id
stringlengths
8
8
language
stringclasses
1 value
script
stringclasses
1 value
country
stringclasses
2 values
region_dialect
stringclasses
2 values
source_type
stringclasses
3 values
source_ref
stringlengths
17
3.33k
collection_date
stringdate
2020-01-01 00:00:00
2026-03-05 00:00:00
text
stringlengths
20
24.2k
domain
stringclasses
2 values
topic
stringclasses
3 values
theme
stringclasses
2 values
sensitive_characteristic
stringclasses
1 value
target_gender
stringclasses
7 values
bias_label
stringclasses
13 values
stereotype_category
stringclasses
9 values
explicitness
stringclasses
3 values
sentiment_toward_referent
stringclasses
3 values
device
stringclasses
1 value
safety_flag
stringclasses
2 values
pii_removed
bool
2 classes
annotator_id
stringclasses
6 values
qa_status
stringclasses
4 values
notes
stringclasses
125 values
has_bias
bool
2 classes
bias_category
stringclasses
7 values
expected_correction
stringlengths
14
15.6k
βŒ€
annotator_confidence
stringclasses
2 values
annotator_notes
stringclasses
984 values
sw-05817
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na JANETH MUSHI -ARUSHA JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia askari wa Jeshi la Magereza, Faustine Masanja, kwa tuhuma za kumwua kwa kumpiga risasi askari mwenzake, wakiwa kazini. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Charles Mkumbo, alisema tukio hilo lilitokea janaΒ  asubuhi katika eneo la Magereza, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha. Mkumbo alimtaja marehemu kuwa Β ni Ombeni Mwakiyani. Alisema Β siku ya tukio wakiwa kazini, Faustine alidaiwa kumjeruhi askari mwenzake ambaye alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru. β€œTukio limetokea Β Β asubuhi…Faustine alimjeruhi mwenzake wakiwa kazini na baada ya kumjeruhi alipelekwa hospitalini kupata tiba ila alifariki dunia. β€œTunachunguza Β Β kubaini nini hasa chanzo cha kumjeruhi mwenzake na kumsababishia kifo,” alisema Kamanda. Mmoja wa askari magereza aliyeshuhudia tukio hilo, alidai Β Masanja na Mwakiyani wameoa katika familia moja na inadaiwa kulikuwa na ugomvi wa familia kati yao. Chanzo hicho kilidai Β Β asubuhi wakiwa kazini, Faustine alimpiga mwenzake risasi ya nyuma ya kichwa ambayo ilitokea usoni. β€œWameoa familia moja na wote wanakaa kambini na Faustine aligombana na mke wake ambaye ameondoka nyumbani hivyo akawa anamtuhumu marehemu kupitia mke wake kuwa walimjaza mkewe maneno na kusababisha aondoke nyumbani. β€œBaada ya kumpiga mwenzake risasi alitupa silaha yake chini na kusema akamatwe wala hakimbii kwa sababu Β anajua ameua. Ila ugomvi wenyewe hatujajua ulikuwa ni nini hasa,” kilisema chanzo
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-06179
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
AVELINE KITOMARY – DAR ES SALAAM DAKTARI bingwa wa upasuaji kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Zaituni Bokhary amesema lishe duni na akinamama kutokuhudhuria kliniki ipasavyo huweza kusababisha watoto mapacha kuzaliwa wakiwa wameungana. Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki hii, Dk Bokhary alisema ukuaji mzuri wa mtoto hutegemea hali ya afya ya mama mjamzito hivyo ni vyema akinamama wakazingatia lishe bora kabla hata ya ujauzito.Β  β€œ Tunapoongelea mapacha walioungana, hawa ni watoto wanaozaliwa hali ya kuwa wameungana, huwa hakuna sababu maalumu lakini kinachotokea katika hali hii ni kwamba lile yai ambalo limerutubishwa kwa mwanamke linakuwa linaungana kama kujiandaa kutengeneza mapacha. β€œKwa hiyo badala ya yai moja kurutubishwa yanakuwa mawili ili kutengeneza mapacha. Jinsi mimba inavyoendelea kukua, tunaamini kuwa mama akiwa anahudhuria kliniki vizuri atapata vitu muhimu ambavyo mama mjamzito anategemea kupata, ikiwemo ushauri wa vyakula vyenye mlo kamili na madini anayotakiwa kutumia ili mtoto azaliwe akiwa timilifu. β€œLakini mara nyingi akinamama ambao hawatumii madini kama folic acid au vyakula bora, wale wanaotapika sana matokeo yake ni kuzaa mtoto mwenye hitilafu. Pia ni sababu zinazochangia watoto kuzaliwa wakiwa wameungana kwa sababu kuungana ni hitalifu ambayo mtoto anaipata akiwa tumboni,”alisema Dk. Bokhary.Β  Β Alisema watoto wanapondelea kukua wakiwa katika tumbo la uzazi wakiwa wameungana kuna uwezekano wa kutenganishwa au kutokutenganishwa kulingana na sehemu walizoungana. β€œWatoto wanaweza wakaungana sehemu ya kichwa, kifua,tumbo, nyonga na sehemu zingine hivyo nafasi ya hawa watoto kutenganishwa ipo, lakini inategemea wameungana sehemu gani za mwili. Kuna sehemu muhimu sana kama vile sehemu za kifua ambako kuna moyo kama wanachangia moyo inaakuwa vigumu kuwatenganisha kwahiyo inabidi waachwe wakiwa katika maumbile hayo ,” alieleza.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 5
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-00362
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://zenodo.org/record/5514203
2025-12-03
Miaka saba sasa imetimia tangu Michael Jackson, mfalme wa muziki wa Pop aliyevunja rekodi ya mauzo ya albamu yake ya β€˜Thriller’ mwaka 1982, ambaye ni kaka wa Janet, afariki dunia
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Occupation: mfalme. Source: Swahili News Dataset
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-61636
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://simon-kitururu.blogspot.com/2006/09/
2026-03-05
Alek Wek mwanadada mrembo atokaye Sudan Vicky atokaye Cape Town Afrika kusini Mwanadada mrembo Cynthia Masasi awakilishaye Tanzania katika fani.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-00663
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner
2023-01-01
Katika nchi hizo mbili wapiga kura wamegawanyika kwa karibu masuala sawa . Chad imepambana na umaskini na ukosefu wa utulivu tangu kupata uhuru wake kutoka kwa Ufaransa mwaka 1960 .
governance_civic
political_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Source: MasakhaNER Swahili train set
false
none
null
high
null
sw-11029
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
MKAZI wa Kijiji cha Buriba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Sanawa Chacha mwenye umri wa kati ya miaka 30 hadi 35, amefi kishwa katika Kituo cha Polisi cha mjini Sirari akidaiwa kufukua kaburi alikozikwa mwanawe baada ya kutokea sintofahamu juu ya uhalali wa eneo la maziko na wakwe zake.Imeelezwa na mashuhuda kadhaa wa tukio kwamba siku hiyo majira ya asubuhi kijijini hapo mamia ya waombolezaji waliokuwa wamejikusanya nyumbani kwa mtuhumiwa walipigwa butwaa baada ya mkazi huyo kuanza kufukua kaburi la mtoto wake ambaye tayari walikuwa wamemaliza kumzika.Mwenyekiti wa kijiji hicho, Juma Mkeha alisema baada ya waombolezaji hao kushuhudia kitendo hicho wakiwa tayari katika maandalizi ya kurejea makwao baada ya maziko, walilazimika kumkamata Chacha na kisha kumpeleka katika kituo cha polisi.Kwa mujibu wa Mkeha, inadaiwa mtuhumiwa alikuwa na ugomvi na mkewe ambaye ni mama wa marehemu hali iliyosababisha wawili hao kutengana na mwanamke kuondoka nyumbani na kuishi mbali kwa miaka mingi. β€œInasemekana mke wake alilazimika kuondoka nyumbani na kuishi mbali na mume wake kwa muda mrefu baada ya kukosa maelewano ambapo sasa alilazimika kurejea ghafla na maiti ya mtoto wao waliozaa pamoja,” alisema mwenyekiti huyo.Alisema baada ya kuona hivyo, Chacha alipinga kitendo hicho hali iliyolazimu majadiliano ya ukoo wa pande zote ambako ilikubaliwa kwamba marehemu azikwe kwenye ardhi ya mwanamume na baada ya shughuli za maziko kukamilika mtuhumiwa huyo alifanya fujo huku akianza kufukua kaburi. β€œWaombolezaji baada ya kuona analazimisha kumtoa kiumbe katika kaburi walimkamata na kisha kumfikisha katika kituo cha polisi kwa hatua zaidi,”alieleza.Maofisa waandamizi katika Kituo cha Polisi mjini Sirari walithibitisha kumshikilia mtuhumiwa huyo kwa mahojiano zaidi juu ya tukio hilo na kubaini ukweli na upelelezi utakapokamilika mtuhumiwa huyo atapelekwa mahakamani. β€œNdio ni kweli tunamshikilia Sanawa kwa mahojiano kwa madai kuwa alikutwa na wananchi akifukua kaburi la mwanawe kwa nia ovu katika Kijiji cha Buriba, Tunaendelea na mahojiano na yakikamilika atafikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo,” alisema ofisa mmoja wa Kituo cha Polisi Sirari.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-03604
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Azam juzi ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Azam Complex, ilijikuta ikipoteza kabisa matumaini ya ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2, na JKT Ruvu licha ya timu hiyo kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0.Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Kitambi alisema kukosa umakini kwa wachezaji wao ndiko kulikowapa JKT Ruvu nafasi ya kusawazisha mabao yote mawili na kupata sare hiyo ambayo imepoteza kabisa matumaini ya ubingwa.β€œAsilimia kubwa ya wachezaji wetu wamepoteza ari ya mwendelezo wa ushindi na ndiyo sababu tumekuwa tukipata matokeo mabaya hasa tunapocheza nyumbani, kwa sababu kama makocha tulizungumza nao wakati wa mapumziko tukiwa mbele kwa mabao 2-0, kuhakikisha tunafunga bao la tatu kipindi cha pili ili tupumzike, lakini imekuwa tofauti,” alisema Kitambi.Kocha huyo alisema kama makocha wanaumizwa na matokeo mabaya, lakini watajipanga kuhakikisha wanashinda mechi zao zilizosalia ili waweze kumaliza kwenye nafasi ya tatu. Naye kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni alisema pamoja na kupata sare hiyo, mchezo ulikuwa mgumu kwa upande wao na aliwapongeza wachezaji wake.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2
false
none
null
high
null
sw-02626
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Akizungumza na gazeti hili Kabange alisema katu haamini kama ushirikina unaweza kuinua soka la Tanzania, bali uwezo wa wachezaji pekee ndio ambao unahitaji kuangaliwa.β€œMimi siamini ushirikina kama ndio unaobeba soka, kama wapo wanaotumia kujiinua ni sawa na bure, waonyeshe kiwango chao ndipo tutaona uwezo wao,” alisema Kabange.Alisema timu yake imekuwa ikifanya vizuri sio kwasababu ya ushirikina isipokuwa wachezaji hujituma na kuonesha kiwango cha hali ya juu ndio maana wamepata mafanikio.Kagera Sugar imekuwa ikifanya vizuri katika michezo ya nyumbani na ugenini na kufikisha pointi 14, kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Kikosi hicho kinatarajiwa kucheza na Mbeya City mwishoni mwa wiki hii katika mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba ambapo Kagera itakuwa ikiutumia kama uwanja wa nyumbani baada ya ule wa Kaitaba kuwa kwenye ukarabati.Akiizungumzia Mbeya City, Mrage alisema sio timu ya kubeza kwani wachezaji ni wazuri na wamekuwa wakijitahidi hivyo watapambana katika kugombea nafasi za juu.Alisema ushindi ni muhimu kwao katika mchezo huo na kuahidi mashabiki kuutumia uwanja wao wa nyumbani katika kusaka pointi tatu.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2
false
none
null
high
null
sw-50083
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Mbunge Ngeleja amesisitiza kuwa amerudisha fedha hizo ili kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi yake, chama chake (CCM), Serikali yake, Jimbo lake la Sengerema, familia yake na heshima yake mwenyewe.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-56527
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://charaz.blogspot.com/2015/10/mama-salma-kikwete-katika-tamasha-la.html
2026-03-05
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa na maaskofu na wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini waimbaji mbalimbali wa muziki wa injili kutoka Tanzania na nje ya nchi kwenye Tamasha la kuombea Amani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa hapa Dar es Salaam tarehe 4.10.2015.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-63785
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/11/balozi-seif-amkagua-mhe-mapuri-afariji.html
2026-03-05
Kati kati yao ni Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
none
neutral
none
none
negative
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
[v3-bulk: no gender bias marker β€” set neutral]
sw-63296
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://davidcarol719.wordpress.com/wajibu-wa-kuwa-kielelezo-kwao-waaminio/
2026-03-05
Isaka alimfuata baba yake Ibrahim, katika kusema uongo uleule wa mlezi wake (MWANZO 12:11-13; 20:1-2; linganisha na MWANZO 26:6-7 ).
