text
stringlengths
0
1.31k
hata hivyo alieleza kuwa ma kabla ya kurudisha fedha hizo UNK malumbano kati ya mwekezaji rites bwana UNK UNK UNK UNK nauli kitu ambacho UNK na kuagiza askari kushirikiana naye kutoa huduma ya kurudisha nauli hizo
bibi makelemo alisema kuwa abiria tisa waliokamatwa juzi kwa kusababishwa vurugu watafikishwa leo mahakamani kusomewa shitaka la kuanzisha fujo
hatma ya wafanyakazi hao itajulikana leo baada ya waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa kutoa taarifa kwa viongozi wa trawu kuwa atafika leo ili kuwasikiliza matatizo yao
katika mgomo huo UNK makundi mawili ambayo kundi la kwanza lipo kwa mwekezaji ambalo UNK majina ya wafanyakazi wenzake na kumweleza kuwa ndio chanzo cha migogoro kitu ambacho kimeleta hofu baada ya kupatikana majina sabini na mbili ya wafanyakazi wanaotakiwa kufukuzwa kazi leo
kwa kauli ya pamoja viongozi wa trawu na wafanyakazi wameahidi kukutana leo asubuhi ili kumsubiri daktari kawambwa na kusema kuwa kamwe UNK kuchukua barua hizo labda wafukuzwe wote kazini
migogoro na migomo mingi imekuwepo katika UNK hiyo ya trl tangu menejimenti ya iliyokuwa shirika la reli tanzania kukabidhi trl huku wafanyakazi wakidai haki zao mbalimbali na kusababisha ufanisi wa kampuni hiyo kuwa dhaifu
mara ya mwisho wafanyakzi hao kugoma ilikuwa mwanzoni mwa agosti na UNK kushinikiza kusainiwa kwa mkataba wa hali bora ambao tayari UNK lakini baada ya mvutano mkubwa na mgomo huu unaoendelea ulianza tangu ijumaa
siku moja baada ya kamati ya mashindano ya shirikisho la mpira wa miguu tanzania kuwafungia kocha mkuu wa timu ya yanga dusan kondic na kiungo wake athuman idd chuji uongozi wa timu hiyo UNK na adhabu aliyopewa chuji kwa UNK kuwa ni kubwa mno
kamati hiyo iliwafungia kondic kutojihusisha na masuala ya soka kwa michezo mitatu mfululizo huku chuji akifungiwa miezi mitatu kucheza soka na pia UNK faini ya shilingi hamsini sifuri sifuri sifuri sifuri kutokana na mashabiki wao kufanya fujo kitendo ambacho yanga inadai UNK
wakizungumza kwa nyakati tofauti dar es salaam jana msemaji wa timu hiyo louis sendeu alisema adhabu iliyotolewa kwa chuji ni kubwa kwani inaonekana ni kutaka kuikomoa yanga
sijawahi kusikia au kuona mchezaji anafungiwa kwa muda mrefu tena kwa kosa kama lile analodaiwa kufanya ingekuwa jambo la busara kama UNK faini au UNK kipindi kile wenzetu walioendelea mambo ya UNK muda mrefu kwa sasa hakuna alisema sendeu
alisema wanashindwa UNK kamati iliyotoa uamuzi huo walikuwa na lengo na kwani anadhani kwa mtindo huo soka la hapa nchini halitaweza kukua kutokana na kuwa adhabu zinazotolewa ni za kukomoana na si za maendeleo
naye katibu mtendaji wa klabu hiyo lawrance mwalusako alisema licha ya kamati hiyo kutoa maamuzi yao lakini wao kama yanga watakaa chini na kutafakari kujua la kufanya baada ya uamuzi huo
alisema hadi jana mchana walikuwa UNK barua yoyote ya kuelezea adhabu hizo lakini kwa kuwa klabu yao huifadhi kumbukumbu ya matukio yote wataangalia katika kumbukumbu za mchezo wa kwanza na kisha watajua la kufanya
baada ya mabingwa watetezi wa ligi kuu tanzania bara yanga kukwaa kisiki kwenye mchezo dhidi ya majimaji jumamosi leo wanatarajia kurudi dar es salaam kuwa UNK maafande wa jkt ruvu katika mechi UNK uwanja wa uhuru
yanga ambayo imeanza vibaya katika hiyo baada ya kutoka sare ya bao moja moja kwenye mechi ya ufunguzi dhidi ya african lyon na baadaye kuzinduka na kuichapa manyema mabao tatu sifuri kabla ya kukutana na kipigo cha bao moja sifuri kutoka kwa majimaji
