{"id": "-2755285734550319079-12", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Machungwa kwa kawaida hulimwa kwaajili ya biashara na hulimwa maeneo mengi duniani. Wazalishaji wa machungwa wanaoongoza duniani ni Brazili, Marekani na Meksiko. Machungwa huathirika kwa haraka sana na ukungu hivyo huhitaji matunzo mazuri pindi joto dogo sana linapotegemewa.", "question_text": "Je,nchi gani yenye kuzalisha chungwa kwa wingi zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Brazili, Marekani na Meksiko", "start_byte": 132, "limit_byte": 160}]} {"id": "5056706128637441328-1", "language": "swahili", "document_title": "StarCraft", "passage_text": "Mchezo wa kwanza wa mfululizo StarCraft ulitolewa kwa Microsoft Windows tarehe 31 Machi 1998. Na zaidi ya nakala milioni 11 kuuzwa duniani kote kufikia Februari 2009, ni moja ya michezo bora kwa kuuza inayotumika kwenye kompyuta binafsi. Nakala inayotumika kwenye Mac OS ilitolewa Machi 1999.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa mchezo wa StarCraft?", "answers": [{"text": "Microsoft", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "5999252148893978449-0", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Republic of Zambia\n\nJamhuri ya Zambia\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\nNeno Kuu: “One Zambia, one nation”\nKiing. „Zambia moja, Taifa moja“Lugha rasmiKiingerezaMji MkuuLusakaSerikaliJamhuriRais(Edgar Lungu)Eneo752.614 km²Idadi ya Wakazi14,309,466 (Julai 2012)Wakazi kwa km²17,2UhuruKutoka Uingereza 24 Oktoba 1964PesaKwacha ya Zambia = 100 NgweeWakatiUTC+2Wimbo wa TaifaLumbanyeni Zambia (Stand and sing of Zambia)", "question_text": "Je,nchi ya Zambia ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "14,309,466", "start_byte": 239, "limit_byte": 249}]} {"id": "3574341952083266126-0", "language": "swahili", "document_title": "Apollo 11", "passage_text": "\nApollo 11 ilikuwa chombo cha angani cha kwanza kufikisha watu kwenye Mwezi. Hii yote ilifanywa na NASA (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo 16 Julai 1969 kikibeba wanaanga watatu Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins", "start_byte": 209, "limit_byte": 255}]} {"id": "2027917112517888460-6", "language": "swahili", "document_title": "Bara Arabu", "passage_text": "Kuna miji mingi katika Bara Arabu, lakini miji mikuu ya madola mbalimbali ya Bara Arabu ni Riyadh, mji mkuu wa Saudia, ijapokuwa kuna miji mashuhuri na mitukufu katika Saudia kama Makka na Madina. ", "question_text": "Makka inapatikana nchi gani?", "answers": [{"text": "Saudia", "start_byte": 168, "limit_byte": 174}]} {"id": "-4043944268408353272-0", "language": "swahili", "document_title": "Dogma", "passage_text": "Dogma ni neno linalotumika hasa kumaanisha fundisho la imani lisiloweza kukanushwa na wafuasi wa dini fulani. Linaweza kutumika pia kwa maana isiyo ya kidini.", "question_text": "Teolojia ya dogma ni nini?", "answers": [{"text": "neno linalotumika hasa kumaanisha fundisho la imani lisiloweza kukanushwa na wafuasi wa dini fulani", "start_byte": 9, "limit_byte": 108}]} {"id": "-1136827041022391445-2", "language": "swahili", "document_title": "Bandari asilia", "passage_text": "Dar es Salaam: bandari iko katika hori kubwa ambalo ni mdomo pana wa kijito kidogo lenye urefu wa kilomita moja katika beseni ya kwanza na kilomita 3 katika beseni ya kusini. Meli zinaingia kutoka bahari kupitia mlango mwembamba wa 270 m pekee hivyo imelindwa kabisa na mawimbi. Bandari hii asilia ilikuwa sababu ya kuhamishwa kwa mji mkuu wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kutoka Bagamoyo.\nMombasa ina bandari asilia nzuri ya Kilindini ambacho ni pia hori inayoingia ndani. Kisiwa cha Mombasa kipo katika mdomo wa hori baharini. Bandari ya Kilindini ina urefu wa kilomita tano na upana wa kilomita tatu imezungukwa na nchi kavu poande zote hivyo imelindwa kabisa.", "question_text": "Bandari kubwa nchini Kenya iko wapi?", "answers": [{"text": "Mombasa", "start_byte": 394, "limit_byte": 401}]} {"id": "-1857626329144752345-1", "language": "swahili", "document_title": "Bees for Development", "passage_text": "Ilianzishwa mwaka wa 1993, inafanya kazi kwa kushirikiana na waweka nyuki na mashirika ya kimataifa,kama vile Apimondia, Wakfa wa Keystone na shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa.Ufadhili huu unakusudia kusaidia ufugaji nyuki ili kusaidia jamii maskini na vivjiji vilivyo mashinani na kulinda viumbe hai.Inalenga matumizi ya teknolojia sahihi na maadili, na kuheshimu ujuzi wa kienyeji. Ina imani kuwa kujitegemea na kuwawezesha maskini kunaweza kuimarishwa kwa njia ya upatikanaji wa maarifa na habari, na kwa njia ya biashara ya mazao ya nyuki.Pia inadai kuingilia uzalishaji wa nyuki kuwa kiwango cha chini kabisa, na thamani ya kutumia mizinga ambayo haina fremu za ndani.", "question_text": "Je,shirika la Bees for Development ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}]} {"id": "-1175928298681042822-12", "language": "swahili", "document_title": "Australia na Pasifiki", "passage_text": "Jina la eneo,\npamoja na bendera[1]Eneo\n(km²)Wakazi\n(kadiro mnamo \n1 Julai 2002)Msongamano\n(watu kwenye km²)Mji mkuuAustralasia (Australia na New Zealand) Australia7,686,85020,697,2412.5CanberraKisiwa cha Krismasi (Australia)[2]1354743.5The Settlement Visiwa vya Cocos (Keeling) (Australia)[2]1463245.1West Island New Zealand[3]268,6803,908,03714.5Wellington Kisiwa cha Norfolk (Australia)351,86653.3KingstonMelanesia[4] Fiji18,270856,34646.9Suva Sehemu za Indonesia[5]499,8524,211,5328.4Jakarta Kaledonia Mpya (Ufaransa)19,060207,85810.9Nouméa Papua Guinea Mpya[6]462,8405,172,03311.2Port Moresby Visiwa vya Solomon28,450494,78617.4Honiara Vanuatu12,200196,17816.1Port VilaMikronesia Shirikisho la Mikronesia702135,869193.5Palikir Kiribati81196,335118.8Teinainano Visiwa vya Marshall18173,630406.8Majuro Nauru2112,329587.1Yaren Visiwa vya Mariana ya Kaskazini Marekani47777,311162.1Saipan Guam (Marekani)549160,796292.9Hagåtña Palau45819,40942.4Melekeok[7]Polynesia[8] Samoa ya Marekani (Marekani)19968,688345.2Fagatogo, Utulei[9] Visiwa vya Cook (New Zealand)24020,81186.7Avarua Polynesia ya Kifaransa (Ufaransa)4,167257,84761.9Papeete Hawaii (Marekani)29,3111,211,53742.75Honolulu Niue (New Zealand)2602,1348.2Alofi Kisiwa cha Pasaka (Chile)163,63,79123,17Hanga Roa Visiwa vya Pitcairn (Uingereza)54710Adamstown Samoa2,944178,63160.7Apia Tokelau (New Zealand)101,431143.1—[10] Tonga748106,137141.9Nuku'alofa Tuvalu2611,146428.7Vaiaku Wallis na Futuna (Ufaransa)27415,58556.9Mata-UtuTotal9,008,45835,834,6704.0", "question_text": "Je,mji mkuu Australia ni gani?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 188, "limit_byte": 196}]} {"id": "-3733824654860745635-0", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Mto wa Kongo (kati ya miaka 1971 na 1997 uliitwa zaidi \"Zaire\") ni mto mkubwa wa Afrika ya kati. Ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile. ", "question_text": "Je mto mkubwa sana Afrika ni gani?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 141, "limit_byte": 145}]} {"id": "7922893605368121337-1", "language": "swahili", "document_title": "Thr33 Ringz", "passage_text": "No.TitleLength1.\"Welcome to Thr33 Ringz Intro\"2:272.\"Ringleader Man\"2:543.\"Chopped 'N' Skrewed\" (akishirikiana na Ludacris)4:214.\"Take a Ride (Ringleader Man Skit)\"1:455.\"Freeze\" (akishirikiana na Chris Brown)3:366.\"Blowing Up\" (akishirikiana na Ciara)3:247.\"Can't Believe It\" (akishirikiana na Lil Wayne)4:338.\"It Ain't Me\" (akishirikiana na Akon na T.I.)3:459.\"Feed the Lions (Ringleader Man Skit)\"1:2810.\"Therapy\" (akishirikiana na Kanye West)3:3411.\"Long Lap Dance\"4:3612.\"Reality Show\" (akishirikiana na Musiq Soulchild, Raheem DeVaughn na Jay Lyriq)5:2713.\"Keep Going\"2:1414.\"Superstar Lady\" (akishirikiana na Young Ca$h)3:1715.\"Change\" (akishirikiana na Akon, Diddy & Mary J. Blige)5:1016.\"Digital\" (akishirikiana na Tay Dizm)3:1417.\"Karaoke\" (akishirikiana na DJ Khaled)4:48", "question_text": "Thr33 Ringz ina nyimbo ngapi?", "answers": [{"text": "17", "start_byte": 737, "limit_byte": 739}]} {"id": "1512167694008622917-1", "language": "swahili", "document_title": "Juan Carlos Tedesco", "passage_text": "Tedesco alizaliwa mjini Buenos Aires katika mwaka wa 1944. Alisoma katika Chuo Kikuu cha Buenos Aires,akafuzu na shahada ya digrii ya Falsafa katika mwaka wa 1968. Alifunza kama Profesa wa Elimu ya Historia katika Vyuo vikuu vya La Plata,El Comahue na La Pampa kabla ya kuandika kitabu chake cha kwanza ,Education and Society in Argentina, 1800 - 1945 katika mwaka wa 1972.", "question_text": "Je,Juan Carlos Tedesco alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Buenos Aires", "start_byte": 89, "limit_byte": 101}]} {"id": "-1954111044571235935-0", "language": "swahili", "document_title": "Mambo yaliyompata Pinokyo", "passage_text": "Mambo yaliyompata Pinokyo: habari za mwanasesere (kwa Kiitalia jina linalotamkwa hivyo linaandikwa Pinocchio) ni hadithi ya karagosi hai ya ubao na shani zake. Hadithi hiyo ilitungwa na mwandishi Mwitalia Carlo Collodi tangu mwaka 1881 hadi 1883 ilipotolewa kama kitabu, kwa jina la Kiitalia \"Le avventure di Pinocchio: Storia di un burattino\".", "question_text": "Je,hadithi ya Pinokyo ilitungwa lini?", "answers": [{"text": "1881 hadi 1883", "start_byte": 231, "limit_byte": 245}]} {"id": "3647441365127892077-4", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Dunia la FIFA", "passage_text": "Brazili ndio nchi pekee ambayo imeweza kutwaa kombe hilo mara tano. Ujerumani na Italia zimelitwaa mara nne. Nchi nyingine ambazo zimewahi kulitwaa ni Uruguay, Argentina, Uingereza, Ufaransa na Hispania.", "question_text": "Timu ya taifa ya soka ya Brazil imeshinda kombe la dunia mara ngapi?", "answers": [{"text": "tano", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}]} {"id": "-2922438829355568631-1", "language": "swahili", "document_title": "Romano Prodi", "passage_text": "Prodi aliwahi kuwa profesa wa uchumi kwenye Chuo Kikuu cha Bologna kati ya 1971 na 1999. Mwaka 1978 aliitwa na Waziri Mkuu Giulio Andreotti kujiunga na serikali yake kama waziri wa viwanda. Baada ya kuanguka kwa serikali hiyo mwaka 1979 Prodi alirudi Chuo Kikuu.", "question_text": "Romano Prodi alijiunga na siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1978", "start_byte": 95, "limit_byte": 99}]} {"id": "809991510045950559-4", "language": "swahili", "document_title": "Visa Inc.", "passage_text": "Jina Visa lilibuniwa na mwanzilishi Dee Hock ambaye alisema kuwa jina hili ni jepesi kukumbukwa na litaweza kuonekana na watu wa mabara yote kama jina la kadi ambayo yaitikiwa kote.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Visa Inc?", "answers": [{"text": "Dee Hock", "start_byte": 36, "limit_byte": 44}]} {"id": "-1186756907875396464-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Mlima mkubwa zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 72, "limit_byte": 79}]} {"id": "2305901959438964229-1", "language": "swahili", "document_title": "Maurice Odumbe", "passage_text": "Alizaliwa katika mji mkuu wa Nairobi na alihudhuria Shule ya Msingi ya Dr. Aggrey na shule ya sekondari ya Upper Hill, ambapo mchezaji huyu ambaye ni “batsman” wa mkono wa kulia na “bowler” wa mkono wa kulia alionyesha hamu na uwezo wa kucheza mchezo wa kriketi. Odumbe alicheza mechi yake ya kwanza kwa timu ya kitaifa ya Kenya mnamo 4 Juni 1990 dhidi Bangladesh katika sehemu ya Amstelveen katika nyara ya ICC, alifunga 41 na kuchukua 1 / 26 na alikuwa amekuwa mmoja wa wachezaji wao wanaoongoza wa One Day International (ODI) katika mechi yake ya kwanza ya kombe la dunia la Kriketi mwaka wa 1996. Odumbe alishinda tuzo la mchezaji bora wa mechi katika mojawapo wa mishtuko kubwa katika mchezo wa kriketi, kwa kuchukua 3 kwa 14 katika ushindi wa Kenya dhidi ya West Indies.", "question_text": "Maurice Omondi Odumbe alianza kucheza kriketi mwaka gani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 350, "limit_byte": 354}]} {"id": "7200863616571868185-0", "language": "swahili", "document_title": "Carl Gustav Jung", "passage_text": "Carl Gustav Jung (mara nyingi hutajwa kwa kifupi zaidi C.G. Jung; 26 Julai 1875 – 6 Juni 1961) alikuwa tabibu na mtaalamu wa saikolojia kutoka Uswisi aliyeandika kwa Kijerumani. ", "question_text": "Je, Carl Gustav Jung alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "26 Julai 1875", "start_byte": 66, "limit_byte": 79}]} {"id": "5699484448237005016-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo", "passage_text": "Taarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km2]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "question_text": "Nchi ya Tanzania ina mikoa mingapi?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 123, "limit_byte": 125}]} {"id": "-1379652015703071518-0", "language": "swahili", "document_title": "Waanglikana", "passage_text": "\nWaanglikana ni Wakristo wa madhehebu yenye asili ya Uingereza.", "question_text": "Kanisa la kwanza la kianglikana lilianza wapi?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 53, "limit_byte": 62}]} {"id": "7140587147285986069-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Je,bahari kubwa zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-1620915021816141420-5", "language": "swahili", "document_title": "Gabon", "passage_text": "\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Gabon aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Léon M'ba", "start_byte": 107, "limit_byte": 117}]} {"id": "8090385239170521881-70", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "-8363408052961027074-0", "language": "swahili", "document_title": "Weimar", "passage_text": "Weimar ni mji wa Thuringia nchini Ujerumani. Idadi ya wakazi wake ni takriban 65,233. ", "question_text": "Mji wa Weimar una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "65,233", "start_byte": 78, "limit_byte": 84}]} {"id": "5944804400362622264-1", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Umoja huo ulianzishwa na nchi washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa (1919 - 1946). Makubaliano yalifikiwa tarehe 24 Oktoba 1945 huko San Francisco, California. ", "question_text": "Je, umoja wa mataifa ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "nchi washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "start_byte": 25, "limit_byte": 67}]} {"id": "-3073373568977025149-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "\nKanisa Katoliki likiwa la zamani (Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki wanashiriki sifa hiyo) na kubwa kuliko madhehebu yote ya Ukristo, historia yake inashika sehemu muhimu ya historia ya Kanisa lote duniani tangu lilipoanza mwaka 30 hivi BK hadi leo.", "question_text": "Je,dini ya katoliki ilianza karne ipi?", "answers": [{"text": "mwaka 30 hivi BK", "start_byte": 232, "limit_byte": 248}]} {"id": "2027725078834560274-0", "language": "swahili", "document_title": "Mae Jemison", "passage_text": "\nMae Carol Jemison (alizaliwa tarehe 17 Oktoba 1956) ni mwanafizikia na rubani mwanaanga wa Marekani. Pia ni Mmarekani mweusi wa kike wa kwanza aliyefika kwenye anga la nje wakati akiwahudumia wafanyakazi wa anga wa Shuttle Endeavor Mwaka 1992 alisimamia majaribio.", "question_text": "Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-4554267330802848828-3", "language": "swahili", "document_title": "Uthai", "passage_text": "Nchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani.", "question_text": "Nchi ya Thailand ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "zaidi ya milioni 67", "start_byte": 16, "limit_byte": 35}]} {"id": "5441695670841384827-5", "language": "swahili", "document_title": "Kitabu cha Yoshua", "passage_text": "Taifa la Israeli lilikua na kuongezeka hasa katika nchi ya Misri, na wakati ulipowadia, Musa aliwaongoza watu hao kutoka Misri kuelekea Kanaani (Kut 3:7-10; 12:40-41). Lakini watu walipofika karibu, ambapo wangeweza kuandaa mashambulio, waliwaogopa Wakanaani wakamwasi Mungu. Kwa ukaidi wao, watu walikataa kumtegemea Mungu na kuingia Kanaani, isipokuwa viongozi wawili, yaani Yoshua na Kalebu. Mungu akawaadhibu jangwani mpaka walipokufa watu wazima wote (waliokuwa na miaka 20 na kuzidi, isipokuwa Yoshua na Kalebu) na kizazi kipya kilipokuwa na nguvu ya kutosha (Hes 14:28-35). ", "question_text": "Nani aliwaongoza wanaisraeli kutoka misri hadi kanani?", "answers": [{"text": "Musa", "start_byte": 88, "limit_byte": 92}]} {"id": "-1347647819534770935-0", "language": "swahili", "document_title": "Grammy Legend Award", "passage_text": "\nGrammy Legend Award, au Grammy Living Legend Award,[1][2] ni tuzo maalumu inayotolewa na Grammy Awards kwa ajili ya wakongwe wa muziki walio hai , sherehe ambazo zilianzishwa tangu 1958 na hapo awali iliitwa Gramophone Awards.[3][4]", "question_text": "Tuzo za Grammy zilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 182, "limit_byte": 186}]} {"id": "-3346380219686382375-26", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Nchi ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "914444947554638144-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "3160212123355054212-4", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa mvua", "passage_text": "Maeneo makubwa yako hasa Brazil katika beseni ya Amazonas, Afrika katika beseni ya mto Kongo, Asia ya Kusini-Mashariki na kaskazini ya Australia. ", "question_text": "Je,msitu ipi kubwa zaidi bara Afrika?", "answers": [{"text": "beseni ya mto Kongo", "start_byte": 73, "limit_byte": 92}]} {"id": "-3508602709664371683-1", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Samburu", "passage_text": "Makao makuu yako Maralal.", "question_text": "Je,makao makuu ya kaunti ya Samburu ni wapi?", "answers": [{"text": "Maralal", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "-1800032059441167854-29", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi simulizi", "passage_text": "Haya ni majina ya kupanga ambayo baadhi ya watu hupewa au hujipatia kutokana na sifa zao za kimwili, kinasaba, kitabia au kimatendo. Majina haya huwa ni maneno au mafungu ya maneno yenye maana iliyofumbwa. Mara nyingi majina haya huwa ni sitiari. Baadhi ya majina haya humsifia mhusika, lakini mengine humkosoa au hata kumdhalilisha; Mifano: simba wa yuda- Hali Selassie, Baba wa taifa – Mwl Nyerere.", "question_text": "Lakabu ni nini?", "answers": [{"text": "majina ya kupanga ambayo baadhi ya watu hupewa au hujipatia kutokana na sifa zao za kimwili, kinasaba, kitabia au kimatendo", "start_byte": 8, "limit_byte": 131}]} {"id": "-1083724211141702678-73", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "\n\nSoka ndiwo mchezo ulio na umaarufu zaidi nchini.\nTimu za kitaifa za soka ya wanaume zinajulikana kama The Black Stars, the Black Satellites na the Black Starlets na timu hizi hushiriki katika michuano mingi ikiwemo ile ya Kombe la Mataifa ya Afrika, Kombe la Dunia la FIFA na Kombe la Dunia la FIFA kwa walio chini ya miaka 20. Timu ya the Black Satellites ilishinda Kombe la Dunia la FIFA kwa walio chini ya miaka 20 mnamo 2009 baada ya kushinda timu ya Brazili ya Seleção. Kuna timu za soka kadhaa nchini Ghana za kutajika zaidi zikiwa Accra Hearts ya Oak SC na Asante Kotoko baina ya zingine. Baadhi ya wachezaji wa soka wa Ghana wanaojulikana katika daraja ya kimataifa au waliopata ufanisi katika soka ya Ulaya ni Abedi Pele, Ibrahim Abdul Razak, Tony Yeboah, Anthony Annan, John Paintsil, Asamoah Gyan, Samuel Osei Kuffour, Richard Kingston, Sulley Muntari, Laryea Kingston, Stephen Appiah, Andre Ayew, Emmanuel Agyemang-Badu, Dominic Adiyiah na Michael Essien.", "question_text": "Jina kamili la Pelé ni lipi?", "answers": [{"text": "Abedi Pele", "start_byte": 723, "limit_byte": 733}]} {"id": "-84806846540337922-2", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Lugha ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita katika mazingira ya vituo vya biashara vya pwani ambako wafanyabiashara kutoka Uarabuni, Uajemi na Uhindi walikutana na wenyeji Waafrika. Lugha kuu ya kimataifa ya biashara hiyo ilikuwa Kiarabu.", "question_text": "Lugha ya Kiswahili ilianzia wapi?", "answers": [{"text": "vituo vya biashara vya pwani", "start_byte": 68, "limit_byte": 96}]} {"id": "3861533963181879038-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dar es Salaam", "passage_text": "Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541. ", "question_text": "Je,Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 241, "limit_byte": 250}]} {"id": "4156218159357646650-0", "language": "swahili", "document_title": "Latitudo", "passage_text": "\nLatitudo (kwa Kilatini: latitudo) ni mahala pa mchoro wa dunia au ramani huonyesha kwa mistari iliolazwa ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii (°). ", "question_text": "Latitudo ina maana gani?", "answers": [{"text": "mahala pa mchoro wa dunia au ramani huonyesha kwa mistari iliolazwa ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii", "start_byte": 38, "limit_byte": 200}]} {"id": "-5383515749607528578-3", "language": "swahili", "document_title": "Fiji", "passage_text": "Mji mkuu ni Suva.", "question_text": "Je,mji mkuu wa fiji ni upi?", "answers": [{"text": "Suva", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "4911218548576119939-1", "language": "swahili", "document_title": "Masinde Muliro", "passage_text": "Henry Pius Masinde Muliro alizaliwa katika eneo la Kimilili nchini Kenya, mwana wa Muliro Kisingilie na mkewe Makinia. Wazazi wake walikufa wakati alipokuwa mchanga na alilelewa na kaka wa kambo, Aibu Naburuku.\nBaada ya masomo ya shule ya msingi na ya upili nchini Kenya na Uganda, alijiunga na Chuo Kikuu cha Cape Town nchini Afrika Kusini mwaka wa 1949. Alijiunga na kozi ya Shahada ya Sanaa katika Kiingereza, Historia na Falsafaya Siasa, na alihitimu mwaka wa 1953 akiwa na shahada za na Sanaa na Elimu. Mwaka wa 1954 alirejea nyumbani na mke wa asili ya Afrika Kusini, na alifundisha kwa muda katika shule ya serikali. Mwaka wa 1957, alipiga moyo konde kuiacha kazi hiyo ya ualimu na kujiunga na siasa.", "question_text": "Masinde muliro alijiunga na siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 637, "limit_byte": 641}]} {"id": "-1575891923408548130-23", "language": "swahili", "document_title": "Musa", "passage_text": "Baada ya hotuba hizo, Kumb 31:1-8 inasimulia jinsi Musa alivyomuachia Yoshua uongozi wa Waisraeli wote kwa kumwekea mikono (Hes 27:12-23). Musa alifikia mpakani mwa nchi takatifu asikubaliwe kuiingia kama adhabu ya makosa yake, ila alionyeshwa yote kutoka mlimani (Kumb 32:48-52) halafu akafariki (Kumb 34) na kuzikwa ng'ambo ya mto Yordani. Kazi aliyopangiwa iliishia huko, mwingine akampokea na kuendeleza ukombozi wa Kimungu. Binadamu wote ni vyombo tu vinavyotumika kwa muda fulani, halafu vinaweza kuachwa. Kumbe Mungu ndiye mtendaji mwenyewe ambaye hasinzii wala halali, bali anazidi kuwashughulikia watu wake. Kwa imani hiyo tuwe daima tayari kuwaachia wengine nafasi yetu.", "question_text": "Musa alifia katika mlima gani?", "answers": [{"text": "ng'ambo ya mto Yordani", "start_byte": 318, "limit_byte": 340}]} {"id": "-611811294155340136-17", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Je,Sudan Ilipata Uhuru lini?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "-2871294058030211913-1", "language": "swahili", "document_title": "Gowee", "passage_text": "Ndege hawa wana rangi ya kijivu na nyeupe na wana kishungi kirefu. Wanatokea Afrika chini ya Sahara. Hawawezi kupuruka vizuri sana lakini hukimbia juu ya matawi ya miti. Hula matunda hasa na majani na maua pia, na mara chache hukamata wadudu na koa. Hujenga tago lao kwa vijiti katika mti mwenye miiba, kama spishi ya Vachellia (mgunga) au Balanites (mjunju), na jike hutaga mayai 1-4 lakini 3 kwa kawaida. Vinda wakitoka kwa mayai, wanapambwa na malaika mazito na macho yao ni wazi tayari au karibu.", "question_text": "Gowee ana rangi ngapi?", "answers": [{"text": "kijivu na nyeupe", "start_byte": 25, "limit_byte": 41}]} {"id": "4766277539305788588-1", "language": "swahili", "document_title": "Karachi", "passage_text": "Karachi iko kando la delta ya mto Indus mwambaoni wa Bahari Arabu. Kuna mabandari mawili na viwanda vingi. ", "question_text": "Ni mto upi mrefu zaidi nchini Pakistani?", "answers": [{"text": "Indus", "start_byte": 34, "limit_byte": 39}]} {"id": "-3481705678877869787-13", "language": "swahili", "document_title": "Kangaruu", "passage_text": "Yai la kangaroo jike huwa ndani ya ovari na hushuka mpaka kwenye uterasi tayari kwa ajili ya kurutubishwa.kijusi hukua kwa haraka sana na kutoka nje baada ya siku 33, kwa kawaida huwa anazaliwa mtoto mmoja tu. Mtoto huyo huwa haoni hana nywele na urefu wa sentimeta chache sana miguu yake ya nyuma huwa inakuwa haijakuwa hivyo hutumia tu miguu ya mbele kujisogeza kwenye mfuko wa mama yake, na huchukua dakika tatu mpaka tano. Akifika ndani ya pochi huanza kunyonya. Baada ya siku 150, mtoto anaweza kutokeza nje kwa mara ya kwanza. Baada ya kuchunguila chungulia nje kwa siku kadhaa na kuona kuwa ni salama. Baada ya hapo hutumia muda wake mwingi kuchungulia nje duniani na baada ya siku 235, hutoka nje ya pochi kwa mara ya mwisho. ", "question_text": "Kangaruu anabeba mimba kwa muda gani?", "answers": [{"text": "33", "start_byte": 163, "limit_byte": 165}]} {"id": "-8986127766629064548-9", "language": "swahili", "document_title": "Wiper Democratic Movement", "passage_text": "Makundi hayo mawili yalifanya uchaguzi wa kumchagua mgombea wao wa urais siku kadhaa mfululizo katika jumba la michezo la Kasarani mjini Nairobi. Tarehe 31 Agosti 2007, Kalonzo Musyoka alimshinda Julia Ojiambo kwa tiketi ya ODM-Kenya. Tarehe 1 Septemba, Raila Odinga alichaguliwa mgombea urais wa ODM. Raila na Kalonzo walikabiliana na rais Kibaki katika uchaguzi mkuu. Kalonzo aliibuka wa tatu, lakini mnamo Januari 2008, akawa makamu wa rais wa Kenya chini ya Kibaki, ambaye ushindi wake ulikataliwa na Raila Odinga na ODM.", "question_text": "Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement ni nani?", "answers": [{"text": "Raila Odinga", "start_byte": 505, "limit_byte": 517}]} {"id": "-4642285529192039583-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Je,Tanzania ina Mikoa ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "-4763811208896208625-9", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Eneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini Kenya (na la pili kwa urefu barani Afrika): Mlima Kenya, unaofikia urefu wa mita 5,199 (futi 17,0570) 5,199m (17,057ft) na ni eneo lenye mito ya barafu. Mlima Kilimanjaro (5,895m (19,341ft)Error in convert: Ignored invalid option \"disp=s\" (help)) huweza kuonekana upande wa kusini, ng'ambo ya mpaka wa Kenya na Tanzania .[7]", "question_text": "Mlima kenya ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "m (17,05", "start_byte": 153, "limit_byte": 161}]} {"id": "-4306136171117528608-3", "language": "swahili", "document_title": "Ngugi wa Thiongo", "passage_text": "Ngugi amezaliwa Kenya katika kijiji cha Kamiriithu karibu na Limuru, wilaya ya Kiambu katika jamii ya Wagikuyu akabatizwa James Ngugi. Alikuwa mtoto wa tano wa mke wa tatu wa baba yake Thiong'o wa Nducu. Baba alikuwa mkulima aliyepotea shamba lake kutokana na Waingereza kuteka na kutwaa Nyanda za Juu za Kenya. James alisoma shule za wamisionari za Kamaandura (Limuru), Karinga (Mangu) na Alliance High School (Kikuyu). Katika miaka ile akawa Mkristo. Wakati alikisoma shule familia yake iliathiriwa na vita ya Maumau ikawa kaka yake aliuawa na mama yake aliteswa.", "question_text": "Ngugi wa Thiong'o alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kenya katika kijiji cha Kamiriithu", "start_byte": 16, "limit_byte": 50}]} {"id": "-7374142348414855269-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. ", "question_text": "Mji mkuu Ethiopia ni upi?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 258, "limit_byte": 269}]} {"id": "-1942953842923609627-2", "language": "swahili", "document_title": "Gideon Moi", "passage_text": "Baada ya baba yake kuingia madarakani Agosti 1978, kufuatia kifo cha Rais Jomo Kenyatta, Gideoni akawa mwanafunzi asiyeshiriki. Pamoja na matokeo ya shule yasiyoridhisha, baba yake (Rais Moi) alitumia ushawishi wake na Gideoni aliruhusiwa kuhudhuria shule ya St Mary, Nairobi miaka 1981-1982 sambamba na rafiki yake wa muda mrefu, Uhuru Kenyatta.", "question_text": "Je, Rais wa Kenya 2019 Uhuru Kenyatta alisomea shule gani ya sekondari?", "answers": [{"text": "St Mary, Nairobi", "start_byte": 259, "limit_byte": 275}]} {"id": "-8690930469246624754-37", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Nchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani. ", "question_text": "Je,Marekani Ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 320", "start_byte": 25, "limit_byte": 36}]} {"id": "4278907412542300830-3", "language": "swahili", "document_title": "Steven Zuber", "passage_text": "Mnamo Agosti 14 mwaka 2014, Zuber alihamia Hoffenheim juu ya mkataba wa miaka minne. Mnamo 25 Januari 2017, aliongeza mkataba wake hadi 2020.", "question_text": "Je,Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka upi?", "answers": [{"text": "2014", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}]} {"id": "2517154128518554842-2", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Urefu wake ni kilomita 4,700 ukipimwa kuanzia chanzo cha tawimto wa mbali zaidi ambayo ni mto Chambeshi wenye chanzo nchini Zambia. Mara nyingi urefu hutajwa kuanzia chanzo cha Lualaba halafu ni kilomita 4,374. ", "question_text": "Mto Kongo una urefu gani?", "answers": [{"text": "4,700", "start_byte": 23, "limit_byte": 28}]} {"id": "-4352294077896084070-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Je,mlima Himalaya ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "8,848", "start_byte": 148, "limit_byte": 153}]} {"id": "-5622645313892329767-0", "language": "swahili", "document_title": "Anthony Anderson", "passage_text": "Anthony Alexandre Anderson (amezaliwa tar. 15 Agosti 1970) ni mwigizaji wa filamu, mchekeshaji, na mwandishi kutoka nchini Marekani. Amepata kucheza kwenye ucheshi wake mwenyewe wa All About the Andersons, vilevile kwenye igizo kama vile K-Ville, The Shield na Law & Order. Pia amepata kucheza kama mwigizaji mwandamizi kwenye filamu kama vile Transformers, The Departed, na Agent Cody Banks 2: Destination London.", "question_text": "Je,Anthony Alexandre Anderson alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "7673437251297471962-0", "language": "swahili", "document_title": "Milano", "passage_text": "\nMilano (pia Milan) ni mji mkubwa wa Italia ya kaskazini mwenye wakazi milioni 1.3. Rundiko la mji lina wakazi milioni 7.5. Ni mji mkuu wa eneo la Lombardia na kitovu cha uchumi na utamaduni. ", "question_text": "Je,mji mkubwa zaidi Italia ni upi?", "answers": [{"text": "Milano", "start_byte": 1, "limit_byte": 7}]} {"id": "-5069516156443144313-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dodoma", "passage_text": "Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma ilihesabiwa kuwa 2,083,588. [2]", "question_text": "Dodoma iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "2,083,588", "start_byte": 79, "limit_byte": 88}]} {"id": "-3386041737815452293-3", "language": "swahili", "document_title": "Bara la Antaktiki", "passage_text": "Kwa sababu ya baridi kali katika bara hilo, ni bara pekee ambako binadamu hawaishi kwa namna ya kudumu, isipokuwa kuna watu 5,000, hasa wanasayansi, wanaokaa kwa muda katika vituo vyao. ", "question_text": "Je, ni kina nani wanaoishi Antaktiki?", "answers": [{"text": "wanasayansi", "start_byte": 136, "limit_byte": 147}]} {"id": "5608599486203332827-0", "language": "swahili", "document_title": "Kinshasa", "passage_text": "Kinshasa (jina la awali kwa Kifaransa: Léopoldville, na kwa Kiholanzi: Leopoldstad) ni mji mkuu na mji mkubwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliyojulikana kama Zaire miaka 1971-1997. Mji uko kwenye Mto Kongo.", "question_text": "Mji mkubwa Kongo ni upi?", "answers": [{"text": "Kinshasa", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "1576773985178126006-0", "language": "swahili", "document_title": "Kamerun", "passage_text": "Jamhuri ya Kamerun \nRépublique du Cameroun \nRepublic of Cameroon\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Kamerun)(Coat of Arms of Cameroon)Kaulimbiu ya Taifa Paix, Travail, Patrie\n(Kifaransa: Amani, Kazi, Taifa | Wimbo wa TaifaChant de Ralliement wimbo wa faraja | Lugha ya TaifaKifaransa, KiingerezaMji MkuuYaoundéMji MkubwaDoualaRais wa Kamerun \n Waziri mkuu wa KamerunPaul Biya\nPhilémon YangEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwa475,440 km² \n 1.3%\nKadiriwa 52 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Umma kugawa na Eneo (kilomita)16,380,005 Kadiriwa 59 duni \n sensa (2003) \n; 34/km² (138 duni)Pato la uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$32.35 Bilioni ((91 ) kadir) \n$2,176 140 duniUhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ufaransa, Uingereza \n 1 Januari 1960mto wa chanzo BurundiKimo cha chanzo:2.700 juu ya UBMdomo:Mediteranea kaskazini ya Kairo/MisriKimo cha mdomo:0.00 m juu ya UBTofauti ya kimo:2.700 mTawimito ya kulia:Sobat, Nile ya buluu (Abbai), AtbaraTawimto wa kushoto:Bahr al-GhazalMiji mikubwa mtoni (pamoja na vyanzo vyake):Alexandria, Assuan, Atbara, Bahri, Fajum, Giza, Jinja, Juba, Kairo, Kampala, Khartum, Kigali, Kusti, Luxor, Malakal, Omdurman, Port Said, Rabak, TantaJe inafaa kama njia ya maji?ndani ya Misri", "question_text": "Mto Nile ina urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "6650 km", "start_byte": 122, "limit_byte": 129}]} {"id": "7578820205638692975-21", "language": "swahili", "document_title": "Afrika Kusini", "passage_text": "Baada ya vita kuu ya pili ya dunia Chama cha National kilichofuata itikadi kali ilipata kura nyingi na kuchukua serikali ya Afrika Kusini. Hapo ilianzisha mfumo wa ubaguzi wa rangi kwa jina la apartheid.", "question_text": "Je,nini maana ya Apartheid?", "answers": [{"text": "mfumo wa ubaguzi wa rangi", "start_byte": 155, "limit_byte": 180}]} {"id": "-721222648729211072-0", "language": "swahili", "document_title": "Eritrea", "passage_text": "ሃግሬ ኤርትራ\nHagärä Ertra\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Eritrea)(Coat of Arms of Eritrea) Kaulimbiu ya Taifa: Nie nieWimbo wa TaifaErtra, Ertra, ErtraLugha za TaifaTigrinya, Kiarabu \nna KiingerezaMji MkuuAsmaraRaisIsaias AfwerkiEneo\n- Total \n- % MajiKadiriwa 101th \n 117,600 km² \n AchaIdadi ya Watu\n- Makadirio (2014)\n- Jumla (2002)\n- Chumo cha Umma kugawa na EneoKadiriwa 107th\n 6,380,803\n 4,298,269\n 51.8/km² (154th)GDP (PPP)\n- Jumla\n- Kwa Kila Raia (Per capita)\n2005 estimate\n 4,250 (155th) \n917 (177th)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ethiopia (Uhebeshi)\nMai 29, 1991\nMai 24, 1993FedhaNakfaSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.erKodi ya simu291", "question_text": "Eritrea ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "380,803", "start_byte": 382, "limit_byte": 389}]} {"id": "3083719211488091091-10", "language": "swahili", "document_title": "Martha Karua", "passage_text": "Karua alibakia Waziri wa Katiba na Sheria katika Inama iliyoteuliwa na Kibaki mnamo 8 Januari 2008, kufuatia utata wa uchaguzi wa Desemba mwaka wa 2007.\nKatika mahojiano na BBC HARDtalk mnamo Januari 2008, Karua alisema, kuhusu mgogoro na vurugu zilizotokea baada ya matokeo ya uchaguzi, kwamba ingawa serikali ilitarajia kuwa upinzani, Orange Democratic Movement (ODM) cha Raila Odinga kinaweza kuwa \"kinapanga mgogoro iwapo itapoteza \", alishangazwa na\" ukubwa \" wa ghasia na aliuita \" utakaso wa kikabila \". Alipoambiwa kufafanua, Karua alisema kwamba alikuwa anasema \"kinamna\" kwamba ODM ilipanga utakaso huo wa kikabila. Odinga hatimaye aliyaita mashtaka ya Karua \"outrageous\". Karua aliliongoza timu ya serikali katika mazungumzo na upinzani kuhusu mgogoro wa kisiasa iliyoibuka baada ya uchaguzi. Mgogoro wa kisiasa hatimaye ilisababisha kutiwa saini kwa mkataba wa kugawana madaraka kati ya Kibaki na Odinga. Katika Inama ya muungano unaotawala iliyotangaza mnamo 13 Aprili 2008, Karua alihifadhi nafasi yake kama Waziri wa Haki na Mambo ya Katiba.", "question_text": "Je,Martha Wangari Karua alikuwa waziri wa sheria mwaka upi?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 201, "limit_byte": 205}]} {"id": "-300661789089576521-0", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "République françaiseJamhuri ya Kifaransa\n\n\n\n\n\nBendera ya UfaransaNembo la UfaransaNational motto: Uhuru, Usawa, Undugu\n(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)Lugha rasmiKifaransa1Mji mkuuParisMji mkubwaParisRais:Emmanuel MacronWaziri Mkuu:Eneo\n- Jumla2\n\n\n- Ufaransa bara3\n\n\n\n- % majiNafasi ya 42 \n 674,843 km² \n (260,558 sq. mi.)\n Nafasi ya 47 \n 551,695 km²4\n(213,011 sq. mi.)\n543,965 km²5\n(210,026 sq. mi.)\n 0.26%Wakazi\n(1 Januari 2014)\n- Total2\n- Ufaransa bara3\n- Density3Nafasi ya 20\n\n 66,616,416\n63,929,00\n116/km²GDP (PPP)\n - Jumla (2003)\n - GDP/mtuNafasi ya 5\n$1.661 Trillioni\n$27,600PesaEuro (€)6, CFP Franc7Kanda ya wakati\n- in summerCET (UTC+1)3\nCEST (UTC+2)3Wimbo wa taifaLa MarseillaiseInternet TLD.frCalling Code33\n1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa\n\n2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.\n\n3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)\n\n4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa \n\n5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi\n\n6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki\n\n7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ufaransa ni upi?", "answers": [{"text": "Paris", "start_byte": 194, "limit_byte": 199}]} {"id": "-4568287681347360272-5", "language": "swahili", "document_title": "Jibuti", "passage_text": "Nchi ilipata uhuru tarehe 27 Juni 1977.", "question_text": "Je, Jibuti ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-2911383246018340818-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Ni bahari gani kubwa duniani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "6610918417690707652-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Shelisheli", "passage_text": "Historia ya Shelisheli inahusu funguvisiwa vya Bahari ya Hindi kati ya Afrika Mashariki na Bara Hindi ambavyo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Shelisheli. ", "question_text": "Je,Visiwa vya Shelisheli vinapatikana katika bahari gani?", "answers": [{"text": "Bahari ya Hindi", "start_byte": 47, "limit_byte": 62}]} {"id": "-6897219843643015985-3", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Jina Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda ulioko kusini mwa nchi pamoja na mji mkuu, Kampala.\n", "question_text": "Mji mkuu Uganda ni?", "answers": [{"text": "Kampala", "start_byte": 96, "limit_byte": 103}]} {"id": "-8250686110917593578-2", "language": "swahili", "document_title": "Redio", "passage_text": "Mwaka 1886 Mjerumani Heinrich Hertz alitambua mawimbi ya sumakuumeme. Wataalamu na muhandisi mbalimbali walifanya majaribio katika miaka iliyofuata kutumia mawimbi haya kwa mawasiliano, kati yao Mwitalia Guglielmo Marconi, Mmarekani Nikola Tesla na Mrusi Alexander Popov. Kila mmoja ametajwa kama \"mtu wa kwanza aliyegundua rungoya\".", "question_text": "Nani alizindua redio duniani?", "answers": [{"text": "Mwitalia Guglielmo Marconi, Mmarekani Nikola Tesla na Mrusi Alexander Popov", "start_byte": 195, "limit_byte": 270}]} {"id": "3577601405772818634-6", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Njia nyingine ni kupima ni kiasi gani mlima unainuliwa juu ya mazingira yake yaani pale inapoanza kuonekana. \nKwa kutumia marejeo hayo mlima mrefu kabisa duniani ni Mauna Kea. Volkeno hii inayofanya kisiwa kizima kimojawapo cha funguvisiwa la Hawaii inaanza mita 6,000 chini ya uso wa bahari na kufikia mita 4,205 juu ya usawa wastani wa bahari, hivyo kimo chake kutoka mguu wake hadi kilele ni mita 10,203[1]", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Mauna Kea", "start_byte": 165, "limit_byte": 174}]} {"id": "7757512404510433990-40", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina majimbo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hata hivyo, uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "-1057470747971980931-1", "language": "swahili", "document_title": "Sankt Peterburg", "passage_text": "Sankt Peterburg ilianzishwa mwaka 1703 na Kaisari Peter I wa Urusi kama mji mkuu wake badala ya Moscow ikaendelea kama mji wa kwanza hadi 1918 wakati mji mkuu ulirudishwa Moscow baada ya mapinduzi ya kikomunisti.", "question_text": "St. Petersburg iligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1703", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-1562221166898725925-1", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka 1922 na walowezi weupe wawili, George na Charles Hurst. Kampuni hii inamilikiwa na familia Dodd ya Kenya. Katika mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa wa kampuni walikuwa Wanakenya na kampuni hii ilifanikiwa sana.", "question_text": "Je,East African Breweries ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "4075037880677907967-0", "language": "swahili", "document_title": "Emmanuel Ake", "passage_text": "Emmanuel Ake Richard Muttendango zamani alikuwa anajulikana kama Ali Akida, (allizaliwa mnamo 11 Juni 1980 katika mji mkuu wa Mombasa) ni mwanakandanda mshambuliaji wa kimataifa kutoka Kenya ambaye katika misimu nane iliyopita amekuwa akizichezea vilabu tofauti nchini nchini Denmark.", "question_text": "Emmanuel Ake Richard Muttendango ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "11 Juni 1980", "start_byte": 94, "limit_byte": 106}]} {"id": "2725641793725970495-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "Kumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt), mmoja akajiuzulu (Richard Nixon), na wanne wakauawa (Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley, na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa 1789 bada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841, naye Franklin D. Roosevelt akahudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Barack Obama, aliyeapishwa 20 Januari 2009.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Marekani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 491, "limit_byte": 508}]} {"id": "4454253474639777360-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Je,Uhispania ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 44.395.286", "start_byte": 73, "limit_byte": 91}]} {"id": "1824409255991617945-0", "language": "swahili", "document_title": "Mharagwe-pana", "passage_text": "\nMharagwe-pana (Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana. Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali poti katika kanda za nusutropiki na wastani. Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.", "question_text": "Mbegu ya maharagwe iko na asili gani?", "answers": [{"text": "Mashariki ya Kati", "start_byte": 126, "limit_byte": 143}]} {"id": "2685128116344833506-8", "language": "swahili", "document_title": "Dunia", "passage_text": "Lakini si tufe kamili. Ina uvimbe kidogo kwenye sehemu ya ikweta; ilhali umbali kati ya ncha mbili ni kilomita 12,713 lakini umbali kati ya sehemu za kinyume kwenye ikweta ni km 12,756, yaani kipenyo hiki kinazidi takriban kilomita 43 kipenyo kati ya ncha na ncha. Tofauti hii inasababishwa na mzunguko wa dunia. Kani nje inasukuma sehemu za ikweta nje zaidi. Kwa hiyo mahali duniani palipo karibu zaidi na anga la nje si Mlima Everest kwenye Himalaya bali mlima Chimborazo nchini Ekuador.[5]", "question_text": "Je, sayari ya dunia ina kipenyo cha kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "km 12,756", "start_byte": 175, "limit_byte": 184}]} {"id": "-8519406454591430576-4", "language": "swahili", "document_title": "Haile Mariam Desalegne", "passage_text": "Haile Mariam hakushiriki katika shughuli za mapinduzi yaliyopindua udikteta wa kikomunisti wa Mengistu mwaka 1991 maana wakati ule alikuwa masomoni huko Ufini. Lakini baada ya ya kujiunga na EPRDF aliteuliwa mwaka 2000 kuwa makamu wa rais la jimbo la Mataifa ya Kusini na tangu mwaka 2001 hadi 2006 pia raisi yake.", "question_text": "Haile Mariam Desalegne alijiunga na siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 109, "limit_byte": 113}]} {"id": "4602931628426634379-14", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Waandishi katika nchi za Afrika", "passage_text": "Abaza Family\nMahmoud Abbas Alakad\nAhmed Shawki\nYehia haki\nYousef El Sebaey\nNabil Farok\nMustafa Mahmoud\nTharwat Abaza\nAziz Pasha Abaza\nFekry Pasha Abaza\nHafez Ibrahim\nKamel El Shenawy\nAnis Mansour\nSalama Ahmed Salama\nKarekia El Hakim\nAli Ahmed Bakathir\nAbdel Rahman El Sharkawy\nSalah Montaser\nIhasan Abdel Kouddous\nMohamed Osman El Khosht\nGamal Badawi\nAhmed Bahgat\nMohamed Hasanin Hekal\nGamal El Shaer\nFahmy Hewidy\nEl Abdel Rahman Rafey\nGamal Al-Ghitani (1945 -)\nLeila Ahmed (1940 -)\nHayam Abbas Al-Homi\nMuhammad Aladdin\nSamir Amin (1931 -)\nHussein Bassir\nAbdel Rahman El Abnudi (1938 -)\nMustafa Sadek El-Rafey\nMuhammad Husayn Haykal (1909-1956)\nTaha Hussein (1889-1973)\nSonallah Ibrahim\nYusuf Idris (1927-1991)\nEdmond Jabès (1912-1991)\nNagib Mahfuz (1911-2006), tilldelas 1988 Tuzo ya Nobel ya Fasihi\nNawal El Saadâwi (1931 -)\nSalama Moussa (1887-1958)\nAlifa Rifaat (1930-1996)\nAhdaf Soueif\nMahmud Taymur\nTatamkulu Afrika, pia anahusishwa na Afrika ya Kusini (1920-2002)\nOssama Alsaadawi", "question_text": "Je, Nagib Mahfuz alipokea tuzo ipi ya Nobel mwaka 1988?", "answers": [{"text": "Fasihi", "start_byte": 795, "limit_byte": 801}]} {"id": "-5619318982205390721-9", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Jina la Elementi)Kiingereza (IUPAC)AlamaNamba atomiaUzani atomia\n[u]Densiti\n[kg/m³] (20°C)Kiwango \ncha kuyeyuka\n(°C)Kiwango \ncha kuchemka\n(°C)Iligunduliwa\nmwakaKutambuliwa naAktiniactiniumAc89227,0310070104731971899DebierneAluminialuminiumAl1326,982700660,524671825ØrstedAmerikiamericiumAm95243,061367099426071944SeaborgStibiantimonySb51121,756690630,71750zamani(?)ArigoniargonAr1839,941,66 -189,4 −189,4 -185,9 −185,91894Ramsay,\n StruttAsenikiarsenicAs3374,925720613 2)6132)11. Jhd.Albertus MagnusAstatiniastatineAt85209,993023371940SegrèBaribariumBa56137,33365072516401808DavyBerkeliberkeliumBk97247,07132509861949SeaborgBeriliberylliumBe49,011850127829701797VauquelinBismuthibismuthBi83208,989800271,415601540AgricolaBoribohriumBh107262,121976OganessianBoroniboriumB510,812460230025501808Davy,\n Gay-LussacBromibromineBr\n3579,903140 -007,3−7,358,81826BalardKadimicadmiumCd48112,4186403217651817Stromeyer und \n HermannSizicesiumCs55132,91190028,46901860Kirchhoff, \n BunsenKalisicalciumCa2040,078154083914871808DavyKalifonicaliforniumCf98251,08151009001950SeaborgSericeriumCe58140,11677079832571803von Hisinger, BerzeliusKlorinichlorineCl1735,452,95 -101−101 -034,6 −34,61774ScheeleKromichromiumCr2452,007140185724821797VauquelinKobalticobaltCo2758,9338890149528701735BrandtKuricuriumCm96247,0713510134031101944SeaborgDarmstatidarmstadtiumDs1102691994GSIDubnidubniumDb105262,111967/70GhiorsoDisprosiDisprosiDy66162,58560140923351886Lecoq de BoisbaudranEinsteinieinsteiniumEs99252,088601952SeaborgFeri (chuma) (chuma)ironFe2655,85787015352750zamani(?)ErbierbiumEr68167,269050152225101842MosanderEuropieuropiumEu63151,96525082215971901DemarçayFermifermiumFm100257,101952SeaborgFloriniflourineF919,001,58 -219,6−219,6 -188,1 −188,11886MoissanFransifranciumFr87223,02276771939PereyGadolinigaboliniumGd64157,257890131132331880de MarignacGaligalliumGa3169,72591029,824031875Lecoq de BoisbaudranGermanigermaniumGe3272,615320937,428301886WinklerAuri (dhahabu)goldAu79196,97193201064,42940zamani(?)HafniHf72178,4913310215054001923Coster, \n de HevesyHassiHs108265,001984GSIHeliHe24,000,170 -272,2−272,2 -268,9 −268,91895Ramsay,\n CrookesHolmi ?holmiumHo67164,938780147027201878SoretHidrojenihydrogenH11,010,084 -259,1 −259,1 -252,9 −252,91766CavendishIndiindiumIn49114,827310156,220801863Reich,\n RichterIodiniiodineI53126,904940113,5184,41811CourtoisIridiiridiumIr77192,2222560241041301803TennantKalipotassiumK1939,09886063,77741807DavyKabonicarbonC612,011351035504827zamani(?)KriptonikryptonKr3683,803,48 -156,6−156,6 -152,3−152,31898Ramsay,\n TraversKupricopperCu2963,5589201083,52595zamani(?)LanthaniLa57138,90616092034541839MosanderLawirensilawrenciumLr103260,1016271961GhiorsoLithiLi36,94530180,513171817ArfwedsonLutetiLu71175,009840165633151907von Welsbach,\n UrbainMagnesiMg1224,301740648,811071828BussyManganisiMn2554,907440124420971774GahnMaitnirimeitneriumMt1092661982GSIMendelevimedeleviumMd101258,11955SeaborgMolibdenimolybdenumMo4295,9410280261755601778ScheeleNatrisodiumNa1122,9997097,88921807DavyNeodimineodynNd60144,247000101031271895von WelsbachNeonineonNe1020,180,84 -248,7 −248,7 -246,1 −246,11898Ramsay\n TraversNeptunineptuniumNp93237,052048064039021940McMillan\n AbelsonNikelinickelNi2858,698910145327321751CronstedtNiobiniobiumNb4192,918580246849271801HatchetNitrojeninitrogenN714,011,170 -209,9 −209,9 -195,8 −195,81771ScheeleNobelinobeliumNo102259,101958SeaborgOsmiosmiumOs76190,222590304550271803TennantPaladipalladiumPd46106,4212020155231401803WollastonPlumbileadPb82207,211340327,51740zamani(?)PosforiphosphorusP1530,971820442801669BrandPlatiniplatiniumPt78195,0821450177238271557ScaligerPlutoniplutoniumPu94244,061974064133271940SeaborgPolonipoloniumPo84208,9892002549621898Marie CuriePraseodimipraseodymiumPr59140,91648093132121895von WelsbachPromethipromethiumPm61146,927220108027301945MarinskyProtaktiniprotactiniumPa91231,0415370155440301917Fajans\n Hahn,\n MeitnerHidrajirimercuryHg80200,5913550 -038,9 −38,9356,6zamani(?)Radi (elementi)radiumRa88226,03550070011401898Marie und\n Pierre CurieRadoniradonRn86222,029,23 -071 −71 -061,8 −61,81900DornRenirheniumRe75186,2121030318056271925Noddack,\n Tacke,\n BergRodirhodiumRh45102,9112410196637271803WollastonRentgeniRg1112721994GSIRubidiRb3785,451530396881861Bunsen,\n KirchhoffRutheniRu44101,0712450231039001844ClausRutherfordiRf104261,111964/69GhiorsoSamariSm62150,367540107217781879Lecoq de BoisbaudranOksijenioxygenO816,001,33 -218,4 −218,4 -182,9 −182,91774Priestley,\n ScheeleSkandiscandiumSc2144,962990153928321879NilsonSulfurisulfurS1632,072060113444,7zamani(?)SiborgiseaborgiumSg106263,121974OganessianSeleniSe3478,9648202176851817BerzeliusAgentisilverAg47107,8710490961,92212zamani(?)SilikonisiliconSi1428,092330141023551824BerzeliusStanitinSn50118,7172902322270zamani(?)StrontistrontiumSr3887,62263076913841798KlaprothTantalitantalumTa73180,9516680299654251802EkebergTekinetitechnetiumTc4398,9111490217250301937SegrèTelurotelluriumTe52127,66250449,69901782von ReichensteinTaribiterbiumTb65158,938250136030411843MosanderTalithalliumTl81204,3811850303,614571861CrookesThorithoriumTh90232,0411720175047871829BerzeliusThulithuliumTm69168,939320154517271879CleveTitanititaniumTi2247,884510166032601791Gregor,\n KlaprothUnunbiununbiumUub1122771996GSIUnunheksiununhexiumUuh1162892000JINRUnunoktiununoctiumUuo1182932006JINRUnunpentiununpentiumUup1152882006JINRUnunkadiununquadiumUuq1142891999JINRUnuntriununtriumUut1132872006JINRUraniuraniumU92238,03189701132,438181789KlaprothVanadivanadiumV2350,946090189033801801del RíoWolframitungstenW74183,8519260340759271783Fausto und Juan\n de ElhuyarYitebiytterbiumYb70173,04697082411931878de MarignacYitriyttriumY3988,914470152333371794GadolinZinkizincZn3065,397140419,6907zamani(?)ZenonixenonXe54131,294,49 -111,9 −111,9 -107,0 −1071898Ramsay, \n TraversZirikonizirconiumZr4091,226510185243771789Klaproth", "question_text": "Kampaundi ya dhahabu ina fomula gani?", "answers": [{"text": "Au", "start_byte": 1976, "limit_byte": 1978}]} {"id": "159942327756781315-0", "language": "swahili", "document_title": "YouTube", "passage_text": "\nYouTube ni tovuti ya kushirikisha video ambazo watumiaji wanaweza kuzinakili na kuzigawa kwa wengine. Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal waliunda YouTube mnamo Februari 2005. [1]", "question_text": "Mtandao wa Youtube ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal", "start_byte": 103, "limit_byte": 141}]} {"id": "4989654465241334674-0", "language": "swahili", "document_title": "Taff B.", "passage_text": "\nBrian Haule (16 Mei, 1978 Ilala Bungoni/Sharif Shamba, Dar es Salaam) ni rapa, mtangazaji wa redio ya mtandaoni (Bongo Radio) na mdau mkubwa wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Taff B au lile la kimtandao zaidi ni Ngomanagwa. Huyu ni ndugu wa baba mkubwa na mdogo wa Professor Jay. ", "question_text": "Je,Brian Haule alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "16 Mei, 1978", "start_byte": 14, "limit_byte": 26}]} {"id": "-2499035169442778708-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "-4474410116334301488-12", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu wa Tanzania ni jiji la Dodoma.", "question_text": "Mji Mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "-4707667064599198901-1", "language": "swahili", "document_title": "Oasisi", "passage_text": "\n\n\n\nKatika jiografia, Oasisi au cienega (kusini magharibi mwa Marekani) ni eneo la mimea lililotengwa katika jangwa, kwa kawaida likizunguka chemchemi au kitovu kingine cha maji. Oasisi pia hutoa makazi kwa wanyama na hata binadamu kama eneo ni kubwa vya kutosha.", "question_text": "Oasisi ni nini?", "answers": [{"text": "neo la mimea lililotengwa katika jangwa, kwa kawaida likizunguka chemchemi au kitovu kingine cha maji", "start_byte": 77, "limit_byte": 178}]} {"id": "6516887995934006771-0", "language": "swahili", "document_title": "Günter Grass", "passage_text": "Günter Wilhelm Grass (alizaliwa 16 Oktoba 1927 Danzig, alifariki 13 Aprili 2015 mjini Lübeck) alikuwa mchoraji, mchongaji na mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa ameandika riwaya na insha, na pia tamthiliya na mashairi. Mwaka wa 1999 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.", "question_text": "Je,Günter Wilhelm Grass alishinda tuzo la Nobel mwaka upi?", "answers": [{"text": "1999", "start_byte": 235, "limit_byte": 239}]} {"id": "-2244580593083333213-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, Kiswahili", "start_byte": 158, "limit_byte": 203}]} {"id": "4208090771309438376-1", "language": "swahili", "document_title": "Mlima", "passage_text": "Mifano katika Afrika ni Mlima Kilimanjaro na Mlima Kenya. ", "question_text": "Mlima kubwa Afrika ni gani?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 30, "limit_byte": 41}]} {"id": "-1878184373649157950-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "Majimbo ya Marekani ni jumla la madola 50 ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani yanayojitawala katika mambo mengi ya ndani. ", "question_text": "Je,Marekani ina majimbo ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "50", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "2201993457440217336-30", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Mwaka 1962 Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urubdi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee.", "question_text": "Nchi ya Burundi ilipata Uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "-5990051900980365866-1", "language": "swahili", "document_title": "Mitholojia ya Kigiriki", "passage_text": "Chanzo chetu kikuu kuhusu imani ya Wagiriki wa kale kabisa ni shairi ya Theogonia iliyotungwa na Hesiodo mnamo mwaka 700 KK.", "question_text": "Dini ya Ugiriki ya kale ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "700 KK", "start_byte": 117, "limit_byte": 123}]} {"id": "-2322274315499658459-7", "language": "swahili", "document_title": "Togo", "passage_text": "Mnamo Desemba 1956 wakazi wa Togo ya Kiingereza waliamua kwa kura kubaki na Ghana. Hivyo ni Togo ya Kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka 1960.", "question_text": "Je, Togo ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 138, "limit_byte": 142}]} {"id": "5536723291660044095-0", "language": "swahili", "document_title": "Carl Gustav Jung", "passage_text": "Carl Gustav Jung (mara nyingi hutajwa kwa kifupi zaidi C.G. Jung; 26 Julai 1875 – 6 Juni 1961) alikuwa tabibu na mtaalamu wa saikolojia kutoka Uswisi aliyeandika kwa Kijerumani. ", "question_text": "Carl Gustav Jung alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1875", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "2681122305774441366-0", "language": "swahili", "document_title": "Céline Dion", "passage_text": "Céline Dion (amezaliwa tar. 30 Machi 1968) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo mashuhuri za pop kutoka nchini Kanada. Alizaliwa katika mji wa Charlemagne mjini Quebec, Kanada. Yeye ni mdogo kuzaliwa katika familia ya watoto kumi na nne.", "question_text": "Muimbaji Celine Dion ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "30 Machi 1968", "start_byte": 29, "limit_byte": 42}]} {"id": "7286963985827957266-5", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Turkana", "passage_text": "Mto Tarach, Mto Kerio, Mto Kalapata, Mto Malimalite na Mto Turkwel ndio mito mikuu katika kaunti. Mito hii hupungua kiwango cha maji msimu wa kiangazi, na kukauka wakati wa ukame[2]. Ziwa Turkana liko mashariki mwa kaunti. Limegawanywa kati ya Turkana, Marsabit na Uhabeshi. Katika maeneo karibu na ziwa, kuna chemchemi zilizopo. Chemchemi za Eliye ndio chemchemi maarufu na kivutio cha watalii[1].\n", "question_text": "Je ziwa la Turkana inapatikana kwa kaunti gani Kenya?", "answers": [{"text": "Turkana", "start_byte": 188, "limit_byte": 195}]} {"id": "3969107253057240223-1", "language": "swahili", "document_title": "Mke wa Rais wa Tanzania", "passage_text": "Mke wa Rais wa Tanzania ni cheo kisicho-rasmi kinachoshikiliwa na mke wa Rais wa Tanzania.[1] Mke wa sasa wa rais nchini humo ni Janeth Magufuli, ambaye aliingia madarakani tangu tarehe 5 Novemba 2015.", "question_text": "Mke wa rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Janeth Magufuli", "start_byte": 129, "limit_byte": 144}]} {"id": "-51208200402603339-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki (ziliitwa \"Mataifa ya Kati\", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa \"Mataifa ya Ushirikiano\", ing. allied powers). ", "question_text": "Vita ya dunia ya kwanza lilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1914", "start_byte": 66, "limit_byte": 70}]} {"id": "-918613608647733460-1", "language": "swahili", "document_title": "Mto Fowey", "passage_text": "Huanzia 1-mile (1.6km) kaskazini-magharibi ya Brown Willy katikae Bodmin Moor, hupitia Lanhydrock House, Restormel Castle na Lostwithiel,baadaye kunenepa katikiaMilltown kabla ya kujiunga na mtaro wa Uingereza katika Fowey. huvukika tu kwa kutumia vyombo vikubwa 7 miles (11km) Kuna feri kati ya Fowey na Bodinnick. Barabara ya kwanza inyuvuka kwenda juu iko katika katika Lostwithiel. Mto huu una mito midogo saba, mkubwa ukiwa mto Lerryn. Sehemu ya Bonde la Fowey kati ya Doublebois na kituo cha reli Bodmin Parkway inajulikana kama bonde la Glynn (kutoka Glynn House, Cardinham). Bonde hili ni njia ya barabara kuu ya A38 na reli (iliyojengwa na kampuni ya Reli katika Cornwall mwaka wa 1859). Reli huwa juu ya ukuta wa mawe nane (tazama reli ya Cornwall ).", "question_text": "Lanhydrock House inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 200, "limit_byte": 209}]} {"id": "-3334796210328876823-8", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Dunia la FIFA", "passage_text": "Kombe la Dunia 2018 linafanyika Russia.", "question_text": "Je,kombe la dunia mwaka 2018 iliandaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Russia", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "-6610875187415759189-0", "language": "swahili", "document_title": "Apollo 11", "passage_text": "\nApollo 11 ilikuwa chombo cha angani cha kwanza kufikisha watu kwenye Mwezi. Hii yote ilifanywa na NASA (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo 16 Julai 1969 kikibeba wanaanga watatu Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins.", "question_text": "Ni nani wa kwanza kufika kwa mwezi duniani?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 209, "limit_byte": 223}]} {"id": "4772742800586015483-0", "language": "swahili", "document_title": "LL Cool J", "passage_text": "James Todd Smith (amezaliwa tar. 14 Januari 1968) ni rapa na mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama LL Cool J. LL Cool J inasimama kwa \"Ladies Love Cool James\".[1] Anajulikana sana kwa maballad yake ya kimahaba kama vile \"I Need Love\", \"Around the Way Girl\" na Hey Lover\", vilevile kuanzisha kuanzisha hip-hop kama vile \"I Can't Live Without My Radio\", \"I'm Bad\", \"The Boomin' System\", na \"Mama Said Knock You Out\". Pia amepata kuonekana katika filamu kadha wa kadha. LL Cool J ni mmoja kati ya wasanii wachache wa hip hop wa zama zake kuweza kupata mafanikio makubwa katika zake za kurekodi kwa zaidi ya makumi mawili. Ametoa takriban albamu kumi na mbili na kompilesheni ya vibao vikali kadhaa mpaka sasa, na albamu yake ya mpya kuwa ya mwaka wa 2008,s Exit 13, ambayo ni ya mwisho kwa LL kufanya kazi na Def Jam Recordings. Kwa sasa anaishi mjini Manhasset, New York na watoto wake wa nne na mke wake.[2]", "question_text": "LL Cool J, alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "-4123509871078984927-0", "language": "swahili", "document_title": "Afande Sele", "passage_text": "Seleman Msindi au Afande Sele (amezaliwa tar. 24 Aprili 1976) ni msanii wa muziki wa hip hop na Bongo Flava kutoka Mkoani Morogoro, Tanzania. Amewahi kushinda tuzo ya (mkali wa ryhmes) mwaka [2003] kutokana na wimbo yake wa \"Darubini Kali\" aliyomshirikisha Dogo Ditto kwa sasa Lameck Ditto. Ni muasisi wa makundi ya 'Ghetto Boys' na 'Watu Pori', yaliozaliwa na kufia mjini Morogoro kwa kufuatana na alikuwa msanii wa kwanza kuujaza uwanja wa mpira wa miguu wa JAMUHURI mjini morogoro alipozindua albam yake ya kwanza ya 'MKUKI MOYONI'. Aliongoza kampeni ya maleria mwanzoni mwamiaka ya 2005 na 2007. Mwanzoni wa mwezi wa 11 mwaka 2012 alitangaza rasmi kufanya kazi kama kundi jipya la watu pori baada ya kufanya kazi na MC KOBA ambaye ni miongoni mwa waliokuwa wakiunda kundi la watu pori miaka ya nyuma. Afande Sele kwa sasa ana video ya wimbo wake Soma Ule ambayo imeongozwa na mtayarishaji Raph Tz (upcoming video director) aliyepewa heshima na msanii huyo kufanya video hiyo ambayo imekidhi maudhui ya wimbo.", "question_text": "Je,Afande Sele alishinda tuzo gani mwaka 2003?", "answers": [{"text": "mkali wa ryhmes", "start_byte": 168, "limit_byte": 183}]} {"id": "2113991917813918311-1", "language": "swahili", "document_title": "East African Breweries", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka wa 1922 na walowezi wawili, George na Charles Hurst. Kufikia mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa walikuwa kwenye kampuni hii walikuwa Wakenya na ilikuwa na mafanikio sana.", "question_text": "Je,Kampuni ya Kenya Breweries Limited ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "-6475812736150579450-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,mlima Everest ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "8,848", "start_byte": 11, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5025815730813761677-0", "language": "swahili", "document_title": "Riwaya", "passage_text": "Riwaya (kutoka neno la Kiarabu رواية riwaya ) ni kazi andishi ya fasihi ambayo kwa kawaida ni ndefu kuliko hadithi fupi. Urefu wa riwaya, maana yake ni kwamba msuko simulizi umejengeka vizuri, kuna wahusika wengi, unaenea muda mrefu, na mada zake ni nzito na pana kiasi. ", "question_text": "Jina riwaya linatokana na nini?", "answers": [{"text": "neno la Kiarabu رواية", "start_byte": 15, "limit_byte": 41}]} {"id": "-8022199754832843856-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Wapare", "passage_text": "Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa nchi ya Tanzania. ", "question_text": "Wapare wanatokea mkoa gani?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 48, "limit_byte": 59}]} {"id": "-7021183754302550141-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dar es Salaam", "passage_text": "Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541. ", "question_text": "Je,jiji la Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 241, "limit_byte": 250}]} {"id": "2238047160069265732-0", "language": "swahili", "document_title": "Samir Nasri", "passage_text": "Samir Nasri (amezaliwa 26 Juni 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anaichezea klabu ya Arsenal katika ligi kuu ya Uingereza.", "question_text": "Je,Samir Nasri alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "26 Juni 1987", "start_byte": 24, "limit_byte": 36}]} {"id": "8865121970190710961-16", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Nyangumi wa bluu ndiye mamalia mkubwa zaidi aliyepata kuishi, na pia mnyama mkubwa, kufikia mpaka mita 35 kwa urefu na uzito wa tani 150.", "question_text": "Je,mnyama mkubwa zaidi wa baharini ni yupi?", "answers": [{"text": "Nyangumi wa bluu", "start_byte": 0, "limit_byte": 16}]} {"id": "-1724123407803771964-3", "language": "swahili", "document_title": "Kanku Kelly", "passage_text": "\nKatika kujitafutia maisha mwaka 1975 Nkashama Kelly aliamua kwenda mji wa Katanga uliopo jimbo la Shaba, huko alijiunga katika bendi ya Safari Nkoi iliyokuwa na wanamuziki mahiri akina Ndala Kasheba na Baziano Bwetii. Nyota yake ilianza kutoa nuru njema, kwani mwezi Febrauri 1977 baadhi ya wanamuziki Kongo walifuatwa na Chibangu Katai ‘mzee Paul’ kuja Tanzania kujiunga na bendi ya Maquis du Zaire. Anamtaja Kikumbi Mwanza Mpango maarufu kama \"King Kikii\", Mutombo Sozzy (drumz), Ilunga Banza ‘Banza Mchafu’ (besi gita) Ngalula Chandanda (steji shoo) pamoja na yeye Kanku ndiyo kwa pamoja walichukuliwa kuja Tanzania waka huo. Alipofika Maquis du Zaire jijini Dar es Salaam, aliungana na wapulizaji wa trumpet wengine akina Mwema Mudjanga ‘mzee Chekecha’, Mino wa Mwamba ‘mzee Tito, Mpoyo Kalenga, Kaumba Kalemba na Ngenda Kalonga.", "question_text": "Je,Nkashama Kanku Kelly alianza muziki wa dansi mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 33, "limit_byte": 37}]} {"id": "-7163675375480617989-2", "language": "swahili", "document_title": "Chuo cha Kikristo cha Aleksandria", "passage_text": "Kadiri ya Jeromu shule ya Aleksandria ilianzishwa na Mwinjili Marko. Baadaye anatajwa Athenagora wa Athene (176), lakini kwa hakika zaidi Panteno 181, aliyeacha uongozi kwa mwanafunzi wake bora, Klementi wa Aleksandria mwaka 190.[2]Huyo alifuatwa na Origene akiwa na umri wa miaka 18 tu, na wataalamu wengine wanaoheshimiwa kama watakatifu katika Kanisa la Kiorthodoksi na Kanisa Katoliki kama Gregori Mtendamiujiza, Heraklas, Dionisi wa Aleksandria na Didimo Kipofu. ", "question_text": "Shule ya Aleksandria ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Mwinjili Marko", "start_byte": 53, "limit_byte": 67}]} {"id": "-7328728227609464486-10", "language": "swahili", "document_title": "Ngozi", "passage_text": "Melanini ni kemikali inayokaa ndani ya epidemisi yenye kazi ya kuzuia au angalau kupunguza athira za mnururisho wa jua. Mnururisho huo unaweza kuwa wa hatari kama jua ni kali na kuchoma seli, hasa kusababisha kansa. \n\nUwezo wa kutengeneza melanini unarithiwa. Hivyo watu \"weusi\" huzaliwa na kiwango kikubwa cha melanini ya kudumu kwenye ngozi. Watu \"weupe\" wana kiwango kidogo. ", "question_text": "Kwa nini binadamu wengine huwa weusi?", "answers": [{"text": "huzaliwa na kiwango kikubwa cha melanini ya kudumu kwenye ngozi", "start_byte": 279, "limit_byte": 342}]} {"id": "-460476139431528098-1", "language": "swahili", "document_title": "New Orleans", "passage_text": "Hadi Julai 2005 ilikuwa na wakazi 454,863 ikaathiriwa vibaya na tufani \"Katrina\" iliyoharibu sehemu kubwa na idadi ya wakazi imepungua hadi kufikia 223,388 katika mwaka 2007.", "question_text": "Je,idadi ya watu wa mji wa New Orleans ni ngapi?", "answers": [{"text": "223,388", "start_byte": 148, "limit_byte": 155}]} {"id": "-2689034450210091989-0", "language": "swahili", "document_title": "Didier Zokora", "passage_text": "Alain Didier Zokora Deguy (amezaliwa 14 Desemba 1980 katika mji mkuu wa Abidjan) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Cote d'Ivoire (Ivory Coast), ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya huko Hispania, maarufu ya Sevilla FC na pia timu ya taifa ya Cote d'Ivoire.", "question_text": "Je,Alain Didier Zokora Deguy alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "14 Desemba 1980", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}]} {"id": "6900392592660526096-1", "language": "swahili", "document_title": "Sancho Gracia", "passage_text": "Sancho ameanza shughuli zake za uigizaji kwenye miaka ya 1963, aliweza kushiriki katika filamu moja hivi iitwayo L'Autre femme akiwa pamoja na mwanamama Annie Girardot.\nTangu hapo akaanza kuonekana tena katika filamu nyingine nyingi tu zaidi ya themanini zikiwemo zingine zilifanyiwa huko Hollywoood, mnamo miaka ya 1970 na 1999. Sancho pia aliwahi kushiriki katika filamu moja iitwayo Outlaw Justice humo alishirikiana na Willie Nelson na Kris Kristofferson.", "question_text": "Je,Sancho Gracia alianza uigizaji mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 57, "limit_byte": 61}]} {"id": "3652064567667117737-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Bahari ya Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 106,200,000", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}]} {"id": "3463791004251210970-0", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini", "passage_text": "\nJamhuri ya Kituruki ya Kupro ya Kaskazini (Kituruki: Kuzey Kıbrıs Türk Cumhuriyeti) ni nchi isiyotambuliwa na jumuiya ya kimataifa iliyoko sehemu ya kaskazini ya kisiwa cha Kupro. Eneo lake ni 3,335km² kuna wakazi lakhi mbili karibu wote ni Waturuki pamoja na Wagiriki 3,000 waliobaki kwenye rasi ya Rizokarpaso. Mji mkuu ni sehemu ya kituruki ya Nikosia.", "question_text": "Mji mkuu wa Jamhuri ya Kituruki ya Kupro unaitwaje?", "answers": [{"text": "Nikosia", "start_byte": 352, "limit_byte": 359}]} {"id": "-6345944898662798735-31", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Licha ya Waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani Waafrika mamlaka \"ya wastani\" zaidi, ilikuwa Kenya African National Union (KANU) ya Jomo Kenyatta, mwanachama wa kabila la Kikuyu na mfungwa wa zamani, ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. ", "question_text": "Kenya ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 291, "limit_byte": 295}]} {"id": "-1779195441318436466-1", "language": "swahili", "document_title": "Elgon (mlima)", "passage_text": "Elgon ni mlima mkubwa wa pili nchini Kenya baada ya Mlima Kenya. Upande wa Uganda ni mlima mkubwa wa mashariki ya nchi lakini milima ya safu ya Ruwenzori ni mirefu kushinda Elgon.", "question_text": "Je mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni gani?", "answers": [{"text": "safu ya Ruwenzori", "start_byte": 136, "limit_byte": 153}]} {"id": "-2651109895220705059-2", "language": "swahili", "document_title": "Nelson Mandela", "passage_text": "Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai 1918 katika familia ya kabila la Waxhosa kwenye kijiji cha Mvezo karibu na Umtata iliyokuwa kwenye Jimbo la Rasi.[1]", "question_text": "Je,Nelson Mandela alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "18 Julai 1918", "start_byte": 25, "limit_byte": 38}]} {"id": "-6237482698782781817-3", "language": "swahili", "document_title": "Fiji", "passage_text": "Mji mkuu ni Suva.", "question_text": "Mji mkuu wa Fiji ni upi?", "answers": [{"text": "Suva", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-1611784619982669731-35", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "Katika vita hivyo afisa kijana, kwa jina Napoleon Bonaparte, alipanda vyeo haraka hadi kuingia katika siasa; mwaka 1799 alichukua mamlaka yote kwa kutumia cheo cha \"konsuli wa kwanza\" na tangu 1804 alijiita \"Kaisari wa Wafaransa\".", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ufaransa aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Napoleon Bonaparte", "start_byte": 41, "limit_byte": 59}]} {"id": "-156767821692513629-24", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Wakazi wa Uganda wameongezeka kutoka 9,500,000 (1969) hadi 34,634,650 (2014), hivyo wengi wao ni vijana kuliko nchi zote duniani. Umri wa wastani ni miaka 15 tu.", "question_text": "Je,idadi ya watu nchi ya Uganda ni upi?", "answers": [{"text": "34,634,650", "start_byte": 59, "limit_byte": 69}]} {"id": "7301699768307955099-22", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1962 Algeria, Burundi, Rwanda, na Uganda zikawa huru, na 1963 zikafuatia Zanzibar, Gambia na Kenya, na katika mwaka wa 1964 Malawi (Nyasaland), na Zambia (Rhodesia ya Kaskazini) zikapata uhuru. ", "question_text": "Je,Burundi ilpata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "549066215417905010-0", "language": "swahili", "document_title": "Hidrokaboni", "passage_text": "Hidrokaboni ni aina mbalimbali za kampaundi ogania za kikemia zinazojengwa kwa atomi za hidrojeni na kaboni pekee. ", "question_text": "Hidrokaboni ni nini?", "answers": [{"text": "aina mbalimbali za kampaundi ogania za kikemia zinazojengwa kwa atomi za hidrojeni na kaboni pekee", "start_byte": 15, "limit_byte": 113}]} {"id": "9058557440919191687-1", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti za Kenya", "passage_text": "Katiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192, pamoja na ‘County Governments Act of 2012”. Kaunti hizi zilichukua nafasi za Mikoa ya Kenya. Mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992. ", "question_text": "Kuna kaunti ngapi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "105428030016487394-0", "language": "swahili", "document_title": "Vatikani", "passage_text": "\nMji wa Vatikani ni dola-mji lenye eneo la kilomita za mraba 0,44 tu. Hivyo ni nchi ndogo kuliko zote duniani. Pande zote inazungukwa na Italia.", "question_text": "Ni nchi gani ndogo zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Vatikani", "start_byte": 8, "limit_byte": 16}]} {"id": "-2731866962231331474-12", "language": "swahili", "document_title": "Indonesia", "passage_text": "Nchi ina wakazi 238,452,952 (2004) hivyo ina nafasi ya nne kati ya mataifa makubwa duniani. Ni nchi yenye Waislamu wengi kuliko nyingine zote duniani. Makabila asili ni 300 hivi; kubwa zaidi ni Wajava (42 %).", "question_text": "Indonesia ina makabila mangapi?", "answers": [{"text": "300", "start_byte": 169, "limit_byte": 172}]} {"id": "556167980633499178-5", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Libya", "passage_text": "Mwaka 1551 Waturuki walifukuza Wazungu kutoka Tripoli wakatawala hadi karne ya 20.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Libya ni upi?", "answers": [{"text": "Tripoli", "start_byte": 46, "limit_byte": 53}]} {"id": "-7221135117693227373-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Tanzania ina miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "-2576536889399083920-16", "language": "swahili", "document_title": "Nelson Mandela", "passage_text": "Baada ya kuachiliwa huru mwaka 1990 alianzisha sera ya maridhiano au sera ya amani baina yake na watu weupe nchini Afrika Kusini, jambo ambalo watu wengi hawakulitegemea. ", "question_text": "Je aliyekuwa rais wa Afrika kusini Nelson Mandela alitoka jela mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "4604370004970740591-0", "language": "swahili", "document_title": "Dknob", "passage_text": "\n\nInnocent Cornel Sahani (amezaliwa tar. 12 Februari 1980) ni msanii wa hip hop na Bongo Flava kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jia lake la kisanii kama \"Dknob\". Dknob ametoa nyimbo nyingi tu zenye kuwika sana katika Afrika ya Mashariki. Nyimbo hizo ni kama vile, Elimu Mitaani.com, Sauti ya Gharama, Ingewezekana, Kitu Gani, Mr. Sahani, Bora Tumeachana, na Nishike Mkono ambayo kaimba na Mwasity.", "question_text": "Innocent Cornel Sahani alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "3492401046463143245-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "5895", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "1932984078251983854-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanga (mji)", "passage_text": "Tanga insaemekana imeanzishwa na wafanyabiashara Waajemi katika karne ya 14 BK. Mji wa Tanga haikupata umuhimu kama mji wa jirani ya Mombasa. Tarihi ya Pate inasema ya kwamba kabla ya kuja kwa Wareno Pate iliwahi kutawala Lindi kwa muda fulani.", "question_text": "Mji wa Tanga uligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "14 BK", "start_byte": 73, "limit_byte": 78}]} {"id": "-767201893017330970-0", "language": "swahili", "document_title": "Elimu", "passage_text": "\n\n\nElimu kwa maana pana ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi. Katika dhana ya kiufundi, elimu ni njia ambayo hutumiwa makusudi na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine.", "question_text": "Je, elimu ya jamii ni nini?", "answers": [{"text": "tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi", "start_byte": 27, "limit_byte": 118}]} {"id": "-1360486113363936981-25", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo 1896 wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika mji mkuu Gitega ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina \"Urundi\". Hapa sawa na Rwanda na Bukoba Wajerumani walitumia mbinu ya eneo lindwa ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi unaitwaje?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 159, "limit_byte": 165}]} {"id": "9894439700261778-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vyama vya kisiasa nchini Kenya", "passage_text": "Kenya ilikuwa na vyama vya kisiasa vilivyosajiliwa zaidi ya 160 kufikia mwezi Novemba mwaka wa 2007 [1] lakini kufuatia kupitishwa kwa sheria maalum ya vyama vya siasa tarehe 31 Desemba 2008, idadi ya vyama vilivyoandikishwa ilipungua hadi 38 huku vyama kadhaa vikiongezewa muda wa kujilinganisha na sheria hii mpya.[1][2][2][3][3]", "question_text": "Je,Kenya ina vyama ngapi vya kisiasa kufikia mwaka 2019?", "answers": [{"text": "38", "start_byte": 240, "limit_byte": 242}]} {"id": "-365555121646910666-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Neno Swahili lina asili ya Kiarabu: Sahil ina maana ya pwani; sawahil ’’as-sawāhilī’’ (السواحلي) ni wingi wake kwa kumaanisha yote yanayohusiana na pwani, watu au utamaduni wa eneo la pwani. ", "question_text": "Sahil ina maana gani?", "answers": [{"text": "pwani", "start_byte": 55, "limit_byte": 60}]} {"id": "4961058380473122006-2", "language": "swahili", "document_title": "Seli za damu", "passage_text": "Seli nyekundu za damu (erithrosaiti au erythrocyte) ambazo zinabeba oksijeni na kuisafirisha ndani ya mwili kutoka mapafu hadi seli za mwili. Kutokana na oksijeni zina rangi nyekundu inayofanya damu yote kuonekana nyekundu.\nSeli nyeupe za damu (lukosaiti au leukocyte) ambazo zinahusika na kinga ya mwili zikishambulia na kuharibu bakteria za hasara, seli za kansa na virusi.\nVisahani vya damu (thrombosaiti au thrombocyte) ambavyo vinahusika na uwezo wa damu ya kuganda na kufunika vidonda.", "question_text": "Je,seli nyeupe ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili?", "answers": [{"text": "kinga ya mwili zikishambulia na kuharibu bakteria za hasara, seli za kansa na virusi", "start_byte": 290, "limit_byte": 374}]} {"id": "-6335668013450554023-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki", "passage_text": "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki ni moja ya hifadhi kubwa zaidi na kongwe nchini Kenya iliyo tambaa eneo la kilomita za mraba 11,747. Ilifunguliwa mnamo Aprili 1948, na iko karibu na kijiji cha Voi katika Wilaya ya Taita Mkoa wa pwani. Hifadhi hii imegawanywa katika sehemu za mashariki na magharibi na barabara na reli ya A109. Jina lake ambalo linatokana mto Tsavo, ambao unatiririka kutoka magharibi hadi mashariki kupitia hifadhi hii, iko mpakani mwa mbuga ya kitaifa ya milima ya Chyulu, na hifadhi ya wanyama ya Mkomazi nchini Tanzania.", "question_text": "Je, hifadhi ya Tsavo inapatikana eneo gani?", "answers": [{"text": "kijiji cha Voi katika Wilaya ya Taita Mkoa wa pwani", "start_byte": 186, "limit_byte": 237}]} {"id": "-376939192398689980-0", "language": "swahili", "document_title": "Wikipedia ya Kijapani", "passage_text": "Wikipedia ya Kijapani (Kijapani: ウィキペディア日本語版 au Wikipedia Nihongo-ban|tafsiri \"Wikipedia: Toleo la lugha ya Kijapan\") ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kijapani. Na kwa tar. 25 Juni ya mwaka wa 2008, Wikipedia ya Kijapani imefikisha zaidi ya makala 500,000[1], na kuifanya iwe toleo la Wikipedia ya tano kwa ukubwa baada ya Kiingereza, Kijerumani, Kifaransa na Kipoland.", "question_text": "Wikipedia ya Kijapani ina makala ngapi?", "answers": [{"text": "zaidi ya makala 500,000", "start_byte": 272, "limit_byte": 295}]} {"id": "-6738794663418841849-0", "language": "swahili", "document_title": "Bergisch Gladbach", "passage_text": "Bergisch Gladbach ni mji uliopo nchini Ujerumani katika jimbo la Rhine Kaskazini-Westfalia. Mji upo karibu na mji wa Cologne na una wakazi takriban 110,016 waishio katika mji huo.", "question_text": "Bergisch Gladbach ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "110,016", "start_byte": 148, "limit_byte": 155}]} {"id": "-5202359444356533065-40", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina majimbo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hata hivyo, uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "-2316088827313807724-0", "language": "swahili", "document_title": "Euro", "passage_text": "\n\nEuro ni sarafu ya pamoja katika baadhi ya nchi za Ulaya. Wakazi wake 343,000,000 wanatumia kwa kawaida pesa hiyo. Watu wengine 240,000,000 wanatumia pesa zilizoungwa na euro, hasa barani Afrika.", "question_text": "Je Slovakia wanatumia sarafu ya pesa?", "answers": [{"text": "Euro", "start_byte": 2, "limit_byte": 6}]} {"id": "4873480971807024994-0", "language": "swahili", "document_title": "Nelson Mandela", "passage_text": "\nNelson Rolihlahla Mandela (18 Julai 1918 - 5 Desemba 2013) alikuwa mwanasiasa nchini Afrika Kusini, kiongozi wa mapambano dhidi ya siasa ya ubaguzi wa rangi (Apartheid), mfungwa jela kwa miaka 27 halafu rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia katika nchi yake. ", "question_text": "Nelson Mandela aliaga dunia lini?", "answers": [{"text": "5 Desemba 2013", "start_byte": 44, "limit_byte": 58}]} {"id": "-1127295657031819073-3", "language": "swahili", "document_title": "Brazil", "passage_text": "Mji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "question_text": "Mji mkuu wa Brazil unaitwaje?", "answers": [{"text": "Brasilia", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-8522315462439839379-25", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Nigeria", "passage_text": "Mwaka 2015 alishindwa katika uchaguzi mkuu na mgombea mwenzake, Muhammadu Buhari.", "question_text": "Rais wa Nigeria ni nani?", "answers": [{"text": "Muhammadu Buhari", "start_byte": 64, "limit_byte": 80}]} {"id": "-189736286320554684-27", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": " \nWengi wa simba jike huanza kuzaa wakiwa na miaka minne. Simba hawajamiani katika kipindi maalumu cha mwaka. Kama ilivyo kwa paka wengine, uume wa simba una kama miiba zilizogeukia nyuma. Wakati wa kuutoa, miiba hiyo hukwangua kuta za uke na kusababisha kuachiwa kwa yai. Akiwa kwenye joto, simba jike huweza kujamiana na zaidi ya dume mmoja, na wakati wa kujaamiana, ambao unaweza kuchukua siku kadhaa, wenza hao hujamiana mara ishirini mpaka arobaini kwa siku na mara nyingi hata huahirisha kula. Simba huzaliana vizuri kwenye hifadhi.", "question_text": "Simba huzaa baada ya muda gani?", "answers": [{"text": "miaka minne", "start_byte": 45, "limit_byte": 56}]} {"id": "-3267736210608381061-0", "language": "swahili", "document_title": "Spishi", "passage_text": "\nSpishi (kutoka Kilatini \"species\", yaani: aina, maumbile) katika biolojia ni jina la kutaja kundi la wanyama au mimea wa aina moja. Spishi ni kitengo muhimu katika uainishaji wa kisayansi.", "question_text": "Spishi ni nini?", "answers": [{"text": "jina la kutaja kundi la wanyama au mimea wa aina moja", "start_byte": 78, "limit_byte": 131}]} {"id": "8693769649198998307-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya miji ya Kenya", "passage_text": "miji ya Kenya#MjiWakaziKauntiSensa 1969Sensa 1979Sensa 1989Sensa 1999Sensa 20091.Nairobi509.286827.7751.324.5702.143.2543,138,369Kaunti ya Nairobi2.Mombasa247.073341.148461.753665.018939,000Kaunti ya Mombasa3.Kisumu32.431152.643192.733322.734500,000Kaunti ya Kisumu4.Nakuru47.15192.851163.927219.366307,990Kaunti ya Nakuru5.Eldoret18.19650.503111.882167.016289,380Kaunti ya Uasin Gishu6.Ruiru1.6741.71823.31679.741238,858Kaunti ya Kiambu7.Machakos6.31284.320116.293144.109150,041Kaunti ya Machakos8.Meru4.47572.04994.947126.427240,900Kaunti ya Meru9.Nyeri10.00435.75391.25898.908225,357Kaunti ya Nyeri10.Kitale11.57328.32756.21886.055106,187Kaunti ya Trans-Nzoia11.Kericho10.14429.60348.51182.126104,282Kaunti ya Kericho12.Thika18.38741.32457.60382.665139,853Kaunti ya Kiambu13.Kakamega6.24432.02558.86273.60799,987Kaunti ya Kakamega14.Garissan.b.14.07631.31950.955119,696Kaunti ya Garissa15.Kisii6.08029.66144.14959.248200,000Kaunti ya Kisii16.Malindi10.75723.27534.04753.805207,253Kaunti ya Kilifi17.Webuyen.b.17.96327.75848.80622,507Kaunti ya Bungoma18.Migori2.066n.b.12.27431.644100,000Kaunti ya Migori19.Bungoma4.40125.16126.80544.19654,469Kaunti ya Bungoma20.Wajirn.b.6.38419.38232.23782,800Kaunti ya Wajir21.Busia1.0575.26620.78130.77751,981Kaunti ya Busia22.Homa Bay3.2527.48923.33532.17459,844Kaunti ya Homa Bay23.Kilifi2.662n.b.14.14530.394122,899Kaunti ya Kilifi24.Mumias697n.b.23.66836.158116,358Kaunti ya Kakamega25.Naivasha6.92011.49134.51932.222181,966Kaunti ya Nakuru26.Maragua1.2306.98030.93127.38427,384Kaunti ya Murang'a27.Mandera94613.12622.69930.43387,692Kaunti ya Mandera28.Embu3.92815.98626.52531.50041,092Kaunti ya Embu29.Nanyuki11.62418.98624.07031.57749,233Kaunti ya Laikipia30.Narok2.608n.b.11.62924.09167,505Kaunti ya Narok31.Ngong1.583n.b.8.77520.701107,188Kaunti ya Kajiado32.Isiolo8.20111.33116.82428.85446,128Kaunti ya Isiolo33.Nyahururu7.60211.27714.82924.75136,450Kaunti ya Laikipia34.Rongain.b.n.b.17.28825.00020,878Kaunti ya Nakuru", "question_text": "Je,wakati wa sensa mwaka 2009 Nairobi ilikuwa na idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": ",138,369", "start_byte": 121, "limit_byte": 129}]} {"id": "5055162484121835365-1", "language": "swahili", "document_title": "Donald \"Flash\" Gordon", "passage_text": "Donald alizaliwa Garland, Kansas mnamo tarehe 17 Julai 1920. Alisoma katika Shule ya Upili ya Fort Scott na kumaliza masomo yake ya kiwango hicho katika mwaka wa 1931.Akaendelea na masomo yake katika Chuo cha Fort Scott Junior College akimaliza katika mwaka wa 1941. Gordon alisoma ,pia, mafunzo ya urubani kwa raia na akapata leseni yake. Baada ya kumaliza chuo, Gordon aliingia mpango wa mafunzo ya Naval Aviation Cadet Program mnamo 7 Julai 1941. Alimaliza mafunzo yake na akaajiriwa kazi kama Ensign mnamo 12 Machi,1942, akiwa umri wa miaka 21. Kazi yake ya kwanza ilikuwa kama rubani wa kikundi cha Fighter Squadron 10 (VF-10). Kikundi hiki kiliitwa hapo baadaye Grim Reapers.", "question_text": "Je,Donald \"Flash\" Gordon alianza kuwa rubani mwaka upi?", "answers": [{"text": "1942", "start_byte": 519, "limit_byte": 523}]} {"id": "8652688294677855515-1", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Kwa eneo ni nchi kubwa kuliko zote duniani, ikiwa na km² 17,075,400.", "question_text": "Nchi ya Urusi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 17,075,400", "start_byte": 53, "limit_byte": 68}]} {"id": "433416420846609762-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Je,Nairobi ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "1211529787756258909-0", "language": "swahili", "document_title": "Misa", "passage_text": "Misa ni adhimisho la ekaristi hasa likifuata mapokeo ya Kiroma. ", "question_text": "Misa ni nini?", "answers": [{"text": "adhimisho la ekaristi hasa likifuata mapokeo ya Kiroma", "start_byte": 8, "limit_byte": 62}]} {"id": "5408157319993163127-2", "language": "swahili", "document_title": "Somalia", "passage_text": "Mji mkuu na mji mkubwa zaidi ni Mogadishu (wakazi 2,120,000).", "question_text": "Je,mji mkuu wa Somalia ni upi?", "answers": [{"text": "Mogadishu", "start_byte": 32, "limit_byte": 41}]} {"id": "8411979549108063119-11", "language": "swahili", "document_title": "Senegal", "passage_text": "Kuna wakazi milioni 13.5 na idadi kubwa ni wa chini ya umri wa miaka 20. Wameongezeka sana, mnamo mwaka 1985 idadi ilikuwa milioni 5 tu.", "question_text": "Senegal iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 13.5", "start_byte": 12, "limit_byte": 24}]} {"id": "3501947471195757763-0", "language": "swahili", "document_title": "Dan Chupong", "passage_text": "Chupong Changprung (amezaliwa tar. 23 Machi 1981 mjini Kalasin, Thailand,[1] Kithai: ชูพงษ์ ช่างปรุง, jina la utani la Kithai: \"Deaw\") ni mwigizaji filamu za martial arts kutoka nchini Thailand. Pia anajulikana kwa jina lake alililopewa na watu Magharibi kama Dan Chupong (jina alilopewa linaandikwa mara mbili tofauti, huandikwa Choopong au Choupong, na jina la kwanza pia huitwa Danny).", "question_text": "Je,Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "23 Machi 1981", "start_byte": 35, "limit_byte": 48}]} {"id": "-4766208037952154614-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mito nchini Tanzania", "passage_text": "Orodha ya mito nchini Tanzania inaitaja zaidi ya 2,000, lakini hiyo ni baadhi tu. ", "question_text": "Je.Tanzania ina mito ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "zaidi ya 2,000", "start_byte": 40, "limit_byte": 54}]} {"id": "-2108686964206129015-0", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Mark Elliot Zuckerberg (amezaliwa 14 Mei 1984) ni mjasiriamali Mmarekani anayejulikana kama mwanzilishi mwenza wa tovuti maarufu ya urafiki mtandao ya Facebook. Zuckerberg alianzilisha Facebook pamoja na wanafunzi wenzake Dustin Moskovitz, Eduardo Saverin, na Chris Hughes wakati wakihudhuria Chuo Kikuu cha Harvard. Zuckerberg ndiye Afisa Mkuu Mtendaji wa Facebook.[2] Amekuwa mada ya utata kuhusu asili ya biashara yake. [3]", "question_text": "Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo gani kikuu?", "answers": [{"text": "Harvard", "start_byte": 308, "limit_byte": 315}]} {"id": "-8316353408299930167-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.", "question_text": "Tanzania ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "44,928,923", "start_byte": 56, "limit_byte": 66}]} {"id": "-3759125922275794513-5", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Mji mkuu ni Juba, wenye wakazi 1.118.233.", "question_text": "Mji mkuu wa South Sudan ni upi?", "answers": [{"text": "Juba", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-1909238668168480885-0", "language": "swahili", "document_title": "Mende", "passage_text": "\nMende au kombamwiko ni wadudu wadogo hadi wakubwa kiasi wa oda ya Blattodea (blatta = mende, eidos = umbo). Tangu mwanzo wa karne hii wataalamu wengi wamesadiki kwamba mchwa ni aina za mende wa kijamii[1][2]. Kwa hivyo oda yao, Isoptera, huwekwa ndani ya Blattodea kama oda ya chini mara nyingi. Kuna maainisho mengine pia[3]. Kundi la mchwa linajadiliwa katika ukurasa wake.", "question_text": "Je,mende iko katika kundi gani ya wadudu?", "answers": [{"text": "Blattodea", "start_byte": 67, "limit_byte": 76}]} {"id": "4118201061768603777-0", "language": "swahili", "document_title": "Akwilina Akwilini", "passage_text": "Akwilina Akwilini Bafta (1 Aprili 1996 - 16 Februari 2018) alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha usafirishaji Dar es Salaam (NIT) ambaye alifariki baada ya kupigwa risasi ya kichwa kimakosa na afisa wa polisi aliyekuwa anajaribu kutuliza ghasia za waandamanaji wa kisiasa wa CHADEMA mnamo tarehe 16 Februari Ijumaa, 2018 huko Kinondoni. Tukio hili la kusikitisha limeamsha hisia kali sana katika mitandao ya kijamii nchini Tanzania. Wengi wamelaani kitendo cha askari kutumia risasi za moto kutuliza ghasia za kisiasa. Tena kwa watu ambao hawana silaha yoyote na wanafanya maandamano ya amani bila fujo. Baada ya tukio, kumekuwa na maswali mengi inawezekana vipi risasi iliyopigwa juu, impige mtu upande wa kushoto ubavuni itokee kulia. Baada ya tukio, polisi sita wahojiwa kuhusiana na tukio hilo la kusikitisha.[1] Siku mbili tangu tukio kutokea, Rais wa Tanzania John Joseph Pombe Magufuli amelaani vikali tukio hilo lisilo la kibinadamu dhidi ya mwanafunzi huyo, na kuwataka wale wote waliohusika wafikishwe katika vyombo vya sheria.[2][3] Baada ya hili kutokea, ukaanza msako wa kumtafuta mchawi aliyesababisha tukio hili, na hatimaye wakaungukia katika upande wa kisiasa. Hasa akina Mbowe na kikosi chake cha CDM kilichoshutumiwa kwa kufanya maandamano haramu yasiyo na kibali.[4] Hata hivyo, viongozi wa juu wa CDM waliripoti polisi, na hatimaye kuachiwa kwa dhamana huku kukiwa na taarifa ya kwamba uchunguzi haujakamilika na wataitwa tena mara tu uchunguzi dhidi yao utakapokuwa tayari.[5]", "question_text": "Akwilina Akwilini Bafta alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2018", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "5165249798625443831-0", "language": "swahili", "document_title": "Chuma", "passage_text": "Chuma (kisayansi pia: feri kutoka Kilatini \"ferrum\") ni elementi na metali inayopatikana kwa wingi duniani. Kikemia ni elementi mpito yenye kifupi cha Fe na namba atomia 26 katika mfumo radidia.", "question_text": "Chuma ni nini?", "answers": [{"text": "elementi na metali inayopatikana kwa wingi duniani", "start_byte": 56, "limit_byte": 106}]} {"id": "-8263223098037486537-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Je,msitu mkubwa kabisa duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "3435174889243734771-5", "language": "swahili", "document_title": "Guinea Bisau", "passage_text": "Wakazi walikuwa 1,515,000 mwaka 2010, wakati walikuwa 518,000 tu mwaka 1950.", "question_text": "Je, Guniea ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "1,515,000", "start_byte": 16, "limit_byte": 25}]} {"id": "5815001811185785180-0", "language": "swahili", "document_title": "Papa (samaki)", "passage_text": "Papa ni kundi la spishi 500 za samaki wenye kiunzi cha gegedu badala ya mifupa. Gegedu ni dutu ya kunyambuliwa kama mpira mgumu lakini laini kuliko mifupa kamili. Karibu spishi zote za papa wanaishi katika maji ya chumvi baharini.", "question_text": "Kuna takriban aina ngapi ya samaki?", "answers": [{"text": "spishi 500", "start_byte": 17, "limit_byte": 27}]} {"id": "7007968018030129808-1", "language": "swahili", "document_title": "Fransisko wa Asizi", "passage_text": "Alizaliwa mwaka 1181 au 1182 mjini Assisi, Italia; alifariki tarehe 3 Oktoba 1226 karibu na mji ule.", "question_text": "Je,Fransisko wa Asizi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1181", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "8422129410232059260-0", "language": "swahili", "document_title": "Giacomo Tedesco", "passage_text": "Giacomo Tedesco (amezaliwa 1 Februari 1976 katika mji wa Palermo) ni mchezaji wa kandanda wa Italia ambaye alicheza kama mchezaji wa kati katika ligi za Italia.\n", "question_text": "Giacomo Tedesco ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1 Februari 1976", "start_byte": 27, "limit_byte": 42}]} {"id": "-370991061182378121-32", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Katika vita ya uhuru wa Marekani makoloni yalipata uhuru wao uliotangazwa mwaka 1776 na kukubaliwa na Uingereza baada ya vita mwaka 1783.", "question_text": "Je,Marekani ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1776", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}]} {"id": "-4897715456057355398-7", "language": "swahili", "document_title": "Fonolojia", "passage_text": "Historia ya fonolojia inaweza kuwa imeanza na Ashtadhyayi, sarufi ya Kisanskrit iliyoandikwa na Pāṇini katika karne ya 4 KK. Kwa namna ya pekee Shiva Sutras, nyongeza ya Ashtadhyayi, inaorodhesha fonemi ya lugha hiyo, pamoja na kujadili mofolojia, sintaksia na semantiki.", "question_text": "Nani mwana folojia wa kwanza duniani?", "answers": [{"text": "Ashtadhyayi", "start_byte": 46, "limit_byte": 57}]} {"id": "-7612545875524379330-10", "language": "swahili", "document_title": "Wasuba (Kenya)", "passage_text": "Licha ya hayo, Wasuba walimezwa na majirani yao na lugha yao ya Kisuba pamoja na mila zao kutokomea kabisa. Kwa sasa Wasuba-Girango wote huongea Dholuo. Idadi yao nchini Kenya inakadiriwa kuwa 200,000 na wao ndio wakazi wa wilaya ndogo za Suba Mashariki na Suba Magharibi katika Halmashauri ya Wilaya Migori.", "question_text": "Kuna idadi ngapi ya kabila la wasuba nchini Kenya?", "answers": [{"text": "200,000", "start_byte": 194, "limit_byte": 201}]} {"id": "3225407118140403945-0", "language": "swahili", "document_title": "Vincent Kigosi", "passage_text": "Vincent Kigosi (maarufu kamaRay) (amezaliwa 16 Mei 1980 ) ni mwigizaji, mwongozaji na mtayarishaju mkubwa wa filamu kutoka nchini Tanzania.[1] Makao makuu yake ni Dar-es-Salaam.[2]", "question_text": "Je,Vincent Kigosi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "'{\"dsr\":[648", "start_byte": 45, "limit_byte": 57}]} {"id": "1359279603362793944-0", "language": "swahili", "document_title": "Bond Bin Suleiman", "passage_text": "\n'Abdallah Suleiman Bin Sinnan (maarufu kama Bond Bin Suleiman kazaliwa mnamo 1983, Bugando, Mwanza) ni mwongozaji, mtunzi wa filamu, mtangazaji, mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Bond vilevile husimama kama mchambuzi wa masuala ya filamu za Tanzania. Baadhi ya filamu alichocheza ni pamoja na Lost Souls (2010), Glamour (2011). Bond alianza kujihusisha na kazi za sanaa mwaka 1999. Awali alikuwa mwimbaji kabla ya kujihusisha na uigizaji. Mambo ya usanii ni juhudi zake binafsi tu kwa kutumia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na mitandao.[1]", "question_text": "Je,Suleiman Mambo alianza uigizaji mwaka upi?", "answers": [{"text": "1999", "start_byte": 403, "limit_byte": 407}]} {"id": "8811807994561342795-3", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "Eneo lake ni km² 674,843; na idadi ya wakazi ni 63,044,000.", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Ufaransa ni ngapi?", "answers": [{"text": "63,044,000", "start_byte": 49, "limit_byte": 59}]} {"id": "7637738630419225662-2", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "Kampuni ya Safaricom, ambayo ilisajiliwa mwaka jana katika Soko la Hisa la Nairobi inaongozwa na Bw.Michael Joseph, Afisa Mkuu Mtendaji ambaye amekuwa katika hatamu za uongozi wa kampuni hii yenye mgawo mkubwa zaidi wa wateja nchini Kenya tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2000. Kuimarika kwake kumeifanya kutambulika kama Kampuni inayoheshimika zaidi katika Afrika Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo. ", "question_text": "Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 268, "limit_byte": 272}]} {"id": "713871257186228640-1", "language": "swahili", "document_title": "Transparency International", "passage_text": "Shirkia liliundwa mwaka 1993 huko Berlin na Peter Eigen na marafiki zake. Eigner aliwahi kuwa mkurugenzi wa Benki ya Dunia akaanzisha TI kutokana na maarifa yake kazini.", "question_text": "Nani alizindua shirika la Transparency International?", "answers": [{"text": "Peter Eigen", "start_byte": 44, "limit_byte": 55}]} {"id": "6706402304426237998-15", "language": "swahili", "document_title": "Martin Luther", "passage_text": "Tarehe 31 Oktoba 1517, alitolea kimaandishi orodha ya \"Hoja 95 dhidi ya rehema\" (kwa Kijerumani: 95 Thesen wider den Ablass) za kupinga mafundisho juu ya vyeti hivyo na mengineyo, akakaribisha wataalamu wote kujadiliana naye. Orodha hiyo ilipigwa chapa na kusambazwa kote Ujerumani. Wakristo na mapadri wengi wenye elimu wakaelewa na kukubali hoja zake. Viongozi wa Kanisa wakaona hatari wakajaribu kumtisha anyamaze, lakini alijitetea kwamba hafundishi kinyume cha imani. ", "question_text": "Je,Martin Luther alianzisha Uprotestanti mwaka upi?", "answers": [{"text": "1517", "start_byte": 17, "limit_byte": 21}]} {"id": "-1478271977226569872-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Je,Mlima kilimanjaro ina urefu wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "5,895", "start_byte": 132, "limit_byte": 137}]} {"id": "7478381319572808223-6", "language": "swahili", "document_title": "Falme za Kiarabu", "passage_text": "Mwaka 2013, wakazi wote walifikia milioni 9.2; kati yao, 1.4 raia na 7.8 wahamiaji. Hivyo asilimia 85 za wakazi ni wageni, kumbe wenyeji ni sehemu ndogo tu. Zaidi ya nusu ya wageni wanatoka katika nchi za Bara Hindi.", "question_text": "Dubai iko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 9.2", "start_byte": 34, "limit_byte": 45}]} {"id": "-632364501217400716-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. ", "question_text": "Mji mkuu wa Ethiopia ni upi?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 258, "limit_byte": 269}]} {"id": "-3790065314315438746-17", "language": "swahili", "document_title": "Falme za Kiarabu", "passage_text": "JinaEneo (km²)Wakazi \n mwisho wa 2006Abu Dhabi67.3402.563.212Umm al-Quwain77768.000Fujairah1.165130.000Ras al-Khaimah1.684214.000Sharjah2.590699.000Dubai3.8851.327.000Ajmān259258.000", "question_text": "Je,nchi ya Dubai ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "1.327.000", "start_byte": 159, "limit_byte": 168}]} {"id": "-7856719734734788136-0", "language": "swahili", "document_title": "Mohammed bin Rashid Al Maktoum", "passage_text": "Mohammed bin Rashid Al Maktoum (Kiarabu: محمد بن راشد آل مكتوم; Muḥammad bin Rāshid al Maktūm pia Sheikh Mohammed , (aliyezaliwa 15 Julai 1949), ni Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE), na Emir wa Dubai.", "question_text": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum alikuwa makamu wa rais wa falme ipi?", "answers": [{"text": "Kiarabu (UAE), na Emir wa Dubai", "start_byte": 224, "limit_byte": 255}]} {"id": "-8584740793352901846-15", "language": "swahili", "document_title": "Australia", "passage_text": "Mji mkuu, Canberra (wakazi milioni 308,700) ulijengwa kati ya Sydney na Melbourne kwa sababu miji hiyo miwili ilishindwa kukubaliana kati yao ni mji upi unaostahili kuwa mji mkuu.", "question_text": "Je,mji mkuu Australia ni gani?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 10, "limit_byte": 18}]} {"id": "2061340921564708662-0", "language": "swahili", "document_title": "Campeche (jimbo)", "passage_text": "\n\nCampeche ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kusini - mashariki ya nchi na magharibi ya rasi ya Yucatán. Upande wa magharibi ni maji wa Ghuba ya Meksiko. ", "question_text": "Yucatan ni jimbo la wapi?", "answers": [{"text": "Mexiko", "start_byte": 41, "limit_byte": 47}]} {"id": "32704675945237341-1", "language": "swahili", "document_title": "Borja Mayoral", "passage_text": "Borja Mayoral alizaliwa huko Parla, Madrid. Mayoral alijiunga na vijana wa timu ya Real Madrid mwaka 2007. ", "question_text": "Borja Mayoral Moya alijiunga na klabu ya Real madrid mwaka gani?", "answers": [{"text": "2007", "start_byte": 101, "limit_byte": 105}]} {"id": "-4341966261933033128-1", "language": "swahili", "document_title": "Nyota", "passage_text": "Kwa kutumia darubini na vifaa vya kisayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba makubwa sana katika anga ya nje yanayong'aa kwa sababu yanatoa mwanga, joto na aina mbalimbali za mnururisho kutokana na myeyungano wa kinyukilia ndani yake. Lakini ziko mbali sana na kwa hiyo tunaziona kama nukta ndogo za nuru. Kwa jumla nyota zinaonekana kwenye anga kwa mpangilio usiobadilika, na kila nyota huwa na mahali pake pasipobadilika kati ya nyota nyingine, hata kama nyota kwa jumla zinazunguka angani juu yetu kila siku.", "question_text": "Je,ni chombo kipi hutumika kuangalia nyota angani?", "answers": [{"text": "darubini", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-1191540564084814385-2", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Shamu", "passage_text": "Ghuba yote ina urefu wa takriban 2000km; upana wake ni kati ya 300km na 20km tu kwenye Bab el Mandeb. Eneo lake ni 450,000km². Vilindi vyake vinaelekea hadi 2500m chini ya uwiano wa bahari. Vilindi hivi ni sehemu ya Bonde la Ufa. Halijoto ya maji ni kati ya 21-25°C.", "question_text": "Je bahari ya Shamu ina urefu gani?", "answers": [{"text": "2000km", "start_byte": 33, "limit_byte": 39}]} {"id": "6018294842109139597-4", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Ingawa Burundi haina bahari, sehemu ya mpaka wake eneo la mashariki unaishia kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika. ", "question_text": "Je, ziwa kubwa katika nchi ya Burundi inaitwaje?", "answers": [{"text": "Tanganyika", "start_byte": 100, "limit_byte": 110}]} {"id": "7458252508461010964-0", "language": "swahili", "document_title": "Benjamin wa Mambo Jambo", "passage_text": "\nBenjamin Sixtus Busungu (amezaliwa tarehe 11 Novemba 1976) ni msanii mwimbaji wa Hip Hop, Dancehall, Afro-Beat, Afro-Pop na pia mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Benjamin wa Mambo Jambo. Awali alikuwa na kundi la Mambo Jambo, kundi ambao lilikuwa linafanya muziki wa hip hop katika miaka ya 2001/2002. ", "question_text": "Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1976", "start_byte": 54, "limit_byte": 58}]} {"id": "-8863893362337302146-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Mzee Jomo Kenyatta alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1893", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "-240228833909651823-1", "language": "swahili", "document_title": "San Jose, California", "passage_text": "Idadi ya wakazi ni 989,496 na pamoja na rundiko la mji ni watu milioni saba.", "question_text": "Carlifornia ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni saba", "start_byte": 63, "limit_byte": 75}]} {"id": "-166069141856709447-5", "language": "swahili", "document_title": "Sumaku", "passage_text": "Watu wa kale walitambua tayari tabia za sumaku asilia. Kuna ushahidi katika maandiko ya mwanafalsa mgiriki Thales wa Milet; Wagiriki wa kale waliita mawe yenye tabia hii \"mawe ya magnesia\" kutokana na mji wa Asia Ndogo yalipopatikana. Jina hili lilikuwa msingi wa jina \"magnet\" linalotumiwa katika lugha nyingi.", "question_text": "Sumaku iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Watu wa kale", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "-5225477261371522369-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald Gordon (Mfanyibiashara)", "passage_text": "Donald Gordon, CC, CMG (11 Desemba 1901 - 2 Mei 1969) alikuwa mfanyibiashara wa Kanada na rais wa zamani wa Shirika la Kitaifa la reli la Kanada (Canadian National Railway - CNR) kutoka mwaka wa 1950 hadi mwaka wa 1966.", "question_text": "Donald Gordon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1901", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "2127768190755113317-2", "language": "swahili", "document_title": "Bahari kuu", "passage_text": "Bahari Atlantiki kati ya Amerika upande mmoja na Ulaya - Afrika upande mwingine\nBahari Pasifiki kati ya Amerika na Asia\nBahari Hindi kati ya Afrika na Asia.", "question_text": "Bahari kuu Asia ni gani?", "answers": [{"text": "Bahari Hindi", "start_byte": 120, "limit_byte": 132}]} {"id": "5188857396863823396-45", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Wakazi ni 118,395,054: wengi wao ni machotara wenye damu ya Wahindi wekundu (31/55% hivi) na Wazungu (42/65% hivi). Wenye asili ya Ulaya tu ni 9/18%.", "question_text": "Idadi ya watu wa Nchini Meksiko ni ngapi?", "answers": [{"text": "118,395,054", "start_byte": 10, "limit_byte": 21}]} {"id": "6483623491092784722-5", "language": "swahili", "document_title": "Metorolojia", "passage_text": "Vipimajoto vilivyofanana na vile vya kisasa vilipatikana tangu karne ya 17 na 1724 Daniel Gabriel Fahrenheit alianzsha skeli ya kwanza iliyoruhusu kulinganishwa kwa vipimo vya joto.", "question_text": "Kipima joto kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Daniel Gabriel Fahrenheit", "start_byte": 83, "limit_byte": 108}]} {"id": "8220306808003469328-3", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "Eneo lake ni km² 674,843; na idadi ya wakazi ni 63,044,000.", "question_text": "Je,nchi ya Ufaransa ni idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "63,044,000", "start_byte": 49, "limit_byte": 59}]} {"id": "6635915587915968398-2", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa mzunguko wa damu", "passage_text": "Damu ni chombo cha kusafirisha mahitaji ya seli kama vile virutubishi na oksijeni pale panapohitajika, halafu inapokea dutu zisizohitajika tena kutoka seli na kuzipeleka kwa viungo zinapoondolewa mwilini. ", "question_text": "Damu ni nini?", "answers": [{"text": "chombo cha kusafirisha mahitaji ya seli kama vile virutubishi na oksijeni pale panapohitajika", "start_byte": 8, "limit_byte": 101}]} {"id": "-2118985149297032780-4", "language": "swahili", "document_title": "Auckland Grammar School", "passage_text": "Mh. Edmund Hillary (Mtu wa kwanza kupanda Mlima Everest)\nRussell Crowe (Mwigiza filamu wa Kinew Zealand", "question_text": "Mtu wa kwanza kupanda Mlima Everest Mara mbili ni nani?", "answers": [{"text": "Edmund Hillary", "start_byte": 4, "limit_byte": 18}]} {"id": "4131426919055755134-0", "language": "swahili", "document_title": "Blogu", "passage_text": "Blogu ni teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti. Blogu inaweza kuchukuliwa kama ni shajara pepe. ", "question_text": "Je, blogu ni nini?", "answers": [{"text": "teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti", "start_byte": 9, "limit_byte": 139}]} {"id": "1546809920641750714-2", "language": "swahili", "document_title": "Don Riddell", "passage_text": "Riddell alihudhuria Chuo Kikuu cha Leeds na kufuzu kwa shahada ya Uandishi habari / Mawasiliano na Masomo ya Utamaduni.", "question_text": "Don Riddell alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Leeds", "start_byte": 35, "limit_byte": 40}]} {"id": "4218596186206339162-0", "language": "swahili", "document_title": "Malcolm X", "passage_text": "Malcolm X (jina lake la awali lilikuwa Malcolm Stuart Little; 19 Mei, 1925 - 21 Februari 1965) alikuwa mwanaharakati wa haki za kiraia za Waafrika-Waamerika na haki za kiraia kwa jumla. ", "question_text": "Je,Malcolm X alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "19 Mei, 1925", "start_byte": 62, "limit_byte": 74}]} {"id": "-2392562754361231926-9", "language": "swahili", "document_title": "Chad", "passage_text": "Wakazi walikuwa 10,329,208 mwaka 2009.", "question_text": "Je, Chad ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "10,329,208", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}]} {"id": "1426329501429493601-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "3055927089397736530-0", "language": "swahili", "document_title": "Maharagwe", "passage_text": "Maharagwe (pia: maharage) ni mbegu za mimea mbalimbali (miharagwe) kutoka familia ya Fabaceae lakini mara nyingi sana Phaseolus vulgaris.", "question_text": "Je,maharage iko katika familia gani ya mimea?", "answers": [{"text": "Fabaceae", "start_byte": 86, "limit_byte": 94}]} {"id": "-290753980163599041-0", "language": "swahili", "document_title": "Umar ibn al-Khattab", "passage_text": "Umar ibn al-Khattab (Kar.: عمر بن الخطاب) (mn. 584 – 7 Novemba 644) alikuwa khalifa wa pili wa Uislamu. Alitawala baada ya Abu Bakr kati ya 634 hadi 644.", "question_text": "Umar ibn al-Khattab alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "644", "start_byte": 76, "limit_byte": 79}]} {"id": "-6486843104592319958-1", "language": "swahili", "document_title": "Rhodesia ya Kusini", "passage_text": "Koloni liliundwa na Cecil Rhodes aliyetwaa eneo hili pamoja na \"Rhodesia ya Kaskazini\" au Zambia na kuliweka chini ya Kampuni ya Kiingereza ya Afrika Kusini (British South Africa Company).", "question_text": "Je, Rhodesia ya Kaskazini ina jina gani kwa sasa?", "answers": [{"text": "Zambia", "start_byte": 90, "limit_byte": 96}]} {"id": "5916380558364318159-0", "language": "swahili", "document_title": "Jack Bauer", "passage_text": "Jack Bauer ni jina la kutaja mhusika mkuu wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24. Uhusika unachezwa na Kiefer Sutherland. Jack Bauer, amepata mafunzo makali na kufanya kazi katika viwango tofauti akiwa kama kachero wa serikali, ikiwemo na Jeshi la US - Delta Force, LAPD SWAT, CIA, na mwishoni katika Kitengo cha Kuzuia Ugaidi (CTU) cha Los Angeles.", "question_text": "Mhusika mkuu wa filamu ya 24 anaitwaje?", "answers": [{"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-1334181511890554130-0", "language": "swahili", "document_title": "Malaria", "passage_text": "\nMalaria ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unaambukizwa na mbu wa jenasi Anopheles na kusababishwa na kidubini aina ya protisti Plasmodium. Mara nyingi ugonjwa huo huitwa \"homa\" tu, ingawa homa ni dalili yake mojawapo tu, pia kuna magonjwa mengi yanayosababisha homa. ", "question_text": "Je, ugonjwa wa Malaria husababishwa na mbu yupi?", "answers": [{"text": "Anopheles", "start_byte": 70, "limit_byte": 79}]} {"id": "-3356622081181493643-1", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Nakuru", "passage_text": "Wingi wa mwani katika ziwa hili huvutia kwa kiasi kikubwa ndege aina ya flamingo ambayo hupatikana sana katika ufuo wa ziwa hili.", "question_text": "Je, ziwa Nakuru lina ndege gani maarufu?", "answers": [{"text": "flamingo", "start_byte": 72, "limit_byte": 80}]} {"id": "-3805559689869358275-10", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika (ziwa)", "passage_text": "Urefu wa ziwa ni kilomita 676 kutoka kaskazini hadi kusini na upana wake ni km 50 kwa wastani. Uso wa maji huwa na eneo la km2 32,900 na urefu wa pwani yake ni km 1,828. [4]", "question_text": "Ziwa Tanganyika ina urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita 676", "start_byte": 17, "limit_byte": 29}]} {"id": "3807589709296960962-2", "language": "swahili", "document_title": "Mnara wa taa", "passage_text": "Minara ya taa ya kwanza ilikuwa na moto juu yake na nuru ya moto ilionekana mbali. Mnara wa kwanza unaojulikana vizuri kihistoria ulikuwa Pharos ya Aleksandria nchini Misri uliyojengwa mnamo mwaka 282 KK. Ulisimama hadi mwaka 1303 BK ulipobomolewa na tetemeko la ardhi. Umekadiriwa kuwa na urefu wa mita 115 hadi 160. Wagiriki wa Kale waliuhesabu kati ya maajabu saba ya dunia. ", "question_text": "Mnara wa kwanza wa taa ulitengenezwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Misri", "start_byte": 167, "limit_byte": 172}]} {"id": "-3851447912468302862-0", "language": "swahili", "document_title": "Leopold II wa Ubelgiji", "passage_text": "\nLeopold II alikuwa mfalme wa Ubelgiji tangu 10 Desemba 1865 hadi 17 Desemba 1909. Alimfuata babake Leopold I aliyekuwa mfalme wa kwanza wa nchi baada ya kuanzishwa kwa taifa hili.", "question_text": "Leopold II alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1865", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "-6552339859813401189-48", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Waafrika walichaguliwa moja kwa moja katika bunge la uwakilishi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Licha ya Waingereza kutamani kuwakabidhi mamlaka wapinzani wasio na siasa kali ya Kiafrika, ni chama cha Kenya African National Union (KANU) kilichoongozwa na Jomo Kenyatta kilichounda serikali punde tu kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. Tarehe 12 Desemba 1964, Kenya ilipotangazwa kuwa jamhuri, Kenyatta akawa rais wa kwanza.", "question_text": "Taifa la Kenya lilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 347, "limit_byte": 351}]} {"id": "5861462003949787844-2", "language": "swahili", "document_title": "Afrika Kusini", "passage_text": "Mji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.", "question_text": "Mji mkubwa Afrika kusini ni gani?", "answers": [{"text": "Johannesburg", "start_byte": 14, "limit_byte": 26}]} {"id": "-4660451022173754704-4", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "\n\n\nMwaka 1984 alikutana kwenye Taasisi ya Taaluma ya Sayansi ya Berlin na mwanakemia Joachim Sauer akaolewa naye 1998. Angela hajazaa watoto bali alilea watoto wa Sauer akiendelea kutumia jina la Merkel.", "question_text": "Je,Dk. Angela Dorothea Merkel ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "ajazaa watoto", "start_byte": 127, "limit_byte": 140}]} {"id": "-7795101380009969903-2", "language": "swahili", "document_title": "Elizabeth Blackwell", "passage_text": "\nElizabeth alizaliwa tarehe 3 Februari 1821 huko Bristol, England, na Samuel Blackwell na mke wake Hannah (Lane) Blackwell. Samuel alikuwa na ndugu wawili wazee, Anna na Marian, na hatimaye kuwa na ndugu zao sita: Samuel (aliyeoa Antoinette Brown), Henry (aliyeoa Lucy Stone), Emily (mwanamke wa tatu nchini Marekani kupata shahada ya matibabu), Sarah Ellen (mwandishi), John na George. Wanawake wa kike; Barbara, Ann, Lucy na Mary, pia waliishi na Blackwell wakati wa utoto wa Blackwell.\nMnamo mwaka wa 1895, alichapisha maelezo yake ya biografia. Baada ya chapisho hili, Blackwell polepole aliacha upatikanaji wake kwa umma, na alitumia wakati zaidi kusafiri. Aliwasili Marekani mwaka wa 1906 na alichukua gari lake la kwanza na la mwisho katika maisha yake. Uzee wa Blackwell ulianza na alipunguza shughuli zake.", "question_text": "Elizabeth Blackwell alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Bristol, England", "start_byte": 49, "limit_byte": 65}]} {"id": "-2008398141382010195-39", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "\nBaada ya uhuru wa nchi (1956), makabila ya kusini ambayo hayakukubali kusilimishwa yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru wao.", "question_text": "Je,Sudan Ilipata Uhuru lini?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "6435332096167268886-1", "language": "swahili", "document_title": "Kanku Kelly", "passage_text": "Kanku ambaye alifukuzwa shule kwa ajili ya muziki, jina lake halisi ni Nkashama Luis Polycarp, alizaliwa Januari 20, 1958, katika mji wa Kananga Mkoa wa Kasai, Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.\nKanku ambaye aliingia nchini Tanzania akiwa kinda kabisa (chini ya miaka ishirini) alikuwa kivutio kikubwa kwenye safu ya wapulizaji wa trumpet katika bendi iliyokuwa tishio miaka ya 1970 hadi 1990 ya Maquis du Zaire iliyokuwa ikipiga muziki wake katika ukumbi wa White House, Ubungo jijini Dar es Salaam. Baba yake mzee Chasuma Leonard alikuwa Daktari wa binadamu na mama yake Chibwabwa Kayipu, alikuwa mfanyabiashara katika mji huo wa Kananga. Kelly alipata elimu ya msingi katika shule ya Kamilabi ambayo miongoni mwa masomo yaliyokuwa yakifundishwa somo la muziki lilikuwemo. Baadaye aliendelea na masomo ya juu katika shule ya Sekondari ya Lyceede Kelekele, ambako aliishia kidato cha tano kwa kufukuzwa shule baada ya kufumwa na mwalimu akiandika wimbo wa Nyboma Mwandido darasani mwaka 1973.", "question_text": "Nkashama Kanku Kelly ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "alizaliwa Januari 20, 195", "start_byte": 95, "limit_byte": 120}]} {"id": "8322267544564800924-1", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti za Kenya", "passage_text": "Katiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192, pamoja na ‘County Governments Act of 2012”. Kaunti hizi zilichukua nafasi za Mikoa ya Kenya. Mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992. ", "question_text": "Kenya ina kaunti ngapi?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "55851934807376960-1", "language": "swahili", "document_title": "Nile", "passage_text": "Mto wa Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu ‏ ,النيل‎ an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650. ", "question_text": "Je,mto mkubwa gani zaidi bara Afrika ni?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 7, "limit_byte": 11}]} {"id": "4908637260236496978-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro\nMtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona)\nShimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro)\nBethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni\n68(?) – 79(?)Linus\nMtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus\n(Cletus)\nMtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I\nMtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus\n(Aristus)\nMtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I\nMtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I\nMtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori\nMtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus\nMtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I\nMtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus\nMtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter\nMtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri\nMtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I\nMtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino\nMtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I\nMtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I\nMtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano\nMtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus\nMtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani\nMtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "question_text": "Je,papa wa kwanza kabisa aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Petro", "start_byte": 93, "limit_byte": 98}]} {"id": "-5345754834343424217-17", "language": "swahili", "document_title": "Mwezi", "passage_text": "\nMwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe 21 Julai 1969 mwanaanga Mmarekani Neil Armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wanaanga wengine 11 kutoka Marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka 1972.Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa.", "question_text": "Ni nani wa kwanza kufika kwa mwezi duniani?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 108, "limit_byte": 122}]} {"id": "2155293982889383453-0", "language": "swahili", "document_title": "Haruna Taratibu", "passage_text": "\nHaruna Taratibu alikuwa mzalendo muasisi wa TANU Jimbo la Kati (Central Province) mnamo 1954 - Dodoma. Sifa kuu katika ujumbe wa Nyerere ilikuwa ni kule kueleweka kwa mantiki yake na kuweza kuwavutia wananchi wa kawaida. Hawa ndiyo walikuwa watu walioyageuza majumba yao kuwa ofisi za TANU, wakafanya kampeni kupata wanachama, wakauza kadi za TANU, na katika kufanya hivyo wakahatarisha maisha yao.", "question_text": "Je,Haruna Taratibu alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1954", "start_byte": 89, "limit_byte": 93}]} {"id": "-4486726711909222983-4", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa mvua", "passage_text": "Maeneo makubwa yako hasa Brazil katika beseni ya Amazonas, Afrika katika beseni ya mto Kongo, Asia ya Kusini-Mashariki na kaskazini ya Australia. ", "question_text": "Je,msitu gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Amazonas", "start_byte": 49, "limit_byte": 57}]} {"id": "-1495848586819261731-1", "language": "swahili", "document_title": "Kikuyu (lugha)", "passage_text": "Wasemaji wanaishi kiasili kwenye nyanda za juu za Kenya ya Kati kati ya Nyeri na Nairobi. Siku hizi wanapatikana kote Kenya. Lugha ina vikundi vinne vya lahaja ambazo ni za Kirinyaga, Murang'a, Nyeri na Kiambu.", "question_text": "Je jamii ya Kikuyu inapatikana katika sehemu ipi ya Kenya?", "answers": [{"text": "nyanda za juu za Kenya ya Kati", "start_byte": 33, "limit_byte": 63}]} {"id": "-1829361264015986111-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Ethiopia ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "127,127 km²", "start_byte": 542, "limit_byte": 554}]} {"id": "-3454652092170714352-2", "language": "swahili", "document_title": "Kanada", "passage_text": "Mji mkuu ni Ottawa.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Kanada ni ipi?", "answers": [{"text": "Ottawa", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-7515166216167187055-1", "language": "swahili", "document_title": "Sanamu ya Zeus mjini Olympia", "passage_text": "Sanamu yenye kimo cha mita 12 ilimwonyesha mungu huyu akikalia kitini kama mzee mwenye hekima. Ilikaa kwenye hekalu kubwa ya Zeus ya Olympia kando la uwanja wa michezo ya Olimpiki. Ilitengenezwa na mchongaji mashuhuru Phidias aliyejenga kiini cha ubao na chuma pamoja na jasi na kuifunika kwa ubao, dhahabu na pembe. Phidias aliifanyia kazi kwa miaka 8 kuanzia mwaka 438 KK. Baada ya kuimaliza Phidias alishtakiwa kuwa ameiba kiasi cha dhahabu iliyokusudiwa kwa sanamu akauawa. ", "question_text": "Sanamu ya Zeu inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "kwenye hekalu kubwa ya Zeus ya Olympia kando la uwanja wa michezo ya Olimpik", "start_byte": 102, "limit_byte": 178}]} {"id": "-7664841683415657063-2", "language": "swahili", "document_title": "Metali adimu", "passage_text": "Mifano yake ni dhahabu (auri), fedha (ajenti), shaba (kupri), tantali, platini, paladi na rhodi. Kuhusu shaba maoni hutofautiana kama inahesabiwa humo.", "question_text": "Kuna metali ngapi ambazo ni haba duniani?", "answers": [{"text": "dhahabu (auri), fedha (ajenti), shaba (kupri), tantali, platini, paladi na rhodi", "start_byte": 15, "limit_byte": 95}]} {"id": "-2213288737445795124-6", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mji mkuu ni Mexico City, ambao katika eneo lake lote una watu zaidi ya milioni 20. ", "question_text": "Je,mjii mkuu wa Meksiko ni upi?", "answers": [{"text": "Mexico City", "start_byte": 12, "limit_byte": 23}]} {"id": "-5868739150678108641-2", "language": "swahili", "document_title": "Ukraine", "passage_text": "Mji mkuu ni Kiev (Kyiv).", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ukraine ni upi?", "answers": [{"text": "Kiev", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "7556852137707311986-3", "language": "swahili", "document_title": "Usafiri nchini Tanzania", "passage_text": "Barabara nyingine muhimu inaanza Chalinze takriban kilomita 90 kutoka Dar es Salaam na kufikia Tanga, Moshi na Arusha inapoendelea hadi Kenya. ", "question_text": "Je,ni kilomita ngapi kutoka Tanga hadi Dar?", "answers": [{"text": "90", "start_byte": 60, "limit_byte": 62}]} {"id": "-3274491764044487367-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je, Mlima mrefu zaidi Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "4387127171123358589-6", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "Mji mkuu ni Beijing lakini Shanghai ndio mji mkubwa zaidi. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa China ni ipi?", "answers": [{"text": "Beijing", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "785045275546870233-9", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkubwa zaidi ni Lagos (mji mkuu wa zamani) ukiwa na wakazi 15,000,000. Kati ya miji mingine kuna Abuja, Kano, Ibadan, Oshogbo, Ilorin, Abeokuta, Ogbomosho na Port Harcourt.", "question_text": "Je, Lagos ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "15,000,000", "start_byte": 63, "limit_byte": 73}]} {"id": "-7936191201932894607-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je, bahari hindi ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 70,560,000", "start_byte": 43, "limit_byte": 71}]} {"id": "-8299213383756359968-0", "language": "swahili", "document_title": "Fioretti", "passage_text": "Fioretti (kwa Kiitalia maana yake ni Maua Madogo, yaani Visimulizi Bora) ni kitabu maarufu kuhusu Fransisko wa Asizi na wenzake kilichotafsiriwa mwishoni mwa karne ya 14 kutoka kile cha Kilatini Actus beati Francisci et sociorum eius, kinachodhaniwa kuwa kiliandikwa na Ugolino Brunforte (1262 hivi – 1348 hivi).", "question_text": "Kitabu cha Fioretti kiliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ugolino Brunforte", "start_byte": 270, "limit_byte": 287}]} {"id": "1374957363660707208-0", "language": "swahili", "document_title": "Kemikali", "passage_text": "Kemikali ni dawa inayosababisha kitu kubadilika kikemia.", "question_text": "Kemikali ni nini?", "answers": [{"text": "dawa inayosababisha kitu kubadilika kikemia", "start_byte": 12, "limit_byte": 55}]} {"id": "8087180692091542822-4", "language": "swahili", "document_title": "Uajemi", "passage_text": "Tehran ni mji mkuu, pia mji mkubwa nchini.", "question_text": "Mji mkuu wa Iran ni upi?", "answers": [{"text": "Tehran", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-114385795913001913-1", "language": "swahili", "document_title": "Khartoum", "passage_text": "Khartoum ina wakazi 2,090,000 mjini penyewe pamoja na Omdurman na Bahri idadi ya wakazi inaweza kufika kati ya milioni 6 hadi 8 (kadirio la mwaka 2006).", "question_text": "Mji mkuu wa Khartoum una takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,090,000", "start_byte": 20, "limit_byte": 29}]} {"id": "-3577074055761702496-14", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Mji mkuu ni Ankara ulioko katika kitovu cha Anatolia. ", "question_text": "Mji mkuu wa Uturuki unaitwaje?", "answers": [{"text": "Ankara", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-2600340468909775075-0", "language": "swahili", "document_title": "Beyoncé Knowles", "passage_text": "Beyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé pronounced/biˈjɒn.seɪ/(deprecated template) ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na mwanamitindo kutoka Marekani. Alizaliwa na kukulia Houston, Texas na alihudhuria shule mbalimbali zinazofunza sanaa. Pia alianza kushiriki katika mashindano ya kuimba na kucheza ngoma akiwa mtoto. Knowles alikuja kujulikana katika mwisho wa miaka ya 1990 kama mwimbaji kiongozi wa kikundi cha wasichana cha R & B, Destiny's Child. Kulingana na Sony, mauzo ya rekodi za Knowles, yakiunganishwa na yale ya kikundi cha Destiny's Child, yamezidi milioni 100.[1]", "question_text": "Je,mwanamziki Beyonce alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-3171347743606829412-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je, Bahari hindi ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "-6236749893996056837-4", "language": "swahili", "document_title": "Metorolojia", "passage_text": "vyombo vya kupima kasi na mwelekeo wa upepo kwa mahali fulani vinajulikana tangu anemomita iliyobuniwa Italia mnamo 1450. Habari hizi ni za kimsingi kwa kuelewa uhusiano kati ya hali ya hewa katima maeneo majirani; ni pia muhimu kwa kupanga kilimo kwa sababu zinatawala sehemu ya uvukizaji na ni habari za lazima kwa mpangilio wa usafiri kwa eropleni na pia meli.", "question_text": "Ni chombo kipi hutumika kupima kasi ya upepo?", "answers": [{"text": "anemomita", "start_byte": 81, "limit_byte": 90}]} {"id": "7256026198557436166-1", "language": "swahili", "document_title": "Miroslav Klose", "passage_text": "Klose alizaliwa katika mji wa Opole, katika mkoa wa Silesia nchini Poland. Baba yake na mama yake walikuwa wanariadha; mama yake, Barbara Jez, alikuwa mchezaji katika timu ya taifa ya mpira wa mikono ya Poland. Baba yake Josef Klose alicheza mpira wa miguu wa kulipwa katika klabu ya Odra Opole, kabla ya kuacha nchi ya Poland nakuelekea Ufaransa kucheza katika klabu mashuhuri Ufaransa ya AJ Auxerre.\nKatika mwaka 1985 Miroslav na mama yake walielekea kujiunga na baba yake Klose ambae alihahamia kuishi katika mji wa Kusel, Ujerumani huko Ujerumani ndio walifika wanaishi moja kwa moja, Klose alijifunza Lugha ya Kijerumani katika shule inayopatikana katika mji wa Kindergarten, Klose alimuoa mwanamke mwenye asili ya Poland aitwae Sylwia Klose na anawatoto wa wili Luan na Noah.", "question_text": "Je, mke wa Miroslav Klose anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Sylwia Klose", "start_byte": 734, "limit_byte": 746}]} {"id": "8162353428931256359-0", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "\nNairobi ni mji mkuu wa jamhuri ya Kenya na vilevile mojawapo ya kaunti za Kenya. ", "question_text": "Mji mkuu wa Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "7321457692838004601-2", "language": "swahili", "document_title": "Kigali", "passage_text": "Kigali ina wakazi 600,000. ", "question_text": "Mji wa Kigali una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "600,000", "start_byte": 18, "limit_byte": 25}]} {"id": "4828272765425767612-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je, ndovu huishi kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "-5021778859077386937-0", "language": "swahili", "document_title": "Jennifer Garner", "passage_text": "\nJennifer Anne Affleck,[1] hasa hujulikana kwa jina lake la kuzaliwa kama Jennifer Garner (amezaliwa tar. 17 Aprili 1972), ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Garner amejipatia umaarufu mkubwa kwa kucheza kwake kama kachero wa CIA, Sydney Bristow, katika kipindi cha mfululizo wa TV cha Alias, ambacho kilikuwa kikirushwa hewani na televisheni ya ABC kwa misimu mitano ambayo ilianza kuanzia 2001 hadi 2006. Wakati anafanyakazi kwenye Alias, amepata kucheza nyusika chache-chache kwenye mafilamu makubwa-makubwa kama vile Pearl Harbor (2001) na Catch Me if You Can (2002). Tangu hapo, Garner ameonekana kwenye nyusika kadha wa kadha akiwa kama mwigizaji mwandamizi vilevile mwigizaji mkuu kwenye mamiradi makubwa ikiwa ni pamoja na Daredevil (2003), 13 Going on 30 (2004) na Juno (2007). Ameolewa na mwigizaji na mwongozaji wa filamu Ben Affleck, ambaye kwa pamoja wameweza kujipatia watoto wawili wa kike.", "question_text": "Jennifer Garner ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "17 Aprili 1972", "start_byte": 106, "limit_byte": 120}]} {"id": "-1842491441685550810-30", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Nani alikuwa rais wa kwanza Urusi?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "-8242874317532245852-6", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "Bakteria ziligunduliwa mara ya kwanza na Antonie van Leeuwenhoek mwaka wa 1676, kwa kutumia hadubini ya lensi moja ya muundo wake mwenyewe.[1] Aliziita \"animalcules\" na alichapisha habari za utafiti wake kwenye msururu wa barua kwa Shirika la Muungano wa Mfalme.[2][3][4] Jina bacteriam lililetwa miaka mingi baadaye, na Christian Gottfried Ehrenberg katika mwaka wa 1838.[5]", "question_text": "Bakteria iligunduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1676", "start_byte": 74, "limit_byte": 78}]} {"id": "509447894370969303-1", "language": "swahili", "document_title": "Iceland", "passage_text": "Eneo lake ni km² 103,000 lakini idadi ya watu ni laki tatu pekee. ", "question_text": "Iceland ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 103,000", "start_byte": 13, "limit_byte": 25}]} {"id": "4321139313855717433-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenya African National Union", "passage_text": "Chama kilianzishwa 1960 na wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union ilichoanzishwa mwaka 1944 kwa jina la Kenya African Study Union. Jina likabadilishwa haraka kuwa \"Kenya African Union\" likabaki hivyo hadi 1952 KAU iliposimamishwa na serikali ya ukoloni. Mwenyekiti wa KAU ilipos ajiliwa alikuwa James Gichuru. Gichuru alipatiya kiti chake cha uongozi Jomo Kenyatta wakati Kenyatta aliporudi Kenya baada ya miaka 20 ngambo. Gichuru angerudia tendo hili wakati alipochaguliwa kuongoza KANU ilipofufuliwa kupigania uchaguzi ambayo ingekuwa 1963. Kenyatta angeendelea kuongoza hiki chama tangu mwaka 1960 hadi kifo chake 1978. Tangu Oktoba 1978 Daniel Arap Moi akawa kiongozi wa chama.", "question_text": "Je,chama cha KANU kilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union ilichoanzishwa mwaka 1944 kwa jina la Kenya African Study Union", "start_byte": 27, "limit_byte": 144}]} {"id": "-2816438165586182433-3", "language": "swahili", "document_title": "Utamaduni wa Nigeria", "passage_text": "kadanda (mara nyingi inajulikana kama \"mpira\") ni maarufu sana kote nchini na hasa miongoni mwa vijana, Katika soka ya viwanjani na soka ya kimataifa, imesababisha mazoea ya umoja na mgawanyiko. Wafuasi wa Manchester United, klabu ya Arsenal, Liverpool na Chelsea hujigawanya mara nyingi zaidi ya ugawanyaji wa kidini na kikabila ili kushiriki katika timu za Ligi Kuu ya Uingereza Timu ya Taifa ya Nigeria inayoitwa Super Eagles, ni timu ya taifa ya Nigeria na shughuli zake huendeshwa na na Shirikisho la Soka Nigeria (NFF). Kulingana na FIFA , Nigeria imechukua nafasi ya 22 nakushikilia nafasi ya tatu ya miongoni mwa mataifa ya Afrika nyuma Kamerun (11) na Côte d'Ivoire (16). Nafasi ya juu iliwahi fika nafasi ya 5 kwenye FIFA Aprili mwaka wa 1994.", "question_text": "Timu ya taifa ya soka nchini Nigeria inaitwaje?", "answers": [{"text": "Super Eagles", "start_byte": 417, "limit_byte": 429}]} {"id": "7938222083563621266-16", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Côte d'Ivoire imetangaza 1983 Yamoussoukro kuwa mji mkuu wa taifa lakini hadi leo ofisi za serikali zimebaki Abijan.", "question_text": "Mji mkuu wa nchi ya Cote d'Ivoire unaitwaje?", "answers": [{"text": "Yamoussoukro", "start_byte": 31, "limit_byte": 43}]} {"id": "6395338333483157303-12", "language": "swahili", "document_title": "Australia na Pasifiki", "passage_text": "Jina la eneo,\npamoja na bendera[1]Eneo\n(km²)Wakazi\n(kadiro mnamo \n1 Julai 2002)Msongamano\n(watu kwenye km²)Mji mkuuAustralasia (Australia na New Zealand) Australia7,686,85020,697,2412.5CanberraKisiwa cha Krismasi (Australia)[2]1354743.5The Settlement Visiwa vya Cocos (Keeling) (Australia)[2]1463245.1West Island New Zealand[3]268,6803,908,03714.5Wellington Kisiwa cha Norfolk (Australia)351,86653.3KingstonMelanesia[4] Fiji18,270856,34646.9Suva Sehemu za Indonesia[5]499,8524,211,5328.4Jakarta Kaledonia Mpya (Ufaransa)19,060207,85810.9Nouméa Papua Guinea Mpya[6]462,8405,172,03311.2Port Moresby Visiwa vya Solomon28,450494,78617.4Honiara Vanuatu12,200196,17816.1Port VilaMikronesia Shirikisho la Mikronesia702135,869193.5Palikir Kiribati81196,335118.8Teinainano Visiwa vya Marshall18173,630406.8Majuro Nauru2112,329587.1Yaren Visiwa vya Mariana ya Kaskazini Marekani47777,311162.1Saipan Guam (Marekani)549160,796292.9Hagåtña Palau45819,40942.4Melekeok[7]Polynesia[8] Samoa ya Marekani (Marekani)19968,688345.2Fagatogo, Utulei[9] Visiwa vya Cook (New Zealand)24020,81186.7Avarua Polynesia ya Kifaransa (Ufaransa)4,167257,84761.9Papeete Hawaii (Marekani)29,3111,211,53742.75Honolulu Niue (New Zealand)2602,1348.2Alofi Kisiwa cha Pasaka (Chile)163,63,79123,17Hanga Roa Visiwa vya Pitcairn (Uingereza)54710Adamstown Samoa2,944178,63160.7Apia Tokelau (New Zealand)101,431143.1—[10] Tonga748106,137141.9Nuku'alofa Tuvalu2611,146428.7Vaiaku Wallis na Futuna (Ufaransa)27415,58556.9Mata-UtuTotal9,008,45835,834,6704.0", "question_text": "Je, mji mkuu wa Australia ni upi?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 188, "limit_byte": 196}]} {"id": "-5055722117451798932-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Bahari la Mediteranea iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}]} {"id": "-4343119029735190813-3", "language": "swahili", "document_title": "NRC Handelsblad", "passage_text": "Katika mwezi wa Februari 2006,NRC Handelsblad ilianzisha gazeti dogo la asubuhi la kuvutia wasomaji wasomi ambao hawawezi kusoma gazeti la kila siku. Mhariri Folkert Jensma alipoondoka, nafasi yake ilichukuliwa na Birgit Donker mnamo 12 Desemba 2006.", "question_text": "Mhariri mkuu wa gazeti la NRC Handelsblad anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Birgit Donker", "start_byte": 214, "limit_byte": 227}]} {"id": "3421393715719658604-67", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Galdhøpiggen (m 2,469), mlima wa juu nchini Norwe\nHaltitunturi (m 1,328), mlima wa juu nchini Finland\nKebnekaise (m 2,111), mlima wa juu nchini Uswidi", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi Norwei ni upi?", "answers": [{"text": "Galdhøpiggen", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-9087111009749808005-0", "language": "swahili", "document_title": "Lahaja za Kiswahili", "passage_text": "Kiswahili kimepatikana kwa namna au lahaja mbalimbali.", "question_text": "Lugha rasmi inayotumika Zanzibar ni gani?", "answers": [{"text": "Kiswahili", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "2734149643874216573-0", "language": "swahili", "document_title": "Monie Love", "passage_text": "Simone Gooden (amezaliwa tar. 2 Julai 1970), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Monie Love, ni emcee kutoka nchini Uingereza na mtangazaji wa redio wa zamani huko nchini Marekani. Alikuwa mtu aliyeheshimiwa sana katika hip hop ya Kiingereza, na kuleta mgongano/athira kubwa na wasaili/maemcee wengine wa kike wa Kimarekani kama vile Queen Latifah, vilevile kupitia uanchama wake na baadhi ya makundi mwishoni mwa miaka ya 1980/mwanzoni mwa miaka ya 1990 - Native Tongues. Love alikuwa miongoni mwa wasanii wa kwanza wa BritHop kuingia mkataba na kusambaziwa kazi zake dunia nzima na mastudio makubwakubwa duniani.", "question_text": "Je,Simone Gooden alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "2 Julai 1970", "start_byte": 30, "limit_byte": 42}]} {"id": "7193761271792995575-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Mtindo wa muziki wa hip hop ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino", "start_byte": 80, "limit_byte": 117}]} {"id": "-4190716657649430843-15", "language": "swahili", "document_title": "Tarakilishi", "passage_text": "Kuna aina kuu tatu za kompyuta, nazo ni kama ifuatavyo:", "question_text": "Aina za tarakilishi ni ngapi?", "answers": [{"text": "tatu", "start_byte": 14, "limit_byte": 18}]} {"id": "-5104291742849481874-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Baba wa Ujamaa ni nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "8124913450925600866-0", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Kipimajoto (mara nyingine themomita) ni kifaa cha kupima jotoridi. Aina ya kipimajoto kinachotumika zaidi ni ile iliyotengenezwa kwa kuweka zebaki (mercury) katika gilasi. Aina hii imeundwa na gilasi ya kapilari ambayo katika ncha moja ina tunguu ilijazwa zebaki na ncha ya upande mwingine imezibwa. Kifaa hufungwa pande zote ili kutunza umbwe ndani ya kapilari. Jotoridi hupimwa kwa kusoma kiasi cha zebaki iliyopanda katika kapilari kutokana na mabadiliko ya joto katika vipimo vilivyoandikwa kwenye kapilari. Zebaki inatumika sana katika kupima jotoridi. Spiriti, etha na vimiminika vingine vyenye tabia zinazohitajika vinaweza kutumika kwa dhumumi hilo.", "question_text": "Jotoridi hupimwa na kifaa gani?", "answers": [{"text": "Kipimajoto", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "2861360939208628902-41", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria hukadiriwa kuwa na wakazi takriban milioni 180. Inasemekana nusu ya wakazi wote wana umri wa chini ya miaka 14. Hata hivyo ni vigumu kupata namba halisi kwa sababu ya umuhimu wake katika siasa. ", "question_text": "Je, Nigeria ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 180", "start_byte": 43, "limit_byte": 54}]} {"id": "-2283125231348135204-0", "language": "swahili", "document_title": "Diskografia ya Tupac Shakur", "passage_text": "Hii ni diskografia ya Tupac Shakur, rapa kutoka nchini Marekani. Kumepata kutolewa albamu takriban kumi na moja; nne zilitolewa kabla ya kifo cha Shakur mnamo Septemba 13, 1996 na saba zilitolewa baada ya kifo chake, ya kwanza ikiwa The Don Killuminati: The 7 Day Theory ilitolewa mnamo Novemba 5, 1996 (ijapokuwa albamu ilikamilika kabla hata Shakur hajafa). Tupac Shakur ameuza nakala za rekodi milioni 75 kwa hesabu ya dunia nzima,[1][2][3] [4]", "question_text": "Je, hadi kifo chake, Tupac Shakur alikuwa na albamu ngapi za muziki?", "answers": [{"text": "nne", "start_byte": 113, "limit_byte": 116}]} {"id": "-8855793951462343488-2", "language": "swahili", "document_title": "Welisi", "passage_text": "Idadi ya wakazi ni karibu milioni tatu. Lugha asilia ni Kiwelisi ambacho ni kimoja kati ya lugha za Kikelti. Leo hii kuna bado asilimia 20% za wakazi wanaotumia Kiwelisi lakini wengine wamezoea Kiingereza.", "question_text": "Wales ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni tatu", "start_byte": 26, "limit_byte": 38}]} {"id": "-3254740674716379472-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "8312219537484426670-1", "language": "swahili", "document_title": "George Weah", "passage_text": "Weah alizaliwa 1 Oktoba 1966 katika jiji la Monrovia. Alikulia katika kitongoji cha maskini cha Clara. ", "question_text": "Je,George Weah alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1966", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "5970090274195428269-30", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Boris", "start_byte": 39, "limit_byte": 44}]} {"id": "-6221621134274493588-6", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "Lugha rasmi ni Kiebrania na Kiarabu. Lugha nyingine zinazotumika sana nyumbani ni Kirusi, Kifaransa na Kiamhari, mbali ya Kiingereza.", "question_text": "Lugha ya kitaifa nchini Israeli ni gani?", "answers": [{"text": "Kiebrania na Kiarabu", "start_byte": 15, "limit_byte": 35}]} {"id": "-1443057500433136832-0", "language": "swahili", "document_title": "FORD-People", "passage_text": "FORD-People (pia: FORD-P) ni chama cha kisiasa nchini Kenya. Kwa Kiingereza ni Forum for the Restoration of Democracy for the People. Chama hiki ilianzishwa mwaka wa 1997 baada ya farakano la chama cha FORD-Asili. ", "question_text": "Je,chama cha FORD-People ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 167, "limit_byte": 171}]} {"id": "7082821441942068882-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa nchi ya Uganda alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kabaka Sir Edward Mutesa II", "start_byte": 23, "limit_byte": 50}]} {"id": "-4010831639592898363-7", "language": "swahili", "document_title": "Ulimwengu", "passage_text": "Astronomia ni sayansi inayotumia elimu ya fizikia na kemia kwa kutazama, kupima na kuchungulia vitu kwenye anga-nje. Mkono mmoja wa astronomia unaoshirikiana zaidi na falsafa ni kosmolojia inayoangalia hasa asili ya ulimwengu kulingana na kanuni asilia.", "question_text": "Astronomia ni nini?", "answers": [{"text": "sayansi inayotumia elimu ya fizikia na kemia kwa kutazama, kupima na kuchungulia vitu kwenye anga-nje", "start_byte": 14, "limit_byte": 115}]} {"id": "2389497862997292770-11", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Oda nyingine ndogo ya Cetacea ni Mysticeti, ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia michirizi mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao.", "question_text": "Je,mnyama mkubwa baharini ni yupi?", "answers": [{"text": "nyangumi wa bluu", "start_byte": 62, "limit_byte": 78}]} {"id": "6352881792136352690-2", "language": "swahili", "document_title": "Afrika Kusini", "passage_text": "Mji mkubwa ni Johannesburg. Majukumu ya mji mkuu yamegawiwa kati ya miji mitatu: Cape Town ni makao ya Bunge, Pretoria ni makao ya Serikali na Bloemfontein ni makao ya Mahakama Kuu.", "question_text": "Mji mkubwa nchini Afrika Kusini unaitwaje?", "answers": [{"text": "Johannesburg", "start_byte": 14, "limit_byte": 26}]} {"id": "3754292739613106886-9", "language": "swahili", "document_title": "Zinedine Zidane", "passage_text": "Zinedine Zidane alizaliwa 23 Juni 1972 katika mji wa La Castellane, Marseille, kusini mwa Ufaransa. Zidane ana asili ya Algeria kutokana na uzao wake.Wazazi wake, Smaïl and Malika,walihamia mji wa Paris kutoka kijij cha Aguemoune kaskazini mwa Algeria.", "question_text": "Je,Zinedine Zidane ni raia wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 90, "limit_byte": 98}]} {"id": "4505369974258473394-4", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Idadi ya watu imeongezeka sana katika miaka ya karibuni na kufikia milioni 49. ", "question_text": "Kenya ina jamii ya watu ngapi?", "answers": [{"text": "milioni 49", "start_byte": 67, "limit_byte": 77}]} {"id": "-236445719486490403-0", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Mark Elliot Zuckerberg (amezaliwa 14 Mei 1984) ni mjasiriamali Mmarekani anayejulikana kama mwanzilishi mwenza wa tovuti maarufu ya urafiki mtandao ya Facebook. Zuckerberg alianzilisha Facebook pamoja na wanafunzi wenzake Dustin Moskovitz, Eduardo Saverin, na Chris Hughes wakati wakihudhuria Chuo Kikuu cha Harvard. Zuckerberg ndiye Afisa Mkuu Mtendaji wa Facebook.[2] Amekuwa mada ya utata kuhusu asili ya biashara yake. [3]", "question_text": "Mark Elliot Zuckerberg alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "-6911331339771143775-10", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Aliitwa na Yesu kumfuata wakiwa huko ziwani (Math 4:18-20 [2]; Lk 5:11[3]) akiahidiwa atakuwa \"mvuvi wa watu\", halafu akafanywa mtume wake wa kwanza. ", "question_text": "Simoni Petro alikuwa mfuasi wangapi wa Yesu?", "answers": [{"text": "kwanza", "start_byte": 142, "limit_byte": 148}]} {"id": "9105034337087117573-0", "language": "swahili", "document_title": "Jibuti (mji)", "passage_text": "\nJibuti (kwa Kiarabu جيبوتي) ni mji mkuu na mji mkubwa nchini Jibuti ukiwa na wakazi 400,000. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Jibuti ni upi?", "answers": [{"text": "Jibuti", "start_byte": 1, "limit_byte": 7}]} {"id": "-554290323179185686-2", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991. ", "question_text": "Je, mji mkubwa Nigeria ni upi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-8701153660420179605-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika", "passage_text": "Tanganyika ni jina la kihistoria la sehemu kubwa ya Tanzania ya leo, yaani ile yote isiyo chini ya serikali ya Zanzibar. ", "question_text": "Makao ya kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilikuwa katika nchi gani Afrika Mashariki?a", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 52, "limit_byte": 60}]} {"id": "-4445144871786843924-0", "language": "swahili", "document_title": "Fizikia", "passage_text": "\nFizikia (kutoka neno la Kigiriki φυσικός, physikos, \"ya kimaumbile\", ambalo tena linatokana na φύσις, physis, \"umbile\") ni fani ya sayansi inayohusu maumbile ya ulimwengu, hususan asili ya dunia na viumbe vyote.", "question_text": "Je,ni nini maana ya fizikia?", "answers": [{"text": "fani ya sayansi inayohusu maumbile ya ulimwengu, hususan asili ya dunia na viumbe vyote", "start_byte": 136, "limit_byte": 223}]} {"id": "-3169474355493078069-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania anaitwaje?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "2211348035629819615-0", "language": "swahili", "document_title": "Damu", "passage_text": "\nDamu (kutoka neno la Kiarabu) ni kiowevu katika mwili wa binadamu na wanyama. Inazunguka mwilini ndani ya mishipa ya damu ikisukumwa na moyo kwa lengo la kumwezesha kuishi. ", "question_text": "Damu ni nini?", "answers": [{"text": "kiowevu katika mwili wa binadamu na wanyama", "start_byte": 34, "limit_byte": 77}]} {"id": "-2367896124364897927-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro\nMtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona)\nShimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro)\nBethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni\n68(?) – 79(?)Linus\nMtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus\n(Cletus)\nMtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I\nMtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus\n(Aristus)\nMtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I\nMtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I\nMtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori\nMtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus\nMtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I\nMtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus\nMtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter\nMtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri\nMtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I\nMtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino\nMtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I\nMtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I\nMtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano\nMtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus\nMtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani\nMtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "question_text": "Papa wa 12 wa kikatoliki anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mtakatifu Soter", "start_byte": 1747, "limit_byte": 1762}]} {"id": "-6275426454071511798-1", "language": "swahili", "document_title": "Nyuki", "passage_text": "Spishi inayojulikana hasa ni nyuki-asali (Apis mellifera) ambaye hufugwa kila mahali duniani. Kuna spishi zaidi ya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi Apis wanaotengeneza asali inayovunwa kwa matumizi ya binadamu. ", "question_text": "Je, kuna aina ngapi ya nyuki?", "answers": [{"text": "20,000", "start_byte": 115, "limit_byte": 121}]} {"id": "-5699364373488720905-0", "language": "swahili", "document_title": "Mengistu Haile Mariam", "passage_text": "\nMengistu Haile Mariam (Amhaars: ሊየተና ኮሎኔል መንግስቱ ኃይለ ማርያም), *21 Mei 1937), ni mwanajeshi na mwanasiasa kutoka nchi ya Ethiopia aliyewahi kuwa rais wa Ethiopia hadi kupinduliwa mwaka 1991. ", "question_text": "Je,Mengistu Haile Mariam alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "21 Mei 1937", "start_byte": 101, "limit_byte": 112}]} {"id": "-6735826419403824103-0", "language": "swahili", "document_title": "Samir Nasri", "passage_text": "Samir Nasri (amezaliwa 26 Juni 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anaichezea klabu ya Arsenal katika ligi kuu ya Uingereza.", "question_text": "Samir Nasri alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1987", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "-1574092504335135230-5", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa kikapu", "passage_text": "Mchezo huu ulianzishwa na mwalimu James Naismith kwenye chuo cha Springfield College huko Massachusetts mwaka 1891. Alibuni mchezo huo kwa ajili ya wanafunzi wake ili wapate mazoezi wakati wa kipupwe waliposhindwa kucheza nje. ", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa mpira wa vikapu duniani?", "answers": [{"text": "mwalimu James Naismith", "start_byte": 26, "limit_byte": 48}]} {"id": "8162121304624959749-0", "language": "swahili", "document_title": "Lugha", "passage_text": "Lugha (kutoka neno la Kiarabu: لغة) ni utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu (wengine wanadai hata kati ya viumbe wenye akili). ", "question_text": "Je,lugha ni nini?", "answers": [{"text": "utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu", "start_byte": 42, "limit_byte": 83}]} {"id": "-5098539480568683599-2", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "\nMsimu wa kwanza ina vipindi 23 ambavyo vilionyeshwa kuanzia 25 Septemba 2006 hadi 21 Mei 2007.