{"id": "-8211684794284159625-4", "language": "swahili", "document_title": "Thiago Silva", "passage_text": "Kama kijana, Silva aliingizwa kwenye shule iliyo jirani ya Campo Grande ya Rio - kwa usawa shule ya kulisha kwa Fluminense. Alipokuwa na umri wa miaka 14, Silva alimvutia kocha wa Fluminense Maurinho wakati wa mchezo wa kirafiki huko Xerém. Alipewa jaribio fupi, ambapo alipewa nafasi ya kiungo wa kujihami. Silva alipewa fursa ya kucheza alipokuwa mdogo. Mwaka wa 1999, akiwa na umri wa miaka 15, Silva aliulizwa Madureira, Olaria na Flamengo; alikataliwa katika kila klabu, jaribio la Flamengo likiwa gumu sana kwa sababu hata hakukuwa na mafunzo ya makocha.", "question_text": "Je,Thiago Silva alianza kucheza soka mwaka upi?", "answers": [{"text": "Alipokuwa na umri wa miaka 14", "start_byte": 124, "limit_byte": 153}, {"text": "1999", "start_byte": 366, "limit_byte": 370}]} {"id": "4351626306223284859-0", "language": "swahili", "document_title": "Mmenyuko wa mzio", "passage_text": "Mmenyuko wa mzio (kwa Kiingereza anaphylaxis, kutoka maneno ya Kigiriki ἀνά, ana, dhidi, na φύλαξις, phylaxis, ulinzi) ni ugonjwa mkali wa mzio (kwa Kiingereza allergy) ambao huanza ghafla na huweza kusababisha kifo.[1] Mmenyuko mkali ya mzio kawaida una dalili kadhaa, zikiwa ni pamoja na upele wa kuwasha, kuvimba koo na shinikizo la chini la damu. Chanzo cha kawaida ni kuumwa na wadudu, kumeza vyakula na dawa.", "question_text": "Dalili kuu ya Mmenyuko wa mzio ni ipi?", "answers": [{"text": "wadudu, kumeza vyakula na dawa", "start_byte": 394, "limit_byte": 424}, {"text": "upele wa kuwasha", "start_byte": 301, "limit_byte": 317}]} {"id": "8307722523272501959-4", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Kuna majimbo 214 Tanzania Bara na majimbo 50 Zanzibar. ", "question_text": "Je,nchi ya Tanzania ina majimbo ngapi?", "answers": [{"text": "214 Tanzania Bara na majimbo 50 Zanzibar", "start_byte": 13, "limit_byte": 53}, {"text": "214 Tanzania Bara na majimbo 50 Zanzibar", "start_byte": 13, "limit_byte": 53}, {"text": "214", "start_byte": 13, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5911962092436324011-0", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "\nJamhuri ya Zimbabwe \nRepublic of Zimbabwe, Africa \n\n\n\n\n\n(Bendera ya Zimbabwe)(Nembo ya Zimbabwe)Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) \" | Wimbo wa TaifaLugha rasmiKiingereza na 15 nyingineMji MkuuHarareMji mkubwaHarareRaisEmmerson MnangagwaEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwakm² 390,757 \n 1%\nya 60 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Msongamano wa watu13,061,239 ya 66 duniani \n (2012) \n; 32/km² \n; ya dunianiChumo cha uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo)) \n$2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma)Uhuru\n- Kadirifu\n- Barabara(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965 \n(kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980FedhaDolar ya Marekani|Saa za EneoUTC +2Intaneti TLD.zwkodi za simu263", "question_text": "Rhodesia ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 390,757", "start_byte": 309, "limit_byte": 321}, {"text": "km² 390,757", "start_byte": 309, "limit_byte": 321}]} {"id": "3415550598217048698-0", "language": "swahili", "document_title": "Takadini", "passage_text": "Takadini ni kitabu kilichoandikwa na Ben J. Hanson, mmojawapo miongoni mwa waandishi mashuhuri katika nchi za Afrika. Kilitolewa mara ya kwanza huko Harare (Zimbabwe) mwaka 1997.", "question_text": "Kitabu cha Takadini kilitolewa kwa mara ya kwanza katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Zimbabwe", "start_byte": 157, "limit_byte": 165}, {"text": "Zimbabwe", "start_byte": 157, "limit_byte": 165}, {"text": "Zimbabwe", "start_byte": 157, "limit_byte": 165}]} {"id": "-2352715104178483613-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Vita vya Sudan Kusini vilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "kati ya 1956 na 1972", "start_byte": 190, "limit_byte": 210}, {"text": "1972", "start_byte": 206, "limit_byte": 210}, {"text": "kati ya 1956 na 1972", "start_byte": 190, "limit_byte": 210}]} {"id": "-6449334797089129164-5", "language": "swahili", "document_title": "Fidla", "passage_text": "Fidla zilibuniwa katika Ulaya ya Kusini takriban miaka elfu iliyopita kama nakala ndogo za ala za nyaya kubwa zaidi. ", "question_text": "Fidla iligunduliwa nchini gani kwanza?", "answers": [{"text": "Ulaya ya Kusini", "start_byte": 24, "limit_byte": 39}, {"text": "Ulaya ya Kusini", "start_byte": 24, "limit_byte": 39}]} {"id": "6734857133234715528-0", "language": "swahili", "document_title": "Lucas Vázquez", "passage_text": "Lucas Vázquez Iglesias (aliyezaliwa 1 Julai 1991) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anachezea klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania kama winga wa kulia.", "question_text": "Lucas Vázquez Iglesias ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1 Julai 1991", "start_byte": 37, "limit_byte": 49}, {"text": "1 Julai 1991", "start_byte": 37, "limit_byte": 49}]} {"id": "7488431165100908178-0", "language": "swahili", "document_title": "Samwel Yellah Black", "passage_text": "Samwel Yellah (amezaliwa 29 Mei 1993 mjini Mbeya) [1] ni mkufunzi wa soka wa timu ya kandanda ya Costa mwaka 2008 na sasa ni meneja wa klabu ya Black Leopard Fc Under20", "question_text": "Je,Samwel Yellah alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1993", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}, {"text": "1993", "start_byte": 32, "limit_byte": 36}, {"text": "29 Mei 1993", "start_byte": 25, "limit_byte": 36}]} {"id": "-2288062822533560513-0", "language": "swahili", "document_title": "Edward Moss", "passage_text": "Edward Moss (amezaliwa tar. 11 Julai 1977) ni mwigizaji wa filamu na mchekeshaji kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kuigiza na kucheza kama hayati Michael Jackson kwenye filamu na vipindi vya TV.[1][2] Awali alikuwa anafanya katika kampuni ya McDonald's mwanzoni mwa miaka ya 1990, ambapo wafanyakazi wenzake walikuwa wakimwambia kama anafanana sana na mwimbaji Michael Jackson; hivyo basi Moss akaingia katika shindano la kutafuta watu wenye vipaji na kubahatika kushinda, na kadiri muda unavyokwenda, ameamua kujitafutia riziki yake kwa kujifanya kama Jackson.", "question_text": "Je, Edward Moss alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "11 Julai 1977", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}, {"text": "11 Julai 1977", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}, {"text": "11 Julai 1977", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}]} {"id": "-7771444161030512201-12", "language": "swahili", "document_title": "Twiga", "passage_text": "Twiga hubeba mimba kwa siku 400 mpaka 460 ambapo mara nyingi huzaa ndama mmoja hatimaye japo mapacha hutokea mara kadhaa. Mama hujifungua akiwa amesimama na kende lake hukatika mtoto aangukapo ardhini. Ndama akizaliwa huwa na urefu wa mita 1.8. Baada ya masaa kadhaa, mama huweza kukimbia japo ndani ya wiki mbili za mwanzo ndama hutumia muda mwingi kujilaza chini huku akilindwa na mama yake. Ndama huyo huwa hatamaniwi kuwindwa na simba, chui, fisi au mbwa mwitu. Ni asilimia 25–50 tu ya twiga ndiyo hufikia kuwa wakubwa. Twiga hukadiriwa kuishi miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga.", "question_text": "Twiga anaishi kwa muda gani?", "answers": [{"text": "miaka 20–25 mwituni na miaka 28 wakifugwa nje ya mbuga", "start_byte": 556, "limit_byte": 612}, {"text": "miaka 20–25", "start_byte": 556, "limit_byte": 569}]} {"id": "2600178376789566527-0", "language": "swahili", "document_title": "Mbwa Mchungaji wa Kijerumani wa Zamani", "passage_text": "Mbwa Mchungaji wa Kijerumani wa Zamani German: Altdeutscher Schäferhund ni jina lililotumiwa kuashiria mbwa wasiozaa wachungaji wanaotumika nchini Ujerumani baada ya uzunduzi wa Mbwa wa Mchungaji wa Kijerumani na Max von Stephanitz mwaka wa 1899. Tamko hili sasa linatumika kuashiria mbwa ambao wana uhusiano wa damu na mbwa hawa lakini huzalishwa kwa ajili ya kiwango cha kazi na si kiwango rasmi;Mbwa huyu hatambuliki hii haitambuliki na FCI lakini ana kiwango chake mwenyewe. [1]", "question_text": "Je,nani alizindua jina la Altdeutscher Schäferhund?", "answers": [{"text": "Max von Stephanitz", "start_byte": 214, "limit_byte": 232}, {"text": "Max von Stephanitz", "start_byte": 214, "limit_byte": 232}]} {"id": "-7342081953657457196-0", "language": "swahili", "document_title": "Mbosso", "passage_text": "\n\n\nMbwana Yusuph Kilungi (amezaliwa 3 Oktoba,1991) ni jina la mwimbaji, mtunzi na mwanamuziki maarufu kutoka nchini Tanzania - ambaye anajulikana kwa jina lake la kisanii kama Mbosso. Umaarufu ulianza kujulikana akiwa na kundi zima la Yamoto Band ambalo ndani yake kuliwa na Aslay, Beka Flavour, Enock Bella na Mbosso. Kwa pamoja walikuwa wanaunda Yamoto Band chini ya Mkubwa Fella na Wanawe. Jina la Mkubwa na Wanawe lilikuwa na hadi sasa bado lipo hivyo hivyo kama Mkubwa na Wanawe. Ndani ya mkubwa na Wanawe kuna vipaji mbalimbali. ", "question_text": "Je,Mbosso alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1991", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1991", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "5324264301019116440-1", "language": "swahili", "document_title": "Howard W. Koch", "passage_text": "Alizaliwa mjini New York City, alihitimua katika shule ya Peddie School mjini Hightstown, New Jersey. Alianza shughuli za filamu akiwa kama mwajiriwa katika ofisi Universal Studios huko mjini New York halafu baadaye akaanza kutengeneza filamu za Hollywood kwa mara ya kwanza mnamo mwaka wa 1947 akiwa kama mwongozaji msaidizi. Alifanya kazi kama mtayarishaji kwa mara ya kwanza mnamo mwaka wa 1953 na mwaka mmoja baadaye akaanza kuongoza filamu kwa mara ya kwanza. Mnamo mwaka wa 1964, Paramount Pictures wakamchagua kuwa kama mkuu wa kitengo cha utayarishaji wa filamu, nafasi ambayo aliishikiria hadi hapo kunako mwaka wa 1966 pale alipoanzisha kampuni yake mwenyewe ya utayarishaji. ", "question_text": "Je,Howard Winchel Koch alianza utayarishaji filamu lini?", "answers": [{"text": "1947", "start_byte": 290, "limit_byte": 294}, {"text": "1953", "start_byte": 393, "limit_byte": 397}, {"text": "1953", "start_byte": 393, "limit_byte": 397}]} {"id": "9119765191141459104-0", "language": "swahili", "document_title": "Oliver N'Goma", "passage_text": "Oliver N'Goma (23 Machi 1959 – 7 Juni 2010) alikuwa mpiga gitaa na mwimbaji wa muziki wa Afro-zouk na reggae kutoka nchini Gabon. Alipewa jina la utani la \"Noli,\" alizaliwa mjini Mayumba huko mjini kusini-mwagharibi mwa nchi ya Gabon mnamo mwaka wa 1959. Alifahamika sana kwa kibao chake cha mwaka wa 1989 Bane, ambacho kilivumishwa sana na Radio Africa N.1 na Gilles Obringer.", "question_text": "Je,Oliver N'Goma alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1959", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "1959", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "1959", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "5142223688743542302-5", "language": "swahili", "document_title": "Master Jay", "passage_text": "Mnamo mwaka 1996 Master Jay aliamua kujishulisha kabisa na maswala ya Utengezaji wa muziki kwa kuamua kuanzisha rasmi studio yake aliyoipa jina lake la \"Mj Production\" japokuwa babake alikuwa haja ridhia hilo.\nBaadae akatoa wimbo wa kundi la Kwanza Unit na baada ya muda kidogo tena akatoa nyimbo ya kundi la 4 Crews Flavour, baada ya hapo ndipo mzee wake alipoanza kuoynesha moyo na kuanza kukubali Anachofanya na hii ilinipa moyo wa kufanya kazi kwa bidii zaidi.", "question_text": "Je,Joachim Kimario alianza muziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "1996", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "1996", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5296784784136620378-2", "language": "swahili", "document_title": "Msumbiji (kisiwa)", "passage_text": "Habari za kwanza za Kisiwa cha Msubiji zimetokana na Wareno. Alipofika Vasco da Gama mwaka mwaka 1498 BK kisiwa kilikuwa mji wa Waswahili na Waarabu na kituo muhimu cha biashara ya kimataifa katika Bahari Hindi.", "question_text": "Kisiwa cha Msumbiji kiligunduliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1498", "start_byte": 97, "limit_byte": 101}, {"text": "Wareno", "start_byte": 53, "limit_byte": 59}]} {"id": "2781687307780680380-1", "language": "swahili", "document_title": "Orange Democratic Movement", "passage_text": "ODM ilianzishwa na chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP, lakini chama cha KANU kiliweza kujiondoa, na waliobaki waligawanyika katika makundi haya mawili yanayoongozwa na Raila Odinga (ODM; ndio wengi zaidi) na Kalonzo Musyoka (ODM-Kenya). Sababu ya farakano ilikuwa suala la nani atakuwa mgombea wa urais upande wa ODM.", "question_text": "Chama cha Orange Democratic Movement Party of Kenya kilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP", "start_byte": 19, "limit_byte": 80}, {"text": "chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP", "start_byte": 19, "limit_byte": 80}]} {"id": "-8766126884526393626-0", "language": "swahili", "document_title": "Monique Séka", "passage_text": "\nMonique Séka (amezaliwa 22 Novemba 1965; jina la utani la malkia wa muziki wa Afro-zouk) ni mwimbaji kutoka Ivory Coast. Kwa muziki mchanganyiko ambao anautengeneza, muziki wa Afro-zouk wa Monique Seka ni maarufu sana huko nchini kwake - Ivory Coast, Afrika, Caribbean na Bahari ya Hindi.[1][2]", "question_text": "Je,jina la utani wa Monique Séka ni ipi?", "answers": [{"text": "malkia wa muziki wa Afro-zouk", "start_byte": 60, "limit_byte": 89}, {"text": "malkia wa muziki wa Afro-zouk", "start_byte": 60, "limit_byte": 89}, {"text": "malkia wa muziki wa Afro-zouk", "start_byte": 60, "limit_byte": 89}]} {"id": "3491438231027223166-0", "language": "swahili", "document_title": "Mafuta (chakula)", "passage_text": "\nMafuta au shahamu ni sehemu za chakula pamoja na wanga, protini na vitamini. Neno \"fati\" (kutoka Kiing. fat) afadhali lizuiwe. Vyakula vilivyo na mafuta mengi ni k.m. maparachichi, karanga, makorosho, mbegu kama alizeti na siagi.", "question_text": "Nini maana ya Shahamu?", "answers": [{"text": "sehemu za chakula pamoja na wanga, protini na vitamini", "start_byte": 22, "limit_byte": 76}, {"text": "sehemu za chakula pamoja na wanga, protini na vitamini", "start_byte": 22, "limit_byte": 76}, {"text": "sehemu za chakula pamoja na wanga, protini na vitamini", "start_byte": 22, "limit_byte": 76}]} {"id": "5028092325674960203-2", "language": "swahili", "document_title": "BrooWaha", "passage_text": "Tovuti hii ilionyeshwa katika gazeti la Los Angeles Times katika mwezi wa Desemba 2006.", "question_text": "Gazeti la raia la BrooWaha lilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2006", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}, {"text": "2006", "start_byte": 82, "limit_byte": 86}]} {"id": "816077114114919620-3", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "Jina Zimbabwe linatoka katika jina \"dzimba dzamabwe\" kumaanisha \"nyumba ya mawe\" kwa lugha ya Kishona. Nyumba hiyo ya mawe , ambayo imehifadhiwa kama eneo la kihistoria, ilikuwa Milki ya Mwenemtaba ambaye ufalme wake uliongoza eneo hilo miaka ya kale.\n\n", "question_text": "Jina Zimbabwe linatokana na nini?", "answers": [{"text": "katika jina \"dzimba dzamabwe\" kumaanisha \"nyumba ya mawe\" kwa lugha ya Kishona", "start_byte": 23, "limit_byte": 101}, {"text": "\"dzimba dzamabwe\" kumaanisha \"nyumba ya mawe\" kwa lugha ya Kishona", "start_byte": 35, "limit_byte": 101}, {"text": "dzimba dzamabwe\" kumaanisha \"nyumba ya mawe\" kwa lugha ya Kishona", "start_byte": 36, "limit_byte": 101}]} {"id": "-4427180714267750534-1", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Morogoro", "passage_text": "Mkoa wa Morogoro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 67000. Umepakana na mikoa ya Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Iringa, Dodoma na Arusha. ", "question_text": "Namba ya postikodi ya Morogoro ni ipi?", "answers": [{"text": "67000", "start_byte": 71, "limit_byte": 76}, {"text": "67000", "start_byte": 71, "limit_byte": 76}, {"text": "67000", "start_byte": 71, "limit_byte": 76}]} {"id": "2398754618585382183-2", "language": "swahili", "document_title": "Mongolia", "passage_text": "Ni nchi kubwa ya 19 duniani lakini kuna wakazi wachache tuː jumla milioni 2.6 hivyo msongamano wa watu ni mdogo sana. ", "question_text": "Je, Mongolia ina takriban ya idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "milioni 2.6", "start_byte": 67, "limit_byte": 78}, {"text": "milioni 2.6", "start_byte": 67, "limit_byte": 78}, {"text": "milioni 2.6", "start_byte": 67, "limit_byte": 78}]} {"id": "-8409552616043614466-1", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki", "passage_text": "Kadiri ya Umoja wa Mataifa Afrika ya Mashariki ina nchi 18 zifuatazo:", "question_text": "Afrika Mashariki ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}]} {"id": "-6289841237019340854-1", "language": "swahili", "document_title": "Chris Okotie", "passage_text": "Okotie alizaliwa na Francis Idje na Cecilia Okotie, katika eneo la Ethiope-West, Delta State (ilichokuwa ikiitwa Bendel State). Alihudhuria shule za upili ya Edo College, Benin City. Mwaka 1984, alifuzu na shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Nigeria katika Nsukka. Okotie aliachana na kazi ya sheria baada ya chuo kikuu na akaanzia kazi ya muziki iliyofana sana. Pamoja na Dizzy K Falola, Jide Obi, na Felix Uhuru aliipa moto kazi ya muziki iliyokuwa imeanza kujitokeza[1]", "question_text": "Je,Chris Okotie alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Nigeria", "start_byte": 246, "limit_byte": 253}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nigeria", "start_byte": 231, "limit_byte": 253}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nigeria katika Nsukka", "start_byte": 231, "limit_byte": 267}]} {"id": "-9050137427653151899-9", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "Bulawayo, mji wa pili kwa ukubwa\nHarare, mji mkuu\nMasvingo\nMutare", "question_text": "Je,mji mkuu wa Zimbabwe ni upi?", "answers": [{"text": "Harare", "start_byte": 33, "limit_byte": 39}, {"text": "Harare", "start_byte": 33, "limit_byte": 39}]} {"id": "6665645067172813069-0", "language": "swahili", "document_title": "Ruhollah Khomeini", "passage_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini (Kifarsi: آیت الله روح الله موسوی خمینی‎) (* 24 Septemba 1902 mjini Khomein; 3 Juni 1989 Tehran) alikuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979 na baadaye kiongozi wa kiroho wa Jamhuri ya Kiislamu ya Uajemi hadi kifo chake.", "question_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1989", "start_byte": 145, "limit_byte": 149}, {"text": "1989", "start_byte": 145, "limit_byte": 149}]} {"id": "-8408687209199785700-0", "language": "swahili", "document_title": "Emil von Zelewski", "passage_text": "\nEmil von Zelewski (13 Machi 1854 - 1891) alikuwa afisa wa jeshi la Ujerumani. Alipokuwa kamanda ya kwanza wa jeshi la ulinzi la kikoloni katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani aliongoza jeshi hilo katika vita dhidi ya Wahehe alipouawa.", "question_text": "Emil von Zelewski aliuawa katika vita gani?", "answers": [{"text": "dhidi ya Wahehe", "start_byte": 212, "limit_byte": 227}, {"text": "Wahehe", "start_byte": 221, "limit_byte": 227}, {"text": "1891", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}]} {"id": "-1966819793060894453-17", "language": "swahili", "document_title": "Nyangumi", "passage_text": "Nyangumi kwa wastani wanaishi miaka 40 mpaka 90, kulingana na aina zao na mara chache hufanikiwa kiushi zaidi ya karne moja. Hivi karibuni kipande cha kamba kilichokuwa kinatumiwa na wavuvi wa nyangumi wa karne ya 19, kilipatikana kwa nyangumi huko Alaska, na kuonesha kuwa nyangumi yule alikuwa na umri kati ya miaka 115 na 130. kwa kutumia mbinu ya kupima umri kwa kuangalia kiwango cha aspatiki asidi kwenye macho ya nyangumi, pamoja na kipande cha chusa, vilionesha umri wa miaka 211 kwa nyangumi mmoja, na kuwafanya nyangumi pia kuwa wanyama wanaoishi kwa muda mrefu zaidi. . Mkia wa nyangumi unaweza kuwa pia kama alama ya kuwatambua, kama ilivyo kwa nyangumi wenye nundu mgongoni.", "question_text": "Je nyangumi huishi miaka ngapi?", "answers": [{"text": "40 mpaka 90", "start_byte": 36, "limit_byte": 47}, {"text": "40 mpaka 90", "start_byte": 36, "limit_byte": 47}, {"text": "40 mpaka 90", "start_byte": 36, "limit_byte": 47}]} {"id": "-4155554693686130184-0", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden (kwa Kiarabu: أسامة بن محمد بن عوض بن لادن‎ ʾusāmah bin muḥammad bin ʿawaḍ bin lādin); * 10 Machi 1957 – + 2 Mei 2011, alikuwa mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaida. ", "question_text": "Osama Bin Laden alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 168, "limit_byte": 172}, {"text": "1957", "start_byte": 168, "limit_byte": 172}]} {"id": "-3360110118883336676-0", "language": "swahili", "document_title": "Shaggy (msanii)", "passage_text": "Orville Richard Burrell (alizaliwa 22 Oktoba 1968, Kingston, Jamaika), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii Shaggy, ni mshindi wa Grammy Award kama mwimbaji wa reggae ya Jamaika-Amerika ambapo asili ya jina lake la kisanii ni kutoka rafiki wa Scooby-Doo [[|[1][2]]] -jina alilopewa na marafiki zake wakati wake miaka ya utotoni kwa sababu jina lake lilikuwa sawa na tabia za Scooby Doo . Yeye ni mashuhuri hasa kwa sauti yake ya iliyogwara .\nAkizungumza katika kipindi cha asubuhi hii 27 Agosti 2008, Burrell alisema jina Shaggy liliashiria mtindo wa nywele yake.", "question_text": "Je,mwanamziki Shaggy alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}]} {"id": "-6567695140114773480-2", "language": "swahili", "document_title": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani", "passage_text": "Shirika lilianzishwa tarehe 28 Machi 1884 na Karl Peters na Wajerumani wengine waliotaka Ujerumani kuingia kati ya mataifa yenye koloni. Shabaha ya shirika ilikuwa kuanzisha makoloni ya Kijerumani katika maeneo nje ya Ujerumani.", "question_text": "Shirika kwa Ukoloni wa Kijerumani lilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "28 Machi 1884", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}, {"text": "28 Machi 1884", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}, {"text": "28 Machi 1884", "start_byte": 28, "limit_byte": 41}]} {"id": "3910133931420799699-4", "language": "swahili", "document_title": "Keyshia Cole", "passage_text": "Single ya kwanza ya Keyshia ni \"Never\", ameshirikiana na Eve, ilitolewa mnamo tar. 23 Machi 2004 ili kusukuma kibwagizo cha filamu ya Barbershop 2: Back in Business. Single hii ilianguka kabisa kwenye chati, na Keyshia aliendelea kurekodi albamu yake ya kwanza kwa mwaka mzima wa 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka wa 2005. \"Never\" hatimaye ikawa nyimbo ya mwisho kwenye orodha ya nyimbo za The Way It Is.", "question_text": "Wimbo wa kwanza wa Keyshia Miesha Cole unaitwaje?", "answers": [{"text": "Never", "start_byte": 32, "limit_byte": 37}, {"text": "Never", "start_byte": 32, "limit_byte": 37}]} {"id": "6363409780928308441-6", "language": "swahili", "document_title": "Halima James Mdee", "passage_text": "Alipata ajira katika Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana mwaka 2004 akiwa Ofisa Maendeleo kama mwanasheria mpaka mwaka 2005 alipoamua kuacha kazi na kuingia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, ambako alishiriki kuwapigia kampeni wagombea mbalimbali wa CHADEMA kabla ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.", "question_text": "Halima James Mdee alijiunga na siasa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2005", "start_byte": 210, "limit_byte": 214}, {"text": "2005", "start_byte": 121, "limit_byte": 125}, {"text": "2005", "start_byte": 210, "limit_byte": 214}]} {"id": "-3197280451214039865-0", "language": "swahili", "document_title": "Sankt Peterburg", "passage_text": "\nSankt-Peterburg (Kirusi: Санкт-Петербург; majina ya kihistoria: Sankt Petersburg, St. Petersburg, Petrograd, Leningrad) ni mji mkubwa katika Urusi ya magharibi kwenye mwambao wa Bahari ya Baltiki. Kuna wakazi milioni 4.7 ikiwa ni mji mkubwa wa pili wa Urusi. Iliwahi kuwa mji mkuu wa nchi.", "question_text": "Je,mji wa St. Petersburg inapatikana katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Urusi", "start_byte": 156, "limit_byte": 161}, {"text": "Urusi", "start_byte": 156, "limit_byte": 161}]} {"id": "7237955220624606414-0", "language": "swahili", "document_title": "Jeff Koinange", "passage_text": "Jeff Koinange (alizaliwa 7 Januari 1966) ni mwandishi wa habari wa televisheni, anayejulikana kuwahi kufanya kazi CNN kama mwandishi wa habari za kutoka Afrika, na kwa CNN International mnamo 2001-2007.", "question_text": "Jeff Koinange alianza kufanya kazi CNN mwaka gani?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 192, "limit_byte": 196}, {"text": "2001", "start_byte": 192, "limit_byte": 196}, {"text": "2001", "start_byte": 192, "limit_byte": 196}]} {"id": "3663075410844845048-1", "language": "swahili", "document_title": "Dinosauri", "passage_text": "Wataalamu huamini ya kwamba dinosauri walitokea miaka milioni 230 iliyopita wakatoweka ghafla miaka 65 iliyopita. Ndege hutazamwa kuwa katika nasaba ya dinosauri.", "question_text": "Dinosauri waliishi miaka gani?", "answers": [{"text": "230 iliyopita wakatoweka ghafla miaka 65 iliyopita", "start_byte": 62, "limit_byte": 112}, {"text": "miaka 65 iliyopita", "start_byte": 94, "limit_byte": 112}, {"text": "milioni 230 iliyopita wakatoweka ghafla miaka 65 iliyopita", "start_byte": 54, "limit_byte": 112}]} {"id": "-2887464543207770405-0", "language": "swahili", "document_title": "R. Kelly", "passage_text": "Robert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly. Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play.", "question_text": "Je,R. Kelly ni mzaliwa wa nchi gani?", "answers": [{"text": "Marekani", "start_byte": 156, "limit_byte": 164}, {"text": "Marekani", "start_byte": 156, "limit_byte": 164}, {"text": "Marekani", "start_byte": 156, "limit_byte": 164}]} {"id": "7882997369083047157-4", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Nabokov", "passage_text": "Mwaka 1940 wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia familia ilikimbia wakafaulu kupata nafasi kwenye meli kwenda Marekani iliyoondoka Ufaransa wakati jeshi la Ujerumani limeshaanza kuvamia nchi. Vladimir alipata kazi kama bingwa wa vipepeo kwenye American Museum of Natural History mjini New York kwa muda kidogo lakini aliendelea kuwa mwalimu wa fasihi kwenye vyuo mbalimbali na tangu 1948 profesa wa fasihi kwenye chuo kikuu cha Cornell. Tangu 1945 alikuwa raia wa Marekani.", "question_text": "Vladimir Nabokov alihamia Marekani mwaka gani?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}, {"text": "1940", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}, {"text": "1940", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "7312438373276878429-1", "language": "swahili", "document_title": "Ubingwa wa WWE", "passage_text": "Ubingwa wa WWE ulianzishwa mwaka 1963 huku Rogers Buddy akiwa bingwa wa uzinduzi 29 Aprili. Hata hivyo, asili yake inahusishwa na matukio ambayo yaliyoanzia Wrestling National Alliance (NWA), daraja dotterbolag mbalimbali. Katika miaka ya 1950, Capitol Wrestling Corporation (CWC) ilikuwa kampuni ndogo inayomilikiwa na NWA na mpaka mwaka 1963, viongozi wa CWC walikuwa wanamiliki sehemu kubwa ya NWA na wakati huohuo katika bodi ya wakurugenzi ya NWA. Wakati huo, Buddy Rogers alikuwa anashikilia ubingwa wa dunia wa uzito wa juu wa NWA, taji la dunia la NWA pamoja na kampuni zake ndogondogo, mpaka 24 Januari, wakati amalishindwa Lou Thesz Rogers kwa championship. Hatimaye CWC ilijitoa kutoka NWA na ikawa World Wide Wrestling Federation (WWWF). Hivyo ubingwa wa dunia wa uzito wa juu wa WWWF ulianzishwa ukiwa kama kama akiwa mwibuko kutoka taji la NWA. Utambulisho wa taji alipatiwa Buddy Rogers tarehe 29 Aprili kufuatia michuano iliyokuwa na utata iliyofanyika katika Rio de Janeiro, na kumshinda Antonino Rocca katika fainali. Ikishirikiana na NWA tena, WWWF ilibadilishwa jina na kuwa World Wrestling Federation (WWF) mwaka 1979, na baada ya kumaliza kabisa uhusiano wake na NWA mnamo mwaka 1983, ubingwa ukawa unajulikana kama WWF World Heavyweight Championship na baadaye tu kama WWF Bingwa mnamo miaka ya 1990.", "question_text": "World Wrestling Entertainment ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1963", "start_byte": 33, "limit_byte": 37}, {"text": "1963", "start_byte": 33, "limit_byte": 37}]} {"id": "8269392538006314316-24", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Wakazi walio wengi hufata Ukristo hasa katika madhehebu ya Uprotestanti kama vile:", "question_text": "Je,ni dini gani yenye watu wengi zaidi Jamaika?", "answers": [{"text": "Ukristo", "start_byte": 26, "limit_byte": 33}, {"text": "Ukristo", "start_byte": 26, "limit_byte": 33}]} {"id": "-26363952885007519-0", "language": "swahili", "document_title": "Moses Wetangula", "passage_text": "Moses Masika Wetangula (amezaliwa 13 Septemba 1956) ni mwanasiasa wa Kenya na Mbunge anayewakilisha jimbo Sirisia. Yeye amekuwa Waziri wa Mambo ya Nje tangu Januari 2008.", "question_text": "Moses Wetangula alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1956", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1956", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "2607187521241641969-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul von Lettow-Vorbeck", "passage_text": "\nPaul Emil von Lettow-Vorbeck (20 Machi, 1870 – 9 Machi, 1964) alikuwa afisa wa jeshi la Dola la Ujerumani na mkuu wa jeshi la Schutztruppe katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.", "question_text": "Paul Emil von Lettow-Vorbeck alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1870", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}, {"text": "1870", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}, {"text": "1870", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "-7122914068765488249-4", "language": "swahili", "document_title": "Halima James Mdee", "passage_text": "Alianza kusoma elimu ya msingi katika Shule ya Msingi Mlimani jijini Dar es Salaam mwaka 1985 na kuhitimu mwaka 1991. Alichaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari ya Wasichana Zanaki mwaka 1992 na kuhitimu kidato cha nne mwaka 1995.", "question_text": "Je,Halima James Mdee alisomea shule gani ya upili?", "answers": [{"text": "Zanaki", "start_byte": 175, "limit_byte": 181}, {"text": "Sekondari ya Wasichana Zanaki", "start_byte": 152, "limit_byte": 181}, {"text": "Shule ya Sekondari ya Wasichana Zanaki", "start_byte": 143, "limit_byte": 181}]} {"id": "8165916745744799761-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Kaunda", "passage_text": "\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "question_text": "Kenneth David Kaunda alistaafu lini?", "answers": [{"text": "1991", "start_byte": 182, "limit_byte": 186}, {"text": "1991", "start_byte": 182, "limit_byte": 186}]} {"id": "-131947581227625400-0", "language": "swahili", "document_title": "Kool G Rap", "passage_text": "\nNathaniel Thomas Wilson (amezaliwa tar. 20 Julai 1968[1]), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Kool G Rap (au kwa kifupi huitwa G Rap), Kool G. Rap, na Giancana (Maana ya kifupisho cha \"G.\"), ni rappa, kutoka mjini Corona jirani na mji wa Queens, New York huko nchini Marekani.[2] Ameanza shughuli zake za kurap katikati mwa miaka ya 1980 akiwa kama nusu ya kundi la Kool G Rap na DJ Polo na pia akiwa kama mwanachama wa Juice Crew.", "question_text": "Je,Kool G Rap alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "1968", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "1968", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}]} {"id": "-5073436839469089319-1", "language": "swahili", "document_title": "Ruwaza ya Kenya 2030", "passage_text": "Kulitangazwa 10 Juni 2008, kwamba wilaya ya Isiolo, itakuwa ya kwanza ya mradi wa kewekezwa. Mpango unazimia kuufanya mji wa Isiolo kuimarika kama eneo la kitalii ambalo litajumuisha kasino, mahoteli, masoko rejareja, uwanja wa ndege wa kisasa na vifaa vya usafiri.[3]", "question_text": "Taifa ya Kenya alizindua maono ya 2030 mwaka upi?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}, {"text": "2008", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}]} {"id": "4351696602567819326-0", "language": "swahili", "document_title": "Bollywood", "passage_text": "Bollywood (Kihindi: बॉलीवुड, Kiurdu: بالی وڈ) ni neno la kutaja tasnia ya filamu za lugha ya Kiurdu-Kihindi huko nchini India.[1]", "question_text": "Je,Bollywood ni jina ya filamu katika nchi gani?", "answers": [{"text": "India", "start_byte": 140, "limit_byte": 145}, {"text": "India", "start_byte": 140, "limit_byte": 145}, {"text": "India", "start_byte": 140, "limit_byte": 145}]} {"id": "-797321316002288541-1", "language": "swahili", "document_title": "Wentworth Miller", "passage_text": "Miller alizaliwa Chipping Norton, Oxfordshire, Uingereza, ambapo baba yake alikuwa akiishi huku akisoma katika chuo cha Oxford. Familia yake baadae ilihamia Park Slope, Brooklyn, New York, kipindi ana mwaka mmoja. Ana madada wawili, Leigh na Gillian. Alipata elimu yake pale Midwood High School iliyopo Brooklyn, New York USA. Alihitimu masomo yake katika Chuo cha Princeton akiwa na shahada ya Fasihi ya Kiingereza.", "question_text": "Je,Wentworth Earl Miller III alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Princeton", "start_byte": 365, "limit_byte": 374}, {"text": "Oxford", "start_byte": 120, "limit_byte": 126}]} {"id": "221015436843798794-2", "language": "swahili", "document_title": "Babeli", "passage_text": "Maghofu yake hupatikana karibu na mji wa kisasa wa Al Hillah (Irak) kando ya mto Frati km 90 kusini kwa Baghdad. ", "question_text": "Mesopotamia ya kale ina jina gani leo?", "answers": [{"text": "Irak", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}, {"text": "Irak", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}]} {"id": "-7877911195979071846-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Kaunda", "passage_text": "\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "question_text": "Je,Kenneth David Kaunda alitumikia Zambia kama rais kwa miaka ngapi?", "answers": [{"text": "1964 hadi 1991", "start_byte": 172, "limit_byte": 186}, {"text": "1964 hadi 1991", "start_byte": 172, "limit_byte": 186}]} {"id": "6325844938740380964-0", "language": "swahili", "document_title": "Amsterdam", "passage_text": "Amsterdam ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Uholanzi. Inajulikana kama mji wa mifereji mingi wenye wakazi 800,000, vyuo vikuu viwili na uwanja wa ndege wa kimataifa mkubwa wa \"Schiphol\".", "question_text": "Je, kuna mifereji mingapi katika mji wa Amsterdam?", "answers": [{"text": "mingi", "start_byte": 83, "limit_byte": 88}, {"text": "mingi", "start_byte": 83, "limit_byte": 88}]} {"id": "-6773151769494114338-0", "language": "swahili", "document_title": "Ben Carson", "passage_text": "Daktari Benjamin S. Carson (amezaliwa tar. 18 Septemba 1951) ni daktari na mtaalamu wa Nyurolojia, na pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Nyurolojia kwa watoto katika hospitali ya Johns Hopkins huko nchini Marekani. Alitunukiwa na raisi medali ya uhuru mwaka 2008", "question_text": "Je,Benjamin S. Carson alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1951", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}, {"text": "1951", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}, {"text": "18 Septemba 1951", "start_byte": 44, "limit_byte": 60}]} {"id": "-4969739945370705730-0", "language": "swahili", "document_title": "Vasili Vereshchagin", "passage_text": "\nVasili Vasilyevich Vereshchagin (Kirusi: Василий Василиевич Верещагин; 26 Oktoba 1842 - 13 Aprili 1904) alikuwa mchoraji kutoka Urusi aliyefahamika sana kutokana picha zake za vita na mapigano.", "question_text": "Vasili Vasilyevich Vereshchagin alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "1904", "start_byte": 125, "limit_byte": 129}, {"text": "1904", "start_byte": 125, "limit_byte": 129}, {"text": "1904", "start_byte": 125, "limit_byte": 129}]} {"id": "-4724591126539516338-2", "language": "swahili", "document_title": "Orodha ya Marais wa Togo", "passage_text": "Muda wa UtawalaMtawalaChamaVidokezoJamhuri ya Togo27 Aprili 1960 hadi 13 Januari 1963Sylvanus Olympio, RaisCUTAling'olewa Madarakani na Kuuwawa13 Januari 1963 hadi 15 Januari 1963Emmanuel Bodjollé, Mwenyekiti wa Kamati kusababisha uasiMil16 Januari 1963 hadi 13 Januari 1967Nicolas Grunitzky, RaisPTPAling'olewa Madarakani14 Januari 1967 hadi 14 Aprili 1967Kléber Dadjo, Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya MaridhianoMil14 Aprili 1967 hadi 30 Novemba 1969 Étienne Eyadéma, RaisMil30 Novemba 1969 hadi 8 Mei 1974 RPTAlibadilisha jina kuwa Gnassingbé Eyadéma8 Mei 1974 hadi 5 Februari 2005Gnassingbé Eyadéma, RaisRPTAlikufa katika ofisi5 Februari 2005 hadi 25 Februari 2005Faure Gnassingbé, RaisRPTMara ya kwanza25 Februari 2005 hadi 4 Mei 2005Bonfoh ABBASS, Kaimu RaisRPT4 Mei 2005 hadi sasaFaure Gnassingbé, RaisRPTMara ya pili", "question_text": "Rais wa kwanza wa Togo anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Sylvanus Olympio", "start_byte": 85, "limit_byte": 101}, {"text": "Sylvanus Olympio", "start_byte": 85, "limit_byte": 101}]} {"id": "6655746937609360520-3", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. \nTangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, Roman Abramovich.", "question_text": "Je, ni nani mmiliki wa klabu ya Chelsea F.C?", "answers": [{"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}]} {"id": "-3636901319990054817-7", "language": "swahili", "document_title": "Moroko", "passage_text": "Mji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Morocco ni?", "answers": [{"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "5994257854303218286-45", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Tanzania", "passage_text": "Tanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961.", "question_text": "Je, Tanzania ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1961", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-3250086993030608009-2", "language": "swahili", "document_title": "Tshimanga Assosa", "passage_text": "Assossa alizaliwa katika mji wa Kamina uliopo Jimbo la Shaba huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mnamo tarege 4 Aprili, 1949. Alipata elimu ya Sekondari katika Shule iliyojulikana kama Charles Ruangwa hapo Kamina. Assosa alianza kuimba akiwa bado mdogo na kwamba aliyejipeleka mwenyewe katika kwaya ya Kanisa la Mtakatifu Baram huko Kamina ambako Mapadri walimsaidia kumfundisha muziki. Pamoja na juhudi zake hizo, Baba yake mzazi kamwe hakutaka mwanaye ajitumbukize katika muziki na kumtaka afuate masomo yake shuleni.", "question_text": "Tshimanga Kalala Assosa alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kamina", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}, {"text": "Kamina", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}, {"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 66, "limit_byte": 98}]} {"id": "-4801290451666601483-0", "language": "swahili", "document_title": "Rhona Mitra", "passage_text": "Rhona Natasha Mitra (amezaliwa tar. 9 Agosti 1976) ni mwigizaji wa filamu, mwanamitindo, na mwimbaji kutoka nchini Uingereza. Jina lake la kisanii pia kuna kipindi hujiita kama Rona Mitra.", "question_text": "Je,Rhona Natasha Mitra alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1976", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1976", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1976", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "5761240421159605153-0", "language": "swahili", "document_title": "Elisha Cuthbert", "passage_text": "\nElisha Ann Cuthbert (amezaliwa tar. 30 Novemba 1982) ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Kanada. Cuthbert anafahamika sana kwa vile zamani alikuwa mtangazaji wa kipindi cha televisheni cha Kikanada maarufu kama Popular Mechanics for Kids.", "question_text": "Elisha Cuthbert alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kanada", "start_byte": 104, "limit_byte": 110}, {"text": "Kanada", "start_byte": 104, "limit_byte": 110}]} {"id": "-992273339526194791-12", "language": "swahili", "document_title": "Gabon", "passage_text": "Umma hasa kwa ujumla yasemekana ni kama watu milioni 1.5 lakini mambo haya yamebaki bila kuwaziwa.", "question_text": "Nchi ya Gabon iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "milioni 1.5", "start_byte": 45, "limit_byte": 56}, {"text": "1.5", "start_byte": 53, "limit_byte": 56}]} {"id": "4899164839984299762-2", "language": "swahili", "document_title": "Nyumba", "passage_text": "Nyumba huwa na ukuta na paa. Kila nyumba inahitaji mlango; kama nyumba ni ndogo mlango huu unaweza kutosheleza pia mahitaji ya mwanga. Nyumba nyingi huwa pia na madirisha kwa kuingiza nuru na hewa. ", "question_text": "Sehemu ya juu ya nyumba huitwaje?", "answers": [{"text": "paa", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}, {"text": "paa", "start_byte": 24, "limit_byte": 27}]} {"id": "996243836741926954-0", "language": "swahili", "document_title": "Mario Brega", "passage_text": "\nMario Brega (Roma, 5 Machi 1923 - Roma, 23 Julai 1994) alikuwa mwigizaji wa Italia. Brega, kiumbo alionekana kuwa na mwili mkubwa, kitu ambacho kinaashilia kuwa yeye ni jambazi, kama ilivyokuwa katika filamu zake za awali za kutoka western.", "question_text": "Mario Brega alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1923", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}, {"text": "1923", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}, {"text": "1923", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}]} {"id": "605698565021984862-1", "language": "swahili", "document_title": "Royal York", "passage_text": "Ilifunguliwa tarehe 11 Juni 1929, mipango ya Royal York ilichorwa na kupangwa na wataalamu wa kazi hiyo Ross na Macdonald(pamoja na Sproatt na Rolph) na ikajengwa na shirika la reli la Canadian Pacific Railway karibu na stesheni ya Union Station. Likiwa ma magorofa 28, jengo hilo lenye muundo wa Château lilikuwa jengo kubwa kabisa katika ufalme wa Uingereza mpaka walipojenga mnara wa Benki ya Kanada jijini Toronto kwenye barabara ya King Street.", "question_text": "Hoteli ya Fairmont Royal York ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "11 Juni 1929", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}, {"text": "11 Juni 1929", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}, {"text": "11 Juni 1929", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}]} {"id": "2130539426813644718-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Rukwa", "passage_text": "Wilaya nne zilikuwa (idadi ya wakazi katika mabano): ", "question_text": "Mkoa wa Rukwa una wilaya ngapi?", "answers": [{"text": "nne", "start_byte": 7, "limit_byte": 10}, {"text": "nne", "start_byte": 7, "limit_byte": 10}, {"text": "nne", "start_byte": 7, "limit_byte": 10}]} {"id": "-6949036888205018898-0", "language": "swahili", "document_title": "John Garang", "passage_text": "Dkt John Garang de Mabior (23 Juni 1945 - 30 Julai 2005) alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan na kiongozi wa zamani wa waasi wa Sudan People's Liberation Army.", "question_text": "Dkt John Garang de Mabior alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2005", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "2005", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "30 Julai 2005", "start_byte": 43, "limit_byte": 56}]} {"id": "-673073103391654976-0", "language": "swahili", "document_title": "Jeff Koinange", "passage_text": "Jeff Koinange (alizaliwa 7 Januari 1966) ni mwandishi wa habari wa televisheni, anayejulikana kuwahi kufanya kazi CNN kama mwandishi wa habari za kutoka Afrika, na kwa CNN International mnamo 2001-2007.", "question_text": "Jeff Koinange alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1966", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}, {"text": "1966", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}, {"text": "1966", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "4214173871995737772-0", "language": "swahili", "document_title": "Augusto", "passage_text": "\nAugusto alikuwa Kaisari wa kwanza wa Dola la Roma kuanzia mwaka 27 KK hadi 14 BK. Jina lake la kiraia lilikuwa Gaius Octavius. Alizaliwa Italia tarehe 23 Septemba 63 KK. ", "question_text": "Je,Gaius Julius Caesar alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "23 Septemba 63 KK", "start_byte": 152, "limit_byte": 169}, {"text": "23 Septemba 63 KK", "start_byte": 152, "limit_byte": 169}]} {"id": "2264218514879916182-1", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki", "passage_text": "Kadiri ya Umoja wa Mataifa Afrika ya Mashariki ina nchi 18 zifuatazo:", "question_text": "Je,Afrika Mashariki ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}]} {"id": "2542621686872273853-0", "language": "swahili", "document_title": "Yobes Ondieki", "passage_text": "Yobes Ondieki (mzaliwa 21 Februari 1961 katika katika wilaya ya Kisii, Nyanza) ni mwanariadha wa 5000m wa zamani wa Kenya aliyeshinda mashindano ya dunia mjini Tokyo 1991. Katika mwaka uo huo aliweka rekodi isiyokaa ya mita 5000 ya kenya ya dakika 13.02.82 huko mjini Zürich. Alishiriki katika fainali za Olimpiki za miaka ya 1988 na 1992 lakini hakushinda medali.", "question_text": "Yobes Ondieki aliweka rekodi gani mwaka 1991?", "answers": [{"text": "isiyokaa ya mita 5000 ya kenya ya dakika 13.02.82", "start_byte": 208, "limit_byte": 257}, {"text": "mita 5000 ya kenya ya dakika 13.02.82", "start_byte": 220, "limit_byte": 257}, {"text": "mwanariadha wa 5000m wa zamani wa Kenya aliyeshinda mashindano ya dunia mjini Tokyo", "start_byte": 83, "limit_byte": 166}]} {"id": "-5033049606332323480-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Morogoro", "passage_text": "Eneo lake ni km² 72 939, ambapo kuna wakazi 2,218,492 (mwaka 2012). Hivyo Morogoro ni kati ya mikoa mikubwa zaidi ya Tanzania. ", "question_text": "Je,mkoa wa Morogoro ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,218,492", "start_byte": 45, "limit_byte": 54}, {"text": "2,218,492", "start_byte": 45, "limit_byte": 54}, {"text": "2,218,492", "start_byte": 45, "limit_byte": 54}]} {"id": "5965920897455450602-1", "language": "swahili", "document_title": "Walter Rodney", "passage_text": "Walter Rodney (23 Machi 1942 - 13 Juni 1980) alikuwa mwanahistoria maarufu wa Guyana na mwanatakwimu wa kisiasa.", "question_text": "Je,Walter Rodney alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1942", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "1942", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "1942", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "7565143101905030215-0", "language": "swahili", "document_title": "Wangari Maathai", "passage_text": "Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.