mabingwa hao leo watashuka uwanjani bila ya kocha wake mkuu dusan kondic na kiungo wake wa kutegemea athumani idd chuji baada ya kufungiwa na shirikisho la mpira wa miguu tanzania kutokana na utovu wa nidhamu
mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa yanga kutokana na kuhitaji ushindi kwa hali na mali ili kurudisha matumaini kwa wapenzi wa klabu hiyo baada ya kuvurunda katika UNK iliyopita
wakati mabingwa hao wakipiga hesabu za ushindi jkt nayo itakuwa UNK kuhakikisha inatoka na pointi zote tatu katika mechi hiyo dhidi ya yanga na kuhakikisha UNK vizuri katika msimamo wa ligi hiyo kwani hadi sasa imepoteza mechi moja tu
akizungumzia mechi hiyo msemaji wa yanga louis sendeu alisema mchezo huo utakuwa mgumu kwao kutokana na wachezaji wake kuwa na uchovu wa safari ikiwa ni pamoja na kuwakosa nyota wao ambao wapo nje ya nchi UNK timu zao za taifa
UNK huu ni mgumu kwetu kutokana na ratiba mbovu iliyopangwa na tff tumerudi jana usiku kesho tunatakiwa kucheza wachezaji hawawezi kuwa katika hali nzuri ya kucheza pia hatutakuwa na wachezaji wetu waliokuwa na timu zao za taifa labda wisdom ndhlovu ndiyo pekee anaweza kurudi alisema sendeu
sendeu alisema wanatarajia kuwatumia wachezaji steven bengo na moses odhiambo kama tff itatoa ruhusa kwani muda wao wa kuwaombea itc UNK bila ya vyama vyao kutoa hati hizo
kwa upande wake kocha wa jkt charles kilinda alisema wanatarajia kuibuka na ushindi katika mchezo huo kwani kikosi chake UNK vizuri kwa mchezo huo huku akiahidi kurekebisha makosa ya umaliziaji yaliyofanya katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya mtibwa sugar
watu wasiofahamika wamemuua kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kichwani na mdomoni bwana richard UNK mkazi wa kitongoji cha UNK kata ya UNK manispaa ya sumbawanga mkoani rukwa na kumnyofoa meno manne sehemu zake za siri na kutoweka nazo
kamanda wa polisi mkoa wa rukwa bwana isunto mantage alisema jana kuwa mauaji hayo yalitokea mwishoni mwa wiki nyumbani kwa marehemu ambapo walichukua mwili wake na UNK shambani
alisema wauaji hao walimtoa meno manne ya juu na kumnyofoa sehemu za siri
aidha alisema kuwa kufuatia tukio hilo polisi walianza uchunguzi na kufanikiwa kuona michirizi ya damu ikitokea nyumbani kwa mke mkubwa wa marehemu huyo hadi katika eneo UNK mwili huo
kamanda mantage alisema kuwa kufuati tukio hilo jeshi hilo UNK mke huyo mkubwa bibi flora mwanakatwe kwa uchunguzi zaidi kuhusiana na mauaji hayo
katika kipindi cha wiki mbili zilizopita wanawake watatu UNK na jeshi hilo kwa tuhuma ya kuhusika na mauaji ya waume zao
aliyekuwa mkurugenzi wa utawala na utumishi katika benki kuu ya tanzania bwana amatus liyumba amekwama kufika kufika mahakamani kuendelea na kesi yake kutokana na kuugua
hatua ya kuugua bwana liyumba ilijulikana jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa mbele ya jopo la mahakimu bwana lameck mlacha bwana edson UNK na bwana benedict UNK
akiomba kuahirisha kesi hiyo wakili wa serikali bwana justus mlokozi aliiambia mahakama kuwa pamoja na upande wa mashitaka kuwa tayari kwa ajili ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ya bwana liyumba wanaomba UNK kutokana na mshitakiwa huyo kushindwa kufika mahakamani kutokana na kuugua kwa mujibu wa taarifa UNK kutoka jeshi la magereza ni kwamba mshitakiwa ni mgonjwa asingeweza kuletwa mahakamani hapa kuendelea na kesi yake kutokana na hali hiyo tunaomba ipangwe tarehe nyingine kwa ajili ya usikilizwaji wa awali ili haki ya mshitakiwa huyo iweze kutendeka alisema bwana UNK