[2] Inatuonyesha jinsi kundi la binadamu wanavyotambua kuwa wana vipawa fulani. Mohinder Suresh, ambaye ni daktari na profesa, anafanya utafiti kuhusu watu hawa wenye vipawa. Wote wanajaribu kukabiliana na vipawa waliyonayo, wakijaribu kila mbinu kuzuia mlipuko wa bomu utakaotokea mjini New York City.", "question_text": "Je,msimu wa kwanza wa Heroes ina sehemu ngapi?", "answers": [{"text": "23", "start_byte": 29, "limit_byte": 31}]} {"id": "1555548431510115344-0", "language": "swahili", "document_title": "Thomas Partey", "passage_text": "\nThomas Teye Partey (alizaliwa 13 Juni 1993) ni mchezaji wa soka wa Ghana ambaye anacheza kama kiungo mkabaji katika klabu ya Hispania iitwayo Atlético Madrid na timu ya taifa ya Ghana.", "question_text": "Je,Thomas Teye Partey alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "4117615345778958235-40", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Eritrea", "passage_text": "Kiongozi wa EPLF, Isaias Afewerki, akawa Rais. Eritrea (EPLF or Shaebia), ikawa chama pekee kinachotawala Eritrea kwa sheria na kubadilisha jina People's Front for Democracy and Justice (PFDJ).", "question_text": "Nani rais wa Eritrea?", "answers": [{"text": "Isaias Afewerki", "start_byte": 18, "limit_byte": 33}]} {"id": "-399474610708283591-0", "language": "swahili", "document_title": "Toyota, Aichi", "passage_text": "\nToyota 豊田市|Toyota-shi ni mji ulio eneo la Mikawa katika mkoa wa Aichi, Ujapani, mashariki ya Nagoya.", "question_text": "Je,makao makuu ya kampuni ya Toyota iko wapi?", "answers": [{"text": "Aichi, Ujapani", "start_byte": 71, "limit_byte": 85}]} {"id": "-6529014621040850564-0", "language": "swahili", "document_title": "Zuhura", "passage_text": "\nZuhura (pia: Ng'andu; kwa Kiingereza Venus) ni sayari ya pili katika mfumo wa jua na sayari zake. Kati ya sayari zote za jua ndiyo inayofanana zaidi na dunia yetu. ", "question_text": "Je,sayari ya Zuhura ni ya ngapi kutoka kwa jua?", "answers": [{"text": "pili", "start_byte": 58, "limit_byte": 62}]} {"id": "-7964530798253499621-0", "language": "swahili", "document_title": "Washington, D.C.", "passage_text": "\nWashington D.C. ni mji mkuu wa Marekani mwenye wakazi 553,523. Kifupi \"D.C.\" baada ya jina chamaanisha \"District of Colombia\" ambayo ni mkoa wa shirikisho yaani eneo lililotengwa moja kwa moja kwa vyombo vya shirikisho la Marekani kwa sababu maeneo mengine ya Marekani yako chini ya majimbo mbalimbali yanayojitawala. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Marekani ni upi?", "answers": [{"text": "Washington D.C", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "-7854238232995936232-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Rais wa Marekani mwaka 1885 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Chester Arthur", "start_byte": 1318, "limit_byte": 1332}]} {"id": "-4938551250092090168-0", "language": "swahili", "document_title": "Mfereji", "passage_text": "\n\nMfereji ni njia ya maji iliyotengenezwa na watu tofauti na njia asilia za maji kama mito au maziwa.", "question_text": "Je,mfereji ni nini?", "answers": [{"text": "njia ya maji iliyotengenezwa na watu tofauti na njia asilia za maji kama mito au maziwa", "start_byte": 13, "limit_byte": 100}]} {"id": "3227130172736104751-2", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "Kampuni ya Safaricom, ambayo ilisajiliwa mwaka jana katika Soko la Hisa la Nairobi inaongozwa na Bw.Michael Joseph, Afisa Mkuu Mtendaji ambaye amekuwa katika hatamu za uongozi wa kampuni hii yenye mgawo mkubwa zaidi wa wateja nchini Kenya tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2000. Kuimarika kwake kumeifanya kutambulika kama Kampuni inayoheshimika zaidi katika Afrika Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo. ", "question_text": "Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 268, "limit_byte": 272}]} {"id": "-5691875407447981207-5", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba. ", "question_text": "Je,nani aligundua kifaa cha darubini?", "answers": [{"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}]} {"id": "8037185784832249563-4", "language": "swahili", "document_title": "Mombasa", "passage_text": "Mnamo mwaka wa 2016, mji wa Mombasa ulikuwa na idadi ya wakazi takriban milioni moja nukta mbili kwenye kisiwa cha Mombasa pamoja na sehemu zake barani. Wengi wao ni Waislamu.", "question_text": "Je,Mombasa ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni moja nukta mbili", "start_byte": 72, "limit_byte": 96}]} {"id": "2663605656638774800-0", "language": "swahili", "document_title": "Chawa", "passage_text": "\nChawa ni wadudu wadogo wa oda Phthiraptera katika nusungeli Pterygota (wenye mabawa), lakini hata kama wahenga wao walikuwa na mabawa, chawa hawanayo. Wadudu hawa wote ni vidusia wa nje juu ya ndege na mamalia isipokuwa Monotremata (kinyamadege na mhanganungu), popo, nyangumi, pomboo na kakakuona. Kuna aina mbili za chawa: wanaokula nywele, manyoya na seli za ngozi zilizokufa, na wanaofyunza damu ya mwenyeji. Chawa wa aina ya kwanza wana vipande vya mdomo vya kutafuna, wale wengine wana mdomo wa kufyunza. Miguu inabeba aina za magando madogo ili kushika nywele au manyoya ya mwenyeji. Kwa kawaida mayai ya chawa yamegandia nywele au manyoya, au pengine yamewekwa ndani ya shina la unyoya.", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya chawa ni gani?", "answers": [{"text": "Phthiraptera", "start_byte": 31, "limit_byte": 43}]} {"id": "-7403718910609206854-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "Majimbo haya 50 yako pamoja na maeneo mengine yasiyo na cheo cha jimbo kamili lakini yapo moja kwa moja chini ya shirikisho kwenye ngazi ya kitaifa. Maneo haya ni pamoja na ", "question_text": "Je, nchi ya Marekani ina majimbo mangapi?", "answers": [{"text": "50", "start_byte": 13, "limit_byte": 15}]} {"id": "-7469130039330248993-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Serengeti", "passage_text": "Hifadhi ya Serengeti ni eneo kubwa la mbuga na misitu katika Tanzania ya kaskazini hasa katika mikoa ya Mara na Arusha ikipakana na nchi ya Kenya. Jina Serengeti limechukuliwa kutoka lugha ya Kimasai hasa: \"Serengit\" humaanisha \"Kiwara kisichoisha\". [1] [2]", "question_text": "Je,mbuga ya Serengeti inapatikana katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 61, "limit_byte": 69}]} {"id": "-2880176159118522844-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uislamu", "passage_text": "Historia ya dini ya kiislamu haikuanza na Mtume Muhammad (SAW) kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa Nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adam alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake.", "question_text": "Dini ya Uislamu ilianza lini?", "answers": [{"text": "tangu alipoletwa Nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adam alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake", "start_byte": 107, "limit_byte": 405}]} {"id": "-794920638107340052-2", "language": "swahili", "document_title": "Nina Myers", "passage_text": "Nina Myers alizaliwa mjini Boston, Massachusetts, mnamo mwaka wa 1968.[1] Ana digrii ya mambo ya Arts ya Ustadi wa Mashariki ya Kati aliyoipatia katika Chuo Kikuu cha Harvard, na Master's degree katika masuala ya Uchunguzi Uharifu Kisaikolojia ambayo aliipati katika Chuo cha Sheria Dhidi ya Uharifu cha John Jay. Alishafanya kazi na Baraza la Ulinzi la Umoja wa Mataifa kabla hajajiunga na CTU.", "question_text": "Je,Nina Erin Myers alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 66, "limit_byte": 70}]} {"id": "-5309578661125556192-0", "language": "swahili", "document_title": "Fikira", "passage_text": "Fikira au Fikra (kutoka neno la Kiarabu) ni ujumbe uliotumwa kutoka akilini kwa ajili ya viumbe hai ili kujua kutenda jambo bila kukosea. ", "question_text": "Jina fikira linatokana na nini?", "answers": [{"text": "neno la Kiarabu", "start_byte": 24, "limit_byte": 39}]} {"id": "7063577739361455782-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "-5047996138454068818-1", "language": "swahili", "document_title": "Trichuriasis", "passage_text": "Trichuriasis (ing. whipworm) ni ambukizo kutoka mnyoo anayambukiza jina lake katika Kilatini ni ((Trichuris trichiura)) whipworm. ).[1] \nKama uambukizo unatokana na minyoo michache, mara nyingi hakuna dalili zake. [2] Kwa wale ambao wanaambukizwa na minyoo mingi, pengine maumivu ya fumbatio yanatokea, uchovu pamoja na kuharisha.[2] Mara nyingine kuharisha kumekuwepo na ((damu)).[2] Uambukizo wa watoto unaweza kudhoofisha ukuaji wa akili pamoja na wa mwili.[2] Viwango vilivyo chini vya seli nyekundu za damu Hali hii huenda inaweza kutokea kutokana na upungufu wa damu.[1]", "question_text": "Uambukizo wa mnyoo aitwaye whipworm unaitwaje?", "answers": [{"text": "Trichuriasis", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "4078079275722596495-2", "language": "swahili", "document_title": "Volkswagen", "passage_text": "Chanzo cha kampuni ilikuwa mnamo mwaka 1937. Wakati ule dikteta wa Ujerumani Adolf Hitler alitaka motokaa yenye bei nafuu kwa wananchi wa kawaida na \"Volkswagen\" ina maana ya \"gari la wananchi\" iliyoweza kubeba familia ya watu 4 na kutembea kwa mkasi wa 100 km/h. Muhandis Ferdinand Porsche aliombwa kutunga gari lenye bei ndogo lililoweza kupatikana kwa watu wengi wenye mishahara midogo. Kutokana na umbo lake limejulikana kwa jina la \"Käfer\" (ing. beetle yaani mdudu mwenye umbo la kangambili). Kiwanda kipya kilianzishwa mashambani karibu la boma la kale lililoitwa \"Wolfsburg\" likawa chanzo cha mji wa baadaye. Kiwanda kilikamilishwa mwaka 1939 miezi michache kabla ya mwazo wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Kutokana na vita magari yaliyokusudiwa hayakujengwa badala yake modeli zilibadilishwa kwa matumizi ya kijeshi. Baada ya kushindwa kwa Ujerumani Wolfsburh ilikuwa chini ya utawala wa Kiingereza kwa miaka 4 na Waingereza walisita kwa muda kama wangeendeleza kiwanda au kuiuza. Lakini waliona modeli ya Volkswagen iliyoanza kutolewa sasa kwa idadi ndogo haikufaa waliwachia Wajerumani. Lakini katika miaka iliyofuata tangu Ujerumani ya Magharibi ilirudishwa hali ya kujitawala gari lilelile likawa ishara ya kurudishwa kwa nguvu ya kiuchumi. Mwaka 1955 tayari milioni 1 ya motokaa zenye umbo la dudu zilitembea barabarani. Mafanikio ya kampuni yaliendelea kwa kutoa modeli mpya na kubwa zaidi. Mnamo 1965 VW ilinunua kiwanda cha NSU - Audi na kampuni hii ilibuni aina za modeli kama Golf na Passat zilizouzwa baadaye tangu 1974 kama kizazi kipya cha VW baada ya mauzo ya VW-beetle kupungua. Model ya zamani iliendelea kutengenezwa katika viwanda huko Meksiko na Brazil.", "question_text": "Je,ni aina gani ya gari ya Volkswagen ilitengenezwa ya kwanza kabisa?", "answers": [{"text": "\"Käfer\" (ing. beetle yaani mdudu", "start_byte": 437, "limit_byte": 470}]} {"id": "-3962584481609843341-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza nchini Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "2896919185911223606-4", "language": "swahili", "document_title": "Uingereza", "passage_text": "Uingereza iko kwenye kisiwa cha Britania ambayo ni kisiwa kikubwa cha Ulaya. Imepakana na Welisi upande wa magharibi na Uskoti upande wa kaskazini. Mji Mkuu ni London.\nUfaransa iko upande wa kusini ng'ambo ya Mfereji wa Kiingereza. Tangu mwaka 1994 kuna njia ya reli kwa tobwe chini ya mfereji inayounganisha Uingereza na Ufaransa. ", "question_text": "Uskoti ni nchi ya bara lipi?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 70, "limit_byte": 75}]} {"id": "-4203557043578876809-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Je,Ethiopia ina takriban idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "5,237,338", "start_byte": 660, "limit_byte": 669}]} {"id": "-6983021279417631619-9", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Tarehe 24 Oktoba 1964, Zambia ikawa huru na waziri mkuu Kenneth Kaunda akawa rais wa kwanza. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Zambia aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Kenneth Kaunda", "start_byte": 56, "limit_byte": 70}]} {"id": "-1243864635382481387-0", "language": "swahili", "document_title": "Sensa", "passage_text": "\nSensa ni utaratibu wa kupata na kutunza habari kuhusu idadi ya watu fulanifulani. Pia ni utaratibu wa mara kwa mara na hesabu rasmi ya idadi ya watu hao. [1] [2] Msamiati hutumiwa zaidi kuhusiana na idadi ya kitaifa na sensa ya mlango kwa mlango (kuchukuliwa kila miaka 10 kulingana na mapendekezo ya Umoja wa Mataifa), na ile ya kilimo na biashara. ", "question_text": "Je,sensa hufanyika nchini Kenya baada ya kila miaka ngapi?", "answers": [{"text": "10", "start_byte": 271, "limit_byte": 273}]} {"id": "46721565636898590-1", "language": "swahili", "document_title": "Calgary Herald", "passage_text": "Jarida hili lilichapishwa kwa mara ya kwanza mnamo tarehe 31 Agosti ,1883 na Andrew Armour na Thomas Braden chini ya jina la The Calgary Herald, Mining and Ranche Advocate and General Advertiser. Jarida hili lilianza kama gazeti la kila wiki likiwa na kurasa nne zilizochapishwa kwa kutumia mashine yaliyotumia nguvu ya mikono. Operesheni zilikuwa ndogo, zikitumia hema iliyokuwa kando ya makutano ya mito Bow na Elbow kama ofisi yake. Katika mwaka wa 1885, Herald likawa gazeti la kuchapishwa kila siku lakini uchapishaji huo wa kila siku haukuanza hadi mwisho wa mwaka wa 1883. Tangu wakati huo mpaka Aprili 1985, lilikuwa gazeti la alasiri lakini hivi sasa ni gazeti linalosambazwa asubuhi. Mnamo Novemba 2000, gazeti la Herald likawa sehemu ya Kampuni ya Magazeti ya Southam (hivi sasa linaitwa Canwest News Service ambao ni mgawanyiko wa kampuni ya mawasiliano ya CanWest Global Communications)", "question_text": "Je, The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1883", "start_byte": 69, "limit_byte": 73}]} {"id": "-5643317628906603550-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Nchi gani kubwa zaidi bara la Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 90, "limit_byte": 97}]} {"id": "-2474524581523651315-1", "language": "swahili", "document_title": "Minciu Sodas", "passage_text": "Minciu Sodas ilianzishwa rasmi mwaka 1998 na Bw. Andrius Kulikauska raia wa Lithuania inayopatikana barani ulaya. Maabara hii ilianzishwa kwa lengo la kushirikiana kimawazo baina ya wanachama na jamii. hivyo vilianzishwa vikundi mbalimbali ambavyo vililenga kuwaunganisha wanachama wenye mitazmo inayolingana.", "question_text": "Je,maabara ya Minciu Sodas ilianza lini?", "answers": [{"text": "1998", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "8680708974576056682-3", "language": "swahili", "document_title": "Namibia", "passage_text": "Mji mkuu ni Windhoek (wakazi 322.500).", "question_text": "Je,Mji mkuu wa Namibia ni upi?", "answers": [{"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "5203525671463778493-2", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle pamoja na dada zake wawili. Katika umri wake mdogo Bill Gates alivutiwa na utengenezaji wa programu akiwa katika mojawapo wa shule kijijini Seattle. Akiwa huko shuleni Seattle, Bill Gates alikutana na Paul Allen, mwanafunzi mwenzake wakawa marafiki. Hapo ndipo wakaanza kutumia tarakilishi ndogo ya shule kujiendeleza ujuzi wao.", "question_text": "Je,Bill Gates alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "28 Oktoba 1955", "start_byte": 65, "limit_byte": 79}]} {"id": "5434428365053162214-0", "language": "swahili", "document_title": "Vatikani", "passage_text": "\nMji wa Vatikani ni dola-mji lenye eneo la kilomita za mraba 0,44 tu. Hivyo ni nchi ndogo kuliko zote duniani. Pande zote inazungukwa na Italia.", "question_text": "Nchi gani ndogo duniani?", "answers": [{"text": "Mji wa Vatikani", "start_byte": 1, "limit_byte": 16}]} {"id": "-3577796000412665725-0", "language": "swahili", "document_title": "Dubai", "passage_text": "Dubai (kwa Kiarabu: دبيّ) ni ufalme katika Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni na pia jina la mji mkuu wa ufalme huo.", "question_text": "Je,mji mkuu wa dubai ni upi?", "answers": [{"text": "Dubai", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "6961559292426056466-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta", "passage_text": "\nUkumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta au Kenyatta International Conference Centre (KICC) ni jengo la ghorofa 30 iliko mjini Nairobi, Kenya.", "question_text": "Jumba la KICC lina ghorofa ngapi?", "answers": [{"text": "30", "start_byte": 117, "limit_byte": 119}]} {"id": "1052866477261936727-7", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Milima ya Ruwenzori ni kati ya milima mikubwa kabisa ya Afrika baada ya Kilimanjaro na Mlima Kenya. ", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi?", "answers": [{"text": "Ruwenzori", "start_byte": 10, "limit_byte": 19}]} {"id": "-3078221496616959647-0", "language": "swahili", "document_title": "Diskografia ya Tupac Shakur", "passage_text": "Hii ni diskografia ya Tupac Shakur, rapa kutoka nchini Marekani. Kumepata kutolewa albamu takriban kumi na moja; nne zilitolewa kabla ya kifo cha Shakur mnamo Septemba 13, 1996 na saba zilitolewa baada ya kifo chake, ya kwanza ikiwa The Don Killuminati: The 7 Day Theory ilitolewa mnamo Novemba 5, 1996 (ijapokuwa albamu ilikamilika kabla hata Shakur hajafa). Tupac Shakur ameuza nakala za rekodi milioni 75 kwa hesabu ya dunia nzima,[1][2][3] [4]", "question_text": "2pac Shakur aliuwawa akiwa na miaka ngapi?", "answers": [{"text": "Septemba 13, 1996", "start_byte": 159, "limit_byte": 176}]} {"id": "-7582059701267622005-3", "language": "swahili", "document_title": "Bara la Antaktiki", "passage_text": "Kwa sababu ya baridi kali katika bara hilo, ni bara pekee ambako binadamu hawaishi kwa namna ya kudumu, isipokuwa kuna watu 5,000, hasa wanasayansi, wanaokaa kwa muda katika vituo vyao. ", "question_text": "Je, ni watu gani wanao ishi katika ncha ya kaskazini?", "answers": [{"text": "wanasayansi", "start_byte": 136, "limit_byte": 147}]} {"id": "789745177912646670-1", "language": "swahili", "document_title": "Edith Masai", "passage_text": "Masai alizaliwa katika kijiji cha Chepkoya, wilaya ya Mlima Elgon. Alishindana wakati wake wa shule ya sekondari wakati alikuwa katika shule ya upili ya Kibuk. Alihitimlu kutoka skuli hiyo mwaka wa 1988. Alijiunga na Kenya Prisons Service mwaka wa 1990, inayojulikana sana kwa kusajili wanariadha wengi wenye vipaji. Masai hata hivyo, hakupata chochote hadi mwaka wa 1999, wakati akawa bingwa wa mbio za kuvuka nchi au “cross-county” ukipenda,akiwa na umri wa miaka 32. Baada ya ushindi huu, alianza kufanya mazoezi zaidi kwa umakini", "question_text": "Edith Chewangel Masai alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "kijiji cha Chepkoya, wilaya ya Mlima Elgon", "start_byte": 23, "limit_byte": 65}]} {"id": "-7584333682742302456-5", "language": "swahili", "document_title": "Meli ya abiria", "passage_text": "\n\nMeli ya abiria ya pekee zilianza kutokea wakati wa karne ya 19, hadi wakati ule jahazi na pia meli zilibeba mizigo pamoja na watu na zilikuwa na vyumba vichache vya abiria wenye pesa ilhali wengine walikaa kwenye sitaha au pamoja na mizigo.", "question_text": "Meli ya abiria ya kwanza ilitengenezwa na kampuni gani?", "answers": [{"text": "karne ya 19", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}]} {"id": "7870988848076512289-1", "language": "swahili", "document_title": "FIFA", "passage_text": "Kisheria ni shirika binafsi lililoandikishwa huko Uswisi. Makao makuu yapo Zurich. Rais Joseph Blatter[1] ameongoza kwa muda wa miaka 18 kabla ya kumuachia Gianni Infantino, raia wa Uswisi. Fatma Samba Diouf Samoura wa Senegal ndiye Katibu Mkuu wake.", "question_text": "Nani rais wa shirikisho la FIFA duniani?", "answers": [{"text": "Gianni Infantino", "start_byte": 156, "limit_byte": 172}]} {"id": "3015795724648806403-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni ipi?", "answers": [{"text": "Mlima Kilimanjaro", "start_byte": 1254, "limit_byte": 1271}]} {"id": "4798392064930460238-3", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Kwa jumla kuna elementi 116 zinazojulikana katika Kemia zimo katika jedwali la elementi linaloitwa pia \"mfumo radidia\".", "question_text": "Kuna elementi ngapi za kemia?", "answers": [{"text": "116", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}]} {"id": "930473077752700600-12", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu wa Tanzania ni jiji la Dodoma.", "question_text": "Mji mkuu Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "-6097549250924184853-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ukraine", "passage_text": "Waviking waliunda dola la kwanza katika eneo la Kiev, wakalitawala kama dola la Kislavoni. Wenyewe waliingia haraka katika lugha na utamaduni wa wenyeji, lakini waliacha jina lao kwa sababu \"Rus\" kiasili ilikuwa jina la Waskandinavia wale kutoka Uswidi ya leo. ", "question_text": "Mji mkuu wa Ukraine ni upi?", "answers": [{"text": "Kiev", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "626927882632564443-3", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Marekani", "passage_text": "Rais huchaguliwa kupitia jopo la wapigakura kwa muda wa miaka minne. Tangia mwaka 1951, utawala wa marais umemekuwa ni mihula miwili kutokana na marekebisho ya katiba ya ishirini na mbili. Arobaini na tatu wamekuwa rais kwa kuchaguliwa na kuhudumia jumla ya mihula hamsini na sita ya muda wa miaka isiyozidi minne [3] Tarehe 20 Januari 2017, Donald Trump amekuwa rais wa arobaini na tano.", "question_text": "Rais wa marekani ni nani?", "answers": [{"text": "Donald Trump", "start_byte": 343, "limit_byte": 355}]} {"id": "3961886038170513225-2", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Mataifa ya Afrika", "passage_text": "Misri ndiyo taifa lililofanikiwa zaidi katika historia kombe hili kwa kuwa na rekodi ya kushinda kombe hili mara sita. Ghana na Kamerunwameweza kunyakuwa ubingwa mara nne. Nyara tatu tofauti zimetunzwa katika historia ya shindano hili. Ghana na Kamerunwameshinda matoleo mawili ya kwanza baada ya kila timu kushinda shindano hili mara tatu mfululizo . Nyara iliyo sasa ilitunzwa mara ya kwanza mwaka wa 2002.", "question_text": "Je,Misri imeshinda kombe la mataifa bara Afrika mara ngapi?", "answers": [{"text": "mara sita", "start_byte": 108, "limit_byte": 117}]} {"id": "-2399949250036876883-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 152, "limit_byte": 176}]} {"id": "7797174969070283784-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro ni hifadhi ya taifa nchini Tanzania, lakini ni maarufu duniani kutokana na mandhari nzuri ya Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika na unapatikana katika nchi ya Tanzania. ", "question_text": "Je,mlima kilimanjaro inapatikana katika nchini gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 56, "limit_byte": 64}]} {"id": "5993742727118897484-9", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "Bill Gates alifanya ndoa na Melinda French Gates mwaka wa 1994 na wakabarikiwa na watoto watatu, Jennifer, Rory na Fibi. Wote wawili Bill na Melinda ni waanzilishi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Waliweza kulianzisha shirika la Bill na Melinda Gates Foundation ambalo limeweza kuchangia zaidi ya dola bilioni tatu nukta mbili kuboresha afya duniani, dola bilioni mbili kuboresha fursa ya masomo kwa familia zisizojiweza. Zaidi ya hayo limeweza pia kuchangia dola milioni mia nne sabini na saba kwa miradi ya jamii na zaidi ya dola milioni mia nne themanini na nane kwa miradi maalum na kampeni za kuhamasisihwa kila mwaka.", "question_text": "Je,Bill Gates ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 89, "limit_byte": 95}]} {"id": "-2158241324655485065-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki (ziliitwa \"Mataifa ya Kati\", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa \"Mataifa ya Ushirikiano\", ing. allied powers). ", "question_text": "Je, vita vya kwanza vya dunia vilimalizika mwaka gani?", "answers": [{"text": "1918", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}]} {"id": "-4155536160453941424-19", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka huu wa 1956, Sudan na Tunisia vile vile walipata uhuru wao, na Ghana katika mwaka wa 1957, Guinea katika mwaka wa 1958, na vile vile Morocco wakarudishiwa Spanish Morocco.", "question_text": "Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 98, "limit_byte": 102}]} {"id": "-5538078901757746858-1", "language": "swahili", "document_title": "Donald \"Flash\" Gordon", "passage_text": "Donald alizaliwa Garland, Kansas mnamo tarehe 17 Julai 1920. Alisoma katika Shule ya Upili ya Fort Scott na kumaliza masomo yake ya kiwango hicho katika mwaka wa 1931.Akaendelea na masomo yake katika Chuo cha Fort Scott Junior College akimaliza katika mwaka wa 1941. Gordon alisoma ,pia, mafunzo ya urubani kwa raia na akapata leseni yake. Baada ya kumaliza chuo, Gordon aliingia mpango wa mafunzo ya Naval Aviation Cadet Program mnamo 7 Julai 1941. Alimaliza mafunzo yake na akaajiriwa kazi kama Ensign mnamo 12 Machi,1942, akiwa umri wa miaka 21. Kazi yake ya kwanza ilikuwa kama rubani wa kikundi cha Fighter Squadron 10 (VF-10). Kikundi hiki kiliitwa hapo baadaye Grim Reapers.", "question_text": "Donald Gordon alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Garland, Kansas", "start_byte": 17, "limit_byte": 32}]} {"id": "-849782480174359602-18", "language": "swahili", "document_title": "Kwame Nkrumah", "passage_text": "Aliendelea kuongoza serikali na mwaka 1957 wakati wa uhuru alibadilisha jina la nchi kuwa Ghana. Hii ilikuwa koloni la kwanza kupata uhuru katika Afrika ya Magharibi, baada ya Liberia. Mwaka huohuo alifunga ndoa na Fathia Helen Ritzk, Mkristo wa Kikopti kutoka nchi ya Misri.", "question_text": "Ghana ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "434338864712159015-74", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Upande wa dini, idadi kubwa ya Wakenya ni Wakristo: kulingana na sensa ya mwaka 2009, asilimia 82.5 ya wakazi wa Kenya walikuwa Wakristo (asilimia 47.4 ni Waprotestanti, asilimia 23.3 ni Wakatoliki, asilimia 11.8 ni Wakristo wa madhehebu mengine mbalimbali, wakiwemo Waorthodoksi 621,200), asilimia 11.1 ni Waislamu, asilimia 1.6 ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika, asilimia 1.7 ni wa makundi mengine ya dini (kuna Wahindu takribani 300,000, ambao wameingiliana vyema na Wakenya wengine na huchangia pakubwa uchumi wa nchi), na asilimia 2.4 wanadai hawana uhusiano na dini yoyote ile.[36]", "question_text": "Je,dini gani yenye watu wengi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Wakristo", "start_byte": 42, "limit_byte": 50}]} {"id": "-6087874294525614659-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Ni bara gani duniani ina jangwa kubwa zaidi?", "answers": [{"text": "Afrika", "start_byte": 37, "limit_byte": 43}]} {"id": "-4818655555348477086-3", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Je Nigeria ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "3435501031423080217-0", "language": "swahili", "document_title": "Funguvisiwa la Kurili", "passage_text": "\nFunguvisiwa la Kurili (kwa Kirusi кури́льские острова́, kurilskiye ostrova) ni kundi la visiwa katika Pasifiki ya Kaskazini ambavyo ni sehemu ya Urusi. Ni visiwa 56 (pamoja na miamba midogo) viivyopangwa kama safu au nyororo yenye urefu wa kilomita 1300 kati ya rasi ya Kamchatka ya Urusi na kisiwa cha Hokkaido cha Japani. Kwa namna fulani inatenga Bahari ya Okhotsk na Pasifiki kubwa. ", "question_text": "Bahari ya Pasifiki ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "56", "start_byte": 182, "limit_byte": 184}]} {"id": "8459580661990979284-13", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "Hadi mnamo mwaka 1880 serikali ya Ujerumani chini ya chansella Otto von Bismarck ilikataa kuanzisha makoloni. Sehemu ya wafanyabiashara Wajerumani walidai koloni. Walisikitika kuona faida za wenzao Waingereza waliopata mara nyingi msaada kutoka kwa wanajeshi na serikali za koloni za Uingereza hasa Asia. Waliona pia faida ya viwanda vya Uingereza vilivyokuwa na soko la kulindwa katika nchi kama Uhindi kwa sababu serikali ya kikoloni ilidai kodi kali kwa bidhaa zisizotoka Uingereza.", "question_text": "Otto Von Bismarck alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 34, "limit_byte": 43}]} {"id": "-1285757752723563925-8", "language": "swahili", "document_title": "Zinedine Zidane", "passage_text": "Zidane alimuoa Véronique Fernández mwaka 1994. Wana watoto wanne: Enzo Alan Zidane Fernández (alizaliwa tarehe 24 Machi 1995), Luca Zinedine Zidane Fernández (alizaliwa 13 Mei 1998), Theo Zidane Fernández (aliyezaliwa 24 Mei 2002), na Elyaz Zidane Fernández (aliyezaliwa 28 Desemba 2005). Enzo anachezea timu ya Deportivo Alavés, Luca anachezea timu ya Real Madrid, na Elyaz yuko Real Madrid Academy.", "question_text": "Je,Zinedine Yazid Zidane ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 61, "limit_byte": 66}]} {"id": "-454310159333380796-12", "language": "swahili", "document_title": "Twiga", "passage_text": "Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.", "question_text": "Je,twiga hubeba uja uzito kwa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "siku 400 mpaka 460", "start_byte": 23, "limit_byte": 41}]} {"id": "-4946323037575439131-0", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Urusi", "passage_text": "Jiografia ya Urusi inaeleza tabia za nchi ya Urusi inayotanda juu ya maeneo mapana ya Eurasia ya kaskazini na ambayo ni nchi yenye eneo kubwa duniani, ikiwa na kilomita za mraba milioni 17.[1]\nIna asilimia 11 za maeneo yote ya nchi kavu duniani ndani yake ambayo ni sawa na jumla ya maeneo ya Ulaya na Australia. ", "question_text": "Nchi ya Urusi iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "milioni 17", "start_byte": 178, "limit_byte": 188}]} {"id": "9147651718977395581-23", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mombasa ulikuwa mji wenye bandari wa nchi ya Kenya kabla ya ukoloni katika Enzi ya kati. Bandari hiyo ilitumika kuendeleza biashara na miji mingine yenye bandari Afrika, Uajemi, na wafanyabiashara Waarabu, Yemeni na hata Bara Hindi.[10]", "question_text": "Bandari kubwa nchini Kenya iko wapi?", "answers": [{"text": "Mombasa", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "2874917142822702751-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Ethiopia ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "237,338", "start_byte": 673, "limit_byte": 680}]} {"id": "-6104363571198735318-2", "language": "swahili", "document_title": "Google", "passage_text": "Tovuti ni mali ya kampuni Google Inc. ya Marekani, lakini kampuni mama ni Alphabet Inc.. Kampuni ilianzishwa na Larry Page and Sergey Brin mwaka 1998, wakati walipokuwa wanafunzi wa chuo kikuu. ", "question_text": "Nani mmiliki wa kampuni ya google?", "answers": [{"text": "Alphabet Inc", "start_byte": 74, "limit_byte": 86}]} {"id": "-338496383462425486-0", "language": "swahili", "document_title": "Mto Niagara", "passage_text": "\n\nMto Niagara ni mto katika Amerika ya Kaskazini. Ni mto mfupi baina ya Ziwa Erie na Ziwa Ontario mwenye urefu wa 56 km. ", "question_text": "Je, mto Niagara una urefu gani?", "answers": [{"text": "56 km", "start_byte": 114, "limit_byte": 119}]} {"id": "421028797382388301-17", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "Peters, aliyewahi kusoma chuo Uingereza, aliona wivu juu ya ukoloni wa Uingereza, akiamini ya kwamba Ujerumani ungestahili nafasi hiyo pia. Hivyo alianza kudai koloni katika mikutano, akaanzisha \"Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani \" mwaka 1884 iliyokuwa kitangulizi cha kampuni. ", "question_text": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1884", "start_byte": 238, "limit_byte": 242}]} {"id": "-7844360106409185213-14", "language": "swahili", "document_title": "Tarakilishi", "passage_text": "Kimsingi tarakilishi ni kifaa chochote kinachomsaidia binadamu kufanya hesabu. Zipo tarakilishi za aina mbili: za kianalojia (za umakanika) na za kidijiti (za elektroniki). Za kwanza \nhazitumii umeme, na ndizo ambazo zilianza kabla ya tarakilishi za kidijiti (zinazotumia umeme).", "question_text": "Tarakilishi la kwanza kutengenezwa ilikua ipi?", "answers": [{"text": "kianalojia", "start_byte": 114, "limit_byte": 124}]} {"id": "-239863692204656099-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Bahari Atlantiki ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 106,200,000", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}]} {"id": "-8535307570140776775-1", "language": "swahili", "document_title": "Mafuta", "passage_text": "Mafuta yote huwa na asili katika mata ogania, kama vile ya wanyama na mimea.", "question_text": "Mafuta yote yana asili gani?", "answers": [{"text": "mata ogania", "start_byte": 33, "limit_byte": 44}]} {"id": "-3138122951539886667-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "2Pac alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "-91556722227515281-25", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Meno ya tembo ni tofauti sana na yale ya mamalia wengine. Wakati wa maisha yao yote, huwa na jumla ya meno 28. Haya hujumuisha meno change ba pili (hizi ndizo pembe), meno ya maziwa kabla ya pembe, magego madogo 12:3 kila upande wa taya, magego 12:3 kila upande wa taya.", "question_text": "Ndovu ana meno mangapi?", "answers": [{"text": "28", "start_byte": 107, "limit_byte": 109}]} {"id": "4774183076970567378-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki (ziliitwa \"Mataifa ya Kati\", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa \"Mataifa ya Ushirikiano\", ing. allied powers). ", "question_text": "Je,Vita vya kwanza vya dunia viliisha mwaka gani?", "answers": [{"text": "1918", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}]} {"id": "2374320772760366614-5", "language": "swahili", "document_title": "Wadudu", "passage_text": "Ngeli Insecta\nNusungeli Monocondylia\nOda Archaeognatha\nKladi (kundi bila tabaka) Dicondylia\nNusungeli Apterygota\nOda †Monura\nOda Thysanura (Wadudu mikia-mitatu)\nNusungeli Pterygota\nNgeli ya chini Palaeoptera\nOda †Palaeodictyoptera\nOda †Megasecoptera\nOda †Archodonata\nOda †Diaphanopterodea\nOda †Meganisoptera\nOda Ephemeroptera (Wadudu siku-moja)\nOda Odonata (Kereng'ende)\nNgeli ya chini Neoptera\nOda ya juu Exopterygota\nOda †Titanoptera\nOda †Protorthoptera\nOda Plecoptera (Wadudu mabawa-msuko)\nOda Embioptera (Wasokotaji-hariri)\nOda Zoraptera (Wadudu-malaika)\nOda Dermaptera (Wadudu-koleo)\nOda Orthoptera (Wadudu mabawa-manyofu: panzi, nzige n.k.)\nOda Phasmatodea (Wadudu-kijiti)\nOda Notoptera (Wadudu-barafu, watambaaji-miamba)\nOda ya juu Dictyoptera (imependekezwa)\nOda Blattodea (Mende na mchwa)\nOda Mantodea (Vivunjajungu)\nOda ya juu Paraneoptera (imependekezwa)\nOda Psocoptera (Nzi-gome, chawa-vitabu)\nOda Thysanoptera (Tiripsi)\nOda Phthiraptera (Chawa)\nOda Hemiptera (Wadudu mabawa-nusu: vidukari, nzi weupe, wadudu-gamba, vidung'ata)\nOda ya juu Endopterygota\nOda Hymenoptera (Wadudu mabawa-matando: nyuki, nyigu, sisimizi n.k.)\nOda Coleoptera (Mende-kibyongo, bungo, fukusi, visaga)\nOda Strepsiptera (Wadudu mabawa-potwa)\nOda Raphidioptera (Wadudu shingo-ngamia)\nOda Megaloptera (Wadudu mabawa-makubwa)\nOda Neuroptera (Wadudu mabawa-vena)\nOda ya juu Mecopteroidea (imependekezwa)\nOda Mecoptera (Wadudu mabawa-marefu: wadudu-nge n.k.)\nOda Siphonaptera (Viroboto)\nOda †Protodiptera (Nzi wa kale)\nOda Diptera (Wadudu mabawa-mawili: nzi, mbu n.k.)\nOda ya juu Amphiesmenoptera (imependekezwa)\nOda Trichoptera (Wadudu mabawa-manyoya)\nOda Lepidoptera (Wadudu mabawa-vigamba: vipepeo, nondo)", "question_text": "Je,chawa iko katika kundi gani ya wadudu?", "answers": [{"text": "Oda Phthiraptera", "start_byte": 949, "limit_byte": 965}]} {"id": "7722101611654187086-15", "language": "swahili", "document_title": "Biolojia", "passage_text": "Biolojia ilianza kuendelea na kukua haraka baada ya uboreshaji mkubwa wa darubini na Antony van Leeuwenhoek. Hapo ndipo wasomi waligundua manii bakteria, infusoria na ugeni tu na tofauti ya maisha ya hadubini. Uchunguzi wa Jan Swammerdam ulileta maslahi mapya katika entomolojia ikajenga mbinu za msingi za kuchangua na kutia madoa kwa hadubini.[9]", "question_text": "Je,nani alizindua kifaa cha hadubini?", "answers": [{"text": "an Swammerdam", "start_byte": 224, "limit_byte": 237}]} {"id": "-8399273367655765203-2", "language": "swahili", "document_title": "Msumbiji", "passage_text": "Msumbiji iko ufukoni mwa Bahari Hindi ikipakana na Tanzania, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini na Uswazi. ", "question_text": "Nchi ya Msumbiji imepakana na nchi ngapi?", "answers": [{"text": "Tanzania, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini na Uswazi", "start_byte": 51, "limit_byte": 110}]} {"id": "-1255329714797736573-1", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita hii ilianza katika Ulaya ikapanuka haraka hadi Mashariki ya Kati, Afrika na Asia ya Mashariki ikasababisha kifo cha takriban watu milioni tisa.", "question_text": "Vita vikuu vya kwanza vya dunia vilianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 24, "limit_byte": 29}]} {"id": "1249839221568374494-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "-8566593775385511678-1", "language": "swahili", "document_title": "Uislamu", "passage_text": "Wafuasi wa imani hiyo huitwa \"Waislamu\" na wanakadiriwa kuwa milioni 1,400 hivi. Hivyo ni dini ya pili duniani yenye wafuasi wengi baada ya Ukristo wenye wafuasi milioni 2,200. ", "question_text": "Dini ya Kiislamu ina takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 1,400", "start_byte": 61, "limit_byte": 74}]} {"id": "263303611267162747-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari", "passage_text": "\nBahari ni eneo kubwa lenye maji ya chumvi. Katika Kiswahili cha kila siku neno hili hutumiwa pia kwa kutaja magimba madogo zaidi ya maji kama vile ziwa. ", "question_text": "Bahari ni nini?", "answers": [{"text": "eneo kubwa lenye maji ya chumvi", "start_byte": 11, "limit_byte": 42}]} {"id": "-9087307648298802418-12", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "sayari zinazoonekana kwa macho matupu ambazo ni Utaridi, Zuhura, Mirihi, Mshtarii na Zohali. Hizi zilijulikana tangu kale na mabaharia hasa walizitumia kwa kukadiria njia wakiwa baharini mbali na bara. Majina haya yamepokelewa na Waswahili wa Kale kutoka kwa lugha ya Kiarabu pamoja na majina mengi ya nyota.[6] Ila sayari ya pili yaani Zuhura ambayo ni sayari inayong'aa kuliko zote pia ina jina la Kibantu ambayo ni Ng'andu (\"mwenye kung'aa). Kwa lugha za Ulaya kama Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani majina ya sayari za jua letu yanatokana na majina ya miungu ya Roma ya Kale au Ugiriki ya Kale.", "question_text": "Je,sayari ya Zuhura ni ya ngapi kutoka kwa jua?", "answers": [{"text": "Zuhura", "start_byte": 337, "limit_byte": 343}]} {"id": "-4826502697237458353-2", "language": "swahili", "document_title": "Damu", "passage_text": "Ndani ya damu kuna utegili (kwa Kiingereza plasma) ambao ni kiowevu chake pamoja na seli za damu nyekundu na nyeupe. Seli nyekundu hubeba oksijeni wakati daioksaidi ya kaboni hubebwa na utegili. Seli nyeupe ni kama walinzi wa mwili wa kupambana na magonjwa. Pia kuna chembe sahani.", "question_text": "Je,seli nyekundu ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili?", "answers": [{"text": "hubeba oksijeni", "start_byte": 131, "limit_byte": 146}]} {"id": "8284957140955651781-3", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "Ilianza 24 Septemba 2007. Ina jumla ya vipindi 11. Watu hawa wenye vipawa (\"heroes\") wanashirikiana na kuja pamoja ili kuzuia uenezaji wa virusi utakaouwa watu wote duniani.", "question_text": "Je,msimu wa pili wa kipindi cha Heroes ina sehemu ngapi?", "answers": [{"text": "11", "start_byte": 47, "limit_byte": 49}]} {"id": "3546428135707980102-40", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina majimbo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hata hivyo, uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa.", "question_text": "Nani rais wa kwanza Ethiopia?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "4439020432271379887-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Je,vita kuu vya pili duniani vilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1939", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}]} {"id": "4647890881593082199-0", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Republic of Zambia\n\nJamhuri ya Zambia\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\n\nNeno Kuu: “One Zambia, one nation”\nKiing. „Zambia moja, Taifa moja“Lugha rasmiKiingerezaMji MkuuLusakaSerikaliJamhuriRais(Edgar Lungu)Eneo752.614 km²Idadi ya Wakazi14,309,466 (Julai 2012)Wakazi kwa km²17,2UhuruKutoka Uingereza 24 Oktoba 1964PesaKwacha ya Zambia = 100 NgweeWakatiUTC+2Wimbo wa TaifaLumbanyeni Zambia (Stand and sing of Zambia)", "question_text": "Je,Zambia ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 313, "limit_byte": 317}]} {"id": "5744822264561832415-7", "language": "swahili", "document_title": "Michael Wamalwa Kijana", "passage_text": "Katika pilikapilika za uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi katika Kenya huru wa mwaka wa 1992, Wamalwa alijitambulisha na FORD-Kenya, chama ambacho kilijiondoa kwenye muungano wa upinzani wa FORD. Alichaguliwa kuwa mbunge wa eneo bunge la Saboti na vilevile Makamu Mwenyekiti kwanza wa chama chake. Mnamo Januari 1994, akawa mwenyekiti wa FORD-Kenya kufuatia kifo cha Oginga Odinga. Aligombea uchaguzi wa Kenya wa mwaka wa 1997 kama kiongozi wa upinzani lakini hakufanya vyema na alikuja wa nne katika idadi ya kura za kitaifa.", "question_text": "Je,Michael Wamalwa Kijana alikuwa katika chama gani ya kisiasa?", "answers": [{"text": "FORD-Kenya", "start_byte": 121, "limit_byte": 131}]} {"id": "-5030288191474171831-0", "language": "swahili", "document_title": "Zinedine Zidane", "passage_text": "Zinedine Yazid Zidane (maarufu kama \"Zizou\"; alizaliwa tarehe 23 Juni 1972) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Ufaransa na klabu ya Real Madrid aliyecheza kama kiungo mshambuliaji. Kwa sasa ni kocha wa Real Madrid.", "question_text": "Mkufunzi wa real madrid anaitwaje?", "answers": [{"text": "Zinedine Yazid Zidane", "start_byte": 0, "limit_byte": 21}]} {"id": "-4178954730410729690-13", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Nigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "question_text": "Mji mkuu wa Nigeria ni upi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 163, "limit_byte": 168}]} {"id": "-558700835281212856-38", "language": "swahili", "document_title": "Intaneti", "passage_text": "Kamera za mtandao zinaweza kuonekana kama ongezeko ya chini ya bajeti ya jambo hili. Ingawa baadhi ya kamera za mtandao zinaweza kutoa video za kiima kizima, picha huwa ndogo au hujiongeza pole pole. Watumiaji wa intanet wanaweza kuangalia wanyama waliyozunguka kidimbwi cha maji huku Afrika, meli katika kipisho cha Panama, trafiki katika mzunguko wa barabara za mtaa au kufuatilia wanapoishi katika muda halisi. Vyumba vya kuongea vya video na mikutano ya video pia ni maarufu, matumizi mengi yakipatikana ya kamera kibinafsi za mtandao, zilizo na, au zisizo na sauti inayotamba pande zote mbili. YouTube ilianzishwa tarehe 15 Februari 2005 na sasa ni tovuti inayoongoza kwa maonyesho ya video za bure pamoja na idadi kubwa ya watumiaji. Inatumia mtandao wenye msingi wa kichezaji cha flashi kuonyesha faili za video . Watumiaji waliojiandikisha huweza kuongeza idadi isiyo na kipimo ya video na kutengeneza vitambulishi vyao binafsi. YouTube inadai kuwa watumiaji wake hutazama mamia ya mamilioni, na huongeza mamia ya maelfu, ya video kila siku. [14]", "question_text": "Je, mtandao wa youtube ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2005", "start_byte": 638, "limit_byte": 642}]} {"id": "-7935014494497196342-2", "language": "swahili", "document_title": "Otago Daily Times", "passage_text": "Gazeti la ODT lilianzishwa na W.H. Cutten na Julius Vogel (hapo baadaye aliitwa Sir Julius) katika nyakati za uchimbuzi wa dhahabu katika eneo lao la Tuapeka, mojawapo ya maeneo ya Otago yaliyopatikana kuwa na dhahabu. Cutten alikuwa mchapishaji wa gazeti la kila wiki la the Otago Witness lililoanzishwa katika mwaka wa 1851. Vogel naye , mwanzilishi mwenzake Cutten, aliliona gazeti hili la ODT kama mbinu ya kutetea na kupinga sera mbalimbali katika serikali ya mikoa.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Otago Daily Times?", "answers": [{"text": "W.H. Cutten na Julius Vogel", "start_byte": 30, "limit_byte": 57}]} {"id": "-8183110465982447564-3", "language": "swahili", "document_title": "Kikohozi kikuu", "passage_text": "Inakadiriwa kwamba kifaduro huwaathiri watu milioni 16 kote duniani kila mwaka.[13] Idadi kubwa ya visa hutokea katika mataifa yanayostawi na watu wa umri wowote wanaweza kuathiriwa[9][13] Mwaka wa 2013, ugonjwa huu ulisababisha vifo 61,000 – vilivyoshuka kutoka vifo 138,000 mwaka wa 1990.[14] Karibu 2% ya watoto wanaoambukizwa wakiwa wa chini ya mwaka mmoja hufa.[4] Maelezo ya mizuko ya ugonjwa huu yalitolewa kwa mara ya kwanza katika karne ya 16. Bakteria inayosababisha ugonjwa huu ilitambuliwa mwaka wa 1906. Chanjo yake ilipatikana katika miaka ya 1940.[5]", "question_text": "Kikohozi kikuu kiligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1906", "start_byte": 513, "limit_byte": 517}]} {"id": "2658864916056659674-9", "language": "swahili", "document_title": "Kamboja", "passage_text": "\nJamii:Nchi za Asia", "question_text": "Je,Cambodia iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "-2445812883456813533-0", "language": "swahili", "document_title": "Italia", "passage_text": "Repubblica Italiana\n\nJamhuri ya ItaliaLugha rasmiKiitalia; kijimbo pia Kijerumani, Kifaransa, Kiladino, Kislovenia, KisardiniaMji MkuuRomaRaisSergio MattarellaWaziri MkuuGiuseppe ConteEneo301.338 km²Wakazi60,579,000 (31-7-2017) (23º duniani)Wakazi kwa km²201.7JPT31,022 US-$ (2008)PesaEuroWakatiUTC+1Wimbo wa TaifaFratelli d'Italia (Ndugu wa Italia)Sikukuu ya Jamhuri2 JuniSikukuu ya Taifa25 ApriliSimu ya kimataifa+39", "question_text": "Je,mji mkubwa zaidi Italia ni upi?", "answers": [{"text": "Roma", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "-321423202033137152-7", "language": "swahili", "document_title": "Ghuba ya Uajemi", "passage_text": "Eneo lote la ghuba ni 233,000km². Maji matamu huingia kwa njia ya mito ya Frati na Hidekeli inayoungana katika Shatt al Arab. ", "question_text": "Eneo la Uajemi lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "233,000km²", "start_byte": 22, "limit_byte": 33}]} {"id": "7981920909338538652-1", "language": "swahili", "document_title": "Geac Computer Corporation", "passage_text": "Geac ilianzishwa mwezi Machi 1971 na Robert Kurt Isserstedt na Robert Angus (\"Gus\") wa Ujerumani.", "question_text": "Nani mwanzilishi wa Geac Computer Corporation?", "answers": [{"text": "Robert Kurt Isserstedt na Robert Angus", "start_byte": 37, "limit_byte": 75}]} {"id": "-8321747359847189796-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyuki", "passage_text": "\nNyuki ni wadudu wa familia Apidae wenye mabawa manne angavu na mwiba nyuma ya mwili wao. Hukusanya mbelewele na mbochi ya maua kama chakula chao. ", "question_text": "Nyuki ni nini?", "answers": [{"text": "wadudu wa familia Apidae wenye mabawa manne angavu na mwiba nyuma ya mwili wao", "start_byte": 10, "limit_byte": 88}]} {"id": "5034171611791595152-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Je muziki wa Hip Hop ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "marekani", "start_byte": 91, "limit_byte": 99}]} {"id": "7146945568143851701-0", "language": "swahili", "document_title": "Ludwig Krapf", "passage_text": "Johann Ludwig Krapf (11 Januari 1810 – 26 Novemba 1881) alikuwa mmisionari wa kwanza wa Uprotestanti nchini Kenya katika karne ya 19 akatunga kamusi ya kwanza ya lugha ya Kiswahili.", "question_text": "Je,mishonari wa kwanza kufika Kenya ni nani?", "answers": [{"text": "Johann Ludwig Krapf", "start_byte": 0, "limit_byte": 19}]} {"id": "-1546369885431352330-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso). ", "question_text": "Gabon ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "1028783943937646780-15", "language": "swahili", "document_title": "Julius Caesar", "passage_text": "Caesar hakuwa na watoto ila huyu mwana wa Kleopatra asiyekuwa Mroma. Kabla ya kifo chake alikuwa amempanga mtoto mpwa wake Oktaviano. Huyu Oktaviano -aliyejulikana baadaye kama Augusto na mtawala wa kwanza wa Dola la Roma- alilipiza kisasi chake katika kipindi cha vita ya wenyewe kwa wenyewe na kuua wapinzani wote wa Caesar.", "question_text": "Kiongozi wa kwanza wa Roma ya Kale anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Augusto", "start_byte": 177, "limit_byte": 184}]} {"id": "-7486122499864616134-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza nchini Uganda alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kabaka Sir Edward Mutesa II", "start_byte": 23, "limit_byte": 50}]} {"id": "249805690793852465-0", "language": "swahili", "document_title": "Xenoni", "passage_text": "Xenoni (pia: zenoni; kut. kigiriki ξένος ksenos “kigeni” kwa sababu wafumbuzi wa kwanza waliikuta mahali wasipoitegemea) ni elementi yenye namba atomia 54 kwenye mfumo radidia na uzani wa atomi 131.293. Alama yake ni Xe. ", "question_text": "Xenoni ni nini?", "answers": [{"text": "elementi yenye namba atomia 54 kwenye mfumo radidia na uzani wa atomi 131.293", "start_byte": 133, "limit_byte": 210}]} {"id": "-274320280781930772-0", "language": "swahili", "document_title": "Chuo Kikuu cha Moi", "passage_text": "Chuo Kikuu cha Moi ni chuo kikuu mjini Eldoret, magharibi mwa Kenya. Ni mojawapo wa taasisi saba za elimu ya juu za kitaifa, zingine zikiwa Chuo Kikuu cha Nairobi, Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Kilimo na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Maseno University, Chuo Kikuu cha Egerton, Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Kimathi na Chuo Kikuu cha Kenyatta. Kilianzishwa mwaka wa 1984 na Sheria ya Bunge ya Chuo Kikuu cha Moi kufuatia mapendekezo ya Tume ya Mackay. Hadi mwaka wa 2007 kilikuwa na wanafunzi zaidi ya 20,000, 17,086 walikuwa wanafunzi wa shahada, na kina matawi 8 ya vyuo vyake pamoja na vyuo viwili vya kiufundi.", "question_text": "Je,chuo kikuu cha Moi kilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 368, "limit_byte": 372}]} {"id": "-8793024927688913016-6", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Zimbabwe", "passage_text": "Mwaka 1965, serikali ya walowezi Wazungu ilijitangazia uhuru kwa jina la Rhodesia tu. ", "question_text": "Je, nchi ya Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1965", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "6571052533450075013-0", "language": "swahili", "document_title": "Eukaryota", "passage_text": "\nEukaryota ni kundi kubwa la viumbehai ambavyo vina seli zenye kiini cha seli na utando wa seli. Mimea, wanyama na fungi wote tunaoona huhesabiwa humo. ", "question_text": "Je, Eukaryota ni nini?", "answers": [{"text": "kundi kubwa la viumbehai ambavyo vina seli zenye kiini cha seli na utando wa seli. Mimea, wanyama na fungi wote tunaoona huhesabiwa humo", "start_byte": 14, "limit_byte": 150}]} {"id": "3695083982589469550-2", "language": "swahili", "document_title": "Mikrobiolojia", "passage_text": "Mwaka 1859 Louis Pasteur alionyesha kuwa mchakato wa kuchachusha unasababishwa na ukuaji wa vijiumbe, na kwamba ukuaji huu si wa kizazi cha kujianzia. (Hamira na kuvu, ambazo kwa kawaida zinahusishwa na uchachushaji, si bakteria, ila ukungu.) Pamoja na mwenzake, Robert Koch, Pasteur alikuwa wa kwanza kuitetea nadharia ya kijidudu ya ugonjwa.[7]", "question_text": "Louis Pasteur aliweka misingi gani?", "answers": [{"text": "alionyesha kuwa mchakato wa kuchachusha unasababishwa na ukuaji wa vijiumbe, na kwamba ukuaji huu si wa kizazi cha kujianzia", "start_byte": 25, "limit_byte": 149}]} {"id": "5488342965624401016-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "Majimbo ya Marekani ni jumla la madola 50 ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani yanayojitawala katika mambo mengi ya ndani. ", "question_text": "Nchi ya Marekani ina majimbo mangapi?", "answers": [{"text": "50", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "-7064363936486376534-0", "language": "swahili", "document_title": "George Washington", "passage_text": "George Washington (22 Februari 1732 - 14 Desemba 1799) alikuwa mwanasiasa, kiongozi wa kijeshi na rais wa kwanza wa Marekani kati ya 1789 na 1797. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Marekani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "-9186953857490427104-0", "language": "swahili", "document_title": "John Sibi-Okumu", "passage_text": "John Sibi-Okumu [www.johnsibiokumu.com] ni mwigizaji Mkenya na mwandishi wa habari anayejulikana kimataifa kwa jukumu lake la uigizaji katika The Constant Gardener\nSibi-Okumu alianza kuigiza mwaka 1968 pindi alipokuwa mwanafunzi katika shule ya Lenana, na kuendelea kuchukua hatua mbalimbali katika uigizaji. Ameigiza katika sinema kadhaa, kama vile Born Free (1975), We are the children (1987) na Metamo (1997).[1]\nKama mwandishi wa habari, alianzisha kipindi maarufu cha Summit iliyokuwa ikionyeshwa kwa Kenya Television Network (KTN), ambapo yeye aliwahoji wanasiasa wa Kenya.\nJohn Sibi-Okumu alizaliwa nchini Kenya. Yeye alianza kusoma nchini Uingereza, (katika shule ya William Pattern School, London) kisha nchini Kenya, (Shule ya msingi ya Muthaiga na Duke York / Shule ya Upili ya Lenana) na hatimaye akaenda Ufaransa (Chuo Kikuu cha Toulouse, \"Le Mirail \"). Kwa muda mrefu wa maisha yake ya kikazi, alifunza Kifaransa katika shule ya msingi, kati na sekondari, na alikuwa Mkuu wa Idara ya Lugha za Kisasa katika hatua mbalimbali katika kazi ya muda mrefu. Mwaka wa 2002, alipewa taji la kuheshinika la Chevalier des Palmes Académiques, kwa huduma ya Kifaransa na utamaduni nchini Kenya. Mbali na mafanikio yake kama mwalimu, yeye ana sifa ya kuwa mtu wa Sanaa.\nKwa miaka mingi iliyopita, amekuwa akijulikana na wasikilizaji na watazamaji nchini Kenya kama mtangazaji wa televisheni na redio. Kwa mfano, kutoka mwaka wa 1997 hadi 2002 kupitia \"The Summit,\" aliwahoji watu maarufu kama Daniel arap Moi, Mwai Kibaki, Robert Mugabe, Ellen Johnson-Sirleaf, Richard Leakey na Wangari Maathai. Hivi karibuni, amekuwa akiuliza maswali katika kipindi cha chemsha bongo \"The Celtel Africa Challenge,\" inayochukua nusu saa nusu saa na inahusu mashindano kati ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali. Msimu wa pili, ulionyeshwa mnamo mwaka 2008 nchini Kenya, Uganda, Tanzania, Malawi na Zambia. Mwaka wa 2009, ilibadilishwa kuwa \"The Zain Afrika Challenge,\" na nchi za Nigeria, Ghana na Sierra Leone ziliongezwa katika orodha ya nchi zinazososhindana. Kuna matarajio ya nchi zingine kuongezeka katika miaka ijayo. Yeye amewahi kusimulia maonyesho mbalimbali zilizoshinda tuzo kwa lugha ya Kiingereza na Kifaransa na ameigiza katika filamu kadhaa, miongoni mwao kwenye tamthiliya kama Waziri wa Afya Dr Yoshua Ngaba katika \"The Constant Gardener\" iliyoshinda tuzo la Oscar na kwenya maisha halisi kama mwanadiplomasia wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Jacques Roger Boh-Boh, katika \"Shake Hands with the Devil,\" hadithi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda kupitia kwa Romeo Dallaire, ambaye ans asili ya Kifaransa na Canada. Katika miaka iliyopita, ameigiza katika majukumu ya kustaajabisha kama Mfalme Oedipus; Romeo, Oberon and Shylock (Shakespeare); Anouilh Creon katika \"Antigone,\" Beckett Vladimir katika \"Waiting for Godot and Mtwa / Ngema' s Percy katika\" Woza, Albert! \" Yeye mwenyewe ameanzisha \"In Search of the Drum Major\" na \"Like Ripples On a Pond,\" zote juu ya haki za binadamu (American Civil Rights Movement), na pia \"Milestones,\"\n'", "question_text": "Je,John Sibi-Okumu alisomea katika chuo gani cha upili?", "answers": [{"text": "Lenana", "start_byte": 794, "limit_byte": 800}]} {"id": "231935350546722684-58", "language": "swahili", "document_title": "Eritrea", "passage_text": "Wakazi wa Eritrea walikadiriwa kuwa 6,380,803 mwaka 2014.", "question_text": "Je,Eritrea ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "6,380,803", "start_byte": 36, "limit_byte": 45}]} {"id": "1206935308798033118-0", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "\nAsia ni bara kubwa kabisa kuliko mabara yote mengine ya dunia. Bara hili lina eneo la kilomita za mraba 44,579,000 (maili za mraba 17,212,000), ambalo ni sawa na asilimia 30% ya ardhi yote. Wakazi wa bara la Asia ni 3,701,000,000 kwa mujibu wa makisio 2003.", "question_text": "Bara la Asia liko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 44,579,000", "start_byte": 87, "limit_byte": 115}]} {"id": "-2544923243650428425-0", "language": "swahili", "document_title": "Randy Jackson (mwanamuziki)", "passage_text": "Steven Randall \"Bob\" Jackson (alizaliwa 29 Oktoba 1961) ni mwimbaji na mwanamuziki, mwanachama wa Jacksons. aliyejulikana kama \"Little Randy\", yeye ni mdogo wa kaka wa Jackson, na wa pili mdogo wa ndugu tisa wa Jackson , kabla ya dada yaoJanet.", "question_text": "Je,Steven Randall \"Bob\" Jackson alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "-7343471246710615039-0", "language": "swahili", "document_title": "Cheti cha Masomo ya Msingi ya Kenya", "passage_text": "KCPE ni ufupisho wa Kenya Certificate of Primary Education, tuzo la cheti kwa wanafunzi baada ya kuhitimu kwa kusoma miaka nane katika elimu ya msingi nchini Kenya. Mitihani yake husimamiwa na Kenya National Examination Council (KNEC), kitengo cha serikali cha kusimamia mitihani nchini Kenya, chini ya Wizara ya Elimu. Kitengo hicho pia husimamia na kufanyia mabadabiriko kwa Cheti cha Masomo ya Upili ya Kenya (KCSE), tuzo la cheti kwa wanafunzi baada ya kumaliza elimu ya sekondari. Vyeti vya KCSE na KCPE vilianzishwa nchini Kenya hapo mwaka wa 1985 wakatmfumo wa elimu wa 8.4.4 ulianzishwa. Maki za juu zaidi ni 500 lakini hiyo aghrabu haiwezekani kutokana na usawasaji (kutolewa kwa baadhi za alama katika kila somo).\nMtihani huu hutumiwa kuamua shule ya sekondari ambayo kila mwanafunzi atajiunga nayo.", "question_text": "Mfumo wa KCPE ulianza lini Kenya?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}]} {"id": "4811558586434117891-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Je,Jogoo anaweza ishi kwa takriban miaka ngapi?", "answers": [{"text": "5-11", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-8540600648146019227-5", "language": "swahili", "document_title": "Meno", "passage_text": "Idadi ya meno ya utoto katika wakaa ya kwanza ni 20. Huanza kuota mtoto anapokuwa na umri wa miezi sita na kawaida yote huwa yamekwisha kuota mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili. ", "question_text": "Je mtoto huanza kumea meno akiwa na miezi mingapi?", "answers": [{"text": "sita", "start_byte": 99, "limit_byte": 103}]} {"id": "-5091269173924346449-16", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Nigeria", "passage_text": "Nigeria ilipata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Je,Nigeria ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-1401264884576113561-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyoka", "passage_text": "\nNyoka ni watambaachi au reptilia wasio na miguu. Kuna takriban spishi 3,000 duniani wako kwenye mabara yote nje ya Antaktiki na Aktiki.", "question_text": "Je,nyoka iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "reptilia", "start_byte": 25, "limit_byte": 33}]} {"id": "-3854509082866964631-1", "language": "swahili", "document_title": "Elizabeth Cady Stanton", "passage_text": "Stanton alikuwa amepata elimu nzuri. Katika kipindi hiko suala la elimu kwa wanawake lilikuwa halipewi kipaumbele. Aliolewa na Henry Stanton, ambaye alipigania kutokemeza utumwa. Walikuwa na watoto saba. Alikuja kuvutiwa na utetezi wa haki za wanawake alipohudhuria mkutano wa kutokemeza utumwa duniani uliofanyika London. Yeye na Lucretia Mott, mwanaharakati mwingine, walichukizwa kwa sababu wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuwa sehemu ya watu wanaohudhuria kikao. Kwa sababu hiyo, walianzisha mkutano wao wa haki za wanawake. ", "question_text": "Je,Elizabeth Cady Stanton alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "saba", "start_byte": 198, "limit_byte": 202}]} {"id": "624049511169235514-1", "language": "swahili", "document_title": "Vita kati ya Irak na Uajemi", "passage_text": "Vita ilianza kwa mashambulio ya Irak dhidi ya Uajemi. Dikteta Saddam Hussein wa Irak alitaka kutumia nafasi ya kudhoofishwa kwa jeshi la Uajemi baada ya mapinduzi ya mwaka 1979. Mwaka ule serikali ya shah ya Uajemi ilipinduliwa na harakati iliyoongozwa na kiongozi Mwislamu Ruhollah Khomeini na maafisa wengi wa jeshi la shah ama waliuawa au kukimbia nchi. Saddam Hussein alilenga kushika utawala juu ya Shat al Arab ambayo ni mdomo wa mito Frati na Hidekeli kwenye ghuba ambako mizigo ya mafuta ya petroli ya Irak inapaswa kupita ikiuzwa nje. Alilenga pia kutwaa sehemu za Uajemi zilizokuwa na wasemaji wa lugha ya Kiarabu na sehemu hizi zinaitwa Khuzistan; Saddam alidai ya kwamba ilikuwa eneo la Kihistoria ya Irak iliyokamatwa na Uajemi.", "question_text": "Nani alikuwa kiongozi wa Iraq wakati wa vita kati yao na Uajemi?", "answers": [{"text": "Saddam Hussein", "start_byte": 62, "limit_byte": 76}]} {"id": "3058392206338910507-7", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Jike anaanza kuzaa akifikia umri wa miaka 2-3. Baada ya kuwa mzito kwa miezi 3 1/2 anazaa wadogo 2-3. Wakati mwingine idadi hii inaweza kuwa hadi wadogo 6 lakini wanaozidi 3 kwa kawaida wanakufa mapema.", "question_text": "Je,simba huzaa akiwa na umri gani?", "answers": [{"text": "miaka 2-3", "start_byte": 36, "limit_byte": 45}]} {"id": "-1384421846391139861-4", "language": "swahili", "document_title": "Japani", "passage_text": "Visiwa vikubwa na muhimu zaidi ni vinne tu ndivyo Honshu, Hokkaido, Shikoku na Kyushu. Safu ya milima inapita visiwa vyote vikubwa na kusababisha msongamano mkubwa wa wakazi katika miji kutokana na uhaba wa ardhi ya kukalia. Hali halisi Japani yote ni safu ya milima tu inayopanda juu kutoka sakafu ya bahari na vilele vya milima yake huonekana juu ya uso wa bahari kama visiwa vikubwa au vidogo.", "question_text": "Je, Kisiwa kikuu cha Japan ni ipi?", "answers": [{"text": "Honshu, Hokkaido, Shikoku na Kyushu", "start_byte": 50, "limit_byte": 85}]} {"id": "-3219729103494479344-0", "language": "swahili", "document_title": "Diskografia ya Tupac Shakur", "passage_text": "Hii ni diskografia ya Tupac Shakur, rapa kutoka nchini Marekani. Kumepata kutolewa albamu takriban kumi na moja; nne zilitolewa kabla ya kifo cha Shakur mnamo Septemba 13, 1996 na saba zilitolewa baada ya kifo chake, ya kwanza ikiwa The Don Killuminati: The 7 Day Theory ilitolewa mnamo Novemba 5, 1996 (ijapokuwa albamu ilikamilika kabla hata Shakur hajafa). Tupac Shakur ameuza nakala za rekodi milioni 75 kwa hesabu ya dunia nzima,[1][2][3] [4]", "question_text": "2Pac aliuwawa lini?", "answers": [{"text": "Septemba 13, 1996", "start_byte": 159, "limit_byte": 176}]} {"id": "-8812932343763487326-30", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "4441039629906585980-0", "language": "swahili", "document_title": "Mharagwe", "passage_text": "\nMharagwe (pia: mharage) ni jina la mimea mbalimbali ya familia Fabaceae lakini mara nyingi sana Phaseolus vulgaris. ", "question_text": "Jina la kisayansi la maharagwe ni nini?", "answers": [{"text": "Phaseolus vulgaris", "start_byte": 97, "limit_byte": 115}]} {"id": "-3768111342313059360-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Longonot", "passage_text": "\nMlima Longonot ni volkeno ya kale yenye kimo cha mita 2776 juu ya UB iliyoko kusini mwa Ziwa Naivasha katika Bonde la Ufa nchini Kenya, Afrika. Inadhaniwa kulipuka kwa mara ya mwisho katika miaka ya 1860. Jina lake linatokana na neno la Kimasai oloonong'ot , maana yake \"milima yenye pembe nyingi\" au \"miinuko matuta\".", "question_text": "Je,mlima Longonot una urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 2776", "start_byte": 50, "limit_byte": 59}]} {"id": "-1614264673123348153-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Bahari kubwa kuliko zote ni ipi?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-6051867877055669667-0", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Nairobi", "passage_text": "Kaunti ya Nairobi ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.", "question_text": "Je,makao makuu ya Kampuni ya Safaricom inapatikana kaunti gani nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 10, "limit_byte": 17}]} {"id": "4717618965579533363-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya (Kikuyu: Kĩrĩnyaga; Kiembu: Kirenia; Kimaasai: Ol Donyo Keri; Kimeru: Kirimara) ndio mrefu zaidi nchini Kenya. Mlima huu una urefu wa mita 5,199. Mlima huu unatokana na volkeno zimwe ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka milioni 2.6 hadi 3.1 iliyopita.", "question_text": "Mlima Kenya una futi ngapi?", "answers": [{"text": "mita 5,199", "start_byte": 148, "limit_byte": 158}]} {"id": "-8181158845350098473-3", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "Baraza la Ulaya lina nchi wanachama 47\nMkutano wa usalama na ushirikiano katika Ulaya (Marekani na Kanada ni wanachama pia)\nUmoja wa Ulaya wenye nchi wanachama 28 tangu mwaka 2013.", "question_text": "Bara ulaya una nchi ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 36, "limit_byte": 38}]} {"id": "2709373281812065171-1", "language": "swahili", "document_title": "Chokoleti", "passage_text": "Asili yake ni kinywaji wa watu wa Mexiko wa kale waliochemsha unga la kakao katika maji pamoja na viungo. Wahispania waliikuta kwa Azteki na kuipeleka Ulaya. Wakitumia hapa jina la Kiazteki \"xocolātl\" lenya maana ya \"maji chungu\".", "question_text": "Kakao iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "watu wa Mexiko wa kale", "start_byte": 26, "limit_byte": 48}]} {"id": "7155821932118439383-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "2854086737825709016-2", "language": "swahili", "document_title": "Korea Kaskazini", "passage_text": "Mji mkuu ni Pyongyang.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Korea Kaskazini ni upi?", "answers": [{"text": "Pyongyang", "start_byte": 12, "limit_byte": 21}]} {"id": "-4465802724536416524-25", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo 1896 wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika mji mkuu Gitega ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina \"Urundi\". Hapa sawa na Rwanda na Bukoba Wajerumani walitumia mbinu ya eneo lindwa ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 159, "limit_byte": 165}]} {"id": "-7587158300944639818-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je,aliye kuwa rais wa Tanzania Julius Nyerere aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1999", "start_byte": 129, "limit_byte": 133}]} {"id": "1598126648490148446-10", "language": "swahili", "document_title": "Isaac Newton", "passage_text": "\nBardi, Jason Socrates. The Calculus Wars: Newton, Leibniz, and the Greatest Mathematical Clash of All Time (2006) \n\n\nBerlinski, David. Newton's Gift: How Sir Isaac Newton Unlocked the System of the World. (2000); ISBN0-684-84392-7\nBuchwald, Jed Z. and Cohen, I. Bernard (eds.) Isaac Newton's Natural Philosophy, MIT Press (2001) \n\n See for excerpt and text search.\n\nCohen, I. Bernard and Smith, George E., ed. The Cambridge Companion to Newton. (2002). 500 pp. focuses on philosophical issues only; ; \n\n\n\n– Preface by Albert Einstein. Reprinted by Johnson Reprint Corporation, New York (1972)\n\nEamon Duffy, \"Far from the Tree\" (review of Rob Iliffe, Priest of Nature: the Religious Worlds of Isaac Newton, Oxford, Oxford University Press, 2017, ISBN9780199995356), The New York Review of Books, vol. LXV, no. 4 (8 March 2018), pp. 28–29.\n\n\n\nHawking, Stephen, ed. On the Shoulders of Giants. ISBN0-7624-1348-4 Places selections from Newton's Principia in the context of selected writings by Copernicus, Kepler, Galileo and Einstein\n\n\n Keynes took a close interest in Newton and owned many of Newton's private papers.\n\nNewton, Isaac. Papers and Letters in Natural Philosophy, edited by I. Bernard Cohen. Harvard University Press, 1958, 1978; ISBN0-674-46853-8.\nNewton, Isaac (1642–1727). The Principia: a new Translation, Guide by I. Bernard Cohen; ISBN0-520-08817-4, University of California (1999)\n\n\nShapley, Harlow, S. Rapport, and H. Wright. A Treasury of Science; \"Newtonia\" pp.147–9; \"Discoveries\" pp.150–4. Harper & Bros., New York, (1946).\n\n (edited by A.H. White; originally published in 1752)\nTrabue, J. “Ann and Arthur Storer of Calvert County, Maryland, Friends of Sir Isaac Newton,” The American Genealogist 79 (2004): 13–27.\n", "question_text": "Steve Hawking aliandika kitabu gani?", "answers": [{"text": "On the Shoulders of Giants", "start_byte": 869, "limit_byte": 895}]} {"id": "-3499048527203769028-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Je,mlima Kilimanjaro in urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "mita 5,895", "start_byte": 127, "limit_byte": 137}]} {"id": "1626629495950980245-6", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya makabila ya Kenya", "passage_text": "Wakikuyu (Agĩkũyũ) 20.78%\nWaluhya 14.38%\nWajaluo 12.38%\nWakalenjin 15.46%\nWakamba 11.42%\nWasomali 8%\nWakisii 6.15%\nWameru (Meru) 5.07%\nWamasai 1.76%\nWaturkana 1.52%\nWaembu 1.20%\nWataita 0.95%\nWaswahili 0.60%\nWasamburu 0.50%", "question_text": "Kabila gani Kenya iko na idadi kubwa ya watu?", "answers": [{"text": "Wakikuyu", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "3370155484025398012-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania inaitwa vipi?", "answers": [{"text": "Bongo Flava", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "2288229081876860320-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Botswana600,3702,176,000Gaborone Lesotho30,3551,908,000Maseru Namibia825,4182,281,000Windhoek Afrika Kusini (7)1,219,91254,957,000Bloemfontein, Cape Town, Pretoria Uswazi17,3631,119,000Mbabane", "question_text": "Eneo la Namibia lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "825,418", "start_byte": 159, "limit_byte": 166}]} {"id": "-370726826866845680-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Je,jangwa kubwa zaidi bara Afrika ni gani?", "answers": [{"text": "Sahara", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "6578042083684846430-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je,bara Hindi ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 70,560,000 km²", "start_byte": 43, "limit_byte": 76}]} {"id": "5741889065018875922-0", "language": "swahili", "document_title": "Mungu ibariki Afrika", "passage_text": "Mungu Ibariki Afrika ni jina la wimbo wa taifa wa Tanzania. ", "question_text": "Je,wimbo wa taifa wa Tanzania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Mungu Ibariki Afrika", "start_byte": 0, "limit_byte": 20}]} {"id": "6072471662484307226-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kuenda kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "-5918999293103951971-0", "language": "swahili", "document_title": "Texas", "passage_text": "\nTexas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 24,326,974 (2008) wanaokalia eneo la 696,241 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Upande wa mashariki ni maji ya ghuba ya Meksiko. Mji mkuu wa jimbo ni Austin na mji mukubwa jimboni ni Houston. Imepakana na Oklahoma, Arkansas, Louisiana, New Mexico (Meksiko Mpya) na nchi ya Meksiko (Chihuahua, Coahuila, Nuevo León na Tamaulipas).", "question_text": "Mji wa Texas una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "696,241 km", "start_byte": 156, "limit_byte": 166}]} {"id": "343450429313633687-2", "language": "swahili", "document_title": "Msalvia (mmea)", "passage_text": "Asili ya mmea huu ni nchi ya Mexico na humea kiasilia katika msitu wa Sierra Mazateca ya Oaxaca kwenye vivuli vilivyo na unyevu. Msalvia hufikia urefu wa kima zaidi ya mita moja na huwa na shina mraba lisilo na kitu ndani kama mimea mingine ya familia ya \"mint\" Lamiaceae. Leo msalvia pia hukuzwa nyumbani na hupandwa vipandikizi vya tawi au shina lake kwa vile mmea huu hutoa mbegu kwa uchache na ugumu sana.[3]", "question_text": "Msalvia una urefu gani?", "answers": [{"text": "zaidi ya mita moja", "start_byte": 159, "limit_byte": 177}]} {"id": "2782915499259198474-0", "language": "swahili", "document_title": "Kiunzi cha mifupa", "passage_text": "Kiunzi cha mifupa ni jumla ya mifupa kwenye mwili wa mtu na wanyama. Mwanadamu ana kiunzi cha ndani na mifupa ni sehemu imara chini ya ngozi na nyama ya mtu na kusudi lake ni mwili ushikamane na kuwa thabiti lakini inaruhusu pia mwendo wa viungo kimoja-moja. ", "question_text": "Kiunzi ni nini?", "answers": [{"text": "jumla ya mifupa kwenye mwili wa mtu na wanyama", "start_byte": 21, "limit_byte": 67}]} {"id": "-5023988797452468393-4", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "Mipaka iliamuliwa katika mapatano na Uingereza, Ubelgiji na Ureno zilizotawala makoloni ya jirani ya Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (leo Kenya na Uganda), Kongo ya Kibelgiji (leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), Rhodesia (leo Zambia na Zimbabwe), Nyasaland (leo Malawi) na Msumbiji. Mipaka hii ni pia mipaka ya Tanzania, Rwanda na Burundi hadi leo hii.", "question_text": "Afrika ilikuwa koloni ya nchi gani?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 37, "limit_byte": 46}]} {"id": "608099184454860095-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso). ", "question_text": "Je,nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "-5659109259679908742-1", "language": "swahili", "document_title": "Nilgai", "passage_text": "Nilgai wana kimo cha mita 1.1–1.5 mabegani, urefu wa kichwa-mwili wa mita 1.7–2.1, na urefu wa mkia wa sm 45–50. Madume ni wakubwa kuliko majike, wakiwa na uzito wa kilo 109–288, hata hadi kilo 308, kulinganishwa na uzito wa majike wazima wa kilo 100–213.[1]", "question_text": "Nilgai ana ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilo 109–288, hata hadi kilo 308, kulinganishwa na uzito wa majike wazima wa kilo 100–213", "start_byte": 171, "limit_byte": 264}]} {"id": "4590067750317429319-15", "language": "swahili", "document_title": "Kundinyota", "passage_text": "Mnamo mwaka 1603 Mjerumani Johann Bayer alibuni mfumo wa kutaja nyota ambao kimsingi unaendelea kutumiwa hadi leo[1]. Alipanga nyota zilizoonekana na alizojua kwa kundinyota ambako zimo halafu aliongeza herufi kwa kila nyota ndani ya kundi kufuatana mwangaza. Kwa hiyo nyota angavu zaidi katika kundinyota ilipewa herufi ya Kigiriki Alfa (α), iliyofuata kwa mwangaza Beta (β) na kadhalika. Mfumo huu unajulikana kama majina ya Bayer (ing. Bayer designations)", "question_text": "Nani alizundua mfumo wa nyota angani?", "answers": [{"text": "Johann Bayer", "start_byte": 27, "limit_byte": 39}]} {"id": "-8844115056696669659-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je ,nani alikuwa rais wa Tanzania mwaka 1958?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "-5715282468706249940-0", "language": "swahili", "document_title": "Kituo cha Anga cha Kimataifa", "passage_text": "\nKituo cha Anga cha Kimataifa (kwa Kiingereza International Space Station, ISS) ni satelaiti inayozunguka Dunia katika anga la nje kwenye umbali wa takriban kilomita 400. ISS ilianzishwa kutokana na mapatano baina ya mamlaka za usafiri wa angani za NASA (Marekani), Roskosmos (Urusi), ESA (Umoja wa Ulaya), Japani na Kanada. ", "question_text": "ISS ilianzishwa kutokana na mapatano baina ya nani?", "answers": [{"text": "mamlaka za usafiri wa angani za NASA (Marekani), Roskosmos (Urusi), ESA (Umoja wa Ulaya), Japani na Kanada", "start_byte": 217, "limit_byte": 323}]} {"id": "-553505368462540575-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Mtoto wake Mwami Kigeri V aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia Uganda. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa Mouvement Democratique Republicain (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha Parmehutu kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka 1961. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire Kayibanda kuwa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Rwanda aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Grégoire Kayibanda", "start_byte": 774, "limit_byte": 793}]} {"id": "116841172657250595-0", "language": "swahili", "document_title": "Benjamin wa Mambo Jambo", "passage_text": "\nBenjamin Sixtus Busungu (amezaliwa tarehe 11 Novemba 1976) ni msanii mwimbaji wa Hip Hop, Dancehall, Afro-Beat, Afro-Pop na pia mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Benjamin wa Mambo Jambo. Awali alikuwa na kundi la Mambo Jambo, kundi ambao lilikuwa linafanya muziki wa hip hop katika miaka ya 2001/2002. ", "question_text": "Je,Benjamin wa Mambo alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1976", "start_byte": 54, "limit_byte": 58}]} {"id": "-496503176313553803-0", "language": "swahili", "document_title": "Nash Aguas", "passage_text": "\nNash Aguas (amezaliwa kama Aeign Zackrey Aguas mnamo tar. 10 Oktoba 1998) ni mwigizaji wa filamu na televisheni-mtoto kutoka nchini Ufilipino. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa kucheza kama Peping katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kifilipino maarufu kama Gulong ng Palad.", "question_text": "Je,Nash Aguas alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "10 Oktoba 1998", "start_byte": 59, "limit_byte": 73}]} {"id": "7778810791500838364-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "51. Samoa ya Marekani\n52. Guam\n53. Visiwa vya Mariana ya Kaskazini\n54. Puerto Rico\n55. Visiwa vya Virgin vya Marekani\n56 Mkoa wa Columbia penye mji mkuu Washington DC uko kati ya Maryland (no. 20) na Virginia (no. 46).", "question_text": "Je,Mji mkuu wa Marekani ni gani?", "answers": [{"text": "Washington DC", "start_byte": 153, "limit_byte": 166}]} {"id": "6035152851101171769-8", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima Rakaposhi nchini Pakistan ambao unapanda mita 5980 juu ya bonde la mto Hunza mguuni pake upande wa kaskazini\nMlima Damavand nchini Iran unafikia kimo cha mita 4,700 juu ya mazingira yake\nKilimanjaro inainuliwa mita 4,000 juu ya tambarare mguuni pake.", "question_text": "Mlima mkubwa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 193, "limit_byte": 204}]} {"id": "1219505058530401236-11", "language": "swahili", "document_title": "Jumuiya ya Afrika Mashariki", "passage_text": "Hivyo mwaka 1977 Jumuiya ya Afrika Mashariki ilikoma kufanya kazi yoyote na 1983 ilifutwa rasmi. Mali iliyobaki iligawanywa kati ya nchi zote tatu.", "question_text": "Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilisambaratika lini?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-8518968021504618862-31", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Licha ya Waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani Waafrika mamlaka \"ya wastani\" zaidi, ilikuwa Kenya African National Union (KANU) ya Jomo Kenyatta, mwanachama wa kabila la Kikuyu na mfungwa wa zamani, ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. ", "question_text": "Kenya ilipata huru wake mwaka gani?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 291, "limit_byte": 295}]} {"id": "-6708134491660711790-1", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "Pasifiki iko kati ya Bara la Amerika upande wa mashariki na Bara la Asia / Australia upande wa magharibi. ", "question_text": "Je,bara kubwa zaidi duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 68, "limit_byte": 72}]} {"id": "-4464611616039940176-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Dwight David Eisenhower alihudumu katika jeshi kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1953 - 1961", "start_byte": 2134, "limit_byte": 2145}]} {"id": "8946693640240818867-0", "language": "swahili", "document_title": "Musuli", "passage_text": "Misuli [1] ni sehemu ya mwili wa wanyama na binadamu inayowezesha mwendo wa viungo vyake. misuli inaundwa na tishu ya pekee yenye uwezo wa kujinywea na kulegea. Wakati wa kujinywea huwa mifupi zaidi. Kwa njia hii misuli inayounganishwa na mifupa ya mkono au mguu huleta mwendo wa viungo hivi.\n", "question_text": "Misuli ni nini?", "answers": [{"text": "sehemu ya mwili wa wanyama na binadamu inayowezesha mwendo wa viungo vyake", "start_byte": 15, "limit_byte": 89}]} {"id": "7221410223293223429-1", "language": "swahili", "document_title": "Wanyama wa nyumbani", "passage_text": "Tangu milenia kadhaa wanyama hao wamepatana na wanadamu, nao ni kama vile mbwa, mbuzi, nguruwe, kondoo, ng'ombe, paka, kuku, punda, bata, nyuki, ngamia, farasi, njiwa, kware na wengine wengi.", "question_text": "Mnyama wa kwanza kufugwa na mwanadamu ni yupi?", "answers": [{"text": "mbuzi", "start_byte": 80, "limit_byte": 85}]} {"id": "5581690194283103993-0", "language": "swahili", "document_title": "Moyo", "passage_text": "Moyo ni ogani ya mwili inayoendesha mzunguko wa damu mwilini. Kazi yake ni kama pampu ya damu. Hali halisi ni misuli inayosukuma damu kwenye mishipa kwa njia ya kujikaza. ", "question_text": "Moyo ni nini?", "answers": [{"text": "yo ni ogani ya mwili inayoendesha mzunguko wa damu mwilini", "start_byte": 2, "limit_byte": 60}]} {"id": "7335963641113749233-3", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Ethiopia ni moja ya nchi mbili za Afrika ambazo hazikutawaliwa na wakoloni wakati walipong’ang’ania Afrika. Nchi nyingine ni Liberia. Kabla ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia Ethiopia ilivamiwa na Waitalia (1936) lakini ilipata uhuru wake tena baada ya miaka michache.", "question_text": "Je, ni nchi ngapi katika bara la Afrika ambazo hazikutawaliwa na mkoloni?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 25, "limit_byte": 30}]} {"id": "4766654438318165587-4", "language": "swahili", "document_title": "Visiwa vya Karibi", "passage_text": "Eneo lote linachukua kilometa mraba 2,754,000, lakini nchi kavu ni km2 239,681 tu.", "question_text": "Bahari ya Karibi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilometa mraba 2,754,000", "start_byte": 21, "limit_byte": 45}]} {"id": "5958905211503962212-4", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ucheki", "passage_text": "Rais wa kwanza kuteuliwa kwa taifa hilo mpya ni Tomáš Garrigue Masaryk.", "question_text": "Je,nani rais wa kwanza wa Ucheki?", "answers": [{"text": "Tomáš Garrigue Masaryk", "start_byte": 48, "limit_byte": 72}]} {"id": "8741951107016250223-11", "language": "swahili", "document_title": "Mita", "passage_text": "Sentimita (cm): Sentimita ni sehemu ya mia ya mita; mita ina sentimita 100.", "question_text": "Ni sentimita ngapi iko kwa mita moja?", "answers": [{"text": "100", "start_byte": 71, "limit_byte": 74}]} {"id": "4458049248086630504-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-6734480392383978236-1", "language": "swahili", "document_title": "East African Breweries", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka wa 1922 na walowezi wawili, George na Charles Hurst. Kufikia mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa walikuwa kwenye kampuni hii walikuwa Wakenya na ilikuwa na mafanikio sana.", "question_text": "Je,Kampuni ya East African Breweries ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "-6822061614301788231-1", "language": "swahili", "document_title": "Chama cha Mapinduzi", "passage_text": "CCM ilizaliwa tarehe 5 Februari 1977 baada ya kuungana kwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala cha Zanzibar wakati huo. Chama cha TANU kilikuwa kikiongozwa na Mwalimu Nyerere na Afro-Shiraz Party kilikuwa chini ya Amaan Karume.", "question_text": "Je,Chama Cha Mapinduzi kilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "6325948120521059133-0", "language": "swahili", "document_title": "Isambe Monie", "passage_text": "\"Isambe - Monie\" ni jina la albamu ya nane kutoka kwa msanii wa muziki wa dansi na soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kanda Bongo Man. Ni moja kati ya albamu zilizotamba sana katika ulimwengu wa rhumba na soukous kwa miaka ya 1990. Albamu imetoka mwaka 1990. ", "question_text": "Je,Kanda Bongo man ni mwanamziki kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 98, "limit_byte": 130}]} {"id": "4860913782743198383-29", "language": "swahili", "document_title": "Algeria", "passage_text": "Algiers\nAnnaba\nMascara-Oran\nTemurssen", "question_text": "Mji mkuu wa Algeria ni upi?", "answers": [{"text": "Algiers", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "-3752536756724652496-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "Majimbo ya Marekani ni jumla la madola 50 ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani yanayojitawala katika mambo mengi ya ndani. ", "question_text": "Marekani ina majimbo mangapi?", "answers": [{"text": "50", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "7489238324835293601-1", "language": "swahili", "document_title": "Nomino", "passage_text": "Nomino ni aina ya neno linalotaja jina la kitu, mahali, mnyama, mtu, sifa au wazo. \nNomino hutokea kwa umbo la umoja au uwingi: kitu, vitu; mtu, watu.", "question_text": "Nomino ni nini?", "answers": [{"text": "aina ya neno linalotaja jina la kitu, mahali, mnyama, mtu, sifa au wazo", "start_byte": 10, "limit_byte": 81}]} {"id": "-8285743597085383724-17", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Waingereza baada ya kuchukua Tanganyika kutoka kwa Wajerumani waliendela kutumia Kiswahili kama lugha ya utawala. Kuanzia mwaka 1930 waliunda kamati yenye shabaha ya kuunganisha lahaja mbalimbali na kuunda Kiswahili cha pamoja kwa ajili ya Afrika ya Mashariki (Inter-territorial Language (Swahili) committee for the East African Dependencies). Mwenyekiti alikuwa Frederick Johnson, makatibu R. K. Watts, P. Mzaba na Seyyid Majid Khalid Barghash. Kamati hiyo iliamua kutumia lahaja ya Kiunguja kuwa msingi wa Kiswahili cha pamoja kilichoendela kufundishwa shuleni. Leo hii ni Kiswahili rasmi kinachofunzwa na wanafunzi na kuandikwa magazetini na vitabuni.", "question_text": "Inter-territorial Language committee ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Waingereza", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-6696648293766516039-0", "language": "swahili", "document_title": "Randy Jackson (mwanamuziki)", "passage_text": "Steven Randall \"Bob\" Jackson (alizaliwa 29 Oktoba 1961) ni mwimbaji na mwanamuziki, mwanachama wa Jacksons. aliyejulikana kama \"Little Randy\", yeye ni mdogo wa kaka wa Jackson, na wa pili mdogo wa ndugu tisa wa Jackson , kabla ya dada yaoJanet.", "question_text": "Je,Michael Jackson alikuwa na ndugu wangapi?", "answers": [{"text": "ndugu tisa wa Jackson , kabla ya dada yaoJanet", "start_byte": 198, "limit_byte": 244}]} {"id": "-1588952586598844058-1", "language": "swahili", "document_title": "The Weeknd", "passage_text": "Mwishoni mwa mwaka wa 2010, Tesfaye alitambulisha nyimbo kadhaa kwenye YouTube chini ya jina \"The Weeknd\". Alifungua nyimbo tatu za kufunguilia mwaka 2011 ambazo ni: House of Balloons,Thursday na Echoes of Silence, ambazo zilitambaa sana. Mnamo mwaka 2012,alishirikiana kutoa albamu na kikundi cha Trilogy,ambayo ilikuwa na nyimbo thelathini iliyopangwa na nyimbo tatu za ziada.Albamu hiyo Ilitolewa chini ya Republic Records na lebo yake mwenyewe XO.", "question_text": "Je,The Weeknd alianza muziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 150, "limit_byte": 154}]} {"id": "-4278536446162248945-0", "language": "swahili", "document_title": "BBC", "passage_text": "\n\nBritish Broadcasting Corporation (BBC) ni shirika la utangazaji la Uingereza. Shirika hili lilianzishwa mwaka 1922 kwa jina la British Broadcasting Company Ltd kama kampuni binafsi. Baadaye mwaka 1927 lilibadilishwa hadhi yake na kuwa shirika la umma. ", "question_text": "Ni nani mmiliki wa British Broadcasting Corporation?", "answers": [{"text": "shirika la umma", "start_byte": 237, "limit_byte": 252}]} {"id": "-1718868495838391174-4", "language": "swahili", "document_title": "Paul Pogba", "passage_text": "Pogba alianza kazi yake ya mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka sita akicheza huko Marekani Roissy-en-Brie, kilomita chache kutoka kusini mwa jiji lake. Alitumia misimu saba kuchezea Roissy-en-briel kabla ya kujiunga na Us Torcy, ambapo aliwahi kuwa nahodha wa timu ya watoto chini ya umri wa miaka 13 . Baada ya msimu mmoja kuisha akiwa klabu ya Torcy, Pogba alijiunga na klabu ya wataalamu ya Le Havre. Katika msimu wake wa pili katika klabu hiyo, Pogba alikuwa nahodha katika timu na kuifiksha timu yake hadi fainali, Championnat National ya watoto wenye umri chini ya miaka 16. ikaipa ushindi timu ya pogba ijulikanayo kama le havre na timu ya pogba ikawa ya kimataifakwa kupata ushindi\n", "question_text": "Paul Labile Pogba alianza kucheza soka akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "akiwa na umri wa miaka sita", "start_byte": 42, "limit_byte": 69}]} {"id": "-5479488534425002405-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "\nHistoria ya Kanisa ni fani inayochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.", "question_text": "Dini la ukristo lilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 1", "start_byte": 141, "limit_byte": 151}]} {"id": "-6343636318461626541-1", "language": "swahili", "document_title": "Maharagwe", "passage_text": "Mbegu hizi ni zao muhimu la chakula zinazolimwa kote duniani. Kuna spishi mbalimbali zinazojumlisha kati ya mazao ya jamii kunde. Mara nyingi mbegu zinavunwa baada ya kukauka na faida yake ni ya kwamba zinakaa muda mrefu, haziozi haraka. ", "question_text": "Je,maharage iko katika kundi gani ya chakula?", "answers": [{"text": "kunde", "start_byte": 123, "limit_byte": 128}]} {"id": "7969905647601353914-6", "language": "swahili", "document_title": "Elimu nchini Kenya", "passage_text": "Wanafunzi nchini Kenya katika shule za sekondari huchukua miaka minne kujiandaa kwa masomo ya taasisi. Wanafunzi wengi huanza kuyajenga maisha yao ya usoni kwa kujiendeleza katika masomo yatakayo wapa kazi. Mtihani wa kitaifa wa kadato cha nne hufanywa mwishoni mwa masomo ya shule ya upili. Mnamo mwaka wa 2008, serikali ilianzisha mpango wa kutoa elimu ya bure kwa shule za upili.", "question_text": "Nchini Kenya masomo ya Sekondari huchukua miaka mingapi?", "answers": [{"text": "minne", "start_byte": 64, "limit_byte": 69}]} {"id": "-5287169324435393103-1", "language": "swahili", "document_title": "Buganda", "passage_text": "Tangu karne ya 18 BK hadi karne ya 20 Buganda ilikuwa dola lenye enzi katika eneo la Ziwa Viktoria. ", "question_text": "Ufalme wa Buganda ulianza lini nchini Uganda?", "answers": [{"text": "karne ya 18 BK", "start_byte": 6, "limit_byte": 20}]} {"id": "-7336009317825626370-12", "language": "swahili", "document_title": "Serbia", "passage_text": "Nchi, ukiondoa Kosovo, ina wakazi 7,186,862 kwenye eneo la km² 88.361. Wengi wao wana asili ya Kislavoni.", "question_text": "Serbia iko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "7,186,862", "start_byte": 34, "limit_byte": 43}]} {"id": "1657860844449816290-10", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Kati ya miaka 1880 na 1912, Wazungu waligawana bara la Afrika, na nchi zote zikawa chini ya utawala wa Wazungu isipokuwa Liberia na Ethiopia.", "question_text": "Ethiopia ilitawali na nchi gani katika enzi ya mkoloni?", "answers": [{"text": "Wazungu waligawana bara la Afrika, na nchi zote zikawa chini ya utawala wa Wazungu isipokuwa Liberia na Ethiopia", "start_byte": 28, "limit_byte": 141}]} {"id": "-1740146175957091518-1", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dodoma", "passage_text": "Eneo lote la mkoa lina km² 41,310. Sehemu kubwa ni nyanda za juu kati ya mita 830 hadi 2000 juu ya UB. ", "question_text": "Dodoma iko na ukubwa gani ya kijiographia?", "answers": [{"text": "km² 41,310", "start_byte": 23, "limit_byte": 34}]} {"id": "-3255456063265886585-0", "language": "swahili", "document_title": "Kamoya Kimeu", "passage_text": "Kamoya Kimeu, ( alizaliwa mnamo mwaka wa 1940) ni mmoja wa wachuma wa wa mabakaki ya kitambo (yaani fossil kwa lugha ya kimombo) waliofanikiwa sana duniani , pamoja na ushirikiano wake na wapaleontologia Meave Leakey na Richard Leakey walivumbua baadhi ya Akolojia muhimu zaidi. Kimeu alipata fuvu la homo habilis fuvu lililokuwa linajulikana kama KNM ER 1813, na ni karibu mifupa kamili ya homo erectu] iitwayo KNM-WT 15000 au Turkana Boy (pia inajulikana kama Nariokotome boy). Ana mabakai ya mamalia mbili za aina ya \"Primates\" kwa lugha ya Kiingereza ambazo zimatajwa baada yake: Kamoyapithecus hamiltoni na Cercopithecoides kimeui.", "question_text": "Kamoya Kimeu alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-8837230874532137516-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,Ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni ipi?", "answers": [{"text": "Viktoria", "start_byte": 11, "limit_byte": 19}]} {"id": "-7068212634378963508-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Adıyaman", "passage_text": "\nAdıyaman ni jina la mkoa huko mjini kusini-katikati mwa nchi ya Uturuki. Mkoa huu ulianzishwa mnamo mwaka wa 1954 nje ya sehemu ya Mkoa wa Malatya. Mkoa una eneo la kilomita za mraba zipatazo 7,614. Takriban watu 677,518 (makadirio ya sensa ya mwaka wa 2006, 623,811 (sensa ya 2000)) imezidi kutoka 513,131 kunako mwaka wa 1990. Mji mkuu wa mkoa huu ni Adıyaman. Wakazi waliowengi katika mkoa uu ni Wakurdi.[1]", "question_text": "Je,mji wa Adıyaman ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "677,518", "start_byte": 217, "limit_byte": 224}]} {"id": "-380746398133583832-0", "language": "swahili", "document_title": "Irene Kiwia", "passage_text": "Irene Kiwia ni mwanaharakati na mjasiriamali nchini Tanzania,alizaliwa tarehe 14 Januari 1980 jijini Arusha. Pia ni mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji katika kampuni \"Frontline Porter Novelli (FPN)\" tangu mwaka 2006.[1]", "question_text": "Irene Kiwia ni mwanzilishi wa kampuni gani?", "answers": [{"text": "Frontline Porter Novelli", "start_byte": 167, "limit_byte": 191}]} {"id": "7641096782440615501-0", "language": "swahili", "document_title": "Euro", "passage_text": "\n\nEuro ni sarafu ya pamoja katika baadhi ya nchi za Ulaya. Wakazi wake 343,000,000 wanatumia kwa kawaida pesa hiyo. Watu wengine 240,000,000 wanatumia pesa zilizoungwa na euro, hasa barani Afrika.", "question_text": "Je,Italia inatumia sarafu gani ya pesa?", "answers": [{"text": "Euro", "start_byte": 2, "limit_byte": 6}]} {"id": "-3742776352123642884-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Msanii 2pac alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "-81874196217410334-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Je,idadi ya watu jijini Nairobi ilikuwa ngapi wakati wa sensa 2009?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "11233167207551342-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Kilimanjaro", "passage_text": "Mkoani Kilimanjaro kuna wakazi wapatao 1,381,149 (sensa ya mwaka 2002).", "question_text": "Mkoa wa kilimanjaro uko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "1,381,149", "start_byte": 39, "limit_byte": 48}]} {"id": "-9173903012790686909-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald \"Flash\" Gordon", "passage_text": "Donald \"Flash\" Gordon (17 Julai 1920) ni rubani shujaa wa vita wa Marekani. Alipiga risasi zaidi ya ndege 7 za Ujapani katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Alikuwa rubani wa kivita wa Kikosi cha Wanamaji wa Marekani na alipokea tuzo ya Distinguished Flying Cross.", "question_text": "Donald Gordon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1920", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "5245290195678519278-2", "language": "swahili", "document_title": "Lucy Kibaki", "passage_text": "Alikutana na Mwai Kibaki mwaka wa 1960, na walifunga ndoa mwaka wa 1962. Wanandoa wana watoto wanne: Judy Wanjiku, Jimmy Kibaki, David Kagai, na Tony Githinji. Bi. Kibaki ni mlezi wa Shirika la Chama cha Viongozi Wasichana.[1]", "question_text": "Je,Mwai Kibaki ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 94, "limit_byte": 99}]} {"id": "8463076679201199976-1", "language": "swahili", "document_title": "Jihadi ya Kiislamu ya Misri", "passage_text": "Kundi lilijiita lenyewe Jihadi ya Kiislamu الجهاد الإسلامي na Jeshi la ukombozi wa mahali patakatifu.[1] Lilianza shughuli zake katika dekadi ya 1970. Lilitangazwa marufuku na Umoja wa Mataifa kama kundi linaloshirikiana na Al Qaida. [2] Linaitwa \"Jihadi ya Misri\" kwa kuitofautisha na vikundi vingine vinavyotumia pia jina la \"Jihad\". Mwaka 2001 Al Qaida na mabaki ya Jihadi ya Kiislamu ya Misri waliungana kwa jina la 'Qaida al-Jihad'.[3]", "question_text": "Je,kundi la Al-Jihad ya Misri ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 159, "limit_byte": 163}]} {"id": "3229485426566889375-0", "language": "swahili", "document_title": "Uttarakhand", "passage_text": "\n\nUttarakhand ni jimbo ya Uhindi. Mji mkuu wake ni Dehradun.", "question_text": "Mji mkuu wa Uttarakhand ni?", "answers": [{"text": "Dehradun", "start_byte": 51, "limit_byte": 59}]} {"id": "-6887421530584598873-3", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "Mji mkuu ni Khartoum. ", "question_text": "Mji mkuu Sudan ni gani?", "answers": [{"text": "Khartoum", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "6682799795637003164-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "475616452082908053-0", "language": "swahili", "document_title": "Kerron Stewart", "passage_text": "Kerron Stewart (alizaliwa 16 Aprili 1984) ni mwanariadha wa Jamaika ambaye ni mtaalamu wa mbio za 100m na 200m. Yeye ndiye aliyekuwa bingwa wa Jamaika wa mbio ya 100m katika mwaka wa 2008 akiwa na muda wa 10.80s. Alimshinda bingwa wa dunia Veronica Campbell-Brown mwaka huo na akashinda medali ya fedha katika michezo ya Olimpiki ya 2008 alipomaliza katika nafasi yapili wakiwa pamoja na Sherone Simpson katika muda wa 10.98s. Alishinda ,pia, medali ya shaba katika mbio ya 200m katika Olimpiki hiyo ya 2008 akimaliza na muda wa 22.00s. Alizaliwa mjini Kingston,Jamaika.", "question_text": "Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}]} {"id": "-7334971833893374135-26", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Je,Kongo ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "-4607732189469898065-4", "language": "swahili", "document_title": "East African Railways and Harbours Corporation", "passage_text": "1948 huduma zote mbili ziliunganishwa kuwa EAR&H. Shirika jipya lilisimamia na kutekeleza kazi za reli, bandari za baharini na pia za ndani halafu huduma ya meli na feri kwenye maziwa makubwa yaani Viktoria Nyanza, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa.", "question_text": "Je,Shirika la reli na bandari za Afrika ya Mashariki ilianza lini?", "answers": [{"text": "1948", "start_byte": 0, "limit_byte": 4}]} {"id": "13715563851907506-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Mji wa Melilla una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "12", "start_byte": 553, "limit_byte": 555}]} {"id": "4727540781325099479-1", "language": "swahili", "document_title": "Nile", "passage_text": "Mto wa Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu ‏ ,النيل‎ an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650. ", "question_text": "Je,mto Nile ina urefu wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "6,650", "start_byte": 348, "limit_byte": 353}]} {"id": "-1043356703728007157-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Muziki wa hip hop ulianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "-5183339267887530640-59", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "\n\nNchi ya Ghana ina idadi ya watu inayokadiriwa kuwa milioni 27. ", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Ghana ni ngapi?", "answers": [{"text": "milioni 27", "start_byte": 53, "limit_byte": 63}]} {"id": "-974760903820442183-1", "language": "swahili", "document_title": "Ellen DeGeneres", "passage_text": "Kwa mara ya kwanza aliuonesha umma wa watu wa Marekani kama yeye ni mpenzi wa mahusiano ya jinsia moja ilikuwa katika mfululizo wa TV wa Ellen uliokuwa unarushwa na TV ya ABC katika kisa maarufu cha \"The Puppy Episode\" kilichorushwa hewani mnamo tarehe 30 Aprili 1997. Kisa hicho kinamuelezea Ellen Morgan ana mahusiano na mwanamke mwenzake ambaye wakati huo alikuwa Laura Dern kwa pamoja walipata tabu sana katika kazi zao za uigizaji, kazi zilipotea na wakaanza moja. Walitengwa na watu wengi, makundi mbalimbali wanaopinga mahusiano ya jinsia moja. Ilichukua muda sana hadi Ellen na mwenzake kurudi tena katika soko. Mwezi wa Agosti 2008, baada ya sheria ya kukinga ndoa za jinsia moja kuondolewa huko jijini Los Angeles, Ellen na Portia walioana rasmi kuwa mke na mke.[3]", "question_text": "Je,mke wa Ellen DeGeneres anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Laura Dern", "start_byte": 367, "limit_byte": 377}]} {"id": "-667706401937848031-0", "language": "swahili", "document_title": "George Weah", "passage_text": "\nGeorge Weah ni mwanakandanda mstaafu mashuhuri duniani halafu mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa rais wa Liberia katika mwaka 2017. ", "question_text": "Je,George Weah ni Rais wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Liberia", "start_byte": 102, "limit_byte": 109}]} {"id": "-3149354492301370933-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro\nMtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona)\nShimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro)\nBethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni\n68(?) – 79(?)Linus\nMtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus\n(Cletus)\nMtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I\nMtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus\n(Aristus)\nMtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I\nMtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I\nMtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori\nMtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus\nMtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I\nMtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus\nMtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter\nMtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri\nMtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I\nMtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino\nMtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I\nMtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I\nMtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano\nMtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus\nMtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani\nMtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "question_text": "Papa wa tatu wa kanisa katoliki anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Anacletu", "start_byte": 552, "limit_byte": 560}]} {"id": "3193331511213503687-14", "language": "swahili", "document_title": "Mlima", "passage_text": "Mlima mrefu juu ya uso wa dunia huitwa Mount Everest (mita 8,848) uko mpakani mwa nchi ya Nepal na Tibet (China) katika Asia. ", "question_text": "Je,mlima mgani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 45, "limit_byte": 52}]} {"id": "-5876849575400655637-1", "language": "swahili", "document_title": "Miroslav Klose", "passage_text": "Klose alizaliwa katika mji wa Opole, katika mkoa wa Silesia nchini Poland. Baba yake na mama yake walikuwa wanariadha; mama yake, Barbara Jez, alikuwa mchezaji katika timu ya taifa ya mpira wa mikono ya Poland. Baba yake Josef Klose alicheza mpira wa miguu wa kulipwa katika klabu ya Odra Opole, kabla ya kuacha nchi ya Poland nakuelekea Ufaransa kucheza katika klabu mashuhuri Ufaransa ya AJ Auxerre.\nKatika mwaka 1985 Miroslav na mama yake walielekea kujiunga na baba yake Klose ambae alihahamia kuishi katika mji wa Kusel, Ujerumani huko Ujerumani ndio walifika wanaishi moja kwa moja, Klose alijifunza Lugha ya Kijerumani katika shule inayopatikana katika mji wa Kindergarten, Klose alimuoa mwanamke mwenye asili ya Poland aitwae Sylwia Klose na anawatoto wa wili Luan na Noah.", "question_text": "Je,Miroslav Klose ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wa wili", "start_byte": 760, "limit_byte": 767}]} {"id": "-5452306151269913811-0", "language": "swahili", "document_title": "Soya", "passage_text": "\nSoya ni aina ya maharagwe na mbegu za msoya (Glycine max) katika familia Fabaceae. Asili yake iko Asia ya Mashariki. ", "question_text": "Je,maharage iko katika familia gani ya mimea?", "answers": [{"text": "Fabaceae", "start_byte": 74, "limit_byte": 82}]} {"id": "-2062988475040828620-2", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "Kampuni ya Safaricom, ambayo ilisajiliwa mwaka jana katika Soko la Hisa la Nairobi inaongozwa na Bw.Michael Joseph, Afisa Mkuu Mtendaji ambaye amekuwa katika hatamu za uongozi wa kampuni hii yenye mgawo mkubwa zaidi wa wateja nchini Kenya tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2000. Kuimarika kwake kumeifanya kutambulika kama Kampuni inayoheshimika zaidi katika Afrika Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo. ", "question_text": "Je,nani alikuwa afisa mkuu mtendaji wa kwanza Safaricom?", "answers": [{"text": "Bw.Michael Joseph", "start_byte": 97, "limit_byte": 114}]} {"id": "-7196432697972217645-0", "language": "swahili", "document_title": "Teresa wa Mtoto Yesu", "passage_text": "Teresa wa Mtoto Yesu na wa Uso Mtakatifu (Alençon, Ufaransa, 2 Januari 1873 - Lisieux, Ufaransa, 30 Septemba 1897) ni jina la kitawa la Thérèse Françoise Marie Martin, maarufu pia kama Teresa wa Lisieux, anayeheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mwenye sifa za bikira na mwalimu wa Kanisa. ", "question_text": "Mama Teresa alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Lisieux, Ufaransa", "start_byte": 79, "limit_byte": 96}]} {"id": "5917093128924901613-4", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Mji mkuu ni Madrid ambayo ni pia mji mkubwa wa nchi. ", "question_text": "Mji mkuu wa Uhispania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Madrid", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "5130951442784350663-17", "language": "swahili", "document_title": "Nagib Mahfuz", "passage_text": "Jamii:Waliozaliwa 1911\nJamii:Waliofariki 2006\nJamii:Waandishi wa Afrika\nJamii:Waandishi wa Misri\nJamii:Tuzo ya Nobel ya Fasihi", "question_text": "Je, Nagib Mahfuz alipokea tuzo ipi ya Nobel mwaka 1988?", "answers": [{"text": "Fasihi", "start_byte": 120, "limit_byte": 126}]} {"id": "-7040378754817025022-14", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi", "passage_text": "Fasihi ndiyo aina pekee ya sanaa inayotumia lugha kujitambulisha au kujitofautisha na aina nyingine za sanaa. Kuna aina kuu mbili za fasihi nazo ni:", "question_text": "kuna aina ngapi za fasihi?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 124, "limit_byte": 129}]} {"id": "7659449739688612722-114", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mnamo mwaka wa 1993, Serikali ya Kenya ilianzisha mpango mkuu wa kuimarisha uchumi na kuufanya huru. Waziri mpya wa fedha na gavana mpya wa Benki Kuu ya Kenya walianza mikakati iliyofuatana kuimarisha uchumi kwa usaidizi wa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa). Kama sehemu ya mpango huu, serikali iliondoa usimamizi wa bei za bidhaa, leseni za uagizaji na uthibiti wa ubadilishaji fedha, kubinafsisha kampuni nyingi zilizomilikiwa na umma, kupunguza idadi ya wafanyi kazi wa serikali na kuanzisha sera madhubuti za kulinda fedha. Kuanzia mwaka wa 1994 hadi 1996 ukuaji halisi wa uchumi wa Kenya ulikadiriwa juu kidogo ya asilimia 4 kwa mwaka.", "question_text": "Je,benki gani kuu nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Benki Kuu ya Kenya", "start_byte": 140, "limit_byte": 158}]} {"id": "3245136711095842663-5", "language": "swahili", "document_title": "Mariupol", "passage_text": "idadi ya wakazi wa Mariupol ni 486,856 watu (2011), ikizingatiwa vitongoji. Makabila: Ukrainians — karibu 48 %, Kirusi — 43 %, Wagiriki — 7 %, Belarusians, Wayahudi, Waarmenia, Wabulgaria na watu wengine. upeo wa idadi ya watu — karibu 550,000 watu ilionekana mwaka 1992. wengi kabisa (87 %) anaongea Kirusi, Kiukreni Lugha anatumia chini ya 10 % ya idadi ya watu (karibu wote kusema «Surzhik» — mchanganyiko wa lugha ya Kirusi na Ukrainian). Sifa tofauti ya mji ni mitaa Kigiriki lugha («Azov Wayunani»): Rumaiic lugha (Kigiriki-Hellenic) na Urum lugha (Kigiriki-Tatar). Kuhusu 2 % ya idadi ya watu wa mataifa mengine anaongea lugha za mitaa.", "question_text": "Je,mji wa Mariupol ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "486,856", "start_byte": 31, "limit_byte": 38}]} {"id": "-7519855977849643751-0", "language": "swahili", "document_title": "Mary Mgonja", "passage_text": "Mary Mgonja ni mwanasayansi wa kilimo kutoka Tanzania na mzalishaji wa mimea, pia ni mkurugenzi wa teknolojia na mwasiliano katika kampuni ya kilimo Namburi nchini Tanzania{{Infobox officeholder", "question_text": "Mary Mgonja alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 45, "limit_byte": 53}]} {"id": "-7719527331490381544-1", "language": "swahili", "document_title": "Belgrad", "passage_text": "Mji umejulikana tangu zamani za Dola la Roma kwa jina Singidun ulipokuwa mji wa kikelti. Waroma walijenga mji wa kiroma palepale kwa jina la Singidunum. Tangu kufika kwa Waslavoni mji ulipata jina \"mji mweupe\" au \"boma nyeupe\" kwa lugha mbalimbali. \t", "question_text": "Jina wa mji wa Belgrad linatokana na nini?", "answers": [{"text": "\"mji mweupe\" au \"boma nyeupe\"", "start_byte": 197, "limit_byte": 226}]} {"id": "5973138687459429446-26", "language": "swahili", "document_title": "Antibiotiki", "passage_text": "Kifua Kikuu\nMalaria\nSelman Waksman\nHoma ya Matumbo\nAlexander Fleming", "question_text": "Antibiotiki iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Alexander Fleming", "start_byte": 51, "limit_byte": 68}]} {"id": "-7982869590949799142-0", "language": "swahili", "document_title": "Kleopatra", "passage_text": "Kleopatra (* 69 KK; † 30 KK) alikuwa malkia wa mwisho wa Misri. Alipata elimu nzuri hadi kusema lugha nyingi kama vile Kikopti, Kiarabu, Kiaramo, Kihabeshi, Kifarsi na Kigiriki kama lugha ya mama.", "question_text": "Malkia Kleopatra aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "30 KK", "start_byte": 24, "limit_byte": 29}]} {"id": "-1154404290278766416-3", "language": "swahili", "document_title": "Mchezo wa ng'ombe", "passage_text": "Historia ya desturi hii inarudi nyuma hadi zamani za Dola la Roma watu walipopenda kuwa na maonyesho ya mapambano ya wanyama pori, ama ya wenyewe kwa wenyewe au zaidi ya watu dhidi ya wanyama hawa. Maonyesho haya yalifanyika katika uwanja wa mji kwa mfano uwanja wa Koloseo huko Roma. Desturi hii imepotea kila sehemu ya eneo la kale la Dola la Roma kwa sababu ilipingwa na kanisa la kikristo isipokuwa Hispania na Ureno. ", "question_text": "Mchezo wa Ng'ombe ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Dola la Roma", "start_byte": 53, "limit_byte": 65}]} {"id": "-3030785804809912838-15", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Wajerumani waliamua kutumia Kiswahili kama lugha ya utawala katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Hapo waliweza kutumia kazi ya wamisionari Wakristo wa awali, hasa Ludwig Krapf, waliowahi kufanya utafiti wa lugha na kutunga kamusi na sarufi za kwanza pamoja na kuunda mfumo wa kuandika Kiswahili kwa herufi za Kilatini.", "question_text": "Kamusi ya kwanza kabisa ya lugha ya kiswahili iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ludwig Krapf", "start_byte": 168, "limit_byte": 180}]} {"id": "-685919700071460564-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa la kitaifa", "passage_text": "Kanisa la kitaifa ni Kanisa la Kikristo linaloambatana na kabila au taifa fulani kiasi cha kuwa sehemu muhimu ya utamaduni wake. La kwanza lilikuwa Kanisa la Kitume la Armenia.", "question_text": "Kanisa la kitaifa la kwanza duniani ilikuwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Armenia", "start_byte": 169, "limit_byte": 176}]} {"id": "-9192871249513013834-0", "language": "swahili", "document_title": "Sun Yat-sen", "passage_text": "\nSun Yat-sen (12 Novemba 1866 – 12 Machi 1925) alikuwa kiongozi wa kisiasa nchini China aliyeshiriki katika mapinduzi ya China ya 1911 yaliyoondoa utawala wa kifalme nchini akawa rais wa kwanza wa Jamhuri ya China na mwanzilishi wa chama cha Kuomintang.", "question_text": "Rais wa kwanza wa China anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Sun Yat-sen", "start_byte": 1, "limit_byte": 12}]} {"id": "-4158525916581833162-11", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Oda nyingine ndogo ya Cetacea ni Mysticeti, ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia michirizi mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao.", "question_text": "Mnyama mgani wa baharini ni mkubwa zaidi?", "answers": [{"text": "nyangumi", "start_byte": 62, "limit_byte": 70}]} {"id": "-7127360260442823492-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika (ziwa)", "passage_text": "Kwa kulinganisha eneo lake (km² 32,893) ni la pili tu baada ya Viktoria Nyanza katika Afrika. ", "question_text": "Je,Ziwa kubwa zaidi la maji safi barani Afrika ni lipi?", "answers": [{"text": "Viktoria", "start_byte": 64, "limit_byte": 72}]} {"id": "-8660026485402343293-14", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Mji mkuu ni Ankara ulioko katika kitovu cha Anatolia. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Uturuki unaitwaje?", "answers": [{"text": "Ankara", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-1024077966499225759-12", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu wa Tanzania ni jiji la Dodoma.", "question_text": "Mji mkuu was Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "-569907358634757073-9", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Simba huishi kwa wastani wa miaka 10-14 mwituni, huku katika hifadhi huweza hata kufika zaidi ya miaka 20. Mwituni, simba dume ni mara chache kuishi zaidi ya miaka kumi, sababu ya majeraha wanayoyapata kwa kupigana na dume wengine mara kwa mara. Hupatikana sana katika savanna na nyika, ingawa pia huweza kukaa kwenye misitu na vichaka. ", "question_text": "Simba huishi kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miaka 10-14 mwituni, huku katika hifadhi huweza hata kufika zaidi ya miaka 20", "start_byte": 28, "limit_byte": 105}]} {"id": "-4139905989486041088-1", "language": "swahili", "document_title": "Ufilipino", "passage_text": "Ina visiwa 7,107 vyenye eneo la km² 300,000.", "question_text": "Nchi ya Ufilipino ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "7,107", "start_byte": 11, "limit_byte": 16}]} {"id": "-7711621565949387187-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Tupac Shakur alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "1996", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-5991716877340017061-12", "language": "swahili", "document_title": "Intaneti", "passage_text": "Matumizi ya neno \"Internet\" kuelezea mtandao mmoja wa kiulimwengu wa TCP/IP yalianza katika mwezi Desemba 1974 na uchapishaji wa , yakiwa maelezo kamili ya kwanza ya TCP iliyoandikwa na Vinton Cerf, Yogen Dalal na Carl Sunshine, waliokuwa katika Chuo Kikuu cha Stanford. Katika miaka tisa iliyofuata, kazi iliendelea kurekebisha itifaki hizo na kuzitekeleza katika mifumo ya oparesheni ya aina mbalimbali. Mtandao wa Kwanza wenye upana mkubwa wa msingi wa TCP / IP ulikuwa ukifanya kazi kufikia tarehe 1 Januari 1983 wakati ambapo viwekaji vyote vya ARPANET vilibadilishwa kutoka itifaki za hapo awali za NCP. Mwaka 1985, Wakfu wa Sayansi wa kitaifa Marekani (NSF) uliamuru ujenzi wa NSFNET, uti wa mgongo wa mtandao wa chuo kikuu wenye kasi ya kilobaiti 56 kwa sekunde kwa kutumia kompyuta zilizoitwa \"fuzzballs\" na mvumbuzi wake, David L. Mills. Mwaka uliofuata, NSF ilifadhili ubadilishaji hadi mtandao wenye kasi ya juu zaidi ya megabaiti 1.5 kwa sekunde. Maamuzi muhimu kutumia itifaki za DARPA TCP/IP ulifanywa na Dennis Jennings, aliyekuwa msimamizi wa programu ya kompyuta zenye nguvu huko NSF.", "question_text": "Intaneti ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1983", "start_byte": 512, "limit_byte": 516}]} {"id": "8657156323456995722-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je,makao makuu ya kampuni ya Microsoft iko wapi?", "answers": [{"text": "Redmond, Washington, Marekani", "start_byte": 112, "limit_byte": 141}]} {"id": "-9180246388114341697-1", "language": "swahili", "document_title": "Jackie Aygemang", "passage_text": "Agyemang alizaliwa Kanada na ndiye kitinda mimba katika familia ya watoto watano. Maisha yake ya utotoni aliishi Kanada, na alihamia Ghana pamoja na wazazi wake mwaka 1993.[2] Yeye ni Ikijulikana Maiden yake yake kwa jina, Appiah.Anatambulika zaidi kwa jina lake la ukoo la Appiah. Agyemang aliolewa mwaka 2005 na ana mwana mmoja.", "question_text": "Je,Jackie Agyemang alizaliwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Kanada", "start_byte": 19, "limit_byte": 25}]} {"id": "310736681486521230-12", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "\n\n\n\nGhana ni nchi ambayo inapatikana katika Ghuba ya Guinea, nyusi chache kaskazini mwa Ikweta, jambo ambalo linaipa nchi hii hali ya joto. Nchi hii inapatikana katika eneo la kilomita mraba 238,500 (maili mraba 92,085)238,500km2 (92,085sqmi). Eneo hili limezungukwa na Togo kwa upande wa mashariki, Cote d’Ivoire upande wa magharibi, Burkina Faso upande wa kaskazini na Ghuba ya Guinea (Bahari ya Atlantiki) upande wa kusini. Laini ya Greenwich Meridian hupita ndani ya Ghana, katika jiji la viwanda la Tema. Kijiografia Ghana inapatikana karibu zaidi ya sehemu ya “katikati” mwa ulimwengu kuliko nchi yoyote ile ingawa sehemu halisi ya katikati, (0°, 0°) inapatikana katika Bahari ya Atlantiki kwa makadirio kilomita 614 (maili 382) 614km (382mi) kusini mwa Accra, Ghana, katika Ghuba ya Guinea.[12]", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ghana ni upi?", "answers": [{"text": "Accra", "start_byte": 768, "limit_byte": 773}]} {"id": "5700429351202398790-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Ni nani mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft?", "answers": [{"text": "William Henry Gates III", "start_byte": 23, "limit_byte": 46}]} {"id": "6571949838913290112-7", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Kuku huweza kuishi kwa miaka mitano mpaka kumi na moja kadiri ya spishi husika. Kuku wa biashara hukua kwa wiki sita tu kabla ya kuchinjwa. Kuku wanaokula kwa kutangatanga huweza kuchinjwa kuanzia wiki ya 14 na kuendelea. Kuku maalumu wa mayai huweza hata kutaga mayai 300 kwa mwaka kila mmoja. Baada ya mwaka mmoja uwezo wa kuku kutaga hupungua na kuku hao huchinjwa kwa ajili ya nyama. Kuku aliyevunja rekodi ya dunia, ni yule aliyeishi kwa zaidi ya miaka 16.", "question_text": "Je kuku huishi miaka ngapi?", "answers": [{"text": "miaka mitano mpaka kumi na moja kadiri ya spishi husika", "start_byte": 23, "limit_byte": 78}]} {"id": "8420954620793092478-7", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Pia alizindua albamu yake ya kwanza \"A Boy kutoka Tandale\" huko kenya katika maandamano ya 2018. Diamond anasemekana kuwa mwanamuziki tajiri zaidi katika \"Afrika Mashariki\". mwanamuziki wa pili baada ya Youssou Ndour wa Senegal kumiliki TV na kituo cha Radio katika \"Afrika\"", "question_text": "Albamu ya kwanza ya Diamond Platnumz inaitwaje?", "answers": [{"text": "A Boy kutoka Tandale", "start_byte": 37, "limit_byte": 57}]} {"id": "6294822649655063109-2", "language": "swahili", "document_title": "Argo (kundinyota)", "passage_text": "Wakati wa kuorodhesha nyota zote zilionekana baada ya kugunduliwa kwa darubini ilionekana idadi ya nyota za Argo zilikuwa nyingi mno; Nicolas-Louis de Lacaille alihesabu zaidi ya nyota 160 zilizopaswa kuorodheshwa na hii ilikuwa vigumu kwa kutumia majina ya Bayer yaliyokuwa kawaida, yaani kwa kutumia herufi ya alfabeti za Kigiriki pamoja na ya Kilatini. Hivyo Lacaille aligawa nyota za merikebu ya Argo kuwa sehemu tatu. Tangu karne ya 19 sehemu hizi zilihesabiwa kama makundinyota tofauti.", "question_text": "Merikebu ya Argo ina nyota ngapi?", "answers": [{"text": "zaidi ya nyota 160", "start_byte": 170, "limit_byte": 188}]} {"id": "-8427109329524512349-55", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Kulingana na katiba, mwaka 2002 Moi hakuruhusiwa kuwania urais tena, na Mwai Kibaki wa chama cha upinzani cha \"National Rainbow Coalition\" — NARC akachaguliwa kuwa rais. Uchaguzi huo ulitambulikana kuwa wa kidemokrasia na wachunguzi wa humu nchini na wa kimataifa na hivyo kuwa chanzo cha mageuzi makubwa ya kidemokrasia nchini Kenya.", "question_text": "NARC ni nini?", "answers": [{"text": "National Rainbow Coalition", "start_byte": 111, "limit_byte": 137}]} {"id": "-8474502472507451111-3", "language": "swahili", "document_title": "Rukwa (ziwa)", "passage_text": "Beseni ya ziwa line eneo la takriban 80,000 km². Urefu na upana wake hubadilikabadilika kulingana na kiasi cha mvua inayonyesha. Kati ya mito inayoingia ni mto wa Songwe pekee ulio na maji muda wote. Kuna taarifa ya kwamba ziwa lilipotea wakati mwingine isipokuwa beseni ndogo upande wa kusini Songwe inapoingia hubaki na maji. Kama maji ni mengi ziwa lina urefu wa kilomita 180.", "question_text": "Ziwa Rukwa lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "80,000 km²", "start_byte": 37, "limit_byte": 48}]} {"id": "-6183315230188992422-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Tupac Shakur alifariki akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996", "start_byte": 21, "limit_byte": 52}]} {"id": "-7540532085995207023-0", "language": "swahili", "document_title": "Akon", "passage_text": "Aliuane Badara Akon Thiam[1] (amezaliwa tar. 30 Aprili 1973[2][3]), anayefahamika zaidi kwa jina lake la kati ambalo analitumia kwa usanii; Akon ni chotara wa Msenegali na Mwamerika ambaye ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za R & B, mtayarishaji wa rekodi, mfanyabiashara, na mhisani. ", "question_text": "Je,mwanamziki Akon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1973", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "7456280544466412870-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Rais wa Marekani mwaka wa 1970 anaitwaje?", "answers": [{"text": "Richard Nixon", "start_byte": 2291, "limit_byte": 2304}]} {"id": "2497268356371422456-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Je,mji mkuu Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 352, "limit_byte": 358}]} {"id": "5036028247675415216-0", "language": "swahili", "document_title": "Fat Joe", "passage_text": "\nJoseph Antonio Cartagena (amezaliwa 19 Agosti, 1970) ni rapa wa Kimarekani mwenyewe asili ya Puerto Rico na Kikuba. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Fat Joe. Fat Joe amesaini mkataba wa kurekodi na studio ya Imperial Records.", "question_text": "Fat Joe alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-8104904253985640785-1", "language": "swahili", "document_title": "Geac Computer Corporation", "passage_text": "Geac ilianzishwa mwezi Machi 1971 na Robert Kurt Isserstedt na Robert Angus (\"Gus\") wa Ujerumani.", "question_text": "Geac Computer Corporation ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "-9040515946189762118-1", "language": "swahili", "document_title": "Bipolar Disorder", "passage_text": "Vyanzo havifahamiki vyema, lakini vipengele vya kimazingira najenetiki huchangia.[3] Jeni nyingi za athari kidogo huchangia hatari.[3][7] Vipengele vya hatari ya kimazingira inajumuisha historia ya unyanyasaji wakati wa utotoni na mawazo ya mawazo ya (kisaokolojia).[3] Karibu 85% ya hatari ni inahusishwa na jenetiki.[8] Hali hiyo inaainishwa kama tatizo linalosababisha kubadilika kwa hisia I iwapo kumekuwa na angalau kisa kimoja cha wazimu, na au bila visa vya huzuni, na kama tatizo linalosababisha kubadilika kwa hisia II iwapo kumekuwa na angalau kisa kimoja cha wazimu kali (lakini bila visa vya wazimu) na kisa kimoja kikuu cha huzuni.[4] Kwa wale walio na dalili zisizokali sana kwa muda mrefu, hali hiyotatizo la huzuni na furaha kupita kiasi linaweza kupatikana.[4] Iwapo dalili ni kwa sababu ya dawa au shida za matibabu, inaoanishwa tofauti.[4] Hali nyingine ambazo zinaweza kujitokeza sawa ni pamoja na tatizo la upungufu na uharibifu wa umakini, matatizo ya kiakili yaletayo mawazo na matendo imara, matatizo ya kiakili yenye kuleta mtazamo, fikra, tabia na mhemko usio wa kawaida (skizofrenia) na tatizo la kiakili lenye kuleta matumizi mabaya ya vifaa au dawa ili kuathiri hisia za mtu sawa na idadi kubwa ya hali ya matibabu.[3] Kupimwa kwa ajili ya matibabuhaihitajiki kwa utambuzi, ingawa vipimo vya damuau picha za matibabu zinaweza kufanywa ili kuondoa matatizo mengine.[9]", "question_text": "Je,ugonjwa wa kiakili husababishwa na nini haswa?", "answers": [{"text": "vipengele vya kimazingira najenetiki", "start_byte": 34, "limit_byte": 70}]} {"id": "906778746794694356-3", "language": "swahili", "document_title": "Steven Zuber", "passage_text": "Mnamo Agosti 14 mwaka 2014, Zuber alihamia Hoffenheim juu ya mkataba wa miaka minne. Mnamo 25 Januari 2017, aliongeza mkataba wake hadi 2020.", "question_text": "Steven Zuber alijiunga na klabu ya Hoffenheim mwaka gani?", "answers": [{"text": "2014", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}]} {"id": "-1804207061919009881-3", "language": "swahili", "document_title": "Kinasasauti", "passage_text": "Mvumbuzi Robert Hooke ndiye aliyekuwa wa kwanza kujaribu kutumia kinasasauti kilichofunganishwa na uzi kilichojulikana kama lover's telephone.", "question_text": "Kinasasauti kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Robert Hooke", "start_byte": 9, "limit_byte": 21}]} {"id": "8310495914761560901-2", "language": "swahili", "document_title": "Hendrick Witbooi", "passage_text": "Katika miaka ya 1880 aliunganisha makabila yote ya Wanama chini ya uongozi wake na tangu 1890 aliingia katika mapambano na wakoloni Wajerumani. Baada ya kushondwa mara ya kwanza alipatana amani lakini wakati wa vita ya Wajerumani dhidi ya Waherero alijiunga nao. Mwaka wa 1905 alikamatwa na kuuawa na Wajerumani. ", "question_text": "Hendrick Witbooi alikuwa chifu kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "tangu 1890 aliingia katika mapambano na wakoloni Wajerumani. Baada ya kushondwa mara ya kwanza alipatana amani lakini wakati wa vita ya Wajerumani dhidi ya Waherero alijiunga nao. Mwaka wa 1905 alikamatwa na kuuawa", "start_byte": 83, "limit_byte": 297}]} {"id": "-7042564635929839681-4", "language": "swahili", "document_title": "Guinea Bisau", "passage_text": "Zamani ilikuwa koloni la Ureno kwa jina la Guinea ya Kireno. Baada ya uhuru (1973/1974) jina la mji mkuu wake lilishika nafasi ya nchi tawala kuwa Guinea-Bisau kwa kusudi la kuitofautisha na nchi jirani ya Guinea na ile ya Guinea ya Ikweta.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Guinea ni upi?", "answers": [{"text": "Guinea-Bisau", "start_byte": 147, "limit_byte": 159}]} {"id": "6011788300758019023-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Utawa", "passage_text": "Kuna hatua kuu nne zilipozaliwa aina mpya za utawa (hasa magharibi) bila ya kufuta zile zilizotangulia:", "question_text": "Kuna utawa mara ngapi?", "answers": [{"text": "nne", "start_byte": 15, "limit_byte": 18}]} {"id": "5776118954909396051-0", "language": "swahili", "document_title": "Colin Salmon", "passage_text": "Colin Salmon (amezaliwa tar. 6 Desemba, 1962) ni mwigizaji wa kutoka nchini Uingereza. Anafahamika zaidi kwa kucheza kama Charles Robinson katika filamu tatu za James Bond na James \"One\" Shade kwenye Mfululizo wa wa filamu za Resident Evil. Kwa sasa yupo kama muhusika anayeonekana mara kwa mara kwenye, Walter Steele, katika mfululizo wa TV unaorushwa hewani na kina CW - Arrow.", "question_text": "Je,Colin Salmon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "8955629102400243797-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "mita 5,895", "start_byte": 127, "limit_byte": 137}]} {"id": "6962008675923202903-5", "language": "swahili", "document_title": "Rupia", "passage_text": "Rupia ilikuwa pesa ya nchi na maeneo yafuatayo:", "question_text": "Pesa inayotumika Zanzibar inaitwa aje?", "answers": [{"text": "Rupia", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "1720987148627264898-2", "language": "swahili", "document_title": "Ikulu ya Kenya", "passage_text": "Nyumba ya Serikali katika Nairobi, Ikulu ya leo, ilijengwa mwaka 1907 katika Nairobi itumike kama makazi rasmi ya Gavana wa Afrika ya Mashariki ya Kiingereza wakati Kenya ilikuwa koloni la Uingereza. Gavana alifanyia kazi rasmi katika ofisi ya zamani ya Kamishna wa Mkoa (ambayo sasa ni turathi ya kitaifa) karibu na Nyayo House na kisha kupumzika katika Nyumba ya Serikali. ", "question_text": "Ikulu ya Kenya ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1907", "start_byte": 65, "limit_byte": 69}]} {"id": "7845089854606106723-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Burundi", "passage_text": "Bubanza\nBujumbura Mairie\nBujumbura Rural\nBururi\nCankuzo\nCibitoke\nGitega\nKaruzi\nKayanza\nKirundo\nMakamba\nMuramvya\nMuyinga\nMwaro\nNgozi\nRutana\nRuyigi", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi unaitwaje?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 65, "limit_byte": 71}]} {"id": "1001225977755024795-4", "language": "swahili", "document_title": "Mae Jemison", "passage_text": "Jemison alihitimu kutoka shule ya sekondari akiwa na umri wa miaka 16. Alijifunza Chuo Kikuu cha Stanford juu ya usomi. Hapo alipata Bachelor of science katika uhandisi wa kemikali mwaka 1977. Wakati wa elimu yake, Jemison alijihusisha na shughuli nje ya madarasa yake. Hizi ni pamoja na ngoma, michezo ya ukumbini, na kazi ya kujitolea. Pia alikuwa mkuu wa Umoja wa wanafunzi weusi. Wakati wa Cornell, Jemison aliwasaidia watu ambao walikuwa wameondoka nchini mwao kwa sababu haikuwa salama kuishi huko. Alisaidia kuendesha masomo ya afya nchini Kenya pia. Alijifunza jinsi viumbe vinaweza kuathiriwa na kani ya mvuto. ", "question_text": "Mae Carol Jemison alisoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Stanford", "start_byte": 97, "limit_byte": 105}]} {"id": "633322745944885926-3", "language": "swahili", "document_title": "Puto", "passage_text": "Kuna taarifa ya kwamba Wachina walirusha puto kama alama za kijeshi tayari wakati wa karne ya 3 BK.", "question_text": "Puto ya kwanza ilizinduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Wachina", "start_byte": 23, "limit_byte": 30}]} {"id": "-6141327757844288682-15", "language": "swahili", "document_title": "Australia", "passage_text": "Mji mkuu, Canberra (wakazi milioni 308,700) ulijengwa kati ya Sydney na Melbourne kwa sababu miji hiyo miwili ilishindwa kukubaliana kati yao ni mji upi unaostahili kuwa mji mkuu.", "question_text": "Je, mji mkuu wa Australia ni upi?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 10, "limit_byte": 18}]} {"id": "-1508537761511680714-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirikisho la Amerika ya Kati", "passage_text": "Shirikisho la Amerika ya Kati likaanzishwa mwaka 1823 na mji mkuu ulikuwa Guatemala City. Nchi mpya ilikuwa na matatizo mengi. Mawasiliano yalikuwa magumu kutokana na ukosefu wa barabara. Viongozi wa kila sehemu walitafuta mambo yao bila kujali hali ya shirikisho. Hofu ya kipaumbele cha Guatemala ilisababisha uhamisho wa mji mkuu kwenda El Salvador mwaka 1831.", "question_text": "Mji mkuu wa Shirikisho la Amerika ya Kati ulikuwa upi?", "answers": [{"text": "Guatemala City", "start_byte": 74, "limit_byte": 88}]} {"id": "6488546558430324906-0", "language": "swahili", "document_title": "Mae Jemison", "passage_text": "\nMae Carol Jemison (alizaliwa tarehe 17 Oktoba 1956) ni mwanafizikia na rubani mwanaanga wa Marekani. Pia ni Mmarekani mweusi wa kike wa kwanza aliyefika kwenye anga la nje wakati akiwahudumia wafanyakazi wa anga wa Shuttle Endeavor Mwaka 1992 alisimamia majaribio.", "question_text": "Je, Mae Carol Jemison alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "17 Oktoba 1956", "start_byte": 37, "limit_byte": 51}]} {"id": "2419881329058555037-9", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Jamhuri ya Uturuki ilianzishwa mwaka 1923 na jenerali Kemal Atatürk baada ya vita vikuu vya kwanza, vilivyomalizika kwa kuvunja Milki ya Osmani, na vita vilivyofuata, vya kuondoa wanajeshi wa Ugiriki na nchi nyingine walioingia ndani ya sehemu iliyokuwa imebaki baada ya kuvunjika kwa dola kubwa.", "question_text": "Je,nani rais wa kwanza wa Uturuki?", "answers": [{"text": "Kemal Atatürk", "start_byte": 54, "limit_byte": 68}]} {"id": "6187507143337115560-2", "language": "swahili", "document_title": "Dr. Dre Presents the Aftermath", "passage_text": "No.TitleWriter(s)SampuliLength1.\"Aftermath (Intro)\" (imeimbwa na RC and Sid McCoy)Dr. Dre, Mel-Man2.\"East Coast/West Coast Killas\" (imeimbwa na Group Therapy - B-Real, KRS-One, Nas, RBX - akishirikiana na Dr. Dre & Scarface)Dr. Dre, Stu-B-Doo, Stocks McGuireQuincy Jones - \"Ironside\"3.\"Shittin' on the World\" (imeimbwa na D-Ruff, Hands-On and Mel-Man)Dr. Dre, Mel-ManThe Fuzz - \"I Love You For All Seasons\"4.\"Blunt Time\" (imeimbwa na RBX)Dr. Dre, Stu-B-DooQuincy Jones - \"Summer In The City\"5.\"Been There, Done That\" (imeimbwa na Dr. Dre)Bud'da, Dr. Dre6.\"Choices\" (imeimbwa na Kim Summerson)Ewart A. Wilson, Jr., Floyd Howard, Glen MosleyIsaac Hayes - \"Look of Love\"7.\"As the World Keeps Turning\" (imeimbwa na Cassandra McCowan, Mike Lynn, Flossy P and Stu-B-Doo)Flossy P, Chris \"The Glove\" Taylor8.\"Got Me Open\" (imeimbwa na Hands-On akishirikiana na Dr. Dre)Bud'daReal Live akishirikiana na K-Def & Larry O - \"Real Live Shit\"9.\"Str-8 Gone\" (imeimbwa na King Tee)Bud'da10.\"Please\" (imeimbwa na Maurice Wilcher and Nicole Johnson)Maurice Wilcher11.\"Do 4 Love\" (imeimbwa na Jheryl Lockhart)Bud'daHeath Brothers - \"Smiling Billy Suite Pt. 2\"12.\"Sexy Dance\" (imeimbwa na Cassandra McCowan, Jheryl Lockhart and RC)Bud'da, Dr. Dre13.\"No Second Chance\" (imeimbwa na Who'z Who)Rodney Duke, Rose Griffin14.\"L.A.W. (Lyrical Assault Weapon)\" (imeimbwa na Sharief)Stu-B-Doo15.\"Nationowl\" (imeimbwa na Nowl)Bud'da16.\"Fame\" (imeimbwa na Jheryl Lockhart, King Tee and RC)Dr. Dre, Chris \"The Glove\" TaylorDavid Bowie - \"Fame\"", "question_text": "Je,albamu ya The Aftermath ina nyimbo ngapi?", "answers": [{"text": "16", "start_byte": 1402, "limit_byte": 1404}]} {"id": "5176071996781302974-0", "language": "swahili", "document_title": "Mexico (mji)", "passage_text": "Jiji la Meksiko (kwa Kihispania: Ciudad de México) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa nchi ya Mexiko. ", "question_text": "Mji mkuu wa Mexiko unaitwaje?", "answers": [{"text": "Jiji la Meksiko", "start_byte": 0, "limit_byte": 15}]} {"id": "-5445576653829817735-1", "language": "swahili", "document_title": "Kikohozi kikuu", "passage_text": "Kifaduro husababishwa na bakteria ya Bordetella pertussis. Kifaduro ugonjwa unaosambazwa hewani unaoenea haraka kwa kikohozi na chafya ya mtu aliyeambukizwa.[6] Watu wanaweza kuwaambukiza wengine kutoka mwanzo wa dalili hadi takriban wiki tatu baada ya kuanza kwa matukio ya kukohoa. Watu wanaotibiwa kwa antibiotiki huwa hawaambukizi wengine baada ya siku tano.[7] Utambuzi hufanywa kwa kuchukua sampuli kutoka kwa sehemu ya nyuma ya pua na koo. Sampuli hii kisha inaweza kuchunguzwa kwa kukuza vimelea au kwa kukuza akala ya DNA.[8]", "question_text": "Bakteria inayosababisha kikohozi kikuu inaitwa aje?", "answers": [{"text": "Bordetella pertussis", "start_byte": 37, "limit_byte": 57}]} {"id": "-5154659686183449554-0", "language": "swahili", "document_title": "Shane Filan", "passage_text": "Shane Steven Filan (amezaliwa tar. 5 Julai 1979) ni msanii wa muziki wa pop kutoka nchini Ireland. Huyu ndiye mwimbaji kiongozi wa kundi la Westlife. Filan ni moja ya waimbaji watano wa asili wa kundi la hili, akiwa na wenzake,\nKian Egan, Mark Feehily na Nicky Byrne na aliyekuwa mwenzao Brian McFadden.", "question_text": "Je,kundi la muziki ya Westlife ina wanachama wangapi?", "answers": [{"text": "watano", "start_byte": 176, "limit_byte": 182}]} {"id": "-7264328445013728152-0", "language": "swahili", "document_title": "Nollywood", "passage_text": "Nollywood ni jina la kutaja filamu zinatengenezwa, kusambazwa, na kuigizwa na watu wa Nigeria. Soko hili la filamu za Nigeria lilianza kukua kwa haraka zaidi kunako miaka ya 1990 na 2000 na kuifanya iwe nchi ya pili duniani kwa ukubwa wa soko la filamu, kwa matokeo ya idadi ya filamu zinazozalishwa kwa mwaka. Hii ni kabla ya soko la filamu la Marekani na India.[1] Kwa mujibu wa Hala Gorani na Jeff Koinange wafanyakazi wa zamani wa CNN, soko la filamu la Nigeria lina dola za Kimarekani takribn milioni 250, wakichanganya baadihi ya video 200 ambazo zilimetengenezwa kwa ajili ya soko la ndani kila mwezi.[2][3] Kwa kufuatiwa matangazo yalirushwa na kipindi cha Kimarekani kinachotangazwa na Oprah Winfrey, alitangaza kwamba soko la filamu la Nigeria limepita thamani ya bilioni 2.3 za Kimarekani kwa mwaka wa 2008. ", "question_text": "Je,Nollywood ni jina ya filamu za nchi gani?", "answers": [{"text": "Nigeria", "start_byte": 86, "limit_byte": 93}]} {"id": "9021460939661217792-4", "language": "swahili", "document_title": "Uislamu nchini Tanzania", "passage_text": "Historia ya Uislamu nchini Tanzania imeanza kunako miaka ya 960-1000 AD, wakati Ali ibn al-Hassan Shirazi alikuwa mmoja kati ya watoto saba wa kiume wa Shah wa Shiraz, Uajemi, mama yake akiwa ni mtumwa wa Kihabeshi. Kufuatia kifo cha baba yake, Ali alitimuliwa na kunyimwa urithi na ndugu zake. Kachukua jahazi lake kupitia Hormuz, Ali ibn al-Hassan Shirazi, na kikundi kidogo cha wafuasi wakafanikiwa kufanya mapumziko yao ya kwanza mjini Mogadishu, bohari la kibiashara katika pwani ya Afrika Mashariki.", "question_text": "Dini ya KIislamu nchini Tanzania ilianza lini?", "answers": [{"text": "960-1000 AD", "start_byte": 60, "limit_byte": 71}]} {"id": "-5490210865340172599-1", "language": "swahili", "document_title": "Dknob", "passage_text": "Dknob alizaliwa mnamo tarehe 12 Februari ya mwaka wa 1980, katika mkoa wa Tabora, Tanzania. Amenza kupata elimu yake ya msingi katika shule ya Mazoezi Ligula Mtwara na kuja kumalizia katika shule ya msingi ya Kipawa iliyopo Dar es Salaam. Baada ya kumaliza elimu ya msingi, baadaye akawa anaendelea na masomo ya sekondari katika shule ya sekondari ya Pugu kwa kidato cha kwanza mpaka nne na baadaye kidato cha tano na sita akamalizia katika shule ya sekondari ya Jitegemee ya jiji Dare es Salaam.", "question_text": "Innocent Cornel Sahani alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Tabora, Tanzania", "start_byte": 74, "limit_byte": 90}]} {"id": "-3162790158981160653-4", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Mji mkuu ni Madrid ambayo ni pia mji mkubwa wa nchi. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Uhispania ni upi?", "answers": [{"text": "Madrid", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-3401140729124064085-2", "language": "swahili", "document_title": "Wilfred Moriasi Ombui", "passage_text": "Alisoma katika Shule ya Msingi ya ELCK Kenyoro kabla ya kujiunga na Shule ya Upili ya Kisii.", "question_text": "Je,Wilfred Ombui Moriasi alisomea chuo cha upili gani?", "answers": [{"text": "Kisii", "start_byte": 86, "limit_byte": 91}]} {"id": "5491235252247339040-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Kiswahili kilianza kama lugha ya miji na mabandari ya biashara ya kimataifa kwenye pwani ya Afrika ya mashariki. ", "question_text": "Kiswahili kilitokea wapi?", "answers": [{"text": "pwani ya Afrika ya mashariki", "start_byte": 83, "limit_byte": 111}]} {"id": "-8994216183944291603-0", "language": "swahili", "document_title": "Dubai", "passage_text": "Dubai (kwa Kiarabu: دبيّ) ni ufalme katika Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni na pia jina la mji mkuu wa ufalme huo.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Dubai ni upi?", "answers": [{"text": "Dubai", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "916488402516022667-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Matiba", "passage_text": "Kenneth Matiba (1 Juni 1932 – 15 Aprili 2018) alikuwa mwanasiasa wa Kenya aliyeibuka wa pili katika uchaguzi wa urais mwaka 1992. ", "question_text": "FORD-Asili ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Kenneth Matiba", "start_byte": 0, "limit_byte": 14}]} {"id": "4271616316693605727-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Malawi ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "16.407.000", "start_byte": 214, "limit_byte": 224}]} {"id": "7599421626799433771-0", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji. ", "question_text": "Je,mjii mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-5306194666725845216-1", "language": "swahili", "document_title": "Japani", "passage_text": "Nchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua. ", "question_text": "Japani ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 377.944", "start_byte": 17, "limit_byte": 29}]} {"id": "-7605404643350653378-18", "language": "swahili", "document_title": "Kwame Nkrumah", "passage_text": "Aliendelea kuongoza serikali na mwaka 1957 wakati wa uhuru alibadilisha jina la nchi kuwa Ghana. Hii ilikuwa koloni la kwanza kupata uhuru katika Afrika ya Magharibi, baada ya Liberia. Mwaka huohuo alifunga ndoa na Fathia Helen Ritzk, Mkristo wa Kikopti kutoka nchi ya Misri.", "question_text": "Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "-6520949524742352163-0", "language": "swahili", "document_title": "Dublin", "passage_text": "\nDublin (Kieire pia: Baile Átha Cliath = \"Kijiji kwenye kivuko kwa mafunjo\") ni mji mkuu wa Jamhuri ya Eire pia mji mkuu kwenye kisiwa cha Eire mwenye wakazi milioni 1.6 kwenye rundiko la jiji.", "question_text": "Dublin ni jiji kubwa la nchi gani?", "answers": [{"text": "Jamhuri ya Eire", "start_byte": 93, "limit_byte": 108}]} {"id": "9111294167992311173-1", "language": "swahili", "document_title": "Dennis Mitchell", "passage_text": "Alizaliwa Havelock, Carolina Kaskazini, kocha wake Dennis Mitchell katika Chuo Kikuu cha Florida alikuwa Joe Walker(ambaye sasa yuko Ole Miss). Mitchell alichukua nafasi ya nne katika mbio ya 100m katika Olimpiki ya 1988 na akakosa kushinda medali katika mbio ya 4 x 100m kwa sababu timu ya Marekani ilitolewa katika mbio za mchujo.Timu yao ilitolewa baada ya Calvin Smith na Lee McNeill kubadilishana kijiti maalum wakiwa nje ya eneo maalum ya kubadilishana.", "question_text": "Allen Dennis Mitchell alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Havelock, Carolina Kaskazini", "start_byte": 10, "limit_byte": 38}]} {"id": "-8976903323060233856-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Je,mji wa Nairobi ina idadi ywa watu wangapi?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "-7514303665702641368-0", "language": "swahili", "document_title": "Rasi", "passage_text": "Rasi (pia:peninsula lat. nusukisiwa) ni sehemu ya nchi inayoelekea katika maji ya bahari au ziwa na kuzungukwa na maji pande tatu. Ni kama kisiwa kinachounganishwa na bara upande mmoja tu. ", "question_text": "Rasi ina maana gani?", "answers": [{"text": "sehemu ya nchi inayoelekea katika maji ya bahari au ziwa na kuzungukwa na maji pande tatu", "start_byte": 40, "limit_byte": 129}]} {"id": "6891130586656862582-0", "language": "swahili", "document_title": "Silika kadiri ya C. G. Jung", "passage_text": "Kati ya michango mikubwa aliyoitoa Carl Gustav Jung, mwanasaikolojia wa Uswisi (1875-1961), mmojawapo ni kuainisha makundi mawili ya watu kadiri wanavyoelekeza nguvu za nafsi yao ndani mwao (wandani) au nje yao (wasondani). ", "question_text": "Carl Gustav Jung alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1875", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}]} {"id": "-3117758823796081314-37", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Nchi ina wakazi zaidi ya milioni 320, na ina mchanganyiko mkubwa kuliko nyingine zote duniani. ", "question_text": "Marekani iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 320", "start_byte": 25, "limit_byte": 36}]} {"id": "-2428204261708628507-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald Gordon (Mfanyibiashara)", "passage_text": "Donald Gordon, CC, CMG (11 Desemba 1901 - 2 Mei 1969) alikuwa mfanyibiashara wa Kanada na rais wa zamani wa Shirika la Kitaifa la reli la Kanada (Canadian National Railway - CNR) kutoka mwaka wa 1950 hadi mwaka wa 1966.", "question_text": "Je,Donald Gordon, CC, CMG alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1901", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "-8898803096142925278-0", "language": "swahili", "document_title": "Aliko Dangote", "passage_text": "Aliko Dangote (aliyezaliwa 10 Aprili 1957) ni mfanyabiashara nchini Nigeria. Yeye ni mmiliki wa Dangote Group, ambayo ina shughuli katika Nigeria na nchi nyingine kadhaa za Afrika Magharibi. Msaidizi tajiri wa Rais wa kitambo, Olusegun Obasanjo na chama tawala cha People's Democratic Party (PDP), Dangote huendesha biashara ya bidhaa ya Nigeria kupitia kampuni yake na kujuana na wanasiasa. Akiwa na wastani wa thamani wa karibu dola bilioni 2.5, alihesabiwa na Forbes kama mmoja wa watu wenye asili ya kiafrica tajiri kabisa, nyuma ya Mohammed Al Amoudi (bilioni $ 9,0 ) na Oprah Winfrey (bilioni $ 2,7).[1]", "question_text": "Nani ndiye tajiri kabisa barani afrika?", "answers": [{"text": "Aliko Dangote", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "4142243756089135242-3", "language": "swahili", "document_title": "Hafez", "passage_text": "Baba yake aliitwa Baha-ud-Din alikuwa mwuzaji wa makaa akafa Hafez alipokuwa mdogo. Mvulana alivutwa sana na kumbukumbu jinsi baba alisoma Qurani akajitahidi akaweza kushika Qurani yote alipokuwa na umri wa miaka 8.\nLakini alisikia pia mashairi ya Maulana Rumi na Sa'di. Inaaminiwa ya kwamba alipata mafundisho katika madrasa. ", "question_text": "Baba ya Hafez ni nani?", "answers": [{"text": "Baha-ud-Din", "start_byte": 18, "limit_byte": 29}]} {"id": "-1339720473726915592-0", "language": "swahili", "document_title": "Charles Édouard Guillaume", "passage_text": "Charles Édouard Guillaume (15 Februari 1861 – 13 Juni 1938) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uswisi aliyeishi Ufaransa. ", "question_text": "Charles-Édouard alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1861", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "-6272533284944474515-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Mji mkubwa nchini Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 315, "limit_byte": 328}]} {"id": "5480832698408594836-9", "language": "swahili", "document_title": "Uyahudi", "passage_text": "Mara nyingi kanuni 13 za mwalimu Myahudi Maimonides aliyeishi katika karne ya 12 hukubaliwa na Wayahudi wengi.", "question_text": "Maimonides alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "aliyeishi katika karne ya 12", "start_byte": 52, "limit_byte": 80}]} {"id": "-1392454108656731001-3", "language": "swahili", "document_title": "Mamalia", "passage_text": "Ukubwa unatofautiana sana, kuanzia spishi ndogo aina ya popo mwenye urefu wa sentimita 4 pekee hadi spishi kubwa nyangumi buluu mwenye urefu wa mita 33. ", "question_text": "Je,mamalia mkubwa zaidi duniani ni yupi?", "answers": [{"text": "nyangumi buluu", "start_byte": 113, "limit_byte": 127}]} {"id": "-5302644469310876017-1", "language": "swahili", "document_title": "Papa Mbingusi", "passage_text": "Aina inayojulikana inaanzia kutoka m 0.9 hadi m 6 (futi 3.0 kwa 19.7) kwa urefu na uzito kuanzia kilo 3 hadi 580 (lb 6.6 kwa 1,278.7). [1][2] Wao kwa kawaida ni kijivu hafifu na kivulivuli cha ukijani. Matumbo yao ni myeupe inayowaruhusu kujichanganya kwenye bahari wakati wakiangaliwa kutoka chini na kunyemelea mawindo yao. [3] vichwa vyao vina michomozo ya pembeni ambayo huwapa umbo kama nyundo.", "question_text": "Papa mbingusi ana ukubwa gani?", "answers": [{"text": "m 0.9 hadi m 6", "start_byte": 35, "limit_byte": 49}]} {"id": "341510854415129709-3", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Zuckerberg alivumbua Facebook katika chumba chake cha kulala cha Harvard mnamo 4 Februari 2004. Wazo la Facebook lilimjia kutoka siku zake za Phillips Academy Exeter ambapo, kama vyuo na shule nyingi, ilikuwa na mazoea ya siku nyingi ya kuchapisha kitabu cha kila mwaka chenye picha za wanafunzi wote, Kitivo na wafanyakazi inayojulikana kama \"Facebook\". Chuoni, Facebook ilianza tu kama \"jambo la Harvard\", mpaka Zuckerberg alipoamua kuieneza Facebook katika shule zingine na kuomba msaada kutoka kwa Dustin Moskovitz aliyekuwa wakiishi katika chumba kimoja chuoni. Kwanza walieneza hadi Stanford, Dartmouth, Columbia, Cornell na Yale, na kisha kwa shule nyingine zilizokuwa na mawasiliano ya kijamii na Harvard. [8][9][10]", "question_text": "Mark Elliot Zuckerberg alianza mtandao wa Facebook mwaka upi?", "answers": [{"text": "2004", "start_byte": 90, "limit_byte": 94}]} {"id": "4242621817723725874-14", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Katika Unyasa daktari Hastings Kamuzu Banda alijitokeza kuwa mwanasiasa aliyependelewa na wananchi wengi, akawa waziri mkuu wakati wa Unyasa kupata madaraka ya kujitawala katika mambo ya ndani na baadaye rais wa kwanza wa taifa. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Malawi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "daktari Hastings Kamuzu Banda", "start_byte": 14, "limit_byte": 43}]} {"id": "3415284765787297400-30", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Mwaka 1962 Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urubdi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee.", "question_text": "Je,Burundi ilipata uhuru lini?