sentence: “ Ajifunze kubadilika Freeman Mbowe , amekuwa kiongozi muda mrefu , usiwapelekeshe wabunge wako kiasi hicho . Mbowe sentence: Trump alikua anazungumzia matamshi yaliyotolewa na spika wa baraza la wawakilishi Nancy Pelosi baada ya kukutana na wademokrats bungeni kujadili suala la uwezekano wa kumfunglia mashtaka rais . Pelosi sentence: Karibu viongozi 37 wanatarajiwa kuhudhuria mkutano huo wa siku mbili kuanzia Alhamisi kujadili mradi mkuu wa Rais Xi wakujenga barabara , reli na bandari kuunganisha nchi yake na nchi za Afrika , Ulaya na Asia , katika lengo la kuimarisha ushirikiano . Alhamisi Afrika Ulaya Asia sentence: Tamko hilo limesema kuwa Russia ilikuwa imepeleka ujumbe rasmi Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani , wakitaka haki za Aleksei Burkov ziheshimiwe . Russia Marekani Burkov sentence: Wawekezaji wana wasiwasi kuwa mvutano wa kibiashara kati ya nchi mbili zenye uchumi mkubwa kuliko nchi zote duniani zinakaribia kuanza upya kutokana na tuhuma za uongozi wa Trump . sentence: Wakati huohuo Uingereza inakabiliwa na makadirio ya kusikitisha kwamba inawezekana ikawa iliyoathiriwa vibaya zaidi na virusi vya corona katika bara la Ulaya . Uingereza Ulaya sentence: , ” amekosoa Spika . sentence: Wanaenda nchi gani ? sentence: Katika mawasiliano kupitia njia ya video iliyowaunganisha wawili hao , Sanders aliahidi kumsaidia Biden kushinda uchaguzi wa Novemba mwaka huu , akimtaja Trump kuwa mtu hatari zaidi katika historia ya hivi karibuni ya Marekani . Novemba Marekani sentence: Huko Uganda kuna mtalii , Kenya kuna mtalii ? Uganda Kenya sentence: Kufuatana na Umoja wa Mataifa karibu watu 40 wameuliwa na 260 kujeruhiwa tangu kuanza mapigano ya Aden . Umoja wa Mataifa Aden sentence: Spika : “ Waandishi na hakika hizo fedha zitarudi . sentence: Wapi kuna utalii ? sentence: Hilo niachieni mimi na hakika , kwamba hizo fedha za umma zitarudi . sentence: El Din alieleza serikali ilitumia nguvu kupita kiasi pamoja na gesi ya kutoa machozi dhidi ya waandamanaji . Din sentence: Maandamano yalianza disemba 19 mwaka jana baada ya serikali kupandisha bei ya mkate na zaidi ya watu 800 wamekamatwa kote nchini humo kwa kusihiriki kwenye maandamano Serikali ya Sudan inaongeza juhudi za kukabiliana na ghasia kwa kutumia nguvu na kumaliza maandamano yaliyoenea nchini humo kwa mujibu wa muandamanaji Nour El Din aliyehojiwa na kipindi cha VOA . disemba Sudan El Din VOA sentence: “ Tumekuwa marafiki , tumekosa kukubaliana katika baadhi ya mambo , lakini tumekuwa marafiki , ” alisema Biden . sentence: Aliomba jina lake kamili lisitumiwe kwenye taarifa hii . sentence: Awali msemaji wa polisi , Pierre Nkurikiye amethibitisha kwamba watu 38 wamefariki , lakini baadae Wizara ya Usalama wa Taifa imeandika kwenye ukurusa wake wa Twitter , kwamba maporomoko hayo yamesababisha vifo 26 , majeruhi 7 na wengine kumi hawajulikani mahali walipo . Nkurikiye Twitter sentence: g . sentence: “ Wakati hatuamini kuwa katika hatua hii , hali hiyo inahitaji kupitishwa azimio , kuna dalili zote za kututahadharisha kuwa mgogoro wa kuminywa kwa haki za binadamu unafukuta , ” imesema barua hiyo , ambayo imesainiwa na Mtandao wa kutetea haki za binadamu wa Bara la Afrika , Shirika la Amnesty International , Shirika la ARTICLE 19 , Shirika la Asian Forum for Human Rights and Development , Kituo cha Centre for Civil Liberties – Ukraine , Human Rights Watch na Tume ya International Commission of Jurists na taasisi nyingine . Afrika Amnesty International ARTICLE 19 Asian Forum for Human Rights and Development Centre for Civil Liberties Ukraine Human Rights Watch International Commission of Jurists sentence: Huko Rwanda anakosifia kuna mtalii anayekwenda ? Rwanda sentence: Sababu za kuzuka mapigano ya wiki iliyopita haifahamiki , lakini wachambuzi wanasema sehemu kubwa ya wakazi wa kusini mwa Yemen hawana tena imani na Rais Mansour na hasa bado hawaridhiki na hali kwamba walilazimishwa kuungana na kaskazini kati kati ya miaka ya 1970 . Yemen 1970 sentence: Utulivu warejea Aden Wakizungumza na shirika la habari la AFP wakazi wa Aden wanasema utulivu umerudi katika mji wao na hali ya maisha imeanza kuwa ya kawaida . Aden AFP Aden sentence: Nitafanya kila niwezalo kuhakikisha kwamba hilo linafanikiwa , Joe , ” Sanders alimwambia Biden katika video iliyowekwa kwenye wavuti wa Biden na kusambazwa kwa mitandao ya kijamii . sentence: Seneta wa jimbo la Vermont la Marekani , Bernie Sanders , Jumatatu alimuidhinisha aliyekuwa makam wa rais Joe Biden kuwa mgombea wa urais kwa chama cha Democratic . Vermont Marekani Sanders Jumatatu Biden Democratic sentence: Huu ni mzozo kati ya Trump na Wademokrats juu ya matakwa yake ya kuwa fedha zitengwe kugharamia ujenzi wa ukuta kwenye mpaka kati ya Marekani na Mexico . Marekani Mexico sentence: Tangu wakati huo viongozi hao wawili kwa siku nzima wamekuwa wakirushiana maneno kwenye majukwa na matukio mbali mbali . sentence: El Din mhandisi wa madini ambaye alishiriki maandamano katika mji mkuu wa Sudan wikiendi iliyopita alieleza maandamano yaliandaliwa na muungano wa wasomi wa Sudan - SDA na muungano wa vyama huru vya wasomi nchini humo . Din Sudan Sudan SDA sentence: Sasa bado hivi naongea na nyinyi hajarudisha fedha , kuonyesha kwamba alikuwa na nia ya kuchukuwa hizo fedha kwa hiyo arudishe hizo fedha , hilo ni jambo la haraka . sentence: Masoko ya Japan , China na Thailand yalikuwa yamefungwa kwa ajili ya siku kuu katika nchi hizo . Japan China Thailand sentence: Polisi wa Uingereza wanasema gari hilo kubwa la mizigo lilikutwa katika eneo la viwanda la Waterglade huko Grays ambako ni kiasi cha kilometa 32 mashariki ya London . Uingereza Waterglade Grays London