hoja hiyo pia iliungwa mkono na upande wa utetezi kupitia wakili wa mshitakiwa huyo bwana majura magafu ambaye alisema kesi hiyo ipangiwe tarehe nyingine kwa ajili ya kusikilizwa
kutokana na hoja hizo mahakama ilipanga kutajwa kwa kesi hiyo septemba ishirini na moja na kusikilizwa septemba ishirini na tano mwaka huu hivyo ikaagiza kuletwa mshitakiwa katika tarehe hizo
bwana liyumba anakabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya ofisi yake akiwa mtumishi wa bot ambapo anadaiwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni mia mbili na ishirini na moja moja kwa kuidhinisha malipo ya majengo pacha ya bot bila idhini ya bodi ya wakurugenzi
mshitakiwa huyo anasota rumande kwa kipindi kirefu sasa kutokana na kushindwa kuhimili masharti ya dhamana ambayo UNK kuweka nusu ya fedha mahakamani zinazotokana na hasara hiyo
watuhumiwa wengine wawili akiwemo raia wa burundi wanaodaiwa kuhusika na tukio la mauaji katika benki ya nmb tawi la temeke dar es salaam wamefikishwa mahakamani
watuhumiwa hao walifikishwa jana katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu dar es salaam ambapo mmoja wao bwana richard muhonza ambaye ni raia wa burundi alisomewa mashitaka akiwa amelala baada ya kushindwa kukaa wala kusimama kutokana na alichodai kupigwa na polisi na kumsababishia maumivu makali
kufikishwa kwa watuhumiwa hao wawili kunafanya idadi ya watuhumiwa katika kesi hiyo kufikia kumi ambao wanatarajiwa kuunganishwa kwenye kesi hiyo kesho kutwa
washitakiwa hao ni bwana muhonza na bwana seleman nzowa ambao wote kwa pamoja wanadaiwa kuwa julai thebathini na moja mwaka huu wakiwa katika benki ya nmb tawi la temeke waliwaua marehemu seif mkweke na e mia tatu na ishirini na tisa cpl josephat
hata hivyo hawakutakiwa kujibu chochote katika mashitaka hayo kutokana na mahakama kutokuwa na uwezo wa kusikiliza kesi hiyo
watuhumiwa wengine ni boniface joseph deogratius masawe mkazi wa moshi elfu hamsini na tano na mia tisa na thebathini na tano sgt mathew mwangunga ambaye ni askari wa jeshi la wananchi na mkazi wa kibaha antony sokya said hamisi issack abuu mkazi wa moshi jopo salum na yusuph rajab ambao UNK na wenzao kesho kutwa
mauaji haya yalisababishwa na uporaji wa fedha katika benki hiyo ambapo silaha kali yakiwemo mabomu ya kutupa yalitumika na zaidi ya shilingi milioni sitini ziliporwa
kutokana na hali aliyokuwa nayo bwana muhonza mahakama iliamuru uongozi wa magereza UNK hospitali kwa ajili ya matibabu
wakati huo huo waandishi grace ndossa na mercy james wanaripoti kuwa jeshi la polisi kanda maalum ya dar es salaam limefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine sita akiwemo mwanamke mmoja wanaodaiwa kuhusika katika tukio la mauji na uporaji ya nmb temeke
akizungumza jana kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam bwana suleiman kova alisema watuhumiwa hao walipatikana baada ya kufanyika msako katika mikoa ya arusha mwanza pwani na dar es salaam kwa kutumia vikosi maalumu vya kudhibiti vitendo vya uhalifu
bwana kova alisema watuhumiwa hao walikutwa na silaha tatu ambazo ni smg namba ab mbili saba sita tatu nane tatu sita na risasi arobaini magazine moja ikiwa na risasi thebathini na magazine nyingine na risasi kumi alisema silaha nyingine ni bastola aina ya UNK namba sifuri saba tatu sifuri tisa tano ikiwa na risasi mbili na aina ya UNK ikiwa na risasi sita kwenye magazine na zingine kumi zikiwa kwenye UNK ya sigara na kufichwa kwenye UNK
aliwataja watuhumiwa wanne kati ya waliokamatwa kuwa ni wilbert UNK mkazi wa arusha bwana muhonza raia wa burundi anayedaiwa kuingiza mabomu ya kurusha kwa mkono na ambaye tayari amefikishwa mahakamani jana na seleman nzowa mkazi wa kigogo mburahati dar es salaam
