0 Je,nchi gani yenye kuzalisha chungwa kwa wingi zaidi duniani? 1 Je,nani mwanzilishi wa mchezo wa StarCraft? 3 Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi? 4 Makka inapatikana nchi gani? 5 Teolojia ya dogma ni nini? 7 Je,shirika la Bees for Development ilianza mwaka upi? 9 Je mto mkubwa sana Afrika ni gani? 11 Je,Juan Carlos Tedesco alisomea katika chuo kikuu gani? 14 Romano Prodi alijiunga na siasa mwaka gani? 15 Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Visa Inc? 16 Mlima mkubwa zaidi duniani ni upi? 17 Maurice Omondi Odumbe alianza kucheza kriketi mwaka gani? 18 Je, Carl Gustav Jung alizaliwa lini? 19 Nchi ya Tanzania ina mikoa mingapi? 20 Kanisa la kwanza la kianglikana lilianza wapi? 21 Je,bahari kubwa zaidi duniani ni gani? 23 Rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani? 24 Mji wa Weimar una idadi ngapi ya watu? 25 Je, umoja wa mataifa ulianzishwa na nani? 26 Je, Dk. Angela Merkel ana watoto? 28 Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka gani? 30 Nani aliwaongoza wanaisraeli kutoka misri hadi kanani? 31 Tuzo za Grammy zilianzishwa mwaka gani? 33 Je,rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani? 39 Lugha ya Kiswahili ilianzia wapi? 40 Je,Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? 41 Latitudo ina maana gani? 42 Je,mji mkuu wa fiji ni upi? 45 Je,Sudan Ilipata Uhuru lini? 46 Gowee ana rangi ngapi? 48 Kangaruu anabeba mimba kwa muda gani? 50 Je,Tanzania ina Mikoa ngapi kwa jumla? 51 Mlima kenya ina ukubwa kiasi gani? 53 Mji mkuu Ethiopia ni upi? 54 Je, Rais wa Kenya 2019 Uhuru Kenyatta alisomea shule gani ya sekondari? 55 Je,Marekani Ina idadi ya watu wangapi? 57 Je,lugha ya kiswahili ndyio lugha rasmi ya nchi ya Tanzania? 58 Mto Kongo una urefu gani? 59 Je,mlima Himalaya ina urefu wa mita ngapi? 60 Je,Anthony Alexandre Anderson alizaliwa mwaka upi? 61 Je,mji mkubwa zaidi Italia ni upi? 63 Je, ni kina nani wanaoishi Antaktiki? 64 Mji mkubwa Kongo ni upi? 65 Nchi ya Kamerun ilipata uhuru mwaka gani? 66 Nchi ya Thailand iko na wakazi wangapi? 67 Je,R. Kelly alianza kuimba mwaka upi? 68 Gabon ilipata uhuru mwaka upi? 69 Je mlima Kilimanjaro inapatikana katika nchi gani? 70 Je,jina ya kisayansi ya mmea wa Moringa ni ipi? 71 Je,nyangumi ndiye mnyama mkubwa zaidi katika spishi ya mamalia? 73 Je,Patrice Lumumba alizaliwa mwaka upi? 74 Je, mji mkubwa Nigeria ni upi? 75 Kombe la Mataifa ya Afrika hufanyika mara ngapi kwa mwaka? 76 Je, ndovu anabeba uja uzito kwa miezi mingapi? 77 Je rais Uhuru Kenyataa alikuwa mbunge wa wapi kabla ya kuwa rais? 78 Je,ziwa kubwa zaidi Kenya ni gani? 79 Je Oslo ni mji mkubwa wa nchi gani? 82 Je, kuna dini ngapi nchini Israeli? 83 Satelaiti iliwekwa angani kwa njia ipi? 84 Rais wa Jamhuri ya Watu wa China mwaka 2018 anaitwa nani? 85 Mohammed VI ni mfalme wa ngapi wa Moroko? 87 Sayari kubwa kuliko zingine inaitwaje? 88 Rais wa Kenya wa kwanza alikuwa nani? 89 Je,Jomo Kenyatta alizaliwa lini? 90 Mto mkubwa Rwanda ni gani? 91 The Hard Part ni sehemu ya ishirini na moja ya kipindi gani? 92 Roma ni mji katika nchi gani? 93 Aina ya Sayari ni ngapi? 94 Mji mkubwa Burundi ni upi? 95 Je,seli nyeupe ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili? 96 Je ni sayari gani ndogo zaidi? 97 Jina Hydrox linatokana na nini? 98 Je,Tanzania ina mikoa ngapi? 100 Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa kiasi gani? 102 Mji mkuu wa Brazil ni upi? 103 Jina piano lina maana gani? 104 Je, Ruwaza ya Kenya 2030 ilizinduliwa mwaka upi? 106 Barack Obama aliingia urais Marekani mwaka upi? 107 Je,mji mkuu wa Brazili ni upi? 109 Rais wa kwanza wa Amerika kujiuzulu Urais aliitwa nani? 110 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi? 111 Rais wa kwanza wa nchi ya Libya anaitwa nani? 112 Umoja wa Afrika ulianzishwa mwaka gani? 113 Bwana Heri bin Juma alikuwa sultani wa Saadani mwaka upi? 114 Get Rich or Die Tryin' ilizinduliwa mwaka gani? 115 Tanzania ina muziki aina ngapi? 116 Sungura hubeba mimba kwa miezi ngapi? 117 Filamu ya Sarafina ilitengenezwa mwaka upi? 118 Je,albamu ya Money Monday ina nyimbo ngapi kwa jumla? 121 Mji mkuu wa Uganda ni upi? 123 Mongolia ina idadi ngapi ya watu? 125 Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru ilianzishwa lini? 126 Nchi ya Komori ina zungumza lugha ngapi kuu? 129 Karatasi ya kwanza ilitumika nchini gani? 130 Je,jiji la Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? 131 Je,Kirsten Prout ana dada? 132 Mlima wa Himalaya uko na urefu wa kiasi gani? 133 Je,idadi ya watu nchini Côte d'Ivoire ni ngapi? 134 Ngw'anamalundi alizaliwa wapi? 135 Je, elektroni ni nini? 137 Je, Kampuni ya Rockport ilianzishwa na nani? 139 Mji mkuu Burundi ni upi? 140 Yvonne Cherry alianza kuigiza mwaka gani? 142 Vita vya kwanza duniani vilianza mwaka upi? 143 Dar es Salaam iko na idadi ngapi ya watu? 145 Je,stesheni ya CNN ilianza mwaka upi? 147 Pesa iligunduliwa nchini gani? 148 Je, sayari ya mirihi ina kipenyo kiasi gani? 149 Je,ugonjwa wa kisukari inaweza pata mtoto wa umri wa miaka tano? 150 Jina la kwanza la nchi ya Kongo lilikuwa gani? 151 Waziri mkuu wa Kenya mwaka wa 1963 alikuwa nani? 152 Je, Tanzania ina mito ngapi kwa jumla? 153 Je,Tupac Amaru Shakur alizaliwa lini? 154 Jua ina ukubwa gani? 157 Bahari kubwa zaidi duniani ni ipi? 158 Je,Romano Prodi alizaliwa lini? 159 Je,ni mbinu gani ya kupanga uzazi yenye haina madhara? 160 Mji wa Khartoum una ukubwa gani? 161 Mto upi mkubwa zaidi duniani? 162 Je alikuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki alikuwa mwalimu? 163 Je,Francis Coquelin alizaliwa mwaka upi? 164 Je, ugonjwa wa polio ina tiba? 166 Albamu ya The Aftermath ilizinduliwa mwaka gani? 167 Nini maana ya Nyanda? 168 Nchi ya Kuba iko na ukubwa wa kiasi gani? 169 Eneo la Asia ni kilomita ngapi? 170 Kiongozi wa Biafra mwaka 1967 anaitwa nani? 171 Je,rais wa kwanza wa nchi ya Kongo alikuwa nani? 173 Bahari kuu Kenya ni gani? 174 Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa Kanisa la Moravian mwaka gani? 175 Je,mji mkuu wa Estonia ni ipi? 177 Vita ya kwanza ya Afghan ilikuwa mwaka gani? 180 Je,msitu wa Amazonia ina ukubwa wa kiasi gani? 181 Je aliyekuwa rais wa Kenya Arap Moi alikuwa mwalimu? 183 Rais wa ufaransa ni nani? 184 Je,Nairobi ina takriban ya watu wangapi? 186 Je,Yohane Hus alizaliwa mwaka upi? 189 Je,Roberto Carlos Da Silva Rocha alizaliwa lini? 190 Wikipedia ya Kivietnamu ilianzishwa mwaka gani? 191 Je,ni bahari gani kubwa zaidi duniani? 194 Je,asili ya jina Kit-Mikayi ni? 196 Wimbo wa I Have a Dream ulirekodiwa mwaka gani? 197 Mji mkuu Denmark ni? 199 Je,nini maana ya Apartheid? 201 Je,Martha Wangari Karua alikuwa waziri wa sheria mwaka upi? 204 Ni bahari gani kubwa duniani? 205 Je,Visiwa vya Shelisheli vinapatikana katika bahari gani? 206 Mji mkuu Uganda ni? 207 Nani alizindua redio duniani? 208 Je,mlima mrefu zaidi duniani ni upi? 210 St. Petersburg iligunduliwa mwaka gani? 212 Emmanuel Ake Richard Muttendango ana miaka mingapi? 216 Je, sayari ya dunia ina kipenyo cha kilomita ngapi? 217 Haile Mariam Desalegne alijiunga na siasa mwaka gani? 218 Je,elimu ya shule ya msingi katika shule za umma nchini Kenya ni bure? 222 Je,Brian Haule alizaliwa lini? 223 Mji Mkuu wa Tanzania ni upi? 225 Oasisi ni nini? 227 Lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi? 228 Mlima kubwa Afrika ni gani? 229 Je,Marekani ina majimbo ngapi kwa jumla? 230 Nchi ya Burundi ilipata Uhuru mwaka gani? 231 Dini ya Ugiriki ya kale ilianza mwaka upi? 233 Carl Gustav Jung alizaliwa mwaka gani? 235 Je ziwa la Turkana inapatikana kwa kaunti gani Kenya? 237 Vita ya dunia ya kwanza lilianza mwaka gani? 239 Je,kombe la dunia mwaka 2018 iliandaliwa wapi? 240 Je,ugonjwa wa Malaria inaweza kuambukizwa 241 Ni nani wa kwanza kufika kwa mwezi duniani? 243 Je,Afande Sele alishinda tuzo gani mwaka 2003? 245 Je,mlima Everest ina urefu wa mita ngapi? 246 Jina riwaya linatokana na nini? 247 Wapare wanatokea mkoa gani? 249 Je,mnyama mkubwa zaidi wa baharini ni yupi? 250 Je,Nkashama Kanku Kelly alianza muziki wa dansi mwaka upi? 251 Shule ya Aleksandria ilianzishwa na nani? 252 Kwa nini binadamu wengine huwa weusi? 253 Je,idadi ya watu wa mji wa New Orleans ni ngapi? 255 Je,Sancho Gracia alianza uigizaji mwaka upi? 257 Mji mkuu wa Jamhuri ya Kituruki ya Kupro unaitwaje? 260 Je,mimba ya fumbatio ni hatari kwa mama? 261 Je,Nelson Mandela alizaliwa lini? 262 Mji mkuu wa Fiji ni upi? 263 Rais wa kwanza wa Ufaransa aliitwa nani? 264 Je,idadi ya watu nchi ya Uganda ni upi? 266 Hidrokaboni ni nini? 267 Kuna kaunti ngapi nchini Kenya? 268 Ni nchi gani ndogo zaidi duniani? 269 Indonesia ina makabila mangapi? 270 Je,mji mkuu wa Libya ni upi? 271 Tanzania ina miaka mingapi? 272 Je aliyekuwa rais wa Afrika kusini Nelson Mandela alitoka jela mwaka upi? 273 Innocent Cornel Sahani alizaliwa mwaka upi? 274 Mlima Kilimanjaro una urefu wa mita ngapi? 275 Mji wa Tanga uligunduliwa mwaka gani? 276 Je,Uholanzi ilishiriki katika kombe la dunia 2018? 277 Je, elimu ya jamii ni nini? 278 Mji mkuu wa Burundi unaitwaje? 280 Sahil ina maana gani? 281 Je, hifadhi ya Tsavo inapatikana eneo gani? 282 Wikipedia ya Kijapani ina makala ngapi? 285 Je Slovakia wanatumia sarafu ya pesa? 286 Nelson Mandela aliaga dunia lini? 287 Mji mkuu wa Brazil unaitwaje? 288 Rais wa Nigeria ni nani? 290 Spishi ni nini? 291 Je,wakati wa sensa mwaka 2009 Nairobi ilikuwa na idadi ya watu wangapi? 293 Nchi ya Urusi ina ukubwa gani? 294 Je,Nairobi ina idadi ya watu wangapi? 295 Misa ni nini? 296 Je,mji mkuu wa Somalia ni upi? 297 Senegal iko na idadi ngapi ya watu? 298 Je,Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi? 299 Je.Tanzania ina mito ngapi kwa jumla? 300 Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo gani kikuu? 303 Je,mende iko katika kundi gani ya wadudu? 305 Chuma ni nini? 306 Je,msitu mkubwa kabisa duniani ni ipi? 307 Je, Guniea ina idadi ya watu wangapi? 308 Kuna takriban aina ngapi ya samaki? 310 Giacomo Tedesco ana miaka mingapi? 311 Je,Marekani ilipata Uhuru mwaka upi? 312 Nani mwana folojia wa kwanza duniani? 313 Kuna idadi ngapi ya kabila la wasuba nchini Kenya? 314 Je, siagi inatokana na maziwa pekee? 315 Je,Vincent Kigosi alizaliwa lini? 318 Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi? 319 Nani alizindua shirika la Transparency International? 322 Dubai iko na wakazi wangapi? 323 Mji mkuu wa Ethiopia ni upi? 326 Yucatan ni jimbo la wapi? 327 Borja Mayoral Moya alijiunga na klabu ya Real madrid mwaka gani? 328 Je,ni chombo kipi hutumika kuangalia nyota angani? 329 Je bahari ya Shamu ina urefu gani? 330 Je, ziwa kubwa katika nchi ya Burundi inaitwaje? 331 Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka gani? 332 Mzee Jomo Kenyatta alizaliwa mwaka gani? 334 Sumaku iligunduliwa na nani? 335 Donald Gordon alizaliwa mwaka upi? 336 Bahari kuu Asia ni gani? 339 Je,nchi ya Ufaransa ni idadi ya watu wangapi? 340 Je kuna matunda ambazo zaweza tumika kama dawa? 341 Damu ni nini? 344 Je mayai ni protini? 