[1] Yeye ni mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo. Pia, aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na waziri msaidizi katika serikali ya Mwai Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005.", "question_text": "Wangari Muta Maathai alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1 Aprili 1940", "start_byte": 22, "limit_byte": 35}, {"text": "1 Aprili 1940", "start_byte": 22, "limit_byte": 35}, {"text": "1 Aprili 1940", "start_byte": 22, "limit_byte": 35}]} {"id": "-5565468196822274290-0", "language": "swahili", "document_title": "Kratom", "passage_text": "Kratom (jina la Kilatini: Mitragyna speciosa) ni mti wa kijani wa kitropiki katika familia ya kahawa (Rubiaceae) wenye asili ya kusini mashariki mwa Asia. Mti huu unapatikana kwa wingi nchi za Thailand, Indonesia, Malaysia, Myanmar, na Papua New Guinea ambako umetumika kama dawa ya asili tangu karne ya 19. ", "question_text": "Je,jina ya kisayansi ya mti wa Kratom ni?", "answers": [{"text": "Mitragyna speciosa", "start_byte": 26, "limit_byte": 44}, {"text": "Mitragyna speciosa", "start_byte": 26, "limit_byte": 44}, {"text": "Rubiaceae", "start_byte": 102, "limit_byte": 111}]} {"id": "8194457451625491957-0", "language": "swahili", "document_title": "Hekaya za Abunuwasi", "passage_text": "Hekaya za Abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za Abunuwas. Hadithi hizi hazina uhusiano na Abu Nuwas, mshairi Mwarabu aliyeishi Baghdad mnamo mwaka 800 BK. ", "question_text": "Je, Abunwasi na mwandishi Abu Nuwas wana sifa zipi zinazo fanana?", "answers": [{"text": "Hekaya za Abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za Abunuwas. Hadithi hizi hazina uhusiano na Abu Nuwas", "start_byte": 0, "limit_byte": 123}, {"text": "Hekaya za Abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za Abunuwas. Hadithi hizi hazina uhusiano na Abu Nuwas", "start_byte": 0, "limit_byte": 123}]} {"id": "-4838541801405383534-0", "language": "swahili", "document_title": "Philip Emeagwali", "passage_text": "Philip Emeagwali (amezaliwa 23 Agosti 1954) ni mhandisi ,Igbo kutoka Nigeria na mwanasayansi wa kompyuta/ Mwanajiolojia ambaye alikuwa mmoja wa washindi wawili wa Tuzo la mwaka wa 1989 la Gordon Bell, zawadi kutoka IEEE, kwa matumizi yake ya kompyuta yenye nguvu zaidi - mashine ilitokuwa na visindukaji 65000 - iliyosaidia katika uchambuzi maeneo ya petroli .", "question_text": "Philip Emeagwali alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1954", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}, {"text": "1954", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}, {"text": "1954", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "4328062420580960880-0", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "\n\n\nHeroes ni kipindi cha Marekani kilichobuniwa na Tim Kring, kwenye stesheni ya NBC mnamo 25 Septemba 2006. Kipindi hiki kinaeleza jinsi wahusika wanajitambua kama wana vipawa mbalimbali na jinsi vipawa hivi vinavyoathiri maisha yao.", "question_text": "Kipindi cha Heroes kilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "006", "start_byte": 104, "limit_byte": 107}, {"text": "006", "start_byte": 104, "limit_byte": 107}, {"text": "5 Septemba 2006", "start_byte": 92, "limit_byte": 107}]} {"id": "6302536219131329699-0", "language": "swahili", "document_title": "Lamu", "passage_text": "\n\nLamu ni mji mkubwa wa kisiwa cha Lamu kwenye pwani ya Kenya mwenye wakazi mnamo 10,000. Mji ni pia makao makuu ya Kaunti ya Lamu.", "question_text": "Je,mji wa Lamu inapatikana katika sehemu gani nchi Kenya?", "answers": [{"text": "pwani", "start_byte": 47, "limit_byte": 52}, {"text": "pwani", "start_byte": 47, "limit_byte": 52}, {"text": "pwani", "start_byte": 47, "limit_byte": 52}]} {"id": "-4550523410321920526-0", "language": "swahili", "document_title": "Professor Jay", "passage_text": "\nJoseph Leonard Haule (amezaliwa tarehe 29 Desemba 1975) ni Mtanzania msanii wa muziki wa hip hop na vilevile mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi kwa miaka 2015 – 2020. [1]", "question_text": "Je,jina kamili la msanii Professa Jay ni gani?", "answers": [{"text": "Joseph Leonard Haule", "start_byte": 1, "limit_byte": 21}, {"text": "Joseph Leonard Haule", "start_byte": 1, "limit_byte": 21}, {"text": "Joseph Leonard Haule", "start_byte": 1, "limit_byte": 21}]} {"id": "-3649861256007681470-1", "language": "swahili", "document_title": "Guillermo Ochoa", "passage_text": "Ochoa alifanya mchezaji wake wa ngazi ya juu kwa Club América mwaka 2004 katika mechi ya ligi ya Mexican dhidi ya Monterrey. Alishinda cheo chake cha kwanza cha ligi mwaka 2005 na alikuwa kipa wa kwanza wa klabu hadi 2011, akifanya maonyesho zaidi ya 200 kwa América. Hiyo majira ya Ochoa ilihamishiwa Ajaccio nchini Ufaransa. Alitumia msimu wa tatu na klabu mpaka kuachana na Ligue 1. Mwaka 2014, Ochoa alijiunga na Málaga lakini alishindwa kujiweka katika timu hiyo. Mnamo Julai 2016, alijiunga na Granada kwenye mkopo wa muda mrefu. Mnamo Julai 2017, alijiunga na Standard Liège.", "question_text": "Francisco Guillermo Ochoa Magaña alijiunga na timu ya Standard Liege mwaka upi?", "answers": [{"text": "2017", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}, {"text": "2017", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}]} {"id": "-1464602084099040795-0", "language": "swahili", "document_title": "Shaggy (msanii)", "passage_text": "Orville Richard Burrell (alizaliwa 22 Oktoba 1968, Kingston, Jamaika), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii Shaggy, ni mshindi wa Grammy Award kama mwimbaji wa reggae ya Jamaika-Amerika ambapo asili ya jina lake la kisanii ni kutoka rafiki wa Scooby-Doo [[|[1][2]]] -jina alilopewa na marafiki zake wakati wake miaka ya utotoni kwa sababu jina lake lilikuwa sawa na tabia za Scooby Doo . Yeye ni mashuhuri hasa kwa sauti yake ya iliyogwara .\nAkizungumza katika kipindi cha asubuhi hii 27 Agosti 2008, Burrell alisema jina Shaggy liliashiria mtindo wa nywele yake.", "question_text": "Mwanamuziki Shaggy alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1968", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}]} {"id": "205276983203195182-1", "language": "swahili", "document_title": "Somethin' for the People", "passage_text": "Kundi lilianzishwa mnamo mwaka wa 1990 na Curtis \"Sauce\" Wilson na Jeff \"Fuzzy\" Young, wote wanatokea mjini Oakland, California, pamoja na mwenyeji wa Los Angeles Rochad \"Cat Daddy\" Holiday. Kundi lilirekodi demo kadhaa na kuzisambaza madukani huko mjini LA, na baadaye wakaingia mkataba na Capitol Records, ambao baadaye waliwawezesha kutoa albamu yao ya kwanza mnamo mwaka wa 1993. Wakiwa kama watunzi wa nyimbo, wametunga nyimbo kwa ajili ya Samuelle, En Vogue, Brandy, na U.N.V.[1] Walivyohamia Warner Bros. Records, walizitoa upya albamu zao za awali mnamo 1996. Albamu yao ya pili, This Time It's Personal, ilibamba vibaya mno huko nchini Marekani na Kanada, mauzo yalifika platinum kwa kibao cha \"My Love Is the Shhh!\",[2][3]ambacho kilishika nafasi ya #4 nchini Marekani na #7 nchini Kanada, na kundi lilifanya kazi zaidi kama watunzi wa nyimbo na midundo kimafanikio, kwa kwa kuwatungia ngoma Will Smith and Adina Howard.[1] LP ya tatu, Issues, ilifuata mnamo mwezi wa Julai 2000.", "question_text": "Kundi la muziki la Somethin' for the People lilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}, {"text": "1990", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}, {"text": "1990", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "4877827857822667881-1", "language": "swahili", "document_title": "Wade Williams", "passage_text": "Williams na dada zake watatu walizaliwa Georgia, na baadae wakahamia Tulsa, Oklahoma. Kama kijana, Williams alijihusisha sana na maigizo na muziki, akianzia kanisani lakini hakuipa kipaumbele sanaa ya uigizaji kama ndio msingi wa maisha yake. Baada ya kumaliza elimu ya juu, Williams alipanga kufanya maandalizi ya kujiunga na masomo ya uganga katika chuo cha Tulsa (Tulsa University). Mapenzi yake kwenye uigizaji na muziki kamwe hayakufifia na akabadilisha masomo. Williams alipata shahada katika sanaa ya maonesho na baadae akapata shahada ya pili katika sanaa ya uigizaji kutoka chuo cha Rutgers (Mason Gross School of the Arts) alipokuwa akisoma chini ya William Esper. Williams anaishi Texas akiwa na mkewe pamoja na binti yao. Kipindi akiwa chuo cha alikuwa nyota kwenye igizo Sweet Todd.", "question_text": "Wade Andrew William alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Georgia", "start_byte": 40, "limit_byte": 47}, {"text": "Georgia", "start_byte": 40, "limit_byte": 47}, {"text": "Georgia", "start_byte": 40, "limit_byte": 47}]} {"id": "4397511583805518646-1", "language": "swahili", "document_title": "Ujamaa", "passage_text": "Ujamaa ni siasa iliyoanzishwa kwa misingi ya sera za Julius Nyerere za maendeleo ya kijamii na ya kiuchumi katika Tanzania punde tu baada ya Tanganyika kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1961. ", "question_text": "Ujamaa nchini Tanzania ulianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}, {"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}]} {"id": "-2964230874101950309-0", "language": "swahili", "document_title": "Muziki wa dansi", "passage_text": "Muziki wa dansi (au dansi tu) ni muziki kutoka nchini Tanzania. Ulianzishwa katika mji wa Dar es Salaam kunako miaka ya 1930, na unapendeka leo hadi leo hii. ", "question_text": "Asili ya muziki wa dansi ni gani?", "answers": [{"text": "Ulianzishwa katika mji wa Dar es Salaam kunako miaka ya 1930", "start_byte": 64, "limit_byte": 124}, {"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 90, "limit_byte": 103}]} {"id": "2058490407607486201-0", "language": "swahili", "document_title": "Toni Kroos", "passage_text": "Toni Kroos (aliyezaliwa tarehe 4 Januari 1990) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani.\n\nKama mwanachama wa Bayern Munich akiwa na umri wa miaka 17, Kroos alikuwa mchezaji wa mkopo wa miezi 18 huko Bayer Leverkusen.", "question_text": "Je,Toni Kroos anacheza katika nafasi gani katika mchezo wa soka?", "answers": [{"text": "kiungo", "start_byte": 101, "limit_byte": 107}, {"text": "kiungo", "start_byte": 101, "limit_byte": 107}]} {"id": "-5347959007953888037-1", "language": "swahili", "document_title": "Paul Ngei", "passage_text": "Paul Ngei alizaliwa katika sehemu ya Kiima Kimwe karibu karibu na mji wa Machakos nchini Kenya. Alikuwa mjukuu wa Masaku, chifu mkuu ambaye jina lake sasa ni majina ya mji na wilaya. Familia yake ilihama kutoka Kiima Kimwe hadi kwa makazi mapya katika sehemu ya Kangundo katika kijiji kidogo kijulikanacho kama Mbilini mwaka wa 1929. Hili lilikuwa eneo la milima na mvua nzuri kwa kilimo. Baba yake alikuwa amegeuzwa kuwa Mkristo na Afrika Inland Mission.", "question_text": "Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kiima Kimwe", "start_byte": 37, "limit_byte": 48}, {"text": "Kiima Kimwe", "start_byte": 37, "limit_byte": 48}, {"text": "Kiima Kimwe", "start_byte": 37, "limit_byte": 48}]} {"id": "-3406299580121336293-6", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa chama kimoja", "passage_text": "Ethiopia (Chama cha Wafanyakazi cha Ethiopia) 1987-1991\nKenya (Kenya African National Union) 1982-1990\nMalawi (Malawi Congress Party) 1966-1993\nSomalia (Chama cha kimapinduzi ya kijamii ya Kisomali) 1976-1991\nTanzania (Tanganyika African National Union) 1965-1975; Zanzibar (Afro-Shirazi Party 1965-1992; TANU na ASP zikaungana kuwa (Chama Cha Mapinduzi) 1975-1992\nUganda (National Resistance Movement/Party) 1987-2005\nZambia (United National Independence Party) 1972-1990", "question_text": "Je,Chama Cha Mapinduzi kilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 355, "limit_byte": 359}, {"text": "1975", "start_byte": 355, "limit_byte": 359}]} {"id": "-906797726558474052-3", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Meru", "passage_text": "Sehemu kubwa ya Meru ina ardhi ya rutuba na mvua ya kutosha. Ni kaunti inayojulikana kwa ukuzaji wa miraa, kama zao la biashara. Hata hivyo, ukulima wa ndizi, mahindi, majani ya chai na maharagwe hufanywa[1][2]. ", "question_text": "Je,miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani Kenya?", "answers": [{"text": "Meru", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}, {"text": "Meru", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "7590851729883106531-0", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Chelsea Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Uingereza iliyo na maskani yake Fulham, London. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1905, na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki ligi kuu ya Uingereza. Uwanja wao wa nyumbani ni Stamford Bridge ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.", "question_text": "Klabu ya Chelsea F.C ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}, {"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}, {"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}]} {"id": "349192922525697941-1", "language": "swahili", "document_title": "Ruhollah Khomeini", "passage_text": "Alizaliwa mnamo 1902 mjini Khomein katika Uajemi wa Kati katika familia ya Masayyid. Baada ya shule ya msingi aliendelea kusoma mafunzo ya kidini huko Qom kuanzia mwaka 1922 akawa mujtahid 1936 pamoja na cheo cha kidini cha Hodjatolislam. 1943 aliandika kitabu cha \"Kašf al-asrār\" (ufunuo wa siri) alikoeleza mafundisho yake juu ya serikali ya kiislamu na kudai kufutwa kwa ufalme wa Uajemi. Aliendelea kufundisha sharia ya Kiislamu kwenye chuo cha Qom.", "question_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Khomein", "start_byte": 27, "limit_byte": 34}, {"text": "Khomein katika Uajemi wa Kati", "start_byte": 27, "limit_byte": 56}]} {"id": "8626582757612791679-1", "language": "swahili", "document_title": "Ubingwa wa WWE", "passage_text": "Ubingwa wa WWE ulianzishwa mwaka 1963 huku Rogers Buddy akiwa bingwa wa uzinduzi 29 Aprili. Hata hivyo, asili yake inahusishwa na matukio ambayo yaliyoanzia Wrestling National Alliance (NWA), daraja dotterbolag mbalimbali. Katika miaka ya 1950, Capitol Wrestling Corporation (CWC) ilikuwa kampuni ndogo inayomilikiwa na NWA na mpaka mwaka 1963, viongozi wa CWC walikuwa wanamiliki sehemu kubwa ya NWA na wakati huohuo katika bodi ya wakurugenzi ya NWA. Wakati huo, Buddy Rogers alikuwa anashikilia ubingwa wa dunia wa uzito wa juu wa NWA, taji la dunia la NWA pamoja na kampuni zake ndogondogo, mpaka 24 Januari, wakati amalishindwa Lou Thesz Rogers kwa championship. Hatimaye CWC ilijitoa kutoka NWA na ikawa World Wide Wrestling Federation (WWWF). Hivyo ubingwa wa dunia wa uzito wa juu wa WWWF ulianzishwa ukiwa kama kama akiwa mwibuko kutoka taji la NWA. Utambulisho wa taji alipatiwa Buddy Rogers tarehe 29 Aprili kufuatia michuano iliyokuwa na utata iliyofanyika katika Rio de Janeiro, na kumshinda Antonino Rocca katika fainali. Ikishirikiana na NWA tena, WWWF ilibadilishwa jina na kuwa World Wrestling Federation (WWF) mwaka 1979, na baada ya kumaliza kabisa uhusiano wake na NWA mnamo mwaka 1983, ubingwa ukawa unajulikana kama WWF World Heavyweight Championship na baadaye tu kama WWF Bingwa mnamo miaka ya 1990.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa mashindano ya WWE?", "answers": [{"text": "Rogers Buddy", "start_byte": 43, "limit_byte": 55}, {"text": "Rogers Buddy", "start_byte": 43, "limit_byte": 55}]} {"id": "-7122120977241458052-16", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika", "passage_text": "Tanganyika ilipata uhuru wake tarehe 9 Desemba 1961 (taz.: Historia ya Tanzania). ", "question_text": "Je,Tanzania ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1961", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-2071597875528277648-0", "language": "swahili", "document_title": "Financial Times", "passage_text": "\nFinancial Times (FT) ni gazeti la biashara la kimataifa kutoka nchini Uingereza. Ni gazeti ambalo hutolewa kila siku asubuhi na huchapishwa katika sehemu 24 huko London.[1] Gazeti hili, ni mshindani mkubwa kabisa wa gazeti lenye makao yake makuu huko New York City-Wall Street Journal. Hivi sasa, mhariri wake ni Lionel Barber.", "question_text": "Makao makuu ya gazeti la Financial Times yanapatikana wapi?", "answers": [{"text": "New York City-Wall Street Journal", "start_byte": 252, "limit_byte": 285}, {"text": "London", "start_byte": 163, "limit_byte": 169}, {"text": "Uingereza", "start_byte": 71, "limit_byte": 80}]} {"id": "4289505821960107915-0", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Afrika", "passage_text": "\n\nUmoja wa Afrika (UA) (kwa Kiingereza: African Union (AU); Kifaransa: Union Africaine (UA); Kihispania: Unión Africana (UA) ; Kireno: União Africana (UA) ) [1] ni muungano wa nchi 55 za Afrika ulioanzishwa mnamo Julai 2002. ", "question_text": "Umoja wa Afrika ulianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2002", "start_byte": 221, "limit_byte": 225}, {"text": "2002", "start_byte": 221, "limit_byte": 225}, {"text": "Julai 2002", "start_byte": 215, "limit_byte": 225}]} {"id": "8426981463079556761-9", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Tarehe 1 Julai 1962 Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 wameshakuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya Watutsi iliendelea. Wanasiasa Wahutu walizoea kuita Watusi ndio \"Wadudu\". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbia Burundi, Uganda na Tanzania.", "question_text": "Rwanda ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "-646932544481462087-7", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Lindi", "passage_text": "Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ni wakulima. ", "question_text": "Mji wa Lindi una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "791,306", "start_byte": 35, "limit_byte": 42}, {"text": "791,306", "start_byte": 35, "limit_byte": 42}]} {"id": "4692896548853485890-1", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Bunge linamjumuisha rais wa Tanzania pamoja na wabunge. Mnamo mwaka 2017 kuna wabunge 393[1] wanaoingia kwa namna tofauti [2]", "question_text": "Je,Tanzania ina idadi ya wabunge wangapi katika serikali?", "answers": [{"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}, {"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}]} {"id": "406117054450828015-1", "language": "swahili", "document_title": "Jeff Koinange", "passage_text": "Koinange alizaliwa nchini Kenya na alifanya kazi na kituo cha kwanza huru nchini Kenya: KTN (Kenya Television Network). Yeye alihudhuria Shule ya Kingsborough Community mjini Brooklyn, NY, kati ya 1987-1989 na kufuzu kwa kupata shahada. Yeye pia alipata shahada ya Sanaa katika utangazaji na uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha New York.", "question_text": "Jeff Koinange alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Chuo Kikuu cha New York", "start_byte": 318, "limit_byte": 341}, {"text": "New York", "start_byte": 333, "limit_byte": 341}, {"text": "Kingsborough Community mjini Brooklyn, NY, kati ya 1987-1989 na kufuzu kwa kupata shahada. Yeye pia alipata shahada ya Sanaa katika utangazaji na uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha New York", "start_byte": 146, "limit_byte": 341}]} {"id": "-1274677559755380117-1", "language": "swahili", "document_title": "The Era (gazeti)", "passage_text": "The Era ilianzishwa katika mwaka wa 1838 na muungano wa wanahisa ,baadhi yao waliokuwa wasambazaji wa bidhaa na watu wengine waliohusika na biashara yao. Jarida hili lilikuwa likilengwa kuwa chombo cha kuwasilisha habari ya kila wiki kama vile gazeti la Morning Advertiser lilivyokuwa chombo cha kutumika kila siku. Katika miaka miwili mitatu hivi ya kuwepo kwa gazeti hili, msimamo wake wa kisiasa ulikuwa wa kukubali siasa yoyote. Mhariri wake wa kwanza, Leitch Ritchie, alionekana kuwa huru sana na bodi ya wakurugenzi na kuongezea migogoro ya wahariri, gazeti hilo lilifeli. Frederick Ledger alichukua nafasi ya Ritchie na akawa mwendeshaji pekee na, vilevile, mhariri wa gazeti hilo. Alihariri jarida hili kwa zaidi ya miaka thelathini, likibadilisha siasa yake kutoka kukosa msimamo wowote hadi kuwa na msimamo wa uhafidina. Siasa, hata hivyo, ilikoma kuwa suala kubwa kwa The Era. Habari zake kuu, ikiwa chini ya Ledger,zilikuwa michezo ,dini ya freemasonna michezo ya kuigiza. Msomaji wa kisasa alisema kuwa, \"Katika habari za maigizo ,gazeti hili limezipa nafasi kubwa sana. Katika uhusiano wa kiwango na usahihi wa habari zake za maigizo, gazeti hili ni bora kuliko magazeti mengine ya kila wiki.", "question_text": "Mhariri mkuu wa gazeti la The Era mwaka 1838 anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Leitch Ritchie", "start_byte": 457, "limit_byte": 471}, {"text": "Leitch Ritchie", "start_byte": 457, "limit_byte": 471}, {"text": "Leitch Ritchie", "start_byte": 457, "limit_byte": 471}]} {"id": "2930002936135767135-7", "language": "swahili", "document_title": "Kofi Annan", "passage_text": "Kofi Annan ameoa mara ya pili. Mke wake Nane Maria Annan anatoka Uswidi. Ana watoto watatu.", "question_text": "Kofi Annan alikuwa na wake wangapi?", "answers": [{"text": "ameoa mara ya pili", "start_byte": 11, "limit_byte": 29}, {"text": "ameoa mara ya pili", "start_byte": 11, "limit_byte": 29}, {"text": "pili", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "-9073677350939751679-3", "language": "swahili", "document_title": "Doris Mollel", "passage_text": "Mnamo mwaka 2015 Doris Foundation ilizinduliwa rasmi na Doris akiwa mkurugenzi wa taasisi.", "question_text": "Doris Mollel alianzisha Taasisi ya Doris Foundation mwaka gani?", "answers": [{"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5946868368999262230-0", "language": "swahili", "document_title": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia", "passage_text": "Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani. ", "question_text": "Vita vya pili vya dunia viliisha mwaka gani?", "answers": [{"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}, {"text": "1945", "start_byte": 73, "limit_byte": 77}]} {"id": "4584464842658292723-1", "language": "swahili", "document_title": "Liemba (meli)", "passage_text": "\nLiemba ilijengwa Ujerumani mwaka 1913 kwa jina la \"Graf von Goetzen\" kwenye kiwanda cha meli cha Meyer huko Papenburg ikikusudiwa kwa huduma ya mizigo na abiria kwenye Ziwa Tanganyika. Baada ya kukamilika meli iliondolewa tena na vipande vyote hadi ribiti zake 160,000 vilifungwa katika masanduku 5,000 na kubebwa kwa meli kubwa hadi Daressalaam. Ilifika mwaka 1914 muda kidogo kabla ya mwanzo wa vita kuu ya kwanza ya dunia. Mafundi 3 kutoka Papenburg waliongozana na masanduku ya meli kwa njia ya reli hadi Kigoma. Hapa sehemu zote za meli ziliunganishwa tena kwa msaada wa wafanyakazi Waafrika 250 na Wahindi 20. Tar. 5 Februari 1915 \"Graf von Goetzen\" iliingizwa katika maji ya Ziwa Tanganyika.", "question_text": "Je,nani alitengeneza meli ya MV Liemba?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 18, "limit_byte": 27}, {"text": "Ujerumani", "start_byte": 18, "limit_byte": 27}]} {"id": "-2918549210424025188-2", "language": "swahili", "document_title": "Dinosauri", "passage_text": "Ujuzi kuhusu wanyama hao unatokana na visukuku vyao (mabaki ambayo yamekuwa mawe) kama vile mifupa, nyayo, mayai au samadi. Visukuku vya dinosau vimepatikana kwenye mabara yote, hata Antaktika, kwa sababu waliishi wakati mabara yote yalikuwa bado pamoja kama bara kubwa asilia la Pangaia. ", "question_text": "Dinosauri alikuwa anapatikana bara gani?", "answers": [{"text": "mabara yote", "start_byte": 221, "limit_byte": 232}, {"text": "mabara yote", "start_byte": 165, "limit_byte": 176}]} {"id": "2336166365628575606-0", "language": "swahili", "document_title": "Gör Mahia", "passage_text": "Gör Mahia ni klabu ya kandanda yenye makao yake katika mji mkuu wa Nairobi nchini Kenya. Ni mmojawapo wa vilabu viwili maarufu zaidi nchini katika kandanda ya vilabu nchini Kenya (klabu nyingine maarufu na mpinzani wake wa jadi ni AFC Leopards). Gör Mahia imeshinda Ligi ya Kenya mara 11 na Kombe la Kenya mara nane. Gör Mahia ndiyo klabu ya kipekee nchini Kenya kushinda Taji la bara Afrika, kwani klabu hii ilishinda Kombe la Afrika la mabingwa mwaka wa 1987. Klabu hii ilianzishwa mwaka wa 1968 wakati vilabu viwili vya kandanda,Luo United na Luo Sports Club (pia ilikuwa inajulikana kama Luo Stars) , viliungana. Mmoja wa mwanzilishi wake alikuwa mwanasiasa Tom Mboya. Uwanja wao wa kucheza mechi za nyumbani ni Nairobi City Stadium.", "question_text": "Je,klabu ya Gormahia ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 497, "limit_byte": 501}, {"text": "1968", "start_byte": 497, "limit_byte": 501}, {"text": "1968", "start_byte": 497, "limit_byte": 501}]} {"id": "-3866317673229190031-0", "language": "swahili", "document_title": "Almas Tower", "passage_text": "\nAlmas Tower (Kiarabu:برج الماس) Diamond Tower) ni jumba refu sana mjini Dubai, United Arab Emirates. Ujenzi wa jengo hili la ofisi ilianza mapema mwaka 2005 na kukamilika mwaka 2009. Jengo hili lilifika urefu wake kamili mwaka 2008, na kuwa jengo ja pili refu zaidi Dubai, baada ya Burj Khalifa. Jumba hili lina ghorofa 74, 70 ambazo ni za kutumika kwa biashara sambamba na ghorofa nne za huduma.", "question_text": "Je,jumba refu zaidi nchini Dubai ni ipi?", "answers": [{"text": "Burj Khalifa", "start_byte": 293, "limit_byte": 305}, {"text": "Almas Tower", "start_byte": 1, "limit_byte": 12}, {"text": "Burj Khalifa", "start_byte": 293, "limit_byte": 305}]} {"id": "3737507817566474432-0", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden (kwa Kiarabu: أسامة بن محمد بن عوض بن لادن‎ ʾusāmah bin muḥammad bin ʿawaḍ bin lādin); * 10 Machi 1957 – + 2 Mei 2011, alikuwa mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaida. ", "question_text": "Je, Osama Bin Laden alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2011", "start_byte": 185, "limit_byte": 189}, {"text": "2011", "start_byte": 185, "limit_byte": 189}]} {"id": "4426585129680260011-0", "language": "swahili", "document_title": "Willian", "passage_text": "\nWillian Borges da Silva (kwa kawaida anajulikana kama Willian; alizaliwa tarehe 9 Agosti 1988) ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza kama kiungo mshambuliaji katika klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Brazil. ", "question_text": "Je,Willian Borges da Silva alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "9 Agosti 1988", "start_byte": 81, "limit_byte": 94}, {"text": "9 Agosti 1988", "start_byte": 81, "limit_byte": 94}, {"text": "9 Agosti 1988", "start_byte": 81, "limit_byte": 94}]} {"id": "7079250741613559513-1", "language": "swahili", "document_title": "Moses Wetangula", "passage_text": "Wetangula alisoma katika Shule ya Msingi ya Nalondo, halafu akaenda katika Shule ya Upili ya Teremi na baadaye Shule ya Friends, Kamusinga kabla ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Nairobi, ambapo alifuzu kwa shahada ya Sheria (LLB).", "question_text": "Moses Masika Wetangula alisoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Nairobi", "start_byte": 175, "limit_byte": 182}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nairobi", "start_byte": 160, "limit_byte": 182}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nairobi", "start_byte": 160, "limit_byte": 182}]} {"id": "-6859380712234830986-0", "language": "swahili", "document_title": "Hillary Rodham Clinton", "passage_text": "Hillary Rodham Clinton (jina la kuzaliwa ni: Hillary Diane Rodham 26 Oktoba 1947) ni seneta kutoka katika jimbo la New York, Marekani. Hilary vilevile ni mwanasheria.", "question_text": "Je,Hillary Clinton alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1947", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}, {"text": "1947", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}, {"text": "26 Oktoba 1947", "start_byte": 66, "limit_byte": 80}]} {"id": "702011962179346505-19", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Mwaka 2012 Jamaika ilikuwa na wakazi 2,889,187. Nusu yao waliishi mjini. Umri wa wastani ni miaka 23, thuluthi moja ni watoto hadi miaka 14.", "question_text": "Je,Jamaika ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,889,187", "start_byte": 37, "limit_byte": 46}, {"text": "2,889,187", "start_byte": 37, "limit_byte": 46}]} {"id": "4996640754681370667-6", "language": "swahili", "document_title": "Wagikuyu", "passage_text": "Wakikuyu waliishi kama koo tisa. Hakukuwa na mipaka kati ya koo ingawa kila ukoo ulijulikana kufanya kazi maalum katika jamii. Kwa kuwa watu wa ukoo mmoja walihusiana kupitia damu, haikuwa inaruhusiwa kuoa ndani ya ukoo. Kulikuwa na koo ambazo hazikuwa na viongozi katika taifa. Hata hivyo, Taifa lote lilitawaliwa na baraza ambalo liliongozwa na kiongozi aliyekuwa akiitwa mũthamaki[3]. ", "question_text": "Kiongozi wa kwanza wa wakikuyu anaitwa nani?", "answers": [{"text": "mũthamaki", "start_byte": 374, "limit_byte": 384}, {"text": "mũthamaki", "start_byte": 374, "limit_byte": 384}]} {"id": "-7998717359308545829-0", "language": "swahili", "document_title": "Msikiti wa Sultan Ahmed", "passage_text": "Msikiti wa Sultan Ahmed ni msikiti mashuhuri mjini Istanbul katika nchi ya Uturuki. Inajulikana pia kwa jina la \"msikiti buluu\" kutokana na rangi ya vigae vinavyopamba undani wake.", "question_text": "Mskiti wa Sultan Ahmed inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Uturuki", "start_byte": 75, "limit_byte": 82}, {"text": "Istanbul katika nchi ya Uturuki", "start_byte": 51, "limit_byte": 82}, {"text": "mjini Istanbul katika nchi ya Uturuki", "start_byte": 45, "limit_byte": 82}]} {"id": "-7162170543619504584-2", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Umoja wa Afrika", "passage_text": "Makao makuu ya bunge yapo mjini Midrand (Afrika Kusini, sasa kwa muda katika jengo la Gallagher Estate katikati ya Johannesburg na Pretoria. Afrika Kusini inalipa gharama za makao na za ofisi ya bunge. ", "question_text": "Makao makuu ya Umoja wa Afrika yako wapi?", "answers": [{"text": "Midrand", "start_byte": 32, "limit_byte": 39}, {"text": "Midrand", "start_byte": 32, "limit_byte": 39}]} {"id": "2547404130047489189-0", "language": "swahili", "document_title": "The Province", "passage_text": "The Province ni gazeti la kila siku linalochapishwa na mtindo wa gazeti la porojo. Gazeti hili huchapishwa katika eneo la British Columbia na Kundi la Pacific Newspaper, kampuni shirika ya CanWest Global Communications. Limekuwa gazeti la kila siku tangu mwaka wa 1898.", "question_text": "Gazeti la The Province huchapishwa na kundi gani?", "answers": [{"text": "Pacific Newspaper", "start_byte": 151, "limit_byte": 168}, {"text": "Pacific Newspaper", "start_byte": 151, "limit_byte": 168}, {"text": "Pacific Newspaper", "start_byte": 151, "limit_byte": 168}]} {"id": "7284968367633033060-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Njombe", "passage_text": "Mwaka 2012 katika eneo hilo kulikuwa na wakazi 702,097 Cite uses deprecated parameter |deadurl= (help) katika wilaya sita zifuatazo: Njombe Mjini (wakazi 130,233), Njombe Vijijini (wakazi 85,747), Makambako (wakazi 93,827), Makete (wakazi 97,266), Ludewa (wakazi 133,218), Wanging'ombe (wakazi 161,816).", "question_text": "Mkoa wa Njombe uko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "702,097", "start_byte": 47, "limit_byte": 54}, {"text": "702,097", "start_byte": 47, "limit_byte": 54}, {"text": "702,097", "start_byte": 47, "limit_byte": 54}]} {"id": "3514547614727431288-0", "language": "swahili", "document_title": "Doris Lessing", "passage_text": "Doris May Lessing (amezaliwa 22 Oktoba 1919) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Uingereza akiwa amezaliwa nchini Uajemi. Aliandika pia chini ya lakabu ya Jane Somers. Mwaka wa 2007 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.\n", "question_text": "Je, Doris May Lessing alishinda tuzo la nini katika tuzo za Nobel?", "answers": [{"text": "Fasihi", "start_byte": 215, "limit_byte": 221}, {"text": "Tuzo ya Nobel ya Fasihi", "start_byte": 198, "limit_byte": 221}]} {"id": "-5809364347157127877-2", "language": "swahili", "document_title": "Togo", "passage_text": "Mji mkuu ni Lome.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Togo ni upi?", "answers": [{"text": "Lome", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "Lome", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "Lome", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-182784006349875889-1", "language": "swahili", "document_title": "Uvimbe wa fibrosisi", "passage_text": "CF ni ugonjwa wa selipumbazi ya kromosomu isiyobaini jinsia. Hali hii husababishwa na shinikizo la mabadiliko katika nakala zote mbili za jeni za kidhibiti cha upitishaji kwenye utando wa seli katika fibrosisi iliyo na sistitisi kwa protini (CFTR).[1] Watu walio na nakala moja inayofanya kazi ni wabebaji na la sivyo mara nyingi huwa kawaida.[3] CFTR huhusika katika uzalishaji jasho, viowevu vya umeng’enyaji, na kamasi.[4] CFTR isipofanya kazi, ute ambao kwa kawaida huwa mwepesi huwa mzito.[5] Hali hii hutambuliwa kwa kipimo cha jasho na kipimo cha kijenetiki.[1] Uchunguzi wa watoto wachanga wakati wa kuzaliwa hufanyika katika baadhi ya sehemu duniani.[1]", "question_text": "Miukovisidosisi husababishwa na nini?", "answers": [{"text": "shinikizo la mabadiliko katika nakala zote mbili za jeni za kidhibiti cha upitishaji kwenye utando wa seli katika fibrosisi iliyo na sistitisi kwa protini", "start_byte": 86, "limit_byte": 241}, {"text": "shinikizo la mabadiliko katika nakala zote mbili za jeni za kidhibiti cha upitishaji kwenye utando wa seli katika fibrosisi iliyo na sistitisi kwa protini (CFTR)", "start_byte": 86, "limit_byte": 248}, {"text": "shinikizo la mabadiliko katika nakala zote mbili za jeni za kidhibiti cha upitishaji kwenye utando wa seli katika fibrosisi iliyo na sistitisi kwa protini (CFTR)", "start_byte": 86, "limit_byte": 248}]} {"id": "-8801975992549088455-0", "language": "swahili", "document_title": "Rijili Kantori", "passage_text": "Rijili Kantori , Rijili Kantarusi au ing. Alpha Centauri (pia: Toliman au Rigil Kentaurus) ni nyota inayong'aa sana katika anga ya kusini kwenye kundinyota ya Kantarusi (pia: ing. Centaurus). Ni nyota ya kungaa sana ya nne angani lakini haionekani kwenye nusudunia ya kaskazini.", "question_text": "Nyota inayo ng'aa zaidi inaitwaje?", "answers": [{"text": "Alpha Centauri", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}, {"text": "Rijili Kantori , Rijili Kantarusi", "start_byte": 0, "limit_byte": 33}, {"text": "Alpha Centauri", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}]} {"id": "6170602115434293018-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanye West", "passage_text": "\nKanye Omari West (amezaliwa tar. 8 Juni 1977)[1] ni mshindi mara ishirini na moja wa Tuzo za muziki za Grammy, akiwa kama rapa-mtayarishaji bora wa muziki kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Kanye West.", "question_text": "Mwanamziki Kanye West alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "8 Juni 1977", "start_byte": 34, "limit_byte": 45}, {"text": "8 Juni 1977", "start_byte": 34, "limit_byte": 45}, {"text": "8 Juni 1977", "start_byte": 34, "limit_byte": 45}]} {"id": "6719597271022989435-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukomeshaji wa Biashara ya Watumwa", "passage_text": "Ukomeshaji wa biashara ya watumwa ni mchakato au mlolongo wa matukio yaliyopelekea ufutaji au usitishaji wa biashara ya watumwa katika karne ya 19. ", "question_text": "Ukomeshaji wa biashara ya watumwa ulifanyika mwaka gani?", "answers": [{"text": "karne ya 19", "start_byte": 135, "limit_byte": 146}, {"text": "karne ya 19", "start_byte": 135, "limit_byte": 146}]} {"id": "3274102485524185629-2", "language": "swahili", "document_title": "Hoteli Cairo Marriott", "passage_text": "Ikulu ya awali ilijengwa na Nile kufuatia amri ya Khedive Ismail. Aliwataka maakitekta wa enzi hizo kuifanya kufanana na ikulu na ikulu nyingine Ufaransa, Versailles, ambapo Empress Eugénie alikuwa akikaa . Kusudi ya ikulu ilikuwa kumkaribisha Empress wa Kifaransa Eugénie ambaye alikuwa amealikwa pamoja na mumewe ,Kaisari wa Ufaransa Napoleon. Tukio la mwaliko huo ilikuwa ufunguzi wa Suez ambao ulikuwa mradi mkubwa wakati huo.", "question_text": "Hoteli ya Cairo Marriott ilijengwa na nani?", "answers": [{"text": "Nile", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}, {"text": "Nile", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}]} {"id": "7910990526886211196-3", "language": "swahili", "document_title": "Ubelgiji", "passage_text": "Mji mkuu ni Brussels.