alimtaja mwanamke mmoja mkazi wa mburahati halima mvungi kuwa anashikiliwa kwa tuhuma za kuhifadhi majambazi pamoja na silaha
watuhumiwa wawili UNK majina kwa maelezo kwamba bado jeshi la polisi linaendelea na mahojiano
mkazi wa yombo vituka jijini dar es salaam mchungaji denis milanzi anaendelea kushikiliwa na polisi kuhusiana na kifo cha mkewe bibi rose marcel ambaye UNK kwa moto chumbani kwake na kufariki dunia katika hospitali ya muhimbili juzi
akizungumza na majira kwa njia ya simu jana kamanda wa polisi mkoa wa temeke bwana liberatus sabas alidai kuwa mchungaji huyo wa kanisa la the winners lililopo banana ukonga jijini dar es salaam anahusishwa na kifo hicho kwa vile hakutoa ushirikiano wowote kwa UNK
bwana sabas alisema licha ya tuhuma hizo za mauaji alikuwa na ugomvi mkubwa na mkewe kwa muda mrefu UNK mchungaji huyo kutaka kuoa mke mwingine kutoka katika kanisani lake
kamanda huyo alisema kuwa kuwa saa saba usiku wa kuamkia jumamosi wakati mchungaji alipokuwa sebuleni UNK moto ulizuka chumbani ambako marehemu alikuwa amelala ndipo majirani walisikia kelele za kuomba msaada na kufika eneo la tukio
kamanda alisema majirani walipofika walikuta mwanamke huyo akiwa UNK kutoka chumbani baada ya mume wake kufungua mlango ambako moto UNK
alisema majirani walimbeba na kumkimbiza katika hospitali ya taifa ya UNK kupatiwa matibabu huku mchungaji huyo akiwa amebaki nyumbani pasipo kutoa ushirikiano
inadaiwa huyu mtuhumiwa alikuwa anataka kuoa mke wa pili kwa madai kuwa mkewe si mke halali kwa kuwa alikuwa akipinga kusali kanisani kwake na yeye alitaka kuoa mke mwingine UNK naye alisema
hata hivyo ndugu wa marehemu na majirani walisema kulikuwa na ugomvi wa muda mrefu kuhusu kuwepo kwa ndoa nyingine ambapo marehemu alikuwa akipinga hatua hiyo
pia inadaiwa alikuwa akipokea ujumbe wa simu wa vitisho katika simu yake kutoka kwa mtuhumiwa kuwa ipo siku atakufa hali ambayo ilisababisha kuamini kuwa tukio hilo limesababishwa na yeye mwenyewe
jitihada za kuokoa maisha yake zilishindikana kwani alifariki wakati akipatiwa matibabu UNK hapo
polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio hilo na mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara upelelezi utakapo kamilika
mbunge wa jimbo la morogoro kusini mashariki bwana sameer lotto jana UNK makali ya dola baada ya kukamatwa na jeshi la polisi na kuswekwa mahabusu kwa tuhuma za kukaidi mwito wa jeshi hilo kumtaka kuripoti kituoni hapo kwa madai ya kumshambulia mfanyakazi wa mamlaka ya maji safi na maji taka morogoro akiwa kazini
mwandishi wa habari hizi alishuhudia mbunge huyo UNK na polisi katika eneo lake la ujenzi lililoko barabara ya zamani ya dar es salaam na baadaye kupandishwa kwenye gari la polisi toyota land cruiser namba t mia moja na themanini na tano UNK
kwanza alifikishwa ofisi ya upelelezi mkoa na baadaye kupelekwa kituo cha polisi kati na kuwekwa chini ya ulinzi saa sita arobaini mchana
akizungumzia mazingira ya tukio hilo mtumishi wa moruwasa ambaye alikuwa eneo la kituo hicho bwana michael mapunda alidai kuwa alifanyiwa kitendo hicho na mbunge huyo agosti ishirini mwaka huu saa sita mchana katika eneo lake la ujenzi barabara ya zamani ya dar es salaam
alidai kuwa UNK shingo na mbunge huyo baada ya kumuuliza kuwa UNK maji eneo hilo au la kauli ambayo UNK
mtumishi huyo anadai alimtaka mbunge huyo UNK kwanza deni lake analodaiwa ndipo UNK huduma hiyo ambapo UNK
