Baadhi ya majina katika makala haya yamebadilishwa . Kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova lakini hakichapwi tena . Hamwezi kutumikia kama watumwa Mungu na Utajiri . ” Ama kwa hakika , mwanadamu anahitaji msaada wa Mungu . “ Ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu . ” Usitazame huku na huku , kwa maana mimi ni Mungu wako . “ Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote , naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu . ” Zaidi ya hayo , msimwite mtu yeyote baba yenu duniani , kwa maana Baba yenu ni mmoja , Yule wa mbinguni . “ Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia , nao watakaa milele juu yake . ” ​ — Zaburi 37 : 29 . Nitamufanyia musaidizi , awe kikamilisho chake . ’ ( Fungua kichwa MAFUNDISHO YA BIBLIA > MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA ) ) Majina fulani yamebadilishwa katika habari hii . Yehova ni jina la Mungu kama vile inaonyeshwa katika Biblia . Mapenzi yako yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni . ’ Biblia inasema kama ‘ ujinga umefungwa pamoja na moyo wa muvulana [ kijana mwanaume ] . ’ © 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Linasaidia kufundisha watu Biblia katika dunia yote ; feza za kusaidia kazi hiyo iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa . ‘ Hangaiko katika moyo wa mutu linaufanya uiname , lakini neno njema linafanya ushangilie . ’ © 2017 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania ( b ) Tutayafikiria maswali gani katika makala hii ? ( b ) Ni nini kitakachozungumziwa katika makala ifuatayo ? Ebu ona kama unaweza kuyajibu maswali yafuatayo : Tutazungumzia nini katika makala ifuatayo ? Yesu alisema hivi : “ Hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa Baba , aliyenituma , amvute yeye . ” Lakini aliye mkubwa zaidi sana miongoni mwenu lazima awe mhudumu wenu . ( b ) Tutazungumzia maswali gani ? Nao utegemezo wa ndugu na dada zangu wa kiroho umenifariji sana . Ikiwa ndivyo unastahili pongezi . Tutazungumzia nini katika makala inayofuata ? Kwa maana nasadiki kwamba wala kifo wala uhai wala malaika wala serikali wala mambo yaliyo hapa sasa wala mambo yatakayokuja wala nguvu wala kimo wala kina wala kiumbe kingine chochote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu . ” ( b ) Tutazungumzia nini katika makala inayofuata ? Ingieni katika shangwe ya bwana wenu . ’ mimi nipo pamoja nanyi siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo . ” ( b ) Tutazungumzia mambo gani katika makala hii ? Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa ; hicho ni kitabu cha uzima . Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao . □ Inakuwaje tunapokufa ? 16 : 9 . Ni maswali gani tutakayochunguza katika makala inayofuata ? Hii ndiyo amri iliyo kuu na ya kwanza . ” Yesu alisema : “ Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe . ” ( Soma Mathayo 24 : 37 - 39 . ) 8 : 15 . ( Soma 2 Timotheo 3 : 1 - 5 , 13 . ) ( Soma Zaburi 40 : 8 - 10 . ) ( b ) Umeazimia kufanya nini ? ( b ) Ni maswali gani yatakayozungumziwa katika habari hii ? ( Soma Zaburi 19 : 7 - 11 . ) ( Soma Waefeso 5 : 15 , 16 . ) Roho yenyewe hutoa ushahidi pamoja na roho yetu kwamba sisi ni watoto wa Mungu . ” ( Soma 1 Wakorintho 10 : 13 . ) ( Soma 2 Mambo ya Nyakati 34 : 1 - 3 . ) • Mungu ana kusudi gani kwa dunia ? ( Soma 1 Timotheo 6 : 17 - 19 . ) ( Soma Yakobo 1 : 5 - 8 . ) 12 : 34 . ( Soma 2 Wakorintho 5 : 14 , 15 . ) ( Soma Waroma 13 : 1 , 2 . ) ( Soma 1 Wakorintho 2 : 10 . ) Watu wakiwa wamelala usingizi , adui yake alikuja na kupanda magugu katikati ya ngano , naye akaondoka . 15 : 8 . ( Soma 1 Wakorintho 6 : 9 - 11 . ) ( Soma 2 Wakorintho 13 : 5 . ) ‘ Alianza kuwafundisha mambo mengi . ’ ( b ) Tutachunguza nini katika habari inayofuata ? ( Soma 1 Wakorintho 15 : 58 . ) Dorkasi “ alizidi katika matendo mema na zawadi za rehema . ” Tutachunguza nini katika habari hii , na kwa nini ? ( Soma Methali 3 : 5 , 6 . ) ( Soma Waebrania 11 : 24 - 27 . ) “ Neno la Mungu liko hai nalo lina nguvu . ” — EBR . Mistari hiyo inalilinganisha Neno la Mungu na kioo ambacho tunaweza kujiangalia na kuona jinsi Yehova anavyotuona . Nilianza kujiuliza ikiwa jinsi nilivyojiona ni tofauti na jinsi Yehova alivyoniona . Mara ya kwanza , nilipinga maoni hayo mapya . Bado nilihisi kwamba sikupaswa kabisa kumtarajia Yehova anipende . Bado nilikuwa na shaka ikiwa Yehova anaweza kunipenda , lakini nilianza kufikiria fidia , au dhabihu ya ukombozi , ya Yesu . Mara moja nikakumbuka kwamba Yehova amekuwa akinivumilia kwa muda mrefu na kunionyesha kwa njia nyingi sana kwamba ananipenda . Ni kana kwamba nilikuwa ninaikataa dhabihu ambayo Yehova ametoa . Je , umesoma kwa makini matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi ? ( Soma 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 . ) ( Soma Tito 2 : 3 - 5 . ) ( Soma Waroma 7 : 21 - 23 . ) ( b ) Tutazungumuzia nini katika habari hii ? MIPANGO MINGINE INAYOHUSU MICHANGO Testama : Shirika la “ Association Les Témoins de Jéhovah ” linaweza , kupitia testama , kuachiwa uriti wa mali ao feza . ( Soma Isaya 63 : 11 - 14 . ) ( Soma Zaburi 1 : 1 - 3 . ) ( Soma Waroma 7 : 21 - 25 . ) Hakuna mutu aliye mwema , ila mumoja , Mungu . ’ ( Soma 2 Petro 2 : 5 . ) ( Soma Isaya 48 : 17 , 18 . ) ( Soma Waefeso 4 : 1 - 3 . ) ( Soma Waebrania 13 : 7 , 17 . ) Tutazungumuzia nini katika habari inayofuata ? Mbele ya kutoa zawadi kama hiyo unapaswa kwanza kupashana habari na biro ya tawi ya inchi yenu . Katika Biblia , milima inaweza kufananisha falme , ao serikali . Enyi akina baba , musiwe mukiwakasirisha watoto wenu , ili wasivunjike moyo . ’ Ili kupata habari zingine , soma sura ya 3 ya kitabu hiki : Biblia Inafundisha Kabisa Nini ? , kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova [ Picha katika ukurasa wa 16 ] ( Soma 2 Timotheo 1 : 7 . ) Ili kupata habari zingine , soma sura ya 8 ya kitabu hiki , kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova Ili kufanya hivyo mutu anapaswa kwanza kupashana habari na biro ya tawi ili ajue jinsi ya kufanya . ( Soma 1 Wathesalonike 5 : 1 - 6 . ) ( b ) Tutazungumuzia maulizo gani katika habari inayofuata ? Ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani , na wale walio katikati yake na waondoke , nao wale walio katika sehemu za mashambani wasiingie ndani . ’ Mimi mwenyewe , Yehova , nitaharakisha jambo hilo kwa wakati wake . ’ Tutazungumuzia maulizo gani katika habari hii ? Lakini kuhusu matunda ya muti wa ujuzi wa mema na mabaya usikule , kwa maana siku utakapokula , utakufa hakika . ’ ( Soma Ufunuo 14 : 6 , 7 . ) ( Soma 1 Wathesalonike 2 : 13 . ) Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini , atakaripia kwa unyoofu [ ao vizuri ] kwa ajili ya watu wapole wa dunia . ” Ili kupata habari zingine , soma sura ya 10 ya kitabu hiki , kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova “ Imani ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa . ” — EBR . ( b ) Tutajibu maulizo gani katika habari hii ? Yesu alisema hivi : “ Mahali ilipo hazina yako , ndipo moyo wako utakapokuwa pia . ” “ Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova ! ” — ZAB . Aliandika hivi : ‘ Mimi ni wa kimwili , nimeuzwa chini ya zambi . ( b ) Tutazungumuzia nini katika habari yenye kufuata ? Nitakutia nguvu . Nitakusaidia kwelikweli . Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa uadilifu [ haki ] . ’ BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI ? GAZETI HILI , Munara wa Mulinzi , linamuheshimu Yehova Mungu , Mutawala wa Ulimwengu wote . Linawafariji watu kupitia habari njema ya kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu , serikali iliyo mbinguni , utaondoa mambo yote mabaya na kuigeuza dunia hii kuwa paradiso . Tena , gazeti hili linawatia watu moyo wamuamini Yesu Kristo ; yeye alikufa ili tupate uzima wa milele na yeye sasa ni Mufalme wa Ufalme wa Mungu . Gazeti hili limekuwa likichapishwa na Mashahidi wa Yehova tangu mwaka wa 1879 , nalo halijiingize katika mambo ya siasa ao politike . Linategemea mawazo ya Biblia tu . Bebe na baba yake walikuwa wanapendana sana . Bebe aliambiwa maneno hayo na rafiki fulani wa familia yao mwenye nia ya muzuri , lakini maneno hayo yalimuumiza kuliko kumufariji ao kumutuliza moyo . Aliendelea kujiambia hivi : “ Kifo chake halikukuwa jambo la muzuri . ” Miaka mingi kisha hapo , wakati Bebe alieleza habari hiyo katika kitabu fulani , ni wazi kama alikuwa angali na huzuni nyingi . Kama vile Bebe alijionea , inaomba wakati ili kupiganisha huzuni , zaidi sana ikiwa mutu mwenye alifiwa alipendana sana na marehemu . Katika Biblia , kifo kinaitwa kwa kufaa “ adui wa mwisho . ” Kifo kinatokea na kuvuruga maisha yetu na hakuna kitu chenye kinaweza kukizuia , mara nyingi kinafika wakati hatuko tayari kabisa , na kinatunyanganya watu wenye tulipenda sana . Hakuna mutu mwenye anaweza kuepuka matokeo ya kifo . Kwa hiyo , haishangaze kuona tunajisikia kuwa hatujue la kufanya ili kupambana na kifo na matokeo yake . Pengine umekwisha kujiuliza hivi : ‘ Inaomba muda gani ili huzuni imalizike ? Namna gani ninaweza kufariji watu wenye wamefiwa ? Kuko tumaini fulani kwa ajili ya watu wenye tunapenda wenye wamekufa ? ’ Umekwisha kugonjwa kwa muda mufupi ? Maandishi ya kwanza ya Biblia yanasema kama “ Abrahamu akaanza kumuombolezea Sara na kumulilia . ” Neno “ akaanza ” linaonyesha kama iliomba wakati fulani ili kupiganisha huzuni ya kufiwa na mupendwa wake . Alihuzunika kwa “ siku nyingi , ” na watu wa familia yake hawakuweza kumufariji . Miaka mingi kisha hapo , kifo cha Yosefu kiliendelea kumuhangaisha katika akili . — Mwanzo 23 : 2 ; 37 : 34 , 35 ; 42 : 36 ; 45 : 28 . “ Bwana yangu , Robert , alikufa tarehe 09 / 07 / 2008 . Miaka sita kisha hapo ningali na huzuni katika moyo . Siwazie kama huzuni yangu ya kufiwa na Rob itaishaka siku fulani . ” — Gail , mwenye miaka 60 . “ Hata kama bibi yangu mupendwa alikufa kumepita miaka 18 , ningali ninamukumbuka na kuhuzunika juu yake . Wakati wowote ninaona kitu fulani chenye kuvutia katika uumbaji , ninamukumbuka , na ninajiuliza namna angefurahia kuona kitu chenye niko naona . ” — Etienne , mwenye miaka 84 . Kwa kweli , ni jambo la kawaida kusikia huzuni kwa muda murefu kama watu hao . Kila mutu ana namna yake ya kuhuzunika , na ni kukosa hekima kama tunahukumu namna mutu mwengine anatenda wakati anapatwa na jambo la kuhuzunisha . Na wakati uleule , inaweza kuwa muzuri tuepuke kujihukumu ikiwa namna tulitenda inaonekana kuwa yenye kupita mipaka . Kama vile habari “ Tuige Imani Yao ” katika gazeti hili inaonyesha , Isaka alikuwa angali na huzuni miaka tatu kisha kifo cha Sara , mama yake . — Mwanzo 24 : 67 . Kwa mufano , pengine watu fulani watakushauria usilie ao usionyeshe kwa njia yoyote namna unajisikia . Wengine wanaweza kukuchochea ulie na kuonyesha kabisa namna unajisikia . Biblia inaonyesha mawazo yenye usawaziko ao yenye kuwa katikati ; uchunguzi wa leo unaitika mawazo hayo . Katika desturi fulani , watu wanaona kuwa mwanaume hapaswe kulia . Lakini , kuko sababu kabisa ya kusikia haya ya kulia , hata mbele ya watu ? Wanganga wa magonjwa ya akili wanatambua kama kulia ni sehemu ya kawaida ya kuonyesha huzuni . Na kisha wakati fulani , kuonyesha huzuni kunaweza kukusaidia uendelee na maisha hata kama unajisikia mubaya sana . Lakini kuzuia huzuni kunaweza kuwa na matokeo ya mubaya kuliko kuwa na matokeo ya muzuri . Biblia haiunge mukono wazo la kwamba ni mubaya kulia ao kwamba mwanaume hapaswe kulia . Hata kama alikuwa na uwezo wa kufufua wafu , alilia mbele ya watu wakati Lazaro , rafiki yake mupendwa alikufa ! — Yohana 11 : 33 - 35 . Mara nyingi kusikia hasira ni sehemu ya huzuni , zaidi sana kama ni kifo cha kushitukia . Kuko sababu nyingi zenye zinaweza kufanya mutu mwenye alifiwa asikie hasira , kwa mufano wakati mutu mwenye kuheshimika anamuambia bila kufikiri mambo fulani yenye hayana musingi . Mwanaume mumoja wa Afrika Kusini mwenye kuitwa Mike anasema hivi : “ Nilikuwa tu na miaka 14 wakati baba yangu alikufa . Kwenye maziko , muhubiri mumoja wa kanisa la Anglikani alisema kama Mungu ana lazima ya watu wazuri na anawachukua mbele ya wakati . * Jambo hilo liliniletea hasira kwa sababu tulikuwa na lazima sana ya baba yetu . Zaidi sana kama ni kifo cha kushitukia , mutu mwenye alifiwa anaweza kuwaza tena na tena , ‘ Kifo hakingetokea kama tu nilifanya hiki ao kile . ’ Ikiwa unasumbuliwa na hasira na hali ya kujisikia kuwa ni kosa lako , ni jambo la maana uonyeshe wengine namna unajisikia . Zungumuza na rafiki mwenye atakusikiliza na kukuhakikishia kama ni jambo la kawaida kwa watu wenye walifiwa kujisikia vile . Biblia inatukumbusha hivi : “ Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote , naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu . ” — Methali 17 : 17 . Rafiki muzuri zaidi mwenye mutu ambaye alifiwa anaweza kuwa naye ni Muumbaji wetu , Yehova Mungu . Umufungulie moyo wako katika sala kwa sababu ‘ yeye anakujali [ anakuhangaikia ] . ’ Tena , anaahidi kama watu wote wenye wanafanya vile watafarijiwa kupitia “ amani ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote . ” Umuache pia Mungu akusaidie kupona kupitia Neno lake lenye kufariji , ni kusema , Biblia . Kuwaza sana juu ya maandiko hayo kunaweza kukusaidia zaidi sana usiku wakati uko peke yako na haupate usingizi . — Isaya 57 : 15 . Hivi karibuni , mwanaume wa miaka 40 mwenye tunaweza kuita Jack , alifiwa na bibi yake kwa sababu ya ugonjwa wa kansere . Anafasiria hivi : “ Wakati ninasali kwa Yehova , sijisikie tena kuwa peke yangu . Mara nyingi , ninaamuka usiku na ninashindwa kuenda kulala tena . Kisha kusoma na kuwaza sana juu ya mawazo yenye kufariji ya Maandiko na kufungua moyo wangu katika sala , ninajisikia mwenye kutulia na amani yenye kupita zote inashuka juu yangu , na kufanya akili yangu na moyo wangu vipumuzike na kuniwezesha kulala . ” Kijana mumoja mwanamuke mwenye kuitwa Vanessa alifiwa na mama yake kwa sababu ya ugonjwa . Yeye pia alijionea nguvu ya sala . Anasema hivi : “ Katika wakati mugumu zaidi , nilikuwa tu naita jina la Mungu na kuanza kulia . Yehova alisikiliza sala zangu na sikuzote alinipatia nguvu yenye nilikuwa nayo lazima . ” Watu fulani ambao wanashauria watu wenye walifiwa , wanawaambia kama ili kupiganisha huzuni , wajikaze kusaidia wengine ao kutumia wakati wao katika kazi zenye kuletea wengine faida . Kufanya vile kunaleta furaha na kunaweza kupunguza huzuni ya mutu . Wakristo wengi wenye walifiwa wametambua kama kujikaza kusaidia wengine kumewafariji sana . — 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 . Mungu hafurahi wakati anaona unateseka . — Zaburi 55 : 22 ; 1 Petro 5 : 7 . Mungu anasikiliza kwa uvumilivu sala za watumishi wake . — Zaburi 86 : 5 ; 1 Wathesalonike 5 : 17 . Mungu anatamani kufufua watu wenye wamekufa . — Ayubu 14 : 13 - 15 . Mungu anaahidi kufufua watu wenye wamekufa . — Isaya 26 : 19 ; Yohana 5 : 28 , 29 . Umekwisha kujisikia kuwa haujue namna ya kusaidia mutu fulani mwenye kuhuzunika kwa sababu ya kifo cha mutu mwenye anapenda ? Wakati fulani tunaweza kuona kuwa hatujue tuseme nini ao tufanye nini , kwa hiyo tunabakia bila kusema ao kufanya jambo lolote . Lakini kuko mambo yenye kufaa , na yenye kusaidia ambayo tunaweza kufanya . Mara nyingi , jambo la lazima ni kuwa hapo na kusema tu maneno mepesi kama vile , “ pole sana . ” Katika desturi nyingi , kukumbatia mutu mwenye alifiwa ao kumusalimia na mukono kwa upole ni njia ya muzuri ya kuonyesha kama unamuhangaikia . Kama mutu mwenye alifiwa anataka kuzungumuza , umusikilize kwa huruma . Na jambo la muzuri zaidi , ufanye kazi fulani kwa ajili ya watu wa familia wenye walifiwa , pengine kazi yenye hawakuweza kufanya , kama vile kupika chakula , kuhangaikia watoto , ao kusaidia katika mipango ya maziko kama ni lazima kufanya vile . Matendo hayo yanaweza kuwa na matokeo ya muzuri kuliko maneno yenye kupangwa muzuri sana . Kisha wakati fulani , unaweza kuzungumuza juu ya mutu mwenye alikufa , pengine kwa kukazia sifa zake fulani za muzuri ao mambo fulani ya kufurahisha yenye mulifanya pamoja . Kwa mufano , Pam alifiwa na bwana yake , Ian , kumepita miaka sita . Anasema hivi : “ Wakati fulani watu wananiambia mambo ya muzuri yenye Ian alifanya yenye nilikuwa sijue , na hilo linafanya moyo wangu ufurahi . ” Kulingana na ripoti moja ya wachunguzi , watu wenye walifiwa wanapata musaada wa kwanza tu , lakini mambo yenye wako nayo lazima yanasahauliwa haraka wakati marafiki wanarudilia mambo yenye kuhusu maisha yao wenyewe . Kwa hiyo , kisha rafiki yako kufiwa , ujikaze kuzungumuza naye mara kwa mara . * Watu wengi wenye walifiwa wanafurahia sana nafasi hiyo ili kumaliza huzuni yao ya muda murefu . Mumoja kati yao mwenye kuitwa Ritsuko ni mukubwa sana kumupita . Alifanya naye urafiki wa sana . Kaori anasema hivi : “ Kusema kweli , sikufurahia jambo hilo . Sikupenda mutu yeyote akamate nafasi ya mama yangu , na sikuwazia kama mutu fulani angeweza kufanya vile . Lakini , nilifikia kumukaribia sana Mama Ritsuko kwa sababu ya namna alinitendea . Kila juma , tulienda katika kazi ya kuhubiri pamoja na tulienda kwenye mikutano ya Kikristo pamoja . Mara nyingi , aliniita ili tukunywe chai pamoja , aliniletea chakula , na kuniandikia barua . Mawazo ya muzuri ya Mama Ritsuko yalinisaidia sana . ” Kumepita miaka 12 tangu mama yake na Kaori alikufa , na leo yeye na bwana yake ni wahubiri wa wakati wote . Kaori anasema hivi : “ Mama Ritsuko anaendelea kunihangaikia . Wakati ninarudia nyumbani , ninamutembelea kila mara na kufurahia urafiki wenye kujenga . ” Poli , Shahidi wa Yehova katika inchi ya Saiprasi , na yeye pia alipata faida kwa sababu wengine waliendelea kumusaidia . Jambo la huzuni ni hili : wakati Sozos alikuwa na miaka 53 alikufa kwa sababu sehemu moja kwenye ubongo wake ilikuwa yenye kuvimba . Hata hivyo , walitukaribia na kutuambia maneno yenye kufariji na kutusaidia . Musaada huo ulikuwa wa maana , zaidi sana wakati huo wenye mutoto wangu mwanaume alikuwa na lazima ya baba yake ! Wale wenye kuongoza katika kutaniko walimuhangaikia Daniel sana . Zaidi sana mumoja wao hakumusahau Daniel wakati alipenda kupitisha wakati pamoja na marafiki ao wakati alienda kucheza nao kabumbu . ” Leo , mama na mutoto , wote wawili wanaendelea muzuri . Kwa kweli , kuko namna nyingi za kusaidia na kufariji watu wenye walifiwa . Biblia inatufariji pia kupitia tumaini la muzuri sana la wakati unaokuja . Watu fulani wametia hata alama kwenye tarehe ya kifo cha mutu fulani kwenye kalenda yao ili wakumbuke tarehe hiyo na kufariji mutu mwenye alifiwa wakati anakuwa na lazima zaidi ya kufarijiwa , tarehe hiyo ao wakati inakaribia . Hivi karibuni , Mungu atarudishia Ayubu na watu wengine wengi uzima , wakati dunia hii itageuzwa kuwa paradiso . Katika andiko la Matendo 24 : 15 , Biblia inahakikisha hivi : ‘ Kutakuwa ufufuo . ’ Yesu anatuhakikishia hivi : ‘ Musistaajabie [ musishangae ] jambo hili , kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote walio ndani ya makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake na kutoka . ’ Atakuwa na tumaini la kuwa tena na “ nguvu za ujana wake ” na nyama ya mwili wake itabakia sikuzote “ laini [ teketeke ] kuliko wakati wa ujana . ” Itakuwa vile pia kwa watu wote wenye wanaonyesha shukrani kwa ajili ya mupango wa Mungu wenye huruma wa kufufua watu ili waishi tena duniani . Kama umekwisha kuhuzunika sana kwa sababu ya kifo cha mutu mwenye unapenda , pengine mambo yenye tumezungumuzia hayatamaliza kabisa - kabisa huzuni yako . Lakini , ukiwaza sana juu ya ahadi za Mungu zenye kuwa katika Biblia , unaweza kupata tumaini la kweli na nguvu ya kuendelea na maisha . — 1 Wathesalonike 4 : 13 . Unapenda kujua mengi juu ya namna ya kupiganisha huzuni ? Ao uko na maulizo juu ya jambo hilo , kama vile “ Sababu gani Mungu anaacha mambo mabaya na mateso yaendelee ? ” Tafazali , fungua adresi yetu ya Internete , jw.org , ili uone majibu ya Biblia yenye kufariji na yenye kusaidia . “ Mungu . . . atafuta kila chozi kutoka katika macho yao , na kifo hakitakuwapo tena . ” — Ufunuo 21 : 3 , 4 . Gazeti hili Munara wa Mulinzi linaonyesha namna Mungu atatimiza ahadi hiyo na pia faida unaweza kupata . HABARI KUBWA | SABABU GANI YESU ALITESEKA NA KUFA ? Katika mwaka wa 33 , Yesu wa Nazarethi aliuawa . Alishitakiwa kwa uongo kama anachochea watu kupinga serikali , alipigwa kama nyama , na kutundikwa kwenye muti . Lakini Mungu alimufufua , na kisha siku 40 , alipanda mbinguni . Habari hiyo ya pekee inazungumuziwa katika vitabu ine vya Injili vya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo , yenye watu wengi wanaita Agano Jipya . Lakini kama mambo hayo yalitokea kabisa , wanadamu wako na tumaini la muzuri juu ya wakati unaokuja ; wewe pia unaweza kuishi wakati huo . Kwa hiyo , habari za vitabu vya Injili ni za kweli ao ni za kuwazia tu ? Tofauti na habari za kuwazia , maandishi ya vitabu vya Injili yanaeleza habari za kweli kabisa na hata mambo madogo - madogo . Kwa mufano , maandishi hayo ya Injili yanajaa majina ya nafasi za kweli , na nafasi nyingi kati ya hizo zinaweza kutembelewa leo . Yanazungumuzia watu wa kweli , na wanahistoria wa ulimwengu wanahakikisha kama watu hao waliishi . — Luka 3 : 1 , 2 , 23 . Yesu mwenyewe anazungumuziwa na waandikaji wa ulimwengu wa mwaka kati ya 1 na 200 . * Namna Yesu aliuawa , kama vile inaonyeshwa katika vitabu vya Injili , inapatana na namna Waroma walikuwa wanaua watu wakati huo . Tena , mambo yenye yalitokea yanaelezwa kwa uaminifu na kwa ukweli ; hata makosa ya wanafunzi fulani wa Yesu yanaonyeshwa . Mambo hayo yote yanaonyesha kabisa kama waandikaji wa vitabu vya Injili walikuwa waaminifu na hawakukosea kuhusu mambo waliandika juu ya Yesu . Hata kama watu wengi wanaitika kuwa Yesu aliishi na alikufa , wengine wanaweza kuwa na mashaka juu ya ufufuo wake . Hata mitume wake hawakuamini wakati waliambiwa kwa mara ya kwanza kama Yesu alifufuka . Lakini , mashaka yote yaliisha wakati watu fulani na wanafunzi wengine walimuona kwa wakati mbalimbali Yesu mwenye alikuwa amefufuliwa . Kwa kweli , wakati fulani kulikuwa watu zaidi ya 500 wenye walimuona . — 1 Wakorintho 15 : 6 . Hata kama wanafunzi wa Yesu walikuwa katika hatari ya kufungwa na kuuawa , walitangaza kwa ujasiri ufufuo wa Yesu kwa watu wote , na kwa wenye walimuua . Wanafunzi hao wengi wangekuwa na ujasiri ikiwa hawakukuwa hakika kama Yesu alifufuliwa kabisa ? Kusema kweli , ufufuo wa Yesu ulitokea kabisa , hilo ndilo jambo lenye lilifanya Ukristo ukuwe na matokeo makubwa wakati huo na hata leo . Habari za vitabu vya Injili kuhusu kifo cha Yesu na ufufuo wake ziko na ushuhuda wote wenye kuonyesha kama ni habari za kihistoria za kweli kabisa . Kusoma kwa uangalifu habari hizo , kutakuhakikishia kama mambo hayo yalitokea kabisa . Tena , utakuwa hakika zaidi wakati unaelewa sababu gani mambo hayo yalitokea . Tasito , mwenye alizaliwa mwaka wa 55 hivi kisha kuzaliwa kwa Yesu , aliandika kama “ Kristo , mwenye jina [ Wakristo ] lilitokana na jina lake , aliuawa katika mikono ya Pontio Pilato , mumoja kati ya magavana wetu , wakati wa utawala wa Tiberio . ” Yesu anatajwa tena na mwanahistoria Suetonius ( mwenye alizaliwa katika mwaka wa 69 ) ; mwanahistoria Muyahudi Joseph ( mwenye alizaliwa katika mwaka wa 37 ao 38 ) ; na Plini Mudogo , gavana wa Bithinia ( mwenye alizaliwa katika mwaka wa 61 ao 62 ) . Tena , inawezekana maadui wa Yesu hawangeandika jambo lolote lenye lingesaidia watu kumuamini . Juu ya ufufuo wa Yesu , Petro , mumoja kati ya mitume wake , alisema hivi : ‘ Mungu alimufufua huyu katika siku ya tatu na kumufunua , si kwa watu wote , bali [ lakini ] kwa mashahidi waliowekwa kimbele na Mungu , kwetu sisi , tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuliwa kwake kutoka kwa wafu . ’ Injili ya Mathayo inatuambia kama wakati maadui wa Yesu walisikia habari ya ufufuo wake , walijaribu kuzuia habari hiyo isienee . — Mathayo 28 : 11 - 15 . Hilo linamaanisha kama Yesu alipenda habari juu ya ufufuo wake ibakie siri ? Hapana , kwa sababu Petro aliendelea kusema hivi : ‘ Alituagiza sisi tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili kwamba huyu ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa muamuzi wa walio hai [ wazima ] na wafu . ’ Wakristo wa kweli walifanya vile na wanaendelea kufanya vile kabisa . — Matendo 10 : 42 . ‘ Kama vile kupitia mutu mumoja [ Adamu ] zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi . ’ — Waroma 5 : 12 Unaweza kujibu namna gani ikiwa unaulizwa , “ Unapenda kuishi milele ? ” Watu wengi wanaweza kusema kama wanapenda , lakini wanaona kuwa ni jambo lenye haliwezi kuwezekana . Wanasema kama , kifo ni sehemu ya kawaida ya maisha ; hata kama tunaishi , mwishowe tutakufa tu . Lakini , fikiria kama ulizo hilo lingebadilishwa na unaulizwa , “ Uko tayari kufa ? ” Watu wengi wenye kuwa katika hali za kawaida wanaweza kujibu hapana . Biblia inaonyesha kama Mungu aliumba wanadamu wakiwa na tamaa na nia ya kuishi . Kwa kweli , inasema kama “ wakati usio na kipimo ameuweka ndani ya moyo wao . ” — Mhubiri 3 : 11 . Kusema kweli , watu hawaishi milele . Tena , Mungu amefanya jambo fulani ili kutengeneza hali hiyo ? Majibu ya Biblia ni yenye kutia moyo na yanapatana na sababu yenye ilifanya Yesu ateseke na kufa . Sura tatu za kwanza za kitabu cha Biblia cha Mwanzo zinaonyesha kama Mungu alipatia bibi na bwana wa kwanza , Adamu na Eva , tumaini la kuishi milele na aliwaambia nini walipaswa kufanya ili waishi milele . Kisha habari hiyo inaonyesha namna walikosa kutii Mungu na kupoteza tumaini hilo . Habari hiyo inaelezwa kwa njia nyepesi sana , na hilo linafanya watu fulani wakuwe haraka kusema kama ni habari ya kuwazia tu . Kwa sababu Adamu hakumutii Mungu , matokeo yalikuwa gani ? Biblia inajibu hivi : ‘ Kama vile kupitia mutu mumoja [ Adamu ] zambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia zambi , na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya zambi . ’ Wakati alifanya vile , alipoteza tumaini la kuishi milele na alifikia kufa . Tumeriti hali hiyo ya zambi kwa sababu tuko watoto wake . Lakini , Mungu amefanya jambo fulani juu ya kutengeneza hali hiyo ? Mungu alifanya mipango ya kukomboa , ao kununua tena jambo lenye Adamu alikuwa amepotezea watoto wake , ni kusema , tumaini la kuishi milele . Katika andiko la Waroma 6 : 23 , Biblia inasema kama ‘ mushahara ambao zambi inalipa ni kifo . ’ Hilo linamaanisha kama matokeo ya zambi ni kifo . Kama Adamu , tunafanya zambi na kwa hiyo tunapata mushahara wa zambi , ni kusema , kifo . Tulizaliwa katika hali hiyo ya zambi hata kama hatukufanya makosa yoyote . Kwa hiyo , kwa sababu ya upendo wake , Mungu alituma Yesu , Mwana wake , ili aitike ‘ mushahara wa zambi ’ kwa ajili yetu . Kifo cha Yesu kinafungua njia ya kuishi milele katika furaha Kwa sababu Adamu , mutu mumoja mukamilifu alituletea zambi na kifo kupitia kutotii kwake , tulikuwa na lazima ya mutu mukamilifu mwenye angetii hata mupaka kifo ili kutuondolea muzigo huo . Biblia inafasiria jambo hilo hivi : ‘ Kwa maana kama vile kupitia kutotii kwa mutu mumoja wengi walifanywa watenda - zambi , vivyo hivyo pia kupitia kutii kwa mutu mumoja wengi watafanywa kuwa waadilifu [ wenye haki ] . ’ Alitoka mbinguni , akakuwa mutu mukamilifu * , na