345 Don Riddell alisomea chuo kikuu gani? 346 Je,Malcolm X alizaliwa lini? 347 Je, Chad ina idadi ya watu wangapi? 348 Je,mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi? 349 Je,maharage iko katika familia gani ya mimea? 350 Umar ibn al-Khattab alifariki mwaka gani? 352 Mhusika mkuu wa filamu ya 24 anaitwaje? 353 Je, ugonjwa wa Malaria husababishwa na mbu yupi? 355 Ziwa Tanganyika ina urefu kiasi gani? 356 Mnara wa kwanza wa taa ulitengenezwa nchi gani? 359 Mji mkubwa Afrika kusini ni gani? 360 Je,Dk. Angela Dorothea Merkel ana watoto wangapi? 361 Elizabeth Blackwell alizaliwa wapi? 362 Nkashama Kanku Kelly ana miaka mingapi? 363 Je,Kamerun ilishiriki katika kombe la dunia 2018? 365 Ugonjwa wa moyo una tiba? 369 Ugonjwa wa njia za pumzi una tiba? 370 Je,msitu gani kubwa zaidi duniani? 371 Je jamii ya Kikuyu inapatikana katika sehemu ipi ya Kenya? 372 Ethiopia ina ukubwa gani? 373 Je,mji mkuu wa Kanada ni ipi? 374 Sanamu ya Zeu inapatikana wapi? 375 Kuna metali ngapi ambazo ni haba duniani? 376 Je,mjii mkuu wa Meksiko ni upi? 377 Je,mji mkuu wa Ukraine ni upi? 379 Je, Mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi? 380 Je,mji mkuu wa China ni ipi? 381 Je, Lagos ina idadi ya watu wangapi? 382 Je, bahari hindi ina ukubwa kiasi gani? 383 Kitabu cha Fioretti kiliandikwa na nani? 385 Mji mkuu wa Iran ni upi? 386 Mji mkuu wa Khartoum una takriban watu wangapi? 387 Mji mkuu wa Uturuki unaitwaje? 389 Je, Bahari hindi ina ukubwa wa kiasi gani? 391 Je, mke wa Miroslav Klose anaitwa nani? 392 Mji mkuu wa Kenya ni upi? 393 Mji wa Kigali una idadi ngapi ya watu? 394 Je, ndovu huishi kwa miaka ngapi? 397 Bakteria iligunduliwa mwaka upi? 398 Iceland ina ukubwa gani? 400 Timu ya taifa ya soka nchini Nigeria inaitwaje? 401 Mji mkuu wa nchi ya Cote d'Ivoire unaitwaje? 402 Je, mji mkuu wa Australia ni upi? 403 Bahari la Mediteranea iko na ukubwa wa kiasi gani? 407 Je,Simone Gooden alizaliwa lini? 411 Jotoridi hupimwa na kifaa gani? 412 Je, Nigeria ina idadi ngapi ya watu? 413 Je, hadi kifo chake, Tupac Shakur alikuwa na albamu ngapi za muziki? 414 Wales ina idadi ngapi ya watu? 415 Je,rais wa kwanza wa Tanzania ni upi? 416 Je,George Weah alizaliwa mwaka upi? 417 Lugha ya kitaifa nchini Israeli ni gani? 418 Kulungu mwekundu ana rangi ngapi? 419 Je,chama cha FORD-People ilianza mwaka upi? 420 Rais wa kwanza wa nchi ya Uganda alikuwa nani? 424 Je,Zinedine Zidane ni raia wa nchi gani? 426 Kenya ina jamii ya watu ngapi? 427 Mark Elliot Zuckerberg alizaliwa mwaka upi? 428 Simoni Petro alikuwa mfuasi wangapi wa Yesu? 430 Makao ya kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilikuwa katika nchi gani Afrika Mashariki?a 431 Je,ni nini maana ya fizikia? 432 Rais wa kwanza wa Tanzania anaitwaje? 433 Papa wa 12 wa kikatoliki anaitwa nani? 434 Je, kuna aina ngapi ya nyuki? 436 Samir Nasri alizaliwa mwaka gani? 437 Je,nani mwanzilishi wa mpira wa vikapu duniani? 439 Je,msimu wa kwanza wa Heroes ina sehemu ngapi? 440 Mchezo wa vikapu huchezwa na wachezaji wangapi? 441 Je,Thomas Teye Partey alizaliwa mwaka upi? 442 Nani rais wa Eritrea? 444 Je,sayari ya Zuhura ni ya ngapi kutoka kwa jua? 445 Je,mji mkuu wa Marekani ni upi? 447 Je,mfereji ni nini? 448 Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi? 449 Kuna dawa ya Blackheads? 451 Je,Mombasa ina idadi ngapi ya watu? 452 Je,jina la kisayansi ya chawa ni gani? 453 Je, nchi ya Marekani ina majimbo mangapi? 454 Je,mbuga ya Serengeti inapatikana katika nchi gani? 455 Dini ya Uislamu ilianza lini? 456 Je,Nina Erin Myers alizaliwa mwaka upi? 457 Jina fikira linatokana na nini? 460 Uambukizo wa mnyoo aitwaye whipworm unaitwaje? 461 Je,ni aina gani ya gari ya Volkswagen ilitengenezwa ya kwanza kabisa? 462 Je,rais wa kwanza nchini Tanzania alikuwa nani? 463 Uskoti ni nchi ya bara lipi? 465 Rais wa kwanza wa Zambia aliitwa nani? 467 Je,ugonjwa wa Polio ina tiba? 468 Je, The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka gani? 469 Je,ugonjwa wa Malaria una chanjo? 471 Je,maabara ya Minciu Sodas ilianza lini? 473 Je,Bill Gates alizaliwa lini? 474 Nchi gani ndogo duniani? 475 Je,mji mkuu wa dubai ni upi? 476 Jumba la KICC lina ghorofa ngapi? 477 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi? 479 Je, ni watu gani wanao ishi katika ncha ya kaskazini? 483 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni ipi? 484 Kuna elementi ngapi za kemia? 485 Mji mkuu Tanzania ni upi? 486 Mji mkuu wa Ukraine ni upi? 487 Rais wa marekani ni nani? 488 Je,Misri imeshinda kombe la mataifa bara Afrika mara ngapi? 489 Je,rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? 490 Je,mlima kilimanjaro inapatikana katika nchini gani? 492 Je, vita vya kwanza vya dunia vilimalizika mwaka gani? 493 Ghana ilipata uhuru mwaka upi? 494 Donald Gordon alizaliwa wapi? 495 Ghana ilipata uhuru mwaka gani? 496 Je,dini gani yenye watu wengi nchini Kenya? 497 Ni bara gani duniani ina jangwa kubwa zaidi? 498 Bahari ya Pasifiki ina visiwa vingapi? 500 Je,Zinedine Yazid Zidane ana watoto wangapi? 505 Je, mto Niagara una urefu gani? 506 Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa lini? 507 Tarakilishi la kwanza kutengenezwa ilikua ipi? 508 Bahari Atlantiki ina ukubwa gani? 509 Je Punda milia yuko katika jamii ya Farasi? 510 Mafuta yote yana asili gani? 511 2Pac alizaliwa mwaka upi? 512 Ndovu ana meno mangapi? 515 Je,nani alizindua kifaa cha hadubini? 517 Vita vikuu vya kwanza vya dunia vilianzia nchi gani? 518 Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni gani? 520 Bahari ni nini? 521 Je, pombe ina sababisha saratani? 522 Je,seli nyekundu ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili? 524 Nani rais wa kwanza Ethiopia? 525 Je,vita kuu vya pili duniani vilianza mwaka upi? 526 Je,Zambia ilipata Uhuru mwaka upi? 528 Mkufunzi wa real madrid anaitwaje? 529 Mji mkuu wa Nigeria ni upi? 530 Je, mtandao wa youtube ilizinduliwa mwaka upi? 531 Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Otago Daily Times? 532 Kikohozi kikuu kiligunduliwa mwaka gani? 535 Nani mwanzilishi wa Geac Computer Corporation? 537 Je muziki wa Hip Hop ulianzia wapi? 538 Je,mishonari wa kwanza kufika Kenya ni nani? 540 Je Burundi iko katika mashariki Afrika? 541 Kiongozi wa kwanza wa Roma ya Kale anaitwa nani? 542 Je,rais wa kwanza nchini Uganda alikuwa nani? 545 Je, nchi ya Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani? 546 Je, Eukaryota ni nini? 547 Louis Pasteur aliweka misingi gani? 548 Nchi ya Marekani ina majimbo mangapi? 549 Je,John Sibi-Okumu alisomea katika chuo gani cha upili? 550 Je,Eritrea ina idadi ya watu wangapi? 551 Bara la Asia liko na ukubwa wa kiasi gani? 552 Je,Steven Randall "Bob" Jackson alizaliwa mwaka upi? 553 Mfumo wa KCPE ulianza lini Kenya? 554 Je,Jogoo anaweza ishi kwa takriban miaka ngapi? 556 Je,Nigeria ilipata Uhuru mwaka upi? 557 Je,nyoka iko katika spishi gani ya wanyama? 559 Nani alikuwa kiongozi wa Iraq wakati wa vita kati yao na Uajemi? 560 Je,simba huzaa akiwa na umri gani? 561 Je, Kisiwa kikuu cha Japan ni ipi? 562 2Pac aliuwawa lini? 563 Je,rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani? 565 Je,mlima Longonot una urefu kiasi gani? 566 Bahari kubwa kuliko zote ni ipi? 571 Je,mji mkuu wa Korea Kaskazini ni upi? 577 Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania inaitwa vipi? 578 Je,ugonjwa wa Ebola inapatikana Afrika pekee? 579 Tanakh ni nini? 581 Je,jangwa kubwa zaidi bara Afrika ni gani? 582 Je,bara Hindi ina ukubwa kiasi gani? 583 Je,wimbo wa taifa wa Tanzania unaitwaje? 584 Je,nani wa kwanza kuenda kwa mwezi? 585 Mji wa Texas una ukubwa gani? 586 Msalvia una urefu gani? 587 Kiunzi ni nini? 588 Afrika ilikuwa koloni ya nchi gani? 589 Je,nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka upi? 590 Nilgai ana ukubwa kiasi gani? 591 Nani alizundua mfumo wa nyota angani? 593 ISS ilianzishwa kutokana na mapatano baina ya nani? 594 Rais wa kwanza wa Rwanda aliitwa nani? 595 Je,Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka upi? 597 Je,Mji mkuu wa Marekani ni gani? 599 Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilisambaratika lini? 600 Kenya ilipata huru wake mwaka gani? 603 Misuli ni nini? 604 Mnyama wa kwanza kufugwa na mwanadamu ni yupi? 605 Moyo ni nini? 606 Je, ni nchi ngapi katika bara la Afrika ambazo hazikutawaliwa na mkoloni? 607 Bahari ya Karibi ina ukubwa gani? 608 Je,nani rais wa kwanza wa Ucheki? 609 Ni sentimita ngapi iko kwa mita moja? 611 Je,Chama Cha Mapinduzi kilianza mwaka upi? 612 Je,Kanda Bongo man ni mwanamziki kutoka nchi gani? 614 Marekani ina majimbo mangapi? 615 Nomino ni nini? 617 Je,Michael Jackson alikuwa na ndugu wangapi? 618 Je,The Weeknd alianza muziki mwaka upi? 619 Ni nani mmiliki wa British Broadcasting Corporation? 620 Paul Labile Pogba alianza kucheza soka akiwa na miaka mingapi? 621 Dini la ukristo lilianza mwaka upi? 624 Je,msichana anaeza shika mimba wakati wa hedhi? 625 Ufalme wa Buganda ulianza lini nchini Uganda? 626 Je! Kuna tofauti kati ya mamba na burukenge? 629 Dodoma iko na ukubwa gani ya kijiographia? 630 Kamoya Kimeu alizaliwa mwaka gani? 631 Je,Ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni ipi? 632 Je,mji wa Adıyaman ina idadi ya watu wangapi? 633 Irene Kiwia ni mwanzilishi wa kampuni gani? 634 Je,Italia inatumia sarafu gani ya pesa? 635 Msanii 2pac alizaliwa mwaka gani? 636 Je,idadi ya watu jijini Nairobi ilikuwa ngapi wakati wa sensa 2009? 638 Mkoa wa kilimanjaro uko na idadi ngapi ya watu? 639 Je,ugonjwa wa Ebola inasababishwa na kirusi gani? 641 Je,kundi la Al-Jihad ya Misri ilianzishwa mwaka upi? 642 Mji mkuu wa Uttarakhand ni? 643 Mji mkuu Sudan ni gani? 644 Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwa nani? 645 Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi? 646 Je,Kongo ilipata uhuru mwaka upi? 647 Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilianza lini? 648 Mji wa Melilla una ukubwa gani? 649 Je,mto Nile ina urefu wa kilomita ngapi? 650 Chokoleti ya kwanza ulimwenguni ilitengenezwa na nani? 651 Muziki wa hip hop ulianza mwaka upi? 652 Je,idadi ya watu nchini Ghana ni ngapi? 654 Je,George Weah ni Rais wa nchi gani? 656 Je, maua ni dawa? 657 Je,mlima mgani kubwa zaidi duniani? 658 Je,Miroslav Klose ana watoto wangapi? 659 Je,nani alikuwa afisa mkuu mtendaji wa kwanza Safaricom? 661 Mji mkuu wa Uhispania unaitwaje? 662 kuna aina ngapi za fasihi? 663 Je,benki gani kuu nchini Kenya? 664 Je,mji wa Mariupol ina idadi ya watu wangapi? 665 Mary Mgonja alizaliwa wapi? 666 Jina wa mji wa Belgrad linatokana na nini? 667 Je, Vatikani ndio makao makuu ya papa wa katoliki? 668 Antibiotiki iligunduliwa na nani? 669 Malkia Kleopatra aliaga dunia mwaka upi? 670 Mchezo wa Ng'ombe ulianzia nchi gani? 671 Kamusi ya kwanza kabisa ya lugha ya kiswahili iliandikwa na nani? 672 Kanisa la kitaifa la kwanza duniani ilikuwa nchi gani? 673 Rais wa kwanza wa China anaitwa nani? 674 Mnyama mgani wa baharini ni mkubwa zaidi? 