text
stringlengths 5
25.1k
⌀ | label
int64 0
5
|
---|---|
Chanzo cha picha, Getty Images
Maafisa wa Real Madrid watasafiri hadi Ujerumani wiki hii katika jitihada za kumshawishi kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na Uingereza Jude Bellingham, 19, kujiunga na klabu hiyo ya Uhispania msimu huu wa joto. (Marca kwa Kihispania)
Kiungo wa kati wa West Ham na England Declan Rice, 24, yuko kileleni mwa orodha ya wachezaji wanaolengwa na Arsenal msimu huu wa joto. (Telegraph - usajili unahitajika)
Kiungo wa kati wa Manchester United na Brazil Casemiro, 31, ananyatiwa na Thomas Tuchel katika klabu ya Bayern Munich msimu wa joto. (Kicker - kwa Kijerumani)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mkufunzi wa Bayern Thomas Tuchel pia anataka kuungana tena na kiungo wa kati wa Chelsea na Croatia Mateo Kovacic, 28. (Sport1 - kwa Kijerumani)
Bayern, hata hivyo, hawana nia ya kumuuza kiungo wa kati wa Uholanzi Ryan Gravenberch mwenye umri wa miaka 20 msimu huu, licha ya vilabu vya Liverpool, Manchester United na Arsenal kuonyesha nia ya kutaka kumsajili. (CaughtOffside)
Mkufunzi wa zamani wa Bayern Munich Julian Nagelsmann yuko kileleni mwa orodha ya wachezaji wanne walioteuliwa kuwa mkufunzi mtarajiwa wa Tottenham Hotspur lakini Mjerumani huyo, 35, anaweza kuwa ghali sana kwa wachezaji hao wa London. (Telegraph - usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa wanapania kumnunua mshambuliaji wa Brentford na England Ivan Toney, 27. (Football Insider)
Mshambulizi wa Ureno Joao Felix hatarejea Atletico Madrid msimu wa joto, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 akitarajiwa kuongeza mkataba wake wa mkopo Chelsea. (Sun)
AC Milan wanafuatilia hali ya winga wa Arsenal Muingereza Reiss Nelson, 23, ambaye bado hajasaini mkataba mpya na The Gunners. (Calciomercato kupitia Football Italia - kwa Kiitaliano)
Chanzo cha picha, Getty Images
AC Milan pia wanavutiwa na kiungo wa kati wa Chelsea na Uingereza Ruben Loftus-Cheek, 27. (90min)
Manchester United wanatayarisha ofa ya kumnunua beki wa kulia wa Monaco Mbrazil Vanderson, 21, lakini huenda wakakabiliwa na ushindani kutoka kwa vilabu vingine kadhaa vya Ligi Kuu ya Uingereza. (RMC Sport kupitia Sun) | 2 |
Chanzo cha picha, Reuters
Manchester United wanataka kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 29, lakini hawako tayari kuhusika katika mvutano wa muda mrefu kuhusu ada ya uhamisho wake na Tottenham.
United wana nia ya kumsajili mlinda lango wa Dinamo Zagreb kutoka Croatia Dominik Livakovic, 28, huku mkataba wake na kipa wao David de Gea ukimalizika msimu huu. (Jutarnji, kupitia Football 365)
Mauricio Pochettino hamtumii wakala wakati anapojadiliana kuhusu kuteuliwa kwake kama kocha mkuu mtarajiwa wa Chelsea. (Telegraph - usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kipa wa Uhispania David Raya na mshambuliaji wa Uingereza Ivan Toney, wote 27, wanafuatiliwa na Chelsea kwa ajili ya uhamisho wa majira ya joto kutoka Brentford. (Football London)
Chelsea wanatazamiwa kukutana na Inter Milan kujadili mustakabali wa mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 29, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo katika klabu hiyo ya Serie A, pamoja na uwezekano wa kumsajili mlinda lango wa Cameroon Andre Onana, 27. (Evening Standard )
Liverpool wanaweza kutumia pesa nyingi kumnunua kiungo wa kati wa Inter Milan na Italia Nicolo Barella, 26, licha ya kukataa kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham, 19, msimu huu kwa sababu ya bei ya juu ya Borussia Dortmund. (Sport Mediaset kupitia Express)
Chanzo cha picha, Getty Images
Vilabu vya Arsenal, Tottenham na Newcastle vinavutiwa na mshambuliaji wa Brazil Raphinha, 26, ambaye Barcelona wanaweza kumuuza ili kupata pesa za kumnunua tena mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, kutoka Paris St-Germain. (AS - kwa Kihispania)
Aston Villa wanavutiwa na kiungo wa kati wa Arsenal na Uingereza Emile Smith Rowe, 22, ambaye "ametamaushwa" na kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha The Gunners. (Football 365)
Mshambulizi wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, 23, amekataa ofa za kujiunga na Real Madrid na Chelsea. (La Gazetta dello Sport - kwa Kiitaliano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Manchester City Kalvin Phillips msimu wa joto na mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 27 yuko tayari kuhama. (Star)
Chelsea watafanya mazungumzo na mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, ambaye yuko kwa mkopo katika klabu ya Inter Milan, na watamuuliza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 kama anataka kufufua soka lake la Blues chini ya mkufunzi mtarajiwa Mauricio Pochettino. (Telegraph - usajili unahitajika)
Kocha wa muda wa Chelsea, Frank Lampard yuko tayari kuzungumza na Pochettino kuhusu kikosi cha The Blues ili kusaidia mabadiliko yanayotarajiwa ya Muargentina huyo kuwa rahisi iwezekanavyo. (Evening Standard)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham, Chelsea na Manchester United wako tayari kumnunua kiungo wa kati wa Fulham na Ureno Joao Palhinha, 27, msimu huu. (Football Insider)
Chelsea wana nia ya kumsajili mlinda mlango wa Cameroon Andre Onana, 27, kutoka Inter Milan na wanaweza kumtumia kipa wao wa Uhispania Kepa Arrizabalaga, 28, kama sehemu ya mkataba huo. (Gazzetta dello Sport - kwa Kiitaliano)
Kiungo wa kati wa Uholanzi Ryan Gravenberch, ambaye amekuwa akihusishwa na Liverpool, anasema anataka kucheza zaidi katika kikosi cha kwanza katika klabu ya Bayern Munich msimu ujao na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 atasubiri kuona kitakachotokea katika klabu hiyo ya Ujerumani. (Voetbal International - kwa Kiholanzi)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa Newcastle United Eddie Howe atakuwa na bajeti ya uhamisho ya hadi pauni milioni 150 kutumia msimu huu wa joto. (Sun)
Newcastle wanamfuatilia beki wa kati wa Roma na Brazil Roger Ibanez, 24. (Nicolo Schira)
Newcastle inatafakari uwezekano wa kumuuza winga Mfaransa Allan Saint-Maximin, 26, msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chanzo cha picha, PA Media | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wanaimarisha juhudi zao za kumsajili mshambuliaji wa Tottenham Hotspur Harry Kane msimu huu wa joto, huku nahodha huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kutosaini mkataba mpya na klabu yake ya utotoni. (Telegraph)
Mshambuliaji wa Crystal Palace na Ivory Coast Wilfried Zaha amepewa mkataba mpya wenye thamani ya pauni 200,000 kwa wiki na The Eagles. Mkataba wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 unamalizika mwishoni mwa msimu huu, na kuzivutia Arsenal, Chelsea na Paris St-Germain. (Guardian)
AC Milan wameweka bei ya pauni milioni 35 kwa mlinda mlango wa Cameroon Andre Onana, huku Chelsea ikiripotiwa kumnyatia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27. (Goal)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambulizi wa Chelsea Pierre-Emerick Aubameyang, 33, ndiye anayelengwa zaidi na Barcelona kurejea Nou Camp msimu huu wa joto ili kumsaidia mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski. (Sky Sports)
Mshambulizi wa Liverpool Roberto Firmino, 31, ana nia ya kujiunga na Barcelona mkataba wake utakapokamilika mwishoni mwa msimu huu - lakini klabu hiyo ya Uhispania haina nia ya kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil. (Marca)
Kiungo wa kati wa Brighton Alexis Mac Allister, 24, ataondoka Seagulls msimu huu wa joto lakini anapanga kusalia kwenye Ligi ya Premia. Liverpool wanaongoza mbio za kuwania mshindi wa Kombe la Dunia la Argentina, lakini Tottenham, Chelsea na Newcastle pia zimeonesha nia ya kutaka kumsajili. (90Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Uhispania Gavi, 18, ameihakikishia klabu ya Barcelona kuwa hana mpango wa kuondoka Nou Camp msimu huu wa joto, licha ya kuwa bado hajakubali mkataba mpya na anafuatiliwa na vilabu kadhaa barani Ulaya, ikiwemo Chelsea. (Sport)
Manchester City itamenyana na Manchester United, Liverpool na Tottenham kumsajili beki wa Korea Kusini Kim Min-jae, 26, kutoka Napoli kwa £40m. (Sun)
Beki wa Uhispania Aymeric Laporte, 28, hana furaha Manchester City baada ya kutatizika kuanza mechi mara kwa mara na anataka kujiunga na Barcelona. (Relevo - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Newcastle United wanapanga kumrejesha winga wa zamani wa Leeds United wa Barcelona Raphinha kwenye Ligi ya Premia. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil mwenye umri wa miaka 27 anaweza kuunganishwa St James' Park na mlinzi wa Uturuki Arda Guler, 18, na kiungo mwenzake Ferdi Kadioglu, 23, kutoka Fenerbahce. (Mirror)
Newcastle United na Borussia Dortmund ni miongoni mwa vilabu vinavyofuatilia hali ya winga wa Leeds Mholanzi Crysencio Summerville, 21. (Football Insider)
Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa winga wa Ureno Diego Moreira, 18, kutoka Benfica. (90Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Maskauti wa Newcastle na Manchester United walikuwa wakimtazama fowadi wa Slovenia Benjamin Sesko, 19, akiichezea Red Bull Salzburg wikendi. (Dakika 90)
Liverpool na Chelsea wameungana na Manchester City katika mbio za kumsajili beki wa kati wa Croatia Luka Vuskovic mwenye umri wa miaka 16 kutoka Hajduk Split. (Daily Mail)
Arsenal wanajipanga kufufua mpamngo wao wa kumnunua mshambuliaji wa Wolves kutoka Ureno Pedro Neto, 23. (TeamTalk) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wanafikiria kumuuza Neymar msimu huu wa joto - huku Chelsea na angalau klabu nyingine moja ya Premier League ikitafakari kumnunua mshambuliaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 31 (Mirror)
Mshambulizi wa PSG Lionel Messi anataka kurejea Barcelona lakini klabu hiyo ya Uhispania inahitaji kuongeza pauni milioni 88 kupitia mauzo ya wachezaji na kuamsha 'kichocheo kingine cha kiuchumi' ili kumsajili tena nahodha huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 35 (Mail)
Mshambulizi wa Tottenham Harry Kane yuko kwenye orodha ya wanaolengwa na Bayern Munich msimu huu wa joto, ingawa nahodha huyo wa England mwenye umri wa miaka 29 anaaminika kusita kuondoka Ligi ya Premia (Bild - in German)
Juventus wanapanga kumnunua mlinzi wa Senegal Kalidou Koulibaly, 31, ambayehajafurahia hali yake baada ya msimu mmoja tu akiwa Chelsea . (Gazzetta dello Sport - in Italian)
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool wamepunguza hamu yao ya kumnunua mlinzi wa Croatia mwenye umri wa miaka 21 Josko Gvardiol kwani wanaamini kwamba thamani ya Red Bull Leipzig ya £80m kwa mchezaji huyo ni kubwa mno.. (Football Insider)
Manchester City wanapanga kumnunua beki wa pembeni wa Brentford kutoka Scotland Aaron Hickey, 20, ambaye thamani yake ni pauni milioni 30.. (Sun)
Kocha wa zamani wa Uhispania Luis Enrique hayupo tena kwenye kinyang'anyiro cha kuwa meneja mpya wa Chelsea (Fabrizio Romano)
Wachezaji wa Chelsea wamefurahishwa na uwezekano wa kocha wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino kuwa meneja wao mpya. (Telegraph - usajili unahitajika)
Arsenal, Chelsea na Liverpool zimeonesha nia ya kutaka kumnunua beki wa Valencia Yunus Musah mwenye umri wa miaka 20 kutoka Marekani. (90Min)
Chanzo cha picha, Rex Features
Chelsea hawana nia ya kumuuza mlinzi wa England aliye chini ya umri wa miaka 21 Levi Colwill, 20, msimu huu wa joto licha ya Liverpool , Tottenham na Manchester City kumtaka (Football Insider)
Mshambulizi wa zamani wa Liverpool na Uingereza Robbie Fowler anafikiria kutuma ombi la kuajiriwa kama meneja katika klabu ya Ligi ya Pili ya Tranmere Rovers (Sun)
Newcastle, Crystal Palace na Brighton wanamfuatilia kiungo wa kati wa Blackburn anayesifiwa sana kwa ubora wa mchezo wake mwenye umri wa miaka 18 Adam Wharton (Sun) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wameonyesha nia ya kumsaka Victor Osimhen baada ya kutuma ujumbe wa kumfuatilia mshambuliaji huyo Mnigeria mwenye umri wa miaka 24 aliyechezea klabu ya Napoli katika mechi ya Championi Ligi wiki iliyopita. (Star)
Meneja wa Celtic Ange Postecoglou ni meneja wa hivi karibuni kufikiriwa miongoni mwa watu watakaochukua kazi ya umeneja wa Chelsea , ingawa meneja wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino amesalia kuwa ndiye mgaombea mkuu wa kazi hii. (Guardian)
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain watamuacha Lionel Messi aondoke kwa uhamisho huru wakati mkataba wake utakapoisha msimu huu huku klabu hiyo ikipanga hali yake ijayo ya kudumu zaidi kwa majina machache ya wachezaji nyota na na kutilia mkazo zaidi katika kuendeleza vipaji vya vijana . (Mirror)
Julian Nagelsmann, ambaye alijiondoa katika kinyang’anyiro cha umeneja wa Blues wiki iliyopita, ana nia ya kujiunga na Tottenham. (Bild - in German)
Newcastle wanapanga kumhamisha mshambuliaji wa Barcelona mwenye umri wa miaka 26, Mbrazili Raphinha. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Chanzo cha picha, Reuters
Manchester United na Liverpool zina nia ya kusaini mkataba na kiungo wa kati wa Argentina mwenye umri wa miaka 24 Alexis Mac Allister kutoka blabu ya Brighton. (Fabrizio Romano)
Aston Villa wanaangalia uwezekano wa kulipa dau la mara dufu ya pauni milioni 53 kwa ajili ya mlinzi wa Manchester City mwenye umri wa miaka 32, Muingereza Kyle Walker na kiungo wa kati wa England Kalvin Phillips, 27. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Ollie Watkins amekubali mkataba mpya wa muda mrefu katika Aston Villa licha ya klabu kama vile Arsenal, Tottenham Hotspur na Newcastle United kuelezea nia ya kumsaka mshambuliaji huyu Muingereza mwenye umri wa miaka 27. (Teamtalk)
Brighton wanakaribia kusaini mkataba na mlinzi mwenye umri wa miaka 16 mzaliwa wa Uskochi Ronan Ferns kutoka klabu ya Celtic. (Football Insider)
Takriban wachezaji 10 wa Chelsea wanatazamia kuendelea kubaki katika klabu hiyo kwa siku zijazo baada ya kushindwa kwao katika mchezo wa Ligi ya Championi na Real Madrid wiki iliyiopita kumaliza matumaini yoyote ya kujaa taji la fedha na katika msimu ujao wa soka wa ulaya. (Standard)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona inawafuatilia kwa karibu wachezaji 13 huku wakiangalia uwezekano wa kusaini mkataba na mchezaji wa safu ya nyuma -kulia msimu huu, akiwemo mchezaji wa Manchester United Diogo Dalot mwenye umri wa miaka 24 na Joao Cancelo mwenye umri wa miaka 28, ambaye kwa sasa anacheza kwa mkataba wa mkopo katika klabu ya Bayern Munich kutoka Manchester City. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Chelsea wamekubali kusaini mkataba na winga Mreno Diego Moreira mwenye umri wa miaka 16 kwa mkataba huru wakati mkataba wake katika Benfica utakapomalizika katika msimu ujao. (Record - in Portuguese) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wanafuatilia hali ya Mason Mount huko Chelsea na wanaweza kushindana na Liverpool kumnunua kiungo huyo wa kati wa England mwenye umri wa miaka 24 msimu huu wa joto. (Goal)
The Gunners pia wametuma maskauti kumtathmini kiungo wa kati wa Uhispania Martin Zubimendi, 24, na mlinzi wa Ufaransa Robin le Normand, 26, ambao wote wanachezea Real Sociedad. (Daily Mail)
Paris St-Germain wanaandaa dau la pauni milioni 133 kwa mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen na wataingia kwenye nafasi nzuri mbele ya Chelsea, kwa ajili ya kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Brazil Roberto Firmino, 31, amekubali kujiunga na Barcelona mkataba wake wa Liverpool utakapokamilika msimu huu wa joto. (Daily Mail)
Washauri wa kiungo wa kati wa Chelsea na Croatia Mateo Kovacic wamesafiri hadi London kuzungumza na Manchester City kuhusu uhamisho huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 akikaribia kuingia mwaka wa mwisho wa mkataba wake. (Sport Klub -in croatian)
Liverpool na Tottenham watajaribu kumsajili beki Mfaransa Evan Ndicka, 23, kwa uhamisho wa bure mkataba wake wa Eintracht Frankfurt utakapokamilika msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United itatarajia kuwauza wachezaji 12 wa kikosi cha kwanza msimu huu wa joto, akiwemo beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, kipa wa Uhispania David de Gea, 32, na mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, 27. (Mirror).
The Red Devils wanamfikiria kipa wa Valencia na Georgia mwenye thamani ya pauni milioni 45 Giorgi Mamadashvili, 22, kama mbadala wa De Gea. (Givemesport)
Liverpool wako tayari kumruhusu mshambuliaji wa Ureno Fabio Carvalho mwenye umri wa miaka 20 kuondoka kwa mkopo msimu ujao baada ya dakika 632 pekee za kikosi cha kwanza mwaka huu. (Dakika 90)
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa, Newcastle, Liverpool na Tottenham zote zilikuwa na maskauti kwenye robo fainali ya Ligi ya Europa kati ya Sporting Lisbon na Juventus siku ya Alhamisi pamoja na wageni wa kiungo wa kati wa Ufaransa Adrien Rabiot, 28, na winga wa Sporting Muingereza Marcus Edwards, 24, na kiungo wa kati wa Ureno Pedro Goncalves. , 24, miongoni mwa wachezaji wanaofanyiwa tathmini. (90 min)
Beki wa Barcelona na Uhispania Marcos Alonso, 32, hana nia ya kuondoka katika klabu hiyo licha ya Inter Milan kumtaka. (Mundo Deportivo - In Spanish)
Kiungo wa kati wa Real Madrid na Croatia Luka Modric, 37, amepokea ofa ya kandarasi kutoka kwa klabu ya Saudi Arabia ambayo itaongeza mshahara wake maradufu msimu ujao. (AS - in Spanish) | 2 |
Mwanzoni mwa msimu huu, je, kuna mtu angetabiri Unai Emery na Roy Hodgson aliyestaafu hapo awali kuwania tuzo ya meneja bora wa mwezi wa Ligi Kuu kuelekea wiki za mwisho za ligi?
Msimu wa 2022-23 umekuwa mgumu kwa wasimamizi, ambapo wameondoka mara 13 wakiwa na rekodi ya Ligi Kuu na mmoja tu kati ya hao Graham Potter huko Brighton aliyeondoka kwa hiari yake mwenyewe.
Kati ya wale ambao hawajafukuzwa kazi, Steve Cooper wa Nottingham Forest ameambiwa "matokeo na uchezaji lazima uimarishwe mara moja" na mmiliki Evangelos Marinakis na David Moyes wa West Ham anaonekana kuwa kwenye shinikizo kila timu yake inapopoteza mchezo.
Na kwa sasa kuna wasimamizi watano wa muda wanaoziba mapengo katika Tottenham, Chelsea, Crystal Palace, Leicester na Southampton pamoja na Javi Gracia kwenye "mkataba rahisi" huko Leeds ambao unaleta shughuli nyingi sana msimu wa joto.
Umekuwa msimu mgumu sana kuwa kocha kwenye timu za ligi ya Primia.
Hapa, BBC Michezo inazungumza na Mtendaji Mkuu wa Chama cha Wasimamizi wa Ligi (LMA) Richard Bevan ili kujua ni kwa nini.
"Kutotabirika" kumekuwa ni sifa ya msimu, kulingana na mkuu wa LMA Bevan.
Wachezaji wawili wa timu ya jadi 'wakubwa sita' wametatizika , Liverpool ambayo iko nafasi ya nane, huku Chelsea katika nafasi ya 11 na karibu na eneo la kushushwa daraja.
Chini ya Eddie Howe, Newcastle wanafuzu kwa nne bora, huku Brighton, Brentford na Aston Villa ambao walichukua nafasi ya Steven Gerrard na kuingia Emery mnamo Oktoba wakiwania nafasi za Uropa.
"Uchezaji wa timu kubwa sita za Ligi Kuu umekuwa tofauti zaidi ya miaka ya hivi karibuni, jambo ambalo limetoa fursa kwa baadhi ya timu za kati kuibuka na kusababisha msukosuko wa ajira ndani ya ligi," anasema Bevan.
"Vilabu viwili ambavyo awali vimefuzu kwa Ligi ya Mabingwa kwa kumaliza katika nafasi nne za juu kwa sasa viko nje ya nafasi hizi na timu zinazofanya vibaya kwa kiwango cha juu zimeonesha uthabiti wa hali ya juu, labda zaidi ya matarajio ya kabla ya msimu mpya ."
Msimu huu unashuhudia moja ya vita vya karibu vya kushushwa daraja katika miaka ya hivi karibuni na kati ya timu tisa za chini, ni West Ham na Forest pekee ambazo bado hazijamtimua bosi wao.
Scott Parker wa Bournemouth alikuwa kocha wa kwanza kupoteza kibarua chake alipofutwa kazi tarehe 30 Agosti, siku 25 tu baada ya timu yake kufungwa 9-0 na Liverpool. Lakini mrithi wake Gary O'Neil ni kwa sasa - mmoja wapo wa hadithi za mafanikio za meneja adimu na aliyegeuka kuwa wa kudumu.
Klabu ya Southampton ya chini kabisa inawania meneja wao wa tatu baada ya kumfukuza kazi Ralph Hasenhuttl mnamo Novemba na kisha kumfukuza mrithi wake Nathan Jones baada ya siku 95 pekee, kabla ya kuhamia Ruben Selles hadi mwisho wa msimu.
Nusu ya wasimamizi wa sasa wa ligi kuu wamekuwa kwenye majukumu yao chini ya miezi sita, huku Jurgen Klopp wa Liverpool, aliyeteuliwa Oktoba 2015, akiwa amehudumu kwa muda mrefu zaidi.
Kuna wasimamizi watano tu ambao wamekaa kwa zaidi ya miaka miwili.
"Wastani wa muda wa mameneja waliofukuzwa Ligi Kuu msimu huu ni miaka 1.57. Mameneja kumi kati ya 13 ambao wamefukuzwa walikuwa kwenye wadhifa kwa chini ya miaka miwili," anasema Bevan.
"Njia hii ya muda mfupi inadhoofisha ubora na vipaji vya wasimamizi na makocha katika mchezo wetu.
"Moja ya sharti muhimu zaidi kwa mafanikio ni utulivu, sehemu ya msingi katika mazingira ya utendaji wa wasomi, ambayo wasimamizi na makocha wana jukumu la kukuza."
Uvumilivu, hata hivyo, ulikuwa mkubwa katika kampeni ya kuanzishwa kwa Ligi Kuu ya Uingereza - 1992-93 - wakati kulikuwa na meneja mmoja tu aliyefukuzwa kazi, Ian Porterfield akiondoka Chelsea mnamo Februari.
"Ufikiaji wa Ligi Kuu duniani kote na mapato ambayo inazalisha yamewezesha vilabu vyote katika ligi kupata vipaji vya uchezaji vya hali ya juu, kupunguza mapengo ya utendaji katika ligi na kuongeza usawa wa ushindani," anasema Bevan.
"Hii ni mchango mkubwa kwa kutotabirika tunaona kwenye ligi msimu huu."
Utawala wa kifedha wa Ligi ya Premia barani Ulaya umesababisha madirisha mawili ya uhamisho ambayo yamevunja rekodi msimu huu pauni bilioni 2.8 zikitumika katika kipindi chote cha kampeni za 2022-23, na kuwashinda Ulaya nzima.
Forest ilisajili rekodi ya wachezaji 29 tangu msimu uliopita wa kiangazi, wakitumia zaidi ya pauni milioni 160, huku Southampton wakilipa pauni milioni 126 na West Ham wakitoa pauni milioni 171.
"Uchunguzi mkali wa timu na wasimamizi katika Ligi Kuu unaendelea kuongezeka," anasema Bevan.
"Ni wazi kuwa shinikizo la nje linaloendelea, linalazimisha watoa maamuzi wa klabu kuchukua maamuzi ya muda mfupi katika juhudi za kupata uboreshaji wa matokeo na uchezaji.
"Pamoja na hayo, muda mfupi sio mkakati uliothibitishwa wa kuboresha utendakazi. Inaweza kuwaridhisha wakosoaji, lakini mara chache hutoa matokeo.
"Ni muhimu kwa vilabu kufahamu kuwa michezo huleta tofauti, na kwa hivyo kujenga mifumo yao ya biashara ili kuhimili tofauti za utendaji."
Kabla ya kutimuliwa mwezi Aprili, Potter wa Chelsea pia alifichua kuwa afya yake ya akili ilikuwa mbaya baada ya yeye na familia yake kupokea unyanyasaji wakati wa matokeo mabaya wa klabu.
Bevan aliongeza: "Ingawa wasimamizi wanaelewa na kuthamini muktadha ambao wanafanyia kazi, na wanalipwa vizuri, unyanyasaji wa binafsi na mbaya ambao mara nyingi wanapaswa kushughulika nao unaweza kuwa na athari kubwa binafsi na familia zao.
"Msimu huu tumeshuhudia visa vya unyanyasaji vilivyoandikwa vyema zaidi vya muktadha wa soka. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa zamani wa Paris St-Germain na Tottenham Mauricio Pochettino, 51, amefanya mazungumzo na Chelsea kuhusu kuinoa klabu hiyo ya London. (Mirror)
Chelsea wanapanga kuuza nyota wake wengi kabla ya Juni 30 ili kusalia ndani ya sheria za kifedha - Financial Fair Play. (Evening Standard)
Mlinda mlango wa Manchester United Mhispania David de Gea, 32, yuko mbioni kusaini mkataba mpya wa kusalia katika klabu hiyo. (Forbes)
United wanaongoza katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa Atalanta na Denmark Rasmus Hojlund mwenye umri wa miaka 20. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona wanakamilisha ofa ya kupeleka Paris St-Germain kwa ajili ya kumrejesha mshambuliaji wa Argentina mwenye umri wa miaka 35 Lionel Messi. (Mundo Deportivo)
Aston Villa wameibua tena nia yao ya kumnunua kiungo mshambuliaji wa Arsenal na England Emile Smith Rowe, 22. (talkSPORT)
Villarreal wanatazamiwa kumpa beki wa Hispania Pau Torres kandarasi mpya huku Aston Villa wakipanga kujaribu kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 msimu huu. (Football Insider)
Manchester City wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Croatia Mateo Kovacic, 28, katika dirisha lijalo la msimu huu wa joto licha ya pia kutaka kusalia katika mbio za kumnunua nyota wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham, 19. (Givemesport).
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain huenda wakamsajili kiungo wa kati wa Nice na Ufaransa Khephren Thuram, 22, au kiungo wa kati wa Lens na Ivory Coast Seko Fofana mwenye umri wa miaka 27 kama mbadala wa Bellingham. (CaughtOffside)
Newcastle wako tayari kumuuza winga Mfaransa mwenye umri wa miaka 26 Allan Saint-Maximin ili kupata fedha kwa ajili ya usajili katika dirisha lijalo la usajili. (talkSPORT)
Klabu za Manchester United, Newcastle, Wolves, Arsenal, West Ham na Crystal Palace zote zinamfuatilia beki wa pembeni wa Morocco na Bayern Munich Noussair Mazraoui, 25. (90min).
Beki Muingereza Chris Smalling, 33, yuko katika hatua ya mwisho ya mazungumzo na Roma ili kuongeza mkataba mpya kuendelea kusalia Italia hadi Juni 2025. (Fabrizio Romano). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wanajiandaa kumpa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland mkataba mpya ambao utaondoa kipengele cha kuuzwa kwa pauni milioni 150 katika mkataba wa sasa wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, kwa nia ya kuzuia baadhi ya vilabu vikubwa vya Ulaya, ikiwa ni pamoja na Real Madrid vinavyomnyatia. (Athletic)
Chelsea wameamua kutomfuatilia kocha wa zamani wa Hispania Luis Enrique na badala yake wataelekeza nguvu zao kwa meneja wa zamani wa Paris St-Germain Mauricio Pochettino. (Telegraph)
Uamuzi wa The Blues wa kumkataa Enrique utafungua fursa kwa Tottenham kumpa mikoba Mhispania huyo, 52, kumrithi Antonio Conte. (Express)
Manchester United wana nia ya kumsajili beki wa kulia wa Uholanzi na Bayer Leverkusen Jeremie Frimpong, 22, huku United ikiwa tayari kuwatoa Muingereza Aaron Wan-Bissaka, 25, na Diogo Dalot wa Ureno, 24. (Mail).
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona hawataweza kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, kutoka Paris St-Germain kutokana na hali zao ya sasa ya kifedha, anasema rais wa La Liga Javier Tebas. (Goal)
West Ham wamembainisha Paulo Fonseca wa Lille kama mbadala wa David Moyes, ambaye huenda akaachana na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu (Guardian).
Arsenal wanaweza kumuuza mshambuliaji wa England wa Chini ya miaka 21 Folarin Balogun - anayecheza kwa mkopo katika klabu ya Reims ya Ufaransa msimu huu - kwenda RB Leipzig msimu wa joto ili kusaidia kufadhili uhamisho wa pauni milioni 100 kumnunua kiungo wa kati wa West Ham na England Declan Rice, 24. ( Metro)
Mshambuliaji wa Real Madrid na Ufaransa Karim Benzema, 35, ameongeza mkataba wa mwaka mmoja, na kumbakiza katika klabu hiyo ya Uhispania hadi 2024. (Mirror).
Chanzo cha picha, Getty Images
Winga wa AC Milan Mreno Rafael Leao, 23, amethibitisha kuwa anataka kusalia San Siro licha ya kuripotiwa kutakiwa na Manchester City. (Manchester Evening News)
Liverpool wako tayari kumsajili kiungo wa kati Adrien Rabiot ambaye atakuwa mchezaji huru, kandarasi ya kiungo huyo wa kati wa Ufaransa na Juventus ikitarajiwa kumalizika msimu huu wa joto. (Liverpool Echo)
Mshambuliaji wa Bayern Munich na Uholanzi Ryan Gravenberch, 20, ni mchezaji mwingine anayetazamwa na Liverpool wakati wanatafuta kurekebisha safu yao ya kati inayoyumba. (FourfourTwo)
Kiungo wa kati wa Ujerumani Toni Kroos, 33, anaweza kusaini mkataba mpya na Real Madrid licha ya ripoti kuwa huenda akastaafu. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham wana nia ya kutaka kumnunua beki wa kati wa Chelsea, Levi Colwill, 20, ambaye amecheza kwa mkopo Brighton msimu huu. (Sun)
Nahodha wa Manchester City, Ilkay Gundogan, ambaye amekuwa akihusishwa na Barcelona, anasema ni lazima atathmini ikiwa mwili wake wa miaka 32 utaweza kukabiliana na mikikimikiki ya msimu mwingine nchini Uingereza. (Times)
Chelsea wanaweza kumtoa mmoja ama wote wawili, kipa wa Senegal Edouard Mendy, 31, na Mhispania Kepa Arrizabalaga, 28, ili kumsajili kipa wa Borussia Dortmund na Uswizi Gregor Kobel, 25. (Bild). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Chelsea Thiago Silva anasema klabu hiyo inahitaji "kutulia na kuweka mkakati" au kuhatarisha kampeni nyingine ngumu msimu ujao.
Licha ya matumizi makubwa ya fedha chini ya mmiliki mpya Todd Boehly, Chelsea iko katika nafasi ya 11 kwenye Ligi ya Premia na itamaliza msimu huu bila taji lolote baada ya kushindwa na Real Madrid kwenye Ligi ya Mabingwa.
"Meneja anaweza tu kuchagua 11 kutoka 30. Hilo ni gumu," alisema Silva.
"Siku zote kutakuwa na mtu anayekasirika kwa sababu sio kila mtu anayeweza kucheza."
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wanaelekea Bayern Munich siku ya Jumatano wakiwa wamefuzu kwa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Bayern wanawakaribisha mabingwa hao wa Ligi ya Premia wanaohitaji kupindua upungufu wa mabao matatu kwa moja - jambo ambalo lilifikiwa mara tatu tu zilizopita kwenye shindano hilo - baada ya kupoteza mechi ya kwanza ya robo fainali 3-0 kwenye Uwanja wa Etihad.
Lakini historia inaonyesha kuwa haiwezekani kamwe.
Chanzo cha picha, Getty Images
Ilkay Gundogan anasema kukosekana kwa Manchester City hapo awali kwenye Ligi ya Mabingwa kunaongeza hamu yao ya kushinda.
Kikosi cha Pep Guardiola kinaongoza kwa mabao 3-0 katika mechi ya mkondo wa kwanza dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa robo fainali utakaopigwa Jumatano nchini Ujerumani.
“Kadiri unavyosonga mbele katika shindano hilo ndivyo njaa inavyokuwa kubwa ya kulishinda,” alisema Gundogan.
Chanzo cha picha, PA Media
Meneja wa West Ham David Moyes: "Kazi ya meneja ni kuongeza matarajio. Je, si ajabu kwamba West Ham ni kipenzi cha kushinda shindano la Uropa? Nafikiri hilo linasema mengi kuhusu kile ambacho tumekamilisha."
"Kwa miaka mingi, imetubidi kukata na kubadilisha timu. Jambo gumu zaidi katika mashindano haya ni kucheza Alhamisi-Jumapili na hilo lina athari kwa wasimamizi wote. Si rahisi kama kuchagua wachezaji wako bora.
"Tunatarajia Nayef [Aguerd] atakuwa sawa. Alipata jeraha la mguu huko na hakupona kwa wakati Jumapili lakini anapaswa kuwa sawa kwa kesho."
Chanzo cha picha, Getty Images
Walsall wamemfuta kazi kocha mkuu Michael Flynn baada ya kushinda mara moja pekee katika Ligi ya Pili tangu kuanza kwa mwaka huu.
Ushindi wa ligi ya Saddlers dhidi ya Mansfield mnamo Januari 1 uliwaacha nje kidogo ya mechi za mchujo, lakini wameshinda tu Gillingham tangu wakati huo na kuporomoka hadi nambari 15 kwenye jedwali.
Mechi ya mwisho ya Flynn kuongoza ilikuwa Jumanne kufungwa 3-0 na Harrogate. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 29, ndiye anayesakwa zaidi na Paris St-Germain msimu huu wa joto. (Le Parisien)
Meneja David Moyes kuna uwezekano mkubwa wa kuondoka West Ham msimu huu wa joto huku mchakato wa kubaini watakaomrithi ukiendelea. (Mail)
Jose Mourinho anaweza kuwa meneja mpya wa Paris St-Germain msimu ujao huku bosi huyo wa Roma akiwa kileleni mwa orodha ya mkurugenzi wa michezo wa PSG, Luis Campos. (RMC Sport)
Chanzo cha picha, Getty Images
Crystal Palace wanataka Roy Hodgson abaki katika klabu hiyo baada ya majira ya kiangazi ili kumshauri yeyote atakayechukua nafasi yake kama meneja ajaye wa Palace. (Telegraph)
Steven Gerrard anaripotiwa kuwa kwenye orodha ya wanaotajwa kusaka nafasi ya kocha mkuu ajaye wa klabu ya Olympiakos ya Ugiriki miezi sita baada ya kutimuliwa na Aston Villa. (Express)
Mazungumzo kati ya Alexis Mac Allister, 25 wa Brighton na Arsenal baso hayajafika popote. (Cesar Luis Merlo - via Twitter)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona inazidi kuamini kuwa mshambuliaji wa Argentina na Paris St-Germain Lionel Messi, 35, atajiunga tena na klabu hiyo msimu wa joto. (Sport)
United wanakaribia kukubaliana kandarasi mpya na mlinda mlango wa Uhispania David de Gea, 32, ambaye mkataba wake wa sasa unamalizika mwishoni mwa msimu huu. (ESPN)
Southampton wamemwambia kiungo James Ward-Prowse, 28, kwamba anaweza kuondoka msimu wa joto ikiwa klabu hiyo itashuka daraja. Tottenham, West Ham na Newcastle wote wanamtaka mchezaji huyo wa kimataifa wa England. (Sport)
Chanzo cha picha, Getty Images
Leeds itamsajili winga wa kimataifa wa Uhispania aliyechini ya miaka 19 Ilias Akhomach, 19, baada ya kushindwa kukubaliana na Barcelona kuhusu kuongezwa mkataba. (Sport)
Maskauti wawili wa Manchester United walimtazama winga wa akademi ya Birmingham City na timu ya taifa ya England ya Under-16 Trevan Sanusi, 15, siku ya Jumatatu. (Football Insider)
Beki wa kati wa Ivory Coast Eric Bailly, 29, atarejea United msimu huu wa joto huku Marseille wakikach kufanya mkataba wake wa mkopo kuwa wa kudumu. (Fabrizio Romano) | 2 |
Mwanariadha wa Tanzania Gabriel Geay jana Jumatatu alishinda kwa kumaliza wa pili katika mbio kongwe zaidi Duniani za 127 za Boston nchini Marekani kwa kumaliza mbio za Kilomita 42 kwa 2:06:04.
Hata hivyo Geay aliwashangaza wengi baada ya kumpiku mkongwe na ambaye amekua akishikilia rekodi mbalimbali za Dunia katika riadha Eliud Kipchoge kutoka Kenya tukio ambalo ni nadra kwa mwanariadha wa Tanzania.
Mwanariadha mwingine wa Kenya Evans Chebet alimshinda Benson Kipruto na kutetea vyema taji lake la Boston Marathon nchini Marekani.
Chebet alimshinda Gabriel Geay wa Tanzania hadi nafasi ya pili kwa saa 2:06:04 huku Kipruto akimaliza wa tatu kwa saa 2:06:06.