akakufa kwa ajili yetu . Hilo linafanya Mungu atukubali kuwa wenye haki na tunakuwa na tumaini la kupata uzima wa milele . Lakini , sababu gani ilikuwa lazima Yesu akufe ili kutimiza jambo hilo ? Mungu Mweza - Yote hangetoa tu sheria yenye ingeruhusu watoto wa Adamu waishi milele ? Kama Mungu angetia haki yake pembeni katika hali hiyo , watu wangeweza kujiuliza kama angeendelea kufanya hivyo katika hali zingine . Kwa mufano , angeamua kwa haki ni nani kati ya watoto wa Adamu mwenye anastahili kuishi milele ? Tungeamini kama atatimiza ahadi zake ? Kwa sababu Mungu alishikamana na haki ili kututolea nafasi ya kuokolewa , hilo linatuhakikishia kama atatenda kwa haki sikuzote . Kupitia kifo cha Yesu cha zabihu , Mungu alifungua njia ya kupata uzima wa milele katika dunia Paradiso . Ona maneno ya Yesu yenye kuonyeshwa katika Yohana 3 : ​ 16 : ‘ Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamutoa Mwana wake muzaliwa - pekee , ili kila mutu anayemuamini asiangamizwe bali [ lakini ] akuwe na uzima wa milele . ’ Kwa hiyo , kifo cha Yesu kinaonyesha haki ya Mungu yenye haina mwisho , na kinaonyesha zaidi sana upendo wake mukubwa kwa wanadamu . Lakini , sababu gani Yesu aliteseka na kufa katika maumivu makali kama vile inaonyeshwa katika vitabu vya Injili ? Kwa kujiacha ajaribiwe vikali na kubakia muaminifu , Yesu alipinga kabisa shitaka la Shetani la kwamba wanadamu hawawezi kubakia waaminifu kwa Mungu wakati wanajaribiwa . Kisha Shetani kuchochea Adamu , mutu mukamilifu , afanye zambi , shitaka hilo lingeweza kuonekana kuwa la kweli . Lakini Yesu mwenye alikuwa mukamilifu kama Adamu , alibakia muaminifu hata kama alipatwa na mateso makali . Hivyo alionyesha kama Adamu pia angeweza kutii Mungu kama angechagua kufanya vile . Kwa kuvumilia mateso , Yesu alituachia mufano wenye tunaweza kufuata . Mungu alibariki utii mukamilifu wenye Mwana wake alionyesha , na alimupatia uzima wenye hauwezi kufa kule mbinguni . Yesu alionyesha jambo lenye unaweza kufanya wakati alisema hivi : ‘ Uzima wa milele ndio huu , waendelee kupata ujuzi juu yako wewe , Mungu wa pekee wa kweli , na juu ya yule uliyemutuma , Yesu Kristo . ’ — Yohana 17 : 3 . Wachapishaji wa gazeti hili wanakuomba ujifunze mengi juu ya Yehova , Mungu wa kweli na juu ya Yesu , Mwana wake . Mashahidi wa Yehova wa eneo lenu watafurahi kukusaidia . Tena , unaweza kupata habari zingine zenye kusaidia kwenye adresi yetu ya Internete , www.jw.org . Soma habari “ Historicité de la Génèse , ” katika kitabu Étude Perspicaces des Écritures , volume 1 , ukurasa wa 986 , chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova . Usiku wenye ulitangulia kifo chake , Yesu alikusanya mitume wake waaminifu na akaanzisha Ukumbusho wa kifo chake . Aliwaambia hivi : ‘ Muendelee kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi . ’ Kwa kutii amri hiyo , Mashahidi wa Yehova katika dunia yote wanakusanyika mara moja kwa mwaka ili kukumbuka kifo cha Yesu . Mwaka huu , Ukumbusho wa kifo cha Yesu utafanywa Siku ya Tatu tarehe 23 Mwezi wa 3 kisha jua kushuka . Kuingia ni bure ; hautaombwa sadaka . UNAWEZA KUJIBU kama Shetani ni . . . Alama ya ubaya wenye kuwa ndani ya mutu ? Shetani alizungumuza na Yesu na ‘ alimujaribu . ’ Mwanzoni , Shetani alikuwa malaika mutakatifu , lakini “ hakusimama imara katika kweli . ” Alifikia kuwa muongo na akamuasi Mungu . Malaika wengine walijiunga naye katika uasi . — Ufunuo 12 : 9 . Shetani anafunga watu wengi macho ili wasijue kama anaishi kabisa . — 2 Wakorintho 4 : 4 . WATU FULANI WANASEMA kama kuongozwa na Shetani ni uongo , lakini wengine wanaogopa sana kuingiwa na roho waovu . Shetani anaongoza watu wengi , lakini haongoze kila mutu . Shetani anatumia uongo ili kuongoza watu wengi . — 2 Wakorintho 11 : 14 . Katika hali fulani , watu wanaweza kuingiwa na roho waovu . — Mathayo 12 : 22 . Kupitia musaada wa Mungu , unaweza ‘ kumupinga Ibilisi [ Shetani ] . ’ — Yakobo 4 : 7 . Habari ya kwanza inaonyesha namna imani yetu inaweza kukomaa na kuwa yenye nguvu . Acha nieleze ni nini ilitufikisha kwenye mazungumuzo hayo . NILIZALIWA katika muji wa Wichita , Kansas , inchi ya Amerika , tarehe 10 Mwezi wa 12,1936 . Kisha askari mumoja alipita hapo , na munganga huyo alimulalamikia hivi : “ Fanya jambo fulani juu ya mutu huyu mwenye woga ! ” Askari huyo aliona kama mwanaume huyo alikuwa mwenye kulewa , kwa hiyo , alimuambia hivi : “ Uende nyumbani umalize ulevi wako ! ” Aliuza vyumba viwili vya kunyolea watu nywele katika muji wa Wichita , na munganga huyo alikuwa kati ya watu wenye walikuwa wanakatwa nywele humo ! Wakati nilikuwa na miaka munane , wazazi wangu waliuzisha nyumba yao na vyumba vya kunyolea watu nywele na wakauza nyumba ndogo ya kukokotwa . Kwa sababu ya baraka ya Yehova na bidii yao , kutaniko lilianzishwa . Pia , ndugu huyo aliuzisha motokari yangu dola 25 . Tulipewa mugao wa kuwa mapainia wa pekee katika Walnut Ridge , Arkansas . Kisha katika mwaka wa 1962 , tulifurahi sana kualikwa kwenye darasa la 37 la Masomo ya Gileadi . Kisha muda kidogo , Kimberly , mutoto wetu wa kwanza mwanamuke alizaliwa , na kisha miezi 17 tulizaa Stephany . Pia , tulikuwa tunaenda kuishi katika hema nafasi fulani , na tulikuwa na mazungumuzo yenye kufurahisha wakati tulikuwa tunaota moto usiku . Tulifanya mipango ili watu fulani wenye walikuwa katika utumishi wa wakati wote wakae kwetu . Walijisikia mubaya na wakaanza kulia na kusema kama walipenda kujifunza . Kwa musaada na muongozo wa tengenezo la Mungu , tulifanya yetu yote ili kuwafundisha wapende Yehova . Katika safari ingine , Kimberly alikutana na Brian Llewellyn , mwenye alikuwa anafanya kazi pamoja na Paul . Kwa hiyo , hawakuolewa mupaka wakati walifikisha miaka 23 hivi . Wakati uleule , Brian na Kimberly walialikwa kwenye Beteli ya Londres na kisha walitumwa kwenye Beteli ya Malawi . Siku moja kisha kuondoka ili kuenda Patterson kwenye Kituo cha Mafundisho cha Mashahidi wa Yehova , Linda alituita ili kutuambia kama Mama amekufa . Kisha , tulifundisha watafsiri katika Zimbabwe na kisha katika Zambia . Katika mwaka wa 2006 , Brian na Kimberly walihamia karibu na kwetu ili kukomalisha watoto wao wawili wanawake , Mackenzie na Elizabeth . Paul na Stephany wangali Malawi , Paul anatumika katika Halmashauri ya Tawi ya inchi hiyo . Sababu gani tunaweza kuwa na lazima ya kubadilisha mawazo yetu juu ya wageni ? Wakati niliondoka kwenye uwanja wa ndege na kusikia baridi kwa mara ya kwanza katika maisha yangu , nilianza kulia . ” Wayahudi wenye kusema Kigiriki walikuwa wananungunika kuwa wajane wao walikuwa wanatendewa bila haki . Sisi wote tunachochewa sana na desturi zetu , hata kama tunatambua hilo ao hapana . Uwaonyeshe uvumilivu wale wenye wako wanajikaza kuzoea maisha katika inchi ya kigeni . Mwanzoni , tunaweza kushindwa kuelewa muzuri namna yao ya kuwaza ao kutenda . Leo , watu wenye wamehamia katika inchi zingine wanaweza kuiga mufano gani wa heshima na shukrani ? Kwanza , wakati aliomba ruhusa ya kuokota masalio , alionyesha kama aliheshimia desturi za inchi kwenye alihamia . [ 1 ] ( fungu la 1 ) Jina limebadilishwa . Uko kati ya wale wenye wanajifunza luga ingine ? ( b ) Namna gani tunaweza kutimiza kusudi letu ? Tunapaswa kujua kama wakati tunajitayarisha kwa ajili ya kazi ya kuhubiri , kwa ajili ya mikutano , ao wakati tunatayarisha hotuba fulani , hilo halimaanishe kama tutatumikisha kabisa - kabisa mambo yenye tunasoma . Kwa sababu ninakaza zaidi akili yangu juu ya luga , mambo ya kiroho yenye ninasoma hayaguse kabisa moyo wangu . Ndiyo sababu ninajipangia wakati wa kujifunza Biblia na vichapo vingine katika luga yangu ya kizalikio . ” Muriel anasema hivi : “ Hakufurahia kuhuburi katika luga ingine hata kama zamani alikuwa anafurahia kuhubiri katika Kifaransa , luga yake ya kizalikio . ” Serge anasema hivi : “ Wakati tulitambua kama hali hiyo ilizuia mutoto wetu mwanaume kufanya maendeleo ya kiroho , tuliamua kurudia katika kutaniko letu la zamani . ” Lakini pia tulikuwa tunafanya vipindi vya mazoezi na michezo katika Lingala ili wajifunze luga hiyo wakati tunajifurahisha . ” Kevin ni baba mwenye kuwa na watoto wawili wanawake ; wa miaka tano na wa miaka munane . Pia , tulijiwekea mupango wa kuhuzuria mikutano katika luga ya Kifaransa mara moja kila mwezi , na tunatumia wakati wetu wa mapumuziko ili kuenda kwenye mikusanyiko yenye kufanywa katika luga yetu ya kizalikio . ” Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunapenda Neno la Mungu ? [ 1 ] ( fungu la 5 ) Majina yamebadilishwa . Ndugu wanahubiria mwanaume mumoja mwenye kutengeneza magari kwenye nafasi ya kutengenezea magari . ( Soma Ufunuo 21 : 3 - 6 . ) Abrahamu na watu wa familia yake walifanya nini ili waendelee kuwa na imani yenye nguvu ? ( Soma 1 Yohana 5 : 14 , 15 . ) Namna gani mufano wa Noa unatusaidia kuelewa maana ya kuwa na imani ? Tunapaswa kuonyesha imani yetu katika njia gani mbalimbali ? Andiko la Waebrania 11 : 1 linafasiria maana ya imani katika njia gani mbili ? Munaona kwamba imani yake ilitenda pamoja na matendo yake na kwa matendo yake imani yake ilikamilishwa . ’ Kwa mufano , Yohana alifasiria hivi : ‘ Yule anayemwamini [ anaonyesha imani katika ] Mwana ana uzima wa milele ; yule asiyemutii Mwana hataona uzima , bali gazabu [ hasira ] ya Mungu inakaa juu yake . ’ Sababu gani ni jambo la maana zaidi kuwa na upendo kuliko tu kuwa na imani ? Yakobo aliuliza ndugu zake watiwa - mafuta hivi : ‘ Mungu alichagua walio masikini kwa habari ya ulimwengu ili wakuwe matajiri katika imani na wariti wa ufalme , aliowaahidi wale wanaomupenda , sivyo ? ’ Wakati jani lilipoota na kuzaa matunda , magugu yalionekana pia . ’ Kwa hiyo , inaonekana kama watu wa Yehova hawakuingia katika utumwa wa Babiloni katika mwaka wa 1918 . ( Soma Mathayo 13 : 24 , 25 , 37 - 39 . ) Wakristo wa kweli wangefikia kuwa na uhuru wa kumuabudu Mungu waziwazi na kwa njia yenye anakubali ? ( b ) Habari yenye kufuata itajibia maulizo gani ? Ni wakati gani Wakristo watiwa - mafuta waliachiliwa huru kutoka katika utumwa wa Babiloni ? Ndugu Rutherford aliomba tufanye mikusanyiko katika miji mbalimbali ya mangaribi mwa Amerika na kutuma wasemaji ili wajikaze sana kutia moyo marafiki . ” ‘ Ikiwa kuna neno lolote la kitia moyo mulilo nalo kwa ajili ya watu , muliseme . ’ — MATENDO 13 : 15 . Kwa hiyo , mara nyingi ninalia na sipendi kuzungumuza nao . Alinisikiliza kwa huruma wakati nilikuwa ninamuelezea namna nilikuwa ninajisikia . Kisha alinikumbusha mambo ya muzuri yenye nilikuwa ninafanya . Namna Yehova , Yesu , na mutume Paulo walitia wengine moyo inaweza kutufundisha nini ? ( Soma Mhubiri 4 : 9 , 10 . ) Namna Yesu alitendea mitume wake inaweza kutufundisha nini ? Matendo 20 : 1 , 2 inasema hivi : “ Paulo akatuma watu wawaite wanafunzi , na alipokuwa amewatia moyo na kuwaaga , akasafiri na kuingia Makedonia . ( Soma 1 Wathesalonike 5 : 12 , 13 . ) Zinatutia moyo kabisa . ” Andreas , mwenye kuwa na watoto wawili anasema hivi : “ Kutia watoto moyo kunawasaidia wakomae kiroho na kiakili . Hata kama watoto wetu wanajua mambo yenye kuwa sawa , ili waendelee kufanya mambo hayo katika maisha yao , tunapaswa kuwatia moyo sikuzote . ” Ninapenda ujue kama wakati ulikuwa unazungumuza kwenye jukwaa , na wakati ulizungumuza na mimi , niliona kama ilikuwa zawadi kutoka kwa Yehova . ” [ 1 ] ( fungu la 1 ) Majina fulani yamebadilishwa . Makutaniko yalipata faida gani wakati yalifuata muongozo wa baraza lenye kuongoza ? ( Soma 3 Yohana 9 , 10 . ) Biblia inatuomba tukusanyike kwa ukawaida . Mumekwisha kuanza kutumia jw.org katika mahubiri na katika ibada yenu ya familia ? na broshua Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo ? Tuko na sababu gani fulani za kumushukuru Yehova ? Tuko na sababu nyingi za kumushukuru Yehova ! Inaonyesha pia namna gani tumaini la kupata baraka linatuletea faida . Wakati huo , nilikuwa tu na miaka munane . Baba yangu hakupenda mama yangu aniambie mambo yenye alikuwa anajifunza . Lakini , nilipenda kujua mengi na nilikuwa ninauliza maulizo ; kwa hiyo , alikuwa anajifunza na mimi wakati baba yangu hakukuwa nyumbani . Kwa hiyo , mimi pia niliamua kutoa maisha yangu kwa Yehova . Mama yangu aliniambia kama nilipaswa kwanza kuzungumuza na mutumishi wa akina ndugu ( anaitwa sasa mwangalizi wa muzunguko ) . Alisema , “ Hakuna shida ! ” Kisha miezi ine , nilichagua ndugu mumoja painia ili tufanye pamoja kazi ya upainia . Mama yangu alifanya kazi ya upainia pamoja na dada mumoja wa kutaniko lingine . Katika mwaka wa 1951 , nilijaza ombi la kusoma Masomo ya Gileadi . Wakati nilikuwa katika gereza , nilipata mualiko wa kusoma darasa la 22 la Masomo ya Gileadi . Kisha nilisafiri katika treni ili kuenda South Lansing , New York , mahali kwenye masomo hayo yalifanyika . Mimi na Janet kwenye kisiwa kimoja kati ya visiwa vingi vya Ufilipino Tunaendelea kutumika katika biro ya tawi katika Quezon City Namna gani unaweza kupata “ amani ya Mungu ” ? Namna gani ndugu na dada katika kutaniko wanaweza kukusaidia kupunguza mahangaiko ? ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Tutazungumuzia nini katika habari hii ? Lakini , namna gani unaweza kufanya hivyo ? Muandikaji wa zaburi , Daudi , alimuomba Yehova hivi : “ Utege sikio , Ee Mungu , kwa sala yangu . ” Wakati tuko na mahangaiko , sababu gani ni jambo la maana kusali ? Yesu alimaanisha nini wakati alisema hivi : ‘ Musihangaike kamwe ’ ? Alisema waziwazi hivi : “ Nimenguruma kwa sababu ya kuugua [ kuumia ] kwa moyo wangu . ” ( Soma kisanduku “ Njia Fulani za Kukusaidia Kupunguza Mahangaiko . ” ) Namna gani maana ya jina la Mungu yanatia nguvu imani yako ? Jina lake linamaanisha kabisa “ Yeye Anafanya Kuwa . ” Sababu gani unaweza kuwa hakika kama urafiki wako pamoja na Mungu utakutia nguvu ? ( a ) Namna gani tunaweza kumutupia Mungu mahangaiko yetu ? Namna gani tunaweza kuwa hakika kama Yehova anabariki watumishi wake ? Namna gani Yehova alibariki watumishi wake wa wakati wa zamani ? 1 , 2 . ( a ) Upendo unapatana namna gani na imani ? Lakini , namna gani tumaini la kupata baraka linatuletea faida ? Yesu aliambia wanafunzi wake wangebarikiwa kwa sababu walionyesha roho ya kujitoa ( Picha hii inapatana na fungu la 5 ) Mutume Petro alimuuliza Yesu hivi : “ Tumeacha vitu vyote na kukufuata wewe ; kwa kweli kutakuwa na nini kwa ajili yetu ? ” Katika Mahubiri ya Mulimani , Yesu alisema hivi : ‘ Mushangilie na kuruka kwa shangwe , kwa kuwa sawabu [ zawadi ] yenu ni kubwa mbinguni ; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla [ mbele ] yenu . ’ Musa aliambia taifa la Israeli hivi : ‘ Hakika Yehova atakubariki katika inchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe uriti , uimiliki , ikiwa tu hautakosa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako nawe ukuwe mwangalifu kufanya amri yote hii ninayokuamuru leo . Kwa maana hakika Yehova Mungu wako atakubariki kama vile alivyokuahidi . ’ Naye yule wa pili akamuita jina lake Efraimu , kwa sababu , kama alivyosema , ‘ Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika inchi ya taabu yangu . ’ ” Yehova anaona namna gani mambo yenye tunamufanyia ? Biblia inasema hivi : ‘ Anayemuonyesha kibali mutu wa hali ya chini anamukopesha Yehova , na Yeye atamulipa matendo yake . ’ Namna gani andiko la 1 Yohana 3 : 19 , 20 , linatutia moyo ? Ni baraka gani fulani zenye tunapata sasa ? Watumishi wa Yehova wanajisikia namna gani juu ya baraka zenye wanapata ? Kwa mufano , Bianca mwenye kuishi katika inchi ya Ujerumani anasema hivi : “ Ninamushukuru sana Yehova kwa sababu amenisaidia wakati wa mahangaiko yangu na kwa sababu anaendelea kuwa pembeni yangu kila siku . Watu wa ulimwengu wanaishi katika muvurugo na hawana tumaini lolote . Lakini kwa sababu ninatumika karibu sana na Yehova , ninajisikia salama katika mikono yake . Kila wakati ninajitoa , ananibariki mara mia . ” Ili niendelee kutiwa moyo , niko na buku kwenye ninaandika maandiko na mawazo kutoka katika vichapo vyetu , lenye ninachunguza kila wakati . Ninaita buku hilo ‘ Buku Lenye Kunisaidia Niendelee Kuishi . ’ Kuvunjika moyo ni kwa muda tu ikiwa tunakaza akili yetu juu ya ahadi za Yehova . Yehova anakuwa tayari kutusaidia , hata kama tuko katika hali gani . ” Lakini , pengine unaweza kufikiria njia ambamo Yehova amekubariki wewe na wengine . Namna gani mutume Paulo na Wakristo wengine waliachiliwa huru kutoka katika zambi na kifo ? Walipokea “ roho ” kuwa wale ‘ wenye kungojea kufanywa kuwa wana , kuachiliwa huru kutoka katika miili yao . ’ ( Soma Waroma 4 : 20 - 22 . ) ( Soma Matendo 18 : 2 - 4 ; 20 : 20 , 21 , 34 , 35 . ) Watu wengi wanatembelea muji wa Aveiro wenye kuwa upande wa kaskazini mwa inchi ya Portugal ili kuona muvuke wenye kutoka katika visima vya chumvi . Mashahidi wa eneo hilo wanahubiria habari njema watu wenye kuuzisha chumvi yenye kutengenezwa katika eneo hilo Biblia inatufundisha tena nini ? Katika habari hii , tutajifunza namna gani tunaweza kupendezwa sana na zawadi ya Mungu ya uhuru wa chagua kwa kuitumia katika njia yenye kumupendeza Mupaji wa zawadi hiyo . Habari ya kwanza inaeleza sifa ya kiasi inamaanisha nini , na haimaanishe nini . Yehova anapenda tutumikishe uwezo wetu katika njia gani ? Kwa kweli , Yehova anapenda tujikaze sana ili sisi wenyewe na wengine tupate faida . Noa aliishi katika ulimwengu wenye ‘ ulijaa jeuri ’ na mambo ya uasherati . Kupingwa katika kazi yetu ya kuhubiri ( Picha hizi zinapatana na fungu la 6 - 9 ) 6 , 7 . ( a ) Noa hangeweza kufanya nini ? ( b ) Namna gani tuko katika hali yenye kufanana na ile ya Noa ? Sisi pia tunaishi katika ulimwengu wenye kujaa mambo ya mubaya , na tunajua kama Yehova ameahidi kuharibu ulimwengu huu . Lakini mbele afanye hivyo , hatuwezi kukaza watu wakubali “ habari njema ya Ufalme . ” Mambo yenye Noa angeweza kufanya : Kuliko kuvunjika moyo kwa sababu ya mambo yenye hangeweza kufanya , Noa alikaza akili yake juu ya mambo yenye angeweza kufanya . Wakati jambo hilo lilitokea , Daudi alitenda namna gani ? Zambi za zamani ( Picha hizi zinapatana na fungu la 11 - 14 ) 11 , 12 . ( a ) Kisha kufanya zambi , ni mambo gani yenye Daudi hangeweza kufanya ? Alipaswa kuwa na tumaini kama ikiwa angetubu kabisa , Yehova angemusamehe na kumusaidia avumilie matokeo ya matendo yake . ( Soma Yakobo 5 : 14 - 16 . ) Alipaswa kuacha mambo katika mikono ya Yehova . Fikiria mufano wa ndugu mwenye kuitwa Malcolm ; ndugu huyo aliendelea kuwa muaminifu mupaka kifo chake katika mwaka wa 2015 . ( b ) Namna gani utatumikisha andiko la mwaka wa 2017 katika maisha yako ? Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunaheshimia maamuzi ya wengine ? Alisema hivi : “ Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu . 4 , 5 . ( a ) Ni nani alikuwa mutu wa kwanza mwenye Mungu alipatia zawadi ya uhuru wa kuchagua , na aliitumikisha namna gani ? ( b ) Kila mumoja wetu anapaswa kujiuliza ulizo gani ? Ni katika njia gani hatuwezi hata kidogo kutumikisha uhuru wetu wa kuchagua ? Fikiria kwamba unapatia rafiki yako zawadi fulani ya maana sana . ( Soma 1 Petro 2 : 16 . ) Kanuni yenye kupatikana kwenye Wagalatia 6 : 5 inatufundisha nini ? Ukumbuke kanuni yenye kupatikana kwenye Wagalatia 6 : 5 . ( a ) Watu wengi wako na mawazo gani juu ya sifa ya kiasi ? ( b ) Tutajibia maulizo gani ? Sababu gani tunapaswa kuepuka kuhukumu nia za wengine ? Mufano wa Yesu unaweza kutufundisha nini wakati mugawo wetu unabadilika ? ( Soma Mhubiri 11 : 4 - 6 . ) Sababu gani ni vigumu kwa watu fulani kuachia wengine madaraka ? Alimutuma Nathani amuambie Daudi hivi : “ Si wewe utakayenijengea mimi nyumba ya kukaa . ” Hapana , laiti watu wote wa Yehova wangekuwa manabii , kwa sababu Yehova angeiweka roho yake juu yao ! ” Biro ya tawi ilitutumia magazeti 800 ya kutumikisha katika kazi ya kuhubiri . Tulifika katika muji wa Lisbon , Portugal , katika Mwezi wa 8 , 1964 . Ni tengenezo hilo tu ndilo linafanya kazi yenye Yesu aliamuru wanafunzi wake wafanye ; kazi ya kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu ! ” Wakati habari hii ilikuwa inatayarishwa ili kutolewa , Douglas Guest alikufa muaminifu kwa Yehova tarehe 25 Mwezi wa 10 , 2015 . Na “ roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi . ” Sababu gani Mungu alipenda watu wake waheshimie viongozi katika Israeli ? 11 , 12 . ( a ) Yoshua na wafalme wenye waliongoza watu wa Mungu walipaswa kufanya nini ? Sababu gani Yehova alipatia viongozi fulani wa watu wake malipizi ? Katika hali fulani , Yehova alipatia viongozi hao malipizi ao kuwatosha na kuweka wengine . Ni nini ilionyesha kuwa Yesu alitiwa nguvu na roho takatifu ? Kisha tu Yesu kubatizwa , ‘ malaika wakakuja na kuanza kumuhudumia [ kumutumikia ] . ’ Muda mufupi tu mbele ya kifo chake , ‘ malaika kutoka mbinguni akamutokea akamutia nguvu . ’ Namna gani Neno la Mungu liliongoza maisha na mafundisho ya Yesu ? Wao wananiabudu bure , kwa sababu wao wanafundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho . ’ ‘ Papo hapo malaika wa Yehova akamupiga , kwa sababu hakumupa Mungu utukufu ; naye akakuliwa na wadudu akakata pumuzi . ’ Habari yenye kufuata itatoa majibu ya maulizo hayo . Pengine Sheria hiyo ni ile yenye Musa mwenyewe aliandika . Sababu gani kuchagua mutu huyo lilikuwa jambo la maana sana kwao na kwa Yehova ? Walitolea makutaniko yote muongozo wakiwa baraza lenye kuongoza . ​ — Matendo 15 : 2 . 5 , 6 . ( a ) Namna gani roho takatifu ilitia nguvu baraza lenye kuongoza ? ( c ) Namna gani Neno la Mungu lilisaidia baraza lenye kuongoza ? Kwanza , roho takatifu ilitia nguvu baraza lenye kuongoza . Tatu , Neno la Mungu liliongoza baraza lenye kuongoza . Sababu gani tunaweza kusema kuwa Yesu aliongoza Wakristo wa kwanza - kwanza ? ( a ) Ni wakati gani Yesu aliweka ‘ mutumwa mwaminifu na mwenye busara ’ ? Eleza . Katika mwaka wa 1919 , miaka tatu kisha kifo cha Ndugu Russell , Yesu aliweka ‘ mutumwa mwaminifu na mwenye busara . ’ Gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 15 Mwezi wa 7 , 2013 , lilifasiria kuwa ‘ mutumwa mwaminifu na mwenye busara ’ ni kikundi kidogo cha ndugu watiwa - mafuta wenye wanafanyiza Baraza Lenye Kuongoza . Kwa hiyo , namna gani tunaweza kujibia ulizo hili la Yesu : ‘ Ni nani kwa kweli mutumwa mwaminifu na mwenye busara ? ’ Namna gani roho takatifu imesaidia Baraza Lenye Kuongoza ? Ni katika njia gani moja tunaweza kukumbuka Baraza Lenye Kuongoza ? Sababu gani umeazimia kufuata Kiongozi wetu , Yesu ? Wakati Yesu alirudia mbinguni , hakuachilia wanafunzi wake . Hivi karibuni , atatuongoza kwenye uzima wa milele . Kuanzia mwaka wa 1955 , shirika hilo limejulikana kwa jina la Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania . Yehova ‘ anatufariji katika ziki yetu yote ’ “ Nimesema hilo ; pia nitalitimiza . 1 , 2 . ( a ) Yehova ametufunulia nini ? MANENO ya kwanza - kwanza ya Biblia ni mepesi , lakini ni yenye kuwa na maana kubwa . Yanasema hivi : “ Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia . ” ( c ) Tutazungumuzia maulizo gani ? Na sababu gani zabihu ya Yesu ya ukombozi ni funguo yenye kufungua mulango ili kusudi la Mungu litimie ? Ni zawadi gani mbalimbali zenye Yehova alipatia Adamu na Eva ? ( Soma Kumbukumbu la Torati 32 : 4 , 5 . ) Sababu gani zabihu ya ukombozi ni zawadi ya bei sana ? Ni wakati gani Yehova atakuwa ‘ vitu vyote kwa kila mutu ’ ? Namna gani tunaweza kuonyesha kuwa tunapenda jina la Yehova ? Sababu gani Yehova anaweza kutuona kuwa wenye haki hata kama hatukamilike ? Anakubali kuwa waabudu wake wale wenye kujitoa kwake . Kisha , Yesu alisema hivi : “ Mapenzi yako na yatendeke . ” Namna gani zabihu ya ukombozi inaletea faida wanadamu wenye wamekufa ? Mapenzi ya Mungu ni nini juu ya ‘ umati mukubwa ’ ? ( a ) Yehova anatupatia baraka gani leo ? Zaidi ya kutupatia zawadi ya uzima , Yehova anatupatia jambo la maana zaidi . “ Tumejua na tumeamini upendo ambao Mungu anao kwa habari yetu . Na tunapaswa kubadilisha wakati fulani uamuzi wenye tumekamata ? Habari hii itatusaidia kujibia maulizo hayo . Lakini , Yehova aliona kuwa wafalme hao walikuwa na moyo mukamilifu . Mungu atatuona kuwa tuko na moyo mukamilifu , hata kama tunafanya makosa ? Tuliishi katika shamba ndogo mashariki mwa Dakota ya Kusini . Kazi ya mashamba ilikuwa kazi ya maana katika maisha ya familia yetu , lakini haikukuwa ya maana zaidi . Wazazi wangu walibatizwa na kuwa Mashahidi wa Yehova katika mwaka wa 1934 . Baba yangu , Clarence , na kisha Alfred mujomba wangu , walikuwa watumishi wa kutaniko ( sasa anaitwa muratibu wa baraza la wazee ) katika kutaniko letu ndogo la Conde , Dakota ya Kusini . Mimi na dada yangu , Dorothy , tulikuwa wahubiri wa Ufalme wakati tulikuwa na miaka sita . Mikusanyiko ilikuwa ya maana katika maisha yetu . Biblia inasema hivi : “ Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima , ” na kulikuwa watu wengi wenye hekima katika familia yangu wenye waliunga mukono uamuzi wangu wa kufanya kazi ya upainia . Niko Mwanabeteli mupya na ninatumia motokari ya shamba Ni watu 15 mupaka 20 tu wa familia ya Beteli ndiyo walipewa mugawo wa kutumika katika shamba hilo . Wengi kati yetu tulikuwa vijana na hatukukuwa na uzoefu mwingi . Ndugu Peterson alitumika muzuri kwenye Beteli lakini hakuzarau hata kidogo kazi ya kuhubiri . Mimi na Angela katika mwaka wa 1975 , mbele ya kuulizwa maulizo kwenye televizyo Kisha miaka tatu , tulialikwa kwenye Beteli . Sababu gani Yehova na Kristo wanastahili kuheshimiwa ? Wanadamu waliumbwa ‘ kwa mufano wa Mungu . ’ 8 , 9 . ( a ) Namna gani Mashahidi wa Yehova wanaona wakubwa wa serikali ? ( Soma 1 Timotheo 5 : 17 . ) Wala musiitwe ‘ viongozi , ’ kwa maana Kiongozi wenu ni mumoja , Kristo . Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa , na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa . ” Sababu gani wengine hawapaswe kukamata maamuzi pa nafasi yetu ? ( a ) Ili tukamate maamuzi yenye hekima , tunapaswa kuwa na imani katika mambo gani ? Ni nini itatusaidia tukamate maamuzi yenye hekima ? ( Soma 2 Wakorintho 1 : 24 . ) Wazee wenye upendo wanasaidia wengine wajue namna ya kukamata maamuzi yao wenyewe ( Picha hizi zinapatana na fungu la 11 ) Utaleta furaha na amani katika familia yangu ? Na utaonyesha kama niko mwenye uvumilivu na mwema ? ’ Sababu gani Yehova anatuomba tukamate maamuzi yetu wenyewe ? Kumutumikia Yehova kwa moyo mukamilifu , maana yake nini ? Ungependa kuiga nani kati ya wafalme hao ine , na sababu gani ? Moyo wako utakuchochea kufanya nini ? Yehoshafati , mutoto mwanaume wa Asa , “ akaendelea kutembea katika njia ya Asa baba yake . ” ( Soma 2 Mambo ya Nyakati 34 : 18 , 19 . ) Sababu gani tutazungumuzia mifano ya wafalme ine wa Yuda ? ( Soma 2 Mambo ya Nyakati 32 : 31 . ) Watu wengi wanamusifu kwa hotuba yenye ametoa . Kwa kweli , Neko mwenyewe alimuambia Yosia kama hakupenda kupigana vita naye . Basi , tufikiri sana juu ya watu hao wenye kuzungumuziwa katika Biblia na tumushukuru Yehova kwa sababu ametutolea mifano hiyo ! Umefanya naziri ngapi kwa Yehova ? Katika habari hii , tutajifunza kupitia mufano muzuri sana wa Yeftha na Hana , wenye walitimiza naziri zao . Wakati tunafikiri kama tumetendewa bila haki ao tumeona mutu mwengine ametendewa hivyo , imani , unyenyekevu , na ushikamanifu wetu vinaweza kujaribiwa . “ Ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake , lakini yeye anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu milele . ” — 1 YOHANA 2 : 17 . Yehova atafanya nini juu ya watu wabaya na mashirika yenye udanganyifu ? Biblia inasema hivi : “ Ulimwengu unapitilia mbali . ” Hakuna giza wala kivuli kizito kwa ajili ya wale wanaozoea kufanya mazara [ mabaya ] kujificha humo . ’ Kisha mustari mwingine wa zaburi hiyo , unasema hivi : “ Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia , nao watakaa milele juu yake . ” “ Wapole ” na “ waadilifu ” ni nani ? Kisha Har - Magedoni , kutakuwa shirika fulani duniani ? Kwa hiyo , ‘ dunia mupya ’ itakuwa yenye kupangwa muzuri . Ni matendo gani ya mubaya yenye watu wanazoea kufanya mahali kwenye unaishi , na hilo liko na matokeo gani juu yako na familia yako ? Hukumu ya Yehova juu ya Sodoma na Gomora , inatufundisha nini ? ( Soma 2 Petro 2 : 6 - 8 . ) ( Soma Zaburi 46 : 8 , 9 . ) Ni mambo gani yenye hayatakuwa tena hata kidogo kisha Har - Magedoni ? Toa mufano . ( b ) Unaweza kufanya nini ili ukuwe hakika kama utaendelea kuishi wakati ulimwengu huu hautakuwa tena ? ‘ JE , MUAMUZI wa dunia yote hatafanya lililo sawa ? ’ Kwa sababu Yehova ndiye mufano mukubwa zaidi wa haki na uadilifu . Wakristo wanajua kama wanaweza kutendewa bila haki inje ya kutaniko la Kikristo . Katika mwaka wa 1946 , alisoma darasa la 8 la Masomo ya Gileadi katika New York , Amerika . Kisha kumaliza masomo , alifikia kupewa mugawo wa kutumika katika kazi ya muzunguko katika Uswisi . Katika habari hii na habari yenye kufuata , tutazungumuzia mifano gani ? Katika habari hii , tutazungumuzia mufano wa Yosefu wa kizazi cha Abrahamu na mambo yenye ndugu zake walimutendea . 