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Ubelgiji ni upi?", "answers": [{"text": "Brussels", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Brussels", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Brussels", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "3499588005755424287-0", "language": "swahili", "document_title": "Jihadi", "passage_text": "Jihadi ni neno lenye asili ya Kiarabu (‏جهاد‎ jihād) na lenye maana ya kujitahidi kwa ajili ya Allah katika dini ya Uislamu.", "question_text": "Jihadi ni nini?", "answers": [{"text": "kujitahidi kwa ajili ya Allah katika dini ya Uislamu", "start_byte": 80, "limit_byte": 132}, {"text": "kujitahidi kwa ajili ya Allah katika dini ya Uislamu", "start_byte": 80, "limit_byte": 132}, {"text": "kujitahidi kwa ajili ya Allah katika dini ya Uislamu", "start_byte": 80, "limit_byte": 132}]} {"id": "-3354748552939683922-3", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Nabokov", "passage_text": "Tangu 1933 hali ya familia ilikuwa vigumu baada ya chama cha Nazi kuchukua serikali ya Berlin kwa sababu mke wake Vera alikuwa Myahudi. 1934 mtoto wa pekee Dimitri alizaliwa. 1936 waliondoka Ujerumani wakakaa Ucheki na baadaye Ufaransa. Vladimir alianza kuandika kwa Kiingereza.", "question_text": "Je,Vladimir Nabokov alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wa pekee", "start_byte": 147, "limit_byte": 155}, {"text": "mtoto wa pekee Dimitri", "start_byte": 141, "limit_byte": 163}]} {"id": "-8583501776456954089-0", "language": "swahili", "document_title": "Sibusiso Zuma", "passage_text": "Sibusiso Wiseman Zuma (amezaliwa 23 Juni 1975 katika mji wa Durban, KwaZulu-Natal) ni mwanakandanda mtaalamu wa Afrika Kusini anayeichezea klabu ya kandanda ya Kideni Superliga inayoitwa FC Nordsjælland.", "question_text": "Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-4696447278078311965-1", "language": "swahili", "document_title": "Masinde Muliro", "passage_text": "Henry Pius Masinde Muliro alizaliwa katika eneo la Kimilili nchini Kenya, mwana wa Muliro Kisingilie na mkewe Makinia. Wazazi wake walikufa wakati alipokuwa mchanga na alilelewa na kaka wa kambo, Aibu Naburuku.\nBaada ya masomo ya shule ya msingi na ya upili nchini Kenya na Uganda, alijiunga na Chuo Kikuu cha Cape Town nchini Afrika Kusini mwaka wa 1949. Alijiunga na kozi ya Shahada ya Sanaa katika Kiingereza, Historia na Falsafaya Siasa, na alihitimu mwaka wa 1953 akiwa na shahada za na Sanaa na Elimu. Mwaka wa 1954 alirejea nyumbani na mke wa asili ya Afrika Kusini, na alifundisha kwa muda katika shule ya serikali. Mwaka wa 1957, alipiga moyo konde kuiacha kazi hiyo ya ualimu na kujiunga na siasa.", "question_text": "Je,Masinde muliro alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Cape Town", "start_byte": 311, "limit_byte": 320}, {"text": "Chuo Kikuu cha Cape Town", "start_byte": 296, "limit_byte": 320}]} {"id": "-5460342698334926751-9", "language": "swahili", "document_title": "Bandari", "passage_text": "Shanghai (Jamhuri ya Watu wa China) 537,0\nSingapur 448,2\nRotterdam (Uholanzi) 378,2\nNingbo (Jamhuri ya Watu wa China) 300,0\nGuangzhou (Jamhuri ya Watu wa China) 300,0\nTianjin (Jamhuri ya Watu wa China) 255,0\nHong Kong (Jamhuri ya Watu wa China) 238,0\nNagoya (Japani) 206,0\nQingdao (Jamhuri ya Watu wa China) 200,0\nDalian (Jamhuri ya Watu wa China) 200,0\nAntwerpen (Ubelgiji) 167,4\nLos Angeles (USA) 162,1 (2005)\nDurban (RSA) 104,8\nMombasa (EACU) 100,2\nPort Suez (Misri) 80,2\nAbidjan (Cote d'Ivoire) 50,6", "question_text": "Je,bandari kubwa bara Afrika inapatikana wapi?", "answers": [{"text": "Durban", "start_byte": 412, "limit_byte": 418}, {"text": "Durban", "start_byte": 412, "limit_byte": 418}, {"text": "Durban", "start_byte": 412, "limit_byte": 418}]} {"id": "7708872605375855331-4", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya St Andrews, Turi", "passage_text": "Shule ya msingi ilianzishwa mwaka wa 1931 na Bw na Bi Lavers, waliojulikana kama \"Ma na Pa Lavers\", ili kusome. Shule ya kwanza ilikuwa na watoto 15 lakini iliimarika na kuhudumu zaidi ya watoto 100 mnamo mwaka wa 1940 kutoka nchi za Kenya na Uganda. Mwaka wa 1944, shule yote ilichomeka na kuteketea baada ya moto ulioanza jikoni. Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilitoa ruhusa kwa wafungwa wa vita wa Kiitaliano kusaidia kujenga shule mpya kwa sababu gharama ya kujenga tena jumba upya ilikadiriwa kuwa ghali sana. Nembo ya shule huonyesha ndege wa moto anayefufuka kutoka kwa moto, na kila mara moja kwa mwaka moto huwashwa ili kupata kumbukumbu ya kipindi hiki katika historia ya shule. Shule hii ilimalizika kujengwa wakati wa miaka ya 1950 wakati Lavers walikuwa katika umri wao wa kati na majengo mapya yakamalizwa. Mwaka wa 1988 shule ya sekondari ilifunguliwa kwa watoto wa umri wa miaka 13-16.", "question_text": "Shule ya St. Andrews Turi ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "-1339720473726915592-0", "language": "swahili", "document_title": "Charles Édouard Guillaume", "passage_text": "Charles Édouard Guillaume (15 Februari 1861 – 13 Juni 1938) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uswisi aliyeishi Ufaransa. ", "question_text": "Charles-Édouard alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1861", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}, {"text": "1861", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}, {"text": "1861", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "622175329765664177-4", "language": "swahili", "document_title": "Ndovu", "passage_text": "Tembo ndiyo mamalia wa nchi kavu wakubwa kuliko wote sasa. Tembo hubeba mimba kwa miezi 22, muda mrefu kuliko wanyama wote wa ardhini. Ndama wa tembo akizaliwa huwa na uzito wa kilogramu 120. Tembo huishi kwa miaka 50-70, lakini tembo aliyevunja rekodi aliishi miaka 82. ", "question_text": "Ndovu hubeba mimba kwa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "22", "start_byte": 88, "limit_byte": 90}, {"text": "miezi 22", "start_byte": 82, "limit_byte": 90}, {"text": "22", "start_byte": 88, "limit_byte": 90}]} {"id": "7146838206539641546-10", "language": "swahili", "document_title": "Jean-Bedel Bokassa", "passage_text": "1993 aliachishwa gerezani na rais André Kolingba akaishi miaka kadhaa akafa 3 Novemba 1996 huko Bangui. Bokassa aliacha wake 17 na watoto 50.", "question_text": "Je,Jean Bedel Bokassa alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "50", "start_byte": 139, "limit_byte": 141}, {"text": "50", "start_byte": 139, "limit_byte": 141}]} {"id": "-4750677662795125977-0", "language": "swahili", "document_title": "Victor Obinna", "passage_text": "Victor Nsofor Obinna (amezaliwa Jos, Nigeria, 25 Machi 1987) ni mchezaji kandanda wa Nigeria ambaye anacheza kama mshambuliaji kwa timu ya Malaga CF, akicheza kwa mpango ya mkopo kutoka timu ya Internazionale.", "question_text": "Je,Victor Nsofor Obinna alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "25 Machi 1987", "start_byte": 46, "limit_byte": 59}, {"text": "25 Machi 1987", "start_byte": 46, "limit_byte": 59}, {"text": "25 Machi 1987", "start_byte": 46, "limit_byte": 59}]} {"id": "786979383570935568-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu wa Mau una ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}, {"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}]} {"id": "-891609627769230845-2", "language": "swahili", "document_title": "Mecklenburg", "passage_text": "Mecklenburg ina eneo la 15,721 km². Nchi ni tambarare hakuna milima, na sehemu za juu znafikia mita 179 juu ya uwiano wa bahari. Kuna maziwa mengi madogo, misitu na hasa mashamba mengi. Upande wa kaskazini Mecklenburg inapakana na bahari ya Baltiki. ", "question_text": "Ukubwa wa Mecklenburg ni kiasi gani?", "answers": [{"text": "15,721 km²", "start_byte": 24, "limit_byte": 35}, {"text": "15,721 km²", "start_byte": 24, "limit_byte": 35}, {"text": "15,721 km²", "start_byte": 24, "limit_byte": 35}]} {"id": "1623175579620036746-0", "language": "swahili", "document_title": "Antonio Casas", "passage_text": "\nAntonio Casas (alizaliwa tar. 11 Novemba 1911 mjini A Coruña, Galicia, - akafariki dunia tar. 14 Februari mwaka 1982 mjini Madrid, Hispania) alikuwa mchezaji mpira wa miguu wa Hispania, aliekuja kuwa mwigizaji wa filamu kati ya mwaka 1941 na 1982 kifo chake kilivyowadia.", "question_text": "Antonio Casas alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "11 Novemba 1911", "start_byte": 31, "limit_byte": 46}, {"text": "11 Novemba 1911", "start_byte": 31, "limit_byte": 46}, {"text": "11 Novemba 1911", "start_byte": 31, "limit_byte": 46}]} {"id": "6774071632396087072-0", "language": "swahili", "document_title": "Ruhollah Khomeini", "passage_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini (Kifarsi: آیت الله روح الله موسوی خمینی‎) (* 24 Septemba 1902 mjini Khomein; 3 Juni 1989 Tehran) alikuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979 na baadaye kiongozi wa kiroho wa Jamhuri ya Kiislamu ya Uajemi hadi kifo chake.", "question_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1902", "start_byte": 118, "limit_byte": 122}, {"text": "1902", "start_byte": 118, "limit_byte": 122}, {"text": "24 Septemba 1902", "start_byte": 106, "limit_byte": 122}]} {"id": "7771882608879066132-3", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Aliuawa na wanajeshi wa Marekani tarehe 2 Mei 2011 nchini Pakistan alipokuwa amefichama.", "question_text": "Je,Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aliuawa na nani?", "answers": [{"text": "wanajeshi wa Marekani", "start_byte": 11, "limit_byte": 32}, {"text": "wanajeshi wa Marekani", "start_byte": 11, "limit_byte": 32}]} {"id": "4438627365406381407-1", "language": "swahili", "document_title": "Kitenzi", "passage_text": "Kitenzi ni istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika.", "question_text": "Kitenzi ni nini?", "answers": [{"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika", "start_byte": 11, "limit_byte": 122}, {"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika", "start_byte": 11, "limit_byte": 122}, {"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo", "start_byte": 11, "limit_byte": 59}]} {"id": "8048157746447865499-2", "language": "swahili", "document_title": "Snoop Doggy", "passage_text": "Snoop alizaliwa mjini Long Beach, California tar. 20 Oktoba 1971.\nAkiwa bwana mdogo alipata jina la Snoop ambalo alipewa na mama yake mzazi kama jina la utani kwakuwa alikuwa anapenda kutazama kipindi cha televisheni kilichokuwa kinaitwa \"Peanuts\", kipindi ambacho kiliegemea kwenye masuala ya \"Ucheshi\", likiwemo na jina fulani la Snoop Dogg.", "question_text": "Cordozar Calvin Broadus alizaliwa mji gani?", "answers": [{"text": "Long Beach", "start_byte": 22, "limit_byte": 32}, {"text": "Long Beach, California", "start_byte": 22, "limit_byte": 44}, {"text": "Long Beach", "start_byte": 22, "limit_byte": 32}]} {"id": "2891310630328813902-2", "language": "swahili", "document_title": "Mnara wa Eiffel", "passage_text": "Kimo chake ni mita 300 na juu yake kuna antena ya redio jumla ya kimo inafikia mita 324. ", "question_text": "Mnara wa Eiffel una urefu gani?", "answers": [{"text": "mita 324", "start_byte": 79, "limit_byte": 87}, {"text": "mita 324", "start_byte": 79, "limit_byte": 87}, {"text": "mita 324", "start_byte": 79, "limit_byte": 87}]} {"id": "-2210168326967960672-2", "language": "swahili", "document_title": "Anno Domini", "passage_text": "Katika lugha ya Kiingereza ni njia ya kawaida ya kutaja miaka kama \"AD\" (ambayo ni sawa na matumizi ya BK) au \"BC\" yaani \"before Christ\" (tazama KK); ni pia kawaida katika maandiko ya kihistoria yanayotumia lugha ya Kilatini.", "question_text": "Nini maana ya BK?", "answers": [{"text": "before Christ", "start_byte": 122, "limit_byte": 135}, {"text": "njia ya kawaida ya kutaja miaka kama \"AD\" (ambayo ni sawa na matumizi ya BK) au \"BC\" yaani \"before Christ", "start_byte": 30, "limit_byte": 135}]} {"id": "4190512273568571259-4", "language": "swahili", "document_title": "Tuzo ya Nobel", "passage_text": "1901 – Wilhelm Conrad Röntgen (Fizikia), Jacobus Henricus van’t Hoff (Kemia), Emil von Behring (Tiba), Sully Prudhomme (Fasihi), Henri Dunant na Frederic Passy (Amani); \t", "question_text": "Nani alituzwa tuzo ya Nobel ya Fasihi ya kwanza ulimwenguni?", "answers": [{"text": "Sully Prudhomme", "start_byte": 108, "limit_byte": 123}, {"text": "Sully Prudhomme", "start_byte": 108, "limit_byte": 123}, {"text": "Sully Prudhomme", "start_byte": 108, "limit_byte": 123}]} {"id": "-8387173929572171009-1", "language": "swahili", "document_title": "Chris Okotie", "passage_text": "Okotie alizaliwa na Francis Idje na Cecilia Okotie, katika eneo la Ethiope-West, Delta State (ilichokuwa ikiitwa Bendel State). Alihudhuria shule za upili ya Edo College, Benin City. Mwaka 1984, alifuzu na shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Nigeria katika Nsukka. Okotie aliachana na kazi ya sheria baada ya chuo kikuu na akaanzia kazi ya muziki iliyofana sana. Pamoja na Dizzy K Falola, Jide Obi, na Felix Uhuru aliipa moto kazi ya muziki iliyokuwa imeanza kujitokeza[1]", "question_text": "Mchungaji Chris Okotie alisomea chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "cha Nigeria", "start_byte": 242, "limit_byte": 253}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nigeria", "start_byte": 231, "limit_byte": 253}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nigeria", "start_byte": 231, "limit_byte": 253}]} {"id": "-5109465895921465430-0", "language": "swahili", "document_title": "Yenisey", "passage_text": "\nYenisey au Yenisei (Kirusi: Енисей) ni mto mrefu wa Siberia, Urusi. Urefu wake ni 3487 km. Iko katika mkoa wa Tuva, Krasnoyarsk Krai na Hakasia.", "question_text": "Mto mrefu nchini Urusi ni upi?", "answers": [{"text": "Yenisey", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}, {"text": "Yenisei", "start_byte": 12, "limit_byte": 19}, {"text": "Yenisey", "start_byte": 1, "limit_byte": 8}]} {"id": "-4335550319089923101-0", "language": "swahili", "document_title": "Data", "passage_text": "Data (wingi wa neno la Kilatini \"Datum\", ambayo kutumika kwa nadra) inamaanisha makundi ya habari. Data kwa kawaida ni matokeo ya vipimo na inaweza kuwa msingi wa jedwali, picha, au uchunguzi wa seti ya variables. Mara nyingi data huchukuliwa kama kiwango cha chini kabisa kwa ujumla ambapo habari na maarifa yaweza kutolewa.", "question_text": "Nini maana ya data?", "answers": [{"text": "makundi ya habari", "start_byte": 80, "limit_byte": 97}, {"text": "makundi ya habari", "start_byte": 80, "limit_byte": 97}, {"text": "makundi ya habari", "start_byte": 80, "limit_byte": 97}]} {"id": "-7680250308567971681-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Je,msitu wa Mau ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}, {"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}, {"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}]} {"id": "-1877819077485425317-0", "language": "swahili", "document_title": "Thrombosi ya kina cha mishipa", "passage_text": "Katika tiba, thrombosi ya kina cha mshipa (ambayo pia inajulikana kama thrombosi-kina cha mshipa au mviliondani wa vena na kwa kawaida hufupishwa kama DVT-kwa lugha ya Kiingereza) ni uundaji wa donge la damu (\"mvilio wa damu\") katika mshipa wa ndani. Hii ni aina ya uvimbe unaotokana na mvilio (kuvimba kwa mshipa na uundaji wa damu iliyoganda).", "question_text": "Je ugonjwa ambao unasibishwa na unene mwilini unaitwaje?", "answers": [{"text": "thrombosi ya kina cha mshipa", "start_byte": 13, "limit_byte": 41}, {"text": "thrombosi ya kina cha mshipa", "start_byte": 13, "limit_byte": 41}]} {"id": "7783343495526218503-3", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. \nTangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, Roman Abramovich.", "question_text": "Je,nani mmiliki wa klabu ya Chelsea?", "answers": [{"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}]} {"id": "2892154878929768608-7", "language": "swahili", "document_title": "Moroko", "passage_text": "Mji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "question_text": "Mji mkuu wa Moroko ni upi?", "answers": [{"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "149828267441176912-0", "language": "swahili", "document_title": "Medard Matogolo Kalemani", "passage_text": "Medard Matogolo Kalemani (amezaliwa 15 Machi 1968) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Chato kuanzia mwaka 2015 hadi 2020. [1]", "question_text": "Medard Matogolo Kalemani alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1968", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1968", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1968", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "4508548276064265920-3", "language": "swahili", "document_title": "BrooWaha", "passage_text": "Watumiaji waliosajiliwa katika tovuti ya BrooWaha huwa na ruhusa ya kuandika makala kwenye ukurasa maalum ya maandishi katika tovuti. Ukurasa huu huwezesha watumiaji kuandika makala na kuambatanisha picha na kuyawasilisha kwa wahariri. Makala, kwa kawaida, huchapishwa katika au baada ya saa 24.\nLicha ya kuwapa watumiaji chaguo nyingi za kuandika maandishi kwa njia mbalimbali, tovuti hiyo imepata umaarufu wa kuweza kuwa na viungo vya tovuti zingine na huonyesha video ya YouTube katika makala yao.", "question_text": "Je,gazeti la BrooWaha huchapishwa kila baada ya wakati gani?", "answers": [{"text": "katika au baada ya saa 24", "start_byte": 269, "limit_byte": 294}, {"text": "katika au baada ya saa 24", "start_byte": 269, "limit_byte": 294}]} {"id": "8905951339115568855-0", "language": "swahili", "document_title": "Kool G Rap", "passage_text": "\nNathaniel Thomas Wilson (amezaliwa tar. 20 Julai 1968[1]), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Kool G Rap (au kwa kifupi huitwa G Rap), Kool G. Rap, na Giancana (Maana ya kifupisho cha \"G.\"), ni rappa, kutoka mjini Corona jirani na mji wa Queens, New York huko nchini Marekani.[2] Ameanza shughuli zake za kurap katikati mwa miaka ya 1980 akiwa kama nusu ya kundi la Kool G Rap na DJ Polo na pia akiwa kama mwanachama wa Juice Crew.", "question_text": "Nathaniel Thomas Wilson alianza sanaa ya muziki lini?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 347, "limit_byte": 351}, {"text": "katikati mwa miaka ya 1980", "start_byte": 325, "limit_byte": 351}]} {"id": "6289304601027706215-0", "language": "swahili", "document_title": "Chad", "passage_text": "Jamhuri ya Chadi\nRépublique du Tchad\nJumhuriyat Tashad\n\n\n\n\n(Kinaganaga) Hadabu ya Taifa: Unité - Travail - ProgrèsLugha za TaifaKifaransa, KiarabuMji MkuuNdjamenaRaisIdriss DébyFedhaFranc CFASaa za EneoUTC +1Wimbo wa TaifaLa TchadienneIntaneti TLD.tdCodi ya simu235", "question_text": "Je,mji mkuu wa Chad ni upi?", "answers": [{"text": "Ndjamena", "start_byte": 157, "limit_byte": 165}, {"text": "Ndjamena", "start_byte": 157, "limit_byte": 165}]} {"id": "5205706271008005271-0", "language": "swahili", "document_title": "Jack Bauer", "passage_text": "Jack Bauer ni jina la kutaja mhusika mkuu wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24. Uhusika unachezwa na Kiefer Sutherland. Jack Bauer, amepata mafunzo makali na kufanya kazi katika viwango tofauti akiwa kama kachero wa serikali, ikiwemo na Jeshi la US - Delta Force, LAPD SWAT, CIA, na mwishoni katika Kitengo cha Kuzuia Ugaidi (CTU) cha Los Angeles.", "question_text": "Je,mhusika mkuu wa kipindi cha 24 ni nani?", "answers": [{"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}, {"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}, {"text": "Jack Bauer", "start_byte": 0, "limit_byte": 10}]} {"id": "-2631977762519716757-1", "language": "swahili", "document_title": "Halima James Mdee", "passage_text": "Halima James Mdee alizaliwa tarehe 18 Machi 1978 katika kijiji cha Makanya, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro akiwa mtoto wa mwisho katika familia ya Profesa James Mdee ambaye alikuwa mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kikabila ni Mpare.", "question_text": "Je,Halima James Mdee alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1978", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}, {"text": "1978", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}, {"text": "1978", "start_byte": 44, "limit_byte": 48}]} {"id": "-3986800703931088251-0", "language": "swahili", "document_title": "Wade Williams", "passage_text": "\nWade Andrew William (amezaliwa tar. 24 Desemba 1961) ni mwigizaji wa filamu na tamthiliya kutoka nchini Marekani. Kkwa sasa amevaa uhusika wa nyota kwenye tamthiliya ya Prison Break ya Fox akiwa kama Captain Brad Bellick.", "question_text": "Je,Wade Williams alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "24 Desemba 1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}, {"text": "24 Desemba 1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}, {"text": "24 Desemba 1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 52}]} {"id": "8747981262437249482-4", "language": "swahili", "document_title": "Graviti", "passage_text": "Isaac Newton anajulikana kama mtaalamu aliyeweza kueleza graviti kwa mara ya kwanza kama utaratibu wa kimsingi wa sayansi.", "question_text": "Graviti kiligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Isaac Newton", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}, {"text": "Isaac Newton", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}, {"text": "Isaac Newton", "start_byte": 0, "limit_byte": 12}]} {"id": "-8703311753599534663-7", "language": "swahili", "document_title": "Togo", "passage_text": "Mnamo Desemba 1956 wakazi wa Togo ya Kiingereza waliamua kwa kura kubaki na Ghana. Hivyo ni Togo ya Kifaransa pekee iliyopata uhuru mwaka 1960.", "question_text": "Togo ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 138, "limit_byte": 142}, {"text": "1960", "start_byte": 138, "limit_byte": 142}, {"text": "1960", "start_byte": 138, "limit_byte": 142}]} {"id": "2571890269528096708-0", "language": "swahili", "document_title": "Gör Mahia", "passage_text": "Gör Mahia ni klabu ya kandanda yenye makao yake katika mji mkuu wa Nairobi nchini Kenya. Ni mmojawapo wa vilabu viwili maarufu zaidi nchini katika kandanda ya vilabu nchini Kenya (klabu nyingine maarufu na mpinzani wake wa jadi ni AFC Leopards). Gör Mahia imeshinda Ligi ya Kenya mara 11 na Kombe la Kenya mara nane. Gör Mahia ndiyo klabu ya kipekee nchini Kenya kushinda Taji la bara Afrika, kwani klabu hii ilishinda Kombe la Afrika la mabingwa mwaka wa 1987. Klabu hii ilianzishwa mwaka wa 1968 wakati vilabu viwili vya kandanda,Luo United na Luo Sports Club (pia ilikuwa inajulikana kama Luo Stars) , viliungana. Mmoja wa mwanzilishi wake alikuwa mwanasiasa Tom Mboya. Uwanja wao wa kucheza mechi za nyumbani ni Nairobi City Stadium.", "question_text": "Je,uwanja wa nyumbani ya klabu ya Gor Mahia ni gani?", "answers": [{"text": "Nairobi City", "start_byte": 721, "limit_byte": 733}, {"text": "Nairobi City Stadium", "start_byte": 721, "limit_byte": 741}, {"text": "Nairobi City Stadium", "start_byte": 721, "limit_byte": 741}]} {"id": "954443795388981268-1", "language": "swahili", "document_title": "ANC", "passage_text": "ANC ilianzishwa mjini Bloemfontein tar. 8 Januari 1912 kwa jina la \"South African Native National Congress\". Jina la \"Congress\" lilichaguliwa kufuatana na mfano wa chama cha Kinhindi cha \"Indian National Congress\" ilikuwa chama cha kwanza katika koloni za Uingereza kilichodai mabadiliko ya ukoloni kwa njia ya kisiasa. Madai ya ANC yalikuwa hasa haki kwa ajili ya wakazi asilia katika nchi mpya ya Umoja wa Afrika Kusini. Mwaka 1924 jina likabadilishwa kuwa \"African National Congress\". ", "question_text": "Chama cha African National Congress kilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1912", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "1912", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "8 Januari 1912", "start_byte": 40, "limit_byte": 54}]} {"id": "4892048898358456906-0", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "\n\n\n\nYesu (kwa Kiebrania יֵשׁוּעַ, Yeshua, kifupisho cha יהושע‎, Yeoshua, yaani \"Mungu anaokoa\") alikuwa Myahudi mwanamume aliyeishi miaka 2000 hivi iliyopita (labda 6 KK - 30 BK). ", "question_text": "Je, yesu alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "6 KK", "start_byte": 180, "limit_byte": 184}, {"text": "6 KK", "start_byte": 180, "limit_byte": 184}]} {"id": "-7101884144677958493-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul Ngei", "passage_text": "Mheshimiwa Paul Joseph Ngei (alizaliwa mnamo 18 Oktoba 1923 na akafa mnamo 15 Agosti 2004) alikuwa mwanasiasa wa Kenya ambaye alikuwa kizuizini kwa jukumu lake katika harakati za kupinga ukoloni lakini baadaye alishikilia nyadhifa za kadhaa za wizara.", "question_text": "Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2004", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}, {"text": "2004", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}, {"text": "15 Agosti 2004", "start_byte": 76, "limit_byte": 90}]} {"id": "-8889948764604888377-0", "language": "swahili", "document_title": "Carlo Rota", "passage_text": "Carlo Rota (amezaliwa tar. 17 Aprili 1961) ni mzaliwa wa Uingereza-mwigizaji filamu na tamthilia wa Kikanada. Huenda akawa anafahamika zaidi kwa kucheza kama Morris O'Brian kutoka katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24.", "question_text": "Je,Carlo Rota alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1961", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "-1230630191815976607-7", "language": "swahili", "document_title": "Moroko", "passage_text": "Mji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Morocco ni upi?", "answers": [{"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-7865666212568431271-0", "language": "swahili", "document_title": "Rosetta (chombo cha angani)", "passage_text": "Rosetta ni chombo cha angani cha Mamlaka ya Ulaya ya Usafiri wa Anga. Mwaka 2004 Kilirushwa kutoka kituo cha angani Kourou kwa roketi ya Ariane 5 kwa kusudi la kufikia nyotamkia ya 67P/Churyumov–Gerasimenko.", "question_text": "Rosetta ilitumika kwa mara ya kwanza mwaka gani?", "answers": [{"text": "2004", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}, {"text": "2004", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}, {"text": "2004", "start_byte": 76, "limit_byte": 80}]} {"id": "-1496824920956900914-0", "language": "swahili", "document_title": "Hekaya za Abunuwasi", "passage_text": "Hekaya za Abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za Abunuwas. Hadithi hizi hazina uhusiano na Abu Nuwas, mshairi Mwarabu aliyeishi Baghdad mnamo mwaka 800 BK. ", "question_text": "Ni nani aliyeandika hadithi za abunwasi?", "answers": [{"text": "Hekaya za Abunuwasi ni mkusanyo wa hadithi fupi zinazosimulia habari za Abunuwas. Hadithi hizi hazina uhusiano na Abu Nuwas, mshairi Mwarabu aliyeishi Baghdad mnamo mwaka 800 BK", "start_byte": 0, "limit_byte": 177}, {"text": "Abu Nuwas", "start_byte": 114, "limit_byte": 123}]} {"id": "4710855162001479712-0", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Njombe", "passage_text": "Mkoa wa Njombe ni mmojawapo kati ya mikoa mipya nchini Tanzania wenye postikodi namba 59000 [1], ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012[2]. Umepakana na mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya na Iringa.", "question_text": "Mkoa wa Njombe ulianzishwa lini?", "answers": [{"text": "2012", "start_byte": 128, "limit_byte": 132}, {"text": "mwaka 2012", "start_byte": 122, "limit_byte": 132}, {"text": "2012", "start_byte": 128, "limit_byte": 132}]} {"id": "-4745148305048884913-1", "language": "swahili", "document_title": "Teide", "passage_text": "Ina urefu wa mita 3,718, iko ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Teide iliyotangazwa na UNESCO kuwa Urithi wa Dunia mwaka 2007. Hii hifadhi ya taifa ni moja ya zile ambazo wengi zaidi wanazitembelea katika dunia, pia ni moja ya Hazina ya 12 ya Hispania.", "question_text": "Je,mlima Teide ina urefu wa mita ngapi?", "answers": [{"text": "3,718", "start_byte": 18, "limit_byte": 23}, {"text": "mita 3,718", "start_byte": 13, "limit_byte": 23}, {"text": "3,718", "start_byte": 18, "limit_byte": 23}]} {"id": "-3933512107285022230-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalivari", "passage_text": "\n\n\nKalivari au Golgotha ni mahali nje ya Yerusalemu wa zamani panaposadikiwa Yesu alisulubiwa akazikwa.", "question_text": "Yesu alisulubiwa katika mlima gani?", "answers": [{"text": "Kalivari au Golgotha", "start_byte": 3, "limit_byte": 23}, {"text": "Kalivari au Golgotha", "start_byte": 3, "limit_byte": 23}, {"text": "Golgotha", "start_byte": 15, "limit_byte": 23}]} {"id": "730564964624479161-6", "language": "swahili", "document_title": "Halijoto", "passage_text": "Maji huchemka mnamo halijoto ya 100°C, 212°F, au 373.15 K. (habari za maji zinalingana na kimo sawa na uwiano wa bahari)", "question_text": "Maji huchemka kwa ailimia ngapi ya joto?", "answers": [{"text": "100°C, 212°F, au 373.15 K", "start_byte": 32, "limit_byte": 59}, {"text": "100°C, 212°F, au 373.15 K", "start_byte": 32, "limit_byte": 59}, {"text": "100°C", "start_byte": 32, "limit_byte": 38}]} {"id": "-7609366934971436360-0", "language": "swahili", "document_title": "Juma Nature", "passage_text": "\nJuma Nature or Sir Nature (born in 1980 as Juma Kassim Ally in Dar es Salaam ) is a new generation musician popularly known as Bongo Flava from the country of Tanzania . Also a founder of a group of men TMK .", "question_text": "Je,msanii Juma Nature alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}, {"text": "1980", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}, {"text": "1980", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}]} {"id": "-8941108949344785935-2", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Nyandarua", "passage_text": "Kaunti ya Nyandarua imepakana na Nyeri, Murang'a (mashariki), Kiambu (kusini), Nakuru (magharibi) na Laikipia (kaskazini). ", "question_text": "Je,msitu wa Aberdare inapatikana katika kaunti gani?", "answers": [{"text": "Nyandarua", "start_byte": 10, "limit_byte": 19}, {"text": "Nyandarua", "start_byte": 10, "limit_byte": 19}]} {"id": "4668409267635081068-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tanga", "passage_text": "Mkoa una eneo la km² 27,348 ambalo linaunganisha sehemu za pwani pamoja na milima ya ndani kama Usambara. ", "question_text": "Je, Mkoa wa tanga una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km² 27,348", "start_byte": 17, "limit_byte": 28}, {"text": "km² 27,348", "start_byte": 17, "limit_byte": 28}, {"text": "km² 27,348", "start_byte": 17, "limit_byte": 28}]} {"id": "-5622239152296729374-0", "language": "swahili", "document_title": "Kool G Rap", "passage_text": "\nNathaniel Thomas Wilson (amezaliwa tar. 20 Julai 1968[1]), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Kool G Rap (au kwa kifupi huitwa G Rap), Kool G. Rap, na Giancana (Maana ya kifupisho cha \"G.\"), ni rappa, kutoka mjini Corona jirani na mji wa Queens, New York huko nchini Marekani.[2] Ameanza shughuli zake za kurap katikati mwa miaka ya 1980 akiwa kama nusu ya kundi la Kool G Rap na DJ Polo na pia akiwa kama mwanachama wa Juice Crew.", "question_text": "Nathaniel Thomas Wilson ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "20 Julai 1968", "start_byte": 41, "limit_byte": 54}, {"text": "amezaliwa tar. 20 Julai 1968", "start_byte": 26, "limit_byte": 54}, {"text": "amezaliwa tar. 20 Julai 1968", "start_byte": 26, "limit_byte": 54}]} {"id": "3143706957990740920-0", "language": "swahili", "document_title": "Emil von Zelewski", "passage_text": "\nEmil von Zelewski (13 Machi 1854 - 1891) alikuwa afisa wa jeshi la Ujerumani. Alipokuwa kamanda ya kwanza wa jeshi la ulinzi la kikoloni katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani aliongoza jeshi hilo katika vita dhidi ya Wahehe alipouawa.", "question_text": "Je,Emil von Zelewski alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1854", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}, {"text": "1854", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}, {"text": "1854", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "5654898655658898592-6", "language": "swahili", "document_title": "Hillary Rodham Clinton", "passage_text": "Wakati anafanya kazi kama mwanachama wa kitengo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Arkansas, akaolewa na Bill Clinton ambaye naye alikuwa akifanya kazi hiyohiyo aliyokuwa anafanya mkewe katika Chuo Kukuu hicho. Wote walifahamiana wakati wanasoma katika Chuo cha Sheria cha Yale. Kwa pamoja wamebarikiwa kupata mtoto mmoja pekee aitwaye Chelsea Clinton, aliyezaliwa tarehe 27 Februari 1980.", "question_text": "Bill Clinton ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "mmoja", "start_byte": 311, "limit_byte": 316}, {"text": "mmoja", "start_byte": 311, "limit_byte": 316}]} {"id": "-7986129433605695344-1", "language": "swahili", "document_title": "Boma la Kale, Dar es Salaam", "passage_text": "Nyumba hii ilijengwa mwaka 1866 wakati Sultani Sayyid Majid bin Said aliamua kuanzisha makao mapya barani baada ya kuchoka maisha ya kule Zanzibar akaita jumba jipya \"Dar es Salaam\" yaani \"jumba la amani, utulivu\". Jumba la Sultani lilijengwa pamoja na majengo mengine na Boma la Kale la leo lilikuwa nyumba ya kupokelea wageni wa Sultani. ", "question_text": "Boma la Kale lina miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1866", "start_byte": 27, "limit_byte": 31}, {"text": "ilijengwa mwaka 1866", "start_byte": 11, "limit_byte": 31}]} {"id": "-5411354637788741309-0", "language": "swahili", "document_title": "R. Kelly", "passage_text": "Robert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly. Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play.", "question_text": "Je,R. Kelly alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1967", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}, {"text": "1967", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}, {"text": "1967", "start_byte": 49, "limit_byte": 53}]} {"id": "-2604591742881401567-0", "language": "swahili", "document_title": "Geoffrey William Griffin", "passage_text": "Dkt Geoffrey William Griffin (alizaliwa Eldoret 15 Juni 1933 - 28 Juni 2005) alikuwa mkurugenzi mwanzilishi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe. Alianzisha shule hii mwezi Novemba 1959 kwa msaada wa marehemu Geoffrey Geturo na Joseph Gikubu, Afisa Mwandamizi wa sasa wa mkurugenzi wa shule; alikuwa Mkurugenzi wa shule hii kutoka alipo ianzilisha hadi mwisho wa maisha yake. Pia alikuwa mkurugenzi mwanzilishi wa National Youth Service kati ya 1964 na 1988, wakati alistaafu kutoka Huduma kwa Umma ya Kenya.", "question_text": "Dkt Geoffrey William Griffin alizaliwa nchi gani?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 509, "limit_byte": 514}, {"text": "Kenya", "start_byte": 509, "limit_byte": 514}]} {"id": "2900080673780292934-3", "language": "swahili", "document_title": "Kaunti ya Meru", "passage_text": "Sehemu kubwa ya Meru ina ardhi ya rutuba na mvua ya kutosha. Ni kaunti inayojulikana kwa ukuzaji wa miraa, kama zao la biashara. Hata hivyo, ukulima wa ndizi, mahindi, majani ya chai na maharagwe hufanywa[1][2]. ", "question_text": "Je, Miraa inapatikana kwa wingi katika kaunti gani nchini Kenya?", "answers": [{"text": "Meru", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}, {"text": "Meru", "start_byte": 16, "limit_byte": 20}]} {"id": "7478506855386589098-3", "language": "swahili", "document_title": "Doris Mollel", "passage_text": "Mnamo mwaka 2015 Doris Foundation ilizinduliwa rasmi na Doris akiwa mkurugenzi wa taasisi.", "question_text": "Doris Mollel alianzisha Taasisi ya Doris Foundation mwaka upi?", "answers": [{"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2015", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "6755781304306637417-0", "language": "swahili", "document_title": "Muhogo", "passage_text": "Muhogo (Kiing. cassava) ni mmea wa jenasi Manihot na chakula muhimu katika Afrika, Amerika Kusini na nchi za Asia Kusini. Sehemu ya kuliwa ni hasa viazi vyake (mizizi minene au mahogo) vilivyo na wanga nyingi halafu pia majani yake yenye protini na vitamini.", "question_text": "Je,jina ya kisayansi ya muhogo ni ipi?", "answers": [{"text": "Manihot", "start_byte": 42, "limit_byte": 49}, {"text": "Manihot", "start_byte": 42, "limit_byte": 49}, {"text": "Manihot", "start_byte": 42, "limit_byte": 49}]} {"id": "-3254886548697135805-1", "language": "swahili", "document_title": "Financial Times", "passage_text": "Ilianzishwa mwaka wa 1888 na James Sheridan na ndugu yake, Financial Times hushindana na magazeti mengine manne ya kibiashara, mwaka 1945 iliipita gazeti la Financial News (lililoanzishwa mnamo mwaka 1884). Kwa kipindi hicho, FT wao walikuwa wamejikita katika habari za kibiashara na fedha, wakati huohuo walikuwa wakijipanga kuja na mwonekano mwingine wa kujitegemea. FT ni gazeti pekee linalotoa habari za biashara na Soko la hisa la London kila siku huko nchini Uingereza.", "question_text": "Je,gazeti la Financial Times ilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1888", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}, {"text": "1888", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}, {"text": "1888", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}]} {"id": "4793535217627525947-0", "language": "swahili", "document_title": "Pepe Kallé", "passage_text": "\nPepe Kallé (30 Novemba 1951 - 28 Novemba 1998) alikuwa mwimbaji wa soukous, mwanamuziki na kiongozi wa bendi kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Pepe Kallé alipozaliwa alipewa jina Kabasele Yampanya katika mji mkuu wa Kinshasa (wakati huo mji huu ulikuwa unajulikana kama Léopoldville), lakini baadaye aliamua kulichukua jina la mshauri wake, Grand Pepe Kalle.", "question_text": "Pepe Kale alikuwa mwanamziki wa kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 127, "limit_byte": 159}, {"text": "amhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 128, "limit_byte": 159}, {"text": "Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "start_byte": 127, "limit_byte": 159}]} {"id": "-3214583086981848702-5", "language": "swahili", "document_title": "Paul Ngei", "passage_text": "Waliachiliwa miaka tisa baadaye, katika mwaka wa 1961, miaka miwili kabla ya Kenya kupata uhuru.", "question_text": "Mheshimiwa Paul Joseph Ngei alikuwa kizuizini kwa miaka mingapi?", "answers": [{"text": "tisa", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}, {"text": "tisa", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}, {"text": "tisa", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}]} {"id": "-6148506176158739887-0", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji. ", "question_text": "Je,mji mkuu waTanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "15270373610701035-0", "language": "swahili", "document_title": "Sally McLellan", "passage_text": "\nSally McLellan (aliyezaliwa 19 Septemba 1986 huko Sydney, Australia) ni mwanamichezo wa Australia ambaye ni mtaalamu katika mita 100 na mita 100 ya kuruka viunzi. McLellan ndiye anashikilia rekodi ya Australia kwa mita 100 ya kuruka vikwazo na yeye ndiye mwanariadha kasi wa pili wa Australia nzima katika mbio ya 100m. Wakati wa Olimpiki ya 2008, yeye alishinda medali ya fedha katika mbio ya 100m ya vikwazo kwa muda wa sekunde 12.64.", "question_text": "Sally McLellan anashikilia rekodi ya wapi?", "answers": [{"text": "Australia", "start_byte": 201, "limit_byte": 210}, {"text": "Australia kwa mita 100 ya kuruka vikwazo", "start_byte": 201, "limit_byte": 241}, {"text": "mita 100 ya kuruka vikwazo", "start_byte": 215, "limit_byte": 241}]} {"id": "-2203320378178178047-2", "language": "swahili", "document_title": "Ugonjwa wa kuambukiza", "passage_text": "Pathojeni ni jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa. Si kila bakteria au fungi inasababisha ugonjwa, kinyume chake tunaishi kwa kuwa na mamilioni ya bakteria katika utumbo ambazo ni lazima kuwepo kwa afya yetu. Vidubini hivi vyote ni vidogo mno, havionekani kwa macho.", "question_text": "Pathojeni ni nini?", "answers": [{"text": "i jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 11, "limit_byte": 78}, {"text": "jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 13, "limit_byte": 78}, {"text": "bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 22, "limit_byte": 78}]} {"id": "4873225622490039485-2", "language": "swahili", "document_title": "Daraja la Mfereji wa Suez", "passage_text": "Serikali ya Japan ilitoa kiasi cha asilimia 60 ya gharama za ujenzi hii ikiwa ni kiasi cha Yen bilioni 13.5, hii ilikubaliwa wakati Raisi Mubarak alipoitembelea Japan mwezi Machi mwaka 1995, kama sehemu ya kuendeleza mkono nchi wa Sinai. Misri nayo ilichangia kiasi cha asilimia 40 yaani Yen bilioni 9, zilizobaki. Na daraja likafunguliwa mwezi Oktoba mwaka 2001.", "question_text": "Daraja la Suez lilijengwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1995", "start_byte": 188, "limit_byte": 192}, {"text": "2001", "start_byte": 361, "limit_byte": 365}]} {"id": "-7710971380577771094-3", "language": "swahili", "document_title": "Kipanya", "passage_text": "Uwezo wao wa kuzaaa huwaza pale wanapokuwa na siku 50, japo kipanya jike huweza kuanza kupata hedhi yao ya kwanza wakiwa na siku 25 hadi 40. Vipanya huzaliana mwaka mzima huku mayai yao yakiwepo muda wote. Siku za mzunguko wa mayai huwa ni 4 mpaka 5 na hedhi hudumu kwa masaaa 12 kuanzia jioni. Harufu za uke wao hutambua kusaidia hatua ya mzungoko wa uzazi alionao jike hivyo kujua muda sahihi wa kujamiiana. Vipanya hupandana usiku na hudhibitishwa/ huwezekana kwa kushikwa shahawa kwenye uke kwa saa 24 kwa ujumla. Uwepo kwa manii kwenye uke pia ni alama mojawapo ya kujamiiana.