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-13570
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na FARAJA MASINDE-DAR ES SALAAM MZEE Athuman Mchambua (76) ambaye ametoa tangazo la kutafuta mke wa kuoa, amesema anaamini atafanikiwa lengo lake kabla mwaka huu kumalizika. Alisema hadi sasa ameshapokea simu za wanawake wa mikoa karibu yote ya Tanzania bara isipokuwa Pwani. Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Mzee Mchambua alisema kuwa hatatumia tena njia ya kuweka madalali nchi nzima kama alivyoahidi awali, badala yake kuna mkakati mpya ambao anafikiria kuutumia utakaomrahisishia kukamilisha ndoto yake. β€œTangazo tayari limesitishwa tangu Desemba 10, hivyo nimekuwa tu nikiendelea kupokea simu za hapa na pale, japo nazo naona kwa siku mbili hizi kiwango kimeshuka kwani leo (jana) nimepokea simu tatu pekee ikilinganishwa na siku nyingine ambazo nilikuwa nikipokea si chini ya simu sita. β€œKwa sasa nafikiria kutafuta ubunifu mwingine ambao utanirahisishia kumpata mke kabla ya mwaka huu kuisha. Utaratibu huo nitauweka wazi kwenu muda si mrefu ili kila mmoja autambue,” alisema Mzee Mchambua. Mzee huyo amejipatia umaarufu ndani na nje ya nchi baada ya kuweka tangazo lenye sifa za mke anayemuhitaji mwezi mmoja uliopita kabla ya kuamua kulisitisha baada ya muda wake kumalizika. Sifa kuu ambazo mzee huyo angependa mke anayemsaka awe nazo, ni pamoja na kuwa na usafi wa hali ya juu, mwenye kushika dini ya Kiislamu, uvumilivu wa ndoa, uwezo wa kilimo, upendo kwa mume, watoto na wajukuu. Mzee Mchambua ana familia ya mke mmoja ambaye anaishi shamba, watoto 15 na wajukuu kadhaa. Wiki iliyopita, mzee huyo alitoa masharti mapya kwa mwanamke ambaye atabahatika kuolewa naye. Alisema ataishi naye kwa miaka mitatu akiwa kwenye kipindi cha uangalizi, na kama atashindwa kutimiza vema masharti hayo, atampa talaka. Habari za mzee huyo zimezua gumzo katika mitandao na vyombo mbalimbali vya habari vya nje na ndani kutokana na staili ya aina yake anayoitumia kupata mke amtakaye.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-58575
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://muhezadc.go.tz/new/harambee-yaibuka-na-zaidi-ya-shilingi-milioni-500-muheza
2026-03-05
Nae Asha Suleiman Iddi (mke wa Makamu wa pili wa Rais wa Mapinduzi Zanzibar ) ambae ndie aliekuwa Mgeni rasmi katika hafla hiyo ametoa rai kwa jamii kutowaficha watoto walemavu kwani wana haki ya kusoma na kufanya kazi kama watu wengine pia alichangia kiasi cha shilingi milioni 6 na kompyuta 2 ili ziweze kusaidia katika kutatua changamoto mbalimbali kama kuhifadhi takwimu za watoto hao.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
none
neutral
none
none
negative
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
[v3-bulk: no gender bias marker β€” set neutral]
sw-05314
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na Mwandishi Wetu – DAR ES SALAAM RAIS Dk. John Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Butiama, Solomon Ngiliule. Akitangaza uamuzi huo ofisini kwake Dar es Salaam jana, Waziri Β wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, alisema amefikia uamuzi huo kutokana na kujiridhisha na makosa yanayodaiwa kutendwa na mkurugenzi huyo. Mbali ya kutengua uteuzi huo, pia Waziri Jafo amemwelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Tamisemi, kuchukua hatua sitahiki kwa Mweka Hazina Masanja Sabuni aliyehusika wakati wa matumizi mabaya ya fedha za Serikali. β€œRais Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa Butiama kutokana na makosa yaliyopo mbele yake, pia ameagiza mweka hazina aliyehusika na upotevu wa fedha za Serikali achukuliwe hatua. β€œNawaomba Β watendaji wa wizara hii kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia kanuni za utumishi wa umma,” alisema Waziri Jafo. Uamuzi wa Rais Magufuli, umekuja siku mbili tu, baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kushtushwa na upotevu wa mamilioni ya fedha katika halmashauri hiyo ambayo imeanzishwa hivi karibuni. Majaliwa alitoa maagizo wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku tano mkoani Mara, akimwagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Tamisemi), Josephat Kandege, kubaki Butiama ili kuhakikisha ukaguzi maalumu unafanyika juu ya fedha zinazotumwa na Serikali kwa miradi mbalimbali ya halmashauri hiyo. Pia alimwagiza Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Raphael Nyanda, kutuma timu ya wakaguzi kufanya ukaguzi maalumu katika ofisi ya Solomon Ngiliule, Mweka Hazina wa Halmashauri, Sabuni na Ofisa Manunuzi wa HalmashauriΒ  hiyo, Robert Makendo.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-46109
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€œKuhusu matibabu yake, ni kama nilivyosema, kwamba yanaendelea vizuri na Alhamisi ya wiki iliyopita, alifanyiwa upasuaji mdogo uliokwenda vizuri na matumaini yetu na madaktari, ni kwamba huo ndiyo ulikuwa upasuaji wa mwisho kabla hajaanza hatua ya uangalizi na kufanyiwa mazoezi ya viungo.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-53412
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2018/03/harambee-ya-ujenzi-hospitali-ya-muheza.html
2026-03-05
IGP Mstaafu, Said Mwema akiahidi kuchangia ujenzi wa hospitali hiyo Mdau akiahidi kuchangia Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), akipewa mkono wa shukrani na Makamu wa Rais, Mama Samia pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu baada ya kuahidi kuchangia sh.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-43454
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Matokeo yake ni migogoro na wenzake mara kwa mara.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya
false
none
null
high
null
sw-25472
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema kwamba kuna malalamiko baadhi ya vijiji havipo katika mpango wa REA III, kwa mzunguko wa kwanza ambapo muda wake utaishia Juni 30, mwaka huu.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-44915
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Katika matukio hayo ya mauaji, watu hao wasiofahamika walimuua Mwenyekiti wa zamani wa CCM Tawi la Njia nne liliopo katika Kijiji cha Muyuyu, Kata ya Mtunda wilayani Kibiti, Iddy Kirungi na mtoto wake, Nurdin Kirungi naye alifariki siku mbili baadaye baada ya kupigwa risasi ya tumbo.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-42199
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Matamshi yake yanajiri siku chache tu baada ya baadhi ya wandani wa naibu huyo wa rais akiwemo aliyekuwa kiongozi wa wengi katika bunge la seneti Kipchumba Murkomen na aliyekuwa naibu wa spika katika bunge hilo Kindiki Kithure kupoteza nyadhfa zao.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kimataifa
false
none
null
high
null
sw-27119
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema kutokana na mateso Januari 4 mwaka huu, alikimbilia Chang’ombe ambako alilalamikia mwajiri wake huyokutumia mwiko kumpiga kichwani hali ambayo imefanya kichwa kiwe na majeraha yanayofanya ashindwe kuota nywele.Binti huyo alisema alikuwa akilipwa Sh 50,000 mshahara wa mwezi na fedha hizo alikuwa akitumiwa mama yake mzazi moja kwa moja.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-52917
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://davidcarol719.wordpress.com/2013/01/02/uthibitisho-kuwa-yesu-ni-mungu/
2026-03-05
Pia katika ( YOHANA 20:26-29 ) β€œbasi,baada ya siku nane,wanafunzi wake walikuwamo ndani tena,na Tomaso pamoja nao.Akaja Yesu na milango ilikuwa imefungwa,akasimama katikati,akasema,Amani iwe kwenu.Kisha akamwambia Tomasolete hapa kidole chako;uitazame mikono yangu;ulete na mkono wako uutie ubavuni mwangu;wala usiwe asiyeamini;bali aaminiye.Tomaso akajibu akamwambia,BWANA WANGU NA MUNGU WANGU..Yesu akamwambia,wewe kwa kuwa umeniona umesadiki;wa heri wale wasioona wakasadiki”.YESU KRISTO MUNGU MKUU, ( 1TITO 2:13 ) β€œTukilitazamia tumaini lenye mafunuo ya KRISTO YESU MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU”..