675 Je,Ziwa kubwa zaidi la maji safi barani Afrika ni lipi? 676 Je, mji mkuu wa Uturuki unaitwaje? 678 Simba huishi kwa muda gani? 679 Nchi ya Ufilipino ina visiwa vingapi? 681 Tupac Shakur alifariki mwaka gani? 682 Intaneti ilitengenezwa mwaka upi? 683 Je,makao makuu ya kampuni ya Microsoft iko wapi? 684 Je,Jackie Agyemang alizaliwa nchi gani? 687 Je kuku huishi miaka ngapi? 690 NARC ni nini? 691 Ziwa Rukwa lina ukubwa gani? 692 Tupac Shakur alifariki akiwa na miaka mingapi? 694 Je,mwanamziki Akon alizaliwa mwaka upi? 696 Zebaki iko na maana gani? 697 Je,mji mkuu Tanzania ni upi? 700 Je,ugonjwa wa kiakili husababishwa na nini haswa? 701 Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka gani? 702 Kinasasauti kiligunduliwa na nani? 704 Je,mji mkuu wa Guinea ni upi? 706 Je,Colin Salmon alizaliwa mwaka upi? 708 Ikulu ya Kenya ilitengenezwa mwaka upi? 709 Mae Carol Jemison alisoma chuo kikuu gani? 710 Puto ya kwanza ilizinduliwa na nani? 711 Je, Saratani ina tiba? 712 Mji mkuu wa Shirikisho la Amerika ya Kati ulikuwa upi? 713 Je, Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka upi? 714 Je,nani rais wa kwanza wa Uturuki? 717 Bakteria inayosababisha kikohozi kikuu inaitwa aje? 720 Dini ya KIislamu nchini Tanzania ilianza lini? 721 Innocent Cornel Sahani alizaliwa wapi? 722 Je,mji mkuu wa Uhispania ni upi? 723 Je,Wilfred Ombui Moriasi alisomea chuo cha upili gani? 724 Kiswahili kilitokea wapi? 725 Je,mji mkuu wa Dubai ni upi? 728 Je,mjii mkuu wa Tanzania ni upi? 729 Japani ina ukubwa gani? 730 Dublin ni jiji kubwa la nchi gani? 732 Je,mji wa Nairobi ina idadi ywa watu wangapi? 733 Rasi ina maana gani? 735 Je, kuna tiba ya Prekilampsia? 736 Je,Donald Gordon, CC, CMG alizaliwa mwaka upi? 737 Nani ndiye tajiri kabisa barani afrika? 738 Baba ya Hafez ni nani? 739 Je,saratani ina kinga? 741 Mji mkubwa nchini Tanzania ni upi? 742 Maimonides alizaliwa mwaka gani? 743 Je,mamalia mkubwa zaidi duniani ni yupi? 744 Papa mbingusi ana ukubwa gani? 745 Mark Elliot Zuckerberg alianza mtandao wa Facebook mwaka upi? 746 Rais wa kwanza wa Malawi aliitwa nani? 747 Je,Burundi ilipata uhuru lini? 748 Je,nyoka iko katika kundi gani ya wanyama? 749 Mji mkuu nchini Uturuki ni upi? 750 Nchi gani kubwa katika bara la Afrika? 751 Je, ugonjwa wa Saratani ya titi una tiba? 752 Maujai ya Kimbari yalifanyika mwaka gani nchini Rwanda? 753 Je,kenya ilipata uhuru mwaka upi? 758 Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anaitwa nani? 759 Je, askofu Alinikisa Cheyo alizaliwa mwaka gani? 761 Je,Steven Frayne anaitwa alizaliwa lini? 762 Je,Sudan Kusini ilifanywa kuwa nchi mwaka upi? 763 Jamaica in idadi ya watu wangapi? 764 Je,mkufunzi Arsene Wenger alikaa Arsenal miaka ngapi? 765 Je,katiba mpya ilipitishwa mwaka upi nchini Kenya? 767 Carl Ross alizaliwa nchi gani? 769 Je,mji mkuu wa Tanzania ni ipi? 771 Idadi ya watu nchini Poland ni ngapi? 772 Rais wa Irak mwaka wa 1980 alikuwa nani? 773 Je,mji mkuu wa Urusi ni upi? 774 Rais wa Kenya mwaka 1975 anaitwa nani? 775 Nani wa kwanza kupanda mlima Kenya? 776 Je,Martha Wangari Karua alizaliwa mwaka upi? 777 Marekani wanatumia sarafu gani? 778 Je,rais wa kwanza wa Ghana alikuwa nani? 779 Je,jiji ya Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? 781 Je,Fidel Castro alikuwa rais wa nchi gani? 782 Lugha rasmi ya nchi ya Indonesia ni ipi? 783 Je,Albania ina idadi ya watu wangapi? 784 Je, Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? 786 Kilipukaji kiligunduliwa na nani? 787 Je,Tanzaia ina mito ngapi kwa jumla? 790 Je,sayansi ni nini? 791 Adrenali ni nini? 792 Je,virusi vya ukimwi inakaa kwa mwili kwa muda gani kabla kuonekana? 793 Je,mto Nile ndio mto mrefu zaidi duniani? 794 Je,Meksiko ilipata uhuru mwaka upi? 796 Je,Ngugi wa Thiong'o ana watoto wangapi? 797 Chokoleti iligunduliwa na nani? 798 Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilianzishwa mwaka gani? 799 Je,mji wa Firenze ina idadi ya watu wangapi? 801 Nchi ya Ujerumani ilitawala nchi ngapi barani Afrika kipindi cha ukoloni? 803 Je, Tanzania ina majimbo ngapi kwa jumla? 804 Je,ni kisiwa gani kikubwa zaidi katika Bahari ya Mediteranea? 806 Je,nani mmiliki wa studio za Walt Disney? 809 Je, ni mfupa gani mhimu sana mwili mwa mwanadamu? 810 Je,mamake rais Uhuru Kenyatta anaitwa nani? 811 Huduma ya M-pesa ilianza mwaka gani? 813 Sayansi ni nini? 815 Gari aina ya Volkswagen ilitengenezwa kwa mara ya kwanza mwaka upi? 816 Je,nani wa kwanza kupanda mlima Kenya? 817 Meli ya kwanza ilitengenezwa na nani? 818 Je,sikukuu ya pasaka husheherekea mwezi upi kila mwaka? 819 Je,Julius Nyerere aliongoza nchi ya Tanzania kwa muda gani? 820 Je,Marijani Rajabu alizaliwa mwaka upi? 822 Je,Fiji ina idadi ya watu wangapi? 823 Je, mamake Hussein ibn Ali alikuwa anaitwa nani? 824 Fidla iligunduliwa mwaka gani? 825 Mlima Kilimanjaro una futi ngapi? 826 Mke wa rais wa kwanza wa Kenya anaitwa nani? 829 Je,Kenya ina idadi ya kaunti ngapi kwa jumla? 831 Je,Bongo Records ilianza kurekodi miziki mwaka upi? 832 Meli ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? 833 Je,ndovu hubeba mimba kwa muda upi? 835 Je,ndimu iko katika familia gani ya mimea? 836 Ghorofa ndefu zaidi ulimwenguni linaitwaje? 838 Mesopotamia ya kale ina jina gani leo? 839 Bara Hindi lina ukubwa gani? 840 Je, Mae Carol Jemison ana ndugu wangapi? 841 Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi? 842 Je,David James Thouless alizaliwa mwaka upi? 843 Je,mji mkuu wa Israeli ni upi? 844 Romano Prodi alizaliwa mwaka gani? 845 Nini maana ya neno makaburu? 846 Nchi ya Kenya ina kaunti ngapi? 847 Je,Lagos ina idadi ya watu wangapi? 848 Italia iko pande gani ya dunia? 849 Je,kuku anaweza taga takriban mayai ngapi kwa siku? 851 Je, Vatikano ina ukubwa gani? 852 Leo Africanus alizaliwa wapi? 853 Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea fizikia katika chuo kikuu gani? 854 Je,rais wa kwanza wa Meksiko alikuwa nani? 855 Je,mji mkuu wa Ireland ni upi? 858 Je,Kundi la Jacksons lina wanachama wangapi? 859 Amerika ilipata uhuru mwaka upi? 860 Nani alianzisha kanisa la Kilutheri? 861 Africa ina nchi ngapi? 863 Je,mji mkuu nchini Kenya ni upi? 864 Je, ni chombo kipi hupima upepo? 865 Demokrasia ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani? 866 Muziki wa hip hop ulianzia nchi gani? 867 Je, Tanzania ina idadi ya watu wangapi? 868 Je,nchi ya Yordani iko katika bara gani? 870 Mwimbaji R. Kelly alianza kuimba mwaka upi? 872 Nani alitengeneza redio la kwanza? 873 Je,mnyama mkubwa zaidi duniani ni gani? 874 Je,John Kennedy aliuawa mwaka upi? 875 Chanzo kuu cha kuendesha ni gani? 877 Dameski ina ukubwa gani? 878 Je,Wilma Rudolph alikuwa na watoto wangapi? 880 Rais wa kwanza wa marekani ni nani? 883 Mji mkuu wa Sudan unaitwa aje? 884 Umoja wa Mataifa ulianza mwaka gani? 886 Je, Kenneth David Kaunda alizaliwa mwaka upi? 887 Je,nani alitengeneza gari la kwanza la aina ya Benz? 889 Nani mwanzilishi wa gazeti ya The Calgary Herald? 890 Mlima Kenya una ukubwa gani? 891 Edith Chewangel Masai amezaliwa wapi? 892 Je,chombo gani hutumika kuangalia nyota angani? 893 Jackie Agyemang ana watoto wangapi? 894 Je,neva ni nini? 896 Bara kubwa duniani linaitwaje? 897 Je,nani rais wa kwanza wa Zambia? 899 Mwai Kibaki ana watoto wangapi? 900 Je, kuna aina ngapi ya mimea? 901 Sayari iliyo karibu na jua ni ipi? 902 Je,Petro alimkana yesu mara ngapi? 907 Uislamu ulianzia wapi? 910 Elijah Masinde alizaliwa mwaka upi? 911 Je,mji mkuu wa Afrika Kusini ni upi? 912 Kitabu cha kwanza kinaitwaje? 914 Je,Shinikizo la juu la damu inaweza pata mtoto wa umri wa chini ya miaka tano? 915 Je,Victor Wanyama alizaliwa lini? 916 Je,mapinduzi ya ufaransa ulianza lini? 917 Je, dunia ina miaka mingapi? 919 Nini maana ya Shahamu? 921 Ni kifaa kipi hutumika kuangalia nyota angani? 922 Aleen Bailey alizaliwa mwaka gani? 923 Mlima kenya iko wapi? 926 Je Beyonce alianza uigizaji mwaka upi? 927 Eneo la Morogoro lina ukubwa gani? 928 mto mrefu nchini Zambia unaitwaje? 929 Je,Cardinal Otunga aliaga dunia mwaka upi? 930 Je ni hatari kwa mgonjwa wa kisukari kutumia pombe? 931 Je,mji mkuu wa Australia ni upi? 933 Je,nani mmiliki wa Walt Disney? 935 Nani mwanzili wa mziki ya aina ya Hiphop? 936 Uganda ilipata uhuru mwaka upi? 941 Je,Gaius Julius Caesar alizaliwa lini? 944 Usafiri wa anga la nje ulianza lini? 946 Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni gani? 947 Je,ziwa Baikal inapatikana katika nchi gani? 948 Afrika kusini kuna nchi ngapi? 949 Je,mto mkubwa zaidi Kongo ni upi? 950 Je ni reptilia wote wenye sumu? 951 Je,Google ilianza mwaka gani? 952 Je, Iddi Amin alitawala Uganda kwa miaka ngapi? 953 Je, ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi? 954 John Saxon ana miaka mingapi? 955 Ni mto upi unapitia ndani ya mji wa London? 956 Je nchi ya Sydney iliandaa Olimpiki mwaka upi? 960 Je,ni chuo kikuu gani kongwe zaidi nchini Nigeria? 964 Rangi ya Samawati katika bendera ya Jibuti inaashiria nini ? 965 Je,makao makuu ya muungano wa Afrika iko katika nchi gani? 967 Ugiriki ya kale ina miungu mingapi? 968 Wilaya ya Musoma ina idadi ngapi ya watu? 969 Je,Saidi Ntibazonkiza alizaliwa lini? 970 Je,Diamond Platnumz ana watoto wangapi? 973 Sancho Gracia ana miaka mingapi? 974 R. Kelly alizaliwa mwaka upi? 975 Mji mkubwa Dubai ni gani? 976 Mji mkuu wa Afrika kusini ni upi? 977 Je,mmea wa miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani nchini Kenya? 980 Je,Uqba ibn Nafi alizaliwa mwaka upi? 982 Jamhuri ya Kituruki iko na idadi ngapi ya watu? 984 Kristoforo Kolumbus alizaliwa wapi? 985 Lugha ya kitaifa Misri ni gani? 989 Azad Azadpour alizaliwa mwaka upi? 992 Kuna njia ngapi za kutoa taka mwilini? 994 Je,chama cha kisiasa cha KANU kilianza mwaka upi? 995 Eneo la bahari la Atlantiki ni upi? 996 Nnai alizindua chombo cha kupima joto mwilini? 997 Mamalia ni nini? 998 Je,makamu wa rais William Ruto alizaliwa mwaka upi? 999 Je,sayari kubwa zaidi ni ipi? 1000 Tsavo Magharibi iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia? 1001 Je,mji mkuu wa Japani ni upi? 1002 Piramidi ilijengwa mwaka gani? 1003 Kuna idadi ngapi ya Wasukuma nchini Tanzania? 1004 Mshairi Christopher Richard Mwashinga alizaliwa wapi? 1005 Nini maana ya lahaja? 1006 Je,ugonjwa wa trakoma unaweza kusababisha upofu? 1008 Je,Tanzania ilipata uhuru lini? 1010 Je, papa Gregori alizaliwa lini? 1011 Titani ni nini? 1013 Je,jina ya kisayansi ya tunda la ndimu ni gani? 1014 Je,mlima mkubwa zaidi bara Asia ni lipi? 1015 Klabu Paris Saint German [PSG] ilizinduliwa lini? 1017 Roberto Carlos Da Silva Rocha alikuwa beki wa timu gani? 1019 Mlima Karmeli unapatikana wapi? 1021 Je, ukuta wa china ulijengwa mwaka gani? 1022 Gabon ilipata huru mwaka upi? 1023 Tennis ilianza mwaka upi? 1024 Mama yake Tupac Shakur anaitwa nani? 1025 Ngozi ni nini? 1026 Je,bara Asia ina idadi ya nchi ngapi? 1027 Jina Krioli linatokana na nini? 1028 Chama cha Mapinduzi kilianza mwaka upi? 1029 Je,Sungura wa Kizungu anaweza zaa watoto wangapi kwa wakati mmoja? 