Lakini mwanariadha kutoka Tanzania Gabriel Geay ambaye anashikilia rekodi ya mbio kwa taifa la Tanzania na kushika nafasi ya pili huko Boston Jana Jumatatu anazungumziaje ushindi huo? Amezungumza na Scolar Kisanga | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kipa wa zamani wa England Paul Robinson anasema Diogo Jota alikuwa "mchezaji bora zaidi uwanjani" baada ya mshambuliaji huyo kumaliza ukame wake wa mabao Liverpool.
Jota alikuwa amecheza mechi 32 - zaidi ya mwaka mmoja - bila kufungia The Reds kabla ya mabao yake mawili katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Leeds United Jumatatu.
Mlinda lango wa zamani wa Leeds Robinson aliambia BBC Radio 5 Live "Walionekana kuwa na vazi tofauti kabisa na lile tulilozoea kuona.
Chanzo cha picha, Manchester City
Manchester City wamewasilisha maombi ya mipango kwa ajili ya upanuzi wa Uwanja wa Etihad kwa £300m.
Klabu hiyo inataka kuongeza uwezo wa sasa wa mashabiki 53,400 hadi 60,000 kwa kuongeza ukubwa wa stendi .
Eneo la mashabiki 3,000, duka jipya la vilabu na jumba la makumbusho, na hoteli ya vitanda 400 pia zimependekezwa katika maombi kwa Halmashauri ya Jiji la Manchester.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kusema kwamba Chelsea kwa sasa "imevunjika" ni kuzidisha chumvi kidogo anasema meneja wao wa muda Frank Lampard.
The Blues ilimtimua meneja Graham Potter mapema mwezi huu na timu hiyo ipo katika nafasi ya 11 kwenye Ligi ya Premia, licha ya kutumia zaidi ya £550m kuwanunua wachezaji msimu huu.
Ligi ya Mabingwa ni shindano la mwisho wanaloweza kushinda msimu huu lakini wapo mbele ya Real Madrid 2-0 kabla ya mkondo wa pili wa robo fainali Jumanne.
"Hatuko pale tunapotaka kuwa. Hilo liko wazi," alisema Lampard.
Michezo miwili. Vipigo viwili vya nyumbani. Wamefungwa mabao kumi na moja. Historia ya klabu isiyotakikana kwa Leeds United.
Kikosi cha Javi Gracia kilichapwa 6-1 na Liverpool siku ya Jumatatu, siku nane tu baada ya kushindwa 5-1 na Crystal Palace. Vipigo vya mfululizo kwenye Elland Road vinamaanisha kuwa Leeds wameruhusu mabao matano au zaidi katika mechi mfululizo katika ligi kwa mara ya kwanza.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mkufunzi wa Inter Milan Simone Inzaghi amewataka wachezaji wa timu yake kuweka mchezo wao duni katika ligi nyuma yao wakati wakijiandaa na mechi ya pili ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Benfica: "Tunafahamu kuhusu mbio za kombe letu na kwamba hali ya ligi yetu si nzuri. sio tulivyotaka. Tunapata matokeo mabaya lakini mambo si mabaya katika uchezaji, bado tunatengeneza nafasi.
"Vipigo tayari vimepita, tunatakiwa kuzingatia kesho usiku. Tunajua ni aina gani ya timu tunayokutana nayo. Kesho ni mechi muhimu sana na ngumu. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa West Ham na England Declan Rice angependelea kuhamia Arsenal katika msimu ujao wa joto, huku Newcastle pia wakimtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24. (TalkSPORT)
Rice ni miongoni mwa wachezaji waingereza, ikiwa ni pamoja na kiungo wa Leicester City James Maddison, 26, na mshambuliaji wa Brentford Ivan Toney, 27, wanaosakwa na Magpies wakitaka kusajili wachezaji wakubwa na wakali wanne msimu huu. (Telegraph)
Barcelona wana uhakika wa kumsajili kiungo wa kati wa Manchester City na Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, kwa uhamisho huru mara tu mkataba wake na timu hiyo ya ligi kuu England utakapokamilika msimu wa joto. (Times)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham iko mbioni kuchuana na Chelsea katika mbio za kumnasa meneja wa zamani wa Barcelona Luis Enrique. (Telegraph)
Kocha wa zamani wa Spurs Antonio Conte huenda akajiunga na Roma msimu ujao, huku meneja wao wa sasa Jose Mourinho huenda akuchukua mikoba ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa. (CalcioMercato via Mirror)
Aston Villa, Everton na West Ham wote wanavutiwa na mshambuliaji wa Inter Milan mwenye umri wa miaka 28 Joaquin Correa. (Sport Witness)
Chelsea itajaribu kumuuza Conor Gallagher msimu huu wa joto kwenda vilabu kadhaa vya Ligi kuu ya England na Ulaya vinavyomtaka kiungo huyo wa kati wa Uingereza, 23. (Mail).
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wamempa Reiss Nelson, 23, mkataba mpya lakini bado kuna shaka juu ya mustakabali wake wa muda mrefu, huku Aston Villa, Fulham, West Ham na Brighton wakiwa miongoni mwa timu zinazowania kumsajili winga huyo wa England. (Mail)
West Ham wanatazamiwa kupokea ada ya takriban £1.75m kutoka kwa klabu ya Uturuki ya Besiktas kwa ajili ya beki wake wa kushoto wa DR Congo Arthur Masuaku, 29, baada ya kipengele cha wajibu wa kumnunua kuafikiwa. (Football Insider)
Aston Villa wameweka nia ya kutaka kumnunua beki wa kulia wa Manchester City na England Kyle Walker, 32, ambaye mkataba wake unamalizika msimu wa joto wa 2024. (Football Insider)
Chelsea wanatazamiwa kumsajili kiungo wa kati wa Colombia Kendry Paez, 15, ambaye atajiunga na klabu hiyo mwaka 2025 akiwa na umri wa miaka 18, kwa mkataba wa thamani ya euro 20m (£17.66m). (Fabrizio Romano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wamekutana na meneja wa zamani wa Bayern Munich Julian Nagelsmann wakati huu wakiendelea na harakati za kumtafuta kocha wao wa kudumu baada ya kutimuliwa kwa Graham Potter. (Athletic)
Kocha wa zamani wa Hispania Luis Enrique alisikitishwa kwa kuikosa nafasi ya kuwa meneja wa Chelsea kabla ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid, lakini anaonekana ni kocha anayepewa nafasi kubwa zaidi kwa sababu anaweza kusaidia kumsajili kinda wa Barcelona mwenye umri wa miaka 18, kiungo Gavi. (AS)
Real Madrid wanataka kutumia mwanya wa kipengele katika mkataba wa mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland mwenye umri wa miaka 22 kumsaini mshambuliaji huyo wa Norway katika msimu wa joto wa 2024. (Fichajes).
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wanataka kumnunua mshambuliaji wa Juventus Dusan Vlahovic mwenye umri wa miaka 23, huku mshambuliaji wa Everton Dominic Calvert-Lewin, 26, akiwa chaguo lao lingine kama watashindwa kumpata Mserbia huyo. (Football Insider)
Kiungo wa kati wa England Jude Bellingham, 19, angependelea kusalia Borussia Dortmund na kutathmini tena mustakabali wake mwaka 2024 kuliko kufanya uhamisho ambao haufai kwake msimu huu wa joto. (Athletic)
Mshambulizi wa zamani wa Liverpool Robbie Fowler anaamini Reds wako sahihi kutotumia sehemu kubwa ya bajeti yao ya uhamisho kwa Bellingham msimu huu wa joto kwani wanahitaji marekebisho makubwa katika sehemu yao ya kiungo. (Mirror)
Mshambulizi wa Napoli Victor Osimhen amekuwa akihusishwa na Manchester United lakini mchezaji huyo wa kimataifa wa Nigeria mwenye umri wa miaka 24 anaonekana kuwa ana furaha katika klabu hiyo ya Italia. (TG5 via Manchester Evening News)
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola anashinikiza kuwabakisha kiungo wa kati wa Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, na mchezaji wa Ureno Bernardo Silva, 28, katika klabu hiyo licha ya wachezaji wote wawili kuhusishwa na uhamisho msimu huu wa joto. (Football Insider)
Besiktas wanataka kumsajili tena mshambuliaji wa Uholanzi Wout Weghorst huku Manchester United ikiwa na uwezekano wa kubadilisha uhamisho wa mkopo wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka Burnley kuwa uhamisho wa kudumu. (Goal)
Kiungo wa kati wa Ujerumani Toni Kroos anatazamiwa kuendelea kusalia katika klabu ya Real Madrid kwa msimu mwingine, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 akiwa tayari kukubali kuongezewa mkataba katika klabu hiyo kubwa ya Hispania. (Marca) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Bayern Munich wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 29, kutoka Tottenham msimu huu wa joto, hata hivyo Manchester United wapo mstari wa mbele kumnyakua kwa sababu mchezaji huyo anataka kusalia katika Ligi ya Premia. (Mirror)
Lakini mabingwa wa Ujerumani Bayern wako tayari kupima nia ya Tottenham kusalia na nyota huyo kwa kutoa ofa kubwa kwa nahodha wa Uingereza Kane. (Independent)
Liverpool, Chelsea na Manchester United wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Brighton na Argentina Alexis Mac Allister, 24, ambaye atafurahia uhamisho wa majira ya joto. (Guardian)
Real Madrid wako tayari kuwasilisha ombi jipya la kutaka kumsajili beki wa Uingereza Reece James, 23, iwapo Chelsea italazimika kuuza wachezaji msimu huu wa joto. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona wanatarajia Chelsea kufanya jaribio jingine la kumsajili winga wa h, 26, msimu huu wa joto. (Sport - kwa Kihispania)
Aliyekuwa mkufunzi wa Bayern Munich Julian Nagelsmann, 35, amealikwa kukutana na bodi ya Chelsea huku klabu hiyo ikiendelea kutafuta meneja mpya wa kudumu. Bosi wa zamani wa Uhispania Luis Enrique, 52, tayari amefanya mazungumzo na klabu hiyo (Bild - kwa Kijerumani)
Mshambulizi wa Ufaransa Kylian Mbappe, 24, anasema lengo lake ni kushinda Ligi ya mabingwa akiwa na Paris St-Germain, licha ya kukaribia kuondoka katika klabu hiyo kwenda Real Madrid mwaka jana. (90min)
Mshambulizi wa Uhispania Ansu Fati, 20, anataka kusalia Barcelona, licha ya kutakiwa na Bayern Munich, Manchester United na Tottenham . (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wana uhakika wa kufikia makubaliano na kiungo wa kati wa Uingereza , 24, kuhusu kandarasi mpya. (90min)
Manchester City na Chelsea zote zilituma maskauti kumtazama mlinzi wa Monaco Mfaransa Axel Disasi, 25, wikendi iliyopita. (Le Parisien - kwa Kifaransa)
Fulham wanafikiria kumnunua kiungo wa kati wa Porto wa Colombia Mateus Uribe, 32, kuichukua nafasi ya mchezaji wa kimataifa wa Ureno Joao Palhinha, 27, ambaye analengwa na Manchester United . (Sun)
Kiungo wa kati wa Colombia James Rodriguez, 31, ni mchezaji huru baada ya kukubali kusitisha kandarasi yake katika klabu ya Olympiacos ya Ugiriki (Liverpool Echo) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wanaongoza Real Madrid katika kinyang'anyiro cha kumnunua mchezaji wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham baada ya Liverpool kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo huyo wa kati wa Uingereza mwenye umri wa miaka 19. (ESPN)
Mchezaji wa West Ham na Muingereza Declan Rice, 24, mchezaji wa kimataifa wa Ecuador mwenye umri wa miaka 21 Moises Caicedo, nyota wa Inter Milan na Italia Nicolo Barella, 26, na mchezaji wa Wolves na Ureno Matheus Nunes, 24, wamesalia kwenye orodha ya Liverpool inayomsaka kiungo mpya. (Florian Plettenberg)
Barcelona itazidisha hamu yao kumnunua Ilkay Gundogan baada ya kufurahishwa na mchezo wa kiungo huyo wa kati Mjerumani mwenye umri wa miaka 32 akiwa na Manchester City dhidi ya Bayern Munich kwenye Ligi ya Mabingwa. (Sport - kwa Kihispania)
Arsenal, Liverpool na Manchester United wanamfuatilia kiungo wa kati wa Bayern Munich na Uholanzi Ryan Gravenberch, 20. (Footmercato - kwa Kifaransa)
Tottenham, West Ham na Crystal Palace wote wanamtaka meneja Mholanzi Arne Slot, ambaye ameigeuza Feyenoord kuwa viongozi wa ligi ya Eredivisie. (Times- usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wanalenga kumnunua winga wa Crystal Palace na Ufaransa chini ya umri wa miaka 21 th msimu wa joto, huku mchezaji huyo akiwa na thamani ya zaidi ya £40m. (Football Transfers)
Fulham, Aston Villa na Crystal Palace wanavutiwa na kiungo wa kati wa Besiktas na Ureno Gedson Fernandes, 24. (Calciomercato - kwa Kiitaliano)
Liverpool wametuma maskauti kumwangalia kiungo wa kati wa Fulham Joao Palhinha mara kadhaa wakifikiria kumnunua mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno mwenye umri wa miaka 27 msimu wa joto. (Football Insider)
Timu ya wanawake ya Barcelona itajaribu tena kumsajili mshambuliaji wa Lyon na Norway Ada Hegerberg, huku timu hiyo ya Uhispania ikiwa tayari kutoa ada ya kuvunja rekodi ya dunia ya £420,000 kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27. (90min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal, Bayern Munich, Borussia Dortmund na Monaco wameonyesha nia ya kumnunua fowadi wa Crystal Palace na Ivory Coast h, 30, huku kandarasi yake ikikamilika msimu wa joto. (Footmercato - kwa Kifaransa)
Beki wa zamani wa Uingereza Chris Smalling, 33, atasaini mkataba mpya wa miaka miwili katika klabu ya Roma wiki hii licha ya nia ya kutakiwa na Inter Milan, Juventus na klabu kadhaa za Premier League. (i Sport)
Arsenal itadai pauni milioni 35 kwa mshambuliaji wa Uingereza Folarin Balogun, 21 ambaye kwa sasa yupo kwa mkopo huko Reims na analengwa na RB Leipzig. (Florian Plettenberg) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wamefanya mazungumzo na wakala wa kiungo wa kati wa Uhispania Gavi, 18, kuhusu uhamisho wa bure kutoka Barcelona msimu huu (AS - Kwa Kihispania)
Liverpool wamemfanya Mason Mount wa Chelsea , 24, kuwa kiungo wa kati anayelengwa msimu huu baada ya kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mchezaji mwenzake wa Uingereza Jude Bellingham, 19, kutoka Borussia Dortmund.(Football London)
Bayern Munich wanafikiria kuwasilisha ombi la kumnunua mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, ambaye yuko tayari kuhamia klabu hiyo ya Bundesliga. (Sky Germany - kwa Kijerumani)
Mkufunzi wa zamani wa River Plate Marcelo Gallardo anagombea nafasi ya meneja wa kudumu katika klabu ya Chelsea . (UOL - kwa Kireno)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mchakato wa zabuni ya kuinunua Manchester United unaingia raundi ya tatu huku wamiliki wa sasa - Glazers wakishikilia kutaka ofa ya karibu £6bn(Mail)
Newcastle ni miongoni mwa klabu kadhaa za ligi ya premier zilizo tayari kumnunua winga wa Leicester mwenye umri wa miaka 25 Muingereza Harvey Barnes ikiwa Foxes watashuka daraja kutoka ligi kuu.(Football Insider)
Kiungo wa kati wa Manchester City na Ireland Kaskazini Shea Charles, 19, analengwa na Leeds, Brentford na Borussia Dortmund . (Guardian)
Real Madrid wanafikiria kumsajili fowadi wa Brazil Roberto Firmino, 31, kwa uhamisho wa bila malipo mkataba wake wa Liverpool utakapokamilika mwishoni mwa msimu huu. (El Nacional - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham inalenga kuwasajili Conor Gallagher, 23, wa Chelsea na Kalvin Phillips wa Manchester City , 27, kama wanaoweza kuziba nafasi ya kiungo mwenza wa Uingereza Declan Rice, 24. (Standard)
Kiungo wa kati wa Ireland Kaskazini Isaac Price, 19, anakaribia kusaini mkataba wa awali katika klabu ya Standard Liege baada ya kukataa kandarasi mpya na Everton . (Liverpool Echo)
Wolves inaandaa ofa mpya ya kandarasi kwa kiungo wa kati wa Ureno Ruben Neves, 26, ambaye hapo awali alikuwa akihusishwa na Arsenal na Manchester United. (Sun)
Mawakala wa mlinda lango wa Valencia na Georgia Giorgi Mamadashvili, 22, walifanya mazungumzo na Chelsea, Tottenham, Manchester United na Leicester wiki iliyopita(90Min)
Arsenal wanataka kumsajili winga wa Flamengo mwenye umri wa miaka 17 raia wa Brazil Matheus Goncalves (Sun)
Nottingham Forest wamefanya mazungumzo na mkurugenzi wa michezo wa Rangers Ross Wilson ili kutafuta mbadala wa Filippo Giraldi..(Athletic - usajili unahitajika) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mwisho wa Ligi ya Mabingwa utaanza wiki hii kwa timu nane za mwisho kumenyana katika mkondo wa kwanza wa robo fainali.
Huku timu nyingi zikiwa zimesalia kutoka Italia kuliko nchi nyingine yoyote na Benfica pia hadi hatua za mwisho, kuna sura tofauti na miaka ya hivi karibuni.
Je, tunaweza kupata mshindi wa kushtukiza na je Chelsea na Manchester City, wawakilishi waliosalia wa Ligi ya Premia wanaweza kufanya nini?
Kitengo cha Michezo cha BBC kinaangalia baadhi ya mambo muhimu ya kuzungumza.
Chanzo cha picha, Getty Images
Guardiola anarejea kumenyana na klabu yake ya zamani kwa mara ya kwanza tangu kuondoka Bayern Munich na kujiunga na Manchester City mwaka 2016.
Alitarajia kukutana na timu ya Julian Nagelsmann tena (baada ya kuifunga Hoffenheim mara mbili 2018-19), lakini timu hiyo ya Ujerumani ilimtimua hivi majuzi na kumteua Thomas Tuchel - jina ambalo Guardiola anafahamika zaidi.
Mameneja hao wamekutana mara 10 hapo awali wakati wa mchuano wa muongo mmoja huku Guardiola akishinda sita na Tuchel tatu - mafanikio hayo yote yanakuja katika kipindi cha wiki sita kati ya 17 Aprili na 29 Mei 2021.
Mbio hizo - ambazo zilijumuisha nusu fainali ya Kombe la FA kwa Chelsea na ushindi wa fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya City - zilisababisha hisia kwamba Tuchel alikuwa na makali ya Guardiola. Katika fainali hiyo, Guardiola hakuchezeshaa kiungo wa kati katika mchezo wa kamari ambao haukufaulu.
Lakini City iliishinda Chelsea ya Tuchel mara mbili kwenye Ligi ya Premia msimu uliopita, na kwa kushinda mara nne na sare moja nchini Ujerumani, ikiwa ni pamoja na fainali ya DFB-Pokal ya 2016, Guardiola ana rekodi bora zaidi.
Guardiola amekuwa na wakati mseto dhidi ya vilabu vyake vya zamani. Amekutana na Barcelona mara nne tangu kuondoka - mara mbili akiwa na City na mara mbili akiwa na Bayern. Alishinda mbili kati ya hizo, lakini mechi zingine alishindwa 3-0 na 4-0.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mnamo 2020-21, Chelsea walianza msimu na Frank Lampard na kumalizia na Tuchel kuwaongoza kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa.
Msimu wa 2022-23 Chelsea walianza msimu huu wakiwa na Tuchel na watamaliza huku Lampard akitumai kuwaongoza kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa.
Lampard anakuwa mtu wa nne kuinoa Chelsea msimu huu baada ya Tuchel aliyetimuliwa, Graham Potter aliyetimuliwa na bosi wa muda Bruno Saltor.
Ana matumaini ya kuendeleza utamaduni usio wa kawaida wa klabu, kushinda taji la Uropa katika msimu wa kwanza wa uongozi wake - ingawa tofauti na wengine hii ni mara yake ya pili kuinoa.
Ajabu ni kwamba mataji matano ya mwisho ya Chelsea ya Ulaya yamekuja na mameneja ambao walikuwa wamechukua msimu huo.
Nne kati ya hizo tano zilichukua wakati wa msimu, tatu kati yao baada ya Krismasi.
Potter anaweza kuwa na matumaini ya kujiunga na klabu hiyo lakini alitimuliwa wiki iliyopita, huku Bruno akiwa na nafasi hiyo pia - mwanzoni alitarajiwa kuinoa klabu hiyo hadi mwisho wa msimu.
Mnamo 2022, alikuwa mtangulizi wa Potter, Tuchel na Ligi ya Mabingwa. Mjerumani huyo alichukua hatamu Januari.
Muitaliano Maurizio Sarri alishinda Ligi ya Europa 2019 katika msimu wake pekee kama mkufunzi wa Chelsea.
Kocha wa zamani wa Liverpool Rafael Benitez aliiongoza Chelsea kwenye Ligi ya Europa 2013, akiwa meneja wa muda kuanzia Novemba.
Msimu uliopita, Roberto di Matteo alikuwa kocha wa muda kwa chini ya miezi mitatu alipowapeleka kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa 2012.
Na mnamo Februari 2008 marehemu Gianluca Vialli alifanywa kuwa meneja-mchezaji wa Chelsea na kuwaongoza kushinda Kombe la Washindi wa Kombe la Ulaya msimu huo wa joto.
Dave Sexton ndiye meneja pekee wa Chelsea aliyeshinda taji la Uropa zaidi ya mwaka mmoja katika uongozi wake, Kombe la Washindi la 1971.
Je, Lampard, ambaye alishinda Ligi ya Mabingwa 2011-12 kama mchezaji wa Chelsea, anaweza kuongeza jina lake kwenye orodha hiyo?
Katika hatua yao ya robo fainali wako wafalme wa Uropa, Real Madrid, ingawa Chelsea wana rekodi nzuri dhidi yao - wakipoteza mara moja tu katika mechi saba.
Hiyo ni asilimia ndogo zaidi ya kupoteza dhidi ya Real (14%) ya timu yoyote iliyocheza nao angalau mara tano Ulaya.
Chanzo cha picha, Getty Images
Khvicha Kvaratskhelia ni mrejesho wa kitu ambacho kilionekana kutowezekana katika soka ya kisasa.
Miezi tisa iliyopita shabiki wa kawaida wa kandanda hangeweza hata kusikia jina lake, huku kandanda yote ya Kvaratskhelia ikichezwa katika ligi za Georgia na Urusi pamoja na mechi mbili za Ligi ya Europa Conference.
Na sasa wing’a huyo wa Georgia ni nyota wa kweli na mmoja wa wachezaji katika moja ya timu bora katika kandanda ya Uropa, viongozi wa Serie A Napoli.
Katika Serie A, Kvaratskhelia ana mabao 12 - nyuma ya wachezaji wanne pekee - na asisti 10 - zaidi ya mtu mwingine yeyote.
Wachezaji wawili wa Paris St-Germain Lionel Messi na Neymar, Randal Kolo Muani wa Eintracht Frankfurt na mshambuliaji wa Arsenal Bukayo Saka ndio wachezaji wengine pekee kuwa na takwimu mbili za mabao na pasi za mabao katika ligi tano bora za Ulaya.
Katika Ligi ya Mabingwa hakuna aliye na zaidi ya pasi nne za Kvaratskhelia.
Kvaratskhelia na Napoli watakuwa na matumaini kwamba hadithi inaweza kuendelea na sare ya aina yake katika robo fainali - dhidi ya AC Milan, ambao wako pointi 22 chini yao kwenye jedwali. Hata hivyo Milan waliwafunga 4-0 mapema mwezi huu.
Chanzo cha picha, Getty Images
Huwezi kujua hii ilikuwa timu ya Benfica ambayo iliuza zaidi ya vipaji vya thamani ya £200m msimu huu.
Kwanza alikuwa mshambuliaji nyota Darwin Nunez kwenda Liverpool kwa ada ya kati ya £64m na £85m - na kisha kiungo Enzo Fernandez kwenda Chelsea kwa £107m. Zaidi ya wachezaji wengine 30 wameihama klabu hiyo msimu huu.
Na bado chini ya meneja Mjerumani Roger Schmidt, wanaonekana kutoshindwa.
Katika mechi 46 za mashindano yote tangu kumteua kocha huyo wa zamani wa PSV majira ya joto wamepoteza mara mbili pekee - hata hivyo mmoja yao ilikuwa ya Ijumaa nyumbani kwa Porto.
Walimaliza kileleni mwa Kundi la Ligi ya Mabingwa Ulaya lililohusisha PSG na Juventus, wakivuna pointi 13 zaidi ya Waitaliano - na kisha wakaiondoa Club Bruges katika hatua ya 16 bora, na kugharimu kazi ya Scott Parker.
Wako pointi saba mbele ya Porto walio kileleni mwa ligi ya Ureno huku wakikaribia kutwaa taji la kwanza tangu 2019.
Timu za Italia pekee ndizo zilizosimama kati yao na fainali ya kwanza ya Kombe la Uropa tangu 1990, na mshindi wa mechi yao dhidi ya Inter akicheza na AC Milan au Napoli katika nusu fainali. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa wana nia kubwa ya kusaini ni mkataba na kiungo wa kati wa England Kalvin Phillips, 27, kutoka Manchester City. (Football Insider)
Kiungo wa England Ben Chilwell, 26, yuko tayari kusaini mkataba mpya wa miaka minne katika klabu ya Chelsea. (Athletic - subscription required)
Chanzo cha picha, Getty Images
Baba yake Lionel Messi na wakala wake Jorge walikutana na Barcelona lakini hakuna pendekezo la uhamisho lililotolewa kwa ajili ya mshambuliaji huyo Muagerntina mwenye umri wa miaka 35. (Cadena Ser, via Mirror)
Wing'a wa Ujerumani Marco Reus, 33, yuko tayari kusaini mkataba mpya na Borussia Dortmund – lakini mshahara wake utakatwa ili aendelee kubakia katika klabu hiyo . (Bild - in German)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham wanamfuatilia kwa karibu mchezaji wa safu ya kati-nyuma Muingereza Wan-Bissaka, 25, wakiwa na mpango wa kumhamisha msimu ujao wa joto. (Football Insider)
Arsenal wako huru kumuuza mshambuliaji wa kikosi cha England Folarin Balogun katika msimu ujao. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 21 kwa sasa yuko katika klabu ya Reims kwa mkataba wa mkopo. (Times - subscription required)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal na Chelsea ni miongoni mwa vilabu kadhaa vinavyotaka kumchukua kiungo huyo wa Wolfsburg na Ujerumani Ridle Baku, 25. (Bild - in German)
Chelsea ina matumaini ya kuendela kuwa na Joao Felix msimu ujao. The Blues walisaini mkataba wa mkopo na mshambuliaji huyu Mreno mwenye umri wa miaka 23 kutoka klabu ya Atletico Madrid mwezi Januari. (Fabrizio Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Newcastle United inataka kusaini mkataba na mshambuliaji Mbrazili Joao Pedro, 21, kutoka Watford katika msimu ujao wa kiangazi. (Football Insider)
Brighton wana matumaini ya kuafikia mkataba mpya na kiungo wa safu ya mashambulizi Evan Ferguson, licha Manchester United na Tottenham kuwa na nia ya kumsajili (Mail) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham wameonesha nia ya kumsajili winga wa Morocco Hakim Ziyech, 30, kutoka Chelsea msimu huu wa joto. (Football Insider)
Kocha wa zamani wa Leeds Jesse Marsch ameamua kutochukua kazi ya Leicester City licha ya kukaribia kufikia makubaliano ya mwisho (Telegraph - subscription required)
AC Milan wamemuongeza mshambuliaji wa England chini ya miaka 21 Folarin Balogun, ambaye yuko kwa mkopo Reims kutoka Arsenal , kwenye orodha ya wachezaji wanaolengwa katika majira ya joto, ingawa wanatarajia The Gunners kuomba zaidi ya euro 30m (£26.5m) Calciomercato - kwa kiitalia)
Manchester United pia imewaweka kiungo wa kati wa Brighton na Ecuador Moises Caicedo, 21, na kiungo wa kati wa Argentina Alexis Mac Allister, 24, kwenye orodha yao fupi ya uhamisho. (Telegraph -usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambulizi wa zamani wa Ufaransa Karim Benzema, 35, anataka kusalia Real Madrid kwa angalau msimu mmoja zaidi baada ya kukataa ofa kutoka Saudi Arabia. (Marca kwa Kihispania)
Chelsea na Liverpool wanakaribia kumlenga Nicolo Barella wa Inter Milan , huku miamba hao wa Italia wakiwa tayari kumuuza kiungo huyo wa kati wa Italia, 26, kwa £44m. (Clciomercato, kupitia Sun)
Manchester United imekuwa na mazungumzo chanya na Monaco kuhusu uwezekano wa kumsajili mlinzi wa Ufaransa Axel Disasi, 25. (Give Me Sport)
Manchester United wanaweza kuelekeza nguvu zao katika kumsajili mlinzi wa Bayern Munich Mfaransa Benjamin Pavard, 27, ikiwa miamba hao wa Ujerumani wataishinda United katika kumsajili mlinzi wa Bayer Leverkusen Mholanzi Jeremie Frimpong, 22, msimu huu. (Football Insider)
Kipa wa Uhispania David Raya hatasaini mkataba mpya katika klabu ya Brentford , ambao wanatazamiwa kuomba ada ya euro 40m (£35.4m) kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 msimu huu. (Fabrizio Romano)
Bologna wanapambana na Leicester City kumsajili kiungo wa kati wa Birmingham City wa Wales h, 18. (Sun)
Kiungo wa kati wa Ufaransa Adrien Rabiot, 28, anasema bado anasubiri kujadili iwapo atasaini mkataba mpya na Juventus . Mkataba wake wa sasa unatarajiwa kuisha msimu huu wa joto. (Fabrizio Romano)
Mchezaji wa Borussia Dortmund Marco Reus, ambaye mkataba wake wa sasa unamalizika msimu huu wa joto, anatazamiwa kusaini mkataba mpya msimu ujao, ingawa winga huyo wa Ujerumani, 33, atalazimika kuzungumza kukatwa mshahara. (Bild - kwa Kijerumani)
Kocha Xavi Hernandez "atasisitiza" kwamba Sergio Busquets abaki na Barcelona kwa angalau msimu mmoja zaidi kabla ya kiungo huyo wa zamani wa Uhispania, 34, kuondoka na kujiunga na klabu ya MLS. (Target)
Real Madrid ilijaribu kumsajili bosi wa muda wa Chelsea Frank Lampard mara mbili wakati kiungo huyo wa zamani wa England, 44, alipokuwa mchezaji muhimu wa The Blues - mwaka 2005 na 2010. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wamekatiza matumaini ya Real Madrid kumnunua Kylian Mbappe msimu huu wa joto kwa kutangaza kuwa hawatamuuza mshambuliaji huyo wa Ufaransa, 24, mapema zaidi ya 2024. (Sport in Spanish).
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wameongeza nia yao ya kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham, 19, kutoka Borussia Dortmund msimu huu. (SER Deportivos)
PSG pia wako tayari kufufua nia yao ya kumsajili winga wa Chelsea na Morocco Hakim Ziyech, 30, msimu huu wa joto. (Football Insider)
Carlo Ancelotti atazingatiwa na Chelsea kwa kipindi cha pili kama meneja wa Blues ikiwa Muitaliano huyo mwenye umri wa miaka 63 ataondoka Real Madrid mwishoni mwa msimu. (ESPN)
Wakala wa Sofyan Amrabat anasema klabu yake Fiorentina iko tayari kusikiliza ofa msimu huu na kwamba Manchester United ilitoa ofa kwa kiungo huyo wa Morocco, 26, mwezi Januari. (Sport -in Spanish)
Kocha wa zamani wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amejumuishwa kwenye orodha ya walioteuliwa kuwa kocha aliyeachwa wazi na Scott Parker katika klabu ya Club Bruges ya Ubelgiji. (Times)
Aaron Ramsey amecheza michezo ya kutosha kuamsha nyongeza ya kandarasi ya mwaka mmoja huko Nice lakini pande hizo mbili ziko kwenye mazungumzo juu ya mkataba mrefu zaidi wa kiungo huyo wa Wales, 32. (L'Equipe)
AC Milan haitampa mkataba mpya mshambuliaji wa Sweden mwenye umri wa miaka 41 Zlatan Ibrahimovic. (FootMercato -in Spanish)
Aston Villa iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa England Ollie Watkins kuhusu kandarasi mpya kufuatia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 kuwa na kiwango kizuri hivi karibuni. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa Feyenoord, Arne Slot ni mshindani mkuu wa nje kupata kibarua cha Tottenham msimu huu wa joto miezi michache tu baada ya kukataa mbinu ya kumlipa pesa nyingi kutoka Leeds. (Express)
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uingereza Sam Allardyce ameibuka kama mshindani wa ghafla wa kuinoa Leicester City. (Football Insider)
Kocha wa zamani wa Leeds Jesse Marsch amefanya mazungumzo na Leicester kuhusu nafasi yao ya ukocha. (Athletic)
Newcastle United wana nia ya kumsajili Youri Tielemans, 25, mkataba wa kiungo huyo wa kati wa Ubelgiji na Leicester utakapokamilika msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Marcelo Bielsa, mtangulizi wa Jesse Marsh katika klabu ya Leeds, amekubali kuwa kocha mpya wa Uruguay. (TyC Sports)
Mateo Retegui, ambaye yuko Tigre kwa mkopo kutoka kwa wapinzani wa Argentina Boca Juniors, anasema klabu yake ijayo itakuwa Ulaya baada ya kufunga bao lake la kwanza Italia dhidi ya Uingereza. Eintracht Frankfurt wanataka kumsajili mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 23 huku Inter Milan pia wakimtaka. (Fabrizio Romano)
Luis Campos anafaa kuendelea na kazi yake kama mshauri wa soka wa Paris St-Germain msimu huu wa joto, hata kama kocha Christophe Galtier atafukuzwa kazi. (L'Equipe - in French) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Winga wa Liverpool Luis Diaz atarejea kutoka mkekani baada ya kujeruhiwa dhidi ya Leeds kwenye Uwanja wa Elland Road tarehe 17 Aprili, anasema meneja Jurgen Klopp.
Diaz, 26, amekuwa nje tangu Oktoba kutokana na tatizo la goti.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Colombia ameanza mazoezi kamili lakini kuna uwezekano wa kuwa hatarini dhidi ya Arsenal siku ya Jumapili.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa West Ham David Moyes anasema soka ni "kama dawa" licha ya shinikizo la kuwa meneja.
Kipigo cha mabao 5-1 kutoka kwa Newcastle siku ya Jumatano kiliiacha West Ham katika nafasi ya 15 kwenye Ligi ya Premia, nje ya eneo la kushushwa daraja kwa tofauti ya mabao.
Licha ya kuchunguzwa kazi yake, Moyes mwenye umri wa miaka 59 alisema hana nia ya kuondoka kwenye mchezo huo.
"Ni kama dawa - ninaihitaji. Sehemu ya kuwa meneja wa soka ni kwamba hutashinda kila wakati," alisema.
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Manchester United Erik ten Hag anasema alihofia Christian Eriksen angekosa msimu uliosalia baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu katika mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Reading Januari.
Lakini kiungo Eriksen anarejea kwenye kikosi cha United kitakachomenyana na Everton kesho kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Ingawa Mdenmark huyo ana furaha amerejea kabla ya muda uliopangwa, Ten Hag bado hajakasirishwa na jeraha lililosababishwa na uchezaji wa Andy Carroll.
"Nilikasirishwa sana na ugomvi huo," alisema Ten Hag.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiwango cha ajabu cha Marcus Rashford kwa Manchester United kinaweza kuwa chanya katika kipindi cha pili cha hali mbaya cha Cristiano Ronaldo katika klabu hiyo, anasema beki wa pembeni wa zamani wa Uingereza Stephen Warnock.
Warnock aliambia podikasti ya Football Daily ya BBC Radio 5 Live kwamba mazoezi ya pamoja na Ronaldo huenda yakamtia moyo mfungaji bora huyo wa United.
"Ronaldo anaweza kuwa amemchukia," alisema Warnock. "Rashford atakuwa ameona kazi ngumu na kujitolea kunaweza kusababisha lakini basi ni kwake kufanya hivyo kwa sifa kubwa sana kwa kutaka kuwa bora zaidi.
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City sasa wameshinda mechi zao nne zilizopita za Premier League, ambayo inawakilisha ushindi wao mrefu zaidi wa msimu huu.
Mara ya mwisho walishinda tano mfululizo Aprili na Mei mwaka jana.
Mtu mmoja ambaye amepiga hatua kubwa ni Jack Grealish, ambaye amekuwa katika hali nzuri tangu mapumziko ya Kombe la Dunia. | 2 |
Chanzo cha picha, PA Media
Erik ten Hag anasema "ni ukweli" Manchester United wanategemea sana mabao ya Marcus Rashford baada ya mshambuliaji huyo wa Uingereza kupiga bao la ushindi dhidi ya Brentford kwenye uwanja wa Old Trafford.
The Red Devils walipanda tena ndani ya nne bora kutokana na bao la 15 la Rashford la Ligi Kuu ya Uingereza - na la 28 katika mashindano yote kwa klabu yake - msimu huu.
"Ndiyo, ni ukweli," alisema Ten Hag alipoulizwa kama United walikuwa wanamtegemea sana Rashford.
"Lakini tunajua wachezaji wengine wanaweza kufunga pia. Bruno [Fernandes] anaweza kufunga pia. Tuna wachezaji wengi zaidi kwenye kikosi ambao wanaweza kufunga."
Chanzo cha picha, Getty Images
Frank Lampard anachukua mikoba ya Chelsea katika nusu ya mwisho ya jedwali na anakiri kuwa anakabiliwa na changamoto kubwa ya kubadilisha mafanikio ya klabu hiyo.
"Ni changamoto kubwa. Kila kitu ni changamoto, tunaona jinsi Ligi Kuu ilivyo," anasema.
“Nipo tayari kuweka kazi yangu kwenye changamoto hii mbele yangu, ninayo wazo bayana la kile ninachotaka kufikia katika kipindi hiki.
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wanafikiria kufanya mazungumzo na kocha wa zamani Antonio Conte kuhusu nafasi ya meneja huku wakitafuta suluhu la muda mrefu, baada ya kumteua Frank Lampard hadi mwisho wa msimu huu.(Independent)
Meneja wa Bayer Leverkusen Xabi Alonso ameibuka kuwania nafasi ya Chelsea baada ya Graham Potter kutimuliwa.(Guardian) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Romelu Lukaku anasema Serie A lazima ichukue "hatua ya kweli wakati huu" baada ya kudhulumiwa kibaguzi na mashabiki wa Juventus kabla ya kutolewa nje kwa kupewa kadi nyekundu Jumanne.
Alionyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kuweka kidole mdomoni mbele ya mashabiki wa nyumbani baada ya kufunga penalti dakika ya 95 katika mechi ya Coppa Italia.
"Historia inajirudia," mshambuliaji huyo wa Inter Milan aliandika kwenye Instagram. "Ilipitia 2019 na 2023 tena.
"Mchezo huu mzuri unapaswa kufurahiwa na kila mtu."
Chanzo cha picha, Getty Images
Nottingham Forest wanasema Steve Cooper anasalia kuwa meneja lakini "matokeo na uchezaji lazima kuboreshwa mara moja".
Forest, iliyochapwa 2-1 na Leeds United siku ya Jumanne, iko katika nafasi ya 17 kwenye Ligi ya Premia, juu ya eneo la kushushwa daraja kwa tofauti ya mabao.
Katika taarifa, mmiliki Evangelos Marinakis alisema alitaka kukomesha "ripoti za uwongo na zenye usumbufu" kuhusu mustakabali wa Cooper.
Forest haijashinda katika mechi nane, mbio ndefu zaidi bila kushinda katika ligi ya juu.
Cooper alijiunga na Forest Septemba 2021 na kuwaongoza hadi Ligi Kuu kwa mara ya kwanza tangu 1999 katika msimu wake wa kwanza.
Chanzo cha picha, Getty Images
David Martin wa Shirikisho la Soka la Ireland amebadilishwa kama makamu wa rais wa Uingereza katika Baraza la Fifa baada ya kupoteza kura dhidi ya mwenyekiti wa Chama cha Soka Debbie Hewitt.
Hewitt alipata kura 39 kati ya 55 kutoka kwa vyama 55 vya kitaifa vya Uefa na atakuwa kwenye chapisho la £190,000 hadi 2027.
Martin wa Ireland Kaskazini alichaguliwa Aprili 2021 baada ya kujiuzulu kwa mtangulizi wa Hewitt Greg Clarke.
Mahali hapo kihistoria yametengwa kwa moja ya vyama vinne vya Uingereza. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Manchester United Luke Shaw ametia saini kandarasi mpya ya miaka minne na kuendelea kusalia katika klabu hiyo hadi Juni 2027.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ataongeza muda wake wa kukaa Old Trafford hadi zaidi ya muongo mmoja, baada ya kujiunga kutoka Southampton mwaka wa 2014 .
Shaw amekuwa na msimu mzuri chini ya meneja Erik ten Hag, akicheza mechi 36 katika mashindano yote, akifunga mara moja na kusaidia mara sita.
"Miaka tisa iliyopita nilijiunga na klabu hii ya ajabu, na ninafuraha kuongeza muda wangu wa kukaa," Shaw alisema.
Chanzo cha picha, Reuters
Tottenham wanapaswa kufanya "bora zaidi" kudhibiti michezo baada ya kuruhusu bao la dakika za lala salama Everton, anasema meneja wa muda Cristian Stellini.
Spurs walisonga mbele kwa bao 1-0 kupitia mkwaju wa penalti wa Harry Kane dakika 10 baada ya Abdoulaye Doucoure wa Everton kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Lakini walishindwa kupata ushindi kufuatia bao zuri la kusawazisha la Michael Keane dakika ya 90, lililokuja baada ya mchezaji wa akiba wa Spurs, Lucas Moura kutolewa nje.
Chanzo cha picha, Getty Images
Bondia wa Uingereza Amir Khan amepigwa marufuku kwa miaka miwili baada ya kipimo cha kuzuia matumizi ya dawa za kusisimua misuli kubaini kuwepo kwa dawa iliyopigwa marufuku kufuatia pambano lake dhidi ya Kell Brook Februari 2022.
Bingwa huyo wa zamani wa dunia wa uzani wa light-welter alikutwa kuwa na Ostarine mwilini.
Khan, ambaye alistaafu kucheza ndondi mwezi Mei, alikubali kuwa alivunja sheria za kupinga matumizi ya dawa za kusisimua misuli lakini akasema haikuwa makusudi.
Chanzo cha picha, Reuters
Mechi za Jumanne za Ligi Kuu zitasitishwa kwa muda kwa wachezaji Waislamu ambao wamekuwa wakifunga wakati wa Ramadhani.
Ikiwa vilabu vimeomba kusimamishwa kabla ya mchezo huo, mwamuzi ataonyesha mapumziko, na kuwaruhusu wachezaji Waislamu kula na kunywa uwanjani.
Mchezo wa Everton dhidi ya Tottenham ulisimamishwa katika dakika ya 26 ili kuruhusu wachezaji ambao walikuwa wamefunga wakati wa mchana kuchukua kufuturu.
Wachezaji watatu wa Kiislamu walikuwa kwenye kikosi cha Sean Dyche pale Goodison Park.
Manchester United "bado wanapaswa kushinda" michezo hata wakati wachezaji muhimu hawapatikani, anasema meneja Erik ten Hag.
United wamekosa kupata ushindi katika ligi tangu Februari, msururu ambao umeenda sambamba na kusimamishwa kwa Casemiro na kuumia kwa Christian Eriksen.
Walakini, Ten Hag alisema kwamba wachezaji wengine wa kati walilazimika kuongeza kasi.
“Unapokosa wachezaji wawili wenye ubora ni wazi, lakini una kikosi na usipokuwa nao bado lazima ushinde,” alisema. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Graham Potter amekataa fursa ya kuchukua usukani kama meneja wa Leicester baada ya kutimuliwa Chelsea.(Talksport)
Potter atasubiri hadi msimu ujao kabla ya kuchukua kazi yake ijayo. (Mail)
Meneja wa zamani wa Barcelona na Uhispania Luis Enrique ameibuka kama mtangulizi wa kuwa meneja mpya wa Chelsea. (Sun)
Chelsea wanataka kuwahoji mameneja watano kuhusu nafasi yao iliyo wazi, wakiwemo Enrique, Julian Nagelsmann, Mauricio Pochettino, Luciano Spalletti wa Napoli na mwingine mmoja. (Telegraph - subscription required)
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Manchester United Erik ten Hag anaona nahodha wa Uingereza Harry Kane kama chaguo lake la kwanza la mshambuliaji msimu huu lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 yuko tayari kusajiliwa katika mkataba mpya Tottenham. (Athletic - subscription required)
Meneja wa Sporting Lisbon Ruben Amorim na bosi wa Eintracht Frankfurt Oliver Glasner pia wanazingatiwa. (Guardian)
Uongozi wa Chelsea una wasiwasi kuhusu umri wa mkufunzi wa zamani wa Bayern Munich Nagelsmann mwenye umri wa miaka 35. (Sky Sports)
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Uingereza Harry Maguire, 30, atauzwa United msimu huu huku Ten Hag akitoa wito kwa klabu hiyo kuwa na jeuri zaidi katika kukiondoa kikosini. (Manchester Evening News)
Manchester United wamefanya mazungumzo ya kiuchunguzi kuhusu kumsajili beki wa pembeni wa Ufaransa Benjamin Pavard, 27, kutoka Bayern Munich. (Athletic - subscription required)
United wameanza mazungumzo juu ya kumsajili beki wa pembeni wa Bayer Leverkusen na Uholanzi Jeremie Frimpong, 22. (Florian Plettenberg)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham watatafuta maoni ya Brendan Rodgers kuhusu kuwa meneja wao mpya kufuatia kutimuliwa kwake Leicester. (Football Insider)
Arsenal wamefanya mazungumzo na kiungo wa kati wa Ubelgiji Youri Tielemans, 25, ambaye mkataba wake na Leicester unakamilika msimu huu. (TeamTalk)
Klabu ya Saudi Arabia ina nia kubwa ya kumnunua mshambuliaji wa Aston Villa na Brazil Philippe Coutinho, 30. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Newcastle United ni mojawapo ya vilabu kadhaa vya Ligi ya Premia vinavyoonyesha nia ya kumnunua kiungo wa kati wa Manchester City, Muingereza Taylor Harwood-Bellis, 21, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Burnley. (90min)
The Blues wameongeza nia yao ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa Atalanta na Denmark Rasmus Hojlund, 20. (Mail)
Chelsea wana makubaliano ya mdomo kumsaini kiungo wa Ecuador Kendry Paez, 15, kutoka Independiente del Valle katika mkataba ambao unaweza kuwa na thamani ya zaidi ya £17.5m. (Standard) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Jurgen Klopp amesema bado ni meneja wa Liverpool "kwa sababu ya siku za nyuma" badala ya kiwango cha sasa cha timu yake.
Brendan Rodgers na Graham Potter walifutwa kazi siku ya Jumapili, hii ikimaanisha kuwa mameneja 12 wa Premier League wamefukuzwa kazi msimu huu.
Liverpool wako katika hatari ya kumaliza ligi vibaya zaidi chini ya Klopp, ambaye timu yake itatembelea Chelsea Jumanne, lakini msimamo wake bado haujachunguzwa.
"Kama ungekuwa msimu wangu wa kwanza ingekuwa tofauti kidogo," alisema Mjerumani huyo.
"Ninafahamu ukweli kwamba nimekaa hapa kwa sababu ya siku za nyuma, sio kwa sababu ya kile tulichofanya msimu huu."
Klopp, 55, ameisaidia Liverpool kushinda tuzo kuu ya soka ya klabu kwa miaka saba na nusu huko Anfield, na kumfanya kuwa meneja aliyekaa muda mrefu zaidi kwenye Premier League.
Chanzo cha picha, Getty Images
Klabu ya Wolves imepigwa faini ya pauni 57,500 na Chama cha Soka kwa kushindwa kuwadhibiti wachezaji wao katika mechi ya mwezi uliopita ilichapwa mabao 4-2 na Leeds kwenye Ligi ya Premia.
Wachezaji na wafanyikazi walipinga bao la dakika za lala salama huko Molineux, wakidai Adama Traore alichezewa vibaya katika mchezo huo.
Mchezaji aliyetokea benchi ambaye hajatumika Matheus Nunes alionyeshwa kadi nyekundu kwa maandamano yake, lakini ilibatilishwa baada ya Wolves kukata rufaa.
Hapo awali mlinzi wa Wolves Jonny alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Luke Ayling.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kipa wa Everton Asmir Begovic hana shaka kuwa kikosi cha Sean Dyche kitakuwa thabiti kukwepa kushushwa daraja, licha ya matokeo ya wikendi kuwaweka kwenye nafasi ya 18 kwenye jedwali.
The Toffees wanamaliza ratiba kwa mechi ya nyumbani dhidi ya Tottenham Jumatatu wakijua kuwa msongamano ulio chini ya jedwali unamaanisha ushindi utawapandisha hadi nafasi ya 13.
"Tuko katika hali nzuri na tulivu kuhusu hali," aliambia kipindi cha Sportsworld cha BBC World Service. "Kila kitu kiko mikononi mwetu na ikiwa tutashughulikia biashara jinsi tunavyojua tunaweza, tutakuwa sawa.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha mkuu wa muda wa Chelsea h anasema imekuwa "saa 24 ngumu kwetu sote" baada ya Graham Potter kufutwa kazi siku ya Jumapili.
Potter na kocha msaidizi Billy Reid wameondoka katika klabu hiyo baada ya michezo 31 pekee, huku Bruno akichukua majukumu ya timu.
Bruno na Reid walikuwa sehemu ya wakufunzi wa Potter huko Brighton na walijiunga na Chelsea Septemba iliyopita.
England itavalia kaptula za bluu badala ya nyeupe kwenye Kombe la Dunia la Wanawake msimu huu wa joto baada ya wachezaji kueleza wasiwasi wao kuhusu kipindi hiki.
Jezi hizo mpya za nyumbani zitavaliwa kwa mara ya kwanza katika mchezo wa kwanza wa Fainali ya Alhamisi dhidi ya Brazil kwenye Uwanja wa Wembley.
Ni nyeupe yenye mistari ya samawati na kaptula za samawati, huku vifaa vya ugenini vyote ni vya bluu. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool na Manchester City wote wanafanya kazi ya kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Mason Mount, 24, kutoka Chelsea msimu huu wa joto, huku Reds kwa sasa wakionekana kuwa mstari wa mbele. (Football Insider)
Mshambulizi wa Argentina Lionel Messi, 35, hatapunguza malipo yake ili kusalia Paris St-Germain . (Goal)
Messi ana maamuzi ya kufanya iwapo ataondoka kutoka mabingwa hao wa Ufaransa, na huenda akachukua ofa kutoka kwa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia au kurejea Barcelona. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City na Real Madrid wamemfanya mlinzi wa RB Leipzig mwenye umri wa miaka 21 wa Croatia Josko Gvardiol kuwa mlengwa wao wa kati, na timu hiyo ya Ujerumani ingetaka pauni milioni 75. (90min)
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy amemwambia meneja wa zamani Mauricio Pochettino hataki Muargentina huyo kurejea katika klabu hiyo wakati wa mazungumzo kuhusu uwezekano wa kurejea. (Star)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambulizi Mfaransa h, 27, ni miongoni mwa wachezaji wanane ambao Manchester United wanatazamia kuwauza msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chelsea wanakabiliwa na uwezekano wa kuwalipa wachezaji mamilioni ya pesa ili kuondoka katika klabu hiyo msimu huu wa joto huku wakipania kupunguza dau lao la mishahara. (Sun)
Manchester United wanafuatilia hali ya mshambuliaji wa Atletico Madrid na Ureno Joao Felix, 23, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Chelsea. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
United inamshabikia mlinda lango wa Porto Mreno Diogo Costa, 23, na Mhispania David Raya, 27, wa Brentford - hata hivyo hakuna ambaye hatataka kuhama ikiwa mchezaji nambari moja wa klabu hiyo David de Gea, 32, atatia saini mkataba mpya. (Express)
Chanzo cha picha, AFP
Meneja wa Italia hamethibitisha kuwa Brazil wanataka kumteua kama kocha wao, hata hivyo anataka kusalia Real Madrid. (ESPN)
Matumaini ya Aston Villa kumsajili kiungo wa kati wa Uhispania Oihan Sancet kutoka Athletic Bilbao yamepata pigo baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 kusaini mkataba mpya wa muda mrefu katika klabu hiyo ya La Liga. (TeamTalk)
Tottenham na PSG wamepewa fursa ya kumsajili beki wa Uhispania Aymeric Laporte, 28, kutoka Manchester City. ( 90 Minutes )
Manchester City inalenga kumsajili Ansu Fati wa Barcelona , 20, kufuatia maoni yaliyotolewa na babake fowadi huyo wa Uhispania kuhusu kukosa muda wa kucheza. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wameingia katika mbio za kuwania saini ya mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, msimu huu. (Evening Standard)
Chelsea pia wanajipanga kuwasilisha ombi la kumnunua beki wa kushoto wa Barcelona na Hispania Alejandro Balde, 19, kuchukua nafasi ya beki wao wa England Ben Chilwell, 26. (Sport).
Bayern Munich wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Chelsea Kai Havertz, 23, huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani akionyesha nia ya kuungana tena na meneja wake wa zamani Thomas Tuchel. (90Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wamemwambia Lionel Messi kwamba watalipa chochote kinachohitajika ili kumbakisha mshambuliaji huyo wa Argentina, 35, huku kukiwa na ripoti kwamba Barcelona wamewasiliana na Messi kuhusu uwezekano wa kurejea. (Mundo Deportivo)
Arsenal wanamtaka kiungo wa kati wa Real Madrid Aurelien Tchouameni kuboresha kikosi chao msimu wa joto, huku Liverpool pia ikidaiwa kumtaka Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 23. (El Nacional)
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp alisema klabu hiyo imekuwa na shughuli nyingi wakati wa mapumziko ya kimataifa ikipanga malengo ya msimu wa joto na iko tayari kutumia pesa nyingi katika soko la usajili. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambulizi wa Chelsea Pierre-Emerick Aubameyang, 33, anataka kurejea Barcelona lakini The Blues hawataki kumuuza mshambuliaji huyo wa Gabon. (Sport)
Roma wanafikiria kumnunua mlinda mlango wa Manchester United David de Gea, huku Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 32 mkataba wake ukikamilika msimu wa joto. (Fichajes)
Wachezaji wawili wa Crystal Palace na Ghana Jeffrey Schlupp, 30, na Jordan Ayew, 31, wametia saini kandarasi mpya huko Eagles. (Athletic) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Klabu ya Saudi Arabia Al Hilal inataka kumfanya mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi, 35, kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani. (Mirror)
Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich wanakaribia kukamilisha dili la kocha msaidizi wa Chelsea Muingereza Anthony Barry. (90Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wanataka kitita cha pauni milioni 70 kumuuza kiungo wa kati wa England Mason Mount, 24, licha ya kusalia na mwaka mmoja wa mwisho wa kandarasi yake. (Athletic)
Mount ana nia ya kujiunga na Bayern Munich na kuungana na meneja wake wa zamani wa Chelsea Thomas Tuchel. (Guardian)
Lakini kiungo wa kati wa West Ham Declan Rice, 24, hasakwi na Bayern na hawakufanya mkutano na wawakilishi wa mchezaji huyo wa kimataifa wa England wiki iliyopita. (Sky Sports Ujerumani)
Chanzo cha picha, Getty Images
Lakini klabu ya Ligi Kuu ya Soka ya Inter Miami ina matumaini ya kumsajili Messi na kiungo wa kati wa Barcelona na Hispania Sergio Busquets, 34, msimu ujao. (Sport)
Mshambulizi wa Tottenham na England Harry Kane, 29, anasakwa na Manchester United wanaosaka mshambuliaji, hata hivyo mshambuliaji wa Ajax Mghana Mohammed Kudus, 22, na mchezaji wa kimataifa wa Ureno wa Benfica Goncalo Ramos, 21, ni miongoni mwa chaguzi zao nyingine. (Manchester Evening News)
Chanzo cha picha, Getty Images
Matumaini ya Manchester United ya kumsajili kiungo wa kati wa Uholanzi Frenkie de Jong, 25, yameongezeka kufuatia Barcelona kutaka kumnunua kiungo wa kati wa Manchester City na Ujerumani Ilkay Gundogan, 32. (Mirror)
Wakala wa Gundogan amekanusha kuwa nahodha huyo wa Manchester City ameshafanya maamuzi kuhusu mustakabali wake, ingawa yuko tayari kuhama. (Guardian)
West Ham huenda ikaachana na meneja wao David Moyes mwishoni mwa msimu huu, bila kujali kama klabu hiyo itaepuka kushushwa daraja. (90Min)
Leeds United inaweza kumgeukia meneja wa zamani wa Crystal Palace, Mfaransa Patrick Vieira, katika majira ya joto, ikiwa bosi wa Uhispania Javi Gracia - aliyeteuliwa kama mrithi wa Jesse Marsch hadi mwisho wa msimu - ataondoka. (TalkSPORT)
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Manchester City na Uhispania Aymeric Laporte, 28, analengwa na Paris St-Germain. (Football Insider)
Chelsea na Tottenham wako tayari kupigana kumsajili beki wa Inter Milan na Italia Alessandro Bastoni, 23, msimu huu wa joto. (Fichajes - kwa Kihispania)
Mshambuliaji wa Ufaransa Olivier Giroud, 36, anatazamiwa kusaini mkataba mpya na AC Milan ambao utaendelea hadi 2024. (Fabrizio Romano)
AC Milan wamepewa ofa ya kiungo wa kati wa Guinea Naby Keita, 28, kabla ya kuondoka Liverpool msimu huu mkataba wake utakapomalizika. (Calciomo)
Jose Mourinho ameiambia Roma kuwa anataka kuheshimu kandarasi yake, ambayo itaendelea hadi 2024. Kumekuwa na uvumi kwamba bosi huyo wa Ureno anataka kuihama klabu hiyo huku akihusudiwa na Paris St-Germain. (Corriere dello Sport) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kipa wa Hispania David de Gea, 32, amekataa ofa ya kwanza ya Manchester United ya kandarasi mpya. (Athletic)
Kiungo wa kati wa West Ham Declan Rice, 24, ndiye mchezaji anayesakwa zaidi na Arsenal msimu huu wa joto na kuna imani inayoongezeka kuwa wanaweza kufanikiwa kiwashinda Chelsea, Manchester City na Manchester United ili kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza. (Evening Standard)
Real Madrid wamemfanya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham, 19, kuwa usajili wao wa kipaumbele, hata hivyo miamba hao wa Hispania pia wanavutiwa na mlinzi wa Chelsea mwenye umri wa miaka 23 Reece James. (AS)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United inawafuatilia mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt ya Ufaransa Randal Kolo Muani, 24, na mshambuliaji wa Atalanta wa Denmark Rasmus Hojlund, 20 iwapo wataaambiwa bei kubwa kwa mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 29 chaguo lao la kwanza. (Manchester Evening News)
United huenda ikakosa kumsajili kiungo wa Austria Marcel Sabitzer kwa usajili wa kudumu baada ya mkataba wake wa mkopo kumalizika huku meneja mpya wa Bayern Munich Thomas Tuchel akiamua kumbakisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mjerumani Julian Nagelsmann, 35, na Muargentina Mauricio Pochettino, 51, wako tayari kurithi mikoba ya Muitaliano Antonio Conte katika klabu ya Tottenham - hata hivyo mameneja wote wawili watasubiri kuona kama kibarua cha Real Madrid kitapatikana katika msimu wa joto. (90min)
Kocha wa zamani wa Hispania Luis Enrique, 52, anasema angependa kufundisha ligi kuu England akiwa na timu ambayo inaweza kufanya "mambo makubwa". (Cadena SER)
Kiungo wa kati wa Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, yuko tayari kuondoka Manchester City na kujiunga na Barcelona kwa uhamisho wa bure mwishoni mwa msimu huu. (Football Insider)
Barcelona wataendeleza mpango wa kumnunua Gundogan baada ya kufikia makubaliano ya mdomo kumsaini beki wa kati wa Athletic Bilbao raia wa Hispania Inigo Martinez, 31. (ESPN).
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona itakabiliana na ushindani kutoka kwa Arsenal na Chelsea katika mbio za kumnunua mshambuliaji wa Athletico Paranaense wa Brazil Vitor Roque, 18. (Sport)
Manchester City na Paris St-Germain wamewasilisha ombi la kwanza kwa mlinzi wa Hajduk Split mwenye umri wa miaka 16 kutoka Croatia Luka Vuskovic. (90min)
Mshambulizi wa kimataifa wa England Marcus Rashford, 25, amekanusha ripoti kwamba anataka mkataba mpya, wenye thamani ya £500,000 kwa wiki ili kusalia Manchester United, akisema habari hizo ni kama "upuuzi mtupu". (Athletic) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City bado wanamngoja kiungo wa kati wa Ujerumani Ilkay Gundogan kufanya uamuzi kuhusu mustakabali wake, huku Barcelona wakitamani kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 kwa uhamisho wa bure. (Fabrizio Romano)
Iwapo Gundogan ataondoka, City inamfikiria kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham, 19, na kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Florian Wirtz, 19, kama wachezaji wanaoweza kuchukua nafasi yake. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wanajiandaa kutoa dau la pauni milioni 80 kumnunua mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 29, baada ya mtendaji mkuu wa klabu Richard Arnold kuidhinisha mpango huo. (Star)
Bayern Munich wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na England Mason Mount, 24. (Times)
Manchester United hawajachukua "hatua zozote zaidi" katika kuafiki mkataba mpya kwa mshambuliaji wa England Marcus Rashford, 25. (Athletic )
Chanzo cha picha, Getty Images
Vilabu vinavyovutiwa na Roberto de Zerbi vitalazimika kulipa kiasi fulani kwa Brighton kwa ajili ya meneja huyo wa Italia, na makubaliano yanaweza tu kufanywa katika majira ya joto, si wakati wa huu msimu ukiendelea. (Fabrizio Romano)
Wakati huo huo, De Zerbi anataka udhibiti zaidi na fedha zaidi katika mipango ya uhamisho ya Seagulls. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea bado hawajaanza mazungumzo ya mkataba mpya na kiungo wa kati wa Croatia Mateo Kovacic, huku Manchester City wakimtaka. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 amebakiza miezi 16 katika mkataba wake wa sasa. (Standard)
Liverpool wako tayari kulipa zaidi ya £60m kumnunua beki wa kati wa Napoli na Korea Kusini Kim Min-jae, 26, ambaye pia anasakwa na Manchester United. (Rai, via Four Four Two)
Arsenal wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Denmark Jesper Lindstrom, 23, ambaye Eintracht Frankfurt itamruhusu kuondoka kwa ada ya takriban euro 30m. (Sport 1)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wanatazamiwa kumuweka sokoni kiungo Muingereza Ruben Loftus-Cheek, 27, mwishoni mwa msimu huu. (Football Insider)
Vilabu kadhaa vya Ligi kuu ya England, vikiwemo Leicester, Fulham na Wolves, vinamfuatilia kiungo wa kati wa Lorient na Ufaransa walio chini ya umri wa miaka 21 Enzo le Fee baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kuthibitisha kwamba anataka kuondoka katika klabu hiyo ya Ufaransa msimu huu. (90Min)
Tottenham wamefikia makubaliano ya awali ya mkataba wa kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Herbie James, 16, kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka akademi ya Manchester City. (Football London) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City haina mpango wa kumuuza kiungo wake wa kati wa Muingereza Kalvin Phillips msimu huu wa joto, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 kucheza mechi chache tu tangu kuhamia Ettihad kutoka Leeds United. (Football Insider)
Hata hivyo, Phillips anasemekana kuwa atakua tayari kuondoka City huku kukiwa na hofu kwamba kukosa muda mwingi wa kucheza kunaweza kuathiri nafasi yake ya kuchaguliwa kwenye kikosi cha England. (90MIN)
Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi, 35, anaweza kuhamia MLS msimu huu wa joto - huku kila klabu kati ya 29 kwenye ligi ikichangia mshahara wake. (Sport)
PSG wanaendelea kuwasiliana na wawakilishi wa kiungo wa kati wa Chelsea na Ufaransa N'Golo Kante, 31 kwa ajili ya mkataba mpya (90min).
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Leeds United Rodrigo, 32, huenda alazimika kupunguzwa mshahara ikiwa atatia saini kandarasi mpya katika klabu hiyo. Mkataba wa sasa wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania unatarajiwa kumalizika msimu wa joto wa 2024. (Football Insider)
Mshambuliaji wa England Bukayo Saka, 21, atapokea takriban £15m kwa msimu atakapotia saini mkataba wake mpya na Arsenal. (Mail)
Liverpool bado hawajaanza mazungumzo ya kandarasi na kiungo wa zamani wa England James Milner licha ya Jurgen Klopp kutaka kumbakisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 kwa mwaka mwingine. (Athletic)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea italazimika kuongeza kiasi kikubwa cha pesa kwa kuwauza wachezaji msimu huu ili kuepuka kukiuka kanuni za kifedha za Ligi Kuu ya Uingereza mwaka ujao. (Saa - usajili unahitajika)
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy anataka kujua kama Julian Nagelsmann yuko tayari kuchukua nafasi ya Antonio Conte kama kocha mkuu wa Spurs. (Barua)
Kikosi cha Bayern Munich kimegawanyika katika makundi mawili kuhusu uamuzi wa kumfuta kazi meneja wa Ujerumani Julian Nagelsmann, 35. (Bild, via Goal).
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham ni miongoni mwa klabu kadhaa za Ligi kuu England zinazomtaka mshambuliaji wa Brighton na Jamhuri ya Ireland Evan Ferguson, 18. (Football Insider)
Borussia Dortmund wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Ireland Kaskazini mwenye umri wa miaka 19 Shea Charles kutoka Manchester City. (Bild)
Barcelona italazimika kusajili angalau wachezaji watatu hadi wanne kwa uhamisho wa bure msimu huu wa joto na kufanya kazi ndani ya bajeti ndogo ya mishahara. (Mundo Deportivo) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wako tayari kutoa euro milioni 100 kumnunua mshambuliaji wa Nigeria Victor Osimhen, 24, wa Napoli. (Football Insider)
Chelsea wako kwenye mazungumzo na kiungo wa kati wa Ufaransa N'Golo Kante, 31, kuhusu kandarasi mpya ya miaka miwili, kukiwa na chaguo la mwaka zaidi Stamford Bridge. (Fabrizio Romano)
The Blues wamesikitishwa na meneja wa zamani, Mjerumani Thomas Tuchel, kwa kuweka hadharani nia yake ya kumchukua kocha wa kiwango cha juu wa Uingereza Anthony Barry kwenda Bayern Munich. (Telegraph)
Chanzo cha picha, Reuters
Manchester United wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Benfica na Ureno Goncalo Ramos, 21, ambaye ana kipengele cha kuondoka cha euro milioni 120 (£105.6m). (Record, via Goal)
Mshambulizi Evan Ferguson, 18, atakataa kuhamia Manchester United kwa sababu mchezaji huyo wa kimataifa wa Jamhuri ya Ireland anadhani kusalia Brighton kutakuwa bora zaidi kwa maendeleo yake. (Sun)
Wakati huo huo, Manchester United watamfikiria kipa wa Brentford Mhispania David Raya, 27, kama mbadala wa mtani wake David de Gea, 32, ambaye bado hajakubali kusaini mkataba mpya. (Give Me Sport)
Chanzo cha picha, BBC Sport
Arsenal wataipatia kipaumbele jaribio lingine la kumsajili kiungo wa kati wa Brighton na Ecuador Moises Caicedo, 21, msimu wa joto. (Football transfers)
Aston Villa, Newcastle na Brighton wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Alex Oxlade-Chamberlain, 29, ambaye mkataba wake na Liverpool unamalizika mwishoni mwa msimu huu. (Mail)
Barcelona wamejiondoa katika mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Ureno na Wolves Ruben Neves, 26, msimu huu. (Fichajes - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Uhispania Sergio Busquets, 34, bado hajakubali mkataba mpya na Barcelona na anaweza kuhamia Ligi Kuu ya Soka. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Chelsea na Arsenal watamenyana katika kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo wa kati wa Everton na Ubelgiji Amadou Onana, 21, baada ya kuanza vyema soka lake Goodison Park. (Fichajes - kwa Kihispania) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Klabu za Leeds United na Westham zinamuania kiungo wa Manchester City Kalvin Phillips. Phillips alijiunha na City toka Leeds msimu uliopita lakini amekosa namba Ettihad (Daily star).
Chanzo cha picha, Getty Images
Alex Telles, mlinzi wa Manchester United atarejea Old Trafford mwishoni mwa msimu kwa kuwa hakuna kipengele cha kumnunua moja kwa moja kwenye mkataba wake wa mkopo huko Sevilla aliko kaka (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa pembeni wa Chelsea, Mykhailo Mudryk anapaswa kupewa muda na kumtathmini baada ya muda wake Chelsea sio wakati huu mfupi aliojiunga Stamford Bridge akitokea Shakhtar, anasema mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Andriy Shevchenko.
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool wanahusishwa na kiungo mhispania Gabri Veiga na wako tayari kumnunua mwishoni mwa msimu akitokea Celta Vigo (Thisisanfield).
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United inasaka mshambuliaji msimu ujao, huku jina la kinda wa Atalanta Rasmus Hojlund likiwavutia mashetani hao wekundu..Nyota huyo mwenye umri wa miaka 20 alifunga mabao matatu akiichezea Denmark kwa mara ya kwanza wiki hii. (Ekstra Bladet) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Fulham na timu ya taifa ya Serbia Aleksandar Mitrovic, 28, alikuwa akisakwa na Manchester United kabla ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu Old Trafford kwa kumsukuma mwamuzi Chris Kavanagh. (Daily Star)
Manchester United pia wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Brighton na Jamhuri ya Ireland Evan Ferguson, 18. (Football Insider)
United "wana nia ya dhati" ya kumsajili mshambuliaji wa Denmark Rasmus Hojlund, 20, ambaye anachezea Atalanta. (Ekstra Bladet, via Spoti Shahidi)
Manchester City wako tayari kumpa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland, 22, kandarasi mpya yenye thamani ya pauni 500,000 kwa wiki ili kuzuia nia ya Real Madrid wanaomnyatia. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Leeds United wana nia ya kumsajili tena kiungo wa kati wa Uingereza Kalvin Phillips, 27, msimu huu wa joto licha ya kwamba alijiunga na Manchester City pekee mwaka jana. (Daily Star)
Brighton hawatamruhusu meneja wao Roberto de Zerbi, 43, kuondoka kujiunga na Tottenham Hotspur wanaomtaka achukue mikoba ya bosi wao wa sasa, Muitaliano mwenzake Antonio Conte mwenye umri wa miaka 53. (Press)
Hakuna mazungumzo yaliyokuwa yamefanyika kati ya Tottenham na Mjerumani Thomas Tuchel, 49, kabla ya kocha huyo wa zamani wa Chelsea kuteuliwa kuwa meneja wa Bayern Munich siku ya Ijumaa. (Evening Standard)
Kiungo wa kati wa England James Ward-Prowse, 28, bila shaka ataondoka Southampton msimu huu wa joto ikiwa Saints watashuka daraja, huku Tottenham wakitaka kumsajili. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal ni miongoni mwa klabu zinazohitaji kumnunua kiungo wa kati wa Southampton raia wa Ubelgiji Romeo Lavia, 19. (Fabrizio Romano)
Inter Milan wanafuatilia sana hali ya Pierre-Emerick Aubameyang katika klabu ya Chelsea na wanaweza kumnunua mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Gabon. (Gazzetta dello Sport)
Kiungo Luka Modric, 37, amepuuza tetesi za kuhamia klabu ya Saudi Arabia huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Croatia akisema anataka kustaafia Real Madrid. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham wanavutiwa na kiungo wa kati wa Sporting Lisbon Manuel Ugarte, 21. (Mirror)
Leeds pia wametuma maskauti kumtazama mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay. (O Jogo via Goal)
West Ham wanamtaka mshambuliaji wa Coventry na Sweden Viktor Gyokeres, 24, ambaye thamani yake ni karibu £20m. (Sun)
Brentford, Crystal Palace, Everton, Leeds na Leicester zote pia zinamfuatilia Gyokeres. (90Min) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham Hotspur wamemuweka kocha mjerumani Julian Nagelsmann, 35, aliyefukuzwa kazi Bayern Munich - kama chaguo lao namba moja kuchukua nafasi ya Muitaliano Antonio Conte, 53, kama bosi wao mpya. (Football Insider)
Spurs wanataka kufanya mazungumzo na Nagelsmann, baada ya kuarifiwa awali kwamba bosi huyo wa zamani wa RB Leipzig ana 'mapenzi' kwa klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza. (Mail)
Hata hivyo, Nagelsmann anaweza kuchukuliwa kama meneja ajaye wa Real Madrid, huku Muitaliano mwenye umri wa miaka 63 Carlo Ancelotti akiwa hana uhakika na mistakabali wake. (Sport)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mjerumani Thomas Tuchel, 49, atambeba kocha msaidizi wa Chelsea Muingereza Anthony Barry, 36, kwenda kumsaidia majukumu huko Bayern baada ya kuchukua nafasi ya Nagelsmann. (Telegraph)
Bayern walifanya haraka kumteua Tuchel kutokana na hofu kwamba huenda akafuatwa na Real Madrid au Tottenham. (Mirror)
Tuchel pia atajaribu kumsajili mlinda mlango wa Senegal Edouard Mendy, 31, na kiungo wa kati wa Croatia Mateo Kovacic, 28, kutoka klabu yake ya zamani ya Chelsea. (Calciomercato, via Football.London)
Manchester United wameungana na Manchester City na Liverpool katika mbio za kumnunua Kovacic wa Chelsea. (90Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Manchester City na Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, na wale wanaohusika katika mazungumzo kuhusu mustakabali wake wanaamini huenda akahamia Uhispania. (Athletic)
Arsenal watamuuza mchezaji wao aliyeweka rekodi ya uhamisho Nicolas Pepe, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Nice, msimu huu lakini huenda ikawalazimu kumlipa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 27 ili kuondoka. (Sun)
Kiungo wa kati wa kimataifa wa Brazil na West Ham Lucas Paqueta, 25, ataondoka msimu wa joto ikiwa The Hammers watashuka daraja. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
PSV Eindhoven wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ivory Coast Ibrahim Sangare, 25, huku Arsenal, Chelsea, Liverpool na Tottenham zikionyesha nia ya kumtaka. (90Min)
Barcelona wana matumaini UEFA haitaamua kuifungia klabu hiyo kushiriki mashindano ya Ulaya huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya malipo ya klabu hiyo kwa afisa wa zamani wa waamuzi. (Mail)
Mmiliki wa Chelsea, Todd Boehly amekubali kwa muda kuandaa mechi ya nyota wote ya kuchangisha fedha katika uwanja wa Stamford Bridge mwezi Agosti kwa ushirikiano na shirika la kutoa misaada la Football for Ukraine. (Evening Standard) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Real Madrid wanajiandaa kulipa €240,000,000 kiasi kilichowekwa kwenye mkataba wa Erling Haaland, kipengele hicho kitaanza kufanya kazi mwaka 2024 (Transfers News Live).
Chanzo cha picha, Talksports
Kuonekana akiwa na winga wa Arsenal Bukayo Saka pamoja na gwiji wa zamani wa klabu hiyo, Ian Wright, kumeongeza tetesi zaidi za kiungo wa West Ham, Declan Rice za kuhamia Arsenal katika dirisha kubwa lijalo (WrightOfficial).
Chanzo cha picha, Getty Images
Inaelezwa Manchester United inapewa kipaumbele zaidi cha kumsajili mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen - lakini itahitaji kulipa ada ya uhamisho ya kuvunja rekodi ya uhamisho England (The Sun football).
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea inaripotiwa kutaka kuvunja mkataba wa mshambuliaji wake Pierre-Emerick Aubameyang, kiwa ni chini ya mwaka mmoja tangu wamsajili mwezi Agosti mwaka jana (The sun Football).
Chanzo cha picha, Getty Images
Thomas Tuchel atasaini mkataba wakati wowote kuwa kocha mpya wa Bayern. Mkataba wake utampeleka mpaka June 2025, karibu miaka miwili na nusu. Anakwenda kumrithi Julian Nagelsmann (Romano). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mechi za mzunguko wa tatu na nne za kuwania kufuzu kwa Fainali zijazo za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2023) zitapigwa kwa muda wa siku nane zijazo huku mataifa 45 yakijaribu kufuzu fainali zijazo za michuano hiyo zitakazofanyika nchini Ivory Coast kuanzia Januari mwakani.
Nchi tano zimeshinda michezo yao yote miwili ya ufunguzi, ikiwa ni pamoja na Morocco waliofuzu nusu fainali Kombe la Dunia na mabingwa watetezi Senegal.
Timu mbili za juu kutoka katika makundi 12 ya timu nne nne zitatinga fainali - isipokuwa katika Kundi H ambapo wenyeji Ivory Coast wanafuzu moja kwa moja na timu nyingine tatu zinacheza kuwania nafasi moja.
Makundi mawili pia yamepunguzwa hadi timu tatu kwa sababu ya Shirikisho la soka duniani, FIFA kuzipiga marufuku kujishughulisha na soka nchi za Kenya na Zimbabwe.
BBC Sport Africa inaangalia namna mzunguko wa makundi unavyoendelea.
