id stringlengths 8 8 | language stringclasses 1
value | script stringclasses 1
value | country stringclasses 2
values | region_dialect stringclasses 2
values | source_type stringclasses 3
values | source_ref stringlengths 17 3.33k | collection_date stringdate 2020-01-01 00:00:00 2026-03-05 00:00:00 | text stringlengths 20 24.2k | domain stringclasses 2
values | topic stringclasses 3
values | theme stringclasses 2
values | sensitive_characteristic stringclasses 1
value | target_gender stringclasses 7
values | bias_label stringclasses 13
values | stereotype_category stringclasses 9
values | explicitness stringclasses 3
values | sentiment_toward_referent stringclasses 3
values | device stringclasses 1
value | safety_flag stringclasses 2
values | pii_removed bool 2
classes | annotator_id stringclasses 6
values | qa_status stringclasses 4
values | notes stringclasses 125
values | has_bias bool 2
classes | bias_category stringclasses 7
values | expected_correction stringlengths 14 15.6k β | annotator_confidence stringclasses 2
values | annotator_notes stringclasses 984
values |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
sw-05817 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na JANETH MUSHI -ARUSHA JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia askari wa Jeshi la Magereza, Faustine Masanja, kwa tuhuma za kumwua kwa kumpiga risasi askari mwenzake, wakiwa kazini. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Charles Mkumbo, alisema tukio hilo lilitokea janaΒ asubuhi katika eneo la Magereza, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha. Mkumbo alimtaja marehemu kuwa Β ni Ombeni Mwakiyani. Alisema Β siku ya tukio wakiwa kazini, Faustine alidaiwa kumjeruhi askari mwenzake ambaye alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru. βTukio limetokea Β Β asubuhiβ¦Faustine alimjeruhi mwenzake wakiwa kazini na baada ya kumjeruhi alipelekwa hospitalini kupata tiba ila alifariki dunia. βTunachunguza Β Β kubaini nini hasa chanzo cha kumjeruhi mwenzake na kumsababishia kifo,β alisema Kamanda. Mmoja wa askari magereza aliyeshuhudia tukio hilo, alidai Β Masanja na Mwakiyani wameoa katika familia moja na inadaiwa kulikuwa na ugomvi wa familia kati yao. Chanzo hicho kilidai Β Β asubuhi wakiwa kazini, Faustine alimpiga mwenzake risasi ya nyuma ya kichwa ambayo ilitokea usoni. βWameoa familia moja na wote wanakaa kambini na Faustine aligombana na mke wake ambaye ameondoka nyumbani hivyo akawa anamtuhumu marehemu kupitia mke wake kuwa walimjaza mkewe maneno na kusababisha aondoke nyumbani. βBaada ya kumpiga mwenzake risasi alitupa silaha yake chini na kusema akamatwe wala hakimbii kwa sababu Β anajua ameua. Ila ugomvi wenyewe hatujajua ulikuwa ni nini hasa,β kilisema chanzo | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-06179 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | AVELINE KITOMARY β DAR ES SALAAM DAKTARI bingwa wa upasuaji kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Zaituni Bokhary amesema lishe duni na akinamama kutokuhudhuria kliniki ipasavyo huweza kusababisha watoto mapacha kuzaliwa wakiwa wameungana. Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki hii, Dk Bokhary alisema ukuaji mzuri wa mtoto hutegemea hali ya afya ya mama mjamzito hivyo ni vyema akinamama wakazingatia lishe bora kabla hata ya ujauzito.Β β Tunapoongelea mapacha walioungana, hawa ni watoto wanaozaliwa hali ya kuwa wameungana, huwa hakuna sababu maalumu lakini kinachotokea katika hali hii ni kwamba lile yai ambalo limerutubishwa kwa mwanamke linakuwa linaungana kama kujiandaa kutengeneza mapacha. βKwa hiyo badala ya yai moja kurutubishwa yanakuwa mawili ili kutengeneza mapacha. Jinsi mimba inavyoendelea kukua, tunaamini kuwa mama akiwa anahudhuria kliniki vizuri atapata vitu muhimu ambavyo mama mjamzito anategemea kupata, ikiwemo ushauri wa vyakula vyenye mlo kamili na madini anayotakiwa kutumia ili mtoto azaliwe akiwa timilifu. βLakini mara nyingi akinamama ambao hawatumii madini kama folic acid au vyakula bora, wale wanaotapika sana matokeo yake ni kuzaa mtoto mwenye hitilafu. Pia ni sababu zinazochangia watoto kuzaliwa wakiwa wameungana kwa sababu kuungana ni hitalifu ambayo mtoto anaipata akiwa tumboni,βalisema Dk. Bokhary.Β Β Alisema watoto wanapondelea kukua wakiwa katika tumbo la uzazi wakiwa wameungana kuna uwezekano wa kutenganishwa au kutokutenganishwa kulingana na sehemu walizoungana. βWatoto wanaweza wakaungana sehemu ya kichwa, kifua,tumbo, nyonga na sehemu zingine hivyo nafasi ya hawa watoto kutenganishwa ipo, lakini inategemea wameungana sehemu gani za mwili. Kuna sehemu muhimu sana kama vile sehemu za kifua ambako kuna moyo kama wanachangia moyo inaakuwa vigumu kuwatenganisha kwahiyo inabidi waachwe wakiwa katika maumbile hayo ,β alieleza. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 5 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-00362 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://zenodo.org/record/5514203 | 2025-12-03 | Miaka saba sasa imetimia tangu Michael Jackson, mfalme wa muziki wa Pop aliyevunja rekodi ya mauzo ya albamu yake ya βThrillerβ mwaka 1982, ambaye ni kaka wa Janet, afariki dunia | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Occupation: mfalme. Source: Swahili News Dataset | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-61636 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://simon-kitururu.blogspot.com/2006/09/ | 2026-03-05 | Alek Wek mwanadada mrembo atokaye Sudan
Vicky atokaye Cape Town Afrika kusini
Mwanadada mrembo Cynthia Masasi awakilishaye Tanzania katika fani. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-00663 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner | 2023-01-01 | Katika nchi hizo mbili wapiga kura wamegawanyika kwa karibu masuala sawa . Chad imepambana na umaskini na ukosefu wa utulivu tangu kupata uhuru wake kutoka kwa Ufaransa mwaka 1960 . | governance_civic | political_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Source: MasakhaNER Swahili train set | false | none | null | high | null |
sw-11029 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | MKAZI wa Kijiji cha Buriba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Sanawa Chacha mwenye umri wa kati ya miaka 30 hadi 35, amefi kishwa katika Kituo cha Polisi cha mjini Sirari akidaiwa kufukua kaburi alikozikwa mwanawe baada ya kutokea sintofahamu juu ya uhalali wa eneo la maziko na wakwe zake.Imeelezwa na mashuhuda kadhaa wa tukio kwamba siku hiyo majira ya asubuhi kijijini hapo mamia ya waombolezaji waliokuwa wamejikusanya nyumbani kwa mtuhumiwa walipigwa butwaa baada ya mkazi huyo kuanza kufukua kaburi la mtoto wake ambaye tayari walikuwa wamemaliza kumzika.Mwenyekiti wa kijiji hicho, Juma Mkeha alisema baada ya waombolezaji hao kushuhudia kitendo hicho wakiwa tayari katika maandalizi ya kurejea makwao baada ya maziko, walilazimika kumkamata Chacha na kisha kumpeleka katika kituo cha polisi.Kwa mujibu wa Mkeha, inadaiwa mtuhumiwa alikuwa na ugomvi na mkewe ambaye ni mama wa marehemu hali iliyosababisha wawili hao kutengana na mwanamke kuondoka nyumbani na kuishi mbali kwa miaka mingi. βInasemekana mke wake alilazimika kuondoka nyumbani na kuishi mbali na mume wake kwa muda mrefu baada ya kukosa maelewano ambapo sasa alilazimika kurejea ghafla na maiti ya mtoto wao waliozaa pamoja,β alisema mwenyekiti huyo.Alisema baada ya kuona hivyo, Chacha alipinga kitendo hicho hali iliyolazimu majadiliano ya ukoo wa pande zote ambako ilikubaliwa kwamba marehemu azikwe kwenye ardhi ya mwanamume na baada ya shughuli za maziko kukamilika mtuhumiwa huyo alifanya fujo huku akianza kufukua kaburi. βWaombolezaji baada ya kuona analazimisha kumtoa kiumbe katika kaburi walimkamata na kisha kumfikisha katika kituo cha polisi kwa hatua zaidi,βalieleza.Maofisa waandamizi katika Kituo cha Polisi mjini Sirari walithibitisha kumshikilia mtuhumiwa huyo kwa mahojiano zaidi juu ya tukio hilo na kubaini ukweli na upelelezi utakapokamilika mtuhumiwa huyo atapelekwa mahakamani. βNdio ni kweli tunamshikilia Sanawa kwa mahojiano kwa madai kuwa alikutwa na wananchi akifukua kaburi la mwanawe kwa nia ovu katika Kijiji cha Buriba, Tunaendelea na mahojiano na yakikamilika atafikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo,β alisema ofisa mmoja wa Kituo cha Polisi Sirari. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-03604 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Azam juzi ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Azam Complex, ilijikuta ikipoteza kabisa matumaini ya ubingwa baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2, na JKT Ruvu licha ya timu hiyo kwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0.Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Kitambi alisema kukosa umakini kwa wachezaji wao ndiko kulikowapa JKT Ruvu nafasi ya kusawazisha mabao yote mawili na kupata sare hiyo ambayo imepoteza kabisa matumaini ya ubingwa.βAsilimia kubwa ya wachezaji wetu wamepoteza ari ya mwendelezo wa ushindi na ndiyo sababu tumekuwa tukipata matokeo mabaya hasa tunapocheza nyumbani, kwa sababu kama makocha tulizungumza nao wakati wa mapumziko tukiwa mbele kwa mabao 2-0, kuhakikisha tunafunga bao la tatu kipindi cha pili ili tupumzike, lakini imekuwa tofauti,β alisema Kitambi.Kocha huyo alisema kama makocha wanaumizwa na matokeo mabaya, lakini watajipanga kuhakikisha wanashinda mechi zao zilizosalia ili waweze kumaliza kwenye nafasi ya tatu. Naye kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni alisema pamoja na kupata sare hiyo, mchezo ulikuwa mgumu kwa upande wao na aliwapongeza wachezaji wake. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2 | false | none | null | high | null |