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-15128
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
AZAM FC jana ilishindwa kutamba mbele ya Coastal Union baada ya kuachia pointi zote tatu kwa Wagosi hao kwa kukubali kipigo cha bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Ushindi wa wenyeji Union ulipatikana kupitia bao pekee lililowekwa kimiani na mchezaji wake Haji Ugando na kuinyamazisha Azam iliyoonekana kushindwa kufurukuta kwa muda wote wa mchezo huo.Ugando alifunga bao hilo dakika ya 53 kwa shuti kali lilomshinda mlinda mlango wa Azam, Mwadini Ally, baada ya kutoka langoni kwa lengo la kuondosha mpira huo wa juu. Kabla ya kufunga bao hilo, Ugando alipokea pasi safi kutoka kwa Bakari Mwamnyeto na kuwazidi maarifa mabeki wa Azam.Kwa matokeo hayo, Azam inaendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 20 sawa Tanzania Prisons inayoshika nafasi ya nne na Coastal Union imepanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya tano.Mchezo huo ulinza kwa kasi kwa timu zote kushambuliana kwa zamu zikihitaji kupata bao la mapema ili kujikusanyia nguvu na kila upande ulionekana kuwa bora kudhibiti hatari zilizokuwa zinajitokeza, matokeo yaliyowafanya hadi wanaenda mapumziko hakuna mbabe.Kipindi cha pili timu zote zilirejea uwanjani zikiwa na nguvu sawa huku zikifanya mabadiliko ya wachezaji, ambapo mchezo ulibadilika na kutawaliwa na ufundi zaidi sehemu ya kiungo kwa kila timu kujenga mashambulizi kwa kupiga mipira mirefu kutokea pembeni mwa uwanja huo.Kipigo hicho kinaifanya Azam ipoteze mechi ya tatu kwenye ligi. Mechi nyingine ilizopoteza ni dhidi ya Simba na Ruvu Shooting.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2
false
none
null
high
null
sw-18139
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€œYaani akikaa mahala hata kama kuna sauti nyingi kiasi gani, anao uwezo wa kuruhusu sauti moja pekee ipenye masikioni mwake na akaendelea kufanya kazi zake kama kawaida.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya
false
none
null
high
null
sw-07227
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na Ramadhan Hassan, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuwa biashara ya usafirishaji wa wanyamapori hai nje ya nchi haitafanyika kwenye uongozi wake. Akizungumza bungeni leo Mei 24, wakati akihitimisha hotuba ya bajeti yake katika mwaka wa fedha 2019/20 na kujibu hoja mbalimbali zilizotolewa na wabunge ikiwemo suala la usafirishaji wanyamapori hai amesema biashara hiyo ilishafungwa tangu alipochaguliwa kuwa waziri wa wizara hiyo. ”Biashara ya wanyamapori hai haitafanyika nikiwa kama Waziri wa Maliasili na Utalii kwakuwa suala hilo lilishafungwa. β€œWizara imeamua kufunga mlango wa biashara hii, hata awe chawa au kunguni, atakayetaka kufuga afuge ili watanzania waende kwenye Zoo yake kuwatazama wanyama hao,” amesema Kingwangalla. Ameongeza kuwa kuhusu suala la vipepeo kusafirishwa kwenda nje ya nchi wananchi ambao walikuwa wamechukuliwa vipepeo vyao ili viakuzwe watarudishiwa fedha zao na serikali. Wakati huo huo Waziri huyo amesema kuwa Rais John Magufuli ameridhia hifadhi tatu mpya kuingizwa katika orodha ya Hifadhi za Taifa. β€œHapa nina hati kutoka kwa Rais, ameridhia hifadhi mpya tatu kuingia katika orodha ya hifadhi za taifa,” amesema Kigwangalla Amezitaja hifadhi hizo mpya kuwa ni hifadhi ya Burigi, Chato, hifadhi ya Rumanyika, Karagwe na Ibanda, Kyerwa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-64066
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.bongocinema.com/index.php/casts/view/jacob-stephen
2026-03-05
β€œWakati mwingine mke wangu anakosa, lakini kama ni mazingira fulani basi nafanya hivyo ili kuiga uhalisia wa filamu ninayoicheza,” anasema anayewahusudu kisanii Single Mtambalike kwa hapa Tanzania na Amitabh Bachan, gwiji wa filamu wa India tangu miaka ya 1970 ambaye katikati ya miaka ya 1980 alikuwa Mbunge nchini mwake.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
none
neutral
none
none
negative
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
[v3-bulk: no gender bias marker β€” set neutral]
sw-48799
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Ukata ni tatizo sugu kwa sasa katika mchezo wa masumbwi na kuhatarisha maendeleo yake.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-30006
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Madai hayo ya Zahera ni mwendelezo wa shutuma zake ambazo amekuwa akirudia mara kwa mara, kwamba kuna mpango wa kuwavuruga katika mbio zao za kuwania ubingwa, lakini wakati huo huo kuzisaidia timu nyingine ziwaondoe katika mbio hizo.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-05733
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na CLARA MATIMO MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kuendelea kutenda mema kama Β Β walivyotenda wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya ibada na kuliombea taifa amani. Alitoa wito huo kwa waislamu hivi karibuni Β Β katika baraza la Idd EL Fitr kwenye Β msikiti wa Shia. Alisema bila amani hakuna maendeleo yanayoweza kupatikanaΒ  katika taifa lolote Β duniani hivyo ni vema waendelee kudumisha upendo, kuheshimiana na kufanya ibada. β€œMungu anasikia maombi ya waja wake mnapokutana wawili ama watatu kwa ajili ya jina lake naye anakuwa katikati yenu , hivyo nawasihi maombi mliokuwa mkiyafanya kipindi chote cha Mwezi Mtukufu wa RamadhanΒ  myaendeleze Β taifa letu lizidi kuwa na amani. β€œOmbeni bila kuchoka iwe kwa Waislamu au Wakristo wote tuungane kuliombea taifa letu amani Β Β Mungu azidi kutusaidia amani tuliyonayo idumu,”alisema Mongella. Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mary Tesha, aliwataka Waislamu waendelee kumtumikia Mungu na kufanya kazi zilizo halali kwa bidii Β wajiingizie kipato kitakachowawezesha kukidhi mahitaji yao na familia zao. β€œNawasihi ndugu zangu Waislamu msifungulie kila kitu endelezeni matendo mema mliyokuwa mkiyatenda kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na Mungu atawabariki. β€œHatutegemei kuona muislamu ambaye amefunga mwezi mzima wa Ramadhan halafu baada ya kumaliza mfungo akakamatwa kwa Β Β  kuvunja sheria,”alisema Tesha.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-26584
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
DOHA, QATAR KIUNGO wa zamani wa timu ya Barcelona, Xavier Hernandez β€˜Xavi’, amesema haoni sababu ya kocha wake wa zamani ambaye kwa sasa anafundisha timu ya Manchester City, Pep Guardiola, kushindwa kutwaa michuano ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu England msimu huu.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-17700
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
NEW YORK, MAREKANI MKE wa rapa Kanye West, Kim Kardashian, inadaiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa meno, hivyo anashindwa kutafuna vitu vigumu. Mrembo huyo aligundua hilo juzi jijini New York, na kujikuta akishindwa kula chakula kutokana na maumivu makali kwenye meno. Kupitia akaunti yake ya Instagram, mrembo huyo aliweka wazi kupatwa na tatizo hilo, lakini iliweza kuwasiliana na daktari wake kwa ajili ya matibabu. β€œNilipatwa na maumivu ya ghafla nikawa nashindwa kutafuna kitu chochote chenye ugumu, lakini niliwasiliana na daktari wangu kisha nikafanyiwa matibabu, kwa sasa naendelea vizuri na chakula kinaliwa kama kawaida,” aliandika KimΒ Kardashian.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-41970
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Ismail (19) alipoteza maisha juzi jioni baada ya kuanguka uwanjani dakika ya 74 ya mchezo, ikiwa ni muda mfupi tangu aifungie timu yake bao la kuongoza katika mchezo wa ligi ya vijana ya U-20 dhidi ya Mwadui FC.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-29240
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
DODOMA Naye Mbunge wa Β Mchinga, Hamidu Bobali (CUF), alisema Β zahanati mbili katika Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Vijijini mkoani Lindi, zimefungwa baada ya watumishi wake kutajwa katika orodha ya watumishi wa umma wenye vyeti feki.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-35068
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Ni sehemu ya maisha yake.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
false
none
null
high
null
sw-01765
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
NEW YORK, MAREKANI KAKA wa Kim Kardashian, Rob Kardashian na mpenzi wake Blac Chyna, wameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto wa kike Oktoba, mwaka huu. Awali wawili hao walisema ujauzito wa Blac ni wa mtoto wa kiume, lakini kumbe alikuwa hajafanya vipimo, ila wiki hii wamefanya vipimo hivyo na kugundua kuwa watapata mtoto wa kike. Kupitia akaunti ya Twitter, Blac ameonesha kuwa na furaha kubwa baada ya kupokea taarifa hizo za mtoto wa kike. β€œFamilia yangu inatarajia kukua ifikapo mwezi Oktoba, natarajia kupata mrembo tofauti na awali ambapo habari zilienea kuwa nitapata mtoto wa kiume,” aliandika Blac. Hata hivyo inadaiwa kuwa Rob anaonesha kukosa furaha baada ya kuambiwa kuwa ni mtoto wa kike, inaonesha kuwa Rob alijiandaa zaidi kupata mtoto wa kiume.