1032 Mji mkuu wa Uajemi ni upi? 1034 Rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani? 1035 Dedan Kimathi alizaliwa mwaka upi? 1036 Msitu mkubwa Kenya unaitwaje? 1037 Je,mto gani mkubwa zaidi duniani? 1039 Kuvu ni nini? 1042 Anthony Alexandre Anderson ana watoto wangapi? 1043 Uti wa mgongo ni nini? 1044 Mahindi ni mmea wa familia gani? 1046 Nani alipata kuwa waziri mkuu wa Ethiopia tangu baada ya kifo cha Meles Zenawi? 1047 Je,gazeti la The Wichita Eagle ilianza mwaka upi? 1050 Aliyekuwa rais wa Marekani Barrack Obama alizaliwa wapi? 1051 Nani aliunda Puto ya kwanza duniani? 1052 Shirika la Umoja wa Mataifa lilianzishwa mwaka gani? 1053 Je, mlima wenye theluji kileleni nchini Kenya unaitwaje? 1055 Kuki ya kompyuta ina maana gani? 1057 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania? 1059 Mji wa New York uko na ukubwa wa kiasi gani? 1060 Je,Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu alizaliwa lini? 1061 Mji wa Frankfurt uko na idadi ngapi ya watu? 1062 Je,ni mto gani mkubwa zaidi duniani? 1063 Je,mti mrefu kabisa duniani inapatikana wapi? 1064 Je,simba hubeba uja uzito kwa miezi ngapi? 1065 Je,Lee Anderson Grant alijiunga na Manchester United lini? 1066 Kuna aina ngapi za Mata? 1067 Je,Robert Baden-Powell alizaliwa mwaka upi? 1069 Jada Koren Pinkett Smith alizaliwa wapi? 1070 Je,Marekani ina mikoa ngapi kwa jumla? 1071 Je,mji mkuu wa Uholanzi ni upi? 1072 Filamu ya Sarafina ilizinduliwa lini kwa mara ya kwanza? 1073 Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Google? 1075 Je, kaisari ni nani? 1076 Je,ni kilomita ngapi kutoka Nakuru hadi Nairobi? 1078 Bill Gates alisoma chuo kikuu gani? 1079 Kata ya Mkongo ina takriban watu wangapi? 1080 Nchi ya Tanzania ina mito ngapi? 1081 Je, Ademola Lookman alizaliwa lini? 1082 Jangwa kubwa zaidi Afrika ni gani? 1083 Je,Kenya African Union ilibadilika na kuwa chama gani cha kisiasa nchini Kenya? 1086 Je, bendera ya nchi ya Ghana ina rangi ngapi? 1088 Shira ina ukubwa gani? 1091 Je,Agano jipya ina vitabu ngapi? 1092 Je, Agano jipya lina vitabu vingapi? 1093 Kampuni ya Volkswagen ilianzishwa mwaka gani? 1094 Je,nani mwandishi wa kipindi cha 24? 1095 jiji la Mwanza lina idadi ngapi ya watu? 1096 Je,wimbo wa kwanza wa Jua Cali ni upi? 1097 Je,Arsene Wenger alizaliwa mwaka upi? 1098 Usafiri wa anga-nje ilianza lini? 1099 Je, Ni sayari ipi iliyo karibu na jua? 1100 Je,mpira wa vikapu ulianzishwa mwaka upi? 1101 Jina rasmi la msanii Dknob ni nini? 1102 Mwanadamu huwa na lita ngapi za damu mwilini? 1103 Je,2Pac alizaliwa lini? 1104 Nathaniel Thomas Wilson ana miaka mingapi? 1107 Je, Kenya ilipata Uhuru mwaka gani? 1108 Je,mke wa Kofi Annan aliitwa nani? 1109 Je,televisheni ya NBC inapatikana katika nchi gani? 1110 Mji wa Vatikan una watu takriban kiasi gani? 1111 Je,mji mkuu Zambia ni upi? 1112 Je, ni Simba kike ndio huwinda? 1113 Je,msimu wa pili wa kipindi ya Heroes ina sehemu ngapi? 1115 Nchi ya New Zealand ina idadi ngapi ya watu? 1116 Je,kuna aina ngapi ya kisukari? 1117 Pesa iligunduliwa mwaka gani? 1119 Nanyuki ina idadi ngapi ya watu? 1120 Nigeria ilipata uhuru mwaka gani? 1121 Aliyekuwa rais wa Tanzania Julius Nyerere alifariki mwaka upi? 1122 Je,mtayarishaji wa tamthilia ya Heroes anaitwa nani? 1123 Je,rais wa kwanza wa Ufaransa alikuwa nani? 1124 Yesu alianza huduma akiwa na miaka mingapi? 1125 Je,nani wa kwanza kutengeneza Meli ya kwanza duniani? 1127 Ida Ljungqvist alizaliwa wapi? 1128 Je,kuna bara ngapi duniani? 1129 Ufugaji wa kuku ulianzia wapi? 1130 Karl Peters alizaliwa wapi? 1131 LL Cool J ana albamu ngapi? 1132 Je, bara Australia lina ukubwa wa kilo mita ngapi? 1133 Hifadhi ya wanyama ya Serengeti ina ukubwa gani? 1134 Je,kifaru huishi kwa takriban miaka ngapi? 1136 Je,Nanyuki iko katika kaunti gani nchini Kenya? 1137 Je,Jean Bosco Mwenda alizaliwa mwaka upi? 1139 Ziwa Tanganyika iko na ukubwa wa kiasi gani? 1140 Aliyekuwa rais wa Sudan, John Garang alifariki mwaka gani? 1142 Eneo la Bakteria lina ukubwa gani? 1144 Je, mlima mrefu zaidi Afrika ni upi? 1145 Masomo ya sayansi ya wadudu inaitwaje? 1146 Mama ya Leonardo Da Vinci ni nani? 1147 Mchezo wa voliboli unachezwa na wachezaji wangapi? 1148 Je,kemikali ni nini? 1149 Je, bustani ya Jeevanjee mjini Nairobi ilipewa jina hili na Alibhai Mulla Jeevanjee? 1153 Sydney iko katika bara gani? 1155 Pombe ya kwanza ilitengenezwa na nani? 1156 Chama cha NAZI kilianzishwa na nani? 1157 Je,mamake Yohane mbatizaji alikuwa anaitwa nani? 1158 Mji mkubwa nchini Ufaransa unaitwaje? 1159 Je, Christina Milian alizaliwa mwaka upi? 1160 Je,mlima mkubwa zaidi Tanzania ni upi? 1161 Je ni nchi ngapi Ulaya haswa wanatumia sarafu ya Euro? 1162 Ni nani alikuwa mwanzilishi wa Google? 1163 Je, askofu Alinikisa Cheyo alisomea wapi shule ya msingi? 1164 Nyota zinaonekana kutumia kifaa gani? 1165 Je,Martha Karua alizaliwa mwaka upi? 1166 Mlima mkubwa wa volkeno duniani unaitwaje? 1167 Tezi inamaana gani? 1169 Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni upi? 1171 Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani? 1172 Mtawa wa kike wa kwanza anaitwa nani? 1173 Eneo la Lomé lina ukubwa gani? 1174 Je,Kiswahili ndio lugha ya kitaifa nchini Tanzania? 1175 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Uturuki? 1180 Nani alikuwa rais wa kwanza wa Gabon? 1183 Muziki wa bongo ulianzishwa na nani? 1184 Kuna aina ngapi ya nyuki? 1185 Je,nani alikuwa rais wa Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda? 1186 Je Kenya huuza kahawa nje ya nchi? 1187 Sydney iliandaa michezo olimpiki mwaka upi? 1188 Nchi ya Zaire ina mikoa mingapi? 1189 Je,rais wa kwanza nchini Kenya aliitwa nani? 1190 Hispania iko na wakaji wangapi? 1191 Karl Peters alizaliwa mwaka upi? 1192 Je,Italia ilishiriki katika kombe la dunia la 2018? 1194 Je,Israeli iko katika bara gani? 1195 Mtandao wa kijamii ya facebook ulianzishwa na nani? 1196 Je Galileo Galilei alisomea chuo kipi? 1197 Ugonjwa wa Nimonia esinofili una tiba? 1198 Betri ya kwanza ya gari ilizinduliwa mwaka gani? 1199 Je,Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa lini? 1200 Kikohozi kikuu kina tiba? 1201 Je,Mwai Kibaki alisomea katika chuo kikuu gani? 1202 Je, Manga ni nini? 1205 Meli ya kwanza ya kivita ilitengenezwa mwaka gani? 1207 Roma mkatoliki alizaliwa wapi? 1208 Christopher Columbus aligundua Amerika mwaka upi? 1209 Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda ilianzishwa lini? 1210 Kabila la wajaluo lilitokea nchi gani? 1211 Mji wa Ifakara uko na wakazi wangapi? 1212 Je,jina la timu la taifa ya soka la Kenya inaitwaje? 1213 Je, kuna tiba ya polio? 1214 Je,sehemu ya hard part inapatikana katika filamu gani? 1215 Sami Khedira alijiunga na klabu ya Juventus mwaka gani? 1216 Je,buibui iko katika spishi gani ya wadudu? 1217 Je,mji wa Batman ina idadi ya watu wangapi? 1218 Je, ubongo wa pweza una ukubwa kiasi gani? 1219 Je,chama cha kisiasa cha kwanza nchini Kenya ni gani? 1220 Je,John Cena alizaliwa mwaka upi? 1222 Ngozi ya mwanadamu ina unene gani? 1223 Je,Olimpiki ya 2008 ilifanyika katika nchi gani? 1224 Rais wa kwanza wa Nigeria anaitwa nani? 1225 Je,Cassidy alizaliwa lini? 1226 Ziwa kubwa katika Amerika kaskazini linaitwaje? 1227 Kamusi ya kiswahili iliandikwa mwaka gani? 1228 Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu lilianzishwa mwaka gani? 1229 Mji mkuu wa nchi ya Kuba unaitwaje? 1230 Je,Jackie Agyemang ana watoto wangapi? 1231 Je, Mji mkuu wa Estonia ni gani? 1232 Je,Scott Storch anaitwa nani? 1234 Mzee Majuto alifariki mwaka gani? 1237 Je,mziki wa hip hop ilianza mwaka upi nchini Tanzania? 1238 Mziki aina wa reggae ulianzia kuimbwa nchi gani? 1239 Baba ya Leonardo Da Vinci ni nani? 1241 Je,nani wa kwanza kupanda mlima kilimanjaro? 1243 Mji mkuu China ni ipi? 1245 Vita vya kwanza vya dunia vilianza mwaka gani? 1248 Je,timu ya Argentina imewahi shinda mashindano ya kimataifa? 1250 Je,mji mkuu wa Brazil ni ipi? 1251 Vita vya kwanza vya Dunia vilianza mwaka gani? 1253 Mtandao wa Facebook ulianzishwa mwaka upi? 1254 Kamusi ya kwanza iliandikwa na nani? 1255 Je,herufi ngapi katika alfabeti ambayo haitumiki katika lugha ya kiswahili? 1256 Nchi ya Guinea ilipata huru mwaka upi? 1257 Marianne Koch alistaafu kama daktari mwaka gani? 1260 Je,Martin Luther alizaliwa mwaka upi? 1262 Je,Mbongeni Ngema alitunga mchezo wa Sarafina mwaka upi? 1263 Je,mke wa Mwai Kibaki aliitwa nani? 1265 Bakteria ya Treponema pallidum inasababisha maradhi mangapi? 1266 Mlima kubwa Kenya ni gani? 1267 Makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako wapi? 1268 Mji mkuu wa Mozambiki unaitwaje? 1269 Kuna asilimia ngapi ya Tanzania Breweries katika East African Breweries? 1271 Kitabu cha pili cha agano la kale ni gani? 1272 Kituo cha televisheni ya NTV ilianza mwaka upi? 1273 Bahari ya Pasifiki ina urefu wa kilomita ngapi? 1274 Je,rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani? 1276 Kanisa la kwanza ulimwenguni lilianzishwa mwaka gani? 1278 Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yako wapi? 1279 Bara la Asia ina nchi ngapi? 1281 Sudan ina idadi ngapi ya watu? 1283 Je,rais wa kwanza Tanzania anaitwa nani? 1284 Mfalme wa kwanza wa Israeli alikuwa nani? 1285 2pac alizaliwa mwaka upi? 1286 Je,Bata kubwa zaidi duniani Ni ipi? 1287 Kitabu cha Hesabu kiliandikwa na nani? 1289 Je,vita vya pili duniani iliisha lini? 1290 Mesopotamia ya Kale ina jina gani katika karne ya 21? 1291 Je, soko la hisa ni nini? 1292 Chama cha NSDAP kilianzishwa mwaka gani? 1293 Kuna makabila mangapi nchini Rwanda? 1294 Mvua ya barafu hutokana na nini? 1295 Je, kuna minyoo wenye sumu? 1296 Je,mji mkuu wa Estonia ni upi? 1297 Mji mkuu wa Somalia ni upi? 1298 Tupac Shakur aliuawa kwa jinsi gani? 1300 Bara Asia lina mataifa mangapi? 1301 Je,msitu wa Mau ina ukubwa kiasi gani? 1303 Eneo la Texas lina ukubwa gani? 1305 Mwanamziki Lucky Dube alikuwa na watoto wangapi? 1308 Je,rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alikuwa nani? 1309 Ufugaji wa kuku ulianzia nchi gani? 1311 Je, Punda Milia yupo katika familia ya Farasi? 1312 Je, mto Nile una takriban urefu kiasi gani? 1314 Gabriel Obertan alizaliwa wapi? 1318 Marc Predka alizaliwa wapi? 1322 Je, kuna ikulu ngapi za rais nchini kenya? 1323 Rais wa kwanza wa Togo anaitwa nani? 1324 Meli ya abiria ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? 1325 Je, bara Asia ina mataifa mangapi? 1326 Ugonjwa wa Prekilampsia una tiba? 1327 Eire ni nchi ya bara gani? 1328 Je, muziki wa Jazz ulianzia nchi gani? 1329 Siku ya kusherehekea kufufuka kwa Yesu inaitwaje? 1330 Je,nani alianzisha kanisa katoliki duniani? 1331 Je,mamalia upi mkubwa zaidi majini? 1332 Je,Anthony Alexandre Anderson ana watoto wangapi? 1333 Harold L. Green alizaliwa mwaka upi? 1334 Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na wake wangapi? 1336 Tanzania ina mikoa ngapi? 1337 Je,mji mkuu wa Misri ni gani? 1340 Je, Angola ilitawaliwa na nani enzi za mkoloni? 1341 Je,kipindi cha Heroes ilianza mwaka upi? 1342 Je,nchi ya Libya ina idadi ya watu wangapi? 