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "3867546922323530093-0", "language": "swahili", "document_title": "Amfibia", "passage_text": "\nAmfibia ni kundi la wanyama wenye uti wa mgongo na damu baridi ambao wanaanza maisha kwenye maji na baada ya kupita metamofosi wanaweza kuendelea kwenye nchi kavu katika kipindi cha pili cha maisha yao. Vyura, salamanda na nyoka wanafiki wamo katika ngeli hii. ", "question_text": "Je,nyoka iko katika kundi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Amfibia", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "418122898197091711-7", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Uturuki iliamua 1923 kuhamisha mji mkuu kutoka Istanbul kwenda Ankara. Istanbul iliwahi kuwa kwa karne nyingi mji wa Masultani tena mji wa kimataifa; mapinduzi ya 1923 yalimaliza utawala wa sultani na kutangaza Uturuki kuwa jamhuri. Pia Istanbul imekuwa kandokando ya eneo la Uturuki baada ya vita kuu ya kwanza kwa sababu sehemu za magharibi zilikuwa zimepotea na kuchukuliwa na Wagiriki na Wabulgaria. Hivyo Ankara iliteuliwa iliyoko katikati ya Uturuki mpya baada ya vita.", "question_text": "Mji mkuu nchini Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Ankara", "start_byte": 63, "limit_byte": 69}]} {"id": "-6776010025658418553-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Nchi gani kubwa katika bara la Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 90, "limit_byte": 97}]} {"id": "-3364479104570687456-16", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Tarehe 6 Aprili 1994 rais Habariyama alirudi nchini kutoka safari ya Tanzania. Ndege yake ilipigwa risasi kabla ya kutelemka ikaanguka chini akafa. Haipingiki kwamba Watutsi wakali waliomwua (RPF). ", "question_text": "Maujai ya Kimbari yalifanyika mwaka gani nchini Rwanda?", "answers": [{"text": "1994", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "-4778229155763303991-31", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Licha ya Waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani Waafrika mamlaka \"ya wastani\" zaidi, ilikuwa Kenya African National Union (KANU) ya Jomo Kenyatta, mwanachama wa kabila la Kikuyu na mfungwa wa zamani, ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. ", "question_text": "Je,kenya ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "12 Desemba 1963", "start_byte": 280, "limit_byte": 295}]} {"id": "153511301216611334-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,bwawa kubwa zaidi duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Ziwa Superior", "start_byte": 208, "limit_byte": 221}]} {"id": "-4127140677489232133-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo", "passage_text": "\n\nUkristo (kutoka neno la Kigiriki Χριστός, Khristos, ambalo linatafsiri lile la Kiebrania מָשִׁיחַ, Māšîăḥ, linalomaanisha \"Mpakwamafuta\" [1]) ni dini inayomwamini Mungu pekee[2] kama alivyofunuliwa kwa Waisraeli katika historia ya wokovu ya Agano la Kale na hasa Yesu Kristo katika [[Agano Jipya]] ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya 1. ", "question_text": "Je,dini ya ukristo ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 1", "start_byte": 356, "limit_byte": 366}]} {"id": "7557165860817378832-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayari ya Tisa", "passage_text": "\n\nSayari ya Tisa (pia Sayari Tisa, kwa Kiingereza Planet Nine) ni jina la muda kwa sayari isiyojulikana bado lakini inayoaminiwa kuwepo kwenye sehemu za nje kabisa za mfumo wa jua letu.", "question_text": "Kuna sayari ngapi kwa ujumla?", "answers": [{"text": "Tisa", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-3759755025815318507-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Jomo Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-7265310801972164956-0", "language": "swahili", "document_title": "Alinikisa Cheyo", "passage_text": "Alinikisa Cheyo (* 27 Machi 1960) ni askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi.", "question_text": "Je, askofu Alinikisa Cheyo alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}]} {"id": "-796116861357092045-0", "language": "swahili", "document_title": "Antiokia", "passage_text": "\nAntiokia ya Siria (kwa Kituruki: Antakya) ni mji wa Uturuki, kwenye mto Oronte, karibu na Bahari ya Mediteranea na mipaka ya Syria. ", "question_text": "Antiokia ya Siria inapatika wapi?", "answers": [{"text": "kwenye mto Oronte, karibu na Bahari ya Mediteranea na mipaka ya Syria", "start_byte": 62, "limit_byte": 131}]} {"id": "5485784597269705506-0", "language": "swahili", "document_title": "Steven Frayne", "passage_text": "Steven Frayne (aliyezaliwa tarehe 17 Desemba 1982), anajulikana kwa jina lake la \"Dynamo\", ni mfanya mazingaombwe wa Kiingereza, anayejulikana sana kwa maonyesho yake ya televisheni Dynamo: ", "question_text": "Je,Steven Frayne anaitwa alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "17 Desemba 1982", "start_byte": 34, "limit_byte": 49}]} {"id": "-3360429756475412190-0", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Sudan Kusini (jina rasmi: Jamhuri ya Sudan Kusini, kwa Kiingereza Republic of South Sudan‎) ni nchi huru iliyojitenga rasmi na Sudan tarehe 9 Julai 2011, ikiwa ni ya 54 katika bara la Afrika na ya 193 duniani.", "question_text": "Je,Sudan Kusini ilifanywa kuwa nchi mwaka upi?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 150, "limit_byte": 154}]} {"id": "1985823604211065041-19", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Mwaka 2012 Jamaika ilikuwa na wakazi 2,889,187. Nusu yao waliishi mjini. Umri wa wastani ni miaka 23, thuluthi moja ni watoto hadi miaka 14.", "question_text": "Jamaica in idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,889,187", "start_byte": 37, "limit_byte": 46}]} {"id": "2593973127302926995-0", "language": "swahili", "document_title": "Arsene Wenger", "passage_text": "Arsène Wenger, OBE [2] (alizaliwa Strasbourg, Ufaransa, 22 Oktoba 1949) ni meneja ambaye ameweza kuongoza kilabu cha ligi ya Uingereza, yaani Arsenal F.C. tangu mwaka wa 1996 hadi 2018. Yeye ni meneja mwenye mafanikio zaidi katika historia ya Arsenal katika suala la nyara na pia ni meneja aliyedumu sana. ", "question_text": "Je,mkufunzi Arsene Wenger alikaa Arsenal miaka ngapi?", "answers": [{"text": "1996 hadi 2018", "start_byte": 171, "limit_byte": 185}]} {"id": "1126687023172547060-2", "language": "swahili", "document_title": "Seneti ya Kenya", "passage_text": "Mwaka wa 2013, uchaguzi wa Seneti ulifanyika tarehe 4 Machi 2013.[2] Chini ya katiba mpya, ambayo ilipitishwa wakati wa kura ya maoni ya mwaka 2010, uchaguzi mkuu wa 2013 ndio ulikuwa wa kwanza kujumuisha Maseneta wanaowakilisha kaunti 47. Ulikuwa pia uchaguzi mkuu wa kwanza wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC). ", "question_text": "Je,katiba mpya ilipitishwa mwaka upi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "2010", "start_byte": 143, "limit_byte": 147}]} {"id": "-1968422953976041832-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-5309430796250476139-0", "language": "swahili", "document_title": "Carl Ross", "passage_text": "(John) Carl Ross (29 Julai 1901 huko Cleethorpes, Lincolnshire, Uingereza - 9 Januari 1986 Grimsby) alikuwa mfanyibiashara wa samaki aliyefanikiwa sana. Alikuwa pia mwanzilishi wa kampuni iliyokuja kuwa Young's Bluecrest, kampuni inayoongoza katika sekta ya uuzaji wa samaki waliohifadhiwa nchini Uingereza]].", "question_text": "Carl Ross alizaliwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 64, "limit_byte": 73}]} {"id": "-4658814453915432322-2", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991. ", "question_text": "Je, ni mji gani Nigeria yenye watu wengi zaidi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-240354918314346914-12", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu wa Tanzania ni jiji la Dodoma.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Tanzania ni ipi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "3822978623497248969-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "-8013998299788650998-16", "language": "swahili", "document_title": "Poland", "passage_text": "Wakazi ni 38,483,957, karibu wote wakiwa Wapolandi asili (93.52%), wakiongea Kipolandi na wakifuata Ukristo katika Kanisa Katoliki (87.5%), tena kwa bidii ya pekee.", "question_text": "Idadi ya watu nchini Poland ni ngapi?", "answers": [{"text": "38,483,957", "start_byte": 10, "limit_byte": 20}]} {"id": "6397851472657519042-0", "language": "swahili", "document_title": "Saddam Hussein", "passage_text": "\nSaddam Hussein Abd al-Majid al-Tikriti (28 Aprili 1937 - 30 Desemba 2006) alikuwa Rais wa Iraki, kuanzia tarehe 16 Julai 1979 hadi mwaka wa 2003, pia waziri mkuu wa Iraki kati ya 1994 na 2003.", "question_text": "Rais wa Irak mwaka wa 1980 alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Saddam Hussein Abd al-Majid al-Tikriti", "start_byte": 1, "limit_byte": 39}]} {"id": "2346386505194479839-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Tsar Petro I (1689-1725) alitambua ya kwamba nchi yake ilikuwa nyuma upande wa teknolojia na elimu kulingana na mataifa ya Ulaya. Alianzisha mabadiliko mengi ya kuiga mfano wa Ulaya ya Magharibi akahamisha mji mkuu kutoka Moscow kwenda mji mpya aliounda sehemu ya magharibi ya milki yake akauita Sankt Peterburg.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Sankt Peterburg", "start_byte": 296, "limit_byte": 311}]} {"id": "-8753156543028102769-29", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hii aina ya serikali imefanya Waethiopia kupata uhuru wa siasa lakini Uhuru wa idhaa na gazeti bado umefinyiliwa.", "question_text": "Nani rais wa kwanza Ethiopia?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "8216132447498963245-51", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mwaka wa 1978, Kenyatta alifariki na Daniel Arap Moi akawa rais. Moi alidumisha urais kwa kuchaguliwa bila kupingwa katika chaguzi za mwaka wa 1979, 1983 (uchaguzi wa dharura) na 1988, zote zikiwa zilifanyika chini ya katiba ya chama kimoja. Uchaguzi wa 1983 ulifanyika mwaka mmoja kabla ya wakati kutokana na njama ya kupindua serikali iliyokosa kufaulu tarehe 1 Agosti 1982.", "question_text": "Rais wa Kenya mwaka 1975 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Daniel Arap Moi", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}]} {"id": "2962061283973924321-43", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Tarehe 28 Julai 1899,[10] Halford John Mackinder aliongoza kundi la wapelelezi 6 kutoka Ulaya, 66 kutoka Uswahilini, Wamaasai 2 na Wakikuyu 96[10]. Walipatana na matatizo mengi njiani[10]. Mackinder aliendelea kupanda mlima. Alikita kambi m 3,142[10]  katika Bonde la Höhnel. Alifanya jaribio la kwanza kufikia kilele tarehe 30 Agosti pamoja na Brocherel na Ollier kupitia upande wa mashariki, lakini wakabakisha kupanda m 100 kutoka Kilele cha Nelion. Tarehe 5 Septemba, Hausberg, Ollier na Brocherel walifanya mzunguko kutafuta njia rahisi ila hawakuweza kupata. Tarehe 11 Septemba Ollier na Brocherel walipanda Barafuto ya Darwin, lakini walilazimishwa kukatiza safari kutokana na dhoruba ya theluji[10].", "question_text": "Nani wa kwanza kupanda mlima Kenya?", "answers": [{"text": "Halford John Mackinder", "start_byte": 26, "limit_byte": 48}]} {"id": "7620657547569407442-0", "language": "swahili", "document_title": "Martha Karua", "passage_text": "Martha Wangari Karua (alizaliwa mnamo 22 Septemba 1957) ni mwanasiasa wa Kenya. Yeye ni Mbunge wa bunge la Gichugu na Mtetezi wa Mahakama Kuu ya Kenya. Alikuwa Waziri wa Sheria hadi alipojiuzulu kutoka nafasi hiyo mwezi Aprili 2009.", "question_text": "Je,Martha Wangari Karua alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "-2050031965876013575-0", "language": "swahili", "document_title": "Dolar ya Marekani", "passage_text": "\nDola ya Marekani (US-Dollar, kifupi USD) ni pesa halali ya Marekani. Alama yake ni $.", "question_text": "Marekani wanatumia sarafu gani?", "answers": [{"text": "Dola", "start_byte": 1, "limit_byte": 5}]} {"id": "-2334473460467644160-18", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ghana", "passage_text": "Baada ya kuongezeka kwa maandamano mnamo 1948, wanachama wa chama cha United Gold Coast Convention walikamatwa, akiwemo Waziri Mkuu na Rais wa baadaye, Kwame Nkrumah. Baadaye, Nkrumah aliunda chama chake mwenyewe, the Convention People's Party (CPP) ambacho kiliongozwa na usemi ‘serikali ya kujitegemea sasa’ (self government now). Alianzisha kampeni ya ‘Vitendo Chanya’ na kupata ufuasi wa watu wa sehemu za mashambani na wa daraja la wafanyakazi.[5]", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ghana alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 152, "limit_byte": 165}]} {"id": "-9210757770307106586-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dar es Salaam", "passage_text": "Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541. ", "question_text": "Je,jiji ya Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 241, "limit_byte": 250}]} {"id": "-8978935746127692238-0", "language": "swahili", "document_title": "Kofi Annan", "passage_text": "\nKofi Annan (8 Aprili 1938 - 18 Agosti 2018) alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa 1996 - 2006. Annan na Umoja wa Mataifa walipata Tuzo ya Amani ya Nobeli mwaka 2001. Alikuwa mwanzilishi na mwenyekiti wa Kofi Annan Foundation na pia mwenyekiti wa Elders, shirika la kimataifa lililoanzishwa na Nelson Mandela.", "question_text": "Je, Kofi Annan alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1938", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}]} {"id": "-2550538574114024292-0", "language": "swahili", "document_title": "Fidel Castro", "passage_text": "\nFidel Alejandro Castro Rúz ( audio) (13 Agosti 1926 - 25 Novemba 2016) alikuwa kiongozi wa Kuba tangu mwaka 1959 hadi 2006 akiwa waziri mkuu hadi 1976 halafu rais wa nchi. ", "question_text": "Je,Fidel Castro alikuwa rais wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Kuba", "start_byte": 93, "limit_byte": 97}]} {"id": "-493189194476382647-13", "language": "swahili", "document_title": "Indonesia", "passage_text": "Lugha rasmi ni Bahasa Indonesia (Kiindonesia) iliyoundwa katika karne ya 20 kama lugha ya taifa kutokana na lahaja ya Kimalay. Nchini kote kuna lugha za asili zaidi ya 700 (angalia orodha ya lugha za Indonesia).", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Indonesia ni ipi?", "answers": [{"text": "Bahasa Indonesia", "start_byte": 15, "limit_byte": 31}]} {"id": "-8982789457915765324-14", "language": "swahili", "document_title": "Albania", "passage_text": "Wamebaki wakazi 2,876,591 (2017). Zaidi ya 98% za wakazi hutumia lahaja za Kialbania ambacho ni lugha ya pekee kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya. Lakini wengi wanazungumza pia Kigiriki au lugha nyingine.", "question_text": "Je,Albania ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,876,591", "start_byte": 16, "limit_byte": 25}]} {"id": "8666762763761602752-0", "language": "swahili", "document_title": "Galileo Galilei", "passage_text": "\nGalileo Galilei (5 Februari 1564 – 8 Januari 1642) alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia.", "question_text": "Je, Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1564", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "4494468381225097536-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Windaus", "passage_text": "Adolf Windaus (25 Desemba 1876 – 9 Juni 1959) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa alichunguza dutu zinazofanya kazi kibiolojia, kama vitamini. Mwaka wa 1928 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.", "question_text": "Adolf Hitler alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 82, "limit_byte": 91}]} {"id": "6398977750275191121-3", "language": "swahili", "document_title": "Trinitrotoluene", "passage_text": "TNT ilitengenezwa mara ya kwanza mwaka 1863 na mwanakemia Mjerumani Julius Wilbrand[1] aliyeitumia kama dawa ya rangi njano. Baadaye tabia ya kilipukaji ilitambuliwa lakini haikutumiwa kwa miaka kadhaa kwa sababu vilipukaji kali zaidi kama dainamiti na nitrogliserini zilipendelewa.[2]", "question_text": "Kilipukaji kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Julius Wilbrand", "start_byte": 68, "limit_byte": 83}]} {"id": "-6015153575168462012-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mito nchini Tanzania", "passage_text": "Orodha ya mito nchini Tanzania inaitaja zaidi ya 2,000, lakini hiyo ni baadhi tu. ", "question_text": "Je,Tanzaia ina mito ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "zaidi ya 2,000", "start_byte": 40, "limit_byte": 54}]} {"id": "8040577435051022688-9", "language": "swahili", "document_title": "Kangaruu", "passage_text": "Kwa sababu ya wayo zake kubwa hawawezi kutembea vizuri na kwa kasi ndogo. Anatumia mkia wake na miguu ya mbele,kuweka kiegemeo cha miguu mitatu na kasha husogeza miguu yake miwili mikubwa. \nKangaruu huishi kwa miaka mine au sita (4-6). ", "question_text": "Je Kangaroo huishi kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "mine au sita", "start_byte": 217, "limit_byte": 229}]} {"id": "8131500239745840575-0", "language": "swahili", "document_title": "YouTube", "passage_text": "\nYouTube ni tovuti ya kushirikisha video ambazo watumiaji wanaweza kuzinakili na kuzigawa kwa wengine. Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal waliunda YouTube mnamo Februari 2005. [1]", "question_text": "Je, mtandao wa youtube ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2005", "start_byte": 174, "limit_byte": 178}]} {"id": "-9045362130060256366-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayansi", "passage_text": "Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.", "question_text": "Je,sayansi ni nini?", "answers": [{"text": "maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa", "start_byte": 11, "limit_byte": 120}]} {"id": "-2275900397729508381-1", "language": "swahili", "document_title": "Homoni", "passage_text": "Jicho linaona simba, ubongo unatambua kuna hali ya hatari na kupitia neva unatuma amri kwa tezi maalumu iliyoko kando ya figo. Tezi hiyo hutengeneza homoni ya adrenalini na kuimwaga katika mzunguko wa damu. Adrenalini kupitia damu inafika pande zote za mwili na kusababisha mabadiliko katika ogani zenye molekuli za kupokea na kuelewa adrenalini. Ujumbe huu unasababisha:", "question_text": "Adrenali ni nini?", "answers": [{"text": "homoni", "start_byte": 149, "limit_byte": 155}]} {"id": "4689247466142634243-42", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "UKIMWI, Ukosefu wa Kinga Mwilini, ni matokea ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) - Human immunodeficiency virus (HIV). UKIMWI ni ugonjwa wa zinaa hatari na usitibika ambao hushambulia mfumo wa kinga ya mwili na kumwacha mgonjwa akiwa hana hata uwezo wa kujikinga dhidi ya maambukizi madogo. Maambukizi ya VVU haimaanishi kuwa mtu ana UKIMWI. Baadhi ya watu na maambukizi ya VVU na wasionyeshe hali ya kuumwa ile inayotambulika kama UKIMWI kwa miaka kumi au zaidi. Watabibu hutumia neno UKIMWI pale mtu anapokuwa katika hatua za mwisho, zinazotishia uhai za maambukizi ya VVU.", "question_text": "Je,virusi vya ukimwi inakaa kwa mwili kwa muda gani kabla kuonekana?", "answers": [{"text": "miaka kumi au zaidi", "start_byte": 448, "limit_byte": 467}]} {"id": "6660104234932320349-32", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mwaka kiongozi wa upande wa migambo ya uhuru Guerrero na jenerali wa jeshi la serikali Agustin de Iturbide walikutana wakapatana kuungana. Vikosi vingi vya jeshi la kikoloni vilihamia upande wao. Gavana mpya aliyefika kutoka Hispania aliamua kukubali uhuru uliotangazwa tarehe 28 Septemba 1821. Iturbide alikuwa rais wa kwanza na baadaye kwa kipindi kifupi Kaisari wa Mexiko hadi kujiuzulu mwaka 1823: hapo Mexiko ikaendelea kuwa jamhuri.", "question_text": "Je,Meksiko ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1821", "start_byte": 289, "limit_byte": 293}]} {"id": "-4051370500456044363-19", "language": "swahili", "document_title": "Syria", "passage_text": "Syria imetawaliwa na chama cha Baath tangu mwaka 1963; tangu mwaka 2000 rais ni Bashar al-Assad, aliyemrithi baba yake Hafez al-Assad aliyetawala kuanzia mwaka 1970.", "question_text": "Je,rais wa Syria mwaka 2019 ni nani?", "answers": [{"text": "Bashar al-Assad", "start_byte": 80, "limit_byte": 95}]} {"id": "3753116231501070904-4", "language": "swahili", "document_title": "Ngugi wa Thiongo", "passage_text": "Baada ya kumaliza Alliance High akasoma Makerere akahitimu kupata digrii ya Kiingereza mwaka 1963. Akafunga ndoa na Nyambura mwaka 1961 akazaa naye watoto sita katika miaka iliyofuata. Mwaka 1962 aliandika tamthilia yake ya kwanza \"The Black Hermit\". Baada ya digrii alirudi Nairobi alipofanya kazi ya uandishi wa gazeti.", "question_text": "Je,Ngugi wa Thiong'o ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "sita", "start_byte": 155, "limit_byte": 159}]} {"id": "-8681697845352461132-1", "language": "swahili", "document_title": "Chokoleti", "passage_text": "Asili yake ni kinywaji wa watu wa Mexiko wa kale waliochemsha unga la kakao katika maji pamoja na viungo. Wahispania waliikuta kwa Azteki na kuipeleka Ulaya. Wakitumia hapa jina la Kiazteki \"xocolātl\" lenya maana ya \"maji chungu\".", "question_text": "Chokoleti iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "watu wa Mexiko", "start_byte": 26, "limit_byte": 40}]} {"id": "-6273652819171131994-0", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani", "passage_text": "\n\n\nJamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (JKK) ilikuwa jina la dola katika mashariki ya Ujerumani kati ya 1949 - 1990. Iliundwa 7 Oktoba 1949 katika eneo la ukanda wa utawala wa Kirusi kama nchi mshindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia.", "question_text": "Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1949", "start_byte": 106, "limit_byte": 110}]} {"id": "-5728181848156532584-0", "language": "swahili", "document_title": "Firenze", "passage_text": "Firenze (Kiing. Florence) ni mji katika Italia na makao makuu ya mkoa wa Toscana. Kati ya 1865 hadi 1870 ilikuwa pia mji mkuu wa Ufalme wa Italia. Mji uko kando la mto Arno. Idadi ya wakazi ni mnano 400,000 na pamoja na rundiko la mji ni takriban 600,000.", "question_text": "Je,mji wa Firenze ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "600,000", "start_byte": 247, "limit_byte": 254}]} {"id": "8990404304067945985-14", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "Kufikia 1930 - mwaka ambapo kwa mara ya kwanza kulikuwa na mashindano ya Kombe La Dunia, FIFA ilikuwa na wanachama 41. Idadi hii ilizidi kuongezeka na kufika 51 mnamo 1938 na 76 kufikia 1950. ", "question_text": "Je,mashindano ya kombe la dunia ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1930", "start_byte": 8, "limit_byte": 12}]} {"id": "-8083449591519212337-2", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "Eneo lake lilijumlisha nchi za kisasa za Tanzania bara (yaani bila Zanzibar), Burundi na Rwanda. Ilikuwa koloni kubwa kabisa la Dola la Ujerumani.", "question_text": "Nchi ya Ujerumani ilitawala nchi ngapi barani Afrika kipindi cha ukoloni?", "answers": [{"text": "Tanzania bara (yaani bila Zanzibar), Burundi na Rwanda", "start_byte": 41, "limit_byte": 95}]} {"id": "-8004706270803249692-40", "language": "swahili", "document_title": "Misri", "passage_text": "Uwiano wa wafuasi wa dini hizo haujulikani vizuri, lakini Waislamu (hasa Wasunni) ni kama 90%, Wakristo (hasa Wakopti wanaoendelea kufuata Ukristo uliokuwa unatawala kabla ya Waarabu kuteka nchi katika karne ya 7) ni kama 9%, wakati Wayahudi wamehama karibu wote.", "question_text": "Je, kuna asilimia ngapi ya wakristo nchini Misri?", "answers": [{"text": "kama 9%", "start_byte": 217, "limit_byte": 224}]} {"id": "-709585589732973256-4", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Kuna majimbo 214 Tanzania Bara na majimbo 50 Zanzibar. ", "question_text": "Je, Tanzania ina majimbo ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "214", "start_byte": 13, "limit_byte": 16}]} {"id": "7708573593845577664-0", "language": "swahili", "document_title": "Sisilia", "passage_text": "\n\nSisilia (kwa Kiitalia Sicilia) ni kisiwa kikubwa cha Italia na cha bahari ya Mediteranea yote, ikiwa na eneo la kilomita mraba 25711. ", "question_text": "Je,ni kisiwa gani kikubwa zaidi katika Bahari ya Mediteranea?", "answers": [{"text": "Sisilia", "start_byte": 2, "limit_byte": 9}]} {"id": "-1932127488982407677-1", "language": "swahili", "document_title": "The Walt Disney Company", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa mnamo mwaka wa 1923 na Walt Disney na ndugu yake, Roy Oliver Disney, kwa jina la Disney Brothers Cartoon Studio.[1]", "question_text": "Je,nani mmiliki wa studio za Walt Disney?", "answers": [{"text": "Walt Disney na ndugu yake, Roy Oliver Disney", "start_byte": 43, "limit_byte": 87}]} {"id": "7470269459183580695-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAdolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ", "question_text": "Adolf Hitler alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1889", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-7932173363018861494-1", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "Kuna aina nyingi sana za bakteria na idadi yao ni kubwa kushinda viumbe vingine vyote duniani.", "question_text": "Kuna aina ngapi za bakteria?", "answers": [{"text": "nyingi sana", "start_byte": 10, "limit_byte": 21}]} {"id": "-2683656972326059921-0", "language": "swahili", "document_title": "Mfupa", "passage_text": "\nMfupa ni tishu ngumu katika mwili mwa binadamu na wanyama wenye uti wa mgongo. Mifupa inahimili ogani nyingine mwilini na kuuwezesha kusimama. Mifupa ni pia kinga kwa sehemu muhimu sana kama vile mifupa ya fuvu inakinga ubongo na ubavu wa kifua unaokinga moyo na mapafu. ", "question_text": "Je, ni mfupa gani mhimu sana mwili mwa mwanadamu?", "answers": [{"text": "fuvu inakinga ubongo na ubavu wa kifua unaokinga moyo na mapafu", "start_byte": 207, "limit_byte": 270}]} {"id": "4187305095367113359-9", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Baadaye alioa mke wa tatu aliyeitwa Mama Ngina Kenyatta ambaye alikuja kuwa mke wa rais wa kwanza na ambaye ndiye mama yake Uhuru Kenyatta, rais wa sasa. ", "question_text": "Je,mamake rais Uhuru Kenyatta anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mama Ngina Kenyatta", "start_byte": 36, "limit_byte": 55}]} {"id": "8804478098977690800-0", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "M-pesa ni huduma ya kutuma pesa kwa kutumia simu ya mkononi inayotolewa na kampuni ya mawasiliano ya Safaricom. Kenya ndiyo nchi ya kwanza kuwahi kutumia huduma hii maarufu ambayo ilizinduliwa mwezi Aprili mwaka wa 2008 kwa ushirikiano kati ya Safaricom na Vodafone. Tangu wakati huo, Mpesa imetia fora sana hasa kwa wananchi wa mapato ya chini wasio na akaunti za benki. Kulingana na takwimu rasmi za Safaricom, Mpesa ina wateja zaidi ya milioni Saba na imewezesha wakenya kutuma na kupokea takriban shilingi bilioni 230 kufikia Agosti 2009. Mwaka huu, Safaricom iliboresha huduma hii zaidi hivi kwamba wakenya wanaweza kupokea pesa moja kwa moja kutoka kwa jamaa zao walioko nchini Uingereza. ", "question_text": "Huduma ya M-pesa ilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 215, "limit_byte": 219}]} {"id": "2275819083708168742-0", "language": "swahili", "document_title": "Amerika ya Kusini", "passage_text": "\n\nAmerika ya Kusini ni bara la magharibi ambalo kwa kiasi kikubwa sana linaenea upande wa kusini wa Ikweta. ", "question_text": "Ecuadorian ni nchi ya bara lipi?", "answers": [{"text": "Amerika ya Kusini", "start_byte": 2, "limit_byte": 19}]} {"id": "9177975392602601665-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayansi", "passage_text": "Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.", "question_text": "Sayansi ni nini?", "answers": [{"text": "maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa", "start_byte": 11, "limit_byte": 120}]} {"id": "-8292845440719761056-2", "language": "swahili", "document_title": "Volkswagen", "passage_text": "Chanzo cha kampuni ilikuwa mnamo mwaka 1937. Wakati ule dikteta wa Ujerumani Adolf Hitler alitaka motokaa yenye bei nafuu kwa wananchi wa kawaida na \"Volkswagen\" ina maana ya \"gari la wananchi\" iliyoweza kubeba familia ya watu 4 na kutembea kwa mkasi wa 100 km/h. Muhandis Ferdinand Porsche aliombwa kutunga gari lenye bei ndogo lililoweza kupatikana kwa watu wengi wenye mishahara midogo. Kutokana na umbo lake limejulikana kwa jina la \"Käfer\" (ing. beetle yaani mdudu mwenye umbo la kangambili). Kiwanda kipya kilianzishwa mashambani karibu la boma la kale lililoitwa \"Wolfsburg\" likawa chanzo cha mji wa baadaye. Kiwanda kilikamilishwa mwaka 1939 miezi michache kabla ya mwazo wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Kutokana na vita magari yaliyokusudiwa hayakujengwa badala yake modeli zilibadilishwa kwa matumizi ya kijeshi. Baada ya kushindwa kwa Ujerumani Wolfsburh ilikuwa chini ya utawala wa Kiingereza kwa miaka 4 na Waingereza walisita kwa muda kama wangeendeleza kiwanda au kuiuza. Lakini waliona modeli ya Volkswagen iliyoanza kutolewa sasa kwa idadi ndogo haikufaa waliwachia Wajerumani. Lakini katika miaka iliyofuata tangu Ujerumani ya Magharibi ilirudishwa hali ya kujitawala gari lilelile likawa ishara ya kurudishwa kwa nguvu ya kiuchumi. Mwaka 1955 tayari milioni 1 ya motokaa zenye umbo la dudu zilitembea barabarani. Mafanikio ya kampuni yaliendelea kwa kutoa modeli mpya na kubwa zaidi. Mnamo 1965 VW ilinunua kiwanda cha NSU - Audi na kampuni hii ilibuni aina za modeli kama Golf na Passat zilizouzwa baadaye tangu 1974 kama kizazi kipya cha VW baada ya mauzo ya VW-beetle kupungua. Model ya zamani iliendelea kutengenezwa katika viwanda huko Meksiko na Brazil.", "question_text": "Gari aina ya Volkswagen ilitengenezwa kwa mara ya kwanza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1937", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "-2482893120865020191-10", "language": "swahili", "document_title": "Meli", "passage_text": "Mnamo 1200 KK watu wa Finisia na Ugiriki ya Kale walijenga jahazi kubwa zaidi yenye urefu wa mita 30. Waroma wa Kale walitengeneza meli iliyobeba watu 1,000.", "question_text": "Meli ya kwanza ilitengenezwa na nani?", "answers": [{"text": "Waroma wa Kale", "start_byte": 102, "limit_byte": 116}]} {"id": "-3022805895220281032-4", "language": "swahili", "document_title": "Pasaka ya Kiyahudi", "passage_text": "Kwa sababu kalenda ya Kiyahudi ni kalenda ya mwezi tarehe zake hubadilika katika hesabu ya kalenda ya Gregori yaani kalenda ya kawaida ya kimataifa. Kwa jumla Pasaka ya Kiyahudi inasheherekewa wakati wa miezi Machi au Aprili kwa sababu Nisan ni mwezi wa kwanza wa majira ya kuchipua.", "question_text": "Je,sikukuu ya pasaka husheherekea mwezi upi kila mwaka?", "answers": [{"text": "Machi au Aprili", "start_byte": 209, "limit_byte": 224}]} {"id": "-1989936297945407135-4", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Kwanza aliongoza Tanganyika toka mwaka 1961 hadi 1964 kama waziri mkuu, halafu kama rais; baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, aliongoza Tanzania kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1985 kama rais.", "question_text": "Je,Julius Nyerere aliongoza nchi ya Tanzania kwa muda gani?", "answers": [{"text": "aliongoza Tanganyika toka mwaka 1961 hadi 1964 kama waziri mkuu, halafu kama rais; baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, aliongoza Tanzania kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1985 kama rais", "start_byte": 7, "limit_byte": 198}]} {"id": "4263511146803974593-0", "language": "swahili", "document_title": "Marijani Rajab", "passage_text": "\nMarijani Rajabu (3 Machi 1955 - 23 Machi 1995) alikuwa mwanamuziki maarufu katika miondoko ya muziki wa dansi kutoka nchini Tanzania. ", "question_text": "Je,Marijani Rajabu alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1955", "start_byte": 26, "limit_byte": 30}]} {"id": "-2310684868819732259-8", "language": "swahili", "document_title": "Niger (mto)", "passage_text": "Mto Niger una chanzo chake katika milima ya Futa Djalon nchini Guinea, umbali wa kilomita 240 kutoka bahari Atlantiki. Lakini haufiki baharini moja kwa moja, bali unaelekea kaskazini mashariki kwa Sahara kupitia Bamako na kuunda delta ya barani inayoitwa \"Massina\" ambako mji mkubwa ni Mopti. Unaendelea hadi Timbuktu unapopita kwenye Sahara ya kusini na kubadilisha mweleko kwenda kusini mashariki. Karibu na mji wa Gao unapita kwa matuta ya mchanga ya Koyma na kuingia tena katika kanda la Sahel. Halafu unapita nchi ya Niger na mji mkuu wake, Niamey. Kutoka hapa njia yake ni mpaka wa Benin hadi \"hifadhi ya W\" mpakani mwa Niger, Burkina Faso na Benin. Kutoka hapa mto Niger unaendelea hadi Nigeria. Karibu na Lokoja unapokea tawimto wa Benue na kuingia katika kanda la msitu wa mvua wa Nigeria. Karibu na mji wa Onitsha mto unaanza kujigawa na kuwa delta ya Niger. Mikono yake mikubwa inaitwa Forcados, Nun na Escravos.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Niger ni upi?", "answers": [{"text": "Niamey", "start_byte": 546, "limit_byte": 552}]} {"id": "-395820275944412420-0", "language": "swahili", "document_title": "Fiji", "passage_text": "Fiji (Kifiji: Matanitu ko Viti; Kihindustani: फ़िजी, فِجی) ni nchi ya visiwani ndogo ya Melanesia katika Pasifiki yenye visiwa 322 na wakazi 844,330. ", "question_text": "Je,Fiji ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "844,330", "start_byte": 155, "limit_byte": 162}]} {"id": "-548179568806918803-0", "language": "swahili", "document_title": "Hussein ibn Ali", "passage_text": "\nHussein ibn Ali[1] (ar. حسين بن علي‎\n, *11 au 13 Januari 626 BK – 10 Oktoba 680 BK, au 3 Shaabani 4 BH - 10 Muharram 61 BH) (3 شعبان 4 هـ - 10 محرم 61 هـ ) alikuwa mjukuu wa Mtume Muhammad akitazamiwa kama imamu wa kwanza wa Washia. Alizaliwa mjini Makka, babake alikuwa Ali ibn Abi Talib (khalifa wa nne na mamake Fatimah Zahra binti wa Muhammad. Kakaye alikuwa Hasan ibn Ali imamu wa pili wa Washia.", "question_text": "Je, mamake Hussein ibn Ali alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Fatimah Zahra", "start_byte": 343, "limit_byte": 356}]} {"id": "4159447108520570287-5", "language": "swahili", "document_title": "Fidla", "passage_text": "Fidla zilibuniwa katika Ulaya ya Kusini takriban miaka elfu iliyopita kama nakala ndogo za ala za nyaya kubwa zaidi. ", "question_text": "Fidla iligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "miaka elfu iliyopita", "start_byte": 49, "limit_byte": 69}]} {"id": "345110578603937557-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una futi ngapi?", "answers": [{"text": "19,340", "start_byte": 144, "limit_byte": 150}]} {"id": "5426020915501931256-3", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Baada ya kuhitimu aliajiriwa kama karani na msoma mita wa manispaa ya Nairobi, alioa mke wake wa kwanza ambaye ni Grace Wahu.", "question_text": "Mke wa rais wa kwanza wa Kenya anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Grace Wahu", "start_byte": 114, "limit_byte": 124}]} {"id": "6117041367612764678-1", "language": "swahili", "document_title": "Ice Cube", "passage_text": "Ice Cube alianza shughuli zake za kimuziki kama mmoja wa waanzilishi wa kundi la muziki aina ya hip hop maarufu kama N.W.A., baadae akaanza shughuli za kuimba muziki akiwa peke yake bila ushirika wowote ule huku kwa mbali anaigiza filamu, kitu ambacho kilimpa mafanikio makubwa sana. Mnamo mwaka wa 1992, akamuoa Kimberly Woodruff, kwa pamoja wamezaa watoto wanne.", "question_text": "Je, Ice Cube ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 358, "limit_byte": 363}]} {"id": "3993038967719944951-0", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Chelsea Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Uingereza iliyo na maskani yake Fulham, London. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1905, na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki ligi kuu ya Uingereza. Uwanja wao wa nyumbani ni Stamford Bridge ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.", "question_text": "Chelsea F.C. ilizinduliwa lini?", "answers": [{"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}]} {"id": "-842851310274743745-69", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "\nKenya ina kaunti 47, kila moja ikiongozwa na Mkuu wa Kaunti anayechaguliwa na watu ambao wanaishi kwenye hiyo kaunti. ", "question_text": "Je,Kenya ina idadi ya kaunti ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 18, "limit_byte": 20}]} {"id": "-5640717925639667718-8", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Mzaliwa wa Bethsaida, kaskazini kwa Galilaya, alihamia Kapernaumu pamoja na ndugu yake Andrea kwa ajili ya uvuvi. Kijiji hicho kikawa baadaye makao makuu ya utume wa Yesu katika maeneo ya kaskazini ya Palestina. Hasa Yesu alitumia nyumba na boti la Petro.", "question_text": "Je,ndugu ya Simoni Petro aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Andrea", "start_byte": 87, "limit_byte": 93}]} {"id": "-4488543621031256057-2", "language": "swahili", "document_title": "Mzungu Kichaa", "passage_text": "Mwishoni mwa miaka ya 1990 Espen Sørensen alikuwa miongoni mwa wasanii wa mwanzo kabisa kurekodi katika Studio ya Bongo Records huko mjini Dar Es Salaam. Wengineo walikuwepo kina Juma Nature, TID, Mangwair, Ferooz na Professor Jay. Wakati huo ilikuwa pia, ndipo alipopata jina lake la kisanii la Mzungu Kichaa.[1] Kwa bahati mbaya hakuonekana katika orodha ya wasanii chipukizi wa Tanzania kwa kipindi hicho, lakini pia alifanikiwa kufanya viitikio kadha wa kadha katika nyimbo kibao kwa kipindi cha mwaka wa 2001.[2]", "question_text": "Je,Bongo Records ilianza kurekodi miziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "Mwishoni mwa miaka ya 1990", "start_byte": 0, "limit_byte": 26}]} {"id": "-7339709022060214957-10", "language": "swahili", "document_title": "Meli", "passage_text": "Mnamo 1200 KK watu wa Finisia na Ugiriki ya Kale walijenga jahazi kubwa zaidi yenye urefu wa mita 30. Waroma wa Kale walitengeneza meli iliyobeba watu 1,000.", "question_text": "Meli ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1200 KK", "start_byte": 6, "limit_byte": 13}]} {"id": "-9081010413746004030-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,ndovu hubeba mimba kwa muda upi?", "answers": [{"text": "miezi 22", "start_byte": 82, "limit_byte": 90}]} {"id": "2319209187690324849-0", "language": "swahili", "document_title": "Eritrea", "passage_text": "ሃግሬ ኤርትራ\nHagärä Ertra\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Eritrea)(Coat of Arms of Eritrea) Kaulimbiu ya Taifa: Nie nieWimbo wa TaifaErtra, Ertra, ErtraLugha za TaifaTigrinya, Kiarabu \nna KiingerezaMji MkuuAsmaraRaisIsaias AfwerkiEneo\n- Total \n- % MajiKadiriwa 101th \n 117,600 km² \n AchaIdadi ya Watu\n- Makadirio (2014)\n- Jumla (2002)\n- Chumo cha Umma kugawa na EneoKadiriwa 107th\n 6,380,803\n 4,298,269\n 51.8/km² (154th)GDP (PPP)\n- Jumla\n- Kwa Kila Raia (Per capita)\n2005 estimate\n 4,250 (155th) \n917 (177th)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ethiopia (Uhebeshi)\nMai 29, 1991\nMai 24, 1993FedhaNakfaSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.erKodi ya simu291", "question_text": "Eritrea ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 582, "limit_byte": 586}]} {"id": "2317110837886314880-3", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "Kuna visiwa zaidi ya 25,000 katika Pasifiki; vingi ni vidogo sana. Visiwa hivyo huhesabiwa mara nyingi pamoja na Australia kama \"Australia na Pasifiki\".", "question_text": "Bahari ya Pasifiki ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "zaidi ya 25,000", "start_byte": 12, "limit_byte": 27}]} {"id": "4447640861829031429-0", "language": "swahili", "document_title": "Mndimu", "passage_text": "\nMndimu (Citrus aurantiifolia) ni mti wa jamii ya mchungwa unaozaa ndimu. ", "question_text": "Je,ndimu iko katika familia gani ya mimea?", "answers": [{"text": "mchungwa", "start_byte": 50, "limit_byte": 58}]} {"id": "-6029072974031919433-2", "language": "swahili", "document_title": "Ghorofa", "passage_text": "Majengo ya kawaida huwa sakafu moja au mbili tu. Jengo refu zaidi katika dunia, Burj Khalifa, lina sakafu 163.", "question_text": "Ghorofa ndefu zaidi ulimwenguni linaitwaje?", "answers": [{"text": "Burj Khalifa", "start_byte": 81, "limit_byte": 93}]} {"id": "4140186589782668607-3", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Wakristo wengi, hasa Wakatoliki na Waorthodoksi, wanamheshimu kama mtakatifu tena kama papa wa kwanza wa Roma hadi kifodini chake kati ya miaka 64 na 67, wakati wa dhuluma ya Dola la Roma dhidi ya Ukristo iliyoanzishwa na Kaisari Nero. ", "question_text": "Simoni Petro alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "kati ya miaka 64 na 67", "start_byte": 130, "limit_byte": 152}]} {"id": "-8100249905164256874-0", "language": "swahili", "document_title": "Vigae vya mwandiko wa kikabari", "passage_text": "Vigae vya mwandiko wa kikabari vilikuwa njia ya kuhifadhi habari kimaandishi katika utamaduni wa Mesopotamia ya Kale (takriban Iraki ya leo) na nchi jirani. ", "question_text": "Mesopotamia ya kale ina jina gani leo?", "answers": [{"text": "Iraki", "start_byte": 127, "limit_byte": 132}]} {"id": "-8018644581265030190-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Bara Hindi lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "-3653485781020989691-3", "language": "swahili", "document_title": "Mae Jemison", "passage_text": "\nJemison alizaliwa huko Decatur, Alabama. Alihamia Chicago akiwa na umri wa miaka mitatu. Ndugu na dada yake ni Ada na Charles Jemison. Kuanzia zamani, alikuwa na nia ya sayansi. Wazazi wa Jemison walimsaidia upendo wake kwa sayansi na anga. Alipokuwa mtoto, alitumia muda mwingi katika maktaba. Alisoma vitabu kuhusu anga, na mageuzi.", "question_text": "Je, Mae Carol Jemison ana ndugu wangapi?", "answers": [{"text": "Ada na Charles Jemison", "start_byte": 112, "limit_byte": 134}]} {"id": "841415307560892495-0", "language": "swahili", "document_title": "Dan Chupong", "passage_text": "Chupong Changprung (amezaliwa tar. 23 Machi 1981 mjini Kalasin, Thailand,[1] Kithai: ชูพงษ์ ช่างปรุง, jina la utani la Kithai: \"Deaw\") ni mwigizaji filamu za martial arts kutoka nchini Thailand. Pia anajulikana kwa jina lake alililopewa na watu Magharibi kama Dan Chupong (jina alilopewa linaandikwa mara mbili tofauti, huandikwa Choopong au Choupong, na jina la kwanza pia huitwa Danny).", "question_text": "Chupong Changprung alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "-9117661664579719034-0", "language": "swahili", "document_title": "David James Thouless", "passage_text": "David James Thouless (amezaliwa 21 Septemba, 1934) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aligundua m . Mwaka wa 2016, pamoja na Frederick Duncan Michael Haldane na John Michael Kosterlitz, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Alipewa tuzo kwa utafiti wake wa kinadharia katika maelezo ya tabia za mata katika hali karibu na sifuri halisi (ing. \"for theoretical discoveries of topological phase transitions and topological phases of matter\")[1][2][3]\n.", "question_text": "Je,David James Thouless alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1934", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "-7764667184923414096-4", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu mwaka 1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri ya Sheria ya kimataifa haieleweki.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Israeli ni upi?", "answers": [{"text": "Yerusalemu", "start_byte": 17, "limit_byte": 27}]} {"id": "7976939932265246050-0", "language": "swahili", "document_title": "Romano Prodi", "passage_text": "\nRomano Prodi (Scandiano 9 Agosti 1939) ni mchumi na mwanasiasa wa Italia. Aliwahi kuwa waziri mkuu wa Italia mara mbili: 1996-1998 na 2006-2008.", "question_text": "Romano Prodi alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1939", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "6268587187693335110-0", "language": "swahili", "document_title": "Makaburu", "passage_text": "Makaburu (kutoka Kiholanzi na Kiafrikaans boer inayomaanisha mkulima) ni jina la walowezi Wazungu wa Afrika Kusini na Namibia wanaotumia lugha ya Kiafrikaans. Wenyewe wanajiita mara nyingi Afrikaner yaani \"Waafrika\". ", "question_text": "Nini maana ya neno makaburu?", "answers": [{"text": "jina la walowezi Wazungu wa Afrika Kusini na Namibia wanaotumia lugha ya Kiafrikaans", "start_byte": 73, "limit_byte": 157}]} {"id": "4338492119595808238-1", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti za Kenya", "passage_text": "Katiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192, pamoja na ‘County Governments Act of 2012”. Kaunti hizi zilichukua nafasi za Mikoa ya Kenya. Mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992. ", "question_text": "Nchi ya Kenya ina kaunti ngapi?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 39, "limit_byte": 41}]} {"id": "5098978882474367330-1", "language": "swahili", "document_title": "Lagos", "passage_text": "Ikiwa na wakazi takriban milioni 12 katika eneo la jiji na milioni 15 - 22 katika rundiko la mji ni kati ya miji mikubwa zaidi ya Afrika; inawezekana kwamba idadi ya watu imeshapita ya Kairo, hivyo kuwa jiji lenye watu wengi barani Afrika[1].", "question_text": "Je,Lagos ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 12 katika eneo la jiji na milioni 15 - 22 katika rundiko la mji", "start_byte": 25, "limit_byte": 96}]} {"id": "-5787756843352907109-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza nchini Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-6026912976406838523-1", "language": "swahili", "document_title": "Rasi ya Italia", "passage_text": "Iko kusini mwa Ulaya ikizungukwa na Bahari Mediteranea pande tatu. Umbo lake ni kama mguu unaocheza mpira na mpira ni kisiwa cha Sisilia.", "question_text": "Italia iko pande gani ya dunia?", "answers": [{"text": "kusini mwa Ulaya", "start_byte": 4, "limit_byte": 20}]} {"id": "-5418736903636202100-7", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Kuku huweza kuishi kwa miaka mitano mpaka kumi na moja kadiri ya spishi husika. Kuku wa biashara hukua kwa wiki sita tu kabla ya kuchinjwa. Kuku wanaokula kwa kutangatanga huweza kuchinjwa kuanzia wiki ya 14 na kuendelea. Kuku maalumu wa mayai huweza hata kutaga mayai 300 kwa mwaka kila mmoja. Baada ya mwaka mmoja uwezo wa kuku kutaga hupungua na kuku hao huchinjwa kwa ajili ya nyama. Kuku aliyevunja rekodi ya dunia, ni yule aliyeishi kwa zaidi ya miaka 16.", "question_text": "Je,kuku anaweza taga takriban mayai ngapi kwa siku?", "answers": [{"text": "300 kwa mwaka", "start_byte": 269, "limit_byte": 282}]} {"id": "8219855319686882254-4", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "\nKilabu kilianzishwa kikijulikana kama Newton Heath L & YR F.C. mwaka wa 1878 kama timu ya kazi ya bohari la Reli la Lancashire na Yorkshire huko Newton Heath. Mashati ya kilabu hiyo yalikuwa ya kijani na nusu dhahabu. Walicheza kwenye uwanja mdogo, uliochakaa huko North Road kwa miaka kumi na mitano, kabla ya kuhamia Bank Street katika mji wa karibu wa Clayton mwaka wa 1893. Kilabu kilikuwa kimeingia ligi ya kandanda ya Football Leagu mwaka uliotangulia na kuanza kukatiza uhusiano wake na bohari la reli, na ikawa kampuni ya kujitegemea, ikimteua katibu wa kilabu na kudondoasha herufi “L&YR” kutoka jina lao na kujiita Newton Heath F.C. Muda mrefu haukupita, mwaka 1902, kilabu kilikaribia kufilisika, kikawa na madeni ya zaidi ya £2,500. Wakati mmoja, uwanja wao wa Bank Street ulifungwa na wadai wao.[10]", "question_text": "Je,Manchester United ilizinduliwa lini?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "-3399056132042380913-0", "language": "swahili", "document_title": "Vatikani", "passage_text": "\nMji wa Vatikani ni dola-mji lenye eneo la kilomita za mraba 0,44 tu. Hivyo ni nchi ndogo kuliko zote duniani. Pande zote inazungukwa na Italia.", "question_text": "Je, Vatikano ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 0,44", "start_byte": 43, "limit_byte": 65}]} {"id": "-958343429464141747-1", "language": "swahili", "document_title": "Leo Africanus", "passage_text": "Alizaliwa mnamo mwaka 1490 kwa jina la الحسن بن محمد الوزان (Al-Hasan ibn Mohammed al-Wassan) katika mji wa Granada uliokuwa mji mkuu wa dola la mwisho wa Waislamu katika Hispania. Baada ya kutekwa kwa mji na Wahispania Wakristo 1492 familia yake ilihamia Fes (Moroko). Hapo kijana alisoma kwenye chuo kikuu cha Al-Qairawin. ", "question_text": "Leo Africanus alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Granada", "start_byte": 125, "limit_byte": 132}]} {"id": "-5908105763292602473-3", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "1973 hadi 1978 alisoma fizikia kwenye chuo kikuu cha Leipzig. 1977 alifunga ndoa na mwanafunzi mwenzake Ulrich Merkel lakini ndoa hii ilitalikiwa 1982, ni hapa alipopata jina lake. Tangu 1978 aliajiriwa kwenye Taasisi Kuu kwa Kemia ya Kifizikia katika Berlin ya Mashariki. Hapa alimaliza tasnifu ya uzamifu mwaka 1986 iliyokubaliwa kwa heshima kuu \"magna cum laude\". Aliendelea na kazi kweye taasisi ya kemia ya kichanganuzi.", "question_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea fizikia katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Leipzig", "start_byte": 53, "limit_byte": 60}]} {"id": "-1233325873931697612-32", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mwaka kiongozi wa upande wa migambo ya uhuru Guerrero na jenerali wa jeshi la serikali Agustin de Iturbide walikutana wakapatana kuungana. Vikosi vingi vya jeshi la kikoloni vilihamia upande wao. Gavana mpya aliyefika kutoka Hispania aliamua kukubali uhuru uliotangazwa tarehe 28 Septemba 1821. Iturbide alikuwa rais wa kwanza na baadaye kwa kipindi kifupi Kaisari wa Mexiko hadi kujiuzulu mwaka 1823: hapo Mexiko ikaendelea kuwa jamhuri.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Meksiko alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Iturbide", "start_byte": 295, "limit_byte": 303}]} {"id": "6412989270276268904-2", "language": "swahili", "document_title": "Eire", "passage_text": "Mji mkuu ni Dublin.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ireland ni upi?", "answers": [{"text": "Dublin", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "8584385241601867404-6", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Gambia", "passage_text": "Hadi 1994 Gambia ilifuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi lakini mwaka ule uasi wa wanajeshi ulipindua serikali na kuwa chanzo cha utawala wa Yahya Jammeh aliyekuwa kiongozi, kwanza kama mwenyekiti wa kamati ya kijeshi, baadaye kama rais aliyechaguliwa mwaka 1996 na tena miaka 2001, 2006 na 2011. Isipokuwa mwaka 2001 wapinzani na watazamaji wa nje walilalamika ya kwamba kura hizi hazikuwa huru. ", "question_text": "Nani alikuwa rais wa kwanza wa Gambia?", "answers": [{"text": "Yahya Jammeh", "start_byte": 145, "limit_byte": 157}]} {"id": "5211584021382135275-2", "language": "swahili", "document_title": "Geline Alfred Fuko", "passage_text": "Alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria akiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania.\nAlipata Shahada ya Uzamili ya Maendeleo ya Jamii akiwa , Italy na Cornivus University Of Budapest, Hungary.", "question_text": "Geline Alfred Fuko alisomea chuo gani kikuu shahada ya kwanza?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 57, "limit_byte": 70}]} {"id": "9015388582293014306-0", "language": "swahili", "document_title": "The Jackson 5", "passage_text": "\nThe Jackson 5 lilikuwa kundi la muziki wa roki la nchini Marekani lililoundwa na wanamuziki watano; mmojawapo ni Michael Jackson. Nyimbo zilizoimbwa na kundi hili ni kama \"The Love You Save\", \"I Will Be There\", \"Mamas Pearl\" na \"Never Can Say Goodbye\".", "question_text": "Je,Kundi la Jacksons lina wanachama wangapi?", "answers": [{"text": "watano", "start_byte": 93, "limit_byte": 99}]} {"id": "-2263004720770704757-15", "language": "swahili", "document_title": "Vita ya uhuru wa Marekani", "passage_text": "Tarehe 4 Julai 1776 wawakilishi kutoka makoloni yote walitangaza uhuru wa Muungano wa Madola ya Amerika. Bado Waingereza walisonga mbele wakatwaa pia mji wa New York. ", "question_text": "Amerika ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1776", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "-5650537475375626679-238", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Yale ya karne hiyo yalitokana na kuelewa tofauti kweli za imani ya Kikristo na yalikuwa na ukali kwa sababu pande zote zilisadiki kwamba kushikilia kwa usahihi ufunuo wa Mungu ni suala la wokovu wa milele. Kwa mfano, Martin Luther aliandika, «Sikubali mafundisho yangu yahukumiwe na yeyote, hata kama ni malaika. Asiyekubali mafundisho yangu hawezi kufikia wokovu».[1]", "question_text": "Nani alianzisha kanisa la Kilutheri?", "answers": [{"text": "Martin Luther", "start_byte": 217, "limit_byte": 230}]} {"id": "2695179461773314709-9", "language": "swahili", "document_title": "Afrika", "passage_text": "Barani kuna nchi huru 54 zinazotambuliwa na Umoja wa Mataifa, maeneo 9 yenye hali ya pekee na madola mawili ambayo yanajitawala bila kutambuliwa kimataifa.", "question_text": "Africa ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "54", "start_byte": 22, "limit_byte": 24}]} {"id": "-1778607374179538475-3", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mji mkuu ni Nairobi. ", "question_text": "Mji mkubwa nchini Kenya ni?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-8844969702069822800-3", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mji mkuu ni Nairobi. ", "question_text": "Je,mji mkuu nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-4809496932653179383-4", "language": "swahili", "document_title": "Metorolojia", "passage_text": "vyombo vya kupima kasi na mwelekeo wa upepo kwa mahali fulani vinajulikana tangu anemomita iliyobuniwa Italia mnamo 1450. Habari hizi ni za kimsingi kwa kuelewa uhusiano kati ya hali ya hewa katima maeneo majirani; ni pia muhimu kwa kupanga kilimo kwa sababu zinatawala sehemu ya uvukizaji na ni habari za lazima kwa mpangilio wa usafiri kwa eropleni na pia meli.", "question_text": "Je, ni chombo kipi hupima upepo?", "answers": [{"text": "anemomita", "start_byte": 81, "limit_byte": 90}]} {"id": "6893024845231500485-24", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Demokrasia ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "994389460226381559-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Muziki wa hip hop ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "marekani", "start_byte": 91, "limit_byte": 99}]} {"id": "8595161275001135437-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.", "question_text": "Je, Tanzania ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "44,928,923", "start_byte": 56, "limit_byte": 66}]} {"id": "4486716290848210657-25", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo 1896 wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika mji mkuu Gitega ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina \"Urundi\". Hapa sawa na Rwanda na Bukoba Wajerumani walitumia mbinu ya eneo lindwa ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.", "question_text": "Mji mkuu Burundi ni upi?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 159, "limit_byte": 165}]} {"id": "822683285168602137-18", "language": "swahili", "document_title": "Yordani", "passage_text": "Yordani\nJamii:Nchi za Kiarabu\nJamii:Nchi za Asia\nJamii:Maeneo ya Biblia", "question_text": "Je,nchi ya Yordani iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "1999060509842652535-1", "language": "swahili", "document_title": "Mnyoo", "passage_text": "Maambukizi hutokea kwa njia ya kula chakula kilichoathiriwa na kinyesi chenye mayai ya minyoo aina ya Askaris. Buu wa mnyoo hutotolewa, na kujichimbia kupitia utumbo mdogo, hupita mpaka kwenye mapafu na mwishowe kufikia na kuhamia katika mfumo wa hewa. Kutoka hapo humezwa na mtu na hurudi tena na hukua na kukomaa katika utumbo kwa kuongezeka hadi sentimita 30 (inchi 12) kwa urefu na hujishikiza katika ukuta wa utumbo.", "question_text": "Je,mnyoo wa Ascaris lumbricoides unaweza kua hadi sentimita ngapi?", "answers": [{"text": "sentimita 30", "start_byte": 349, "limit_byte": 361}]} {"id": "2449579345162087814-0", "language": "swahili", "document_title": "R. Kelly", "passage_text": "Robert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly. Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play.", "question_text": "Mwimbaji R. Kelly alianza kuimba mwaka upi?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 289, "limit_byte": 293}]} {"id": "6370873026140471777-0", "language": "swahili", "document_title": "Fiziolojia", "passage_text": "Fiziolojia ni utafiti wa jinsi viumbe vinavyofanya kazi. Wanaikolojia wanaweza kujifunza jinsi viungo vya mwili vinavyofanya kazi pamoja ili kufanya mambo kutokea. ", "question_text": "Fiziolojia ni somo la nini?", "answers": [{"text": "utafiti wa jinsi viumbe vinavyofanya kazi", "start_byte": 14, "limit_byte": 55}]} {"id": "-5565835758032614817-2", "language": "swahili", "document_title": "Redio", "passage_text": "Mwaka 1886 Mjerumani Heinrich Hertz alitambua mawimbi ya sumakuumeme. Wataalamu na muhandisi mbalimbali walifanya majaribio katika miaka iliyofuata kutumia mawimbi haya kwa mawasiliano, kati yao Mwitalia Guglielmo Marconi, Mmarekani Nikola Tesla na Mrusi Alexander Popov. Kila mmoja ametajwa kama \"mtu wa kwanza aliyegundua rungoya\".", "question_text": "Nani alitengeneza redio la kwanza?", "answers": [{"text": "Guglielmo Marconi", "start_byte": 204, "limit_byte": 221}]} {"id": "-7320018581798771738-16", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Nyangumi wa bluu ndiye mamalia mkubwa zaidi aliyepata kuishi, na pia mnyama mkubwa, kufikia mpaka mita 35 kwa urefu na uzito wa tani 150.", "question_text": "Je,mnyama mkubwa zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Nyangumi wa bluu", "start_byte": 0, "limit_byte": 16}]} {"id": "7409705961000215385-0", "language": "swahili", "document_title": "John F. Kennedy", "passage_text": "John Fitzgerald Kennedy (29 Mei 1917 – 22 Novemba 1963) alikuwa Rais wa Marekani kuanzia mwaka 1961 hadi alipouawa. ", "question_text": "Je,John Kennedy aliuawa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-294625049808854348-0", "language": "swahili", "document_title": "Norwei", "passage_text": "Unowe (au Norwe au Norwei; kwa Kinorwei Norge/Noreg au rasmi huitwa Kongeriket Norge kwa Bokmål na Kongeriket Noreg kwa Nynorsk, Ufalme wa Unowe) ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini.", "question_text": "Je Oslo ni mji mkubwa wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Norwei", "start_byte": 19, "limit_byte": 25}]} {"id": "-4668449566912562689-1", "language": "swahili", "document_title": "Kuhara", "passage_text": "Sababu kuu ya maambukizo ya matumbo huwa ni kwa sababu ya kvirusi, bakteria, kimelea, au hali inayojulikana kama gastroenteritis. Maambukizo haya kwa kawaida hupatikana kutokana na chakula au maji ambayo yameambukizwa na kinyesi, au moja kwa moja kutoka kwa mtu mwingine ambaye ameambukizwa. Huenda ikagawanywa kwa aina tatu: kuhara maji kwa muda mfupi, kuhara damu kwa muda mfupi, na ukiwa utadumu kwa zaidi ya wiki mbili, kuhara kunaoendelea. Kuhara maji kwa muda mfupi huenda kukasababishwa na maambukizo ya kipindupindu. Ikiwa kuna damu inajulikana kama kuhara.[1] Kuna sababu kadhaa zisizo za kuambukizwa ambazo zinaweza pia kusababisha kuhara ikiwa ni pamoja na: hyperthyroidism, kutovumilia laktosi , ugonjwa wa kuvimba matumbo , baadhi ya dawa, na ugonjwa wa matumbo yanayowashwa kati ya sababu nyingine.[2] Katika visa vingi uchunguzi wa kinyesi hauhitajiki ili kuthibitisha sababu halisi.[3]", "question_text": "Chanzo kuu cha kuendesha ni gani?", "answers": [{"text": "kvirusi, bakteria, kimelea, au hali inayojulikana kama gastroenteritis", "start_byte": 60, "limit_byte": 133}]} {"id": "-6188712079455534809-7", "language": "swahili", "document_title": "Dameski", "passage_text": "Mji wa kisasa una eneo la km2 105. Eneo la km2 77 limetumiwa kwa majengo, makazi na mashamba, na eneo lililobaki ni mlima wa Qassioun.", "question_text": "Dameski ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km2 105", "start_byte": 26, "limit_byte": 33}]} {"id": "-249578768905916843-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukambi", "passage_text": "Ukambi (au surua) ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano yanayosababishwa na virusi vya ukambi.[1][2]", "question_text": "Chanzo kuu cha ugonjwa wa ukambi ni gani?", "answers": [{"text": "virusi vya ukambi", "start_byte": 95, "limit_byte": 112}]} {"id": "7793693522225923299-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "Kumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt), mmoja akajiuzulu (Richard Nixon), na wanne wakauawa (Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley, na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa 1789 bada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841, naye Franklin D. Roosevelt akahudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Barack Obama, aliyeapishwa 20 Januari 2009.", "question_text": "Rais wa kwanza wa marekani ni nani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 491, "limit_byte": 508}]} {"id": "2746863191260224230-1", "language": "swahili", "document_title": "Kiboko (mnyama)", "passage_text": "Kiboko (Hippopotamus amphibius) ni mamalia mkubwa wa familia ya Hippopotamidae. Nyumbani kwake ni bara la Afrika. ", "question_text": "Mnyama mkubwa zaidi anaitwaje?", "answers": [{"text": "Kiboko", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-6496168795936089614-1", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka 1922 na walowezi weupe wawili, George na Charles Hurst. Kampuni hii inamilikiwa na familia Dodd ya Kenya. Katika mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa wa kampuni walikuwa Wanakenya na kampuni hii ilifanikiwa sana.", "question_text": "East African Breweries ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-911241522295500174-3", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "Mji mkuu ni Khartoum. ", "question_text": "Mji mkuu wa Sudan unaitwa aje?", "answers": [{"text": "Khartoum", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "6737582092429734639-1", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Umoja huo ulianzishwa na nchi washindi wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa (1919 - 1946). Makubaliano yalifikiwa tarehe 24 Oktoba 1945 huko San Francisco, California. ", "question_text": "Umoja wa Mataifa ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 164, "limit_byte": 168}]} {"id": "-8633715858882811-0", "language": "swahili", "document_title": "Ushairi", "passage_text": "\nUshairi ni utungo wa kisanaa ulio na madhumuni ya kutumbuiza au kuelimisha. Tena, ushairi ni tawi mojawapo la fasihi andishi. Kinyume chake ni nathari.[1]", "question_text": "Ushairi ni nini?", "answers": [{"text": "utungo wa kisanaa ulio na madhumuni ya kutumbuiza au kuelimisha", "start_byte": 12, "limit_byte": 75}]} {"id": "-6783854557956764024-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Kaunda", "passage_text": "\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "question_text": "Je, Kenneth David Kaunda alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1924", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "-3737696203510659825-0", "language": "swahili", "document_title": "Karl Friedrich Benz", "passage_text": "Karl Friedrich Benz alizaliwa tar. 25 Novemba 1844 akiitwa Karl Friedrich Michael Vaillant huko Mühlburg / Karlsruhe Ujerumani wa Kusini Magharibi. Baada ya kumzaa mamake Josephine Vaillant akaolewa na babake Johann Georg Benz. Hivyo akaitwa Karl Friedrich Michael Benz lakini baadaye akajiita Carl Friedrich Benz.", "question_text": "Je,nani alitengeneza gari la kwanza la aina ya Benz?", "answers": [{"text": "Karl Friedrich Benz", "start_byte": 0, "limit_byte": 19}]} {"id": "949717595100129398-2", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "\nEneo la Marekani lina ukubwa wa kilometa mraba 9,826,675 na liko hasa katika bara la Amerika Kaskazini kati ya Kanada upande wa kaskazini na Meksiko upande wa kusini. ", "question_text": "Je,Marekani ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "9,826,675", "start_byte": 48, "limit_byte": 57}]} {"id": "4322545911296078701-1", "language": "swahili", "document_title": "Calgary Herald", "passage_text": "Jarida hili lilichapishwa kwa mara ya kwanza mnamo tarehe 31 Agosti ,1883 na Andrew Armour na Thomas Braden chini ya jina la The Calgary Herald, Mining and Ranche Advocate and General Advertiser. Jarida hili lilianza kama gazeti la kila wiki likiwa na kurasa nne zilizochapishwa kwa kutumia mashine yaliyotumia nguvu ya mikono. Operesheni zilikuwa ndogo, zikitumia hema iliyokuwa kando ya makutano ya mito Bow na Elbow kama ofisi yake. Katika mwaka wa 1885, Herald likawa gazeti la kuchapishwa kila siku lakini uchapishaji huo wa kila siku haukuanza hadi mwisho wa mwaka wa 1883. Tangu wakati huo mpaka Aprili 1985, lilikuwa gazeti la alasiri lakini hivi sasa ni gazeti linalosambazwa asubuhi. Mnamo Novemba 2000, gazeti la Herald likawa sehemu ya Kampuni ya Magazeti ya Southam (hivi sasa linaitwa Canwest News Service ambao ni mgawanyiko wa kampuni ya mawasiliano ya CanWest Global Communications)", "question_text": "Nani mwanzilishi wa gazeti ya The Calgary Herald?", "answers": [{"text": "Andrew Armour na Thomas Braden", "start_byte": 77, "limit_byte": 107}]} {"id": "-730102161527197425-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya (Kikuyu: Kĩrĩnyaga; Kiembu: Kirenia; Kimaasai: Ol Donyo Keri; Kimeru: Kirimara) ndio mrefu zaidi nchini Kenya. Mlima huu una urefu wa mita 5,199. Mlima huu unatokana na volkeno zimwe ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka milioni 2.6 hadi 3.1 iliyopita.", "question_text": "Mlima Kenya una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "mita 5,199", "start_byte": 148, "limit_byte": 158}]} {"id": "922479474281376219-1", "language": "swahili", "document_title": "Edith Masai", "passage_text": "Masai alizaliwa katika kijiji cha Chepkoya, wilaya ya Mlima Elgon. Alishindana wakati wake wa shule ya sekondari wakati alikuwa katika shule ya upili ya Kibuk. Alihitimlu kutoka skuli hiyo mwaka wa 1988. Alijiunga na Kenya Prisons Service mwaka wa 1990, inayojulikana sana kwa kusajili wanariadha wengi wenye vipaji. Masai hata hivyo, hakupata chochote hadi mwaka wa 1999, wakati akawa bingwa wa mbio za kuvuka nchi au “cross-county” ukipenda,akiwa na umri wa miaka 32. Baada ya ushindi huu, alianza kufanya mazoezi zaidi kwa umakini", "question_text": "Edith Chewangel Masai amezaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Chepkoya, wilaya ya Mlima Elgon", "start_byte": 34, "limit_byte": 65}]} {"id": "8584405034586988414-1", "language": "swahili", "document_title": "Nyota", "passage_text": "Kwa kutumia darubini na vifaa vya kisayansi imegunduliwa ya kwamba ni magimba makubwa sana katika anga ya nje yanayong'aa kwa sababu yanatoa mwanga, joto na aina mbalimbali za mnururisho kutokana na myeyungano wa kinyukilia ndani yake. Lakini ziko mbali sana na kwa hiyo tunaziona kama nukta ndogo za nuru. Kwa jumla nyota zinaonekana kwenye anga kwa mpangilio usiobadilika, na kila nyota huwa na mahali pake pasipobadilika kati ya nyota nyingine, hata kama nyota kwa jumla zinazunguka angani juu yetu kila siku.", "question_text": "Je,chombo gani hutumika kuangalia nyota angani?", "answers": [{"text": "darubini", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "4968797180589989992-29", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hii aina ya serikali imefanya Waethiopia kupata uhuru wa siasa lakini Uhuru wa idhaa na gazeti bado umefinyiliwa.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "-7530906436119468113-1", "language": "swahili", "document_title": "Jackie Aygemang", "passage_text": "Agyemang alizaliwa Kanada na ndiye kitinda mimba katika familia ya watoto watano. Maisha yake ya utotoni aliishi Kanada, na alihamia Ghana pamoja na wazazi wake mwaka 1993.[2] Yeye ni Ikijulikana Maiden yake yake kwa jina, Appiah.Anatambulika zaidi kwa jina lake la ukoo la Appiah. Agyemang aliolewa mwaka 2005 na ana mwana mmoja.", "question_text": "Jackie Agyemang ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "mmoja", "start_byte": 324, "limit_byte": 329}]} {"id": "-3994131003091144235-0", "language": "swahili", "document_title": "Neva", "passage_text": "\n\nNeva (kutoka Kilatini nervus kupitia Kiingereza nerve, asili kutoka Kigiriki νεῦρον, nevron inayomaanisha \"uzi\", \"kamba\"), pia mishipa ya fahamu, ni kundi la seli za pekee mwilini zenye kazi ya kuwasilisha habari kati ya ubongo na sehemu za mwili. ", "question_text": "Je,neva ni nini?", "answers": [{"text": "kundi la seli za pekee mwilini zenye kazi ya kuwasilisha habari kati ya ubongo na sehemu za mwili", "start_byte": 158, "limit_byte": 255}]} {"id": "-7014052801582502546-0", "language": "swahili", "document_title": "Italia", "passage_text": "Repubblica Italiana\n\nJamhuri ya ItaliaLugha rasmiKiitalia; kijimbo pia Kijerumani, Kifaransa, Kiladino, Kislovenia, KisardiniaMji MkuuRomaRaisSergio MattarellaWaziri MkuuGiuseppe ConteEneo301.338 km²Wakazi60,579,000 (31-7-2017) (23º duniani)Wakazi kwa km²201.7JPT31,022 US-$ (2008)PesaEuroWakatiUTC+1Wimbo wa TaifaFratelli d'Italia (Ndugu wa Italia)Sikukuu ya Jamhuri2 JuniSikukuu ya Taifa25 ApriliSimu ya kimataifa+39", "question_text": "Mji mkuu wa Italia ni upi?", "answers": [{"text": "Roma", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "7017555609375247863-1", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "Pasifiki iko kati ya Bara la Amerika upande wa mashariki na Bara la Asia / Australia upande wa magharibi. ", "question_text": "Bara kubwa duniani linaitwaje?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 68, "limit_byte": 72}]} {"id": "4075659251232999919-9", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Tarehe 24 Oktoba 1964, Zambia ikawa huru na waziri mkuu Kenneth Kaunda akawa rais wa kwanza. ", "question_text": "Je,nani rais wa kwanza wa Zambia?", "answers": [{"text": "Kenneth Kaunda", "start_byte": 56, "limit_byte": 70}]} {"id": "-5555850198267788218-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni ipi?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "-9046391938599330047-2", "language": "swahili", "document_title": "Lucy Kibaki", "passage_text": "Alikutana na Mwai Kibaki mwaka wa 1960, na walifunga ndoa mwaka wa 1962. Wanandoa wana watoto wanne: Judy Wanjiku, Jimmy Kibaki, David Kagai, na Tony Githinji. Bi. Kibaki ni mlezi wa Shirika la Chama cha Viongozi Wasichana.[1]", "question_text": "Mwai Kibaki ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 94, "limit_byte": 99}]} {"id": "-4138527087639218015-0", "language": "swahili", "document_title": "Mmea", "passage_text": "\nMimea ni moja kati ya makundi ya viumbe hai duniani ikijumuisha miti, maua, mitishamba n.k. Kuna zaidi ya aina 300,000 ya mimea.", "question_text": "Je, kuna aina ngapi ya mimea?", "answers": [{"text": "zaidi ya aina 300,000", "start_byte": 98, "limit_byte": 119}]} {"id": "7150684370159286980-0", "language": "swahili", "document_title": "Utaridi", "passage_text": "\n\nUtaridi (kwa Kiingereza Mercury) ni sayari iliyo karibu zaidi na jua letu katika mfumo wa jua na sayari zake. ", "question_text": "Sayari iliyo karibu na jua ni ipi?", "answers": [{"text": "Utaridi", "start_byte": 2, "limit_byte": 9}]} {"id": "-2143714962348943305-16", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Yesu alipokamatwa, Petro alijaribu kumtetea kwa upanga, halafu akamfuata kwa mbali pamoja na Yohane mpaka ndani ya ua wa nyumba ya kuhani mkuu. Ndipo woga ulipomfanya amkane Yesu mara tatu kwa kiapo kama alivyotabiriwa naye.", "question_text": "Je,Petro alimkana yesu mara ngapi?", "answers": [{"text": "tatu", "start_byte": 184, "limit_byte": 188}]} {"id": "1362268383070687198-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald \"Flash\" Gordon", "passage_text": "Donald \"Flash\" Gordon (17 Julai 1920) ni rubani shujaa wa vita wa Marekani. Alipiga risasi zaidi ya ndege 7 za Ujapani katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Alikuwa rubani wa kivita wa Kikosi cha Wanamaji wa Marekani na alipokea tuzo ya Distinguished Flying Cross.", "question_text": "Je,Donald \"Flash\" Gordon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1920", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "1876820529347701614-0", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "République françaiseJamhuri ya Kifaransa\n\n\n\n\n\nBendera ya UfaransaNembo la UfaransaNational motto: Uhuru, Usawa, Undugu\n(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)Lugha rasmiKifaransa1Mji mkuuParisMji mkubwaParisRais:Emmanuel MacronWaziri Mkuu:Eneo\n- Jumla2\n\n\n- Ufaransa bara3\n\n\n\n- % majiNafasi ya 42 \n 674,843 km² \n (260,558 sq. mi.)\n Nafasi ya 47 \n 551,695 km²4\n(213,011 sq. mi.)\n543,965 km²5\n(210,026 sq. mi.)\n 0.26%Wakazi\n(1 Januari 2014)\n- Total2\n- Ufaransa bara3\n- Density3Nafasi ya 20\n\n 66,616,416\n63,929,00\n116/km²GDP (PPP)\n - Jumla (2003)\n - GDP/mtuNafasi ya 5\n$1.661 Trillioni\n$27,600PesaEuro (€)6, CFP Franc7Kanda ya wakati\n- in summerCET (UTC+1)3\nCEST (UTC+2)3Wimbo wa taifaLa MarseillaiseInternet TLD.frCalling Code33\n1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa\n\n2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.\n\n3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)\n\n4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa \n\n5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi\n\n6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki\n\n7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee", "question_text": "Rais wa Ufaransa ni nani?", "answers": [{"text": "Emmanuel Macron", "start_byte": 219, "limit_byte": 234}]} {"id": "3361581911452137015-0", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "République françaiseJamhuri ya Kifaransa\n\n\n\n\n\nBendera ya UfaransaNembo la UfaransaNational motto: Uhuru, Usawa, Undugu\n(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)Lugha rasmiKifaransa1Mji mkuuParisMji mkubwaParisRais:Emmanuel MacronWaziri Mkuu:Eneo\n- Jumla2\n\n\n- Ufaransa bara3\n\n\n\n- % majiNafasi ya 42 \n 674,843 km² \n (260,558 sq. mi.)\n Nafasi ya 47 \n 551,695 km²4\n(213,011 sq. mi.)\n543,965 km²5\n(210,026 sq. mi.)\n 0.26%Wakazi\n(1 Januari 2014)\n- Total2\n- Ufaransa bara3\n- Density3Nafasi ya 20\n\n 66,616,416\n63,929,00\n116/km²GDP (PPP)\n - Jumla (2003)\n - GDP/mtuNafasi ya 5\n$1.661 Trillioni\n$27,600PesaEuro (€)6, CFP Franc7Kanda ya wakati\n- in summerCET (UTC+1)3\nCEST (UTC+2)3Wimbo wa taifaLa MarseillaiseInternet TLD.frCalling Code33\n1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa\n\n2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.\n\n3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)\n\n4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa \n\n5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi\n\n6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki\n\n7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee", "question_text": "Mji mkuu Ufaransa ni upi?", "answers": [{"text": "Paris", "start_byte": 194, "limit_byte": 199}]} {"id": "6636400886148886051-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,Annapurna ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "m 8,091", "start_byte": 362, "limit_byte": 369}]} {"id": "1368181852451061130-0", "language": "swahili", "document_title": "Dublin", "passage_text": "\nDublin (Kieire pia: Baile Átha Cliath = \"Kijiji kwenye kivuko kwa mafunjo\") ni mji mkuu wa Jamhuri ya Eire pia mji mkuu kwenye kisiwa cha Eire mwenye wakazi milioni 1.6 kwenye rundiko la jiji.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ireland ni upi?", "answers": [{"text": "Dublin", "start_byte": 1, "limit_byte": 7}]} {"id": "5165017036180079497-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uislamu", "passage_text": "Historia ya dini ya kiislamu haikuanza na Mtume Muhammad (SAW) kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa Nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adam alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake.", "question_text": "Uislamu ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "tangu alipoletwa Nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adam alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake", "start_byte": 107, "limit_byte": 405}]} {"id": "5437837670260909057-0", "language": "swahili", "document_title": "Kericho", "passage_text": "Kericho ni mji wa Kenya ya kusini magharibi na makao makuu ya kaunti ya Kericho katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki wenye wakazi 42,029 ambao pamoja na vitongoji wa nje hufikia 104,282 kwa eneo kubwa la mji[1].", "question_text": "Je,msitu wa Mau iko katika kaunti gani nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Kericho", "start_byte": 72, "limit_byte": 79}]} {"id": "-4076939324307990462-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Je,bahari ya Atlantiki ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 106,200,000", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}]} {"id": "-2319398940855036632-1", "language": "swahili", "document_title": "Elijah Masinde", "passage_text": "Masinde alizaliwa kati ya mwaka 1910-1912 katika eneo la Kimilili (leo: wilaya ya Bungoma) karibu na mlima Elgon. Ukoo wake ni Wabukusu ambao ni kati ya koo 18 za Waluhya.", "question_text": "Elijah Masinde alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "kati ya mwaka 1910-1912", "start_byte": 18, "limit_byte": 41}]} {"id": "617881063566082785-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vitabu vya Biblia", "passage_text": "Mwanzo (Kitabu cha Kwanza cha Musa)\n\nKutoka (Kitabu cha Pili cha Musa) \n\nWalawi (Kitabu cha Tatu cha Musa) \n\nHesabu (Kitabu cha Nne cha Musa) \n\nKumbukumbu la Sheria (Kumbukumbu la Torati; Kitabu cha Tano cha Musa) \n\nYoshua \n\nWaamuzi \n\nRuthu (Kitabu cha Ruthi) \n\nSamueli I \n\nSamueli II \n\nWafalme I \n\nWafalme II \n\nMambo ya Nyakati I \n\nMambo ya Nyakati II \n\nEzra \n\nNehemia (Kitabu cha Pili cha Ezra) \n\nEsta \n", "question_text": "Kitabu cha kwanza kinaitwaje?", "answers": [{"text": "Mwanzo", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-360990416979956258-0", "language": "swahili", "document_title": "Dini ya Musambwa", "passage_text": "Dini ya Musambwa ni jumuiya ya kidini iliyoanzishwa na Elijah Masinde kati ya Wabukusu wa Kenya ya magharibi mnamo mwaka 1943. \"Musambwa\" ni neno la Kibukusu chenye maana ya \"roho, pepo\".", "question_text": "Jina Musambwa linatokana na nini?", "answers": [{"text": "neno la Kibukusu chenye maana ya \"roho, pepo", "start_byte": 141, "limit_byte": 185}]} {"id": "4165146810960405206-0", "language": "swahili", "document_title": "Victor Wanyama", "passage_text": "Victor Mugubi Wanyama (; alizaliwa 25 Juni 1991) ni mchezaji wa kulipwa wa Kenya ambaye anacheza kama kiungo wa kujihami kwa klabu ya Southampton na ni nahodha wa timu ya taifa ya Kenya .[1] Akiwa uwanjani, Wanyama, ni anajulikana kwa ajili ya sifa za uwanamichezo na za uongozi.[1]", "question_text": "Je,Victor Wanyama alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "25 Juni 1991", "start_byte": 35, "limit_byte": 47}]} {"id": "-5907018000218107156-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ufaransa", "passage_text": "Matatizo makali ya kiuchumi pamoja na mawazo mapya ya Zama za Mwangaza yalisababisha mapinduzi ya Kifaransa ya mwaka 1789. ", "question_text": "Je,mapinduzi ya ufaransa ulianza lini?", "answers": [{"text": "1789", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "-7382793739880371550-4", "language": "swahili", "document_title": "Dunia", "passage_text": "Umri wa dunia hukadiriwa kuwa miaka bilioni 4.5[1][2]. ", "question_text": "Je, dunia ina miaka mingapi?", "answers": [{"text": "bilioni 4.5", "start_byte": 36, "limit_byte": 47}]} {"id": "-1007186958006128542-0", "language": "swahili", "document_title": "Kamerun", "passage_text": "Jamhuri ya Kamerun \nRépublique du Cameroun \nRepublic of Cameroon\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Kamerun)(Coat of Arms of Cameroon)Kaulimbiu ya Taifa Paix, Travail, Patrie\n(Kifaransa: Amani, Kazi, Taifa | Wimbo wa TaifaChant de Ralliement wimbo wa faraja | Lugha ya TaifaKifaransa, KiingerezaMji MkuuYaoundéMji MkubwaDoualaRais wa Kamerun \n Waziri mkuu wa KamerunPaul Biya\nPhilémon YangEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwa475,440 km² \n 1.3%\nKadiriwa 52 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Umma kugawa na Eneo (kilomita)16,380,005 Kadiriwa 59 duni \n sensa (2003) \n; 34/km² (138 duni)Pato la uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$32.35 Bilioni ((91 ) kadir) \n$2,176 140 duniUhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ufaransa, Uingereza \n 1 Januari 19602]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "question_text": "Je,Tanzania ina Mikoa ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 123, "limit_byte": 125}]} {"id": "6755412137380091839-0", "language": "swahili", "document_title": "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta", "passage_text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta iliyoko jijini Nairobi, ni Hospitali kongwe zaidi nchini Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1901 na uwezo wa vitanda takribani 40 kama Native Civil Hospital, ilibadilishwa jina na kuitwa King George VI mwaka 1952. Wakati huo,masetla walikuwa wakihudumiwa na hospitali ya jamii iliyoko karibu, European Hospital (sasa inaitwa Nairobi Hospital). Ilibadilishwa jina hadi Kenyatta National Hospital - baada ya Jomo Kenyatta - kufuatia uhuru kutoka Uingereza. Kwa sasa ndiyo hospitali kubwa ya rufaa na mafundisho nchini.", "question_text": "Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "-8780257515082505104-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vyama vya kisiasa nchini Kenya", "passage_text": "Kenya ilikuwa na vyama vya kisiasa vilivyosajiliwa zaidi ya 160 kufikia mwezi Novemba mwaka wa 2007 [1] lakini kufuatia kupitishwa kwa sheria maalum ya vyama vya siasa tarehe 31 Desemba 2008, idadi ya vyama vilivyoandikishwa ilipungua hadi 38 huku vyama kadhaa vikiongezewa muda wa kujilinganisha na sheria hii mpya.[1][2][2][3][3]", "question_text": "Je,Kenya ina idadi ya vyama vya kisiasa ngapi mwaka 2019?", "answers": [{"text": "38", "start_byte": 240, "limit_byte": 242}]} {"id": "-5805385109321410268-7", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Zimbabwe", "passage_text": "Baada ya miaka 14 ya kutengwa kimataifa na kupigana na raia Waafrika katika miaka ya 1970, mapatano ya mwaka 1979 yalikubali wakazi wote wawe na haki ya kupiga kura na nchi ikawa huru kweli kwa jina la Zimbabwe mwaka 1980.", "question_text": "Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 217, "limit_byte": 221}]} {"id": "2345726003065194416-198", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Watawa wa kike hawakuweza kufuata mtindo uleule: waliishi kimonaki lakini kwa kuzingatia ufukara na udugu wa Kifransisko na kwa kuombea utume wa hao ndugu wadogo. Klara wa Asizi (1193-1253), “mche mdogo” wa Fransisko, ndiye mwanamke wa kwanza kutunga kanuni ya kitawa. Tapo hilo ni maarufu kwa marekebisho yaliyofuatana hadi leo kuhusu ufukara.", "question_text": "Mtawa wa kike wa kwanza anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Klara wa Asizi (1193-1253), “mche mdogo”", "start_byte": 163, "limit_byte": 207}]} {"id": "1007274821420252199-0", "language": "swahili", "document_title": "Lome", "passage_text": "\n\nLomé ni mji mkuu wa Togo katika Afrika ya Magharibi pia mji mkubwa wa nchi hii pamoja na kitovu chake cha kiutawala na kiuchumi ikiwa na wakazi wanaokadiriwa kuwa 796,000 (mwaka 2006). Iko mwambanoni wa Ghuba ya Guinea ya Atlantiki kwenye pwani fupi ya Togo yenye upana wa 52 km pekee. Mji uko karibu na mpaka wa Ghana. ", "question_text": "Eneo la Lomé lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "52 km", "start_byte": 276, "limit_byte": 281}]} {"id": "884091745059980591-18", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uturuki", "passage_text": "Jamhuri ya Uturuki ilianzishwa mwaka 1923 na jenerali Kemal Atatürk baada ya vita vikuu vya kwanza, vilivyomalizika kwa kuvunja Milki ya Osmani, na vita vilivyofuata, vya kuondoa wanajeshi wa Ugiriki na nchi nyingine walioingia ndani ya sehemu iliyokuwa imebaki baada ya kuvunjika kwa dola kubwa.", "question_text": "Nani alikuwa rais wa kwanza wa Uturuki?", "answers": [{"text": "Kemal Atatürk", "start_byte": 54, "limit_byte": 68}]} {"id": "5063482432587108062-0", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Koninkrijk der Nederlanden\n\nUfalme wa Nchi za Chini\n\n\n\n\n\nBenderaNembo Hadabu ya Taifa: Je maintiendrai \n (Kifaransa)\n kwa Kiswahili, Nitastahimili Lugha za Taifa\nKiholanzi\n kwa mkoa wa Friesland: KifrisiMji MkuuAmsterdamMakao ya SerikaliDen HaagMfalmeKoning Willem-AlexanderWaziri Mkuu Mark RutteEneo\n- Jumla \n- % Maji\n 41,526 km² \n 18.41Umma\n- Jumla \n- msongamano\n 16,856,620 (Julai 2014)\n 406.4/km²GDP\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n\n $625 bilioni \n $ 30,500Uhuru\n- Tangazwa\n- KukubaliwaKutoka Hispania\n 26 Julai 1581 \n 30 Januari 1648FedhaEuro € EURSaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWilhelmusTLD mtandao.nlKodi ya simu31", "question_text": "Mji mkuu wa Uholanzi unaitwa aje?", "answers": [{"text": "Amsterdam", "start_byte": 211, "limit_byte": 220}]} {"id": "-3642588908531533752-1", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Uholanzi ni nchi ya Ulaya ya Magharibi. Imepakana na Ujerumani upande wa mashariki, Ubelgiji upande wa kusini na Bahari ya Kaskazini (North Sea) upande wa magharibi na kaskazini. ", "question_text": "Je,Uholanzi iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 20, "limit_byte": 25}]} {"id": "2029963707862033006-12", "language": "swahili", "document_title": "Twiga", "passage_text": "Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.", "question_text": "Je,Twiga hubeba uja uzito kwa muda gani?", "answers": [{"text": "siku 400 mpaka 460", "start_byte": 23, "limit_byte": 41}]} {"id": "721854205468854244-4", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Mji mkuu ni Madrid ambayo ni pia mji mkubwa wa nchi. ", "question_text": "Mji mkuu wa Hispania ni upi?", "answers": [{"text": "Madrid", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "3371680840288823072-5", "language": "swahili", "document_title": "Gabon", "passage_text": "\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.", "question_text": "Nani alikuwa rais wa kwanza wa Gabon?", "answers": [{"text": "Léon M'ba", "start_byte": 107, "limit_byte": 117}]} {"id": "6653229900703667698-72", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Teide (m 3,718) - Tenerife katika visiwa vya Kanari, wa juu katika Hispania\nMlima Paget (m 2,935) - South Georgia\nMlima Fogo (m 2,829) - Fogo, Cape Verde\nRoque de los Muchachos (m 2,423) - La Palma katika visiwa vya Kanari\nMlima Pico (m 2,351) - Pico (Azori), visiwa vya Azori, wa juu katika Ureno\nQueen Mary's Peak (m 2,062) - Tristan da Cunha\nPico de São Tomé (m 2,024) - São Tomé", "question_text": "Je,mlima Teide ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "3,718", "start_byte": 9, "limit_byte": 14}]} {"id": "2073393232802801428-2", "language": "swahili", "document_title": "Don Riddell", "passage_text": "Riddell alihudhuria Chuo Kikuu cha Leeds na kufuzu kwa shahada ya Uandishi habari / Mawasiliano na Masomo ya Utamaduni.", "question_text": "Je,Don Riddell alisomea katika chuo gani kikuu?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha Leeds", "start_byte": 20, "limit_byte": 40}]} {"id": "1425027790793710353-3", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Asili ya mwanzo kabisa na jinsi \"Bongo flava\" ilivyoanzishwa nchini Tanzania ni kutokana na Taji Liundi akiwa kama kiini cha hadithi hii. Kifupi hakuna asili bila yeye.\nTaji Liundi pia anajulikana kama Master T, mwasisi, mwanzilishi na vilevile mtayarishaji wa kipindi cha Dj Show alishaanza kupiga nyimbo za wasanii wa ndani tangu mwishoni mwa miaka ya 1994. Mike Mhagama baadaye akajiunga na kipindi akiwa chini ya ukufunzi wa Master T. Aliendelea na kutangaza kipindi hicho peke yake hata baada ya Master T kuondoka Radio One mnamo 1996.", "question_text": "Muziki wa bongo ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Taji Liundi", "start_byte": 92, "limit_byte": 103}]} {"id": "-2083738208475199238-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-2898477171840938677-1", "language": "swahili", "document_title": "Nyuki", "passage_text": "Spishi inayojulikana hasa ni nyuki-asali (Apis mellifera) ambaye hufugwa kila mahali duniani. Kuna spishi zaidi ya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi Apis wanaotengeneza asali inayovunwa kwa matumizi ya binadamu. ", "question_text": "Kuna aina ngapi ya nyuki?", "answers": [{"text": "zaidi ya 20,000", "start_byte": 106, "limit_byte": 121}]} {"id": "-2781216931410376052-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanga (kundinyota)", "passage_text": "Hadi karne 19 kundinyota hii ilitazamiwa kuwa sehemu ya kundinyota kubwa zaidi iliyoitwa Argo Navis, mara nyingi pekee \"Navis\" (yaani merikebu) iliyokuwa moja ya kundinyota 48 zilizoorodheshwa na Klaudio Ptolemaio. Lacaille alihesabu ndani yake nyota 180 na hivyo alianza tayari kugawa Argo Navis kwa sehemu tatu za Mkuku (Carina), Shetri (Puppis) na Tanga (Vela). Hii ilithibitishwa na Umoja wa Kimataifa wa Astronomia katika orodha ya kundinyota 88 za kisasa iliyotolewa mwaka 1930. [2]", "question_text": "Merikebu ya Argo ina nyota ngapi?", "answers": [{"text": "180", "start_byte": 251, "limit_byte": 254}]} {"id": "7274808780375168584-2", "language": "swahili", "document_title": "Mauaji ya kimbari ya Rwanda", "passage_text": "Ujumbe wa majaji wa Ufaransa Jumamosi waliwasili mjini Kigali kwa lengo la kuchunguza chanzo cha mauaji ya kimbari ya Rwanda na kuanguka kwa ndege iliyokuwa imembeba Juvenail Habyarimana rais wa wakati huo wa Rwanda. ", "question_text": "Je,nani alikuwa rais wa Rwanda wakati wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda?", "answers": [{"text": "Juvenail Habyarimana", "start_byte": 166, "limit_byte": 186}]} {"id": "4122955656897761108-4", "language": "swahili", "document_title": "Paul Tergat", "passage_text": "Yeye amekuwa na mashindano makali na rafiki yake Haile Gebrselassie wa Ethiopia. Katika fainali ya mbio ya Olimpiki ya 10,000m Olimpiki ya Atlanta ya 1996 na za Olimpiki ya Sydney ya 2000,alishindwa na Gebrselassie kwa muda mdogo sana. Katika mwaka wa 2000, Gebrselassie alipata ushindi kwa tusui wa sekunde tu.", "question_text": "Sydney iliandaa michezo olimpiki mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 183, "limit_byte": 187}]} {"id": "8766083035164533580-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Je,rais wa kwanza nchini Kenya aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Jomo Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-5921363561350507996-3", "language": "swahili", "document_title": "Aina za maneno", "passage_text": "Nomino hufanya kazi ya kutaja jina la mtu, kitu au mahali. Kwa mfano: baba, Tanzania, ugonjwa n.k.", "question_text": "Nomino ni nini?", "answers": [{"text": "hufanya kazi ya kutaja jina la mtu, kitu au mahali", "start_byte": 7, "limit_byte": 57}]} {"id": "-1280595837066106580-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Hispania iko na wakaji wangapi?", "answers": [{"text": "44.395.286", "start_byte": 81, "limit_byte": 91}]} {"id": "6635222938435194688-2", "language": "swahili", "document_title": "Jibuti", "passage_text": "Jina la nchi linatokana na lile la mji mkuu, Jibuti.", "question_text": "Je, mji mkuu wa Jibuti ni upi?", "answers": [{"text": "Jibuti", "start_byte": 45, "limit_byte": 51}]} {"id": "7248242511339246801-0", "language": "swahili", "document_title": "Karl Peters", "passage_text": "\n\nKarl Peters au Carl Peters (27 Septemba 1856 – 10 Septemba 1918) alikuwa mpelelezi na mwanasiasa Mjerumani aliyeanzisha koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani.", "question_text": "Karl Peters alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1856", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-4471422160350739850-1", "language": "swahili", "document_title": "Buganivilia", "passage_text": "Waandishi tofauti wanakubali kuwa kuna kati ya spishi 4 na 18 katika jenasi hii. Mimea hii iligunduliwa nchini Brazili mnamo mwaka wa 1768 na Philibert Commerçon, msomi wa mimea kutoka nchi ya Ufaransa alipokuwa akimwandama mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Kifaransa na mpelelezi Louis Antoine de Bougainville wakati wa safari yake ya kuizunguka dunia. ", "question_text": "Kuna aina ngapi ya maua ya Buganivilia?", "answers": [{"text": "spishi 4 na 18", "start_byte": 47, "limit_byte": 61}]} {"id": "8234682732287813478-1", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "Israel (kwa Kiebrania: מדינת ישראל - Medinat Yisra'el; kwa Kiarabu: دَوْلَةْ إِسْرَائِيل - dawlat Isrā'īl) ni nchi ya Mashariki ya Kati kwenye mwambao wa mashariki wa Mediteranea. ", "question_text": "Je,Israeli iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Mashariki ya Kati", "start_byte": 149, "limit_byte": 166}]} {"id": "8837267633363293739-0", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Mark Elliot Zuckerberg (amezaliwa 14 Mei 1984) ni mjasiriamali Mmarekani anayejulikana kama mwanzilishi mwenza wa tovuti maarufu ya urafiki mtandao ya Facebook. Zuckerberg alianzilisha Facebook pamoja na wanafunzi wenzake Dustin Moskovitz, Eduardo Saverin, na Chris Hughes wakati wakihudhuria Chuo Kikuu cha Harvard. Zuckerberg ndiye Afisa Mkuu Mtendaji wa Facebook.[2] Amekuwa mada ya utata kuhusu asili ya biashara yake. [3]", "question_text": "Mtandao wa kijamii ya facebook ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Zuckerberg alianzilisha Facebook pamoja na wanafunzi wenzake Dustin Moskovitz, Eduardo Saverin, na Chris Hughes", "start_byte": 161, "limit_byte": 272}]} {"id": "-1095802956791239127-3", "language": "swahili", "document_title": "Galileo Galilei", "passage_text": "Galileo alisomeshwa kwenye shule ya monasteri akaendelea kusoma tiba mjini Firenze lakini akaacha masomo hayo akachukua hisabati badala yake.", "question_text": "Je Galileo Galilei alisomea chuo kipi?", "answers": [{"text": "monasteri", "start_byte": 36, "limit_byte": 45}]} {"id": "866564090124209736-2", "language": "swahili", "document_title": "Betri ya gari", "passage_text": " ya magari ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuanza kutumia betri ya kwanza ya gari mwakani 1918 kabla haijaidhinishwa na Shirika la kukagua mabetri la .", "question_text": "Betri ya kwanza ya gari ilizinduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1918", "start_byte": 84, "limit_byte": 88}]} {"id": "7121163450394896499-6", "language": "swahili", "document_title": "Bandari", "passage_text": "Kuna mabandari yanayopokea mizigo ya kila aina kama bandari ya Dar es Salaam au Mombasa. ", "question_text": "Bandari kubwa nchini Kenya iko wapi?", "answers": [{"text": "Mombasa", "start_byte": 80, "limit_byte": 87}]} {"id": "-967987367321267223-0", "language": "swahili", "document_title": "Maharagwe", "passage_text": "Maharagwe (pia: maharage) ni mbegu za mimea mbalimbali (miharagwe) kutoka familia ya Fabaceae lakini mara nyingi sana Phaseolus vulgaris.", "question_text": "Jina la kisayansi la maharagwe ni nini?", "answers": [{"text": "Phaseolus vulgaris", "start_byte": 119, "limit_byte": 137}]} {"id": "-3196158340943138688-0", "language": "swahili", "document_title": "Linet Masai", "passage_text": "Linet Masai Chepkwemoi (alizaliwa mnamo 5 Desemba 1989 sehemu ya Kapsokwony, Wilaya ya Mlima Elgon) ni mkimbiaji wa masafa marefu kutoka Kenya na mshindi wa mbio za mita 10,000 katika mashindano ya dunia ya IAAF ya mwaka wa 2009 yaliyofanyika katika mji mkuu wa Berlin, Ujerumani.", "question_text": "Je,Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "5 Desemba 1989", "start_byte": 41, "limit_byte": 55}]} {"id": "5672764325908410159-1", "language": "swahili", "document_title": "Mwai Kibaki", "passage_text": "Kibaki alisoma uchumi, historia na sayansi ya siasa katika chuo kikuu cha Makerere, Kampala, Uganda. Akiwa mwanafunzi Makerere, Kibaki alikuwa ni mwenyekiti wa chama cha wanafunzi toka Kenya, Kenya Students' Association. Alipomaliza masomo yake mwaka 1955 alipewa tuzo kutokana na kufanya vyema katika mitihani. Tuzo hiyo ilimwezesha kwenda kusoma katika chuo cha London School of Economics. Alipomaliza masomo alikwenda kufundisha katika chuo kikuu cha Makerere. Baadaye aliacha kazi ya kufundisha na kuwa mtendaji mkuu wa chama cha Kenya African National Union.", "question_text": "Je,Mwai Kibaki alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Makerere", "start_byte": 74, "limit_byte": 82}]} {"id": "-3502233397556694553-0", "language": "swahili", "document_title": "Manga (Tarime)", "passage_text": "Manga ni kata ya Wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania yenye postikodi namba 31413 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,249 waishio humo.[2]", "question_text": "Je, Manga ni nini?", "answers": [{"text": "kata ya Wilaya ya Tarime katika Mkoa wa Mara, Tanzania yenye postikodi namba 31413", "start_byte": 9, "limit_byte": 91}]} {"id": "1975110692797267695-0", "language": "swahili", "document_title": "Zakaria Kibona", "passage_text": " Zakaria Kibona (amezaliwa 14 Machi 1990 mjini Dar es Salaam) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Tanzania, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Atlantis FC inayoshiriki katika ligi ya pili ya Ufini katika mji mkuu wa Helsinki nchini Ufini.", "question_text": "Je,Zakaria Kibona alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "14 Machi 1990", "start_byte": 27, "limit_byte": 40}]} {"id": "-9005683455969125421-0", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Kipimajoto (mara nyingine themomita) ni kifaa cha kupima jotoridi. Aina ya kipimajoto kinachotumika zaidi ni ile iliyotengenezwa kwa kuweka zebaki (mercury) katika gilasi. Aina hii imeundwa na gilasi ya kapilari ambayo katika ncha moja ina tunguu ilijazwa zebaki na ncha ya upande mwingine imezibwa. Kifaa hufungwa pande zote ili kutunza umbwe ndani ya kapilari. Jotoridi hupimwa kwa kusoma kiasi cha zebaki iliyopanda katika kapilari kutokana na mabadiliko ya joto katika vipimo vilivyoandikwa kwenye kapilari. Zebaki inatumika sana katika kupima jotoridi. Spiriti, etha na vimiminika vingine vyenye tabia zinazohitajika vinaweza kutumika kwa dhumumi hilo.", "question_text": "Je,chombo cha kupima joto mwilini kinaitwa vipi?", "answers": [{"text": "Kipimajoto", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "1861556807685153091-14", "language": "swahili", "document_title": "Manowari", "passage_text": "Manowari ya pekee imejulikana kwa jeshi la Wamisri, Wababiloni au Wachina tangu milenia ya kwanza KK. Ziliendeshwa pia kwa makafi pamoja na tanga. Katika bahari isiyo na dhoruba kali makafi yalitumiwa kwenye manowari hadi karne ya 18 BK.", "question_text": "Meli ya kwanza ya kivita ilitengenezwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "milenia ya kwanza KK", "start_byte": 80, "limit_byte": 100}]} {"id": "994711082499567424-0", "language": "swahili", "document_title": "2030 (wimbo)", "passage_text": "2030 ni jina la kutaja wimbo uliotungwa na kuimbwa na msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Roma Mkatoliki. Wimbo ulirekodiwa mnamo mwaka wa 2012 kupitia studio ya Tongwe Records chini ya utayarishaji wake Jay Rider. Kama jinsi ilivyo kawaida ya Roma, wimbo unalenga masuala ya kijamii zaidi kuliko habari za starehe. Maelezo ya ndani yanabashiri au kutazamia namna Tanzania ya 2030 jinsi itakavyo kuwa. Hasa anaponda sera za serikali ya CCM namna inavyoendesha nchi na huu mmong'onyoko wa udini unaoendelea kuikumba Tanzania kwa kipindi hiki. ", "question_text": "Roma mkatoliki alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 96, "limit_byte": 104}]} {"id": "-5692683304909400924-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Amerika", "passage_text": "Historia ya awali inaanza na kilele cha Enzi ya barafu, watu walipoweka kuingia Alaska kupitia nchi kavu. Baada ya hapo watu hao na wajukuu wao hawakuwa tena na uhusiano na wale wa \"Dunia ya zamani\" (Afrika, Asia na Ulaya) mpaka walipofikiwa na Wazungu kutoka Norway (karne ya 10) na Christopher Columbus mwaka 1492.", "question_text": "Christopher Columbus aligundua Amerika mwaka upi?", "answers": [{"text": "1492", "start_byte": 311, "limit_byte": 315}]} {"id": "-7739365223719433521-0", "language": "swahili", "document_title": "Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda", "passage_text": "Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda (ing. International Criminal Tribunal for Rwanda, ICTR), au Tribunal pénal international pour le Rwanda (TPIR) kwa Kifaransa, ni mahakama ya kimataifa yaliyoanzishwa mnamo mwezi Novemba mwaka wa 1994 na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuwahukumu watu walisababisha mauaji ya kimbari ya Rwanda na hatia zingine kuu za sheria ya kimataifa nchini Rwanda, au raia wa Kirwanda katika nchi jirani, kati ya tarehe mosi Januari na tarehe Desemba mwaka wa 1994", "question_text": "Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1994", "start_byte": 238, "limit_byte": 242}]} {"id": "2312319134182154146-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mito nchini Tanzania", "passage_text": "Orodha ya mito nchini Tanzania inaitaja zaidi ya 2,000, lakini hiyo ni baadhi tu. ", "question_text": "Je, Tanzania ina mito ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "zaidi ya 2,000", "start_byte": 40, "limit_byte": 54}]} {"id": "-7853063299495499993-1", "language": "swahili", "document_title": "Waluo", "passage_text": "Waluo ni mkusanyiko wa kabila la Kiniloti ambalo lilisafiri kutoka Afrika ya Kaskazini kufuata mto Nile kuja Kusini. Waluo wengi wameenea kandokando ya Ziwa Viktoria kutokana na utamaduni wao wa uvuvi. ", "question_text": "Kabila la wajaluo lilitokea nchi gani?", "answers": [{"text": "Afrika ya Kaskazini", "start_byte": 67, "limit_byte": 86}]} {"id": "2745451680823443769-3", "language": "swahili", "document_title": "Ifakara", "passage_text": "Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 55,956 [1] walioishi humo. ", "question_text": "Mji wa Ifakara uko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "55,956", "start_byte": 75, "limit_byte": 81}]} {"id": "4753811797775859752-0", "language": "swahili", "document_title": "Timu ya Taifa ya Kandanda ya Kenya", "passage_text": "Timu ya taifa ya soka ya Kenya, iitwayo Harambee Stars , ni timu ya taifa ya Kenya na imedhibitiwa na Shirikisho la Soka la Kenya. Haijawahi kuhitimu kucheza katika Kombe la Dunia.", "question_text": "Je,jina la timu la taifa ya soka la Kenya inaitwaje?", "answers": [{"text": "Harambee Stars", "start_byte": 40, "limit_byte": 54}]} {"id": "2692726080756138253-0", "language": "swahili", "document_title": "Bujumbura", "passage_text": "Bujumbura, ni mji mkuu wa Burundi unaokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi 300,000. Mji upo kaskazini mashariki mwa Ziwa Tanganyika, na ni mji mkubwa zaidi Burundi, kitovu cha mawasiliano na uchumi nchini humo. ", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi ni upi?", "answers": [{"text": "Bujumbura", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "-2598319262472515986-0", "language": "swahili", "document_title": "The Hard Part", "passage_text": "\"The Hard Part\" ni sehemu ya ishirini na moja ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, Heroes. Ni sehemu ya kwanza katika sehemu tatu za mwisho za msimu wa kwanza.[1] Jina linatokana na mstari wa mwisho wa Hiro kwenye sehemu iliyopita, \"Now the hard part.\" Pia ni mstari wa kwanza kwenye kipengele hiki.", "question_text": "Je,sehemu ya hard part inapatikana katika filamu gani?", "answers": [{"text": "Heroes", "start_byte": 158, "limit_byte": 164}]} {"id": "-4126492701211385112-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Je,mlima mgani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Mlima Everest", "start_byte": 66, "limit_byte": 79}]} {"id": "-1330346171024743502-2", "language": "swahili", "document_title": "Sami Khedira", "passage_text": "Mwaka 2015, alihamia Juventus iliyopo Italia kwa uhamisho wa bure, na mara moja alishinda cheo cha Serie A katika msimu wake wa kwanza na klabu hiyo.", "question_text": "Sami Khedira alijiunga na klabu ya Juventus mwaka gani?", "answers": [{"text": "2015", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "-498720162194070301-0", "language": "swahili", "document_title": "Arithropodi", "passage_text": "\nArthropodi ni kundi kubwa la wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo. Mifano ni wadudu, nge, buibui au kaa. Katika uainishaji wa kisayansi wamejumlishwa katika faila ya Arthropoda.", "question_text": "Je,buibui iko katika spishi gani ya wadudu?", "answers": [{"text": "Arthropodi", "start_byte": 1, "limit_byte": 11}]} {"id": "1326198114477292580-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Batman", "passage_text": "Batman (kifupi cha milima ya Bati Raman) ni jina la mkoa uliopo nchini Uturuki, ambao unajulikana sana kwa kuwa na Wakurdi wengi sana[1][2]. Upo mjini kusini-mashariki mwa Anatolia. Mkoa una idadi ya wakazi wapatao 500,000.", "question_text": "Je,mji wa Batman ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "500,000", "start_byte": 216, "limit_byte": 223}]} {"id": "243176614531602803-0", "language": "swahili", "document_title": "Ubongo", "passage_text": "\n\n\nUbongo ndio kiini cha mfumo wa neva katika wanyama wote wenye ugwemgongo, na wengi wa wanyama wasio na ugwemgongo.[1] Baadhi ya wanyama wasiositawi, kama vile konyeza na kiti cha pweza, wana mfumo wa neva uliogatuliwa bila ubongo, huku tipwatipwa wa bahari wakikosa mfumo wa neva kabisa. Katika wanyama wenye ugwemgongo, ubongo umo katika kichwa ukilindwa na mifupa ya fuvu na ukiwa karibu na viungo vya hisia za msingi yaani kuona, kusikia, kugusa, ladha na harufu.", "question_text": "Je, ubongo wa pweza una ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "wana mfumo wa neva uliogatuliwa bila ubongo", "start_byte": 191, "limit_byte": 234}]} {"id": "-2617368024602974766-29", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Wakikuyu waliamua kuanzisha chama chao cha kwanza cha harakati za kisiasa ambacho kiliitwa Young Kikuyu Association. Kiongozi wake alikuwa Harry Thuku. Sababu nyingine ya kuanzishwa kwa chama hiki ni kwamba Waafrika hawakuwa na mwakilishi katika siasa. Chama hicho kilianzishwa mwaka wa 1921. Baadaye jina la chama lilibadilishwa likawa Kenya African Union (KAU), shirika la kitaifa lilodai kuingia katika nchi iliyomilikwa na walowezi. Mwaka 1947, urais wa chama hiki ulitolewa kwa Jomo Kenyatta. ", "question_text": "Je,chama cha kisiasa cha kwanza nchini Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Young Kikuyu Association", "start_byte": 91, "limit_byte": 115}]} {"id": "-9072716054278778305-0", "language": "swahili", "document_title": "Shorobo", "passage_text": "\nShorobo au huruvi ni ndege wa familia Musophagidae. Spishi za jenasi Corythaixoides zinaitwa gowee pia na Tauraco fischeri anaitwa kulukulu. Spishi za jenasi Corythaixoides na Crinifer zina rangi ya kijivu na nyeupe, nyingine zina rangi ya majani, nyekundu, buluu na zambarau. Shorobo ni ndege wa pekee ambao wana pigmenti ya rangi ya majani inayoitwa turacoverdin. Ndege hawa wanatokea Afrika chini ya Sahara. Hawawezi kupuruka vizuri sana lakini hukimbia juu ya matawi ya miti. Hula matunda hasa na majani na maua pia, na mara chache hukamata wadudu na makoa. Hujenga tago lao kwa vijiti na jike hutaga mayai 2 au 3. Vinda wakitoka kwa mayai, wanapambwa na malaika mazito na macho yao ni wazi tayari au karibu.", "question_text": "Gowee ana rangi ngapi?", "answers": [{"text": "kijivu na nyeupe, nyingine zina rangi ya majani, nyekundu, buluu na zambarau", "start_byte": 200, "limit_byte": 276}]} {"id": "9129237585960559552-0", "language": "swahili", "document_title": "John Cena", "passage_text": "John Felix Anthony Cena (/ siːnə /; aliyezaliwa Aprili 23, 1977) ni mchezaji wa mzuri wa miereka,mwimbaji, mwigizaji, na mmiliki wa televisheni Kwa sasa amesajiliwa WWE kampuni inayo wadhamini wacheza miereka, Cena alianza kazi yake ya kukabiliana na michezo wa miereka mwaka 1999 na Ultimate Pro Wrestlingiliyoko marekani (UPW) na alishinda michuano ya UPW Heavyweight mwaka uliofuata. Cena ali saini makubaliano ya maendeleo na Shirikisho la Wrestling World (WWF), baadaye limeitwa jina la World Wrestling Entertainment, au tu (WWE) mwaka 2001, kuanzia kwenye orodha kuu ya WWE mwaka 2002.", "question_text": "Je,John Cena alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 61, "limit_byte": 65}]} {"id": "1673918052862372347-1", "language": "swahili", "document_title": "Maria wa Amani", "passage_text": "Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 119.", "question_text": "Wafransisko ni watu wa dini gani?", "answers": [{"text": "Katoliki", "start_byte": 23, "limit_byte": 31}]} {"id": "-3552631616295125983-5", "language": "swahili", "document_title": "Ngozi", "passage_text": "ngozi ya nje inayoitwa kwa lugha ya kitaalamu epidemisi (epidermis). Ina unene wa milimita 0.03 hadi 0.05 lakini imaweza kufikia unene wa milimita kadhaa chini ya miguu na kwenye makofi ya mikono. Haifikiwi na mishipa ya damu. Hii ngozi ya nje hasa ina kazi ya kukinga mwili.", "question_text": "Ngozi ya mwanadamu ina unene gani?", "answers": [{"text": "milimita 0.03 hadi 0.05", "start_byte": 82, "limit_byte": 105}]} {"id": "545147538456244632-5", "language": "swahili", "document_title": "Michezo ya Olimpiki", "passage_text": "Michezo ya kisasa hufanyika katika mji tofauti kila safari. Michezo ya 2004 ilifanyika Athens, ya 2008 huko Beijing na ya 2012 London.", "question_text": "Je,Olimpiki ya 2008 ilifanyika katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Beijing", "start_byte": 108, "limit_byte": 115}]} {"id": "6149339384919376664-7", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Nigeria", "passage_text": "JinaTarehe za uraisiAlikotokaMwanzoMwishoNamna ya kumaliza kipindiAbubakar Tafawa Balewa (Waziri Mkuu)1 Oktoba 196015 Januarii 1966Alipinduliwa na jeshiNorthern People’s CongressNnamdi Azikiwe1 Oktoba 196316 Januari 1966National Council of Nigeria and the CameroonsJohnson Aguiyi-Ironsi16 Januari 196629 Julai 1966Alipinduliwa na jeshijeshiniYakubu Gowon1 Agosti 196626 Julai 1975Alipinduliwa na jeshiJeshiniMurtala Mohammed29 Julai 197513 Februari 1976Kifo baada ya kujeruhiwa na waasi wa kijeshiJeshiniOlusegun Obasanjo13 Februari 19761 Oktoba 1979Alishindwa katika uchaguziJeshiniShehu Shagari1 Oktoba 197931 Desemba 1983Alipinduliwa na jeshiNational Party of NigeriaMuhammadu Buhari31 Desemba 198327 Agosti 1985Alipinduliwa na jeshiJeshiniIbrahim Babangida27 Agosti 198526 Agosti 1993alijiuzuluJeshiniErnest Shonekan26 Agosti 199317 Novemba 1993alijiuzulu(bila chama)Sani Abacha17 Novemba 19938 Juni 1998KifoJeshiniAbdulsalami Abubakar8 Juni 199829 Mei 1999Alishindwa katika uchaguziJeshiniOlusegun Obasanjo29 Mei 199929 Mei 2007Alishindwa katika uchaguziPeople's Democratic PartyUmaru Yar’Adua29 Mei 20075 Mei 2010KifoPeople's Democratic PartyGoodluck Jonathan5 Mei 2010People's Democratic Party", "question_text": "Rais wa kwanza wa Nigeria anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Nnamdi Azikiwe", "start_byte": 180, "limit_byte": 194}]} {"id": "-659465412043797254-0", "language": "swahili", "document_title": "Cassidy", "passage_text": "\nBarry Adrian Reese (amezaliwa tar. 7 Julai 1982) ni mwimbaji muziki wa rap kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Cassidy\n[1]", "question_text": "Je,Cassidy alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "7 Julai 1982", "start_byte": 37, "limit_byte": 49}]} {"id": "5397913654618467413-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Ziwa kubwa katika Amerika kaskazini linaitwaje?", "answers": [{"text": "Ziwa Superior", "start_byte": 208, "limit_byte": 221}]} {"id": "7918510720689031582-4", "language": "swahili", "document_title": "Kamusi za Kiswahili", "passage_text": "Kamusi ya kwanza inayojulikana ilitungwa mnamo 1848 na Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa (Kenya); ilikamilishwa na kutolewa kama \"A Dictionary of the Suahili language, London 1882\".[1] Kamusi inapatikana pia mtandaoni[2]. ", "question_text": "Kamusi ya kiswahili iliandikwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1848", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "201865307288935633-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Msalaba Mwekundu", "passage_text": "Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) ni taasisi ya kibinafsi ya kibinadamu iliyoanzilishwa mnamo mwaka wa 1863 mjini Geneva, Uswisi na Henry Dunant. Kamati hii inayojumuisha wanachama 25 ina mamlaka ya kipekee chini ya sheria ya kibinadamu ya kimataifa kulinda maisha na heshima ya walioathirika na migogoro mbalimbali ya kimataifa. ICRC imewahi kupatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel mara tatu (mwaka 1917, 1944 na 1963). [2]", "question_text": "Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu lilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1863", "start_byte": 116, "limit_byte": 120}]} {"id": "-5189486396386591464-0", "language": "swahili", "document_title": "Havana", "passage_text": "Havana (kihisp. La Habana) ni mji mkuu na mji mubwa wa Kuba kwenye 23°8′N 82°23′W. Kuna wakazi milioni 2.2. Tangu 1982 mji wa kale umepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia. ", "question_text": "Mji mkuu wa nchi ya Kuba unaitwaje?", "answers": [{"text": "Havana", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "6326453357527425546-1", "language": "swahili", "document_title": "Jackie Aygemang", "passage_text": "Agyemang alizaliwa Kanada na ndiye kitinda mimba katika familia ya watoto watano. Maisha yake ya utotoni aliishi Kanada, na alihamia Ghana pamoja na wazazi wake mwaka 1993.[2] Yeye ni Ikijulikana Maiden yake yake kwa jina, Appiah.Anatambulika zaidi kwa jina lake la ukoo la Appiah. Agyemang aliolewa mwaka 2005 na ana mwana mmoja.", "question_text": "Je,Jackie Agyemang ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "mmoja", "start_byte": 324, "limit_byte": 329}]} {"id": "-8489150614532837097-3", "language": "swahili", "document_title": "Tallinn", "passage_text": "Tangu 1918 Tallinn imekuwa mji mkuu wa Estonia huria.", "question_text": "Je, Mji mkuu wa Estonia ni gani?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 11, "limit_byte": 18}]} {"id": "-6864005341544209008-0", "language": "swahili", "document_title": "Scott Storch", "passage_text": "\nScott Storch (amezaliwa tar. 16 Desemba 1973) ni mtayarishaji wa rekodi za muziki kutoka nchini Kanada.[1][2] Amejipatia mafanikio kedekede kwenye medani ya muziki mbalimbali, hasa katika hip hop, pop, na R&B. Ana studio yake iitwayo Storch Music Company na pia anamiliki kampuni ya muziki iitwayo Tuff Jew Productions LLC.", "question_text": "Je,Scott Storch anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Scott Storch", "start_byte": 1, "limit_byte": 13}]} {"id": "-1424725162905704501-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Je,Christiano Ronaldo alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "1063568674599548980-3", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "\nMichezo mbalimbali ya kuchezea mpira inaweza kupatikana katika kila uwanja wa jiografia na historia. Wachina, Wajapani, Wakorea na Waitalia, wote hao walikuwa wakicheza mpira zamani kabla ya enzi zetu. Wagiriki na Waromania walitumia michezo hiyo kuwaandaa wapiganaji kabla ya vita. ", "question_text": "Je,mpira wa kandanda ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Wachina, Wajapani, Wakorea na Waitalia", "start_byte": 102, "limit_byte": 140}]} {"id": "1706216194438883019-0", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya Brookhouse", "passage_text": "Shule ya Kimataifa ya Brookhouse iko katika kitongoji mjini Nairobi, karibu kilomita 14 kutoka katikati ya jiji. Shule hii ilifunguliwa mnamo mwaka wa 1981 na sasa ina shule ya chekechea, ya msingi na ya upili. Kuna bweni malazi kwa wanafunzi 150. Vifaa vya michezo vilivyomo ni kama bwawa la kuogelea na nyanja za kuchezea mpira, mpira wa raga na kriketi Shule hii iko karibu na Mbuga ya wanyama ya Nairobi na eneo kubwa la mbuga hii inaweza kutizamwa kutoka kwa bweni ya wanafunzi.", "question_text": "Shule ya Kimataifa ya Brookhouse ilifunguliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 152, "limit_byte": 156}]} {"id": "5230386512218205648-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Je,mziki wa hip hop ilianza mwaka upi nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 101, "limit_byte": 105}]} {"id": "-6616185523005591987-0", "language": "swahili", "document_title": "Junior Braithwaite", "passage_text": "Franklin Delano Alexander Braithwaite, anafahamika zaidi kwa jina la Junior Braithwaite, (4 Aprili 1949 – 2 Juni 1999) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka mjini Kingston huko nchini Jamaika. Yeye mwanachama mdogo zaidi kutoka katika kundi la The Wailing Wailers. The Wailing Wailers lilikuwa kundi la sauti ambalo Bob Marley na Bunny Wailer walilianzisha mnamo 1963, pamoja wakiwa na Braithwaite, wakati muziki wa ska ulikuwa maarufu nchini Jamaika. ", "question_text": "Mziki aina wa reggae ulianzia kuimbwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Jamaika", "start_byte": 185, "limit_byte": 192}]} {"id": "-1835828423171386627-10", "language": "swahili", "document_title": "Leonardo da Vinci", "passage_text": "Babu yake, Ser Antonio, anajivunia kwa kuweka kumbukumbu ya maelezo. Wazazi wa Leonardo walikuwa hawajaoana. Baba yake alikuwa mwanasheria, Messer Piero Fruosino di Antonio da Vinci.[3][4] Mama yake, Caterina, alikuwa mhudumu. Yawezekana alikuwa mtumwa kutoka Mashariki ya Kati.[5][6] Jina kamili la Leonardo lilikuwa \"Leonardo di ser Piero da Vinci\", ambalo lina manaa ya \"Leonardo, mtoto wa Bwana Piero kutoka Vinci\".", "question_text": "Baba ya Leonardo Da Vinci ni nani?", "answers": [{"text": "Messer Piero Fruosino di Antonio da Vinci", "start_byte": 140, "limit_byte": 181}]} {"id": "1387741361250764993-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Je, nchi gani kubwa katika bara Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 90, "limit_byte": 97}]} {"id": "4230239530084907450-11", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "Tarehe 6 Oktoba 1889 Hans Meyer alikuwa mtu wa kwanza anayejulkikana kupanda mlima na kufika hadi kilele cha Kibo. Alichagua jina la \"Kaiser-Wilhelm-Spitze\" (\"Ncha ya Kaisari Wilhelm\"[7]).[8] That name apparently was used until Tanzania was formed in 1964,[9] when the summit was renamed \"Uhuru\", meaning \"Freedom Peak\" in Kiswahili.[10]", "question_text": "Je,nani wa kwanza kupanda mlima kilimanjaro?", "answers": [{"text": "Hans Meyer", "start_byte": 21, "limit_byte": 31}]} {"id": "9157323647279058720-0", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "\nJamhuri ya Zimbabwe \nRepublic of Zimbabwe, Africa \n\n\n\n\n\n(Bendera ya Zimbabwe)(Nembo ya Zimbabwe)Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) \" | Wimbo wa TaifaLugha rasmiKiingereza na 15 nyingineMji MkuuHarareMji mkubwaHarareRaisEmmerson MnangagwaEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwakm² 390,757 \n 1%\nya 60 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Msongamano wa watu13,061,239 ya 66 duniani \n (2012) \n; 32/km² \n; ya dunianiChumo cha uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo)) \n$2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma)Uhuru\n- Kadirifu\n- Barabara(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965 \n(kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980FedhaDolar ya Marekani|Saa za EneoUTC +2Intaneti TLD.zwkodi za simu263", "question_text": "Je,Zimbabwe ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "13,061,239", "start_byte": 386, "limit_byte": 396}]} {"id": "-4767419277833859806-6", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "Mji mkuu ni Beijing lakini Shanghai ndio mji mkubwa zaidi. ", "question_text": "Mji mkuu China ni ipi?", "answers": [{"text": "Beijing", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-8403662326559408592-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "2Pac aliuwawa lini?", "answers": [{"text": "13 Septemba 1996", "start_byte": 36, "limit_byte": 52}]} {"id": "3240456695465569135-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Kampuni ya Safaricom ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Telkom Kenya", "start_byte": 106, "limit_byte": 118}]} {"id": "-504103591590901981-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki (ziliitwa \"Mataifa ya Kati\", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa \"Mataifa ya Ushirikiano\", ing. allied powers). ", "question_text": "Vita vya kwanza vya dunia vilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1914", "start_byte": 66, "limit_byte": 70}]} {"id": "-9200969931984226786-17", "language": "swahili", "document_title": "Barack Obama", "passage_text": "Obama alimwoa Michelle Robinson ambaye ni mwanasheria kama yeye mwenyewe. Wana mabinti wawili Malia Ann (*1998) na Natasha (*2001) anayeitwa Sasha. Familia ina nyumba yake huko Chicago.", "question_text": "Je,Barack Obama ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wawili", "start_byte": 87, "limit_byte": 93}]} {"id": "-9010050049142067907-1", "language": "swahili", "document_title": "Mke wa Rais wa Tanzania", "passage_text": "Mke wa Rais wa Tanzania ni cheo kisicho-rasmi kinachoshikiliwa na mke wa Rais wa Tanzania.[1] Mke wa sasa wa rais nchini humo ni Janeth Magufuli, ambaye aliingia madarakani tangu tarehe 5 Novemba 2015.", "question_text": "Je, mke wa rais wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Janeth Magufuli", "start_byte": 129, "limit_byte": 144}]} {"id": "8176624968012230458-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Je,Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "-2120633180559966754-3", "language": "swahili", "document_title": "Brazil", "passage_text": "Mji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Brazil ni ipi?", "answers": [{"text": "Brasilia", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-3517347040954970216-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa vita iliyopigwa kuanzia mwaka 1914 hadi 1918. Mataifa wapiganaji yalikuwa Ujerumani, Austria-Hungaria, Bulgaria na Uturuki (ziliitwa \"Mataifa ya Kati\", ing. central powers) kwa upande mmoja dhidi ya Ufaransa, Urusi, Uingereza, Italia, Marekani na nchi mbalimbali zilizoshirikiana nazo (zilitwa \"Mataifa ya Ushirikiano\", ing. allied powers). ", "question_text": "Vita vya kwanza vya Dunia vilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1914", "start_byte": 66, "limit_byte": 70}]} {"id": "-7281085469404057366-0", "language": "swahili", "document_title": "Halijoto", "passage_text": "250px|thumbnail|Kipimajoto (thermomita) inaonyesha kiwango cha halijoto ama joto au baridi\nHalijoto (pia: Jotoridi) ni neno la kutaja hali ya kitu kama ni baridi au moto. \nWanadamu wana mishipa inayoonyesha tofauti kati ya baridi na joto. Kwa kuwa na uhakika tunatumia thermomita inayoonyesha halijoto kwa kipimo kama selsiasi, kelvini au fahrenheit.", "question_text": "Jotoridi hupimwa na kifaa gani?", "answers": [{"text": "thermomita", "start_byte": 269, "limit_byte": 279}]} {"id": "3245399844640055268-3", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Zuckerberg alivumbua Facebook katika chumba chake cha kulala cha Harvard mnamo 4 Februari 2004. Wazo la Facebook lilimjia kutoka siku zake za Phillips Academy Exeter ambapo, kama vyuo na shule nyingi, ilikuwa na mazoea ya siku nyingi ya kuchapisha kitabu cha kila mwaka chenye picha za wanafunzi wote, Kitivo na wafanyakazi inayojulikana kama \"Facebook\". Chuoni, Facebook ilianza tu kama \"jambo la Harvard\", mpaka Zuckerberg alipoamua kuieneza Facebook katika shule zingine na kuomba msaada kutoka kwa Dustin Moskovitz aliyekuwa wakiishi katika chumba kimoja chuoni. Kwanza walieneza hadi Stanford, Dartmouth, Columbia, Cornell na Yale, na kisha kwa shule nyingine zilizokuwa na mawasiliano ya kijamii na Harvard. [8][9][10]", "question_text": "Mtandao wa Facebook ulianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "4 Februari 2004", "start_byte": 79, "limit_byte": 94}]} {"id": "-5170316920581461074-4", "language": "swahili", "document_title": "Kamusi za Kiswahili", "passage_text": "Kamusi ya kwanza inayojulikana ilitungwa mnamo 1848 na Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa (Kenya); ilikamilishwa na kutolewa kama \"A Dictionary of the Suahili language, London 1882\".[1] Kamusi inapatikana pia mtandaoni[2]. ", "question_text": "Kamusi ya kwanza iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ludwig Krapf", "start_byte": 55, "limit_byte": 67}]} {"id": "6459428269724682961-4", "language": "swahili", "document_title": "Guinea Bisau", "passage_text": "Zamani ilikuwa koloni la Ureno kwa jina la Guinea ya Kireno. Baada ya uhuru (1973/1974) jina la mji mkuu wake lilishika nafasi ya nchi tawala kuwa Guinea-Bisau kwa kusudi la kuitofautisha na nchi jirani ya Guinea na ile ya Guinea ya Ikweta.", "question_text": "Nchi ya Guinea ilipata huru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1973", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}]} {"id": "-7439026986687442072-2", "language": "swahili", "document_title": "Marianne Koch", "passage_text": "1970 alipokuwa na umri wa miaka 39 akaamua kuacha uigizaji filamu akarudi chuo kikuu na kumaliza masomo yake ya tiba. 1974 akapata cheo cha daktari na kuanzisha kliniki yake ya tiba ya ndani mjini München. Alistaafu 1997. Ana watoto wawili wa kiume.", "question_text": "Marianne Koch alistaafu kama daktari mwaka gani?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 217, "limit_byte": 221}]} {"id": "5771600868801526222-0", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa Orange Democratic Movement (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita \"Agwambo\".", "question_text": "Je,Raila Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi?", "answers": [{"text": "13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013", "start_byte": 86, "limit_byte": 134}]} {"id": "-8829950354106625399-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Je,mlima Everest ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "mita 8,848", "start_byte": 143, "limit_byte": 153}]} {"id": "6291603188188053910-0", "language": "swahili", "document_title": "Aleksandria", "passage_text": "Aleksandria (pia: Alexandria au Iskandiria; kwa Kigiriki Ἀλεξάνδρεια, Alexandreia; kwa Kiarabu: الإسكندرية, al-iskandariya) ni mji mkubwa wa pili wa Misri na bandari muhimu kwenye Bahari ya Mediteranea. ", "question_text": "Bandari ya Alexandria inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Misri", "start_byte": 171, "limit_byte": 176}]} {"id": "-634173807841549598-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyumba ya sanaa Kwenye Makavazi ya Derby", "passage_text": "Nyumba ya Sanaa Kwenye Makavazi ya Derby inayojulikana kwa kiingereza kama Derby Museum and Art Gallery ilianzishwa mwaka 1879, pamoja na Derby Central Library, katika ujenzi mpya iliyoundwa na Richard Knill Freeman na kutolewa kwa Derby na Michael Thomas Bass. Mkusanyiko ya vitu vya Sanaa zinazopatikana hapo ni pamoja na nyumba nzima iliyo na picha zilizochorwa na Joseph Wright ya Derby, pia kuna picha kubwa ya Royal Crown Derby na picha zingine za kisanaa kutoka Derby na eneo la jirani. Zaidi ya hayo ni pamoja na maonyesho ya akiolojia, historia ya kiasili, geologi na makusanyo ya kijeshi. Makafadhi haya yamekuwa wazi tangu 1882.", "question_text": "Derby Museum and Art Gallery ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "1879", "start_byte": 122, "limit_byte": 126}]} {"id": "490027212076670322-0", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "République françaiseJamhuri ya Kifaransa\n\n\n\n\n\nBendera ya UfaransaNembo la UfaransaNational motto: Uhuru, Usawa, Undugu\n(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)Lugha rasmiKifaransa1Mji mkuuParisMji mkubwaParisRais:Emmanuel MacronWaziri Mkuu:Eneo\n- Jumla2\n\n\n- Ufaransa bara3\n\n\n\n- % majiNafasi ya 42 \n 674,843 km² \n (260,558 sq. mi.)\n Nafasi ya 47 \n 551,695 km²4\n(213,011 sq. mi.)\n543,965 km²5\n(210,026 sq. mi.)\n 0.26%Wakazi\n(1 Januari 2014)\n- Total2\n- Ufaransa bara3\n- Density3Nafasi ya 20\n\n 66,616,416\n63,929,00\n116/km²GDP (PPP)\n - Jumla (2003)\n - GDP/mtuNafasi ya 5\n$1.661 Trillioni\n$27,600PesaEuro (€)6, CFP Franc7Kanda ya wakati\n- in summerCET (UTC+1)3\nCEST (UTC+2)3Wimbo wa taifaLa MarseillaiseInternet TLD.frCalling Code33\n1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa\n\n2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.\n\n3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)\n\n4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa \n\n5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi\n\n6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki\n\n7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee", "question_text": "Mji mkubwa nchini Ufaransa unaitwaje?", "answers": [{"text": "Paris", "start_byte": 209, "limit_byte": 214}]} {"id": "-5104383107704389379-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Mlima Kilimanjaro", "start_byte": 1254, "limit_byte": 1271}]} {"id": "-7616064064641462486-0", "language": "swahili", "document_title": "Martin Luther", "passage_text": "\nMartin Luther (10 Novemba 1483 – 18 Februari 1546) alikuwa Mkristo mwanateolojia kutoka nchi ya Ujerumani maarufu kama mwanzilishi wa Uprotestanti.", "question_text": "Je,Martin Luther alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1483", "start_byte": 27, "limit_byte": 31}]} {"id": "-616426820481949479-2", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\n\n\nEneo lake ni kilometa za mraba milioni 179.7 ambayo si bahari kubwa tu bali pia ni eneo kubwa kuliko nchi kavu yote duniani: ni karibu nusu ya uso wa dunia.", "question_text": "Bahari kubwa duniani ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "79.7", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-8794191313802974480-2", "language": "swahili", "document_title": "Sarafina!", "passage_text": "Sarafina! ilionyeshwa awali Broadway tarehe 28 Januari 1988, katika Cort Theatre, na ilifungwa tarehe 2 Julai 1989, baada ya maonyesho 597 na vidokezo 11. Sarafina ilibuniwa na kuongozwa na Mbongeni Ngema ambaye aliandika pia kitabu muziki, na nyimbo. Ilionyeshwa mara ya kwanza katika The Market Theatre, Johannesburg, Afrika ya Kusini, mwezi Juni 1987. Msanii Leleti Khumalo alicheza kama Sarafina.", "question_text": "Je,Mbongeni Ngema alitunga mchezo wa Sarafina mwaka upi?", "answers": [{"text": "1987", "start_byte": 350, "limit_byte": 354}]} {"id": "-7369580370562853080-0", "language": "swahili", "document_title": "Lucy Kibaki", "passage_text": "Lucy Muthoni Kibaki (1940 - 26 Aprili, 2016) alikuwa mke wa Rais wa Kenya Mwai Kibaki, yaani alikuwa Mwanamke wa Kwanza wa Kenya (2003-2013).", "question_text": "Je,mke wa Mwai Kibaki aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Lucy Muthoni Kibaki", "start_byte": 0, "limit_byte": 19}]} {"id": "3759670619926309932-3", "language": "swahili", "document_title": "Dar es Salaam", "passage_text": "Mji una wakazi wapatao 4,364,541 kwa hesabu ya sensa iliyofanyika katika mwaka wa 2012.[1]", "question_text": "Je,jiji ya Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 23, "limit_byte": 32}]} {"id": "-714959599456356155-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,Ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "22", "start_byte": 88, "limit_byte": 90}]} {"id": "2114120707901383578-4", "language": "swahili", "document_title": "Maharagwe", "passage_text": "Mharagwe ni mmea ukuao kwa mwaka mmoja wenye asili ya Amerika ya Kati ya kale na huko Andes, na sasa unalimwa maeneo mengi duniani kwa mbegu zake za maharagwe zinazoliwa, zilizo maarufu zote zikiwa zimeiva na hata zikiwa bado mbichi. Tani milioni 18.3 za maharagwe makavu na nyingine milioni 6.6 za maharagwe mabichi zililimwa mnamo mwaka 2007 duniani kote. Maharagwe ni miongoni mwa vyakula vikuu vya huko Amerika. ", "question_text": "Mbegu ya maharagwe iko na asili gani?", "answers": [{"text": "Amerika ya Kati ya kale na huko Andes", "start_byte": 54, "limit_byte": 91}]} {"id": "5816745525243258112-35", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "\nKaswende ni gonjwa tishio linalosababishwa na bakteria inayofahamika kama Treponema pallidum. ", "question_text": "Bakteria ya Treponema pallidum inasababisha maradhi mangapi?", "answers": [{"text": "Kaswende", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "1755720178060816643-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya (Kikuyu: Kĩrĩnyaga; Kiembu: Kirenia; Kimaasai: Ol Donyo Keri; Kimeru: Kirimara) ndio mrefu zaidi nchini Kenya. Mlima huu una urefu wa mita 5,199. Mlima huu unatokana na volkeno zimwe ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka milioni 2.6 hadi 3.1 iliyopita.", "question_text": "Mlima kubwa Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Mlima Kenya", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "-1433408889520003977-4", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Toka mwanzo makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako Manhattan, New York City, New York nchini Marekani na hayako chini ya mamlaka ya nchi hiyo. Ofisi nyingine ziko Geneva (Uswisi), Nairobi (Kenya) na Vienna (Austria). ", "question_text": "Makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako wapi?", "answers": [{"text": "Manhattan, New York City", "start_byte": 49, "limit_byte": 73}]} {"id": "2198492093329823204-13", "language": "swahili", "document_title": "Msumbiji", "passage_text": "Miji mikubwa zaidi ni Maputo (wakazi 1.191.613), Matola (wakazi 543.907) na Beira (wakazi 530.706).", "question_text": "Mji mkuu wa Mozambiki unaitwaje?", "answers": [{"text": "Maputo", "start_byte": 22, "limit_byte": 28}]} {"id": "398410186876212931-0", "language": "swahili", "document_title": "East African Breweries", "passage_text": "\nEast African Breweries ni kampuni kubwa ya Afrika Mashariki inayotengeneza pombe ambayo inamiliki 80% ya Kenya Breweries, 98.2% ya Uganda Breweries, 100% ya Central Glass -kampuni yakutengeneza glasi, 100% ya Kenya Maltings na 46% ya United Distillers and Vintners (Kenya) Limited, 100% ya Universal Distilers Uganda, 100% EABL International (inayowajibika kwa mauzo ya nje), 100% ya East African Maltings, 100% EABL Foundation na 20% ya Tanzania Breweries.", "question_text": "Kuna asilimia ngapi ya Tanzania Breweries katika East African Breweries?", "answers": [{"text": "20", "start_byte": 433, "limit_byte": 435}]} {"id": "-71124151707753072-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkondo wa umeme", "passage_text": "Mkondo wa umeme ni mwendo wa chaji ya umeme ndani ya kipitishi. Kipimo sanifu chake ni ampea.", "question_text": "Umeme hupimwa kwa kifaa kipi?", "answers": [{"text": "ampea", "start_byte": 87, "limit_byte": 92}]} {"id": "5249664194819805785-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vitabu vya Biblia", "passage_text": "Mwanzo (Kitabu cha Kwanza cha Musa)\n\nKutoka (Kitabu cha Pili cha Musa) \n\nWalawi (Kitabu cha Tatu cha Musa) \n\nHesabu (Kitabu cha Nne cha Musa) \n\nKumbukumbu la Sheria (Kumbukumbu la Torati; Kitabu cha Tano cha Musa) \n\nYoshua \n\nWaamuzi \n\nRuthu (Kitabu cha Ruthi) \n\nSamueli I \n\nSamueli II \n\nWafalme I \n\nWafalme II \n\nMambo ya Nyakati I \n\nMambo ya Nyakati II \n\nEzra \n\nNehemia (Kitabu cha Pili cha Ezra) \n\nEsta \n", "question_text": "Kitabu cha pili cha agano la kale ni gani?", "answers": [{"text": "Kutoka", "start_byte": 37, "limit_byte": 43}]} {"id": "-7018728323708504055-2", "language": "swahili", "document_title": "Estonia", "passage_text": "Mji mkuu ni Tallinn unaojulikana pia kwa jina la Reval. ", "question_text": "Je, Mji mkuu wa Estonia ni gani?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-2846208933499649862-2", "language": "swahili", "document_title": "Nation Media Group", "passage_text": "Mwaka wa 1999, NMG ilianzisha NTV, kituo cha habari nchini Uganda, na Easy FM.[3]", "question_text": "Kituo cha televisheni ya NTV ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1999", "start_byte": 9, "limit_byte": 13}]} {"id": "5730383631886200265-2", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\n\n\nEneo lake ni kilometa za mraba milioni 179.7 ambayo si bahari kubwa tu bali pia ni eneo kubwa kuliko nchi kavu yote duniani: ni karibu nusu ya uso wa dunia.", "question_text": "Bahari ya Pasifiki ina urefu wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "ilometa za mraba milioni 179.7", "start_byte": 17, "limit_byte": 47}]} {"id": "67711590783718202-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Jomo Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "7044851119160588188-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul Pogba", "passage_text": "\nPaul Labile Pogba (aliyezaliwa 15 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Kifaransa ambaye anacheza klabu ya Manchester United katika ligi kuu ya uingereza na timu yake ya taifa ni Ufaransa. Yeye hufanya kazi hasa kama kiungo wa kati na ni vizuri kucheza nafasi zote ya mashambulizi na ulinzi.", "question_text": "Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "493090106766826634-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "\nHistoria ya Kanisa ni fani inayochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.", "question_text": "Kanisa la kwanza ulimwenguni lilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "karne ya 1", "start_byte": 141, "limit_byte": 151}]} {"id": "-5414417193042614035-2", "language": "swahili", "document_title": "Martin Luther", "passage_text": "Aliandika vitabu vingi, kutunga nyimbo kadhaa na hasa kutoa tafsiri maarufu ya Biblia ya Kikristo katika lugha ya Kijerumani.", "question_text": "Martin Luther aliandika vitabu vingapi?", "answers": [{"text": "vingi", "start_byte": 17, "limit_byte": 22}]} {"id": "7380857520416905121-8", "language": "swahili", "document_title": "Jumuiya ya Afrika Mashariki", "passage_text": "Mwaka 1967 nchi tatu zilijaribu upya kuimarisha umoja wao kwa Mkataba wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki wakiita umoja wao \"Jumuiya ya Afrika ya Mashariki\" ikiwa na makao makuu Arusha, Tanzania.", "question_text": "Makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yako wapi?", "answers": [{"text": "Arusha, Tanzania", "start_byte": 180, "limit_byte": 196}]} {"id": "3565315405019350758-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Bara la Asia ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 23, "limit_byte": 25}]} {"id": "-5395594819995598260-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani", "passage_text": "Shirika lilianzishwa tarehe 28 Machi 1884 na Karl Peters na Wajerumani wengine waliotaka Ujerumani kuingia kati ya mataifa yenye koloni. Shabaha ya shirika ilikuwa kuanzisha makoloni ya Kijerumani katika maeneo nje ya Ujerumani.", "question_text": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Karl Peters", "start_byte": 45, "limit_byte": 56}]} {"id": "5911653787199247863-7", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Inakadiriwa kwamba Sudan Kusini ina wakazi 12,340,000 (2015), lakini kutokana na ukosefu wa sensa kwa miongo kadhaa, makisio haya yaweza kuwa si sahihi.", "question_text": "Sudan ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "12,340,000", "start_byte": 43, "limit_byte": 53}]} {"id": "5990658039678530768-6", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa kikapu", "passage_text": "Mpira wa kikapu ulienea haraka kwenye vyuo vya Marekani, na katika karne ya 20 pia nje ya vyuo.", "question_text": "Mpira wa kikapu ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 47, "limit_byte": 55}]} {"id": "-3879762566698721018-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza Tanzania anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-8708165082907741539-5", "language": "swahili", "document_title": "Israeli ya Kale", "passage_text": "Muungano huo wa vikundi na makabila ukawa taifa na kuunda ufalme wa kwanza wa Israeli wakati wa mfalme Sauli aliyefuatwa na Daudi na mwanae Suleimani. ", "question_text": "Mfalme wa kwanza wa Israeli alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Sauli", "start_byte": 103, "limit_byte": 108}]} {"id": "-5701096854413856155-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "2pac alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "-2371689071257885070-0", "language": "swahili", "document_title": "Bata bukini", "passage_text": "Mabata bukini ni ndege wakubwa wa maji wa familia ya Anatidae. Wanaainishwa katika nusufamilia Anserinae pamoja na mabata-maji. Mabata bukini ni ndege wakubwa sana lakini wadogo kuliko mabata-maji. Wana domo pana pia lakini shingo yao ni fupi zaidi. Wana rangi mbalimbali kama kahawia, nyeupe na nyeusi kadiri ya spishi. Hula mimea na pengine wadudu na nyungunyungu. Wanaweza kuwa wasumbufu wakiingia mashamba. Tago lao limejengwa kwa vijiti, manyasi n.k. karibu na maji na limetandikika na manyoya mororo.", "question_text": "Je,Bata kubwa zaidi duniani Ni ipi?", "answers": [{"text": "Mabata bukini", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-8251578224570499887-4", "language": "swahili", "document_title": "Hesabu (Biblia)", "passage_text": "Wengine wanakiita Kitabu cha Nne cha Mose (au Musa) kwa vile inafikiriwa kuwa Mose ndiye mwandishi wa kitabu hicho. ", "question_text": "Kitabu cha Hesabu kiliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Musa", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}]} {"id": "5833784192218475540-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,rasi wa pili wa marekani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "John Adams", "start_byte": 131, "limit_byte": 141}]} {"id": "-8288904479335953430-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Je,vita vya pili duniani iliisha lini?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "7276817965418448025-0", "language": "swahili", "document_title": "Liturujia ya Mesopotamia", "passage_text": "Liturujia ya Mesopotamia ni liturujia maalumu yenye asili katika Mesopotamia ya kale, ambayo kimapokeo inatajwa kama imetokana na Mtume Thoma, na inatumiwa hasa na Wakristo Waashuru na Wakaldayo wa Iraq na nchi za kandokando, pamoja na Wamalabari wa India kusini, wengi wao wakiwa Wakatoliki na waliobaki Waorthodoksi wa Mashariki, ambao wote wametokana na wale waliotengwa na Mtaguso wa Efeso (431).[1][2]", "question_text": "Mesopotamia ya Kale ina jina gani katika karne ya 21?", "answers": [{"text": "Iraq", "start_byte": 198, "limit_byte": 202}]} {"id": "1091679244107743212-0", "language": "swahili", "document_title": "Soko la Hisa", "passage_text": "Soko la hisa (kwa Kiingereza \"stock exchange\") ni mahali pa biashara ya hisa za makampuni. ", "question_text": "Je, soko la hisa ni nini?", "answers": [{"text": "mahali pa biashara ya hisa za makampuni", "start_byte": 50, "limit_byte": 89}]} {"id": "-5498555941120164256-0", "language": "swahili", "document_title": "NSDAP", "passage_text": "\nNSDAP ni kifupi cha Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei (Chama cha Kizalendo - Kisoshialisti cha Wafanyakazi Wajerumani) iliyotawala Ujerumani kuanzia 30 Januari 1933 hadi 8 Mei 1945 chini ya kiongozi wake Adolf Hitler.", "question_text": "Chama cha NSDAP kilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1933", "start_byte": 174, "limit_byte": 178}]} {"id": "-7950021533943984384-15", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Kwa kawaida vikundi vitatu hutajwa kuwa wakazi wa Rwanda ndio Wahutu, Watutsi, Watwa. Lakini kuna tofauti kali kati ya mawazo kama vikundi hivyo ni makabila, mataifa ya pekee au matabaka ya kijamii. Hali halisi wanatumia lugha ileile ya Kinyarwanda na wanafuata utamaduni uleule. ", "question_text": "Kuna makabila mangapi nchini Rwanda?", "answers": [{"text": "Wahutu, Watutsi, Watwa", "start_byte": 62, "limit_byte": 84}]} {"id": "-7752924255975102977-0", "language": "swahili", "document_title": "Mvua ya mawe", "passage_text": "\n\nMvua ya mawe (kwa Kiingereza hail) ni aina ya mvua ambayo matone ya maji yamefika kwenye uso wa ardhi kwa umbo la vipande vya barafu. Inatokea wakati matone ya maji ya mvua yanapita kwenye hewa baridi na kuganda hadi kuwa barafu.", "question_text": "Mvua ya barafu hutokana na nini?", "answers": [{"text": "Inatokea wakati matone ya maji ya mvua yanapita kwenye hewa baridi na kuganda hadi kuwa barafu", "start_byte": 136, "limit_byte": 230}]} {"id": "9015595721761115687-2", "language": "swahili", "document_title": "Dubai (mji)", "passage_text": "Jiji la Dubai lilikuwa mji mdogo wenye wakazi 20,000 tu hadi vita kuu ya pili ya dunia. Leo hii kuna wakazi zaidi ya 1,200,000. Nyumba zote za Dubai ni mpya. ", "question_text": "Dubai iko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "1,200,000", "start_byte": 117, "limit_byte": 126}]} {"id": "-2377952749908614118-0", "language": "swahili", "document_title": "Tallinn", "passage_text": "\nTallinn ni mji mkuu na pia mji mkubwa wa Estonia mwenye wakazi 410,000. Iko mwambaoni wa Ghuba ya Ufini ya Baltiki na bandari yake ni bandari kuu ya nchi. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Estonia ni upi?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "4761143418233446955-2", "language": "swahili", "document_title": "Somalia", "passage_text": "Mji mkuu na mji mkubwa zaidi ni Mogadishu (wakazi 2,120,000).", "question_text": "Mji mkuu wa Somalia ni upi?", "answers": [{"text": "Mogadishu", "start_byte": 32, "limit_byte": 41}]} {"id": "1434527010209889820-1", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "Huyu alikuwa mtoto wa Afeni Shakur, ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Black Panther Party. Mama yake Tupac alitolewa jela mwezi mmoja kabla ya kumzaa Tupac. Tupac alikufa mnamo tar. 13 Septemba katika mwaka wa 1996 baada ya kupigwa risasi akiwa anaendesha gari mjini Las Vegas, Nevada, siku saba kabla kifo chake.", "question_text": "Tupac Shakur aliuawa kwa jinsi gani?", "answers": [{"text": "kupigwa risasi", "start_byte": 229, "limit_byte": 243}]} {"id": "5687479207712583330-0", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.", "question_text": "Je,jina la kisayansi la tunda la ndimu ni ipi?", "answers": [{"text": "Citrus aurantium", "start_byte": 96, "limit_byte": 112}]} {"id": "-3984095051138341695-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Bara Asia lina mataifa mangapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 23, "limit_byte": 25}]} {"id": "5198635377762179165-19", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka huu wa 1956, Sudan na Tunisia vile vile walipata uhuru wao, na Ghana katika mwaka wa 1957, Guinea katika mwaka wa 1958, na vile vile Morocco wakarudishiwa Spanish Morocco.", "question_text": "Nchi ya Guinea ilipata huru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 127, "limit_byte": 131}]} {"id": "1625327830051817143-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu wa Mau ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}]} {"id": "3038436008829365965-0", "language": "swahili", "document_title": "Ulaanbaatar", "passage_text": "Ulaanbaatar (pia: Ulan Bator; Kimongolia Улаанбаатар - \"mshujaa mwekundu\") ni mji mkuu wa Mongolia mwenye wakazi 844,818. Sehemu ya wakazi hufuata mapokeo ya Mongolia wakiishi mjini miezi ya baridi tu lakini miezi ya joto huhamahama kwenye hema pamoja na mifugo yao.", "question_text": "Mji mkuu wa Mongolia unaitwaje?", "answers": [{"text": "Ulaanbaatar", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "3528545108125293618-0", "language": "swahili", "document_title": "Texas", "passage_text": "\nTexas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 24,326,974 (2008) wanaokalia eneo la 696,241 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Upande wa mashariki ni maji ya ghuba ya Meksiko. Mji mkuu wa jimbo ni Austin na mji mukubwa jimboni ni Houston. Imepakana na Oklahoma, Arkansas, Louisiana, New Mexico (Meksiko Mpya) na nchi ya Meksiko (Chihuahua, Coahuila, Nuevo León na Tamaulipas).", "question_text": "Eneo la Texas lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "696,241 km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 168}]} {"id": "-5189789722626272555-8", "language": "swahili", "document_title": "Lucky Dube", "passage_text": "Lucky Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville mjini Johannesburg tarehe 18 Oktoba 2007, muda mfupi baada ya kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. |18 Oktoba 2007, muda mfupi baada kuwapeleka watoto wake wawili kati ya wote saba kando ya nyumba ya mjomba wao. [13]]] Dube alikuwa akiendesha gari lake la aina ya Chrysler 300C ambayo kumbe ndiyo wauaji wake walikuwa wanataka. Duru za polisi zinaonyesha kuwa aliuawa kwa kupiga risasi na wezi wa magari. Wanaume watano wametiwa mbaroni kutokana na mauaji hayo [14] Watu watatu wwalishitakiwa na kupatikana na hatia tarehe 31 Machi 2009; wawili walijaribu kutoroka lakini walishikwa. [15] Watu hao walihukumiwa kifungo cha maisha. [16]", "question_text": "Mwanamziki Lucky Dube alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "saba", "start_byte": 159, "limit_byte": 163}]} {"id": "8205718574535446312-1", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "\nAfrika ya Mashariki ya Kijerumani (au: ya Kidachi; kwa Kijerumani Deutsch-Ostafrika -DOA-; kwa Kiingereza German East Africa) ilikuwa jina la koloni la Ujerumani huko Afrika ya Mashariki kati ya miaka 1885 na 1918/1919.", "question_text": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilitawala kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "kati ya miaka 1885 na 1918/191", "start_byte": 188, "limit_byte": 218}]} {"id": "-5217734940314987168-0", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Koninkrijk der Nederlanden\n\nUfalme wa Nchi za Chini\n\n\n\n\n\nBenderaNembo Hadabu ya Taifa: Je maintiendrai \n (Kifaransa)\n kwa Kiswahili, Nitastahimili Lugha za Taifa\nKiholanzi\n kwa mkoa wa Friesland: KifrisiMji MkuuAmsterdamMakao ya SerikaliDen HaagMfalmeKoning Willem-AlexanderWaziri Mkuu Mark RutteEneo\n- Jumla \n- % Maji\n 41,526 km² \n 18.41Umma\n- Jumla \n- msongamano\n 16,856,620 (Julai 2014)\n 406.4/km²GDP\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n\n $625 bilioni \n $ 30,500Uhuru\n- Tangazwa\n- KukubaliwaKutoka Hispania\n 26 Julai 1581 \n 30 Januari 1648FedhaEuro € EURSaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWilhelmusTLD mtandao.nlKodi ya simu31", "question_text": "Nchi ya Uholanzi iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "6,856,620", "start_byte": 368, "limit_byte": 377}]} {"id": "-2165860234189264256-25", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Chama cha Patrice Lumumba kilishinda kwa kura nyingi naye akawa kiongozi wa kwanza wa nchi huru kama waziri mkuu. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Patrice Lumumba", "start_byte": 10, "limit_byte": 25}]} {"id": "-5891806755070197957-5", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Asili ya kuku zetu ni kuku-mwitu mwekundu wa Asia ya Kusini-Mashariki. Ilisemekana kuwa, kuku walianza huko India, lakini ushahidi wa sasa unaonyesha kuwa walianza huko Vietnam miaka 10,000 iliyopita. Ufugaji wake ulisambazwa Asia Bara na Polynesia. Mabaki ya mifupa ya kuku yamepatikana China yakiwa na umri wa miaka 8,000. Kutoka Asia ya Kusini-Magharibi kuku walisambazwa pia Uhindi na kupitia Uajemi hadi Ugiriki na sehemu nyingine za Ulaya, Misri n.k. Inaaminiwa ya kwamba kuku waliletwa Amerika Kusini kabla ya kuja kwa Kolumbus kupitia Pasifiki.", "question_text": "Ufugaji wa kuku ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Vietnam", "start_byte": 169, "limit_byte": 176}]} {"id": "-7311520239063850860-3", "language": "swahili", "document_title": "Wamasai", "passage_text": "Idadi ya Wamasai ilikadiriwa kuwa 841.622 katika sensa ya 2009 na 800.000 katika Tanzania mwaka 2011 [2]; kwa jumla inakadiriwa kuwa inakaribia 1.700.000 [3] Makadirio hayo ya Wamasai katika nchi zote mbili huenda ikawa vigumu kuyathibitisha kwa sababu ya umbali wa maeneo ya vijiji vyao vingi, na asili yao ya uhamaji.", "question_text": "Kuna idadi ngapi ya Wamaasai nchini Kenya?", "answers": [{"text": "841.622", "start_byte": 34, "limit_byte": 41}]} {"id": "512660431406709321-0", "language": "swahili", "document_title": "Mto Quaggy", "passage_text": "Mto Quaggy (mara nyingi Quaggy mto au tu Quaggy) ni mto wa mijini,ulio na urefu wa kilomita 17 , unapitia kusini-mashariki ya London Borough ya Bromley, Greenwich na Lewisham, unajulikana kama Kyd Brook, katika maeneo yake ya juu . Mto huu huanzia kutoka vyanzo viwili karibu na hospitali ya Farnborough katika Locksbottom na ni tawimto wa Mto Ravensbourne ambao hutiririka ndani ya kituo cha Lewisham katika Lewisham. [1]", "question_text": "Ni mto upi unapitia ndani ya mji wa London?", "answers": [{"text": "Mto Quaggy", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-8527017098378885956-1", "language": "swahili", "document_title": "Nile", "passage_text": "Mto wa Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu ‏ ,النيل‎ an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650. ", "question_text": "Je, mto Nile una takriban urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "km 6,650", "start_byte": 345, "limit_byte": 353}]} {"id": "-8970369806593521967-1", "language": "swahili", "document_title": "Geac Computer Corporation", "passage_text": "Geac ilianzishwa mwezi Machi 1971 na Robert Kurt Isserstedt na Robert Angus (\"Gus\") wa Ujerumani.", "question_text": "Geac Computer Corporation ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Robert Kurt Isserstedt na Robert Angus", "start_byte": 37, "limit_byte": 75}]} {"id": "8021732917532626786-0", "language": "swahili", "document_title": "Gabriel Obertan", "passage_text": "Gabriel Obertan (alizaliwa mnamo 26 Februari 1989) ni mchezaji kandanda wa Kifaransa ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Manchester United ya Uingereza. Kimsingi yeye hucheza kama wing’a, lakini pia anaweza kucheza katika kiungo cha kati na kama mshambuliaji. Alikuwa mwanafunzi katika shule maarufu ya Clairefontaine academy na alianza wasifu wake wa kitaaluma kwa kuichezea klabu ya Bordeaux nchini Ufaransa, kabla ya kujiunga na Manchester United kwa kitita cha pesa ambacho hakikutangazwa mnamo Julai 2009. Yeye ni mwanachama wa timu ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21 ya Ufaransa na alitajwa kama mchezaji bora wa Ufaransa wa 2009 katika shindano la Toulon.", "question_text": "Gabriel Obertan alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 583, "limit_byte": 591}]} {"id": "4603947334120596293-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya wachezaji wa klabu ya Soka ya Manchester United", "passage_text": "Klabu ilianzishwa mwaka 1878 kama Newton Heath L & YR FC, na kucheza mechi ya kwanza ya ushindani mnamo Oktoba 1886, wakati waliingia duru ya kwanza ya Kombe la FA 1886-87. Tangu hapo, zaidi ya wachezaji 800 wameichezea timu ya klabu hiyo, ambapo karibu wachezaji 200 wamecheza walau mechi 100 na kuonekana pamoja na wachezaji wa ziada; wachezaji hao wameorodheshwa hapa, vilevile wale ambao walicheza mechi chache lakini walitoa michango muhimu katika historia ya klabu (kwa mfano Billy Whelan na Carlos Tevez).", "question_text": "Je, klabu ya Manchester United ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "5509101389214113247-30", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Urusi alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "609759001940889299-7", "language": "swahili", "document_title": "Uingereza", "passage_text": "Severn (mto mrefu wa Britania)\nThames\nTrent\nHumber\nTyne\nTees\nRibble\nOuse\nMersey\nDee\nAvon", "question_text": "Mto mrefu zaidi Uingereza unaitwaje?", "answers": [{"text": "Severn", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-7904458900454854637-0", "language": "swahili", "document_title": "Tha Trademarc", "passage_text": "Marc Predka (aliyezaliwa 21 Aprili 1975), ambaye anajilikana kwa jina la kisanii kama Tha Trademarc, ni mwanamuziki wa Rap kutoka Marekani. Mara ya kwanza kujulikana kwa umaarufu ilikuwa wakati yeye na binamu yake wa kwanza mwanamiereka wa WWE John Cena walishirikiana mnamo 2005 kutoa albamu You Can't See Me[1]. Pia anaonekana katika video za nyimbo , ‘’Bad Bad Man’’ na ‘’Right Now’’ ambazo amefanya na John Cena. Leo hii yeye hufanya kazi katika kitengo cha elimu ya waiosjiweza katika Shule ya Maynard kule Maynard, Massachusetts.", "question_text": "Marc Predka alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 130, "limit_byte": 138}]} {"id": "6115337412444820760-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Je, mziki wa hip hop nchini Tanzania ulianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 101, "limit_byte": 105}]} {"id": "6178656017704743260-2", "language": "swahili", "document_title": "Makamu wa Rais wa Kenya", "passage_text": "Jaramogi Oginga Odinga (Desemba 1963-Mei 1966)\nJoseph Zuzarte Murumbi (Mei 1966-1967)\nDaniel Arap Moi (1967 -22 Agosti 1978)\nMwai Kibaki (14 Oktoba 1978-1988)\nJosephat Njuguna Karanja (1988-1989)\nGeorge Saitoti (Mei 1989-Desemba 1997)", "question_text": "Makamu wa rais wa kwanza Kenya ni nani?", "answers": [{"text": "Jaramogi Oginga Odinga", "start_byte": 0, "limit_byte": 22}]} {"id": "-236873497403516979-14", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Katika Unyasa daktari Hastings Kamuzu Banda alijitokeza kuwa mwanasiasa aliyependelewa na wananchi wengi, akawa waziri mkuu wakati wa Unyasa kupata madaraka ya kujitawala katika mambo ya ndani na baadaye rais wa kwanza wa taifa. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Malawi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "daktari Hastings Kamuzu Banda", "start_byte": 14, "limit_byte": 43}]} {"id": "-7942587109824783052-4", "language": "swahili", "document_title": "Ikulu ya Kenya", "passage_text": "Pamoja na Ikulu ya Nairobi, kuna Ikulu nyingine katika majiji ya Mombasa na Nakuru.", "question_text": "Je, kuna ikulu ngapi za rais nchini kenya?", "answers": [{"text": "Pamoja na Ikulu ya Nairobi, kuna Ikulu nyingine katika majiji ya Mombasa na Nakuru", "start_byte": 0, "limit_byte": 82}]} {"id": "8281250792238432403-8", "language": "swahili", "document_title": "Togo", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Sylvanus Olympio.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Togo anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Sylvanus Olympio", "start_byte": 23, "limit_byte": 39}]} {"id": "7066358791126816913-1", "language": "swahili", "document_title": "Wagikuyu", "passage_text": "Wao hukaa hasa katika nyanda za juu za Kenya ya Kati katika mazingira ya Nairobi hadi mlima Kenya. Mlima huu katika lugha yao huitwa \"Kĩrĩma kĩrĩ Nyaga\". Mlima huu wenye umaarufu kwa kuwa na kimo cha juu ni mahali ambapo wazee, walitolea kafara Mungu wao \"Ngai\".", "question_text": "Je jamii ya Kikuyu inapatikana katika sehemu ipi ya Kenya?", "answers": [{"text": "nyanda za juu za Kenya ya Kati katika mazingira ya Nairobi hadi mlima Kenya", "start_byte": 22, "limit_byte": 97}]} {"id": "8875305254454115215-5", "language": "swahili", "document_title": "Meli ya abiria", "passage_text": "\n\nMeli ya abiria ya pekee zilianza kutokea wakati wa karne ya 19, hadi wakati ule jahazi na pia meli zilibeba mizigo pamoja na watu na zilikuwa na vyumba vichache vya abiria wenye pesa ilhali wengine walikaa kwenye sitaha au pamoja na mizigo.", "question_text": "Meli ya abiria ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 19", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}]} {"id": "-2761940201783998268-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Je, bara Asia ina mataifa mangapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 23, "limit_byte": 25}]} {"id": "-7820868001736733179-6", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Vivyo hivyo “Ulaya bara” ni eneo la Ulaya bila visiwa kama Britania, Eire, Malta na kadhalika. ", "question_text": "Eire ni nchi ya bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 40, "limit_byte": 45}]} {"id": "4672822998084720706-0", "language": "swahili", "document_title": "Jazz", "passage_text": "Jazz ni aina ya muziki iliyoanzishwa nchini Marekani. Jazz huunganisha tabia za muziki ya Kiafrika pamoja na tabia za muziki ya Ulaya.", "question_text": "Je, muziki wa Jazz ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 44, "limit_byte": 52}]} {"id": "-3608790280365002357-8", "language": "swahili", "document_title": "Kupaa Bwana", "passage_text": "Kwa kawaida sikukuu hiyo inafanyika siku arubaini baada ya Jumapili ya Pasaka kufuatana na hesabu ya Matendo ya Mitume 1:3, ingawa pengine inasogezwa kutoka Alhamisi hadi Jumapili ijayo ili kuwawezesha waamini wote kushiriki pale ambapo siku yenyewe ni ya kazi, si sikukuu ya taifa. ", "question_text": "Siku ya kusherehekea kufufuka kwa Yesu inaitwaje?", "answers": [{"text": "Jumapili ya Pasaka", "start_byte": 59, "limit_byte": 77}]} {"id": "-6980364622783217290-17", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa Katoliki", "passage_text": "Kanisa hilo linaamini kuwa ndani yake linadumu moja kwa moja Kanisa pekee lililoanzishwa na Yesu Kristo ambalo wanaunganishwa nalo wale wote wanaobatizwa katika madhehebu yoyote. ", "question_text": "Je,nani alianzisha kanisa katoliki duniani?", "answers": [{"text": "Yesu Kristo", "start_byte": 92, "limit_byte": 103}]} {"id": "-4981024786063132770-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "\nNyangumi ni wanyama wa bahari, na pengine wa maji matamu, katika oda Cetacea wanaofanana na samaki, lakini ni mamalia: kwa hivyo hawatagi mayai kama samaki bali huzaa watoto kama mamalia wote na huwanyonyesha. ", "question_text": "Je,mamalia upi mkubwa zaidi majini?", "answers": [{"text": "Nyangumi", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "8490599962058088220-6", "language": "swahili", "document_title": "Anthony Anderson", "passage_text": "Mnamo mwaka wa 1995, amemwoa kipenzi chake cha roho waliokuwa wakisoma wote chuo Bi. Alvina. Wawili hao wana watoto wawili. Kwa sasa wanaishi mjini Hancock Park, Los Angeles, California.", "question_text": "Je,Anthony Alexandre Anderson ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wawili", "start_byte": 116, "limit_byte": 122}]} {"id": "-8549420013913851730-0", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya HL Green", "passage_text": "Kampuni ya H.L. Green ulikuwa mnyororo wa maduka madogo nchini Marekani katika karne ya ishirini ulioitwa jina hili kumkumbuka mwanzilishi Harold L. Green (1892-1951).\nMnyororo ulianzishwa katika mwaka wa 1932. Kampuni hiii iliendesha maduka 133 ya rejareja tangu mwaka wa 1935,mengi yakiwa yamenunuliwa kutoka mnyororo wa maduka ya Metropolitan Chain Stores(kampuni ambayo Harold Green alikuwa rais), F&W Grand Stores, Kampuni ya Isaac Silver na Ndugu zake na Kampuni ya F&W Grand-Silver Stores.", "question_text": "Harold L. Green alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1892", "start_byte": 156, "limit_byte": 160}]} {"id": "-2449111921292165636-8", "language": "swahili", "document_title": "Samuel Wanjiru", "passage_text": "Wanjiru alikuwa mumewe Triza Wanjiru na walikuwa na watoto wawili. Hata hivyo, Wanjiru alikuwa mpenda anasa kupita na inasemekana alikuwa na wapenzi kadhaa. Kufuatia kuaga kwake, wanawake kadhaa walijitokeza wakidai urithi, wakiwemo Judy Wambui ambaye alikuwa mja mzito kupitia Wanjiru.", "question_text": "Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na wake wangapi?", "answers": [{"text": "Triza Wanjiru", "start_byte": 23, "limit_byte": 36}]} {"id": "1648863423457349829-17", "language": "swahili", "document_title": "Mto", "passage_text": "6.671 km - Nile: Luvironza-Ruvuvu-Ruvusu-Kagera-Nile Nyeupe-Nile - (Afrika)\n6.387 km - Amazonas: Apurimac-Ene-Tambo-Ucayali-Amazonas - (Amerika ya Kusini)\n6.380 km - Yangtse (Cháng Jiāng) - (Asia)\n6.051 km - Mississippi-Missouri - (Amerika ya Kaskazini)\n5.940 km - Yenisei-Angara - (Asia)\n5.410 km - Ob-Irtysch - (Asia)\n5.052 km - Amur-Argun-Kerulen - (Asia) - (pekee wakati wa mvua nyingi)\n4.845 km - Huang He - (Asia)\n4.500 km - Mekong - (Asia)\n4.374 km - Kongo - (Afrika)", "question_text": "Je,mto mkubwa zaidi bara Afrika ni upi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 11, "limit_byte": 15}]} {"id": "7310133370871362660-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo", "passage_text": "Taarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km2]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "question_text": "Tanzania ina mikoa ngapi?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 123, "limit_byte": 125}]} {"id": "6366125832135326642-0", "language": "swahili", "document_title": "Misri", "passage_text": "جمهوريّة مصرالعربيّة\n\nGumhūriyyat Misr al-ʿarabiyya\n\nJamhuri ya Kiarabu ya Misri\n\n\n\n\n \n Bendera ya Misri \n Nembo la MisriLugha rasmiKiarabuMji MkuuCairo-MaadiSerikaliJamhuriRaisAbdel Fattah el-SisiWaziri MkuuIbrahim MahlabEneokm² 1.002.450Wakazi90.000.000 (2015)Wakazi kwa km²84 kwa jumla; katika bonde la Nile 1120Uhuru26 Julai 1952 kutoka UingerezaPesaLira au Pauni ya Misri = 100 PiasterWakatiUTC +2Wimbo ya TaifaBiladi, Biladi, Biladi (nchi yangu) \nRamani ya Misri", "question_text": "Je,mji mkuu wa Misri ni gani?", "answers": [{"text": "Cairo", "start_byte": 168, "limit_byte": 173}]} {"id": "6127913208076564845-3", "language": "swahili", "document_title": "Schutzstaffel", "passage_text": "Mwaka 1934 Hitler aliamua kuwaondoa viongozi wa wanamigambo wa SA waliokuwa na mawazo yao ya pekee kuhusu maendeleo ya utawala wa Kinazi katika Ujerumani. Hitler alitumia SS kwa kazi hii. Tar. 30 Juni na 1 Julai 1934 vikundi vya SS walikamata na kuua viongozi wengi wa SA. ", "question_text": "Je,chama cha Nazi kilianza uongozi nchini Ujerumani mwaka upi?", "answers": [{"text": "1934", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "5464975825237413620-5", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Mtawala alikuwa na cheo cha Manikongo na ufalme uligawiwa kwa majimbo sita. Baada ya kufika kwa Wareno wafalme na matabaka ya juu walikuwa Wakristo. Ufalme uliporomoka kutokana na vita vilivyosababishwa na biashara ya watumwa na kuingilia kwa wafanyabiashara ya watumwa katika siasa ya ndani. Hata hivyo, nasaba za watawala waliotumia cheo cha \"Awenekongo\" waliendelea kukaa katika mji mkuu wa kale M'banza-Kongo (iliyobadilishwa jina kuitwa San Salvador) hadi mwaka 1914 ambako Wareno walifuta mabaki ya uhuru na kufanya eneo lililobaki sehemu kamili ya koloni lao la Angola.", "question_text": "Je, Angola ilitawaliwa na nani enzi za mkoloni?", "answers": [{"text": "Wareno", "start_byte": 96, "limit_byte": 102}]} {"id": "-3840927018693368184-0", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "\n\n\nHeroes ni kipindi cha Marekani kilichobuniwa na Tim Kring, kwenye stesheni ya NBC mnamo 25 Septemba 2006. Kipindi hiki kinaeleza jinsi wahusika wanajitambua kama wana vipawa mbalimbali na jinsi vipawa hivi vinavyoathiri maisha yao.", "question_text": "Je,kipindi cha Heroes ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "006", "start_byte": 104, "limit_byte": 107}]} {"id": "-1679168957882104940-0", "language": "swahili", "document_title": "Libya", "passage_text": "ليبيا\n\n(Lībiyya)\n\nLibyaLugha rasmiKiarabuMji MkuuTripoliSerikaliJamhuri ya KiislamuMkuu wa DolaAguila Saleh IssaWaziri MkuuAbdullah al-ThaniEneokm² 1.759.541Idadi ya Wakazi6,244,174 (Julai 2014)Wakazi kwa km²3,55JPT/mkazi4.293 US-$ (2004)Uhurukutoka Italia tarehe 24 Desemba 1951PesaDinari ya LibyaWakatiUTC+1Wimbo la Taifa\"Libya, Libya, Libya\"", "question_text": "Je,nchi ya Libya ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "6,244,174", "start_byte": 179, "limit_byte": 188}]} {"id": "4239833692822965442-1", "language": "swahili", "document_title": "Ice Cube", "passage_text": "Ice Cube alianza shughuli zake za kimuziki kama mmoja wa waanzilishi wa kundi la muziki aina ya hip hop maarufu kama N.W.A., baadae akaanza shughuli za kuimba muziki akiwa peke yake bila ushirika wowote ule huku kwa mbali anaigiza filamu, kitu ambacho kilimpa mafanikio makubwa sana. Mnamo mwaka wa 1992, akamuoa Kimberly Woodruff, kwa pamoja wamezaa watoto wanne.", "question_text": "Je,Ice Cube ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 358, "limit_byte": 363}]} {"id": "8950971909543786087-4", "language": "swahili", "document_title": "Kiunzi cha mifupa", "passage_text": "Kiunzi cha binadamu huwa na mifupa 206. Mifupa inaunganishwa kwenye viungo kwa nyugwe inayowezesha mwili kuwa nyumbufu. Kano huunganisha mfupa na misuli ikipeleka nguvu ya misuli kwa mfupa.", "question_text": "Je,mwanadamu ana aina ngapi ya mifupa mwilini kwa jumla?", "answers": [{"text": "206", "start_byte": 35, "limit_byte": 38}]} {"id": "-8568451325015401241-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Bahari la Mediteranea lina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "2,5km²", "start_byte": 164, "limit_byte": 171}]} {"id": "3712101951220559801-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Mara", "passage_text": "Mkoa wa Mara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 31000 [1]. Umepakana na mikoa jirani ya Mwanza na Shinyanga upande wa kusini, Arusha upande wa kusini-mashariki, Kagera kwa njia ya Ziwa Nyanza (au Viktoria) na Kenya upande wa mashariki. Jina linatokana na lile la mto Mara.", "question_text": "Je, wasukuma wanatokea mkoa upi?", "answers": [{"text": "Mara", "start_byte": 8, "limit_byte": 12}]} {"id": "6665606524523364745-4", "language": "swahili", "document_title": "Mapenzi", "passage_text": "Neno la Kiingereza \"love\" linaweza kuwa na maana tofauti, lakini zinazohusiana, katika miktadha tofauti. Mara nyingi, lugha nyingine hutumia maneno mbalimbali kueleza dhana tofauti ambazo Kiingereza hutumia neno \"love\" kurejelea; mfano mmoja ni wingi wa maneno ya Kigiriki yanayorejelea \"mapendo\". Tofauti za utamaduni katika kufafanua mapenzi hivyo, hufanya liwe jambo gumu kuanzisha ufafanuzi wowote. [3]", "question_text": "Pendo linaitwaje katika lugha ya kimombo?", "answers": [{"text": "love", "start_byte": 20, "limit_byte": 24}]} {"id": "4040559060953077670-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Vile vile, katika mwaka huohuo wa 1960 Congo (Kinshasa), Nigeria, Somalia, na Togo zikapata uhuru, na katika mwaka wa 1961 Sierra Leone na Tanganyika zikapata uhuru, na Afrika ya Kusini ikawa Jamhuri. ", "question_text": "Je,Nigeria ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "8664347216342881040-2", "language": "swahili", "document_title": "Visiwa vya Marshall", "passage_text": "Atolli ya Majuro inashika nafasi ya mji mkuu.", "question_text": "Mji mkuu wa Visiwa vya Marshall ni upi?", "answers": [{"text": "Atolli ya Majuro", "start_byte": 0, "limit_byte": 16}]} {"id": "3596527513722484885-0", "language": "swahili", "document_title": "Usultani wa Adal", "passage_text": "\nAdal Sultanate (Somali: Adaal, Ge'ez: አዳል ʾAdāl, Arabic: عدل) (c. 1415 - 1555) ulikuwa ni ufalme wa iliyo sasa Kaskazini-Magharibi ya Somalia, Kusini mwa Djibouti, Somali, Oromia, na Afar iliyo mikoa ya Ethiopia. Katika kipindi cha juu cha uongozi wake, Sultani huyu aliweza kuongoza sehemu kubwa ya eneo la Ethiopia na Somalia.", "question_text": "Adal Sultanate ilikuwa ni ufalme mwaka upi?", "answers": [{"text": "1415 - 1555", "start_byte": 78, "limit_byte": 89}]} {"id": "-7163217964693230379-0", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "China (pia: Uchina, Sina; kirefu: Jamhuri ya Watu wa China) ni nchi kubwa ya Asia ya Mashariki ambayo ndiyo nchi yenye watu wengi kuliko zote duniani.", "question_text": "Nchi gani duniani iko na idadi ya watu kubwa zaidi?", "answers": [{"text": "China", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "-8979127440473174667-1", "language": "swahili", "document_title": "Paris Saint Germain F.C. (PSG)", "passage_text": "Ilianzishwa mwaka 1970. Klabu hiyo inavaa jezi zenye rangi ya buluu na nyekundu. Timu imecheza mechi 47,925 za nyumbani katika uwanja wao wa Parc des Princes. Klabu hiyo inaongoza kwa kuchukua makombe mengi ya ligi ya Ufaransa.", "question_text": "Je,klabu ya Paris Saint-Germain ilianza lini?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 18, "limit_byte": 22}]} {"id": "4248020683625592075-3", "language": "swahili", "document_title": "John Sentamu", "passage_text": "Alianza kusoma theolojia kwenye Chuo Kikuu cha Cambridge akapokelewa kama padre wa Kanisa Anglikana mwaka 1979. Akapata cheo cha Ph. D. mwaka 1984. Baada ya kufanya kazi kama pdre msaidizi na padre kiongozi katika parokia kadhaa likuwa askofu msaidizi wa Stepney mwaka 1996; 2002 akawa askofu wa Birmingham. 2004 alikuwa risi wa harakati ya Youth For Christ na 2005 raisi wa YMCA. Mwaka huohuo alipewa cheo cha askofu mkuu wa York.", "question_text": "John Tucker Mugabi Sentamu aliteuliwa kama askofu mwaka gani?", "answers": [{"text": "2002", "start_byte": 275, "limit_byte": 279}]} {"id": "-2997339795349330103-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza Tanzania anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "7484244157915821208-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Nchi ya Rwanda ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 411, "limit_byte": 415}]} {"id": "-6176604579405471913-0", "language": "swahili", "document_title": "Maharagwe", "passage_text": "Maharagwe (pia: maharage) ni mbegu za mimea mbalimbali (miharagwe) kutoka familia ya Fabaceae lakini mara nyingi sana Phaseolus vulgaris.", "question_text": "Maharagwe ni mmea wa familia gani?", "answers": [{"text": "Fabaceae", "start_byte": 86, "limit_byte": 94}]} {"id": "3758807501533676876-0", "language": "swahili", "document_title": "Beyoncé Knowles", "passage_text": "Beyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé pronounced/biˈjɒn.seɪ/(deprecated template) ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na mwanamitindo kutoka Marekani. Alizaliwa na kukulia Houston, Texas na alihudhuria shule mbalimbali zinazofunza sanaa. Pia alianza kushiriki katika mashindano ya kuimba na kucheza ngoma akiwa mtoto. Knowles alikuja kujulikana katika mwisho wa miaka ya 1990 kama mwimbaji kiongozi wa kikundi cha wasichana cha R & B, Destiny's Child. Kulingana na Sony, mauzo ya rekodi za Knowles, yakiunganishwa na yale ya kikundi cha Destiny's Child, yamezidi milioni 100.[1]", "question_text": "Mwanamuziki Beyonce alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-6489872697157306706-0", "language": "swahili", "document_title": "Jawaharlal Nehru", "passage_text": "\nJawaharlal Nehru (14 Novemba 1889 - 27 Mei 1964) alikuwa waziri mkuu na kiongozi wa kwanza wa kisasa wa Uhindi. Alitawala miaka 17 tangu uhuru wa 1947 hadi 1964.", "question_text": "Je, Jawaharlal Nehru alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1889", "start_byte": 30, "limit_byte": 34}]} {"id": "2700134583756484287-22", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Wataalamu wa astronomia wamegundua sayari za nje (ing. exoplanets) yaani sayari zilizo nje ya mfumo wa jua letu zinazozunguka nyota mbalimbali. Kutokana na umbali mkubwa na matatizo ya utazamaji kwa muda mrefu hakukuwa na uhakika kama nyota kuwa na sayari ni jambo la kawaida angani au kama sayari ni chache tu. Hadi Mei 2018 kuwepo kwa sayari 3,767 kumethibitishwa na kati ya hizi mifumo ya sayari 628 imetambuliwa ambako kuna zaidi ya sayari moja..[9]", "question_text": "Je,kuna sayari ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "3,767", "start_byte": 344, "limit_byte": 349}]} {"id": "-1323482097805712521-29", "language": "swahili", "document_title": "Algeria", "passage_text": "Algiers\nAnnaba\nMascara-Oran\nTemurssen", "question_text": "Mji mkuu Algeria ni upi?", "answers": [{"text": "Algiers", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "1351468003831784197-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso). ", "question_text": "Nchi ya Kamerun ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "1117553814653176360-0", "language": "swahili", "document_title": "Amos Biwott", "passage_text": "Amos Biwott (alizaliwa 8 Septemba 1947 katika Wilaya ya Nandi) ni mwanariadha wa zamani wa Kenya. Yeye alikuwa mshindi wa mbio ya 3000m ya urukaji viunzi katika Olimpiki ya 1968.", "question_text": "Amos Biwott alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1947", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "8838695985620963428-0", "language": "swahili", "document_title": "Adıyaman", "passage_text": "\nAdıyaman (Kizazaki: Semsur) (Perre ya kale au Pordonnium) ni mji uliopo kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki, na pia ni mji mkuu wa Mkoa wa Adıyaman. Ni mmoja kati ya miji inayokuwa haraka zaidi katika nchi ya Uturuki. Idadi ya wakazi wa huko inaanzia 100,045 (1990) hadi 178,538 (2000) (kwa mjibu wa sensa zao).", "question_text": "Je,mji wa Adıyaman ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "178,538", "start_byte": 275, "limit_byte": 282}]} {"id": "1661006243221970378-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,ziwa kubwa zaidi bara Afrika ni ipi?", "answers": [{"text": "Ziwa Viktoria", "start_byte": 6, "limit_byte": 19}]} {"id": "-3191353888501727757-0", "language": "swahili", "document_title": "Kool G Rap", "passage_text": "Nathaniel Thomas Wilson (amezaliwa tar. 20 Julai, 1968), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Kool G Rap (au kwa kifupi huitwa G Rap), Kool G. Rap, na Giancana (Maana ya kifupisho cha \"'G.\"'), ni rappa, kutoka mjini Corona jirani na mji wa Queens, New York huko nchini Marekani. Ameanza shughuli zake za kurap katikati mwa miaka ya 1980 akiwa kama nusu ya kundi la Kool G Rap na DJ Polo na pia akiwa kama mwanachama wa Juice Crew.", "question_text": "Nathaniel Thomas Wilson alianza sanaa ya muziki lini?", "answers": [{"text": "katikati mwa miaka ya 1980", "start_byte": 321, "limit_byte": 347}]} {"id": "6221754997085358083-12", "language": "swahili", "document_title": "Mto Conwy", "passage_text": "Njia katika Conwy ,mtaro mviringo, ulijengwa chini ya kinywa cha mto huu mwishoni wa miaka ya 1980 na mwanzo miaka ya 1990.[2] Ulifunguliwa na Malkia katika Oktoba 1991. Hii ilisababisha hasara ya baadhi chumvi lakini pia ilisababisha uumbaji wa Hifadhi ya Conwy RSPB.", "question_text": "Mto Conwy una maji ya aina gani?", "answers": [{"text": "chumvi", "start_byte": 204, "limit_byte": 210}]} {"id": "-1642628143876885725-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Kuku anaishi miaka mingapi?", "answers": [{"text": "5-11", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-6957892487971404229-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Bahari ya hindi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "-1392630813861411883-0", "language": "swahili", "document_title": "Kaboni", "passage_text": "Kaboni (kutoka Kilatini carbo, kwa kupitia Kiingereza carbon) ni elementi yenye namba atomia 6 na uzani atomia 12 kwenye mfumo radidia. Alama yake ni C.", "question_text": "Kaboni ni nini?", "answers": [{"text": "elementi yenye namba atomia 6 na uzani atomia 12 kwenye mfumo radidia", "start_byte": 65, "limit_byte": 134}]} {"id": "1329877090700686859-0", "language": "swahili", "document_title": "Syria", "passage_text": "\nSyria au Siria (kwa Kiarabu: سوريا au سورية ) ni nchi ya Mashariki ya Kati au Asia ya Magharibi. ", "question_text": "Je,nchi ya Syria iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 91, "limit_byte": 95}]} {"id": "4067780428939795476-17", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Nchi ya kwanza kujitawala upya katika Afrika ni nchi za Afrika ya Kusini zilizojiunga na kujiendesha wao wenyewe katika mwaka 1910. Misri, katika mwaka wa 1922 walikuwa wanajiendesha wenyewe, na Tangier katika mwaka wa 1925. ", "question_text": "Je,Misri ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 155, "limit_byte": 159}]} {"id": "-9075479734857013865-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya elimu", "passage_text": "Lugha ya mazungumzo iliendelea na kuwa ishara na herufi. Kina na upana wa elimu au maarifa ulioweza kuhifadhiwa na kupitishwa uliongezeka zaidi na zaidi. Wakati ambapo tamaduni zilianza kupanua elimu zaidi ya ujuzi wa kawaida wa mawasiliano, biashara, ukusanyaji chakula, tunu na desturi za kidini na kadhalika, mwishowe elimu rasmi na masomo vilifuatia. Kisomo kwa maana hii kilikuwa kimeshaanza nchini Misri kati ya 3000 na 500 KK.", "question_text": "Mfumo wa Elimu ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "Misri", "start_byte": 404, "limit_byte": 409}]} {"id": "-9060616565423167850-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo", "passage_text": "\n\nUkristo (kutoka neno la Kigiriki Χριστός, Khristos, ambalo linatafsiri lile la Kiebrania מָשִׁיחַ, Māšîăḥ, linalomaanisha \"Mpakwamafuta\" [1]) ni dini inayomwamini Mungu pekee[2] kama alivyofunuliwa kwa Waisraeli katika historia ya wokovu ya Agano la Kale na hasa Yesu Kristo katika [[Agano Jipya]] ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya 1. ", "question_text": "Ukristo ni nini?", "answers": [{"text": "dini inayomwamini Mungu pekee[2] kama alivyofunuliwa kwa Waisraeli katika historia ya wokovu ya Agano la Kale na hasa Yesu Kristo katika [[Agano Jipya]] ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya 1", "start_byte": 169, "limit_byte": 366}]} {"id": "-6239657521530648243-2", "language": "swahili", "document_title": "Estonia", "passage_text": "Mji mkuu ni Tallinn unaojulikana pia kwa jina la Reval. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Estonia ni ipi?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-1723286642251586821-2", "language": "swahili", "document_title": "Ali ibn Abu Talib", "passage_text": "Ali alikuwa binamu wa Mohammed na kati ya wafuasi wa kwanza wa mtume. Alimwoa Fatimah binti wa mtume akazaa naye watoto watano: * Hasan ibn Ali (imamu wa pili wa Shia) ", "question_text": "Je,Ali bin Muhammad alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watano", "start_byte": 120, "limit_byte": 126}]} {"id": "7214096232783492185-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Msitu mkubwa nchini Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "-2218950349532104530-2", "language": "swahili", "document_title": "Visiwa vya South Georgia na South Sandwich", "passage_text": "Visiwa vyote vina eneo la km² 3,900.", "question_text": "Visiwa vya South Georgia vina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 3,900", "start_byte": 26, "limit_byte": 36}]} {"id": "2542623027983250493-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Jangwa kubwa zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Sahara", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-1339031576082929401-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyoka", "passage_text": "\nNyoka ni watambaachi au reptilia wasio na miguu. Kuna takriban spishi 3,000 duniani wako kwenye mabara yote nje ya Antaktiki na Aktiki.", "question_text": "Nyoka iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "reptilia", "start_byte": 25, "limit_byte": 33}]} {"id": "6621724825390436628-1", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "Alizaliwa 1954 mjini Hamburg katika familia ya Horst na Herlind Kasner. Babake alikuwa mchungaji wa Kanisa la Kiluteri, mama alikuwa mwalimu. Mwaka uleule familia ilihamia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (ambayo ilikuwa Ujerumani ya Mashariki, kabla ya Ujerumani zote mbili kuungana na kuwa moja) ambapo aliishi huko hadi Muungano wa Ujerumani ulipofanyika mnamo mwaka wa 1990. Tangu 1957 familia iliishi mjini Templin katika kaskazini ya nchi ambako mchungaji Kasner alikuwa mkuu wa chuo cha theolojia. Mamake Angela alizuiliwa kufanya kazi ya ualimu kwa sababu serikali ya kikomunisti haikutaka mke wa mchungaji kuwa shuleni. Angela ana wadogo wawili.", "question_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Hamburg", "start_byte": 21, "limit_byte": 28}]} {"id": "7196172525314107752-0", "language": "swahili", "document_title": "Libido", "passage_text": "Libido (yaani nyege au ashiki) ni uchu au hamu ya kujamiana ambayo hupatikana kwa wanaume na kwa wanawake. Neno hili la Kilatini hutumika hasa mtu alipo na kiwango kidogo cha libido. Hapo ndipo utakaposikia kwamba fulani ana libido kidogo ama mwanamume fulani amekosa nguvu za kiume. Hata hivyo, yafaa ijulikane kwamba kuna tofauti kati ya hamu ya ngono na nguvu za kiume. Mwanamume asiye na nguvu za kiume huenda akawa na kiasi cha libido kinachofaa, lakini hawezi kujamiana na mwenziwe kwa njia inayofaa maana mwili wake hauitikii.", "question_text": "Je,ashiki ni nini?", "answers": [{"text": "hamu ya kujamiana ambayo hupatikana kwa wanaume na kwa wanawake", "start_byte": 42, "limit_byte": 105}]} {"id": "-2547545785389267519-7", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Jike anaanza kuzaa akifikia umri wa miaka 2-3. Baada ya kuwa mzito kwa miezi 3 1/2 anazaa wadogo 2-3. Wakati mwingine idadi hii inaweza kuwa hadi wadogo 6 lakini wanaozidi 3 kwa kawaida wanakufa mapema.", "question_text": "Simba huzaa watoto wangapi kwa mara moja?", "answers": [{"text": "2-3", "start_byte": 97, "limit_byte": 100}]} {"id": "-8541768864436103329-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya miji ya Nigeria", "passage_text": "Miji ya NigeriaNr.MjiIdadi ya wakaziJimboSensa 1991Makadirio 20071.Lagos5.195.2479.229.944Lagos2.Kano2.166.5543.848.885Kano3.Ibadan1.835.3003.847.472Oyo4.Kaduna993.6421.652.844Kaduna5.Port Harcourt703.4211.203.184Rivers6.Maiduguri618.2781.197.497Borno7.Benin City762.7191.167.327Edo8.Zaria612.2571.018.827Kaduna9.Aba500.183966.001Abia10.Ogbomosho433.030945.147Oyo11.Jos510.300860.895Plateau12.Ilorin532.089847.582Kwara13.Oyo369.894808.116Oyo14.Enugu407.756688.862Enugu15.Abeokuta352.735631.018Ogun16.Sokoto329.639601.893Sokoto17.Onitsha350.280591.462Anambra18.Warri363.382556.179Edo19.Oshogbo250.951548.327Osun20.Okene312.775498.877Kogi21.Calabar310.839479.341Cross River22.Katsina259.315459.022Katsina23.Akure239.124451.396Ondo24.Ile-Ife186.856408.897Osun25.Iseyin170.936374.512Oyo26.Bauchi206.537330.391Bauchi27.Ikorodu184.674329.424Lagos28.Makurdi151.515319.797Benue29.Ede142.363311.852Osun30.Ilesha139.445305.480Osun31.Minna189.191304.113Niger32.Efon Alaaye158.977299.755Ekiti33.Owo157.181296.915Ondo34.Ado Ekiti156.122294.382Ekiti35.Umuahia147.167285.313Abia36.Ikot Ekpene119.402283.784Akwa Ibom37.Damaturu141.897275.966Yobe38.Ondo146.051275.917Ondo39.Iwo125.645275.332Osun40.Jimeta141.724266.152Adamawa41.Gombe163.604261.536Gombe42.Ikire111.435244.273Osun43.Gusau132.393242.323Zamfara44.Mubi128.900242.091Adamawa45.Owerri119.711231.789Imo46.Shagamu127.513228.382Ogun47.Ijebu-Ode124.313222.653Ogun48.Gboko101.281213.922Benue49.Ugep134.773207.897Cross River50.Nnewi121.065204.532Anambra51.Ise108.136204.022Ekiti", "question_text": "Je,Lagos ina idadi ya takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "9.229.944", "start_byte": 81, "limit_byte": 90}]} {"id": "5632742629618778718-5", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara iko kaskazini mwa Afrika. Ina nchi za Moroko, Algeria, Tunisia na Libya upande wa kaskazini. Upande wa kusini kuna nchi za kanda la Sahel kama Chadi, Mali, Mauritania na Niger. Sahara ya Magharibi ina sehemu ufukoni mwa Atlantiki, na upande wa mashariki ni Sudani na Misri ambako oasisi ya mto Nile inakata eneo lake. ", "question_text": "Mto mrefu zaidi nchini Misri ni upi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 301, "limit_byte": 305}]} {"id": "-9025503196286813559-5", "language": "swahili", "document_title": "Guinea Bisau", "passage_text": "Wakazi walikuwa 1,515,000 mwaka 2010, wakati walikuwa 518,000 tu mwaka 1950.", "question_text": "Nchi ya Guinea iko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "1,515,000", "start_byte": 16, "limit_byte": 25}]} {"id": "244783819206628460-14", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Katika Unyasa daktari Hastings Kamuzu Banda alijitokeza kuwa mwanasiasa aliyependelewa na wananchi wengi, akawa waziri mkuu wakati wa Unyasa kupata madaraka ya kujitawala katika mambo ya ndani na baadaye rais wa kwanza wa taifa. ", "question_text": "Je, rais wa kwanza Malawi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "daktari Hastings Kamuzu Banda", "start_byte": 14, "limit_byte": 43}]} {"id": "829783850955322686-15", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa Katoliki", "passage_text": "Tunalikuta kwa mara ya kwanza katika maandishi ya Ignas wa Antiokia kwa Wakristo wa Smirna mwanzoni mwa karne II: «Alipo Yesu Kristo ndipo lilipo Kanisa Katoliki» (Ad Smyrnaeos, 8).", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa dini ya Katoliki?", "answers": [{"text": "Yesu Kristo", "start_byte": 122, "limit_byte": 133}]} {"id": "9018947847563942588-0", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa Orange Democratic Movement (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita \"Agwambo\".", "question_text": "Raila Amolo Odinga alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "5567425456657142543-0", "language": "swahili", "document_title": "Mnanasi", "passage_text": "\nMnanasi (Ananas comosus) ni mmea katika familia Bromeliaceae ya oda Poales. ", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya nanasi ni ipi?", "answers": [{"text": "Ananas comosus", "start_byte": 10, "limit_byte": 24}]} {"id": "-8648895073208227642-0", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "\nNairobi ni mji mkuu wa jamhuri ya Kenya na vilevile mojawapo ya kaunti za Kenya. ", "question_text": "Mji mkuu wa Kenya unaitwa aje?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "-5853502296845039741-0", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "\nSimba (jina la kisayansi: Panthera leo[1]; kwa Kiingereza lion) ni mnyama mkubwa mla nyama (carnivore) wa familia ya felidae[2] katika ngeli ya mamalia. Maana yake ni kwamba simba hufanana na paka mkubwa. ", "question_text": "Je,paka ako katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "mamalia", "start_byte": 145, "limit_byte": 152}]} {"id": "-5764939407786556121-1", "language": "swahili", "document_title": "Alibhai Mulla Jeevanjee", "passage_text": "Alibhai Mulla Jeevanjee (1856-1939) alikuwa mfanya biashara Mhindi ambaye alizaliwa Karachi iliyokuwa sehemu ya Uhindi wa Kiingereza. Alihamia Mombasa nchini Kenya katika Afrika ya Mashariki mwaka wa 1890 baada ya kukaa Australia kwa miaka michache.[1]Alianza shughuli zake za urasirimali katika Karachi nchini Pakistan kabla ya kuhamia Afrika Mashariki. Mnamo 1895, A M Jeevanjee wa Karachi - kama alivyoitwa wakati huo, alipewa kandarasi ya kutafuta wafanyikazi na kampuni ya Imperial British East Africa iliyokuwa imepewa kandarasi ya kujenga reli.Wengi wa wafanyikazi hawa walitoka eneo la Punjab huko India. Kundi la kwanza kufika lilikuwa na jumla ya watu 350 na idadi iliongezeka kwa miaka sita ijayo na kufikia jumla ya wafanyikazi 31,895. Wengi wao walikuwa Sikhs, Wahindi na Waislamu ambao walifanya kazi kama vibarua wenye ujuzi, mafundi, waashi, maseremala, washonaji, mafundi wa mashine na waweka umeme.[2]\n\nBaadaye alifuatilia uana biashara kwa kufungua tawi la ofisi yake Karachi katika mji wa Mombasa. Alianza kufanya biashara zingine katika mkoa huo baada ya kusimamia ujenzi wa reli. Na ilianza kusambaza vifaa ambayo ni pamoja na chakula kwa wafanyikazi hao waliokuwa wanajenga reli.Kampuni yake pia ilipewa kandarasi za kujenga ofisi za serikali, vituo vya reli na ofisi za posta.[1]", "question_text": "Alibhai Mulla Jeevanjee alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1856", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "-9013895586402157326-3", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia linaweza kugawanywa katika sehemu zifuatazo:", "question_text": "Je, Bangladeshi inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 8, "limit_byte": 12}]} {"id": "-4760461697774317918-23", "language": "swahili", "document_title": "Punda milia", "passage_text": "Kama ilivyo kwa wanyama wengi, punda milia jike hukua haraka kuliko punda milia dume. Jike huweza kupata mtoto akiwa na miaka mitatu tu wakati kwa dume ni mpaka miaka mitano au sita. Jike huweza kupata kila mtoto baada ya miezi kumi na mbili na hukaa na mtoto kwa takribani mwaka mmoja. Kama ilivyo kwa farasi, ndama wa punda milia huweza kusimama, kutembea na kunyonya muda mfupi tu kisha kuzaliwa. Wanapozaliwa ndama wa punda milia huwa na rangi ya kahawia na nyeupe badala ya nyeusi na nyeupe. Ndama na punda milia wa mlimani na wale wa nyikani hutunzwa na mama zao na baba zao pia.", "question_text": "Punda milia anazaa baada ya muda gani?", "answers": [{"text": "miezi kumi na mbili", "start_byte": 222, "limit_byte": 241}]} {"id": "-8310506865838664149-2", "language": "swahili", "document_title": "Vietnam", "passage_text": "Mji mkuu ni Hanoi lakini mji mkubwa ni Mji wa Ho Chi Minh (zamani: Saigon). ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Vietnam ni upi?", "answers": [{"text": "Hanoi", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-7059688314368555444-3", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mji mkuu ni Nairobi. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "1181665944273604599-5", "language": "swahili", "document_title": "Zuhura", "passage_text": "Ukubwa wake na pia kemia yake zinafanana sana na dunia ikiwa kipenyo chake ni km 12,103.6 kwenye ikweta.", "question_text": "Sayari ya Zuhura ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km 12,103.6", "start_byte": 78, "limit_byte": 89}]} {"id": "-6746531134148949577-0", "language": "swahili", "document_title": "William Shakespeare", "passage_text": "\nWilliam Shakespeare (Aprili 1564 - 23 Aprili 1616) alikuwa mwandishi mashuhuri nchini Uingereza.", "question_text": "William Shakespeare alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1564", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "8356923623680549832-1", "language": "swahili", "document_title": "Wazigula", "passage_text": "Mwaka 1993 idadi ya Wazigula ilikadiriwa kuwa 355,000 [1]. ", "question_text": "Kabila la Wazigula lina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "355,000", "start_byte": 46, "limit_byte": 53}]} {"id": "-4779251145430824302-4", "language": "swahili", "document_title": "Don Gordon (Mwigizaji)", "passage_text": "Mwaka wa 1963, Gordon alihusishwa katika \"Without Wheat, There is No Bread katika kipindi cha CBS cha The Lloyd Bridges Show. Mwaka uo huo, yeye alihusishwa katika kipindi cha televisheni ya stesheni ya NBC cha The Eleventh Hour. Katika msimu wa 1963 -1964, yeye aliigiza kama askari kutoka vita ya Vietnam Kusini katika kipindi cha ABC, Channing ,kilichohusisha kampasi ya kubuni ya Chuo cha Channing.Channing ilihusisha waigizaji maarufu kama Jason Evers na Henry Jones. Alipewa jukumu jingine katika toleo la The Invisible katika kipindi cha The Outer Limits. Katika mwaka wa 1974, yeye aliigiza mhusika ambaye ni mwasi aliyekuwa ametoka gerezani. Mhusika huyu anauawa na Dick Van Dyke katika toleo la kipindi cha Columbo la Negative Reaction.", "question_text": "Je,nani mhusika mkuu wa kipindi NBC?", "answers": [{"text": "Gordon", "start_byte": 15, "limit_byte": 21}]} {"id": "7662553890533328708-0", "language": "swahili", "document_title": "Titan (Zohali)", "passage_text": "Titan (Gir.: Τῑτάν)[1] ni mmoja ya miezi ya sayari Zohali (Saturnus). Kipenyo chake kwenye ikweta ni kilomita 5,150km[2][3][4] na inatembea kwenye mzingo mwenye umbali wa kilomita 1,221,865km kutoka Zohali. [2] Titan ilitambuliwa mwaka 1655 na mwanaastronomia Christiaan Huygens kwa kutumia noja ya darubini za kwanza iliyoboreshwa.\nTitan ni mwezi mkubwa wa Zohali na mwezi mkubwa wa pili katika mfumo wa jua letu. Hata ni kubwa kuliko sayari Utaridi. Pamoja na dunia yetu ni mahali pa pekee penye angahewa nzito ya gesi. Lakini haifai kwa binadamu kwa sababu ni baridi sana na gesi zake ni nitrojeni pamoja na hidrokaboni kama methani. Pamoja na dunia yeti ni pia mahali pa pekee katika mfumo wa jua letu penye maziwa na mito lakini hii si ya maji bali na methani kiowevu.[5][6]", "question_text": "Titani ni nini?", "answers": [{"text": "mmoja ya miezi ya sayari Zohali", "start_byte": 32, "limit_byte": 63}]} {"id": "4528388236040020183-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Angola1,246,70025,326,000Luanda Kamerun475,44021,918,000Yaoundé Jamhuri ya Afrika ya Kati622,9844,900,000Bangui Chadi1,284,00013,675,000N'Djamena Kongo, Jamhuri ya342,0004,706,000Brazzaville Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia2,345,41077,267,000Kinshasa Guinea ya Ikweta28,0511,996,000Malabo Gabon267,6671,873,000Libreville São Tomé na Príncipe1,001194,000São Tomé", "question_text": "Je,mji mkuu wa Gabon ni ipi?", "answers": [{"text": "Libreville", "start_byte": 399, "limit_byte": 409}]} {"id": "2641478175784531805-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya makabila ya Kenya", "passage_text": "Kuna karibu makabila asilia arubaini nchini Kenya, yakiwemo:", "question_text": "Kenya Ina makabila ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "arubaini", "start_byte": 28, "limit_byte": 36}]} {"id": "-4707177924884871235-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kwenda kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "4011170185238397723-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Je,jangwa la Sahara inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Afrika", "start_byte": 37, "limit_byte": 43}]} {"id": "1851731936862443255-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Je,mji mkuu wa Malawi ni upi?", "answers": [{"text": "Lilongwe", "start_byte": 143, "limit_byte": 151}]} {"id": "-5870328789625828583-0", "language": "swahili", "document_title": "Sungura wa Kizungu", "passage_text": "\nSungura wa Kizungu ni mamalia wadogo waliomo katika familia ya Leporidae ya oda ya Lagomorpha na wanaopatikana sehemu mbalimbali za dunia. Katika familia ya sungura kuna jenasi kumi na moja. Pia kuna spishi nyingine za sungura na hizo pamoja na pika zinaunda oda ya Lagomorpha.", "question_text": "Je,sungura iko katika spishi gani?", "answers": [{"text": "Leporida", "start_byte": 64, "limit_byte": 72}]} {"id": "1556638622706224101-3", "language": "swahili", "document_title": "Slovakia", "passage_text": "Mji mkubwa na mji mkuu ni Bratislava. ", "question_text": "Mji mkuu wa Slovakia ni upi?", "answers": [{"text": "Bratislava", "start_byte": 26, "limit_byte": 36}]} {"id": "-5412247934214264159-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Bahari kubwa duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-1370753022846151665-1", "language": "swahili", "document_title": "Japani", "passage_text": "Nchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua. ", "question_text": "Japani iko na jumla ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 127", "start_byte": 41, "limit_byte": 52}]} {"id": "1598276901525960837-2", "language": "swahili", "document_title": "Bara la Antaktiki", "passage_text": "Bara hili lina eneo la kilomita za mraba milioni 14 na eneo hili limefunikwa karibu kabisa, yaani kwa asilimia 98% za eneo na theluji na barafu. Eneo lake ni kubwa kushinda Ulaya lakini hakuna mti hata mmoja. Bara hili linajulikana kama jangwa baridi.", "question_text": "Bara la Antaktiki iko na ukubwa gani wa kijiographia?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba milioni 14", "start_byte": 23, "limit_byte": 51}]} {"id": "4180247679687424292-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Kampuni ya Microsoft ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}]} {"id": "-5136938288336857047-41", "language": "swahili", "document_title": "Jeraha sugu", "passage_text": "Njia mojawapo ya kuongeza viwango vya vipegele vya ukuaji katika majeraha ni kwa kuweka vipengele vya ukuaji moja kwa moja, ingawa hii inahitaji marudio mengi na yanahitaji kiasi kikubwa cha vipengele.[5] Njia nyingine ni kueneza jeli yenye chembe za kugandisha damu za mgonjwa mwenyewe, ambazo huzalisha vipengele vya ukuaji kama vile vipengele vya ukuaji utomvu wa endothelia (VEGF), vipengele vya ukuaji kama insulini 1-2 (IGF), PDGF, kubadilisha vipengele vya ukuaji vya -β (TGF-β), na vipengele vya kukua ngozi ya juu (EGF).[19] matibabu mengine ni pamoja na kuweka keratinositi iliyostawishwa katika jeraha na kurudisha ngozi na kustawisha fibroblasti zinazowekwa katika majeraha.[9][25] Baadhi ya wagonjwa hutibiwa na ngozi ya kubadilshwa bandia ambazo zina fibroblasti na keratinositi katika matriki ya kolajeni kuiga vipengele vya ngozi na kutoa vipengele vya ukuaji.", "question_text": "Je,jeraha ya moto kwa ngozi hutibiwa na nini?", "answers": [{"text": "ngozi ya kubadilshwa bandia", "start_byte": 729, "limit_byte": 756}]} {"id": "-7461706696355664835-0", "language": "swahili", "document_title": "Linet Masai", "passage_text": "Linet Masai Chepkwemoi (alizaliwa mnamo 5 Desemba 1989 sehemu ya Kapsokwony, Wilaya ya Mlima Elgon) ni mkimbiaji wa masafa marefu kutoka Kenya na mshindi wa mbio za mita 10,000 katika mashindano ya dunia ya IAAF ya mwaka wa 2009 yaliyofanyika katika mji mkuu wa Berlin, Ujerumani.", "question_text": "Linet Masai Chepkwemoi alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1989", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "1730434880658696828-3", "language": "swahili", "document_title": "Afrika Kusini", "passage_text": "Nchi ina majina rasmi 11 kutokana na lugha rasmi 11, nazo ni: Kiafrikaans, Kiingereza, Kizulu, Kixhosa, Kiswati, Kindebele, Kisotho cha Kusini, Kisotho cha Kaskazini, Kitsonga, Kitswana na Kivenda.", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Afrika kusini ni ipi?", "answers": [{"text": "11", "start_byte": 49, "limit_byte": 51}]} {"id": "4030587874399998454-3", "language": "swahili", "document_title": "Arusha (mji)", "passage_text": "Mji huu ni makao makuu ya Mkoa wa Arusha. Kiutawala eneo la jiji la Arusha ni sawa na eneo la Wilaya ya Arusha Mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arusha Mjini (Jiji la Arusha) ilihesabiwa kuwa 416,442[2]", "question_text": "Je,mkoa wa Arusha ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "416,442", "start_byte": 222, "limit_byte": 229}]} {"id": "-3368080260077148306-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je,Julius Nyerere alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "13 Aprili 1922", "start_byte": 83, "limit_byte": 97}]} {"id": "-7646518718676862267-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,ni ziwa gani kubwa zaidi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Viktoria", "start_byte": 11, "limit_byte": 19}]} {"id": "8998666491108800080-10", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Pia ina mito mingi ambayo inaelekeza maji yake katika Bahari ya Hindi mashariki mwa nchi, lakini mingine inachangia Mto Zambezi kupitia Ziwa Nyasa, michache Bahari ya Kati kupitia Ziwa Victoria na mto Naili, mingine tena Bahari Atlantiki kupitia Ziwa Tanganyika na mingine inaishia katika mabonde kama ya Ziwa Rukwa.", "question_text": "Je,Tanzaia ina mito ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "mingi", "start_byte": 13, "limit_byte": 18}]} {"id": "-8742541097671222494-0", "language": "swahili", "document_title": "Sarah Clarke", "passage_text": "\nSarah Clarke (amezaliwa tar. 16 Februari 1972) ni mshindi wa Tuzo ya Emmy, akiwa kama mwigizaji bora wa filamu na televisheni kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kucheza kama Nina Myers katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha 24, na uhusika mkuu wake uliopo ujulikanao kama Erin McGuire katika mfululizo wa Trust Me.", "question_text": "Sarah Clarke ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "16 Februari 1972", "start_byte": 30, "limit_byte": 46}]} {"id": "4887469731604268663-0", "language": "swahili", "document_title": "Tuzo ya Pulitzer", "passage_text": "Tuzo ya Pulitzer ni tuzo iliyoanzishwa na Joseph Pulitzer katika hati ya wasia yake. Tangu mwaka wa 1917 imetolewa kila mwaka na Chuo Kikuu cha Columbia katika mji wa New York kwa ajili ya maandishi hodari yanayoendeleza uandikaji habari na fasihi ya Marekani kwa jumla.\n", "question_text": "Je, nani mwanzilishi wa tuzo ya Pulitzer ?", "answers": [{"text": "Joseph Pulitzer", "start_byte": 42, "limit_byte": 57}]} {"id": "940350264877032794-16", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "\nKoloni hili lilianzishwa na mfanyabiashara Mjerumani Karl Peters mwaka 1885 kwa niaba ya \"Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki\". ", "question_text": "Nani mwanzilishi wa Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani?", "answers": [{"text": "Karl Peters", "start_byte": 54, "limit_byte": 65}]} {"id": "4015082820950557556-4", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Nchi ya Gold Coast ilijinyakulia uhuru kutoka kwa Uingereza mwaka wa 1957, ikawa taifa la kwanza la Afrika Kusini mwa Sahara (Sub-Saharan Africa) kufanya hivyo[6][7][8]", "question_text": "Ghana ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 69, "limit_byte": 73}]} {"id": "329557594927327093-0", "language": "swahili", "document_title": "Ngugi wa Thiongo", "passage_text": "\nNgũgĩ wa Thiong'o (amezaliwa 5 Januari 1938) ni mwandishi Mkenya aliyeandika kwa Kiingereza lakini siku hizi anatumia lugha ya Gikuyu. ", "question_text": "Ngugi wa Thiong'o alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1938", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "7150209740560277533-9", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Simba huishi kwa wastani wa miaka 10-14 mwituni, huku katika hifadhi huweza hata kufika zaidi ya miaka 20. Mwituni, simba dume ni mara chache kuishi zaidi ya miaka kumi, sababu ya majeraha wanayoyapata kwa kupigana na dume wengine mara kwa mara. Hupatikana sana katika savanna na nyika, ingawa pia huweza kukaa kwenye misitu na vichaka. ", "question_text": "Je,simba huishi kwa takriban miaka ngapi?", "answers": [{"text": "10-14 mwituni, huku katika hifadhi huweza hata kufika zaidi ya miaka 20", "start_byte": 34, "limit_byte": 105}]} {"id": "-1243275121453341537-16", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Côte d'Ivoire imetangaza 1983 Yamoussoukro kuwa mji mkuu wa taifa lakini hadi leo ofisi za serikali zimebaki Abijan.", "question_text": "Mji mkuu wa Côte d'Ivoire unaitwaje?", "answers": [{"text": "Yamoussoukro", "start_byte": 31, "limit_byte": 43}]} {"id": "-3543376153161159736-0", "language": "swahili", "document_title": "Soukous", "passage_text": "Soukous (pia inajulikana kama Lingala au rumba la Kikongo) ni jina la kutaja aina maarufu ya muziki wa dansi ambao umetoka katika Kongo katika miaka ya 1940, hasa ulitokana na athira ya Cuban son. Mtindo huu ulianza kupata umaarufu zaidi katika miaka ya 1960 na 70.\nSoukous hufahamika kama Lingala nchini Tanzania, Kenya, na Uganda hasa kwa sababu mashairi yake huimbwa kwa lugha ya Kilingala. Huko nchini Zambia na Zimbabwe, ambapo muziki wa Kikongo napo upo maarufu, bado huitwa kwa jina la rumba. Leo hii, unashikisha mitindo mingine kama vile kwasa kwasa na muziki wa kasi juu wa zouk. ", "question_text": "Asili ya muziki wa dansi ni gani?", "answers": [{"text": "Cuban son", "start_byte": 186, "limit_byte": 195}]} {"id": "-6458319205777249863-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,John Cabell Breckinridge alihudumu kama makamu rais wa Marekani kwa muda upi?", "answers": [{"text": "1857 - 1861", "start_byte": 956, "limit_byte": 967}]} {"id": "-6578923217154540439-7", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu ni Dodoma (wenye wakazi 410,956), lakini rais bado yupo Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Tanzania ni ipi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "8152305558399876720-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Je,kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza lini?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "-7196791344670471492-102", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Mwaka 395 Kaisari akagawa dola la Roma katika sehemu mbili, yaani Magharibi (makao makuu Roma) na Mashariki (makao makuu Bizanti). Mpaka wa katikati ulifuata tofauti ya utamaduni kati ya maeneo yaliyotumia zaidi lugha ya Kigiriki na maeneo yaliyotumia zaidi Kilatini. Ugawaji huo ulikuwa na kusudi la kurahisisha utawala na utetezi. Lakini mwaka 410 makabila yasiyostaarabika yaliteka na kuharibu mji wa Roma. Mwaka 476 Kaisari wa mwisho wa Magharibi aliuawa. \n\nMakabila ya Kijerumaniki yalichukua utawala katika sehemu zote za Ulaya mpaka Afrika Kaskazini. Dola la Roma la Magharibi likagawanywa katika nchi nyingi ndogondogo. Kila sehemu makabila toka Kaskazini yalitawala kama tabaka dogo la juu wakiwategemea wenyeji kuendelea kuzalisha mali na wenyewe kupokea kodi zao. Lakini utaratibu, mawasiliano na usalama viliharibika kabisa. Uchumi na utamaduni vilirudi nyuma. Umoja wa kisiasa uliharibika, badala yake yalitokea maeneo mengi madogo ya kikabila. Ulaya Magharibi ilibaki na chombo kimoja tu chenye umoja uliovuka mipaka: Kanisa Katoliki chini ya uongozi wa Askofu wa Roma. Ndiye aliyetunza urithi wa jina kubwa la Roma akiheshimiwa pia kama mwandamizi wa Mtume Petro. Yeye kama mchungaji mkuu alilazimika kuwajibika ili kuokoa jahazi. Ndivyo walivyofanya hasa Papa Leo I na Papa Gregori I. Wafaranki, kabila kubwa la Kigermanik waliwahi kujiunga na Kanisa Katoliki wakawa msaada mkubwa kwa Mapapa. Isipokuwa, kwa kuwaachia watawale Italia ya Kati, walisababisha Papa aanze kuwa kama mfalme wa dunia hii, jambo lililoathiri sana majukumu yake ya kiroho hadi mwaka 1870.", "question_text": "Mchungaji wa kwanza anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mtume Petro", "start_byte": 1166, "limit_byte": 1177}]} {"id": "1824107710926269150-3", "language": "swahili", "document_title": "Puto", "passage_text": "Kuna taarifa ya kwamba Wachina walirusha puto kama alama za kijeshi tayari wakati wa karne ya 3 BK.", "question_text": "Puto ya kwanza ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 3 BK", "start_byte": 85, "limit_byte": 98}]} {"id": "-2591142516583965329-0", "language": "swahili", "document_title": "Changes", "passage_text": "\"Changes\" ni wimbo wa hip hop ulioimbwa na kutungwa na hayati Tupac Shakur, awali ulirekodiwa wakati yuko na Interscope ambapo ilirekodiwa na kufanyiwa remixi kati ya 1995 na 1996. Wimbo ulishika nafasi ya #1 nchini Norwei na Uholanzi na kufikia katika ngazi ya kumi bora kwenye nchi kadhaa. Huu ni miongoni mwa nyimbo zake mashuhuri alizotengeneza. Ilitolewa baada ya kifo chake katika albamu ya Greatest Hits, wimbo unazungumzia masuala mbalimbali ambayo yalikuwa yakihusiana na athira ya zama za 2Pac, hasa ubaguzi wa rangi, ukatili wa polisi, madawa ya kulevya, na fujo za kijambazi. Kwa maana nyingine, wimbo umechukua sampuli ya kibao cha mwaka wa 1986 cha \"The Way It Is\" cha Bruce Hornsby and the Range. Rapa mwenzake E-40 ametumia sampuli hii tayari kwenye wimbo wake, \"Things'll Never Change,\" kwa ajili ya albamu yake ya Tha Hall of Game.", "question_text": "Wimbo wa Changes ulirekodiwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "kati ya 1995 na 1996", "start_byte": 159, "limit_byte": 179}]} {"id": "2283812379392233029-0", "language": "swahili", "document_title": "Ndui", "passage_text": "Ndui (ing. smallpox) ilikuwa ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na aina mbili za virusi: Variola major na Variola minor.", "question_text": "Variola minor ni nini?", "answers": [{"text": "virusi", "start_byte": 83, "limit_byte": 89}]} {"id": "-4092036373329225574-0", "language": "swahili", "document_title": "Roma", "passage_text": "Roma (pia: Rumi) ndio mji mkuu (\"Roma Capitale\") wa Jamhuri ya Italia. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Italy ni upi?", "answers": [{"text": "Roma", "start_byte": 0, "limit_byte": 4}]} {"id": "-5509552418514670873-1", "language": "swahili", "document_title": "Amos Biwott", "passage_text": "Alizaliwa katika eneo la Nandi, Kenya. Amos Biwott alikuwa wa kwanza katika orodha refu ya wanariadha wa Kenya waliomfuata na kushiriki katika mbio ya 3000m ya urukaji viunzi. Tangu kushinda mbio hiyo ,kwa njia ya kiajabu, katika michezo ya Olimpiki ya Mexico City, Biwott alifungulia Waafrika wengine njia katika kushinda mbio za masafa marefu.", "question_text": "Amos Biwott alizaliwa eneo gani?", "answers": [{"text": "Nandi", "start_byte": 25, "limit_byte": 30}]} {"id": "7965734213844980940-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Je kuku anaishi kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miaka 5-11", "start_byte": 36, "limit_byte": 46}]} {"id": "6277683583228920867-17", "language": "swahili", "document_title": "Mto", "passage_text": "6.671 km - Nile: Luvironza-Ruvuvu-Ruvusu-Kagera-Nile Nyeupe-Nile - (Afrika)\n6.387 km - Amazonas: Apurimac-Ene-Tambo-Ucayali-Amazonas - (Amerika ya Kusini)\n6.380 km - Yangtse (Cháng Jiāng) - (Asia)\n6.051 km - Mississippi-Missouri - (Amerika ya Kaskazini)\n5.940 km - Yenisei-Angara - (Asia)\n5.410 km - Ob-Irtysch - (Asia)\n5.052 km - Amur-Argun-Kerulen - (Asia) - (pekee wakati wa mvua nyingi)\n4.845 km - Huang He - (Asia)\n4.500 km - Mekong - (Asia)\n4.374 km - Kongo - (Afrika)", "question_text": "Je,mto mkubwa kabisa duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 11, "limit_byte": 15}]} {"id": "3829211034627025876-2", "language": "swahili", "document_title": "Makamu wa Rais wa Kenya", "passage_text": "Jaramogi Oginga Odinga (Desemba 1963-Mei 1966)\nJoseph Zuzarte Murumbi (Mei 1966-1967)\nDaniel Arap Moi (1967 -22 Agosti 1978)\nMwai Kibaki (14 Oktoba 1978-1988)\nJosephat Njuguna Karanja (1988-1989)\nGeorge Saitoti (Mei 1989-Desemba 1997)", "question_text": "Makamu wa rais wa kwanza wa nchi ya Kenya alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Jaramogi Oginga Odinga", "start_byte": 0, "limit_byte": 22}]} {"id": "-7466683445973413698-12", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Sudan", "passage_text": "Muhammad Ahmad Al-Mahdi alifaulu kukusanya wafuasi wengi na kushinda Wamisri. Tarehe 26 Januari 1885 jeshi lake lilitwaa mji mkuu Khartum na kumwua gavana Gordon Pasha.", "question_text": "Mji mkuu Sudan ni gani?", "answers": [{"text": "Khartum", "start_byte": 130, "limit_byte": 137}]} {"id": "8315864619282041829-0", "language": "swahili", "document_title": "Pilau", "passage_text": "\nPilau (pia hujulikana kama polo پلو, polao , pilaf , pilav , pilaff , plov au pulao katika lugha tofauti kama Kiajemi, Kiazeri, Kikazakh, Kikyrgyz, Kituruki, Kiuzbeki, Kiturkmeni, Kiurdu, Kihindi, Kipashto n.k.), ni mlo ambao nafaka, kama vile mchele au ngano uliopasuliwa, hubadilishwa rangi kuwa hudhurungi katika mafuta, na kisha hupikwa katika supu ambayo ina ladha. ", "question_text": "Pilau ni nini?", "answers": [{"text": "mlo ambao nafaka, kama vile mchele au ngano uliopasuliwa, hubadilishwa rangi kuwa hudhurungi katika mafuta, na kisha hupikwa katika supu ambayo ina ladha", "start_byte": 220, "limit_byte": 373}]} {"id": "-2081632750838978892-1", "language": "swahili", "document_title": "NATO", "passage_text": "NATO ilianzishwa mwaka 1949 wakati wa vita baridi kama maungano ya nchi za Ulaya ya magharibi pamoja na Marekani dhidi ya Umoja wa Kisovyeti na nchi shiriki zake katika Mapatano ya Warshawa. Nchi wanachama wa kwanza walikuwa Marekani, Ubelgiji, Uholanzi, Luxemburg, Ufaransa, Uingereza, Kanada, Ureno, Italia, Norwei, Denmark na Iceland. 1952 Ugiriki na Uturuki zilijiunga pia zikafuatwa na Ujerumani ya Magharibi.", "question_text": "Jumuiya ya Mkataba wa Atlantiki ya Kaskazin ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1949", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "3603269218753286937-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Kuku huishi kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miaka 5-11", "start_byte": 36, "limit_byte": 46}]} {"id": "-5313975459427318148-70", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Urusi alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "-7985386467870824337-4", "language": "swahili", "document_title": "Mombasa", "passage_text": "Mnamo mwaka wa 2016, mji wa Mombasa ulikuwa na idadi ya wakazi takriban milioni moja nukta mbili kwenye kisiwa cha Mombasa pamoja na sehemu zake barani. Wengi wao ni Waislamu.", "question_text": "Je,Mji wa mombasa ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni moja nukta mbili", "start_byte": 72, "limit_byte": 96}]} {"id": "3335376201353059118-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "1130336785157449190-1", "language": "swahili", "document_title": "Karen Hayes", "passage_text": "Mwigizaji Laurie Metcalf ndiye aliyekuwa mwigizaji kamili wa uhusika huu wa Karen Hayes kabla kubadilishana na Jayne Atkinson.[1] Mtayarishaji Howard Gordon akathaminisha uwezo wa uigizaji wa Metcalf na kusema kwamba ", "question_text": "Mtayarishaji wa kipindi cha 24 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Howard Gordon", "start_byte": 144, "limit_byte": 157}]} {"id": "-5353163311246301978-3", "language": "swahili", "document_title": "Kisiwa", "passage_text": "Greenland inayoitwa kisiwa kikubwa duniani chenye eneo la kilomita za mraba milioni 2.1 na\nAustralia inayotazamiwa kuwa bara dogo duniani lenye eneo la kilomita za mraba milioni 7.7.", "question_text": "Ni Kisiwa gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Greenland", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "1082225450623072031-0", "language": "swahili", "document_title": "Darmstadti", "passage_text": "Darmstadti (zamani: ununnilium ilikuwa jina la kwanza) ni elementi sintetiki yenye namba atomia 110 kwenye mfumo radidia, uzani atomia ni 281. Alama yake ni Ds. Jina latokana na mji wa Darmstadt katika Ujerumani ambako ilitengenezwa mara ya kwanza katika maabara ya \"Gesellschaft für Schwerionenforschung (GSI)\". ", "question_text": "Jina la Darmstadti linatokana na mji upi?", "answers": [{"text": "Darmstadt", "start_byte": 185, "limit_byte": 194}]} {"id": "-7591485207613598574-0", "language": "swahili", "document_title": "Ufaransa", "passage_text": "République françaiseJamhuri ya Kifaransa\n\n\n\n\n\nBendera ya UfaransaNembo la UfaransaNational motto: Uhuru, Usawa, Undugu\n(Kifaransa: Liberté, Egalité, Fraternité)Lugha rasmiKifaransa1Mji mkuuParisMji mkubwaParisRais:Emmanuel MacronWaziri Mkuu:Eneo\n- Jumla2\n\n\n- Ufaransa bara3\n\n\n\n- % majiNafasi ya 42 \n 674,843 km² \n (260,558 sq. mi.)\n Nafasi ya 47 \n 551,695 km²4\n(213,011 sq. mi.)\n543,965 km²5\n(210,026 sq. mi.)\n 0.26%Wakazi\n(1 Januari 2014)\n- Total2\n- Ufaransa bara3\n- Density3Nafasi ya 20\n\n 66,616,416\n63,929,00\n116/km²GDP (PPP)\n - Jumla (2003)\n - GDP/mtuNafasi ya 5\n$1.661 Trillioni\n$27,600PesaEuro (€)6, CFP Franc7Kanda ya wakati\n- in summerCET (UTC+1)3\nCEST (UTC+2)3Wimbo wa taifaLa MarseillaiseInternet TLD.frCalling Code33\n1 Taz. #Demografia kwa lugha za kimkoa\n\n2 Eneo lote la Ufaransa pamoja na mikoa ya ng'ambo lakini bila Antaktika.\n\n3 Ufaransa bara pekee (=Ufaransa ya Ulaya)\n\n4 Namba za taasisi ya jiografia ya Ufaransa \n\n5 Kumbukumbu ya ofosi ya ardhi\n\n6 Jamhuri yote ya Kifaransa bila maeneo katika Pasifiki\n\n7 Maeneo ya ng'ambo katika Pasifiki pekee", "question_text": "Mji mkuu Ufaransa ni gani?", "answers": [{"text": "Paris", "start_byte": 209, "limit_byte": 214}]} {"id": "8557551136393757466-0", "language": "swahili", "document_title": "Amsterdam", "passage_text": "Amsterdam ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Uholanzi. Inajulikana kama mji wa mifereji mingi wenye wakazi 800,000, vyuo vikuu viwili na uwanja wa ndege wa kimataifa mkubwa wa \"Schiphol\".", "question_text": "Uwanja mkuu wa ndege wa Amsterdam unaitwaje?", "answers": [{"text": "Schiphol", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}]} {"id": "-6523848799484878374-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Mlima mrefu sana duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 72, "limit_byte": 79}]} {"id": "-23826626660968813-4", "language": "swahili", "document_title": "Alinikisa Cheyo", "passage_text": "Amechaguliwa kuwa askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi tangu mwaka 2000. Amekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji tangu mwaka 2011.", "question_text": "Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa kanisa la Moravian mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 94, "limit_byte": 98}]} {"id": "-6777698096813654745-3", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Marekani", "passage_text": "Rais huchaguliwa kupitia jopo la wapigakura kwa muda wa miaka minne. Tangia mwaka 1951, utawala wa marais umemekuwa ni mihula miwili kutokana na marekebisho ya katiba ya ishirini na mbili. Arobaini na tatu wamekuwa rais kwa kuchaguliwa na kuhudumia jumla ya mihula hamsini na sita ya muda wa miaka isiyozidi minne [3] Tarehe 20 Januari 2017, Donald Trump amekuwa rais wa arobaini na tano.", "question_text": "Rais wa Marekani ni nani?", "answers": [{"text": "Donald Trump", "start_byte": 343, "limit_byte": 355}]} {"id": "-6922837515508328762-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "-7003517546324173160-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki.", "question_text": "Lugha ya Kiswahili ilianzia wapi?", "answers": [{"text": "pwani ya Afrika ya Mashariki", "start_byte": 67, "limit_byte": 95}]} {"id": "-8341201524437210722-0", "language": "swahili", "document_title": "Fizikia", "passage_text": "\nFizikia (kutoka neno la Kigiriki φυσικός, physikos, \"ya kimaumbile\", ambalo tena linatokana na φύσις, physis, \"umbile\") ni fani ya sayansi inayohusu maumbile ya ulimwengu, hususan asili ya dunia na viumbe vyote.", "question_text": "Fizikia ni nini?", "answers": [{"text": "fani ya sayansi inayohusu maumbile ya ulimwengu, hususan asili ya dunia na viumbe vyote", "start_byte": 136, "limit_byte": 223}]} {"id": "-2007211917157049038-5", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba. ", "question_text": "Je,nani alizindua kifaa cha darubini?", "answers": [{"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}]} {"id": "-7338224117795384574-1", "language": "swahili", "document_title": "Usafiri wa anga-nje", "passage_text": "Chanzo cha usafiri wa anga-nje kilikuwa kuruka kwa chombo cha angani cha Kisovyieti Sputnik 1 mnamo 4 Oktoba 1957 iliyokuwa satelaiti ya kwanza iliyozunguka Dunia angani.", "question_text": "Je, usafiri wa anga la nje ulianza lini?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 109, "limit_byte": 113}]} {"id": "-2560201306964628554-1", "language": "swahili", "document_title": "Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "Alizaliwa akiwa mtoto wa tatu wa mzee Richard Male Mwashinga kutoka katika ukoo wa kichifu (Mwene) katika kitongoji cha Igawilo, jijini Mbeya, na mama Christine Mwaselela toka kitongoji cha Inyala, Mbeya, nchini Tanzania. Kwa miaka mingi wazazi wake waliishi katika eneo la Uyole ndani ya Jiji la Mbeya.[5]", "question_text": "Mama ya Christopher Richard Mwashinga alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Christine Mwaselela", "start_byte": 151, "limit_byte": 170}]} {"id": "-2968245416707560596-0", "language": "swahili", "document_title": "Nakaaya", "passage_text": "\nNakaaya Abraham Sumari (amezaliwa tar. 3 Septemba 1982, Arusha mkoa wa Kaskazini mwa Tanzania) ni mwimbaji wa muziki wa R&B, Hip hop, na dansi kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Nakaaya. Pia, anajulikana sana kwa kibao chake mashughuli cha Mr. Politician. Huyu ni dada ya aliyekuwa mrembo wa Tanzania kwa mwaka wa 2005, Nancy Sumari.", "question_text": "Je,Nakaaya Abraham Sumari alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "3 Septemba 1982", "start_byte": 40, "limit_byte": 55}]} {"id": "5818203500508802362-1", "language": "swahili", "document_title": "Lubumbashi", "passage_text": "Mji huu ndio makao makuu ya Mkoa wa Katanga Juu ambao una madini ya shaba na uko karibu na mpaka wa Zambia. Makadirio ya idadi ya watu ni karibu milioni 1.8.", "question_text": "Mji wa Lubumbashi una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "karibu milioni 1.8", "start_byte": 138, "limit_byte": 156}]} {"id": "2835078227776119818-1", "language": "swahili", "document_title": "Thomas Partey", "passage_text": "Alizaliwa huko Odumase Krobo, Thomas alikuwa Mchezaji wa klabu ya Odometah FC ya vijana. Baadaye alisaini mkataba na klabu ya Atlético Madrid mwaka 2011.Tarehe 10 Machi 2013, Thomas aliitwa katika kikosi cha kwanza cha Atlético Madrid katika mechi dhidi ya Real Sociedad.", "question_text": "Thomas Teye Partey alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Odumase Krobo", "start_byte": 15, "limit_byte": 28}]} {"id": "-40799710412713636-16", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Yesu alipokamatwa, Petro alijaribu kumtetea kwa upanga, halafu akamfuata kwa mbali pamoja na Yohane mpaka ndani ya ua wa nyumba ya kuhani mkuu. Ndipo woga ulipomfanya amkane Yesu mara tatu kwa kiapo kama alivyotabiriwa naye.", "question_text": "Je,ni mfuasi yupi alikana yesu mara tatu?", "answers": [{"text": "Petro", "start_byte": 19, "limit_byte": 24}]} {"id": "-3425240423024429188-15", "language": "swahili", "document_title": "Jangwa", "passage_text": "Mito mingine inakwisha jangwani kwa sababu maji yote hupotea na kuvukiza. Mfano wake ni delta ya mto wa Okavango unaokwisha katika jangwa la Kalahari huko Botswana. Delta hii ni eneo la mimea na wanyama wengi katikati ya jangwa.", "question_text": "Je, jangwa la Kalahari inapatikana bara gani?", "answers": [{"text": "Botswana", "start_byte": 155, "limit_byte": 163}]} {"id": "-5900150044332062363-3", "language": "swahili", "document_title": "Soya", "passage_text": "Mmea huu ulitumika sana huko Asia ya Mashariki kwa zaidi ya miaka 5000. Tangu karne ya kwanza KK ilikuwa zao la chakula muhimu sana katika China. ", "question_text": "Je, Soya iligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "zaidi ya miaka 5000", "start_byte": 51, "limit_byte": 70}]} {"id": "2897829136899673517-0", "language": "swahili", "document_title": "Nusutufe ya kaskazini", "passage_text": "Nusutufe ya kaskazini (en:Northern Hemisphere) ni nusu ya Dunia ilioko upande wa kaskazini ya ikweta. ", "question_text": "Nusutufe ni nini?", "answers": [{"text": "nusu ya Dunia", "start_byte": 50, "limit_byte": 63}]} {"id": "1902527393699745836-40", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "\nBaada ya mazungumzo na Uingereza, hatimaye tarehe 6 Machi 1957 saa sita usiku, Kwame Nkrumah alitangaza Ghana kuwa “huru milele”.[18]", "question_text": "Je,Ghana ilijipatia uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "-2970246759341845690-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Eneo lina kilometa za mraba 947,303 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2.", "question_text": "Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "neo lina kilometa za mraba 947,303", "start_byte": 1, "limit_byte": 35}]} {"id": "-4988625528140392556-7", "language": "swahili", "document_title": "Whatsapp", "passage_text": "Tarehe 18 Januari 2016, mwanzilishi wa WhatsApp Jan Koum alitangaza kuwa kampuni hii haitatoza dola 1 ya Marekani kwa matumizi ya WhatsApp mwaka mmoja ili kuondoa tatizo lililokuwa linawasumbua watumiaji wasio na njia ya kulipa. Alitangaza pia kuwa kampuni hii haitaweka matangazo ya kampuni nyingine na badala yake itaimarisha huduma nyingine kama vile mawasiliano ya watumiaji na makampuni. Gharama ya WhatsApp huwa ni gharama watumiaji wanayolipa ili kutumia intaneti kwenye makampuni ya simu. Gharama hii hutofautiana kati ya nchi na nchi na pia kati ya kampuni za simu. [17]", "question_text": "Nani mwanzilishi wa mtandao ya kijamii ya whatsapp?", "answers": [{"text": "Jan Koum", "start_byte": 48, "limit_byte": 56}]} {"id": "-5442707769541349663-2", "language": "swahili", "document_title": "Ushairi wa Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "Christopher Mwashinga, aliyezaliwa tarehe 9 Januari 1965, ni mshairi kutoka nchi ya Tanzania, Afrika Mashariki. Amekuwa akiandika na kughani mashairi ya Kiswahili tangu mwaka 1978 alipokuwa mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya msingi ya Ngare-Nairobi iliyoko Siha Magharibi, katika wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, nchini Tanzania.", "question_text": "Christopher Richard Mwashinga alisomea shule gani ya msingi?", "answers": [{"text": "Shule ya msingi ya Ngare-Nairobi iliyoko Siha Magharibi, katika wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro", "start_byte": 225, "limit_byte": 323}]} {"id": "7586951815605056533-0", "language": "swahili", "document_title": "Edith Masai", "passage_text": "Edith Chewangel Masai (alizaliwa mnamo 4 Aprili 1967) ni mwanariadha kutoka Kenya. Mafanikio yake bora ni medali tatu za dhahabu za kibinafsi katika mashindano ya dunia ya kuvuka nchi ya IAAF kati ya mwaka wa 2002 na 2004. Pia anajulikana kwa kufikia mpaka wa kimataifa akiwa na umri wa miaka 35.", "question_text": "Je, Edith Chewangel Masai ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "4 Aprili 1967", "start_byte": 40, "limit_byte": 53}]} {"id": "1795880508912146858-0", "language": "swahili", "document_title": "Nini Chanzo", "passage_text": "Nini Chanzo ni jina la kutaja albamu ya kwanza ya msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Juma Nature. Albamu ilitolewa mwaka wa 2001 ikiwa imetayarishwa chini ya P. Funk Majani lakabu Kinyewele Kimoja. Albamu ilisambazwa na Wananchi Stores ya Dar es Salaam. Hii ni albamu ya kwanza ya Nature tangu aingie katika tasnia ya muziki, na ndiyo mwanzo wa albamu bora za baadaye. Albamu imeshirikisha wasanii kibao ikiwa ni pamoja na T.I.D katika Hili Game kaimba kiitikio, A.Y. katika \"Tumepigika\", Mr. Paul katika Kighettoghetto, KR Mullah katika \"Wimbi la Njaa Remix 2001 (upo katika albamu tu), Mack D. katika \"Haya We\" na wengine kibao. ", "question_text": "Je,albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 141, "limit_byte": 145}]} {"id": "806769240730606249-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Je,vita kuu vya pili duniani viliisha lini?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "4354518429178242472-1", "language": "swahili", "document_title": "Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta", "passage_text": "JKUAT ilianzishwa mnamo mwaka 1981 kama Chuo cha Kilimo na Teknolojia (JKCAT), ambacho kilikuwa chuo cha kiwango cha katikati kilichoanzishwa na Serikali ya Kenya kwa msaada kutoka kwa Serikali ya Japani. Mipango ya kuanzisha JKCAT ilianza mnamo mwaka wa 1977. Mapema mwaka wa 1978, rais wa Kenya, Jomo Kenyatta, alichangia hekta mia mbili za shamba kwa ajili ya uanzishwaji wa chuo hicho.", "question_text": "Je, Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 30, "limit_byte": 34}]} {"id": "3850516410671523486-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. ", "question_text": "Mji mkuu wa Ethiopia unaitwaje?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 258, "limit_byte": 269}]} {"id": "-1149735908212948579-0", "language": "swahili", "document_title": "Latitudo", "passage_text": "\nLatitudo (kwa Kilatini: latitudo) ni mahala pa mchoro wa dunia au ramani huonyesha kwa mistari iliolazwa ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii (°). ", "question_text": "Je, nini maana ya Latitudo?", "answers": [{"text": "mahala pa mchoro wa dunia au ramani huonyesha kwa mistari iliolazwa ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka ikweta kwa kipimo cha digrii", "start_byte": 38, "limit_byte": 200}]} {"id": "1833525839811818685-18", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "question_text": "Je,Sayari ndogo zaidi ni ipi?", "answers": [{"text": "Utaridi", "start_byte": 150, "limit_byte": 157}]} {"id": "1384726118144768931-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo", "passage_text": "\n\nUkristo (kutoka neno la Kigiriki Χριστός, Khristos, ambalo linatafsiri lile la Kiebrania מָשִׁיחַ, Māšîăḥ, linalomaanisha \"Mpakwamafuta\" [1]) ni dini inayomwamini Mungu pekee[2] kama alivyofunuliwa kwa Waisraeli katika historia ya wokovu ya Agano la Kale na hasa Yesu Kristo katika [[Agano Jipya]] ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya 1. ", "question_text": "Je,dini ya Ukristo ulianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Yesu Kristo", "start_byte": 287, "limit_byte": 298}]} {"id": "-3464723536740129607-43", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Wakoloni wakuu wa Kenya\nWakuu wa Serikali ya Kenya (12 Desemba 1963 hadi 12 Desemba 1964)\nWakuu wa Nchi ya Kenya (12 Desemba 1964 hadi leo)\nHistoria ya Nairobi\nKenya Colony\nEast Africa Protectorate", "question_text": "Je,mji mkuu wa Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 152, "limit_byte": 159}]} {"id": "8770450713541407979-32", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "China ikiwa na wakazi milioni 1,376 ni nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Historia yake yote iliona tena na tena vipindi vya njaa kutokana na idadi kubwa ya watu wake. Msongamano wa watu kwa wastani ni wakazi 145 kwa kilomita ya mraba. Lakini tofauti ziko kubwa kati ya miji mikubwa ambako milioni 115 wanakaa kwenye eneo la km² 50,000 na Tibet yenye watu 2 tu kwa kilomita ya mraba.", "question_text": "China ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 1,376", "start_byte": 22, "limit_byte": 35}]} {"id": "-4688274025631202440-10", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Pia ina mito mingi ambayo inaelekeza maji yake katika Bahari ya Hindi mashariki mwa nchi, lakini mingine inachangia Mto Zambezi kupitia Ziwa Nyasa, michache Bahari ya Kati kupitia Ziwa Victoria na mto Naili, mingine tena Bahari Atlantiki kupitia Ziwa Tanganyika na mingine inaishia katika mabonde kama ya Ziwa Rukwa.", "question_text": "Je.Tanzania ina mito ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "mingi", "start_byte": 13, "limit_byte": 18}]} {"id": "-6638845598420394358-3", "language": "swahili", "document_title": "Rukwa (ziwa)", "passage_text": "Beseni ya ziwa line eneo la takriban 80,000 km². Urefu na upana wake hubadilikabadilika kulingana na kiasi cha mvua inayonyesha. Kati ya mito inayoingia ni mto wa Songwe pekee ulio na maji muda wote. Kuna taarifa ya kwamba ziwa lilipotea wakati mwingine isipokuwa beseni ndogo upande wa kusini Songwe inapoingia hubaki na maji. Kama maji ni mengi ziwa lina urefu wa kilomita 180.", "question_text": "Ziwa Rukwa iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "80,000 km²", "start_byte": 37, "limit_byte": 48}]} {"id": "4650828537116326518-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "1825639443201847910-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Mlima mkubwa katika mkoa wa Kilimanjaro unaitwaje?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 2, "limit_byte": 13}]} {"id": "-2257365086469520710-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je, rais wa kwanza wa Jamhuri ya Tanzania anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-8444033811278210586-1", "language": "swahili", "document_title": "Jada Pinkett Smith", "passage_text": "Mwaka wa  1997, ameolewa na rapa na mwigizaji  Will Smith. Wana watoto wawili, Jaden na Willow. Wawili wameanzisha  Will and Jada Smith Family Foundation, asasi ya kutoa misaada inayotazamia hasa vijana waishio mijini ili waweze kujikimu na vilevile wanafanya kazi na asasi zingine zisizo za kiserikali kama vile  YouthBuild na Lupus Foundation of America.", "question_text": "Je,Jada Koren Pinkett Smith ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wawili", "start_byte": 73, "limit_byte": 79}]} {"id": "3002509371253343229-12", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "Utaifa, uliotokea Ulaya magharibi kuanzia ufalme wa Ufaransa katika karne ya 14, ulivuruga umoja wa Kanisa kiasi kwamba kwanza Mapapa waliishi Avignon, mbali na Roma, kwa miaka 69 (1309-1378), halafu kwa miaka 38 (1378-1409) kukawa na Farakano la Kanisa la Magharibi, waamini wengine wakimfuata Papa wa Roma na wengine Antipapa wa Avignon wakidhani ndiye Papa wa kweli.", "question_text": "Mkuu wa kanisa la katoliki duniani anaitwaje?", "answers": [{"text": "Papa", "start_byte": 295, "limit_byte": 299}]} {"id": "-1571579022697924017-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Eritrea", "passage_text": "Idadi ya wakazi wote ilikadiriwa kuwa takriban 200,000 mwaka 1890. Idadi hiyo iliongezeka haraka kufikia zaidi ya 600,000 mnamo 1939. Mabadiliko makubwa yalitokea hasa katika nyanda za juu ambako walowezi Waitalia walianzisha mashamba yao na miji mikubwa zaidi ilijengwa.", "question_text": "Je,Eritrea ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "600,000", "start_byte": 114, "limit_byte": 121}]} {"id": "5188974072929954669-0", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Mto wa Kongo (kati ya miaka 1971 na 1997 uliitwa zaidi \"Zaire\") ni mto mkubwa wa Afrika ya kati. Ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile. ", "question_text": "Mto mrefu wa pili bara Afrika ni gani?", "answers": [{"text": "Kongo", "start_byte": 7, "limit_byte": 12}]} {"id": "-9209708218340755442-11", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "Tarehe 6 Oktoba 1889 Hans Meyer alikuwa mtu wa kwanza anayejulkikana kupanda mlima na kufika hadi kilele cha Kibo. Alichagua jina la \"Kaiser-Wilhelm-Spitze\" (\"Ncha ya Kaisari Wilhelm\"[7]).[8] That name apparently was used until Tanzania was formed in 1964,[9] when the summit was renamed \"Uhuru\", meaning \"Freedom Peak\" in Kiswahili.[10]", "question_text": "Ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima Kilimanjaro hadi kileleni?", "answers": [{"text": "Hans Meyer", "start_byte": 21, "limit_byte": 31}]} {"id": "-8623178206178806416-0", "language": "swahili", "document_title": "George Washington", "passage_text": "George Washington (22 Februari 1732 - 14 Desemba 1799) alikuwa mwanasiasa, kiongozi wa kijeshi na rais wa kwanza wa Marekani kati ya 1789 na 1797. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Marekani alikuwa nani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "-6777418943723741154-1", "language": "swahili", "document_title": "Mke wa Rais wa Tanzania", "passage_text": "Mke wa Rais wa Tanzania ni cheo kisicho-rasmi kinachoshikiliwa na mke wa Rais wa Tanzania.[1] Mke wa sasa wa rais nchini humo ni Janeth Magufuli, ambaye aliingia madarakani tangu tarehe 5 Novemba 2015.", "question_text": "Mke wa rais wa Tanzania Pombe Magufuli anaitwa nini?", "answers": [{"text": "Janeth Magufuli", "start_byte": 129, "limit_byte": 144}]} {"id": "-2269772987083765968-0", "language": "swahili", "document_title": "Samuel Wanjiru", "passage_text": "Samuel Kamau Wanjiru (10 Novemba, 1986 mjini Nyahururu - 15 Mei, 2011) alikuwa mwanariadha wa Kenya ambaye mbio zake maalum ni mbio za masafa marefu. Akawa mtaalamu katika umri mdogo na kuvunja rekodi ya dunia ya nusu marathon alipokuwa na umri wa miaka 18. Mwaka 2007, alivunja rekodi ya kukimbia ya barabara ya kilomita 20 na kuboresha rekodi ya nusu marathon kwa zaidi ya sekunde ishirini.", "question_text": "Je, Mkenya wa kwanza kushinda London Marathon kwa mara ya kwanza ni nani?", "answers": [{"text": "Samuel Kamau Wanjiru", "start_byte": 0, "limit_byte": 20}]} {"id": "377231230914963518-0", "language": "swahili", "document_title": "Elizabeth Cady Stanton", "passage_text": "Elizabeth Cady Stanton (12 Novemba 1815 - 26 Oktoba 1902) alikuwa mwanamke Mmarekani aliyejihusisha na harakati za kijamii, hasa ukomeshaji wa vitendo vilivyowanyima wanawake haki ya kupiga kura, na kiongozi shupavu katika harakati za haki za wanawake akishirikiana na Susan B.Anthony. Tamko lake la maoni, lililowasilishw katika mkutano wa kwanza wa haki za wanawake uliofanyika mwaka 1848 katika jiji la Seneca Falls, New York, husifiwa kuwa tamko la kwanza la kuwaunganisha wanawake katika kushiriki harakati za kutetea haki za wanawake, ikiwemo haki ya wanawake kupiga kura.[1]. ", "question_text": "Elizabeth Cady Stanton alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "marekani", "start_byte": 76, "limit_byte": 84}]} {"id": "1254879894519420795-3", "language": "swahili", "document_title": "Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta", "passage_text": "Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta ulijengwa kati ya miaka ya 1966-1973. Ilifadhiliwa na serikali. Mwaka 1989 umiliki wake uli kwa chama cha kisiasa cha KANU, chama cha kisiasa cha kisheria pekee nchini Kenya. KICC ilirejeshwa kwa serikali mwaka 2003, wakati KANU walitolewa kwa serikali [1]", "question_text": "Je,Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta ulijengwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1966-1973", "start_byte": 71, "limit_byte": 80}]} {"id": "2879312672547548050-0", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kongo", "passage_text": "République du Congo(Congo Zaire)\n\nJamhuri ya Kongo(Details)(Details)Kaulimbiu: «Unité, Travail, Progrès»\nKifaransa: „Umoja, Kazi, Maendeleo“Lugha rasmiKifaransaLugha za taifaKingala (Kongo), Kikongo (Kituba)Mji MkuuBrazzavilleSerikaliJamhuriRaisDenis Sassou-NguessoEneokm² 342.000Wakazi4,662,446 (UN, 2014)Wakazi / km²12.8JPT/Mkazi1.129 US-$ (2004)Uhurukutoka Ufaransa tarehe 15.08.1960PesaCFA-FrancWakatiMEZWimbo wa TaifaLa Congolaise", "question_text": "Mji mkuu wa Kongo ni upi?", "answers": [{"text": "Brazzaville", "start_byte": 224, "limit_byte": 235}]} {"id": "-331296223284394336-17", "language": "swahili", "document_title": "Ukoloni", "passage_text": "2. Uingereza ilikuwa na Afrika Kusini, Botswana, Cameroon ya Kiingereza, Gambia, Ghana, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Misri, Nigeria, Shelisheli, Sierra Leone, Somaliland, Sudan, Swaziland, Tanganyika, Uganda, Zanzibar, Zambia, Zimbabwe na sehemu nyingine kwa muda.", "question_text": "Kenya ilitawaliwa na nchi gani enzi za ukoloni?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 3, "limit_byte": 12}]} {"id": "-3798239584737203534-1", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Ugunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo 32o F ni jotoridi la kuganda kwa maji na 212o F ni jotoridi la kuchemka kwa maji katika mkandamizo wa hewa wa kawaida. Vipimio vingi vilipendekezwa tangu muda wake. Katika kipimio cha centigrade au celsius, kilichobuniwa na mnajimu wa kiswideni Anders Celsius, ndicho kinachotumika sana dunia. Katika kipimio hiki maji huganda katika 0o C na huchemka katika 100o C.", "question_text": "Je,nani alizindua chombo cha kupima joto mwilini?", "answers": [{"text": "Galileo", "start_byte": 38, "limit_byte": 45}]} {"id": "-6019198162403603065-0", "language": "swahili", "document_title": "Yerusalemu", "passage_text": "Yerusalemu (mara kwa mara pia Kudisi) (kwa Kiebrania ירושלים, Yerushalayim, kwa Kiarabu: القدس, al-Quds) ni mji wa Mashariki ya Kati wenye pande mbili. Kwa upande mmoja ni mji mkuu wa Israel. Kwa upande mwingine Yerusalemu ya mashariki inatazamiwa kuwa mji mkuu wa Palestina, ingawa imetawaliwa na Israel pia tangu 1967. Israel imetangaza tangu mwaka 1980 Yerusalemu yote kuwa mji wake mkuu wa milele, lakini nchi nyingi za dunia hazikubali azimio hilo, hivyo balozi za nchi za kigeni katika Israel ziko nje ya Yerusalemu.", "question_text": "Je,Jerusalem ni mji mkuu wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Israel", "start_byte": 197, "limit_byte": 203}]} {"id": "2917407959698713193-13", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya tarakilishi", "passage_text": "Rula Mtelezo (Slide rule) ilivumbuliwa mwaka 1620. Hii ni Tarakilishi analojia iwezeshayo hesabu za kuzidisha na kuganya zifanyike kwa wepesi na haraka zaidi ukilinganisha na ilivyokuwa hapo nyuma. Hapa namba halisi zinawakilishwa kama umbali au nafasi baina ya vituo viwili katika mstari mnyofu. Rula Mtelezo ilikua ikitumiwa na vizazi vya wahandisi na wataalamu wa hesabu mpaka kilipokuja kuvumbuliwa Kikokotoo cha Mfukoni.", "question_text": "Kikokotoo cha kwanza kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Rula Mtelezo", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "-3161526496261350501-31", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Licha ya Waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani Waafrika mamlaka \"ya wastani\" zaidi, ilikuwa Kenya African National Union (KANU) ya Jomo Kenyatta, mwanachama wa kabila la Kikuyu na mfungwa wa zamani, ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. ", "question_text": "Je,Kenya ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 291, "limit_byte": 295}]} {"id": "-8853347523160256472-2", "language": "swahili", "document_title": "Bahari kuu", "passage_text": "Bahari Atlantiki kati ya Amerika upande mmoja na Ulaya - Afrika upande mwingine\nBahari Pasifiki kati ya Amerika na Asia\nBahari Hindi kati ya Afrika na Asia.", "question_text": "Bahari kubwa ni ipi?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 87, "limit_byte": 95}]} {"id": "-1106234407119982097-0", "language": "swahili", "document_title": "Sami Khedira", "passage_text": "\nSami Khedira (alizaliwa 4 Aprili 1987) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama kiungo wa kati katika timu ya Italia Juventus na timu ya taifa ya Ujerumani.", "question_text": "Je,Sami Khedira alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1987", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "160067051358192273-1", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Ugunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo 32o F ni jotoridi la kuganda kwa maji na 212o F ni jotoridi la kuchemka kwa maji katika mkandamizo wa hewa wa kawaida. Vipimio vingi vilipendekezwa tangu muda wake. Katika kipimio cha centigrade au celsius, kilichobuniwa na mnajimu wa kiswideni Anders Celsius, ndicho kinachotumika sana dunia. Katika kipimio hiki maji huganda katika 0o C na huchemka katika 100o C.", "question_text": "Je,chombo cha kupima joto mwilini kilizinduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Galileo", "start_byte": 38, "limit_byte": 45}]} {"id": "-1869898205938901213-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalenda ya Gregori", "passage_text": "\nKalenda ya Gregori ni kalenda ambayo leo inatumiwa zaidi kimataifa. Jina limetokana na Papa Gregori XIII aliyeamua kutumia kalenda hiyo tangu tar. 15 Februari 1582 badala ya Kalenda ya Juliasi.", "question_text": "Kalenda ya Gregori kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Papa Gregori XIII", "start_byte": 88, "limit_byte": 105}]} {"id": "5272699271938588899-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkopo (fedha)", "passage_text": "Mkopo (kutoka kitenzi \"kukopa\"; kwa Kiingereza: \"loan\") wa kifedha ni pesa ambazo mtu au shirika anapewa na benki, asasi ya fedha ya ushirika (SACCOS)[1], kundi au mashirika mengine yaliyoidhinishwa kufanya biashara ya fedha.[2] Anayepata mkopo huwa na deni analofaa kulipa kulingana na makubaliano rasmi yake na anayemkopesha. Deni hili linaweza kuwa karadha[3] au mkopo unaolipwa pamoja na riba[4]. Riba ndiyo faida ya mashirika kama benki yanayofanya biashara ya ukopeshaji. ", "question_text": "Je,riba ni nini?", "answers": [{"text": "faida ya mashirika kama benki yanayofanya biashara ya ukopeshaji", "start_byte": 412, "limit_byte": 476}]} {"id": "-7944709697367002451-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Muziki wa bongo ulianza lini?", "answers": [{"text": "miaka ya 1990", "start_byte": 92, "limit_byte": 105}]} {"id": "3489302574361511968-17", "language": "swahili", "document_title": "Mwezi", "passage_text": "\nMwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe 21 Julai 1969 mwanaanga Mmarekani Neil Armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wanaanga wengine 11 kutoka Marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka 1972.Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kufika kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 108, "limit_byte": 122}]} {"id": "-8217486847000210057-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Je,nchi ya Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "7532162890449102348-66", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Kenya ni jamhuri ya kidemokrasia ya kiuwakilishi inayoongozwa na rais, ambaye ndiye mkuu wa taifa na kiongozi wa serikali, na yenye mfumo wa vyama vingi. Serikali ndiyo yenye mamlaka ya juu. ", "question_text": "Je,serikali ya nchi ya Kenya ina mfumo upi ?", "answers": [{"text": "vyama vingi", "start_byte": 141, "limit_byte": 152}]} {"id": "-3950908182823948322-2", "language": "swahili", "document_title": "Kuku Mashuhuri Tanzania", "passage_text": "Kuku wa kienyeji wanatofautiana kwa umbo na rangi lakini wote wanafanana kwa mambo yafuatayo. Kwanza woteni wadogo kwa umbo na wana wastani wa uzito wa kilo 1 hadi kilo 2 wanapofika umri kamili. Kutaga kwao huwa kwa kipindi, na kwa wastani hutaga mara tatu kwa mwaka. Wataalam wachunguzi walifanya majaribio na wakaona kuwa kuku wa kienyeji alitaga wastani wa mayai 72 kwa mwaka ambapo kuu wa kigeni alitoa wastani wa mayai 182 na zaidi kwa mwaka.", "question_text": "Kuku huwa na kilo ngapi kwa wastani?", "answers": [{"text": "kilo 1 hadi kilo 2", "start_byte": 152, "limit_byte": 170}]} {"id": "-9082841384396914161-34", "language": "swahili", "document_title": "Ujerumani", "passage_text": "Lugha asilia ni Kijerumani kinachojadiliwa kwa lahaja mbalimbali, lakini wenyeji wote wanasikilizana. Katika maeneo mawili kuna wasemaji asilia wa Kideni na Kisorbia. ", "question_text": "Je,Ujerumani ina lugha ngapi rasmi?", "answers": [{"text": "Kijerumani", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}]} {"id": "-6785529530904453323-0", "language": "swahili", "document_title": "Shania Twain", "passage_text": "Shania Twain (amezaliwa na jina la Eilleen Regina Edwards; mnamo 28 Agosti, 1965) ni mtunzi wa nyimbo na mwimbaji kutoka nchini Canada. Kwa karibia miaka 25 akiwa katika tasnia ya muziki, Twain ameuza zaidi ya rekodi milioni 85 na msanii aliyeuza vyema katika historia ya muziki wa country kwa upande wa wanawake.[1] Mafanikio yake yamempatia heshima kubwa na kupewa cheo cha \"Malkia wa Country Pop\".[2]", "question_text": "Je,Shania Twain alianza kuimba mwaka upi?", "answers": [{"text": "1965", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}]} {"id": "8532778253651835383-0", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nUlaya (asili ya jina ni neno la Kiarabu ولاية, wilaayatun[1]; inaitwa pia Uropa) ni bara lenye eneo la km² 10,600,000 tu, lakini wakazi ni milioni 700. ", "question_text": "Bara Ulaya lina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 700", "start_byte": 151, "limit_byte": 162}]} {"id": "-3390146229702702663-17", "language": "swahili", "document_title": "Mto", "passage_text": "6.671 km - Nile: Luvironza-Ruvuvu-Ruvusu-Kagera-Nile Nyeupe-Nile - (Afrika)\n6.387 km - Amazonas: Apurimac-Ene-Tambo-Ucayali-Amazonas - (Amerika ya Kusini)\n6.380 km - Yangtse (Cháng Jiāng) - (Asia)\n6.051 km - Mississippi-Missouri - (Amerika ya Kaskazini)\n5.940 km - Yenisei-Angara - (Asia)\n5.410 km - Ob-Irtysch - (Asia)\n5.052 km - Amur-Argun-Kerulen - (Asia) - (pekee wakati wa mvua nyingi)\n4.845 km - Huang He - (Asia)\n4.500 km - Mekong - (Asia)\n4.374 km - Kongo - (Afrika)", "question_text": "Je,mto mkubwa sana bara Afrika ni upi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 11, "limit_byte": 15}]} {"id": "-1069501728000712920-0", "language": "swahili", "document_title": "Konfusio", "passage_text": "\nKonfusio (pia:Confucius kutoka Kichina: Kǒngzǐ (孔子) au Kǒng Fūzǐ (孔夫子) -- Mwalimu Kong) (551 KK - 479 KK) alikuwa mwalimu na mwanafalsafa muhimu kabisa wa kale huko Uchina. ", "question_text": "Mwanafalsafa wa kwanza Uchina alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Konfusio", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-4622971538656773003-15", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Mji mkubwa ni Istanbul ulioitwa zamani Konstantinopoli na zamani zaidi Bizanti: ulikuwa mji mkuu wa Dola la Uturuki hadi mwaka 1923.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Istanbul", "start_byte": 14, "limit_byte": 22}]} {"id": "1578832626943096398-1", "language": "swahili", "document_title": "Marijani Rajab", "passage_text": "\nHistoria ya gwiji huyu inaanzia siku alipozaliwa tarehe 23 Machi mwaka 1955, katika eneo la Kariakoo. Mama yake alikuwa mama wa nyumbani wakati baba yake alikuwa na shughuli za uchapishaji. Maisha yake ya utoto yalikuwa ya kawaida ila alikuwa kipenda sana uimbaji wa Tabu Ley na mwimbaji mmoja wa Guinea Sorry Kandia. Alisoma shule ya Msingi ikiambatana na elimu ya Madrasa. Mwaka 1970 Akiwa bado shuleni, utaona umri wake ulikuwa miaka 15 tu, alijiunga na STC Jazz, ikiwa chini ya mpiga gitaa maarufu wakati huo Raphael Sabuni, kabla ya hapo bendi hii ilikuwa unajulikana kama The Jets. ", "question_text": "Marijani Rajabu alianza kuimba akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "15", "start_byte": 442, "limit_byte": 444}]} {"id": "-7888827074583469652-3", "language": "swahili", "document_title": "Korea Kusini", "passage_text": "Mji mkuu, pia mji mkubwa, ni Seoul ambako karibu nusu ya wakazi wote huishi ama mjini ama katika mazingira yake. Seoul ni kati ya miji muhimu ya biashara na uchumi kimataifa.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Korea Kaskazini ni upi?", "answers": [{"text": "Seoul", "start_byte": 29, "limit_byte": 34}]} {"id": "1729545472178962887-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenya African National Union", "passage_text": "Chama kilianzishwa 1960 na wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union ilichoanzishwa mwaka 1944 kwa jina la Kenya African Study Union. Jina likabadilishwa haraka kuwa \"Kenya African Union\" likabaki hivyo hadi 1952 KAU iliposimamishwa na serikali ya ukoloni. Mwenyekiti wa KAU ilipos ajiliwa alikuwa James Gichuru. Gichuru alipatiya kiti chake cha uongozi Jomo Kenyatta wakati Kenyatta aliporudi Kenya baada ya miaka 20 ngambo. Gichuru angerudia tendo hili wakati alipochaguliwa kuongoza KANU ilipofufuliwa kupigania uchaguzi ambayo ingekuwa 1963. Kenyatta angeendelea kuongoza hiki chama tangu mwaka 1960 hadi kifo chake 1978. Tangu Oktoba 1978 Daniel Arap Moi akawa kiongozi wa chama.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa chama cha kisiasa cha KANU?", "answers": [{"text": "wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union", "start_byte": 27, "limit_byte": 80}]} {"id": "8833661153588574795-65", "language": "swahili", "document_title": "Ubongo", "passage_text": "Daktari maarufu wa Roma Galen pia alitetea umuhimu wa ubongo, na akatunga dhahania kwa kina kuhusu jinsi inavyo weza kufanya kazi. Hata baada ya madaktari na wanafalsafa kukubaliwa kuhusu ukuu wa ubongo, haidhuru, dhana ya moyo kuwa makao makuu ya ufahamu uliendelea kudumu katika nahau maarufu, kama vile \"kujitolea kwa moyo\".[100] Galen alifanya kazi kubwa ya kueleza uhusiano wa kianotomi baina ya ubongo, neva na misuli, na kuonyesha kwamba misuli yote katika mwili imeshikana na ubongo kwa njia ya mtandao wa matawi ya neva. Alidai kwamba neva huamsha misuli moja kwa moja, kwa kubeba dutu ya ajabu aliyoita pneumata psychikon, ambayo kwa kawaida hutafsiriwa kuwa \"mazimwi ya wanyama\". Mawazo yake yalijulikana pakubwa wakati wa Zama ya Kati, lakini mafanikio mengi zaidi hayakuja hadi katika kipindi cha Mvuvumko, wakati utafiti wa kina wa kianatomia uliporejea, pamoja na makadirio ya kinadharia ya Descartes na wafuasi wake. Descartes, kama Galen, aliwazia mfumo wa neva katika msingi wa kihadroliki. Aliamini kwamba kazi kubwa za kiutambuzi- hasa lugha- hufanywa na viungo visiyoonekana res cogitans lakini kwamba nyingi ya tabia za binadamu na wanyama zinaweza kuelezeka kwa mambo yanayoshikika. Hatua ya kwanza kuelekea uelewa wa kisasawa kazi wa neva, hata hivyo, ulitokana na uchunguzi wa Luigi Galvani, aliyegundua kwamba wimbi la umeme tuli ukielekezwa katika neva iliyo wazi ya chura aliyekufa inaweza kusababisha mguu wake kujikunja.", "question_text": "Luigi Galvani aligundua nini kikuu?", "answers": [{"text": "wimbi la umeme tuli ukielekezwa katika neva iliyo wazi ya chura aliyekufa inaweza kusababisha mguu wake kujikunja", "start_byte": 1339, "limit_byte": 1452}]} {"id": "1700802905421765768-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Je,wakati wa sensa mwaka 2009 Nairobi ilikuwa na idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "1433219032145770434-23", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi huru 44.\nBara la Afrika lina nchi huru 53.\nBara la Amerika ya kaskazini lina nchi huru 35.\nBara la Antaktika halina wakazi wa kudumu wala nchi huru hata moja ijapokuwa nchi kama 7 zinadai kumiliki sehemu fulani za bara hili.\nBara la Australia au Oshania lina nchi huru 14.\nBara la Ulaya (au Uropa) lina nchi huru 46.", "question_text": "Je, bara Uropa ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "46", "start_byte": 336, "limit_byte": 338}]} {"id": "2268947396962555407-1", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Ugunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo 32o F ni jotoridi la kuganda kwa maji na 212o F ni jotoridi la kuchemka kwa maji katika mkandamizo wa hewa wa kawaida. Vipimio vingi vilipendekezwa tangu muda wake. Katika kipimio cha centigrade au celsius, kilichobuniwa na mnajimu wa kiswideni Anders Celsius, ndicho kinachotumika sana dunia. Katika kipimio hiki maji huganda katika 0o C na huchemka katika 100o C.", "question_text": "Je,nani alizindua kifaa cha kupima joto mwilini?", "answers": [{"text": "Galileo", "start_byte": 38, "limit_byte": 45}]} {"id": "3314738080040073216-5", "language": "swahili", "document_title": "Ndizi", "passage_text": "Ndizi zipo katika familia ya Musaceae. Hulimwa hasa kwaajili ya matunda yake, na mara kadhaa kwaajili ya uzalishaji wa nyuzi na kama mimea ya mapambo. Sababu tu mimea ya ndizi, migomba, huwa mirefu na migumu kiasi, huonwa kama ni miti ya kweli, wakati ukweli ni kwamba; kutokana na muundo wa sehemu zake za ndani ya shina migomba si miti ya kweli. Mimea mingi ya aina hii, kitaalamu pseudostem, huweza hata kufikia urefu wa mita 2 – 8, na majani yake hata mpaka urefu wa mita 3.5. na ikikomaa, migomba hutoa mikungu ya ndizi zenye rangi ya kijani ambazo zikiiva hubadilika na kuwa na rangi ya manjano au wakati mwingine hata rangi nyekundu. Kisha kutoa matunda, mgomba hufa na nafasi yake huchukuliwa na mgomba mwingine.", "question_text": "Je,tunda la ndizi iko katika kundi gani la mmea?", "answers": [{"text": "Musaceae", "start_byte": 29, "limit_byte": 37}]} {"id": "-4157932866921089707-0", "language": "swahili", "document_title": "George Washington", "passage_text": "George Washington (22 Februari 1732 - 14 Desemba 1799) alikuwa mwanasiasa, kiongozi wa kijeshi na rais wa kwanza wa Marekani kati ya 1789 na 1797. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa marekani ni nani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "-3376351731381401817-20", "language": "swahili", "document_title": "Misri", "passage_text": "Katika kipindi cha historia ya awali tangu takriban miaka 6000 KK wakazi wa Misri walikuwa na kilimo cha nafaka. Walikuwa na teknolojia ya Zama za Mawe. Wakati ule Jangwa la Sahara lilipanuka na kuwalazimisha watu kukaa karibu zaidi kwenye mto Nile na kwenye oasisi kama Faiyum. ", "question_text": "Je, ni mto gani kubwa nchini Misri?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 244, "limit_byte": 248}]} {"id": "-6196580882770734920-26", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Simba wadogo huonesha tabia ya kunyatia wanyama wakiwa na miezi mitatu tu, ingawa hawashiriki kwenye uwindaji mpaka wawe na umri wa mwaka mmoja. Huanza rasmi kuwinda wakiwa na umri wa miaka miwili.", "question_text": "Simba huanza kuwinda baada ya miezi ngapi?", "answers": [{"text": "miaka miwili", "start_byte": 184, "limit_byte": 196}]} {"id": "8673777572748377991-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Mtoto wake Mwami Kigeri V aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia Uganda. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa Mouvement Democratique Republicain (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha Parmehutu kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka 1961. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire Kayibanda kuwa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Rwanda anaitwaje?", "answers": [{"text": "Grégoire Kayibanda", "start_byte": 774, "limit_byte": 793}]} {"id": "8124414893288954938-0", "language": "swahili", "document_title": "Emmaus Shule ya Biblia", "passage_text": "Emmaus Shule ya Biblia ni shule inayohudumia watu wote wanaopenda kusoma Biblia kwa njia ya posta. Masomo na mitihani yanatumwa kwa mwanafunzi. Baada ya kujaza anarudisha mtihani kwenye ofisi zao. Ilianzishwa kwa mara ya kwanza Tanzania mnamo mwaka 1960. ", "question_text": "Je,shule ya Emmaus inapatikana katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 228, "limit_byte": 236}]} {"id": "4851071277957082203-3", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Msalaba Mwekundu", "passage_text": "Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) ilianzishwa mwaka wa 1919 na kwa sasa huratibu shughuli kati ya 186 za kitaifa za Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu katika Shirikisho. Kimataifa, Shirikisho linaongoza na kupanga, kwa ushirikiano wa karibu wa Vyama vya wa kitaifa , misaada pamoja na kukabiliana na mahitaji ya dharura. Sekretarieti ya Shirikisho la Kimataifa ina makao yake mjini Geneva, Uswizi. Mwaka wa 1963, Shirikisho (likijulikana kama Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu) lilipatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa pamoja na ICRC. [2]", "question_text": "Shirika la Hilali Nyekundu lilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1919", "start_byte": 101, "limit_byte": 105}]} {"id": "8996837429234744850-15", "language": "swahili", "document_title": "Nelson Mandela", "passage_text": "Mandela alihukumiwa kifungo cha maisha kwa miaka 27 kutokana na harakati zake za kuupinga ubaguzi wa rangi. Alifungwa katika kisiwa cha Robben. ", "question_text": "Je,Nelson Mandela alifungwa jela kwa muda upi?", "answers": [{"text": "miaka 27", "start_byte": 43, "limit_byte": 51}]} {"id": "1746709289471478242-6", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Mto mkubwa ni Nile inayopita nchi yote kati ya Ziwa Viktoria hadi Ziwa Albert na kuendelea hadi mpaka wa Sudani ikiitwa mwanzoni Nile ya Viktoria na baadaye Nile ya Albert. ", "question_text": "Je,mto mkubwa zaidi nchini Uganda ni ipi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 14, "limit_byte": 18}]} {"id": "-4555649635680843511-0", "language": "swahili", "document_title": "Johann Paul Schor", "passage_text": "Johann Paul Schor (1615 - 1674), anajulikana katika jiji la Roma kama \"Giovanni Paolo Tedesco\" (jina hili Tedesco kwa Kiitalia linamaanisha Mjerumani). Johann alikuwa msanii kutoka nchi ya Austria. Alikuwa mzalishaji wa michoro ya kupamba katika Baroque Roma, akichora michoro ya vitanda, milipuko ya mapambo ya fedha, nguo na hata vyakula vya sukari. Hapo zamani michoro yake mingi ilihusishwa na Gian Lorenzo Bernini.", "question_text": "Je, Johann Paul Schor alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1615", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}]} {"id": "8073859068889050512-0", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.", "question_text": "Je,chungwa iko katika kundi gani ya mimea?", "answers": [{"text": "Citrus", "start_byte": 96, "limit_byte": 102}]} {"id": "1481974707565559726-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya tarakilishi", "passage_text": "Mwaka 1645, Blaise Pascal, msomi kutoka Ufaransa, alivumbua Kikokotoo analojia na kukipa jina Pascal’s Calculator au Pascaline. Hiki ni chombo cha kufanyia hesabu, ambacho alikitengeneza kwa ajili ya kumsaidia baba yake katika kazi za hesabu, lakini hakikuwa na sifa bora kama ilivyotakiwa.", "question_text": "Kikokotoo kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Blaise Pascal", "start_byte": 12, "limit_byte": 25}]} {"id": "7534238602728173330-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Mlima mkubwa sana duniani inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Nepal", "start_byte": 109, "limit_byte": 114}]} {"id": "397002406237944952-15", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi", "passage_text": "Fasihi simulizi - huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi\nFasihi andishi - huwasilishwa kwa lugha ya maandishi", "question_text": "Fasihi andishi ni nini?", "answers": [{"text": "huwasilishwa kwa lugha ya maandishi", "start_byte": 83, "limit_byte": 118}]} {"id": "7735457185223912694-4", "language": "swahili", "document_title": "Kisii", "passage_text": "Kutokana na idadi kubwa ya watu (83,460 kadiri ya sensa ya mwaka 2009[2]) na ongezeko la mahitaji ya elimu, vyuo vingi vimeanzisha matawi Kisii. Miongoni mwa vyuo vilivyoanzisha matawi mjini ni:", "question_text": "Mji wa Kisii una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "83,460", "start_byte": 33, "limit_byte": 39}]} {"id": "1062329759255227066-0", "language": "swahili", "document_title": "Mapinduzi ya Ufaransa", "passage_text": "\nMapinduzi ya Ufaransa (kwa Kifaransa: Révolution française) ni jina linalojumlisha matukio muhimu ya siasa kwa kipindi cha miaka 10, tangu 1789 hadi 1799, yaliyobadilisha uso wa Ufaransa na utamaduni wa Ulaya kwa jumla, kiasi cha kuhesabiwa kati ya matukio makuu ya historia yote.[1][2][3]", "question_text": "Je,mapinduzi ya ufaransa ulianza lini?", "answers": [{"text": "1789", "start_byte": 142, "limit_byte": 146}]} {"id": "-2278170635972484715-5", "language": "swahili", "document_title": "Wadudu", "passage_text": "Ngeli Insecta\nNusungeli Monocondylia\nOda Archaeognatha\nKladi (kundi bila tabaka) Dicondylia\nNusungeli Apterygota\nOda †Monura\nOda Thysanura (Wadudu mikia-mitatu)\nNusungeli Pterygota\nNgeli ya chini Palaeoptera\nOda †Palaeodictyoptera\nOda †Megasecoptera\nOda †Archodonata\nOda †Diaphanopterodea\nOda †Meganisoptera\nOda Ephemeroptera (Wadudu siku-moja)\nOda Odonata (Kereng'ende)\nNgeli ya chini Neoptera\nOda ya juu Exopterygota\nOda †Titanoptera\nOda †Protorthoptera\nOda Plecoptera (Wadudu mabawa-msuko)\nOda Embioptera (Wasokotaji-hariri)\nOda Zoraptera (Wadudu-malaika)\nOda Dermaptera (Wadudu-koleo)\nOda Orthoptera (Wadudu mabawa-manyofu: panzi, nzige n.k.)\nOda Phasmatodea (Wadudu-kijiti)\nOda Notoptera (Wadudu-barafu, watambaaji-miamba)\nOda ya juu Dictyoptera (imependekezwa)\nOda Blattodea (Mende na mchwa)\nOda Mantodea (Vivunjajungu)\nOda ya juu Paraneoptera (imependekezwa)\nOda Psocoptera (Nzi-gome, chawa-vitabu)\nOda Thysanoptera (Tiripsi)\nOda Phthiraptera (Chawa)\nOda Hemiptera (Wadudu mabawa-nusu: vidukari, nzi weupe, wadudu-gamba, vidung'ata)\nOda ya juu Endopterygota\nOda Hymenoptera (Wadudu mabawa-matando: nyuki, nyigu, sisimizi n.k.)\nOda Coleoptera (Mende-kibyongo, bungo, fukusi, visaga)\nOda Strepsiptera (Wadudu mabawa-potwa)\nOda Raphidioptera (Wadudu shingo-ngamia)\nOda Megaloptera (Wadudu mabawa-makubwa)\nOda Neuroptera (Wadudu mabawa-vena)\nOda ya juu Mecopteroidea (imependekezwa)\nOda Mecoptera (Wadudu mabawa-marefu: wadudu-nge n.k.)\nOda Siphonaptera (Viroboto)\nOda †Protodiptera (Nzi wa kale)\nOda Diptera (Wadudu mabawa-mawili: nzi, mbu n.k.)\nOda ya juu Amphiesmenoptera (imependekezwa)\nOda Trichoptera (Wadudu mabawa-manyoya)\nOda Lepidoptera (Wadudu mabawa-vigamba: vipepeo, nondo)", "question_text": "Je,mende iko katika spishi gani kwa wadudu?", "answers": [{"text": "Blattodea", "start_byte": 787, "limit_byte": 796}]} {"id": "-4503359095002338107-0", "language": "swahili", "document_title": "Herufi za Kiarabu", "passage_text": "Herufi za Kiarabu ni maandishi maalumu ya lugha ya Kiarabu. Nje ya Kiarabu lugha mbalimbali zinaandikwa kwa herufi za Kiarabu, hasa lugha za nchi zenye Waislamu wengi, ingawa herufi hizo zilibuniwa kabla ya dini hiyo kuenea. Kati ya lugha hizo kuna Kiajemi, Kikurdi, Kimalay na Urdu. Pengine katika lugha hizo herufi kadhaa zinaongezwa au kupunguzwa, kulingana na lugha ilivyo. ", "question_text": "Lugha ngapi zinatumia herufi za kiarabu?", "answers": [{"text": "Kiajemi, Kikurdi, Kimalay na Urdu", "start_byte": 249, "limit_byte": 282}]} {"id": "-8794333779055149750-0", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "\nKuku (Gallus gallus domesticus) ni ndege anayefugwa na binadamu nyumbani tangu miaka 8,000 hivi. Kwa sababu hiyo ni miongoni mwa wanyama waliosambaa zaidi duniani na ndio ndege walio wengi zaidi duniani.[1]", "question_text": "Je,kuku ako katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Gallus gallus domesticus", "start_byte": 7, "limit_byte": 31}]} {"id": "1422353736866925009-1", "language": "swahili", "document_title": "Hamas", "passage_text": "Hamas ilianzishwa na Sheikh Ahmed Yassin, Abdel Aziz al-Rantisi na Mohammed Taha wa bawa la Misri la Undugu wa Kipalestina mwaka 1987 katika Intifada ya kwanza ya uasi dhidi ya utawala wa Israel katika nchi ya Palestina. Kupitia ufadhili wake na usimamizi wa shule, kliniki za afya ya huduma, misikiti, vikundi vya vijana, klabu za michezo, na vituo vya huduma ya siku, katikati ya miaka ya 1990 Hamas ilipata wafwasi wengi katika nchi ya Palestina. Inakadiriwa kuwa 80-90% ya mapato ya Hamas yanatumiwa katika kuendeleza afya, ustawi wa jamii, dini, utamaduni, na huduma za elimu. Katika pande za kijeshi Hamas ilihusika na washambuliaji wa kujiua dhidi ya Israel wa kwanza ukiwa 1993. Katika mwaka wa 2005 mashambuliaji ya kujiua yalisitishwa lakini yakaanza upya tena mwaka wa 2006. Katika miaka ya hivi karibuni Hamas ina hasa kushambulia Israel kwa roketi na moto chokaa.", "question_text": "Kiongozi wa kwanza wa jeshi la Izz ad-Din al-Qassam Brigades anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Sheikh Ahmed Yassin, Abdel Aziz al-Rantisi na Mohammed Taha", "start_byte": 21, "limit_byte": 80}]} {"id": "1703806615698028220-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro ni hifadhi ya taifa nchini Tanzania, lakini ni maarufu duniani kutokana na mandhari nzuri ya Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika na unapatikana katika nchi ya Tanzania. ", "question_text": "Mlima kilimanjaro iko wapi?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 217, "limit_byte": 225}]} {"id": "-3143112732233331436-2", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991. ", "question_text": "Je,mji mkuu nchini Nigeria ni upi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-4091399004871478052-0", "language": "swahili", "document_title": "Annie Wersching", "passage_text": "\nAnnie Wersching (amezaliwa tar. 28 Machi 1977) ni mwigizaji wa filamu na televisheni kutoka nchini Marekani. Anajulikana zaidi kwa kucheza kama kachero wa FBI, Renee Walker kutoka katika mfululizo wa kipindi cha televisheni maarufu kama 24.", "question_text": "Annie Wersching alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "2695755717811092583-14", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Afrika Kusini ina miji mikuu mitatu kikatiba: Pretoria ndipo makao makuu ya serikali, Cape Town ndipo makao makuu ya bunge, Bloemfontein ndipo makao makuu ya Mahakama Kuu.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Afrika Kusini ni ipi?", "answers": [{"text": "Pretoria ndipo makao makuu ya serikali, Cape Town ndipo makao makuu ya bunge, Bloemfontein ndipo makao makuu ya Mahakama Kuu", "start_byte": 46, "limit_byte": 170}]} {"id": "3277978024971909602-0", "language": "swahili", "document_title": "Rayvanny", "passage_text": "Raymond Shaban Mwakyusa (amezaliwa 22 Agosti 1994) ni mwimbaji na mtunzi wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake kama Rayvanny. Kiasili ni mtu wa mkoani Mbeya.", "question_text": "Msanii Rayvanny alizaliwa mkoa gani?", "answers": [{"text": "Mbeya", "start_byte": 188, "limit_byte": 193}]} {"id": "-6107032913204637293-5", "language": "swahili", "document_title": "YouTube", "passage_text": "\nYouTube ilianzishwa na Chad Hurley, Steve Chen na Jawed Karim ambao awali wote walikuwa wafanyakazi wa PayPal. [4] Hurley alisomea urasimu katika Chuo Kikuu cha Indiana ya Pennsylvania, huku Chen na Karim wakisomea kompyuta sayansi pamoja katika Chuo Kikuu cha Illinois huko Urbana-Champaign.[5]", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa mtandao wa You tube?", "answers": [{"text": "Chad Hurley, Steve Chen na Jawed Karim", "start_byte": 24, "limit_byte": 62}]} {"id": "-7130164564694328080-3", "language": "swahili", "document_title": "Denmark", "passage_text": "Denmark ina eneo la km² 43.000. Theluthi ya eneo hili ni kwenye visiwa 443 vya Denmark ambavyo 76 tu kati yake vinakaliwa na watu.", "question_text": "Nchi ya Denmark ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "443", "start_byte": 72, "limit_byte": 75}]} {"id": "-8955433274029649045-0", "language": "swahili", "document_title": "Homoni", "passage_text": "Homoni (pia: hormoni, kutoka Kigiriki ὁρμᾶν horman - \"kichochezi\", \"msukumo\") ni kemikali zinazotolewa na tezi za mwili na kusafiri kupitia mfumo wa mzunguko wa damu hadi ogani za mwili. Humo zinasababisha mabadiliko katika kazi ya ogani. Kwa lugha nyingine zinapeleka ujumbe kwa ogani.", "question_text": "Homoni iko na maana gani?", "answers": [{"text": "kemikali zinazotolewa na tezi za mwili na kusafiri kupitia mfumo wa mzunguko wa damu hadi ogani za mwili", "start_byte": 88, "limit_byte": 192}]} {"id": "7078653969945273693-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "-8571023705487157894-1", "language": "swahili", "document_title": "Elgon (mlima)", "passage_text": "Elgon ni mlima mkubwa wa pili nchini Kenya baada ya Mlima Kenya. Upande wa Uganda ni mlima mkubwa wa mashariki ya nchi lakini milima ya safu ya Ruwenzori ni mirefu kushinda Elgon.", "question_text": "Mlima kubwa Uganda ni gani?", "answers": [{"text": "Ruwenzori", "start_byte": 144, "limit_byte": 153}]} {"id": "6232671166140522542-0", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Koninkrijk der Nederlanden\n\nUfalme wa Nchi za Chini\n\n\n\n\n\nBenderaNembo Hadabu ya Taifa: Je maintiendrai \n (Kifaransa)\n kwa Kiswahili, Nitastahimili Lugha za Taifa\nKiholanzi\n kwa mkoa wa Friesland: KifrisiMji MkuuAmsterdamMakao ya SerikaliDen HaagMfalmeKoning Willem-AlexanderWaziri Mkuu Mark RutteEneo\n- Jumla \n- % Maji\n 41,526 km² \n 18.41Umma\n- Jumla \n- msongamano\n 16,856,620 (Julai 2014)\n 406.4/km²GDP\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n\n $625 bilioni \n $ 30,500Uhuru\n- Tangazwa\n- KukubaliwaKutoka Hispania\n 26 Julai 1581 \n 30 Januari 1648FedhaEuro € EURSaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWilhelmusTLD mtandao.nlKodi ya simu31", "question_text": "Uholanzi iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "6,856,620", "start_byte": 368, "limit_byte": 377}]} {"id": "8753853035949800165-0", "language": "swahili", "document_title": "Chioma Chukwuka", "passage_text": "Chioma Chukwuka (amezaliwa 12 Machi 1980 katika Oraifite, Anambra State, Nigeria) ni mwigizaji Nollywood Nigeria. Mwaka 2007 aliibuka mshindi wa Afrika Kisasa Academy Award kwa 'Muigizaji bora katika mhusika mkuu'.[1][2]", "question_text": "Je,Nollywood ni jina ya filamu za nchi gani?", "answers": [{"text": "Nigeria", "start_byte": 106, "limit_byte": 113}]} {"id": "8648165253723854544-1", "language": "swahili", "document_title": "Taarab", "passage_text": "Taarab ni muziki wa Waafrika wa pwani uliopokea athira kutoka tamaduni nyingi, hasa muziki wa Waarabu na Wahindi. Kimsingi ni uimbaji wa mashairi unaofuata muziki wa bendi. ", "question_text": "Muziki wa Taarab ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "pwani", "start_byte": 32, "limit_byte": 37}]} {"id": "5548334866924859002-9", "language": "swahili", "document_title": "Krismasi", "passage_text": "Lakini kadirio la tarehe 25 Desemba lina asili katika Misri pia. Kuanzia mwaka 200 (kwa mara ya kwanza katika maandishi ya Sixtus Julius Africanus) wataalamu nchini Misri waliona tarehe 14 Nisan ya kalenda ya Kiyahudi ambayo ni sawa na 25 Machi ilikuwa tarehe ya kufa kwake Kristo na pia siku ya utungaji mimba wake. Kwa kuongeza miezi tisa ya mimba inajitokeza 25 Desemba kama tarehe ya kuzaliwa.", "question_text": "Je, siku ya yesu kufa husheherekewa wakati upi?", "answers": [{"text": "25 Machi", "start_byte": 236, "limit_byte": 244}]} {"id": "-4414608614694839525-3", "language": "swahili", "document_title": "Jaramogi Oginga Odinga", "passage_text": "1947 akaanzisha kampuni yake ya Luo Thrift and Trading Corporation. Mwaka uleule akaingia katika siasa akaitwa kuwa mjumbe kwenye baraza la ushauri wa koloni. Akajiunga na chama cha Kenya African Union.", "question_text": "Raila Odinga aliingia katika siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1947", "start_byte": 0, "limit_byte": 4}]} {"id": "-6507845214886183196-7", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Mwanzo wa Kanisa ni kule Yerusalemu, mji mkuu wa nchi inayoitwa kwa majina mbalimbali katika historia yake ndefu, kama Kanaani, Israeli, Palestina au Uyahudi. ", "question_text": "Dini la kikristo lilianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Kanaani, Israeli, Palestina au Uyahudi", "start_byte": 119, "limit_byte": 157}]} {"id": "1117124936570094514-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Bara Asia ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 23, "limit_byte": 25}]} {"id": "-3824989076998783265-5", "language": "swahili", "document_title": "Cannabidiol", "passage_text": "Cannabidiol kwanza iliweza kudondolewa mwaka 1940 na wanasayansi wawili, Adams na Todd. Kwa wakati ule walidhania kwamba kiungo hiki kuwa hakina nguvu zozote za kibaolojia. Lakini mwaka 1963, wanasayansi wawili tena, Mecholaum na Shvo waliweza kuchunguza kwa kina kuhusu muundo wa kikemia wa cannabidiol.", "question_text": "Cannabidiol ilivumbuliwa na nani?", "answers": [{"text": "Adams na Todd", "start_byte": 73, "limit_byte": 86}]} {"id": "3344441747027873548-14", "language": "swahili", "document_title": "Pierre Brazza", "passage_text": "Maria Petringa. Brazza, A Life for Africa (2006). ISBN 978-1-4259-1198-0", "question_text": "Je,Pietro Paolo Savorgnan di Brazzà aliandika vitabu ngapi?", "answers": [{"text": "Maria Petringa. Brazza, A Life for Africa (2006)", "start_byte": 0, "limit_byte": 48}]} {"id": "1190491152662576487-0", "language": "swahili", "document_title": "Hendrick Witbooi", "passage_text": "\nHendrick Witbooi, kwa jina asilia ǃNanseb ǀGabemab (1840 - 1905) alikuwa chifu wa kabila la Nama katika Namibia ya leo, kiongozi wa mapambano dhidi ya ukoloni wa Kijerumani na mwandishi. ", "question_text": "Je,Hendrick Witbooi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1840", "start_byte": 55, "limit_byte": 59}]} {"id": "3125935223781585071-6", "language": "swahili", "document_title": "Utaridi", "passage_text": "Utaridi ni sayari ndogo. Kipenyo chake kwa ikweta ni 4879.4 km. Kwa sababu iko karibu sana na jua ina mbio za haraka. Mwaka wa Utaridi ambayo ni muda wa kuzunguka jua ni siku 88 za dunia pekee. ", "question_text": "Je, Sayari ya Zebaki ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "4879.4 km", "start_byte": 53, "limit_byte": 62}]} {"id": "-4266130517697093013-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Bahari kubwa ni ipi?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-8706656475212590264-1", "language": "swahili", "document_title": "Mke wa Rais wa Tanzania", "passage_text": "Mke wa Rais wa Tanzania ni cheo kisicho-rasmi kinachoshikiliwa na mke wa Rais wa Tanzania.[1] Mke wa sasa wa rais nchini humo ni Janeth Magufuli, ambaye aliingia madarakani tangu tarehe 5 Novemba 2015.", "question_text": "Je,mke wa rais wa Tanzania Pombe Magufuli anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Janeth Magufuli", "start_byte": 129, "limit_byte": 144}]} {"id": "4456876721959588143-0", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Lenin", "passage_text": "Vladimir Ilyich Lenin (Влади́мир Ильи́ч Ле́нин) alikuwa na jina la kiraia Vladimir Ilyich Ulyanov (Влади́мир Ильи́ч Улья́нов) (*10 Aprili (22 Aprili ya kalenda ya Gregori) 1870 - + 21 Januari 1924) alikuwa mwanasiasa nchini Urusi na kiongozi wa chama cha Bolsheviki akaendesha awamu la kikomunisti la Mapinduzi ya Urusi ya 1917 akaanzisha Umoja wa Kisovyeti. Mafundisho yake yalikuwa msingi wa itikadi ya Ulenin.", "question_text": "Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1870", "start_byte": 216, "limit_byte": 220}]} {"id": "-262920975938917592-0", "language": "swahili", "document_title": "Jackie Chan", "passage_text": "Jackie Chan (amezaliwa tarehe 7 Aprili, 1954) ni mwigizaji wa filamu na mchekeshaji kutoka nchini China.", "question_text": "Je,Jackie Chan ni muigizaji wa kutoka nchi ipi?", "answers": [{"text": "China", "start_byte": 98, "limit_byte": 103}]} {"id": "-3531180656357461894-19", "language": "swahili", "document_title": "Vietnam", "passage_text": "Kwa jumla kuna wakazi milioni 86.5 million.", "question_text": "Je,nchi ya Vietnamu ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 86.5", "start_byte": 22, "limit_byte": 34}]} {"id": "8860904716182042996-0", "language": "swahili", "document_title": "Kamoya Kimeu", "passage_text": "Kamoya Kimeu, ( alizaliwa mnamo mwaka wa 1940) ni mmoja wa wachuma wa wa mabakaki ya kitambo (yaani fossil kwa lugha ya kimombo) waliofanikiwa sana duniani , pamoja na ushirikiano wake na wapaleontologia Meave Leakey na Richard Leakey walivumbua baadhi ya Akolojia muhimu zaidi. Kimeu alipata fuvu la homo habilis fuvu lililokuwa linajulikana kama KNM ER 1813, na ni karibu mifupa kamili ya homo erectu] iitwayo KNM-WT 15000 au Turkana Boy (pia inajulikana kama Nariokotome boy). Ana mabakai ya mamalia mbili za aina ya \"Primates\" kwa lugha ya Kiingereza ambazo zimatajwa baada yake: Kamoyapithecus hamiltoni na Cercopithecoides kimeui.", "question_text": "Je,Kamoya Kimeu alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-4232215109992698647-1", "language": "swahili", "document_title": "Abdullah bin Faisal Al Saud", "passage_text": "\n\n\nAbdullah bin Faisal Al Saud (1922 - 8 Mei 2007) alikuwa mtoto wa kwanza wa Mfalme wa Saudia, Faisal ibn Abdul Aziz, na Sultana, binti Ahmad ibn Muhammad kutoka katika familia yenye ushawishi mkubwa wa al-Sudairi familia ya Najd.", "question_text": "Je,Abdullah bin Faisal Al Saud alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "-8280975184533594387-2", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya ni volkeno rusu iliyoumbwa takriban miaka milioni 3 baada ya kuumbika wa Bonde la Ufa.[4] Umekuwa na theluji kwa maelfu ya miaka. Theluji hiyo hufanya kuwe na mmomonyoko unaosababishwa na barafuto na kutengeneza mabonde[5]. Barafuto zimepungua kutoka 18 hadi 10[3]. Mlima huu ni chanzo muhimu cha maji kwa Kenya.[6]", "question_text": "Mlima gani una theluji nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Mlima Kenya", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "-1696198701072698337-0", "language": "swahili", "document_title": "Kinyarwanda", "passage_text": "Kinyarwanda ni lugha ya Kibantu ambayo ni lugha rasmi nchini Rwanda. Kuna wasemaji pia katika Uganda kusini na sehemu za mashariki za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Jumla ya wasemaji hukadiriwa kuwa mnamo milioni 7.", "question_text": "Je,lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi?", "answers": [{"text": "Kinyarwanda", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "3808730055918072780-4", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa Katoliki", "passage_text": "Imani ya Kanisa hilo inatokana na ufunuo wa Mungu ulivyotolewa kwa Israeli na ulivyokamilishwa na Yesu ambaye alimtambulisha kama Baba na alilianzisha kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetumwa naye juu ya Mitume wake siku ya Pentekoste mwaka 30 (au 33) BK.", "question_text": "Je,dini ya Katoliki ilianza lini?", "answers": [{"text": "mwaka 30 (au 33) BK", "start_byte": 232, "limit_byte": 251}]} {"id": "-5004539168924168912-0", "language": "swahili", "document_title": "Steven Kanumba", "passage_text": "\nSteven Charles Kanumba (alizaliwa tarehe 8 Januari 1984, Shinyanga - alikufa tarehe 7 Aprili 2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini.", "question_text": "Steven Kanumba alizaliwa katika wilaya gani?", "answers": [{"text": "Shinyanga", "start_byte": 58, "limit_byte": 67}]} {"id": "-7477011156730478391-0", "language": "swahili", "document_title": "Uingereza", "passage_text": "England\nUingereza\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Uingereza)(Nembo la Uingereza)Wito (Kifaransa): Dieu et mon droit\n(\"Mungu na haki yangu\")\nMahali pa Uingereza (kijani cheusi) kwenye visiwa vya Britania ndani ya Ufalme wa Muungano (kijani nyeupe) pamoja na Jamhuri ya Eire (buluu) upande wa magharibiLughaKiingerezaMji MkuuLondonMji MkubwaLondonEneo\n – jumla\n 130,395 km²Wakazi\n\n–2004\n\n–sensa ya 2001\n\n– Msongamano wa watu50.1 millioni [1]\n\n49,138,831 [2]\n\n377/km²Umoja wa nchi yote927 BK na mfalme\nAthelstanDini rasmi Church of England (Anglikana)PesaPound sterling (£) (GBP)MasaaUTC / (GMT)\nSummer: UTC +1 (BST)Ua la Taifa Waridi ya Tudor (nyekundu, nyeupe)Mtakatifu wa kitaifa Mt George", "question_text": "Uingereza ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "50.1 millioni", "start_byte": 416, "limit_byte": 429}]} {"id": "8053342935478837847-0", "language": "swahili", "document_title": "Bata-miti", "passage_text": "\nMabata-miti au Dendrocygninae ni nusufamilia ya familia ya Anatidae yenye jenasi moja tu, Dendrocygna. Waainishaji wengine wanawaweka ndani ya familia yao wenyewe Dendrocygnidae au ndani ya kabila Dendrocygnini ya familia ndogo Anserinae. Leo kuna spishi nane za mabata-miti na visukuku vya spishi ingine vimefunuliwa kisiwani kwa Aitutaki, Visiwa vya Cook. Wanaitwa mabata-miti kwa sababu hujenga matago yao pengine ndani ya miti. Lakini kwa Kiingereza wanaitwa “whistling ducks” sikuhizi kwa sababu ya sauti yao kama mluzi. Mabata hawa wanatokea popote kwa kanda za tropiki na nusu-tropiki. Wana miguu mirefu na shingo refu na wanapenda kuwa pamoja. Makundi makubwa ya ndege hawa huonekana maziwani.", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya bata ni ipi?", "answers": [{"text": "Dendrocygninae", "start_byte": 16, "limit_byte": 30}]} {"id": "-7937232441750414629-2", "language": "swahili", "document_title": "Kiuzbeki", "passage_text": "Kiuzbeki ni lugha rasmi nchini Uzbekistan ambako kuna wasemaji milioni 21.", "question_text": "Je, lugha rasmi ya Uzbekistan ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiuzbeki", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "-40538317383865633-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Mji mkuu was Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 229, "limit_byte": 235}]} {"id": "-3174336875034874530-2", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Mwanzoni nchi zilikuwa 51 lakini kufikia mwaka 2017 kulikuwa na nchi wanachama 193, mbali ya Ukulu mtakatifu (Vatikani) na Palestina ambazo zinashiriki kama watazamaji wa kudumu, zikiwa na haki karibu zote isipokuwa kupiga kura. ", "question_text": "Je,shirika la umoja wa kimataifa ina wanachama wangapi?", "answers": [{"text": "193", "start_byte": 79, "limit_byte": 82}]} {"id": "-7036816999611338896-0", "language": "swahili", "document_title": "Elia Bombarone", "passage_text": "Elia Bombarone wa Cortona (labda Bevilia karibu Assisi, 1180 hivi; Cortona, 22 Aprili 1253) alikuwa mfuasi wa Fransisko wa Asizi ambaye alimteua kuwa makamu wake. Baada ya uongozi wa Yohane Parenti, Elia alichaguliwa kuongoza tena utawa wa Ndugu Wadogo. ", "question_text": "Je,Elia Bombarone wa Cortona alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1180", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "-2241207465026246611-0", "language": "swahili", "document_title": "Idi Amin", "passage_text": "\n\nIdi Amin Dada (/ˈiːdi ɑːˈmiːn/;  1923–1928 – 16 Agosti 2003) alikuwa mwanasiasa na afisa wa jeshi ambaye alipata kuwa Rais wa Uganda kuanzia mwaka 1971 hadi 1979. Alitawala kidikteta ilhali uchumi wa nchi uliporomoka na makosa mengi ya jinai dhidi ya haki za kibinadamu yalitendwa.", "question_text": "Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Uganda?", "answers": [{"text": "Idi Amin Dada", "start_byte": 2, "limit_byte": 15}]} {"id": "-3365747032325897192-2", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Shamu", "passage_text": "Ghuba yote ina urefu wa takriban 2000km; upana wake ni kati ya 300km na 20km tu kwenye Bab el Mandeb. Eneo lake ni 450,000km². Vilindi vyake vinaelekea hadi 2500m chini ya uwiano wa bahari. Vilindi hivi ni sehemu ya Bonde la Ufa. Halijoto ya maji ni kati ya 21-25°C.", "question_text": "Bahari ya Shamu ina kina kiasi gani?", "answers": [{"text": "2500m", "start_byte": 158, "limit_byte": 163}]} {"id": "2736929107392256362-25", "language": "swahili", "document_title": "Ureno", "passage_text": "Ureno ilitajirika kutokana na biashara kati ya India, Asia na Ulaya. Wareno walijenga vituo kama vile maboma ya Msumbiji na Mombasa (Kenya) wakiwa mabwana wa pwani ya Afrika ya Mashariki. ", "question_text": "Je, Iberia ipo katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 62, "limit_byte": 67}]} {"id": "3177810086160925753-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "\nKanisa Katoliki likiwa la zamani (Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki wanashiriki sifa hiyo) na kubwa kuliko madhehebu yote ya Ukristo, historia yake inashika sehemu muhimu ya historia ya Kanisa lote duniani tangu lilipoanza mwaka 30 hivi BK hadi leo.", "question_text": "Je,dini ya Katoliki ilianza lini?", "answers": [{"text": "mwaka 30 hivi BK", "start_byte": 232, "limit_byte": 248}]} {"id": "-2011164082282072455-0", "language": "swahili", "document_title": "Steve Tilson", "passage_text": "Stephen Brian \"Steve\" Tilson (amezaliwa 27 Julai 1966 mjini Wickford,Uingereza) ni meneja wa kandanda nchin Uingereza na ni mchezaji wa kandanda wa zamani. Hivi sasa yeye anasimamia timu ya Southend United, ambayo hucheza katika Ligi ya Uingereza ya Daraja la Pili.", "question_text": "Je, Stephen Brian \"Steve\" Tilson alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1966", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}]} {"id": "6698219227167735724-2", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAlizaliwa nchini Austria mwaka 1889. Wazazi wake walikuwa mtumishi wa forodha ya Austria Alois Hitler na mama yake Klara aliyekuwa mke wa tatu wa Alois. ", "question_text": "Je,Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1889", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "-2947107377613569468-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukambi", "passage_text": "Ukambi (au surua) ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano yanayosababishwa na virusi vya ukambi.[1][2]", "question_text": "Ukambi ni nini?", "answers": [{"text": "ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano yanayosababishwa na virusi vya ukambi", "start_byte": 21, "limit_byte": 112}]} {"id": "695353648853687291-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Je mlima Everest inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 453, "limit_byte": 457}]} {"id": "-2134730734115784341-1", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Kakamega", "passage_text": "Ikiwa ni pamoja na hifadhi ya wanyama pori, misitu huu umezingira takribani kilomita 230 za mraba, ambapo ni chini ya nusu ambayo kwa sasa inabakia kama misitu ya asili. Kuna maeneo mengi nyasi ilikokatwa na maeneo yaliyo bure Utajiri wa msitu huu kwa aina tofauti za ndege, wadudu na wanyama wa aina ya reptiles huifanya kuwa kivutio kikuu cha watalii wanaopenda kutazama ndege wapiga picha za wanyamapori. Hakuna shughuli kuu za kiutalii na Msitu Kakamega siyo kivutio kikuu cha watalii. Wanyama wakubwa ni nadra. Sehemu ya msitu pia ina makaazi ya wanyama ya kipekee ya aina ya nyanda za juu, lakini kwa ujumla, mimea na wanyama kwenye Msitu huu hazichapta kuchambuliwa kwa upana na sayansi. Hali ya hewa ni ya mvua sana kukiweko za zaidi ya mita mbili za mvua kwa mwaka. Misimu za mvua ni Aprili hadi Mei na Agosti hadi Septemba.", "question_text": "Je,Msitu wa Kakamega ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita 230", "start_byte": 78, "limit_byte": 90}]} {"id": "1176263266248181282-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,Ndovu anaweza ishi kwa takriban miaka ngapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "-6929895823162463763-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Benin112,62010,782,000Porto-Novo Burkina Faso274,20018,450,000Ouagadougou Cabo Verde4,033525,000Praia Côte d'Ivoire (8)322,46023,326,000Abidjan, Yamoussoukro Gambia11,3002,022,000Banjul Ghana239,46027,714,000Accra Guinea245,85710,935,000Conakry Guinea-Bissau36,1201,788,000Bissau Liberia111,3704,046,000Monrovia Mali1,240,00017,796,000Bamako Mauritania1,030,7003,632,000Nouakchott Niger1,267,00018,880,000Niamey Nigeria923,768184,000,000Abuja Saint Helena (Uingereza)4104,000Jamestown Senegal196,19014,150,000Dakar Sierra Leone71,7406,513,000Freetown Togo56,7857,065,000Lomé Sahara ya Magharibi (Moroko) (9)266,000509,000El AaiúnTotal30,368,6091,153,308,000", "question_text": "Jamestown ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "410", "start_byte": 558, "limit_byte": 561}]} {"id": "64485650794751221-0", "language": "swahili", "document_title": "Papa Gregori I", "passage_text": "Papa Gregori I (Roma, Italia, takriban 540 – Roma, 12 Machi 604) alikuwa papa kuanzia 3 Septemba 590 hadi kifo chake.", "question_text": "Je, papa Gregori alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "540", "start_byte": 39, "limit_byte": 42}]} {"id": "-7487606934078464274-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Je,mjii mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 352, "limit_byte": 358}]} {"id": "2518595932896471278-0", "language": "swahili", "document_title": "Sun Yat-sen", "passage_text": "\nSun Yat-sen (12 Novemba 1866 – 12 Machi 1925) alikuwa kiongozi wa kisiasa nchini China aliyeshiriki katika mapinduzi ya China ya 1911 yaliyoondoa utawala wa kifalme nchini akawa rais wa kwanza wa Jamhuri ya China na mwanzilishi wa chama cha Kuomintang.", "question_text": "Nani alikuwa rais wa kwanza wa China?", "answers": [{"text": "Sun Yat-sen", "start_byte": 1, "limit_byte": 12}]} {"id": "7458742945450681728-9", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "\nJamii:Nchi za Asia\nJamii:Maeneo ya Biblia\nJamii:Mashariki ya Kati", "question_text": "Je,Israeli iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "7944168321005684074-5", "language": "swahili", "document_title": "Apollo 11", "passage_text": "Mnamo 20 Julai 1969 Armstrong na Aldrin walikuwa wanadamu wa kwanza kutua kwenye Mwezi wakati Collins akibaki kwenye obiti karibu na mwezi.", "question_text": "Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwaje?", "answers": [{"text": "Armstrong na Aldrin", "start_byte": 20, "limit_byte": 39}]} {"id": "-2917587138787137232-0", "language": "swahili", "document_title": "Bujumbura", "passage_text": "Bujumbura, ni mji mkuu wa Burundi unaokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi 300,000. Mji upo kaskazini mashariki mwa Ziwa Tanganyika, na ni mji mkubwa zaidi Burundi, kitovu cha mawasiliano na uchumi nchini humo. ", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi?", "answers": [{"text": "Bujumbura", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "-6399220332563120393-39", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Mwaka 1993 uongozi wa Kitutsi ulikubali tena uchaguzi huru ambako Mhutu Melchior Ndadaye alichaguliwa kuwa rais. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Burundi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Melchior Ndadaye", "start_byte": 72, "limit_byte": 88}]} {"id": "-8975385848525933376-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Je, msitu mkubwa zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "-7046847213946120571-4", "language": "swahili", "document_title": "Chunusi", "passage_text": "Jeni zinakadiriwa kusababisha asilimia 80 za visa hivi.[2] Si dhahiri kama lishe husababisha hali hii.[2] Hakuna ushahidi wa manufaa ya usafi wala miale ya jua.[2]", "question_text": "Chanzo kuu cha chunusi ni gani?", "answers": [{"text": "Jeni", "start_byte": 0, "limit_byte": 4}]} {"id": "-8283949030496124608-2", "language": "swahili", "document_title": "Google", "passage_text": "Tovuti ni mali ya kampuni Google Inc. ya Marekani, lakini kampuni mama ni Alphabet Inc.. Kampuni ilianzishwa na Larry Page and Sergey Brin mwaka 1998, wakati walipokuwa wanafunzi wa chuo kikuu. ", "question_text": "Je,tovuti ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1998", "start_byte": 145, "limit_byte": 149}]} {"id": "5228749861302043858-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je,Bahari Hindi ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "8497593869660183302-7", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Uturuki iliamua 1923 kuhamisha mji mkuu kutoka Istanbul kwenda Ankara. Istanbul iliwahi kuwa kwa karne nyingi mji wa Masultani tena mji wa kimataifa; mapinduzi ya 1923 yalimaliza utawala wa sultani na kutangaza Uturuki kuwa jamhuri. Pia Istanbul imekuwa kandokando ya eneo la Uturuki baada ya vita kuu ya kwanza kwa sababu sehemu za magharibi zilikuwa zimepotea na kuchukuliwa na Wagiriki na Wabulgaria. Hivyo Ankara iliteuliwa iliyoko katikati ya Uturuki mpya baada ya vita.", "question_text": "Mji mkuu wa Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Ankara", "start_byte": 63, "limit_byte": 69}]} {"id": "-8855934002072434385-2", "language": "swahili", "document_title": "Robert Baden-Powell", "passage_text": "Baden-Powell alizaliwa kama Robert Stephenson Smyth Powell katika Stanhope Street 6 (sasa Stanhope Terrace), Paddington huko London, mnamo 22 Februari 1857. Aliitwa Stephe (aitwaye \"Stevie\") na familia yake. baada ya godfather yake, Robert Stephenson, mhandisi wa reli na wa kiraia; [11] jina lake la tatu lilikuwa jina la mke wa mama yake.", "question_text": "Robert Baden-Powell alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Stanhope Street 6 (sasa Stanhope Terrace), Paddington huko London", "start_byte": 66, "limit_byte": 131}]} {"id": "-5038117890944874604-3", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "1973 hadi 1978 alisoma fizikia kwenye chuo kikuu cha Leipzig. 1977 alifunga ndoa na mwanafunzi mwenzake Ulrich Merkel lakini ndoa hii ilitalikiwa 1982, ni hapa alipopata jina lake. Tangu 1978 aliajiriwa kwenye Taasisi Kuu kwa Kemia ya Kifizikia katika Berlin ya Mashariki. Hapa alimaliza tasnifu ya uzamifu mwaka 1986 iliyokubaliwa kwa heshima kuu \"magna cum laude\". Aliendelea na kazi kweye taasisi ya kemia ya kichanganuzi.", "question_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel alisomea chuo gani kikuu?", "answers": [{"text": "Leipzig", "start_byte": 53, "limit_byte": 60}]} {"id": "-1847708867248118436-14", "language": "swahili", "document_title": "Bara la Antaktiki", "passage_text": "Eneo lake ni zaidi ya kilomita za mraba milioni 14, hivyo ni bara la tano duniani kwa ukubwa. ", "question_text": "Bahari la Atlantiki liko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "14", "start_byte": 48, "limit_byte": 50}]} {"id": "-1746551238560378109-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Mlima kilimanjaro iko wapi?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 77, "limit_byte": 85}]} {"id": "4294959788996493114-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Tanzania ina mikoa ngapi?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "6032263096485478654-9", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Jina la Elementi)Kiingereza (IUPAC)AlamaNamba atomiaUzani atomia\n[u]Densiti\n[kg/m³] (20°C)Kiwango \ncha kuyeyuka\n(°C)Kiwango \ncha kuchemka\n(°C)Iligunduliwa\nmwakaKutambuliwa naAktiniactiniumAc89227,0310070104731971899DebierneAluminialuminiumAl1326,982700660,524671825ØrstedAmerikiamericiumAm95243,061367099426071944SeaborgStibiantimonySb51121,756690630,71750zamani(?)ArigoniargonAr1839,941,66 -189,4 −189,4 -185,9 −185,91894Ramsay,\n StruttAsenikiarsenicAs3374,925720613 2)6132)11. Jhd.Albertus MagnusAstatiniastatineAt85209,993023371940SegrèBaribariumBa56137,33365072516401808DavyBerkeliberkeliumBk97247,07132509861949SeaborgBeriliberylliumBe49,011850127829701797VauquelinBismuthibismuthBi83208,989800271,415601540AgricolaBoribohriumBh107262,121976OganessianBoroniboriumB510,812460230025501808Davy,\n Gay-LussacBromibromineBr\n3579,903140 -007,3−7,358,81826BalardKadimicadmiumCd48112,4186403217651817Stromeyer und \n HermannSizicesiumCs55132,91190028,46901860Kirchhoff, \n BunsenKalisicalciumCa2040,078154083914871808DavyKalifonicaliforniumCf98251,08151009001950SeaborgSericeriumCe58140,11677079832571803von Hisinger, BerzeliusKlorinichlorineCl1735,452,95 -101−101 -034,6 −34,61774ScheeleKromichromiumCr2452,007140185724821797VauquelinKobalticobaltCo2758,9338890149528701735BrandtKuricuriumCm96247,0713510134031101944SeaborgDarmstatidarmstadtiumDs1102691994GSIDubnidubniumDb105262,111967/70GhiorsoDisprosiDisprosiDy66162,58560140923351886Lecoq de BoisbaudranEinsteinieinsteiniumEs99252,088601952SeaborgFeri (chuma) (chuma)ironFe2655,85787015352750zamani(?)ErbierbiumEr68167,269050152225101842MosanderEuropieuropiumEu63151,96525082215971901DemarçayFermifermiumFm100257,101952SeaborgFloriniflourineF919,001,58 -219,6−219,6 -188,1 −188,11886MoissanFransifranciumFr87223,02276771939PereyGadolinigaboliniumGd64157,257890131132331880de MarignacGaligalliumGa3169,72591029,824031875Lecoq de BoisbaudranGermanigermaniumGe3272,615320937,428301886WinklerAuri (dhahabu)goldAu79196,97193201064,42940zamani(?)HafniHf72178,4913310215054001923Coster, \n de HevesyHassiHs108265,001984GSIHeliHe24,000,170 -272,2−272,2 -268,9 −268,91895Ramsay,\n CrookesHolmi ?holmiumHo67164,938780147027201878SoretHidrojenihydrogenH11,010,084 -259,1 −259,1 -252,9 −252,91766CavendishIndiindiumIn49114,827310156,220801863Reich,\n RichterIodiniiodineI53126,904940113,5184,41811CourtoisIridiiridiumIr77192,2222560241041301803TennantKalipotassiumK1939,09886063,77741807DavyKabonicarbonC612,011351035504827zamani(?)KriptonikryptonKr3683,803,48 -156,6−156,6 -152,3−152,31898Ramsay,\n TraversKupricopperCu2963,5589201083,52595zamani(?)LanthaniLa57138,90616092034541839MosanderLawirensilawrenciumLr103260,1016271961GhiorsoLithiLi36,94530180,513171817ArfwedsonLutetiLu71175,009840165633151907von Welsbach,\n UrbainMagnesiMg1224,301740648,811071828BussyManganisiMn2554,907440124420971774GahnMaitnirimeitneriumMt1092661982GSIMendelevimedeleviumMd101258,11955SeaborgMolibdenimolybdenumMo4295,9410280261755601778ScheeleNatrisodiumNa1122,9997097,88921807DavyNeodimineodynNd60144,247000101031271895von WelsbachNeonineonNe1020,180,84 -248,7 −248,7 -246,1 −246,11898Ramsay\n TraversNeptunineptuniumNp93237,052048064039021940McMillan\n AbelsonNikelinickelNi2858,698910145327321751CronstedtNiobiniobiumNb4192,918580246849271801HatchetNitrojeninitrogenN714,011,170 -209,9 −209,9 -195,8 −195,81771ScheeleNobelinobeliumNo102259,101958SeaborgOsmiosmiumOs76190,222590304550271803TennantPaladipalladiumPd46106,4212020155231401803WollastonPlumbileadPb82207,211340327,51740zamani(?)PosforiphosphorusP1530,971820442801669BrandPlatiniplatiniumPt78195,0821450177238271557ScaligerPlutoniplutoniumPu94244,061974064133271940SeaborgPolonipoloniumPo84208,9892002549621898Marie CuriePraseodimipraseodymiumPr59140,91648093132121895von WelsbachPromethipromethiumPm61146,927220108027301945MarinskyProtaktiniprotactiniumPa91231,0415370155440301917Fajans\n Hahn,\n MeitnerHidrajirimercuryHg80200,5913550 -038,9 −38,9356,6zamani(?)Radi (elementi)radiumRa88226,03550070011401898Marie und\n Pierre CurieRadoniradonRn86222,029,23 -071 −71 -061,8 −61,81900DornRenirheniumRe75186,2121030318056271925Noddack,\n Tacke,\n BergRodirhodiumRh45102,9112410196637271803WollastonRentgeniRg1112721994GSIRubidiRb3785,451530396881861Bunsen,\n KirchhoffRutheniRu44101,0712450231039001844ClausRutherfordiRf104261,111964/69GhiorsoSamariSm62150,367540107217781879Lecoq de BoisbaudranOksijenioxygenO816,001,33 -218,4 −218,4 -182,9 −182,91774Priestley,\n ScheeleSkandiscandiumSc2144,962990153928321879NilsonSulfurisulfurS1632,072060113444,7zamani(?)SiborgiseaborgiumSg106263,121974OganessianSeleniSe3478,9648202176851817BerzeliusAgentisilverAg47107,8710490961,92212zamani(?)SilikonisiliconSi1428,092330141023551824BerzeliusStanitinSn50118,7172902322270zamani(?)StrontistrontiumSr3887,62263076913841798KlaprothTantalitantalumTa73180,9516680299654251802EkebergTekinetitechnetiumTc4398,9111490217250301937SegrèTelurotelluriumTe52127,66250449,69901782von ReichensteinTaribiterbiumTb65158,938250136030411843MosanderTalithalliumTl81204,3811850303,614571861CrookesThorithoriumTh90232,0411720175047871829BerzeliusThulithuliumTm69168,939320154517271879CleveTitanititaniumTi2247,884510166032601791Gregor,\n KlaprothUnunbiununbiumUub1122771996GSIUnunheksiununhexiumUuh1162892000JINRUnunoktiununoctiumUuo1182932006JINRUnunpentiununpentiumUup1152882006JINRUnunkadiununquadiumUuq1142891999JINRUnuntriununtriumUut1132872006JINRUraniuraniumU92238,03189701132,438181789KlaprothVanadivanadiumV2350,946090189033801801del RíoWolframitungstenW74183,8519260340759271783Fausto und Juan\n de ElhuyarYitebiytterbiumYb70173,04697082411931878de MarignacYitriyttriumY3988,914470152333371794GadolinZinkizincZn3065,397140419,6907zamani(?)ZenonixenonXe54131,294,49 -111,9 −111,9 -107,0 −1071898Ramsay, \n TraversZirikonizirconiumZr4091,226510185243771789Klaproth", "question_text": "Fomula ya kikemia ya zebaki ni ipi?", "answers": [{"text": "Hg", "start_byte": 3938, "limit_byte": 3940}]} {"id": "834676340581378751-0", "language": "swahili", "document_title": "Wagikuyu", "passage_text": "Wagikuyu (pia: Wakikuyu) ni kabila kubwa nchini Kenya lenye watu milioni 7.5 au asilimia 22 za Wakenya wote. Wenyewe hujiita Agĩkûyû. Neno Gikuyu linatokana na mti wa mkuyu (kwa Kik: mũkũyũ). Lakabu ya Wakikuyu ni Nyũmba ya Mũmbi, tafsiri yake ikiwa ni: nyumba ya Muumba.", "question_text": "Kuna takriban wakikuyu wangapi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "milioni 7.5", "start_byte": 65, "limit_byte": 76}]} {"id": "-3795583199681968120-24", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Sehemu kubwa ya eneo la sasa la kusini na kati mwa Ghana ilikuwa imeungana chini ya Himaya ya Ashanti ya Waashanti, tawi la Waakan wa karne ya 16.", "question_text": "Waashanti ni watu wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Ghana", "start_byte": 51, "limit_byte": 56}]} {"id": "6753000304353280070-0", "language": "swahili", "document_title": "Kipepeo", "passage_text": "\nVipepeo ni ndumili (hali ya mwisho ya metamofosisi) za wadudu wa oda ya Lepidoptera. ", "question_text": "Ndumili ni nini?", "answers": [{"text": "hali ya mwisho ya metamofosisi", "start_byte": 21, "limit_byte": 51}]} {"id": "2148976701821088729-3", "language": "swahili", "document_title": "Krismasi", "passage_text": "Krismasi inatokana na neno la Kiingereza lenye maana ya \"Christ`s Mass\" yaani misa au ibada ya Kristo.", "question_text": "Jina Krismasi linatokana na nini?", "answers": [{"text": "neno la Kiingereza lenye maana ya \"Christ`s Mass\" yaani misa au ibada ya Kristo", "start_byte": 22, "limit_byte": 101}]} {"id": "6557898014657998249-1", "language": "swahili", "document_title": "Calgary Sun", "passage_text": "Lilichapishwa kwa mara ya kwanza katika mwaka wa 1980, gazeti hili huchapishwa katika mtindo sawa na tabloid na lilichukua nafasi ya gazeti la hapo awali,The Albertan, baada ya kununuliwa na wachapishaji wa Toronto Sun.", "question_text": "Je,gazeti la Calgary Sun kilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}]} {"id": "6572873959892281893-0", "language": "swahili", "document_title": "Jefferson Montero", "passage_text": "Jefferson Antonio Montero Vite (alizaliwa Babahoyo, mkoa wa Los Ríos, 1 Septemba 1989) ni mchezaji wa soka wa Ecuadorian ambaye anacheza kama winga katika klabu ya Welsh Welsh Swansea na timu ya taifa ya Ecuador.", "question_text": "Jefferson Antonio Montero alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Babahoyo, mkoa wa Los Ríos", "start_byte": 42, "limit_byte": 69}]} {"id": "-8469687104844910392-0", "language": "swahili", "document_title": "How to Stop an Exploding Man", "passage_text": "\"How to Stop an Exploding Man\" ni sehemu ya ishirini na tatu na mwisho ya msimu wa kwanza wa mfululizo wa kipindi cha ubunifu wa kisayansi kinachorushwa hewani na televisheni ya NBC, Heroes. Sehemu hii ilitungwa na Tim Kring na kuongozwa na Allan Arkush. Kipengele ndiyo cha mwisho katika vipande vitatu vya mwisho katika msimu wa kwanza.