10 , 11 . ( a ) Namna gani Yosefu alitendewa bila haki ? ( Soma Mathayo 5 : 23 , 24 ; 18 : 15 . ) Ushikamanifu kwa Yehova na kwa ndugu na dada zetu utatuzuia kufanya kosa kama hilo . Na jambo la maana zaidi ni kwamba , hakuruhusu makosa na matendo ya mubaya ya wengine yamutenganishe na Yehova . Sababu gani tunapaswa kumukaribia Yehova hata zaidi ikiwa tunatendewa bila haki katika kutaniko ? Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunatumainia ‘ muamuzi wa dunia yote ’ ? Soma habari juu ya maisha ya Willi Diehl , “ Yehova Ni Mungu Wangu Nitakayemtumaini , ” katika gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 1 Mwezi wa 11 , 1991 . ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Tutajibia maulizo gani katika habari hii ? Waliacha mufano muzuri kwa ajili ya wanaume na wanawake wenye wanaamua kufanya naziri kwa Yehova leo . Sababu gani ni jambo nzito kufanya naziri kwa Mungu ? Mufano wa Yeftha na Hana unaweza kutufundisha nini ? 2 , 3 . ( a ) Naziri ni nini ? ( b ) Maandiko yanasema nini juu ya kufanya naziri kwa Mungu ? Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake . ’ ( a ) Sababu gani ni jambo nzito kufanya naziri kwa Mungu ? ( b ) Tutajifunza nini juu ya Yeftha na Hana ? ( a ) Ilikuwa vyepesi kwa Yeftha pamoja na binti yake kutimiza naziri yake kwa Mungu ? Yeftha alisema hivi : ‘ Nimemufungulia Yehova kinywa changu , nami siwezi kurudi nyuma . ’ ( b ) Naziri ya Hana ilimaanisha nini kwa Samweli ? Tutazungumuzia sasa nini ? Biblia inasema nini juu ya kuvunja ndoa na kutengana ? Bibi na bwana fulani walisema hivi : “ Tangu wakati tulianza kujifunza broshua hiyo , ndoa yetu imekuwa yenye furaha zaidi kuliko wakati mwengine wowote . ” Alisema hivi : “ Sisi wawili tumebatizwa , lakini tulikuwa na mawazo yenye kutofautiana juu ya maisha . 18 , 19 . ( a ) Wazazi wengi Wakristo wamefanya nini ? ( b ) Wale wenye kuwa katika utumishi wa pekee wa wakati wote wanafanya naziri gani ? Ndugu na dada hao hawako wa pekee lakini migawo yao ndiyo inaonwa kuwa ya pekee . Soma kitabu Mubaki Katika “ Upendo wa Mungu , ” ukurasa wa219 - 221 . Alimuuliza hivi : ‘ Je , mwanaume anaweza kuwa na faida kwa Mungu mwenyewe , kwamba mutu mwenye ufahamu akuwe na faida kwake ? ( b ) Namna gani Waisraeli walipata ushindi juu ya jeshi la Yabini ? Muto wa Kishoni ukawafagilia mbali . ’ Soma habari “ Mahangaiko Juu ya Feza , ” katika gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 1 Mwezi wa 7 , 2015 . 1 , 2 . ( a ) Namna gani Nabothi na watoto wake walitendewa bila haki ? ( b ) Tutazungumuzia sifa gani mbili katika habari hii ? Nabothi alikuwa mutu wa namna gani , na sababu gani alikataa kuuzisha shamba lake kwa Mufalme Ahabu ? Nabothi alikuwa muaminifu kwa Yehova wakati Waisraeli wengi walikuwa wanafuata mufano mubaya wa Mufalme Ahabu na bibi yake Yezebeli , malkia mubaya . Soma 1 Wafalme 21 : 1 - 3 . Alieleza hivi kwa heshima : ‘ Ni jambo lisilowaziwa kwangu , kwa maoni ya Yehova , kwamba mimi nikupe fungu la uriti la mababu zangu . ’ Sababu gani unyenyekevu ungekuwa ulinzi kwa familia ya Nabothi na marafiki wake ? ( b ) Ni katika njia gani unyenyekevu utatulinda ? Utatenda namna gani ikiwa wazee wanatangaza uamuzi wenye haukubaliane nao ? Tutazungumuzia sasa habari gani , na sababu gani ? Petro alikaripiwa namna gani , na tunaweza kujiuliza maulizo gani ? Katika barua yake ya pili , wakati alikuwa anazungumuzia juu ya Paulo alimuita ‘ ndugu yetu mupendwa Paulo . ’ 3 Tusaidie “ Wakaaji Wageni ” ili ‘ Wamutumikie Yehova kwa Furaha ’ Habari ya pili inazungumuzia namna kutumia kanuni za Biblia kutasaidia wazazi wenye wamehamia katika inchi ingine wakamate maamuzi yenye yataletea watoto wao faida . Tulikuwa tunaona namna watu walikuwa wanakimbia , na kupiga risasi . Wazazi wangu na sisi watoto 11 tulikimbia tu na vitu vidogo ili kuokoa uzima wetu . Namna gani Yesu na wengi kati ya wanafunzi wake walifikia kuwa wakimbizi ? ( b ) wanaishi katika kambi ? Miguu yangu ilivimba sana ; kwa hiyo , niliambia watu wa familia yangu waniache . Walikuwa wanasema - sema wengine mubaya , wanalewa , wanacheza michezo ya feza , na walikuwa na mwenendo muchafu . ” ( b ) Sababu gani wako na lazima tuwasaidie kwa uvumilivu ? Kwa hiyo , inaomba kutenda haraka ili kukutana na ndugu na dada zetu wenye kuwa wakimbizi kisha tu wao kufika . ( b ) Namna gani wakimbizi wanaweza kuonyesha shukrani ? Namna gani tunaweza kusaidia ndugu na dada zetu wenye kuwa wakimbizi ? ( a ) Sababu gani wakimbizi wanapaswa kuendelea kutia urafiki wao pamoja na Yehova pa nafasi ya kwanza ? Mwishowe , aliinua sakoshi yenye haikukuwa na kitu na alisema hivi kwa furaha : ‘ Munaona ? Hatuna lazima ya vitu hivyo vyote ! ’ ” — Soma 1 Timotheo 6 : 8 . Leo wakimbizi wengi wanatoka katika inchi ambamo kazi yetu ya kuhubiri inakatazwa . Anasema hivi : “ Ndugu na dada wa huko walitutendea kama vile watu wa jamaa zao , walitupatia chakula , manguo , nafasi ya kuishi , na feza za kulipa wakati tunaenda mahali fulani . Ni watu gani wengine wangeweza kukaribisha katika nyumba zao watu wenye hawajue kwa sababu tu wote wanaabudu Mungu uleule ? Ni Mashahidi wa Yehova tu ! ” — Soma Yohana 13 : 35 . Wakati tu wakimbizi wanafika katika eneo , wazee wanapaswa kufuata muongozo wenye kupatikana katika kitabu Tengenezo Lenye Kufanya Mapenzi ya Yehova , sura ya 8 , fungu la 30 . Na wakati huohuo , wanaweza kuuliza mukimbizi kwa hekima habari juu ya kutaniko lake na utumishi wake ili kujua muzuri hali yake ya kiroho . ‘ Sina sababu nyingine kubwa zaidi ya kuwa na shukrani kuliko mambo haya , kwamba nikuwe ninasikia watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli . ’ — 3 YOHANA 4 . Nanma gani wazazi wanaweza kuwa mufano muzuri kwa watoto wao ? Ni nini inaweza kusaidia vichwa vya familia waamue ikiwa familia zao zitakuwa katika kutaniko la luga gani ? Namna gani wengine wanaweza kusaidia wazazi na watoto wao wenye wamehamia katika inchi ingine ? 1 , 2 . ( a ) Watoto wengi wenye wamehamia katika inchi ingine wanapambana na magumu gani ? Lakini kisha kuanza masomo , nilianza kupenda luga ya mahali tulikuwa tunaishi . Kisha miaka kidogo , nilianza kuzungumuza tu luga hiyo . Sikuelewa muzuri mikutano , na sikuona kuwa desturi ya wazazi wangu ilikuwa inanihusu . ” 3 , 4 . ( a ) Namna gani wazazi wanaweza kuwa mufano muzuri kwa watoto wao ? ( b ) Ni mambo gani yenye wazazi hawapaswe kutazamia kwa watoto wao ? Uepuke kabisa kutumika sana mupaka unakosa wakati wa kuwa pamoja na watoto wako . Watoto wako wanaweza kupata faida gani wakati wanajifunza luga yako ? Wazazi , ikiwa watoto wenu wako katika hali hiyo , munaweza kujifunza kwa kiasi fulani luga ya mahali kwenye munaishi ? Kwa kweli , mutoto mwenye kuzungumuza muzuri luga ingine anastahili kuhangaikiwa hivyo pia . * — Soma maelezo ya chini . Hata kama uko katika hali kama hiyo , unaweza kusaidia watoto wako wafikie kumujua na kumupenda Yehova . Lakini wakati tulikuwa tunamuona anajifunza , anasali , na kujikaza sana ili kuongoza ibada ya familia kila juma , tulielewa kuwa kufikia kumujua Yehova lilikuwa jambo la maana sana . ” Namna gani wazazi wanaweza kusaidia watoto wenye wako na lazima ya kujifunza katika luga mbili ? ( a ) Ni nani anapaswa kuamua ikiwa familia itakuwa katika kutaniko la luga gani ? Inawezekana mambo hayatakuwa hivyo wakati watoto hawaelewe muzuri luga . ( Soma 1 Wakorintho 14 : 9 , 11 . ) Hatukupata jibu lenye sisi tulikuwa tunapendelea . Lakini wakati tuliona kuwa hawakukuwa wanafaidika kabisa na mikutano katika luga yetu , tuliamua kuhamia katika kutaniko la luga ya mahali kwenye tulikuwa tunaishi . Sisi wote tulihuzuria mikutano pamoja na tulienda katika mahubiri kwa ukawaida . Tulialika marafiki wetu wa mahali kwenye tulikuwa tunaishi ili kula chakula pamoja na kutembelea mahali mbalimbali . Mambo hayo yote yalisaidia watoto wetu wafikie kujua ndugu na dada na wafikie kumujua Yehova , haiko tu kama Mungu wao lakini pia kama Baba yao na Rafiki yao . Tuliona kuwa hilo ndilo lilikuwa jambo la lazima sana kwao kuliko kujua muzuri luga yetu . ” Samuel anaongezea hivi : “ Ili tuendelee kuwa na urafiki wenye nguvu pamoja na Yehova , mimi na bibi yangu tulihuzuria pia mikutano katika luga yetu . Tulikuwa na mambo mengi ya kufanya katika maisha , na tulichoka . Lakini tunamushukuru Yehova kwa kubariki bidii yetu na roho yetu ya kujitoa . Watoto wetu wote watatu wanamutumikia Yehova katika utumishi wa wakati wote . ” Kristina anakumbuka hivi : “ Nilijua mambo ya musingi ya luga ya wazazi wangu , lakini maneno yenye yalikuwa yanatumiwa kwenye mikutano yalikuwa magumu sana kwangu kuelewa . Wakati nilikuwa na miaka 12 , nilihuzuria mukusanyiko mumoja wenye ulifanywa katika luga yenye tulikuwa tunatumia kwenye masomo . Kwa mara ya kwanza , nilielewa kuwa mambo yenye nilikuwa ninasikiliza yalikuwa kweli ! Badiliko lingine la muzuri lilitokea wakati nilianza kusali katika luga yenye tulikuwa tunatumia kwenye masomo . Niliweza kumuambia Yehova mambo yote yenye kuwa katika moyo wangu ! ” Kijana , unafikiri kama unapenda kuwa katika kutaniko la luga ya mahali kwenye unaishi ? Nadia , mwenye kutumikia sasa kwenye Beteli anasema hivi : “ Wakati mimi na ndugu zangu tulikuwa vijana tulipenda kuhamia katika kutaniko la luga ya mahali tulikuwa tunaishi . ” Nadia anaongezea hivi : “ Sasa tuko wenye shukrani kwa sababu wazazi wetu walijikaza sana ili kutufundisha luga yao na wakaamua tubakie katika kutaniko la luga ya kigeni . Hilo limefanya tukuwe na maisha ya muzuri na kutupatia nafasi nyingi za kusaidia wengine wamujue Yehova . ” Hata hivyo , wazazi wenye hawajue luga ya mahali kwenye wanaishi wanaweza kuwa na lazima ya musaada ili kugusa mioyo ya watoto wao . Wazazi na watoto wanapata faida wakati wanakuwa pamoja na ndugu na dada ( Picha hii inapatana na fungu la 18 , 19 ) ( b ) Wazazi wanapaswa kuendelea kufanya nini ? Wakati walinisaidia kutayarisha migawo ya hotuba za wanafunzi kwa ajili ya mukutano , nilijifunza mengi sikuzote . Nilifurahia mambo ya kujifurahisha yenye tulifanya pamoja katika kikundi . ” Muweke pa nafasi ya kwanza urafiki wa watoto wenu pamoja na Yehova kuliko mambo yenye munapenda . Lakini nilielewa kweli ya Biblia muzuri kabisa katika mwaka wa 1946 . Mwishowe , nilijifunza luga ya ishara na nilifurahia kucheza na watoto wengine . Alikubali kujiandikisha ili kupata magazeti kwa ukawaida na alipenda nizungumuze na bwana yake , Gary . Mwishowe , wanafunzi tano wa somo lao wakakuwa Mashahidi wa Yehova . Wakati huo , alinipatia bonbon na kuniuliza ikiwa tunaweza kuwa marafiki . Wakati alipenda kubatizwa , wazazi wake walimuambia hivi : “ Kama unakuwa Shahidi wa Yehova , utatoka katika nyumba yetu ! ” Aliendelea kujifunza na kisha akabatizwa . Wakati tulioana katika mwaka wa 1960 , wazazi wake hawakufika kwenye ndoa yetu . Mutoto wangu Nicholas pamoja na Deborah , bibi yake , wanatumikia kwenye Beteli ya Londres Faye na James , Jerry na Evelyn , Shannan na Steven Sasa tuko katika Kutaniko la Luga ya Ishara la Calgary , na ninaendelea kuwa muzee katika kutaniko hilo . Tunaweza kufanya nini ili upendo wetu kwa Yehova uendelee kuwa wenye nguvu ? Namna gani tunaweza kutia nguvu upendo wetu juu ya kweli ya Biblia ? Sababu gani ni jambo la maana tupende ndugu na dada zetu ? Walikuwa wanahubiri kwa bidii “ habari njema juu ya Kristo ” na kuonyesha upendo wao kwa Mungu , kwa Wakristo wenzao , na hata kwa wale wenye walikuwa hawajajua kweli . Leo , upendo wa watu kwa Mungu unaendelea kupunguka . Onyesha upendo kwa Yehova ( Picha hii inapatana na fungu la 10 ) ( Soma Zaburi 119 : 97 - 100 . ) Onyesha kuwa unapenda kweli ya Biblia ( Picha hii inapatana na fungu la 14 ) Katika usiku wake wa mwisho hapa duniani , Yesu aliambia hivi wanafunzi wake : ‘ Ninawapa ninyi amri mupya , kwamba mupendane ; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi , ninyi nanyi mupendane vivyo hivyo . Kwa jambo hili wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu , mukikuwa na upendo kati yenu wenyewe . ’ — Yohana 13 : 34 , 35 . Onyesha upendo kwa ndugu na dada ( Picha hii inapatana na fungu la 17 ) Tunaweza kuonyesha upendo katika njia gani mbalimbali ? Soma 1 Wathesalonike 4 : 9 , 10 . “ Simoni mwana wa Yohana , je , unanipenda kuliko hawa ? ” — YOHANA 21 : 15 . Basi wakautupa , lakini hawakuweza tena kuuvuta [ kuukokota ] ndani kwa sababu samaki walikuwa wengi sana . ” — Yohana 21 : 1 - 6 . ( b ) Ndugu mumoja wa Thailandi alijifunza jambo gani juu ya kazi yake ya kimwili ? Kwa hiyo , iliniachia wakati kidogo sana wa kufanya mambo ya kiroho . Mwishowe nilitambua kwamba ili nitie faida za Ufalme pa nafasi ya kwanza katika maisha , nilipaswa kufanya kazi ingine . ” Alieleza hivi : “ Kisha kufanya mipango kwa mwaka moja hivi , niliamua kuuzisha kreme ya baridi kwenye barabara . Mwanzoni nilikuwa na tatizo la kupata feza na nilivunjika moyo . Wakati nilikuwa ninakutana na wafanyakazi wenzangu wa zamani , walinichekelea na kuniuliza sababu gani niliona kuwa ni muzuri zaidi kuuzisha kreme kuliko kufanya kazi ya kutengeneza ordinatere mahali kwenye kuwa hewa ya muzuri . Nilisali kwa Yehova ili anisaidie kupambana na hali hiyo na kufikia muradi wangu wa kuwa na wakati mwingi wa kufanya mambo ya kiroho . Nilijua muzuri zaidi kreme ya baridi yenye watu walipenda na nikakuwa na ufundi zaidi wa kuitengeneza . Kisha muda mufupi , nilikuwa ninauzisha kreme yangu yote kwa siku moja . Kwa kweli , nilipata feza nyingi kuliko wakati nilikuwa ninafanya kazi ya kutengeneza ordinatere . Nimekuwa na furaha sana kwa sababu sina tena mahangaiko ya akili yenye nilikuwa nayo wakati nilikuwa ninafanya kazi yangu ya zamani . Na jambo la maana zaidi , sasa ninajisikia kuwa karibu zaidi na Yehova . ” — Soma Mathayo 5 : 3 , 6 . Kisha kubatizwa , alisema hivi : “ Jambo moja tu lenye kunihuzunisha ni kwamba nilipoteza wakati mwingi mbele nielewe kama kumutumikia Yehova kunaleta furaha nyingi zaidi kuliko kufuatilia mambo ya kujifurahisha ya ulimwengu huu . ” Ikiwa hatuko waangalifu , kupenda vitu vya kimwili kunaweza kuwa jambo la maana zaidi kuliko upendo wetu kwa Kristo . Tunapaswa kufikiria maneno haya ya Yesu : ‘ Mujilinde na kila namna ya tamaa . ’ ( Soma 1 Wakorintho 2 : 14 . ) Soma habari “ Je , Tafrija Unayochagua Inakujenga ? ” Tulikuwa tunafanya kazi ya kuhubiri kwa ukawaida . ” Tulihuzunika sana kwa sababu tungeacha mafunzo yetu ya Biblia . ” Lakini kisha mwezi moja , walipata habari yenye kufurahisha sana . Miriam anasema hivi : “ Tuliombwa kuwa mapainia wa pekee . Tulifurahi sana kwa sababu tuliweza sasa kubakia katika mugawo wetu ! ” Walitumainia ahadi yenye kupatikana katika Zaburi 37 : 5 yenye kusema hivi : ‘ Mukabizi [ muachie ] Yehova njia yako , na kumutegemea , naye mwenyewe atatenda . ’ Leo tumeweza , na hatukose jambo lolote la lazima kabisa . ” Sababu gani tunaweza kutazamia kuwa kutakuwa ziki fulani katika maisha ya ndoa na ya familia ? Tunaweza kuwa hakika kuwa anapenda tukuwe na maisha ya muzuri , kama vile alipenda watumishi wake wa zamani wakuwe na maisha ya muzuri . ​ — Soma Yeremia 29 : 11 , 12 . Paula anaeleza hivi : “ Hata kama Ann hakukuwa mutu wa familia yangu , niliona kuwa alinisaidia sana kwa sababu alinihangaikia kwa upendo . Hilo lilinisaidia niendelee kumutumikia Yehova . ” ( Soma Zaburi 145 : 18 , 19 . ) Wakati tutakuwa tunafanya hivyo , fikiria sana juu ya namna wewe mwenyewe unaweza kukomalisha upendo wako juu ya hazina hizo za kiroho . Kwa kweli , aliona lulu hiyo kuwa ya maana sana . ( a ) Sababu gani mutume Paulo aliita kazi yetu ya kuhubiri kuwa “ hazina katika vyombo vya udongo ” ? ( Soma Waroma 1 : 14 , 15 ; 2 Timotheo 4 : 2 . ) Wamoja kati yao ni Wanabeteli , mapainia na wazee . Irene anasema hivi : “ Wakati ninafikiria miradi mingine yenye ningefuatilia , ninaona kwamba hakuna muradi wenye ungeniletea furaha zaidi . ” Fikiria mufano wa ndugu mwenye kuitwa Peter . Ili kumujaribu Peter , rabi huyo alimuuliza hivi : “ Sasa , mutoto wangu , kitabu cha Danieli kiliandikwa katika luga gani ? ” Wakati nilirudia nyumbani na kuchunguza magazeti Munara wa Mulinzi na Amuka ! ya miezi yenye ilikuwa imepita , nilipata habari fulani yenye ilikuwa inafasiria kama sehemu fulani ya kitabu cha Danieli iliandikwa katika Kiaramu . ” Kwa kufanya hivyo , utajiwekea ‘ hazina isiyopungua kamwe katika mbingu , ambapo mwizi hakaribie wala nondo hakule . “ Sikukuwa ninaelewana na ndugu mumoja mwenye nilikuwa ninatumika naye . Siku moja wakati tulikuwa tunatombokeana , watu wawili walikuja mahali tulikuwa na wakaona namna tulikuwa tunatombokeana . ” ​ — CHRIS . “ Dada mwenye nilizoea kuhubiri naye alivunja mara moja mipango yetu ya kuhubiri pamoja . Sikujua sababu gani . ” ​ — JANET . “ Nilikuwa ninazungumuza na watu wawili kwenye telefone . Mumoja kati yao akatuaga , na nikafikiri kuwa amekwisha kukata telefone . Kisha nikaambia mutu wa pili mambo ya mubaya juu ya ule mutu wa kwanza , lakini mutu huyo wa kwanza alikuwa hajakata telefone . ” ​ — MICHAEL . “ Katika kutaniko letu , mapainia wawili walianza kukosana . Mabishano yao yalikwaza wengine . ” ​ — GARY . ‘ Musigombane njiani . ’ ‘ Mipango inavunjika mahali ambapo hapana mazungumuzo ya siri . ’ Michael anasema hivi : “ Ndugu yangu alinisamehe kabisa . ” ‘ Muendelee kuvumiliana na kusameheana kwa hiari [ kwa kupenda ] ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine . ’ Sasa wanaelewana muzuri na wanahubiri pamoja habari njema . Tofauti hiyo inaweza kuonekana kuwa haina maana , lakini inaweza kuleta matatizo makubwa . ” Kadiri hasira yangu juu yake iliendelea kuongezeka , nilianza kumujibia bila adabu . Niliwaza hivi : ‘ Kwa sababu hanionyeshe heshima yenye ninastahili , na mimi pia sitamuheshimia . ’ ” Alisema hivi : “ Nilianza kuona uzaifu wangu mwenyewe na nikajisikia kuwa sifae kabisa . Nilitambua kuwa nilipaswa kubadilisha mawazo yangu . Kisha kusali kwa Yehova juu ya jambo hilo , niliuzia dada huyo zawadi ndogo na nikamuandikia barua fupi ili kumuomba musamaha kwa sababu ya tabia yangu ya mubaya . Tulikumbatiana na kusikilizana kuwa tutasahau tatizo hilo . Hatujakuwa na matatizo mengine tangu hapo . ” LEO , watu wengi wanaona kuwa feza ndiyo jambo la maana . Sababu gani mashitaka juu ya haki ya Mungu ya kutawala yanapaswa kujibiwa ? Kutetewa kwa haki ya Yehova ya kutawala ni jambo la maana kwa kadiri gani ? Kwani , tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo , mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji . ” ( Soma Isaya 55 : 10 , 11 . ) ( Soma Ayubu 38 : 18 - 21 . ) Sababu moja ni kwamba anatawala kwa upendo . Anatuhangaikia sana kuliko namna tunajihangaikia sisi wenyewe . Namna gani wazee na vichwa vya familia wanaweza kumuiga Yehova ? Zaburi ya 147 inatia moyo watu wa Mungu tena na tena wamusifu Yehova . Ni jambo gani lenye kumuhusu Yehova lenye lilishangaza sana muandikaji wa zaburi hivi kwamba alipenda Mungu asifiwe ? Ndugu na dada wengi vijana wanaendelea kuingia kwa bidii katika utumishi wa wakati wote . Namna gani tunaweza kuepuka kuwa watumwa wa mambo ya biashara ya ulimwengu huu ? Katika ulimwengu huu muovu , sababu gani watu fulani wataendelea kuwa masikini ? Shauri hilo la Yesu linaweza kutufundisha nini ? Namna gani tunajua kuwa mambo ya biashara ya leo hayakukuwa katika kusudi la Mungu ? Nimekuwa tayari kusamehe zaidi , kuvumilia wengine , na kuwa tayari kuelewa mambo yenye kuvunja moyo na kukubali mashauri . ” Namna gani Abrahamu alionyesha kuwa alimutumainia Mungu ? ( b ) Namna gani tunaweza kutumia shauri la Paulo leo ? Kisha kumuita Timotheo kuwa “ askari - jeshi mwema wa Kristo , ” Paulo alimuambia hivi : ‘ Mutu anayetumikia akiwa askari - jeshi hajihusishe [ hajiingize ] katika shuguli za kibiashara za maisha , ili apate kibali cha yule aliyemuandika kuwa askari - jeshi . ’ Yehova anabariki wale wenye kuwa “ matajiri katika matendo mazuri . ” Vitu vya hali ya juu vya miti , vya majiwe , na vya chuma , tutavipata kwa bure na kuvitumia ili kujenga nyumba za muzuri sana . Ili kutoa muchango kupitia Internete , fungua adresi yetu jw.org kisha ufungue sehemu yenye kupatikana kwenye mwisho wa kila ukurasa yenye kichwa “ Toa Muchango kwa Ajili ya Kazi Yetu ya Kuhubiri Katika Dunia Yote . ” SUSI alisema hivi : “ Kwa mwaka moja hivi kisha kifo cha mutoto wetu mwanaume , tulisikia maumivu makali sana . ” Kila wakati , amani ya Mungu ililinda kabisa mioyo yetu na akili zetu . ” ​ — Soma Wafilipi 4 : 6 , 7 . Namna gani Yesu alionyesha sifa ya kujitia pa nafasi ya wengine wakati Lazaro alikufa ? Ikiwa umefiwa , wewe pia unaweza kupata maneno yenye kutuliza katika maandiko kama haya : Tunapaswa kukumbuka nini juu ya watu wenye wamefiwa ? Hata wakati mutu anaeleza namna anajisikia , haiko mwepesi sikuzote kwa wengine kuelewa mambo yenye anajaribu kusema . Wakati huo , sijisikie kuwa niko peke yangu katika huzuni yangu . ” Junia anasema hivi : “ Wakati ninapata ujumbe ao mualiko kutoka kwa Mukristo mwenzangu ili nipitishe wakati pamoja naye , hilo linanisaidia sana . Mambo hayo yanafanya nijisikie kuwa mwenye kupendwa na mwenye kuhangaikiwa . ” Dalene anakumbuka hivi : “ Wakati fulani , wakati dada wamekuja kunifariji , nimewauliza ikiwa watapenda kusali . Wakati wanaanza kusali , mara nyingi wanashindwa kusema , lakini kila wakati , kisha kusema maneno fulani , sauti zao zinaanza kupata nguvu na wanasali kwa moyo wao wote . Imani yao yenye nguvu , upendo wao , na namna wananihangaikia , vimetia nguvu sana imani yangu . ” Ndugu mumoja alisema hivi : “ Nilitazamia kuwa kisha kifo cha bibi yangu , tarehe ya kukumbuka siku yenye tulifunga ndoa ingeniletea huzuni nyingi , na haikukuwa mwepesi . Lakini ndugu na dada fulani walifanya mipango ili tukutane pamoja na marafiki wangu wa sana ili nisibakie mimi mwenyewe . ” Junia anasema hivi : “ Mara nyingi musaada na urafiki wenye kutolewa wakati mwingine wowote hata kama haiko siku fulani ya pekee ya kukumbuka unaweza kuwa wa maana sana . Wakati kama huo ni wa maana sana na unaleta faraja kubwa . ” Wamenifanya kabisa nijisikie kuwa mikono ya Yehova yenye upendo imenikumbatia . ” Sababu gani ahadi za Yehova zinatutolea faraja kubwa ? Mungu anaahidi kuwa “ atameza kifo milele , na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote . ” Maandiko mengine yenye wengi wameona kuwa yenye kufariji ni Zaburi 20 : 1 , 2 ; 31 : 7 ; 38 : 8 , 9 , 15 ; 55 : 22 ; 121 : 1 , 2 ; Isaya 57 : 15 ; 66 : 13 ; Wafilipi 4 : 13 ; na 1 Petro 5 : 7 . Ona habari “ Wafariji Waliofiwa kama Yesu Alivyofanya ” katika gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 1 Mwezi wa 11 , 2010 . “ Hatujue jambo la kusema , lakini tunaweza kusema tu kuwa tunakupenda . Hatuwezi kuelewa muzuri kabisa namna unajisikia , lakini Yehova anaelewa na ataendelea kukufariji kabisa . Tunatumainia kuwa sala zetu zitakusaidia kwa kadiri fulani . ” “ Yehova akutegemeze wakati huu wenye umepoteza mutu mwenye ulipenda sana . ” “ Upate faraja kwa kujua kuwa mupendwa wako iko katika kumbukumbu la Mungu , mwenye atakumbuka kila jambo juu yake na kumufufua . ” “ Mupendwa wako hatapambana tena na adui wa mwisho , kifo . Lakini kwa sasa , matendo yake ya imani yanaendelea kukumbukwa mupaka wakati atafufuliwa na kuishi katika Paradiso . ” “ Maneno hayawezi kueleza huzuni yote yenye mutu anasikia wakati anafiwa na mupendwa wake , lakini tunangojea kwa hamu wakati maneno hayataweza kueleza furaha yenye utakuwa nayo wakati Baba yetu wa mbinguni atafufua mupendwa wako . ” Katika Grójec , muhubiri mumoja anahubiria mufanyakazi mumoja ujumbe wa Biblia katika shamba la miti ya tofaa ( pomme ) ( b ) Zaburi ya 147 inaweza kutufundisha nini ? Na kunaweza kuwa trilioni ya magalaksi katika ulimwengu wote muzima ! Ninapenda ufurahie maisha yako kwa sababu uko Shahidi wangu ! ” ( Soma Zaburi 147 : 8 , 9 . ) Mutsuo anasema hivi : “ Nilijisikia kuwa Yehova alikuwa karibu na kila mumoja wetu na alikuwa anatuhangaikia . 