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
mixed
stereotype
profession
explicit
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4
true
occupation
NEW YORK, MAREKANI KAKA wa Kim Kardashian, Rob Kardashian na mpenzi wake Blac Chyna, wameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto Oktoba, mwaka huu. Awali wawili hao walisema ujauzito wa Blac ni wa mtoto, lakini kumbe alikuwa hajafanya vipimo, ila wiki hii wamefanya vipimo hivyo na kugundua kuwa watapata mtoto. Kupitia akaunti ya Twitter, Blac ameonesha kuwa na furaha kubwa baada ya kupokea taarifa hizo za mtoto. β€œFamilia yangu inatarajia kukua ifikapo mwezi Oktoba, natarajia kupata mrembo tofauti na awali ambapo habari zilienea kuwa nitapata mtoto,” aliandika Blac. Hata hivyo inadaiwa kuwa Rob anaonesha kukosa furaha baada ya kuambiwa kuwa ni mtoto, inaonesha kuwa Rob alijiandaa zaidi kupata mtoto.
high
null
sw-62118
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.dw.com/sw/afrika-katika-magazeti-ya-ujerumani-juma-hili/a-2994102
2026-03-05
Mada ya tatu inahusu hatua ya rais wa Sudan, Omar Hassan al Bashir, kumsamehe mwalimu wa kike kutoka Uingereza, Gillian Gibbons, Jumatatu iliyopita.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
stereotype
profession
explicit
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
true
null
Mada ya tatu inahusu hatua ya rais wa Sudan, Omar Hassan al Bashir, kumsamehe mwalimu kutoka Uingereza, Gillian Gibbons, Jumatatu iliyopita.
high
[v3-fix: confirmed occupation stereotype]
sw-33772
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
KIUNGO wa klabu ya Juventus, Paul Pogba, ameanza safari yake kutoka jijini Los Angeles nchini Marekani na kuelekea jijini Manchester kwa ajili ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na mashetani wekundu, Manchester United.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-26637
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Hiyo ni kwa mujibu wake mwenyewe, baada ya kutangaza kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii tangu mwanzoni mwa wiki hii.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
false
none
null
high
null
sw-58711
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://yusufbadi.blogspot.com/
2026-03-05
MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA TICAD V HUKO YOKOHAMA NCHINI JAPAN.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
none
neutral
none
none
negative
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
[v3-bulk: no gender bias marker β€” set neutral]
sw-61059
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://gsengo.blogspot.se/2014_05_25_archive.html
2026-03-05
"Hebu pima hili Mkurugenzi mama Mwakalinga alianzisha tozo ambazo hazikuzingatia sheria, tozo ambazo hazikusainiwa na Waziri Mkuu, tozo zilizokuwa za aina yake kwa kuamrisha Misikiti, Makanisa, Shule kulipa tozo na kweli zilitekeleza na ushahidi tunao tulimpa hadi Waziri Mkuu, kama wadau hao wakirudi nyuma na kudai fedha zao hasara kwa nani?
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-04111
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na SHOMARI BINDA -MUSOMA MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza iliyoketi mjini Musoma, imemthibitisha Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya, kuwa mshindi halali wa uchaguzi wa Oktoba, mwaka jana. Hukumu hiyo imetafsiriwa na baadhi kuwa ni sawa na kumstaafisha siasa kutokana na umri wake, Steven Wassira ambaye alipambana naye katika kinyang’anyiro cha ubunge katika Jimbo la Bunda, wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana. Ushindi wa Bulaya ulipingwa mahakamani hapo na wapiga kura wa Jimbo hilo, wakidai haukuwa halali. Hata hivyo, hukumu ya mahakama hiyo iliyosomwa jana kwa zaidi ya saa nne iliamua kwamba maombi hayo hayana msingi na yametupiliwa mbali kwa gharama. Akitoa hukumu hiyo pasipo uwepo wa Bulaya, Wakili wake, Tundu Lissu Β na Wasira, Jaji wa Mahakama Kuu, Noel Chocha, alisema maombi yaliyoletwa na walalamikaji yakiitaka mahakama hiyo itengue matokeo ya Bulaya hayakuwa na msingi wa kubatilishwa kwa matokeo hayo. β€œNimepitia ushahidi wote ulioletwa hapa mahakamani, nimejiridhisha kwamba ushahidi wa waleta maombi haujitoshelezi na hauwezi kutengua matokeo yaliyompa ushindi Bulaya,” alisema. Jaji Chocha alisema licha ya kutoridhishwa na ushahidi, lakini pia madhara ya kurudia uchaguzi ni makubwa kuliko manufaa, ukizingatia kwamba Wilaya ya Bunda ni moja ya wilaya masikini nchini, hivyo ni vyema kujielekeza zaidi katika kusukuma mbele maendeleo ya wilaya hiyo. β€œUchaguzi wa Bunda ukirudiwa hautaathiri tu wananchi Bunda, bali hata wananchi wote wa Tanzania kwa kuwa itapaswa kutafutwa fedha kwa ajili ya uchaguzi badala ya kuzielekeza kwenye shughuli nyingine za kimaendeleo. β€œNikiufuta uchaguzi hata mimi nitaathirika, maana sehemu ya fedha za mshahara wangu zitaingizwa na kuelekezwa kwenye uchaguzi huu,” alisema Jaji Chocha. Shauri hilo namba 1/2015, Jaji Chocha alisisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi iliyopo ndiyo inayoamua kama uchaguzi haukuwa huru na haki na kudai sheria zilizopo zinaonyesha mifumo ni mizuri na kwamba chaguzi duniani kote kasoro haziwezi kuepukika na si kila kasoro inaweza kupelekea kufikia maamuzi ya kufuta matokeo ya uchaguzi. Jaji amuita β€œjipu” wakala wa Wasira Β  Katika hali iliyoibua kicheko mahakamani wakati wa usomwaji wa hukumu hiyo, ni pale Jaji Chocha alipomuita mleta maombi wa tatu, Janes Ezekiel, ambaye alikuwa wakala wa Wassira kuwa ni β€˜jipu’, anayestahili kutumbuliwa kwa kuwa hakumsaidia kusimamia vizuri kura za mteja wake. Alisema Wassira hapaswi kumlaumu mtu kwa kile kilichomsibu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, kwa kuwa wakala aliyemuamini alikuwa na majukumu mengi, ikiwemo kuhakikisha anawasimamia wanafunzi kupata elimu na kusimamia masuala ya siasa. Jaji Chocha alisema wakala huyo aliieleza mahakama kuwa, ni mtumishi wa umma kwa nafasi ya ualimu na katika kipindi cha uchaguzi kulikuwa na jukumu lingine la mitihani kwa wanafunzi, hivyo hakuweza kusimamia mambo mawili kwa wakati mmoja. β€œHuyu hana tofauti na watumishi ambao kwa msemo wa sasa wanaitwa β€œmajipu”, maana kuna mambo makubwa ambayo yeye mwenyewe alipaswa kuyasimamia, lakini inaonekana alishindwa kusimamia majukumu yake. β€œUnaweza kutafuta mchawi Mahakamani wakati mchawi ni wewe mwenyewe,,nashauri katika hili mzee Wasira asije akamlaumu mtu, kuna mtu muhimu kwenye shauri hili kama Katibu wa CCM Wilaya ya Bunda alipaswa kuja mahakamani kusaidia katika shauri hili,” alisema Jaji huyo. Mara baada ya kumalizika kusomwa kwa hukumu hiyo,Β  wakili wa waleta maombi alikataa kuzungumza chochote ambapo alipanda gari na kuondoka eneo la mahakama. Naye wakili wa wajibu maombi, Paul Kipeja, alisema walitegemea ushindi kwenye kesi hiyo kwa kuwa msingi wa kesi ulikuwa umevunjwa na maombi ya wapiga kura yametupiliwa mbali kwa gharama na watakutana na mteja wake kufanya utaratibu wa Β kuomba gharama za kesi hiyo. Baada ya hukumu hiyo kuliibuka shangwe kubwa nje ya mahakama Β kutoka kwa wananchi na wafuasi waliofurika kusikiliza hukumu hiyo, ambapo walidai mahakama imetenda haki. Shauri hilo namba 1/2015 lililetwa mahakamani hapo na wapiga kura wanne wa Jimbo la Bunda Mjini, ambao ni Magambo Masatu, Matwiga Matwiga, Janes Ezekiel na Asetic Malagila, wakidai uchaguzi huo haukuwa huru na kuiomba Mahakama kuyafuta matokeo yaliyompa ushindi Esther Bulaya. Wassira, ambaye ana umri wa miaka 71, alizaliwa wilayani Bunda, Mkoa wa Mara na kwa mara ya kwanza alishinda kiti cha ubunge wa Mwibara mwaka 1970 akiwa na miaka 25 kupitia chama cha Tanu, wakati wa utawala wa Mwalimu Julius Nyerere. Kwa muda wote huo alikuwa akiitumikia Serikali katika nyadhifa mbalimbali, Β ikiwemo uwaziri na ukuu wa mkoa. Wassira pia nyakati fulani alipata kuwa mpinzani kabla ya kurudi tena CCM.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-50853
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Hilo linawekwa sawa na msanii wa filamu ambaye pia ni mwanamuziki, Hemed Suleiman β€˜PhD’ aliyesema kwamba, muda wake wa kulala huwa kati ya 10 – 11 alfajiri.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
false
none
null
high
null
sw-30532
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€œMimi namhusia tu kwamba wanawake wapo wengi kwaio ukiona mwanamke anakuvunjia heshima unatafuta mwingine licha ya kuwa hawezi kuwa kama yule lakini utamzoea tu, sio jambo la kusikitika ndiyo maana Mungu alileta wanawake wengi duniani kuliko wanaume,” amesema kupitia EATV
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
female
stereotype
daily_life
implicit
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v2
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
true
occupation
ukiona mtu anakuvunjia heshima unajadili au unaondoka
high
Women treated as interchangeable/disposable β€” implicit daily_life stereotype
sw-44195
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alhamisi wiki hii, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilikuwa cha kwanza kutangaza kujitoa katika kinyang’anyiro hicho kwa madai ya wagombea wake kuondolewa kwa kuhujumiwa na kusisitiza kwamba hawako tayari kushiriki uchaguzi batili.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-45105
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Mwaka ujao amedhamiria kushiriki michuano mikubwa zaidi ya Olimpiki.', 'Kwa sasa anaelekea kijijini kumtembelea mama yake, ambaye amemnunulia kiwanja na nyumba kutokana na faida aliyopata aliposhinda michuano kadhaa awali, pia atatumia muda huo akiwa na mumewe na watoto.']
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-15501
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
MWANAMKEΒ  mmoja kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambaye aliumia vibaya katika ajali ya gari iliyotokea mwaka 1991 na kupoteza fahamu amewastaajabisha wengi baada ya kuamka ikiwa ni miaka 27 tangu apoteze fahamu. Kwa mujibu wa vyombo vya habari jana, mwanamke huyo, Munira Abdulla, alipata ajali hiyo ya kugongwa na basi akiwa na umri wa miaka 32 na kupata jeraha katika ubongo wakati akiwa anakwenda kumchukua mtoto wake shule. Taarifa hiyo ilieleza kuwa mtoto wake Omar Webair, alikuwa na umri wa miaka minne wakati yeye na mama yake walipopata ajali. Hata hivyo, mtoto huyo ambaye alikuwa ameketi kiti cha nyuma hakujeruhiwa hata kidogo na alikutwa akiwa amekumbatiwa na mama yake. Maendeleo hayo mazuri ya afya yake yalianza mwaka jana alipohamishiwa katika hospital moja nchini Ujerumani. mtoto wake, Omar ameweka wazi kuhusu ajali waliyoipata na kuelezea utaratibu wa matibabu ya mama yake yaliyochukua miaka mingi. β€œSikuwahi kukata tamaa kwa sababu kila siku nilihisi kuwa kuna siku mama yangu ataweza kuamka” alisema Omar. Omar alisema kuwa kuna sababu kubwa ambayo imemfanya asimulie mkasa uliomkuta mama yangu akidai ni kutaka kuwaambia watu kuacha kukata tamaa kwa watu wanaowapenda na mtu akifikia hatua hiyo haimaanishi kuwa amekufa. Kijana huyo alisema kuwa mama mkwe wa Munira ndiye alikuwa derevaΒ  na kwamba mama yakeΒ  alikuwa amekaa naye katika kiti cha nyuma, na alipoona wanakaribia kupata ajali, alimkumbatia ili kumuokoa. Alisema kuwa katika ajali hiyoΒ  hakuumia bali alibaki na jeraha dogo kichwani lakini mama yake ambaye aliumia alichelewa kupata matibabu kwa saa kadhaa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-40057
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Kamanda Mambosasa alisema alfajiri ya Oktoba 4, mwaka huu, walipokea taarifa kutoka kwa Matigo Ramadhani kuwa ndugu yake, Maleo, alirudi nyumbani akilalamika kuumwa tumbo, kuishiwa nguvu na kizunguzungu na kumweleza kuwa alikunywa pombe kwa Mama Anoza.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-48995
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Mtoto huyo ambaye ni wa kiume, anasoma darasa la awali katika Shule ya Msingi Vikonge.
