id
int64 0
1.44M
| text
stringlengths 12
6.72k
|
---|---|
613,452 | Nilimwamini, na kuwa na uhakika angalifanya vizuri na kuibuka kidedea.
|
15,286 | Mwenyekiti wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi Magreth Mgeni (kushoto) akizungumza na wageni kutoka TADB walipotembea AMCOS hiyo.
|
1,155,457 | Kazi hiyo ilienda haraka na kwa ufanisi.
|
59,103 | Aidha akifafanua hali ya upatikanaji wa umeme nchini Profesa Mhongo amesema kwa sasa hali ya upatikanaji umeme vijijini ni asilimia 7 na lengo ni kufikia asilimia 20 ifikapo 2015.
|
137,995 | “Baada ya migogoro kati ya Kansela wa Ujerumani na rais wa Ufaransa, mkutano huu wa Berlin ulilenga kuonyesha picha ya maelewano.
|
455,630 | kwani ulikuwa umefika wakati wa mimi kuenjoy mema ya nchi kama wao wanavyoenjoy,,,,,.
|
125,438 | Wakati huo huo Balozi Iddi alionana na Balozi mdogo wa India aliepo Zanzibar Dalip Sigh Singal, ambapo aliiomba India kusaidia upatikanaji wa matrekta madogo kwa ajili ya wakulima wa Zanzibar.
|
601,006 | Huyu Joseph Ludovick ndo nani hasa.
|
584,897 | ” Watarudishwa kwenye utaratibu wa matibabu chini ya muongozo wa Wizara ya Afya kwenye hospitali walikotoka, kwa vile mradi huo wa utafiti umemaliza kazi yake Machi 31, 2016.
|
808,252 | Dhana hii mpya imekuja si kwa kuwa zile za zamani hazifanyi kazi au
|
615,384 | Haya wadau, sasa sijui ni zamu ya nani kuendeleza libeneke!
|
686,852 | Mbali ya kirutubisho hicho kuwa na uwezo wa kutengeneza aina mbalimbali za ladha za matunda, lakini pia hakina gharama (cheap).
|
758,781 | George Kahangwa, Naibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika, Katibu Mkuu NLD, Tozzy Matwanga na Naibu Katibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya.
|
818,374 | Klopp pia amesema Adam Lallana anaendelea vyema lakini hajaanza mazoezi na nahodha Jordan Hunderson naye yuko njiani kurejea uwanjani.
|
354,169 | Taarifa hiyo ilitolewa na aliyekuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi wakati huo, Shukuru Kawambwa.
|
452,340 | Muomoneke wa eneo hilo alilokabidhiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
|
851,116 | Awali kabla ya gari hilo lililobeba wasaidizi wa Makamu wa Rais kuacha njia na kupinduka, gari liliokuwa limebeba waandishi wa habari wa channel ten, startv na clouds tv liliacha njia na nusura kupinduka.
|
568,628 | Kama mtu ana eneo lake aje aliendeleze zaidi ya hapo tunanyang’anya,” amesema Sara.
|
960,501 | Alisema kuingia kwake katika Bunge la Kumi na Moja kumempa jukwaa la kuzungumzia harakati hizo kwa kuwa awali alikuwa akitumia asasi kupaza sauti.
|
541,968 | Lengo la miradi hiyo ni kupunguza gharama za upimaji wa ardhi na kwa msingi huo kuongeza kasi ya upimaji.
|
1,257,740 | Rais wa Congo, Joseph Kabila ameendelea kuwepo madarakani licha ya muda wake kumalizika tangu Disemba mwaka 2016.
|
452,917 | Chanzo cha kuaminika ndani ya wizara hiyo kimeliambia gazeti hili kuwa imani waliyokuwa nayo wafanyakazi hao inazidi kushuka siku hadi siku kutokana na Dkt.
|
99,206 | Mradi huu utaendelea kukarabatiwa na Serikali kwa kushirikiana na Jumuiya ya watumiaji maji katika eneo la Kicheba, kadri fedha zitakavyopatikana.
|
557,130 | Hata hivyo, Ninataka kumfurahisha YAHUVEH na YAHUSHUA hata kama sitaweza kuwafurahisha wanadamu.
|
1,013,018 | Anaongeza kuwa marufuku ya miraa nchini Uingereza Juni 24, 2014 ilibadilisha umbo la siasa katika eneo hilo.
|
304,595 | JE KUNA TOFAUTI GANI KATI YA UFUGAJI WA KAMBALE NA SATO (TILAPIA)?