12 , 13 . ( a ) Ili tupate musaada wa Mungu , tunapaswa kuepuka mambo gani ? Kwa upande mwingine , Mungu ‘ anawashusha waovu mupaka chini . ’ ‘ Yehova anawafurahia wale wanaomuogopa , wale wanaozingojea fazili zake zenye upendo [ upendo wake mushikamanifu ] . ’ 15 - 17 . ( a ) Wakati fulani tunaweza kujisikia namna gani juu ya magumu yetu , lakini namna gani Yehova anatumia Neno lake ili kutusaidia ? Leo , Yehova anatuongoza kupitia Neno lake Biblia . Ni mipango gani yenye inaweza kukusaidia ukuwe na wakati unaokuja wenye furaha ? Kazi ya upainia inaweza kukuongoza wapi ? VIJANA , pengine mutakubali kuwa mbele ya kuanza safari , ni jambo la hekima mutu afanye mipango juu ya mahali kwenye ataenda . Maisha ni kama safari , na wakati ungali kijana ndio wakati wa kufanya mipango juu ya mahali kwenye unapenda kuenda . Namna gani unajua kuwa Yehova anapenda ufanye mipango yenye itakusaidia ukuwe na wakati unaokuja wenye furaha ? Muumbaji wako ni “ Mungu wa upendo , ” “ Mungu mwenye furaha , ” mwenye aliumba wanadamu ‘ kwa mufano wake . ’ Utakuwa na furaha ikiwa unamuiga Mungu wetu mwenye upendo . Yesu Kristo aliwaachia ninyi vijana mufano mukamilifu . Pia , Yesu alimukaribia Yehova kwa kujifunza Maandiko . ‘ Mipango inavunjika mahali ambapo hapana mazungumuzo ya siri , lakini katika wingi wa washauri mambo yanatimizwa . ’ Kama kazi zingine zote , inaomba wakati upite ili ukuwe na uzoefu . Mwanzoni , sikuweza kuanzisha hata funzo moja la Biblia , lakini kisha kuhamia katika eneo lingine , nilianzisha mafunzo fulani ya Biblia katika mwezi mumoja . Mwanafunzi mumoja alianza kuja kwenye Jumba la Ufalme . Kwa mufano , Jacob , wa Amerika ya Kaskazini , anaandika hivi : “ Wakati nilikuwa na miaka saba , wengi kati ya wanafunzi wenzangu walikuwa Wavietnamu . Nilipenda kuzungumuza nao juu ya Yehova , kwa hiyo , kisha muda fulani nilifanya mipango ili kujifunza luga yao . Nilijifunza mambo mengi kwa kulinganisha magazeti ya Munara wa Mulinzi ya luga ya Kiingereza na ya Kivietnamu . Pia nilitafuta marafiki katika kutaniko la luga ya Kivietnamu lenye lilikuwa karibu . Wakati nilikuwa na miaka 18 , nilianza kufanya kazi ya upainia . Kisha , nilisoma Masomo kwa Ajili ya Ndugu Wasio na Bibi . Kujifunza luga hiyo kulinisaidia katika mugawo wangu wa sasa wa kazi ya upainia , kwenye mimi peke yangu ndiye muzee katika kikundi cha luga ya Kivietnamu . Wavietnamu wengi wanashangaa kuona kuwa nimejifunza luga yao . Wananikaribisha katika nyumba zao , na mara nyingi ninajifunza Biblia pamoja nao . Wamoja kati yao wamefanya maendeleo mupaka kubatizwa . ” ​ — Linganisha na Matendo 2 : 7 , 8 . Ninafurahia kutia moyo ndugu vijana katika kutaniko letu na kuona namna wanafanya maendeleo ya kiroho . Kisha kusoma Masomo kwa Ajili ya Ndugu Wasio na Bibi , nilipewa mugawo mupya kwenye nilifanya kazi ya upainia . Ni kweli kwamba sijapata katika eneo hata mutu mumoja mwenye amefanya maendeleo na kufikia kubatizwa , lakini wengine wamepata . Namna gani kazi ya upainia inaweza kukuongoza kwenye aina zingine za utumishi ? Ndugu mumoja mwenye kuitwa Kevin , anasema hivi : “ Tangu wakati nilikuwa kijana mudogo , nilipenda kumutumikia Yehova kwa wakati wote siku fulani . Mwishowe , nilianza kufanya kazi ya upainia wakati nilikuwa na miaka 19 . Nilijitegemeza mimi mwenyewe kwa kutumika wakati fulani pamoja na ndugu mumoja mwenye alikuwa anafanya kazi ya ujenzi . Nilijifunza kuweka paa ( sehemu ya juu ya nyumba ) , madirisha , na milango . Kisha , nilipitisha miaka mbili pamoja na kikundi cha kutoa musaada kisha upepo mukali kutokea , nilikuwa ninasaidia kujenga Majumba ya Ufalme na nyumba za ndugu na dada . Wakati nilisikia kuwa katika Afrika ya Kusini kuko lazima ya musaada katika kazi ya ujenzi , nilijaza ombi na nikaalikwa kuenda huko . Hapa katika Afrika , kisha majuma fulani , ninaenda kujenga Majumba ya Ufalme mahali mbalimbali . Tunaishi pamoja , tunajifunza Biblia pamoja , na kufanya kazi pamoja . Ninafurahia pia kuhubiri kila juma pamoja na ndugu na dada wa eneo . Mipango yenye nilifanya wakati nilikuwa kijana mudogo imeniletea furaha kuliko namna niliwazia . ” Utumishi wa Beteli ni kazi yenye kuleta furaha kwa sababu kila jambo lenye unafanya huko ni kwa ajili ya Yehova . Kisha mwaka moja na nusu , nilialikwa kwenye Beteli , huko nilijifunza namna ya kutumia mashini ya kuchapisha na kisha nilijifunza namna ya kuweka programu mbalimbali katika ordinatere . Kwenye Beteli , ninafurahia kusikia moja kwa moja ripoti juu ya maendeleo ya kazi ya kufanya wanafunzi katika dunia yote . Ninafurahia kutumika hapa kwa sababu mambo yenye tunafanya yanasaidia watu wamukaribie Yehova . ” Kisha upange kufanya mambo yenye kumupendeza . Amejifunza tabia za wanadamu tangu wakati waliumbwa . Ni kitu chenye unapaswa kutafuta wewe mwenyewe . ” na “ Musikubali wawaongoze kwenye musiba ! ” Yesu alisema hivi : ‘ Musiwaogope wale wanaoua mwili na baada ya hilo hawawezi kufanya jambo lolote zaidi . ’ Usitetemeke wala usikuwe na hofu [ woga ] , kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda . ’ Umusikilize Yehova na umutumainie katika mambo yote yenye unafanya . Habari ya pili inakazia namna Yehova anaweza kufanya mambo yenye haitazamiwe kwa kufanya mambo yenye hatuwazie hata kidogo . Kama mulimaji , tunapaswa kungojea kwa uvumilivu . Mufano wa nabii Mika unaweza kutufundisha nini ? Ikiwa tuko na imani kama ya Mika tutakuwa tayari kumungojea Yehova . Kwa hiyo , ‘ tunavumilia kikamili na kuwa wenye ustahimilivu pamoja na shangwe . ’ Abrahamu alipaswa kungojea miaka mingi mbele wajukuu wake Esau na Yakobo wazaliwe ( Picha hii inapatana na fungu la 9 , 10 ) Lakini fikiria furaha yenye Abrahamu atakuwa nayo wakati atafufuliwa katika dunia paradiso . Kwa upande wenu , ninyi mulikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi . ( b ) Ni nini ilisaidia Daudi angojee kwa uvumilivu ? Nitamuimbia Yehova , kwa maana amenitendea kwa njia ya kunipa sawabu [ baraka ] . ’ Ni nini itatusaidia kuwa tayari kungojea kwa uvumilivu ? Mambo yenye yalimufikia mutume Paulo katika Filipi , yanaweza kutufundisha nini ? Sababu gani Yehova aliruhusu jambo hilo limufikie Paulo ? Yeye na Sila walianza ‘ kusali na kumusifu Mungu kwa wimbo . ’ 4 , 5 . ( a ) Namna gani hali yetu inaweza kuwa kama ile ya Paulo ? ( b ) Namna gani hali ya Paulo ilibadilika bila kutazamia ? ( Soma 1 Petro 5 : 6 , 7 . ) Wakati fulani anafanya mambo fulani yenye hatutazamie . Yehova alituma malaika mumoja mwenye aliua maaskari 185 000 wa Senakeribu katika usiku mumoja . ( a ) Mambo yenye yalimufikia Yosefu , yanatufundisha nini ? Kwa kweli , mambo yenye Yehova alifanya yalipita mambo yote yenye Yosefu alikuwa anatazamia . Fikiria pia Sara tate ( nkambo ) ya Yakobo , baba ya Yosefu . ( Soma Isaya 43 : 10 - 13 . ) Tunajua kama Yehova anatuhangaikia na anataka tukuwe na maisha ya muzuri . Namna gani tunaweza kuvua na kuepuka kabisa utu wa zamani ? Kufikia mwaka 1939 , Mashahidi 6 000 walikuwa katika [ kambi za mateso ] . ” Na mumesafisha muzuri sana uwanja huu . Lakini , zaidi ya yote , hamuna ubaguzi kabisa . ” Tutazungumuzia nini katika habari hii , na sababu gani ? Lakini , kadiri niliendelea kufanya uasherati , nilijisikia zaidi kuwa siko salama . ” Hali iliharibika sana mupaka singeweza tena kungoja mwanamuke mwenye tulikuwa tunaishi naye aondoke ili niangalie video za pornografia . ” Ni nini ilimusaidia Stephen aepuke kabisa hasira na matukano ? Anasema hivi : “ Maisha yetu ya familia yakakuwa ya muzuri zaidi . Leo , Stephen ni mutumishi wa huduma , na bibi yake amefanya miaka fulani katika kazi ya upainia . Maandiko ya Biblia yenye yalinitia moyo ni Isaya 55 : 7 , lenye kusema hivi : ‘ Mutu mwovu aiache njia yake , ’ na 1 Wakorintho 6 : 11 , lenye kusema hivi juu ya wale wenye walikuwa wameachana na matendo ya zambi : ‘ Na bado wengine wenu mulikuwa hivyo . ’ Kwa miaka mingi , Yehova alinivumilia na kunisaidia kupitia roho yake takatifu ili nivae utu mupya . ” Tunafaidika pia na Neno la Mungu na roho yake takatifu wakati tunatayarisha na kuhuzuria mikutano . Ona sura ya 25 katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza ​ — Majibu Yafanyayo Kazi , Buku la 1 . Alisema hivi : ‘ Hakuna Mugiriki wala Muyahudi , tohara wala kutotahiriwa , mugeni , Musikithe , mutumwa , mutu huru . ’ ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Mupango huo umeleta matokeo gani ? Kisha akahuzuria mukutano wa Mashahidi wa Yehova . Unajionea kama tuko familia ya ndugu na dada ya ulimwenguni pote na unajionea umoja wao wa ajabu . ” Wakati tulikuwa tunawaonyesha maandiko katika Biblia yao ya luga ya Kireno ( Portugais ) , kama vile Ufunuo 21 : 3 , 4 ao Zaburi 37 : 10 , 11 , 29 , walisikiliza kwa uangalifu na wakati fulani walitoa hata machozi . ” Tuko wenye shukrani sana kwa Yehova . ” ​ — Soma Matendo 10 : 34 , 35 . Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi kwa hiari , nanyi mufanye vivyo hivyo pia . ’ Kisha , aliongezea hivi : ‘ Mukiendelea kuonyesha upendeleo , munafanya zambi . ’ Sababu gani ni jambo la maana tuvae upendo ? Pia , upendo ‘ ni wenye ustahimilivu na wenye fazili ’ na ‘ haujivune . ’ Paulo alisema kuwa bila upendo , alikuwa “ si kitu . ” Hivi ndivyo upendo ulivyo , si kwamba sisi tumemupenda Mungu , bali kwamba yeye alitupenda akamutuma Mwana wake kuwa zabihu ya upatanisho kwa ajili ya zambi zetu . ’ Yesu alisema hivi : ‘ Hakuna aliye na upendo mukubwa kuliko huu , kwamba mutu aitoe nafsi [ uzima ] yake kwa ajili ya rafiki zake . ’ Tuzungumuzie basi namna tunaweza kufanya hivyo . Yohana aliandika hivi : “ Watoto wadogo , acheni tupendane , si kwa neno wala kwa ulimi , bali kwa tendo na kweli . ” Lakini nilijiuliza hivi , ‘ Namna gani ninaweza kumuiga Yesu katika namna ya kutendea mutu huyu ? ’ Kisha kufikiria namna Yesu angetenda , niliamua kuacha mambo hayo na sikuyafuatilia tena . Kisha nilifikia kujua kuwa mufanyakazi huyo mwenzangu , alikuwa anapambana na tatizo kubwa la afya na alikuwa na mahangaiko mengi . Nilifikia kuona kuwa pengine hakufikiria kabisa mambo yenye aliandika . Kufikiria mufano wa Yesu wa kuonyesha upendo hata wakati alichokozwa , kulinisaidia kuonyesha upendo kama huo kwa mufanyakazi mwenzangu . ” AMANI : “ Kuvumiliana katika upendo ” kunatusaidia tufurahie “ kifungo chenye kuunganisha cha amani . ” Haukubali kuwa amani hiyo ni ya pekee kabisa katika ulimwengu wenye kugawanyika leo ? Paulo aliandika hivi : ‘ Upendo unajenga . ’ Siku yenye ilifuata walikuwa wamejaza mahali pote pa mukusanyiko . ” Kutaniko moja liliandika hivi : “ Jambo moja tu lenye kupita karibu na hapa ni singa za simu . ” Katika Meksiko katika mwaka wa 2016 watu 2 262 646 walihuzuria ukumbusho . Habari ya Mathayo inakazia matukio yenye kumuhusu Yosefu . 1 , 2 . ( a ) Kukosa kujizuia kunaweza kuleta matokeo gani ? Usali ili kupata hekima ya kusema ao kufanya mambo yenye kuwa sawa . Namna gani unaweza kujitayarisha ili kushinda majaribu ? Ni katika njia gani wazazi wanaweza kusaidia watoto wao wakomalishe sifa ya kujizuia ? Namna gani unaweza kusaidia watoto wako wakomalishe sifa ya kujizuia ? ( Soma Kutoka 34 : 5 - 7 . ) ( b ) Sababu gani tunapaswa kupendezwa na mambo yenye Biblia inafundisha juu ya sifa ya huruma ? ( a ) Sababu gani Yehova alituma malaika Sodoma ? Biblia inasema hivi : “ Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake , akatuma tena na tena , kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake . ” Lakini , tunapaswa kufanya yetu yote leo ili kusaidia watu . Maana moja ya sifa ya huruma ni “ kuteseka pamoja na wengine . ” ‘ Ukuwe hodari na mwenye nguvu nawe utende . Namna gani vijana na wazazi wao wanaweza kuonyesha uhodari ? 1 , 2 . ( a ) Sulemani alipewa mugawo gani wa maana ? Ili kuweza , Sulemani alipaswa kuwa na uhodari na kutenda . Inawezekana Sulemani alijua nini juu ya uhodari wa baba yake ? ( Soma 1 Mambo ya Nyakati 28 : 20 . ) Tuzungumuzie basi hali mbili za maisha zenye kutuomba tuonyeshe uhodari : katika familia yetu na katika kutaniko letu . ( b ) Namna gani vijana wanaweza kuiga mufano wa Musa ? Atawasaidia kutimiza mahitaji ya familia zao . Anaandika hivi : “ Nilikuwa mwenye haya sana wakati nilikuwa ninakomaa . Ilikuwa vigumu kwangu kuzungumuza na watu kwenye jumba la Ufalme , na ilikuwa vigumu zaidi kugonga kwenye mulango wa mutu mwenye sijue kabisa . ” Kwa musaada wa wazazi wake na wengine katika kutaniko , dada huyo kijana alifikia muradi wake wa kuwa painia wa kawaida . Namna gani maandiko ya Zaburi 37 : 25 na Waebrania 13 : 5 yanaweza kusaidia wazazi ? Ndugu mumoja mwenye kuwa na watoto wawili , aliandika hivi : “ Wazazi wengi wanatumia nguvu nyingi na mali ili kusaidia watoto wao wafikie miradi yao katika mambo kama vile michezo , mambo ya kujifurahisha , na masomo . Ni jambo la maana zaidi kutumia nguvu nyingi na mali ili kusaidia watoto wetu wafikie miradi yenye itawasaidia waendelee kuwa na urafiki muzuri pamoja na Yehova . Tumepata furaha kubwa kuona watoto wetu wanafikia miradi yao ya kiroho , lakini pia kwa sababu tumewasaidia kufanya hivyo . ” Toa mifano ya watu wenye wako na lazima ya kuonyesha uhodari katika kutaniko . ( a ) Namna gani ndugu wenye kubatizwa wanaweza kuonyesha uhodari ? ( Soma Wafilipi 2 : 13 ; 4 : 13 . ) Tunatia moyo ndugu wote wenye kubatizwa waonyeshe uhodari na kutumika kwa bidii kwa ajili ya kutaniko ! Kwa hiyo , ‘ ukuwe hodari . . . na utende . ’ 1 , 2 . ( a ) Maisha yangekuwa namna gani bila Biblia ? Mutume Petro alitaja maneno ya andiko la Isaya 40 : 8 . ( a ) Namna gani mabadiliko yanakuwa katika luga kadiri wakati unapita ? Biblia zingine za tafsiri hiyo zenye zilifikia kuchapishwa zilitumia pia neno “ BWANA ” katika herufi kubwa katika maandiko fulani katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo . Sababu gani tuko wenye shukrani juu ya Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ? Ona habari “ Je , Unahitaji Kujifunza Kiebrania na Kigiriki ? ” katika gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 1 Mwezi wa 11 , 2009 . Tarehe 3 Mwezi wa 4 , 2017 , jumba la makumbusho la Biblia lilifunguliwa kwenye makao yetu makubwa katika Warwick , New York , Amerika . Sehemu ya kudumu ya jumba hilo la makumbusho inaitwa “ Biblia na Jina la Mungu . ” Tunakualika kutembelea jumba la makumbusho la Biblia na majumba mengine ya makumbusho yenye kupatikana kwenye makao yetu makubwa . Ikiwa unapenda kutembelea nafasi hiyo , tafazali andikisha jina lako kupitia adresi yetu ya Internete www.jw.org . Fungua sehemu yenye kichwa HABARI JUU YETU > BIRO & KUTEMBELEA BIRO ZETU . Alisoma 2 Wakorintho 1 : 3 , 4 , lenye kusema hivi : ‘ Baba ya rehema nyororo na Mungu wa faraja yote . . . anatufariji katika ziki yetu yote . ’ Kwa kweli , tuko wenye shukrani sana kwa Neno la Yehova lenye kuandikwa , Biblia . Ona kisanduku “ Mabadiliko Makubwa . ” Uchukue wakati wa kufasiria , kutoa mufano , na kuonyesha namna ya kutumikisha maandiko yenye unasoma “ Mabadiliko makubwa yalitokea miaka 15 hivi kisha kubatizwa kwangu . Wakati hotuba ilikuwa inatolewa kwenye Jumba la Ufalme . . . , musemaji alizungumuzia andiko la Yakobo 1 : 23 , 24 . “ Kisha siku kidogo , nilisoma andiko lenye lilibadilisha maisha yangu . Andiko hilo ni Isaya 1 : 18 , lenye kutaja maneno ya Yehova wakati anasema hivi : ‘ Sasa , mukuje , nasi tunyooshe mambo kati yetu . . . . Hata zambi zenu zikiwa nyekundu , zitafanywa kuwa nyeupe kama teluji . ’ Nilijisikia kuwa Yehova alikuwa ananiambia : ‘ Kuja Vicky , tunyooshe mambo kati yetu . Ninakujua , ninajua zambi zako , ninajua moyo wako , na ninakupenda . ’ “ Sikuweza kulala usiku huo . Hata hivyo , ni kama vile nilikuwa ninamuambia hivi : ‘ Upendo wako hautoshe ili kunifikia . Zabihu ya mwana wako haiwezi kufunika zambi zangu . ’ Lakini sasa , kisha kutafakari kuhusu zawadi hiyo ya zabihu ya ukombozi , nilianza kujisikia kuwa Yehova ananipenda . ” Habari hizi zinazungumuzia maono ya sita , ya saba , na ya munane ya Zekaria . Acha kwanza niwaelezee namna nilikomaa . NILIZALIWA katika mwaka wa 1923 katika Hemsworth , muji wenye kuwa katika Yorkshire , Uingereza . Mwaka wenye ulifuata , niliwekwa kuwa painia wa pekee pamoja na Mary Henshall . Tulitumwa katika eneo la Cheshire lenye lilikuwa halijahubiriwa . Ninafurahi sana kujua kuwa sasa kuko Mashahidi wengi katika eneo hilo . Kaka yangu na bibi yake Lottie , walikuwa tayari mapainia wa pekee katika Irelandi ya Kaskazini , na katika mwaka wa 1952 sisi waine tulihuzuria mukusanyiko wa wilaya katika Belfast . Usiku huo , sisi waine tulilala katika motokari . Jambo la kushangaza ni kwamba , hatukukuwa na matatizo ya kuacha nyumba hiyo katika mashamba ya watu wenye moyo muzuri . Tulifurahia sana mugawo wetu katika kazi ya muzunguko . Mukusanyiko wa kwanza wa kimataifa katika Irelandi ulifanywa Dublin katika mwaka wa 1965 . Watu 3948 walihuzuria , na watu 65 walibatizwa . Arthur anasalimia Ndugu Nathan Knorr wakati anafika kwa ajili ya mukusanyiko wa mwaka wa 1965 Arthur anatangaza kutolewa kwa Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia katika luga ya Kiselti katika mwaka wa 1983 Katika mwaka wa 2011 maisha yetu yalibadilika kabisa wakati tawi ya Uingereza na ya Irelandi zilitiwa pamoja na tukapewa mugawo wa kutumikia kwenye Beteli ya Londres . Katika miaka fulani yenye imepita , nimevunjika moyo , nimeshuka moyo , na nimekuwa na huzuni . Zamani , sikuzote Arthur alikuwa ananisaidia . Lakini wakati unapatwa na hali kama hizo , unamukaribia Yehova zaidi . “ Upendo usio na unafiki ” ni nini ? Namna gani Yehova ameonyesha wanadamu upendo wenye hauna uchoyo ? Yehova alionyesha wanadamu upendo hata mbele ya kuumba Adamu na Eva . Tunaweza kuonyesha upendo wa kweli katika njia gani ? Namna gani tunaweza kuonyesha upendo wa kweli wakati tunaonyesha ukaribishaji - wageni ? Namna gani tunaweza kuonyesha kuwa tumesamehe kwa moyo wote ? Ni “ upanga ” gani wenye Yesu alisema kuwa angeleta ? Namna gani unaweza kuendelea kuwa mushikamanifu kwa Yehova ikiwa watu wa jamaa yako wanapinga ibada ya kweli ? 3 , 4 . ( a ) Mafundisho ya Yesu yanaleta matokeo gani ? Yesu alisema hivi : ‘ Musifikiri nilikuja kuleta amani duniani ; nilikuja kuleta , si amani , bali upanga . Kwa maana nilikuja kuleta mugawanyiko , mutu kumupinga baba yake , binti kumupinga mama yake , muke aliye muchanga kumupinga mama - mukwe wake . Lakini , uwafasirie kuwa kila mutu anapaswa kuchagua ikiwa atamutumikia Yehova ao hapana . Biblia inasema hivi : ‘ Maneno yenu na yakuwe yenye neema sikuzote . ’ Namna gani unaweza kushinda mawazo ya kujisikia kuwa umekosea watu wa jamaa yako ? Nafasi moja kati ya nafasi mbalimbali za kuhubiria watu wengi katika miji mikubwa - mikubwa kwa kutumia vyombo vya kuwekea vichapo katika Lagos , muji wenye kuwa na watu wengi zaidi katika Afrika . Waisraeli walikuwa katika hali gani wakati huo ? 8 - 10 . ( a ) Kiapo ni nini ? Maono ya sita ya Zekaria yanatufundisha nini ? ( Soma Zekaria 5 : 9 - 11 . ) Unajisikia namna gani juu ya kazi kubwa zaidi ya kujenga yenye kufanywa leo ? Yehova anaendelea kutumia malaika zake ili kulinda na kutia nguvu watu wake 7 , 8 . ( a ) Milima hiyo mbili inafananisha nini ? ( b ) Sababu gani milima hiyo ni ya shaba ? Waendeshaji wa magari ya kukokotwa na farasi ni nani , na wako na mugawo gani ? Mwishowe , ibada ya kweli itarudishwa kabisa ! Yehova hawezi kusahau hata kidogo upendo wenye tunamuonyesha ! KATIKA muji mudogo wa Gujarati , India , baba ya John alibatizwa na kuwa Shahidi wa Yehova kumepita miaka 60 . Aliona kidole cha John chenye kuumia na akajitolea kumusaidia . Alienda kwa padri wao na kumuuliza maulizo hayo mawili . Unionyeshe ni wapi Biblia inasema kama Yesu haiko Mungu . Unionyeshe wapi inasema kuwa haupaswe kuabudu Maria . Tunaweza kujifunza mambo mengi juu ya mupango wa miji ya makimbilio katika Israeli ya zamani . Kuimba kunachukua nafasi gani katika ibada ya kweli ? Lakini wakati unaimba , maneno yanagusa moyo wako . ” ( b ) Namna gani tunapaswa kumuimbia Yehova sifa , na ni nani wenye wanapaswa kuonyesha mufano ? Soma maandishi ya wimbo kwa sauti ya juu , na bila kuogopa . ( a ) Namna gani kufungua sana kinywa chetu kunaweza kutusaidia wakati tunaimba ? ( a ) Ni tangazo gani lenye lilifanywa kwenye mukutano wa kila mwaka wa 2016 ? Mufanye mazoezi ya kuimba wakati wa ibada ya familia ( Picha hii inapatana na fungu la 18 ) Wakati anakumbuka , anasema hivi : “ Kusema kweli , niliogopa kuzungumuza nao . Wakati zambi inasamehewa , inasamehewa kabisa . Kama vile Yehova alisema , anaondoa mizigo yako na anaiweka mbali na wewe . Hautaiona tena hata kidogo . ” Sababu gani unapenda kumukimbilia Yehova ? Namna gani tunaweza kuiga rehema ya Yehova wakati wengine wako na lazima ya musamaha wetu ? 1 , 2 . ( a ) Namna gani Yesu aliona Sheria ya Mungu ? ( b ) Hilo linatufundisha nini juu ya Yehova ? ( Soma Matendo 20 : 26 , 27 . ) ( Soma Hesabu 35 : 20 - 24 . ) Muende , basi , mukajifunze maana ya jambo hili , ‘ ninataka rehema , wala si zabihu . ’ Kwa maana nilikuja kuwaita , si watu waadilifu , bali watenda - zambi . ” Walikuwa katika nyumba ya Mathayo haiko ili kula tu chakula . Miji ya makimbilio imekufundisha mambo gani yenye umepanga kutumikisha ? Dada wawili Wakristo wanahubiria ujumbe wa Biblia muchuuzi mumoja katika muji wa Tipitapa Ni shauri gani lenye upendo lenye mutume Paulo alitoa juu ya mawazo ya ulimwengu ? Taja wazo moja la ulimwengu na namna unaweza kulikataa . Mujihazari : labda kuna mutu ambaye atawachukua ninyi kama windo lake kupitia falsafa na udanganyifu mutupu kulingana na pokeo la wanadamu , kulingana na mambo ya musingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo . ’ “ Ninaweza kuwa mutu muzuri bila kumuamini Mungu . ” “ Unaweza kuwa na furaha hata kama hauko katika dini fulani . ” Yehova iko na haki ya kutuwekea sheria kwa sababu yeye ndiye alituumba . Ikiwa , sasa , hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike , liongoe ulitupilie mbali nawe . ’ Yesu alisema hivi : ‘ Hakuna anayeweza kuwatumikia mabwana wawili ; kwa maana ama atamuchukia mumoja na kumupenda yule mwingine , ama atashikamana na mumoja na kumuzarau yule mwingine . ( Soma 1 Wathesalonike 2 : 13 , 19 , 20 . ) “ Wanadamu wanaweza kumaliza magumu yao . ” Namna gani familia yote inaweza kupata zawadi ? ( b ) Ni nini itatusaidia kuendelea kukaza macho yetu juu ya zawadi ? Namna gani tunaweza kujilinda katika hali zenye kuleta hatari ? Ili kuua tamaa za mubaya , tunapaswa kuepuka mambo ya mubaya ya kujifurahisha . Muendelee kuvumiliana na kusameheana kwa hiari [ kwa kupenda ] ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine . Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi kwa hiari , nanyi mufanye vivyo hivyo pia . ( Soma Mhubiri 7 : 21 , 22 . ) 10 , 11 . ( a ) Sababu gani ni hatari kuwa na wivu ? Neno la Mungu linasema hivi : ‘ Upendo ni wenye ustahimilivu na wenye fazili . Sisi pia tunaweza kuiga wema na upendo wa Yonathani . Enyi waume , muendelee kuwapenda wake zenu nanyi musiwakasirikie kwa uchungu . Enyi watoto , muwatii wazazi wenu katika kila jambo , kwa maana hilo linapendeza vema katika Bwana . Bwana Mukristo anapaswa kufanya nini ikiwa bibi yake mwenye haiko Shahidi hamuheshimie ? Neno la Mungu linasema hivi : ‘ Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi , na mutu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu . ’ Habari hizi zitatia nguvu imani yako katika ufufuo . Ni habari gani zenye kuwa katika Biblia zenye zilisaidia Martha akuwe hakika juu ya ufufuo ? Kama Martha , unangojea tukio gani lenye furaha wakati wenye kuja ? Alisema hivi : “ Ninajua atafufuka . ” Kisha , mutoto wake aligonjwa na akakufa . Mungu alisikia sala ya Eliya , na mutoto huyo akafufuka . ( Soma 2 Wafalme 4 : 32 - 37 . ) Petro alifanya nini wakati dada mumoja Mukristo alikufa ? Wakati mumoja Paulo alikuwa katika mukutano fulani katika chumba cha juu katika Troa ; sasa ni sehemu ya kaskazini - mangaribi mwa Uturuki . Kijana mwanaume mwenye aliitwa Eutiko alikuwa anasikiliza , na alikuwa anakaa kwenye dirisha . Pia , Yehova alisema kuwa baraka hiyo ingekuja “ kupitia Isaka . ” Kwa kweli , hilo halikumaanisha kuwa Mungu hangeweza kufufua mutu . ( Soma Ayubu 14 : 13 - 15 . ) ( b ) Sababu gani fundisho la ufufuo ni la maana sana ? Lakini , unaweza kutaja ufufuo kuwa moja kati ya mambo yenye unaamini na yenye unapenda zaidi ? ( Soma 1 Wakorintho 15 : 12 - 19 . ) Lakini , tunajua kama Yesu alifufuliwa . Namna gani Zaburi ya 118 ilitimia juu ya Yesu ? ‘ Wajenzi walimukataa ’ Masiya ( Picha hizi zinapatana na fungu la 7 ) Namna gani Yesu angefikia kuwa ‘ jiwe kubwa la pembeni ’ ? Kwa sababu Yesu alikataliwa na kuuawa , namna gani angekuwa ‘ jiwe kubwa la pembeni ’ ? Hautamuruhusu mushikamanifu wako aone shimo . ’ ( Soma Matendo 2 : 29 - 32 . ) Kuko mambo juu ya ‘ nyakati ao majira ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe . ’ Ni nini itawapata watiwa - mafuta fulani wakati wa kuwapo kwa Kristo ? Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena , vivyo hivyo pia , wale ambao wamelala usingizi katika kifo . . . Sisi tulio hai ambao tutabaki mupaka kuwapo kwa Bwana hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo ; kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri , . . . na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza . Watiwa - mafuta wenye watakuwa wangali wazima wakati wa ziki kubwa ‘ watanyakuliwa . . . katika mawingu . ’ Ikiwa unarudia , nitavunja miguu yako . ” Nilizaliwa tarehe 29 Mwezi wa 7 , 1929 , na nilikomalia katika kijiji kimoja cha jimbo la Bulacan katika Ufilipino . Nilifurahia kusoma Biblia , zaidi sana vitabu ine vya Injili . Wakati huo , wazazi wangu waliniomba nirudie nyumbani . Shahidi mumoja mwenye kuzeeka alifika kwenye nyumba yetu na akatuelezea mambo yenye Biblia inasema juu ya “ siku za mwisho . ” Akatualika kuhuzuria funzo la Biblia katika kijiji chenye kuwa karibu . Tulipitisha karibu usiku wote katika mazungumuzo ya Biblia . Nilijibia hivi : “ Ndiyo ninapenda . ” Nilijua kuwa nilipenda ‘ kutumikia Bwana , Kristo . ’ Tulienda kwenye mutoni wenye ulikuwa karibu , na wawili kati yetu tulibatizwa tarehe 15 Mwezi wa 2 , 1946 . Watu wa familia ya Cruz walinialika niishi pamoja nao katika Angat . Aliitoa katika Kiingereza , na kisha nilitoa kifupi cha hotuba yake katika luga ya Tagalog . Asubui sana , nilitumika mahali pa kupikia chakula . Kisha kumaliza masomo , nilitumwa kwa muda kuwa painia wa pekee katika eneo la Bronx katika Muji wa New York . Tulipitisha juma la kwanza la ndoa yetu kwa kutembelea kutaniko katika Kisiwa cha Rapu Rapu . Tuliweza hata kuuza kiwanja kutoka kwa mutu mwenye alikuwa amesema kuwa “ Wachina hawauzishake nafasi zao . ” Mimba hiyo inaweza kukomalia ndani ya njia ya kuenda kwenye tumbo la uzazi ( mimba ya inje ya tumbo la uzazi ) ao inaweza kuenda kwenye tumbo la uzazi . Hilo linaweza kuua mimba yenye ingali kwenye mwanzo . Habari fulani kutoka Huduma ya Afya ya Kitaifa ya Uingereza inaripoti hivi : “ Vyombo vya kuweka katika tumbo la uzazi vyenye kuwa na shaba nyingi zaidi vinaleta matokeo ya muzuri zaidi ao asilimia 99 ( 99 % ) . Hilo linamaanisha kuwa kati ya wanawake 100 wenye kutumia chombo chenye kuwekwa ndani ya tumbo la uzazi , inawezekana karibu mwanamuke mumoja ndiye atapata mimba kwa mwaka mumoja . Vyombo vya kuzuia kupata mimba vyenye kuwa na shaba kidogo havilete matokeo ya muzuri . ” ( a ) ‘ Kushawishiwa kuamini , ’ maana yake nini ? Kusema kweli , ninaweza kuwa na wasiwasi ikiwa anakubali jambo fulani bila kuuliza maulizo . ” Wanakubali kabisa mafasirio ya Biblia juu ya jambo hilo ? Stephanie , mama mwenye kuwa na watoto watatu wanawake , anasema hivi : “ Tangu wakati watoto wangu walikuwa wadogo , ninajiuliza hivi , ‘ Ninaelezea watoto wangu sababu gani niko hakika kuwa Yehova iko , niko hakika juu ya upendo wake , na kuwa kanuni zake ni zenye kuwa sawa ? Watoto wangu wanaweza kuona waziwazi kuwa ninamupenda Yehova kabisa ? ’ Siwezi kutazamia watoto wangu washawishiwe kuamini ikiwa mimi siamini . ” Namna gani wazazi wanaweza kusaidia watoto wao wakuwe na “ hekima kwa ajili ya wokovu ” ? Namna gani unaweza kufanyia kazi wokovu wako mwenyewe ? Pengine wamekomalia katika kweli . Lakini kisha miaka fulani wakati mukazo wa kufanya ngono unakuwa wenye nguvu , anapaswa kuwa hakika kabisa kuwa kutii sheria za Yehova ni uamuzi wa muzuri zaidi sikuzote . ” ( b ) Andiko la Wafilipi 4 : 11 - 13 linaweza kukufundisha nini ? Kufanyia kazi wokovu wako mwenyewe kwa “ kuogopa na kutetemeka , ” maana yake nini ? Ni vyombo gani vyenye vimekusaidia katika funzo lako la pekee ? Mimi pia ninapaswa kujisikia huru kufanya hivyo . Hata kama jambo lenye ninazungumuzia halihusu moja kwa moja Biblia , mara nyingi wengine wanataka kujua mambo yenye ninafanya wakati ninafundisha watu Biblia . Na kisha , kila mara ninajisikia kuwa na furaha ! ” Sisi tu ndio Mashahidi wenye wanaweza kuzungumuza nao . Kwa hiyo , namna tunatenda inaweza kuwa na matokeo juu ya namna wataitikia . Watatuona namna gani ikiwa tunasikia haya ao ni vigumu kwetu kuzungumuza juu ya imani yetu , ao ikiwa tunaogopa wakati tunazungumuza ? Wanaweza