bwana mapunda alidai kuwa katika tukio hilo mbunge huyo pia UNK faili alilokuwa UNK kumbukumbu za wateja na nyaraka zingine za ofisi pamoja na fedha taslimu shilingi mia moja na hamsini sifuri sifuri sifuri alisema kutokana na tukio hilo alilazimika kulifikisha suala hilo polisi kwa ajili ya hatua za kisheria ambapo polisi waliendelea na uchunguzi hadi jana mchana UNK
alifafanua kuwa kutokana na kumbukumbu zilizopo moruwasa mbunge huyo anadaiwa kiasi cha shilingi sitini sifuri sifuri sifuri sifuri ikiwa ni deni lake la muda mrefu ambalo anadaiwa UNK maji kinyume cha sheria
alisema hata hivyo baada ya kukatiwa maji mbunge huyo anadaiwa kutumia ya jirani yake ambayo alikuwa akidaiwa kiasi cha shilingi saba sabini sifuri na ili kurejeshewa huduma hiyo alipaswa kulipa kiasi cha shilingi kumi sifuri sifuri sifuri ikiwa ni faini pamoja na deni
mbunge huyo UNK UNK rb UNK rb elfu nane na mia moja na themanini na saba sifuri tisa na mo moja r elfu nne na mia saba na tisini na saba sifuri tisa katika kituo cha polisi kati mjini morogoro
na nyakasagani masenza polisi jijini dar es salaam jana walilazimika kurusha risasi hewani wakati UNK na vijana wawili wenye asili ya kiasia wanaodhaniwa kuwa majambazi
sakata hilo lililofananishwa na mchezo wa kuigiza ndani ya filamu za kibabe lilianzia makutano ya barabara ya nyerere na kawawa ambapo vijana hao wakiwa ndani ya gari aina ya toyota land cruiser lenye namba t mia saba na ishirini ang walipotakiwa kujisalimisha kwa polisi
polisi waliokuwa na land rover mia moja na kumi namba t kumi tano UNK UNK njia gari la vijana hao waliokuwa wakitokea barabara ya nyerere mbele ya taa za usalama barabarani ili UNK
hata hivyo dereva wa gari hilo alikataa kutii amri hiyo na UNK gari la polisi kwa kasi kwenye taa nyekundu akienda upande wa keko nalo gari la polisi likiwa na askari wenye silaha UNK nyuma kwa kasi
gari la vijana hao lilipofika kituo cha daladala keko fenicha ambako magari yalikuwa UNK barabara dereva UNK kwa staili ya aina yake na kuwaacha polisi UNK kugeuza gari lao
baada ya polisi kufanikiwa UNK gari lao walianza tena UNK gari hilo na hatimaye kuwatia mbaroni vijana hao baada ya kurusha risasi mbili hewani UNK UNK karibu na kiwanda cha simba UNK
kufuatia kukamatwa kwa vijana hao wanaodaiwa kuwa majambazi umati mkubwa wa wananchi ulijaa kushuhudia tukio hilo wakati polisi UNK chini ya UNK wa gari lao na hatua zaidi
wananchi walioshuhudia tukio hilo walisema eneo hilo limekuwa na matukio ya mara kwa mara yanayohusisha polisi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi kurushiana risasi
aliyekuwa mgombea wa serikali ya mtaa wa ubungo kibangu kinondoni dar es salaam kwa tiketi ya tpp maendeleo bwana maulid lugonzo amesema ni vigumu kwa rais jakaya kikwete kutoa tamko la kukataa waraka wa kanisa katoliki na mwongozo wa waislamu kwani alikubali kuitwa chaguo la mungu
akizungumza na gazeti hili jana dar es salaam bwana lugonzo alisema ni vigumu kwa viongozi wa nchi hii kutenganisha dini na siasa kutokana na wanasiasa wengi kukubali kuungwa mkono na taasisi za kidini
alisema jambo hilo UNK wakati askofu wa kanisa la full gospel bible fellowship zacharia kakobe alipojitokeza hadharani kumpigia kampeni mwenyekiti wa tanzania labour bwana augustino mrema
kwa kuwa siasa inaweza kuizungumzia dini vivyo hivyo hata dini inaweza kuizungumzia siasa ndio maana ccm wakati inakwenda kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ishirini sifuri tano ilibeba nguvu ya maaskofu alisema bwana lugonzo