|
36,995 | Al-Badawi alikuwa mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Temeke, na sasa ameamua kurejea CUF kwa kile alichokieleza kuwa ni ubabaishaji ndani ya chama hicho kipya kinachohusishwa na mbunge wa jimbo la Wawi Mhe.
|
307,931 | Opondo aliiambia Sauti ya Amerika kuwa wajumbe wa serikali ya Kinshasa walikataa kuingia katika chumba ambako kulikuwa na sherehe za kutia saini makubaliano hayo na kuomba muda zaidi kusoma hati ya makubaliano hayo.
|
583,810 | Soma tena mstari ya 4 hadi ya 7 na utaona sifa za upendo huu.
|
430,819 | Pia idadi ya watoto wachanga wanaokufa mapema ni kubwa mno.
|
1,110,291 | Ni lazima kuwasilisha katika maombi yako barua ya msaada kutoka kwa msimamizi wako mwenye uwezo katika DTIC.
|
804,332 | Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakiwa katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wapya baada ya kuwaapisha Ikulu jijini Dar es salaam
|
495,975 | Lakini licha ya majigambo hayo, Mugabe, mara kwa mara amekuwa akitembea kwa kujivuta huku akitumia muda wake mwingi kusinzia katika mikutano.
|
708,654 | ), zawadi mbalimbali, kuwa karibu sana na wapenzi wao (maana siku zingine hawako nao sio?
|
916,692 | MVUA kubwa iliyoambata na upepo mkali, imekata mawasiliano ya miundombinu ya barabara eneo la Buyuni na kusababisha wakazi kutoka kata ya Vigwaza na Mwavi jimbo la Chalinze, kupata shida.
|
258,896 | Kwa mnasaba daktari wangu ni mpagani na anapinga dini zote na kuzidharau.
|
1,160,549 | Mume anapobisha hodi tu na kukaribia mlangoni, basi mwanamke anapoufungua mlango tu anaanza mashambulio yake kwa kila aina ya silaha alizonazo.
|
484,749 | a juu ya wanasheria na kuona kuwa ndio kila kitu hapa duniani jambo ambalo ninalipinga kwa sababu hapa duniani kila kazi inaumuhimu wake wewe hapa unahabarisha kupitia mtandao, unaumuhi sana katika jamii kwani bila habari ni sawa na giza.
|
1,440,405 | Pia, mwanasiasa huyo ambaye alikuwa akivuta hadhira kubwa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, alisema kuzuia mikutano ya hadhara imetosha kwa kuwa wanasiasa wengine, kama Rais John Magufuli wanazunguka sehemu mbalimbali na kuzungumza na wananchi.
|
1,000,068 | Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa maendeleo kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijijini na hata vijijini.
|
1,129,028 | Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA, Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba ametunuku Shahada mbalimbali kwa wahitimu 2695 huku zaidi ya wahitimu 50 wakipata shahada ya Udaktari wa Falsafa katika Fani mbalimbali.
|
1,015,458 | (vii) Tunayo changamoto ya ukuaji wa uchumi ambao hauendi sambamba na kasi ya upatikanaji wa ajira.
|
116,369 | Bodi iliyozinduliwa na Naibu waziri Kijaji, inaongozwa yenye wajumbe wa nne inaongozwa na Mwenyekiti wa bodi Godwin Mjema, ambayo itakaa madarakani kwa kipindi cha miaka mitatu.
|
254,544 | Walisema kuwa kuna mpasuko mkubwa miongoni mwao, kiasi cha kukwamisha utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
|
425,506 | Je, Serikali ina mpango gani wa kuimarisha masomo ya uzalendo na masomo ya umoja wa kitaifa?
|
211,823 | Uhuru Kenyatta na Raila Odinga ekpeziela - BBC News Ìgbò
|
1,080,201 | Kifungu kinaposema kuwa, “mwili umekufa kwa sababu ya dhambi,” unadhani hiyo inamaanisha nini?
|
310,262 | Mkuchika (Mb) kinachofanyika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) jijini Dodoma.
|
266,406 | Mgeni rasmi wakati wa fainali za Mahusiano Cup, katibu tawala wa wilaya ya Kahama Timoth Ndanya (Mwenye track suit nyekundu) akitoa mawaidha kwa wachezaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa fainali za Mahusiano Cup
|
727,282 | Aidha wakili kutoka LHRC,Harold Sungusia amesema ameridhishwa na maamuzi ya kesi hiyo na walifungua kesi hiyo kutokana na kupewa mamlaka na Katiba katika ibara 100 kifungu cha pili kinatoa nafasi kwa mbunge kushitakiwa mahakamani kutokana na kauli zake ndani ya bunge
|
177,995 | Lakini CCM imekuwa inapeleka vijana wake kwenye makambi kujiandaa kufanya fujo…Lakini wajue kuwa amani itakuwapo kama haki itatendeka.