kuona kuwa hatujivunie imani yetu . Wanaweza hata kutujibia mubaya kwa sababu tunaogopa . Hata hivyo , ikiwa tunazungumuza kwa uhuru na kwa uhakika juu ya mambo yenye tunaamini , na kuyazungumuzia kwa ukawaida , inawezekana kabisa kuwa watatuheshimia . ” Yesu alisema hivi : ‘ Mutu yeyote akitaka kunifuata , na ajikane mwenyewe na kuuchukua muti wake wa mateso na kunifuata sikuzote . ’ Ili kupata mashauri zaidi , ona habari “ Vijana Huuliza ​ — Sababu Gani Ninapaswa Kusali ? ” © 2018 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Andiko la Isaya 40 : 26 linaweza kutufundisha nini ? Hakuna mutu mwenye ameweza kuhesabia nyota zote zenye kuwa katika ulimwengu . Sababu gani tunapaswa kuwa hakika kama Yehova iko na uwezo wa kutupatia nguvu ? Na aliongezea hivi : ‘ Nanyi mutapata burudisho [ ao , kitulizo ] kwa ajili ya nafsi zenu . Kwa maana nira yangu ni laini na muzigo wangu ni mwepesi . ’ Lakini tunajisikia namna gani wakati tunarudia ? Habari ilitolewa katika njia yenye kutia moyo na yenye kuonyesha huruma mupaka nikatokwa machozi . Nilikumbushwa kama ninapaswa kuwa kwenye mikutano . ” Mutume Paulo alipenda kusema nini wakati aliandika : ‘ Ninapokuwa zaifu , ndipo ninapokuwa mwenye nguvu ’ ? Aliimba hivi : ‘ Kwa musaada wako ninaweza kukimbiza kikundi cha waporaji ; na kwa musaada wa Mungu wangu ninaweza kuupanda ukuta . ’ Ao tutafuata shauri la Biblia lenye hekima la kumaliza matatizo haraka ? Unaweza kuanza mazungumuzo kwa kusema maneno kama haya : “ Pengine niko mwenye kuchokozeka haraka , lakini wakati ulizungumuza na miye jana , nilijisikia . . . ” Kwa maana mukono wako ulikuwa muzito juu yangu muchana na usiku . ’ Aliandika hivi : ‘ Mwishowe niliungama zambi yangu kwako , nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la zambi zangu . ’ ( 4 ) Kuko siku kutakuwa Ukumbusho wa mwisho ; ikiwa ndiyo , wakati gani ? ( a ) Yesu alisali juu ya nini katika usiku wa Chakula cha kwanza cha Bwana cha Mangaribi ? ( b ) Ni nini inaonyesha kuwa Yehova amejibia sala ya Yesu ? ( Soma Yohana 17 : 20 , 21 . ) Namna gani tunaweza kuendeleza umoja kati ya watu wa Mungu ? Namna gani tunaweza kuonyesha kama ‘ tunavumiliana katika upendo ’ ? Namna gani tunajua kama kutakuwa Ukumbusho wa mwisho ? Katika muji wa Riberalta , Beni , ndugu wawili mapainia na bibi zao wenye kuwa pia mapainia wanaingiza vichapo katika ndege ( avion ) . Sababu gani Yehova anapenda tutumie vitu vyetu vya maana ili kumutolea ? Namna gani tengenezo linatumia michango ya feza zenye kutolewa leo ? Wakati tunategemeza kazi ya Yehova tunamuonyesha nini ? ( Soma 2 Wakorintho 8 : 18 - 21 . ) Michango yenye unatoa kwa ukarimu inategemeza kazi yetu katika dunia yote ( Picha hizi zinapatana na fungu la 14 - 16 ) Kwa hiyo , wakati fulani tunajisikia kama tuko peke yetu , na tunasahau haraka kuwa kazi ya Yehova ni kubwa . Lakini wakati tunaangalia programu mbalimbali za JW Télédiffusion , tunakumbuka kama tuko sehemu ya familia ya ndugu na dada ya duniani pote . Ndugu na dada zetu wapendwa wa eneo hili wanafurahia sana programu za JW Télédiffusion . Kila mara tunasikia wanasema kama kisha kuangalia programu ya kila mwezi , wanajisikia kama wako karibu na ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza . Sasa wanajivunia sana kuwa katika tengenezo la Mungu . ” Yeye anayemupenda muke wake anajipenda mwenyewe , kwa maana hakuna mutu anayeuchukia mwili wake kwa vyovyote ; bali anaukulisha na kuutunza . ’ Namna gani tunaweza kuepuka kujipenda wenyewe ? Mutume Paulo aliandika kama watu wangekuwa “ wenye kupenda pesa . ” Miaka fulani yenye imepita , painia mumoja katika inchi ya Irelandi alizungumuza na mwanaume mumoja juu ya Mungu . Aliandika hivi : “ Nisije nikashiba nikakukana , nikasema : ‘ Yehova ni nani ? ’ ” Alikuwa anasema , ‘ Ninatumikia mukubwa wa kazi muzuri zaidi ! ’ Kwa sababu sasa mimi pia ninafanya kazi ya upainia , sisi wawili tunatumikia Mutu uleule , ni kusema , Yehova . ” Namna gani tunaweza kuepuka kupenda feza ? Unamaanisha kuwa hawamupendi Mungu hata kidogo . ” Namna gani tunaweza kuepuka kupenda raha ? Tunajua pia kama upendo ‘ haujigambe , haujivune . ’ Niliona kuwa wananihangaikia , na hilo lilinichochea kuwafurahisha . ” Aliponyesha vipofu , walemavu , wenye kuwa na ukoma , na viziwi . ( Soma Isaya 11 : 6 , 7 . ) Unaweza kusoma mifano fulani juu ya watu hao katika habari zenye kichwa “ Biblia Inabadilisha Maisha ya Watu , ” zenye kupatikana kwenye jw.org . Tunapaswa kujulisha wengine kama sisi ni Mashahidi wa Yehova . 3 Uige Imani na Utii wa Noa , Danieli , na Ayubu 28 Shangwe ​ — Sifa Yenye Tunapata Kutoka kwa Mungu Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli . ’ ​ — Mwa . 9 , 10 . ( a ) Namna gani tunaweza kuiga imani na utii wa Noa ? ( b ) Yehova alimuona Danieli namna gani ? ( b ) Mufano wa wazazi wa Danieli unaweza kufundisha wazazi nini ? ( Soma Ayubu 1 : 9 , 10 . ) 19 , 20 . ( a ) Namna gani tunaweza kuiga imani na utii wa Ayubu ? 1 - 3 . ( a ) Ni nini itatusaidia tuendelee kuwa waaminifu kwa Mungu katika siku hizi za mwisho ? ( Soma Ayubu 31 : 24 - 28 . ) Kwa hiyo , ujiulize hivi , ‘ Ninamujua Yehova muzuri kama vile Noa , Danieli , na Ayubu walimujua ? ’ Enoko , baba ya tate ya Noa , yeye pia ‘ aliendelea kutembea pamoja na Mungu wa kweli . ’ Yesu alisema hivi : “ Baba yenu Abrahamu alishangilia sana katika tazamio la kuona siku yangu . ” Ni vigumu kwangu kueleza shangwe yenye tuko nayo . ” Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua kupitia roho yake . ” Yesu alisema hivi : “ Mambo haya nimewaambia , ili shangwe yangu ipate kuwa ndani yenu na shangwe yenu ipate kujaa . ” ( 3 ) Namna gani kujikaza kuwa na “ akili ya Kristo ” kunatusaidia tukuwe watu wa kiroho ? Biblia inasema nini juu ya watu wa kiroho ? Mufano wa Yakobo unaweza kutufundisha nini ? Mufano wa Maria unaweza kutufundisha nini ? ( Soma Luka 1 : 46 - 55 . ) Rachel , dada mumoja katika Brazili , anasema hivi : “ Nilipenda kufuata namna ya kuvaa ya watu wa ulimwengu . Kwa hiyo , sikuvaa kwa kiasi kabisa . Lakini , kujifunza kweli kulinichochea kujikaza ili nikuwe mutu wa kiroho . Haikukuwa vyepesi kufanya mabadiliko , lakini nikakuwa na furaha zaidi na nikapata kusudi la kweli katika maisha . ” Kwa hiyo , kuwa kama Yesu kunafanya tukuwe zaidi kama Yehova . Walisema hivi : “ Nasi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya . ” Kuwa na mawazo kama ya Kristo kutakuwa na matokeo gani katika maisha yako ya kila siku ? Anasema hivi : “ Sikufanya hata kosa moja , lakini sikuchukua mambo kwa uzito . Nilionekana kuwa mutu wa kiroho , nilihuzuria mikutano yote , na kufanya upainia musaidizi kwa miezi fulani katika mwaka . Anasema hivi : “ Ilikuwa kama vile sikujua jambo lolote . Niliwaza hivi , ‘ Ili nikuwe kichwa cha kiroho cha bibi yangu , ninapaswa kufanya jambo fulani . ’ ” Anasema hivi : “ Nilijifunza Biblia na nikajifunza zaidi na zaidi , na nikaanza kuelewa mambo muzuri zaidi . Nilipata ujuzi , na jambo la maana zaidi , nikakuwa na urafiki wa sana pamoja na Yehova . ” ( 3 ) Namna gani kuwa nguvu kiroho kunatusaidia katika maisha yetu ya kila siku ? ( b ) Tunapaswa kuwa na kusudi gani wakati tunajifunza na kutafakari ? ( b ) Ni mufano gani wa Biblia wenye tunaweza kuiga ? 12 , 13 . ( a ) Ni nini itatusaidia kutumikisha andiko la Waroma 15 : 5 ? ( Soma 2 Petro 1 : 5 - 8 . ) Kuwa mutu wa kiroho kutakuwa na matokeo gani juu ya maisha yetu ya kila siku ? Ni “ matendo [ gani ] yaliyokufa ” yenye tunapaswa kuepuka ? Maamuzi yangu yatanisaidia kujiwekea miradi ya kiroho ? Simama , ubatizwe . ” ​ — MDO . 22 : 16 . Wazazi Wakristo wanapenda kuhakikisha jambo gani mbele watoto wao wabatizwe ? DADA mumoja mwenye kuitwa Blossom Brandt alieleza hivi juu ya uamuzi wake wa kubatizwa : “ Kwa miezi mingi niliambia Baba na Mama yangu kama ninapenda kubatizwa , na mara kwa mara walizungumuza pamoja na mimi juu ya jambo hilo . Walipenda kuhakikisha kama nilielewa kwamba huo ni uamuzi muzito sana . Tarehe 31 Mwezi wa 12 , 1934 , ilikuwa siku ya tukio hilo la maana sana katika maisha yangu . ” 5 , 6 . ( a ) Mambo yenye Biblia inasema juu ya Timotheo yanatusaidia kuelewa nini juu ya ubatizo wake ? ( Soma Wakolosai 1 : 9 , 10 . ) Aliambia Yehova kwamba alifurahia sana uamuzi wa mutoto wake mwanamuke wa kumutolea maisha yake . ” Sababu gani hatusukume mutu yeyote abatizwe ? Ikiwa uko muzazi , pengine umejiuliza hivi : ‘ Mutoto wangu iko tayari kabisa kubatizwa ? Ulizo la kwanza ni hili : “ Kwa musingi wa zabihu ya ukombozi ya Yesu Kristo , umetubu zambi zako na kujitoa mwenyewe kwa Yehova katika sala ili kufanya mapenzi yake ? ” Namna gani tunaweza kukaribisha wageni kwenye mikutano yetu ya Kikristo ? Anaandika hivi : “ Mwanzoni nilisita kwa sababu tulikuwa wapya katika ndoa na tulikuwa tunaishi katika nyumba ndogo . Lakini kubakia pamoja na wanafunzi kulituletea furaha nyingi kabisa . Kwa sababu tulikuwa wapya katika ndoa , tulipata nafasi ya kuona namna gani bibi na bwana wanaweza kuwa na furaha zaidi wakati wanamutumikia Yehova na kufuatia miradi ya kiroho pamoja . ” Sababu gani wapya katika kutaniko lenu wanastahili kukaribishwa ? ( Soma Luka 10 : 41 , 42 . ) Mangaribi moja bibi yangu alikuwa anakumbuka sana nyumbani kwetu na nilikuwa ninajikaza kumusaidia lakini sikuweza . Kisha , karibu saa 1 : 30 ya mangaribi , mutu fulani aligonga kwenye mulango wetu . Alikuwa mwanafunzi mumoja wa Biblia mwanamuke na alituletea machungwa ( oranges ) tatu . Alikuja kukaribisha wamisionere wapya . Tulimukaribisha ndani na tukamupatia maji ya kunywa . Ikiwa unaogopa kupokea wageni , haiko wewe peke yako . Muzee mumoja katika Uingereza , anasema hivi : “ Mutu anaweza kuwa na wasiwasi kwa kadiri fulani wakati anajitayarisha kupokea wageni . Lakini , kama mambo mengine yote yenye kuhusu utumishi wetu kwa Yehova , faida na kutosheka vyenye tunapata , vinashinda woga wowote wenye tunaweza kuwa nao . Nimefurahia kukaa tu pamoja na wageni na kuzungumuza nao na kunywa kahawa pamoja nao . ” Muzee mwingine aliandika hivi : “ Kualika nyumbani ndugu na dada wa kutaniko letu kunanisaidia kuwaelewa muzuri zaidi na kunanitolea nafasi ya kuwajua muzuri , zaidi sana namna walijua kweli . ” Bibi ya mwalimu mumoja wa masomo hayo alinisaidia nisihangaikie mambo hayo . Alisema kama wakati yeye na bwana yake wanafanya kazi ya muzunguko , majuma ya muzuri zaidi ni majuma yenye wanakaa pamoja na watu wenye hawana vitu vingi vya kimwili lakini wanakaza akili yao kama wao juu ya kumutumikia Yehova na kuishi maisha mepesi . ( Soma Methali 25 : 21 , 22 . ) Mara nyingi wale wenye kualika wageni wanajitayarisha muzuri ili kuwapokea ( Picha hii inapatana na fungu la 20 ) Muandikaji wa zaburi Daudi aliuliza hivi : ‘ Ee Yehova , ni nani atakayekuwa mugeni katika hema lako ? ’ Ni jambo la lazima pia tuheshimie desturi za eneo . Sababu gani ni jambo la maana sana ‘ tukaribishane ’ ? Kwenye kilalo , ndugu wawili wanatolea trakte mwanaume mumoja mwenye kupakaa rangi mbele ya Kaštilac , nyumba kubwa ya nguvu sana yenye ilijengwa katika miaka ya 1500 karibu na muji wa Split Muzee huyo anakumbuka hivi : “ Kiburi ndilo lilikuwa tatizo la Graham . Alikuwa anasema mubaya wazee wenye walikuwa katika halmashauri ya hukumu yenye ilimutenga na kutaniko . Kwa hiyo , katika funzo fulani zenye zilifuata , tulizungumuzia maandiko yenye kuzungumuzia kiburi na matokeo yake . Graham alianza kujiona muzuri zaidi katika kioo cha Neno la Mungu , na hakufurahia mambo yenye aliona ! Kisha kukubali kama alikuwa amefungwa macho na ‘ boriti ’ ( kipande kikubwa cha muti ) lenye kufananishwa na kiburi na kama tabia ya kusema mubaya juu ya wazee ndiyo ilikuwa tatizo lake , alianza kufanya mabadiliko ya muzuri bila kukawia . Alianza kuhuzuria mikutano ya Kikristo kwa ukawadia , kujifunza Neno la Mungu kwa bidii , na kuwa na zoea la kusali kila siku . Alisema hivi : ‘ Kumepita miaka mingi tangu wakati nilijua kweli , na hata nimekuwa painia . Mutume Petro aliandika hivi : ‘ Mulichunge kundi la Mungu lililo chini ya uangalizi wenu , si kwa kulazimishwa , bali kwa kupenda ; wala si kwa kupenda pato lisilo la haki , bali kwa hamu ; wala si kama kwa kupiga ubwana juu ya wale ambao ni uriti wa Mungu , bali kuwa vielelezo [ mifano ] kwa kundi . ’ Namna gani wazazi wanaweza kukomalisha watoto wao katika nizamu ya Yehova ? Namna gani mutoto anaweza kukomalisha sifa ya kujitia nizamu ? Namna gani tunaweza kuwa wanafunzi wazuri zaidi wa Neno la Mungu ? Ndugu mumoja aliandika hivi : “ Niko mwenye shukrani sana kwa wazazi wangu juu ya namna walinikomalisha . ( b ) Familia moja ilipata baraka gani kwa sababu wazazi walimutii Yehova ? Kisha kupita miaka fulani , mutoto wao alirudishwa katika kutaniko . ( Soma 2 Petro 3 : 9 . ) ( b ) Namna gani tunaweza kusaidia wazee wafanye kazi yao kwa furaha ? Hawakunifokea ao kunichambua - chambua , lakini walinitia moyo na kunitia nguvu . Kisha kila mukutano wa kutaniko , hata kama walikuwa na kazi nyingi sana , mumoja kati yao alikuwa ananiuliza juu ya hali yangu . Kwa sababu ya maisha yangu ya zamani , ilikuwa vigumu kwangu kuona kama ninastahili kupendwa na Mungu . Lakini mara kwa mara Yehova ametumia kutaniko na wazee ili kuonyesha upendo wake kwangu . Ninasali ili nisimuache hata kidogo . ” Ukigeuka utende mema , je , hautainuliwa ? Kwa hiyo , ‘ tusikilize nizamu tupate kuwa na hekima . ’ Watu katika dunia yote wanaomba wakuwe na uhuru zaidi . 15 Umuige Yehova ​ — Mungu Mwenye Kutia Moyo Ili wafurahie ‘ mema , ’ wanadamu wanapaswa kumutumainia Mungu na kumutii . Ikiwa wanakataa kumutii , wataachwa ili waamue wao wenyewe mambo yenye kuwa mema . . . na yenye haiko mema . ” Kama pilote huyo , Adamu na Eva walipenda kufanya mambo namna wanapenda . Alisema hivi : ‘ Mukikaa katika neno langu , ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu , nanyi mutaijua kweli , nayo kweli itawaweka ninyi huru . ’ ( Angalia chini ya kichwa KUULIZWA MAULIZO NA USHUHUDA > KUVUMILIA MAJARIBU . ) Mambo yote ni halali , lakini si mambo yote yanayojenga . ” Noa na familia yake walituwekea mufano gani ? Waliishi katika ulimwengu wenye kujaa mambo ya jeuri na uasherati . ‘ Noa alifanya kulingana na mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemuamuru . Yehova ametuomba tufanye nini leo ? Sasa ninaelewa muzuri maana ya andiko la Yakobo 4 : 8 lenye kusema ‘ Mumukaribie Mungu , naye atawakaribia ninyi . ’ Nilijua kama nilikuwa nimepata jambo lenye nilikuwa ninatafuta , kusudi lenye furaha katika maisha . ” Bibi na bwana wenye kuwa mapainia wa pekee wanahubiri katika eneo la mbali karibu na muji wa Balykchy ( b ) Namna gani Yehova alitia moyo Mwana wake ? Namna gani Petro ‘ alitia nguvu ndugu zake ’ ? Ni nani wenye tunaweza kutia moyo leo , na sababu gani ? Wazazi , munazoeza watoto wenu watie wengine moyo ? Alinielezea pia mambo yenye yalimufikia yenye kufanana na jaribu lenye nilikuwa ninapambana nalo , na sikujisikia tena kuwa peke yangu . ” Mufalme Sulemani aliandika hivi : ‘ Neno linalosemwa wakati unaofaa ni njema kama nini ! Kungaa kwa macho kunafanya moyo ushangilie ; habari ambayo ni njema inaifanya mifupa inone . ’ Kwa maana umenifanya nishangilie , Ee Yehova , kwa sababu ya utendaji wako ; kwa sababu ya kazi za mikono yako , ninapiga vigelegele kwa shangwe . ’ Mutume Paulo alitoa ahadi hii : ‘ Mungu hakose kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mulioonyesha kwa ajili ya jina lake . ’ Unaweza kujiwekea miradi ya kiroho hata kama ungali mudogo . Methali 21 : 5 inasema hivi : ‘ Mipango ya mwenye bidii bila shaka inaleta faida . ’ Ikiwa unajiwekea miradi ya muzuri wakati ungali mudogo , hautakawia kupata matokeo ya muzuri . Ikiwa ningepata diplome ya masomo ya juu katika mambo ya sheria , ningepata feza nyingi , lakini ingekuwa vigumu kwangu kupata kazi ya kutumika kwa saa fulani tu . ” 17 , 18 . ( a ) Yehova anapenda vijana leo wakuwe na maisha ya namna gani ? Nilizaliwa katika nyumba ndogo ya miti yenye ilikuwa na chumba kimoja katika muji mudogo wenye kuitwa Liberty , katika Indiana , Amerika . Kisha , mama yangu alizaa wadogo wangu wawili wanaume na dada yangu mudogo mumoja . WAKATI nilikuwa ninasoma , mambo mengi hayakubadilika . Muji wa Liberty ulikuwa unazungukwa na mashamba madogo - madogo , na watu walizoea sana kupanda mahindi . Alikuwa anatubeba kwenye kanisa la Wabatiste kila Siku ya Yenga . Walipenda nifanye kazi ya jeshi katika maisha yangu yote . Lakini sasa , walinialika kufika kwenye Funzo la Kitabu la Kutaniko , mukutano mudogo wa kujifunza Biblia na mazungumuzo wenye ulifanywa katika nyumba yao . Niliwaambia kama ningefikiria jambo hilo . Sikuweza kuamini kuona namna wanajua mambo mengi sana juu ya Biblia ! Miaka fulani mbele ya hapo , wakati niliuliza mama yangu juu ya Mashahidi wa Yehova , aliniambia tu hivi : “ Oh , wanaabudu mwanaume fulani mwenye kuzeeka mwenye kuitwa Yehova . ” Lakini sasa nilijisikia kama macho yangu yalikuwa yanafunguliwa ! Nilianza kufanya kazi ya upainia mwaka wenye ulifuata , katika mwaka wa 1958 . Gloria alikuwa mutu wa maana sana wakati huo , na anaendelea kuwa wa maana sana hata leo . Mimi na Gloria tulioana katika Mwezi wa 2 , mwaka wa 1959 . Ndugu mupendwa , Simon Kraker , alizungumuza na sisi . Alituambia kama wakati huo wale wenye wamekwisha kuoana hawakukuwa wanakubaliwa kwenye Beteli . Kwenye kazi nyingi zenye tulifanya , tulilipwa dola tatu kwa siku . Kila juma , Gloria alikuwa anafanya kazi ya kupiga manguo pasi kwa ajili ya familia moja . Ninakumbuka wakati fulani tulisimama mahali pa kuuzia mafuta ya motokari . Kwa upande mwingine , tulipitisha wakati muzuri sana pamoja na ndugu zetu , na tulipenda sana kazi yetu ya kuhubiri ! Wakati huohuo , nilianza kujifunza na mutoto wao mwanamuke pamoja na bwana yake . Mama na mutoto wake mwanamuke waliamua kumutumikia Yehova na wakabatizwa . Tulikuwa na marafiki wapendwa katika kutaniko la wazungu . Kikundi cha Ku Klux Klan ( KKK ) , chenye kilichochea ubaguzi wa rangi ya ngozi na jeuri kilikuwa kinatumika sana wakati huo . Katika mwaka wa 1962 , nilialikwa ili kusoma Masomo ya Huduma ya Ufalme katika South Lansing , New York . Hata hivyo , kompanyi moja ya telefone katika Pine Bluff ilikuwa imezungumuza na mimi ili kunipatia kazi . Ikiwa wangenipatia kazi hiyo , ningekuwa mutu mweusi wa kwanza kutumika katika kompanyi hiyo . Sikukuwa na feza za kulipa safari ya kuenda New York . Alisema hivi : “ Uende kwenye masomo na ujifunze mambo mengi , na urudie na kutufundisha ! ” Ninafurahi sana kwa sababu sikukubali kazi hiyo ! Gloria anakumbuka mambo haya juu ya wakati wenye tulifanya katika Pine Bluff : “ Nilipenda sana eneo hilo ! Tulikuwa tunaenda katika mahubiri ya nyumba kwa nyumba asubui na kisha tuliongoza mafunzo ya Biblia katika saa zenye kubakia katika siku , wakati fulani mupaka saa 5 kamili ya usiku . Wakati tulikuwa tunafanya kazi ya upainia katika Pine Bluff , tulijaza ombi la kuwa mapainia wa pekee . Ndugu Leon Weaver , mwenye kuwa sasa muratibu wa Halmashauri ya Tawi ya Amerika , aliwekwa pia kuwa mwangalizi wa muzunguko wakati huohuo . Niliogopa kuwa mwangalizi wa muzunguko . Kisha kuwekwa kuwa mwangalizi wa muzunguko , Ndugu Thompson alikuwa mwangalizi wa kwanza wa wilaya mwenye nilitumika naye . Katika siku hizo , mwangalizi wa muzunguko alikuwa anapata mazoezi kidogo . Ninakumbuka siku moja nilimuambia Gloria hivi : “ Anapaswa kuondoka tu sasa ? ” Wakati fulani , watu wa kikundi cha KKK walifanya maandamano katika muji moja wenye tulikuwa tunatembelea katika Tennessee . Mwezi wenye ulifuata , tulianza kutumika kwenye Beteli . Gloria alikuwa mutu wa maana sana wakati nilimuoa , na anaendelea kuwa wa maana sana hata leo Kisha katika mwaka wa 1999 , niliwekwa kuwa kati ya ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza . Andiko la Isaya 32 : 17 linasema hivi : ‘ Kazi ya uadilifu [ haki ] wa kweli itakuwa amani ; na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mupaka wakati usio na kipimo . ’ Kwa hiyo , nilimusalimia katika luga yake . Kwa sababu alishangaa , aliniuliza hivi , ‘ Sababu gani unatutembelea ? ’ Nilimujibia kwa heshima kama ninapenda kuonana na Mujumbe Mukubwa . Aliita mukubwa huyo kwenye telefone , na mukubwa huyo alikuja kuniona na kunisalimia katika luga ya kabila yake . Kisha hapo , alinisikiliza kwa uangalifu wakati nilikuwa ninamuelezea juu ya kazi zenye amani zenye Mashahidi wanafanya . ” Ni nini itatusaidia kuendelea kuzaa matunda kwa uvumilivu ? ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Yesu alisema nini juu ya kazi ya kuhubiri katika “ eneo lake la nyumbani ” ? Mwingine alisema hivi : “ Ndugu na dada hao waaminifu wananitia moyo niendelee kuhubiri na nikuwe na bidii katika kazi hiyo . ” Tutajibia maulizo gani , na sababu gani ? Lakini , hakuna kazi ingine yenye ninafurahia zaidi kufanya . ” Soma Yohana 15 : 1 - 5 , 8 . Ni kazi ya kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu . Soma Luka 8 : 5 - 8 , 11 - 15 . Namna gani ‘ tunazaa matunda kwa uvumilivu ’ ? Kwa maana ninawatolea ushahidi kwamba wana bidii kwa ajili ya Mungu ; lakini si kulingana na ujuzi sahihi [ ao , wa kweli ] . ” Wakati tulirudia tena hapo , wapita njia walituuliza hivi , ‘ Muliendaka wapi ? Sababu gani umeazimia ‘ kuzaa matunda kwa uvumilivu ’ ? Yesu aliambia mitume wake hivi : ‘ Baba yangu anatukuzwa katika hili , kwamba muendelee kuzaa matunda mengi . ’ ( b ) Unajisikia namna gani juu ya pendeleo lenye uko nalo la kutakasa jina la Mungu ? Hilo linanipatia tamaa ya kuendelea kufanya kazi ya kuhubiri . ” ( a ) Ni sababu gani yenye kutuchochea kuhubiri yenye kupatikana katika Yohana 15 : 9 , 10 ? Namna gani tunaonyesha kama tunapenda kukaa katika upendo wa Kristo ? ( a ) Ni sababu gani yenye kutuchochea kuhubiri yenye kupatikana katika Mathayo 22 : 39 ? Wako na lazima ya kupata nafasi ya kusikiliza habari njema . ” 13 , 14 . ( a ) Ni zawadi gani yenye kuzungumuziwa katika Yohana 15 : 11 ? ( a ) Ni zawadi gani yenye kuzungumuziwa katika Yohana 14 : 27 ? ( a ) Ni zawadi gani yenye kuzungumuziwa katika Yohana 15 : 15 ? ( b ) Namna gani mitume wa Yesu wangeendelea kuwa marafiki wake ? Tunaweza kuwa hakika kama Yehova atajibia sala zetu za kumuomba musaada ( Picha hii inapatana na fungu la 18 ) Mutume Petro alieleza kama Shetani Ibilisi ni kama “ simba anayenguruma , ” na Yohana alimuita kuwa “ nyoka ” na ‘ joka mukubwa . ’ Kwa musaada wao , tunaweza kupinga maadui wetu . Wale wenye kuamini uongo huo wanatumia maisha yao yote ili kutumikia “ Utajiri ” kuliko kumutumikia Mungu . Tunapaswa kujua adui yetu , lakini hatupaswe kumuogopa . Ikiwa tunamupinga , atatukimbia . Silaha za kiroho ni gani ? Na wazazi wangu na marafiki wangu wanajua kama wanaweza kunitumainia . ” Lakini sikuzote unapata faida za muzuri : Unajiaminia , unajisikia kuwa uko karibu na Yehova , na unafikia kuheshimiwa na wale wenye wanakupenda . ” Mukaba wa ile kweli ( Picha hii inapatana na fungu la 3 - 5 ) Wakati fulani niliogopa na kuvunjika moyo . ” Wamoja kati ya ‘ marafiki ’ wangu walianza kutumia dawa za kulewesha ; wengine waliacha masomo . Ilihuzunisha kuona namna maisha yao yalifikia kuwa . Anasema hivi : “ Ninajikumbusha kama ninabeba jina la Yehova na kama majaribu ni njia yenye Shetani anatumia ili kunishambulia . Wakati ninapata ushindi katika pigano moja , ninajisikia kuwa mwenye furaha zaidi . ” Bamba la kifuani la uadilifu ( Picha hii inapatana na fungu la 6 - 8 ) Sasa ninafurahia kuhubiria vijana wenzangu . ” Ninahakikisha kama nimesoma habari zote zenye zimetolewa kwa ajili ya vijana . Kwa kufanya hivyo , ninaweza kuambia vijana wenzangu kama wanaweza kupata katika Biblia ao kwenye site yetu ya Internete jambo fulani lenye litawasaidia . ” Miguu yenye kuwa tayari ( Picha hii inapatana na fungu la 9 - 11 ) Taja “ mishale ” fulani ya Shetani “ inayowaka moto . ” Lakini sasa , ninatayarisha mikutano na kujikaza kujibia mara mbili ao mara tatu . Haiko mwepesi , lakini ninajisikia muzuri zaidi wakati ninafanya hivyo . Na ndugu na dada wananitia moyo sana . Sikuzote wakati ninatoka kwenye mikutano , ninajua kama Yehova ananipenda . ” Ngao kubwa ya imani ( Picha hii inapatana na fungu la 12 - 14 ) Kofia ya chuma ya wokovu ( Picha hii inapatana na fungu la 15 - 18 ) Nimetambua kama watu wanaitikia muzuri wakati wanaona kama unapenda sana Biblia na kama unajikaza sana ili kuwasaidia . ” Upanga wa roho ( Picha hii inapatana na fungu la 19 - 20 ) Kwa musaada wa Yehova tunaweza kumupinga ! Methali 14 : 15 inasema hivi : ‘ Mutu asiye na uzoefu anaamini kila neno , lakini mutu mwerevu anazifikiria hatua zake . ’ Muchukue nira yangu na mujifunze kutoka kwangu , kwa maana mimi ni mwenye tabia - pole na munyenyekevu moyoni , nanyi mutapata burudisho kwa ajili ya nafsi zenu . Sababu gani ni jambo la maana sana tuendelee kuonyesha upendo wa kindugu ? Sababu gani mutume Paulo aliandikia Wakristo Waebrania ? ( Soma Waebrania 10 : 36 - 39 . ) Sababu gani leo tunapaswa kupendezwa na kitabu cha Waebrania ? Andiko letu la mwaka wa 2016 ni gani , na sababu gani andiko hilo linafaa ? Andiko hilo limechaguliwa ili kuwa andiko letu la mwaka wa 2016 . Andiko letu la mwaka wa 2016 : “ Upendo wenu wa kindugu na uendelee . ” — Waebrania 13 : 1 Wakristo wa kweli wanaelewa namna gani maneno “ upendo wa kindugu ” ? ( a ) Ni sababu gani kubwa zaidi yenye kutuchochea tuonyeshe upendo wa kindugu ? ( b ) Toa sababu ingine yenye kuonyesha kwamba ni jambo la maana kutia nguvu upendo wetu wa kindugu . Yesu alikuwa ameeleza magumu yenye ingetokea wakati huo . Mbele ziki kubwa ianze , tunapaswa kufanya nini leo ? ( a ) Tuko na nafasi gani za kuonyesha upendo wa kindugu ? ( b ) Toa mifano yenye kuonyesha namna watu wa Yehova wameonyesha upendo wa kindugu . Namna gani tunaweza ‘ kuwakumbuka wale walio katika gereza ’ ? Namna gani kutosheka kunatusaidia tuonyeshe upendo wa kindugu ? Namna gani ‘ kuwa hodari ’ kunatusaidia tuonyeshe upendo wa kindugu ? Ni nini inaweza kutuchochea tuendelee kuwapenda wazee ? Namna gani tunaweza kuendelea kuonyesha upendo wa kindugu kwa njia kubwa zaidi ? Upendo wa Kristo unatuchochea tufanye nini ? Namna gani upendo wa Mungu unatuchochea tupende ndugu na dada zetu ? Sababu gani rehema ya Mungu inatuchochea kusamehe ndugu na dada zetu ? 1 , 2 . ( a ) ‘ Zawadi ya bure isiyoelezeka ’ ya Mungu inamaanisha nini ? 