sw-02626 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Akizungumza na gazeti hili Kabange alisema katu haamini kama ushirikina unaweza kuinua soka la Tanzania, bali uwezo wa wachezaji pekee ndio ambao unahitaji kuangaliwa.βMimi siamini ushirikina kama ndio unaobeba soka, kama wapo wanaotumia kujiinua ni sawa na bure, waonyeshe kiwango chao ndipo tutaona uwezo wao,β alisema Kabange.Alisema timu yake imekuwa ikifanya vizuri sio kwasababu ya ushirikina isipokuwa wachezaji hujituma na kuonesha kiwango cha hali ya juu ndio maana wamepata mafanikio.Kagera Sugar imekuwa ikifanya vizuri katika michezo ya nyumbani na ugenini na kufikisha pointi 14, kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Kikosi hicho kinatarajiwa kucheza na Mbeya City mwishoni mwa wiki hii katika mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba ambapo Kagera itakuwa ikiutumia kama uwanja wa nyumbani baada ya ule wa Kaitaba kuwa kwenye ukarabati.Akiizungumzia Mbeya City, Mrage alisema sio timu ya kubeza kwani wachezaji ni wazuri na wamekuwa wakijitahidi hivyo watapambana katika kugombea nafasi za juu.Alisema ushindi ni muhimu kwao katika mchezo huo na kuahidi mashabiki kuutumia uwanja wao wa nyumbani katika kusaka pointi tatu. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2 | false | none | null | high | null |
sw-50083 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Mbunge Ngeleja amesisitiza kuwa amerudisha fedha hizo ili kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi yake, chama chake (CCM), Serikali yake, Jimbo lake la Sengerema, familia yake na heshima yake mwenyewe. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-56527 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://charaz.blogspot.com/2015/10/mama-salma-kikwete-katika-tamasha-la.html | 2026-03-05 | Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa na maaskofu na wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini waimbaji mbalimbali wa muziki wa injili kutoka Tanzania na nje ya nchi kwenye Tamasha la kuombea Amani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 lililofanyika kwenye uwanja wa Taifa hapa Dar es Salaam tarehe 4.10.2015. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-63785 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/11/balozi-seif-amkagua-mhe-mapuri-afariji.html | 2026-03-05 | Kati kati yao ni Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | none | neutral | none | none | negative | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | [v3-bulk: no gender bias marker β set neutral] |
sw-63296 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://davidcarol719.wordpress.com/wajibu-wa-kuwa-kielelezo-kwao-waaminio/ | 2026-03-05 | Isaka alimfuata baba yake Ibrahim, katika kusema uongo uleule wa mlezi wake (MWANZO 12:11-13; 20:1-2; linganisha na MWANZO 26:6-7 ). | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-13570 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na FARAJA MASINDE-DAR ES SALAAM MZEE Athuman Mchambua (76) ambaye ametoa tangazo la kutafuta mke wa kuoa, amesema anaamini atafanikiwa lengo lake kabla mwaka huu kumalizika. Alisema hadi sasa ameshapokea simu za wanawake wa mikoa karibu yote ya Tanzania bara isipokuwa Pwani. Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Mzee Mchambua alisema kuwa hatatumia tena njia ya kuweka madalali nchi nzima kama alivyoahidi awali, badala yake kuna mkakati mpya ambao anafikiria kuutumia utakaomrahisishia kukamilisha ndoto yake. βTangazo tayari limesitishwa tangu Desemba 10, hivyo nimekuwa tu nikiendelea kupokea simu za hapa na pale, japo nazo naona kwa siku mbili hizi kiwango kimeshuka kwani leo (jana) nimepokea simu tatu pekee ikilinganishwa na siku nyingine ambazo nilikuwa nikipokea si chini ya simu sita. βKwa sasa nafikiria kutafuta ubunifu mwingine ambao utanirahisishia kumpata mke kabla ya mwaka huu kuisha. Utaratibu huo nitauweka wazi kwenu muda si mrefu ili kila mmoja autambue,β alisema Mzee Mchambua. Mzee huyo amejipatia umaarufu ndani na nje ya nchi baada ya kuweka tangazo lenye sifa za mke anayemuhitaji mwezi mmoja uliopita kabla ya kuamua kulisitisha baada ya muda wake kumalizika. Sifa kuu ambazo mzee huyo angependa mke anayemsaka awe nazo, ni pamoja na kuwa na usafi wa hali ya juu, mwenye kushika dini ya Kiislamu, uvumilivu wa ndoa, uwezo wa kilimo, upendo kwa mume, watoto na wajukuu. Mzee Mchambua ana familia ya mke mmoja ambaye anaishi shamba, watoto 15 na wajukuu kadhaa. Wiki iliyopita, mzee huyo alitoa masharti mapya kwa mwanamke ambaye atabahatika kuolewa naye. Alisema ataishi naye kwa
miaka mitatu akiwa kwenye kipindi cha uangalizi, na kama atashindwa kutimiza vema masharti hayo, atampa talaka. Habari za mzee huyo zimezua gumzo katika mitandao na vyombo mbalimbali vya habari vya nje na ndani kutokana na staili ya
aina yake anayoitumia kupata mke amtakaye. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-58575 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://muhezadc.go.tz/new/harambee-yaibuka-na-zaidi-ya-shilingi-milioni-500-muheza | 2026-03-05 | Nae Asha Suleiman Iddi (mke wa Makamu wa pili wa Rais wa Mapinduzi Zanzibar ) ambae ndie aliekuwa Mgeni rasmi katika hafla hiyo ametoa rai kwa jamii kutowaficha watoto walemavu kwani wana haki ya kusoma na kufanya kazi kama watu wengine pia alichangia kiasi cha shilingi milioni 6 na kompyuta 2 ili ziweze kusaidia katika kutatua changamoto mbalimbali kama kuhifadhi takwimu za watoto hao. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | none | neutral | none | none | negative | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | [v3-bulk: no gender bias marker β set neutral] |
sw-05314 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na Mwandishi Wetu β DAR ES SALAAM RAIS Dk. John Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Butiama, Solomon Ngiliule. Akitangaza uamuzi huo ofisini kwake Dar es Salaam jana, Waziri Β wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, alisema amefikia uamuzi huo kutokana na kujiridhisha na makosa yanayodaiwa kutendwa na mkurugenzi huyo. Mbali ya kutengua uteuzi huo, pia Waziri Jafo amemwelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais β Tamisemi, kuchukua hatua sitahiki kwa Mweka Hazina Masanja Sabuni aliyehusika wakati wa matumizi mabaya ya fedha za Serikali. βRais Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa Butiama kutokana na makosa yaliyopo mbele yake, pia ameagiza mweka hazina aliyehusika na upotevu wa fedha za Serikali achukuliwe hatua. βNawaomba Β watendaji wa wizara hii kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia kanuni za utumishi wa umma,β alisema Waziri Jafo. Uamuzi wa Rais Magufuli, umekuja siku mbili tu, baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kushtushwa na upotevu wa mamilioni ya fedha katika halmashauri hiyo ambayo imeanzishwa hivi karibuni. Majaliwa alitoa maagizo wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara yake ya siku tano mkoani Mara, akimwagiza Naibu Waziri Ofisi ya Rais (Tamisemi), Josephat Kandege, kubaki Butiama ili kuhakikisha ukaguzi maalumu unafanyika juu ya fedha zinazotumwa na Serikali kwa miradi mbalimbali ya halmashauri hiyo. Pia alimwagiza Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Raphael Nyanda, kutuma timu ya wakaguzi kufanya ukaguzi maalumu katika ofisi ya Solomon Ngiliule, Mweka Hazina wa Halmashauri, Sabuni na Ofisa Manunuzi wa HalmashauriΒ hiyo, Robert Makendo. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-46109 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | βKuhusu matibabu yake, ni kama nilivyosema, kwamba yanaendelea vizuri na Alhamisi ya wiki iliyopita, alifanyiwa upasuaji mdogo uliokwenda vizuri na matumaini yetu na madaktari, ni kwamba huo ndiyo ulikuwa upasuaji wa mwisho kabla hajaanza hatua ya uangalizi na kufanyiwa mazoezi ya viungo. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-53412 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2018/03/harambee-ya-ujenzi-hospitali-ya-muheza.html | 2026-03-05 | IGP Mstaafu, Said Mwema akiahidi kuchangia ujenzi wa hospitali hiyo
Mdau akiahidi kuchangia
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), akipewa mkono wa shukrani na Makamu wa Rais, Mama Samia pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu baada ya kuahidi kuchangia sh. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-43454 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Matokeo yake ni migogoro na wenzake mara kwa mara. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya | false | none | null | high | null |
sw-25472 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema kwamba kuna malalamiko baadhi ya vijiji havipo katika mpango wa REA III, kwa mzunguko wa kwanza ambapo muda wake utaishia Juni 30, mwaka huu. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-44915 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Katika matukio hayo ya mauaji, watu hao wasiofahamika walimuua Mwenyekiti wa zamani wa CCM Tawi la Njia nne liliopo katika Kijiji cha Muyuyu, Kata ya Mtunda wilayani Kibiti, Iddy Kirungi na mtoto wake, Nurdin Kirungi naye alifariki siku mbili baadaye baada ya kupigwa risasi ya tumbo. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-42199 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Matamshi yake yanajiri siku chache tu baada ya baadhi ya wandani wa naibu huyo wa rais akiwemo aliyekuwa kiongozi wa wengi katika bunge la seneti Kipchumba Murkomen na aliyekuwa naibu wa spika katika bunge hilo Kindiki Kithure kupoteza nyadhfa zao. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kimataifa | false | none | null | high | null |