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
neutral
neutral
none
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_v2
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
occupation
null
high
Factual description of male child attending school.
sw-39059
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Mtoto huyo, ndiye mgonjwa mdogo zaidi ambaye madaktari na watu wanaojitolea wamemhudumia.Mtoto huyo wa kike sasa anajulikana kama β€˜muujiza wa Beni’.
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
null
null
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_v2
reviewed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
occupation
null
high
Young girl patient called miracle of Beni β€” humanitarian reporting
sw-08475
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
HATIMAYE Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hanspope ameweka kitanzini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.Pope aliwasili nchini saa 7 usiku wa kuamkia jana na ndege ya KQ akitokea Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu. Habari za uhakika kutoka ndani ya Takukuru zinasema kuwa Pope atapandishwa mahakamani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.β€œNi kweli amekamatwa jana saa saba usiku (juzi), na kesho (leo) kuna uwezekano mkubwa tukampandisha mahakamani,” alisema mtoa habari wetu ndani ya Takukuru.Mapema Aprili mwaka huu, Takukuru ilitangaza dau la Sh milioni 10 kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwa mfanyabiashara huyo na mwenzake Frank Lauwo ambao waliongezwa kwenye kesi ya utakatishaji fedha na kughushi inayowakabili Rais wa Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange β€˜Kaburu’ na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliamuru watuhumiwa hao wakamatwe.Amri hiyo ya kuwakamata Pope na Lauwo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wa mahakama hiyo baada ya Mwendesha mashitaka wa Takukuru, Leonard Swai kudai amewatafuta washtakiwa hao tangu Machi mwaka huu bila mafanikio na kuomba hati ya kuwakamata washtakiwa hao ambao hawakuwepo mahakamani.Kutokana na mabadiliko hayo washtakiwa Aveva na Kaburu walisomewa upya hati ya mashtaka na wanakabiliwa na mashtaka 10 tofauti na hati ya mashtaka ya zamani iliyokuwa na mashtaka matano.Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) Swai hakua tayari kuzungumzia suala hilo la kukamatwa kwa Pope huku msemaji wa taasisi hiyo Doreen Kapwani simu yake ikiita bila majibu.Tangu walipokamatwa mwaka jana, Aveva na Kaburu bado wapo rumande huku kesi yao ikiendelea mahakamani.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2
false
none
null
high
null
sw-59502
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://matukiotz.co.tz/bil-161-9-zimetumika-kuboresha-vituo-vya-afya-170-majaliwa/
2026-03-05
Hivyo, alitumia fursa hiyo na kulipongeza kundi la kampuni za AMSON’s lililoamua kujenga jengo la mama na mtoto katika hospital hiyo kwa ushawishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-07910
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
.Msanii NASEEB Abdul Maarufu kama Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya wasanii 10 wakubwa zaidi Barani Afrika Kwenye Orodha iliyotajwa na Shirika la Habari CNN pia wametajwa β€˜African Giants’ wengine kama Burna Boy, Davido, Wizkid, Yemi Alade, Tiwa Savage, Mr Eazi, Sho Madjozi, Busiswa Gqulu na SlapdeeDiamond Platnumz ametajwa kwenye orodha hiyo kufuatia Ukubwa wa nyimbo zake na alizoshirikishwa pamoja na Matamasha aliyoyafanya na Tuzo mbalimbali alizowahi kushinda huku wakitolea mfano Tuzo za MTV EMA za Mwaka 2015 ambapo Diamond aliweka rekodi kwa kuwa masanii wa kwanza Afrika kushinda tuzo hizo mbili ndani ya Usiku Mmoja.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4
false
none
null
high
null
sw-19689
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Juni 25, mwaka jana wakati wa uzinduzi wa Mpango wa Usalama wa Jamii, Rais Magufuli alisema: β€œInashangaza jambazi anavamia kituo cha polisi anaua na anaondoka wakati polisi wapo na wana silaha na risasi wanazo, lakini wanashindwa kumnyang’anya silaha.” Β  WIZI WA SILAHA, MAUAJI Habari nyingine zinadai kuwa huenda uteuzi wa IGP mpya umesukumwa zaidi na mauaji ya raia na askari polisi, wanaouawa kwa kupigwa risasi katika wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga mkoani Pwani.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-16609
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
KINSHASA, DRC NAIBU Gavana wa Jimbo la Ikweta, Kusini Magharibu mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Tathy Bikamba anakabiliwa na mashitaka ya kumbaka binti wa miaka 20. Bikamba, ambaye amekana tuhuma hizo anadaiwa kufanya unyama huo baada ya kumpa dawa za kulevya. Taarifa kutoka duru za karibu za uchunguzi wa kesi hiyo zinasema kuwa gavana huyo alimbaka binti huyo siku ya Jumamosi. Bikamba kwa sasa yuko gerezani akisubiri kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka mawili ya kumwekea dawa za kulevya na kumfanyia tendo la ngono binti huyo bila ridhaa yake. Lakimni Wakili wa gavana huyo, Imbambo Engulu ametupilia mbali tuhuma hizo na kuishutumu mahakama ya jimbo hilo kwa kumtia korokoroni mteja wake bila kujali na cheo chake. β€œKushikwa kwake ni kama uonevu, tuliomba wamweke kwanza katika kizuizi cha nyumbani badala ya moja kwa moja gerezani, lakini majaji hawakukubali ombi letu, Nawambia kweli kuwa gavana hakufanya kitendo hicho, ni uongo,” alisema Engulu Waziri wa Sheria, Faida Mwangiliwa ambaye pia ni miongoni mwa wanaharati wa haki za wanawake, ameiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa gavana huyo iwapo itathibitisha tuhuma hizo. Kesi za ubakaji zimeripotiwa kwa wingi DRC. Matukio mengi zaidi yakifanywa na waasi na askari wa Serikali hasa mashariki mwa DRC. Hivi karibuni, Serikali ya DRC imekuwa ikitoa adhabu kali kwa askari na maofisa wake wa jeshi wanaothibitika kufanya vitendo hivyo, ikiwamo kifungo cha maisha .
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3
false
none
null
high
Gender progress reporting β€” not bias
sw-20784
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Historia yake kwa ufupi Jaji Warioba alisema alipokuwa mwanafunzi aliingia katika siasa katika uongozi wa shule katika vyama vya wanafunzi, kisha alipomaliza shule alifanikiwa kuwa mtumishi wa umma na kuachana na mambo ya siasa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-63622
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://www.kajunason.com/2018/11/waziri-angela-kairuki-azindua-kitabu.html
2026-03-05
mama Samia Suluhu Hassan-Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, ambaye amekipa heshima kubwa ya kukiandikia dibaji.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
none
neutral
none
none
negative
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
[v3-bulk: no gender bias marker β€” set neutral]
sw-32535
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Ndoa hiyo ya ilihudhuriwa na ndugu na marafiki zake wa karibu wakiwamo AY, Hermy B, Ommy Dimpoz, Sallam, Dully Sykes, Alberto Msando na wengine.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
false
none
null
high
null
sw-53902
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://jambotanzanian.blogspot.com/
2026-03-05
Hali hiyo ilijitokeza wakati mkulima, Ramadhani Machaku, aliposimama kuuliza swali, lakini Mkurugenzi wa Wilaya ya Kiteto, Jane Mutagurwa, kumnyang’anya kipaza sauti na kumtaka aulize swali badala ya kutoa hotuba.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-06229
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
MEYA mpya wa Jiji la Kigali, Pudence Rubingisa ameahidi kuligeukia jiji hilo kuwa la kibiashara, kwa kuwezesha biashara zote kufanyika katika saa zote za siku, yaani saa 24. Akizungumza hivi karibuni, alisema mbali ya kuimarisha ulinzi katika jiji kwa lengo la kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, mikakati inasukwa ya kuhakikisha usafiri unakuwa wa uhakika muda wote. β€œLengo ni kutanua wigo wa biashara, ajira kwa wananchi, utoaji huduma za uhakika bila ukomo na juu ya yote, haya yakifanikiwa matokeo yake yataonekana katika ukuaji na maendelo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja, kampuni au mashirika na taifa kwa ujumla,”alisema. Aliongeza kuwa, wanafanyia kazi suala la usafiri wa uhakika kwa kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji. Alisema ndani ya miaka minne, wamelenga kujenga barabara za kisasa za urefu wa kilometa 180 ndani ya jiji huku idadi ya mabasi ikitarajiwa kuongezeka ili yaweze kufanya kasi kwa saa 24. Mipango ya meya huyo inaungwa mkono na Shirikisho la Sekta Binafsi Rwanda (PSF), ikisema itatoa ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa shughuli za kiuchumi katika Jiji la Rwanda ambazo zimekuwa zikiimarika mwaka hadi mwaka. Alitoa mfano kuwa katika miaka ya 2000, ilikuwa nadra kuona shughuli au mabasi baada ya saa 2:00 usiku, lakini sasa mabasi yanasafirisha abiria hadi saa 5:00 usiku huku maduka yakiwa wazi hadi saa 4:00 usiku. Theoneste Ntagengerwa, Msemaji wa PSF amesema; β€œHaya ndiyo mambo tunayoyataka. Tufanye kazi kwa saa 24, naamini wengi wanapata shughuli za kujiingizia kipato,” alisema na kutolea mfano wa kitongoji cha Nyamirambo kuwa wafanyabiashara wengi wa vyakula, vinywaji.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-60280
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/06/siri_ya_maungamo!/kws-839596
2026-03-05
Kardinali Mauro Piacenza, Mkuu wa Idara ya Toba ya Kitume anasema kwamba, siri ya maungano inakwenda sambamba na Sakramenti ya Daraja Takatifu na kwamba, wahudumu wa Sakramenti hii, hawana sababu wala kuruhisiwa kutoa kwa mtu yoyote yule siri za maungamo; lengo ni kuhakikisha kwamba, Mama Kanisa anatunza kwa heshima na upendo mkuu mahusiano ya ndani kabisa kati ya Mwenyezi Mungu na mwamini anayetubu dhambi zake.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-18039
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema baada ya wito huo, yeye na mteja wake waliwasili katika kituo hicho, ambako alihojiwa na kuruhusiwa kuondoka saa 10 alasiri.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-42699
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€œKwa vile alikuwa amechoka sana hata kuongea vizuri hawezi nikamuacha kwanza apumzike na kesho yake wakati namuhoji nikagundua kuwa mtoto wa mjomba wangu,” alidai Sarafina.Alidai mtoto huyo alikuwa akitaka kutafuta kazi za ndani ili aondoke pale ila alikuwa akimzuia.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-17822
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Lakini inaonekana polisi wamepuuza amri ya mahakama ya kuzuia utekelezaji wa timua timua hiyo kwa manufaa ya mke wa rais.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kimataifa
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-25970
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema hadi sasa mchezaji huyo hajajiunga kikosini licha ya wachezaji wote waliokuwa timu ya Taifa β€˜Taifa Stars’ kuruhusiwa kurejea katika klabu zao ambapo wamejitahidi kumtafuta kwenye simu yake ya kiganjani hapatikani.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-53587
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.mtilah.com/2018/07/siri-ya-waliongara-kidato-cha-sita.html
2026-03-05
Msichana huyo anasema siri yake ya kuwa mtaalamu wa hesabu ni kuzifanyia mazoezi kila siku.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-34801
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
BULEMBO AJING’OA Jana, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya chama hicho, Abdallah Bulembo, alitangaza kujitoa katika kinyang’anyiro kutetea nafasi yake.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-00406
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner
2023-01-01
Mnamo utawala wake Trump ameondoa sheria kadhaa zilizopitishwa na utawala wa Obama zilizokuwa zinalinda haki za wanawake kama vile kupata mishahara sawa na wanaume , kudhibiti unyanyasaji wa wanawake kingono makazini na kuondoa msaada wa serikali kwa mashirika yanayounga mkono utoaji mimba .