1344 Je,mwanadamu ana aina ngapi ya mifupa mwilini kwa jumla? 1345 Bahari la Mediteranea lina ukubwa wa kiasi gani? 1347 Pendo linaitwaje katika lugha ya kimombo? 1350 Mji mkuu wa Visiwa vya Marshall ni upi? 1351 Adal Sultanate ilikuwa ni ufalme mwaka upi? 1352 Nchi gani duniani iko na idadi ya watu kubwa zaidi? 1353 Je,klabu ya Paris Saint-Germain ilianza lini? 1355 John Tucker Mugabi Sentamu aliteuliwa kama askofu mwaka gani? 1357 Maharagwe ni mmea wa familia gani? 1358 Mwanamuziki Beyonce alizaliwa mwaka upi? 1359 Je, Jawaharlal Nehru alizaliwa mwaka upi? 1360 Je,kuna sayari ngapi kwa jumla? 1361 Mji mkuu Algeria ni upi? 1362 Amos Biwott alizaliwa mwaka upi? 1363 Je,msitu Mau ina ukubwa wa kiasi gani? 1364 Je,ziwa kubwa zaidi bara Afrika ni ipi? 1365 Nathaniel Thomas Wilson alianza sanaa ya muziki lini? 1366 Mto Conwy una maji ya aina gani? 1367 Kuku anaishi miaka mingapi? 1368 Bahari ya hindi ina ukubwa gani? 1369 Kaboni ni nini? 1370 Je,nchi ya Syria iko katika bara gani? 1371 Je,Misri ilipata uhuru mwaka upi? 1372 Mfumo wa Elimu ulianzia wapi? 1373 Ukristo ni nini? 1374 Je,Ali bin Muhammad alikuwa na watoto wangapi? 1375 Msitu mkubwa nchini Kenya ni gani? 1378 Nyoka iko katika spishi gani ya wanyama? 1381 Simba huzaa watoto wangapi kwa mara moja? 1382 Kifua kikuu kinaweza sababisha kifo? 1385 Nchi ya Guinea iko na wakazi wangapi? 1388 Raila Amolo Odinga alizaliwa mwaka upi? 1389 Je,jina la kisayansi ya nanasi ni ipi? 1390 Mji mkuu wa Kenya unaitwa aje? 1391 Je,paka ako katika spishi gani ya wanyama? 1392 Alibhai Mulla Jeevanjee alizaliwa mwaka gani? 1393 Je, Bangladeshi inapatikana katika bara gani? 1394 Punda milia anazaa baada ya muda gani? 1395 Je,mji mkuu wa Vietnam ni upi? 1396 Je, mji mkuu wa Kenya ni upi? 1397 Sayari ya Zuhura ina ukubwa gani? 1398 William Shakespeare alizaliwa mwaka upi? 1401 Je,mji mkuu wa Gabon ni ipi? 1402 Kenya Ina makabila ngapi kwa jumla? 1403 Je,nani wa kwanza kwenda kwa mwezi? 1404 Je,mji mkuu wa Malawi ni upi? 1405 Je,sungura iko katika spishi gani? 1406 Mji mkuu wa Slovakia ni upi? 1409 Bara la Antaktiki iko na ukubwa gani wa kijiographia? 1410 Kampuni ya Microsoft ilianza mwaka upi? 1412 Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa mwaka gani? 1413 Lugha rasmi ya nchi ya Afrika kusini ni ipi? 1414 Je,mkoa wa Arusha ina idadi ya watu wangapi? 1415 Je,Julius Nyerere alizaliwa lini? 1417 Sarah Clarke ana miaka mingapi? 1418 Je, nani mwanzilishi wa tuzo ya Pulitzer ? 1419 Nani mwanzilishi wa Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani? 1420 Ngugi wa Thiong'o alizaliwa mwaka upi? 1421 Je,simba huishi kwa takriban miaka ngapi? 1424 Je,John Cabell Breckinridge alihudumu kama makamu rais wa Marekani kwa muda upi? 1426 Mchungaji wa kwanza anaitwa nani? 1427 Puto ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi? 1428 Wimbo wa Changes ulirekodiwa mwaka gani? 1429 Variola minor ni nini? 1431 Amos Biwott alizaliwa eneo gani? 1433 Je,mto mkubwa kabisa duniani ni ipi? 1435 Pilau ni nini? 1436 Jumuiya ya Mkataba wa Atlantiki ya Kaskazin ilianzishwa lini? 1437 Kuku huishi kwa muda gani? 1438 Je,Mji wa mombasa ina idadi ya watu wangapi? 1439 Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kilizinduliwa mwaka upi? 1442 Jina la Darmstadti linatokana na mji upi? 1444 Uwanja mkuu wa ndege wa Amsterdam unaitwaje? 1445 Mlima mrefu sana duniani ni gani? 1446 Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa kanisa la Moravian mwaka upi? 1447 Rais wa Marekani ni nani? 1448 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro alizaliwa mwaka upi? 1449 Fizikia ni nini? 1450 Je,nani alizindua kifaa cha darubini? 1451 Je, usafiri wa anga la nje ulianza lini? 1452 Mama ya Christopher Richard Mwashinga alikuwa nani? 1453 Je,Nakaaya Abraham Sumari alizaliwa lini? 1454 Mji wa Lubumbashi una idadi ngapi ya watu? 1456 Thomas Teye Partey alizaliwa wapi? 1457 Je,ni mfuasi yupi alikana yesu mara tatu? 1458 Je, jangwa la Kalahari inapatikana bara gani? 1460 Nusutufe ni nini? 1461 Je,Ghana ilijipatia uhuru mwaka upi? 1462 Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani? 1464 Christopher Richard Mwashinga alisomea shule gani ya msingi? 1466 Je,albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka upi? 1467 Je,vita kuu vya pili duniani viliisha lini? 1468 Je, Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta ilianza mwaka upi? 1469 Je, nini maana ya Latitudo? 1470 Je,Sayari ndogo zaidi ni ipi? 1471 Je,dini ya Ukristo ulianzishwa na nani? 1472 Je,mji mkuu wa Kenya ni upi? 1473 China ina idadi ya watu wangapi? 1474 Wadudu-ute wana miguu? 1475 Je,2pac alikufa kwa kupigwa risasi? 1476 Ziwa Rukwa iko na ukubwa wa kiasi gani? 1478 Mlima mkubwa katika mkoa wa Kilimanjaro unaitwaje? 1481 Mkuu wa kanisa la katoliki duniani anaitwaje? 1482 Mto mrefu wa pili bara Afrika ni gani? 1483 Ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima Kilimanjaro hadi kileleni? 1485 Mke wa rais wa Tanzania Pombe Magufuli anaitwa nini? 1486 Rashidi Yekini ana miaka mingapi? 1488 Elizabeth Cady Stanton alizaliwa wapi? 1489 Je,Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta ulijengwa mwaka upi? 1490 Mji mkuu wa Kongo ni upi? 1492 Je,nani alizindua chombo cha kupima joto mwilini? 1493 Je,Jerusalem ni mji mkuu wa nchi gani? 1494 Kikokotoo cha kwanza kiligunduliwa na nani? 1496 Bahari kubwa ni ipi? 1497 Je,Sami Khedira alizaliwa mwaka upi? 1499 Kalenda ya Gregori kiligunduliwa na nani? 1500 Je, dunia ni mviringo? 1501 Je,riba ni nini? 1502 Presha ina tiba? 1504 Muziki wa bongo ulianza lini? 1505 Je,nani wa kwanza kufika kwa mwezi? 1506 Je,nchi ya Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla? 1508 Kuku huwa na kilo ngapi kwa wastani? 1509 Je,Ujerumani ina lugha ngapi rasmi? 1510 Je,Shania Twain alianza kuimba mwaka upi? 1511 Je,ugonjwa wa Strongyloidiasis ina tiba? 1512 Bara Ulaya lina idadi ngapi ya watu? 1513 Je,mto mkubwa sana bara Afrika ni upi? 1515 Je,mji mkuu wa Uturuki ni upi? 1516 Marijani Rajabu alianza kuimba akiwa na miaka mingapi? 1518 Luigi Galvani aligundua nini kikuu? 1520 Je,nani alizindua kifaa cha kupima joto mwilini? 1521 Je,tunda la ndizi iko katika kundi gani la mmea? 1522 Je, ni mto gani kubwa nchini Misri? 1524 Rais wa kwanza wa Rwanda anaitwaje? 1525 Je,shule ya Emmaus inapatikana katika nchi gani? 1526 Je,ugonjwa wa saratani ya ngozi una tiba? 1527 Shirika la Hilali Nyekundu lilianzishwa mwaka gani? 1529 Bendi ya Orchestra Mambo Bado iko na wanamziki wangapi? 1530 Je,mto mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi? 1531 Je, Johann Paul Schor alizaliwa mwaka upi? 1532 Je,chungwa iko katika kundi gani ya mimea? 1534 Mlima mkubwa sana duniani inapatikana wapi? 1536 Mji wa Kisii una idadi ngapi ya watu? 1537 Je,mende iko katika spishi gani kwa wadudu? 1538 Lugha ngapi zinatumia herufi za kiarabu? 1539 Je,kuku ako katika spishi gani ya wanyama? 1540 Je, Sepsisi ina tiba? 1542 Mlima kilimanjaro iko wapi? 1543 Je,mji mkuu nchini Nigeria ni upi? 1544 Annie Wersching alizaliwa mwaka upi? 1545 Je,mji mkuu wa Afrika Kusini ni ipi? 1546 Msanii Rayvanny alizaliwa mkoa gani? 1547 Je,nani mwanzilishi wa mtandao wa You tube? 1548 Nchi ya Denmark ina visiwa vingapi? 1549 Homoni iko na maana gani? 1551 Mlima kubwa Uganda ni gani? 1553 Muziki wa Taarab ulianzia wapi? 1554 Je, siku ya yesu kufa husheherekewa wakati upi? 1556 Dini la kikristo lilianzia nchi gani? 1558 Cannabidiol ilivumbuliwa na nani? 1559 Je, kuna watu wanaoishi katika kisiwa cha Msumbiji? 1561 Je,Hendrick Witbooi alizaliwa lini? 1565 Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi? 1566 Je,Jackie Chan ni muigizaji wa kutoka nchi ipi? 1567 Je,nchi ya Vietnamu ina idadi ya watu wangapi? 1568 Je,Kamoya Kimeu alizaliwa lini? 1569 Je,Abdullah bin Faisal Al Saud alizaliwa mwaka upi? 1570 Mlima gani una theluji nchini Kenya? 1571 Je,lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi? 1572 Chanzo kikuu cha kisukari ni gani? 1573 Je,dini ya Katoliki ilianza lini? 1574 Steven Kanumba alizaliwa katika wilaya gani? 1577 Je, lugha rasmi ya Uzbekistan ni ipi? 1578 Je,shirika la umoja wa kimataifa ina wanachama wangapi? 1579 Je,Elia Bombarone wa Cortona alizaliwa lini? 1581 Bahari ya Shamu ina kina kiasi gani? 1583 Je, Stephen Brian "Steve" Tilson alizaliwa mwaka upi? 1584 Je,Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi? 1585 Ukambi ni nini? 1586 Je mlima Everest inapatikana katika bara gani? 1589 Jamestown ina ukubwa gani? 1590 Nani alikuwa rais wa kwanza wa China? 1592 Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwaje? 1593 Je,kisukari ina tiba? 1594 Je,rais wa kwanza wa Burundi aliitwa nani? 1595 Je, msitu mkubwa zaidi duniani ni upi? 1596 Chanzo kuu cha chunusi ni gani? 1598 Je,Bahari Hindi ina ukubwa wa kiasi gani? 1599 Mji mkuu wa Uturuki ni upi? 1601 Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea chuo gani kikuu? 1602 Bahari la Atlantiki liko na ukubwa wa kiasi gani? 1603 Fomula ya kikemia ya zebaki ni ipi? 1604 Kuna takriban wakikuyu wangapi nchini Kenya? 1606 Ndumili ni nini? 1607 Jina Krismasi linatokana na nini? 1608 Je,gazeti la Calgary Sun kilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka upi? 1611 Nyota ni nini? 1612 Je,Johann Bayer alizaliwa mwaka gani? 1613 Nyungunyungu ni nini? 1614 Makao makuu ya shirika la Transparency International yako wapi? 1615 Mawimbi ni nini? 1616 Je,kiswahili ndio lugha rasmi ya nchi ya Tanzania? 1617 Donald Gordon alizaliwa mwaka gani? 1618 Je,mto Nile iko ina urefu wa kilomita ngapi? 1619 Mapinduzi ya Kifaransa yalifanyika mwaka gani? 1620 Steven Frayne alizaliwa wapi? 1621 Je,mlima mrefu zaidi Afrika ni upi? 1622 Atomu ni nini? 1623 Maktoum bin Rashid Al Maktoum alifariki wapi? 1624 Je,Dwight David Eisenhower alizikwa wapi? 1625 Je, Fransisko wa Asizi alizaliwa katika karne gani? 1626 Je,Akwilina Akwilini Bafta alizikwa wapi? 1627 Balbu ilitengenezwa na nani? 1628 Kuna asilimia ngapi ya maji mwilini? 1631 Je,Yevgeniya Yevgeniyevna Polyakova alishinda medali ngapi katika Olimpiki ya 2008? 1632 Je,Marekani ina mikoa ngapi? 1633 Je,ukimwi uligunduliwa lini barani Afrika? 1634 Je,Malawi ilipata uhuru mwaka upi? 1635 Atlantiki ina ukubwa gani? 1636 Kiboko anaishi kwa maji pekee? 1637 Anthony Alexandre Anderson amesoma chuo kikuu gani? 1638 Je,Thabo Mvuyelwa Mbeki alizaliwa lini? 1641 Hispania ina idadi ngapi ya watu? 1642 Je,nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka 2018? 1643 Johann Paul Schor alikuwa mzalishaji wa kitu gani? 1645 Patrick Francis Imanjama ni maarufu kwa kufanya kazi gani? 1646 Je,Gamalieli alizaliwa katika karne gani? 1647 Je,Bill Gates alisomea katika chuo kikuu gani? 1649 Je Tupac Shakur alikuwa na miaka ngapi wakati wa kifo chake? 1650 Lugha ya kiswahili ilitokea wapi? 1651 Je,mnyama mkubwa kabisa porini ni yupi? 1652 Aina za rangi ni gani? 1653 Mlima mkubwa nchini Albania unaitwaje? 