|
566,242 | Mchezaji huyo alikuwa awali asajiliwe na kilabu ya England ya aston villa, lakini makubaliano yakavunjika wiki hii.
|
497,228 | Nidhamu ni neno dogo sana kulitamka ila ni kitu kikuu mno kumfanya mtu kufikia malengo yake na kuwa mtu wa tofauti na watu wengine wamzungukao.
|
71,155 | Petro Oystabay jijini Dar Es Salaam.
|
192,905 | Hakuna timu nyingine ambayo imefanikiwa kutetea kombe hili la…
|
922,824 | Jawabu ni kuwa vyenye kutegemezwa kwa Allaah vyagawanyika katika sehemu kuu mbili na hakuna ya tatu!
|
775,924 | Rai hiyo aliitoa Jana (Leo) katika kikao cha baraza la madiwani cha kuipitia na kupitisha rasimu ya bajeti inayo pendekezwa na balaza hill ambapo Ndagara aliwaomba madiwani kuwashawishi Wananchi kuchangiq shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kuchangia Ujenzi wa vyumba vya madarasa na kuchangia michango mingine iliyopendekezwa kwenye rasimu ilikufikia lengo la kukusanya mapato kwa asilimia 80%.
|
911,807 | "Ni muhimu kufanya mazoezi kila siku, mazoezi yanasaidia kuchangamsha mwili, kufahamiana, kujenga urafiki pamoja na kuwa na afya bora," alisema Majaliwa.
|
1,275,815 | THAMANI ya shilingi ya Tanzania imeshuka kwa asilimia 50 kuanzia mwaka 2002 hadi Juni
|
790,864 | 4 Mambo muhimu unahitaji kufanya kujenga orodha yako
|
514,575 | Warsha hiyo ilisimamiwa na mradi wa watoto uliolenga: kuupa sura mpya uanzilishi wa elimu mjumuisho nchini Mongolia; kusaidia wahusika kusaidiana, na kujifundisha kutoka, nchi zingine kuhusu maendeleo na utekelezaji wa sera; kutambua mambo muhimu na mapendekezo ya kuendeleza na kutekeleza sera hizo nchini Mongolia.
|
214,569 | Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akimfariji Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016
|
1,065,436 | nafasi au hali ya mwili wako ya kuwa umeambukizwa).
|
1,226,834 | Alisema matengenezo yataanza baada ya wataalamu hao kumaliza kazi hiyo na kutoa maelekezo yakinifu juu ya utafiti wao katika majengo hayo.
|
69,341 | 23 Nao watamwua na siku ya tatu atafufuka.
|
197,177 | LICHA ya kuanza akiwa na Arsenal, huenda msimu huu ukamalizika kwa Danny Wellbeck akiwa mchezaji wa Everton.
|
256,348 | Na tupate pia nafasi ya kuwatangazia watu waadilifu, ili wawe na shukrani, zile shughuli nyingi na za namna mbalimbali zinazotekelezwa na taasisi maalum za kimataifa katika uwanja huo nyeti.
|
138,638 | Kenya yakabiliwa na baa la njaa.
|
1,346,510 | Utata unaozingira sarakasi zinazomhusu wakili Miguna Miguna umechukuwa mkondo mwingine baada ya wakili huyo kudai kuwa maafisa wa polisi walimwimbia KSHh 150,000 katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA).
|
309,049 | Matokeo ya utafiti wa ruzuku kwa shule za sekondari
|
1,383,956 | we chamuhimu ni kujiridhisha kwa huyo supplier wako, ikibidi usimpatie direct peyment kwa mara ya kwanza, utumie acount za alibaba wenyewe co acount za supplier!
|
468,478 | Ndani ya CCM kuna "gorilla war" inaendelea na kwa kweli hawa walioamua kubaki humo watakuwa na kila sababu ya kuhakikisha wanaleta mabadiliko!
|
385,751 | Mara zote hakikisha unabadili password zake za mitandao ya kijamii kila baada ya muda flani – miezi 6 – mwaka.
|
56,611 | Etihad na Jet Airways wanatoa siti zaidi ya 44,000 kila wiki kati ya Abu Dhabi na India, sisi ni kati ya wachangiaji wakuu wa uchumi ya India.