sw-27119 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema kutokana na mateso Januari 4 mwaka huu, alikimbilia Changβombe ambako alilalamikia mwajiri wake huyokutumia mwiko kumpiga kichwani hali ambayo imefanya kichwa kiwe na majeraha yanayofanya ashindwe kuota nywele.Binti huyo alisema alikuwa akilipwa Sh 50,000 mshahara wa mwezi na fedha hizo alikuwa akitumiwa mama yake mzazi moja kwa moja. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-52917 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://davidcarol719.wordpress.com/2013/01/02/uthibitisho-kuwa-yesu-ni-mungu/ | 2026-03-05 | Pia katika ( YOHANA 20:26-29 ) βbasi,baada ya siku nane,wanafunzi wake walikuwamo ndani tena,na Tomaso pamoja nao.Akaja Yesu na milango ilikuwa imefungwa,akasimama katikati,akasema,Amani iwe kwenu.Kisha akamwambia Tomasolete hapa kidole chako;uitazame mikono yangu;ulete na mkono wako uutie ubavuni mwangu;wala usiwe asiyeamini;bali aaminiye.Tomaso akajibu akamwambia,BWANA WANGU NA MUNGU WANGU..Yesu akamwambia,wewe kwa kuwa umeniona umesadiki;wa heri wale wasioona wakasadikiβ.YESU KRISTO MUNGU MKUU, ( 1TITO 2:13 ) βTukilitazamia tumaini lenye mafunuo ya KRISTO YESU MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETUβ.. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-15128 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | AZAM FC jana ilishindwa kutamba mbele ya Coastal Union baada ya kuachia pointi zote tatu kwa Wagosi hao kwa kukubali kipigo cha bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Ushindi wa wenyeji Union ulipatikana kupitia bao pekee lililowekwa kimiani na mchezaji wake Haji Ugando na kuinyamazisha Azam iliyoonekana kushindwa kufurukuta kwa muda wote wa mchezo huo.Ugando alifunga bao hilo dakika ya 53 kwa shuti kali lilomshinda mlinda mlango wa Azam, Mwadini Ally, baada ya kutoka langoni kwa lengo la kuondosha mpira huo wa juu. Kabla ya kufunga bao hilo, Ugando alipokea pasi safi kutoka kwa Bakari Mwamnyeto na kuwazidi maarifa mabeki wa Azam.Kwa matokeo hayo, Azam inaendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 20 sawa Tanzania Prisons inayoshika nafasi ya nne na Coastal Union imepanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya tano.Mchezo huo ulinza kwa kasi kwa timu zote kushambuliana kwa zamu zikihitaji kupata bao la mapema ili kujikusanyia nguvu na kila upande ulionekana kuwa bora kudhibiti hatari zilizokuwa zinajitokeza, matokeo yaliyowafanya hadi wanaenda mapumziko hakuna mbabe.Kipindi cha pili timu zote zilirejea uwanjani zikiwa na nguvu sawa huku zikifanya mabadiliko ya wachezaji, ambapo mchezo ulibadilika na kutawaliwa na ufundi zaidi sehemu ya kiungo kwa kila timu kujenga mashambulizi kwa kupiga mipira mirefu kutokea pembeni mwa uwanja huo.Kipigo hicho kinaifanya Azam ipoteze mechi ya tatu kwenye ligi. Mechi nyingine ilizopoteza ni dhidi ya Simba na Ruvu Shooting. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2 | false | none | null | high | null |
sw-18139 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | βYaani akikaa mahala hata kama kuna sauti nyingi kiasi gani, anao uwezo wa kuruhusu sauti moja pekee ipenye masikioni mwake na akaendelea kufanya kazi zake kama kawaida. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya | false | none | null | high | null |
sw-07227 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na Ramadhan Hassan, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuwa biashara ya usafirishaji wa wanyamapori hai nje ya nchi haitafanyika kwenye uongozi wake. Akizungumza bungeni leo Mei 24, wakati akihitimisha hotuba ya bajeti yake katika mwaka wa fedha 2019/20 na kujibu hoja mbalimbali zilizotolewa na wabunge ikiwemo suala la usafirishaji wanyamapori hai amesema biashara hiyo ilishafungwa tangu alipochaguliwa kuwa waziri wa wizara hiyo. βBiashara ya wanyamapori hai haitafanyika nikiwa kama Waziri wa Maliasili na Utalii kwakuwa suala hilo lilishafungwa. βWizara imeamua kufunga mlango wa biashara hii, hata awe chawa au kunguni, atakayetaka kufuga afuge ili watanzania waende kwenye Zoo yake kuwatazama wanyama hao,β amesema Kingwangalla. Ameongeza kuwa kuhusu suala la vipepeo kusafirishwa kwenda nje ya nchi wananchi ambao walikuwa wamechukuliwa vipepeo vyao ili viakuzwe watarudishiwa fedha zao na serikali. Wakati huo huo Waziri huyo amesema kuwa Rais John Magufuli
ameridhia hifadhi tatu mpya kuingizwa katika orodha ya Hifadhi za Taifa. βHapa nina hati kutoka kwa Rais, ameridhia hifadhi mpya tatu
kuingia katika orodha ya hifadhi za taifa,β amesema Kigwangalla Amezitaja hifadhi hizo mpya kuwa ni hifadhi ya Burigi, Chato, hifadhi ya Rumanyika, Karagwe na Ibanda, Kyerwa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-64066 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.bongocinema.com/index.php/casts/view/jacob-stephen | 2026-03-05 | βWakati mwingine mke wangu anakosa, lakini kama ni mazingira fulani basi nafanya hivyo ili kuiga uhalisia wa filamu ninayoicheza,β anasema anayewahusudu kisanii Single Mtambalike kwa hapa Tanzania na Amitabh Bachan, gwiji wa filamu wa India tangu miaka ya 1970 ambaye katikati ya miaka ya 1980 alikuwa Mbunge nchini mwake. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | none | neutral | none | none | negative | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | [v3-bulk: no gender bias marker β set neutral] |
sw-48799 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Ukata ni tatizo sugu kwa sasa katika mchezo wa masumbwi na kuhatarisha maendeleo yake. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-30006 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Madai hayo ya Zahera ni mwendelezo wa shutuma zake ambazo amekuwa akirudia mara kwa mara, kwamba kuna mpango wa kuwavuruga katika mbio zao za kuwania ubingwa, lakini wakati huo huo kuzisaidia timu nyingine ziwaondoe katika mbio hizo. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-05733 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na CLARA MATIMO MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kuendelea kutenda mema kama Β Β walivyotenda wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya ibada na kuliombea taifa amani. Alitoa wito huo kwa waislamu hivi karibuni Β Β katika baraza la Idd EL Fitr kwenye Β msikiti wa Shia. Alisema bila amani hakuna maendeleo yanayoweza kupatikanaΒ katika taifa lolote Β duniani hivyo ni vema waendelee kudumisha upendo, kuheshimiana na kufanya ibada. βMungu anasikia maombi ya waja wake mnapokutana wawili ama watatu kwa ajili ya jina lake naye anakuwa katikati yenu , hivyo nawasihi maombi mliokuwa mkiyafanya kipindi chote cha Mwezi Mtukufu wa RamadhanΒ myaendeleze Β taifa letu lizidi kuwa na amani. βOmbeni bila kuchoka iwe kwa Waislamu au Wakristo wote tuungane kuliombea taifa letu amani Β Β Mungu azidi kutusaidia amani tuliyonayo idumu,βalisema Mongella. Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Mary Tesha, aliwataka Waislamu waendelee kumtumikia Mungu na kufanya kazi zilizo halali kwa bidii Β wajiingizie kipato kitakachowawezesha kukidhi mahitaji yao na familia zao. βNawasihi ndugu zangu Waislamu msifungulie kila kitu endelezeni matendo mema mliyokuwa mkiyatenda kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na Mungu atawabariki. βHatutegemei kuona muislamu ambaye amefunga mwezi mzima wa Ramadhan halafu baada ya kumaliza mfungo akakamatwa kwa Β Β kuvunja sheria,βalisema Tesha. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-26584 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | DOHA, QATAR KIUNGO wa zamani wa timu ya Barcelona, Xavier Hernandez βXaviβ, amesema haoni sababu ya kocha wake wa zamani ambaye kwa sasa anafundisha timu ya Manchester City, Pep Guardiola, kushindwa kutwaa michuano ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu England msimu huu. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-17700 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | NEW YORK, MAREKANI MKE wa rapa Kanye West, Kim Kardashian, inadaiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa meno, hivyo anashindwa kutafuna vitu vigumu. Mrembo huyo aligundua hilo juzi jijini New York, na kujikuta akishindwa kula chakula kutokana na maumivu makali kwenye meno. Kupitia akaunti yake ya Instagram, mrembo huyo aliweka wazi kupatwa na tatizo hilo, lakini iliweza kuwasiliana na daktari wake kwa ajili ya matibabu. βNilipatwa na maumivu ya ghafla nikawa nashindwa kutafuna kitu chochote chenye ugumu, lakini niliwasiliana na daktari wangu kisha nikafanyiwa matibabu, kwa sasa naendelea vizuri na chakula kinaliwa kama kawaida,β aliandika KimΒ Kardashian. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-41970 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Ismail (19) alipoteza maisha juzi jioni baada ya kuanguka uwanjani dakika ya 74 ya mchezo, ikiwa ni muda mfupi tangu aifungie timu yake bao la kuongoza katika mchezo wa ligi ya vijana ya U-20 dhidi ya Mwadui FC. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-29240 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | DODOMA
Naye Mbunge wa Β Mchinga, Hamidu Bobali (CUF), alisema Β zahanati mbili katika Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Vijijini mkoani Lindi, zimefungwa baada ya watumishi wake kutajwa katika orodha ya watumishi wa umma wenye vyeti feki. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-35068 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Ni sehemu ya maisha yake. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | false | none | null | high | null |
sw-01765 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | NEW YORK, MAREKANI KAKA wa Kim Kardashian, Rob Kardashian na mpenzi wake Blac Chyna, wameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto wa kike Oktoba, mwaka huu. Awali wawili hao walisema ujauzito wa Blac ni wa mtoto wa kiume, lakini kumbe alikuwa hajafanya vipimo, ila wiki hii wamefanya vipimo hivyo na kugundua kuwa watapata mtoto wa kike. Kupitia akaunti ya Twitter, Blac ameonesha kuwa na furaha kubwa baada ya kupokea taarifa hizo za mtoto wa kike. βFamilia yangu inatarajia kukua ifikapo mwezi Oktoba, natarajia kupata mrembo tofauti na awali ambapo habari zilienea kuwa nitapata mtoto wa kiume,β aliandika Blac. Hata hivyo inadaiwa kuwa Rob anaonesha kukosa furaha baada ya kuambiwa kuwa ni mtoto wa kike, inaonesha kuwa Rob alijiandaa zaidi kupata mtoto wa kiume. | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | mixed | stereotype | profession | explicit | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4 | true | occupation | NEW YORK, MAREKANI KAKA wa Kim Kardashian, Rob Kardashian na mpenzi wake Blac Chyna, wameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto Oktoba, mwaka huu. Awali wawili hao walisema ujauzito wa Blac ni wa mtoto, lakini kumbe alikuwa hajafanya vipimo, ila wiki hii wamefanya vipimo hivyo na kugundua kuwa watapata mtoto. Kupitia akaunti ya Twitter, Blac ameonesha kuwa na furaha kubwa baada ya kupokea taarifa hizo za mtoto. βFamilia yangu inatarajia kukua ifikapo mwezi Oktoba, natarajia kupata mrembo tofauti na awali ambapo habari zilienea kuwa nitapata mtoto,β aliandika Blac. Hata hivyo inadaiwa kuwa Rob anaonesha kukosa furaha baada ya kuambiwa kuwa ni mtoto, inaonesha kuwa Rob alijiandaa zaidi kupata mtoto. | high | null |