\nVipanya hubeba mimba kwa muda wa siku 20. Huzaa wampakampaka takribani 10 - 12 kwa uwezo wa kawaida wenye uzimpaka wa kilogramu 0.5- 1.5, walio na nywele huku masiiona. Macho yao yakiwa yamefunga wampakampaka huachishwa kunyonya baada ya majuma 3, na baada ya siku 2-5, jike hurudia mzunguko wake wa uzazi.", "question_text": "Panya hubeba mimba miezi mingapi?", "answers": [{"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}]} {"id": "5478937968807001069-1", "language": "swahili", "document_title": "Boksiti", "passage_text": "Jina la Bauxiti limetokana na kijiji cha \"Les Baux de Provence\" katika Ufaransa ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza. Leo hii huchimbwa hasa katika Australia, Brazil, Guinea, Jamaika na India. ", "question_text": "Jina la Bauxiti linatokana na nini?", "answers": [{"text": "kijiji cha \"Les Baux de Provence\" katika Ufaransa ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza", "start_byte": 30, "limit_byte": 120}, {"text": "kijiji cha \"Les Baux de Provence\" katika Ufaransa ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza", "start_byte": 30, "limit_byte": 120}, {"text": "Les Baux de Provence", "start_byte": 42, "limit_byte": 62}]} {"id": "7551199066059298694-52", "language": "swahili", "document_title": "Rais wa Marekani", "passage_text": "Baadhi ya marais wamekuwa muhimu baada ya kuacha kazi ofisi. Maarufu mifano inajumuisha William Howard Taft 's umiliki kama Jaji Mkuu wa Marekani na Herbert Hoover' s kazi ya serikali reorganization baada World War II. Grover Cleveland, ambaye kugombea reelection alishindwa mwaka wa 1888, alichaguliwa rais tena miaka minne baadaye mwaka 1892 . Aliwahi marais wawili wa zamani baada ya kuondoka katika Congress ya White House; John Quincy Adams alichaguliwa na Baraza la Wawakilishi, kuwahudumia huko kwa miaka kumi na saba, na Andrew Johnson alirudi Seneti mwaka 1875. John Tyler kutumikia katika ugawaji Congress ya Marekani ya makundi wakati wa Civil Vita na alichaguliwa kwa makundi Baraza la Wawakilishi, lakini alikufa kabla ulioitishwa. Zaidi hivi karibuni, Richard Nixon alifanya safari nyingi za kigeni kwa nchi pamoja na China na Urusi, na alikuwa lauded kama mzee Scientist. [28] Imekuwa Jimmy Carter global kampeni za haki za binadamu, na uchaguzi arbiter kimataifa kufuatilia, na mpokeaji wa Tuzo ya Amani ya Nobel. Bill Clinton imechukua baadhi ya kazi kama 'mzee Scientist', wengi mashuhuri kwa ushiriki wake katika mazungumzo ambayo imesababisha ya kutolewa kwa Journalist s mbili Marekani, Laura Ling na Euna Lee kutoka Korea ya Kaskazini. Bill Clinton pia imekuwa aktiv kisiasa tangu kumalizika muda wake wa urais, kufanya kazi pamoja na mke wake, Hillary Clinton tarehe yake ya kugombea urais.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa marekani kushinda taji la Nobel ni nani?", "answers": [{"text": "Jimmy Carter", "start_byte": 900, "limit_byte": 912}, {"text": "Jimmy Carter", "start_byte": 900, "limit_byte": 912}]} {"id": "-8294183461450280491-0", "language": "swahili", "document_title": "Wilaya ya Mpwapwa", "passage_text": "\nWilaya ya Mpwapwa ni wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma Tanznia yenye postikodi namba 41600[1]\n. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Mpwapwa ilihesabiwa kuwa 305,056.[2]", "question_text": "Mpwapwa iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "305,056", "start_byte": 175, "limit_byte": 182}, {"text": "305,056", "start_byte": 175, "limit_byte": 182}, {"text": "305,056", "start_byte": 175, "limit_byte": 182}]} {"id": "2769528256063881807-0", "language": "swahili", "document_title": "Wangari Maathai", "passage_text": "Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.[1] Yeye ni mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo. Pia, aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na waziri msaidizi katika serikali ya Mwai Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005.", "question_text": "Wangari Muta Maathai alishinda tuzo gani mwaka wa 2004?", "answers": [{"text": "ya Nobel ya Amani", "start_byte": 183, "limit_byte": 200}, {"text": "Nobel ya Amani", "start_byte": 186, "limit_byte": 200}]} {"id": "6565914093480125362-1", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "Tanganyika African National Union (TANU) kilikuwa chama kilichotawala Tanganyika na Tanzania hadi muungano wa chama hiki na Chama cha Afro-Shirazi cha Zanzibar ulipounda Chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 1977.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa Chama cha Mapinduzi?", "answers": [{"text": "1977", "start_byte": 202, "limit_byte": 206}, {"text": "Chama cha Afro-Shirazi cha Zanzibar", "start_byte": 124, "limit_byte": 159}]} {"id": "8369171330422339042-4", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Arusha", "passage_text": "Eneo lake ni km za mraba 86,100 zikiwemo km² 2,460 za maji ya ndani. ", "question_text": "Mkoa wa Arusha una ukubwa gani?", "answers": [{"text": "km za mraba 86,100", "start_byte": 13, "limit_byte": 31}, {"text": "km za mraba 86,100 zikiwemo km² 2,460 za maji ya ndani", "start_byte": 13, "limit_byte": 68}, {"text": "86,100", "start_byte": 25, "limit_byte": 31}]} {"id": "-6614022707694765144-1", "language": "swahili", "document_title": "Mario Brega", "passage_text": "Brega akisimama alivuka urefu wa futi sita, japokuwa vipimo vyake vimebaki kuwa havieleweki, ila tu, unaweza kuchukulia urefu wake kuwa unafanana na ule wa Clint Eastwood wa miaka ya 1960.", "question_text": "Mario Brega alikuwa na urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "futi sita", "start_byte": 33, "limit_byte": 42}, {"text": "futi sita", "start_byte": 33, "limit_byte": 42}, {"text": "futi sita", "start_byte": 33, "limit_byte": 42}]} {"id": "681867482030464457-4", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Osama bin Laden alizaliwa katika familia tajiri ya Bin Laden wa Saudia. Baada ya masomo yake kwenye chuo kikuu yasiyojulikana kama amayamaliza alifanya kazi katika makampuni ya ujenzi ya familia yake.", "question_text": "Je,Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden alikuwa wa kutoka nchi gani?", "answers": [{"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}]} {"id": "-7803850974640025448-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo nchi kwa nchi", "passage_text": "Ukristo ndio dini kubwa duniani mwanzoni mwa karne ya 21, ukikadiriwa kuwa na waumini bilioni 2.3 kati ya watu bilioni 7 duniani, ambao ni sawa na 1/3.[1][2][3][4][5]", "question_text": "Dini ya Ukristo ina idadi gani ya waumini Duniani mnamo mwaka 2019?", "answers": [{"text": "bilioni 2.3", "start_byte": 86, "limit_byte": 97}, {"text": "bilioni 2.3", "start_byte": 86, "limit_byte": 97}]} {"id": "8197191506346486679-0", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "\n\n\n\nYesu (kwa Kiebrania יֵשׁוּעַ, Yeshua, kifupisho cha יהושע‎, Yeoshua, yaani \"Mungu anaokoa\") alikuwa Myahudi mwanamume aliyeishi miaka 2000 hivi iliyopita (labda 6 KK - 30 BK). ", "question_text": "Yesu Kristo aliishi Miaka ngapi duniani?", "answers": [{"text": "labda 6 KK - 30 B", "start_byte": 174, "limit_byte": 191}, {"text": "2000", "start_byte": 153, "limit_byte": 157}, {"text": "6 KK - 30 BK", "start_byte": 180, "limit_byte": 192}]} {"id": "8411880420677144898-1", "language": "swahili", "document_title": "Ujamaa", "passage_text": "Ujamaa ni siasa iliyoanzishwa kwa misingi ya sera za Julius Nyerere za maendeleo ya kijamii na ya kiuchumi katika Tanzania punde tu baada ya Tanganyika kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1961. ", "question_text": "Mfumo wa Ujamaa nchini Tanzania ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}, {"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}, {"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}]} {"id": "1025244091406367530-0", "language": "swahili", "document_title": "Kieran Trippier", "passage_text": "\nKieran Trippier (alizaliwa tarehe 19 Septemba mwaka 1990) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anachezea klabu ya Ligi kuu ya Uingereza iitwayo Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Uingereza.", "question_text": "Kieran Trippier alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Uingereza", "start_byte": 187, "limit_byte": 196}, {"text": "Uingereza", "start_byte": 82, "limit_byte": 91}]} {"id": "1460069058473240502-5", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba. ", "question_text": "Je,nani alizindua chombo cha darubini?", "answers": [{"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}]} {"id": "6467998348455224477-1", "language": "swahili", "document_title": "Amani Temba", "passage_text": "Mwanzoni alitokea kwenye kundi flani liitwalo \"Manduli Mobb\" walifanya nyimbo kadha wa kadha ikiwemo ile ya 'Maskini Jeuri' walishirikiana na 'Juma Nature' hiyo ilikuwa mwaka 2000 baadae kundi lika tawanyika na kila mtu kuanza kufanya kazi za muziki akiwa peke yake na sio na kundi tena, alio anza kutoa nyimbo yake peke alikuwa \"Bwana Mkubwa\" baadae Mh Temba nae akatoa nyimbo yake ya kwanza ilioitwa \"Nakumaindi\" ilikuwa mwaka 2001 Mwishoni ambayo ilitayarishwa na Muuandaaji Papa Lavu maarufu kama Bonny Lavu.", "question_text": "Amani James Pausen Temba alijiunga na sanaa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}, {"text": "2000", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}, {"text": "2000", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}]} {"id": "-8786651670096674977-0", "language": "swahili", "document_title": "Hifadhi ya Ngorongoro", "passage_text": "Hifadhi ya Ngorongoro (kwa Kiingereza: \"Ngorongoro Conservation Area\") ni hifadhi ya taifa kaskazini mwa Tanzania inayojulikana kote duniani, hasa baada ya kuorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa Urithi wa Dunia. ", "question_text": "Kasoko ya Ngorongoro inapatika wapi?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 105, "limit_byte": 113}, {"text": "kaskazini mwa Tanzania", "start_byte": 91, "limit_byte": 113}, {"text": "Tanzania", "start_byte": 105, "limit_byte": 113}]} {"id": "-8501045978861337914-6", "language": "swahili", "document_title": "Halima James Mdee", "passage_text": "Alipata ajira katika Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana mwaka 2004 akiwa Ofisa Maendeleo kama mwanasheria mpaka mwaka 2005 alipoamua kuacha kazi na kuingia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, ambako alishiriki kuwapigia kampeni wagombea mbalimbali wa CHADEMA kabla ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.", "question_text": "Je, Halima James Mdee alijiunga na siasa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2005", "start_byte": 210, "limit_byte": 214}, {"text": "2005", "start_byte": 210, "limit_byte": 214}, {"text": "2005", "start_byte": 121, "limit_byte": 125}]} {"id": "-3228249503378861044-5", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba. ", "question_text": "Nani alizundua chombo cha darubini?", "answers": [{"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}]} {"id": "9114663100990629611-0", "language": "swahili", "document_title": "Nimrod Elireheemah Mkono", "passage_text": "Nimrod Elireheemah Mkono (amezaliwa tar. 18 Agosti 1943)katika kijiji cha Busegwe ni mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini alianza ubunge mwaka 2000~2015 bado ni mbunge wa musoma vijijini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.nimrod mkono ni mwana maendeleo kwa sababu amejenga shule nyingi baadhi ya shule ni chief ihunyo iliyopo kijiji cha busegwe,shule ya msingi busegwe,chief wanzagi,chief oswald mang'ombe,shule ya sekondari Butuguri,shule ya sekondari kasoma na nyingine nyingi uchaguzi wa mwaka 2010 alipita bila kupingwa na pia ni wakili wa kimataifa wa kujitegemea pia nimrod mkono ni mzanaki kabila ambalo rais wa kwanza wa tanzania julius kambarage nyerere alikuwa na pia mheshimiwa mkono ametoa mchango mkubwa kufanikisha kupatikana kwa wilaya mpya ya butiama[1] Anatokea katika chama cha CCM.", "question_text": "Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa mwaka upi", "answers": [{"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}, {"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}, {"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "7981618297641171027-1", "language": "swahili", "document_title": "Leo Africanus", "passage_text": "Alizaliwa mnamo mwaka 1490 kwa jina la الحسن بن محمد الوزان (Al-Hasan ibn Mohammed al-Wassan) katika mji wa Granada uliokuwa mji mkuu wa dola la mwisho wa Waislamu katika Hispania. Baada ya kutekwa kwa mji na Wahispania Wakristo 1492 familia yake ilihamia Fes (Moroko). Hapo kijana alisoma kwenye chuo kikuu cha Al-Qairawin. ", "question_text": "Je,Leo Africanus alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1490", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}, {"text": "1490", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}, {"text": "1490", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}]} {"id": "4861725566470516131-0", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Tanzania ni ipi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "103922383789946364-0", "language": "swahili", "document_title": "Thiago Silva", "passage_text": "\nThiago Silva (alizaliwa 22 Septemba 1984) ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza kama mlinzi wa kati katika timu ya taifa ya Brazil.", "question_text": "Thiago Silva alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1984", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "22 Septemba 1984", "start_byte": 25, "limit_byte": 41}]} {"id": "1333035902843803629-0", "language": "swahili", "document_title": "Hospitali ya Taifa ya Kenyatta", "passage_text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta iliyoko jijini Nairobi, ni Hospitali kongwe zaidi nchini Kenya. Ilianzishwa mwaka wa 1901 na uwezo wa vitanda takribani 40 kama Native Civil Hospital, ilibadilishwa jina na kuitwa King George VI mwaka 1952. Wakati huo,masetla walikuwa wakihudumiwa na hospitali ya jamii iliyoko karibu, European Hospital (sasa inaitwa Nairobi Hospital). Ilibadilishwa jina hadi Kenyatta National Hospital - baada ya Jomo Kenyatta - kufuatia uhuru kutoka Uingereza. Kwa sasa ndiyo hospitali kubwa ya rufaa na mafundisho nchini.", "question_text": "Je,hospitali kongwe zaidi nchini Kenya ni gani?", "answers": [{"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}, {"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}, {"text": "Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta", "start_byte": 0, "limit_byte": 32}]} {"id": "3443449492838283941-2", "language": "swahili", "document_title": "Pablo Picasso", "passage_text": "Picasso alianza kuchora kwa umri mdogo wa miaka saba akisaidiwa na babake aliyekuwa mwalimu wa sanaa. Akiwa na miaka 10 aliandikishwa kwenye chuo cha sanaa na 1895 alipokelewa kwenye chuo kikuu cha sanaa huko Barcelona. ", "question_text": "Pablo Ruiz Picasso alianza uchoraji akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "saba", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "saba", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "miaka saba", "start_byte": 42, "limit_byte": 52}]} {"id": "4626673638485118621-0", "language": "swahili", "document_title": "Kanisa la Kaburi na Ufufuo wa Yesu", "passage_text": "Kanisa la Kaburi na Ufufuo wa Yesu liko mjini Yerusalemu mahali ambako kufuatana na mapokeo ya Ukristo Yesu alisulubiwa, akawekwa kaburini na kufufuka siku ya tatu.", "question_text": "Kaburi la yesu liko wapi?", "answers": [{"text": "mjini Yerusalemu", "start_byte": 40, "limit_byte": 56}, {"text": "Yerusalemu", "start_byte": 46, "limit_byte": 56}, {"text": "Yerusalemu", "start_byte": 46, "limit_byte": 56}]} {"id": "1572545971976852411-3", "language": "swahili", "document_title": "Cherehani", "passage_text": "Cherahani ya kwanza ilitengenezwa mwaka 1790 na mwingereza Thomas Saint na baadaye ikaendelea kuboreshwa ili iwe ya kufana Zaidi na kufanya kazi kwa haraka zaidi.", "question_text": "Mashine ya kwanza ya kushona nguo iligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "1790", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}, {"text": "Thomas Saint", "start_byte": 59, "limit_byte": 71}]} {"id": "1746672958620710492-0", "language": "swahili", "document_title": "Barua pepe", "passage_text": "\nBarua pepe ni ujumbe unaotumwa kwa njia ya intaneti au mtandao mwingine wa kielektroniki. ", "question_text": "Barua pepe ni nini?", "answers": [{"text": "ujumbe unaotumwa kwa njia ya intaneti au mtandao mwingine wa kielektroniki", "start_byte": 15, "limit_byte": 89}, {"text": "ujumbe unaotumwa kwa njia ya intaneti au mtandao mwingine wa kielektroniki", "start_byte": 15, "limit_byte": 89}, {"text": "ujumbe unaotumwa kwa njia ya intaneti au mtandao mwingine wa kielektroniki", "start_byte": 15, "limit_byte": 89}]} {"id": "3948626088164052458-0", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "\n\n\n\nYesu (kwa Kiebrania יֵשׁוּעַ, Yeshua, kifupisho cha יהושע‎, Yeoshua, yaani \"Mungu anaokoa\") alikuwa Myahudi mwanamume aliyeishi miaka 2000 hivi iliyopita (labda 6 KK - 30 BK). ", "question_text": "Yesu alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "labda 6 KK - 30 B", "start_byte": 174, "limit_byte": 191}, {"text": "6 KK", "start_byte": 180, "limit_byte": 184}, {"text": "6 KK - 30 BK)", "start_byte": 180, "limit_byte": 193}]} {"id": "-5167263128591881050-4", "language": "swahili", "document_title": "Mwai Kibaki", "passage_text": "Mwaka 1991 Kibaki aliondoka chama cha KANU na kuanzisha chama cha Democratic Party. Katika uchaguzi wa Urais wa mwaka 1991, Kibaki alikuwa wa tatu na mwaka 1997 alikuwa wa pili.", "question_text": "Mwai Kibaki alizindua chama gani cha siasa?", "answers": [{"text": "Democratic Party", "start_byte": 66, "limit_byte": 82}, {"text": "Democratic Party", "start_byte": 66, "limit_byte": 82}]} {"id": "8574331672074518412-0", "language": "swahili", "document_title": "Aisha", "passage_text": "Aisha bint Abu Bakr (Kar.: عائشة ʿāʾ'isha - mwenye uhai) alikuwa mke wa tatu tena mdogo wa mtume Muhammad. ", "question_text": "Mtume Mohammed alikuwa na wake wangapi?", "answers": [{"text": "tatu", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}, {"text": "tatu", "start_byte": 80, "limit_byte": 84}]} {"id": "6400820252058862287-1", "language": "swahili", "document_title": "Philip Emeagwali", "passage_text": "Emeagwali alizaliwa katika Akure, Nigeria tarehe 23 Agosti 1954.[1] Aliacha shule mwaka wa 1967 kwa sababu ya vita vya Nigeria vya Biafran. Wakati alipofikisha miaka kumi na nne, alitumbukizwa ndani ya jeshi laBiafra . Baada ya vita alimaliza masomo sawa na ya shule ya upilikwa kujifunza na alienda Marekani kusoma katika chuo kikuu chini ya udhamini. Kwa kweli, Emeagwali alisomea Uingereza baada ya kutoka Afrika. Aienda Marekani baadaye. Alipata shahada ya hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Oregon mwaka wa 1977. Alipata Shahada ya bwana katika uhandisi wa mazingira kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka wa 1981, na shahada nyingine ya bwana ya Hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Maryland, College Park mwaka wa 1986. Yeye pia alipewa shahada ya uhandisi wa bahari, pwani na marina kutoka Chuo Kikuu cha George Washingt mwaka huo. Alikuwa pia anafanya kazi kama mhandisi katika Ofisi ya Ardhi katika Wyoming reclamation katika kipindi hiki.", "question_text": "Philip Emeagwali alisomea uhandisi katika chuo gani?", "answers": [{"text": "George Washington", "start_byte": 591, "limit_byte": 608}, {"text": "George Washington", "start_byte": 591, "limit_byte": 608}, {"text": "Chuo Kikuu cha George Washington", "start_byte": 576, "limit_byte": 608}]} {"id": "-3240651618771747905-29", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Ethiopia", "passage_text": "Serikali ya Majimbo ya Demokrasia ya Jamhuri ya Ethiopia ilichukua mamlaka mnamo Agosti 1995. Rais wa kwanza Negasso Gidada. EPRDF ikaongoza serikali na Waziri Mkuu Meles Zenawi ambaye ameunga mkono majimbo ya kikabila, na kuwapa madaraka viongozi wa kikabila. Ethiopia sasa ina maeneo 9 ambayo yana serikali ya madaraka ya shirika, na hata majimbo haya yanakubaliwa kutoza ushuru na kutumia akiba ya ushuru. Hii aina ya serikali imefanya Waethiopia kupata uhuru wa siasa lakini Uhuru wa idhaa na gazeti bado umefinyiliwa.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Ethiopia alikuwa nani?", "answers": [{"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}, {"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}, {"text": "Negasso Gidada", "start_byte": 109, "limit_byte": 123}]} {"id": "165125411400937208-6", "language": "swahili", "document_title": "Mfumo wa chama kimoja", "passage_text": "Ethiopia (Chama cha Wafanyakazi cha Ethiopia) 1987-1991\nKenya (Kenya African National Union) 1982-1990\nMalawi (Malawi Congress Party) 1966-1993\nSomalia (Chama cha kimapinduzi ya kijamii ya Kisomali) 1976-1991\nTanzania (Tanganyika African National Union) 1965-1975; Zanzibar (Afro-Shirazi Party 1965-1992; TANU na ASP zikaungana kuwa (Chama Cha Mapinduzi) 1975-1992\nUganda (National Resistance Movement/Party) 1987-2005\nZambia (United National Independence Party) 1972-1990", "question_text": "Je,Chama Cha Mapenduzi ni chama cha kisiasa cha nchi gani Afrika?", "answers": [{"text": "Tanzania", "start_byte": 209, "limit_byte": 217}, {"text": "Tanzania", "start_byte": 209, "limit_byte": 217}]} {"id": "4287800331105134561-0", "language": "swahili", "document_title": "Hoteli Cairo Marriott", "passage_text": "\n\n\nHoteli ya Cairo Marriott ni hoteli kubwa iliyoko kando ya Mto Nile katikati mwa Cairo, Misri. Wakati mmoja jengo hili lilikuwa ikulu iliyojengwa kufuatia amri kutoka kwa mtawala wa Misri katika 1869, hoteli hiiilibadilishwa hadi hoteli ya kisasa Marriott International. Hoteli hii ina vyumba 1,089, na kuifanya moja ya hoteli kubwa katika Mashariki ya Kati.", "question_text": "Je,hoteli ya Cairo Marriott ilijengwa lini?", "answers": [{"text": "869", "start_byte": 199, "limit_byte": 202}, {"text": "869", "start_byte": 199, "limit_byte": 202}]} {"id": "3685878854432003153-0", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "\n\n\nDarubini (kutoka Kiajemi: دوربين, dorbin) ni kifaa cha kutazamia vitu ambavyo viko mbali. Kutegemeana na kusudi lake kuna aina mbalimbali:", "question_text": "Je,ni chombo kipi hutumika kuangalia nyota angani?", "answers": [{"text": "Darubini", "start_byte": 3, "limit_byte": 11}, {"text": "Darubini", "start_byte": 3, "limit_byte": 11}]} {"id": "1781710560294287242-1", "language": "swahili", "document_title": "Lubumbashi", "passage_text": "Mji huu ndio makao makuu ya Mkoa wa Katanga Juu ambao una madini ya shaba na uko karibu na mpaka wa Zambia. Makadirio ya idadi ya watu ni karibu milioni 1.8.", "question_text": "Je,kuna idadi ya watu wangapi jijini Lubumbashi?", "answers": [{"text": "milioni 1.8", "start_byte": 145, "limit_byte": 156}, {"text": "milioni 1.8", "start_byte": 145, "limit_byte": 156}]} {"id": "4549606114621822231-4", "language": "swahili", "document_title": "Kifaru", "passage_text": "Kuna spishi tano zinazoweza kuwekwa katika makundi matatu. Spishi mbili za Afrika, faru mweupe (white rhinoceros) na faru mweusi (black rhinoceros) walitokea kama miaka milioni 5 iliyopita. Tofauti kubwa kati ya faru mweupe na faru mweusi ni muundo wa midomo yao. Faru mweupe ana mdomo mpana kwa ajili ya kula nyasi huku mdomo wa faru mweusi ikiwa imechongoka kiasi.", "question_text": "Je ni spishi gani mbili ya Vifaru inapatikana Afrika?", "answers": [{"text": "faru mweupe (white rhinoceros) na faru mweusi (black rhinoceros)", "start_byte": 83, "limit_byte": 147}, {"text": "faru mweupe (white rhinoceros) na faru mweusi (black rhinoceros", "start_byte": 83, "limit_byte": 146}, {"text": "faru mweupe (white rhinoceros) na faru mweusi (black rhinoceros)", "start_byte": 83, "limit_byte": 147}]} {"id": "-2640897325971071106-0", "language": "swahili", "document_title": "Paul von Lettow-Vorbeck", "passage_text": "\nPaul Emil von Lettow-Vorbeck (20 Machi, 1870 – 9 Machi, 1964) alikuwa afisa wa jeshi la Dola la Ujerumani na mkuu wa jeshi la Schutztruppe katika Afrika ya Mashariki ya Kijerumani wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.", "question_text": "Je,Paul Emil von Lettow-Vorbeck alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "20 Machi, 1870", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}, {"text": "20 Machi, 1870", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}, {"text": "20 Machi, 1870", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}]} {"id": "4104144530864628481-1", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Bunge linamjumuisha rais wa Tanzania pamoja na wabunge. Mnamo mwaka 2017 kuna wabunge 393[1] wanaoingia kwa namna tofauti [2]", "question_text": "Je,Tanzania ina eneo bunge ngapi?", "answers": [{"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}, {"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}]} {"id": "-2169563076730021607-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je, makao makuu ya Kampuni ya Microsoft iko wapi?", "answers": [{"text": "Redmond, Washington, Marekani", "start_byte": 112, "limit_byte": 141}, {"text": "Redmond, Washington", "start_byte": 112, "limit_byte": 131}, {"text": "Redmond, Washington, Marekani", "start_byte": 112, "limit_byte": 141}]} {"id": "-6536097463030510711-1", "language": "swahili", "document_title": "Nash MC", "passage_text": "Ni msanii mwenye msimamo wa mrengo wa kushoto. Muundo wa mashairi yake ni kusimamia misingi ya utetezi wa wanyonge wa Tanzania. Tungo za kukemea maovu wanayotendewa wavuja jasho wa Tanzania. Alianza kurap mwishoni mwa miaka ya 1990 na umaarufu alipata 2001 baada ya kutoa \"Kisa cha Mwanafunzi\" aliomshirikisha Dully Sykes katika kiitikio na Dogo Lecha — kazi iliyotayarishwa kwa Miikka Mwamba wakati huo FM Studio Kinondoni. ", "question_text": "Je,Mutalemwa Jason Theobard alinza mziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 227, "limit_byte": 231}, {"text": "1990", "start_byte": 227, "limit_byte": 231}]} {"id": "-5424518593960879661-0", "language": "swahili", "document_title": "Edgar Ngelela", "passage_text": "\nEdgar Leonard Luhende Ngelela (amezaliwa 15 Oktoba 1980[1]) ni msanii katika masuala ya muziki, uchoraji, uigizaji, uongozaji wa michezo ya jukwaa na ya runingana utengenezaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Ikiwa na pamoja na kucheza maigizo bubu, muziki, kuchora, kubuni na kutengeneza filamu ametumia elimu yake katika kufundisha sehemu mbalimbali kama Chuo kikuu cha Dar es Salaam na TFTC.", "question_text": "Je,Edgar Leonard Luhende alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "15 Oktoba 1980", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}, {"text": "15 Oktoba 1980", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}, {"text": "15 Oktoba 1980", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}]} {"id": "-2309718320119900815-2", "language": "swahili", "document_title": "Durban", "passage_text": "Mji ulianzishwa 1824 na kikosi cha wanajeshi Waiingereza waliojenga makazi kwenye pwani la hori ya Natal. Mmoja wao aliweza kumsaidia mfalme wa Zulu Shaka aliyegonjeka kutokana na majeruhi. Mfal,me akatoa shukrani kwa kumpa Mwingereza zawadi ya kanda la eneo lenye urefu wa maili 25 kwenye pwani na upana wa maili 100 kuingia bara. Mji uliitwa kwa heshima wa gavana wa koloni ya Rasi Sir Benjamin d'Urban hivyo \"Durban\".", "question_text": "Jina wa mji wa Durban linatokana na nini?", "answers": [{"text": "gavana wa koloni ya Rasi Sir Benjamin d'Urban", "start_byte": 359, "limit_byte": 404}, {"text": "heshima wa gavana wa koloni ya Rasi Sir Benjamin d'Urban hivyo \"Durban\"", "start_byte": 348, "limit_byte": 419}]} {"id": "6726618517446135130-1", "language": "swahili", "document_title": "Mlonge", "passage_text": "Mti wa mlonge pia umegundulika kuwa ndio mti wenye maajabu zaidi duniani hasa baada ya kufanyiwa utafiti na wanasayansi wa Uingereza. Mti huu una uwezo wa kutibu magonjwa zaidi ya 100 kama vile vidonda vya tumbo, malaria, homa ya matumbo, maambukizo ya mfumo wa mkojo na magonjwa mengine. Mti huu pia umeonekana kuwa na protini nyingi kuliko inayopatikana katika nyama, maziwa, samaki pamoja na maharagwe. Pia mti huu una virutubisho vya Omega-3 ambavyo havipatikani katika maziwa na nyama hivyo kuwa ndio mti wa ajabu zaidi duniani.", "question_text": "Mti wa Moringa una tibu magonjwa aina ngapi?", "answers": [{"text": "zaidi ya 100", "start_byte": 171, "limit_byte": 183}, {"text": "zaidi ya 100", "start_byte": 171, "limit_byte": 183}, {"text": "zaidi ya 100", "start_byte": 171, "limit_byte": 183}]} {"id": "-4781365779264179292-1", "language": "swahili", "document_title": "Wentworth Miller", "passage_text": "Miller alizaliwa Chipping Norton, Oxfordshire, Uingereza, ambapo baba yake alikuwa akiishi huku akisoma katika chuo cha Oxford. Familia yake baadae ilihamia Park Slope, Brooklyn, New York, kipindi ana mwaka mmoja. Ana madada wawili, Leigh na Gillian. Alipata elimu yake pale Midwood High School iliyopo Brooklyn, New York USA. Alihitimu masomo yake katika Chuo cha Princeton akiwa na shahada ya Fasihi ya Kiingereza.", "question_text": "Je,Wentworth Miller alisomea katika chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Princeton", "start_byte": 365, "limit_byte": 374}, {"text": "Princeton", "start_byte": 365, "limit_byte": 374}, {"text": "Princeton", "start_byte": 365, "limit_byte": 374}]} {"id": "4925501951101315498-0", "language": "swahili", "document_title": "Citizen TV", "passage_text": "Citizen TV ni kituo cha kurushia matangazo ya televisheni kutoka nchini Kenya. Kituo kinamilikiwa na kampuni ya Royal Media Services ya nchini Kenya.", "question_text": "Kituo cha redio cha Citizen nchini Kenya kinamilikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Royal Media Services ya nchini Kenya", "start_byte": 112, "limit_byte": 148}, {"text": "Royal Media Services", "start_byte": 112, "limit_byte": 132}]} {"id": "-5387275923111119935-1", "language": "swahili", "document_title": "Moshi (mji)", "passage_text": "Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, mji huu una wakazi wapatao 184,292 [1]. Kabila linaloongoza kwa idadi ya wakazi wa mji wa Moshi ni Wachagga wakifuatiwa na Wapare na makabila mengine yaliyohamia kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania kama Wasambaa, Warangi n.k. Wachagga wanapenda vyakula vinavyopikwa kwa kutumia ndizi kama vile mtori, kitawa, na machalari.", "question_text": "Mji wa Moshi una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "184,292", "start_byte": 62, "limit_byte": 69}, {"text": "184,292", "start_byte": 62, "limit_byte": 69}, {"text": "184,292", "start_byte": 62, "limit_byte": 69}]} {"id": "1554275489813111756-0", "language": "swahili", "document_title": "Halijoto", "passage_text": "250px|thumbnail|Kipimajoto (thermomita) inaonyesha kiwango cha halijoto ama joto au baridi\nHalijoto (pia: Jotoridi) ni neno la kutaja hali ya kitu kama ni baridi au moto. \nWanadamu wana mishipa inayoonyesha tofauti kati ya baridi na joto. Kwa kuwa na uhakika tunatumia thermomita inayoonyesha halijoto kwa kipimo kama selsiasi, kelvini au fahrenheit.", "question_text": "Halijoto ya mwili hupimwa kwa kifaa gani?", "answers": [{"text": "thermomita", "start_byte": 269, "limit_byte": 279}, {"text": "thermomita", "start_byte": 269, "limit_byte": 279}, {"text": "thermomita", "start_byte": 269, "limit_byte": 279}]} {"id": "720376295238874438-4", "language": "swahili", "document_title": "Willian", "passage_text": "\nMnamo tarehe 25 Agosti 2013, klabu ya Uingereza ya Ligi Kuu ya Chelsea ilikubali kusainiwa kwa Willian. Mpango huo ulifanyika rasmi tarehe 28 Agosti 2013 na Willian alijiunga kwa mkataba wa miaka mitano, akipokea shati namba 22 mgongoni.", "question_text": "Willian Borges da Silva alijiunga na klabu ya Chelsea mwaka gani?", "answers": [{"text": "2013", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "28 Agosti 2013", "start_byte": 140, "limit_byte": 154}, {"text": "2013", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "-9157462541203655942-0", "language": "swahili", "document_title": "Wangari Maathai", "passage_text": "Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.[1] Yeye ni mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo. Pia, aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na waziri msaidizi katika serikali ya Mwai Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005.", "question_text": "Wangari Muta Maathai alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1940", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}, {"text": "1940", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}, {"text": "1940", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "-7043313062667636267-6", "language": "swahili", "document_title": "Ruhollah Khomeini", "passage_text": "Khomeini alikaa mbali na taasisi kama serikali au bunge lakini aliongoza kupitia watu wengine na mara kwa mara kwa kuwahotubia wananchi. Aliishi katika nyumba ya binti yake mjini Qom na hakuondoka humo kila mtu alipaswa kumtembelea huko.", "question_text": "Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "binti", "start_byte": 162, "limit_byte": 167}, {"text": "binti", "start_byte": 162, "limit_byte": 167}]} {"id": "1617206950137735850-0", "language": "swahili", "document_title": "Doris Mollel", "passage_text": "Doris Mollel (alizaliwa jijini Dar es Salaam, 3 Desemba 1990) ni mwanzilishi na mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Foundation inayojihusisha na kusaidia watoto wanaozailiwa kabla ya wakati yaani njiti.", "question_text": "Je,Doris Mollel alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}, {"text": "1990", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}, {"text": "1990", "start_byte": 56, "limit_byte": 60}]} {"id": "-4067936662924354060-0", "language": "swahili", "document_title": "Ukristo nchi kwa nchi", "passage_text": "Ukristo ndio dini kubwa duniani mwanzoni mwa karne ya 21, ukikadiriwa kuwa na waumini bilioni 2.3 kati ya watu bilioni 7 duniani, ambao ni sawa na 1/3.[1][2][3][4][5]", "question_text": "Kuna idadi ngapi ya wakristo ulimwenguni?", "answers": [{"text": "bilioni 2.3", "start_byte": 86, "limit_byte": 97}, {"text": "bilioni 2.3", "start_byte": 86, "limit_byte": 97}, {"text": "bilioni 2.3", "start_byte": 86, "limit_byte": 97}]} {"id": "-4950010306655896571-1", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "Alizaliwa na bikira Maria kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, huko Bethlehemu ya Uyahudi. Maisha yake yalikuwa ya pekee kwa kuwa alifahamu vitu vingi kwa mfano: sheria hata kuwazidi walimu wa sheria japokuwa hakusomea sheria. Alifanya pia maajabu mengi. ", "question_text": "Yesu Kristo alizaliwa sehemu gani?", "answers": [{"text": "Bethlehemu", "start_byte": 60, "limit_byte": 70}, {"text": "Bethlehemu", "start_byte": 60, "limit_byte": 70}]} {"id": "7589507230059939843-0", "language": "swahili", "document_title": "Msitu wa Mau", "passage_text": "Msitu wa Mau ni misitu tata katika Bonde la Ufanchini Kenya. Ni msitu asili wa milimani ulio mkubwa zaidi katika Afrika Mashariki. Msitu tata wa Mau una eneo wa hektari 273300 [0]", "question_text": "Msitu wa Mau uko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}, {"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}, {"text": "hektari 273300", "start_byte": 162, "limit_byte": 176}]} {"id": "-8278676613741907239-0", "language": "swahili", "document_title": "Philip Emeagwali", "passage_text": "Philip Emeagwali (amezaliwa 23 Agosti 1954) ni mhandisi ,Igbo kutoka Nigeria na mwanasayansi wa kompyuta/ Mwanajiolojia ambaye alikuwa mmoja wa washindi wawili wa Tuzo la mwaka wa 1989 la Gordon Bell, zawadi kutoka IEEE, kwa matumizi yake ya kompyuta yenye nguvu zaidi - mashine ilitokuwa na visindukaji 65000 - iliyosaidia katika uchambuzi maeneo ya petroli .", "question_text": "Philip Emeagwali ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "23 Agosti 1954", "start_byte": 29, "limit_byte": 43}, {"text": "amezaliwa 23 Agosti 1954", "start_byte": 19, "limit_byte": 43}, {"text": "23 Agosti 1954", "start_byte": 29, "limit_byte": 43}]} {"id": "-4077168373054729664-0", "language": "swahili", "document_title": "Nabii Ezekieli", "passage_text": "Kati ya manabii muhimu zaidi wa Israeli katika Agano la Kale, mmojawapo ni Ezekieli, (kwa Kiebrania יְחֶזְקֵאל, Y'ḥez'qel) aliyefanya kazi miaka 592-570 hivi K.K., kadiri ya ushahidi wa kitabu chake.", "question_text": "Ezekieli alianza huduma ya unabii akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "592", "start_byte": 157, "limit_byte": 160}, {"text": "592", "start_byte": 157, "limit_byte": 160}, {"text": "592", "start_byte": 157, "limit_byte": 160}]} {"id": "3522314862092854278-0", "language": "swahili", "document_title": "Papai", "passage_text": "Papai ni tunda la mpapai (\"Carica papaya\"), mti wa familia Caricaceae. Unaasili ya Amerika ya Kusini na ya Kati na unakuzwa huko Meksiko, karne kadhaa kabala ya kuibuka kwa tamaduni mpya za huko Amerika.