1654 Je,Luís Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka upi? 1655 Je, Kenya ilitengeneza katiba kwa mara ya kwanza mwaka upi? 1657 Umoja wa Kisovyeti ulianza lini? 1658 Nchi ya Zaire ni sehemu ya Kongo? 1659 Sudani Kusini ilipata Uhuru mwaka gani? 1660 Musa alifariki na miaka mingapi? 1662 ESA ilizinduliwa mwaka gani? 1663 Sababu kuu ya Kupooza kwa ubongo ni ipi? 1664 Je paka ako kwenye kundi gani ya wanyama? 1665 Je,Sofia ni mji mkuu wa nchi gani? 1666 Je,mchezo wa rugby ulianza mwaka upi? 1667 Je, kuna aina ngapi za fasihi? 1668 Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Kenya? 1670 Saratani husababishwa na nini? 1671 Je, popo iko katika spishi gani ya ndege? 1672 Je,ubongo ni nini? 1673 Je,Jan Kacper Bednarek alijiunga na klabu ya Southampton mwaka upi? 1675 Bara Ulaya lina ukubwa gani? 1676 Je,mchezo wa soka ulianza katika nchi gani? 1678 Je, Misri ilipata uhuru mwaka upi? 1679 Je,nani rais wa kwanza wa Rwanda? 1680 Je,ugonjwa wa homa ya matumbo inasababishwa na nini haswa? 1681 Je,gesi ni nini? 1682 Mji mkuu wa Honduras ni? 1683 Carl Weathers alizaliwa mwaka gani? 1684 Je,mji mkuu wa Eritrea ni upi? 1685 Kemia ni nini? 1686 Mwana muziki Tupac Shakur alikufa mwaka gani? 1687 Je,mji mkuu wa Tanzania ina idadi ya watu wangapi? 1688 Ni jengo gani kubwa zaidi nchini Dubai? 1690 Je,rais wa kwanza wa Uganda aliitwa nani? 1691 Kuna mikoa mingapi nchini Tanzania? 1692 Wafransisko wa Utawa wa Kwanza ni wa Karne gani? 1693 Kampala ina idadi ngapi ya watu? 1695 Mji mkuu wa Wales ni upi? 1696 Mfuasi wa mwisho wa Yesu anaitwa nani? 1698 Vuvuzela ya kwanza ilitengenezwa na nani? 1699 Je,sayari gani yenye umbali zaidi kutoka kwa jua? 1700 Je,waluo wako katika jamii ya Waniloti? 1701 Je,Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla? 1702 Je,uti wa mgogngo ni nini? 1704 Je,Federico "Kiko" Macheda alizaliwa mwaka upi? 1705 Je,dhahabu inapatikana nchini Kongo? 1706 Kitongoji duni kikubwa nchini Kenya kinaitwaje? 1707 Je,rais wa kwanza wa Gabon anaitwa nani? 1708 Je,Japani ina idadi ya watu wangapi? 1709 Ukubwa wa nchi ya Tanzania kijiographia ni kiasi gani? 1710 Bahari ya Atlantiki ina ukubwa gani? 1711 Je,Otto von Bismarck alikuwa na watoto wangapi? 1712 Je,kuna saratani ya figo? 1713 Rais wa kwanza wa Mexico aliitwa nani? 1715 Je,nani mwanzilishi wa kitabu cha rekodi cha Guiness? 1716 Mji mkuu wa Ufilipino unaitwaje? 1717 Je,rais wa kwanza wa Ethiopia alikuwa nani? 1718 Je,George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi? 1719 Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya? 1720 Je, Salah ad-Din alizaliwa mwaka gani? 1723 Je, nini maana ya Sumakuumeme? 1724 Je,Ghana ilipata uhuru mwaka upi? 1725 Ni nani alitengeneza meli ya kwanza duniani? 1726 Kevin Peter Hall alizaliwa wapi? 1727 Je,nani rais wa kwanza wa Uganda? 1728 Je, Ligi Kuu Uingereza ilianza mwaka upi? 1730 Je,klabu ya Manchester United imeshinda taji ya ubingwa bara Uropa mara ngapi kufikia mwaka 2018? 1731 Je,mji mkuu wa Kenya ni ipi? 1732 Je, Karolo mkuu alikuwa na watoto? 1733 Jangwa la Namib lina ukubwa gani? 1734 Je,ndovu hubeba uja uzito kwa miezi ngapi? 1735 Sanamu ya Uhuru wa New York ilikuwa zawadi kutoka nchi gani? 1736 Mji mkuu wa Ethiopia ni gani? 1738 Je,Anibal Ibarra alizaliwa lini? 1739 Je, mfumo wa kwanza wa upangaji uzazi ulianza lini? 1740 Bahari la Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani? 1741 Nchi ya Italia ina Ziwa ngapi? 1742 Nchi ya Nigeria ina makabila mangapi? 1743 Je, familia ya Kenyatta ni ya Ufalme? 1744 Rais wa nne wa Marekani aliitwa nani? 1745 Kampuni ya Rockport ilianzishwa mwaka gani? 1746 Henry Fonda alikuwa na wake wangapi? 1747 Ziwa kubwa zaidi duniani ni gani? 1750 Je,Marko Polo alizaliwa nchi gani? 1751 Je,mwanamziki 2Face Idibia alizaliwa mwaka upi? 1752 Virusi ni nini? 1753 Sergei Mikhailovich Eisenstein alizaliwa wapi? 1755 Je, kuna kundi nyota ngapi? 1757 Je,mji mkuu wa Palestina ni upi? 1758 Ni mlima upi mrefu bara la Afrika? 1759 Je,rangi ya nyeupe katika bendera ya Kenya inaashiria nini? 1760 Kisiwa kikubwa kinaitwaje? 1761 Je, Angola ilipata uhuru mwaka upi? 1762 Steven Kanumba alifariki akiwa na miaka mingapi? 1763 Bakteria ni nini? 1764 Ni mwanasayansi yupi wa kwanza kugundua kuhusu atomi? 1765 Je,mpira wa vikapu ulianza lini duniani? 1766 Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi? 1767 Je,mhusika mkuu wa filamu ya 24 ni nani? 1768 Je,nini haswa huleta minyoo kwa tumbo ya binadamu? 1769 Nchi ya Sudan kusini ina idadi ngapi ya watu? 1773 Je, bahari kubwa zaidi duniani ni gani? 1774 Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia? 1775 Je,Mji mkuu wa Brazil ni upi? 1776 Je,Ziwa kubwa zaidi Afrika ni ipi? 1777 Mwanamuziki Madonna alizaliwa mwaka upi? 1779 Je,Sahara desert inapatikana katika bara gani? 1780 Je,P,Diddy ana watoto wangapi? 1781 Je,nani alizindua saa ya mkono ya kwanza? 1783 Je nani mmiliki wa kampuni ya Microsoft? 1784 Je,Usain Bolt alizaliwa lini? 1785 Je,bahari Hindi ina ukubwa kiasi gani? 1786 Je,bara Ulaya ina idadi ya watu wangapi? 1787 Richard Vincent Corleleus Petrus alizaliwa wapi? 1788 Je,Agano Jipya ina vitabu ngapi? 1789 Gesi ni nini? 1790 Robert Braden alizaliwa wapi? 1791 Je,makao makuu ya kampuni ya viatu ya Alden inapatikana wapi? 1792 Je, kuna programu ngapi za Kompyuta? 1793 Je,jina la kisayansi la Kulungu aktiki ni ipi? 1794 Gari la kwanza lilitengenezwa mwaka gani? 1795 Je,nani mmiliki wa East African Breweries? 1798 Je,nani mwanzilishi wa chama cha Hamas? 1799 Mwanamziki Eminem alizaliwa mwaka upi? 1800 Je,jina halisi la mwanamziki Diamond Platnumz ni gani? 1801 Je,rais wa kwanza wa Mexiko aliitwa nani? 1802 Jina ya kuzaliwa ya msanii T-Pain ni nini? 1803 Wilaya ya mwanza ina idadi ngapi ya watu? 1805 Masi ni nini? 1806 Kilimo cha nyanya kilianza lini? 1807 Je,Davido ni mwanamziki kutoka nchi gani? 1810 Jina Jupiter linatokana na nini katika Dini ya Roma? 1811 Ndovu anaishi kwa miaka mingapi? 1812 Leo Africanus alisomea wapi? 1814 Rais wa Rwanda anaitwaje? 1817 Kongo ilipata uhuru mwaka gani? 1819 Kanisa la Anglikana lilianzishwa na nani? 1820 Ndovu huishi kwa miaka ngapi? 1821 Kuna joto kiasi gani katika sayari Zuhura? 1822 Kupooza kwa ubongo kuna tiba? 1823 Lulu Ng’wanakilala alisomea chuo kikuu gani? 1824 Je,Rwanda ilipata uhuru mwaka upi? 1827 Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Portland tribune? 1828 Shule ya Kimataifa ya Brookhouse ina bweni malazi kwa wanafunzi wangapi? 1829 Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani? 1830 Je,mke wa Tom Mboya anaitwa nani? 1831 Je,mji mkuu wa Malawi ni gani? 1832 Je,mamba iko katika spishi gani ya wanyama? 1833 Je,gari la aina ya Volks Wagen ina makao makuu yake nchi gani? 1834 Neno penzi kwa kigiriki ni? 1836 Je,nani mwanzilishi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia? 1837 Uingereza ina visiwa vingapi? 1839 Gideon Moi alizaliwa mwaka gani? 1841 Je,Fiji iko katika bara gani? 1842 Je,Amerigo Vespucci alizaliwa mwaka upi? 1847 Adolf Hitler alizaliwa nchi gani? 1848 Je,mbu anaye sababisha Malaria anaitwaje? 1850 Tanzania iko na idadi ngapi ya watu? 1851 Mark Elliot Zuckerberg alisomea wapi chuo kikuu? 1852 Je, sayari ya Pluto ina ukubwa gani? 1854 Klabu ya soka ya Manchester United ilianzishwa mwaka upi? 1855 Mji mkuu wa Malawi ni upi? 1856 Chokoleti ya kwanza ilitengenezwa nchini gani? 1857 Kevin Peter Hall alizaliwa mwaka upi? 1859 Mji mkuu wa kuba ni upi? 1861 Ipsiloni ni nini? 1862 Je, Irene Kiwia ana mume? 1863 Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Marekani? 1864 Ni nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka wa 2006? 1865 Je,ni chuo gani cha upili kongwe zaidi nchini Kenya? 1866 Je,ni nchi ngapi Afrika haikutawaliwa na Koloni? 1868 Elijah Masinde alizaliwa wapi? 1869 Alain Kahanga Dekula ameshirikiana na bendi gani la muziki? 1870 Je,Zinedine Yazid Zidane aliteuliwa kuwa mkufunzi wa Real Madrid mwaka upi? 1871 Je, bahari ya Mediteranea ina ukubwa gani? 1872 Je,Rwanda ina idadi ya takriban watu wangapi? 1873 Je, ni kweli lugha ya Kiswahili ilitoka kwa Waarabu? 1875 Je.msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni upi? 1876 Je, kuna kalenda ya wayahudi? 1877 Kanisa la katoliki lilianza mwaka upi? 1878 Rais wa kwanza wa nchi ya Urusi anaitwa nani? 1879 Sayari ni nini? 1880 Je,Catherine Ndereba alikuwa mwanariadha wa mbio gani? 1881 Côte d'Ivoire iko na idadi ngapi ya watu? 1882 Kampaundi ya TNT iligunduliwa mwaka gani? 1883 Christopher Colombus alizaliwa mwaka upi? 1884 Nani alizindua somo la kemia mara ya kwanza duniani? 1885 Wilfred Ombui Moriasi alijiunga na siasa mwaka gani? 1886 Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni gani? 1887 Günter Wilhelm Grass alizaliwa wapi? 1888 P. Diddy ana watoto wangapi? 1889 Je,New Zealand ina idadi ya watu wangapi? 1890 Je,jina la kisayansi ya ndimu ni ipi? 1891 Je,jangwa la Sahara linapatikana katika bara gani? 1894 Je,hoteli ya Hilton inamilikiwa na nani? 1896 Mji wa Adıyaman una ukubwa gani? 1898 Je,rais wa pili wa Marekani alikuwa nani? 1902 Je,Umaru Musa Yar'Adua alizaliwa mwaka upi? 1903 Ndovu husihi kwa miaka ngapi? 1904 Je, mji mkuu wa Estonia ni upi? 1906 Je,sayari ndogo duniani ni gani? 1907 Mji mkuu wa Ubelgiji ni upi? 1908 Bill Gates alizaliwa mwaka upi? 1909 Nguchiro miraba ana rangi ngapi? 1910 Bibilia ina vitabu vingapi kwa jumla? 1911 Bara Arabu lina ukubwa gani? 1912 Je,Oliver Mtukudzi alizaliwa mwaka upi? 1913 Je,Zamaradi Mketema alianza utangazaji lini? 1915 Je,mji wa Dameski ina idadi ya watu wangapi? 1917 Je,Uqba ibn Nafi alizaliwa lini? 1918 Je, Uganda ilipata uhuru mwaka gani? 1919 Je,Ligi Kuu Uingereza ilianzishwa mwaka upi? 1920 Saidi Ntibazonkiza alizaliwa mwaka gani? 1921 Mwanamziki Franco Luambo Makiadi alijulikana kwa mziki wa aina gani? 1922 Mlima Kilimanjaro una urefu wa kiasi gani? 1924 Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? 1925 Nani alijenga ukuta mkubwa wa China? 1927 Nani rais wa Nigeria? 1929 Makao makuu ya Umoja wa mataifa inapatikana nchi gani? 1930 Je,jina la kisayansi la chungwa ni gani? 1931 Nani mhusika mkuu wa kipindi ya 24? 1932 Mnyama mgani ni mkubwa duniani? 1933 Je,Dknob alizaliwa mwaka upi? 1934 Rais Kennedy aliuawa mwaka upi? 1935 Je,kuna saratani ya Ubongo? 1937 Je, Hispania ina idadi ngapi ya watu? 1939 Mto mkubwa zaidi duniani unaitwaje? 1940 Je,Borja Mayoral Moya alizaliwa mwaka upi? 1941 Neil Armstrong alienda mwezini kwa kifaa gani? 1942 Je,lugha rasmi nchini Uganda ni gani? 1943 Rais wa nchi ya Rwanda anaitwaje? 1945 Je,Lee Anderson Grant alizaliwa mwaka upi? 1947 Mji mkuu wa Madagascar unaitwaje? 1948 Mji mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi? 1949 Je,Zinedine Zidane ni mzaliwa wa nchi gani? 1950 Diamond Platnumz ana watoto wangapi? 1952 Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa anaitwa nani? 1954 Ugonjwa wa Cholera ulianzia nchi gani? 1955 Je, Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo kikuu kipi? 1956 Je,mji mkuu wa Urusi ni ipi? 1957 Je,Julius Nyerere aliaga dunia mwaka upi? 1959 Ni nchi gani inayo tengeneza sigara kwa wingi ulimwenguni? 