[1]", "question_text": "How to Stop an Exploding Man ni sehemu ya ishirini na tatu ya kipindi gani?", "answers": [{"text": "Heroes", "start_byte": 183, "limit_byte": 189}]} {"id": "2122045150920512890-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyota", "passage_text": "\nNyota kwa mang'amuzi na lugha ya kawaida ni nuru ndogo zinazoonekana angani wakati wa usiku. ", "question_text": "Nyota ni nini?", "answers": [{"text": "nuru ndogo zinazoonekana angani wakati wa usiku", "start_byte": 45, "limit_byte": 92}]} {"id": "-7747220992089516994-0", "language": "swahili", "document_title": "Johann Bayer", "passage_text": "\nJohann Bayer (1572 – 7 Machi 1625) alikuwa mwanasheria na mwanaastronomia kutoka nchi ya Ujerumani. Alianzisha mfumo unaotumika hadi leo wa kutaja mahali pa nyota angani kufuatana na kundinyota na uangavu unaoonekanaMwangaza unaoonekana. Majina ya Bayer hutumiwa kwa nyota angavu zinazoonekana vema kwa macho matupu. ", "question_text": "Je,Johann Bayer alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1572", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "883273844702018829-0", "language": "swahili", "document_title": "Nyungunyungu", "passage_text": "\nNyungunyungu ni wanyama wadogo wenye umbo la neli wa oda Megadrilacea katika faila Annelida. ", "question_text": "Nyungunyungu ni nini?", "answers": [{"text": "wanyama wadogo wenye umbo la neli wa oda Megadrilacea katika faila Annelida", "start_byte": 17, "limit_byte": 92}]} {"id": "-6542508299688761249-0", "language": "swahili", "document_title": "Transparency International", "passage_text": "Transparency International (kifupi TI) ni Shirika Lisilo la Kiserikali la kimataifa lenye shabaha ya kupambana dhidi ya rushwa na hongo kote duniani. Makao makuu yako Berlin (Ujerumani).", "question_text": "Makao makuu ya shirika la Transparency International yako wapi?", "answers": [{"text": "Berlin", "start_byte": 167, "limit_byte": 173}]} {"id": "2457154734792695851-0", "language": "swahili", "document_title": "Wimbi", "passage_text": "Wimbi kwa lugha ya kawaida ni mwendo unaonekana kwenye uso wa maji tukitembea ufukoni mwa bahari. Kwa lugha ya fizikia wimbi halihusu maji pekee bali ni jambo linaloweza kutokea katika kila kitu. ", "question_text": "Mawimbi ni nini?", "answers": [{"text": "mwendo unaonekana kwenye uso wa maji tukitembea ufukoni mwa bahari", "start_byte": 30, "limit_byte": 96}]} {"id": "-5648569088168533693-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald Gordon (Mfanyibiashara)", "passage_text": "Donald Gordon, CC, CMG (11 Desemba 1901 - 2 Mei 1969) alikuwa mfanyibiashara wa Kanada na rais wa zamani wa Shirika la Kitaifa la reli la Kanada (Canadian National Railway - CNR) kutoka mwaka wa 1950 hadi mwaka wa 1966.", "question_text": "Donald Gordon alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1901", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "-5213355301901022100-1", "language": "swahili", "document_title": "Nile", "passage_text": "Mto wa Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu ‏ ,النيل‎ an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650. ", "question_text": "Je,mto Nile iko ina urefu wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "km 6,650", "start_byte": 345, "limit_byte": 353}]} {"id": "-3139986761923502754-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Kilimanjaro", "passage_text": "Mkoa wa Kilimanjaro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 25000[1]. Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu kupita yote barani Afrika, umo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro. Jina la mlima huu ndilo limeupatia mkoa jina lake. ", "question_text": "Mlima mkubwa katika mkoa wa Kilimanjaro unaitwaje?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 90, "limit_byte": 101}]} {"id": "-8880193377582889400-0", "language": "swahili", "document_title": "Mapinduzi ya Ufaransa", "passage_text": "\nMapinduzi ya Ufaransa (kwa Kifaransa: Révolution française) ni jina linalojumlisha matukio muhimu ya siasa kwa kipindi cha miaka 10, tangu 1789 hadi 1799, yaliyobadilisha uso wa Ufaransa na utamaduni wa Ulaya kwa jumla, kiasi cha kuhesabiwa kati ya matukio makuu ya historia yote.[1][2][3]", "question_text": "Mapinduzi ya Kifaransa yalifanyika mwaka gani?", "answers": [{"text": "1789 hadi 1799", "start_byte": 142, "limit_byte": 156}]} {"id": "-367114383650917378-1", "language": "swahili", "document_title": "Steven Frayne", "passage_text": "Frayne alizaliwa huko Bradford, England kwa mama wa Kiingereza na baba wa asili ya Pathani. Anasumbuliwa na ugonjwa wa Crohn, ambao umemfanya awe mdogo wa kimo katika hali yake maisha yake yote. Alifadhaika kama mtoto, na moja ya mbinu za kwanza za mazingaombwe alizojifunza ni kitu ambacho babu yake alimfundisha kufanya hivyo inaonekana kanakwamba alikuwa mzito sana vilekwamba watoto wenzake walishindwa kumnyanyua .", "question_text": "Steven Frayne alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Bradford, England", "start_byte": 22, "limit_byte": 39}]} {"id": "8575475132860022738-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi Afrika ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "9185444883869830417-1", "language": "swahili", "document_title": "Kiini cha atomu", "passage_text": "Atomu ni chembe ndogondogo zinazounda na kutofautisha elementi mbalimbali kama vile oksijeni, chuma au kaboni. Kila kitu, kama ni gimba mango, gesi au kiowevu, kinaundwa na chembechembe ndogo. Kama kina elementi moja tu, kuna atomu za aina moja tu ndani yake. Vitu vingi vinaundwa na muungano wa elementi tofauti kwa mfano maji kwa oksijeni na hidrojeni. Hapo atomu tofauti zinaunganishwa kuwa molekyuli. Hizi molekyuli ni muungano wa elementi za aina tofauti (\"kampaundi\": kutoka Kiingereza \"compounds\"). Chembe ndogo ya kila elementi huitwa atomu. Kila elementi ina atomu za aina yake kulingana na asili yake. ", "question_text": "Atomu ni nini?", "answers": [{"text": "chembe ndogondogo zinazounda na kutofautisha elementi mbalimbali kama vile oksijeni, chuma au kaboni", "start_byte": 9, "limit_byte": 109}]} {"id": "6284348140772307748-4", "language": "swahili", "document_title": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum", "passage_text": "Sheikh Maktoum bin Rashid Al Maktoum alifariki asubuhi ya 4 Januari 2006, baada ya 'heart attack' kama amekaa katika hoteli ya Palazzo Versace iliyo katika Gold Coast, Queensland, Australia. Nafasi yake ilichukuliwa na ndugu yake, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum kama mtawala wa Dubai.", "question_text": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum alifariki wapi?", "answers": [{"text": "hoteli ya Palazzo Versace iliyo katika Gold Coast, Queensland, Australia", "start_byte": 117, "limit_byte": 189}]} {"id": "1173111379205361332-1", "language": "swahili", "document_title": "Dwight D. Eisenhower", "passage_text": "Dwight Eisenhower alizaliwa tarehe 14 Oktoba, mwaka wa 1890, kama mtoto wa tatu wa David na Ida Eisenhower katika mji wa Denison, Texas. Watoto wote saba walikuwa wavulana, majina yao: Arthur, Edgar, Dwight, Roy, Paul (aliyefariki utotoni na dondakoo), Earl, na Milton. Kabla Dwight hajafikisha umri wa mwaka mmoja, wazazi wake walihamia mji wa Abilene, Kansas, ambapo alilelewa na kuhitimu shule. Baada ya kufanya kazi mbalimbali za mikono, alifaulu mtihani wa kuingia chuo cha kijeshi cha Westpoint ambapo alihitimu mwaka wa 1915.", "question_text": "Je,Dwight David Eisenhower alizikwa wapi?", "answers": [{"text": "Denison, Texas", "start_byte": 121, "limit_byte": 135}]} {"id": "7384326004850522199-1", "language": "swahili", "document_title": "Fransisko wa Asizi", "passage_text": "Alizaliwa mwaka 1181 au 1182 mjini Assisi, Italia; alifariki tarehe 3 Oktoba 1226 karibu na mji ule.", "question_text": "Je, Fransisko wa Asizi alizaliwa katika karne gani?", "answers": [{"text": "1181 au 1182", "start_byte": 16, "limit_byte": 28}]} {"id": "-2828707256070460962-4", "language": "swahili", "document_title": "Akwilina Akwilini", "passage_text": "Baada ya masiku kupita na ndugu wa familia kutaka kujua chanzo cha umauti wa binti yao, ripoti ikaja amepigwa na ncha kali. Majibu ambayo wengi hawakuyapenda. Baada ya joto kuwa kubwa mtandaoni wakihoji uhalali wa majibu mepesi kwa maswali mazito, ndipo jibu lilipotoka ya kwamba chanzo ni risasi iliyopigwa hewani na kupoteza mwelekeo.[8] Taarifa za awali zilikuwa zinasema ya kwamba suala la uchunguzi litachukua takribani siku 14, ndipo walipoazimia kuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya maandalizi ya maziko huku wakisubiri ripoti ya mwisho. Baada ya majadiliano ya ndani ya familia, walikuja na bajeti ya shilingi za Kitanzania milioni themanini lakhi moja na elfu hamsini (80,150,000). Bajeti hii ilizua taharuki kubwa mno mtandaoni. Wengine waliona kama usanii, wengine kufa kufaana, na wengine waliona kama vile kufanya mtaji suala la kuzika.[9]\nMchanganuo wa bajeti wa bajeti hiyo ya familia unaonesha kuwa jeneza ni Sh milioni 1.5, malipo hospitali Sh 200,000, gari ya kusafirisha mwili Sh milioni 3, magari ya kusafirisha wafiwa makubwa matano Sh milioni 20, chakula njiani Sh milioni 3, chakula kwenye msiba Mbezi kwa siku tatu Sh milioni 10, viti 200 Sh 400,000. Turubai kwa siku tatu ni Sh 600,000, mwongoza shughuli Sh 400,000, picha Sh milioni 1 na maji ya kutumia nyumbani Sh 50,000. Kwa pande wa Rombo, Kilimanjaro, chakula kwa siku tano ni Sh milioni 30, muziki na mwongoza shughuli Sh 200,000, turubai Sh milioni 1, viti Sh 400,000, kinywaji cha mabora Sh 100,000, kaburi la kisasa Sh milioni 3, maua na mataji Sh milioni 1, mapambo Sh 500,000 na dharura na tahadhari Sh milioni 2.[10] Awali, ilionekana kama kuna mgomo baridi kutoka serikalini kuhusu kugharamia mazishi hayo kwa bajeti iliyotajwa, lakini baada ya muda kadhaa serikali iliridhia lakini kwa masharti ya kugharamia yenyewe mazishi na si kutoa fedha taslimu.[11][12] Baada ya mivutano mingi, hatimaye hatua ya maziko ya Akwilina yalianza Dar es Salaam katika viwanja vya chuo NIT tarehe 22 Februari 2018 kumuaga kwa watu wa DAR, halafu tarehe 23 Februari safari ya kwenda Rombo kwa maziko.[13]", "question_text": "Je,Akwilina Akwilini Bafta alizikwa wapi?", "answers": [{"text": "Rombo", "start_byte": 2059, "limit_byte": 2064}]} {"id": "-8355733297304313956-0", "language": "swahili", "document_title": "Thomas Edison", "passage_text": "\nThomas Alva Edison (11 Februari 1847 - 18 Oktoba 1931) alikuwa mvumbuzi mashuhuri na mfanyabiashara nchini Marekani. Aliboresha vifaa kama balbu ya umeme, mikrofoni na kugundua gramafoni. Utafiti na uvumbuzi wake ulihusu hasa mitambo ya umeme. Akajishughulisha pia na mtandao wa ugawaji wa umeme.", "question_text": "Balbu ilitengenezwa na nani?", "answers": [{"text": "Thomas Alva Edison", "start_byte": 1, "limit_byte": 19}]} {"id": "-2965387436180256480-19", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka huu wa 1956, Sudan na Tunisia vile vile walipata uhuru wao, na Ghana katika mwaka wa 1957, Guinea katika mwaka wa 1958, na vile vile Morocco wakarudishiwa Spanish Morocco.", "question_text": "Je,Ghana ilijipatia uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 98, "limit_byte": 102}]} {"id": "1832718373085635169-0", "language": "swahili", "document_title": "Maji", "passage_text": "\nMaji ni kimiminika ambacho ni kiini cha uhai wowote duniani na pia kiini cha utamaduni wa binadamu. Hakuna mtu anayeweza kuishi bila maji kwa sababu asilimia 50 - 65 za mwili wa mwanadamu ni maji. Hata miili ya mimea na wanyama kwa kiasi kikubwa ni maji. Pia katika dunia maji yamechukua karibu robo tatu ya eneo lake lote (71.11%). Kwa hiyo maji ni kitu cha msingi sana.", "question_text": "Kuna asilimia ngapi ya maji mwilini?", "answers": [{"text": "50 - 65", "start_byte": 159, "limit_byte": 166}]} {"id": "5880999926759097505-0", "language": "swahili", "document_title": "Benito Mussolini", "passage_text": "\nBenito Amilcare Andrea Mussolini (Dovia di Predappio, Romagna, 29 Julai 1883 - Dongo, Lombardia, 28 Aprili 1945) alitawala Italia kidikteta kati ya miaka 1922 na 1943.", "question_text": "Je, Benito Mussolini alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Romagna", "start_byte": 55, "limit_byte": 62}]} {"id": "335290074461794068-0", "language": "swahili", "document_title": "Laurent Kabila", "passage_text": "Laurent-Désiré Kabila (27 Novemba 1939 – 18 Januari 2001) alikwa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuanzia Mei 1997 hadi kuuawa 2001. Alifuatwa na mwanawe Joseph Kabila.", "question_text": "Nani aliteuliwa kama rais wa Zaire baada ya kifo cha Joseph-Désiré Mobutu?", "answers": [{"text": "Laurent-Désiré Kabila", "start_byte": 0, "limit_byte": 23}]} {"id": "2553885222440420862-6", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Funguvisiwa ya Hawaii ni jimbo la visiwani katika bahari ya Pasifiki. Ni jimbo la 50 na la mwisho mpaka sasa.", "question_text": "Je,Marekani ina mikoa ngapi?", "answers": [{"text": "jimbo la 50", "start_byte": 74, "limit_byte": 85}]} {"id": "-3293291135348651666-43", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 miongoni mwa wanaume waliokuwa wanaingiliana (mashoga) na miongoni mwa watu waliokuwa wanajidunga sindano katika jiji la New York na California. Baadaye maambukizi mengine yaligundulika pia kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika. Kwa haraka UKIMWI ukawa ugonjwa wa mlipuko duniani kote ukiathiri karibia kila nchi. Mpaka mwaka 2002, ilikadiriwa kuwa watu wazima wapato milioni 38.6 na watoto milioni 3.2 duania kote wanaishi na VVU au UKIMWI. Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limekadiria kuwa kutoka mwaka 1981 mpaka mwisho wa mwaka 2002 watu karibia milioni 20 walikuwa wamekufa kutokana na UKIMWI. Kiasi cha hao milioni 4.5 walikuwa ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.", "question_text": "Je,ukimwi uligunduliwa lini barani Afrika?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "-2110683985014470953-25", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Katika Burundi kikosi cha kwanza cha Kijerumani kilifika mnamo 1896 wakakuta ufalme wa mwami wakaridhika kumwacha mwakilishi mkazi (resident) katika mji mkuu Gitega ambaye hakuhusika na mambo ya utawala wa ndani. Wakati ule eneo lilijulikana kwa jina \"Urundi\". Hapa sawa na Rwanda na Bukoba Wajerumani walitumia mbinu ya eneo lindwa ingawa walikuwa pia na majadiliano kuingiza falme hizi za kienyeji moja kwa moja ndani ya koloni lao.", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi ni upi?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 159, "limit_byte": 165}]} {"id": "2622568935734079530-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Je,Malawi ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 316, "limit_byte": 320}]} {"id": "-966091475335648141-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Atlantiki ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 106,200,000", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}]} {"id": "3659508630211316775-1", "language": "swahili", "document_title": "Anthony Anderson", "passage_text": "Anderson alizaliwa mjini Los Angeles, California, akiwa kama mtoto wa Dora, mshughulikiaji simu na mwigizaji; baba yake wa kufikia, Sterling Bowman, ana miliki maduka mengi ya nguo.[1] Anderson ni mhitimu wa Los Angeles County High School for the Arts na [[Chuo Kikuu cha Howard. Amesoma na waigizaji wenzake kama vile Avery Brooks, Ruby Dee na Ossie Davis.[2]", "question_text": "Anthony Alexandre Anderson amesoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Howard", "start_byte": 272, "limit_byte": 278}]} {"id": "5180369385939899766-0", "language": "swahili", "document_title": "Thabo Mbeki", "passage_text": "Thabo Mvuyelwa Mbeki (amezaliwa 18 Juni 1942) alikuwa Rais wa nchi ya Afrika Kusini tangu 14 Juni 1999 hadi 24 Septemba 2008. Alimfuata Nelson Mandela.", "question_text": "Je,Thabo Mvuyelwa Mbeki alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "18 Juni 1942", "start_byte": 32, "limit_byte": 44}]} {"id": "-4566502685752063338-0", "language": "swahili", "document_title": "Ndimu", "passage_text": "Ndimu ni matunda ya mndimu (Citrus aurantiifolia), mti wa familia ya michungwa (Rutaceae). Umbo lake ni mduara wenye rangi ya majani mpaka manjano, na kipenyo cha sm 3-6. Zina ladha ya uchachu kwa sababu ya asidi ndani yao. Ndimu mara nyingi hutumika kuongeza ladha kwenye chakula na vinywaji. Kwa kawaida ni ndogo kuliko limau, na chanzo kizuri pia cha vitamini C. Katika kanda za tropiki na nusutropiki mindimu inaweza kumea mwaka wote kama maji yakiwapo. Ndimu ni chungu kidogo kuliko malimau.", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya tunda ya ndimu ni ipi?", "answers": [{"text": "Citrus aurantiifolia", "start_byte": 28, "limit_byte": 48}]} {"id": "5393265555674394546-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Je,Tanzania ina takriban idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "51,820,000", "start_byte": 382, "limit_byte": 392}]} {"id": "468610857199033557-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Hispania ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "zaidi ya watu milioni 44.395.286", "start_byte": 59, "limit_byte": 91}]} {"id": "5564589805328408671-0", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Dunia la FIFA 2018", "passage_text": "Kombe la Dunia la FIFA 2018 ilikuwa michuano ya 21 ya Kombe la Dunia la FIFA inayohusisha timu za taifa za wanaume katika mchezo wa soka. Michuano hii ilishirikisha timu za wanaume kutoka nchi mbalimbali duniani ambazo ni wanachama wa FIFA na hufanyika mara moja kila baada ya miaka minne. Ilifanyika nchini Urusi ikaanza tangu tarehe 14 Juni na kilele cha michuno hii kilikuwa 15 Julai 2018 ambapo timu zilizoingia fainali Ufaransa na Kroatia zilicheza kuamua bingwa wa dunia. Ufaransa ilishinda kwa 4:2.", "question_text": "Je,nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka 2018?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 478, "limit_byte": 486}]} {"id": "-2965501326040212975-0", "language": "swahili", "document_title": "Johann Paul Schor", "passage_text": "Johann Paul Schor (1615 - 1674), anajulikana katika jiji la Roma kama \"Giovanni Paolo Tedesco\" (jina hili Tedesco kwa Kiitalia linamaanisha Mjerumani). Johann alikuwa msanii kutoka nchi ya Austria. Alikuwa mzalishaji wa michoro ya kupamba katika Baroque Roma, akichora michoro ya vitanda, milipuko ya mapambo ya fedha, nguo na hata vyakula vya sukari. Hapo zamani michoro yake mingi ilihusishwa na Gian Lorenzo Bernini.", "question_text": "Johann Paul Schor alikuwa mzalishaji wa kitu gani?", "answers": [{"text": "michoro ya kupamba", "start_byte": 220, "limit_byte": 238}]} {"id": "7762467730930765113-1", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka 1922 na walowezi weupe wawili, George na Charles Hurst. Kampuni hii inamilikiwa na familia Dodd ya Kenya. Katika mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa wa kampuni walikuwa Wanakenya na kampuni hii ilifanikiwa sana.", "question_text": "Kampuni ya EABL ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-9027738919246016961-2", "language": "swahili", "document_title": "Nyumba ya Sanaa", "passage_text": "Nyumba ya Sanaa imeibua vipaji vya wasanii wengi sana kwa upande wa uchoraji na utengenezaji wa nguo za Batik. Miongoni mwa wasanii maarufu wajulikanao kitaifa na kimataifa walioibuliwa pale Nyumba ya Sanaa ni George Lilanga, Francis Patric Imanjama, Malaba, Ntila n.k", "question_text": "Patrick Francis Imanjama ni maarufu kwa kufanya kazi gani?", "answers": [{"text": "uchoraji na utengenezaji wa nguo za Batik", "start_byte": 68, "limit_byte": 109}]} {"id": "-1307236818420598269-37", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ufaransa", "passage_text": "Katika uchaguzi wa rais wa mwaka 2017 ilitokea kwa mara ya kwanza ya kwamba wagombea wa vyama vikubwa walishindwa kupata kura nyingi na awamu ya mwisho ya uchaguzi ilikuwa kati ya mgombea wa kujitegemea Emmanuel Macron (aliyepata urais) na Marie Le Pen wa Front National.", "question_text": "Rais wa Ufaransa ni nani?", "answers": [{"text": "Emmanuel Macron", "start_byte": 203, "limit_byte": 218}]} {"id": "-8956195769771237797-1", "language": "swahili", "document_title": "Gamalieli", "passage_text": "Muhimu zaidi ni Gamalieli mwingine, Gamalieli I au Gamalieli mzee, kiongozi wa Mafarisayo katika karne ya 1 B.K. Anatajwa katika Agano Jipya, ambayo ni sehemu ya pili ya Biblia ya Kikristo, kama mwalimu wa mtume Paulo aliyewatetea mitume wa Yesu. Mapokeo ya Ukristo yanamheshimu kama mtakatifu). Katika Talmud ya Uyahudi anatajwa kwa heshima kama Rabban Gamliel.", "question_text": "Je,Gamalieli alizaliwa katika karne gani?", "answers": [{"text": "1 B.K", "start_byte": 106, "limit_byte": 111}]} {"id": "817122092765108041-39", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Hata hivyo, baada ya kushinda wingi wa viti katika Bunge ya Kuunda Sheria mnamo 1952, Kwame Nkrumah aliachiliwa na kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Masuala ya Serikali. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ghana alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 86, "limit_byte": 99}]} {"id": "7161441487687616358-3", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "Walijiunga na kampuni ya kompyuta, malipo yao ikiwa ni kutumia tarakilishi yenye nguvu zaidi. Kazi yao ilikuwa ni kutafuta nukshi katika mitambo ya kompyuta, wakati huohuo waliweza kijifunza lugha mpya za kompyuta. Bill akaenda kwenye Chuo Kikuu cha Harvard. Kwa mara nyingine tena akajiunga pamoja na Paul kuandika toleo jipya la programu ya Msingi wa lugha ya kwanza ya kompyuta ya kibinafsi, iitwayo Altair 8800. Kampuni hiyo iliridhishwa na kazi ambayo Bill Gates na Paul Allen waliofanya na programu hiyo ikapewa leseni. Jambo hili liliwachangia Gates na Allen kuanzisha kampuni ya Microsoft, iliyokuwa ikitengenezea kampuni zingine programu. Bill Gates aliacha masomo yake katika chuo kikuu cha Harvard na kujishughulisha muda wake wote katika biashara.", "question_text": "Je,Bill Gates alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Harvard", "start_byte": 250, "limit_byte": 257}]} {"id": "2215104967884894918-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Je,2Pac alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "6391290554810891525-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Je Tupac Shakur alikuwa na miaka ngapi wakati wa kifo chake?", "answers": [{"text": "16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996", "start_byte": 21, "limit_byte": 52}]} {"id": "-3693880039926454044-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni ipi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "-9017604330081191068-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kiswahili", "passage_text": "Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki.", "question_text": "Lugha ya kiswahili ilitokea wapi?", "answers": [{"text": "pwani ya Afrika ya Mashariki", "start_byte": 67, "limit_byte": 95}]} {"id": "122432122420689177-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,mnyama mkubwa kabisa porini ni yupi?", "answers": [{"text": "Tembo", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "-3177829362902670571-9", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkubwa zaidi ni Lagos (mji mkuu wa zamani) ukiwa na wakazi 15,000,000. Kati ya miji mingine kuna Abuja, Kano, Ibadan, Oshogbo, Ilorin, Abeokuta, Ogbomosho na Port Harcourt.", "question_text": "Je,Lagos ina idadi ya takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "15,000,000", "start_byte": 63, "limit_byte": 73}]} {"id": "-2336633357929563497-1", "language": "swahili", "document_title": "Upinde wa mvua", "passage_text": "Mfano wa rangi hizo huanza na nyekundu nje na hubadilika kupitia rangi ya chungwa, njano, kijani, bluu, na urujuani ndani. Rangi hizi na ufuatano ni sehemu ya spektra ya nuru.", "question_text": "Aina za rangi ni gani?", "answers": [{"text": "chungwa, njano, kijani, bluu, na urujuani", "start_byte": 74, "limit_byte": 115}]} {"id": "-2863168212732843551-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima ya Ulaya", "passage_text": "Ainos (m 1,628), Ugiriki\nMlima Baba (Pelister, m 2,601), Jamhuri ya Masedonia\nMilima ya Balkani (Botev, m 2,376), Bulgaria, Serbia\nBelasica (Radomir, m 2,029), Jamhuri ya Masedonia, Bulgaria na Ugiriki\nBistra (Medenica, m 2,163), Jamhuri ya Masedonia\nCeloica (Dobra Voda, m 2,062), Jamhuri ya Masedonia\nČvrsnica (m 2,238), Dinaridi, Bosnia na Herzegovina\nDeshat (Velivar, m 2,375), Jamhuri ya Masedonia na Albania\nDinara (Troglav, m 1,913; Dinara, m 1,831), Dinaridi, Kroatia - Bosnia na Herzegovina\nGaličica (Magaro, m 2,254), Jamhuri ya Masedonia na Albania\nHymettus (m 1,026), mashariki kwa Athens, Ugiriki\nJakupica (Solunska Glava, m 2,540), Jamhuri ya Masedonia\nJablanica (Black Stone, m 2,257), Jamhuri ya Masedonia na Albania\nKopaonik (Pančićev vrh, m 2,017), Serbia\nKozuf (Zelenbeg, m 2,171), Jamhuri ya Masedonia na Ugiriki\nMlima Korab (Golem Korab / Maja e Korabit, m 2,764), wa juu katika Jamhuri ya Masedonia na Albania\nParnassus (m 2,460), Ugiriki\nOlympus (m 2,919), wa juu katika Ugiriki - makao ya miungu kadiri ya hadithi za Wagiriki\nNidze (m 2,521), Jamhuri ya Masedonia na Ugiriki\nOrjen (m 1,894), wa juu katika Montenegro\nOsogovo (Ruen, m 2,251), Jamhuri ya Masedonia na Bulgaria\nPanakaiko (m 1,926), Peloponnese, mashariki kwa Patras, Ugiriki\nPirin (Vihren, m 2,915), Bulgaria - wa tatu katika Balkani, baada ya Musala katika Bulgaria na Olympus katika Ugiriki\nProkletije (m 2,694), Dinaridi, Albania, Montenegro\nRodopi (Golyam Perelik, m 2,191), Bulgaria, Ugiriki\nRila (Musala, m 2,925), wa juu katika Bulgaria na Balkani kwa jumla\nSakar (Vishegrad, m 895), Bulgaria\nStogovo (Golem Rid, m 2,278), Jamhuri ya Masedonia\nMlima Sar (m 2,747), Serbia na Albania na Jamhuri ya Masedonia\nSmolikas (m 2,640), Ugiriki\nVitosha (Cherni vrah, m 2,290) Bulgaria\nZlatibor (Tornik, m 1,496; Čigota, m 1,422), Serbia", "question_text": "Mlima mkubwa nchini Albania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Korab", "start_byte": 843, "limit_byte": 848}]} {"id": "-8004382099302127036-0", "language": "swahili", "document_title": "Nani", "passage_text": "Luís Carlos Almeida da Cunha (anajulikana sana kama Nani; alizaliwa 17 Novemba 1986) ni mwanakandanda winga wa Ureno na anazichezea klabu ya Lazio ya Italia na timu ya taifa ya kandanda ya Ureno.", "question_text": "Je,Luís Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1986", "start_byte": 81, "limit_byte": 85}]} {"id": "1046070193062368291-4", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(1 Julai 2008)Wakazi kwa km²Mji mkuuAsia ya Kati: Kazakhstan2,724,92715,666,5335.7Astana Kirgizia198,5005,356,86924.3Bishkek Tajikistan143,1007,211,88447.0Dushanbe Turkmenistan488,1005,179,5739.6Ashgabat Uzbekistan447,40028,268,44157.1TashkentAsia ya Mashariki: Uchina9,584,4921,322,044,605134.0Beijing Hong Kong1,0927,903,3346,688.0— Macau25460,82318,473.3— Japani377,835127,288,628336.1Tokyo Taiwan35,98022,920,946626.7Taipei Korea Kaskazini120,54023,479,095184.4Pyongyang Korea Kusini98,48049,232,844490.7Seoul Mongolia1,565,0002,996,0821.7UlaanbaatarAsia ya Kaskazini: Urusi17,075,400142,200,00026.8MoscowAsia ya Kusini-Mashariki: Brunei5,770381,37166.1Bandar Seri Begawan Myanmar676,57847,758,22470.3Pyinmana Kamboja181,03513,388,91074Phnom Penh Timor Mashariki15,0071,108,77773.8Dili Indonesia1,919,440230,512,000120.1Jakarta Laos236,8006,677,53428.2Vientiane Malaysia329,84727,780,00084.2Kuala Lumpur Ufilipino300,00092,681,453308.9Manila Singapuri7044,608,1676,545.7Singapuri Uthai514,00065,493,298127.4Bangkok Vietnam331,69086,116,559259.6HanoiAsia ya Kusini: Afghanistan647,50032,738,77542.9Kabul Bangla Desh147,570153,546,9011040.5Dhaka Bhutan38,394682,32117.8Thimphu Uhindi3,287,2631,147,995,226349.2New Delhi Uajemi1,648,19570,472,84642.8Tehran Maledivi300379,1741,263.3Malé Nepal147,18129,519,114200.5Kathmandu Pakistan803,940167,762,049208.7Islamabad Sri Lanka65,61021,128,773322.0Sri JayawardenapuraAsia ya Magharibi: Armenia29,8002,968,586111.7Yerevan Azerbaijan46,8703,845,12782.0Baku Bahrain665718,306987.1Manama Kupro9,250792,60483.9Nikosia Palestina3631,537,2693,315.7Gaza Georgia20,4604,630,84199.3Tbilisi Irak437,07228,221,18154.9Baghdad Israel20,7707,112,359290.3Yerusalemu Yordani92,3006,198,67757.5Amman Kuwait17,8202,596,561118.5Jiji la Kuwait Libanon10,4523,971,941353.6Beirut Omani212,4603,311,64012.8Muskat Qatar11,437928,63569.4Doha Uarabuni wa Saudia1,960,58223,513,33012.0Riyad Syria185,18019,747,58692.6Dameski Uturuki756,76871,892,80776.5Ankara Falme za Kiarabu82,8804,621,39929.5Abu Dhabi Yemeni527,97023,013,37635.4Sana'aJumla43,810,5824,162,966,08689.07", "question_text": "Eneo la Uajemi lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "1,648,195", "start_byte": 1281, "limit_byte": 1290}]} {"id": "8377608488851846781-0", "language": "swahili", "document_title": "Katiba ya Kenya", "passage_text": "Katiba ya Kenya ndiyo sheria kuu kabisa ya Jamhuri ya Kenya. Katiba ya mwaka 2010 ilichukua nafasi ya katiba ya wakati wa uhuru ya mwaka 1963. ", "question_text": "Je, Kenya ilitengeneza katiba kwa mara ya kwanza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 137, "limit_byte": 141}]} {"id": "8202677482564303059-0", "language": "swahili", "document_title": "Ally Sykes", "passage_text": "Ally Kleist Sykes (Gerezani, Dar es Salaam, 10 Oktoba 1926 - Nairobi, Kenya, 19 Mei 2013) alikuwa mzalendo muasisi wa TANU na moja kati ya wapigania uhuru wakubwa wa Tanganyika katika miaka ya 1950. Ally Sykes ndiye aliyemwandikia na Kumkabidhi Mwalimu Julius Nyerere kadi ya TANU Na. 1. Historia ina kawaida ya kujirudia. Ally Sykes mmoja wa waasisi wa TANU, mmoja wa wale watu wasiozidi takriban saba walikuwa katika kamati ya ndani ya TAA iliyounda TANU, mmoja wa wafadhili wakuu wa TANU, mmoja wa askari kwa maana yake halisi kwa kuwa ni Ally Syke ndiye TAA hadi TANU ikimtegemea kwa kutekeleza mambo ya hatari dhidi ya Waingereza.", "question_text": "Je,Ally Kleist Sykes alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1926", "start_byte": 54, "limit_byte": 58}]} {"id": "-5227962216060211894-12", "language": "swahili", "document_title": "Uzbekistan", "passage_text": "Walio wengi (zaidi ya 70%) hutumia lugha ya Kiuzbeki ambacho ni kati ya lugha za Kiturki na ndiyo lugha rasmi. Angalia pia orodha ya lugha za Uzbekistan.", "question_text": "Je, lugha rasmi ya Uzbekistan ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiuzbeki", "start_byte": 44, "limit_byte": 52}]} {"id": "-2740251229399322494-1", "language": "swahili", "document_title": "Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "Alizaliwa akiwa mtoto wa tatu wa mzee Richard Male Mwashinga kutoka katika ukoo wa kichifu (Mwene) katika kitongoji cha Igawilo, jijini Mbeya, na mama Christine Mwaselela toka kitongoji cha Inyala, Mbeya, nchini Tanzania. Kwa miaka mingi wazazi wake waliishi katika eneo la Uyole ndani ya Jiji la Mbeya.[5]", "question_text": "Mshairi Christopher Richard Mwashinga alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Igawilo, jijini Mbeya", "start_byte": 120, "limit_byte": 141}]} {"id": "857807375799245121-1", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Kisovyeti", "passage_text": "Ilianzishwa katika Mapinduzi ya Urusi ya 1917 ikachukua nafasi ya Milki ya Urusi ya awali. Umoja wa Kisovyeti ulitawaliwa na chama cha kikomunisti. Wakomunisti waliamua kutawala Dola la Urusi la awali kwa muundo wa shirikisho wakaunda jamhuri mbalimbali kufuatana na mataifa ndani ya eneo hili kubwa.", "question_text": "Umoja wa Kisovyeti ulianza lini?", "answers": [{"text": "1917", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "8951474992060105103-4", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "Majimbo ya Sudan Kusini yalikuwa sehemu ya nchi hiyo lakini yalipiga kura ya kujitenga yakapata kuwa nchi huru kuanzia tarehe 9 Julai 2011.", "question_text": "Sudani Kusini ilipata Uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "4670794773431566682-0", "language": "swahili", "document_title": "Musa", "passage_text": "\nMusa aliishi miaka 1250 hivi K.K. akawa kiongozi wa Wanaisraeli walipoondoka nchini Misri kukimbilia nchi ya Kanaani (iliyoitwa \"Israeli\" na \"Palestina\" baadaye). ", "question_text": "Musa alifariki na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1250", "start_byte": 20, "limit_byte": 24}]} {"id": "2788871367538671719-22", "language": "swahili", "document_title": "Muziki wa Tanzania", "passage_text": "Hili halijawahi kufanywa hapo awali na wasaniii wowote wa kizazi kipya isipokuwa wawili hawa. Ray C. ni moja kati ya wasanii wa Bongo Flava walioweza kufanya vizuri, lakini nae hanasa za maisha zilimfanya kufuta urithi wake wote katika muziki. Haonekani tena thamani yake hasa kwa kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Kulikuwa na makundi yaliyoingia na kutoka. Aidha kwa kukosa udhamini au kujitangaza vya kutosha. Kundi kama \"Boyz from the Army\", Born Crew, Hot Grils, Big Dog Pose (BDP), Hot Port Family, Wateule, Mambo Poa, Uswahilini Matola, na wengine wengi waliingia na muda mchache hawajafua dafu wakapotea jumla. Sehemu ya kikosi cha wanamuziki waliokuwa wanajiita New Jack Family, watoto wa Kariakoo. Nao walizingua sana katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya. Hasa kwa msanii wao Dully Sykes. Kundi kama G.W.M. baadaye likaja kuwa sehemu ya Wachuja Nafaka - huku kukiwa na ongezeko la Juma Nature na Doro. ", "question_text": "Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania ina jina gani?", "answers": [{"text": "Bongo Flava", "start_byte": 128, "limit_byte": 139}]} {"id": "-6515868781410769368-0", "language": "swahili", "document_title": "ESA", "passage_text": "\n\nESA ni kifupi cha Kiingereza cha \"European Space Agency\" (Mamlaka ya Usafiri wa Anga Ulaya). Taasisi hiyo ilianzishwa mwaka 1975 na nchi 10 za Umoja wa Ulaya. ", "question_text": "ESA ilizinduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 126, "limit_byte": 130}]} {"id": "7465215195048827088-1", "language": "swahili", "document_title": "Kupooza kwa ubongo", "passage_text": "Kupooza kwa ubongo husababishwa na ukuaji usiokuwa wa kawaida au kuharibika kwa sehemu za ubongo zinazodhibiti mwenendo, usawa, na hali ya mkao.[2][1] Kwa kawaida matatizo mengi hutokea wakati wa ujauzito; hata hivyo, yanaweza pia kutokea wakati wa kuzaliwa kwa mtoto, au muda mfupi baada ya kuzaliwa. Kawaida kisababishi hakijulikani. Vipengele vya hatari vinajumuisha kuzaliwa kabla ya wakati, kuwa pacha, maambukizi fulani wakati wa ujauzito kama vile toksoplasmosi au rubela, kuathiriwa na methylmercury wakati wa ujauzito, na jeraha la kichwa miaka ya kwanza ya maisha, na mengineyo.[1] takriban asilimia 2 ya kesi hizi zinaaminika kuwa kisababishi cha jenetiki kilichorithiwa.[3] Baadhi ya aina ya vikundi vinaainishwa kulingana na matatizo maalum yaliyoopo kwa sasa. Kwa mfano wale walio na misuli ngumu wana upoozaji wa ubongo wa ghafla, wale walio na uratibu duni wana upoozaji wa ubongo wa kuyumbayumba, na wale walio na matatizo ya kutembea wana upoozaji wa ubongo wa athetosisi. Utambuzi unategemea ukuaji wa mtoto kwa muda. Uchunguzi wa damu na picha ya matibabu inaweza kutumiwa kukomesha visababishi vingine.[1]", "question_text": "Sababu kuu ya Kupooza kwa ubongo ni ipi?", "answers": [{"text": "ukuaji usiokuwa wa kawaida au kuharibika kwa sehemu za ubongo zinazodhibiti mwenendo, usawa, na hali ya mkao", "start_byte": 35, "limit_byte": 143}]} {"id": "-1715380560217988792-9", "language": "swahili", "document_title": "Spishi", "passage_text": "Kwa mfano jina la paka ni \"Felis silvestris\". Felis ni jenasi na paka yumo pamoja na wanyama wengine wanaofanana naye kama simba, tiger au chui. Ndani ya spishi la Felis silvestris kuna nususpishi kadhaa; kwa mfano paka wa porini wa Afrika Kaskazini (Felis silvestris lybica) anayeaminiwa kuwa asili ya paka wa nyumbani (Felis silvestris catus). ", "question_text": "Je paka ako kwenye kundi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Felis silvestris", "start_byte": 27, "limit_byte": 43}]} {"id": "69316326374132910-0", "language": "swahili", "document_title": "Sofia", "passage_text": "\n\nSofia (Kibulgaria: София) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Bulgaria mwenye wakazi 1,246,791. ", "question_text": "Je,Sofia ni mji mkuu wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Bulgaria", "start_byte": 63, "limit_byte": 71}]} {"id": "3633346474847540188-1", "language": "swahili", "document_title": "Raga", "passage_text": "Rugby ilianzishwa nchini Uingereza sambamba na mpira wa miguu Wakati wa karne ya 19. American Football imezaliwa kutoka kwa rugby ya Kiingereza. ", "question_text": "Je,mchezo wa rugby ulianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 19", "start_byte": 72, "limit_byte": 83}]} {"id": "-5530725435073337988-15", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi", "passage_text": "Fasihi simulizi - huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi\nFasihi andishi - huwasilishwa kwa lugha ya maandishi", "question_text": "Je, kuna aina ngapi za fasihi?", "answers": [{"text": "Fasihi simulizi - huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi\nFasihi andishi", "start_byte": 0, "limit_byte": 80}]} {"id": "3525444311144390758-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Kenya?", "answers": [{"text": "Jomo Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-3048285011796566791-0", "language": "swahili", "document_title": "Ali Muhsin al-Barwani", "passage_text": "Ali Muhsin Al-Barwani (13 Januari 1919 katika Mji Mkongwe - 20 Machi 2006 katika mji mkuu wa Muskat (Omani)) alikuwa mwanasiasa, mwanadiplomasia, na mshairi kutoka nchi ya Zanzibar chini ya Usultani wa Zanzibar. Alikuwa Waziri wa mambo ya nje wakati wa mamlaka ya Kiarabu baada ya Zanzibar kupata uhuru kutoka kwa mkoloni Muingereza na kabla ya Zanzibar kugeuka kuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.", "question_text": "Je, Ali Muhsin Al-Barwani alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "13 Januari 1919", "start_byte": 23, "limit_byte": 38}]} {"id": "3282857568301468445-1", "language": "swahili", "document_title": "Saratani ya mapafu", "passage_text": "Kisababishi kuu cha saratani ya mapafu ni kuathiriwa na moshi wa tumbaku,[2] unaosababisha asilimia 80–90 ya saratani.[1] Wasiovuta huchangia visa hivi kwa asilimia 10-15–[3] na mara nyingi huhusishwa na muungano wa masuala ya kijenetiki,[4] gesi ya radoni,[4] asbesto,[5] na uchafuzi wa hewa[4] pamoja na moshi kutoka kwa anayevuta sigara.[6][7] Saratani ya mapafu inaweza kuonekana kwa rediografu ya kifua na tomografi ya kompyuta (ukaguzi wa CT). utambuzi hudhibitishwa kwa biopsi[8] ambao hutekelezwa kwa bronkoskopi au mwongozo wa CT. Matibabu na matokeo ya muda mrefu hulingana na aina ya saratani, hatua (kiwango cha uenezi), na afya kwa jumla ya mtu, ikipimwa kwa hali ya utendakazi.", "question_text": "Saratani husababishwa na nini?", "answers": [{"text": "moshi wa tumbaku", "start_byte": 56, "limit_byte": 72}]} {"id": "6380650002194003728-0", "language": "swahili", "document_title": "Popo", "passage_text": "Popo ni mamalia kama panya mwenye mabawa. ", "question_text": "Je, popo iko katika spishi gani ya ndege?", "answers": [{"text": "mamalia", "start_byte": 8, "limit_byte": 15}]} {"id": "-4506918502277775985-0", "language": "swahili", "document_title": "Ubongo", "passage_text": "\n\n\nUbongo ndio kiini cha mfumo wa neva katika wanyama wote wenye ugwemgongo, na wengi wa wanyama wasio na ugwemgongo.[1] Baadhi ya wanyama wasiositawi, kama vile konyeza na kiti cha pweza, wana mfumo wa neva uliogatuliwa bila ubongo, huku tipwatipwa wa bahari wakikosa mfumo wa neva kabisa. Katika wanyama wenye ugwemgongo, ubongo umo katika kichwa ukilindwa na mifupa ya fuvu na ukiwa karibu na viungo vya hisia za msingi yaani kuona, kusikia, kugusa, ladha na harufu.", "question_text": "Je,ubongo ni nini?", "answers": [{"text": "kiini cha mfumo wa neva katika wanyama wote wenye ugwemgongo, na wengi wa wanyama wasio na ugwemgongo", "start_byte": 16, "limit_byte": 117}]} {"id": "-1087105948779943365-2", "language": "swahili", "document_title": "Jan Bednarek", "passage_text": "Mnamo tarehe 1 Julai 2017, Bednarek alijiunga na Southampton kwa mpango wa miaka mitano,kwa ada ya kuripotiwa ya £ 5 milioni.Alifanya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya Chelsea, mnamo tarehe 14 Aprili 2018 na alifunga bao la Southampton kwa kushindwa 3-2.", "question_text": "Je,Jan Kacper Bednarek alijiunga na klabu ya Southampton mwaka upi?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}]} {"id": "-2173015097450961692-0", "language": "swahili", "document_title": "Yamoussoukro (mji)", "passage_text": "\n\nYamoussoukro ni mji mkuu rasmi wa Cote d'Ivoire tangu 1983 ilipochukua nafasi hii kutoka Abidjan inayoendelea kuwa mji mkubwa na kitovu cha kiuchumi pia kiutamaduni na makao ya ofisi nyingi za serikali. Iko takriban 230km kutoka pwani karibu na kitovu cha nchi. Kuna wakazi 200,000 (mwaka 2005). ", "question_text": "Je,mji wa Yamoussoukro ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "200,000", "start_byte": 276, "limit_byte": 283}]} {"id": "-6239288117470561658-0", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nUlaya (asili ya jina ni neno la Kiarabu ولاية, wilaayatun[1]; inaitwa pia Uropa) ni bara lenye eneo la km² 10,600,000 tu, lakini wakazi ni milioni 700. ", "question_text": "Bara Ulaya lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "10,600,000", "start_byte": 119, "limit_byte": 129}]} {"id": "9155556339802211042-5", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "Ilianza wakati mashirikisho mawili (Shirikisho la Mpira wa miguu na Mpira wa Ragbi) yalipotawanyika. Shirikisho la kwanza lilibakia Uingereza. Mnamo Oktoba 1963, Vilabu 11 vya London vilituma wawakilishi katika mkutano wa Freemasons ili kujadili na kuweka kanuni zilizokubalika kusimamia mechi zilizochezwa kati yao.", "question_text": "Je,mchezo wa soka ulianza katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 132, "limit_byte": 141}]} {"id": "-8321140920035975692-17", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Nchi ya kwanza kujitawala upya katika Afrika ni nchi za Afrika ya Kusini zilizojiunga na kujiendesha wao wenyewe katika mwaka 1910. Misri, katika mwaka wa 1922 walikuwa wanajiendesha wenyewe, na Tangier katika mwaka wa 1925. ", "question_text": "Je, Misri ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 155, "limit_byte": 159}]} {"id": "5411011271502406356-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Mtoto wake Mwami Kigeri V aliwekwa kwenye kiti chake. Tendo hili lilisababisha ghasia na vurugu nchini kwa sababu Wahutu walidai kuwa na neno katika mabadiliko ya serikali. Mwezi wa Novemba 1959 Mwami Kigeri V. alilazimishwa kuondoka nchini akikimbilia Uganda. Watutsi wenye siasa kali walijaribu kumwua kiongozi wa Mouvement Democratique Republicain (MDR) chama kikubwa cha Wahutu. Wahutu walijibu kwa kuwashambulia na kuua Watutsi. Wabelgiji walitumia wanajeshi wao kupoza hali nchini. Katika uchaguzi wa kwanza wa halmashauri ya tarafa na miji kabla ya uhuru ndicho chama cha Parmehutu kilichopata kura nyingi. Viongozi wa Parmehutu walitangaza serikali mpya mwaka 1961. Uchaguzi wa Bunge ulileta kura ya 77% kwa ajili ya chama cha Parmehutu kilichomchagua kiongozi wake Grégoire Kayibanda kuwa Rais.", "question_text": "Je,nani rais wa kwanza wa Rwanda?", "answers": [{"text": "Grégoire Kayibanda", "start_byte": 774, "limit_byte": 793}]} {"id": "2400811581460591566-0", "language": "swahili", "document_title": "Homa ya matumbo", "passage_text": "\nHoma ya matumbo (kwa Kiingereza typhoid fever) husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kula au kunywa chakula au maji yaliyo na kinyesi cha mtu aliyambukizwa.[1] Bakteria hawa hutoboa na kunyonya chakula kwenye matumbo ya binadamu.", "question_text": "Je,ugonjwa wa homa ya matumbo inasababishwa na nini haswa?", "answers": [{"text": "Salmonella Typhi", "start_byte": 83, "limit_byte": 99}]} {"id": "-7311453706794541573-0", "language": "swahili", "document_title": "Gesi", "passage_text": "Gesi ni moja kati ya hali maada. Katika hali ya gesi atomi hazishikani pamoja kama gimba mango bali zaelea kwa mwendo huria. ", "question_text": "Je,gesi ni nini?", "answers": [{"text": "moja kati ya hali maada", "start_byte": 8, "limit_byte": 31}]} {"id": "-5661430601449526898-5", "language": "swahili", "document_title": "Honduras", "passage_text": "Mji mkuu na mji mkubwa wenye wakazi milioni 1.09 ni [Tegucigalpa]]. ", "question_text": "Mji mkuu wa Honduras ni?", "answers": [{"text": "Tegucigalpa", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}]} {"id": "3504501941906081224-0", "language": "swahili", "document_title": "Carl Weathers", "passage_text": "\nCarl Weathers (amezaliwa tar. 14 Januari 1948) ni mwigizaji wa filamu na ni mchezaji mpira wa miguu wa zamani wa Kiamerika-Kanada. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa jina la Apollo Creed alilotumia kutoka katika mfululizo wa filamu ya The Rocky aliyocheza na nyota maarufu wa filamu Bw. Sylvester Stallone.", "question_text": "Carl Weathers alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1948", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-1266349652910568480-17", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Eritrea", "passage_text": "Italia ilianzisha miradi ya kufanya Eritrea chanzo cha malighafi kwa ajili ya uchumi wa Italia. Kijiji cha Asmara katika nyanda za juu kilikuwa mji mkuu wa koloni na kupanuliwa kuwa mji kwa ajili ya walowezi Waitalia. Asmara ilipambwa na majengo mazuri ya kisasa. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Eritrea ni upi?", "answers": [{"text": "Asmara", "start_byte": 107, "limit_byte": 113}]} {"id": "-8653711199306715802-0", "language": "swahili", "document_title": "Kemia", "passage_text": "\n\nKemia (labda jina limetokana na neno la Kiarabu al-kemia) ni sayansi ya mata kwa kiwango cha atomi. ", "question_text": "Kemia ni nini?", "answers": [{"text": "sayansi ya mata kwa kiwango cha atomi", "start_byte": 63, "limit_byte": 100}]} {"id": "557961825246413299-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Mwana muziki Tupac Shakur alikufa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1996", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "7246536009429904701-7", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu ni Dodoma (wenye wakazi 410,956), lakini rais bado yupo Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Tanzania ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "410,956", "start_byte": 33, "limit_byte": 40}]} {"id": "-5650443066615348408-0", "language": "swahili", "document_title": "Burj Khalifa", "passage_text": "Burj Dubai (Kiarabu برج دبي‎ - Mnara wa Dubai) ni jengo kubwa la maghorofa linaloendelea kujengwa nchini Dubai (Falme za Kiarabu) tangu mwaka 2004. Litakapokamilika mwaka 2009 litakuwa jengo lenye kimo kikubwa duniani.", "question_text": "Ni jengo gani kubwa zaidi nchini Dubai?", "answers": [{"text": "Burj Dubai", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-1000656858044217143-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote. ", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Uganda aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Kabaka Sir Edward Mutesa II", "start_byte": 23, "limit_byte": 50}]} {"id": "-4400102182504271605-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo", "passage_text": "Taarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km2]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "question_text": "Kuna mikoa mingapi nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 123, "limit_byte": 125}]} {"id": "-6946130636016846565-187", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Katika matatizo hayo Mungu aliita watu wairudishe upya roho ya Injili. Hivyo katika karne XIII yalianzishwa mashirika mbalimbali (hasa Wafransisko na Wadominiko, lakini pia Waaugustino, Wakarmeli na Watumishi wa Maria) yaliyoitwa ya ombaomba kwa jinsi yalivyokaza ufukara.", "question_text": "Wafransisko wa Utawa wa Kwanza ni wa Karne gani?", "answers": [{"text": "XIII", "start_byte": 90, "limit_byte": 94}]} {"id": "4153113393304283176-0", "language": "swahili", "document_title": "Geji", "passage_text": "Geji (kutoka neno la Kiingereza gauge, hasa track gauge au rail gauge) ni umbali kati ya pau mbili za feleji kwenye njia ya reli. Upana hupimwa baina ya pande za ndani za pau. ", "question_text": "Je, geji ni nini?", "answers": [{"text": "umbali kati ya pau mbili za feleji kwenye njia ya reli", "start_byte": 74, "limit_byte": 128}]} {"id": "-1028747610351928092-1", "language": "swahili", "document_title": "Kampala", "passage_text": "Kampala ni mji mkubwa wa Uganda ikiwa na wakazi 1,208,544 (2002).", "question_text": "Kampala ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "1,208,544", "start_byte": 48, "limit_byte": 57}]} {"id": "-113021140185613200-0", "language": "swahili", "document_title": "Westlife (albamu)", "passage_text": "Westlife ni albamu kutoka kwa kundi la Westlife, moja ya albamu iliyofanya vizuri katika maeneo mbalimbali. Albamu hii ilitoka tar. 1 Novemba 1999, nchini Uingereza. Albamu hii pia ilijumuisha single tatu ambazo ni \"Swear It Again\", \"If I Let You Go\" na \"Flying Without Wings\", ambapo single zote tatu zilifanikiwa kufika katika nafasi ya kwanza katika chati ya nchini Uingereza. Albamu hii ilingia katika chati na kushika nafasi ya pili, ikiwa na mauzo ya nakala zaidi ya 83,000, wakati kati ya hizo nakala 1,000 ziliuzwa wakati albamu hii ikiwa katika nafasi ya kwanza. Albamu hii ilikuja kutolewa katika nafasi ya kwanza na wimbo wa \"Steptacular\" ulioimbwa na Steps.\nAlbamu hii ilishika nafasi ya nane kwa upande wa mauzo kwa mwaka 1999 nchini Uingereza. Albamu ya Westlife imefanikiwa kuuza nakala zaidi ya milioni 4 dunia nzima.", "question_text": "Je,albamu ya kwanza ya Westlife ilikuwa gani?", "answers": [{"text": "Westlife", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "3181731776837527043-1", "language": "swahili", "document_title": "Welisi", "passage_text": "Inapakana na Uingereza upande wa Mashariki. Pande zingine ziko pwani. Mji mkuu ni Cardiff (Kiwelisi: Caerdydd). ", "question_text": "Mji mkuu wa Wales ni upi?", "answers": [{"text": "Cardiff", "start_byte": 82, "limit_byte": 89}]} {"id": "-3489866487948380042-2", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "Katika orodha zote nne za mitume 12 wa Yesu zinazopatikana katika Biblia ya Kikristo anashika nafasi ya kwanza (tofauti na wenzake wengi ambao wanabadilishana nafasi, na kinyume cha Yuda Iskarioti, msaliti anayepewa daima nafasi ya mwisho); isitoshe Math 10:2 inasisitiza: \"Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro\".", "question_text": "Mfuasi wa mwisho wa Yesu anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Yuda Iskarioti", "start_byte": 182, "limit_byte": 196}]} {"id": "-7571808641324368696-0", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "\nKiswahili ni lugha ya Kibantu yenye misamiati mingi ya Kiarabu (30%), lakini sasa ya Kiingereza pia (10%), inayozungumzwa katika eneo kubwa la Afrika ya Mashariki.", "question_text": "Je, lugha ya Swahili inazungumziwa na nchi ngapi bara Afrika?", "answers": [{"text": "eneo kubwa la Afrika ya Mashariki", "start_byte": 130, "limit_byte": 163}]} {"id": "-2994982600241247087-1", "language": "swahili", "document_title": "Vuvuzela", "passage_text": "mbelini iliundwa nje na bati, vuvuzela ilikua maarufu katika Afrika Kusini katika miaka ya 1990. Mwaka wa 2001, kampuni yenye makao Afrika Kusini Masincedane Sport ilianzisha molekuli-mazao iina ya plastiki huhitaji baadhi ya mdomo na uvimbe nguvu ya pigo na hutoa kelele kama kirefu foghorn au tembo vuvuzela ni hulka ya mechi kati ya timu kubwa za soka ya Afrika Kusini za Kaizer Chiefs na Orlando Pirates. wafuasi wa chiefs huwa na vuvuzela za manjano, wakati wa Pirates huwa na vuvuzela nyeusi-na-nyeupe . ", "question_text": "Vuvuzela ya kwanza ilitengenezwa na nani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 91, "limit_byte": 95}]} {"id": "-1802502322474008720-37", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Baada ya kuongezeka kwa maandamano mnamo 1948, wanachama wa chama cha United Gold Coast Convention walikamatwa, akiwemo Waziri Mkuu na Rais wa baadaye, Kwame Nkrumah. Baadaye, Nkrumah aliunda chama chake mwenyewe, the Convention People's Party (CPP) ambacho kiliongozwa na usemi ‘serikali ya kujitegemea sasa’ (self government now). Alianzisha kampeni ya ‘Vitendo Chanya’ na kupata ufuasi wa watu wa sehemu za mashambani na wa daraja la wafanyakazi.[18]", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ghana alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 152, "limit_byte": 165}]} {"id": "-3089437056326143771-3", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa Jua", "passage_text": "Umbali kati ya Jua na Dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu unaitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali zaidi ni Neptuni ambayo ipo katika umbali wa vizio astronomia 30 kutoka Jua yaani ipo mara 30 mbali zaidi kutoka kwenye Jua moaka Duniani. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.", "question_text": "Je,sayari gani yenye umbali zaidi kutoka kwa jua?", "answers": [{"text": "Neptuni", "start_byte": 161, "limit_byte": 168}]} {"id": "5649596039442532895-0", "language": "swahili", "document_title": "Reptilia", "passage_text": "\nReptilia (kutoka Kilatini \"reptilis\" mwenye kutambaa; pia: mtambaazi, mtambaachi, mnyama mtambaaji[1]) ni kundi la wanyama wenye damu baridi, ngozi ya magamba badala ya nywele au manyoya wakipumua kwa mapafu. Siku hizi wataalamu hupendelea jina Sauropsida.", "question_text": "Je,nyoka iko katika kundi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Reptilia", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "876598533607819544-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Je,Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "201154166718603483-0", "language": "swahili", "document_title": "Uti wa mgongo", "passage_text": "\nUti wa mgongo ni jina kwa nguzo ya mifupa ambayo ni kitovu cha kiunzi cha mifupa kwa miili ya vetebrata kama binadamu, mamalia wote na pia wanyama wengine wengi.", "question_text": "Je,uti wa mgogngo ni nini?", "answers": [{"text": "nguzo ya mifupa ambayo ni kitovu cha kiunzi cha mifupa kwa miili ya vetebrata kama binadamu", "start_byte": 27, "limit_byte": 118}]} {"id": "403472653231615711-0", "language": "swahili", "document_title": "Sr. Jean Pruitt", "passage_text": "Jean Pruitt amezaliwa tar 17 Oktoba 1939 katika jimbo la Kalifornia huko nchini Marekani. Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto saba. Sr. Jean Pruitt ni sista wa jumuiya ya masista Wakatoliki wa Maryknoll huko Los Angeles. Ni raia wa Marekani anayefanya kazi na shirika la Maryknoll sisters chini ya Kanisa Katoliki Tanzania. Sr. Jean Pruitt ni mwanaharakati na mpiganiaji wa haki za watoto, Mwandishi wa vitabu na promota wa kazi za sanaa hasa kwa upande wa vijana nchini Tanzania. Sr. Jean alifika nchini Tanzania mwaka 1969. ni muasisi na mwanzilishi wa taasisi mbalimbali za kijamii ndani ya Tanzania.", "question_text": "Jean Pruitt alikuwa nani?", "answers": [{"text": "sista wa jumuiya ya masista Wakatoliki wa Maryknoll huko Los Angeles", "start_byte": 157, "limit_byte": 225}]} {"id": "3988592440792765168-0", "language": "swahili", "document_title": "Macheda", "passage_text": "Federico \"Kiko\" Macheda ([1] amezaliwa 22 Agosti 1991) ni mwanakandanda mwenye uraia wa Kiitalia ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Ligi kuu ya Uingereza ya Manchester United. Alijiunga na Manchester United kutoka Lazio mnamo Septemba 2007.", "question_text": "Je,Federico \"Kiko\" Macheda alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}]} {"id": "-5872656246803802362-0", "language": "swahili", "document_title": "Kibera (Nairobi)", "passage_text": "Kibera ni mtaa Katika jiji la Nairobi, Kenya ambapo watu huishi na kufanya kazi ndogo ndogo kama kuuza mahindi ya kushemshwa,matunda, mboga na kadhalika. Baadhi ya watu hao, kunao ambao hawawezi kufanya kazi yoyote. Hata hivyo, watu wengi wameonyesha sifa mbaya dhidi ya mtaa huo wa Kibera lakini, tunafaa kukumbuka ya kwamba kila kitu kina uzuri wake.", "question_text": "Kitongoji duni kikubwa nchini Kenya kinaitwaje?", "answers": [{"text": "Kibera", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-3820384887728502558-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya wakuu wa nchi ya Gabon", "passage_text": "Gabon\nThis article is part of a series on the\npolitics and government of\nGabon\nConstitution\nHuman rights\nGovernment\nPresident\nAli Bongo Ondimba\nVice President\nPierre Claver Maganga Moussavou\nPrime Minister\nJulien Nkoghe Bekale\nParliament\nSenate\nPresident of the Senate\nNational Assembly\nPresident of the National Assembly\nAdministrative divisions\nProvinces\nDepartments\nCantons and communes\nElections\nRecent elections\nPresidential: 20092016\nParliamentary: 20112018\nPolitical parties\nForeign relations\nMinistry of Foreign Affairs\nMinister: Abdu Razzaq Guy Kambogo\n\nDiplomatic missions of / in Gabon\n\nPassport\nVisa requirements\nVisa policy\n\nOther countries\nAtlas\nvt", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Gabon anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Ali Bongo Ondimba", "start_byte": 126, "limit_byte": 143}]} {"id": "7603968772296255556-1", "language": "swahili", "document_title": "Japani", "passage_text": "Nchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua. ", "question_text": "Je,Japani ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 127", "start_byte": 41, "limit_byte": 52}]} {"id": "-4929624143945526129-1", "language": "swahili", "document_title": "Biafra", "passage_text": "Katika Januari 1966 ilitokea ghasia katika Nigeria. Sehemu za jeshi zilipindua serikali wakamwua waziri mkuu Abubakar Tafawa Balewa aliyekuwa wa asili ya kaskazini. Kiongozi wa serikali mpya alikuwa jenerali mkuu wa jeshi la Nigeria Johnson Aguiyi-Ironsi aliyekuwa Igbo ambaye mwenyewe hakushiriki katika uasi. Lakini katika miji ya kaskazini ya Nigeria raia Waigbo walitafutwa na kuuawa ovyo. Waigbo maelfu walikimbia katika miji ya kaskazini na kukimbilia kwao nyumbani walipoleta habari za mauaji. ", "question_text": "Kiongozi wa Biafra mwaka 1967 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Abubakar Tafawa Balewa", "start_byte": 109, "limit_byte": 131}]} {"id": "-3057646157912205746-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Eneo lina kilometa za mraba 947,303 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2.", "question_text": "Ukubwa wa nchi ya Tanzania kijiographia ni kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 947,303", "start_byte": 10, "limit_byte": 35}]} {"id": "8225406807956071245-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Bahari ya Atlantiki ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 106,200,000", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}]} {"id": "1376762146016345833-6", "language": "swahili", "document_title": "Otto von Bismarck", "passage_text": "Mwaka 1847 akafunga ndoa na Marie von Thadden akazaa naye watoto watatu: Marie (1847–1926), Herbert (1849–1904) na Wilhelm (1852–1901).", "question_text": "Je,Otto von Bismarck alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 65, "limit_byte": 71}]} {"id": "6600311340725846976-32", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mwaka kiongozi wa upande wa migambo ya uhuru Guerrero na jenerali wa jeshi la serikali Agustin de Iturbide walikutana wakapatana kuungana. Vikosi vingi vya jeshi la kikoloni vilihamia upande wao. Gavana mpya aliyefika kutoka Hispania aliamua kukubali uhuru uliotangazwa tarehe 28 Septemba 1821. Iturbide alikuwa rais wa kwanza na baadaye kwa kipindi kifupi Kaisari wa Mexiko hadi kujiuzulu mwaka 1823: hapo Mexiko ikaendelea kuwa jamhuri.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Mexico aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Iturbide", "start_byte": 295, "limit_byte": 303}]} {"id": "-5605633615718912313-1", "language": "swahili", "document_title": "Orange Democratic Movement", "passage_text": "ODM ilianzishwa na chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP, lakini chama cha KANU kiliweza kujiondoa, na waliobaki waligawanyika katika makundi haya mawili yanayoongozwa na Raila Odinga (ODM; ndio wengi zaidi) na Kalonzo Musyoka (ODM-Kenya). Sababu ya farakano ilikuwa suala la nani atakuwa mgombea wa urais upande wa ODM.", "question_text": "Je,Orange Democratic Movement Party of Kenya kilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP", "start_byte": 19, "limit_byte": 80}]} {"id": "4614844302330662862-1", "language": "swahili", "document_title": "Rekodi za Dunia za Guinness", "passage_text": "Mnamo tarehe 4 Mei 1951, Sir Hugh Beaver, akiwa mkurugenzi wa Guinness Breweries, [5] alienda kwenye mchezo wa kupiga risasi kule Kaskazini Slob , kando na mto Slaney katika County Wexford, Ireland. Alijiusisha kwenye mabishano kuhusu ni ndege yupi wa mwitu aliyekuwa wa kasi sana Ulaya, koshin golden plover au grouse. Jioni hiyo akiwa Castlebridge House, aligundua kuwa ilikuwa vigumu kuthibitisha katika vitabu vya marejeleo kama koshin golden plover alikuwa ndege wa mwituni wa kasi sana wa Ulaya ama sivyo. [6] [7]", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa kitabu cha rekodi cha Guiness?", "answers": [{"text": "Sir Hugh Beaver", "start_byte": 25, "limit_byte": 40}]} {"id": "682152534834629491-2", "language": "swahili", "document_title": "Ufilipino", "passage_text": "Mji mkuu ni Manila.", "question_text": "Mji mkuu wa Ufilipino unaitwaje?", "answers": [{"text": "Manila", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-7000029653415953723-40", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina majimbo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hata hivyo, uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ethiopia alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "-6189603870563073728-0", "language": "swahili", "document_title": "George Weah", "passage_text": "\nGeorge Weah ni mwanakandanda mstaafu mashuhuri duniani halafu mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa rais wa Liberia katika mwaka 2017. ", "question_text": "Je,George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 123, "limit_byte": 127}]} {"id": "-7790479957739172482-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "1763893168244249875-0", "language": "swahili", "document_title": "Salah ad-Din", "passage_text": "Salah ad-Din al-Ayubi (1138 – 4 Machi 1193; pia: Saladin) alikuwa mtawala wa Misri na Syria wakati wa karne ya 12. Anakumbukwa hasa kwa ushindi wake juu ya Wamisalaba na ufalme wao wa Yerusalemu. Aliunda nasaba ya Waayubi walioendelea kutawala Misri pamoja na Yemeni, Shamu, Iraq na Hijaz.", "question_text": "Je, Salah ad-Din alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1138", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "7701163829048361802-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,rais wa 10 wa Marekani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "John Tyler", "start_byte": 691, "limit_byte": 701}]} {"id": "5209417005338975506-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya wachezaji wa klabu ya Soka ya Manchester United", "passage_text": "Klabu ilianzishwa mwaka 1878 kama Newton Heath L & YR FC, na kucheza mechi ya kwanza ya ushindani mnamo Oktoba 1886, wakati waliingia duru ya kwanza ya Kombe la FA 1886-87. Tangu hapo, zaidi ya wachezaji 800 wameichezea timu ya klabu hiyo, ambapo karibu wachezaji 200 wamecheza walau mechi 100 na kuonekana pamoja na wachezaji wa ziada; wachezaji hao wameorodheshwa hapa, vilevile wale ambao walicheza mechi chache lakini walitoa michango muhimu katika historia ya klabu (kwa mfano Billy Whelan na Carlos Tevez).", "question_text": "Je,klabu ya Manchester united ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "-6504922177984149819-1", "language": "swahili", "document_title": "Usumaku", "passage_text": "\nUsumaku unaweza kufanywa na sumaku ya kudumu, au kwa umeme katika waya. Hii inaitwa sumakuumeme. Wakati sumaku zinawekwa karibu na vitu vya sumaku, sumaku na kitu hutolewa kwa kila mmoja. Hii inaitwa kivutio cha kisumaku. Sumaku inaweza pia kurudisha (kusukumiza) sumaku nyingine. Vitu vingi ambavyo vinavutiwa na sumaku vina chuma ndani yao. Metali nyingine, kama aluminiamu, hazivutiwa na sumaku.", "question_text": "Je, nini maana ya Sumakuumeme?", "answers": [{"text": "Usumaku unaweza kufanywa na sumaku ya kudumu, au kwa umeme katika waya", "start_byte": 1, "limit_byte": 71}]} {"id": "-1749782941141028506-18", "language": "swahili", "document_title": "Kwame Nkrumah", "passage_text": "Aliendelea kuongoza serikali na mwaka 1957 wakati wa uhuru alibadilisha jina la nchi kuwa Ghana. Hii ilikuwa koloni la kwanza kupata uhuru katika Afrika ya Magharibi, baada ya Liberia. Mwaka huohuo alifunga ndoa na Fathia Helen Ritzk, Mkristo wa Kikopti kutoka nchi ya Misri.", "question_text": "Je,Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "3584601491207584898-10", "language": "swahili", "document_title": "Meli", "passage_text": "Mnamo 1200 KK watu wa Finisia na Ugiriki ya Kale walijenga jahazi kubwa zaidi yenye urefu wa mita 30. Waroma wa Kale walitengeneza meli iliyobeba watu 1,000.", "question_text": "Ni nani alitengeneza meli ya kwanza duniani?", "answers": [{"text": "Waroma wa Kale", "start_byte": 102, "limit_byte": 116}]} {"id": "-1857652028834468724-1", "language": "swahili", "document_title": "Kevin Peter Hall", "passage_text": "Hall alizaliwa mjini Pittsburgh, Pennsylvania.[1] Baba'ke, Marcus Alvarez, alikuwa na urefu wa futi 6' 6\" na mama'ke, Sylvia Hall, alikuwa na urefu wa futi 6' 2\". Kwa urefu wa 7' 2\",[2] yeye alikuwa mrefu kupita wote katika familia ya wanandugu sita wa kiume, ambao wote wana zaidi ya 6' 5\". Wakati wa masomo yake ya elimu ya juu katika shule ya Penn Hills High School, alifanya vyema sana katika mpira wa kikapu na kupata ufadhili wa kwenda kujiendeleza katika Chuo Kikuu cha George Washington huko mjini Washington, D.C.. Akiwa chuo, Hall aliendelea kucheza mpira wa kikapu na kujikita zaidi katika Sanaa za Tamthilia.[3] Baada ya kumaliza, Hall akahamia nchini Venezuela kucheza mpira wa kikapu.", "question_text": "Kevin Peter Hall alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Pittsburgh, Pennsylvania", "start_byte": 21, "limit_byte": 45}]} {"id": "580749931445773564-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Je,mziki wa kizazi kipya nchini Tanzania ina jina gani?", "answers": [{"text": "Bongo Flava", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "5663414397988203408-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote. ", "question_text": "Je,nani rais wa kwanza wa Uganda?", "answers": [{"text": "Kabaka Sir Edward Mutesa II", "start_byte": 23, "limit_byte": 50}]} {"id": "7727491033397254478-1", "language": "swahili", "document_title": "Umoja, Sudan", "passage_text": "Wakati serikali ya kitaifa mjini Khartoum inatambua jina la Alwahda = Umoja, serikali mpya ya sehemu ya Sudan Kusini inatambua jimbo hili kama Nile ya juu ya Magharibi (Western Upper Nile). Kabla ya mpangilio wa kiutawala wa mwaka wa 1994, Umoja ilikuwa sehemu jimbo kubwa la Upper Nile.", "question_text": "Mji mkuu wa Sudan unaitwa aje?", "answers": [{"text": "Khartoum", "start_byte": 33, "limit_byte": 41}]} {"id": "-4371695860104297248-0", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "Manchester United ni kilabu cha kandanda cha Uingereza, ambacho ni kimojawapo kati ya vilabu maarufu sana ulimwenguni, na kina makao katika Old Trafford eneo la Greater Manchester. Kilabu hiki kilikuwa mwanachama mwanzilishi wa Ligi ya Premier mwaka 1992, na kimeshiriki katika divisheni ya juu ya kandanda ya Uingereza tangu mwaka wa 1938, isipokuwa msimu wa 1974-1975. Mahudhurio ya wastani kwenye kilabu yamekuwa ya juu kuliko timu nyingine yoyote katika kandanda ya Uingereza kwa misimu yote isipokuwa sita tangu 1964-65.[3]", "question_text": "Je, Ligi Kuu Uingereza ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 250, "limit_byte": 254}]} {"id": "-862994683610135012-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Vita,vya pili vya dunia vilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1939", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}]} {"id": "4477146550153594025-1", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "Manchester United ndiyo bingwa wa sasa wa Uingereza na washikilizi wa Kombe la Dunia la Vilabu, baada ya kushinda Ligi ya Primia 2008-09 na Kombe la Dunia la FIFA. Kilabu hicho ni miongoni mwa vilabu vyenye ufanisi mkubwa katika historia ya kandanda ya Uingereza na kimeshinda mataji makubwa 22 tangu Alex Ferguson alipochukua wadhifa wa meneja wake mnamo Novemba 1986. Mwaka wa 1968, kilikuwa kilabu cha kwanza kushinda Kombe la Uropa kwa kucharaza Benfica 4-1. Walishinda kombe la pili la Ulaya kama sehemu ya ushindi wa mataji matatu mwaka 1999, na la tatu mwaka wa 2008, kabla ya kumaliza katika nafasi ya pili mwaka wa cha 2009. Kilabu hicho kinashikilia rekodi mbili ya kushinda mataji mengi ya Ligi ya Uingereza mara 18 na pia kushikilia rekodi kwa wingi wa kutwaa kombe la FA ikiwa imeshinda mara 11.[4]", "question_text": "Je,klabu ya Manchester United imeshinda taji ya ubingwa bara Uropa mara ngapi kufikia mwaka 2018?", "answers": [{"text": "22", "start_byte": 292, "limit_byte": 294}]} {"id": "-2571608820313921794-3", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mji mkuu ni Nairobi. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Kenya ni ipi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "1273874201596192023-1", "language": "swahili", "document_title": "Jangwa la Namib", "passage_text": "Jangwa hili lizunguka eneo ya ukubwa wa takribani kilomita mraba 80,900 [1] (maili mraba 31,200 ). Umbo la Namib ni kanda lenye urefu wa 2000 km na upana wa 100-160 km kuanzia mwambao wa Atlantiki. Jangwa limesababishwa na mkondo wa Benguela unaosukuma maji baridi kutoka Antaktika kuelekea pwani la Afrika. Mkondo huu unazuia mvua kunyesha karibu na mwambao hivyo kuleta hali ya hewa kavu.", "question_text": "Jangwa la Namib lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita mraba 80,900", "start_byte": 50, "limit_byte": 71}]} {"id": "1167594651174821981-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,ndovu hubeba uja uzito kwa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "22", "start_byte": 88, "limit_byte": 90}]} {"id": "3378676054907559709-0", "language": "swahili", "document_title": "Sanamu ya Uhuru", "passage_text": "\nSanamu ya Uhuru (Kiing.:Statue of Liberty) ni sanamu kubwa inayosimama katika bandari ya jiji la New York. Ilifika Marekani mwaka 1885 kutoka Ulaya kama zawadi ya watu wa Ufaransa kwa watu wa Marekani ikasimamishwa na kuzimikwa rasmi 1886..", "question_text": "Sanamu ya Uhuru wa New York ilikuwa zawadi kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}]} {"id": "7174604410748389815-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Mji mkuu wa Ethiopia ni gani?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 436, "limit_byte": 447}]} {"id": "-2670852604568509123-16", "language": "swahili", "document_title": "Damu", "passage_text": "Chembechembe nyekundu za damu milioni 4.7 hadi 6.1 (za kiume), milioni 4.2 hadi 5.4 (za kike): [5] Katika mamalia wengi, seli nyekundu za damu zilizokomaa zinakosa kiini na oganeli. Zina himogloboni za damu na husambaza oksijeni. Seli nyekundu za damu (pamoja na seli za vyombo vya endotheli na seli nyingine) pia zimetiwa alama na glaikoprotini ambazo zinatambulisha aina za damu tofauti. Kiwango cha damu kinachomilikiwa na seli nyekundu za damu kinajulikana kama hematokriti, na kwa kawaida ni takriban 45% ya damu. Ukubwa wa eneo la seli zote nyekundu za damu katika mwili wa binadamu zikiwekwa pamoja utakuwa takribani mara 2,000 kubwa zaidi ya sehemu ya nje ya mwili.[6]\nLukosaiti 4,000 hadi 11,000: [7] Seli nyeupe za damu ni sehemu ya mfumo wa kinga; zinaangamiza na kuondoa seli nzee au potovu na mabaki ya chembechembe, na pia hushambulia vikolezo vinavyoleta maambukizi (visababisha magonjwa) na dutu za kigeni. Kansa ya lukosaiti inaitwa lukemia.\nThrombosaiti 200,000 hadi 500,000: [7] thrombosaiti, ambazo pia hujulikana kama chembe za kugandisha damu, zina jukumu kugandisha damu (ugandishaji). Hubadilisha fibrinojeni iwe fibrini. Fibrini hii inaunda wavu ambayo seli nyekundu za damu hukusanyika juu yake na kuganda na hii kuzuia damu zaidi kutoka kwenye mwili na pia husaidia kuzuia bakteria kuingia mwili.", "question_text": "Seli nyekundu za damu zina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "Ukubwa wa eneo la seli zote nyekundu za damu katika mwili wa binadamu zikiwekwa pamoja utakuwa takribani mara 2,000 kubwa zaidi ya sehemu ya nje ya mwili", "start_byte": 519, "limit_byte": 672}]} {"id": "1134970504372849094-0", "language": "swahili", "document_title": "Aníbal Ibarra", "passage_text": "Anibal Ibarra (alizaliwa 1 Machi 1958) ni mwanasheria na mwanasiasa wa Argentina kutoka eneo la Lomas de Zamora, wilaya iliyo katika eneo kusini ya Gran Buenos Aires. Alifanya kazi kama mwendesha mashtaka katika mahakama, lakini alijiuzulu kazi hii ili kushiriki katika siasa.Akajiunga na chama kilichokuwa kikianzishwa: the Front for a Country in Solidarity(FrePaSo).", "question_text": "Je,Anibal Ibarra alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1 Machi 1958", "start_byte": 25, "limit_byte": 37}]} {"id": "-726074401072069280-1", "language": "swahili", "document_title": "Vidonge vya kupanga uzazi vilivyochanganywa", "passage_text": "Wakati zinapomezwa kila siku, huzuia uwezo wa kuzaa katika wanawake. Vidonge hivi vilikubaliwa kutumika kama dawa za kupanga uzazi kwa mara ya kwanza nchini Marekani katika mwaka 1960, na ni njia maarufu sana ya kupanga uzazi. Kwa sasa vinatumiwa na wanawake zaidi ya milioni 100 duniani kote (karibu milioni 12 nchini Marekani). [1] [2]", "question_text": "Je, mfumo wa kwanza wa upangaji uzazi ulianza lini?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 179, "limit_byte": 183}]} {"id": "7058997398361662220-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Bahari la Atlantiki iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "106,200,000", "start_byte": 142, "limit_byte": 153}]} {"id": "-4911444797594927360-12", "language": "swahili", "document_title": "Italia", "passage_text": "Maziwa makubwa zaidi ni: Garda (km2 367.94), Ziwa Maggiore (212.51, likiingia Uswisi), Ziwa la Como (145.9), Trasimeno (124.29) na Ziwa la Bolsena (113.55).", "question_text": "Nchi ya Italia ina Ziwa ngapi?", "answers": [{"text": "Garda (km2 367.94), Ziwa Maggiore (212.51, likiingia Uswisi), Ziwa la Como (145.9), Trasimeno (124.29) na Ziwa la Bolsena", "start_byte": 25, "limit_byte": 146}]} {"id": "6949292408278312140-42", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Vikundi vikubwa katika jumla la makabila 300 ni Wahausa na Wafula kaskazini (jumla 20-30%), Waigbo (Waibo) kusini (14-18%), Wayoruba katika sehemu za magharibi (20-27%). ", "question_text": "Nchi ya Nigeria ina makabila mangapi?", "answers": [{"text": "300", "start_byte": 41, "limit_byte": 44}]} {"id": "-5637872352452393372-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Rais wa nne wa Marekani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "James Madison", "start_byte": 280, "limit_byte": 293}]} {"id": "-8883472768953255088-38", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Marekani", "passage_text": "Tangu marekebisho's ratificering, marais wanne kuwa aliwahi mbili Matokeo kamili: Dwight D. Eisenhower, Ronald Reagan, Bill Clinton na George W. Bush. Jimmy Carter na George HW Bush pili wakatafuta mrefu, lakini walikuwa na kushindwa. Richard Nixon alichaguliwa kwa muda ya pili, lakini alijiuzulu kabla ya kukamilisha hayo. Lyndon B. Johnson alikuwa rais tu chini ya marekebisho ukastahiki kumtumikia zaidi suala katika jumla mbili, baada ya kutumikia kwa miezi kumi tu zifuatazo John F. Kennedy 's kuuawa. Hata hivyo, Johnson kujiondoa kutoka 1968 Kidemokrasia ya Msingi, inashangaza Wamarekani wengi kwa kusema 'Mimi wala kutafuta, na mimi si kukubali, uteuzi wa chama wangu kwa muda mwingine kama rais wako'. Gerald Ford walitaka muda kamili, baada ya kutumikia nje miaka miwili iliyopita na miezi mitano ya pili ya Nixon mrefu, lakini hakuwa kuchaguliwa.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Amerika kujiuzulu Urais aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Richard Nixon", "start_byte": 235, "limit_byte": 248}]} {"id": "1619347130539906699-1", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Rockport", "passage_text": "Rockport ilianzishwa katika mwaka wa 1971 na muungano wa baba na mwana (Saul na Bruce Katz) katika eneo la Marlborough, Massachusetts. Saul na Bruce waliamua kwamba kuwa kile kilichokosekana katika sekta ya viwanda vya viatu ni viatu vilivyohusisha kuwa na uzito mdogo,faraja na mitindo mzuri. Hizi ndizo sifa ambazo zingehusishwa na viatu vya Rockport katika mwongo uliofuata.", "question_text": "Kampuni ya Rockport ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "1430088297294962068-1", "language": "swahili", "document_title": "Henry Fonda", "passage_text": "Henry Fonda alioa mara tano. Kwa mara ya kwanza alimuoa Margaret Sullavan mnamo mwaka 1931 hawakukaa muda mwingi wakatengana, kisha taraka rasmi ikawa mwaka 1933. Mnamo mwaka 1936, Fonda akamuoa Frances Ford Seymour, wakazaa watoto wawili, ambaye ni Peter Fonda na Jane Fonda.", "question_text": "Henry Fonda alikuwa na wake wangapi?", "answers": [{"text": "tano", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "5650201453891510980-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Ziwa kubwa zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Superior", "start_byte": 213, "limit_byte": 221}]} {"id": "-3391805684019372188-0", "language": "swahili", "document_title": "Harriet Tubman", "passage_text": "\nHarriet Tubman (aliyezaliwa Araminta Ross, mwaka wa 1822 - 10 Machi 1913) alikuwa mkomeshaji wa Marekani, kibinadamu, na alikuwa mmoja wa kisilaha (scout) na mpelelezi wa Jeshi la Marekani wakati wa Vita vya Vyama vya Marekani. ", "question_text": "Je, Harriet Tubman alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 181, "limit_byte": 189}]} {"id": "1647689834920726705-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Je,Ethipoia ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "5,237,338", "start_byte": 660, "limit_byte": 669}]} {"id": "8651573986809217063-0", "language": "swahili", "document_title": "Marco Polo", "passage_text": "\nMarco Polo (15 Septemba 1254 – 8 Januari 1324) alikuwa mpelelezi na mfanyabiashara wa Kiitalia. Ndiye wa kwanza kufanya upelelezi katika nchi zilizokingama na bara la Asia na “Mashariki ya Mbali” na wa kwanza kufanya upelelezi duniani kwa jumla. ", "question_text": "Je,Marko Polo alizaliwa nchi gani?", "answers": [{"text": "italia", "start_byte": 91, "limit_byte": 97}]} {"id": "-2779932603942935422-0", "language": "swahili", "document_title": "2Face Idibia", "passage_text": "Innocent Ujah Idibia (amezaliwa 18 Septemba 1979 huko Jos, Jimbo la Plateau) anafahamika kama 2Face Idibia ni mwanamuziki wa ngoma ya hip hop kutoka Nigeria na ni mtunzi. Alikuwa mwanachama wa kundi la muziki aina ya R & B / hip hop kilichoitwa Plantashun Boyz. Sasa hivi ana uhusiano wa dhati na muigizaji, Makosi Musambasi.", "question_text": "Je,mwanamziki 2Face Idibia alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1979", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "8003346050031202425-0", "language": "swahili", "document_title": "Virusi", "passage_text": "\nVirusi (kutoka Kilatini virus, yaani \"sumu“) ni chembe ndogo sana iliyoundwa na mada jenetiki, kama ADN au ARN, katika bahasha ya proteini. ", "question_text": "Virusi ni nini?", "answers": [{"text": "chembe ndogo sana iliyoundwa na mada jenetiki, kama ADN au ARN, katika bahasha ya proteini", "start_byte": 51, "limit_byte": 141}]} {"id": "3204915196330455893-0", "language": "swahili", "document_title": "Martin Luther King, Jr.", "passage_text": "\n\nDr Martin Luther King, Junior (Atlanta, Georgia, 15 Januari 1929 – Memphis, Tennessee, 4 Aprili 1968) alikuwa Mkristo mwenye asili ya Afrika, mchungaji wa Kibaptisti na mwanaharakati mashuhuri kutoka nchi ya Marekani aliyepigania haki za binadamu, hasa Wanegro, wakati nchi hiyo ilipokuwa bado na sheria za ubaguzi wa rangi.", "question_text": "Je,Martin Luther alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1929", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}]} {"id": "5405185173163023357-9", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "Bill Gates alifanya ndoa na Melinda French Gates mwaka wa 1994 na wakabarikiwa na watoto watatu, Jennifer, Rory na Fibi. Wote wawili Bill na Melinda ni waanzilishi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Waliweza kulianzisha shirika la Bill na Melinda Gates Foundation ambalo limeweza kuchangia zaidi ya dola bilioni tatu nukta mbili kuboresha afya duniani, dola bilioni mbili kuboresha fursa ya masomo kwa familia zisizojiweza. Zaidi ya hayo limeweza pia kuchangia dola milioni mia nne sabini na saba kwa miradi ya jamii na zaidi ya dola milioni mia nne themanini na nane kwa miradi maalum na kampeni za kuhamasisihwa kila mwaka.", "question_text": "Je,mke wa Bill Gates anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Melinda French Gates", "start_byte": 28, "limit_byte": 48}]} {"id": "-1115528965705421553-22", "language": "swahili", "document_title": "Kundinyota", "passage_text": "Mwanzo wa karne ya 20 mpangilio wa kundinyota haukuridhisha kwa sababu sehemu za mipaka kati ya kundinyota hazikueleweka vema. Hivyo mkutano mkuu wa kwanza wa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia (IAU) mwaka 1922 kufafanua idadi ya kundinyota kuwa 88[2]. Mwanaastronomia Eugène Delporte kutoka Ubelgiji alipewa kazi ya kupanga eneo lote la anga kwa makundi na kuchora mipaka kati ya kundinyota. Tokeo la kazi yake lilikubaliwa kwenye mkutano mkuu wa mwaka 1928.", "question_text": "Je, kuna kundi nyota ngapi?", "answers": [{"text": "88", "start_byte": 244, "limit_byte": 246}]} {"id": "675117206228698427-2", "language": "swahili", "document_title": "Melilla", "passage_text": "Melilla ina wakazi 65,500 (mwaka 2005) katika eneo la km² 20. Zamani wakazi walio wengi walikuwa Wakatoliki wenye asili ya Hispania pamoja na Wayahudi na Waislamu Waarabu au Waberber wenye asili ya Moroko. Miaka ya nyuma idadi ya Waislamu imeongezeka ambao wengi wao wanapendelea kujiita Waberber kuliko Waarabu; Wayahudi wamepungua sana. Inasemekana ya kwamba wakazi karibu wote wanajiangalia kuwa Wahispania bila kujali kama ni Wakatoliki au Waislamu.", "question_text": "Mji wa Melilla una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 20", "start_byte": 54, "limit_byte": 61}]} {"id": "-5745530898178837394-17", "language": "swahili", "document_title": "Ukoloni", "passage_text": "2. Uingereza ilikuwa na Afrika Kusini, Botswana, Cameroon ya Kiingereza, Gambia, Ghana, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Misri, Nigeria, Shelisheli, Sierra Leone, Somaliland, Sudan, Swaziland, Tanganyika, Uganda, Zanzibar, Zambia, Zimbabwe na sehemu nyingine kwa muda.", "question_text": "Tanzania ilitawaliwa na nchi gani kipindi cha ukoloni?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 3, "limit_byte": 12}]} {"id": "-5850428025885282549-49", "language": "swahili", "document_title": "Mapambano kati ya Israeli na Palestina", "passage_text": "katika jamii ya Israeli kama Arafat na upande wa Kipalestina walitaka kweli kujenga amani na kusimamisha ugaidi wakati mashambulio dhidi ya askari na wananchi raia wa Israeli yalipoendelea kutokea. Kilele cha upinzani ndani ya Israeli kilikuwa uuaji wa waziri mkuu Rabin mwaka 1995 uliofanywa na mpinzani Mwisraeli.\nKatika jamii ya Wapalestina kama Israeli ilitaka kweli amani kwa sababu kujengwa kwa makazi kwa walowezi Waisraeli nje ya mipaka ya Israeli ya 1967 kuliendelea.\nSehemu ya vikundi vya kisiasa upande wa Palestina, hasa Hamas, ilikataa kukubali mapatano yaliyofikiwa.\nSwali la pekee lilihusu hali ya Yerusalemu ya Mashariki ambayo Wapalestina wanaidai kama mji mkuu wao ambayo iko nje ya mipaka ya Israeli ya 1967. Lakini Israeli iliwahi kutangaza kuunganishwa kwa mji huu wote na kuitawala sehemu ya magharibi na ya mashariki kama mji mmoja wa Israeli usioweza kutengwa tena.\nTatizo ni pia suala la \"haki ya kurudi\" kwa ajili ya watoto na wajukuu wa wakimbizi Wapalestina wa mwaka 1948 wanaotaka kurudi kwenye makazi ya mababu yaliyo sasa ndani ya eneo la Israeli.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Palestina ni upi?", "answers": [{"text": "Yerusalemu ya Mashariki", "start_byte": 613, "limit_byte": 636}]} {"id": "-600158450183173723-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Ni mlima upi mrefu bara la Afrika?", "answers": [{"text": "Mlima Kilimanjaro", "start_byte": 1254, "limit_byte": 1271}]} {"id": "-6094327450523729194-3", "language": "swahili", "document_title": "Kisiwa", "passage_text": "Greenland inayoitwa kisiwa kikubwa duniani chenye eneo la kilomita za mraba milioni 2.1 na\nAustralia inayotazamiwa kuwa bara dogo duniani lenye eneo la kilomita za mraba milioni 7.7.", "question_text": "Kisiwa kikubwa kinaitwaje?", "answers": [{"text": "Greenland", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "-5218136893084181807-24", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Aidha, katika mwaka wa 1974 Guinea ya Kireno (Guinea-Bissau) ikapata uhuru wake, na katika mwaka wa 1975 Angola, Cape Verde, Mozambique, Sao Tome na Principe zikapata uhuru. Hispania vilevile ikaitoa Sahara ya Magharibi kwa Morocco na Mauritania katika mwaka wa 1976, lakini wananchi wakakataa kuwa chini ya nchi mbili hizi, kukazuka vita. Mauritania ukaitoa sehemu yake na kuipa Morocco katika mwaka wa 1979, tatizo ambalo mpaka sasa linaendelea baina ya Morocco na Sahara ya Magharibi, na Umoja wa Mataifa unajaribu kutatua tatizo hili. Waingereza wakawapa uhuru Shelisheli katika mwaka wa 1976, na Ufaransa ukatoa uhuru kwa visiwa vya Ngazija (Comoro).", "question_text": "Je, Angola ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 100, "limit_byte": 104}]} {"id": "296897909942812122-0", "language": "swahili", "document_title": "Steven Kanumba", "passage_text": "\nSteven Charles Kanumba (alizaliwa tarehe 8 Januari 1984, Shinyanga - alikufa tarehe 7 Aprili 2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini.", "question_text": "Steven Kanumba alifariki akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "alizaliwa tarehe 8 Januari 1984, Shinyanga - alikufa tarehe 7 Aprili 2012", "start_byte": 25, "limit_byte": 98}]} {"id": "-5177757987601214877-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Sudan Kusini", "passage_text": "Mnamo Januari 2011 wakazi wa Sudan Kusini walipiga kura juu ya swali la kujitenga na Sudan wakaamua karibu kwa kauli moja (98.83%) kuwa nchi huru.", "question_text": "Sudani Kusini ilipata Uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 14, "limit_byte": 18}]} {"id": "3226921311388897960-0", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "\n\nBakteria (kutoka Kiyunani βακτήριον, baktērion, yaani \"kifimbo\", kutokana na umbo la bakteria za kwanza kugundulika) au vijasumu ni viumbehai vidogo sana aina ya vidubini. Mwili wa bakteria huwa na seli moja tu. Huonekana kwa hadubini tu na kwa sababu hiyo hazikujulikana katika karne za kale.", "question_text": "Bakteria ni nini?", "answers": [{"text": "viumbehai vidogo sana aina ya vidubini", "start_byte": 144, "limit_byte": 182}]} {"id": "2695632920172337163-20", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo: Kiswahili ni kati ya lugha nne za kitaifa (pamoja na Kilingala, Kiluba na Kikongo), pia lugha ya jeshi. Kiswahili kilifika mashariki ya nchi na misafara ya biashara ya watumwa na pembe za ndovu kutoka Zanzibar na pwani ya Tanganyika. Imeenea zaidi kati ya mchanganyiko wa wafanyakazi kwenye migodi ya Shaba.", "question_text": "Lugha rasmi inayotumika Zanzibar ni gani?", "answers": [{"text": "Kiswahili", "start_byte": 138, "limit_byte": 147}]} {"id": "-5383966316520925822-7", "language": "swahili", "document_title": "Kiini cha atomu", "passage_text": "Mawazo ya kwanza kabisa kuhusu muundo wa atomu yalitoka kwa J.J. Thomson. Mwanasayansi huyu alipendekeza kuwa atomu ni kama mpira ambao katika kuta zake una chaji chanya zenye ukubwa sawa na zile za hasi ambazo zinaelea ndani ya mpira. Hii ina maana kama utaweza kufikiria kuweza kuingiza mkono katika atomu na kama una bahati unaweza kutoa elektroni ndani ya atomu.", "question_text": "Ni mwanasayansi yupi wa kwanza kugundua kuhusu atomi?", "answers": [{"text": "J.J. Thomson", "start_byte": 60, "limit_byte": 72}]} {"id": "1392112761098592471-5", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa kikapu", "passage_text": "Mchezo huu ulianzishwa na mwalimu James Naismith kwenye chuo cha Springfield College huko Massachusetts mwaka 1891. Alibuni mchezo huo kwa ajili ya wanafunzi wake ili wapate mazoezi wakati wa kipupwe waliposhindwa kucheza nje. ", "question_text": "Je,mpira wa vikapu ulianza lini duniani?", "answers": [{"text": "1891", "start_byte": 110, "limit_byte": 114}]} {"id": "-1410931104141538945-0", "language": "swahili", "document_title": "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta", "passage_text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta iliyoko jijini Nairobi, ni Hospitali kongwe zaidi nchini Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1901 na uwezo wa vitanda takribani 40 kama Native Civil Hospital, ilibadilishwa jina na kuitwa King George VI mwaka 1952. Wakati huo,masetla walikuwa wakihudumiwa na hospitali ya jamii iliyoko karibu, European Hospital (sasa inaitwa Nairobi Hospital). Ilibadilishwa jina hadi Kenyatta National Hospital - baada ya Jomo Kenyatta - kufuatia uhuru kutoka Uingereza. Kwa sasa ndiyo hospitali kubwa ya rufaa na mafundisho nchini.", "question_text": "Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi?", "answers": [{"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "-7270317589826942790-0", "language": "swahili", "document_title": "Jack Bauer", "passage_text": "Jack Bauer ni jina la kutaja mhusika mkuu wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24. Uhusika unachezwa na Kiefer Sutherland. Jack Bauer, amepata mafunzo makali na kufanya kazi katika viwango tofauti akiwa kama kachero wa serikali, ikiwemo na Jeshi la US - Delta Force, LAPD SWAT, CIA, na mwishoni katika Kitengo cha Kuzuia Ugaidi (CTU) cha Los Angeles.", "question_text": "Je,mhusika mkuu wa filamu ya 24 ni nani?", "answers": [{"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "7941076255800603277-1", "language": "swahili", "document_title": "Mnyoo", "passage_text": "Maambukizi hutokea kwa njia ya kula chakula kilichoathiriwa na kinyesi chenye mayai ya minyoo aina ya Askaris. Buu wa mnyoo hutotolewa, na kujichimbia kupitia utumbo mdogo, hupita mpaka kwenye mapafu na mwishowe kufikia na kuhamia katika mfumo wa hewa. Kutoka hapo humezwa na mtu na hurudi tena na hukua na kukomaa katika utumbo kwa kuongezeka hadi sentimita 30 (inchi 12) kwa urefu na hujishikiza katika ukuta wa utumbo.", "question_text": "Je,nini haswa huleta minyoo kwa tumbo ya binadamu?", "answers": [{"text": "kula chakula kilichoathiriwa na kinyesi chenye mayai ya minyoo aina ya Askaris", "start_byte": 31, "limit_byte": 109}]} {"id": "-2568471820630311292-1", "language": "swahili", "document_title": "Juba, Sudan", "passage_text": "Idadi ya watu wake ilikuwa 525,953 mwaka wa 2017. Sensa ya Aprili / Mei 2008 matokeo yake yalikataliwa na serikali ya Kusini mwa Sudan. [1]", "question_text": "Nchi ya Sudan kusini ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "525,953", "start_byte": 27, "limit_byte": 34}]} {"id": "1517806023891377689-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Nani alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "6144997455604599006-0", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Petro", "passage_text": "\n\n\n\nSimoni Petro alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mfuasi wa Yesu Kristo, tena kati ya wandani wake.", "question_text": "Je, mfuasi mgani alimkana yesu mara tatu?", "answers": [{"text": "Simoni Petro", "start_byte": 4, "limit_byte": 16}]} {"id": "2117280961747704485-13", "language": "swahili", "document_title": "Usultani wa Zanzibar", "passage_text": "Baada ya kifo cha Sayyid Sultan mwaka 1856, usultani wa Oman uligawiwa kati ya wanawe. Sayyid Majid bin Said Al-Busaid (1834/1835–1870) akawa Sultani wa kwanza wa Zanzibar na kaka yake Sayyid Thuwaini bin Said al-Said akawa Sultani wa Oman akitawala nchi hiyo bila maeneo ya Afrika ya Mashariki.", "question_text": "Sultan wa kwanza wa Zanzibar anaitwaje?", "answers": [{"text": "Sayyid Majid bin Said Al-Busaid", "start_byte": 87, "limit_byte": 118}]} {"id": "-2737298828406412891-12", "language": "swahili", "document_title": "Australia na Pasifiki", "passage_text": "Jina la eneo,\npamoja na bendera[1]Eneo\n(km²)Wakazi\n(kadiro mnamo \n1 Julai 2002)Msongamano\n(watu kwenye km²)Mji mkuuAustralasia (Australia na New Zealand) Australia7,686,85020,697,2412.5CanberraKisiwa cha Krismasi (Australia)[2]1354743.5The Settlement Visiwa vya Cocos (Keeling) (Australia)[2]1463245.1West Island New Zealand[3]268,6803,908,03714.5Wellington Kisiwa cha Norfolk (Australia)351,86653.3KingstonMelanesia[4] Fiji18,270856,34646.9Suva Sehemu za Indonesia[5]499,8524,211,5328.4Jakarta Kaledonia Mpya (Ufaransa)19,060207,85810.9Nouméa Papua Guinea Mpya[6]462,8405,172,03311.2Port Moresby Visiwa vya Solomon28,450494,78617.4Honiara Vanuatu12,200196,17816.1Port VilaMikronesia Shirikisho la Mikronesia702135,869193.5Palikir Kiribati81196,335118.8Teinainano Visiwa vya Marshall18173,630406.8Majuro Nauru2112,329587.1Yaren Visiwa vya Mariana ya Kaskazini Marekani47777,311162.1Saipan Guam (Marekani)549160,796292.9Hagåtña Palau45819,40942.4Melekeok[7]Polynesia[8] Samoa ya Marekani (Marekani)19968,688345.2Fagatogo, Utulei[9] Visiwa vya Cook (New Zealand)24020,81186.7Avarua Polynesia ya Kifaransa (Ufaransa)4,167257,84761.9Papeete Hawaii (Marekani)29,3111,211,53742.75Honolulu Niue (New Zealand)2602,1348.2Alofi Kisiwa cha Pasaka (Chile)163,63,79123,17Hanga Roa Visiwa vya Pitcairn (Uingereza)54710Adamstown Samoa2,944178,63160.7Apia Tokelau (New Zealand)101,431143.1—[10] Tonga748106,137141.9Nuku'alofa Tuvalu2611,146428.7Vaiaku Wallis na Futuna (Ufaransa)27415,58556.9Mata-UtuTotal9,008,45835,834,6704.0", "question_text": "Je,mji mkuu wa Australia ni upi?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 188, "limit_byte": 196}]} {"id": "-310427457974175171-4", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(1 Julai 2008)Wakazi kwa km²Mji mkuuAsia ya Kati: Kazakhstan2,724,92715,666,5335.7Astana Kirgizia198,5005,356,86924.3Bishkek Tajikistan143,1007,211,88447.0Dushanbe Turkmenistan488,1005,179,5739.6Ashgabat Uzbekistan447,40028,268,44157.1TashkentAsia ya Mashariki: Uchina9,584,4921,322,044,605134.0Beijing Hong Kong1,0927,903,3346,688.0— Macau25460,82318,473.3— Japani377,835127,288,628336.1Tokyo Taiwan35,98022,920,946626.7Taipei Korea Kaskazini120,54023,479,095184.4Pyongyang Korea Kusini98,48049,232,844490.7Seoul Mongolia1,565,0002,996,0821.7UlaanbaatarAsia ya Kaskazini: Urusi17,075,400142,200,00026.8MoscowAsia ya Kusini-Mashariki: Brunei5,770381,37166.1Bandar Seri Begawan Myanmar676,57847,758,22470.3Pyinmana Kamboja181,03513,388,91074Phnom Penh Timor Mashariki15,0071,108,77773.8Dili Indonesia1,919,440230,512,000120.1Jakarta Laos236,8006,677,53428.2Vientiane Malaysia329,84727,780,00084.2Kuala Lumpur Ufilipino300,00092,681,453308.9Manila Singapuri7044,608,1676,545.7Singapuri Uthai514,00065,493,298127.4Bangkok Vietnam331,69086,116,559259.6HanoiAsia ya Kusini: Afghanistan647,50032,738,77542.9Kabul Bangla Desh147,570153,546,9011040.5Dhaka Bhutan38,394682,32117.8Thimphu Uhindi3,287,2631,147,995,226349.2New Delhi Uajemi1,648,19570,472,84642.8Tehran Maledivi300379,1741,263.3Malé Nepal147,18129,519,114200.5Kathmandu Pakistan803,940167,762,049208.7Islamabad Sri Lanka65,61021,128,773322.0Sri JayawardenapuraAsia ya Magharibi: Armenia29,8002,968,586111.7Yerevan Azerbaijan46,8703,845,12782.0Baku Bahrain665718,306987.1Manama Kupro9,250792,60483.9Nikosia Palestina3631,537,2693,315.7Gaza Georgia20,4604,630,84199.3Tbilisi Irak437,07228,221,18154.9Baghdad Israel20,7707,112,359290.3Yerusalemu Yordani92,3006,198,67757.5Amman Kuwait17,8202,596,561118.5Jiji la Kuwait Libanon10,4523,971,941353.6Beirut Omani212,4603,311,64012.8Muskat Qatar11,437928,63569.4Doha Uarabuni wa Saudia1,960,58223,513,33012.0Riyad Syria185,18019,747,58692.6Dameski Uturuki756,76871,892,80776.5Ankara Falme za Kiarabu82,8804,621,39929.5Abu Dhabi Yemeni527,97023,013,37635.4Sana'aJumla43,810,5824,162,966,08689.07", "question_text": "Nchi ya Thailand iko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "65,493,298", "start_byte": 1049, "limit_byte": 1059}]} {"id": "6038810984570014569-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Je, bahari kubwa zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-6139030139440229656-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Eneo lina kilometa za mraba 947,303 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2.", "question_text": "Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 947,303", "start_byte": 10, "limit_byte": 35}]} {"id": "-8751711844568700113-4", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Brazil: Hapo Wabrazil wamehamisha mji mkuu kutoka Rio de Janeiro uliyoko pwani na kandokando la eneo la Brazil kwenda mji mpya wa Brasilia kuanzia mwaka 1960. Brasilia ilijengwa mahali pasipo na mji katika miaka 1956 - 1960 BK.", "question_text": "Je,Mji mkuu wa Brazil ni upi?", "answers": [{"text": "Brasilia", "start_byte": 130, "limit_byte": 138}]} {"id": "-6721993193207489088-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,Ziwa kubwa zaidi Afrika ni ipi?", "answers": [{"text": "Viktoria", "start_byte": 11, "limit_byte": 19}]} {"id": "-3668360802718242097-0", "language": "swahili", "document_title": "Madonna (mwanamuziki)", "passage_text": "Madonna Louise Ciccone (/tʃɪˈkoʊni//tʃɪˈkoʊni/, alizaliwa tarehe 16 Agosti 1958) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji na mfanyabiashara. Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mashairi makali na muonekano wa kuvutia katika video za nyimbo zake ambazo zilipelekea kuwa alama katika MTV. Madonna anajulikana kwa kujibadilisha katika muziki na muonekano, na kwa kudumisha unguli wake katika sekta ya muziki. Wakosoaji wa muziki wamebeza tungo zake, na hivyo kupelekea chuki kwa kiasi fulani. Akijulikana kama \"Malkia wa Pop\", Madonna mara nyingi anachukuliwa na wasanii wengine kama mtu mwenye ushawishi.", "question_text": "Mwanamuziki Madonna alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 83, "limit_byte": 87}]} {"id": "-6347875148387143531-0", "language": "swahili", "document_title": "Wilaya ya Musoma Vijijini", "passage_text": "\nWilaya ya Musoma Vijijini ni wilaya moja ya Mkoa wa Mara yenye postikodi namba 31200[1]. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 330,953 [2].", "question_text": "Wilaya ya Musoma ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "330,953", "start_byte": 166, "limit_byte": 173}]} {"id": "1580121704752616011-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenya Data Networks", "passage_text": "Mnamo 2006, KDN ilijulikana kama mwasilishi wa data mkubwa zaidi nchini Kenya na inajiendesha katika kiwango cha Telkom Kenya amboyo inaendeshwa na serikali. KDN ilianza biashara wakati ilipewa leseni ya kuwa mwendeshaji wa mtandao wa data kwa umma na tuume ya Mawasiliano ya Kenya mwaka wa 2003. Makao makuu ya kampuni ziko Mombasa Road, jijini Nairobi.", "question_text": "Je,kampuni ya Kenya Data Networks ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2003", "start_byte": 291, "limit_byte": 295}]} {"id": "-5805794030396203831-5", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara iko kaskazini mwa Afrika. Ina nchi za Moroko, Algeria, Tunisia na Libya upande wa kaskazini. Upande wa kusini kuna nchi za kanda la Sahel kama Chadi, Mali, Mauritania na Niger. Sahara ya Magharibi ina sehemu ufukoni mwa Atlantiki, na upande wa mashariki ni Sudani na Misri ambako oasisi ya mto Nile inakata eneo lake. ", "question_text": "Je,Sahara desert inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Afrika", "start_byte": 25, "limit_byte": 31}]} {"id": "3905713256724531546-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneo", "passage_text": "Taarifa hii inalingana na uanzishwaji wa mikoa mipya minne mnamo Machi 2012, ambao umefikisha jumla ya idadi ya mikoa kuwa 31. Baada ya hapo ulianzishwa Mkoa wa Songwe wenye eneo la [[km2]] 26,595 kutokana na mkoa wa Mbeya.", "question_text": "Je,nchi ya Tanzania ina mikoa ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 123, "limit_byte": 125}]} {"id": "6407056658790171005-41", "language": "swahili", "document_title": "Sean Combs", "passage_text": "\nCombs hajawahi kuolewa, lakini ni baba biologiska wa watoto watano na isiyo stepfather ya mtoto mwingine. Wake juu-tena, off-tena girlfriend Kimberly Porter alikuwa mwana, Quincy Jones Brown (Desemba 1991) na 1980 New Jack Swing Romantic mwimbaji / mtayarishaji Al B Sure. [45] Quincy ulifanywa tarehe My Super Sweet 16. Combs 'mtoto biologiska kwanza ilikuwa Justin Dior Combs (Desemba 1993), mwana wake kutoka uhusiano na high school sweetheart, designer Misa Hylton-Brim. Mtoto wake wa pili ni mwana Mkristo Casey Combs (Aprili 1998) pamoja na Kim Porter. Porter pia alikuwa Combs 'pacha wa kike, Combs D'Lila Star na Jessie James Combs, Desemba 2006.[46] Mwezi Julai 2007 Combs na kuishia Porter uhusiano wao.[47] Oktoba 2007 Combs alichukua wajibu wa kisheria kwa ajili ya Kubahatisha, binti yake pamoja na Sarah Chapman.[45]", "question_text": "Je,P,Diddy ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watano", "start_byte": 61, "limit_byte": 67}]} {"id": "-4601284205608127456-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Mlima mkubwa katika mkoa wa Kilimanjaro unaitwaje?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "-5802361013180487530-5", "language": "swahili", "document_title": "Saa (ala)", "passage_text": "Dhana ya saa ya mkono ina historia ndefu toka wakati wa uzalishaji wa saa za mwanzo kabisa katika karne ya 16. Malkia Elizabeth I wa Uingereza alipokea saa ya mkono kutoka kwa Robert Dudley mnamo mwaka wa 1571. Mwaka wa 1775 saa ilipatikana yenye uwezo wa kukaza kamani yake kwa nishati ya msuko suko wa mkono mtu akitembea na mpaka wa leo inatumika na watu wengi. Saa ya mkono ya zamani kabisa iliyopo hadi hivi sasa (iliyokuwa ikiitwa saa ya bangili) ilitengenezwa mwaka 1806. Mwanzoni saa za mkono zilikuwa zikivaliwa na wanawake tu, wakati wanaume walikuwa wakitumia saa za mfukoni hadi karne ya 20.[1]", "question_text": "Je,nani alizindua saa ya mkono ya kwanza?", "answers": [{"text": "Robert Dudley", "start_byte": 176, "limit_byte": 189}]} {"id": "-418586024107480832-17", "language": "swahili", "document_title": "Mto", "passage_text": "6.671 km - Nile: Luvironza-Ruvuvu-Ruvusu-Kagera-Nile Nyeupe-Nile - (Afrika)\n6.387 km - Amazonas: Apurimac-Ene-Tambo-Ucayali-Amazonas - (Amerika ya Kusini)\n6.380 km - Yangtse (Cháng Jiāng) - (Asia)\n6.051 km - Mississippi-Missouri - (Amerika ya Kaskazini)\n5.940 km - Yenisei-Angara - (Asia)\n5.410 km - Ob-Irtysch - (Asia)\n5.052 km - Amur-Argun-Kerulen - (Asia) - (pekee wakati wa mvua nyingi)\n4.845 km - Huang He - (Asia)\n4.500 km - Mekong - (Asia)\n4.374 km - Kongo - (Afrika)", "question_text": "Je,mto mkubwa kabisa duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 11, "limit_byte": 15}]} {"id": "3895353294597712599-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je nani mmiliki wa kampuni ya Microsoft?", "answers": [{"text": "Bill Gates", "start_byte": 68, "limit_byte": 78}]} {"id": "-5788886016880917299-0", "language": "swahili", "document_title": "Apollo 11", "passage_text": "\nApollo 11 ilikuwa chombo cha angani cha kwanza kufikisha watu kwenye Mwezi. Hii yote ilifanywa na NASA (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo 16 Julai 1969 kikibeba wanaanga watatu Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kufika kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins", "start_byte": 209, "limit_byte": 255}]} {"id": "3360496057075208340-0", "language": "swahili", "document_title": "Usain Bolt", "passage_text": "Usain Bolt St Leo (/ ju ː seɪn /, Born. Agosti 21, 1986, Trelawny, Jamaika) ni mwanariadha alishinda medali tatu za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki.\nAnashikilia rekodi ya dunia ya sasa katika wote 100 na 200 dash mita na alama ya 9:58 na sekunde 19:19 mtiririko huo. Got alama hizi katika XII ya Mabingwa wa Dunia uliofanyika katika Berlin. Hasa, Bolt imeweza kuvunja rekodi kwa dash mita 100 Agosti 16, 2009 [2] na mita 200 kwa siku nne baadaye, tarehe 20 Agosti 2009. [3]", "question_text": "Je,Usain Bolt alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "Agosti 21, 1986", "start_byte": 42, "limit_byte": 57}]} {"id": "-7114808139193293281-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je,bahari Hindi ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 70,560,000", "start_byte": 43, "limit_byte": 71}]} {"id": "7747548918183456195-3", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Mji mkuu ni Nairobi. ", "question_text": "Mji mkuu wa Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "6535031649094132279-0", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nUlaya (asili ya jina ni neno la Kiarabu ولاية, wilaayatun[1]; inaitwa pia Uropa) ni bara lenye eneo la km² 10,600,000 tu, lakini wakazi ni milioni 700. ", "question_text": "Je,bara Ulaya ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 700", "start_byte": 151, "limit_byte": 162}]} {"id": "8465203108606869477-11", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Lualaba inabadilisha jina lake mjini Kisangani ambako mto umepita maporomoko ya Bayoma na baada ya hapo huitwa Kongo. Mto unaelekea kwenda kaskazini halafu mwendo wake unapinda kuelekea kusini magharibi, unapita mji wa Mbandaka unapopokea mto Ubangi halafu unaingia katika Bwawa la Malebo (ing. Stanley Pool). Miji ya Kinshasa na Brazzaville inatazamana ikiwa pande mbili za bwawa hili. Baada ya bwawa mto unakuwa mwembamba ukipita katika mabonde ya korongo kwenye idadi ya maporomoko inayojulikana kama maporomoko ya Livingstone Falls). Unapita miji ya Matadi na Boma (Kongo) na kuufikia baharini kwenye mji mdogo wa Muanda.", "question_text": "Mji mkubwa Kongo ni upi?", "answers": [{"text": "Brazzaville", "start_byte": 330, "limit_byte": 341}]} {"id": "-1272200491018071574-1", "language": "swahili", "document_title": "Richard Petrus", "passage_text": "Richard alizaliwa tar. 10 Agosti 1984, Dar es Salaam na akiwa mtoto wa nne wa familia ya Vincent na Mtanzania Mariam Muhammed ambaye ni Mzaramo.", "question_text": "Richard Vincent Corleleus Petrus alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "-611794943188594912-2", "language": "swahili", "document_title": "Agano Jipya", "passage_text": "Vitabu vyake 27 vinaleta habari zake, za mitume wake na za mwanzo wa Kanisa lake.", "question_text": "Je,Agano Jipya ina vitabu ngapi?", "answers": [{"text": "27", "start_byte": 13, "limit_byte": 15}]} {"id": "7179811010771851914-0", "language": "swahili", "document_title": "Gesi", "passage_text": "Gesi ni moja kati ya hali maada. Katika hali ya gesi atomi hazishikani pamoja kama gimba mango bali zaelea kwa mwendo huria. ", "question_text": "Gesi ni nini?", "answers": [{"text": "moja kati ya hali maada", "start_byte": 8, "limit_byte": 31}]} {"id": "166588112350464140-2", "language": "swahili", "document_title": "Robert Baden-Powell", "passage_text": "Baden-Powell alizaliwa kama Robert Stephenson Smyth Powell katika Stanhope Street 6 (sasa Stanhope Terrace), Paddington huko London, mnamo 22 Februari 1857. Aliitwa Stephe (aitwaye \"Stevie\") na familia yake. baada ya godfather yake, Robert Stephenson, mhandisi wa reli na wa kiraia; [11] jina lake la tatu lilikuwa jina la mke wa mama yake.", "question_text": "Robert Braden alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Paddington huko London", "start_byte": 109, "limit_byte": 131}]} {"id": "-8832102138529202739-0", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Alden", "passage_text": "Kampuni ya Viatu ya Alden ilianzishwa katika mwaka wa 1884 na Charles H. Alden.Hii ni kampuni ya kuunda viatu vya wanaume,vya kazi na vya anasa pia. Kampuni hii ina makao yake Middlesborough, Massachusetts.Hii kampuni ya kuunda viatu ilipatikana katika eneo la New England na inaendelea kuendesha biashara yake huko hadi sasa.", "question_text": "Je,makao makuu ya kampuni ya viatu ya Alden inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Middlesborough, Massachusetts", "start_byte": 176, "limit_byte": 205}]} {"id": "8255225984560268535-130", "language": "swahili", "document_title": "Tarakilishi", "passage_text": "Kompyuta haiwezi kufanya kazi mpaka kipatikane kitu kinachoitwa software, ambacho kinawakilisha programu zinazoendesha kompyuta. Programu hizo zimegawanyika katika sehemu kuu mbili:", "question_text": "Je, kuna programu ngapi za Kompyuta?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 175, "limit_byte": 180}]} {"id": "2019209746465477225-4", "language": "swahili", "document_title": "Alinikisa Cheyo", "passage_text": "Amechaguliwa kuwa askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi tangu mwaka 2000. Amekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji tangu mwaka 2011.", "question_text": "Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa Kanisa la Moravian mwaka gani?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 94, "limit_byte": 98}]} {"id": "-1185381115159547981-0", "language": "swahili", "document_title": "Kulungu Aktiki", "passage_text": "\nKulungu aktiki (Kilat.: Rangifer tarandus), pia hujulikana kama karibu katika Amerika Kaskazini ni spishi ya kulungu anayeishi Aktiki na maeneo ya chini ya Aktiki. Kuna nususpishi 14, lakini 2 zimekwisha sasa.", "question_text": "Je,jina la kisayansi la Kulungu aktiki ni ipi?", "answers": [{"text": "Rangifer tarandus", "start_byte": 25, "limit_byte": 42}]} {"id": "-8196243478844385488-3", "language": "swahili", "document_title": "Karl Friedrich Benz", "passage_text": "1886 Benz alikuwa mtu wa kwanza aliyeweka injini ya petroli kwa gari. Gari lake la kwanza lilikuwa na magurudumu matatu yenye nguvu-farasi 0.8. Mke wake Bertha Benz alifanya safari kubwa ya kwanza kwa gari hili kwa umbali wa km 89 kutoka Mannheim kwenda Pforzheim (yote Ujerumani wa Kusini Magharibi). Alipoishia petroli alipaswa kuinunua katika duka ya madawa kwani hapakuwapo na kituo cha petroli bado.", "question_text": "Gari la kwanza lilitengenezwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1886", "start_byte": 0, "limit_byte": 4}]} {"id": "500151668645126064-0", "language": "swahili", "document_title": "Dehradun", "passage_text": "Dehradun ni jina la mji mkuu wa jimbo la Uttarakhand katika Uhindi. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2001, mji una wakazi wapatao 450,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 657 kutoka juu ya usawa wa bahari.", "question_text": "Mji mkuu wa Uttarakhand ni?", "answers": [{"text": "Dehradun", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "-2444874253824739241-43", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 miongoni mwa wanaume waliokuwa wanaingiliana (mashoga) na miongoni mwa watu waliokuwa wanajidunga sindano katika jiji la New York na California. Baadaye maambukizi mengine yaligundulika pia kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika. Kwa haraka UKIMWI ukawa ugonjwa wa mlipuko duniani kote ukiathiri karibia kila nchi. Mpaka mwaka 2002, ilikadiriwa kuwa watu wazima wapato milioni 38.6 na watoto milioni 3.2 duania kote wanaishi na VVU au UKIMWI. Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limekadiria kuwa kutoka mwaka 1981 mpaka mwisho wa mwaka 2002 watu karibia milioni 20 walikuwa wamekufa kutokana na UKIMWI. Kiasi cha hao milioni 4.5 walikuwa ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.", "question_text": "Ugonjwa wa Ukimwi uligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "1089247404460099005-0", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Diamond Platnumz (kwa jina lake halisi anaitwa Nasibu Abdul Juma; alizaliwa tarehe 2 Oktoba mwaka 1989) ni msanii wa Bongo Flava na dancta kutoka Tanzania.", "question_text": "Je, mwanamziki Diamond alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1989", "start_byte": 98, "limit_byte": 102}]} {"id": "182343127028294052-1", "language": "swahili", "document_title": "Hamas", "passage_text": "Hamas ilianzishwa na Sheikh Ahmed Yassin, Abdel Aziz al-Rantisi na Mohammed Taha wa bawa la Misri la Undugu wa Kipalestina mwaka 1987 katika Intifada ya kwanza ya uasi dhidi ya utawala wa Israel katika nchi ya Palestina. Kupitia ufadhili wake na usimamizi wa shule, kliniki za afya ya huduma, misikiti, vikundi vya vijana, klabu za michezo, na vituo vya huduma ya siku, katikati ya miaka ya 1990 Hamas ilipata wafwasi wengi katika nchi ya Palestina. Inakadiriwa kuwa 80-90% ya mapato ya Hamas yanatumiwa katika kuendeleza afya, ustawi wa jamii, dini, utamaduni, na huduma za elimu. Katika pande za kijeshi Hamas ilihusika na washambuliaji wa kujiua dhidi ya Israel wa kwanza ukiwa 1993. Katika mwaka wa 2005 mashambuliaji ya kujiua yalisitishwa lakini yakaanza upya tena mwaka wa 2006. Katika miaka ya hivi karibuni Hamas ina hasa kushambulia Israel kwa roketi na moto chokaa.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa chama cha Hamas?", "answers": [{"text": "Sheikh Ahmed Yassin, Abdel Aziz al-Rantisi na Mohammed Taha", "start_byte": 21, "limit_byte": 80}]} {"id": "4538694120408558629-0", "language": "swahili", "document_title": "Eminem", "passage_text": "\nMarshall Bruce Mathers III (amezaliwa tar. 17 Oktoba 1972) anafahamika zaidi kama Eminem na Slim Shady, ni mshindi wa tuzo ya Academy na tuzo nyinginyingi za Grammy-msanii bora wa muziki wa rap wa Kimarekani. Amewahi kuuza albamu zake zaidi ya milioni sabini kwa hesabu ya dunia nzima.", "question_text": "Mwanamziki Eminem alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1972", "start_byte": 54, "limit_byte": 58}]} {"id": "-2124053288703676630-0", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Diamond Platnumz (kwa jina lake halisi anaitwa Nasibu Abdul Juma; alizaliwa tarehe 2 Oktoba mwaka 1989) ni msanii wa Bongo Flava na dancta kutoka Tanzania.", "question_text": "Je,jina halisi la mwanamziki Diamond Platnumz ni gani?", "answers": [{"text": "Nasibu Abdul Juma", "start_byte": 47, "limit_byte": 64}]} {"id": "-3351448808859062753-32", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mwaka kiongozi wa upande wa migambo ya uhuru Guerrero na jenerali wa jeshi la serikali Agustin de Iturbide walikutana wakapatana kuungana. Vikosi vingi vya jeshi la kikoloni vilihamia upande wao. Gavana mpya aliyefika kutoka Hispania aliamua kukubali uhuru uliotangazwa tarehe 28 Septemba 1821. Iturbide alikuwa rais wa kwanza na baadaye kwa kipindi kifupi Kaisari wa Mexiko hadi kujiuzulu mwaka 1823: hapo Mexiko ikaendelea kuwa jamhuri.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Mexiko aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Iturbide", "start_byte": 295, "limit_byte": 303}]} {"id": "2324479892028567510-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je, mlima mrefu zaidi Afrika ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "-8887523834665486390-0", "language": "swahili", "document_title": "T-Pain", "passage_text": "Faheem Rasheed Najm (amezaliwa tar. 30 Septemba 1985) ni mwimbaji-mtunzi, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama T-Pain. Ameanza shughuli za urapa akiwa katika kundi la Nappy Headz. Mnamo mwaka wa 2005, akawa mwimbaji na kuweza kutoa albamu yake ya kwanza iliyoitwa Rappa Ternt Sanga ikiwa na vibao vyake vikali vya \"I'm Sprung\" na \"I'm N Luv (Wit A Stripper)\". Shughuli zake kama mwimbaji, T-Pain ametumia sana kionjo cha sauti cha Auto-Tune. Tangu kutolewa kwa albamu yake ya kwanza, T-Pain ametayarisha vibao kadhaa vikali vyake mwenyewe na vya marapa na waimbaji wengine wa R&B. T-Pain pia amekuwa na single kumi kwenye chati za Billboard Hot 100. Mnamo mwaka wa 2008, ameshinda tuzo ya Grammy na rapa Kanye West kwa ajili ya single ya \"Good Life\". Mnamo mwaka wa 2010 ameshinda tuzo nyingine ya Grammy na Jamie Foxx kwa ajili ya single ya \"Blame It\". T-Pain pia ni mwanzilishi wa studio ya kurekodia ya Nappy Boy Entertainment, imeanzishwa mwaka wa 2005.", "question_text": "Jina ya kuzaliwa ya msanii T-Pain ni nini?", "answers": [{"text": "Faheem Rasheed Najm", "start_byte": 0, "limit_byte": 19}]} {"id": "3411899985958801498-0", "language": "swahili", "document_title": "Mwanza (mji)", "passage_text": "\nJiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).", "question_text": "Wilaya ya mwanza ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "378,327", "start_byte": 188, "limit_byte": 195}]} {"id": "-7848963548504726413-1", "language": "swahili", "document_title": "Cheche (samaki)", "passage_text": "Spishi mbili za cheche ni Megalops atlanticus (cheche wa Atlantiki) na Megalops cyprinoides (cheche wa Indo-Pasifiki). Cheche wa Atlantiki hupatikana pwani ya Atlantiki ya Magharibi kutoka Virginia mpaka Brazili, kupitia pwani ya Ghuba ya Mexico, na katika Bahari ya Karibi. Cheche pia hupatikana pwani ya Atlantiki ya Mashariki kutoka Senegali hadi kusini mwa Angola. Cheche wa Indo-Pasifiki hupatikana pwani ya Afrika ya Mashariki, kusini-mashariki kote mwa Asia, Japani, Tahiti na Australia.", "question_text": "Spishi ya pili ya Cheche inaitwaje?", "answers": [{"text": "Megalops cyprinoides", "start_byte": 71, "limit_byte": 91}]} {"id": "-619718791200304811-0", "language": "swahili", "document_title": "Masi", "passage_text": "Masi (kutoka Kiingereza: \"mass\"; kwa Kiswahili pia: Tungamo) katika elimu ya fizikia ni tabia ya mata, na kwa njia hii pia tabia ya gimba au dutu. ", "question_text": "Masi ni nini?", "answers": [{"text": "tabia ya mata", "start_byte": 88, "limit_byte": 101}]} {"id": "-3434412387557286185-3", "language": "swahili", "document_title": "Mnyanya", "passage_text": "Kulingana na Andrew Smith, aliyeandika kitabu cha ‘The Tomato in America’, nyanya zilianza sehemu za miinuko ya magharibi ya kusini mwa Amerika. Hata hivyo anasema hakuna ushahidi wa kuonesha kuwa nyanya zilikuwepo na hata kuliwa huko Peru kabla ya Wahispania hawajavamia.\nNyanya huko Hispania, baada ya utawala wa wahispania huko Amerika, wahispania walisambaza nyanya kwenye makoloni yake yote mpaka Kusini mwa Asia na baadaye Asia yote. Wahispania walipeleka nyanya Ulaya pia. Nyanya zilikuwa nzuri sana huko Mbarka wa Mediteranean na kilimo chake kilianza rasmi mnamo 1540. Nyanya zilianza kuliwa rasmi na huko Hispania mnamo 1600. Mwaka 1692, kilipatikana kitabu kinachoaminika kuwa kilichapishwa huko Naples, kilichokuwa kikielezea mapishi yaliyohusika nyanya kama kiungo.", "question_text": "Kilimo cha nyanya kilianza lini?", "answers": [{"text": "1540", "start_byte": 576, "limit_byte": 580}]} {"id": "7539417411412811097-1", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Amekuwa na nyimbo nyingi ikiwa ni pamoja na \"Number One\" ambayo alionekana mtaalamu wa Nijeria Davido.", "question_text": "Je,Davido ni mwanamziki kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Nijeria", "start_byte": 87, "limit_byte": 94}]} {"id": "8599832503779695616-0", "language": "swahili", "document_title": "Wilaya za Uganda", "passage_text": "\nUganda imegawanywa katika wilaya 121 na mji mkuu wa Kampala [1] zilizosambaa katika mikoa minne. ", "question_text": "Uganda ina wilaya ngapi?", "answers": [{"text": "121", "start_byte": 34, "limit_byte": 37}]} {"id": "6546151188842460875-1", "language": "swahili", "document_title": "NATO", "passage_text": "NATO ilianzishwa mwaka 1949 wakati wa vita baridi kama maungano ya nchi za Ulaya ya magharibi pamoja na Marekani dhidi ya Umoja wa Kisovyeti na nchi shiriki zake katika Mapatano ya Warshawa. Nchi wanachama wa kwanza walikuwa Marekani, Ubelgiji, Uholanzi, Luxemburg, Ufaransa, Uingereza, Kanada, Ureno, Italia, Norwei, Denmark na Iceland. 1952 Ugiriki na Uturuki zilijiunga pia zikafuatwa na Ujerumani ya Magharibi.", "question_text": "Je, mfumo wa NATO ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1949", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "-8667044070361180304-0", "language": "swahili", "document_title": "Zeu", "passage_text": "Zeu (pia Zeus kutoka Kigiriki: Ζεύς Zeus) ni mkuu wa miungu katika dini ya Ugiriki ya Kale. Analingana na Jupiter katika dini ya Roma ya Kale. Katika imani ya Wagiriki alikalia kilele cha mlima Olimpos pamoja na miungu wenzake alkini alikuwa mkuu na mwenye nguvu kushinda wengine. ", "question_text": "Jina Jupiter linatokana na nini katika Dini ya Roma?", "answers": [{"text": "Zeus", "start_byte": 9, "limit_byte": 13}]} {"id": "-3724346174722350926-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Ndovu anaishi kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "2758211670890310774-1", "language": "swahili", "document_title": "Leo Africanus", "passage_text": "Alizaliwa mnamo mwaka 1490 kwa jina la الحسن بن محمد الوزان (Al-Hasan ibn Mohammed al-Wassan) katika mji wa Granada uliokuwa mji mkuu wa dola la mwisho wa Waislamu katika Hispania. Baada ya kutekwa kwa mji na Wahispania Wakristo 1492 familia yake ilihamia Fes (Moroko). Hapo kijana alisoma kwenye chuo kikuu cha Al-Qairawin. ", "question_text": "Leo Africanus alisomea wapi?", "answers": [{"text": "chuo kikuu cha Al-Qairawin", "start_byte": 314, "limit_byte": 340}]} {"id": "191175295830385019-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una futi ngapi?", "answers": [{"text": "19340", "start_byte": 49, "limit_byte": 54}]} {"id": "2893138938205844863-4", "language": "swahili", "document_title": "Guinea Bisau", "passage_text": "Zamani ilikuwa koloni la Ureno kwa jina la Guinea ya Kireno. Baada ya uhuru (1973/1974) jina la mji mkuu wake lilishika nafasi ya nchi tawala kuwa Guinea-Bisau kwa kusudi la kuitofautisha na nchi jirani ya Guinea na ile ya Guinea ya Ikweta.", "question_text": "Guinea ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1973/1974", "start_byte": 77, "limit_byte": 86}]} {"id": "-3770606334345521483-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Tangu ushindi wa kijeshi mwaka 1994 RPF walianzisha serikali ya umoja wa kitaifa. Rais alikuwa Pasteur Bizimungu mwanasiasa Mhutu aliyeshikamana na RPF, Kagame akiwa makamu wake. Baada ya kupinduliwa kwa Bizimungu mwaka 2000 Kagame akawa Rais. ", "question_text": "Rais wa Rwanda anaitwaje?", "answers": [{"text": "Kagame", "start_byte": 225, "limit_byte": 231}]} {"id": "-3062569215479108660-3", "language": "swahili", "document_title": "Otto von Bismarck", "passage_text": "\nJina lake kamili lilikuwa Otto Eduard Leopold von Bismarck-Schönhausen. Alizaliwa katika familia ya kitemi wa cheo cha chini katika ufalme wa Prussia, mama yake alikuwa wa asili ya kiraia.", "question_text": "Otto Von Bismarck alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "ufalme wa Prussia", "start_byte": 134, "limit_byte": 151}]} {"id": "3876171857829602263-2", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania ina eneo la takriban km2 947.303.", "question_text": "Ukubwa wa nchi ya Tanzania kijiographia ni kiasi gani?", "answers": [{"text": "km2 947.303", "start_byte": 30, "limit_byte": 41}]} {"id": "-5335880383182109826-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Rais Donald Trump wa Marekani aliingia mamlakani akiwa na umri gani?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 2769, "limit_byte": 2773}]} {"id": "-8534824666433013062-0", "language": "swahili", "document_title": "Khalilou Fadiga", "passage_text": "Khalilou Fadiga (amezaliwa 30 Desemba 1974) ni mwanakandanda wa Senegal na Ufaransa ambaye mwisho alicheza katika kiungo cha kati kwa klabu ya Germinal Beerschot Antwerpen ya Ubelgiji. Pia ana pasipoti ya Ubelgiji.", "question_text": "Khalilou Fadiga alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1974", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "-7059185434846475247-26", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Kongo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "2818919492649437192-3", "language": "swahili", "document_title": "Jiji", "passage_text": "Lagos, Nigeria - milioni 16\nKinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - milioni 11.9\nCairo, Misri - milioni 10.2\nCasablanca, Moroko - milioni 5.1\nAbidjan, Cote d'Ivoire - milioni 4.8\nAleksandria, Misri - milioni 4.6\nJohannesburg, Afrika Kusini - milioni 4.4\nDar es Salaam, Tanzania - milioni 4.4\nGiza, Misri - milioni 4.2\nCape Town, Afrika Kusini - milioni 3.7\nKhartoum, Sudan - milioni 3.6\nDurban, Afrika Kusini - milioni 3.4\nAlgiers, Aljeria - milioni 3.4\nEkurhuleni, Afrika Kusini - milioni 3.2\nNairobi, Kenya - milioni 3.1\nAddis Ababa, Ethiopia - milioni 3.1\nLuanda, Angola - milioni 2.8\nDouala, Kamerun - milioni 2.4\nYaoundé, Kamerun - milioni 2.4\nOuagadougou, Burkina Faso - milioni 2.2\nKano, Nigeria - milioni 2.2\nAccra, Ghana - milioni 2.1\nBrazzaville, Jamhuri ya Kongo - milioni 1.8\nMaputo, Msumbiji - milioni 1.8\nLusaka, Zambia - milioni 1.7\nHarare, Zimbabwe - milioni 1.6\nOran, Aljeria - milioni 1.6\nKampala, Uganda - milioni 1.5", "question_text": "Je,jiji la Nairobi ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 3.1", "start_byte": 516, "limit_byte": 527}]} {"id": "3556003442433257237-1", "language": "swahili", "document_title": "Waanglikana", "passage_text": "Katika karne ya 16 mfalme Henry VIII alitenga Kanisa la nchi hiyo na Kanisa Katoliki. ", "question_text": "Kanisa la Anglikana lilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Henry VIII", "start_byte": 26, "limit_byte": 36}]} {"id": "-2380570739887009131-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Ndovu huishi kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "-3541472647149711421-9", "language": "swahili", "document_title": "Zuhura", "passage_text": "Hali ya hewa ni ya joto sana, kwa wastani sentigredi 500. Hewa yake ni hasa ya kabonidaioksaidi[1] inayosababisha mawingu mengi yanayozuia sura yake isionekane kwa darubini. Kutokana na halijoto kali hakuna maji.", "question_text": "Kuna joto kiasi gani katika sayari Zuhura?", "answers": [{"text": "sentigredi 500", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}]} {"id": "-1599213965856205414-1", "language": "swahili", "document_title": "Lulu Ng'wanakilala", "passage_text": "Ng'wanakilala ana shahada ya sheria ya LLB kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, LLM katika Sheria ya Kimataifa na Haki za Binadamu kutoka Chuo Kikuu cha Liverpool, UK, Chartered Institute of Personnel and Development (CIPD) kutoka Uingereza na Chuo Kikuu cha Biashara na Usimamizi kutoka Chuo Kikuu cha John Moores huko Uingereza Liverpool. Uongozi katika Mawasiliano ya Afya Mkakati (LSHC) kutoka Chuo Kikuu cha Johns Hopkins, Shule ya Afya ya Umma, Kituo cha Mawasiliano Programu (CCP).[2]", "question_text": "Lulu Ng’wanakilala alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "shahada ya sheria ya LLB kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, LLM katika Sheria ya Kimataifa na Haki za Binadamu kutoka Chuo Kikuu cha Liverpool, UK, Chartered Institute of Personnel and Development (CIPD) kutoka Uingereza na Chuo Kikuu cha Biashara na Usimamizi kutoka Chuo Kikuu cha John Moores huko Uingereza Liverpool. Uongozi katika Mawasiliano ya Afya Mkakati (LSHC) kutoka Chuo Kikuu cha Johns Hopkins, Shule ya Afya ya Umma, Kituo cha Mawasiliano Programu", "start_byte": 18, "limit_byte": 481}]} {"id": "-4573367723597573955-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Je,Rwanda ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 411, "limit_byte": 415}]} {"id": "-3927953938777031131-17", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "-4696557099556180886-4", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "\nKilabu kilianzishwa kikijulikana kama Newton Heath L & YR F.C. mwaka wa 1878 kama timu ya kazi ya bohari la Reli la Lancashire na Yorkshire huko Newton Heath. Mashati ya kilabu hiyo yalikuwa ya kijani na nusu dhahabu. Walicheza kwenye uwanja mdogo, uliochakaa huko North Road kwa miaka kumi na mitano, kabla ya kuhamia Bank Street katika mji wa karibu wa Clayton mwaka wa 1893. Kilabu kilikuwa kimeingia ligi ya kandanda ya Football Leagu mwaka uliotangulia na kuanza kukatiza uhusiano wake na bohari la reli, na ikawa kampuni ya kujitegemea, ikimteua katibu wa kilabu na kudondoasha herufi “L&YR” kutoka jina lao na kujiita Newton Heath F.C. Muda mrefu haukupita, mwaka 1902, kilabu kilikaribia kufilisika, kikawa na madeni ya zaidi ya £2,500. Wakati mmoja, uwanja wao wa Bank Street ulifungwa na wadai wao.[10]", "question_text": "Je, klabu ya Manchester United ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "-9044494531966844181-0", "language": "swahili", "document_title": "Anna Margareth Abdallah", "passage_text": "Anna Margareth Abdallah (alizaliwa 26 Julai 1940 ), ni mwanasiasa wa chama cha mapinduzi na aliwahi kuwa mbunge wa viti maalumu kwa kipindi cha mwaka 2010 hadi mwaka 2015.[1]", "question_text": "Je,Anna Ndege alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "7253105610856236513-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "90784114171147271-2", "language": "swahili", "document_title": "Portland Tribune", "passage_text": "Mfaniyibiashara wa Portland, Robert B. Pamplin Jr. alitangaza nia yake ya kuanzisha gazeti hilo katika mwaka wa 2000. Toleo la kwanza la gazeti hili lililoanza kwa kuchapishwa mara mbili kwa wiki (Jumanne na Ijumaa) lilichapishwa 9 Februari 2001.Likiingia katika soko lililokuwa na magazeti kama The Oregonian (gazeti pekee la habari za jumla) na magazeti ya kila wiki: Willamette Week na The Portland Mercury. Wakati huo, ulikuwa mfano nadra sana wa upanuzi katika biashara ya magazeti kwa sababu kampuni nyingi za magazeti zilikuwa zikifungwa ama zikiungana. Uzinduzi wake ulitangulia kuteremka kwa matangazo katika magazeti. Hili likawa tatizo katika kuanzisha uchapishaji wa gazeti hili. Miezi kumi na moja baada ya uzinduzi,Portland Tribune lilipunguza shughuli zake za kuwasilisha magazeti hadi nyumbani za watu. Gazeti hili liliripotiwa kuleta hasara zaidi kuliko ilivyotarajiwa. Ulipofika mwisho wa mwaka wa 2006, wafanyikazi wa chumba cha habari cha gazeti hili walipunguzwa hadi wakawa 27.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa gazeti la Portland tribune?", "answers": [{"text": "Robert B. Pamplin Jr", "start_byte": 29, "limit_byte": 49}]} {"id": "-6407179119289966813-0", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya Brookhouse", "passage_text": "Shule ya Kimataifa ya Brookhouse iko katika kitongoji mjini Nairobi, karibu kilomita 14 kutoka katikati ya jiji. Shule hii ilifunguliwa mnamo mwaka wa 1981 na sasa ina shule ya chekechea, ya msingi na ya upili. Kuna bweni malazi kwa wanafunzi 150. Vifaa vya michezo vilivyomo ni kama bwawa la kuogelea na nyanja za kuchezea mpira, mpira wa raga na kriketi Shule hii iko karibu na Mbuga ya wanyama ya Nairobi na eneo kubwa la mbuga hii inaweza kutizamwa kutoka kwa bweni ya wanafunzi.", "question_text": "Shule ya Kimataifa ya Brookhouse ina bweni malazi kwa wanafunzi wangapi?", "answers": [{"text": "150", "start_byte": 244, "limit_byte": 247}]} {"id": "-5566766510768022368-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Kuna mikoa mingapi nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "6395757104442436477-36", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya ulikuwa kati ya vilele virefu Afrika kuonekana kwa mara ya kwanza na wapelelezi kutoka Ulaya. Wa kwanza kuuona alikuwa Johann Ludwig Krapf, mmisionari Mjerumani[18], tarehe 3 Desemba 1849[7], kutoka Kitui, mji ulio km 160 kutoka mlima[42], baada ya ugunduzi wa Mlima Kilimanjaro.", "question_text": "Je,mishonari wa kwanza kufika Kenya ni nani?", "answers": [{"text": "Johann Ludwig Krapf", "start_byte": 131, "limit_byte": 150}]} {"id": "-6763953040973719042-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-3489139840102698582-9", "language": "swahili", "document_title": "Tom Mboya", "passage_text": "Baba Mboya Leonard Ndiege alikuwa mwangalizi katika katani mashamba katika Kilima Mbogo [9]. Pamela Mboya Mboya kuolewa katika 1962 (mwenyewe binti wa mwanasiasa Walter Odede). Walikuwa na watoto watano, ikiwa ni pamoja na binti Maureen Odero, juu ya jaji katika mahakama ya Mombasa, na Susan Mboya, en Coca-Cola mtendaji ambao unaendelea airlift mpango wa elimu ulioanzishwa na Tom Mboya. Watoto wao ni Luka na ndugu pacha Petro (alikufa mwaka 2004 katika ajali ya pikipiki) na Patrick (alikufa wazee nne). Baada ya Tom kifo, Pamela alikuwa na mtoto mmoja, Tom Mboya Jr, na Alphonse Okuku, ndugu wa Tom Mboya [10]. Pamela alifariki ya ugonjwa katika Januari 2009 wakati wakitafuta tiba katika Afrika ya Kusini [5].", "question_text": "Je,mke wa Tom Mboya anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Pamela Mboya Mboya", "start_byte": 97, "limit_byte": 115}]} {"id": "-5808309558781362869-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Je,mji mkuu wa Malawi ni gani?", "answers": [{"text": "Lilongwe", "start_byte": 143, "limit_byte": 151}]} {"id": "3896777590680121112-0", "language": "swahili", "document_title": "Mamba (mnyama)", "passage_text": "\n\nMamba au ngwena ni spishi kubwa za reptilia za oda Crocodilia. Mamba wanaishi majini na hupatikana maeneo mengi ya kitropiki katika Afrika, Asia, Australia na Amerika. Mamba hupenda kuishi katika maji baridi kama vile maziwa, mito, ardhi tepe-tepe. Mamba hula hasa wanyama wenye uti wa mgongo kama vile samaki, reptilia na mamalia na wakati mwingine hata wale wasio na uti wa mgongo kama vile jamii ya konokono , moluski na kaasi kutegemeana na aina yao hasa. Mamba bado ni mlolongo wa viumbe wa kale na husemekana kuwa wamekadiriwa kidogo mno, tangu enzi zile za mirosana. ", "question_text": "Je,mamba iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "reptilia", "start_byte": 37, "limit_byte": 45}]} {"id": "-8565596620252493427-0", "language": "swahili", "document_title": "Volkswagen", "passage_text": "\nVolkswagen (maana ya Kijerumani: gari la wananchi) inayojulikana pia kwa kifupi chake VW (tamka ing. vii-dabl-yu au jer. vau-we) ni kampuni ya kutengeneza motokaa kutoka nchini Ujerumani. Makao makuu yapo mjini Wolfsburg katika jimbo la Saksonia Chini lakini ina viwanda katika sehemu nyingi za Ujerumani na nchi nyingi hadi Afrika, Asia na Amerika.", "question_text": "Je,gari la aina ya Volks Wagen ina makao makuu yake nchi gani?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 296, "limit_byte": 305}]} {"id": "1398232540223198076-47", "language": "swahili", "document_title": "Mapenzi", "passage_text": "Agape ἀγάπη agape) inamaanisha mapenzi katika Ugiriki ya sasa kisasa. Neno S'agapo linamaanisha Ninakupenda katika Kigiriki. Neno agapo ni kitenzi Ninapenda. Kwa jumla linarejelea aina ya mapenzi ambayo ni \"safi,\", badala ya kimwili mvuto wa kimwili unaopendekezwa na Eros. Hata hivyo, kuna baadhi ya mifano ya agape inayotumika kuleta maana sawa na Eros. Pia imetafsiriwa kama \"upendo wa nafsi.\"", "question_text": "Neno penzi kwa kigiriki ni?", "answers": [{"text": "ἀγ", "start_byte": 6, "limit_byte": 11}]} {"id": "-4718575641796329701-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "5895", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "-2176514467885246261-0", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia", "passage_text": "Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (International Atomic Energy Agency (IAEA)) ni mamlaka ya kujitawala ya kimataifa inayoshirikiana na Umoja wa Mataifa (UM). Ilianzishwa tar. 29 Julai 1957 na nchi 81 wanachama wa UM. ", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia?", "answers": [{"text": "nchi 81 wanachama wa UM", "start_byte": 201, "limit_byte": 224}]} {"id": "-2579845178819571145-6", "language": "swahili", "document_title": "Uingereza", "passage_text": "Uingereza ina visiwa vingi vidogo; kikubwa ni Isle of Wight katika kusini.", "question_text": "Uingereza ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "vingi vidogo; kikubwa ni Isle of Wight katika kusini", "start_byte": 21, "limit_byte": 73}]} {"id": "-8852873065229379056-0", "language": "swahili", "document_title": "Gideon Moi", "passage_text": "Gideon Moi (amezaliwa 1964) ni mwanasiasa wa Kenya, ni mtoto wa kiume mdogo wa pili wa rais wa zamani wa Kenya, Daniel arap Moi na Lena Moi.", "question_text": "Gideon Moi alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "-895005634506148474-2", "language": "swahili", "document_title": "Irene Kiwia", "passage_text": "Mwanaharakati huyu alisoma shule ya msingi Bunge iliyopo jijini Dar-es-salaam. Na kuendelea na elimu yake ya sekondari katika shule ya Forodhani na Mkwawa. Irene alichaguliwa kuendelea na elimu ya juu katika Chuo Kikuu Cha Dar-es-salaam na kupata Shahada yake ya kwanza ya Mahusiano ya Kimataifa na Utawala wa Umma. Baadae alipata Shahada yake ya uzamili katika masomo ya Utawala wa Biashara mnamo mwaka 2011.[3]", "question_text": "Je, Irene Kiwia alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu Cha Dar-es-salaam", "start_byte": 208, "limit_byte": 236}]} {"id": "511027948182857785-0", "language": "swahili", "document_title": "Fiji", "passage_text": "Fiji (Kifiji: Matanitu ko Viti; Kihindustani: फ़िजी, فِجی) ni nchi ya visiwani ndogo ya Melanesia katika Pasifiki yenye visiwa 322 na wakazi 844,330. ", "question_text": "Je,Fiji iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "visiwani", "start_byte": 84, "limit_byte": 92}]} {"id": "-7272096060853964062-3", "language": "swahili", "document_title": "Amerika ya Kusini", "passage_text": "Neno \"Amerika\" limetokana na jina la kwanza la Mwitalia Amerigo Vespucci (1451-1512). Vespucci alikuwa baharia na mfanyabiashara katika utumishi wa familia ya Medici kutoka Firenze (Italia). Tangu mwaka 1499 alisafiri kwenye pwani za Amerika ya Kusini na Amerika ya Kati akaandika kitabu juu ya safari zake. Humo aliandika ya kwamba hakukubaliana na Kristoforo Kolumbus ya kwamba visiwa na nchi zilizofikiwa na Kolumbus zilikuwa sehemu ya Uhindi. Amerigo alipendekeza ya kwamba zilikuwa sehemu za \"dunia mpya\" au bara jipya akiwa mtu wa kwanza kuandika hivyo. ", "question_text": "Je,Amerigo Vespucci alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1451", "start_byte": 74, "limit_byte": 78}]} {"id": "5468187039694244326-4", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "Mipaka iliamuliwa katika mapatano na Uingereza, Ubelgiji na Ureno zilizotawala makoloni ya jirani ya Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (leo Kenya na Uganda), Kongo ya Kibelgiji (leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), Rhodesia (leo Zambia na Zimbabwe), Nyasaland (leo Malawi) na Msumbiji. Mipaka hii ni pia mipaka ya Tanzania, Rwanda na Burundi hadi leo hii.", "question_text": "Ni nchi gani ilijulikana kama Rhodesia hapo awali?", "answers": [{"text": "Zambia na Zimbabwe", "start_byte": 231, "limit_byte": 249}]} {"id": "-6867478850703866021-14", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi", "passage_text": "Fasihi ndiyo aina pekee ya sanaa inayotumia lugha kujitambulisha au kujitofautisha na aina nyingine za sanaa. Kuna aina kuu mbili za fasihi nazo ni:", "question_text": "Kuna aina ngapi ya fasihi?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 124, "limit_byte": 129}]} {"id": "-3072106605957239588-13", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Uganda ilipata uhuru wake tarehe 9 Oktoba 1962 kwa katiba ya jamhuri yenye serikali ya kibunge.", "question_text": "Je,Uganda ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "9 Oktoba 1962", "start_byte": 33, "limit_byte": 46}]} {"id": "-5524979783364389368-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro\nMtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona)\nShimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro)\nBethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni\n68(?) – 79(?)Linus\nMtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus\n(Cletus)\nMtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I\nMtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus\n(Aristus)\nMtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I\nMtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I\nMtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori\nMtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus\nMtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I\nMtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus\nMtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter\nMtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri\nMtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I\nMtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino\nMtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I\nMtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I\nMtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano\nMtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus\nMtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani\nMtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "question_text": "Papa wa kwanza anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Petro", "start_byte": 93, "limit_byte": 98}]} {"id": "-8773149317131085687-2", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAlizaliwa nchini Austria mwaka 1889. Wazazi wake walikuwa mtumishi wa forodha ya Austria Alois Hitler na mama yake Klara aliyekuwa mke wa tatu wa Alois. ", "question_text": "Adolf Hitler alizaliwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Austria", "start_byte": 18, "limit_byte": 25}]} {"id": "3637377191941898337-0", "language": "swahili", "document_title": "Malaria", "passage_text": "\nMalaria ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unaambukizwa na mbu wa jenasi Anopheles na kusababishwa na kidubini aina ya protisti Plasmodium. Mara nyingi ugonjwa huo huitwa \"homa\" tu, ingawa homa ni dalili yake mojawapo tu, pia kuna magonjwa mengi yanayosababisha homa. ", "question_text": "Je,mbu anaye sababisha Malaria anaitwaje?", "answers": [{"text": "Anopheles", "start_byte": 70, "limit_byte": 79}]} {"id": "1314615835103824892-3", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "darubini maonzi (optical telescope) kubwa hutumiwa na wanaastronomia kwa kutazama magimba ya angani kama jua, mwezi, nyota, sayari au kometi. Darubini hizo huwa ama \ndarubinilenzi (refracting telescope)\ndarubiniakisi (reflecting telescope).", "question_text": "Je,chombo gani hutumika kuangalia nyota angani?", "answers": [{"text": "darubini maonzi", "start_byte": 0, "limit_byte": 15}]} {"id": "-7121973213645170791-0", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "\nMpira wa miguu (pia soka au kandanda) ni mchezo unaochezwa na jumla ya wachezaji ishirini na wawili katika timu mbili, kila timu ikiwa na wachezaji kumi na mmoja. ", "question_text": "Mchezo wa soka una wachezaji wangapi kila upande?", "answers": [{"text": "kumi na mmoja", "start_byte": 149, "limit_byte": 162}]} {"id": "8355383250281460137-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.", "question_text": "Tanzania iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "44,928,923", "start_byte": 56, "limit_byte": 66}]} {"id": "7202391980554615106-0", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Mark Elliot Zuckerberg (amezaliwa 14 Mei 1984) ni mjasiriamali Mmarekani anayejulikana kama mwanzilishi mwenza wa tovuti maarufu ya urafiki mtandao ya Facebook. Zuckerberg alianzilisha Facebook pamoja na wanafunzi wenzake Dustin Moskovitz, Eduardo Saverin, na Chris Hughes wakati wakihudhuria Chuo Kikuu cha Harvard. Zuckerberg ndiye Afisa Mkuu Mtendaji wa Facebook.[2] Amekuwa mada ya utata kuhusu asili ya biashara yake. [3]", "question_text": "Mark Elliot Zuckerberg alisomea wapi chuo kikuu?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha Harvard", "start_byte": 293, "limit_byte": 315}]} {"id": "-884784574165039707-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Nani alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-2983746302058260870-1", "language": "swahili", "document_title": "Pluto", "passage_text": "Masi yake ni hasa mwamba na barafu. Kipenyo chake ni km 2,390. ", "question_text": "Je, sayari ya Pluto ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "Kipenyo chake ni km 2,390", "start_byte": 36, "limit_byte": 61}]} {"id": "-6625980101148909853-0", "language": "swahili", "document_title": "Schutzstaffel", "passage_text": "\nSchutzstaffel (Kikosi cha ulinzi) -kwa kifupi SS- ilikuwa jina la kitengo cha Chama cha Nazi au NSDAP nchini Ujerumani kilichoanzishwa mwaka 1925kama kundi la walinzi wa kiongozi wa chama Adolf Hitler. SS ilishiriki katika maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya na kutawala makambi ya mauti. Kutoka kundi dogo la walinzi wa binafsi iliendelea kuwa tawi la kijeshi la Chama cha Nazi lililoshiriki pia kwenye mapigano ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Ikapigwa marufuku kama chama cha kihaini mwaka 1945. ", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa chama cha kisiasa ya Nazi?", "answers": [{"text": "Adolf Hitler", "start_byte": 189, "limit_byte": 201}]} {"id": "5537972341812011579-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya wachezaji wa klabu ya Soka ya Manchester United", "passage_text": "Klabu ilianzishwa mwaka 1878 kama Newton Heath L & YR FC, na kucheza mechi ya kwanza ya ushindani mnamo Oktoba 1886, wakati waliingia duru ya kwanza ya Kombe la FA 1886-87. Tangu hapo, zaidi ya wachezaji 800 wameichezea timu ya klabu hiyo, ambapo karibu wachezaji 200 wamecheza walau mechi 100 na kuonekana pamoja na wachezaji wa ziada; wachezaji hao wameorodheshwa hapa, vilevile wale ambao walicheza mechi chache lakini walitoa michango muhimu katika historia ya klabu (kwa mfano Billy Whelan na Carlos Tevez).", "question_text": "Klabu ya soka ya Manchester United ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "7011982616220818083-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Mji mkuu wa Malawi ni upi?", "answers": [{"text": "Lilongwe", "start_byte": 143, "limit_byte": 151}]} {"id": "-2969147787167035857-0", "language": "swahili", "document_title": "Kevin Peter Hall", "passage_text": "Kevin Peter Hall (9 Mei 1955– 10 Aprili 1991) alikuwa mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Alifahamika sana kwa kucheza kwake katika filamu kama vile Misfits of Science, Prophecy, Without Warning, na Harry and the Hendersons. Alitambulika mno kwa kucheza uhusika wa filamu ya Predator na Predator 2.", "question_text": "Kevin Peter Hall alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1955", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "-3211965446437949124-53", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "Warusi waliingia saa chache baada ya vifo hivi. Walikuta maiti tarehe 5 Mei bila kutambua ni Hitler na Eva Braun. Tarehe 10 Mei msaidizi wa daktari wa meno wa Hitler aliweza kutambua maiti kutokana na meno. Mabaki yalizikwa baadaye karibu na makao makuu ya jeshi la Kirusi katika Ujerumani ya Mashariki; yalihamishwa mara kadhaa kila wakati makao makuu yalipohamishwa. Mwishoni mabaki ya maiti yalichomwa na Warusi tarehe 5 Aprili 1970, majivu yalisagwa na yote kutupwa katika mto mdogo karibu na mji wa Magdeburg.", "question_text": "Je,Adolf Hitler alizikwa wapi?", "answers": [{"text": "Magdeburg", "start_byte": 504, "limit_byte": 513}]} {"id": "6880457740270663880-0", "language": "swahili", "document_title": "Havana", "passage_text": "Havana (kihisp. La Habana) ni mji mkuu na mji mubwa wa Kuba kwenye 23°8′N 82°23′W. Kuna wakazi milioni 2.2. Tangu 1982 mji wa kale umepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia. ", "question_text": "Mji mkuu wa kuba ni upi?", "answers": [{"text": "Havana", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-344604096590140482-0", "language": "swahili", "document_title": "Libido", "passage_text": "Libido (yaani nyege au ashiki) ni uchu au hamu ya kujamiana ambayo hupatikana kwa wanaume na kwa wanawake. Neno hili la Kilatini hutumika hasa mtu alipo na kiwango kidogo cha libido. Hapo ndipo utakaposikia kwamba fulani ana libido kidogo ama mwanamume fulani amekosa nguvu za kiume. Hata hivyo, yafaa ijulikane kwamba kuna tofauti kati ya hamu ya ngono na nguvu za kiume. Mwanamume asiye na nguvu za kiume huenda akawa na kiasi cha libido kinachofaa, lakini hawezi kujamiana na mwenziwe kwa njia inayofaa maana mwili wake hauitikii.", "question_text": "Ashiki ni nini?", "answers": [{"text": "uchu au hamu ya kujamiana ambayo hupatikana kwa wanaume na kwa wanawake", "start_byte": 34, "limit_byte": 105}]} {"id": "2301847020457285924-0", "language": "swahili", "document_title": "Y", "passage_text": "\nY ni herufi ya 25 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Ipsiloni ya alfabeti ya Kigiriki.", "question_text": "Ipsiloni ni nini?", "answers": [{"text": "herufi ya 25 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa", "start_byte": 6, "limit_byte": 93}]} {"id": "5622661787738254918-0", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Andrea", "passage_text": "\n\n\nMtume Andrea alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mmoja kati ya wawili wa kwanza kati ya Mitume wa Yesu.", "question_text": "Je,ndugu ya Simoni Petro aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Andrea", "start_byte": 9, "limit_byte": 15}]} {"id": "-2176204400652789536-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "Kumeapishwa marais 43, na kumekuwa na marais 44, kwa sababu rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, na kwa hivi anahesabiwa mara mbili, kama rais nambari 22 na nambari 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani (William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt), mmoja akajiuzulu (Richard Nixon), na wanne wakauawa (Abraham Lincoln, James A. Garfield, William McKinley, na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa 1789 bada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841, naye Franklin D. Roosevelt akahudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Barack Obama, aliyeapishwa 20 Januari 2009.", "question_text": "Je,nani alikuwa rais wa kwanza wa Marekani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 491, "limit_byte": 508}]} {"id": "-3550946931246457884-1", "language": "swahili", "document_title": "East African Breweries", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka wa 1922 na walowezi wawili, George na Charles Hurst. Kufikia mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa walikuwa kwenye kampuni hii walikuwa Wakenya na ilikuwa na mafanikio sana.", "question_text": "Je,East African Breweries ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "7273926166057266024-5", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Dunia la FIFA", "passage_text": "Ujerumani ndio nchi iliyoandaa Kombe la Dunia 2006 kati ya 9 Juni hadi 9 Julai. Bingwa wa kombe hilo, Brazili, ilitolewa kwenye mashindano hayo kwa kufungwa 1-0 na Ufaransa. ", "question_text": "Ni nchi gani ilishinda kombe la dunia mwaka wa 2006?