) Niliweka barafu juu yake. (B) Nilipaka losheni juu yake. (A)
Mlango wa ofisi yangu ulikuwa wazi. (A) Nilizungumza na wenzangu katika dawati. (B) Nilisikia mazungumzo katika ukumbi. (B)
Ilibidi ningoje kwenye foleni. (A) Niliketi. (B) Nilisoma gazeti kwa kupitia. (B)
Mwanamme alimpiga nzi. (A) Nzi alikimbia. (B) Nzi alibakia palepale. (A)
Mwanamme aliandika wasia. (A) Alikuwa anakufa. (B) Alikuwa amefiliea na mke wake. (A)
Mwanariadha alihisi kana kwamba mpinzani wake alikua anamkaribia. (A) Alitoka kwenye mashindano. (B) Aliongeza kasi. (B)
Nilifikiria kwa makini kuhusu tatizo. (A) Niliomba ushauri. (B) Nilipata suluhisho. (B)
Msafiri alipita katika daraja lililosimamishwa. (A) Alikuwa na hofu. (B) Alikuwa na furaha. (A)
Mwanamme alitegemea ushindi wa kikundi. (A) Alimuona rafiki yake anaangalia mchezo. (B) Liekeana dau na rafiki yake. (B)
Mvulana hangeweza kupata usingizi. (A) Aliweka kengele ya saa yake. (B) Alihesabu kondoo. (B)