sw-62118 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.dw.com/sw/afrika-katika-magazeti-ya-ujerumani-juma-hili/a-2994102 | 2026-03-05 | Mada ya tatu inahusu hatua ya rais wa Sudan, Omar Hassan al Bashir, kumsamehe mwalimu wa kike kutoka Uingereza, Gillian Gibbons, Jumatatu iliyopita. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | stereotype | profession | explicit | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | true | null | Mada ya tatu inahusu hatua ya rais wa Sudan, Omar Hassan al Bashir, kumsamehe mwalimu kutoka Uingereza, Gillian Gibbons, Jumatatu iliyopita. | high | [v3-fix: confirmed occupation stereotype] |
sw-33772 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | KIUNGO wa klabu ya Juventus, Paul Pogba, ameanza safari yake kutoka jijini Los Angeles nchini Marekani na kuelekea jijini Manchester kwa ajili ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na mashetani wekundu, Manchester United. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-26637 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Hiyo ni kwa mujibu wake mwenyewe, baada ya kutangaza kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii tangu mwanzoni mwa wiki hii. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | false | none | null | high | null |
sw-58711 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://yusufbadi.blogspot.com/ | 2026-03-05 | MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE KATIKA MKUTANO WA TICAD V HUKO YOKOHAMA NCHINI JAPAN. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | none | neutral | none | none | negative | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | [v3-bulk: no gender bias marker β set neutral] |
sw-61059 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://gsengo.blogspot.se/2014_05_25_archive.html | 2026-03-05 | "Hebu pima hili Mkurugenzi mama Mwakalinga alianzisha tozo ambazo hazikuzingatia sheria, tozo ambazo hazikusainiwa na Waziri Mkuu, tozo zilizokuwa za aina yake kwa kuamrisha Misikiti, Makanisa, Shule kulipa tozo na kweli zilitekeleza na ushahidi tunao tulimpa hadi Waziri Mkuu, kama wadau hao wakirudi nyuma na kudai fedha zao hasara kwa nani? | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-04111 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na SHOMARI BINDA -MUSOMA MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza iliyoketi mjini Musoma, imemthibitisha Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya, kuwa mshindi halali wa uchaguzi wa Oktoba, mwaka jana. Hukumu hiyo imetafsiriwa na baadhi kuwa ni sawa na kumstaafisha siasa kutokana na umri wake, Steven Wassira ambaye alipambana naye katika kinyangβanyiro cha ubunge katika Jimbo la Bunda, wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana. Ushindi wa Bulaya ulipingwa mahakamani hapo na wapiga kura wa Jimbo hilo, wakidai haukuwa halali. Hata hivyo, hukumu ya mahakama hiyo iliyosomwa jana kwa zaidi ya saa nne iliamua kwamba maombi hayo hayana msingi na yametupiliwa mbali kwa gharama. Akitoa hukumu hiyo pasipo uwepo wa Bulaya, Wakili wake, Tundu Lissu Β na Wasira, Jaji wa Mahakama Kuu, Noel Chocha, alisema maombi yaliyoletwa na walalamikaji yakiitaka mahakama hiyo itengue matokeo ya Bulaya hayakuwa na msingi wa kubatilishwa kwa matokeo hayo. βNimepitia ushahidi wote ulioletwa hapa mahakamani, nimejiridhisha kwamba ushahidi wa waleta maombi haujitoshelezi na hauwezi kutengua matokeo yaliyompa ushindi Bulaya,β alisema. Jaji Chocha alisema licha ya kutoridhishwa na ushahidi, lakini pia madhara ya kurudia uchaguzi ni makubwa kuliko manufaa, ukizingatia kwamba Wilaya ya Bunda ni moja ya wilaya masikini nchini, hivyo ni vyema kujielekeza zaidi katika kusukuma mbele maendeleo ya wilaya hiyo. βUchaguzi wa Bunda ukirudiwa hautaathiri tu wananchi Bunda, bali hata wananchi wote wa Tanzania kwa kuwa itapaswa kutafutwa fedha kwa ajili ya uchaguzi badala ya kuzielekeza kwenye shughuli nyingine za kimaendeleo. βNikiufuta uchaguzi hata mimi nitaathirika, maana sehemu ya fedha za mshahara wangu zitaingizwa na kuelekezwa kwenye uchaguzi huu,β alisema Jaji Chocha. Shauri hilo namba 1/2015, Jaji Chocha alisisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi iliyopo ndiyo inayoamua kama uchaguzi haukuwa huru na haki na kudai sheria zilizopo zinaonyesha mifumo ni mizuri na kwamba chaguzi duniani kote kasoro haziwezi kuepukika na si kila kasoro inaweza kupelekea kufikia maamuzi ya kufuta matokeo ya uchaguzi. Jaji amuita βjipuβ wakala wa Wasira Β Katika hali iliyoibua kicheko mahakamani wakati wa usomwaji wa hukumu hiyo, ni pale Jaji Chocha alipomuita mleta maombi wa tatu, Janes Ezekiel, ambaye alikuwa wakala wa Wassira kuwa ni βjipuβ, anayestahili kutumbuliwa kwa kuwa hakumsaidia kusimamia vizuri kura za mteja wake. Alisema Wassira hapaswi kumlaumu mtu kwa kile kilichomsibu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, kwa kuwa wakala aliyemuamini alikuwa na majukumu mengi, ikiwemo kuhakikisha anawasimamia wanafunzi kupata elimu na kusimamia masuala ya siasa. Jaji Chocha alisema wakala huyo aliieleza mahakama kuwa, ni mtumishi wa umma kwa nafasi ya ualimu na katika kipindi cha uchaguzi kulikuwa na jukumu lingine la mitihani kwa wanafunzi, hivyo hakuweza kusimamia mambo mawili kwa wakati mmoja. βHuyu hana tofauti na watumishi ambao kwa msemo wa sasa wanaitwa βmajipuβ, maana kuna mambo makubwa ambayo yeye mwenyewe alipaswa kuyasimamia, lakini inaonekana alishindwa kusimamia majukumu yake. βUnaweza kutafuta mchawi Mahakamani wakati mchawi ni wewe mwenyewe,,nashauri katika hili mzee Wasira asije akamlaumu mtu, kuna mtu muhimu kwenye shauri hili kama Katibu wa CCM Wilaya ya Bunda alipaswa kuja mahakamani kusaidia katika shauri hili,β alisema Jaji huyo. Mara baada ya kumalizika kusomwa kwa hukumu hiyo,Β wakili wa waleta maombi alikataa kuzungumza chochote ambapo alipanda gari na kuondoka eneo la mahakama. Naye wakili wa wajibu maombi, Paul Kipeja, alisema walitegemea ushindi kwenye kesi hiyo kwa kuwa msingi wa kesi ulikuwa umevunjwa na maombi ya wapiga kura yametupiliwa mbali kwa gharama na watakutana na mteja wake kufanya utaratibu wa Β kuomba gharama za kesi hiyo. Baada ya hukumu hiyo kuliibuka shangwe kubwa nje ya mahakama Β kutoka kwa wananchi na wafuasi waliofurika kusikiliza hukumu hiyo, ambapo walidai mahakama imetenda haki. Shauri hilo namba 1/2015 lililetwa mahakamani hapo na wapiga kura wanne wa Jimbo la Bunda Mjini, ambao ni Magambo Masatu, Matwiga Matwiga, Janes Ezekiel na Asetic Malagila, wakidai uchaguzi huo haukuwa huru na kuiomba Mahakama kuyafuta matokeo yaliyompa ushindi Esther Bulaya. Wassira, ambaye ana umri wa miaka 71, alizaliwa wilayani Bunda, Mkoa wa Mara na kwa mara ya kwanza alishinda kiti cha ubunge wa Mwibara mwaka 1970 akiwa na miaka 25 kupitia chama cha Tanu, wakati wa utawala wa Mwalimu Julius Nyerere. Kwa muda wote huo alikuwa akiitumikia Serikali katika nyadhifa mbalimbali, Β ikiwemo uwaziri na ukuu wa mkoa. Wassira pia nyakati fulani alipata kuwa mpinzani kabla ya kurudi tena CCM. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-50853 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Hilo linawekwa sawa na msanii wa filamu ambaye pia ni mwanamuziki, Hemed Suleiman βPhDβ aliyesema kwamba, muda wake wa kulala huwa kati ya 10 β 11 alfajiri. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | false | none | null | high | null |
sw-30532 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | βMimi namhusia tu kwamba wanawake wapo wengi kwaio ukiona mwanamke anakuvunjia heshima unatafuta mwingine licha ya kuwa hawezi kuwa kama yule lakini utamzoea tu, sio jambo la kusikitika ndiyo maana Mungu alileta wanawake wengi duniani kuliko wanaume,β amesema kupitia EATV | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | female | stereotype | daily_life | implicit | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v2 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | true | occupation | ukiona mtu anakuvunjia heshima unajadili au unaondoka | high | Women treated as interchangeable/disposable β implicit daily_life stereotype |
sw-44195 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alhamisi wiki hii, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilikuwa cha kwanza kutangaza kujitoa katika kinyangβanyiro hicho kwa madai ya wagombea wake kuondolewa kwa kuhujumiwa na kusisitiza kwamba hawako tayari kushiriki uchaguzi batili. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-45105 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Mwaka ujao amedhamiria kushiriki michuano mikubwa zaidi ya Olimpiki.', 'Kwa sasa anaelekea kijijini kumtembelea mama yake, ambaye amemnunulia kiwanja na nyumba kutokana na faida aliyopata aliposhinda michuano kadhaa awali, pia atatumia muda huo akiwa na mumewe na watoto.'] | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-15501 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | MWANAMKEΒ mmoja kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
ambaye aliumia vibaya katika ajali ya gari iliyotokea mwaka 1991 na kupoteza
fahamu amewastaajabisha wengi baada ya kuamka ikiwa ni miaka 27 tangu apoteze
fahamu. Kwa mujibu wa vyombo vya
habari jana, mwanamke huyo, Munira Abdulla, alipata ajali hiyo ya kugongwa na
basi akiwa na umri wa miaka 32 na kupata jeraha katika ubongo wakati akiwa
anakwenda kumchukua mtoto wake shule. Taarifa hiyo ilieleza kuwa
mtoto wake Omar Webair, alikuwa na umri wa miaka minne wakati yeye na mama yake
walipopata ajali. Hata hivyo, mtoto huyo
ambaye alikuwa ameketi kiti cha nyuma hakujeruhiwa hata kidogo na alikutwa
akiwa amekumbatiwa na mama yake. Maendeleo hayo mazuri ya
afya yake yalianza mwaka jana alipohamishiwa katika hospital moja nchini
Ujerumani. mtoto wake, Omar ameweka
wazi kuhusu ajali waliyoipata na kuelezea utaratibu wa matibabu ya mama yake
yaliyochukua miaka mingi. βSikuwahi kukata tamaa
kwa sababu kila siku nilihisi kuwa kuna siku mama yangu ataweza kuamkaβ
alisema Omar. Omar alisema kuwa kuna
sababu kubwa ambayo imemfanya asimulie mkasa uliomkuta mama yangu akidai ni
kutaka kuwaambia watu kuacha kukata tamaa kwa watu wanaowapenda na mtu akifikia
hatua hiyo haimaanishi kuwa amekufa. Kijana huyo alisema kuwa
mama mkwe wa Munira ndiye alikuwa derevaΒ
na kwamba mama yakeΒ alikuwa
amekaa naye katika kiti cha nyuma, na alipoona wanakaribia kupata ajali,
alimkumbatia ili kumuokoa. Alisema kuwa katika ajali
hiyoΒ hakuumia bali alibaki na jeraha
dogo kichwani lakini mama yake ambaye aliumia alichelewa kupata matibabu kwa