\nNi mti mrefu wenye shina la urefu wa mita 5 mpaka 10, wenye majani yaliojipanga yaliojizungusha na kujishikiza juu kwenye shina la miti, shina kwa upande wa chini huwa na makovu mengi kuonesha sehemu ambayo majani yalikuwa majani ya mpapai ni makubwa sm 50 – 70 kwa upana, maua yake ni madogo na hutokea sehemu yalipochomoza majani, hutengeneza tunda papai lenye urefu wa sm 15- 45, na upana wa sm10 – 30. Tunda huiva pale linapokuwa laini ( kama vile parachichi au zaidi) na ngozi yake inapokuwa na ngozi yake inapo karibia rangi ya chungwa ladha ya chungwa hukamilana na ile kati ya nanasi na peasi, ingawa huwa ya utulivu bila ya uchungu wowote.", "question_text": "Mpapai una urefu gani?", "answers": [{"text": "mita 5 mpaka 10", "start_byte": 241, "limit_byte": 256}, {"text": "mita 5 mpaka 10", "start_byte": 241, "limit_byte": 256}]} {"id": "-3706010165339521527-0", "language": "swahili", "document_title": "Yobes Ondieki", "passage_text": "Yobes Ondieki (mzaliwa 21 Februari 1961 katika katika wilaya ya Kisii, Nyanza) ni mwanariadha wa 5000m wa zamani wa Kenya aliyeshinda mashindano ya dunia mjini Tokyo 1991. Katika mwaka uo huo aliweka rekodi isiyokaa ya mita 5000 ya kenya ya dakika 13.02.82 huko mjini Zürich. Alishiriki katika fainali za Olimpiki za miaka ya 1988 na 1992 lakini hakushinda medali.", "question_text": "Je,Yobes Ondieki alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "21 Februari 1961", "start_byte": 24, "limit_byte": 40}, {"text": "1961", "start_byte": 36, "limit_byte": 40}, {"text": "21 Februari 1961", "start_byte": 24, "limit_byte": 40}]} {"id": "2438038038141073210-7", "language": "swahili", "document_title": "Kofi Annan", "passage_text": "Kofi Annan ameoa mara ya pili. Mke wake Nane Maria Annan anatoka Uswidi. Ana watoto watatu.", "question_text": "Kofi Annan ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "watatu", "start_byte": 84, "limit_byte": 90}, {"text": "watatu", "start_byte": 84, "limit_byte": 90}, {"text": "watatu", "start_byte": 84, "limit_byte": 90}]} {"id": "4052117689865901735-0", "language": "swahili", "document_title": "Liemba (meli)", "passage_text": "MV Liemba (MV kwa Kiing. motor vessel) ni meli ya Kitanzania inayohudumia pwani za Ziwa Tanganyika. Ni chombo cha usafiri kwa maji chenye umri mkubwa kipo tangu mwaka 1914. Meli inasukumwa na injini ya diseli na urefu wake ni mita 67, upana mita 10 na ukubwa unatajwa ama kuwa tani 1500 au 1200. Ina nafasi ya kubeba abiria hadi 600 pamoja na mzigo tani 200 kati ya mabandari ya Ziwa Tanganyika upande wa Tanzania na mabandari ya Mpulungu (Zambia), Kalemie (J.K. Kongo) na Bujumbura (Burundi).", "question_text": "Je,MV Liemba ina urefu wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 67", "start_byte": 226, "limit_byte": 233}, {"text": "mita 67", "start_byte": 226, "limit_byte": 233}, {"text": "mita 67", "start_byte": 226, "limit_byte": 233}]} {"id": "6297320469493084768-7", "language": "swahili", "document_title": "Moroko", "passage_text": "Mji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Moroko ni upi?", "answers": [{"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}, {"text": "Rabat", "start_byte": 12, "limit_byte": 17}]} {"id": "-7630693554784774821-0", "language": "swahili", "document_title": "Asbel Kiprop", "passage_text": "Asbel Kiprop (amezaliwa mnamo 30 Juni 1989 wilayani Uasin Gishu) ni mkimbiaji kutoka Kenya ambaye mtaalamu katika mbio za mita 1,500. Kiprop alishinda medali ya dhahabu katika Michezo ya Olimpiki ya mwaka wa 2008 katika mbio za mita 1500, baada ya Rashid Ramzi kupimwa na kupatikana kuwa alikuwa ametumia madawa ya kulevya. [", "question_text": "Je mwanariadha Asbel Kiprop alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Uasin Gishu", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}, {"text": "Uasin Gishu", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}, {"text": "Uasin Gishu", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}]} {"id": "6902793277667430499-1", "language": "swahili", "document_title": "Wade Williams", "passage_text": "Williams na dada zake watatu walizaliwa Georgia, na baadae wakahamia Tulsa, Oklahoma. Kama kijana, Williams alijihusisha sana na maigizo na muziki, akianzia kanisani lakini hakuipa kipaumbele sanaa ya uigizaji kama ndio msingi wa maisha yake. Baada ya kumaliza elimu ya juu, Williams alipanga kufanya maandalizi ya kujiunga na masomo ya uganga katika chuo cha Tulsa (Tulsa University). Mapenzi yake kwenye uigizaji na muziki kamwe hayakufifia na akabadilisha masomo. Williams alipata shahada katika sanaa ya maonesho na baadae akapata shahada ya pili katika sanaa ya uigizaji kutoka chuo cha Rutgers (Mason Gross School of the Arts) alipokuwa akisoma chini ya William Esper. Williams anaishi Texas akiwa na mkewe pamoja na binti yao. Kipindi akiwa chuo cha alikuwa nyota kwenye igizo Sweet Todd.", "question_text": "Wade Andrew William ana watoto wangapi?", "answers": [{"text": "binti", "start_byte": 723, "limit_byte": 728}, {"text": "binti", "start_byte": 723, "limit_byte": 728}]} {"id": "-5676404954392775020-3", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. \nTangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, Roman Abramovich.", "question_text": "Chelsea ina milikiwa na nani?", "answers": [{"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}]} {"id": "-1450008573246544016-0", "language": "swahili", "document_title": "Albania", "passage_text": "Jamhuri ya Albania ni nchi ya Ulaya Kusini Mashariki. Imepakana na Montenegro, Kosovo, Jamhuri ya Masedonia na Ugiriki. Upande wa magharibi kuna pwani ya ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea.", "question_text": "Nchi ya Albania iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 30, "limit_byte": 35}, {"text": "Ulaya", "start_byte": 30, "limit_byte": 35}]} {"id": "-3131806601505392813-2", "language": "swahili", "document_title": "Karl Peters", "passage_text": "Baada ya kumaliza shule ya sekondari, alisoma historia na falsafa kwenye vyuo vikuu vya Göttingen, Tübingen na Berlin. Akiwa chuoni alivutwa na mafundisho ya Udarwini wa Kijamii yanayotangaza kwamba ni haki na halali kama wenye nguvu duniani wanatawala na kukandamiza watu dhaifu. ", "question_text": "Karl Peters alisomea vyuo ngapi vikuu?", "answers": [{"text": "Göttingen, Tübingen na Berlin", "start_byte": 88, "limit_byte": 119}, {"text": "vyuo vikuu vya Göttingen, Tübingen na Berlin", "start_byte": 73, "limit_byte": 119}]} {"id": "7856127819245062256-0", "language": "swahili", "document_title": "Wangari Maathai", "passage_text": "Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.[1] Yeye ni mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo. Pia, aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na waziri msaidizi katika serikali ya Mwai Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005.", "question_text": "Wangari Muta Maathai alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 138, "limit_byte": 143}, {"text": "Kenya", "start_byte": 138, "limit_byte": 143}]} {"id": "3612035984237597670-0", "language": "swahili", "document_title": "Aloysius Gonzaga", "passage_text": "\nAloysius Gonzaga (9 Machi 1568 – 21 Juni 1591) alikuwa mtoto wa mfalme mdogo nchini Italia, lakini alikataa katakata kuurithi utawala akawa mtawa katika shirika la Wajesuiti. Alifariki bado kijana akihudumia wagonjwa wa tauni mjini Roma, akiacha kumbukumbu bora hasa ya usafi wa moyo na malipizi.", "question_text": "Aloysius Gonzaga alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1568", "start_byte": 27, "limit_byte": 31}, {"text": "1568", "start_byte": 27, "limit_byte": 31}, {"text": "1568", "start_byte": 27, "limit_byte": 31}]} {"id": "-5971002908209405080-3", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Aliuawa na wanajeshi wa Marekani tarehe 2 Mei 2011 nchini Pakistan alipokuwa amefichama.", "question_text": "Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden aliuawa na nani?", "answers": [{"text": "wanajeshi wa Marekani", "start_byte": 11, "limit_byte": 32}, {"text": "wanajeshi wa Marekani", "start_byte": 11, "limit_byte": 32}]} {"id": "3189452844302275181-0", "language": "swahili", "document_title": "Graviti", "passage_text": "\n\nGraviti (kutoka Kiingereza: \"gravity\"; pia: kani ya mvutano, kanimvutano, nguvu ya uvutano, nguvu mvutano) ni kani ya uvutano iliyopo kati ya magimba yote ya ulimwengu. Kila gimba lenye masi linavuta magimba yote mengine yenye masi.", "question_text": "Je,nini maana ya graviti?", "answers": [{"text": "kani ya uvutano iliyopo kati ya magimba yote ya ulimwengu", "start_byte": 112, "limit_byte": 169}, {"text": "kani ya uvutano iliyopo kati ya magimba yote ya ulimwengu", "start_byte": 112, "limit_byte": 169}, {"text": "kani ya uvutano iliyopo kati ya magimba yote ya ulimwengu", "start_byte": 112, "limit_byte": 169}]} {"id": "238578414305628373-0", "language": "swahili", "document_title": "Sally McLellan", "passage_text": "\nSally McLellan (aliyezaliwa 19 Septemba 1986 huko Sydney, Australia) ni mwanamichezo wa Australia ambaye ni mtaalamu katika mita 100 na mita 100 ya kuruka viunzi. McLellan ndiye anashikilia rekodi ya Australia kwa mita 100 ya kuruka vikwazo na yeye ndiye mwanariadha kasi wa pili wa Australia nzima katika mbio ya 100m. Wakati wa Olimpiki ya 2008, yeye alishinda medali ya fedha katika mbio ya 100m ya vikwazo kwa muda wa sekunde 12.64.", "question_text": "Je,Sally McLellan alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1986", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}, {"text": "1986", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}, {"text": "1986", "start_byte": 41, "limit_byte": 45}]} {"id": "3466577012234483014-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenya Power and Lighting Company", "passage_text": "Kenya Power and Lighting (KPLC) ni kampuni inayohusika na maambukizi ya umeme na usambazaji wa umeme nchini Kenya. KPLC ni kampuni ya kitaifa ya shirika la umeme inayosimamia upimaji wa mita ya umeme, toleo ya leseni, fakturering, huduma ya umeme wa dharura na mahusiano ya mteja.[1]. Makao makuu ya KPLC yako katika Electricity House, Harambee Avenue jijini Nairobi; inaendesha ofisi mingi kote nchini Kenya.", "question_text": "Kampuni isambazayo umeme nchini Kenya inaitwaje?", "answers": [{"text": "Kenya Power and Lighting", "start_byte": 0, "limit_byte": 24}, {"text": "Kenya Power and Lighting", "start_byte": 0, "limit_byte": 24}, {"text": "Kenya Power and Lighting", "start_byte": 0, "limit_byte": 24}]} {"id": "-3695802253176769316-0", "language": "swahili", "document_title": "Nash MC", "passage_text": "\n\"Mutalemwa Jason Mushungusi\" (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Nash MC; amezaliwa 1 Januari 1985) ni msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania. ", "question_text": "Je,jina la kisanii la Mutalemwa Jason Theobard Mushumbusi ni gani?", "answers": [{"text": "Nash MC", "start_byte": 74, "limit_byte": 81}, {"text": "Nash MC", "start_byte": 74, "limit_byte": 81}, {"text": "Nash MC", "start_byte": 74, "limit_byte": 81}]} {"id": "-6346890489392005084-9", "language": "swahili", "document_title": "Emily Ruete", "passage_text": "Baada ya kifo cha mume wake, Emily Ruete alishikilliwa kutokana na mipango ya kikoloni ilifanya na Otto von Bismarck. Kulikuwa na tetesi kuwa Birsmarck alitaka kumfanya wanaye wa kiume kuwa moja ya Sultani wa Zanzibar. Emily alirudi Zanzibar mwaka 1885 na 1886, kitabu chake cha kumbukumbu kiitwacho, Memoirs of an Arabian Princess kilichapishwa nchini Ujerumani. [3] Kati yam waka 1889 and 1914, aliishi Beirut, Lebanon na Jaffa. Alifariki katika mji wa Jena huko Ujerumani, akiwa na umri wa miaka 79 kwa ugonjwa wa Nimonia", "question_text": "Emily Ruete alifariki katika nchi gani?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 465, "limit_byte": 474}, {"text": "Ujerumani", "start_byte": 353, "limit_byte": 362}, {"text": "Ujerumani", "start_byte": 465, "limit_byte": 474}]} {"id": "2197952130418915306-0", "language": "swahili", "document_title": "Leleti Khumalo", "passage_text": "Leleti Khumalo (aliyezaliwa 1970 katika mji wa KwaMashu, kaskazini mwa Durban, Afrika Kusini) ni mwigizaji mwenye asili ya Zulu wa Afrika Kusini ambaye alicheza nafasi ya kuongoza katika filamu ya Sarafina ! sambamba na Whoopi Goldberg na aliyeigiza katika filamu za Hotel Rwanda na Yesterday .", "question_text": "Je,Leleti Khumalo alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1970", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}, {"text": "1970", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}, {"text": "1970", "start_byte": 29, "limit_byte": 33}]} {"id": "7974680903268596723-0", "language": "swahili", "document_title": "Remmy Ongala", "passage_text": "\nRemmy Ongala (10 Februari 1947 - 12 Desemba 2010) alikuwa mwanamuziki nchini Tanzania mwenye asili ya Zaire. Alizaliwa na jina la kiraia la Ramadhani Mtoro Ongala katika jimbo la Kivu la Kongo ya Kibelgiji. Remmy alifahamika sana kwa uwezo wake wa kutungia nyimbo akiwa jukwaani. Mbali na zile anazotunga akiwa na wenziwe, lakini akiwa katika kumbi huwa anazifanyia manjonjo zaidi ya yale aliyotungia. Alikuwa mbunifu na kipenzi cha watu. Licha ya kuingia katika dini mbalimbali mwisho akaishia kuwa Mlokole hadi kifo chake. ", "question_text": "Remmy Ongala alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2010", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "2010", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "2010", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "1304048955779340267-0", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji. ", "question_text": "Je,mji mkuu wa Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "5358342571141557039-3", "language": "swahili", "document_title": "Kipanya", "passage_text": "Uwezo wao wa kuzaaa huwaza pale wanapokuwa na siku 50, japo kipanya jike huweza kuanza kupata hedhi yao ya kwanza wakiwa na siku 25 hadi 40. Vipanya huzaliana mwaka mzima huku mayai yao yakiwepo muda wote. Siku za mzunguko wa mayai huwa ni 4 mpaka 5 na hedhi hudumu kwa masaaa 12 kuanzia jioni. Harufu za uke wao hutambua kusaidia hatua ya mzungoko wa uzazi alionao jike hivyo kujua muda sahihi wa kujamiiana. Vipanya hupandana usiku na hudhibitishwa/ huwezekana kwa kushikwa shahawa kwenye uke kwa saa 24 kwa ujumla. Uwepo kwa manii kwenye uke pia ni alama mojawapo ya kujamiiana.\nVipanya hubeba mimba kwa muda wa siku 20. Huzaa wampakampaka takribani 10 - 12 kwa uwezo wa kawaida wenye uzimpaka wa kilogramu 0.5- 1.5, walio na nywele huku masiiona. Macho yao yakiwa yamefunga wampakampaka huachishwa kunyonya baada ya majuma 3, na baada ya siku 2-5, jike hurudia mzunguko wake wa uzazi.", "question_text": "Je,panya hubeba mimba kwa muda wa miezi ngapi?", "answers": [{"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}]} {"id": "6066607310411924416-0", "language": "swahili", "document_title": "Hyderabad", "passage_text": "\n\nHyderabad (Telugu: హైదరాబాద్ ) ni jina la kutaja mji mkuu wa jimbo la Andhra Pradesh huko nchini India. Huu ni miongoni mwa miji mikuu nchini ikiwa na eneo la 650 square kilometres (250sqmi).[1] Jiji lina jumla ya wakazi wapatao 6,809,970 na wengineo zaidi ya 7,749,334 wanaoishi katika maeneo ya mji mkuu, na kuifanya Hyderabad kuwa mji wa nne duniani kwa wingi wa watu na mji wa sita kwa idadi ya wakazi wengi nchini India.[2]", "question_text": "Eneo la Hyderabad lina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "650 square kilometres", "start_byte": 179, "limit_byte": 200}, {"text": "650 square kilometres", "start_byte": 179, "limit_byte": 200}, {"text": "650", "start_byte": 179, "limit_byte": 182}]} {"id": "4281845253405461584-0", "language": "swahili", "document_title": "Katiba ya Kenya", "passage_text": "Katiba ya Kenya ndiyo sheria kuu kabisa ya Jamhuri ya Kenya. Katiba ya mwaka 2010 ilichukua nafasi ya katiba ya wakati wa uhuru ya mwaka 1963. ", "question_text": "Katiba ya Kenya iliandikwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "2010", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}, {"text": "2010", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}]} {"id": "4885025592010967455-0", "language": "swahili", "document_title": "Oliver N'Goma", "passage_text": "Oliver N'Goma (23 Machi 1959 – 7 Juni 2010) alikuwa mpiga gitaa na mwimbaji wa muziki wa Afro-zouk na reggae kutoka nchini Gabon. Alipewa jina la utani la \"Noli,\" alizaliwa mjini Mayumba huko mjini kusini-mwagharibi mwa nchi ya Gabon mnamo mwaka wa 1959. Alifahamika sana kwa kibao chake cha mwaka wa 1989 Bane, ambacho kilivumishwa sana na Radio Africa N.1 na Gilles Obringer.", "question_text": "Oliver N'Goma alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1959", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "1959", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "-3536340143077774103-3", "language": "swahili", "document_title": "Kipanya", "passage_text": "Uwezo wao wa kuzaaa huwaza pale wanapokuwa na siku 50, japo kipanya jike huweza kuanza kupata hedhi yao ya kwanza wakiwa na siku 25 hadi 40. Vipanya huzaliana mwaka mzima huku mayai yao yakiwepo muda wote. Siku za mzunguko wa mayai huwa ni 4 mpaka 5 na hedhi hudumu kwa masaaa 12 kuanzia jioni. Harufu za uke wao hutambua kusaidia hatua ya mzungoko wa uzazi alionao jike hivyo kujua muda sahihi wa kujamiiana. Vipanya hupandana usiku na hudhibitishwa/ huwezekana kwa kushikwa shahawa kwenye uke kwa saa 24 kwa ujumla. Uwepo kwa manii kwenye uke pia ni alama mojawapo ya kujamiiana.\nVipanya hubeba mimba kwa muda wa siku 20. Huzaa wampakampaka takribani 10 - 12 kwa uwezo wa kawaida wenye uzimpaka wa kilogramu 0.5- 1.5, walio na nywele huku masiiona. Macho yao yakiwa yamefunga wampakampaka huachishwa kunyonya baada ya majuma 3, na baada ya siku 2-5, jike hurudia mzunguko wake wa uzazi.", "question_text": "Panya hubeba mimba kwa miezi mingapi?", "answers": [{"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}, {"text": "siku 20", "start_byte": 615, "limit_byte": 622}]} {"id": "-4005794840161587657-1", "language": "swahili", "document_title": "Philip Emeagwali", "passage_text": "Emeagwali alizaliwa katika Akure, Nigeria tarehe 23 Agosti 1954.[1] Aliacha shule mwaka wa 1967 kwa sababu ya vita vya Nigeria vya Biafran. Wakati alipofikisha miaka kumi na nne, alitumbukizwa ndani ya jeshi laBiafra . Baada ya vita alimaliza masomo sawa na ya shule ya upilikwa kujifunza na alienda Marekani kusoma katika chuo kikuu chini ya udhamini. Kwa kweli, Emeagwali alisomea Uingereza baada ya kutoka Afrika. Aienda Marekani baadaye. Alipata shahada ya hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Oregon mwaka wa 1977. Alipata Shahada ya bwana katika uhandisi wa mazingira kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka wa 1981, na shahada nyingine ya bwana ya Hisabati kutoka Chuo Kikuu cha Maryland, College Park mwaka wa 1986. Yeye pia alipewa shahada ya uhandisi wa bahari, pwani na marina kutoka Chuo Kikuu cha George Washingt mwaka huo. Alikuwa pia anafanya kazi kama mhandisi katika Ofisi ya Ardhi katika Wyoming reclamation katika kipindi hiki.", "question_text": "Philip Emeagwali alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Akure", "start_byte": 27, "limit_byte": 32}, {"text": "Akure, Nigeria", "start_byte": 27, "limit_byte": 41}, {"text": "Akure, Nigeria", "start_byte": 27, "limit_byte": 41}]} {"id": "1164452780745394324-0", "language": "swahili", "document_title": "Albania", "passage_text": "Jamhuri ya Albania ni nchi ya Ulaya Kusini Mashariki. Imepakana na Montenegro, Kosovo, Jamhuri ya Masedonia na Ugiriki. Upande wa magharibi kuna pwani ya ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea.", "question_text": "Je,Albania iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 30, "limit_byte": 35}, {"text": "Ulaya", "start_byte": 30, "limit_byte": 35}]} {"id": "1424570105226771751-0", "language": "swahili", "document_title": "Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "\nChristopher R. Mwashinga, Jr (amezaliwa Januari 9, 1965) ni mchungaji, mwanateolojia, mwandishi wa vitabu na mshairi kutoka nchi ya Tanzania anayeishi nchini Marekani. Amechapisha vitabu vya mashairi, teolojia, utume na historia ya dini. Mashairi yake yamechapishwa Singapore [1], Tanzania [2], Kenya [3] na Marekani[4]. Anaandika vitabu kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili. ", "question_text": "Christopher Richard Mwashinga alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "-665098663917522070-0", "language": "swahili", "document_title": "Popo", "passage_text": "Popo ni mamalia kama panya mwenye mabawa. ", "question_text": "Popo ni mnyama au ndege?", "answers": [{"text": "mamalia kama panya mwenye mabawa", "start_byte": 8, "limit_byte": 40}, {"text": "mamalia", "start_byte": 8, "limit_byte": 15}, {"text": "mamalia", "start_byte": 8, "limit_byte": 15}]} {"id": "-5811946144681323054-4", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya St Andrews, Turi", "passage_text": "Shule ya msingi ilianzishwa mwaka wa 1931 na Bw na Bi Lavers, waliojulikana kama \"Ma na Pa Lavers\", ili kusome. Shule ya kwanza ilikuwa na watoto 15 lakini iliimarika na kuhudumu zaidi ya watoto 100 mnamo mwaka wa 1940 kutoka nchi za Kenya na Uganda. Mwaka wa 1944, shule yote ilichomeka na kuteketea baada ya moto ulioanza jikoni. Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilitoa ruhusa kwa wafungwa wa vita wa Kiitaliano kusaidia kujenga shule mpya kwa sababu gharama ya kujenga tena jumba upya ilikadiriwa kuwa ghali sana. Nembo ya shule huonyesha ndege wa moto anayefufuka kutoka kwa moto, na kila mara moja kwa mwaka moto huwashwa ili kupata kumbukumbu ya kipindi hiki katika historia ya shule. Shule hii ilimalizika kujengwa wakati wa miaka ya 1950 wakati Lavers walikuwa katika umri wao wa kati na majengo mapya yakamalizwa. Mwaka wa 1988 shule ya sekondari ilifunguliwa kwa watoto wa umri wa miaka 13-16.", "question_text": "Shule ya St. Andrews ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "5943308128281986188-0", "language": "swahili", "document_title": "James Watt", "passage_text": "\n\nJames Watt (19 Januari 1736 - 19 Agosti 1819) alikuwa mhandisi kutoka Uskoti. Amekuwa maarufu kwa kuboresha injini ya mvuke kufikia kiwango kilichowezesha matumizi ya mashine hii kwa viwanda. Kwa njia hiyo alikuwa katiy a watu waliweka msingi kwa mapinduzi ya viwanda wa karne ya 18 na karne ya 19.", "question_text": "Je,James Watt alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "19 Januari 1736", "start_byte": 14, "limit_byte": 29}, {"text": "19 Januari 1736", "start_byte": 14, "limit_byte": 29}, {"text": "19 Januari 1736", "start_byte": 14, "limit_byte": 29}]} {"id": "2979199374001790937-2", "language": "swahili", "document_title": "Vladimir Nabokov", "passage_text": "Baada ya Mapinduzi ya Urusi ya 1917 familia ilikimbia na kuhamia Ulaya ya Kati na Magharibi. Vladimir alianza kusoma sayansi na fasihi kwenye chuo kikuu cha Cambridge (Uingereza). 1922 baada ya kifo cha baba alijiunga na familia iliyokuwa na nyumba mpya huko Berlin (Ujerumani). Hapa Vladimir alifanya kazi kama mwalimu wa nyumbani akaendelea kuandika na kutoa riwaya zake za kwanza. 1925 alimwoa Mrusi mwenzake Vera Jevseyevna Slonim akaendelea kuandika. Riwaya 9 alitoa wakati alipoishi Ujerumani. ", "question_text": "Vladimir Nabokov alisoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Cambridge", "start_byte": 157, "limit_byte": 166}, {"text": "Cambridge", "start_byte": 157, "limit_byte": 166}, {"text": "chuo kikuu cha Cambridge", "start_byte": 142, "limit_byte": 166}]} {"id": "-3271673418522874511-0", "language": "swahili", "document_title": "Thiago Silva", "passage_text": "\nThiago Silva (alizaliwa 22 Septemba 1984) ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza kama mlinzi wa kati katika timu ya taifa ya Brazil.", "question_text": "Thiago Silva alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Brazil", "start_byte": 133, "limit_byte": 139}, {"text": "Brazil", "start_byte": 66, "limit_byte": 72}, {"text": "Brazil", "start_byte": 66, "limit_byte": 72}]} {"id": "8448981013613937713-2", "language": "swahili", "document_title": "Ingolstadt", "passage_text": "Kufunika eneo la miji ya 133.35 km2 (51.49 sq mi), Ingolstadt kijiografia Bavaria ya nne kwa ukubwa mji baada ya Munich, Nuremberg na Augsburg. Katika hatua yake ya mji mkubwa ni juu ya 18 km (11 mi) kutoka mashariki na magharibi na kutoka kaskazini na kusini juu ya 15 km (9 mi). mipaka ya mji ina urefu wa kilomita 70 (43 mi).\nmipaka ya mji ni karibu kilomita 14 (9 mi) mbali na kituo cha kijiografia wa Bavaria katika Kipfenberg. mji wa zamani ni takriban 374 mita juu ya usawa wa bahari na hatua ya juu, ziko katika wilaya ya Pettenhofen, ni 410.87 km (255.30 mi). kumweka chini ya ushabiki Schutter na Danube ni saa 362 m (1188 ft) juu ya usawa wa bahari. Ingolstadt anatumia za Ulaya ya Kati kama katika Ujerumani; wastani wa muda bakia ni 14 dakika.\nmji ni kupanua katika benki ya kaskazini na kusini ya Danube katika bakuli pana gorofa. Bonde Ingolstadt mipaka ya vilima Jura, iko kusini na ni kaskazini ya Donau-Isar-Hügelland. Katika kusini magharibi ni Donaumoos wakati katika mashariki misitu ya tambarare ya Danube kufikia katika maeneo ya mijini. Ni ya pili kwa ukubwa ngumu mafuriko ya Danube. Sandrach, aliyekuwa Southern kuu tawi la Danube, sehemu hutengeneza Kusini mwa mji wa mpakani. Katika kaskazini, Schutter unapita kutoka magharibi kufikia Danube karibu na Altstadt.", "question_text": "Ingolstadt ina ukubwa gani?", "answers": [{"text": "133.35 km2", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}, {"text": "133.35 km2", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}, {"text": "133.35 km2", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "1388946040687528795-0", "language": "swahili", "document_title": "Nimrod Elireheemah Mkono", "passage_text": "Nimrod Elireheemah Mkono (amezaliwa tar. 18 Agosti 1943)katika kijiji cha Busegwe ni mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini alianza ubunge mwaka 2000~2015 bado ni mbunge wa musoma vijijini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.nimrod mkono ni mwana maendeleo kwa sababu amejenga shule nyingi baadhi ya shule ni chief ihunyo iliyopo kijiji cha busegwe,shule ya msingi busegwe,chief wanzagi,chief oswald mang'ombe,shule ya sekondari Butuguri,shule ya sekondari kasoma na nyingine nyingi uchaguzi wa mwaka 2010 alipita bila kupingwa na pia ni wakili wa kimataifa wa kujitegemea pia nimrod mkono ni mzanaki kabila ambalo rais wa kwanza wa tanzania julius kambarage nyerere alikuwa na pia mheshimiwa mkono ametoa mchango mkubwa kufanikisha kupatikana kwa wilaya mpya ya butiama[1] Anatokea katika chama cha CCM.", "question_text": "Je,Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}, {"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}, {"text": "1943", "start_byte": 51, "limit_byte": 55}]} {"id": "-5100954066278349222-0", "language": "swahili", "document_title": "Rihanna", "passage_text": "Robyn Rihanna Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Rihanna. Alizaliwa mjini Saint Michael, Barbados, na kisha baadaye akaelekea zake nchini Marekani akiwa na umri wa miaka 16 ili kujiendeleza zaidi katika shughuli zake za kirekodi akiwa chini ya uongozi wa mtayarishaji wa rekodi Bw. Evan Rogers.", "question_text": "Mwanamziki Rihana alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1988", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1988", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1988", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-4095149840547189976-0", "language": "swahili", "document_title": "Monique Séka", "passage_text": "\nMonique Séka (amezaliwa 22 Novemba 1965; jina la utani la malkia wa muziki wa Afro-zouk) ni mwimbaji kutoka Ivory Coast. Kwa muziki mchanganyiko ambao anautengeneza, muziki wa Afro-zouk wa Monique Seka ni maarufu sana huko nchini kwake - Ivory Coast, Afrika, Caribbean na Bahari ya Hindi.[1][2]", "question_text": "Je,Monique Séka alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "22 Novemba 1965", "start_byte": 26, "limit_byte": 41}, {"text": "22 Novemba 1965", "start_byte": 26, "limit_byte": 41}, {"text": "22 Novemba 1965", "start_byte": 26, "limit_byte": 41}]} {"id": "4995549775105123298-2", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki", "passage_text": "Burundi (mji mkuu Bujumbura)\nDjibouti (mji mkuu Jibuti (mji))\nEritrea (mji mkuu Asmara)\nEthiopia (mji mkuu Addis Abeba)\nKenya (mji mkuu Nairobi)\n Komori (mji mkuu Moroni)\n Madagaska (mji mkuu Antananarivo)\nMalawi (mji mkuu Lilongwe)\n Morisi (mji mkuu Port Louis)\nMozambique (mji mkuu Maputo\nRwanda (mji mkuu Kigali)\nZambia (mji mkuu Lusaka)\n Shelisheli (mji mkuu Victoria)\nZimbabwe (mji mkuu Harare)\nSomalia (mji mkuu Mogadishu)\n Sudan Kusini (mji mkuu Juba)\nTanzania (mji mkuu Dodoma)\nUganda (mji mkuu Kampala)", "question_text": "Mji mkubwa Burundi ni upi?", "answers": [{"text": "Bujumbura", "start_byte": 18, "limit_byte": 27}, {"text": "Bujumbura", "start_byte": 18, "limit_byte": 27}, {"text": "Bujumbura", "start_byte": 18, "limit_byte": 27}]} {"id": "-675642989802687689-4", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Osama bin Laden alizaliwa katika familia tajiri ya Bin Laden wa Saudia. Baada ya masomo yake kwenye chuo kikuu yasiyojulikana kama amayamaliza alifanya kazi katika makampuni ya ujenzi ya familia yake.", "question_text": "Osama Bin Laden alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}]} {"id": "184607953751259718-3", "language": "swahili", "document_title": "Kitabu cha Esta", "passage_text": "Mwandishi wake hajulikani, lakini kufuatana na mapokeo ya Wayahudi, kitabu kiliandikwa takriban mwaka wa 400 KK, muda usio mrefu baada ya matukio kinayoyasimulia. Sababu za mwelekeo huo ni zifuatazo: Sherehe ya Purim ilikuwa husherehekewa kila mwaka wakati wa kuandikwa kwa kitabu, lakini Mfalme Ahasuero hutajwa kama mfalme aliyepita. Ukamilifu wa maelezo kuhusu mila na desturi za dola la Waajemi unadokeza kuwa kitabu kimeandikwa kabla dola hilo halijavamiwa na kuangamizwa na Iskanda Mkuu takriban mwaka wa 330 KK. ", "question_text": "Kitabu cha Esta kiliandikwa na nani?", "answers": [{"text": "Mwandishi wake hajulikani", "start_byte": 0, "limit_byte": 25}, {"text": "Mwandishi wake hajulikani", "start_byte": 0, "limit_byte": 25}, {"text": "Mwandishi wake hajulikani", "start_byte": 0, "limit_byte": 25}]} {"id": "924613090165223194-0", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "\nJamhuri ya Zimbabwe \nRepublic of Zimbabwe, Africa \n\n\n\n\n\n(Bendera ya Zimbabwe)(Nembo ya Zimbabwe)Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) \" | Wimbo wa TaifaLugha rasmiKiingereza na 15 nyingineMji MkuuHarareMji mkubwaHarareRaisEmmerson MnangagwaEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwakm² 390,757 \n 1%\nya 60 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Msongamano wa watu13,061,239 ya 66 duniani \n (2012) \n; 32/km² \n; ya dunianiChumo cha uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo)) \n$2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma)Uhuru\n- Kadirifu\n- Barabara(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965 \n(kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980FedhaDolar ya Marekani|Saa za EneoUTC +2Intaneti TLD.zwkodi za simu263", "question_text": "Je, Mji mkuu wa Zimbabwe ni upi?", "answers": [{"text": "Harare", "start_byte": 232, "limit_byte": 238}, {"text": "Harare", "start_byte": 232, "limit_byte": 238}]} {"id": "-921179825938052479-10", "language": "swahili", "document_title": "Augusto", "passage_text": "Mwaka 42 KK walifaulu kuwashinda wauaji wa Caesar waliokaa Ugiriki na baadaye waligawana eneo la dola kati yao: Octavianus alikuwa mkuu wa sehemu ya magharibi na Marcus Antonius mkuu wa sehemu za mashariki alipomwoa Kleopatra malkia wa Misri.\n\n", "question_text": "Malkia Kleopatra alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Misri", "start_byte": 236, "limit_byte": 241}, {"text": "Misri", "start_byte": 236, "limit_byte": 241}]} {"id": "-3352458022671839161-0", "language": "swahili", "document_title": "Eritrea", "passage_text": "ሃግሬ ኤርትራ\nHagärä Ertra\n\n\n\n\n\n(Bendera ya Eritrea)(Coat of Arms of Eritrea) Kaulimbiu ya Taifa: Nie nieWimbo wa TaifaErtra, Ertra, ErtraLugha za TaifaTigrinya, Kiarabu \nna KiingerezaMji MkuuAsmaraRaisIsaias AfwerkiEneo\n- Total \n- % MajiKadiriwa 101th \n 117,600 km² \n AchaIdadi ya Watu\n- Makadirio (2014)\n- Jumla (2002)\n- Chumo cha Umma kugawa na EneoKadiriwa 107th\n 6,380,803\n 4,298,269\n 51.8/km² (154th)GDP (PPP)\n- Jumla\n- Kwa Kila Raia (Per capita)\n2005 estimate\n 4,250 (155th) \n917 (177th)Uhuru\n- Kadirifu\n- BarabaraKutoka Ethiopia (Uhebeshi)\nMai 29, 1991\nMai 24, 1993FedhaNakfaSaa za EneoUTC +3Intaneti TLD.erKodi ya simu291", "question_text": "Je,mji mkuu wa Eritrea ni upi?", "answers": [{"text": "Asmara", "start_byte": 203, "limit_byte": 209}, {"text": "Asmara", "start_byte": 203, "limit_byte": 209}]} {"id": "8267825504442809565-2", "language": "swahili", "document_title": "Philip Emeagwali", "passage_text": "Emeagwali alipokea $ 1.000 [2] mwaka wa 1989 katika tuzo la Gordon Bell Nobel, kwa kuzingatia maombi ya CM-2 kompyuta ya kuhifadhi mafuta . Alishinda katika Kigezo cha \"bei / utendaji\" , kwa takwimu ya utendaji ya400 Mflops / $ 1m iliyokuwa sabamba na utendaji wa Gflops 3.1 . (kiingizi kilichoshinda katika kigezo cha \"utendaji kilele \" mwaka huo, pia kwa ajili ya usindikaji wa ujumbe ulio na uhusiano wa mafuta katika CM-2 - iliyofanikiwa na Gflops 6 , au 500 Mflops / $ 1m, lakini majaji waliamua kutopatiana tuzo zote mbili kwa timu moja .) [3] Huu mfumo ulikuwa programu ya kwanza kutumia mbinu ya pseudo-time katika mtindo wa kuhifadhi.[4]", "question_text": "Philip Emeagwali alishinda tuzo gani?", "answers": [{"text": "Gordon Bell Nobel", "start_byte": 60, "limit_byte": 77}, {"text": "Gordon Bell Nobel", "start_byte": 60, "limit_byte": 77}]} {"id": "9153695064776540112-0", "language": "swahili", "document_title": "Professor Jay", "passage_text": "\nJoseph Leonard Haule (amezaliwa tarehe 29 Desemba 1975) ni Mtanzania msanii wa muziki wa hip hop na vilevile mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi kwa miaka 2015 – 2020. [1]", "question_text": "Professa Jay ni mbunge wa eneo gani nchini Tanzania mwaka 2019?", "answers": [{"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}, {"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}, {"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}]} {"id": "-6894072777109801001-0", "language": "swahili", "document_title": "Remmy Ongala", "passage_text": "\nRemmy Ongala (10 Februari 1947 - 12 Desemba 2010) alikuwa mwanamuziki nchini Tanzania mwenye asili ya Zaire. Alizaliwa na jina la kiraia la Ramadhani Mtoro Ongala katika jimbo la Kivu la Kongo ya Kibelgiji. Remmy alifahamika sana kwa uwezo wake wa kutungia nyimbo akiwa jukwaani. Mbali na zile anazotunga akiwa na wenziwe, lakini akiwa katika kumbi huwa anazifanyia manjonjo zaidi ya yale aliyotungia. Alikuwa mbunifu na kipenzi cha watu. Licha ya kuingia katika dini mbalimbali mwisho akaishia kuwa Mlokole hadi kifo chake. ", "question_text": "Je,Remmy Ongala alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "10 Februari 1947", "start_byte": 15, "limit_byte": 31}, {"text": "10 Februari 1947", "start_byte": 15, "limit_byte": 31}, {"text": "10 Februari 1947", "start_byte": 15, "limit_byte": 31}]} {"id": "-2291823866478062945-1", "language": "swahili", "document_title": "Lady Jay Dee", "passage_text": "Judith Wambura alizaliwa na Martha na Lameck Isambua Mbibo ambao ndio wazazi wake. Alianza kuimba akiwa na umri wa miaka saba. Alianzia kuimba kanisani kama ilivyo kwa wasanii wengi. Baada ya kumaliza shule, Lady Jaydee aliwahi kufanya kazi Clouds FM kabla ya kuamua kujiingiza kwenye masuala ya muziki hapo mnamo miaka ya 2000.[2]", "question_text": "Je, Lady Jaydee alianza kuimba akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "saba", "start_byte": 121, "limit_byte": 125}, {"text": "2000", "start_byte": 323, "limit_byte": 327}]} {"id": "-4339283218765056591-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je, kampuni ya Microsoft ina miaka mingapi?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 86, "limit_byte": 90}, {"text": "ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975", "start_byte": 8, "limit_byte": 90}]} {"id": "1422153578110398972-3", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014. Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 20 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.", "question_text": "Nchi ya Côte d'Ivoire ina idadi gani ya watu?", "answers": [{"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}, {"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}, {"text": "23,919,000", "start_byte": 25, "limit_byte": 35}]} {"id": "1132623884461119264-0", "language": "swahili", "document_title": "Wangari Maathai", "passage_text": "Wangari Muta Maathai (1 Aprili 1940 – 25 Septemba 2011) alikuwa mwanaharakati wa masuala ya mazingira na haki za wanawake kutoka nchini Kenya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.[1] Yeye ni mwanamke Mwafrika wa kwanza kupokea tuzo hilo. Pia, aliwahi kuwa mbunge wa Kenya na waziri msaidizi katika serikali ya Mwai Kibaki kati ya Januari 2003 hadi Novemba 2005.", "question_text": "Je,Wangari Maathai alipata Tuzo la Nobeli mwaka upi?", "answers": [{"text": "2004", "start_byte": 154, "limit_byte": 158}, {"text": "2004", "start_byte": 154, "limit_byte": 158}, {"text": "2004", "start_byte": 154, "limit_byte": 158}]} {"id": "-8602245976023691164-0", "language": "swahili", "document_title": "Aliko Dangote", "passage_text": "Aliko Dangote (aliyezaliwa 10 Aprili 1957) ni mfanyabiashara nchini Nigeria. Yeye ni mmiliki wa Dangote Group, ambayo ina shughuli katika Nigeria na nchi nyingine kadhaa za Afrika Magharibi. Msaidizi tajiri wa Rais wa kitambo, Olusegun Obasanjo na chama tawala cha People's Democratic Party (PDP), Dangote huendesha biashara ya bidhaa ya Nigeria kupitia kampuni yake na kujuana na wanasiasa. Akiwa na wastani wa thamani wa karibu dola bilioni 2.5, alihesabiwa na Forbes kama mmoja wa watu wenye asili ya kiafrica tajiri kabisa, nyuma ya Mohammed Al Amoudi (bilioni $ 9,0 ) na Oprah Winfrey (bilioni $ 2,7).[1]", "question_text": "Aliko Dangote alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}, {"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}, {"text": "1957", "start_byte": 38, "limit_byte": 42}]} {"id": "-1988008993252279212-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika", "passage_text": "Tanganyika ilikuwa sehemu kubwa ya koloni ya Ujerumani hadi vita kuu ya kwanza ya Dunia. Baada ya 1916 ilivamiwa na Uingereza na Ubelgiji. Kuanzia 1922 Tanganyika ilikuwa eneo la kudhaminiwa kwa niaba ya Shirikisho la Mataifa lililokuwa chini ya Uingereza na nchi huru kati ya 1961 hadi 1964, mwaka wa kwanza kama ufalme, halafu kama jamhuri. ", "question_text": "Tanzania ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 278, "limit_byte": 282}, {"text": "1961", "start_byte": 278, "limit_byte": 282}]} {"id": "8372363136270935759-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "TANU ilianzishwa 7 Julai 1954 kutokana na Tanganyika African Association (TAA). TAA ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa. Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikuwa Julius Kambarage Nyerere.", "question_text": "Chama cha TANU kilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1954", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}, {"text": "1954", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}, {"text": "1954", "start_byte": 25, "limit_byte": 29}]} {"id": "5955700310764989852-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "TANU ilianzishwa 7 Julai 1954 kutokana na Tanganyika African Association (TAA). TAA ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa. Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikuwa Julius Kambarage Nyerere.", "question_text": "Chama cha TANU kilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 171, "limit_byte": 195}, {"text": "Tanganyika African Association", "start_byte": 42, "limit_byte": 72}, {"text": "Tanganyika African Association", "start_byte": 42, "limit_byte": 72}]} {"id": "2400245995177959987-1", "language": "swahili", "document_title": "Kitenzi", "passage_text": "Kitenzi ni istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika.", "question_text": "Je,kitenzi ni nini?", "answers": [{"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika", "start_byte": 11, "limit_byte": 122}, {"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika", "start_byte": 11, "limit_byte": 122}, {"text": "istilahi ya sarufi kwa maneno yanayotaja matendo kama vile kufanya, kwenda, kulala, kupiga, kuishi na kadhalika", "start_byte": 11, "limit_byte": 122}]} {"id": "-83365855904687118-0", "language": "swahili", "document_title": "Aliko Dangote", "passage_text": "Aliko Dangote (aliyezaliwa 10 Aprili 1957) ni mfanyabiashara nchini Nigeria. Yeye ni mmiliki wa Dangote Group, ambayo ina shughuli katika Nigeria na nchi nyingine kadhaa za Afrika Magharibi. Msaidizi tajiri wa Rais wa kitambo, Olusegun Obasanjo na chama tawala cha People's Democratic Party (PDP), Dangote huendesha biashara ya bidhaa ya Nigeria kupitia kampuni yake na kujuana na wanasiasa. Akiwa na wastani wa thamani wa karibu dola bilioni 2.5, alihesabiwa na Forbes kama mmoja wa watu wenye asili ya kiafrica tajiri kabisa, nyuma ya Mohammed Al Amoudi (bilioni $ 9,0 ) na Oprah Winfrey (bilioni $ 2,7).