Nigeria iliichapa Sierra Leone 2-1 nyumbani na kisha kuizaba Sao Tome 10-0. Mshambulizi wa Super Eagles, Victor Osimhen ndiye mfungaji bora wa michuano hiyo mpaka sas akiwa amefunga mabao matano.
Majirani wa Nigeria kutoka Afrika Magharibi Guinea-Bissau pia wameanza vyema kampeni zao kwa kushinda nyumbani dhidi ya Sao Tome na kutoka sare ya 2-2 ugenini dhidi ya Sierra Leone.
Hapo jana Sierra Leone na Sao Tome zilienda sare ya 2-2
Machi 24: Nigeria v Guinea-Bissau
Machi 26: Sao Tome na Principe v Sierra Leone
Machi 27: Guinea-Bissau v Nigeria
Burkina Faso, ambao walifika fainali mwaka 2013, waliibuka na ushindi dhidi ya Cape Verde na kisha kutoka nyuma na kuifunga Eswatini.
Cape Verde ilitinga hatua ya 16 bora ya Afcon iliyopita nchini Cameroon kabla ya kuchapwa na Senegal ambao walikuwa mabingwa. Baade waliwachapa Togo.
Mechi zijazo:
Machi 24: Burkina Faso v Togo / Cape Verde v Eswatini
Machi 28: Togo v Burkina Faso / Eswatini v Cape Verde
Timu tatu katika Kundi C zinachuana kuwania nafasi mbili baada ya Kenya kuondolewa kufuatia kusimamishwa kwao na Fifa kwa sababu ya serikali kuingilia masuala ya michezo.
Washindi mara tano Cameroon, chini ya kocha Rigobert Song, walichukua usukani wa kundi hilo kwa ushindi wa 1-0 nchini Burundi katika mhcezo wao pekee hadi sasa.
Machi 23: Cameroon v Namibia
Machi 28: Namibia v Cameroon
Hili ndilo kundi linaloonekana kuwa na mshuano mklai zaidi kati ya makundi 12 kwani timu zote nne zina alama tatu baada ya raundi mbili za mwanzo.
Timu bora katika orodha ya Fifa duniani Misri, wako mkiani kwa tofauti ya mabao baada ya ushindi wao dhidi ya Guinea na kuchapwa 2-0 ugenini na vinara Ethiopia, ambao walishiriki katika AFCON ya kwanza mwaka 1957 lakini wamefuzu mara mbili tu tangu 1982.
Kwingineko, Malawi iliishinda Ethiopia lakini ikachapwa na Guinea, na kuacha kundi likiwa gumu zaidi kutabirika.
Machi 24: Guinea v Ethiopia / Misri v Malawi
Machi 28: Ethiopia v Guinea / Malawi v Misri
Mechi za kwanza kwa kocha mpya wa Ghana Chris Hughton zitakuwa mbili dhidi ya Angola iliyo nafasi ya pili.
Black Stars walitoka suluhu na Madagascar katika mchezo wao wa ufunguzi lakini wakatoka sare ugenini dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Madagascar ilitinga robo fainali ya AFCON 2019 - michuano pekee kufuzu kufikia sasa - na watakuwa na matumaini ya kufuzu tena kupitia michezo yao miwili dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Machi 23: Madagascar v Jamhuri ya Afrika ya Kati / Ghana v Angola
Machi 27: Jamhuri ya Afrika ya Kati v Madagascar / Angola v Ghana
Algeria wanawania kufuzu fainali za AFCON kwa mara ya ishirini na mabingwa hao wa mwaka 2019 bado hawajaruhusu bao katika mechi za ushindi nyumbani dhidi ya Uganda na ugenini nchini Tanzania.
Niger pia hawajafungwa lakini wametoka sare katika michezo yao yote miwili na kuwafanya Uganda na Tanzania kuwa katika wakati mgumu wakijiandaa kukabiliana na Algeria.
Tanzania sasa iko chini ya kocha mpya, baada ya kumteua Malgeria Adel Amrouche ambaye pia amewahi kuzifundisha Kenya, Burundi, Libya na Botswana.
Machi 23: Algeria v Niger
Machi 24: Uganda v Tanzania
Machi 27: Niger v Algeria
Machi 28: Tanzania dhidi ya Uganda
Uamuzi wa kuwajumuisha wenyeji Ivory Coast katika hatua ya makundi ulifanywa ili kuwapa mazoezi ili wasiingie kwenye michuano hiyo kwa hasara bila kucheza soka la ushindani.
Kati ya nchi nyingine zinazopigania nafasi moja ya wazi ya kufuzu katika Kundi H, mabingwa wa mwaka 2012, Zambia wako katika nafasi nzuri zaidi baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Comoro, shukrani kwa bao la dakika za lala salama kutoka kwa kiungo Kings Kangwa.
Zambia imemteua kocha wa zamani wa Chelsea na Ghana Avram Grant
Machi 23: Zambia v Lesotho
Machi 24: Ivory Coast v Comoro
Machi 26: Lesotho v Zambia
Machi 28: Comoro v Ivory Coast
Vinara wa kundi hilo Mauritania bado hawajaruhusu bao huku wakijaribu kufuzu AFCON kwa mara ya tatu.
Gabon pia wana ushindi mmoja na sare moja katika mechi za mbili za kwa kwanza ugenini.
Matokeo ya kusikitisha ya DR Congo hadi sasa yanamaanisha kuwa Leopards wanapaswa kukaza buti baada ya kupoteza michezo yao miwili ya kwanza ambapo wamefunga bao moja pekee.
Machi 23: Gabon v Sudan
Machi 24: DR Congo v Mauritania
Machi 27: Sudan v Gabon
Machi 29: Mauritania v DR Congo
Vinara wa Kundi Tunisia, ambao wameshinda kombe hilo mara moja pekee, walipokuwa wenyeji mwaka wa 2004, walianza vyema kwa ushindi wa 4-0 nyumbani dhidi ya Equatorial Guinea lakini wakatoka sare tasa na Botswana.
Libya, ambayo hivi karibuni imebadilisha kocha wao, pia ilipata ugumu wa kucheza dhidi ya Zebra lakini ilishinda mchezo huo kwa bao moja, na baadaye kufungwa ugenini dhidi ya Equatorial Guinea.
Machi 24: Equatorial Guinea v Botswana / Tunisia v Libya
Machi 28: Botswana v Equatorial Guinea / Libya v Tunisia
Morocco, wakiwa na uwanda mpana wa kujiamini baada ya ubabe wao kwenye fainali za Kombe la Dunia, wameshinda michezo yao yote miwili na wanaongoza kundi hilo. Katika mzunguko wa sasa hawana mchezo wa mchujo, wana mechi ya kirafiki dhidi ya Brazil.
Michezo mawili wiki hii inayowakutanisha Afrika Kusini na Liberia itaamua nani atashika nafasi ya pili.
Kama Kenya, Zimbabwe pia inatumikia adhabu ya Fifa na imeondolewa.
Machi 24: Afrika Kusini v Liberia
Machi 28: Liberia v Afrika Kusini
Mabingwa watetezi Senegal wanaoongoza kundi hili, huku Sadio Mane akifunga mabao manne, wanakabiliana na mpinzani wake wa karibu Msumbiji katika michjezo miwili ya nyumbani na ugenini.
Benin, ambayo hivi majuzi ilimteua kocha wa zamani wa Nigeria, Gabon, Niger na Burkina Faso Gernot Rohr, ilifika robo fainali mwaka wa 2019 lakini wamepoteza michezo yote miwili hadi sasa. Pia wameachana na jina la utani la "Squirrels".
Mechi dhidi ya Rwanda ambao wamepoteza mmoja na kutoka sare mmoja ni muhimu kwa timu hiyo ambayo sasa inajulikana kwa jina la "The Cheetahs".
Machi 22: Benin v Rwanda
Machi 24: Senegal v Msumbiji
Machi 27: Rwanda v Benin
Machi 28: Msumbiji v Senegal | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Taarifa mpya zinasema familia ya Glazer wamiliki wa klabu ya Manchester United wanataka kiasi cha kati ya £4bilioni na £6bilioni. Jana ilikuwa mwisho wa matajiri wanaotaka kuinunua kupeleka ofa zao na wengi wamejitokeza.
Chanzo cha picha, Getty Images
Nahodha wa zamani wa Manchester City, Vincent Kompany anayekinoa kikosi cha Burnley anatajwa kuwaniwa na Tottenham Hotspurs ambao wanatarajiwa kuachana na kocha wao Antonio Conte wakati wowote. (Times)
Chanzo cha picha, Getty Images
Nahodha wa Arsenal, Martin Ordegaard atasaini mkataba mpya wakati wowote utakaombakiza Emirates mpaka mwaka 2030. Mkataba wa sasa unamalizika mwishoni mwa msimu unaokuja.(The Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
lvaro Morata amezungumzia mustakabali wake: “Nitamsikiliza kocha, na klabu... nina furaha kuwa hapa Atlético Madrid, lakini hujui nin9i kinaweza kutokea huko mbele. Nataka kucheza zaidi, lakini usisahau Memphis ametua hapa pia”. (Press)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinzi wa Manchester United Victor Lindelof naye kazungumzia mustakabali wake: “Nataka kucheza, ndiyo maana nacheza soka, lakini sifikirii kuhusu dirisha lijalo la uhamisho,muda ukifika tutafanya tathimini kuona kipi kizuri”. Mlinzi huyo anasakwa na Atlético Madrid ambao walijaribu kumnasa Januari ikashindikana. (Romano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kinyang'anyiro cha kuwania taji la Ligi Kuu kinakaribia mwisho wa ajabu tunapoingia katika miezi miwili ya mwisho.
Arsenal waliendeleza uongozi wao kileleni hadi pointi nane kwa kuwalaza Crystal Palace 4-1 Jumapili na wamebakia na michezo 10 huku wakitarajia kutamatisha miaka 19 ya kungoja ubingwa.
Manchester City wana mchezo mkononi lakini pia bado wako kwenye Kombe la FA na Ligi ya Mabingwa, kumaanisha kuwa wanaweza kucheza mechi saba zaidi ya Arsenal.
Timu hizo mbili zitakutana katika mechi ambayo huenda ikawa muhimu katika Uwanja wa Etihad tarehe 26 Aprili.
Kwa hivyo ni nani anayependelewa kuchukua taji?
BBC Sport imepunguza namba na kuchambua orodha ya mechi ili kujaribu kujua kitakachojiri...
Hebu tuanze na ratiba.
Mtazamo wa Arsenal ni rahisi: wanahitaji pointi 26 kutoka kwa mechi hizo 10 ili kutwaa ubingwa, ikizingatiwa kuwa City ni kushinda mechi zao zote zilizosalia.
Mechi ya mwisho ya Arsenal itakuwa nyumbani dhidi ya Wolves tarehe 28 Mei.
City inayonolewa na Pep Guardiola imesalia na mechi 11 lakini pia inakabiliwa na robo fainali ya Ligi ya Mabingwa mikondo miwili dhidi ya Bayern Munich na nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Sheffield United kwenye Uwanja wa Wembley.
Iwapo City watashinda zote mbili, fainali ya Kombe la FA itafanyika Juni 3 na nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa imepangwa kuchezwa 9/10 na 16/17 Mei, kabla ya fainali mjini Istanbul tarehe 10 Juni.
Kulingana na utafiti na mifano ya kampuni ya Gracenote, Arsenal ya Mikel Arteta ina nafasi ya 53% ya kunyakua taji la Ligi ya Premia, wakati nafasi ya City kuhifadhi taji lao ni 47%.
"Licha ya Arsenal kuongoza kwa pointi nane, bado inakaribia asilimia 50/50 kwa sababu The Gunners wamecheza mchezo zaidi ya Manchester City na bado wanapaswa kucheza ugenini katika timu tatu kati ya sita bora: City, Newcastle United na Liverpool," Alisema Simon Gleave, mkuu wa uchambuzi wa michezo, Gracenote.
"Safari ngumu zaidi iliyosalia kwa City katika Ligi ya Premia ni kwenda kwa Brighton mwezi ujao.
"Ikiwa tutatumia uwezekano kutoka kipimo cha Klabu ya Euro kwa kila mechi iliyosalia kuhesabu pointi zinazotarajiwa kwa Arsenal na Manchester City mwishoni mwa msimu, Arsenal itamaliza na pointi 87 na City na pointi 86.
"Ikiwa tutatenga ushindi, sare au kushindwa kwa kila moja kati ya mechi zilizosalia zikiongozwa na uwezekano wa kipimo cha Klabu ya Euro, timu zote zitamaliza kwa pointi 88.
Vyovyote vile, hiki ni kinyang’anyiro kikali sana cha ubingwa kutabiri.
"Mechi kati ya wawili hao mnamo Aprili 26 itakuwa dhahiri kuwa mechi muhimu katika kuamua hatima ya Kombe la Ligi Kuu.
"Kwa msingi wa wastani wa asilimia 66 ya nafasi ya ushindi kwa City kulingana na kipimo cha Klabu ya Euro, tumeipa City pointi tatu.
Ikiwa Arsenal itaepuka kushindwa, au hata kushinda, hii itakuwa na athari kubwa kwenye kutafuta ubingwa."
Chanzo cha picha, BBC Sport
Mashabiki wa Arsenal ambao wana ndoto ya kunyakua taji la kwanza tangu 2003-04 wanaweza kupata faraja kutokana na historia.
Kwa mujibu wa Opta, ni timu tatu pekee kwenye Ligi ya Primia ambazo zimeongoza kwa pointi nane au zaidi baada ya mechi 28 na hazijashinda taji hilo.
Msimu wa 1997-98 Manchester United iliiongoza Arsenal kwa pointi tisa baada ya kucheza michezo 30 lakini The Gunners, waliokuwa na michezo mitatu mkononi, waliziba pengo hilo na kufanikiwa kutwaa taji lao la kwanza la Premier League.
Miaka mitano baadaye Manchester United ililipiza kisasi kwa kufukuzia uongozi wa Arsenal kwa pointi nane baada ya michezo 29.
Lakini United walikuwa kwenye nafasi ya pili msimu wa 2011-12 wakati City ilipofuta kilichokuwa kinawaweka kifua mbele yaani pointi nane kabla ya kutwaa kombe siku ya mwisho kutokana na bao la Sergio Aguero.
Ukiangalia nyuma zaidi, kati ya timu 12 zilizo na pointi zaidi ya 69 baada ya kucheza mechi 30 za Ligi Daraja la Kwanza au Ligi Kuu (kubadilisha pointi tatu ili kupata ushindi) ni timu moja tu iliyoshindwa kutwaa ubingwa - Liverpool msimu wa 2018-19.
Beki wa zamani wa Arsenal Martin Keown kwenye MOTD 2: "Itakuwa ya kuvutia kuona jinsi kinyang’anyiro cha ubingwa kinavyokwenda kutoka sasa, lakini naweza kusema Arsenal wamefanya yote wanayoweza kufanya hadi sasa.
"Bado kuna kazi nyingi iliyosalia, lakini wametia pointi kibindoni kuendeleza uongozi huu na City italazimika kukabiliana na msongamano wa mechi ili kuwashika huku wakijaribu kushinda Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA pia."
Mlinzi wa zamani wa Wales Danny Gabbidon kwenye BBC Radio 5 Live: "Ni uwiano ambao timu hii ya Arsenal sasa inao. Ni mashine iliyo na mafuta vizuri. Kuna michezo mikubwa zaidi inayokuja, lakini wanaonekana wakiwa katika hali nzuri na mimi sifikirii kama wanaenda popote. Kinyang’anyiro cha taji kinakwenda vizuri."
Mwandishi wa habari Luke Edwards kwenye podcast ya kils siku ya BBC Radio 5 Live: "Arsenal inaonekana kama washindi wa taji na hio litakuwa matokeo mazuri kwa Ligi Kuu kwa sababu ni moja ya vilabu ambavyo havijashinda ligi kwa muda mrefu. "
Kiungo wa zamani wa Premier League, Nigel Reo-Coker kwenye Football Daily: "Kuitazama Arsenal hivi sasa ni kama kutazama Man City ya Pep miaka michache iliyopita wakati ilikuwa ya kuburudisha sana, ilikuwa inakuvutia kutaka kuitazama kwa sababu soka na mtindo kutoka mbele hadi nyuma ulikuwa wa kustaajabisha tu." | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Spurs wanataka pauni milioni 100 mbele kwa mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane ikiwa watafikiria kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 msimu wa joto wakati atakuwa amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake. (Times - subscription required)
Manchester City wanazidi kujiamini kuwa wanaweza kumpata Muingereza Jude Bellingham, 19, msimu wa joto, lakini Real Madrid wanasalia kwenye mbio za kumnunua kiungo wa kati wa Borussia Dortmund. (ESPN)
Mtu mwenye nia ya kuinunua Manchester United Sir Jim Ratcliffe anasema hataki kulipa "bei ya kijinga" kwa klabu hiyo. (Wall Street Journal)
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham Hotspur wanatarajiwa kukubaliana na kuondoka kwa meneja wao Muitaliano Antonio Conte, 53, wiki hii, huku mchezaji wa zamani na kocha wa kikosi cha kwanza Mwingereza Ryan Mason, 31, akitarajiwa kuchukua usukani hadi mwisho wa msimu. (Telegraph - subscription required)
Arsenal wako tayari kumpa mchezaji wa Norway Martin Odegaard, 24, mkataba mpya wa kumuweka katika klabu hiyo hadi 2030. (Football Transfers)
Newcastle United inalenga kumlenga kiungo wa Manchester United Scott McTominay msimu huu wa joto na mchezaji huyo wa kimataifa wa Scotland, 26, anaaminika kuwa tayari kuhama. (Telegraph - subscription required)
Chanzo cha picha, Getty Images
Matumaini ya Juventus kumsaini N'Golo Kante, 31, bila malipo msimu wa joto yamekatizwa, huku kiungo huyo wa kati wa Ufaransa akitarajiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili na Chelsea. (Tuttomercato - in Italian)
Arsenal, Tottenham na West Ham wamemtazama mshambuliaji wa Red Bull Salzburg, Noah Okafor, huku kandarasi ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Uswizi ikikamilika msimu wa joto 2024. (Mail).
Kipa wa Aston Villa aliyeshinda Kombe la Dunia Emiliano Martinez anasisitiza kuwa anapanga kusalia katika klabu hiyo, licha ya kuvutiwa sana na mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina mwenye umri wa miaka 30. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wako tayari kumuuza mlinda mlango wa Senegal Edouard Mendy, 31, kufuatia kuvunjika kwa mazungumzo ya kuongeza mkataba. (Football Insider)
Mchezaji wa Fulham ambaye ni kiungo wa kati wa zamani wa Manchester United Andreas Pereira, 27, anavutia Chelsea, ambao wanamwona Mbrazil huyo kama mbadala wa Muingereza Mason Mount, 24 - lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka kwa Atletico Madrid na Paris St-Germain. (ESPN)
Nahodha wa Barcelona Mhispania Sergio Busquets, 34, anafikiria ofa kutoka kwa Ligi Kuu ya Soka na Saudi Arabia, lakini ataamua wakati wa mapumziko ya kimataifa ikiwa atazikataa na kukubali mkataba mpya wa kusalia Nou Camp. (Mundo Deportivo - in Spanish) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa wanafikiria kumnunua mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 29, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo huko Inter Milan akitokea Chelsea. (Todo Fichajes – in Spanish)
Manchester United wako tayari kumuuza nahodha na beki wa kati wa England Harry Maguire, 30, na mlinzi wa Uswisi Victor Lindelof, 28, msimu huu. (Football Insider)
Meneja Jurgen Klopp anataka Liverpool kumpa kiungo mkongwe wa Uingereza James Milner, 37, mkataba mpya. (Football Insider)
Chelsea wana nia ya kumnunua kipa wa Inter Milan na Cameroon Andre Onana, 26, msimu wa joto. (InterLive, via Fichajes - in Spanish)
Arsenal wanataka kumsajili beki wa kulia wa Galatasaray Mfaransa Sacha Boey, 22. (Aksam - in Turkish)
Kiungo mshambuliaji wa Ujerumani Marco Reus, 33, anataka kusalia Borussia Dortmund, ambako ni nahodha, hadi mwisho taaluma yake . (Sky Germany - in German)
Chelsea na Newcastle wote wanamfuatilia mshambuliaji wa zamani wa Manchester City Brahim Diaz. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 23 kwa sasa yuko kwa mkopo huko AC Milan kutoka Real Madrid lakini anaweza kupatikana mwishoni mwa msimu huu. (Sun)
Tottenham wanaweza kufufua nia yao ya kumnunua beki wa kati wa Napoli na Korea Kusini Kim Min-jae, 26, msimu huu. (Football Insider)
Everton watamnunua mshambuliaji wa West Ham kutoka Jamaica Michail Antonio, 32, msimu wa joto, iwapo wataepuka kushushwa daraja. (Sun)
Kiungo wa kati wa Ghana Mohammed Kudus, 22, anatumai kusalia Ajax hadi mwisho wa msimu huu licha ya Manchester United, Arsenal na Liverpool kumtaka. (De Telegraaf, via 90min)
Besiktas wanajiandaa kuanzisha kipengee cha kununu kununua katika mkataba wao wa mkopo wa beki wa West Ham kutoka Congo Arthur Masuaku, 29. (Fanatik, via Inside Futbol)
Kocha wa zamani wa Everton Frank Lampard yuko tayari kwa nafasi yake nyingine ya ukocha, karibu miezi miwili tangu atimuliwe na The Toffees. (Sun) | 2 |
Meneja wa Manchester United Erik ten Hag yuko mbioni kuongezewa mkataba wa miaka mitatu, licha ya mazungumzo yanayoendelea kuhusu uwezekano wa kuuzwa kwa klabu hiyo. (Mirror)
Chelsea wanataka kumsajili mlinda mlango wa Leeds United Mfaransa Illan Meslier, 23, katika dirisha kubwa lijalo la usajili. (Football Insider)
Newcastle United wako katika mipango ya kutaka kumnunua winga wa Bayer Leverkusen Mfaransa Moussa Diaby, 23, na beki wa kushoto wa Uholanzi Mitchel Bakker, 22. (90min - in Germain)
Mshambulizi wa Liverpool na Brazil Roberto Firmino, 31, anataka kusalia Ulaya atakapoondoka Anfield mwishoni mwa msimu huu. (Football Insider)
Wakala wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa amepuuzilia mbali uvumi unaosema kuwa Mo Salah anataka kuondoka Liverpool.(90Min)
Liverpool na Manchester United wote wanavutiwa na mlinda mlango wa Anderlecht Mholanzi Bart Verbruggen, 20. (Het Laatste Nieuws )
Kipa wa Senegal Edouard Mendy, 31, ameambiwa anaweza kuondoka Chelsea msimu huu wa joto. (Mirror)
Bosi wa zamani wa England Roy Hodgson, 75, yuko tayari kurejea tena katika klabu ya Crystal Palace kwa mkataba wa mpaka mwisho wa msimu huu baada ya mazungumzo mazuri mwishoni mwa juma.(Sun)
Chelsea wanafikiria kujenga uwanja mpya Stamford Bridge ambao unaweza kugharimu hadi £2bn na utawahusisha kucheza kwenye uwanja mwingine kwa miaka minne, viwanja wanavyoweza tumia kwa muda ni Craven Cottage, Twickenham na Wembley (Mail)
Wolves iko tayari kusikiliza ofa ya kuuzwa kwa Ruben Neves msimu huu wa joto huku Barcelona, Real Madrid, Manchester United na Liverpool wakimtaka kiungo huyo wa kati wa Ureno mwenye umri wa miaka 26. (Mirror)
Liverpool haitampa mkataba mpya kiungo raia wa Guinea Naby Keita, mkataba wake wa sasa utakapomalizika mwishoni mwa msimu huu huku Inter Milan ikimtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. (Calciomercato)
Fowadi wa Ghana Mohammed Kudos anamalengo ya kuisaidia Ajax kutetea taji la ligi ya Uholanzi. Kuliko kujali tetesi za kuhamia Manchester United, na anasema ataingia kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba "wakati utakapowadia". (De Telegraaf)
Tottenham wanamfuatilia winga wa Watford Adrian Blake, 17, ambaye mkataba wake yake inamalizika msimu wa joto. (Mail)
Borussia Monchengladbach hawataki kumpoteza kiungo wao Manu Kone katika dirisha lijalo la majira ya jotot huku Chelsea wakiwa miongoni mwa vilabu vinavyomtaka Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 21. (Caught Offside)
Wachezaji zamani wa Ufaransa na Arsenal Patrick Vieira na Thierry Henry huenda wakapigania nafasi ya kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya wanaume ya Marekani. (Goal)
Paris St-Germain wako tayari kutoa kiasi cha euro milion 180 (£159m) ili kupata saini ya winga wa Napoli na Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 22. (Corriere dello Sport) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Real Madrid wanafuatilia yanayoendelea na mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 29, ambaye mkataba wake unamalizika 2024 na amekuwa akihusishwa na uwezekano wa kuhamia Manchester United au Bayern Munich. (Mail)
Kipengele cha kuachiwa cha euro 200m (£175m) kilichoandikwa katika kandarasi ya Erling Haaland na Manchester City si halali tena na klabu itaweza kuweka bei yao wenyewe iwapo itataka kumuuza mshambuliaji huyo wa Norway, 22, ambaye yuko chini ya kandarasi hadi 2027. (Goal)
Brighton wako tayari kumpa winga wa Kijapani Kaoru Mitoma, 25, mkataba utakaoweka rekodi huku Real Madrid, Manchester City na Arsenal wakionesha nia yao. (Goal)
Patrick Vieira alitimuliwa kama meneja wa Crystal Palace kwa sababu iliaminika alikuwa mpole sana kwa wachezaji wake ambao hawakucheza vizuri. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea ina "nia na shauku ya juu" kumsajili mchezaji wa West Ham Declan Rice, 24, msimu ujao - kiungo huyo wa kati wa safu ya ulinzi wa Uingereza ana mkataba Uwanja wa London hadi 2024. (Florian Plettenberg)
Kiungo wa kati wa Ufaransa anayesumbuliwa na majeraha N'Golo Kante, 31. - ambaye hajacheza tangu Agosti kwa sababu ya tatizo la misuli ya paja lakini anaendelea kurejea katika hali nzuri - "yuko tayari" kusaini mkataba mpya wa miaka miwili Chelsea. (Sun)
Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, ambaye amekuwa akilengwa kwa muda mrefu na Manchester United na Chelsea, alisema katika mahojiano kwenye televisheni ya Uhispania: "Barca imekuwa klabu ya ndoto zangu siku zote... natumai kuendelea huko kwa miaka mengine mengi". (TV3 - in Catalan)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Nigeria Alex Iwobi, 26, ambaye mkataba wake wa sasa na Everton unaendelea hadi msimu wa 2024, amepewa mkataba mpya lakini anasubiri kuona jinsi msimu utakavyoisha kabla ya kuusaini. (Football Insider)
Liverpool itawaruhusu kiungo wa kati wa zamani wa England Alex Oxlade-Chamberlain, 29, na Naby Keita, 28, wa Guinea kuondoka kama wachezaji huru msimu ujao, huku Mbrazil Arthur Melo, 26, akirejea Juventus mwishoni mwa mkataba wake wa mkopo huku Jurgen Klopp akiomba kujenga upya safu yake ya kiungo wa kati. (Athletic - subscription required)
Kiungo wa kati wa Bayern Munich na Uholanzi Ryan Gravenberch, 20, amekamilisha uhamisho wa kwenda Liverpool, kulingana na mchezaji wa zamani wa Reds Jose Enrique, ambaye alifichua hayo kwenye mtandao, moja kwa moja. (Sun)
Winga wa Napoli wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 22, ambaye amekuwa akihusishwa na Real Madrid na Manchester City, anaweza kushawishika kujiunga na Newcastle ikiwa watafuzu kwa Ligi ya Mabingwa msimu ujao. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona itakuwa tayari kuwauza viungo Ousmane Dembele, 25, wa Ufaransa, na Ferran Torres, 23, wa Uhispania, ili kupata pesa za kufadhili usajili wa mshambuliaji wa Juventus wa Italia Federico Chiesa, 25. (Calciomercato - in Italian)
Kiungo wa kati wa zamani wa Uhispania Sergio Busquets, 34, amepewa ofa ya kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja na Barcelona, kukiwa na chaguo la mwaka mmoja zaidi, lakini pia anaangalia uwezekano wa kuhamia Inter Miami au Toronto kwenye MLS, na amepewa ofa kutoka vilabu vitatu nchini Saudi Arabia. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Manchester United wamepanga kumteua mtendaji mkuu wa Adidas Matt Hargreaves, ambaye ana historia ya sheria na ni shabiki wa United, kuongoza mazungumzo yao ya uhamisho wa soka. (Athletic - subscription required) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Matumaini ya Arsenal kushinda taji la barani Ulaya yaligonga mwamba usiku wa Alhamisi baada ya kushindwa na Sporting Lisbon - lakini je, mwishowe kushindwa huko kunaweza kuwa baraka?
The Gunners walitinga hatua ya 16 bora ya Ligi ya Uropa kwa mikwaju ya penalti - Arsenal ya kwanza kushindana kwenye Uwanja wa Emirates - na kuhitimisha pambano hilo kubwa.
Katika dakika 120 ngumu, Arsenal walikubali bao la kusawazisha la umbali wa yadi 46, wakapoteza wachezaji kutokana na majeraha na mwishowe wakatoka mikono mitupu.
Mikel Arteta anaamini kuwa jeraha la Takehiro Tomiyasu linaonekana kuwa "mbaya sana" baada ya nyota huyo wa Arsenal kuondoka Emirates kwa magongo, huku William Saliba pia akitolewa mapema uwanjani kutokana na tatizo la mgongo.
Kwa hivyo kushindwa huku, kutaumiza kikosi cha Arteta - ambacho kwa sasa kinaongoza Ligi Kuu kwa pointi tano - au itakuwa 'baraka' yenye matarajio makubwa zaidi, kama ilivyopendekezwa na mlinzi wa zamani Martin Keown?
Chanzo cha picha, Getty Images
Arteta alielezea kushindwa kwao kama "pigo kubwa" kutokana na juhudi zao kukabiliwa na ushindani mkali.
Arsenal walikuwa kifua mbele dhidi ya Sporting kupitia kwa Granit Xhaka, lakini ushindi huo ukafutiliwa mbali na Pedro Goncalves kutoka umbali wa yadi 46.
Hatimaye, mkwaju wa penati wa Gabriel Martinelli uliokolewa kwenye mikwaju ya penati, na hivyo kuhitimisha msururu wa michezo sita bila kushindwa katika mashindano yote kwa The Gunners.
"Hatukushinda mechi za kutosha katika nafasi fulani. Hatukudhibiti mpira vya kutosha. Tulitoa mpira nje mara kwa mara hali ambayo ilitengeneza mchezo wa wazi ambao hatukutaka kucheza," Arteta alisema.
"Lazima tujitathmini kwa nini hatukucheza vizuri. Mechi yetu inayoofuata dhidi ya Crystal Palace ni fainali.
"Tumekuwa tukiasumbuliwa nachangamoto ya majeraha kwa msimu mzima, lakini tulikabiliana nayo. Hatuwezi kukata tamaa bado tuna kibarua kingine mbele yetu.
"Ni mechi 11 zimesalia sasa na tuna fainali dhidi ya Crystal Palace. Tunapaswa kurejea kwenye kinyang'anyiro hiki kwa kuweka umakini wote hapo na kushinda."
Nahodha wa Arsenal Martin Odegaard, ambaye aliingia kama mchezaji wa akiba katika muda wa ziada, alisema "hawakucheza vyema", na lengo lao sasa linahamia kwenye ubingwa wa Ligi Kuu pekee.
"Lazima tukumbuke umekuwa msimu mzuri," Odegaard alisema.
"Ni pigo kubwa kuondolewa kwenye mashindano haya lakini sasa tunatazamia ligi, hilo ndilo tunaloweza kufanya sasa.
"Tunashinda na kushindwa pamoja. Tunaposhinda kila mtu ana furaha, tunaposhindwa lazima tujitipatie motisha."
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa zamani wa Uingereza Chris Sutton alisema matokeo ya Alhamisi yanaweza kuwa "usiku muhimu" katika msimu wa Arsenal katika mbio yao ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza.
Arsenal watawaalika Crystal Palace siku ya Jumapili - siku tatu tu baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Uropa - na wanaweza kuhisi athari ya ya majeraha ya Saliba na Tomiyasu, ambao walilazimika kutolewa uwanjani katika kipindi cha kwanza.
"Nadhani mashabiki wengi wa Arsenal wangewataka kutanguliza Ligi Kuu," Sutton aliiambia BT Sport, alipoulizwa kuhusu Arteta kufanya mabadiliko matano kwenye kikosi cha kwanza.
"Kutakuwa na wasiwasi wa kukosa huduma ya Saliba. Kiasi gani kutokuwepo kwake kutaathiri timu na kadhalika. Kama hawatashinda Jumapili watu watautazama huu kama usiku muhimu."
Lakini mlinzi wa zamani wa Arsenal Keown anafikiri inaweza kuwa "baraka" ya kutolazimika tena kusawazisha mzunguko wa kikosi.
"Ni masikitiko kwa Arsenal lakini unajiuliza, je hii ni baraka? Inaweza kuaathiri kasi kasi ya kuwania taji la EPL? Sidhani. Kulikuwa na majeruhi kadhaa hivyo hueanda kikosi kilishindwa kutokana na hilo," aliiambia BT Sport.
"Lakini ilionekana kama kibarua cha ziada. Arsenal hawakuwa katika michuano ya Uropa msimu uliopita. Labda ni heri wametoka.
"Ushindi wa Ligi ya Premia unakaribia sana [na sasa] wanaweza kuelekeza juhudi zao zote huko. Arsenal wanajaribu kudhibiti Manchester City lakini tusishangae kuwa wameshindwa na mbinu zote [dhidi ya Sporting].
"Wanataka sana kushinda Ligi ya Premia na ilikuwa ngumu sana kubadilisha mwelekeo wao hadi mashindano mengine."
Chanzo cha picha, Getty Images | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wako tayari kuwasilisha dau la kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham, 19, kutoka Borussia Dortmund. (Telegraph - usajili unahitajika)
Newcastle United wanataka kumpa kipaumbele kiungo wa Leicester James Maddison msimu huu wa joto huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 akisemekana kutaka kucheza Ligi ya Mabingwa na kuwa mchezaji wa kawaida katika kikosi cha England. (The I)
Muda wa mkopo wa Dele Alli katika klabu ya Besiktas hautafanywa kuwa wa kudumu msimu wa joto, huku Everton wakitarajiwa kusitisha kandarasi ya kiungo huyo Mwingereza mwenye umri wa miaka 26. (Football Insider)
Thierry Henry amekataa nafasi ya kuwa kocha mkuu wa timu ya wanawake ya Ufaransa. (Le Figaro - kwa Kifaransa)
Klabu za Manchester United, Newcastle, Brighton na Brentford zimeonyesha nia ya kumnunua kiungo wa kati wa Uhispania na Celta Vigo Gabri Veiga pamoja na vilabu vingine vya Premier League pia hapo awali vilivyoonyesha nia ya kumtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20. (90 Min)
Winga wa Brighton Solly March, 28, anatazamiwa kusaini mkataba mpya na klabu hiyo wakati mkataba wake wa sasa ukitarajiwa kumalizika msimu huu wa joto. (The Athletic)
Chanzo cha picha, Getty Images
Wolves wako tayari kumpa mkataba mpya nahodha na kiungo wa kati wa Ureno Ruben Neves, 26. (90 Min)
Bayer Leverkusen wana nia ya kumsajili beki wa West Ham na Jamhuri ya Czech Vladimir Coufal, 30. (Football Insider)
Crystal Palace watafanya uamuzi kuhusu mustakabali wa meneja Patrick Vieira wakati wa mapumziko ya kimataifa. (Telegraph - usajili unahitajika)
Beki wa zamani wa Tottenham na England Danny Rose, 32, anafanya mazoezi na klabu ya York City inayoshiriki Ligi ya Taifa, akiwa hana klabu tangu mkataba wake wa Watford ulipokatizwa mwezi Septemba. (Sun) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, atapewa ofa ya euro milioni 220 (£193m) kwa mwaka ili kuhamia klabu ya Saudi Arabia mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika msimu wa joto. (Marca kwa Kihispania)
Mshambulizi wa Manchester City Julian Alvarez, 23, anatazamiwa kusaini mkataba mpya ambao utamweka mshindi huyo wa Kombe la Dunia la Argentina Etihad hadi 2028. (Mail).
Kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba anataka kusalia Juventus msimu ujao, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 kucheza kwa dakika 35 tu kwenye ligi ya Serie A msimu huu kwa sababu ya majeraha. (90 Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Barcelona Xavi Hernandez tayari amezungumza na kiungo wa kati wa Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, kuhusu uhamisho. Mkataba wa Gundogan huko Manchester City unamalizika majira ya joto. (AS - kwa Kihispania)
Borussia Dortmund huenda ikampa winga wa kimataifa wa Ujerumani Julian Brandt, 26, kandarasi mpya katika jitihada za kuzuia nia ya Arsenal na Tottenham. (Bild ya Michezo - kwa Kijerumani)
Manchester United wanaweza kuwasilisha ofa ya pauni milioni 105 kumnunua mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt na Ufaransa Randal Kolo Muani, 24. (Sport Bild - kwa Kijerumani)
Chelsea wana nia ya kumsajili Manu Kone wa Borussia Monchengladbach huku kiungo huyo wa kati wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 21 akivutia pia Paris St-Germain. (Sun)
The Blues wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa kimataifa wa Uingereza Ruben Loftus-Cheek, 27, msimu huu wa joto na klabu tano za Premier League, pamoja na AC Milan na Roma zinazowania. (Football Insider)
Mshambulizi wa Ufaransa Karim Benzema, 35, ameripotiwa kukubali kusaini mkataba mpya na Real Madrid. (L'Equipe - kwa Kifaransa)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham wanatazamia kumnunua mshambuliaji wa Werder Bremen na Ujerumani Niclas Fullkrug, 30. (Sport Bild via Sport Witness)
Newcastle, Aston Villa, Wolves na Leeds wana nia ya kumsajili beki wa pembeni wa kimataifa wa Ureno Raphael Guerreiro, 29, mkataba wake na Borussia Dortmund utakapokamilika msimu wa joto. (Dakika 90)
Fulham wanamfuatilia kiungo Mfaransa Edouard Michut, 20, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Sunderland kutoka Paris St-Germain. (Fabrizio Romano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham haiko tayari kumuuza mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane katika msimu wa joto hata kama mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29, ambaye mkataba wake na Spurs unakamilika msimu wa joto 2024, hatasaini mkataba mpya. (Sky Sports)
Kocha mkuu wa zamani wa Uhispania na Barcelona Luis Enrique angependa kuchukua nafasi ya kocha wa Tottenham ikiwa Spurs itaachana na Antonio Conte. (Times - usajili unahitajika)
Afisa Mkuu Mtendaji wa Inter Milan Beppe Marotta anasema mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 29, atarejea Chelsea msimu wake wa mkopo wa muda mrefu katika klabu hiyo ya Serie A utakapokamilika. (Sky Sport Italia)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Argentina Alexis Mac Allister, 24, anavutia vilabu kadhaa na yuko tayari kuondoka Brighton msimu wa joto. (90 Min)
Kipa wa Senegal Edouard Mendy, 31, amefanya mazungumzo ya mkataba na Chelsea lakini pande hizo mbili haziko karibu kufikia makubaliano. (Times - usajili unahitajika)
Manchester United itampa kiungo wa Uruguay Facundo Pellistri, 21, mkataba mpya kabla ya kumtoa kwa mkopo msimu ujao. (Fabrizio Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Leeds United wamekubali kumsajili mshambuliaji wa Barcelona na Uhispania Ilias Akhomach, 18, mwishoni mwa msimu. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Mshambuliaji wa Argentina na Manchester City Julian Alvarez, 23, amekubali mkataba mpya wa miaka mitano na nusu na klabu hiyo ya Ligi ya Premia. (Football Insider)
Newcastle United wanavutiwa na beki wa Arsenal Kieran Tierney lakini The Gunners huenda wasimuuze mchezaji huyo wa kimataifa wa Scotland mwenye umri wa miaka 25 kwani kochaMikel Arteta anataka kumbakisha. (Caught Offside)
Liverpool na Newcastle wanawania kumsajili kiungo wa kati wa Argentina Alan Varela, 21, kutoka Boca Juniors. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Baada ya miaka sita na Paris St-Germain, mchezaji wa kimataifa wa Canada Ashley Lawrence ameamua kutoongeza mkataba wake. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. (Le Parisien - kwa Kifaransa) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mwakilishi wa Real Madrid hivi majuzi alizuru Ujerumani kukutana na Jude Bellingham na familia yake baada ya kumfanya kiungo wa kati wa Borussia Dortmund wa Uingereza, 19, kuwa shabaha yao ya kwanza msimu ujao wa joto. (AS - kwa Kihispania)
Real Madrid wako tayari kulipa Dortmund euro milioni 100 (£88m) kumpata Bellingham, pamoja na nyongeza ya 40m (£35m). (Sport1, via Sport - kwa Kihispania)
Manchester United haitahatarisha kumsaka kwa muda mrefu mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 29, msimu wa joto, kwa matarajio ya kukabiliana na mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy ikimaanisha kwamba wanaangazia wachezaji mbadala, akiwemo mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, na. Mshambulizi wa Juventus na Serbia Dusan Vlahovic, 23. (ESPN)
Chanzo cha picha, Reuters
Christopher Nkunku atakuwa mchezaji wa Chelsea msimu ujao baada ya The Blues kufikia makubaliano kamili na RB Leipzig kumsajili mshambuliaji huyo wa Ufaransa, 25. (Football Insider)
Tottenham wana nia ya kumnunua Emiliano Martinez wa Aston Villa na wanaweza kuwasilisha ofa kwa mlinda mlango huyo wa Argentina, 30, wiki zijazo. (TyC Sports, kupitia Goal)
Rais wa La Liga Javier Tebas anasema anataka kumuona mshambuliaji wa Paris St-Germain na Ufaransa Kylian Mbappe, 24, akiichezea Real Madrid. (Sport - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Reuters
Mshambulizi wa Brazil Neymar, 31, hatarajii kuondoka PSG kwa vile anataka kumaliza soka yake na klabu hiyo ya Ufaransa. (Athletic)
Manchester United wanaweza kufanya uhamisho mwingine msimu huu wa joto kwa mmoja wa walengwa wao wa muda mrefu, beki wa Inter Milan na Uholanzi Denzel Dumfries, 26. (Football Insider)
Man United pia wanapanga kumwacha winga wa Uruguay Facundo Pellistri, 21, kwenda nje kwa mkopo msimu ujao. (Evening sports Manchester)
Chanzo cha picha, Reuters
Kiungo wa kati wa zamani wa Ujerumani Toni Kroos, 33, ameamua kusalia Real Madrid kwa walau msimu mmoja. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Wiga wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 30- Wilfried Zaha, ambaye kandarasi yake katika klabu ya Crystal Palace inamalizika msimu huu wa joto, amepewa ofa ya pauni milioni 9 kwa msimu na klabu ya Al-Ittihad ya Saudi Arabia . (Mail)
West Ham wakotayari kumenyana na RB Leipzig na Atletico Madrid kupata saini ya kiungo wa kati wa Norwich City Mbrazil Gabriel Sara, 23, msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham pia wanaongoza katika mbio za kumsaka beki wa Bournemouth wa Zimbabwe Jordan Zemura, 23, ambaye alitemwa wikendi kutokana na hali yake ya kandarasi. (Dakika 90)
Borussia Dortmund wameamua kumuuza beki wa Ubelgiji Thomas Meunier msimu huu wa joto, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 kuwa na mwaka mmoja zaidi kwenye mkataba wake. (Calciomercato - kwa Kiitaliano)
Kocha wa Fulham Marco Silva anaibuka mshindani mkuu kuchukua nafasi ya Antonio Conte kama kocha wa Tottenham. (Sun)
Chanzo cha picha, BBC Sport
Mshambulizi wa zamani wa Real Madrid, Raul, ambaye kwa sasa ni kocha wa timu ya akiba ya klabu hiyo, amejidhihirisha kuwa ni mshindani mkubwa kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti kama kocha wa kikosi cha kwanza wakati mkataba wa sasa wa Muitaliano huyo utakapomalizika 2024. (AS - kwa Kihispania).
Wachezaji wote katika kikosi cha West Ham wanakabiliwa na 'punguzo kubwa la mishahara' ikiwa klabu hiyo itashushwa daraja kutoka kwa Ligi Kuu msimu huu. (Telegraph - usajili unahitajika) | 2 |
Chanzo cha picha, Rex Features
Mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku anataka kusalia Inter Milan mkopo wake utakapoisha, lakini klabu hiyo ya Italia haiwezi kumudu mshahara wa sasa wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 hayumo katika mipango ya Graham Potter katika klabu ya Chelsea. (Mail)
Paris St-Germain wameungana na Chelsea na Manchester United katika harakati za kumsajili mshambuliaji wa Nigeria Victor Osimhen, 24, kutoka Napoli. (Nicolo Schira)
Chelsea na Newcastle wanafuatilia hali ya Raphinha Barcelona kwani klabu hiyo ya Uhispania inaweza kuwa tayari kumuuza winga huyo wa Brazil, 26. (Sport - Kwa Kihispania).
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wanaangalia uwezekano wa kumnunua Joao Palhinha wa Fulham majira ya joto, ingawa Arsenal, Chelsea, Liverpool, Newcastle na Tottenham pia wanamfuatilia kiungo huyo wa Ureno, 27. (Sun).
Liverpool wanasemekana kuwa tayari kumchukua Palhinha wa Fulham. (Mail)
Manchester City wanavutiwa na Ben Chilwell, 26, kwa kuwa beki huyo wa kushoto wa Uingereza anaweza kuwa sehemu ya "kuondolewa kwa wingi" huko Chelsea msimu huu wa joto. (Athletic- Usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Nottingham Forest haiko tayari kumpa mshambuliaji wa Uingereza Jesse Lingard, 30, mkataba mpya mkataba wake wa mwaka mmoja utakapokamilika msimu huu. (Football Insider)
Inter Milan itajaribu tena kumsajili Victor Lindelof kutoka Manchester United msimu wa joto baada ya kushindwa kuafikiana kwa mkopo na beki huyo wa Sweden, 28, mwezi Januari. (Sun)
Inter wanapigiwa upatu kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Marcus Thuram, 25, kutoka Borussia Monchengladbach, licha ya Juventus, Manchester United na Newcastle kuwinda. (Calciomercato - kwa Kiitaliano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal imekuwa ikimnyatia winga wa Ufaransa Moussa Diaby, 23, kwa miaka miwili iliyopita katika klabu ya Bayer Leverkusen lakini huenda pia Newcastle na Paris St-Germain zikawa na nia ya kutaka. (Fabrizio Romano)
Vitor Roque amepinga uwezekano wa kuhamia Arsenal huku mshambuliaji huyo wa Brazil, 18, akipendelea kuhamia Barcelona kutoka Athletico Paranaense. (Sport - kwa Kihispania)
Atletico Madrid wamejitokeza kuwania saini ya mshambuliaji wa Brazil Roberto Firmino, 31, kama mchezaji huru wakati mkataba wake wa Liverpool utakapokamilika msimu huu wa joto. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 29, anataka kusalia Juventus, licha ya kucheza mechi mbili pekee tangu ajiunge na klabu hiyo ya Italia kutoka Manchester United msimu uliopita wa joto. (Calciomercato - kwa Kiitaliano)
Wasaka vipaji wa Manchester United na Newcastle wanafuatilia ukuzaji wa kiungo wa kati wa PSV Eindhoven na Uholanzi Xavi Simons, 19. (Ekrem Konur)
Nottingham Forest bado hawajaamua iwapo watamsajili mlinda mlango wa Uingereza Dean Henderson, 26, au kipa wa Costa Rica Keylor Navas, 36, kwa mkataba wa kudumu baada ya kumalizika kwa uhamisho wao wa mkopo kutoka Manchester United na Paris St-Germain. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Real Madrid wanamtaka Mbappe, lakini wanatumai wanaweza kumsajili bila malipo kandarasi yake ya PSG itakapokamilika 2024. (AS - in Spanish).
Mbappe aliwasiliana na Real Madrid msimu uliopita wa joto kupitia "wasaidizi" wake na akasema anajuta kukubali mkataba mpya na PSG na kuwataka mabingwa hao wa La Liga kumsajili. (Marca)
Mshambuliaji wa Tottenham na Brazil Richarlison, 25, amejiunga na mshambuliaji wa Paris St-Germain Mfaransa Kylian Mbappe, 24, na wa Benfica Gonçalo Ramos, 21, kama mbadala wa mshambuliaji wa Ufaransa Karim Benzema, 35, huko Real Madrid. (Mundo Deportivo -In Spanish)
Juventus wanataka kumsajili Richarlison kama mbadala wa mshambuliaji wa Serbia Dusan Vlahovic, 23, ambaye anatarajiwa kuondoka katika klabu hiyo ya Serie A msimu wa joto. (Calciomercato - In Italian)
PSG wana bajeti ya uhamisho ya euro 80m pekee (£70.7m) msimu huu wa joto na wanatazamia kumuuza angalau mshambuliaji mmoja wa Brazil Neymar, 31, na wa Argentina Lionel Messi, 35, katika jitihada za kupata pesa kwa wachezaji wapya. (Goal)
Chanzo cha picha, Getty Images
Inter Miami na Ligi Kuu ya Soka wanatumia "njia zote zinazowezekana" kumnasa Messi hadi Amerika katika msimu wa joto. (L'Equipe - In french)
Brentford haitamuuza mlinda mlango wa Uhispania David Raya, 27, msimu huu wa joto ikiwa hawatapokea ofa inayokubalika kwani wako tayari kumruhusu aondoke bila malipo mwaka wa 2024. (90min).
Chanzo cha picha, Getty Images
Nottingham Forest huenda ikafanya usajili mwingine mwishoni mwa msimu huu, huku meneja Steve Cooper akitarajiwa kukabidhiwa bajeti ya zaidi ya pauni milioni 100 iwapo wataepuka kushushwa daraja kutoka kwa Premier League. (Football Insider)
Arsenal, Liverpool, Manchester United na Newcastle United ni miongoni mwa timu ambazo zimemtafuta kiungo wa kati wa Lille na Cameroon Carlos Baleba, 19. (90min).
Familia ya Glazer inalenga kuuzwa kwa Manchester United kabla ya dirisha la uhamisho kufunguliwa mwezi Juni iwapo wataamua kuinunua klabu hiyo. (Telegraph)
Nahodha wa Tottenham ya Uingereza Harry Kane, 29, ndiye mshambuliaji mkuu anayelengwa na Manchester United msimu huu wa joto. (Manchester Evening News)
Chanzo cha picha, Getty Images
Nahodha wa Tottenham ya Uingereza Harry Kane, 29, ndiye mshambuliaji mkuu anayelengwa na Manchester United msimu huu wa joto. (Manchester Evening News)
Tottenham, hata hivyo, wako tayari kumjumuisha Kane katika maamuzi muhimu kuhusu mustakabali wa klabu huku wakijaribu kumshawishi kuongeza mkataba wake zaidi ya 2024. (90min).
Kiungo wa kati wa Manchester City na Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, ndiye "chaguo linalofaa zaidi" kwa Barcelona huku wakitafuta kuimarisha safu yao ya kiungo msimu huu wa joto. (Sport - In Spanish)
Kocha wa zamani wa Chelsea, Mjerumani Thomas Tuchel, 49, hatafikiria kuchukua nafasi ya Antonio Conte kama meneja wa Tottenham isipokuwa wafuzu Ligi ya Mabingwa. (Football Insider)
Inter Milan wanafikiria kumteua Conte, 53, kama kocha kwa mara ya pili huku wakijiandaa kumtimua Muitaliano mwenzake Simone Inzaghi, 46. (Football Insider)
Conte anaweza kuondoka Tottenham mwishoni mwa msimu huu na kuchukua nafasi ya Mreno Jose Mourinho, 60, kama kocha wa Roma. (Soka Italia)
Beki wa Slovakia Milan Skriniar, 28, ameamua kuondoka Inter Milan msimu wa joto na atajiunga na Paris St-Germain kama mchezaji huru. (Fabrizio Roma) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Imeripotiwa kuwa mshambuliaji wa klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza, Roberto Firmino anawaniwa na vilabu viwili kupata saini yake majira haya ya joto.
Taarifa zaidi zinasema klabu moja ambayo bado haijafahamika ya nchini Saudi Arabia inajiandaa kwa ofa kubwa kujaribu kumvutia Firmino kuhamia Mashariki ya Kati. (Football Insider)
Mlinzi wa Man City Aymeric Laporte ameonesha nia ya kurudi Uhispania majira ya joto. ( The Sun)
Jarida hilo linaongeza kuwa, ingawa angetamani kutua katika klabu ya Barcelona, klabu hiyo haitaweza kufanya usajili wowote mkubwa kwa sababu ya changamoto za kiuchumi zinazoendelea.
Newcastle wanapanga kumsajili mlinzi wa kushoto wa klabu ya Arsenal Kieran Tierney wakati wa majira ya joto.
Chanzo cha picha, Getty Images
Wanategemea kutumia zaidi ya Pauni milioni 30 kumpata mchezaji wa huyo wa kimataifa wa Uskoti. (SkySport)
Juventus tayari wako katika mazungumzo na Angel Di Maria juu ya kuongeza mkataba wake. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina atakuwa mchezaji huru ifikapo mwezi wa Juni na bado hajadondosha wino kwenye mkataba mpya na klabu hiyo.
Di Maria (35) ambaye ameshinda kombe la dunia na Argentina, ameifungia magoli saba na kutengeneza nafasi saba zaidi katika michezo 23 toka ajiunge na Juve mwishoni mwa majira ya joto baada ya kumalizika kwa makataba wake na klabu ya Paris Saint-German. (Goal)
Chanzo cha picha, Getty Images
Victor Osimhen ameweshangaza wadau wa Premier Leagure baada ya mshambuliaji huyo hatari wa klabu ya Napoli kuweka bayana nia yake ya kujaribu kukipiga katika moja ya vilabu vikubwa vya Uingereza (SkySport) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham wanataka angalau pauni milioni 100 ikiwa watamuuza mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 29, ambaye amebakiza miezi 15 katika mkataba wake wa Spurs, msimu huu wa joto. (Football Insider)
Barcelona bado wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva na Manchester City watakuwa tayari kumruhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, ambaye mkataba wake unaisha Juni 2025, kuondoka kwa euro 65m (£57.5m). (Sport -in Spanish)
Chanzo cha picha, Getty Images
Man City watatafuta kumleta mlinzi wa Croatia Josko Gvardiol, 21, kutoka RB Leipzig ikiwa watamuuza mlinzi wa Hispania Aymeric Laporte, 28, ambaye anaIvutia klabu ya Paris St-Germain. (Star)
Kiungo wa kati wa Ufaransa Adrien Rabiot, 27, ametambuliwa na Man City kuwa mbadala wa mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani Ilkay Gundogan, 32, ambaye amekuwa akihusishwa na Barcelona. Wachezaji wote wawili mkataba wao unamalizika msimu wa joto. (Football Transfers)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Uholanzi Frenkie de Jong anasakwa na Manchester United lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 hataki kuondoka Barcelona. (Guardian)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Ecuador Moises Caicedo huenda akatia saini mkataba mpya na Brighton lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 bado anatarajiwa kuwaniwa na vilabu vikubwa zaidi vya Premier League msimu huu. (Telegraph)
Chelsea wanataka kumsajili mshambuliaji wa Ureno Joao Felix, 23, ambaye yuko kwa mkopo katika klabu ya Blues kutoka Atletico Madrid, na kiungo wa kati wa West Ham ya Uingereza Declan Rice, 24, msimu wa joto na wanapanga kuwauza wachezaji watano ili kusaidia kufidia gharama hiyo. (Fichajes - in Spanish)
Chanzo cha picha, Getty Images
AC Milan inamtaka kiungo wa kati wa Chelsea Ruben Loftus-Cheek na italazimika kulipa euro 25m (£22.1m) ili kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27. (Calciomercato - in Italian)
Kiungo wa kati wa Ivory Coast Franck Kessie amekuwa akihusishwa na kutaka kuondoka Barcelona lakini klabu hiyo ya Hispania haina nia ya kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 msimu wa joto. (Sport - in Spanish)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Brazil Roberto Firmino hakuwa amezungumza na klabu nyingine yoyote kabla ya kuamua kuondoka Liverpool wakati mkataba wake utakapokamilika msimu wa joto, kwa mujibu wa wakala wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Real Madrid itatathmini mustakabali wa muda mrefu wa Mkroatia Luka Modric, 37, na Mjerumani mwenye umri wa miaka 33 na kiungo mwenza Toni Kroos kabla ya kujitolea kwa kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham, 19, ambaye amepewa ushauri wa kukataa kuhamia Liverpool. (Diario AS - in Spanish)
Real Madrid pia wanamfuatilia kiungo wa kati wa Newcastle Mbrazil Bruno Guimaraes, 25, kwa kipindi kilichosalia cha msimu wa 2022-23 kama chaguo mbadala kwa Bellingham. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Liverpool watakuwa mstari wa mbele katika kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Uingereza Mason Mount msimu huu wa joto, ikiwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 hataweza kuafiki mkataba mpya Stamford Bridge. (Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wameanzisha tena nia yao ya kumnunua mlinzi wa RB Leipzig Josko Gvardiol, 21, huku Manchester City na Tottenham pia wakimtaka mchezaji huyo wa kimataifa wa Croatia ambaye ana kipengele cha kumuachia cha pauni milioni 97 katika mkataba wake utakaoanza kutekelezwa kuanzia 2024. (Times - subscription required)
Inter Milan wanatumai kumsajili Naby Keita, 28, msimu huu wakati mkataba wa kiungo huyo wa kati wa Guinea utakapomalizika Liverpool na tayari wamefanya mazungumzo ya kutia moyo na wawakilishi wake. (Gazzetta dello Sport - in Italian)
Kiungo wa kati wa Lyon Mfaransa Houssem Aouar, 24, anakaribia kusaini Eintracht Frankfurt kwa uhamisho wa bure baada ya kukataa kuhamia Manchester United. (Sport1)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona wanaweza kuwauza baadhi ya nyota wao wakubwa huku klabu hiyo yenye matatizo ikitafuta kuongeza pauni milioni 178, na winga wa Brazil Raphinha, 26, akiwa miongoni mwa wale ambao wanaweza kuondolewa. (Sun)
Manchester United wameungana na Chelsea na Arsenal kumfuatilia kiungo wa kati wa Southampton wa Ubelgiji Romeo Lavia, 19. (Mail)
Tottenham wanatazamia kumnunua kiungo wa Bristol City, Alex Scott. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 19 pia anawindwa na Crystal Palace na West Ham. (Sun)
Leicester na Everton wanamfuatilia kiungo wa kati wa Bologna na Scotland Lewis Ferguson, 23. (Nicolo Schira)
Chanzo cha picha, SNS
Nottingham Forest wanakabiliwa na upinzani mkali wa kutaka kumbakisha kocha Steve Cooper msimu ujao huku vilabu kadhaa vya Premier League vikiwa vimevutiwa na meneja huyo. (Mail)
Mazungumzo yanaendelea kati ya Manchester United na David de Gea. Kipa huyo wa Uhispania, 32, mkataba wake unamalizika msimu wa joto, lakini anatamani kusalia Old Trafford. (Fabrizio Romano)Manchester United wamepokea maswali juu ya mkopo kutoka kwa vilabu nchini Uturuki kwa ajili ya mshambuliaji wao wa Uingereza Mason Greenwood, 21, ambaye bado amesimamishwa na klabu hiyo licha ya mashtaka ya uhalifu dhidi yake kutupiliwa mbali mwezi Februari. (Telegraph)
Chanzo cha picha, Getty Images
Napoli wanasalia na uhakika wa kumbakisha winga wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 22, licha ya Manchester City, Chelsea, Real Madrid na Barcelona kumwindwa. (90min)
Fulham wanataka kufanya uhamisho wa mkopo wa winga wa Israel Manor Solomon mwenye umri wa miaka 23 kutoka Shakhtar Donetsk kuwa wa kudumu msimu huu. (Standard) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Ni moja ya wapinzani maarufu wa mpira wa miguu.
Liverpool na Manchester United ndio vilabu viwili vilivyofanikiwa zaidi katika mchezo wa Uingereza na uadui wao mkubwa umesababisha msururu wa mashindano makubwa kwa miaka mingi.
Kabla ya mechi yao ijayo huko Anfield, tunaangazia baadhi ya mechi kuu kati ya pande hizo mbili katika enzi ya Ligi Kuu.
Mchezo wa hivi majuzi zaidi kati ya pande zote haukuwa msisimko wa bao la juu kama mingine kwenye orodha hii lakini ushindi huu ulianza utawala wa Erik ten Hag wa Manchester united.
Kikosi chake kiliingia kwenye mchezo huo baada ya kushindwa kwa mabao 4-0 ugenini dhidi ya Brentford, huku presha ikiongezeka kwa meneja mpya na hisia alihitaji ushindi ili kupata mashabiki upande.
United walijibu na kupata ushindi muhimu wa nyumbani dhidi ya wapinzani wao.
Jadon Sancho alitangulia kufunga katika kipindi cha kwanza naye Marcus Rashford akaongeza la pili baada ya kipindi cha mapumziko, na kuiweka United uongozini.
Mohamed Salah alipunguza nusu ya bao zikiwa zimesalia dakika tisa mchezo kumalizika, lakini Liverpool hawakuweza kupata bao la kusawazisha.
Old Trafford ilikuwa ikitamba, na Ten Hag akanyakua ushindi wake wa kwanza wa ushindani kama kocha wa United.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mnamo Oktoba 2021, kikosi kikatili cha Jurgen Klopp kiliwafedhehesha wapinzani wao, na kuambulia kipigo cha kwanza cha 5-0 kwa United nyumbani tangu Februari 1955.
Mohamed Salah alifunga hat-trick, huku Naby Keita na Diogo Jota pia wakifunga bao wakati kikosi cha Ole Gunner Solskjaer kikibomolewa kwenye uwanja wao wenyewe.
United walimaliza wakiwa na wachezaji 10 baada ya Paul Pogba kutolewa nje baada ya dakika 60 kumkaba Keita, wakati wageni wakiwa tayari wamefunga mabao matano kwa sifuri.
Ulikuwa ushindi wa kuvutia kwa Liverpool huko Old Trafford, lakini kwa United ilikuwa moja ya mechi itatamani sana kusahau.
Je, unakumbuka teke la juu la kichwa la Dimitar Berbatov? ufungaji bao wa fowadi huyo wa kustaajabisha uliangaza Old Trafford alipopiga hat-trick ya ushindi wa mechi kwa msisimko huu.
United na Liverpool waliingia kwenye mechi wakiwa katika hali tofauti, huku timu ya Sir Alex Ferguson ikiwa imeanza msimu vizuri na vijana wa Roy Hodgson walianza kampeni yao kwa udhaifu.
Wenyeji walichukua nafasi ya kwanza baada ya dakika 42, huku Berbatov akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Ryan Giggs.
Mshambulizi huyo wa Kibulgaria alifanya mambo kuwa 2-0 muda mfupi kabla ya saa moja kwa kiki yake ya sarakasi, kabla ya Liverpool kureje.mchezoni
Muda wa dakika sita, ambao ulianza kwa mkwaju wa penati wa Steven Gerrard baada ya Fernando Torres kufanyiwa madhambi kwenye eneo la hatari, ulilegeza kiwango cha wageni, lakini Berbatov ndiye aliyekuwa na uamuzi wa mwisho.
Katika dakika ya 84, aliinuka juu ya safu ya ulinzi ya Liverpool na kwa mara nyingine tena akampiga Pepe Reina kwa kichwa, na hivyo kuhitimisha ushindi kwa United.
Chanzo cha picha, Getty Images
Old Trafford kumekuwa uwanja wa mapigano kadhaa kati ya United na Liverpool, na hii imeonekana kuwa moja ya ushindi bora zaidi wa wageni.
United walipata bao la kuongoza kupitia kwa Cristiano Ronaldo baada ya dakika 23, lakini kikosi cha Rafael Benitez kiliambulia patupu.
Fernando Torres alisawazisha dakika tano baadaye, na mkwaju wa penalti wa Steven Gerrard ukafanya matokeo kuwa 2-1 kwa Liverpool hadi mapumziko.
Mambo yalizidi kuwa mabaya katika kipindi cha pili kwa United, kwani Nemanja Vidic alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumuangusha Gerrard, kabla ya Fabio Aurelio na Andrea Dossena kukamilisha kipigo hicho ndani ya wiki moja ambapo Liverpool pia waliichabanga Real Madrid 4-0.
Chanzo cha picha, Getty Images
Wakati wa msimu wa 1998-99 - na baadaye - mabao ya dakika za mwisho yakawa ada ya Manchester United, na pambano hili lilikuwa mfano bora.
Liverpool walitangulia mapema katika pambano la raundi ya nne ya Kombe la FA kwenye uwanja wa Old Trafford kwa hisani ya bao lililofungwa na Michael Owen.
Hata hivyo, licha ya wageni kushikilia uongozi kwa dakika 85, waliondolewa kwenye michuano hiyo kwa mabao mawili ya haraka-haraka kutoka kwa United kwenye mechi hiyo.
Dwight Yorke na Ole Gunnar Solskjaer walipata ushindi kwa United kwa mabao katika dakika mbili za mwisho, na kuhakikisha timu ya Sir Alex Ferguson inasonga mbele katika raundi inayofuata.
Wangeenda kukamilisha Treble ya kihistoria, huku Solskjaer akifunga bao muhimu zaidi la dakika za mwisho kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Chanzo cha picha, Getty Images
Fainali za Kombe la FA zina hulka ya kugongwa vichwa vya habari kwa hadithi za kusisimua, na kilele cha mashindano ya 1995-1996 haikuwa tofauti.
Wapinzani hawa wa zamani walichuana kwenye uwanja mkubwa wa soka ya Uingereza - Wembley.
Kwa kiasi kikubwa, mchezo wenyewe haukuwa wa kusisimua, zaidi ya wakati wa kichawi ambao uliipatia ushindi timu ya Sir Alex Ferguson.
Zikiwa zimesalia dakika 86, na mechi ya mwisho ikionekana kukaribia muda wa nyongeza, Eric Cantona alipata nafasi kwenye eneo la goli na kuupiga mpira kupitia msitu wa miili na kuifungia United bao la ushindi.
Mfaransa huyo alionekana kuwa tofauti kwa Mashetani Wekundu, kama ilivyokuwa mara nyingi wakati alipokuwa Manchester.
Chanzo cha picha, Getty Images
Ilikuwa ni pambano la Waskochi dimbani, huku vijana wa Sir Alex Ferguson wakifurahia maisha kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu walipoelekea Anfield kumenyana na Liverpool ya Graeme Souness.
Viongozi wa ligi walisonga mbele mapema pale Steve Bruce alipofungua ukurasa wa mabao zikiwa zimesalia dakika tisa mpira kumalizika.
United walikuwa mbele kwa mabao 3-0 baada ya dakika 24 pekee, huku Ryan Giggs na Denis Irwin pia wakiwa kwenye orodha ya wafungaji mabao, na walionekana kuondoka na ushindi.
Lakini Liverpool hawakutaka kulazwa Anfield.
Nigel Clough alifunga mabao mawili kabla ya muda wa mapumziko na kupunguza idadi ya mabao na, baada ya kipindi kigumu cha pili, wenyeji walisawazisha kupitia kwa Neil Ruddock dakika ya 79 kwa kichwa na kukamilisha moja ya marudiano ya kukumbukwa katika Ligi ya Primia.
Chanzo cha picha, Getty Images | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wamejitokeza kuwania saini ya kiungo wa kati wa Uingereza Declan Rice, 25, ikiwa West Ham watashawishiwa kuachana na nahodha wao anayekadiriwa kuwa na thamani ya pauni milioni100. (TeamTalk)
Rice anasadikiwa kuwa shabaha kuu ya Arsenal katika uhamisho wa majira ya joto. (Times - usajili unahitajika)
Kiungo wa kati wa zamani wa Manchester United Roy Keane anasema Rice "hajapigia hatua" the Hammers msimu huu. (ITV, kupitia Metro)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mustakabali wa kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva katika klabu ya Manchester City "hauko wazi" huku Barcelona wakiendelea kufuatilia hali ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 na wako tayari kuhama iwapo ataruhusiwa kuondoka msimu wa joto. (Sport - kwa Kihispania)
Kiungo wa kati wa Ufaransa Houssem Aouar, 24, amekataa kuhamia Manchester United na kukubali kujiunga na Eintracht Frankfurt ya Ujerumani mkataba wake katika klabu ya Lyon ya Ufaransa utakapokamilika msimu huu. (Daily Express)
Napoli wanalenga kumfungia mshambuliaji wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia, 22, ambaye amekuwa akihusishwa na Chelsea na Newcastle, kwa kandarasi mpya hadi 2028. (Gazzetta dello Sport).
Chanzo cha picha, Getty Images
Ajenti wa mshambuliaji wa Uingereza Raheem Sterling anasema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 hataki kuondoka Chelsea msimu wa joto - huku kukiwa na ripoti zinazomhusisha na Arsenal - na "hajaonyesha kutoridhika" licha ya msimu mgumu wa kwanza akiwa na The Blues. (Sky Sports)
Mshambuliaji wa zamani wa Stoke Eric Maxim Choupo-Moting, 33, amekubali kandarasi mpya ya mwaka mmoja na mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich. Mfaransa huyo alikuwa akihusishwa na kurejea Ligi Kuu akiwa na Manchester United au Tottenham. (Sky Sports Ujerumani)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham wamejiunga na orodha ya vilabu vinavyomfuatilia ya kiungo wa kati wa Bristol City Alex Scott, 19, ambaye thamani yake ni amuni milioni 25 na klabu hiyo ya Championship na pia amekuwa akihusishwa na Newcastle, Leeds, Tottenham na Wolves. (Daily Mail)
Inter Milan wanavutiwa na mlinda mlango wa Newcastle Mjerumani Loris Karius, 29. (FC Inter News, via Caught Offside) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag anataka kusajili angalau wachezaji wawili muhimu msimu huu wa joto, huku mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, na kiungo mshambuliaji wa Ajax Mghana Mohammed Kudus, 22, akiwa miongoni mwa malengo yake.(Manchester Evening News).
Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25, pia anasalia kulengwa na Manchester United msimu huu wa joto. (Sport - kwa Kihispania)
Manchester City wanafikiria kumnunua kiungo wa kati wa Croatia Mateo Kovacic msimu huu wa joto, wakati mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 atakuwa amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake Chelsea. (Telegraph - usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Chelsea na Muingereza Ben Chilwell, 26, ni mchezaji mwingine anayelengwa na Manchester City msimu ujao. (Football Insider)
Mshambulizi wa Athletico Paranaense raia wa Brazil Vitor Roque anasema yuko tayari kujiunga na Barcelona, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18 kunyatiwa na Arsenal. (Sport, kupitia Express)
Klabu ya Borussia Dortmund na klabu ya zamani ya Naby Keita ya RB Leipzig zina nia ya kumsajili kiungo huyo wa kati wa Guinea, 28, mkataba wake wa Liverpool utakapokamilika msimu huu. (Bild - kwa Kijerumani)
Chanzo cha picha, Getty Images
Atletico Madrid wamekubaliana na beki wa Uturuki Caglar Soyuncu, 26, juu ya uhamisho wa bila malipo mkataba wake Leicester City utakapokamilika mwishoni mwa msimu huu. (90 Min)
Walengwa wakuu wa Real Madrid msimu huu wa joto ni Bellingham na beki wa RB Leipzig wa Croatia Josko Gvardiol, 21. (Sport - kwa Kihispania).
N'Golo Kante alikuwa na chaguo la kuondoka Chelsea kwa uhamisho wa bila malipo msimu huu lakini kiungo huyo wa kati wa Ufaransa, 31, anataka kusalia Stamford Bridge na anakaribia kuafikia mkataba mpya. (Fabrizio Romano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wanafikiria kumrejesha Tammy Abraham katika klabu hiyo kutoka Roma msimu huu wa joto kwani mshambuliaji huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 25 atakuwa chaguo rahisi kuliko mshambuliaji wa Napoli wa Nigeria Victor Osimhen, 24. (Football Insider)
Mtendaji mkuu wa Inter Milan Giuseppe Marotta anasema mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku atarejea Chelsea mwishoni mwa msimu wake wa mkopo wa muda mrefu, huku klabu hiyo ya Italia ikiwa bado haijaamua kama wanataka kufanya mazungumzo ya kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29. (Sky Sports Italia)
Arsenal itamsajili mshambuliaji wa Chelsea Raheem Sterling ikiwa mshambuliaji huyo wa Uingereza atapatikana msimu wa joto, ingawa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 hataki kuondoka The Blues. (90 Min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wanaamini kuwa wanaweza kumshawishi Declan Rice wa West Ham kujiunga nao msimu wa joto, licha ya kiungo huyo wa kati wa Uingereza mwenye umri wa miaka 24 kutaka kusalia London. (Football Insider)
Ajenti wa mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah amepuuzilia mbali uvumi kwamba mchezaji huyo wa kimataifa wa Misri mwenye umri wa miaka 30 anaweza kuwahama Reds msimu wa joto ikiwa hawatafuzu kwa Ligi ya Mabingwa. (Goal)
Wasaka vipaji wa Leicester wanafuatilia hali ya kiungo wa kati wa Lecce raia wa Denmark Morten Hjulmand, 23, baada ya Southampton kupata ofa ya euro 11m (£9.7m) iliyokataliwa Januari mwaka jana. (Nicolo Schira)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wamewasilisha ombi la kuongeza mkataba wa mshambuliaji wa Argentina Julian Alvarez, 23, hadi mwaka 2028 kwa masharti yaliyoboreshwa. (Fabrizio Romano)
Barcelona ni moja ya vilabu vinavyotathmini kama Alvarez atakuwa tayari kuondoka Manchester City kwa mkopo msimu huu wa joto. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Liverpool wanafuatilia kwa karibu mazungumzo ya Chelsea na kiungo wa kati wa Ufaransa N'Golo Kante, 31, kuhusu kuongeza mkataba wake wa sasa, ambao unaisha msimu huu wa joto. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wanajaribu kumshawishimKylian Mbappe, 24, kuchukua kuongeza mkataba wake kwa mwaka mwingine hadi 2025. (L'Equipe, via Sport).
Barcelona na Sergio Busquets wataamua wiki chache zijazo ikiwa kiungo huyo wa zamani wa Uhispania, 34, atasalia na klabu hiyo kwa msimu mwingine. (Sport - kwa Kihispania)
Mkurugenzi wa soka wa Barcelona Mateu Alemany amekataa ofa kutoka kwa Aston Villa kuchukua nafasi kama hiyo katika klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza. (Marca kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Winga wa Misri, Mohamed Salah yuko tayari kuondoka Liverpool msimu wa joto ikiwa klabu hiyo itashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa msimu ujao. (Fijaches - kwa Kihispania)
Paris St-Germain itakabiliana na ushindani kutoka kwa Liverpool kuwania saini ya mshambuliaji wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, huku klabu hiyo ya Merseyside ikiwa tayari kumjumuisha winga wa Colombia Luis Diaz, 26, katika mkataba wa kubadilishana mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23. (Calciomercato - kwa Kiitaliano)
Arsenal wanafanya mazungumzo na 30, kiungo wa kati wa Uswizi Granit Xhaka, kuhusu kuongezwa kwa mkataba mpya wa miaka miwili. (CaughtOffside)
Chanzo cha picha, EPA
Klabu za Arsenal, Newcastle na West Ham zimetoa ofa ya karibu euro 40m (£35.3m) kumnunua kiungo wa kati wa Lazio na Serbia Sergej Milinkovic-Savic, 27. (Calciomercato - in Italian).