saa kadhaa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-40057 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Kamanda Mambosasa alisema alfajiri ya Oktoba 4, mwaka huu, walipokea taarifa kutoka kwa Matigo Ramadhani kuwa ndugu yake, Maleo, alirudi nyumbani akilalamika kuumwa tumbo, kuishiwa nguvu na kizunguzungu na kumweleza kuwa alikunywa pombe kwa Mama Anoza. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-48995 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Mtoto huyo ambaye ni wa kiume, anasoma darasa la awali katika Shule ya Msingi Vikonge. | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | neutral | neutral | none | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_v2 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | occupation | null | high | Factual description of male child attending school. |
sw-39059 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Mtoto huyo, ndiye mgonjwa mdogo zaidi ambaye madaktari na watu wanaojitolea wamemhudumia.Mtoto huyo wa kike sasa anajulikana kama βmuujiza wa Beniβ. | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | null | null | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_v2 | reviewed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | occupation | null | high | Young girl patient called miracle of Beni β humanitarian reporting |
sw-08475 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | HATIMAYE Mwenyekiti wa Kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hanspope ameweka kitanzini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.Pope aliwasili nchini saa 7 usiku wa kuamkia jana na ndege ya KQ akitokea Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu. Habari za uhakika kutoka ndani ya Takukuru zinasema kuwa Pope atapandishwa mahakamani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.βNi kweli amekamatwa jana saa saba usiku (juzi), na kesho (leo) kuna uwezekano mkubwa tukampandisha mahakamani,β alisema mtoa habari wetu ndani ya Takukuru.Mapema Aprili mwaka huu, Takukuru ilitangaza dau la Sh milioni 10 kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwa mfanyabiashara huyo na mwenzake Frank Lauwo ambao waliongezwa kwenye kesi ya utakatishaji fedha na kughushi inayowakabili Rais wa Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange βKaburuβ na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliamuru watuhumiwa hao wakamatwe.Amri hiyo ya kuwakamata Pope na Lauwo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wa mahakama hiyo baada ya Mwendesha mashitaka wa Takukuru, Leonard Swai kudai amewatafuta washtakiwa hao tangu Machi mwaka huu bila mafanikio na kuomba hati ya kuwakamata washtakiwa hao ambao hawakuwepo mahakamani.Kutokana na mabadiliko hayo washtakiwa Aveva na Kaburu walisomewa upya hati ya mashtaka na wanakabiliwa na mashtaka 10 tofauti na hati ya mashtaka ya zamani iliyokuwa na mashtaka matano.Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) Swai hakua tayari kuzungumzia suala hilo la kukamatwa kwa Pope huku msemaji wa taasisi hiyo Doreen Kapwani simu yake ikiita bila majibu.Tangu walipokamatwa mwaka jana, Aveva na Kaburu bado wapo rumande huku kesi yao ikiendelea mahakamani. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 2 | false | none | null | high | null |
sw-59502 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://matukiotz.co.tz/bil-161-9-zimetumika-kuboresha-vituo-vya-afya-170-majaliwa/ | 2026-03-05 | Hivyo, alitumia fursa hiyo na kulipongeza kundi la kampuni za AMSONβs lililoamua kujenga jengo la mama na mtoto katika hospital hiyo kwa ushawishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-07910 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | .Msanii NASEEB Abdul Maarufu kama Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya wasanii 10 wakubwa zaidi Barani Afrika Kwenye Orodha iliyotajwa na Shirika la Habari CNN pia wametajwa βAfrican Giantsβ wengine kama Burna Boy, Davido, Wizkid, Yemi Alade, Tiwa Savage, Mr Eazi, Sho Madjozi, Busiswa Gqulu na SlapdeeDiamond Platnumz ametajwa kwenye orodha hiyo kufuatia Ukubwa wa nyimbo zake na alizoshirikishwa pamoja na Matamasha aliyoyafanya na Tuzo mbalimbali alizowahi kushinda huku wakitolea mfano Tuzo za MTV EMA za Mwaka 2015 ambapo Diamond aliweka rekodi kwa kuwa masanii wa kwanza Afrika kushinda tuzo hizo mbili ndani ya Usiku Mmoja. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4 | false | none | null | high | null |
sw-19689 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Juni 25, mwaka jana wakati wa uzinduzi wa Mpango wa Usalama wa Jamii, Rais Magufuli alisema: βInashangaza jambazi anavamia kituo cha polisi anaua na anaondoka wakati polisi wapo na wana silaha na risasi wanazo, lakini wanashindwa kumnyangβanya silaha.β
Β
WIZI WA SILAHA, MAUAJI
Habari nyingine zinadai kuwa huenda uteuzi wa IGP mpya umesukumwa zaidi na mauaji ya raia na askari polisi, wanaouawa kwa kupigwa risasi katika wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga mkoani Pwani. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-16609 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | KINSHASA, DRC NAIBU Gavana wa Jimbo la Ikweta, Kusini Magharibu mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Tathy Bikamba anakabiliwa na mashitaka ya kumbaka binti wa miaka 20. Bikamba, ambaye amekana tuhuma hizo anadaiwa kufanya unyama huo baada ya kumpa dawa za kulevya. Taarifa kutoka duru za karibu za uchunguzi wa kesi hiyo zinasema kuwa gavana huyo alimbaka binti huyo siku ya Jumamosi. Bikamba kwa sasa yuko gerezani akisubiri kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka mawili ya kumwekea dawa za kulevya na kumfanyia tendo la ngono binti huyo bila ridhaa yake. Lakimni Wakili wa gavana huyo, Imbambo Engulu ametupilia mbali tuhuma hizo na kuishutumu mahakama ya jimbo hilo kwa kumtia korokoroni mteja wake bila kujali na cheo chake. βKushikwa kwake ni kama uonevu, tuliomba wamweke kwanza katika kizuizi cha nyumbani badala ya moja kwa moja gerezani, lakini majaji hawakukubali ombi letu, Nawambia kweli kuwa gavana hakufanya kitendo hicho, ni uongo,β alisema Engulu Waziri wa Sheria, Faida Mwangiliwa ambaye pia ni miongoni mwa wanaharati wa haki za wanawake, ameiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa gavana huyo iwapo itathibitisha tuhuma hizo. Kesi za ubakaji zimeripotiwa kwa wingi DRC. Matukio mengi zaidi yakifanywa na waasi na askari wa Serikali hasa mashariki mwa DRC. Hivi karibuni, Serikali ya DRC imekuwa ikitoa adhabu kali kwa askari na maofisa wake wa jeshi wanaothibitika kufanya vitendo hivyo, ikiwamo kifungo cha maisha . | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3 | false | none | null | high | Gender progress reporting β not bias |
sw-20784 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Historia
yake kwa ufupi Jaji Warioba alisema alipokuwa mwanafunzi aliingia katika siasa katika
uongozi wa shule katika vyama vya wanafunzi, kisha alipomaliza shule
alifanikiwa kuwa mtumishi wa umma na kuachana na mambo ya siasa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-63622 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://www.kajunason.com/2018/11/waziri-angela-kairuki-azindua-kitabu.html | 2026-03-05 | mama Samia Suluhu Hassan-Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, ambaye amekipa heshima kubwa ya kukiandikia dibaji. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | none | neutral | none | none | negative | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | [v3-bulk: no gender bias marker β set neutral] |
sw-32535 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Ndoa hiyo ya ilihudhuriwa na ndugu na marafiki zake wa karibu wakiwamo AY, Hermy B, Ommy Dimpoz, Sallam, Dully Sykes, Alberto Msando na wengine. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | false | none | null | high | null |
sw-53902 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://jambotanzanian.blogspot.com/ | 2026-03-05 | Hali hiyo ilijitokeza wakati mkulima, Ramadhani Machaku, aliposimama kuuliza swali, lakini Mkurugenzi wa Wilaya ya Kiteto, Jane Mutagurwa, kumnyangβanya kipaza sauti na kumtaka aulize swali badala ya kutoa hotuba. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-06229 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | MEYA mpya wa Jiji la Kigali, Pudence Rubingisa ameahidi kuligeukia jiji hilo kuwa la kibiashara, kwa kuwezesha biashara zote kufanyika katika saa zote za siku, yaani saa 24. Akizungumza hivi karibuni, alisema mbali ya kuimarisha ulinzi katika jiji kwa lengo la kuhakikisha usalama wa raia na mali zao, mikakati inasukwa ya kuhakikisha usafiri unakuwa wa uhakika muda wote. βLengo ni kutanua wigo wa biashara, ajira kwa wananchi, utoaji huduma za uhakika bila ukomo na juu ya yote, haya yakifanikiwa matokeo yake yataonekana katika ukuaji na maendelo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja, kampuni au mashirika na taifa kwa ujumla,βalisema. Aliongeza kuwa, wanafanyia kazi suala la usafiri wa uhakika kwa kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji. Alisema ndani ya miaka minne, wamelenga kujenga barabara za kisasa za urefu wa kilometa 180 ndani ya jiji huku idadi ya mabasi ikitarajiwa kuongezeka ili yaweze kufanya kasi kwa saa 24. Mipango ya meya huyo inaungwa mkono na Shirikisho la Sekta Binafsi Rwanda (PSF), ikisema itatoa ushirikiano kwa ajili ya ustawi wa shughuli za kiuchumi katika Jiji la Rwanda ambazo zimekuwa zikiimarika mwaka hadi mwaka. Alitoa mfano kuwa katika miaka ya 2000, ilikuwa nadra kuona shughuli au mabasi baada ya saa 2:00 usiku, lakini sasa mabasi yanasafirisha abiria hadi saa 5:00 usiku huku maduka yakiwa wazi hadi saa 4:00 usiku. Theoneste Ntagengerwa, Msemaji wa PSF amesema; βHaya ndiyo mambo tunayoyataka. Tufanye kazi kwa saa 24, naamini wengi wanapata shughuli za kujiingizia kipato,β alisema na kutolea mfano wa kitongoji cha Nyamirambo kuwa wafanyabiashara wengi wa vyakula, vinywaji. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-60280 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/06/siri_ya_maungamo!