3 , 4 . ( a ) Unajisikia namna gani wakati mutu fulani anakupatia zawadi ? ( b ) Namna gani zawadi fulani ya pekee inaweza kubadilisha maisha yako ? Namna gani zabihu ya ukombozi yenye Mungu alitutolea ni ya lazima zaidi kuliko zawadi ingine yoyote ? ( a ) Unangojea baraka gani zenye zawadi ya Yehova itakuletea ? ( b ) Taja mambo tatu yenye zawadi ya Mungu itatuchochea kufanya . Tunapaswa kuona namna gani upendo wa Kristo , na upendo huo unapaswa kutuchochea tufanye nini ? Naye anayenipenda atapendwa na Baba yangu , na mimi nitamupenda na kujionyesha wazi kwake . ’ — Yohana 14 : 21 ; 1 Yohana 5 : 3 . Tunaweza kujiuliza maulizo gani katika kipindi hiki cha Ukumbusho , na majibu ya maulizo hayo inaweza kutuchochea kufanya nini ? ( Soma 1 Timotheo 2 : 9 , 10 . ) ( a ) Namna gani upendo wetu kwa Yehova na Yesu unatuchochea katika kazi ya kuhubiri ? ( b ) Namna gani upendo unaweza kutuchochea tusaidie wengine katika kutaniko ? Upendo wa Mungu utatuchochea tufanye jambo gani lingine ? Yesu alituachia mufano gani juu ya kupenda wengine ? Unaweza kusaidia ndugu ao dada fulani mwenye kuzeeka ahubiri ? ( Unaweza kufanya nini ili kuonyesha kwamba unapenda ndugu na dada zako ? ( Soma Luka 14 : 12 - 14 . ) 16 , 17 . ( a ) Tunajifunza nini katika mufano wa Yesu wa mufalme na watumwa wake ? ( b ) Kisha kufikiri sana juu ya mufano huo , umeazimia kufanya nini ? Namna gani upendo wa Mungu ulisaidia dada moja avumilie uzaifu wa dada mwengine ? Nitafurahi kumuona wakati atakuwa mukamilifu . ” ‘ Zawadi ya bure isiyoelezeka ’ ya Mungu , itakuchochea kufanya nini ? [ 1 ] ( fungu la 18 ) Katika habari hii majina fulani imebadilishwa . Ni matukio gani yenye ilifanya siku ya Pentekoste ya mwaka wa 33 ikuwe ya pekee , na namna gani matukio hayo ilitimiza mambo yenye Maandiko ilikuwa imetabiri ? ( a ) Sababu gani tunapaswa kupendezwa na mambo yenye ilitokea kwenye Pentekoste ? ( b ) Ni jambo lingine gani la maana lenye pengine lilifanywa siku hiyohiyo miaka mingi mbele ya hapo ? Namna gani tunajua kwamba wale wote wenye wametiwa mafuta hawatiwe mafuta kwa njia moja ? Wakristo wote watiwa - mafuta wanapokea nini , na hilo linakuwa na matokeo gani juu yao ? Kila Mukristo mutiwa - mafuta anapaswa kufanya nini ili apate zawadi yake ya kuenda mbinguni ? Mutume Petro alieleza jambo hilo kwa kusema hivi : ‘ Kwa sababu hiyo , akina ndugu , mufanye hata zaidi yote munayoweza ili kufanya mwito na kuchaguliwa kwenu kukuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe ; kwa maana mukiendelea kufanya mambo hayo , hamutashindwa hata kidogo . Kwa kweli , hivyo ndivyo mutakavyowezeshwa kwa wingi kuingia katika Ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo . ’ 8 , 9 . ( a ) Sababu gani watu wengi wanashindwa kuelewa muzuri jambo lenye kufanyika wakati mutu fulani anatiwa mafuta ? ( b ) Mutu anajua namna gani kwamba amepata mwaliko wa kuenda mbinguni ? Aliwaandikia hivi : “ Hamukupokea roho ya utumwa inayosababisha uoga tena , bali [ lakini ] mulipokea roho ya kufanywa kuwa wana , roho ambayo kupitia hiyo tunapaaza sauti : ‘ Abba , Baba ! ’ Andiko la 1 Yohana 2 : 27 linamaanisha nini wakati linasema kwamba Mukristo mutiwa - mafuta hana lazima mutu fulani amufundishe ? Mukristo mwenye ametiwa mafuta anaweza kujiuliza nini , lakini iko hakika na jambo gani ? Wakati mutu anatiwa mafuta kwa roho takatifu , namna gani mawazo yake inabadilika , na ni nini inaleta mabadiliko hayo ? Watiwa - mafuta wanaona namna gani maisha yao hapa duniani ? Ni nini haiwezi kuonyesha kwamba Mukristo ametiwa mafuta kwa roho takatifu ? Ni nini inaonyesha kwamba watu wote wenye walipata roho takatifu ya Mungu hawakualikwa kuenda mbinguni ? 17 , 18 . ( a ) Leo , watumishi wengi wa Yehova wako na tumaini gani ? Namna gani andiko la Zekaria 8 : 23 linaendelea kutimia ? 1 , 2 . ( a ) Yehova alisema nini juu ya wakati wetu ? Sababu gani hatuwezi kujua kabisa wale wenye watakuwa kati ya wale 144000 ? Watiwa - mafuta wanapaswa kufikiria sana onyo gani , na sababu gani ? Wakristo watiwa - mafuta hawatazamie jambo gani , na sababu gani ? Sababu gani unapaswa kuwa muangalifu juu ya namna unawatendea wale wenye wanakula mukate na kunywa divai kwenye Ukumbusho ? ( Soma kisanduku “ Upendo ‘ Haujiendeshe Bila Adabu . ’ ” ) Yesu aliambia wanafunzi wake hivi : “ Ninyi nyote ni ndugu . ” Namna gani unaweza kuonyesha kwamba unaheshimia Wakristo watiwa - mafuta ? Namna gani tunajilinda sisi wenyewe wakati tunaepuka kuwasifu - sifu watu wenye kujulikana ? Sababu gani hatupaswe kuhangaikia hesabu ya wale wenye wanakula mukate na kunywa divai kwenye Ukumbusho ? “ Yehova anawajua walio wake . ” Biblia inasema nini juu ya hesabu ya watiwa - mafuta wenye watakuwa wangali katika dunia wakati ziki kubwa itaanza ? Tunapaswa kuelewa mambo gani juu ya wale 144000 wenye Yehova amechagua ? Wakati wa mitume , hesabu kidogo tu ya Wakristo watiwa - mafuta ndio walitumiwa ili kuandika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo . inatusaidia kumukaribia Mungu na kukaribia wengine ? Yehova ni Mukubwa Zaidi , lakini amewaomba wengine wafanye nini ? Yehova alimuomba Yesu afanye kazi gani ya maana ? Yehova alimuomba Adamu afanye nini , na sababu gani ? Kwa mufano , alimupatia Adamu kazi ya kupatia wanyama majina . Namna gani watu fulani walifanya kazi pamoja na Mungu ili kutimiza mapenzi yake ? Ni kazi gani yenye tunaweza kufanya , na Yehova alikuwa na lazima ya musaada wetu ili kufanya kazi hiyo ? Mutume Paulo aliandika hivi : ‘ Tukifanya kazi pamoja naye , tunawasihi ninyi pia musipokee fazili zisizostahiliwa za Mungu kisha mukose kusudi lake . ’ Mwana - muzaliwa wa kwanza wa Mungu anasema nini juu ya namna alijisikia wakati alikuwa anafanya kazi pamoja na Baba yake ? Sababu gani kazi ya kuhubiri inatuletea furaha ? Watu fulani wamesema nini juu ya furaha yenye wanapata kwa kufanya kazi pamoja na Yehova ? Vilevile , ndugu Franco , mwenye kutumikia Italia , anasema hivi : “ Kupitia Neno lake na mambo mengine yenye Yehova anatutolea , anatukumbusha kila siku kwamba anatupenda na kwamba mambo yote yenye tunafanya katika kazi yake ni ya maana sana , hata kama tunaweza kuona kuwa bidii yetu haina maana yoyote . Ndiyo sababu kufanya kazi pamoja na Mungu kunaniletea furaha na kunafanya maisha yangu ikuwe yenye maana . ” Yehova na Yesu walikuwa na urafiki wa namna gani , na sababu gani ? Sababu gani kazi ya kuhubiri inatusaidia tumukaribie Mungu na tukaribie ndugu na dada zetu ? Alisali hivi : ‘ Ili wakuwe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo . ’ Katika dunia mupya , sababu gani tutamukaribia Yehova na ndugu na dada zetu zaidi ? Shahidi moja mwenye kuishi Australia anajisikia namna gani juu ya kazi ya kuhubiri ? Joel , mwenye kuishi Australia , anasema hivi : “ Kazi ya kuhubiri inanisaidia nielewe muzuri hali ya maisha . Inanikumbusha magumu yenye watu wanapambana nayo na faida zenye nimepata kwa kutumikisha kanuni za Biblia katika maisha yangu . Kazi ya kuhubiri inanisaidia niendelee kujikaza kuwa munyenyekevu ; inanipatia nafasi ya kumutegemea Yehova na ndugu na dada zangu . ” Kuhubiri kwa bidii kunaonyesha namna gani kwamba tuko na roho ya Mungu ? Utaendelea kufanya kazi hiyo ? Namna gani kazi ya kuhubiri habari njema inapatana na kusudi la Mungu kwa wanadamu ? Kazi yetu ya kuhubiri inapatana namna gani na amri kubwa za Mungu ? Ya pili , kama hiyo , ni hii : ‘ Umupende jirani yako kama wewe mwenyewe . ’ ” Unaona namna gani pendeleo la kuhubiri habari njema ? Ninakupatia nguvu zangu , Neno langu Biblia , musaada wa malaika , wafanyakazi wenzako katika dunia , mazoezi yenye kuendelea , na maagizo mazuri kwa wakati wenye kufaa . ’ Ni pendeleo kubwa sana kufanya mambo yenye Yehova anatuomba na kufanya kazi pamoja na Mungu wetu ! ” Niliambia mukubwa wa askari kwamba nilikuwa nimekwisha kufungwa kwa sababu ya kukataa kupigana vita . NILIZALIWA katika mwaka wa 1926 katika muji wa Crooksville , Ohio , États - Unis . Baba na Mama hawakuwa katika dini fulani , lakini walipenda sisi watoto munane tukuwe tunaenda katika kanisa . Margaret Walker ( dada wa pili kuanzia kushoto ) alinisaidia nijue kweli Wakati huo , jirani moja , Shahidi wa Yehova , mwenye aliitwa Margaret Walker , alianza kumutembelea mama yangu ili kuzungumuza naye juu ya Biblia . Lakini niliendelea kusikiliza mambo yenye walikuwa wanajifunza . Kisha kumutembelea mama yangu kwa mara fulani , Margaret aliniuliza hivi : “ Unajua jina la Mungu ? ” Nikamujibia hivi : “ Kila mutu anajua kwamba jina lake ni Mungu . ” Kisha akaniambia hivi : “ Kamata Biblia yako na usome Zaburi 83 : 18 . ” Nikasoma andiko hilo , na nikavumbua kwamba jina la Mungu ni Yehova . Nikakimbia mara moja kukutana na marafiki wangu na kuwaambia hivi : “ Wakati mutakuwa nyumbani usiku , musome Zaburi 83 : 18 katika Biblia zenu ili mujue jina la Mungu . ” Munaweza kusema kwamba nilianza kuhubiri siku hiyo . Nilijifunza Biblia na kubatizwa katika mwaka wa 1941 . Kisha tu kubatizwa , nilipewa mugawo wa kuongoza funzo la kitabu la kutaniko . Nilitia moyo mama yangu na ndugu na dada zangu wahuzurie funzo hilo , na wote wakaanza kuhuzuria funzo la kitabu lenye nilikuwa ninaongoza . Mara fulani wakati mama alikuwa anatoka ili kuenda kwenye mikutano , baba alimufuata na kumukokota ili arudie nyumbani . Lakini mama alikuwa anatoka kupitia mulango mwengine na kuenda kwenye mikutano . Niliambia pia wakubwa wa jeshi kwamba sipendi kuwa askari . Kisha majuma mbili , kwenye tribinali , muamuzi aliniambia hivi : “ Ingekuwa mimi ndiye ningechukuwa uamuzi , ningekuhukumu ufungwe maisha yako yote . Nikamuambia : “ Muheshimiwa , munapaswa kuniona kuwa muhubiri . Mulango wa kila mutu ni nafasi yangu ya kusimama ili kufundisha , na nimehubiria watu wengi habari njema ya Ufalme . ” Muamuzi aliambia baraza la tribinali hivi : “ Hamuko hapa ili kuamua ikiwa kijana huyu ni muhubiri ao hapana . Muko hapa ili kuamua ikiwa ataingia katika jeshi ao hapana . ” Nilimuambia Yehova hivi : “ Siwezi kubakia miaka 5 katika chumba hiki . Siku yenye ilifuata , walinzi walinitosha katika chumba hicho . Nilikutana na mufungwa moja murefu mwenye kuwa na kifua kabambi , na tukasimama naye ili kuangalia inje kupitia dirisha . Aliniuliza hivi : “ Kijana , sababu gani umefungwa ? ” Nikamuambia hivi : “ Mashahidi wa Yehova hawaende kwenye vita na kuua watu . ” Nikamuambia hivi : “ Hapana , halipatane na akili . ” Kisha akaniambia hivi : “ Nilikuwa katika gereza lingine kwa miaka 15 , na huko nilisoma vichapo vyenu fulani . ” Nilikuwa kati ya Mashahidi wenye walifungwa Ashland , Kentucky kwa sababu ya kukataa kujiingiza katika mambo ya vita Kufanya hivyo kulitusaidia tuhubiri kwa utaratibu . Nilikuwa na wasiwasi juu ya watu wa familia yangu kwa sababu Baba alikuwa ameniambia hivi : “ Ikiwa ninaweza kukuzuia , itakuwa mwepesi kumaliza mambo mengine yote . ” Kisha kuachiliwa , nilipata jambo fulani lenye lilinifurahisha sana . Nikamuambia hivi : “ Sawa kabisa , lakini sitaingia katika jeshi . ” Nilitaja 2 Timotheo 2 : 3 na kumuambia hivi : “ Mimi niko tayari askari wa Kristo . ” Kisha kubakia kimya wakati murefu , akaniambia hivi : “ Unaweza kuondoka . ” Muda mufupi kisha hapo , kwenye mukusanyiko moja wenye ulifanywa Cincinnati , Ohio , nilihuzuria mukutano kwa ajili ya wale wenye wanapenda kutumikia kwenye Beteli . Nilitumika pia kwenye Majumba ya Mikusanyiko katika Muji wa New York . Nimepata marafiki wengi kwenye Beteli na katika kutaniko . Nimejifunza maneno fulani ya luga ya Kichina Mandarin na ninafurahia kuhubiria Wachina katika barabara . Siku fulani asubuhi ninatolea watu wenye kupendezwa magazeti 30 ao 40 . Ninahubiria Wachina katika Brooklyn , New York Nilirudilia hata mutu fulani wa inchi ya China ! Alikubali magazeti hayo na aliniambia kwamba jina lake ni Katie . Kisha hapo , kila mara alikuwa ananiona , Katie alinikaribia na kuzungumuza na mimi . Nilimufundisha namna ya kutamka majina ya matunda na mboga za majani katika Kiingereza . Nilimufasiria pia maandiko ya Biblia , na alikubali kitabu Biblia Inafundisha . Lakini , kisha majuma fulani , hatukuonana tena naye . Juma lenye lilifuata , alinipatia telefone yake na kuniambia hivi : “ Unaweza kuzungumuza na mutu fulani mwenye kuwa China . ” Nikamuambia hivi : “ Hakuna mutu wa China mwenye ananijua . ” Lakini alinikaza ; kwa hiyo , nikakamata telefone na kusema hivi : “ Jambo , mimi ni Robison . ” Mutu huyo alisema hivi : “ Robby , mimi ni Katie . Tafazali , umufundishe pia mambo yote yenye ulinifundisha . ” Nikasema hivi : “ Katie , nitajikaza kufanya hivyo . Asante kwa kuniambia kama ulirudia China . ” Kisha hapo , nilizungumuza na dada ya Katie kwa mara ya mwisho . Ikiwa ni mapenzi ya Mungu , watu wa familia na marafiki wangu wenye wamekufa , watafufuliwa katika dunia mupya . Corwin Robison alikufa muaminifu kwa Yehova wakati habari hii ilikuwa inatayarishwa . Namna gani ujuzi na mambo yenye Abrahamu alijionea vilitia nguvu imani yake ? Abrahamu alifanya nini ili kutia nguvu urafiki wake pamoja na Mungu ? Namna gani mufano wa Abrahamu unaweza kukusaidia kutia nguvu urafiki wako pamoja na Yehova ? 1 , 2 . ( a ) Ni nini inaonyesha kwamba wanadamu wanaweza kuwa marafiki wa Mungu ? 3 , 4 . ( a ) Eleza jambo lenye lilitia imani ya Abrahamu katika jaribu kubwa zaidi . ( b ) Sababu gani Abrahamu alikuwa tayari kumutoa Isaka ? Inawezekana Abrahamu alifikia kujifunza namna gani juu ya Yehova , na ujuzi huo ulimuchochea ajisikie namna gani ? Namna gani tunaweza kupata ujuzi na uzoefu wenye utatia nguvu urafiki wetu pamoja na Yehova ? 9 , 10 . ( a ) Inaomba nini ili urafiki ukuwe wenye nguvu zaidi ? ( b ) Ni nini inaonyesha kwamba Abrahamu alifurahia urafiki wake pamoja na Yehova na kuukomalisha ? Abrahamu alifurahia urafiki wake pamoja na Yehova na aliukomalisha . Sababu gani Abrahamu alihangaika sana juu ya kuharibiwa kwa Sodoma na Gomora , na namna gani Yehova alimusaidia ? 12 , 13 . ( a ) Namna gani ujuzi na mambo yenye Abrahamu alikuwa amejionea vilimusaidia ? ( b ) Ni nini inaonyesha kwamba Abrahamu alimutegemea Yehova ? Unapata magumu gani katika kazi ya Yehova , na namna gani mufano wa Abrahamu unaweza kukusaidia ? Abrahamu na Sara wanafikia kumujua Yehova na kumuabudu Abrahamu anakufa ‘ katika umri mwema wa uzee , akiwa muzee na mwenye kutosheka ’ Sababu gani tuko hakika kwamba Abrahamu hakusikitika hata siku moja kwa sababu aliendelea kumutii Yehova ? Umeamua kuendelea kufanya nini , na tutazungumuzia nini katika habari yenye kufuata ? Kila mumoja wetu ajikaze basi kuiga imani ya Abrahamu . ( Soma Waebrania 6 : 10 - 12 . ) Katika habari yenye kufuata , tutazungumuzia mifano tatu ya watu wengine waaminifu wenye walikuwa marafiki wa sana wa Mungu . Urafiki wa Ruthu pamoja na Mungu unaweza kutufundisha nini ? Ni nini ilimusaidia Mufalme Hezekia akuwe rafiki wa sana wa Yehova ? Ni sifa gani zilimusaidia Maria , mama ya Yesu , akuwe rafiki ya Yehova Mungu ? 1 - 3 . ( a ) Sababu gani tunaweza kuwa hakika kwamba tunaweza kuwa marafiki wa Mungu ? ( b ) Tutazungumuzia watu gani katika habari hii ? Ruthu alipaswa kuchukua uamuzi gani muzito , na sababu gani uamuzi huo ulikuwa muzito sana ? ( a ) Ruthu alichukua uamuzi gani wenye hekima ? ( b ) Sababu gani Boazi alisema kwamba Ruthu alitafuta ulinzi chini ya mabawa ya Yehova ? Ni nini inaweza kusaidia wale wenye kuogopa kutoa maisha yao kwa Yehova ? 9 , 10 . ( a ) Sababu gani Hezekia angeweza kukasirika haraka ? ( b ) Sababu gani hatupaswe kumukasirikia Mungu ? ( c ) Sababu gani hatupaswe kufikiri kwamba namna tulikomaa inaweza kufanya tukuwe watu wazuri ao wabaya ? Vijana wengi wanakubali kweli hata kama walikomalia katika familia zenye kuwa na hali ya mubaya ( Picha hii inapatana na fungu la 9 , 10 ) Ni nini ilimufanya Hezekia akuwe kati ya wafalme wazuri zaidi wa Yuda ? Kama vile Hezekia , namna gani watu wengi leo wamefikia kuwa marafiki wa Yehova ? Sababu gani mugawo wenye Maria alipewa ulionekana kuwa mugumu sana , lakini alitenda namna gani kisha kusikia maneno ya Gabrieli ? Ni nini inaonyesha kwamba Maria alikuwa musikilizaji muzuri ? Katika hali hizo mbili , Maria alisikiliza , alikumbuka , na alifikiri kwa uangalifu juu ya mambo yenye alikuwa amesikiliza . — Soma Luka 2 : 16 - 19 , 49 , 51 . Maneno ya Maria yanaweza kutufundisha nini ? Namna gani tunaweza kuiga imani ya Maria ? Ikiwa tunaiga imani yenye nguvu ya watu wenye kuzungumuziwa katika Biblia , tunaweza kuwa hakika na jambo gani ? UFIKIRIE siku yenye furaha zaidi katika maisha yako . Je , ni siku yenye ulioa ao kuolewa , ao ni siku yenye mutoto wako wa kwanza alizaliwa ? Inawezekana , tangu wakati ulibatizwa umepata furaha nyingi katika kazi ya Yehova . Sababu gani tunapaswa kuendelea kumutumikia Yehova kwa furaha ? Kumbuka kwamba Yesu alisema hivi : ‘ Mukuje kwangu , nyote munaotaabika [ wenye kuteseka ] na kulemewa na mizigo , nami nitawaburudisha [ nitawachangamucha ] ninyi . Tunatumikia Mupaji - Uzima wetu , Mungu mwenye furaha . Tuzungumuzie mufano wa ndugu Héctor , mwenye amekuwa mwangalizi wa muzunguko kwa miaka 40 . Anasema hivi : “ Kuona namna afya ya bibi yangu inaendelea kuwa mubaya kunaniletea huzuni na imekuwa vigumu kumuhangaikia ; lakini sikuacha hali hiyo inifanye nipoteze furaha yangu katika kazi ya Mungu . Kujua kwamba Yehova , mwenye aliumba mwanadamu kwa kusudi fulani , ndiye alinipatia uzima , kunafanya nimupende sana na kumutumikia kwa moyo wote . Ninajikaza kuhubiri kwa bidii , na ninajikaza kuchunga tumaini la Ufalme pa nafasi ya kwanza katika akili yangu ili nisipoteze furaha yangu . ” Yehova ametoa zabihu ya ukombozi , na hilo linatusaidia tukuwe na maisha yenye furaha . Kwa kweli , ‘ Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamutoa Mwana wake muzaliwa - pekee , ili kila mutu anayemuamini asiangamizwe [ asiharibiwe ] bali akuwe na uzima wa milele . ’ Jesús alifanya maisha yake yakuwe mepesi na alimutumikia Yehova kwa furaha kwa miaka mingi Nilifanya hivyo ili nipate feza nyingi . Kisha nilijifunza juu ya Yehova na namna amemutoa Mutoto wake mupendwa kwa ajili ya wanadamu . Nilikuwa na tamaa kubwa ya kumutumikia . Kwa hiyo , nilitoa maisha yangu kwa Yehova , na niliamua kuacha kazi yangu yenye nilikuwa nimefanya kwa miaka 28 , ili nianze utumishi wa wakati wote . ” Unakumbuka maisha yako yalikuwa namna gani mbele ufikie kumujua Yehova ? Mutume Paulo alikumbusha Wakristo katika muji wa Roma kwamba ‘ [ wakati fulani ] walikuwa watumwa wa zambi ’ lakini wamekuwa “ watumwa wa uadilifu [ haki ] . ” “ Miaka yenye furaha zaidi katika maisha yangu ni ile yenye nimefanya katika kazi ya Yehova . ” — Jaime Jaime anasema hivi : “ Polepole , nilivumbua kwamba kuna Baba mwenye upendo na Mungu mwenye rehema . Kutii kanuni za haki za Yehova kumenilinda . Ikiwa sikufanya mabadiliko katika maisha yangu , ningekuwa tayari nimekufa , kama marafiki wangu wa zamani wenye walikuwa pia wapiganaji wa ngumi . Miaka yenye furaha zaidi katika maisha yangu ni ile yenye nimefanya katika kazi ya Yehova . ” Namna gani Yonathani , mutoto wa Mufalme Sauli , alionyesha uaminifu wake kwa Yehova ? Namna gani tunaweza kubakia waaminifu kwa Mungu wakati tunaona kwamba hatupaswe kumuheshimia mutu fulani mwenye amepewa mamlaka ? Namna gani tunaweza kubakia waaminifu kwa Yehova wakati wengine hawatuelewe ao wanatutendea mubaya ? Sababu gani urafiki wa Yonathani na Daudi ni mufano muzuri zaidi wa uaminifu ? Zaidi ya kuwa muaminifu kwa Daudi , ni jambo gani lenye lilikuwa la maana zaidi katika maisha ya Yonathani , na tunajua hilo namna gani ? ( a ) Ni nini itafanya tukuwe na furaha ya kweli na wenye kutosheka ? Wakati Sauli alikuwa mufalme , sababu gani ilikuwa vigumu Waisraeli waendelee kuwa waaminifu kwa Mungu ? Ni nini inaonyesha kwamba Yonathani alibakia muaminifu kwa Yehova ? Namna gani tunaonyesha kwamba tuko waaminifu kwa Mungu wakati tunaheshimia wale wenye kuwa na mamlaka ? Ni nini ilimusaidia Yonathani ajue ikiwa atabakia muaminifu kwa nani ? Namna gani kumupenda Mungu kunatusaidia tuamue kubakia waaminifu kwake ? Namna gani kubakia waaminifu kwa Mungu kunatusaidia tupambane na magumu katika familia ? Tunapaswa kufanya nini wakati ndugu fulani anatutendea mubaya ? Ni katika hali gani tunapaswa kubakia waaminifu kwa Mungu na kuepuka kujipenda sisi wenyewe ? [ 1 ] ( fungu la 9 ) Majina fulani yamebadilishwa . . Sababu gani namna Yonathani alimutendea Daudi ilikuwa tofauti kabisa na namna Abneri alimutendea ? Ni sifa gani zitatusaidia tubakie waaminifu kwa Mungu , na namna gani ? Namna gani Daudi alionyesha uaminifu wake kwa Mungu ? ( a ) Daudi alituachia mufano gani wa uaminifu kwa Mungu ? ( b ) Tutazungumuzia mufano wa watu gani ? Kosa la Abishai linatufundisha nini ? Ni kawaida kuwa waaminifu kwa watu wa familia na marafiki wetu ; lakini , sababu gani tunapaswa kuwa waangalifu ? Namna gani dada moja alibakia muaminifu kwa Mungu wakati alikuwa katika hali ngumu ? Ni sifa gani zitatusaidia tubakie waaminifu kwa Mungu ? Mifano ya Abneri , Absalomu , na Baruku , yenye Biblia inazungumuzia inaweza kutuletea faida gani ? Na wewe unaendelea kujitafutia makubwa . Eleza sababu gani hatuwezi kuendelea kuwa waaminifu kwa Mungu ikiwa tunajipenda sisi wenyewe . Nilifanya hivyo kisha kusali na kulia sana . Wakati Daudi alifanya zambi , namna gani nabii Nathani alibakia muaminifu kwa Yehova na kwa Daudi ? Namna gani unaweza kuwa muaminifu kwa Yehova , kwa marafiki , na watu wa jamaa yako ? Sababu gani Hushai alipaswa kuwa na ujasiri ili abakie muaminifu kwa Mungu ? Sababu gani tunapaswa kuwa na ujasiri ili tubakie waaminifu ? Nilisali ili nipate nguvu ya kushikamana na uamuzi wangu . Sasa wameregeza kidogo musimamo wao ; kwa hiyo , ninaweza kuwatembelea kwa ukawaida . ” — Soma Methali 29 : 25 . [ 1 ] ( fungu la 7 ) Majina fulani yamebadilishwa . ‘ Ni nani kati yenu anayetaka kujenga munara ambaye hakae kwanza na kuhesabu garama , ili aone kama ana kiasi cha kutosha kuukamilisha ? ’ — LUKA 14 : 28 . Ukomavu ni nini , na namna gani Danieli alionyesha sifa hiyo ? Namna gani unaweza kuonyesha kwamba uamuzi wa kubatizwa unatoka katika moyo wako ? Kujitoa kwa Mungu kunamaanisha nini , na kunapatana namna gani na ubatizo ? 1 , 2 . ( a ) Ni nini inaletea watu wa Mungu furaha leo ? ( b ) Namna gani wazazi Wakristo na wazee wanaweza kusaidia vijana waelewe maana ya kubatizwa ? Ninapenda kukuuliza hivi : ‘ Sababu gani unapenda kubatizwa ? ’ ” ( Soma Luka 14 : 27 - 30 . ) ( 2 ) Uamuzi huo unatoka kabisa katika moyo wangu ? ( 3 ) Ninaelewa kabisa maana ya kujitoa kwa Yehova ? 4 , 5 . ( a ) Sababu gani haiko watu wenye wamekomaa tu ndio wanapaswa kubatizwa ? ( b ) Kukomaa kunamaanisha nini kwa Mukristo ? Andiko la Methali 20 : 11 linasema kwamba kwa matendo yake , mutoto anajitambulisha kama matendo yake ni safi na mazuri . 6 , 7 . ( a ) Eleza magumu yenye Danieli alipata wakati alikuwa katika Babiloni . ( b ) Namna gani Danieli alionyesha kwamba alikuwa mwenye kukomaa ? Kijana mwenye kukomaa hajionyeshe kuwa rafiki ya Mungu kwenye Jumba la Ufalme , lakini rafiki ya ulimwengu kwenye masomo ( Picha hizi zinapatana na fungu la 8 ) Hajionyeshe kuwa rafiki ya Mungu kwenye Jumba la Ufalme , lakini rafiki ya ulimwengu kwenye masomo . 9 , 10 . ( a ) Kijana anaweza kupata faida gani wakati anafikiria namna alitenda wakati imani yake ilijaribiwa katika siku zenye zimepita ? 11 , 12 . ( a ) Mutu mwenye anafikiria kubatizwa anapaswa kuhakikisha jambo gani ? ( b ) Ni nini itakusaidia ukuwe na maoni ya muzuri juu ya mupango wa Yehova wa ubatizo ? Namna gani unaweza kuonyesha ikiwa uamuzi wako wa kubatizwa umetoka katika moyo wako ? Anakupatia vikaratasi vya motokari ( documents ) kisha anakuambia hivi : “ Hii ni motokari yako . ” 18 , 19 . ( a ) Maneno ya dada Rose na ndugu Christopher yanaonyesha namna gani kwamba kubatizwa ni pendeleo lenye kuleta baraka nyingi ? ( b ) Unaona namna gani pendeleo la kubatizwa ? Katika maisha yangu , nimemutumikia Yehova na tengenezo lake kwa furaha . ” Inamaanisha nini ‘ kushawishiwa kuamini ’ ? “ Matendo matakatifu ya mwenendo ” na “ vitendo vya ujitoaji - kimungu ” ni nini ? Namna gani kufikiri sana juu ya zabihu ya ukombozi kunaweza kukusaidia umuonyeshe Yehova shukrani ? 1 , 2 . ( a ) Eleza sababu gani kubatizwa ni uamuzi muzito . ( b ) Mbele ya kubatizwa , mutu anapaswa kuwa hakika na jambo gani , na sababu gani ? Mufano wa Timotheo unaweza kufundisha vijana nini ? Dada moja kijana alisema hivi : “ Mbele nichukue uamuzi wa kubatizwa , nilijifunza Biblia na nikaona kuwa hii ndiyo dini ya kweli . Na kila siku imani yangu inaendelea kuwa nguvu . ” Sababu gani ni jambo lenye kufaa Mukristo mwenye kubatizwa akuwe na matendo yenye kupatana na imani yake ? Biblia inasema hivi : “ Imani , ikiwa haina matendo , imekufa yenyewe . ” Kwa mufano , ufikirie miezi sita yenye imepita . Ni chombo gani kinaweza kukusaidia ufanye “ vitendo vya ujitoaji - kimungu , ” na vijana fulani wamepata faida gani kwa kutumia chombo hicho ? “ Unajifunza habari gani wakati wa funzo lako la pekee ? ” “ Unaenda katika mahubiri hata kama wazazi wako hawaende ? ” Dada kijana mwenye anaitwa Tilda alisema hivi : “ Nilitumikisha karatasi hiyo ili kujiwekea miradi . Nilifikia miradi hiyo polepole , na kisha mwaka moja hivi nilikuwa tayari kwa ajili ya ubatizo . ” Utaendelea kumutumikia Yehova hata kama wazazi wako wanaacha kumutumikia ? Eleza sababu gani uamuzi wa kujitoa kwa Mungu unapaswa kutoka katika moyo wa mutu . 16 , 17 . ( a ) Ni nini inapaswa kumuchochea mutu akuwe Mukristo ? ( b ) Kuwa na shukrani kwa ajili ya zabihu ya ukombozi kunaweza kufananishwa na hali gani ? Yesu alimujibia hivi : ‘ Lazima umupende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote . ’ 18 , 19 . ( a ) Sababu gani haupaswe kuogopa kujitoa kwa Yehova ? ( b ) Namna gani kumutumikia Yehova kunafanya maisha yako yakuwe mazuri zaidi ? Ni nini inaweza kumusaidia kijana afanye maendeleo mupaka afikie kujitoa kwa Yehova na kubatizwa ? “ Ninaweza Kuboreshaje Sala Zangu ? ” — 11 / 2008 “ Ninaweza Kufanya Nini ili Nifurahie Kusoma Biblia ? ” — 04 / 2009 “ Mimi Ni Nani ? ” — 10 / 2011 “ Nifanye Nini ili Nifurahie Kujifunza Biblia ? ” — 02 / 2012 “ Kwa Nini Uhuzurie Mikutano ya Kikristo ? ” — 04 / 2012 Wakati tunahubiri , namna gani tunatumika katika umoja ? Ni mambo gani yenye tunaweza kufanya ili kusaidia kutaniko letu likuwe na umoja ? Namna gani bibi na bwana wanaweza kuendelea kuwa na umoja ? Ni jambo gani lenye limeonekana katika kazi za Mungu tangu mwanzo ? ( a ) Kutaniko la Kikristo la wakati wa mitume lilikuwa na jambo gani la pekee ? Wakati tunatumika pamoja , tunaweza kutimiza nini ? 8 , 9 . ( a ) Mutume Paulo alitumia mufano gani ili kufundisha Wakristo waendelee kuwa na umoja ? ( b ) Namna gani tunaweza kuungana mukono katika kutaniko ? Namna gani watumishi wa huduma wanasaidia kutaniko likuwe na umoja ? Ni nini inaweza kusaidia wote katika familia waungane mukono ? Ikiwa bibi ao bwana yako haiko Shahidi wa Yehova , unaweza kufanya nini ili ndoa yenu iendelee kuwa nguvu ? Namna gani bibi na bwana wenye wamefanya miaka mingi katika ndoa wanaweza kusaidia wale wenye wameoana hivi karibuni ? Watumishi wa Mungu wenye kuwa na umoja wanangojea nini ? Yehova alitoa muongozo gani wakati wa Noa na wakati wa Musa ? Ni muongozo gani mupya wenye Mungu aliwapatia Wakristo ? Namna gani tunaweza kuonyesha kwamba tunategemea muongozo wa Mungu ? 1 , 2 . ( a ) Ni onyo gani lenye limeokoa uzima wa watu wengi ? Namna gani wanadamu wote waliingia katika njia yenye kuongoza kwenye kifo ? ( a ) Sababu gani wanadamu walikuwa na lazima ya maagizo mengine kisha Garika ? ( b ) Namna gani hali mupya ya wanadamu ilionyesha mawazo ya Mungu ? Sababu gani watu wa Mungu walipaswa kutii sheria zenye aliwapatia kupitia Musa , na Waisraeli walipaswa kuziona namna gani ? ( a ) Eleza sababu gani Yehova aliwapatia watu wake muongozo . ( b ) Namna gani Sheria ilikuwa mutunzaji wa Waisraeli ? Sababu gani tunapaswa kuongozwa na kanuni za Sheria ya Musa ? Ni hali gani mupya ilifanya Mungu atoe muongozo mupya ? Sababu gani kutaniko la Kikristo lilipewa sheria za mupya , na namna gani sheria hizo zilikuwa tofauti na sheria zenye Waisraeli walipewa ? Kwa kweli , ‘ Mungu hana ubaguzi , bali [ lakini ] katika kila taifa mutu ambaye anamuogopa na kutenda uadilifu [ haki ] anakubalika kwake . ’ “ Sheria ya Kristo ” inazungumuzia sehemu mbili gani za maisha ya Mukristo ? 