governance_civic
political_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Source: MasakhaNER Swahili train set
false
none
null
high
Gender progress reporting β€” not bias
sw-04642
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
NA RAYMOND MINJA IRINGA MKUU wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amesema jeshi lake linaendelea na upelelezi juu ya taarifa za mwanaharakati wa mitandao ya kijamii anayeishi Marekani, Mange Kimambi, kuwakejeli na kuwatukana viongozi wa nchi kwenye mitandao. Akizungumza na wanahabari katika Β ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Sirro alisema. β€œKwenye kazi hii ya upelelezi huwezi kuweka kila kitu wazi, tunajua (Mange) anavunja sheria za nchi, tunafanya nini, siwezi kusema,” alisema. Sirro ametoa msimamo huo baada ya hivi karibuni, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz, kunukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema hawatavumilia vitendo vinavyofanywa na Kimambi pamoja na kundi lake. Katika taarifa hiyo, Boaz alisema jeshi hilo litawasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya dola watu wanaoshirikiana na mwanaharakati huyo kutoa taarifa za uongo, uzushi, matusi na kejeli kwa viongozi wa nchi. Sirro alikuwa mjini Iringa jana katika mwendelezo wa ziara zake za kufanya ukaguzi wa jeshi hilo na kuzungumza na maafisa wa polisi, askari na kamati ya ulinzi na usalama wa mikoa mbalimbali. Katika hatua nyingine, IGP Sirro alisema jeshi hilo litaendelea na jukumu lake la kulinda usalama wa raia na mali zao ikiwa ni pamoja na kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wahalifu wote wakiwemo wale wasiojulikana. β€œKumekuwepo na changamoto ya matumizi ya neno hili. kimsingi Watanzania wanatakiwa kujua mtu anafanya tukio akiwa hajulikani na anapopanga kufanya uhalifu huo haji polisi kutoa taarifa kwamba nataka kufanya uhalifu,” alisema. IGP Sirro aliwataka askari polisi wafanye kazi kwa kuzingatia maadili na haki ili wananchi walio katika maeneo yao waendelee kuishi kwa amani na utulivu na waendelee kuliamini jeshi hilo. Aliwataka wananchi wanaohitaji msaada wa askari na kuukosa kwa sababu ya makosa yanayofanywa na askari hao, watoe taarifa hizo kwa viongozi wa juu wa jeshi hilo au wengine wa serikalini ili wanaohusika waweze kuchukuliwa hatua. β€œHakuna askari polisi aliyepo juu ya sheria, akitenda kosa tunataratibu zetu za kumshughulikia, anafukuzwa kazi na kupelekwa mahakamani,” alisema. Pia Β IGP Sirro alisema kumekuwa na tatizo la ubakaji watoto wa umri wa mdogo katika maeneo mbalimbali nchini kwasababu ya imani za kishirikina. Kutokana na hali hiyo, alisema kuna kazi kubwa ya kutoa elimu kwa watuΒ  wanaofanya vitendo hivyo viovu. β€œHuwezi kupata utajiri kwa kubaka watoto,” alisema. Aliwaomba viongozi wa dini wasaidie kutoa elimu hiyo katika nyumba za ibada ili jamiii iweze kubadilika na kuona vitendo hivyo havikubaliki mbele ya wanadamu na mbele ya Mungu.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-36671
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Akizungumzia tukio hilo,Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Vitalis MllayiΒ  alikiri kuwa ofisi yake inalijua suala hilo ambapo alisema kwa sasa hawana mamlaka kwani lipo chini ya kikosi kazi maalumu ambacho kinatoka makao makuu ya Uhamiaji jijini Dar es salaam.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-37184
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Kamati ilishauri kwamba mwalimu atakayekutwa anafundisha au amefanya makosa ya kufundisha bila kusajiliwa na Bodi, atakuwa amefanya kosa sawa sawa na mwalimu anayefundisha bila kuwa na leseni na adhabu yake ni kifungo cha miaka mitano au faini si chini ya Sh milioni tatu.Kuhusu kukata rufaa mwalimu ambaye hataridhishwa na uamuzi wa waziri, kamati ilishauri kwamba muda wa siku 30 uliopendekezwa kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa ni mdogo, badala yake apewe siku 90 ili kumpa haki mlakamikaji.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-07354
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Na MWANDISHI WETU -DAR ES SALAAM MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amemwomba Rais Dk. John Magufuli, aingilie kati suala la Wakili Median Mwale, ambaye amekaa mahabusu kwa zaidi ya miaka sita bila kesi yake kuamuliwa. Mwale na wenzake Donbosco Gichana (Raia wa Kenya), Boniface Mwimbwa na Elieas Ndejembi walikuwa wanakabiliwa na mashitaka 44 tofauti ikiwemo la utakatishaji fedha, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia ya uhalifu. Hata hivyo mwishoni mwa Oktoba mwaka huu, Mahakama Kuu ya Arusha iliwaachia huru washtakiwa hao lakini walipotoka nje walikamatwa na kurejeshwa magereza. Siku chache baadaye walifikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha na kusomewa upya mashitaka 42. Akizungumza jana, Lema ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, alisema kitendo cha kumweka mtu mahabusu kwa muda mrefu bila kesi yake kuamriwa ni sawa na ukatili. β€œInauma sana kwamba ofisi ya DPP (Mkurugenzi wa Mashitaka) na mahakama, kwa zaidi ya miaka sita wameshindwa kumaliza shauri hili. β€œKumweka mtu mahabusu kwa miaka yote hii ni ukatili mbaya sana, kwa kipindi ambacho nimekuwa gerezani nimeweza kuelewa huzuni za familia na watuhumiwa. β€œNdio sababu wakati Rais alipowasamehe wafungwa hasa wenye makosa makubwa nilimshukuru sana kwa sababu najua huzuni ya kukosa uhuru,” alisema Lema. Alisema ni muhimu watu wote walioko kwenye vyombo vya sheria wajue kwamba wajibu wao unapokosa utu na upendo unaumiza watu kwa kuwatesa. β€œDPP nguvu uliyopewa na sheria inapokosa upendo na haki basi inakuwa ni ukatili wa ajabu, ninamuomba mheshimiwa Rais aingilie kati suala la Wakili Mwale, kwa kweli huyu mtu inatosha kuwepo magereza kwa zaidi ya miaka sita bila kuhukumiwa,” alisema. Wakili Medium Mwale na wenzake watatu, walifikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka 42 yakiwamo ya… Kwa habari zaidi usikose kununua nakala yako leo
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-29090
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Kwa upande wake, Diamond alishinda kwenye kipengele cha Video Bora ya mwaka kupitia video yake ya Mdogomdogo na huku wimbo wa Nitampata Wapi ukichukua Tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk.Lakini pia jina lake lilikuja kusikika kwenye nyimbo alizoshirikishwa kama vile ule wa Joseph Haule β€˜Profesa Jay’ wa Kipi Sijasikia ambao Diamond ameshirikishwa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-38056
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
(Sun)', 'Neymar hatoruhusiwa kurudi katika klabu yake ya zamani Barcelona kutoka PSG hadi atakapoomba msamaha kwa mabingwa hao wa Uhispania na mashabiki wake na kukubali mshahara wake kupunguzwa (El Mundo - in Spanish)', 'Real Madrid haitakubali maombi ya chini ya 47.7m kumuuza kiungo wa kati wa Uhispania Dani Ceballos, ambaye amevutia hamu ya klabu ya Tottenham nchini Uingereza.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-19125
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Baada ya kuonesha kiwango hicho cha hali ya juu, Ronaldo alishindwa kuzuia hisia zake na kudai kwamba ulikuwa usiku muhimu kwake.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya
false
none
null
high
null
sw-43973
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
JANGA linaonekana kuendelea kuwakabili wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, Yanga yenye maskani yake Jangwani, Dar es Salaam.Yanga ambao kwa sasa wanaonekana kutokuwa sawa kiuchumi na kiuongozi pia wamekuwa hawapati matokeo mazuri katika mechi zao za kimataifa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-32982
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema mwishoni mwa mwezi huu anatarajia kuachia video yake mpyaΒ  inayokwenda kwa jina la β€˜Saka hela’ ambapo wimbo huo ukiwa na maadili mazuri kwa jamii na kuwaasa vijana wenzake wazidi kufanya kazi ili wawe na mafanikio.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani
false
none
null
high
null
sw-02266