/kws-839596 | 2026-03-05 | Kardinali Mauro Piacenza, Mkuu wa Idara ya Toba ya Kitume anasema kwamba, siri ya maungano inakwenda sambamba na Sakramenti ya Daraja Takatifu na kwamba, wahudumu wa Sakramenti hii, hawana sababu wala kuruhisiwa kutoa kwa mtu yoyote yule siri za maungamo; lengo ni kuhakikisha kwamba, Mama Kanisa anatunza kwa heshima na upendo mkuu mahusiano ya ndani kabisa kati ya Mwenyezi Mungu na mwamini anayetubu dhambi zake. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-18039 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema baada ya wito huo, yeye na mteja wake waliwasili katika kituo hicho, ambako alihojiwa na kuruhusiwa kuondoka saa 10 alasiri. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-42699 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | βKwa vile alikuwa amechoka sana hata kuongea vizuri hawezi nikamuacha kwanza apumzike na kesho yake wakati namuhoji nikagundua kuwa mtoto wa mjomba wangu,β alidai Sarafina.Alidai mtoto huyo alikuwa akitaka kutafuta kazi za ndani ili aondoke pale ila alikuwa akimzuia. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-17822 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Lakini inaonekana polisi wamepuuza amri ya mahakama ya kuzuia utekelezaji wa timua timua hiyo kwa manufaa ya mke wa rais. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kimataifa | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-25970 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema hadi sasa mchezaji huyo hajajiunga kikosini licha ya wachezaji wote waliokuwa timu ya Taifa βTaifa Starsβ kuruhusiwa kurejea katika klabu zao ambapo wamejitahidi kumtafuta kwenye simu yake ya kiganjani hapatikani. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-53587 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.mtilah.com/2018/07/siri-ya-waliongara-kidato-cha-sita.html | 2026-03-05 | Msichana huyo anasema siri yake ya kuwa mtaalamu wa hesabu ni kuzifanyia mazoezi kila siku. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-34801 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | BULEMBO AJINGβOA Jana, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya chama hicho, Abdallah Bulembo, alitangaza kujitoa katika kinyangβanyiro kutetea nafasi yake. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-00406 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner | 2023-01-01 | Mnamo utawala wake Trump ameondoa sheria kadhaa zilizopitishwa na utawala wa Obama zilizokuwa zinalinda haki za wanawake kama vile kupata mishahara sawa na wanaume , kudhibiti unyanyasaji wa wanawake kingono makazini na kuondoa msaada wa serikali kwa mashirika yanayounga mkono utoaji mimba . | governance_civic | political_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Source: MasakhaNER Swahili train set | false | none | null | high | Gender progress reporting β not bias |
sw-04642 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | NA RAYMOND MINJA IRINGA MKUU wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amesema jeshi lake linaendelea na upelelezi juu ya taarifa za mwanaharakati wa mitandao ya kijamii anayeishi Marekani, Mange Kimambi, kuwakejeli na kuwatukana viongozi wa nchi kwenye mitandao. Akizungumza na wanahabari katika Β ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Sirro alisema. βKwenye kazi hii ya upelelezi huwezi kuweka kila kitu wazi, tunajua (Mange) anavunja sheria za nchi, tunafanya nini, siwezi kusema,β alisema. Sirro ametoa msimamo huo baada ya hivi karibuni, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz, kunukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema hawatavumilia vitendo vinavyofanywa na Kimambi pamoja na kundi lake. Katika taarifa hiyo, Boaz alisema jeshi hilo litawasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya dola watu wanaoshirikiana na mwanaharakati huyo kutoa taarifa za uongo, uzushi, matusi na kejeli kwa viongozi wa nchi. Sirro alikuwa mjini Iringa jana katika mwendelezo wa ziara zake za kufanya ukaguzi wa jeshi hilo na kuzungumza na maafisa wa polisi, askari na kamati ya ulinzi na usalama wa mikoa mbalimbali. Katika hatua nyingine, IGP Sirro alisema jeshi hilo litaendelea na jukumu lake la kulinda usalama wa raia na mali zao ikiwa ni pamoja na kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya sheria wahalifu wote wakiwemo wale wasiojulikana. βKumekuwepo na changamoto ya matumizi ya neno hili. kimsingi Watanzania wanatakiwa kujua mtu anafanya tukio akiwa hajulikani na anapopanga kufanya uhalifu huo haji polisi kutoa taarifa kwamba nataka kufanya uhalifu,β alisema. IGP Sirro aliwataka askari polisi wafanye kazi kwa kuzingatia maadili na haki ili wananchi walio katika maeneo yao waendelee kuishi kwa amani na utulivu na waendelee kuliamini jeshi hilo. Aliwataka wananchi wanaohitaji msaada wa askari na kuukosa kwa sababu ya makosa yanayofanywa na askari hao, watoe taarifa hizo kwa viongozi wa juu wa jeshi hilo au wengine wa serikalini ili wanaohusika waweze kuchukuliwa hatua. βHakuna askari polisi aliyepo juu ya sheria, akitenda kosa tunataratibu zetu za kumshughulikia, anafukuzwa kazi na kupelekwa mahakamani,β alisema. Pia Β IGP Sirro alisema kumekuwa na tatizo la ubakaji watoto wa umri wa mdogo katika maeneo mbalimbali nchini kwasababu ya imani za kishirikina. Kutokana na hali hiyo, alisema kuna kazi kubwa ya kutoa elimu kwa watuΒ wanaofanya vitendo hivyo viovu. βHuwezi kupata utajiri kwa kubaka watoto,β alisema. Aliwaomba viongozi wa dini wasaidie kutoa elimu hiyo katika nyumba za ibada ili jamiii iweze kubadilika na kuona vitendo hivyo havikubaliki mbele ya wanadamu na mbele ya Mungu. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-36671 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Akizungumzia tukio hilo,Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Vitalis MllayiΒ alikiri kuwa ofisi yake inalijua suala hilo ambapo alisema kwa sasa hawana mamlaka kwani lipo chini ya kikosi kazi maalumu ambacho kinatoka makao makuu ya Uhamiaji jijini Dar es salaam. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-37184 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Kamati ilishauri kwamba mwalimu atakayekutwa anafundisha au amefanya makosa ya kufundisha bila kusajiliwa na Bodi, atakuwa amefanya kosa sawa sawa na mwalimu anayefundisha bila kuwa na leseni na adhabu yake ni kifungo cha miaka mitano au faini si chini ya Sh milioni tatu.Kuhusu kukata rufaa mwalimu ambaye hataridhishwa na uamuzi wa waziri, kamati ilishauri kwamba muda wa siku 30 uliopendekezwa kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa ni mdogo, badala yake apewe siku 90 ili kumpa haki mlakamikaji. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-07354 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Na MWANDISHI WETU -DAR ES SALAAM MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), amemwomba Rais Dk. John Magufuli, aingilie kati suala la Wakili Median Mwale, ambaye amekaa mahabusu kwa zaidi ya miaka sita bila kesi yake kuamuliwa. Mwale na wenzake Donbosco Gichana (Raia wa Kenya), Boniface Mwimbwa na Elieas Ndejembi walikuwa wanakabiliwa na mashitaka 44 tofauti ikiwemo la utakatishaji fedha, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia ya uhalifu. Hata hivyo mwishoni mwa Oktoba mwaka huu, Mahakama Kuu ya Arusha iliwaachia huru washtakiwa hao lakini walipotoka nje walikamatwa na kurejeshwa magereza. Siku chache baadaye walifikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha na kusomewa upya mashitaka 42. Akizungumza jana, Lema ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, alisema kitendo cha kumweka mtu mahabusu kwa muda mrefu bila kesi yake kuamriwa ni sawa na ukatili. βInauma sana kwamba ofisi ya DPP (Mkurugenzi wa Mashitaka) na mahakama, kwa zaidi ya miaka sita wameshindwa kumaliza shauri hili. βKumweka mtu mahabusu kwa miaka yote hii ni ukatili mbaya sana, kwa kipindi ambacho nimekuwa gerezani nimeweza kuelewa huzuni za familia na watuhumiwa. βNdio sababu wakati Rais alipowasamehe wafungwa hasa wenye makosa makubwa nilimshukuru sana kwa sababu najua huzuni ya kukosa uhuru,β alisema Lema. Alisema ni muhimu watu wote walioko kwenye vyombo vya sheria wajue kwamba wajibu wao unapokosa utu na upendo unaumiza watu kwa kuwatesa. βDPP nguvu uliyopewa na sheria inapokosa upendo na haki basi inakuwa ni ukatili wa ajabu, ninamuomba mheshimiwa Rais aingilie kati suala la Wakili Mwale, kwa kweli huyu mtu inatosha kuwepo magereza kwa zaidi ya miaka sita bila kuhukumiwa,β alisema. Wakili Medium Mwale na wenzake watatu, walifikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka 42 yakiwamo yaβ¦ Kwa habari zaidi usikose kununua nakala yako leo | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-29090 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Kwa upande wake, Diamond alishinda kwenye kipengele cha Video Bora ya mwaka kupitia video yake ya Mdogomdogo na huku wimbo wa Nitampata Wapi ukichukua Tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk.Lakini pia jina lake lilikuja kusikika kwenye nyimbo alizoshirikishwa kama vile ule wa Joseph Haule βProfesa Jayβ wa Kipi Sijasikia ambao Diamond ameshirikishwa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-38056 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | (Sun)', 'Neymar hatoruhusiwa kurudi katika klabu yake ya zamani Barcelona kutoka PSG hadi atakapoomba msamaha kwa mabingwa hao wa Uhispania na mashabiki wake na kukubali mshahara wake kupunguzwa (El Mundo - in Spanish)', 'Real Madrid haitakubali maombi ya chini ya 47.7m kumuuza kiungo wa kati wa Uhispania Dani Ceballos, ambaye amevutia hamu ya klabu ya Tottenham nchini Uingereza. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-19125 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Baada ya kuonesha kiwango hicho cha hali ya
juu, Ronaldo alishindwa kuzuia hisia zake na kudai kwamba ulikuwa usiku muhimu
kwake. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya | false | none | null | high | null |
sw-43973 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | JANGA linaonekana kuendelea kuwakabili wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, Yanga yenye maskani yake Jangwani, Dar es Salaam.Yanga ambao kwa sasa wanaonekana kutokuwa sawa kiuchumi na kiuongozi pia wamekuwa hawapati matokeo mazuri katika mechi zao za kimataifa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-32982 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema mwishoni mwa mwezi huu anatarajia kuachia video yake mpyaΒ inayokwenda kwa jina la βSaka helaβ ambapo wimbo huo ukiwa na maadili mazuri kwa jamii na kuwaasa vijana wenzake wazidi kufanya kazi ili wawe na mafanikio. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: burudani | false | none | null | high | null |