Newcastle wanapanga kumnunua beki wa Arsenal na Scotland Kieran Tierney, 25, msimu wa joto. (Mirror)
Kipa wa Brentford na Uhispania David Raya anasema anataka "kupigania kushinda taji" huku vilabu kadhaa vya Ligi Kuu ya Uingereza, ikiwa ni pamoja na Tottenham vikiwa na nia ya kumsajili. (Atheletic -Usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wako tayari kuruhusu baadhi ya wachezaji nyota wao kuondoka msimu huu wa joto kwani wanataka kupunguza bili yao ya mishahara kwa asilimia 30. (Times - usajili unahitajika)
Sheikh Jassim bin Hamad Al Thani na Kundi la Ineos la Jim Ratcliffe wangehitaji kuongeza ofa zao za awali ili kuishawishi familia ya Glazer kuiuza Manchester United. (Telegraph - usajili unahitajika)
Nottingham Forest inamfuatilia mlinzi wa Norwich na Jamhuri ya Ireland Andrew Omobamidele, 20. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Everton na Bournemouth wanamfuatilia mshambuliaji wa Coventry City na Uswidi Viktor Gyokeres, 24. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Reuters
Manchester City wanataka kumuongeza kiungo wa kati wa Brighton na Argentina Alexis Mac Allister, 24, kwenye kikosi chao msimu ujao. (Star)
Uwindaji wa Liverpool kumnunua kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham hautadhurika na misukosuko yao msimu huu kwani kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa si jambo la kufikia mkataba kwa mchezaji huyo wa miaka 19. (CaughtOffside)
Mshambulizi wa AC Milan na Ufaransa Olivier Giroud yuko tayari kurejea Ligi ya Premia huku klabu za London West Ham, Fulham, Crystal Palace na Brentford zote zikipatikana kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36. (Sun)
Chanzo cha picha, SNS GROUPS
Manchester United wanapanga kumnunua beki wa kulia wa Bayer Leverkusen Mholanzi Jeremie Frimpong, 22. (Football Insider )
Arsenal wameungana na Manchester United katika kinyang'anyiro cha kumnunua kiungo wa kati wa Celta Vigo na Uhispania wa Under-21 Gabri Veiga, 20. (AS, via Sun)
Chelsea itamruhusu kiungo wa kati wa Brazil Andrey Santos, 18, kujiunga na Vasco da Gama kwa mkopo baada ya mkopo uliopendekezwa kwa Palmeiras kushindikana. (Fabrizio Romano)
Chanzo cha picha, Rex Features
Newcastle wanafikiria kumnunua kiungo wa Bristol City Muingereza Alex Scott, 19. (Sun)
Everton, Leicester, Liverpool, Newcastle, Tottenham, West Ham na Wolves zote zimekuwa zikimfuatilia kiungo wa kati wa Union Berlin Mjerumani Rani Khedira, 29. (90min)
Barcelona na Real Madrid wamefufua nia yao ya kutaka kumnunua kiungo wa kati wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Florian Wirtz, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19 hivi majuzi akirejea uwanjani baada ya kuumia kwa muda mrefu. (Fijaches - in Spanish)
Chanzo cha picha, Rex Features
Burnley wanataka kumbakisha beki wa kulia wa Uholanzi Ian Maatsen, 20, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo kutoka Chelsea, Turf Moor msimu ujao. (Sun)
Chelsea, Barcelona na Real Madrid wanamfuatilia kwa karibu kiungo wa kati wa Inter Milan na Croatia Marcelo Brozovic, 30. (La Gazzetta dello Sport - in Italian)
Kipa wa Sunderland Anthony Patterson, 22, yuko tayari kuitwa kwa kikosi cha Gareth cha England kwa ajili ya kufuzu kwa Euro 2024 mwezi ujao. (Sun) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Paris St-Germain na Argentina Lionel Messi anatafakari juu ya uwezekano wa kurejea kwenye klabu yake ya utotoni ya Newell's Old Boys. (UOL, via Mirror)
Mshambuliaji wa Chelsea na Ureno Joao Felix, 23, anataka kuufanya mkataba wake kutoka Atletico Madrid uwe wa kudumu msimu huu. (Fijaches - in Spanish)
Liverpool wanataka kusiani mkataba na kiungo wa kati wa Bayern Munich na Uholanzi Ryan Gravenberch, 20, kucheza sambamba na mchezaji wa England na Borussia Dortmund Jude Bellingham, 19. (Express)
Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly anaangalia uwezekano wa kuinunua klabu ya Ligue 1 ya Strasbourg. (L'Equipe)
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool, Newcastle, Tottenham na West Ham ni miongoni mwa klanbu za Primia Ligi are zinazomfuatilia kwa karibu kiungo wa kati wa mainz na Ujerumani Anton Stach, 24. (90min)
Matheus Franca ambaye alikuwa analengwa na Newcastle amesaini mkatababa mpya na Flamengo, ambao walikataa ofa ya Magpies ya pauni £17.5m kwa ajili ya kiungo huyo wa kati Mbrazili mwenye umri wa miaka 18 mwezi Januari. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Fulham, Everton, Leicester na West Ham wanamtaka mlinzi wa Roma na England Chris Smalling, 33. (90min)
Newcastle United wanapanga uhamisho kwa ajili ya kiungo wa kati-nyuma wa Wolves Muingereza Max Kilman mwenye umri wa miaka 25. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
LA Galaxy wanamtaka kiungo wa kati wa Chelsea Mbrazil Andrey Santos, 18, baada ya mpango wao wa pendekezo la kumchukua kwa mkopo kuvunjika . (Goal)
Brazil inaweza kumleta meneja wa zamani wa Uhispania na Barcelona, Luis Enrique kuchukua nafasi ya Tite badala ya meneja wa Real Madrid Carlo Ancelotti. (Fijaches - in Spanish) | 2 |
Chanzo cha picha, AFP
Kocha wa Barcelona Xavi amesema milango iko wazi kwa Lionel Messi kurejea kwenye klabu hiyo iliyomlea mkuza na kumpa umaarufu: “Messi anafahamu kwamba Barcelona ni nyumbani na milango iko waiz, nimesema hivyo mara nyingi tu”.
Chanzo cha picha, Getty Images
Rais wa Napoli amesema klabu za Man United au Chelsea zitapaswa kutoa ofa nono na ya 'ajabu' ili kumpata mshambuliaji Victor Osimhen. (The Sun Football)
Chanzo cha picha, Getty Images
Everton inakaribia kufikia makubalianmo ya mkataba mpya na mlinda mlango wake Jordan Pickford (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal na Newcastle zinapigana vikumbo kusaka saini ya mlinzi wa Real Valladolid Ivan Fresneda (Thesun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona ilikataa ofa ya €70m kutoka Arsenal kwa ajili ya Raphinha katika dirisha la Januari (sport) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United inajiandaa kumpa mkataba mpya Marcus Rashford. Mshambuliaji huyo amekuwa kwenye kiwango kikubwa msimu huu na tayari baadhi ya timu zimeanza kumtolea macho (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa Chelsea Ngolo Kante ambaye ameanza mazoezi baada ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu, anasakwa na AC Milan (TheSun Football)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mohamed Elneny amesaini mkataba mpya Arsenal utakaompeleka Juni 2024.
Mkataba wake ulikua unamalizika Juni mwaka huu (Arsenal).
Chanzo cha picha, Getty Images
Javi Gracia, amewasili Elland Road asubuhi ya leo kujiunga na Leeds United
Atatangazwa wakati wowote kama kocha mpya wa timu hiyo (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Alejandro Garnancho amekubali kusaini mkataba mpya Manchester United. Anakaribia sasa kusaini mkataba huo (Skysport) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham wanataka kumsajili beki wa Real Madrid na Ujerumani Antonio Rudiger, 29, katika dirisha la usajili la kiangazi. (Fijaches)
Manchester United wako tayari kuongeza mshahara wa David de Gea hadi kufikia £250,000 kwa wiki ili kumbakisha kipa huyo wa Uhispania mwenye umri wa miaka 32 Old Trafford, lakini klabu hiyo tayari inamtazama mlinda mlango wa Leeds Mfaransa Illan Meslier, 22, kama mbadala wake wa muda mrefu. (Sun)
Ofa ya Sir Jim Ratcliffe ya Manchester United ya kuinunua Manchester United ni £1bn chini ya £5bn iliyotolewa na Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani. (Foot Mercato)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham wanaweza kutuma ofa za kumnunua kiungo wa kati wa Manchester United na Scotland mwenye umri wa miaka 26 Scott McTominay, beki wa kati wa England Harry Maguire, 29, kiungo wa kati wa Uholanzi Donny van de Beek, 25, na mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, 27. (CaughtOffside).
The Hammers wamemuweka kiungo wa kati wa Lazio na Serbia Sergej Milinkovic-Savic, 27, kwenye orodha yao ya kipaumbele kuchukua nafasi ya kiungo wa kati wa England Declan Rice, iwapo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ataondoka msimu wa joto. (Sun)
Manchester City wanapanga kufanya mazungumzo na mshindi wa Kombe la Dunia wa Argentina, Julian Alvarez kuhusu kandarasi mpya, licha ya mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kuwasili Etihad msimu uliopita wa joto. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Wawekezaji wa Qatar wanaweza kutoa ofa ya kunua hisa Tottenham, hata kama Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani atakamilisha kuinunua Manchester United. (Times)
Newcastle United wanapanga kumnunua beki wa pembeni wa Fulham na Marekani Antonee Robinson, 25. (Football Insider)
Barcelona ilikubali kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid na Ureno Joao Felix Januari 2022, lakini dili hilo lilikwama kwa sababu ya kanuni za fedha za Financial Fair Play (FFP). (AS)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Nottingham Forest Muingereza Lewis O'Brien, 24, anazivutia klabu za ligi ya Marekani (MLS) za New York City, Columbus Crew na Atlanta United. (Sun)
Liverpool wameanza mazungumzo ya awali juu ya kumsajili beki wa Colombia chini ya miaka 20 Kevin Mantilla, 19, kutoka Independiente Santa Fe. (Football Insider)
Crystal Palace na West Ham wanatamani kumnunua kiungo wa kati wa Bristol City na Uingereza Alex Scott, 19, ambaye thamani yake ni pauni milioni 20. (Sun) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Sir Jim Ratcliffe-na kampuni yake ya INEOS wamewasilisha rasmi ofa ya kutaka kuinunua Manchester United. Mpaka sasa yuko kati ya walioonyesha nia, Ratcliffe yuko kwenye nafasi nzuri zaidi (The sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mnunuzi mwingine mwenye nguvu ni Sheikh Jassim Bin Hamad Al Thani, mwenyekiti wa benki ya kiislamu ya Qatar Islamic Bank na mtoto wa waziri mkuu wa zamani wa Qatar Minister Hamad Bin Jassim Bin Jaber Al Thani anayetaka umiliki wa asilimia 100% (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinzi Marcelo na klabu yake ya Olympiacos wanavunja mkataba baada ya kuichezea timu hiyo ya Ugiriki michezo 10 tu tangu ajiunge Septemba mwaka jana (Romano)
Nyota wa Arsenal anayecheza kwa mkopo Nice huenda akasalia timu hiyo msimu ujao. Arsenal watamuweka soka winga huyo wa Ivory Cost. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City wamefufua uoya nia yao ya kumnunua kiungo wa kati wa West Ham na England Declan Rice, 24. (90Min).
Liverpool wanashinikiza kumsajili kiungo wa kati wa England Mason Mount, 24 ambaye mazungumzo yake ya kuongeza kandarasi yake Chelsea yakisuasua (Mail).
Inter Miami ya David Beckham iko katika nafasi nzuri ya kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, iwapo ataamua kuondoka Paris St-Germain. (Mirror)
Lakini baba yake na Messi ambaye ni wakala wake pia, Jorge Messi, anasema hakuna uwezekano wa mchezaji huyo kurejea klabu yake ya zamani ya Barcelona tena. (ESPN)
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa wana nia ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa Roma Muingereza Tammy Abraham, 25. (90min).
Leeds United wanaongoza katika mbio za kumsajili winga wa Canada Tajon Buchanan, 24, kutoka Club Bruges. (Calciomercato, via TeamTalk)
Chelsea bado hawajatuma maombi ya kibali cha kufanya kazi kwa ajili ya kiungo wake mpya wa kati wa Brazil Andrey Santos, 18, ambaye walimsajili mwezi Januari. (Athletic)
Juventus wameamua kumuuza kiungo wa kati wa Sweden Denis Zakaria mwenye umri wa miaka 26 akimaliza mmkopo wake Chelsea. (Standard)
Chanzo cha picha, Getty Images
Leeds wamemwambia bosi wao wa muda Michael Skubala, 40, kuwa anaweza kusalia kuinoa hadi mwisho wa msimu. (Min 90)
Newcastle United wanajiandaa kumpa mlinzi wa Uingereza Dan Burn, 30, mkataba mpya. (Football Insider)
Meneja wa Everton Sean Dyche anapanga kuangalia mtindo mzima wa maisha wa mshambuliaji wa England Dominic Calvert-Lewin, ikiwa ni pamoja na godoro analolalia, anapojaribu kukabiliana na masuala ya uimara wa kimazoezi na afya ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25. (Times) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City itajaribu kuichokoza Arsenal kwa kupeleka ofa nono katika dirisha lijalo la usajili kwa ajili ya winga wake mwenye kipaji, Bukayo Saka (The Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Klabu ya PSG ya Ufaransa imemuweka kwenye orodha yake kocha wa zamani wa Real Madrid Zinedine Zidane kurithi mikoba ya Christophe Galtier ambaye amekalia kuti kavu. (The SunFootball)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United inaripotiwa kuhusishwa na mipango ya kushangaza ya kutaka kumsajili nyota wa Chelsea Mason Mount, huku Man City na Liverpool zikimfuatilia pia (The SunFootball)
Chanzo cha picha, Getty Images
Aston Villa imethibitisha mlinzi wake tegemeo Tyrone Mings amesaini mkataba mpya (Aston Villa)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chris Wood amekamilisha uhamisho wake wa kudumu kujiunga na Nottingham Forest akitokea Newcastle. Forest wamekihuisha kipengele cha mkataba wake wa kumnunua moja kwa moja baada ya kucheza michezo mitatu tu. WTimu hizo zilikubaliana hivyo wakati wa usajili wa Januari ambapo sasa Newcastle itapokea ada ya £15m kwa uhamisho huo (Romano) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Babake mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi alifanya mazungumzo na PSG siku ya Alhamisi huku wakitarajia kuafikiana kuhusu mkataba mpya wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35. (Mail)
Vilabu kadhaa vya juu vya Ligi ya Premia vimearifiwa kuhusu uwezekano wa kupatikana kwa mshambuliaji wa Paris St-Germain wa Brazil Neymar, 31. (90min).
Liverpool, Manchester City na Manchester United wanafuatilia hali ya kandarasi ya kiungo wa kati wa Uingereza Mason Mount mwenye umri wa miaka 24 katika klabu ya Chelsea. (ESPN)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshirika nchini Saudi Arabia yameingia kwenye kinyang'anyiro cha kununua Manchester United. (Telegraph - usajili unahitajika)
Wawekezaji wa Qatar wanatayarisha ofa ya ufunguzi yenye thamani ya takriban pauni 5bn kwa United. (Bloomberg)
Bayern Munich wameiambia Manchester United kwamba watahitaji kulipa pauni milioni 18 kumnunua kiungo wa kati wa Austria Marcel Sabitzer, 28, kwa mkataba wa kudumu. (Bild, via Mail)
Chanzo cha picha, Getty Images
Real Madrid wanatazamia kumnunua beki wa Manchester United na Ureno Diogo Dalot, 23, ambaye bado hajaongeza mkataba wake Old Trafford. (AS kwa Kihispania)
Arsenal wametuma wasaka vipaji wao kumfuatilia mshambuliaji wa kimataifa wa vijana wa Athletico Paranaense na timu ya taifa ya Brazil Vitor Roque. Barcelona pia wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 ambaye huenda akavutia ada ya zaidi ya pauni milioni 50. (CaughtOffside)
Klabu za Newcastle, Real Madrid, Manchester City na PSG zinavutiwa na winga wa Napoli na Georgia Khvicha Kvaratskhelia, lakini klabu hiyo ya Serie A inataka zaidi ya pauni milioni 50 kumwachilia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22. (90min)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mkufunzi wa Real Madrid Carlo Ancelotti anasema hajali iwapo kiungo wa Uhispania Marco Asensio, 27, atasaini mkataba mpya katika klabu hiyo au ataondoka. (Mirror)
Southampton na West Ham zinawasiliana na wawakilishi wa mshambuliaji wa Nice, Terem Moffi, mwenye umri wa miaka 23. (Football Insider)
Kocha wa zamani wa Tottenham, Harry Redknapp atakuwa tayari kurejea kwenye uongozi iwapo Leeds United itamtaka arejee uwanjani. (Mirror) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal imeungana na Manchester United na Chelsea katika mbio za kumsaka mlinzi Denzel Dumfries wa Inter Milan ya Italia ( The Sun Football)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa Barcelona Xavi amefichua kwamba kiungo Frenkie de Jong alikataa kujiunga na Man United katika dirisha kubwa lililopita na kwmaba Barcelona walikua tayari kumuuza (Transfer News Live via SunSport)
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 1
Haipatikani tena
Manchester United inamfuatilia mlinda mlango wa Sevilla, Yassine Bounou (The Sun Football)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 2
Haipatikani tena
Arsenal ilituma mara kadhaa maskauti wake kumtazama mshambuliaji wa Athletico Paranaense ya Brazil Vitor Roque (Caught Offside)
Chanzo cha picha, Getty Images
AC Milan itamsajili Marco Sportiello kama kipa wake mpya katika dirisha lisalo la usajili. Anamaliza mkataba wake Atalanta mwezi Julai na atakwenda kujiunga Milan kama mchezaji huru kumsaidia mlinda mlango namba moja wa timu hiyo Mike Maignan (Romano).
Chanzo cha picha, Getty Images | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly amekutana na rais wa Paris St-Germain Nasser Al-Khelaifi mjini Paris kujadili uwezekano wa uhamisho wa mshambuliaji wa Brazil Neymar, 31, msimu wa joto. (Le Parisien - kwa Kifaransa)
Arsenal wanafuatilia hali ya mshambuliaji wa Manchester United Muingereza Marcus Rashford, 25, huku kukiwa na sintofahamu kuhusu kandarasi yake Old Trafford. (Football Insider)
Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta ameitaka klabu hiyo kumsajili kiungo wa kati wa Uhispania Martin Zubimendi mwenye umri wa miaka 24 kutoka Real Sociedad. (Sport - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa Barcelona Xavi anasema kiungo wa Uholanzi Frenkie de Jong, 25, hakutaka kujiunga na Manchester United msimu uliopita wa joto, huku klabu hizo mbili zikitarajiwa kukutana kwenye Ligi ya Europa. (Sun)
Barca wamefikia mkataba na LA Galaxy kumsajili beki wa Mexico Julian Araujo, 21, hadi Juni 2026. (Fabrizio Romano)
Araujo atawasili Barcelona siku ya Alhamisi kuanza mazoezi na mabingwa hao wa Uhispania. (ESPN)
Tottenham wanavutiwa na mlinzi wa Ecuador Piero Hincapie mwenye umri wa miaka 21 kutoka Bayer Leverkusen. (Caught Offside)
Aston Villa inaweza kusikiliza ofa kwa mlinda mlango wa Argentina Emiliano Martinez, 30, ili kusaidia kufadhili ujenzi wa klabu hiyo msimu wa joto. (Barua)
Beki wa Ureno Joao Cancelo, 28, anasema tetesi kwamba alitofautiana na mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola kabla ya uhamisho wake wa mkopo kwenda Bayern Munich ni "uongo mtupu". (Mundo Deportivo, via Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mauricio Pochettino anaweza kurejea kama meneja wa Tottenham na kuchukua nafasi ya Antonio Conte. (TalkSPORT)
Chelsea, Liverpool, Manchester City, Manchester United na Newcastle zimewasiliano na klabu ya Independiente del Valle ya Ecuador kumhusu kiungo wa kati Kendry Paez, 15. (90min) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United, Arsenal na Liverpool zinamsaka mshambuliaji kinda wa Barcelona Ansu Fati. Zimeanza kumfuatilia kwa ajili ya dirisha lijalo la usajili.
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona imekamilisha usajili wa mlinzi wa kulia wa LA Galaxy ya Marekani, Julián Araujo. Atasaini mkataba utakamfikisha Juni 2026 (Romano)
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 1
Haipatikani tena
Chelsea haikujaribu kumnasa mlinzi wa pembeni wa Manchester City, Joao Cancelo katika dirisha la Januari. N i uvumi tu unaozushwa kwamba wanamtaka mreno huyo. Cancelo kwa sasa yuko Buyern Munich kwa mkopo (CaughtOffside)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinzi wa PSG Sergio Ramos anasema hana wasiwasi kuhusu hatma yake kwenye timu hiyo ya Ufaransa na hataki kuzungumzia sasa ambapo mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu.
"Sifikirii kuhusu hatma yangu. Tutaona ikifika kiangazi".
Chanzo cha picha, Getty Images
Leicester inapambana kumbakiza kiungo wake James Maddison katika dirisha lijalo, akisakwa na Newcastle na Tottenham.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 2
Haipatikani tena | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Tammy Abraham, 25, anapiga soka ya kulipwa katika klabu ya Roma ya Italia. (Caught offside via Manchester Evening News)
Chelsea wako tayari kujiunga na kinyang'anyiro cha kumsajili mchezaji wa kimataifa wa Uingereza anayekadiriwa kuwa na thamani ya pauni 100m Jude Bellingham, 19, kutoka Borussia Dortmund licha ya kutumia zaidi ya pauni 600m katika madirisha mawili yaliyopita ya uhamisho. (Telegraph - usajili unahitajika)
Leicester wameongeza kasi ya mazungumzo ya kandarasi na kiungo James Maddison, 26, huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza akikaribia miezi 12 ya mwisho ya mkataba wake wa sasa. (Telegraph - usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, AFP
Mshambulizi wa Uhispania Ansu Fati, 20, hana nia ya kuondoka Barcelona, licha ya ofa kutoka kwa Tottenham, Arsenal na Bayern Munich, pamoja na Manchester United kumtaka. (Mundo Deportivo)
Tottenham wanafuatilia uhamisho wa mlinda mlango wa Sevilla mwenye umri wa miaka 31 kutoka Morocco Yassine Bounou, anayejulikana kama Bono, huku wakitafuta mbadala wa muda mrefu wa Mfaransa Hugo Lloris, 36. (AS - kwa Kihispania)
Aston Villa wanatarajia ofa kwa ajili ya mlinda mlango wa Argentina aliyeshinda Kombe la Dunia Emiliano Martinez, 30, msimu huu wa joto, lakini hawana shinikizo la kumuuza kwani kandarasi yake inaendelea hadi 2027. (Mail).
Chanzo cha picha, Getty Images
Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani, anatarajiwa kutoa ofa ya zaidi ya £4bn kwa Manchester United kufikia tarehe ya mwisho ya Ijumaa. (Guardian)
Athletico Paranaense wamekataa ofa kutoka kwa Barcelona na vilabu vingine viwili kwa ajili ya mshambuliaji wa Brazil Vitor Roque, 17, ambaye pia anaripotiwa kuwindwa na Arsenal. (Bao kupitia Globo Esporte) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Atletico Madrid huenda ikakubali kumuuza mshambuliaji wa Ureno Joao Felix, 23, kwa Chelsea kwa euro 100m (£88.3m) msimu wa joto. Klabu hiyo ya La Liga ilikuwa ikiomba kati ya euro 130m-140m (£115m-£124m). (Relevo - kwa Kihispania)
Kiungo wa kati wa Chelsea na Marekani Christian Pulisic huenda akaelekea kinyume na Felix, huku Atletico Madrid wakifikiria dau lililopunguzwa la mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24, ambaye alisajiliwa na The Blues mwaka 2019 kwa pauni milioni 57.6. (Fichajes - kwa Kihispania)
Real Madrid inamfuatilia mshambuliaji wa Juventus Mserbia Dusan Vlahovic, 23, na nyota wa Tottenham wa Brazil wa Kombe la Dunia la Brazil Richarlison, 25, kama mbadala wa muda mrefu wa mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema, 35. (ESPN).
Chanzo cha picha, Reuters
Paris St-Germain huenda wakamweka mshambuliaji wa Brazil Neymar, 31 - ambaye walimsajili kwa kima cha yeuro 222m (£196m) kutoka Barcelona mnamo 2017 - kwenye orodha ya uhamisho wa majira ya joto. (Foot Mercato - kwa Kifaransa)
Mamlaka ya Uwekezaji ya Qatar itatoa ofa rasmi, la karibu pauni bilioni tano, kuinunua Manchester United yote ifikapo mwisho wa wiki. (Telegraph)
Bayern Munich wamejiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Ufaransa Marcus Thuram, 25, kutoka Borussia Monchengladbach, lakini wapinzani wa jiji hilo Inter Milan na AC Milan bado wana hamu. (Sempre Inter)
Chanzo cha picha, Getty Images
Bayern Munich wameelekeza darubini yao kwa nahodha wa Tottenham Muingereza England Harry Kane, 29, huku Randal Kolo Muani, 24, owa Eintracht Frankfurt, akiorodheshwa kuwa mmbadala. (La Gazzetta dello Sport via Sempre Inter)
Mshambuliaji wa Athletico Paranaense Vitor Roque, 17, ambaye hivi karibuni alisaidia Brazil kushinda taji la Amerika kusini la wachezaji wa chini ya miaka 20, anaongoza orodha fupi ya uhamisho wa Arsenal majira ya kiangazi . (AS - kwa Kwa Kihispania)
Mshambuliaji wa Uhispania Sergi Roberto, 31, amekubali masharti ya kuongeza mkataba wake Barcelona ambayo yatamweka katika klabu hiyo hadi Juni 2024. (Fabrizio Romano).
Chanzo cha picha, Getty Images
Southampton wamefanya mazungumzo na kocha Mmarekani mwenye umri wa miaka 49, Jesse Marsch - aliyetimuliwa na Leeds United wiki jana -kuchukua nafasi ya Nathan Jones wa Wales kama maneja wao. (TalkSport)
Kiungo wa kati wa Bayern Munich na Austria Marcel Sabitzer, 28, anasema "anajisikia vizuri" katika kipindi chake cha mkopo Manchester United na yuko tayari kufanya uhamisho huo kuwa wa kudumu. (Mail) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona itajaribu kumrejesha Pep Guardiola, pia kuwasaidi Rodri na Julian Alvarez kama Man City itapewa adhabu na ligi kuu England kwa kukiuka sheria za fedha (Fichajes via Transfer News Live)
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 1
Haipatikani tena
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea haitampima kocha wake wa sasa Graham Porter kwa matokeo ya muda mfupi, itampa muda na kumpima kwa matokeo ya jumla ya mpango wao wa miaka 3 kwa timu wanayoitengeneza sasa(the athletic)
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 2
Haipatikani tena
Wayne Rooney anataka kurejea England kufundisha soka akiwania nafasi ya kukinoa kikosi cha Southampton kilichomtimua Nathan Jones. Ni miongoni mwa makocha 6 wanaotajwa kuitaka kazi hiyo.
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal itaamua kuhusu hatma ya mshambuliaji wake Folarin Balogun anayechezea Reims ya Ufaransa.
Kinda huyo Muingereza anafanya vyema katika ligi ya Ufaransa akiongoza kwa mabao mbele ya nyota kama Kylian Mbappe, Neymer na Lionel Messi. Amepachima mabao 15 katika mechi 22 msimu huu (Football London)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinda mlango wa Winkel Sport, Arne Espeel, 25 amepoteza maisha muda mfupi baada ya kuokoa penati dhidi ya Westrozebeke kwenye ligi ya chini nchini Ubelgiji mwishoni mwa wiki.
Huku timu yake ikiongoza 2-1, mlinda mlango huo aliokoa mchomo wa penati na kwenda kushangilia kabla ya kudondoka na kukimbizwa Hospitali alikopoteza maisha. (The Sun)
Chanzo cha picha, Winkel Sport B via the Sun | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool wameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania saini ya Victor Osimhen kutoka Napoli. Mshambuliaji huyo wa Nigeria mwenye umri wa miaka 24 pia anasakwa na Manchester United. (Fichajes - kwa Kihispania)
Chelsea ni miongoni mwa vilabu vinavyomfuatilia mlinda mlango wa Brentford na Uhispania David Raya, 27. (Football.London)
Chelsea pia wanataka kumsajili winga wa Barcelona na Morocco Abde Ezzalzouli. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 kwa sasa yuko kwa mkopo Osasuna. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool wanataka kumsajili mlinda mlango wa Anderlecht Mholanzi Bart Verbruggen kwa nia ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 kuwa mlinda mlango wao nambari moja. ( Sun)
Mkufunzi mpya wa Everton Sean Dyche amepatia umuhimu mkubwa mlinda mpango wa mlango wa Uingereza Jordan Pickford, 28, kusaini mkataba mpya katika klabu hiyo. (Sun)
Kocha zamani wa Leeds Jesse Marsch huenda akaajiriwa Southampton baada ya kuondoka kwa Nathan Jones Jumapili, wiki moja baada ya kuondoka Elland Road. (Athletic- Usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Southampton pia wanavutiwa na kocha wa Torino Ivan Juric. (Mail)
Newcastle wako mbele ya Liverpool na Barcelona katika mbio za kuwania saini ya kiungo wa kati wa Eintracht Frankfurt na Japan Daichi Kamada, 26. (CaughtOffside).
Klabu za Southampton na Leeds zinamtaka kocha wa Argentina Marcelo Gallardo, 47, kuwa meneja wao mpya. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Reuters
Mshambuliaji wa Flamengo na Brazil Pedro, 25, yuko kwenye rada za West Ham. (Fichajes - kwa Kihispania)
Crystal Palace inamfuatilia mshambuliaji wa Celtic na Japan Kyogo Furuhashi, 28. (Football Insider) | 2 |
Sadaf Khadem anafanya mazoezi katika klabu yake ya ndondi huko Royan pwani ya kusini-magharibi ya Ufaransa mara tatu kwa wiki. Bondia huyo mzaliwa wa Iran anatarajia siku moja kuwa mtaalamu.
Mabango kadhaa ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 28 katika vazi lake la ndondi yamebandikwa kwenye kuta za klabu.
Lakini Sadaf amelilipia gharama kubwa ya kibinafsi ili kufikia ndoto yake - kuishi uhamishoni hapa Ufaransa kwa miaka mitatu iliyopita.
Alianza mchezo huo kisiri mjini Tehran, kwenye viwanja vya bustani kwani wanawake nchini Iran hawaruhusiwi kushiriki mchezo wa ndondi .
Kwa kuhofia huenda akakosa nafasi ya kujindeleza katika mchezo hua aliamua kuwasiliana na raia wa Iran wanaoishi Ufaransa, ambapo pambano lilianzishwa katika mji wa pwani wa Royan mnamo 2019.
Rais wa klabu ya ndondi ya eneo hilo Franck Weus, bondia wa zamani na kiongozi wa jamii, alichukua changamoto hiyo. Takriban asilimia 40 ya mabondia katika klabu yake ni wanawake na hata alichangisha pesa za kumsafirisha Sadaf kwa ajili ya pambano hilo lililovutia watazamaji 1,500.
“Nilikubali kazi hiyo mara moja kwa sababu kuna ngumi na mchezo bila shaka, lakini pia mambo ya kibinadamu ya kuzingatia,” alimwambia mwandishi wa BBC. "Mwanamke wa Kiiran ambaye anataka kupiga ndondi lakini haruhusiwi nyumbani. Tunajua kuhusu vikwazo vyote wanavyokumbana navyo na hasa wakati huu ambapo mamia wamefariki kwa sababu tu wanataka kuvua hijab zao."
Anaashiria maandamano makubwa yaliyozuka nchini Iran tangu kifo cha mwanamke mwenye umri wa miaka 22, Mahsa Amini, Septemba iliyopita. Alifariki akiwa kizuizini baada ya kukamatwa na polisi wa maadili kwa madai ya kutovalia hijab yake ipasavyo.
Kifo chake kimesababisha maandamano kote nchini, ambayo yamesababisha mamia ya waandamanaji vijana na makumi ya wanachama wa huduma za usalama kuuawa, kulingana na mashirika ya kutetea haki za binadamu.
Maelfu ya waandamanaji wamekamatwa ingawa kiongozi mkuu wa Iran amedokeza kuwa wengi wanaweza kusamehewa. Wanaume wanne wanaoshutumiwa na mamlaka ya Iran kwa kushiriki katika uasi wa ghasia wamenyongwa.
Sadaf Khadem alishinda pambano lake na aliporejea uwanja wa ndege kurudi nyumbani alipata habari kwamba anaweza kukamatwa kwa kosa la kucheza ndondi na kufanya mazoezi ya michezo bila kuvaa hijab. Kwa hivyo hakuwa na budi kughairi safari yake - na amesalia Ufaransa tangu wakati huo.
"Najua hali ya Iran na kwa bahati mbaya siko pamoja na watu wa Iran, lakini maisha yangu na makazi yangu sasa ni Ufaransa," anasema.
Masaibu ya Sadaf yamezua gumzo katika kusini-magharibi mwa Ufaransa. Alialikwa kwenye tafrija na mbunge wa eneo lake, Christophe Plassard, ambaye anajaribu kumsaidia kupata pasipoti ya Ufaransa.
"Angependa kuwa na uraia wa Ufaransa lakini hajatimiza vigezo vyote yanavyohitajika kwa sababu hajakaa hapa kwa miaka mitano," alimwambia mwandishi wa BBC, na kuongeza: "Lakini ninajaribu kwa sababu amepata fursa ya kuja huku kupitia mchezo wa ndondi na pambano lake ni la kushangaza."
Katika mapokezi, Sadaf alivaa mavazi ambayo yangeweza kumweka katika matatizo huko Tehran. Kitu ambacho mara nyingi huangazia katika picha anazochapisha kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kwa wafuasi wake huko Iran.
"Kila siku kwenye Instagram au barua pepe yangu napokea jumbe nyingi sana: 'Kwa Sadaf, tunapoona maisha yako tunapata motisha ya kuendelea na maisha yetu.' Kwangu mimi ni furaha, heshima kwangu. Nafarijika sana kwamba nawapa motisha watu wengi pia kuendelea kupigania haki yao."
Wakati hayupo ulingani kupiga ndondi, Sadaf anapata anasomea diploma ya Mauzo na kupata uzoefu wa kazi. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Klabu ya Liverpool huenda ikakubali kuwauza wachezaji wake nyota mwishoni mwa msimu ikiwemo mshambuliaji kinara kutoka Misri Mohamed Salah, 30. (Football Insider)
Real Madrid wamefanya mawasiliano na kocha wa Liverpool Mjerumani Jurgen Klopp, 55, juu ya uwezekano wa kuchukua mikoba ya Mtaliano Carlo Ancelotti, 63, ya kuinoa miamba hiyo ya Uhispania kuanzia msimu ujao. (El Nacional - in Catalan)
Liverpool watakubali ofa ya wastani wa pauni milioni 15 ili kumuuza beki wa raia wa Cameroon, Joel Matip. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Reuters
Baadhi ya maafisa wa Chelsea wamechoshwa na hatua ya kiungo wao raia wa England Mason Mount, 24, kukataa kusaini mkataba mpya na klabu hiyo. (Telegraph)
Manchester United wapo katika mazungumzo na mshambuliaji wao kinara raia wa England Marcus Rashford, 25, ili aongeze mkataba. (GiveMeSport)
Newcastle wanasuka mpango wa kumsajili kiungo wa klabu ya Lazio na timu ya taifa ya Serbia Sergej Milinkovic-Savic, 27, ambaye ana mkataba na klabu yake mpaka mwaka 2024. (Il Messagero, via Goal)
Chanzo cha picha, PA Media
Manchester United wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Roma na raia wa Argentina Paulo Dybala, 29. (Calciomercato - in Italian)
Mshambuliaji wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno Joao Felix, 23, ambaye kwa sasa yupo Chelsea kwa mkopo, ndiye mchezaji kinara atakayewindwa na Real Madrid katika dirisha la usajili la mwishoni mwa msimu katika majira ya kiangazi.(Fichajes - in Spanish)
Paris St-Germain wanahaha kumnyakua kocha wa Manchester City Mhispania Pep Guardiola, 52. (El Nacional - in Catalan)
Chanzo cha picha, Getty Images
Nahodha na mshambuliaji kinara wa timu ya taifa ya England na klabu ya Tottenham Hotspur Harry Kane, 29, anatazamiwa kukataa ofa ya kujiunga na timu yoyote kubwa barani Ulaya ili kusalia katika Ligi ya Primia mwishoni mwa msimu huu. (Football Insider)
Kiungo wa klabu ya Barcelona na raia wa Ivory Coast Franck Kessie, 26, alikataa kujiunga na klabu ya Tottenham Hotspur katika dirisha dogo l usajili la mwezi Januari. (Sport - in Spanish)
Wapinzani wa jadi klabu za AC Milan na Inter Milan wote wanamtazamia kocha wa sasa wa klabu ya Lazio Maurizio Sarri, 64, kuwa kocha Mkuu wa klabu zao katika siku za usoni. (Il Messaggero, via Football Italia)
Chanzo cha picha, Getty Images
Nahodha na kiungo nyota wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard, 42, is "ana nia ya hali ya juu" ya kuchukua usukani wa kuinoa klabu ya Leeds ambayo hivi karibuni walimtimua kocha kutoka Marekani Jesse Marsch. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Nyota wa Borussia Dortmund Jude Bellingham amekataa ofa mbili kutoka vilabu vikubwa vya Ligi Kuu England ili kujiunga navyo. Inaelelezwa vilabu hivyo vitarejea tena kujaribu kumsajili katika dirisha lijalo la usajili. (The sun Football)
Liverpool na Manchester United pamoja na Manchester City vimekuwa vikimuhusudu kiungo huyo wa England.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Chelsea Pierre Emerick Aubameyang yuko njia panda kuhusu hatma yake. Klabu yake na klabu inayoshiriki Ligi ya Marekani ya Los Angeles FC zinamsubiri aamue kama atakwenda Marekani kwa mkopo ama ataendelea kusugua benchi Chelsea (The Guardian).
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United itaelekeza ndoano zake kwa mshambuliaji wa Roma Tammy Abraham iwapo itashindwa kumnasa mmoja kati ya washambuliaji wanaotamba sasa Harry Kane wa Spurs au Victor Osimhen wa Napoli (Telegraph). Liverpool inamfikiria pia.
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham imetoa taarifa yake ya fedha inayoishia Juni 2022; Katika taarifa hiyo mwenyekiti wa Klabu Daniel Levy amekiri klabu hiyo kufanya makosa kwenye usajili ikipata hasara karibu £50.1m kwa mwaka (Skysport football)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea imefikia makubaliano ya mkataba mpya na mlinzi mkongwe Thiago Silva utakaomfikisha Juni 2024 (Fabrizio) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Nyota wa Uingereza Jude Bellingham amekataa uwezekano wa kuhamia Chelsea au Paris St-Germain, kulingana na ripoti za Express.
Kiungo huyo wa kati wa Borussia Dortmund mwenye umri wa miaka 19 anatarajiwa kuhama msimu wa joto, huku Liverpool, Manchester City na Manchester United zote zikihusishwa naye, pamoja na wababe wa La Liga Barcelona na Real Madrid.
Thamani ya Bellingham ilipanda wakati wa Kombe la Dunia, huku mchezaji mwenzake wa Uingereza Phil Foden akisema "atakuwa kiungo bora zaidi duniani" kufuatia kutumika kwake katika ushindi wa 3-0 wa Three Lions dhidi ya Senegal katika hatua ya 16 bora.
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United wamehusishwa na mshambuliaji wa Barcelona Ansu Fati wiki hii lakini rais wa klabu hiyo ya Catalan Joan Laporta amesema mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania hauzwi kwa sasa.
"Hatufikirii kuhusu kuondoka kwake. Siwezi kutabiri siku zijazo lakini tuna matumaini makubwa kwake," Laporta aliambia mkutano wa wanahabari siku ya Alhamisi.
Chanzo cha picha, Getty Images
Bruno Fernandes kuhusu kurejea kwa mabao ya Jadon Sancho katika safu ya Manchester United : "Ni muhimu kwa kila mtu kwa sababu tunataka wachezaji wengi iwezekanavyo kwa ajili ya timu.
"Jadon anarejea, anapata dakika zake, na amepata lengo lake.
"Tunatumai itakuwa msaada mkubwa kwake na kwa timu kwa msimu mzima kwa sababu tunahitaji kila mtu katika ubora wake.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Manchester United Bruno Fernandes aliulizwa kama ana wasiwasi kuhusu uwezekano wa Leeds kupata meneja mpya, iwapo watapata mbadala wa Jesse Marsch kabla ya mechi ya Jumapili ya Ligi Kuu katika Elland Road.