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
NAIROBI,Kenya KIONGOZIΒ  wa upinzani chini hapa, Raila Odinga, amesema hana mpango wa kuachana na siasa hivi karibuni licha ya kukabidhiwa wadhifa mkubwa katika Umoja wa Nchi zaΒ  Afrika (AU). Odinga aliyasema hayo juzi akiwa wilayani Yimbo na akawataka wanamtaka kuachana na siasaΒ  baada ya kupata uteuzi huo kutopoteza muda wao na badala yake watafute kazi nyingine ya kufanya. β€œNingependa kufafanua kwamba uteuzo wangu wa hivi karibuni hautaathiri shughuli zangu za siasa,” Odinga aliwaambia waombolezaji wakati wa mazishi ya Β William Odhiambo Okello. β€œHivyo nashauri kuachwa Β mjadala Β juu ya hatma yangu katika siasa,”aliongeza kiongozi huyo mkuu wa upinzani. Mwanzoni mwa mwezi huu, Odinga alichaguliwa kuwa Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Afrika kuhusu miundombinu wadhifa ambao ni mkubwa kidiplomasia Β katika Umoja huo. Uteuzi huo ndiyo uliwasukuma wabunge wengi kutoka Mkoa wa Mlima Kenya kumtaka kiongozi huyo kuachana na siasa za nchini hapa. Uteuzi huo pia umekuja wakati nchi hii imeshaanza mjadala nani atakuwa mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta kutoka upande wa vyama vya upinzani na chama tawala cha Β Jubilee. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, Β Β kambi ya Makamu wa Rais William Ruto inaeleza kwamba uteuziΒ  huoΒ  unaweza kumzuia Β Raila kuingia tena katika mbio za kuwania kiti cha urais na hivyo mwaka 2022 kumnufaisha Ruto. Hali hiyo pia inaripotiwa kuwaacha njia panda washirika na wafuasi wake ambao wamekuwa wakikuna vichwa wakihoji kamaΒ  nafasi hiyo itamruhusu aendelee na shughuli za siasa, jambo ambalo aliamua kuliweka wazi. β€œHata kama nitakuwa nikizunguka kwenye miji mkuu yote ya nchi za Afrika ngome yangu kuu itakuwa ni Β Nairobi. Sitakwenda mahali popote,”alifafanua kiongozi huyo. β€œNafikiri wale wote wanaodhani nitaachana na siasa wanaota ndoto za mchana,”aliongeza Odinga. Alisema Β viongozi wa Chama Cha NASAΒ  walishajitolea mengi katika ukombozi wa taifa hili na hivyo wanapaswa kuyaendeleza.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3
false
none
null
high
null
sw-10199
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
BALOZI wa Thailand nchini Kenya Cherdkiat Atthakor ameitembelea Kampuni ya ndege ya Tanzania (ATCL) na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Ladislaus Matindi na kuelezea azma ya nchi yake kushirikiana na ATCL katika huduma za usafiri wa ndege.Akizungumzia ujio wa balozi huyo, Msemaji wa ATCL, Josephat Kagirwa, amesema pamoja na kuipongeza ATCL kwa huduma inazotoa kwa safari za ndani na nje ya nchi, pia alisema Thailand ipo tayari kushirikiana na Tanzania kupitia mashirika ya ndege yaliyopo katika nchi hizo.Aidha, alisema kauli ya balozi huyo imetokana na azma ya ATCL kutaka kuanzisha safari katika mji wa Bangkok uliomo nchini humo na kuendelea katika miji ya Guangzhou na Beijing iliyopo nchini China, ikiwa ni mikakati inayofanywa na kampuni hiyo kuboresha huduma.Kimsingi, alisema Tanzania na Thailand zina ushirikiano wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali na kuongeza kuwa nchi hiyo kupitia shirika lake la ndege la Focus itashirikiana na ATCL katika utoaji huduma utakaoiwezesha kupata watalii wengi wanaosafiri na shirika hilo kutoka mashariki ya mbali.Bangkok ni kitovu cha watalii kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Japan, Korea na nchi nyingine za Bara la Asia wanaopitia nchini humo na kwenda kutalii katika nchi tofauti ikiwemo Tanzania.β€œTunaamini ujio wa balozi wa Thailand unazidi kutuweka katika mazingira mazuri ya ATCL kufanya safari zake katika nchi hiyo inayosifika kwa kuwa na watalii wengi,” amesema Kagirwa.Alisema katika mazungumzo hayo balozi huyo aliahidi kuisaidia ATCL kufanikisha safari hizo kwa kuwaunganisha na shirika la ndege la nchi hiyo (FOCUS) kwa ajili ya kupata watalii wengi wanaotumia shirika hilo kwa ajili ya kusafiri na ATCL.Alisema shirika la Focus linasifika Asia na Ulaya kwa kubeba watalii wengi na kwamba ATCL inaamini kwa hatua hiyo ATCL itazidi kupiga hatua kibiashara.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 0
false
none
null
high
null
sw-01270
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner
2023-01-01
Pia mwanamke huyo anapendekeza kuwa katika kugawana fedha hizo , wafanyakazi wa ngazi ya chini na maafisa usalama waambata wa ubalozi wasipewe taarifa hizi za mgao huu .
governance_civic
political_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Source: MasakhaNER Swahili train set
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-04406
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
RAIS John Magufuli amekutana na viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) ambao wanahudhuria Mkutano wa 58 unaofanyika nchini kwa siku tano ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49 na mashirika mbalimbali.Viongozi wa AALCO waliokutana na Rais Magufuli ni Rais wa AALCO aliyechaguliwa katika mkutano huu, Balozi Augustine Mahiga (Waziri wa Sheria na Katiba, Tanzania) na Makamu wa Rais wa AALCO aliyechaguliwa katika mkutano huu, Profesa Mohamad Shalaldeh (Waziri wa Sheria wa Palestina). Wengine ni Katibu Mkuu wa AALCO, Profesa Kennedy Gastorn (Tanzania) na Naibu Makatibu Wakuu wa AALCO watatu ambao ni Yukihiro Takeya (Japan), Wang Liyu (China) na Dk Ali Garshasbi (Iran).Rais Magufuli aliwashukuru na kuwakaribisha wajumbe wa AALCO nchini na aliwahakikishia serikali inatambua kazi inayofanywa na taasisi hiyo tangu ijiunge nayo mwaka 1965 na kuwa mwanachama kamili kuanzia 1973. Alisisitiza umuhimu wa AALCO kutekeleza malengo ya taasisi hiyo kama alivyoelezwa na viongozi hao, na alitoa mwito wa kuendelea kuzitetea nchi wanachama hasa zinazowekewa vikwazo mbalimbali.Alitolea mfano wa Zimbabwe ambayo imewekewa vikwazo kwa miaka mingi hali inayosababisha wananchi wa Zimbabwe kuteseka. Rais wa AALCO, Balozi Mahiga na Katibu Mkuu, Profesa Gastorn walimshukuru Rais Magufuli kwa kupata fursa ya kukutana naye na wameahidi AALCO itaendelea kutekeleza majukumu yake kwa maslahi ya Asia na Afrika.Katika hatua nyingine, Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Guo Yezhou, Ikulu jijini Dar es Salaam.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-03270
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Maswi alitoa agizo hilo mjini Mbeya jana, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Idara ya Madini mkoani Mbeya, ambako alipatiwa taarifa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), kuhusu kampuni kubwa tatu zinazogoma kulipa maduhuli stahiki kwa Serikali, kwa madai ya kuwa na hati ya msamaha wa kodi katika baadhi ya maeneo.β€œHili jambo mbona ni rahisi kwa kuwa sekta yetu hii ya madini inaendeshwa kwa kuzingatia sheria, na sheria inatamka wazi kuwa ni lazima kila mwekezaji wa madini alipe maduhuli kulingana na kiasi alichouza.β€œKamishna wa Madini fuatilia hili na kama kweli kuna hizo hati…kwani zinatoka wapi? Si zimetoka serikalini basi zifutwe, hawa walipe malipo stahiki,” alisisitiza Maswi.Awali akiwasilisha ripoti ya ukaguzi wa TMAA katika Mkoa wa Mbeya, Ofisa Mfawidhi wa wakala huo mkoani hapa, Jumanne Abdallah, alisema ofisi yake imekuwa ikikabiliwa na wakati mgumu katika ukusanyaji wa maduhuli kutoka kampuni hizo za madini na kushindwa kukusanya malipo stahiki.Alisema kwa mujibu wa sheria hiyo, kampuni hizo zilitakiwa kulipa Sh milioni nne kwa mwezi kodi ya maduhuli, lakini kutokana na madai ya kuwa na hati hizo, zimekuwa zikilipa kila mwezi Sh milioni 3.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 0
false
none
null
high
null
sw-38482
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alidai anafahamu chumbani kwa mshtakiwa huyo na kwamba alimpa maagizo avue chupi yake kisha akamwingizia uume wake sehemu ya haja kubwa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-62951
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-sura-au-tabia.152286/
2026-03-05
Lilia bahati usililie sura nzuri, ndio maana utakuta mtu ana sura mbayaaaa lakini anapendwa ni balaa mwanamke TITIZ mkuu asikudanganye mtu...