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 164, "limit_byte": 172}]} {"id": "-7941203212145975752-11", "language": "swahili", "document_title": "Elimu nchini Kenya", "passage_text": "Chuo kongwe zaidi nchini Kenya ni Chuo Kikuu cha Nairobi. Vingine ni pamoja na vyuo vikuu vya Kenyatta, Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Kilimo na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Egerton, Moi, Chuo Kikuu cha Maseno na Chuo Kikuu cha Masinde Muliro cha Sayansi na Teknolojia (zamani kilijulikana kama Chuo Kikuu cha Magharibi).", "question_text": "Je,ni chuo gani cha upili kongwe zaidi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 49, "limit_byte": 56}]} {"id": "-7105690813435760721-10", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Kati ya miaka 1880 na 1912, Wazungu waligawana bara la Afrika, na nchi zote zikawa chini ya utawala wa Wazungu isipokuwa Liberia na Ethiopia.", "question_text": "Je,ni nchi ngapi Afrika haikutawaliwa na Koloni?", "answers": [{"text": "Liberia na Ethiopia", "start_byte": 122, "limit_byte": 141}]} {"id": "-861876604893866061-0", "language": "swahili", "document_title": "NRC Handelsblad", "passage_text": "NRC Handelsblad, mara nyingi hufupishwa kuwa NRC, ni gazeti la kuchapishwa kila siku.Gazeti hili huchapishwa jioni katika nchi ya Uholanzi na Kampuni ya NRC Media. Gazeti hili liliumbwa mnamo 1 Oktoba 1970 kutokana na muungano wa jarida la Nieuwe Rotterdamsche Courant na jarida la Algemeen Handelsblad.Jarida la Algemeen Handelsblad llikuwa jarida kuhusu hesabu za kibiashara kwa jumla na jarida la Nieuwe Rotterdamsche Courant lilikuwa gazeti la Roterdam. Katika mwaka wa 2006, jarida la porojo, nrc•next, lilianza kuchapishwa. Katika mwaka wa 2007, usambazaji wa NRC Handelsblad ulikuwa nakala 249,099 katika siku ya Jumatatu hadi Ijumaa na nakala 270,189 katika siku ya Jumamosi.", "question_text": "NRC Handelsblad huchapishwa na kampuni gani?", "answers": [{"text": "NRC Media", "start_byte": 153, "limit_byte": 162}]} {"id": "-9087372011541340321-1", "language": "swahili", "document_title": "Elijah Masinde", "passage_text": "Masinde alizaliwa kati ya mwaka 1910-1912 katika eneo la Kimilili (leo: wilaya ya Bungoma) karibu na mlima Elgon. Ukoo wake ni Wabukusu ambao ni kati ya koo 18 za Waluhya.", "question_text": "Elijah Masinde alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "eneo la Kimilili (leo: wilaya ya Bungoma) karibu na mlima Elgon", "start_byte": 49, "limit_byte": 112}]} {"id": "-2971348398940910791-0", "language": "swahili", "document_title": "Dekula Kahanga", "passage_text": " Alain Kahanga Dekula (amezaliwa tar. 2 Aprili, 1962 katika kijiji cha Lemera\nWilaya ya Uvira\nMkoa wa Kivu ya Kusini) al-maarufu Vumbi ni mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo- Tanzania. Alifahamika zaidi kwa kuwa miongoni mwa wapigaji gitaa la solo wakubwa wa bendi ya Marquis Original.", "question_text": "Alain Kahanga Dekula ameshirikiana na bendi gani la muziki?", "answers": [{"text": "Marquis Original", "start_byte": 318, "limit_byte": 334}]} {"id": "-1700700781106181678-7", "language": "swahili", "document_title": "Zinedine Zidane", "passage_text": "Baada ya kustaafu alikuwa kocha msaidizi wa Real Madrid chini ya Carlo Ancelotti msimu wa 2013-14. Baada ya kushinda UEFA Champions League na Copa del Rey, Zidane alikuwa kocha wa Real Madrid B.", "question_text": "Je,Zinedine Yazid Zidane aliteuliwa kuwa mkufunzi wa Real Madrid mwaka upi?", "answers": [{"text": "msimu wa 2013-14", "start_byte": 81, "limit_byte": 97}]} {"id": "8355370994360114896-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Je, bahari ya Mediteranea ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "2,5km²", "start_byte": 164, "limit_byte": 171}]} {"id": "6659903457313584782-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Je,Rwanda ina idadi ya takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "11,262,564", "start_byte": 339, "limit_byte": 349}]} {"id": "-3738251783275986982-3", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Je,Nigeria ilipata uhuru lini?", "answers": [{"text": "1 Oktoba 1960", "start_byte": 34, "limit_byte": 47}]} {"id": "-1457899944181655058-0", "language": "swahili", "document_title": "Dknob", "passage_text": "\n\nInnocent Cornel Sahani (amezaliwa tar. 12 Februari 1980) ni msanii wa hip hop na Bongo Flava kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jia lake la kisanii kama \"Dknob\". Dknob ametoa nyimbo nyingi tu zenye kuwika sana katika Afrika ya Mashariki. Nyimbo hizo ni kama vile, Elimu Mitaani.com, Sauti ya Gharama, Ingewezekana, Kitu Gani, Mr. Sahani, Bora Tumeachana, na Nishike Mkono ambayo kaimba na Mwasity.", "question_text": "Msanii Dknob alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "-861005192618780002-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je.msitu mkubwa zaidi nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "7788974040461040124-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "\nHistoria ya Kanisa ni fani inayochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.", "question_text": "Kanisa la katoliki lilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "karne ya 1", "start_byte": 141, "limit_byte": 151}]} {"id": "3033224634211683706-30", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa kwanza wa nchi ya Urusi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Boris Yeltsin", "start_byte": 39, "limit_byte": 52}]} {"id": "-7153997570362371030-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "\nSayari (kwa Kiingereza planet) ni kiolwa kikubwa cha angani linalozunguka jua (au nyota nyingine) na kung'aa kutokana na nuru ya jua iliyoakisiwa, tofauti na nyota na jua zinazong'aa peke yake. Kwa macho inaonekana kama nyota, lakini baada ya kuitazama kwa muda wa mwaka inaonekana inabadilisha mahali pake angani, tofauti na nyota kwa jumla.", "question_text": "Sayari ni nini?", "answers": [{"text": "kiolwa kikubwa cha angani linalozunguka jua (au nyota nyingine) na kung'aa kutokana na nuru ya jua iliyoakisiwa", "start_byte": 35, "limit_byte": 146}]} {"id": "1987808412263732896-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania anaitwaje?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 152, "limit_byte": 176}]} {"id": "-7198544715857734030-6", "language": "swahili", "document_title": "Edith Masai", "passage_text": "Edith alishinda medali ya fedha katika mbio ya mita 10000 katika Michezo ya All-Africa mwaka wa 2007. . Muda wake wa dakika 31:31.18 ni rekodi mpya ya Dunia kwa mwanamke aliye na umri zaidi ya miaka 40. Rekodi ya hapo awali ilikuwa inashikiliwa na Nicole Leveque wa Ufaransa, ambaye alikimbia kwa muda wa dakika 32:12.07 katika mji mkuu wa Helsinki mwaka wa 1994. Masai alishiriki katika marathon ya mashindano ya dunia mwaka wa 2008 katika mji mkuu wa Osaka nchini Japani, na kumaliza katika nafasi ya 8 katika mbio ambayo ilishindwa na mkimbiaji mwenzake Catherine Ndereba.", "question_text": "Je,Catherine Ndereba alikuwa mwanariadha wa mbio gani?", "answers": [{"text": "mbio ya mita 10000", "start_byte": 39, "limit_byte": 57}]} {"id": "-54089312447274457-3", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014. Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 20 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.", "question_text": "Côte d'Ivoire iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "6271944259196156488-0", "language": "swahili", "document_title": "Kristoforo Kolumbus", "passage_text": "\n\n\n\nKristoforo Kolumbus (kwa Kiitalia: Cristoforo Colombo; kwa Kihispania: Cristóbal Colón; kwa Kilatini: Columbus; Genova, 1451; Valladolid, 20 Mei 1506) alikuwa mfanyabiashara na mpelelezi aliyegundua njia ya usafiri kati ya Hispania na Amerika. ", "question_text": "Christopher Colombus alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1451", "start_byte": 126, "limit_byte": 130}]} {"id": "-3511122742842950945-6", "language": "swahili", "document_title": "Biolojia", "passage_text": "biokemia huchunguza kemia isiyokomaa ya uhai;\nbiolojia ya molekuli huchunguza kuathiriana changamani kwa mifumo ya biolojia ya molekuli, biolojia ya seli huchunguza kijenzi msingi cha maisha yote, seli;\nfiziolojia huchunguza shughuli za nje na za kemia za tishu, viungo na mifumo ya viungo ya kiumbe hai; na\nikolojia huchunguza jinsi viumbehai kadhaa huathiriana na kushirikiana na mazingira yao.[3]", "question_text": "Fiziolojia ni somo la nini?", "answers": [{"text": "shughuli za nje na za kemia za tishu, viungo na mifumo ya viungo ya kiumbe hai", "start_byte": 225, "limit_byte": 303}]} {"id": "4958107900344606185-16", "language": "swahili", "document_title": "Kemia", "passage_text": "Hii ilileta sayansi ya kujaribu ambayo iliitwa Alkemia. Wanaalkemia waligundua taratibu aina nyingi za kemikali ambazo zilileta maendeleo ya Kemia ya kisasa. Kemia kama vile twaijua leo iligunduliwa na Antoine Lavoisier ambaye alile sheria ya kuhifadhi uzito mwaka wa 1783. ", "question_text": "Nani alizindua somo la kemia mara ya kwanza duniani?", "answers": [{"text": "Antoine Lavoisier", "start_byte": 202, "limit_byte": 219}]} {"id": "-3459654273896367883-4", "language": "swahili", "document_title": "Wilfred Moriasi Ombui", "passage_text": "Alijitosa ulingoni mwa siasa kwa mara ya kwanza wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2007.\nUmaarufu wake ulizambaa haraka na akakishinda kiti hicho cha Ubunge huku akiwashinda wapinzani wake akiwemo mtangulizi wake Godfrey Okeri Masanya na Mwanasheria Joseph Kiangoi Ombasa.", "question_text": "Wilfred Ombui Moriasi alijiunga na siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2007", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}]} {"id": "-8409505838474942527-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Msitu wa Mau", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "-6938879991088857272-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Mji mkuu Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 229, "limit_byte": 235}]} {"id": "7561600932557490384-1", "language": "swahili", "document_title": "Günter Grass", "passage_text": "Grass alizaliwa katika dola-mji Danzig (leo Gdansk, Poland) akiwa mwana wa mfanyabiashara Mjerumani na mke wa asili ya Kashubi. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alijitolea kuwa mwanajeshi Mjerumani akiwa na umri wa miaka 15 na kwa umri wa miaka 17 alikuwa mwanajeshi wa kiosi cha SS. ", "question_text": "Günter Wilhelm Grass alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Danzig (leo Gdansk, Poland", "start_byte": 32, "limit_byte": 58}]} {"id": "-6351878753857518134-0", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Jiografia ya Tanzania inahusu nchi hiyo ambayo ina historia yake kuu ni uhuru na muungano. Kabla ya kuitwa Tanzania nchi upande wa bara iliitwa Tanganyika na ilipata uhuru tarehe 9 Desemba 1961. Baada ya uhuru wa funguvisiwa la Zanzibar, ilijihusisha katika muungano wa nchi mbili ambazo ni Tanganyika na Zanzibar zilizoungana mnamo 26 Aprili 1964 kuunda TanZanIa.", "question_text": "Tanzania ina miaka mingapi?", "answers": [{"text": "ilipata uhuru tarehe 9 Desemba 1961", "start_byte": 159, "limit_byte": 194}]} {"id": "-2023187457249337048-41", "language": "swahili", "document_title": "Sean Combs", "passage_text": "\nCombs hajawahi kuolewa, lakini ni baba biologiska wa watoto watano na isiyo stepfather ya mtoto mwingine. Wake juu-tena, off-tena girlfriend Kimberly Porter alikuwa mwana, Quincy Jones Brown (Desemba 1991) na 1980 New Jack Swing Romantic mwimbaji / mtayarishaji Al B Sure. [45] Quincy ulifanywa tarehe My Super Sweet 16. Combs 'mtoto biologiska kwanza ilikuwa Justin Dior Combs (Desemba 1993), mwana wake kutoka uhusiano na high school sweetheart, designer Misa Hylton-Brim. Mtoto wake wa pili ni mwana Mkristo Casey Combs (Aprili 1998) pamoja na Kim Porter. Porter pia alikuwa Combs 'pacha wa kike, Combs D'Lila Star na Jessie James Combs, Desemba 2006.[46] Mwezi Julai 2007 Combs na kuishia Porter uhusiano wao.[47] Oktoba 2007 Combs alichukua wajibu wa kisheria kwa ajili ya Kubahatisha, binti yake pamoja na Sarah Chapman.[45]", "question_text": "P. Diddy ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watano", "start_byte": 61, "limit_byte": 67}]} {"id": "-1000733478784308785-5", "language": "swahili", "document_title": "Nyuzilandi", "passage_text": "Idadi ya wakazi ni 4,690,000. Wengi wao (74%) bado wana asili ya Ulaya, ingawa asilimia yao inazidi kupungua. Wakazi asili walitokea Polinesia na walihamia visiwa vivyo kati ya miaka 1250-1300 BK; kwa sasa ni 14.9% ya wakazi wote. Wengine wana asili ya Asia (11.8%) na ya visiwa vya Pasifiki (7.4%).", "question_text": "Je,New Zealand ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,690,000", "start_byte": 19, "limit_byte": 28}]} {"id": "-7213773964436276550-0", "language": "swahili", "document_title": "Mndimu", "passage_text": "\nMndimu (Citrus aurantiifolia) ni mti wa jamii ya mchungwa unaozaa ndimu. ", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya ndimu ni ipi?", "answers": [{"text": "Citrus aurantiifolia", "start_byte": 9, "limit_byte": 29}]} {"id": "8331778822373319016-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Je,jangwa la Sahara linapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Afrika", "start_byte": 37, "limit_byte": 43}]} {"id": "3412568506983512007-5", "language": "swahili", "document_title": "Nyuzilandi", "passage_text": "Idadi ya wakazi ni 4,690,000. Wengi wao (74%) bado wana asili ya Ulaya, ingawa asilimia yao inazidi kupungua. Wakazi asili walitokea Polinesia na walihamia visiwa vivyo kati ya miaka 1250-1300 BK; kwa sasa ni 14.9% ya wakazi wote. Wengine wana asili ya Asia (11.8%) na ya visiwa vya Pasifiki (7.4%).", "question_text": "Nchi ya New Zealand ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "4,690,000", "start_byte": 19, "limit_byte": 28}]} {"id": "7646869525344597273-15", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika (ziwa)", "passage_text": "Kutokana na mahali pake katika tropiki kwenye jua kali, Ziwa Tanganyika linapotewa na maji mengi kwa njia ya uvukizaji. Kwa hiyo kiasi cha maji ndani yake inategemeana na kiasi cha maji yanayoingia. Kwa sasa chanzo kikubwa ni maji ya Ziwa Kivu. Imegunduliwa ya kwamba uwiano wa ziwa ulibadilika sana katika historia. [5]", "question_text": "Chanzo cha Ziwa Tanganyika ni gani?", "answers": [{"text": "Ziwa Kivu", "start_byte": 234, "limit_byte": 243}]} {"id": "4026487659744802570-5", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Mji mkuu ni Juba, wenye wakazi 1.118.233.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Sudan ni Upi?", "answers": [{"text": "Juba", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-2081851546974267096-0", "language": "swahili", "document_title": "Hoteli Hilton", "passage_text": "\nHoteli Hilton ni kundi la hoteli za fahari na ya kimataifa lililoanzishwa na Conrad Hilton na sasa Hilton inamilikiwa na kampuni ya Hilton Worldwide. Kuna hoteli asili Hilton 533 duniani kote. ", "question_text": "Je,hoteli ya Hilton inamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "kampuni ya Hilton Worldwide", "start_byte": 122, "limit_byte": 149}]} {"id": "3796766655281001707-0", "language": "swahili", "document_title": "Samir Nasri", "passage_text": "Samir Nasri (amezaliwa 26 Juni 1987) ni mchezaji wa kandanda wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anaichezea klabu ya Arsenal katika ligi kuu ya Uingereza.", "question_text": "Samir Nasri ni raia wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 78, "limit_byte": 86}]} {"id": "6340116537067803851-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Adıyaman", "passage_text": "\nAdıyaman ni jina la mkoa huko mjini kusini-katikati mwa nchi ya Uturuki. Mkoa huu ulianzishwa mnamo mwaka wa 1954 nje ya sehemu ya Mkoa wa Malatya. Mkoa una eneo la kilomita za mraba zipatazo 7,614. Takriban watu 677,518 (makadirio ya sensa ya mwaka wa 2006, 623,811 (sensa ya 2000)) imezidi kutoka 513,131 kunako mwaka wa 1990. Mji mkuu wa mkoa huu ni Adıyaman. Wakazi waliowengi katika mkoa uu ni Wakurdi.[1]", "question_text": "Mji wa Adıyaman una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba zipatazo 7,614", "start_byte": 168, "limit_byte": 200}]} {"id": "6502657564636945492-9", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Tarehe 24 Oktoba 1964, Zambia ikawa huru na waziri mkuu Kenneth Kaunda akawa rais wa kwanza. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Zambia alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kenneth Kaunda", "start_byte": 56, "limit_byte": 70}]} {"id": "-560415845503241527-69", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "\nKenya ina kaunti 47, kila moja ikiongozwa na Mkuu wa Kaunti anayechaguliwa na watu ambao wanaishi kwenye hiyo kaunti. ", "question_text": "Nchi ya Kenya ina kaunti ngapi?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 18, "limit_byte": 20}]} {"id": "-5025975552298467491-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,rais wa pili wa Marekani alikuwa nani?", "answers": [{"text": "John Adams", "start_byte": 131, "limit_byte": 141}]} {"id": "970898048828385547-0", "language": "swahili", "document_title": "Uhalisia", "passage_text": "Uhalisia (kutoka Kiarabu \"halisi\"; kwa Kiingereza Reality) ni hali iliyopo kweli, tofauti na matarajio au tafsiri za binadamu ambaye mara nyingi anashindwa kuipokea.[1]", "question_text": "Uhalisia ni nini?", "answers": [{"text": "hali iliyopo kweli, tofauti na matarajio au tafsiri za binadamu ambaye mara nyingi anashindwa kuipokea", "start_byte": 62, "limit_byte": 164}]} {"id": "-5365222233181271545-0", "language": "swahili", "document_title": "Longitudo", "passage_text": "Longitudo (kilatini: longitudo) katika ramani au mchoro wa dunia ,ni njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka mstari wa meridiani ya sifuri kwa kipimo cha digrii (°). Kwenye msingi wa digrii 360 za duara digrii hizi za latitudo huehesabiwa hadi +180° (kwenda mashariki) au hadi -180° (kwenda magharibi). Ni kawaida vilevile kutaja tofauti kati ya longitudo za mashariki au magharibi kwa kuongeza herufi za \"E\" (east) na \"W\" (west) badala ya +/-. Pamoja na kipimo cha latitudo inataja kamili kila mahali duniani. ", "question_text": "Latitudo ina maana gani?", "answers": [{"text": "njia ya kuonyesha mahali duniani kwa kutaja umbali wake kutoka mstari wa meridiani ya sifuri kwa kipimo cha digrii (°)", "start_byte": 70, "limit_byte": 189}]} {"id": "174446891319202112-4", "language": "swahili", "document_title": "Metorolojia", "passage_text": "vyombo vya kupima kasi na mwelekeo wa upepo kwa mahali fulani vinajulikana tangu anemomita iliyobuniwa Italia mnamo 1450. Habari hizi ni za kimsingi kwa kuelewa uhusiano kati ya hali ya hewa katima maeneo majirani; ni pia muhimu kwa kupanga kilimo kwa sababu zinatawala sehemu ya uvukizaji na ni habari za lazima kwa mpangilio wa usafiri kwa eropleni na pia meli.", "question_text": "Je,kifaa kinachopima upepo unaitwaje?", "answers": [{"text": "anemomita", "start_byte": 81, "limit_byte": 90}]} {"id": "5319201101182712040-3", "language": "swahili", "document_title": "Brazil", "passage_text": "Mji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "question_text": "Je,Mji mkuu wa Brazil ni upi?", "answers": [{"text": "Brasilia", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "723641360027033163-0", "language": "swahili", "document_title": "Umaru Yar'Adua", "passage_text": "Umaru Musa Yar'Adua (16 Agosti 1951 – 5 Mei 2010) alikuwa mwanasiasa kutoka nchini Nigeria na rais wa 13 wa nchi hiyo tangu 2007 hadi kifo chake hapo 2010. Ni rais wa kwanza mwenye shahada katika historia ya Nigeria.", "question_text": "Je,Umaru Musa Yar'Adua alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1951", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "1774809817898918774-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Ndovu husihi kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "9189049882311546088-0", "language": "swahili", "document_title": "Tallinn", "passage_text": "\nTallinn ni mji mkuu na pia mji mkubwa wa Estonia mwenye wakazi 410,000. Iko mwambaoni wa Ghuba ya Ufini ya Baltiki na bandari yake ni bandari kuu ya nchi. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Estonia ni upi?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "2228668738891449283-18", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "question_text": "Je,sayari ndogo duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Utaridi", "start_byte": 150, "limit_byte": 157}]} {"id": "7270695383148421836-3", "language": "swahili", "document_title": "Ubelgiji", "passage_text": "Mji mkuu ni Brussels.", "question_text": "Mji mkuu wa Ubelgiji ni upi?", "answers": [{"text": "Brussels", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-4135194134885303501-0", "language": "swahili", "document_title": "Punda", "passage_text": "\nPunda ni wanyama wakubwa kiasi wa nusujenasi Asinus ya jenasi Equus katika familia Equidae wafananao na farasi mdogo. Spishi moja (Equus kiang), ambayo inatokea Asia, huitwa kiang'. Punda anayejulikana sana ni yule anayefugwa (Punda-kaya), lakini kuna punda porini pia. Watu huwatumia punda wafugwao kwa kubeba mizigo, kuvuta magari au kuwarakibu. Punda wanaweza kuzaliana na farasi lakini watoto wao (baghala au nyumbu) hawazai tena kwa kawaida.", "question_text": "Je,punda iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Equus", "start_byte": 63, "limit_byte": 68}]} {"id": "5625505558374462081-2", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle pamoja na dada zake wawili. Katika umri wake mdogo Bill Gates alivutiwa na utengenezaji wa programu akiwa katika mojawapo wa shule kijijini Seattle. Akiwa huko shuleni Seattle, Bill Gates alikutana na Paul Allen, mwanafunzi mwenzake wakawa marafiki. Hapo ndipo wakaanza kutumia tarakilishi ndogo ya shule kujiendeleza ujuzi wao.", "question_text": "Bill Gates alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1955", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "-1211113338576869099-1", "language": "swahili", "document_title": "Nguchiro", "passage_text": "Wanyama hawa ni warefu na wembamba na wana mkia mrefu wenye manyoya mengi. Wanafanana na chororo lakini wako wakubwa zaidi. Rangi yao ni hudhurungi, kahawia, kijivu au nyeusi. Wao ni wanyama mbua na hula wadudu, kaa, nyungunyungu, mijusi, nyoka, ndege na wagugunaji, na mara nyingi mayai na mizoga pia. Nguchiro hujulikana kwa uwezo wao wa kuua nyoka na kukinga sumu yao. Huishi peke yao au kwa makundi (k.m. nguchiro miraba na nguchiro-jangwa) na hukiakia mchana lakini pengine usiku pia.", "question_text": "Nguchiro miraba ana rangi ngapi?", "answers": [{"text": "hudhurungi, kahawia, kijivu au nyeusi", "start_byte": 137, "limit_byte": 174}]} {"id": "-3753845564414708775-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vitabu vya Biblia", "passage_text": "Vitabu vya Biblia ya Kikristo vilivyoorodheshwa hapa chini ni vile 66 tu vinavyotambuliwa na Wakristo wote. Zingatia lakini kwamba walio wengi, hasa Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki, katika Biblia wanavyoitumia wana vitabu vingine 7 vinavyoitwa Deuterokanoni, navyo vyote vimo katika Agano la Kale: Yoshua Bin Sira, Kitabu cha Hekima, Kitabu cha kwanza cha Wamakabayo, Kitabu cha pili cha Wamakabayo, Tobiti, Yudithi, Baruku.", "question_text": "Bibilia ina vitabu vingapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "66", "start_byte": 67, "limit_byte": 69}]} {"id": "5399368040169123940-3", "language": "swahili", "document_title": "Bara Arabu", "passage_text": "Eneo la Bara Arabu kwa jumla ni kilomita mraba 3,191,022, ikiwa Saudia inakalia sehemu nne katika tano ya jumla ya maeneo yake, na sehemu iliyobakia ambayo ni moja katika tano inakaliwa na nchi zilizobakia, zote zikiwepo pembezoni mwa Saudia kwenye bahari ya Ghuba ya Uajemi na bahari ya Waarabu na bahari ya Shamu.", "question_text": "Bara Arabu lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita mraba 3,191,022", "start_byte": 32, "limit_byte": 56}]} {"id": "-3725001326298852815-0", "language": "swahili", "document_title": "Oliver Mtukudzi", "passage_text": "\nOliver \"Tuku\" Mtukudzi (amezaliwa mnamo 22 Septemba 1952 mjini Highfield, Harare) ni mwanamuziki wa Kizimbabwe. Oliver ni miongoni mwa wanamuziki walio maarufu kwa muda mrefu sana katika nchi hiyo ya Zimbabwe. Na alianza shughuli za muziki kunako miaka ya 1977 pale alipojiunga na bendi ya Wagon Wheels, ambayo pia alikuwemo na mwanamuziki wa zamani Bw. Thomas Mapfumo.", "question_text": "Je,Oliver Mtukudzi alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1952", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "4335967188016333084-3", "language": "swahili", "document_title": "Zamaradi Mketema", "passage_text": "Zamaradi Mketema alianza sanaa yake ya Utangazaji katika kituo cha Televisheni cha C2C kipindi cha mwaka 2007 hadi 2008. Baadae alifanikiwa kujiunga na kituo cha Redio na Televisheni cha Clouds kilichopo mkoani Dar es Salaam. Akiwa Clouds aliweza kujuzolea umaarufu katika vipindi vya Take One na Heka heka, vipindi ambavyo alikuwa akitangaza juu ya Maisha ya Wasanii wa Filamu na Kazi zao wanazofanya. Mwaka 2014 alifanikiwa kutoa Filamu yake ya Kigodoro aliyowashirikisha wasanii wengi wa Tanzania [3].", "question_text": "Je,Zamaradi Mketema alianza utangazaji lini?", "answers": [{"text": "2007", "start_byte": 105, "limit_byte": 109}]} {"id": "825907602273721054-0", "language": "swahili", "document_title": "Nakuru", "passage_text": "Nakuru ni mji wa Kenya ambao ni makao makuu ya kaunti ya Nakuru. Ukiwa na wakazi 307,990 (sensa ya 2009) ni mji mkubwa wa nne nchini Kenya baada ya Nairobi, Mombasa na Kisumu. ", "question_text": "Je,kaunti ya Nakuru iko na idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "307,990", "start_byte": 81, "limit_byte": 88}]} {"id": "-3374149222217908987-34", "language": "swahili", "document_title": "Dameski", "passage_text": "Mwaka wa 2011, idadi ya watu ilikuwa 1,711,000. Lakini, kuna miji midogo karibu sana na Dameski kama Duma, Harasta, Daraya, Jaramana, na Tal. Kwa jumla kuna watu zaidi ya milioni 5 wanaoishi katika kanda ya Dameski. Hasa baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, kuna watu wengi kuliko kila mahali pa Syria waliohamia Dameski. ", "question_text": "Je,mji wa Dameski ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "1,711,000", "start_byte": 37, "limit_byte": 46}]} {"id": "-5680210426780814-5", "language": "swahili", "document_title": "Waanglikana", "passage_text": "Mfalme Henri VIII alitawala Uingereza miaka 1509-1547, wakati wa Martin Luther. ", "question_text": "Askofu wa kwanza wa kanisa la Anglikana anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mfalme Henri VIII", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "5267964348448864687-0", "language": "swahili", "document_title": "Uqba ibn Nafi", "passage_text": "\nUqba ibn Nafi (Arabic: عقبة بن نافع‎ ‘Uqbah ibn Nāfi‘, pia hutajwa kama Oqba ibn Nafi, Uqba bin Nafe, Uqba ibn al Nafia, au Akbah; 622–683) alikuwa jenerali wa jeshi aliyekuwa anatumikia Nasaba ya Wamuawiya, katika vipindi vya Muawiya ibn Abu Sufyan na Yazid ibn Abu Sufyan, ambaye alianza harakati za uenezi wa Uislamu huko Maghrib, ikiwa pamoja na Algeria, Tunisia, Libya na Morocco katika Afrika ya Kaskazini ya leo. Alikuwa mpwa wake 'Amr ibn al-'As. Uqba mara kwa mara huitwa kwa jina la ukoo kama al-Fihri katika kurejelea Banu Fihri, ukoo mmoja uliotokana na kabila la Waquraish. Vizazi vyake vitajulikana kama 'Oqbids' au 'Fihrids'. Uqba ndiye mwanzilishi wa jiji la kitamaduni la Kairouan huko nchini Tunisia.", "question_text": "Je,Uqba ibn Nafi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "622", "start_byte": 149, "limit_byte": 152}]} {"id": "-6339632498341563924-0", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "Manchester United ni kilabu cha kandanda cha Uingereza, ambacho ni kimojawapo kati ya vilabu maarufu sana ulimwenguni, na kina makao katika Old Trafford eneo la Greater Manchester. Kilabu hiki kilikuwa mwanachama mwanzilishi wa Ligi ya Premier mwaka 1992, na kimeshiriki katika divisheni ya juu ya kandanda ya Uingereza tangu mwaka wa 1938, isipokuwa msimu wa 1974-1975. Mahudhurio ya wastani kwenye kilabu yamekuwa ya juu kuliko timu nyingine yoyote katika kandanda ya Uingereza kwa misimu yote isipokuwa sita tangu 1964-65.[3]", "question_text": "Je,Ligi Kuu Uingereza ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 250, "limit_byte": 254}]} {"id": "6554470229843999158-0", "language": "swahili", "document_title": "Saidi Ntibazonkiza", "passage_text": "Saidi Ntibazonkiza (amezaliwa mjini Bujumbura 1 Mei 1987) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa kutoka Burundi anayechezea klabu ya KS Cracovia ya Poland na timu ya taifa ya Burundi.", "question_text": "Saidi Ntibazonkiza alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1987", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-3763244148269535796-0", "language": "swahili", "document_title": "Franco Luambo Makiadi", "passage_text": "\nFrançois Luambo Luanzo Makiadi (6 Julai 1938 – 12 Oktoba 1989) alikuwa mtu mashuhuri wa karne ya ishirini katika muziki wa Kikongo na muziki wa Afrika kwa ujumla. Hasa huitwa Franco Luambo au, kifupi, Franco.Alijulikana sana kwa uwezo wake wa kuumiliki muziki wa rumba. Alipewa jina la utani kama \"Mchawi wa Gitaa\" hasa kwa juhudi zake ya upigaji wa gitaa. Akiwa kama mwanzilishi wa bendi ya muziki wa jazz OK Jazz, huhesabiwa kama moja kati ya waanzilishi muziki wa Kikongo wa kisasa.", "question_text": "Mwanamziki Franco Luambo Makiadi alijulikana kwa mziki wa aina gani?", "answers": [{"text": "Kikongo na muziki wa Afrika kwa ujumla", "start_byte": 127, "limit_byte": 165}]} {"id": "-8832569540393802946-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 5,895", "start_byte": 127, "limit_byte": 137}]} {"id": "-7704522495768854681-11", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa Jua", "passage_text": "\n* Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno \"Zebaki\" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza \"Mercury\" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka katika lugha ya Kiarabu. [2] \n\n** Zuhura - Ng'andu ni sayari ambayo hutambulika kwa jina la Kibantu(Ng'andu) pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu(Zuhura)\n\n*** Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno \"ardhi\" hutumika na waandishi kadhaa badala ya \"dunia\" wakitaka kutaja sayari ya tatu.Jina la sayariKipenyo kwenye ikweta\nkulingana na kipenyo cha dunia = 1 MasiNusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka juaMuda wa mzingo \n(miaka)Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua\n Pembenukta (°)Muda wa siku ya sayari\n(siku)MieziUtaridi \n[3]0.3820.060.3870.2417.0058.60Zuhura (Ng'andu)**0.9490.820.720.6153.39-2430Dunia (Ardhi)***1.001.001.001.000.001.001Mirihi (Murihi, Meriki, Mars)0.530.111.521.881.851.032Mshtarii \n[4]11.23185.2011.861.310.41463Zohari (Zohali, pia Zuhali) \n[5]9.41959.5429.462.480.42649Uranus \n[6] 3.9814.619.2284.010.77-0.71827Neptun \n[7] 3.8117.230.06164.81.770.67113", "question_text": "Je,ni sayari gani kubwa zaidi?", "answers": [{"text": "Mshtarii", "start_byte": 1100, "limit_byte": 1108}]} {"id": "-5802140543303221780-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Mlima mkubwa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "7681594797162076310-0", "language": "swahili", "document_title": "Galileo Galilei", "passage_text": "\nGalileo Galilei (5 Februari 1564 – 8 Januari 1642) alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia.", "question_text": "Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1564", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "7992636175903295674-3", "language": "swahili", "document_title": "Ukuta wa China", "passage_text": "Ukuta ulijengwa na nasaba mbalimbali za watawala wa China tangu mwaka 200 KK. Shabaha yake ilikuwa ulinzi wa milki dhidi ya mataifa na makabila wa kaskazini walioendelea kushambulia China. Watu wa kaskazini walikuwa wahamiaji waliotumia farasi na ngamia, hivyo haikuwa rahisi kujua ni wapi watakapojaribu kuingia.", "question_text": "Nani alijenga ukuta mkubwa wa China?", "answers": [{"text": "ulijengwa na nasaba mbalimbali za watawala wa China", "start_byte": 6, "limit_byte": 57}]} {"id": "7421638043997917538-4", "language": "swahili", "document_title": "Zamaradi Mketema", "passage_text": "Zamaradi ana watoto watatu: kati ya hao wawili aliwapata kabla hajafunga ndoa na mmoja baada ya kufunga ndoa mwaka 2017 [4].", "question_text": "Zamaradi Mketema ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 20, "limit_byte": 26}]} {"id": "-4243707460906328070-20", "language": "swahili", "document_title": "Kuba", "passage_text": "Polepole idadi ya wapiganaji waliojiunga nao iliongezeka na wanajeshi wa serikali mara nyingi walihamia upande wa Castro. Tarehe 1 Januari 1959 dikteta Batista alikimbia na kuondoka Kuba, vikosi wa wanamapinduzi waliingia Havana.", "question_text": "Mji mkuu wa kuba ni upi?", "answers": [{"text": "Havana", "start_byte": 222, "limit_byte": 228}]} {"id": "31593551537773342-25", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Nigeria", "passage_text": "Mwaka 2015 alishindwa katika uchaguzi mkuu na mgombea mwenzake, Muhammadu Buhari.", "question_text": "Nani rais wa Nigeria?", "answers": [{"text": "Muhammadu Buhari", "start_byte": 64, "limit_byte": 80}]} {"id": "5454582751674421838-0", "language": "swahili", "document_title": "Silika kadiri ya C. G. Jung", "passage_text": "Kati ya michango mikubwa aliyoitoa Carl Gustav Jung, mwanasaikolojia wa Uswisi (1875-1961), mmojawapo ni kuainisha makundi mawili ya watu kadiri wanavyoelekeza nguvu za nafsi yao ndani mwao (wandani) au nje yao (wasondani). ", "question_text": "Je, Carl Gustav Jung alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1875", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}]} {"id": "9135424873487828834-0", "language": "swahili", "document_title": "Manga", "passage_text": "\nManga (ja: 漫画 kanji: まんが katakana: マンガ English:/ˈmɑːŋɡə/) ni hadithi zinazotungwa kwa kutumia michoro (wakati mwingine pia hujulikana kama komikku katika lugha ya Kijapani. Hufuata jinsi ya kuchora ulioendelezwa Ujapani mwishoni mwa karne ya 20. Katika namna zake za kisasa, manga zilianza muda mfupi baada ya Vita vikuu vya pili [1], lakini aina hii ya sanaa ina historia ndefu katika miaka awali ya sanaa ya Ujapani.", "question_text": "Je, Manga ni nini?", "answers": [{"text": "hadithi zinazotungwa kwa kutumia michoro", "start_byte": 84, "limit_byte": 124}]} {"id": "6967267340687868214-3", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Nigeria ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-5249673159061608432-0", "language": "swahili", "document_title": "Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Murtala Muhammed", "passage_text": "Uwanja wa Ndege Kimataifa wa Murtala Muhammed (Murtala Muhammed International Airport kwa lugha ya kimombo) uko katika sehemu ya Ikeja, nchi ya Lagos, nchini Nigeria, na uwanja huu wa ndege ndio ambao unahudumia mji [1]wa Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria na taifa zima. Awali uwanja huu wa ndege ulikuwa unajulikana kama Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Lagos (Lagos International Airport kwa Kiingereza), lakini jina lake lilibadilishwa ujenzi ulipofikia katikati kuwa Murtala Muhammed ambaye alikuwa mkuu wa zamani wa kijeshi wa Nigeria. Taminalii ya kimataifa ilijengwa kama ya Uwanja wa ndege wa Schiphol iliyoko mjini Amsterdam. Uwanja huu wa ndege ulifunguliwa rasmi tarehe 15 Machi 1979. Uwanja huu ndio wigo kuu kwa ndege kama vile flag carrier airlines ya Nigeria , Nigeria Eagle Airlines na Arik Air.", "question_text": "Uwanja mkuu wa ndege wa Amsterdam unaitwaje?", "answers": [{"text": "Schiphol", "start_byte": 602, "limit_byte": 610}]} {"id": "1279468799829772697-5", "language": "swahili", "document_title": "Dolar ya Marekani", "passage_text": "Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia (1945) dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Lakini tangu kupatikana kwa Euro mwaka 1999 umuhimu wa dola ya Marekani imeanza kupungua polepole. Hata hivyo nchi mbalimbali zimeachana na sarafu zao na kuamua kutumia dola ya Marekani tu, k.mf. El Salvador.", "question_text": "Pesa kuu duniani ni gani?", "answers": [{"text": "dola", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}]} {"id": "-6492021843295700638-4", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Toka mwanzo makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako Manhattan, New York City, New York nchini Marekani na hayako chini ya mamlaka ya nchi hiyo. Ofisi nyingine ziko Geneva (Uswisi), Nairobi (Kenya) na Vienna (Austria). ", "question_text": "Makao makuu ya Umoja wa mataifa inapatikana nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 91, "limit_byte": 99}]} {"id": "6811000880234529831-0", "language": "swahili", "document_title": "Mchungwa", "passage_text": "\nMchungwa (Citrus × sinensis) ni mti unaozaa machungwa.", "question_text": "Je,jina la kisayansi la chungwa ni gani?", "answers": [{"text": "Citrus × sinensis", "start_byte": 11, "limit_byte": 29}]} {"id": "4990129613288000952-23", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi huru 44.\nBara la Afrika lina nchi huru 53.\nBara la Amerika ya kaskazini lina nchi huru 35.\nBara la Antaktika halina wakazi wa kudumu wala nchi huru hata moja ijapokuwa nchi kama 7 zinadai kumiliki sehemu fulani za bara hili.\nBara la Australia au Oshania lina nchi huru 14.\nBara la Ulaya (au Uropa) lina nchi huru 46.", "question_text": "Je, bara Asia ina mataifa mangapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 28, "limit_byte": 30}]} {"id": "2747980225002575364-0", "language": "swahili", "document_title": "Jack Bauer", "passage_text": "Jack Bauer ni jina la kutaja mhusika mkuu wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24. Uhusika unachezwa na Kiefer Sutherland. Jack Bauer, amepata mafunzo makali na kufanya kazi katika viwango tofauti akiwa kama kachero wa serikali, ikiwemo na Jeshi la US - Delta Force, LAPD SWAT, CIA, na mwishoni katika Kitengo cha Kuzuia Ugaidi (CTU) cha Los Angeles.", "question_text": "Nani mhusika mkuu wa kipindi ya 24?", "answers": [{"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-8265849407217560166-11", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Oda nyingine ndogo ya Cetacea ni Mysticeti, ambayo hujumuisha nyangumi wa bluu, ambaye ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote aliyeripotiwa kuishi, nyangumi mwenye nundu, na wanyama wengine wanaokula kutoka kwenye maji ya baharini kutumia michirizi mirefu iliyopo badala ya meno, ambayo ndiyo walikopatia jina lao.", "question_text": "Mnyama mgani ni mkubwa duniani?", "answers": [{"text": "nyangumi wa bluu", "start_byte": 62, "limit_byte": 78}]} {"id": "5688830839363440392-0", "language": "swahili", "document_title": "Dubai (mji)", "passage_text": "Dubai (kwa Kiarabu: دبيّ) ni mji mkuu wa ufalme wenye jina hilo katika katika Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Dubai ni upi?", "answers": [{"text": "Dubai", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "4944703262065911128-0", "language": "swahili", "document_title": "Dknob", "passage_text": "\n\nInnocent Cornel Sahani (amezaliwa tar. 12 Februari 1980) ni msanii wa hip hop na Bongo Flava kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jia lake la kisanii kama \"Dknob\". Dknob ametoa nyimbo nyingi tu zenye kuwika sana katika Afrika ya Mashariki. Nyimbo hizo ni kama vile, Elimu Mitaani.com, Sauti ya Gharama, Ingewezekana, Kitu Gani, Mr. Sahani, Bora Tumeachana, na Nishike Mkono ambayo kaimba na Mwasity.", "question_text": "Je,Dknob alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "3040526134928725491-5", "language": "swahili", "document_title": "John F. Kennedy", "passage_text": "Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba 1963, akiacha mke na watoto wawili. ", "question_text": "Rais Kennedy aliuawa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "3324775436417851821-3", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa la Moravian Kusini Magharibi Tanzania", "passage_text": "Askofu wa kwanza Yohana Wavenza aliwekwa wakfu kuwa askofu wa jimbo hili tarehe 24 Julai 1983. Askofu wa pili wa Jimbo hili Alinikisa Cheyo aliwekwa wakfu tarehe 12 Agosti 2001 katika uwanja wa mpira Sokoine Mbeya.", "question_text": "Alinikisa Cheyo alikuwa askofu wa kanisa la Moravian mwaka upi?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 172, "limit_byte": 176}]} {"id": "-4757734730650175314-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Je,bara Asia ina idadi ya nchi ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 23, "limit_byte": 25}]} {"id": "1132024201823210040-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Je, Hispania ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "zaidi ya watu milioni 44.395.286", "start_byte": 59, "limit_byte": 91}]} {"id": "1499803570335418450-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanga (kundinyota)", "passage_text": "Hadi karne 19 kundinyota hii ilitazamiwa kuwa sehemu ya kundinyota kubwa zaidi iliyoitwa Argo Navis, mara nyingi pekee \"Navis\" (yaani merikebu) iliyokuwa moja ya kundinyota 48 zilizoorodheshwa na Klaudio Ptolemaio. Lacaille alihesabu ndani yake nyota 180 na hivyo alianza tayari kugawa Argo Navis kwa sehemu tatu za Mkuku (Carina), Shetri (Puppis) na Tanga (Vela). Hii ilithibitishwa na Umoja wa Kimataifa wa Astronomia katika orodha ya kundinyota 88 za kisasa iliyotolewa mwaka 1930. [2]", "question_text": "Kundinyota la Mkuku Carina lina nyota ngapi?", "answers": [{"text": "180", "start_byte": 251, "limit_byte": 254}]} {"id": "-4145799939322119725-0", "language": "swahili", "document_title": "Amazonas (mto)", "passage_text": "\n\nMto Amazonas (Kireno: Rio Amazonas) ni mto mkubwa duniani. Ina chanzo chake katika milima ya Andes inavuka beseni yake hadi Atlantiki kupitia eneo kubwa la misitu minene. Sehemu kubwa ya mwendo wake iko katika nchi ya Brazil. Inabeba maji zaidi kuliko mito ya Nile, Mississippi na Yangtse kwa pamoja.", "question_text": "Mto mkubwa zaidi duniani unaitwaje?", "answers": [{"text": "Amazonas", "start_byte": 6, "limit_byte": 14}]} {"id": "-545549351933459243-0", "language": "swahili", "document_title": "Borja Mayoral", "passage_text": "Borja Mayoral Moya (alizaliwa tarehe 5 Aprili 1997) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Hispania ambaye anacheza kama mshambuliaji katika timu ya klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Hispania.", "question_text": "Je,Borja Mayoral Moya alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "5 Aprili 1997", "start_byte": 37, "limit_byte": 50}]} {"id": "6092633858720732139-0", "language": "swahili", "document_title": "Reptilia", "passage_text": "\nReptilia (kutoka Kilatini \"reptilis\" mwenye kutambaa; pia: mtambaazi, mtambaachi, mnyama mtambaaji[1]) ni kundi la wanyama wenye damu baridi, ngozi ya magamba badala ya nywele au manyoya wakipumua kwa mapafu. Siku hizi wataalamu hupendelea jina Sauropsida.", "question_text": "Nyoka iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Reptilia", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-5521921003329342219-6", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "Baadaye aliteuliwa kuwa makamu wa kikundi cha wanaanga waliokwenda mwezini kwa kutumia chombo kilichoitwa Apollo 11. Ajali ya Apollo 1 iliyosababisha kifo cha mwenzake hapo kabla, ndiyo iliyompelekea kujiunga kwake na kundi la Apollo 11. ", "question_text": "Neil Armstrong alienda mwezini kwa kifaa gani?", "answers": [{"text": "Apollo 11", "start_byte": 106, "limit_byte": 115}]} {"id": "-3319491650502847723-26", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Nchini kuna lugha asilia 40 hivi, ambazo zinagawanyika katika makundi makubwa mawili: lugha za Kibantu upande wa kusini na lugha za Kinilo-Sahara upande wa kaskazini. Hata hivyo lugha rasmi ni Kiingereza na Kiswahili.", "question_text": "Je,lugha rasmi nchini Uganda ni gani?", "answers": [{"text": "Kiingereza na Kiswahili", "start_byte": 193, "limit_byte": 216}]} {"id": "4076638920515754485-18", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "RPF chini ya uongozi wa Paul Kagame iliamua kutumia nguvu zote kwa kulipiza kisasi kwa kuwaua Wahutu wenye msimamo mkali na wengine wengi kufungwa maisha katika jela zenye hali mbaya sana,akilenga kulipiza kisasi cha mauaji. Kwa miezi miwili mauaji na vita zilienda sambamba hadi RPF ilishinda Julai 1994 na kuchukua madaraka ya serikali.", "question_text": "Rais wa nchi ya Rwanda anaitwaje?", "answers": [{"text": "Paul Kagame", "start_byte": 24, "limit_byte": 35}]} {"id": "-2709244814208697711-17", "language": "swahili", "document_title": "Madagaska", "passage_text": "Mwaka 2012 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa milioni 22. Wenyeji wengi wana mchanganyiko wa damu: DNA inaonyesha kuwa wakazi wa kwanza kutoka Indonesia wameichangia asilimia 50 hivi na Waafrika vilevile. Wanaoishi sehemu za ndani ni wa Kiindonesia zaidi, wakati wale wa pwani ni wa Kiafrika zaidi.", "question_text": "Je,Madagaska ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 22", "start_byte": 44, "limit_byte": 54}]} {"id": "-3508195703938616350-0", "language": "swahili", "document_title": "Lee Grant", "passage_text": "\nLee Anderson Grant (alizaliwa 27 Januari 1983) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anacheza kama kipa wa klabu ya Manchester United.", "question_text": "Je,Lee Anderson Grant alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1983", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-999500957539235885-11", "language": "swahili", "document_title": "Katiba ya Kenya", "passage_text": "Kila moja ya kaunti 47 ina seneta\nSeneta huchaguliwa na wapiga kura\nJumla ya maseneta ni 60\nItasimamia mashtaka ya kuondolewa kwa rais (kipengee cha 145)", "question_text": "Je, serikali ya Kenya ina maseneta wangapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "60", "start_byte": 89, "limit_byte": 91}]} {"id": "-145122404814569762-13", "language": "swahili", "document_title": "Madagaska", "passage_text": "Wamerina walikuwa na makao makuu ya utawala wao Antananarivo; baada ya kugawiwa kwa ufalme wao mnamo 1710 kitovu cha malaka kati ya Wamerina ikahamia kwenye mlima wa Ambohimanga lakini tangu kuunganishwa kwa Wamerina mnamo 1794 mji mkuu ukulikuwa tena Atananarivo. Kutoka hapo waliweza kueneza mamlaka yao katika sehemu nyingine za kisiwa hicho.", "question_text": "Mji mkuu wa Madagascar unaitwaje?", "answers": [{"text": "Atananarivo", "start_byte": 252, "limit_byte": 263}]} {"id": "-5797003009664749559-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Mji mkubwa zaidi nchini Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 315, "limit_byte": 328}]} {"id": "1976497510140077385-0", "language": "swahili", "document_title": "Zinedine Zidane", "passage_text": "Zinedine Yazid Zidane (maarufu kama \"Zizou\"; alizaliwa tarehe 23 Juni 1972) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Ufaransa na klabu ya Real Madrid aliyecheza kama kiungo mshambuliaji. Kwa sasa ni kocha wa Real Madrid.", "question_text": "Je,Zinedine Zidane ni mzaliwa wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Ufaransa", "start_byte": 118, "limit_byte": 126}]} {"id": "-5730234982912411342-0", "language": "swahili", "document_title": "Mende", "passage_text": "\nMende au kombamwiko ni wadudu wadogo hadi wakubwa kiasi wa oda ya Blattodea (blatta = mende, eidos = umbo). Tangu mwanzo wa karne hii wataalamu wengi wamesadiki kwamba mchwa ni aina za mende wa kijamii[1][2]. Kwa hivyo oda yao, Isoptera, huwekwa ndani ya Blattodea kama oda ya chini mara nyingi. Kuna maainisho mengine pia[3]. Kundi la mchwa linajadiliwa katika ukurasa wake.", "question_text": "Je,mende iko katika spishi gani kwa wadudu?", "answers": [{"text": "Blattodea", "start_byte": 67, "limit_byte": 76}]} {"id": "2770906204652445182-0", "language": "swahili", "document_title": "Atlantiki", "passage_text": "\nAtlantiki ni bahari kubwa inayotenganisha Amerika upande wa magharibi na Afrika na Ulaya upande wa mashariki. Eneo lake ni kilometa za mraba 106,200,000 au sehemu ya tano ya uso wa dunia pamoja na bahari za pembeni kama bahari ya Baltiki na Mediteranea. Hivyo ni bahari kubwa ya pili duniani baada ya Pasifiki. Bila bahari hizi za pembeni eneo lake ni kilometa za mraba 82,400,000. ", "question_text": "Ni bahari gani kubwa duniani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 302, "limit_byte": 310}]} {"id": "2161742910299389958-4", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Amezaliwa Dar es Salaam tarehe 2 Oktoba 1989 akiwa na asili ya mkoani Kigoma ni mwimbaji na mtunzi wa kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani dhidi ya wasanii wa mataifa mengine. Pia ni rafiki wa kila mtu Ana watoto watatu ambao ni Dylan Abdul(Kamzaa na Hamisa Mobeto) na Lattifah na nillan Nasibu Abdul(Kawazaa na Zarina Hassan). Pia ana mashabiki wengi ndani ya nchi yake na nje. ", "question_text": "Diamond Platnumz ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 226, "limit_byte": 232}]} {"id": "-3031673944535300273-7", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka 1848 na Dokta Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa.", "question_text": "Kamusi ya kwanza ya lugha ya Kiswahili iliandikwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1848", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "6426541547485836683-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-3545793621596933580-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ethiopia?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 258, "limit_byte": 269}]} {"id": "-5342113329945796126-14", "language": "swahili", "document_title": "Kipindupindu", "passage_text": "Mnamo miaka 1816-1826 kulikuwa na janga la kwanza la kipindupindu mkoani Bengal, nchini India. Waingereza 10,000 na Wahindi walikufa.[5]", "question_text": "Ugonjwa wa Cholera ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "India", "start_byte": 88, "limit_byte": 93}]} {"id": "-6100378580212653308-2", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Zuckerberg alizaliwa White Plains, New York na kukulia Dobbs Ferry, New York. Alianza kuunda programu alipokuwa katikati shule ya kitengo cha kati. Zuckerberg alifurahia kuunda programu za kompyuta mapema, na hasa zana za mawasiliano na michezo. Kabla ya kuhudhuria Exeter Phillips Academy, Mark alienda shule ya Ardsley High School. \"Katika shule ya upili, yeye alifaulu sana katika masomo ya Kale. Alihamishiwa Phillips Exeter Academy ambako alizama katika somo la Kilatini. [6][6]Pia aliunda programu ya kuwasaidia wafanyakazi katika ofisi ya baba yake kuwasiliana; akaunda toleo la mchezo wa Risk na programu ya kucheza muziki iitwayo Synapse iliyotumia wangafu kujifunza tabia za kusikiliza za watumiaji. Microsoft na AOL zilijaribu kununua Synapse na kumwajiri Zuckerberg, lakini aliamua badala yake kuenda Chuo Kikuu cha Harvard, ambapo alijiunga na Alpha Epsilon Pi , kikundi cha wanafunzi Wayahudi.[7]Chuoni, alijulikana kwa kukariri mistari kutoka mashairi ya kale kama vile The Iliad . [6]", "question_text": "Je, Mark Elliot Zuckerberg alisomea chuo kikuu kipi?", "answers": [{"text": "Harvard", "start_byte": 828, "limit_byte": 835}]} {"id": "-6151566446972631092-0", "language": "swahili", "document_title": "Zambezi (mto)", "passage_text": "Zambezi ni kati ya mito mirefu ya Afrika ikiwa na nafasi ya nne baada ya Nile, Kongo na Niger. Ni mto mrefu wa Afrika wa kuingia Bahari Hindi. Beseni lake lina km² 1,570,000 au nusu ya mto Nile. Chanzo chake iko Zambia inapita Angola mpakani na Namibia, Botswana, Zambia na Zimbabwe kwenda Msumbiji inapofikia Bahari Hindi katika delta ya 880 km².", "question_text": "mto mrefu nchini Zambia unaitwaje?", "answers": [{"text": "Zambezi", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "5386496847302381381-4", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Mji mkuu ni Moscow. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Urusi ni ipi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "3132185327494334676-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je,Julius Nyerere aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1999", "start_byte": 129, "limit_byte": 133}]} {"id": "8407678904600820867-246", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa", "passage_text": "Mwenyewe alitumia kwa nadra neno urekebisho, lakini likaja kuwa jina la kawaida la matukio yale mengi ya miaka 1517 - 1555, yaani kuanzia uenezi wa hoja 95 za Martin Luther hadi amani ya Augsburg. Kati yake mabishano ya Kikanisa yaliyosababishwa na teolojia ya Luther, yalichanganyikana mapema na siasa, uchumi na utamaduni, kutokana na hali halisi ya wakati huo, mbali kuliko mwenyewe alivyofikiri.", "question_text": "Je,Martin Luther alianzisha Uprotestanti mwaka upi?", "answers": [{"text": "1517", "start_byte": 111, "limit_byte": 115}]} {"id": "8062375684088723818-18", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ghana", "passage_text": "Baada ya kuongezeka kwa maandamano mnamo 1948, wanachama wa chama cha United Gold Coast Convention walikamatwa, akiwemo Waziri Mkuu na Rais wa baadaye, Kwame Nkrumah. Baadaye, Nkrumah aliunda chama chake mwenyewe, the Convention People's Party (CPP) ambacho kiliongozwa na usemi ‘serikali ya kujitegemea sasa’ (self government now). Alianzisha kampeni ya ‘Vitendo Chanya’ na kupata ufuasi wa watu wa sehemu za mashambani na wa daraja la wafanyakazi.[5]", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ghana anaitwa na nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 152, "limit_byte": 165}]} {"id": "-1436589389760809338-5", "language": "swahili", "document_title": "Tumbaku", "passage_text": "Kilimo cha tumbaku ni tawi muhimu la uchumi kwa nchi mbalimbali. Kilwa mavuno ya duniani ni takriban tani milioni 6.7. Wazalishaji wakuu ni China (39.6%), Uhindi (8.3%), Brazil (7.0%) na Marekani (4.6%). [1] Tanzania ni kati ya nchi kumi za kwanza zinazolima tumbaku inavuna asilimia 1.6 ya tumbaku ya dunia.[2]", "question_text": "Ni nchi gani inayo tengeneza sigara kwa wingi ulimwenguni?", "answers": [{"text": "China", "start_byte": 140, "limit_byte": 145}]} {"id": "-8920737526570842561-0", "language": "swahili", "document_title": "Misri", "passage_text": "جمهوريّة مصرالعربيّة\n\nGumhūriyyat Misr al-ʿarabiyya\n\nJamhuri ya Kiarabu ya Misri\n\n\n\n\n \n Bendera ya Misri \n Nembo la MisriLugha rasmiKiarabuMji MkuuCairo-MaadiSerikaliJamhuriRaisAbdel Fattah el-SisiWaziri MkuuIbrahim MahlabEneokm² 1.002.450Wakazi90.000.000 (2015)Wakazi kwa km²84 kwa jumla; katika bonde la Nile 1120Uhuru26 Julai 1952 kutoka UingerezaPesaLira au Pauni ya Misri = 100 PiasterWakatiUTC +2Wimbo ya TaifaBiladi, Biladi, Biladi (nchi yangu) \nRamani ya Misri", "question_text": "Je, Misri ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1952", "start_byte": 352, "limit_byte": 356}]} {"id": "-5614978818764816169-3", "language": "swahili", "document_title": "Nyuzilandi", "passage_text": "Wellington ni mji mkuu wa Nyuzilandi.\nAuckland ndio mji mkubwa visiwani.", "question_text": "Mji mkuu wa New Zealand unaitwaje?", "answers": [{"text": "Wellington", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-9180145089857394619-14", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Mji mkuu ni Ankara ulioko katika kitovu cha Anatolia. ", "question_text": "Mji mkuu nchini Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Ankara", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-4937340213881579197-0", "language": "swahili", "document_title": "Carl Weathers", "passage_text": "\nCarl Weathers (amezaliwa tar. 14 Januari 1948) ni mwigizaji wa filamu na ni mchezaji mpira wa miguu wa zamani wa Kiamerika-Kanada. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa jina la Apollo Creed alilotumia kutoka katika mfululizo wa filamu ya The Rocky aliyocheza na nyota maarufu wa filamu Bw. Sylvester Stallone.", "question_text": "Je,Carl Weathers alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "14 Januari 1948", "start_byte": 31, "limit_byte": 46}]} {"id": "265944301456662663-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,ziwa kubwa zaidi nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Ziwa Viktoria", "start_byte": 6, "limit_byte": 19}]} {"id": "-8818360858058091789-5", "language": "swahili", "document_title": "Meno", "passage_text": "Idadi ya meno ya utoto katika wakaa ya kwanza ni 20. Huanza kuota mtoto anapokuwa na umri wa miezi sita na kawaida yote huwa yamekwisha kuota mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili. ", "question_text": "Meno ya kwanza ya mtoto huanza kuota akiwa na umri gani?", "answers": [{"text": "miezi sita", "start_byte": 93, "limit_byte": 103}]} {"id": "4449166932584975793-1", "language": "swahili", "document_title": "Ali Muhsin al-Barwani", "passage_text": "Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani alikua mzalendo wa nchi ya Zanzibar ambae alipata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengine pia wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya Kilimo Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.", "question_text": "Je, Ali Muhsin Al-Barwani alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha Makerere", "start_byte": 223, "limit_byte": 246}]} {"id": "-4317745174301314193-3", "language": "swahili", "document_title": "Homa ya Bonde la Ufa", "passage_text": "mizuko ya ugonjwa huu imetokea barani Afrika na Arabia pekee. Mizuko kwa kawaida hutokea katika misimu ya mvua nyingi inayosababisha ongezeko la idadi ya mbu.[1] Ugonjwa huu uliripotiwa mara ya kwanza katika mifugo katika Bonde la Ufa la Kenya miaka ya kwanza ya 1900,[2] navyo virusi vyake vilitambuliwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1931.[1]", "question_text": "Homa ya Bonde la Ufa iligunduliwa lini?", "answers": [{"text": "1900", "start_byte": 263, "limit_byte": 267}]} {"id": "-978946068850374909-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ethiopia?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 436, "limit_byte": 447}]} {"id": "-8263408824711678902-3", "language": "swahili", "document_title": "Victor Hipolito Martínez", "passage_text": "Kufuatia miaka saba ya uongozi wa kijeshi ulipofeli, uchaguzi ukaaandaliwa katika mwezi wa Oktoba 1983. UCR,iliyoandaa mikutano yao Julai mwaka huo,ilimchagua mwanasheria wa haki za kibinadamu,Raul Alfonsin kugombea urais na Martinez kama naibu wake. Martinez aliyekuwa mhafidhina alikuwa amechaguliwa ili kumsaidia Raul kushinda. Kufuatia wiki za kupigia kura, na kutokuwa na mshindi wazi baina ya Chama cha Justicialista na UCR,UCR ilishinda hatimaye na asilimia ya 12.Martinez akawa Naibu wa Rais.", "question_text": "Je,Víctor Hipólito Martínez alikuwa katika chama gani cha kisiasa?", "answers": [{"text": "UCR", "start_byte": 430, "limit_byte": 433}]} {"id": "8006070909739576949-0", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "\n\nBakteria (kutoka Kiyunani βακτήριον, baktērion, yaani \"kifimbo\", kutokana na umbo la bakteria za kwanza kugundulika) au vijasumu ni viumbehai vidogo sana aina ya vidubini. Mwili wa bakteria huwa na seli moja tu. Huonekana kwa hadubini tu na kwa sababu hiyo hazikujulikana katika karne za kale.", "question_text": "Je,bakteria ni nini?", "answers": [{"text": "viumbehai vidogo sana aina ya vidubini", "start_byte": 144, "limit_byte": 182}]} {"id": "-2872358154579725170-0", "language": "swahili", "document_title": "Chris Hughes (Facebook)", "passage_text": "Chris R. Hughes (aliyezaliwa 26 Novemba 1983) ni mmoja wa waanzishi na alitumikia kama msemaji wa tovuti ya kijamii, Facebook, na wenzake wa Harvard Mark Zuckerberg na Dustin Moskovitz. Alikuwa mratibu wa tovuti rasmi ya kampeni ya Barack Obama ya rais ya mwaka 2008 ya My.BarackObama.com. Hughes kwa sasa ni mfanyabiashara katika kampuni ya General Catalyst Partners, kampuni ya uwekezaji iliyoko Cambridge, na mshauri wa mikakati katika kampuni ya GMMB, kampuni ya ushauri wa kisiasa ambayo ilifanya kazi katika kampeni ya Obama mwaka 2008. [1]", "question_text": "Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya facebook?", "answers": [{"text": "Mark Zuckerberg", "start_byte": 149, "limit_byte": 164}]} {"id": "4259819568252843000-0", "language": "swahili", "document_title": "Amos Biwott", "passage_text": "Amos Biwott (alizaliwa 8 Septemba 1947 katika Wilaya ya Nandi) ni mwanariadha wa zamani wa Kenya. Yeye alikuwa mshindi wa mbio ya 3000m ya urukaji viunzi katika Olimpiki ya 1968.", "question_text": "Amos Biwott alizaliwa mji gani?", "answers": [{"text": "Wilaya ya Nandi", "start_byte": 46, "limit_byte": 61}]} {"id": "4364822152037858992-2", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Mji mkuu ni Kingston. \n", "question_text": "Mji mkuu wa Jamaica ni upi?", "answers": [{"text": "Kingston", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-7429536489050734270-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Rais wa kwanza Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "-2236269978329641211-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo", "passage_text": "\n\nUkristo (kutoka neno la Kigiriki Χριστός, Khristos, ambalo linatafsiri lile la Kiebrania מָשִׁיחַ, Māšîăḥ, linalomaanisha \"Mpakwamafuta\" [1]) ni dini inayomwamini Mungu pekee[2] kama alivyofunuliwa kwa Waisraeli katika historia ya wokovu ya Agano la Kale na hasa Yesu Kristo katika [[Agano Jipya]] ambaye ni mwanzilishi wake katika karne ya 1. ", "question_text": "Neno wakristo linatokana na nini?", "answers": [{"text": "Mpakwamafuta", "start_byte": 147, "limit_byte": 159}]} {"id": "9148845661326062366-15", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Kuna misimu miwili mikuu nchini Ghana, masika na kiangazi. Kaskazini mwa Ghana huwa na msimu wa masika kutoka Machi hadi Novemba huku sehemu ya kusini, ukiwemo mji mkuu wa Accra, ikiwa na masika kutoka Aprili hadi Novemba katikati.", "question_text": "Je, mji mkuu wa Ghana ni upi?", "answers": [{"text": "Accra", "start_byte": 172, "limit_byte": 177}]} {"id": "-4951219556351021744-5", "language": "swahili", "document_title": "Rosebud Kurwijila", "passage_text": "Ameolewa na pia ana watoto wanne (4).[1]", "question_text": "Je, Rosebud Violet Kurwijila ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 27, "limit_byte": 32}]} {"id": "2879341708985469384-2", "language": "swahili", "document_title": "Fat Joe", "passage_text": "Albamu ya kwanza ya Fat Joe ilikuwa inaitwa Represent, ilitoka mnamo mwaka wa 1993, ikafuatiwa na Jealous One's Envy ya mwaka wa 1995. Kutoka mwaka wa 1998 hadi 2006, alisaini mkataba na studio ya Atlantic Records, na akafanikiwa kutoa albamu nne akiwa katika studio hiyo. Albamu hizo ni kama vile Don Cartagena (1998), Jealous Ones Still Envy (J.O.S.E.) kunako mwaka wa 2001, Loyalty (2002) na All or Nothing ya mwaka wa 2005.[1]", "question_text": "Je,Fat Joe alianza mziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 78, "limit_byte": 82}]} {"id": "7100104926168189930-0", "language": "swahili", "document_title": "Jennifer Garner", "passage_text": "\nJennifer Anne Affleck,[1] hasa hujulikana kwa jina lake la kuzaliwa kama Jennifer Garner (amezaliwa tar. 17 Aprili 1972), ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Garner amejipatia umaarufu mkubwa kwa kucheza kwake kama kachero wa CIA, Sydney Bristow, katika kipindi cha mfululizo wa TV cha Alias, ambacho kilikuwa kikirushwa hewani na televisheni ya ABC kwa misimu mitano ambayo ilianza kuanzia 2001 hadi 2006. Wakati anafanyakazi kwenye Alias, amepata kucheza nyusika chache-chache kwenye mafilamu makubwa-makubwa kama vile Pearl Harbor (2001) na Catch Me if You Can (2002). Tangu hapo, Garner ameonekana kwenye nyusika kadha wa kadha akiwa kama mwigizaji mwandamizi vilevile mwigizaji mkuu kwenye mamiradi makubwa ikiwa ni pamoja na Daredevil (2003), 13 Going on 30 (2004) na Juno (2007). Ameolewa na mwigizaji na mwongozaji wa filamu Ben Affleck, ambaye kwa pamoja wameweza kujipatia watoto wawili wa kike.", "question_text": "Je, Jennifer Garner alianza uigizaji mwaka upi?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 405, "limit_byte": 409}]} {"id": "-928133283274330239-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Rais wa Marekani mwaka wa 1945 alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Harry Truman", "start_byte": 2063, "limit_byte": 2075}]} {"id": "-5787214982985484055-3", "language": "swahili", "document_title": "Dar es Salaam", "passage_text": "Mji una wakazi wapatao 4,364,541 kwa hesabu ya sensa iliyofanyika katika mwaka wa 2012.[1]", "question_text": "Je,mji wa Dar es Salaam ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 23, "limit_byte": 32}]} {"id": "2230809622240965383-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,ziwa kubwa zaidi duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Superior", "start_byte": 213, "limit_byte": 221}]} {"id": "-1036502058970690467-0", "language": "swahili", "document_title": "Freddy Kasheba", "passage_text": "\nFreddy Ndala Kasheba (1946 - 22 Oktoba 2004) alikuwa mwanamuziki maarufu katika miondoko ya muziki wa dansi kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo-Tanzania. Pia alifahamika sana kwa wimbo wake \"Kesi ya Khanga\".", "question_text": "Je, Freddy Ndala Kasheba alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1946", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "-7513568933171337673-0", "language": "swahili", "document_title": "Kemia", "passage_text": "\n\nKemia (labda jina limetokana na neno la Kiarabu al-kemia) ni sayansi ya mata kwa kiwango cha atomi. ", "question_text": "Je, nini maana ya Kemia?", "answers": [{"text": "sayansi ya mata kwa kiwango cha atomi", "start_byte": 63, "limit_byte": 100}]} {"id": "-532598643782615049-0", "language": "swahili", "document_title": "Froot Loops", "passage_text": "Froot Loops ni aina ya chakula cha kiamsha kinywa kinachotayarishwa na kampuni ya Kellogg's na huuzwa katika nchi zifuatazo: India,Australia, Kanada, New Zealand, Marekani, Ujerumani, Mashariki ya Kati na Amerika ya Kilatini. Chakula hiki huwa katika vipande vidogo vyenye umbo wa mviringo(hasa lile jina la \"loops\") na huwa katika rangi mbalimbali na mionjo mbalimbali ya matunda. Kellog's ilianzisha bidhaa za Froot Loops katika mwaka wa 1963. Hapo mwanzoni, kulikuwa na miviringo nyekundu,rangi ya machungwa na manjano,ya kijani kibichi iliongezwa baadaye , kisha zambarau na hatimaye ya samawati ikaongezwa pia.", "question_text": "Froot Loops ilizinduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 440, "limit_byte": 444}]} {"id": "4393768585337118445-0", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya ndimu ni ipi?", "answers": [{"text": "Citrus aurantium", "start_byte": 96, "limit_byte": 112}]} {"id": "-1990518996554134676-0", "language": "swahili", "document_title": "Afande Sele", "passage_text": "Seleman Msindi au Afande Sele (amezaliwa tar. 24 Aprili 1976) ni msanii wa muziki wa hip hop na Bongo Flava kutoka Mkoani Morogoro, Tanzania. Amewahi kushinda tuzo ya (mkali wa ryhmes) mwaka [2003] kutokana na wimbo yake wa \"Darubini Kali\" aliyomshirikisha Dogo Ditto kwa sasa Lameck Ditto. Ni muasisi wa makundi ya 'Ghetto Boys' na 'Watu Pori', yaliozaliwa na kufia mjini Morogoro kwa kufuatana na alikuwa msanii wa kwanza kuujaza uwanja wa mpira wa miguu wa JAMUHURI mjini morogoro alipozindua albam yake ya kwanza ya 'MKUKI MOYONI'. Aliongoza kampeni ya maleria mwanzoni mwamiaka ya 2005 na 2007. Mwanzoni wa mwezi wa 11 mwaka 2012 alitangaza rasmi kufanya kazi kama kundi jipya la watu pori baada ya kufanya kazi na MC KOBA ambaye ni miongoni mwa waliokuwa wakiunda kundi la watu pori miaka ya nyuma. Afande Sele kwa sasa ana video ya wimbo wake Soma Ule ambayo imeongozwa na mtayarishaji Raph Tz (upcoming video director) aliyepewa heshima na msanii huyo kufanya video hiyo ambayo imekidhi maudhui ya wimbo.", "question_text": "Je,mwanamziki Afande Sele ni mzaliwa wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 132, "limit_byte": 140}]} {"id": "3216256721592686703-0", "language": "swahili", "document_title": "Joshua Nkomo", "passage_text": "Joshua Mqubuko Nyongolo Nkomo (19 Juni 1917[1]–1 Julai 1999) alikuwa mwananisiasa, kiongozi na mwanzilishi wa chama cha Zimbabwe African People’s Union na pia ni mtu wa kabila la Kalanga[2] kutoka nchini Zimbabwe. Huyu alikuwa anajulikana kama baba wa Zimbabwe au katika Lugha ya Zimbabwe ‘’umdala Wethu, Umafukufuku au chibwechitedza’’ jiwe linaloteleza au (the slipery rork)", "question_text": "Je,Joshua Nkomo alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "19 Juni 1917", "start_byte": 31, "limit_byte": 43}]} {"id": "-3908080802450412709-0", "language": "swahili", "document_title": "Mohamed Said", "passage_text": "Mohamed Said Salum (amezaliwa tar. 25 Februari, 1952, Gerezani, Dar es Salaam) ni mwandishi na mwanahistoria kutoka nchini Tanzania. Ametunga vitabu mbalimbali, lakini anafahamika zaidi kwa kitabu chake cha \"Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes\" kilichotolewa kwa lugha ya Kiingereza kwa mara ya kwanza 1998. Baadaye kikatafsiriwa kwa Kiswahili na kutolewa tena mnamo mwaka wa 2002. ", "question_text": "Mohamed Said Salum anafahamika zaidi kwa kitabu gani?", "answers": [{"text": "Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes", "start_byte": 208, "limit_byte": 245}]} {"id": "-405194103200987392-3", "language": "swahili", "document_title": "Kasoko", "passage_text": "Kasoko kubwa zaidi duniani zilisababishwa na asteroidi zilizogonga Dunia yetu. Kasoko kubwa iliyojulikana hadi 2006 ilikuwa kasoko ya Vredefort nchini (Afrika Kusini) yenye umbo la yai ya urefu wa 320 km na upana wa 180 km. ", "question_text": "Je,kasoko gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Vredefort", "start_byte": 134, "limit_byte": 143}]} {"id": "934269500746042599-9", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia", "passage_text": "Makao makuu yapo kwenye Jiji la UM huko Vienna (Austria). Ofisi za kanda zipo Toronto and Tokyo, halafu kuna ofisi ndogo kwenye makao ya UM huko New York na Geneva. IAEA ina pia maabara ya uchunguzi katika Seibersdorf (Austria) na Monako. ", "question_text": "Je,Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia ina makao makuu yake nchi gani?", "answers": [{"text": "Austria", "start_byte": 48, "limit_byte": 55}]} {"id": "1977370117408652921-1", "language": "swahili", "document_title": "Yevgeniya Polyakova", "passage_text": "Polyakova aliwakilishwa Urusi katika Olimpiki ya 2008 iliyokuwa Beijing,Uchina.Alishiriki katika mbio ya 100m. Katika awamu ya kwanza ya mbio za kuhitimu,alichukua nafasi ya kwanza mbele ya Jade Bailey wa Barbados na Sherone Simpson wa Jamaika.Alikimbia mbio hiyo kwa muda wa sekunde 11.24 na kuhitimu kuingia awamu ya pili. Katika mbio hiyo aliboresha muda wake ukawa sekunde 11.13 akimaliza nyuma ya Shelly-Ann Fraser wa Jamaika na hivyo basi akahitimu kukimbia katika mbio za nusu fainali. Katika nusu fainali alikimbia kwa muda wa 11.38s,akachukua nafasi ya saba katika mbio hiyo na akashindwa kuhitimu kuingia mbio za fainali. Pamoja na Aleksandra Fedoriva, Yulia Gushchina na Yuliya Chermoshanskaya alishiriki katika mbio ya 4 x 100m. Katika mbio ya kwanza ya kuhitimu,walichukua nafasi ya pili nyuma ya Jamaika lakini mbele ya Ujerumani na Uchina. Muda wao wa sekunde 42.87 pia ulikuwa wa pili kwa kasi kwa jumla katika mataifa 16 yaliyoshiriki katika mbio hiyo. Kutokana na matokeo haya,walihitimu kukimbia katika fainali ambapo walikimbia kwa muda wa 42.31s,wakachukua nafasi ya kwanza na kushinda medali ya dhahabu. Timu ya Jamaika hawakumaliza kutokana na kosa katika kubadilishana. ", "question_text": "Polyakova alishinda medali gani katika olimpiki ya 2008?", "answers": [{"text": "dhahabu", "start_byte": 1118, "limit_byte": 1125}]} {"id": "-2302082214253810727-2", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "Kampuni ya Safaricom, ambayo ilisajiliwa mwaka jana katika Soko la Hisa la Nairobi inaongozwa na Bw.Michael Joseph, Afisa Mkuu Mtendaji ambaye amekuwa katika hatamu za uongozi wa kampuni hii yenye mgawo mkubwa zaidi wa wateja nchini Kenya tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2000. Kuimarika kwake kumeifanya kutambulika kama Kampuni inayoheshimika zaidi katika Afrika Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo. ", "question_text": "Je,Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom kilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 268, "limit_byte": 272}]} {"id": "7789766976268075533-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Mji mkuu Sant Peterburg ulibadilishwa jina kuwa Leningrad na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Urusi ni ipi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 114, "limit_byte": 120}]} {"id": "4271036757074030252-8", "language": "swahili", "document_title": "Samuel Wanjiru", "passage_text": "Wanjiru alikuwa mumewe Triza Wanjiru na walikuwa na watoto wawili. Hata hivyo, Wanjiru alikuwa mpenda anasa kupita na inasemekana alikuwa na wapenzi kadhaa. Kufuatia kuaga kwake, wanawake kadhaa walijitokeza wakidai urithi, wakiwemo Judy Wambui ambaye alikuwa mja mzito kupitia Wanjiru.", "question_text": "Samuel Kamau Wanjiru alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wawili", "start_byte": 59, "limit_byte": 65}]} {"id": "7995861652997215481-5", "language": "swahili", "document_title": "Kriketi", "passage_text": "Kila timu huwa na zamu ya kutupa mpira mdogo kwa wiketi ilhali timu nyingine inajaribu kutetea wiketi kwa kurudisha mpira kwa kuipiga kwa fimbo. Wale wanaotupa mpira hupeleka wachezaji 11 uwanjani wanaitwa “bowler”. ", "question_text": "Mchezo wa kriketi huchezwa na wachezaji wangapi kila upande?", "answers": [{"text": "11", "start_byte": 187, "limit_byte": 189}]} {"id": "1965341399416231278-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-7205629899947698665-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Bahari Hindi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "70,560,000", "start_byte": 61, "limit_byte": 71}]} {"id": "7450806467840558132-2", "language": "swahili", "document_title": "Ubalehe", "passage_text": "Kutoka utotoni kuingia utu uzima kuna mabadiliko ya haraka katika viungo, hisia na roho. Kama ilivyo kwa viumbe hai wote, ustawi huo unaweza ukawahi au kuchelewa, lakini kwa kawaida unatokea kati ya umri wa miaka 12 na 16. Wasichana wanawahi kuliko wavulana, na Wazungu kuliko Waafrika, lakini mabadiliko ni yaleyale, nayo yanafanyika hatua kwa hatua.", "question_text": "Je, msichana hufika umri wa kubaleghe akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "12 na 16", "start_byte": 213, "limit_byte": 221}]} {"id": "7245941174940485383-14", "language": "swahili", "document_title": "Zambia", "passage_text": "Wakazi wa Zambia ni wasemaji wa lugha za Kibantu katika makabila 73. Makubwa ndio Wabemba (21.5%), Watonga, Walozi, Watumbuka, Walunda, Waluvale, Wakaonde, Wankoya na Wanyanja-Wachewa. Hata hivyo lugha rasmi ni Kiingereza.", "question_text": "Je,Zambia ina makabila ngapi?", "answers": [{"text": "73", "start_byte": 65, "limit_byte": 67}]} {"id": "5070993429160426747-5", "language": "swahili", "document_title": "Nguruwe", "passage_text": "Kuzaa huwezekana msimu wote wa mwaka katika ukanda wa tropiki, lakini hasa misimu ya mvua. Nguruwe jike huweza kubeba mimba akiwa na miezi 8 mpaka 18. Kisha ataanza kupata hedhi kwa muda wa siku 21 kama hajashika mimba. Nguruwe dume huweza kushiriki masuala ya uzazi katika umri wa miezi 8 mpaka 10.[2] Kwa uzao mmoja, wanaweza kupatikana watoto 6 mpaka 12, waitwao vibwagala. Kisha kuachishwa kunyonya, familia mbili au tatu zinaweza kuishi pamoja mpaka msimu mwingine wa kujamiiana. ", "question_text": "Nguruwe anaweza pata watoto wangapi wakati mmoja?", "answers": [{"text": "6 mpaka 12", "start_byte": 346, "limit_byte": 356}]} {"id": "-6646604710895332542-1", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Kwa eneo ni nchi kubwa kuliko zote duniani, ikiwa na km² 17,075,400.", "question_text": "Nchi ya Urusi iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "km² 17,075,400", "start_byte": 53, "limit_byte": 68}]} {"id": "-3298893405168629574-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Je,kuku anaweza ishi kwa miaka ngapi takriban?", "answers": [{"text": "5-11", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-5027635835764507298-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi bara Afrika?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "6709403475600596077-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAdolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ", "question_text": "Je, Adolf Hitler alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 78, "limit_byte": 82}]} {"id": "6391179088993038700-2", "language": "swahili", "document_title": "Bahari kuu", "passage_text": "Bahari Atlantiki kati ya Amerika upande mmoja na Ulaya - Afrika upande mwingine\nBahari Pasifiki kati ya Amerika na Asia\nBahari Hindi kati ya Afrika na Asia.", "question_text": "Ni bahari gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 87, "limit_byte": 95}]} {"id": "7137441473763774466-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania imegawanyika katika mikoa 31. ", "question_text": "Tanzania ina mikoa mingapi?", "answers": [{"text": "31", "start_byte": 35, "limit_byte": 37}]} {"id": "4433867309921578566-29", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hii aina ya serikali imefanya Waethiopia kupata uhuru wa siasa lakini Uhuru wa idhaa na gazeti bado umefinyiliwa.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ethiopia aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "-8436622053256960421-2", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "Kampuni ya Safaricom, ambayo ilisajiliwa mwaka jana katika Soko la Hisa la Nairobi inaongozwa na Bw.Michael Joseph, Afisa Mkuu Mtendaji ambaye amekuwa katika hatamu za uongozi wa kampuni hii yenye mgawo mkubwa zaidi wa wateja nchini Kenya tangu ilipoanzishwa mwaka wa 2000. Kuimarika kwake kumeifanya kutambulika kama Kampuni inayoheshimika zaidi katika Afrika Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo. ", "question_text": "Je,Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 268, "limit_byte": 272}]} {"id": "-8262478307283877356-0", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Diamond Platnumz (kwa jina lake halisi anaitwa Nasibu Abdul Juma; alizaliwa tarehe 2 Oktoba mwaka 1989) ni msanii wa Bongo Flava na dancta kutoka Tanzania.", "question_text": "Je,Diamond Platnumz alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "2 Oktoba mwaka 1989", "start_byte": 83, "limit_byte": 102}]} {"id": "1011342024536213508-0", "language": "swahili", "document_title": "Leopold II wa Ubelgiji", "passage_text": "\nLeopold II alikuwa mfalme wa Ubelgiji tangu 10 Desemba 1865 hadi 17 Desemba 1909. Alimfuata babake Leopold I aliyekuwa mfalme wa kwanza wa nchi baada ya kuanzishwa kwa taifa hili.", "question_text": "Je,Leopold II alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1865", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "5476581883541308430-0", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi andishi", "passage_text": "Fasihi andishi ni sanaa itumiayo maandishi kufikisha ujumbe kwa hadhira iliyokusudiwa.", "question_text": "Fasihi andishi ni nini?", "answers": [{"text": "sanaa itumiayo maandishi kufikisha ujumbe kwa hadhira iliyokusudiwa", "start_byte": 18, "limit_byte": 85}]} {"id": "-586269453004055801-4", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "\nKilabu kilianzishwa kikijulikana kama Newton Heath L & YR F.C. mwaka wa 1878 kama timu ya kazi ya bohari la Reli la Lancashire na Yorkshire huko Newton Heath. Mashati ya kilabu hiyo yalikuwa ya kijani na nusu dhahabu. Walicheza kwenye uwanja mdogo, uliochakaa huko North Road kwa miaka kumi na mitano, kabla ya kuhamia Bank Street katika mji wa karibu wa Clayton mwaka wa 1893. Kilabu kilikuwa kimeingia ligi ya kandanda ya Football Leagu mwaka uliotangulia na kuanza kukatiza uhusiano wake na bohari la reli, na ikawa kampuni ya kujitegemea, ikimteua katibu wa kilabu na kudondoasha herufi “L&YR” kutoka jina lao na kujiita Newton Heath F.C. Muda mrefu haukupita, mwaka 1902, kilabu kilikaribia kufilisika, kikawa na madeni ya zaidi ya £2,500. Wakati mmoja, uwanja wao wa Bank Street ulifungwa na wadai wao.[10]", "question_text": "Je,klabu ya Manchester united ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "2660765576652130534-1", "language": "swahili", "document_title": "Alama za kimataifa za magari", "passage_text": "Utaratibu huu ulianzishwa kwa mapatano ya kimataifa kuhusu usafiri kwa magari wa 1926. Ukasahihishwa mara ya mwisho katika mapatano ya kimataifa ya Vienna kuhusu usafiri wa barabarani wa 1968.", "question_text": "Utaratibu wa alama za kimataifa za magari ulianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1926", "start_byte": 81, "limit_byte": 85}]} {"id": "6271127911467850272-58", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "Mmiliki: Malcolm Glazer\nRais wa heshima: Martin Edwards", "question_text": "Klabu ya Manchester United inamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Malcolm Glazer", "start_byte": 9, "limit_byte": 23}]} {"id": "7616544783473270635-0", "language": "swahili", "document_title": "Apollo 11", "passage_text": "\nApollo 11 ilikuwa chombo cha angani cha kwanza kufikisha watu kwenye Mwezi. Hii yote ilifanywa na NASA (Mamlaka ya Marekani ya Usafiri wa Anga). Kilirushwa angani mnamo 16 Julai 1969 kikibeba wanaanga watatu Neil Armstrong, Buzz Aldrin na Michael Collins.", "question_text": "Binadamu wa kwanza kutua kwenye mwezi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 209, "limit_byte": 223}]} {"id": "2085798033127766416-1", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Beseni ya Kongo pamoja na tawimito yake ni eneo kubwa la pili duniani la msitu wa mvua. Kwa kiasi cha mshuko wa maji mdomoni ni mto mkubwa wa pili duniani baada ya Amazonas Amerika ya Kusini.[1] Pia ni mto wenye kina kirefu zaidi duniani. ", "question_text": "Je,mto mubwa zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Amazonas", "start_byte": 164, "limit_byte": 172}]} {"id": "-1127909887093846999-4", "language": "swahili", "document_title": "David Archuleta", "passage_text": "Archuleta alivutiwa sana kwa kuwatazama wasanii wawili ambao ni Tamyra Gray na Kelly Clarkson kwa kutazama nini wanachokifanya na kuanza kufanya kweli katika mashindano ya American Idol. Baadaye akaanza rasmi kuonekana kwenye televisheni kwa mara ya kwanza, akiwa na umri miaka kumi na moja, akiimba \"And I Am Telling You I'm Not Going\" kwenye kipindi cha The Jenny Jones Show kwa ajili nyota wa baadaye wa Latino pamoja na msimu wa kwanza wa American Idol alioibuka mshindi A.J. Gil.[15] Through A.J. Gil he was able to meet and sing for Gray who had sung the song on American Idol as well as Clarkson (that year's winner) and Justin Guarini (the runner up).[15][16]", "question_text": "Nani alishinda mashindano ya American idol kwa mara ya kwanza?", "answers": [{"text": "Kelly Clarkson", "start_byte": 79, "limit_byte": 93}]} {"id": "-3881056134942740390-2", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania ina eneo la takriban km2 947.303.", "question_text": "Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "km2 947.303", "start_byte": 30, "limit_byte": 41}]} {"id": "-8321920967548158262-23", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi huru 44.\nBara la Afrika lina nchi huru 53.\nBara la Amerika ya kaskazini lina nchi huru 35.\nBara la Antaktika halina wakazi wa kudumu wala nchi huru hata moja ijapokuwa nchi kama 7 zinadai kumiliki sehemu fulani za bara hili.\nBara la Australia au Oshania lina nchi huru 14.\nBara la Ulaya (au Uropa) lina nchi huru 46.", "question_text": "Bara Uropa lina mataifa mangapi?", "answers": [{"text": "46", "start_byte": 336, "limit_byte": 338}]} {"id": "4858400473053676029-0", "language": "swahili", "document_title": "Makamu wa Rais wa Kenya", "passage_text": "Kenya\nThis article is part of a series on the\npolitics and government of\nKenya\nNational Government\nConstitution\nHistory\nHuman rights\nExecutive\nPresident (list)\nUhuru Kenyatta\nDeputy President\nWilliam Ruto\nCabinet\nAttorney General\nGithu Muigai\nDirector of Public Prosecutions\nKeriako Tobiko\nLegislature\nNational Assembly\nSpeaker: Justin Muturi\nList of members\nConstituencies\nSenate\nSpeaker: Kenneth Lusaka\nList of members\nJudiciary\nChief Justice\nDavid Maraga\nDeputy Chief Justice\nPhilomena Mbete Mwilu\nSupreme Court\nCourt of Appeal\nHigh Court\nSubordinate courts\nMagistrates Courts\nKadhi Courts\nCourts Martial\nTribunals\nJudicial Service Commission\nAdministrative divisions\nCounties\nSub-Counties\nConstituencies\nCommissionsOffices\nElectoral and Boundaries\nEthics and Anti-Corruption\n\nNational Human Rights and Equality\nNational Commission on Human Rights\nAdministrative Justice\n\nNational Land Commission\nRevenue Allocation\nSalaries and Remuneration\n\nService Commissions\nJudicial\nNational Police\n\nParliamentary\nPublic\nTeachers\n\nOffices\nAuditor-General\nController of Budget\n\nRecent elections\nGeneral: 200220072013\nLocal: 200220072013\nPolitical parties\nThe National Alliance\nUnited Republican Party\nOrange Democratic Movement\nWiper Democratic Movement\nParty of National Unity\nKenya African National Union\nKenya National Congress\n\nForeign relations\nMinistry of Foreign Affairs\nMinister: Monica Juma\n\nDiplomatic missions of / in Kenya\n\nPassport\nVisa requirements\nVisa policy\nEconomic schemes\nVision 2030\nKenya Economic Stimulus Program\n\n Kenyaportal \nOther countries\nAtlas\nvt", "question_text": "Makamu wa rais wa nchi ya Kenya anaitwaje?", "answers": [{"text": "William Ruto", "start_byte": 192, "limit_byte": 204}]} {"id": "-6156837052277129175-32", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Katika vita ya uhuru wa Marekani makoloni yalipata uhuru wao uliotangazwa mwaka 1776 na kukubaliwa na Uingereza baada ya vita mwaka 1783.", "question_text": "Amerika ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1776", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}]} {"id": "4338548068447307232-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Nani rais wa Ethiopia?", "answers": [{"text": "Sahlework Zewde", "start_byte": 463, "limit_byte": 478}]} {"id": "2406075416208311136-7", "language": "swahili", "document_title": "Astronomia", "passage_text": "Katika karne ya 17 darubini za kwanza zilibuniwa Ulaya. Hivyo utazamaji wa nyota uliboreshwa na magimba ya angani mengi yalianza kuonekana. Galileo Galilei aliweza kuona miezi ya Mshtarii mwaka 1609 iliyokuwa haijajulikana hadi siku ile.", "question_text": "Je,astronomia wa kwanza duniani alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Galileo Galilei", "start_byte": 140, "limit_byte": 155}]} {"id": "-3140248479738749398-22", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1962 Algeria, Burundi, Rwanda, na Uganda zikawa huru, na 1963 zikafuatia Zanzibar, Gambia na Kenya, na katika mwaka wa 1964 Malawi (Nyasaland), na Zambia (Rhodesia ya Kaskazini) zikapata uhuru. ", "question_text": "Kenya ilipata huru wao mwaka gani kutoka kwa wakoloni?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "-770390360762772588-7", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka 1848 na Dokta Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa.", "question_text": "Kamusi ya kwanza ya kiswahili iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ludwig Krapf", "start_byte": 65, "limit_byte": 77}]} {"id": "-8362990713796516786-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa Katoliki", "passage_text": "\n\nKanisa Katoliki ni jina linalotumika kwa maana mbalimbali, lakini hasa kumaanisha Kanisa la Kikristo linalokubali mamlaka ya kiroho ya Papa wa Roma kama mkuu wa urika wa maaskofu juu yake lote. ", "question_text": "Mkuu wa kanisa la katoliki duniani anaitwaje?", "answers": [{"text": "Papa", "start_byte": 137, "limit_byte": 141}]} {"id": "-2672762219701015507-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Muziki wa aina ya hip hop ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "marekani", "start_byte": 91, "limit_byte": 99}]} {"id": "-1149504920266550040-3", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Eneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 [9] waishio humo. ", "question_text": "Mji mkuu wa Dodoma una takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "410,956", "start_byte": 138, "limit_byte": 145}]} {"id": "1749278183009393450-0", "language": "swahili", "document_title": "Sokrates", "passage_text": "Sokrates (Ancient Greek: Σωκράτης, romanized:Sōkrátēs, 470 KK – 399 KK) alikuwa mwanafalsafa Mgiriki (mtu wa Athens). [1]", "question_text": "Nani alikuwa mwanafalsafa wa kwanza ugiriki?", "answers": [{"text": "Sokrates", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "32721476155128611-0", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.", "question_text": "Je,jina la kisayansi ya tunda ya ndimu ni ipi?", "answers": [{"text": "Citrus aurantium L. var. sinensis", "start_byte": 96, "limit_byte": 129}]} {"id": "-5964562752253731868-1", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "Huyu alikuwa mtoto wa Afeni Shakur, ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Black Panther Party. Mama yake Tupac alitolewa jela mwezi mmoja kabla ya kumzaa Tupac. Tupac alikufa mnamo tar. 13 Septemba katika mwaka wa 1996 baada ya kupigwa risasi akiwa anaendesha gari mjini Las Vegas, Nevada, siku saba kabla kifo chake.", "question_text": "Je, mamake 2Pac anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Afeni Shakur", "start_byte": 22, "limit_byte": 34}]} {"id": "-8691887470212297924-1", "language": "swahili", "document_title": "Amazonas (mto)", "passage_text": "Kuhusu urefu hakuna mapatano bado kama Nile au Amazonas ni mto mrefu duniani. Makadirio hutegemea ni tawimto upi mwenye chanzo cha mbali zaidi unaokubaliwa na wataalamu. 1969 urefu wake ulipimwa kuwa 6.400km.[1] ", "question_text": "Mto mrefu zaidi duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "-8653126743315618453-17", "language": "swahili", "document_title": "Mlima", "passage_text": "Afrika: Mlima Kilimanjaro (mita 5,963) nchini Tanzania\nAmerika ya Kaskazini: Mount McKinley (mita 6,194) jimboni Alaska (USA)\nAmerika ya Kusini: Aconcagua (mita 6,962) nchini Argentina\nAustralia na Pasifiki: Puncak Jaya (mita 5,030) mpakani mwa nchi za Papua New Guinea na Indonesia\nUlaya: Elbrus (mita 5,633) nchini Russia\nBara la Antaktiki: Vinson Massif (mita 5,140)", "question_text": "Mlima kubwa Asia ni gani?", "answers": [{"text": "Puncak Jaya", "start_byte": 208, "limit_byte": 219}]} {"id": "-1768073088392945197-9", "language": "swahili", "document_title": "Kalenda", "passage_text": "Kutokana na migawanyo asilia ya wakati zilitokea njia mbalimbali jinsi ya kupanga wakati katika kalenda. Kutokana na hapo kuna hasa kalenda ya mwezi, kalenda ya jua na kalenda ya lunisolar (=kalenda jua-mwezi) inayounganisha mwaka kufuatana na mwendo wa jua na vipindi halisi vya mwezi.", "question_text": "Kuna aina ngapi za kalenda ulimwenguni?", "answers": [{"text": "kalenda ya mwezi, kalenda ya jua na kalenda ya lunisolar", "start_byte": 133, "limit_byte": 189}]} {"id": "4015374744255843509-2", "language": "swahili", "document_title": "Chuo Kikuu cha Benin (Nigeria)", "passage_text": "Chuo kikuu kilianzishwa mwaka 1970 na serikali ya kijeshi ya Samuel Ogbemudia.[1]", "question_text": "Chuo Kikuu cha Benin kilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 30, "limit_byte": 34}]} {"id": "-2807286925260210202-7", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Inakadiriwa kwamba Sudan Kusini ina wakazi 12,340,000 (2015), lakini kutokana na ukosefu wa sensa kwa miongo kadhaa, makisio haya yaweza kuwa si sahihi.", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Sudani ni ngapi?", "answers": [{"text": "12,340,000", "start_byte": 43, "limit_byte": 53}]} {"id": "-8867692626980614074-19", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "Aliteuliwa kuwa katibu mwenezi wa DAP na chama kilianza kupokea zawadi kutoka matajiri waliomwona Hiler kama mhubiri mwenye kipaji kikubwa aliyepinga usoshalisti na ukomunisti. Mwezi Februari DAP ilibadilisha jina lake kuwa \"Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterpartei\" (Chama cha Kizalendo - Kisoshialisti cha Wafanyakazi Wajerumani) kifupi NSDAP. ", "question_text": "Je,Adolf Hitler alikuwa kiongozi wa chama gani cha kisiasa?", "answers": [{"text": "Nationalsozialistische Deutsche Arbeiterparte", "start_byte": 225, "limit_byte": 270}]} {"id": "4474783332327528527-43", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 miongoni mwa wanaume waliokuwa wanaingiliana (mashoga) na miongoni mwa watu waliokuwa wanajidunga sindano katika jiji la New York na California. Baadaye maambukizi mengine yaligundulika pia kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika. Kwa haraka UKIMWI ukawa ugonjwa wa mlipuko duniani kote ukiathiri karibia kila nchi. Mpaka mwaka 2002, ilikadiriwa kuwa watu wazima wapato milioni 38.6 na watoto milioni 3.2 duania kote wanaishi na VVU au UKIMWI. Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limekadiria kuwa kutoka mwaka 1981 mpaka mwisho wa mwaka 2002 watu karibia milioni 20 walikuwa wamekufa kutokana na UKIMWI. Kiasi cha hao milioni 4.5 walikuwa ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.", "question_text": "Je,ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa lini duniani?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "-7174787721743193947-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "Waandamizi wao katika uongozi wa Kanisa walianza kuitwa maaskofu, na kati yao yule wa Roma alizidi kushika nafasi ya pekee kwa sababu Mtume Petro alifia dini katika mji huo kutokana na dhuluma dhidi ya Ukristo ambayo ilianzishwa na Kaisari Nero (mwaka 64) na kuendelea kwa kwikwi hadi ilipokomeshwa na Kaisari Konstantino Mkuu aliyetangaza huko Milano uhuru wa dini kwa wananchi wote (313). ", "question_text": "Je,nani alianzisha kanisa katoliki duniani?", "answers": [{"text": "Mtume Petro", "start_byte": 134, "limit_byte": 145}]} {"id": "3711819352725662276-0", "language": "swahili", "document_title": "Steven Kanumba", "passage_text": "\nSteven Charles Kanumba (alizaliwa tarehe 8 Januari 1984, Shinyanga - alikufa tarehe 7 Aprili 2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini.", "question_text": "Steven Kanumba alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "3815934899590125577-4", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Nchi ya Gold Coast ilijinyakulia uhuru kutoka kwa Uingereza mwaka wa 1957, ikawa taifa la kwanza la Afrika Kusini mwa Sahara (Sub-Saharan Africa) kufanya hivyo[6][7][8]", "question_text": "Je,Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 69, "limit_byte": 73}]} {"id": "4076695262609088791-0", "language": "swahili", "document_title": "Ludwig van Beethoven", "passage_text": "\n\nLudwig van Beethoven (16 Desemba 1770 - 26 Machi 1827) alikuwa mtungaji wa muziki na mpiga piano kutoka nchi ya Ujerumani. ", "question_text": "Ludwig van Beethoven alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "16 Desemba 1770", "start_byte": 24, "limit_byte": 39}]} {"id": "-8490159616452737784-9", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Jina la Elementi)Kiingereza (IUPAC)AlamaNamba atomiaUzani atomia\n[u]Densiti\n[kg/m³] (20°C)Kiwango \ncha kuyeyuka\n(°C)Kiwango \ncha kuchemka\n(°C)Iligunduliwa\nmwakaKutambuliwa naAktiniactiniumAc89227,0310070104731971899DebierneAluminialuminiumAl1326,982700660,524671825ØrstedAmerikiamericiumAm95243,061367099426071944SeaborgStibiantimonySb51121,756690630,71750zamani(?)ArigoniargonAr1839,941,66 -189,4 −189,4 -185,9 −185,91894Ramsay,\n StruttAsenikiarsenicAs3374,925720613 2)6132)11. Jhd.Albertus MagnusAstatiniastatineAt85209,993023371940SegrèBaribariumBa56137,33365072516401808DavyBerkeliberkeliumBk97247,07132509861949SeaborgBeriliberylliumBe49,011850127829701797VauquelinBismuthibismuthBi83208,989800271,415601540AgricolaBoribohriumBh107262,121976OganessianBoroniboriumB510,812460230025501808Davy,\n Gay-LussacBromibromineBr\n3579,903140 -007,3−7,358,81826BalardKadimicadmiumCd48112,4186403217651817Stromeyer und \n HermannSizicesiumCs55132,91190028,46901860Kirchhoff, \n BunsenKalisicalciumCa2040,078154083914871808DavyKalifonicaliforniumCf98251,08151009001950SeaborgSericeriumCe58140,11677079832571803von Hisinger, BerzeliusKlorinichlorineCl1735,452,95 -101−101 -034,6 −34,61774ScheeleKromichromiumCr2452,007140185724821797VauquelinKobalticobaltCo2758,9338890149528701735BrandtKuricuriumCm96247,0713510134031101944SeaborgDarmstatidarmstadtiumDs1102691994GSIDubnidubniumDb105262,111967/70GhiorsoDisprosiDisprosiDy66162,58560140923351886Lecoq de BoisbaudranEinsteinieinsteiniumEs99252,088601952SeaborgFeri (chuma) (chuma)ironFe2655,85787015352750zamani(?)ErbierbiumEr68167,269050152225101842MosanderEuropieuropiumEu63151,96525082215971901DemarçayFermifermiumFm100257,101952SeaborgFloriniflourineF919,001,58 -219,6−219,6 -188,1 −188,11886MoissanFransifranciumFr87223,02276771939PereyGadolinigaboliniumGd64157,257890131132331880de MarignacGaligalliumGa3169,72591029,824031875Lecoq de BoisbaudranGermanigermaniumGe3272,615320937,428301886WinklerAuri (dhahabu)goldAu79196,97193201064,42940zamani(?)HafniHf72178,4913310215054001923Coster, \n de HevesyHassiHs108265,001984GSIHeliHe24,000,170 -272,2−272,2 -268,9 −268,91895Ramsay,\n CrookesHolmi ?holmiumHo67164,938780147027201878SoretHidrojenihydrogenH11,010,084 -259,1 −259,1 -252,9 −252,91766CavendishIndiindiumIn49114,827310156,220801863Reich,\n RichterIodiniiodineI53126,904940113,5184,41811CourtoisIridiiridiumIr77192,2222560241041301803TennantKalipotassiumK1939,09886063,77741807DavyKabonicarbonC612,011351035504827zamani(?)KriptonikryptonKr3683,803,48 -156,6−156,6 -152,3−152,31898Ramsay,\n TraversKupricopperCu2963,5589201083,52595zamani(?)LanthaniLa57138,90616092034541839MosanderLawirensilawrenciumLr103260,1016271961GhiorsoLithiLi36,94530180,513171817ArfwedsonLutetiLu71175,009840165633151907von Welsbach,\n UrbainMagnesiMg1224,301740648,811071828BussyManganisiMn2554,907440124420971774GahnMaitnirimeitneriumMt1092661982GSIMendelevimedeleviumMd101258,11955SeaborgMolibdenimolybdenumMo4295,9410280261755601778ScheeleNatrisodiumNa1122,9997097,88921807DavyNeodimineodynNd60144,247000101031271895von WelsbachNeonineonNe1020,180,84 -248,7 −248,7 -246,1 −246,11898Ramsay\n TraversNeptunineptuniumNp93237,052048064039021940McMillan\n AbelsonNikelinickelNi2858,698910145327321751CronstedtNiobiniobiumNb4192,918580246849271801HatchetNitrojeninitrogenN714,011,170 -209,9 −209,9 -195,8 −195,81771ScheeleNobelinobeliumNo102259,101958SeaborgOsmiosmiumOs76190,222590304550271803TennantPaladipalladiumPd46106,4212020155231401803WollastonPlumbileadPb82207,211340327,51740zamani(?)PosforiphosphorusP1530,971820442801669BrandPlatiniplatiniumPt78195,0821450177238271557ScaligerPlutoniplutoniumPu94244,061974064133271940SeaborgPolonipoloniumPo84208,9892002549621898Marie CuriePraseodimipraseodymiumPr59140,91648093132121895von WelsbachPromethipromethiumPm61146,927220108027301945MarinskyProtaktiniprotactiniumPa91231,0415370155440301917Fajans\n Hahn,\n MeitnerHidrajirimercuryHg80200,5913550 -038,9 −38,9356,6zamani(?)Radi (elementi)radiumRa88226,03550070011401898Marie und\n Pierre CurieRadoniradonRn86222,029,23 -071 −71 -061,8 −61,81900DornRenirheniumRe75186,2121030318056271925Noddack,\n Tacke,\n BergRodirhodiumRh45102,9112410196637271803WollastonRentgeniRg1112721994GSIRubidiRb3785,451530396881861Bunsen,\n KirchhoffRutheniRu44101,0712450231039001844ClausRutherfordiRf104261,111964/69GhiorsoSamariSm62150,367540107217781879Lecoq de BoisbaudranOksijenioxygenO816,001,33 -218,4 −218,4 -182,9 −182,91774Priestley,\n ScheeleSkandiscandiumSc2144,962990153928321879NilsonSulfurisulfurS1632,072060113444,7zamani(?)SiborgiseaborgiumSg106263,121974OganessianSeleniSe3478,9648202176851817BerzeliusAgentisilverAg47107,8710490961,92212zamani(?)SilikonisiliconSi1428,092330141023551824BerzeliusStanitinSn50118,7172902322270zamani(?)StrontistrontiumSr3887,62263076913841798KlaprothTantalitantalumTa73180,9516680299654251802EkebergTekinetitechnetiumTc4398,9111490217250301937SegrèTelurotelluriumTe52127,66250449,69901782von ReichensteinTaribiterbiumTb65158,938250136030411843MosanderTalithalliumTl81204,3811850303,614571861CrookesThorithoriumTh90232,0411720175047871829BerzeliusThulithuliumTm69168,939320154517271879CleveTitanititaniumTi2247,884510166032601791Gregor,\n KlaprothUnunbiununbiumUub1122771996GSIUnunheksiununhexiumUuh1162892000JINRUnunoktiununoctiumUuo1182932006JINRUnunpentiununpentiumUup1152882006JINRUnunkadiununquadiumUuq1142891999JINRUnuntriununtriumUut1132872006JINRUraniuraniumU92238,03189701132,438181789KlaprothVanadivanadiumV2350,946090189033801801del RíoWolframitungstenW74183,8519260340759271783Fausto und Juan\n de ElhuyarYitebiytterbiumYb70173,04697082411931878de MarignacYitriyttriumY3988,914470152333371794GadolinZinkizincZn3065,397140419,6907zamani(?)ZenonixenonXe54131,294,49 -111,9 −111,9 -107,0 −1071898Ramsay, \n TraversZirikonizirconiumZr4091,226510185243771789Klaproth", "question_text": "Hidrojeni iligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "176", "start_byte": 2256, "limit_byte": 2259}]} {"id": "7588314836253792334-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je, mlima mgani mrefu zaidi bara Afrika?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "7958950617993144770-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Intaneti", "passage_text": "Historia yake inaweza kuanza na uzinduzi wa Sputnik na USSR uliochochea Marekani kuanzisha shirika la utafiti wa juu wa miradi, iliyojulikana kama ARPA, katika mwezi Februari 1958 ili kuongoza kiteknolojia.[1] [2] ARPA ilitengeneza ofisi ya teknolojia za kuchambua habari (IPTO) ili kuendeleza utafiti wa programu inayojitekeleza ya mazingira ya chini (Sage), ambayo iliunganisha mifumo ya rada za nchi nzima kwa mara ya kwanza. ", "question_text": "Intaneti ilianza kutumika nchi gani mara ya kwanza?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 72, "limit_byte": 80}]} {"id": "-5561863794862912594-1", "language": "swahili", "document_title": "Jihadi ya Kiislamu ya Misri", "passage_text": "Kundi lilijiita lenyewe Jihadi ya Kiislamu الجهاد الإسلامي na Jeshi la ukombozi wa mahali patakatifu.[1] Lilianza shughuli zake katika dekadi ya 1970. Lilitangazwa marufuku na Umoja wa Mataifa kama kundi linaloshirikiana na Al Qaida. [2] Linaitwa \"Jihadi ya Misri\" kwa kuitofautisha na vikundi vingine vinavyotumia pia jina la \"Jihad\". Mwaka 2001 Al Qaida na mabaki ya Jihadi ya Kiislamu ya Misri waliungana kwa jina la 'Qaida al-Jihad'.[3]", "question_text": "Jihadi ya Kiislamu ya Misri ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 159, "limit_byte": 163}]} {"id": "842789952459953892-2", "language": "swahili", "document_title": "Rastafari", "passage_text": "Mfalme wa zamani wa Ethiopia, Haile Selassie, anapewa umuhimu wa pekee. Marasta wengi humuona kama mwili wa Jah duniani na kama ujio wa pili wa Yesu Kristo. Wengine humwona kama nabii wa kibinadamu ambaye alitambua kikamilifu uungu wa ndani ya kila mtu. ", "question_text": "Je,jina Haile Selassie ina maana gani?", "answers": [{"text": "Mfalme wa zamani wa Ethiopia", "start_byte": 0, "limit_byte": 28}]} {"id": "-5300635958499686713-0", "language": "swahili", "document_title": "Alpha Blondy", "passage_text": "Alpha Blondy (Alizaliwa kama Seydou Koné, tar. 1 Januari 1953 mjini Dimbokoro, Côte d'Ivoire, Afrika ya Magharibi), ni mwanamuziki wa Reggae na msanii anayerekodi nyimbo zake nyingi kimataifa.", "question_text": "Je,Alpha Blondy alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1953", "start_byte": 58, "limit_byte": 62}]} {"id": "155628612043265631-43", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Kwame Nkrumah, Waziri Mkuu wa kwanza na baadaye Rais wa nchi ya sasa ya Ghana, hakuwa tu kiongozi wa Kiafrika wa kupigana dhidi ya ukoloni ila alikuwa pia mtu aliyekuwa na ndoto ya muungano wa Afrika ambayo haingejipata katika ukoloni mamboleo. Alikuwa kiongozi wa serikali ya kwanza Afrika kukuza Muungano wa Waafrika (Pan-Africanism), wazo ambalo alilipata wakati wa masomo yake katika Chuo Kikuu Cha Lincoln lililoko Pennsylvania (Marekani), wakati ambapo Marcus Garvey alikuwa anapata umaarufu kwa harakati zake za “Back to Africa Movement.\" Aliunganisha ndoto za Macus Garvey na zile za mwanachuo mashuhuri Mmarekani Mweusi W.E.B. Du Bois ili kuandaa Ghana kisasa. ", "question_text": "Rais wa kwanza wa Ghana anaitwa na nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "4676037959845394415-0", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Sudan Kusini (jina rasmi: Jamhuri ya Sudan Kusini, kwa Kiingereza Republic of South Sudan‎) ni nchi huru iliyojitenga rasmi na Sudan tarehe 9 Julai 2011, ikiwa ni ya 54 katika bara la Afrika na ya 193 duniani.", "question_text": "Sudan ilijitenga na Sudan Kusini mwaka gani?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 150, "limit_byte": 154}]} {"id": "-8701114697602748991-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Je,mji mkuu Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 229, "limit_byte": 235}]} {"id": "-4431975379614425026-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika (ziwa)", "passage_text": "Kwa kulinganisha eneo lake (km² 32,893) ni la pili tu baada ya Viktoria Nyanza katika Afrika. ", "question_text": "Ziwa Tanganyika lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 32,893", "start_byte": 28, "limit_byte": 39}]} {"id": "2347322186650307165-13", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Nigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "question_text": "Je,mjii mkuu wa Nigeria ni upi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 163, "limit_byte": 168}]} {"id": "1341756227467897577-3", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "Baraza la Ulaya lina nchi wanachama 47\nMkutano wa usalama na ushirikiano katika Ulaya (Marekani na Kanada ni wanachama pia)\nUmoja wa Ulaya wenye nchi wanachama 28 tangu mwaka 2013.", "question_text": "Bara Uropa lina mataifa mangapi?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 36, "limit_byte": 38}]} {"id": "4737237221681139218-4", "language": "swahili", "document_title": "Mae Jemison", "passage_text": "Jemison alihitimu kutoka shule ya sekondari akiwa na umri wa miaka 16. Alijifunza Chuo Kikuu cha Stanford juu ya usomi. Hapo alipata Bachelor of science katika uhandisi wa kemikali mwaka 1977. Wakati wa elimu yake, Jemison alijihusisha na shughuli nje ya madarasa yake. Hizi ni pamoja na ngoma, michezo ya ukumbini, na kazi ya kujitolea. Pia alikuwa mkuu wa Umoja wa wanafunzi weusi. Wakati wa Cornell, Jemison aliwasaidia watu ambao walikuwa wameondoka nchini mwao kwa sababu haikuwa salama kuishi huko. Alisaidia kuendesha masomo ya afya nchini Kenya pia. Alijifunza jinsi viumbe vinaweza kuathiriwa na kani ya mvuto. ", "question_text": "Je, Mae Carol Jemison alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha Stanford", "start_byte": 82, "limit_byte": 105}]} {"id": "3422873688638044813-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Je,Cristiano Ronaldo dos Santos alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "5455340604331893155-18", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "question_text": "Je,ni sayari gani kubwa zaidi?", "answers": [{"text": "Mshtarii", "start_byte": 54, "limit_byte": 62}]} {"id": "-961170392995997641-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Superior", "passage_text": "\n\nZiwa Superior (Ziwa Kubwa) ni moja kati ya maziwa makubwa ya Amerika ya Kaskazini. Ni ziwa kubwa la bara hili. Pamoja na maziwa ya Ziwa Huron, Ziwa Erie na Ziwa Ontario liko mpakani kati ya Marekani na Kanada na mpaka huu umepita ziwani.", "question_text": "Ziwa kubwa katika Amerika kaskazini linaitwaje?", "answers": [{"text": "Ziwa Superior", "start_byte": 2, "limit_byte": 15}]} {"id": "2405051400530469956-0", "language": "swahili", "document_title": "Uyahudi", "passage_text": "\n\nUyahudi ni mojawapo kati ya dini za kale za binadamu, lakini jina hilo lilienea baada ya makabila mengi ya Israeli kutoweka, hata wakabaki karibu watu wa kabila la Yuda tu. ", "question_text": "Uyahudi ni nini?", "answers": [{"text": "mojawapo kati ya dini za kale za binadamu, lakini jina hilo lilienea baada ya makabila mengi ya Israeli kutoweka, hata wakabaki karibu watu wa kabila la Yuda tu", "start_byte": 13, "limit_byte": 173}]} {"id": "1186469785563891665-7", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Dunia la FIFA", "passage_text": "Kombe la Dunia 2014 lilifanyika Brazili.", "question_text": "Je,kombe la dunia ya kandanda ilifanyika nchi gani mwaka 2014?", "answers": [{"text": "Brazili", "start_byte": 32, "limit_byte": 39}]} {"id": "7467327089802341866-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Magharibi", "passage_text": "Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Magharibi (Tsavo West National Park) iko katika Mkoa wa Pwani ya Kenya. Mbuga hii ina upana wa eneo a eneo wa kilomita 9,065. Barabara ya A109 barabara ya Nairobi - Mombasa na reli hugawanya mbuga katika sehemu mbili za mashariki na magharibi. Sehemu ya magharibi ni maarufu zaidi kutokana na mandari yake yanayovutia zaidi kama vile Chemichemi ya Mzima, wanyamapori mbalimbali, mfumo mzuri wa barabara, hifadhi ya vifaru, uwezo wa kupanda mwamba na wageni huongozwa wakati wanatembea kando ya mto Tsavo. Mbuga hii inaendeshwa na Shirika la Huduma kwa Wanyama Pori la Kenya(maarufu kama Kenya Wildlife Service).", "question_text": "Je, hifadhi ya Tsavo inapatikana eneo gani?", "answers": [{"text": "Mkoa wa Pwani ya Kenya", "start_byte": 75, "limit_byte": 97}]} {"id": "-6139864638349752075-4", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya St Andrews, Turi", "passage_text": "Shule ya msingi ilianzishwa mwaka wa 1931 na Bw na Bi Lavers, waliojulikana kama \"Ma na Pa Lavers\", ili kusome. Shule ya kwanza ilikuwa na watoto 15 lakini iliimarika na kuhudumu zaidi ya watoto 100 mnamo mwaka wa 1940 kutoka nchi za Kenya na Uganda. Mwaka wa 1944, shule yote ilichomeka na kuteketea baada ya moto ulioanza jikoni. Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilitoa ruhusa kwa wafungwa wa vita wa Kiitaliano kusaidia kujenga shule mpya kwa sababu gharama ya kujenga tena jumba upya ilikadiriwa kuwa ghali sana. Nembo ya shule huonyesha ndege wa moto anayefufuka kutoka kwa moto, na kila mara moja kwa mwaka moto huwashwa ili kupata kumbukumbu ya kipindi hiki katika historia ya shule. Shule hii ilimalizika kujengwa wakati wa miaka ya 1950 wakati Lavers walikuwa katika umri wao wa kati na majengo mapya yakamalizwa. Mwaka wa 1988 shule ya sekondari ilifunguliwa kwa watoto wa umri wa miaka 13-16.", "question_text": "Nani mwanzilishi wa shule St. Andrews \"Turi\"?", "answers": [{"text": "Bw na Bi Lavers", "start_byte": 45, "limit_byte": 60}]} {"id": "4904397958787908228-22", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria ilipata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960 kutoka kwa Uingereza ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Kamerun ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "5302785763006278316-1", "language": "swahili", "document_title": "Hedhi", "passage_text": "Sababu ya damu kutoka ni kwamba, kijiyai kilichokomaa na kutoka nje ya kifuko cha vijiyai kisipopata mbegu ya mwanamume baada ya siku moja kinaharibika harakaharaka; hapo ngozi nyembamba ya tumbo la uzazi, iliyotanuka kwa damu ili kupokea na kulisha mimba, inachanikachanika na kutoa damu. ", "question_text": "Chanzo cha hedhi ni nini?", "answers": [{"text": "kijiyai kilichokomaa na kutoka nje ya kifuko cha vijiyai kisipopata mbegu ya mwanamume baada ya siku moja kinaharibika harakaharaka; hapo ngozi nyembamba ya tumbo la uzazi, iliyotanuka kwa damu ili kupokea na kulisha mimba, inachanikachanika na kutoa damu", "start_byte": 33, "limit_byte": 288}]} {"id": "-2739260076833270819-3", "language": "swahili", "document_title": "Amerika ya Kusini", "passage_text": "Neno \"Amerika\" limetokana na jina la kwanza la Mwitalia Amerigo Vespucci (1451-1512). Vespucci alikuwa baharia na mfanyabiashara katika utumishi wa familia ya Medici kutoka Firenze (Italia). Tangu mwaka 1499 alisafiri kwenye pwani za Amerika ya Kusini na Amerika ya Kati akaandika kitabu juu ya safari zake. Humo aliandika ya kwamba hakukubaliana na Kristoforo Kolumbus ya kwamba visiwa na nchi zilizofikiwa na Kolumbus zilikuwa sehemu ya Uhindi. Amerigo alipendekeza ya kwamba zilikuwa sehemu za \"dunia mpya\" au bara jipya akiwa mtu wa kwanza kuandika hivyo. ", "question_text": "Amerigo Vespucci ni mwenyeji wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Italia", "start_byte": 182, "limit_byte": 188}]} {"id": "-6802410396875889943-7", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Jike anaanza kuzaa akifikia umri wa miaka 2-3. Baada ya kuwa mzito kwa miezi 3 1/2 anazaa wadogo 2-3. Wakati mwingine idadi hii inaweza kuwa hadi wadogo 6 lakini wanaozidi 3 kwa kawaida wanakufa mapema.", "question_text": "Simba hubeba mimba kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miezi 3 1/2", "start_byte": 71, "limit_byte": 82}]} {"id": "6865307084164638866-0", "language": "swahili", "document_title": "Euklides", "passage_text": "Euklides (takr. 365 KK - 300 KK, kwa Kigiriki Εὐκλείδης, Eukleidēs, yaani Mashuhuri, kwa Kiingereza Euclid[1]) alikuwa mwanahisabati wa Misri ya Kale. Anaitwa pia Euklides wa Aleksandria ili kumtofautisha na Euklide wa Megara, akihesabiwa pia kati ya wataalamu wa Ugiriki ya Kale maana mji wa Aleksandria nchiniMisri iliundwa na Wagiriki na kukaliwa na Wagiriki hasa kwa karne nyingi, hivyo inahesabiwa zaidi kama sehemu ya utamaduni wa Ugiriki kuliko Misri.", "question_text": "Euclid alikuwa nani?", "answers": [{"text": "mwanahisabati wa Misri ya Kale", "start_byte": 130, "limit_byte": 160}]} {"id": "3310865121046998759-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Lugha la nchini Tanzania ni lipi?", "answers": [{"text": "Kiswahili", "start_byte": 200, "limit_byte": 209}]} {"id": "-8346592718126069609-0", "language": "swahili", "document_title": "Bayern Munich", "passage_text": "\nFC Bayern Munich, pia inajulikana kama Bayern München, ni kilabu maarufu ya mpira wa miguu mjini München katika Bavaria nchini Ujerumani. Kilabu ilianzishwa mnamo mwaka 1900 na inawanachama wa kulipwa wapatao 104.000.\nKilabu hii uchezea sana katika uwanja wao wa nyumbani maarufu kama Allianz Arena.", "question_text": "Bayern Munich ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1900", "start_byte": 172, "limit_byte": 176}]} {"id": "-6912991208003549217-1", "language": "swahili", "document_title": "Homoni", "passage_text": "Jicho linaona simba, ubongo unatambua kuna hali ya hatari na kupitia neva unatuma amri kwa tezi maalumu iliyoko kando ya figo. Tezi hiyo hutengeneza homoni ya adrenalini na kuimwaga katika mzunguko wa damu. Adrenalini kupitia damu inafika pande zote za mwili na kusababisha mabadiliko katika ogani zenye molekuli za kupokea na kuelewa adrenalini. Ujumbe huu unasababisha:", "question_text": "Je,Adrenali ni nini?", "answers": [{"text": "homoni", "start_byte": 149, "limit_byte": 155}]} {"id": "7303603907561350282-0", "language": "swahili", "document_title": "Jomo Kenyatta", "passage_text": "Jomo Kenyatta (1893-1978) alikuwa rais wa kwanza wa Kenya.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Kenya aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Jomo Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 13}]} {"id": "-3222351239481533293-1", "language": "swahili", "document_title": "Udhibiti wa saratani", "passage_text": "Saratani inaweza kutibiwa kwa kufanyia upasuaji, tibakemo, matibabu kwa njia ya eksirei, matibabu ya tibamaradhi, matibabu ya monokloni ya kingamwili au njia zingine. Uchaguzi ya matibabu hutegemea mahali uvimbe ulipo na daraja lake na hatua ya ugonjwa huo, pamoja na hali ya jumla ya mgonjwa (hali ya utendaji). Idadi kadhaa ya matibabu ya saratani ya majaribio hayajatengenezwa kikamilifu.", "question_text": "Saratani inatibiwa kwa njia gani?", "answers": [{"text": "upasuaji, tibakemo, matibabu kwa njia ya eksirei, matibabu ya tibamaradhi, matibabu ya monokloni ya kingamwil", "start_byte": 39, "limit_byte": 148}]} {"id": "3648490225946181712-0", "language": "swahili", "document_title": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum", "passage_text": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum (1943 - 4 Januari 2006) (Kiarabu: مكتوم بن راشد آل مكتوم) Maktūm bin Rāshid al-Maktūm pia anajulikana kama Sheikh Maktoum (la heshima) alikuwa Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Emir au mtawala wa Dubai.", "question_text": "Maktoum bin Rashid Al Maktoum alikuwa makamu wa rais wa falme ipi?", "answers": [{"text": "Umoja wa Falme za Kiarabu", "start_byte": 229, "limit_byte": 254}]} {"id": "5275647419425475256-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Vile vile, katika mwaka huohuo wa 1960 Congo (Kinshasa), Nigeria, Somalia, na Togo zikapata uhuru, na katika mwaka wa 1961 Sierra Leone na Tanganyika zikapata uhuru, na Afrika ya Kusini ikawa Jamhuri. ", "question_text": "Je, Togo ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "7768558272874696957-19", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Urefu wa kichwa na mwili ni sm 170 – 250 kwa dume na sm 140 – 175 kwa jike; urefu wa bega ni sm 123 kwa dume na sm 107 kwa jike. Urefu wa mkia ni sm 90 – 105 kwa dume na 70 – 100 kwa jike. Nywele ndefu zaidi za simba zilirekodiwa huko Mucsso, kusini mwa Angola, Oktoba 1973; na simba mzito kuliko wote alikuwa ni yule mla watu aliyepigwa risasi huko Transvaal, Afrika Kusini: alikuwa na uzito wa kg 313. Simba wanaohifadhiwa huwa wakubwa zaidi na pengine wazito zaidi kuliko wale wa mwituni.", "question_text": "Paka mrefu ana futi ngapi?", "answers": [{"text": "sm 170 – 250 kwa dume na sm 140 – 175 kwa jike; urefu wa bega ni sm 123 kwa dume na sm 107 kwa jike. Urefu wa mkia ni sm 90 – 105 kwa dume na 70 – 100 kwa jike", "start_byte": 28, "limit_byte": 195}]} {"id": "6752993291173674777-2", "language": "swahili", "document_title": "Australia", "passage_text": "Idadi ya wakazi ni 23,648,300 (mwaka 2014).", "question_text": "Idadi ya watu nchini Austria ni ngapi?", "answers": [{"text": "23,648,300", "start_byte": 19, "limit_byte": 29}]} {"id": "1912554483506324225-20", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi 1964, zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata kuwa Rais wa kwanza na kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar Abedi Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 144, "limit_byte": 176}]} {"id": "7181437656733286202-4", "language": "swahili", "document_title": "Vatikani", "passage_text": "Pamoja na Basilika la Mt. Petro, jengo la kanisa kubwa kuliko yote duniani, Vatikani ina makanisa mengine saba, jumba la Vatikani, ofisi za utawala wa Kanisa Katoliki, mabustani, stesheni ya treni, nyumba za kuishi, hosteli kwa ajili ya mafukara na makumbusho yenye hazina kubwa za sanaa kiasi kwamba nchi nzima inahesabiwa na UNESCO kuwa Urithi wa dunia (tangu mwaka 1984). ", "question_text": "Je,kanisa la katoliki kubwa kabisa nchini Italia ni ipi?", "answers": [{"text": "Basilika la Mt. Petro", "start_byte": 10, "limit_byte": 31}]} {"id": "5623737993579274570-0", "language": "swahili", "document_title": "Kerron Stewart", "passage_text": "Kerron Stewart (alizaliwa 16 Aprili 1984) ni mwanariadha wa Jamaika ambaye ni mtaalamu wa mbio za 100m na 200m. Yeye ndiye aliyekuwa bingwa wa Jamaika wa mbio ya 100m katika mwaka wa 2008 akiwa na muda wa 10.80s. Alimshinda bingwa wa dunia Veronica Campbell-Brown mwaka huo na akashinda medali ya fedha katika michezo ya Olimpiki ya 2008 alipomaliza katika nafasi yapili wakiwa pamoja na Sherone Simpson katika muda wa 10.98s. Alishinda ,pia, medali ya shaba katika mbio ya 200m katika Olimpiki hiyo ya 2008 akimaliza na muda wa 22.00s. Alizaliwa mjini Kingston,Jamaika.", "question_text": "Kerron Stewart alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Jamaika", "start_byte": 60, "limit_byte": 67}]} {"id": "-2318245235024103644-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso). ", "question_text": "Nchi ya Gabon ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "2975427353389416088-4", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo30 – 64/67Petro\nMtakatifu PetroPetrus, Apostolusשמעון בן יונה (Shimon ben Yona)\nShimon Kipha, CΙΜΗΟΝ ΚΗΦΑC (Simeon Kephas - Simoni Mwamba - Simoni Petro)\nBethsaida, GalilayaMtume wa Yesu ambaye alimpa funguo za Ufalme wa Mbinguni, kufuatana na Injili ya Mathayo 16:18-19. Alisulubiwa juu chini; sikukuu yake ni 29 Juni\n68(?) – 79(?)Linus\nMtakatifu Linus Linus, Episcopus RomanusLinusToscana (Italia ya Kati) Sikukuu yake ni 23 Septemba80(?) – 92Anacletus\n(Cletus)\nMtakatifu AnacletusAnacletus, Episcopus RomanusAnacletusRoma au UgirikiAlifia dini; sikukuu yake ni 26 Aprili 92 – 96/99Klementi I\nMtakatifu Klemens IClemens, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 23 Novemba96/99 – 108Evaristus\n(Aristus)\nMtakatifu EvaristusEvaristus, Episcopus RomanusAristusMgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 26 Oktoba108/109 – 116/119Alexander I\nMtakatifu AlexanderAlexander, Episcopus RomanusAlexanderRomaSikukuu yake ni 3 Mei117/119 – 126/128Sixtus I\nMtakatifu SixtusXystus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 6 Aprili127/128 – 137/138Telesfori\nMtakatifu TelesforiTelesphorus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 5 Januari138 – 142/146Hyginus\nMtakatifu HyginusHyginus, Episcopus RomanusUgirikiInasemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 11 Januari142/146 – 157/161Pius I\nMtakatifu PiusPius, Episcopus RomanusAquileia, Friuli, ItaliaAlifia dini kwa panga; sikukuu yake ni 11 Julai157 – 163/168Anicetus\nMtakatifu Anicetus Anicetus, Episcopus RomanusEmesa, SyriaInsemekana alifia dini (lakini haijathibitishwa); sikukuu yake ni 17 Aprili166 hivi– 170/177Soter\nMtakatifu SoterSoterius, Episcopus RomanusFondi, Lazio, ItaliaInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 22 Aprili171/177 – 185/193Eleuteri\nMtakatifu EleutherusEleutherius, Episcopus RomanusNikopoli, EpyrusInasemekana alifia dini; sikukuu yake ni 6 Mei186/189 – 197/201Viktor I\nMtakatifu ViktaVictor, Episcopus RomanusAfrika ya KaskaziniSikukuu yake ni 28 Julai198/201 – 217/218Zefirino\nMtakatifu ZefirinoZephyrinus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Desemba218 – 222Kalisti I\nMtakatifu Kalisti ICallistus, Episcopus RomanusAlifia dini; sikukuu yake ni 14 Oktoba222 – 230Urban I\nMtakatifu Urban IUrbanus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 25 Mei21 Julai 230 – 28 Septemba 235Ponsyano\nMtakatifu PonsyanoPontianus, Episcopus RomanusRomaAlifia dini; sikukuu yake ni 13 Agosti21 Novemba 235 – 3 Januari 236Anterus\nMtakatifu AnterusAnterus, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 3 Januari10 Januari 236 – 20 Januari 250Fabiani\nMtakatifu FabianiFabianus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 20 Januari", "question_text": "Papa wa kwanza kabisa duniani aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Petrus, Apostolus", "start_byte": 114, "limit_byte": 131}]} {"id": "-2682656545648764602-1", "language": "swahili", "document_title": "Almere", "passage_text": "Almere ni mji mdogo nchini Uholanzi: nyumba ya kwanza ilimalizika mnamo 1976, na Almere ikawa manispaa mnamo 1984. Ni manispaa kubwa sana katika Flevoland ikiwa na idadi ya wakazi takriban \n184,405 (7 Julai 2008)[1], na mji wa 8 kwa ukubwa nchini Uholanzi[2]. Mnamo mwezi wa Oktoba 2007, halmashauri ya jiji ya Almere imekubaliana na serikali kupanua mji na kufikia kuwa na wakazi wapatao 350,000 hadi ifikapo mwaka wa 2030[3].", "question_text": "Je,mji wa Almere ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "184,405", "start_byte": 190, "limit_byte": 197}]} {"id": "-4928948389589801105-10", "language": "swahili", "document_title": "Kamerun", "passage_text": "Wakazi walikuwa 22,534,532 mwaka 2013, ambao wamegawanyika sawasawa kati ya wanaoishi mijini na wale wa vijijini. ", "question_text": "Je,Kamerun ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "22,534,532", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}]} {"id": "7183600137208315248-1", "language": "swahili", "document_title": "Amazonas (mto)", "passage_text": "Kuhusu urefu hakuna mapatano bado kama Nile au Amazonas ni mto mrefu duniani. Makadirio hutegemea ni tawimto upi mwenye chanzo cha mbali zaidi unaokubaliwa na wataalamu. 1969 urefu wake ulipimwa kuwa 6.400km.[1] ", "question_text": "Je, Mto mrefu zaidi ulimwenguni unaitwaje?", "answers": [{"text": "hakuna mapatano bado kama Nile au Amazonas", "start_byte": 13, "limit_byte": 55}]} {"id": "8606222784337093906-2", "language": "swahili", "document_title": "Katiba ya Kenya", "passage_text": "Ilipitishwa kwa kura 67%[2] na kutangazwa tarehe 27 Agosti 2010[3].", "question_text": "Je,katiba mpya ilipitishwa mwaka upi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "2010", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "2945776267495070023-5", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "Ziwa hili lina kina cha wastani cha mita 40 na mwambao wa urefu wa kilomita 4,828, visiwa vyake vikiwa vimechangia 3.7% ya urefu huu. ", "question_text": "Je, ziwa Viktoria lina kina kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 40", "start_byte": 36, "limit_byte": 43}]} {"id": "6529995800107778921-0", "language": "swahili", "document_title": "Yucatán (jimbo)", "passage_text": "\n\nYucatán ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kusinin-mashariki ya nchi na kaskazini ya rasi ya Yucatán. Ina pwani ndefu na Ghuba ya Meksiko.", "question_text": "Yucatan ni jimbo la wapi?", "answers": [{"text": "Mexiko", "start_byte": 41, "limit_byte": 47}]} {"id": "-5308949092103183640-0", "language": "swahili", "document_title": "Kimbunga", "passage_text": "\n\nKimbunga ni dhoruba kali inayoanza juu ya bahari katika maeneo ya tropiki yenye upepo mwenye kasi ya zaidi ya km/saa 117. Kimbunga ni dhoruba aina ya tufani. ", "question_text": "Je kibunga ni nini?", "answers": [{"text": "dhoruba kali inayoanza juu ya bahari katika maeneo ya tropiki yenye upepo mwenye kasi ya zaidi ya km/saa 117", "start_byte": 14, "limit_byte": 122}]} {"id": "6574439044039928776-1", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kikirgizi", "passage_text": "Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kikirgizi ( Kirusi: Киргизская Советская Социалистическая Республика) ilikuwa kati ya jamhuri wanachama 15 za Umoja wa Kisovyeti hadi 1991. Jina lake liliandikwa kwa Kikirili katika lugha ya Kikirgizi: \"Кыргыз Советтик Социалисттик Республикасы\" (Kirgiz Sovyettik Sotsialistik Respublikasi). Leo hii imekuwa nchi huru ya Kirgizia.", "question_text": "Jina la Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kikirgizi liliandikwa kwa lugha gani?", "answers": [{"text": "Kikirgizi", "start_byte": 271, "limit_byte": 280}]} {"id": "-4163646846590945505-2", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Mji mkuu ni Kingston. \n", "question_text": "Je,mji mkuu wa Jamaika ni upi?", "answers": [{"text": "Kingston", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "4877509862775362748-6", "language": "swahili", "document_title": "Pijini na krioli", "passage_text": "Krioli ni lugha inayotokana na wakati jamii ya wazungumzaji inapoanza kutegemea Pijini kwa kila hali na kuipokeza kwa watoto wake. ", "question_text": "Jina Krioli linatokana na nini?", "answers": [{"text": "wakati jamii ya wazungumzaji inapoanza kutegemea Pijini kwa kila hali na kuipokeza kwa watoto wake", "start_byte": 31, "limit_byte": 129}]} {"id": "4358795275475969706-2", "language": "swahili", "document_title": "Mark Zuckerberg", "passage_text": "Zuckerberg alizaliwa White Plains, New York na kukulia Dobbs Ferry, New York. Alianza kuunda programu alipokuwa katikati shule ya kitengo cha kati. Zuckerberg alifurahia kuunda programu za kompyuta mapema, na hasa zana za mawasiliano na michezo. Kabla ya kuhudhuria Exeter Phillips Academy, Mark alienda shule ya Ardsley High School. \"Katika shule ya upili, yeye alifaulu sana katika masomo ya Kale. Alihamishiwa Phillips Exeter Academy ambako alizama katika somo la Kilatini. [6][6]Pia aliunda programu ya kuwasaidia wafanyakazi katika ofisi ya baba yake kuwasiliana; akaunda toleo la mchezo wa Risk na programu ya kucheza muziki iitwayo Synapse iliyotumia wangafu kujifunza tabia za kusikiliza za watumiaji. Microsoft na AOL zilijaribu kununua Synapse na kumwajiri Zuckerberg, lakini aliamua badala yake kuenda Chuo Kikuu cha Harvard, ambapo alijiunga na Alpha Epsilon Pi , kikundi cha wanafunzi Wayahudi.[7]Chuoni, alijulikana kwa kukariri mistari kutoka mashairi ya kale kama vile The Iliad . [6]", "question_text": "Mwanzilishi wa kampuni ya Google alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "White Plains", "start_byte": 21, "limit_byte": 33}]} {"id": "6999654095593049373-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAdolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ", "question_text": "Adolf Hitler alitawala kwa muda gani?", "answers": [{"text": "1933 hadi kifo chake", "start_byte": 127, "limit_byte": 147}]} {"id": "7253940417444651795-0", "language": "swahili", "document_title": "CNN", "passage_text": "\nCable News Network (Kifupi: CNN) ni stesheni ya runinga inayotangaza habari iliyoanzishwa na Ted Turner mnamo 1980.[1] CNN ilikuwa stesheni ya kwanza inayotangaza habari masaa 24.[2] Makao yake makuu yako mjini Atlanta, ingawa ina vituo vingine mjini New York, Washington, D.C. na Los Angeles. Kauli yake mbiu ni The Worldwide Leader in News.", "question_text": "Nani mwanzilishi wa kitu cha CNN?", "answers": [{"text": "Ted Turner", "start_byte": 94, "limit_byte": 104}]} {"id": "6620041792085416540-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Mlima mrefu nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 1220, "limit_byte": 1225}]} {"id": "-6199139565308413778-0", "language": "swahili", "document_title": "Ndezi", "passage_text": "\nNdezi ni wagugunaji wakubwa wa familia Thryonomyidae ambao wana mnasaba karibu kiasi na nungunungu. Wanatokea mahali panyevu pa Afrika kusini kwa Sahara. Wamo miongoni mwa wagugunaji kubwa kabisa duniani. Mwili wao una urefu wa sm 35-60 na uzito wa kg 6-10. Wana manyoya magumu yenye rangi ya kahawa na vidoa kijivu na njano. Hula manyasi ya maji porini lakini katika maeneo ya kilimo hula mimea ya shamba kama muwa, muhogo n.k. Wanaweza kudidimiza hasara kubwa. Ndezi hufugwa sana huko Benini na Togo, na hata nchini Kameruni, Kodivaa, Gaboni, Gana, Nijeria, Senegali na Kongo wakulima wahimizwa kufuga wanyama hawa. Nyama yao ni nzuri sana.", "question_text": "Ndezi ana ukubwa gani?", "answers": [{"text": "sm 35-60", "start_byte": 229, "limit_byte": 237}]} {"id": "-2690299146759030515-0", "language": "swahili", "document_title": "Kwame Nkrumah", "passage_text": "\nKwame Nkrumah (21 Septemba 1909 - 27 Aprili 1972) alikuwa Rais wa kwanza wa Ghana na mmoja wa viongozi wenye nia ya kujenga Muungano wa Afrika, tena mchochezi wa falsafa ya Umajinuni.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ghana alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Kwame Nkrumah", "start_byte": 1, "limit_byte": 14}]} {"id": "-7177396498336195522-17", "language": "swahili", "document_title": "Norwei", "passage_text": "Takriban watu milioni 5.1 wanaishi nchini Unowe. Wengi wao (86%) ni Wanorwei asili, jamii ya Wajerumani. Asilimia 14 ni wahamiaji au watoto wa wahamiaji wawili.", "question_text": "Norwei ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 5.1", "start_byte": 14, "limit_byte": 25}]} {"id": "3351114147731585537-0", "language": "swahili", "document_title": "Zamaradi Mketema", "passage_text": " Zamaradi Mketema (amezaliwa tarehe 4 Oktoba 1985) ni mtangazaji wa redio na televisheni kutoka Tanzania aliyepata umaarufu kwa utangazaji wake kwenye kipindi cha Take One kilichokuwa kikirushwa na kituo cha televisheni cha Clouds Tv [1].", "question_text": "Je,Zamaradi Mketema alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}]} {"id": "-8129467715454826504-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Mlima Kilimanjaro una urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 5895", "start_byte": 33, "limit_byte": 42}]} {"id": "6813786131503222242-6", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mji mkuu ni Mexico City, ambao katika eneo lake lote una watu zaidi ya milioni 20. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Meksiko ni upi?", "answers": [{"text": "Mexico City", "start_byte": 12, "limit_byte": 23}]} {"id": "3290149400943515299-15", "language": "swahili", "document_title": "Iceland", "passage_text": "\nReykjavík ni mji mkuu wa Iceland pia bandari kubwa na kitovu cha uchumi na utamaduni wa nchi.", "question_text": "Mji mkuu wa nchi ya Iceland unaitwaje?", "answers": [{"text": "Reykjavík", "start_byte": 1, "limit_byte": 11}]} {"id": "-1517012834005897416-12", "language": "swahili", "document_title": "Australia na Pasifiki", "passage_text": "Jina la eneo,\npamoja na bendera[1]Eneo\n(km²)Wakazi\n(kadiro mnamo \n1 Julai 2002)Msongamano\n(watu kwenye km²)Mji mkuuAustralasia (Australia na New Zealand) Australia7,686,85020,697,2412.5CanberraKisiwa cha Krismasi (Australia)[2]1354743.5The Settlement Visiwa vya Cocos (Keeling) (Australia)[2]1463245.1West Island New Zealand[3]268,6803,908,03714.5Wellington Kisiwa cha Norfolk (Australia)351,86653.3KingstonMelanesia[4] Fiji18,270856,34646.9Suva Sehemu za Indonesia[5]499,8524,211,5328.4Jakarta Kaledonia Mpya (Ufaransa)19,060207,85810.9Nouméa Papua Guinea Mpya[6]462,8405,172,03311.2Port Moresby Visiwa vya Solomon28,450494,78617.4Honiara Vanuatu12,200196,17816.1Port VilaMikronesia Shirikisho la Mikronesia702135,869193.5Palikir Kiribati81196,335118.8Teinainano Visiwa vya Marshall18173,630406.8Majuro Nauru2112,329587.1Yaren Visiwa vya Mariana ya Kaskazini Marekani47777,311162.1Saipan Guam (Marekani)549160,796292.9Hagåtña Palau45819,40942.4Melekeok[7]Polynesia[8] Samoa ya Marekani (Marekani)19968,688345.2Fagatogo, Utulei[9] Visiwa vya Cook (New Zealand)24020,81186.7Avarua Polynesia ya Kifaransa (Ufaransa)4,167257,84761.9Papeete Hawaii (Marekani)29,3111,211,53742.75Honolulu Niue (New Zealand)2602,1348.2Alofi Kisiwa cha Pasaka (Chile)163,63,79123,17Hanga Roa Visiwa vya Pitcairn (Uingereza)54710Adamstown Samoa2,944178,63160.7Apia Tokelau (New Zealand)101,431143.1—[10] Tonga748106,137141.9Nuku'alofa Tuvalu2611,146428.7Vaiaku Wallis na Futuna (Ufaransa)27415,58556.9Mata-UtuTotal9,008,45835,834,6704.0", "question_text": "Mji mkuu wa Australia ni upi?", "answers": [{"text": "Canberra", "start_byte": 188, "limit_byte": 196}]} {"id": "-4964083984813612282-6", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya teknolojia", "passage_text": "Watu walijifunza kuchagua mawe ya kufaa na kuyapasua ili kupata kona kali. Vile \"visu vya mawe\" vilitumiwa kwa kukata nyama ya wanyama waliowindwa, kusafisha ngozi za wanyama kwa matumizi ya mavazi, kuchimba mizizi ya kuliwa ardhini au kushikwa mikononi kama silaha. Mifano ya kale kabisa iligunduliwa Olduvai (Tanzania) na mtindo wa huko huitwa teknolojia ya Olduvai. ", "question_text": "Historia ya teknolojia ilianzia wapi?", "answers": [{"text": "Olduvai", "start_byte": 302, "limit_byte": 309}]} {"id": "-3268528765495139161-0", "language": "swahili", "document_title": "Haile Selassie", "passage_text": "Haile Selassie (23 Julai 1892 – 27 Agosti 1975) alikuwa Kaisari au Negus Negeste wa Ethiopia. Alizaliwa katika kijiji kiitwacho Ejersa. Kabla ya kuwa mfalme aliitwa Ras Tafari Makonnen. Jina lake la kifalme lina maana ya \"Utukufu wa Utatu (Mtakatifu)\". Pia anafahamika kwa jina la Simba wa Yuda, Mfalme wa wafalme (H.I.M).", "question_text": "Je,Haile Selassie alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1892", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "-3963338391570869346-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi barani Asia ni ipi?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "-5088251818123205352-0", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "East African Breweries ni kampuni kubwa ya utengenezaji wa pombe Afrika Mashariki ambayo inamiliki asilimia 80% ya Kenya Breweries, 98.2% ya Uganda Breweries, 100% ya Central Glass - utengenezaji wa glasi, 100% ya Kenya Maltings na 46% ya Umoja Distillers na Vintners (Kenya) Limited, 100% ya Universal Distilers Uganda, 100% EABL International (kuwajibika kwa kusafirisha nje), 100% ya East African Maltings, 100% EABL Foundation na 20% ya Tanzania Breweries.", "question_text": "Kuna asilimia ngapi ya Tanzania Breweries katika East African Breweries?", "answers": [{"text": "20", "start_byte": 435, "limit_byte": 437}]} {"id": "-339886874375072528-1", "language": "swahili", "document_title": "Donald Trump", "passage_text": "Donald Trump ni mtoto wa pili kati ya watoto watano wa Fred Trump na Mary. Alikuwa na wake wawili mwanzoni, lakini sasa bibi yake ni Melania Knauss.", "question_text": "Je,mke wa Donald Trump anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Melania Knauss", "start_byte": 133, "limit_byte": 147}]} {"id": "5969185701881896805-0", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Hispania ni nchi ya Ulaya ya kusini-magharibi. Imepakana na Ufaransa, Andorra, Ureno na eneo la Kiingereza la Gibraltar. ", "question_text": "Je, Iberia ipo katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 20, "limit_byte": 25}]} {"id": "4947850313377645972-0", "language": "swahili", "document_title": "David Munyasia", "passage_text": "David Munyasia ni Bondia wa Kenya.\nYeye ni bondia wa kwanza kupatikana na makosa ya kuvunja kanuni za Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki ya kutotumia visisimua misuli, wakati wa mashindano ya Olimpiki ya 2004 kule Athens.", "question_text": "David Munyasia alipatikana na makosa ya kuvunja kanuni za Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2004", "start_byte": 201, "limit_byte": 205}]} {"id": "-6333672262558433230-2", "language": "swahili", "document_title": "Punda milia", "passage_text": "Tofauti na ndugu zao wa jirani, farasi na punda, pundamilia hajawahi kufugwa kwa mafanikio.", "question_text": "Tofauti kuu baina ya Punda na Punda milia ni ipi?", "answers": [{"text": "pundamilia hajawahi kufugwa kwa mafanikio", "start_byte": 49, "limit_byte": 90}]} {"id": "-6059572210022787572-4", "language": "swahili", "document_title": "Homanyongo C", "passage_text": "Kadri ya watu milioni 130–170 wameathirika na Homa ya nyongo C. Wataalamu walianza kuchunguza HCV katika miaka ya 1970, na walithibitisha kuwepo kwa ugonjwa huo mnamo mwaka 1989.[3] Haijulikani kama ugonjwa huu unawaambukiza wanyama.", "question_text": "Homa ya nyongo C iligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1989", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}]} {"id": "6847567072043651847-1", "language": "swahili", "document_title": "Wikimedia Foundation", "passage_text": "Shabaha yake ni usambazaji wa elimu huria inayopatikana bure kwa watu wote kwa njia ya mtandao. Ilianzishwa na Jimmy Wales mwaka 2001. Shirika linaendeleza maendeleo ya programu huria za wikiwiki zinazomruhusu msomaji si kusoma tu bali kuandika na kuhariri vilevile. ", "question_text": "Wiktionary ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 129, "limit_byte": 133}]} {"id": "-7549164019082573212-32", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mwaka kiongozi wa upande wa migambo ya uhuru Guerrero na jenerali wa jeshi la serikali Agustin de Iturbide walikutana wakapatana kuungana. Vikosi vingi vya jeshi la kikoloni vilihamia upande wao. Gavana mpya aliyefika kutoka Hispania aliamua kukubali uhuru uliotangazwa tarehe 28 Septemba 1821. Iturbide alikuwa rais wa kwanza na baadaye kwa kipindi kifupi Kaisari wa Mexiko hadi kujiuzulu mwaka 1823: hapo Mexiko ikaendelea kuwa jamhuri.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Meksiko ni nani?", "answers": [{"text": "Agustin de Iturbide", "start_byte": 87, "limit_byte": 106}]} {"id": "3243232592641419564-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Mlima Kilimanjaro", "start_byte": 1254, "limit_byte": 1271}]} {"id": "-8927903055877684674-7", "language": "swahili", "document_title": "Telegrafu", "passage_text": "Katika karne ya 20 yalianza pia matumizi ya simu za upepo kwa habari za telegrafu.", "question_text": "Simu ya upepo ilizinduliwa lini?", "answers": [{"text": "karne ya 20", "start_byte": 7, "limit_byte": 18}]} {"id": "8040192082932030438-2", "language": "swahili", "document_title": "Bendera ya Tanzania", "passage_text": "Bendera hii imepatikana tangu 30 Juni 1964 kutokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Bendera ya Tanganyika ilikuwa na rangi ya kijani ikiwa na kanda nyeusi katikati yenye milia za njano kando. Buluu imepatikana kutokana na bendera ya Zanzibar ya mwaka 1964 ikimaanisha bahari. Hata hivyo toka mwaka 2005, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilianza kutumia rasmi bendera ya Zanzibar. Hii ni mara ya kwanza toka kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar kwa funguvisiwa la Zanzibar kuwa na bendera yake lenyewe. ", "question_text": "Nani alibuni bendera ya Tanzania?", "answers": [{"text": "kutokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar", "start_byte": 43, "limit_byte": 89}]} {"id": "8271119983278333169-17", "language": "swahili", "document_title": "Mwezi", "passage_text": "\nMwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe 21 Julai 1969 mwanaanga Mmarekani Neil Armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wanaanga wengine 11 kutoka Marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka 1972.Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kufika kwenye mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 108, "limit_byte": 122}]} {"id": "-4692489070165529253-0", "language": "swahili", "document_title": "Carlos Ruckauf", "passage_text": "Carlos Federico Ruckauf (alizaliwa 10 Julai 1944) ni mwanasiasa wa wa Kiperonisti wa nchi ya Argentina. Yeye ni mwanachama wa Chama cha Justicialista.", "question_text": "Je,Carlos Federico Ruckauf alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1944", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "2948687924620363676-10", "language": "swahili", "document_title": "Mitume na Manabii katika Uislamu", "passage_text": "Wengine tena wanatajwa katika Agano Jipya, hasa Yohane Mbatizaji (Yahya) na Yesu bin Mariamu ('Îsa).", "question_text": "Mama ya Isa kulingana na Qurani alikuwa anaitwa aje?", "answers": [{"text": "Mariamu", "start_byte": 85, "limit_byte": 92}]} {"id": "9076543866136882311-6", "language": "swahili", "document_title": "Margareta Mtakatifu wa Uskoti", "passage_text": "Alifia mjini Edinburgh mwaka 1093.", "question_text": "Mji mkuu wa Uskoti ni upi?", "answers": [{"text": "Edinburgh", "start_byte": 13, "limit_byte": 22}]} {"id": "-2164004109816268921-13", "language": "swahili", "document_title": "Afrika", "passage_text": "Nchi kubwa ya Afrika ni Algeria na nchi ndogo ni funguvisiwa la Shelisheli katika Bahari Hindi.[7] Nchi ndogo Afrika bara ni Gambia.", "question_text": "Nchi gani kubwa katika bara la Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 24, "limit_byte": 31}]} {"id": "-4302892365413677085-29", "language": "swahili", "document_title": "Afrika", "passage_text": "Waarabu waliovamia eneo hilo lote tangu karne ya 7 BK wameleta lugha yao pamoja na dini ya Uislamu. Lugha yao imekuwa lugha ya watu wengi siku hizi. Wasemaji wa Kiberber bado wako wengi kidogo Moroko na Algeria na wachache katika sehemu za Tunisia na Libya.[18]", "question_text": "Je, nchi gani kubwa katika bara Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 203, "limit_byte": 210}]} {"id": "-7465404903246086287-0", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "\nKanisa Katoliki likiwa la zamani (Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki wanashiriki sifa hiyo) na kubwa kuliko madhehebu yote ya Ukristo, historia yake inashika sehemu muhimu ya historia ya Kanisa lote duniani tangu lilipoanza mwaka 30 hivi BK hadi leo.", "question_text": "Dini la ukristo lilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "30 hivi BK", "start_byte": 238, "limit_byte": 248}]} {"id": "-2846571813271798995-1", "language": "swahili", "document_title": "Milima ya Shira", "passage_text": "Kilele cha juu kiko mita 3,467 juu ya usawa wa bahari.", "question_text": "Shira ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "3,467", "start_byte": 25, "limit_byte": 30}]} {"id": "-1203646900963428502-4", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Nchi ya Gold Coast ilijinyakulia uhuru kutoka kwa Uingereza mwaka wa 1957, ikawa taifa la kwanza la Afrika Kusini mwa Sahara (Sub-Saharan Africa) kufanya hivyo[6][7][8]", "question_text": "Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 69, "limit_byte": 73}]} {"id": "916642514771208651-0", "language": "swahili", "document_title": "Mafuta ya petroli", "passage_text": "Mafuta ya petroli (pia petroliamu kutoka Kigiriki petros = mwamba na Kilatini oleom = mafuta) ni kiowevu kinene chenye rangi cheusi hadi kijani. Inatokea kiasili katika ardhi na inawaka rahisi. Ni chanzo cha petroli, fueli mbalimbali, madawa mengi na plastiki. Ni kati ya vyanzo muhimu kabisa vya nishati vinavyoshughulikiwa na binadamu kama fueli ya usafiri na ya kutengeneza umeme.", "question_text": "Mafuta ya petroli yanatoa wapi jina lake?", "answers": [{"text": "Kigiriki petros = mwamba na Kilatini oleom = mafuta", "start_byte": 41, "limit_byte": 92}]} {"id": "-8279741723019406678-3", "language": "swahili", "document_title": "Al Jazeera", "passage_text": "Al Jazeera ilianzishwa mnamo 15 Novemba 2006. Stesheni hii ilikuwa iitwe Al Jazeera International lakini hili jina lilibadilishwa miezi tisa kabla ya uzinduzi.[4]", "question_text": "Al Jazeera ilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "2006", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "-6883065383751303110-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya miji ya Nigeria", "passage_text": "Miji ya NigeriaNr.MjiIdadi ya wakaziJimboSensa 1991Makadirio 20071.Lagos5.195.2479.229.944Lagos2.Kano2.166.5543.848.885Kano3.Ibadan1.835.3003.847.472Oyo4.Kaduna993.6421.652.844Kaduna5.Port Harcourt703.4211.203.184Rivers6.Maiduguri618.2781.197.497Borno7.Benin City762.7191.167.327Edo8.Zaria612.2571.018.827Kaduna9.Aba500.183966.001Abia10.Ogbomosho433.030945.147Oyo11.Jos510.300860.895Plateau12.Ilorin532.089847.582Kwara13.Oyo369.894808.116Oyo14.Enugu407.756688.862Enugu15.Abeokuta352.735631.018Ogun16.Sokoto329.639601.893Sokoto17.Onitsha350.280591.462Anambra18.Warri363.382556.179Edo19.Oshogbo250.951548.327Osun20.Okene312.775498.877Kogi21.Calabar310.839479.341Cross River22.Katsina259.315459.022Katsina23.Akure239.124451.396Ondo24.Ile-Ife186.856408.897Osun25.Iseyin170.936374.512Oyo26.Bauchi206.537330.391Bauchi27.Ikorodu184.674329.424Lagos28.Makurdi151.515319.797Benue29.Ede142.363311.852Osun30.Ilesha139.445305.480Osun31.Minna189.191304.113Niger32.Efon Alaaye158.977299.755Ekiti33.Owo157.181296.915Ondo34.Ado Ekiti156.122294.382Ekiti35.Umuahia147.167285.313Abia36.Ikot Ekpene119.402283.784Akwa Ibom37.Damaturu141.897275.966Yobe38.Ondo146.051275.917Ondo39.Iwo125.645275.332Osun40.Jimeta141.724266.152Adamawa41.Gombe163.604261.536Gombe42.Ikire111.435244.273Osun43.Gusau132.393242.323Zamfara44.Mubi128.900242.091Adamawa45.Owerri119.711231.789Imo46.Shagamu127.513228.382Ogun47.Ijebu-Ode124.313222.653Ogun48.Gboko101.281213.922Benue49.Ugep134.773207.897Cross River50.Nnewi121.065204.532Anambra51.Ise108.136204.022Ekiti", "question_text": "Je,mji wa Lagos ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "9.229.944", "start_byte": 81, "limit_byte": 90}]} {"id": "8351533778324443716-2", "language": "swahili", "document_title": "Kioksitania", "passage_text": "Katalunya ya magharibi ya kaskazini (4.000), Ufaransa wa kusini (toka 1.000.000 mpaka 3.600.000), Italia ya magharibi ya kaskazini na ya kusini (toka 50.000 mpaka 100.000), Monaco (4.500).", "question_text": "Jimbo la Katalunya ya magharibi ya kaskazini lina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "4.000", "start_byte": 37, "limit_byte": 42}]} {"id": "7164141028506444605-0", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Elementi ya Kikemia ni dutu yenye tabia maalumu isiyotenganishwa kuwa dutu tofauti kwa mbinu za Kemia. Elementi tupu ina aina moja ya atomi tu ndani yake.", "question_text": "Elementi ni nini?", "answers": [{"text": "dutu yenye tabia maalumu isiyotenganishwa kuwa dutu tofauti kwa mbinu za Kemia", "start_byte": 23, "limit_byte": 101}]} {"id": "63279147079267064-15", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi", "passage_text": "Fasihi simulizi - huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi\nFasihi andishi - huwasilishwa kwa lugha ya maandishi", "question_text": "Nini maana ya fasihi simulizi?", "answers": [{"text": "huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi", "start_byte": 18, "limit_byte": 65}]} {"id": "-7506619955959841288-17", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Eritrea", "passage_text": "Italia ilianzisha miradi ya kufanya Eritrea chanzo cha malighafi kwa ajili ya uchumi wa Italia. Kijiji cha Asmara katika nyanda za juu kilikuwa mji mkuu wa koloni na kupanuliwa kuwa mji kwa ajili ya walowezi Waitalia. Asmara ilipambwa na majengo mazuri ya kisasa. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Eritrea?", "answers": [{"text": "Asmara", "start_byte": 107, "limit_byte": 113}]} {"id": "-770850857362615923-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Mji mkuu wa Ethiopia ni upi?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 436, "limit_byte": 447}]} {"id": "2915143232189215874-0", "language": "swahili", "document_title": "Shane Filan", "passage_text": "Shane Steven Filan (amezaliwa tar. 5 Julai 1979) ni msanii wa muziki wa pop kutoka nchini Ireland. Huyu ndiye mwimbaji kiongozi wa kundi la Westlife. Filan ni moja ya waimbaji watano wa asili wa kundi la hili, akiwa na wenzake,\nKian Egan, Mark Feehily na Nicky Byrne na aliyekuwa mwenzao Brian McFadden.", "question_text": "Kiongozi wa bendi ya Westlife anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Shane Steven Filan", "start_byte": 0, "limit_byte": 18}]} {"id": "7657776528308264760-0", "language": "swahili", "document_title": "Mandakini (muigizaji)", "passage_text": "Mandakini Hindi: मंदाकिनी IPA:[məŋd̪aːkini] ITRANS: Mandakini) (alizaliwa 7 Januari 1969, kama Yasmeen Yusuf) ni mwigizaji wa zamani wa Bollywood. Kazi ilikuwa ya muda mfupi, lakini yenye utata katika vipindi za Kihindi na ilisemekana kuwa ana uhusiano na mwanaharamu Dawood Ibrahim. [1]", "question_text": "Je,Mandakini Kihindi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "7 Januari 1969", "start_byte": 94, "limit_byte": 108}]} {"id": "8359929536221422881-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Mji Mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 352, "limit_byte": 358}]} {"id": "5868882095713382305-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vitabu vya Biblia", "passage_text": "Vitabu vya Biblia ya Kikristo vilivyoorodheshwa hapa chini ni vile 66 tu vinavyotambuliwa na Wakristo wote. Zingatia lakini kwamba walio wengi, hasa Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki, katika Biblia wanavyoitumia wana vitabu vingine 7 vinavyoitwa Deuterokanoni, navyo vyote vimo katika Agano la Kale: Yoshua Bin Sira, Kitabu cha Hekima, Kitabu cha kwanza cha Wamakabayo, Kitabu cha pili cha Wamakabayo, Tobiti, Yudithi, Baruku.", "question_text": "Biblia ya kikristo ina vitabu vingapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "66 tu vinavyotambuliwa na Wakristo wote. Zingatia lakini kwamba walio wengi, hasa Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki, katika Biblia wanavyoitumia wana vitabu vingine 7 vinavyoitwa Deuterokanoni", "start_byte": 67, "limit_byte": 279}]} {"id": "1252073989749474425-1", "language": "swahili", "document_title": "Lagos", "passage_text": "Ikiwa na wakazi takriban milioni 12 katika eneo la jiji na milioni 15 - 22 katika rundiko la mji ni kati ya miji mikubwa zaidi ya Afrika; inawezekana kwamba idadi ya watu imeshapita ya Kairo, hivyo kuwa jiji lenye watu wengi barani Afrika[1].", "question_text": "Je,Lagos ina idadi ya takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "takriban milioni 12", "start_byte": 16, "limit_byte": 35}]} {"id": "-1271465541327019741-3", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Msalaba Mwekundu", "passage_text": "Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) ilianzishwa mwaka wa 1919 na kwa sasa huratibu shughuli kati ya 186 za kitaifa za Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu katika Shirikisho. Kimataifa, Shirikisho linaongoza na kupanga, kwa ushirikiano wa karibu wa Vyama vya wa kitaifa , misaada pamoja na kukabiliana na mahitaji ya dharura. Sekretarieti ya Shirikisho la Kimataifa ina makao yake mjini Geneva, Uswizi. Mwaka wa 1963, Shirikisho (likijulikana kama Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu) lilipatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa pamoja na ICRC. [2]", "question_text": "Makao makuu la shirika la Msalaba Mwekundu iko wapi?", "answers": [{"text": "Geneva, Uswizi", "start_byte": 429, "limit_byte": 443}]} {"id": "2913903995700109533-1", "language": "swahili", "document_title": "Taasisi ya Taaluma za Kiswahili", "passage_text": "Ilianzishwa mnamo mwaka 1930 kama Inter-territorial Language (Swahili) committee ya Nchi za Afrika ya Mashariki, baadaye ikaitwa Kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki. Mnamo mwaka 1964 kamati ilifanywa kuwa Sehemu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaamu. Baadaye ikaitwa Chuo cha Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili. Tangu 1970 kimepewa jina la Taasisi ya Uchunguzi wa Lugha ya Kiswahili. Mwaka 2009, TUKI iliungana na iliyokuwa Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuunda Taasisi kubwa zaidi inayoitwa Taasisi ya Taaluma za Kiswahili - TATAKI", "question_text": "Inter-territorial Language ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1930", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "4874291756812516843-22", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Malawi ilikuwa na siasa ya chama kimoja chini ya rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda tangu kupata uhuru mwaka 1964 na masahihisho ya katiba 1966.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Malawi ni nani?", "answers": [{"text": "Hastings Kamuzu Banda", "start_byte": 64, "limit_byte": 85}]} {"id": "-4377134029512708500-2", "language": "swahili", "document_title": "Malawi Congress Party", "passage_text": "Mwaka 1958 Hastings Banda alirudi nchini akachaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama. Baada ya Banda kuzunguka na kuhutubia wananchi na kupinga Shirikisho la Afrika ya Kati serikali ya kikoloni ilitangaza hali ya dharura na kupiga NAC marufuku.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Malawi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Hastings Banda", "start_byte": 11, "limit_byte": 25}]} {"id": "-7798437941492281918-0", "language": "swahili", "document_title": "Bangladesh", "passage_text": "Bangladesh (pia: Bangla Desh; kwa Kibengali: বাংলাদেশ, bāṃlādeś) ni nchi ya Asia ya Kusini. ", "question_text": "Je, Bangladeshi inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 97, "limit_byte": 101}]} {"id": "-5828289197799577139-6", "language": "swahili", "document_title": "Dublin", "passage_text": "Baada ya kujiunga kwa Eire na Umoja wa Ulaya Dublin imeendelea kukua na kuwa jiji ya Kiulaya. \n1998 Dublin ilisheherekea sikukuu ya kumaliza miaka 1000.", "question_text": "Eire ni nchi ya bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 39, "limit_byte": 44}]} {"id": "-1565453055393001645-0", "language": "swahili", "document_title": "Beyoncé Knowles", "passage_text": "Beyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé pronounced/biˈjɒn.seɪ/(deprecated template) ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na mwanamitindo kutoka Marekani. Alizaliwa na kukulia Houston, Texas na alihudhuria shule mbalimbali zinazofunza sanaa. Pia alianza kushiriki katika mashindano ya kuimba na kucheza ngoma akiwa mtoto. Knowles alikuja kujulikana katika mwisho wa miaka ya 1990 kama mwimbaji kiongozi wa kikundi cha wasichana cha R & B, Destiny's Child. Kulingana na Sony, mauzo ya rekodi za Knowles, yakiunganishwa na yale ya kikundi cha Destiny's Child, yamezidi milioni 100.