sw-02266 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | NAIROBI,Kenya KIONGOZIΒ wa upinzani chini hapa, Raila Odinga, amesema hana mpango wa kuachana na siasa hivi karibuni licha ya kukabidhiwa wadhifa mkubwa katika Umoja wa Nchi zaΒ Afrika (AU). Odinga aliyasema hayo juzi akiwa wilayani Yimbo na akawataka wanamtaka kuachana na siasaΒ baada ya kupata uteuzi huo kutopoteza muda wao na badala yake watafute kazi nyingine ya kufanya. βNingependa kufafanua kwamba uteuzo wangu wa hivi karibuni hautaathiri shughuli zangu za siasa,β Odinga aliwaambia waombolezaji wakati wa mazishi ya Β William Odhiambo Okello. βHivyo nashauri kuachwa Β mjadala Β juu ya hatma yangu katika siasa,βaliongeza kiongozi huyo mkuu wa upinzani. Mwanzoni mwa mwezi huu, Odinga alichaguliwa kuwa Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Afrika kuhusu miundombinu wadhifa ambao ni mkubwa kidiplomasia Β katika Umoja huo. Uteuzi huo ndiyo uliwasukuma wabunge wengi kutoka Mkoa wa Mlima Kenya kumtaka kiongozi huyo kuachana na siasa za nchini hapa. Uteuzi huo pia umekuja wakati nchi hii imeshaanza mjadala nani atakuwa mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta kutoka upande wa vyama vya upinzani na chama tawala cha Β Jubilee. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, Β Β kambi ya Makamu wa Rais William Ruto inaeleza kwamba uteuziΒ huoΒ unaweza kumzuia Β Raila kuingia tena katika mbio za kuwania kiti cha urais na hivyo mwaka 2022 kumnufaisha Ruto. Hali hiyo pia inaripotiwa kuwaacha njia panda washirika na wafuasi wake ambao wamekuwa wakikuna vichwa wakihoji kamaΒ nafasi hiyo itamruhusu aendelee na shughuli za siasa, jambo ambalo aliamua kuliweka wazi. βHata kama nitakuwa nikizunguka kwenye miji mkuu yote ya nchi za Afrika ngome yangu kuu itakuwa ni Β Nairobi. Sitakwenda mahali popote,βalifafanua kiongozi huyo. βNafikiri wale wote wanaodhani nitaachana na siasa wanaota ndoto za mchana,βaliongeza Odinga. Alisema Β viongozi wa Chama Cha NASAΒ walishajitolea mengi katika ukombozi wa taifa hili na hivyo wanapaswa kuyaendeleza. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 3 | false | none | null | high | null |
sw-10199 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | BALOZI wa Thailand nchini Kenya Cherdkiat Atthakor ameitembelea Kampuni ya ndege ya Tanzania (ATCL) na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Ladislaus Matindi na kuelezea azma ya nchi yake kushirikiana na ATCL katika huduma za usafiri wa ndege.Akizungumzia ujio wa balozi huyo, Msemaji wa ATCL, Josephat Kagirwa, amesema pamoja na kuipongeza ATCL kwa huduma inazotoa kwa safari za ndani na nje ya nchi, pia alisema Thailand ipo tayari kushirikiana na Tanzania kupitia mashirika ya ndege yaliyopo katika nchi hizo.Aidha, alisema kauli ya balozi huyo imetokana na azma ya ATCL kutaka kuanzisha safari katika mji wa Bangkok uliomo nchini humo na kuendelea katika miji ya Guangzhou na Beijing iliyopo nchini China, ikiwa ni mikakati inayofanywa na kampuni hiyo kuboresha huduma.Kimsingi, alisema Tanzania na Thailand zina ushirikiano wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali na kuongeza kuwa nchi hiyo kupitia shirika lake la ndege la Focus itashirikiana na ATCL katika utoaji huduma utakaoiwezesha kupata watalii wengi wanaosafiri na shirika hilo kutoka mashariki ya mbali.Bangkok ni kitovu cha watalii kutoka mataifa mbalimbali ikiwemo Japan, Korea na nchi nyingine za Bara la Asia wanaopitia nchini humo na kwenda kutalii katika nchi tofauti ikiwemo Tanzania.βTunaamini ujio wa balozi wa Thailand unazidi kutuweka katika mazingira mazuri ya ATCL kufanya safari zake katika nchi hiyo inayosifika kwa kuwa na watalii wengi,β amesema Kagirwa.Alisema katika mazungumzo hayo balozi huyo aliahidi kuisaidia ATCL kufanikisha safari hizo kwa kuwaunganisha na shirika la ndege la nchi hiyo (FOCUS) kwa ajili ya kupata watalii wengi wanaotumia shirika hilo kwa ajili ya kusafiri na ATCL.Alisema shirika la Focus linasifika Asia na Ulaya kwa kubeba watalii wengi na kwamba ATCL inaamini kwa hatua hiyo ATCL itazidi kupiga hatua kibiashara. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 0 | false | none | null | high | null |
sw-01270 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://huggingface.co/datasets/masakhane/masakhaner | 2023-01-01 | Pia mwanamke huyo anapendekeza kuwa katika kugawana fedha hizo , wafanyakazi wa ngazi ya chini na maafisa usalama waambata wa ubalozi wasipewe taarifa hizi za mgao huu . | governance_civic | political_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Source: MasakhaNER Swahili train set | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-04406 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | RAIS John Magufuli amekutana na viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) ambao wanahudhuria Mkutano wa 58 unaofanyika nchini kwa siku tano ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49 na mashirika mbalimbali.Viongozi wa AALCO waliokutana na Rais Magufuli ni Rais wa AALCO aliyechaguliwa katika mkutano huu, Balozi Augustine Mahiga (Waziri wa Sheria na Katiba, Tanzania) na Makamu wa Rais wa AALCO aliyechaguliwa katika mkutano huu, Profesa Mohamad Shalaldeh (Waziri wa Sheria wa Palestina). Wengine ni Katibu Mkuu wa AALCO, Profesa Kennedy Gastorn (Tanzania) na Naibu Makatibu Wakuu wa AALCO watatu ambao ni Yukihiro Takeya (Japan), Wang Liyu (China) na Dk Ali Garshasbi (Iran).Rais Magufuli aliwashukuru na kuwakaribisha wajumbe wa AALCO nchini na aliwahakikishia serikali inatambua kazi inayofanywa na taasisi hiyo tangu ijiunge nayo mwaka 1965 na kuwa mwanachama kamili kuanzia 1973. Alisisitiza umuhimu wa AALCO kutekeleza malengo ya taasisi hiyo kama alivyoelezwa na viongozi hao, na alitoa mwito wa kuendelea kuzitetea nchi wanachama hasa zinazowekewa vikwazo mbalimbali.Alitolea mfano wa Zimbabwe ambayo imewekewa vikwazo kwa miaka mingi hali inayosababisha wananchi wa Zimbabwe kuteseka. Rais wa AALCO, Balozi Mahiga na Katibu Mkuu, Profesa Gastorn walimshukuru Rais Magufuli kwa kupata fursa ya kukutana naye na wameahidi AALCO itaendelea kutekeleza majukumu yake kwa maslahi ya Asia na Afrika.Katika hatua nyingine, Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Guo Yezhou, Ikulu jijini Dar es Salaam. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-03270 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Maswi alitoa agizo hilo mjini Mbeya jana, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Idara ya Madini mkoani Mbeya, ambako alipatiwa taarifa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), kuhusu kampuni kubwa tatu zinazogoma kulipa maduhuli stahiki kwa Serikali, kwa madai ya kuwa na hati ya msamaha wa kodi katika baadhi ya maeneo.βHili jambo mbona ni rahisi kwa kuwa sekta yetu hii ya madini inaendeshwa kwa kuzingatia sheria, na sheria inatamka wazi kuwa ni lazima kila mwekezaji wa madini alipe maduhuli kulingana na kiasi alichouza.βKamishna wa Madini fuatilia hili na kama kweli kuna hizo hatiβ¦kwani zinatoka wapi? Si zimetoka serikalini basi zifutwe, hawa walipe malipo stahiki,β alisisitiza Maswi.Awali akiwasilisha ripoti ya ukaguzi wa TMAA katika Mkoa wa Mbeya, Ofisa Mfawidhi wa wakala huo mkoani hapa, Jumanne Abdallah, alisema ofisi yake imekuwa ikikabiliwa na wakati mgumu katika ukusanyaji wa maduhuli kutoka kampuni hizo za madini na kushindwa kukusanya malipo stahiki.Alisema kwa mujibu wa sheria hiyo, kampuni hizo zilitakiwa kulipa Sh milioni nne kwa mwezi kodi ya maduhuli, lakini kutokana na madai ya kuwa na hati hizo, zimekuwa zikilipa kila mwezi Sh milioni 3. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 0 | false | none | null | high | null |
sw-38482 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alidai anafahamu chumbani kwa mshtakiwa huyo na kwamba alimpa maagizo
avue chupi yake kisha akamwingizia uume wake sehemu ya haja kubwa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-62951 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-sura-au-tabia.152286/ | 2026-03-05 | Lilia bahati usililie sura nzuri, ndio maana utakuta mtu ana sura mbayaaaa lakini anapendwa ni balaa
mwanamke TITIZ mkuu asikudanganye mtu... | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-27556 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Hospitali hiyo inaendeshwa kwa kutegemea fedha kutoka nje, wafadhili wakuu wakiwa ni Serikali ya Norway kupitia Ubalozi wake Tanzania ambayo inachangia zaidi ya asilimia 50 ya bajeti. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: afya | false | none | null | high | null |
sw-46797 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | βNianze
kwa kunukuu maneno ya baba yangu, aliniambia kwamba βnataka uwe padre ikishindikana
uwe daktari hivyo viwili vikishindikana basi angalau uwe mwalimuβ, lakini
badala yake leo nimekuwa rais na baba yangu hakuwahi hata kuota kama ningekuwa