[1]", "question_text": "Oprah Winfrey ana utajiri kiasi gani?", "answers": [{"text": "bilioni $ 2,7", "start_byte": 592, "limit_byte": 605}, {"text": "bilioni $ 2,7", "start_byte": 592, "limit_byte": 605}, {"text": "(bilioni $ 2,7", "start_byte": 591, "limit_byte": 605}]} {"id": "-5956954672795573020-3", "language": "swahili", "document_title": "Mnara wa Eiffel", "passage_text": "Mnara huu ulijengwa kando ya mto Seine miaka 1887 hadi 1889 kama geti la Maonyesho ya Dunia ya mwaka 1889. ", "question_text": "Je, mnara wa Eiffel ulijengwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "miaka 1887 hadi 1889", "start_byte": 39, "limit_byte": 59}, {"text": "1887", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "-5006384685461195022-4", "language": "swahili", "document_title": "Leleti Khumalo", "passage_text": "Mwaka 1992, alishirikiana sambamba na Whoopi Goldberg, Miriam Makeba na Yohana kani katika filamu ya Darrell James Roodt ya Sarafina Ambayo ilikuwa filamu kubwa zaidi kutolewa Barani Afrika. Kwa mara nyingine, Khumalo aliteuliwa kwa tuzo la Image pamoja na Angela Bassett, Whoopi Goldberg na Janet Jackson.", "question_text": "Filamu ya Sarafina ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}, {"text": "1992", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "8567108266997859714-3", "language": "swahili", "document_title": "Saudia", "passage_text": "Jina la nchi limetoka kwa familia ya watawala, yaani familia ya aliyeianzisha, Chifu Ibn Saud wa Riyad. Yeye, baada ya kuondoka kwa jeshi la Waturuki Waosmani waliotawala Arabia kwa karne kadha, alishinda vita baina ya makabila ya Uarabuni ya kati akaweza kuvamia na kutawala maeneo ya Najd na Hejaz na mwaka 1932 alitangaza Ufalme wa Uarabuni wa Saudia", "question_text": "Je,nani alikuwa mfalme wa kwanza wa Saudi Arabia?", "answers": [{"text": "Chifu Ibn Saud wa Riyad", "start_byte": 79, "limit_byte": 102}, {"text": "Chifu Ibn Saud", "start_byte": 79, "limit_byte": 93}]} {"id": "551712556336675016-3", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika", "passage_text": "Tanganyika ilikuwa sehemu kubwa ya koloni ya Ujerumani hadi vita kuu ya kwanza ya Dunia. Baada ya 1916 ilivamiwa na Uingereza na Ubelgiji. Kuanzia 1922 Tanganyika ilikuwa eneo la kudhaminiwa kwa niaba ya Shirikisho la Mataifa lililokuwa chini ya Uingereza na nchi huru kati ya 1961 hadi 1964, mwaka wa kwanza kama ufalme, halafu kama jamhuri. ", "question_text": "Tanzania ilitawaliwa na nchi gani kipindi cha ukoloni?", "answers": [{"text": "Ujerumani", "start_byte": 45, "limit_byte": 54}, {"text": "Ujerumani", "start_byte": 45, "limit_byte": 54}]} {"id": "-5595745046114863029-0", "language": "swahili", "document_title": "Pepe Kallé", "passage_text": "\nPepe Kallé (30 Novemba 1951 - 28 Novemba 1998) alikuwa mwimbaji wa soukous, mwanamuziki na kiongozi wa bendi kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Pepe Kallé alipozaliwa alipewa jina Kabasele Yampanya katika mji mkuu wa Kinshasa (wakati huo mji huu ulikuwa unajulikana kama Léopoldville), lakini baadaye aliamua kulichukua jina la mshauri wake, Grand Pepe Kalle.", "question_text": "Pepe Kale alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1951", "start_byte": 26, "limit_byte": 30}, {"text": "1951", "start_byte": 26, "limit_byte": 30}, {"text": "1951", "start_byte": 26, "limit_byte": 30}]} {"id": "-3814815417699404355-0", "language": "swahili", "document_title": "Wentworth Miller", "passage_text": "\nWentworth Earl Miller III (amezaliwa tar. 2 Juni 1972) ni mwigizaji wa filamu wa Kimarekani-Kiingereza, aliyetunukiwa tuzo ya Golden Globe akiwa kama mwigizaji bora wa filamu na tamthiliya. Amejizolea umaarufu mkubwa baada ya kucheza kama Michael Scofield kutoka katika tamthilia ya Prison Break iliyokuwa inarushwa hewani na televisheni ya FOX Network.", "question_text": "Je,Wentworth Miller alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1972", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "1972", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}, {"text": "1972", "start_byte": 50, "limit_byte": 54}]} {"id": "-3176007066015616603-3", "language": "swahili", "document_title": "Mnara wa Eiffel", "passage_text": "Mnara huu ulijengwa kando ya mto Seine miaka 1887 hadi 1889 kama geti la Maonyesho ya Dunia ya mwaka 1889. ", "question_text": "Kwa nini Mnara wa Eiffel ulitengenezwa?", "answers": [{"text": "geti la Maonyesho ya Dunia", "start_byte": 65, "limit_byte": 91}, {"text": "geti la Maonyesho ya Dunia", "start_byte": 65, "limit_byte": 91}]} {"id": "588937372299619516-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Nchi ya Sudan ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}, {"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}, {"text": "1956", "start_byte": 31, "limit_byte": 35}]} {"id": "-7690544140706327423-4", "language": "swahili", "document_title": "Leleti Khumalo", "passage_text": "Mwaka 1992, alishirikiana sambamba na Whoopi Goldberg, Miriam Makeba na Yohana kani katika filamu ya Darrell James Roodt ya Sarafina Ambayo ilikuwa filamu kubwa zaidi kutolewa Barani Afrika. Kwa mara nyingine, Khumalo aliteuliwa kwa tuzo la Image pamoja na Angela Bassett, Whoopi Goldberg na Janet Jackson.", "question_text": "Filamu ya Sarafina ilizinduliwa lini kwa mara ya kwanza?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}, {"text": "1992", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}, {"text": "1992", "start_byte": 6, "limit_byte": 10}]} {"id": "-4573904270975890119-0", "language": "swahili", "document_title": "R. Kelly", "passage_text": "Robert Sylvester Kelly (amezaliwa tar. 8 Januari 1967) ni mwimbaji wa muziki wa R&B na soul-mtunzi wa nyimbo, rapa, na mtayarishaji wa rekodi kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama R. Kelly. Alianza kuingia katika kazi ya muziki kwa mara kwanza kunako mwaka wa 1992 akiwa na kundi la Public Announcement, halafu baadaye Kelly akaenda kuwa kama msanii wa kujitegemea mnamo 1993 na kuweza kupata mafanikio makubwa kabisa kwa kazi za kujitegemea baada ya kutoa albamu yake ya 12 Play.", "question_text": "Je, R.Kelly alianza kuimba mwaka gani?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 289, "limit_byte": 293}, {"text": "1992", "start_byte": 289, "limit_byte": 293}, {"text": "1992", "start_byte": 289, "limit_byte": 293}]} {"id": "-5007286611068455649-1", "language": "swahili", "document_title": "Inter-territorial Language (Swahili) committee", "passage_text": "Iliundwa mwaka 1930 kama kamati yenye shabaha ya kuunda na kuendeleza Kiswahili sanifu katika maeneo ya Afrika ya Mashariki yaliyokuwa chini ya ukoloni wa Uingereza yaani Kenya, Tanganyika, Zanzibar na Uganda. Kati ya maeneo haya Kenya ilikuwa koloni, Uganda na Zanzibar zilikuwa nchi lindwa na Tanganyika ilikuwa eneo la kukabidhiwa chini ya uangalizi wa Shirikisho la Mataifa. Hivyo Waingereza walizoea kuyataja kwa jumla kama \"East African dependencies\" au \"East African territories\" yaani maeneo ya Afrika ya Mashariki.", "question_text": "Inter-territorial Language ilianzishwa lini?", "answers": [{"text": "1930", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1930", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1930", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "-5812592033959456577-1", "language": "swahili", "document_title": "Moses Wetangula", "passage_text": "Wetangula alisoma katika Shule ya Msingi ya Nalondo, halafu akaenda katika Shule ya Upili ya Teremi na baadaye Shule ya Friends, Kamusinga kabla ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Nairobi, ambapo alifuzu kwa shahada ya Sheria (LLB).", "question_text": "Moses Wetangula alisoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "cha Nairobi", "start_byte": 171, "limit_byte": 182}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nairobi", "start_byte": 160, "limit_byte": 182}, {"text": "Chuo Kikuu cha Nairobi", "start_byte": 160, "limit_byte": 182}]} {"id": "4018071085216368227-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Bahari ya Mediteranea iko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}, {"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}, {"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}]} {"id": "-2135348196009096794-0", "language": "swahili", "document_title": "Musikari Kombo", "passage_text": "Musikari Nazi Kombo (alizaliwa mnamo 13 Machi 1944 katika wilaya ya Bungoma) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Kenya na sasa anahudumu kama Mbunge wa kuteuliwa. Alijiunga na Shule ya Msingi ya Misikhu kwa elimu yake ya msingi, kisha akajiunga na shule ya msingi ya Rakwaro, na hatimaye kuhamia Mumias ambapo yeye alimaliza elimu ya msingi. Kisha alijiunga Shule ya Upili ya Nyeri High School kwa elimu yake ya sekondari.", "question_text": "Je,Musikari Nazi Kombo alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1944", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1944", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "13 Machi 1944", "start_byte": 38, "limit_byte": 51}]} {"id": "2218678630931158358-1", "language": "swahili", "document_title": "Ruwaza ya Kenya 2030", "passage_text": "Kulitangazwa 10 Juni 2008, kwamba wilaya ya Isiolo, itakuwa ya kwanza ya mradi wa kewekezwa. Mpango unazimia kuufanya mji wa Isiolo kuimarika kama eneo la kitalii ambalo litajumuisha kasino, mahoteli, masoko rejareja, uwanja wa ndege wa kisasa na vifaa vya usafiri.[3]", "question_text": "Ruwaza ya Kenya 2030 ilitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}, {"text": "2008", "start_byte": 21, "limit_byte": 25}]} {"id": "4223583063171543281-0", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "\n\n\nHeroes ni kipindi cha Marekani kilichobuniwa na Tim Kring, kwenye stesheni ya NBC mnamo 25 Septemba 2006. Kipindi hiki kinaeleza jinsi wahusika wanajitambua kama wana vipawa mbalimbali na jinsi vipawa hivi vinavyoathiri maisha yao.", "question_text": "Je,Je,kipindi cha Heroes kilizinduliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "006", "start_byte": 104, "limit_byte": 107}, {"text": "006", "start_byte": 104, "limit_byte": 107}]} {"id": "-2216361371240974694-9", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tanga", "passage_text": "Mwaka 2012 wakazi waliohesabiwa katika sensa walikuwa 2,045,205[1].", "question_text": "Je,mkoa wa Tanga ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "-2985076993752522863-9", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tanga", "passage_text": "Mwaka 2012 wakazi waliohesabiwa katika sensa walikuwa 2,045,205[1].", "question_text": "Tanga ina idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "5029692742390839123-0", "language": "swahili", "document_title": "Daraja la Mfereji wa Suez", "passage_text": "\nDaraja la Suez pia huitwa Suez Canal Bridge, au Shohada 25 Januari Bridge au Egyptian-Japanese Friendship Bridge, ni daraja la barabara linalovuka Mfereji wa Suez (Suez Canal) katika eneo la El Qantara. Neno la kiarabu la \"al qantara\" linamaanisha \"daraja\".", "question_text": "Daraja la Suez ni daraja linalovuka wapi?", "answers": [{"text": "Mfereji wa Suez", "start_byte": 149, "limit_byte": 164}, {"text": "Mfereji wa Suez (Suez Canal) katika eneo la El Qantara", "start_byte": 149, "limit_byte": 203}]} {"id": "4451865938494148135-0", "language": "swahili", "document_title": "Shibiri", "passage_text": "Kwa mmea mwenye jina la karibu angalia hapa Mshubiri\n\nShibiri (pia: shubiri kutoka Kiarabu شبر, shibr) ni kipimo cha urefu wa takriban cm 20 - 25. ", "question_text": "Shubili ni nini?", "answers": [{"text": "kipimo cha urefu wa takriban cm 20 - 25", "start_byte": 109, "limit_byte": 148}, {"text": "kipimo cha urefu wa takriban cm 20 - 25", "start_byte": 109, "limit_byte": 148}]} {"id": "-5219667755271315976-2", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tabora", "passage_text": "Wenyeji wa Tabora ni hasa Wanyamwezi. Jumla ya wakazi ilikuwa watu 1,717,908 (2002). Walio wengi ni wakulima na wafugaji. \n\nKulikuwa na wilaya 6 (idadi ya wakazi kwa mabano): Tabora Mjini (188,808), Nzega (417,097), Igunga (325,547), Uyui (282,272), Urambo (370,796), Sikonge (133,388). Jina la Urambo humkumbuka Mtemi Mirambo aliyekuwa mtawala muhimu wa Wanyamwezi kabla ya kuingia kwa ukoloni.", "question_text": "Mkoa wa Tabora una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "1,717,908", "start_byte": 67, "limit_byte": 76}, {"text": "1,717,908", "start_byte": 67, "limit_byte": 76}, {"text": "1,717,908", "start_byte": 67, "limit_byte": 76}]} {"id": "8043902980006182807-0", "language": "swahili", "document_title": "Norwei", "passage_text": "Unowe (au Norwe au Norwei; kwa Kinorwei Norge/Noreg au rasmi huitwa Kongeriket Norge kwa Bokmål na Kongeriket Noreg kwa Nynorsk, Ufalme wa Unowe) ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini.", "question_text": "Je,nchi ya Norwei iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 177, "limit_byte": 182}, {"text": "Ulaya", "start_byte": 177, "limit_byte": 182}]} {"id": "9147587297869054480-1", "language": "swahili", "document_title": "Jeff Koinange", "passage_text": "Koinange alizaliwa nchini Kenya na alifanya kazi na kituo cha kwanza huru nchini Kenya: KTN (Kenya Television Network). Yeye alihudhuria Shule ya Kingsborough Community mjini Brooklyn, NY, kati ya 1987-1989 na kufuzu kwa kupata shahada. Yeye pia alipata shahada ya Sanaa katika utangazaji na uandishi wa habari kutoka Chuo Kikuu cha New York.", "question_text": "Jeff Koinange alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 26, "limit_byte": 31}, {"text": "Kenya", "start_byte": 26, "limit_byte": 31}, {"text": "Kenya", "start_byte": 26, "limit_byte": 31}]} {"id": "7045344325256804943-4", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Lugha zinazotumika kawaida ni 65, lakini lugha rasmi ni Kifaransa.", "question_text": "Je,lugha rasmi nchini Cote d'Ivoire ni gani?", "answers": [{"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}, {"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}, {"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}]} {"id": "8995209006046103733-4", "language": "swahili", "document_title": "Shule ya St Andrews, Turi", "passage_text": "Shule ya msingi ilianzishwa mwaka wa 1931 na Bw na Bi Lavers, waliojulikana kama \"Ma na Pa Lavers\", ili kusome. Shule ya kwanza ilikuwa na watoto 15 lakini iliimarika na kuhudumu zaidi ya watoto 100 mnamo mwaka wa 1940 kutoka nchi za Kenya na Uganda. Mwaka wa 1944, shule yote ilichomeka na kuteketea baada ya moto ulioanza jikoni. Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilitoa ruhusa kwa wafungwa wa vita wa Kiitaliano kusaidia kujenga shule mpya kwa sababu gharama ya kujenga tena jumba upya ilikadiriwa kuwa ghali sana. Nembo ya shule huonyesha ndege wa moto anayefufuka kutoka kwa moto, na kila mara moja kwa mwaka moto huwashwa ili kupata kumbukumbu ya kipindi hiki katika historia ya shule. Shule hii ilimalizika kujengwa wakati wa miaka ya 1950 wakati Lavers walikuwa katika umri wao wa kati na majengo mapya yakamalizwa. Mwaka wa 1988 shule ya sekondari ilifunguliwa kwa watoto wa umri wa miaka 13-16.", "question_text": "Shule ya St. Andrews \"Turi\" ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1931", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "3799912679103038613-0", "language": "swahili", "document_title": "Karl Peters", "passage_text": "\n\nKarl Peters au Carl Peters (27 Septemba 1856 – 10 Septemba 1918) alikuwa mpelelezi na mwanasiasa Mjerumani aliyeanzisha koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani.", "question_text": "Karl Peters aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1918", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}, {"text": "1918", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}, {"text": "– 10 Septemba 1918", "start_byte": 47, "limit_byte": 67}]} {"id": "3317797951188123312-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Kaunda", "passage_text": "Kaunda ni mtoto wa mwisho kutoka katika familia ya watoto wanane. Alizawa katika hospitali ya Misheni ya Lubwa katika kitongoji cha Chinsali, katika Mkoa wa Magharibi mwa Northern Rhodesia, sasa hivi Zambia.", "question_text": "Kenneth David Kaunda alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "kitongoji cha Chinsali, katika Mkoa wa Magharibi mwa Northern Rhodesia, sasa hivi Zambia", "start_byte": 118, "limit_byte": 206}, {"text": "Chinsali", "start_byte": 132, "limit_byte": 140}]} {"id": "8408449438531573143-1", "language": "swahili", "document_title": "Leo Africanus", "passage_text": "Alizaliwa mnamo mwaka 1490 kwa jina la الحسن بن محمد الوزان (Al-Hasan ibn Mohammed al-Wassan) katika mji wa Granada uliokuwa mji mkuu wa dola la mwisho wa Waislamu katika Hispania. Baada ya kutekwa kwa mji na Wahispania Wakristo 1492 familia yake ilihamia Fes (Moroko). Hapo kijana alisoma kwenye chuo kikuu cha Al-Qairawin. ", "question_text": "Leo Africanus alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1490", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}, {"text": "1490", "start_byte": 22, "limit_byte": 26}]} {"id": "-7363501048679299155-0", "language": "swahili", "document_title": "Hillary Rodham Clinton", "passage_text": "Hillary Rodham Clinton (jina la kuzaliwa ni: Hillary Diane Rodham 26 Oktoba 1947) ni seneta kutoka katika jimbo la New York, Marekani. Hilary vilevile ni mwanasheria.", "question_text": "Je,Hilary Clinton alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "26 Oktoba 1947", "start_byte": 66, "limit_byte": 80}, {"text": "26 Oktoba 1947", "start_byte": 66, "limit_byte": 80}, {"text": "26 Oktoba 1947", "start_byte": 66, "limit_byte": 80}]} {"id": "6756188197352119929-5", "language": "swahili", "document_title": "Mpira wa kikapu", "passage_text": "Mchezo huu ulianzishwa na mwalimu James Naismith kwenye chuo cha Springfield College huko Massachusetts mwaka 1891. Alibuni mchezo huo kwa ajili ya wanafunzi wake ili wapate mazoezi wakati wa kipupwe waliposhindwa kucheza nje. ", "question_text": "Mchezo wa mpira wa vikapu ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "Massachusetts", "start_byte": 90, "limit_byte": 103}, {"text": "Massachusetts", "start_byte": 90, "limit_byte": 103}, {"text": "chuo cha Springfield College huko Massachusetts", "start_byte": 56, "limit_byte": 103}]} {"id": "8226405388695875041-2", "language": "swahili", "document_title": "Mario Brega", "passage_text": "Brega alizaliwa mjini Rome, Italia. Mwanzoni alikuwa anafanya kazi machinjioni, kabla ya kujiingiza katika masuala ya uigizaji. Umbo lake kubwa lilimthibitishia kuwa yeye ana uwezo wa kucheza filamu sehemu za hatari.", "question_text": "Mario Brega alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Rome, Italia", "start_byte": 22, "limit_byte": 34}, {"text": "Rome, Italia", "start_byte": 22, "limit_byte": 34}]} {"id": "7194366346211110467-0", "language": "swahili", "document_title": "Reiko Aylesworth", "passage_text": "\nReiko Aylesworth (amezaliwa tar. 9 Desemba 1972 mjini Evanston, Illinois)[1][2] ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kazi zake za mfululizo wa televisheni maarufu kama 24. Katika 24, alicheza kama Michelle Dessler.", "question_text": "Je,Reiko Aylesworth alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "9 Desemba 1972", "start_byte": 34, "limit_byte": 48}, {"text": "9 Desemba 1972", "start_byte": 34, "limit_byte": 48}, {"text": "9 Desemba 1972", "start_byte": 34, "limit_byte": 48}]} {"id": "6769389879697678898-0", "language": "swahili", "document_title": "Sally McLellan", "passage_text": "\nSally McLellan (aliyezaliwa 19 Septemba 1986 huko Sydney, Australia) ni mwanamichezo wa Australia ambaye ni mtaalamu katika mita 100 na mita 100 ya kuruka viunzi. McLellan ndiye anashikilia rekodi ya Australia kwa mita 100 ya kuruka vikwazo na yeye ndiye mwanariadha kasi wa pili wa Australia nzima katika mbio ya 100m. Wakati wa Olimpiki ya 2008, yeye alishinda medali ya fedha katika mbio ya 100m ya vikwazo kwa muda wa sekunde 12.64.", "question_text": "Sally McLellan ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "19 Septemba 1986", "start_byte": 29, "limit_byte": 45}, {"text": "aliyezaliwa 19 Septemba 1986", "start_byte": 17, "limit_byte": 45}, {"text": "19 Septemba 1986", "start_byte": 29, "limit_byte": 45}]} {"id": "5652005496798989274-5", "language": "swahili", "document_title": "Darubini", "passage_text": "Darubini ya kwanza inayojulikana ilitengenezwa mwaka 1608 na Mholanzi Hans Lipperhey aliyekuwa fundi miwani akaunganisha lenzi mbili katika bomba. ", "question_text": "Je,chombo cha darubini kilizinduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}, {"text": "Hans Lipperhey", "start_byte": 70, "limit_byte": 84}]} {"id": "-1880127890771036612-3", "language": "swahili", "document_title": "Visa Inc.", "passage_text": "Mnamo Septemba 1958, benki ya Amerika ilianzisha kadi yake ya mikopo BankAmericard ikaweza kutoa kadi elfu sitini kwa wateja wake. Shughuli hii iliweza kufana na kutolewa nakala na Barclaycard, CarteBleue, Chargex na Sumitomo card. Mwaka 1976, makampuni hayo yote yalishirikiana na kuona heri wawe pamoja na kujiita Visa, huduma itakayoweza kuwafikia watu wa mabara yote. ", "question_text": "Je,Visa Inc ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1976", "start_byte": 238, "limit_byte": 242}, {"text": "1958", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}]} {"id": "8601195205337484190-0", "language": "swahili", "document_title": "Bahari ya Mediteranea", "passage_text": "\n\nBahari ya Mediteranea (pia: Bahari ya Kati) ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika, Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.", "question_text": "Ukubwa wa kijiographia wa bahari la Mediteranea ni kiasi gani?", "answers": [{"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}, {"text": "milioni 2,5km²", "start_byte": 156, "limit_byte": 171}, {"text": "2,5km²", "start_byte": 164, "limit_byte": 171}]} {"id": "3646786773186433693-0", "language": "swahili", "document_title": "Nash MC", "passage_text": "\n\"Mutalemwa Jason Mushungusi\" (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii kama Nash MC; amezaliwa 1 Januari 1985) ni msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania. ", "question_text": "Je,Mutalemwa Jason Theobard alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1 Januari 1985", "start_byte": 93, "limit_byte": 107}, {"text": "1 Januari 1985", "start_byte": 93, "limit_byte": 107}, {"text": "1 Januari 1985", "start_byte": 93, "limit_byte": 107}]} {"id": "-497256842376108511-1", "language": "swahili", "document_title": "Ijumaa Kuu", "passage_text": "Kufuatana na taarifa za Injili nne katika Biblia ya Kikristo, Yesu alisulubiwa siku kabla ya Sabato (au Jumamosi), yaani Ijumaa. Mahali pa kumsulubisha palikuwa kilima cha Golgotha kilichokuwepo wakati ule nje ya kuta za mji wa Yerusalemu.", "question_text": "Je, Yesu alisulubiwa katika mlima gani?", "answers": [{"text": "Golgotha", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}, {"text": "Golgotha", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}, {"text": "Golgotha", "start_byte": 172, "limit_byte": 180}]} {"id": "6319532958888051816-1", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki", "passage_text": "Kadiri ya Umoja wa Mataifa Afrika ya Mashariki ina nchi 18 zifuatazo:", "question_text": "Je,Afrika mashariki ina nchi ngapi?", "answers": [{"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}, {"text": "18", "start_byte": 56, "limit_byte": 58}]} {"id": "-2109002312215103519-2", "language": "swahili", "document_title": "Francis Coquelin", "passage_text": "Mnamo Julai 2008, Coquelin alijiunga na Arsenal kutoka Stade Lavallois kufuatia mafanikio katika majaribio yake na klabu. Ingawa alipata jeraha la paja lililosimamisha majaribio yake,alikuwa amewavutia wataalam wa Arsenal na akapewa mkataba na klabu. Coquelin alicheza kwa mara ya kwanza katika timu ya Arsenal alipocheza katika mechi ya kabla msimu dhidi ya Barnet na Szombathelyi Haladas na akacheza mechi yake ya kwanza kubwa kwa timu hiyo katika ushindi wao dhidi ya timu ya Sheffield United mnamo 23 Septemba 2008.Aliingia kama mchezaji mbadala kwa Fran Merida na kucheza kama difenda katika mechi hiyo waliyoshinda 6-0. Coquelin alifunga bao lake la kwanza kama mchezaji wa Arsenal katika mechi ya timu hifadhi dhidi ya Stoke City mnamo 6 Oktoba 2008 kwa mkwaju wa nguvu na mguu wake wa kushoto.", "question_text": "Francis Coquelin alijiunga na klabu ya Arsenal mwaka gani?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2008", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2008", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-5646007667635040435-2", "language": "swahili", "document_title": "Daraja la Mfereji wa Suez", "passage_text": "Serikali ya Japan ilitoa kiasi cha asilimia 60 ya gharama za ujenzi hii ikiwa ni kiasi cha Yen bilioni 13.5, hii ilikubaliwa wakati Raisi Mubarak alipoitembelea Japan mwezi Machi mwaka 1995, kama sehemu ya kuendeleza mkono nchi wa Sinai. Misri nayo ilichangia kiasi cha asilimia 40 yaani Yen bilioni 9, zilizobaki. Na daraja likafunguliwa mwezi Oktoba mwaka 2001.", "question_text": "Je.daraja la Suez Canal ilizinduliwa mwezi upi?", "answers": [{"text": "Oktoba", "start_byte": 348, "limit_byte": 354}, {"text": "Oktoba", "start_byte": 348, "limit_byte": 354}, {"text": "Oktoba", "start_byte": 348, "limit_byte": 354}]} {"id": "644456573880480670-9", "language": "swahili", "document_title": "Utalii nchini Kenya", "passage_text": "Hifadhi ya Taifa ya Amboseli, ambayo zamani ilikuwa inaitwa hifadhi ya wanyama ya Maasai Amboseli, iko katika Wilaya ya Kajiado, Mkoa wa Bonde la Ufa, nchini Kenya. Mbuga hii ina ukubwa wa eneo wa kilomita 390 katika msingi wa eneo la kilomita 8,000 na inaenea mpakani mwa Kenya na Tanzania. ", "question_text": "Je,Hifadhi ya Taifa ya Amboseli ina ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "kilomita 390", "start_byte": 197, "limit_byte": 209}, {"text": "kilomita 390", "start_byte": 197, "limit_byte": 209}, {"text": "kilomita 390", "start_byte": 197, "limit_byte": 209}]} {"id": "-1054740328493394260-0", "language": "swahili", "document_title": "Asbel Kiprop", "passage_text": "Asbel Kiprop (amezaliwa mnamo 30 Juni 1989 wilayani Uasin Gishu) ni mkimbiaji kutoka Kenya ambaye mtaalamu katika mbio za mita 1,500. Kiprop alishinda medali ya dhahabu katika Michezo ya Olimpiki ya mwaka wa 2008 katika mbio za mita 1500, baada ya Rashid Ramzi kupimwa na kupatikana kuwa alikuwa ametumia madawa ya kulevya. [", "question_text": "Asbel Kiprop alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "wilayani Uasin Gishu", "start_byte": 44, "limit_byte": 64}, {"text": "Uasin Gishu", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}, {"text": "Uasin Gishu", "start_byte": 53, "limit_byte": 64}]} {"id": "6471829374937745742-0", "language": "swahili", "document_title": "Kenneth Kaunda", "passage_text": "\nKenneth David Kaunda, anafahamika zaidi kama KK (amezaliwa tar. 28 Aprili 1924) alikuwa Rais wa wa kwanza kwa nchi ya Zambia. Alitumikia taifa hilo kuanzia mnamo mwaka wa 1964 hadi 1991.", "question_text": "Kenneth David Kaunda alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1924", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}, {"text": "1924", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}, {"text": "1924", "start_byte": 75, "limit_byte": 79}]} {"id": "8364124171185087432-0", "language": "swahili", "document_title": "Popo", "passage_text": "Popo ni mamalia kama panya mwenye mabawa. ", "question_text": "Je,popo ni ndege ama mnyama?", "answers": [{"text": "mamalia kama panya mwenye mabawa", "start_byte": 8, "limit_byte": 40}, {"text": "mamalia", "start_byte": 8, "limit_byte": 15}, {"text": "mamalia", "start_byte": 8, "limit_byte": 15}]} {"id": "-3896324913810967097-2", "language": "swahili", "document_title": "Namibia", "passage_text": "Imepata uhuru wake kutoka Afrika Kusini mwaka 1990. ", "question_text": "Nchi ya Namibia ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1990", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}, {"text": "1990", "start_byte": 46, "limit_byte": 50}]} {"id": "3243103286344035582-7", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Lindi", "passage_text": "Mwaka 2002 idadi ya wakazi ilikuwa 791,306. Karibu asilimia 90 kati hao ni wakulima. ", "question_text": "Mkoa wa Lindi uko na wakazi wangapi?", "answers": [{"text": "791,306", "start_byte": 35, "limit_byte": 42}, {"text": "791,306", "start_byte": 35, "limit_byte": 42}, {"text": "791,306", "start_byte": 35, "limit_byte": 42}]} {"id": "8539092417307647441-0", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "\n\n\n\nYesu (kwa Kiebrania יֵשׁוּעַ, Yeshua, kifupisho cha יהושע‎, Yeoshua, yaani \"Mungu anaokoa\") alikuwa Myahudi mwanamume aliyeishi miaka 2000 hivi iliyopita (labda 6 KK - 30 BK). ", "question_text": "Yesu Kristo alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "labda 6 KK", "start_byte": 174, "limit_byte": 184}, {"text": "6 KK", "start_byte": 180, "limit_byte": 184}, {"text": "labda 6 KK - 30 BK", "start_byte": 174, "limit_byte": 192}]} {"id": "2276149262201549533-0", "language": "swahili", "document_title": "Konfusio", "passage_text": "\nKonfusio (pia:Confucius kutoka Kichina: Kǒngzǐ (孔子) au Kǒng Fūzǐ (孔夫子) -- Mwalimu Kong) (551 KK - 479 KK) alikuwa mwalimu na mwanafalsafa muhimu kabisa wa kale huko Uchina. ", "question_text": "Konfusio alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "551 KK", "start_byte": 105, "limit_byte": 111}, {"text": "551 KK", "start_byte": 105, "limit_byte": 111}]} {"id": "7921468521345308147-1", "language": "swahili", "document_title": "Medard Matogolo Kalemani", "passage_text": "Medard M. Kalemani alianza masomo ya msingi katika Shule ya Msingi Nyambogo mnamo mwaka 1978 na kumaliza darasa la saba mwaka 1984, mwaka 1985 alifanikiwa kujiunga na shule ya sekondari ya Kashororo mpaka mwaka 1988 ambapo alifanikiwa kuendelea na masomo ya juu ya Sekondari kuanzia mwaka 1989 hadi 1991 katika Shule ya Sekondari ya Milambo. Kuanzia mwaka 1993 hadi mwaka 1996 alifanikiwa kupata Shahada ya Awali ya Sheria (LLB) katika Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Mwaka 2000 hadi 2002 alijinyakulia cheti cha Shahada ya Uzamili (LLM) kwenye sekta ya Madini na Nishati kutoka Chuo Kikuu cha Dundee, Medard M. Kalemani hakuishia hapo kwani mnamo mwaka 2002 hadi 2006 alisoma tena katika Chuo Kikuu cha Bedford, UK na kutunukiwa Shahada ya Uzamivu (Phd) na kwakuzingatia elimu yake hiyo kwa sasa anaitumikia kama Waziri wa Nishati kwa dhamana aliyopewa na Rais Wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.", "question_text": "Medard Matogolo Kalemani alisomea shule gani ya msingi?", "answers": [{"text": "Nyambogo", "start_byte": 68, "limit_byte": 76}, {"text": "Nyambogo", "start_byte": 68, "limit_byte": 76}, {"text": "Nyambogo", "start_byte": 68, "limit_byte": 76}]} {"id": "-8612028217514468503-0", "language": "swahili", "document_title": "Kieran Trippier", "passage_text": "\nKieran Trippier (alizaliwa tarehe 19 Septemba mwaka 1990) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anachezea klabu ya Ligi kuu ya Uingereza iitwayo Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Uingereza.", "question_text": "Je,Kieran Trippier alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}, {"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}, {"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "4579106273575644145-3", "language": "swahili", "document_title": "Mnara wa Eiffel", "passage_text": "Mnara huu ulijengwa kando ya mto Seine miaka 1887 hadi 1889 kama geti la Maonyesho ya Dunia ya mwaka 1889. ", "question_text": "Mnara wa Eiffel ulitengenezwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1887 hadi 1889", "start_byte": 45, "limit_byte": 59}, {"text": "1887 hadi 1889", "start_byte": 45, "limit_byte": 59}, {"text": "1887", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "9046127136050925937-3", "language": "swahili", "document_title": "Mwamvita Makamba", "passage_text": "Baadae aliweza kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo alisomea shahada ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na baadae masters katika Siasa na Mahusihanoya Kimataifa.\n[2]", "question_text": "Je, Mwamvita Makamba alisoma chuo gani kikuu?", "answers": [{"text": "Dar es Salaam", "start_byte": 42, "limit_byte": 55}, {"text": "Chuo Kikuu cha Dar es Salaam", "start_byte": 27, "limit_byte": 55}]} {"id": "1437030624951854715-0", "language": "swahili", "document_title": "Sibusiso Zuma", "passage_text": "Sibusiso Wiseman Zuma (amezaliwa 23 Juni 1975 katika mji wa Durban, KwaZulu-Natal) ni mwanakandanda mtaalamu wa Afrika Kusini anayeichezea klabu ya kandanda ya Kideni Superliga inayoitwa FC Nordsjælland.", "question_text": "Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1975", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "2143799998788250880-4", "language": "swahili", "document_title": "Willian", "passage_text": "\nMnamo tarehe 25 Agosti 2013, klabu ya Uingereza ya Ligi Kuu ya Chelsea ilikubali kusainiwa kwa Willian. Mpango huo ulifanyika rasmi tarehe 28 Agosti 2013 na Willian alijiunga kwa mkataba wa miaka mitano, akipokea shati namba 22 mgongoni.", "question_text": "Je,Willian Borges da Silva alijiunga na klabu ya Chelsea mwaka upi?", "answers": [{"text": "2013", "start_byte": 150, "limit_byte": 154}, {"text": "2013", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}, {"text": "2013", "start_byte": 24, "limit_byte": 28}]} {"id": "546985894131234126-1", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tabora", "passage_text": "Eneo la mkoa ni km2 76,151; mnamo km2 34,698 (46%) ni hifadhi ya misitu, km2 17,122 (22%) ni hifadhi ya wanyama. ", "question_text": "Mkoa wa Tabora una ukubwa kiasi gani?", "answers": [{"text": "km2 76,151", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}, {"text": "km2 76,151", "start_byte": 16, "limit_byte": 26}, {"text": "2 76,15", "start_byte": 18, "limit_byte": 25}]} {"id": "3423060451066325972-4", "language": "swahili", "document_title": "Osama bin Laden", "passage_text": "Osama bin Laden alizaliwa katika familia tajiri ya Bin Laden wa Saudia. Baada ya masomo yake kwenye chuo kikuu yasiyojulikana kama amayamaliza alifanya kazi katika makampuni ya ujenzi ya familia yake.", "question_text": "Osama bin Mohammed bin Awad bin Laden alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}, {"text": "Saudia", "start_byte": 64, "limit_byte": 70}]} {"id": "3443304928322378254-0", "language": "swahili", "document_title": "Saul Niguez", "passage_text": "Saul Niguez(anajulikana tu kama Saúl; alizaliwa 21 Novemba 1994) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza kwa Atlético Madrid kama kiungo wa kati au kijivu.", "question_text": "Je,Saul Niguez alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1994", "start_byte": 60, "limit_byte": 64}, {"text": "1994", "start_byte": 60, "limit_byte": 64}, {"text": "21 Novemba 1994", "start_byte": 49, "limit_byte": 64}]} {"id": "1934082085201663766-0", "language": "swahili", "document_title": "Shambulio la 11 Septemba 2001", "passage_text": "Shambulio la 11 Septemba 2001 ni tarehe na mwaka uliotokea mashambulio manne ya pamoja yaliyofanywa na kikosi cha Kigaidi cha al-Qaida dhidi ya Marekani. Kwa mujibu wa taarifa za maofisa, yasemekana kwamba kikosi cha Al-Qaida waliziteka nyala ndege nne wakazitumia kama silaha wakigongesha ndege katika majengo mjini New York na Washington DC kwa makusudi. Karibuni watu 3,000 walipoteza maisha katika shambulio hilo.", "question_text": "Je,watu wangapi walipoteza maisha yao katika Shambulio la 11 Septemba 2001?", "answers": [{"text": "Karibuni watu 3,000", "start_byte": 357, "limit_byte": 376}, {"text": "3,000", "start_byte": 371, "limit_byte": 376}, {"text": "3,000", "start_byte": 371, "limit_byte": 376}]} {"id": "-4616317850296671743-0", "language": "swahili", "document_title": "Umoja wa Afrika", "passage_text": "\n\nUmoja wa Afrika (UA) (kwa Kiingereza: African Union (AU); Kifaransa: Union Africaine (UA); Kihispania: Unión Africana (UA) ; Kireno: União Africana (UA) ) [1] ni muungano wa nchi 55 za Afrika ulioanzishwa mnamo Julai 2002. ", "question_text": "Umoja wa Afrika ulianzishwa lini?", "answers": [{"text": "Julai 2002", "start_byte": 215, "limit_byte": 225}, {"text": "Julai 2002", "start_byte": 215, "limit_byte": 225}, {"text": "Julai 2002", "start_byte": 215, "limit_byte": 225}]} {"id": "3823257668605252186-0", "language": "swahili", "document_title": "Guillermo Ochoa", "passage_text": "Francisco Guillermo Ochoa Magaña (anajulikana kama Memo; alizaliwa 13 Julai 1985) ni mchezaji wa soka wa Mexiko ambaye anacheza katika klabu ya Ubelgiji Standard Liège na timu ya taifa ya Mexiko.", "question_text": "Francisco Guillermo Ochoa Magaña alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}, {"text": "1985", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}, {"text": "1985", "start_byte": 77, "limit_byte": 81}]} {"id": "-7533271966412537358-4", "language": "swahili", "document_title": "Indonesia", "passage_text": "Indonesia ni nchi ya visiwa 18,000 ilhali zaidi ya 6,000 kati ya hivyo vinakaliwa na watu.", "question_text": "Je, Indonesia ina visiwa vingapi?", "answers": [{"text": "18,000", "start_byte": 28, "limit_byte": 34}, {"text": "18,000", "start_byte": 28, "limit_byte": 34}, {"text": "18,000", "start_byte": 28, "limit_byte": 34}]} {"id": "1837995702118225742-15", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma kuna makao makuu ya Kanisa la Biblia Publishers pamoja na Emmaus Shule ya Biblia.", "question_text": "Emmaus Shule ya Biblia iko sehemu gani?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-8920199487911838673-0", "language": "swahili", "document_title": "Master Jay", "passage_text": "Joachim Kimario (Master Jay) ni muandaaji wa muziki nchini Tanzania Master Jay alizaliwa Tar. 8 Agosti mwaka 1973 akiwa mtoto pili katika familia ya marehemu Mzee Sylvan Kimario na mama yake Scholastica Kimario ambaye kwa sasa ni afisa wa UNDP nchini Lesotho ambapo dada yake Catherine Kimario yeye anaishi nchini Kossovo akiwa kama mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini humo.\nMaster ambaye pia amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2007. Master Jay ana uwezo mkubwa sana wa utengenezaji wa muziki. Anamiliki studio tatu tofauti, moja ya muziki wa Kwaya, moja ya Bongo Flava na nyingine ya muziki wa Dansi.", "question_text": "Joachim Kimario ana tuzo ngapi za muziki?", "answers": [{"text": "mbili", "start_byte": 447, "limit_byte": 452}, {"text": "mbili", "start_byte": 447, "limit_byte": 452}]} {"id": "8697064392843791575-0", "language": "swahili", "document_title": "Vasco da Gama", "passage_text": "\nVasco da Gama (1460 au 1469- 24 Desemba 1524) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka Ureno. ", "question_text": "Vasco Da Gama alikuwa nani?", "answers": [{"text": "baharia na mpelelezi kutoka Ureno", "start_byte": 55, "limit_byte": 88}, {"text": "baharia na mpelelezi kutoka Ureno", "start_byte": 55, "limit_byte": 88}]} {"id": "4141779435061573138-0", "language": "swahili", "document_title": "Nimrod Elireheemah Mkono", "passage_text": "Nimrod Elireheemah Mkono (amezaliwa tar. 18 Agosti 1943)katika kijiji cha Busegwe ni mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini alianza ubunge mwaka 2000~2015 bado ni mbunge wa musoma vijijini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.nimrod mkono ni mwana maendeleo kwa sababu amejenga shule nyingi baadhi ya shule ni chief ihunyo iliyopo kijiji cha busegwe,shule ya msingi busegwe,chief wanzagi,chief oswald mang'ombe,shule ya sekondari Butuguri,shule ya sekondari kasoma na nyingine nyingi uchaguzi wa mwaka 2010 alipita bila kupingwa na pia ni wakili wa kimataifa wa kujitegemea pia nimrod mkono ni mzanaki kabila ambalo rais wa kwanza wa tanzania julius kambarage nyerere alikuwa na pia mheshimiwa mkono ametoa mchango mkubwa kufanikisha kupatikana kwa wilaya mpya ya butiama[1] Anatokea katika chama cha CCM.", "question_text": "Nimrod Elireheemah Mkono alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Busegwe", "start_byte": 74, "limit_byte": 81}, {"text": "Busegwe", "start_byte": 74, "limit_byte": 81}]} {"id": "-6929241831816430941-0", "language": "swahili", "document_title": "Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa", "passage_text": "Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa (ing. International Phonetic Alphabet, kifupi IPA) ni mfumo wa alfabeti inayolenga kuonyesha sauti za lugha zote duniani. Imetungwa na wataalamu wa isimu wanaoshirikiana katika Shirika ya Kimataifa ya Fonetiki (International Phonetic Association). Inatumiwa na watunga kamusi, walimu na wanafunzi wa lugha za kigeni, wanaisimu na wafasiri kote duniani. Kwa hiyo tunakuta alama zake katika kamusi na mara yningi pia kwenye makala za wikipedia.", "question_text": "Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa ni nini?", "answers": [{"text": "mfumo wa alfabeti inayolenga kuonyesha sauti za lugha zote duniani", "start_byte": 90, "limit_byte": 156}, {"text": "mfumo wa alfabeti inayolenga kuonyesha sauti za lugha zote duniani", "start_byte": 90, "limit_byte": 156}, {"text": "mfumo wa alfabeti inayolenga kuonyesha sauti za lugha zote duniani", "start_byte": 90, "limit_byte": 156}]} {"id": "-6236881744898755434-0", "language": "swahili", "document_title": "Isimujamii", "passage_text": "Isimujamii (pia isimu jamii; ing. sociolinguistics) ni tawi la isimu ambalo huchunguza uhusiano kati ya lugha na jamii.", "question_text": "Je, Isimu Jamii ni nini?", "answers": [{"text": "tawi la isimu ambalo huchunguza uhusiano kati ya lugha na jamii", "start_byte": 55, "limit_byte": 118}, {"text": "tawi la isimu ambalo huchunguza uhusiano kati ya lugha na jamii", "start_byte": 55, "limit_byte": 118}, {"text": "tawi la isimu ambalo huchunguza uhusiano kati ya lugha na jamii", "start_byte": 55, "limit_byte": 118}]} {"id": "-6002294480649496429-1", "language": "swahili", "document_title": "Sally McLellan", "passage_text": "Sally alizaliwa mjini Sydney na wakahamia Gold Coast alipokuwa umri wa miaka 8. Ilikuwa pale, wakati yeye bado alikuwa katika shule ya msingi,ndipo kipaji chake cha riadha ikaonekana na Sharon Hannan ,ambaye ni kocha wake hadi sasa. [10] Sally alipata umaarufu katika mwaka wa 2001,akiwa umri wa miaka 14 tu,akashinda mbio ya 100m ya Australia ya walio chini ya umri wa miaka 20. Baada ya shida za kujeruhiwa katika mwaka wa 2002,alikimbia mbio yake ya kimataifa ya kwanza katika Mbio ya Dunia ya Ubingwa ya Vijana,Sherbrooke,Kanada na akashinda mbio ya 100m kuruka viunzi. Mwezi uliofuata,akiwa umri wa miaka 16 ,aliwakilisha Australia katika ngazi ya Mashindano ya Mabingwa ya Dunia ya 2003,Paris,Ufaransa kama mmola wa wanariadha wa timu ya mbio ya 4x100m. Ilipofika mwaka wa 2004,alishinda medali ya shaba katika mbio ya 100m katika Mbio ya Dunia ya Vijana ya Mabingwa, na akakosa tu kwa kidogo sana medali katika mbio ya 100m ya kuruka viunzi.", "question_text": "Sally McLellan alijiunga na riadha mwaka gani?", "answers": [{"text": "2001", "start_byte": 277, "limit_byte": 281}, {"text": "2001", "start_byte": 277, "limit_byte": 281}]} {"id": "9030407616199773414-2", "language": "swahili", "document_title": "Born a Crime", "passage_text": "Kitabu kimechapishwa mnamo Novemba 2016, Born a Crime[1] kilipokelewa vizuri na wahakiki wa vitabu nchini Marekani.