[1]", "question_text": "Mwanamziki Beyonce alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "4881500469737152009-1", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Mombasa", "passage_text": "Kaunti ya Mombasa inapakana na Bahari Hindi. Ina kisiwa cha Mvita ambacho huwa kati mwa Jiji la Mombasa. Kimetenganishwa na bara na Kijito cha Tudor na Kijito cha Port Reitz[1]. Vijito hivi hugawanywa na Makupa Causeway. Maeneo hayo mengine ya bara yameunganishwa kwa feri na daraja. Ardhi yake ni bapa[2]. \n\nLindi la Bandari ya Kilindini, lenye kina cha mita 45-55, huiwezesha kuegeshwa meli kubwa[3].", "question_text": "Je,Bahari hindi iko katika kaunti ngapi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Mombasa", "start_byte": 10, "limit_byte": 17}]} {"id": "-4671948318092793550-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi duniani ni upi?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "6950924193007484199-0", "language": "swahili", "document_title": "William Shakespeare", "passage_text": "\nWilliam Shakespeare (Aprili 1564 - 23 Aprili 1616) alikuwa mwandishi mashuhuri nchini Uingereza.", "question_text": "Je,William Shakespeare alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "Aprili 1564", "start_byte": 22, "limit_byte": 33}]} {"id": "2433444456971243289-11", "language": "swahili", "document_title": "Nyota", "passage_text": "Nyota hupatikana angani katika makundi kama mawingu makubwa sana. Kundi la namna hiyo huitwa galaksi. Galaksi yetu, ikiwemo mfumo wa jua letu, imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Tunaona sehemu za nyota zake angani zikionekana kama kanda ya kung'aa linalojulikana kwa jina \"njia nyeupe\".", "question_text": "Kuna takriban nyota ngapi?", "answers": [{"text": "zaidi ya 300,000,000,000", "start_byte": 169, "limit_byte": 193}]} {"id": "4141511948451166416-33", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Kutofaulu kwa jeshi la taifa kumaliza ghasia hizo ndiyo sababu muhimu ya kushindwa kwa rais Jonathan kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Kufuata na ahadi zake kwa wapiga kura, Muhammadu Buhari alijitahidi kukomesha kundi hilo.", "question_text": "Nani rais wa Nigeria?", "answers": [{"text": "Muhammadu Buhari", "start_byte": 171, "limit_byte": 187}]} {"id": "-458832288356856628-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Hispania iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 44.395.286", "start_byte": 73, "limit_byte": 91}]} {"id": "-6592920083904461610-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Dar es Salaam", "passage_text": "Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541. ", "question_text": "Mkoa wa Dar es Salaam una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "4,364,541", "start_byte": 241, "limit_byte": 250}]} {"id": "2894531566837872679-1", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Nchi za Asia ya Kusini-Mashariki", "passage_text": "Unaunganisha mataifa 10 yaliyoko kijiografia na kisiasa kati ya nchi kubwa za China na Uhindi. Shabaha yake ni kuboresha ustawi wa uchumi, maendeleo ya kijamii na ya kiutamaduni na kutunza amani ya sehemu hii ya dunia.", "question_text": "Je,bara Asia ina idadi ya nchi ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "10", "start_byte": 21, "limit_byte": 23}]} {"id": "6063421382189691024-1", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa Katoliki", "passage_text": "Ndilo kubwa kabisa kati ya madhehebu yote ya dini hiyo, likikusanya nusu ya wafuasi wote wa Yesu.", "question_text": "Je,nani mwazilishi wa kanisa la katoliki duniani?", "answers": [{"text": "Yesu", "start_byte": 92, "limit_byte": 96}]} {"id": "-6966220645073997275-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.", "question_text": "Kuna idadi ngapi ya Wasukuma nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "44,928,923", "start_byte": 56, "limit_byte": 66}]} {"id": "1835541947153614777-1", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "Bill Gates ni mwanzilishi, mwenyekiti na mbunifu mkuu wa programu za kampuni ya ya Microsoft, kampuni ya programu yenye mafanikio zaidi duniani, inayoaminika kwa utengenezaji wa programu zilizo na nguvu na ubunifu hali zikiwa bado zenye utumizi mwepesi. Microsoft sasa inaajiri zaidi ya watu elfu hamsini na tano katika nchi themanini na tano.", "question_text": "Mkurugenzi mkuu wa kwanza wa Microsoft ni nani?", "answers": [{"text": "Bill Gates", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "6779008798727340086-3", "language": "swahili", "document_title": "Korea Kusini", "passage_text": "Mji mkuu, pia mji mkubwa, ni Seoul ambako karibu nusu ya wakazi wote huishi ama mjini ama katika mazingira yake. Seoul ni kati ya miji muhimu ya biashara na uchumi kimataifa.", "question_text": "Mji mkuu wa Korea unaitwaje?", "answers": [{"text": "Seoul", "start_byte": 29, "limit_byte": 34}]} {"id": "4685828764617983838-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "1422153578110398972-3", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014. Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 20 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.", "question_text": "Nchi ya Côte d'Ivoire ina idadi gani ya watu?", "answers": [{"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "-1210036457615528390-1", "language": "swahili", "document_title": "Saratani", "passage_text": "Jina la saratani linatokana na neno la Kiarabu sartan linalomaanisha pia \"kaa\". Sababu yake ni ya kwamba mtaalamu Galenos wa Ugiriki wa Kale aliona uvimbe uliofanana na miguu ya kaa. Jina hili lilitafsiriwa baadaye kwa lugha nyingi. ", "question_text": "Jina la ugonjwa wa saratani linatokana na nini?", "answers": [{"text": "mtaalamu Galenos wa Ugiriki wa Kale aliona uvimbe uliofanana na miguu ya kaa", "start_byte": 105, "limit_byte": 181}]} {"id": "-6902562724475446719-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani", "passage_text": "Shirika lilianzishwa tarehe 28 Machi 1884 na Karl Peters na Wajerumani wengine waliotaka Ujerumani kuingia kati ya mataifa yenye koloni. Shabaha ya shirika ilikuwa kuanzisha makoloni ya Kijerumani katika maeneo nje ya Ujerumani.", "question_text": "Nani mwanzilishi wa Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani?", "answers": [{"text": "Karl Peters", "start_byte": 45, "limit_byte": 56}]} {"id": "-1270271696873629787-1", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Kwa eneo ni nchi kubwa kuliko zote duniani, ikiwa na km² 17,075,400.", "question_text": "Je, Urusi ina ukubwa wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "km² 17,075,400", "start_byte": 53, "limit_byte": 68}]} {"id": "4827373414704442670-0", "language": "swahili", "document_title": "Korsika", "passage_text": "\nKorsika (kwa Kifaransa:Corse; kwa Kikorsika: Corsica) ni kisiwa cha Ufaransa katika Mediteranea. Ni kisiwa kikubwa cha nne katika Mediteranea baada ya Sisilia, Sardinia na Kupri.", "question_text": "Je,ni kisiwa gani kikubwa zaidi katika Bahari ya Mediteranea?", "answers": [{"text": "Sisilia", "start_byte": 152, "limit_byte": 159}]} {"id": "7520634071838868299-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi. ", "question_text": "Bahari kubwa Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Hindi", "start_byte": 85, "limit_byte": 90}]} {"id": "-5609439122563516999-1", "language": "swahili", "document_title": "Sasini", "passage_text": "Sasini ni moja ya kampuni za Kundi la Sameer,kundi hili pia lina makao yake Kenya.", "question_text": "Je,ni nchi gani Afrika yenye kuzalisha chai kwa wingi zaidi?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 76, "limit_byte": 81}]} {"id": "8039357746508296945-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je,kampuni ya Microsoft ilianza lini?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}]} {"id": "6880359698692896400-0", "language": "swahili", "document_title": "Hidrojeni", "passage_text": "\n\n\nHidrojeni (ing. hydrogen) ni elementi ya kikemia yenye namba atomia 1 na uzani wa atomi 1.00794. Alama yake ni H. Ni atomi nyepesi kati ya elementi zote hivyo ina nafasi ya kwanza katika mfumo radidia", "question_text": "Je,hidrojeni ni nini?", "answers": [{"text": "lementi ya kikemia yenye namba atomia 1 na uzani wa atomi 1.00794", "start_byte": 33, "limit_byte": 98}]} {"id": "6338148360672155367-43", "language": "swahili", "document_title": "Maradhi ya zinaa", "passage_text": "UKIMWI uligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1981 miongoni mwa wanaume waliokuwa wanaingiliana (mashoga) na miongoni mwa watu waliokuwa wanajidunga sindano katika jiji la New York na California. Baadaye maambukizi mengine yaligundulika pia kusini mwa jangwa la Sahara barani Afrika. Kwa haraka UKIMWI ukawa ugonjwa wa mlipuko duniani kote ukiathiri karibia kila nchi. Mpaka mwaka 2002, ilikadiriwa kuwa watu wazima wapato milioni 38.6 na watoto milioni 3.2 duania kote wanaishi na VVU au UKIMWI. Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO, limekadiria kuwa kutoka mwaka 1981 mpaka mwisho wa mwaka 2002 watu karibia milioni 20 walikuwa wamekufa kutokana na UKIMWI. Kiasi cha hao milioni 4.5 walikuwa ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.", "question_text": "Je,ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa lini kwa mara ya kwanza?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "-390799576758661399-24", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "[5]\nShirikisho la Soka Duniana (FIFA) ndilo shirikisho kuu linalosimamia kandanda duniani. Wanachama wake ni mashirikisho ya kandanda ya nchi mbalimbali. Kufikia mwaka wa 2000, lilikuwa na wanachama 204 kutoka pembe zote za dunia. Shirikisho hili huandaa mashindano mbalimbali ya soka kama vile Kombe la Dunia la FIFA na pia huwatunuku wachezaji.", "question_text": "Je, ni timu ngapi zipo katka chama cha FIFA?", "answers": [{"text": "204", "start_byte": 199, "limit_byte": 202}]} {"id": "-65841803086114055-3", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa kikapu", "passage_text": "Kila timu huwa na wachezaji 5 uwanjani na hadi wachezaji wa kando 7 walio tayari kuchukua nafasi ya mchezaji mwingine muda wowote. ", "question_text": "Je, mpira wa kikapu huwa na wachezaji wangapi?", "answers": [{"text": "5 uwanjani na hadi wachezaji wa kando 7", "start_byte": 28, "limit_byte": 67}]} {"id": "2445490230455902674-3", "language": "swahili", "document_title": "Namibia", "passage_text": "Mji mkuu ni Windhoek (wakazi 322.500).", "question_text": "Je,mji mkuu Namibia ni upi?", "answers": [{"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "739230370275627427-0", "language": "swahili", "document_title": "Cherry Jones", "passage_text": "Cherry Jones (amezaliwa tar. 21 Novemba 1956) ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Marekani. Huenda akawa anafahamika kwa kucheza kwake kama Rais wa Marekani (Allison Taylor), katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha 24.", "question_text": "Je,Cherry Jones alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "21 Novemba 1956", "start_byte": 29, "limit_byte": 44}]} {"id": "6646474311443164810-1", "language": "swahili", "document_title": "Calgary Sun", "passage_text": "Lilichapishwa kwa mara ya kwanza katika mwaka wa 1980, gazeti hili huchapishwa katika mtindo sawa na tabloid na lilichukua nafasi ya gazeti la hapo awali,The Albertan, baada ya kununuliwa na wachapishaji wa Toronto Sun.", "question_text": "Je, The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}]} {"id": "-1678782411111733250-1", "language": "swahili", "document_title": "Mfupa", "passage_text": "Mifupa inaunganishwa katika kiunzi cha mifupa. Mwili wa binadamu huwa na mifupa zaidi ya 200, idadi inayojulikana kwa wataalamu ni 270, lakini wakati wa maisha mifupa mingi inaungana kuwa mmoja, hivyo kwa kawaida mtu mzima huwa na mifupa 206.", "question_text": "Mwili wa mwanadamu una mifupa mingapi?", "answers": [{"text": "206", "start_byte": 238, "limit_byte": 241}]} {"id": "2072989265333782760-0", "language": "swahili", "document_title": "Basilika la Mt. Fransisko", "passage_text": "\n\n\nBasilika la Mt. Fransisko huko Assisi, (mkoa wa Umbria, (Italia) ni kanisa kubwa lililojengwa kwa muda mfupi (1228-1253) ili kutunza masalia ya Fransisko wa Asizi (1182-1226). ", "question_text": "Fransisko wa Asizi alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1182", "start_byte": 167, "limit_byte": 171}]} {"id": "80053709317456898-2", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Tanzania ina eneo la takriban km2 947.303.", "question_text": "Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani kijiographia?", "answers": [{"text": "km2 947.303", "start_byte": 30, "limit_byte": 41}]} {"id": "1833256721132484387-2", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\n\n\nEneo lake ni kilometa za mraba milioni 179.7 ambayo si bahari kubwa tu bali pia ni eneo kubwa kuliko nchi kavu yote duniani: ni karibu nusu ya uso wa dunia.", "question_text": "Je, bahari ya Pasifiki ina kina kiasi gani?", "answers": [{"text": "79.7", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-8809122114474980120-5", "language": "swahili", "document_title": "Chile", "passage_text": "Mji mkuu ni Santiago, yaani Mtakatifu Yakobo.", "question_text": "Mji mkuu wa Chile ni upi?", "answers": [{"text": "Santiago", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-3448671879195829206-45", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Tanzania", "passage_text": "Tanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961.", "question_text": "Tanzania ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "1940055179969383418-70", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin.", "question_text": "Rais wa Urusi ni nani?", "answers": [{"text": "Vladimir Putin", "start_byte": 56, "limit_byte": 70}]} {"id": "-7425820072061639722-3", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Kwa jumla kuna elementi 116 zinazojulikana katika Kemia zimo katika jedwali la elementi linaloitwa pia \"mfumo radidia\".", "question_text": "Je,kuna elementi ngapi za kemikali?", "answers": [{"text": "116", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}]} {"id": "-5251741226714214946-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Karmeli", "passage_text": "Mlima Karmeli (kwa Kiebrania הר הכרמל, Karem El/Har Ha'Karmel, \"Shamba la mizabibu la Mungu\"; kwa Kiarabu |الكرمل/جبل مار إلياس, Kurmul/Jabal Mar Elyas, \"Mlima wa Mt. Eliya\" unapatikana katika pwani ya Israeli ukijitokeza katika Bahari ya Kati.", "question_text": "Je,mlima Karmeli inapatikana nchi gani?", "answers": [{"text": "Israeli", "start_byte": 226, "limit_byte": 233}]} {"id": "6956141984237213002-2", "language": "swahili", "document_title": "Damu", "passage_text": "Ndani ya damu kuna utegili (kwa Kiingereza plasma) ambao ni kiowevu chake pamoja na seli za damu nyekundu na nyeupe. Seli nyekundu hubeba oksijeni wakati daioksaidi ya kaboni hubebwa na utegili. Seli nyeupe ni kama walinzi wa mwili wa kupambana na magonjwa. Pia kuna chembe sahani.", "question_text": "Je,seli nyeupe ya damu ina kazi gani kuu kwenye mwili?", "answers": [{"text": "walinzi wa mwili wa kupambana na magonjwa", "start_byte": 215, "limit_byte": 256}]} {"id": "7610739604050000832-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Ni ziwa gani kubwa zaidi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Ziwa Viktoria", "start_byte": 6, "limit_byte": 19}]} {"id": "6545827665238007996-11", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Nakuru", "passage_text": "Flamingo hula mwani ambayo hotokana na mchanganyiko wa kiniesi chao pamoja na maji ya chumvi yaliyo vuguvugu pamoja na chakula cha samaki aina ya plankton. Lakini flamingo sio ndege wa kipekee wa kuvutia kwenye ziwa hili, kunao ndege wala samaki wa aina ya pelican na cormorants.Licha ya maji haya kuwa ya chumvi na vuguvugu,samaki aina ya Tilapia grahami imeonekana kunawiri baada ya kuwekwa mwanzo wa miaka ya 1960. Ziwa hili lina ndege wengi sana. Kuna zaidi ya spishi 400 kwenye ziwa hili na mbuga iizungukayo. Maelfu ya ndege wa aina nyingine pia huonekana. Kunao pia punda milia.", "question_text": "Je, ziwa Nakuru lina maji ya aina gani?", "answers": [{"text": "chumvi", "start_byte": 86, "limit_byte": 92}]} {"id": "4784048609192380084-3", "language": "swahili", "document_title": "Brazil", "passage_text": "Mji mkuu ni Brasilia, uliopangwa na kujengwa kati ya 1957 na 1960. Mji mkubwa ni Sao Paulo.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Brazil ni upi?", "answers": [{"text": "Brasilia", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "607052509438700976-8", "language": "swahili", "document_title": "Senegal", "passage_text": "Miji mikubwa ni Dakar (wakazi 2 476 400), Pikine (wakazi 874 062), Thiès (wakazi 252 320), Saint-Louis (wakazi 176 000), Kaolack (wakazi 172 305), Ziguinchor (wakazi 159,788), Tiebo (wakazi 100 289). Karibu nusu ya watu huishi mijini.", "question_text": "Mji mkuu Senegal ni upi?", "answers": [{"text": "Dakar", "start_byte": 16, "limit_byte": 21}]} {"id": "8904064441545158312-0", "language": "swahili", "document_title": "LL Cool J", "passage_text": "James Todd Smith (amezaliwa tar. 14 Januari 1968) ni rapa na mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama LL Cool J. LL Cool J inasimama kwa \"Ladies Love Cool James\".[1] Anajulikana sana kwa maballad yake ya kimahaba kama vile \"I Need Love\", \"Around the Way Girl\" na Hey Lover\", vilevile kuanzisha kuanzisha hip-hop kama vile \"I Can't Live Without My Radio\", \"I'm Bad\", \"The Boomin' System\", na \"Mama Said Knock You Out\". Pia amepata kuonekana katika filamu kadha wa kadha. LL Cool J ni mmoja kati ya wasanii wachache wa hip hop wa zama zake kuweza kupata mafanikio makubwa katika zake za kurekodi kwa zaidi ya makumi mawili. Ametoa takriban albamu kumi na mbili na kompilesheni ya vibao vikali kadhaa mpaka sasa, na albamu yake ya mpya kuwa ya mwaka wa 2008,s Exit 13, ambayo ni ya mwisho kwa LL kufanya kazi na Def Jam Recordings. Kwa sasa anaishi mjini Manhasset, New York na watoto wake wa nne na mke wake.[2]", "question_text": "Je,LL Cool J alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "-1559735436551706841-2", "language": "swahili", "document_title": "Johann Bayer", "passage_text": "Alipokuwa na miaka 20 alianza masomo yake ya falsafa na sheria katika chuo kikuu cha Ingolstadt. ", "question_text": "Je,Johann Bayer alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Ingolstadt", "start_byte": 85, "limit_byte": 95}]} {"id": "-4842822715520758162-5", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Nairobi yenyewe iko ndani ya Eneo la jiji la Nairobi (kwa Kiingereza: Greater Nairobi Metropolitan region) lililoundwa na kaunti 4 kati ya jumla ya 47 za Kenya. ", "question_text": "Je,Kenya ina idadi ya kaunti ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "47", "start_byte": 148, "limit_byte": 150}]} {"id": "-22203811670726300-4", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "Mbia mkubwa zaidi ni Diageo plc. EABL iko katika Nairobi Stock Exchangesoko la hisa la Nairobi, na pia iko katika soko la Uganda na soko la hisa la Dar-es-Salaam s.", "question_text": "Je,East African Breweries inamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Diageo plc. EABL", "start_byte": 21, "limit_byte": 37}]} {"id": "-34949207353412038-0", "language": "swahili", "document_title": "Flevoland", "passage_text": "\nFlevoland ni moja kati ya mikoa ya nchini Uholanzi. Mkoa upo katikati ya nchi, katika eneo la zamani la Zuiderzee. Mkoa ulianzishwa mnamo tar. 1 Januari 1986; ukiwa kama mkoa wa kumi na mbili nchini Uholanzi, na Lelystad ukiwa kama mji mkuu wake. Mkoa huu una wakazi takriban 370,000 ([ripoti] 2005) ikiwa na pamoja na manispaa zipatazo 6.", "question_text": "Mkoa wa Flevoland ulianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1986", "start_byte": 154, "limit_byte": 158}]} {"id": "5050361566301043211-0", "language": "swahili", "document_title": "Bergisch Gladbach", "passage_text": "Bergisch Gladbach ni mji uliopo nchini Ujerumani katika jimbo la Rhine Kaskazini-Westfalia. Mji upo karibu na mji wa Cologne na una wakazi takriban 110,016 waishio katika mji huo.", "question_text": "Je,mji wa Bergisch Gladbach ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "110,016", "start_byte": 148, "limit_byte": 155}]} {"id": "-8021647508386243247-4", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu mwaka 1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri ya Sheria ya kimataifa haieleweki.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Israel ni upi?", "answers": [{"text": "Yerusalemu", "start_byte": 17, "limit_byte": 27}]} {"id": "-1255314661911106960-0", "language": "swahili", "document_title": "Zheng He", "passage_text": "\nZheng He (1371-1433) alikuwa baharia, kiongozi wa kijeshi na mpelelezi kutoka China wakati wa nasaba ya Ming. Aliongoza misafara ya jahazi zake hadi pwani za Afrika hadi Msumbiji akapeleleza Bahari Hindi na visiwa vya Asia ya Kusini-Mashariki. ", "question_text": "Zheng He alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1371", "start_byte": 11, "limit_byte": 15}]} {"id": "6616941806259940508-0", "language": "swahili", "document_title": "Lugha", "passage_text": "Lugha (kutoka neno la Kiarabu: لغة) ni utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu (wengine wanadai hata kati ya viumbe wenye akili). ", "question_text": "Lugha ni nini?", "answers": [{"text": "utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu (wengine wanadai hata kati ya viumbe wenye akili)", "start_byte": 42, "limit_byte": 133}]} {"id": "-8489315963585170745-15", "language": "swahili", "document_title": "Uturuki", "passage_text": "Mji mkubwa ni Istanbul ulioitwa zamani Konstantinopoli na zamani zaidi Bizanti: ulikuwa mji mkuu wa Dola la Uturuki hadi mwaka 1923.", "question_text": "Mji mkuu wa Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Istanbul", "start_byte": 14, "limit_byte": 22}]} {"id": "-484842764886766326-13", "language": "swahili", "document_title": "Afrika", "passage_text": "Nchi kubwa ya Afrika ni Algeria na nchi ndogo ni funguvisiwa la Shelisheli katika Bahari Hindi.[7] Nchi ndogo Afrika bara ni Gambia.", "question_text": "Je ni nchi gani kubwa bara Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 24, "limit_byte": 31}]} {"id": "-5707374135768429241-1", "language": "swahili", "document_title": "Tarakilishi mpakato", "passage_text": "Tarakilishi mpakato ya kwanza ilivumbuliwa na Mwingereza mbunifu Bill Moggridge mwaka 1979. Shirika la mifumo ya GRiD lilimsaidia kuongeza ubunifu wake kwa kuweka bawaba. Mnamo mwaka 1982 tarakilishi mpakato ziliuzwa sana kwa jeshi la Marekani.", "question_text": "Tarakilishi ya kwanza duniani ilizinduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Bill Moggridge", "start_byte": 65, "limit_byte": 79}]} {"id": "-1671979136550842797-1", "language": "swahili", "document_title": "Uvuvi nchini Angola", "passage_text": "Uvuvi nvhini Angola ulikuwa nyanja kuu ya uchumi na iliyoendelea kukua kabla ya Uhuu kutoka kwa Wareno mnamo 1975. katika miaka ya mwanzo ya 1970s, kulikuwa na mashua takribani 700 ya kuvua samaki.\nPato la kila mwaka la samaki lilikuwa zaidi ya tani 300,000. Ikijumuishwa na uvuvi wa kigeni kutoka eneo lililotawaliwa na Ureno la Angola, pato lote lilikuwa zaidi ya tani miliono moja. Namibe|Moçâmedes]] pamoja na Luanda, Benguela na Lobito zilikuwa bandari kuu za uvuvi. ", "question_text": "Uvuvi nchini Angola ulianza lini?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 141, "limit_byte": 145}]} {"id": "8832012734791209995-0", "language": "swahili", "document_title": "Mtaguso Mkuu", "passage_text": "\n\nMtaguso mkuu ni mkutano mkuu wa maaskofu kutoka pande zote za dunia na waamini wengine kadhaa ambao unafanyika kwa nadra sana katika Ukristo. ", "question_text": "Nini maana ya mtaguso?", "answers": [{"text": "mkutano mkuu wa maaskofu kutoka pande zote za dunia na waamini wengine kadhaa ambao unafanyika kwa nadra sana katika Ukristo", "start_byte": 18, "limit_byte": 142}]} {"id": "-1104060235756278297-7", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Mji mkuu ni Dodoma (wenye wakazi 410,956), lakini rais bado yupo Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541. ", "question_text": "Mji Mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-2184264729528208643-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul Pogba", "passage_text": "\nPaul Labile Pogba (aliyezaliwa 15 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Kifaransa ambaye anacheza klabu ya Manchester United katika ligi kuu ya uingereza na timu yake ya taifa ni Ufaransa. Yeye hufanya kazi hasa kama kiungo wa kati na ni vizuri kucheza nafasi zote ya mashambulizi na ulinzi.", "question_text": "Je, Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "-2650410234309599431-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je, mlima mgani mrefu zaidi bara Afrika?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "74012280361889529-0", "language": "swahili", "document_title": "David James Thouless", "passage_text": "David James Thouless (amezaliwa 21 Septemba, 1934) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa aligundua m . Mwaka wa 2016, pamoja na Frederick Duncan Michael Haldane na John Michael Kosterlitz, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Alipewa tuzo kwa utafiti wake wa kinadharia katika maelezo ya tabia za mata katika hali karibu na sifuri halisi (ing. \"for theoretical discoveries of topological phase transitions and topological phases of matter\")[1][2][3]\n.", "question_text": "Je,David James Thouless alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "21 Septemba, 1934", "start_byte": 32, "limit_byte": 49}]} {"id": "1209019612864009181-17", "language": "swahili", "document_title": "Falme za Kiarabu", "passage_text": "JinaEneo (km²)Wakazi \n mwisho wa 2006Abu Dhabi67.3402.563.212Umm al-Quwain77768.000Fujairah1.165130.000Ras al-Khaimah1.684214.000Sharjah2.590699.000Dubai3.8851.327.000Ajmān259258.000", "question_text": "Je,Dubai ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "1.327.000", "start_byte": 159, "limit_byte": 168}]} {"id": "-2505870380579501023-1", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Butiama, mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprili 1922 - London, Uingereza, 14 Oktoba 1999) alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania, na mara nyingi anatajwa kama \"baba wa taifa\". Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule. ", "question_text": "Je,kiongozi wa kwanza wa chama cha mapinduzi alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Mwalimu Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "5999555673278271402-2", "language": "swahili", "document_title": "Kupro", "passage_text": "Mji mkuu ni Nikosia.", "question_text": "Mji mkuu wa Jamhuri ya Kituruki ya Kupro unaitwaje?", "answers": [{"text": "Nikosia", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "4888978259415750393-1", "language": "swahili", "document_title": "Togo", "passage_text": "Idadi ya wakazi ilikuwa zaidi ya milioni 7 u nusu mwaka 2015. ", "question_text": "Togo ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "zaidi ya milioni 7", "start_byte": 24, "limit_byte": 42}]} {"id": "3965083465913138154-2", "language": "swahili", "document_title": "Estonia", "passage_text": "Mji mkuu ni Tallinn unaojulikana pia kwa jina la Reval. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Estonia ni upi?", "answers": [{"text": "Tallinn", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}]} {"id": "-5726865462565057932-9", "language": "swahili", "document_title": "Al-Andalus", "passage_text": "Chini ya watawala wa nasaba ya Muawiyya ushirikiano wa dini na tamaduni ulikuwa bora. Uhuru wa kiutamaduni ulikuwa mkubwa na hasa mji wa Cordoba ulikuwa maarufu kama kitovu cha taaluma na elimu. Wataalamu Wayahudi, Wakristo na Waislamu walishirikiana vizuri.", "question_text": "Mji mkuu wa Iberia ulikuwa upi?", "answers": [{"text": "Cordoba", "start_byte": 137, "limit_byte": 144}]} {"id": "1826032193915408988-97", "language": "swahili", "document_title": "Ghana", "passage_text": "Ikiwa imejaliwa sana na maliasili, nchi ya Ghana ina mapato yanayokadiriwa kupata kila mtu (per capita output) yaliyo mara mbili yakilinganishwa na yale ya nchi zilizo maskini zaidi za Afrika Magharibi. Hata hivyo, Ghana imebakia kutegemea kwa kiwango fulani biashara na usaidizi wa kimataifa na vilevile shughuli za uwekezaji kutokana na Waghana wanaoishi nchi za ng’ambo. Karibu 28% ya wakazi wanaishi chini ya mstari wa kimataifa wa umaskini wa dola za kimarekani 1.25 kwa siku,[44] na kwa mujibu wa wa Benki ya Dunia, kisio la mapato ya kila mtu (per capita income) ya Ghana yamekuwa mara dufu lakini kwa shida kwa miaka 45 iliyopita.[45]", "question_text": "Je,nchi ya Marekani inatumia sarafu gani?", "answers": [{"text": "dola", "start_byte": 450, "limit_byte": 454}]} {"id": "7094331100003093523-14", "language": "swahili", "document_title": "Kiumbehai", "passage_text": "Bakteria na\nArchaea ni viumbehai wenye seli moja wasio na kiini cha seli; wote wanaitwa pia Prokaryota\nEukaryota ni viumbehai wenye kiini cha seli. Wanyama, mimea na fungi huhesabiwa humo.", "question_text": "Je, Eukaryota ni nini?", "answers": [{"text": "viumbehai wenye kiini cha seli", "start_byte": 116, "limit_byte": 146}]} {"id": "2671032618620286184-0", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "\n\nKilimanjaro ni mlima mrefu kuliko yote barani Afrika. Mlima huu uko nchini Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. Una urefu wa mita 5,895 (futi 19,340). ", "question_text": "Je mlima Kilimanjaro inapatikana katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 77, "limit_byte": 85}]} {"id": "2677270906151082077-3", "language": "swahili", "document_title": "Kilimanjaro (Volkeno)", "passage_text": "Kilele cha juu cha Kibo kinaitwa Uhuru. Mtu wa kwanza wa kufika kileleni hapo alikuwa Johannes Kinyala Lauwo kutoka Marangu aliyewaongoza Wajerumani Hans Meyer na Ludwig Purtscheller tarehe 6 Oktoba 1889 wakati wa ukoloni wa Ujerumani. Wakati ule waliita ncha ya juu \"Kaiser-Wilhelm-Spitze\" (kwa Kijerumani:Kilele cha Kaisari Wilhelm) kwa heshima ya Kaisari wa Ujerumani.", "question_text": "Je, ni nani aliyekuwa wa kwanza kukwea mlima wa Kilimanjaro?", "answers": [{"text": "Johannes Kinyala Lauwo", "start_byte": 86, "limit_byte": 108}]} {"id": "3719196770463733969-6", "language": "swahili", "document_title": "Ndege (uanahewa)", "passage_text": "Ndege ya kwanza ilibuniwa na ndugu Orville na Wilbur Wrigth mwaka 1930. Mwanzoni ndege hazikuwa na uwezo wa kubeba abiria wengi, lakini wanasayansi wameboresha usafiri huo wa anga kwa kutengeneza ndege zenye uwezo wa kubeba abiria wengi na kwenda umbali mrefu kwa kutumia muda mfupi.", "question_text": "Ndege ya kwanza ilitengenezwa na nani?", "answers": [{"text": "ndugu Orville na Wilbur Wrigth", "start_byte": 29, "limit_byte": 59}]} {"id": "-8289430088265043813-19", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka huu wa 1956, Sudan na Tunisia vile vile walipata uhuru wao, na Ghana katika mwaka wa 1957, Guinea katika mwaka wa 1958, na vile vile Morocco wakarudishiwa Spanish Morocco.", "question_text": "Je, Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 98, "limit_byte": 102}]} {"id": "-7402263437036627407-11", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa Jua", "passage_text": "\n* Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno \"Zebaki\" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza \"Mercury\" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka katika lugha ya Kiarabu. [2] \n\n** Zuhura - Ng'andu ni sayari ambayo hutambulika kwa jina la Kibantu(Ng'andu) pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu(Zuhura)\n\n*** Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno \"ardhi\" hutumika na waandishi kadhaa badala ya \"dunia\" wakitaka kutaja sayari ya tatu.Jina la sayariKipenyo kwenye ikweta\nkulingana na kipenyo cha dunia = 1 MasiNusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka juaMuda wa mzingo \n(miaka)Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua\n Pembenukta (°)Muda wa siku ya sayari\n(siku)MieziUtaridi \n[3]0.3820.060.3870.2417.0058.60Zuhura (Ng'andu)**0.9490.820.720.6153.39-2430Dunia (Ardhi)***1.001.001.001.000.001.001Mirihi (Murihi, Meriki, Mars)0.530.111.521.881.851.032Mshtarii \n[4]11.23185.2011.861.310.41463Zohari (Zohali, pia Zuhali) \n[5]9.41959.5429.462.480.42649Uranus \n[6] 3.9814.619.2284.010.77-0.71827Neptun \n[7] 3.8117.230.06164.81.770.67113", "question_text": "Zebaki iko na maana gani?", "answers": [{"text": "jina la sayari ya kwanza", "start_byte": 14, "limit_byte": 38}]} {"id": "-1921005058359270380-0", "language": "swahili", "document_title": "Mauaji ya kimbari ya Rwanda", "passage_text": "\nMauaji ya Kimbari ya Rwanda yalikuwa mauaji ya halaiki nchini Rwanda mnamo mwaka wa 1994 ambapo Watutsi, Watwa na baadhi ya watu wa kabila la Kihutu waliuliwa na serikali iliyosimamiwa na viongozi wa Kihutu. ", "question_text": "Maujai ya Kimbari yalifanyika mwaka gani nchini Rwanda?", "answers": [{"text": "1994", "start_byte": 85, "limit_byte": 89}]} {"id": "8913349126401085711-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je, Ndovu huishi kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "50-70", "start_byte": 215, "limit_byte": 220}]} {"id": "-1007078640635594730-0", "language": "swahili", "document_title": "Falsafa", "passage_text": "\nFalsafa (kutoka Kigiriki φιλοσοφία filosofia = pendo la hekima) ni jaribio la kuelewa na kueleza ulimwengu kwa kutumia akili inayofuata hoja za mantiki.", "question_text": "Falsafa ni nini?", "answers": [{"text": "jaribio la kuelewa na kueleza ulimwengu kwa kutumia akili inayofuata hoja za mantiki", "start_byte": 77, "limit_byte": 161}]} {"id": "-465734856773215281-0", "language": "swahili", "document_title": "Indonesia", "passage_text": "Indonesia ni nchi ya visiwa katika Asia ya Kusini-Mashariki. Iko upande wa Kusini-Mashariki kati ya Bahari ya Uhindi na Pasifiki. ", "question_text": "Indonesia ipo kati ya bahari ngapi?", "answers": [{"text": "Bahari ya Uhindi na Pasifiki", "start_byte": 100, "limit_byte": 128}]} {"id": "2898203625919231010-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Vita vya pili duniani viliisha mwaka upi?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "2549527428772684862-0", "language": "swahili", "document_title": "Ellen DeGeneres", "passage_text": "Ellen Lee DeGeneres (amezaliwa tar. 26 Januari 1958) ni mwigizaji wa filamu na mchekeshaji kutoka nchini Marekani. Maarufu kwa kipindi chake cha mazungumzo kinachokwenda kwa jina la Ellen Show. Ellen ni mwanamama wa kwanza katika tasnia ya vipindi vya mazungumzo kujitokeza hadharani na kusema kwamba yeye anapenda mahusiano ya jinsia moja. Hatua hii ilipelekea kufukuzwa katika nyumba aliyokuwa anaishi na baba yake mzazi kwa kuhofia kuambukiza tabia hiyo mbaya kwa ndugu zake wa kike wengine wawili waliozaliwa baba mmoja lakini mama tofauti. Kipindi hiki mzee wake alikuwa ameoa mke mwengine na walibahatika kupata wawili na mke huyo. Wengi walihisi huenda mama wa kufikia alitia fitna kati yake na baba yake ili aondoke, jambo ambalo lilimuumiza Ellen lakini hatimaye aliyamaliza hayo.[1] [2]", "question_text": "Je,Ellen DeGeneres alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "2804982039208852970-9", "language": "swahili", "document_title": "Bandari", "passage_text": "Shanghai (Jamhuri ya Watu wa China) 537,0\nSingapur 448,2\nRotterdam (Uholanzi) 378,2\nNingbo (Jamhuri ya Watu wa China) 300,0\nGuangzhou (Jamhuri ya Watu wa China) 300,0\nTianjin (Jamhuri ya Watu wa China) 255,0\nHong Kong (Jamhuri ya Watu wa China) 238,0\nNagoya (Japani) 206,0\nQingdao (Jamhuri ya Watu wa China) 200,0\nDalian (Jamhuri ya Watu wa China) 200,0\nAntwerpen (Ubelgiji) 167,4\nLos Angeles (USA) 162,1 (2005)\nDurban (RSA) 104,8\nMombasa (EACU) 100,2\nPort Suez (Misri) 80,2\nAbidjan (Cote d'Ivoire) 50,6", "question_text": "Je,bandari kubwa zaidi bara Afrika ni ipi?", "answers": [{"text": "Durban", "start_byte": 412, "limit_byte": 418}]} {"id": "-4531660108416990734-1", "language": "swahili", "document_title": "Collins Injera", "passage_text": "Injera alianza kucheza raga akiwa shule ya sekondari ya Vihiga huko mjini Vihiga. Baada ya kuhitimu mwaka 2005, yeye alijiunga na timu ya kijeshi ya Ulinzi iliyokuwa ikicheza katika Ligi ya raga ya Kenya. Baadaye timu hiyo ilivunjwa na alihamia Mwamba RFC jijini Nairobi - timu ambapo ye anacheza kwa wing'i.", "question_text": "Je,Collins Injera anachezea timu gani ya raga nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Mwamba RFC", "start_byte": 245, "limit_byte": 255}]} {"id": "8063816611972987654-1", "language": "swahili", "document_title": "Warshawa", "passage_text": "Warshawa iko katikati ya nchi kando la mto Vistula (Kipoland:(polnisch Wisła) takriban 350km kutoka Bahari Baltiki.", "question_text": "Mji mkuu wa Poland unaitwaje?", "answers": [{"text": "Warshawa", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "-712240186135391251-0", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Diamond Platnumz (kwa jina lake halisi anaitwa Nasibu Abdul Juma; alizaliwa tarehe 2 Oktoba mwaka 1989) ni msanii wa Bongo Flava na dancta kutoka Tanzania.", "question_text": "Je,nani mmiliki wa kampuni ya rekodi mziki ya Wasafi?", "answers": [{"text": "Diamond Platnumz", "start_byte": 0, "limit_byte": 16}]} {"id": "3571247371957918120-10", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa miguu", "passage_text": "Mwamko huu ulipelekea kuanzishwa kwa Mashirikisho ya kitaifa nje ya Uingereza (Great Britain). Baada ya Shirikisho la Kandanda la Uingereza, Mashirikisho yaliyofuatia ni ya Uskoti (1873), Wales (1875) na Eire (1880).", "question_text": "Timu ya taifa ya Wales ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1875", "start_byte": 195, "limit_byte": 199}]} {"id": "3876410748214415755-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanda Bongo Man", "passage_text": "Kanda Bongo Man, alizaliwa mwaka wa 1955 huko Inongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ni mwanamuziki maarufu wa soukous.[1]", "question_text": "Je,Kanda Bongo man ni mwanamziki kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 55, "limit_byte": 87}]} {"id": "1721168561457696265-1", "language": "swahili", "document_title": "NSDAP", "passage_text": "Chama hiki kinachojulikana pia kama Chama cha Nazi (tamka: natsi) kilianzishwa mjini München (Munich) 1919 kwa jina la Deutsche Arbeiterpartei (Chama cha Wafanyakazi Wajerumani) (DAP). Jina likabadilishwa 1920 kuwa NSDAP. Sababu za kuanzishwa kwa chama zilikuwa mipango ya matajiri wenye mwelekeo wa kizalendo waliotaka kujenga harakati dhidi ya vyama vya kijamaa vyenye wafuasi wengi kati ya wafanyakazi. Walitegemea ya kwamba chama kinachoitwa cha wafanyakazi na cha kizalendo kitapunguza athira ya Wajamaa na Wakomunisti kati ya wafanyakazi. ", "question_text": "Chama cha Nazi kilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1919", "start_byte": 103, "limit_byte": 107}]} {"id": "-5701622089250840030-14", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uganda", "passage_text": "Rais wa kwanza alikuwa Kabaka Sir Edward Mutesa II na waziri mkuu Milton Obote. ", "question_text": "Nani rais wa kwanza wa Uganda?", "answers": [{"text": "Kabaka Sir Edward Mutesa II", "start_byte": 23, "limit_byte": 50}]} {"id": "-5712611656386591319-0", "language": "swahili", "document_title": "Martin Luther", "passage_text": "\nMartin Luther (10 Novemba 1483 – 18 Februari 1546) alikuwa Mkristo mwanateolojia kutoka nchi ya Ujerumani maarufu kama mwanzilishi wa Uprotestanti.", "question_text": "Martin Luther alianzisha dini ngapi?", "answers": [{"text": "Uprotestanti", "start_byte": 137, "limit_byte": 149}]} {"id": "-8615385495050071356-10", "language": "swahili", "document_title": "Augusto", "passage_text": "Mwaka 42 KK walifaulu kuwashinda wauaji wa Caesar waliokaa Ugiriki na baadaye waligawana eneo la dola kati yao: Octavianus alikuwa mkuu wa sehemu ya magharibi na Marcus Antonius mkuu wa sehemu za mashariki alipomwoa Kleopatra malkia wa Misri.\n\n", "question_text": "Kleopatra alikuwa malkia wa mfalme yupi?", "answers": [{"text": "Marcus Antonius", "start_byte": 162, "limit_byte": 177}]} {"id": "7501052683736516287-0", "language": "swahili", "document_title": "Mnyoo", "passage_text": "Mnyoo Ascaris lumbricoides ni aina ya nematodi mkubwa ambaye anaishi katika matumbo ya binadamu na anasababisha ugonjwa uitwao minyoo. Inakadiriwa kwamba karibu ya robo ya idadi ya watu duniani wameathiriwa [1] na ugonjwa huu, na hasa umeenea sana katika maeneo ya kitropiki na maeneo yenye hali duni ya usafi. Aina nyingine ya minyoo ya jamii ya Askaris inaweza kusababisha magonjwa katika mifugo.", "question_text": "Je, minyoo iko katika spishi gani ya wadudu?", "answers": [{"text": "Ascaris lumbricoides", "start_byte": 6, "limit_byte": 26}]} {"id": "5378062983815491991-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Vita vya pili duniani vilianza mwak upi?", "answers": [{"text": "1939", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}]} {"id": "4415117279352420656-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH amechezea timu ngapi?", "answers": [{"text": "Italia", "start_byte": 197, "limit_byte": 203}]} {"id": "7006748487954621229-3", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014. Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 20 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.", "question_text": "Ivory Coast iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "8159518947212872199-14", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Kati ya nchi nyingine ambapo Kiswahili kinatumika kuna Kenya, Uganda, Kongo-Kinshasa, Rwanda, Burundi, Msumbiji, Somalia na visiwa vya Bahari Hindi kama Visiwa vya Ngazija (Komoro).", "question_text": "Ni nchi ngapi barani Afrika zina zungumza lugha ya Kiswahili?", "answers": [{"text": "Kenya, Uganda, Kongo-Kinshasa, Rwanda, Burundi, Msumbiji, Somalia na visiwa vya Bahari Hindi kama Visiwa vya Ngazija (Komoro)", "start_byte": 55, "limit_byte": 180}]} {"id": "5481182354096714976-28", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Nyerere aliendelea kuongoza taifa hadi 1985 alipomwachia nafasi rais wa pili, Ali Hassan Mwinyi. ", "question_text": "Rais wa Tanzania mwaka 1987 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Ali Hassan Mwinyi", "start_byte": 78, "limit_byte": 95}]} {"id": "-6344809246372726389-10", "language": "swahili", "document_title": "Nyota", "passage_text": "Nyota zinazoonekana kwa macho wakati wa usiku ni kama 6,000 lakini idadi yake hali halisi ni kubwa mara nyingi zaidi. Hakuna aliyeweza kuhesabu nyota zote; kuna makadirio ya kuwa idadi inaweza kufika 70,000,000,000,000,000,000,000. ", "question_text": "Kuna nyota ngapi ngani?", "answers": [{"text": "70,000,000,000,000,000,000,000", "start_byte": 200, "limit_byte": 230}]} {"id": "-3992845180086551552-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya vyama vya kisiasa nchini Kenya", "passage_text": "Kenya ilikuwa na vyama vya kisiasa vilivyosajiliwa zaidi ya 160 kufikia mwezi Novemba mwaka wa 2007 [1] lakini kufuatia kupitishwa kwa sheria maalum ya vyama vya siasa tarehe 31 Desemba 2008, idadi ya vyama vilivyoandikishwa ilipungua hadi 38 huku vyama kadhaa vikiongezewa muda wa kujilinganisha na sheria hii mpya.[1][2][2][3][3]", "question_text": "Je, nchi ya Kenya ina vyama vingapi vya kisiasa?", "answers": [{"text": "38", "start_byte": 240, "limit_byte": 242}]} {"id": "3357816296330505345-9", "language": "swahili", "document_title": "Spishi", "passage_text": "Kwa mfano jina la paka ni \"Felis silvestris\". Felis ni jenasi na paka yumo pamoja na wanyama wengine wanaofanana naye kama simba, tiger au chui. Ndani ya spishi la Felis silvestris kuna nususpishi kadhaa; kwa mfano paka wa porini wa Afrika Kaskazini (Felis silvestris lybica) anayeaminiwa kuwa asili ya paka wa nyumbani (Felis silvestris catus). ", "question_text": "Je,chui iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Felis silvestris", "start_byte": 27, "limit_byte": 43}]} {"id": "-143704325517205725-1", "language": "swahili", "document_title": "Mlima", "passage_text": "Mifano katika Afrika ni Mlima Kilimanjaro na Mlima Kenya. ", "question_text": "Mlima kubwa Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Mlima Kenya", "start_byte": 45, "limit_byte": 56}]} {"id": "5811052330634621181-6", "language": "swahili", "document_title": "Satelaiti", "passage_text": "Satelaiti ya kwanza iliyorushwa angani ilikuwa Sputnik 1. Ilitumwa na Umoja wa Kisovyeti tarehe 4 Oktoba 1957. ", "question_text": "Satelaiti ya kwanza ilianza kuzunguka dunia mwaka gani?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 105, "limit_byte": 109}]} {"id": "-2307730851361393375-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Nakuru", "passage_text": "\nZiwa Nakuru ni mojawapo ya maziwa ya magadi katika Bonde la Ufa. Linapatikana kusini mwa mji wa Nakuru, katika eneo la kati nchini Kenya na linazungukwa na Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru. Hifadhi hiyo ilianzishwa mwaka 1961. Ilianza ndogo, ikizingira ziwa hilo maarufu na maeneo ya milima yaliyo karibu. Na sasa imeongezwa kujumuisha sehemu kubwa ya maeneo ya mbuga.", "question_text": "Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 221, "limit_byte": 225}]} {"id": "4586900667984908182-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya majimbo ya Marekani", "passage_text": "51. Samoa ya Marekani\n52. Guam\n53. Visiwa vya Mariana ya Kaskazini\n54. Puerto Rico\n55. Visiwa vya Virgin vya Marekani\n56 Mkoa wa Columbia penye mji mkuu Washington DC uko kati ya Maryland (no. 20) na Virginia (no. 46).", "question_text": "Mji mkuu wa Marekani ni upi?", "answers": [{"text": "Washington DC", "start_byte": 153, "limit_byte": 166}]} {"id": "6128651850043297755-5", "language": "swahili", "document_title": "Gabon", "passage_text": "\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Gabon alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Léon M'ba", "start_byte": 107, "limit_byte": 117}]} {"id": "465415909044584257-24", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Kongo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "-3640043183911163939-0", "language": "swahili", "document_title": "Taarab", "passage_text": "Taarab (pia: tarabu, taarabu) ni aina ya muziki ya Afrika ya Mashariki yenye asili yake katika utamaduni wa Waswahili. Neno lenyewe limetokana na Kiarabu \"tarab\" (طرب) linalomaanisha \"uimbaji, wimbo\".", "question_text": "Muziki wa Taarab ulianzia nchi gani?", "answers": [{"text": "Afrika ya Mashariki", "start_byte": 51, "limit_byte": 70}]} {"id": "-8993598147233649347-2", "language": "swahili", "document_title": "Alizeti", "passage_text": "Ua lake hali halisi ni \"kichwa\" au mkusanyiko ya maua madogomadogo yanayokaa kwa pamoja kama duara juu ya kombe kubwa. Maua madogo ya nje huonekana kama petali juwa kubwa zaidi na kuonyesha rangi ya manjano, wakati mwingine hata ya machungwa. Yale maua petali huzai mbegu.\nKila ua mdogo ndani ya duara huwa na mbegu. Mbegu huwa na ganda gumu na ndani yake uko mbegu mwenyewe mwenye kiwango kikubwa cha mafuta.", "question_text": "Alizeti ni maua ya rangi gani?", "answers": [{"text": "manjano", "start_byte": 199, "limit_byte": 206}]} {"id": "1791313723801704194-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Bahari ya hindi iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "1465148683499817685-2", "language": "swahili", "document_title": "Gerimani", "passage_text": "Ilitambuliwa mwaka 1886 na Mjerumani Clemens Winkler aliyebuni jina kwa heshima ya nchi yake ya kuzaliwa (lat. Germania)", "question_text": "Elementi ya Gerimani iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Clemens Winkler", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}]} {"id": "7732352833827764017-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "5094310918396029593-21", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Mabara na mabamba yao ni kama ifuatayo: Afrika (Bamba la Afrika), Antaktika (Bamba la Antaktika), Australia (Bamba la Australia), Ulaya na sehemu kubwa ya Asia (Bamba la Ulaya-Asia), Amerika Kaskazini pamoja na Siberia (Bamba la Amerika ya Kaskazini) na Amerika Kusini (Bamba la Amerika ya Kusini). Mabamba madogo yamejitenga ingawa nchi juu yao inaonekana kuwa sehemu ya bara lingine. Mfano wake ni Bara Hindi iliyokuwa kama bara ndogo au kisiwa kikubwa zamani lakini tangu miaka milioni 10 imejisukuma chini ya bamba la Asia-Ulaya na kuikunja hadi kutokea kwa milima ya Himalaya.", "question_text": "Je,ni bara gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Asia", "start_byte": 155, "limit_byte": 159}]} {"id": "6167287373596391286-0", "language": "swahili", "document_title": "Bié (mkoa)", "passage_text": "Bié ni mkoa wa Angola mwenye eneo la 70,314 km² na wakazi wanaokadiriwa kuwa kati ya lakhi nane na milioni moja.\nMakao makuu ya mkoa uko mjini Kuito (Cuito). ", "question_text": "Bie ni nini?", "answers": [{"text": "mkoa wa Angola mwenye eneo la 70,314 km²", "start_byte": 8, "limit_byte": 49}]} {"id": "-8021734147974621405-2", "language": "swahili", "document_title": "Emmanuel Macron", "passage_text": "Alipokuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari alianzisha uhusiano wa karibu na mwalimu wake wa kike Brigitte Trogneux aliyemzidi kiumri miaka ; wazai wake ambao hawakubali uhusiano huu walimtuma kijana kusoma shule nyingine mjini Paris lakini kijana na mwalimu waliendelea na uhusiano na hatimaye walifunga ndoa mwaka . Hawakuzaa watoto wa pamoja lakini Brigitte ana watoto watatu kutoka kwa ndoa yake ya awali na wawili ni wakubwa kumshinda mumewe.", "question_text": "Mke wa rais wa ufaransa alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "Brigitte Trogneux", "start_byte": 98, "limit_byte": 115}]} {"id": "-7478008493038899172-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Je,wimbo wa taifa wa Tanzania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Mungu ibariki Afrika", "start_byte": 169, "limit_byte": 189}]} {"id": "679514783153123978-2", "language": "swahili", "document_title": "Elizabeti wa Hungaria", "passage_text": "Elizabeti aliolewa na Ludwig IV wa Thuringia akiwa na umri wa miaka 14, akazaa watoto watatu, akabaki mjane alipokuwa na miaka 20. Hapo aliwagawia mafukara mali yake, akajenga hospitali, akawa kielelezo cha matendo ya huruma hadi kifo chake alipokuwa na miaka 24 tu.", "question_text": "Elizabeti alipata mtoto akiwa na umri gani?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 86, "limit_byte": 92}]} {"id": "3498098857702725233-3", "language": "swahili", "document_title": "Bara Arabu", "passage_text": "Eneo la Bara Arabu kwa jumla ni kilomita mraba 3,191,022, ikiwa Saudia inakalia sehemu nne katika tano ya jumla ya maeneo yake, na sehemu iliyobakia ambayo ni moja katika tano inakaliwa na nchi zilizobakia, zote zikiwepo pembezoni mwa Saudia kwenye bahari ya Ghuba ya Uajemi na bahari ya Waarabu na bahari ya Shamu.", "question_text": "Bara Arabu ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita mraba 3,191,022", "start_byte": 32, "limit_byte": 56}]} {"id": "-1929515327079224202-0", "language": "swahili", "document_title": "Dear Mama", "passage_text": "\"Dear Mama\" ni wimbo wa rap ulioimbwa na msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani, 2Pac. Wimbo ulitayarishwa na Tony Pizarro kwa ajili ya albamu ya tatu ya 2Pac Me Against the World, iliyotolewa mnamo 1995. \"Dear Mama\" ulitungwa na 2Pac kwa ajili ya mama'ke mwenyewe, Afeni Shakur.", "question_text": "Je wimbo wa Dear Mama wa tupac shakur ilikuwa katika albamu gani yake?", "answers": [{"text": "Me Against the World", "start_byte": 171, "limit_byte": 191}]} {"id": "-4654078224730716444-3", "language": "swahili", "document_title": "Amerika ya Kusini", "passage_text": "Neno \"Amerika\" limetokana na jina la kwanza la Mwitalia Amerigo Vespucci (1451-1512). Vespucci alikuwa baharia na mfanyabiashara katika utumishi wa familia ya Medici kutoka Firenze (Italia). Tangu mwaka 1499 alisafiri kwenye pwani za Amerika ya Kusini na Amerika ya Kati akaandika kitabu juu ya safari zake. Humo aliandika ya kwamba hakukubaliana na Kristoforo Kolumbus ya kwamba visiwa na nchi zilizofikiwa na Kolumbus zilikuwa sehemu ya Uhindi. Amerigo alipendekeza ya kwamba zilikuwa sehemu za \"dunia mpya\" au bara jipya akiwa mtu wa kwanza kuandika hivyo. ", "question_text": "Amerigo Vespucci alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1451", "start_byte": 74, "limit_byte": 78}]} {"id": "41563044795010612-1", "language": "swahili", "document_title": "Robert Baden-Powell", "passage_text": "Rally ya kwanza ya skauti ilifanyika kwenye The Crystal Palace mwaka 1909, ambayo ilionekana idadi ya wasichana wamevaa sare ya skauti, ambayo aliiambia Baden-Powell kuwa walikuwa \"Wasichana wa skauti\", ambapo baada ya mwaka 1910, Baden-Powell na dada yake Agnes Baden-Powell aliunda viongozi wa wasichana. Mwaka wa 1912 alimuoa Olave St Clair Soames. Alitoa mwongozo kwa viongozi wa skauti wa kike hadi kustaafu mwaka wa 1937. Baden-Powell aliishi miaka yake ya mwisho huko Nyeri, Kenya, ambako alikufa na kuzikwa mwaka 1941. Rally ya kwanza ya Scout ilifanyika kwenye The Crystal Palace mwaka 1909, ambayo ilionekana idadi ya wasichana wamevaa sare ya Scout, ambaye aliiambia Baden-Powell kwamba walikuwa \"Msichana Scouts\", ambapo, mwaka wa 1910, Baden-Powell na dada yake Agnes Baden-Powell waliunda Viongozi wa Vijana kutoka kwa Msichana Movement ilikua. Mwaka wa 1912 alioa Olave St Clair Soames. Alitoa mwongozo kwa Miongozo ya Scouting na Girl mpaka kuondoka mwaka 1937. Baden-Powell aliishi miaka yake ya mwisho huko Nyeri, Kenya, ambako alikufa na kuzikwa mwaka 1941.", "question_text": "Robert Baden-Powell alizikwa wapi?", "answers": [{"text": "Nyeri", "start_byte": 476, "limit_byte": 481}]} {"id": "-5845303536894422287-59", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Kiamhara ilikuwa lugha ya ufundishaji katika shule ya msingi lakini sehemu nyingi nafasi yake imeshikwa na Kioromo na Kitigrinya.", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Ethiopia ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiamhara", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "-2586526214092872074-0", "language": "swahili", "document_title": "Kemia kaboni", "passage_text": "Kemia kaboni (pia: Kemia ya kikaboni, Kemia ogania, Kemia mahuluku; kwa Kiingereza organic chemistry) ni tawi la sayansi ya Kemia linalochunguza kampaundi za kikemia zinazojengwa na kaboni[1].", "question_text": "Kemia kaboni ni nini?", "answers": [{"text": "tawi la sayansi ya Kemia linalochunguza kampaundi za kikemia zinazojengwa na kaboni", "start_byte": 105, "limit_byte": 188}]} {"id": "3150521079195324740-0", "language": "swahili", "document_title": "Tha Trademarc", "passage_text": "Marc Predka (aliyezaliwa 21 Aprili 1975), ambaye anajilikana kwa jina la kisanii kama Tha Trademarc, ni mwanamuziki wa Rap kutoka Marekani. Mara ya kwanza kujulikana kwa umaarufu ilikuwa wakati yeye na binamu yake wa kwanza mwanamiereka wa WWE John Cena walishirikiana mnamo 2005 kutoa albamu You Can't See Me[1]. Pia anaonekana katika video za nyimbo , ‘’Bad Bad Man’’ na ‘’Right Now’’ ambazo amefanya na John Cena. Leo hii yeye hufanya kazi katika kitengo cha elimu ya waiosjiweza katika Shule ya Maynard kule Maynard, Massachusetts.", "question_text": "Je,Tha Trademarc alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "8017327534715623745-17", "language": "swahili", "document_title": "Ukoloni", "passage_text": "2. Uingereza ilikuwa na Afrika Kusini, Botswana, Cameroon ya Kiingereza, Gambia, Ghana, Kenya, Lesotho, Malawi, Mauritius, Misri, Nigeria, Shelisheli, Sierra Leone, Somaliland, Sudan, Swaziland, Tanganyika, Uganda, Zanzibar, Zambia, Zimbabwe na sehemu nyingine kwa muda.", "question_text": "Je, nchi ya Nigeria ilitawaliwa na nchi gani enzi za mkoloni?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 3, "limit_byte": 12}]} {"id": "6790340663299444097-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Jina la 2Pac la kuzaliwa ni gani?", "answers": [{"text": "Tupac Amaru Shakur", "start_byte": 1, "limit_byte": 19}]} {"id": "-9185600972088156953-1", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Lenin", "passage_text": "Lenin alizaliwa katika familia tajiri katika mji wa Simbirsk, (sasa unaitwa Ulyanovsk), Lenin alianza kupendelea mapinduzi baada ya kaka yake kuuliwa mwaka wa 1887. Alipofukuzwa kutoka Chuo Kikuu cha Kazan kwa maandamano ya kuipinga serikali ya Tsar, alijishughulisha kupata shahada ya sheria katika miaka iliyoufuata.", "question_text": "Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Simbirsk, (sasa unaitwa Ulyanovsk)", "start_byte": 52, "limit_byte": 86}]} {"id": "-8685573324406288085-3", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Msalaba Mwekundu", "passage_text": "Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) ilianzishwa mwaka wa 1919 na kwa sasa huratibu shughuli kati ya 186 za kitaifa za Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu katika Shirikisho. Kimataifa, Shirikisho linaongoza na kupanga, kwa ushirikiano wa karibu wa Vyama vya wa kitaifa , misaada pamoja na kukabiliana na mahitaji ya dharura. Sekretarieti ya Shirikisho la Kimataifa ina makao yake mjini Geneva, Uswizi. Mwaka wa 1963, Shirikisho (likijulikana kama Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu) lilipatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa pamoja na ICRC. [2]", "question_text": "Je,makao makuu ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu iko wapi?", "answers": [{"text": "Geneva", "start_byte": 429, "limit_byte": 435}]} {"id": "-802152758756136040-7", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "Raila alionekana katika siasa mara ya kwanza baada ya jaribio la Mapinduzi ya kijeshi ya 1982 nchini Kenya. Raila asiyewahi kuwa mwanajeshi alishtakiwa kushiriki katika mipango hii akakamatwa akafungwa katika nyumba yake kwa miezi sita na kutupwa jela bila hukumu jumla miaka nane kati ya 1982-1988, 1988-1989 na 1990-1991. Wakati ule alikanusha mashtaki lakini kutokana tawasifu iliyotolewa mwaka 2006 imeonekana ya kwamba alikuwa na habari kuhusu mipango ya mapinduzi.", "question_text": "Raila Amolo Odinga alianza siasa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1982", "start_byte": 89, "limit_byte": 93}]} {"id": "2372366726031462497-7", "language": "swahili", "document_title": "Isopodi mkubwa", "passage_text": "Kuna jozi mbili za antena. Miguu ya uniramous thoracic au pereiopods imepangiliwa katika jozi saba, ya kwanza ambayo imerekebishwa katika maxillipeds hushika na kuleta chakula kwenye seti nne za taya. Fumbatio lina sehemu tano zinazoitwa pleonites, kila moja ikiwa na jozi ya biramous pleopods; hizi zimebadilishwa kuwa miguu ya kuogelea na rami, maumbile bapa ya kupumulia yafanyayo kazi kama gills. Isopodi ni lilaki hafifu au waridi kwa rangi. [1][2]", "question_text": "Isopodi ana miguu mingapi?", "answers": [{"text": "jozi saba", "start_byte": 89, "limit_byte": 98}]} {"id": "-4115302516276111800-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa muziki wa hip hop Marekani?", "answers": [{"text": "Wamarekani Weusi na Walatino", "start_byte": 89, "limit_byte": 117}]} {"id": "-7239664132616339697-4", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 ilikuwa 44,928,923 (nchi ya 30 duniani) kutoka 34,443,603 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2002.", "question_text": "Je, nchi ya Tanzania ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "44,928,923", "start_byte": 56, "limit_byte": 66}]} {"id": "6152701092163531664-1", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Ugunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo 32o F ni jotoridi la kuganda kwa maji na 212o F ni jotoridi la kuchemka kwa maji katika mkandamizo wa hewa wa kawaida. Vipimio vingi vilipendekezwa tangu muda wake. Katika kipimio cha centigrade au celsius, kilichobuniwa na mnajimu wa kiswideni Anders Celsius, ndicho kinachotumika sana dunia. Katika kipimio hiki maji huganda katika 0o C na huchemka katika 100o C.", "question_text": "Kipima joto kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Gabriel Fahrenheit", "start_byte": 191, "limit_byte": 209}]} {"id": "-3958922749767710598-1", "language": "swahili", "document_title": "Elizabeth II wa Uingereza", "passage_text": "Alizaliwa kwa jina la Elizabeth Alexandra Mary Windsor mjini London tarehe 21 Aprili 1926 kama mtoto wa kwanza wa mfalme George VI wa Uingereza na Elizabeth Bowes-Lyon.", "question_text": "Je,malkia wa kwanza wa Uingereza aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Elizabeth Alexandra Mary Windsor", "start_byte": 22, "limit_byte": 54}]} {"id": "1435665319020180728-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Je,lugha gani mbili rasmi ya nchini Malawi?", "answers": [{"text": "Chichewa, Kiingereza", "start_byte": 115, "limit_byte": 135}]} {"id": "-3286378749140234495-1", "language": "swahili", "document_title": "Saba Saba (Tanzania)", "passage_text": "Asili ya Saba Saba ilikuwa kuundwa kwa chama cha Tanganyika African National Union (TANU) kwenye tarehe 7 Julai ya mwaka 1954. Chama hiki kiliongozwa na Julius Nyerere kikawa chama tawala wakati wa uhuru wa Tanganyika kilichoendelea kuongoza siasa ya nchi baada ya kushika viti vyote vya bunge. ", "question_text": "Je,TANU inamaanisha nini?", "answers": [{"text": "Tanganyika African National Union", "start_byte": 49, "limit_byte": 82}]} {"id": "1307633070490792633-0", "language": "swahili", "document_title": "Sensa", "passage_text": "\nSensa ni utaratibu wa kupata na kutunza habari kuhusu idadi ya watu fulanifulani. Pia ni utaratibu wa mara kwa mara na hesabu rasmi ya idadi ya watu hao. [1] [2] Msamiati hutumiwa zaidi kuhusiana na idadi ya kitaifa na sensa ya mlango kwa mlango (kuchukuliwa kila miaka 10 kulingana na mapendekezo ya Umoja wa Mataifa), na ile ya kilimo na biashara. ", "question_text": "Je,sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "10", "start_byte": 271, "limit_byte": 273}]} {"id": "3514632620714325778-15", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Mwaka 1964 Unyasa (Nyassaland) ilikuwa nchi huru kabisa lakini bado sehemu ya Jumuiya ya Madola chini ya malkia wa Uingereza kwa miaka miwili ya kwanza.", "question_text": "Je, Malawi ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "6815124311272604689-0", "language": "swahili", "document_title": "John Michael Kosterlitz", "passage_text": "John Michael Kosterlitz (amezaliwa 1942) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 2016, pamoja na David James Thouless na Frederick Duncan Michael Haldane, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Alipewa tuzo kwa utafiti wa kinadharia katika maelezo ya tabia za mata katika hali karibu na sifuri halisi (ing. \"for theoretical discoveries of topological phase transitions and topological phases of matter\")[1][2][3]\n.", "question_text": "John Michael Kosterlitz alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 72, "limit_byte": 80}]} {"id": "-2184561340496938092-3", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014. Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 20 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Cote d'Ivoire ni ngapi?", "answers": [{"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "-4272624402774629169-10", "language": "swahili", "document_title": "Waarabu", "passage_text": "Waarabu, leo, wako kila mahali ulimwenguni, lakini kila ukikaribia kwenye kitovu cha dunia ambacho kiko Bara Arabu, Uarabu unazidi kudhihirika zaidi na lugha yao inazidi kuwa fasihi zaidi na hapa ndipo ada na mila zao zinazidi kuhifadhiwa na kutiliwa mkazo. Aidha, Waarabu wanaishi kwenye nchi zaidi ya ishirini za Mashariki ya Kati, ikiwemo Bara Arabu na Shamu na Iraqi na nchi za Ghuba ya Uajemi (Uarabu) na Afrika ya Kaskazini na Mashariki. Kuna ushirikiano katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.", "question_text": "Kuna mataifa mangapi ya Waarabu ulimwenguni?", "answers": [{"text": "zaidi ya ishirini", "start_byte": 294, "limit_byte": 311}]} {"id": "6028658622753389142-0", "language": "swahili", "document_title": "Tufe", "passage_text": "Tufe ni umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa. Lakini wala mpira wala chungwa ni tufe kamili.", "question_text": "Je, tufe ni nini?", "answers": [{"text": "umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa", "start_byte": 8, "limit_byte": 54}]} {"id": "1486887580562312404-0", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "\nKuku (Gallus gallus domesticus) ni ndege anayefugwa na binadamu nyumbani tangu miaka 8,000 hivi. Kwa sababu hiyo ni miongoni mwa wanyama waliosambaa zaidi duniani na ndio ndege walio wengi zaidi duniani.[1]", "question_text": "Ufugaji wa Kuku ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "tangu miaka 8,000", "start_byte": 74, "limit_byte": 91}]} {"id": "2381521533017718115-17", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "-8176806810343788480-0", "language": "swahili", "document_title": "Wilaya ya Longido", "passage_text": "Wilaya ya Longido ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha yenye postikodi namba 23500[1]. ", "question_text": "Longido iko wilaya gani?", "answers": [{"text": "Longido", "start_byte": 10, "limit_byte": 17}]} {"id": "872709873263670274-0", "language": "swahili", "document_title": "Armand Traore", "passage_text": "Armand Traoré (amezaliwa 8 Oktoba 1989 mjini Paris) ni mchezaji wa mpira wa Ufaransa mwenye asili ya Kisenegali ambaye, hivi sasa anacheza kama mchezaji wa kushoto na nyuma katika timu ya Arsenal.", "question_text": "Armand Traoré alizaliwa katika mji gani?", "answers": [{"text": "Paris", "start_byte": 46, "limit_byte": 51}]} {"id": "3584205703809216549-35", "language": "swahili", "document_title": "Mali", "passage_text": "Kikundi kikubwa ndio Wabamana (30%) katika eneo la mji mkuu Bamako, halafu wako Wamandinka, Wafula, Wadogon, Wasonghai na wengineo.", "question_text": "Mji mkuu wa Mali unaitwaje?", "answers": [{"text": "Bamako", "start_byte": 60, "limit_byte": 66}]} {"id": "8512379165542921486-1", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "Ziwa Viktoria lipo mita 1134 juu ya usawa wa bahari na lina eneo la kilometa za mraba zaidi ya 68,100. ", "question_text": "Ziwa Victoria ina urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba zaidi ya 68,100", "start_byte": 68, "limit_byte": 101}]} {"id": "6055352251464752546-0", "language": "swahili", "document_title": "Eva Green", "passage_text": "\nEva Gaëlle Green (amezaliwa tar. 5 Julai 1980) ni mwigizaji filamu wa Kifaransa. Eva, alikulia mjini Paris na kuishi katika moja ya sehemu za mjini London. Eva, alishawahi kuelezewa na gazeti la Vogue kuwa yeye ana \"mwonekano wa kiuaji, ana akili nyingi na pia mnyenyekevu\", na pia ana sura nzuti ya kuvutia.[1]", "question_text": "Eva, alishawahi kuelezewa nini na gazeti la Vogue?", "answers": [{"text": "\"mwonekano wa kiuaji, ana akili nyingi na pia mnyenyekevu\", na pia ana sura nzuti ya kuvutia", "start_byte": 217, "limit_byte": 309}]} {"id": "-1664312771563451595-0", "language": "swahili", "document_title": "John Saxon", "passage_text": "\nJohn Saxon (amezaliwa tar. 5 Agosti 1936) ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Saxon pia aliwahi kushiriki katika filamu za western ya Italia, maarufu kama Spaghetti Western, huko alikuwa akicheza kama askari.", "question_text": "Je,John Saxon alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1936", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "5028174479142266814-0", "language": "swahili", "document_title": "Galileo Galilei", "passage_text": "\nGalileo Galilei (5 Februari 1564 – 8 Januari 1642) alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia.", "question_text": "Je,nani aligundua kifaa cha darubini?", "answers": [{"text": "Galileo Galilei", "start_byte": 1, "limit_byte": 16}]} {"id": "-42531211197002577-0", "language": "swahili", "document_title": "Nelson Mandela", "passage_text": "\nNelson Rolihlahla Mandela (18 Julai 1918 - 5 Desemba 2013) alikuwa mwanasiasa nchini Afrika Kusini, kiongozi wa mapambano dhidi ya siasa ya ubaguzi wa rangi (Apartheid), mfungwa jela kwa miaka 27 halafu rais wa kwanza aliyechaguliwa kidemokrasia katika nchi yake. ", "question_text": "Je,Nelson Mandela alifungwa jela miaka ngapi?", "answers": [{"text": "27", "start_byte": 195, "limit_byte": 197}]} {"id": "7186172920850918540-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Mji mkuu Sant Peterburg ulibadilishwa jina kuwa Leningrad na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow.", "question_text": "Mji mkuu wa Urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 114, "limit_byte": 120}]} {"id": "3895721232554072833-21", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Urusi", "passage_text": "Mji mkuu Sant Peterburg ulibadilishwa jina kuwa Leningrad na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow.", "question_text": "Mji mkuu wa urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 114, "limit_byte": 120}]} {"id": "-8963155560540977975-2", "language": "swahili", "document_title": "Taff B.", "passage_text": "Kwa upande wa muziki, alianza kujishuhulisha nao tangu 1993 - 2002. Hapo awali kwenye 1993 alikuwa akijirusha na ndugu yake Nigga Jay ambaye alikuwa na kundi zima la Pyscho Tak ambalo lilikuwa likiongozwa na Badi Sangu. Pia alikuwa na ukaribu na kaka yake mkubwa ambaye ni Julius Haule almaarufu kama Mr Teacher. Mwaka wa 1995-96 waliunda Kundi la KNT Squad ambalo lilikuwa na wasanii watatu, \"K\" Killa B, \"N\" Nigga J na \"T'\" Taff B. Walifanikiwa kurekodi wimbo mmoja ulioitwa \"Right Stuff\" bahati mbaya huu wimbo walipoteza nakala yake kuu ya kuhifadhia. Mwaka 1997 yeye na Jay wakaunda Underground Shadow Warriors. na Killa B akaunda kundi la mtaani kwao Kimara lililoitwa Imeditaiton Kingdom. Jay na Taff walibahatika kupanda katika majukwaa kibao ikiwa ni pamoja na Korean Culture, Pool Side na kumbi nyingine chungu mzima. 1997 wakarekodi wimbo mmoja ambao Jay alishiriki kwenye kiitikio na kifungio ulioitwa \"Rap ndo Yenyewe\" katika studio za Soundcrafters chini ya Producer Henrico. 1998 wakarekodi Fascinating Rhymes ambao ulitayarishwa na Papa Luv aka Dj Boniluv. Mwaka 2000 akarekodi Dereva Mchovu na ndugu yake upande wa mama kwa Master Jay na Boaz Kapaya almaarufu Diz K. Mdundo wa dereva Mchovu uliandaliwa na Prof Ludigo hapo hapo kwa Master Jay wakati Mdundo wa \"Ndugu upande wa mama\" ulitayarishwa na John Mahundi. Diz K na Taff B walirekodi nyimbo hizo mbili muda mmoja na kundi la Hard Blasters. Wakati huo walikuwa wanarekodi albamu yao ya Funga Kazi. Prof Jay alikuwa ndio kajiunga rasmi 1999 na HBC baada ya Chuzi Limekubali kufanya vizuri sana katika vituo vya Radio. Wimbo wa mwisho ambao Taff B aliweza kurekodi akiwa Tanzania ulikuwa ni Bado \"Nakutesa Remix\" ya Soggy Doggy Anter katika studio ya Bongo Records kabla ya kuondokea na kuelekea nchini Marekani mnamo Disemba, 2000. Akiwa nchini Marekani, amefanya kazi nyingi sana na mtayarishaji John Mahundi baye pia ni binamu yake wa damu. Bahati mbaya, kazi nyingi zilipotea baada ya kompyuta yake kuharibika ghafla. Alitengenza kama nyimbo 30 hivi na wasanii mbalimbali. Ambazo zimebaki kama mfano-awali hazizidi hata 10 katika Maktaba yake. ", "question_text": "Je,Brian Haule alianza mziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 55, "limit_byte": 59}]} {"id": "3305133945304286657-2", "language": "swahili", "document_title": "Geline Alfred Fuko", "passage_text": "Alipata Shahada ya Kwanza ya Sheria akiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania.\nAlipata Shahada ya Uzamili ya Maendeleo ya Jamii akiwa , Italy na Cornivus University Of Budapest, Hungary.", "question_text": "Geline Alfred Fuko alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Cornivus University Of Budapest", "start_byte": 148, "limit_byte": 179}]} {"id": "-6559750562049601635-1", "language": "swahili", "document_title": "Jada Pinkett Smith", "passage_text": "Mwaka wa  1997, ameolewa na rapa na mwigizaji  Will Smith. Wana watoto wawili, Jaden na Willow. Wawili wameanzisha  Will and Jada Smith Family Foundation, asasi ya kutoa misaada inayotazamia hasa vijana waishio mijini ili waweze kujikimu na vilevile wanafanya kazi na asasi zingine zisizo za kiserikali kama vile  YouthBuild na Lupus Foundation of America.", "question_text": "Jada Koren Pinkett Smith ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wawili", "start_byte": 73, "limit_byte": 79}]} {"id": "-3251194797415973411-2", "language": "swahili", "document_title": "Biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki", "passage_text": "Biashara hii inasemekana ilianzia karne ya 18 na 19, ikachukua zaidi ya miaka 30-50 hadi ilipokuja kuingiliwa na wakoloni mwishoni kabisa mwa karne ya 19.", "question_text": "Je,biashara ya masafa marefu ya Afrika Mashariki ilianza lini?", "answers": [{"text": "karne ya 18 na 19", "start_byte": 34, "limit_byte": 51}]} {"id": "-487408488588815988-5", "language": "swahili", "document_title": "Uskoti", "passage_text": "Uskoti ni theluthi ya kaskazini ya kisiwa cha Britania. Eneo lake ni 78,772km². Upande wa kusini Uskoti umepakana na Uingereza wenyewe.", "question_text": "Eneo la Uskoti una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "78,772km²", "start_byte": 69, "limit_byte": 79}]} {"id": "8347841857395151844-5", "language": "swahili", "document_title": "Geji sanifu", "passage_text": "Ujenzi ulianza nchini Kenya ambako njia ya SGR kati ya Mombasa na Nairobi inatarajiwa kufunguliwa mwezi Juni 2017. Njia hii inatarajiwa kuendelea hadi Kisumu kupitia Naivasha na hatimaye hadi Malaba kwenye mpaka wa Uganda[3].", "question_text": "Je, reli ya SGR ya Kenya ilianza kutengenezwa lini?", "answers": [{"text": "Juni 2017", "start_byte": 104, "limit_byte": 113}]} {"id": "6923154935212858201-4", "language": "swahili", "document_title": "Israel", "passage_text": "Mji mkuu umekuwa Yerusalemu tangu mwaka 1950 lakini nchi nyingi hazikubali kuwa hivyo kwa sababu hali yake kadiri ya Sheria ya kimataifa haieleweki.", "question_text": "Je,mjii mkuu wa Israeli ni upi?", "answers": [{"text": "Yerusalemu", "start_byte": 17, "limit_byte": 27}]} {"id": "-958212536127884813-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanku Kelly", "passage_text": "\nNkashama Kanku Kelly (20 Januari, 1958) ni mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo- Tanzania. Anafahamika zaidi kwa kuwa miongoni wapigaji mashuhuri wa trampeti mwenye historia ya ndefu katika muziki - hasa kwa kushirikiana na Maquis du Zaire na kuwa mwanzilishi wa The Kilimanjaro Band. Vilevile amebahatika kushikana mikono na viongozi wakubwa wanaoheshimika duniani kote, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mzee Nelson Mandela.", "question_text": "Nkashama Kanku Kelly alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 97, "limit_byte": 129}]} {"id": "1177030146271176997-1", "language": "swahili", "document_title": "Allow Us to Be Frank", "passage_text": "Albamu hii pia ilijuisha baadhi ya nyimbo za mwanamuziki maarufu Frank Sinatra nyimbo kama vile \"Fly Me to the Moon\", \"The Way You Look Tonight\", \"Come Fly With Me\", \"Moon River\", \"Summer Wind\" na \"That's Life\". Na pia ilijumuisha wimbo maarufu wa Nat \"King\" Cole na , \"When I Fall in Love\".", "question_text": "Albamu ya Allow Us to Be Frank ina nyimbo ngapi?", "answers": [{"text": "\"Fly Me to the Moon\", \"The Way You Look Tonight\", \"Come Fly With Me\", \"Moon River\", \"Summer Wind\" na \"That's Life\". Na pia ilijumuisha wimbo maarufu wa Nat \"King\" Cole na , \"When I Fall in Love\"", "start_byte": 97, "limit_byte": 292}]} {"id": "-105205146473118605-5", "language": "swahili", "document_title": "Australia na Pasifiki", "passage_text": "Visiwa vyote kwa pamoja (bila Australia yenyewe) hukadiriwa kuwa 7,500 vyenye eneo la nchi kavu la kilomita za mraba milioni 1.3 vilivyosambaa katika eneo la bahari la kilomita za mraba milioni 70. Takriban visiwa 2,100 vimekaliwa na watu milioni 14.9.", "question_text": "Je, kuna visiwa vingapi katika bara Australia?", "answers": [{"text": "7,500", "start_byte": 65, "limit_byte": 70}]} {"id": "-3695189339685628577-0", "language": "swahili", "document_title": "Utumbo mwembamba", "passage_text": "Utumbo mwembamba ni sehemu ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula iliopo kati ya tumbo na utumbo mpana. Ni sehemu ndefu ya mfumo huu yenye urefu wa mita 4.5 - 9.6 kwa mtu mzima.", "question_text": "Je, utumbo mwembamba una urefu gani?", "answers": [{"text": "mita 4.5 - 9.6", "start_byte": 143, "limit_byte": 157}]} {"id": "-4016510142995396859-24", "language": "swahili", "document_title": "Sudan Kusini", "passage_text": "Jenerali Oyay Deng Ajak aliteuliwa kuwa Ofisa-mkuu-wa-Watumishi wa Jeshi la Sudan Kusini, hadi Mei 2009 wakati alipompisha Meja Jenerali James Hoth Mai[4].", "question_text": "Je, Kamanda wa jeshi kuu la Sudan mwaka 2008 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Oyay Deng Ajak", "start_byte": 9, "limit_byte": 23}]} {"id": "-2287279629577748906-0", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Diamond Platnumz (kwa jina lake halisi anaitwa Nasibu Abdul Juma; alizaliwa tarehe 2 Oktoba mwaka 1989) ni msanii wa Bongo Flava na dancta kutoka Tanzania.", "question_text": "Je, Diamond Platnumz alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "2 Oktoba mwaka 1989", "start_byte": 83, "limit_byte": 102}]} {"id": "-6932533074483114585-18", "language": "swahili", "document_title": "Kwame Nkrumah", "passage_text": "Aliendelea kuongoza serikali na mwaka 1957 wakati wa uhuru alibadilisha jina la nchi kuwa Ghana. Hii ilikuwa koloni la kwanza kupata uhuru katika Afrika ya Magharibi, baada ya Liberia. Mwaka huohuo alifunga ndoa na Fathia Helen Ritzk, Mkristo wa Kikopti kutoka nchi ya Misri.", "question_text": "Je, Ghana ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "2069587681295312651-0", "language": "swahili", "document_title": "Bonnah Kaluwa", "passage_text": "Bonnah Moses Kaluwa (amezaliwa 29 Disemba, 1978) ni mwanasiasa, mwanaharakati na mbunge wa jimbo la Segerea kupitia Chama cha Mapinduzi akiwawakilisha wananchi wa jimbo hilo tangu Novemba 2015, alipochaguliwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huo.", "question_text": "Je,Bonnah Moses Kaluwa alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "29 Disemba, 1978", "start_byte": 31, "limit_byte": 47}]} {"id": "-6750058997335456275-0", "language": "swahili", "document_title": "Utumbo mwembamba", "passage_text": "Utumbo mwembamba ni sehemu ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula iliopo kati ya tumbo na utumbo mpana. Ni sehemu ndefu ya mfumo huu yenye urefu wa mita 4.5 - 9.6 kwa mtu mzima.", "question_text": "Utumbo mdogo una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "mita 4.5 - 9.6 kwa mtu mzima", "start_byte": 143, "limit_byte": 171}]} {"id": "1237272026419599369-0", "language": "swahili", "document_title": "John F. Kennedy", "passage_text": "John Fitzgerald Kennedy (29 Mei 1917 – 22 Novemba 1963) alikuwa Rais wa Marekani kuanzia mwaka 1961 hadi alipouawa. ", "question_text": "John F. Kennedy aliuawa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-1686805709429664945-0", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa Orange Democratic Movement (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita \"Agwambo\".", "question_text": "Raila Amolo Odinga alikuwa waziri mkuu mwaka upi?", "answers": [{"text": "13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013", "start_byte": 86, "limit_byte": 134}]} {"id": "6890008675175833948-1", "language": "swahili", "document_title": "Henry Fonda", "passage_text": "Henry Fonda alioa mara tano. Kwa mara ya kwanza alimuoa Margaret Sullavan mnamo mwaka 1931 hawakukaa muda mwingi wakatengana, kisha taraka rasmi ikawa mwaka 1933. Mnamo mwaka 1936, Fonda akamuoa Frances Ford Seymour, wakazaa watoto wawili, ambaye ni Peter Fonda na Jane Fonda.", "question_text": "Frances Ford Seymour aliolewa mara ngapi?", "answers": [{"text": "tano", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "3901331507752685908-3", "language": "swahili", "document_title": "Robert Ouko", "passage_text": "Muda mfupi kabla ya uhuru wa Kenya mnamo 1963 alifanya kazi kama Katibu msaidizi katika ofisi ya Gavana. Punde alipandishw kuwa Katibu mkuu katika Wizara ya Kazi. Baadaya kuporomoka kwa Muungani wa Afrika Mashariki, Ouko aliteukiwa kuwa mbunge na akachaguliwa kuwa Waziri wa Mipango ya Kiuchumi na Maswala ya Kijamii[2].\nAlichaguliwa kama mbunge katika Uchaguzi Mkuu wa 1979 kuwakilisha Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Rural na akakihifadhi kiti hicho mnamo katika Uchagizi Mkuu wa 1983. Katika uchaguzi wa 1988 alihamia Jimbo la Uchaguzi la Kisumu Town (Baadaye lilitawanyawa kuwa Kisumu Town Mashariki na Kisumu Town Magharibi) na hapo alichaguliwa tena kama mbunge[3]. Ouko alikuwa akiwakilisha Chama cha KANU, ambacho kilikuwa chama cha pekee kilichokubaliwa na Sheria.", "question_text": "Je,Dk. John Robert Ouko alikuwa katika chama gani cha kisiasa?", "answers": [{"text": "KANU", "start_byte": 704, "limit_byte": 708}]} {"id": "-5836035361690384105-23", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi huru 44.\nBara la Afrika lina nchi huru 53.\nBara la Amerika ya kaskazini lina nchi huru 35.\nBara la Antaktika halina wakazi wa kudumu wala nchi huru hata moja ijapokuwa nchi kama 7 zinadai kumiliki sehemu fulani za bara hili.\nBara la Australia au Oshania lina nchi huru 14.\nBara la Ulaya (au Uropa) lina nchi huru 46.", "question_text": "Je, bara la asia lina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 28, "limit_byte": 30}]} {"id": "8747519190773976142-11", "language": "swahili", "document_title": "Elimu nchini Kenya", "passage_text": "Chuo kongwe zaidi nchini Kenya ni Chuo Kikuu cha Nairobi. Vingine ni pamoja na vyuo vikuu vya Kenyatta, Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta cha Kilimo na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Egerton, Moi, Chuo Kikuu cha Maseno na Chuo Kikuu cha Masinde Muliro cha Sayansi na Teknolojia (zamani kilijulikana kama Chuo Kikuu cha Magharibi).", "question_text": "Je,chuo kikuu kongwe zaidi nchini Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 49, "limit_byte": 56}]} {"id": "-5389849232004366229-0", "language": "swahili", "document_title": "Dikteta", "passage_text": "Dikteta (kutoka Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla) ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake. Pale ambako mtu au kundi la watu hutawala kwa mbinu huu hali ya kisiasa huitwa udikteta. Mfalme anayeweza kuwa na madaraka yaleyale haitwi dikteta.", "question_text": "Jina dikteta linatokana na nini?", "answers": [{"text": "Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla", "start_byte": 16, "limit_byte": 63}]} {"id": "502835881296435297-0", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Mataifa ya Afrika", "passage_text": "Kombe la Mataifa ya Afrika, ni shindano kuu la la soka la kimataifa katika Afrika. Shindano hili husimamiwa na Confederation of African Football (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili hufanyika baada ya miaka miwili. Wabingwa wa FIFA Confederations Cup walifuzu katika shindano hili.", "question_text": "Je,Kombe la Mataifa ya Afrika ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 195, "limit_byte": 199}]} {"id": "6491802477046936432-30", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Wakazi asilia ni Wabilikimo, ambao kwa sasa ni 600,000. Kumbe walio wengi ni Wabantu.", "question_text": "Je,nchi ya Kongo ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "600,000", "start_byte": 47, "limit_byte": 54}]} {"id": "-3054777289730308732-1", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Serengeti", "passage_text": "Eneo lake ni 14,763 km² na kijiografia inaendelea ndani ya Kenya inapoitwa Hifadhi ya Masai Mara.", "question_text": "Je,Mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "14,763 km²", "start_byte": 13, "limit_byte": 24}]} {"id": "1071358870638275942-2", "language": "swahili", "document_title": "Kanku Kelly", "passage_text": "Akiwa shule ya msingi walifundishwa somo la muziki na yeye alikuwa akifanya vizuri sana na kuwa mmoja kati ya wanafunzi bora wa somo hilo. Akifafanaua juu ya kufukuzwa shule, Kelly anasema “Nilikuwa anapenda muziki kupita kiasi, nikiwa darasani mwalimu alinikuta nikiandika wimbo wa ‘Amba’ uliotungwa na Nyboma Mwandido ndipo nikafukuzwa shule”. Kanku anasema baada ya kufukuzwa shule mwaka 1974, alihitajika kujiunga na jeshi la nchi hiyo katika kitengo cha muziki wa Brass band, lakini akakataa akiwa na dhamira kubwa kuwa mwanamuziki mashuhuri. Anaeleza kuwa jamaa zake aliokuwa nao darasani asilimia tisini walipelekwa jeshini kupiga muziki wa Brass band. ", "question_text": "Nkashama Kanku Kelly aliingia kwenye sanaa mwaka gani?", "answers": [{"text": "Akiwa shule ya msingi", "start_byte": 0, "limit_byte": 21}]} {"id": "-3803800828420142962-50", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Ararat (m 5,137), volikano zimwe ya Uturuki - kadiri ya Biblia ndipo ilipotua safina ya Nuhu\nBelukha (m 4,506), Urusi - kilele cha juu katika Milima ya Altai\nDamavand (m 5,604), Iran\nGongga Shan (Minya Konka; m 7,556), wa juu katika Sichuan, Uchina na katika Shan Hengduan Ranges\nMilima Huangshan (Lian Hua Feng - \"Lotus Kilimanjaro\" m 1,864), \"Yellow Mountain\" Anhui Uchina\nUhuru Peak (m 7,134), Tajikistan - Kyrgyzstan (Pamir)\nSamani Ismail (m 7,496), Tajikistan - wa juu katika Pamir\nMlima Kazbek (m 5,047), Georgia katika Kaukazi\nKawagarbo (Kagebo, m 6,740), mlima wa juu wa Yunnan, China - ni mtakatifu kwa Ubuddha wa Tibeti na haujapandwa\nKlyuchevskaya Sopka (m 4,750), Urusi, volkano\nKongur (m 7,719), Xinjiang, China - mlima wa juu kabisa katika Kunlun Range\nMuztagh Ata (m 7,546), Xinjiang, China - katika Kunlun Range, mmoja wa milima rahisi zaidi kupandwa juu ya m 7500\nJengish Chokusu (Tomur Feng) (m 7,439), Kirgizia - China - wa juu katika Tian Shan\nQurnat as Sawda' (m 3,088), wa juu nchini Lebanon\nAnnabi So'aib Jabal (m 3,760), Yemen\nNaqil Yasleh Peak (m 2,727), Yemen\nMlima Hermoni (m 2,814), Lebanon - Syria\nMlima Sannine (m 2,628), Lebanon", "question_text": "Mlima mrefu zaidi nchini Tanzania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 321, "limit_byte": 332}]} {"id": "6331724945254702804-1", "language": "swahili", "document_title": "Wingu", "passage_text": "Asili yake ni mvuke wa maji unaotokea wakati jua linabadilisha maji kuwa gesi ya H²O; mvuke unapanda juu kwa sababu ni nyepesi kuliko hewa. Baada ya kupanda kiasi cha kutosha hufikia umbali penye baridi na mvuke unatonesha kuwa matone madogo ya maji. Kama wingu ni juu sana baridi inasababisha mvuke kuwa fuwele za barafu au theluji. ", "question_text": "Je, mawingu hutokana na nini?", "answers": [{"text": "mvuke wa maji unaotokea wakati jua linabadilisha maji kuwa gesi ya H²O", "start_byte": 14, "limit_byte": 85}]} {"id": "5790162159522019596-0", "language": "swahili", "document_title": "Sahara", "passage_text": "Sahara ni jangwa kubwa kaskazini mwa Afrika. Ni jangwa kubwa kabisa barani, ni la kwanza duniani kati ya majangwa joto na jangwa la tatu kwa ukubwa ulimwenguni baada Bara la Antaktiki na Aktiki.[1]", "question_text": "Je,ni bara gani yenye jangwa kubwa zaidi?", "answers": [{"text": "Bara la Antaktiki", "start_byte": 166, "limit_byte": 183}]} {"id": "7538172199543074777-4", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Uturuki", "passage_text": "Mji wake mkuu ulikuwa Konstantinopoli (leo: Istanbul) na mtawala wake mkuu alikuwa Sultani wa Waosmani. Imani rasmi ya milki ilikuwa Uislamu hata kama katika maeneo mengi idadi kubwa ya wakazi walikuwa Wakristo.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Uturuki ni upi?", "answers": [{"text": "Istanbul", "start_byte": 44, "limit_byte": 52}]} {"id": "-6011889001375897581-0", "language": "swahili", "document_title": "Dubai", "passage_text": "Dubai (kwa Kiarabu: دبيّ) ni ufalme katika Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni na pia jina la mji mkuu wa ufalme huo.", "question_text": "Mji mkubwa Dubai ni gani?", "answers": [{"text": "Dubai", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "439879013078162467-5", "language": "swahili", "document_title": "Florida", "passage_text": "Mji mkuu wa jimbo ni Tallahassee, na Jacksonville ni mji mkubwa jimboni. Miji mingine mikubwa ni Tampa, Orlando na Miami. Orlando kuna maonyesho mashuhuri wa Disney Land. Florida ni pia mahali ambako makombora na vyombo vya angani vya Marekani hurushwa kwenye uwanja wa Cape Canaveral unaoitwa pia \"Kituo cha Angani cha Kennnedy\".", "question_text": "Je, mji mkuu wa Florida ni upi?", "answers": [{"text": "Tallahassee", "start_byte": 21, "limit_byte": 32}]} {"id": "-5864368139434813321-0", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria (kwa Kiswahili pia: Nijeria au Naijeria) ni nchi ya Afrika ya Magharibi kwenye pwani ya Bahari Atlantiki. ", "question_text": "Ni nchi gani Afrika yenye wakazi wengi zaidi?", "answers": [{"text": "Nigeria", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "-4130411569767136621-45", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Wakazi ni 118,395,054: wengi wao ni machotara wenye damu ya Wahindi wekundu (31/55% hivi) na Wazungu (42/65% hivi). Wenye asili ya Ulaya tu ni 9/18%.", "question_text": "Je, nchi ya Mexico ina takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "118,395,054", "start_byte": 10, "limit_byte": 21}]} {"id": "3367928430203143501-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Mlima mrefu sana duniani ni gani?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "4685815613932760719-40", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye aliunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina majimbo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hata hivyo, uhuru wa habari na kisiasa bado umefinywa.", "question_text": "Rais wa kwanza wa uhabeshi aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "1358232147436082083-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Matokeo ya uchunguzi huo kama haijatokea mnamo Juni 2005, wanafunzi wa chuo kikuu walianza maandamano wakisaidiwa na wanamgambo wa Muungano wa Vyama vya Upinzani. Lakini serikali kwa kutoa amri ya kukomesha maaandamano, mnamo 8 Juni, watu 26 waliuliwa mjini Addis Ababa kwa msukosuko wa maandamano na wengine wengi kushikwa. ", "question_text": "Mji mkuu wa Ethiopia ni gani?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 258, "limit_byte": 269}]} {"id": "8406289918148523643-4", "language": "swahili", "document_title": "Julius Nyerere", "passage_text": "Kwanza aliongoza Tanganyika toka mwaka 1961 hadi 1964 kama waziri mkuu, halafu kama rais; baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, aliongoza Tanzania kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1985 kama rais.", "question_text": "Nyerere alitawala Tanzania kwa muda gani?", "answers": [{"text": "1964 hadi mwaka 1985", "start_byte": 168, "limit_byte": 188}]} {"id": "8637604553652755381-4", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Mji mkuu ni Moscow. ", "question_text": "Mji mkuu wa Urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-4061068500310645589-0", "language": "swahili", "document_title": "Mharagwe-pana", "passage_text": "\nMharagwe-pana (Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana. Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali poti katika kanda za nusutropiki na wastani. Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.", "question_text": "Maharagwe ni mmea wa familia gani?", "answers": [{"text": "Fabaceae", "start_byte": 59, "limit_byte": 67}]} {"id": "-3211446884284569125-4", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo radidia", "passage_text": "Mfumo radidia ilianzishwa na wanakemia wawili mnamo mwaka 1869, ingawa Mrusi Dimitri Mendeleev (1834-1907) na Mjerumani Julius Lothar Meyer (19 Agosti 1830 - 11 Aprili 1895) walifanya kazi kila mmoja peke yake.", "question_text": "Elementi iligunduliwa lini?", "answers": [{"text": "1869", "start_byte": 58, "limit_byte": 62}]} {"id": "-3769545117685155262-7", "language": "swahili", "document_title": "Nagib Mahfuz", "passage_text": "Baada ya kumaliza shule ya sekondari Mahfouz alisoma falsafa kwenye chuo kikuu cha Kairo alipomaliza kwa cheti ya BA mwaka 1934. Alianza tasnifa ya MA lakini aliiacha baada ya mwaka mmoja akaamua kufuata uandishi kama wito wake.", "question_text": "Je, Nagib Mahfuz alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Kairo", "start_byte": 83, "limit_byte": 88}]} {"id": "4623854303852164779-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Je,Tupac Shakur alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "16 Juni 1971", "start_byte": 21, "limit_byte": 33}]} {"id": "-8087284355699241248-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAdolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ", "question_text": "Adolf Hitler alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1889", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "7707950651062775848-0", "language": "swahili", "document_title": "Nani", "passage_text": "Luís Carlos Almeida da Cunha (anajulikana sana kama Nani; alizaliwa 17 Novemba 1986) ni mwanakandanda winga wa Ureno na anazichezea klabu ya Lazio ya Italia na timu ya taifa ya kandanda ya Ureno.", "question_text": "Luís Carlos Almeida da Cunha alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1986", "start_byte": 81, "limit_byte": 85}]} {"id": "-375548549816777973-0", "language": "swahili", "document_title": "Papa Innocent XII", "passage_text": "Papa Innocent XII (13 Machi 1615 – 27 Septemba 1700) alikuwa papa kuanzia tarehe 12 Julai 1691 hadi kifo chake. ", "question_text": "Papa wa 12 wa kikatoliki anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Papa Innocent XII", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "-299155525747263314-1", "language": "swahili", "document_title": "Ali Hassan Mwinyi", "passage_text": "Ali Hassan Mwinyi (amezaliwa 8 Mei 1925) alikuwa Rais wa Pili wa Tanzania kuanzia 1985 hadi 1995. Aliyemtangulia ni Mwalimu Julius Nyerere, na aliyemfuata ni Benjamin Mkapa. ", "question_text": "Rais wa pili wa nchi ya Tanzania anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Ali Hassan Mwinyi", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "885829798292757539-0", "language": "swahili", "document_title": "Kaboni 14", "passage_text": "\nKaboni 14 ni isotopi ya mionzi ya kaboni na kiini cha atomi ambacho kina protoni 6 na neutroni 8. Kuwepo kwake katika vifaa vya kikaboni ni msingi wa mbinu ya rediokaboni iliyopangwa na Willard Libby na wenzake (1949) kupimia umri wa sampuli za akiolojia, jiolojia na hidrojiolojia. ", "question_text": "Kaboni ni nini?", "answers": [{"text": "isotopi ya mionzi ya kaboni na kiini cha atomi ambacho kina protoni 6 na neutroni 8", "start_byte": 14, "limit_byte": 97}]} {"id": "2036734737325949523-4", "language": "swahili", "document_title": "Diamond Platnumz", "passage_text": "Amezaliwa Dar es Salaam tarehe 2 Oktoba 1989 akiwa na asili ya mkoani Kigoma ni mwimbaji na mtunzi wa kitanzania ambaye ana uwezo mkubwa wa kiushindani dhidi ya wasanii wa mataifa mengine. Pia ni rafiki wa kila mtu Ana watoto watatu ambao ni Dylan Abdul(Kamzaa na Hamisa Mobeto) na Lattifah na nillan Nasibu Abdul(Kawazaa na Zarina Hassan). Pia ana mashabiki wengi ndani ya nchi yake na nje. ", "question_text": "Msanii Diamond Platnumz wa Tanzania ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 226, "limit_byte": 232}]} {"id": "-1428892852658649033-0", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Rockport", "passage_text": "\nKampuni ya Rockport ni kampuni ya kutengeneza viatu iliyo na makao yake katika eneo la Massachusetts. Ilianzishwa huko Marlborough, Massachusetts katika mwaka wa 1971 na Saul na Bruce Katz, kampuni hii inaendelea kutengeneza viatu na huendesha maduka nchini Marekani na nchi 66 duniani kote. Kampuni hii ilinunuliwa na kampuni ya Reebok katika mwaka wa 1984. Hivi sasa,kampuni zote mbili zinamilikiwa na kampuni kubwa ya Ujerumani ya Adidas. Kampuni ya Rockport ,hivi sasa, ina makao yake mjini Canton, Massachusetts, katika makao makuu ya Reebok.", "question_text": "Kampuni ya Rockport ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Saul na Bruce Katz", "start_byte": 171, "limit_byte": 189}]} {"id": "673379047148027964-0", "language": "swahili", "document_title": "Khartoum (jimbo)", "passage_text": "\n\n\nKhartoum (pia Al Khartum) (Kar. الخرطوم ) ni moja ya majimbo (wilayat) 25 ya Sudan. Lina ukubwa wa eneo la 22,122 km 2 na wakazi wanaokadiriwa kuwa 4,700,000 (2000). Mji mkuu wa jimbo ni mji mkuu wa kitaifa.", "question_text": "Mji mkuu wa Khartoum una takriban watu wangapi?", "answers": [{"text": "700,000", "start_byte": 161, "limit_byte": 168}]} {"id": "-3791599137018255448-5", "language": "swahili", "document_title": "Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta", "passage_text": "Uwanja wa ndege wa Nairobi ulifunguliwa mwezi Mei mwaka wa 1958, na Gavana wa mwisho wa Kenya, Everlyn Baring. Uwanja huu ulipaswa kufunguliwa na Malkia Elizabeth, Malkia Mama, lakini alichelewa kule Australia na hangeweza kuhudhuria sherehe hiyo.[1]", "question_text": "Je, uwanja wa ndege wa JKIA ulifunguliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "-7490060295084054733-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "Tanganyika African National Union (TANU) kilikuwa chama kilichotawala Tanganyika na Tanzania hadi muungano wa chama hiki na Chama cha Afro-Shirazi cha Zanzibar ulipounda Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 1977.", "question_text": "Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi kilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 202, "limit_byte": 206}]} {"id": "7209060519397756243-0", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "\nNairobi ni mji mkuu wa jamhuri ya Kenya na vilevile mojawapo ya kaunti za Kenya. ", "question_text": "Je, mji mkuu wa Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "-3317380873480534307-25", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1977 Jibuti (Nchi ya Afars na Issas) iliyokuwa ikitawaliwa na Wafaransa ikarudi kwa wenyewe. Rhodesia (Zimbabwe) ikapata uhuru halisi mwaka wa 1980, na South West Africa, iliyokuwa ikitawaliwa na Afrika ya Kusini ikapata uhuru katika mwaka 1990 na kuitwa Namibia.", "question_text": "Je, Jibuti ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "8132567684267695216-0", "language": "swahili", "document_title": "Emmaus Shule ya Biblia", "passage_text": "Emmaus Shule ya Biblia ni shule inayohudumia watu wote wanaopenda kusoma Biblia kwa njia ya posta. Masomo na mitihani yanatumwa kwa mwanafunzi. Baada ya kujaza anarudisha mtihani kwenye ofisi zao. Ilianzishwa kwa mara ya kwanza Tanzania mnamo mwaka 1960. ", "question_text": "Emmaus Shule ya Biblia iko sehemu gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 228, "limit_byte": 236}]} {"id": "5403281167295404062-2", "language": "swahili", "document_title": "Volkswagen", "passage_text": "Chanzo cha kampuni ilikuwa mnamo mwaka 1937. Wakati ule dikteta wa Ujerumani Adolf Hitler alitaka motokaa yenye bei nafuu kwa wananchi wa kawaida na \"Volkswagen\" ina maana ya \"gari la wananchi\" iliyoweza kubeba familia ya watu 4 na kutembea kwa mkasi wa 100 km/h. Muhandis Ferdinand Porsche aliombwa kutunga gari lenye bei ndogo lililoweza kupatikana kwa watu wengi wenye mishahara midogo. Kutokana na umbo lake limejulikana kwa jina la \"Käfer\" (ing. beetle yaani mdudu mwenye umbo la kangambili). Kiwanda kipya kilianzishwa mashambani karibu la boma la kale lililoitwa \"Wolfsburg\" likawa chanzo cha mji wa baadaye. Kiwanda kilikamilishwa mwaka 1939 miezi michache kabla ya mwazo wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Kutokana na vita magari yaliyokusudiwa hayakujengwa badala yake modeli zilibadilishwa kwa matumizi ya kijeshi. Baada ya kushindwa kwa Ujerumani Wolfsburh ilikuwa chini ya utawala wa Kiingereza kwa miaka 4 na Waingereza walisita kwa muda kama wangeendeleza kiwanda au kuiuza. Lakini waliona modeli ya Volkswagen iliyoanza kutolewa sasa kwa idadi ndogo haikufaa waliwachia Wajerumani. Lakini katika miaka iliyofuata tangu Ujerumani ya Magharibi ilirudishwa hali ya kujitawala gari lilelile likawa ishara ya kurudishwa kwa nguvu ya kiuchumi. Mwaka 1955 tayari milioni 1 ya motokaa zenye umbo la dudu zilitembea barabarani. Mafanikio ya kampuni yaliendelea kwa kutoa modeli mpya na kubwa zaidi. Mnamo 1965 VW ilinunua kiwanda cha NSU - Audi na kampuni hii ilibuni aina za modeli kama Golf na Passat zilizouzwa baadaye tangu 1974 kama kizazi kipya cha VW baada ya mauzo ya VW-beetle kupungua. Model ya zamani iliendelea kutengenezwa katika viwanda huko Meksiko na Brazil.", "question_text": "Je,kampuni ya Volkswagen ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1937", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "-2803534912815954108-0", "language": "swahili", "document_title": "Samuel Wanjiru", "passage_text": "Samuel Kamau Wanjiru (10 Novemba, 1986 mjini Nyahururu - 15 Mei, 2011) alikuwa mwanariadha wa Kenya ambaye mbio zake maalum ni mbio za masafa marefu. Akawa mtaalamu katika umri mdogo na kuvunja rekodi ya dunia ya nusu marathon alipokuwa na umri wa miaka 18. Mwaka 2007, alivunja rekodi ya kukimbia ya barabara ya kilomita 20 na kuboresha rekodi ya nusu marathon kwa zaidi ya sekunde ishirini.", "question_text": "Mkenya wa kwanza kushinda London Marathon ni nani?", "answers": [{"text": "Samuel Kamau Wanjiru", "start_byte": 0, "limit_byte": 20}]} {"id": "-2430615380829702313-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Mara", "passage_text": "Mkoa wa Mara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 31000 [1]. Umepakana na mikoa jirani ya Mwanza na Shinyanga upande wa kusini, Arusha upande wa kusini-mashariki, Kagera kwa njia ya Ziwa Nyanza (au Viktoria) na Kenya upande wa mashariki. Jina linatokana na lile la mto Mara.", "question_text": "Postkodi ya mkoa wa Mara ni ipi?", "answers": [{"text": "31000", "start_byte": 67, "limit_byte": 72}]} {"id": "3782817721640164336-0", "language": "swahili", "document_title": "Johann Paul Schor", "passage_text": "Johann Paul Schor (1615 - 1674), anajulikana katika jiji la Roma kama \"Giovanni Paolo Tedesco\" (jina hili Tedesco kwa Kiitalia linamaanisha Mjerumani). Johann alikuwa msanii kutoka nchi ya Austria. Alikuwa mzalishaji wa michoro ya kupamba katika Baroque Roma, akichora michoro ya vitanda, milipuko ya mapambo ya fedha, nguo na hata vyakula vya sukari. Hapo zamani michoro yake mingi ilihusishwa na Gian Lorenzo Bernini.", "question_text": "Johann Paul Schor alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1615", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}]} {"id": "4954111964625360127-1", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "Ziwa Viktoria lipo mita 1134 juu ya usawa wa bahari na lina eneo la kilometa za mraba zaidi ya 68,100. ", "question_text": "Ziwa Viktoria lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba zaidi ya 68,100", "start_byte": 68, "limit_byte": 101}]} {"id": "3660838090404110658-0", "language": "swahili", "document_title": "Blogu", "passage_text": "Blogu ni teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti. Blogu inaweza kuchukuliwa kama ni shajara pepe. ", "question_text": "Blog ni nini?", "answers": [{"text": "teknolojia mpya inayowezesha watu binafsi kuchapa maoni na fikra zao katika mtandao wa tarakilishi maarufu kama wavuti au intaneti", "start_byte": 9, "limit_byte": 139}]} {"id": "-6250062643107280470-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya miji ya Zambia", "passage_text": "Miji ya ZambiaNr.MjiIdadi ya wakaziMkoaSensa 1980Sensa 1990Sensa 2000Makadirio 20071.Lusaka535.830769.3531.084.7031.346.522Lusaka2.Kitwe283.962288.602363.734415.720Copperbelt3.Ndola250.490329.228374.757401.529Copperbelt4.Kabwe127.422154.318176.758193.100Kati5.Chingola130.872142.383147.448148.469Copperbelt6.Mufulira138.824123.936122.336119.291Copperbelt7.Livingstone61.29676.87597.488113.849Kusini8.Luanshya113.422118.143115.579112.029Copperbelt9.Kasama36.26947.65374.24398.613Kaskazini10.Chipata33.62752.21373.11091.416Mashariki11.Kalulushi53.38331.47452.77072.994Copperbelt12.Mazabuka29.60224.59647.14872.220Kusini13.Chililabombwe56.58248.05554.50458.319Copperbelt14.Mongu24.91929.30244.31056.274Magharibi15.Choma17.94330.14340.40549.357Kusini16.Kafue29.79443.80145.89047.917Lusaka17.Kansanshik.A.23.43534.06843.571Kaskazini-Magharibi18.Kapiri Mposhi8.83913.54027.21943.259Kati19.Mansa34.80137.88241.05942.626Luapala20.Monze14.07915.91024.60332.784Kusini21.Mpika14.37520.95025.85629.447Kaskazini22.Nchelenge9.00015.43620.70924.929Luapala23.Seshekek.A.5.39013.87723.605Magharibi24.Mbala11.17911.11616.93622.187Kaskazini25.Kawambwak.A.k.A.17.95421.731Luapala26.Samfya9.68912.71817.62221.674Luapala27.Siavongak.A.5.56913.04321.615Kusini28.Petaukek.A.8.14814.57821.534Mashariki29.Mumbwa7.57011.01515.94920.434Kati30.Mwinilunga3.3776.34210.74515.217Kaskazini-Magharibi31.Chinsali4.2387.50911.50715.134Kaskazini32.Kaoma6.7009.16512.36314.985Magharibi33.Isoka6.8328.59611.48813.797Kaskazini34.Katete6.4887.16510.41313.404Mashariki35.Kalomo5.8788.38611.00413.092Kusini36.Mkushi4.1277.80410.59713.012Kati37.Lundazik.A.5.5909.15912.766Mashariki38.Maamba6.6008.81710.41512.732Kusini39.Mwanzakombek.A.7.382k.A.12.272Luapala40.Chilangak.A.7.012k.A.12.097Lusaka41.Sinazongwek.A.k.A.10.41511.981Kusini42.Nakondek.A.k.A.9.33211.221Kaskazini43.Chambishik.A.9.945k.A.11.161Copperbelt44.Nakambalak.A.7.503k.A.10.834Kusini45.Senangak.A.7.7279.21910.300Magharibi", "question_text": "Mji mkuu Zambia ni gani?", "answers": [{"text": "Lusaka5", "start_byte": 85, "limit_byte": 92}]} {"id": "-5907806337734747950-0", "language": "swahili", "document_title": "Euro", "passage_text": "\n\nEuro ni sarafu ya pamoja katika baadhi ya nchi za Ulaya. Wakazi wake 343,000,000 wanatumia kwa kawaida pesa hiyo. Watu wengine 240,000,000 wanatumia pesa zilizoungwa na euro, hasa barani Afrika.", "question_text": "Je,Italia inatumia sarafu gani?", "answers": [{"text": "Euro", "start_byte": 2, "limit_byte": 6}]} {"id": "-5247720813127309320-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Msalaba Mwekundu", "passage_text": "Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) ni taasisi ya kibinafsi ya kibinadamu iliyoanzilishwa mnamo mwaka wa 1863 mjini Geneva, Uswisi na Henry Dunant. Kamati hii inayojumuisha wanachama 25 ina mamlaka ya kipekee chini ya sheria ya kibinadamu ya kimataifa kulinda maisha na heshima ya walioathirika na migogoro mbalimbali ya kimataifa. ICRC imewahi kupatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel mara tatu (mwaka 1917, 1944 na 1963). [2]", "question_text": "Je, ni nani alianzisha shirika la misaada ya kimataifa?", "answers": [{"text": "Henry Dunant", "start_byte": 145, "limit_byte": 157}]} {"id": "8690297565753620387-5", "language": "swahili", "document_title": "Ugiriki", "passage_text": "Lugha ya Kigiriki inaendelea kuandikwa kwa Alfabeti ya Kigiriki inaotumiwa tangu miaka 3000 iliyopita, lakini lugha yenyewe imebadilika. Wagiriki wa leo hawaelewi tena Kigiriki cha Kale moja kwa moja.", "question_text": "Je,lugha rasmi ya Ugiriki ni gani?", "answers": [{"text": "Kigiriki", "start_byte": 9, "limit_byte": 17}]} {"id": "1937627540825591345-5", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Dume anafikia urefu wa mwili pamoja na kichwa wa sentimita 170 hadi 250; kimo cha mabegani ni cm 120. Dume mkubwa anaweza kuwa na uzito wa kilogramu 225. Jike ni mdogo wake akiwa na urefu wa 140 hadi 175 cm, kimo cha mabegani cha cm 100 na uzito wa kg 150.", "question_text": "Mnyama mkubwa zaidi ana kilo ngapi?", "answers": [{"text": "225", "start_byte": 149, "limit_byte": 152}]} {"id": "-4501241833237651710-0", "language": "swahili", "document_title": "Iceland", "passage_text": "\nIceland (pia: Aisilandi, Isilandi; Kiiceland: \"Nchi ya barafu\") ni nchi ya Ulaya kwenye kisiwa cha Bahari ya Atlantiki ya kaskazini. Iko km 300 kutoka Greenland upande wa magharibi na km 1000 kutoka Norwei upande wa mashariki. ", "question_text": "Je,nchi ya Iceland iko katika bara gani duniani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 76, "limit_byte": 81}]} {"id": "1113447414627770240-49", "language": "swahili", "document_title": "Nimonia", "passage_text": "Nimonia imekuwa ungonjwa wa kawaida katika historia ya binadamu.[80] Dalili zilielezwa na Hippocrates (c. 460 BC – 370 BC):[80]\"Kwa hivyo athari za perinimonia na kuvimba kwa plura zinapaswa kuchunguzwa: Ikiwa kiwango cha juu cha joto ni kikali, na ikiwa kuna maumivu kwa mojawapo ya pande au pande zote, na ikiwa kuna kikohozi akipumua nje, na sputa ya inayotolewa ni ya rangi ya kimanjano au samawati au vile vile iwe nyepesi, yenye povu na yenye rangi nyingi, au kuwa na sifa nyingine yoyote tofauti na za kawaida... Nimonia inapofikia upeo wake, hali hiyo huwa imezidi utatuzi asipotibiwa na ni mbaya akiwa na disnia na mkojo mwepesi na wenye harufu kali, na jasho likitoka shingoni na kichwani, kwani jasho kama hili ni baya, inavyotokana na ukosefu wa hewa, miparuzo na ukali wa ugonjwa unaokithiri\".[81] Hata hivyo, Hippocrates aliita nimonia ugonjwa \"uliopewa jina na watu wa kale\". Pia aliripoti matokeo ya efusheni ya ufyonzaji wa empiema. Maimonides (1135–1204 AD) alitoa wazo: \"Dalili za kimsingi zinazotokea katika nimonia na zisizo na upungufu ni kama zifuatazo: kiwango cha juu cha joto kisicho kikali, maumivu ya mchomo ya plura kwenye upande, pumzi fupi za haraka, mpwito wa ateri usio wa kawaida na kikohozi\".[82] Maelezo haya ya kiafya yanafanana na yale yaliyo katika vitabu vya kiada vya kisasa na yaliangazia ukubwa wa maarifa ya kitabibu kupitiaEnzi za kati hadi katika karne ya 19.", "question_text": "Maimonides alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1135", "start_byte": 964, "limit_byte": 968}]} {"id": "-8342306666681756326-0", "language": "swahili", "document_title": "Masinde Muliro", "passage_text": "Masinde muliro (alizaliwa mnamo 1922 na aliaga dunia mnamo 14 Agosti 1992) alikuwa mwanasiasa wa Kenya, mmoja wa viongozi wakuu katika kuchagiza siasa nchini Kenya. Alikuwa mpigania uhuru aliyejulikana na alifanya kampeni kwa ajili ya marejesho ya demokrasia ya vyama vingi nchini Kenya katika miaka yake ya mwisho.\nAlikuwa muhawiliki asiye na mzaha wala huruma na mtu wa amani aliyejihusisha sana kwa siasa. Mmoja wa wanasiasa safi zaidi katika historia ya Kenya , rekodi ambayo inaweza pinzaniwa tu na Musikari Kombo na Ronald Ngala.\nAlikuwa anajulikana kama mmoja wa viongozi bora ambao kamwe hawakuwahi kuwa rais, na kama hangeupa dunia mkono wa buriani, nafasi zilikuwa kwamba angemshinda Daniel Arap Moi kwa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 1992.", "question_text": "Je,Masinde muliro alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 33, "limit_byte": 37}]} {"id": "-5086325660540682902-0", "language": "swahili", "document_title": "Lady Jay Dee", "passage_text": "\nJudith Daines Wambura Mbibo (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Lady Jay Dee; amezaliwa mkoani Shinyanga 15 Juni 1979) ni mwanamuziki wa Bongo Flava-Afro pop kutoka nchini Tanzania[1].", "question_text": "Je,lady Jay Dee alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1979", "start_byte": 122, "limit_byte": 126}]} {"id": "-4061416895239973997-1", "language": "swahili", "document_title": "Kindi-miamba", "passage_text": "Kindi-miamba wanafanana na kindi lakini mkia wao mrefu si mnono kama ule wa kindi. Mwili wao una urefu wa sm 13-18 na mkia ni sm 14 kadiri. Wana miguu mifupi yenye vidole vinne mbele na vitano nyuma. Nyayo zao ni tupu kabisa na zina mafumba. Kichwa chao ni chembamba juu-chini na masikio ni madogo na ya duara. Rangi yao ni kahawia, kijivu au takriban nyeusi ili kuchukuana na rangi ya miamba, lakini pua ni njano na ijitokeza. Hawana malaika. Chuchu zipo mbavuni ili kunyonyesha watoto kutoka upande wakati wamesongamana katika mwanya wa mwamba.", "question_text": "Kindi-miamba ana urefu gani?", "answers": [{"text": "sm 13-18", "start_byte": 106, "limit_byte": 114}]} {"id": "-3130092572185576655-0", "language": "swahili", "document_title": "Sensa", "passage_text": "\nSensa ni utaratibu wa kupata na kutunza habari kuhusu idadi ya watu fulanifulani. Pia ni utaratibu wa mara kwa mara na hesabu rasmi ya idadi ya watu hao. [1] [2] Msamiati hutumiwa zaidi kuhusiana na idadi ya kitaifa na sensa ya mlango kwa mlango (kuchukuliwa kila miaka 10 kulingana na mapendekezo ya Umoja wa Mataifa), na ile ya kilimo na biashara. ", "question_text": "Je sensa hufanyika kila baada ya miaka ngapi nchini Kenya?", "answers": [{"text": "10", "start_byte": 271, "limit_byte": 273}]} {"id": "-3192851069289060528-7", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka 1848 na Dokta Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa.", "question_text": "Kamusi ya kwanza iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ludwig Krapf", "start_byte": 65, "limit_byte": 77}]} {"id": "-3405128971240309570-0", "language": "swahili", "document_title": "Chuo Kikuu cha Strathmore", "passage_text": "Chuo Kikuu cha Strathmore ni chuo cha kibinafsi mjini Nairobi, Kenya. Chuo cha Strathmore kilianzishwa mwaka wa 1961, kama chuo cha kiwango cha sita kinachofunza sayansi na sanaa za masomo, na kundi la wataalamu ambao walianzisha Hisani ya Kielimu inayoaminika sasa (Strathmore Educational Trust). Mtakatifu Josemaría Escrivá, mwanzilishi wa Opus Dei, aliwaongoza na kuwapa moyo kuanzisha chuo hicho hiyo.", "question_text": "Je,chuo kikuu cha Strathmore kilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 112, "limit_byte": 116}]} {"id": "6663060351388890976-1", "language": "swahili", "document_title": "Elijah Masinde", "passage_text": "Masinde alizaliwa kati ya mwaka 1910-1912 katika eneo la Kimilili (leo: wilaya ya Bungoma) karibu na mlima Elgon. Ukoo wake ni Wabukusu ambao ni kati ya koo 18 za Waluhya.", "question_text": "Elijah Masinde alizaliwa katika wilaya gani?", "answers": [{"text": "Bungoma", "start_byte": 82, "limit_byte": 89}]} {"id": "8805185584322719898-0", "language": "swahili", "document_title": "Mtakatifu Paulo", "passage_text": "Mtume Paulo (7-67 hivi) ni mmisionari mkuu wa Yesu Kristo katika historia ya Kanisa.", "question_text": "Paulo wa Tarso alifariki akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "7-67", "start_byte": 13, "limit_byte": 17}]} {"id": "8625767948006528356-26", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Nchini kuna lugha asilia 40 hivi, ambazo zinagawanyika katika makundi makubwa mawili: lugha za Kibantu upande wa kusini na lugha za Kinilo-Sahara upande wa kaskazini. Hata hivyo lugha rasmi ni Kiingereza na Kiswahili.", "question_text": "Je,lugha rasmi ya kitaifa ya Uganda ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiingereza na Kiswahili", "start_byte": 193, "limit_byte": 216}]} {"id": "-5404937973260666760-1", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "Huyu alikuwa mtoto wa Afeni Shakur, ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Black Panther Party. Mama yake Tupac alitolewa jela mwezi mmoja kabla ya kumzaa Tupac. Tupac alikufa mnamo tar. 13 Septemba katika mwaka wa 1996 baada ya kupigwa risasi akiwa anaendesha gari mjini Las Vegas, Nevada, siku saba kabla kifo chake.", "question_text": "Mamake Tupac Shakur anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Afeni Shakur", "start_byte": 22, "limit_byte": 34}]} {"id": "7889332768980319357-7", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Nigeria", "passage_text": "JinaTarehe za uraisiAlikotokaMwanzoMwishoNamna ya kumaliza kipindiAbubakar Tafawa Balewa (Waziri Mkuu)1 Oktoba 196015 Januarii 1966Alipinduliwa na jeshiNorthern People’s CongressNnamdi Azikiwe1 Oktoba 196316 Januari 1966National Council of Nigeria and the CameroonsJohnson Aguiyi-Ironsi16 Januari 196629 Julai 1966Alipinduliwa na jeshijeshiniYakubu Gowon1 Agosti 196626 Julai 1975Alipinduliwa na jeshiJeshiniMurtala Mohammed29 Julai 197513 Februari 1976Kifo baada ya kujeruhiwa na waasi wa kijeshiJeshiniOlusegun Obasanjo13 Februari 19761 Oktoba 1979Alishindwa katika uchaguziJeshiniShehu Shagari1 Oktoba 197931 Desemba 1983Alipinduliwa na jeshiNational Party of NigeriaMuhammadu Buhari31 Desemba 198327 Agosti 1985Alipinduliwa na jeshiJeshiniIbrahim Babangida27 Agosti 198526 Agosti 1993alijiuzuluJeshiniErnest Shonekan26 Agosti 199317 Novemba 1993alijiuzulu(bila chama)Sani Abacha17 Novemba 19938 Juni 1998KifoJeshiniAbdulsalami Abubakar8 Juni 199829 Mei 1999Alishindwa katika uchaguziJeshiniOlusegun Obasanjo29 Mei 199929 Mei 2007Alishindwa katika uchaguziPeople's Democratic PartyUmaru Yar’Adua29 Mei 20075 Mei 2010KifoPeople's Democratic PartyGoodluck Jonathan5 Mei 2010People's Democratic Party", "question_text": "Nani rais wa kwanza wa Nigeria?", "answers": [{"text": "Tafawa", "start_byte": 75, "limit_byte": 81}]} {"id": "4574933817777269287-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je,ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "miezi 22", "start_byte": 82, "limit_byte": 90}]} {"id": "2228221939400939033-0", "language": "swahili", "document_title": "Nuru", "passage_text": "\nNuru (kutoka Kiarabu نور, nur; pia mwanga) ni neno la kutaja mnururisho unaoweza kutambuliwa kwa macho yetu. Kwa lugha ya fizikia ni sehemu ya mawimbi ya sumakuumeme yanayoweza kutambuliwa na jicho. ", "question_text": "Nuru ni nini?", "answers": [{"text": "mnururisho unaoweza kutambuliwa kwa macho yetu", "start_byte": 66, "limit_byte": 112}]} {"id": "1887379790378965040-6", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo20 Julai 514 – 6 Agosti 523Hormisdas\nMtakatifu HormisdasPapa Hormisdas, Episcopus RomanusFrosinone, Lazio, ItaliaBaba mzazi wa Papa Silverius; sikukuu yake ni 6 Agosti13 Agosti 523 – 18 Mei 526Yohane I\nMtakatifu Yohane IPapa Ioannes, Episcopus RomanusToscana, Italia ya KatiSikukuu yake ni 18 Mei12 Julai 526 – 20 au 22 Septemba 530Felix IV\nMtakatifu Felix IVPapa Felix Quartus, Episcopus RomanusSamnium (Italia Kusini)Mara nyingine huhesabiwa kama Felix III20 au 22 Septemba 530 – 17 Oktoba 532Bonifasi IIPapa Bonifacius Secundus, Episcopus RomanusRoma; wazazi wake walikuwa WaostrogothiSikukuu yake ni 22 Septemba2 Januari 533 – 8 Mei 535Yohane IIPapa Ioannes Secundus, Episcopus RomanusMercuriusRomaPapa wa kwanza asiyetumia jina lake la kuzaliwa. Sababu ilikuwa kwamba “Mercurius” ni jina la mungu wa Kiroma.13 Mei 535 – 22 Aprili 536Agapiti I\nAgapitus\nMtakatifu Agapiti IPapa Agapetus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 22 Aprili au 20 Septemba8 Juni 536 – 11 Novemba (?) 537Silverius\nMtakatifu SilveriusPapa Silverius, Episcopus RomanusFrosinoneMwana wa Papa Hormisdas, alipelekwa uhamishoni; sikukuu yake ni 20 Juni.29 Machi 537 – 7 Juni 555VigiliusPapa Vigilius, Episcopus RomanusRoma16 Aprili 556 – 4 Machi 561Pelagius IPapa Pelagius, Episcopus RomanusRoma17 Julai 561 – 13 Julai 574Yohane IIIPapa Ioannes Tertius, Episcopus RomanusCatelinus2 Juni 575 – 30 Julai 579Benedikto IPapa Benedictus, Episcopus RomanusRoma26 Novemba 579 – 7 Februari 590Pelagius IIPapa Pelagius Secundus, Episcopus RomanusRoma3 Septemba 590 – 12 Machi 604Gregori I, O.S.B. (?) \nMtakatifu Gregori I\nGregori MkuuPapa Gregorius Magnus, Episcopus RomanusRomaMwalimu wa Kanisa. Alikuwa Papa wa kwanza kupitia umonaki na kujiita \"Servus servorum Dei\" (yaani, Mtumishi wa watumishi wa Mungu) mbali ya \"Pontifex Maximus\". Sikukuu yake ni 3 Septemba13 Septemba (?) 604 – 22 Februari 606Sabiniani\nPapa Sabinianus, Episcopus RomanusBlera, Viterbo, Italia19 Februari 607 – 10 Novemba 607Bonifasi IIIPapa Bonifacius Tertius, Episcopus RomanusRoma25 Agosti 608 – 8 Mei 615Bonifasi IV, O.S.B.\nMtakatifu Bonifasi IVPapa Bonifacius Quartus, Episcopus RomanusMarsi, Italia Papa wa kwanza aliyetumia jina la papa aliyemtangulia. Sikukuu yake ni 25 Mei19 Oktoba 615 – 8 Novemba 618Adeodatus IPapa Adeodatus,\nau Papa Deusdedit Episcopus RomanusRomaMara nyingine huhesabiwa kama Deusdedit, halafu Papa Adeodatus II huitwa Papa Adeodatus bila namba23 Desemba 619 – 23 Oktoba 625Papa Bonifasi VPapa Bonifacius Quintus, Episcopus RomanusNapoli, Italia27 Oktoba 625 – 12 Oktoba 638Honorius IPapa Honorius, Episcopus RomanusCampaniaOktoba 638/28 Mei 640 – 2 Agosti 640SeverinusPapa Severinus, Episcopus RomanusRomaAgosti au 24 Desemba 640 – 12 Oktoba 642Yohane IVPapa Ioannes Quartus, Episcopus RomanusZadar, Dalmatia, siku hizi Kroatia12 Oktoba au 24 Novemba 642 – 14 Mei 649Theodoro IPapa Theodorus, Episcopus RomanusYerusalemu, Israeli/Palestina5 Julai 649 – 16 Septemba 655Martin I\nMtakatifu Martin IPapa Martinus, Episcopus RomanusTodi, UmbriaMfiadini. Sikukuu yake ni 13 Aprili10 Agosti 654 – 2 Juni 657Eugenio I\nMtakatifu Eugenio IPapa Eugenius, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 2 Juni30 Julai 657 – 27 Januari 672Vitalian\nMtakatifu VitalianPapa Vitalianus, Episcopus RomanusSegni, Lazio, ItaliaSikukuu yake ni 27 Januari au 23 Julai11 Aprili 672 – 16 Juni 676Adeodatus II, O.S.B.Papa Adeodatus Secundus, Episcopus RomanusRomaPengine huhesabiwa kama Papa Adeodatus (bila namba) ikiwa Papa Adeodatus I huitwa Papa Deusdedit2 Novemba 676 – 11 Aprili 678DonusPapa Donus, Episcopus RomanusRoma27 Juni 678 – 10 Januari 681Agatho\nMtakatifu AgathoPapa Agatho, Episcopus RomanusSiciliaSikukuu yake ni 10 Januari au 20 Februari681/682 – 3 Julai 683Leo II\nMtakatifu Leo IIPapa Leo Secundus, Episcopus RomanusSiciliaSikukuu yake ni 3 Julai26 Juni 684 – 8 Mei 685Benedikto II\nMtakatifu Benedikto IIPapa Benedictus Secundus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 7 Mei23 Julai 685 – 2 Agosti 686Yohane VPapa Ioannes Quintus, Episcopus RomanusSyria23 Oktoba 686 – 21 Septemba 687CononPapa Conon, Episcopus Romanus15 Desemba 687 – 7 Septemba 701Sergius I\nMtakatifu Sergius IPapa Sergius, Episcopus RomanusSicilia30 Oktoba 701 – 11 Januari 705Yohane VI\nMtakatifu Yohane VIPapa Ioannes Sextus, Episcopus RomanusSikukuu yake ni 8 SeptembaUgiriki1 Machi 705 – 18 Oktoba 707Yohane VIIPapa Ioannes Septimus, Episcopus RomanusUgiriki15 Januari 708 – 4 Februari 708SisinniusPapa Sisinnius, Episcopus RomanusSyria25 Machi 708 – 9 Aprili 715KonstantinoPapa Constantinus, Episcopus RomanusSyria Papa wa mwisho kutembelea Ugiriki hadi Yohane Paulo II mwaka 200119 Mei 715 – 11 Februari 731Gregori II\nMtakatifu Gregori IIPapa Gregorius Secundus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 11 Februari18 Machi 731 – 28 Novemba 741Gregori IIIPapa Gregorius Tertius, Episcopus RomanusSyria3 Desemba 741 – 15 Machi 752Zakaria\nMtakatifu ZakariaPapa Zacharias, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 15 Machi", "question_text": "Mercurius aliacha kuwa mungu wa dini ya Roma mwaka gani?", "answers": [{"text": "535", "start_byte": 728, "limit_byte": 731}]} {"id": "-4771083073187609313-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Je,Rwanda ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "11,262,564", "start_byte": 339, "limit_byte": 349}]} {"id": "8685579432693691650-2", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkuu ni Abuja ikitanguliwa na Lagos hadi mwaka 1991. ", "question_text": "Mji mkuu wa Nigeria unaitwaje?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "4315555173764944599-28", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Simba jike hubeba ujauzito kwa siku 110, na kisha hujifungua watoto mmoja mpaka wane kwenye sehemu maalumu, mara nyingi mbali na lilipo kundi lake. Mara nyingi huwinda peke yake wakati watoto bado hawajiwezi, wakikaa karibu na watoto huzaliwa wakiwa hawaoni, mpaka baada ya wiki hivi. ", "question_text": "Je simba hubeba mimba kwa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "siku 110", "start_byte": 31, "limit_byte": 39}]} {"id": "-5588117636833296118-0", "language": "swahili", "document_title": "Geline Alfred Fuko", "passage_text": "Geline Alfred Fuko (amezaliwa tar. ) ni mwanamke Mtanzania ambaye ni mtafiti wa katiba na haki za binadamu. Ndiye mtu wa kwanza kutengeneza kanzidata ya katiba ya nchi ambayo inawafikia Watanzania kiurahisi. ", "question_text": "Geline Alfred Fuko ndiye mtu wa kwanza kutengeneza kitu gani?", "answers": [{"text": "kanzidata", "start_byte": 140, "limit_byte": 149}]} {"id": "4319269036013878264-18", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "question_text": "Je,sayari gani ndogo zaidi?", "answers": [{"text": "Utaridi", "start_byte": 150, "limit_byte": 157}]} {"id": "5663267105582917495-4", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(1 Julai 2008)Wakazi kwa km²Mji mkuuAsia ya Kati: Kazakhstan2,724,92715,666,5335.7Astana Kirgizia198,5005,356,86924.3Bishkek Tajikistan143,1007,211,88447.0Dushanbe Turkmenistan488,1005,179,5739.6Ashgabat Uzbekistan447,40028,268,44157.1TashkentAsia ya Mashariki: Uchina9,584,4921,322,044,605134.0Beijing Hong Kong1,0927,903,3346,688.0— Macau25460,82318,473.3— Japani377,835127,288,628336.1Tokyo Taiwan35,98022,920,946626.7Taipei Korea Kaskazini120,54023,479,095184.4Pyongyang Korea Kusini98,48049,232,844490.7Seoul Mongolia1,565,0002,996,0821.7UlaanbaatarAsia ya Kaskazini: Urusi17,075,400142,200,00026.8MoscowAsia ya Kusini-Mashariki: Brunei5,770381,37166.1Bandar Seri Begawan Myanmar676,57847,758,22470.3Pyinmana Kamboja181,03513,388,91074Phnom Penh Timor Mashariki15,0071,108,77773.8Dili Indonesia1,919,440230,512,000120.1Jakarta Laos236,8006,677,53428.2Vientiane Malaysia329,84727,780,00084.2Kuala Lumpur Ufilipino300,00092,681,453308.9Manila Singapuri7044,608,1676,545.7Singapuri Uthai514,00065,493,298127.4Bangkok Vietnam331,69086,116,559259.6HanoiAsia ya Kusini: Afghanistan647,50032,738,77542.9Kabul Bangla Desh147,570153,546,9011040.5Dhaka Bhutan38,394682,32117.8Thimphu Uhindi3,287,2631,147,995,226349.2New Delhi Uajemi1,648,19570,472,84642.8Tehran Maledivi300379,1741,263.3Malé Nepal147,18129,519,114200.5Kathmandu Pakistan803,940167,762,049208.7Islamabad Sri Lanka65,61021,128,773322.0Sri JayawardenapuraAsia ya Magharibi: Armenia29,8002,968,586111.7Yerevan Azerbaijan46,8703,845,12782.0Baku Bahrain665718,306987.1Manama Kupro9,250792,60483.9Nikosia Palestina3631,537,2693,315.7Gaza Georgia20,4604,630,84199.3Tbilisi Irak437,07228,221,18154.9Baghdad Israel20,7707,112,359290.3Yerusalemu Yordani92,3006,198,67757.5Amman Kuwait17,8202,596,561118.5Jiji la Kuwait Libanon10,4523,971,941353.6Beirut Omani212,4603,311,64012.8Muskat Qatar11,437928,63569.4Doha Uarabuni wa Saudia1,960,58223,513,33012.0Riyad Syria185,18019,747,58692.6Dameski Uturuki756,76871,892,80776.5Ankara Falme za Kiarabu82,8804,621,39929.5Abu Dhabi Yemeni527,97023,013,37635.4Sana'aJumla43,810,5824,162,966,08689.07", "question_text": "Nchi kubwa kwa bara la asia ni ipi?", "answers": [{"text": "Urusi", "start_byte": 626, "limit_byte": 631}]} {"id": "-4597385987333221413-1", "language": "swahili", "document_title": "Alizeti", "passage_text": "\nAlizeti inafikia urefu hadi mita 3 na ua lake upana hadi 30 cm.", "question_text": "Alizeti huwa na urefu gani?", "answers": [{"text": "mita 3", "start_byte": 29, "limit_byte": 35}]} {"id": "4308922287294835936-4", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Mji mkuu ni Moscow. ", "question_text": "Mji mkuu wa urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Moscow", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "-7747049771064802721-2", "language": "swahili", "document_title": "Bonnah Kaluwa", "passage_text": "Bonnah alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Kalangala kuanzia 1985 na kuhitimu 1991. Na akaendelea na elimu ya sekondari katika shule ya sekondary Mwenge kuanzia 1992 na kuhitimu 1996. Akajiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha Computer (UCC) na kuhitimu ngazi ya cheti kwenye Business Information and Technology (CBIT) mwaka 2007. Mwaka 2012' alihitimu shahada ya IT and Business Management (BSc IT & BM) kutoka College Learn IT. Akajiunga Centre of Foreign Relations, alihitimu na kutunukiwa Post Graduate Diploma in Management and Foreign Relations ambapo tafiti aliyofanya ilihusu Madhara ya uhamiaji haramu kwenye usalama wa binadamu", "question_text": "Je,Bonnah Moses Kaluwa alisomea shule ya upili gani?", "answers": [{"text": "Mwenge", "start_byte": 162, "limit_byte": 168}]} {"id": "116286619662491889-1", "language": "swahili", "document_title": "Kristine Sutherland", "passage_text": "Alizaliwa na jina la Kristine Young, na akabadilisha jina lake kwa vile mara kwa mara alikuwa anachanganywa jina lake na mwigizaji mwingine mwenye jina sawa na lake. Jina lake la mwisho \"Sutherland\" lilikuwa jina la paka wake, ambaye alimwita jina la \"Donald\" ambalo linatokana na mwigizaji filamu maarufu Donald Sutherland,[1] ambaye, imetokea tu kwa bahati, amecheza awali katika filamu ya Buffy the Vampire Slayer, ambapo lilikuwa jaribio lake la kwanza la Joss Whedon kumleta Buffy katika hali ya wapenzi.[2] Alisoma elimu yake ya juu huko mjini Lexington, Kentucky, ambapo alijisomea masuala ya ugizaji (Tates Creek Drama). Baada ya kuhitimu, akajiunga katika Chuo Kikuu cha Kentucky.", "question_text": "Je,Kristine Sutherland alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Kentucky", "start_byte": 680, "limit_byte": 688}]} {"id": "-1080018887024663942-46", "language": "swahili", "document_title": "Jumuiya ya Afrika Mashariki", "passage_text": "Ziwa Turkana, Kenya, ndiyo ziwa la jangwani kubwa na lenye maji ya chumvi nyingi kuliko yote duniani. ", "question_text": "Je, nchini Kenya kuna ziwa ngapi za maji ya chumvi?", "answers": [{"text": "Ziwa Turkana", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "8483830991188767222-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Bahari ya Mediteranea ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}]} {"id": "5298672210019010044-1", "language": "swahili", "document_title": "Vicensia Fuko", "passage_text": "Vicensia ana shahada ya pili ya sheria katika sheria (LL.M.) ya Mali ya Kimaadili kutoka Chuo Kikuu cha Stockholm na shahada ya kwanza ya sheria (LL.B.) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. ", "question_text": "Je,Vicensia Alfred Fuko alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha Stockholm na shahada ya kwanza ya sheria (LL.B.) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam", "start_byte": 89, "limit_byte": 188}]} {"id": "-9151256215035330406-3", "language": "swahili", "document_title": "Benki ya Kenya Commercial Bank", "passage_text": "Kenya Commercial Bank - Nairobi, Kenya\nKCB Rwanda - Kigali, Rwanda\nKCB Kusini mwa Sudan - Juba, Kusini mwa Sudan\nKCB Tanzania - Dar es Salaam, Tanzania\nKCB Uganda - Kampala, Uganda\nKampuni ya Ufadhili ya KCB - Nairobi, Kenya\nKampuni ya Ufadhili wa Michezo ya KCB - Nairobi, Kenya\nKampuni ya Akiba na Mikopo - Nairobi, Kenya", "question_text": "Je,mji mkuu wa Rwanada ni upi?", "answers": [{"text": "Kigali", "start_byte": 52, "limit_byte": 58}]} {"id": "-3921122756632118888-3", "language": "swahili", "document_title": "Wingu Kubwa la Magellan", "passage_text": "Jina la kimataifa linatokana na nahodha na mpelelezi Mreno Ferdinand Magellan aliyekuwa mtu wa kwanza aliyeleta habari zake Ulaya. ", "question_text": "Ferdinand Magellan alikuwa mtu wa kwanza kufanya nini?", "answers": [{"text": "aliyeleta habari zake Ulaya", "start_byte": 102, "limit_byte": 129}]} {"id": "6126454032674228525-2", "language": "swahili", "document_title": "Jawaharlal Nehru", "passage_text": "Baada ya kurudi Uhindini alimwoa Kamala Kaul aliyemzaa mtoto wake wa pekee Indira Priyadarshini. Indira alimfuata baadaye kuwa waziri mkuu wa Uhindi na baada yake mjukuu wake Nehru Rajiv Gandhi. Katika miaka ya mwisho ya utawala wa Kiingereza Nehru alikuwa na mapenzi na Edwina Mountbatten mke wa mfalme mdogo Louis Mountbatten.", "question_text": "Je,mke wa Jawaharlal Nehru alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Kamala Kaul", "start_byte": 33, "limit_byte": 44}]} {"id": "-4637324563848966540-0", "language": "swahili", "document_title": "Leonardo da Vinci", "passage_text": "\nLeonardo Da Vinci (Vinci, Toscana, Italia, 15 Aprili 1452 – Amboise, Ufaransa, 2 Mei 1519) alikuwa mtu mwenye vipaji vingivingi[1] kutoka nchini Italia. ", "question_text": "Je,nani mwenye kuchora picha maarufu ya Monalisa?", "answers": [{"text": "Leonardo Da Vinci", "start_byte": 1, "limit_byte": 18}]} {"id": "4555289167759595034-0", "language": "swahili", "document_title": "Musa", "passage_text": "\nMusa aliishi miaka 1250 hivi K.K. akawa kiongozi wa Wanaisraeli walipoondoka nchini Misri kukimbilia nchi ya Kanaani (iliyoitwa \"Israeli\" na \"Palestina\" baadaye). ", "question_text": "Nani aliwaongoza wanaisraeli kutoka misri hadi kanani?", "answers": [{"text": "Musa", "start_byte": 1, "limit_byte": 5}]} {"id": "1002630715202384733-11", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa Jua", "passage_text": "\n* Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno \"Zebaki\" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza \"Mercury\" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka katika lugha ya Kiarabu. [2] \n\n** Zuhura - Ng'andu ni sayari ambayo hutambulika kwa jina la Kibantu(Ng'andu) pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu(Zuhura)\n\n*** Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno \"ardhi\" hutumika na waandishi kadhaa badala ya \"dunia\" wakitaka kutaja sayari ya tatu.Jina la sayariKipenyo kwenye ikweta\nkulingana na kipenyo cha dunia = 1 MasiNusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka juaMuda wa mzingo \n(miaka)Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua\n Pembenukta (°)Muda wa siku ya sayari\n(siku)MieziUtaridi \n[3]0.3820.060.3870.2417.0058.60Zuhura (Ng'andu)**0.9490.820.720.6153.39-2430Dunia (Ardhi)***1.001.001.001.000.001.001Mirihi (Murihi, Meriki, Mars)0.530.111.521.881.851.032Mshtarii \n[4]11.23185.2011.861.310.41463Zohari (Zohali, pia Zuhali) \n[5]9.41959.5429.462.480.42649Uranus \n[6] 3.9814.619.2284.010.77-0.71827Neptun \n[7] 3.8117.230.06164.81.770.67113", "question_text": "Je,sayari kubwa zaidi ni ipi?", "answers": [{"text": "Mshtarii", "start_byte": 1100, "limit_byte": 1108}]} {"id": "-8475152101053593252-1", "language": "swahili", "document_title": "Olduvai Gorge", "passage_text": "Bonde la Oltupai (maarufu kwa Kiingereza kama Olduvai Gorge) ni eneo la kiakiolojia linalopatikana katika mkoa wa Arusha nchini Tanzania ambalo ni kati ya yale muhimu zaidi duniani. ", "question_text": "Mabaki ya binadamu wa kwanza yalipatikana nchi gani?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 128, "limit_byte": 136}]} {"id": "-6382975810438754872-0", "language": "swahili", "document_title": "Trevor Noah", "passage_text": "Trevor Noah (amezaliwa tarehe 20 Februari 1984) ni mchekeshaji na mtangazaji wa radio na televisheni kutoka Afrika ya Kusini, maarufu sana kwa utangazaji wake kwenye kipindi cha The Daily Show katika mtandao wa Kimarekani wa Comedy Central tangu Septemba 2015.", "question_text": "Trevor Noah alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Afrika ya Kusini", "start_byte": 108, "limit_byte": 124}]} {"id": "-1044776343459058820-2", "language": "swahili", "document_title": "Utume wa Yesu", "passage_text": "Kwa kawaida wataalamu wa Biblia wanakadiria kwamba mwaka wa kubatizwa ulikuwa kati ya 27 na 29 BK na ule wa kuuawa kati ya 30 na 33.[3]", "question_text": "Yesu Kristo aliishi duniani kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "kati ya 30 na 33", "start_byte": 115, "limit_byte": 131}]} {"id": "-6264443971469502940-16", "language": "swahili", "document_title": "Damu", "passage_text": "Chembechembe nyekundu za damu milioni 4.7 hadi 6.1 (za kiume), milioni 4.2 hadi 5.4 (za kike): [5] Katika mamalia wengi, seli nyekundu za damu zilizokomaa zinakosa kiini na oganeli. Zina himogloboni za damu na husambaza oksijeni. Seli nyekundu za damu (pamoja na seli za vyombo vya endotheli na seli nyingine) pia zimetiwa alama na glaikoprotini ambazo zinatambulisha aina za damu tofauti. Kiwango cha damu kinachomilikiwa na seli nyekundu za damu kinajulikana kama hematokriti, na kwa kawaida ni takriban 45% ya damu. Ukubwa wa eneo la seli zote nyekundu za damu katika mwili wa binadamu zikiwekwa pamoja utakuwa takribani mara 2,000 kubwa zaidi ya sehemu ya nje ya mwili.[6]\nLukosaiti 4,000 hadi 11,000: [7] Seli nyeupe za damu ni sehemu ya mfumo wa kinga; zinaangamiza na kuondoa seli nzee au potovu na mabaki ya chembechembe, na pia hushambulia vikolezo vinavyoleta maambukizi (visababisha magonjwa) na dutu za kigeni. Kansa ya lukosaiti inaitwa lukemia.\nThrombosaiti 200,000 hadi 500,000: [7] thrombosaiti, ambazo pia hujulikana kama chembe za kugandisha damu, zina jukumu kugandisha damu (ugandishaji). Hubadilisha fibrinojeni iwe fibrini. Fibrini hii inaunda wavu ambayo seli nyekundu za damu hukusanyika juu yake na kuganda na hii kuzuia damu zaidi kutoka kwenye mwili na pia husaidia kuzuia bakteria kuingia mwili.", "question_text": "Kuna takriban seli ngapi nyeupe mwilini?", "answers": [{"text": "4,000 hadi 11,000", "start_byte": 687, "limit_byte": 704}]} {"id": "3432942978141574259-0", "language": "swahili", "document_title": "Miaka ya 1960 Nchini Zimbabwe", "passage_text": "Part of a series on theHistory of Zimbabwe\nAncient history Leopard's Kopje c.900–1075 Mapungubwe Kingdom c.1075–1220 Zimbabwe Kingdom c.1220–1450 Mutapa Kingdom c.1450–1760 Torwa dynasty c.1450–1683\nWhite settlement pre-1923 Rozwi Empire c.1684–1834 Matabeleland 1838–1894 Rudd Concession 1888 BSA Company rule 1890–1923 First Matabele War 1893–1894 Second Matabele War 1896–1897 World War I involvement 1914–1918 Colony of Southern Rhodesia 1923–1980 World War II involvement 1939–1945 Malayan Emergency\ninvolvement 1948–1960 Federation with Northern\nRhodesia and Nyasaland 1953–1963 Rhodesian Bush War 1964–1979 Unilateral Declaration of\nIndependence (UDI) 1965 Rhodesia under UDI 1965–1979 Zimbabwe-Rhodesia June–Dec 1979 Lancaster House Agreement Dec 1979 British Dependency 1979–1980 Zimbabwe 1980–present Gukurahundi 1982–1987 Second Congo War 1998–2003 Coup d'état 2017vt", "question_text": "Je, nchi ya Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": " 198", "start_byte": 835, "limit_byte": 839}]} {"id": "-5817136004302750511-7", "language": "swahili", "document_title": "Kiswahili", "passage_text": "Sarufi ya kwanza pamoja na kamusi iliandikwa mwaka 1848 na Dokta Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa.", "question_text": "Kamusi ya kiswahili iliandikwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1848", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "194987565590623807-2", "language": "swahili", "document_title": "Kazakhstan", "passage_text": "Mji mkuu ni Astana; Almaty ilishika nafasi hiyo hadi 1996.", "question_text": "Je, mji mkuu wa Kazakhstan unaitwaje?", "answers": [{"text": "Astana", "start_byte": 12, "limit_byte": 18}]} {"id": "8268811687835420984-23", "language": "swahili", "document_title": "Punda milia", "passage_text": "Kama ilivyo kwa wanyama wengi, punda milia jike hukua haraka kuliko punda milia dume. Jike huweza kupata mtoto akiwa na miaka mitatu tu wakati kwa dume ni mpaka miaka mitano au sita. Jike huweza kupata kila mtoto baada ya miezi kumi na mbili na hukaa na mtoto kwa takribani mwaka mmoja. Kama ilivyo kwa farasi, ndama wa punda milia huweza kusimama, kutembea na kunyonya muda mfupi tu kisha kuzaliwa. Wanapozaliwa ndama wa punda milia huwa na rangi ya kahawia na nyeupe badala ya nyeusi na nyeupe. Ndama na punda milia wa mlimani na wale wa nyikani hutunzwa na mama zao na baba zao pia.", "question_text": "Je,punda hubeba mimba kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miezi kumi na mbili", "start_byte": 222, "limit_byte": 241}]} {"id": "-8485728256568630394-0", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Orodha ya nchi huru na maeneo barani Afrika inafuata kanda za Afrika jinsi zilivyopangwa na Umoja wa Mataifa. Majina ya nchi hutajwa pamoja na maeneo yanayotawaliwa na nchi nje ya Afrika au ambayo yamekuwa sehemu kamili ya nchi nje ya Afrika.", "question_text": "Nchi ya Eritrea inapatikana katika bara gani?", "answers": [{"text": "Afrika", "start_byte": 37, "limit_byte": 43}]} {"id": "6757914291574253263-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "Tanganyika African National Union (TANU) kilikuwa chama kilichotawala Tanganyika na Tanzania hadi muungano wa chama hiki na Chama cha Afro-Shirazi cha Zanzibar ulipounda Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 1977.", "question_text": "TANU ina maana gani?", "answers": [{"text": "Tanganyika African National Union", "start_byte": 0, "limit_byte": 33}]} {"id": "7113505031414952700-43", "language": "swahili", "document_title": "Upofu", "passage_text": "Wengine husoma Breli (au aina isiyotumika sana ya Moon), au kutegemea vitabu vilivyo na mazungumzo au wasomaji au mashine za kusoma, ambazo kubadilisha makala yaliyochapishwa na kuyafanya hotuba au Breli. Wao hutumia kompyuta zilizo na vifaa maalum kama vile skena na maonyesha yanayorudiwa tena ya Breli pamoja na programu maalum zilizotengenezwa kwa ajili ya vipofu, kama vile vifaa vya kuwezesha macho kutambua herufi na visomaji skrini", "question_text": "Vipofu husoma kwa njia gani?", "answers": [{"text": "Breli", "start_byte": 15, "limit_byte": 20}]} {"id": "-8154424425899968061-0", "language": "swahili", "document_title": "Sami Khedira", "passage_text": "\nSami Khedira (alizaliwa 4 Aprili 1987) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama kiungo wa kati katika timu ya Italia Juventus na timu ya taifa ya Ujerumani.", "question_text": "Sami Khedira alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 63, "limit_byte": 72}]} {"id": "-8174358952002145892-0", "language": "swahili", "document_title": "Fasihi simulizi", "passage_text": "Fasihi simulizi ni kazi ya sanaa inayotumia mdomo (tofauti na maandishi kama kwenye fasihi andishi) kama njia kuu maalum ya kufikisha ujumbe. Ni sehemu ya msingi ya utamaduni, na vipengele vyake vingi vinafanya kazi kama katika fasihi kwa jumla.", "question_text": "Nini maana ya fasihi simulizi?", "answers": [{"text": "kazi ya sanaa inayotumia mdomo (tofauti na maandishi kama kwenye fasihi andishi) kama njia kuu maalum ya kufikisha ujumbe", "start_byte": 19, "limit_byte": 140}]} {"id": "-7841854360667248817-41", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria hukadiriwa kuwa na wakazi takriban milioni 180. Inasemekana nusu ya wakazi wote wana umri wa chini ya miaka 14. Hata hivyo ni vigumu kupata namba halisi kwa sababu ya umuhimu wake katika siasa. ", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Nigerian ni ngapi?", "answers": [{"text": "milioni 180", "start_byte": 43, "limit_byte": 54}]} {"id": "2889434166977183286-0", "language": "swahili", "document_title": "Hip hop", "passage_text": "Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]", "question_text": "Muziki wa hip hop ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "3278166024436092163-0", "language": "swahili", "document_title": "Juice", "passage_text": "Juice ni filamu ya hood yenye maigizo ya uhalifu iliyotolewa mnamo mwaka wa 1992. Ndani yake anakuja rapa Tupac Shakur na Omar Epps wakiwa kama wahusika wakuu wa filamu hii. Wahusika wengine ni pamoja na Jermaine \"Huggy\" Hopkins, Khalil Kain, Samuel L. Jackson, na kutoa taswira za mwonekano wa baadhi ya wasanii kama vile Queen Latifah, EPMD, Special Ed, Ed Lover, Dr. Dre, Flex Alexander, Fab Five Freddy, na Treach. Filamu imeongozwa na mwanasinematografia Ernest R. Dickerson ambaye ameongoza na kuandika baadhi ya filamu zingine za Hollywood kama vile Surviving the Game na Bulletproof vilevile baadhi ya mifululizo ya vipindi vya televisheni kama vile ER na The Wire.", "question_text": "Je,nani mwandishi wa filamu ya Juice?", "answers": [{"text": "Ernest R. Dickerson", "start_byte": 461, "limit_byte": 480}]} {"id": "4669886989937144603-0", "language": "swahili", "document_title": "Lucky Dube", "passage_text": "Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans katika kipindi cha miaka 25-na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi kabisa. [2] [3] Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville huko Johannesburg jioni ya 18 Oktoba, mwaka 2007. [3] [4] [5]", "question_text": "Lucky Dube alikuwa wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Afrika Kusini", "start_byte": 109, "limit_byte": 122}]} {"id": "-3269904522523960198-0", "language": "swahili", "document_title": "Katiba", "passage_text": "Katiba ni sheria au kanuni zinazoaInisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao. ", "question_text": "Katiba ina maana gani?", "answers": [{"text": "sheria au kanuni zinazoaInisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao", "start_byte": 10, "limit_byte": 107}]} {"id": "8444644560924162897-19", "language": "swahili", "document_title": "Vietnam", "passage_text": "Kwa jumla kuna wakazi milioni 86.5 million.", "question_text": "Je,idadi ya watu nchini Vietnam ni ngapi?", "answers": [{"text": "86.5 million", "start_byte": 30, "limit_byte": 42}]} {"id": "2726620305490008065-2", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\n\n\nEneo lake ni kilometa za mraba milioni 179.7 ambayo si bahari kubwa tu bali pia ni eneo kubwa kuliko nchi kavu yote duniani: ni karibu nusu ya uso wa dunia.", "question_text": "Je,bahari ya Pasifiki ina ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "ilioni 179.7", "start_byte": 35, "limit_byte": 47}]} {"id": "657668086407336700-3", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Nigeria ilipata huru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "5274578571298335289-2", "language": "swahili", "document_title": "Ukraine", "passage_text": "Mji mkuu ni Kiev (Kyiv).", "question_text": "Mji mkuu wa Ukraine ni upi?", "answers": [{"text": "Kiev", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "6642859242536133753-0", "language": "swahili", "document_title": "Kleopatra", "passage_text": "Kleopatra (* 69 KK; † 30 KK) alikuwa malkia wa mwisho wa Misri. Alipata elimu nzuri hadi kusema lugha nyingi kama vile Kikopti, Kiarabu, Kiaramo, Kihabeshi, Kifarsi na Kigiriki kama lugha ya mama.", "question_text": "Malkia Kleopatra alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "69 KK", "start_byte": 13, "limit_byte": 18}]} {"id": "1795386698712864374-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Je,Christiano Ronaldo ni raia wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Ureno", "start_byte": 146, "limit_byte": 151}]} {"id": "-579185264872067908-1", "language": "swahili", "document_title": "Kipimajoto", "passage_text": "Ugunduzi wa kipimajoto umechangiwa na Galileo, ingawa aina ya kipimajoto kilichozibwa hakikuwepo mpaka mwaka 1650. Vipimajoto vya kisasa vinavyotumia spiriti na zebaki viliundwa na mjerumani Gabriel Fahrenheit ambaye pia alipendekeza kipimio cha jotoridi, kilichoitwa kwa jina lake - Fahrenheit, ambapo 32o F ni jotoridi la kuganda kwa maji na 212o F ni jotoridi la kuchemka kwa maji katika mkandamizo wa hewa wa kawaida. Vipimio vingi vilipendekezwa tangu muda wake. Katika kipimio cha centigrade au celsius, kilichobuniwa na mnajimu wa kiswideni Anders Celsius, ndicho kinachotumika sana dunia. Katika kipimio hiki maji huganda katika 0o C na huchemka katika 100o C.", "question_text": "Nani alizindua chombo cha kupima joto?", "answers": [{"text": "Galileo", "start_byte": 38, "limit_byte": 45}]} {"id": "-5095073127228966795-0", "language": "swahili", "document_title": "Uhuru Kenyatta", "passage_text": "Uhuru Muigai Kenyatta (amezaliwa 26 Oktoba 1961) ni mwanasiasa nchini Kenya ambaye amekuwa rais wa nne na wa sasa wa Jamhuri ya Kenya. Baada ya kuongoza nchi, ameshinda uchaguzi mkuu wa Agosti 2017 lakini mahakama kuu ikaamua na kuamuru na kudai urudiwe, marudio ambayo licha ya kujiondoa kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga, Kenyatta aliibuka mshindi kwa asilimia tisini na nane. Hatimaye alitangazwa rasmi kuwa mshindi na kuapishwa kwa kipindi chake cha pili kwa mujibu wa sheria.", "question_text": "Je,rais Uhuru Kenyatta alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "-6597529835149380950-1", "language": "swahili", "document_title": "Theluji", "passage_text": "Theluji haipatikani kwa halijoto juu ya 0 C°. Katika Afrika inaweza kutokea tu kwenye milima mirefu kama mlima Kilimanjaro na \nMlima Kenya.", "question_text": "Mlima gani una theluji nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Mlima Kenya", "start_byte": 128, "limit_byte": 139}]} {"id": "2713368108439551888-0", "language": "swahili", "document_title": "The Way You Look Tonight", "passage_text": "\"The Way You Look Tonight\" ni wimbo uliotokea katika filamau ya Swing Time. Wimbo huu kwanza uliimbwa na Fred Astaire. Wimbo huu pia ulipata tuzo ya Academy Award for Best Original Song mwaka 1936. Wimbo huu ulitungwa na Jerome Kern na kupewa mashairi na Dorothy Fields. Baadaye Fields alisema kuwa \"Kwa mara ya kwanza wakati Jerry aliponiimbia wimbo huu nilitoka nje na kuanza kulia, uzuri wa wimbo huu sikuweza kujiuzia, ni mzuri kupita kiasi, sikiweza kujizuia, ni mzuri kupita kiasi. ", "question_text": "Je,wimbo wa Fred Astaire wa The Way You Look Tonight uliimbwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1936", "start_byte": 194, "limit_byte": 198}]} {"id": "6728963018732298667-0", "language": "swahili", "document_title": "Ndui", "passage_text": "Ndui (ing. smallpox) ilikuwa ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na aina mbili za virusi: Variola major na Variola minor.", "question_text": "Variola major ni nini?", "answers": [{"text": "virusi", "start_byte": 83, "limit_byte": 89}]} {"id": "-3336135898140721383-1", "language": "swahili", "document_title": "Ali Hassan Mwinyi", "passage_text": "Ali Hassan Mwinyi (amezaliwa 8 Mei 1925) alikuwa Rais wa Pili wa Tanzania kuanzia 1985 hadi 1995. Aliyemtangulia ni Mwalimu Julius Nyerere, na aliyemfuata ni Benjamin Mkapa. ", "question_text": "Rais wa pili wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Ali Hassan Mwinyi", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "-1035278290592840597-1", "language": "swahili", "document_title": "Fransisko wa Asizi", "passage_text": "Alizaliwa mwaka 1181 au 1182 mjini Assisi, Italia; alifariki tarehe 3 Oktoba 1226 karibu na mji ule.", "question_text": "Fransisko wa Asizi alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1181 au 1182", "start_byte": 16, "limit_byte": 28}]} {"id": "570089103175777192-0", "language": "swahili", "document_title": "Carleton Gajdusek", "passage_text": "Carleton Gajdusek (amezaliwa 9 Septemba 1923) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine hasa alichunguza maradhi za neva. Mwaka wa 1976, pamoja na Baruch Blumberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.", "question_text": "Carleton Gajdusek alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1923", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "8783576001706983442-0", "language": "swahili", "document_title": "Wasukuma", "passage_text": "Wasukuma ni kabila kubwa zaidi nchini Tanzania: linakadiriwa kufikia watu milioni 7, idadi inayowakilisha asilimia 16 ya wakazi wa nchi kwa ujumla. ", "question_text": "Kabila lenye idadi kubwa ya watu nchini Tanzania ni lipi?", "answers": [{"text": "Wasukuma", "start_byte": 0, "limit_byte": 8}]} {"id": "2819928435168369155-0", "language": "swahili", "document_title": "CNN", "passage_text": "\nCable News Network (Kifupi: CNN) ni stesheni ya runinga inayotangaza habari iliyoanzishwa na Ted Turner mnamo 1980.[1] CNN ilikuwa stesheni ya kwanza inayotangaza habari masaa 24.