"Hapana, sina wasiwasi kabisa," alisema. "Pamoja na timu hii, na tabia tuliyo nayo katika timu hii, shauku, hamu, umoja tulionao, hatuogopi kwenda popote kucheza dhidi ya mpinzani yeyote.
Chanzo cha picha, Getty Images
Julien Lopetegui anasisitiza kuwa anataka kuwa bosi wa Wolves kwa "muda mrefu" huku akifurahia "changamoto ya kusisimua" ya kuwaweka kwenye Ligi ya Premia.
Lopetegui amesimamia ufufuo katika klabu ya Molineux tangu aanze kuinoa mwezi Novemba na klabu inayoshika nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza. Ushindi wa 3-0 wa Jumamosi iliyopita dhidi ya Liverpool uliwapandisha hadi nafasi ya 15. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinda lango na nahodha wa Tottenham Hugo Lloris atakuwa nje kwa kati ya wiki sita hadi nane kutokana na jeraha la goti.
Nahodha huyo wa zamani wa Ufaransa, 36, alipata jeraha la mishipa katika ushindi wa 1-0 wa Spurs dhidi ya Manchester City kwenye Ligi ya Premia Jumapili.
Spurs wana mchezaji wa zamani wa Southampton na timu ya taifa ya Uingereza Fraser Forster kama msaidizi.
Wachezaji wa akademi Brandon Austin na Alfie Whiteman ni chaguo jingine, lakini hawana uzoefu wa juu zaidi.
Spurs kwa sasa wako nafasi ya tano kwenye Premier League na wanapigania nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa kwa msimu ujao.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Manchester United Casemiro ameanza kuhudumia marufuku ya mechi tatu kufuatia kadi yake nyekundu dhidi ya Crystal Palace.
Marcel Sabitzer anaweza kuanza mchezo wake wa kwanza kwa klabu hiyo lakini Antony, Scott McTominay, Christian Eriksen, Donny van de Beek na Anthony Martial wanakosa.
Michael Skubala atachukua mikoba ya Leeds kufuatia kufukuzwa kwa kocha mkuu Jesse Marsch. Anasema wachezaji kadhaa ambao hawakutajwa majina wanaouguza "majeraha" kufuatia kushindwa Jumapili huko Nottingham Forest.
Chanzo cha picha, Getty Images
Cody Gakpo huenda alijiunga na Liverpool mapema sana na anatatizika kupata ustadi wake katika timu isiyofanya vizuri, anasema kocha mpya wa Uholanzi Ronald Koeman.
Mshambulizi huyo mwenye umri wa miaka 23 alitinga fainali za Kombe la Dunia nchini Qatar, akifunga mabao matatu katika mechi tano Uholanzi ilipotinga robo fainali.
Hata hivyo, bado hajafunga bao katika mechi sita alizoichezea Liverpool tangu ajiunge nayo akitokea PSV Eindhoven mwezi Januari.
"Ameishia kwenye timu ambayo haifanyi vizuri," Koeman alisema.
Chanzo cha picha, Getty Images
Newcastle United ilishindwa kuziba pengo la viongozi Arsenal wikendi hii. Ilikuwa mikononi mwao lakini walijitahidi tena kubadilisha nafasi na wakatolewa kwa sare nyingine.
Mabao yamekauka tangu mwanzo wa mwaka. Callum Wilson hatimaye alifunga kwa mara ya kwanza katika mechi 11 lakini alipaswa kuwa na zaidi.
Licha ya hayo, usajili wao pekee mkubwa katika dirisha la usajili la Januari kwa Newcastle ulianza kucheza kwa pauni milioni 45 Anthony Gordon.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kocha wa zamani wa Schalke, Spartak Moscow na RB Leipzig Domenico Tedesco ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa Ubelgiji.
Tadesco mwenye umri wa miaka 37, ambaye alizaliwa nchini Italia lakini pia ana uraia wa Ujerumani, amesaini mkataba hadi baada ya michuano ya Ulaya ya 2024.
Anachukua nafasi ya Roberto Martinez, ambaye alijiuzulu baada ya kuiongoza kwa miaka sita kufuatia Ubelgiji kutolewa hatua ya makundi kwenye Kombe la Dunia nchini Qatar. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Newcastle United itashindana na Manchester City katika kumsajili kiungo wa kati wa England James Maddison, 26, kutoka Leicester City. (Echo)
Manchester United wanapanga kutoa pauni milioni 100 kumnunua nahodha wa Tottenham ya Uingereza Harry Kane, 29, au mchezaji wa kimataifa wa Napoli mwenye umri wa miaka 24 Victor Osimhen, huku meneja Erik ten Hag akitaka mshambuliaji mwenye kiwango cha kimataifa. (Telegraph)
Wawekezaji wa Qatar hivi karibuni watatoa ofa rasmi kwa Manchester United ambayo wana uhakika itashinda mashindano yoyote, huku familia ya Glazer ikitaka kuiuza klabu hiyo kwa pauni 6bn. (Mail)
Manchester City wanataka kuzipiku Real Madrid na Liverpool katika mbio za kumsajili kiungo wa kati wa England Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 19 kutoka Borussia Dortmund katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi - lakini tishio la kuwekewa vikwazo baada ya kushtakiwa na Ligi kuu England League linaweza kuwazuia kufanya hivyo. (Telegraph)
Borussia Dortmund wanaandaa ofa yao ili kumshawishi Bellingham kusalia Ujerumani kwa msimu mwingine. (90MIN)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal bado wanaweza kuamua kumuuza mchezaji wa kimataifa wa England Folarin Balogun msimu wa joto, licha ya mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21 kuongoza kwa mabao Ligue 1 akifunga mabao 14 katika mechi 21 akiwa na Reims msimu huu. (Sun)
Meneja wa Rayo Vallecano Andoni Iraola anafahamika kuwa miongoni mwa wagombea wakuu wanaowania kuchukua nafasi ya Jesse Marsch kama meneja wa Leeds United. (Independent)
Leeds United haitamteua meneja wao wa zamani Marcelo Bielsa au meneja wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino, ambaye anaifundisha Real Madrid. (Star)
Liverpool na Manchester United zote zimeanza kushughulikia mkataba wa majira ya joto kumnunua mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt mwenye umri wa miaka 24 Randal Kolo Muani. (L'Equipe, via Metro)
Chanzo cha picha, Getty Images
Mazungumzo ya Manchester United kuhusu kandarasi mpya na beki wa kulia wa Ureno Diogo Dalot yako katika hatua za mwisho, kumaanisha kuwa itakuwa vigumu kwa Barcelona kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23. (Mundo Deportivo)
Kiungo wa kati wa Ufaransa Adrien Rabiot, 27, ambaye alikaribia kujiunga na Manchester United mwaka jana, ni miongoni mwa wachezaji watano wa kikosi cha kwanza ambao watauzwa na Juventus. (Gazzetta dello Sport, via Mirror)
Inter Milan ilifanya mazungumzo na mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, kabla ya nyota huyo wa zamani wa Barcelona kuamua kujiunga na Paris St-Germain. (Goal)
Chanzo cha picha, Getty Images
Winga wa Roma ya Italia Nicolo Zaniolo mwenye umri wa miaka 23 amesafiri hadi Istanbul kukamilisha uhamisho wa kwenda Galatasaray. (Mail)
Kiungo wa kati wa Uhispania Sergio Busquets, 34, amepewa ofa ya mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya £16m kwa msimu na klabu ya Saudi Arabia Al Nassr lakini atasubiri kuona kama Barcelona itampa mkataba mpya kabla ya kufanya uamuzi. (Mundo Deportivo) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Je, umesikia kuhusu chipukizi wa Uingereza anayewazidi Kylian Mbappe, Lionel Messi na Neymar kwa ufungaji mabao kule Ufaransa - na ambaye anatazamiwa kuipa Arsenal "maumivu mazuri ya kichwa"?
Wakati Reims ilipomsajili mshambuliaji huyo kwa mkopo kutoka Arsenal ambaye Middlesbrough mara tatu msimu uliopita, hakugonga na vichwa vya habari - lakini sasa macho ya wengi yanaelekezwa kwa Folarin Balogun.
Mshambuliaji huyo wa timu ya taifa ya Uingereza chini ya umri wa miaka 21 ndiye mfungaji bora wa Ligue 1 ya Ufaransa akiwa na mabao 14 kwa timu ya kati inayosimamiwa na Muingereza mwenzake Will Still, ambaye ana umri wa miaka 30 pekee na hakucheza soka ya kulipwa.
Siku 10 zilizopita za Balogun zimejumuisha bao la ziada la kusawazisha dhidi ya Paris St-Germain na mabao matatu dhidi ya Lorient.
Leeds United wanawinda meneja mpya baada ya kutimuliwa kwa Jesse Marsch chini ya mwaka mmoja wa utawala wake.
Marsch anaondoka baada ya kushinda mara mbili pekee kwenye Ligi ya Premia tangu Agosti, huku kipigo cha 1-0 Jumapili huko Nottingham Forest kuwaacha nje ya eneo la kushushwa daraja kwa tofauti ya mabao.
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja mpya wa Everton Sean Dyche anasema kuwashinda vinara wa Ligi ya Premia Arsenal 1-0 katika mechi yake ya kwanza akiwa kocha ni "hatua nzuri ya kuanzia" lakini "haisuluhishi kila kitu".
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea imeajiri meneja wa uongozi wa All Blacks na kocha wa ujuzi wa akili Gilbert Enoka katika nafasi ya ushauri ya muda mfupi.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 57 alikuwa sehemu ya wakufunzi wakati New Zealand ilishinda Kombe la Dunia la Raga mnamo 2011 na 2015.
Mwalimu huyo wa zamani wa PE pia alitumikia miaka sita kama mkufunzi wa ujuzi wa akili katika timu ya kriketi ya nchi na miaka mitatu na timu yake ya netiboli.
Ushauri wake wa muda akiwa Chelsea itakuwa kazi yake ya kwanza katika soka.
Chanzo cha picha, Getty Images
Kuhusu Manchester City kushtakiwa kwa ukiukaji zaidi ya 100 wa sheria za kifedha, Ten Hag alisema: "Siko hapa kwa kanuni.
"Mimi ni meneja wa soka. Nashikilia hilo."
Kuhusu Jesse Marsch kutimuliwa jana, Ten Hag alisema: "Siku zote inasikitisha na kama meneja au mfanyakazi mwenza atafukuzwa, kwa ujumla, siamini.
“Waache wasimamizi wafanye kazi zao na wamalize kazi yao.
"Shinikizo ni kubwa kwa watoa maamuzi katika vilabu vya soka. Ukiona takwimu, mara nyingi haifanyi kazi vizuri." | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Ureno Bernardo Silva, 28, ambaye yuko tayari kuondoka Manchester City, lakini inaweza kukabiliana na ushindani kutoka kwa Barcelona. (Le10 Sport)
Manchester United itajaribu kuwauza mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial, 27, beki wa kati wa England Harry Maguire, 29, na beki wa kushoto wa Brazil Alex Telles, 30, katika msimu wa joto huku klabu hiyo ikilenga kutoa nafasi kwa mshambuliaji mpya kutoka klabu ya Tottenham nahodha wa Uingereza.
Harry Kane 29, au mchezaji wa kimataifa wa Napoli mwenye umri wa miaka 24 Victor Osimhen.
Tottenham haitamuuza mfungaji bora wa klabu Kane kwa klabu pinzani msimu huu wa joto. (Times)
Chanzo cha picha, Huw Evans Picture Agency
Manchester United itahitajika kulipa pauni milioni 120 kumnunua kiungo wa kati wa England Declan Rice, 24, kutoka West Ham, baada ya dau la pauni milioni 100 kukataliwa msimu uliopita. (TalkSport)
Carlos Corberan wa West Brom anaongoza kwenye orodha fupi ya Leeds ya kocha wa kuchukua nafasi ya Jesse Marsch aliyetimuliwa. (Guardian)
Real Madrid wanaamini kuwa kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham, 19, atachagua kuhamia ligi kuu England atakapoondoka Borussia Dortmund. (Athletic)
Chanzo cha picha, Getty Images
Wamiliki wa Southampton walijadili mustakabali wa meneja Nathan Jones baada ya timu hiyo kuchapwa 3-0 Jumamosi na Brentford lakini wanatazamiwa kuendelea kubaki naye kwa sasa. (Sport)
Jones anatarajiwa kuiongoza timu hiyo katika mechi ya nyumbani ya Southampton dhidi ya Wolves Jumamosi. (90Min)
Meneja wa zamani wa Southampton Ralph Hasenhuttl anaongoza mbio za kuwa meneja mpya wa klabu ya Ujerumani ya Hoffenheim baada ya klabu hiyo kumtimua Andre Breitenreiter. (Sky Sports)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wanamfuatilia mlinda mlango wa Porto na Ureno Diogo Costa, 23, huku wakitarajia kushughulikia mustakabali wa mlinda mlango wao katika majira ya joto. (90Min)
Inter Milan wamemuongeza mlinzi wa Fulham Tosin Adarabioyo, 25, kwenye orodha ya nyota inayowasaka kuchukua nafasi ya mlinzi wa kati wa Slovakia Milan Skriniar, 27, ambaye anatarajiwa kuondoka katika kikosi hicho cha Serie A mkataba wake utakapokamilika msimu wa joto. (Tuttomercatoweb)
Kocha wa zamani wa Newcastle United, Steve Bruce, alikataa nafasi ya kuifundisha klabu yake ya zamani ya Wigan Athletic baada ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza kumuomba achukua nafasi ya kocha Kolo Toure aliyetimuliwa hivi majuzi. (Football Insider) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Je, tunajua nini hadi sasa kuhusu habari kubwa ya leo kuhusu Manchester City?
Ligi ya Premia imeishtaki Manchester City kwa ukiukaji zaidi ya mara 100 wa sheria zake za kifedha kufuatia uchunguzi wa miaka minne.
Imeipeleka klabu hiyo kwa tume huru kwa madai ya kukiuka kanuni kati ya 2009 na 2018.
City pia inashutumiwa kwa kutotoa ushirikiano tangu uchunguzi huo uanze Desemba 2018.
Klabu hiyo inasema inashangazwa na mashtaka hayo, ina "ushahidi usiopingika" unaounga mkono kesi yake na "inatarajia suala hili kusitishwa mara moja na kwa wote."
Iwapo klabu itapatikana na hatia ya makosa hayo, tume inaweza kutoa adhabu ikiwamo faini, kukatwa pointi na hata kuifukuza klabu kwenye Ligi Kuu.
Chanzo cha picha, Getty Images
Leeds United imethibitisha kuwa kocha mkuu Jesse Marsch amevuliwa majukumu yake.
Jesse alijiunga na klabu hiyo Februari 2022 na alisaidia sana kuiweka klabu hiyo kwenye Ligi ya Premia siku ya mwisho ya msimu uliopita.
Rene Maric, Cameron Toshack na Pierre Barrieu pia wataondoka katika klabu hiyo.
'Tungependa kumshukuru Jesse na wafanyikazi wake wa chumba cha nyuma kwa juhudi zao na tunawatakia heri kwa siku zijazo.
Mchakato wa kuteua kocha mkuu mpya unaendelea na tutaendelea kuwasasisha wafuasi katika siku zote zijazo.'
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Arsenal Mikel Arteta anasema jibu lake kwa The Gunners kushindwa 1-0 na Everton ni kuwaambia wachezaji wake "anawapenda zaidi" kuliko alivyokuwa kabla ya mchezo.
Chanzo cha picha, Getty Images
Jonny Williams anasema Wales inaweza kufanya kitu maalum tena katika kufuzu kwa Ubingwa wa Ulaya licha ya kustaafu kwa Gareth Bale.
Kiungo mshambuliaji wa Swindon Town Williams, 29, ana hakika kwamba timu ya Rob Page inaweza kuimarika wakati mechi za kufuzu kwa Euro 2024 zitakapoanza Machi.
"Nadhani itabidi tusubiri kwa muda mrefu kuona Gareth Bale mwingine," alisema. "Kujaribu kuchukua nafasi yake, kwa kile alichofanya kwa Wales, ni vigumu sana kwangu.
Chanzo cha picha, Getty Images
Meneja wa Manchester United hamesifu ari ya timu yake huku wakishikilia na kuwalaza Crystal Palace 2-1 kwenye uwanja wa Old Trafford licha ya kadi nyekundu ya Casemiro kipindi cha pili. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool itasikiliza ofa msimu huu wa joto kwa beki wao wa kati wa zamani wa kimataifa wa Cameroon Joel Matip, 31, ambaye mkataba wake Anfield unamalizika mwaka 2024. (Football Insider)
Kocha mkuu wa West Brom Mhispania Carlos Corberan, 39, anawania kuchukua nafasi ya Jesse Marsch iwapo Leeds United itaamua kumtimua kocha huyo. (Mail)
Meneja wa zamani wa Chelsea Jose Mourinho anataka 'kurejea' Stamford Bridge kwa kipindi cha tatu na Mreno huyo, 60, 'alijiweka karibu' wanunuzi wapya wakati klabu ilipoanza kuuzwa. (NipeMesport)
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea pia wako tayari kumwajiri meneja wa zamani wa Hispania Luis Enrique, 52, kama mkufunzi mpya ikiwa watamtimu mkufunzi wa sasa Graham Potter. (Fichajes)
Barcelona wanafuatilia hali ya mshambuliaji wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang katika klabu ya Chelsea huku wakipanga kumrejesha Camp Nou mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33. (Football transfers)
Newcastle United itaendelea kumfuatilia kiungo wa kati wa England Conor Gallagher, 22, baada ya kufanya mazungumzo na Chelsea kuhusu uhamisho wa Januari. (Football Insider)
Chanzo cha picha, Getty Images
Liverpool na Aston Villa zinaripotiwa kuwa tayari 'kuijaribu Athletic Bilbao katika dirisha la msimu ujao wa joto kwa kupeleka ofa kwa ajili ya winga wao wa Kihispania Nico Williams, 20, na kiungo wa kati wa Hispania Oihan Sancet, 22. (AS via Teamtalk).
Mkurugenzi wa michezo wa Bayern Munich Hasan Salihamidzic amesema ada ya euro 70m (£62m) iliyowekwa katika mkataba wa mkopo wa beki wa pembeni wa Manchester City na Ureno Joao Cancelo, 28, itakuwa "ngumu" kwa klabu hiyo. (Mirror)
Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa kati wa Brazil Philippe Coutinho, 30, anahusishwa kwa uhamisho wa mkopo kwenda Galatasaray baada ya msimu mgumu akiwa na Aston Villa. (Sun)
Mkurugenzi wa michezo wa Paris St-Germain Luis Campos amethibitisha kuwa klabu hiyo iko kwenye mazungumzo na mshindi wa Kombe la Dunia la Argentina Lionel Messi, 35, kuhusu kandarasi mpya. (Mail) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester United na Paris St-Germain zinapaswa kulipa ada ya uhamisho ya angalau £90m ikiwa zinataka kumsajili mshambuliaji mahiri wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, katika dirisha la msimu wa joto. (ESPN)
Arsenal wameweka kipaumbele cha kukubaliana kandarasi mpya na nyota wake Bukayo Saka, 21, na beki wa Ufaransa William Saliba, 21, huku Manchester City ikimtaka winga huyo wa Uingereza. (Sports)
Baada ya dirisha dogo la usajili Chelsea wameelekeza nguvu zao katika kuongeza mkataba wa Mason Mount, 24. Mkataba wa sasa kiungo huyo wa kati wa England unamalizika msimu wa joto wa 2024. (90min).
Chanzo cha picha, Getty Images
Vyanzo vya karibu na mshambuliaji wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang vinasema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 ameshtushwa na amesikitishwa kuachwa nje ya kikosi cha Chelsea cha Ligi ya Mabingwa Ulaya na anaamini klabu hiyo inataka kumuondoa. (Telegraph)
Manchester United wamekubali kuongeza mkataba wa miaka minne wa winga mwenye umri wa miaka 18 Alejandro Garnacho, ambaye amekuwa akifanya vizuri na kucheza timu za taifa za vijana za Argentina. (AS kwa Kihispania)
Wafanyikazi wa Old Trafford wamegawanyika kuhusu iwapo mshambuliaji wa England Mason Greenwood mwenye umri wa miaka 21 aruhusiwe kuendelea na soka lake katika klabu hiyo ama la. (Guardian)
Greenwood anatazamia kuhamia China ili kuanza tena soka yake ikiwa United itaamua kumfuta kazi mara tu watakapokamilisha mchakato wao wa ndani. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
West Ham United na Everton watalazimika kusubiri hadi msimu wa joto kumsajili winga wa Suriname Sheraldo Becker baada ya Union Berlin kusita kumruhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 kuondoka mwezi Januari kwa sababu ya malengo yao ya Ligi ya Mabingwa. (Caught Offside)
Uhamisho wa beki wa kulia wa LA Galaxy Julian Araujo kwenda Barcelona umeshindikana baada ya Fifa kuamua kwamba nyaraka za kukamilisha uhamisho wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 ziliwasilishwa kwa kuchelewa mno. (ESPN)
Kiungo wa kati wa zamani wa Utrecht wa Marekani chini ya umri wa miaka 19 Taylor Booth, 21, anafuatiliwa na meneja wa Manchester United Erik ten Hag. (Mail) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mshambuliaji wa Brazil Gabriel Martinelli, 21, ametia saini mkataba mpya na Arsenal ambao utamweka katika klabu hiyo hadi msimu wa joto wa 2027. (Athletic - usajili unahitajika)
Newcastle United wameripotiwa kujiunga na mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Jude Bellingham, 19, kutoka Borussia Dortmund msimu wa joto. (Football transfer)
Fiorentina waliachwa wakiwa wamechanganyikiwa na Todd Boehly huku mmiliki wa Chelsea akichukua jukumu la kujaribu kumsajili kiungo wa kati wa Morocco Sofyan Amrabat, 26, kwa mkopo siku ya mwisho ya uhamisho. (New York Times kupitia Talksport)
Chanzo cha picha, Getty Images
River Plate wanatazamiwa kupokea karibu euro milioni 32 swa na (pauni milioni 28) kufuatia kuhama kwa kiungo wa kati wa Argentina mwenye umri wa miaka 22 Enzo Fernandez kutoka Benfica kwenda Chelsea. (Fabrizio Romano kupitia Twitter)
Wakati huo huo, wachezaji wa nyumbani wa Chelsea wanahofia klabu italazimika kuwauza ili kuepuka matatizo ya usawa wa malipo (FFP) iwapo The Blues watakosa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa msimu huu. (Telegraph - usajili unahitajika)
Tottenham walikuwa 'wamekaribia kukamilisha' uhamisho wa mshambuliaji wa Uhispania Gerard Deulofeu, 28, kabla ya mchezaji huyo wa Udinese kuondolewa uwanjani kwa msimu uliosalia mwezi Januari kutokana na jeraha la goti. (Fabrizio Romano kupitia Express)
Chanzo cha picha, Getty Images
Ajenti wa Moises Caicedo, 21, ameikosoa Brighton kwa kumnyima kiungo huyo wa Ecuador kuhamia Arsenal na kusema fursa hiyo "huenda isipatikane tena maishani". (Marca90 kupitia Ole - kwa Kihispania)
Winga wa Uingereza Jack Harrison, 26, anatarajiwa kusaini mkataba ulioboreshwa katika klabu ya Leeds United katika wiki zijazo. (Sky Sports)
Kiungo wa kati wa Uhispania Isco, 30, bado anatafuta klabu mpya na amepewa ofa na timu kadhaa za Ligi ya Premia kwa mkataba wa muda mfupi. (90min) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Everton wanataka kumsajili mshambuliaji wa Ghana Andre Ayew, ambaye anatarajiwa kuwasili Uingereza kwa mazungumzo, kwa uhamisho wa bure. Nottingham Forest pia inaweza kujaribu kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33. (Mail)
The Toffees pia wanaweza kutafuta kumsajili kiungo wa kati wa zamani wa Real Madrid na Uhispania Isco, 30, ambaye anapatikana kwa uhamisho wa bure. (Times - usajili unahitajika)
Everton ilishindwa kumnunua mshambuliaji wa Colombia Duvan Zapata mwenye umri wa miaka 31 baada ya ombi lao kukataliwa na Atalanta. (TeamTalk)
Hilo lilikuwa moja ya malengo 14 yaliyoripotiwa ambayo Everton ilishindwa kusaini siku ya mwisho. (Express)
Chanzo cha picha, Getty Images
Beki wa Chelsea na England Ben Chilwell, 26, ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na Manchester City msimu huu wa joto ikiwa mlinzi wa Ureno Joao Cancelo, 28, hatarejea kutoka kwa muda wake wa mkopo Bayern Munich. (Times - usajili unahitajika)
Wamiliki wa Chelsea hawatadai matokeo ya haraka kutoka kwa meneja Graham Potter kufuatia matumizi mabaya ya fedha ya mwezi Januari. (Guardian)
The Blues wanatazamiwa kuongeza usajili mwingine katika mshambuliaji Muingereza Jimmy-Jay Morgan, 17, ambaye atajiunga nao kutoka Southampton. (Sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Winga wa Chelsea kutoka Morocco Hakim Ziyech, 29, alituma ujumbe mfupi wa maandishi kwa mmiliki wa klabu Todd Boehly alipokuwa akijaribu kukamilisha uhamisho wake wa mkopo kwenda Paris St-Germain. (Mirror)
Leeds United ilikataa nafasi ya kumsajili beki Mwingereza Axel Tuanzebe, 25, kwa mkopo kutoka Manchester United kabla ya dirisha la Januari kufungwa. (The Athletic, kupitia Metro)
Chanzo cha picha, Getty Images
Wakala wa mshambuliaji wa Liverpool na Brazil Roberto Firmino, 31, anaamini kuwa mazungumzo kuhusu kandarasi mpya katika klabu hiyo yatakamilika mwezi huu. (Sky Germany, kupitia Mirror) | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Mlinzi mpya wa Bayern Munich Joao Cancelo ameeleza sababu za kuhama Manchester City: "Sikuwa napata muda mwingi wa kucheza, hiyo ikachagiza uamuzi wangu - na sio kuhusu Pep. Nilitaka changamoto mpya, na Bayern ni klabu ya ndoto zangu".
Chanzo cha picha, Getty Images
PSG imekata rufaa LFP kuhusu uhamisho wa Hakim Ziyech. PSG inailalamikia Chelsea kwa 'kufanya makusudi' kutowasilisha nyaraka za usajili mpaka muda wa kufungwa dirisha ukafika, licha ya kukabidhiana mapema.
Chanzo cha picha, Getty Images
Barcelona ilituma nyaraka za usajili wa Julián Araujo kutoka LA Galaxy, ikichelewa kwa sekunde zisizozidi 30. Leo maamuzi yatatoka kama nyaraka hizo zimefanikiwa na kumuwezesha kuwa mchezaji mpya wa wahispania hao
Barca na Galaxy walishamalizana kila kitu kwa ada ya €4m, na yeye akipewa mkataba wa miaka 3 na nusu hadi Juni 2026 (Barca Blaugranes).
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal itarejea kwa Moises Caicedo wa Brighton katika dirisha la msimu wa kiangazi pamoja na kumsajili chaguo lao la kwanza Declan Rice kutoka West Ham United. Caicedo anaripoti leo mazoezini baada ya kukaa nje kutokana ofa mbili za Arsenal zilizokataliwa na Brighton. (The sun)
Chanzo cha picha, Getty Images
Axel Tuanzebe amekamilisha uhamisho wake wa mkopo kwenda Stoke City mpaka mwishoni mwa msimu akitokea Manchester United(Mirror Football). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Uhamisho wa mkopo kwenda Inter Milan haukuwa chaguo kwa beki wa England Harry Maguire, na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 atasalia Manchester United hadi angalau mwisho wa msimu. (Fabrizio Romano kupitia Twitter)
Manchester City wanapanga kumnunua mchezaji wa Leicester City James Maddison katika majira ya joto wakati mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 26 atakuwa amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa Foxes. (Mail)
Chelsea imeuliza Inter Milan kuhusu nia yao ya kumuuza kiungo wa kati wa Italia Nicolo Barella lakini klabu hiyo ya Serie A haikuwa tayari kumruhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 kuondoka. (Tuttomercatoweb - kwa Kiitaliano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Afisa MkuuMtendaji wa Inter Milan Giuseppe Marotta anasema ni chaguo la mlinzi wa Slovakia Milan Skriniar kutotia saini mkataba mpya na kuondoka bure wakati mkataba wa mchezaji huyo wa miaka 27 utakapokamilika msimu wa joto. (Sport Mediaset, kupitia Football Italia)
Bournemouth ilikataa nafasi ya kumsajili kiungo wa kati wa Roma Nicolo Zaniolo baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia mwenye umri wa miaka 23 kubadili mtazamo wake kuhusu kujiunga na klabu hiyo ya pwani ya kusini. (Sky Sport Italia, kupitia Daily Echo)
Chanzo cha picha, Getty Images
Uhamisho uliomchukua kiungo wa kati wa Uhispania Isco, 30, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Sevilla mwezi Disemba, kwenda klabu ya Ujerumani Union Berlin uliporomoka. (Goal)
AC Milan wamekanusha kuwa kuna mvutano katika mazungumzo kuhusu kandarasi mpya na mshambuliaji wa Ureno Rafael Leao, 23, na mazungumzo yanafanyika "kwa njia ya kitaalamu". (Football Italia)
Barcelona ilijaribu kumsajili kiungo wa kati wa Morocco Sofyan Amrabat, 26, kutoka Fiorentina kwa mkopo ikiwa na jukumu la kununua lakini klabu hiyo ya Italia ilikataa ofa hiyo. (Sport - kwa Kihispania) | 2 |
Dirisha la uhamisho la kati ya msimu wa ligi ya Premier League na EFL litafungwa saa 23:00 GMT mnamo Januari 31, wakati Ligi Kuu ya Scotland itafungwa saa 23:59 na WSL saa 17:00 kwa uhamisho wa ndani. Dili zote zilizokamilishwa zitaorodheshwa kwenye ukurasa huu.