13 , 14 . ( a ) ‘ Amri mupya ’ yenye Yesu alitoa ilikuwa na jambo gani lingine ? ( b ) Mufano wenye Yesu alituachia unatufundisha nini ? Tuko sasa katika hali gani mupya , na namna gani Mungu anatuongoza ? Tunapaswa kuona namna gani miongozo yenye tunapewa ? Unaona kuwa miongozo hiyo inatoka kabisa kwa Mungu ? Ni vitabu gani vya kukunjwa vyenye vitafunguliwa , na matokeo yatakuwa nini ? Inaeleza pia kazi yenye uvumilivu unapaswa kufanya kabisa ndani ya kila mumoja wetu . Namna gani mufano wa Yeftha na binti yake unatusaidia tuepuke kuchochewa na watu wa ulimwengu ? Unatumia kanuni gani za Biblia ili kumaliza kutoelewana na wengine ? Namna gani habari hii imekusaidia ujitoe kwa ajili ya Ufalme ? Yeftha na binti yake walipambana na magumu gani ? Sababu gani mufano wa Yeftha na binti yake unaweza kutusaidia leo ? 4 , 5 . ( a ) Yehova aliwapatia Waisraeli amri gani wakati walikuwa karibu kuingia katika Inchi ya Ahadi ? ( b ) Kama vile Zaburi ya 106 inaonyesha , taifa la Israeli lilipatwa na matokeo gani kwa sababu ya kukataa kumutii Yehova ? Watu wa ulimwengu wanafuatilia sana mambo gani leo , na tunapaswa kufanya nini ? ( a ) Ndugu za Yeftha na viongozi wa Israeli walimutendea namna gani ? 8 , 9 . ( a ) Inawezekana ni kanuni gani za Sheria ya Musa zenye zilimusaidia Yeftha ? ( b ) Ni jambo gani lenye lilikuwa la maana zaidi katika maisha ya Yeftha ? Namna gani kanuni za Mungu zinaweza kutusaidia sisi Wakristo leo ? Yeftha alimuahidi Yehova nini , na ahadi hiyo ilimaanisha nini ? Maneno ya Yeftha katika Waamuzi 11 : 35 yanaonyesha nini juu ya imani yake ? Wengi kati yetu tumetoa ahadi gani , na namna gani tunaweza kuonyesha kama tuko waaminifu kwa ahadi yetu ? Binti ya Yeftha alitenda namna gani juu ya ahadi ya baba yake ? ( a ) Namna gani tunaweza kuiga imani ya Yeftha na binti yake ? ( b ) Namna gani maneno ya Waebrania 6 : 10 - 12 yanakutia moyo ukuwe na roho ya kujitoa ? Habari ya Yeftha na binti yake yenye kuwa katika Biblia imetufundisha nini , na namna gani tunaweza kuiga mufano wao ? Inamaanisha nini ‘ kuacha uvumilivu ukamilishe kazi yake ’ ? 1 , 2 . ( a ) Mufano wa uvumilivu wa Gideoni na wanaume wake 300 unaweza kutufundisha nini ? ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Kulingana na Luka 21 : 19 , sababu gani uvumilivu ni wa maana sana ? Maadui wetu ni Shetani , ulimwengu wake , na hali yetu ya kutokamilika . Mufano wa wale wenye wamevumilia unaweza kutufundisha nini ? Sababu gani tunaweza kusema kwamba upendo ndio unatuchochea tuvumilie ? Kupenda ndugu na dada zetu kunatuchochea tuvumilie uzaifu wao . Sababu gani ni Yehova tu ndiye anaweza kabisa kutusaidia tuvumilie ? Yehova ni “ Mungu anayetoa uvumilivu na faraja . ” Kama vile Biblia inasema , namna gani Yehova ‘ anafanya njia ya kutokea ’ wakati tunapatwa na majaribu ? 8 , 9 . ( a ) Kulingana na andiko la Ayubu 2 : 4 , 5 , ni jambo gani lenye liko katika hatari wakati tunapambana na majaribu ? ( b ) Wakati unapambana na majaribu , unaweza kufikiria hali gani katika akili yako ? Shetani amekwisha kubadilisha mawazo yake ? Sababu gani tunapaswa kuchunguza mifano ya “ wale ambao wamevumilia ” ? Mufano wa Makerubi wenye waliwekwa katika shamba la Edeni unatufundisha nini ? Ni nini ilimusaidia Ayubu avumilie majaribu yake ? Ayubu aliishi ‘ akiwa muzee na mwenye kushiba siku . ’ — Ayubu 42 : 10 , 17 . Kulingana na 2 Wakorintho 1 : 6 , namna gani uvumilivu wa mutume Paulo unaweza kusaidia wengine ? ( Soma 2 Wakorintho 1 : 6 . ) 15 , 16 . ( a ) Uvumilivu unapaswa kufanya kabisa “ kazi ” gani ? ( b ) Toa mifano yenye kuonyesha namna tunaweza ‘ kuacha uvumilivu ukamilishe kazi yake . ’ Wakati tunavumilia majaribu , tutakuwa Wakristo wenye kukomaa kiroho ( Picha hizi zinapatana na fungu la 15 , 16 ) 17 , 18 . ( a ) Toa mufano wenye kuonyesha kwamba ni jambo la lazima kuvumilia mupaka mwisho . ( b ) Kwa sababu mwisho unakaribia , tunaweza kuwa hakika na jambo gani ? [ 1 ] ( fungu la 11 ) Unaweza pia kutiwa moyo kwa kusoma mifano ya uvumilivu ya watumishi wa Mungu wa wakati wetu . [ 2 ] ( fungu la 12 ) Biblia haiseme hesabu ya makerubi wenye walipewa mugawo huo . “ Wakaendelea kujitoa wenyewe . . . na kushirikiana [ kuwa pamoja ] . ” — MATENDO 2 : 42 . namna tunasaidia wengine wakati tunakuwa kwenye mikutano . 1 - 3 . ( a ) Namna gani Wakristo wameonyesha kama wanafurahia kukusanyika pamoja ? Tulijengwa sana kiroho na imani yetu ilitiwa nguvu . ” Namna gani kukusanyika pamoja kunatusaidia tujifunze juu ya Yehova ? Namna gani mikutano imekusaidia kutumikisha mambo yenye umejifunza katika Biblia na kukomalisha ufundi wako wa kuhubiri ? Namna gani mikutano yetu inatutia moyo na kutusaidia tuendelee kuwa na nguvu ? ( Soma Matendo 15 : 30 - 32 . ) Sababu gani ni jambo la maana sana tukuwe kwenye mikutano yetu ? Wakati ndugu na dada zetu wanatuona kwenye mikutano , wanatusikia tunatoa maelezo na kuimba , hilo linawasaidia namna gani ? ( Soma pia kisanduku “ Kila Mara Anajisikia Muzuri Kisha Mikutano . ” ) 9 , 10 . ( a ) Eleza namna gani maneno ya Yesu katika Yohana 10 : 16 yanatusaidia kuelewa sababu gani ni jambo la maana kukusanyika pamoja na ndugu na dada zetu . ( b ) Wakati tunafika kwenye mikutano kwa ukawaida , namna gani hilo linaweza kusaidia mutu fulani mwenye amekataliwa na familia yake ? “ HIVI karibuni , nimeanza kusumbuliwa na magumu ya afya yenye yanafanya ikuwe vigumu kwangu kufika kwenye mikutano . Lakini wakati ninafika huko , ninafurahia chakula cha muzuri cha kiroho chenye Yehova ametayarisha . Hata kama niko na maumivu ya magoti , magonjwa ya moyo , na magumu mengine yenye kuletwa na ugonjwa wa kisukari ( diabète ) , kila mara wakati ninatoka kwenye mikutano , ninajisikia muzuri sana kuliko namna nilikuwa wakati nilifika . “ Wakati nilisikia kwa mara ya kwanza ndugu na dada wa kutaniko langu wanaimba wimbo namba 68 , wenye kichwa ‘ Sala ya Mtu wa Hali ya Chini , ’ machozi yalinitoka . Vyombo vya kunisaidia kusikiliza vilikamata sauti ya kila mutu , na niliimba pamoja nao . Namna gani kufika kwenye mikutano kunatusaidia tumutolee Yehova mambo yenye anastahili ? Yehova anajisikia namna gani wakati tunatii amri yake ya kuwa kwenye mikutano ? Namna gani tunamukaribia Yehova na Yesu kwenye mikutano ? Wakati tunaenda kwenye mikutano , namna gani tunaonyesha kama tunapenda kumutii Mungu ? 16 , 17 . ( a ) Ni nini inaonyesha kama Wakristo wa kwanza waliona mikutano kuwa ya maana sana ? ( b ) Ndugu George Gangas alijisikia namna gani juu ya mikutano ya Kikristo ? Alisema hivi : “ Jambo lenye linaniletea furaha kubwa zaidi katika maisha yangu na kunitia moyo ni kukusanyika pamoja na ndugu na dada . Ikiwezekana , ninapenda kuwa kati ya watu wa kwanza kufika kwenye Jumba la Ufalme , na kati ya watu wa mwisho kuondoka . Ninasikia furaha katika moyo wangu wakati ninazungumuza na watu wa Mungu . Unajisikia namna gani juu ya mikutano yetu , na umeamua kufanya nini ? [ 2 ] ( fungu la 3 ) Soma kisanduku “ Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Kwenye Mikutano ? ” Na huko wanasikiliza habari njema kupitia ndugu na dada wenye kuhubiri mahali pa watu wengi Kushoto : Makao ya watawa wanawake katika muji wa Zaragoza , Espanye ; kuume : tafsiri ya Biblia ya Nácar - Colunga Sikujua kwamba nilikuwa ninafanya jambo la muzuri . Ninakumbuka wakati nilisali hivi : “ Aksanti Yehova , kwa sababu haukuniacha na kwa sababu umenitolea nafasi nyingi sana za kupata jambo lenye nilikuwa ninatafuta , ni kusema , ujuzi wa kweli juu ya Biblia . ” Watu wa dini yangu na familia yangu watasema nini ? ” Nilimujibia hivi : “ Na Mungu naye atasema nini ? ” Alikufa miezi mbili mbele abatizwe . Tunapaswa kufanya nini wakati inakuwa vigumu kwetu kuepuka kujiingiza katika mambo ya politike ? Mifano ya watumishi waaminifu wa Yehova wenye hawakujiingiza katika mambo ya politike inaweza kutufundisha nini ? Namna gani tunaweza kutii Mungu na serikali za wanadamu ? Namna gani tunaonyesha kama hatuunge mukono mambo ya politike ya ulimwengu huu ? ( a ) Namna gani tunajua kama tutapambana sana na jaribu la kutukaza tujiingize katika mambo ya politike ? ( b ) Sababu gani tunapaswa kujitayarisha leo ili tuepuke kujiingiza katika mambo ya politike ? ( Soma Mathayo 10 : 16 , 17 . ) Wakati tunazungumuza na wengine , tunapaswa kuwa waangalifu juu ya mambo gani ? Namna gani tunaweza kuhakikisha kama hatuunge mukono mambo ya politike wakati tunasoma ao kufuata habari fulani ? 12 , 13 . ( a ) Namna gani Yehova anaona wanadamu ? ( b ) Namna gani tunaweza kujua ikiwa tumeanza kujivunia sana inchi yetu ? Namna gani sala inaweza kutusaidia , na ni mufano gani wa Biblia wenye kuonyesha jambo hilo ? Namna gani Biblia inaweza kutusaidia tuepuke kujiingiza katika mambo ya politike ? ( Soma pia kisanduku “ Neno la Mungu Liliwasaidia Wakuwe na Imani Yenye Nguvu . ” ) Mifano ya watumishi waaminifu wa Mungu wenye hawakujiingiza katika mambo ya politike inaweza kutufundisha nini ? ( Soma Danieli 3 : 16 - 18 . ) 18 , 19 . ( a ) Namna gani ndugu na dada katika kutaniko lako wanaweza kukusaidia uepuke kujiingiza katika mambo ya politike ? “ Kufikiri sana juu ya andiko la Methali 27 : 11 , Mathayo 26 : 52 , na Yohana 13 : 35 kulinisaidia nikatae kabisa kujiingiza katika kazi ya kiaskari . Maandiko hayo yalinisadia pia nitulie wakati nilisambishwa . ” — Andriy , wa inchi ya Ukrania . “ Andiko la Isaya 2 : 4 lilinisaidia nisijiingize katika vita wakati nilikazwa . Nilifikiria maisha ya amani yenye tutakuwa nayo katika dunia mupya , wakati hakuna mutu atakamata silaha ili kuumiza mwenzake . ” — Wilmer , wa inchi ya Kolombia . ‘ Mudumishe [ muendeleze ] amani kati ya mutu na mwenzake . ’ — MARKO 9 : 50 . Yesu alitoa shauri gani la kutusaidia kumaliza kukosana katika roho ya upendo ? Mukristo anaweza kujiuliza maulizo gani wakati anaamua namna ya kumaliza kukosana na wengine ? Namna gani tunaweza kutumikisha hatua tatu zenye kuwa katika Mathayo 18 : 15 - 17 ili kumaliza namna fulani za kukosana ? Ni mifano gani ya watu wenye walikosana wenye kuzungumuziwa katika kitabu cha Mwanzo , na sababu gani mifano hiyo inaweza kutusaidia ? Ni mawazo gani yameenea katika dunia yote , na yamekuwa na matokeo gani ? Namna gani Yesu alifundisha watu wamalize kukosana na wengine ? 6 , 7 . ( a ) Sababu gani ni jambo la maana kumaliza kukosana bila kukawia ? ( b ) Watumishi wote wa Yehova wanapaswa kujiuliza maulizo gani ? Baba yetu wa mbinguni atasikia sala zako zenye unatoa kwa unyenyekevu na kuzijibia . — 1 Yohana 5 : 14 , 15 . Tunapaswa kufanya nini ikiwa mutu fulani anatukwaza ? ( a ) Dada mumoja alitenda namna gani kwanza wakati wengine walisema mubaya juu yake ? ( b ) Ni andiko gani lilimusaidia dada huyo aendelee kuwa na amani ? 11 , 12 . ( a ) Mukristo anapaswa kufanya nini wakati anaona kama ndugu yake “ ana jambo fulani juu ” yake ? Musimamizi mumoja alitenda namna gani wakati ndugu mwengine alimuambia maneno makali , na mufano huo unaweza kutufundisha nini ? 14 , 15 . ( a ) Ni wakati gani tunapaswa kutumikisha shauri la Mathayo 18 : 15 - 17 ? ( b ) Ni hatua gani tatu zenye Yesu alionyesha , na tunapaswa kuwa na kusudi gani wakati tunatumikisha hatua hizo ? Ni nini inaonyesha kama kufuata shauri la Yesu ni njia yenye kufaa na yenye upendo ? Tutapata baraka gani wakati ‘ tunatafuta amani ’ pamoja na wengine ? ujumbe wenye wanahubiri na sababu gani wanahubiri ujumbe huo ? Maneno ya Yesu katika Mathayo 24 : 14 yanaleta maulizo gani ? Kulingana na Mathayo 28 : 19 , 20 , wanafunzi wa Yesu wanapaswa kufanya mambo gani ine ? Kazi ya ‘ kuvua watu , ’ inaomba nini ? ( Soma Mathayo 4 : 18 - 22 . ) Ni maulizo gani ine yenye tunapaswa kujibia , na sababu gani ? Sababu gani unaweza kuwa hakika kama Mashahidi wa Yehova wanahubiri ujumbe wenye unastahili kuhubiriwa ? Tunajua namna gani kama viongozi wa dini zenye kujiita kuwa za Kikristo hawahubiri ujumbe wenye unastahili kuhubiriwa ? Makanisa mengi yanachochewa na nia gani ya mubaya wakati yanafanya kazi ya kuhubiri ? Namna gani Mashahidi wa Yehova wameonyesha kama wanachochewa na nia ya muzuri wakati wanafanya kazi ya kuhubiri ? Yesu na wanafunzi wake walitumikisha njia gani ili kuhubiri ? Juu ya kazi ya kuhubiri habari njema , kuna tofauti gani kati ya Mashahidi wa Yehova na watu wenye kujiita kuwa Wakristo ? Ni wao tu ndio wanahubiri kama Yesu ameanza kutawala akiwa Mufalme tangu mwaka wa 1914 . Kazi ya kuhubiri inapaswa kufika wapi ? Ni nini inaonyesha kama Mashahidi wa Yehova wametimiza unabii juu ya mahali kwenye kazi ya kuhubiri inapaswa kufika ? Na adresi yetu ya Internete iko na habari katika zaidi ya 750 . Namna gani tunajua kama Mashahidi wa Yehova wako na roho ya Mungu ? 17 , 18 . ( a ) Sababu gani tunaweza kuwa hakika kama Mashahidi wa Yehova ndio wanahubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu leo ? ( b ) Ni nini inatusaidia tuendelee kufanya kazi hiyo ? Kwa sababu tunahubiri ujumbe wenye unastahili , ni kusema , habari njema ya Ufalme . Ni nini inaweza kufanya tukose kupata faida katika chakula fulani cha kiroho ? Ni mashauri gani yanaweza kutusaidia tupate faida katika vitabu vyote vya Biblia ? Namna gani tunaweza kupata faida kwa kusoma habari zenye kuandikwa kwa ajili ya vijana na kwa ajili ya watu wote ? 1 , 2 . ( a ) Namna gani Mashahidi wa Yehova wanaona Biblia ? ( b ) Unapenda vitabu gani vya Biblia ? 3 , 4 . ( a ) Namna gani tunaona vichapo vyetu ? ( b ) Ni vichapo gani tunapata vyenye kuandikwa kwa ajili ya vikundi fulani vya watu ? Tunaweza kuwa hakika kama Yehova anafurahi kuona nini ? Sababu gani tunapaswa kuwa na mawazo ya muzuri wakati tunasoma Biblia ? 8 , 9 . ( a ) Tunaweza kujiuliza maulizo gani wakati tunasoma Biblia ? ( b ) Mambo yenye Yehova anaomba wazee Wakristo watimize yanatufundisha nini juu yake ? Namna gani ninaweza kutumikisha habari hii ili kusaidia wengine ? ’ 10 , 11 . ( a ) Wakati tunasoma mambo yenye wazee wanaombwa kutimiza , namna gani tunaweza kutumikisha habari hiyo katika maisha yetu ? ( b ) Namna gani tunaweza kutumikisha habari hiyo ili kusaidia wengine ? 12 , 13 . ( a ) Wakati tunatumikisha vyombo vyenye tuko navyo , tunaweza kutafuta habari gani ? ( b ) Toa mufano ili kuonyesha namna habari zenye kuzungumuziwa katika andiko fulani zinaweza kutusaidia kujifunza mambo yenye hayaonyeshwe waziwazi . Habari nyingi zenye kuchapishwa kwa ajili ya vijana zinawasaidia namna gani , na namna gani wengine wanaweza kupata faida katika habari hizo ? Sababu gani Wakristo wenye kukomaa wanapaswa kupendezwa na habari zenye kuandikwa kwa ajili ya vijana ? Vichapo vyetu vinasaidia pia vijana kufanya nini ? ( Soma Mhubiri 12 : 1 , 13 . ) Namna gani tunaweza kupata faida kwa kusoma habari zenye kuandikwa kwa ajili ya watu wote ? Namna gani tunaweza kumuonyesha Yehova shukrani kwa ajili ya chakula cha kiroho chenye anatupatia ? Namna gani maamuzi yetu yanaweza kuwa na matokeo juu yetu na juu ya wengine ? Wakati hakuna sheria ya Biblia yenye kuwa wazi , namna gani tunaweza kujua mambo yenye kumupendeza Yehova ? Namna gani tunaweza kufikia kujua muzuri zaidi mawazo ya Yehova ? Taja sheria fulani za Biblia , na namna gani kutii sheria hizo kunatuletea faida ? 2 , 3 . ( a ) Sababu gani Biblia haitupatie sheria juu ya kila hali katika maisha ? ( b ) Tutazungumuzia maulizo gani katika habari hii ? Maamuzi yenye tunakamata yanaweza kuwa na matokeo gani juu yetu na juu ya wengine ? Wakati hakuna sheria ya Biblia , namna gani tunaweza kujua mambo yenye Yehova anataka tufanye katika hali fulani ? Namna gani Yesu alijua mambo yenye Yehova alitaka afanye ? Umutambue yeye katika njia zako zote , naye atanyoosha mapito yako . Ni maulizo gani yenye tunaweza kujiuliza wakati tunasoma ao kujifunza Biblia ? Namna gani mikutano na vichapo vyetu vinatusaidia tufikie kujua mawazo ya Yehova juu ya mambo mbalimbali ? Toa mufano wenye kuonyesha namna tunaweza kukamata uamuzi wa muzuri wakati tunafikiria mawazo ya Yehova . Namna gani unaweza kujua ikiwa muvalio fulani unafurahisha Yehova ? ( c ) Namna gani tunaweza kukamata maamuzi mazito ? ( Soma Mwanzo 6 : 5 , 6 . ) Tunapata faida gani wakati tunakamata maamuzi yenye kumupendeza Yehova ? Kwa kweli , sikuzote tutakuwa na jambo fulani mupya la kujifunza juu ya Yehova . Kisha kubatizwa , sababu gani tunapaswa kuendelea kufanya mabadiliko ? Sababu gani Mungu anatuomba tujikaze sana ili kupiganisha uzaifu wetu ? Tunaweza kufanya nini ili kuacha Neno la Mungu liendelee kubadilisha maisha yetu ? 1 - 3 . ( a ) Kisha kubatizwa , inaweza kuwa vigumu kwetu kufanya mabadiliko gani ? ( b ) Wakati inakuwa vigumu kwetu kufanya maendeleo kuliko namna tuliwazia , ni maulizo gani tunaweza kujiuliza ? Sababu gani hatuwezi kumufurahisha Mungu katika mambo yote yenye tunafanya ? Ni mabadiliko gani tulifanya mbele ya kubatizwa , lakini ni uzaifu gani wenye tunaweza kuendelea kupiganisha ? 6 , 7 . ( a ) Ni nini inatusaidia tukuwe marafiki wa Yehova hata kama hatukamilike ? ( b ) Sababu gani hatupaswe kujizuia kuomba Yehova musamaha ? Sababu gani tunasema kama tunaweza kuendelea kuvaa utu mupya ? Tunapaswa kufanya nini ili Biblia itusaidie tuendelee kufanya mabadiliko , na tunapaswa kujiuliza maulizo gani ? Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kuwa na sifa zenye kumupendeza Yehova ? ( Soma kisanduku “ Biblia na Sala Vilibadilisha Maisha Yao . ” ) Sababu gani hatupaswe kuvunjika moyo ikiwa hatufanye mabadiliko haraka ? Ikiwa tuko washikamanifu kwa Yehova , tunaweza kungojea kwa hamu wakati gani muzuri unaokuja ? Sababu gani tunaweza kuwa hakika kama Biblia iko na nguvu ya kuendelea kubadilisha maisha yetu ? Russell : “ Kumulilia Yehova katika sala na kusoma Biblia kila siku kulinisaidia . Kufikiri sana juu ya andiko la 2 Petro 2 : 11 na juu ya mashauri yenye wazee wa kutaniko walinipatia kulinisaidia sana . ” Maria Victoria : “ Nilisali sana kwa Yehova anisaidie kuzuia ulimi wangu . Tena , niliona kama ilikuwa lazima nivunje urafiki pamoja na watu wenye kupenda kusema mubaya juu ya wengine . Andiko la Zaburi 64 : 1 - 4 lilinisaidia nione kama sikupenda kuwa mutu mwenye wengine wanapaswa kusali kwa Yehova ili awasaidie wamuepuke ! Tena , nilifikia kuona kama kuendelea kusema mubaya juu ya wengine kungefanya nikuwe mufano mubaya na kuchafua jina la Yehova . ” Linda : “ Nilijua muzuri mambo yenye kuwa katika trakte zetu ili nikuwe tayari kuzitolea watu . Kuhubiri pamoja na ndugu na dada wenye kutumikisha namna mbalimbali za kuhubiri kumenisaidia sana . Na ninaendelea kumutegemea Yehova kupitia sala . ” Wanadamu wote wako na makosa yenye yanaweza kukwaza wengine . Namna Yehova anachagua watu wenye atafinyanga ? namna Mungu anafinyanga wale wenye kumutii ? Namna gani tunaweza kuwa kama Waisraeli wenye walitubu ? Namna gani Yehova anachagua wale wenye anavuta kwake ? ( Soma 1 Samweli 16 : 7b . ) Kutumainia Yehova , mufinyanzi wetu , kunaweza kutusukuma tukuwe na mawazo gani juu ya ( a ) watu wa eneo letu ? Kisha , wakati mwengine , nilikutana na familia moja yenye ilinipendeza kwa sababu watu wa familia hiyo walikuwa na mwenendo muzuri . Lakini siku moja nilishituka kusikia kama walikuwa Mashahidi wa Yehova ! Mwenendo wao ulinisukuma nijiulize sababu gani nilikuwa ninachukia Mashahidi wa Yehova . Nilitambua haraka kama nilikuwa ninatenda hivyo kwa sababu ya kukosa kujua na pia nilikuwa ninafuata mambo yenye watu walikuwa wanasema - sema tu , sikujua kweli juu yao . ” ( Soma Waebrania 12 : 5 , 6 , 11 . ) Namna gani Yehova anatufundisha leo , na namna gani ataendelea kutufundisha wakati unaokuja ? Na tumejifunza namna ya kuonyesha wengine upendo . Namna gani Yesu alionyesha uvumilivu na ufundi wa Yehova , Mufinyanzi Mukubwa ? ( Soma Zaburi 103 : 10 - 14 . ) Ni katika njia gani Daudi alionekana kuwa udongo wa teketeke , na namna gani tunaweza kuiga mufano wake ? Namna gani Yehova anatumia roho takatifu na kutaniko la Kikristo ili kutufinyanga ? Hata kama Yehova ana mamlaka juu ya sisi udongo , namna gani anaheshimia uhuru wetu wa kuchagua ? Namna gani wanafunzi wa Biblia wanaonyesha kama wanapenda Yehova awafinyange ? ( a ) Sababu gani unapendezwa na Yehova , Mufinyanzi wako ? Ni tabia gani zinaweza kufanya moyo wetu ukuwe mugumu kukubali mashauri ya Yehova ? Ni sifa gani zinaweza kutusaidia tuendelee kufinyangwa katika mikono ya Mungu ? Namna gani wazazi Wakristo wanaweza kuonyesha kama Yehova ni Mufinyanzi wao ? Sababu gani Mungu alimuona Danieli kuwa ‘ mutu mwenye kutamanika sana , ’ na namna gani tunaweza kuwa watu wenye kutii kama Danieli ? Methali 4 : 23 inasema hivi : “ Linda moyo wako kuliko vitu vingine vyote vinavyopaswa kulindwa , kwa maana ndiko zinakotoka chemchemi za uzima . ” Ni nini inaweza kutokea ikiwa tunashindwa kuzuia kiburi ? Ndugu mumoja alisema kama wakati fulani zamiri yake haikumusumbua tena hata kidogo juu ya mwenendo wake mubaya . 7 , 8 . ( a ) Namna gani Waisraeli walionyesha kama kukosa imani kulifanya mioyo yao kuwa migumu ? ( b ) Hilo linatufundisha nini ? Sababu gani tunapaswa ‘ kuendelea kujijaribu ’ ikiwa tuko katika imani , na namna gani tunaweza kufanya hivyo ? Ni nini inaweza kutusaidia tukuwe kama udongo wa teketeke katika mikono ya Yehova ? Namna gani Yehova anaweza kutumikisha kutaniko la Kikristo ili kutufinyanga kulingana na mambo yenye kila mutu iko nayo lazima ? Kazi ya kuhubiri inaweza kutusaidia kukomalisha sifa gani , na hilo litatuletea faida gani ? Wazazi wanapaswa kufanya nini ikiwa wanapenda kupata matokeo ya muzuri kabisa wakati wanafinyanga watoto wao ? Namna gani wazazi wanapaswa kuonyesha kama wanamutegemea Mungu wakati mutoto wao anatengwa na kutaniko ? ( Soma 1 Wakorintho 5 : 11 , 13 . ) Sababu gani tunapaswa kutii Yehova katika maisha yetu yote , na kufanya hivyo kutatuletea faida gani ? Ni katika maana gani Yehova Mungu wetu ni ‘ Yehova mumoja ’ ? Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunamuabudu Yehova kuwa ‘ Yehova mumoja ’ ? Tunaweza kufanya nini ili kuendeleza amani na umoja wetu ? ( b ) Sababu gani Musa alisema maneno hayo ? 4 , 5 . ( a ) Maneno ‘ Yehova mumoja ’ yanamaanisha kwanza nini ? ( b ) Namna gani Yehova haiko sawa na miungu ya mataifa ? Neno ‘ mumoja ’ linamaanisha tena nini , na namna gani Yehova amejionyesha kuwa ‘ mumoja ’ ? 8 , 9 . ( a ) Ni mambo gani Yehova anaomba waabudu wake ? ( b ) Namna gani Yesu alionyesha kama maneno ya Musa ni ya maana ? 10 , 11 . ( a ) Tunamuabudu Yehova peke yake tu , maana yake nini ? ( b ) Namna gani vijana watatu Waebrania katika Babiloni walionyesha kama wanashikamana na Yehova tu ? Ili kushikamana na Yehova tu , tunapaswa kuwa waangalifu juu ya jambo gani ? Tunaweza kuanza kupenda sana nini kuliko kumupenda Yehova ? Sababu gani mutume Paulo alikumbusha Wakristo kama Mungu ni ‘ Yehova mumoja ’ ? 16 , 17 . ( a ) Ni unabii gani wenye unaendelea kutimia katika siku zetu , na kumekuwa matokeo gani ? ( b ) Ni nini inaweza kuharibu umoja wetu ? 18 , 19 . ( a ) Ni mashauri gani yenye kupatikana katika Waefeso 4 : 1 - 3 ? ( b ) Tunapaswa kufanya nini ili kuendeleza umoja katika kutaniko ? Namna gani tunaweza kuonyesha kama tunaelewa kuwa ‘ Yehova Mungu ni Yehova mumoja ’ ? Kuko vijiji vingi vya wavuvi wa samaki kwenye sehemu za pembeni ya bahari ya visiwa vya Trinité na Tobago . Mara nyingi Mashahidi wa Yehova wanazungumuza na wavuvi wenye wanakutana nao Namna gani Biblia inaonyesha kama sisi wote hatukamilike ? Tunaweza kutenda namna gani juu ya makosa yetu na ya wengine ? Namna gani Biblia ilitabiri kuongezeka kwa watu wa Yehova ? Hilo limewasaidia waendelee kuwa ‘ safi kutokana na damu ya watu wote . ’ — Matendo 20 : 26 . Sababu gani kuongezeka kwa watu wa Mungu kunashangaza sana ? Sababu gani wengine wanaweza kutukwaza wakati fulani ? Ikiwa ulikuwa unaishi katika Israeli wakati wa Eli na watoto wake , ungetenda namna gani ? Ni katika njia gani Eli alishindwa kupatia watoto wake nizamu ? Daudi alifanya zambi gani nzito , lakini Mungu alimutendea namna gani ? ( a ) Namna gani mutume Petro alishindwa kutimiza maneno yake ? ( b ) Kisha Petro kufanya makosa , sababu gani Yehova aliendelea kumutumikisha ? Sababu gani unaamini kama Mungu ni mwenye haki sikuzote ? Yesu alitenda namna gani wakati Yuda Iskariote na Petro walimukosea ? Biblia ilitabiri nini juu ya watumishi wa Yehova katika siku zetu ? Namna gani tunapaswa kuona makosa ya wengine ? 13 , 14 . ( a ) Sababu gani tunapaswa kuvumiliana ? ( b ) Ni ahadi gani tunapaswa kukumbuka ? Yesu alisema tunapaswa kufanya nini wakati wengine wanatukosea ? Utatenda namna gani wakati wengine wanakukosea ? ( Soma Mathayo 5 : 23 , 24 . ) Mambo yenye Biblia inasema juu ya utambuzi na hekima yanaweza kutusaidia kuelewa jambo hilo . Methali 3 : 13 - 15 inasema hivi : ‘ Mwenye furaha ni mutu ambaye amepata hekima , na mutu anayepata utambuzi ; kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya feza na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko zahabu yenyewe . Ina samani kuliko marijani , na mapendezi yako mengine yote hayawezi kulinganishwa nayo . ’ Yesu alituachia mufano muzuri wa uaminifu . Kwa sababu nilikuwa musimamizi wa kompanyi hiyo , niliombwa kufanya ‘ makubaliano ’ na mutu mwenye kulipisha kodi kwa kumupatia rushwa ( kata - midomo ) ili asiangalie mambo ya udanganyifu ya kompanyi yetu . Kwa hiyo , nilijulikana kuwa mutu mwenye kutenda kwa udanganyifu . Wakati nilijifunza kweli , nilikataa kuendelea kufanya hivyo , hata kama nilikuwa ninapata mushahara wa muzuri . Ninaonyesha watoto wangu wawili wanaume mufano muzuri , na nimepata mapendeleo fulani katika kutaniko . Watu wenye kuchunguza mambo ya kodi na wengine wenye ninatumika pamoja nao wananijua sasa kuwa mutu muaminifu . ” Ruthu alihamia Israeli , kwenye angeweza kumuabudu Mungu wa kweli . ‘ Sisi sote tulipokea . . . fazili zisizostahiliwa juu ya fazili zisizostahiliwa . ’ — YOHANA 1 : 16 . Ni njia gani kubwa yenye Yehova ametumia ili kuonyesha wanadamu fazili zenye hawastahili Namna gani tunaweza kuonyesha kama hatuongozwe tena na zambi lakini tunaongozwa na fazili zenye hatustahili ? Fazili za Yehova zenye hatustahili zinatuletea baraka gani ? 