alisema viongozi wa juu wa kanisa katoliki nchini waliwahi kusimama na kusema rais kikwete ni chaguo la mungu lakini bwana kingunge ngombale mwiru hakusema kitu lakini baada ya wakatoliki kutoa waraka kwa ajili ya elimu ya uraia katika uchaguzi mkuu ujao bwana kingunge aliibuka na kudai wanachanganya dini na siasa
bwana lugonzo alisema jambo hilo UNK kuwa ccm ipo zaidi kwa ajili ya maslahi ya kichama na si kitaifa ndiyo maana iko tayari kukubali kuungwa mkono na taasisi za dini ili kushinda kwa kishindo na kutoa ahadi katika ilani yake kama hoja ya waislamu kuwa na mahakama ya kadhi na kujiunga na oic leo mashekhe na maaskofu UNK na kuipigia debe ccm hakuna atakayesema UNK lakini UNK utaona wanadai kuwa wanachanganya dini na siasa alisema bwana lugonzo
wafanyakazi wa kampuni ya reli nchini jana walirejea kazini ikiwa ni siku moja baada ya mkutano wao na waziri wa miundombinu daktari shukuru kawambwa
wakizungumza na majira dar es salam jana wafanyakazi hao walisema wameamua kurudi kazini ili kutoa nafasi kwa serikali kushughulikia matatizo yao
kamanda wa polisi kitengo cha reli bibi ruth makelemo alithibitisha kuwa safari za treni zitaendelea kama UNK
hata hivyo wafanyakazi hao walionesha wasiwasi juu ya mishahara yao kufuatia kitendo cha UNK mkuu wa kampuni ya rites ya india bwana vinay agarwal kushikilia msimamo wake wa kutaka kusitisha huduma za usafirishaji kuanzia septemba kumi mwaka huu
kampuni inakabiliwa na madeni makubwa kutoka kampuni UNK ya usambazaji wa mafuta mbao na magurudumu ya mabehewa hivyo tuna wasiwasi kama shughuli UNK mishahara yetu itatoka wapi
alisema mmoja wa wafanyakazi hao
aidha wafanyakazi hao UNK jeshi la polisi nchini kufuta mashitaka dhidi ya abiria saba waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara
hata hivyo bibi makelemo alisema wasimamizi wa miundombinu na mali zote za reli wana haki ya kufikishwa mahakamani kwa kuuza baadhi ya injini na mabehewa bila kuishirikisha serikali
malalamiko yanayotolewa na wafanyakazi wa trl juu ya kampuni ya rahco ni ya haki na ya msingi kwa kuwa kitendo hicho hakikuwa cha UNK alisema
alisema kamati iliyoundwa kuchunguza madai hayo haina budi kutoa majibu ya kweli kwa kuwa kila mfanyakazi anafahamu ukweli wa suala hilo na ushahidi UNK
hata hivyo UNK hali ya mwekezaji alidai yeye hana mamlaka ya kuelezea udhaifu wake bali alikabidhiwa mamlaka na serikali ya kumlinda mwekezaji ili UNK
gazeti hili lilifika katika ofisi za rahco ili kupata ufafanuzi lakini uongozi wote ulikuwa kwenye kikao kuzungumzia suala hilo na kuahidi kukutana na waandishi leo
hata hivyo mjumbe wa chama cha wafanyakazi wa reli ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini alisema hujuma za kuangusha treni za juzi zilifanywa na wafanyakazi wa zamani wa trc na si wafanyakazi wa trl jumla ya wanafunzi moja sifuri mbili sita themanini sita nchini wanafanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi leo naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bibi mwantumu mahiza jana aliwaambia waandishi wa habari dar es salaam kuwa idadi hiyo imepungua kwa asilimia moja tisa ikilinganishwa na mwaka jana
akitoa taarifa ya mtihani huo bibi mahiza alisema idadi ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mitihani hiyo mwaka huu ni moja sifuri mbili sita themanini sita ambapo kati yao wasichana ni mia tano na kumi na nne mia tisa na sitini na sita na wavulana ni mia tano na kumi na moja mia nane na arobaini kati ya ya watahiniwa hao kumi na tatu mia moja na themanini na tisa wanatarajiwa kufanya mtihani kwa lugha ya kiingereza ambayo wamekuwa wakiitumia UNK
mtihani huo utafanyika katika masomo matano ambayo ni kiswahili kiingereza sayansi hisabati na maarifa ya jamii