[2][3][4][5] Kitabu kimekuwa nafasi ya kwanza kwa mujibu wa New York Times (kimeuza vyema) na kimepewa heshima kama moja kati ya vitabu bora kabisa cha mwaka na The New York Times, Newsday, Esquire, NPR, na Booklist.[5] Mwanzoni mwa mwaka wa 2017, jina la kitabu lilitumika katika kipindi cha mafumbo cha \nNew York Times Crossword Puzzle.[6]", "question_text": "Je,Trevor Noah aliandika kitabu cha Born a Crime mwaka upi?", "answers": [{"text": "2016", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}, {"text": "2016", "start_byte": 35, "limit_byte": 39}]} {"id": "6183323293976814835-2", "language": "swahili", "document_title": "Ugonjwa wa kuambukiza", "passage_text": "Pathojeni ni jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa. Si kila bakteria au fungi inasababisha ugonjwa, kinyume chake tunaishi kwa kuwa na mamilioni ya bakteria katika utumbo ambazo ni lazima kuwepo kwa afya yetu. Vidubini hivi vyote ni vidogo mno, havionekani kwa macho.", "question_text": "Je,pathojeni ni nini?", "answers": [{"text": "jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 13, "limit_byte": 78}, {"text": "jina kwa bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 13, "limit_byte": 78}, {"text": "bakteria, virusi au fungi zinazoweza kusababisha ugonjwa", "start_byte": 22, "limit_byte": 78}]} {"id": "6150034685654277310-1", "language": "swahili", "document_title": "Thiago Silva", "passage_text": "Baada ya kuhamia Ulaya kujiunga na Milan mwaka 2009, Silva alijitenga kuwa mmoja wa watetezi waliohesabiwa juu duniani, kushinda Serie A na Rossoneri katika msimu wa 2010-11. ", "question_text": "Thiago Silva alijiunga na timu ya Milan mwaka upi?", "answers": [{"text": "2009", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "2009", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "2009", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-6562294816394022307-1", "language": "swahili", "document_title": "Teide", "passage_text": "Ina urefu wa mita 3,718, iko ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Teide iliyotangazwa na UNESCO kuwa Urithi wa Dunia mwaka 2007. Hii hifadhi ya taifa ni moja ya zile ambazo wengi zaidi wanazitembelea katika dunia, pia ni moja ya Hazina ya 12 ya Hispania.", "question_text": "Mlima Teide una urefu gani?", "answers": [{"text": "mita 3,718", "start_byte": 13, "limit_byte": 23}, {"text": "mita 3,718", "start_byte": 13, "limit_byte": 23}, {"text": "3,718", "start_byte": 18, "limit_byte": 23}]} {"id": "500370629434485798-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "TANU ilianzishwa 7 Julai 1954 kutokana na Tanganyika African Association (TAA). TAA ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa. Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikuwa Julius Kambarage Nyerere.", "question_text": "TANU ilianzishwa na nani?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 171, "limit_byte": 195}, {"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 171, "limit_byte": 195}]} {"id": "4833284080996662584-0", "language": "swahili", "document_title": "Nancy Sumari", "passage_text": "\nNancy Abraham Sumari alikuwa Mrembo wa Tanzania kwa mwaka 2005 na pia alikuwa Mrembo wa Dunia wa Afrika kwa mwaka 2005. \nNancy Sumari alizaliwa tar. 7 Agosti mwaka 1986 mkoani Arusha Tanzania, na kupata elimu yake ya msingi mjini Nairobi, Kenya katika shule ya msingi ya Blue Bells. Baadaye kuingia elimu ya Sekondari ya wanawake ya Maasai ya huko huko Nairobi’NBO’ na kuhitimu mwaka 2004 na baadae kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam akisomea masuala ya utawala wa biashara .", "question_text": "Nancy Abraham Sumari alizaliwa mkoa gani?", "answers": [{"text": "Arusha", "start_byte": 177, "limit_byte": 183}, {"text": "Arusha", "start_byte": 177, "limit_byte": 183}, {"text": "Arusha", "start_byte": 177, "limit_byte": 183}]} {"id": "8182917315228208944-1", "language": "swahili", "document_title": "Microsoft", "passage_text": "Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III, (inayojulikana kama Bill Gates) mwaka 1975[8]. Makao makuu yako Redmond, Washington, Marekani.", "question_text": "Je,nani mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft?", "answers": [{"text": "William Henry Gates III", "start_byte": 23, "limit_byte": 46}, {"text": "Bill Gates", "start_byte": 68, "limit_byte": 78}]} {"id": "-6431261922271906351-4", "language": "swahili", "document_title": "Mbangi", "passage_text": ". Mbegu hizi zina proteini, madini, vitamini E na hata mafuta ya Omega-3 na Omega-6 yenye manufaa makubwa kwa mwili. Mbegu za Mbangi aina ya Hemp ni halali kwa matumizi ya chakula katika nchi nyingi ikiwemo Uingereza.[6]", "question_text": "Je, matumizi ya bangi ni halali katika nchi ngapi ulimwenguni?", "answers": [{"text": "nyingi ikiwemo Uingereza", "start_byte": 192, "limit_byte": 216}, {"text": "nchi nyingi", "start_byte": 187, "limit_byte": 198}, {"text": "nyingi", "start_byte": 192, "limit_byte": 198}]} {"id": "90762301744341443-0", "language": "swahili", "document_title": "Seko Shamte", "passage_text": "\nSeko Shamte (alizaliwa tarehe 29 Oktoba 1981) ni Mtanzania anayejihusisha na kazi za kutengeneza filamu akiwa mwandishi na msimamizi wa kazi mbalimbali za filamu.", "question_text": "Je,Seko Shamte alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "29 Oktoba 1981", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}, {"text": "29 Oktoba 1981", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}, {"text": "29 Oktoba 1981", "start_byte": 31, "limit_byte": 45}]} {"id": "-3141018404948436558-0", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Chelsea Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Uingereza iliyo na maskani yake Fulham, London. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1905, na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki ligi kuu ya Uingereza. Uwanja wao wa nyumbani ni Stamford Bridge ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.", "question_text": "Klabu ya Soka ya Chelsea ilianzishwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}, {"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}]} {"id": "-3300468261176497997-5", "language": "swahili", "document_title": "Yohane Mbatizaji", "passage_text": "Kadiri ya Injili ya Luka, Yohane alizaliwa kimuujiza na kuhani mzee Zakaria na mke wake tasa Elizabeti[1].", "question_text": "Je,mamake Yohane mbatizaji alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Elizabeti", "start_byte": 93, "limit_byte": 102}, {"text": "Elizabeti", "start_byte": 93, "limit_byte": 102}, {"text": "Elizabeti", "start_byte": 93, "limit_byte": 102}]} {"id": "-3711901295814073623-6", "language": "swahili", "document_title": "Kifaru", "passage_text": "Faru mweupe ndiyo mnyama mkubwa wa ardhini baada ya tembo. Anakaribiana kidogo na faru wa India na kiboko. Faru weupe wana mwili uliojaa, na kichwa kikubwa, shingo fupi na kifua kipana. Faru anaweza kuzidi uzito wa kilogramu 3,500 na urefu wa mita 3.5 – 4.6 kuanzia kichwani na mabega ya urefu wa sentimeta 180 – 200. Uzito wa faru mweupe uliovunja rekodi ni ule wa kilogramu 4,500.[2]\nAna pembe mbili huku ile ya mbele ikiwa kubwa zaidi hata kufikia urefu wa sentimeta 90 – 150. Faru weupe pia wana nundu kubwa inayoshikilia vichwa vyao vizuri. Huwa na nywele kadhaa hasa kwenye masikio yao na mkiani, sehemu nyingine za mwili zikiwa zimesambaa kidogo tu.", "question_text": "Je, Kifaru ana urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "mita 3.5 – 4.6", "start_byte": 243, "limit_byte": 259}, {"text": "mita 3.5 – 4.6", "start_byte": 243, "limit_byte": 259}]} {"id": "7215718089475244416-3", "language": "swahili", "document_title": "Ben Carson", "passage_text": "Baada ya kugundua kuwa alitaka kuwa daktari wa magonjwa ya akili, Carson alimaliza shule na matokeo mazuri yenye heshima na hivyo alijunga na chuo kikuu cha Yale ambapo alipata shahada yake ya kwanza katika maswala ya saikolojia ya akili. Pschology. Baada ya kutoka Yale, aliendelea na shule ya udaktari ya michigan, ambapo hapo ndipo nia yake ya kuwa daktari wa magonjwa ya akili ilipobadilika na kuwa daktari wa mishipa. Uwezo wake mkubwa wa kuona na uwezo wake wa kufikiri haraka ulimfanya awe daktari wa upasuaji mzuri zaidi\nBaada ya kumaliza shule yake ya udaktari, alikuwa daktari wa mishipa msaidizi katika hospitali ya Johns Hopkins katika jimbo la Baltimore. Akiwa na umri wa miaka 33, alikuwa profesa wa hospitali na pia mkurugenzi wa idara ya upasuaji mishipa ya watoto", "question_text": "Daktari Benjamin S. Carson alisoma chuo kikuu gani?", "answers": [{"text": "Yale", "start_byte": 157, "limit_byte": 161}, {"text": "Yale", "start_byte": 157, "limit_byte": 161}]} {"id": "940389209695508100-4", "language": "swahili", "document_title": "Cote d'Ivoire", "passage_text": "Lugha zinazotumika kawaida ni 65, lakini lugha rasmi ni Kifaransa.", "question_text": "Lugha rasmi ya nchi ya Kodivaa ni ipi?", "answers": [{"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}, {"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}, {"text": "Kifaransa", "start_byte": 56, "limit_byte": 65}]} {"id": "-96426027458285450-0", "language": "swahili", "document_title": "Kieran Trippier", "passage_text": "\nKieran Trippier (alizaliwa tarehe 19 Septemba mwaka 1990) ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anachezea klabu ya Ligi kuu ya Uingereza iitwayo Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Uingereza.", "question_text": "Kieran Trippier alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}, {"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}, {"text": "1990", "start_byte": 53, "limit_byte": 57}]} {"id": "-685712799300808787-0", "language": "swahili", "document_title": "Professor Jay", "passage_text": "\nJoseph Leonard Haule (amezaliwa tarehe 29 Desemba 1975) ni Mtanzania msanii wa muziki wa hip hop na vilevile mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi kwa miaka 2015 – 2020. [1]", "question_text": "Je,Professa Jay alipata kuwa mbunge mwaka upi?", "answers": [{"text": "2015", "start_byte": 236, "limit_byte": 240}, {"text": "2015", "start_byte": 236, "limit_byte": 240}]} {"id": "6093749054558733912-3", "language": "swahili", "document_title": "Guinea ya Ikweta", "passage_text": "Ilikuwa koloni la Hispania kwa jina la Guinea ya Kihispania likiwa na maeneo mawili ambayo yalijulikana kama Río Muni (bara na visiwa vidogo kadhaa), na kisiwa cha Bioko ambako uko mji mkuu, Malabo (ambayo iliitwa awali Santa Isabela). ", "question_text": "Mji mkuu wa Ginekweta unaitwaje?", "answers": [{"text": "Malabo", "start_byte": 192, "limit_byte": 198}, {"text": "Malabo", "start_byte": 192, "limit_byte": 198}, {"text": "Malabo", "start_byte": 192, "limit_byte": 198}]} {"id": "7293367594201332403-0", "language": "swahili", "document_title": "Serbia", "passage_text": "Serbia (kwa Kiserbia: Република Србија au Republika Srbija) ni nchi ya Ulaya kwenye rasi ya Balkani. ", "question_text": "Je,Serbia iko katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 86, "limit_byte": 91}, {"text": "Ulaya", "start_byte": 86, "limit_byte": 91}]} {"id": "-6323630201660060043-0", "language": "swahili", "document_title": "Heroes", "passage_text": "\n\n\nHeroes ni kipindi cha Marekani kilichobuniwa na Tim Kring, kwenye stesheni ya NBC mnamo 25 Septemba 2006. Kipindi hiki kinaeleza jinsi wahusika wanajitambua kama wana vipawa mbalimbali na jinsi vipawa hivi vinavyoathiri maisha yao.", "question_text": "Je,nani mwandishi wa kipindi cha Heroes?", "answers": [{"text": "im Kring", "start_byte": 52, "limit_byte": 60}, {"text": "im Kring", "start_byte": 52, "limit_byte": 60}, {"text": "im Kring", "start_byte": 52, "limit_byte": 60}]} {"id": "-917484270391002178-2", "language": "swahili", "document_title": "Furukombe wa Afrika", "passage_text": "\n\n\nFurukombe ni ndege mkubwa, na ule wa kike ana uzani wa kilo 3.2-3.6 (paundi 7-8) na ni mkubwa kuliko ule wa kiume ambaye ana uzani wa 2-2.5kg (paundi 4.4-5.5). Ndege wa kiume kawaida huwa na mabawa yenye upana wa mita 2 (futi 6), huku ndege wa kike wakiwa na mabawa yenye upana wa mita 2.4 (futi8). Urefu wao ni sentimita 63-75 (incha 25-30). Wao huweza kutofautishwa rahisi sana na ndege wengine huku miili yao ikiwa ya rangi ya kahawia, na mabawa yao meusi huwa na nguvu nyingi. Kichwa, kifua na mkia ya furukombe wote ina rangi nyeupe kama theluji na mdomo uliojipinda, ambao mara nyingi ni wa rangi ya samawati lakini ncha yake huwa nyeusi.", "question_text": "Furukombe ana urefu kiasi gani?", "answers": [{"text": "sentimita 63-75", "start_byte": 315, "limit_byte": 330}, {"text": "sentimita 63-75 (incha 25-30)", "start_byte": 315, "limit_byte": 344}, {"text": "sentimita 63-75", "start_byte": 315, "limit_byte": 330}]} {"id": "356705074620824365-0", "language": "swahili", "document_title": "Uprotestanti", "passage_text": "\nUprotestanti ni aina ya Ukristo iliyotokana na Kanisa Katoliki huko Ulaya Kaskazini katika karne XVI kufuatana na tapo la kidini na la kisiasa maarufu kwa jina la \"Matengenezo ya Kiprotestanti\". Wahusika wakuu wa tapo hilo ni Martin Luther na Yohane Kalvini. ", "question_text": "Uprotestanti ni nini?", "answers": [{"text": "aina ya Ukristo iliyotokana na Kanisa Katoliki huko Ulaya Kaskazini katika karne XVI kufuatana na tapo la kidini na la kisiasa maarufu kwa jina la \"Matengenezo ya Kiprotestanti", "start_byte": 17, "limit_byte": 193}, {"text": "aina ya Ukristo iliyotokana na Kanisa Katoliki huko Ulaya Kaskazini katika karne XVI kufuatana na tapo la kidini na la kisiasa maarufu kwa jina la \"Matengenezo ya Kiprotestanti\"", "start_byte": 17, "limit_byte": 194}, {"text": "aina ya Ukristo iliyotokana na Kanisa Katoliki huko Ulaya Kaskazini katika karne XVI kufuatana na tapo la kidini na la kisiasa maarufu kwa jina la \"Matengenezo ya Kiprotestanti\"", "start_byte": 17, "limit_byte": 194}]} {"id": "4374296685967216111-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalenda ya Gregori", "passage_text": "\nKalenda ya Gregori ni kalenda ambayo leo inatumiwa zaidi kimataifa. Jina limetokana na Papa Gregori XIII aliyeamua kutumia kalenda hiyo tangu tar. 15 Februari 1582 badala ya Kalenda ya Juliasi.", "question_text": "Kalenda ya Gregorian ilianza kutumika mwaka upi?", "answers": [{"text": "1582", "start_byte": 160, "limit_byte": 164}, {"text": "1582", "start_byte": 160, "limit_byte": 164}, {"text": "15 Februari 1582", "start_byte": 148, "limit_byte": 164}]} {"id": "5121860366129524526-1", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Bunge linamjumuisha rais wa Tanzania pamoja na wabunge. Mnamo mwaka 2017 kuna wabunge 393[1] wanaoingia kwa namna tofauti [2]", "question_text": "Je,Serikali ya Tanzania huwa na wabunge wangapi?", "answers": [{"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}, {"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}, {"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}]} {"id": "-4038117919050298473-0", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Chelsea Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Uingereza iliyo na maskani yake Fulham, London. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1905, na kwa miaka mingi sana imekuwa ikishiriki ligi kuu ya Uingereza. Uwanja wao wa nyumbani ni Stamford Bridge ambao una uwezo wa kuingiza watazamaji 41,837, wameutumia uwanja huu tangu klabu ilivyoanzishwa.", "question_text": "Klabu ya Chelsea ilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}, {"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}, {"text": "1905", "start_byte": 135, "limit_byte": 139}]} {"id": "1945956083653092268-9", "language": "swahili", "document_title": "Walter Rodney", "passage_text": "Rodney aliishi na mke wake, Pat, na watoto wake watatu. Ndugu yake, Donald, ambaye alijeruhiwa katika mlipuko, alisema kuwa afisa wa Jeshi la Guyana aitwaye Gregory Smith ndiye alimpa Rodney bomu iliyomuua. Baada ya mauaji, Smith alikimbilia Guiana ya Kifaransa ambako alikufa mwaka wa 2002. [2]", "question_text": "Je,mke wa Walter Rodney alikuwa anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Pat", "start_byte": 28, "limit_byte": 31}, {"text": "Pat", "start_byte": 28, "limit_byte": 31}]} {"id": "6041510510661585012-0", "language": "swahili", "document_title": "Kairo", "passage_text": "Kairo (Kar القاهرة al-Qāhira – „mwenye ushindi“) ni mji mkuu wa Misri na mji mkubwa wa nchi zote za kiarabu, pia moja kati ya majiji makubwa duniani. ", "question_text": "Mji mkubwa Misri ni gani?", "answers": [{"text": "Kairo", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}, {"text": "Kairo", "start_byte": 0, "limit_byte": 5}]} {"id": "-6857065390287495347-9", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Tanga", "passage_text": "Mwaka 2012 wakazi waliohesabiwa katika sensa walikuwa 2,045,205[1].", "question_text": "Mkoa wa Tanga una idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "2,045,205", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "9075330209799541279-2", "language": "swahili", "document_title": "Babeli", "passage_text": "Maghofu yake hupatikana karibu na mji wa kisasa wa Al Hillah (Irak) kando ya mto Frati km 90 kusini kwa Baghdad. ", "question_text": "Mesopotamia inapatika wapi duniani?", "answers": [{"text": "Irak", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}, {"text": "Irak", "start_byte": 62, "limit_byte": 66}]} {"id": "8848223918336327955-8", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Sudan Kusini", "passage_text": "Wakati wa uhuru wa Sudan mwaka 1956 viongozi wa kusini walidai haki ya kujitawala ndani ya taifa jipya, lakini mapatano yalishindikana na hali hiyo ilisababishwa kutokea kwa vita ya Anyanya kati ya 1956 na 1972.", "question_text": "Vita vya nchi ya Sudan vilianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1956", "start_byte": 198, "limit_byte": 202}, {"text": "1956", "start_byte": 198, "limit_byte": 202}]} {"id": "-6061972226308011779-0", "language": "swahili", "document_title": "Wingu la Oort", "passage_text": "Wingu la Oort (ing. Oort cloud) ni ukanda wa kudhaniwa angani unaozunguka mfumo wa Jua kwa umbali mkubwa nje ya mzingo wa Pluto pia nje ya ukanda wa Kuiper. Ukanda huu unadhaniwa kuwa na magimba ya barafu na vumbi yaliyo na mwendo wa kuzunguka Jua kwa umbali kuanzia vizio astronomia 50,000 hadi 100,000 au zaidi (sawa na miaka ya nuru 0.8 hadi 1.5). Kuwepo kwa wingu hili hakuthibitishwa kwa hiyo ni bado wingu la kinadharia. Nadharia hii ilitungwa na mwanaastronomia Mholanzi Jan Oort (1900 – 1992) aliyetafuta maelezo kwa asili na njia za nyotamkia zinazotokea katika mfumo wa Jua. Wingu la Oort linatazamiwa kuwa asili ya nyotamkia zenye obiti ndefu, ilhali zile zenye obiti fupi zinatoka katika Ukanda wa Kuiper.[1]", "question_text": "Wingu la Oort liligunduliwa na nani?", "answers": [{"text": "Jan Oort", "start_byte": 478, "limit_byte": 486}, {"text": "Jan Oort", "start_byte": 478, "limit_byte": 486}]} {"id": "1068548611380403906-0", "language": "swahili", "document_title": "Ndimu", "passage_text": "Ndimu ni matunda ya mndimu (Citrus aurantiifolia), mti wa familia ya michungwa (Rutaceae). Umbo lake ni mduara wenye rangi ya majani mpaka manjano, na kipenyo cha sm 3-6. Zina ladha ya uchachu kwa sababu ya asidi ndani yao. Ndimu mara nyingi hutumika kuongeza ladha kwenye chakula na vinywaji. Kwa kawaida ni ndogo kuliko limau, na chanzo kizuri pia cha vitamini C. Katika kanda za tropiki na nusutropiki mindimu inaweza kumea mwaka wote kama maji yakiwapo. Ndimu ni chungu kidogo kuliko malimau.", "question_text": "Je,ndimu iko katika familia gani ya mimea?", "answers": [{"text": "michungwa", "start_byte": 69, "limit_byte": 78}, {"text": "michungwa", "start_byte": 69, "limit_byte": 78}, {"text": "michungwa", "start_byte": 69, "limit_byte": 78}]} {"id": "7871052254394532916-0", "language": "swahili", "document_title": "Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "\nChristopher R. Mwashinga, Jr (amezaliwa Januari 9, 1965) ni mchungaji, mwanateolojia, mwandishi wa vitabu na mshairi kutoka nchi ya Tanzania anayeishi nchini Marekani. Amechapisha vitabu vya mashairi, teolojia, utume na historia ya dini. Mashairi yake yamechapishwa Singapore [1], Tanzania [2], Kenya [3] na Marekani[4]. Anaandika vitabu kwa lugha ya Kiingereza na Kiswahili. ", "question_text": "Je,Christopher Richard Mwashinga alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "1965", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}]} {"id": "2034367081502563431-5", "language": "swahili", "document_title": "Kalenda ya Gregori", "passage_text": "Papa Gregori XIII kama kiongozi wa kiroho wa dunia ya kikatoliki (sehemu kubwa ya Ulaya) alitaka kusahihisha kasoro zilizoonekana katika kalenda ya awali. Tangu zamani za Waroma wa Kale hesabu ya wakati ilifuata Kalenda ya Juliasi iliyoanzishwa na Julius Caesar mwaka 46 KK. Kalenda hii ilikuwa na tatizo la kuwa urefu wa mwaka wake ulipita muda kamili ya mwaka wa jua kwa dakika 11 na sekondi 14 yaani mwaka wa kalenda hii ilikuwa mrefu mno muda wa dakika 11 kila mwaka. Kosa lilikuwa ndogo mwanzoni lakini lilizidi kuongezeka.", "question_text": "Kalenda ya Julien ilindikwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "46 KK", "start_byte": 268, "limit_byte": 273}, {"text": "46 KK", "start_byte": 268, "limit_byte": 273}]} {"id": "1559490533595160389-2", "language": "swahili", "document_title": "Samwel Yellah Black", "passage_text": "Samwel Yellah Black aliteuliwa kama meneja wa timu ya kandanda ya Costa Boys tarehe 11 Desemba 2013,[2] baada ya kuwa katika nyadhifa ya mwangalizi tangu Mei 2013.[3] Alifutwa kazi kutoka nyadifa ya timu ya Costa baada ya Kombe la Diwani mnamo Julai mwaka wa 2014 kutokana na migogoro kati yake na watawala wa kandanda ya Timu hio.[4]\nSamwel Yellah aliteuliwa kuwa kocha wa timu ya Vijana ya Black Leopard FC Under20 mnamo mwaka 2015 Februali", "question_text": "Samwel Yellah aliteuliwa kama meneja wa klabu ya Black Leopard Fc Under20 mwaka gani?", "answers": [{"text": "2015", "start_byte": 431, "limit_byte": 435}, {"text": "2015", "start_byte": 431, "limit_byte": 435}]} {"id": "-469767118847073981-0", "language": "swahili", "document_title": "Swala pala", "passage_text": "Swala pala au swalapala (Aepyceros melampus Kigiriki αιπος, aipos \"juu\" κερος, ceros \"pembe\" + melas \"nyeusi\" pous \"mguu\") ni swala ambaye si mkubwa sana kutoka Afrika. Jina Impala ambalo ni jina la swala pala kwa Kiingereza linatoka kutoka lugha ya Kizulu na linamaanisha \"Swara\". Wao hupatikana katika savana misitu nene nchini Kenya, Tanzania, Swaziland, Msumbiji, Namibia ya kaskazini, Botswana, Zambia, Zimbabwe, kusini mwa Angola, kaskazini mashariki mwa Afrika Kusini na Uganda. Swala pala wa kawaida wanaweza kupatikana katika idadi ya hadi 1,600,000 barani Afrika.[1]", "question_text": "Jina Impala linatokana na nini?", "answers": [{"text": "linatoka kutoka lugha ya Kizulu na linamaanisha \"Swara\"", "start_byte": 241, "limit_byte": 296}, {"text": "linatoka kutoka lugha ya Kizulu na linamaanisha \"Swara\"", "start_byte": 241, "limit_byte": 296}]} {"id": "-2433757638818822414-1", "language": "swahili", "document_title": "Yesu", "passage_text": "Alizaliwa na bikira Maria kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, huko Bethlehemu ya Uyahudi. Maisha yake yalikuwa ya pekee kwa kuwa alifahamu vitu vingi kwa mfano: sheria hata kuwazidi walimu wa sheria japokuwa hakusomea sheria. Alifanya pia maajabu mengi. ", "question_text": "Je, Yesu Kristo alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Bethlehemu", "start_byte": 60, "limit_byte": 70}, {"text": "Bethlehemu", "start_byte": 60, "limit_byte": 70}, {"text": "Bethlehemu", "start_byte": 60, "limit_byte": 70}]} {"id": "7655634199707176439-0", "language": "swahili", "document_title": "Cheti cha Masomo ya Msingi ya Kenya", "passage_text": "KCPE ni ufupisho wa Kenya Certificate of Primary Education, tuzo la cheti kwa wanafunzi baada ya kuhitimu kwa kusoma miaka nane katika elimu ya msingi nchini Kenya. Mitihani yake husimamiwa na Kenya National Examination Council (KNEC), kitengo cha serikali cha kusimamia mitihani nchini Kenya, chini ya Wizara ya Elimu. Kitengo hicho pia husimamia na kufanyia mabadabiriko kwa Cheti cha Masomo ya Upili ya Kenya (KCSE), tuzo la cheti kwa wanafunzi baada ya kumaliza elimu ya sekondari. Vyeti vya KCSE na KCPE vilianzishwa nchini Kenya hapo mwaka wa 1985 wakatmfumo wa elimu wa 8.4.4 ulianzishwa. Maki za juu zaidi ni 500 lakini hiyo aghrabu haiwezekani kutokana na usawasaji (kutolewa kwa baadhi za alama katika kila somo).\nMtihani huu hutumiwa kuamua shule ya sekondari ambayo kila mwanafunzi atajiunga nayo.", "question_text": "Je,KCPE ilianza lini nchini Kenya?", "answers": [{"text": "1985", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}, {"text": "1985", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}, {"text": "1985", "start_byte": 551, "limit_byte": 555}]} {"id": "-1293048312624585135-0", "language": "swahili", "document_title": "Alex Song", "passage_text": "Alexandre Dimitri Song Billong (mara nyingi hujulikana kama Alex Song; alizaliwa mnamo 9 Septemba 1987) ni mwanakandanda wa kulipwa kutoka nchi ya Kamerun ambaye anaichezea klabu ya Arsenal Ligi Kuu ya Uingereza. ", "question_text": "Alexandre Dimitri Song Billong ana umri gani?", "answers": [{"text": "alizaliwa mnamo 9 Septemba 1987", "start_byte": 71, "limit_byte": 102}, {"text": "9 Septemba 1987", "start_byte": 87, "limit_byte": 102}]} {"id": "-5138878507457772610-2", "language": "swahili", "document_title": "Jamaika", "passage_text": "Mji mkuu ni Kingston. \n", "question_text": "Je,mji mkuu wa Jamaica ni nani?", "answers": [{"text": "Kingston", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Kingston", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Kingston", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "7215119328314024179-4", "language": "swahili", "document_title": "Afrika ya Mashariki", "passage_text": "Malawi, Zambia na Zimbabwe wakati mwingine zinehesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kusini (zamani zilikuwa pamoja kama Rhodesia ya Kusini, Rhodesia ya Kaskazini na Unyasa katika Shirikisho la Afrika ya Kati)", "question_text": "Je, Rhodesia ya Kaskazini ina jina gani kwa sasa?", "answers": [{"text": "Zimbabwe", "start_byte": 18, "limit_byte": 26}, {"text": "Zambia", "start_byte": 8, "limit_byte": 14}, {"text": "Zambia", "start_byte": 8, "limit_byte": 14}]} {"id": "7468776045445567331-0", "language": "swahili", "document_title": "Beres Hammond", "passage_text": "Beres Hammond (aliyezaliwa kama ‘’’Hugh Beresford Hammond’’’, mnamo 28 Agosti 1955, Annotto Bay, Saint Mary, Jamaica) ni mwanamuziki wa mienendo ya reggae kutoka Jamaica ambaye hasa anajulikana sana katika mwenendo wa Lovers rock. Huku kazi yake katika fani ya muziki ikianza miaka ya 1970, alifikia mafanikio yake makuu mnamo miaka ya 1980s", "question_text": "Je, Beres Hammond alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "28 Agosti 1955", "start_byte": 80, "limit_byte": 94}, {"text": "28 Agosti 1955", "start_byte": 80, "limit_byte": 94}, {"text": "28 Agosti 1955", "start_byte": 80, "limit_byte": 94}]} {"id": "159162071275197304-2", "language": "swahili", "document_title": "Tanganyika African National Union", "passage_text": "TANU ilianzishwa 7 Julai 1954 kutokana na Tanganyika African Association (TAA). TAA ilikuwa na mwelekeo wa kitamaduni zaidi ya siasa. Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikuwa Julius Kambarage Nyerere.", "question_text": "Nani alikuwa mwanzilishi wa Chama Cha Mapinduzi?", "answers": [{"text": "Julius Kambarage Nyerere", "start_byte": 171, "limit_byte": 195}, {"text": "Tanganyika African Association", "start_byte": 42, "limit_byte": 72}]} {"id": "-1166799589568884147-2", "language": "swahili", "document_title": "Ray C.", "passage_text": "Mnamo mwaka 2003 alitoa Albamu yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la \"Mapenzi Yangu\".", "question_text": "Je,mwanamziki Ray C alianza mziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "2003", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}, {"text": "2003", "start_byte": 12, "limit_byte": 16}]} {"id": "-8748768255271934641-0", "language": "swahili", "document_title": "Amani Temba", "passage_text": "\nAmani James Pausen Temba au \"Mheshimiwa Temba\" (kifupi Mh Temba) ni Mwanamuziki wa Rap na Hip Hop Kutoka Jijini Dar es Salaam Tanzania, Na pia ni Mwanachama Kiongozi wa Tmk Wanaume Family yenye makazi yao huko Temeke Jijini Dar es Salaam Tanzania,\nMh Temba alizaliwa mwaka 1980 na kupata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Temeke na baadaye kujiunga na shule ya sekondari ya Nuru Yakini ambako alisoma kwa miaka miwili kabla ya kuhamia sekondari ya Makongo, alisoma Makongo kwa mda wiki moja tu na kwenda kujiunga na sekondari nyingine inayomilikiwa na Jeshi ya Jigetemee baada ya kupata ofa ya kusomeshwa bure na uongozi wa shule hiyo enzi hizo ukiwa chini ya Luteni kanali Fabian Massawe ambaye sasa ni Mkuu wa wilaya ya kinondoni.", "question_text": "Je,Mheshimiwa Temba alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 274, "limit_byte": 278}, {"text": "1980", "start_byte": 274, "limit_byte": 278}, {"text": "1980", "start_byte": 274, "limit_byte": 278}]} {"id": "8021702480004975592-0", "language": "swahili", "document_title": "Liemba (meli)", "passage_text": "MV Liemba (MV kwa Kiing. motor vessel) ni meli ya Kitanzania inayohudumia pwani za Ziwa Tanganyika. Ni chombo cha usafiri kwa maji chenye umri mkubwa kipo tangu mwaka 1914. Meli inasukumwa na injini ya diseli na urefu wake ni mita 67, upana mita 10 na ukubwa unatajwa ama kuwa tani 1500 au 1200. Ina nafasi ya kubeba abiria hadi 600 pamoja na mzigo tani 200 kati ya mabandari ya Ziwa Tanganyika upande wa Tanzania na mabandari ya Mpulungu (Zambia), Kalemie (J.K. Kongo) na Bujumbura (Burundi).", "question_text": "Meli ya MV Liemba ilitengenezwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1914", "start_byte": 167, "limit_byte": 171}, {"text": "1914", "start_byte": 167, "limit_byte": 171}]} {"id": "-4652773131619858400-2", "language": "swahili", "document_title": "Umwagiliaji wa matone", "passage_text": "Vyanzo vya mfumo huu vinajulikana kutoka China ya Kale ambako wakulima walizika sufuria za kauri katika ardhi karibu na miti na kuizijaza maji, Maji yalipita kwenye kuta za vyombo na kuingia udongo karibu na mizizi polepole. Wajerumani walitumia mabomba ya udongo wa ufinyanzi uliochumwa ndani ya ardhi kwa umwagiliaji kuanzia karne ya 19. Baada vita kuu ya pili ya dunia mtu wa Australia alianza kutumia mabomba ya plastiki yenye matundu. ", "question_text": "Mfumo wa umwagiliaji mimea maji ulianzia wapi?", "answers": [{"text": "China ya Kale", "start_byte": 41, "limit_byte": 54}, {"text": "China ya Kale", "start_byte": 41, "limit_byte": 54}]} {"id": "3615306869211935803-0", "language": "swahili", "document_title": "Zimbabwe", "passage_text": "\nJamhuri ya Zimbabwe \nRepublic of Zimbabwe, Africa \n\n\n\n\n\n(Bendera ya Zimbabwe)(Nembo ya Zimbabwe)Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) \" | Wimbo wa TaifaLugha rasmiKiingereza na 15 nyingineMji MkuuHarareMji mkubwaHarareRaisEmmerson MnangagwaEneo\n- Jumla\n-Maji\n-Eneo kadiriwakm² 390,757 \n 1%\nya 60 dunianiUmma\n- Kadiriwa \n- Sensa,\n- Msongamano wa watu13,061,239 ya 66 duniani \n (2012) \n; 32/km² \n; ya dunianiChumo cha uchumi\n- Jumla\n- kwa kipimo cha umma$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo)) \n$2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma)Uhuru\n- Kadirifu\n- Barabara(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965 \n(kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980FedhaDolar ya Marekani|Saa za EneoUTC +2Intaneti TLD.zwkodi za simu263", "question_text": "Je,Zimbabwe ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1980", "start_byte": 672, "limit_byte": 676}, {"text": "1980", "start_byte": 672, "limit_byte": 676}, {"text": "1980", "start_byte": 672, "limit_byte": 676}]} {"id": "-1403306143265607869-3", "language": "swahili", "document_title": "Namibia", "passage_text": "Mji mkuu ni Windhoek (wakazi 322.500).", "question_text": "Mji mkuu wa Namibia unaitwaje?", "answers": [{"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}, {"text": "Windhoek", "start_byte": 12, "limit_byte": 20}]} {"id": "-3640486493177391850-0", "language": "swahili", "document_title": "Amani Temba", "passage_text": "\nAmani James Pausen Temba au \"Mheshimiwa Temba\" (kifupi Mh Temba) ni Mwanamuziki wa Rap na Hip Hop Kutoka Jijini Dar es Salaam Tanzania, Na pia ni Mwanachama Kiongozi wa Tmk Wanaume Family yenye makazi yao huko Temeke Jijini Dar es Salaam Tanzania,\nMh Temba alizaliwa mwaka 1980 na kupata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Temeke na baadaye kujiunga na shule ya sekondari ya Nuru Yakini ambako alisoma kwa miaka miwili kabla ya kuhamia sekondari ya Makongo, alisoma Makongo kwa mda wiki moja tu na kwenda kujiunga na sekondari nyingine inayomilikiwa na Jeshi ya Jigetemee baada ya kupata ofa ya kusomeshwa bure na uongozi wa shule hiyo enzi hizo ukiwa chini ya Luteni kanali Fabian Massawe ambaye sasa ni Mkuu wa wilaya ya kinondoni.", "question_text": "Amani James Pausen Temba ni mwanachama kiongozi wa kitu gani?", "answers": [{"text": "Tmk Wanaume", "start_byte": 170, "limit_byte": 181}, {"text": "Tmk Wanaume Family", "start_byte": 170, "limit_byte": 188}, {"text": "Mwanamuziki", "start_byte": 69, "limit_byte": 80}]} {"id": "8738727729793732665-1", "language": "swahili", "document_title": "Ujamaa", "passage_text": "Ujamaa ni siasa iliyoanzishwa kwa misingi ya sera za Julius Nyerere za maendeleo ya kijamii na ya kiuchumi katika Tanzania punde tu baada ya Tanganyika kupata uhuru kutoka Uingereza mwaka 1961. ", "question_text": "Je, mfumo wa Ujamaa nchini Tanzania ulianza mwaka gani?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}, {"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}, {"text": "1961", "start_byte": 189, "limit_byte": 193}]} {"id": "-1143095394005305172-0", "language": "swahili", "document_title": "Dodoma (mji)", "passage_text": "Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji. ", "question_text": "Mji mkuu was Tanzania ni upi?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 0, "limit_byte": 6}]} {"id": "-7285168800686008577-5", "language": "swahili", "document_title": "John Garang", "passage_text": "\nGarang alikataa kushiriki katika serikali ya mpito mwaka wa 1985 au uchaguzi wa 1986, na kubaki akiwa kiongozi wa waasi. Hata hivyo, SPLA na serikali zilitia saini mkataba wa amani tarehe 9 Januari 2005 mjini Nairobi, Kenya. Tarehe 9 Julai 2005, aliapishwa kama makamu wa rais, cheo cha pili kwa ukuu katika nchi, kufuatia sherehe ambapo yeye na Rais Omar al-Bashir walitia saini katiba ya kugawana madaraka. Yeye pia alikuwa kiongozi wa utawala wa kusini mwa Sudan yenye uhuru mdogo kwa miaka sita kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni ya uwezekano wa Kuganywa. Hakuna Mkristo au mtu kutoka kusini aliwahi kushikilia cheo cha juu kama hicho serikalini. Akizungumza baada ya sherehe, Garang alisema, \"Mimi nawapongeza watu wa Sudan, hii si amani yangu au amani ya al-Bashir, ni amani ya watu wa Sudan.\"", "question_text": "Dkt John Garang de Mabior alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan chini ya uongozi wa rais yupi?", "answers": [{"text": "Omar al-Bashir", "start_byte": 352, "limit_byte": 366}, {"text": "Omar al-Bashir", "start_byte": 352, "limit_byte": 366}]} {"id": "-8064288896413840985-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Morogoro", "passage_text": "Mkoa ulikuwa na wilaya sita ambazo ndizo (idadi ya wakazi kwa mabano):\nKilosa (489,513), Kilombero (322,779), Morogoro Vijijini (263,920), Morogoro Mjini (228,863), Mvomero (260,525), Ulanga (194,209). Mwaka 2012 imeongezwa wilaya mpya ya Gairo.", "question_text": "Wilaya ya Kilombero iko na idadi ngapi ya watu?", "answers": [{"text": "322,779", "start_byte": 100, "limit_byte": 107}, {"text": "322,779", "start_byte": 100, "limit_byte": 107}, {"text": "322,779", "start_byte": 100, "limit_byte": 107}]} {"id": "-321072171362167803-9", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Tarehe 1 Julai 1962 Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 wameshakuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya Watutsi iliendelea. Wanasiasa Wahutu walizoea kuita Watusi ndio \"Wadudu\". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbia Burundi, Uganda na Tanzania.", "question_text": "Je,Rwanda ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1 Julai 1962", "start_byte": 7, "limit_byte": 19}]} {"id": "-234039818978446067-0", "language": "swahili", "document_title": "Michael Wamalwa Kijana", "passage_text": "Michael Wamalwa Kijana (25 Novemba 1944 - 23 Agosti 2003) alikuwa mwanasiasa nchini Kenya na wakati wa mauti yake, alikuwa Makamu wa Rais wa Kenya.", "question_text": "Michael Wamalwa Kijana alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2003", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "2003", "start_byte": 52, "limit_byte": 56}, {"text": "23 Agosti 2003", "start_byte": 42, "limit_byte": 56}]} {"id": "-6695212560117081564-0", "language": "swahili", "document_title": "Master Jay", "passage_text": "Joachim Kimario (Master Jay) ni muandaaji wa muziki nchini Tanzania Master Jay alizaliwa Tar. 8 Agosti mwaka 1973 akiwa mtoto pili katika familia ya marehemu Mzee Sylvan Kimario na mama yake Scholastica Kimario ambaye kwa sasa ni afisa wa UNDP nchini Lesotho ambapo dada yake Catherine Kimario yeye anaishi nchini Kossovo akiwa kama mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini humo.