|
70,052 | TAARIFA YA ZIARA YA MAZINGIRA YA WAZIRI MAKAMBA KATIKA HALMASHAURI YA KOROGWE, TANGA
|
1,346,522 | Mkuu wa Mkoa akiondoka kwenye eneo la ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Nandagala baada ya kufanya ukaguzi.
|
284,289 | Kwa mfano mtu anaona kuwa na nyumba na kupata chakula na mahitaji mengine ya familia yake ndio faraja yake kwenye maisha.
|
1,167,592 | Na kwenye jengo hili (jipya) benki zitaongezeka, kwa hiyo tutaongeza huduma.
|
429,567 | Katika kipindi hicho Samatta alitwaa tuzo ya mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa pamoja na tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika.
|
1,340,732 | Miswada ifuatavyo ilisomwa kwa mara ya Kwanza.
|
714,629 | Wakati bado wakiwa na kumbukumbu ya kudhalilishwa nyumbani na mahasimu wao Barcelona, kisha jana wakaondolewa kwenye michuano ya Copa Del Rey, leo hii kocha aliye kwenye presha Rafael Benitez ataiongoza klabu yake ya Real Madrid kuikaribisha Getafe Santiago Bernabeu.
|
525,924 | Kwa njia hii unaweza kufikia kuangalia huo wa vilivyoandikwa nyingine katika template yako.
|
323,313 | kweli ndugu yangu lazima kila mtu ajue nafasi yake kwa MUNGU
|
515,869 | Walisema katika mchezo huo JKT Rwamkoma walikuwa hawana uwezo wa kutoka na matokeo hayo ya ushindi kutokana na mchezo huo na kuiomba TFF kufatilia kwa makini na kuomba taarifa ya mchezo kutokana na mazingira hayo kuzikatisha tamaa timu nyingine kushiriki ligi msimu ujao.
|
89,959 | usinifiche maana mtu anayeweza kukusaidia ni mimi, kama nitaujua huo ukweli wote, nitajua cha kufanya, au cha kukushauri…je hujakutana na mwanaume mwingine uwe na uhakika, maana kama umewahi kukutana na mwanaume mwingine na iwe ni mimba yake, hapo kuna mawili, kuonana na huyo mwanaume au jingine….
|
1,005,332 | 83m) baada ya kumuuza mchezaji huyo wa miaka 23 kwa Everton kwa euro 30.
|
1,431,504 | Mwaka 1998 alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kitivo cha sheria na kufanikiwa kuhitimu chuoni hapo.
|
1,161,627 | Kwa hiyo naomba Serikali yetu, kwamba miradi mizuri iliyopangwa ikiwemo ya Mkoa wangu wa Morogoro, kama ile ya Mikula pamoja na miradi mingine, itekelezwe kusudi tuweze kutoka kwenye hekta 468.
|
1,124,201 | Rais Kenyatta anasema, kwa hakika alikuwa ni “Mzee wa shoka, hapana mchezo”.
|
51,285 | Mkuu wa majeshi mstaafu Jenerali Robert Mboma akisaini kitabu cha maombolezo.
|
292,430 | Kadiri ya taarifa kutoka Laos, zaidi ya watu 6, 600 hawana makazi tena baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko.
|
1,230,120 | Sijajua kwa nini bwana mdogo huyu anang’ang’ania suala hili lililo wazi kuwa ni kweli.
|
610,948 | - kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipnago ya maendeleo ya kijiji
|
251,626 | Ndugu wanahabari, napenda kusema kwa kurudia na kusisitiza kuwa sina lori wala basi hata moja na sina ubia na wafanyabiashara ama makampuni yoyote yanayofanya shughuli hizo.
|
1,074,566 | Meneja wa TANESCO Mkoa wa Simiyu Bi.
|
184,080 | Uzuri ni kwamba hali bado si mbaya sana.
|
845,452 | Kuweko kwa majina "iliyostawi" na "inayostawi" kuna lengo la kurahisisha shughuli za kufanya takwimu na si lazima kuhukumu hatua ilizopiga nchi au eneo fulani katika mchakato wa maendeleo[9].
|
31,336 | Kocha wa timu ya taifa Iran, Carlos Quieroz, amesema kuwa wamejiandaa vizuri na mechi yetu dhidi ya Spain.
|
96,858 | John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa wazee wa mkoa wa Dar es salaam wa zamani Mzee Idd Simba, Kulia ni mfanyabiashara Abdullah Mohamed.
|
1,346,990 | Viongozi wa namna hiyo ndio wanaodumaza uchumi wa nchi.
|