1 , 2 . ( a ) Eleza mufano wa Yesu wa mutu fulani mwenye alikuwa na shamba la mizabibu . ( b ) Namna gani mufano huo unaonyesha sifa ya wema na ya fazili zenye hatustahili ? Sina haki ya kupatia wafanyakazi wangu wote mushahara wenye ninapenda ? ( Soma 2 Wakorintho 6 : 1 . ) Sababu gani na namna gani Yehova ameonyesha wanadamu wote fazili zenye hawastahili ? Kusema kama fazili za Yehova zenye hatustahili ‘ zinaonyeshwa kwa njia mbalimbali , ’ maana yake nini ? Mutume Petro aliandika hivi : ‘ Kwa kadiri ambayo kila mumoja amepokea zawadi , muitumie katika kuhudumiana [ kutumikiana ] kama wasimamizi - nyumba wazuri wa fazili zisizostahiliwa za Mungu zinazoonyeshwa kwa njia mbalimbali . ’ Mutume Yohana aliandika hivi : ‘ Sisi wote tulipokea kutokana na wingi alio nao , hata fazili zisizostahiliwa juu ya fazili zisizostahiliwa . ’ Fazili za Yehova zenye hatustahili zinatuletea faida gani , na namna gani tunaweza kuonyesha shukrani kwa ajili ya fazili hizo ? Fazili zenye hatustahili za Mungu zinatusaidia kuwa na nini ? Fazili za Mungu zenye hatustahili zinaonyeshwa kwa njia mbalimbali : Pendeleo la kusikia habari njema ( Picha hii inapatana na fungu la 11 ) Namna gani watiwa - mafuta wanaleta “ kondoo wengine ” kwenye uadilifu ? Faida ya sala ( Picha hii inapatana na fungu la 12 ) Sababu gani sala ni mupango wenye kuonyesha fazili za Mungu zenye hatustahili ? Namna gani fazili zenye hatustahili zinaweza kuwa ‘ musaada kwa wakati unaofaa ’ ? Mioyo yetu inapata faida gani kupitia fazili zenye hatustahili ? Kwa sababu ya fazili za Yehova zenye hatustahili , tuko na tumaini gani ? Namna gani Wakristo fulani wa kwanza walitumia mubaya fazili za Mungu zenye hatustahili ? Fazili za Yehova zenye hatustahili zinatuletea madaraka gani ? Katika habari yenye kufuata tutazungumuzia daraka gani lenye tuko nalo ? ‘ Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fazili zisizostahiliwa za Mungu . ’ — MATENDO 20 : 24 . Fazili za Yehova zenye hatustahili zinapaswa kutuchochea kufanya nini ? Namna gani “ habari njema ya Ufalme ” inakazia fazili za Mungu zenye hatustahili ? Namna gani Yehova ataonyesha fazili zake zenye hatustahili katika ulimwengu mupya ? Namna gani mutume Paulo alionyesha kama alikuwa mwenye shukrani kwa ajili ya fazili za Mungu zenye hatustahili ? ( Soma Waefeso 3 : 5 - 8 . ) Sababu gani tunaweza kusema kama “ habari njema ya Ufalme ” iko pia habari njema ya ‘ fazili zisizostahiliwa za Mungu ’ ? Wakati tunafasiria watu maana ya zabihu ya ukombozi , namna gani tunaonyesha kama tunatangaza habari njema ya fazili za Mungu zenye hatustahili ? Sababu gani wanadamu watenda - zambi wako na lazima ya kupatanishwa na Mungu ? Mutume Yohana aliandika hivi : ‘ Yule anayemuamini Mwana ana uzima wa milele ; yule asiyemutii Mwana hataona uzima , bali [ lakini ] gazabu [ hasira ] ya Mungu inakaa juu yake . ’ 9 , 10 . ( a ) Kristo alipatia ndugu zake watiwa - mafuta kazi gani ? Kwa hiyo sisi ni mabalozi [ ambasadere ] walio badala ya Kristo , kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi . Wakati watu wanajifunza kama wanaweza kusali kwa Yehova , sababu gani hiyo ni habari njema kwao ? Watu wengi wanasali kwa sababu sala inafanya wajisikie muzuri , lakini hawaamini kabisa kama Mungu anasikia sala zao . Wako na lazima ya kujua kama Yehova ni ‘ Musikiaji wa sala . ’ Yesu aliambia wanafunzi wake hivi : ‘ Mukiomba jambo lolote katika jina langu , nitalifanya . ’ 13 , 14 . ( a ) Watiwa - mafuta watakuwa na pendeleo gani la muzuri sana wakati unaokuja ? ( b ) Ni kazi gani ya muzuri sana yenye watiwa - mafuta watafanyia wanadamu ? Wakati unaokuja , namna gani Yehova ataonyesha “ kondoo wengine ” fazili zake zenye hatustahili ? Mamilioni ya watu wenye walikufa bila kumujua Mungu , wao pia watafufuliwa . Yohana aliandika hivi : ‘ Nikawaona wafu , wakubwa kwa wadogo , wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme , na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa . Na bahari ikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake , na kifo na Kaburi vikawatoa wale wafu waliokuwa ndani yake , nao walihukumiwa kila mumoja kulingana na matendo yake . ’ Tunapaswa kukumbuka jambo gani wakati tunahubiri ? Biblia inasema hivi : ‘ Uumbaji wenyewe pia utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu na kuwa na uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu . ’ Pia , anasema hivi : “ Andika , kwa sababu maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli . ” Wakati tunahubiria wengine habari njema hiyo kwa bidii , tunatukuza kabisa fazili za Yehova zenye hatustahili ! ‘ Mutafute Ufalme [ wa Mungu ] sikuzote , na mambo hayo mutaongezewa . ’ — LUKA 12 : 31 . Kuko tofauti gani kati ya vitu vyenye tuko navyo lazima na vitu vyenye tunapenda kuwa navyo ? Sababu gani tunapaswa kuzuia tamaa yetu ya kupenda vitu vingi vya kimwili ? Sababu gani uko hakika kama Yehova anaweza kukutolea mambo yenye uko nayo lazima kila siku ? Namna gani Shetani anatumia “ tamaa ya macho ” ? Usisahau onyo hili la mutume Yohana : “ Ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake . ” Ni nini inaweza kufikia wale wenye wanatumikisha nguvu zao zote ili kupata vitu vya kimwili ? 8 , 9 . ( a ) Sababu gani hatupaswe kuhangaika sana juu ya mambo yenye tuko nayo lazima ? ( b ) Yesu alijua nini juu ya wanadamu na mambo yenye wako nayo lazima ? Wakati Yesu alifundisha wanafunzi wake namna ya kusali , ni mambo gani yenye alisema yanapaswa kuwa ya maana zaidi katika maisha yao ? Namna Yehova anahangaikia ndege wa mbinguni , inatufundisha nini ? Tunapaswa ‘ kuangalia kwa makini [ uangalifu ] ndege wa mbinguni . ’ Kwa kweli , hatie chakula katika midomo yao ! Ni nini inaonyesha kama tuko wa maana sana kuliko ndege wa mbinguni ? ( Linganisha na Luka 12 : 6 , 7 . ) 15 , 16 . ( a ) Namna Yehova anahangaikia mayungiyungi ya shambani , inatufundisha nini ? ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii . ) ( b ) Ni maulizo gani tunapaswa kujiuliza , na sababu gani ? Yehova anajua nini juu ya kila mumoja wetu , na atafanya nini kwa ajili yetu ? Sababu gani hatupaswe kuhangaika juu ya mambo yenye yanaweza kutokea wakati unaokuja ? Unaweza kufanya maisha yako yakuwe mepesi ili ukaze akili yako juu ya Ufalme ? ( a ) Unaweza kujiwekea muradi gani katika kazi ya Yehova ? ( b ) Unaweza kufanya nini ili maisha yako yakuwe mepesi ? Ni nini itakusaidia umukaribie sana Yehova ? Sababu gani Yesu aliambia wanafunzi wake ‘ waendelee kukesha ’ ? Sababu gani tunapaswa kufuata kwa uangalifu onyo la Yesu ? ( a ) Sababu gani tunaweza kuamini kama Yesu anajua sasa wakati vita ya Har - Magedoni itaanza ? ( b ) Hata kama hatujue wakati ziki kubwa itaanza , tunaweza kuwa hakika na jambo gani ? Wakati Yesu alikuwa duniani , alisema hivi : ‘ Kuhusu siku ile na saa ile hakuna mutu anayejua , wala malaika wa mbinguni wala Mwana , ila Baba tu . ’ ( Soma Habakuki 2 : 1 - 3 . ) Toa mufano wenye kuonyesha kama sikuzote Yehova anatimiza unabii wake kwa wakati wake . Sikuzote Yehova anatimiza unabii wake kwa wakati wake ! Kisha wakati fulani , Yehova alimuambia Abrahamu hivi : ‘ Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mukaaji mugeni katika nchi isiyokuwa yao , nao watawatumikia watu wale , nao watawatesa kwa miaka mia ine . ’ Sababu tunaweza kuwa hakika kama Yehova ataokoa watu wake ? 7 , 8 . ( a ) Zamani mulinzi alikuwa na kazi gani , na hilo linatufundisha nini ? ( b ) Ikiwa walinzi wanalala usingizi kwenye kazi , hilo linaweza kuwa na matokeo gani ? Leo , watu wengi hawatambue jambo gani ? 10 , 11 . ( a ) Tunapaswa kuwa waangalifu juu ya jambo gani , na sababu gani ? ( b ) Ni nini inakusadikisha kama Shetani amechochea watu wazarau unabii wa Biblia ? Sababu gani hatupaswe kumuacha Shetani atudanganye ? Yesu alituonya hivi : ‘ Muendelee kuwa tayari , kwa sababu Mwana wa binadamu atakuja katika saa musiyoitazamia . ’ Namna gani roho ya ulimwengu inachochea watu , na namna gani tunaweza kuepuka hatari hiyo ? Andiko la Luka 21 : 34 , 35 linatutolea onyo gani ? Ni jambo gani lilipata Petro , Yakobo , na Yohana , na namna gani jambo hilo linaweza kutupata sisi pia ? Kulingana na Luka 21 : 36 , namna gani Yesu alitushauria ‘ kuendelea kukesha ’ ? Namna gani tunaweza kuhakikisha kama tuko tayari kwa ajili ya mambo yenye yatatokea hivi karibuni ? [ 1 ] ( fungu la 14 ) Soma sura ya 21 katika kitabu Ufalme wa Mungu Unatawala ! Kwenye mukusanyiko fulani , ndugu mumoja aliniuliza ikiwa ningependa kuhubiri . Dada mumoja alitupatia vichapo vya watoto vyenye kuwa na mafundisho yenye kutoka katika Biblia na katika kitabu La Harpe de Dieu . Wakati nilikuwa na miaka kati ya 13 na 19 , nilifurahia kutolea watu tumaini kupitia Neno la Mungu . Ndugu huyo alisimamisha kinga yake na aliniomba tukae pamoja kwenye kipande cha muti . Aliniuliza hivi : “ Ni nani mwenye alikupatia mamlaka ya kuhukumu kama mutu fulani ni mbuzi ao hapana ? Sisi tuhubirie tu watu habari njema na tumuachie Yehova kazi ya kuhukumu . ” Ndugu mwengine mwenye kukomaa alinifundisha kama ili kupata furaha katika kutoa , tunapaswa kuvumilia wakati fulani . Kisha miaka fulani , ndugu huyo alipata matokeo ya muzuri kwa sababu ya uvumilivu wake ; bibi yake alibatizwa na kuwa Shahidi wa Yehova . Kisha vita , nilikuwa painia kwa miaka mbili katika eneo la kusini la inchi ya Irelandi . Hatukujua kama mapadri walikuwa na mamlaka makubwa katika inchi hiyo . Ilikuwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika mashua kama hiyo , kwa hiyo , nilifurahi sana . Kwa miaka tano , tulihubiri zaidi sana katika visiwa vya mbali kwenye hakukuwa Mashahidi . Kikundi cha wamisionere katika Sibia ( kushoto mupaka kuume ) : Ron Parkin , Dick Ryde , Gust Maki , na Stanley Carter Mara nyingi , walitupatia samaki za mubichi , avocats , na kalanga . Kisha , mangaribi tulipiga kengele ya mashua . Tulifurahi sana kuona namna watu fulani kati yao walikamata mugao wao kwa uzito . Wakati tulifika huko , nilikutana na Maxine Boyd , dada mumoja misionere mwenye sura ya muzuri sana na nikamupenda . Kwa hiyo , nilijiambia mimi mwenyewe hivi : ‘ Ronald , ikiwa unapenda mwanamuke huyu , unapaswa kutenda haraka . ’ Kisha majuma tatu nilimuomba mukono , na kisha majuma sita tulioana . Mimi na Maxine tulipata mugao wa kufanya kazi ya umisionere katika inchi ya Porto Rico , kwa hiyo , sikupanda tena hata kidogo katika mashua hiyo ya mupya . Kwa mufano , katika kijiji cha Potala Pastillo , kulikuwa familia mbili za Mashahidi zenye zilikuwa na watoto wengi , na nilizoea kucheza nao filimbi . Niliuliza Hilda , mumoja kati ya watoto wanawake , ikiwa alipenda kuja na kuhubiri pamoja na sisi . Tulimuuzia viatu , na alikuja kuhubiri pamoja na sisi . Alikuwa karibu kuenda katika mugao wake katika inchi ya Ekwado ( Équateur ) , na alisema hivi : “ Hamunikumbuke tena ? Mimi ni yule mutoto mwanamuke wa kijiji cha Pastillo mwenye hakukuwa na viatu . ” Mwanzoni , mimi na Lennart Johnson ndio tulikuwa tunafanya kazi nyingi zaidi . Nathan Knorr , mwenye alikuwa anaongoza kazi ya Mashahidi wa Yehova , alikuja huko Porto Rico . Kisha , alinipatia mashauri makali juu ya kuwa mwenye kupanga mambo muzuri na alisema kama nilimuvunja moyo . Baba yangu hakukubali kweli wakati mimi na Mama tuliikubali . Maxine , bibi yangu mupendwa , alikufa katika mwaka wa 2011 . Ninangojea kabisa kwa hamu kumuona tena wakati wa ufufuo . Kisha miaka 60 kwenye kisiwa hicho , nilijisikia kama coqui , chura mudogo wa Porto Rico mwenye kujulikana sana . Chura huyo anaishi katika miti na anaimba ko - kee , ko - kee wakati wa mangaribi . Ndugu na dada fulani wenye wanakuja kuniona wanapenda kuzungumuzia magumu yao ya pekee ao ya familia . Kazi yote yenye tunafanya kwenye Beteli ni utumishi mutakatifu . Kila mahali kwenye tunamutumikia Yehova , tuko na nafasi nyingi za kumusifu . Habari juu ya maisha ya Leonard Smith inapatikana katika gazeti Munara wa Mulinzi la tarehe 15 Mwezi wa 4 , 2012 . Sababu gani tunaweza kusema kama ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ? Namna gani unaweza kueleza historia ya ndoa kuanzia wakati wa Adamu mupaka wakati wa Yesu Ni nini inaweza kusaidia Mukristo aamue ikiwa ataoa ao kuolewa ? 1 , 2 . ( a ) Ndoa ilianza namna gani ? ( b ) Bibi na bwana wa kwanza walipaswa kutambua nini juu ya ndoa ? ( Soma Mwanzo 2 : 20 - 24 . ) Kusudi kubwa la ndoa lilikuwa kuzaa watoto ili kujaza dunia . Majibu yenye Adamu na Eva walimupatia Yehova yanatufundisha nini ? Namna gani unaweza kufasiria andiko la Mwanzo 3 : 15 ? ( a ) Ndoa imepatwa na nini kuanzia wakati Adamu na Eva walimuasi Mungu ? ( b ) Biblia inaomba bibi na bwana wafanye nini ? Eleza historia ya ndoa kuanzia wakati wa Adamu mupaka wakati wa Garika . Yehova alifanya nini juu ya watu waovu katika siku za Noa , na tunaweza kujifunza nini juu ya mambo yenye yalitokea wakati huo ? ( a ) Ni tabia gani yenye ilienea katika desturi nyingi ? ( b ) Namna gani Abrahamu na Sara walionyesha mufano muzuri katika ndoa yao ? ( Soma 1 Petro 3 : 3 - 6 . ) Namna gani Sheria ya Musa ililinda Waisraeli ? 12 , 13 . ( a ) Namna gani wanaume fulani walikuwa wanatendea bibi zao wakati wa nabii Malaki ? ( b ) Leo , ni nini inaweza kufikia mutu mwenye kubatizwa ikiwa anakimbia na bibi ao bwana mwenye haiko wake ? ( a ) Katika kutaniko la Kikristo , ni kanuni gani yenye inapaswa kuongoza ndoa ? Paulo aliongeza hivi : “ Ikiwa hawawezi kujizuia , acheni wafunge ndoa , kwa maana ni bora [ muzuri zaidi ] kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa . ” 18 , 19 . ( a ) Katika kutaniko la Kikristo , ni nani wanapaswa kuoana ? Mungu amepatia bibi na bwana madaraka gani ? Sababu gani upendo na kuonyeshana mapenzi ni mambo ya maana sana katika ndoa ? Namna gani Biblia inaweza kusaidia bibi na bwana wakati wanapata magumu katika ndoa Kwa kawaida ndoa inaanza na furaha , lakini bibi na bwana wanajua kama wanaweza kupatwa na nini ? Ni aina gani za upendo bibi na bwana wanapaswa kuonyeshana ? Bibi na bwana wanapaswa kupendana kwa kiasi gani ? Mutume Paulo aliandika hivi : ‘ Enyi waume , muendelee kuwapenda wake zenu , kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake . ’ 4 , 5 . ( a ) Kwa sababu bwana ndiye kichwa cha familia , ana daraka gani ? ( b ) Namna gani bibi anapaswa kuona ukichwa wa bwana yake ? ( c ) Bibi na bwana fulani walipaswa kufanya mabadiliko gani ? Ndoa ilibadilisha maisha yangu kwa sababu nilijifunza kumutegemea bwana yangu . Katika ndoa , kufikiria mawazo ya watu wawili kunafanya ikuwe vigumu zaidi . Lakini wakati ninatafuta muongozo wa Yehova katika sala na wakati ninasikiliza kabisa mawazo ya bibi yangu , inakuwa vyepesi sana kila siku . Ninaona kama tunaungana mukono kabisa ! ” Wakati magumu yanatokea katika ndoa , namna gani upendo unaweza kuwa “ kifungo kikamilifu cha muungano ” ? 7 , 8 . ( a ) Biblia inatoa shauri gani juu ya kitendo cha ndoa kati ya bibi na bwana ? ( b ) Sababu gani bibi na bwana wanapaswa kutendeana kwa upole kupitia maneno na matendo ? Bibi ao bwana hapaswe hata kidogo kukaza ao kuomba mwenzake wafanye kitendo cha ndoa , lakini wanapaswa kujua kama ni jambo la kawaida katika ndoa . Sababu gani ni mubaya kuchezea kimapenzi mutu mwenye haiko bibi ao bwana yetu ? 10 , 11 . ( a ) Ndoa nyingi zinapatwa na nini leo ? ( b ) Biblia inasema nini juu ya kuachana ? ( c ) Ni nini inaweza kusaidia bibi na bwana wasiachane haraka ? Ni nini inaweza kufanya bibi ao bwana afikirie kuachana na mwenzake ? Biblia inatoa shauri gani kwa Wakristo wenye wameoa ao kuoelewa na watu wenye hawako Mashahidi ? ( Soma 1 Wakorintho 7 : 12 - 14 . ) 15 , 16 . ( a ) Biblia inatoa shauri gani kwa bibi Wakristo wenye kuwa na bwana wenye hawako Mashahidi ? ( b ) Mukristo atafanya nini ikiwa bibi ao bwana yake mwenye haiko Shahidi anaamua ‘ kuondoka ’ ? Mutume Petro alishauria bibi Wakristo wajitiishe kwa bwana zao , “ ili , ikiwa wowote si watiifu kwa lile neno , wavutwe bila neno kupitia mwenendo wa wake zao , kwa sababu wamekwisha kushuhudia kwa macho mwenendo wenu ulio safi kiadili [ mwenendo muzuri ] pamoja na heshima kubwa . ” Biblia inasema nini ikiwa bibi ao bwana mwenye haiko Shahidi wa Yehova anaamua kuachana na mwenzake ? Inasema hivi : “ Yule asiyeamini akiondoka , acha aondoke ; ndugu ao dada hayumo [ haiko ] katika utumwa chini ya hali za namna hiyo , lakini Mungu amewaita ninyi kwenye amani . ” Bibi na bwana Wakristo wanapaswa kutia nini pa nafasi ya kwanza katika ndoa yao ? Sababu gani inawezekana Wakristo wakuwe na ndoa ya muzuri na yenye furaha ? [ 2 ] ( fungu la 13 ) Soma nyongeza , “ Mambo Ambayo Biblia Inafundisha Kuhusu Kuvunja Ndoa na Kutengana , ” katika kitabu Mubaki “ Katika Upendo wa Mungu , ” ukurasa wa 219 - 221 . Unaweza kufanya nini ili ufanye maendeleo ya kiroho ? Namna gani unaweza kufanya maendeleo ya kiroho bila kuchoka ? Unaweza kufanya mabadiliko gani ili ukuwe na ufundi zaidi katika kazi ya kuhubiri ? 1 , 2 . ( a ) Namna gani andiko la Isaya 60 : 22 linatimia katika siku hizi za mwisho ? ( b ) Leo , kuko lazima gani katika sehemu ya duniani ya tengenezo la Yehova ? ‘ MUDOGO atakuwa elfu , na munyonge [ asiyekuwa na nguvu ] atakuwa taifa lenye nguvu . ’ Kufanya maendeleo ya kiroho kunamaanisha nini kwako ? Namna gani vijana wanaweza kutumia nguvu zao katika kazi ya Ufalme ? 6 - 8 . ( a ) Namna gani kijana mumoja alibadilisha mawazo yake juu ya kazi ya Mungu , na alipata matokeo gani ? ( b ) Namna gani unaweza ‘ kuonja na kuona ya kuwa Yehova ni mwema ’ ? Kwa sababu ya baraka zake , ninajisikia kuwa na deni lake na ninachochewa kufanya mengi katika kazi yake , na hilo linaniletea baraka zaidi . ” ( Soma Zaburi 34 : 8 - 10 . ) Sababu gani unaona kama kungojea kwa uvumilivu ni jambo la maana ? Ni sifa gani za kiroho zenye tunaweza kujikaza sana kukomalisha , na sababu gani sifa hizo ni za maana ? Namna gani ndugu na dada katika kutaniko wanaweza kuonyesha kuwa ni wenye kutumainika ? Namna gani unaweza kufuata mufano wa Yosefu wakati wengine wanakutendea mubaya ? Unaweza kufanya nini ikiwa wengine wanakutendea mubaya ? 14 , 15 . ( a ) Sababu gani tunapaswa ‘ kuangalia daima ’ namna yetu ya kuhubiri ? ( b ) Namna gani unaweza kufanya mabadiliko kulingana na hali ? ( Ona picha kwenye mwanzo wa habari hii na kisanduku “ Uko Tayari Kupima Njia Ingine ? ” ) Namna gani kuhubiri mahali pa watu wengi kunaweza kuwa na matokeo ya muzuri ? 17 , 18 . ( a ) Ni nini inaweza kukusaidia usiogope kuhubiri mahali pa watu wengi ? ( b ) Sababu gani unaona kama maneno yenye Daudi alisema juu ya kumusifu Yehova yanaweza kukusaidia wakati unahubiri ? Anasema hivi : “ Wakati wa ibada yetu ya familia , mimi na bibi yangu tunatafuta habari ili kujua namna ya kujibia vizuia - mazungumuzo na mawazo yenye watu wanatoa . Pia tunaomba mashauri kwa Mashahidi wengine . ” Wataongea juu ya utukufu wa ufalme wako , nao watasema juu ya nguvu zako , kuwajulisha wana wa binadamu matendo yake yenye nguvu na utukufu wa fahari ya ufalme wake . ” Ikiwa umepewa kazi nyingi ya kufanya katika kutaniko la Yehova , namna gani unaweza kuwa baraka kwa wengine ? Sasa Venecia anasema hivi : “ Kuhubiria watu kupitia telefone kunaleta matokeo ya muzuri ! ” Bibi yangu alikufa kumepita miaka tatu , na mwaka jana mutoto wangu mwanaume alikufa katika aksidenti . ” Kisha miaka mbili ninawaandikia na sasa niko dada yenu . ” Sababu gani tunapaswa kuwachochea wanafunzi wa Biblia wakuwe na hamu sana ya kujifunza Maandiko kipekee ? Namna gani tunaweza kusaidia wapya wajue kuzungumuza na wasikilizaji na watu wengine ? Sababu gani inaomba kujikaza sana ili kuzoeza wale wenye watafikia kuwa wachungaji wa kundi la Mungu ? Sababu gani tunapaswa kuzoeza wengine wafikie madaraka katika kutaniko ? 3 , 4 . ( a ) Namna gani mutume Paulo alionyesha kama kujifunza Maandiko kunatusaidia tupate matokeo ya muzuri katika kazi ya kuhubiri ? ( b ) Mbele tutie moyo wanafunzi wetu wajifunze Biblia kipekee , sisi tunapaswa kuwa tunafanyaka nini ? Namna gani unaweza kusaidia wapya wakuwe na programu ya kujifunza Biblia kipekee ? Unaweza kujiuliza hivi : ‘ Namna gani ninaweza kusaidia mwanafunzi wangu ajifunze Biblia kwa ukawaida ? ’ ( a ) Namna gani unaweza kusaidia mwanafunzi wako apende kabisa Biblia ? ( b ) Mwanafunzi wa Biblia anaweza kufanya nini ikiwa anapenda kabisa Maandiko ? Namna gani Yesu alizoeza wahubiri wa habari njema ? 8 , 9 . ( a ) Namna gani Yesu alizungumuza na watu katika mahubiri yake ? ( b ) Namna gani tunaweza kusaidia wahubiri wapya wazungumuze na watu kama vile Yesu alifanya ? 10 - 12 . ( a ) Namna gani Yesu alisaidia wale wenye walipendezwa na habari njema ? ( b ) Namna gani tunaweza kusaidia wahubiri wapya wakomalishe ufundi wao wa kufundisha kweli za Biblia ? 13 , 14 . ( a ) Biblia inazungumuzia watu wenye walijitoa sana ili kusaidia wengine , mifano hiyo inatufundisha nini ? ( b ) Unaweza kutumia njia gani zenye kufaa ili kuzoeza wahubiri wapya na vijana waonyeshe ndugu na dada zao upendo ? Sababu gani ni jambo la maana wazee wahangaikie maendeleo ya wanaume katika kutaniko ? 16 , 17 . ( a ) Namna gani mutume Paulo alisaidia Timotheo afanye maendeleo ? ( b ) Namna gani wazee wanaweza kuzoeza muzuri wale wenye watafikia kuwa wachungaji wa kesho wa kutaniko ? Sababu gani ni jambo la maana tuzoeze wengine katika kazi ya Yehova ? Sababu gani unapaswa kuwa hakika kama utapata matokeo ya muzuri ikiwa unajikaza sana ili kuzoeza wengine katika kazi ya Yehova ? Munaiacha amri ya Mungu , na kuyashika sana mapokeo ya wanadamu . ” — Marko 7 : 6 - 8 . 3 Usiache ‘ Mikono Yako Iregee ’ Namna gani Yehova alitia nguvu mikono ya Musa , Asa , na Nehemia ? Tunaweza kufanya mambo gani ili kutia nguvu mikono ya ndugu na dada zetu ? ( b ) Ni nini inaweza kufanya mikono yetu iregee ? Kwa mufano , mukono unazungumuziwa mara nyingi sana . Ni nini inaweza kukuchochea na kukutia nguvu ili uvumilie na usipoteze furaha ? Lakini , wakati mikono ya Musa ilikuwa mizito na kuanza kuregea , Waamaleki walianza kupata ushindi . ( b ) Namna gani Mungu alijibu sala ya Nehemia ? Unaamini kuwa Yehova anatumia ‘ uwezo wake mukubwa ’ na ‘ mukono wake wenye nguvu ’ leo ili kutia nguvu watumishi wake ? 10 , 11 . ( a ) Namna gani Shetani anajikaza ili kufanya mikono yetu iregee ? ( b ) Yehova anatumia nini ili kututia nguvu ? Anatumia serikali , viongozi wa dini , na waasi - imani ili kutuogopesha na kueneza uongo juu yetu . 13 , 14 . ( a ) Namna gani ndugu mumoja alitiwa nguvu kisha kufiwa na bibi yake ? Sala na funzo langu la pekee vimekuwa kama vile nguo yenye mutu anavaa ili asizame ndani ya maji . Nimetambua kama ni jambo la maana mutu afanye urafiki wa muzuri pamoja na Yehova mbele hali ngumu zimufikie . ” Namna gani Yehova anatuzoeza ili tupigane na maadui wetu ? Pia , anatusaidia kupitia vichapo vyetu vyenye kuzungumuzia Biblia , mikutano yetu ya Kikristo , na mikusanyiko yetu . Tunapaswa kufanya nini ili tuepuke kushindwa na mambo maovu ? ( b ) Tutazungumuzia watu gani wenye kutajwa katika Biblia ? Ni nini ilimusaidia Yakobo avumilie , na alipata baraka gani ? Ni nini ilisaidia Wakristo wawili waachane na tamaa ya mubaya ? Kijana huyo alipata pia faida kwa kusoma habari yenye kichwa “ Je , Mungu Anakubali Ngono Isiyo ya Asili ? ” Kijana huyo alisema tena hivi : “ Kwa sababu hiyo , ninafikiri kwamba ninaweza kuendelea kuwa muaminifu kila siku . Niko mwenye shukrani sana kwa Yehova kwa sababu anatumia tengenezo lake ili kutusaidia tupate ushindi kila siku katika ulimwengu huu muovu . ” Aliandika hivi : “ Ninapenda kuwashukuru kwa sababu munaendelea kutupatia chakula cha kiroho chenye tuko nacho lazima na kwa wakati wenye kufaa . Mara nyingi ninaona kuwa habari hizo zimeandikwa tu kwa ajili yangu . Kwa miaka mingi , ninaendelea kupiganisha tamaa ya nguvu ili kuachana na tabia fulani yenye Yehova anachukia . Wakati fulani , ninataka kuregeza mikono yangu na kuacha kupigana . Ninajua kama Yehova ni mwenye rehema na mwenye kusamehe , lakini kwa sababu niko na tamaa hiyo ya mubaya na iko kabisa ndani ya moyo wangu na siichukie , nilijisikia kuwa Yehova hawezi kabisa kunisaidia . Pigano hilo la kila siku limekuwa na matokeo katika kila hali ya maisha yangu . . . . Kisha kusoma habari ‘ Je , Una ‘ Moyo wa Kumujua ’ Yehova ? ’ katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 15 Mwezi wa 3 , 2013 , niliona kabisa kama Yehova anapenda kunisaidia . ” ( a ) Paulo aliona namna gani pigano lake ? Sheria yenye Mungu alipatia Waisraeli juu ya muvalio inaweza kutufundisha nini ? Ni nini inaweza kusaidia Wakristo wakamate maamuzi ya muzuri juu ya muvalio ? Tunapaswa kuvaa nguo zenye kufaa zaidi sana wakati gani ? Kwa kweli , nguo fulani zinaweza kuwa zenye kufaa mahali fulani lakini hazifae mahali pengine . Ni nini inaweza kusaidia ndugu ajue ikiwa atakomalisha ndevu ao kuzikata ? Sheria ya Musa iliomba wanaume wakomalishe ndevu . Kwa kweli , ndugu fulani wenye kuwa na madaraka wako na ndevu . Hata hivyo , ndugu fulani wanaweza kuamua kukata ndevu . Muvalio wetu na namna tunajipamba vinaweza kuwa na matokeo gani juu ya wengine ? Ndugu mumoja katika inchi ya Ujerumani aliandika hivi : “ Walimu wangu waliona habari za uumbaji zenye kuzungumuziwa katika Biblia kuwa ni hadisi za kuwazia tu . Na wanaona kuwa ni jambo la kawaida wanafunzi waamini fundisho la mageuzi . ” Dada mumoja katika inchi ya Ufaransa alisema hivi : “ Walimu kwenye masomo yetu wanashangaa kuona kama kuko wanafunzi wenye wangali wanaamini Biblia . ” na Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai , na kitabu Je , Kuna Muumba Anayekujali ? Nimejifunza broshua hizo mara nyingi . ” Habari hizo zinaonyesha kama mafundi wakubwa sana wanaweza kuiga vitu vya uumbaji , lakini hakuna hata siku moja watafikia kufanya vitu vya ajabu sana kama hivyo . ” Sababu gani Mungu anapenda utumie nguvu zako za kufikiri ? ( Soma Waroma 12 : 1 , 2 ; 1 Timotheo 2 : 4 . ) Na wengi kati yao hawakuishi wakati mumoja na hawakujuana . ” Nilipaswa kusimama na kufikiri sana juu ya namna unabii huo juu ya chakula cha Pasaka ulikuwa wa kushangaza sana ! ” Ndugu mumoja kijana katika inchi ya Uingereza alisema hivi : “ Watu wenye kufanya hivyo ni wadogo sana . Hilo linatuhakikishia kabisa kama Biblia ilitoka kwa Mungu . ” Dada mumoja kijana katika inchi ya Japani aliandika hivi : “ Wakati familia yangu ilitumikisha mafundisho ya Biblia , tulikuwa na furaha kabisa . Tulikuwa na amani , umoja , na upendo . ” Na wengine wanaacha kuamini Mungu kwa sababu dini imewavunja moyo . Aliongeza hivi : “ Hata aina nyepesi sana ya uzima ni yenye kushangaza sana . ” Sababu gani ni jambo la maana sana ujue muzuri watoto wako ? Watoto wetu wanapata imani hatua kwa hatua . ” Ananiuliza hivi : ‘ Biblia inasema nini ? ’ ‘ Unaamini mambo Biblia inasema ? ’ Anapenda nijibie kwa kutumia maneno yangu mwenyewe kuliko kurudilia tu maneno yake ao maneno ya Mama . Wakati niliendelea kukomaa , nilipaswa kufasiria zaidi majibu yangu . ” Walitumia Biblia ili kujibia maulizo yangu yote . ” Sasa , kama uzima uligeuka kutoka aina nyepesi ya uzima na kufikia kuwa aina ya ajabu , sababu gani viumbe hao wa zamani walikuwa tayari wa ajabu sana ? Hilo lilinishangaza sana na nilizungumuzia jambo hilo pamoja na mutoto wangu . ” Kisha aliomba kila mutoto afanye kahawa katika kopo yake . Mama huyo alisema hivi : “ Walifanya hivyo kwa uangalifu sana . ” Aliongeza hivi : “ Wakati niliwauliza sababu gani walifanya hivyo kwa uangalifu sana , walisema kama walipenda kahawa ikuwe kama vile nilipenda . Niliwafasiria kama Mungu alichanga kwa uangalifu sana gaze katika anga - hewa kwa njia yenye kufaa kwa ajili yetu . ” Na namna gani unaweza kulinganisha mulio wa avion na wimbo wa ndege ? Ni nani mwenye kuwa na akili sana ; mutu mwenye alitengeneza avion ao Muumbaji wa ndege ? ” Baba mumoja alisema hivi : “ Usichoke hata kidogo kutumia njia za mupya ili kufasiria habari za zamani . ” Tangu wakati walikuwa wadogo sana , nilijifunza pamoja nao kwa dakika 15 kila siku , kutosha siku zenye tulikuwa na mikutano ya Kikristo . Kisha wakati fulani , nilipata majibu mengi ya maulizo yangu kwenye mikutano ao wakati wa ibada ya familia ao wakati wa funzo la pekee . Ndiyo sababu ni jambo la maana wazazi wasiache kufundisha watoto wao . ” Acha watoto wako watambue kama unaona Yehova kuwa mutu wa kweli kabisa . Wazazi hao wanasema hivi : “ Tuliambia pia mutoto wetu mukubwa mwanamuke kama amutegemee kabisa Yehova , aendelee kufanya mengi katika kazi ya Ufalme , na asihangaike sana . Wakati anaona matokeo , anaelewa kama Yehova anaendelea kutusaidia . Hilo limemusaidia sana akuwe na imani yenye nguvu kwa Mungu na katika Biblia . ”