[2] Makao yake makuu yako mjini Atlanta, ingawa ina vituo vingine mjini New York, Washington, D.C. na Los Angeles. Kauli yake mbiu ni The Worldwide Leader in News.", "question_text": "Je,stesheni ya televisheni ya CNN ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 111, "limit_byte": 115}]} {"id": "126463401222242572-0", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "\nRaila Amolo Odinga (*7 Januari 1945) ni mwanasiasa wa upinzani nchini Kenya na tangu 13 Aprili 2008 waziri mkuu nchini humo hadi 2013. Aliwahi kuwa mbunge tangu 1992 na waziri katika serikali ya rais Mwai Kibaki kati ya 2001 hadi 2005. Katika uchaguzi wa mwaka 2007 alikuwa mgombea wa urais upande wa Orange Democratic Movement (ODM). Ajulikana kote Kenya kwa jina la la kwanza Raila. Waluo wenzake hupenda kumwita \"Agwambo\".", "question_text": "Raila Odinga alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "-7753550702808917858-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Je,bara Hindi ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "70,560,000 km²", "start_byte": 61, "limit_byte": 76}]} {"id": "8357428115998705884-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,Barack Obama alipata kuwa rais wa Marekani kupitia chama gani ya kisiasa?", "answers": [{"text": "Democrat", "start_byte": 2732, "limit_byte": 2740}]} {"id": "-3233656055496714663-0", "language": "swahili", "document_title": "Hussein ibn Ali", "passage_text": "\nHussein ibn Ali[1] (ar. حسين بن علي‎\n, *11 au 13 Januari 626 BK – 10 Oktoba 680 BK, au 3 Shaabani 4 BH - 10 Muharram 61 BH) (3 شعبان 4 هـ - 10 محرم 61 هـ ) alikuwa mjukuu wa Mtume Muhammad akitazamiwa kama imamu wa kwanza wa Washia. Alizaliwa mjini Makka, babake alikuwa Ali ibn Abi Talib (khalifa wa nne na mamake Fatimah Zahra binti wa Muhammad. Kakaye alikuwa Hasan ibn Ali imamu wa pili wa Washia.", "question_text": "Imamu wa kwanza anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Hussein ibn Ali", "start_byte": 1, "limit_byte": 16}]} {"id": "7734783558142426293-0", "language": "swahili", "document_title": "Safaricom", "passage_text": "Safaricom, ni kampuni ya mtandao inayoongoza nchini Kenya. ilianzishwa mwaka wa 1997 kama raslimali ya Telkom Kenya. Mwezi Mei mwaka wa 2000, kudi la Vodafone PIC kutoka Uingereza, ambalo ndilo kampuni kubwa la mawasiliano duniani, lilimiliki asilimia 40 ya kampuni na usimamizi wa majukumu ya kampuni.", "question_text": "Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "-49485611174756380-0", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "\nCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH, ComM (matamshi ya Kireno: [kɾiʃ'tjɐnu ʁunaɫdu]; alizaliwa 5 Februari 1985) ni mtaalamu wa soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa. ", "question_text": "Mwanasoka Christiano Ronaldo alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "549211566160277243-0", "language": "swahili", "document_title": "NATO", "passage_text": "NATO ni kifupi cha North Atlantic Treaty Organisation (Kifaransa: OTAN, Organisation du Traité de l'Atlantique Nord) au Jumuiya ya Mkataba wa Atlantiki ya Kaskazini ambayo ni ushirikiano wa kujihami ya kambi ya magharibi. Inaunganisha nchi nyingi za Ulaya pamoja na Marekani na Kanada. Nchi wanachama zimeahidi kuteteana kama moja inashambuliwa na nje. Makao makuu yapo Brussels.", "question_text": "Je, mfumo wa NATO ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 267, "limit_byte": 275}]} {"id": "4093843674853561451-1", "language": "swahili", "document_title": "Japani", "passage_text": "Nchi ina eneo la km² 377.944; na wakazi milioni 127; idadi hiyo imeanza kupungua. ", "question_text": "Japani iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 127", "start_byte": 41, "limit_byte": 52}]} {"id": "-6261053751535797654-0", "language": "swahili", "document_title": "Kipanya (kompyuta)", "passage_text": "Kipanya cha kompyuta (pia: puku) ni kifaa cha kuingizia data katika tarakilishi. ", "question_text": "Puku ni nini?", "answers": [{"text": "kifaa cha kuingizia data katika tarakilishi", "start_byte": 36, "limit_byte": 79}]} {"id": "8621726580339434415-1", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Natron", "passage_text": "Ziwa hilo hulishwa na mto Ewaso Ng'iro wa Kusini na pia chemchemi zilizo tajiri kwa madini ambazo ni kina kabisa. Ziwa hili lina kina cha chini ya mita tatu (futi 10), na upana wake hutofautiana kwani hutegemea kiwango cha maji. ", "question_text": "Ziwa Natron lina kina kiasi gani?", "answers": [{"text": "chini ya mita tatu", "start_byte": 138, "limit_byte": 156}]} {"id": "583791999292487506-5", "language": "swahili", "document_title": "Mbinu ya rediokaboni", "passage_text": "Mbinu hii ya upimaji iligunduliwa mnamo 1946 na mtaalamu Mmarekani Willard Frank Libby aliyepokea tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka 1960. Libby aliweza kuonyesha usahihi wa mbinu yake kwa kutambua umri wa mbao za jeneza na za boti ya Misri ya Kale. Jeneza na boti zilihifadhiwa katika makaburi ya Misri ambako vitu vingi vimekaa tangu miaka elfu kadhaa bila kuoza kutokana na hewa kame ya nchi hiyo. Hali nzuri ya yaliyomo katika makaburi ya Misri imetunza pia maandiko juu ya vitu hivyo ambayo mara nyingi pia hutaja mwaka wa kifo cha mhusika wa kaburi, na hivyo kutaja umri wa kaburi. Upimaji wa Libby ulilingana na umri uliojulikana tayari, hivyo kuthibitisha uwezo wa mbinu yake.[1]", "question_text": "Mbinu ya rediokaboni ilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1946", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "-4220085927086205033-5", "language": "swahili", "document_title": "Mwangaza unaoonekana", "passage_text": "Kwa mfano nyota ya Sumbula ina magnitudo ya mag +1,04. Rijili ya Jabari inayojulikana pia kama Rigel ina mwangaza unaoonekana wa mag +0.12 na hapa tunaona ni kati ya nyota ng'avu zaidi kwenye anga.", "question_text": "Je ni nyota gani yenye mwangaza zaidi?", "answers": [{"text": "Sumbula", "start_byte": 19, "limit_byte": 26}]} {"id": "1473248937430313466-0", "language": "swahili", "document_title": "When You Tell Me That You Love Me", "passage_text": "\"When You Tell Me That You Love Me\" ni wimbo uliotoka kama single kwa mwaka 1991 kutoka kwa mwanamuziki wa nchini Marekani anayeitwa Diana Ross. Baadae wimbo huu uliweza kurudiwa kuimbwa na wanamuziki mbalimbali.", "question_text": "Wimbo wa The Way You Look Tonight ulirekodiwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}]} {"id": "-6787987253069259101-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Je, Tupac Shakur alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "3651491390128586932-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je,mlima mrefu zaidi Afrika ni upi?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "3827500151986761298-9", "language": "swahili", "document_title": "Chad", "passage_text": "Wakazi walikuwa 10,329,208 mwaka 2009.", "question_text": "Je nchi ya Chad ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "10,329,208", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}]} {"id": "1149893073621533937-0", "language": "swahili", "document_title": "Otto von Bismarck", "passage_text": "\nOtto von Bismarck (1 Aprili 1815 – 30 Julai 1898) alikuwa mwanasiasa mashuhuri wa Ujerumani katika karne ya 19. ", "question_text": "Otto Von Bismarck alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "1898", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-9012587028020259042-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Shinyanga", "passage_text": "Kabla ya kumegwa upande wa mashariki na kuzaa mkoa wa Simiyu Shinyanga ilikuwa na wakazi 2,796,630 kufuatana na sensa ya mwaka 2002. .", "question_text": "Je,mkoa wa Shinyanga ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,796,630", "start_byte": 89, "limit_byte": 98}]} {"id": "5311945827639342809-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu mkubwa zaidi Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Mau", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "3102827338787356604-6", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya mapapa", "passage_text": "Miaka ya upapaJina rasmiJina la KilatiniJina la kuzaliwaMahali pa kuzaliwaMaelezo20 Julai 514 – 6 Agosti 523Hormisdas\nMtakatifu HormisdasPapa Hormisdas, Episcopus RomanusFrosinone, Lazio, ItaliaBaba mzazi wa Papa Silverius; sikukuu yake ni 6 Agosti13 Agosti 523 – 18 Mei 526Yohane I\nMtakatifu Yohane IPapa Ioannes, Episcopus RomanusToscana, Italia ya KatiSikukuu yake ni 18 Mei12 Julai 526 – 20 au 22 Septemba 530Felix IV\nMtakatifu Felix IVPapa Felix Quartus, Episcopus RomanusSamnium (Italia Kusini)Mara nyingine huhesabiwa kama Felix III20 au 22 Septemba 530 – 17 Oktoba 532Bonifasi IIPapa Bonifacius Secundus, Episcopus RomanusRoma; wazazi wake walikuwa WaostrogothiSikukuu yake ni 22 Septemba2 Januari 533 – 8 Mei 535Yohane IIPapa Ioannes Secundus, Episcopus RomanusMercuriusRomaPapa wa kwanza asiyetumia jina lake la kuzaliwa. Sababu ilikuwa kwamba “Mercurius” ni jina la mungu wa Kiroma.13 Mei 535 – 22 Aprili 536Agapiti I\nAgapitus\nMtakatifu Agapiti IPapa Agapetus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 22 Aprili au 20 Septemba8 Juni 536 – 11 Novemba (?) 537Silverius\nMtakatifu SilveriusPapa Silverius, Episcopus RomanusFrosinoneMwana wa Papa Hormisdas, alipelekwa uhamishoni; sikukuu yake ni 20 Juni.29 Machi 537 – 7 Juni 555VigiliusPapa Vigilius, Episcopus RomanusRoma16 Aprili 556 – 4 Machi 561Pelagius IPapa Pelagius, Episcopus RomanusRoma17 Julai 561 – 13 Julai 574Yohane IIIPapa Ioannes Tertius, Episcopus RomanusCatelinus2 Juni 575 – 30 Julai 579Benedikto IPapa Benedictus, Episcopus RomanusRoma26 Novemba 579 – 7 Februari 590Pelagius IIPapa Pelagius Secundus, Episcopus RomanusRoma3 Septemba 590 – 12 Machi 604Gregori I, O.S.B. (?) \nMtakatifu Gregori I\nGregori MkuuPapa Gregorius Magnus, Episcopus RomanusRomaMwalimu wa Kanisa. Alikuwa Papa wa kwanza kupitia umonaki na kujiita \"Servus servorum Dei\" (yaani, Mtumishi wa watumishi wa Mungu) mbali ya \"Pontifex Maximus\". Sikukuu yake ni 3 Septemba13 Septemba (?) 604 – 22 Februari 606Sabiniani\nPapa Sabinianus, Episcopus RomanusBlera, Viterbo, Italia19 Februari 607 – 10 Novemba 607Bonifasi IIIPapa Bonifacius Tertius, Episcopus RomanusRoma25 Agosti 608 – 8 Mei 615Bonifasi IV, O.S.B.\nMtakatifu Bonifasi IVPapa Bonifacius Quartus, Episcopus RomanusMarsi, Italia Papa wa kwanza aliyetumia jina la papa aliyemtangulia. Sikukuu yake ni 25 Mei19 Oktoba 615 – 8 Novemba 618Adeodatus IPapa Adeodatus,\nau Papa Deusdedit Episcopus RomanusRomaMara nyingine huhesabiwa kama Deusdedit, halafu Papa Adeodatus II huitwa Papa Adeodatus bila namba23 Desemba 619 – 23 Oktoba 625Papa Bonifasi VPapa Bonifacius Quintus, Episcopus RomanusNapoli, Italia27 Oktoba 625 – 12 Oktoba 638Honorius IPapa Honorius, Episcopus RomanusCampaniaOktoba 638/28 Mei 640 – 2 Agosti 640SeverinusPapa Severinus, Episcopus RomanusRomaAgosti au 24 Desemba 640 – 12 Oktoba 642Yohane IVPapa Ioannes Quartus, Episcopus RomanusZadar, Dalmatia, siku hizi Kroatia12 Oktoba au 24 Novemba 642 – 14 Mei 649Theodoro IPapa Theodorus, Episcopus RomanusYerusalemu, Israeli/Palestina5 Julai 649 – 16 Septemba 655Martin I\nMtakatifu Martin IPapa Martinus, Episcopus RomanusTodi, UmbriaMfiadini. Sikukuu yake ni 13 Aprili10 Agosti 654 – 2 Juni 657Eugenio I\nMtakatifu Eugenio IPapa Eugenius, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 2 Juni30 Julai 657 – 27 Januari 672Vitalian\nMtakatifu VitalianPapa Vitalianus, Episcopus RomanusSegni, Lazio, ItaliaSikukuu yake ni 27 Januari au 23 Julai11 Aprili 672 – 16 Juni 676Adeodatus II, O.S.B.Papa Adeodatus Secundus, Episcopus RomanusRomaPengine huhesabiwa kama Papa Adeodatus (bila namba) ikiwa Papa Adeodatus I huitwa Papa Deusdedit2 Novemba 676 – 11 Aprili 678DonusPapa Donus, Episcopus RomanusRoma27 Juni 678 – 10 Januari 681Agatho\nMtakatifu AgathoPapa Agatho, Episcopus RomanusSiciliaSikukuu yake ni 10 Januari au 20 Februari681/682 – 3 Julai 683Leo II\nMtakatifu Leo IIPapa Leo Secundus, Episcopus RomanusSiciliaSikukuu yake ni 3 Julai26 Juni 684 – 8 Mei 685Benedikto II\nMtakatifu Benedikto IIPapa Benedictus Secundus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 7 Mei23 Julai 685 – 2 Agosti 686Yohane VPapa Ioannes Quintus, Episcopus RomanusSyria23 Oktoba 686 – 21 Septemba 687CononPapa Conon, Episcopus Romanus15 Desemba 687 – 7 Septemba 701Sergius I\nMtakatifu Sergius IPapa Sergius, Episcopus RomanusSicilia30 Oktoba 701 – 11 Januari 705Yohane VI\nMtakatifu Yohane VIPapa Ioannes Sextus, Episcopus RomanusSikukuu yake ni 8 SeptembaUgiriki1 Machi 705 – 18 Oktoba 707Yohane VIIPapa Ioannes Septimus, Episcopus RomanusUgiriki15 Januari 708 – 4 Februari 708SisinniusPapa Sisinnius, Episcopus RomanusSyria25 Machi 708 – 9 Aprili 715KonstantinoPapa Constantinus, Episcopus RomanusSyria Papa wa mwisho kutembelea Ugiriki hadi Yohane Paulo II mwaka 200119 Mei 715 – 11 Februari 731Gregori II\nMtakatifu Gregori IIPapa Gregorius Secundus, Episcopus RomanusRomaSikukuu yake ni 11 Februari18 Machi 731 – 28 Novemba 741Gregori IIIPapa Gregorius Tertius, Episcopus RomanusSyria3 Desemba 741 – 15 Machi 752Zakaria\nMtakatifu ZakariaPapa Zacharias, Episcopus RomanusUgirikiSikukuu yake ni 15 Machi", "question_text": "Mercurius alianza kuwa mungu wa dini ya Roma mwaka gani?", "answers": [{"text": "533", "start_byte": 714, "limit_byte": 717}]} {"id": "9212167723862498799-4", "language": "swahili", "document_title": "Cristiano Ronaldo", "passage_text": "Alizaliwa na kukulia kwenye kisiwa cha Madeira, Ureno, alipata ugonjwa wa moyo akiwa na umri wa miaka 15. Alipata operesheni ya kutibu hali yake, na kuanza kazi yake ya mpira wa miguu katik klabu ya Sporting CP, kabla ya kusaini Manchester United akiwa na miaka 18 ndaniya mwaka 2003.", "question_text": "Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro GOIH alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Madeira, Ureno", "start_byte": 39, "limit_byte": 53}]} {"id": "-421751056640633769-32", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "China ikiwa na wakazi milioni 1,376 ni nchi yenye watu wengi zaidi duniani. Historia yake yote iliona tena na tena vipindi vya njaa kutokana na idadi kubwa ya watu wake. Msongamano wa watu kwa wastani ni wakazi 145 kwa kilomita ya mraba. Lakini tofauti ziko kubwa kati ya miji mikubwa ambako milioni 115 wanakaa kwenye eneo la km² 50,000 na Tibet yenye watu 2 tu kwa kilomita ya mraba.", "question_text": "Je, China ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 1,376", "start_byte": 22, "limit_byte": 35}]} {"id": "-3944518796548002352-11", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "mwanzo kama koloni la kampuni binafsi (Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki) kuanzia 1885 hadi kuporomoka kwa utawala wake mnamo 1890\nkoloni la Dola la Ujerumani (kwa Kijerumani Deutsches Reich) kuanzia 1891\nmwisho wa utawala wa Kijerumani wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia kuanzia mwaka 1916 wakati jeshi kubwa la Uingereza na Afrika Kusini pamoja na Ubelgiji lilivamia, hadi kusalimu amri kwa jeshi la Schutztruppe kwenye Novemba 1918", "question_text": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1891", "start_byte": 212, "limit_byte": 216}]} {"id": "-4244066478043549249-0", "language": "swahili", "document_title": "Lambo la Magenge Matatu", "passage_text": "\n\nLambo la Magenge Matatu ni lambo kubwa nchini China katika eneo la magenge matatu ya mto Changjiang (Yangtse). Ni kati ya malambo makubwa kabisa duniani ikizalisha kiasi kikubwa cha nguvu ya umememaji kati ya malambo yote (22,250 megawati).", "question_text": "Je, Lambo kubwa ulimwenguni linaitwaje?", "answers": [{"text": "Magenge Matatu", "start_byte": 11, "limit_byte": 25}]} {"id": "-2955307439957572847-0", "language": "swahili", "document_title": "Ziwa Viktoria", "passage_text": "\n\n\n\n\n\nZiwa Viktoria (pia: Viktoria Nyanza, Ziwa Nyanza) ni ziwa kubwa la Afrika ya Mashariki lililopo baina ya Tanzania, Kenya na Uganda. Ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika, na la pili duniani, baada ya Ziwa Superior ambalo lipo Amerika ya Kaskazini. ", "question_text": "Je,Ziwa gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Superior", "start_byte": 213, "limit_byte": 221}]} {"id": "-974353110311325168-0", "language": "swahili", "document_title": "Kirsten Prout", "passage_text": "Kirsten Prout (amezaliwa Septemba 28, 1990) ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Kanada ambaye kazaliwa mjini Vancouver, British Columbia. Alipata kucheza katika mfululizo wa TV ya ABC Family, Kyle XY alicheza kama Amanda Bloom. Vilevile anajulikana kwa kucheza kama Charlotte \"Char\" Chamberlin kwenye igizo la vijana la ABC Family,  The Lying Game na Abby kwenye Elektra.", "question_text": "Kirsten Prout alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "7128928393584397513-13", "language": "swahili", "document_title": "Jokate Mwegelo", "passage_text": "Jokate hakujulikana kujishughulisha na siasa hadi mwaka 2017 alipoteuliwa na Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) kuongoza Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya umoja huu akiwa kaimu katibu wa idara hii. Yeye mwenyewe alitaja maarifa ya utoto wake alipohamasishwa na bibi yake aliyekuwa mwasisi wa Umoja wa Walimu Tanzania katika Mkoa wa Rukwa kuona ni muhimu kujitoa katika jamii na kuchukua nafasi za uongozi. [19] Wakati ule magazeti yalileta taarifa kuwa uteuzi wake ulipingwa na sehemu ya viongozi wa umoja huu.[20]", "question_text": "Je,Jokate Mwegelo alijiunga na siasa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "-5271399412067486388-3", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Kwa jumla kuna elementi 116 zinazojulikana katika Kemia zimo katika jedwali la elementi linaloitwa pia \"mfumo radidia\".", "question_text": "Kuna elementi ngapi ?", "answers": [{"text": "116", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}]} {"id": "-2901019993204592561-0", "language": "swahili", "document_title": "YouTube", "passage_text": "\nYouTube ni tovuti ya kushirikisha video ambazo watumiaji wanaweza kuzinakili na kuzigawa kwa wengine. Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal waliunda YouTube mnamo Februari 2005. [1]", "question_text": "Nani mwanzilishi wa mtandao wa kijamii ya youtube?", "answers": [{"text": "Wafanyakazi watatu wa zamani wa PayPal", "start_byte": 103, "limit_byte": 141}]} {"id": "8110676018049289946-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Je ni nchi gani kubwa bara Afrika?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 90, "limit_byte": 97}]} {"id": "9135676851565960606-2", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Ziwa kubwa kabisa ulimwenguni, bahari ya Kazwini (Caspian Sea) lenye eneo la kilomita za mraba 394,299 (maili za mraba 152,239) vile vile liko Asia kati ya ya nchi hizi: Azerbaijan, Urusi, Kazakhstan, Turkmenistan, na Uajemi.", "question_text": "Je, ziwa kubwa zaidi barani Asia linaitwaje?", "answers": [{"text": "bahari ya Kazwini", "start_byte": 31, "limit_byte": 48}]} {"id": "-1502067257765127435-1", "language": "swahili", "document_title": "Urusi", "passage_text": "Kwa eneo ni nchi kubwa kuliko zote duniani, ikiwa na km² 17,075,400.", "question_text": "Urusi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 17,075,400", "start_byte": 53, "limit_byte": 68}]} {"id": "-1584985754397578900-3", "language": "swahili", "document_title": "Arusha (mji)", "passage_text": "Mji huu ni makao makuu ya Mkoa wa Arusha. Kiutawala eneo la jiji la Arusha ni sawa na eneo la Wilaya ya Arusha Mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Arusha Mjini (Jiji la Arusha) ilihesabiwa kuwa 416,442[2]", "question_text": "Je,Arusha ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "416,442", "start_byte": 222, "limit_byte": 229}]} {"id": "-8135327814329734422-3", "language": "swahili", "document_title": "Jengo la Empire State", "passage_text": "feleji tani 55,000 kwa kiunzi chake\nmatofali milioni 10\nnyaya za umeme kilomita 760\nmabomba ya maji kilomita 96\nnyaya za simu kilomita 5600\nmadirisha 6379\nofisi 6,000 kwa wapangaji 850\neneo la mita za mraba 715,000 za ofisi\nuzani wa jumla tani 331,000\nvyoo zaidi ya 1100\nnyanyu (lifti) 73\nghorofa 102\nngazi 1860 kuanzia barabara hadi kilele", "question_text": "Empire State Building ina maghorofa mangapi?", "answers": [{"text": "102", "start_byte": 297, "limit_byte": 300}]} {"id": "-4919014680176250127-0", "language": "swahili", "document_title": "Shane Filan", "passage_text": "Shane Steven Filan (amezaliwa tar. 5 Julai 1979) ni msanii wa muziki wa pop kutoka nchini Ireland. Huyu ndiye mwimbaji kiongozi wa kundi la Westlife. Filan ni moja ya waimbaji watano wa asili wa kundi la hili, akiwa na wenzake,\nKian Egan, Mark Feehily na Nicky Byrne na aliyekuwa mwenzao Brian McFadden.", "question_text": "Je,nani kiongozi wa kundi la muziki la Westlife?", "answers": [{"text": "Shane Steven Filan", "start_byte": 0, "limit_byte": 18}]} {"id": "5398369491032614668-17", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika", "passage_text": "Mwaka 1964 imeunganika na Zanzibar kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. ", "question_text": "Je, Tanzania ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "2615738715535467671-2", "language": "swahili", "document_title": "Murder Was the Case", "passage_text": "Tupac Shakur alilipwa $200,000 na mmiliki wa Death Row Records Suge Knight kurekodi wimbo kwa ajili ya albamu hii. Wimbo ulirekodiwa, lakini haujatumika katika toleo halisi la kibwagizo. Udaku ulioenea kuhusu rekodi yenyewe ni kati ya \"Pain\" ambao baadaye ulikuja kutumika kwa ajili ya kibwagizo cha filamu ya Above The Rim, \"High Til I Die Interscope Version\", ambao baadaye ulitolea upya na kutumika kwa ajili ya albamu ya Sunset Park wakati 2Pac yupo katika studio ya Death Row Records, na Unreleased Version Of R U Still Down. R U Still Down ni sawa na toleo ambalo lilitolewa mnamo 1997 katika albamu ya 2Pac ya \"R U Still Down\". Hata hivyo, wimbo una biti tofauti, beti ya kwanza ambayo awali haikuwepo, kiitikio cha kike, na beti ya pili na tatu ambazo zimerekodiwa upya ambazo pia zinafanana kabisa na beti 1-2 ya kwenye toleo la albamu ya R U Still Down.", "question_text": "Albamu ya R U Still Down, ilizinduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1997", "start_byte": 587, "limit_byte": 591}]} {"id": "-7827747950675869492-0", "language": "swahili", "document_title": "Wilma Rudolph", "passage_text": "Wilma Rudolph (aliyezaliwa Juni 23, 1940) ni mwanariadha wa Marekani. Aliishi Clarksville, Tennessee pamoja na ndugu 11. Alikuwa wa 5. Alipokuwa na umri wa miaka 4, alikuwa na polio. Yeye alinusurika, lakini alipoteza matumizi ya mguu wake wa kushoto. Wazazi wake na ndugu zake walimsaidia kumfanyia massage mguu. Alipokuwa na umri wa 11 alirudi ofisi ya daktari tena na aliweza kutembea.", "question_text": "Je,Wilma Rudolph alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}]} {"id": "5461109170782718987-0", "language": "swahili", "document_title": "Kairo", "passage_text": "Kairo (Kar القاهرة al-Qāhira – „mwenye ushindi“) ni mji mkuu wa Misri na mji mkubwa wa nchi zote za kiarabu, pia moja kati ya majiji makubwa duniani. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Misri ni gani?", "answers": [{"text": "Kairo", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "-5920770325557463826-0", "language": "swahili", "document_title": "Kombe la Mataifa ya Afrika", "passage_text": "Kombe la Mataifa ya Afrika, ni shindano kuu la la soka la kimataifa katika Afrika. Shindano hili husimamiwa na Confederation of African Football (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili hufanyika baada ya miaka miwili. Wabingwa wa FIFA Confederations Cup walifuzu katika shindano hili.", "question_text": "Kombe la Mataifa ya Afrika lilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 195, "limit_byte": 199}]} {"id": "8207073937550031996-2", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Urefu wake ni kilomita 4,700 ukipimwa kuanzia chanzo cha tawimto wa mbali zaidi ambayo ni mto Chambeshi wenye chanzo nchini Zambia. Mara nyingi urefu hutajwa kuanzia chanzo cha Lualaba halafu ni kilomita 4,374. ", "question_text": "Mto Kongo una urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita 4,700", "start_byte": 14, "limit_byte": 28}]} {"id": "4229123254817372623-0", "language": "swahili", "document_title": "Uingereza", "passage_text": "England\nUingereza\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Uingereza)(Nembo la Uingereza)Wito (Kifaransa): Dieu et mon droit\n(\"Mungu na haki yangu\")\nMahali pa Uingereza (kijani cheusi) kwenye visiwa vya Britania ndani ya Ufalme wa Muungano (kijani nyeupe) pamoja na Jamhuri ya Eire (buluu) upande wa magharibiLughaKiingerezaMji MkuuLondonMji MkubwaLondonEneo\n – jumla\n 130,395 km²Wakazi\n\n–2004\n\n–sensa ya 2001\n\n– Msongamano wa watu50.1 millioni [1]\n\n49,138,831 [2]\n\n377/km²Umoja wa nchi yote927 BK na mfalme\nAthelstanDini rasmi Church of England (Anglikana)PesaPound sterling (£) (GBP)MasaaUTC / (GMT)\nSummer: UTC +1 (BST)Ua la Taifa Waridi ya Tudor (nyekundu, nyeupe)Mtakatifu wa kitaifa Mt George", "question_text": "Mji wa London uko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "50.1 millioni", "start_byte": 416, "limit_byte": 429}]} {"id": "-1653296950952699805-2", "language": "swahili", "document_title": "28 Septemba", "passage_text": "1852 - Henri Moissan, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1906\n1892 - Elmer Rice, mwandishi kutoka Marekani\n1934 - Brigitte Bardot, mwigizaji wa filamu kutoka Ufaransa\n1988 - Wema Sepetu, mrembo wa Tanzania mwaka wa 2006\n1990 - Kirsten Prout, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada", "question_text": "Kirsten Prout alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 228, "limit_byte": 232}]} {"id": "-3436375155385890452-17", "language": "swahili", "document_title": "Madagaska", "passage_text": "Mwaka 2012 idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa milioni 22. Wenyeji wengi wana mchanganyiko wa damu: DNA inaonyesha kuwa wakazi wa kwanza kutoka Indonesia wameichangia asilimia 50 hivi na Waafrika vilevile. Wanaoishi sehemu za ndani ni wa Kiindonesia zaidi, wakati wale wa pwani ni wa Kiafrika zaidi.", "question_text": "Je,Madgaska ina ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 22", "start_byte": 44, "limit_byte": 54}]} {"id": "-2196100301764475662-1", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya wachezaji wa klabu ya Soka ya Manchester United", "passage_text": "Klabu ilianzishwa mwaka 1878 kama Newton Heath L & YR FC, na kucheza mechi ya kwanza ya ushindani mnamo Oktoba 1886, wakati waliingia duru ya kwanza ya Kombe la FA 1886-87. Tangu hapo, zaidi ya wachezaji 800 wameichezea timu ya klabu hiyo, ambapo karibu wachezaji 200 wamecheza walau mechi 100 na kuonekana pamoja na wachezaji wa ziada; wachezaji hao wameorodheshwa hapa, vilevile wale ambao walicheza mechi chache lakini walitoa michango muhimu katika historia ya klabu (kwa mfano Billy Whelan na Carlos Tevez).", "question_text": "Je,Manchester United ilizinduliwa lini?", "answers": [{"text": "1878", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "5889365413541300014-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima", "passage_text": "Milima Aberdare (m 3,999), Kenya\nMilima Ahaggar (m 2,918), Algeria\nMilima Ahmar (m 2,965), Ethiopia\nMilima Air (Azbine) (m 2,022) Niger\nMilima Amaro (m 3,240), Ethiopia\nMilima Atlantika (m 1,300), Nigeria - Kamerun\nMilima Atlas (m 4,167), Moroko - Algeria - Tunisia\nMilima Auas (m 2,484), Namibia\nMlima Baker (m 4,844), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Bakossi (m 2,064), Kamerun\nMilima Bale (m 4,377), Ethiopia\nMilima Bvumba (m 1,911), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Cal Madow (m 2,410), Somalia\nMilima Cederberg (m 2,026), Afrika ya Kusini\nChappal Waddi (m 2,419), Nigeria\nCompassberg (m 2,504), Afrika ya Kusini\nDrakensberg (m 3,482), Lesotho - Afrika ya Kusini\nMlima Elgon (m 4,321) - volikano, Kenya - Uganda\nEmi Koussi (m 3,415) - volikano, Chad\nMlima Emin (m 4,798), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Entoto (m 3,200), Ethiopia\nMilima Erta Ale (m 988) - volikano, Ethiopia\nMlima Gessi (m 4,715), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Golis (m 1,371), Somalia\nMlima Kadam (Debasien au Tabasiat) (m 3,054), Uganda\nMlima Kamerun (m 4,075), Kamerun\nMlima Karisimbi (m 4,507) - volikano, Rwanda - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo\nMlima Karthala (m 2,362) - volikano, Komori\nMlima Kenya (m 5,199) - volikano, Kenya\nMlima Kilimanjaro (m 5,895) - volikano, Tanzania - mlima wa juu kabisa katika Afrika\nMlima Kinyeti (m 3,187), mlima mrefu zaidi wa Sudan Kusini\nMilima ya Kipengere (m ), Tanzania\nMilima Lebombo (m 776), Msumbiji\nMlima Luigi di Savoia (m 4,627), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Magaliesberg (m 1,852), Afrika ya Kusini\nMilima ya Mahale (m 2,462), Tanzania\nMilima Mandara (m 1,494), Nigeria - Kamerun\nMlima Meru (m 4,566) - volikano, Tanzania\nMlima wa Meza / Tafelberg (m 1,088), Cape Town, Afrika ya Kusini\nMlima Moco (m 2,610), Angola\nMlima Moroto (m 3,083), Uganda\nMlima Morungole (m 2,750), Uganda\nMlima Mulanje (m 3,002), Malawi\nNyanda za Juu za Mashariki (m ), Zimbabwe - Msumbiji\nMilima Ogo (m ), Somalia\nMilima Outeniqua (m 1,578), Afrika ya Kusini\nPico de São Tomé (m 2,024) - volikano, Sao Tome na Principe\nPiton de la Fournaise - volikano (m 2,632), Réunion\nPiton des Neiges – volikano (m 3,069), Réunion\nRas Dejen (m 4,533), Ethiopia\nMlima Rungwe (m 3,175), Zambia\nRuwenzori (m 5,109), Uganda\nMilima Semien (m 4,550), Ethiopia\nMlima Serbal (m 2,070), Misri\nMlima Sinai (m 2,285), Misri\nMlima Speke (m 4,890), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMlima Stanley (m 5,119), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo - Uganda\nMilima Swartberg (m 2,325), Afrika ya Kusini\nTao la Mashariki (m ), Tanzania - Kenya\nMilima Teffedest (m 2,370), Algeria\nTeide (m 3,717) Tenerife - mlima wa juu kabisa wa Hispania (ingawa kijiografia katika visiwa vya Afrika)\nMilima Tibesti (m 3,445), Chad - Libya\nJbel Toubkal (m 4,167), Moroko\nMilima ya Udzungwa (m 2,579), Tanzania\nMilima ya Uluguru (m 2,630), Tanzania\nMilima ya Upare (m 2,643), Tanzania\nMilima ya Usambara (m ), Tanzania\nMlima Zulia (m 2,149), Uganda", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni gani?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 1260, "limit_byte": 1271}]} {"id": "7838282171560721256-13", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Nigeria iliamua mwaka 1976 kuhamisha mji mkuu wa kitaifa kutoka Lagos kwenda mahali pa katikati ya nchi. \"Eneo la Mji Mkuu wa Shirikisho\" limeteuliwa. Mji mpya wa Abuja ndani ya eneo hili ukawa mji mkuu wa Nigeria mwaka 1991.", "question_text": "Je,mji mkuu nchini Nigeria ni upi?", "answers": [{"text": "Abuja", "start_byte": 163, "limit_byte": 168}]} {"id": "-7968042100341364339-26", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Demokrasia ya Kongo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "6678385553657465833-0", "language": "swahili", "document_title": "Emmaus Shule ya Biblia", "passage_text": "Emmaus Shule ya Biblia ni shule inayohudumia watu wote wanaopenda kusoma Biblia kwa njia ya posta. Masomo na mitihani yanatumwa kwa mwanafunzi. Baada ya kujaza anarudisha mtihani kwenye ofisi zao. Ilianzishwa kwa mara ya kwanza Tanzania mnamo mwaka 1960. ", "question_text": "Emmaus Shule ya Biblia ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 249, "limit_byte": 253}]} {"id": "6545880357020500472-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Mlima kubwa Asia ni gani?", "answers": [{"text": "Everesti", "start_byte": 120, "limit_byte": 128}]} {"id": "-6207751675920139344-0", "language": "swahili", "document_title": "Yeroboamu II", "passage_text": "Yeroboamu II (kwa Kiebrania ירבעם השני au יָרָבְעָם; kwa Kigiriki Ιεροβοάμ; kwa Kilatini Jeroboam) alikuwa mwana na mwandamizi wa Yehoashi wa Israeli kama mtawala wa 14 wa Ufalme wa Israeli, ambao aliuongoza kwa mafanikio makubwa miaka 41. ", "question_text": "Yeroboamu II alitawala kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "41", "start_byte": 262, "limit_byte": 264}]} {"id": "-738091486636908936-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Eneo la Mediteranea lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}]} {"id": "-3117187268726515129-8", "language": "swahili", "document_title": "Uthai", "passage_text": "Nchini Uthai kuna lugha za asili 73 (angalia orodha ya lugha za Uthai). Kati yake, Kithai ndiyo lugha rasmi.", "question_text": "Je, lugha ya taifa ya Uthai ni ipi?", "answers": [{"text": "Kithai", "start_byte": 83, "limit_byte": 89}]} {"id": "6935165982180149236-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Nairobi iko na idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "-6062464925696684303-17", "language": "swahili", "document_title": "Mwezi", "passage_text": "\nMwezi wetu ni gimba la angani la kwanza ambako wanadamu wamefika. Tarehe 21 Julai 1969 mwanaanga Mmarekani Neil Armstrong alikuwa mtu wa kwanza wa kukanyaga uso wa mwezi. Wanaanga wengine 11 kutoka Marekani waliendelea kufika mwezini hadi mwaka 1972.Baadaye safari za kwenda mwezini hazikufanywa tena kutokana na gharama kubwa.", "question_text": "Je,nani wa kwanza kwenda kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 108, "limit_byte": 122}]} {"id": "-8256028608462950919-1", "language": "swahili", "document_title": "Bendera ya Jibuti", "passage_text": "Rangi zilizoyumuwa zinaweza kuashiria Ardhi (Kijani), Bahari na Anga (Samawati) pamoja na Amani Nyeupe. Nyota nyekundu inaashiria umoja.", "question_text": "Rangi ya Kijani katika bendera ya Jibuti inaashiria nini?", "answers": [{"text": "Ardhi", "start_byte": 38, "limit_byte": 43}]} {"id": "8493476156364630330-3", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "Ethiopia ni moja ya nchi mbili za Afrika ambazo hazikutawaliwa na wakoloni wakati walipong’ang’ania Afrika. Nchi nyingine ni Liberia. Kabla ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia Ethiopia ilivamiwa na Waitalia (1936) lakini ilipata uhuru wake tena baada ya miaka michache.", "question_text": "Je,ni nchi ngapi Afrika haikutawaliwa na Koloni?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 25, "limit_byte": 30}]} {"id": "-7467573510085410907-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Vita vya pili vya dunia iliisha mwaka upi?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "5814478226242868792-3", "language": "swahili", "document_title": "Elementi za kikemia", "passage_text": "Kwa jumla kuna elementi 116 zinazojulikana katika Kemia zimo katika jedwali la elementi linaloitwa pia \"mfumo radidia\".", "question_text": "Je, kuna elementi ngapi katika jedwali la elementi?", "answers": [{"text": "116", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}]} {"id": "6890044368593642792-11", "language": "swahili", "document_title": "Wamasai", "passage_text": "Kuanzia mkataba wa mwaka 1904, na kufuatiwa na mwingine wa mwaka 1911, ardhi ya Wamasai nchini Kenya ilipunguzwa kwa asilimia 60 wakati Waingereza walipowafukuza ili kutayarisha mashamba ya wakoloni, hatimaye kuwalazimu kuishi katika wilaya ya Kajiado na Narok. ", "question_text": "Je,Wamaasai wanapatikana kwa wingi katika sehemu gani ya Kenya?", "answers": [{"text": "wilaya ya Kajiado na Narok", "start_byte": 235, "limit_byte": 261}]} {"id": "-2215432404676999887-0", "language": "swahili", "document_title": "Nematodi", "passage_text": "\nNematodi au minyoo-kuru ni faila ya minyoo ambayo ni kati ya faila zenye spishi nyingi katika himaya ya wanyama.", "question_text": "Nematodi ni nini?", "answers": [{"text": "faila ya minyoo ambayo ni kati ya faila zenye spishi nyingi katika himaya ya wanyama", "start_byte": 28, "limit_byte": 112}]} {"id": "3570119286780399618-0", "language": "swahili", "document_title": "Fioretti", "passage_text": "Fioretti (kwa Kiitalia maana yake ni Maua Madogo, yaani Visimulizi Bora) ni kitabu maarufu kuhusu Fransisko wa Asizi na wenzake kilichotafsiriwa mwishoni mwa karne ya 14 kutoka kile cha Kilatini Actus beati Francisci et sociorum eius, kinachodhaniwa kuwa kiliandikwa na Ugolino Brunforte (1262 hivi – 1348 hivi).", "question_text": "Kitabu cha Fioretti kiliandikwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "Ugolino Brunforte", "start_byte": 270, "limit_byte": 287}]} {"id": "-6315272165774915087-0", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Koninkrijk der Nederlanden\n\nUfalme wa Nchi za Chini\n\n\n\n\n\nBenderaNembo Hadabu ya Taifa: Je maintiendrai \n (Kifaransa)\n kwa Kiswahili, Nitastahimili Lugha za Taifa\nKiholanzi\n kwa mkoa wa Friesland: KifrisiMji MkuuAmsterdamMakao ya SerikaliDen HaagMfalmeKoning Willem-AlexanderWaziri Mkuu Mark RutteEneo\n- Jumla \n- % Maji\n 41,526 km² \n 18.41Umma\n- Jumla \n- msongamano\n 16,856,620 (Julai 2014)\n 406.4/km²GDP\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n\n $625 bilioni \n $ 30,500Uhuru\n- Tangazwa\n- KukubaliwaKutoka Hispania\n 26 Julai 1581 \n 30 Januari 1648FedhaEuro € EURSaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWilhelmusTLD mtandao.nlKodi ya simu31", "question_text": "Lugha ya kitaifa nchini Uholanzi ni gani?", "answers": [{"text": "Kiholanzi", "start_byte": 162, "limit_byte": 171}]} {"id": "6957023960674428735-6", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Intaneti", "passage_text": "Matumizi ya neno \"Internet\" kuelezea mtandao mmoja wa kiulimwengu wa TCP/IP yalianza katika mwezi Desemba 1974 na uchapishaji wa , yakiwa maelezo kamili ya kwanza ya TCP iliyoandikwa na Vinton Cerf, Yogen Dalal na Carl Sunshine, waliokuwa katika Chuo Kikuu cha Stanford. Katika miaka tisa iliyofuata, kazi iliendelea kurekebisha itifaki hizo na kuzitekeleza katika mifumo ya oparesheni ya aina mbalimbali. Mtandao wa Kwanza wenye upana mkubwa wa msingi wa TCP / IP ulikuwa ukifanya kazi kufikia tarehe 1 Januari 1983 wakati ambapo viwekaji vyote vya ARPANET vilibadilishwa kutoka itifaki za hapo awali za NCP. Mwaka 1985, Wakfu wa Sayansi wa kitaifa Marekani (NSF) uliamuru ujenzi wa NSFNET, uti wa mgongo wa mtandao wa chuo kikuu wenye kasi ya kilobaiti 56 kwa sekunde kwa kutumia kompyuta zilizoitwa \"fuzzballs\" na mvumbuzi wake, David L. Mills. Mwaka uliofuata, NSF ilifadhili ubadilishaji hadi mtandao wenye kasi ya juu zaidi ya megabaiti 1.5 kwa sekunde. Maamuzi muhimu kutumia itifaki za DARPA TCP/IP ulifanywa na Dennis Jennings, aliyekuwa msimamizi wa programu ya kompyuta zenye nguvu huko NSF.", "question_text": "Intaneti iligunduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1983", "start_byte": 512, "limit_byte": 516}]} {"id": "4121876457314826931-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Je,idadi ya watu Uhispania ni ngapi?", "answers": [{"text": "44.395.286", "start_byte": 81, "limit_byte": 91}]} {"id": "8375157068396097436-0", "language": "swahili", "document_title": "Kuoza kwa meno", "passage_text": "Kuoza kwa meno (caries ni neno la Kilatini kutoka \"rottenness\"[1]), pia hujulikana kama kuoza kwa jino, kaviti, au caries, ni kuharibika kwa meno kutokana na shughuli za bakteria.[2] Kaviti inaweza kuwa na aina tofauti za rangi kutoka kijani kibichi hadi nyeusi.[3] Dalili zinaweza kujumuisha maumivu na ugumu wa kula chakula.[4][3] Matatizo yanaweza kujumuisha inflamesheni ya tishu zinazozunguka jino, kupoteza jino, na maambukizi au usaha hutokea.[1][3]", "question_text": "Nini maana ya kaviti?", "answers": [{"text": "kuharibika kwa meno kutokana na shughuli za bakteria", "start_byte": 126, "limit_byte": 178}]} {"id": "4447700151157763904-9", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Mji mkubwa zaidi ni Lagos (mji mkuu wa zamani) ukiwa na wakazi 15,000,000. Kati ya miji mingine kuna Abuja, Kano, Ibadan, Oshogbo, Ilorin, Abeokuta, Ogbomosho na Port Harcourt.", "question_text": "Ni mji gani nchini Nigeria yenye idadi kubwa ya watu?", "answers": [{"text": "Lagos", "start_byte": 20, "limit_byte": 25}]} {"id": "-2291373390726622190-0", "language": "swahili", "document_title": "Punda milia", "passage_text": "\nPunda milia au pundamilia ni wanyama wa familia Equidae wa Afrika wanaofahamika sana kwa rangi yao ya pekee ya michirizi myeupe na myeusi. Michirizi yao huwa na mpangilio tofauti kwa kila punda milia mmoja. ", "question_text": "Je,farasi yupo katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Equidae", "start_byte": 49, "limit_byte": 56}]} {"id": "-1923120436118231533-5", "language": "swahili", "document_title": "Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia", "passage_text": "Mkutano Mkuu mwenye wawakilishi wa nchi wanachama 144 unakaa mara moja kila mwaka. Unakubali bajeti na kuamua juu ya maswali yanayowekwa mbele yake na halmashauri, na mkurugenzi mkuu au na wanachama wenyewe.", "question_text": "Je, Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia ina wanachama ngapi?", "answers": [{"text": "144", "start_byte": 50, "limit_byte": 53}]} {"id": "8472231466086008603-0", "language": "swahili", "document_title": "Kerron Stewart", "passage_text": "Kerron Stewart (alizaliwa 16 Aprili 1984) ni mwanariadha wa Jamaika ambaye ni mtaalamu wa mbio za 100m na 200m. Yeye ndiye aliyekuwa bingwa wa Jamaika wa mbio ya 100m katika mwaka wa 2008 akiwa na muda wa 10.80s. Alimshinda bingwa wa dunia Veronica Campbell-Brown mwaka huo na akashinda medali ya fedha katika michezo ya Olimpiki ya 2008 alipomaliza katika nafasi yapili wakiwa pamoja na Sherone Simpson katika muda wa 10.98s. Alishinda ,pia, medali ya shaba katika mbio ya 200m katika Olimpiki hiyo ya 2008 akimaliza na muda wa 22.00s. Alizaliwa mjini Kingston,Jamaika.", "question_text": "Je,Kerron Stewart alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}]} {"id": "-7917879710908222182-0", "language": "swahili", "document_title": "Mji mkuu", "passage_text": "Mji mkuu kwa kawaida ni mji wenye makao makuu ya serikali ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye maendeleo makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila huduma muhimu na miundombinu iliyo bora. Mfano: nchini Tanzania mji mkubwa ni Dar es Salaam, ingawa makao makuu ni Dodoma. ", "question_text": "Mji mkuu wa Tanzania unaitwaje?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 315, "limit_byte": 328}]} {"id": "-164090774222654881-8", "language": "swahili", "document_title": "Kamerun", "passage_text": "Mwaka wa 1960, Wafaransa waliacha Kamerun ikawa nchi huru, na kuungana na sehemu ya kusini ya Kamerun ya Kiingereza mwaka 1961 kuunda Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun. ", "question_text": "Je,Kamerun ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 9, "limit_byte": 13}]} {"id": "7882725759640164781-1", "language": "swahili", "document_title": "Forum for the Restauration of Democracy", "passage_text": "Ilianzishwa mwaka 1991 na wanasiasa waliopinga mfumo wa chama kimoja na utawala wa KANU chini ya rais Daniel arap Moi. Shabaha ilikuwa mabadiliko ya kuruhusu vyama vingi na uhuru wa kidemokrasia. Wakati ule chama cha pekee kilichoruhusiwa kilikuwa KANU. Mfumo wa chama kimoja uliporomoka katika nchi nyingi za dunia baada ya mwisho wa ukomunisti na mabadiliko yaliyokwenda sambamba na mwisho wa vita baridi katika Afrika.", "question_text": "Chama cha Forum for the Restauration of Democracy kilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "wanasiasa waliopinga mfumo wa chama kimoja na utawala wa KANU chini ya rais Daniel arap Moi", "start_byte": 26, "limit_byte": 117}]} {"id": "-6056642959746495134-25", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1977 Jibuti (Nchi ya Afars na Issas) iliyokuwa ikitawaliwa na Wafaransa ikarudi kwa wenyewe. Rhodesia (Zimbabwe) ikapata uhuru halisi mwaka wa 1980, na South West Africa, iliyokuwa ikitawaliwa na Afrika ya Kusini ikapata uhuru katika mwaka 1990 na kuitwa Namibia.", "question_text": "Je,Zimbabwe ilijipatia uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 159, "limit_byte": 163}]} {"id": "5146196426444182468-2", "language": "swahili", "document_title": "Rita Dominic", "passage_text": "Dominic alianza kucheza filamu tangu akiwa mdogo, ameonekana katika michezo ya shule na vipindi vya televisheni ya watoto huko mjini Imo. Kunako mwaka wa 1998, ameonekana kwenye filamu kwa mara ya kwanza ilikuwa A time to kill. Akabahatika kujishindia tuzo ya City People Awards mnamo 2004 akiwa kama Mwigizaji Bora w Filamu wa Kike.[6] Ameonekana katika filamu zaidi ya 100 zilizotayarishwa na Nollywood.", "question_text": "Je,Rita Dominic alianza uigizaji mwaka upi?", "answers": [{"text": "1998", "start_byte": 154, "limit_byte": 158}]} {"id": "3435688059095418111-5", "language": "swahili", "document_title": "Uswidi", "passage_text": "Mji mkuu ni Stockholm, nao unaongoza kwa wingi wa wakazi.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Uswidi ni upi?", "answers": [{"text": "Stockholm", "start_byte": 12, "limit_byte": 21}]} {"id": "-5425507806902162971-0", "language": "swahili", "document_title": "Astronomia", "passage_text": "\nAstronomia (kutoka maneno ya Kigiriki ἄστρον astron \"nyota\" na νόμος nomos \"sheria\")[1] ni elimu juu ya magimba ya ulimwengu kama vile nyota, sayari, miezi, vimondo, nyotamkia, galaksi kuhusu nyendo zao, nafasi, umbali, ukubwa na sheria zinazotawala tabia zake.", "question_text": "Astronomia ni nini?", "answers": [{"text": "elimu juu ya magimba ya ulimwengu kama vile nyota, sayari, miezi, vimondo, nyotamkia, galaksi kuhusu nyendo zao, nafasi, umbali, ukubwa na sheria zinazotawala tabia zake", "start_byte": 104, "limit_byte": 273}]} {"id": "2855902356155294883-0", "language": "swahili", "document_title": "The Weeknd", "passage_text": "\nAbel Makkonen Tesfaye (aliyezaliwa 16 Februari 1990), anayejulikana kama The Weeknd (\"mwishoni mwa wiki\"), ni mwimbaji wa Canada, mtunzi wa rekodi.", "question_text": "Je,The Weeknd alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-1244588695061517889-0", "language": "swahili", "document_title": "Uholanzi", "passage_text": "Koninkrijk der Nederlanden\n\nUfalme wa Nchi za Chini\n\n\n\n\n\nBenderaNembo Hadabu ya Taifa: Je maintiendrai \n (Kifaransa)\n kwa Kiswahili, Nitastahimili Lugha za Taifa\nKiholanzi\n kwa mkoa wa Friesland: KifrisiMji MkuuAmsterdamMakao ya SerikaliDen HaagMfalmeKoning Willem-AlexanderWaziri Mkuu Mark RutteEneo\n- Jumla \n- % Maji\n 41,526 km² \n 18.41Umma\n- Jumla \n- msongamano\n 16,856,620 (Julai 2014)\n 406.4/km²GDP\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n\n $625 bilioni \n $ 30,500Uhuru\n- Tangazwa\n- KukubaliwaKutoka Hispania\n 26 Julai 1581 \n 30 Januari 1648FedhaEuro € EURSaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWilhelmusTLD mtandao.nlKodi ya simu31", "question_text": "Uholanzi ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "1,526", "start_byte": 321, "limit_byte": 326}]} {"id": "-8025470756645703622-2", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "Waandamizi wao katika uongozi wa Kanisa walianza kuitwa maaskofu, na kati yao yule wa Roma alizidi kushika nafasi ya pekee kwa sababu Mtume Petro alifia dini katika mji huo kutokana na dhuluma dhidi ya Ukristo ambayo ilianzishwa na Kaisari Nero (mwaka 64) na kuendelea kwa kwikwi hadi ilipokomeshwa na Kaisari Konstantino Mkuu aliyetangaza huko Milano uhuru wa dini kwa wananchi wote (313). ", "question_text": "Kanisa ya kwanza ya katoliki ilijengwa wapi?", "answers": [{"text": "Roma", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}]} {"id": "2483528559682279274-0", "language": "swahili", "document_title": "Usafiri wa anga-nje", "passage_text": "\n\nUsafiri wa anga-nje ni kila aina za safari au usafiri inayofikia nje za angahewa ya Dunia kwenye anga-nje. Ilhali hakuna mpaka kamili baina ya angahewa na anga-nje kuna mapatano ya kutazama umbali wa kilomita 100 kama chanzo cha anga-nje\nChombo cha kwanza kilichofikia juu ya km 100 kilikuwa roketi ya Kijerumani aina ya V-2 katika majaribio ya mwaka 1944.[1]", "question_text": "Roketi ya kwanza ina jina gani?", "answers": [{"text": "V-2", "start_byte": 323, "limit_byte": 326}]} {"id": "-595780492535733554-0", "language": "swahili", "document_title": "Trevor Noah", "passage_text": "Trevor Noah (amezaliwa tarehe 20 Februari 1984) ni mchekeshaji na mtangazaji wa radio na televisheni kutoka Afrika ya Kusini, maarufu sana kwa utangazaji wake kwenye kipindi cha The Daily Show katika mtandao wa Kimarekani wa Comedy Central tangu Septemba 2015.", "question_text": "Je,Trevor Noah alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "20 Februari 1984", "start_byte": 30, "limit_byte": 46}]} {"id": "1154886814829395912-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Je,Neil Armstrong alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1930", "start_byte": 26, "limit_byte": 30}]} {"id": "-7999245170696149367-5", "language": "swahili", "document_title": "Zuhura", "passage_text": "Ukubwa wake na pia kemia yake zinafanana sana na dunia ikiwa kipenyo chake ni km 12,103.6 kwenye ikweta.", "question_text": "Zuhura ina kipenyo cha mita ngapi?", "answers": [{"text": "km 12,103.6", "start_byte": 78, "limit_byte": 89}]} {"id": "-8187791343041229650-9", "language": "swahili", "document_title": "Fransisko wa Asizi", "passage_text": "Mambo ya kale ni yale ya utawala wa ngazi mbalimbali ulioenea kutoka Ufaransa kuanzia karne IX: kila mtawala aliweza kugawa eneo lake na kuwakabidhi watawala wa chini akiwadai sehemu ya mapato na hasa msaada wakati wa vita, kufuatana na ahadi yao ya kuwa waaminifu kwake moja kwa moja. Utawala huo ulikuwa ukirithiwa na watoto ambao waliheshimiwa kama masharifu yaani watu wa ukoo bora na kutakiwa wawe hodari vitani. Ili watawale vizuri na kulinda maeneo yao walikuwa wakiishi katika ngome pamoja na watumishi wao. Watu wa kawaida waliishi mashambani katika hali ngumu sana hata wakaitwa watumwa wa ardhi. Hivyo Ulaya ilikuwa na askari na wakulima tu, mbali ya viongozi wa Kanisa na watawa.", "question_text": "Je,Fransisko wa Asizi aliteuliwa kuwa mtawala lini?", "answers": [{"text": "karne IX", "start_byte": 86, "limit_byte": 94}]} {"id": "-3730049793055687352-0", "language": "swahili", "document_title": "Makoto Hasebe", "passage_text": "Makoto Hasebe ( Kijapani: 長谷部誠, Amezaliwa 18 Januari 1984 katika mji Fujieda, Zhizuoka Prefecture, Japana) Ni Mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Japan. Ni mchezaji wa katikati ambae anatumikisha mguu wa kulia anaeichezea klabu ya mashuhuri ya Vfl Wolfsburg Katika ligi ya Ujerumani ya Bundesliga na Timu ya Taifa ya Japan.", "question_text": "Makoto Hasebe alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "mji Fujieda, Zhizuoka Prefecture, Japana", "start_byte": 73, "limit_byte": 113}]} {"id": "7045115402770168567-0", "language": "swahili", "document_title": "Rastafari", "passage_text": "Rastafari (wakati mwingine huitwa Urastafari) ni dini iliyoanzishwa huko Jamaika miaka ya 1930. Wakati mwingine dini hii hutambuliwa pia kuwa mfumo wa maisha na vuguvugu la kitamaduni. ", "question_text": "Je,ni dini gani yenye watu wengi zaidi Jamaika?", "answers": [{"text": "Rastafari", "start_byte": 0, "limit_byte": 9}]} {"id": "-5740373936077332625-7", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Jike anaanza kuzaa akifikia umri wa miaka 2-3. Baada ya kuwa mzito kwa miezi 3 1/2 anazaa wadogo 2-3. Wakati mwingine idadi hii inaweza kuwa hadi wadogo 6 lakini wanaozidi 3 kwa kawaida wanakufa mapema.", "question_text": "Je,simba hubeba mimba kwa muda gani?", "answers": [{"text": "3 1/2", "start_byte": 77, "limit_byte": 82}]} {"id": "8313664496231505873-2", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Ziwa kubwa kabisa ulimwenguni, bahari ya Kazwini (Caspian Sea) lenye eneo la kilomita za mraba 394,299 (maili za mraba 152,239) vile vile liko Asia kati ya ya nchi hizi: Azerbaijan, Urusi, Kazakhstan, Turkmenistan, na Uajemi.", "question_text": "Bahari kuu Asia ni gani?", "answers": [{"text": "Kazwini", "start_byte": 41, "limit_byte": 48}]} {"id": "2153203456041632640-5", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Hindi", "passage_text": "Kwa hiyo eneo lote la uso wa bahari hii ni kilomita za mraba 70,560,000 km²; kina cha wastani ni mita 3,741 ilhali kina kikubwa kinafikia mita 7,906. Mjao wake ni kilomita za ujazo 264,000,000 km³ inayolingana na asilimia 19.8% ya mjao wa bahari zote duniani.", "question_text": "Bahari Atlantiki ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "70,560,000", "start_byte": 61, "limit_byte": 71}]} {"id": "-4960625100967033474-3", "language": "swahili", "document_title": "Ndege (mnyama)", "passage_text": "Ndege mdogo huwa na sentimita 5 tu na ndege mkubwa ana urefu wa mita mbili na nusu.", "question_text": "Je, kuku ana urefu gani?", "answers": [{"text": "mita mbili na nusu", "start_byte": 64, "limit_byte": 82}]} {"id": "-5806706828590926059-0", "language": "swahili", "document_title": "Adolf Hitler", "passage_text": "\nAdolf Hitler (Braunau, Austria, 20 Aprili 1889; Berlin, Ujerumani, 30 Aprili 1945) alikuwa dikteta wa Ujerumani kuanzia mwaka 1933 hadi kifo chake. ", "question_text": "Adolf Hitler alikuwa rais wa Ugerumani mwaka upi?", "answers": [{"text": "1933", "start_byte": 127, "limit_byte": 131}]} {"id": "-1924061384684360807-2", "language": "swahili", "document_title": "Reli ya Tanganyika", "passage_text": "Reli hii ilikuwa na urefu wa kilomita 1245.4 ikitumia geji (upana wa njia) ya mita 1[1]. ", "question_text": "Je,ni kilomita ngapi kutoka Dar es Salaam hadi Tanga?", "answers": [{"text": "1245.4", "start_byte": 38, "limit_byte": 44}]} {"id": "-7069788096802056881-55", "language": "swahili", "document_title": "Beyoncé Knowles", "passage_text": "Mnamo 4 Aprili 2008, Knowles na Jay-Z walioana katika mji wa New York. Jambo hili lilijulikana na umma mnamo 22 Aprili 2008,[167] lakini Knowles hakuvaa pete yake ya harusi hadharani hadi wakati wa hafla ya 'Fashion Rocks Concert' tarehe 5 Septemba 2008 mjini New York.[168] Knowles hatimaye alifichua ndoa yao kupitia kwa video ya ufunguzi ya Montage katika hafla ya ukilizaji wa albamu yake ya I Am ... Sasha Fierce katika klabu ya Sony huko Manhattan.[169]", "question_text": "Je,mwanamuziki Beyonce alifunga harusi mwaka upi?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "1486191818663706104-19", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka huu wa 1956, Sudan na Tunisia vile vile walipata uhuru wao, na Ghana katika mwaka wa 1957, Guinea katika mwaka wa 1958, na vile vile Morocco wakarudishiwa Spanish Morocco.", "question_text": "Guinea ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 127, "limit_byte": 131}]} {"id": "8561092910830585765-1", "language": "swahili", "document_title": "Mauaji ya kimbari ya Rwanda", "passage_text": "Katika kipindi cha takriban siku 100, kuanzia kuuliwa kwa Habyarimana na Ntaryamira tarehe 6 Aprili hadi katikati mwa mwezi Julai, walau watu 500,000 waliuawa, au karibu asilimia 20% ya idadi ya watu nchini Rwanda wakati huo.", "question_text": "Je,ni watu wangapi walikufa katika Mauaji ya Kimbari ya Rwanda?", "answers": [{"text": "500,000", "start_byte": 142, "limit_byte": 149}]} {"id": "4956431021574234068-3", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "Mji mkuu ni Khartoum. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Sudani ni upi?", "answers": [{"text": "Khartoum", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "3293532025631161039-0", "language": "swahili", "document_title": "Abuja", "passage_text": "Abuja ni mji mkuu wa Nigeria. Idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa watu 178,462 . Mwaka wa 1976, serikali ya Nigeria iliamua kuanzisha mji mkuu mpya badala ya Lagos. Wakachagua katikati ya nchi, na mipango ya ujenzi ikaundwa chini ya makampuni matatu ya Marekani: PRC Corporation; Wallace, McHarg, Roberts na Todd; na Archisystems. Mipango hiyo ikabadilishwa baadaye na Kenzo Tange, msanifu majengo maarufu wa Japani. Abuja ikatangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Nigeria tarehe 12 Desemba 1991. Iko mahali pa 9, 10, Kaskazini na 7, 10, Mashariki. ", "question_text": "Je,Abuja ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "178,462", "start_byte": 73, "limit_byte": 80}]} {"id": "-8191926299954113805-0", "language": "swahili", "document_title": "Katiba", "passage_text": "Katiba ni sheria au kanuni zinazoaInisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao. ", "question_text": "Je,nini maana haswa ya Katiba?", "answers": [{"text": "sheria au kanuni zinazoaInisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao", "start_byte": 10, "limit_byte": 107}]} {"id": "-2728204350914803299-1", "language": "swahili", "document_title": "Space Jam", "passage_text": "Akiwa kama nyota wa NBA Michael Jordan amestaafu kucheza mpira wa kikapu ili mradi kujiendeleza zaidi katika micheza baseball, Mister Swackhammer, mmiliki wa hifadhi ya nje ya dunia ya \"Moron Mountain\", anaomba vivutio vipya kwa ajili ya hifadhi yake inayoanguka. Anatuma watumishi wake, \"Nerdlucks\", kwenda kuwateka Looney Tunes, ambao wanaishi chini kabisa ya uso wa Dunia. Wakina Looney Tunes wakalipiza kisa kwa kushindana na Nerdlucks kwa mchezo wa mpira wa kikapu (wakionekana kama siyo warefu). Kwa kujianda na mchezo huo, wakina Nerdlucks wakarudi Duniani kuja kuiba vipaji vya kina Charles Barkley, Patrick Ewing, Muggsy Bogues, Larry Johnson na Shawn Bradley. Wakina Nerdlucks wakatumia vipaji walivyoiba kuwa \"Mijitu ya Kutisha\", viumbe virefu kabisa ambavyo wakina Looney Tunes hawana uwezo wa kushinda wao wenyewe. Kuwashinda wale, wakina Looney Tunes wakamwita Michael Jordan na msaidizi wake Stan Podolak. Baada ya punde, mchezo ukaanza kati ya wakina Looney Tunes na ile Mijitu, lakini wakina Looney Tunes wakaumizwa vibaya-vibaya na mtindo wa uchezaji wa fujo wa ile Mijitu, hivyo haiwezekani mpaka Jordan pekee, Bugs, Lola na Daffy wamebaki wakisimama na kuacha akicheza mtu mmoja tu. Bill Murray, huwa marafiki na mtayarishaji wa filamu, ana uwezo wa kuingia katika ulimwengu wa Looney Tunes na kujiunga na kikosi chao, akatwaa kizuizi. Kileleni mwa mchezo, wakina Tunes wakawa wapo chini kwa moja na juu ya Michael Jordan kushinda pointi ya mwisho kwa ajili ya timu yake. Kwa kutumia mkono wake usio-maarufu na -wenye kurefuka, Michael Jordan ameweza kufanikisha kuweka mpira kwenye kikapu na kushinda mchezo huo. Baada ya hapo, wakina Looney Tunes wakamrudisha Michael Jordan katika sayari yake ya Dunia, ambapo alirejesha kipaji kilichoibiwa kwa wamiliki halisi na kurejea kwelikweli kwenye NBA.", "question_text": "Je, mchezaji Michael Jordan alikuwa anacheza mchezo upi?", "answers": [{"text": "mpira wa kikapu", "start_byte": 57, "limit_byte": 72}]} {"id": "-8535092066730750579-2", "language": "swahili", "document_title": "Gantt", "passage_text": "Chombo cha kwanza kinachojulikana cha aina hii mara kimeripotiwa kilichotengenezwa mwaka 1896 na Karol Adamiecki, ambaye hujulikana kuwa ni hamonogramu. Adamiecki hakuchapisha chati yake hadi 1931, hata hivyo, na kisha tu katika lugha ya Kipolishi. Hiyo chati inajulikana baada ya Henry Gantt (1861-1919), ambaye iliyoundwa chati yake kuzunguka miaka 1910-1915.[1][2][3]", "question_text": "Je,Gantt alizindua chati mwaka upi?", "answers": [{"text": "1910-1915", "start_byte": 353, "limit_byte": 362}]} {"id": "-1158589325610021486-0", "language": "swahili", "document_title": "Ali Muhsin al-Barwani", "passage_text": "Ali Muhsin Al-Barwani (13 Januari 1919 katika Mji Mkongwe - 20 Machi 2006 katika mji mkuu wa Muskat (Omani)) alikuwa mwanasiasa, mwanadiplomasia, na mshairi kutoka nchi ya Zanzibar chini ya Usultani wa Zanzibar. Alikuwa Waziri wa mambo ya nje wakati wa mamlaka ya Kiarabu baada ya Zanzibar kupata uhuru kutoka kwa mkoloni Muingereza na kabla ya Zanzibar kugeuka kuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.", "question_text": "Ali Muhsin Al-Barwani alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1919", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-6686547770919158738-4", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Toka mwanzo makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako Manhattan, New York City, New York nchini Marekani na hayako chini ya mamlaka ya nchi hiyo. Ofisi nyingine ziko Geneva (Uswisi), Nairobi (Kenya) na Vienna (Austria). ", "question_text": "Makao makuu ya umoja wa mataifa iko wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 91, "limit_byte": 99}]} {"id": "2594983485967284403-2", "language": "swahili", "document_title": "Sungura wa Kizungu", "passage_text": "Masikio marefu ya sungura wa Kizungu, karibu sentimeta 10 pengine ni mahususi kwa ajili ya kutambua adui. Wana miguu ya nyuma yenye nguvu, kila mguu una vidole vitano, huku kidole kimoja kikiwa kidogo mno. Ukubwa wao ni takribani sm 20 mpaka 50 na uzito wa kilogramu 0.4 mpaka 2. Manyoya yao huwa marefu laini na rangi kati ya kahawia kijivu na manjano hafifu. Mkia wao huwa mfupi, uliojaa manyoya. ", "question_text": "Je,Sungura wa Kizungu ana rangi gani?", "answers": [{"text": "kati ya kahawia kijivu na manjano hafifu", "start_byte": 319, "limit_byte": 359}]} {"id": "-8928063451546678987-0", "language": "swahili", "document_title": "Tom Mboya", "passage_text": "Thomas Joseph Odhiambo Mboya (15 Agosti, 1930 - 5 Julai, 1969) alikuwa mwanasiasa maarufu Kenya wakati wa serikali ya Mzee Jomo Kenyatta. Yeye pia alianzisha chama cha Nairobi People's Congress Party, chama ambacho kilichangia kukua kwa chama maarufu Kenya African National Union (KANU), alikuwa pia Waziri wa Mipango na Maendeleo ya Uchumi wakati wa kifo chake. Mboya  aliuawa tarehe 5 Julai, 1969 katika  mji mkuu wa Nairobi.", "question_text": "Je,Tom Mboya alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "15 Agosti, 1930", "start_byte": 31, "limit_byte": 47}]} {"id": "5492778824220645072-4", "language": "swahili", "document_title": "Maandishi", "passage_text": "Hakuna hakika maandishi yalianza lini na wapi. Wataalamu wengi huona ya kwamba Sumer katika Mesopotamia ilikuwa na maandishi ya kwanza duniani. ", "question_text": "Maandishi ya kwanza yalikuwa katika lugha gani?", "answers": [{"text": "Hakuna hakika maandishi yalianza lini na wapi. Wataalamu wengi huona ya kwamba Sumer katika Mesopotamia ilikuwa na maandishi ya kwanza duniani", "start_byte": 0, "limit_byte": 142}]} {"id": "5975616965138672434-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Rais wa nchi ya Rwanda anaitwaje?", "answers": [{"text": "Paul Kagame", "start_byte": 236, "limit_byte": 247}]} {"id": "8871221880483867846-3", "language": "swahili", "document_title": "Tawasifu ya Malcolm X", "passage_text": "Kimechapishwa baada ya mwenyewe kufa, kwa jina la The Autobiography of MalcolmX kimetaja maisha ya Malcolm X, aliyezaliwa kwa jina la Malcolm Little (1925–1965), ambaye akaja kuwa mwanaharakati wa haki za binadamu. Kwa kuanza na ujauzito wa mama yake, kitabu kinaelezea maisha ya utotoni ya Malcolm akiwa mjini Michigan, kifo cha baba yake kilichotokea katika mazingira ya kutatanisha, na hali iliyopelekea mama yake kuwehuka na kuishia hospitali ya vichaa bila kutaka na kutiwa katika kitengo cha uchunguzi wa kisaikolojia.[2] Maisha ya ujana wa Little yameelezewa pia akiwa huko Boston na New York City, halkadhalika kujihusisha kwake na jamii za kihalifu. Uhalifu huo ambao ulipelekea kutumikia kifungo cha miaka nane-hadi-kumi jela, kifungo ambacho alitumikia miaka sita na nusu (1946–1952) baada ya kupata msamaha.[3] Kitabu kinaelezea ukasisi wake na mkuu wa jumuia Nation of Islam ndugu Elijah Muhammad (1952–1963) na kuibuka kwake kuwa kama msemaji mkuu taifa wa jumuia hiyo. Kinaelezea kuachia kwake ngazi kwenye jumuia hiyo ya Nation of Islam mnamo Machi 1964, na safari yake ya kwenda hija Makka, ambayo ilipelekea kubadili dhehebu na kuwa Sunni, na safari zake za Afrika.[4] MalcolmX aliuawa mjini New York katika jengo la Audubon Ballroom mnamo mwezi wa Februari 1965, kabla kitabu hakijaisha. Mwandishi mwenzake , mwanahabari Alex Haley, alimuhtasarisha siku za mwisho za maisha ya MalcolmX, na kuelezea kwa kina makubaliano yao, ikiwa pamoja na maoni binafsi ya Haley kuhusu muhusika, kwenye hitimisho la \"tawasifu\".[5]", "question_text": "Je,Malcolm X alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1925", "start_byte": 151, "limit_byte": 155}]} {"id": "5245603260207782177-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanku Kelly", "passage_text": "\nNkashama Kanku Kelly (20 Januari, 1958) ni mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo- Tanzania. Anafahamika zaidi kwa kuwa miongoni wapigaji mashuhuri wa trampeti mwenye historia ya ndefu katika muziki - hasa kwa kushirikiana na Maquis du Zaire na kuwa mwanzilishi wa The Kilimanjaro Band. Vilevile amebahatika kushikana mikono na viongozi wakubwa wanaoheshimika duniani kote, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mzee Nelson Mandela.", "question_text": "Je,Nkashama Kanku Kelly alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1958", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "-1389925074163436918-0", "language": "swahili", "document_title": "Dennis Mitchell", "passage_text": "Allen Dennis Mitchell (alizaliwa 20 Februari 1966) ni mwanamichezo wa zamani wa Marekani, mshindi wa medali ya dhahabu katika mbio ya x 100 m katika Olimpiki ya 1992.", "question_text": "Allen Dennis Mitchell alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1966", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "1453373226988684131-5", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Kwa kutumia marejeo hayo Mlima Everest una nafasi ya sita tu kati ya milima ya Dunia, ilhali milima kadhaa iliyopo karibu na ikweta inasogea mbele, kama milima katika Andes na mlima Kilimanjaro nchini Tanzania.", "question_text": "Je,mlima mkubwa zaidi nchini Tanzania ni gani?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 182, "limit_byte": 193}]} {"id": "-6903887369850214740-0", "language": "swahili", "document_title": "Apartheid", "passage_text": "\nApartheid ni neno la Kiafrikaans linalomaanisha \"kuwa pekee\" au \"utengano\". Kwa kawaida hutaja siasa ya ubaguzi wa rangi wa kisheria nchini Afrika Kusini kati ya 1948 hadi 1994. ", "question_text": "Je,nini maana ya Apartheid?", "answers": [{"text": "neno la Kiafrikaans linalomaanisha \"kuwa pekee\" au \"utengano", "start_byte": 14, "limit_byte": 74}]} {"id": "-3987105553529647279-5", "language": "swahili", "document_title": "Malcolm X", "passage_text": "Alikuwa na watoto sita na Betty Shabazz. Alikuwa na wajukuu sita. Malcolm Shabazz aliuawa Mei 2013. Yeye pia ana wajukuu wawili wawili.", "question_text": "Je,Malcolm X alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "sita", "start_byte": 18, "limit_byte": 22}]} {"id": "4565915009027293582-3", "language": "swahili", "document_title": "Uganda", "passage_text": "Jina Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda ulioko kusini mwa nchi pamoja na mji mkuu, Kampala.\n", "question_text": "Je,mji mkuu Uganda ni upi?", "answers": [{"text": "Kampala", "start_byte": 96, "limit_byte": 103}]} {"id": "9091352868418339558-73", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Makundi ya makabila ni kama ifuatavyo: Wakikuyu 22%, Waluyia 14%, Wajaluo 13%, Wakalenjin 12%, Wakamba 11%, Wakisii 6%, Wameru 6%, makabila mengine ya Kiafrika 15%, wasio Waafrika (Wahindi, Waingereza na Waarabu) 1% [3]\nKila kundi au kabila lina lugha yake na Kiswahili hutumika kama chombo cha kuwasiliana miongoni mwa makabila tofauti. ", "question_text": "Je, nchi ya kenya ina jamii ngapi?", "answers": [{"text": "Wakikuyu 22%, Waluyia 14%, Wajaluo 13%, Wakalenjin 12%, Wakamba 11%, Wakisii 6%, Wameru 6%, makabila mengine ya Kiafrika 15%, wasio Waafrika (Wahindi, Waingereza na Waarabu) 1%", "start_byte": 39, "limit_byte": 215}]} {"id": "-8996610815032448886-26", "language": "swahili", "document_title": "Simba", "passage_text": "Simba wadogo huonesha tabia ya kunyatia wanyama wakiwa na miezi mitatu tu, ingawa hawashiriki kwenye uwindaji mpaka wawe na umri wa mwaka mmoja. Huanza rasmi kuwinda wakiwa na umri wa miaka miwili.", "question_text": "Watoto wa simba huanza kuwinda wakiwa na umri gani?", "answers": [{"text": "miaka miwili", "start_byte": 184, "limit_byte": 196}]} {"id": "-7124850766317422172-0", "language": "swahili", "document_title": "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta", "passage_text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta iliyoko jijini Nairobi, ni Hospitali kongwe zaidi nchini Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1901 na uwezo wa vitanda takribani 40 kama Native Civil Hospital, ilibadilishwa jina na kuitwa King George VI mwaka 1952. Wakati huo,masetla walikuwa wakihudumiwa na hospitali ya jamii iliyoko karibu, European Hospital (sasa inaitwa Nairobi Hospital). Ilibadilishwa jina hadi Kenyatta National Hospital - baada ya Jomo Kenyatta - kufuatia uhuru kutoka Uingereza. Kwa sasa ndiyo hospitali kubwa ya rufaa na mafundisho nchini.", "question_text": "Je, hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni ipi?", "answers": [{"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "581783550868434324-3", "language": "swahili", "document_title": "Mwanaanga", "passage_text": "Mwanamke wa kwanza angani alikuwa Mrusi Valentina Tereshkova mwaka 1963. ", "question_text": "Ni nani mwanamke wa kwanza kufika angani?", "answers": [{"text": "Valentina Tereshkova", "start_byte": 40, "limit_byte": 60}]} {"id": "8379270572868109611-1", "language": "swahili", "document_title": "Malawi Congress Party", "passage_text": "Chama kitangulizi kilikuwa Nyasaland African Congress (NAC) kilichoundwa mwaka 1944 kwa shabaha ya kupanua haki za Waafrika wazalendo katika koloni la Nyasaland, jinsi Malawi ilivyoitwa kabla ya mwaka 1964. ", "question_text": "Je,Malawi ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 201, "limit_byte": 205}]} {"id": "6871504958630126743-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita ya Korea", "passage_text": "\nVita ya Korea ya karne ya 20 ilitokea kati ya 1950 hadi 1953. ", "question_text": "Je, vita vya Korea na Marekani vilianza lini?", "answers": [{"text": "1950", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "4198756924084916572-0", "language": "swahili", "document_title": "Basilika la Mt. Fransisko", "passage_text": "\n\n\nBasilika la Mt. Fransisko huko Assisi, (mkoa wa Umbria, (Italia) ni kanisa kubwa lililojengwa kwa muda mfupi (1228-1253) ili kutunza masalia ya Fransisko wa Asizi (1182-1226). ", "question_text": "Je,Fransisko wa Asizi alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1182", "start_byte": 167, "limit_byte": 171}]} {"id": "-8285812747144112857-4", "language": "swahili", "document_title": "Alinikisa Cheyo", "passage_text": "Amechaguliwa kuwa askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi tangu mwaka 2000. Amekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji tangu mwaka 2011.", "question_text": "Alinikisa Cheyo aliteuliwa kuwa askofu mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 94, "limit_byte": 98}]} {"id": "-1573297592056887786-0", "language": "swahili", "document_title": "Metaboli", "passage_text": "Metaboli (gir. μεταβολή metabolē, \"badiliko\"; pia: umetaboli[1]) inamaanisha jumla la michakato ya kikemia mwilini mwa viumbehai. \nViumbehai vinahitaji nguvu, yaani nishati kwa kukua, kudumisha maisha yao na kufanya kazi. Nguvu hii inapatikana kwa njia ya chakula pamoja na pumzi. Ndani ya mwili mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (tumbo, utumbo) inavunja chakula kwa vipashio vyake vya kikemia ambavyo vinatumiwa na mwili kama lishe. Vivyo hivyo oksijeni inayofika kwa njia ya pumzi inapitishwa mwilini kwa njia ya damu hasa. Kutokana na mmenyuko wa hivi vyote mwili unapata nishati ya kujidumisha na pia maada ya kujenga seli au sehemu nyingine za mwili. Vipashio visivyotumiwa tena vinaondolewa mwilini.", "question_text": "Umetaboli una maana gani?", "answers": [{"text": "jumla la michakato ya kikemia mwilini mwa viumbehai", "start_byte": 86, "limit_byte": 137}]} {"id": "-6351839654201829570-4", "language": "swahili", "document_title": "Kamusi za Kiswahili", "passage_text": "Kamusi ya kwanza inayojulikana ilitungwa mnamo 1848 na Ludwig Krapf huko Rabai Mpya / Mombasa (Kenya); ilikamilishwa na kutolewa kama \"A Dictionary of the Suahili language, London 1882\".[1] Kamusi inapatikana pia mtandaoni[2]. ", "question_text": "Kamusi ya kwanza ya kiswahili iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Ludwig Krapf", "start_byte": 55, "limit_byte": 67}]} {"id": "-8623781788436424-0", "language": "swahili", "document_title": "Jennifer Garner", "passage_text": "\nJennifer Anne Affleck,[1] hasa hujulikana kwa jina lake la kuzaliwa kama Jennifer Garner (amezaliwa tar. 17 Aprili 1972), ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Garner amejipatia umaarufu mkubwa kwa kucheza kwake kama kachero wa CIA, Sydney Bristow, katika kipindi cha mfululizo wa TV cha Alias, ambacho kilikuwa kikirushwa hewani na televisheni ya ABC kwa misimu mitano ambayo ilianza kuanzia 2001 hadi 2006. Wakati anafanyakazi kwenye Alias, amepata kucheza nyusika chache-chache kwenye mafilamu makubwa-makubwa kama vile Pearl Harbor (2001) na Catch Me if You Can (2002). Tangu hapo, Garner ameonekana kwenye nyusika kadha wa kadha akiwa kama mwigizaji mwandamizi vilevile mwigizaji mkuu kwenye mamiradi makubwa ikiwa ni pamoja na Daredevil (2003), 13 Going on 30 (2004) na Juno (2007). Ameolewa na mwigizaji na mwongozaji wa filamu Ben Affleck, ambaye kwa pamoja wameweza kujipatia watoto wawili wa kike.", "question_text": "Je, Jennifer Garner alizaliwa katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 160, "limit_byte": 168}]} {"id": "-8752599864965655574-2", "language": "swahili", "document_title": "Kipepeo", "passage_text": "Vipepeo huishi kwa muda mfupi. Hula kiowevu pekee, hasa cha mbochi wa maua.", "question_text": "Kipepeo anaishi kwa muda gani?", "answers": [{"text": "mfupi", "start_byte": 24, "limit_byte": 29}]} {"id": "647093293091324300-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalenda ya Gregori", "passage_text": "\nKalenda ya Gregori ni kalenda ambayo leo inatumiwa zaidi kimataifa. Jina limetokana na Papa Gregori XIII aliyeamua kutumia kalenda hiyo tangu tar. 15 Februari 1582 badala ya Kalenda ya Juliasi.", "question_text": "Kalenda ya Gregori kiligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1582", "start_byte": 160, "limit_byte": 164}]} {"id": "-8495444515532375367-1", "language": "swahili", "document_title": "Malawi Congress Party", "passage_text": "Chama kitangulizi kilikuwa Nyasaland African Congress (NAC) kilichoundwa mwaka 1944 kwa shabaha ya kupanua haki za Waafrika wazalendo katika koloni la Nyasaland, jinsi Malawi ilivyoitwa kabla ya mwaka 1964. ", "question_text": "Je, Malawi ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1964", "start_byte": 201, "limit_byte": 205}]} {"id": "-7538040654767246804-11", "language": "swahili", "document_title": "Jiografia ya Tanzania", "passage_text": "Mpaka sasa muungano umekuwa na marais watano: Julius Kambarage Nyerere, Benjamin William Mkapa, Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Tanzania aliitwa nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 46, "limit_byte": 70}]} {"id": "-5447357418524056190-0", "language": "swahili", "document_title": "Chungwa", "passage_text": "Chungwa ni tunda la mchungwa. Ni kati ya matunda yanayovunwa sana duniani. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck.", "question_text": "Je,jina la kisayansi la chungwa ni gani?", "answers": [{"text": "Citrus aurantium L. var. sinensis L", "start_byte": 96, "limit_byte": 131}]} {"id": "6856390675827740277-3", "language": "swahili", "document_title": "Nigeria", "passage_text": "Nigeria imepata uhuru wake tarehe 1 Oktoba 1960, ikiunganisha maeneo ya koloni la Nigeria na sehemu ya kaskazini ya eneo lindwa la Kamerun ya Kiingereza.", "question_text": "Je,Nigeria ilipata Uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}]} {"id": "4488199894938534361-7", "language": "swahili", "document_title": "Jangwa", "passage_text": "Jangwa la mchanga — uso lake huonyesha hasa mchanga. Mchanga umetokea kutokana na mmomonyoko wa changarawe na kokoto kama mawe haya ni hasa ya shondo. Punje ndogo za mchanga husukumwa na upepo na kutokea kama matuta makubwa ya mchanga. Jangwa la mchanga ni mahali pagumu mno kwa maisha ya kila aina. Mfano bora ni jangwa la Rub al-Khali katika Uarabuni Saudi. Sahara ina pia sehemu za jangwa la mchanga.", "question_text": "Jangwa kubwa ulimwenguni linaitwaje?", "answers": [{"text": "Sahara", "start_byte": 362, "limit_byte": 368}]} {"id": "-1056181698390496445-3", "language": "swahili", "document_title": "Uthai", "passage_text": "Nchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani.", "question_text": "Nchi ya Thailand ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 67", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "-1288265311005967051-17", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Watu wa China", "passage_text": "Kuna mito mikubwa; mrefu zaidi ni Yangtse (km 6,300), Hwangho au Mto Njano, Xi Jiang au mto wa Magharibi, Mekong, Mto wa Lulu, Brahmaputra na Amur. Mito hiyo yote ina vyanzo vyake katika milima mikubwa yenye usimbishaji mwingi, ikibeba maji kwenda tambarare pasipo mvua nyingi. ", "question_text": "Mto mkubwa China ni gani?", "answers": [{"text": "Yangtse", "start_byte": 34, "limit_byte": 41}]} {"id": "-7817035429787775535-0", "language": "swahili", "document_title": "Mohamed Said", "passage_text": "Mohamed Said Salum (amezaliwa tar. 25 Februari, 1952, Gerezani, Dar es Salaam) ni mwandishi na mwanahistoria kutoka nchini Tanzania. Ametunga vitabu mbalimbali, lakini anafahamika zaidi kwa kitabu chake cha \"Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes\" kilichotolewa kwa lugha ya Kiingereza kwa mara ya kwanza 1998. Baadaye kikatafsiriwa kwa Kiswahili na kutolewa tena mnamo mwaka wa 2002. ", "question_text": "Mohamed Said Salum ametunga vitabu vingapi?", "answers": [{"text": "mbalimbali", "start_byte": 149, "limit_byte": 159}]} {"id": "6445740391749182560-1", "language": "swahili", "document_title": "Calgary Herald", "passage_text": "Jarida hili lilichapishwa kwa mara ya kwanza mnamo tarehe 31 Agosti ,1883 na Andrew Armour na Thomas Braden chini ya jina la The Calgary Herald, Mining and Ranche Advocate and General Advertiser. Jarida hili lilianza kama gazeti la kila wiki likiwa na kurasa nne zilizochapishwa kwa kutumia mashine yaliyotumia nguvu ya mikono. Operesheni zilikuwa ndogo, zikitumia hema iliyokuwa kando ya makutano ya mito Bow na Elbow kama ofisi yake. Katika mwaka wa 1885, Herald likawa gazeti la kuchapishwa kila siku lakini uchapishaji huo wa kila siku haukuanza hadi mwisho wa mwaka wa 1883. Tangu wakati huo mpaka Aprili 1985, lilikuwa gazeti la alasiri lakini hivi sasa ni gazeti linalosambazwa asubuhi. Mnamo Novemba 2000, gazeti la Herald likawa sehemu ya Kampuni ya Magazeti ya Southam (hivi sasa linaitwa Canwest News Service ambao ni mgawanyiko wa kampuni ya mawasiliano ya CanWest Global Communications)", "question_text": "Gazeti la The Calgary Herald lilianza kuchapishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1883", "start_byte": 69, "limit_byte": 73}]} {"id": "1697625600870164999-0", "language": "swahili", "document_title": "Kazunori Yamauchi", "passage_text": "\nKazunori Yamauchi(Kijapani: 山内 一典, amezaliwa 5 Agosti 1967) ni muundaji wa michezo ya video kutoka nchi ya Japan ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Polyphony Digital na muumba na mtayarishaji wa mchezo maarufu unaoitwa Gran Turismo. Alipata cheo cha rais katika PolyPhony Digital baada ya kujenga mchezo wake wa kwanza unaoitwa Motor Toon Grand Prix mchezo ambao ulikuwa asili kabisa na wa kipekee. Tangu hapo, Yamauchi ametimiza ndoto yake ya kuunda mchezo bora wa gari kupitia kwa mafanikio yaGran Turismo .", "question_text": "Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Polyphony Digital mwaka 2018 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Kazunori Yamauchi", "start_byte": 1, "limit_byte": 18}]} {"id": "4242696946435880367-1", "language": "swahili", "document_title": "Sylvester Stallone", "passage_text": "Huyu ni mmoja kati wa watu walioingiza fedha nyingi sana katika sanduku la ofisi kwa miaka ya 1970 na 1990. Sylvester Stallone, ni kioo na shujaa wa filamu za mapigano. Amecheza nyusika mbili ambazo ni mashuhuri sana: Rocky Balboa, mwana-masumbwi mmoja aliyeshinda mashindano kwa kupigana kwa upenzi na imani, na John Rambo, askari shupavu aliyefanya kazi za hatari vitani.", "question_text": "Jina kamili la muigizaji Rambo ni?", "answers": [{"text": "Sylvester Stallone", "start_byte": 109, "limit_byte": 127}]} {"id": "-376934396573704635-1", "language": "swahili", "document_title": "Familia ya Jakaya Kikwete", "passage_text": "Kikwete alimwoa Bi. Salma Kikwete mnamo 1989.[2] Hii ni ndoa yake ya pili baada ile ya kwanza ya mamake na Ridhiwani Kikwete.", "question_text": "Mke wa jakaya Kikwete anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Salma Kikwete", "start_byte": 20, "limit_byte": 33}]} {"id": "-3693059537986524485-11", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki ya Kijerumani", "passage_text": "mwanzo kama koloni la kampuni binafsi (Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki) kuanzia 1885 hadi kuporomoka kwa utawala wake mnamo 1890\nkoloni la Dola la Ujerumani (kwa Kijerumani Deutsches Reich) kuanzia 1891\nmwisho wa utawala wa Kijerumani wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia kuanzia mwaka 1916 wakati jeshi kubwa la Uingereza na Afrika Kusini pamoja na Ubelgiji lilivamia, hadi kusalimu amri kwa jeshi la Schutztruppe kwenye Novemba 1918", "question_text": "Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1885", "start_byte": 94, "limit_byte": 98}]} {"id": "2652715535674402279-1", "language": "swahili", "document_title": "Welisi", "passage_text": "Inapakana na Uingereza upande wa Mashariki. Pande zingine ziko pwani. Mji mkuu ni Cardiff (Kiwelisi: Caerdydd). ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Wales ni upi?", "answers": [{"text": "Cardiff", "start_byte": 82, "limit_byte": 89}]} {"id": "-8344727900072769741-5", "language": "swahili", "document_title": "Hispania", "passage_text": "Eneo la nchi ni 500,000km² ambalo lina wakazi wenye idadi zaidi ya watu milioni 44.395.286 (2006).", "question_text": "Hispania ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "500,000km²", "start_byte": 16, "limit_byte": 27}]} {"id": "2190057762055370919-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Tanzania ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "51,820,000", "start_byte": 382, "limit_byte": 392}]} {"id": "1192978097384173368-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayansi", "passage_text": "Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.", "question_text": "Je,nini maana ya sayansi?", "answers": [{"text": "maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa", "start_byte": 11, "limit_byte": 120}]} {"id": "694357056394863028-3", "language": "swahili", "document_title": "Namibia", "passage_text": "Mji mkuu ni Windhoek (wakazi 322.500).", "question_text": "Mji mkuu wa Namibia ni upi?", "answers": [{"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "3160180495346960398-2", "language": "swahili", "document_title": "FORD-Asili", "passage_text": "Kabla ya uchaguzi wa 1992 FORD ilifarakana kati ya wafuasi wa viongozi Kenneth Matiba kutoka Mkoa wa Kati na Martin Shikuku kutoka Mkoa wa Magharibi kwa upande mmoja na kwa upande mwingine Jaramogi Oginga Odinga kutoka Mkoa wa Nyanza. Wafuasi wa Odinga waliunda FORD-Kenya. Wafuasi wa Matiba waliendelea kwa jina la FORD-Asili. ", "question_text": "FORD-Asili ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Kenneth Matiba", "start_byte": 71, "limit_byte": 85}]} {"id": "1821700441067921053-0", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel (amezaliwa tar. 17 Julai 1954, mjini Hamburg) ni mwanafizikia na mwanasiasa wa Kijerumani, na ni Chansela wa Ujerumani tangu 22 Novemba 2005.", "question_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1954", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-5169020983828286189-0", "language": "swahili", "document_title": "Israeli ya Kale", "passage_text": "Israeli ya Kale ni jina la watu au taifa walioitwa taifa teule katika Tanakh au Biblia ya Kiebrania (kwa hiyo pia katika Agano la Kale lililo sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo. ", "question_text": "Wayahudi walitokea nchi gani?", "answers": [{"text": "Israeli", "start_byte": 0, "limit_byte": 7}]} {"id": "3909896493226975446-2", "language": "swahili", "document_title": "Mamalia", "passage_text": "Kuna takriban spishi 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga mayai, lakini wengine wote wanazaa watoto hai. ", "question_text": "Kuna wanyama wangapi aina ya Mamalia?", "answers": [{"text": "5,400", "start_byte": 21, "limit_byte": 26}]} {"id": "2802280001383592018-0", "language": "swahili", "document_title": "Kinyarwanda", "passage_text": "Kinyarwanda ni lugha ya Kibantu ambayo ni lugha rasmi nchini Rwanda. Kuna wasemaji pia katika Uganda kusini na sehemu za mashariki za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Jumla ya wasemaji hukadiriwa kuwa mnamo milioni 7.", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Rwanda ni ipi?", "answers": [{"text": "Kinyarwanda", "start_byte": 0, "limit_byte": 11}]} {"id": "7514455665829554963-0", "language": "swahili", "document_title": "Dionysius Exiguus", "passage_text": "\nDionysius Exiguus (aliishi takriban 470 - 544) ni jina la mmonaki Mkristo aliyeishi mjini Roma mnamo mwaka 500 BK. Anajulikana zaidi kama mtaalamu aliyeanzisha hesabu ya miaka \"baada ya Kristo\".", "question_text": "Dionysius Exiguus alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "470", "start_byte": 37, "limit_byte": 40}]} {"id": "-1320970501983418722-17", "language": "swahili", "document_title": "Ebola", "passage_text": "ETB ilitokea kwa mara ya kwanza nchini Sudan pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kwa kawaida ugonjwa huu huibuka katika sehemu za joto jingi za Afrika zilizoko kusini kwa Jangwa la Sahara.", "question_text": "Ugonjwa wa ebola ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "Sudan", "start_byte": 39, "limit_byte": 44}]} {"id": "-2758500836007954477-1", "language": "swahili", "document_title": "Tusker (pombe)", "passage_text": "Kenya Breweries ilianzishwa mwaka 1922 na walowezi weupe wawili, George na Charles Hurst. Kampuni hii inamilikiwa na familia Dodd ya Kenya. Katika mwaka wa 1990, wengi wa wanahisa wa kampuni walikuwa Wanakenya na kampuni hii ilifanikiwa sana.", "question_text": "Je,Kampuni ya East African Breweries ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1922", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "3172366000041477428-0", "language": "swahili", "document_title": "Neil Armstrong", "passage_text": "\nNeil Armstrong (5 Agosti 1930 — 25 Agosti 2012) alikuwa rubani mwanaanga wa Marekani aliyeshuka mwezini mwaka 1969, wa kwanza kabisa kati ya wanadamu wote.", "question_text": "Je,nani wa kwanza duniani kuenda kwa mwezi?", "answers": [{"text": "Neil Armstrong", "start_byte": 1, "limit_byte": 15}]} {"id": "-4899392657296540252-39", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Mwaka 1993 uongozi wa Kitutsi ulikubali tena uchaguzi huru ambako Mhutu Melchior Ndadaye alichaguliwa kuwa rais. Alipouawa na wanajeshi Watutsi malaki ya Watutsi waliuawa na Wahutu wakali.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Burundi anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Melchior Ndadaye", "start_byte": 72, "limit_byte": 88}]} {"id": "622512456186635653-102", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Wokovu", "passage_text": "Hapo Mungu akamtuma Eliya (1Fal 17-18) ambaye jina lake lina maana ya kwamba, “Mungu wangu ni YHWH” na linajumlisha kazi yake ya kutetea kwa ari zote imani ya kweli hata akaiokoa. Ili kuondoa utata wa kuabudu pande mbili, Eliya kwanza alizuia mvua isinyeshe nchini miaka mitatu na nusu, ibada kwa Baali zisifanikiwe hata kidogo, halafu akashindana na manabii hao hadhara ya Israeli yote juu ya mlima Karmeli. Tofauti na mbinu za manabii 450 wa Baali, waliofikia kujichanja na kutoka damu ili kuvuta moto kutoka mbinguni wasifaulu, Eliya aliomba tu kwa unyofu kwamba Mungu ajitokeze ili kugeuza mioyo ya watu wake wamrudie. Kwa kuteremsha moto toka mbinguni juu ya sadaka yake YHWH alithibitisha kuwa ndiye Mungu pekee na kuwa anaendelea kuwaokoa watu wake. Baada ya Eliya kuwachinja wote aliruhusu mvua inyeshe tena. Ndiyo sababu anasifika kwa nguvu ya sala yake (Yak 5:17-18).", "question_text": "Mlima Karmeli unapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Israeli", "start_byte": 378, "limit_byte": 385}]} {"id": "6754333657855371690-0", "language": "swahili", "document_title": "Bongo Flava", "passage_text": "Bongo Flava ni jina badala la muziki wa Hip hop ya Tanzania. Mtindo huu ulianzishwa kwenye miaka ya 1990, hasa ukiwa kama mwigo au utokanaji wa hip hop kutoka Marekani, ikiwa na ongezeko la athira ya muziki wa reggae, R&B, afrobeat, dancehall, na mitindo ya asili ya Kitanzania kama vile taarab na dansi, muunganiko ambao umeunda mtindo wa pekee wa muziki.[1] Mashairi kawaida huwa kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza.", "question_text": "Muziki wa bongo Flava ulianza lini nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 101, "limit_byte": 105}]} {"id": "8789085657796013396-14", "language": "swahili", "document_title": "Tarakilishi", "passage_text": "Kimsingi tarakilishi ni kifaa chochote kinachomsaidia binadamu kufanya hesabu. Zipo tarakilishi za aina mbili: za kianalojia (za umakanika) na za kidijiti (za elektroniki). Za kwanza \nhazitumii umeme, na ndizo ambazo zilianza kabla ya tarakilishi za kidijiti (zinazotumia umeme).", "question_text": "Je,tarakilishi ya kwanza duniani ilikuwa ya aina gani?", "answers": [{"text": "hazitumii umeme", "start_byte": 184, "limit_byte": 199}]} {"id": "-2263414831603879309-0", "language": "swahili", "document_title": "Angela Merkel", "passage_text": "Dk. Angela Dorothea Merkel (amezaliwa tar. 17 Julai 1954, mjini Hamburg) ni mwanafizikia na mwanasiasa wa Kijerumani, na ni Chansela wa Ujerumani tangu 22 Novemba 2005.", "question_text": "Je,Dk. Angela Dorothea Merkel alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1954", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-2655102577588290770-0", "language": "swahili", "document_title": "Shinyanga (mji)", "passage_text": "Shinyanga ni manisipaa nchini Tanzania ambayo ni makao makuu ya Mkoa wa Shinyanga yenye msimbo wa posta 37100[1]. Kulingana na sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 161,391 [2] .", "question_text": "Je,mkoa wa Shinyanga ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "161,391", "start_byte": 185, "limit_byte": 192}]} {"id": "7675137028453857353-0", "language": "swahili", "document_title": "Mlima Kenya", "passage_text": "Mlima Kenya (Kikuyu: Kĩrĩnyaga; Kiembu: Kirenia; Kimaasai: Ol Donyo Keri; Kimeru: Kirimara) ndio mrefu zaidi nchini Kenya. Mlima huu una urefu wa mita 5,199. Mlima huu unatokana na volkeno zimwe ikikadiriwa ya kwamba mlipuko wake wa mwisho ulitokea mnamo miaka milioni 2.6 hadi 3.1 iliyopita.", "question_text": "Mlima mrefu nchini Kenya ni upi?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 6, "limit_byte": 11}]} {"id": "3012386288500965511-17", "language": "swahili", "document_title": "Mto", "passage_text": "6.671 km - Nile: Luvironza-Ruvuvu-Ruvusu-Kagera-Nile Nyeupe-Nile - (Afrika)\n6.387 km - Amazonas: Apurimac-Ene-Tambo-Ucayali-Amazonas - (Amerika ya Kusini)\n6.380 km - Yangtse (Cháng Jiāng) - (Asia)\n6.051 km - Mississippi-Missouri - (Amerika ya Kaskazini)\n5.940 km - Yenisei-Angara - (Asia)\n5.410 km - Ob-Irtysch - (Asia)\n5.052 km - Amur-Argun-Kerulen - (Asia) - (pekee wakati wa mvua nyingi)\n4.845 km - Huang He - (Asia)\n4.500 km - Mekong - (Asia)\n4.374 km - Kongo - (Afrika)", "question_text": "Je,mto Mississippi ina urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "6.051 km", "start_byte": 199, "limit_byte": 207}]} {"id": "-2813684288961637383-7", "language": "swahili", "document_title": "Raila Odinga", "passage_text": "Raila alionekana katika siasa mara ya kwanza baada ya jaribio la Mapinduzi ya kijeshi ya 1982 nchini Kenya. Raila asiyewahi kuwa mwanajeshi alishtakiwa kushiriki katika mipango hii akakamatwa akafungwa katika nyumba yake kwa miezi sita na kutupwa jela bila hukumu jumla miaka nane kati ya 1982-1988, 1988-1989 na 1990-1991. Wakati ule alikanusha mashtaki lakini kutokana tawasifu iliyotolewa mwaka 2006 imeonekana ya kwamba alikuwa na habari kuhusu mipango ya mapinduzi.", "question_text": "Raila Odinga alijiunga na siasa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1982", "start_byte": 89, "limit_byte": 93}]} {"id": "-1761149462527000941-6", "language": "swahili", "document_title": "Kitabu cha Yoshua", "passage_text": "Wakati huo, miaka 40 baada ya wazazi wao kuondoka Misri, watu wa kizazi kile kipya walikuwa tayari kuingia Kanaani. Kambi yao kubwa ilikuwa mashariki mwa Mto Yordani kukabili Yeriko (Hes 22:1). Musa alikuwa amekufa tangu muda mfupi (Kumb 34:1-5), na Yoshua alipewa jukumu la kuwaongoza Waisraeli baada ya kifo cha Musa kwenye miaka 1210-1200 hivi KK (Kum 34:9; Yos 1:1-2).", "question_text": "Safari ya Wana Israeli ilichukua miaka mingapi kufika kanani?", "answers": [{"text": "40", "start_byte": 18, "limit_byte": 20}]} {"id": "-492779030987884261-3", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "Mji mkuu ni Khartoum. ", "question_text": "Mji mkuu Sudan unaitwa aje?", "answers": [{"text": "Khartoum", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-436346333042643895-0", "language": "swahili", "document_title": "Out of Time (Heroes)", "passage_text": "\"Out of Time\" ni sehemu ya saba ya msimu wa pili wa tamthilia ya ubunifu wa kisayansi inayorushwa hewani na TV ya NBC - Heroes. Ilianza kurushwa hewani kwa mara ya kwanza mnamo tar. 5 November 5, 2007.", "question_text": "Msimu wa Heroes inayorushwa kwa TV ya NBC ulianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "2007", "start_byte": 197, "limit_byte": 201}]} {"id": "-767521404801608561-1", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Intaneti", "passage_text": "Historia yake inaweza kuanza na uzinduzi wa Sputnik na USSR uliochochea Marekani kuanzisha shirika la utafiti wa juu wa miradi, iliyojulikana kama ARPA, katika mwezi Februari 1958 ili kuongoza kiteknolojia.[1] [2] ARPA ilitengeneza ofisi ya teknolojia za kuchambua habari (IPTO) ili kuendeleza utafiti wa programu inayojitekeleza ya mazingira ya chini (Sage), ambayo iliunganisha mifumo ya rada za nchi nzima kwa mara ya kwanza. ", "question_text": "Je,huduma ya intaneti ilianza lini?", "answers": [{"text": "Februari 1958", "start_byte": 166, "limit_byte": 179}]} {"id": "7558146896068424302-1", "language": "swahili", "document_title": "Shelisheli", "passage_text": "\n\nShelisheli ni funguvisiwa na jamhuri katika Bahari Hindi mbele ya mwambao wa mashariki ya Afrika upande wa kaskazini wa Madagaska.", "question_text": "Je,Visiwa vya Shelisheli vinapatikana katika bahari gani?", "answers": [{"text": "Bahari Hindi", "start_byte": 46, "limit_byte": 58}]} {"id": "6340241269155224211-1", "language": "swahili", "document_title": "NRC Handelsblad", "passage_text": "Gazeti la NRC Handelsblad lilianzishwa mnamo 1 Oktoba 1970, baada ya muungano wa gazeti la Amsterdam la Algemeen Handelsblad na gazeti la Rotterdam la Nieuwe Rotterdamsche Courant. Nieuwe Rotterdamsche Courant lilianzishwa katika mwaka wa 1844 na Henricus Nijgh huko Rotterdam. Gazeti la Algemeen Handelsblad lilianzishwa katika jiji kuu la Amsterdam katika mwaka wa 1828 na J.W. van den Biessen. Wito wa jarida hili,NRC Handelsblad ni Lux et Libertas- hasa ukimaanisha Mwangaza (ikiashiria wakati wa kuzuzuliwa na kuerevushwa- yaani mwangaza unawafungua macho) na Uhuru.", "question_text": "Gazeti la NRC Handelsblad lilianza kuchapishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 54, "limit_byte": 58}]} {"id": "3070450198380771270-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Je,mlima Kilimanjaro ina urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 5895", "start_byte": 33, "limit_byte": 42}]} {"id": "3685367134354282919-0", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "\nKuku (Gallus gallus domesticus) ni ndege anayefugwa na binadamu nyumbani tangu miaka 8,000 hivi. Kwa sababu hiyo ni miongoni mwa wanyama waliosambaa zaidi duniani na ndio ndege walio wengi zaidi duniani.[1]", "question_text": "Jina la kisayansi la kuku ni nini?", "answers": [{"text": "Gallus gallus domesticus", "start_byte": 7, "limit_byte": 31}]} {"id": "-2287644619446435403-0", "language": "swahili", "document_title": "Ethiopia", "passage_text": "የኢትዮጵያ ፌዴራላዊ\nዲሞክራሲያዊ ሪፐብሊክ\n ye-Ityopp'ya Federalawi Dimokrasiyawi Ripeblik\nShirikisho la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Ethiopia)(Coat of Arms of Ethiopia) Kaulimbiu ya Taifa: nara-pengine kwa historia \n (Pengine pia utamaduni wa Kanisa la ethiopia:\n Wimbo wa TaifaWodefit Gesgeshi, Widd Innat Ityopp'ya\n(Songa mbele, Ewe mama Ethiopia)Lugha za TaifaKiamhara \nMji MkuuAddis AbabaRais\nWaziri MkuuSahlework Zewde\nAbiy Ahmed AliEneo\n- Jumla \n- 0.7% MajiKadiriwa 27 duniani \n 1,127,127 km² \n AchaWatu\n- Kadiriwa ( 37 duniani )\n- Jumla (85,237,338)\n- Umma kugawa na Eneo 167.9Kadiriwa 14 duni \n 85,237,338\n85,237,338 \n 38/km² (103 duniani)GDP (PPP)\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma\n72 kadir\n$59,930,000,000 (223) \n$800 (223)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraMadaraka)\nsiku kuu Siku ya Ukombozi\nFedhaBirrSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.etkodi za simu251", "question_text": "Mji mkuu Ethiopia ni upi?", "answers": [{"text": "Addis Ababa", "start_byte": 436, "limit_byte": 447}]} {"id": "887595973991564296-0", "language": "swahili", "document_title": "Pasifiki", "passage_text": "\nPasifiki ni bahari kubwa kuliko zote duniani.", "question_text": "Bahari kubwa zaidi ulimwenguni inaitwaje?", "answers": [{"text": "Pasifiki", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "7320899165296667249-0", "language": "swahili", "document_title": "Rwanda", "passage_text": "Republic of Rwanda (ing.)\n\nRépublique Rwandaise (far.)\n\nRepubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)\n\nJamhuri ya Rwanda (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n(Details)(Details)Lugha rasmiKiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, KiswahiliMji MkuuKigaliSerikaliJamhuriRaisPaul KagameWaziri MkuuAnastase MurekeziEneokm² 26.338Eneo la Rwanda Kazembekm² 123.553Idadi ya wakazi11,262,564 (Januari 2015)Wakazi kwa km²445Uhurukutoka Ubelgiji 1 Julai 1962PesaRwanda-FrancWimbo wa TaifaRwanda nziza (Rwanda nzuri)", "question_text": "Rais wa Rwanda anaitwaje?", "answers": [{"text": "Paul Kagame", "start_byte": 236, "limit_byte": 247}]} {"id": "-7578028363521586046-1", "language": "swahili", "document_title": "Sayansi", "passage_text": "Mara nyingi Galileo Galilei anahesabiwa kuwa baba wa sayansi ya kisasa. ", "question_text": "Baba wa sayansi ni nani?", "answers": [{"text": "Galileo Galilei", "start_byte": 12, "limit_byte": 27}]} {"id": "-1091648650482989130-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Msitu wa Mau una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}]} {"id": "512455521894148326-0", "language": "swahili", "document_title": "Raphael", "passage_text": "\nRaffaello Sanzio (kwa Kiitalia huitwa pia Raffaello da Urbino; kwa Kiingereza anajulikana kama Raffael au Raphael) (6 Aprili 1483 - 6 Aprili 1520) alikuwa mchoraji na mjenzi kutoka Italia. ", "question_text": "Raffaello Sanzio alizaliwa mwak upi?", "answers": [{"text": "1483", "start_byte": 126, "limit_byte": 130}]} {"id": "-4413242650934246278-1", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "Kuna aina nyingi sana za bakteria na idadi yao ni kubwa kushinda viumbe vingine vyote duniani.", "question_text": "Je,kuna aina ngapi ya bakteria?", "answers": [{"text": "nyingi sana", "start_byte": 10, "limit_byte": 21}]} {"id": "3103791781506249067-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Msitu kuu duniani ni ipi?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "-8479277796167806394-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Msitu mkubwa ulimwenguni ni upi?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "-173874660309752592-0", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Rockport", "passage_text": "\nKampuni ya Rockport ni kampuni ya kutengeneza viatu iliyo na makao yake katika eneo la Massachusetts. Ilianzishwa huko Marlborough, Massachusetts katika mwaka wa 1971 na Saul na Bruce Katz, kampuni hii inaendelea kutengeneza viatu na huendesha maduka nchini Marekani na nchi 66 duniani kote. Kampuni hii ilinunuliwa na kampuni ya Reebok katika mwaka wa 1984. Hivi sasa,kampuni zote mbili zinamilikiwa na kampuni kubwa ya Ujerumani ya Adidas. Kampuni ya Rockport ,hivi sasa, ina makao yake mjini Canton, Massachusetts, katika makao makuu ya Reebok.", "question_text": "Je, Kampuni ya Rockport ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 163, "limit_byte": 167}]} {"id": "-8291209251775907229-0", "language": "swahili", "document_title": "Galileo Galilei", "passage_text": "\nGalileo Galilei (5 Februari 1564 – 8 Januari 1642) alikuwa mtaalamu wa fizikia, hisabati na astronomia kutoka nchini Italia.", "question_text": "Je,Galileo Galilei alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1564", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "2129327074094179601-5", "language": "swahili", "document_title": "Ulaya", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2002 takriban)Wakazi kwa km²Mji Mkuu\nUlaya ya Mashariki: Belarus207,60010,335,38249.8Minsk Bulgaria110,9107,621,33768.7Sofia Ucheki78,86610,256,760130.1Praha Hungaria93,03010,075,034108.3Budapest Moldova33,8434,434,547131.0Kishineu Poland312,68538,625,478123.5Warshawa Romania238,39121,698,18191.0Bukarest Urusi (2)3,960,000106,037,14326.8Moscow Slovakia48,8455,422,366111.0Bratislava Ukraine603,70048,396,47080.2Kiev\nUlaya ya Kaskazini: Denmark43,0945,368,854124.6Kopenhagen Estonia45,2261,415,68131.3Tallinn Visiwa vya Faroe (Denmark)1,39946,01132.9Tórshavn Finland337,0305,183,54515.4Helsinki Guernsey (3)7864,587828.0St Peter Port Iceland103,000279,3842.7Reykjavík Eire (Ireland )70,2803,883,15955.3Dublin Kisiwa cha Man (3)57273,873129.1Douglas Jersey (3)11689,775773.9Saint Helier Latvia64,5892,366,51536.6Riga Lituanya65,2003,601,13855.2Vilnius Norwei324,2204,525,11614.0Oslo Visiwa vya Svalbard and Jan\nMayen (Norway)62,0492,8680.046Longyearbyen Uswidi449,9648,876,74419.7Stockholm Uingereza (Ufalme wa Maungano)244,82059,778,002244.2London\nUlaya ya Kusini: Albania28,7483,544,841123.3Tirana Andorra46868,403146.2Andorra la Vella Bosnia na Herzegovina51,1293,964,38877.5Sarayevo Kroatia56,5424,390,75177.7Zagreb Gibraltar (Uingereza)5.927,7144,697.3Gibraltar Ugiriki131,94010,645,34380.7Athens Italia301,23057,715,625191.6Roma Masedonia25,3332,054,80081.1Skopje Malta316397,4991,257.9Valletta Montenegro316397,4991,257.9Podgorica Ureno (6)91,56810,084,245110.1Lisbon San Marino6127,730454.6San Marino Serbia102,17310,280,000100.6Belgrad Slovenia20,2731,932,91795.3Lyublyana Hispania (7)498,50640,077,10080.4Madrid Mji wa Vatikani0.449002,045.5Mji wa Vatikani\nUlaya ya Magharibi: Austria83,8588,169,92997.4Vienna Ubelgiji30,51010,274,595336.8Brussels Ufaransa (8)547,03059,765,983109.3Paris Ujerumani (Udachi)357,02183,251,851233.2Berlin Liechtenstein16032,842205.3Vaduz Luxemburg2,586448,569173.5Luxemburg Monako1.9531,98716,403.6Monako Uholanzi (9)41,52616,318,199393.0Amsterdam, Den Haag Uswisi41,2907,301,994176.8Bern\nAsia ya Magharibi: Armenia (10)29,800——Yerevan Azerbaijan (11)39,7304,198,491105.7Baku Kupro (12)5,995780,133130.1Nikosia (Lefkosa) Georgia (13)}49,2402,447,17649.7Tbilisi Uturuki (14)24,37811,044,932453.1Ankara\nAsia ya Kati: Kazakhstan (15)370,3731,285,1743.4AstanaTotal10,431,299709,022,06168.0", "question_text": "Je,nchi gani kubwa zaidi katika bara Uropa?", "answers": [{"text": "Urusi", "start_byte": 368, "limit_byte": 373}]} {"id": "8102645334249286796-3", "language": "swahili", "document_title": "Himalaya", "passage_text": "Everest (m 8,848), Nepal - Tibet, Asia\nK2 (m 8,611), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nKangchenjunga (m 8,586), Nepal - India, Asia\nLhotse (m 8,511), Nepal - Tibet, Asia\nMakalu (m 8,463), Nepal - Tibet, Asia\nCho Oyu (m 8,188), Nepal - Tibet, Asia\nDhaulagiri (m 8,167), Nepal, Asia\nManaslu (m 8,163), Nepal, Asia\nNanga Parbat (m 8,125), Pakistan, Asia\nAnnapurna (m 8,091), Nepal, Asia\nGasherbrum I (m 8,080), Pakistan - Xinjiang, Uchina, Asia\nShishapangma (m 8,012), Tibet, Asia", "question_text": "Je,mlima wa Himalayas ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "m 8,848", "start_byte": 9, "limit_byte": 16}]} {"id": "5660359154333818751-1", "language": "swahili", "document_title": "Mito mirefu ya Afrika", "passage_text": "Mara nyingi mto wa Nile unahesabiwa kuwa mtu mrefu kuliko yote ya Afrika pia duniani. Kadirio la urefu wa mto hutegemea jinsi ya kuhesabu tawimito yake. Orodha inayofuata ina tofauti na orodha inayokadiria kwa namna nyingine. ", "question_text": "Mto mkubwa zaidi barani Afrika unaitwaje?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}]} {"id": "6504512381321149181-58", "language": "swahili", "document_title": "Manchester United F.C.", "passage_text": "Mmiliki: Malcolm Glazer\nRais wa heshima: Martin Edwards", "question_text": "Manchester City inamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Malcolm Glazer", "start_byte": 9, "limit_byte": 23}]} {"id": "6699456376421663531-0", "language": "swahili", "document_title": "Kongo (mto)", "passage_text": "Mto wa Kongo (kati ya miaka 1971 na 1997 uliitwa zaidi \"Zaire\") ni mto mkubwa wa Afrika ya kati. Ni mto mrefu wa pili katika Afrika baada ya Nile. ", "question_text": "Mto mrefu zaidi Afrika ni gani?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 141, "limit_byte": 145}]} {"id": "5440570108583029074-16", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kanisa Katoliki", "passage_text": "Mbele ya changamoto hizo, Mtaguso wa pili wa Vatikano (1962-1965) ulielekeza njia mpya za kuendeleza Ukristo katika ulimwengu wa kisasa.", "question_text": "Mtaguso wa pili wa Vatikano ulikuwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1962-1965", "start_byte": 55, "limit_byte": 64}]} {"id": "7147513620849430174-1", "language": "swahili", "document_title": "Jackie Aygemang", "passage_text": "Agyemang alizaliwa Kanada na ndiye kitinda mimba katika familia ya watoto watano. Maisha yake ya utotoni aliishi Kanada, na alihamia Ghana pamoja na wazazi wake mwaka 1993.[2] Yeye ni Ikijulikana Maiden yake yake kwa jina, Appiah.Anatambulika zaidi kwa jina lake la ukoo la Appiah. Agyemang aliolewa mwaka 2005 na ana mwana mmoja.", "question_text": "Jackie Agyemang alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kanada", "start_byte": 19, "limit_byte": 25}]} {"id": "-601193179193823877-0", "language": "swahili", "document_title": "Fioretti", "passage_text": "Fioretti (kwa Kiitalia maana yake ni Maua Madogo, yaani Visimulizi Bora) ni kitabu maarufu kuhusu Fransisko wa Asizi na wenzake kilichotafsiriwa mwishoni mwa karne ya 14 kutoka kile cha Kilatini Actus beati Francisci et sociorum eius, kinachodhaniwa kuwa kiliandikwa na Ugolino Brunforte (1262 hivi – 1348 hivi).", "question_text": "Je,nani mwandishi wa kitabu cha Fioretti?", "answers": [{"text": "Ugolino Brunforte", "start_byte": 270, "limit_byte": 287}]} {"id": "-7576709788809025602-0", "language": "swahili", "document_title": "Shane Filan", "passage_text": "Shane Steven Filan (amezaliwa tar. 5 Julai 1979) ni msanii wa muziki wa pop kutoka nchini Ireland. Huyu ndiye mwimbaji kiongozi wa kundi la Westlife. Filan ni moja ya waimbaji watano wa asili wa kundi la hili, akiwa na wenzake,\nKian Egan, Mark Feehily na Nicky Byrne na aliyekuwa mwenzao Brian McFadden.", "question_text": "Je,kiongozi wa kundi la westlife anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Shane Steven Filan", "start_byte": 0, "limit_byte": 18}]} {"id": "1766200879371852600-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkuku (kundinyota)", "passage_text": "Hadi karne 19 kundinyota hii ilitazamiwa kuwa sehemu ya kundinyota kubwa zaidi iliyoitwa Argo Navis, mara nyingi pekee \"Navis\" (yaani merikebu) iliyokuwa moja ya kundinyota 48 zilizoorodheshwa na Klaudio Ptolemaio. Waarabu waliita Safina au Markab. Lacaille alihesabu ndani yake nyota 180 zilizokuwa nyingi mno kwa kuzitaja kwa majina ya Bayer na hivyo alianza tayari kugawa Argo Navis kwa sehemu tatu za Tanga (Vela), Shetri (Puppis) na Mkuku (Carina). Hii ilithibitishwa na Umoja wa Kimataifa wa Astronomia katika orodha ya kundinyota 88 za kisasa iliyotolewa mwaka 1930. [3] [4]", "question_text": "Kundinyota la Mkuku Carina lina nyota ngapi?", "answers": [{"text": "180", "start_byte": 285, "limit_byte": 288}]} {"id": "-2909229242276081199-1", "language": "swahili", "document_title": "Mikoa ya Burundi", "passage_text": "Bubanza\nBujumbura Mairie\nBujumbura Rural\nBururi\nCankuzo\nCibitoke\nGitega\nKaruzi\nKayanza\nKirundo\nMakamba\nMuramvya\nMuyinga\nMwaro\nNgozi\nRutana\nRuyigi", "question_text": "Mji mkuu wa Burundi?", "answers": [{"text": "Gitega", "start_byte": 65, "limit_byte": 71}]} {"id": "51140947542501399-9", "language": "swahili", "document_title": "Voliboli", "passage_text": "Tarehe 9 Februari 1895, huko Holyoke, Massachusetts (Marekani), William G. Morgan, mkurugenzi wa elimu ya kimwili, aliunda mchezo mpya unaoitwa Mintonette kama nafasi ya kucheza (hasa) ndani na kwa wachezaji wowote. Mchezo huo ulichukua baadhi ya sifa zake kutoka kwa tenisi na mpira wa miguu. ", "question_text": "Mchezo wa voliboli ulianzishwa na nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 53, "limit_byte": 61}]} {"id": "-3430875044409062402-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Kuku huishi kwa kipindi cha muda mgani kwa wastani?", "answers": [{"text": "miaka 5-11", "start_byte": 36, "limit_byte": 46}]} {"id": "-2084411073329395980-1", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Serengeti", "passage_text": "Eneo lake ni 14,763 km² na kijiografia inaendelea ndani ya Kenya inapoitwa Hifadhi ya Masai Mara.", "question_text": "Je,mbuga ya Serengeti ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "14,763 km²", "start_byte": 13, "limit_byte": 24}]} {"id": "6840230446660423757-30", "language": "swahili", "document_title": "Burundi", "passage_text": "Mwaka 1962 Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urubdi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee.", "question_text": "Burundi ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "2563881780728642683-1", "language": "swahili", "document_title": "Illinois", "passage_text": "Eneo la jimbo ni 140,998 km² likiwa na wakazi 12,831,970 hivyo kuna msongamano wa watu 86.27/km². Idadi kubwa hukaa katika rundiko la jiji la Chicago penye wakazi milioni 9.", "question_text": "Je,jimbo la Illinois ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "12,831,970", "start_byte": 47, "limit_byte": 57}]} {"id": "-8627534115461486856-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "Eneo lina kilometa za mraba 947,303 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2.", "question_text": "Nchi ya Tanzania iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilometa za mraba 947,303", "start_byte": 10, "limit_byte": 35}]} {"id": "1515605599955437692-0", "language": "swahili", "document_title": "Joseph Pulitzer", "passage_text": "Joseph Pulitzer (10 Aprili 1847 – 29 Oktoba 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.", "question_text": "Je, nani mwanzilishi wa tuzo ya Pulitzer ?", "answers": [{"text": "Joseph Pulitzer", "start_byte": 0, "limit_byte": 15}]} {"id": "4485865741898849005-9", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Eneo hili la milima ndilo la juu zaidi nchini Kenya (na la pili kwa urefu barani Afrika): Mlima Kenya, unaofikia urefu wa mita 5,199 (futi 17,0570) 5,199m (17,057ft) na ni eneo lenye mito ya barafu. Mlima Kilimanjaro (5,895m (19,341ft)Error in convert: Ignored invalid option \"disp=s\" (help)) huweza kuonekana upande wa kusini, ng'ambo ya mpaka wa Kenya na Tanzania .[7]", "question_text": "Mlima Kenya ina urefu wa kilomita ngapi?", "answers": [{"text": "mita 5,199", "start_byte": 122, "limit_byte": 132}]} {"id": "6972191620748389497-48", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Waafrika walichaguliwa moja kwa moja katika bunge la uwakilishi kwa mara ya kwanza mwaka wa 1957. Licha ya Waingereza kutamani kuwakabidhi mamlaka wapinzani wasio na siasa kali ya Kiafrika, ni chama cha Kenya African National Union (KANU) kilichoongozwa na Jomo Kenyatta kilichounda serikali punde tu kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. Tarehe 12 Desemba 1964, Kenya ilipotangazwa kuwa jamhuri, Kenyatta akawa rais wa kwanza.", "question_text": "Chama cha kisiasa kilicho tawala Kenya kwa muda mrefu ni kipi?", "answers": [{"text": "KANU", "start_byte": 233, "limit_byte": 237}]} {"id": "896324159556287432-7", "language": "swahili", "document_title": "Ng'ombe", "passage_text": "Wanacheua chakula chao na huwa na tumbo lenye vyumba vinne. Baada ya kula nyasi mara ya kwanza wanairudisha kutoka chumba cha kwanza cha tumbo na kuitafuna tena. Kwa njia hii wanapata lishe nyingi kutoka nyasi.", "question_text": "Ng'ombe ana tumbo ngapi?", "answers": [{"text": "vinne", "start_byte": 53, "limit_byte": 58}]} {"id": "7552981025177652205-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya milima mirefu duniani", "passage_text": "Mlima mrefu duniani kwa kuangalia kimo juu ya uwiano wa bahari ni Mlima Everest ulioko kwenye mpaka baina ya Nepal na China. Kilele chake kipo mita 8,848 juu ya usawa wa bahari. Mlima Everest ni sehemu ya milima ya Himalaya. Pamoja na Everest kuna milima mingine 13 inayopita kimo cha mita 8,000, yote iko katika Himalaya na milima jirani ya Karakoram ambayo ni tokeo la kukunjwa kwa ganda la dunia tangu bamba la Uhindi lilianza kugonga bamba la Ulaya-Asia.", "question_text": "Ni mlima upi mkubwa sana duniani?", "answers": [{"text": "Everest", "start_byte": 72, "limit_byte": 79}]} {"id": "7597674634342503896-0", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la jimbo la Illinois", "passage_text": "Bunge la juu jimbo la Illinois, nchini Marekani ni baraza kuu katika dola hili likiwa na jukumu la kupitisha sheria zinazohusu jimbo hilo. Bunge hilo lilibuniwa kupitia katiba ya jimbo, iliyopitishwa mwaka 1818. Lina wabunge 59 wanaochaguliwa kila mmoja kutoka sehemu wakilishi bungeni, wale wabunge wakigawiwa katika makundi matatu, na kila kundi likipigiwa kura tena baada ya muhula wa miaka miwili.[1]", "question_text": "Je,bunge la juu jimbo la Illinois ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1818", "start_byte": 206, "limit_byte": 210}]} {"id": "4545416160138752152-0", "language": "swahili", "document_title": "Willy Paul", "passage_text": "Willy Paul (kwa jina halisi Wilson Abubakar Radido; alizaliwa 4 Februari 1993) ni mwimbaji na mwanamuziki wa\nnjimbo za Kiinjili na kidini kutoka Nairobi, Kenya.", "question_text": "Mwanamziki wa Kenya Willy Paul alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "4 Februari 1993", "start_byte": 62, "limit_byte": 77}]} {"id": "1999320195141314491-3", "language": "swahili", "document_title": "Agano la Kale", "passage_text": "Waprotestanti wengi hukubali vitabu 39 ambavyo ni sawa na Tanakh ya Wayahudi.\nWakatoliki hukubali vitabu 46 yaani hivyo 39 na 7 vingine (Deuterokanoni) ambavyo ni: Kitabu cha Yuditi, Kitabu cha Tobiti, Kitabu cha Yoshua bin Sira, Kitabu cha Hekima, Kitabu cha Wamakabayo I na Kitabu cha Wamakabayo II, halafu sehemu za nyongeza za vitabu vya Kitabu cha Danieli na Kitabu cha Esta.\nBaadhi ya Waorthodoksi wana vitabu vingine pia kama vile Esra 1 (Esra ya Kiebrania huhesabiwa kama Esra 2), 3 Wamakabayo na zaburi 151; kama nyongeza 4 Wamakabayo; Ufunuo wa Esra na hata vingine.", "question_text": "Je,Agano la Kale lina vitabu ngapi?", "answers": [{"text": "46", "start_byte": 105, "limit_byte": 107}]} {"id": "1433168820761457375-2", "language": "swahili", "document_title": "Kamusi ya Koloni za Kijerumani (1920)", "passage_text": "Kamusi iliandikwa kwa lugha ya Kijerumani na wataalamu wa jiografia, biolojia, uchumi, lugha na masomo mengi mengine wenye ujuzi kuhusu nchi walioeleza katika kamusi. Kuna takwimu nyingi katika makala za kamusi hii.", "question_text": "Kamusi ya kikoloni ya Kijerumani iliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "wataalamu wa jiografia, biolojia, uchumi, lugha na masomo mengi mengine wenye ujuzi kuhusu nchi walioeleza katika kamusi", "start_byte": 45, "limit_byte": 165}]} {"id": "-2080362876467401396-0", "language": "swahili", "document_title": "Longido", "passage_text": "Longido ni mji mdogo na makao makuu ya Wilaya ya Longido katika Mkoa wa Arusha upande wa kaskazini wa Tanzania wenye postikodi namba 23501[1]. Iko kwenye barabara katikati ya miji ya Arusha na Namanga mpakani mwa Kenya.", "question_text": "Longido iko wilaya gani?", "answers": [{"text": "Longido", "start_byte": 49, "limit_byte": 56}]} {"id": "2909496447809026600-6", "language": "swahili", "document_title": "Bakteria", "passage_text": "Bakteria ziligunduliwa mara ya kwanza na Antonie van Leeuwenhoek mwaka wa 1676, kwa kutumia hadubini ya lensi moja ya muundo wake mwenyewe.[1] Aliziita \"animalcules\" na alichapisha habari za utafiti wake kwenye msururu wa barua kwa Shirika la Muungano wa Mfalme.[2][3][4] Jina bacteriam lililetwa miaka mingi baadaye, na Christian Gottfried Ehrenberg katika mwaka wa 1838.[5]", "question_text": "Bakteria iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Antonie van Leeuwenhoek", "start_byte": 41, "limit_byte": 64}]} {"id": "-5170438475203228135-4", "language": "swahili", "document_title": "Kuku", "passage_text": "Katika mazingira asilia kuku huishi miaka 5-11 lakini wale wanaofugwa kwa wingi wanachinjwa baada ya wiki 6-8 kama ni kuku wa nyama na baada ya mwaka mmoja kama ni kuku wa mayai. Kati ya aina zinazofugwa kwa mayai karibu madume wote, yaani nusu ya vifaranga, wanauawa mara moja kwa sababu hawatagi mayai na aina hii haileti nyama ya kutosha.", "question_text": "Je Kuku anaishi kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "5-11", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "3038697710060208679-31", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Kenya", "passage_text": "Licha ya Waingereza kuwa na matumaini ya kuwapa wapinzani Waafrika mamlaka \"ya wastani\" zaidi, ilikuwa Kenya African National Union (KANU) ya Jomo Kenyatta, mwanachama wa kabila la Kikuyu na mfungwa wa zamani, ambayo iliunda serikali muda mfupi kabla ya Kenya kupata uhuru tarehe 12 Desemba 1963. ", "question_text": "Kenya ilipata huru wao mwaka gani kutoka kwa wakoloni?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 291, "limit_byte": 295}]} {"id": "-5337024197243414726-20", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia", "passage_text": "Wakati 1917 mataifa ya Ulaya yalionyesha dalili za uchovu. Katika hali hiyo mabadiliko mawili makubwa yalitokea: Marekani ilijiunga na vita dhidi ya Wajerumani na Urusi iliona mapinduzi yaliyolazimisha serikali mpya kutia sahihi mapatano ya kumaliza mapigano dhidi ya Wajerumani walioteka maeneo makubwa ya Urusi.", "question_text": "Ni nini kilileta ukomo vita vya dunia?", "answers": [{"text": "uchovu", "start_byte": 51, "limit_byte": 57}]} {"id": "-4104952889476958198-66", "language": "swahili", "document_title": "Kenya", "passage_text": "Kenya ni jamhuri ya kidemokrasia ya kiuwakilishi inayoongozwa na rais, ambaye ndiye mkuu wa taifa na kiongozi wa serikali, na yenye mfumo wa vyama vingi. Serikali ndiyo yenye mamlaka ya juu. ", "question_text": "Serikali ya kenya ina mfumo gani wa utawala?", "answers": [{"text": "kidemokrasia", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}]} {"id": "3035089538063207033-2", "language": "swahili", "document_title": "Burger Ranch (Israeli)", "passage_text": "Burger Ranch ya kwanza huko Israeli ilifunguliwa mwaka 1972 na Barry Scop na Ron Lapid huko Ben Yehuda Street mjini Tel Aviv. Mwaka 1978, mkahawa wa pili ukafunguliwa huko Ibn Gabirol Street mjini Tel Aviv. Mnyororo huo uli panuka haraka na kufungua hoteli zingine na mwaka 1993 wakati McDonald's iliingia kwenye soko ya israeli Burger Ranch ndio ilikuwa hoteli kubwa zaidi ikiwa na Hoteli 49. Kutoka wamiliki wake wa kwanza kutoka Afrika ya Kusini, Burger Ranch ilihamia umiliki wa Paz, kampuni kubwa ya petroli huko Israeli.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa hoteli za Burger Ranch?", "answers": [{"text": "Barry Scop na Ron Lapid", "start_byte": 63, "limit_byte": 86}]} {"id": "5167370300429888858-0", "language": "swahili", "document_title": "George Weah", "passage_text": "\nGeorge Weah ni mwanakandanda mstaafu mashuhuri duniani halafu mwanasiasa aliyechaguliwa kuwa rais wa Liberia katika mwaka 2017. ", "question_text": "Je,rais George Weah alichaguliwa kuwa rais mwaka upi?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 123, "limit_byte": 127}]} {"id": "-4068813049359375572-0", "language": "swahili", "document_title": "Haile Mariam Desalegne", "passage_text": "Haile Mariam Desalegne (* 19 Julai 1965 Boloso Sore, Wolayita, Ethiopia) ni mwanasiasa wa nchini Ethiopia. Mwaka 2010 alikuwa waziri wa mambo ya nje na makamu wa waziri mkuu wa Ethiopia. Baada ya kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi terehe 20 Agosti 2012 alikuwa waziri mkuu mtendaji.", "question_text": "Haile Mariam Desalegne alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1965", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "-604615167422563480-0", "language": "swahili", "document_title": "Mto Avon (Warwickshire)", "passage_text": "\nMto Avon pronounced/ˈeɪvən/(deprecated template) ni mto wa kata za Leicestershire, Northamptonshire, Warwickshire, Worcestershire na Gloucestershire, Uingereza. Pia unajulikana kama Avon ya juu, Warwickshire Avon au Avon ya Shakespeare. Mto una urefu wa 96 miles (154km). Jina Avon limetoka katika Kiwelsh na linalomaanisha 'mto' (linatamkwa kama afon katika Welsh)", "question_text": "Je, mto Avon una urefu gani?", "answers": [{"text": "96 miles", "start_byte": 259, "limit_byte": 267}]} {"id": "2830811075231104441-0", "language": "swahili", "document_title": "Alfabeti", "passage_text": "Alfabeti ni kiasi cha alama zinazotumiwa kuandika sauti za lugha fulani. Alama hizi hupatikana kama orodha kwa ufuatano uliokubaliwa, kwa mfano katika Kiswahili: \"a, b, ch, d, dh, e, f, g, gh, h, i, j, k, kh, l, m, n, ny, ng', o, p, r, s, sh, u, t, th, v,w, y, z\".", "question_text": "Alfabeti ni nini?", "answers": [{"text": "kiasi cha alama zinazotumiwa kuandika sauti za lugha fulani", "start_byte": 12, "limit_byte": 71}]} {"id": "-3532083990206820068-1", "language": "swahili", "document_title": "Mfupa", "passage_text": "Mifupa inaunganishwa katika kiunzi cha mifupa. Mwili wa binadamu huwa na mifupa zaidi ya 200, idadi inayojulikana kwa wataalamu ni 270, lakini wakati wa maisha mifupa mingi inaungana kuwa mmoja, hivyo kwa kawaida mtu mzima huwa na mifupa 206.", "question_text": "Aina ya mifupa ni ngapi?", "answers": [{"text": "206", "start_byte": 238, "limit_byte": 241}]} {"id": "9046182260868848491-3", "language": "swahili", "document_title": "Afrika Kusini", "passage_text": "Nchi ina majina rasmi 11 kutokana na lugha rasmi 11, nazo ni: Kiafrikaans, Kiingereza, Kizulu, Kixhosa, Kiswati, Kindebele, Kisotho cha Kusini, Kisotho cha Kaskazini, Kitsonga, Kitswana na Kivenda.", "question_text": "Lugha ya taifa ya Afrika kusini ni ipi?", "answers": [{"text": "Kiafrikaans, Kiingereza, Kizulu, Kixhosa, Kiswati, Kindebele, Kisotho cha Kusini, Kisotho cha Kaskazini, Kitsonga, Kitswana na Kivenda", "start_byte": 62, "limit_byte": 196}]} {"id": "-4203181152884723581-5", "language": "swahili", "document_title": "Washia", "passage_text": "Ali alimwoa mtoto wa pekee wa mtume aliyeishi yaani binti yake Fatima akawa pia baba wa Hassan na Husain wajukuu wa pekee wa mtume . Baada ya kifo cha Ali wafuasi wake walitaka Hasan na Husein kumfuata katika nafasi ya uongozi wa Uislamu wote lakini idadi kubwa ya Waislamu walishikamana na Muawiya", "question_text": "Imamu wa kwanza anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Ali", "start_byte": 0, "limit_byte": 3}]} {"id": "-7661123347125517439-0", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Lenin", "passage_text": "Vladimir Ilyich Lenin (Влади́мир Ильи́ч Ле́нин) alikuwa na jina la kiraia Vladimir Ilyich Ulyanov (Влади́мир Ильи́ч Улья́нов) (*10 Aprili (22 Aprili ya kalenda ya Gregori) 1870 - + 21 Januari 1924) alikuwa mwanasiasa nchini Urusi na kiongozi wa chama cha Bolsheviki akaendesha awamu la kikomunisti la Mapinduzi ya Urusi ya 1917 akaanzisha Umoja wa Kisovyeti. Mafundisho yake yalikuwa msingi wa itikadi ya Ulenin.", "question_text": "Je,Vladimir Ilyich Lenin alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1870", "start_byte": 216, "limit_byte": 220}]} {"id": "4122303435747214878-0", "language": "swahili", "document_title": "Tupac Shakur", "passage_text": "\nTupac Amaru Shakur (16 Juni 1971 - 13 Septemba 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.", "question_text": "Jina la kuzaliwa la msanii 2Pac ni nini?", "answers": [{"text": "Tupac Amaru Shakur", "start_byte": 1, "limit_byte": 19}]} {"id": "67934399756801053-0", "language": "swahili", "document_title": "Lutricia McNea", "passage_text": "Lutricia McNeal (amezaliwa tar. 27 Novemba, 1973 huko mjini Oklahoma City, Oklahoma) ni mwimbaji wa muziki wa soul/pop kutoka nchini Marekani. Alipata mafanikio yake kimataifa kwa vibao vyake kadhaa kama vile \"Ain't That Just the Way\" (UK: #6, Germany: #5, Sweden: #1) kibao ambacho kiliuza nakala milioni mbili dunia nzima, \"Stranded\" (UK: #3, Sweden: #6) na \"Someone Loves You Honey\" (UK: #9).", "question_text": "Je,Lutricia McNeal alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "27 Novemba, 1973", "start_byte": 32, "limit_byte": 48}]} {"id": "-872188103296720633-0", "language": "swahili", "document_title": "Santiago de Chile", "passage_text": "Santiago de Chile ni mji mkuu wa nchi ya Chile. \nMji ni sehemu ya kanda la mji mkuu (Región Metropolitana) inayojumlisha pamoja na mkoa wa Santiago mikoa mitano mingine. Santiago yenyewe ni jina la sehemu penye kitovu cha mji na mitaa ya serikali penye watu 202,000 tu. ", "question_text": "Mji mkuu wa Chile ni upi?", "answers": [{"text": "Santiago de Chile", "start_byte": 0, "limit_byte": 17}]} {"id": "723066375263485609-17", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "Rais Robert Mugabe alipata umaarufu katika siasa kama mpiganaji dhidi ya ukoloni lakini pia kama aina ya dikteta aliyerudisha nyuma uchumi wa nchi.", "question_text": "Rais wa kwanza wa Zimbabwe anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Robert Mugabe", "start_byte": 5, "limit_byte": 18}]} {"id": "-1596037296764819974-2", "language": "swahili", "document_title": "Bill Gates", "passage_text": "William Gates III H anajulikana kama Bill Gates alizaliwa tarehe 28 Oktoba 1955 na kulelewa katika kijiji cha Seattle pamoja na dada zake wawili. Katika umri wake mdogo Bill Gates alivutiwa na utengenezaji wa programu akiwa katika mojawapo wa shule kijijini Seattle. Akiwa huko shuleni Seattle, Bill Gates alikutana na Paul Allen, mwanafunzi mwenzake wakawa marafiki. Hapo ndipo wakaanza kutumia tarakilishi ndogo ya shule kujiendeleza ujuzi wao.", "question_text": "Ni nani mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft?", "answers": [{"text": "Bill Gates", "start_byte": 295, "limit_byte": 305}]} {"id": "-4502585301183927952-1", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Magazeti ya Bay State", "passage_text": "Ilikuwa kampuni ya uchapishaji ya magazeti ya kila wiki katika maeneo kaskazini mwa Boston. Iliundwa katika mwaka wa 1991 na kampuni ya Fidelity Investments baada ya kununua kampuni ya Dole Publishing kutoka mmiliki wake wa muda mrefu, William P. Dole.", "question_text": "Je, Kampuni ya Magazeti ya Community ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 117, "limit_byte": 121}]} {"id": "7927461775243261154-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Marekani", "passage_text": "UraisJina la RaisKipindi cha utawalaChamaJimbo la kuzaliwaMakamu wa Rais1George Washington1789 - 1797IndependentVirginiaJohn Adams2John Adams1797 - 1801FederalistMassachusettsThomas Jefferson3Thomas Jefferson1801 - 1809Republican (Jeffersonian)VirginiaAaron Burr | George Clinton4James Madison1809 - 1817Republican (Jeffersonian)VirginiaElbridge Gerry5James Monroe1817 - 1825Republican (Jeffersonian)VirginiaDaniel Tompkins6John Quincy Adams1825 - 1829National RepublicanMassachusettsJohn Calhoun7Andrew Jackson1829 - 1837DemocraticSouth CarolinaJohn Calhoun | Martin Van Buren8Martin Van Buren1837 - 1841DemocraticNew YorkRichard Mentor Johnson9William Harrison1841*WhigVirginiaJohn Tyler10John Tyler1841 - 1845WhigVirginia11James Polk1845 - 1849DemocratNorth CarolinaGeorge Dallas12Zachary Taylor1849 - 1850*WhigVirginiaMillard Fillmore13Millard Fillmore1850 - 1853WhigNew York14Franklin Pierce1853 - 1857DemocratNew HampshireWilliam King15James Buchanan1857 - 1861DemocratPennsylvaniaJohn Breckinridge16Abraham Lincoln1861 - 1865*RepublicanKentuckyHannibal Hamlin | Andrew Johnson17Andrew Johnson1865 - 1869DemocratNorth Carolina18Ulysses Grant1869 - 1877RepublicanOhioSchuyler Colfax | Henry Wilson19Rutherford Hayes1877 - 1881RepublicanOhioWilliam Wheeler20James Garfield1881 - 1881*RepublicanOhioChester Arthur21Chester Arthur1881 - 1885RepublicanVermont22Grover Cleveland1885 - 1889DemocratNew JerseyThomas Hendricks23Benjamin Harrison1889 - 1893RepublicanOhioLevi Morton24Grover Cleveland1893 - 1897DemocratNew JerseyAdlai Stevenson25William McKinley1897 - 1901*RepublicanOhioGarret Hobart | Theodore Roosevelt26Theodore Roosevelt1901 - 1909RepublicanNew YorkCharles Fairbanks27William Howard Taft1909 - 1913RepublicanOhioJames Sherman28Woodrow Wilson1913 - 1921DemocratVirginiaThomas Marshall29Warren Harding1921 - 1923*RepublicanOhioCalvin Coolidge30Calvin Coolidge1923 - 1929RepublicanVermontCharles Dawes31Herbert Hoover1929 - 1933RepublicanIowaCharles Curtis32Franklin Roosevelt1933 - 1945*DemocratNew YorkJohn Garner | Henry Wallace | Harry Truman33Harry Truman1945 - 1953DemocratMissouriAlben Barkley34Dwight Eisenhower1953 - 1961RepublicanTexasRichard Nixon35John Kennedy1961 - 1963*DemocratMassachusettsLyndon Johnson36Lyndon Johnson1963 - 1969DemocratTexasHubert Humphrey37Richard Nixon1969 - 1974**RepublicanCaliforniaSpiro Agnew | Gerald Ford38Gerald Ford1974 - 1977RepublicanNebraskaNelson Rockefeller39Jimmy Carter1977 - 1981DemocratGeorgiaWalter Mondale40Ronald Reagan1981 - 1989RepublicanIllinoisGeorge H. W. Bush41George H. W. Bush1989 - 1993RepublicanMassachusettsDan Quayle42Bill Clinton1993 - 2001DemocratArkansasAl Gore43George W. Bush2001 - 2009RepublicanConnecticutDick Cheney44Barack Obama2009 - 2017DemocratHawaiiJoe Biden45Donald Trump2017 -RepublicanNew YorkMike Pence", "question_text": "Je,rais wa tano nchini Marekani alikuwa nani?", "answers": [{"text": "James Monroe18", "start_byte": 352, "limit_byte": 366}]} {"id": "-9123803805589492706-1", "language": "swahili", "document_title": "Marekani", "passage_text": "Mji mkuu wa Marekani ni Washington DC.", "question_text": "Je,Mji mkuu wa Marekani ni gani?", "answers": [{"text": "Washington DC", "start_byte": 24, "limit_byte": 37}]} {"id": "-5296480810200922538-1", "language": "swahili", "document_title": "Chui", "passage_text": "Chui ni mnyama mwindaji anayewinda kimyakimya sana. Ingawa ni mdogo kuliko wanyama wote wa jenasi ya Panthera, chui bado anaweza kuwinda mnyama mkubwa kwasababu ya fuvu lake kubwa lenye taya zenye nguvu. Ukilinganisha na paka mwili wake ni mrefu zaidi na miguu yake ni mirefu. Urefu wa kichwa na mwili wake ni kati ya sm 125 na 165 na mkia wake unakaribia sm 60 mpaka 110. Urefu wa mabega ni sm 45 mpaka 80. Chui dume ni wakubwa 30% zaidi ukilinganisha na jike, kufikia uzito wa kg 37 mpaka 91 ukilinganisha na jike wenye kg 28 mpaka 60. Chui wenye miili mikubwa hupatikana kwenye maeneo yaliyojitenga na wanyama wengine wala nyama hasa toka kwa wale jamii ya paka wakubwa waliozoeleka kama vile simba na chui wakubwa wenye milia,\"tigers\". ", "question_text": "Je,chui iko katika spishi gani ya wanyama?", "answers": [{"text": "Panthera", "start_byte": 101, "limit_byte": 109}]} {"id": "7153915851156339308-2", "language": "swahili", "document_title": "Waraka wa pili wa Yohane", "passage_text": "Kuanzia karne ya 5 mapokeo yamemtaja Mtume Yohane kuwa mwandishi wa barua hii, kwa sababu yaliyomo, misamiati na mtindo wa mawazo vinalingana na vile vya Waraka wa kwanza wa Yohane. Lakini barua yenyewe inamtaja tu \"mzee\" kuwa mwandishi wake.", "question_text": "Waraka wa pili wa Yohane umeandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Mtume Yohane kuwa mwandishi wa barua hii, kwa sababu yaliyomo, misamiati na mtindo wa mawazo vinalingana na vile vya Waraka wa kwanza wa Yohane. Lakini barua yenyewe inamtaja tu \"mzee\"", "start_byte": 37, "limit_byte": 221}]} {"id": "-8132980172156294789-0", "language": "swahili", "document_title": "Malawi", "passage_text": "Dziko la Malaŵi (Chichewa)\n\nRepublic of Malawi (Kiingereza)\n\nJamhuri ya Malawi\n\n\n\n\n \n Bendera ya MalawiLugha rasmiChichewa, KiingerezaMji MkuuLilongweSerikaliJamhuriRaisArthur Peter MutharikaEneokm² 118.484Wakazi16.407.000 (Julai 2013)Wakazi kwa km²128.8JPT/Mkazi157 US-$ (2004)Uhurukutoka Uingereza tarehe 06.07.1964PesaKwacha ya MalawiWimbo wa TaifaMlungu salitsani Malawi", "question_text": "Je,Malawi ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "Lilongwe", "start_byte": 143, "limit_byte": 151}]} {"id": "6960222138052814078-24", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Koloni la Kongo ya Kibelgiji lilipata uhuru tarehe 30 Juni 1960.", "question_text": "Je,Kongo ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 59, "limit_byte": 63}]} {"id": "7881064343102483518-6", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "\nSpishi nyingi za nyangumi ni kubwa sana. Nyangumi buluu (Blue whale) anaweza kufikia uzito wa tani 200 na urefu wa mita 33. Nyangumi wadogo ni hasa familia ya pomboo ambao wale wadogo wanafikia urefu wa mita na nusu tu.", "question_text": "Je,nyangumi mkubwa zaidi anaweza kuwa na kilo ngapi?", "answers": [{"text": "tani 200", "start_byte": 95, "limit_byte": 103}]} {"id": "-2298330902865111859-6", "language": "swahili", "document_title": "Mexiko", "passage_text": "Mji mkuu ni Mexico City, ambao katika eneo lake lote una watu zaidi ya milioni 20. ", "question_text": "Mji mkuu wa Mexiko unaitwaje?", "answers": [{"text": "Mexico City", "start_byte": 12, "limit_byte": 23}]} {"id": "-7871169165617141328-2", "language": "swahili", "document_title": "Somaliland", "passage_text": "Eneo lake ni karibu sawa na koloni la zamani la Somalia ya Kiingereza: jumla kilomita za mraba 137,600 iliyokuwa nchi huru kwa siku chache mwaka 1960 kabla ya kuungana na Somalia ya Kiitalia. Lakini kanda la mashariki linaloitwa Sanaag limejiunga na jimbo la Puntland ingawa linadaiwa na Somaliland kwa sababu ilikuwa sehemu ya koloni ya Kiingereza (angalia ramani ndogo upande wa kulia: Sanaag kwa rangi kijani-neupe).", "question_text": "Somaliland ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita za mraba 137,600", "start_byte": 77, "limit_byte": 102}]} {"id": "-7571841905638345499-0", "language": "swahili", "document_title": "Hoteli ya Hilton", "passage_text": "Hoteli ya Hilton ni kundi la mahoteli ya kifahari na ya kimataifa lililoanzishwa na Conrad Hilton na sasa Hilton inamilikiwa na kampuni ya Hilton Worldwide. Ni aidha hoteli za hilton zinamilikiwa au kusimamiwa na wanabiashara binafsi kupitia kwa kampuni ya Hilton Hotels.[1] kuna hoteli takriban 553 asili Hilton duniani kote. Hoteli ya Hilton ilikuwa ya kwanza kufanya huduma katika pwani zote Marekani mwaka 1943. Bei ya awali kwa ajili ya kukaa usiku kucha mwaka 1943 ilikuwa dola zipatazo 20. [1] kampuni hii inatilia mkazo kuwahudumia na kuwanasa wateja ambao ni wanabiashara wanaosafiri, lakini pia kampuni hii inamiliki idadi ya mahoteli ya burudani vilevile. {0", "question_text": "Je,hoteli ya Hilton inamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Hilton Worldwide", "start_byte": 139, "limit_byte": 155}]} {"id": "5377719609443897969-0", "language": "swahili", "document_title": "Tanzania", "passage_text": "The United Republic of Tanzania (Kiing.)\n\nJamhuri ya Muungano wa \nTanzania (Kiswahili)\n\n\n\n\n\n\nBendera ya TanzaniaNembo ya Tanzania\nKaulimbiu: Uhuru na UmojaWimbo wa TaifaMungu ibariki AfrikaLugha rasmiKiswahili (kwa dhati)Mji MkuuDodomaMakao ya SerikaliDodomaSerikaliJamhuriRaisJohn Pombe Joseph MagufuliMakamu wa RaisSamia SuluhuWaziri MkuuMajaliwa K. MajaliwaEneokm² 947.303Wakazi51,820,000 [2] (28th) (2014)Wakazi kwa km²47.5UhuruTanganyika kutoka Uingereza 9 Desemba 1961; mapinduzi Zanzibar 12 Januari 1964; muungano Tanganyika na Zanzibar 26 Aprili 1964PesaShilingi ya TanzaniaWakatiUTC+3Dini za wakaziDini asilia za Kiafrika (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti 1967[1]}}", "question_text": "Je,mji mkuu waTanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 229, "limit_byte": 235}]} {"id": "3071324512402888692-0", "language": "swahili", "document_title": "Sayari ya Tisa", "passage_text": "\n\nSayari ya Tisa (pia Sayari Tisa, kwa Kiingereza Planet Nine) ni jina la muda kwa sayari isiyojulikana bado lakini inayoaminiwa kuwepo kwenye sehemu za nje kabisa za mfumo wa jua letu.", "question_text": "Je,sayari yenye iko mbali kabisa na jua ni ipi?", "answers": [{"text": "Sayari ya Tisa", "start_byte": 2, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5118430395086071568-2", "language": "swahili", "document_title": "Dunia", "passage_text": "Masafa baina yake na jua ni kilomita milioni 150 au kizio astronomia 1. Dunia huchukua siku 365.256 kulizunguka jua, na masaa 23.9345 kuuzunguka mhimili wake na upana wake ni kilomita 12,756. ", "question_text": "Je, Sayari ya Dunia ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "kilomita 12,756", "start_byte": 175, "limit_byte": 190}]} {"id": "-1433401813566588111-4", "language": "swahili", "document_title": "Kiunzi cha mifupa", "passage_text": "Kiunzi cha binadamu huwa na mifupa 206. Mifupa inaunganishwa kwenye viungo kwa nyugwe inayowezesha mwili kuwa nyumbufu. Kano huunganisha mfupa na misuli ikipeleka nguvu ya misuli kwa mfupa.", "question_text": "Aina ya mifupa ni ngapi?", "answers": [{"text": "206", "start_byte": 35, "limit_byte": 38}]} {"id": "-844198686799181975-0", "language": "swahili", "document_title": "M-pesa", "passage_text": "M-pesa ni huduma ya kutuma pesa kwa kutumia simu ya mkononi inayotolewa na kampuni ya mawasiliano ya Safaricom. Kenya ndiyo nchi ya kwanza kuwahi kutumia huduma hii maarufu ambayo ilizinduliwa mwezi Aprili mwaka wa 2008 kwa ushirikiano kati ya Safaricom na Vodafone. Tangu wakati huo, Mpesa imetia fora sana hasa kwa wananchi wa mapato ya chini wasio na akaunti za benki. Kulingana na takwimu rasmi za Safaricom, Mpesa ina wateja zaidi ya milioni Saba na imewezesha wakenya kutuma na kupokea takriban shilingi bilioni 230 kufikia Agosti 2009. Mwaka huu, Safaricom iliboresha huduma hii zaidi hivi kwamba wakenya wanaweza kupokea pesa moja kwa moja kutoka kwa jamaa zao walioko nchini Uingereza. ", "question_text": "Je, M-pesa ilianza kutumika lini nchini Kenya?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 215, "limit_byte": 219}]} {"id": "4455631228259574424-1", "language": "swahili", "document_title": "Asia", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi 44 na visiwa mbali mbali vya madola mbalimbali. Mlima mrefu kabisa ulimwenguni ambao ni mlima wa Everesti wenye urefu wa mita 8,850 (futi 29,035) ulioko Nepal pia uko kwenye bara hili. Kadhalika, nchi zenye wakazi wengi zaidi ulimwenguni China na India pia ziko kwenye bara hili. ", "question_text": "Je, bara Asia lina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "mbali mbali", "start_byte": 36, "limit_byte": 47}]} {"id": "-3687183745251281563-20", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Afrika", "passage_text": "Katika mwaka wa 1960 Ufaransa ukatoa uhuru kwa Cameroon, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Congo (Brazzaville), Cote d'Ivoire, Dahomey (Benin), Gabon, Madagascar, Mali, Mauritania, Niger, Senegal na Volta ya Juu (Burkina Faso). ", "question_text": "Kamerun ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "-9205003573047822022-39", "language": "swahili", "document_title": "Sudan", "passage_text": "\nBaada ya uhuru wa nchi (1956), makabila ya kusini ambayo hayakukubali kusilimishwa yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru wao.", "question_text": "Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "-345310347555100176-4", "language": "swahili", "document_title": "Miroslav Klose", "passage_text": "\nTar 26 mwezi Juni Raisi wa klabu ya FC Bayern Munich Bwana Karl-Heinz Rummenigge alithibitisha kua klabu yake ya Bayern Munich imefikia makubaliano na klabu ya Werder Bremen kuweza kumnunua Klose na alinunuliwa kwa kiwango cha pesa Milioni 15 € (Euro) na alipimwa afya yake yote tar 28 Juni 2007 kabla yakuweka mkataba wakujiunga na klabu ya Bayern Munich kwa muda wa miaka 4.", "question_text": "Je,Miroslav Klose alichezea klabu ya Bayern Munich kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miaka 4", "start_byte": 371, "limit_byte": 378}]} {"id": "-359980679990127746-0", "language": "swahili", "document_title": "Limau", "passage_text": "\n\nLimau (pia: limao; kutoka Kar. ليمون limun) ni tunda la mlimau. Pamoja na chungwa, danzi, balungi na ndimu ni mojawapo kati ya matunda chungwa. ", "question_text": "Balungi ni nini?", "answers": [{"text": "mojawapo kati ya matunda chungwa", "start_byte": 117, "limit_byte": 149}]} {"id": "7478417091867408846-6", "language": "swahili", "document_title": "Satelaiti", "passage_text": "Satelaiti ya kwanza iliyorushwa angani ilikuwa Sputnik 1. Ilitumwa na Umoja wa Kisovyeti tarehe 4 Oktoba 1957. ", "question_text": "Satelaiti iliwekwa angani na nani?", "answers": [{"text": "Umoja wa Kisovyeti", "start_byte": 70, "limit_byte": 88}]} {"id": "3269215884743057390-1", "language": "swahili", "document_title": "Papa (samaki)", "passage_text": "Papa wengi ni wavindaji wanaokula samaki na wanyama wengine wa baharini. Spishi kadhaa wanahofiwa kwa sababu kushika wanadamu. Lakini papa wakubwa sana hula planktoni kama nyangumi wakubwa.", "question_text": "Je,samaki yupi mkubwa zaidi baharini?", "answers": [{"text": "nyangumi", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}]} {"id": "-5976157074274091813-0", "language": "swahili", "document_title": "Mbuni", "passage_text": "\nMbuni ni ndege wakubwa wa familia Struthionidae. Kuna spishi mbili katika jenasi moja, lakini wataalamu wengine wanafikiri ni spishi moja tu. Ndege hawa ni wakubwa kuliko wengine wote. Wana miguu mirefu na shingo ndefu na wanaweza kukimbia sana, hata kwa mwendo wa km 65 kwa saa, lakini hawawezi kuruka angani. Rangi za manyoya ya dume ni nyeusi na nyeupe na rangi ya ngozi yake (shingo na miguu) ni nyekundu, pinki au buluu kufuata na nususpishi. Manyoya ya jike ni kahawiakijivu na rangi ya ngozi ni sawa na dume. Mbuni wanaishi savana, nyika na majangwa ya Afrika, lakini wanafugwa ulimwengu wote. Jina la sayansi la spishi kuu, Struthio camelus, linatoka lugha ya Kiyunani: στρουθιον = jurawa na καμηλος = ngamia.", "question_text": "Mbuni ni mnyama wa spishi gani?", "answers": [{"text": "Struthio camelus", "start_byte": 633, "limit_byte": 649}]} {"id": "488111887482444034-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Je, Ndovu hubeba mimba kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miezi 22", "start_byte": 82, "limit_byte": 90}]} {"id": "1765300865669097857-0", "language": "swahili", "document_title": "Lucky Dube", "passage_text": "Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans katika kipindi cha miaka 25-na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi kabisa. [2] [3] Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville huko Johannesburg jioni ya 18 Oktoba, mwaka 2007. [3] [4] [5]", "question_text": "Je,Lucky Dube aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "2007", "start_byte": 66, "limit_byte": 70}]} {"id": "7079372682939351823-2", "language": "swahili", "document_title": "Meno", "passage_text": "Kwa binadamu meno hupatika kinywani tu. Kazi kubwa ya meno kwa binadamu ni katika umeng'enyaji wa chakula anachokula na mara chache katika kusaidia kukata vitu mbalimbali kama kutatua kitambaa au kukata kamba au waya. Binadamu ana aina mbalimbali za meno zinazomsadia kula vyakula vya aina mbalimbali kama vile vya mimea na nyama. Kwa kawaida mtu mzima huwa na meno thelathini na mbili.", "question_text": "binadamu ana meno mangapi?", "answers": [{"text": "thelathini na mbili", "start_byte": 366, "limit_byte": 385}]} {"id": "-8645576470321692135-0", "language": "swahili", "document_title": "Kipindupindu", "passage_text": "Kipindupindu (kwa Kilatini na Kiingereza cholera kutoka neno la Kigiriki χολέρα, kholera, lililotokana na χολή, kholē, nyongo) ni ugonjwa hatari unaosababishwa na bakteria hasa katika utumbo mwembamba. Bakteria hizo ambazo huitwa vibriocholerae huweza kusababisha kuhara sana na kutapika sana pamoja na homa kali. ", "question_text": "Jina la ugonjwa wa cholera linatokana na nini?", "answers": [{"text": "χολή, kholē, nyongo", "start_byte": 112, "limit_byte": 136}]} {"id": "-5657318885516865337-0", "language": "swahili", "document_title": "Nini Chanzo", "passage_text": "Nini Chanzo ni jina la kutaja albamu ya kwanza ya msanii wa muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Juma Nature. Albamu ilitolewa mwaka wa 2001 ikiwa imetayarishwa chini ya P. Funk Majani lakabu Kinyewele Kimoja. Albamu ilisambazwa na Wananchi Stores ya Dar es Salaam. Hii ni albamu ya kwanza ya Nature tangu aingie katika tasnia ya muziki, na ndiyo mwanzo wa albamu bora za baadaye. Albamu imeshirikisha wasanii kibao ikiwa ni pamoja na T.I.D katika Hili Game kaimba kiitikio, A.Y. katika \"Tumepigika\", Mr. Paul katika Kighettoghetto, KR Mullah katika \"Wimbi la Njaa Remix 2001 (upo katika albamu tu), Mack D. katika \"Haya We\" na wengine kibao. ", "question_text": "Albamu ya Nini Chanzo ilizinduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 141, "limit_byte": 145}]} {"id": "28691561916061364-0", "language": "swahili", "document_title": "Italia", "passage_text": "Repubblica Italiana\n\nJamhuri ya ItaliaLugha rasmiKiitalia; kijimbo pia Kijerumani, Kifaransa, Kiladino, Kislovenia, KisardiniaMji MkuuRomaRaisSergio MattarellaWaziri MkuuGiuseppe ConteEneo301.338 km²Wakazi60,579,000 (31-7-2017) (23º duniani)Wakazi kwa km²201.7JPT31,022 US-$ (2008)PesaEuroWakatiUTC+1Wimbo wa TaifaFratelli d'Italia (Ndugu wa Italia)Sikukuu ya Jamhuri2 JuniSikukuu ya Taifa25 ApriliSimu ya kimataifa+39", "question_text": "Mji mkuu wa Italia unaitwaje?", "answers": [{"text": "Roma", "start_byte": 134, "limit_byte": 138}]} {"id": "-2324765594772279388-4", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Mataifa", "passage_text": "Toka mwanzo makao makuu ya Umoja wa Mataifa yako Manhattan, New York City, New York nchini Marekani na hayako chini ya mamlaka ya nchi hiyo. Ofisi nyingine ziko Geneva (Uswisi), Nairobi (Kenya) na Vienna (Austria). ", "question_text": "Je,makao makuu ya shirika la Umoja wa Mataifa iko wapi?", "answers": [{"text": "Manhattan, New York City, New York nchini Marekani", "start_byte": 49, "limit_byte": 99}]} {"id": "-9127899261944149911-17", "language": "swahili", "document_title": "Msitu", "passage_text": "Msitu wa mvua wa Amazoni ni msitu mkubwa zaidi na wa asili zaidi duniani.\nMsitu wa koniferi katika Alpi za Uswisi (Hifadhi ya Taifa)\nMilima ya Adirondack ya New York Kaskazini hufanya sehemu ya kusini ya mpito wa misitu ya mashariki ya Mashariki.\nMisitu juu ya Mlima Dajt, Albania", "question_text": "Je, ni msitu gani kubwa zaidi duniani?", "answers": [{"text": "Amazoni", "start_byte": 17, "limit_byte": 24}]} {"id": "5878908657109288795-3", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro", "passage_text": "Kilele cha Kibo, chenye urefu wa mita 5895 (futi 19340), ndicho kivutio kikubwa kwa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kwa sababu ya kufunikwa na theluji mwaka mzima.", "question_text": "Mlima Kilimanjaro ina futi ngapi?", "answers": [{"text": "19340", "start_byte": 49, "limit_byte": 54}]} {"id": "202073560842485082-0", "language": "swahili", "document_title": "Carleton Gajdusek", "passage_text": "Carleton Gajdusek (amezaliwa 9 Septemba 1923) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya utafiti mwingine hasa alichunguza maradhi za neva. Mwaka wa 1976, pamoja na Baruch Blumberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.", "question_text": "Carleton Gajdusek alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 77, "limit_byte": 85}]} {"id": "-8419734927544062479-5", "language": "swahili", "document_title": "Uajemi", "passage_text": "Tangu mwaka 500 KK makabila madogo ya nchi yaliunganishwa, na hii ilikuwa mwanzo wa milki ya Uajemi. Mfalme Koreshi II aliunganisha Uajemi wote chini ya mamlaka yake akavamia sehemu za Uturuki wa leo na Babeli na kuunganisha nchi hizo. ", "question_text": "Nani alikuwa kiongozi wa Iraq wakati wa vita kati yao na Uajemi?", "answers": [{"text": "Mfalme Koreshi II", "start_byte": 101, "limit_byte": 118}]} {"id": "-5117558433898881704-23", "language": "swahili", "document_title": "Bara", "passage_text": "Bara la Asia lina nchi huru 44.\nBara la Afrika lina nchi huru 53.\nBara la Amerika ya kaskazini lina nchi huru 35.\nBara la Antaktika halina wakazi wa kudumu wala nchi huru hata moja ijapokuwa nchi kama 7 zinadai kumiliki sehemu fulani za bara hili.\nBara la Australia au Oshania lina nchi huru 14.\nBara la Ulaya (au Uropa) lina nchi huru 46.", "question_text": "Bara la Asia liko na nchi ngapi kwa ujumla?", "answers": [{"text": "44", "start_byte": 28, "limit_byte": 30}]} {"id": "3385707614697326259-0", "language": "swahili", "document_title": "Bondia", "passage_text": "\nBondia (pia: mpiga ngumi au mwanamasumbwi) ni mwanamichezo anayetekeleza mchezo wa ngumi. ", "question_text": "Mwanamasumbwi ni nini?", "answers": [{"text": "mwanamichezo anayetekeleza mchezo wa ngumi", "start_byte": 47, "limit_byte": 89}]} {"id": "6167638207075037549-0", "language": "swahili", "document_title": "Jamhuri ya Afrika ya Kati", "passage_text": "ሃግሬ ኤርትራ\nJamhuri ya Afrika ya Kati \nRépublique Centrafricaine\nKödörösêse tî Bêafrîka \n\n\n\n\n\n(Kinaganaga)(Kinaganaga)Hadabu ya Taifa Unité, Dignité, Travail\n(Kifaransa: Umoja, Heshima, Kazi Lugha ya TaifaKisango, KifaransaMji MkuuBanguiMji MkubwaBanguiRais \n Waziri mkuuCatherine Samba-Panza\nMahamat KamounEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo ya kadiriwa622,984 km² \n 0%\n Kadiriwa 42 duniUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Umma kugawa na Eneo (kilomita)3,895,150 Kadiriwa 124 duni \n sensa (2003) \n; 5.8/km² (15 duni)Chumo cha uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$ 4.53 Billioni (156 ) kadir \n$ 1,107 172 duniUhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ufaransa \n >Augosti 13, 1960FedhaCFA frank (XFA)Saa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaWimbo wa La Renaissance\" (Sango Aina \"E Zingo\")Intaneti TLD.cfkodi za simu236", "question_text": "Jamhuri ya Afrika ya Kati iko na ukubwa gani wa kijiographia?", "answers": [{"text": "622,984 km²", "start_byte": 364, "limit_byte": 376}]} {"id": "-1764215685219699821-0", "language": "swahili", "document_title": "Kampuni ya Magazeti ya Community", "passage_text": "\nKampuni ya Magazeti ya Community(Community Newspaper Company - CNC), ni kampuni ndogo shirika ya GateHouse Media ambayo huchapisha magazeti katika eneo la mashariki ya Massachusetts. Ilianzishwa katika mwaka wa 1991 kama kampuni ya kuendesha kampuni kadhaa za uchapishaji na ikanunuliwa na Fidelity Investments katika mwaka wa 2001. Fidelity iliiuza kampuni hii kwa Boston Herald katika mwaka wa 2006.Kampuni hii ambayo ni mnyororo mkubwa wa kampuni kadhaa na inajulikana kama Wachapishaji Wakubwa kabisa wa magazeti ya kila wiki katika eneo la New England ilinunuliwa na GateHouse Media na ikawa sehemu kubwa kabisa ya GateHouse Media.", "question_text": "Je, Kampuni ya Magazeti ya Community ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 212, "limit_byte": 216}]} {"id": "-3658009039564526681-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul Schulze", "passage_text": "\nPaul Schulze (amezaliwa 12 Juni, 1962)[1] ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kucheza kama Ryan Chappelle katika mfululizo wa FOX maarufu kama 24 kuanzaia mwaka 2001 hadi 2003. Pia anajulikana kwa kucheza kama Father Phil Intintola katika HBO The Sopranos kuanzia mwaka wa 1999 hadi 2006.", "question_text": "Paul Schulze alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "-6165002653329039748-0", "language": "swahili", "document_title": "Mwanza (mji)", "passage_text": "\nJiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).", "question_text": "jiji la Mwanza lina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "378,327", "start_byte": 188, "limit_byte": 195}]} {"id": "1793065692143221068-0", "language": "swahili", "document_title": "Prison Break msimu wa 4", "passage_text": "Msimu wa nne na wa mwisho wa kipindi mfululizo cha televisheni cha Prison Break ulianzia kurushwa hewani Marekani 1 Septemba 2008. Una vipengele 24 (22 vya televisheni na vya 2 DVD ), ambapo 16 vilionyeshwa kuanzia Septemba 2008 hadi Desemba 2008. Mfululizo wa kipindi cha televisheni ulianzishwa tena tarehe 17 Aprili 2009 na kuhitimishwa tarehe 27 Mei 2009 na sehemu mbili za mwisho. [1]", "question_text": "Prison Break ina misimu mingapi?", "answers": [{"text": "nne", "start_byte": 9, "limit_byte": 12}]} {"id": "-6679985017650471273-3", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya nchi za Afrika", "passage_text": "Jina la nchi au eneo,\n benderaEneo\n(km²)Wakazi\n(mnamo Julai 2015)Wakazi kwa km²Mji Mkuu Algeria2,381,74039,903,000Algiers Misri (2)1,001,45088,523,000Cairo Libya1,759,5406,278,000Tripoli Moroko446,55033,680,000Rabat Sudan1,861,48430,894,00017Khartoum Tunisia163,61011,118,000TunisMaeneo ya Hispania na Ureno katika Afrika ya Kaskazini: Visiwa vya Kanari(Hispania) (3)7,4921,694,477226.2Las Palmas de Gran Canaria,\nSanta Cruz de Tenerife Ceuta (Hispania) (4)2071,5053,575.2— Visiwa vya Madeira (Ureno)(5)797245,000307.4Funchal Melilla (Hispania) (6)1266,4115,534.2", "question_text": "Nchi kubwa zaidi barani Afrika ni ipi?", "answers": [{"text": "Algeria", "start_byte": 90, "limit_byte": 97}]} {"id": "-3412591168069147297-0", "language": "swahili", "document_title": "Donald \"Flash\" Gordon", "passage_text": "Donald \"Flash\" Gordon (17 Julai 1920) ni rubani shujaa wa vita wa Marekani. Alipiga risasi zaidi ya ndege 7 za Ujapani katika Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Alikuwa rubani wa kivita wa Kikosi cha Wanamaji wa Marekani na alipokea tuzo ya Distinguished Flying Cross.", "question_text": "Donald Gordon alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1920", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}]} {"id": "4389640129923459221-1", "language": "swahili", "document_title": "Takwimu", "passage_text": "Data ni habari juu ya watu, nchi, uchumi, matukio au hali ya vitu mbalimbali. Takwimu inakusanya na kuangalia habari nyingi za aina hiyo ikijaribu kuzitafsiri katika namba zinazoweza kulinganishwa. ", "question_text": "Nini maana ya data?", "answers": [{"text": "habari juu ya watu, nchi, uchumi, matukio au hali ya vitu mbalimbali", "start_byte": 8, "limit_byte": 76}]}