1962 Je,Carl Weathers alizaliwa lini? 1963 Je,ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni upi? 1964 Meno ya kwanza ya mtoto huanza kuota akiwa na umri gani? 1965 Je, Ali Muhsin Al-Barwani alisomea katika chuo kikuu gani? 1966 Homa ya Bonde la Ufa iligunduliwa lini? 1967 Je,Víctor Hipólito Martínez alikuwa katika chama gani cha kisiasa? 1969 Sudan Kusini ilipata uhuru mwaka gani? 1970 Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya facebook? 1971 Je,ugonjwa wa kisukari ina dawa? 1972 Amos Biwott alizaliwa mji gani? 1973 Mji mkuu wa Jamaica ni upi? 1974 Je,ndovu ndiye nyama mkubwa kabisa wa pori? 1975 Rais wa kwanza Tanzania aliitwa nani? 1976 Je,virusi ni nini? 1977 Neno wakristo linatokana na nini? 1978 Je, mji mkuu wa Ghana ni upi? 1979 Je, Rosebud Violet Kurwijila ana watoto wangapi? 1980 Je,Fat Joe alianza mziki mwaka upi? 1981 Je, Jennifer Garner alianza uigizaji mwaka upi? 1983 Je,mji wa Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi? 1984 Je,ziwa kubwa zaidi duniani ni ipi? 1985 Je, Freddy Ndala Kasheba alizaliwa mwaka upi? 1986 Je, nini maana ya Kemia? 1987 Froot Loops ilizinduliwa mwaka gani? 1988 Je,mwanamziki Afande Sele ni mzaliwa wa nchi gani? 1989 Je bahari kuu ni kubwa kuliko kontinenti? 1990 Je,Joshua Nkomo alizaliwa lini? 1991 Mohamed Said Salum anafahamika zaidi kwa kitabu gani? 1992 Je,kasoko gani kubwa zaidi duniani? 1993 Je,Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia ina makao makuu yake nchi gani? 1995 Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na watoto wangapi? 1996 Mchezo wa kriketi huchezwa na wachezaji wangapi kila upande? 1997 Bahari Hindi ina ukubwa gani? 1998 Je, msichana hufika umri wa kubaleghe akiwa na miaka mingapi? 1999 Je,Zambia ina makabila ngapi? 2001 Je,kuku anaweza ishi kwa miaka ngapi takriban? 2003 Je, Adolf Hitler alifariki mwaka gani? 2004 Tanzania ina mikoa mingapi? 2005 Je,Diamond Platnumz alizaliwa lini? 2006 Je,Leopold II alizaliwa mwaka upi? 2007 Utaratibu wa alama za kimataifa za magari ulianzishwa mwaka gani? 2008 Klabu ya Manchester United inamilikiwa na nani? 2009 Je,mto mubwa zaidi duniani ni upi? 2010 Nani alishinda mashindano ya American idol kwa mara ya kwanza? 2015 Je,astronomia wa kwanza duniani alikuwa nani? 2016 Kenya ilipata huru wao mwaka gani kutoka kwa wakoloni? 2017 Kamusi ya kwanza ya kiswahili iliandikwa na nani? 2018 Muziki wa aina ya hip hop ulianzia nchi gani? 2019 Mji mkuu wa Dodoma una takriban watu wangapi? 2020 Nani alikuwa mwanafalsafa wa kwanza ugiriki? 2021 Je, mamake 2Pac anaitwa nani? 2022 Mto mrefu zaidi duniani ni gani? 2024 Kuna aina ngapi za kalenda ulimwenguni? 2025 Chuo Kikuu cha Benin kilianzishwa mwaka upi? 2027 Je,Adolf Hitler alikuwa kiongozi wa chama gani cha kisiasa? 2028 Je,ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa lini duniani? 2029 Je, kuna kemikali katika utumbo mpana? 2030 Steven Kanumba alizaliwa mwaka upi? 2031 Ludwig van Beethoven alizaliwa lini? 2033 Je, Ujerumani ilishiriki katika kombe la dunia mwaka wa 2018? 2034 Je, mlima mgani mrefu zaidi bara Afrika? 2035 Intaneti ilianza kutumika nchi gani mara ya kwanza? 2036 Jihadi ya Kiislamu ya Misri ilianza mwaka upi? 2037 Je,jina Haile Selassie ina maana gani? 2038 Je,Alpha Blondy alizaliwa mwaka upi? 2039 Je, Kulungu aktiki ana urefu kiasi gani? 2040 Sudan ilijitenga na Sudan Kusini mwaka gani? 2042 Ziwa Tanganyika lina ukubwa gani? 2043 Je,mjii mkuu wa Nigeria ni upi? 2044 Je, Mae Carol Jemison alisomea katika chuo kikuu gani? 2045 Je,Cristiano Ronaldo dos Santos alizaliwa mwaka upi? 2046 Uyahudi ni nini? 2048 Nani mwanzilishi wa shule St. Andrews "Turi"? 2049 Kamerun ilipata uhuru mwaka gani? 2050 Chanzo cha hedhi ni nini? 2051 Amerigo Vespucci ni mwenyeji wa nchi gani? 2052 Simba hubeba mimba kwa muda gani? 2053 Euclid alikuwa nani? 2055 Bayern Munich ilianzishwa lini? 2056 Je,Adrenali ni nini? 2057 Rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani? 2058 Saratani inatibiwa kwa njia gani? 2059 Paka mrefu ana futi ngapi? 2061 Je,kanisa la katoliki kubwa kabisa nchini Italia ni ipi? 2063 Je,Mwai Kibaki alisomea chuo kikuu cha Makerere? 2064 Nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka gani? 2066 Je,mji wa Almere ina idadi ya watu wangapi? 2067 Je,Kamerun ina idadi ya watu wangapi? 2069 Je, ziwa Viktoria lina kina kiasi gani? 2070 Je kibunga ni nini? 2072 Bakteria ya Klamidia ina tiba? 2073 Je,mji mkuu wa Jamaika ni upi? 2075 Adolf Hitler alitawala kwa muda gani? 2076 Nani mwanzilishi wa kitu cha CNN? 2077 Mlima mrefu nchini Kenya ni upi? 2078 Ndezi ana ukubwa gani? 2079 Norwei ina idadi ngapi ya watu? 2082 Mji mkuu wa nchi ya Iceland unaitwaje? 2084 Historia ya teknolojia ilianzia wapi? 2085 Je,Haile Selassie alizaliwa mwaka upi? 2087 Je,mke wa Donald Trump anaitwa nani? 2088 David Munyasia alipatikana na makosa ya kuvunja kanuni za Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki mwaka gani? 2090 Homa ya nyongo C iligunduliwa mwaka gani? 2093 Simu ya upepo ilizinduliwa lini? 2096 Mama ya Isa kulingana na Qurani alikuwa anaitwa aje? 2099 Al Jazeera ilianza mwaka gani? 2102 Je,ugonjwa wa shinikizo la juu la damu mwilini una tiba? 2104 Elementi ni nini? 2106 Je,mji mkuu wa Eritrea? 2107 Kiongozi wa bendi ya Westlife anaitwa nani? 2108 Je,Mandakini Kihindi alizaliwa lini? 2109 Biblia ya kikristo ina vitabu vingapi kwa jumla? 2110 Makao makuu la shirika la Msalaba Mwekundu iko wapi? 2111 Inter-territorial Language ilianzishwa lini? 2112 Mwanamziki Beyonce alizaliwa mwaka upi? 2114 Je,msitu mkubwa zaidi duniani ni upi? 2115 Je,William Shakespeare alizaliwa lini? 2117 Kuna takriban nyota ngapi? 2118 Je, Alkoholi ni mihadarati? 2119 Hispania iko na idadi ngapi ya watu? 2120 Mkoa wa Dar es Salaam una idadi ngapi ya watu? 2121 Je,nani mwazilishi wa kanisa la katoliki duniani? 2123 Mji mkuu wa Korea unaitwaje? 2124 Je,rais wa kwanza wa Tanzania anaitwa nani? 2126 Jina la ugonjwa wa saratani linatokana na nini? 2127 Je, Urusi ina ukubwa wa kilomita ngapi? 2129 Bahari kubwa Kenya ni gani? 2130 Umoja wa Mataifa ulianzishwa mwaka gani? 2135 Je, ni timu ngapi zipo katka chama cha FIFA? 2136 Je, mpira wa kikapu huwa na wachezaji wangapi? 2137 Je,mji mkuu Namibia ni upi? 2138 Je,Cherry Jones alizaliwa lini? 2139 Je, kuna jamii ya waluo nchini Tanzania? 2143 Je,ugonjwa wa polio una tiba? 2144 Mji mkuu wa Chile ni upi? 2145 Tanzania ilipata uhuru mwaka upi? 2146 Rais wa Urusi ni nani? 2149 Je,mlima Karmeli inapatikana nchi gani? 2150 Ni ziwa gani kubwa zaidi nchini Kenya? 2151 Je, ziwa Nakuru lina maji ya aina gani? 2152 Je,mji mkuu wa Brazil ni upi? 2154 Je,LL Cool J alizaliwa mwaka upi? 2156 Je,East African Breweries inamilikiwa na nani? 2157 Mkoa wa Flevoland ulianzishwa mwaka upi? 2158 Je,mji wa Bergisch Gladbach ina idadi ya watu wangapi? 2159 Je kuna watu huishi kwa jangwa la Sahara? 2160 Je,mji mkuu wa Israel ni upi? 2161 Zheng He alizaliwa mwaka upi? 2162 Lugha ni nini? 2163 Je ni nchi gani kubwa bara Afrika? 2164 Tarakilishi ya kwanza duniani ilizinduliwa na nani? 2165 Uvuvi nchini Angola ulianza lini? 2166 Nini maana ya mtaguso? 2167 Je Masedonia inapatikana Ugiriki? 2168 Je, Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka upi? 2169 Je,David James Thouless alizaliwa lini? 2172 Togo ina idadi ngapi ya watu? 2174 Je,nchi ya Marekani inatumia sarafu gani? 2175 Nchi ya Misri ilitawaliwa na mkoloni? 2176 Je, ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima wa Kilimanjaro? 2177 Ndege ya kwanza ilitengenezwa na nani? 2178 Je, Ghana ilipata uhuru mwaka upi? 2179 Je,George Weah aliwahi chezea klabu ya Arsenali? 2182 Indonesia ipo kati ya bahari ngapi? 2183 Vita vya pili duniani viliisha mwaka upi? 2184 Je,Ellen DeGeneres alizaliwa mwaka upi? 2186 Je,Collins Injera anachezea timu gani ya raga nchini Kenya? 2187 Mji mkuu wa Poland unaitwaje? 2189 Timu ya taifa ya Wales ilianzishwa mwaka gani? 2190 Je,kuna dawa y a kuuwa minyoo? 2191 William Mshindi alizaliwa wapi? 2193 Nani rais wa kwanza wa Uganda? 2194 Martin Luther alianzisha dini ngapi? 2195 Kleopatra alikuwa malkia wa mfalme yupi? 2199 Vita vya pili duniani vilianza mwak upi? 2200 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH amechezea timu ngapi? 2201 Ivory Coast iko na idadi ngapi ya watu? 2202 Ni nchi ngapi barani Afrika zina zungumza lugha ya Kiswahili? 2203 Rais wa Tanzania mwaka 1987 anaitwa nani? 2204 Kuna nyota ngapi ngani? 2206 Je,chui iko katika spishi gani ya wanyama? 2207 Satelaiti ya kwanza ilianza kuzunguka dunia mwaka gani? 2209 Rais wa kwanza wa Gabon alikuwa anaitwa nani? 2210 Muziki wa Taarab ulianzia nchi gani? 2212 Alizeti ni maua ya rangi gani? 2213 Bahari ya hindi iko na ukubwa wa kiasi gani? 2214 Elementi ya Gerimani iligunduliwa na nani? 2215 Bie ni nini? 2217 Elizabeti alipata mtoto akiwa na umri gani? 2218 Bara Arabu ina ukubwa gani? 2219 Je wimbo wa Dear Mama wa tupac shakur ilikuwa katika albamu gani yake? 2222 Robert Baden-Powell alizikwa wapi? 2223 Lugha rasmi ya nchi ya Ethiopia ni ipi? 2225 Je,Tha Trademarc alizaliwa mwaka upi? 2226 Jina la 2Pac la kuzaliwa ni gani? 2228 Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa wapi? 2229 Je,makao makuu ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu iko wapi? 2230 Raila Amolo Odinga alianza siasa mwaka upi? 2231 Isopodi ana miguu mingapi? 2232 Je,nani mwanzilishi wa muziki wa hip hop Marekani? 2233 Je, nchi ya Tanzania ina idadi ngapi ya watu? 2237 Je,sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya? 2238 Je, Malawi ilipata uhuru mwaka upi? 2239 John Michael Kosterlitz alizaliwa wapi? 2240 Je,idadi ya watu nchini Cote d'Ivoire ni ngapi? 2241 Kuna mataifa mangapi ya Waarabu ulimwenguni? 2242 Je, tufe ni nini? 2243 Ufugaji wa Kuku ulianza mwaka gani? 2244 Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka upi? 2246 Armand Traoré alizaliwa katika mji gani? 2247 Mji mkuu wa Mali unaitwaje? 2248 Ziwa Victoria ina urefu wa kiasi gani? 2249 Eva, alishawahi kuelezewa nini na gazeti la Vogue? 2250 Je,mwanamke anaweza pata uja uzito akiwa katika hedhi? 2251 Je,John Saxon alizaliwa mwaka upi? 2252 Je,Nelson Mandela alifungwa jela miaka ngapi? 2253 Mji mkuu wa Urusi ni upi? 2254 Je,kuacha uraibu wa dawa za kulevya ni rahisi? 2255 Mji mkuu wa urusi ni upi? 2256 Je,Brian Haule alianza mziki mwaka upi? 2259 Je,biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki ilianza lini? 2261 Je, reli ya SGR ya Kenya ilianza kutengenezwa lini? 2262 Je,mjii mkuu wa Israeli ni upi? 2263 Nkashama Kanku Kelly alizaliwa wapi? 2264 Albamu ya Allow Us to Be Frank ina nyimbo ngapi? 2265 Je, kuna visiwa vingapi katika bara Australia? 2266 Je, utumbo mwembamba una urefu gani? 2267 Je, Kamanda wa jeshi kuu la Sudan mwaka 2008 anaitwa nani? 2268 Je, Diamond Platnumz alizaliwa lini? 2269 Je,Bonnah Moses Kaluwa alizaliwa lini? 2270 Utumbo mdogo una ukubwa gani? 2271 John F. Kennedy aliuawa mwaka upi? 2272 Raila Amolo Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi? 2273 Frances Ford Seymour aliolewa mara ngapi? 