rais,β alisema. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-08300 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | WANANCHI wamehadharishwa kukabiliana na mionzi iliyopo katika simu za mkononi za kisasa kwa kuzungumza chini ya dakika tano, vinginevyo inaweza sababisha madhara mbalimbali mwilini, ikiwemo ugonjwa wa saratani.Aidha wananchi wametakiwa kuacha kuwapatia watoto kutumia simu hizo mara kwa mara kwani mionzi yake inaathiri mifumo ya ukuaji wao. Hivyo wananchi wameshauriwa wanapotumia simu zaidi ya dakika tano kutumia βearphoneβ au kuweka βloudspeakerβ kuepuka madhara ya mionzi, huku wakieleza matumizi ya simu hizo ikiwa imeisha au inalalamika chaji ni hatari zaidi kwani mionzi inakuwa mikubwa.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania, Peter Ngamilo aliwaeleza wananchi katika Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuwa lengo la kuwapo katika maonesho hayo ni kutoa elimu kwa wananchi jinsi ya kukabiliana na mionzi katika shughuli zao za kila siku.Alisema mionzi ya simu iko katika aina ya mionzi ambayo haileti madhara ya moja kwa moja, lakini unapozungumza kwa muda mrefu inaweza kusababisha kichwa kuuma au joto la mwili kupanda huku kwa watoto wadogo ubongo bado ni teke na wako katika ukuaji hivyo kuweza kuharibu ukuaji.βTunawashauri wazazi matumizi ya simu za mkononi hasa hizi smartphone kwa watoto siyo mazuri lakini ni vema zaidi kutumia simu hizi tunazoita za vitochi kwani ni tofauti na hizi za kisasa zenye mionzi mingi sana, kwani ina mionzi mara 1,000 zaidi ya iliyopo kwenye minara,β alisema. Alisema kwa wale wanaopenda kulala na simu kwa kuweka pembeni ya mito ni hatari kwani mionzi inakuwa kwa kasi zaidi.Alitaja madhara ya mionzi ni mengi ikiwemo ugonjwa wa saratani ya ubongo, damu au mapafu kutegemea na eneo lililopigwa na mionzi. Ngamilo alisema pia katika sekta ya afya, mionzi ina madhara kwa wanawake wenye mimba changa na wanapotaka kupiga X-Ray wawaarifu madaktari kwani mionzi itaathiri kiumbe kilichopo tumboni na kuzaa mtoto mwenye mapungufu.Alisema katika kuepuka madhara ya mionzi wananchi wanatakuwa makini na baadhi ya vyuma wanavyovikuta maeneo yao kwa kutotumia kama vyuma chakavu kwani baadhi yake vina mionzo. Aidha aliwaasa wananchi kuwa makini kwa kuangalia nembo ya mionzi yenye rangi njano na nyeusi na maandishi kuwa chanzo cha mionzi. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-50450 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Kondo alisema utapanywaji wa mali na fedha za shirika hilo uligunduliwa na bodi ambayo baada ya kuteuliwa kazi yake ya kwanza ilikuwa kuhakiki mali za shirika na ukaguzi wa fedha. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-23215 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Tayari TFF imemkabidhi Wambura barua hiyo ya Fifa na imewataka wadau wote wa soka kuzingatia maadili na nidhamu kwa kufuata taratibu zake kwa mujibu wa Katiba za TFF, Caf na Fifa. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-20786 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | ββWakulima wa zao la Mwani nataka niwahakikishieni kwamba serikali yenu inafanya kazi kubwa kuona bei ya zao hilo inaongezeka na kuleta tija kwa wazalishaji wake pamoja na kujenga kiwanda cha kusarifu bidhaa hiyo,ββalisema. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | none | null | high | null |
sw-53909 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://afrikhepri.org/sw/mwanamke-aitwaye-mkurugenzi-wa-kwanza-facebook-africa | 2026-03-05 | SOURCE:http://www.afribaba.info/nunu-ntshingila-directrice-de-facebook-en-afrique.html
Umejibu "Mwanamke aliyeitwa mkurugenzi wa kwanza wa Facebook A ..." Sekunde chache zilizopita
4.0 01 Kandake Amanishakheto:. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | high | Gender progress reporting β not bias |
sw-54403 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/maajabu--mama-ajifungua-mtoto-anayeongea-kama-mtu-mzima-shinyanga | 2026-03-05 | MWANAMKE AJIFUNGUA KOPO BADALA YA MTOTO MWANZA
Licha ya kutolewa kopo hilo, daktari aliyekuwa zamu katika kituo cha afya Igoma jijini hapa, Zaitun Lionge ameeleza kuwa mimba ya miezi sita ya mwanamke huyo ipo salama. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-35503 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Hata hivyo, kwa michezo michache ya Ligi Kuu ambayo amecheza mchezaji huyo tayari mashabiki wamekubali uwezo wake na wanaamini ataendelea kuwa na mchango mkubwa kwa michezo inayofuata. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-17306 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | NEW YORK, MAREKANI MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaomba radhi, Wiz Khalifa na mama mtoto wake, Amber Rose, baada ya kuwashambulia kwa maneno makali. Licha ya maneno hayo kutafsiriwa kuwa makali, pia Kanye alisema kuwa Wiz Khalifa asingeweza kumpata Amber na kuzaa naye mtoto kama asingeachwa naye. Hata hivyo, Wiz hakujibu lolote juu ya kauli hiyo, lakini Amber alijibu kwa kumtaka asimhusishe mtoto wake katika mgogoro wao binafsi. βNajua nitakuwa nimewakosea sana Wiz Khalifa na Amber Rose, sitamzungumzia mtoto wenu tena, nawapenda wote na nawatakia heri,β Kanye aliandika kwenye akaunti yake ya Twitter. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 4 | false | none | null | high | Confirmed neutral β no implicit bias pattern |
sw-01923 | sw | latin | Kenya | kenya | media | https://huggingface.co/datasets/swahili_news | 2021-01-01 | Mwandishi wetu Kampuni inayokua kwa kasi katika utoaji wa huduma za usafiri kwa njia ya
mtandaoni barani Ulaya na Afrika- BOLT, inatarajia kuzindua huduma zake katika
miji mikubwa miwili nchini Tanzania ikiwa ni hatua mojawapo ya kuendelea
kupanua huduma za usafiri katika soko lake la ndani ya nchi. Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba 4, 2019 jijini Arusha,
Meneja Mkazi wa Bolt Tanzania Remmy Eseka alisema huduma hiyo pia itaanza
kupatikana wiki ijayo Visiwani Zanzibar. Alisema uzinduzi huo wa Bolt katika jiji la Arusha na Visiwani Zanzibar
unaongeza idadi ya miji ya Kitanzania inayohudumiwa na kampuni hiyo kutoka
mikoa mitatu hadi mitano, na kuifanya Bolt kuwa mtoaji huduma mkubwa wa usafiri
kwa njia ya mtandao katika ukanda huu wa Afrika. Β Alisema kuwa dhamira ya Bolt ni
kufanya usafirishaji wa mijini kuwa rahisi zaidi na wa bei nafuu kwa watu wote
na hivyo kufikia malengo ya kampuni katika utoaji huduma za usafiri na ajira
ikiwa ni moja ya mchango Bolt kwa jamii. βBaada ya miji ya Dar es Salaam, Mwanza na Dodoma kama ilivyo ada
Bolt imeendelea kukua kwa kasi nchini kote. Sasa tunakusudia kujenga jamii mpya
Arusha na Zanzibar kutokana na uaminifu tunaoendelea kuupata kwa
Watanzania,β alisema Eseka. βHuduma hiyo ni rahisi kutumia kwani abiria wanatakiwa kupakua
programu ya Bolt kutoka kwenye maduka ya programu ya iOS au ya Android na
kujaza wasifu wa mtumiaji. Wakati wapo tayari kusafiri, watumiaji hufungua
program na kuweka eneo lao walilopo na mahali walipokusudia kufika. β Programu itatoa makisio ya gharama kwa safari hiyo. Mara baada ya
abiria kuomba safari, programu humwonesha madereva wa karibu ambao wanakubali
safari hiyo. βMara tu dereva anapokubali safari hiyo, abiria wataweza kuona jina
la dereva wao, picha, muundo wa gari na usajili, na kuweza kufuatilia dereva
anayewafuata kwa wakati muafaka na wa kweliΒ
lakini pia program hiyo hufanya iwe rahisi kuwa na uhakika kuwa
wanaingia salama kwenye gari sahihi na dereva sahihi. Abiria pia wanaweza kutoa
maelezo ya safari yao kwa kutumia program βETAβ iliyomo katika kipengele cha
ziada kwenye suala la usalamaβ alisema. Aidha, alisema wakati safari imekamilika, malipo hufanywa na pesa
taslimu, au kupitia kadi ya deni ya mpandaji aliyejiunga kwenye program hiyo.
Abiria na madereva wanaweza kupima kila mmoja kati ya nyota tano na kutoa maoni
kuhusu umahiri wa utumiaji programu ya Bolt. Pia Bolt tayari imewasajili madereva katika miji ya Arusha na Visiwani
Zanzibar, ambao wote wanapokea asilimia 80 ya nauli zote zinazolipwa na abiria.
Hata hivyo madereva wanaotumia Bolt wanaweza kuchagua masaa mangapi wanaendesha
na wanaweza kufanya kazi katika maeneo yoyote wanayotaka. βMagari ya Madereva lazima yawe yamesajiliwa kuanzia mwaka 2000 au
mapya zaidi. Gari lazima iwe na milango minne (Toyota Corolla, aina ya Hyundai,
Kia Rio, nk). Hii inamaanisha kuwa kila mtu akipanda safari kupitia Bolt
anaweza kuwa na hakika kwamba watafika salama kwao na kwa raha,β alisema. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (HuggingFace). Label: 1 | false | none | null | high | null |
sw-48898 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Walisema hali hiyo
imesababisha wanafunzi wengi wa kike kupata mimba zisizotarajiwa. | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | neutral | neutral | none | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_v2 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | occupation | null | high | Factual reporting on girls getting unexpected pregnancies due to school environment; girls are victims. |
sw-59456 | sw | latin | Kenya | kenya | web_public | https://www.scribd.com/document/131796174/ANNUUR-1063 | 2026-03-05 | Nakushukuru sana Mama Mwantumu Malale, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro na viongozi wenzako kwa kunialika kuja kujumuika nanyi katika siku hii adhimu ya ufunguzi wa jengo la Kitivo cha Sayansi katika Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro. | media_and_online | gender_roles | stereotypes | gender | female | counter-stereotype | none | none | positive | null | safe | false | ann_sw_v3 | passed | auto-classified from C4 Swahili web corpus β needs native speaker review | false | null | null | medium | Pre-labelled counter-stereotype; no explicit bias marker found β preserved |
sw-18364 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Alisema msamaha huo pia unawahusu wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani, pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya. | media_and_online | media_representation | stereotypes | gender | neutral | neutral | none | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_v2 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: kitaifa | false | occupation | null | high | 'Wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani' β factual legal/demographic reference in amnesty reporting. |
sw-45964 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | Moja ya mkakati huo ni Pluijm kupanga kuwatumia marafiki zake wa Tunisia kuhakikisha anapata taarifa zao za kina ikiwemo kujua udhaifu wao. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
sw-45190 | sw | latin | Kenya | tanzania | media | https://zenodo.org/record/4300294 | 2020-01-01 | ', 'Ake amekuwa mmoja wapo wa mabeki wanaotegemewa sana tangu alipojiunga na klabu ya Bournemouth 2017 na amekuwa akiichezea Uholanzi mara kwa mara.', 'Beki huyo wa zamani wa Chelsea kwa sasa anauguza jeraha la mguu na Chelsea wamedaiwa kuwa na kifungu cha kumnunua chenye thamani ya Β£40m ikiwa ni Β£12m chini ya thamani yake iliotolewa na kampuni ya Carteret. | media_and_online | media_representation | public_interest | gender | neutral | neutral | null | null | neutral | null | safe | false | ann_sw_auto_v1 | passed | Swahili News Dataset (Zenodo). Category: michezo | false | none | null | high | null |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.