31 Januari
Premier League
11:01 Jude Soonsup-Bell [Chelsea - Tottenham] kwa dau lisilojulikana
09:59 Harrison Ashby [West Ham - Newcastle] £3m
09:00 Diogo Monteiro [Servette - Leeds] kwa dau lisilojulikana
English Football League
14:30 Glen Rea [Luton - Cheltenham] Kwa mkopo
14:00 Kabongo Tshimanga [Chesterfield - Peterborough] Kwa mkopo
13:00 Gavin Kilkenny [Bournemouth - Charlton]Kwa mkopo
13:00 Omar Rekik [Arsenal - Wigan] Kwa mkopo
12:00 Dylan Duffy [UCD - Lincoln] kwa dau lisilojulikana
12:00 Corrie Ndaba [Ipswich - Fleetwood] Kwa mkopo
11:00 Charlie McNeill [Manchester United - Newport] Kwa mkopo
10:00 Joe Anderson [Everton - Sunderland] kwa dau lisilojulikana
09:00 Marquinhos [Arsenal - Norwich] Kwa mkopo
Ligi ya Uskochi
11:40 Jay Gorter [Ajax - Aberdeen] Kwa mkopo
Kimataifa
11:30 Joao Cancelo [Man City - Bayern Munich] Kwa mkopo
30 Januari
Premier League
Joao Gomes [Flamengo - Wolves] kwa dau lisilojulikana
Yasin Ayari [AIK - Brighton] £3.5m
Weston McKennie [Juventus - Leeds] Kwa mkopo
Bryan Gil [Tottenham - Sevilla] Kwa mkopo
Matias Vina [Roma - Bournemouth] Kwa mkopo
Ligi ya Uskochi
CJ Egan-Riley [Burnley - Hibernian] Kwa mkopo
Luke Chambers [Liverpool - Kilmarnock] Kwa mkopo
English Football League
Louie Barry [Aston Villa - Salford] Kwa mkopo
Cesare Casadei [Chelsea - Reading] Kwa mkopo
Oliver Burke [Werder Bremen - Millwall] Kwa mkopo
Chem Campbell [Wolves - Wycombe] Kwa mkopo
Harry Isted [Luton - Barnsley] Kwa mkopo
Martin Kelly [West Brom - Wigan] Kwa mkopo
Ateef Konate [Nottingham Forest - Oxford] Kwa mkopo
Josh March [Forest Green - Stevenage] kwa dau lisilojulikana
Jack Marriott [Peterborough - Fleetwood] kwa dau lisilojulikana
Luke Plange [Crystal Palace - Lincoln] Kwa mkopo
Tom Smith [Arsenal - Colchester] Kwa mkopo
Jayden Stockley [Charlton - Fleetwood] kwa dau lisilojulikana
Jack Walton [Barnsley - Luton]kwa dau lisilojulikana
Kimataifa
Vakoun Bayo [Watford - Charleroi] Kwa mkopo
Han-Noah Massengo [Bristol City - Auxerre] Kwa mkopo
29 Januari
Premier League
Malo Gusto [Lyon - Chelsea] £31m (Kwa mkopo)
Tete [Shakhtar Donetsk - Leicester] Kwa mkopo
Anthony Gordon [Everton - Newcastle] £45m
English Football League
Britt Assombalonga [Adana Demirspor - Watford] kwa dau lisilojulikana
Dan Barlaser [Rotherham - Middlesbrough]kwa dau lisilojulikana
Aidan Keena [Sligo - Cheltenham] kwa dau lisilojulikana
Luke McGee [Forest Green - Derby] Kwa mkopo
Michael Obafemi [Swansea - Burnley] Kwa mkopo
Ligi ya uskochi
Mattie Pollock [Watford - Aberdeen] Kwa mkopo
28 Januari
Ligi ya Uskochi
Riku Danzaki [Consadole Sapporo - Motherwell]Uhamisho wa bila malipo
Super League{ Women}
Ruby Mace [Manchester City - Leicester City] Kwa mkopo
English Football League
Rhys Bennett [Unattached - Rochdale]
Curtis Nelson [Cardiff - Blackpool Uhamisho wa bila malipo
27 Januari
Premier League
Antoine Semenyo [Bristol City - Bournemouth] kwa dau lisilojulikana
English Football League
Will Aimson [Bolton - Exeter] kwa dau lisilojulikana
Matt Baker [Stoke - Newport]Kwa mkopo
Matt Dennis [MK Dons - Sutton] Kwa mkopo
Owen Dodgson [Burnley - Rochdale] Kwa mkopo
Aden Flint [Stoke - Sheffield Wednesday] Kwa mkopo
Joe Gelhardt [Leeds - Sunderland] Kwa mkopo
Ben Gladwin [Swindon - Crawley] kwa dau lisilojulikana
Will Greenidge [West Ham - Colchester] kwa dau lisilojulikana
Ki-Jana Hoever [Wolves - Stoke] Kwa mkopo
Cameron Jerome [Luton - Bolton]Uhamisho wa bila malipo
Hisham Kasimu [Farnborough - Sutton] kwa dau lisilojulikana
Charlie Lakin [Burton - Doncaster] Kwa mkopo
D'Mani Mellor [Wycombe - Rochdale] Kwa mkopo
Tyler Onyango [Everton - Forest Green] Kwa mkopo
Ryan Porteous [Hibernian - Watford] kwa dau lisilojulikana
Kieran Sadlier [Bolton - Leyton Orient] Kwa mkopo
Harvey Saunders [Bristol Rovers - Tranmere] kwa dau lisilojulikana
Charlie Savage [Manchester United - Forest Green] Kwa mkopo
Jackson Smith [Wolves - Walsall] Kwa mkopo
Tayt Trusty [Blackpool - Hartlepool] Kwa mkopo
Grant Ward [Blackpool - Bristol Rovers] Uhamisho wa bila malipo
Kimataifa
Ayoub Assal [AFC Wimbledon - Al-Wakrah]kwa dau lisilojulikana
26 Januari
Premier League
James Bree [Luton - Southampton] kwa dau lisilojulikana
Super League{ wanawake}
Georgia Eaton-Collins [Unattached - Leicester] Uhamisho wa bila malipo
English Football League
Harvey Cartwright [Hull - Wycombe]Kwa mkopo
Bersant Celina [Dijon - Stoke] Loan
Conor Coventry [West Ham - Rotherham] Loan
Cody Drameh [Leeds - Luton] Loan
Tom Eastman [Colchester - Harrogate] Loan
Will Hondermarck [Barnsley - Northampton] kwa dau lisilojulikana
Tom Hopper [Lincoln - Colchester] Undisclosed
Sullay Kaikai [Wycombe - MK Dons] Free
Isaac Lihadji [Lille - Sunderland]kwa dau lisilojulikana
Sean Maguire [Preston - Coventry] kwa dau lisilojulikana
Conor Masterson [QPR - Gillingham] Loan
Shane McLoughlin [Morecambe - Salford] Free
Luke McNally [Burnley - Coventry] Loan
Demetri Mitchell [Hibernian - Exeter] Free
Michael Morrison [Portsmouth - Cambridge] Free
Yann Songo'o [Bradford - Walsall] Loan
Kimataifa
Leon Dajaku [Sunderland - St Gallen] Loan
25 Januari
Premier League
Dan Bentley [Bristol City - Wolves] kwa dau lisilojulikana
Arnaut Danjuma [Villarreal - Tottenham] Loan
Ligi ya Uskochi
Oh Hyeon-gyu [Suwon Samsung Bluewings - Celtic] kwa dau lisilojulikana
Eamonn Brophy [St Mirren - Ross County] Loan
Toyosi Olusanya [St Mirren - Arbroath] Loan
English Football League
Lyle Foster [Westerlo - Burnley]kwa dau lisilojulikana
Nikita Haikin [Unattached - Bristol City]
Jordan Hugill [Norwich - Rotherham] Free
Matija Sarkic [Wolves - Stoke] Loan
Sorba Thomas [Huddersfield - Blackburn] Loan
24 Januari
Super League { Wanawake}
Lisa Naalsund [SK Brann - Manchester United] kwa dau lisilojulikana
Courtney Nevin [Hammarby IF - Leicester City] Loan
Kimataifa
William Troost-Ekong [Watford - Salernitana] Loan
English Football League
Jokull Andresson [Reading - Exeter] Emergency loan
Saikou Janneh [Cambridge - AFC Wimbledon] Loan
Caolan Lavery [Scunthorpe - Doncaster] kwa dau lisilojulikana
Charlie McCann [Rangers - Forest Green] kwa dau lisilojulikana
Conor McGrandles [Charlton - Cambridge] Loan
Ligi kuu ya Uskochi
Josh Stones [Wigan - Ross County] Loan
23 Januari
Premier League
Jhon Duran [Chicago Fire - Aston Villa] £18m
Jakub Kiwior [Spezia - Arsenal] £17.6m
Maximo Perrone [Velez Sarsfield - Manchester City] kwa dau lisilojulikana
Ligi kuu ya Uskochi
Todd Cantwell [Norwich - Rangers] kwa dau lisilojulikana
James Jeggo [Eupen - Hibernian] kwa dau lisilojulikana
English Football League
Henrique Araujo [Benfica - Watford] Loan
Aaron Donnelly [Nottingham Forest - Port Vale] Loan
Pierre Ekwah [West Ham - Sunderland] kwa dau lisilojulikana
Charlie Goode [Brentford - Blackpool] Loan
Paris Maghoma [Brentford - MK Dons] Loan
Tyrese Omotoye [Norwich - Forest Green] kwa dau lisilojulikana
Jakub Stolarczyk [Leicester - Hartlepool] Loan
22 Januari
Premier League
Craig Dawson [West Ham - Wolves] £3.3m
Kimataifa
Carljohan Eriksson [Dundee United - Nordsjælland] Loan
Josip Juranovic [Celtic - Union Berlin] Undisclosed
21 Januari
Super League{ wanawake}
Anouk Denton [Louisville Cardinals - West Ham] kwa dau lisilojulikana
Jayde Riviere [Unattached - Manchester United] Free
Ligi ya mabingwa
Hjalmar Ekdal [Djurgardens IF - Burnley] kwa dau lisilojulikana
20 Januari
Premier League
Danny Ings [Aston Villa - West Ham] £12m
Victor Kristiansen [Copenhagen - Leicester] £17m
Noni Madueke [PSV Eindhoven - Chelsea] £30.7m
Leandro Trossard [Brighton - Arsenal] £21m
Chris Wood [Newcastle - Nottingham Forest] Loan
English Football League
Tariqe Fosu [Brentford - Rotherham] Loan
Jordan Lyden [Unattached - Leyton Orient]
Matt Macey [Luton Town - Portsmouth] Loan
Jarell Quansah [Liverpool - Bristol Rovers] Loan
Scott Robertson [Celtic - Fleetwood] Free
Dale Taylor [Nottm Forest - Burton] Loan
Kimataifa
Memphis Depay [Barcelona - Atletico Madrid] £2.6m
Goncalo Guedes [Wolves - Benfica] Loan
19 Januari
Premier League
Dango Ouattara [Lorient - Bournemouth] Around £20m
English Football League
David Amoo [Stevenage - Crewe] Free
Elkan Baggott [Ipswich - Cheltenham] Loan
Ellery Balcombe [Brentford - Bristol Rovers] Loan
Harry Clarke [Arsenal - Ipswich] Undisclosed
Jayden Clarke [Dulwich Hamlet - Gillingham] kwa dau lisilojulikana
Adam Clayton [Doncaster - Bradford] Free
Ethan Coleman [Leyton Orient - Gillingham] kwa dau lisilojulikana
Max Dean [Leeds - MK Dons] kwa dau lisilojulikana
Malcolm Ebiowei [Crystal Palace - Hull] Loan
Joe Garner [Fleetwood - Carlisle] kwa dau lisilojulikana
Michael Mellon [Burnley - Morecambe] Loan
Seb Quirk [Everton - Accrington] kwa dau lisilojulikana
Shola Shoretire [Manchester United - Bolton] Loan
Kimataifa
Dapo Afolayan [Bolton - St Pauli] Undisclosed
Christian Ramirez [Aberdeen - Columbus Crew] kwa dau lisilojulikana
18 Januari
Super League { wanawake}
Mana Iwabuchi [Arsenal - Tottenham Hotspur] Loan
English Football League
James Beadle [Brighton - Crewe] Loan
Barry Cotter [Shamrock Rovers - Barnsley] kwa dau lisilojulikana
Ryan Finnigan [Southampton - Crewe] Loan
Jasper Moon [Barnsley - Burton] Loan
17 Januari
Premier League
Pablo Sarabia [Paris St-Germain - Wolves] £4.4m
English Football League
Zac Ashworth [West Brom - Burton] Loan
James Brown [Blackburn - Doncaster] Loan
Harry Charsley [Port Vale - Newport] kwa dau lisilojulikana
Matthew Foulds [Bradford - Harrogate] Loan
Jamie McCart [Rotherham - Leyton Orient] Loan
Ben Nelson [Leicester - Doncaster] Loan
16 Januari
Premier League
Danilo [Palmeiras - Nottingham Forest] £16m
Ligi kuu ya Uskochi
Elias Melkersen [Hibernian - Sparta Rotterdam] Loan
Luiyi de Lucas [Haka - Livingston] Free
English Football League
Tolaji Bola [Rotherham - Bradford] Loan
Jake Cain [Liverpool - Swindon] kwa dau lisilojulikana
Logan Chalmers [Dundee United - Tranmere] Loan
Joseph Hungbo [Watford - Huddersfield] Loan
Tony Springett [Norwich - Derby] Loan
15 Januari
Premier League
Mykhailo Mudryk [Shakhtar Donetsk - Chelsea] £62m, rising to £89m
English Football League
Louis Reed [Swindon - Mansfield] Undisclosed
14 Januari
Premier League
Georginio Rutter [Hoffenheim - Leeds] £36m
Super League {}wanawake}
Fuka Nagano [North Carolina Courage - Liverpool] Undisclosed
English Football League
Tom King [Salford - Northampton] Free
George Lapslie [Mansfield - Gillingham] Undisclosed
Mikey O'Neill [Preston - Grimsby] Loan
Olamide Shodipo [QPR - Lincoln] Loan
Bobby Thomas [Burnley - Barnsley] Loan
Jake Young [Bradford - Barrow] Loan
Kimataifa
Joe Bursik [Stoke - Club Bruges] Undisclosed
13 Januari
Premier League
Mario Lemina [Nice - Wolves] Undisclosed
Wout Weghorst [Burnley - Manchester United] Loan
Ligi kuu ya Uskochi
Nohan Kenneh [Hibernian - Ross County] Loan
Mikael Mandron [Gillingham - Motherwell] Undisclosed
Super League{ wanawake}
Sabrina D'Angelo [Vittsjo GIK - Arsenal] Undisclosed
English Football League
Ameen Al-Dakhil [Sint-Truidense V V - Burnley] Undisclosed
Dara Costelloe [Burnley - Bradford] Loan
Callum Johnson [Ross County - Mansfield] Undisclosed
John-Kymani Gordon [Crystal Palace - Carlisle] Loan
Kyle Knoyle [Doncaster - Stockport] Undisclosed
Jonathan Leko [Birmingham - MK Dons] Undisclosed
Craig MacGillivray [Charlton - Burton] Undisclosed
Jamille Matt [Forest Green - Walsall] Undisclosed
Todd Miller [Brighton - Doncaster] Loan
Callum Morton [Fleetwood - Salford] Undisclosed
Nathanael Ogbeta [Swansea - Peterborough] Loan
Edon Pruti [Brentford B - Hartlepool] Undisclosed
Christ Tiehi [Slovan Liberec - Wigan] Loan
Jonathan Tomkinson [Norwich - Stevenage] Loan
Ed Turns [Brighton - Leyton Orient] Loan
Martyn Waghorn [Coventry - Huddersfield] Loan
12 Januari
Ligi kuu ya Uskochi
Olly Crankshaw [Stockport - Motherwell] Loan
Garang Kuol [Newcastle - Hearts] Loan
English Football League
Ali Al-Hamadi [Wycombe - AFC Wimbledon] Undisclosed
Amadou Bakayoko [Bolton - Forest Green] Undisclosed
Macauley Bonne [QPR - Charlton] Free
Liam Delap [Manchester City - Preston] Loan
Jake Eastwood [Sheff Utd - Rochdale] Loan
Oli Hawkins [Mansfield - Gillingham] Undisclosed
Mark Helm [Burnley - Burton] Undisclosed
Leo Hjelde [Leeds - Rotherham] Loan
Todd Kane [Coventry - Charlton] Loan
Alfie Kilgour [Bristol Rovers - Mansfield] Undisclosed
Armani Little [Forest Green - AFC Wimbledon] Loan
Glenn Morris [Crawley - Gillingham] Free
Teddy Mfuni [Warrington Town - Oxford] Undisclosed
Brad Walker [Port Vale - Tranmere] Undisclosed
Kimataifa
Dogukan Sinik [Hull - Antalyaspor] Loan
11 Januari
Premier League
Joao Felix [Atletico Madrid - Chelsea] Loan
Alex Moreno [Real Betis - Aston Villa] £13.2m
Carlos Alcaraz [Racing Club - Southampton] - £12m
English Football League
Lee Angol [Bradford - Sutton] kwa dau lisilpojulikana
Timothee Dieng [Exeter - Gillingham] kwa dau lisilojulikana
Daniel Dodds [Middlesbrough - Hartlepool] kwadau lisilojulikana
Anthony Knockaert [Fulham - Huddersfield] kwa mkopo
Jamal Lowe [Bournemouth - QPR] kwa mkopo
Matheus Martins [Udinese - Watford] kwa mkopo
Elliott Nevitt [Tranmere - Crewe] kwa dau lisilojulikana
Anthony O'Connor [Morecambe - Harrogate] kwa uhamisho wa bila malipo
Tom Trybull [SV Sandhausen - Blackpool] kwa uhamisho wa bila malipo
10 Januari
Ligi kuu ya uskochi
Yutaro Oda [Vissel Kobe - Hearts] kwa dau lisilojulikana
English Football League
Miguel Azeez [Arsenal - Wigan] kwa mkopo
Tom Cannon [Everton - Preston] kwa mkopo
Daniel Crowley [Willem II - Morecambe] kwa dau lisilojulikana
Ross Doohan [Tranmere - Forest Green] kwa dau lisilojulijana
Reda Khadra [Brighton - Birmingham] kwa mkoo
Sean Morrison [Cardiff- Rotherham] kwa uhamisho a bila malipo
Thierry Nevers [West Ham - Bradford] kwa mkopo
Josh Wilson-Esbrand [Manchester City - Coventry] kwa mkopo
Super League{ wanawake}
Lucy Staniforth [Manchester United - Aston Villa] kwa dau lisilojulikana
Scottish Premiership
James Hill [Bournemouth - Hearts] kwa mkopo
English Football League
Nathan Broadhead [Everton - Ipswich] kwa dau lisilojulikana
Steven Caulker [Fatih Karagumruk - Wigan] kwa mkopo
Will Goodwin [Stoke - Cheltenham] kwa dau lisilojulikana
Peter Hartley [Jamshedpur - Hartlepool] kwa uhamisho wa bila malipo
Matt Jay [Exeter - Colchester] kwa dau lisilojulikana
Alfie McCalmont [Leeds - Carlisle] kwa mkopo
Dan Nlundulu [Southampton - Bolton] kwa mkopo
International
Ashley Westwood [Burnley - Charlotte FC] Free
English Football League
George Hirst [Leicester - Ipswich] Loan
Premier League
David Datro Fofana [Molde - Chelsea] £8m-£10m
Andrey Santos [Vasco de Gama - Chelsea] £18m
Women's Super League
Kathrine Kuhl [FC Nordsjaelland - Arsenal] Undisclosed
English Football League
Joao Ferreira [Benfica - Watford] Undisclosed
Connor Hall [Port Vale - Colchester] Undisclosed
Premier League
Jack Butland [Crystal Palace - Manchester United] Loan
Mislav Orsic [Dinamo Zagreb - Southampton] £8m
International
Trevor Clarke [Bristol Rovers - Shamrock Rovers] Loan
Women's Super League
Victoria Pelova [Ajax - Arsenal] Undisclosed
Dejana Stefanovic [Valerenga - Brighton] Undisclosed
English Football League
Jordan Amissah [Sheff Utd - Burton] Loan
Cameron Archer [Aston Villa - Middlesbrough] Loan
Ryan Bennett [Unattached - Cambridge]
Harry Boyes [Sheffield United - Lincoln] Loan
Neill Byrne [Tranmere - Stockport] Undisclosed
Aaron Connolly [Brighton - Hull] Loan
Callum Dolan [Warrington Rylands - Fleetwood] Undisclosed
Brandon Fleming [Hull - Oxford] Loan
Jay Matete [Sunderland - Plymouth] kwa mkopo
Will Norris [Burnley - Peterborough] kwa mkopo
Brooke Norton-Cuffy [Arsenal - Coventry] kwa mkopo
Sam Pearson [Bristol City - AFC Wimbledon] kwa mkopo
Jamie Robson [Lincoln - Forest Green] kwa dau lisilojulikana
Steve Seddon [Oxford - Cambridge] kwa mkopo
Ryley Towler [Bristol City - Portsmouth] Uhamisho wa bila malipo
Joe White [Newcastle - Exeter] kwa mkopo
Premier League
Benoit Badiashile [Monaco - Chelsea] £35m
Scottish Premiership
Graeme Shinnie [Wigan Athletic - Aberdeen] kwa mkopo
Patrik Myslovic [MSK Zilina - Aberdeen] kwa mkopo
International
Daley Blind [Unattached - Bayern Munich] kwa uhamisho wa bila malipo
Super League { wanawake}
Guro Bergsvand [Brann - Brighton] kwa dau lisilojulikana
Jordan Nobbs [Arsenal - Aston Villa] kjwa dau lisilojulikana
English Football League
Josh Bowler [Nottingham Forest - Blackpool] kwa mkopo
Matty Dolan [Newport - Hartlepool] kwa mkopo
Rory Feely [Bohemians - Barrow] ka dau lisilojulikana
Jordan Garrick [Swansea - Forest Green] kwa dau lisilojulikan
David Harrington [Cork City - Fleetwood] kwa dau lisilojulikana
Daryl Horgan [Wycombe - Stevenage] kwa mkopo
Florian Kamberi [Unattached - Huddersfield]
Kevin Long [Burnley - Birmingham] kwa dau lisilojulikana
Massimo Luongo [Middlesbrough - Ipswich] kwa uhamisho wa bila malipo
Dynel Simeu [Southampton - Morecambe] kwa mkopo
Toby Sims [Unattached - Harrogate]
Max Watters [Cardiff - Barnsley] kwa mkopo
Randell Williams [Hull - Bolton] kwa dau lisilojulikana
Robbie Willmott [Newport - Walsall] kwa mkopo
Premier League
Kevin Schade [Freiburg - Brentford] kwa mkopo
Women's Super League
Bethany England [Chelsea - Tottenham] kwa dau lisilojulikana
English Football League
Alex Cairns [Fleetwood - Salford] kwa mkopo
Fiacre Kelleher [Bradford - Colchester] kwa dau lisilojulikana
Joe Low [Bristol City - Walsall] kwa mkopo
Matt Lowton [Burnley - Huddersfield] kwa mkopo
Aaron Pressley [Brentford - Accrington] Mkopo
Morgan Rogers [Manchester City - Blackpool] kwa mkopo
Callum Wright [Blackpool - Plymouth] dau lisilojulikana
Premier League
Max Wober [Red Bull Salzburg - Leeds] dau lisilojulikana
English Football League
Jake Forster-Caskey [Charlton - Stevenage] dau lisilojulikana
Fiachra Pagel [Drogheda United - Forest Green] dau lisilojulikana
Arthur Read [Stevenage - Colchester] dau lisilojulikana
Jack Robinson [Middlesbrough - Carlisle] kwa mkopo
English Football League
Brandon Cooper [Swansea - Forest Green] Loan
Saxon Earley [Norwich - Plymouth] dau lisilojulikana
Scottish Premiership
Richard Taylor [Waterford - St Mirren] dau lisilojulikana
Kyle Vassell [San Diego Royal - Kilmarnock]Uhamisho wa bila malipo | 2 |
Chanzo cha picha, PA/Getty/EPA
Dirisha la uhamisho wa Ligi Kuu ya Uingereza litafungwa Jumanne saa 23:00 GMT - na kuna uwezekano wa mikataba ambayo inaweza kuongeza zaidi rekodi ya kiasi ambacho tayari kimelipwa.
Takriban £550m zimetumika mwezi huu, na kuvunja rekodi ya 2018 ya £430m.
Tarehe ya mwisho wa Ligi ya Soka ya Uingereza pia ni 23:00, wakati Scotland ni 23:59.
Bundesliga ya Ujerumani itafungwa saa 17:00, Serie A ya Italia saa 19:00, La Liga ya Uhispania saa 23:00 na Ligue 1 ya Ufaransa saa 11:59 - pia Januari 31.
Ligi Kuu ya Wanawake inafungwa saa sita usiku kwa uhamisho wa kimataifa na 17:00 kwa mikataba ya ndani.
Rekodi ya uhamisho ya Waingereza inaweza kuvunjwa katika siku ya mwisho ya uhamisho wa Januari kwa mara ya kwanza tangu 2011 wakati Chelsea ilipomsajili Fernando Torres wa Liverpool kwa £50m.
Chelsea wametoa ofa ya euro 120m (£105.6m) kumnunua kiungo wa Benfica kutoka Argentina Enzo Fernandez.
Muda wa Arsenal na wakati wa kumnunua kiungo wa kati wa Brighton Moises Caicedo unayoyoma huku dau la £70m likikataliwa.
Sean Dyche aliteuliwa kuwa meneja wa Everton siku ya Jumatatu atakabiliwa mikimbio ya dakika za mwisho ikiwa anataka sura mpya katika kikosi chake.
Vilabu vya ligi kuu ya Uingereza vimetumia takriban pauni bilioni 2.5b msimu huu, ikijumuisha matumizi ya rekodi ya msimu wa joto ya pauni bilioni 1.9, mbali na rekodi ya awali ya pauni bilioni 1.86b mwaka 2017-18.
Chelsea wameongeza kasi katika dirisha hili la uhamisho huku wakitafuta njia yao ya kurejea kwenyenafasi ya nne bora.
Mmiliki Todd Boehly's Blues wametumia zaidi ya pauni milioni 200 kununua wachezaji saba wapya, akiwemo Benoit Badiashile (£35m), Andrey Santos (£18m), Joao Felix (kwa mkopo na ada ya £9.7m), Noni Madueke (£30.7m) na Mykhailo Mudryk (£62m ikipanda hadi £89m), wengi wao wakiwa na mikataba mirefu.
Kumekuwa na mabadiliko kidogo kutoka kwa vilabu vilivyo juu yao kwenye jedwali, lakini sio sana, huku Liverpool ikimchukua mshambuliaji wa Uholanzi Cody Gakpo kutoka PSV, Arsenal ikimsajili Leandro Trossard kutoka Brighton na Newcastle ikitumia pauni milioni 45 kumpata Anthony Gordon kutoka Everton.
Kumekuwa na ujio wa kuvutia Manchester United, huku mshambuliaji wa Uholanzi Wout Weghorst akijiunga kwa mkopo kutoka Burnley.
Inasemekana, kumekuwa shughuli nyingi miongoni mwa vilabu ambavyo changamoto kuu msimu huu ni kusalia kwenye ligi.
Wolves imekuwa na shughuli nyingi, ikiwasajili washambuliaji Matheus Cunha na Pablo Sarabia, kiungo Mario Lemina na beki Craig Dawson ili kuongeza kikosi cha Julen Lopetegui.
Nottingham Forest haijapunguza kasi yake baada ya majira ya kiangazi ambapo walisajili wachezaji 23, huku viungo wa kati wa Brazil Danilo na Gustavo Scarpa, na mshambuliaji Chris Wood, wakihamia City Ground mwezi huu.
Leeds walivunja rekodi yao ya usajili kwa kumsajili mshambuliaji Georginio Rutter na pia wamekubali dili la kumnunua kiungo wa kati wa Marekani Weston McKennie kutoka Juventus kwa mkopo wa awali, wakati Bournemouth (Dango Ouattara kwa £20m), West Ham (Danny Ings kwa £12m) na Southampton (Mislav Orsic na Carlos Alcaraz kwa jumla ya £20m) wamehama.
Limekuwa dirisha gumu lauhamisho kwa Everton, ambao walimpoteza Gordon aliyetajwa hapo awali na kumuona Arnaut Danjuma akiwapa kisogo kabla ya kusajiliwa na Spurs muda mfupi baada ya kumfukuza meneja Frank Lampard.
Kama ilivyojadiliwa tayari, Fernandez na Caicedo ni walengwa wa uhamisho wa pesa nyingi hadi siku ya mwisho ya dirisha.
Taarifa za kushangaza ziliibuka Jumatatu kwamba beki wa pembeni wa Manchester City Joao Cancelo alikuwa kwenye majadiliano kuhusu uhamisho wa mkopo kwenda Bayern Munich ambao unaweza kusababisha uhamisho wa euro 70m (£61.5m) msimu wa joto.
Kiungo wa kati wa Stuttgart Naouirou Ahamada anafanyiwa uchunguzi wa kimatibabu kabla ya uhamisho wa euro 11m (£9.7m) kwenda Crystal Palace, wakati kiungo wa Newcastle Jonjo Shelvey anazungumza na Nottingham Forest kuhusu uhamisho ambao utamfanya kuwa mchezaji wa 26 kusajiliwa msimu huu.
Wachezaji kadhaa wa michuano hiyo pia wamehusishwa na uhamisho wa Ligi Kuu, kama vile mshambuliaji wa Coventry Viktor Gyokeres, beki wa Stoke Harry Souttar na kiungo wa Sheffield United Sander Berge. | 2 |
Na Yusuph Mazimu
BBC Swahili
Chanzo cha picha, Getty Images
Dirisha la usajili la ajira ya baridi barani Ulaya linafungwa saa nane usiku wa kuamkia Jumatano kwa saa za Afrika Mashariki. Ni dirisha linalotoa nafasi kwa vilabu kurekebisha, kuziba ama kuongeza nguvu ya vikosi vyao.
Tayari dirisha la sasa lililofunguliwa Januari 1, 2023 limeonyesha makucha ya matumizi hasa kwa vilabu vya ligi kuu England, yaliyovunja rekodi ya matumizi tangu dirisha la majira ya baridi lilipoanzishwa.
Uchambuzi kutoka kampuni ya michezo ya Deloitte unaonyesha kuwa matumizi ya usajili katika ligi kuu ya England yamefikia £440m, ambayo ni £10m zaidi ya awali ya juu zaidi yaliyowekwa mnamo Januari 2018.
Mara kadhaa ni dirisha linaloonekana kuwa na sifa ya kuleta maajabu ya uhamisho wa kushangaza wa majina makubwa kuhama vilabu vyao isivyotarajiwa.
Mykhailo Mudryk ametua Chelsea akitokea Shakhtar Donetsk kwa kushangaza. Mosi dau lake la kushangaza la £88.5m lakini pia kukaribia kutua Arsenal kabla ya 'kubadili gia angani'.
Wakati macho yakielekezwa kwa kiungo Moises Caicedo wa Brighton na sakata lake la kutua Arsenal, katika saa chache zilizosalia huenda tukashuhudia uhamisho mwingine wa kushangaza. Lakini huko nyuma tumeshawahi kushuhudia uhamisho wa kushtusha uliofanywa katika ndirisha la Januari.
Chanzo cha picha, Getty Images
Juan Mata alihama Chelsea akiwa nyota mkubwa kwenda Manchester United, mwaka 2014 kwa dau la £37.1m. Ni wachache sana waliofikiri David Moyes, kocha wa wakati huo wa Manchester United akifanya hivi. Licha ya kocha huyo kufukuzwa baadaye Mata akaweza kuisaidia United kushinda mataji manne,, akimpiku Andy Cole kwa kucheza mechi nytingi zaidi na United huku akilingana kwa mabao na gwiji Roy Keane.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mbrazil huyu alikuwa akisakwa na vilabu vikubwa vya Arsenal, Manchester United, Inter Milan na Juventus, lakini Januari 2022 dau la £40m lilimtoa Lyon ya Ufaransa na kutua Newcastle ambao walimpa pia mshahara mnono ambao ilikuwa ngumu kuukataa. Eddie Howe kocha wa Newcastle United anaonekana kutengeneza timu kumzunguka kiungo huyu mahiri.
Chanzo cha picha, Getty Images
Usingetegemea kuona mchezaji akitoka Manchester City yenye kila kitu na mataji juu akielekea Barcelona ambayo inaanza kujitengeneza upya baada ya kizazi chake cha dhabau kikiongozwa na Lionel Messi kutoweka. Lakini pia matatizo ya kifedha inayoyapitia.
Ferran Torres Januari 2022 akaondoka City na kutua Barcelona kwa dau la £54.7m . Ilishangaza.
Chanzo cha picha, Getty Images
Dunia ilikuwa na jina la Dusan Vlahovic katika ushambuliaji Januari 2022. Alisakwa na kila timu ikiwemo Arsenal iliyokuwa inasaka mshambuliaji baada ya kushindwana na Pierre Aubameyang. Wengi waliamini angetoka nje ya Italia lakini mshambuliaji huyu Muitalia akachagua kuikacha Firentina na kujiunga na wapinzani Juventus kwa ada ya £66.6m.
Chanzo cha picha, Getty Images
Ulikuwa uhamisho mwingine wa kushtua katikati mw amsimu, Borrusia Dortmund wakimuachia nyota wake huyu ambaye alikuwa kwenye ubora wa hali ya juu.
Akawasaidia kutwaa kombe la FA Cup na akafunga mabao yaliyomfanya kupitwa na wachezaji saba tu waliowahi kufunga mabao mengi wakiwa na jezi ya Arsenal. Alitua kwa ada ya £56m.
Chanzo cha picha, Getty Images
Wengi walishangazwa na mbrazil huyu gwiji la zamani la Spurs kusajiliwa na Barcelona akitokea Guangzhou Evergrande tena kwa ada kubwa ya £36m katika dirisha kubwa la Agosti 2017, lakini baadaye Januari iliyofuata walimrudisha kwa mkopo kwa wachina hao ambapo alifanya vyema kabla ya kununuliwa moja kwa moja na kwenda kuwasaidia kutwa taji la ligi.
Chanzo cha picha, Getty Images
Moja ya wachezaji watukutu uwanjani na nje ya uwanja. Alikuwa mkali wa mabao lakini baadaye hakuonekana kuwa chaguo la kwanza chini ya Antonio Conte pale Chelsea. Kilichoshangazwa ni kuuzwa kwake kwenda Atletico Madrid kwa dau nono la £57m.
Chanzo cha picha, Getty Images
Ni jambo la kushangaza ukifikiria Fernando Torres amecheza michezo nane zaidi ya ligi kuu England akiwa na Chelsea kuliko idadi ya michezo aliyochezea Liverpool.
Wengi wanamfahamu na alijitambulisha zaidi akiwa na Liverpool lakini miaka yake minne pale Stamford Bridge imempa taji la ligi ya mabingwa Ulaya na kombe la Yuropa. Alionekena mfalme pale Anfield akiwa na kina Steven Gerrard, uhamisho wa kushangaza wa kwa ada ya £50m kuhamia Chelsea tena katika dirisha la Januari unabaki jambo lisilokuwa likitarajiwa na wengi.
Chanzo cha picha, Getty Images
Ni beki mzuri, lakini uzuri wake ulifichwa na timu aliyokuwa akiichezea Southampton. Kwa macho ya kawaida usingeona uzuri huo mpaka kwa jicho la ufund. Lakini kuhamia Liverpool kumeoinyesha dunia uzuri wake akiisaidia kutwaa taji la ligi ya mabingwa Ulaya na ligi Kuu.
Akitajwa moja ya mabeki bora katika miaka 5 iliyopita. Kilichoshangaza wengi si yeye kuhamia Liverpool bali ada yake ya uhamisho ya £75m katika dirisha la Januari 2018, ilikuwa kubwa kufikirika kwa uhamisho wa beki. Mpaka wakati huu hiyo ndiyo asda kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa mlinzi katika dirisha la Januari.
Chanzo cha picha, Ronald Grant
Alikuwa kwenye kiwango bora Liverpool na moja ya viungo bora wakati huo katika ligi kuu England. Haikutarajiwa angehama tena katikati ya msimu, lakini ofa ya £142m ilikuwa ya rekodi na kubwa kwa Liverpool kuikataa . Aliwaliza mashabiki wa Liverpool kwa kuifuata ndoto yake ambayo hata hivyo haikutimia kwani amerejea England akiichezea Aston Villa kwa sasa.
Chanzo cha picha, Getty Images
Mpaka leo anasemwa na mpaka leo anajitetea. Oscar alikuwa anafanya vizuri Chelsea, usingedhani angeondoka. Lakini hata kama angeondoka asingeenda China, labda angehamia timu kubwa kubwa ama tiomu za ligi kubwa kubwa Ulaya.
Januari 2017 Chelsea ikapokea ofa yake ya £60m na kutua Shanghai. Wengi wanasema amepotea njia kwenda China na kuacha soka la usnindani ulaya akiwa bado kijana na ana kiwango kizuri. Yeye anasema amwetoka katika familia masikini, ana jukumu la kuingiza fedha kutunza famila yake huko kwao Brazil. Ameshangaza. | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Chelsea wameweka dau la euro 120m (£105.6m) kumnunua kiungo wa kati wa Benfica na Argentina Enzo Fernandez katika hatua ambayo itamfanya kuvunja rekodi ya usajili ya Uingereza.
Kufikia sasa hakuna dalili kama ofa ya The Blues, inayofikiriwa kujumuisha malipo kwa awamu, itakubaliwa.
Lakini endapo dili hilo litakamilika, litapita kiasi cha £100m ambacho Manchester City walilipa Aston Villa kumnunua Jack Grealish mnamo 2021.
Fernandez alichaguliwa kuwa mchezaji chipukizi bora wa michuano hiyo wakati Argentina ilipotwaa ubingwa wa Kombe la Dunia nchini Qatar.
Benfica hapo awali waliishutumu Chelsea kwa kujaribu kumvuruga kiungo huyo, huku meneja wa timu hiyo ya Ureno Roger Schmidt akitangaza kuwa mbio zao "zimefungwa".
Sporting Lisbon watachukua nafasi ya Porro na kumchukua beki mwenzake wa kulia wa Uhispania Hector Bellerin, 27, kutoka Barcelona . (Fabrizio Romano)
Manchester United wamepokea ofa 10 za mkopo kwa winga wa Uswidi Anthony Elanga, huku Borussia Dortmund na PSV Eindhoven zikiwa miongoni mwa klabu zinazomtaka, lakini mkufunzi wa Red Devils Erik ten Hag anasita kumruhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 kuondoka. (Fourfour two)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wanatathmini uwezekano wa kumnunua Jorginho huku kiungo huyo wa kati wa Italia mwenye umri wa miaka 31 akimaliza mkataba wake na Chelsea msimu wa joto. (Football London)
Beki wa pembeni wa Tottenham Djed Spence, 22, anatarajiwa kuondoka kwa mkopo katika klabu ya Rennes ya Ufaransa kwa muda wote uliosalia. (Usajili unahitajika)
Bournemouth wanakaribia kukubaliana ada na Sassuolo ya Serie A kwa ajili ya kiungo wao wa Ivory Coast Hamed Traore, 22. (90min).
Mpambano wa uwanja wa mazoezi kati ya Joao Cancelo, 28, na meneja Pep Guardiola ulichochea uwezekano wa beki huyo wa Ureno kuondoka Manchester City kwenda Bayern Munich kwa mkopo. (Mail)
Arsenal pia wanafikiria kuwasilisha ombi la kuchelewa kwa kiungo wa Leicester Youri Tielemans. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 25 mkataba wake unamalizika msimu wa joto, lakini The Gunners wanataka kuongezwa mara moja kwenye kikosi chao. (90 Minutes)
Chanzo cha picha, EPA
Nahodha wa Manchester United h, 29, amekataa mpango wa mkopo kutoka kwa Inter Milan ili kupigania nafasi yake Old Trafford - lakini atatathmini upya msimamo wake msimu wa joto. (Daily Star)
Tottenham wamekaribia kukamilisha dili la kumsaini beki wa kulia wa Uhispania Pedro Porro, 23, kwa euro 45m (£39.5m) kutoka Sporting Lisbon . (Telegraph - usajili unahitajika)
Liverpool wanaweza kufanya hatua ya kushtukiza ili kuimarisha safu yao ya kiungo kwa kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Ufaransa N'Golo Kante, 31, ambaye mkataba wake unamalizika Stamford Bridge msimu huu wa joto. (El Nacional - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, Getty Images
Paris St-Germain wanatumai kumsajili fowadi wa Chelsea na Morocco Hakim Ziyech kwa mkopo kwa msimu uliosalia, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akifikiriwa kupendelea kuhamia Ufaransa badala ya kujiunga na timu nyingine ya Uingereza. (L'Equipe)
Southampton wamekubali kufikia kipengee cha pauni milioni 26.2 cha kutolewa kwa mshambuliaji wa Braga Vitinha, 22, ambaye ameichezea timu ya Ureno ya chini ya miaka 21. (Football Insider)
Newcastle inamuona kiungo wa kati wa Sheffield United na Norway Sander Berge, 24, kama mbadala mzuri wa Jonjo Shelvey, 30, ambaye anatazamiwa kujiunga na Nottingham Forest (Newcastle Chronicle)
Nottingham Forest wanakaribia kumsajili beki wa Atletico Madrid Felipe, 33, huku Mbrazil huyo akipoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza cha Diego Simeone msimu huu. (Mail)
Chanzo cha picha, MANCHESTER UNITED FC
Mshambulizi wa Manchester United Charlie McNeill, 19, yuko kwenye mazungumzo ya kujiunga na Newport County inayoshiriki Ligi ya Pili kwa mkopo, huku mlinzi Di'Shon Bernard mwenye umri wa miaka 22 anajadili kuhamia League One Portsmouth . (Mail)
Leicester wameweka mezani dau la pauni milioni 15 kumnunua beki wa Stoke na Australia Harry Souttar, 24. The Foxes pia wanamtaka winga wa Leeds Jack Harrison, 26, lakini mlinzi wao wa Denmark Jannik Vestergaard, 30, na mlinzi wa kati wa Uturuki Caglar Soyuncu, 26 wanapatikana. kwa uhamisho. (Telegraph - usajili unahitajika)
Wakati Fulham wakikaribia kuwasili kwa kiungo wa kati wa Serbia Sasa Lukic, 26, kutoka Torino kwa pauni milioni 8.8 , The Cottagers bado wana taarifa za kutosha kuhusu usajili wa beki wa kulia wa Arsenal na Ureno Cedric Soares, 31. (Evening Standard). | 2 |
Chanzo cha picha, Getty Images
Bayern Munich inajiandaa kumsajili kwa mkopo beki wa pembeni Joao Cancelo kutoka Manchester City. Baeki huyo kwa sasa amepoteza namba kwenye kikosi cha City. (Ornstain)
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 1
Haipatikani tena
Chelsea na Benfica wanaendelea kuzungumza kuhusu uhamisho wa €120m kwa ajili ya Enzo Fernández. Chelsea wako tayari kulipa kiwango hicho ila watalipa kidogokidogo sio kwa mkupuo. (Romano)
Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal wanajiandaa kupeleka ofa ya tatu kwa ajili ya kumnasa Moises Caicedo. Ofa ya sasa inafikia 0£75m, wakitangulia £70m na zingine £5m ni bonasi. Haifahamiki kama Brighton italegeza kamba na kumuachia nyota huyo.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Twitter ujumbe, 2
Haipatikani tena
Bayer Leverkusen wameingilia dili la Nottingham Forest la kutaka saini ya Felipe Monteiro kutoka Atlético Madrid — vita kubwa ya kupata saini ya mlinzi huyo huku Atlético Madrid na yenyewe ikisubiri kujua hatma ya mbadala wake, akiwemo Soyüncü iwapo Felipe ataondoka.
Chanzo cha picha, Getty Images
Tottenham inajaribu kuishawishi Sporting CP ya Ureno kurejea makubaliano ya awali kwa ajili ya kumnasa mlinzi wa kulia Pedro Porro. Ilionekana Wareno wameongeza masharti awalioyotoa awali ili kumuachia mhispania huyo. Skysport
Chanzo cha picha, Getty Images | 2 |
Bondia wa Kitanzania Karim Khalid Saidi maarufu kama Mandonga Mtu Kazi, amefahamika kwa kupigwa nchini kwao Tanzania na kumpiga bondia wa nchi jirani ya Kenya kwa Technical Knock out hivyo kutoa funzo kubwa la jinsi ya kutoa hamasa katika mchezo wa ngumi uliokosa hamasa miaka ya hivi karibuni.
Amekuwa akishiriki mapambano mfululizo bila ya kupumzika vya kutosha jambo lililoibua taharuki kwa wanafamilia na wataalamu wa afya.
Mwandishi wa BBC @frankmavura amemtembelea @k_mandonga nyumbani kwake Morogoro nchini Tanzania. | 2 |
Chelsea wamefufua tena mazungumzo na Benfica ili kujaribu kumsajili kiungo wa kati wa Argentina Enzo Fernandez, 22, kabla ya dirisha la uhamisho kufungwa Jumanne. (Telegraph - usajili unahitajika)
Tottenham wamewasilisha ofa ya maneno ya euro 25m (£22m) kwa Bayer Leverkusen kwa ajili ya uhamisho wa beki wa kati wa Ecuador Piero Hincapie, 21. (Bild - kwa Kijerumani).
Nottingham Forest wako mbioni kumsajili kiungo wa kati wa Newcastle United Muingereza Jonjo Shelvey, 30. (Telegraph - usajili unahitajika)
Barcelona wanamfuatilia mshambuliaji wa Atletico Madrid na Ureno Joao Felix, 23, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Chelsea. (Sport - kwa Kihispania)
Chanzo cha picha, EPA
Inter Milan wanamtaka mlinzi wa Manchester United na Uswidi Victor Lindelof, 28, kama mbadala wa Milan Skriniar ikiwa beki huyo wa Slovakia mwenye umri wa miaka 27 atahamia Paris St-Germain. (Fabrizio Romano)
Tottenham wanashughulikia mpango wa kumsajili kiungo wa kati wa Birmingham City Muingereza Jobe Bellingham, 17, kakake kiungo wa kati wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham, 19. (Football Insider)
Galatasaray wanaongoza katika harakati za kumsajili beki wa Liverpool Muingereza Nat Phillips, 25, ambaye thamani yake ni £10m. (Athletic -Usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Everton wanapania kumsajili mshambuliaji na pia mlinzi wa Udinese kutoka Brazil mwenye umri wa miaka 27 Rodrigo Becao. (Mail)
Nottingham Forest wapo kwenye mazungumzo ya juu kumsajili kipa wa Paris St-Germain na Costa Rica Keylor Navas, 36. (Football Insider)
Sporting Lisbon wanakaribia kufikia kumsajili kwa mkopo wa beki wa Barcelona na Uhispania Hector Bellerin, 27, kama mbadala wa mlinzi wa Uhispania Pedro Porro, 23, ambaye Tottenham wanatarajia kumsajili. (Atheletic-Usajili unahitajika)
Chanzo cha picha, Getty Images
Manchester City itapambana na Barcelona katika kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa Girona na Uhispania mwenye umri wa chini ya miaka 21 Arnau Martinez, 19. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
Sevilla wako kwenye mazungumzo ya juu ya kumsajili kiungo wa kati wa Uhispania Bryan Gil, 21, kutoka Tottenham kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. (Fabrizio Romano)
Newcastle United wamekubali ada ya takriban £3m kwa ajili ya beki wa West Ham na Scotland aliye na umri wa chini ya miaka 21 Harrison Ashby, 21. (Times - usajili unahitajika) | 2 |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.