2274 Je,Dk. John Robert Ouko alikuwa katika chama gani cha kisiasa? 2277 Jina dikteta linatokana na nini? 2279 Je,nchi ya Kongo ina idadi ya watu wangapi? 2280 Je,Mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani? 2281 Nkashama Kanku Kelly aliingia kwenye sanaa mwaka gani? 2282 Je, mawingu hutokana na nini? 2283 Je,ni bara gani yenye jangwa kubwa zaidi? 2284 Je, mji mkuu wa Florida ni upi? 2287 Rais wa kwanza wa uhabeshi aliitwa nani? 2289 Nyerere alitawala Tanzania kwa muda gani? 2291 Je, Nagib Mahfuz alisomea chuo kikuu gani? 2292 Je,Tupac Shakur alizaliwa lini? 2293 Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi? 2294 Luís Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka gani? 2295 Rais wa pili wa nchi ya Tanzania anaitwa nani? 2296 Msanii Diamond Platnumz wa Tanzania ana watoto wangapi? 2298 Je, uwanja wa ndege wa JKIA ulifunguliwa mwaka gani? 2299 Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi kilianzishwa mwaka upi? 2300 Emmaus Shule ya Biblia iko sehemu gani? 2301 Je,Saratani ya ini ina tiba? 2302 Je,kampuni ya Volkswagen ilianza mwaka upi? 2305 Postkodi ya mkoa wa Mara ni ipi? 2306 Johann Paul Schor alizaliwa mwaka gani? 2307 Ziwa Viktoria lina ukubwa gani? 2310 Je,Italia inatumia sarafu gani? 2312 Je,lugha rasmi ya Ugiriki ni gani? 2314 Je,nchi ya Iceland iko katika bara gani duniani? 2315 Je,Masinde muliro alizaliwa mwaka upi? 2316 Je,lady Jay Dee alizaliwa mwaka upi? 2317 Kindi-miamba ana urefu gani? 2318 Je sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya? 2319 Je,chuo kikuu cha Strathmore kilianza mwaka upi? 2320 Elijah Masinde alizaliwa katika wilaya gani? 2321 Paulo wa Tarso alifariki akiwa na miaka mingapi? 2322 Je,lugha rasmi ya kitaifa ya Uganda ni ipi? 2323 Mamake Tupac Shakur anaitwa nani? 2325 Je,ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi kwa jumla? 2326 Nuru ni nini? 2328 Je,Rwanda ina idadi ya watu wangapi? 2329 Mji mkuu wa Nigeria unaitwaje? 2331 Geline Alfred Fuko ndiye mtu wa kwanza kutengeneza kitu gani? 2332 Je,sayari gani ndogo zaidi? 2334 Alizeti huwa na urefu gani? 2336 Je,msimu wa kwanza wa kipindi cha Heroes ina sehemu gani? 2337 Je,Bonnah Moses Kaluwa alisomea shule ya upili gani? 2338 Je,Kristine Sutherland alisomea katika chuo kikuu gani? 2341 Je,Vicensia Alfred Fuko alisomea katika chuo kikuu gani? 2343 Ferdinand Magellan alikuwa mtu wa kwanza kufanya nini? 2347 Trevor Noah alizaliwa wapi? 2350 Je, mji mkuu wa Kazakhstan unaitwaje? 2351 Je,punda hubeba mimba kwa muda gani? 2354 Vipofu husoma kwa njia gani? 2355 Sami Khedira alizaliwa wapi? 2356 Je,idadi ya watu nchini Nigerian ni ngapi? 2357 Muziki wa hip hop ulianza mwaka gani? 2358 Je,nani mwandishi wa filamu ya Juice? 2359 Lucky Dube alikuwa wa nchi gani? 2360 Katiba ina maana gani? 2361 Je,idadi ya watu nchini Vietnam ni ngapi? 2362 Je,simba anaeza ishi kwa takriban miaka ngapi? 2363 Je,bahari ya Pasifiki ina ukubwa kiasi gani? 2365 Je,Christiano Ronaldo ni raia wa nchi gani? 2366 Nani alizindua chombo cha kupima joto? 2367 Je,rais Uhuru Kenyatta alizaliwa lini? 2368 Je,wimbo wa Fred Astaire wa The Way You Look Tonight uliimbwa mwaka upi? 2369 Variola major ni nini? 2370 Rais wa pili wa Tanzania aliitwa nani? 2371 Carleton Gajdusek alizaliwa mwaka gani? 2373 Je,stesheni ya televisheni ya CNN ilianza mwaka upi? 2374 Raila Odinga alizaliwa mwaka upi? 2375 Je,bara Hindi ina ukubwa wa kiasi gani? 2377 Imamu wa kwanza anaitwa nani? 2378 Mwanasoka Christiano Ronaldo alizaliwa mwaka upi? 2379 Je, mfumo wa NATO ulianzia wapi? 2380 Japani iko na idadi ngapi ya watu? 2381 Puku ni nini? 2383 Mbinu ya rediokaboni ilianza mwaka gani? 2386 Je, Tupac Shakur alizaliwa mwaka upi? 2387 Je nchi ya Chad ina idadi ya watu wangapi? 2390 Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni upi? 2392 Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH alizaliwa wapi? 2394 Je, Yesu Kristo alikuwa na ndugu? 2395 Je, Lambo kubwa ulimwenguni linaitwaje? 2396 Je,Ziwa gani kubwa zaidi duniani? 2397 Kirsten Prout alizaliwa mwaka gani? 2398 Je,Jokate Mwegelo alijiunga na siasa mwaka upi? 2399 Kuna elementi ngapi ? 2400 Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya youtube? 2401 Je, ziwa kubwa zaidi barani Asia linaitwaje? 2402 Urusi ina ukubwa gani? 2403 Je,Arusha ina idadi ya watu wangapi? 2405 Je,nani kiongozi wa kundi la muziki la Westlife? 2406 Je, Tanzania ilipata uhuru mwaka gani? 2409 Kombe la Mataifa ya Afrika lilianzishwa lini? 2410 Mto Kongo una urefu kiasi gani? 2413 Emmaus Shule ya Biblia ilianzishwa mwaka gani? 2415 Eneo la Mediteranea lina ukubwa gani? 2416 Je, lugha ya taifa ya Uthai ni ipi? 2417 Je,ni kweli kuwa simba wa kike ndiye huwinda? 2418 Nairobi iko na idadi ya watu wangapi? 2419 Britney Spears ana albamu ngapi? 2420 Rangi ya Kijani katika bendera ya Jibuti inaashiria nini? 2421 Vita vya pili vya dunia iliisha mwaka upi? 2422 Je, kuna elementi ngapi katika jedwali la elementi? 2423 Je,Wamaasai wanapatikana kwa wingi katika sehemu gani ya Kenya? 2424 Nematodi ni nini? 2425 Kitabu cha Fioretti kiliandikwa mwaka upi? 2427 Intaneti iligunduliwa mwaka upi? 2428 Je,idadi ya watu Uhispania ni ngapi? 2429 Nini maana ya kaviti? 2430 Ni mji gani nchini Nigeria yenye idadi kubwa ya watu? 2433 Je,Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi? 2435 Je,Kamerun ilipata uhuru mwaka upi? 2436 Chama cha Forum for the Restauration of Democracy kilianzishwa na nani? 2437 Je,Zimbabwe ilijipatia uhuru mwaka upi? 2438 Je,Rita Dominic alianza uigizaji mwaka upi? 2442 Kanisa ya kwanza ya katoliki ilijengwa wapi? 2443 Roketi ya kwanza ina jina gani? 2444 Je,Trevor Noah alizaliwa lini? 2445 Je,Neil Armstrong alizaliwa mwaka upi? 2446 Zuhura ina kipenyo cha mita ngapi? 2447 Je,Jupiter ndio sayari kubwa zaidi? 2448 Je,Fransisko wa Asizi aliteuliwa kuwa mtawala lini? 2450 Je,ni dini gani yenye watu wengi zaidi Jamaika? 2451 Je,simba hubeba mimba kwa muda gani? 2456 Je,ni watu wangapi walikufa katika Mauaji ya Kimbari ya Rwanda? 2457 Je,mji mkuu wa Sudani ni upi? 2459 Je,nini maana haswa ya Katiba? 2460 Je, mchezaji Michael Jordan alikuwa anacheza mchezo upi? 2461 Je,Gantt alizindua chati mwaka upi? 2462 Ali Muhsin Al-Barwani alizaliwa mwaka gani? 2463 Makao makuu ya umoja wa mataifa iko wapi? 2464 Je,Sungura wa Kizungu ana rangi gani? 2467 Je,Nkashama Kanku Kelly alizaliwa mwaka upi? 2468 Allen Dennis Mitchell alizaliwa mwaka upi? 2469 Je,Malcolm X alikuwa na watoto wangapi? 2472 Watoto wa simba huanza kuwinda wakiwa na umri gani? 2473 Je, hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi? 2474 Ni nani mwanamke wa kwanza kufika angani? 2475 Je, vita vya Korea na Marekani vilianza lini? 2476 Je, aliyekuwa rais wa Marekani Barack Obama aliwahi kuwa mkuu wa jimbo la Illinois? 2478 Umetaboli una maana gani? 2479 Je, Jennifer Garner alizaliwa katika nchi gani? 2480 Kipepeo anaishi kwa muda gani? 2481 Kalenda ya Gregori kiligunduliwa mwaka gani? 2483 Nchi ya Thailand ina idadi ya watu wangapi? 2484 Mto mkubwa China ni gani? 2486 Gazeti la The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka upi? 2487 Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Polyphony Digital mwaka 2018 anaitwa nani? 2488 Jina kamili la muigizaji Rambo ni? 2489 Mke wa jakaya Kikwete anaitwa nani? 2490 Je,mji mkuu wa Wales ni upi? 2491 Hispania ina ukubwa gani? 2494 Mji mkuu wa Namibia ni upi? 2495 Je,Uganda ina lugha ngapi rasmi? 2496 Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi? 2497 Wayahudi walitokea nchi gani? 2498 Kuna wanyama wangapi aina ya Mamalia? 2499 Dionysius Exiguus alizaliwa lini? 2500 Ugonjwa wa ebola ulianzia wapi? 2503 Muziki wa bongo Flava ulianza lini nchini Tanzania? 2504 Je,tarakilishi ya kwanza duniani ilikuwa ya aina gani? 2505 Je,Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi? 2507 Raila Odinga alijiunga na siasa mwaka upi? 2508 Safari ya Wana Israeli ilichukua miaka mingapi kufika kanani? 2509 Mji mkuu Sudan unaitwa aje? 2510 Msimu wa Heroes inayorushwa kwa TV ya NBC ulianza mwaka upi? 2511 Je,huduma ya intaneti ilianza lini? 2512 Gazeti la NRC Handelsblad lilianza kuchapishwa mwaka gani? 2513 Jina la kisayansi la kuku ni nini? 2515 Baba wa sayansi ni nani? 2516 Msitu wa Mau una ukubwa gani? 2517 Raffaello Sanzio alizaliwa mwak upi? 2518 Dini ya ukristo ilianza karne gani? 2519 Je,kuna aina ngapi ya bakteria? 2520 Msitu kuu duniani ni ipi? 2521 Msitu mkubwa ulimwenguni ni upi? 2523 Je,Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi? 2526 Mto mkubwa zaidi barani Afrika unaitwaje? 2527 Je, Ngisi huliwa? 2529 Eneo la Iberia lina ukubwa gani? 2531 Mtaguso wa pili wa Vatikano ulikuwa mwaka gani? 2532 Jackie Agyemang alizaliwa wapi? 2533 Je,nani mwandishi wa kitabu cha Fioretti? 2534 Je,kiongozi wa kundi la westlife anaitwa nani? 2536 Kuku huishi kwa kipindi cha muda mgani kwa wastani? 2537 Je,mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani? 2538 Burundi ilipata uhuru mwaka upi? 2539 Je,jimbo la Illinois ina idadi ya watu wangapi? 2540 Nchi ya Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani? 2541 Mlima Kenya ina urefu wa kilomita ngapi? 2543 Ng'ombe ana tumbo ngapi? 2544 Ni mlima upi mkubwa sana duniani? 2548 Kamusi ya kikoloni ya Kijerumani iliandikwa na nani? 2550 Je Kuku anaishi kwa miaka mingapi? 2551 Ni nini kilileta ukomo vita vya dunia? 2552 Serikali ya kenya ina mfumo gani wa utawala? 2553 Je,nani mwanzilishi wa hoteli za Burger Ranch? 2554 Je,rais George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi? 2555 Haile Mariam Desalegne alizaliwa mwaka gani? 2557 Alfabeti ni nini? 2558 Aina ya mifupa ni ngapi? 2559 Lugha ya taifa ya Afrika kusini ni ipi? 2560 Je,Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi? 2562 Je,Lutricia McNeal alizaliwa lini? 2563 Kuna mataifa mangapi ya Waarabu? 2565 Je, Kampuni ya Magazeti ya Community ilianzishwa lini? 2567 Waraka wa pili wa Yohane umeandikwa na nani? 2570 Je,nyangumi mkubwa zaidi anaweza kuwa na kilo ngapi? 2571 Somaliland ina ukubwa gani? 2572 Je,mji mkuu waTanzania ni upi? 2573 Je,sayari yenye iko mbali kabisa na jua ni ipi? 2574 Je kuwa na libido ya chini ina tiba? 2576 Je, M-pesa ilianza kutumika lini nchini Kenya? 2578 Je,Miroslav Klose alichezea klabu ya Bayern Munich kwa muda gani? 2579 Balungi ni nini? 2581 David James Thouless alishinda tuzo gani ya Nobel? 2582 Je,samaki yupi mkubwa zaidi baharini? 2583 Mbuni ni mnyama wa spishi gani? 2584 Je, Ndovu hubeba mimba kwa muda gani? 2585 Je,Lucky Dube aliaga dunia mwaka upi? 2586 binadamu ana meno mangapi? 2587 Jina la ugonjwa wa cholera linatokana na nini? 2588 Albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka gani? 2590 Je,makao makuu ya shirika la Umoja wa Mataifa iko wapi? 2591 Je, ni msitu gani kubwa zaidi duniani? 2593 Carleton Gajdusek alizaliwa wapi? 2595 Mwanamasumbwi ni nini? 2598 Prison Break ina misimu mingapi? 2600 Nini maana ya data?