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-27556
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Hospitali hiyo inaendeshwa kwa kutegemea fedha kutoka nje, wafadhili wakuu wakiwa ni Serikali ya Norway kupitia Ubalozi wake Tanzania ambayo inachangia zaidi ya asilimia 50 ya bajeti.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya
false
none
null
high
null
sw-46797
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€œNianze kwa kunukuu maneno ya baba yangu, aliniambia kwamba β€˜nataka uwe padre ikishindikana uwe daktari hivyo viwili vikishindikana basi angalau uwe mwalimu’, lakini badala yake leo nimekuwa rais na baba yangu hakuwahi hata kuota kama ningekuwa rais,” alisema.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-08300
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
WANANCHI wamehadharishwa kukabiliana na mionzi iliyopo katika simu za mkononi za kisasa kwa kuzungumza chini ya dakika tano, vinginevyo inaweza sababisha madhara mbalimbali mwilini, ikiwemo ugonjwa wa saratani.Aidha wananchi wametakiwa kuacha kuwapatia watoto kutumia simu hizo mara kwa mara kwani mionzi yake inaathiri mifumo ya ukuaji wao. Hivyo wananchi wameshauriwa wanapotumia simu zaidi ya dakika tano kutumia β€˜earphone’ au kuweka β€˜loudspeaker’ kuepuka madhara ya mionzi, huku wakieleza matumizi ya simu hizo ikiwa imeisha au inalalamika chaji ni hatari zaidi kwani mionzi inakuwa mikubwa.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania, Peter Ngamilo aliwaeleza wananchi katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuwa lengo la kuwapo katika maonesho hayo ni kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kukabiliana na mionzi katika shughuli zao za kila siku.Alisema mionzi ya simu iko katika aina ya mionzi ambayo haileti madhara ya moja kwa moja, lakini unapozungumza kwa muda mrefu inaweza kusababisha kichwa kuuma au joto la mwili kupanda huku kwa watoto wadogo ubongo bado ni teke na wako katika ukuaji hivyo kuweza kuharibu ukuaji.β€œTunawashauri wazazi matumizi ya simu za mkononi hasa hizi smartphone kwa watoto siyo mazuri lakini ni vema zaidi kutumia simu hizi tunazoita za vitochi kwani ni tofauti na hizi za kisasa zenye mionzi mingi sana, kwani ina mionzi mara 1,000 zaidi ya iliyopo kwenye minara,” alisema. Alisema kwa wale wanaopenda kulala na simu kwa kuweka pembeni ya mito ni hatari kwani mionzi inakuwa kwa kasi zaidi.Alitaja madhara ya mionzi ni mengi ikiwemo ugonjwa wa saratani ya ubongo, damu au mapafu kutegemea na eneo lililopigwa na mionzi. Ngamilo alisema pia katika sekta ya afya, mionzi ina madhara kwa wanawake wenye mimba changa na wanapotaka kupiga X-Ray wawaarifu madaktari kwani mionzi itaathiri kiumbe kilichopo tumboni na kuzaa mtoto mwenye mapungufu.Alisema katika kuepuka madhara ya mionzi wananchi wanatakuwa makini na baadhi ya vyuma wanavyovikuta maeneo yao kwa kutotumia kama vyuma chakavu kwani baadhi yake vina mionzo. Aidha aliwaasa wananchi kuwa makini kwa kuangalia nembo ya mionzi yenye rangi njano na nyeusi na maandishi kuwa chanzo cha mionzi.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-50450
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Kondo alisema utapanywaji wa mali na fedha za shirika hilo uligunduliwa na bodi ambayo baada ya kuteuliwa kazi yake ya kwanza ilikuwa kuhakiki mali za shirika na ukaguzi wa fedha.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-23215
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Tayari TFF imemkabidhi Wambura barua hiyo ya Fifa na imewataka wadau wote wa soka kuzingatia maadili na nidhamu kwa kufuata taratibu zake kwa mujibu wa Katiba za TFF, Caf na Fifa.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-20786
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
β€˜β€™Wakulima wa zao la Mwani nataka niwahakikishieni kwamba serikali yenu inafanya kazi kubwa kuona bei ya zao hilo inaongezeka na kuleta tija kwa wazalishaji wake pamoja na kujenga kiwanda cha kusarifu bidhaa hiyo,’’alisema.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
none
null
high
null
sw-53909
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://afrikhepri.org/sw/mwanamke-aitwaye-mkurugenzi-wa-kwanza-facebook-africa
2026-03-05
SOURCE:http://www.afribaba.info/nunu-ntshingila-directrice-de-facebook-en-afrique.html Umejibu "Mwanamke aliyeitwa mkurugenzi wa kwanza wa Facebook A ..." Sekunde chache zilizopita 4.0 01 Kandake Amanishakheto:.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
high
Gender progress reporting β€” not bias
sw-54403
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/maajabu--mama-ajifungua-mtoto-anayeongea-kama-mtu-mzima-shinyanga
2026-03-05
MWANAMKE AJIFUNGUA KOPO BADALA YA MTOTO MWANZA Licha ya kutolewa kopo hilo, daktari aliyekuwa zamu katika kituo cha afya Igoma jijini hapa, Zaitun Lionge ameeleza kuwa mimba ya miezi sita ya mwanamke huyo ipo salama.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-35503
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Hata hivyo, kwa michezo michache ya Ligi Kuu ambayo amecheza mchezaji huyo tayari mashabiki wamekubali uwezo wake na wanaamini ataendelea kuwa na mchango mkubwa kwa michezo inayofuata.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-17306
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
NEW YORK, MAREKANI MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaomba radhi, Wiz Khalifa na mama mtoto wake, Amber Rose, baada ya kuwashambulia kwa maneno makali. Licha ya maneno hayo kutafsiriwa kuwa makali, pia Kanye alisema kuwa Wiz Khalifa asingeweza kumpata Amber na kuzaa naye mtoto kama asingeachwa naye. Hata hivyo, Wiz hakujibu lolote juu ya kauli hiyo, lakini Amber alijibu kwa kumtaka asimhusishe mtoto wake katika mgogoro wao binafsi. β€œNajua nitakuwa nimewakosea sana Wiz Khalifa na Amber Rose, sitamzungumzia mtoto wenu tena, nawapenda wote na nawatakia heri,” Kanye aliandika kwenye akaunti yake ya Twitter.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4
false
none
null
high
Confirmed neutral β€” no implicit bias pattern
sw-01923
sw
latin
Kenya
kenya
media
https://huggingface.co/datasets/swahili_news
2021-01-01
Mwandishi wetu Kampuni inayokua kwa kasi katika utoaji wa huduma za usafiri kwa njia ya mtandaoni barani Ulaya na Afrika- BOLT, inatarajia kuzindua huduma zake katika miji mikubwa miwili nchini Tanzania ikiwa ni hatua mojawapo ya kuendelea kupanua huduma za usafiri katika soko lake la ndani ya nchi. Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba 4, 2019 jijini Arusha, Meneja Mkazi wa Bolt Tanzania Remmy Eseka alisema huduma hiyo pia itaanza kupatikana wiki ijayo Visiwani Zanzibar. Alisema uzinduzi huo wa Bolt katika jiji la Arusha na Visiwani Zanzibar unaongeza idadi ya miji ya Kitanzania inayohudumiwa na kampuni hiyo kutoka mikoa mitatu hadi mitano, na kuifanya Bolt kuwa mtoaji huduma mkubwa wa usafiri kwa njia ya mtandao katika ukanda huu wa Afrika. Β Alisema kuwa dhamira ya Bolt ni kufanya usafirishaji wa mijini kuwa rahisi zaidi na wa bei nafuu kwa watu wote na hivyo kufikia malengo ya kampuni katika utoaji huduma za usafiri na ajira ikiwa ni moja ya mchango Bolt kwa jamii. β€œBaada ya miji ya Dar es Salaam, Mwanza na Dodoma kama ilivyo ada Bolt imeendelea kukua kwa kasi nchini kote. Sasa tunakusudia kujenga jamii mpya Arusha na Zanzibar kutokana na uaminifu tunaoendelea kuupata kwa Watanzania,” alisema Eseka. β€œHuduma hiyo ni rahisi kutumia kwani abiria wanatakiwa kupakua programu ya Bolt kutoka kwenye maduka ya programu ya iOS au ya Android na kujaza wasifu wa mtumiaji. Wakati wapo tayari kusafiri, watumiaji hufungua program na kuweka eneo lao walilopo na mahali walipokusudia kufika. ” Programu itatoa makisio ya gharama kwa safari hiyo. Mara baada ya abiria kuomba safari, programu humwonesha madereva wa karibu ambao wanakubali safari hiyo. β€œMara tu dereva anapokubali safari hiyo, abiria wataweza kuona jina la dereva wao, picha, muundo wa gari na usajili, na kuweza kufuatilia dereva anayewafuata kwa wakati muafaka na wa kweliΒ  lakini pia program hiyo hufanya iwe rahisi kuwa na uhakika kuwa wanaingia salama kwenye gari sahihi na dereva sahihi. Abiria pia wanaweza kutoa maelezo ya safari yao kwa kutumia program β€˜ETA’ iliyomo katika kipengele cha ziada kwenye suala la usalama” alisema. Aidha, alisema wakati safari imekamilika, malipo hufanywa na pesa taslimu, au kupitia kadi ya deni ya mpandaji aliyejiunga kwenye program hiyo. Abiria na madereva wanaweza kupima kila mmoja kati ya nyota tano na kutoa maoni kuhusu umahiri wa utumiaji programu ya Bolt. Pia Bolt tayari imewasajili madereva katika miji ya Arusha na Visiwani Zanzibar, ambao wote wanapokea asilimia 80 ya nauli zote zinazolipwa na abiria. Hata hivyo madereva wanaotumia Bolt wanaweza kuchagua masaa mangapi wanaendesha na wanaweza kufanya kazi katika maeneo yoyote wanayotaka. β€œMagari ya Madereva lazima yawe yamesajiliwa kuanzia mwaka 2000 au mapya zaidi. Gari lazima iwe na milango minne (Toyota Corolla, aina ya Hyundai, Kia Rio, nk). Hii inamaanisha kuwa kila mtu akipanda safari kupitia Bolt anaweza kuwa na hakika kwamba watafika salama kwao na kwa raha,” alisema.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1
false
none
null
high
null
sw-48898
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Walisema hali hiyo imesababisha wanafunzi wengi wa kike kupata mimba zisizotarajiwa.
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
neutral
neutral
none
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_v2
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
occupation
null
high
Factual reporting on girls getting unexpected pregnancies due to school environment; girls are victims.
sw-59456
sw
latin
Kenya
kenya
web_public
https://www.scribd.com/document/131796174/ANNUUR-1063
2026-03-05
Nakushukuru sana Mama Mwantumu Malale, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro na viongozi wenzako kwa kunialika kuja kujumuika nanyi katika siku hii adhimu ya ufunguzi wa jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro.
media_and_online
gender_roles
stereotypes
gender
female
counter-stereotype
none
none
positive
null
safe
false
ann_sw_v3
passed
auto-classified from C4 Swahili web corpus β€” needs native speaker review
false
null
null
medium
Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β€” preserved
sw-18364
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Alisema msamaha huo pia unawahusu wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani, pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya.
media_and_online
media_representation
stereotypes
gender
neutral
neutral
none
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_v2
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa
false
occupation
null
high
'Wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani' β€” factual legal/demographic reference in amnesty reporting.
sw-45964
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
Moja ya mkakati huo ni Pluijm kupanga kuwatumia marafiki zake wa Tunisia kuhakikisha anapata taarifa zao za kina ikiwemo kujua udhaifu wao.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null
sw-45190
sw
latin
Kenya
tanzania
media
https://zenodo.org/record/4300294
2020-01-01
', 'Ake amekuwa mmoja wapo wa mabeki wanaotegemewa sana tangu alipojiunga na klabu ya Bournemouth 2017 na amekuwa akiichezea Uholanzi mara kwa mara.', 'Beki huyo wa zamani wa Chelsea kwa sasa anauguza jeraha la mguu na Chelsea wamedaiwa kuwa na kifungu cha kumnunua chenye thamani ya Β£40m ikiwa ni Β£12m chini ya thamani yake iliotolewa na kampuni ya Carteret.
media_and_online
media_representation
public_interest
gender
neutral
neutral
null
null
neutral
null
safe
false
ann_sw_auto_v1
passed
Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo
false
none
null
high
null