\nMaster ambaye pia amewahi kupata tuzo ya Kili Music Awards mara mbili, mwaka 2004 na 2007. Master Jay ana uwezo mkubwa sana wa utengenezaji wa muziki. Anamiliki studio tatu tofauti, moja ya muziki wa Kwaya, moja ya Bongo Flava na nyingine ya muziki wa Dansi.", "question_text": "Je,Joachim Kimario alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1973", "start_byte": 109, "limit_byte": 113}, {"text": "1973", "start_byte": 109, "limit_byte": 113}, {"text": "1973", "start_byte": 109, "limit_byte": 113}]} {"id": "4087163109546167080-5", "language": "swahili", "document_title": "Gabon", "passage_text": "\nJamhuri ya Gabon, kutoka kushinda uhuru kutoka Ufaransa tarehe 17 Agosti 1960, imeongozwa na Rais watatu, Léon M'ba, El Hadj Omar Bongo ambaye amekuwa kiongozi kutoka mwaka wa 1967 hadi kifo chake (2009: ndiye aliyekuwa kiongozi barani Afrika aliyeshikilia uongozi kwa muda mrefu zaidi), halafu mwanae Ali.", "question_text": "Je,rais wa kwanza wa Gabon anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Léon M'ba", "start_byte": 107, "limit_byte": 117}, {"text": "Léon M'ba", "start_byte": 107, "limit_byte": 117}]} {"id": "4274738991224934842-1", "language": "swahili", "document_title": "Kenya African National Union", "passage_text": "Chama kilianzishwa 1960 na wanasiasa waliyekuwa wanachama wa Kenya African Union ilichoanzishwa mwaka 1944 kwa jina la Kenya African Study Union. Jina likabadilishwa haraka kuwa \"Kenya African Union\" likabaki hivyo hadi 1952 KAU iliposimamishwa na serikali ya ukoloni. Mwenyekiti wa KAU ilipos ajiliwa alikuwa James Gichuru. Gichuru alipatiya kiti chake cha uongozi Jomo Kenyatta wakati Kenyatta aliporudi Kenya baada ya miaka 20 ngambo. Gichuru angerudia tendo hili wakati alipochaguliwa kuongoza KANU ilipofufuliwa kupigania uchaguzi ambayo ingekuwa 1963. Kenyatta angeendelea kuongoza hiki chama tangu mwaka 1960 hadi kifo chake 1978. Tangu Oktoba 1978 Daniel Arap Moi akawa kiongozi wa chama.", "question_text": "Chama cha KANU kilianzishwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}, {"text": "1960", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}, {"text": "1960", "start_byte": 19, "limit_byte": 23}]} {"id": "4738933263074948838-0", "language": "swahili", "document_title": "Lilongwe", "passage_text": "\nLilongwe, umma kadiriwa 597,619 (2003 sensa), ni mji mkuu wa Malawi. Yenyewe iko kusini magharibi mwa nchi, magharibi mwa Mto Malawi karibu na mpaka wa Malawi na Msumbiji na Zambia. Lilongwe mahali pake ni (-13.98333, 33.78333). ", "question_text": "Mji mkuu wa Malawi ni upi?", "answers": [{"text": "Lilongwe", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}, {"text": "Lilongwe", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}, {"text": "Lilongwe", "start_byte": 1, "limit_byte": 9}]} {"id": "-8588345153528669803-0", "language": "swahili", "document_title": "Shirikisho la Amerika ya Kati", "passage_text": "\nShirikisho la Amerika ya Kati (kihisp.: Confederación de Centroamérica) , pia: Maungano ya majimbo ya Amerika ya Kati (Provincias Unidas del Centro de América) ilikuwa maungano ya maeneo ya Amerika ya Kati tangu 1823 hadi 1838. Likajumlisha nchi tano za Guatemala (pamoja na Belize), El Salvador, Honduras, Nikaragua na Costa Rica.", "question_text": "Shirikisho la Amerika ya Kati ilikuwa na nchi ngapi?", "answers": [{"text": "tano", "start_byte": 250, "limit_byte": 254}, {"text": "tano", "start_byte": 250, "limit_byte": 254}, {"text": "tano", "start_byte": 250, "limit_byte": 254}]} {"id": "6289613945380473914-1", "language": "swahili", "document_title": "Boksiti", "passage_text": "Jina la Bauxiti limetokana na kijiji cha \"Les Baux de Provence\" katika Ufaransa ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza. Leo hii huchimbwa hasa katika Australia, Brazil, Guinea, Jamaika na India. ", "question_text": "Jina Bauxiti linatokana na nini?", "answers": [{"text": "kijiji cha \"Les Baux de Provence\" katika Ufaransa ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza", "start_byte": 30, "limit_byte": 120}, {"text": "kijiji cha \"Les Baux de Provence\"", "start_byte": 30, "limit_byte": 63}, {"text": "Les Baux de Provence", "start_byte": 42, "limit_byte": 62}]} {"id": "-1479517587386971052-3", "language": "swahili", "document_title": "Mkoa wa Lindi", "passage_text": "Mkoa huu umeanzishwa mwaka 1971 na una eneo la km² 67,000. Karibu robo ya eneo lake au km² 18,000 ni sehemu ya hifadhi ya wanyama ya Selous.", "question_text": "Mkoa wa Lindi uko na ukubwa wa kiasi gani?", "answers": [{"text": "km² 67,000", "start_byte": 47, "limit_byte": 58}, {"text": "km² 67,000", "start_byte": 47, "limit_byte": 58}, {"text": "67,000", "start_byte": 52, "limit_byte": 58}]} {"id": "1682979794977373978-2", "language": "swahili", "document_title": "Rebeca Gyumi", "passage_text": "Rebeca alizaliwa mkoani Dodoma nchini Tanzania. Alikwenda Shule ya Msingi ya Mazengo huko Dodoma kwa ajili ya elimu yake ya msingi. Alipata elimu yake ya sekondari kutoka Sekondari ya Siku ya Kikuyu katika Dodoma na baadaye akaenda Kilakala High School mjini Morogoro kwa ngazi ya juu. Kisha akaenda Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo alihitimu na Sheria", "question_text": "Je,Rebeca Z. Gyumi alizaliwa katika mkoa gani nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "Dodoma", "start_byte": 24, "limit_byte": 30}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 24, "limit_byte": 30}, {"text": "Dodoma", "start_byte": 24, "limit_byte": 30}]} {"id": "-106075715430159386-6", "language": "swahili", "document_title": "Eritrea", "passage_text": "Mji mkuu wa Eritrea ni Asmara na miji mingine ni kama vile mji wa bandari Assab kusini mashariki, na pia miji kama Massawa na Keren.", "question_text": "Je,mji mkuu wa Eritrea?", "answers": [{"text": "Asmara", "start_byte": 23, "limit_byte": 29}, {"text": "Asmara", "start_byte": 23, "limit_byte": 29}]} {"id": "6193895374355235150-0", "language": "swahili", "document_title": "William Tanui", "passage_text": "‘’’William Kiptarus Tanui’’’ (alizaliwa 22 Februari 1964) alikuwa mwanariadha wa Kenya ambaye alishinda nishani katika amshindano ya Olimpiki ya 1992.", "question_text": "Je,William Kiptarus Tanui alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "22 Februari 1964", "start_byte": 52, "limit_byte": 68}, {"text": "22 Februari 1964", "start_byte": 52, "limit_byte": 68}, {"text": "22 Februari 1964", "start_byte": 52, "limit_byte": 68}]} {"id": "-8907323969294582574-0", "language": "swahili", "document_title": "Professor Jay", "passage_text": "\nJoseph Leonard Haule (amezaliwa tarehe 29 Desemba 1975) ni Mtanzania msanii wa muziki wa hip hop na vilevile mwanasiasa wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi kwa miaka 2015 – 2020. [1]", "question_text": "Je,mwanamziki Profesa Jay ni mbunge wa wapi nchini Tanzania?", "answers": [{"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}, {"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}, {"text": "Mikumi", "start_byte": 219, "limit_byte": 225}]} {"id": "8295898363335448022-10", "language": "swahili", "document_title": "Senegal", "passage_text": "Baadaye lilikuwa koloni la Ufaransa hadi mwaka 1960.", "question_text": "Nchi ya Senegal ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1960", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1960", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "5649352862303568838-0", "language": "swahili", "document_title": "Saul Niguez", "passage_text": "Saul Niguez(anajulikana tu kama Saúl; alizaliwa 21 Novemba 1994) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza kwa Atlético Madrid kama kiungo wa kati au kijivu.", "question_text": "Saul Niguez ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "21 Novemba 1994", "start_byte": 49, "limit_byte": 64}, {"text": "alizaliwa 21 Novemba 1994", "start_byte": 39, "limit_byte": 64}, {"text": "21 Novemba 1994", "start_byte": 49, "limit_byte": 64}]} {"id": "5954210666282605024-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalamashaka", "passage_text": "Kalamashaka (kwa jina lingine K-Shaka) ni kundi la hip hop lenye makao yake katika mtaa wa Dandora, kitongoji katika mji wa Nairobi, Kenya. Kinajumuisha wasanii watatu: Oteraw, Kama na Johny. Kikundi hiki kiliundwa katika miaka ya katikati ya 1990. Walikuwa maarufu kwa wimbo wao Tafsiri Hii uliovuma sana mwaka wa 1997. Kundi hili lilifungua pazia kwa wasanii nyota kadhaa wa kimataifa kati yao Coolio na Lost Boyz na wameimba pamoja na Dead Prez na wasanii wengine wa kimataifa. Wametumbuiza katika nchi kadhaa kama vile Nigeria, Uswidi, Uholanzi, Afrika Kusini, Norway miongoni mwa nyingine. Kalamashaka walifungua njia kwa hip hop katika lugha ya Kiswahili na ikawa inatawala nchini Kenya. Kikundi hiki ni maarufu na mashabiki wake kwa muziki wake wa hardcore rap na wenye ujumbe wa kijamii na kisiasa. Albamu yao ya kwanza Ni Wakati iliyotolewa mwaka wa 2001 ilivuma sana na Channel O ya Afrika Kusini ilicheza mmoja ya video \"Fanya Mambo\" kutoka katika albamu hii. Albamu hii iliangazia uhalifu mitaani, ukabila, siasa na migogoro ya Afrika. Umaarufu wao ulianza kupungua wakati mitindo ya Genge na Kapuka ilipoibuka ambayo ilikuwa inaweza kuchezeka kwa urahisi na yenye tasfoa ambayo asilimia kubwa ya vijana wanapendelea kusikiliza kuliko muziki wa kifalsafa. Stesheni za redio za FM husita kucheza miziki yenye mpigo wa kijamii kama unaochezwa na Kalamashaka na kupelekea kupungua kwa umaarufu wao. Hata hivyo, kikundi hiki kimeendelea kufanya kazi na kukataa kubadili mtindo kulingana na nyakati na kufanya biashara ya muzik. Kundi hili lilisukuma makundi mengine kama Mashifta, Gidi Gidi Maji Maji, K-South, Necessary Noize na wasanii wengine wengi. ", "question_text": "Je,kundi la Kalamashaka ilianza mwaka upi?", "answers": [{"text": "1990", "start_byte": 243, "limit_byte": 247}, {"text": "miaka ya katikati ya 1990", "start_byte": 222, "limit_byte": 247}, {"text": "1990", "start_byte": 243, "limit_byte": 247}]} {"id": "4874045002512103030-0", "language": "swahili", "document_title": "Kofi Annan", "passage_text": "\nKofi Annan (8 Aprili 1938 - 18 Agosti 2018) alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa 1996 - 2006. Annan na Umoja wa Mataifa walipata Tuzo ya Amani ya Nobeli mwaka 2001. Alikuwa mwanzilishi na mwenyekiti wa Kofi Annan Foundation na pia mwenyekiti wa Elders, shirika la kimataifa lililoanzishwa na Nelson Mandela.", "question_text": "Kofi Annan alifariki mwaka gani?", "answers": [{"text": "2018", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}, {"text": "2018", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}, {"text": "2018", "start_byte": 39, "limit_byte": 43}]} {"id": "8289651790995340426-10", "language": "swahili", "document_title": "Divai", "passage_text": "Divai imejulikana tangu miaka mingi; kuna dalili za kiakiolojia ya kwamba imepatikana katika sehemu za Uajemi na Kaukazi tangu miaka 5000 KK. ", "question_text": "Mvinyo ulitengenezwa kwanza nchi gani?", "answers": [{"text": "Uajemi na Kaukazi", "start_byte": 103, "limit_byte": 120}, {"text": "Uajemi na Kaukazi", "start_byte": 103, "limit_byte": 120}]} {"id": "2260861079745210611-9", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Rwanda", "passage_text": "Tarehe 1 Julai 1962 Rwanda ilipata uhuru wake wa kisiasa. Wakati huu zaidi ya Watutsi 350,000 wameshakuwa wakikimbilia nchi jirani. Mwaka uliofuata vikundi vya Watutsi kutoka nchi hizi za jirani walijaribu kushambulia utaratibu mpya. Iliyofuata ilikuwa uangamizaji wa kwanza wa Watutsi; zaidi ya 100,000 waliuawa na Wahutu. Hata katika miaka iliyofuata mauaji dhidi ya Watutsi iliendelea. Wanasiasa Wahutu walizoea kuita Watusi ndio \"Wadudu\". Kila kitu kilichokuwa si sawa kilielezwa ni kosa la Watutsi waliokuwa raia bila haki. Idadi kubwa ya Watutsi walikimbia Burundi, Uganda na Tanzania.", "question_text": "Nchi ya Rwanda ilipata uhuru mwaka gani?", "answers": [{"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1962", "start_byte": 15, "limit_byte": 19}, {"text": "1 Julai 1962", "start_byte": 7, "limit_byte": 19}]} {"id": "-3088056983460438398-2", "language": "swahili", "document_title": "Shaggy (msanii)", "passage_text": "Mwaka wa 1988, yeye alijiunga na Jeshi wa Marekani kama Field Artillery Cannon Crewman na Battalion ya 5 ya jeshi la 10. [1] Akiwa jeshi yeye aliwahi kushiriki katikaoperesheni ya janga wakati wa Vita ya Ghuba. Ilikuwa ni wakati huu kwamba Shaggy aliweza kurekebisha sauti yake ya kuimba kwa kuvunja uzoefu wa bomba na kuandamana. Pia hapa ndipo alipata msukumo wa wimbo wake \"Boombastic\".", "question_text": "Mwanamziki Shaggy alianza kuimba mwaka upi?", "answers": [{"text": "1988", "start_byte": 9, "limit_byte": 13}, {"text": "1988", "start_byte": 9, "limit_byte": 13}]} {"id": "2549839938946378756-12", "language": "swahili", "document_title": "Agano la Kale", "passage_text": "1. Vitabu vitano vya Torati vinavyoitwa pia \"vitabu vya Musa\":\nMwanzo (Kitabu cha Kwanza cha Musa)\n\nKutoka (Kitabu cha Pili cha Musa) \n\nWalawi (Kitabu cha Tatu cha Musa) \n\nHesabu (Kitabu cha Nne cha Musa) \n\nKumbukumbu la Sheria (Kumbukumbu la Torati; Kitabu cha Tano cha Musa) \n", "question_text": "Kitabu cha pili cha agano la kale ni gani?", "answers": [{"text": "Kutoka", "start_byte": 100, "limit_byte": 106}, {"text": "Kutoka", "start_byte": 100, "limit_byte": 106}, {"text": "Kutoka", "start_byte": 100, "limit_byte": 106}]} {"id": "21144157951844109-0", "language": "swahili", "document_title": "Wade Williams", "passage_text": "\nWade Andrew William (amezaliwa tar. 24 Desemba 1961) ni mwigizaji wa filamu na tamthiliya kutoka nchini Marekani. Kkwa sasa amevaa uhusika wa nyota kwenye tamthiliya ya Prison Break ya Fox akiwa kama Captain Brad Bellick.", "question_text": "Wade Andrew William alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "5588502934900785444-0", "language": "swahili", "document_title": "Karl Peters", "passage_text": "\n\nKarl Peters au Carl Peters (27 Septemba 1856 – 10 Septemba 1918) alikuwa mpelelezi na mwanasiasa Mjerumani aliyeanzisha koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani.", "question_text": "Je,Karl Peters aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1918", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}, {"text": "1918", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}, {"text": "1918", "start_byte": 63, "limit_byte": 67}]} {"id": "-5649749660397370200-0", "language": "swahili", "document_title": "Musikari Kombo", "passage_text": "Musikari Nazi Kombo (alizaliwa mnamo 13 Machi 1944 katika wilaya ya Bungoma) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Kenya na sasa anahudumu kama Mbunge wa kuteuliwa. Alijiunga na Shule ya Msingi ya Misikhu kwa elimu yake ya msingi, kisha akajiunga na shule ya msingi ya Rakwaro, na hatimaye kuhamia Mumias ambapo yeye alimaliza elimu ya msingi. Kisha alijiunga Shule ya Upili ya Nyeri High School kwa elimu yake ya sekondari.", "question_text": "Musikari Nazi Kombo alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1944", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1944", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}, {"text": "1944", "start_byte": 47, "limit_byte": 51}]} {"id": "-7924968616839587994-18", "language": "swahili", "document_title": "Sayari", "passage_text": "Sayari za jua letu hutofautiana kwa ukubwa na muundo. Mshtarii (Jupiter) ni sayari kubwa na masi yake ni mara 318 masi ya dunia yetu. Sayari ndogo ni Utaridi na masi yake ni takriban nusu ya dunia.", "question_text": "Sayari kubwa kuliko zingine inaitwaje?", "answers": [{"text": "Mshtarii", "start_byte": 54, "limit_byte": 62}, {"text": "Mshtarii", "start_byte": 54, "limit_byte": 62}, {"text": "Mshtarii", "start_byte": 54, "limit_byte": 62}]} {"id": "1858835032162644215-0", "language": "swahili", "document_title": "Kolo Toure", "passage_text": "\nKolo Habib Toure (alizaliwa mnamo 19 Machi 1981) ni mchezaji kandanda ambaye kwa sasa anaichezea, na ni nahodha wa Manchester City,ambayo ni klabu katika ligi kuu ya Uingereza na huichezea timu ya taifa ya Ivory Coast. Touré ni mchezaji wa kati wa safu ya ulinzi, yaani difenda, na anajulikana kwa kasi yake, nguvu yake na uanaspoti wake. Yeye ni kaka mkubwa wa Yaya Toure, mchezaji wa kuingo cha kati katika klabu ya Barcelona na Ibrahim Touré wa klabu ya Al-Ittihad.", "question_text": "Je, Kolo Habib Toure alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}, {"text": "1981", "start_byte": 45, "limit_byte": 49}]} {"id": "9192810085796411809-0", "language": "swahili", "document_title": "Mbosso", "passage_text": "\n\n\nMbwana Yusuph Kilungi (amezaliwa 3 Oktoba,1991) ni jina la mwimbaji, mtunzi na mwanamuziki maarufu kutoka nchini Tanzania - ambaye anajulikana kwa jina lake la kisanii kama Mbosso. Umaarufu ulianza kujulikana akiwa na kundi zima la Yamoto Band ambalo ndani yake kuliwa na Aslay, Beka Flavour, Enock Bella na Mbosso. Kwa pamoja walikuwa wanaunda Yamoto Band chini ya Mkubwa Fella na Wanawe. Jina la Mkubwa na Wanawe lilikuwa na hadi sasa bado lipo hivyo hivyo kama Mkubwa na Wanawe. Ndani ya mkubwa na Wanawe kuna vipaji mbalimbali. ", "question_text": "Mwanamuziki Mbosso alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "Oktoba,1991)", "start_byte": 38, "limit_byte": 50}, {"text": "Oktoba,1991)", "start_byte": 38, "limit_byte": 50}, {"text": "Oktoba,1991)", "start_byte": 38, "limit_byte": 50}]} {"id": "3934143208121685256-0", "language": "swahili", "document_title": "Jean-Bedel Bokassa", "passage_text": "Jean Bedel Bokassa (* 22 Februari 1921 - † 3 Novemba 1996) alikuwa rais na baadaye Kaisari wa Jamhuri ya Afrika ya Kati au baadaye Milki ya Afrika ya Kati hadi kupinduliwa tar. 21 Septemba 1979.", "question_text": "Je,Jean Bedel Bokassa alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1921", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}, {"text": "1921", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}, {"text": "1921", "start_byte": 34, "limit_byte": 38}]} {"id": "1065458958501548648-2", "language": "swahili", "document_title": "Jokofu", "passage_text": "Jokofu ni kifaa kilichotengenezwa na Wazungu kuanzia katikati ya karne ya 18, na hasa mwanzoni mwa karne ya 19.", "question_text": "Je,nani alizindua friji?", "answers": [{"text": "Wazungu", "start_byte": 37, "limit_byte": 44}, {"text": "Wazungu", "start_byte": 37, "limit_byte": 44}, {"text": "Wazungu", "start_byte": 37, "limit_byte": 44}]} {"id": "4695887836506129739-25", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo", "passage_text": "Kati ya 27 Oktoba 1971 na 17 Mei 1997, chini ya utawala wa dikteta Mobutu, nchi ilijulikana kwa jina la \"Zaire\".", "question_text": "Rais wa Kongo mwaka wa 1971 alikuwa nani?", "answers": [{"text": "dikteta Mobutu", "start_byte": 59, "limit_byte": 73}, {"text": "Mobutu", "start_byte": 67, "limit_byte": 73}, {"text": "Mobutu", "start_byte": 67, "limit_byte": 73}]} {"id": "2724641298360160408-0", "language": "swahili", "document_title": "Mtume Thoma", "passage_text": "\n\nThoma (au Didimo, yaani Pacha) alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa kama mtakatifu, kwa namna ya pekee na Wakristo wa maeneo yaliyokuwa mashariki kwa Dola la Roma, kuanzia Iraq hadi India.", "question_text": "Mtume Thoma alikuwa nani?", "answers": [{"text": "mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa kama mtakatifu", "start_byte": 64, "limit_byte": 126}, {"text": "Myahudi wa karne ya 1, mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa kama mtakatifu", "start_byte": 41, "limit_byte": 126}, {"text": "alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mmojawapo kati ya Mitume wa Yesu anayeheshimiwa kama mtakatifu, kwa namna ya pekee na Wakristo wa maeneo yaliyokuwa mashariki kwa Dola la Roma, kuanzia Iraq hadi India", "start_byte": 33, "limit_byte": 231}]} {"id": "4684129642897079443-8", "language": "swahili", "document_title": "Pablo Picasso", "passage_text": "Picasso alioa mara mbili lakini alikuwa na wapenzi wengi. Alizaa watoto wanne na wake watatu.\n\nBaada ya kuhamia Paris alibaki huko akakataa kurudi Hispania kwa sababu alimchukia dikteta Francisco Franco. Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alikaa Paris chini ya utawala wa Wajerumani na wakati ule hakuweza kuonyesha kazi zake kwa sababu siasa ya Ujerumani ilichukia mtindo wake. 1945 alijiunga na chama cha Kikomunisti abakabi mkomunisti hata kama pia siasa ya Umoja wa Kisovyeti haikupenda mtindo wake.", "question_text": "Je,Pablo Ruiz Picasso alikuwa na watoto wangapi?", "answers": [{"text": "wanne", "start_byte": 72, "limit_byte": 77}, {"text": "wanne", "start_byte": 72, "limit_byte": 77}, {"text": "wanne", "start_byte": 72, "limit_byte": 77}]} {"id": "-4586383338054944680-0", "language": "swahili", "document_title": "Thiago Silva", "passage_text": "\nThiago Silva (alizaliwa 22 Septemba 1984) ni mchezaji wa soka wa Brazil ambaye anacheza kama mlinzi wa kati katika timu ya taifa ya Brazil.", "question_text": "Thiago Silva alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1984", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1984", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}, {"text": "1984", "start_byte": 37, "limit_byte": 41}]} {"id": "-7825748147304467003-0", "language": "swahili", "document_title": "Milima ya Upare", "passage_text": "Milima ya Upare iko kaskazini mwa Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro. ", "question_text": "Milima ya Upare inapatikana mkoa gani?", "answers": [{"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 58, "limit_byte": 69}, {"text": "Kilimanjaro", "start_byte": 58, "limit_byte": 69}]} {"id": "-724365032160601626-3", "language": "swahili", "document_title": "Cherehani", "passage_text": "Cherahani ya kwanza ilitengenezwa mwaka 1790 na mwingereza Thomas Saint na baadaye ikaendelea kuboreshwa ili iwe ya kufana Zaidi na kufanya kazi kwa haraka zaidi.", "question_text": "Cherehani ya kwanza ilitengenezwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1790", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}, {"text": "1790", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}, {"text": "1790", "start_byte": 40, "limit_byte": 44}]} {"id": "2783268773388022056-3", "language": "swahili", "document_title": "Geoffrey William Griffin", "passage_text": "Griffin alipata elimu isiyo ya juu sana: baada ya kuacha shule mapema, alijiunga, kwanza, na Usoroveya wa Kenya, na kisha King's African Rifles. Baada ya kutumikia wakati wa dharura, alikuja kushawishika na haki ya vuguvugu la Mau Mau, na kuchoshwa na ukatili wa vita.[1] Hakuendelea na tume yake, na alianza kushiriki katika jitihada za kukarabati wapiganaji wa zamani waliokamatwa, au walioachiliwa hivi karibuni kutoka kambi za uzuizi. Baada ya miaka kadhaa, aligeuza harakati zake kwa watoto waliofanywa yatima na vita, na kuanzishaa kituo cha kuwaokoa , kilichokua chanzo cha Starehe.", "question_text": "Dkt Geoffrey William Griffin alisomea nchi gani?", "answers": [{"text": "Kenya", "start_byte": 106, "limit_byte": 111}, {"text": "Kenya", "start_byte": 106, "limit_byte": 111}, {"text": "Kenya", "start_byte": 106, "limit_byte": 111}]} {"id": "-9019015313202526291-0", "language": "swahili", "document_title": "Jack Wilshere", "passage_text": "Jack Andrew Wilshere (amezaliwa 1 Januari 1992 katika sehemu ya Stevenage, Hertfordshire) ni mwanakandanda wa Uingereza anayeichezea klabu ya Arsenal ya ligi kuu ya Uingereza. Kwa kawaida yeye hucheza kama kiungo wa kati anayeshambulia na hutumia mguu wa kushoto sanasana.", "question_text": "Je,Jack Andrew Wilshere alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1992", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}, {"text": "1992", "start_byte": 43, "limit_byte": 47}, {"text": "1 Januari 1992", "start_byte": 33, "limit_byte": 47}]} {"id": "8750237848224463400-5", "language": "swahili", "document_title": "Chris Okotie", "passage_text": "Okotie aligombea kiti cha Urais mara ya kwanza akitumia tikiti ya chama cha Justice; lakini alishindwa na Olusegun Obasanjo katika uchaguzi mkuu wa Mei 2003. Alijaribu tena mwaka 2007 kama mwanachama wa 'Fresh Democratic' lakini alishindwa na Umaru Yar'Adua katika uchaguzi mkuu wa Mei 2007.", "question_text": "Mchungaji Chris Okotie aligombea kiti cha urais mwaka gani?", "answers": [{"text": "2003. Alijaribu tena mwaka 2007", "start_byte": 152, "limit_byte": 184}, {"text": "2003. Alijaribu tena mwaka 2007", "start_byte": 152, "limit_byte": 184}]} {"id": "-6191349151911544496-2", "language": "swahili", "document_title": "Christopher Richard Mwashinga", "passage_text": "Christopher R. Mwashinga alisoma katika shule ya msingi Ngare-Nairobi, mkoani Kilimanjaro. Alihitimu elimu ya sekondari katika shule za Igawilo Sekondari iliyoko jijini Mbeya 1988 (kidato cha nne) na Shule ya Sekondari ya Wavulana Songea 1991(kidato cha sita). Alipomaliza masomo ya sekondari, alijiunga na Chuo Kikuu Arusha kusomea theolojia mwaka 1993. Mwaka 1994 alihamia Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki,Baraton nchini Kenya alipotunukiwa shahada ya kwanza BA katika theolojia mwaka 1997[6]. Vile vile alitunukiwa shahada mbili za uzamili katika mambo ya theolojia,Master of Divinity MDiv (2008)[7] na Master of Arts, MA in Systematic Theology,(2010)[8],zote katika Chuo Kikuu cha Andrews kilichopo katika jimbo la Michigan nchini Marekeni; mahali ambapo baadaye alijiunga na masomo ya shahada ya juu ya Udaktari wa Falsafa (Ph.D) katika fani ya theolojia.[9]", "question_text": "Christopher Richard Mwashinga alisomea shule gani ya msingi?", "answers": [{"text": "Ngare-Nairobi", "start_byte": 56, "limit_byte": 69}, {"text": "shule ya msingi Ngare-Nairobi, mkoani Kilimanjaro", "start_byte": 40, "limit_byte": 89}, {"text": "shule ya msingi Ngare-Nairobi", "start_byte": 40, "limit_byte": 69}]} {"id": "89540625458529658-0", "language": "swahili", "document_title": "Beres Hammond", "passage_text": "Beres Hammond (aliyezaliwa kama ‘’’Hugh Beresford Hammond’’’, mnamo 28 Agosti 1955, Annotto Bay, Saint Mary, Jamaica) ni mwanamuziki wa mienendo ya reggae kutoka Jamaica ambaye hasa anajulikana sana katika mwenendo wa Lovers rock. Huku kazi yake katika fani ya muziki ikianza miaka ya 1970, alifikia mafanikio yake makuu mnamo miaka ya 1980s", "question_text": "Beres Hammond alizaliwa mwaka gani?", "answers": [{"text": "1955", "start_byte": 90, "limit_byte": 94}, {"text": "1955", "start_byte": 90, "limit_byte": 94}, {"text": "1955", "start_byte": 90, "limit_byte": 94}]} {"id": "-7566035209297521688-1", "language": "swahili", "document_title": "Amani Temba", "passage_text": "Mwanzoni alitokea kwenye kundi flani liitwalo \"Manduli Mobb\" walifanya nyimbo kadha wa kadha ikiwemo ile ya 'Maskini Jeuri' walishirikiana na 'Juma Nature' hiyo ilikuwa mwaka 2000 baadae kundi lika tawanyika na kila mtu kuanza kufanya kazi za muziki akiwa peke yake na sio na kundi tena, alio anza kutoa nyimbo yake peke alikuwa \"Bwana Mkubwa\" baadae Mh Temba nae akatoa nyimbo yake ya kwanza ilioitwa \"Nakumaindi\" ilikuwa mwaka 2001 Mwishoni ambayo ilitayarishwa na Muuandaaji Papa Lavu maarufu kama Bonny Lavu.", "question_text": "Je,Mheshimiwa Temba alianza sanaa ya mziki mwaka upi?", "answers": [{"text": "2000", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}, {"text": "2000", "start_byte": 175, "limit_byte": 179}]} {"id": "2499401869785789913-0", "language": "swahili", "document_title": "Chris Okotie", "passage_text": "Mchungaji Chris Okotie (aliyezaliwa 16 Juni 1958) amekuwa Mchungaji wakanisa la The Household of God , Lagos, Nigeria tangu Februari 1987. Amegombea kiti cha Rais wa Nchi hiyo mara mbili.", "question_text": "Mchungaji Chris Okotie ana miaka mingapi?", "answers": [{"text": "aliyezaliwa 16 Juni 1958", "start_byte": 25, "limit_byte": 49}, {"text": "16 Juni 1958", "start_byte": 37, "limit_byte": 49}, {"text": "aliyezaliwa 16 Juni 1958", "start_byte": 25, "limit_byte": 49}]} {"id": "-2671134792844015228-3", "language": "swahili", "document_title": "Chelsea F.C.", "passage_text": "Kwa kawaida Chelsea huvaa jezi ya blu, kaptula blu na soksi nyeupe. Nembo ya klabu imebadilishwa mara nyingi kulingana na wakati na kuboresha muonekano wa klabu. Nembo ya sasa inaonesha picha ya simba akiwa amebeba mkuki. \nTangu Julai 2003, Chelsea imekuwa ikimilikiwa na Bilionea wa Kirusi, Roman Abramovich.", "question_text": "Je,mmiliki wa klabu ya Chelsea anaitwa nani?", "answers": [{"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}, {"text": "Roman Abramovich", "start_byte": 292, "limit_byte": 308}]} {"id": "-3975433380149139037-0", "language": "swahili", "document_title": "Medard Matogolo Kalemani", "passage_text": "Medard Matogolo Kalemani (amezaliwa 15 Machi 1968) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Chato kuanzia mwaka 2015 hadi 2020. [1]", "question_text": "Medard Matogolo Kalemani alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "tanzania", "start_byte": 66, "limit_byte": 74}, {"text": "tanzania", "start_byte": 66, "limit_byte": 74}]} {"id": "-1593487110603822540-1", "language": "swahili", "document_title": "Kolo Toure", "passage_text": "Alizaliwa katika sehemu ya Bouaké, na baada ya jaribio wa muda mfupi, Toure alijiunga na Arsenal mnamo Februari 2002 kutoka ASEC Mimosas kwa paundi £ 150,000. Alipata kibali cha kazi cha Uingereza kutokana na status yake ya kuwa mchezaji wa kimataifa aliyekamilika. Awali alichezeshwa kama mchezaji wa kiungo cha kati wa kushambulia au kama mshambuliaji.", "question_text": "Kolo Habib Toure alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Bouaké", "start_byte": 27, "limit_byte": 34}, {"text": "Bouaké", "start_byte": 27, "limit_byte": 34}]} {"id": "3899619180180753631-0", "language": "swahili", "document_title": "Luís de Camões", "passage_text": "\nLuís Vaz de Camões (1524 – 10 Juni 1580) alikuwa mshairi Mreno anayesifiwa kama mshairi mkubwa katika historia ya Ureno. Alilinganishwa na Homer, Virgil na Dante. Aliandika mashairi kwa Kireno na Kihispania na utenzi mkubwa wa Os Lusíadas yaani safari za mabaharia Wareno walioongozwa na Vasco da Gama wakielekea Uhindi kupitia Rasi ya Tumaini Jema na pwani la Afrika ya Mashariki.[1]", "question_text": "Je,Luís Vaz de Camões alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1524", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}, {"text": "1524", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}, {"text": "1524", "start_byte": 23, "limit_byte": 27}]} {"id": "-6645520349180277800-6", "language": "swahili", "document_title": "Gerard Pique", "passage_text": "Tarehe 27 Mei 2008, Piqué alisaini mkataba wa miaka minne na Barcelona, na kifungu cha € 5 milioni cha kumnunua.na kulipwa mshahara wa £ milioni 5 kwa mchezaji huyo. Alielezea furaha yake katika kusaini tena na klabu yake ya udogo, alisema kuwa amefurahi kuhamia Barcelona. Mchezaji Gerard Pique alizaliwa tarehe 2 februari 1987 huko Barcelona Spain.", "question_text": "Je,Gerard Piqué Bernabéu alijiunga na klabu ya Barcelona mwaka upi?", "answers": [{"text": "2008", "start_byte": 14, "limit_byte": 18}, {"text": "2008", "start_byte": 14, "limit_byte": 18}]} {"id": "6630679718624618156-0", "language": "swahili", "document_title": "Pablo Picasso", "passage_text": "Pablo Ruiz Picasso (25 Oktoba 1881 - 8 Aprili 1973) alikuwa mchoraji mashuhuri na pia mchongaji wa Hispania. Jina lake kamili ni Pablo Diego José Francisco de Paula Juan Nepomuceno María de los Remedios Cipriano de la Santísima Trinidad Clito Ruiz y Picasso.", "question_text": "Je, Pablo Ruiz Picasso alizaliwa lini?", "answers": [{"text": "1881", "start_byte": 30, "limit_byte": 34}, {"text": "25 Oktoba 1881", "start_byte": 20, "limit_byte": 34}, {"text": "25 Oktoba 1881", "start_byte": 20, "limit_byte": 34}]} {"id": "2451644010904704727-0", "language": "swahili", "document_title": "Shaw Hassan", "passage_text": "\n\n\nShaw Hassan Shaw Rwamboh (25 Septemba 1959) ni mpigaji kinanda na gitaa maarufu kutoka nchini Tanzania. Huenda akawa anajulikana zaidi kwa wapenzi wa Vijana Jazz wanakumbuka vile vipande vya kinanda vilivyokuwa vikianzisha zile nyimbo mbili alizokuwa akiimba Kida Waziri, Penzi Haligawanyiki na Shingo Feni, ile ni kazi ya Shaw Hassan Shaw Rwamboh. ", "question_text": "Shaw Hassan Shaw Rwamboh alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1959", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1959", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}, {"text": "1959", "start_byte": 42, "limit_byte": 46}]} {"id": "-630214751297489974-1", "language": "swahili", "document_title": "Orange Democratic Movement", "passage_text": "ODM ilianzishwa na chama cha Uhuru Kenyatta, KANU na chama cha Raila Odinga, LDP, lakini chama cha KANU kiliweza kujiondoa, na waliobaki waligawanyika katika makundi haya mawili yanayoongozwa na Raila Odinga (ODM; ndio wengi zaidi) na Kalonzo Musyoka (ODM-Kenya). Sababu ya farakano ilikuwa suala la nani atakuwa mgombea wa urais upande wa ODM.", "question_text": "Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement ni nani?", "answers": [{"text": "Raila Odinga", "start_byte": 195, "limit_byte": 207}, {"text": "Raila Odinga", "start_byte": 63, "limit_byte": 75}]} {"id": "287264305087079555-0", "language": "swahili", "document_title": "Ruhollah Khomeini", "passage_text": "Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini (Kifarsi: آیت الله روح الله موسوی خمینی‎) (* 24 Septemba 1902 mjini Khomein; 3 Juni 1989 Tehran) alikuwa kiongozi wa mapinduzi ya Uajemi ya 1979 na baadaye kiongozi wa kiroho wa Jamhuri ya Kiislamu ya Uajemi hadi kifo chake.", "question_text": "Je,Ayatollah Ruhollah Musawi Khomeini aliaga dunia mwaka upi?", "answers": [{"text": "1989", "start_byte": 145, "limit_byte": 149}, {"text": "1989", "start_byte": 145, "limit_byte": 149}]} {"id": "8833514152167173918-7", "language": "swahili", "document_title": "Moroko", "passage_text": "Mji mkuu ni Rabat wenye wakazi milioni 1.2. Mji mkubwa ni Casablanca (kwa Kiarabu: الدار البيضاء dar al-baiDa = nyumba nyeupe). Miji yote miwili mikubwa ni miji ya bandari.", "question_text": "Je,mji mkubwa wa Morocco ni upi?", "answers": [{"text": "Casablanca", "start_byte": 58, "limit_byte": 68}, {"text": "Casablanca", "start_byte": 58, "limit_byte": 68}]} {"id": "-8548899591211415902-1", "language": "swahili", "document_title": "Iceland", "passage_text": "Eneo lake ni km² 103,000 lakini idadi ya watu ni laki tatu pekee. ", "question_text": "Je,inchi ya Iceland ina idadi ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "laki tatu", "start_byte": 50, "limit_byte": 59}, {"text": "laki tatu", "start_byte": 50, "limit_byte": 59}]} {"id": "-3387478098901296228-1", "language": "swahili", "document_title": "William Ruto", "passage_text": "Yeye alikuwa Katibu Mkuu wa Kenya African National Union, chama cha siasa kilichotawala zamani, na alikuwa mbunge wa Eldoret Kaskazini tangu mwaka wa 1997.", "question_text": "Je,William Samoei arap Ruto alikuwa mbunge wa wapi?", "answers": [{"text": "Eldoret Kaskazini", "start_byte": 117, "limit_byte": 134}, {"text": "Eldoret Kaskazin", "start_byte": 117, "limit_byte": 133}, {"text": "Eldoret Kaskazini", "start_byte": 117, "limit_byte": 134}]} {"id": "-6331528941632887532-36", "language": "swahili", "document_title": "Historia ya Eritrea", "passage_text": "Baada ya kura ya wakazi wa Eritrea kukubali karibu kwa kauli moja, uhuru wa nchi ulitangazwa tarehe 24 Mei 1993 na kukubaliwa kimataifa.", "question_text": "Eritrea ilipata uhuru mwaka upi?", "answers": [{"text": "24 Mei 1993", "start_byte": 100, "limit_byte": 111}, {"text": "1993", "start_byte": 107, "limit_byte": 111}, {"text": "24 Mei 1993", "start_byte": 100, "limit_byte": 111}]} {"id": "-7474286649397936228-0", "language": "swahili", "document_title": "Wade Williams", "passage_text": "\nWade Andrew William (amezaliwa tar. 24 Desemba 1961) ni mwigizaji wa filamu na tamthiliya kutoka nchini Marekani. Kkwa sasa amevaa uhusika wa nyota kwenye tamthiliya ya Prison Break ya Fox akiwa kama Captain Brad Bellick.", "question_text": "Je,Wade Andrew William alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}, {"text": "1961", "start_byte": 48, "limit_byte": 52}]} {"id": "-6809450373266970653-0", "language": "swahili", "document_title": "Kalivari", "passage_text": "\n\n\nKalivari au Golgotha ni mahali nje ya Yerusalemu wa zamani panaposadikiwa Yesu alisulubiwa akazikwa.", "question_text": "Je,Yesu alisulubishwa katika mlima upi?", "answers": [{"text": "Kalivari au Golgotha", "start_byte": 3, "limit_byte": 23}, {"text": "Kalivari au Golgotha", "start_byte": 3, "limit_byte": 23}]} {"id": "-2704609980011275230-1", "language": "swahili", "document_title": "Nairobi", "passage_text": "Kulingana na sensa ya mwaka 2009, Nairobi ina wakaaji 3,138,295 katika eneo la km2 696 (sq mi 269). ", "question_text": "Nairobi ina idai ya watu wangapi?", "answers": [{"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}, {"text": "3,138,295", "start_byte": 54, "limit_byte": 63}]} {"id": "3309931017228333709-6", "language": "swahili", "document_title": "Kwaresima", "passage_text": "Hayo yalikamilishwa na Yesu katika Agano Jipya kama kiongozi na mkombozi wa wote. Kabla hajaanza utume wake, yeye pia alifunga siku 40 jangwani akijilisha matakwa ya Baba ili ayatekeleze na kuwatangazia watu wote.", "question_text": "Yesu alifunga siku ngapi jangwani?", "answers": [{"text": "40", "start_byte": 132, "limit_byte": 134}, {"text": "siku 40", "start_byte": 127, "limit_byte": 134}]} {"id": "-3291229418330703207-0", "language": "swahili", "document_title": "Mary Lynn Rajskub", "passage_text": "\nMary Lynn Rajskub (muda mwigine hujiita kama Marylynn Rajskub) (amezalia tar. 22 Juni 1971) ni mwigizaji wa filamu na tamthilia kutoka nchini Marekani. Huyu ni msanii na mchekashaji wa vitimbi vya kusimama. Ana asili ya Kicheki na Kiireland. Anafahamika zaidi kwa kucheza kama Chloe O'Brian kutoka katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama 24.", "question_text": "Mary Lynn Rajskub alizaliwa mwaka upi?", "answers": [{"text": "1971", "start_byte": 88, "limit_byte": 92}, {"text": "1971", "start_byte": 88, "limit_byte": 92}, {"text": "22 Juni 1971", "start_byte": 80, "limit_byte": 92}]} {"id": "-1172966047081785759-0", "language": "swahili", "document_title": "Sibusiso Zuma", "passage_text": "Sibusiso Wiseman Zuma (amezaliwa 23 Juni 1975 katika mji wa Durban, KwaZulu-Natal) ni mwanakandanda mtaalamu wa Afrika Kusini anayeichezea klabu ya kandanda ya Kideni Superliga inayoitwa FC Nordsjælland.", "question_text": "Sibusiso Wiseman Zuma alizaliwa wapi?", "answers": [{"text": "Durban, KwaZulu-Natal", "start_byte": 61, "limit_byte": 82}, {"text": "Durban, KwaZulu-Natal", "start_byte": 61, "limit_byte": 82}, {"text": "Durban, KwaZulu-Natal", "start_byte": 61, "limit_byte": 82}]} {"id": "2248872011545548685-0", "language": "swahili", "document_title": "Royal York", "passage_text": "Hoteli ya Fairmont Royal York (hujulikana kwa kawaida kama \"Royal York\"), ilijulikana hapo zamani kama Hoteli ya Royal York, ni hoteli kubwa na yenye historia katika eneo la Toronto,Ontario nchini Kanada katika barabara ya 100 Front Street West.", "question_text": "Je,hoteli ya Fairmont Royal York iko katika sehemu gani katika eneo la Toronto?", "answers": [{"text": "100 Front Street West", "start_byte": 223, "limit_byte": 244}, {"text": "Ontario", "start_byte": 182, "limit_byte": 189}, {"text": "Ontario nchini Kanada katika barabara ya 100 Front Street West", "start_byte": 182, "limit_byte": 244}]} {"id": "-488971171425362794-1", "language": "swahili", "document_title": "Bunge la Tanzania", "passage_text": "Bunge linamjumuisha rais wa Tanzania pamoja na wabunge. Mnamo mwaka 2017 kuna wabunge 393[1] wanaoingia kwa namna tofauti [2]", "question_text": "Bunge la Tanzania lina wabunge wangapi kwa jumla?", "answers": [{"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}, {"text": "393", "start_byte": 86, "limit_byte": 89}]} {"id": "-5997150607532124759-1", "language": "swahili", "document_title": "Royal York", "passage_text": "Ilifunguliwa tarehe 11 Juni 1929, mipango ya Royal York ilichorwa na kupangwa na wataalamu wa kazi hiyo Ross na Macdonald(pamoja na Sproatt na Rolph) na ikajengwa na shirika la reli la Canadian Pacific Railway karibu na stesheni ya Union Station. Likiwa ma magorofa 28, jengo hilo lenye muundo wa Château lilikuwa jengo kubwa kabisa katika ufalme wa Uingereza mpaka walipojenga mnara wa Benki ya Kanada jijini Toronto kwenye barabara ya King Street.", "question_text": "Je,Hoteli ya Fairmont Royal York ilizinduliwa lini?", "answers": [{"text": "11 Juni 1929", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}, {"text": "1929", "start_byte": 28, "limit_byte": 32}, {"text": "11 Juni 1929", "start_byte": 20, "limit_byte": 32}]} {"id": "-6670073491082790873-1", "language": "swahili", "document_title": "Fly Me to the Moon", "passage_text": "Wimbo huu ulirekodiwa kwa mara ya kwanza mwaka 1954, na Kaye Ballard na kuuzwa na Decca Records kama kijisehemu cha single kilichokuwa na namba 29114. Mnamo mwaka 1956, wimbo huu ulirekodiwa kwa mara ya pili na Portia Nelson katika albamu yake ya ‘Let Me Love You’ na katika mwaka huo huo, mwanamuziki mwingine aliyejulikana kama Johnny Mathis alirekodi wimbo huom kwa mara nyingine tena, hii ikawa ni mara ya kwanza kwa jina la ‘’Fly Me to the Moon’’ kutokezea katika kava la juu la rekodi hiyo", "question_text": "Fly Me to the Moon uliimbwa ulirekodiwa na nani?", "answers": [{"text": "Kaye Ballard", "start_byte": 56, "limit_byte": 68}, {"text": "Kaye Ballard", "start_byte": 56, "limit_byte": 68}, {"text": "Kaye Ballard", "start_byte": 56, "limit_byte": 68}]} {"id": "1014536159992224980-2", "language": "swahili", "document_title": "Kiebrania", "passage_text": "Kiebrania ni lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania. Sehemu hiyo ya Kiebrania pamoja na sehemu ndogo ya Kiaramu huitwa \"Tanakh\" katika mapokeo ya Kiyahudi na imo katika Agano la Kale ya Biblia ya Kikristo.", "question_text": "Neno kiebrania iko na maana gani?", "answers": [{"text": "lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania", "start_byte": 13, "limit_byte": 106}, {"text": "iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania", "start_byte": 19, "limit_byte": 106}, {"text": "Kiebrania ni lugha iliyotumika kuandikia Torati na sehemu kubwa ya maandiko mengine ya Biblia ya Kiebrania", "start_byte": 0, "limit_byte": 106}]} {"id": "-1358706568760314929-1", "language": "swahili", "document_title": "Bob Marley", "passage_text": "Bob Marley alizaliwa na mama mweusi kijana aliyeitwa Cedella Booker na baba wa Kizungu aliyeitwa Norvall Marley. Wakati yungali bwana mdogo, marafiki zake walimpa jina la utani kama \"Tuff Gong\".[1] Alianza kazi zake za muziki kunako miaka ya 1960 hivi akiwa na kundi lake la kina [[Wailing Wailers]], ambalo alilianzisha akiwa na marafiki wawili, Peter Tosh na Bunny Wailer. Mwaka wa 1962, Bob Marley na kina Wailing Wailers wakafanikiwa kurekodi nyimbo zao mbili za kwanza zilizoitwa \"Judge Not\" na \"One Cup of Coffee\".", "question_text": "Je,ni wimbo gani wa kwanza kuimbwa na kundi la The Wailers?", "answers": [{"text": "Judge Not", "start_byte": 486, "limit_byte": 495}, {"text": "Judge Not", "start_byte": 486, "limit_byte": 495}, {"text": "Judge Not", "start_byte": 486, "limit_byte": 495}]} {"id": "5540654451930069854-0", "language": "swahili", "document_title": "Norwei", "passage_text": "Unowe (au Norwe au Norwei; kwa Kinorwei Norge/Noreg au rasmi huitwa Kongeriket Norge kwa Bokmål na Kongeriket Noreg kwa Nynorsk, Ufalme wa Unowe) ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini.", "question_text": "Nchi ya Norwei ipo katika bara gani?", "answers": [{"text": "Ulaya", "start_byte": 177, "limit_byte": 182}, {"text": "Ulaya ya Kaskazini", "start_byte": 177, "limit_byte": 195}]} {"id": "1288750786498500530-0", "language": "swahili", "document_title": "Michael Wamalwa Kijana", "passage_text": "Michael Wamalwa Kijana (25 Novemba 1944 - 23 Agosti 2003) alikuwa mwanasiasa nchini Kenya na wakati wa mauti yake, alikuwa Makamu wa Rais wa Kenya.", "question_text": "Michael Wamalwa Kijana alifariki akiwa na miaka mingapi?", "answers": [{"text": "25 Novemba 1944 - 23 Agosti 2003", "start_byte": 24, "limit_byte": 56}, {"text": "25 Novemba 1944 - 23 Agosti 2003", "start_byte": 24, "limit_byte": 56}]}